CHAKULA CHA MUME
Dadaangu Siku zote kwenye maisha ya ndoa ,mume huwa ni mgeni rasmi na siku zote mgeni rasmi hufanyiwa maandalizi rasmi.
Mke akimzoea mume humuona wa kawaida na kamwe wayo la mgeni rasmi hutoweka akilini mwake na kumfananisha na watu wengine katika nyumba.
Labda akijua au kukaririshwa kuwa mlo ni Mara tatu tu kwa siku, pengine kwa kufuata mila makuzi na mazingira Anayoishi na kushindwa kumfanyia mume yafuatayo
chakula chepesi cha asubuhi. ..
Hii ni kabla ya chai pindi mume aamkapo kitandani na kumaliza swala za asubuhi (chemsha tumbo)
??Chai ya Rangi yenye viungo asilia vya chai
?? Uji mwepesi wa mchele au ulezi
?? maziwa fresh
Chochote utakacho Andaa fuatisha na tunda kdg
Penda kuandaa vitafunwa vyako mwenyewe, siyo kutegemea mkate dukani kila siku
Mume atafunga choo
Bure dadaangu
Kadhalika usitegemee vitafunwa vya barabarani ambavyo hujui maandalizi yake.
Epuka vitafunwa vya kukaanga Mara kwa Mara, bali pendelea (natural food) yaani vitafunwa asilia. Pia epuka Kumlisha mume kiporo hata kama anapenda.
Chakarika apate mbadala wake na hicho kiwe Mara moja atakipenda zaidi.
MTUNZE MUMEO DADA
Hakika mwanamke mwema ni uwaridi mbele ya Mumewe, hupenda kuliangalia kila Wakati na Ndio bora ya starehe ya dunia kwa Mumewe.
Yapo mengi natamani wanawake wajifunze na wajue kuwa hakuna mwanaume bahili kwa Mwanamke mwenye ujuzi wakuteka udhaifu wa mume.
Dada ujachelewa bado chukua hatua ya kujiunga na group ujifunze mengi kuhusu mausiano na ndoa Bora.
Tukutane kwenye group
0769228130.