Ingia

Sema Jambo

Unsplashb
750+ Trending Pictures | Download Free Images on gonga94
  artist

๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 25.

23rd Jun, 2025 Views 14

๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜.
part 25.

"Umdhaniye ndiye kumbe siye๐Ÿ’”. Wakasema akuchukiae hakosi ila ya kukutia๐Ÿ˜ญ, hawakusita kuongeza, asiye na adui si mtu, yan mwenye hana adui hapa duniani huyo si mwanadamu๐Ÿ™๐Ÿ™๐Ÿ˜ญ. Mbna nilisahau kafahamu kwamba, kupendana sio kufanana๐Ÿ˜ญ".
KAMAU aliangusha methali na misemo ya usaliti hadi mwalimu mkuu na madam stacy wakapenda๐Ÿ™๐Ÿ™. Kweli hata akose meno, simba huwa hachujuki๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ. Nilidhani namweza kamau kwenye lugha, jamani nilionekana learner mbele yake๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ.

Et mjinga siku zote akierefuka, mwerefu huwa mashakani,, Niko mbele ya JAJI ๐Ÿ’”๐Ÿ˜ญ, nawaza ni vipy nitaishi jela maisha yangu yote๐Ÿ˜ญ. Mamangu baada ya Kutolewa nje akatulizwa na kurudishwa ndani๐Ÿ˜ญ,

JAJI: kwa hiyo kama korti tumekufunga maisha je......

MOM: Maisha??? Mmeniuaaaaa

She fell down on the floor ๐Ÿ˜ญ, hivyo ndo mamangu alisirai๐Ÿ˜ญ, ingawaje korti ilinipa muda wa week mbili kukata rufaa๐Ÿ™, sikuona nikitolewa in any way๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ. Nikiwa namlilia mam aamke, askari waliagizwa wanitowe na kunipeleka jela๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ.

Kwa muda wa miezi mbili jela sikuwahi sikia sauti ya mama wala kuskia habari yoyote kuhusu afya yake๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ. Maisha yaligeuka sumu kwangu, walisema kofi la mahaba huwa haliumizi lakn kwangu lilitaka kuniua ๐Ÿ˜ญ. Moyo ulitoka kwa masomo kabisa๐Ÿ˜ญ, sikutamani shule tena, sikutamani chochote kinachohusu masomo๐Ÿ’”.

Miezi sita baadae ndo ilikuwa siku ya kuwatembelea wafungwa, moyo wangu angalau ulijawa na furaha nikitarajia kumwona mamanguโฃ๏ธโฃ๏ธ. Saa tatu asubuhi watu walianza kufika na shopping kuwaletea wapendwa wao๐ŸŒน. Nilipepesa macho yangu mawili nione kama nitamulika mamangu๐Ÿค”๐Ÿค”. Sikumuona. Saa tisa mchana bado sikuona yeyote aliyekuja kwa ajili yangu, sio walimu, sio marafiki, sio mamangu๐Ÿ’”๐Ÿ’”.

Muda uliisha watu wakarudi๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ. Kichwani maswali yakawa mengi kuliko majibu sasa๐Ÿ˜ญ. Hata mamangu hawezi kuja kuniona??!๐Ÿ˜ฑ๐Ÿ˜ญ, ina maana walinidanganya wahenga waliposema, uchungu wa mwana ni mama aujuae๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ. I know I really betrayed her but anaweza kosa kunitembelea kweli?? Nilikosa tumaini la kuishi tena, sikuwa na sababu ya kuendelea kukaa duniani sasa๐Ÿ’”๐Ÿ’”๐Ÿ˜ญ.

Ilipofika saa tatu usiku ndo niliitwa na askari aliyekuwa kwa duty huo usiku๐Ÿ™.

HIM: Wap Sky??

ME: ๐Ÿ–๏ธ๐Ÿ–๏ธ

"Njoo haraka, kuna mzigo ulitumiwa na mtu leoโฃ๏ธโฃ๏ธ"

Niliruka juu juu kama ndama,, finally nmekumbukwa๐Ÿ™๐Ÿ™. Ingawa sikujuwa mzigo gan na ulitoka kwa nani๐Ÿ™, fikra zilianza kuniambia huenda ni MOM hakufaulu kufika na hivyo akatumaโฃ๏ธ๐Ÿ™.

HIM: Keti pale kijana,, najuwa sasa ndo umejuwa venye kosa na kumpa msichana wa shule ujauzito ni mbaya๐Ÿ˜ช๐Ÿ˜ช. Sasa jiangalie, a very strong and energetic boy, unaamua kuua ndoto zako zote et juu ya mapenzi ya usiku mmoja tu, kwanza kwa miwa๐Ÿ˜ช๐Ÿ˜ช.

ME: Sir why did you call me?? Haya maneno yako kwa sasa hayana maana kwangu๐Ÿ˜ช. Ishafika usiku kwa hiyo siwezi zuia giza kuingia๐Ÿ™๐Ÿ™.

HIM: Kuna ujumbe wako hapa ๐Ÿ˜ญ, najuwa itakuwa vigumu kwako kuukubali ila itabidi๐Ÿ™๐Ÿ™. Najua lazma leo ulishindwa kwann hakukuwa na mtu wa kukutembelea wewe๐Ÿ™๐Ÿ™. Sio??

ME: Hata mamangu Sir ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ.

HIM: Calm down,, hii ndo barua aliokuwachia nyuma๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ

ME: Nyuma?? What are you talking about sir?? I don't understand.

HIM: Well, your Mom venye alicolapse mbele ya korti, alipelekwa hosi akatibiwa na kuruhusiwa kuenda nyumbani...

ME: Alfu??

HIM: It's unfortunate SKY ๐Ÿ˜ญ. She's no longer with us๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ. She died of heart attack. Here's the letter she left for you ๐Ÿ˜ญ. Am really sorry for that.

I don't know what happened next but the following day nilijipata hossy๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ, kando alikuwa amekaa yule askari๐Ÿ˜ญ,

"Where am I and why???"

Askari: since you fainted yesterday, so we brought you here, tuko hossy. Daktari amesema unafaa kurest ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ. Cool down,

ME: Where's my Mom??

HIM: ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ nimesema unafaa kupumzika Sky ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ.

ME: Sir please, just shoot me๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ. I better die๐Ÿ˜ญ. Who am I living for now??

Kidogo nikamuona Kamau akiingia mlangoni ๐Ÿคญ. Alikuwa anahema ajabu๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ.

HIM: Bro, am really sorry for the death of your beloved Mom ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ. It's really hurting me, am sorry for everything please, you have to be strong,, I now understand why you decided to do what you did to me ๐Ÿ˜ญ.

Hata hakumaliza, nao Njeri, Brianna Madam Stacy na Principal wakaingia๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ.

PRINCIPAL: Kamau tumeona tukufwate tu๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ. Sky stay strong, this might be the hardest moment ever in your life but we're with you in everything ๐Ÿ˜ญ. Sikujuwa kwann uliamua kumwekelea kamau hayo yote๐Ÿ˜ญ, I didn't knew you were protecting your Mom ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ. Sorry for everything I said๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ.

ME: Where's the letter Sir??

Askari alinipa kisha nikamuomba mwalimu mkuu anisomee๐Ÿ™๐Ÿ™.

MADAM Stacy: Sky we've to do what we can do to bring you out of jail๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ. NJERI will give birth in three months time๐Ÿ™๐Ÿ™. Unafaa urudi shule ak๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ.

MEAN: No need Madam,, no need for education now๐Ÿ™๐Ÿ™. The reason why I was going to school was to make my mom's life better ,, but now where's she?๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ. SIENDI SHULE TENA

KAMAU: Usiseme hivo bro, masomo ni kwa ajili yako๐Ÿ™๐Ÿ™. Hapo ndo pia nilikuwa before uchange mind yangu,,, bila elimu bro ni vigumu, kumbuka ukiniambia mwenyewe๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ.

ME: SORRY for everything I did to you man,,, sijui mbna unanijali ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ.

NJERI na Brianna walingaliana๐Ÿ˜ญ.......

NJERI: .........

Tuchangamke kwa LIKES part 26 ishuke before lunch time.๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ.
   

X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 25.  >>> https://gonga94.com/semajambo/drama-of-love-part-25
#Nk #gonga94 #trending #instagood #explore #viral #challenge #simulizi #hadithi #israel #iran #war 

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 

SIMULIZI NA SAUTI
gonga94ads - The Best Popunder Adnetwork

HONGERA WEWE NDIO MSHINDI WA VOCHA YA LEO VOCHA NAMBA (499712343590381) MTANDAO VODACOM TUMA NENO NIMESHINDA KWENDA NAMBA 0768304821


majario rewards 100 Comments 0
 

TAMU YA SAKINA 34

majario rewards 100 Comments 0
 

SAKINA 33

majario rewards 100 Comments 0
 

SAKINA_32

majario rewards 100 Comments 0
 

TAMU YA SAKINA_31

majario rewards 100 Comments 0
 

SAKINA _26 & 27

majario rewards 100 Comments 0
 

SAKINA_25

majario rewards 100 Comments 0
 

TAMU YA SAKINA_24

majario rewards 100 Comments 0
 

SAKINA_23

majario rewards 100 Comments 0
 

SAKINA_22

majario rewards 100 Comments 0
 

SAKINA _20 & 21

majario rewards 100 Comments 0
 

SAKINA_18 & 19

majario rewards 100 Comments 0
 

SAKINA _16 & 17

majario rewards 100 Comments 0
 

SAKINA 14 & 15

majario rewards 100 Comments 0
 

TAMU YA SAKINA 13

majario rewards 100 Comments 0
 

TAMU YA SAKINA 12

majario rewards 100 Comments 0
 

TAMU YA SAKINA 11

majario rewards 100 Comments 0
 

TAMU YA SAKINA 10

majario rewards 100 Comments 0
 

TAMU YA SAKINA 9

majario rewards 100 Comments 0
 

TAMU YA SAKINA 8

majario rewards 100 Comments 0
 

TAMU YA SAKINA 07.

majario rewards 100 Comments 0
 

TAMU YA SAKINA 06.

majario rewards 100 Comments 0
 

TAMU YA SAKINA 05.

majario rewards 100 Comments 0
 

TAMU YA SAKINA 04.

majario rewards 100 Comments 0
 

TAMU YA SAKINA 03.

majario rewards 100 Comments 0
 

NIPE YOTE DADY 38

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

NIPE YOTE DADY 34

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

TUWASHUKURU KINA BABA

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

MARIA Sehemu 16

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

MARIA Sehemu ya 10

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

MARIA Sehemu ya 7

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

RATIFA sehemu ya 37

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

RATIFA sehemu ya 36

Home Login Signup
Top 20 Popular Contact us
Terms & Conditions About us Latest