" Baba mdogo niachie mimi mwanao niachie baba mdogo sio vizuri.
( Nabana miguu akawa ananiambia)
" Amina nione huruma mwanangu nachezea tu juu juu siweki ndani.
" Niachie baba mdogo mimi ni haramu kwako.
" Najua Hila sitaki pesa zangu akale mwanamke mwengine wakati wewe upo nakupa pesa ufanye maendeleo au unataka uwe maskini kila siku.
( Neno lile likanikumbusha kulala sebuleni kweli pesa nataka ila ndio na baba mdogo kweli nikajikaza)
" Mimi mwanao naomba usinifanyie ivyo.
( Akawa kama asikii anataka kufosi kunitanua miguu sijui akili nilipata wapi nikasema)
" Baba mdogo nipo kwenye siku zangu.
( Akaniacha akaniambia)
" Nisamehe izo pesa ni zako tunza siri amina hii nakupenda.
( Alitoka nje mimi nikawa nahema kweli kweli pesa ni laki tatu sijawai kuishika toka nizaliwe nilifunga mlango nikalala...asubuhi naamka simuoni baba mdogo...kumbe kaenda hospital nikafanya usafi akarudi akaniambia)
" Amina mama yako kajifungua mtoto wa kike.
" Afadhali nimepata mdogo wangu anarudi saa ngapi?
" Nadhani Kesho.
" Sawa dady.
" Vipi tumbo aliumi?
" Linauma ila ndio nishazoea.
" Pole amina sasa Shika elf 50 hii mtumie mama yako ila angalia usije kumtumia baba yako atainywea pombe.
" Sawa.
( Nilienda kwa wakala uku nasema kimoyoni baba mdogo anampenda mama yangu na mimi mtu akimpenda mama yangu siwezi kumchukia...nawaza niondoke nirudi kijijini hili nimuepuke baba mdogo?...wazo lengine linakuja nikalale tena sebuleni nisikilize yanayojili ya wazazi wangu?...hapana yani yote mimi nawaza nikafika kwa wakala nikamtumia mama pesa na mimi nikaweka pesa zangu kwenye simu yangu nikarudi nyumbani nikamwambia baba mdogo)
" Kwaiyo mama nimpikie ndizi?
" Usiangaike yule shoga yake chamdomo anampikia ila mchana tutaenda wote.
" Sawa.
( Kweli mchana tulienda wote na Muda huo ndio akaruhusiwa mama mdogo sasa wakaja na ndugu zake mama mdogo wakamuomba baba mdogo)
" Tunaomba tukakae nae mzazi kwetu si unajua uzazi wa kwanza huu tunataka kumfundisha jinsi ya kulea mtoto.
" Sawa aina shida.
( Mama mdogo alikuwa na tabasamu kwangu akaniambia)
" Usione nimekukimbia mwanangu naenda kukaa kidogo kwa ndugu zangu alafu nakuja.
" Sawa mama ila na mimi nipajue niwe nakuja kucheza na mdogo wangu.
" Sawa utakuja jumapili na dady wako.
" Sawa mama.
( Tuliondoka...na baba mdogo mpaka nyumbani...sasa siku tano zilipita baba mdogo akunisumbua alikuwa ananijali tu vitu vizuri zuri nakula..siku ya sita mimi nipo bafuni naoga nipo na kitenge tu choo cha ndani yani chumbani kwangu kuna choo nyumba ya kisasa hii nilisahau kufunga mlango wa chumbani...kumbe baba mdogo aliingia chumbani kwangu alafu akazima umeme...mimi nilijua umekatika.....nikajimwagia fasta Nikatoka kwa uzoefu wa nyumba nikawa naenda kupapasa sehemu nilipoweka simu hili niwashe tochi...nipo na tenge tu nimeinama napapasa simu naona nimeshikwa kiuno sauti ya upole)
" Amina usistuke ni mimi.
( Kitu kigumu nasikia kinanigusa kwenye mzigo wangu nyuma)
" Baba mdogo unataka nini tena niachie.
( Akanitoa tenge nikabaki kama nakuja duniani kwa mala ya kwanza kumbe na yeye ayupo na kitu chochote mwilini baba mdogo amedhamilia kitendo)
" Baba mdogo niachie.
" Usiwe ivyo amina nione huruma nitakupa utakacho amina sema unataka nini nikupe?
( Mikono yake inatomasa mzigo wangu naona naishiwa pawa)
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Jamani sio ukweli ni nadharia tu mcjeee mkapagawaaaaaaa
ITAENDELEA
Full 2000
Whatsapp 0657171961
KWETU Morogoro
Muda huo Hemed alikuwa ameinamisha kichwa chake chini kaziba uso wake kwa mikono yake🥹🥹wala sikujua kama analia mpaka pale baba yake alipomuinua juu na kuanza kumfariji kiumee..
Inamaana hukua unajua historia ya mchumba wako?... baba alimhoji Hemed akamwambia sikuwa najua baba🥹🥹nilishawahi kumhoji mara mbili kuhusu wazazi aliishia kulia tu bila kuniambia chochote..
Sikuona kama kuna umuhimu wa kuendelea kumuuliza kuhusu kitu kinachomuumiza🥹🥹
Hemed alifuta machozi kisha akaondoka pale mzee alimfuata wakaniacha mimi na mama...
Mr's Martin aliniambia maisha aliyopitia mama yako nami nimeyapitia sweetheart ngoja nikuelezee kidogo..
Wakati nipo chuoni nilibeba mimba ya Mr Martin na wakati huo mimi nilikuwa mwislam na mwenzangu ni msabato..
Nilirudi kujifungulia nyumbani wazazi wakakataa mtoto asipewe jina la kikristo wala hawakutaka Mr Martin kukanyaga nyumbani kwetu..
Mwanangu ambaye ni Hemed alipewa hilo jina la kiislam na wazazi wangu... kwa vile mimi nilishazama kwenye penzi na Mr Martin nilikuwa najiiba naenda kumuona nampelekea na mtoto wake anamuona..
Nilikuwa nafanya hivo kila muda mwisho nilichoka mapenzi ya siri nikaamua kubakia hukohuko nyumbani kwa Mr Martin..
Nilibadili na dini kabisa ili tuweze kufunga ndoa... wazazi na ndugu zangu walinitenga💔💔💔 sikujali maana mimi naamini Mungu ni mmoja tunayemwabudu kitakachompeleka mtu mbinguni ni matendo na siyo dini...
Usihuzunike kuhusu mamako kutengwa na ndugu wala usijisikie vibaya wewe na mdogo wako kutengwa na ndugu wa mamako...
Yupo mmoja ambaye yeye hawezi kuwatenga kamwe naye ni Mungu....Mungu hajawatenga na hawezi kuwatenga ndo maana mpaka leo hii mko hai❤️
Maneno ya mama mkwe yalinipa faraja sana❤️❤️ nilijiona kama mtu niliyezaliwa upya❤️❤️nilimshukuru mama kwa kunijenga upya kisaikolojia akaniambia karibu anytime ukinihitaji kwa ushauri I'm here for you...basi bwana kikao kiliishia hivo kule upande wa pili baba alikuwa anampa Hemed madini namimi huku mama alikuwa ananijenga🥰🥰
Baada ya kumaliza yote tulikutana Sitting room kuna movie fulani hivi ya kifamilia tukaangalia jina limenitoka kidogo..
Sikuwa na majonzi tena at least nilianza kujihisi kama binadamu wa kawaida🥹🥹 zamani nilikuaga najiona kama mtu mwenye mikosi mitupu🥹
Nilikuwa najiona kama mtu niliyetengwa na Dunia nzima🥹🥹🥹hata wanaume nilikuwa nawakataaga💔💔Namshukuru Mungu aloniletea Hemed kwenye maisha yangu🙏🙏
Baada ya movie kilichofuatia ni kwenda kupumzika🥰🥰🥰Hemed alinishika mkono akaniambia twenzetu tukapumzike😯😯
Wapi😳😳😳ukapumzike na nani🙄🙄🙄akasema na wewe😋😋 nyooo mi silali na wewe🥺 akasema kwa nini???
Naogopa😰😰 unaogopa nini??? Nikamwambia naogopa kukuona ukiwa uchi🙄🙄 basi sitovua nguo😍😍 bado naogopa🙄 akauliza nini kingine?..
Nikamwambia naogopa kulala pamoja na wewe😰 sitokufanya kitu babe trust me💋❤️ hahahaa hutonifanyaaa naijua hiyooo....
maongezi hayo yalikuwa ya chini sana🤣🤣muda huo Hemed alikuwa amenishikilia mkono tunaenda zetu kulala..
Alikuwa ananitania tu wala hatukulala pamoja🙈😂 ye alilala chumbani kwake mi nikalala chumbani kwa mdogo wake wa kike missa..
Tulilala huo usiku Hemed akawa ananitumia msg za kunifariji dah😰❤️❤️ kama ni mwanaume kweli Mungu kanipatia🥹🙏
Imagine tulikuwa vyumba tofauti lakini ile kubembeleza alikuwa ananibembeleza kwenye msg mpaka nilipata usingizi❤️❤️..
Siku iliyofuata niliamka mapema nikaenda kusaidia usafi nionekane mkamwana mwenye adabu hahahaaaa..
Tuliosha vyombo mimi na missa then dada wa kazi akadeki mom alikuwa jikoni anaandaa kifungua kinywa..
Hemed alikuwa nje anafyeka na kufagia then baba yeye alikuwa anaosha magari yake nje🥰🥰🥰..
Itaendeleaaaaaaa
JANA TULILUKA KIPANDE CHA KUMI NA TANO
HIHYO LEO TUNAWEKA KIPANDE CHA KUMI NA TANO NA KUMI NA SABA 15,17
SEHEMU YA 17*
Mimi mwenzenu nilikaza kama ni maisha magumu nimeyazoea tangu nilipoondokewa na wazazi wangu😰😰
Kama Hemed ni wangu basi atarudi tu mikononi mwangu kama siyo wa kwangu basi ataendelea kuninyamazia vivo hivo..
Sikumwambia yeyote kinachoendelea ilibakia siri yangu moyoni...niliumia na niliteseka sana kihisia lakini nilivumilia..
Nilikuwa nishazoea kuamshwa na ile sauti nzito na makiss kwenye simu nilikuwa nishazoea kubembelezwa kudekezwa..
Nilikuwa nishazoea kupelekwa kila sehemu na gari nanunuliwa kile kitu ninachopenda natritiwa kama malkia alf et leo hii vitu vyote hivo vimekata ghafla..lazima uumwe😁
Na kwa jinsi nilivokuwa mjinga baada tu ya kunogewa na pesa za Hemed niliacha kazi ya mgahawani😝😝😝 baada ya kunyamaziwa ndo nikaanza kuhaha😂🙄..
Nirudi mgawahani nikaendelee kupika na kuungua mikono yangu??? Nirudi kufubazwa na moshi jikoni???. Hapana siwezi kurudi nilikotoka😝😝
Niliona aibu kurudia ile kazi ya mgahawani nikaomba kazi kwenye hotel moja hivi hapa jijini Dsm😞😞nishazoea raha sirudi tena jikoni nitafubaa kama zamani🙁🙁..
Kwanza sitakiwi kurudi kule alikonikuta Hemed ataona kama bila yeye siwezi kitu😒😒natakiwa nifanye kazi itakayomuumiza na kumtia wivu😝😝😝...
Bora nifanye kazi ya hotel hapa nitakuwa napendeza muda wote na nitaomba wanipe shift za usiku ili niendelee kwenda chuoni mchana🤗🤗...
niliandika barua ya maombi ya kazi nikapeleka katika hiyo hotel ni hotel kubwa sana hapa jijini Dsm😍very expensive 🙌🙌..
Baada ya kutuma barua nilisubilia kuitwa kwenye interview 🥰🥰🥰zilipita kama siku tatu hivi nikapokea simu kutoka kwa maneger wa ile hotel
Niliombwa kufika kwenye interview siku hiyo hiyo saa kumi jioni.. nilifanya hivo nilijiandaa nikavaa smart then nikaelekea kwenye interview..
Namshukuru Mungu kazi nilipata na kwa vile niliomba kupangwa usiku pekee niliambiwa sintokuwa na mapumziko yani siku zote saba za week nitakuwa naingia kazini..
Muda ni kuanzia saa moja jioni mpaka saa saba usiku.. oh asanteee Mungu nilimshukuru sana Mungu..
Mshahara siyo mkuubwa but ulinifaa🥰🥰maneger aliniweka reception hahahaaa akaniambia kisura changu na kishepu ni special kwa ajili ya kuwavutia wageni wanaoingia hotelin hapo..
Sikuwa na kipingamizi nilipewa one week ya kujiandaa ikiwemo kushona sare na kuweka mambo yangu tyr🥰🥰😍..
Week iliyofuata nilianza kazi😝😝😝niliingia pale kazini nimependeza hatari🤗🤗🤗siku ya kwanza tu nimeanza kazi nikapendwa na likaka limoja hivi..
Huyo kaka ndo alikuwa ameingia ni mgeni siyo mtanzania😝😝😝 nilimpokea nikaenda kumuonesha chumba chake siku hiyo hiyo akaniomba namba hahahaa
Kusema kweli nilikuwa kwenye ile hali ya kuteseka na mapenzi kiasi kwamba ilifikia hatua nikasema nikipata mkaka mwingine wa juu zaidi ya Hemed namchukua ili nimuumize Hemed maana anajiona sana cake🥺🥺
Nilikuwa nateseka sana navopiga simu mpaka mara 20 hapokei natuma msg kuanzia asubuhi mpaka usiku hazijibiwi inauma hiyo..
Ili nisiendelee kuteseka nimpe mtu mwingine nafasi alizibe lile pengo la Hemed🤨🤨
Nilimpa yule mkaka namba😃😃nayeye akanipa ya kwake aliniambia anaitwa Romy nami nikamwambia naitwa Bella😘😘..
Hatukuweza kuongea sana maana ilikuwa muda wa kazi🥰🥰🥰 nilimwambia tutaongea zaidi nikitoka kazini akasema sawa..
kabla sijaondoka Romy aliniomba nimuwekee oda ya chakula fulani then akaomba chakula kikiwa tayari tule wote hahahaaa nyieee😃
Nilienda jikoni kwa chef👨🍳 nikamuwekea Romy oda ya chakula alichoniambia yeye muda huo alikuwa room kwake anakoga..
Baada ya muda Romy alishuka chini reception akaomba kinywaji fulani vile vikali😝😝nikaenda kumchukulia..
Alikaa tu pembeni pale mapokezi akaanza kunywa..chakula kilipoiva akaomba tuletewe pale nile nayee😝😝😝na vile ashaanza kulewa wacha nisifiwe hahahaa alinisifia mpaka kero😃
Tumemaliza kula nikapewa pesa nikalipie Bill nyieee siyo pesa za kitanzani ni dollar💵 nimelipa nimemaliza nikamletea chenji akaniambia keep change 😳😳
Chenji nayoambiwa ni keep inalingana na mshahara ninaolipwa pale hotelin halloooh🙁🙌
Itaendeleaaaaaaa
Full 2000
Whatsapp 0657171961
KWETU Morogoro
. Daktari wake alikuwa amesisitiza kwamba ingawa upasuaji huo haukuwa wa dharura ya haraka, ulikuwa muhimu ili kuondoa tatizo lililokuwa likimtesa kimya kimya kwa muda mrefu.
Zarina hakuwahi kuwa na usingizi mzuri kwa siku tatu mfululizo. Kila alipomwangalia Darren usiku, moyo wake ulikuwa unamwambia, asiache kumshika mkono hata sekunde moja.
Asubuhi hiyo, nyumba nzima ilikuwa na hali ya wasiwasi. Raveen alikuwa kimya zaidi ya kawaida, akihangaika kuhakikisha kila kitu kiko tayari. Wazazi wa Darren walifika wakawa wametulia huku wakimuomba mtoto wao.
Zarina alikuwa na Darren kwenye chumba cha mapumziko walikuwa wamekaa kitandani.
Darren amevaa shati jeupe la wagonjwa na suruali Uso wake ulikuwa na tabasamu dogo, lakini macho yake yalionyesha hofu iliyojificha.
“Hii ni siku nzito sana Zarina .Sikuwahi kufikiria kuwa nitakuwa kitandani badala ya kukulinda wewe.
Zarina alimshika mkono kwa nguvu.
“Hata shujaa anaweza kuhitaji kupumzika na kutibiwa. Leo kazi yangu ni kukulinda wewe, Darren. Hii vita tunapigana pamoja.
Mama na baba yake walipomaliza kuomba walienda kumuangalia.
" Darren mwanangu siku zote umekuwa shujaa kwa uwezo wa Mungu utavuka hili. Alisema baba yake huku akiwa ameshika begani. Na Darren alitabasamu.
" Mwanangu nakuombea utoke salama.
" Sawa mama . Baba , mama kama ikitokea bahati mbaya sijaamka naombeni munuangalie sana Zarina na mtoto wangu alietumboni. Mchukulieni Zarina kama mlivyokuwa mkinichukulia mimi . Nadhani nilishawaeleza kila kitu kuhusu yeye.
Wakiwa wanaendelea kuongea wauguzi walifika .
" Jamani tumekuja kumchukua mgonjwa wetu
Walimchukua Darren wakampeleka kwenye chumba cha maandalizi. Daktari alikuja na kumhakikisha kuwa kila kitu kiko sawa.
“Upasuaji utachukua saa manne hadi sita. Tunatarajia matokeo mazuri, MUNGU atusimamie kwenye kazi yetu.
" Amina.
Zarina alikuwa anaongea mwenyewe kwa sauti ya chini huku machozi yakimtoka . “Utarudi kwangu salama. Nitakusubiri hapa mlangoni.
Mlango wa chumba cha upasuaji ulifungwa taratibu. Zarina alibaki nje, akitembea huku na kule kama mtu aliyepoteza kitu cha thamani. Kila dakika ilionekana kama masaa kwake. Kila mtu alikaa kimnya akimuomba Mungu kwa anavyojua yeye.
Baada ya muda mrefu waliohisi kama umekaa miaka, daktari alitoka akiwa na tabasamu. “Upasuaji umefanikiwa. Tumemtoa kwenye chumba cha upasuaji, sasa yupo kwenye chumba cha uangalizi.”
Zarina alihisi miguu yake ikilegea kwa furaha.
" Tunaweza kwenda kumuona?
" Labda kwa mara moja tu maana bado hayupo sawa.
Zarina alikimbilia kumwona, na alipomkuta akiwa amelala kitandani, huku akiwa Kalala usingizi mzito na puani aliwekewa mashine ya kupumulia.
Baada ya dakika tatu doctor aliwaomba waondoke wamuache apumzike.
Baada ya siku mbili hali ya Darren ilikuwa nzuri japokuwa hakuwa ameimarika .
Siku hiyo Zarina alifika wodini akamkuta bado Kalala. Aliushika mkono wa Darren.
Darren alifumbua macho kidogo, akatabasamu kwa uchovu. “Nilikuambia nitarudi na sasa niko hapa, salama.”
Zarina alijifuta machozi, akiinamisha kichwa chake kifuani kwake. “Usinifanye nipitie hofu kama hii tena, Darren. Nakupenda sana.
" Nakupenda pia.
Raveen alisimama mlangoni,akiwa anatabasamu.
“Kaka, sasa unaweza kupumzika. Shemeji atahakikisha unapata kila unachohitaji.”
baada ya muda mrefu, Zarina alihisi kwamba sasa ilikuwa zamu yake kulinda moyo wa Darren, kama ambavyo yeye alivyomlinda mara zote.
Hatimae siku zilienda waliruhusiwa wakarudi nyumbani ila siku moja moja waliorudisha hospitali kwaajili ya kuangalia maendeleao yake. Zarina alikuwa alimuhudumia vizuri na kuhakikisha anakuwa salama.
Siku moja baba yake Zarina alienda nyumbani kwa Darren kumuangalia binti yake.
Zarina alipomuona baba yake alishituka sana na kuingiwa na hofu lakini mama Darren alimtuliza.
" Tulia binti yangu kila kitu kipo sawa.
Zarina alitulia lakini hakuwa na amani.
Zarina alienda chumbani na mama Darren wakawa acha wanaume sebleni wakiongea.
Najua unajiuliza baba yako kafikaje hapa.
" Ndio tangia nimeondoka hajawahi kujitafutia kujua nilipo.
" Labda kwasababu alijua upo sehemu salama.
" Alijuaje kama nipo sehemu salama?
" Baada ya wewe kuja hapa Darren alituambia ikabidi tumtafute baba yako, hatukuweza kumpata ila tulipata mawasiliano yake tulipiga simu na kumueleza kila kitu bahati nzuri alitueleza .
Baada ya Zarina kuongea na mama mkwe wake alienda kuongea na baba yake.
" Nisamehe baba , najua nimekosea kuja kukaa kwa mwanaume bila ndoa na mpaka ukapelekwa kubeba ujauzito.
" Usijali mwanangu kwa upande mwingine hata mimi nina makosa sikuweza kukutetea kwa yule mwanamke mbaguzi.
Mama zawadi akifanyia mengi mabaya lakini nashukuru kuna mtu aligundua unayopitia na kujitoa kwako.
Zarina nimeridhika mfungwa ndoa na Darren yeye ndio mwanaume anayekufaa.
Zarina alifurahi na kumkumbatia baba yake.
" Asante baba nashukuru baba kwa kuthamini furaha yangu.
Baada ya hapo mzee Mustapha walirudi nyumbani kwake.
" Ulisema unaenda kumchukua Zarina yuko wapi sasa?
" Mama zawadi naomba uachane na mambo ya Zarina nimeamua kumpa uhuru wa kuishi maisha yake.
" Uhuru upi uliompa?
" Akitegemewa huko , awe na furaha pamoja na amani hapa mwanangu alikuwa anateseka sana.
" Alikuwa anateseka na nani? Usitafute sababu wewe mzee . Sema umeamua kumpa uhuru mwanao wa kuishi na huyo mwanaume wake sasa ngoja tuone kama watafika mbali.
Mama zawadi na mwanae zawadi waliendelea kufuatilia maisha ya Zarina wakagundua kuwa anafanyiwa sherehe kubwa ya uchumba pia ni mjamzito.
" Haiwezekani Zarina hawezi kuolewa na boss wake
" Sasa tutafanyaje mama?
" Tutajua la kufanya siwezi kukubali kabisa , si bora ungeolewa wewe mwanangu.
" Alafu sijui nilifungua na nini unajua siku ile zilivyoenea kwenye sherehe yule kaka alikuwepo na niliwakuta wanaongea.
" Sasa kwanini usijitongozeshe kwake mambo yameanza kuwa magumu unaongea ujinga wako hapa.
Zawadi na mama yake walijaribu kufanya kila hira kumuharibia Zarina lakini juhudi zao ziligonga mwamba. Mambo ya Zarina yalinyooka kama rula na hatimae alipata ndoa . Walifunga ndoa na kufanya harusi kubwa sana iliyoteka vichwa vya habari kwenye mitandao.
Zarina aliishi maisha mazuri sana na mume wake pamoja na familia ya Darren hakika alipata familia mpya.
Pia alibarikiwa kupata mtoto mzuri wa kike ambae aliongeza furaha kwenye familia yao.
Mama zawadi na wanae walibaki na aibu .
Kweli mwisho wa ubaya ni aibu.
All the best
yalipotea na kuibwa, kuna vitu vingi navyo vilipotea, mpaka leo watu hawajui vipo wapi.
Wengine wakaingia kazini na kuvitafuta kwa kuhisi vipo huku na kule, wakapoteza muda, pesa lakini bado hawakuviona. Haya ni baadhi ya vitu vilivyopotea ambavyo kama kuna siku utaviona mahali, hakika utakuwa tajiri mkubwa sana.
Taji lenye utajiri wa dola milioni 6.
Hili lilikuwa la mfalme katika jumba la kifalme la Dublin. Liliibwa mwaka 1907 na mpaka leo hakuna anayejua lilipo. Je, liliuzwa? Liliharibiwa ama? Nobody knows.
Vitu mfano wa mayai vya nchini Urusi
Kabla ya mapinduzi nchini Urusi kulikuwa na vitu mfano wa mayai ambavyo vilitengenezwa kwa kutumia madini ya bei mbaya. Vilikuwa saba na vilitengenezwa mahususi kwa ajili ya nyumba ya mfalme. Vitu hivyo vina gharama ya dola milioni 230 lakini baada ya mapinduzi makubwa nchini humo, havikuonekana tena mpaka leo hii. Nani aliviiba? Alivipeleka wapi? Hakuna ajuaye.
Dhahabu na Almasi nyingi huko Virginia
Kulikuwa na kikabati kikubwa kilichokuwa kimehifadhiwa dhahabu na almasi ndani yake. Kilifungwa vizuri na mnyororo na ndani vitu hivyo vilikuwa na thamani ya dola milioni 60. Miaka ya 1800 vilizikwa huko Virginia lakini mpaka leo hii hakuna mtu anayejua mahali vilipozikiwa. Vimetafutwa mpaka leo hii sehemu hiyo imekuwa siri.
Dhahabu nyingi kupotea nchini Marekani
Marekani ilijikusanyia dhahabu zake nyingi sana, zilikuwa na thamani ya dola milioni 400. Zilihifadhiwa vizuri kabisa lakini baada ya vita vya wenyewe kwa wenyewe kutokea mwaka 1861 chini ya rais Jefferson Davis, dhahabu hizo zikapotea na mpaka leo hakuna anayejua mahali zilipo. Wahuni walipita nazo baada ya vita kumalizika.
Meli ya dhahabu ikapotea baharini
Hiyo ilitokea mwaka 1511. Kulikuwa na meli ya Ureno iliyobeba dhahabu zenye thamani ya dola bilioni moja, ilipotea baharini na mzigo huo mkubwa na kwa bahati mbaya sana hakuna anayejua mahali ilipopotelea. Je, ilizama? Ilitekwa ama ilikuwaje? Nobody knows.
Meli ya almasi nayo ikasepa
Miaka ya 1600 napo meli ya Waingereza ikapotea baharini. Ilibeba almasi za Kihispania zenye thamani ya dola bilioni 1.25. Ilikuwa meli ya kifalme, ikapotea baharini ikiwa na mzigo huo mkubwa. Ilitafutwa kila kona, haikuonekana. Taarifa zilisema tu kulikuwa na wajanja waliamua kusepa nazo. Hapo ndipo ninapowakumbuka akina Jack Sparrow
Aztec treassure nayo ikasepeshwa
Yaap! Kulikuwa na dhahabu kubwa ya Montezuma Aztec ambayo ilikuwa na thamani ya dola bilioni 3, nayo iliwahiwa na wana, meli ikapotea na dhahabu hiyo haikuonekana tena mpaka leo.
Mji wenye dhahabu nayo umepotea
Kulikuwa na mji uitwao Paititi ambao ulikuwa na dhahabu nyingi sana mpaka kuitwa mji wa dhahabu. Inakadiriwa kuwa na dhahabu zenye thamani ya dola bilioni 10 ila cha ajabu mpaka leo hakuna ajuaye huo mji ulikuwa wapi. Umejaa dhahabu ila nao umepotea. Wanahistoria waliingia chimbo na kuutafuta kila kona wakaambulia patupu.
Wahispania nao walilia sana
Wakati mapigano yanaendelea mwaka 1708, Whispania walikuwa na meli yao iliyokuwa na dhahabu nyingi sana zenye thamani ya dola bilioni 20, meli ilizamishwa huko pwani ya Colombia na mpaka leo dhahabu hizo hazijaonekana tenaaaaa.
Wajapan nao hawakuachwa na kisanga hiki
Wakati wa mtawala wa Japan aitwaye Yamashita, aliamua kukusanya dhahabu nyingi sana mpaka kufikia za dola bilioni 400. Baada ya dita kutokea, jeshi lake likaamua kuzichukua dhahabu hizo na kwenda kuzificha huko karibu na Ufilipino na mpaka leo hakuna anayejua mahali dhahabu hizo zilipofichwa. Zimetafutwa, hazijaonekana.
Ameandika kuwa: “Usela ukizidi sana, Ndugu yangu utakwenda jela.
Kila wakati unaleta leta miyeyusho na kipala chako
Watu wanakausha kwa sababu wanakuona kama chizi.
Lakini nakuapia kuna siku utayavagaa halalu utajutia sana”
Unahisi Ujumbe wa Jay Melody unamlenga nani??
Cha kufurahisha zaidi ni goli la huyu krepin diata, aliachia shuti Kali dakika ya 65 mpaka watu Waka hisi dogo alikuwa na mpango wa kumuua manula, bahati nzuri manula hakujisumbua kufuata mpira mpaka ukazama wavuni, kesho yake nchi nzima mtandaoni ni picha za huyu dogo, Mwite Krepin Diata ambaye hato Toka kwenye fikra za Tanzania one 😆
na maradufu ya kile anacholipwa Msimbazi, kama ataamua kuondoka maana yake anaondoka na benchi lake lote la Ufundi, inatajwa pia kuwa Kocha Matola ni sehemu ya timu yake kwasasa ya kwamba endapo ataondoka basi ataondoka nae ijapo bado sio taarifa rasmi.
Ni Kweli ile ilikuwa ni Offside.
Wakati Prince Dube anatoa Pasi Pacome Zouzou alikuwa kwenye Eneo la Kuotea, Maxi Mzengeli pia alikuwa amezidi mkono, Lakini Pia wakati Maxi anapokea Mpira Pacome Zouzou alimchezea Faulo Rushine De Reuck, Kibendera Ndiye aliyeniangusha kwenye kufanya Maamuzi. Hata hivyo siwezi kumlaumu mkono Wala kujilaumu sababu ilikuwa ngumu kwetu kung'amua mazingira tata yale
Amesema Referee Arajiga wakati anaulizwa na ceramic media tv
Klabu ya Fountain Gate inaingia dimbani saa 8 mchana huu ikiwa na wachezaji 13 TU waliosajiliwa na mfumo wa usajili kutokana na MATATIZO YA KIUFUNDI ambayo hayawahusu FOUNTAIN GATE kitu ambacho kina chembe chembe za UONEVU.
Fountain walikuwa na kesi na Amisi Tambwe kule FIFA wakafungiwa kusajili, lakini baada ya kumaliza tofauti zao na Tambwe na FIFA wakakubali kwa barua ya tarehe 1 Septemba 2025, kwamba jambo hilo limeisha wakaondoa hiyo ban, wakawaambia TFF pia kuondoa ban ya ndani pia.
Lakini bado Fountain Gate wameshindwa kusajili wachezaji wao kwenye mfumo wa usajili (FIFA CONNECT) jambo ambalo walilipoti TFF na TFF wakasaidia kuwaandikia FIFA ili Fountain waweze kusajili, lakini FIFA hawajajibu barua za Fountain wala za TFF. Fountain walichoambiwa na TFF kwamba kuna tatizo la kiufundi ambalo kimsingi si kosa la Fountain Gate.
Fountain Gate wakaandika barua TFF kuomba mechi yao ya leo ihairishwe ili jambo lao lishughulikiwe kwakuwa wana wachezaji 13 pekee na kosa si lao, majibu kutoka Mamlaka (Sekretarieti ya TFF) ni kwamba HAWAWEZI KUGHAIRISHA KWAKUWA RATIBA ISHAPANGWA. Bin Kazumari inajiuliza kama jambo hili lingekuwa Simba au Yanga, majibu haya si ndo yangeturudisha kule kwenye HATUCHEZI? Bado hatujajifunza tu au kwakuwa Fountain Gate HAWANA WATU? Tujifunze kuwasikiliza hata wadogo na tuwatendee haki bila kuangaliana sura, CHEO NI DHAMANA TU.
BIN KAZUMARI MTIPA (Voice of the voiceless)
hiki ni kisa ambacho kitakufunza mengi ukiwa Kama kijana, binti, mzazi na mlezi,.....wewe uliye kwenye ndoa na hata wewe unaetarajia kuingia katika ndoa.. ......... karibu tujifunze pamoja na kufurahi pamoja
UMENIBADILISHA WEWE
Sehemu ya 1
Katika nyumba moja alionekana kijana akipanga nguo kwenye begi alipomaliza alichukua begi hilo akatoka nje na kuliweka kwenye gari kisha na akaingia kwenye gari na kuondoka.
"Hallo Joel make sure nafika hapo nikute uko tayari"
Aliongea kijana yule na kukata sm
Aliendesha kwa mda wa dakika 30 akawa amefika sehemu husika , geti lilifungulia akaingia na kupark gari akashuka na kwenda moja kwa moja ndani
JOEL:"aa time keeper kama kawaida yako ushafika on time"
"Utaendelea kuongea tupoteze mda au utaweka vifurushi vyako tuondoke"
"Bro taratibu basi kwani tunaenda kwenye misa ya ndoa kwamba tukichelewa utakuta padri kaondoka"
Chris aliona kama joel anamchelewesha alichukua mizigo yake na kuweka kwenye gari wakaingia na safari ikaanza..........
msomaji /msikilizaji CHRIS NA JOEL ni marafiki walioshibana toka enzi hizo za utotoni hadi hivi leo,
siku hii ya leo
walikuwa katika safari ya kuelekea mkoani mwanza ambapo ndio nyumbani kwao, Waliamua kutumia usafiri binafsi kwa sababu zao wenyewe.
Kwakuwa walikuwa wawili ilikuwa ni story na music kwenda mbele .......mida ya saa mbili usiku Joel akiwa anaendesha waliona gari limepaki pembeni huku mdada asimama karibu na bara bara akisimamisha magari lakin yalikuwa yanapita kama yamuoni .
"Oya huyu demu au jini kulikon saizi amepaki na anapungia mkono magari yasimame au traffic sikuhizi wanavaa kiraia"aliongea Joel
"Mimi nadhani atakuwa anashida labda gari lake limehariba"
"Mmmmh sidhani mambo ya bara barani huwa hayaeleweki "
"Embu mpite alafu ukasimame mbele "
"Nisimame ili tufanyeje"
"Tujue huenda anatatizo"
"Oya Chris achana naye kama ni jambazi je"
"Aaaa jambazi awe yule"
"Umeanza ubishi wako mimi sisimami kama anashida atasaidiwa na wengine sio sisi"
"Oya Joel simamisha gari "
"Chris tunawezaje kusimamisha gari kwa mtu tusie mjua"
"Uliambiwa usaidie unaowajua tu? Hembu simama ".........
Joel baada ya kuona Chris amekazana kumwambia asimame alisimama Kisha Chris akashuka
"Baki kwenye gari" aliongea Chris na kuondoka kuelekea kwa yule dada.
Dada yule alipomuoan Chris akataka kuvuka bara bara Ila Chris alimuonesha ishara abaki pale pale atamfuata.
"Mambo" alisalimia baada ta kufika
"Poa kaka "
"Vp unatatizo"
"Ndio gari limenizimikia na kama unavyoona hapa niporini kibaya zaidi sm yangu imezima yaani nimechanganyikiwa sijui hata nifanye nn "
"Okay pole sana aaa ngoja tuone Kama nitaweza kukusaidia"..
"Asante sana kaka yangu Mungu akubariki Sana"
"Haha hahaha unabariki hata kabla sijatengeneza kama nikishindwa je"
"No naamini utaweza "
"Haya ngoja tuone "
Alisogea kwenye gari na kuanza kukagua ili kujua nn shida mda huo Joel Bado yuko kwenye gari .
Chris alihangaika karibu nusu saa nzima bila kujua shida ni nini akaamua kumuita Joel ajae wasaidizane ili wawahi kumaliza hata hivyo Joel alikuwa mtalamu sana kuliko Chris
"Oya yaani umelala kwa amani kabisa mtu wangu"
"Sasa ulitaka nilale kwa ugomvi au'"
"Sasa unalalaje wakati mimi sipo"
"Acha zako siumeenda mwenyewe ulitaka nifanye nin "
"Okay tuachane na hayo twende tukamsaidie kutengeneza gari "
"Tushakuwa mafundi tena "
"Joel bwana acha hizo mtu anahitaji masaada sana tumsaidie then tuondoke "
"Bro hizi huruma zako zitakuja kukuponza ujue, hivi ni mjinga gani anaweza kusafiri safari ya mbali kiasi hiki bila kucheki gari lake kam liko sawa"
"Mistake zinatokea bhn we tumsaidie basi "
Ilichukua mda Joel kukubari lakin mwisho alikubari walimrekebishia gari lake hatimae lilikaa sawa
" asanteni sana kaka zangu sijui bila nyie ningefanya nn, Mungu awabariki sana "
"Urudie siku nyingine ee"
Joel alimjibu na kuondoka
Chris:"Usijali ila next time uwe makini sawa ee"
"Sawa kaka yangu asante sana"
"Haya safari njema"
"Na nyie pia"
Baada ya kuagana Kila mtu aliendelea na safari yake
Baada ya safari ya mda mrefu hatimae waliingia jijini mwanza kwakua ilikuwa ni usiku sana na hawa kuwapa taarifu nyumbani waliamua kulala hotelin.
UPANDE WA PILI
Yule binti alifika nje ya nyumba na kupiga honi
Geti likifunguliwa Kaingia na kupaki gari akashuka na kuingia ndani
Aliwakuta watu wamekaa seblen akawapita na kwenda moja kwa moja na chumbani kwake bila hat kuwasalimia
"Unaona mwanao alivyo na dharau yaani tumekaa hapa na presha juu kwasababu yake alafu anapita kama hajaona mtu "
Alilalamika binti mmoja aliyekuwa amekaa na mmama wa makamo
"Atakuwa kashavurugwa kichwa chake si unakijua vizuri "
Waliinuka na kwenda chumbani kwa binti yule
"We Nanah ndio tabia gani hii unayotuonesha, na ilikuwaje ukawa hupatikani kwenye sm"
"Mom please naombeni mniache yaani hapa nimechoka hadi naona kero kuongea kwaiyo hayo maswali yenu ya hifadhini vizuri mtaniuliza kesho"
Aliongea Nana na kujifunika shuka mwili mzima
"Hahahahahaha mwana kulitafuta mwanakulipata ulikuwa unaona kuendesha kutoka mwanza hadi hapa ni kama temeke na kigamboni eee, alafu ukawa unajisnap mwenyewe raha kama zote ukome"
"Bella niache nipumzike basi "
"Fine usiku mwema "
"Zima taa"
Itaendelea.....
UMENIBADILISHA WEWE
SEHEMU YA 02
Nana aliamka asubuhi akachukua sm yake na kumpigia Dada wakazi amletee chai
Nana ni mtoto wa pili wa mzee Leonard huku dada yake wa kwanza alikuwa anaitwa Nora
Familia ya mzee Leonard ilikuwa ni familia yenye uwezo mkubwa kifedha
Katika familia hiyo walijaliwa watoto wawili tu
"Ingia " Nana alimruhusu dada kuingia
"Za asubuhi dada"
"Nzuri "
"Karibu chai"
"Haya weka hapo kwenye meza alafu ukatoe begi la nguo liko kwenye gari ukimaliza unipasie nataka kutoka ".
"Sawa dada"
Mda huo huo akaingia Bella(binamu yake)
Bella: "Dada wa taifa naona umeshaamka "
"Wewe tena Nilijua tu lazima utakuja asubuhi asubuhi "
Bella: ""Ulitaka nije usiku usiku, hembu tuachane na hizi mh nambie ilikuwaje Jana ukakosekana ghafla alafu umefika mda umeenda kuliko tulivyo tegemea "
" Subiri kwanza ninywe chai ili nipate nguvu za kukueleza vizuri "
Alichukua chupa na kufungua akamimina "huyu mpuuzi leo tena hajaniwekea mdalasini hivi ngoja magee we mageeee"
Mage alikuja akikimbia"abee da" hata kabla hajamaliza kuongea Nana alimmwagia ile chai usoni
"Aaaaaa" mage alipiga kelele na kujishika usoni
"Huu ni upuuzi gani kwanzia lini mm nikanywa chai isiyokuwa na mdalasini "
Bella: ", Nana pun"
"Kaa kimya Bella huyu mjinga hasikii hii ni mara ya pili ananiletea chai isiyokuwa na mdalasini wakati anajua ni lazima kuweka mdalasini kwenye chai yangu"
Mage: "Nisamehe dada ila baba ndio alisema leo nisiweke ndio maana sijaiweka"
"Kwaiyo kama amesema usiwe ngoja " aliinuka na kutoka chumbani kwake akaenda chumbani kwa wazazi wake .
Bella :"Pole sana nenda kapake asali mapema " mage aliondoka na kuacha vyombo mle chumbani
Nana alifika chumbani kwa wazazi wake hakutaka hata kugonga alifungua mlango na kumkuta baba yake akifunga vifungo vya shati
"Baba ndio umefanya nn kwann umemwambia Mage asiweke mdalasini kwenye chai"
"Nimemwambia asiweke kwenye chai yangu siyo ya kwenu"
"Sasa kajifanya mjinga kachemsha ya wote"
"Ooo nasikia jana umerudi saa nane"
"NDIO naondoka kwenda kunywa chai nina njaa"
Alitoka na kumuacha baba yake akimuangalia, alifika chumbani na kukuta mrafiki zake wamekuja
"Nyie vp mbona mnavamia chumbani kwangu mapema yote hii"
Lizzy: "Wewe tena ulitaka tukae makwetu wakati umetulaza tumbo joto,kwanza ilikuwaje ukawa hupatikani"
"Eee nyie yaani Kila mtu yuko roho juu kama vile mimi ni mkuu wa nchi embu mniache nipumue kwanza khaa"
Nancy: "Bwana Nana Acha matani Sema ilikuwaje"
"Khaa nyie embu tulizeni makwomwe yenu kwanza, Mage we mageee embu njoo hapa '"
Bella: "Mh unavyomuita huyo mage kazi anayo"
"Bella usinichokonoe we kaa kwa kutulia"
Mage :"Abee Dada "
"Chai yangu iko wapi alafu mbona umefua nguo nusu na hizo chupi unamwachia nani afue ,na nilikwambia ukatoe begi kwenye gari silioni hapa inamaana hujatoa sio "
Mage; "Ndio dada nilikuwa na"
"Hembu toa hizo chupi haraka na ufanye haraka kuniletea chai uwaletee na wengine Kwanza nguo zangu umeshapasi?"
Mage: "Hapana dada "
"Hivi humu ndani unafanya kazi gani paka wewe maana Kila kitu hadi ukumbushwe mbona kula hukumbushwi
Sasa ole wako ifike saa nne hujamaliza kazi zangu utarudi huko usukumani kwenu ukachunge ng'ombe mjinga sana mfyuuu"
"Sa"
"Mageeee"
"Nenda huko mama anakuita ,Enhe sasa niwape ubuyu wa kilichotokea Jana "
Lizzy:"Embu subiri kwanza hivi Nana unawezaje kumfulisha mtoto wawatu michupi yako kwamba wewe hujui kufua"
"Lizzy umeanza mambo yako embu niache sitaki ugomvi saizi, enhe Jana saa moja jioni nikiwa katikat ya pori sangp gari lisiharibike na kibaya zaidi sm ikazima chaji"
"Haaaaa😮 ikawaje "waliongea wote kwa pamoja
"Si ndio naeleza jamani watu macho yamewatoka kama mna tunga Uzi kwenye sindano nyie tulizeni vishundu vyenu niwaambie, sasa bwana nilisimamisha magari lakin hakuna gari lililo simama hadi inafika saa mbili ndio gari moja hivi lika simama, embu ngoja ninywe maji kwanza mageeeee niletee maji yakunywa,
Aaaaa sasa hapa Koo liko vizuri , naomba mnipe masikio yenu maana hili ninalolisema linauzito aswaaa,
Nancy: "Shoga we ongea tunakusikiliza"
"Basi kwenye lile gari alishuka mkaka nyie gonja nikae vizuri yaani hapa kama namuona vile 🤗 Iko hivi alishuka mkaka mmoja hivi yuko hot hivi mnajua hot, mtu asimfananishe sijui na jux au Frank wa jua Kali no yule nimoto nyie mkaka ni mzuri hadi anakera kwaza yuko smart alafu nimrefu mweusi kidogo mweupe kidogo mwili wake sasa uwiiiii
Nitarudi ngojeni kidogo
UMENIBADILISHA WEWE.
SEHEMU YA 03
"ana mwili hivi amazing alafu kilichoni changanya kuliko vyote sauti dah jamani huyo mkaka anasauti tamu nyie yaani alivyoongea tu nikahisi hadi kinembe kinacheza "
Bella: "Aaaa huo ni umalaya sasa khaa yaani mtu anaongea tu alafu unanyegeka"
"Bella na wewe funga bakuri lako mimi Bado naongea alafu unanikatisha muone sura yake cheeeefu😏"
Bella: "Haya ongea"
"Alafu ananukia sio poa kiufupi ngoja niishie hapo nisije kujimaliza ila mkaka yuko poa sana "
Bella: "Ujimalize mara ngapi "
Nancy: "Bella na wewe Acha zako bhn, mh kwaiyo ikawaje "
"Alikuja akaangalia gari langu then akaenda kumuita rafiki yake wakatengeneza walipomaliza wakaondoka tena hata bila kuomba no kimeniuma basi"
Lizzy : "Wewe tena kwaiyo ulitaka namba yake ya nn wakati una bwana wako "
Bella : "ana bwana au mabwana ?"
"Bella na Lizzy mmeanza naomba msinitibue sawa eee"
"Haya dada"waliongea kwa pamoja na kukaa kimya
Nancy: "Mimi nahisi huyo kaka atakuwa anafanana na hemed maaana unamsifia kama yeye vile"
"Hemed gani yule mwenye sura nzito kama wimbi la uji"
Bella: "Khaaaa leo hii Kawa na sura nzito kama wimbi la uji wakati juzi juzi tu ulikuwa lunakufa kufa kwa ajili yake"..
Lizzy: "Mimi nikiwambiaga huyu ni rahabu mnakasirika haya leo kaka wawatu Kawa wimbi la uji 😂"Lizzy aliongea wote
Nancy: "Nyooo we mwenyewe Hawa kuangusha watoto wawatu dhambini"........
Bella: "Kwani Hawa na Rahabu si ndio wale wale yaani wote mbuzi tu sema wametofautiana viungo Hawa ni kichwa Rahabu ni mkia 😂" Bella aliongea na wote wakacheka ..
"Nyie zimepita dakika 10 huyu mpuuzi hajaleta chai, weee Mageee "
Mage: "Abee Dada "
"Shenzi wewe hiyo chai unatoa kijijini kwenu au"
Mage: "Naleta "
Lizzy: "Ila Nana hii tambia ya kumtukana mdada wawatu sio nzuri kwani huwezi kuongea nae kwa upole jamani."
"Weee Lizzy unikome hapa ni kwetu na yeye nikijakazi kwaiyo hizo swaga zako peleka kwenu ukija hapa tuliza komwe"
Lizzy: "Haya bhn,mh leo tunaenda wapi'"
"Nawasikiliza nyie "
Bella: "Naona leo twende shopping siunajua tunatakiwa kumsindikiza G kununua vitu na harusi yenyewe inakaribia"
"Weee tena umenikumbusha,ngoja nimuwahi huyu mzee Leonard kabla hajaondoka "
Nana Aliinuka na kwenda chumbani kwa wazazi wake
"Baba naomba Hela ya shopping "
"Shingap "
"Million 4"
"Nakutumia sasaiv "
"Haya"
aliondoka na kurudi chumbani kwake
"Usiniambie umetoka kuomba hela" Lizzy aliuza
"Sasa ulitaka nikaombe vuzi we vp "
Nancy: "Ila Lizzy unamwaswali ya kijinga mda mwingine"
Lizzy: "Heeee ya kijinga kivip mimi nimeuliza kwasababu najua anapesa ya kutosha kwenye account yake sasa nikosa
au"
"Aaaaa bwana hta kama Hela Iko kwenye account muhimu kuomba siunajua watu wenyewe wameshazeeka hapo wanasubiri kudanja tu kwaiyo lazima tutumie fulsa "
Lizzy: "Hongera sana"
Nancy: "Asante ila Lizzy punguza shobo rafiki yang yani kitu hakikupiti"
Lizzy. : "Heee kinipite hiyo kwema "
Mage: "Dada baba amesema nikupe hii"
Nana alipokea na kupiga kelele za furaha
"Weweeeeeeee this is my Daddy,yaani nimemuomba million 4 kanipa hundi ya million 7 just imagine eeee "
Nancy: "Wee hembu leta tuaone,
waooo hongera bestie ""
"Thanks guys,sasa tunywe chai chap alafu tuondoke "
Lizzy: "Ila Nana wazazi wako wanakulea vibaya sana kwa mtindo huu sijui labda wakutengenezee mwanaume wao ila sio kwenye hii Dunia "
Nancy: "Hivi Lizzy we unashida gani yaani Kila kitu kwako kibaya "
"Nancy mkaushie kwani humjui Lizzy wewe yeye Kila kitu kwake kiko hivyo,labda nikwambie kitu kimoja Lizzy kama wewe wazazi wako hawakupi vitu kama hivi pole yako ila sitaki Kila muda kuongea kitu chochote kinachuhusu wazazi wangu "
Lizzy: "Haya bhn sorry "
Walikunywa chai Kisha wakaondoka
Itaelendea
UMENIBADILISHA WEWE
SEHEMU YA 04
Ilipita wiki moja siku hiyo walitoka Nana na Lizzy
Wakaenda kupata chakula Cha jioni moja kati ya hotel flani hivi
Wakiwa wanasubiri chakula Nana alimuona Chris akiwa amekaa upande wa pili huku akiwa na watu kadhaa
"Wewe yule kaka alie nitengenezea gari yule pale"
Lizzy aligeuka na kuangalia
"Yupi"
"Yule alievaa shati la dark blue "
"Mr Chris?"
"Unamfahamu?"
"Ndio kwani nani asie mfahamu si ni CEO wa kampuni Ya HPL
"Weeee huyu ndio mmiliki wa ile kampuni"
"Acha kuniigizia bhn kwani ulikuwa hujui"
"Lizzy mimi ningejuaje"
"Basi ndio hivyo alafu nasikia pia ameajiliwa serikalini kwenye sehemu flan hivi nyeti"
"Usiniambie kumbe yuko na maokoto ya kutosha alafu anajiweka kawaida tu"
"Umesema wewe huyu kaka anapendwa na Kila mdada hapa mjini sasa jichanganye Kam hatujakuzika"
"Mfyuuu eti nizikwe wakuzikwa niwe mie"
"Haya Sema ni gentleman alafu yuko humble sana "
" huyo ndio mzuri sasa'"
"Wewe ten una hitaji maombi sio bure "
Wakati wakiwa wanongea waliona Chris akiamka na kuondoka
"Wewe bye tutaonana kesho"
"Unaenda wap sasa "
"Namfata Chris "
"Unawazimu wewe "
"Sawa tu unataka nikae hapa ili iweje"
Nana aliongea na kuondoka haraka
Alifika nje na kumuona Chris akiwa bz kuongea na sm haraka akapata wazo
Alienda na kujifanya anampamia bahati mbaya
"Ooo sorry sorry "
"It's ok niko sawa'"
"Chris aaa wewe nice to meet again"
Chris alikunja ndita kidogo huku akijaribu kukumbuka kama amewahi kumuona sehemu yoyote
"Aaa samahani tumeshawahi kuonana "
"Yes mimi ni yule msichana ulie nitengenezea gari wiki kama moja hivi iliyopita
"Ooo sorry nimeshahau,vp unaendeleaje"
" Namshukuru Mungu naendelea vizuri vp wew"
"Niko poa,aa! kama hutojali naweza kwenda Kuna mahari nawahi mara moja"
"Haina shida, unaenda njia Ipi maana nilikuwa naomba lift"
"Aaa sorry ninakoenda ni mbali kidogo alafu nina haraka sana"
"Okay haina shida asante "
Chris aliingia mfukoni akatoa not 5 za elfu kumi akampa na kusema
"Unaweza kuchukua Uber "
"Aaa no Haina shida nitachukua mwenyewe tu"
"Okay bye"alirudisha Hela yake na kuondoka
"Vp mbona umerudi "
"Mpango wangu umefell ila nimefurahia kumuona "
"Ngoja nile zangu maana nikiongea hapa kuna mtu atashindwa kula"
"Tena Bora ukae kimya tu"
Walikula Kisha wakarudi nyumbani
Chris alifika nyumbani akawa anaongea kwenye sm na Joel
"Bro hivi unaweza kufikilia kuwa leo nimekutana na yule msichana tuliemtengenezea gari "
"Msichana gani tena"
"Yule kipindi tunaenda mwanza si wiki tu imeisha"
"Aaa nimemkumbuka umekutana nae wapi"
"Nimekutana nae hotel wakati nimetoka kwenye kikao".
"Imekuwaje sasa"
"Alitaka nimpe lift ila nimemkwepa na kumdanganya kuwa kuna mahari nawahi "
"Hahahhaha ungempa tu "
"Watu wako kazin 😀,sikia basi kesho utaenda kwenye mkutano"
"Yeah nitaenda "
"Okay poa tutaonana huko basi"
"Poa usiku mwema "..
Alikata sm na kuwasha tv
Upande wa Nana
Alikuwa akiongea na rafiki zake
"Sasa jamani kesho situtaenda kwenye mkutano au" aliuliza groly
"Wewe tena na mikutano yako kama mtakatifu vile kumbe" Nana alimjib
"Nyie nijibuni kama hamtaki nitaenda mwenyewe "
"Twendeni bhn ili tukitoka huko tutapita dinner alafu Kila mmoja ataenda anakojua au Kuna mtu ana chimbo la kwenda " aliongea Bella
Lizzy alijibu na kusema"kwaiyo mnataka kwenda kwenye mkutano wa injili kwakuwa hamna chimbo la kwenda kama ni hivyo simlale tu"
Nancy alijibu na kusema"tutaenda "
Basi walikubaliana wote kuwa watenda
Kesho yake jion saa kumi wote walikuwa jangwani
Ambako ndiko kulikuwa kunafanyika mkutano wa injili
Walifika na kukaa kwa pamoja mkutano ulinza muhubiri alisimama na kuanza kufundisha baada ya mafundisho aliwaita vijana wote ambao hawajaoa Wala kuolewa wapite mbele kwaajili ya maombi maalumu
Nana na kundi lake lote waliinuka na kupita mbele na Chris nae alikuwa katika mkutano huo akiwa pamoja na rafiki yake Joel
Nao walikuwa hawajaoa hivyo nao wakapita mbele
Wakati wakiwa pale mbele Chris alimuoana Nana japo nana hakumuona
Muhubiri aliwaombea Kisha akawaruhusu kurudi
Mda huo wote Nana alikuwa Bado hajamuona Chris
Mkutano uliisha wakaondoka Chris aliondoka na Joel huku Nana nae akaondoka na rafiki zake
Chris alionekana kuwaza kitu
" Vp kaka mbona kama unamawazo"
"Hapana kunakitu nafikilia"
"Kitu gani hicho"
"Achana nacho sio cha muhimu"
Itaelendea
UMENIBADILISHA WEWE NO 05
SEHEMU YA 05
Chris na Joel walifika nyumbani
Chris alimuacha Joel seblen akaingia kuoga
Sura ya Nana alikuwa kikijirudia rudia kichwani alishindwa kuelewa kwann sura ya binti yule ilikuwa inajirudia rudia kichwani mwake
Upande wa Nana alikuwa kajilaza kitandan kwke huku akiwa bize na sm yake
"Mageeee"
"Abee"
"Nichagulie nguo ya kuvaa kesho alafu uinyoshe kabisa "
"Sasaivi au baadae"
"Mwakani nyoko wewe yaani nakwambia unichagulie kwaajili ya kesho alafu unauliza muone sura ilivyomshuka utafikili paka shume mxuuuu embu nitolee Iko komwe lako hapa"
Akiwa anaendelea kuchezea sm yake Nancy alinitumia picha ya Chris
"Umeuona moyo wako'" ulikuwa ni ujumbe ulioambatanishwa na picha
"We Nancy hii picha umeitoa wapi"
"Kwenye account yake ya Instagram"
"Embu fanya unitumie jina analotumia sasaiv"
"Poa"
Sekunde chache alitumiwa jina analotumia Chris
Akaingia insta chap namwenda kumtumia text inbox
"Mambo"
Alituma Kisha akaanza kulike na kucomment kwenye Kila picha aliyopost Chris
Alifanya hivyo ili kutafuta ukaribu nae akakaa kusubiri huenda akajibiwa ila hadi inafika saa sita usiku hakujibiwa mwishoni akaamua kulala
Kesho yake asubuhi Chris akiwa njian kuelekea kazini aliingia mtandaoni na kuona message ya Nana
Hakujibu badala yake alizima data na kuendelea kupiga story na Joel ambae ndio alikuwa akiendesha
Nana hadi asubuhi alikuwa akichungulia kama Chris kamjibu ila ola
Jioni Chris aliamua kujibu ile message
"Poa habari yako"
Nana alipoona amejibiwa anipiga kelele za furaha
"Aaaaaaaaaaa hatimae umeingia line karibu kwenye Dunia ya Nana"aliongea Nana na kujibu message
"Poa tu mzima wewe"
"Yeah niko poa"
"Haya nilikuwa napia hi tu"
"Okay thanks "
Chris Baada ya kuzima data alikaa na kujifikilia kwann huyu msichana amemkaa kichwani hivi
Aliwaza bila hakupata majibu
Siku zilienda huku Nana akimtumia Chris message Kila siku na Chris akawa hajibu anaishia kusoma tu na kuondoka
"Nyie hivi huyu mkaka anajionaje sijui "
"Mkaka gani"alijibu Lizzy
"Chris"
"Hahahaha usiniambie kuwa hadi leo Bado unamfuatilia tu "
"Ndio yaani Kila siku natuma message ila hajibu mwezi umekata "
"Kwani unamuomba uzazi au nini yaani unamtumia mtu message mwezi mzima hajibu hata moja alafu unaendelea tu"
"Lizzy we hujui ni kiasi gani nampenda huyu kaka yaani natamani hata leo awe mume wangu "
"😳 Heeee wewe huyo unaitamani ndoa?'"
"Eee Kwan mimi sio mwanamke mpaka nisitamani kuwa na ndoa"
"Kuna wanawake lakin sio wewe abeg achana na hayo mambo"
"Lizzy umeanza mambo yako "
"Sasa nimeanza nn kwani uongo wakuolewa awe wewe au unataka ukamuue kaka wawatu"..
"Unataka kusema kwamba sifai kuolewa au"
"Labda unafaa ila sio kwa Chris kwa hemed sawa maana vichwa vyenu vinaendana"
"Mfyuuu Kama umetumwa useme kenge wewe"
"Hahhahahahaa kenge mwenyewe ,sijui unapata wapi nguvu za kumtumia mtu text mwezi mzima hakujibu na sio kwamba ni mpenzi wako au rafiki yangu ni mtu tu wakawaida naisi Kuna mtu kashakunuia maana sio kawaida yako"
"Hata sikulaumu maana mtu mwenyewe hujui hata kitu kinaitwa kupenda"
"Hahaha makubwa wakujua kupenda uwe wewe ,mtu uko kama kinyonga Kila mda unabadili rangi sishangai kesho ukisema unampenda mlinzi wenu"
"Eeee Lizzy unikome kama umetafuta tusi la kunitukana ukakosa basi funga bakuri lako "
"Sawa mama wakupenda"
Upande wa Chris alikuwa amekaa huku kupitia message zote alizotuma Nana huku uso wake ikiwa na tabasamu nono
"Nataka nione utatuma message hadi lini'" aliongea Chris na kuweka sm pembeni
Siku zilienda Nana hakukata tamaa , aliendelea kumtumia text mwendo ukawa ni ule ule hakuwa akijibiwa
"Hivi Nana huyo kaka unaemtafuta Kila siku hakujibu unahangaika yanin kwani unatafuta nini haswa "
"Bella we hujui njinsi gani navyompenda Chris "
"Na Hemed je"
"Aaaa usinitajie hiyo mbuzi mi na yeye tushamalizana"
"Makubwa mtu uliekuwa unamlilia Kila siku leo Kawa mbuzi 🤣, sasa nikwambie tu mpendwa wangu huyo mtu unaemtumia text hivyo na hajibu anakuona unajipendekeza we muache akikuhitaji atakutafuta mwenyewe kwanza usikute ana mtu wake alafu wewe uko bz kupoteza mda wako ooh amka shauri yako"
"Akiwa na mtu inanihusu nini mi ninachotaka niwe wake basi hayo mengine sitaki kujua"
"Haya kazana huenda ukafanikiwa "
Itaelendea
Pata Muendelezo kwa sh 1000
𝑵𝒂𝒎𝒃𝒂 𝒚𝒂 𝒎𝒂𝒍𝒊𝒑𝒐 𝑽𝒐𝒅𝒂𝒄𝒐𝒎 𝑴 𝒑𝒆𝒔𝒂 0743433005 𝒋𝒊𝒏𝒂 𝑨𝑮𝑶𝑺𝑻𝑰𝑵𝑶
𝑼𝒌𝒊𝒍𝒊𝒑𝒂 𝒏𝒊𝒄𝒉𝒆𝒌𝒊 𝑾𝒉𝒂𝒕𝒔𝑨𝒑𝒑 𝒌𝒖𝒑𝒊𝒕𝒊𝒂 𝒏𝒂𝒎𝒃𝒂 +255743433005 𝒏𝒊𝒌𝒖𝒉𝒖𝒅𝒖𝒎𝒊𝒆
kama ni hela zake alinipa na kunikopesha sana tu, na mama nisingempa maana nilikuwa bado nina kinyongo cha kuniforce niolewe😒💃
okay....! tunaendelea eee basi nikawa namwambia wifi si twende hata tukatembee tembee jamani mimi nilishazoea kuzurura bhana🤣🤣🤣.....
kukaa ndani kama broiler inanikera basi nikamshawishi akasema basi ngoja twende kwa rafiki angu mmoja hivi ila hatukai sana tunarudi amani na aunt watukute tusharud hamna shida tukatoka tukaenda kuna sehemu mdada anauza ice cream na cone🍦🍧
akanambia ni rafiki ake anaitwa joy akatukaribisha pale akatupa na cone za ofa🍦
umepotea shogangu nipo si unajua kwetu pale kutoka ni tabu najionea hadi shida kutoka toka mmmh kama mwali hamna bhana si kama hivi nimekuja kwa mwaka mara moja ndo hivvyo hivyo ata iwe miaka kumi ndo nshakuja,
huyu wifi angu mke wa amani mmmh weweee aman kaoa ndio jamani ni bora ndo ata kunialika shogangu jamani harusi yenyewe haikuwa na mambo mengi hata sherehe pia hatukufanya ndoa imepita tu basi jamani haya mama ,
karbu dada mimi naitwa joy asante mimi naitwa zawadi sawa mimi na zuu marafiki kindakndak kwahyo na mimi wifiyo hivyo ujue sawa nafurahi kukufahamu🥰
hatukukaa sana tukaondoka njiani nikashindwa vumilia nikamuuliza wifi mbona joy kashangaa sana kusikia amani kaoa mmmh hamna kitu kashangaa tu labda kwa vile hakualika na hatukufanya sherehe kweli? kwani kuna tatzo lolote wif?
hapana Aaah niambie2 au kama kuna kitu unataka kuuliza uliza tu amna chochote wifi angu haya mama au ndo wivu hahahaha jamani mimi ata sina wivu huna lolote nishakujua una wivu wewe🤣🤣🤣
nikajikaza kuuliza mengine,ila moyoni nawaza isije ikawa wanga hawa kama lile movie la kina kanumba na wema🤔🙄 basi usiku huo amani tukawa tunapiga story ananiuliza mambo ya kijijini kwetu alikuwa mchangamfu sana🤣🤣🤣nikasema uyu sio wa kumpenda maana inaonekana hana wazo na mimi😭
nikamuuliza kwani na wewe ulilazimishwa kuoa? kwanin? sababu inaonekana kama hukuwa na shida ya ndoa 🙈hamna kawaida tu sawa afu utaniacha lini?🙄 unamaanisha kukupa talaka?
ndio🙈mbona bado mapema sana italeta shida kwanini? mama ataanza nibughudhi na pia nitakosa cha kujibu kwamba nimekuacha kwa kosa gani..?!
kwani kuna tatizo kwa sasa wewe kuwa hapa hapana oky basi tulia tu usiwe na haraka mmmh nikasema uyu kaka hajatimia🤣🤣🤣 ananivuruga mjue nikapanda kulala yeye hana shida na mimi🙄🥺
ila nikaanza kuwaza au simvutii hata kama hanipendi sio anifanyie hivyo😭😭😭 ndoa ikafika mwezi siku hiyo akanambia vaa pendeza mama tukatembee mjini😘nikaoga zangu mimi nikapiga pamba💃 safari ya mjini😇😎 basi akanipeleka maeneo ananizungusha zungusha sangapi tusiende kwa joy eti tuingie apa tule ice cream🍧
tulivyoingia tu joy acha atukarishe karibu kaka amani na wifi zawad za tangu siku ile mimi apo najisemea tu uyu jamani wenzie tulikuja kwa kuiba yeye ndo ananichangamkia ananitaja na jina kabisa🤔😡
nikajibaraguza kumjibu tu lakini nikaona kama amani amebadilika uson kachukia🤔🙄 nikasema Leo ntakoma🤔 tukatoka tulivyofika kwenye gari akaniuliza umejuana vipi na joy 🤔wee Kwan kusema ukweli ni mpaka na hela?😔 nkasema mimi tulikuja na wifi🥺wee tulivyofika nyumbani alitusema mimi na zuu tukamuomba msamaha akawa anasema humu ndani hamna kutoka mtu bila ruhusa yangu au ya mama sijui kwanini unajisahau zuu,
Halafu na wewe zawadi naona unataka kunizoea sa nikawaza mimi kosa langu nini😳
nikaendelea kumuomba msamaha bhana hadi uko chumbani, akasema kwamba etii lazima nikitaka kutoka nimuage yeye ni mume wangu nilicheka🤣🤣🤣
unacheka nini? kwahyo mimi naongea ujinga hapa hapana🥺 nilijiwazia tu mkewe na hatujigi jigi🙈 basi Betty akanambia amekuja uku amepata kazi basi uje unisalimie jamani🙄akaja siku moja tukapiga umbea🤔
maana tulimiss haswa alivyoondoka akantext uyo kaka ndo hatufanyi chochote🤔😎ndio khaaa ebu acha ujinga muanze weweee unachelewa wapi weeeeeeeewe kifupi alinambia eti nijisexxyshe🤣🤣naanzia wapi ata sielewi,sasa siku hiyo nikasema nimtest kama mashine nzima,🤣🤣🙌🏃🏼♀️
alikuwa amelala kwenye sofa pale alikuwa anasoma novel akapitiwa na usingizi,kikawa kile kitabu kimemfunika usoni nikafika ad pale sijui ndo nmshike🤣🤔 asije niona malaya bure nikaghairi🙃 nkageuza nikalale zangu kitandani mimi 😼 akaniita zawadi?🙄
nawarudia🤣🤣🤣💃💃💃
tukaenda maduka ya nguo nikachagua nguo,viatu na mahitaji mengine,tukazunguka zunguka mjini mchana tukaingia hotel moja kula ,bas mhudumu mmoja akatukaribisha na alimchangamkia aman hatari🧐 umepotea sana amani nini shida?
nipo majukumu tu karibuni sana asante karibu dada asante sio dada ni shem wako huyu ooh umeoa aman ndio aseee mimi nmefurah sana kusikia hivyo maana haikuwa rahisi ,nikawaza mbona kashangaa sana kusikia amani kaoa na haikuwa rahisi nini🤨...
dah acha tu mapito ndugu yangu kabisa karibu shem asante yaani uwe unakuja hata bila ata uyu mumeo shemu wako niko hapa utanikuta jisikie upo nyumbani kabisa nashukuru sana 🙏
basi tukaagiza chakula tukala tukaondoka, tulivyofika nyumbani akasema wewe jaribisha tu nguo zako mimi nipo nje sawa nikaingia nikasema huyu mkaka ana matatizo sio bure ..
yaani mtu hana muda nae wala mpango lakini ananihudumia hivi khaaa au ni sh*ga anaficha aibu kwa watu asijulikane😳😳
ndo aonekane ana mke🧐ndomana yule mhudumu kashangaa☹ nikapanga nguo kwenye kabati sasa ilikuwa usiku tumekaa na aman chumbani nikawa nataman nimuombe simu nimpigie shoga angu betty nimpe umbea,
wazaz ata sikua na hamu nao🙄 nikasema au niache ntamuomba kesho wifi zuu simu ,
lakini umbea unawasha jamani 😂😂😂 nikamuomba tu roommate unaweza nisaidia simu yako nimpigie rafiki angu🙈💃 amna shida akanipa sasa nkawa nawaza nitamtetaje na mwenyewe yupo nikaghairi nikajifanya haipatikani labda kazima maana muda umeenda saa nne hii🤔
afu kwanini tulienda mjini ujasema tununue na simu uwe na simu yako mwenyewe na mimi nilisahau kabisa maana Kuna muda naweza taka nikupigie nikwambie kitu nikawaza khaaa makubwa haya🤣🤣🤣👌 kesho nikipata muda ntapita dukani nikununulie sawa? sawa
basi asubuhi mida ya saa tano akaja mgeni nyumbani kuleta simu kwamba ameagizwa na amani,basi amani akampigia zuu kumwambia anipeleke kusajili line ameagiza mtu aniletee simu,
wifi akanipeleka nikasajili line tukarudi nikachaji simu ilivyojaa hapo nishaweka line nikasema ndo muda wa kumpa betty umbea sasa🤣🤣🤣
nikaingia chumbani hapo nikatafuta namba yake kwanza maana niliiandika kwenye karatasi nikampigia sasa, nikamuadithia alichekaje akasema ila rafiki angu nachokiona mimi huyo kaka sio mzima au pengine hiyo familia sio watu wazuri au wasiwe wakawa na lengo baya usije tolewa kafara shogangu😭😭😭
niliogopaje betty mimi naogopa usiogope bhana ila uwe makini uwasome tu mmmh wewe na huu mji nilivyo mgeni na sina ndugu🤔nkapata msaada wapi mimi😭akanitia moyo pale ,
nikamwambia bas sawa hiyo ndo namba yangu uisave🙃jion aman alivyorudi akaniuliza simu uliipata ndio asante sana ook umeipenda lakini mana ata hujachagua nimeipenda sana sawa ukitaka chochote tu utasema sawa poa unipe namba yako sasa,basi tukabadilishana namba akanambia nimnyooshe nguo zake za kesho kazini,
nikanyoosha nilivyomaliza naingia chumbani nikakuta ameshalala pale kwenye sofa🤣
nikasema mwaka huu najionea maajabu🤔🤣 nikachukua shuka nikamfunika na mimi nikapanda zangu kitandani nkaanza mumpa mchapo Betty anancheka tu🤣🤣🤣 nikamwambia naanza kuogopa wasiwe freemasons hawa🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌 ...
asubuhi nikakuta ameondoka nikashtushwa na simu inaita alikuwa ni yeye akanambia kwenye meza nimeacha hela kidogo hapo sijui utanunua nini mwenyewe,
afu nilikwambia ukitaka kitu uwe unaniambia lakini sijaona useme unaniomba hela kwani hunaga shida ya hela wewe?🤔🤣nkakuta kaniwekea elfu 50 nikampa asanteh..!
basi nikaenda m_pesa nikamtumia rafiki angu betty elfu20 maana alikuwa ananisaidia sana uko nyumbani na ni rafiki angu sana wa shida na raha😘😘😘nikaona sio mbaya nimpe tu ,elfu 30 nikabaki nayo sikua ata na cha kununua
nakuja💃💃💃
Full story tsh 5000 whatsapp lipia kwa airtel money 0782781603 RAHEL BOO kisha ncheki whatsapp kwa namba hiyohiyo
lakini mbona kanipita miaka nilivyomkadiria nikaona anafika 27_30🙄 kifup sikumpenda🤔
akaanza tusalimia akamkumbatia mama ake🤔 akaja akampa mkono mzee jabir wakasalimia mara Mzee jabir amlaumu haji kumsalimia Kijijini akajibu majukumu meng amsamehe bure,
akaja nipa mkono mimi mambo? poa mama mkwe akadakia ndo mkeo huyo ooh nashukuru kumfahamu karibu sana asante waitwa nani zawadi ok mimi naitwa amani nashukuru kukufahamu pia ok,
akaondoka zake chumbani 🤔nawaza ndo nimfate au😂🤔 nkatulia tu kidogo ma mkwe akasema eti niende khaaa ma mkwe nae🥺🙄 nikaenda mdogo mdogo nikaingia kwa woga 🤔 nikakuta katoka kuoga yupo kifua wazi na kipens chake anachezea zake simu,
nikakaa zangu kitandani yeye kwenye sofa hana muda na mimi🤣🤣🤔 akalala kabisa wee nikatoka💃💃 nikaenda kukaa na wifi zuu chumbani kwake,
mchana akaamka bas wifi zuu akasema tukale akatuandalia chakula uko uko chumbani tukawa tunakula basi mimi nkawa na aibu 😁 yeye yuko bize anakula uku anachat, mbona hauli akaniuliza nakula 🙈 unakula polepole kwanini?
nikajibaraguza nakula🤣🤣🤣 usiku ukafika nikawa nawaza leo ntajuta🥺 sa aman alikuwa ameenda nje, nikajikuta nalia wazaz wamenkomesha😭😭😭 akaingia mbona unalia?🤔 ha_hamn_a hamna wakati unalia niambie una tatizo gani? bhana ee kwani kusema bei gani😂😂😂 nikamwambia nalia wazaz wangu wamenilazimisha kuolewa kwanza akacheka😂
😂😂 afu akanambia kwahiyo hukutaka kuolewa? ndio😒 ooh pole sana,kwahy unatakaje? hapo ndo ikawa kipengele🥲 okay sikia usilie mbona ni jambo dogo hilo,weee si hautaki mume? usijali kuhusu hilo wewe kaa tu Kwa amani hapa ukijisikia umechoka au unataka kuondoka niambie nakupa talaka bas so etiii eeeh?
mmmmh nikawaza mbona kirahis😳 yaani akaniacha nilale kitandani yeye akalala kwenye sofa 🥳 nikasema au ana matatizo huyu kaka😂😂😂 nkalala mpaka asubuhi hakunifanya chochote😳akaamka zake mimi nilikuja shtuka ndo ananiamsha kuniaga anaondoka kazini pia anampitisha anko wake stand arud kijijini🥳
tukaagana nikamtakia kazi njema,muda kidogo nikaamka na mimi kuoga wifi zuu akaja nisalimia alikuwa ananipenda sana wifi angu, baada ya kumaliza kazi tukawa tumekaa sitting room tunapiga story,mama mkwe akasema anaondoka kwenye mishe zake mjini tukabaki watatu,mimi wifi na dada wa kazi
jioni amani akarudi kazini nikampokea 😊 tukaingia chumbani ,akawa ananiuliza umeshindaje mke wangu salama tu za kazi nzuri kabisa pole na uchovu wa kazi usijali ndo ukubwa,
afu jana nilikwambia usiwe mnyonge kama kuna kitu unataka unaniambia yaan usiwe na huzuni mama ajue sawa ila sikumuelewa mwenzenu Ina maana kwa watu tu_act wanandoa lakini chumbani ni kama kaka na dada,sa nawaza na yeye alilazimishwa kuoa au😳
akasema ataniita roommate nikamuuliza kwanini akasema sababu tunalala chumba kimoja😂hata hiyo siku ya pili pia hakunigusa nyieee😂😂😂
asubuhi nikawa mimi nimewahi kuamka nikatoka nikakuta wifi zuu anadeki wifi unaenda wapi asubuh yote hii nakuja kusaidia kazi mmmh wewe ni bibi harusi bhana utafanya siku zijazo jamani kwa kazi gani hizo nishindwe kufanya wifi aaah..
! hamna bhana ngoja wik iishe ,basi aman akatoka nikambebea bag lake nimsindikize kwenye gari aondoke, mama mkwe akatoka tukasalimiana mama mkwe akasema mkeo hana nguo weekend ufanye mpango ukamnunulie sisi tulimnunulia chache tu akachague mwenyewe sawa hamna shida tutaenda hiyo weekend, si ndio mke wangu ndio wakaondoka
basi week nzima hatukufanya chochote 🤣🤣lakini tukiwa sitting room na watu ni mashamsham na kupretend kumbe ndani wala hatugusani😂 sijui aman ana shida gani jamani analala zake kwenye sofa, asubuhi ananiamsha roommate mimi naenda kazini ubaki salama 😂😂😂
ebu ngojeni nirudi kwanza
HAKIKISHA UKIMALIZA KUSOMA UNASHEA ILI USIKOSE SEHEMU INAYOFUATA
yangu inaanzia wakati nina miaka kumi na saba, siku moja wazazi wangu walinambia kuwa naolewa siku chache zijazo🥺
nijiandae dah sikuwa tayari kuolewa wakati huo lakini wazazi wakaniforce sikua na namna😔afu kibaya mtu mwenyewe anaenioa simjui🙄
zaidi tu kuna mzee anaitwa mzee jabir ndo alikuja kusema Kuna mtoto wa dada ake ndo anataka mke na yeye kaniona mimi🥺basi mimi nilikua sitaki lakini wazazi wangu hawakutaka kunielewa😂😂😂
nikamuomba rafiki angu ushauri anaitwa bety akanambia nisikatae bahati kama nikienda uko nsipomridhia mume nifanye visa mpaka niachwe💃 nikasema asante kipenzi 😘 ushauri mzuri sana
basi nikafungishwa ndoa,siku ya ndoa yenyewe mume hakuja🤪🧐 nikaolewa na mtoto wa mzee jabir kwa niaba ya uyo mume,asubuhi ya siku iliyofuata tukaondoka Mimi,mzee jabir na mama wa mume alikuja Kijijini kufata mke wa mwanae(mimi)
😂😂😂 basi wenyewe wakakaa mbele,mimi nikakaa siti ya nyuma nina mawazo hatari😭 nikapitiwa na usingizi sangapi nisiote tumefika nimekuta mume mwenyewe ni mzee😏 nilishtuka nikapiga kelele🙄mamaaaaah....!!
mama mkwe akasimamisha gari kwanza🤔una nini zawadi? wakaanza niuliza ikabidi niseme nimeota wakanipa pole, safari ikaendelea tukafika mjini usiku tukapokelewa na mdada nikaambiwa ni binamu wa mume wangu, anaitwa zuhura akanambia nimuite wifi zuu basi akanipeleka nikaoge nikamfata,
kwanza alikua mcheshi hadi raha🥰 akanipeleka chumba kimoja akanipa kanga akanambia niingie kuoga ,bafu lilikuwa ndani umo umo, nikaingia nikaoga nilivyotoka akanipa gauni maana niliambiwa nyumbani nisichukue nguo nitanunuliwa huko huko😉🥰
akanambia twende ukale sasa,akawa ananihudumia si mwajua bibi harusi tena🙃❤ basi mama mkwe akanambia kuwa bahati mbaya mume wangu amepata dharura ameenda Zanzibar ila kesho asubuhi anarudi,
nikajisemea mngejua ata sina shida nae mbwa huyo😏 nikaambiwa nikalale mule chumbani peke angu🙄kwanza nilikuwa naogopaje...!!
🙄 bonge la chumba uwiiiiih....!🙂nikakaa nawaza hivi huyo mume atakuaje kuaje🙄 usingizi ukanipitia 😔🙌
asubuhi wifi zuu akaja niamsha amka wifi ukaoge unywe chai za asubuhi wifi salama umeamkaje salama pole na uchovu wa safari nishapoa,
basi nikaamka nkaoga nikaenda sitting room nikawakuta mama mkwe na mzee jabir nikawasalimia tukawa tunakunywa chai,kidogo house gal akawa ameingia na bag ametoka nalo nje ,
mama mkwe akasema eeeh huyu ashafika,akanigeukia mimi mumeo asharudi sasa dada katoka mpokea,kidogo tunasikia anakuja anaongea na simu uwiiii uwiiiiih..!
si kwa m_bass ule🙄 nikaanza hisi moyo unaenda mbio🥺 dah....!!!! sijui ntakutana na nini nimeolewa mtu simjui😭😭😭
ENJOOOOOOY GOOD STORY
"Keivo unasemaje!? Inabidi wote wafukuzwe Kazi au Siyo!??" Basi wakiwa wanarudi Hotelini Jovin alimuuliza keivo ambaye kwa kipindi hicho alikuwa ndo Mtu wake Wa Karibu?.
Baada Ya Siku mbili Meneja Mpya kabisa aliletwa na mhasibu Mpya aliletwa, Meneja alikuwa ni kijana Steven ambaye kipindi Cha nyuma alikuwa anashirikiana na kina Jovin na akaamua kujitenga Yeye na wenzake!.
Steve alipewa nafasi ile kwa Sababu alikuwa ni msomi mzuri tu, na Jovin ilibidi awaamini wale Jamaa Zake, Japo alikuwa anajua kipindi Cha nyuma walimsaliti kwa kupeleka taarifa kwa Mr Tamir!.
Baada Ya meneja Mpya na mhasibu Mpya kikao kiliitishwa cha wafanyakazi Wote kwenye kampuni, na Bado wafanyakazi walikuwa wanaamini mkurugenzi ni Mr Tamir!.
"Baadhi ya wafanyakazi watafutwa Kazi na wataajiliwa wengine wapya, na mishahara Yenu ya miezi miwili itaingizwa kuanzia kesho!" Yalikuwa maneno machache tu ya Steve ambaye Ndo Meneja Mpya, Baada ya Hapo alisema kikao kimeisha!.
Kila Mfanyakazi alikuwa anapiga maombi asifukuzwe Kazi, haswa Damian Ndo alikuwa anatamani kabisa Hata amtafute Meneja Mpya ampe hongo asifukuzwe Kazi, maana alikuwa anajua akitimuliwa pale Nini kitafuata!.
Basi Siku iliyo fuata ni kweli kila Mfanyakazi aliingiziwa mshahara , lakini mshahara Huo uliingia na mawazo Huku kila Mtu akiwa anaomba Mungu, maana baada ya mshahara tu tangazo lilitoka kupitia ukurasa Wa Kampuni Huku wakitangaza ajaira Mpya!.
"Heeeee jamani kuna kupona kweli hapa, mbona ajira nyingi Sana zimetangazwa, alafu kwenye kitengo Cha masoko mbona ni kama wametangaza tena afisa masoko wakati nipo!" Damian Baada ya kuona tangazo la Kazi, matumbo ya kuhara yalianza kumshika kabla hata hajafukuzwa!.
Kwenye ule mshahara Wa miezi miwili ambao kaupata, Damian alichukua mshahara Wa mwezi Mmoja kwa ajili ya kwenda kumhonga Meneja ilimladi asitimuliwe kazi!.
"Ndugu Yangu kuwa mtulivu hujaambiwa umefukuzwa, tumesema tangazo litatolewa kama utabakizwa bahati kwako, kama utafukuzwa Hiyo nayo bahati kwako omba Mungu, maana anaye fanya maamuzi ni Mkurugenzi na Siyo Mimi, kazi Yangu ni kutekeleza tu!" Hayo yalikuwa majibu ya meneja Steve Baada ya Damian kujaribu kupeleka rushwa!.
Ni kweli Baada Ya Siku mbili Watu walijitokeza Wa kutosha kwa ajili ya kufanya usaili, yaani ajira kama 100 tu zilitangazwa lakini Watu zaidi ya 2000 walijtokeza, mpaka sehemu za kusimama zilikuwa hamna! Kifupi yalikuwa ni mafuriko ya Watu!.
Mr Jovin alikuwa ni miongoni mwa walio jitokeza kuomba Kazi pale kwenye kampuni akiwa na keivo, yaani kifupi Alijifanya kama kampuni haimuhusu.
Mchujo ulifanyika wale Wa kupata Kazi walipata na wale Wa kukosa walikosa, basi walio pata walitajiwa Siku ya kuja kuanza Kazi!.
Siku iliyo fuata tangazo la Watu wanao futwa Kazi lilitoka na Majina yalitangazwa!.
Siku zote samaki Mmoja akioza wote wanaoza!, Aisee kila Mtu aliye liona tangazo alikuwa anatoka kashika kichwa!, karibia wafanyakazi Wote walitimuliwa Kazi, mpaka wafanya usafi na Walinzi.
Siku kama mbili zilipita Baada ya Hali Hiyo kutokea, Damian alikuwa hapati usingizi kwa mawazo, maana alikuwa anaona dalili za kwenda kusotea maisha!.
"Ila Mungu Naamini atatengeza Njia, kama mwanzo nilifukuzwa nikaitwa Naamini itakuwa hivyo hata Sasa!" Hayo yalikuwa maneno ya Damian kujifariji!.
Basi Siku Hiyo ilipita Siku iliyofuata asubuhi asubuhi na mapema wafanyakazi wapya wawili ambao wameajiliwa kwenye kampuni walifika pale nyumbani kwa Damian!.
"Nambie Shida Yenu lasivyo muondoke! Maana mume Wangu Bado kalala!" Yalikuwa ni maneno ya Nuru akiwaambia wale wageni wawili Baada ya kudai wanamtaka Mr Damian Ndo waongee naye!.
"We mwanamke hatujaja hapa kushindana, tumekuja kuleta agizo la Kampuni!"
Baada ya Nuru kusikia agizo la Kampuni alishituka na alikurupuka kwenda kumuita Mr Damian, maana aliamini huwenda karudishwa kazini na Ndo kaja kupewa taarifa.
"Karibuni jamani Mimi Ndo Mr Damian!" Basi Baada ya kutoka Nje aliongea kwa kujichekesha maana aliambiwa Watu kutoka kwenye kampuni wamekuja.
"Mr Damian Sisi ni waajiliwa wapya Wa Kampuni ya Jovimotors, na katika nyumba za kampuni, tumepangiwa na tumekabidhiwa hii hapa! Kwa Hiyo umepewa Masaa 24 uwe umekabidhi funguo za kampuni,na pia uwe umekabidhi Gari ya kampuni! Ukikaidi basi usije ukailaumu kampuni!" Yalikuwa ni maneno machungu Muno kwa Damian ambayo yalifanya atazamane na Mke Wake!.
"Heeee imekuwaje tena, nikajua nakuja kuitiwa Kazi! Hii Siyo haki kwa kweli! Nakuja Huko Huko kuongea na Meneja!, siwezi kukubali " Mr Damian alikuwa kama kachanganyikiwa, alijikuta ameanza kuona kama anaonewa hivi!.
Je ipi hatima ya Damian na familia nzima!?? Vipi yapi Malengo ya Mr Jovin!??
Full 1000
Whatsp 0784468229
Shahidi alinyamaza kidogo.
Nilmekuuliza nataka jibu Shahid.
Mama naomba kesho nije tuongee kwenye simu hatutaelewana.
Nataka kesho mapema kabisa uje, yani kabla haujaenda kazini. Baba yako anahitaji kujua hili kwa kina
Sawa mama. Shahid alikata simu na kuendelea kucheza na Shania.
Kesho yake Shahid aliamka mapema sana huku Shania akiwa Kalala pembeni Akimuangalia na kujisemea. yake
Hakuna mtu wa kuvunja upendo wetu Shania, nitapambana, nitakupigania wewe na mtoto wangu sitakubali uwende mbali na mimi.
Baada ya kufikiria alinyanyuka akaenda jikoni, alimkuta Tessy anaanza kufanya usafi.
*Habari Tessy.
*Salama baba kijacho mmeamkaje?
Shahidi alitabasamu
Salama, vipi umeandaa kifungua kinywa?
Bado nafanya kwanza usafi ndipo niandae.
Achana na mambo ya usafi nilikwambia
ukitamka tu anza kuandaa kifungua kinywa
unajua Shania huwa anaamka na njaa sana.
Sawa Boss naandaa sasa hivi. *Fanya haraka tafadhali.
Sawa.
Ilipofika Mida ya saa tano Shahid aliondoka na kuelekea nyumbani kwao kwaajili ya kuongea na
wazazi wake.
Alifika nyumbani kwao na kusalimiana nao baada ya hapo kikao kilianza.
Shahid kuna kitu gani cha ajabu umefanya ? Mama yake aliuliza.
"Hakuna kitu cha ajabu nilichofanya.
Kwahiyo unataka kusema kuishi na kichaa ni
kitu cha kawaida? Baba yake alidakia.
Wazazi wangu naombeni mnipe muda kidogo. niweze kujielezea.
*Utatuambia nini tukuelewe wakati unatusibisha
na kushusha heshima yetu? *Sio kweli wazazi wangu kumbukeni hata kichaa
nae ni mtu anatakiwa kupendwa na
kuthaminiwa. *Toa maneno yako ya kipuuzi hapa huyo kichaa
wako sitaki kumsikia. Mtanisamehe wazazi wangu nampenda sana
Shania na yeye ni mama wa mtoto wangu anayetarajiwa kuzaliwa mwezi ujao tu. Shahid mwanangu hivi kwa wadhifa wako ni
wakiwa na mwanamke kichaa kweli? Mama nilipokuwa na Aisha ulikuwa uliniambia ni mwanamke jeuri, hana heshima, ufujaji wa
pesa hafikirli maendeleo yeye ni anasa na starehe. Na mimi niliona hilo na nikakubali tabia
zake japo kuwa nilikuwa nakupa muda nikidhani atabadilika lakini kabla sijasikia nilipokuwa natarajia kufika ikatokea bahati mbaya kwa
Shania na akapata ujauzito.
*Hivi mwanangu watu si watasema Ulimboka kichaa kwasababu ya kupata pesa. *Wacha waseme mama ukweli najua mimi.
*Sisi hatumtaki.
"Wazazi wangu siwezi kumuacha.
Sikiliza wewe kama huwezi kumuacha huyo
kichaa wako basi hatutafikia kwako. Aliongea baba yao kwa hasira kisha akanyanyuka na
kuingia ndani.
Shahidi umeona baba yako kakasirika shauri yako upate radhi ya baba yako.
*Mama hakuna radhi ya aina hiyo.
Sasa kaa na ubishi wako litakalo tokea na huyo kichaa wako sisi hatupo. Ngoja siku moja ukiwa
usingizini akunyonge mpaka ufe.
Shania ni kichaa kweli lakini sio mkorofi. Hakuna kichaa ambae sio mkorofi nyie ndio
wale mnaambiwa mke wako kipofu unasema hapana ni chongo, sasa endelea kumlea huyo chizi wako likikukuta ndio utaelewa tulikuwa tunaongea nini.
*Lakini atakuwa mama wa mtoto wangu. Hiyo sio sababu ya wewe kung'ang'ania nae akijifungua tunamnyang'anya mtoto
anaenda zake mtaani.
Haiwezekani hatuwezi kufanya dhuruma atamlea mtoto wake kwanza vichaa wanajua
malezi.
"Eeeee... Sasa kaa na ujinga wako pumbavu. Mama yake pia aliondoka na kumuacha akiwa amekaa.
Shahidi alikaa kwa muda huku akiwa anafikiria ni
jinsi gani atamsaidia Shania na kurudi kwenye hali ya kawaida maana maneno ya wazazi wake yalimuumiza sana alipamani kuibuka mshindi
kwenye swala la Shania. Baada ya muda alinyanyuka akaenda kupanda kwenye gari lake na kuondoka.
Alielekea moja kwa moja kwa shangazi yake Shania.
Shikamoo shangazi.
*Marahaba. Shahidi kuna usalama kweli, mbona asubuhi asubuhi?
Ni salama shangazi ila kuna baadhi ya mambo kuhusu Shania nataka kuyajua ili yaweze
kuwawakilisha kwa daktari kabla ya kuanza matibabu yake.
Eheee unataka kujua nini?
*Kuna sababu iliyosababisha Shania kuwa vile? Ndio kuna sababu iliyofanya Shania kuchanganyikiwa na kuwa kichaa.
Itaendelea....
Full 1000
Whatsp 0784468229
nilimshukuru Mungu make mama alikuwa hataki kabisa kuacha kazi,tulibeba vitu vyetu tukaondoka hawakujua kama tumejenga hatukuwahi kumshrikisha mtu kabisa, tulihamia kwetu, maji na umeme vyote tulikuwa tushaweka, adi kitanda tulinunua kimoja na godoro moja, nyumba ilikuwa ya vyumba vitatu kimoja self, seble, jiko na store, ilikuwa nzuri sana na Kaka Benny aliitendea haki mno.
Basi bwana, tuliamua kufanya biashara ya ufugaji wa kuku wa mayai, tulianza biashara uku tumefungua ka genge pale pale nyumbani, ka mboga za majani, dagaa, vitungu, yaani vitu vichache vichache vya gengeni, muda huo nikawa nawaza chuo itakuwaje, siku likizi ilifika Dada akaja, nilienda kumpokea, alikuja na kitanda na godogo, alidai tuache kumbana mama, nilifurahi hata mama alifurahi, akasema hakutegemea kama ataweza kuishi bila kazi, alikuwa anaogopa sana, kwa maisha aliyopitia bila kazi aliogopa mno kuipoteza kazi yake, tulimuelewa, na alianza kunenepa nikajua kumbe mama angu ni mrembo nyie, anashep atari mimi sasa mmh, sijui huu mwili nilifata wa nani kwanza hauna shukrani, ata nile vipi, siongezeki nipo nipo tu, nikicheza vibaya ata upepo wa kawaida tu, unanidondosha...
Sikui, Dada anapenda kunitania mwili wangu hauna shukran kabisa, leo tulikuwa bze tunacheza mdako mama na mabint zake, yani hatuna habari kabisa, ugeni ukatufikia, alikuwa ni G na mzee wake, tuliwakaribisha, tukahangaika sasa apo tulishukuru tunafuga, kuna kuku wa mayai na kuku wa kienyeji kwa ajili ya mboga, na hapo hatukua na hela, tulikaa pembeni tukaanza kujadili kufuga kuna raha yake, yani kama hapa leo tulikuwa tunaenda kudhalilika vibaya, ndani tuna elf 3 tu, afu wageni, hee tulichinga, tukawapikia, wakasema wamekuja kuchumbia...
mama Mimi niligoma, nilikuwa sijui najisikiaje tu, ilibidi mama na dada wanipike mpaka nikakubari, wakatoa kishika uchumba, mahari aligoma kupokea akaomba kwanza atupe muda kama tutaelewana ndo atapokea, walikubali, Lakini wakati wanaondoka, Baba ake na G aliuliza jina la mama, na historia yake kwa ufupi, mama alimtizama kwanza kabla ya kujibu, Dada akajiongeza akatuondoa sisi wakabaki wazee tu...
Itaendelea....
Chapter 8
Mama alimpa hatukujua yaliyojili, "G naomba naa wewe usije ukaniacha utaniumiza sana plz, nilimtizama sana, alionekana kuwa serious, ata dada alishangaa, akaamua kituacha mahali tuongee wenyewe, G aliomba kunikumbatia, alinikumbatia nikahisi hali furahi ya tofauti sana, aalinikumbatia kwa muda kisha akanikiss na kusema nakupenda, ila mimi moyoni nikawa naona kama nadanganywa tu, yani jinsi alivyo mzuri mmh, sio rahisi kunipenda mimi, yani nikahisi kabisa kuna tatizo, haiwezekani mkaka mzuri iv aty hana mtu, anipende mimi....
Ilikuwa ngumu sana kumuamini kwakweli,mda huo nilikuwa nimefunga kitambaa, kikawa kimeachia afu nywele zangu zilikuwa zimerefuka atari zimevuka kwenye mabega, nilitaka kurudishia kitambaa, G akanizuia, akazipapasa nywere zangu uku anazisifia, uku mimi nilikuwa nahisi kama nambembelezwa nilale, ule mpapaso ulifanya nikafunga kabisa macho nisikie raha vizuri, G hakuwa amegundua, alivyokuja kunicheki, akagundua nimenogewa na tuko sehemu inaonekana, aliamua kunikumbatia, akaacha kwanza alichokuwa anakifanya, akaniminya kiuno, nilishtuka adi wenge likakata, akatabasam nakusema, nimependa sana nywele zako naomba usizishave kabisa, gharama ya matunzo juu yangu, ila naomba chonde chonde usizitoe kwanza laini, nzuri, yani dah, umefanya nichanganyikiwe zaidi, Gift we mrembo mno, nilishusha tu macho kwa aibu...
Dada alitutafuta kama tuko tayari ili aje turudi nyumbani, tulimwambia aje tu, alikuja tukarudi wote, tumefika, mama alikuwa tu kawaida, tukajua kila kitu kiko sawa,G aliondoka na mzee wake, tukabaki wenyewe, nikaanza kupewa wosia, nikawa naitikia tu ila ata siwaelewi,siku ikaisha, kesho yake, nikapigiwa simu nipokee kuna mizigo yangu, nikapokea ilikuwa na mtu wa Bolt, ilikuwa ni tv make hatukuwa na Tv ni bufa tu ndo tulikuwa nalo, ilikuwa tv na meza yake, na mafuta yanywere, shapuu, stiming, na loshen ya mwilini, na vitenge pea nne, mbili za mama moja dada moja mimi, na vigauni, nilishukuru, nikasaini nakuingiza ndani, tulifunga wenyewe, wakaanza kunitania, nilivyomweupe, na nilikuwa natumia samona, sasa ivi loshen si nitakuwa mzungu na izi nywere, nikawa nacheka tu, make rangi yangu nikama mwarabu, alienusurika kuwa zeruzeru...
Niliamua kuanza kujipenda,awee nilikuwa pisi haswa, japo pisi kimbaumbau, Ronard alianza tena kuniandana, nilizima location, make najua tu ataanza usumbufu, na mimi sitaki heka heka, kibaya zaidi kwao sitakiwi, mama ake na Rose wote hawanitaki, na kibaya zaidi hawezi ata kunitetea ananipenda ila kunitetea hana ubavu,huwa anaacha tu afu anakuja kunituliza pembeni...
Niliamua kumpotezea, mawazo yakabaki chuo sasa, tukaomba mkopo ukagoma, nikaamua kusomea unesi tu,tukaanza kujichanga apo ata G sikumshirikisha, nilitamani kuomba nikasome kwenye chuo cha G atusaidie tulipe taratibu taratibu ila nikaogopa, ana Hosptal na chuo hapohapo, na ilikuwa nzuri zaidi mafunzo kwa vitendo...
Itaendelea....
FULL 1000
WHATSP 0784468229
Hakika Mr Tamir alichanganyikiwa, Macho yalimtoka hakuamini ile video aliyo tumiwa!.
"Baba Vipi mbona unatumbua Macho kuna Nini!??" Basi Binti Yake na Mr Tamir alimuuliza Baba Yake baada ya kuona ni kama kushituka kwa kile alicho tumiwa!.
"Humjui Baba Yako atakuwa kaharibu tena!! Maana hachelewi kuharibu!" Mke Wa Mr Tamir alidakia, yaani alikuwa kama kaona hivi.
"Hamna ni Vitu vya kawaida tu!" Mr Tamir alijibu Baada ya hapo alichukua ufunguo Wa Gari na kuondoka!.
Siku Hiyo hakulala nyumbani kabisa, alilala Hotelini akiwa kachanganyikiwa!.
Video aliyo tumiwa ilikuwa inamuonesha Yeye akiwa na Diana chumbani, Tena Wote wakiwa watupi wanafanya yao! Na kwa mazingira ni kama Diana alikuwa anagoma goma kwenye ile video!.
"Au ulikuwa mtego Wa yule Binti!?" Mr Tamir alikuwa anajiuliza na alikuwa hapati majibu kabisa!.
Kulipo Kucha tu Mr Tamir akiwa anatoka pale Hotelini alipo kuwa kalala kuelekea ofisini, alipo fika kwenye ile kampuni Yake getini alikuta Watu wawili wanamsubiri, alikuwa ni Mr Jovin na kijana keivo!.
"Eheee umefuata Nini kwenye kampuni Yangu!? Si tushamalizana kila kitu nilikupatia!??" Mr Tamir ilibidi ashuke na kuanza kufoka!.
"Sikiliza, nadhani video ya Usiku umeiona, na ninazo zingine za kutosha, Siyo zako tu mpaka za Binti Yako ninazo, Kabla sijaanza kusambaza Moja Moja mtandaoni, naomba acha kunifuatilia, yaani jifanye kampuni Yangu huijii na hujawahi kuiona, lasivyo ntakufirisi usinichukulie poa!, na kitu Cha Mwisho ongea na Huyo Gavana na unao wajua akaunti Zangu zifunguliwe!." Vilikuwa ni vitisho vya Mr Jovin!.
Mr Tamir alichukulia poa aliingia ndani Huku akiwa anawaza Namna ya kumpoteza Mr Jovin, maana aliona ni kama amekuwa kikwazo!.
Siku kama mbili zilipita!, Tetesi kwenye vyombo vya udaku zilianza kusambaa Kwamba Mr Tamir anatumia utajiri wake kuwarubuni watoto wadogo na kuwabaka, Huku wengine akiwalazimisha, Japo kulikuwa hakuna Ushahidi lakini taarifa hiyo ilishika vichwa vya habari mtandaoni, Huku kila raia akitoa maoni Yake kuhusiana na tajiri Huyo, wengine wakisema akamatwe na kuhojiwa!.
Taarifa hizo zilifika mpaka kwa Mke Wa Mr Tamir.
"Mume Wangu Labda nikwambie tu, kama hizi tuhuma ni kweli na una mwanamke Mwingine, aisee andaa taraka Yangu na kampuni ya Tamir tunaigawa katikati, maana nina share Zangu ndani ya kampuni, ombea tu isiwe kweli!" Hivyo vilikuwa vitisho kutoka kwa Mkewe!.
"Baba naomba nambie hizo taarifa Siyo za kweli!! Ujue najisikia vibaya kusikia Wewe ni mbakaji!" Binti Yake naye alimjia Juu Baba Yake!.
Yaani mpaka Hapo Mr Tamir alianza kuogopa Mwenyewe, kama tu zile Taarifa zimechefua watu Vile na familia yake itakuwaje hizo video zikivuja!.
Mr Tamir aliona Hata nyumbani hapakaliki aliamua kuondoka walau kwenda kupunguza mawazo.
Akiwa kwenye Gari Mara alitumiwa video Ya Diana akiwa anaelezea Huku anaongea Tena akiwa analia!.
"Mimi naitwa Diana nina miaka 14, Mr Tamir alinitishia kwamba nikikataa kushiriki naye mapenzi ananiua na Hiyo eti kwa Sababu nilimuomba msaada tu kutokana na Uyatima Wangu" yalikuwa ni maelezo kwenye ile video yakiwa yanatolewa na Diana!, yaani Mr Tamir alizidi kuchanganyikiwa, akiwa hajakaa Sawa Mara alitumiwa video Nyingine akiwa anaingia na mwanafunzi Hotelini.
"Shiiiitiiii! Jovin! Jovin!" Mr Tamir alijikuta jasho tu linamtoka, haikuchukua Muda alipigiwa Simu Namba alikuwa kaisevu kabisa, ilikuwa Namba ya Mr Jovin!.
"Mr Tamir nadhani umeona! Ikifika Kesho huo ushahidi ukiwa umeambatana na video ya tukio la kubaka nauweka mtandaoni, tuone kama hizo Pesa Zako zitafanya Kazi zidi ya wananchi wenye hasira Kali!!" Yalikuwa maneno ya vitisho kutoka kwa Mr Jovin!.
Hakika Mr Tamir Jasho lilimtoka, yaani alikuwa haamini kama ndo kakamatika na Mr Jovin!.
Mr Tamir Bado alionekana kuwa mbishi, alicho kuwa anaamini huwenda ni vitisho tu!.
Kwanza Mr Tamir alitafuta magaidi na aliwapatia Kazi kwamba ndani ya Masaa 24 wawe wamemuua Mr Jovin!.
Ni kweli Siku Hiyo pale Hotelini alipo kuwa anaishi Mr Jovin kivumbi kilitokea magaidi walivamia Hoteli, wakiwa wanamtaka Jovin, bahati nzuri Mr Jovin na Keivo walifanikiwa kukimbia!.
Ilikuwa Siyo masihara kulipo kucha ile video ya Diana akiwa anatoa maelezo kwamba alilazimishwa na Mr Tamir ilianza kutembea mitandaoni, yaani hapo zile tetesi za tabia mbaya ya Tajiri huyo ndo zilizidi kuonekana za kweli Japo kulikuwa hakuna ushahidi.
Diana aliitwa mpaka kituoa Cha polisi kutoa maelezo, na aliitwa mpaka kwenye dawati la jinsia na Haki ili wapate maelezo waweze kusimama naye na kudai Haki Yake!.
Mr Tamir aliitwa kuhojiwa kituoni na alikana zile taarifa, Simu zilikuwa hazikauki kwa Mr Tamir kila Muda alikuwa anapigiwa na Watu wazito ambao ni rafiki Zake kuulizwa kama zile taarifa zina ukweli!.
"Aisee kama Hiyo tabia kweli unayo itakuwa too much, pamoja na kwamba tuna ukaribu ila hilo la ubakaji sitalifumbia Macho!" Hayo yalikuwa maneno ya Moja ya kigogo Wa serikali ambaye Mr Tamir alikuwa anamtegemea Muno!.
Mpaka hapo Mr Tamir aliona kisu kipo shingoni, yaani endapo ile video ya yeye akiwa chumbani na Diana itasambaa hapo Ndo itakuwa basi.
Ilibidi Mr Tamir anyanyue mikono Juu, Yeye mwenyewe alimtafuta Mr Jovin ili wamalizane pasina kuleteana Hasara zozote!.
Ni kweli walikutana kwenye Moja ya Hoteli kuyajenga, Mr Tamir aliahidi hatojihusisha tena kabisa na kitu chochote kinacho mhusu Mr Jovin na kampuni Yake.
Basi Baada ya Siku mbili akaunti za Mr Jovin zilikaa Sawa! Na yule Gavana Mpya alijikuta anakamatwa na polisi kwa kosa la rushwa!, Gavana Wa mwanzo alirudishwa kwenye nafasi Yake!.
Upande Wa Antonio Baada ya kuona ni kama Mambo yanazidi kuwa magumu na anaweza kutoka patupu, Kasi ya kuuza bidhaa za kampuni na Pesa kuziweka mfukoni iliongezeka Huku akishirikiana na mhasibu Mkuu!.
Hali ya wafanyakazi ilikuwa Siyo nzuri maana ni miezi Miwili walikuwa hawajalipwa na walikuwa hawajui Shida Nini!.
Upande Wa Damian alijikuta anakosana na Mke Wake ambaye ni Nuru kwa Sababu Pesa ya matumizi alikuwa hatoi na Hiyo ilitokana na Hali inayo tokea kwenye kampuni, kwanza kitengo chake Cha masoko anacho simamia Pesa zilikuwa haziingii, Pili mshahara Wa miezi miwili alikuwa hajaupata!.
Simu kutoka kwa Mama Yake zilikuwa nyingi Muno, Damian alijikuta hapokei Simu za Mama Yake kwa Sababu alikuwa anajua wanacho taka kuomba ni Pesa!.
"Hapa kesho nikifika kazini cha kwanza ni kwenda Moja kwa Moja kwa meneja kuuliza nini Shida, maana sielewi na asipo nipa majibu ya kueleweka Mguu Wangu mpaka kwa Mr Tamir Mwenyewe!" Hayo yalikuwa mawazo ya Damian.
Ni kweli Siku iliyo fuata Mr Damian alidhamiria kuongea na Meneja!.
Lakini Siku Hiyo ni kama Ndo alizidi kuwa na maswali mengi, maana Askari walifika pale Makao makuu ya kampuni walimchukua Meneja Mr Antonio na mhasibu Mkuu Wa Kampuni!, Askari walikuwa hawajaeleza wana kosa Gani ila walisema kosa watalijua huko huko kituoni!.
Ndani ya kampuni Hiyo kila Mtu alikuwa anajiuliza maswali ambayo hayana majibu kutokana na kinacho endelea!.
Mchana huo Mr Jovin akiwa kaambatana na keivo walifika pale Makao makuu ya kampuni tena wakiwa kwenye Hali ya kawaida tu.
Mr Jovin aliulizia kile kinacho endelea, aisee kila mfanyakazi alikuwa anajibu kwa kumtukana tena kwa hasira.
"We mpuuzi kufirisika kwako ndo chanzo cha Yote! Kipindi hujafirisika tulikuwa tunalipwa vizuri tu!, ila baada ya kufirisika na kuja Boss mwingine mishahara haieleweki, ebu toka usitutie hasira kabisa!" Basi Moja ya mfanyakazi alimtolea uvivu Jovin kwa maneno makali!.
Mr Jovin aliondoka pale akiwa anacheka tu, maana alikuwa anajua kinacho endelea!.
"Keivo unasemaje!? Inabidi wote wafukuzwe Kazi au Siyo!??" Basi wakiwa wanarudi Hotelini Jovin alimuuliza keivo ambaye kwa kipindi hicho alikuwa ndo Mtu wake Wa Karibu?.
Je nini Jovin atafanya Baada ya kila kitu kurudi kwenye mikono Yake!? Hatima ya Damian na familia yake itakuwaje!??
Full 1000
Whatsp 0784468229
Toa mkono gusa gear ya gali.
" Nisamehe mwanangu.
( Alitoa mkono akashika usukani vizuri na akawa bize kuendesha gali mpaka tukafika mjini cha ajabu akawa ashuki kwenye gali namuuliza)
" Namuuliza mbona atushuki?
" Subili gali ipoe.
( Sikuweza kumuuliza tena maana mambo ya magali mimi siyajui ila nilimwangalia kiwizi wizi niliona ametuna mbele...nikameza tu mate ya akili anasubili pale ndio kupoe hili ashuke...na kweli dk 10 kulivyonywea tukashuka...nikawa na mawazo sana baba mdogo anapandwa na hisia na mimi mwanawe...basi tuliingia kwenye duka la simu ananiambia)
" Chagua simu unayoipenda.
( Mimi tena na ushamba wangu nikawa natafuta simu yenye kioo kikubwa msinicheke sijui kitu mimi hapo nikaipata simu yenye kioo kikubwa nikamwambia)
"Hii ndio naitaka.
( Dada anauza simu akawa ananiangalia atajua mwenyewe kama ananiona mshamba...ila baba mdogo ananinunulia...akanisajilia laini akaniambia)
" Sasa na wewe utakuwa na simu yako ila uwe unaongea na mama yako na baba yako mambo mazuri mazuri usije kuwa mchonganishi sawa.
" Sawa dady.
( Yani niliipenda simu yangu nimeishika vizuri nasema kimoyoni sio kwa picha nitazopiga...basi tulirudi sasa ivi akunishika tena akawa bize anaongea na simu uku anaendesha gali mpaka tukafika...tulimkuta mama mdogo amekaa peke yake baba mdogo akamuuliza)
" Vipi mbona upo peke yako shoga yako kaondoka.
" Kaenda Shoga yangu mjua vingi yule.
" Anaongea sana.
" Ndivyo alivyo ata shule.
( Basi mama mdogo akaiangalia simu yangu akaniambia)
" Chukua 5000 hii kanunue vocha hapo nije kukuungia bando nikufungulie tik tok na mambo mengine ya intranet.
" Sawa.
( Nilitoka naenda dukani ndio namkuta yule shoga wa mama mdogo anawachamba wanaume sijui wameanzia wapi akawa anawaambia)
" wanaume na nyie baadhi yenu Kuna kaushamba flani mnako Tena kanaboa saana ndo maana hata mnavyo tongoza wadada wanawakataa ......mfano mtu.....
anakuja inbox 📥 anakwambia dada mambo ...wajibu poa....anakuliza unakaa wapi....wamjibu unapokaa..anakuliza umeolewa au una mpenzi...unamjibu ninae au Sina.....anakuliza una miaka mingapi...wamjibu ......kibaya zaidi anamalizia kukuambia lete story.....duh so sad 😭😭 kwa kweli inatia huruma Kuna wanaume kutongoza ni mtihani........Sasa mpaka mdada wawatu anajiuliza huyu kaka ni mwandishi wa habari au.maana so kwa maswali hayo.....wewe unataka utelezi binti kuwa na mke au mpenzi inakuhusu nini.....unamuliza miaka unataka umpelekeee jeshi.......unamwambia lete story zipi hizo story unataka akuletee....... kiukweli Kuna wanaume wanakera kama madomo zege........yaani mdada wawatu umemuita amekuheshimu kasimama badala ukamwage sera unaenda kumuhoji maswali yasio na msingi kuliko kwenda kwenye point.......angalau fika tanguliza samahani kwa muda wako kama hutojali nisaidie no ako nikitulia ntakuchek wewe anasimama unaenda kumuliza una mpenzi.
( Wale wanaume wakawa wanacheka...mimi ndio naingia dukani nanunua vocha wote macho kwangu wanaambiana)
" Oya namba E iyo au?
" Inaonekana ndio yenyewe sijui anakaa wapi mtoto ametulia.
( Shoga wa mama mdogo akasema)
" Mukome uyo ni mtoto wa shoga yangu kaja kumsaidia shoga yangu mkome na tamaa zenu msione kichaka mavi ayo.
( Mimi kimya nikachukua vocha nikarudi nyumbani...kweli mama mdogo akaniunganisha mambo yote ya intranet akaniambia)
" Aya kaweke simu ijae alafu utatumia.
" Sawa.
( Niliweka simu chaji baada ya nusu saa hali ya mama mdogo ikabadilika kumbe ndio uchungu tayali...baba mdogo akamchukua mama mdogo akampeleka hospital...na akaenda kumuacha akarudi yeye akaniambia)
" Muda wake wa kujifungua umefika ameenda kujifungua.
" Sawa Mungu amsaidie.
" Amin.
( Nilipika tukala...sasa usiku baba mdogo ananiambia)
" Amina usifunge mlango nataka kuongea na wewe chumbani kwako.
" Si tuonge hapa hapa.
" Hapana nakuja kuongea na wewe chumbani kwako.
( Baba mdogo akawa anatoa bia kwenye fliji anakunywa...mimi Nikaingia chumbani kweli sikufunga mlango sijui baba mdogo anataka kuongea nini...mala anaingia cha ajabu naona kavaa pensi nikazani bia zimemletea joto naona anapanda kitandani ananiambia)
" Usiogope usitoke kitandani kuna kitu kizuri nataka kuongea na wewe ila iwe siri yetu unaweza kukaa na siri?
( Mimi natetemeka kwa uoga sijawai kuwa kitandani na mzazi wangu alafu yupo na pensi tu nikamuuliza)
" Siri gani?
( Alitoa pesa kwenye pensi yake akanipa niwe nahesabu...sasa mimi nikawa nahesabu pesa maana ni 5000 tano mpya nishafika 5000 ya 20 inamaana ni laki moja nashangaa baba mdogo anaanza kunipapasa uku ananiambia)
" Iyo pesa yako naomba nachofanya hapa iwe siri yetu amina una umbo zuri sana natamani usingekuwa mtoto wa kaka ningekuoa.
( Pesa nazitamani ila baba mdogo hanayo nia mbaya na mimi nafanyaje hapa ndio swali najiuliza wakati najiuliza baba mdogo akanigusa kwa bibi kwangu kwa kiganja cha mkono nilistuka)
.
" Baba mdogo sitaki unishike uku.
( Akusikia ndio kwanza kakandamiza kiganja hapo kwa bibi) mmmh
ITAENDELEA
Full 2000
Whatsapp 0657171961
KWETU Morogoro
*___________*
*SEHEMU YA 16*
Tulimaliza kufanya usafi tukaenda kukoga then tukapata kifungua kinywa tulipomaliza mama akaniomba tutoke🥰
Tulitoka mimi na Mom pamoja na missa my Wiii hahaaa nakapenda sana kawifi kangu❤️❤️..
Mom alinipeleka shopping nikanunua nguo maana siku napelekwa ukweni wala sikubeba hata nguo ya kubadili..
Nilinunua nguo za ndani na nguo za kubadili🥰🥰 viatu pochi pafume kila kitu mom aliniambia nibebe kila kitu nachohitaji..
Baada ya shopping tukapita photo shoot nyie mama mkwe wangu ana uzungu yule hahaaa🥰 tulipata picha kadhaa alidai anataka kubaki na picha za kumbukumbu..
Alimwambia pia yule mtu wa photo shoot aje home atuchukue picha za familia nzima🥰🥰🥰❤️basi tulirudi nyumbani nikamkuta Hemed wangu wako zao wanapiga story na baba..
Nilipima nguo zangu zilikuwa nzuri🥰🥰🙌 haikupita muda mtu wa picha alikuja tulijitayarisha tukaenda kuphotoa picha tulipomaliza tukaenda kuandaa chakula cha mchana mimi na missa..
Sikutaka kuondoka bila familia kuonja pishi langu hahahaaa🤣🤣🤣🙌nilimwambia missa wee niandalie tu viungo then uniachie jiko🥰🥰..
Nilipika chakula kitamu sana🤣🤣🤣🙌wakati wa kula nikawa nawaona wazee wanavokonyezana tu na kuambiana kweli hapa kijana wetu hajaangukia pua huyu mwanamke ni wife material..
Nilifurahi kwa kweli chakula kilikuwa kitamu sana🥰🥰 baada ya kula nilikwenda kusaidia kuosha vyombo then tukapumzika kidogo jioni ilipofika tukatoka kutembea tembea mimi na Hemed🥰❤️❤️❤️..
Tulikaa pale ukweni siku tatu tukaondoka🥰🥰 nilipapenda na niliipenda pia familia ya mme wangu mtarajiwa🙈🙈🙈..
Siku tunatoka ukweni sikurudishwa kwetu🙈🙈 Hemed alinipeleka kwake aliniambia ni vyema nipafahamu anakoishi maana yeye anapajua napokaa🙈🙈
Niliogopa sana maana aliniambia nitalala hukohuko kwake😂😂bwana hata ingekuwa nyie lazima mngeogopa🤣
Hemed alinipeleka mpaka nyumbani kwake alikopanga🥰🥰nilikaribishwa ndani pasafi hatari😍😍..
Aliniagizia kinywaji maana fridge lilikuwa empty 😂 nililetewa soda nikanywa tukapumzika kidogo badae akaniambia tutoke tukanunue vitu vya ndani..
Mbona vitu vya ndani🥹🥹 akadai anataka nikae pale kwake🙄🙄🙄bila ndoa.?? Et muda huo wazazi wanaandaa mipango ya ndoa ukute tunaishi pamoja..
Mmhh hapana Boo hata kulala kwa siku moja tu silali fanya unirejeshe nyumbani nitaanza kuishi nawewe tukifunga ndoa kwa sasa siwezi😰😰..
Alisema sawa lakini akachukia🥺🥺alinirudisha nyumbani akanishusha hakuna kuagwa akaondoka kimya kimya🙄🙄..
Kesho yake wala hakuja kunipeleka chuoni🙄🙄 na nikawa nampigia simu hapokei hahahaaa jamani kwanini ananifanyia hivo wakati mambo yalikuwa yanaelekea kuzuri😰
Katika kipindi nilipitia wakati mgumu ni hiki kipindi😰😰 imagine mtu mmetoka kwao ghafla anakubadilikia hapokei simu hajibu msg na ndo tayari ushampenda ushatambulishwa😰😰
Ghafla tu anakununia kisa umekataa kulala naye na umekataa kuishi naye kabla ya ndoa 😰😰..
Hemed aliacha hata maswala ya kuja kuchukua chakula ikabidi niache kuwa nampikia😰😰...
Hata kule site alitafutwa mpishi mwingine😞😞kiufupi Hemed alinipotezea kama hanijui vile🥲🥲..
Hivi ingekuwa wewe ungefanyaje??? Ungekubali kuanza kuishi naye kisa tu kakutambulisha kwao???
Au ungekaza hakuna kuliwa hakuna kuishi pamoja mpaka mtakapofunga ndoa??..
Itaendeleaaaaaaaa
Full 2000
Whatsapp 0657171961
KWETU Morogoro
...Chapter 12
"Naitwa Edward marco, na Yule unaemuona kwell ni baba yangu, alimuoa mama yangu miaka kadhaa nyuma na walikuwa wanaonekana kama wanapendana sana, maana walikuwa wanatembea pamoja na kufanya vitu vingi sana pamoja, mpaka wakati ambapo nazaliwa basi nilizaliwa kwenye familia yenye upendo sana.....
Sikuwah kuwaza wala kufikiria kuwa baba yangu alikuwa amemuoa mama yangu kimaslai maana mama yangu alikuwa ni miongoni mwa watu ambao walitoka kwenye familia nzuri sana, familia ambayo ilikuwa maarufu na pia, familia ambayo ilikuwa inajiweza sana kikipato..
Kumbe alioa kwa malengo yake na alikuwa ana ndoa nyingine ya kanisan kabisa,na alikuja kwa mama yangu kuchuma mali na mama hakujua kabisa kuhusu hilo..
Mama akamuamin, pamoja na wazaz wake, kutokana na uchapakazi wake, na uhodari wake wakampa usimamizi mkuu wa makampuni ya wazaz wa mama, na hapo ndipo changamoto ilipoanzia...
Alikuwa anafanya kazi kwa uhodari mkubwa sana ila akaja akamtengenezea kashfa baba yake na mama yangu kuwa alikuwa anatembea na dada wa kazi wake, ambae ndio Yule mwanamke wake ambae alimuoa kabla ya mama kipindi hicho wate walikuwa wasichana wadogo tu, na akasema kuwa wamemuharibu sana, babu yangu alikuwa mtu mzima hivyo hakuweza kuhimili zile kashfa, maana alikuwa anaendesha gari, na miaka hio kukuta mtu ana gari ni lazima awe na maisha mazuri sana, hivyo akajikuta anapata ajali na kufariki hapo hapo....
Baada ya babu kufariki, mkewe nae alipopata taarifa kuwa mumewe amefariki nay eye akafa kwa pressure na bibi na babu yangu nao wakawa wamekufa siku moja bila kutegemea kabisa...
Kwakuwa mama yangu alikuwa ndio mtoto pekee kwenye ile familia, alipopata taarifa alinichukua mimi nikiwa mdogo, na wakati huo nilikuwa nina miaka nane tu, tukaanza kwenda msibani, ila wakati ambapo tunafika pale kwenye geti kuu la kuingilia kwa babu na bibi, tukawakuta wananchi, na walipomuona mama wakaanza kupiga kelele na kumlenga mama yangu na mawe, wakisema kuwa nay eye ana damu chafu ambayo inawakatili wadada waka kazi, kumbe hata haikuwa kweli, na mama yangu akauwawa nan wananchi wenye hasira kali siku hio hio...
Sasa kuna namna lile tukio liliniathiri sana, kwa maana kila nikisikia kelele najikutan naogopa na namuona mama yangu namna ambavyo alikuwa anauliwa, na kuanzia siku ile sijawah kuwa sawa tena mpaka sasa, na ndio maana sipatani na kelele, Ila naweza kukaa sehemu yenye kelele ikiwa nimeshakunywa dawa, ila kuna muda hata dawa zinakuwa hazifanyi kazi, na ndio maana nilichagua kufanya kazi kwa bidii na kutengeneza jina langu mpaka sasa nimekuwa mtu mwingine kabisa, ila nataman sana kuhakikisha namuona Yule mzee anateseka sana, maana ameniulia mama yangu, bibi yangu pamoja na babub yangu kwa sababu ya tamaa zake za mali...
Nilichukuliwa na kulelewa na rafiki wa mama yangu, na alikuwa anataka kuhakikisha kuwa namfanya baba yangu analipa, kwa maana aliona namna mama alivyofariki, na anadai kuwa ameshawah kumsaidia sana kwenye maisha yake kuliko kawaida, basi nikafanya biashara kwa nguvu na nikaanza kama mmachinga ila baada ya miaka kadhaa nikawa na kampuni na Yule mama yangu wa kufikia ambae ndio mama yangu mdogo nae akaweka nguvu zake mpaka sasa nimefika hapa nilipo fika.....
ITAENDELEA..Chapter 13
Sijawah kumuona baba yangu, ila kuna kipindi alikuwa anatuma watu kunitaifisha, maana alijua kuswa ni lazima nitamlipisha kwa akichokifanya, ila nilimshtukia na hakuweza kufanya jambo lolote lile, nikawa nimemshtukia mapema sana, hivyo hakuweza kufanya jambo lolote lile.... Basi hata ugonjwa wangu nilifanya siri sana na watu wangu wa karibu sana, sina uhakika kama anajua sana au laa, ila nitapambana nimuangushe kabla hajajua udhaifu wangu na akaniangamiza maana mimi kuna muda nakuwa kama kichaa au nakuwa kama mtoto mdogo kabisa anae ogopa giza, akasema...
Nilimuonea huruma sana, na nikamuuliza kuhusu kuwa na mahusiano nae, akanambia kiuwa alishawah kuwa na mahusiano ila Yule dada akawa anamlazimisha waende club na hali yakuwa siwez kupatana na kelele, hivyo nikawa namuacha aende mwenyewe, mwisho akaniona kama namboa vile, akaachana na mimi na kwenda kuwa na mwanaume wa kufanana nae....
Hata roho haikuniuma sana, maana kwanza hakuwah kuujua udhaifu wangu na pili sikuwa nampenda kama ninavyokupenda wewe, na nilikuja kujua hilo siku ambayo aliniacha hata sikuumia kabisa yaan, yaan nilikuwa kawaida kana kwamba sio mimi ambae niliachwa, ila kwako, yaan kwako shemina, hata nikikuona na mwanaume au una furaha ambayo haitokani na mimi, sio siri nachanganyikiwa kuliko kawaida, nahisi kama navurugwa sio utani, akasema nikamuangalia na kumuambia kuwa siku zote nitakuwa karibu nae na nitakuwa nae hatal iweje....
Akanikumbatia na kunikiss, kisha akasema unajua nimekuwa nikijizuiansana ili nisikukere, Ila ule wakati lumelala kifuan kwangu unaniambia, au wakati unanituliza huwa Napata hisia za ajabu, ila naogopa kuchukua hatua kwa sababu sitaki kukukasirisha, ila naomba kama hautajali nichue hatua hata mara chache maana nateseka mwenzio kila wakati, si unajua mimi ni mwanaume. tena ni mwanaume ambae nakupenda kuliko kawaida...
Nikamuangalia kisha nikamuambia mimi ni wako siku zote na unaruhusiwa kunifanya utakavyo...
Akanikiss kisha tukaanza ile michezo ya kiutuuzima, siku hio nikasema sasa na mimi nijiongeze maana nimekuwa kila wakati naongozwa mimi tu, nikasema kuwa niwe nahodha kwenye meli ya mwanaume wangu, nikamchukua na kuanza kumfanyia massage, yaan kwa namna alivyokuwa na hisia na mimi, yaan kwa massage tu akafika kilelen kabisa, baada ya hapo akaanza kuwa na pupa maana alipata bao la kwanza na kuanza kunikamia, nikaona nisimbane na siku ugwadu wake. ukipungua huenda nikawa nahodha maana sitamani kumtesa Edward wangu...
Basi tukamaliza burudan zetu kama kawaida, na ilikuwa raha rahani, yaan niseme nini nisipewe, nikawa natembea nae kana kwamba nilikuwa miongoni mwa viungo vya mwili wake, kwa namna ambavyo tulikuwa tunafatana sana kama kumbi kumbi...
Basi bana maisha yetu yakawa yanaendelea kama kawaida, na tukawa tunaenda kwenye mikutano ya watu wengi na wakati wote nilikuwa nakaa pemben ya Edward ili asije akadhalilika, siku moja nikamuomba sana niende nae hospital kuangalia afya yake, akakubali...
Tukaenda hospital na wakasema kama akilala pemben yangu analala vizur, basi mara chache anaomba nisiwe nalala nae ili kuangalia kama anaweza kulala pekee yake au laa, na kingine tuwe na tabia hata ya kuweka disko ndani mara kwa mara ili akili yake izoee kelele na wakatupa dawa za dharura ikiwa kama kuna lolote lile. ambalo litatokea na tukashindwa kulihimili
Full 1000
Whatsp 0784468229
Tulipata taarifa, na mama Najma alitangaza vita na Mama mkwe na Naseer, ilibidi Naseer amtumie majibu yake na hali yake wakati yuko India kwenye matibabu kwa ajili ya Najma alimtumia na ujumbe niliugua miezi 6 Niko India kwa ajili ya binti yako ulitaka nirudiane nae tena nife ama lengo lako lilikuwa nini? Alituma pia kwa mama ake, mama mkwe hakujua kama mwanae aliambukizwa ugonjwa mkubwa vile yeye alijua tu ni mambo ya afya, imegoma, alichoka, ila tamaa ndio ilimjaa akawa hajazingatia hilo akaendelea na lawama, mama Najma alikaa kimya hakujibu chochote...
Najma yeye alivyoona ameshazagaa aliamua kuchukulia poa nakuamua kufanya sasa kama kazi kwanza akawa anajiamini pesa ya matibabu atakuwa nayo, hatapata shida, mama ake alimsihi aaache lakini aligoma, kabisa, ndo akazidi zaidi, hali ikabadilika, wazungu hawakumpeleka hosptal wakamtupa, aliokotwa kama bahati tu, mama ake alikuwa huko akatafutwa na kuelekezwa akaingia tena mfukoni kutibu, safarii hii kizazi ilibidi kitolewe. kabisa ili yeye apone, na akakutwa kaathirika...
Mama ake alilia mno, alijiuliza kakosea wapi aliamua kimpeleka India wamtibu na ubongo huenda ndiko shida ilipoanzia, kweli waligundua anatatizo pia kwenye ubongo ilibidi afanyiwe oparation mama wawatu alianza kuyumba. kiuchumi kwa ajili ya kumuuguza mwanae akaamua kuuza baadhi ya mali zake, alifanikiwa, operation ikapita vizuri, akaanza kufanyiwa ushauri, mama ake ilibidi arudi kupambana kutafuta hela na kumuacha mwanae hosptal anatibiwa akili, na ushauri, ilichukua mwaka. mzima, apo mimi nilikuwa tayari nimeshajifungua katoto kangu ka kike, aisee furaha iliongezeka...
Elham alifurahi kapata mdogo wake, alikuwa anatamba kila kitu ni mdogo wangu hawezi ongea maneno matatu.bila kumtaja mdogo wake, ilipita miaka 6 apo tumeshasahau kama tuna vita, na Najma alikuwa kapona kawa mtulivu ila alikuwa kaathirika, walitutafuta sana wakatupata na kuomba angalau tu tusimtenganishe na mwanae...
Tulimwambia tu awe na amani hakuna tatizo alikuja tukampokea vizuri japo hofu ilikuwepo, Elham alikuwa kawaida tu, nilianza kimshauli asimchukie mama ake hakuwa sawa, taratibu Elham alinielewa, akaanza kucheka na mama ake, baada ya muda akawa ameondoka, mwanangu alifunga mwaka nikajikuta nina mimba tena, ilibidi tutafute dada wa kazi make safari hii nilikuwa naumwa umwa kila kukicha, tulitafuta mdada tukapata, mama akanisisitiza niwe makini mno, hana imani kabisa na wadada, nilimwambia tu hawafanani awe na amani, alinielewa japo kishingo upande alionekana kabisa hajaelewa kitu...
Mdada alikuja alikuwa anaitwa chausiku, alikuwa mchapakazi, mcheshi yani nilijikuta nashukuru Mungu nimepata mtu sahihi, tulikaa nae miezi mitatu, akaanza kubadilika, ni anajipenda sio kama alivyokuwa, akaanza kuvaa vitu vya gharama, nikajua tu kapata bwana nikawa nampa siku moja kwa ajili ya mapumziko....
Alifurahi mno, na kila wiki lazima atatoka io siku ya off nakurudi jioni, sikutaka kumfatilia muhimu yangu yanaenda, nilikuwa tu makini na wanangu, nikawa sitaki mazoea yazidi ikaja kunikuta kama yangu, nikawa nawaombea wanandu Dua mno, İlipita miezi nikajifungua, nilivyojifungua tu,mama alikuja nikashangaa chausiku anaacha kazi, alidai anamimba, sikumzuia uzuri nimeshashusha na mama kaja...
Itaendelea.....
Offer offer offer
Soma yote kwa sh 500
Whatsp 0784468229
ndio alikuwa anazidi kuharibu mara dufu yaan...
Maisha yangu yakawa yanaendelea ila nilikuwa nina mawazo sana kuhusu hatma yangu, siku ambayo wazaz wangu watakuja kujua kuwa sijafanya mitihan ya mwisho na siwez kupata cheti na wakati ndio wananitegemea, nilikuwa nahisi kuishiwa nguvu...
Siku ilipita ila kwa tabu nayo, kesho yake nikatoka nikaenda chuo maana kuna mashoga zangu hawakuwa wamemaliza mitihan maana wao walikuwa kwenye mchepuo tofauti na ambao nachukua mimi...
Nilipofika nikashangaa nakutana na ex boyfriend aliponiona alanifata na kuanza kunitukana..
"Unajua kabisa wewe sio mwanachuo na huwez kupata cheti, ila unakosa aibu na kuendelea kuja chuon, unataka uwaponze na wenzako nini..
Nikacheka kwa dharau na kusema " ingekuwa wanaokuja chuon n wanachuo na malecturer pekee nadhan mpaka sasa hivi ungekuwa unatembea na hotpot manaa hata chakula kisingekuwepo, labda niseme tu nimekuja hapa kwa sababu ya kutafuta wateja, kama unataka kununua na ukafika bei njoo nunua...
"Unaweza kuuza nn wewe, labda uuze mwili wako, akasema..
"Ewaaa hivyo hivyo, kumbe unajua naweza kuuza mwili wangu, njoo nunua basi, maana siunajua ninavyonuka njaa angalau unipunguzie umaskin, na nikuambie tu, ile bikra yangu nimeshaitoa hivyo sasa hivi hautapata shida ukikutana na mimi9 tena, na wanasema kuwa mimi ni mtamu balaa, sijui ndio inabana sana, yaan ukigusa tu wazungu hao dakika za kuhesabu..
Sikuwah kumjibusha lakin sikujua ule ujasiri niliupata wapi, maana nilikuwa najibu kwa kujiamin kana kwamba majibu yalikuwa sehemu nayasoma, ex boyfriend akaniangalia kwa hasira sana, ni kama hata yeye mwenyewe hakuwa anategemea kabisa kama naweza kumjibu vile ambavyo nilikuwa namjibu wakati ule, aliniona kama mwanamke wa tofauti sana ambae hakuwah kumjua, alishazoea kunioa mnyonge na kunionea sana, alikosa cha kujibu na kama tunavyojua wanaume sio watu wa kujibishana sana, hivyo akaniangalia kwa dakika kadhaa kisha akaondoka zake..
Sijui kwanini nilijisikia vizuri sana nilipoona amekasirika, nikatabasamu na kujisemea kuwa " angalau nimemfundisha adabu...
Kume stepahan akaanza kuteswa na kujiamin kwangu, mwanzo hakuamin kama Yule mwanaume alikuwa mwanaume wangu, na kumbe alishafatilia na akajua ni mmoja wa wakufunzi pale chuoni, alijoona kama mjinga kumuacha mwanamke kama mimi, alijiaminisha kuwa alikuwa ananipenda sana, ila sikuwa nadhan kama alikuwa ananipenda ila ni kwamba anaumia kwa nini amenikosea na alikuwa anajua kuwa nampenda kupita kitu chochote kile na nipo sawa, alitegemea kuniona nachanganyikiwa lakini badala yake naendelea kunawiri na kupendeza kwa raha zangu…
Alienda akawaza sana, kuna muda alimuona flora kama sio mwanamke sahihi kwake, alitaman kurudiana na mimi, ila hakujua ataanzia wapi, maana alinikosea sana, na sio kwamba alikuwa anataka kurudiana na mimi kwa kuwa ananipenda sana, ila kwakuwa ni kwanini siumii kama anavyotegemea, na siku zote wanawake, kama mwanaume alikuumiza na akataka kurudi kwako usikae ukajidanganya kuwa anakupenda sana na hawezi kuishi bila ww, ila ukweli ni kwamba anashangaa ni kwanini hauumii kama ambavyo ametegemea yeye, hivyo kama alikuumiza kidogo, subiria kulazwa kwa matukio ambayo atakuwa anakupiga mfululizo…
Akawa anatuma sms ya kuomba msamaha alafu anafuta, anatuma alafu anafuta, kuna muda akili na moyo wake ulikuwa unamuambia kuwa anatakiwa kuniomba msamaha na kuomba mambo yarudi kama ambavyo yalikuwa mwanzo, ila kuna wakati akawa amebaki ameshika simu yake akiamini kuniomba msamaha ni kama udhaifu na hakutaka kuonekana dhaifu mbele yangu….
Kuna muda nikawa nikifikiria kuhusu Stephan najiona bonge la fala yaan, sijui hata nilikuwa naumia na kuwaza nini kwa kinyago cha mpapure kama yeye, ila mapenzi jamani, yaan ingekuwa kipindi kingine ningeshaanza kumuomba msamaha hata kama nilikuwa nimekosewa mimi…
ITAENDELEA ...
Full 1000
Whatsp 0784468229
OFAAA YA LEO NI 500 TU
WHATSAP 0755090082
Alikubari, nilifunga nikaingia nae kwemye gari, lakini naogopa mno, alianza kulia nikashangaa kulikoni, aliniambia " Amina naomba nikuombe tu jambo moja muangarie sana Amir anashida sana na upendo kuliko chochote kile, sio penda penda ni mtu wa wivu tu, lakini anasamee sana, Amir anapenda watoto, mzalie usimkatiri kama mimi, nilikuwa nashangaa tu, Amina nakuomba uniahidi hautakaa umuumize Amir kama mimi, Nikamwambia Asha mbona unanichanganya kwani kuna tatizo kati yenu? Niambie tujue tunafanyaje unanichanganya nilijikuta naanza kulia,alicheka uku machozi yanamtoka, kweli Amir hajakosea kukuchagua, unamoyo mpana sana sikutegemea kama unaweza kulia kwa ajili ya maumivu yangu mimi mke mwenzio...
Amina nakupenda naamini tu nimemuacha Amir mikono salama, niliolewa tu na Amir ili angalau nife nikiwa mikono salama, nilijua nakufa lakini nilimficha, Amina nina kansa ya kizani, kwa sababu ya kutoa mimba mala kwa mala Amir anajua 4 ti lakini nimetoa zaidi ya hizo, nilishtuka alitoa shungi kichwani ni pala la kwenda, nilimkumbatia nakumwambia asikate tamaa tunaweza kwenda nje kwa matibabu nikawa namshauri tumwambie Amir ili afanye utaratibu atapona, alitabasamu kwa uchungu na kusema , " Amina sina muda umeshaisha, naomba tu usikilize wosia wangu, Amir anapenda sana mwanamke mnene, ata kama kakuoa na mwili mwembamba niamini mimi udhaifu wake wa hisia uko kwenye nyama nyama, naomba usijikondeshe utakuja kunishukuru...
Usisahau kumzalia anaham sana na mtoto, nilijikuta namhurumia,nilimlilia nakumwahidi nitafanya hivyo nilienda nae mpaka kwangu nikampikia ale, aliomba tu nimpikie nilimpikia tukala akaniaga nikaomba nimpeleke mwenyewe, alikubari nilimpeleka mpaka kwake nikakuta bibi, mama, Amir wamechanganyikiwa wanamtafuta, walivyotuona tuko wote walishangaa nakutazamana, apo wote macho yameiva...
JE NINI KITAENDELEAAA!! "
500 TU UNAIPATA MPK MWISHO KABISA
UKISHALIPIA NJO WHATSAPP 0755090082 HARAKA NA MUAMALA WAKO USEME NIMELIPIA PILOT KWA OFAA YA 500 NITAKUTUMIA MPK MWISHO KABISA
NAWAKUMBUSHA TU SIMULIZI HI HAITAPOSTIWA TENA KUMALIZIA MPK MWISHO NI 500 YAKO TU LEO NDO NIMEWAPA YA MWISHO HUKU FACEBOOK SITA POST TENA
Namba ya malipo 0755090082 jina la usajili zainabu sungita mpesa
Sina shaka kama ni mfuatiliaji wa siasa umeshalisikia jina hili.Thomas sankara alizaliwa tarehe 21/12/1949 huko Yaakov French upper volta (Jina la zamani la Nchi ya Burkinafaso) katika familia ya Bwana Joseph na mama Margaret Sankara ambayo ni familia ya kimisionari.Thomas Sankara alifahamika kwa jina la utani la The African che Guevara kutokana na misimamo yake mikali iliyomfanya akafananishwa na mwanasiasa gwiji kutoka Amerika ya kaskazini Che Guevara.
Kabla ya kuwa Rais wa Nchi ya Burkinafaso Thomas Sankara alihudumu kama waziri Mkuu katika serikali iliyokuwa madarani hadi kufika mwaka 1983 ambapo Thomas Sankara na rafiki yake wa karibu Sana toka wapo jeshini Braise Compare waliongoza mapinduzi ya kiamani kwa kumtoa madarakani Rais aliyekuwepo madarakani kipindi hicho. Rais Thomas Sankara alihudumu madarakani kuanzia mwaka 1983 Hadi mwaka 1987 alipouawa na rafiki yake wa karibu Braise Compare.Mwanamapinduzi na mwanamwema huyu wa Afrika alitawala nchi ya Burkinafaso kwa kipindi cha miaka mitatu na miezi sita.
Katika kipindi chake alipokuwa waziri Mkuu wananchi wa Nchi ya Upper volta jina la zamani la Nchi ya Burkinafaso walikuwa wanavutiwa sana na mtindo wake wa uongozi hali iliyoelekea Rais aliyekuwa madarakani kumuwekea vizuizi Thomas sankara hadi hapo alipofanikiwa kufanya mapinduzi.
MAFANIKIO YAKE KATIKA SERIKALI YA BURKINAFASO
Thomas Sankara ni mmoja wa wanamapinduzi aliyekuwa na maono ya kipekee ya kuivusha nchi ya Burkinafaso kutoka katika mawazo ya utumwa na kuanza kujitegemea kiuchumi,kisiasa na kiutamaduni.Maono yake yalitofautiana na viongozi wengi wa Afrika wa kipindi kile ikiwemo viongozi wenzake katika nchi ya Burkinafaso.
Thomas Sankara mara baada ya kuingia madarakani kama Rais alibadilisha jina la nchi hiyo kutoka kuitwa upper volta la kikoloni na kuiita nchi hiyo jina la Burkinafaso yaani ardhi ya watu wema na wanyoofu.Aidha Thomas Sankara alibadilisha bendera ya nchi hiyo na wimbo wa taifa wa nchi hiyo.
Kwakuwa alidhamiria kuinua uchumi wa Nchi ya Burkinafaso Thomas Sankara alipoingia madarakani alisitisha matumizi makubwa ya serikali kwa vitu visivyo na tija na aliekeza serikali yake itumie gari za kawaida ambazo zitakuwa Hazitumii mafua mengi na gari hizo hazina gharama kubwa.
Rais Thomas Sankara alipoingia madarakani alifanikiwa kuinua kiwango cha ufaulu na uwezo wa kusoma kwa wananchi wa Burkinafaso kutoka asilimia 13 mwaka 1983 hadi asilimia 73 mwaka 1987.
Alianzisha kampeni kabambe ya upandaji wa miti nchi nzima hadi kufikia miti milioni kumi huku akihubiri umuhimu wa utunzaji wa mazingira.
Katika kipindi Cha uongozi wa Rais Thomas Sankara ndipo wanawake wengi zaidi walipata fursa ya kujiunga na jeshi la nchi ya Burkinafaso.
Rais Thomas Sankara alihimiza katika kilimo cha mazao ya chakula na biashara ambapo hadi kufika mwaka 1987 zaidi ya ekari 3800 zilikuwa zinavunwa mazao ya ngano na mpunga wa kutosha kulisha nchi nzima.
Thomas sankara aliamini kuwa Nchi ya Burkinafaso inaweza kuendelea bila kuchukua mikopo kutoka IMF na world bank ambapo mikopo hiyo mingi ina masharti magumu kwa ustawi wa nchi.
Mwanamapinduzi Thomas sankara hakuweza kuwavumilia wala rushwa waliobainika katika uongozi wake na aliwafukuza mara moja katika serikali.
Rais Thomas Sankara aliamini katika usawa wa kijinsia kati ya wanawake na wanaume na hivyo katika serikali yake aliyoiunda aliweza kuwapatia nafasi zaidi wanawake sio tu katika wizara inayohusiana na mambo ya wanawake Bali hadi katika wizara nyeti za nchi hiyo tofauto na ilivyokuwa kwa nchi nyingi za Afrika kwa kipindi hicho.
Rais Thomas Sankara alikuwa muumini mkubwa wa uwazi na demokrasia na mara zote alipenda wananchi wa Nchi ya Burkinafaso watoe maoni yao bila woga wowote tofauti na viongozi wengi wa Afrika wa kipindi kile.
Rais Thomas Sankara alipata kuwa mwanamapinduzi msema ukweli hata katika mikutano ya Umoja wa Afrika OAU Ambapo alikuwa akiwashauri viongozi wenzake wa Afrika katika umoja huo kukataa kulipa mikopo mikubwa ya IMF na world bank na hii ni kutokana na ongezeko kubwa la riba katika mikopo hiyo na badala yake aliwashauri viongozi hao kuanza kuanzisha viwanda vya kutosha na kuchukua wataalam wetu wakasome ulaya na kisha kurudisha nyumbani utaalam wao.Thomas sankara anakumbukwa kwa maneno yake mazito na kauli mbiu yake ya “ To our homeland or death we shall win” yaani kwa ajili ya taifa letu tupo tayar kufa ili tushinde.Thomas sankara aliamini kuwa Afrika Ina masoko ya kutosha ya kuuza bidhaa zake na kama nchi hizi zitaungana basi umasikini utaisha Afrika.
Thomas Sankara ndani ya kipindi kifupi cha uongozi wake alianzisha viwanda vya nguo na alisisitiza sana wananchi wa Burkinafaso kufanya kazi kwa bidii ili kuikomboa nchi hiyo katika umasikini.
Misukosuko katika uongozi wa Rais Thomas Sankara ilianza kipindi Cha mwaka 1986 ambapo kulitokea mgomo mkubwa wa walimu na hivyo Rais Thomas Sankara aliwafukuza kazi zaidi ya walimu 1200 na kisha kuwapatia mafunzo vijana waliomaliza elimu ya juu ili wakawafundishe wanafunzi katika kipindi hiko cha mpito na hapo ndipo migogoro ilipoanza katika nchi ya Burkinafaso na wasomi wengi wakiupinga uamuzi wake huo.
KUPINDULIWA NA KUUWAWA KWA RAIS THOMAS SANKARA
Wataalam wa siasa wanasema Rais Thomas Sankara alikiona kifo chake na alikisubiri kwa sababu kipindi chote cha kutokueleweka kwake na nchi ya Ufaransa kwasababu Rais Thomas Sankara alipenda kushirikiana na mataifa mbalimbali bila kufungamana na upande wowote.Hali iliyopelekea watawala kutoka Ufaransa kukasirika kwani walitaka waendelee kulitawala taifa hilo katika ukoloni mambo Leo kwa kuhakikisha nchi ya Burkinafaso inaendelea kuwa ni soko la bidhaa kutoka Ufaransa na pia bajeti ya matumizi ya Nchi hiyo ikainufaishe nchi ya Ufaransa.Hivyo basi walimtumia rafiki wa Rais Thomas Sankara Bwana Braise Compare kuandaa mauaji dhidi ya Rais Thomas Sankara na hapo ndipo ikawa mwisho wa Rais Thomas Sankara. Tetesi za mauaji dhidi yake Rais Thomas Sankara alizipata, lakini hakuchukua hatua zozote kwani aliamini ubaya usitokee kwake bali utokee kwa wanaompinga.
Tarehe 15/10/1987 Rais Thomas Sankara aliuawa kikatili na kuzikwa usiku huo huo.Na kisha asubuhi yake Bwana Braise Compare rafiki wa karibu wa Rais Thomas Sankara alijitangaza kuwa Rais wa Nchi ya Burkinafaso.Rais Compare alitawala nchi ya Burkinafaso kwa miaka 27 hadi mwaka 2014.
Familia ya Rais Thomas Sankara ilifungua kesi ya mauaji dhidi ya Rais Thomas Sankara ambapo ilipofika mwaka 2022 ilithibitika katika mahakama ya Burkinafaso kuwa Rais Compare na wenzake 14 warishiriki katika mauaji ya Rais Thomas Sankara na Rais Compare alihukumiwa kifungo cha maisha jela.
changu kilikuwa Kama ni sauti za chiliku kwenye masikio ya hamad, hamad hakuweza ata kunihurumia zaidi alinitumia alivyotaka.
Nilijua Kuamka siku nyingine kabisa nikiwa kitandani mtupu kabisa, mwilini nilikuwa Nina maumivu makali sana lakini pia nilikuwa. Na uchovu wa kutosha kutoka na kipigo lakini pia na kazi nzito ya usiku kucha.
Muda huo huo akaingia Hamadi akiwa na trey aliloweka kifungua kinywa.
Nikijikaza na kunyanyuka lakini hamad akawai na kufunga mlango na kuniuliza..
“Unataka kwenda wapi ??”
“ ni muda wa kuwaandaa watoto wangu aendee shule “
Hamad akaniangalia kwa muda kisha akaniuliza.
“Hivi ukiniangalia unaniona Kama baba mjinga sana si ndio ? Ukiniangalia unaniona Kama Mimi siwezi kuwaandaa watoto wangu ? “
“Sijamaanisha hivyo hamad, ata hivyo ni asubuhi sasa siwezi kuendelea kubaki kwenye chumba chako wewe na Khadija”
Hamad akanishika shingo yangu kwa nguvu na kuniambia.
“Sema mume wangu “
Kwa sauti ya tabu sana nikasema.
“Mume wangu “
Hamad akanisukuma kwa nguvu sana nikaanguka chini kama Mzigo Walahi 🥹 Ila huyu mwanaume ni zaidi ya shetani Walahi, Kiukweli siwezi ata kumsamehe.
“Takataka wewe eti hamad mimi ni mume wako Sawa, Tena Shukuru Mungu licha ya umasikini wako na ukoo wako mzima still nimekuoa na kukupatia watoto wazuri ma handsome wa kwenda “
“Please mume wangu Niache nikawaandae watoto “
“Kwa taarifa fupi tu Saa hizi ni Saa 6 kasoro Binti Sawa, watoto wako shule kitambo sana, Mwenyewe unazani sana hizi ni Saa 12 Sijui”
Eeeh macho yalinitoka Kama Fundi Saa aliyepoteza nati Walahi, Yaani siku ya kwanza kazini ambapo natakiwa kufika Saa 12 asubuhi hatimaye Saa 6 mchana inanikuta nikiwa Nyumbani.
“Nifungilie mume wangu “
Hamad akaniangalia na kwa utulivu kabisa uku akivuta vuta mashavu yangu akazungumza.
Kuanzia sasa maisha yako ni umu Ndani, Yaani wewe na Mimi, Mimi na wewe, hao wehu wako waliokuwa wqkikipatia jeuri uko nje watakutafuta kwa Tochi”
Aaaah hamad hakuwa akitania ata kidogo Yaani alihakikisha Kuwa anafanya maisha yangu yanakusa ya tabu sana.
******
Week Mbili ziliisha nikiwa Sigatoka Ndani ya chumba iko jamani 🥹😫 kilikuwa ni mtu wa kukaa sehemu moja, Ndani ya siku zote hizo sikuwai kuona watoto wangu Wala kusikia sauti zao, lakini pia si kujua ata simu yangu iko wapi labda ingenisaidia kwa Namna moja au nyingine.
“Hamad imetosha sasa nataka kutoka nje utanifungia umu Ndani mpaka lini labda ??”
Nilimwambia hamad na muda huo ndio kwanza alikuwa akijiandaa kwenda kazini.
Hamad aliniangalia kwa muda kisha akajibu.
“Yaani wewe kutoka umu Ndani mpaka akili yako ikukae Sawa na ujue Kuwa Mimi ni mume wako na sio hamad, mpaka ujue Kuwa nastahili heshima”
“Nipe taraka yangu hamad nimechoka “
Wlaahi niliamua tu kuomba taraka yangu maana nilianza kukiona kifo changu kabisa, Yaani hamad hakuwa na huruma na Mimi ata kidogo, imagine unafungiwa Ndani Kama hivyo halafu kila siku ni Mli mmoja tu.
Kiukweli nilianza kuchoka mwili na ata AFYA yangu ilianza kudolola.
“Ooooh kuhusu taraka nimeghaili siwezi kulipia taraka “
“Hamad please Naomba taraka yangu me siwezi Tena nimeshindwa “
Nikianza kulia uku nikiwa nimepiga goti na kushikilia miguu yake maana mambo sio mambo kabisa kwa upande wangu.
Hamad alichoka sana na kwa kejeli ya hali ya juu akazungumza.
“Eeeeh shujaa imekuwaje Tena hautapambana kwaajili ya watoto wako ? Wewe si ulisema uwezi kutoka uku kwaajili ya watoto zako nini kimekubadilisha sasa “
Ni kweli naitaji sana kuondoka na watoto zangu lakini siwezi kuendelea naweza nikafa kabisa nikiwa Ndani ya hii Nyumba halafu watoto wangu wakabaki na baba tu hivyo ni bora nikatoka nje halafu nikajua napambanaje kwaajili ya watoto wangu.
“Watoto baki nao wewe ni baba yao najua utawalinda na kuwalea vizuri sana “
Nilijibu kwa utulivu wa hali ya juu ungawaje moyo ulikuwa ukiniuma sana.
“Sawa “
Alijibu hamad kisha akaendelea na shughuli yake ya kujiandaa, hamad alijiandaa alipomaliza akaondoka na kunifungia Tena Ndani.
Siku hii Bwana sikutulia kabisa niliangaika uku na uku kwaajili ya kunisaidia lakini nilishindwa kabisa ukizingatia mwili wangu ulikuwa dhaifu sana.
*******
Majila ya sana 3 usiku gafla mlango wa chumbani kwangu ukafunguliwa na hamad ndio kwanza alikuwa amerudi.
“Kuanzia sasa wewe ni mbwa Huru “
Alizungumza hamad.
Kwanza Nikamuangalia na kwa hasira nikamuuliza.
“Mbwa ??”
“Yaaaaah mbwa unataka uwe Nani ? Nimekufuga vya kutosha na sasa unaweza kwenda, Ila sharti langu ni moja tu Kaa mbali na watoto wangu Shamsa “
Nyieeeej macho yalinitoka Walahi, Ila huyu Jake Bwana ataki kabisa nitokea hapa Nyumbani kwake ni vile tu ajui kuishi na watu maana kila siku anakuja na kikwazo kipya.
“Kingine wewe bado ni mke wangu sitakupa taraka ata ata Mara moja, na ole wako nikuone na wanaume wengine uko nje “
Nilibaki nikitoa macho tu, Kiukweli hamad alijipanga kunikomoa tu hakuna kitu kingine kwake, kwakuwa nilikuwa nikiitaji kutokaa nje nikajikuta nikikubali tu.
Baada ya muda mfupi baadae nilikuwa tayali Nipo nje, nikisema nje Namaanisha nje kweli 😂🙌 Yaani getini kabisa na mabegi yangu, Yaani hamad alinifukuza kabisa na kila kitu changu isipokuwa watoto wangu.
Ila maisha ya Kuwa mama wa Nyumbani yaliniharibia kila kitu, just imagine Sina ata Mia mbovu mfukoni, najua watu watanishaangaa watauliza inamaana haukuwa ukisave katika Pesa ya matumizi ya kila siku, iko hivi hamad ni Yule mwanaume ambaye anaenda sokoni Mwenyewe akupi ata shillingi 50 😁🙌.
Nikaweka begi langu chini na kuanza kutoa vitu uku na uku nikitafuta siku yangu, Mungu Mwema jamani niliweza kuipata simu yangu na ilikuwa na chaji kidogo sana,
Kama kawaida mwaya msaada wangu wa kwanza ni Neha Yaani Sina mtu mwingine zaidi ya Neha, nikampigia na kwa sauti ya kilio Nikamuomba aje Nyumbani kwangu.
Nyieeeeeh bado nitaendelea kusema Kuwa Neha ni zaidi ya Rafiki kwangu, imagine hakujali Kuwa ni usiku sana baada ya muda yeye na mume wake waliwasili pale Nyumbani na kunikuta nikiwa nimejikunyata getini nikijililia Mwenyewe kwani nilikuwa na maumivu makali sana.
“Huyu mume wako anashida ya akili au ? “
Mume wa Neha aliniuliza maana ni mwanaume mwenzie lakini amuelewi kabisa.
Neha akamuangalia mume wake kisha kwa utulivu akajibu.
“Babe relax ni muda wa kumsaidia Shamsa kwanza “
Bado kWa pamoja tukapanda kwenye gari na safari ya kuondoka ikaanza.
Aaaah Walahi kuja watu wanaishi Bwana, hii Nyumba anayoishi Neha ni hatari jamani kwani Pesa wanato wapi hawa watu.
“Karibu snaa Shamsa “
Neha alinikaribisha.
Moja kwa moja nikapelekwa kwenye chumba cha wageni na kukabiziwa kila kitu muhimu na wakaniacha nipumzike.
*******
Hatimaye asubuhi ilishika nafasi nikiwa Sijapata ata leke la usingizi usiku kucha.
Basi nikaoga pale na kutoka nje ili niweze kuwasaidia kazi Mbili Tatu.
“Wewe Tena Mbona umewai kuamka ??”
Neha aliniuliza.
Muda huo yeye na mume wake walikuwa wakifanya usafi wa Nyumba Yao, Walahi nilijikuta nikianza kuwaonea Wivu Walahi kubwa watu wamepata wenza wao.
Nikiwa bado nawaangalia na kutabasamu peke yangu gafla Hodi ilisikika mlangoni na muda huo huo akaingia Khadija, Yaani mke mwenzangu.
JE KUNA UHUSIANO GANI KATI YA HADIJA NA NEHA ? TUKUTANE SEHEMU IJAYO….
Hemed baada ya kunitambulisha kwa ndugu wote kuanzia baba mama na wadogo zake wawili Hamisa na Hisan..
Ikawadia zamu yangu ya kutambulishwa kwao🙈🙈 Hemed kwa unyenyekevu alinishika mkono akanisogeza ubavuni mwake uuuwww hata haogopi kuna baba zake pale 😂😂🙈
Aliwaambia familia yake ya kwamba umewaadia ule muda wa mimi kupata mwenzi wa kwenda kuanza naye maisha❤️❤️..
Najua sijawahi kuwaletea mwanamke wa aina yoyote ile hapa nyumbani lakini leo nimemleta....
Huyu ndo niliyekuwa nikimuomba Mungu anipe..jina lake ni Bella she's my wife to be❤️ yeye ni mke wangu mtarajiwa..
Nimemleta hapa kila mmoja amuone na leo rasmi nawatambulisheni kwenu kuwa Bella ni mchumba wangu ikiwezekana mipango na taratibu za kwenda kwao zianze mara moja...
Alimalizia kwa kusema nakupenda sana Bella🥹❤️ karibu nyumbani hapa ndio kwetu na hawa ndio ndugu zangu na ni ndugu zako kuanzia leo🫂❤️
Sijui kwanini nilikuwa najisikia tu kulia I do know but I cried a lot 😭😭 nilimkumbatia Hemed nikamwambia thanks Babe I love you too🥹❤️
Alinipatia tissue mpenzi wangu nijifute machozi baada ya hapo tuliketi tukaletewa na vinywaji pale story za hapa na pale zikawa zinaendelea...
Siku hiyo ndo siku niliyoweza kufunguka kila kitu kuhusu maisha yangu...hata Hemed tu nilikuwa sijawahi kumwambia vitu vyote hivo..
Siku hiyo nakumbuka baada ya kuwa tumeshamaliza heka heka za kula na kunywa ndugu waliondoka ikabaki familia ya Hemed tu..
Ilikuwa usiku nakumbuka Hemed aliniambia tutalala pale kwao kwa siku tatu then tutarudi nyumbani...basi siku hiyo usiku nikaambiwa kuna kikao wazazi wanataka kuongea na mimi... I mean wakwe hahahaaaa
Nilienda kuwasikiliza nikiwa pamoja na Hemed...Mr Martin alianza kunihoji kiundani maana alitaka kunijua mimi ni nani chimbuko letu watu wa wapi na wazazi au ndugu wako wapi,...?..
Nilianza kuelezea from A up to Z😴😴😴mama yangu mimi ni mtanga na baba ni Muarusha...
Tumezaliwa tanga kwa sababu huko ndo walikuwa wanaishi wazazi wangu..tulihamia Dar es salaam miaka kadhaa iliyopita
Ni baada ya mama kuanza kuumwa uvimbe tumboni ikatakiwa afanyiwe matibabu katika hospital ya muhimbili...
Baada ya kuhamia Dar mama alifanikiwa kufanyiwa Op maisha yakaendelea🥹🥹🥹..
Hali yake ilikaa vizuri kwa muda wa mwaka mmoja uvimbe ukajirudia tena💔 aliporudi kufanyiwa Op ya pili hakuamka alifariki😭..
Baada ya mama kufariki ndugu zake walikuwa ni kama wamemzila furani hivi maana alibadili dini ili aolewe na baba😭😭🙌..
Hata kwenye mazishi hatukuwaona ni baba na ndugu zake tu na watu baki ndo tulioshiriki nao kwenye mazishi ya mama😭😭😭..
Tumemaliza kumzika mama maisha yakaendelea lakini baba hakuwa sawa🥹🥹 alitawaliwa na msongo wa mawazo upweke hiyo hali ilipelekea baba yetu naye kuondoka😭😭😭..
Alifariki miezi michache baada ya mama😭😭😭 hivi ninavyoongea hapa na nyieee kwenye hii Dunia nimebaki mimi na ndugu yangu poppy 😭😭😭
Wazazi baada ya kuondoka hatukuwahi kuona ndugu wala rafiki wa kuja kutushika mkono...
Tuko tu wenyewe wawili mimi na poppy...
Wazazi wa Hemed walinipa pole🥹💔 mama alinikumbatia akaniambia kuanzia sasa I'm your mother na Mr Martin akaniambia from today I'm your Dady ❤️🫂...
Nini kitafuata??? Fuatilia sehemu inayofuata...
Hapa hatutatuma tena naomba anayhitaji aje whatsap
Tunafanya hivi ili tumalize zile tulizo zibakiza viporo
Full yote 2000
Whatsapp 0657171961
KWETU Morogoro
Ile sauti ya Hemed na vile bado nilikuwa kitandani ukizingatia kimkojo kilikuwa kimenibana lol🙈hamu tu ndo kitu nilikuwa nakisikia💋
Akiongea mwili mzima ulikuwa unasisimka nabaki kugugumia kimya kimya kisauti sasa kama niko natiwa dudu💋💋
Yeye mwenyewe alikuwa hoi taabani hahahaaaa nyieee mapenzi haya🙈yani unaongea na mtu kwenye simu unasikia hisia mpaka unatamani ile kitu..
Hemed aliniomba nijiandae then anakuja kunichukua na aliniomba nivae nguo ya heshima😯😯😯mbona nguo ya heshima au unanipeleka ukweni😂
Akacheka akaniambia huenda huezi jua😂😂nilimwambia sawa basi nitavaa ya heshima baba..
Baada ya kumaliza kuongea na wa rohoni niliamka na tabasamu murua nikaelekea washing room..
Nilikoga vizuri nikajiweka fresh huku nikiwa naimba imba nyimbo fulani hivi tamu za mapenzi🥰🥰...
Asikwambie mtu bwana raha ya penzi umpate wa kuendana naye umpende akupende vikwazo na mikwaruzano havikosi ila upendo wa dhati hufunika vyote hivoo🥰🥰..
Baada ya kuoga nilipangilia nguo ya kuvaa😍😍as we know babe kashaniomba nivae nguo ya heshima huenda napelekwa ukweni or kwa marafiki zake sijui lakini nahisi tu😂😂..
Nilihakikisha nimependeza kuanzia kichwani mpaka kwenye unyayo😍😍😍 nilipokwisha kumaliza nilimpigia Hemed video call nikamuuliza babe how do I look 😴😋🥰😍..
Alitabasamu kisha akaniambia you look Good babe very beautiful 😍 very demure 🥰🥰 Very mindful💋❤️❤️..
Hahahaaa raha ya kusifiwa usifiwe na mwandani wako😂😂😂❤️❤️haikuchukua muda babe alikuja kunichukua aliniomba nisile chochote maana huko tunakoenda kuna bufee la kufa mtu😋😋😍..
Tulipanda zetu kwa gari safari ikaanza💃🏼💃🏼💃🏼wapi tunaenda kwa nani na kwa nini????Sikujua...
Safari haikuwa ndefu sanaaa ilichukua kama dakika 45 tu tukaingia kwenye jumba moja hivi lina muonekano mzuri sana..
Geit la hiyo nyumba lilifunguliwa na security tukakaribishwa kwa heshima sana😯😯😯ni wapi huku Mungu wangu mbona tunasalutiwa hivo..
Gari iliingia packing tukashuka then nikamsikia Hemed akiita kwa nguvu mom I'm home where are you guys😯😯
Uuuwww kwa hiyo kanileta kwao😴😴😴lol lol miguu mpaka iliishiwa nguvu..
kiuoga fulani kwa mbali hahahaa si mnawajua wazazi wa kibongo kwa kuwachambua wachumba za vijana wao hawajambo lazima mtu uogope😂
Ndani ya sekunde akatoka Mr Martin 😳😳😳yule mbaba alonichukua shuleni kwa kina poppy siku ile akanipa na tissue nifute machozi 😯😯😯..
Alikuwa na mke wake Mrs Martin mama fulani hivi ana weusi wa kuteleza very cutesy ❤️❤️❤️
Alitoka na mdada fulani rika langu karembo kenyewe na dogo mmoja wa kiume kwa pamoja wakatwambia wow karibuni tulihagiwaa hapo mabusu teletele ushawahi kubusiwa na baba mkwe wewe😂😂
Familia ina uzungu mwingi ileee😂😂😂 wanafamilia wengine tuliwakuta ndani yani kiufupi karibia ukoo mzima wa Hemed ulikuwepo pale😯😯😯..
Nilikaribishwa kwa shangwe na vigelegele hahahaaaa nikasalimia ndugu wote nikatambulishwa nani ni nani nikapata kuwafahamu..
Mr Martin ni baba wa Hemed nyieeee🙈🙈hivi siku ile ningejichanganya si ndo ningekuwa sifai tena kuwa mke wa Hemed😂🙈
Mjue siku ile ilibakia kidogo nimuombe namba yule mbaba kwa kuzania ni shuga Daddy litakalonifaa maishani kumbe ni baba mkwe dah🙌🙌
Nini kitafuata????
Fuatilia sehemu inayofuata...
Full 2000
Whatsapp 0657171961
KWETU Morogoro
Nilijisikia tofauti sana🙈🙈 sijawahi kujihisi vile tangu nizaliwe💋💋💋nilitamani aendelee tu kunifanya vilee asiacheee❤️❤️❤️..
Mikono isivo na adabu bila kutarajia nami nilijikuta nimemshika Hemed kwa hisiaaaa💋💋💋
mkono mmoja shingoni mwingine nikawa nampapasa kichwani..tuliromance kwa muda tukiwa kwenye hisia kali💋💋
Tulifanya vile mpaka tukatosheka tulipoachiana kila mmoja alikuwa anatamani kitu kimoja tu hahaaaa
Hemed alikuwa amesimamisha sana🙈🙈mimi sasa🙈🙈 huko kwenye pichu kulikuwa hakutamaniki🙈🙈
Nilifungua mlango wa gari haraka nikakimbilia ndani nilijua fika nikibakia pale mambo yataharibika🙈
Nimefanya nini Bella mimi😴😴hivi nimewezaje kumshika kwa mahaba kiasi kile🙈🙈🙈oops 🙌🙌hazikuwa akili zangu mimi..
Nilianza kufikilia kile kilichotokea mpaka nikawa najionea aibu mwenyewe🙈 nilivua nguo nikakimbilia bafuni..
Chupi yangu ilikuwa imejaa ute mweupe unaojivuta lait kama jamaa angepata upenyo wa kuingiza hata asingesumbuka kupaka mate maana kitu ilikuwa ishalainika tayari🙈
Nilizidi kukolea hubani mwa Hemed kila nikimfikilia napata hamu fulani hivi hahahaaaa nilioga nikatoka kule bafuni nisije nikapata mawazo ya kishetani nikaanza kujitekenya na vidole..
Huo usiku nikiwa kitandani kwangu Hemed alinitumia msg akaniambia mpaka sasa nafikilia tu kuhusu wewe💋💋💋..
Unafikilia kuhusu nini??? Akasema uzuri wako.... kingine??? Akasema lips zako tamu nyororo na ile miguno yako...
Hahahaaaa mi sitaki bwana usinikumbushe🙈🙈
Nitamkumbusha nani zaidi yako my wife to be❤️❤️ what🙈😳 so you will marry me ???
Akasema why not wewe ni mke wangu mtarajiwa Bella..oh🥹🥹 nakuahidi nitakuwa mke mwema kwako na nitakupenda siku zote za uhai wangu😰❤️
Hata mimi Bella🥹❤️ hapa Duniani ninaishi kwa sababu yako tu❤️❤️
Nilimuuliza kuhusu safari ya kesho tunaenda wapi akaniambia that is a surprise kwa sasa nataka kuhusu maisha yetu ya ndoa...
How😳🙈 akaniambia saivi nataka uniambie honeymoon yetu tutaenda wapi na pia uniambie utanizalia watoto wangapi...
Hahahaa nyiee huyu🙈🙈nilimwambia yote tutapanga baada ya ndoa akasema sawa...
Tuliongea vingi usiku huo mwisho tukapitiwa usingizi nilikuja shituliwa na mwito wa simu nilipostuka nikagundua kushakucha na anayenipigia simu ni Hemed🥰🥰🥰..
Nilipokea ile simu nikamsikia Hemed akiwa ananiuliza Sweetheart bado umelala?.?..
Nikamwambia yes Darling bado nimelala🙈🙈 kwanini au unajisikia vibaya lbda..?
Nikamwambia hapana nilikuwa nasubilia uniamshe honey🙈🙈
Wow natamani ungekuwa hapa pembeni yangu ningekuamsha na kiss💋aliniambia hivo kwa sauti fulani hivi nzito ile ya asubuhi mnaijue eeh🙈
Itaendeleaaaaaaaa
Full 2000
Whatsapp 0657171961
KWETU Morogoro
Nilitembea mdogo mdogo mpaka kwenye gari Hemed akashuka akanifungulia mlango nikapanda🙈🙈akanifungia mkanda lol😝
Nyiee unaeza ukapagawa nawaambia🙈🙈 aliniambia umependeza sana mama❤️❤️..
Nikamwambia thank you you look Good too🥰❤️ akasema thanks, hope you Good nikamwambia yes I'm fine...you??? Akajibu I'm too fine..okay
Tuliondoka mpaka chuoni hii ndo ilikuwa mara yangu ya kwanza kupelekwa chuoni na ndinga tena ndinga ya pesa ndefu nyiee..
Nilitamani nimzuie Hemed asinifikishe chuoni nilihofia watamuiba😝😝😝naanzaje kumwambia uuwww si ataniona nimemzimikia kupita kiasi.
Tulikwenda mpaka parking akasimamisha gari akashuka akaja kunifungulia mlango uuuwww 😝😝 akanishika mkono nikashuka🙈
Wanafunzi walikuwa wanashangaa leo chuoni kaletwa nani jamani walihisi huenda waziri wa kitengo fulani kumbe ni mimi maskini kapuku😂
Bella😳😳😳kila mmoja akashangaa baada ya kuniona nikiwa nimeshuka kutoka ndani ya lile gari expensive..
Baada ya kushuka Hemed aliniambia take care babe i love you❤️❤️ nikamwambia thank youuu take care🥰🥰🥰
Sikumwambia I love you too alijisikia vibaya lakini niliondoka zangu tusiendelee kubakia pale kama maonyesho😝😂
Hemed naye aliondoka nilimwambia jioni saa 10 ndo nitatoka chuoni akasema atamtuma mtu aje kunichukua alidai hiyo mida atakuwa kwenye kikao..
Basi bwana ile pesa ya siku ile nilopewa na Hemed nililipia madeni nilokuwa nayo chuoni🙏🙏
kuna mitihani nilikuwa sijaifanya kutokana na kutolipa Ada ilitakiwa niifanyee baada ya kulipa..
Ndani ya hiyo week nzima nilikuwa bize na mitihani na namshukuru sana Hemed alikuwa ananijali vibaya mno..
Nilikuwa nikitoka chuo namkuta nje ananisubilia na asubuhi yeye ndo mtu alikuwa ananiamsha kwa ajili ya kujiandaa kwenda chuoni..
Usiku ataniamsha nijisomee alikuwa anajali sanaaaa❤️❤️❤️..
Week iliyofuata ndo ilikuwa week ya poppy kuanza kuishi shuleni tayari alishalipiwa kila kitu..
Mimi nilimfanyia tu shopping ya vitu kidogo akaenda navyo sheleni ..that time nilikuwa na vipesa pesa ninavyopewa na Hemed hahahaaa🙈🙈..
Baada ya poppy kuondoka home nilibaki peke yangu nakumbuka siku moja ijumaa Hemed alipokuja kunichukua chuoni aliniambia siku inayofuata tutoke kuna sehemu alihitaji nimsindikize..
Wapi??? Hakuniambia alidai ni surprise😝😝mi nilimkubalia maana hata sikuwa na mishe yoyote ya kunizuia🥰🥰🥰
Kama kawaida yake alinipeleka nyumbani nikakoga nikabadili nguo tukatoka kwenda kula..
Siku hiyo nilivaa nguo matata sana ilimchanganya vibaya Hemed..
Nakumbuka usiku aliponirudisha nyumbani kabla sijashuka kwenye gari Hemed alinizuia kushuka akaniambia kabla sijashuka kuna kitu anataka kuniambia.
Kitu gani??? Nilimuuliza
Akaniambia anahitaji kiss eh nyieee😴🙈 kabla sijaanza kujitetea nikashangaa ananivuta kifuani kwake oops💋
Lips zake laini zikanivamia mdomoni kwangu ooh shit babe please i was like ooh majirani watatuchungulia kwenye gari💋💋💋
Kwani alisikia sasa ndo kwanza alisogeza lips zake mdomoni kwangu akanikamatilia vizuri akaanza kuninyonya na kunipapasa Oooohhh 💋💋
Itaendeleaaaaaaa
Full 2000
Whatsapp 0657171961
KWETU Morogoro
Nilimuomba Hemed anipe muda nimfahamu yeye ni mwanaume wa aina gani na nikishamfahamu nitampa majibu sahihi..
Alikubali lakini akaniomba nisirudie tena kutoka usiku kama nilivofanya jana.. hahahaa anaamini kweli nilitoka lakini wala tulimdanganya tu..
Hemed aliniambia nikiwa na shida yoyote nimwambie yeye atanisaidia.. nilimwambia sawa asanteee..
Kama mnavoyajua mambo ya kutongozana huwa siyo ya haraka haraka🤣🤣🤣mchana ulitukuta pale pale kwenye ile hotel nzuri Hemed aliweka oda tuandaliwe lunch🥰
Tuliandaliwa lunch fulani hivi very demure 😋🍷tulikula mimi na Hemed hahahaa nilikuwa namuonea aibu sijui kwanini🙈🙈
Tulipomaliza kula Hemed alinirudisha nyumbani nilimbebea mdogo wangu chakula chake ili akitoka shule ale..
Baada ya kufika nyumbani Hemed alinipa pesa akaniambia hiyo utatumia kwenye mahitaji yako dah🥹🥹nilishindwa kuzuia machozi😰😰
Nilimwambia asante sana Hemed asanteee😭😭😭 ye mwenyewe alishangaa alinikumbatia akanifuta machozi akaniambia I am here for you kama kuna kitu chochote usinifiche niambiee..
Nilimwambia sawa nitafanya hivo... tuliagana mi nikaingia ndani nilipohesabu ile pesa ilikuwa laki tano nilimshukuru sana mwenyezi Mungu..
Baada ya kupata pesa niliona bora nikamalizie ada ya poppy maana nikikaa na ile pesa naeza nikaitumia kwa mambo mengine..
Nilichukua boda muda huohuo nikarudi shuleni kwao poppy nilifika nikakuta wanafunzi ndo wamemaliza kutawanyika hata poppy sikumuona
huenda tulipisha huko njiani niliingia ofisini kwa mkuu wa shule nikamwambia nimekuja kumalizia madeni ya poppy.
Mkuu wa shule alishangaa akaniambia poppy hadaiwi... nikamuuliza how??..
Kwani umenisahau nimetoka hapa asubuhi na nilibakiza madeni nikakwambia nitarudi kuyalipa??
Mkuu wa shule aliniambia ndiyo nakukumbuka baada ya wewe kutoka kuna mwanaume alikuja akamalizia kulipa kila kitu cha poppy kwa sasa hadaiwi chochote mpaka anamaliza form four😳
Mwanaume gani??? Mkuu akaniambia hakujitambulisha kwa jina....
Mmhhh nilijaribu kuumiza akili au ni yule jamaa alonibeba kwenye v8??? Lakini kama ni yule mimi mbona simjui😳😳..
Ilibidi nirudi zangu nyumbani nikamkuta mdogo wangu ameshafika yupo anakula...
Poppy aliponiona aliniuliza Dada vipi mbona unaonekana kuchanganyikiwa??...
Nilimwelezea kilichotokea poppy akaniambia huyo lazima ni Hemed tu...
We umejuaje??? Akasema mi nahisi tu na ninahisi hata huyo mtu alokuja kukupa tissue ye ndo amemtuma🤗🤗..
Mbona kama kweli vile🤔🤔 sijui nimuulize Hemed🙁🙁 poppy akasema ndiyo muulize dada..
Ilibidi nimpigie Hemed nikamwambia samahani kuna kitu nataka kukuuliza..
Akaniambia it's okay Bella talk to me?? Kuna kitu chochote umefanya kwa ajili yangu leo???
Hemed akakaa kimya kidogo then akaniuliza kitu gani Bella??
Ni wewe ndo umelipa madeni ya poppy shuleni???
Hemed alikubali akaniambia yes ni mimi samahani kwa kuwa nilifanya bila ruksa yako.
Kwa hiyo hata yule Mr Martin wewe ndo umemtuma anibebe kwenye gari???
Akasema ndiyo Bella ni mimi😔😔...kwanini unafanya hivo Hemed??.
Kwa sababu nakupenda sana Bella🥹🥹 I love you....
Lol ilibidi nikate simu maana poppy anasikiliza Hemed anavonililia kwenye simu😔😔..
Baada ya kukata simu sauti ya Hemed ilibaki inajirudia rudia kichwani kwangu😰 poppy naye akaniuliza unampenda eeh?.
Ops😔😴 hata sijielewi nilielekea chumbani kwangu nikajilaza kitandani nikawa nawaza tu kuhusu Hemed mbona kama vile nimeanza kumpenda🥺
Itaendeleaaaaaaa
*SEHEMU YA 09*
Kila mwanamke ndoto yake ni kupata mwanaume kamili mwenye kujali na kusapoti🥹🥹
Nafikili mimi Hemed ndo wa kwangu❤️❤️kama ameweza kunifanyia hivo bila kumuomba basi bila shaka huyu ni mwanaume sahihi atakae nufaa❤️
Lakini nop wait🤔🤔kwa hiyo inamaana ndo nimeamua hivo kuingia kwenye ulimwengu wa mahusiano,??.
Nafsi zilianza kubishana ingine inasema no utaumiaa ingine inasema ndiyo mkubalieeee..
Kipi nifanye sasa??? Na moyo ndo kama hivo muda wote unamfikilia tu Hemed..
Nilikaa huko chumbani nawaza mpaka usiku ukaanza kuingia🤗🤗niliamka niende kuandaa chakula cha usiku mara simu ikawa inaita..
Alinipigia Hemed akaniambia leo usipike chakula nitakuja kuwachukua tukale Dinner... what???🙈 mshikaji alizidi kunivutia
he's the kind of man I want 🤗❤️ nilimwambia sawa nimekuelewaaa🥰🥰ule ugumu wa kumuongelesha kibabe haukuwepo tena🙈
Mida ya saa mbili usiku Hemed alitufuata😴😴akatuchukua mimi na poppy mpaka kwenye hotel moja hivi ya hapa Dsm
Tulieka oda kila mtu anachojisikia kula wakati chakula kinaandali tukaletewa cocktail🍸 za kutuburudisha🤗🥰❤️ it was a nice day ❤️❤️..
Tulikunywa cocktail 🍸😋 haikupita muda tukaletewa chakula🤗🤗kila mmoja kama alivoagiza🥰
Tulikula pale tukamaliza Hemed akatuambia tuongeze vinywaji lol tungepasuka😂🙌tulimwambia sie tushatosheka..
Muda ulikuwa ushaenda ilibidi turudi nyumbani..
Hemed alitupeleka mpaka nyumbani 😴😴majirani sijui wanaongea nini kutuhusu maana mmmh si kawaida😂🙈
Poppy alishuka kwenye gari wa kwanza mie wakati nashuka Hemed akaniambia Bella wait a minute 🙈🙈
Mmhh nilimkonyeza Poppy asiende mbali nisijebakwa kule ndani ya gari hahaha😂 mdogo wangu alisimama kuningoja..
Hemed aliniomba nimpe ratiba yangu ya chuo ili awe anakuja kunipeleka alidai pia siku ambazo atakuwa tait atakuwa anamtuma dereva wake aje kunichukua..
Nyieeeee🥰🥰🥰hizi raha hata sikuzitarajia mjue😴🤗 mbona kama naangalia movie vile hahahaaa🙈huku ndo kuokota Dodo kwenye mnazi😂
Nilimuitikia nikamwambia thanks nitafanya hivoo🙈 akati nataka kushuka akanishika tena mkono akaona mdogo wangu anachungulia😂😂
Akamwambia poppy nenda ndani shem Dada simfanyi kitu atakuja😁😁..
Poppy alienda ndani nikabakia pale na Hemed... aliniuliza lini utanipa ratiba nikamwambia nitakutumia msg coz kesho nataka nianze kwenda chuoni..
Nilikuwa naonge huku naogopa unajua eeh😂🥲 basi Hemed aliniambia ni sawa kesho unaend muda gani?? Nikamwambia saa 4 asubhi..
Nitakuja kukuchukua mwenyewe... nikasema thank youu🙈🙈..
Nakupendaaaa💋💋aliongea kwa sauti fulani hivi dah💋💋🙈nilijisikia tofauti ukizingatia alivokuwa amenishika mkono wangu mmh🙈
Itaendeleaaa
10
Nilipata shida kupumuaa🙈 Hemed alirudia tena kuniambia nakupenda Bella akawa ananipapasa ule mkono uuww nikawa nasikia hali siielewi..
Nilivuta mkono wangu aniachie hataki ananiangalia tu anatamani hata aninyonye vilips vyangu vya pink vizuri kweli..
Nilikuwa nikimwangalia machoni anataka hadi kulia .. aliniomba nimwambie chochote tu kutoka moyoni kama nampenda au laah chochote tu..
Tatizo ukimkubali mtu haraka napo anaanza kujiona sukari🤔🤔bora niendelee kumkazia akipata shida kunipata atajifunza namna ya kuniheshimu..
Nilimwambia vile vile nilivyomwambia mchana we need time to know each other😔😔 alinielewa maskini akaniambia can I kiss you😟😟..
Nikamwambia siyo sasa we need time hahahaa nyiee akinipa pesa simwambii we need time ila yeye kila anachoniambia namwambia we need more time.😂
Hata hivo mtoto wa kike lazima uusimamie mwili wako siyo unatumika tu kama choo😂😂
Usiku huo tuliagana hivo kibishi bishi 🙈🙈nikaingia ndani Hemed naye akaondoka zake..
Siyo kama simpendi nahisi kabisa nampenda lakini sihitaji kujirahisi kisa msaada anaonipa😴😴
Usiku huo baada ya kuingia ndani nilikuwa na furaha sana mpaka poppy akasema eeh Mungu wangu mlindie dada yangu mchumba wake wenye tamaa wasimchukue😂
We dogo uachage wenge😂😂 wenge gani dada sema tu hujioni ulivobadilika..
Yani tangu Hemed aje kwenye maisha yako siku hizi hulii lii kama zamani😔😔naomba umkubalie tu usimtese🥺🥺
Yani poppy anataka kunipangia mimi cha kufanya😂😂😂mxieeewww peleka komwe huko ukajisomee🙄
Hahahaa nampenda sana mdogo wangu❤️❤️❤️ alienda zake kujisomea mie nikaingia jikoni kukanda unga ili kesho kabla sijaenda chuoni niwapikie mafundi chai na mandazi..
Usiku wakati nakanda unga Hemed alipiga mi nikashindwa kupokea maana mikono yote inatumika jamaa alipiga simu huyoo...
Nikajisemea tu nimalize kwanza kukanda unga ndo nimpigie 😁😁..
Wakati nataka kumpigia nikakuta ametuma msg it's okay huenda mimi siyo type yako endelea na hao unaowapenda...kha🙄🙄
Mbona wivu jamani angejua mwenzie hata sijawahi hivo vitu😂😂😂basi nilivosoma ile msg nikasema acha nimpigie asilale na mihasira..
Nimepiga simu kazima mmhhh jamani karoho kaliniumaa🙈🙈 nililalaa zangu kesho yake asubuhi nikamtumia msg Good morning akanijibu ndo umetoka kwa hao..
Khaaa🙄🙄🙄wakina nani??? Akanijibu unaowapenda🥹🥹nikaguna mmhhh akajibu ni sawa tu Bella ila tambua unachonifanyia siyo sawa..
Hahahaa sometimes kuonewa wivu raha😂😂 tena raha inazidi pale unapolalamikiwa kwa kitu hujakifanya😂
Basi muda huo mi nilikuwa nakaanga mandazi nilivoona hatuelewani nikaweka simu kando nikaendelea kupika..
Nilipomaliza nikaishika simu nikakuta ina missed call tatu kutoka kwa Hemed🫣🫣mbona sikusikia wakati inaitaa😯
Shetani mbona yuko serious kiasi hiko chaka hata sijalilalia ye anataka kulifyeka😂😂😂
Basi my wenu nikajisemea nipige simu nijitetee jamaa hakupokea🥺🥺🥺nikatuma msg
Sorry nilikuwa jikoni napika mandazi ya mafundi kimyaaaa sikujibiwa🫣🫣nilichanganyikiwa 😂😂
Jamani nisamehe sitorudiaaaaa😭😭😭 nilimtumia tena hiyo hahahaaa akaniambia jiandae muda wa chuo unakaribia..
Hahahaaa at least anajali💃🏼💃🏼 basi nilimalizia kuchuja chai kwenye chupa nikaweka mandazi kwenye deli then nikawakimbizia mafundi haraka..
Kufika pale mafundi wananiita maza house🙄nani amewaambia nao hawa umbea tu😝😝
Niliondoka zangu nikaja kujiandaa nilichagua kinguo kitamu sana nikakivaaa😋😋
kichwani nilivaa wig fulani hivi amazing chini viatu virefu na kimkoba changu cha elf 15 ila ukikiona kama cha elf 50
hahahaa maskini tunajua kuchagua vitu vya bei chee ila vimeenda shule😂😂
Baada ya kumaliza kujiandaa nilitoka🙈🙈 Hemed alikuwa nje kwenye gari ananisubili..
Itaendeleaaaaaaaaa
Full yote 2000
Whatsapp 0657171961
KWETU Morogoro
*___________*
*SEHEMU YA 06*
Tulibishana sana na Hemed pale nje kuanzia saa tatu mpaka saa tano nilipoona mida inazidi kusonga na chakula kinapoa ikabidi nikubali tu kuingiza chakula ndani tule wote..
Nilikuwa nasikia njaa mpaka utumbo unatetemeka lakini sikuwa na mpango wa kula😰..
Nilipanga chakula mezani nilipomaliza nikamkaribisha...
nilimnawisha mikono kwa adabu nikiwa nimepiga goti hahaaa ndo mama alivonilea jamani🙈
Hemed alikuwa ananawa tu bila kuiangalia mikono yake macho yake yote yalikuwa usoni mwangu🥺🥺..
Alimaliza kunawa nami nikanawa nikamuita na mdogo wangu poppy tukala pamoja🥰🥰🥰chakula cha wengi ndo kinakuwaga kitamu hivo..
Tulienjoy sana chakula tukashushia na juice ya baridi baada ya hapo tukapumzika kidogo tukiwa tunasubilia mgeni aondoke tuendelee kujisomea🤗
Asije tu akang'ang'ania kulala kwetu😂😂😂maana tutamtimua kama mwizi🤣🤣🤣...
Hemed alikaa kidogo baada ya chakula😝😝😝ni kama vile kuna vitu alikuwa anatamani kuongea ila anashindwa kwa sababu mdogo wangu poppy yupo..
Hata hivo hakukawia alituaga akashukuru sana kwa chakula baada ya hapo nilimtoa🥰🥰🥰 tulipofika nje Hemed aliniuliza kwanini mnakaa wenyewe wazazi wako wapi???
Angejua hilo swali linavoniumiza😭😭🙌 sikumjibu chochote zaidi ya kurudi ndani na kufunga mlango bila hata kumuaga nilimuacha pale nje akiwa anashangaa haelewi..
Hata hivo Hemed alinitumia msg akaniambia samahani sana Bella nakuahisi sitokuuliza tena hilo swali maana nahisi ni swali linalokuumiza sana..
Siku iliyofuata ilikuwa weekend jpili hatukuenda kufungua ofisi kwa sababu tulikuwa tunafanya usafi maana kesho yake ilikuwa siku ya mdogo wangu kwenda shule na ilikuwa siku yangu ya kurudi chuoni..
Siku hiyo usiku nilimwandalia Hemed chakula kama kawaida baada ya hapo nikamwambia poppy ampelekee nje sikutaka kuonana naye maana angeweza kulazimisha alie tena pale kwetu..
Nilimwambia poppy amwambie mie sipo Hemed baada ya kuambiwa sipo usiku ule alichanganyikiwa like kaenda wapi sasa hivi usiku???
Alianza kunipigia sikushika simu bali niliizima sikuwa mbali nilikuwa ndani chumbani kwangu namchungulia dirishani😝
Dada huwa ana tabia za kutoka toka usiku??? Hemed alimuuliza poppy akamwambia hapana ni leo tu ndo ametoka😝😝..
Oh aliitikia kisha akashukuru kwa chakula na kuondoka huku kichwa kikiwa kinawaka moto🤣🙌 angejua mwenzie niko tu ndani wala asingechanganyikiwa vile..
Siku iliyofuata asubuhi wakati namsaidia poppy kufanya maandalizi ya shule tulisikia muungurumo wa gari nje ya nyumba yetu😳🙄
Lazima ni Hemed huyo🙁nilijisemea kabla ya kuchungulia... hata hivo tulisikia Hemed akiwa anabisha hodi nilipochungulia nilimuona akiwa amesimama mlangoni na vile vyombo vya chakula..
Nilikwenda kumfungulia na nilikuwa nimependeza hatari🤗😍😍 nilikuwa nimevaa mavazi mazuri sana maana nilikuwa namsindikiza poppy shuleni..
Hemed alizoea kuniona kwenye vijora😝😝😝siku hiyo kwa mara ya kwanza aliniona kwenye kigauni fulani hivi kifupi cha kubana na viatu virefu..
Nilikuwa nimependeza mnooo jamani😍😍jamaa alipigwa butwaa baada ya kuniona akaniuliza Bella ndo unarudi nyumbani sasa hivi🥺🥺..
Nikashangaa mbona ananishautia😳🙄😝 wala sikumjibu nilichukua vyombo alivokuwa navyo nikarudi ndani wala hatukusalimiana
Ye si ndo alianza na shouting bila hata salam😒 namimi sikuona kama kuna umuhimu wa kumsalimia nilichukua zangu vyombo nikamuacha pale mlangoni akiwa amechukia😝
Poppy alimalizia kujiandaa tukatoka na Hemed hatukumkuta pale nje..
Tulikwenda tukapanda daladala mpaka shuleni kwa mdogo wangu..mimi ndo kama mzazi wake na kwa siku kama hizo wanazokuwa wamefungua shuleni ni lazima kumpeleka...
Ada niliyokuwa nayo ni kidogo sana yani ni kama robo tatu ya ada kamili😰kibaya zaidi siku hiyo tuliambiwa wanafunzi wote wa kidato cha nne
Wanatakiwa waanze kuishi shuleni na ni lazima siyo ombi😰😰ilitakiwa pesa ya kulipia hostel na chakula..
Nilitamani kulia siku hiyo shuleni lakini nilijikaza mdogo wangu asijue chochote ninachokipitia..
Dada umesikia mwalimu mkuu alivosema kuhusu kukaa shuleni na ni week ijayo natakiwa nishone na sale za hostel pia..
Usijali mdogo wangu ngoja niende nikakufanyie mpango nilimpa matumaini tu lakini kiukweli sikuwa najua wapi naenda kupata pesa maana mimi mwenyewe huko chuoni kuna mitihani natakiwa kufanya ila sina ada..
Wakati naondoka pale shuleni nilikuwa napangusa machozi nina majukumu ambayo sijui nitayatatuaje😭😭 wakati nalia ghafla kuna mtu akanigusa bega na kunipatia tissue nifute machozi😳😳..
Itaendeleaaaaaa
*SEHEMU YA 07*
Mmhhh baada ya kuguswa bega niligeuka haraka haraka kumwangalia ni nani alonishika bega🤔🤔
Alikuwa mbaba mmoja hivi alinipatia tissue akaniambia futa machozi😳😳😳huyu ni nani???ndo swali nilikuwa najiuliza
Hata hivo alijitambulisha akaniambia yeye anaitwa Mr Martin...
Vipi tunafahamiana??. Nilimhoji...akajifanya ni kama hajalisikia vizuri lile swali na muda huo simu yake ilikuwa inaita alipokea simu bila kunijibu swali langu..
Mr Martin aliongea na simu baada ya hapo akaniuliza sorry unaelekea wapi??.
Nikamwambia mtaa ninaoenda akaniomba nipande kwenye gari anishushie huko maana ndo anaenda kupita huko..
Nilipanda kwenye gari maana hata hiyo pesa ya kwenda kupanda daladala sikuwa nayo😰😰
Hiyo gari yake sasa😳😳😳 ni V8🙌🙌 kwenye gari nilijua nitaanza kuongeleshwa like kutongozwa au kuombwa namba lakini wala..
Mr Martin alinifikisha sehemu nilipotaka kushukia nikamwambia akanishusha nilimwambia thank youuu
Akajibu okay take care akafunga mlango wa gari na kuondoka😳😳😳yani hata kuniomba hamna jamani😰😰😰..
Kwa mara ya kwanza nikajihisi kama sijakamilika ujue mara nyingi nimekuwa natongozwa na wanaume mbalimbali wananishobokea nawakataa..
Kilichoniuma zaidi ni vile Mr Martin aliniona kabisa nalia akanipa tissue nifute machozi lakini hakuniuliza nilikuwa nalia nini😰🥺
Na kwanini hajanitongoza nimkatae😰😰😰au nimeshaanza kuwa mbaya??.
Niliumia mno ujue mwanamke ukitongozwa kuna namna unakuwa unajiona bado nalipa mimi kumbe ni mrembo...
usiombe ukakutana na mwanaume akaonesha kukujali alafu mwisho wa siku asikuombe namba wala kukutongoza inaumaa..
Nilitembea mpaka nyumbani kama mtu alomwagiwa maji ya baridi mwilini😝😝
Baada ya kufika nyumbani nilienda moja kwa moja chumbani kwangu kulala..wakati nimelala simu yangu ilianza kuita..
Alikuwa anapiga Hemed nilipokea simu nimsikilize...Hello Hemed.. akaitikia yes Bella mbona sauti yako iko hivo??.
Sauti yangu ilikuwa ya majonzi majonzi sana nilimwambia niko sawa usijali..
Hemed aliniomba tutoke kuna kitu alihitaji kukizungumza na mimi...nilimwambia siwezi kutoka kwa sababu mchana nina kazi ya kumwandalia mwanafunzi chakula..
Hemed aliniambia yeye atanunua chakula cha poppy huo mchana atampa mtu amletee nyumbani..
Aliniomba sana mpaka nikakubali...aliomba nijiandae ye atakuja kunichukua nyumbani..nikamwambia sawaaa..
Niliamka nikajiweka sawa baada ya muda Hemed alikuja kunichukua...sikujua tunaenda wapi na isitoshe bado ilikuwa ni asubuhi sana..
Hemed aliendesha gari umbali mrefu kidogo mpaka kwenye hotel fulani nzuri sana..
Aliweka gari parking tukatelemka alinishika mkono nikashuka kwenye gari baada ya hapo akaniambia umependeza sana Bella..
Wewe ni mzuri sana❤️❤️ nilimjibu asante alinishika mkono tukawa tunatembea kuingia ndani ya ile hotel..
Hemed ni handsome sana kiasi kwamba nilikuwa naogopa kuruhusu moyo wangu umpende maana nilikuwa nahofia kuumia..
nilijua kabisa kwa yule kaka sitakuwa peke yangu..ni mzuri mno kiasi kwamba ukiwa naye unakuwa hata hujiamini😝😝😝
Tulikwenda tukaketi kwenye kisehemu kizuri mhudumu akaja kutusikiliza ... kwa vile bado ilikuwa ni asubuhi tuliagiza breakfast tukaletewa..
Tukaanza kula🥰🥰🥰Hemed alikuwa anakula lakini muda wote macho yake yalikuwa yananiangalia tu mimi🙈
Baada ya kunywa chai Hemed aliniomba tuongeee😔😔nilikubali kumsikiliza..
Hemed alinitongoza aliniomba kama itawezekana mimi na yeye tufungue ukurasa wetu mpya tuzame katika ulimwengu wetu wa mapenzi😝😝
Alidai tangu siku ile ya kwanza aliponiona moyo wake ulivutiwa sana na mimi😔😔
Mtoto wa watu alikuwa very serious alirudia mara mbili mbili kuniambia Bella I love you please naomba unikubalie..
Je Bella atakubali??? Itaendeleaaaaa
Full 2000
Whatsapp 0657171961
KWETU Morogoro
lakini alikuwa ananipenda huyo maana yeye hakubahatika kuwa na mtoto hali iliyopelekea babangu kutafuta mwanamke mwingine kuzaa nae ambaye ni mamangu mzazi lakini mamangu hakuwahi nilea ni kama walimtumia tu awazalie wakamlipa kwa kumjengea nyumba kubwa tu na ata sikuruhusiwaga kwenda kwa mama kabisa niliwahi kwenda mara moja tu wakati nipo darasa la kwanza sikukanyaga tena lakini mama alikuwa anakuja kuniona angalau kwa mwaka mara moja na alikuwa anapokelewa vizuri tu kwakweli,na akiondoka pia walikuwa wanamfungashia zawad mbalimbali arudi nazo kwake akawa kama ndugu kwao
Mamangu pia alikuwa na watoto wengine wawili lakini sikuwahi kujuana nao kivile nawaona ona tu wakija na mama , walikuwa wakike na wakiume.....maisha yangu yaliendelea kwa babangu huku nikiwasiliana na mama angu mzazi maana nilikuwa nimeruhusiwa😜mamangu wa kambo alikuwa ananidekeza hatari kwanza watu walikuwa hawajui kuwa hajanizaa yeye,miaka ilisonga mwisho nilimaliza kidato cha nne mwenyewe nilirud nyumbani maana nilikuwa nasoma boarding
Basi nilipanda basi kurudi nyumbani nilifika jioni nikawa namsubiri mama anifate nilingoja mpaka kigiza kikaanza ingia ndo akafika wow mwanangu apo nimenuna hatar😒jamani usimnunie mama basi eti mziwanda wangu🫂sitak mimi nimekaa apa njaa inaniuma😞sorry my dear ni foleni tu mwanangu usikasirike bas akanichukua tukarudi nyumbani apo nimenuna hatari ananiongelesha sitak🙈 tulifika nyumbani tukamkuta baba nilimkumbatiaje utasema sijamuona siku kibao wakati imepita kama wiki 3 tu walikuja shule kwenye graduation nmekumiss sana binti angu kwanza pole na hongera kwa mitihani asante daddy ila tu mama kaniudhi jamani mimi kanigandisha stendi njaa inauma bado unayo tu jamani nawee ndio kwanza nile maana nitazimia kwa njaa nikaenda kupakua chakula nile baba akanambia yaani mwanangu nna habar njema apa nimeona hii likizo ukisubiri matokeo uende ukamsalimie mamako(mzazi) pamoja na ndugu wengine maana ata uwajui kweli daddy? kabisa lini? siku yoyote utayopenda sawa basi acha nikaekae ata wiki kwanza nipumzike sawa,nilikaa baada ya wiki mama mzaz alikuja kunifata twende uko kwake sasa nikawajue na ndugu wengine😜 niliandaa vitu vyangu vizuri na baba akanipa mtonyo niweze kununua chochote pia akanambia ntakaa mwezi ila nikiona vip nirud sawa daddy mama alikuja niliwaaga vzur mama(mzaz) akanambia yaani watafurah nyumban bibi ako,na ndugu wengine ata Mimi natamani sana niwajue usijal mwanangu ndo tunaenda tulisafiri tukawa tumefika mida ya saa10 jion moro tukitokea dar mama akakodi boda mbili kwenda uko nyumban ila hakukuwa mbali tukawa tumefika ,yaani kufika tu apo nyumbani kwenyewe tukakuta ugomvi msichana na mvulana makamo yangu wanazichapa👊🏻😀
niliishia kuganda mama buana akaenda kuwapiga makofi wajing nyiee kila siku makelele tu wakaachiana uyo mvulana akaondoka uku analalamika dogo usinichezee yaani nitakuzimisha msichana nae abaki nyuma anamjibu mama akamwambia nawe kelele msichana mzima hujiheshimu nae akaondoka ndani kanuna balaa kulikuwa na wengine wanashangilia et walikuwa wasichana wawili mvulana mmoja🤨wawili ndo niliwajua ni wadogo zangu ambaye ni msichana na mvulana lakini wale walokuwa wanapigana na msichana mwingine sikuwajua kabisa mama aliwacharua kweli yaan mnashangilia ugomv yaan mnapenda mikelele nyumba hii kutwa vimbwanga( mieee nikajiuliza moyoni kutwa vimbwanga??🙄) basi kale kavulana ambae ni mdogo wangu alikuja nikimbilia kunipokea dada uyo karibu asante mdogo wangu akanisaidia bag wale wengine ata hawana muda🤔nikakaribia ndani mama akanipeleka chumban kwake utakuwa unalala umu na mimi sawa mama akamuulizia yule mdogo wangu anaitwa amani bibi ako yuko wapi kafate bamia shamba sawa upumzike ushafika nyumban asante mama ngoja mimi nitafute cha kupika nilimpigia mama mlezi kumwambia nimeshafika sawa mwanangu tutakua tunawasiliana sawa sawa basi kiusingizi kikanipitia😴 nkaja amshwa na mama ukaoge uje kula usiku ushaingia na uje umsalimie bibi ako sawa mama nilitoka kwenda kumsalimia bibi nikaoga tukaenda kula baada ya kula mama akaanza nitambulisha mwanangu uyu najua utakuwa unamkumbuka ni bibi ako ndio mama na hawa wadogo zako unawajua amani na asha usiowajua kabisa ni hawa wawili pamoja na yule mvulana ambaye tuliwakuta wanapigana na uyu (akamuonyesha kidole msichana mmoja) uyu na alokuwa wanapigana nae ni mapacha uyu kulwa yule mvulana ni doto(nikasema mmmh sa mbona yule mvulana alikuwa anamuita kulwa wake dogo😄)
Hawa ni watoto wa anko wako pamoja na huyu mwingine nae anaitwa Zahara nae ni mtoto wa anko wako ana watoto watatu anko wako na aunt Yako wamesafiri kidogo wakirud nao utawaona sawa mama nyiee uyu ni ndugu yenu mwanangu kabisa Nadhani mnamkumbuka Na mmemsikia sana sawa tumemuona ila naomba uwe makini na yule doto akili zake sio nzuri nami nikajisemea nahis anavuta bangi maana smuelewi yupo kama mhuni ivi kwanza ana virasta😑basi tulienda kulala na mama wale wengine wakalala chumba kingine mamangu alikuwa hana mume wakat uo waliachana asubuhi niliamka mama akanambia nimtume asha au aman akaninunulie mswaki nilitoka chumbani nikakuta wenzangu kibarazani niliwasalimia mambo zenu? poa tu hawakuwa na story nying na mimi wala nini😂
Wakaendelea kupiga story zao nikamtuma amani mswak na dawa maana ndo niliona ana kaukaribu na mimi bibi nae akaamka tukamsalimia akaniuliza umeamkaje? kulwa alidakia wengine hatuulizwi tumeamkaje jamani mbona kazi..! ebu kelele wewee muone macho yake kama mchina😑mropokaji ropokaji tu bibi alimcharua wenzie asha na Zahara wacha wacheke mimi nilijikaza sikucheka🤭kwanza badala mfanye usafi mmekaa vikao mnapiga story sasa bibi ata ujatuuliza tumeamkaje labda tunaumwa jeee huo usafi tutaufanyaje wee mtoto wewe endelea kuleta mdomo tu bibi uyu mngemrudisha mkoleni hajakoma ujeuri asha alidakia nae nawewe kelele si nakushauri tu jamani ungeanza kujishauri wewe kuchana nywele zako hizo zilizo timu timu kama umetoka kufufuka nilishindwa kujizuia jamani tulicheka wote mpaka basi🤣🤣🤣🤣
Amani akawa ameniletea mswaki na dawa akanambia dada basi nitoe mia mbili nikampa mia tano ilobak chenji maana nilimpa elfu mbili aninunulie mswak mia5 na dawa elfu 1 basi kina kulwa wapo watu na dada zao maboss ila na nyieee dada achana nao hawa nilienda zangu kuoga nawaza hii nyumba jamani mbona vituko sasa mimi sijazoea makelele atiii😟 nilivyotoka kuoga nikamwambia mama umu Kuna vtuko akasema ujacheka bado na Kuna maudhi sana tena wakikukera usiwachekee ila tunaishi Kwa upendo tu usijali,ila doto tu ndo uwe nae makini Hawa wengine wasikushughulishe ni wanajichetua tu
ITAENDELEAAA
FULL STORY
Whatsapp 0657171961
KWETU Morogoro
( Niliweka viganja vya mikono kwenye masikio yangu na nikakandamiza kabisa lengo nisisikie maongezi ya baba...msongo wa mawazo na usingizi ukanichukua ikawa afadhali kwangu...mimi ndio wa kwanza kuamka pale sebuleni....asubuhi nikaamka nikafanya usafi...mama akaamka akafua nguo za mikojo yani kama vile anakaa na mtoto mdogo...baba akaamka akaoga akaondoka...mama anapokea simu kutoka kwa mama mdogo mke wa baba mdogo)
" Nataka nikutumie nauli nitume kwenye namba hii.
" Ndio.
" Maana nimeshindwa kutuma kwenye namba ya Shemeji kwa sababu mdogo wake ameniambia aliwai kumtumia nauli akainywea pombe.
" Mwenzangu mimi nina mtihani sana mume wangu siku izi anakunywa pombe kweli kweli.
" Ndio ndoa iyo mwenzangu kikubwa uvumilivu.
" Sawa.
( Dk 5 mbele mama akatumiwa nauli mimi niende dar kwa baba mdogo...basi sasa nikaanza kufua zile nguo afadhali afadhali kidogo hili niondoke nazo mama ananipa husia wakati mimi nafua)
" Mwanangu unaenda kwenye jiji lenye kila aina ya kabira lenye kila aina ya rangi naomba mwanangu ubaki na rangi yako usije ukajichubua cha pili ubaki na tabia yako usije kuiga Tabia za watu mwanangu wewe msichana hapo kuna kila aina wanaume watakutongoza si wazee si vijana kuwa makini mjini kuna waume za watu na kuna wachumba wa watu sitaki kusikia umeingia kwenye mahusiano mjini kuna ukimwi nje nje mwanangu nenda katulie kamsikilize baba yako mdogo kwa kila jambo.
" Sawa mama nimekuelewa siwezi kwenda kinyume na unayonihusia.
" Nitafurahi mwanangu Leo ulale mapema hili asubuhi uwai kuamka uwende mjini chengine mwanangu si unajua huu mji.
" Ndio niambie una nini?
" Usiage iwe siri hii maana vijana wakiaga wanaenda mjini wakifika uko wanakuwa mateja kumbe vichawi vimemsindikiza na uchawi wanasema asifanikiwe uyu.
" Sawa mama.
( Duu niliwaza ni mambo tu ya zamani ambayo yapo kichwani mwa mama kuaga ni kusukumiwa uchawi ila siwezi kwenda kinyume chake nilikaa kimya nikafanya usafi nikamaliza nikapika nikala ni nikaenda kulala mapema..usiku baba karudi yupo pombe mama kamfungulia ananipita sebuleni anasema)
" Uyu kalala saizi anaumwa?
" Kesho anaenda mjini.
" Aya muamshe akakojoe aludi kulala ufunge mlango sitaki iwe kama Jana nataka kuanza kugonga yeye anagonga mlango.
" Mume wangu twende ndani amina kalala.
" Mwamshe aende kukojoa nje uko mimi baba yake nataka kukojoa ndani.
( Mama ananiamsha kama mtoto vile Sana ananiambia)
" Nenda mwanangu kakojoe kwanza urudi kulala.
" Mama mimi sina mkojo.
" Nenda kajikung'ute kung'ute utatoka tu.
( Yani kanikatisha usingizi wangu kweli nilienda nje chooni nikarudi nikalala uzuri nina usingizi wa papo kwa papo asubuhi nikaondoka mama alinisindikiza...nikapanda basi na kweli nikafika dar...nimevaa mavazi ya heshima nguo mpaka chini mama mdogo akanipokea yeye kavaa nguo fupi pamoja na mimba yake akaniambia)
" Amina mwanangu mavazi aya yanakusanya uchafu hupo dar mguu unao mwanangu yanini ujibane kama upo kijijini twende dukani nikununulie nguo zinaendana na jiji.
" Sawa mama mdogo.
( sikutaka kumgomea maana ata yeye kavaa...tukaingia dukani akaninunulia suruali ya kubana mixsa tshirt...jamani sijisifi ila kumbe mimi mzuri mzigo umechomoza...akaninunulia nguo nyingi tu alafu tukarudi sasa nyumbani...namuuliza)
" Baba mdogo yupo wapi?
" Kazini yeye anarudi usiku.
" Sawa.
( Mama mdogo ni mkarimu sana akanionyesha chumba cha kulala mimi kizuri akaniambia)
" Msubili baba yako mdogo angalia tv mimi naenda kulala kidogo nasikia usingizi.
.
" Sawa mama mdogo.
( Kweli akaenda kulala mimi nipo na suruali imenibana vizuri naangalia tv nasikia raha mala nasikia kengere inalia ishara ya mtu yupo nje nikaenda kufungua mlango ni baba mdogo akaingia na gali nikafunga mlango cha ajabu baba mdogo anashuka kwenye gali ananikumbatia mwanawe ananiambia)
" Karibu mwanangu kipenzi.
" Asante baba mdogo.
( Mwanzo nilijua ukarimu tu ananikumbatia kidogo ananiachia nashangaa mikono yake inashuka chini kwenye mzigo wangu uku ananisifia)
" Mwanangu umependeza alafu umekua tumekuza kumbe mpaka uku umekuwa.
( Iyo mpaka uku mikono yake imeshika mzigo wangu yani anayatomasa na kuyasifia...nawaza nimtoe mikono au nimsikilizie nijue mwisho wake nini?) Mmmh bamdogo huyuuu
ITAENDELEA...
Full 2000
Whatsapp 0657171961
KWETU Morogoro
Mbali kabisa Na Alipo Trisha Nje Kabisa Na Nchi ya Tanzania
Ndipo anapo amkia Alex Ni Alex Huyo huyo Furaha Ya Trisha Hakua Na Kumbu Kumbu Kabisa Hakumbuki Chochote kilichotokea kwenye MAISHA Ya Tanzania Baada Ya Kulala Kwenye Koma Kwa zaidi ya Miezi 6 sàsa Aliamka Akiwa Hakumbuki Kitu Chochote
Alex kuna Baadhi ya Njozi alikua Akizipata Na Alipo Uliza Walimwambia Si Kweli Kama Ubongo wake Ulikua Unashuhurikia Vitu ambavyo Havipo kabisa
"Vipi Doctor "
"Inaonekana Atawahi sana Kukumbuka Kuliko kawaida Kwa kawaida ingechukua Hata Miaka 3 mpaka Minne Lakin Ndani ya Miezi Hii miwil aliyo Amka Kumbu kumbu zake Zinarudi kwa Haraka Sana"
"Doctor fanya Kitu basi please Hatakiwi Kujua Chochote haswa Huyo MWANAMKE wake Huyo Hatakiwi Kuikumbuka Tanzania acha Waamin alishakufa"
"Mmmh Nitajaribu Usijali"
Carlos alimvuta pembeni Doctor Ili kuongea Nae Kuhusu Hali Ya Alex
Baada Ya kuongea na Doctor Alitoka akarudi KWA Alex
"Vipi Kichwa bado Kinauma"
"Aaah Hapanaa Afadhali sàsa Hivi"
"Ooh Doctor amekuambiaje Kuhusu Kumbu Kumbu zako Hizo"
"amesema nisitumie Nguvu Kukumbuka Naingiza Kumbu Kumbu ambazo Sio Zangu "
"Kwahy umeamin au Bado Kuhusu Huyo mke"
"Aaah Nitaacha Carlos Nawashuru sana KWA Kunisaidia Ndugu Yangu "
Carlos alipomaliza Kuongea Na Simu Alitoka Nje Na Kuchukua Simu yake Akapiga Sehem
"Hallow ,,,,,eeh Joseph Bado Alex anakumbu Kumbu Kuhusu Trisha na DOCTOR Kasema anaweza Kuwahi Kukumbuka zaidi ,,,Sawa haina Shida Inabidi tumtoe hapa Haraka okay poa Poaa"
Alikata Simu na Kuondoka Eneo Lile kabisa
*****
"Inabidi Tuanze Tena Kuwatafuta HAWA Watu Serious"
Aizack aliwaambia Kina Trisha Juu ya Watu wale Wanaohisi wanajua Alex alipo au hata Mwili wake Ulipo hifadhiwa
"Trisha Yalishatokea ACHA Kulia Mdogo wangu "
"Kweli Trisha Alex Alikua anakupenda Hata Umeona Ameacha Watu wakao kuwekea umakini Kwahy anahitaji Uwe na Furaha Sio Uzuni Kipenz Relax Plzz"
DaT alimtuliza Trisha Sanaa
"Wangenionesha Hata Kaburi lake Basss Jaman 😔"
"Nitajitahidi Kuhakikisha nawapata Na watoe Maelezo wao ni kina nani na Walikutana Vipi na Alex Usijali "
Aizack alichukua Zile namba na Kutoka Ray Alimshika Mkono Kabla Hajafika Nje
"Naomba Twende Wote Aizack"
"Poa Haina Shida"
Ray na Aizack Walitoka Na Kuondoka
.
Hatua Ya Kwanza Aizack Alienda kufatilia Acc uliyotuma Pesa inamilikiwa na Nani
Haikuwa Kazi Ngumu kwake Alitumia Nafasi aliyonayo na Cheo chake Kazini
Alipewa Details Zote za Mmiliki wa Account hiyo na Anatokea Visiwa Vya Morocco
"Kwahy Huyu Anaitwa Joseph zakaria Ni Raia wa Morocco Ametokea Brazili ni Tajir mkubwa Mmiliki wa makampuni ya mafuta na vituo Vya Afya Nchin Brazil Sàsa Yeye na Alex wanauhusiano Gani Na Kwanini amtumie Trisha Kiasi Kingi hivi cha Pesa ??"
Aizack alikua akitoa Taarifa kwa Ray na George Ndo Watu walioamua Kufatilia Habar Hizo mpaka Wampe Huyo mtu
"Huyu Joseph Ndie Huyu Ambae Yupo kwenye Hii Video "
"Yeah Ninauhakika ni Yeye "
"So what's Next"
"Tuanze Kufatilia Mawasiliano Yake "
"Wazo Zuri Ray "
Baada Ya Hapo Walianza Kufatilia Namba Za Simu ambazo Zilimtumia Ujumbe Trisha
Hazikua Zinapatikana
Walirudi Bank Kufatilia Tena Namba Za Simu na walipata zingine
Haraka Walienda Idara ya Mawasiliano na Kuomba Kuitrack Hiyo Namba
walifanikiwa Na Ilionesha Mtu Au Namba Hiyo Location Inasoma Mwenge
"Huyu Mtu.kwa Sàsa Yupo Karibu sana Na Trisha "
Ray Alishtuka Na Haraka alitoa Simu yake Kumpgia Trishaa
Aizack aliwah Na Kumnyanganya Simu
"Unataka Kufanya Nini?? Hutakiwi kumshtua Huyu ataondoka Unamjua Trisha Vile ana_react sana Jamaa atashtuka Huyu "
"Kwahy Twendeni" George aliongea Huku anainuka kutoka nje
"Embu subiri "
Ray aliwasimamisha Huku Anaangalia Mahali inapoonesha Location I
"Shit Mbona Anaondoka KWA Kasi Sanaa " Aizack aling'aka Baada Ya Kuona Ni kama Joseph Anaondoka KWA Kasi sanaa Maeneo Alipo Kuwa Mwanza
"Mbona Kama Anaelekea Airport Huyu Haraka Twendeni Inuka Haraka Kabla Hajaondoka ".
Waliinuka Na Kutoka Haraka Walichukua Pik Piki Aizack na Ray na George aliendesha Peke Yake
*****
"Mama Alley sa Mtoto Atanyonya Nini Embu KULA Jaman Wanafatilia KILA Kitu kitakua Sawa Mdogo wangu Naomba Ulee"
"Dada Alex Ni Mzima Et Alex ni Mzima dada 😭"
Tangu swala Hilo Lianze Trisha hakuweza Kula Mda Wote alimfikiria Alex wake Alitaman Awe Hai Alimuota hata Alipo kuwa Macho Hali Hiyo Ndani ya Siku Tatu Trisha alianza Kunyongonyea Kabisa Mtoto ananyonya Nayeye wala Halii
Hali hii ilimpa Wakat Mgumu sana DaT ambae Alijikuta Nayeye anapoteza uzito kabisa
****
"Trisha ,Trisha , TRISHAAAAAA"
"Embu mchome sindano Doctor ya Usingiz Tena"
"Hapana Itamuharibu Leo nmemchoma Sindano Sita na anaamka Kabla ya Muda Wa Dawa Kuisha Siezi Kuzidisha zaidi"
"Aiseee Ngoja Nimchek Brother Joseph Nitarudi"
Alex Sàsa Alikua Akiweweseka na Kuita Jina La Trisha Muda Wote kama Mtu aliechanganyikiwa
Hali hii Carlos na Joseph Hawakua wanaitaka ndo mana Waliitaji Asikumbuke maisha Yake Yote Wamtenge Mbali na Trisha sasa Alex Alikumbuka Jina La Trisha Kipenz Chake
Carlos alimpgia Simu Joseph na Kumpa Taarifa,, Taarifa Hiyo Ndo ilimfanya joseph Kuondoka Haraka Mitaa Ya mwenge Kuwah Kuchukua Ndege Itakayo mfikisha kisiwani Haraka
Aizack ,Ray na George Walikua Njiani Haraka Kumuwahi Joseph kabla Hajatimka
Itaendelea..
Full 1000
KWETU Morogoro whatsapp 0657171961
👉 Iyo mpaka uku mikono yake imeshika mzigo wangu yani anayatomasa na kuyasifia...nawaza nimtoe mikono au nimsikilizie nijue mwisho wake nini?.. 👇
Bahati nzuri mama mdogo alijipalia ndani uko akawa anakohoa...baba mdogo akaniachia fasta akanishika mkono tukawa tunaingia ndani uku anasema)
" Wazazi wako wote wapo vizuri.
" Ndio baba mdogo wote wapo vizuri.
( Tukaingia ndani akaniambia)
" Nenda kalale tv utaangalia Kesho huu ni Muda wa kulala.
" Sawa baba mdogo.
( Niliingia chumbani kwangu kulala uku nawaza ivi lile kumbato la upendo tu au baba mdogo alikuwa anataka anibake?...basi kama kawaida yangu mimi kwa kulala Sijambo usingizi ukanichukua asubuhi nikaamka nikafanya usafi kote yani na gali ya baba mdogo nilisafisha...mama mdogo anaamka anaona kusafi akanisifia)
" Mwanangu umefanya cha maana sana aya kavae ile nguo nyeusi na tshirt nyeupe.
( Nilienda kuvaa sketi nyeusi mguu wangu unaonekana vizuri umbo limechongoka na tshirt nikamfata mama mdogo akanisifia)
.
" Umependeza mwanangu aya kunywa maziwa utulie uangalie tv mwanangu.
( Kweli nilikunywa maziwa na mkate yani mpaka raha...baba mdogo akatoka ndani akanishangaa mguu wangu alafu akazuga kunisalimia)
" Za asubuhi mwanangu.
" Salama shikamoo baba mdogo.
" Marhaba.
( Mama mdogo akaniambia)
" Mwanangu acha kuita baba mdogo ita baba tu watu wa zamani ndio uita ivyo baba mdogo sijui baba mkubwa ila kama kuna mtu kakuuliza uyu ni baba mzazi ndio unasema baba mdogo.
" Sawa mama.
( Baba mdogo akanywa na yeye maziwa...alafu akaniambia)
" Niite dady sawa mwanangu mpendwa.
" Sawa dady.
( Basi mimi ni mtu wa kuitikia tu...akamaliza kunywa maziwa akaniambia)
" Aya twende mjini mala moja nikakununulie simu yako.
" Sawa dady.
( Mama mdogo akaniambia)
" Usibadilishe nguo nenda nazo izo izo mwanangu Sawa.
" Sawa mama.
( Mimi nikawa namsubili baba mdogo sasa kaingia chumbani kwake sijui kubadilisha nguo...mala kaingia shoga wa mama wa mdogo akanitambulisha na yeye akanisifia nimependeza)
" Umependeza umewashinda ata wa mjini.
" Asante.
( Basi wakawa wanapiga story mimi nikaona sio vizuri wakubwa wakiongea nikae pale nikaenda kukaa nje nimeegemea gali ila yule shoga wa mama mdogo akawa anamwambia mama mdogo)
" utofauti wa mwanamke wa zamani na Sasa hivi
1 wanawake wa zamani akikosea alikuwa anatandikwa kweli kweli fimbo na haendi mahali popote kushitaki........ila wa Sasa hivi akikosea ukimpiga anaenda kushitaki ustawi wa jamii kama vile wao ndo wanamrisha
" Shoga mbona ivyo kunanini?
" Yani wasichana awana malezi mazuri si nimepita uswawi wa jamii nimeona watu kibao yani wanawake wa zamani na sasa ivi tofauti kabisa.
" Niambie wa zamani walikuwaje na wa sasa ivi wapoje.
" wanawake wa zamani ili wasipate mimba walikua wanaenda na calendar walijua siku hatari na za kawaida punde walivyohitajika na wapenzi wao .....ila wanawake wa Sasa hivi.vidonge vyao .sindano zao.vitanzi vyao....ndio maana hawana joto mawili wamejijaza masumu mwilini.
( Nilinogewa na maongezi ayo nikasogea dirishani nisikilize vizuri namsikia anaongea)
" wanawake wa zamani achana na nguo za ndani kuona gagulo lake Tu mtihani.nguo ndo usiseme kabisa yaani mwanaume akibahatika kuingia nae chumbani kila kitu ni kigeni kwake ata hamu ya kufanya tendo inakuepo.ata kwenye tendo kumtizama mwanaume usoni ilikua ngumu saana ........ila wanawake wa Sasa hivi nguo ya ndani. ndo mavazi yao ya kawaida ambayo akipiga picha lazima akae wazi umuone.......mapaja nje nje .yaani kiufupi Sasa hivi wanawake hawana sehemu za Siri Tena
( Nikasema kimoyoni au anamzunguka mama mdogo anamwambia kuusu mimi hii nguo fupi maana mapaja yapo wazi kidogo sio sana akawa anaendelea)
" wanawake wa zamani akiolewa anampenda mama mkwe kila akipika lazima akawape chakula wakwe zake .....ila wanawake wa Sasa hivi akiolewa tu abahatishe mwanaume anajiweza kipesa anamwambia mme wake tujitenge Mimi smpendi mama mkwe ana gubu......
( Nikaona kweli ata kule kwetu wapo wanawake hao uyu shoga wa mama mdogo wa moto nikatulia namsikia)
" wanawake wa zamani akipigwa na mme wake kwa makosa yake na hata akafukuzwa akaenda kwao Basi huko kwao napo atarudishwa na kipigo kwa mme wake.....ila wanawake wa Sasa hivi unakuta kakosea kabisa anapigwa na mme wake akienda kwao wazazi wake wa kumzaa utasikia Kaa mwanangu asikutese huyo mjinga ntakulea
( Mmm nikasema kimoyoni hapo ata mimi nikiolewa nikipigwa naondoka hao wa zamani walikuwa na mili mizuri ya kuvumilia kipigo..akaendelea kuongea)
" wanawake wa zamani waliwalea watoto wao kwa malezi yao ndo maana hata wadada wa zamani ni ngumu kukimbia ndoa zao ....ila Sasa hivi watoto wa kike wengi wanalelewa na house girl mpaka ukubwani .maana wanawake wa Sasa hivi wanajikuta kujifananisha na wanaume kuwa wanatafuta maisha Mara haki sawa anatoka asbh watoto wake kumuona mpaka usiku Tena kuna malezi apo ndo maana vibinti vya Sasa hivi tabia chafu kama mama zao wa haki sawa.
( Nilitamani kucheka...naona baba mdogo anakuja ananiambia)
" kaa mbele uku unataka kukaa nyuma kwani kuna mtu naenda nae mwengine.
" Sawa dady.
( Nilipanda gali sasa kukaa ile sketi imepanda juu mapaja yanaonekana ushamba tena namwambia baba mdogo)
" Samahani naomba nishuke nikachukue kanga.
" Kanga ya nini tena twende mjini mwanangu.
( Baba mdogo anawasha gali macho yapo mbele uku mimi najitahidi kuvuta ile sketi ifiche mapaja yangu..gali ikaondoka cha ajabu naona baba mdogo mkono wake kauleta kwenye paja akanigusa...nikajua labla amekosea alitaka kugusa gear ya gali nikamwambia)
" dady sio gear hii umekosea.
( Baba mdogo anaendesha gali uku ananipapasa nikaushika mkono wake nikauweka kwenye gear ya gali nashangaa ananiambia)
" Mwanangu wewe mzuri kuliko wanawake wote wa dar hii.
( Mimi kimya naona ajabu tu baba mdogo kuniambia maneno yale mala akaniambia neno zito)
.
" Mwanangu kwani kule kwa baba yako uliwai kuwa na mpenzi?
( Nikaona swali zito kwakweli nishawai kumegwa mala mbili sasa nikamuongopea tu)
" Dady mimi sijui ayo mambo ya wanaume nimetulia mwanao.
" Ni vizuri sana mwanangu ata dar hapa usiwe na mpenzi Sawa?
" Sawa dady.
( Akasimamisha gali kwenye foleni ya mataa alafu akaniambia)
" Mbona macho yapo ivyo unaumwa?
" Hapana.
( Si akawa ananipima kizamani anaweka kiganja cha mkono kwenye paji la USO uku anasema)
" Mwili wa moto utakuwa aupo Sawa au unaniogopa dady wako.
" Siogopi.
( Mataa yakaruhusu akaendesha gali sasa akarudia tena kuweka mkono kwenye mapaja yangu safari hii akawa anayaminya minya uku mkono anaupandisha uku kwa bibi)
" Dady unanigusa mimi sio gear ya gali...
ITAENDELEA
Whatsapp
0657171961
KWETU Morogoro
Jamaa yuko smart sana,muda wote anasubiri mshambuliaji afanye movement ya kwanza kisha yeye anaingia kuondoa uchafu.
Jamaa anafanya interception,sliding tackle na standing tackle kwa utulivu na umakini mkubwa sana….mbele yake mtu anaondoka ila mpira unabaki.
Kama siyo yeye jana zingefika 3 au 4.
SIJAKASIRIKA KWA SABABU NIMESHUHUDIA TIMU BORA NA MPYA IKICHEZA KWA MTINDO ILEULE WA MWAKA JANA; IKIADHIBIWA KWA MAAMUZI YALEYALE YA KIMAKOSA KAMA MSIMU ULIOPITA NA IKIONGEZA REKODI YA HASIMU WETU AMBAYO ITATUCHUKUA MIAKA MINGI KUWEZA KUIFIKIA KWA KUFUNGWA MARA SITA MFULULIZO.
NAAMINI WANASIMBA WENGI WANAOIPENDA TIMU YETU NA WASEMA KWELI WAMEKUBWA NA UBARIDI HUU ULIONIKUMBA MIMI. NAJIULIZA HAWA YANGA NI KWELI WAMETUZIDI KIMCHEZO KIASI CHA KUJIAMINI HATA WAKIAMSHWA KUTOKA USINGIZINI LAZIMA WATATUFUNGA !! HAPANA NAKATAA.
NIKIANZA NA HILI LA KUFUNGWA MARA SITA MFULULIZO; HATA INGEKUWA TUNAFUNGWA NA AL AHILY, NAMUNGO AMA APR LAZIMA KWA WATU WENYE MAPENZI NA TIMU WAJIULIZE KULIKONI; SEMBUSE KUFUNGWA NA YANGA JAMAA ZETU WA PALE JANGWANI !
SINA SHAKA KABISA NA USAJILI. TUMEPATA KIKOSI BORA NA KIPANA SAFARI HII. LAKINI KUNA KENGERE IMEANZA KULIA MAPEMA KUHUSIANA NA BENCHI LA UFUNDI. NASUBIRI KUONA MECHI MBILI ZIJAZO; JIBU SAHIHI LITAPATIKANA.
HAPO HAPO KWENYE KUFUNGWA MFULULIZO; VIONGOZI WETU WANALIPOKEAJE. AMA WANASUBIRI TUFUNGWE IFIKE MARA KUMI MFULULIZO ? HAPO NAPO MAJIBU TUTAYAPATA BAADA YA DABI IJAYO.
JUU YA HILI LA WAAMUZI IMEKUWA BAHATI KALIFANYA MWAMUZI WA KIMATAIFA. KWA HESHIMA YAKE CAF TUNAMSAMEHE BURE. ILA IWE NI ONYO KWA WAAMUZI WA MICHEZO IJAYO. EBU WATENDE HAKI BILA KUANGALIA INAWAHUSU SIMBA, MBEYA CITY, YANGA AMA COASTAL UNION. LEO SIMBA KAIKOSA NGAO YA JAMII KWA KOSA MOJA LA KIBINAADAMU; HATUJUI NANI ATAKOSA POINTI NGAPI KWA MAKOSA YA AINA HII. TUJIPE MUDA.
NIMALIZE KWA KUWAPA POLE WANASIMBA WENZANGU. NAJUA HII NI NGUMU KUMEZA LAKINI TUJIPE MOYO NA MUDA. TUNA TIMU NZURI SANA MSIMU HUU. TUONGEZE MAOMBI NA TUZIDISHE UMOJA.
MUNGU IBARIKI SIMBA.
UBAYA UBWELA; SEASON TWO.
. Hakuna aliyemshika mkono, hakuna aliyemtongoza, wala kumsifia hata siku moja. Kila mtu alimuona kama kichekesho.
Yeye mwenyewe alishazoea kuitwa majina ya ajabu, lakini moyoni kwake kulikuwa na maumivu ya kisirisiri. Aliwaza, Mbona mimi pia ni binadamu, mbona wao wanafurahia maisha yao na mapenzi yao, mimi nikibaki tu kama kipande cha sofa? Duh.
Siku moja, demu akajikaza kiume, akasema apate presha ya maisha. Akajitosa kwenda kuogelea kwenye swimming pool ya mtaa wa mabazu, akijua pengine maji yangeosha maumivu yake.
Lakini mbona? Balaa lilimkuta. Kundi la madada wa kisela, wenye roho za shetani, wakamnyemelea. Wakaanza kumrekodi live huku wakimcheka, kumshusha, wakimwambia hafai, wakimwita Titanic iliyojaa maji.
Cha ajabu zaidi, walimchukulia nguo zake zote. Yaani demu kabaki mtupu katikati ya umati, na video tayari ipo TikTok, watu wanacomment bila huruma.
Sara alijikuta anazidi kuvunjika moyo, lakini kilichowashangaza wengi, kulikuwa na jamaa mmoja pembeni, alishuhudia yote. Jamaa huyo hakucheka kama wengine. Alimuangalia Sara kwa jicho la tofauti, kama vile alikuwa anaona almasi kwenye vumbi..
Baada ya lile tukio la pool, Sara alitoroka fasta kwa taulo moja tu alilokuwa kapewa na mlinzi wa eneo. Huku machozi yakimtoka, alijisemea:
Mbona watu wana roho za paka? Mimi nimewakosea nini hadi wanifanyie hivi?”.
Akafika home, akajifungia ndani kama wiki nzima. Hakutaka kuongea na mtu, hata wazazi wake waliona kabisa mtoto wao anadidimia kisaikolojia. Lakini usiku mmoja, akatumiwa meseji isiyo na jina,
Nimeona yote. Usijione uko peke yako. Kuna mtu anakutazama tofauti.
Sara akaanza kuchanganyikiwa. Moyo ukamdanganya kuwa labda kuna jamaa kavutiwa na uchungu wake, lakini akajikaza: “Haya mambo ya mapenzi kwa mtu kama mimi ni kama kutamani mwezi.
Siku ya pili, akiwa anatoka kidogo kwenda duka la jirani, yule jamaa akajitokeza. Jamaa alikuwa mpole, anavyoongea haongei kama wanaume wasiwo wa mtaa.:
“Mimi naitwa Max, na tangu siku ile nakuona, sijakupoteza akilini. Hawa wanaokucheka hawajui dhahabu wanayotupa.”
Sara akashtuka lakini moyo ukamshtua. Kwa mara ya kwanza akaona kuna mtu anamwangalia bila huruma wala dharau. Wakaanza kuonana mara kwa mara, na polepole Sara akaanza kurudi kwenye furaha.
Sara akiwa hajui kinachoendelea, bado alikuwa anaamini Max ni msaada pekee alioumbiwa na Mungu. Jamaa alimpa faraja, akamrekebishia hata self-esteem iliyokuwa imesambaratika kama kioo kilichodondoshwa.
Follow channel zetu watssap
https://whatsapp.com/channel/0029VbAynWb7IUYY5Bfgwj2j
*___________________________________*
*SEHEMU YA KWANZA*
Leo nilikuwa bize salon natengeneza nywele, kesho ni siku yangu ya uchumba Kelvin wangu anakuja kunichumbia rasmi baada ya kumnyima utamu kwa mwaka sasa, kwa makubaliano mpaka anioe, nikakaza mpaka hapa tumefika, nikiwa salon wamama wa salon wakaanza. umbea, alianza mwenye salon, "mnamuona uyo mama aliepita hapa na mkoba wa kijivu? Watu wakajibu ndio, uku wengine tukianza kumtizama akiwa anaishia kwa mbali, "yani anahuyo mme wake, mwanaume hataki kupitwa na skirt yeye kila mwanamke anamtaka sasa pamoja na kusumbua wanawake lakini ni anahicho kibamia kama kidole sio vile vibamia vya kawaida, yani kakwake ni kama kidole, asívyo na aibu yaani mke wake kamvumilia na kibamia chake lakini ajabu mwanaume kaenda kutongoza marafiki wa mwanamke, anajua kabisa hawa ni marafiki wa mke wake, kawatongoza na kuwapitia, yani basi tu amzalilishe mama wa watu, apa kila anapopita, alikopita mmewe hawezi hata kutamba, ni aibu ni kama yuko single tu...
Wapili akajibu, "sasa si bola huyo mwenye kibamia lakini kinashughulika, kuna mbaba nakwambia ana hio yake imetepeta sio kulegea, yani mi naona bora kibamia na kinasimama kina nguvu, kinaweza kukufikisha, ila sio hawa mtepeto, ata ukiikunja inakunjika tu, unakuta una upwiru, umejiandaa jitu limelegea tu, yani awa viumbe sijui hawajui kama wanadhalilika. bora wabaki na hao hao wake zao wanaoweza kuwavumilia na vidude vyao mdebwedo, mwingine akajibu, "na nyie kwa nini mchukue vya watu, kwenu vinaweza kuwa vibamia ila mkumbuke tu kuna watu wana maumbile madogo sana, hatufanani, ukiona haikutoshi huenda umejiharibu mwenyewe kwa kuiachia ovyo ovyo, ama sio yako kila mtu na ridhiki yake, usijipeleke peleke, omba uliyoumbiwa, usiigawe Ichakae uite waume wawenzio vibamia, huenda yako iliandaliwa kwa nene, kuna mwingine yake ni ndogo kama ya mtoto na ni mkubwa, kuna wengine size yetu tuliyoandaliwa inakuja tayari tushazitembeza kila kona afu bado mnalalamika, kuna mda hatupaswi kuongea kabisa hasa ukijijua kabisa umeitembeza sehemu sio sahihi, we kwa mme wa mtu ulifikaje?...
Watu walipanic wakaanza kumchamba analeta ulokole hawajui wanaume, maneno aliyoshambuliwa yalizidi, 'wewe utakuwa uko kwenye penzi jipya sio bure, akajibu niko kwenye ndoa mwaka wa 15 huu, jamani wanawake tusikariri wanaume wanaojielewa wapo, na kuna muda wanajielewa kulingana na mtu walienae ndani, na kingine hakikisha unaolewa na mtu sahihi sio, umeolewa tu kwa sababu binafsi, kuna wanawake tunapenda vitu sio mtu, ukipata vitu anavyokupa basi tena ata hujisumbui, na unamuona wa kawaida, ukipata wakwako utakuja kunielewa, chako ata kikiwa hakina kitu hakikupi shida kama kisichochako upendo unavumilia, ila kama hukumpemda ulimpendea uchumi ama ustrike tu, hakuna namna utafurahia ndoa, kuna mambo utaona kama nikujichosha tu kumfanyia mwanaume, lakini kama ni sahihi huwezi kuchoka na yeye vile vile hawezi kuchoka, tunachotakiwa wanawake, nikuomba sana ukisha fikia umri wakuolewa hakikisha unaanza kuomba kwa ajili ya yule aliendaliwa kwa ajili yako, ata İkikuchukua miaka kumi Mungu atakusimamia Ndoa ni jambo moja kubwa sana...
Tatizo tunalichukulia poa sana, hatuweki nguvu kubwa kuliombea, kama unaona wewe umechelewa mzazi anza kuombea uzao wako toka wakiwa wadogo, wasafishie njia, ukiona umri umefika shirikiana nao waelekeze namua yakuomba kupata mtu sahihi, na sio kuangalia status, kwanini kwako anakuwa mbaya ila kwa mwingine anakuwa mwema na bora?..
Aliongea vitu vizito sana na vya maana mno, nilitoka salon na wazo jipya japo kwakuchelewa lakini sikusita kuingia kuomba kwa siku nzima iliyobaki, nikimsihi Mungu anioneshe uelekeo na kunitengenezea njia kama sio mtu sahihi azue hili mapema, nilihakikisha naomba kama sitokuja kuomba tena, niliomba utazani nimeambiwa leo ndio mwisho wa dunia...
Siku ilipita kukakucha siku ya uchumba, nilikuwa na hofu mno, nilijiandaa, tukabariki uchumba zoezi likawa limeisha salama, nikaamini kumbe niko sahihi....
Kesho yake, Kelvin mchumba wangu akaniomba nimpelekee chakula ayuko sawa, alipiga simu kwa mama, akajieleza, mama akasema ni sawa nitaenda na dada angu kupeleka chakula, kweli tulijiandaa, tukampelekea, tulikuta anamajeraha akasema usiku alipata ajali, nilimhurumia nikaanza kufanya usafi angalau niweke mazingira sawa...
Ilivyofika mida ya jioni, kuna gari zikatia timu pale, Kelvin alishtuka akaniomba niondoke haraka na dada, mpaka dada akashangaa wakati tunafika getin, tayari gari tatu zilikuwa getin, Kelvin akatushauli tujifiche, hatukuwa tunajua chochote, nikamshauli kama anahisi ni majambazi tupige simu polisi, alisita akanizuia, kabla hatujajua cha kufanya, jemba zikaingia
Chapter 2
Tulikamatwa wote sebleni, baada ya muda kidogo akaingia pande la mwanaume, refu afu kauzu mno, lilikuwa limepiga suti limependeza sio poa, sema lilianza kuvuta sigara, na ni kitu sipendi aisee, lilifika na kumuuliza Kelvin nasikia na wewe umeoa wakwako yuko wapi, Kelvin hakujibu chochote, alipigwa lakini hakujibu, tulitizamwa mimi na dada, kisha akaomba kijana wake alete video za jana, alipewa akazicheki kisha akavuta tena sigara yake,akanitizama na kucheka sana alivyoona pete kwenye kidole changu, Kelvin alianza kupiga kelele kuomba nisiguswe nisiingizwe kwenye ugomvi wao, lakini yule jamaa hakumsikiliza badala yake, akamshushia ngumi nzito, nakumuuliza Mke anauma eeh?..
Nilisikia Kelvin anaomba msamaha, na kumwambia yule kaka hatorudia tena, nilishangaa kwani kaenda kuwachokoza kina nani, na kawa chokoza nini, lakini kwa jinsi walivyokuwa wanatisha mmh, kwanza wale wengine walikuwa na silaha, afu wako na mitatuu, yaani taflani tu,ilibidi kuwa wapole tu tusikilize, nikusamehe kirahisi tu,kijana nilikuonya zaidi ya mara nne achana na mke wangu, lakini nini ulifanya?, jana nimewafumania nikakupa adhabu kidogo tu, lakini leo umemuomba pesa...
Unamtumia kufanya mambo yako, yaani pesa zangu wewe umetumiwa kuolea mwanamke wako, bro hilo ni jasho langu hivyo huyu mke ni wa kwangu, kwa sababu posa na shughuli yote ni mimi nimegharamikia kupitia mke wangu, siunajua hana kazi ee, hivyo pesa anatoa kwangu, nyie tulitizamana na dada hatuamini, iki nini tena jamani, nilishindwa kuvumilia, nikaamua kumuuliza Kelvin iki nini? Mbona sielewi?..
Yule jamaa alinisogelea akanitizama sana, kisha akasema "pole mke wangu, huyu ni tapeli, hana kazi analishwa, anavishwa, na hata hii nyumba ni jasho langu, hio toyo unayoiona ni mimi, posa, mavazi anahongwa na mke wangu, sasa leo nimechoka kuongea nataka nitumie vitendo, "Bro mimi napita na mke wako mbele yako na wewe uone inavyopenya, Kelvin aliomba sana, akapiga magoti, lakini mwamba hakukubali, nilianza kulia na kumuomba yule mwanaume, aniachie niondoke, sitaendelea na Kelvin, kuliko anifanyie unyama, mwamba hakujibu chochote, alinikamata mkono, na kuamuru vijana wake wamlete Kelvin anaponipeleka, alinipeleka chumba cha Kelvin, walileta kamba wakamfunga miguu na mikono, tena kamba za minyororo ya chuma alifungwa adi shingo, akawekwa mkao ambao anaona kitandani na akijitikisa tu ule mnyororo, unapita na shingo, alianza kulia tu hawezi hata kusogea, wale wengine wakatoka, yule mwanaume akafunga mlango, akaja na minyororo mingine, kutoka pale kwenye sofa,alinivua nguo kibabe, akaniziba mdomo nisipige kelele..
Itaendelea....
Chapter 3
Alinivua nguo, nilipambana lakini alikuwa na nguvu sio poa, Kelvin alimuomba uyo mwanaume amuachie aanze yeye kisha atamuachia, nilishtuka nikajua kabisa uyu mbuzi hakuwa amenipenda alikuwa na sababu zake tu, nilijikuta nalia tu, mdomo nimezibwa siwezi hata kuongea, nilikuwa nalia kwa uchungu, simjui mwanaume, kwa mara ya kwanza tu nabakwa tena bila huruma na mijitu miwili...
Yule mwanaume hakumjibu Kelvin, alinifunga mikono na miguu huu kule na mwingine kule kama ananibanika, alivyomaliza akanitizama kwa uchu mno, akamgeukia Kelvin, Kelvin akafurahi akaanza kumshukuru uyo mwanaume kwa kukubari ombi lake, lakini jamaa hakujibu kitu alimsogelea akamziba mdogo kama mimi ili asipige kelele, Kelvin alitoa macho uku machozi yanamtoka...
Alivyotaka kuleta vurugu mnyororo wa shingoni ukamkaba ikabidi atulie, yule mwanaume alijivuta adi kwangu, akaanza kunitomasa mimi ata akili haipo nikawa natoa tu machozi, alihangaika bila mafanikio, akaamua kitumia mafuta ili ipite akashangaa inagoma, alinitizama kama haelewi hivi, akajua ni mchezo tu nimebana, akalazimisha, nyie huo uchungu niliousikia nilijikuta nalia bila matumaini, mwamba akawa anaisifia vibaya mno, uku anamtukana Kelvin kipi kimemfanya achit mtoto niko safi kabisa, alimtukana majina mabaya yote anayoyajua kuna muda anaunguruma kwa utam kama hana akili vizuri mimi apo nikawa nasikia kama pumzi zinakata kabisa, alivyotoa akashangaa damu, alinitizama kwa mshangao akanihurumia, kisha akanifungua minyororo yake, sikuwa hata na nguvu za kuinuka, wala kujisogeza, shuka imechafuka vibaya mno, yule mwanaume alionekana kuchanganyikiwa, alinibeba nakuniogesha, apo nimachozi tu yananitoka ata sauti sina tena na siongei...
Alininisafisha nikawa naumia sitaki ata aniguse uko, akawa ananipuliza utazani panapoa, uku ananipa pole, alimaliza, akanivisha nguo, nakunibeba akatoa zile shuka nakunipakatisha nizibebe, afu akanibeba kunitoa umo chumbani, apo Kelvin ameiva kama nyanya iloiva kupitiliza, hatamaniki, adi uso umevimba Manyanya akasome...
Nilitolewa nikaingizwa kwenye gari, akatoka apo dada anatahamaki, tu mimi ata nguvu za kutoroka nikimbie sina, alinilaza kwenye gari akalock, afu akamfata dada na kuwapa maelekezo walinzi wake, Alimwambia dada atoe maelekezo ya kwenda nyumbani dada akaogopa akagoma ya kutoa maelekezo, walinzi wakamtishia ila yule mwanaume akawazuia...
Alichukua simu akampigia mtu, akapewa maelekezo akampa dereva maelekezo safari kwenda kwetu ikaanza, tulifika mapema make aliomba tuwahi, haikuchukua muda apo ilikuwa saa tatu usiku, tumefika tunakuta baba na mama wanatoka waje kutufata, walijua tumesharudi lakini wamefika nyumbani, wanapewa taarifa, hatujarudi bado kupiga simu, no haizipokelewi, wakapata mashaka, na kuamua kuinuka kututafuta....
Walivyoona gari zinaingia wakapata mashaka, walishuka dada na uyo mwanaume, mimi nilizuiliwa, kibaya zaidi hata kutembea nilikuwa siwezi, mama akawauliza, Tina yuko wapi? Yule mwanaume akaomba waongee yeye na wazazi, Baba na mama hawakukataa, alijitambulisha, "kwa majina naitwa Ahmad Hussen, ni CEO wa kampuni ya PEPS..
Aliwasimulia mkasa mzima wa Kelvin kutembea na mke wake, na hata pesa za uchumba na kila kitu, na kwa hasira akawa amefanya maamuzi mabaya, lakini kanipenda, anaomba ridhaa anioe usiku huu huu, wazazi waligoma wao ni wakristo, Ahmad aliomba kwa sasa wamruhusu kuna mambo aweke sawa kisha mambo ya dini wataongea
Chapter 4
Wazee walipinga lakini badae walikubali, ubani ukachomwa, nikaozeshwa, wakati huo ninahali mbaya mno, nalazimishwa tu, ndoa ilivyoisha Ahmad alihisi nimepata homa, moja kwa moja akaniwahisha hosptal, nilikuwa hoi ilibidi nilazwe, nililazwa siku tatu, zote hizo sikuwahi kuongea neno hata moja ni kulia tu, upande wa Kelvin walimuachia na kumpa onyo akae mbali na mimi, uyo mwingine aliachiwa kama anamtaka amchukue, ila alipewa onyo, akirudia watampa anachokitaka, Kelvin alichukia akikumbuka kajifanya mwema kwa muda sana ili kunipata, alijikuta analia kwa uchungu mno, alitamani yeye ndo awe wa kwanza kwangu, alihisi maumivu makali mno, alipanga kutafuta namna ya kumkomesha Ahmad...
Upande wangu Ahmad alikuja nakutaka kunilisha chakula nikagoma, akalazimisha na kunibana mpaka nikala, nilianza kumtukana kwa hasira, akasema, "wewe tukana tu, ndo furaha yako mke wangu, ukimaliza jua nakupenda sana, alinikiss kisha akaenda kufatilia taratibu za kuondoka nilikuwa nimeshakaa sawa, alikuja akanishika mkono nikawa sitaki, lakini hakuniachia, alinipeleka kwake, akanitambulisha kisha akanipeleka chumbani, nilivyojua nichumbani nikaanza kuogopa, alielewa hofu yangu akanikumbatia huku ananimbembeleza...
Naelewa hofu yako Aziza wangu, ila usijari haitakuwa hivyo unavyowaza wewe, relax apa ni kwako kuwa na amani, na haitauma tena, lakini pia jifunze kunipenda mmeo ruhusu kunitizama kivingine sio kwa chuki ili moyo wako unipokee, nilimtizama kwa hasira lakini hakujali alinichumu kibabe, akanionesha bafu, uku ananiuliza naweza nikakuogesha mke wangu?...
Nilimkata jicho na kukataa kabisa, niliingia bafuni nikaoga na kuvaa uko uko, nguo zile zile nilivyotoka tu, mwanaume akanitizama nakuniambia nitoe izo nguo, akanionesha kuna nguo nyingi tu kwenye kabati kaninunulia, lakini pia sitakiwi kuvaa nguo fupi tena, "na kuanzia kesho utaanza kujifunza Dini, na namna ya kuvaa, kwa leo nakusaidia, nilimuomba apishe nitavaa mwenyewe, lakini alinisogelea nakusema anatamani kunivisha mwenyewe, niligoma, make apo sikuwa hata na nguo ya ndani nilifua nikitoa tu gauni, nitabaki wazi...
Itaendelea....
Chapter 5
Hakunisikiliza alizidi kunisogelea, alinifikia nakulazimisha kunivua nguo, akidai anataka niondoe hofu na nimzoee, alinitoa nikabaki wazi kama nilivyozaliwa, niliona aibu nikawahi kuvuta gauni nivae, wakati huo yeye aliganda akinitizama kwa matamanio sana, nilivaa gauni faster ndo akashtuka, akatoa nguo za ndani anivishe nikagoma, aliniacha na kunikumbatia uku anasema, "Aziza mke wangu nakupenda sana, naomba nipate muda na wewe kidogo tuongee, leo nitakuacha upumzike kwa sababu ndo umetoka hosptal, ila naomba ujiandae kesho tutasafiri nimeshaandaa kila kitu, tutatoka kwa muda na huko tutapata muda mzuri wa kujuana zaidi na kupanga mambo yetu, sikujibu kitu, aliniachia kisha akanitizama machoni nilivyokwepesha macho, akanishika kiuno na kunipapasa, nilimshika nimtoe, akasema "kiuno cha mtoto wa kike hakipendezi kuwa tupu, kesho nitafanya mpango kipendeze, wewe sio nyoka mke wangu, sikumuelewa ata nikakaa tu kimya, aliniomba nivae nguo ya ndani twende seblen tukale....
Nilichukua nikaenda kuvalia bafuni alitabasam tu, nilitoka akanishika. Mkono na kunituliza kitandani, akanisaidia kufunga mtandio kichwani, akinisisitiza, nisiache ata nzi akaona nywele zangu, angependa yeye peke yake aone nikiwa wazi, alinibana vizuri aisee kasura kalivutia adi mwenyewe nikatabasamu, kuna namna nilivutia na shungi, aliniinua na kunishika mkono tushuke chini kula....
Niligoma kushikwa mkono lakini, Ahmad hakukubali, alitumia nguvu zake kuukatalia, ilibidi tu nimuache, tulishuka tukakuta chakula tayari. kiko mezani, wengine wote walitupisha nikabaki mimi na Ahmad tu, nilikuwa siko sawa kiakili bado siamini kama nimeolewa na mtu nisiemjua pamoja na maombi yangu yote nilianza kumlaumu sana Mungu kimya kimya, huku nawaza au nilikosea kuomba, nilikosa jibu nilikula kidogo tu, Ahmad akanizuia lakini. sikumsikiliza, akanirudisha alichukia kwenye nakusimama chakula kibabe,nilimuogopa, nikimtizama adi sura imebadilika, nilikula bila kuambiwa kula, yani kimya kimya, tena haraka haraka, mpaka mwenyewe akanizuia...
Alinipa maji nikanywa, nilikuwa nimeshiba adi naumia, Ahmad alinitizama kwa huruma, akainuka nakunibeba mpaka chumbani, alinilaza kisha akatoka, hakuludi mpaka asubuhi, kulikucha akaja na kukuta nimeshaoga na kubadili nguo, ila kichwani ikawa kipengere, aliniomba tuondoke muda sio rafiki, kuhusu darasa la dini, nitaanza kujifunza tukirudi, nilitamani kukataa lakini kwa jinsi nilivyokuwa namuogopa nilikaa kimya tu, alinifunga shungi, akaniwekea na kibanio, akataka kufunua gauni nikagoma, akanionesha shanga fulani ivi ilikuwa nzuri imetengenezwa kwa material mazuri na rangi ilikuwa nzuri mno...
Alidai anataka kunivisha, anapenda niwe na kiuno cha kike, niliomba nivae mwenyewe, aligoma akanibana na kunivisha, uku anapumua kwa shida utazani anaumwa kifua kinambana..
Alimaliza akanitizama na kutabasamu, "nakupenda Aziza mke wangu, nashukuru nimekuwahi kabla yule fedhuri hajakuchafua, hakustahili hata kidogo, sijui ilikuwaje ukaangukia kwenye mikono yake, wewe ni mwanamke bora, safi umenivutia sana, nashukuru Allah, kwa kuniletea wewe kwenye maisha yangu, hujui tu umenipa sababu ya kuishi, kupambana, na kukulinda usijekuharibika, nakuomba mke wangu, usije kuwa kama Ashura, alitabasamu, lakini kwa uchungu, kisha akaendelea kuongea, nipende, usinichukie mimi sio mbaya, mimi sio adui yako, sijakuoa kwa bahati mbaya naomba twende muda unaenda tukifika Dubai nitakuelewesha kila kitu, nilishtuka Dubai tena...
Kabla sijamaliza mshtuko wangu, akanishika mkono akaniweka kitandani, nakubeba begi nililoandaa usiku aliniambia niandae nguo zake na zangu kwenye begi, ila sikujua kama ni Dubai, alishika begi, akaniinua namimi na kuanza kutoka na mimi uku mkono mmoja kashika beg, mwingine kanishika mimi, tulitoka ila tukiwa njiani, tulishangaa tunatekwa mchana kweupe, watekaji walikuwa wanne, na wote wamefunika sura ni macho tu yanaonekana, walifika nakunichukua mimi tu, Ahmad alivyoanza kupambana wakampiga risasi, muda huo vijana wake pia wakawa wanapambana....
Itaendelea....
Soma mpaka mwisho kwa sh 1000
𝑵𝒂𝒎𝒃𝒂 𝒚𝒂 𝒎𝒂𝒍𝒊𝒑𝒐 𝑽𝒐𝒅𝒂𝒄𝒐𝒎 𝑴 𝒑𝒆𝒔𝒂 0743433005 𝒋𝒊𝒏𝒂 𝑨𝑮𝑶𝑺𝑻𝑰𝑵𝑶
𝑼𝒌𝒊𝒍𝒊𝒑𝒂 𝒏𝒊𝒄𝒉𝒆𝒌𝒊 𝑾𝒉𝒂𝒕𝒔𝑨𝒑𝒑 𝒌𝒖𝒑𝒊𝒕𝒊𝒂 𝒏𝒂𝒎𝒃𝒂 +255743433005 𝒏𝒊𝒌𝒖𝒉𝒖𝒅𝒖𝒎𝒊𝒆
wangu anakuja kunichumbia rasmi baada ya kumnyima utamu kwa mwaka sasa, kwa makubaliano mpaka anioe, nikakaza mpaka hapa tumefika, nikiwa salon wamama wa salon wakaanza. umbea, alianza mwenye salon, "mnamuona uyo mama aliepita hapa na mkoba wa kijivu? Watu wakajibu ndio, uku wengine tukianza kumtizama akiwa anaishia kwa mbali, "yani anahuyo mme wake, mwanaume hataki kupitwa na skirt yeye kila mwanamke anamtaka sasa pamoja na kusumbua wanawake lakini ni anahicho kibamia kama kidole sio vile vibamia vya kawaida, yani kakwake ni kama kidole, asívyo na aibu yaani mke wake kamvumilia na kibamia chake lakini ajabu mwanaume kaenda kutongoza marafiki wa mwanamke, anajua kabisa hawa ni marafiki wa mke wake, kawatongoza na kuwapitia, yani basi tu amzalilishe mama wa watu, apa kila anapopita, alikopita mmewe hawezi hata kutamba, ni aibu ni kama yuko single tu...
Wapili akajibu, "sasa si bola huyo mwenye kibamia lakini kinashughulika, kuna mbaba nakwambia ana hio yake imetepeta sio kulegea, yani mi naona bora kibamia na kinasimama kina nguvu, kinaweza kukufikisha, ila sio hawa mtepeto, ata ukiikunja inakunjika tu, unakuta una upwiru, umejiandaa jitu limelegea tu, yani awa viumbe sijui hawajui kama wanadhalilika. bora wabaki na hao hao wake zao wanaoweza kuwavumilia na vidude vyao mdebwedo, mwingine akajibu, "na nyie kwa nini mchukue vya watu, kwenu vinaweza kuwa vibamia ila mkumbuke tu kuna watu wana maumbile madogo sana, hatufanani, ukiona haikutoshi huenda umejiharibu mwenyewe kwa kuiachia ovyo ovyo, ama sio yako kila mtu na ridhiki yake, usijipeleke peleke, omba uliyoumbiwa, usiigawe Ichakae uite waume wawenzio vibamia, huenda yako iliandaliwa kwa nene, kuna mwingine yake ni ndogo kama ya mtoto na ni mkubwa, kuna wengine size yetu tuliyoandaliwa inakuja tayari tushazitembeza kila kona afu bado mnalalamika, kuna mda hatupaswi kuongea kabisa hasa ukijijua kabisa umeitembeza sehemu sio sahihi, we kwa mme wa mtu ulifikaje?...
Watu walipanic wakaanza kumchamba analeta ulokole hawajui wanaume, maneno aliyoshambuliwa yalizidi, 'wewe utakuwa uko kwenye penzi jipya sio bure, akajibu niko kwenye ndoa mwaka wa 15 huu, jamani wanawake tusikariri wanaume wanaojielewa wapo, na kuna muda wanajielewa kulingana na mtu walienae ndani, na kingine hakikisha unaolewa na mtu sahihi sio, umeolewa tu kwa sababu binafsi, kuna wanawake tunapenda vitu sio mtu, ukipata vitu anavyokupa basi tena ata hujisumbui, na unamuona wa kawaida, ukipata wakwako utakuja kunielewa, chako ata kikiwa hakina kitu hakikupi shida kama kisichochako upendo unavumilia, ila kama hukumpemda ulimpendea uchumi ama ustrike tu, hakuna namna utafurahia ndoa, kuna mambo utaona kama nikujichosha tu kumfanyia mwanaume, lakini kama ni sahihi huwezi kuchoka na yeye vile vile hawezi kuchoka, tunachotakiwa wanawake, nikuomba sana ukisha fikia umri wakuolewa hakikisha unaanza kuomba kwa ajili ya yule aliendaliwa kwa ajili yako, ata İkikuchukua miaka kumi Mungu atakusimamia Ndoa ni jambo moja kubwa sana...
Tatizo tunalichukulia poa sana, hatuweki nguvu kubwa kuliombea, kama unaona wewe umechelewa mzazi anza kuombea uzao wako toka wakiwa wadogo, wasafishie njia, ukiona umri umefika shirikiana nao waelekeze namua yakuomba kupata mtu sahihi, na sio kuangalia status, kwanini kwako anakuwa mbaya ila kwa mwingine anakuwa mwema na bora?..
Aliongea vitu vizito sana na vya maana mno, nilitoka salon na wazo jipya japo kwakuchelewa lakini sikusita kuingia kuomba kwa siku nzima iliyobaki, nikimsihi Mungu anioneshe uelekeo na kunitengenezea njia kama sio mtu sahihi azue hili mapema, nilihakikisha naomba kama sitokuja kuomba tena, niliomba utazani nimeambiwa leo ndio mwisho wa dunia...
Siku ilipita kukakucha siku ya uchumba, nilikuwa na hofu mno, nilijiandaa, tukabariki uchumba zoezi likawa limeisha salama, nikaamini kumbe niko sahihi....
Kesho yake, Kelvin mchumba wangu akaniomba nimpelekee chakula ayuko sawa, alipiga simu kwa mama, akajieleza, mama akasema ni sawa nitaenda na dada angu kupeleka chakula, kweli tulijiandaa, tukampelekea, tulikuta anamajeraha akasema usiku alipata ajali, nilimhurumia nikaanza kufanya usafi angalau niweke mazingira sawa...
Ilivyofika mida ya jioni, kuna gari zikatia timu pale, Kelvin alishtuka akaniomba niondoke haraka na dada, mpaka dada akashangaa wakati tunafika getin, tayari gari tatu zilikuwa getin, Kelvin akatushauli tujifiche, hatukuwa tunajua chochote, nikamshauli kama anahisi ni majambazi tupige simu polisi, alisita akanizuia, kabla hatujajua cha kufanya, jemba zikaingia
Chapter 2
Tulikamatwa wote sebleni, baada ya muda kidogo akaingia pande la mwanaume, refu afu kauzu mno, lilikuwa limepiga suti limependeza sio poa, sema lilianza kuvuta sigara, na ni kitu sipendi aisee, lilifika na kumuuliza Kelvin nasikia na wewe umeoa wakwako yuko wapi, Kelvin hakujibu chochote, alipigwa lakini hakujibu, tulitizamwa mimi na dada, kisha akaomba kijana wake alete video za jana, alipewa akazicheki kisha akavuta tena sigara yake,akanitizama na kucheka sana alivyoona pete kwenye kidole changu, Kelvin alianza kupiga kelele kuomba nisiguswe nisiingizwe kwenye ugomvi wao, lakini yule jamaa hakumsikiliza badala yake, akamshushia ngumi nzito, nakumuuliza Mke anauma eeh?..
Nilisikia Kelvin anaomba msamaha, na kumwambia yule kaka hatorudia tena, nilishangaa kwani kaenda kuwachokoza kina nani, na kawa chokoza nini, lakini kwa jinsi walivyokuwa wanatisha mmh, kwanza wale wengine walikuwa na silaha, afu wako na mitatuu, yaani taflani tu,ilibidi kuwa wapole tu tusikilize, nikusamehe kirahisi tu,kijana nilikuonya zaidi ya mara nne achana na mke wangu, lakini nini ulifanya?, jana nimewafumania nikakupa adhabu kidogo tu, lakini leo umemuomba pesa...
Unamtumia kufanya mambo yako, yaani pesa zangu wewe umetumiwa kuolea mwanamke wako, bro hilo ni jasho langu hivyo huyu mke ni wa kwangu, kwa sababu posa na shughuli yote ni mimi nimegharamikia kupitia mke wangu, siunajua hana kazi ee, hivyo pesa anatoa kwangu, nyie tulitizamana na dada hatuamini, iki nini tena jamani, nilishindwa kuvumilia, nikaamua kumuuliza Kelvin iki nini? Mbona sielewi?..
Yule jamaa alinisogelea akanitizama sana, kisha akasema "pole mke wangu, huyu ni tapeli, hana kazi analishwa, anavishwa, na hata hii nyumba ni jasho langu, hio toyo unayoiona ni mimi, posa, mavazi anahongwa na mke wangu, sasa leo nimechoka kuongea nataka nitumie vitendo, "Bro mimi napita na mke wako mbele yako na wewe uone inavyopenya, Kelvin aliomba sana, akapiga magoti, lakini mwamba hakukubali, nilianza kulia na kumuomba yule mwanaume, aniachie niondoke, sitaendelea na Kelvin, kuliko anifanyie unyama, mwamba hakujibu chochote, alinikamata mkono, na kuamuru vijana wake wamlete Kelvin anaponipeleka, alinipeleka chumba cha Kelvin, walileta kamba wakamfunga miguu na mikono, tena kamba za minyororo ya chuma alifungwa adi shingo, akawekwa mkao ambao anaona kitandani na akijitikisa tu ule mnyororo, unapita na shingo, alianza kulia tu hawezi hata kusogea, wale wengine wakatoka, yule mwanaume akafunga mlango, akaja na minyororo mingine, kutoka pale kwenye sofa,alinivua nguo kibabe, akaniziba mdomo nisipige kelele..
JE NINI KITAENDELEAAA ....
Mtu akitaja neno Zanzibar, kinachotakiwa kuja kichwani kwako haraka ni harufu ya karafuu, mandhari ya mji mkongwe na fukwe nzuri, ndiyo; hiyo ni kwa wanaoijua Zanzibar vilivyo kuanzia Unguja; Pemba na visiwa vyake.
Lakini kwa wengi wetu ukitajiwa Zanzibar, kichwa kitavuta taswira za fukwe safi, mitumbwi, minazi, wapemba na mavazi yao na ile lafudhi yao maridhawa ya Kiswahili.
Hiyo ni kwao hao watu wengine, lakini si kwa mzee Damian Shirima, yeye kwake neno Zanzibar lilimtia ashki na midadi kumpanda maana taswira iliyomjia ni ya Naifathy binti wa Kipemba anayekutana naye akiwa Mangi huko Zanzibar miaka mingi mno iliyopita.
Nini alichofanyiwa akiwa Zanzibar na binti huyu kiasi cha kumfanya apagawe na akili zimruke kama Zamwamwa ilihali angali mzee wa miaka sitini na mke na watoto kajaliwa.
Hii ndiyo simulizi yenyewe, tulia uisikie.
Damian katika hangaika zake za kimaisha jijini Arusha aliamua kufunga safari kujaribu maisha mahala pengine nchini. Naye kama ndugu zake wa Kichaga mishipa yake ilipitisha damu yenye vinasaba vya biashara na uthubutu.
Alihitaji sehemu nzuri kwa mtaji wake mdogo,
Kati ya mikoa yote iliyopo Tanzania akaamua kwenda Zanzibar akiwa hana ndugu huko wala hajuani na mtu yoyote.
Naye alivutwa Zanzibar na taswira zilezile zilizomjia kichwani mtu mgeni, yaani fukwe, minazi, majengo yaliyochakaa na wapemba. Hakuwahi kuwaona kabla isipokuwa kwenye vipande vya gazeti tu, ukizingatia maneno ya Arusha vijijini aliyokulia yeye palikuwa hapana wageni sana kutoka mikoa mingine.
Kwa hiyo basi mchaga aliyetumwa pesa akaanza safari yake ya basi akaingia Dar na kujionea jiji hilo enzi hizo likimetameta kuanzia magomeni, akaogopa watu hapo, aliona watamzidi ujanja, akalala kwa tahadhari siku ile kwenye nyumba ya wageni.
Kichwani hakuwa na ujuzi wowote zaidi ya kujua kuzitunza pesa, kuzihesabu pesa, kuzitumia kwa nidhamu pesa na pia kuzitafuta pesa hususani kupitia kazi ya dukani, kwani kuuza duka alijifunzia kwenye duka la mjomba wake Urio; duka la kwanza kijijini baada tu ya mkoloni kuondoshwa.
Damian kijana wa miaka ishirini na tatu, peke yake sasa alfajiri alipanda boti pale bandarini, safari ya kwenda Zanzibar ikamtimilia, hapo ndipo alianza kuona wanawake wachache wa Kizanzibari waliokuwa wakirudi makwao. Aliwashangaa mno na kuwasikiliza lugha yao. Akaona wanaongea vizuri mno na walaini kwa mitazamo ya rangi zao. Lakini walivaa mabaibui akagundua hawakuwa na mizigo kuwafikia wanawake wa Kiarusha hivyo hawataweza kumfilisi kiduka chake kwa kishawishi.
Boti ilianza kuondoka na kuingia baharini, mawimbi ya Msasani yakiichezesha boti kama kawaida na kuwafanya abiria kadhaa waombe mifuko. Hata Damian alijisikia kichefuchefu naye akakaa na Malboro lake akikaza meno kwa kadri anavyoweza ili asitapike.
“pole kaka, kwani hii ni safari yako ya kwanza kwenda Unguja!?” aliongea kwa lafudhi ya Kipemba mwanamama Fulani aliyeketi pembeni ya Damian huyu alikuwa amevaa ushungi wake vizuri lakini hakuvaa baibui.
“ ndiyo,” alijibu Damian akijitahidi asiongee maneno mengi maana alihisi tumbo lake limemchachamaa zaidi akajizibia ufuko na kuinama akitabika tapiko lake.
Punde saa ile abiria wengi wakafanya hivyo na mchafuko wa tumbo ukaisha kadri walivyozidi kusonga mbele ndani zaidi ya bahari indi.
Safari ikaenda kwa masaa takribani matatu na vidakika vyake, wakatia nanga hapo bandari wakashuka aridhini na Damian kuingia rasmi humo kisiwani hiyo ikiwa ni mapema mchana.
Kichwani alifahamu kuwa alipofika ni mjini, hivyo hakupaswa kuwa hapo, alitaka mahali mbali mno na mjini.
Akapanda usafiri asiouzoea wa vigari vya chai maharagwe, akaenda mbali na mbali akitajiwa majina asiyoyajua, yakiwemo Unguja Ukuu, Jozani, akakutana na njia panda ya Kizimkazi Dimbani akanyoosha Paje, na kuambaa na ufukwe hadi Jambiani hapo ndiyo akashuka akasema: hapa nitakaa na kufanya biashara. hapo ndiyo akaomba sasa kupata nyumba ya kupanga akitafuta madalali kwenye ofisi zao.
Akazungushwa jioni ile na kupata chumba cha elfu tatu kizuri lakini masharti lukuki ambayo hakuwahi kuyasikia tangu azaliwe.
Subiri usitoke.
“Ami nitakupeleka kwenye nyumba nyingine, lakini sasa hivi, danganya kidogooo, utakosa pa kulala!” aliongea huyo dalali aliyezungumza kipemba baada ya kutoka na Damian nyumba ya kwanza aliyoambiwa masharti lazima awe ameoa, marufuku kulewa na kurudi mwisho saa moja usiku.
Damian alimwambia ukweli yule baba mwenye nyumba kuwa sharti la kutolewa angelitekeleza mara moja, lakini suala la kuchelewa kurudi eti mwisho saa moja usiku kwa mwanaume mtafutaji lingemshinda na kama haitoshi alisema kuwa hajaoa hivyo hiyo nyumba waliishindwa. “vyumba vipo. Ila masharti hapa, lazima uwe umeoa, uswali swala tano, usilewe na kuleta nguruwe maana watu wa bara sie twawajua, wakorofi,” alisema mzee Abdullah. Huyo ni mwenye nyumba mwingine waliyeenda kumuona na dalali.
“Mzee mimi ni mkristo, ila silewi, wala sitaleta nguruwe nyumbani kwako, sio mkorofi, nimeoa ila mke wangu yupo Arusha, nimekuja huku kote kutafuta mzee wangu, sina hata ndugu, nategemea kama nitaishi hapa nyinyi ndiyo mtakuwa ndugu zangu,” alisema Damian.
“nimekupenda, umekuwa mkweli, wengine wanajifanya kubadilisha majina kujifanya waislamu wakifika huku, sasa sawa, chumba ndiyo hiko kione, bei yangu ni elfu mbili kwa mwezi,” alisema Mzee huyo aliyeonekana mstaarabu walau. Dalali wa watu akashusha pumzi maana walizungumka mno.
Wakaona chumba kizuri haswa kikiwa kimesilibwa vyema kuta zake kwa dongo na chokaa, ikawa kama kuta za mji mkongwe, kulikuwa na miti mikubwa darini na sakafu lake lilikuwa limekomaa na halina vumbi huku ukutani kukirembwa na simbi mbalimbali za baharini.
wakalipana pale na kuandikishana, Damian akaweka vitu vyake ndani na kwenda kununua mkeka nje, akaingia kulala haraka maana alikuwa amechoka mno kwa safari ndefu.
Asubuhi iliingia na sasa nyumba iliamka. Ilikuwa kubwa, chumba chake kilijaa mwangaza na kuwa kizuri. Akafungua mlango na kuutia komeo, akakutana na vyumba vikuukuu vingi na watoto lukuki wakichezacheza hapo koridoni.
“saa aleku,”
“aleko musalam,” aliitikia Damian akigundua huko hakukuwa na shikamoo
Akatoka barazani na kumuona Mzee Abdullah mwenyewe akivuta kiko.
“Karibu, Damian, umeamkaje, hali waionaje visiwani, njoo unihadithie ya huko kwenu bara haaahaa,” aliongea kwa harakaharaka Mzee Abdul.
Damian akagundua mzee huyo alikuwa mcheshi sana, akakaribishwa chai akaionja, ilikua tamu sana, Damian hakuwahi kuinywa tangu azaliwe.
“Enhee kijana umekuja kufanya biashara gani huku?” aliuliza Mzee Abdullah, Damian akamwambia malengo yake ya kufungua duka. Mzee Abdullah alifurahi mno na kumtaka azunguke kujionea mandhari na kumwambia kuwa mahali popote aendapo ikiwa atakutana na kikwazo chochote aseme ametokea kwa mzee Abdullah wa Jambiani ataachwa salama kabisa, kwa sababu alidai yeye ni mtu mashuhuri mno.
Kweli Damian siku hiyo alioga na kuvaa nguo zake akachukua shilingi mia tano na kuzunguka nayo akipanga kununua vyombo, ndoo, kandili, na vitu vingine vidogovidogo,. Huku nikisavei eneo zuri la kuweka duka lake.
Alizunguka akigundua watu wa fukwe walivyo; wanawake hawakuonekana mitaani, na wakionekana wachache hujitanda kwa kuvaa kininja kabisa, wanaume wengi walikuwa wamekaa vivulini wakichambua nyavu zao, Mtu mmoja akamwambia Damian kuwa nyakati za usiku wanaume wote kijijini hapo huondoka kabisa kwenda kuvua na majumbani huwaacha wake na watoto tu, wao huwa baharini wakivua samaki hadi alfajiri mno ndiyo hurudi.
Kijiji kingine kilikuwa cha changanyikeni, walilima na kufanya shughuli nyingine pia ikiwemo utalii na ufugaji, hivyo basi Damian biashara yake akaona ingeweza kufanyika vizuri ikiwa duka atafungua mahali katikati ya kijiji cha wavuvi na cha changanyikeni.
Loh akabahatika kuona mahali safi kabisa kwa duka lake, akapakariri na kutafuta eneo jingine tena, ili awe nayo kama matatu hivi, kweli aliyapata na kuyanakiri yote tena yalikuwa karibu na barabara ya magari maana yake itakuwa rahisi hata bidhaa kuzileta kutoka duka la jumla.
Damian akarudi sasa, akiwa nyumbani pale nje kibarazani, akagundua sasa uzuri wa Zanzibar kwa kujionea wanawake walau sura zao, maana majumbani walivua uninja na kuacha nyuso zao. Loh walikuwa wazuri, nusu waarabu nusu wa afrika.
Wiki ilipita sasa Damian akiwa amelisimamisha duka lake vizuri. Akajua bidhaa zipi wanazozipenda wateja wake, kuanzia mikate ya boflo, unga wa ngano, dengu, tambi na ndoano, mpaka mafuta ya taa, iriki, mdalasini na asali.
Akaanza kuzoeleka kijijini wengi wakimuita kwa jina la Mangi na ndiyo hivyo walipendelea na pengine Damian akawa ndiyo Mangi wa kwanza huko visiwani.
Wiki ya pili iliingia akaanza kuona faida maana aliweza kuzungusha bidhaa zake haraka mno, yote hayo yakifanya matarajio yake ya kujichanua kibiashara sehemu ile kuwa ni makubwa mno.
Kwa wiki zile chache hizo alijikuta akijulikana na watu wengi sana, akajua pia sehemu ya kupata chakula, na mahitaji mengine madogomadogo, lakini yote kwa yote hakuwa ametazamia timizo la hitaji moja tu kubwa.
Awali hakuliona la lazima kulitimiza isipokuwa sasa, maana lilimfanya asilale na lilimtafuna ndani kwa ndani, nalo si jingine bali ni hitaji la kufanya mapenzi.
Ona Damian alikuwa mtu mzima, alikula chakula cha moto, nacho kikameng’enywa na kufanya mwili urutubishwe kwa protini na nishati joto, zote hizo ni malighafi muhimu katika kutengeneza mbegu za kiume na homoni zake chochezi.
Wiki za kwanza hakuona tabu sana, lakini kadri siku zilivyozidi kwenda na tena kwa kula samaki wa pwani huyo wamuitaye Pweza, tabu ilimuandama, dudule likamsimama kutaka suluhisho.
Vinyweleo vilidinda kila sauti ya kike iliposikika kwenye kingo za kuta za chumba chake, pengine ni mke mdogo wa Mzee Abdullah au bintiye kindakindani, Sabrina.
Hakujua lakini hakika alihitaji kutumbukiza toto lake tunduni. Usiku huu akachukua mafuta ya mgando na kulisugua rungule akilifanya dhihaka ya njia mbadala, likafukuta na kutema hasira zake kisha likapoa walau, lakini Damian alijua kesho yake hamu ingerudi kwa kasi mno Zaidi ya siku hiyo.
Kama mwanaume alijua njia pekee ni kunjunja tu, laiti kama angekuwa Arusha angeweza kutembea na mwanawake kirahisi tu, lakini Zanzibar, Unguja huko Jambiani, wanawake adimu mno, hata dukani wanafika wanaume tu, atampata wapi mwanamke amtibie! Aliwaza Damian.
ITAENDELEA/LIKE ZIKIWA NYINGI SANA SANA
WHATSAPP 0675137453
FULL STORY TSH1000 TU (VIPANDE 50)
"kinini hiko unachokitazama" alinifuata na kuninyang'anya haraka haraka mkononi mpaka nikaingiwa na wasiwasi
"mme wangu umenunua simu kwani?"
"wewe unataka ujue ili iweje, sijanunua"
"mh sasa hizi earphones na maelekezo ni ya nini?"
"sasa mbona una haraka Rebecca si usubiri au umesahau leo ni siku gani jamani?"
"halafu sipendi unavyoniita Rebecca mimi ni nani wako kwani?"
"aah nisamehe mke wangu kipenzi wakati mwingine nalimisi jina lako halisi nililolizoea wakati ule kama sijakuoa mmwaaah" alinijibu na kunibusu shavuni nikatabasamu
"utakula, nikutengenezee nini?"
"nimeshiba, nitasubiri cha jioni tu mke wangu" alinijibu na muda huohuo tukasikia sebuleni wanaimba wimbo wa happy birthday to you happy birthday to you kana kwamba kuna watu wengi ikabidi nitoke kuja kutazama ni wageni gani hao nikamkuta rafiki yangu Margreth amekuja na wanawake wengine kutoka kwenye Saccoss yetu wameniletea keki nzuri wameiweka mezani na watoto wangu watatu, Theresia, Robert na mdogo wao wa mwisho, Leticia wakiwa wamesharudishwa na gari wakiwa na sare zao za shule
"waaaoh jamaniii!" nilijiziba mdomo baada ya kufanyiwa suprise hiyo na mume wangu nae akatoka, walikuwa wamekuja na makreti ya soda na vitafunwa (bites) na majirani zangu kadhaa nao niliwaona lakini mdogo wangu Diana alikuwa chumbani kwake hakutoka, mume wangu aliwasalimia na kurejea chumbani maana simu yake iliita akaenda kupokea
"maisha marefu Rebecca"
"maisha marefu mama Theresia"
"happy birthday mama Leti njoo uzime mshumaa na kukata keki tufungue hafla hii ndogo" kila mtu alinipongeza akiniita jina alilolizoea wengine langu na wengine la watoto wangu
"jamani asanteni sana kwa upendo wenu wa ajabu sana sina cha kuwalipa, keki nitakata lakini siwezi kukata peke yangu na kuzima mishumaa peke yangu bila mume wangu mpenzi ngoja nimuite tufungue shughuli hii yaani mmenishtua sana sijategemea" niliongea nikijawa na furaha wakapiga makofi na vigeregere hasa Margreth ambae alionekana kama ndiye mpambe mkuu, nikawaacha sebuleni na kurudi chumbani kumuita mume wangu
"vipi umeipenda hiyo zawadi?" nilimsikia mume wangu akiongea na simu kwa sauti ya chini
"mume wangu" nilimwita akashtuka na kunitazama
"ngoja" alimjibu aliyekuwa anaongea nae na kukata simu
"nakuhitaji sebuleni"
"ooh kula keki eeh?"
"kuzima mishumaa na kukata"
"sawa tangulia nakuja"
"hamna nataka tuongozane"
"basi twende mke wangu" alinijibu akiibeba simu yake
"simu si ungeiacha tu mume wangu?"
"nataka nichukue matukio" aliniambia tukatoka wote mpaka sebuleni na moja kwa moja kwenye keki tukazima mishumaa na kukata na kulishana na kuwalisha kila mtu na nikashangaa mdogo wangu Diana hajaja tangu mambo yote yanaendelea hata kutoka chumbani hajatoka ikabidi niingie chumbani kwake nikamkuta amelala kitandani siyo usingizi ila yuko bize na simu yake
"Diana upo sawa?"
"dada uuwiii" alinijibu akijinyoosha nyoosha
"mbona hauji sebuleni?"
"naumwa dada yaani kiuno chote hapa hakina kazi na mgongo pia unawaka moto natamani kuinuka kuja lakini nguvu sina usinione bize na simu kuna assignment za chuoni hapa nafanya hapa kwa kujilazimisha maana laptop nimemuazima rafiki yangu sijarudi nayo"
"pole basi ngoja nikuletee keki"
"usijisumbue dada nitakula na chakula baadae"
"sawa" niliitikia kiunyonge na kuanza kutoka chumbani kwake lakini nilipoufungua mlango ili kutoka
"dada!" aliniita nikageuka
"abee??!!"
"happy birthday to you!"
"asante mdogo wangu" nilitabasamu nae akatabasamu kisha nikatoka chumbani kwake taratibu nikamkuta mume wangu Dawson amekaa kwenye kochi akiwa bize na simu nikamfuata na kukaa karibu yake akiwa hajaniona, nilipomgusa akashtuka
"ooh mke wangu ulienda wapi?"
"mbona simu tu bize muda wote mme wangu?"
"kuna mambo ya kazini hapa hayajakaa sawa ndo nayaweka weka sawa mke wangu"
"ndo maana nilikwambia iache simu tu chumbani kwa sababu itakuchanganya leo huoni ni siku yangu ya furaha mume wangu jamani wewe bize na simu tu bize na simu?" nililalamika lakini tukiongea kwa kunong'ona watu wasije wakatusikia
"usijali mke wangu halafu nina zawadi yako!" aliniambia akaweka simu yake mfukoni akainuka kwenye sofa la watu wawili tulilokuwa tumekaa yeye akaenda chumbani, muziki wa taratibu ukiwa umefunguliwa watu wakinywa soda na vitafunwa vingine
"oooopppss mbona simuelewi elewi huyu mwanaume sikuhizi??" nilijiuliza kimoyomoyo huku nikishusha pumzi ndefu na nikageuka na ndipo nilipokutana na simu yake aliyodhani ameiweka mfukoni kwenye suruali aliyovaa na kumbe haikuingia iliponyoka, nikaishika na kuitazama na ndipo niliposhtukia napokonywa na mtu simu haraka haraka yaani kama naporwa na kutazama alikuwa ni mume wangu ambae sikujua hata amerudije rudije ndani ya sekunde chache hivyo nikabaki nimetoa macho....
FULL STORY TSH1000 TU, VIPANDE (50)
NJOO WHATSAPP 0675137453
WHATSAPP 0675137453
FULL STORY TSH1000
"unasemaje sijakuelewa?" nilimwuliza Magreth
"nimesema hivi mbona jana nimemkuta mdogo wako na shemeji yake kwenye mazingira yasiyoeleweka"
"mdogo wangu gani?"
"kwani una wadogo wangapi hapa mjini Rebecca unaoishi nao?"
"nina mdogo wangu mmoja tu, Diana"
"basi huyo huyo"
"mazingira yasiyoeleweka kama yapi?"
"eeh wewe chunguza tu mwenyewe sitaki kufungwa mie bure"
"hujaachaga tu uchonganishi Margrth rafiki yangu unakumbuka ulitaka kusababisha ndoa ya mzee wa kanisa yule mama kuvunjika kanisani?"
"lakini si lilikuwa la kweli lile jambo nililoongea Rebecca au nilikosea jamani kuufichua ukweli?"
"umewafananisha tu mdogo wangu Diana alikuwa chuoni kwenye sherehe na rafiki zake na shemeji yake alikuwa kwenye kikao cha dharura ofisini kama wangekuwa wote basi wangerudi pamoja hata wangesingizia tu kuwa wamekutana njiani sipendi maneno maneno mimi sikuhizi Magreth"
"mh haya nileteage mie hiyo hela niende zangu, mdomo koma!" Magreth aliongea nikatikisa kichwa kumsikitikia kwa tabia yake ya umbea mpaka sikuhizi nimepunguza uswahiba nae tofauti na zamani nilipokuwa swahiba wake mkubwa, yote kutokana na mdomo wake huo uliokuwa kama cherehani, halimpiti jambo kashalijua na kulisambaza hasa kwangu, sasa isije ikawa na yangu anayasambaza kwa wengine hivyo nikawa simwambii kila kitu kuhusu maisha yangu
Niliingia ndani na kuchukua kiasi cha pesa elfu thelathini nilichokuwa nacho, nikatoka na kumpatia, akanishukuru na wala sikutaka anilipe kwa sababu tulisaidiana sana hasa kipindi kile nilipokuwa sina kitu nilipoolewa na kuhamia kanisani kwao ambapo alikuwa anasali mume wangu kabla hajanioa
"leo nimezaliwa mwenzio" .
"waaoh dah happy birthday to you shoga yangu ila siku imenikalia vibaya sina hata zawadi jamani?"
"usijali we njoo tu baadae jioni zawadi ya pekee ninayoitaka kutoka kwako ni kukuona baadae jioni nitaandaa chakula kizuri sana"
"vipi kitimoto itakuwepo?" alininong'oneza sikioni akiwa ni mpenzi sana wa kitoweo hicho
"sikupanga lakini kwa sababu nina uhakika upo nitatengeneza special for you yaani"
"uuuwiii lazima nije kuchambua mchele kabisa utanipigia basi ngoja niende nikalipe lipe najua sitakosa elfu ishirini"
"haya kwaheri" nilimuaga huku nikibaki natabasamu nikafunga bomba la maji na kurudi ndani kuendelea na mipango mingine ya usafi nikisaidiana na dada wa kazi Aisha
Siku ilienda hivyo nikiwa nimeshinda nyumbani tu sijaenda kwenye biashara yangu ya saluni kwa sababu ya mambo kadhaa ambayo hayajakaa sawa na siku chache zilizopita niliumwa umwa, mdogo wangu Diana alirudi kutoka chuoni tukasalimiana na moja kwa moja akaingia mpaka chumbani kwake, nikiishi nae na kumsomesha mimi mwenyewe tangu sekondari, kidato cha tano na sita mpaka sasa yupo chuoni mwaka wa mwisho
Nilipita chumbani kwake na kumsikia akiongea na simu maana nilitaka kumuita nimuagize
"mh kaninunulia bonge la simu yaani ngachoka, nilidhani itakuwa zawadi ya kitoto sijui ya vi infinix sijui nini shoga siyo infinix wala tekno wala samsung yaani simu ya hatari wanayotumia mastaa mbona chuoni nitavimba" nilimsikia nikavutiwa na maongezi yake kama dada mtu nikataka umbea kidogo nikafungua mlango na kumkuta amekaa kitandani kwake haraka akakata simu aliyokuwa anaongea na rafiki yake huyo
"yaani Diana hata kunionyesha mimi dada yako hayo mambo mazuri unaanza kwa marafiki jamani, shemeji yangu nini?" nilimchungulia mlangoni sikuingia kabisa
"utaiona dada yangu wewe tena"
"mbona hunionyeshi hata kwa picha shemeji yangu nimjue umelete hata nyumbani siku moja tule nae chakula maana anajitahidi kaka wa watu kila siku nakuona na magauni ya bei mbaya na maviatu, utulie Diana usiruke ruke kijana wa watu utamuua kwa presha"
"hahaha dada bwana kwani unaniona mimi mcharuko au??" alicheka na kijikaratasi kimoja kikapeperuka kutokana na upepo wa feni aliyoiwasha kikanifikia mguuni nikakiokota na kukisoma, ilikuwa ni risiti, ilionyesha bei ya simu na aina ya simu, vyote vikanishtua nikamtazama Diana ambae alipogundua nimeshika karatasi yake akaja na kuninyang'anya
"Diana simu ya milioni mbili??"
"dada kawaida tu unaionaje si Iphone macho matatu hii tena kuna toleo mpaka la ngapi sijui huko" alinionyesha boksi la simu hiyo
"hela unapata wapi?"
"si mchumba wangu nawewe?"
"sasa si ungemwomba akufungulie biashara"
"atanifungulia tu hili trela"
"mh haya, hayanihusu chakula kipo jikoni"
"nimeshiba dada nataka nilale tu"
"sawa" nilimjibu na kuufunga mlango wake na ndipo nilipokutana na mume wangu Dawson nae alikuwa ndo anaingia, nikampokea begi na kulipeleka chumbani nikalitua na kutaka kumfungua vifungo vya shati
"acha tu nitavua mwenyewe" aliniambia
"pole na kazi mume wangu"
"asante" alinijibu akavua suruali yake wakati anataka kuitundika kwenye henga kijikaratasi kikaanguka akiwa hajakiona mimi nikainama na kukitazama kilikuwa ni cha maelekezo ya jinsi ya kutumia simu lakini simu yenyewe niliyoina kwenye kikaratasi hicho ni kama ile mpya niliyoiona kwa mdogo wangu Diana sambamba na eyerphones zilizoandikwa jina la simu lilelile kama ya Diana....
Full Story TSH1000 tu
Whatsapp 0675137453
" nililalamika lakini siyo kwa kumaanisha au kwa kutokupenda ila ni kwa sababu maji yalikuwa ya baridi aliyokuwa ananimwagia mdogo wangu Diana
"hakuna cha mambo gani wala mambo gani hapa unaoga maji tu Happy birthday to you my sister!!" Diana aliniambia huku akinimwagia maji kwa mpira alioninyang'anya wakati nikiwa namwagilia bustani asubuhi, mimi mwenyewe sikukumbuka kama ni siku yangu ya kuzaliwa, niliamka tu na kuanza shughuli zangu za kila siku, Diana mdogo wangu aliyekuwa amejiandaa kwenda chuoni ndiye aliyenikumbusha kama kuna sikukuu yangu ya kuzaliwa leo
"kumbe ni my birthday leo uuwiii jamani nimesahau kabisa mdogo wangu asante!" nilimwambia nikitaka kumkumbatia
"we we we dada ishia hapo hapo unamkumbatia nani?" alininyooshea kidole
"jamani kwani dhambi kukukumbatia?"
"na ulivyolowa hivyo naenda chuoni mwenzako nimeshajiandaa utanilowesha bure!"
"hahaha si nimesahau na ningekulowesha kweli usistaduu wote ukuishage"
"thubutuu!!" nakuvuta nywele
"huweze wapi"
"haya dada mimi naenda ila baadae nakuletea kitu kizuri nikirudi chuoni"
"kitu gani jamani?"
"supriseee we subiri tu utaona"
"jamani nidokeze hata kidogo yaani hapa unanipa kimuhemuhe"
"wait and see my dear sister (subiri uone dada yangu mpendwa)" aliniambia akinibusu shavuni na kuondoka mbiombio akiita bodaboda na kuondoka akiniacha natabasamu tu peke yangu nikiwa nimelowana chapachapa asubuhi asubuhi na ndipo niliposikia hatua za viatu nyuma yangu nilipotazama nikamuona mume wangu George akiwa ametoka amejiandaa anaelekea kazini nikamfuata kimahaba na kumshika begani
"taratibu utanichafua" alinizuia nisimshike begani
"ni maji tu mume wangu mpenzi ndo umeshajiandaa hivyo, mbona umebadilisha shati nililokuvalisha na tai yake umevaa shati jingine?"
"nimeamua tu tutaonana baadae!" alinijibu na kulifuata gari
"mume wangu" nilimfuata
"nawahi kazini Rebecca tutazungumza nikirudi"
"leo ni siku gani unakumbuka?"
"ni ijumaa leo"
"kuna tukio gani?"
"Rebecca baadae unanichelewesha"
"ni birthday yangu jamani mume wangu"
"happy birthday to you" aliniambia huku akifungua mlango wa gari
"ndo ya juu juu hivyo jamani?"
"nikirudi Rebecca" alinijibu akawasha gari nami sikuwa na cha kufanya nilimuaga tu kwa kumpungia mkono wakati akiondoka na gari akionekana anawaza mbali mimi kama namsumbua tu lakini nilijua ni uchovu tu wa jana maana alichelewa kurudi alirudi saa tano usiku akiniambia kulikuwa na kikao cha dharura ofisini kwao
"mama"
"mumy!" watoto wangu waliokuwa wameshaandaliwa na dada wa kazi waliniita wakiwa tayari kwenda shule na sare zao na mabegi yao mgongoni
"naam wanangu wazuri!"
"happy birthday to you happy birthday to you happy birthday dear mamy happy birthday to youuu!" waliniimbia na kunikumbatia na dada wa kazi aitwae Aisha karibia waniangushe chini
"asanteni sana wanangu wazuri"
"haya bye mamaa!"
"mniletee zawadi"
"haya mama" walinijibu wakienda barabarani kusubiri gari lao la shule (school bus) nilikuwa na watoto watatu, wa kwanza Theresia akiwa darasa la saba, Robert darasa la nne na binti yangu mdogo Leticia akiwa chekechea
Waliondoka na dada wa kazi wote wakisoma shule moja, nami nikaendelea kumwagilia bustani nje ya nyumba yangu
"hodi hodi humu ndani"
"karibu sana" nilimwitikia mgeni huyo ambae alipishana na watoto wangu getini hakuwa mwingine ila ni mwanamama Magritha, rafiki yangu wa karibu ninayesali nae kanisani na tukiwa wote kwenye Saccoss moja ya wanawake
"naona vijana wanaenda shule"
"eeh karibu sana namimi namwagilia bustani hapa"
"Rebecca unachekesha kweli yaani badala ungepanda mboga mboga ule wewe unamwagilia bustani ya maua uwafaidishe nyuki mimi siwezi kazi kama hiyo"
"nyumba inapendeza bibi wee karibu kiti barazani"
"hapa pananitosha siwezi kuingia ndani huko asubuhi yote hii sitaki chai za watu ndokwanza saa kumi na mbili" aliniambia akikaa kwenye mawe ya bustanini
"enhee za asubuhi"
"njema Rebecca za kwako na familia?"
"safi kabisa nipe habari naona asubuhi asubuhi"
"nimekuja uniazime elfu hamsini tu shoga yangu wala nisizunguke zunguke nipo vibaya mwanangu anadaiwa shuleni ameshindwa kwenda leo yaani"
"mh Magreth sina hata akiba humo ndani"
"jikung'ute tu shoga yangu naaibika mwenzio, nitakurudishia jumapili kanisani kuna hela yangu kwenye Vicoba tunavunja jumapili"
"sawa ngoja nikakuchukulie hela fulani ina kazi nyingine ila kazi yake ni ya wiki ijayo"
"nashukuru sana"
"usijali tumetoka mbali sana" nilimjibu nikiinuka kutaka kwenda ndani
"Rebecca!" aliniita
"abee" nikageuka
"mumeo yupo?"
"ameenda kazini"
"mmh jana alirudi saa ngapi?"
"kwanini unauliza?"
"nauliza tu kuna ubaya?"
"alirudi saa tano hivi na nusu karibia saa sita usiku"
"ohoo na mdogo wako yule Diana alirudi saa ngapi?"
"mbona maswali jamani Magreth rafiki yangu?"
"swali la mwisho tu hili"
"alirudi kama saa tano hivi na yeye walipishana kidogo tu na shemeji yake ila Diana alitangulia kama robo saa hivi kabla ya shemeji yake"
"vipi hujahisi kitu chochote kutokana na maswali yangu na hiyo mida niliyokuuliza?" Magreth aliniuliza nikabaki njiapanda nikishindwa kumuelewa anamaanisha nini kuniuliza maswali hayo
"hapana nifafanulie"
"jana nimewaona mumeo na mdogo wako pamoja kwenye mazingira nisiyoyaelewa elewa!!"
"unasema???!!"....
Vipi wewe msomaji umehisi nini?!
Full Story TSH1000 tu,
Njoo Whatsapp 0675137453 ujisomee
Inaendelea
Naitwa Magreth (Mage) kumbuka nilikuwa kidato cha pili kipindi hicho najiandaa na mitihani ya Taifa katika shule ya sekondari Tambaza, ilikuwa jioni ya saa kumi na mbili ikielekea saa moja giza likiwa limeshaanza kuingia tayari, ingawa huwa ninatoka mapema saa tisa lakini siku hiyo tulichelewa kwa ajili ya watu wa mazingira waliokuwa wametutembelea shuleni kwetu.
Kichwani sikuwa haba, nilikuwa nina akili za darasani na ndiyo maana nikachaguliwa kujiunga na shule hiyo maarufu ya Wasichana pekee ambayo ilikuwa miongoni mwa shule kumi bora zinazochukua watu wanaofaulu kwa maksi za juu kipindi hicho, zikiwemo Jangwani, Kisutu Girls, Zanaki na zingine za wanaume pekee kama Azania na za jinsia zote...
Nilifika nyumbani nikiwa nimechoka sana kutokana na purukushani za usafiri wa mjini, nikiwa hoi na kabla ya kufika kabisa mbele ya nyumba nilikaa kwenye baraza moja ya nyumba ya jirani kwa sekunde kadhaa mguu mmoja ukiwa unaniuma kutokana na kusimama kwa muda mrefu ndani ya daladala kutokana na foleni kubwa.
"Wewe mama naniliu umejikalisha huku unapitwa na mambo" nilisikia sauti ya mmoja wa wapangaji akimwambia mwenzake ndani ya nyumba hiyo.
"Mambo gani shoga yangu tena?"
"Ngumi huko nyumba ya pili"
"Nyumba ya pili wapi, ndo mambo ninayoyapenda mie hayo uuuwiii"
"Kwa kina Mage huko"
"Mage huyu anaepitaga pitaga na uniform za shule?" Waliongea, walipotaja jina langu moyo ukafanya paa!!
"Nyumbani kuna ngumi, haiwezekani" niliongea mwenyewe na kutupa begi langu la shule chini bila kulijali tena nikakimbia mbio kama nilivyo mpaka nyumbani ambapo nilikuta majirani mbele ya nyumba yetu wananong'ona nong'ona huku ndani nikisikia sauti ya mama akipiga makelele na baba akimgombeza
"Nitakuua wewe mwanamke, nitakuua" baba aliongea kwa hasira huku vikisikika vishindo ikionekana anampiga mama
"Niue tu niue tu, ndivyo ulivyozoea niue" mama alijibu huku akilia nami nikaufuata mlango na kujaribu kuufungua lakini ulifungwa kwa ndani nisingeweza kuufungua
"Baba muache mama Yangu" nilipiga makelele kama kichaa huku nikilia
"Mage binti yangu uuwii baba yako ananiua" mama alilia aliponisikia napiga kelele mlangoni.
"Jamani nisaidieni nifungue mlango tumsaidie mama" niliwaomba majirani.
"Mh nani anataka kesi, aku" mmoja aliongea huku wakitawanyika kila mmoja na kuniacha nje pale mimi mwenyewe nikiangua kilio baada ya kushindwa kumsaidia mama....
Kwa Simulizi zingine Tamu ingia hapa👉 Hadithi Za Chumbani
ITAENDELEA!!
ameifikisha Tanzania katika hatua ya kimataifa kushinda taji la Dunia la Marathon la 2025 jijini Tokyo.
Katika mojawapo ya fainali kali zaidi katika historia ya mbio za marathon, Simbu alimshinda Amanal Petros wa Ujerumani, akitumia saa 2:09:48, huku Iliass Aouani wa Italia akitwaa shaba kwa saa 2:09:53.
Kwa ushindi huo, Simbu anakuwa Mtanzania wa kwanza katika historia kushinda taji la Riadha za Dunia.
Kwanza kila mtu akashtuka sana maana wamezoea kunionea muda wote, wamezoea kuniona mnyonge tu hivyo Leo ni Mara ya kwanza wanaona huu ukichaa wangu ambao niliachana nao tangu tu nilipoingia kwenye penzi la Kijana wao hamad.
My zangu iko hivi, Sawa Mimi ni Mtoto wa shekhe, Sawa nimelelewa kwenye mazingira ya dini lakini kwa upande wangu mwingine Mimi ni Chizi mpaka Chizi Tena Yaani akili yangu ni shwaaaah ndio maana Neha alikuwa akinishangaa nimekuwaje.
“Hamad unamuangalia mke wako fanya kitu “
Alizungumza mama mkwe, kWa sauti ya unyonge hamad akajibu.
“Hiyo ndio hali halisi kwa sasa kwenye ndoa yangu mama, Shamsa amekuwa mbogo umu Ndani ndio maana naitaji sana msaada wenu”
“We hamad nawe ni Chizi kweli Yaani, Yaani huyu msichana anaanzaje kukuendesha kama hivyo, haya mambo ya taraka mmefikia wapi ??”
“Kufika wapi vipi mama na nimeshakuambia kila kitu, Kiukweli mama nachanganyikiwa, huyo Hadija nae ndio ananivuruga kabisa kaondoka Jana usiku anasema awezi kuishi hapa mpaka pale Shamsa atakapoondoka “
Wakati mazungumzo Yao yanaendelea Mimi nilikuwa zangu chumbani kwani baada ya kumchapa kibao Wifi yangu nikaondoka kwa mwendo wa haraka wasije wakanichangia bure 😂🙌.
Wanafamilia walibaki wakijadili hapo mie nikajilaza zangu Sina ili Wala lile Yaani sijali loloseeeeeh 😂 Ila siku hii familia ikinishika sijui nitalia kilio gani maana nawapandisha hasira sana tu.
Majila ya Saa 3 asubuhi nikajiandaa zangu kwani Neha aliniambia Kuwa yupo njiani anakuja kunifuata.
KWa siku hii Bwana nilivaa mavazi ya tofauti na Yale ambayo Nimekuwa Nikivaa kila siku, Yaani Mimi ni mtu wa kuvaa magauni marefu na Makubwa sana lakini muda mwingine ni madela ambayo yamepauka sana kwani hamad aliacha kuninunulia nguo kitambo sana.
Mavazi ambayo nimevaa ameninunulia Neha wangu, Yaani huyu msichana Mungu anitunzie tu, nilipigilia jeans yangu nzuri kabisa, nikavaa na top yangu nyeupe Laba Kali na kinai Nai changu huyo nikatoka nje.
“Mtumeeeeeh “
Hamad alishtuka baada ya kuniona vile nilivyovaa, Mwenyewe alikuwa akinizeesha tu halafu muda huu anabaki akishtuka tu Kama hana akili nzuri.
“Unaenda wapi mke wa mtu wewe. ??”
Mama mkwe wangu aliniuliza.
Niligeuka tu na kumuangalia na pasi na kuzungumza kitu nikataka kuondoka lakini hamad akaniuliza kWa sauti ya hasira sana.
“Shamsa unaenda wapi ??”
“Oooh babe, nilisahau kukuambia, Kama unavyojua mimi uwa sikufichi vitu, naenda kazini mume wangu ili nisiendelee Kuwa Mzigo kwenye maisha yako, tutaonana baadae mume wangu “
Nilijibu kisha huyo nikaondoka zangu.
Aaaaah my zangu Kwanini amkuniambia kamaa uku gym ni mambo mvulugano uwiiiiih hawa Wakaka wa gym jamani 🥹 niseme tu ukweli, katika maisha yangu yote nilikuwa naamini Kuwa hamad ndiye mwanaume mzuri na Mwenye mvuto kuliko wanaume wote wale Ila Leo hapana kwakweli hamad ni toleo la mwisho 😂🙌 Yaani Kama kwenye Kiwanda cha mabati Basi hamad ni Yale mabati ambayo yanaharibikaga akaaah hii gym Ina Wakaka wazuri sana.
“Mrembo utatuma kinywaji gani ??”
Aghaaaaah kwa mume naitwa tutusa uku gym nimeanza kuitwa mrembo na ndio kwanza nimefika 😂🙌 hamad baba kazi unayo.
Aaah ili swali Bwana niliulizwa na boss kubwa Yaani mmiliki wa gym, Basi Mwenyewe wa sauti ya utulivu nikajibu.
“Maji tu yananitosha “
“Aaaah acha zako wewe Kwanini unywe maji ? Agiza chochote kile ata Ukitaka red wine unapata “
Hapo kwanza Mimi na Neha tukaangaliana na kutabasamu kwa haraka mkaka huyu akazungumza.
“Natania mwaya Sina Pesa ya red wine 🍷 Msije mkanikaba kwakujua Mimi Tajiri bure “
Alimaliza kuzungumza kisha huyo akaondoka zake.
“Wewe hawa Wakaka Mbona wazuri jamani “
Nilimwambia Neha baada ya kubaki Mimi na yeye.
“Aaaah wewe Tena, unataka kusema hawa Wakaka wamempita hamad wako ??”
“Achana na masuala ya hamad nawe, Yaani hamad naona Kama anachekea chooni tu 😂🙌, aaah Walahi hii ndio maana hali ya tembea uone “
Muda huo Neha aliganda akiniangalia tu, nilivyoona Kuwa ananiangalia sana nikamuuliza.
“Mbona unaniangalia sana shida nini ??”
“Naweza kusema Kuwa sasa hivi ndio namuona Shamsa wangu, huyu ndiye Shamsa ambaye nilikuwa nikimfahamu, imara, anajiamini lakini pia Mwenye tabasamu pana muda wote usoni mwake “
Daaah nilijikuta nikianza kupata huzuni, ndoa yangu na hamad imebadilisha kila kitu kwenye maisha yangu, labda Kama kipindi kile nisingefanya ujinga Basi Leo hi ningekuwa na maisha tofauti kabisa 😫🥹 Sijui Kwanini sikusikilizaga watu ambao walinionya kuhusu hamad hapo mwanzo.
Neha aliweza kuelewa huzuni yangu kwa utulivu akazungumza.
“Ujachelewa Shamsa, una kila nafasi ya kutengeneza maisha yako, ndoa sio kitu kibaya lakini inategemea Unakutana na Nani, kitu ninachoweza kusema kwa sasa mkabizi Mungu kila kitu kipenzi, na kala hamad ndio fungu lako Basi muombe Mungu ambadilishe”
Aaahh haya Maneno nilikuwa nikiyatamani sana kusikia lakini sikuwa na mtu wa kuniambia lakini hatimaye my wangu ameniambia.
Basi muda ulisonga pale kisha Mimi na boss wangu tukakubaliana pale na kusaini MKATABA kisha Mimi na Neha tukaondoka.
Aaah Neha alikuwa Anaelewa sana situation yangu, kwa kutumia Pesa yake mwaya akanipeleka na kunifanyia shopping ya nguo kadhaa ambazo zingeweza kunisaidia pale kazini kwangu.
Baada ya kila kitu nikarudi Nyumbani na kuendelea na majukumu yangu Kama mama wa watoto wangu.
“Shamsa ni muda wa wewe kuondoka umu Ndani na kuniacha niishi kwa amani “
Alizungumza hamad baada ya kuja jikoni na kunikuta nikiendelea na mapishi.
Niligeuka na kumuangalia kwa muda kisha nikamuuliza.
“Taraka zangu ziko tayali au ??”
“Shamsa umekuwa na Jeuri sana, yani BADALA ya kupiga ata goti na kuomba msamaha ndio kwanza unaulizia taraka kweli, sasa sikia nikija kusikia Kuwa una mwanaume mwingine nje Walahi Tena nitatoka na shingo yako”
“Mimi sio malay* Kama wewe hamad “
Eeeeh gafla tu hamad akanivuta kwa nguvu sana kwa kunikunja na kuniuliza.
“Umesemaje wewe ? Shamsa Nafikili umesahau Kuwa Mimi ndio mwanaume kwenye hii Nyumba ngoja Nikuoneshe “
“Hamad unaniumiza ujue “
Nililalamika maana alikuwa akiniumiza sana.
Kwa haraka hamad akazima jiko na kuanza kunikukusa kwenda chumbani, Tena alikuwa akinipeleka kwenye chumba ambacho alinifukuza na kubaki na Khadija.
“Hamad unaniumiza mwenzio “
“Wewe si kiburi wacha nikuoneshe mimi ni Nani umu Ndani “
Eeeh kwanza kufika tu sebuleni nilianza kuchezea kichapo cha kutosha, Tena Leo hii nilipigwa mbele ya watoto wangu ambao walibaki wakilia tu pasi na Kuwa na masaada wowote ule kwangu.
Baada ya kipigo cha muda mrefu, nililegea mwili mzima sikuwa ata na nguvu ya kujisogeza, hamad akanikukusa moja kwa moja mpaka chumbani na kunisukumia kitandani.
“Hamad unataka kufanya nini ??”
“Na ili Jina la hamad likome kwenye mdomo wako Sawa, Mimi ni mume wako na iwe hivyo Sawa!! Niite mume wangu Niite mume Sawa. “
“Hamad please umeshanipiga vya kutosha “
Hamad Wala hakujali alichofanya ni kusogea Karibu yangu na kulalua kijora changu nilichukuwa nimevaa na bila kupoteza muda akaanza kucheza na mwili mpaka pale alipoona Kuwa amerizika.
“Hamad unataka kuniua au ??”
Nilimuuliza baada ya kumuona akitumia vitu vya kuongeza nguvu za kiume.
“Shamsa Leo kufa ufi ila cha moto utakiona “
Majilani nafwaaaaah mje kunisaidia mimi peke yangu siwezi Tena 🥹🥹
Kadri siku zilivyokuwa zinasonga mbele Suzan alianza kuzoea akaendelea na maisha yake . Taratibu alianza kumtoa Victor akilini kwake japokuwa haikuwa rahisi.
Aliamua kuachana kabisa na swala la mapenzi na kuamua kubaki mwenyewe.
Hakuwa na haraka tena na wala hakuruhusu mtu yeyote kuvunja moyo wake. Lakini James hakuacha kumuonyesha kuwa bado yupo karibu pia alionesha kuwa alitaka warudishe penzi lao .
" Suzan naomba unipe nafasi niwe mafriji wako .
" Hapana James sitaki tena mapenzi , sitaki kuumizwa wala kuvunjwa moyo niache nisimame mwenyewe.
" Sawa lakini bado sijakata tamaa , acha nikupe muda itafakari zaidi.
" Sidhani kama moyo wangu utaweza.
" Nakupa muda .
Hatimae ikipita miezi sita na suzan akawa amemaliza chuo akawa anajichanganya mtaani kutafuta kazi.
Siku moja alipokuwa anatoka kwenye ofisi moja simu yake iliita alipoangalia ilikuwa ni namba mpya . Alipokea haraka akihisi huenda anapigiwa simu baada ya kufanya usajili kwenye baadhi ya makampuni.
" Hallow...
" Hallow suzan.
Baada ya kusikia hiyo sauti moyo wake ulianza kudunda kwa nguvu. Alishindwa kuendelea kuongea alitoa simu yake sikioni aliangalia screen na kuzisoma zile namba kwa makini aligundua kuwa ni yeye Victor.
Alikata simu na kuondoka taratibu huku akijiuliza.
" Atakuwa amerudi? Kwanini ananipiga baada ya kukaa kimnya kwa muda mrefu? Anataka kunichezea tena michezo yake ya kijinga? Safari hii siwezi kumpa nafasi hata kidogo kwanza sitaki kuonana nae.
Dakika chache baadaye, meseji iliingia.
"Suzan, naomba unisamehe. Kuna mambo unahitaji kujua. Tafadhali, kama utakuwa tayari naomba kesho tuonane nikueleze kila kitu.
Victor
Suzan alikaa kimya kwa muda mrefu huku akiangalia na kusoma hiyo messege mara mbilimbili.
" Hapana suzan usikubali huu ni mtego mwingine ameona sijaterereka anataka kuja na njia nyingine.
Suzan akafuta meseji ile, bila hata kujibu. Hakutaka tena kuonana na Victor.
Siku iliyofuata jioni, Suzan alikuwa anakunywa juisi kwenye mgahawa mdogo, Akiwa pale, gari jeupe lilisimama Mlango ukafunguliwa na Victor akatoka.
Alionekana mwili wake umepungua, uso wake ulichoka, lakini bado alikuwa na tabasamu usoni mwake baada ya kumuona suzan. Wakati huo suzan aliona kama katiba shetani.
mapigo ya moyo wa Suzan yaliongezeka, lakini alipokumbuka kilichitokea hapo nyuma alitulia kama hakuona .
Victor alisogea hadi alipo.
" Mambo.
Suzan hakuitikia
"Naomba dakika tano tu tuzungumze. alisema Victor kwa sauti ya upole.
Suzan alimuangalia kisha akavuta pumzi.
"Victor si unajua muda ni gharama ?
"Najua, na sipo hapa kujitetea. Nipo hapa kwa sababu nahitaji kukuambia ukweli wote. Niliondoka kwa sababu maisha yangu yalikuwa hatarini."
Suzan alicheka kwa kejeli. "Hatarini? Hii sinema mbona kama inataka kuendelea kweli.
Ni kweli maisha yangu na familia yangu yalikuwa hatarini kuna watu waliokuwa wakinifuatilia na kutaka kuniuwa.
" Nani alitaka kukuuwa wewe mtu wa drama?
"familia ya mpenzi wangu wa zamani aliyefariki kwenye ajali ya gari tukiwa wote. Walinilaumu kwa kifo chake."
Aliongea Victor halafu akaweka bahasha mezani.
" Fungua hiyo bahasha uangalie.
Suzan alichukua bahasha taratibu, akafungua kulikuwa na picha pamoja na makaratasi.
Alichukua picha moja moja akawa anaiangalia
kulikuwa na picha za gari lililoharibika vibaya, kwa ajali . Picha ya maiti iliyokuwa umefunikwa pembeni ya barabara na picha nyingine ilikuwa niya Victor akiwa ametumia vibaya anavuja damu. Pia kulikuwa na ujumbe wa vitisho, na hata jalada la kesi.
" Hii imetokea lini?
" Miaka 3 iliyopita. Siku ile usiku nilipokuacha pale nyumbani nilikuwa nimechanganyikiwa mama yangu mzazi alivamiwa na kupigwa risasi hali yake ilikuwa mbaya sana ndio maana nikiondoa bila kitu chochote kwaajili ya kumuwahi.
Usiku uleule tulipata doctor , tukakodisha ndege na kuondoka tukampeleka Afrika kusini.
" Ninaamini vipi kama mama yako anaumwa au ndio giacyako mpya ya kutaka kuniumiza kwa mara nyingine?
"Ninajua siwezi kuomba urudi maishani mwangu, lakini nilihitaji uujue ukweli huu. Na leo, narudi mahakamani kwa ajili ya kesi ya mwisho. Kama nitashinda, nitaondoka nchi hii kwa muda. Nilikuja kukuaga vizuri kwa mara ya mwisho.
Victor hakusubiri jibu alisimama na kuondoka.
Suzan alibaki amekaa akishika bahasha alimsundikiza kwa macho mtu aliyemvunja vunja moyo lakini pia aliyemfundisha maana ya kusamehe.
" Inamaana anataka kuondoka hawezi tena kuwa na mimi? Suzan alijiuliza moyo wake ulikuwa bado anatamani sana kumpa nafasi nyingine Victor.
Victor alienda kupanda kwenye gari akiwa mnyonge.
" Vipi amekuelewa?
" Hajasema chochote inaonekana hawezi kumsamehe.
Aliongea Victor huku chizi likimtoka lakini alifuta haraka .
Akiwa kwenye ujinga wake, mlio wa risasi ukasikika, apo akili ikarudi, akanikumbatia vizuri mda huo tumelaliana chini ya meza, apo natetemeka vibaya mno, bahati ikawa upande wetu, ving'ora vya polisi vikawa vimewahi kufika, tukanusurika ila mlinzi mmoja alilambwa shaba akawahishwa hosptal, sisi tukahama kabisa pale, lakini akili yangu haikuwa sawa, Teacher ni Doctor aliewewa nini napitia, alitafuta namna ya kuniweka sawa ndio tukarudi nyumbani lakini hatukuwa tumefikia muafaka...
Teacher aliondoka, Rose alikuja na kuanza kugomba, akawa analalamika nimemuibia bwana ake, mama alishangaa, akaanza kuhoji, mama Rose nae akapanic nakuchukia mno, Ronard alikuwa ananitazama uku analia, akaamua kuvunja ukimya nakusema, mimi nimemsalit, akatoa picha za kule nyuma siku ya graduation kama ushaidi, yani kelele iliyotokea hapo mmh,nilijaribu kujieleza lakini haikusaidia kitu, Dada pia alitoa ufafanuzi lakini hawakuelewa, Rose akasema kama nahitaji ugomvi uishe, basi niolewe na Ronard ili nimuachie mtu wake...
Niligoma wakasema watanionyesha, nimekula pesa za kaka ake saiv namkataa, nilipe nilipata hasira uzuri pesa zote sikuwa nimezitumia kabisa, nilichukua nakuwaletea, waligoma kuchukua, Ronard akawa anaomba nisimfanyle ivo nimpe nafasi, alipiga adi magoti, mama ake akawa anamzuia hataki mkamwana asie na status hana ramani, Lakini Ronard hakusikia, mama alimuonea huruma akamuinua nakumwambia saiv nimepanic tujipe muda, Ronard alikubali nakuingia chumbani kwake...
Upande wangu mama alijua kabisa tayari kuna tatizo sijui itakuwaje, hasa chuo nyumba yetu imeshaisha, kimbembe wakigoma na mkopo nimesoma shule ya kulipia kuna hatari ya kukosa mkopо па тата hawezi kuaford gharama ya chuo, alianza kupata mashaka, dada alimtia moyo nakumwambia atapambana nitasoma tu, japo ata yeye hana uchumi mzuri lakini hawezi shindwa kunilipia ata chuo cha kawaida afu nitajiendeleza walishauriana na kuona kukikucha ni vyema tuondoke kwanza ili kutulie...
Kweli asubuhi tuliondoke bila kuaga, nilianza kuishi na madam, nyumbani mama alianza kuishi kwa tabu, ilifika atua ikawa ni hatari mno, nilikuja kujua siku moja nimempigia mama alionekana kuumwa sauti iko chini, akawa kasahau kukata simu baada ya kuitwa nikasikia anaambiwa aoshe upya madrisha hayajatakata, na nguo afue, tena haraka,awaishe na chakula, akaomba leo aende hosptal hali yake sio nzuri lakini wakagoma, "kama unaenda hosptal hakikisha unaenda mazima...
Aisee niliumia, na dada alikuwepo, nilimuona machozi pia yanamtoka, aliniambia kazi ziko nyingi, mama aache hio kazi tutafute biashara, ilibidi mimi nirudi kumuuguza mama, hatukuwa. na ujanja, nilifunga safari bila kumwambia,apo na matokeo yalikuwa yametoka tayari, Rose alifeli mimi nilifaulu, nilifika jioni, nikakuta mama amedondoka chini Ronard ndo anahangaika nae, nilichanganyikiwa, aliwasha gari tukamkimbiza hosptal...
Tulifika akawahishwa kwenye matibabu, apo Ronard akawa ananituliza nisijali mama atakuwa sawa, baada ya muda mama alipata fahamu nilienda kumuona apo macho yamevimba vibaya mno, Ronard alipigiwa simu nyumbani akaniomba no, ili tuwasiliane kwa emergency yoyote, nilimpatia, alivyoondoka, nikarudi kwa mama, nakuta Doctor anaemtibu mama kamletea adi chakula, kumcheki vizuri ni Golden...
Alimhudumia mama nakusema natakiwa kuwa makini na mama kwa sasa kazi ngumu sio salama kwake, ameumia sana mgongo lakini pia amekutwa na homa ya muda mrefu, tulilazwa kwa siku 5,Bili yote ililipwa na G, Ronard alisafiri kikazi na baba ake hivyo hakuwahi kurudi akawa anatujulia hali kwenye simu, aliniomba bill alipie nilikataa nikamwambia tayari akasema anatuma ya matunda nilikataa, nilishaogopa pesa zake, lakini alilazimisha, akawa akituma narudisha muamala, na yeye anatuma tena, nikaamua kuacha akizitaka nitamrudishia....
Itaendelea....
Full 1000
Whatsp 0784468229
Nilifanya kama, alivyonielekeza mme wangu, Najma aliletwa mpaka tunapoishi, akae hapo, na mwanae mimi kama siwezi kukaa nae basi niondoke,aliletwa na mama mkwe, mimi ata sikujibu chochote, nilikuwa nataka kutoka nikaghaili, nilikuwa nishampeleka mtoto shule, ikabidi niingie chumbani nikajifungia, nakumpigia Naseer nikamuomba aje kidogo nyumbani kama ananafasi, akapata hofu kuna tatizo? Nikajibu hapana nilikuwa nimekumiss tu...
Alishangaa, akasema unauhakika nikajibu ndio, akasema anakuja, kweli hakukawia akawa amefika, alishangaa kumkuta Najma, alimtizama kwa jicho kari, Najma aliinuka ili ampokee, Naseer aligoma akamkwepa nakukimbia kuja chumbani uku ananiita, nilifungua mlango, akawa ameingia,tukafunga, akashusha pumzi uku kanuna ehee hiki nini?
Ilibidi nianze kumuelezea mkasa mzima, alichoka akasema ivi mama anashida gani lakini? Aliniambia apa tunahama, leo hii, andaa kila kitu cha muhimu wewe na mtoto, nilimuomba anisaidie peke yangu sitaweza kuwahi, aliomba nikafunge vya mtoto, niliingia chumbani kwa mtoto, Najma ananitizama tu...
Nilikusanaya kila kitu mpaka saa kumi kila kitu kilikuwa sawa, ilivyofika saa 3 usiku, Najma akataka kuingia kulala chumbani kwetu, Naseer akamzuia, Akamwambia chumba chake kilipo, lakini aligoma na kusema yeye ndie mkubwa anahaki ya kuchagua na kupanga, akaambiwa aya subili mwenzio atoe vitu vyake ili, uingie akakubali, niliingia nikatoa mabegi yote yanguo, na viatu,kabati niliacha yani ilikuwa ni nguo tu na picha fenicha hatukubeba...
Najma alijua ni vyangu, tu, shuka nilimuachia zilizokuwa zinakaa chumba cha wageni, nilizokuwa natumia zote nilibeba, pazia pia nilimuachia,alijiona mshindi mno, akawa na furaha, akaomba sasa zamu ipangwe, akataka aanze yeye kwasababu muda mrefu mimi ndie nimekuwa nae, Naseer akagoma nakuondoka...
Alivyoondoka tu, Najma akanitizama kwa jicho la matamanio nakusema, ukweri kutoka moyoni nimekumiss mno, naomba tusigombane mimi sina shida na Naseer nina shida na wewe, naomba kesho ufanye kila unaoweza unipe mpaka nichanganyikiwe, nimekuja na zana za maana kabisa yani utaenda baby, aliongea kisha huyo akaingia chumbani, kumbe Naseer kasikia, alipanic akaita usafili muda huo huo tuondoke, yani Najma ata hakuwa na muda na mwanae kabisa japo hawajaonana mda, nilizidi kushangaa mno...
Itaendelea....
Full 1000
Whatsp 0784468229
Mr Jovin katika kuangaza Huku na kule alimuona mtoto mdogo kweli ambaye alikuwa ni Kati ya miaka 13 mpaka 15 Naye akiwa ni miongoni mwa wanao jiuza, Pale Pale Mr Jovin alijikuta amepata wazo!.
"Keivo nimepata wazo!!"
"Wazo Gani brother!!??"
"Unamuona yule Binti mweupe mdogo mdogo, ebu kamuite!"
Ni kweli keivo alienda kumuita yule Binti ambaye kiumri alionekana mdogo kweli!.
"Lisaa limoja Tsh elfu ishirini, ukitaka kukesha na Mimi laki Moja tu!" Basi Binti yule alijiongelesha Baada ya kufika pale alipo Jovin!.
Basi Jovin na yule Binti pamoja na keivo waliongozana mpaka kwenye Hoteli ambayo keivo na Jovin walikuwa wanaishi!.
"Jamani mbona munaingia Wote wawili mnataka kunichangia au!?" Yule Binti aliuliza!.
"Sikiliza Binti, nataka uache kujiuza kuna Kazi nataka nikupatie ukiifanya vizuri ntakulipa million Tano!" Mr Jovin aliongea, basi alimfanya Binti Wa Watu apagawe Baada ya kusikia million Tano, maana alikuwa hajawahi ishika hiyo Pesa!.
"Kaka unayo yasema ya Kweli lakini!?"
"Ndiyo kwani huniamini!? Alafu mbona Wewe ilitakiwa uwe shuleni kwa Nini unajiuza Sasa!?"
"Uuuuu hiyo ni historia ndefu achana nayo, kikubwa nambie ni Kazi Gani hiyo!?"
"Wewe subiri utaijua kesho! Kwa Leo chukua Hii laki Mbili Kesho Jioni Njoo hapa hapa tukwambie ni Kazi Gani!"
Yule Binti aliye jitambulisha kwa Jina la Diana! Hakika Siku Hiyo alirudi anacheka pekee Yake!, yaani Bila kuifanyia kazi yoyote alipewa laki Mbili Huku akiwa kapewa ahadi nono!.
Diana alikuwa anaishi na machungudoa wenzake, Japo huwaga wanasimuliana Siri lakini lile Dili Wala Diana hawakuwasimulia maana alijua wanaweza kumzunguka wakalipata wao, maana wao walikuwa wajanja na wazoefu kuliko Yeye!.
Basi kulikucha, upande Wa Jovin kutokana na kwamba akaunti Zake zilikuwa zimefungwa, ilibidi bwana Huyo aende kwa yule Gavana aliye fukuzwa kazi, ili akakope Pesa kwa ajili ya kupambana na Mr Tamir!
Na kweli Yule Gavana alimkopesha Jamaa Pesa, maana Hata hivyo walikuwa wameanza kuzoeana!.
Huku kwenye kampuni wafanyakazi walikuwa hawaelewi chochote, walicho kuwa wanaamini ni kwamba kampuni ni Mali ya Mr Tamir na kila kitu kinaenda Sawa!, Japo kuna vitu baadhi vilikuwa havieleweki!, kwa mfano Mr Antonio ambaye ni Meneja alikuwa Siku zingine anakuja na wateja wanachukua Gari au bidhaa yoyote, badala ya Pesa kuingizwa kwenye kampuni anaichukua Yeye!.
Kwa Sababu Mr Jovin alikuwa kaweka baadhi ya wapelelezi wake ili kupeleleza mwenendo Wa Kampuni!, Basi aliletewa taarifa! Kwamba inaonekana kwenye kampuni mhasibu na Meneja wanaingilia shughuli, yaani wao Ndo walikuwa wanaenda na wateja wanawauzia tofauti na mfumo uliopo!.
Mfumo ambao ulikuwa upo ni kwamba Kampuni ya Mr Jovin ilikuwa na matawi pale Mjini kama Sita, kila tawi lilikuwa na mhasibu, alafu kulikuwa na makao makuu ambako kulikuwa na Mhasibu Mkuu! Na Meneja Mkuu ambaye Ndo Mr Antonio!.
Pesa za mauzo kutoka kwenye matawi Yote zilikuwa zinawekwa kwenye akaunti na wahasibu Wa matawi, Baada ya Hapo taarifa zinatumwa Makao makuu kwa mhasibu Mkuu ambaye anaidhinisha kama kweli Pesa zimewekwa na kama zimewekwa ni Tsh ngapi kwa Siku!, kwa Hiyo kutokana na mfumo uliopo ilikuwa ni ngumu mhasibu Mkuu kuiba Pesa maana Yeye alikuwa anaziona tu kwenye mfumo!.
Baada ya kuona hivyo kitu alicho kuwa anakifanya Sasa Yeye kushirikiana na Mr Antonio, walikuwa wanatafuta wateja, wanaenda kuuza bidhaa wenyewe Wakati kuna kitengo Cha mauzo.
Mr Damian Yeye kwenye kitengo chake Cha masoko Kazi zilikuwa zimeanza kukwama, maana kila akituma maombi kwa meneja ili Pesa ziizinishwe kwa ajili ya Shughuri, maombi yalikuwa hayajibiwi na Pesa hazitoki!. Na hiyo ilikuwa ni kwa Sababu Meneja na mhasibu hawawezi tena kuingia kwenye akaunti ya kampuni.
Mr Tamir na Mr Antonio walikuwa wanapambana kuhakikisha kila kitu kinakaa Sawa na Ndo maana walikuwa hawataki Mtu yeyote ajue kama Huku Juu Mambo yameharibika!.
Basi upande Wa Huku kwa Jovin, majira ya Jioni Yule Binti kwa Jina la Diana alifika, tena aliwahi kuliko Muda alio ambiwa maana alikuwa na kimuhe muhe kweli!.
Basi Binti Huyo alipewa maelezo ya Kazi ambayo anatakiwa kuifanya, na aliambiwa kuanzia Siku Hiyo atakuwa anakaa pale Hotelini!.
Siku kama mbili Mr Tamir alikuwa anatoka kwenye Moja ya Hoteli kupata chakula, gafla alipamiana na Binti mdogo!.
"Heeeee mtoto Vipi mbona huangalii mbele!" Mr Tamir alifoka Muno!.
"Hahaaaa mtoto Wako umemuacha nyumbani Mr, Mimi naweza nikakupa vitu mpaka ukamwaga ubongo na kuchanganyikiwa kwa Hiyo Siyo mtoto tafadhari!" Basi Yule Binti aliongea huku akijilamba midomo, na alikuwa ananukia vizuri Kweli!.
"Eeeeee!! Unaitwa Nani Binti!?" Yule Mhindi aliuliza maana zile pigo zilimchanganya!.
"Naitwa Diana!!" Basi alijibu kwa madaha, kiukweli Mr Tamir alipagawa kwa zile pigo haswa Yale maneno ya Diana kwamba anaweza akapewa vitu mpaka akamwaga ubongo!.
Kumbe udhaifu Wa Mr Tamir na starehe Yake ilikuwa ni wanawake tena alikuwa anapenda watoto wadogo wadogo kuliko Hata kula, yaani Diana pale alikuwa ni kama ndo kafika Mahali pake!.
"Samahani naweza kupata Namba Yako!" Mr Tamir aliona ile pisi haiwezi kuiacha!.
Diana alikuwa ni mrembo, mweupe alafu ana kakishundu na kifuani ilikuwa saa Sita!.
Basi Diana alimtajia Mr Tamir Namba ya Simu haraka haraka!.
Mr Tamir alianza kuondoka akiwa anacheka cheka tu!.
"Mheshimiwa samahani kama una usafiri unaweza kunipa lifti!" Diana alichombeza, basi Mr Tamir aliona mbona ni kama Mboga inajileta yenyewe!.
Ni kweli wawili wale waliingia kwenye Gari, Huku Mr Tamir na Diana wakiwa wamekaa nyuma , na Dereva Wa Mr Tamir Ndo alikuwa anaendesha Gari!.
Basi wakiwa nyuma kule Mara Mr Tamir alianza kuibia kumgusa Binti Diana kwenye upaja Wake , Binti Diana naye hakuwa mzembe alionesha ushirikiano tena kwa Nguvu, maana alizamisha mkono Wake kwenye suruali ya Mr Tamir na kuishika kitu Yake!.
"Gorge ebu paki Gari hapo pembeni na utuache kidogo!" Basi Mr Tamir mizuka ilimpanda alijikuta akimshusha dereva wake!.
Siku Hiyo Mr Tamir alitunukiwa utamu ndani ya Gari na Binti ambaye alikuwa hamjui hata katokea wapi!.
"Nimeshindwa kuonesha ufundi wangu na kukupa inavyo takiwa kwa Sababu sehemu hii hairuhusu, andaa Siku tukutane Hotelini ntakupa mpaka utachanganyikiwa" basi Baada ya Shughuri Diana aliongea!..
"Uuuuu!! We Binti una Lengo Gani kwangu mbona umekuwa mrahisi hivyo tofauti na muonekano wako, na kiukweli Mambo unayajua!" Basi Mr Tamir ilibidi aulize maana alianza kupata mashaka!.
"Mwenzako nina ugonjwa na Watu Wa rangi Yako! Mimi nikiona tu Mtu mweupe kama Wewe huwaga napagawa! Hata hivyo Mara ya mwisho mpenzi Wangu alikuwa Mzungu na tuliachana, tangu kipindi hicho nipo single! Na Usinione mdogo Mimi ni mkubwa!" Basi ilibidi Diana ajipigie chapuo na kweli Mr Tamir alikubali!.
Basi taarifa zilimfikia Mr Jovin kwamba Mr Tamir Kanasa anapenda vitoto vidogo!.
Baada ya Siku kama mbili Diana na Mr Tamir walipanga tena kukutana kwenye Moja ya Hoteli ya kifahari na ya nyota tano!.
Siku Hiyo Diana kwenye mkoba wake alionekana kuwa na Vicamera vidogo vidogo kama Vitatu!.
Basi ni kweli walikutana na yule tajiri kwenye Hiyo Hoteli.
"Basi tukaoge wote unaonaje!!" Baada ya kufika Mr Tamir alimtaka Diana wakaoge naye!..
"Uuuuu kiukweli Mimi nina aibu kuoga na mwanaume Wewe tangulia tu!" Diana alitoa visingizio na kweli Mr Tamir alienda kuoga!.
Diana alitumia Muda huo kubandika vile Vicamera ukutani, maana vilikuwa Vicamera vya kubandika!.
Kilicho tokea Siku Hiyo kilitokea na Mr Tamir alikipata kile alicho kihitaji!.
Mr Jovin hakuishia pale alikuwa anataka kuhakikisha anamtia kwenye kisanga Mr Tamir!.
Mr Jovin ilifika hatua alimdanganya mpaka mwanafunzi ili akatembee na Mr Tamir, maana aligundua Mr Tamir anapenda watoto wadogo na kweli alifanikiwa!.
Upande Wa Mr Tamir na Mr Antonio walikuwa wapo kwenye hatua za mwisho mwisho kuhakikisha Pesa zile zinahamishwa! Maana walikuwa wametengeneza mihuri feki, yaani mhuri Wa Kampuni feki na mhuri Wa mkurugenzi feki, kwa Sababu walikuwa wanakula madili na Gavana waliamini ile mihuri feki itapita tu, na walikuwa wameongea na Gavana, na pia Yule Gavana alikuwa kawaahakikishia kwamba swala la fingers print na Mambo mengine wamuachie Yeye!.
Siku Hiyo majira ya Saa mbili Usiku, Mr Tamir akiwa katulia nyumbani kwake anaangalia taarifa za habari, Mara gafla alitumiwa video.
Hakika Mr Tamir alichanganyikiwa, Macho yalimtoka hakuamini ile video aliyo tumiwa!.
Je ilikuwaje video ya aina Gani!?
Full 1000
Whatsp 0784468229
Trisha Aliondoka Mpaka Kwa dada Yake Kawe Alifika Akiwa analia Tu
"T mdogo wangu shida Nini"
DaT Alikua Amepagawa Baada Ya Kuona Mdogo wake Analia Sana
**
Huku KWA Aizack Akiwa Amesimama Hajui Aende Mbele Au Akae Chini Ray alimsogelea Pale Alipo
"Vipi unaendelea Vizur??"
Ray Alimuuliza Huku Akimshika Bega
"Hicho ndio unaweza Kuniambia mimi?" Aizack alimuuliza Ray
"AHADI Baina ya Marafiki basi Ni AHADI ambayo Aivunjiki Mpe Nafasi Na Umsikilize T ni Rafiki yake Mkubwa Usimpoteze Tafadhali"
"Naweza Vipi kuitunza Ahadi Hiyo na Ikakamilika Ray Nampenda Sana T Mda Mrefu Sio jana Au leo"
"Unafikili unaweza Kumlazimisha Bila Idhini yake??"
"Kama Anaelewa Moyo wangu Jinsi Ulivyo Kama Anajua Kiasi Gani naumia Anakuja Kwangu Acha Nisubir "
Aizack aliondoka Na Kumuacha Ray Hapo Kasimama Akitafakari Maneno ya Aizack
****
Trisha Alikua Kwao Amekaa anamajonzi Kweli Kweli Moja Haikai wala Mbili haikai
"Ni Kweli Humtaki kabisa "
Ray Aliingia Na Kumuliza swali Trisha Bila Hata salam wala kukaa
"Sidhani kama Itakua Sàwa mimi kuanzisha Mahusiano na Aizack wakat najua Wazi Una Hisia Juuu yake Ray ,,Alex ni Mume wangu Ni baba wa Mwanangu Hata kama hatukufunga Ndoa Lakn tiali alishanitolea Posa kwetu siwezi msaliti Ni Muda Wako Kuwa karibu yake Mimi Sintarudi kule Tena "
Trisha Alijibu Huku akiiinuka Na Kuondoka Ray Alibak Amesimama kama Anatafakari Vitu
***
"Aizack imetosha bass Embu Inuka Twende aah "
George Alikua akimwinua Aizack ambae kalewa Hovyo na bado aliku a akiendelea kunywa Pombe kali
"George Nampenda Sana Trisha Nampenda kabisa Kutoka Kwenye Moyo wangu "
"Najua Mpe Muda Pombe Sio muamuzi Mzuri "
"Ameondoka Simu zangu hapokei Unafkir Atarudi Kweli nyumbani Huyo "
"Nitahakikisha anarudi Usijali "
George alimchukua Aizack mpka Nyumban kwake
"Ahaaa Shem Upo hapa Kumbe'
Baada ya Kufika Nyumbani kwa Aizack Nje walimkuta Ray Amesimama
"Yeah kuna Sehem Nimetoka Nkaona Nipitie Hapa Kumpa hi Aizack "
Ray Alidanganya
Baada Ya Kufikilia sana Maneno Aliyoambiwa Na Trisha Ray Aliamua Kujaribu Bahati yake KWA Kujiweka Karibu na Aizack
"Sawa Nisaidie basii Tumuingize Ndani"
"Ooh kafanyaje Tena "
"Pombe zimemzidia Sàsa Ray Embu nisaidie Kum_take Care Huyu mi Niwahi Nyumban si Unajua Ndoa Yangu bado Changa Ray"
George aliongea Na Kuongeza Utani
"Hahah Usijali nitajitahi G"
Ray Alijibu Huku animshika Aizack Kumvuta Ndani
****
Asubh Aizack Alipo Amka Alikuata Supu Juu ya Meza
Akiwa anajiuliza Labda Trisha Alikuja na Yupo Hapo
Haraka Alienda Jikoni Huku anaita
"Trishaa"
"Ni Ray bhanaa"
Ray Alijibu Huku akisogea Alipo Aizack
"Ooh Sorry"
"Kunywa Supu Kwanza Àfu Usiwe Unakunywa Pombe hvyo Mshkaji sawa"
"Duh Nitajitahidi Boss Wangu"
Aizack alikunywa Supu akatoka Kwenda Kazin ray Alitoka na Kwenda Kwao Trisha
Alipo Fika Alikuta Nyumba Ipo Kimya Sana
"Et HAWA wameenda Wapi"
Aliuliza Mtoto aliekua Nje anacheza
"Walienda Hospital jana Usiku Trisha Anaumwa"
Ray Haraka alichukua Simu Yake na Kupiga Kwa DaT
ITAENDELEA..
Maoni yamekuwa mengi sanaa
Kwamba tulete muendelezo ya hii ila nimetoa hapa sitatao nyingine
Tessy akiwa bado kaganda anashangaa mara shahid aligeuka alipomuona akitoa haraka mkono kwenye tumbo la Shania. Tessy alipeleka juice Shania alichukua haraka grass ya juice na kuinywa moja kwa moja kama mtu mwenye kiu, alikunywa yote akarudisha grass kwa Tessy ambae alikuwa bado kasimama.
"Tessy naomba ukae hapo nina maongezi na wewe. Tessy alikaa wakati huo Shania alikuwa akizunguka pale sebleni mara ashike uwa mara.
aguse pale.
Tessy kuanzia sasa Shania ataishi hapa ndani na sisi.
"Boss kumbuka huyu ni mtu na ana ndugu......
Inatosha Tessy sijakuita hapa kutaka ushauri nimekuta hapa kukuomba tusaidiane kumuangalia na kuanzia mwezi huu nitakulipa mshahara mara mbili.
Tessy alionyesha kufurahia.
"Boss kuhusu hilo halina shida huyu Shania hawezi kunishinda nitamuangalia vizuri mpaka mwenyewe utafurahi.
'shhhhh isipige kelele amelala.
Sijali nataka aamke. Aisha alitaka kushuka kichwa cha Shania lakini Shahid waliwahi kudaiwa mkono wa Aisha.
"Twende nje tukaongee.
Yani Shahid unanishika mkono wangu kwa nguvu hivi kwasababu ya huyu mwanamke?
"Punguza kelele twende tukaongee nje.
Aisha hakumuelewa Shahid aliendelea kupiga kelele na kuongea kwa sauti. Shahidi alitoa kichwa cha Shania taratibu kwenye mapaja yake kisha akaweka mto na kumlaza vizuri wakati huo Aisha alikuwa na wivu pamoja na hasira. Aliinama na kumvuta Shania mpaka Shania akaamka.
Umefanya nini sasa? Shahidi aliongea kwa
ukali huku alimsukuma Aisha.
"Shahid unanisukuma?
"Toka nje.
"Unanifukuza kwaajili ya huyu kinyago wako?
Aisha alitaka kumvamia Shania, Shahid aliwahi kumdaka na Shania akajificha nyuma ya shahidi kwa hofu.
Sikubali shahidi lazima nimuonyeshe huyu mwanamke wako.
Toka hapa, toka... Shania alimfukuza Aisha
huku akirusha mikono yake.
"Tessy, Tessy.... Shahidi aliita.
"Abeee.... Tessy alifika mara moja.
"Mchukue Shania mpeleke chumbani. Tessy
alimshika mkono Shania wakaenda chumbani. Wakati huo Aisha alikuwa anacheka kwa nguvu
huku akiwaangalia Tessy na Shania.
Hebu niache huko. Shahidi alimuachia na kusema.
Sitaki vurugu nataka tuongee nikueleze kila kitu.
Je Shahid atamwambia ukweli Aisha au atamdanganya?
Full 1000
Whatsp 0784468229
Kwakweli sikuona Kama Ana umuhimu kwa wakati huo nilichofanya ni kumalizana na mapishi yangu na kwenda Kuwalisha watoto wangu.
KWa Mara ya kwanza watoto wangu wakapata chakula wakiwa chumbani kwao lakini pia walikula bila baba Yao, Yaani niliamua kuishi maisha yangu tu, na nilikuwa tayali kuondoka pale kwa mume wangu Leo kesho Ila watoto wangu tu ndio waliniweka pale.
Nikiwa nimetulia zangu chumbani kwangu, naperuzi tu mtandani gafla mlango wangu ulifunguliwa kwa nguvu sana na hamad ndio aliingia, Ila mapenzi yakiisha Walahi hakuna kitu unaweza kuogopa.
Hamad aliingia chumbani kwangu akiwa amevimba kama mbogo lakini Wala sikushtuka Wala kuogopa zaidi Nikamuangalia na kuendelea kuchezea simu yangu.
“Ina maana unioni au ??”
Hamad aliniuliza.
Pia sikujibu kitu niliendelea na mambo yangu.
“Shamsa nakuona hizi siku tangu umetoka hospital Sijui wapi wapi umekuwa na kiburi sana, Yaani umekuwa mtu wa tofauti sana,sasa sikia hizo dharau zako fanya lakini Kaa ukijua Kuwa Mimi ni mume wako Sawa “
Hapo nilinyanyuka na kujibu.
“İlo siwezi Kusahau na siwezi kusahau Kuwa wewe ni muuaji wa Mtoto wangu “
Hapo hamad alishtuka sana na kuniangalia kwa macho ya wasiwasi sana.
“Shamsa “
“Shamsa jina langu Sawa, hamad toka chumbani kwangu nataka kulala “
“Yaani unalalaje ikiwa umu Ndani sote hatujala?”
“Labda wewe na Hadija lakini Mimi na watoto wangu tumeshiba na watoto wangu wameshalala”
“Unamaanisha nini kusema mmeshakula ? Umenunua chakula kutoka nje au ?”
Nilimuangalia hamad kisha Nikatabasamu na kujibu.
“Mimi sio mtu wa kununua chakula Aswa likija suala la watoto wangu, Mimi Kama mama nimeingia jikoni na kupika”
“Kwahiyo umepika na Mimi ujanihesabia Wala Khadija si ndio ??”
“Hamad kwani huyu Khadija ni Pambo au ? Kwa haraka haraka Khadija ni mke wako wa halali kabisa na anastahili kukuhudumia na kubeba majukumu yake Kama mke, nilishika nafasi yangu na sasa ni nafasi yake “
Hamad hakuamini kabisa Kama ni Mimi ndio namjibu hivyo kwa hasira ya hali ya juu akatoka nje na kubamiza mlango kama anaugomvi nao vile.
Aaah kuna Namna niliona Kuwa natakiwa Kuwa imara kama hivi na sio kulia lia hovyo hovyo.
******
Siku ziliendelea kwenda uku nikiwa imara kuliko kawaida, nilihakikisha Kuwa siwi mnyonge Yaani ni mwendo wa kukaza tu.
Nikiwa Nyumbani siku ya jumatatu, niliweza kupokea simu kutoka kwa Neha na akaomba tuonane,
Kwakuwa uoga ulishaniisha kabisa nikatoka zangu na kwenda kuonana na Neha.
“Kuna kazi uko nimekutafutia shoga Angu Sijui Kama uko tayali kufanya”
Nilimuangalia Neha kisha Nikatabasamu na kumuuliza.
“Yaani nikatae kazi ? Weeeeh Neha acha utani shoga Angu, Yaani nataka kazi Leo kesho, nataka kumiliki Pesa zangu Mwenyewe na niwatoe watoto wangu pale”
“Nakuelewa ndio maana najaribu kukusaidia, hii sio kazi Kubwa lakini kwa kuanza nayo na ukiwa na akili Basi utafanikiwa kufanya chochote kitu”
“Ni kazi gani nawe nambie Yaani hapa natamani kuanza ata sasa “
“😂🙌 Ila wewe ni kazi ya gym, Nina shemeji yangu Ana gym kubwa sana na Anafanya na watu wa kubwa mno uwa analipa watu vizuri sana sasa nimekuombea uwe msimamizi wa pale kwenye usafi na mambo mengine “
Walahi nilijikuta nikicheka sana Yaani sio kucheka maana daaaah.
“Unacheka nini sasa ??”
Neha aliniuliza.
“Neha unataka nikaharibu kazi za watu au ? Yaani na huu mwili nawezaje kwenda kwenye gym ya watu ? Nitaleta mfano gani kwa watu ambao wamekuja kwaajili ya kutengeneza Miili yao”
“Shamsa huyo mwanaume wako ameshaharibu ubongo wako kwakweli, unajua siku ya kwanza pale hospital mume wangu ndio alianza kukuona na akaniambia huyu msichana ana body nzuri sana, imagine mume wangu ameshindwa ata kujua Kama wewe ni mama wa watoto wawili, Shamsa una shape nzuri sana Rafiki yangu ni vile tu mume wako anatumia nguvu zote kukufanya ujisikie vibaya “
Aaaah unacheza na kusifiwa nini, nilijikuta nikianza kutabasam kwa aibu aibu uku nikiangalia chini.
“So nitakufuta kesho Saa 4 asubuhi then nakupeleka sehemu husika dear ili ukaonane na boss wako maana Mimi nikishamaliza kila kitu “
“Asante sana Neha Mungu akubariki sana “
Tuliendelea kupiga story zingine pale kisha huyo nikarudi Nyumbani kwangu.
Ikiwa ni Majila ya saa 2 usiku nacheza na watoto zangu, muda huo huo hamad akaja na sauti yake ya kibabe akazungumza.
“Nina mazungumzo na wewe Shamsa “
Niligeuka na kumuangalia kwa muda, kisha nikawageukia wanangu na kuwaambia.
“Endeleeni nakuja sasa hivi”
Kisha nikanyanyuka na kutoka nje na moja kwa moja nikaenda kwenye chumba cha wageni ambacho kilibadilika na Kuwa chumba changu.
“Nafikili ni muda muafaka wa Mimi na wewe kupeana taraka “
Alizungumza hamad baada ya kuingia chumbani na kufunga mlango.
Nilimuangalia kWa muda kisha nikajibu.
“Ni moja kati ya Naombi yangu kila siku, lakini swali langu ni vipi kuhusu watoto wangu ??”
“Watoto wako ??”
Hamad aliniuliza Kana kwamba hakuwa amenielewa.
“Yaaah watoto wangu, hamad hawa watoto bado ni wadogo sana hivyo bado ni watoto wa mama Yao ambaye ni Mimi “
“Watoto wangu watabaki hapa, awawezi kwenda kuishi kwenye ufukara wenu uko”
“Mimi pia sitapokea taraka mpaka pale utakaporuhusu Mimi kuondoka na watoto wangu, Unafikili naweza nikaamini usalama wao mbele ya huyu mwanamke wako au wewe ? “
“Unafikili naweza nikawazuru watoto wangu ??”
Hamad aliniuliza uku akiniangalia kwa kunikazia macho.
“Vyote vinawezekana, lakini pia Mimi Kama mama nataka kuangalia makuzi ya watoto wangu”
“Shamsa haya mapembe uliyoota kuna siku Utakuwa kujutia trust me “
Alizungumza hamad kisha akaondoka zake.
KWa haraka nikarudi chumbani kwa watoto wangu lakini nikakuta wakiwa wameshalala hivyo niliweka vitu vyao vizuri kisha huyo nikarudi zangu chumbani kwangu.
******
Asubuhi na mapema nikaamka zangu na kufanya usafi wa kila kona kisha nikaanza kifungua kinywa cha watoto wangu tu na Mimi, Yaani umu Ndani majukumu yangu ni watoto wangu tu hao wengine ni watu wazima wajiongeze tu.
“Leo sitaenda kazini “
Alizungumza hamad kwenye meza ya chakula ambapo Mimi nilikuwa nikipata kifungua kinywa na watoto wangu.
“Mama ujaweka chai ya baba”
Mtoto wangu mkubwa aliniuliza.
“Baba yupo kwenye mfungo kwa sasa “
Yaani Nilijibu Mwenyewe halafu nikajikuta nikicheka 😂 Yaani Sijui Kwanini nilishindwa kujizuia kucheka.
Hamad alibaki akiniangalia kwa hasira sana lakini pia alishindwa kunifanya chochote kile.
Baada ya muda school bus ya watoto wangu ilifika na watoto wangu wakaondoka.
“Mbona uniulizi Kwanini siendi kazini ??”
Hamad aliniuliza na Mimi nikamuuliza.
“Kwanini nikuulize?”
“Kwa sababu mimi ni mume wako “
“Point of correction sio mume wangu mume wa wote “
“Vyote Sawa lakini Mimi ni mume wako na lazima ujue hatua zangu zote “
“Hamad unajisikia lakini ? Kama Mimi ni mke wako na nastahili kujua hatua zako Mbona hukunishirikisha wakati unamuoa Khadija ? Mbona ukuwai kunishirikisha kwenye chochote kile ? Hamad umefungua biashara kila kona uko lakini naishia kuzijua kupitia mitandao ya kijamii tu, ushawai kufikilia kuhusu Mimi ata siku moja ? Hamad kila mtu afanye yake “
Muda huo huo akaingia mama mkwe akiwa na Wifi yangu, Yaani mama mzazi wa hamad lakini pia na dada wa hamad.
“Muone Mdomo wake juu juu Kama kasuku “
Alizungumza mama hamad ni wazi Kuwa amesikia baadhi ya Maneno yangu.
“Shikamoo mama “
Nilimsalimia.
“Ningepata Mtoto Kama wewe ningemtupa uko uko hospital”
Alijibu mama mkwe wangu, nikaona hizi dharau zimezidi sasa, Nikamuangalia kisha nikataka kuondoka haraka akanirudisha nyuma kwa kunivuta mkono wangu.
“Ukinishika Tena huu mkono ndio Utajua maana halisi ya Kuwa mke wa kwanza kwa huyu Kijana wako kichaa Tena kwa ndoa ya mkeka “
Nikajitoa kwenye mkono wake na kutaka kuondoka, weeeh Wifi yangu si ndio akajichanganya na kunivuta eeeeeh 😂🙌 Leo ameyakanyaga nikamtuliza na kibao kizito sana cha shavu na vile ni mfupi 😂🙌.
My zangu hii vita bado mbichi.
, na alikuwa ananipenda sana na alikuwa hataki kukaa mbali na mimi kwa namna yoyote ile, na bahati nzuri umaridadi na uhidar wa kazi zake ukawa unazidi kwa mimi kuwa pemben yake, siku moja nikamuuliza ilikuwa je mpaka katika hali kama ile..
Akaniangalia kwa sekunde kadhaa kisha akasema cha msingi ni wewe kuwa karibu yangu na habari zangu hazikuhusu..
Nilijisikia vibaya sana kwa jibu lake, ila sikutaka kuonyesha ghadhabu zangu, nikataka ajue kuwa nipo sawa, nikaanza kufuatilia sana kuwa anashida gani, maana hio hali aliyo nayo sio hali ya kawaida kabisa, ni lazima kuna story huko nyuma na nahisi huenda ikawa sio simulizi nzuri, Ila hakuwa ananipa ushirikiano kwenye majibu ndio changamoto..
Basi nikawa nachunguza sana, mpaka siku moja nikaja kufatwa na mwanaume mmoja, kwa kumuambgalia utajua anaweza kuwa zaidi ya miaka hamsini, akaniuliza kuwa wewe ndio shimena..
ndio nani mwenzangu? Na mimi ikabidi nimuulize yeye..
Akacheka kidogo kisha akanambia kuwa yeye ni baba yake na Edward, nilishtuka sana, maana kuanzia nimemjua Edward sijawah kuhisi kama anamzazi, maana alikuwa anaishi maisha ya kipweke sana kuliko kawaida, kana kwamba alikuwa ni mtoto yatima asiekuwa na wazaz wala walezi, au mwanaume ambae aliachwa na mwanamke ambae alikuwa anampenda sana...
najua unataka kujua taarifa za Edward akasema na kweli nilimuangalia kwa shauku kubwa sana maana ni kweli nilitaka kujua ni kwanini alikuwa alikuwa kwenye hali ambayo alikuwa nayo wakati ule....
Akanambia kuwa hio cd ina kila kitu kumuhusu Edward ila kabla sijapokea nikashangaa imepokelewa na mtu nyuma yangu, nakuja kugeuka nashangaa nakutana uso kwa uso na Edward kiukweli nilishtuka sana, akaichukua ile flash kisha akasema " mzee nilishasema kuwa sitaki kuwa karibu na wewe hata kidogo, kwanini umekuja kunifata kwenye maisha yangu tena, unataka nini, mbona nimekuacha na maisha yako, mbona mimi najua siri zako na nimetulia tu kama sipo, unafikiri kwa ulichomfanyia mkeo na mwanao watu wakijua wataendelea kukuona kama kiongozi wao au ndio watakuuwa mara moja, naomba uachane na mimi na ukae mbali na mwanamke wangu, na ukae mbali na maisha yangu...
Kisha akanishika mkono akaanza kunikokota, tulipotoka nje akaniachia kisha akaniangalia kwa sekunde kadhaa kisha akanikumbatia kwa nguvu kwa karibu dakika mbili bila kusema neno lolote lile, kisha akanambia
nimeogopa sana ulipokuwa umekaa na baba yangu..
Basi akajitoa kwenye kumbato na kusema " hata kama kukiwa na shida gani naomba usije ukawaza kuniacha mamaa, wewe ndio kila kitu kwenye maisha yangu kwa sasa hivi, naomba usije ukawaza kukaa mbali na mimi, utaniua...
Nilimuonea huruma sana na kuendelea kumuahidi kama ambavyo huwa namuahidi kila siku kuhusu kuwa karibu nae kwa wakati wote basi akanielewa na kuwasha gari, na tukaanza kwenda kwenye mgahawa flani, tukala ila wakati wote huo Edward alikuwa kimya, na mara baada yua kumaliza kula akataka twende nyumba hata sikubisha, tukaanza kuondoka kuelekea nyumban, akaleta na popcorn kisha akanambia kuwa ana simulizi anataka kunipigia, basi nikaweka maskio yangu juu juu kama ungo nikaanza kumsikiliza...
Full 1000
Whatsp 0784468229
Kabir alinyamaza, alimuangalia bila hata kupepesa macho. Midomo yake ilifunguka lakini hakutamka neno.
Kabir alinyanyuka kitandani, akikaa kitabdani huku akimshika mkono Nadia. “Nadia… unasema una mtoto?
" Ndio mimi ni mama.
" Ni mtoto wa Jayden?
Nadia alitingisha kichwa akimaanisha hapana. Kabir alikaa vizuri huku akiwa kamkazoa macho.
" Siku ile kwenye kile kibanda cha Wamasai ukipanda mbegu kwenye tumbo langu la uzazi.....
Kabir alimuangalia usoni kama vile umaskini anachokisikia, kuna muda alionekana kutaka kutabasamu lakini tabasamu liligoma kuchomoka.
" Kwahiyo mimi na wewe tuna mtoto?
" Ndio mtoto wa kiume anakaribia mwaka sasa.
"Kwa nini huniambii mapema? Umekuwa ukipitia maisha haya peke yako wakati mimi nipo?”
" Ningekwambiaje ikiwa tume Kutana kwenye wakati mgumu ambao ulinivunja moyo.
Niliona kama hautaweza kunipa nafasi.
Kabir akimvuta na kumkumbatia kwa nguvu.
Nadia akiendelea kuongea
"nilipojua nina ujamzito nilihisi dunia nzima imenigeukia. Nilizomewa, nilikejeliwa, kila mtu aliniona mchafu. Lakini nilijipa moyo nikasema nitaishi kwa ajili ya mwanangu. Nitamlinda, nitamlea, hata kama dunia yote itanipinga. Lakini Kabir, nilijua siku moja ukweli utaujua. Ndio maana leo nimeamua kukuambia
Machozi yaliwatoka taratibu.
“Mtoto wetu anaitwa Tawakal. Kabir yeye ndiye damu yako. Yeye ndiye mtoto wako , wewe ndio baba Tawakal
" Kwanini siku zote huku niambia Nadia?
"Niliamua kubaki kimya kwa sababu niliona kama haungeweza kukubaliana na mimi , Nilihofia nitakukatisha ndoto zako. Lakini moyo wangu ulikuwa mzito sana kuficha siri hii. Kabir, sasa umejua.
“Mungu wangu kwa siku zote hizo nimekuwa nikiteseka nikidhani nimekupoteza, kumbe nilipoteza pia damu yangu mwenyewe. Nimekuwa baba bila hata kujua. Nadia, kwanini Mungu alinificha jambo hili muda wote?”
Nadia alilia huku akiegemea kifuani mwake. Kabir naye machozi yakamtoka,
“Nadia ahadi yangu ni moja, Kuanzia sasa, sitawaacha nyote wawili. Nataka kumuona Tawakal, nataka nimkumbatie, nataka ajue ana baba ambaye atapigana kwa ajili yake na mamake.”
“Kabir… unanimaanisha kweli?”
“Ndio, Nadia,” Kabir akajibu kwa sauti yenye msisitizo.
“Nimevumilia mengi, lakini hii lawewe na mtoto wangu ndiyo nafasi yangu ya pili. Na siwezi kuiacha ipotee.
Nadia akajikuta akitabasamu Kwa mara ya kwanza alihisi mzigo mzito umeondoka mabegani mwake. Siri iliyomtesa kwa muda mrefu sasa ilikuwa imefunguliwa.
" Mpenzi sitaki tupotezi muda hapa naomba tuondoke nikamuone mtoto wangu.
Walitoka pale kitandani wakioga kisha kuvaa nguo zao na kuondoka pale hotelini na kwenda nyumbani kwa Nadia.
Walipofika walimkuta Tawakal amelala.
Waliongozana mpaka chumbani.
Kabir alipomuona mtoto wao Kalala kwa amani aliachia tabasamu na kwenda kitandani alijikaza pembeni ya Tawakal alimshika kichwa chake na kupaza nywele zake, alishika maajabu yake .
" Nadia kweli huyu ni mtoto wangu. Haina hata haja ya kipimo cha dna yani ni mimi mtupu.
Nadia alimuangalia jinsi alivyokuwa na furaha akabaki anatabasamu.
" Nadia asante sana kwa kujitakia mtoto mzuri.
Hii ndio familia yangu ya kweli .
Usiku ule kabir hakutaka kuondoka nyumbani kwa Nadia.
Alinyanyuka pale kitandani akamfuata Nadia pale alipokuwa kasimama alitingisha mikono yake kwenye kiuno cha Nadia kisha akavuta kwake na kumkumbatia.
Waliangaliana usoni kila mtu akiwa na tabasamu.
Kabir alimpiga nusu kwenye paji la uso huku akiendelea kushukuru .
" Asante sana mpenzi. Nadia naomba siku ya leo nilale hapa na nyie.
" Vipi kuhusu mke wako, hatakuwa na wasiwasi?
" Niliahantumia msg nimemueleza sitarudi.
" Basi sawa.
" Nataka kesho mwanangu akiamka anione baba yake nikiwa nimelala pembeni yake, nina shauku kubwa ya kuona macho mazuri ya mtoto wangu.
Nadia alimsaidia kabir kupunguza nguo nmbasda ya hapo waliangusha kitandani na huna lilianza upya . Baada ya hapo walipitiwa na usingizi.
Kulipokucha asubuhi kabir aliamka mapema sana alikuwa pembeni ya wapendwa wake . Alimuangalia Tawakal alivyokuwa akijinyoosha. Tabasamu hazikukauka usoni mwake.
Hatimae Tawakal alifumbua macho na kukutana macho kwa macho na baba yake. Kabir hakufanya hajuzi alimnyanyua mtoto wake na kumpakata.
" Tawakal baba yako nipo hapa. Aliongea kabir kana kwamba Tawakal alikuwa anamuelewa.
Offer offer offer
Soma yote kwa sh 800
Whatsp 0784468229
Jimmy akimsindikiza kwa macho mpaka alipopotea kisha akasema yani kuku yuko bandani kwangu alafu
nashindwa vipi kumchinja? Siku nikitaka nitafanya nitafanya tu hata hivyo hakuna mwanamke mgumu kwangu ipo siku mwenyewe atanivulia nguo. Alisema Jimmy kisha akarudi chumbani kwake aliwakuta wale wanawake
bado wamelala chini ya zuria, aliwaangalia huku
akiwa kashika kiuno chake Badae alianza kuwaamsha huku akiwapigia piga mabegani
Mnalalaje kama mpo kwenu 7 Amkeni muondoke kazi yenu imeshaisha Wale wanawake walinyanyuka huku wakiwa na uchovu wa pombe walijinyoisha kivivu kisha wakaondoka. Jimmy akienda bafuni kuoga alipotoka akijiandaa na kuelekea kazini.
Prisca alikuwa amekaa kwenye mgahawa wa
chuo na mawazo yake yalikuwa mbali sana alikuwa anafikiria vitimbi anavyofanyiwa na Jimmy
Kweli di limenigeukia yangu nimeingia ukubwani kwa lazima Leo hii mimi Prisca najulikana kama mke wa mtu na huyo mume
sasa anafanya mambo ya aibu, hivi watu
wanasoma tabia zake za kubadili wanawake si watakuwa wananiona mimi ndio mwanamke wa ajabu nisieweza kumdhibiti mwanaume wangu? Wakati akiendelea kuwaza na kuwazuia alifika
Linda na kukaa pembeni yake.
Wenzako walioolewa wananenepa na kufurahia ndoa zao sijui wewe una watoa nini mpaka Inalinda kiasi hicho? Prisca alimuangalia kisha akaguna na kusema. Hii ndoa ya dili imegeuka kuwa mwiba kwangu
Kwanini?
Hivi unaniuliza kwanini kwani hujul Linda?
"Ningejua nisingekuuliza kipenzi *Hivi ni ndoa gani haina mapenzi hata kidogo?
Jimmy ananikomoa na kutaka kuniumiza kihisia, jane usiku kaka na wanawake wawili kaenda kulala nao chumbani kwake mpaka asubuhi
alafu asubuhi ananifuata na kunitaka na mimi. Duuu hayo kweli makusudi lakini Prisca wewe kweli umeshindwa kumkomoa huyo mwanaume.
Naweza ila sitaki kushindana na mtu
mpumbavu. Ila kuna jambo nitafanya mpaka natoka pale kwake atakuwa Kapata funzo kuwa wanawake wa kitanzania huwa hazitaishia ujinga.
Mida ya mchana jimmy na Patrick walikuwa
wapo kwenye mgahawa wakipata lunch. Lakini
Jimmy alikuwa mbali sana kimawazo.
Vipi mbona unawaza sana 7 Acha niwaze yani nilijua natafuta tatizo kumbe ndio kwanza naanzisha tatizo lingine. Kivipi?
Jana nilienda na wanawake wawili nyumbani ili
kumuaminisha Prisca kuwa mimi ni mwanaume. sina ninachoshindwa na hakuna wa kunizuia Sasa hiyo njia yako umefanya kazi? Najihisi kama mjinga tu na kujivunjia heshima
yangu
Na Prisca atazidi kukudharau
Sijali ninachosngalia heshima yangu tu. Kwa matendo yako ya kutokumfikia heshima yako lazima itashuka.
Mvumilie Prisca mpaka atakapomaliza chuo ataondoka kwenda kutafuta maisha yake na wewe utabaki na maisha yakon Wakiendelea kula huku kimnya kilitawala kwa
muda
la prisca ni binti mrembo sana sijui kwanini hutaki kumpa nafasi kwenye moyo wako.
Mimi na yeye hatupendani na isitoshe sina
muda wa kupoteza kwenye mapenzi
Siku zilienda prisca akawabize na mambo yake
aliwahi kutoka nyumbani na kuchelewa kurudi ili kuepukana na kero za Jimmy pamoja na maudhi
madogo madogo
Siku moja prisca aliondoka na hakurudi nyumbani kabisa.
Siku hiyo Jimmy alikosa amani akishindwa kupata usingizi kila mara alienda dirishani kwake
kuchungulia nje
Mwisho alimpigia simu Patrick
Patrick alipokea simu usiku wa saa nane huku akiwa na wasiwasi huenda kuna tatizo limetokea.
Hallow
Patrick nina tatizo,
Tatizo gani, umepatwa na nini? Prisca hajarudi nyumbani mpaka muda huu. Aliongea Jimmy kwa wasiwasi. "Umemfanya nini mtoto wa watu, ameenda wapi.
usiku huu?
Sijafanya chochote na sijui alipo. Umeharibu kumtafuta kwenye simu? Sina namba zake za simu.
jimmy, Jimmy yani unakaa na mtu alafu huna namba yake ya simu. Hayo ni maisha gani
anayoishi?
Huu sio muda wa kulaumiana kama unayo
namba yake naomba tafadhali Nitakuwa je namba yake sasa? Sikiliza wewe lala tutajua kesho Nawezaje kulala Patrick?
Patrick hakuwa na jibu wala msaada kwa muda
ule alikata simu akalala. Jimmy aliendelea kuzunguka pale chumbani kwake huku akiwa kashika simu yake mkononi.
Kulipokucha Patrick alienda nyumbani kwa Jimmy alimtafuta Mike kwenye simu kwaajili ya kumuomba namba za simu za Prisca lakini Mike hakuwa anapatikana.
Mike hapatikani.
Qooh Mungu wangu! Nitasema mimi kwa yule kaka yake kichaa mshika mapanga? Patrick huyu msichana anataka kupasua hiki kichwa
changu
Subiri yapite masaa 24 alipopatikana tutaenda polisi.
Masaa 24 tumekaa tu kumbuka yule ni mtu. Patrick
Najua sasa tutumie nila gani kumpata? Walikaa huku wakiwa wanasubin huenda
atarudi
Baada ya kama lisaa limoja kupita Prisca alirudi. Patrick na Jimmy walinyanyuka macho yao kumuangalia, Jimmy alimuangalia kwa jicho kali. Habari mr Patrick
Salama Prisca
Baada ya kutia salamu prisca alitaka kuelekea chumbani. Hey wewe msichana ulikuwa wapi usiku kucha? Prisca alisimama na kumuangalia
Hil ya kuulizana imeanza lini? Umesahau sheria zako ilizoweka? Crazy girl unataka kushindana na mimi
mwanaume?
Wewe ni mwanaume tu kama wanaume wengine ila sio mwanaume wangu hivyo angalia yanayokihusu
Patrick allona hapo kuna kazi ni bora awaache wenyewe wamalizane Jimmy acha niende mambo yenu mmalizane
wenyewe.
Patrick alivyoondoka Prisca nae akawa anaenda chumbani kwake jimmy alimfuata nyuma waliofika mlangoni Prisca alisimama na kugeuka kumuangalia
Unaenda wapi?
Prisca huwezi kuinyima usingizi alafu unakuja na kuingia kwenye nyumba yangu kama vile
danguro
"Baba una jerouse au nini kinakusumbua? Siwezi kuwa na wivu na mtu kama wewe Basi tulia nafsi mimi nilikuwa kwa mwanaume.
wangu, hata siku nyingine niliporudi wewe
endelea na mambo yako usiniwaze kabisa. Prisca alingia chumbani kwake na kubamiza
mlango Taratibu na nyumba yangu Jimmy aliondoka pale mlangoni akaenda kukaa
sebleni Siku hiyo hakuwa sawa kabisa ni wazi
swala la Prisca kulala nje ya nyumbani kilimuumiza kwa kiasi flan mpaka mwenyewe akawa hajielewi maana haijawahi kutokea huu
baada ya muda mrefu.
Haiwezekani mtoto wa kike aniletee zarau kiasi kikubwa hivi, yani nimlishe, nimsomeshe na kila
kitu ni juu yangu bado anaenda kulala na
wanaume wengine huko, haiwezekani natakiwa kuweka heshima anaiheshimu kama mwanaume.
Jimmy alinyanyuka pale na kuelekea chumbani kwa Prisca, aligonga mlango kwa fujo Prisca fungua mlango.
Unataka nini wewe mwanaume? Umesahau kuwa tulisema hakuna mtu kwenda chumbani kwa mwenzie?
Hii ni nyumba yangu huwezi kuniwekea.
mipaka
Prisca alienda kufungua mlango lakini hakufungua mlango wote wakati huo alikuwa ametoka kuoga alikuwa akifunga taulo. Jimmy alimsukuma mlango akazamia ndani na kufunga
mlango
"Unataka nini wewe?
Nataka kukuonyesha tofauti ya mwanaume na
mwanamke, nataka heshima yangu. Aliongea Jimmy huku alianza kuvua shati na kutupia pembeni, Prisca alianza kuwa na hofu alirudi nyuma na kuchukua nguo na kutaka
kuvaa lakini hakuwahi Jimmy alimfuata na kumsukuma kitandani kisha akampatia kwa juu.
Full 1000
Whatsp 0784468229
Upande wa Naseer alienda kuongea na mama ake kuhusu wazo lake la kuniandikisha mimi mali zake, mama ake aliwaka akaanza kugomba amekuroga na yeye eeh? Yani mtu hana hata mtoto unataka kumpa mali zako unaakili kweli wewe? Ugomvi uliibuka ikabidi Naseer aondoke tu kimya kimya, mimi huku sikuwa najua chochote, jioni mama mkwe anakuja kafula, namsalimia haitikii, akaanza kunitukana, nataka kumuua mwanae, ili nirithi mali za mwanae mtu mwenyewe sijui mgumbaa, aliniporomoshea mbona nilijuta.... yaani
Nilijaribu kumuelewesha lakini hakunielewa. kabisa, akaanza kusema alijua tu make nimekaa kijanja janja, nilibaki tu nalia, nikiwa nalia alitoka mwanangu Elham, alimsalimia bibi yake, akamuuliza, Bibi mbona unamsingizia mama? Mama mkwe alimsogelea mjukuu wake akaanza kumwambia, "mjukuu wangu huyu sio mama ako, huyu anatuchezea akili anataka mali za baba ako, ndio maana anajifanya anakupenda na kukulea vizuri...
Bibi bwana unauzamani sana, na mashaka mashaka utazani ulishawai kufanya hivyo au ulishawahi kufanyiwa? Mama mkwe alishtuka, mpaka tukashangaa, akaanza kulia nakusema namfundisha mtoto kumtukana, nilishangaa na kukana mama mimi siwezi kufanya ivyo unayoniwazia mimi sivyo nilivyo...
Hakujibu chochote akaondoka tu, uku anagomba nilichoka, Naseer alirudi alinikuta nimenywea lakini sikusema chochote, aliwaza akaamua kwenda kumuuliza mwanae, oya dogo mama ako kulikoni nimefanya kosa gani mbona sielewi? Elham alimcheka baba ake, kisha akamwambia tu bibi alikuja kumtuhum wala hujamkosea huenda anamawazo tu siunajua mambo ya wanawake, yani kanavyoongea kama mtu mzima....
"Kwani wamekosana nini? Wala hawajakosama bibi tu na kupenda kwake mali kuliko utu, anahisi mama anataka kukuibia mali, "ila bibi yako jau, hana shukrani kabisa hajui mke wangu kapambana kiasi gani, ata kunivumilia tu, hawezi kuwa na tamaa ya mali, angekuwa na tamaa angeshajulikana tu, nimemwambia bibi lakini haelewi mpaka anamuita mama mgumba, mzee weka sawa ili jambo lisijekufika mbali, mama ni mwanamke poa sana ukimpoteza utakuwa umejiharibia mno...
Walielewana na mwanae, akaingia kulala, kakuta mimi nishalala kitambo sana, sikuwa nataka kuongea chochote kwa leo, kulikucha nilimuandaa kama kawaida, akaondoka, upande wa mama mkwe, alipigiwa simu na mama Najma, akampanga mpaka akaingia kwenye mfumo, kwa ajili ya mali alisema atapambana mpaka Najma arudi kwake, akuna cha talaka, alipewa ahadi ya kupewa kiwanda cha sukari, apo mama tamaa ikamuingia....
Pale pale akafunga safari kwenda kwa mwanae, akaenda kumsihi asimuache mke wake, kwa sababu hata dada ake alikuwa na tabia mbaya, lakini hajatengwa kasaidiwa, na huyu anaweza kuwa bora zaidi, asaidiwe tu, Naseer aligoma mama ake akatumia ubabe kumlazimisha kama. mama nakumtishia laana,mambi yalianza kuwa magumu, tulianza kuishi kwa mawazo mno...
Apo nilikuwa mwaka wa mwisho, nikawa napiga tu Dua usiku na mchana, nilimaliza mitihani yangu, nikaanza kufanya biashara zangu uku nasimamia kwa siri sana zile za Naseer aliniomba nifanye hivyo...
Full 1000
Whatsp 0784468229
Nikashangaa ananipeleka sehemu moja kama restaurant, ilikuwa imeendikwa chiken fish, kisha akaagiza kuku wa tatu na chips..
Baada ya kama nusu saa wakaletwa kisha akasema "sikuwa najua kama sophy unapenda chips sana, hata kuku hao apo na chips naomba ule na umalize..
Nikashangaa maana sikumuambia kama nilikuwa na njaa, na walam sikuwa nataka kula kuku mimi, sasa sijui ni nani ambae alimuambia kuwa nina shida na kuku na chips zake, akajua kabisa kuwa sikuwa nataka kula hivyo akaniambia tena kuwa “ kuku na chip hao hao unatakiwa umaliza, na utanambia kuwa unataka kunywa na kinywaji gani…
"Mimi sina njaa nashkuru, nikajibu...
"Usitake kunitania wewe mwanamke, kula laa sivyo nitabadilisha mada, yaan wanaume wengine wakikununulia unakula ula mimi mumeo hautaki, naomba ule kabla sijawah mtu mwingine muda sio mrefu akaanza kusema na kiukweli najua akili zake na sikutaka kuendelea kubishana nae ,sikutaka aje kunifanyia mambo ambayo alishanifanyia siku chache nyuma, hivyo kwa unyonge nikaanza kula.
Kweli nilimaliza kuku mzima, sikula chips wala kinywaji maana niliamin huenda ikasababisha nikashindwa kula, ila nilikuwa nimeshashiba, kwa binti kama mimi kumaliza kuku mzima haikuwah kuwa kitu rahisi kabisa..
Basi bana baada ya kumaliza nikamgeukia na kumuambia " mimi nimeshiba, kwa sauti ya unyonge sana ..
Akacheka kisha akanambia " najua unapenda sana chips kuku ndio maana unakubali kubali kizembe offer za wanaume wengine, mbona mimi huwa nakuhudumia vizur sana au ndio hauridhiki, au huduma zangu ndio hazina maana kabisa kwako...
" Umeshawah kunihudumia nini wewe, labda huduma pekee ambayo nimeshawah kuipata kwako n kero na kukosa furaha tu, na kuniharibia maisha yangu, kama hautajali naomba uachane na mimi, maana sina muda wa kupigishana kelele na wewe hata mara moja, nikajikuta nimejibu kwa kupanic sasa..
Akacheka kisha akanambia " mambo mengine tutaongea muda ukifika ila hakikisha unamaliza hicho chakula...
Nikaanza kula na wakati huo kelvin alikuwa ananiangalia kwa hasira sana, nikasema eheee kimenuka sasa..
Ila hata kama nipambane kiasi gani, ukweli ni kwamba siwez kumaliza kile chakula hata iweje, na yueye mwenyewe anajua kuwa uwezo wa kumaliza sina ila ananifanyia kusudi tu, nan i kama alikuwa anataka kunikomoa..
Nikashindwa maana nilikula mpaka nikaona sasa chakula kinaelekea kwenda kuziba pumzi, maana sehemu ya chakula imeshajaa...
Nikamuangalia kisha nikamuambia kuwa nataka kwenda nyumban..
Hata hakukataa akasimama na kunambia kuwa atanipeleka, nguvu ya kubisha pia sikuwa nayo tena..
Basi akanirudisha mpaka nyumban, kiukweli chuki na hasira zangu kwake ndio zikazidi mara dufu, maana niliona kama ni shetan mwenye umbile la kibinaadamu ila ana roho ya kishetani, ila kumbe mwamba kanielewa na anachokufanya ndio kama namna ya kufikisha upendo wake kwangu, ila ubabe na kuforce mambo ndio tabia yake, hajui kutongoza na mara zote huwa ananunua wanawake, na kama tunavyojua wanawake wa kununua huwa wanaangalia pesa tu, hawaangalii wewe ni romantic kiasi gani, maana hilo wao haliwahusu hata kidogo.
ITAENDELEA…
Full 1000
Whatsp 0784468229
Chapter 3
Nilitaka kuchukua simu akazuia, niliamua kutulia, akanitizama nilivyonuna akaendelea kucheza game kwenye simu yake, nikaona na mimi nimkomeshe, nikamnyakua nakuizima, afu nikaitia kwenye kifua, alinitizama tu, ata hakugomba yani nilichukia nilijua atagomba alalamike lakini ata hakujisumbua ndo kwanza akaamua kulala, nilimminya kwenye kidonda ainuke, alipiga kelele ya maumivu akainiuliza unashida gani, simu si nimekuachia? Nikamuuliza kwa nini haulizi au kugomba kama nimechukua simu udai simu yako, alinitizama bila kusema kitu adi nikaona aibu, alijikaza akajisogeza atoe simu yake kifuani, nilishtuka nikamwambia wewe unafanya nini?" Nataka kuchukua simu yangu si ndo unachotaka?...
na Niligoma nakumwambia atachukuaje iko mbali, "naweza kuchukua usijali, weee koma nilimzuia akanitizama kwa muda akatikisa kichwa na kurudi kulala, nilishusha pumzi na kumshukuru Mungu make mmh, tulifika kwanza huo mjengo ni umejaa Camera, vioo yani ni mzuri ila umekaa mkao wa ulinzi mno, nilimchamba kumwambia mjengo utazani zinaishi Dhahabu ndani, hakujibu chochote aliomba nimshike hawezi kutembea bila msaada, nilimhurumia, na jeraha lilikuwa linatoa damu, nilikumbuka ni mimi ndo nimemtonesha, nikaamua kumsaidia, uku ananielekeza, io milango haifunguki bila yeye, yani nilianza kujionea mauza uza, chumba chake sasa dah! Nikama nyumba nzima ya mtu, kwanza kulivyopangiliwa kunavyonukia na kuvutia adi raha...
Nilijikuta tu nimepasifia, nikasahau kama nina mgonjwa natakiwa kumsafisha, "Sweet, niwekee dawa kwanza, afu utazunguka uikague nyumba vizuri kama umeipenda unaweza kuhamia hapa hakuna shida, niligeuka nikamtizama kwanza, nikaamua kupotezea, nikaanza kumtoa shart nimwekee bandej mpya, nilimsafisha nakumfunga vizuri jeraha lake, kulikuwa na jiko umo umo kwenye hiki chumba, nikaona nimpikie mgonjwa, nilimuuliza nipike nini make sina uenyeji na pia sijui nini anapendelea, alinambia nimchagulie chochote nikipika mimi atakula, kasoro bamia na mchicha ndo hatumii, nilipika nikamtemgea akadai hawezi kula nimlishe, kwa jinsi nilivyokuwa nimechoka na nina usingizi, nilijikuta napitiwa usingizi nikiwa namlisha...
Nililala kwa pembeni yake, hakutaka kunisumbua, alisogea ili nilale vizuri, nilimkumbatia, bila kujua nikalala kabisa...
Itaendelea..
Chapter 4
Nakuja kuamka, nakuta nimefunikwa kabisa na shuka afu niko kwenye kifua cha mgonjwa, nikiwa kwenye kutahamaki nashangaa, Frank akaingia bila hodi, alivyotuona alitoka mbio, uku anasema sijaona kitu, niliona aibu, nikajitoa taratibu kabla mgonjwa hajaamka, lakini kumbe hakuwa amelala, aliniambia nitulie nisimsumbue anahitaji joto langu, niliona aibu, nikaanza kujitetea, sijakuomba ujitetee wala sijakutuhumu, na kingine samahani nimechukua simu yangu bika ridhaa yako...
Nilishtuka kachukua chukuaje na ilikuwa kwenye kifua, nilimgeukia na umenichunguria? Hakujibu kumuuliza nilichomuuliza badala yake akasema nimuache apumzike kachoka,nilitulia ila kwa shida sana, nilivumilia halafu akapitiwa usingizi, amekuja kuamka mimi nishatoka niko nacheza game, nikiwa pale Frank alirudi tena akabisha hodi nilimuitikia uku naona aibu, alifika nakudai wenzake walikuja kunitafuta, ameshawaekeza, afu akaja na mzigo akadai kaagizwa na kaka ake, akiamka nimpe, kumbe alikuwa kashaamka, alimuita mdogo wake, Frank alisogea alivyoagizwa, wakaanza kupiga story... akatia
Frank akamtizama kaka ake akaacha na maelekezo ya dawa zingine,akaniuliza mahitaji ambayo hayapo jikoni akalete, Ethan akamwambia, "hupaswi kumuuliza wewe aisee, nikashangaa, Frank akacheka nakusema hatauliza tena tuulizane wenyewe, nilibaki nawashangaa tu...
Ethan aliniuliza nahitaji nini uko jikoni, niliingia nikaandika ninavyoitaji nikampa Ethan, Ethan alitabasamu nakusema uko smart sana, sikujibu chochote nilikaa tu kimya, make siwaelewi kabisa, Ethan alipitia akakuta nimeandika na pipi, alicheka akatoa ule mfuko aliokuja nao Frank akanipatia nilifungua na kukuta mfuko wa pipi, nilifurahi mno, nikamshukuru kama sina akili vizuri....
Wote walicheka jinsi nilivyofurahi na kushukuru kisa pipi, nikioga na kuvaa nguo zililetwa, nikaingia kupika chakula cha mchana, nilipika tukala, kisha Frank akaaga anaingia kulala, na mimi nikauliza room yangu nilale, Ethan hakujibu akakaa tu kimya, nilovyomuuliza tena akanambia "kwani kitanda hiki hakitoshi?...
Nilimtizama nakumwambia wewe ni mwanaume hatuwezi kulala chumba kimoja, alijibu, "ni mwanaume lakini saiv anaumwa hawezi kufanya chochote, hivyo nilale tu kama mwanzo yeye hana shida kabisa, nilichoka, nikaona uyu analake jambo ngoja...
Itaendelea...
Full 1000
Whatsp 0784468229
Mama ake alichanganyikiwa alijua mmewe atakufa akawa kashafanya mengi sana, alishajisema kuwa mmewe anamtoto mmoja tu Albert wengine wote sio wa mme wake na kweli alimsingizia mtoto mme wake ili aolewe nae, na mme wake alivyojua akabadilika akawa anatoka nje ya ndoa, mwanamke akaamua kulipiza akafumaniwa na mme wake akiwa na mwanaume mwingine kitandani tena chumba wanacholala mwanaume akaamua kusamehe tu kwa sabbu ya watoto walikuwa tayari na watoto wa 5 ila nyumba ikawa chungu apo kwenye hao wa5 mmoja tu ndie wakwake wengine wote ni wa nje..
Hio siri mwanaume alikiwa haijui yeye alijua tu ni mtoto yule wa kwanza sasa hapa alivyopalalaiz ndio akajua make mama Albert alijua mme wake hatopona alikuwa mahututi sana kumbe mle ndani kuna camera mmewe aliiweka kitambo tu, alivyoona hali tete kwakuwa alikuwa anaweza kuongea kiasi alimpigia Albert ili aje kumsaidia ndio siku ile apige Albert amjibu shit kumbe nilivyomwambia yalimuingia akaamua kwenda kumcheki alijua anataka pesa kumbe anamuhitaji...
Alifika na kukutana na hali mbaya mno, ila baba ake alimuomba achukue memory mahali waondoke nayo walichukua mda huo mama mtu hakuwepo, na wala hakutarajia kawa watoto wake kuna atakae jali kuhusu baba yao make sumu aliowanywesha alikuwa na uhakika itafanya kazi, Albert kabla hajampa baba ake ile memory card aliichunguza kwanza aliyokutana nayo, yalimchosha akili mno, alijikuta anamhurumia baba ake mno, na kuanzia hapo akawekeza nguvu kumsaidia baba ake...
Alijua yeye ndie mtoto pekee kwa baba ake,alijikuta anaumia mno mchezo aliomfanyia baba ake kumbe kosa ni la wote na kubwa ni mama, hakusema popote kama yeye ndie kamchukua baba ake alivunga tu leo ndio katoboa siri na baada ya miaka minne sasa, mwanamke ata hakujali kupotea kwa mme wake aliamini atakuwa kafa tu, make alimpatia sumu bila kujua sumu na dada wa kazi kabla ata mzee hajanywa aliyokunywa ni vitu vingine kabisa...
Mama A alichanganyikiwa mno akaamua kutafuta visa akimbie kwa mtoto wake mkubwa make huyu anajua uchafu wa mama yake vizuri mno, waliongea na kijana wake wakaelewana aende uganda kwa mwanae kabla mzee hajarudi, aliachana na habari za kumuozesha kijana wake mpaka binti akashangaa akawa anamuuliza mama vipi?
Mama bize kukusanya mizigo akimbie, ilibidi binti aanze kupambana kivyake..
Aliondoka uku anaplan yakumtafuta uyo mke wa Albert adili nae, alihangaika bila mafanikio, uku mzee aliandaa sherehe ya ndoa, sendoff ilifika tulifanyiwa kila mtu, alifunga mdomo, hawakuamini tena nimeolewa na mtu wa maana kuliko wote, niliondoka kama utani vile, na apo Albert nilikuwa nimembania mpaka ndoa, alikuwa analalamika mno, kuona siku angalau zimesogea akawa anashukuru tu...
Siku hazigandi siku ya ndoa ikafika, tulifunga ndoa ya kanisa, sherehe ilikuwa nzuri mno, tukiwa kwenye sheree Albert akaninong' oneza naesabu masaa mwenzio njaaa..
Kupata mwendelezo
Itaendelea ...🔥
Offer offer offer
Soma yote kwa sh 600
Whatsp 0784468229
Farida aliendelea kucheka.
"Sasa unacheka wakati sijamaliza kukuelezea.
"Mama bwana hivi kweli mtu mwenye akili timamu anaweza kuja kukisema kampa mimba mtu kama Shania?
"Tena sio kusema tu na vitendo nimevishuhudia kwa macho yangu. Shania ametoka kuzurula akatukuta hapa alipomuona tu huyo mwanaume akimkimbilia wakakumbatiana yani unaona kabisa hawa watu wanapendana..... Kabla mama Farida hajamaliza kuongea Farida
alianza tena kucheka.
"Mama hicho unachokiongea kwenye uhalisia wala hakipo labda kwenye filamu na maigizo. "Basi hayo maigizo utakuja kuyaona hiyo kesho.
Jioni mama Farida alikaa na ndugu zake na kuwaeleza kila kitu kuhusu Shahid. Kila mtu alikaa kimnya kwa muda hakuna mwenye jibu la haraka.
"Hili ni swala lenye utata sana inabidi kesho jioni tuonane huyo kijana maana hili swala lina utata hatujui nia ya huyo kijana ni ipi. "Lakini kama mtu kaamua kubeba mzigo wake
kwanini tusimpa huyu anakoenda ni kujifungua nani atamuhudumia na hali zetu kiuchumi ndio hivyo. Ndugu mwingine alitoa wazo.
Ni kweli lakini huyu ni mtu hatuwezi kumtoa sadaka Hatimae walifikia muafaka makubaliano yao ilikuwa ni kuonana na shahidi ili waongee nae.
Kesho yake majira ya saa moja jioni shahid alifika nyumbani kwa mama Farida na kukuta ndugu wote wameshafika walikuwa wakimsubiri
yeye Siku hiyo shida alikuwa nyumbani alikuwa ameiva na kuvaa dela lake na nywele zake lilikuwa vizur
Shahid alipokuwa mlangoni anabisha hodi shania aliposikia sauti yake alinyanyuka haraka akatoka nje alimuangalia usoni na kutabasamu kisha akamshika mkono.
"Nataka juice.
"Nitakununulia
"Karibu baba ingia, Ilikuwa ni sauti ya mama Farida kutoka ndani. Shahidi aliingia ndani huku akiwa ameshika na
mkono na Shania.
Kila mtu alikuwa kimnya akiwaangalia, Shahid alipofika karibu alitoa salama. Baada ya hapo alikaribishwa akakaa na Shania alikaa karibu yake.
Zuwena mdogo wa mama Farida alishindwa kujizuia alimsogelea dada yake na kuuliza. "Dada mtu mwenyewe ndio huyu? "Ndio.
"Mmmmmmm......
Mama Farida alianza kuongea. Ndugu zangu yule kijana niliwaambia ni huyu na kama mlivyojuonea Shania kaenda kumpokea. Mtu wake.
Tumeona dada tunataka kusikia chochote
kutoka kwa kijana Alisema baba yake mkubwa na Shania "Naitwa Shahid, ni mmiliki wa SR COMPANY
Mimi ndio muhusika wa ujauzito wa Shania. Shahidi aliweka kituo na kila mmoja alikuwa makini kumsikiliza.
"Nipo tayari kwa chochote hata kama kulipa faini kwa nilichokifanya. Najua kila mtu anaweza kufikiria la kwake na kuwa na hofu juu yangu, ila mimi nataka kusema sina nia mbaya na Shania nataka kumfanya mke na kumpatia matibabu ili wauze kuwa kwenye hali yake ya kawaida.
*Tutajua nini vipi? Tunaweza kwenda hata kwenye vyombo vya serikali kama mwenyekiti ili muwe na amani.
Kimnya kilitawala tena kwa muda. Ndugu waliangalia na wengine waliotajwa pembeni kwenda kuzungumza lakini baada ya muda
walirudi na kuendelea na maongezi.. "Kijana umesema upo tayari kumuowa Shania? "Ndio mzee wangu na inawahakikishia usalama wake
"Sawa hata sasa upo tayari?
"Ndio.
Baba yake mkubwa Shania aliwaangalia ndugu
zake ili kusikiliza maoni yao. "Kaka hatuwezi kumuonesha akiwa kwenye hali hii labda mpaka ajifungue baada ya hapo tutamuozesha.
"Hilo limepita.
Nashukuru sana kwa kuniamini na kukubali ombi langu. Pia nilikuwa nina ombi lingine. Kwa hali aliyokuwa nayo Shania anahitaji utulivu na
sio kuhangaika nilikuwa naomba kumchukua
nikakae nae huku tukiwa tunaendelea na
matibabu yake ya matatizo ya akili.
Kwa hilo hakuna wasiwasi mchukue tu lakini Zuwena na Farida wanatakiwa kwenda kupajua unapoishi na mara kwa mara watakuwa wanakuja kumuangalia Shania anavyoendelea. "Hakuna tatizo.
Baada ya makubaliano Shahid alitoa kiasi cha pesa kisha akachukua Shania na kuondoka nae
wakaenda kuanza maisha mapya. Walipofika nyumbani Tessy alishangaa kumuona
boss wake akiwa na Shania tena tumbo kubwa. *Heeee Shania ni mjamzito? Masikini Wahuni wameshafanya yao.
Shahidi alimuangalia Tessy kwa jicho kali alafu akamwambia, Chunga maneno yako, sio kila unachokiona
lazima ufungue mdomo mengine mezea. Tessy alitulia, Shahid na Shania walienda kukaa kwenye makocha, Tessy akawa anaenda jikoni. "Tessy hebu njoo. Tessy aligeuza na kurudi alipo Shahid.
"Nenda kamoetee Shania juice.
Sawa. Tessy alielekea jikoni na kuwaacha wamekaa Shahidi alimgeukia Shania akamuangalia tumbo
lake
"Shania utakaa na mimi hapa? Shania aliitikia kwa kichwa.
"Vizuri sana. Alisema Shahid huku mkono wake ukiwa juu ya tumbo la Shania, Tessy alirudi na kumuona Shahid akipapasa tumbo la Shania. Alisimama kwanza na kuendelea kuangalia. "Hiki ninachokiona ni kweli ama macho yangu yamekuwa kengeza?
Full 1000
Whatsp 0784468229
Suzan alirudi nyumbani kwao akiwa hana furaha alirudi kanyongonyea kama mgonjwa mpaka mama yake aligundua kuwa hayupo sawa.
"Suzan mbona upo hivyo?
" Nipo sawa mama ni uchovu tu , naomba nikapumzike kidogo.
" Sawa.
Suzan alienda chumbani lakini alishindwa kabisa kutulia alikuwa akimtafuta Victor pamoja na D bado wakawa hawajapatikana.
Siku ya pili ilipofika, Suzan aliendelea kuwa kwenye wakati mgumu simu zilikuwa hazipatikani.
Alijaribu kupiga simu ya Victor tena na tena bado haikupatikana.
Aliamua kurudi kule nyumbani kwa Victor kwa matumaini huenda amerudi. Alipofika, alimkuta mlinzi yule yule alikuwa getini jana
" Karibu madam.
" Nimekuta Victor?
" Hapana jaribu kumtafuta kwenye simu.
" Sipati na sina taarifa za Victor, kwani hajarudi?
" Hajarudi.
Mlinzi alimtazama kwa dakika kadhaa kisha akasema .
" Lakini D yupo ndani.
" Nataka kuonana nae.
" Sawa.
Suzan aliingia ndani akamkuta D akifanya usafi kwenye gari.
" D , Victor yuko wapi?
" Boss aliondoka usiku wa manane alienda uwanja wa ndege, alipata Safari ya ghafla .
Suzan aliduwaa.
" Safari ya ghafla? Mbona hakuniambia na usiku kucha nilikuwa nae?
" Hata mimi nilishangaa maana ilikuwa ghafla sana . Suzan alishangaa akawa haelewi
D aliingia kwenye gari akatoa karatasi ndogo yenye ujumbe
akampatia Suzan.
" Aliniachia hii nikupe .
Ujumbe huo mdogo uliandikwa kwa mwandiko wa Victor:
*Suzan kabla ya yote naomba nitangukize samahani kwa kukuacha bila kuaga na kukueleza chochote ila mimi nimesafiri.
Safari hii haikuwa mipango yangu, lakini nimeilazimika. Nimepelekwa mahali ambapo maisha yangu yanahitaji utulivu .
Kama utanisubiri, nitashukuru. Kama hutoweza nitakuelewa pia.
Victor*
Suzan alimaliza kusoma, akaangalia juu angani. Machozi yakaanza kumlengalenga.
"Victor kwanini kila kitu kwako ni ghafla? Kwanini maisha yako ni kama fumbo lisiloweza kutafsiriwa? Nataka kukuelewa, lakini kila hatua yako inanifanya nipoteze tumaini.
" Usijali atarudi kwajili yako.
" Sawa D acha niondoke. Suzan aliondoka akiwa mnyonge mpaka D akamuona huruma.
Suzan alikuwa kwenye wakati mgumu sana sababu alikuwa kashsmzoea sana Victor na alijua wanaenda kuanza safari yao yenye mapenzi ya furaha lakini ameishiwa kuachwa na huzuni, taratibu alianza kupoteza matumaini ya kuonana tena na Victor hata chuo walianza kumuongelea kuwa ameachwa sasa karudi kwenye ndoto.
" Hawa masponsa sio watu wa maana kabisa na ukizingatia kila siku warembo wapya wanazaliwa jamaa kashajipatia mtoto mdogo anakula zake maisha.
Maneno ya watu yakizidi kumuuliza suzan .
Siku moja aliamua kwenda kukaa mwenyewe kwenye limbwata akitafakari mambo yake , akiwa mbali kimawazo alishitukia kumuona James amekaa pembeni yake , James anamkabidhi chupa ya soda ya fanta.
" Asante.
" Vipi mbona imekaa kwa huzuni?
" Mbona nipo kawaida.
" Najua haupo sawa , ni kweli jamaa kakuacha?
Suzan hakutaka kujionesha mnyonge alijikaza na kucheka.
" Kumbe hata wewe una amini hilo ?
" Ndio naamini.
" James yule mtu hakuwa mwanaume wangu ila alikuwa ni mwanaume ambae alikuwa akilipita kisasi chake kwangu.
" Kivipi?
Suzan alimuelezea James kila kitu kuhusu Victor.
" Daaah kwahiyo jamaa alikuwa anacheza na akili yako?
" Ndio, naona sasa moyo wake uko na amani ndio maana ameamua kutulia zake.
" Kwanini hukuniam ila hilo mapema?
" Ningeanzia wapi ikiwa hukutana kujua ukweli ulikuwa ukinishutumu tu.
" Pole .
" Nimeshapoa.
Kila ilipofika usiku suzan alikuwa chumbani kwake akiangalia picha walizokuwa wanapiga wakiwa na Victor zilimkumbusha mambo mengi sana mpaka akajikuta machozi yanatoka.
" Sio kweli huyu mwanaume alikuwa hanipendi hata kidogo , kwanza mwanaume gani hakuwa na hisia hata za kutaka kuujua mwili wangu zaidi yeye alinichezea kama mdoli na kumuacha tu hata siku ile nimelala pembe yake mpaka asubuhi lakini alishindwa kabisa kufanya chochote. Hii sio kawaida Victor hakuwa na chembe ya upendo kwangu alikuwa yupo kwaajili ya kisasi na kuniumiza kihisia na sasa amefanikiwa.
Nakuchukia Victor, tabasamu lako lilinifanya niwe kipofu na maneno yako yalinipumbaza kumbe ulikuwa muongo moyo wako ilibeba chuki ya kisasi.
Palepale suzan aliamua kufuta kila kitu kwenye simu yake ambacho kilimkumbusha Victor. Hata baadhi ya vitu alivyomnunulia alivikusanya na kugawa hakutaka kubakisha alama ya Victor alipania kufuta kila kitu ili aanze upya maisha yake.
Full 1000
Whatsp 0784468229
wala hakujali Kuwa Mimi ni mwanamke wake lakini pia nimebeba Mtoto wake.
Kipigo na maumivu vilinikolea mwisho nilipoteza fahamu kabisa.
Baada ya hapo nilikuja kuamka baada ya masaa mawili baadae na nilijikuta nikiwa sebuleni, bado nilikuwa na maumivu makali sana na sehemu niliyokuwa nimelala kulikuwa na damu za kutosha na zilikuaa zikitokea kwenye sehemu zangu za Siri.
“Mtoto wangu “
Nilizungumza kwa huzuni uku nikipapasa tumbo langu.
Nikajikongoja na kutafuta simu yangu na nilipoipata tu nikampigia Rafiki yangu Yaani Yule Neha na kumuomba msaada ili aweze kunisaidia maana sikuwa na mtu mwingine na sikutaka kuwapa wasiwasi wazazi wangu ambao pia hawako Sawa kutokana na kila kitu.
Neha Bwana ni best friend kweli kweli, nilimtumia location tu na baada ya muda akafika akiwa na mumewe, kwa pamoja wawili hao wakanichukuwa na kuniwaisha hospital.
Nilifika hospital na dokta akadhiilisha kweli Kuwa nimepoteza ujauzito, nikasafishwa pale na kupelekwa wodini kwaajili ya kuongezewa damu kwani nilipoteza damu nyingi sana.
“Shamsa sijakuzoea hivyo shoga Angu, Mbona Kama umekuwa mzembe Saana eeeh wewe sio Yule Shamsa niliyekuzoea “
Alizungumza Neha baada ya Mimi kumsimulia mambo yanayoendelea kwenye ndoa yangu.
“Neha maisha yanabadilika sana, ata hivyo hamad amebadilika gafla tu “
“Simaanishi hivyo Namaanisha jinsi ambavyo umekuwa mzembe na kuvumilia hayo manyanyaso, Shamsa wewe ndio ulinifundishaga Kuwa imara lakini pia kujipenda imakuwaje sasa hivi umekuwa hivi shoga Angu “
Aaaah nilikosa majibu na kubaki nikilia tu.
Baada ya muda mfupi baba na mama yangu walifika pale wodini kwani niliwapatia taarifa, muda huo ilikuwa ni Saa 3 usiku.
“Huyu muuwaji amekuja hapa ??”
Baba yangu aliniuliza baada tu ya kunijulia hali.
“Hajaja”
Nilijibu kWa sauti ya chini.
“Hii ndoa haipo Tena na kesho atakupatia taraka zote Tatu, najua si Jambo jema kwa Allah lakini pia haya sio maisha ya ndoa ambayo Mungu ameyaandika “
Alizungumza baba yangu akiwa amechukia sana na alimaanisha kila alichokuwa akizungumza.
******
Kwa upande wa hamad Bwana taarifa zilimfikia lakini pia hakuna umuhimu wa kuja hospital kuja kuniona zaidi Aliwasha na mziki pale Nyumbani yeye na mwanamke wake lakini pia na watoto.
Kiukweli watoto wangu hawakuwa wakielewa kitu chochote kile zaidi walikuwa wamepumbazika na upendo ambao baba Yao amekuwa akiwaonesha na jinsi ambavyo alikuwa akiwapa zawadi mfululizo.
******
Hatimaye siku nyingine ikashika nafasi nikiwa hospital lakini pia nilikuwa nikiendelea vizuri sana.
Majila ya sana 2 asubuhi baba yangu alifika hospital Lengo lake likiwa ni kuhakikisha Kuwa napata taraka kutoka kwa mume wangu hamad.
“İli shetani lako alijaja ??”
Baba yangu aliniuliza.
Ila nyie baba yangu amechukia sana, Yaani baba yangu hakuwai kutumia Maneno machafu kwenye maisha yake lakini kwa sasa ni anazungumza kwa hasira na kutamka Maneno machafu.
“Vipi kuhusu watoto wangu baba?”
Nilimuuliza baba yangu kwa hali ya utulivu sana.
“Watoto wamefanya nini ? Yaani pale unabeba kila kilichokuwa chako na watoto “
“Sijui Kama hamad atakubali baba Angu “
Baba aliniangalia mwisho akaniuliza.
“Huyu daktari wako anasemaje kuhusu kutoka ??”
“Nimesharuhusiwa baba kuna mtu namsubilia tu “
“Huyo mtu atawasiliana nae kwa sasa Twende uko kwa huyo shetani wako “
KWa taratibu kabisa nikakaa wima na kuzungumza.
“Baba Saa hizi hamad atakuwa kazini kwake “
“Kokote alipo Tunaenda “
“Unamaanisha nini baba “
“Yaani Leo hii lazima akupe taraka zako na tuna rudi Nyumbani hakuna cha kusubili “
Pasi na kufikilia Mara Mbili Mbili nikajibu.
“Siko tayali kuachana na mume wangu baba, ata hivyo ni wewe ndio uliniambia Kuwa taraka si Jambo jema kwenye maisha ya watu wawili ambao wameunganishwa na Mungu “
Baba aliniangalia na kuniuliza.
“Umelogwa au ?”
“Sijalogwa baba lakini siwezi kuachana na mume wangu Tena gafla hivi “
Baba yangu alichukia sana na kwa sauti ya ukali akazungumza.
“Kama utaendelea hivi Basi Mimi sitakiwa na radhi na wewe Tena Shamsa, Kama Mimi ni baba yako Basi utafatisha kile ambacho Mimi nakuambia”
Baba yangu alimaliza kisha huyo akaondoka zake na kuniacha Mwenyewe.
“Shamsa akili Yako iko Sawa kweli ??”
Alikuwa ni Neha ambaye aliingia wodini baada ya baba yangu kutoka ni wazi Kuwa Neha alisikia mazungumzo yangu na baba yangu.
“Sio rahisi kunielewa lakini haya ni maamuzi magumu sana kWa upande wangu, ni maamuzi ambayo yanaitaji ukomavu wa akili “
Nilizungumza kWa huzuni uku nikifuta machozi yaliyokuwa yakitililika kutoka kwenye macho yangu.
“Unamaanisha nini Shamsa ?”
Neha aliniuliza.
“Wasiwasi wangu ni kukosa watoto wangu, Neha hamad ni mtu Mwenye Pesa sana, na ukiachana na Pesa Ana connection nzito sana Unafikili itakuwa rahisi Mimi kupata watoto wangu ? Hamad anaweza akanipeleka mahakamani halafu nikashindwa kupata watoto wangu, Sina pa kushika Mimi Sina ata sehemu ya kusema naweza nikapata msaada “
Neha aliweza kunielewa na kwa huruma akanikumbatia kwa nguvu sana na kuniambia.
“Hakikisha Kuwa unakuwa imara “
“Usijali Neha “
Baada ya muda Neha akanichukua na kunirudisha Nyumbani kwangu kisha akaondoka.
Naweza nikasema Kuwa kitendo cha hamad kunipiga mpaka kusababisha mimi kupoteza Mtoto wangu kilinifanya nimchukie sana hamad, Yaani nilimchukia kuliko kawaida, Yaani Sijui Kama mnanielewa lakini namchukia sana huyu mwanaume.
“Ulikuwa wapi ??”
Hamad aliniuliza pale tu niliipoingia Nyumbani Kana kwamba ajui Kuwa nilikuwa hospital.
Kabla Sijajibu swali lake gafla watoto wangu walikuja na kunikumbatia kWa nguvu sana.
“We miss you mama “
Walizungumza watoto wangu wakiwa na furaha kubwa sana ya kuniona mama Yao.
“Mama amerudi sasa niliwamisi pia “
Hamad alibaki akinishangaa tu, kwa upande wangu nilichukua watoto wangu na kwenda nao chumbani kwao na kuanza kucheza nao uku na uku Kiukweli walikuwa na furaha sana.
Majila ya jioni nikaingia zangu jikoni na kuanza kuandaa chakula na nilikuwa naandaa chakula changu tu na watoto wangu.
“Wife material huyo “
Alizungumza Hadija baada ya kuja jikoni na kunikuta nikiendelea na mapishi yangu.
“Za jioni Hadija”
Nilimsalimia tu maana sikuwa na kitu kingine cha kumjibu.
“Hamad anataka kula makaloni Leo na maini, lakini pia anataka na juice ya embe hivyo utaandaa”
Alizungumza Khadija na kutaka kuondoka, Ila kabla ajaondoka nikazungumza.
“Jiko ni kubwa sana ili Khadija Karibu upike “
“Shamsa unatania sio ? Yaani Mimi ndio nipike ? Yaani Mimi ndio niharibu kucha zangu na wewe upo ? Bye the way wewe ndio mke KIJAKAZI kwenye hii Nyumba “
Weeeee nilijikuta nikichukia sana haraka nikamsogelea na kWa sauti iliyojaa maumivu nikamwambia.
“Kuna siku utavaa viatu vyangu, lakini pia utaelewa huu msemo wa mwenzako akinyolewa tia maji nywele zako “
Khadija akaniangalia na kwa dharau ya hali ya juu akanishushia msonyo mmoja Matata sana na kuondoka.
Mama Farida akibaki katia nacho kumuangalia Shahid hakuwa anaelewa kanisa kile alichokisikia kutoka kwake.
'Kijana sijui kama sijasikia vizuri au sijaelewa?
Mama ujauzito wa Shania mimi ndio muhusika. Abeee....?. Mama Farida aliishia kuitika kamal vile aliitwa.
"Mama nipo hapa kuweka mambo sawa na nipo tayari kumuowa Shania na kumuhudumia kwa kila kitu mpaka atakapo kaa sawa.
Mama Farida aliendelea kumuangalia Shahid
bila kummaliza
'Wewe mtoto wa kiume mbona inanishangaza au ni imani za kishirikina ndio zimekusukuma kufanya hivyo?
Hapana, hapana mama mimi ni mtu safi kabisa sina imani hizo hili lilitokea kwa bahati mbaya na nafsi yangu inanisuta mno kwa nilichokifanya ndio maana nipo hapa kwaajili ya kusafisha. makosa yangu nia yangu ni njema kabisa.
Mama Farida aliendelea kumuangalia Shahid bila kuongea chochote na kichwani kwake alikuwa anaongea mengi sana.
Huyu kijana mtanashati na nadhifu aliweza vipi kuwa na Shania ambae kuoga tu kwake ni
mtihani, jamani wanaume mmmh. Mama.... Baada ya Shahid kuita ndio.
akamzindua kutoka kwenye mawazo. Mwanangu hapa sina la kusema sijui nitoe jibu gani.
Kimnya kilitawala kwa muda Mara akatokea Shania, Shania alipomuona Shahid alifurahi anamkimbilia na kumkumbatia kwa furaha.
mama Farida akibaki mdomo wazi, Shahid alibaki kuning'iniza mikono huku akimuangalia mama Farida.
Mama Farida alishangaa mwishowe alipiga makofi. "Makubwa haya.
Shahid alimtia Shania mwilini kwake akamuangalia usoni kwa huruma huku akitoa tabasamu dogo kisha akamjalisha chini kwenye.
mkeka.
Marma nadhani utakuwa umeona kitu kati yetu.
Nimeona baba, nimeona nyoyo zenu zinasemekana zinaongeza rugha moja Sasa kwa leo mimi sina la kusema acha nije nikae na ndugu tuzungumze kesho jioni uje.
Sawa mama. Shahidi alitoa kadi ya namba za
simu na kumpa mama Farida.
Endapo litatokea lolote basi naomba unitafute kwenye hii namba.
Sawa. Mama Farida alitilia huku akiwa
anamuangalia Shahid usoni akiwa haamini amini. "Leo hutaki mia mbili?
Nataka.
Shahidi alimshika pia yake kisha akatoa Wallet na kumpa noti ya elfu mbili na kiasi kingine cha pesa alimpa mama Farida.
Asante baba.
Mama acha mimi niende.
Sawa
Shahidi alimuangalia, Shania aliangalia vidole
vyake vya mikono huku akivichezea.
Shania sasa unatakiwa kukaa nyumbani utulie mimi naenda kukuletea maembe.
Haya.
Baada ya hapo Shahid aliaga na kuondoka. Mama Farida alikuwa anamsindikiza kwa macho
hadi akawa anamchungulia. Alimsindikiza kwa macho mpaka alipopotea
kwenye upeo wa macho yake kisha akamuangalia Shania ambae alikuwa anaangalia. hela aliyopewa huku akicheka cheka.
Mama Farida alitingisha kichwa.
Hil dunia ina mambo kweli yani yule kijana. alivyo na huyu Shania wapi na wapi na alianzaje anzaje? Mama Farida alijiuliza maswali mengi yaliyokosa majibu.
Mara Farida alifika
Jamani mbona kila mtu kashika hela kuna gari la msaada kimepita hapa?
Shania alikuwa anamlingishia alafu anaficha. Farida mwanangu nilichokisikia na kukiona.
siku ya leo kimenistaajabisha sana. Ni kitu gani mama? Aliuliza Farida huku akitaka
kukaa.
Wala usikae ingia ndani kwanza ukanichukulie simu. Farida aliingia ndani akachukua simu na kumpatia mama yake.
Mama Farida alianza kuwapigia ndugu zake na kuwataka wakutane jioni nyumbani kwake. Baada ya kuongea na simu Farida alimuuliza
mama yake.
Mama mbona inakusanya watu kuna nini?
Mwanangu kuna kijana mmoja kaka na gari yake hapa, ni kijana safi mtanashati na mwenye akili zake timamu Amekuja hapa anasema
ujauzito wa Shania ni wake.
Farida alimuangalia mama yake na kuanza kucheka.
Full 1000
Whatsp 0784468229
Wakakuta kimya kuuliza wanaambiwa mganga kafariki ni wiki sasa, walichoka, wakauliza kama kuna mganga mwingine wakaelekezwa kijiji cha tatu kutokea hapo, ilibidi warudi kwanza mjini wakajipange, walirudi kila mtu anamawazo, walianza kupata mashaka, na hali zao pia hazikuwa nzuri, walikuwa wanatoa harufu mno, wakaamua kumpigia doctor wao, akaja na kuwaambia, wanatakiwa kusafishwa hali sio nzuri na huwa ni kwaida yao kupigwa bomba lakini wanarudia, awamu hii hali ilikuwa mbaya zaidi, na gharama ilikuwa kubwa mno, walipiga hesabu kuipata inahitaji akili....
Ilibidi wapambane kwanza kwa mganga ili wampate ya Naseer awape pesa matibabu, upande wetu huku pia Hali ya Naseer ilikuwa mbaya milija yake ilikutwa na uchafu mno, ilibidi tumpeleke nje kwenye matibabu ya uhakika zaidi, niliondoka na mwanangu Elham kwa kuwa alikuwa likizo sikutaka kuamini mtu kabisa, niliondoka nikaenda kumuuguza mpaka akakaa sawa, ilichukua miezi mitatu, ilibidi mwanangu nimtafutie mwalimu huko huko awe anasoma ili asiwe nyuma...
Huku kina Najma hali ilikuwa mbaya mno, mganga aliwalia pesa walikutana na tapeli, awakupata msaada wowote, Najma akaamua kwenda kwenye kampuni ya Naseer ili akadai ata talaka apate pesa, kufika anaambiwa kampuni sasa hivi ni ya mama mtu, alishtuka akajua apa anaweza asipate hata kijiko, sasa ni bora akaitishe vyombo vya habari kulalamika CEO mkubwa lakini hamhudumii mke wake...
Wakati anaenda kwenye vyombo vya habari, akadondoka njiani, alipata msaada, akapigiwa Husna akaenda, wakapata wazo wampigie mama ake Najma make nae pesa ipo, mama ake alivyofika alilia kwa uchungu, akauliza shida nini, walificha nakula njama na doctor, mama alitoa pesa lakini hali ikawa tete ikabidi wasafilishwe wote kwenda kutibiwa hoptal ya rufaa mama ndo akajua ukweli aisee alilia yule mama kama mtoto, aliamua kushughulikia mtoto wake tu, akamuacha Husna peke yake akiwa amepoteza fahamu...
Mpaka akafariki, walitafutwa ndugu zake, kupitia simu yake, wakambahatisha mama ake mdogo, ndio akaja wakachukua mwili, wakaenda kuzika sisi hatukuwa na habari yoyote, tulirudi, nyumbani mme wangu akaanza majukumu yake, na akaacha kabisa kufanya vikao kwenye mahotel, ni kazini kwake alitengeneza ukumbi kwa ajili ya watu maalumu, aliogopa hata kucheka na wanawake, wala kula chochote nje,aliniomba niwe nampa tu chakula chake bora ale kiporo lakini kula chakula au maji nje na kwake amekoma...
Alinunua jiko la umeme,kwa ajili ya kupashia chakula chake, akawa anatembea nalo dogo dogo tu kwenye beg lake, na chakula chake bila kusahau maji, yakimuishia, alikuwa ananipigia nimpeleke, hatukujua taarifa za Najma, mpaka siku moja mama ake Najma alipiga simu, nakumuuliza Naseer mkewe yuko wapi, Naseer aliomba waonane, mama Najma aligoma nakuanza kugomba, alitaka kupambana ili mtoto waje abaki na Naseer...
Naseer aligoma nakusema yuko tayari kwa lolote atampa talaka hamhitaji, vita ikaanza, hapo Najma alikuwa kapona, mama Najma akawaza akaamua kutafuta plan B...
Full 1000
Whatsp 0784468229
Sikujibu chochote ni machozi tu yakawa yananitoka, alinifuta machozi mpaka akachoka akaamua kunilaza tu, apo simu yake ikaanza kuita alikuwa ni bi mdogo Asha, Amir aliogopa ata kupokea hio simu,akihofia ninaweza kupanic zaidi, aliamua kumjulisha mke wake kwa sms, avumilie hatoenda siku tatu hizi zipite ndo watakutana, Asha alipanic akaanza kulalamika, Amir aliona kabisa atapasuka kichwa akaamua kuzima kwanza simu, amalizane na mimi...
Mimi sikujua chochote nilikuwa namengi kichwani, siku 10 zilipita nikawa nimepona, niliamua kuigiza niko sawa ili nipelekwe kwetu, lakini Amir alikataa akadai nitakaa kwa Bibi yake, nikiwa sawa nitaenda kwangu, nilijikuta nazidi kuchukia tu, uzuri pia muda wa kurudi kazini ulikuwa umefika, Amir alienda kwa bi mdogo, alipokerewa na lawama, alijuta kuoa, alijitahidi kumuelewesha pia na kumbembeleza, alikaa saba zote, akamaliza ila ni kwa masharti hakuna kunipigia simu mpaka saba ziishe kama yeye alivyokaa kimya bila kutusumbua, kwangu nilikuwa naumia, na sikutaka kupiga simu kila nikicheki ata sms tu ya kunijulia hali hamna nikawa naumia mno...
Najikaza tu, nilikuwa ni mtu wa kujifungia tu ndani, sona story na mtu, mama angu alikuja na ushauri nisikirizie kama mwanaume atakuwa mbaguzi ndo nidai taraka nijipe muda swala la taraka sio dogo,nilimuitikia tu, make sikuwa nimeeelea chochote,aliondoka na kunitakia kazi njema nake ilikuwa bado siku mbili niende kazini, siku moja kabla ya kwenda kazini, Amir alilidi, alikuta watu wengine wote wake sebren kasolo mimi tu, aliniulizia, akaambiwa nipo chumbani, akaja kugonga nilijua ni bibi niliinuka kwenda kufungua, apo nimekonda atari,nafungua tu ivi...
Nakutana na Amir, ata sikujisumbua kuongea nikaachia tu mlango na kuludi kuendelea na kazi zangu, aliingia ajanikumbatia kwa nyuma nakuuliza maendeleo yangu, nilijibu tu kifupi, niko sawa, nikajitia kwenye kumbato, nijaendelea na mambo yangu, Amir alisogea nakuniomba msamaa kwa kuwa kimya mda wote, mimi ata sikujibu chochote wala kuliweka akilini, akajua nkimechukia pia, akaanza kunimbembeleza nikawa nahisi ananipigia tu kelele, niliamua tu kuongea niliona kabisa atanipasua masikio, Amir mimi ata ukikaa mwaka bila kunitafuta sio tatizo hivyo acha kuongea ongea mimi saiv siwazi ubayo yawazi wala sihitahi mashindao na mtu ya kusalimuwa wala kutembelewa, we ni mtu mzima aisee, amka ukaoge ule ulale kesho uko zamu, niliongea nikatoka Amir alikosa amani kabisa, akatamani ata nimgombeze, nilalamike, ila ata dikujisumbua nilienda nikaanda chakula chake, nijaludi chumbani nikamuandalua pajama za kulalia nikamuandalia na nguo za kutokea, nilikuwa sijisikii kuongea nikaona uvivu kumuuliza kama atalala au anatoka nikaandaa zote ili yeye mwenyewe achague, huwa siku zote nashinda chumbani, ila leo alivyokuja tu, nikaamua kwenda kushinda bustanini tu peke yangu...
Itaendelea....💥
Full 1000
Whatsp 0784468229
Siku ikapita, ila Rose alianza kulalamika nikama nimeanza kujitenga kuna siri gani kati yangu na Madam nilimwambia hakuna lolote, ila alionekana kuchukia, sikujali nilikuwa bze kujisomea kwa ajili ya mtihani, hatimae nikahitimu, siku ya kurudi nyumbani ikafika, madam akaomba ruhusa, tukawa tunasubiri usafiri tuijiwe,tukiwa tunasubiri ikaja gari ya bei mbaya afu safi vibaya mno, ikapaki mbele yetu,akashuka Teacher G, kila mtu akawa anamshangaa, Rose akaomba lift, Teacher akakubali tukaambiwa tupande wote, Rose akawahi mbele mimi na madam tukakaa. nyuma...
Tulisalimiana uku gari inatembea, alitupa hongera kwa kuhitimu,muda huo tuliwajulisha nyumbani wasije tuko njiani tayari, ilikuwa ni mwendo wa masaa kama 4 ivi, tulifika nyumbani tukashuka, nikashusha mizigo yangu kwenda kwenye nyumba yetu, mimi na madam, ajabu na Teacher nae akawa anatufata, hee, Rose akamuita, ikabidi aende nae, nilifika nikabadilisha nguo, mama akaja tukamsalimia nakutambulishana apo mama akafurahi, alikuwa ameshatuandalia chakula, akaomba tule yeye akawahudumie huko, tulimruhusu akatoka....
tena Alivyotoka tukaanza kupakua nikacheki kwa pembeni, nikaona kuna chimbo huwa tunaficha soda zipo kama soda 8 ivi nikajiongeza apa zishapigiwa bajet, mpaka siku mgeni anaondoka, nilitoa, tukiwa tumejiachia wenyewe tunacheka tukasikia hodi, ilibidi tutazamane hodi sauti ya kiume kabisa, ilibidi nitoke nakuta ni teacher, niliamua kumkaribisha nje, nikatoa na mkeka na dada madam akatoka, tukapakua, naа yeye tukamletea soda, apo ni nje, tena kwenye mkeka, akaanza kula, kidogo Rose akatoka, akatutizama, akaja na yeye...
Nikafata sahani, tukala, apo story ni Rose na madam ndo wanaongea mimi na Teacher kimya, Rose akamuomba Teacher waende ndani apa panaumiza, "Rose we nenda tu mimi napenda sana kukaa kwenye mkeka kuliko uko ndani, Rose alinikata jicho, akatoka karudi na kaka ake, wakaanza mada za kuonesha mimi nadate na Ronard, nilijiongeza wanataka kumuaminisha Teacher nina mtu, ili kamal ananiwazia avunjike moyo, waliendeleza chokochoko, hakuna anaewasaport, badae Teacher akaniambia nikamuite mama anamaongezi nae kidogo, Rose na Ronard wakatazamana...
Mimi niliinuka nikaenda kumfata mama alikuja, Teacher akawaomba watupishe anashida private, waliondoka kishingo upande, Baada ya kuondoka Teacher aliomba samahani kisha. akaenda kwenye gari akaja na vitu akasomba tukamsaidia, ilikuwa mchele, sukari, mafuta, ngano, vitenge, akaniletea na laptop na simu, kama zawadi ya kuhitimu, kwanza tukatazamana, tukatulia, madam alitoka akaingia ndani, tulibaki wenyewe tu, Teacher akasema, "mama nisamehe kama nitakuwa nimekosea lakini nimekuja hapa kumchumbua binti yako, ukweli nampenda sana nahitaji kumuoa kabla hajaingia chuo, nilikuwa naomba ruhusa yenu nyote, najua hata Gift hajui kama nampenda, lakini huo ndio ukweli,ninampenda sana, niliacha kufundisha kwa ajili yake ili kumlinda amalize kwanza masomo, niliona sitoweza kuvumilia nikiwa karibu yake, nimesubiri amalize ili nifate taratibu zote...
Mama alinitizama mimi nikawa nashangaa, nikakataa mimi sitaki wanaume kabisa, Teacher aliinama kisha akamuomba mama ruhusa atoke na mimi kwanza tuongee kisha tutarudi mama alisema ngoja kwanza, aliingia ndani, akashauliana na binti yake apo kapata wakushauriana nae, wakaamua kuniruhusu, tulipanda gari, wakati mlinzi anataka kutufungulia Rose akaja kuzuia nayeye anataka kupanda, Teacher akasema anajambo muhimu. sana haitaji mtu waziada, Rose alinikata jicho akaondoka,tulitoka tukaenda hotel moja imetulia kweli, Teacher alinitazama sana, nikawa naona tu aibu, akaomba akae karibu yangu, nilikataa akasema hatovuka mipaka, alisogea akaanza kuongea, "G nakupenda, mimi sio mpitaji ndio maana nimekuja moja kwa moja, naomba unipe nafasi, sitamani kukukosa kabisa, na sijui kama nitaweza, ukweli nitaumia sana...
Na nahofia kusubili zaidi nahisi utaniacha, alikuwa anaongea kama anatetemeka, nikawa namshangaa, nikajikaza na kimwambia, Teacher wanaume ni waongo sana nyie, yani wewe jinsi ulivyo uje unipende mimi? Ilihali kuna watu wadada wazuri sana,mmh ata sikuelewi, "G usione hivi napitia wakati mgumu sana, hujui tu, tukiwa pale ghafla hotel ikavamiwa, ile hofu nilijikuta namkumbatia G ziro distance, mtoto wa watu pamoja na kuwa tuko kwenye hatari lakini akuwa akiwaza akawa bze kwenye hisia, alijikuta kaleta mdomo wake kwangu...
Full 1000
Whatsp 0784468229
Safari ilikuwa ndefu kidogo ilichukua takribani dakika 30, mwishowe walifika kwenye jumba
moja la kifahan Deo alldimamisha pikipiki kisha akashuka na kumuamulu Prisca ashuke Walisomea karibu na geti la ile nyumba Deo
okabonyeza kengere. Baada ya sekunde mlinzi alifungua "Boss wako yupo? Deo aliuliza bila hata salamu "Una miadi nae?
Hapana.
Subiri kwanza alisema mlinzi na kutaka kufunga geti lakini Deo alizuia geti kwa mkono wake na kusukuma kisha wakaingia huku akiwa ameshika mkono Prisca.
"Vipi mbona unaleta ubabe?
Kijana tulla mimi mwenyewe huko kwenye maeneo yangu ya kujidai ni boss kwahiyo jiheshimu kama unavyomuheshimu boss wako. Deo aliendelea kuongea huku akienda kwenye
mlango wa kuingilla ndani
Kelele za nje zilimfanya Jimny atoke nje Alipofungua mlango alikutana na sura ya Prisca. Prisca
"Ndio ni yeye nimekuletea mke wako.
Prisca nini kinaendelea hapa? Prisca hakuwa na jibu alimuachia Deo aongee. Wewe kiume unaejua kuowa watoto wawatu
billa taarifa za wazazi sasa leo nimekuletea mke wako.
Prisca huyu ni nani?
Kaka Deo naomba unisikilize nikwambie kitu.
Nyamaza utaniambia nini wewe, mimi hapa
nilipo damu inachemka naweza kuchinja mtu hapa. Wewe utampokwa huyu karna mke wako au unataka nikakushitaki kwa kuowa
mwanafunzi tena kwaajili ya manufaa yako.
Jimmy aliona hali inaweza kuwa mbaya kwa upande wake na mambo yanaweza kuhanbika Ilimbidi akubali kumpokea Prisca. Ok, sawa atakaa hapa naomba achana
mambo ya kushitaki. Huyu ni mke wako wa ndoa kisheria.
Sawa
Na hili bado hajaisha unatakiwa kujipanga kwaajili ya ndoa ya kabisa ni yani kufa na kuzikana. Deo alimgeukia tena Prisca
Wewe tulia kwenye ndoa yako huyu ndio
mumeo chaguo lako
Kuishi kwa amani
Deo alimaliza kuongea kisha akaondoka.
Jimmy alimgeukia Prisca na kumuuliza
Hiki ni nini? Mimi na wewe tulishamalizana. "Kama ulivyoona kaka yangu ni mikali sana na anajua kila kitu kilichotokea jana. Kwahiyo?
Kwahiyo nini sasa?
"Unatakiwa kwenda kutafuta suluhu na ndugu
zako
Wewe mbona umeshindwa kutafuta suluruhu
alipokuwepo hapa?
Uliona alishika panga ningesema nini? Basi kama ukiogopa panga hata mimi naogopa
vile vile na hapa ndio nimefika.
Oooh my God! Alisema jimmy huku akishika
kichwa chake na Prisca ndio kwanza alienda
kukaa kwenye kochi akawa anaangalia TV.
Jimmy alikuwa hajatulia alihisi kuchanganyikiwa. alienda kuchukua simu yake akampigia Patrick na kumuelezea tukio zima lililotokea.
Baada ya dakika kadhaa Patrick alifika па
kuwakuta wamekas sebleni huku kila mmoja
akiwa na mawazo yake.
Vipi nini kinaendelea hapa ? Patrick alimuuliza
prisca
Huyu mmarekani wenu ndio alitaka mambo yaharibike asubuhi tulimaliza kila kitu na mambo
yanaenda sawa sasa yeye akaja na mambo ya
sherehe hayo ndio yaliyoponza nyumbani kwetu
wanajua kila kitu nimefukuzwa ndio maana nipo
hapa
Prisca umeshindwa kuongea na kaka yako
ukamuelewesha?
Patrick naweza kukutanisha nae ila mkae mkijikua anaweza kuharibu mipango mizima ya
ile ndoa.
Patrick alitulia kwa muda Baada ya muda
almsogelea Jimmy na kumshika begani
Kwasababu ya usalama wako unatakiwa
kukubaliana na hãi
Jimmy alikubali kuishi nyumba moja na Prisca
alimpatia chumba cha kulala
Siku ya kwanza tu, Jimmy aliweka sheria kali.
Aliita Prisca sebuleni na kuanza kumwambia
sheria za kufuata
"Hebu kaa hapo."
Princa alikaa akawa anamuangalia kwa makini.
"Sikiliza, hapa siyo nyumbani kwako, Hapa
unapita tu Na sitaki mchanganyiko wa kihisia au hisia za
ovyo
Orusca alimuangalia na kuuliza.
Unamaana gani kusema hivyo?
Jimmy hakumfadanukia aliendelea kusema
"Kwanza, hakuna kulazimishana kuongea Kila
mtu awe na shughuli zake. Pili, hakuna kuulizana uko wapi, umetoka saa
ngapi, au urudi saa ngapi
"Tatu...hakutakuwa na uhusiano wowote
kimapenzi kati yetu. Umenielewa?
Nimekuelewa mmarekani mweusi kwani hata
mimi sina Shobo siku shobokei hata kidogo. Wate walinyamaza na kuangaliana kama chui na
paka
'Bado sijamaliza Jimmy aliinua kidole chake kama mwalimu, Sebuleni tutakaa wote
Chumba chako ni chako pekee yako, Ukimaliza
shughuli zako usizunguke zunguke bila sababu
Ukiona wageni wangu pitia mlango wa nyuma.
Hata kama itakuchukiza vumilia maana si mimi
niliyekuleta hapa.
Prisca alijibu kwa sauti ya chint
"Na mimi sikujileta.
Jimmy akacheka kwa dharau
"Sawa basi, tuelewane hivyo.
Jimmy aliondoka akamuacha Prisca akiwa
amekaa
Pumbavu kumbe huyu mwanaume ni jeuri klassi
hiki na hana hata huruma ila hata mimi
janiharibua akinileztea ujinga wake wa kimarekani na mimi nitakuonyeaha jeuri ya watanzania shubamit,
Siku zilienda maisha yalikuwa ya kimnya pake
ndani kila mtu alifanya mambo yake mwenyewe
hakuna aliemuuliza mwenzie.
Siku Prisca alipokuwa nyumbani, alikaa
chumbani kwake ajisomea, kuangalia TV au
kupika chakula kidogo kwajili yake. Hakuwahi
kumwambia Jimmy chochote, hata kama
chakula kolipokuwa mezani alikula pekee yake.
Jimmy kwa upande wake, aliendelea na maisha yake kama kawaida ya kifahari, raha, na
wanawake
Kila mara alikua akipiga simu
kimapenzi,
hakuona aibu Alisikika akiongea mbele ya
prisca
"Baby wangu, usiku wa leo niko available. Usilete rafiks kama yule wa jana, si mzuri kama wewe si
unajua mini napenda watoto wazuri.
Prisca alijisikia vibaya lakini hakutaka
kuonyesha alimkazia macho kwenye TV kama
vile hasiksi chochote.
Mambo yalizidi kuwa mabaya
Siku moja Jimmy alirudi usiku wa manane akiwa
na wanawake wawill Walikuwa walicheka
cheka, wamevaa nguo za ajabu mmoja akiwa amemshika bega na mwingine amemkumbatia
walipofika sebuleni, alikuta Prisca amekaa kwenye kochi akitazama tamthilia Aliwaangalia
kisha akatingisha kichwa Jimmy alimuangalia Priaca kwa jicho la dharau,
"Hujalala bado? Unangoja nani?"
Prisca alijibu bila hasira wala woga:
"Inafikiri nilikuwa hakusubiri wewe?
Sasa ulikuwa unasubiriwa
nani?
Nilishakwambia fanya mambo yako mimi sia
mume wako.
Alafu Leo kuna wageni kwahiyo tupishe nenda chumbani kwako,
Prisca alinyanyuka polepole akapita kati yao bila hata kuwaangalia usoni. Allingia chumbani kwake akajifungia na kuzima taa
Ndani ya moyo wake, alihisi kitu kikimsokota
siyo sababu ya upendo, bali ni zile dharau za
mwisho kutoka kwa Jimmy hakujua kwanini
Jimmy anamfanyia vituko na kumdhalilisha
mbele ya wanawake zake
Asubuhi aliamka mapema na kwenda jikoni
akaandaa kikombe cha chai kisha akakaa
mezani na kuanza kunywa.
Jimmy alishuka kutoka chumbani kwake akamuona Prisca akiwa na kikombe kimoja.
"Nahitaji chal
Kawaamble wanawake zako wakupikle.
Jimmy alinyamaza, akatabasamu kwa dharau. "Nakuona unajifunza misimamo, Lakini
kumbuka, hapa bado ni kwangu"
Lakini tulikubaliana tuwe kwenye misimamo
Jimmy alivuta kiti skokas na kumkazia macho usoni, Prisca hakujali macho ya jimmy aliendelea kunywa chai yake taratibu
Hivi ndivyo mke anapaswa kuishi na mume
wake?
Prisca akicheka lodógo
Mume? Unazungumzia mume aina gani
wewe?
Kama upo kwangu upo kama nani? Mahirika mwenzangu kibiashara, rafiki, mfanyakazi au
mke?
Katika hicho hakuna hata kimoja. Sisi ni watu
tusiojuana ndio maana kila mtu anafuata
maisha yake bila kumshirikisha mwenzie.
Alijibu Prisca kisha akasimama na kuchukua
mkoba wake ili aondoke kwenda chuo. ile
anataka kuondoka Jimmy walimshika mkono na
kumvutia kwake, Prisca alienda kutulia kwenye
kifua cha Jimmy na jimmy alitingisha mikono
yake kwenye kiuno cha Prisca.
Unataka nini kwangu? Wake wanawake wawill
hawajakutosheleza?
Hivi hujui kama kila mmoja anaradha yake?
Sasa nataka kuonja ya kwako mke wangu
bandia
Prisca aliachia tabasamu la kejeli kisha.
akasema
Nenda kaichore ya kufanana na yangu alafu kamalizane nayo ya kwangu abadani hizi kuiona
wala kuitumia.
Jimmy alimkazia macho na kujiuliza huyu binti
anajiamini vipi kumjibu vile.
Prisca aljitoa kwa nguvu kwenye mwili wa Jimmy kisha akaondoka.
Full 1000
Whatsp 0784468229
Nikiwa pale nikaanza kuhisi kama kuna mtu ananiangalia sana, ila kiukweli sikumzingatia maana kwanza sikuwa nahisi kama kuna mtu ambae ananijua eneo lile, sasa inakuwaje mpaka mtu awe ananiangalia na hanijui hata kidogo...
Nikageuka ila sikumuona vzr hivyo nikapuuza zangu nikaendelea na mambo yangu, basi kuna muda akaja mkaka akakaa pemben yangu, nikashangaa namba ngeni inaingia kwenye simu yangu na kusema "upo wapi?..
Sikujibu maana nilihisi mtu kakosea namba..
Mara nikaona sms nyingine inasema "sophy upo wapi?..
Nikaona sasa huyu ananijua..
Nikauliza "nani mwenzangu?....
"Jibu kwanza swali kabla ya kuuliza swali lingine, nakuuliza upo wapi?..
"Siwez kumjibu mtu nisie mjua mimi, nikajibu..
Nikawa nimekaa zangu, mara yule kaka akanisogelea na kusema " dada mambo..
Nikamuangalia kwa sura ya bashasha na kujibu "poa..
"Mbona haujaagiza chakula bana, muhudumu mletee huyu kuku nusu na chips, kisha akanigeukia na kusema " hupaswi kuja sehemu kama hii na usiagize kitu cha kueleweka..
Sikuwa na chakusema zaidi ya kusema "asante..
Kweli baada ya muda mchache akaja muhudum na kuniwekea ile chips kuku, nikachukua umma ili nianze kula, ila hata kabla sijaanza kula nikashangaa mtu kakaa pemben yetu,kisha akavuta ile sahani na kuanza kula yeye, si ndio nikasema nimuangalia nashangaa namuona kelvin...
Yule mwanaume akataka kuleta vurugu, aisee alimuweka kofi moja kisha akamuambia " sio kila mwanamke unaemuona unahisi ni chagudoa yupo mawindon, wengine wapo na watu wao hivyo jiepushe na mademu wa watu, kisha akakaa na kuendelea kula na yule mwnaaume akawa analalamika, ila kelvin akawa hata hashughulik nae, akala kwa hasira sana, yaan alikuwa anafakamia kana kwamba hakuwa amekula siku kadhaa, au ameona chakula ambacho alikuwa anakitaman muda mrefu, na baada ya kumaliza kula akanishika mkono na kuanza kunikokota...
“ unanipeleka wapi wewe, naomba uniachie, nikaanza kulalamika, akili yangu ikanituma kuwa huenda anataka kwenda kuniingilia bila ridhaa yangu tena, na sikutaka kitu kama hicho kitokee kwenye maisha yangu kwa mara nyingine tena…
“ nitapiga kelele kuwa unaniteka, nikaanza kusema…
Kelvin akasimama kisha akacheka sana, na kunibeba taksi bega na kusema “ haya anza kupiga kelele sasa, maana nitaonekana kabisa nakuteka kwa ushahidi, nikaona sasa hichi kichwa sicho kabisa….
Akanipeleka kwenye gari kisha akaanza kuliendesha kwa fujo, nikaanza kupiga kelele na kulalamika na kusema “ naomba unishushe kelvin niamb ie unanipeleka wapi, ila hata hakuwa ananijibu akawa anaendelea kuendesha zake gari kana kwamba hakuwa ananisikia kabisa yaan…
Alipoona nimezidisha usumbufu akasimamisha gatri na kusema “ unapenda sana offer si ndio, embu nambie ni offer gani nyingine unayoipenda nijue kabisa…
“ nipende offer nisipende offer inakuhusu nini, yaan wewe ni mwanaume wa ajabu ambae unapenda kulazimisha mambo kama mwenda wazimu vile, yaan sijui kwanini mungu kanikutanisha na shetani wa mguu mmoja mimi..
Kelvin akapanic kutokana na maneno yangu sasa, akawa anataka kuniweka kibao, niliogopa maana sikujua kama anaweza kunipiga, nikajikuta nimeweka sura ya huruma, aliponiona ni kama mawazo ya kunipiga yakabadilika na kuanza kuniangalia sasa, ghafla akanikiss kwenye lips zangu na kusema “ usije ukarudia kuniangalia hivyo tena, maana nitakukula siku nzima, ikabidi nipoe na kiburi na maneno yote ya ajabu niyaweke mfukoni maana akili za kelvin hazijawah kutabirika hata mara moja….
ITAENDELEA
Full 1000
Whatsp 0784468229
Yaani Mr Tamir alikuwa anataka ile kampuni ya Mr Jovin ibaki kampuni Jina tu Labda na bidhaa zilizopo na wafanyakazi, ila Pesa za kampuni zote alikuwa anataka kuzihamisha, kifupi alikuwa anataka kuifirisi kampuni!.
Na kweli mchakato ulianza Mr Tamir akishirikiana na Mr Antonio, walimshawishi Mhasibu Mkuu Wa Kampuni ile Baada ya hapo, Mr Tamir aliwasiliana na baadhi ya Vigogo anao Jua wanaweza kumsaidia!.
Walienda Mpaka benki ili Sasa kujaza fomu za kuanza mchakato Wa kuhamisha Pesa, maana ulikuwa Siyo mchakato Wa Siku Moja, maana kabla ya kuhamisha ilikuwa lazima Pesa Zinazo hamishwa zithibitishwe kama ni Pesa halali na hazidaiwi kodi, na Sababu za kuhamisha!.
Lakini Baada ya kufika Benki ule mchakato waliambiwa Mpaka Benki Kuu! Walipo fika Huko benki Kuu walikutana na Gavana mwenye misimamo Yake ambaye alikuwa hataki kusikia neno rushwa masikioni Mwake!.
"Siwezi kuidhinisha Huu mchakato uendelee bila Mkurugenzi kuwepo!, Vitu viwili lazima vithibitishwe ili Pesa ya kampuni ihame, cha kwanza lazima Muhuri Wa Kampuni na Muhuri Wa Mkurugenzi uwepo, kitu cha Pili na Tatu Lazima Finger print 🐾! Ya Huyo mkurugenzi ifanane na iliyopo kwenye mfumo" yalikuwa maneno ya Gavana ambayo yalifanya Mr Antonio na Mr Tamir wabaki wakitazamana!.
"Duuu Hapa Kazi ipo, inamaana Mr Antonio haya Yote ulikuwa huyajui!? Inaamana ulikuwa hujui kama kumbe kwenye mfumo Wa akaunti ya kampuni Bado kuna Finger print za Yule mpuuzi!" Wakiwa wanatoka pale, Mr Tamir alibaki akimlumu mwenzake, maana katika Mambo ambayo alikuwa hajawaza ni kuhusu Hiyo finger print! Kwa mantiki Hiyo tunaweza kusema Mr Tamir alikuwa anamiliki kampuni ambayo Taarifa za akaunti Ya kampuni zilikuwa za Mr Jovin.
"Mr Tamir kiukweli hilo sijawahi fuatilia, kwa Sababu Mimi nilikuwa na access tu ya kuidhinisha mishahara itoke na Baada ya hapo, mhuri Wa Kampuni na mhuri Wa mkurugenzi vinagongwa! Baada ya Hapo mhasibu Wa Kampuni analeta benki na Pesa zinatoka! Mimi nadhani usingekabidhi Muhuri Yote haya yasingetokea!"
"Lakini Bado ingehitajika Hiyo finger print ya Mr Jovin!"
"Hapo tungetumia mfumo Wa kutoa kawaida keshi, na Siyo kuhamisha akaunti nzima na Hiyo isingehitaji Hata finger print!"
Basi Mr Antonio na Mr Tamir walijikuta wanalaumiana wao kwa wao!.
Ila Mr Tamir aliahidi kufanya jambo, maana alicho kuwa anaamini ni kwamba pesa haishindwi!.
Basi Masaa yalisogea hatimaye ulifika Usiku, na Ndo Muda ambao Mr Jovin alikuwa anatamba!, yaani Yeye Usiku Ndo kulikuwa kunakuwa mchana!.
Usiku Huo kitu alicho kifanya Mr Jovin ilikuwa ni kwenda kwa Commission Wa polisi anaye simamia polisi wote!.
Ikiwa ni Mida ya Saa Tatu Commission Huyo alipokea ugeni ambao hata Yeye alishangaa!.
"Haya maajabu! Wewe si ndo mharifu unaye tafutwa kila Siku, una jiamini nini kuja Kwangu!? Au umekuja kunipa hongo!?" Commission ilibidi ashangae!.
"Mheshimiwa na Wewe unaamini kama Mimi ni mharifu!?"
"Kwa Nini nisiamini wakati Ndo ripoti niliyo letewa!"
Basi ilibidi Mr Jovin aanze kuelezea ukweli Wote mpaka kufikia hatua ya Yeye kuitwa Jambazi!.
"Una uhakika na ushahidi kwamba Wewe Bado ni mmiliki Wa Jovimotors company!?" Yule Commission Macho yakiwa yanamtoka aliuliza, maana aliamini kama kweli Jovin ni mmiliki Basi anaweza kujishikiza kwa Bwana huyo na Mambo yake yakaenda!.
Na commission alikuwa hana mazoea Sana na Mr Tamir na ile kesi ya Jovin kusingiziwa Mr Tamir alikuwa kawapatia kitu kidogo baadhi ya Wakuu Wa vituo vya polisi, ila Yeye commission aliletewa tu ripoti!.
Basi Mr Jovin alitoa Hati miliki tena orijino, alitoa na mihuri miwili, yaani mhuri Wa Kampuni na mhuri Wa mkurugenzi!.
Mpaka Hapo Commission aliamini, na ili kumchanganya zaidi, Jovin alizama kwenye Simu Yake na alimuuingizia Yule Commission keshi kama million 20!.
Hakika Yule mheshimiwa Siku Hiyo alilala usingizi mzuri Muno, yaani alikuwa anacheka pekee Yake usingizini.
Kulipo Kucha tu, Amri ilikuwa ni Moja tu! Wakuu Wote Wa vituo vya polisi waligeuziwa kibao, wao Ndo walitiwa ndani kwa kesi ya rushwa na kumsingizia Mtu, Baada ya Hapo Wakuu wapya Wa vituo waliteuliwa ambao walikuwa ni Watu Wanao msikiliza Commission anacho kisema!.
Kesi Ya Mr Jovin ilikufa kifo cha kawaida na ilitangazwa kwamba bwana Huyo hana kesi, Bali alisingiziwa!.
Basi Mr Jovin alijikuta yupo huru kwenda kokote anako taka na Muda wowote anao utaka, ila Bado kitu ambacho Watu walikuwa hawakijui ni kwamba kampuni zile Bado ni Mali ya Mr Jovin.
Basi Mr Jovin ilibidi aende kuonana na Gavana Wa Benki Kuu, na alisimuliwa kila kitu ambavyo Mr Tamir na Mr Antonio walikuwa wanataka kukifanya!.
Kwakuwa Mr Tamir alikuwa na ushahidi Wa kuthibitisha kila kitu kwamba Yeye Ndo mwenye kampuni ilikuwa Siyo Kazi kubadilisha Usalama Wa akaunti Ya kampuni!.
Kwanza Mr Jovin alifuta uwezo Wa mhasibu na uwezo Wa meneja Wa Kampuni kuingia kwenye akaunti, yaani aliwatoa kwenye mfumo kiasi kwamba benki ilikuwa haiwatambui tena kama ni Moja ya watia saini au wanao weza kuruhusu Pesa itoke!.
Kingine Mr Jovin alibadilisha mpaka Password za akaunti na aliongeza usalama zaidi kwenye akaunti ile.
Baada ya Mr Jovin kuhakikisha usalama Wa akaunti ya kampuni!, aliondoka kwa Amani! Lakini wakati anatoka tu Huku nyuma Gavana Wa Benki alipokea ujumbe kupitia Email kwamba uteuzi wake umetenguliwa na Mtu mwingine kateuliwa nafasi Yake!.
Gavana alijua tu ile ni Kazi ya Mr Tamir na kweli Ndo hivyo hakuwa na budi kibarua kiliota nyasi!.
Mr Tamir alikuwa anaona Sasa ni Kama anaenda kufanikiwa Jambo lake.
Mr Jovin alijikuta anapo hisi kafanikiwa Mambo Ndo yalizidi kuwa shagala bagala! Yaani alijikuta Akaunti Yake binafsi na akaunti ya kampuni vyote vimefungiwa pasina kujua Sababu!.
Ilibidi Mr Jovin aende mpaka Benki kuu kuhoji, Lakini Huko alikutana na Gavana Mpya na majibu aliyo Pewa hata yalikuwa hayaeleweki, maana aliambiwa akaunti Zake zinachunguzwa!.
Mr Jovin kipindi hicho alikuwa anaishi Hotelini, kwanza alijikuta Hata Nguvu kaishiwa maana akaunti ilikuwa imefungwa alafu Pesa alikuwa hana!.
"Brother au tumuvizie tu huyo Mhindi tumuwashe Hata risasi ya kichwa afe mbona anatuletea kiwingu Sana!" Basi huo ulikuwa ushauri Wa keivo!.
"Keivo suluhisho Siyo kumuua, Hapa inabidi tumtengenezee Naye zengwe na Skendo ili aache kupambana na Sisi apambane na Hali Yake!"
"Eheee tunaanzia Wapi Sasa!?"
"Hapa inabidi tutafute udhaifu Wa yule Bwana, lazima tu kuna starehe atakuwa anaipenda! Kama Siyo pombe Basi ni wanawake! Humo humo Ndo tutapita naye!" Hayo yalikuwa mawazo ya Jovin.
Wakati Mr Tamir anahangaika na kampuni ya Mr Jovin kutaka kuifirisi, Jovin Yeye alilikuwa anamuwinda Mr Tamir kwa Njia Nyingine tofauti!.
Siku Hiyo yalikuwa majira ya Saa mbili Usiku Jovin alijikuwa kitaa na kijana keivo, basi katika kupita pita walijikuta wamepita sehemu ambayo madada poa wanajitega na kujiuza!.
Mr Jovin katika kuangaza Huku na kule alimuona mtoto mdogo kweli ambaye alikuwa ni Kati ya miaka 13 mpaka 15 Naye akiwa ni miongoni mwa wanao jiuza, Pale Pale Mr Jovin alijikuta amepata wazo!.
Je ni wazo Gani Mr Jovin alilipata!?
Tukutane Sehemu Ya 12.
Full 1000
Whatsp 0784468229
Basi baba mkwe na mama mkwe wakaombana misamaha pale na sisi kesho yake tukarudi zetu nyumban na maisha yetu yakawa yanaendelea kama kawaida…
Siku moja mume wangu akanambia kuwa event kazini kwao, anataka nivae nipendeze kwa ajili ya hio event, na sikuwa na namna zaidi ya kukubali, maana mume ndio ameshasema sasa, mimi ni nani nipinge…..
Basi bana siku ikafika na mume wangu kipindi hicho alikuwa tayar ameshanunua gari, hivyo akanipeleka saloon, nikapambwa vizuri na baada ya kupambwa tukaenda zetu kwenye event, mume wangu ni ile aina ya wanaume wanaojali sana, alikuja akanifungulia mlango wa gari, na baada ya hapo akanishika mkono mpaka ndani, hakuwa anajali kabisa kuhusu watu, na kweli watu walikuw wanatuangalia ila hakuwa anajali, alichokuwa anakiangalia ni furaha yangu tu,basi muda wa chakula akaenda kunifatia chakula, kisha akaanza kunilisha, yaan ni kwamba hajali mashabiki, mtajijua wenyewe, kumbe tulisahau kuwa kinachokupa furaha kifiche sisi tukakidhihirisha na kuibua maibilisi wa kibinaadamu wa kutosha bila kujua…
Basi maisha yakawa yanaenda kama kawaida, na baada ya kama wiki mbili kutoka tutoke kwenye ile event, mumewangu akabadilika kabisa, akawa ni mtu ambae ana wasiwasi sana, sikuwa najua ule wasiwasi ulikuwa unatokana na nini, maana alikuwa anaficha simu, alikuwa anaficha kila kitu, mpaka nikajikuta naanza kupatwa na mashaka juu yake…
Ila kila ambapo nilikuwa nafuatulia sikuwah kugundua jambo lolote lile, maana alikuwa bado ni mume na baba mzuri, ila shida ikawa ni hofu kupitiliza na kuficha ficha baadhi ya vitu vyake..
Mwanzo nilikuwa Napata wasiwasi mpaka nilipoona makala moja ya dada yangu ummuh junaynah, akanipa moyo sana na kunambia kuwa “ kama mwanaume haujamfumania basi usimuwazie usaliti, huenda kuna mambo anapitia hataki kukuambia, hivyo muache na umpe utulivu mpaka siku ambayo utamfumania ndio useme kuwa anakusaliti, na kama unahisi kuwa hauwezi kumuacha mtu basi usifuatilie simu yake, watu pekee ambao wanayo mamlaka ya kufuatilia simu za wenza wao ni wale ambao wanauwezo wa kuwaacha, basi nikakaa zangu kwa kutulia na nikaacha kabisa kumfuatilia….
Siku moja ilikuwa ni jumapili, mume wangu alisema kuwa atapika yeye, hivyo mimi nisipike kabisa, nikakubali, nikawa zangu ukumbini naangalia tamthilia, mara simu yake ikaita, hakuisikia maana simu ilikuwa ukumbin na yeye alikuwa jikon, ila haikuwa imesaviwa, sijui ni kitu gani ambacho kiliniambia nipokee, nilkipokelewa na sauti ya kike ya madeko inayosema “ yaan ukishakaaga na mke wako haunikumbuki kabisa mimi, nataka na mimi unifanyie kama unavyomfanyia mke wako bana, acha kunibania bania Kendrick…
“ Kendrick hayupo hapa unaongea na mke wake Kendrick, wakati ambapo Kendrick anampikia mkewe, wewe ni nani mke mwenzangu, nikasema ila hapo roho inaniuma hatar…
“ mimi ni mke mwenzako, na hapa nilipo nina mimba ya Kendrick na ananipenda sana, akaanza kusema Yule mwanamke..
Sijui nilipata wapi nguvu za kujibu, maana nilimuambia kuwa “ mwanamke anaependwa sana hanaga kelele, si unaona namna ambavyo mimi nimetulia na sina kelele na mtu, basin i wazi hata wewe unajua ni nani anapendwa zaidi, nikajibu kisha Yule mwanamke akasonya na kukata simu…
Nilikuwa nahisi kupasuka, maana nilikuwa namuamin sana mume wangu, nilikuwa siamin kama anaweza kunisaliti hata kwa bahati mbaya, nikasimama, ila kabla sijaenda jikon akaleta chakula, alishtuka mara baada ya kuniona nimesimama nikiwa nimeshika simu yake mkononi, na machozi yalikuwa yananitoka kwa hasira……
“mke wangu shida ni nini? Akauliza kwa wasiwasi mkubwa…
ITAENDELEA…..
Offer offer offer
Soma yote kwa sh 800
Whatsp 0784468229
mbili ila hazikuwa na radha nzuri kutokana na yeye kuwa na go..vi.
Baada ya mechi Nelson aliv..aa nguo zake na kwenda chu..mbani kwake akimuacha Clara mwepesi kama karatasi na alishuka kitandani na kuingia ba..funi kuoga.
Mvua kubwa iliyokuwa ikiendelea kunyesha ilisababisha Angelica apatwe na baridi na kumku..mbatia Jesca alikuwa kwenye usingizi mzito na kama kawaida ya Angelica alijikuta akitamani tena kusu..agana na ndugu yake ili tu akate baridi alilokuwa nalo.
Jesca alishituka kutoka usingizini baada ya kuhisi mipa..paso kwenye chu**chu zake na alijaribu kumzuia dada yake ila Angelica aliulilia mchezo mpaka Jesca akakubali kuutoa.
Chumba walikitawala kwa kuche..zeana ipasavyo mpaka pale Angelica alipotosheka na kumwambia mwenzake walale.
***************
Asubuhi ilifika na Nelson alikuwa wa kwanza kuamka kama kawaida ila siku hiyo hali ya kujiamini kwa Mr Alex ilipotea kabisa!, aliwaza itakuwaje kama tu atagundua kuwa kate..mbea na binti yake mkubwa? sindio uaminifu utavinjika?, alifanya kazi za hapa na pale na baada ya mda Clara alimfata akiwa na tabasamu kama lote.
"Nelson!"
Nelson hakutaka hata kumwangalia usoni zaidi ya kutazama chini.
"Jiandae kuna sehemu nataka twende"
"Wapi?"
"Wewe nenda ukajiandie utajua tukifika!"
Nelson alikubali na kwenda kujindaa na baada ya kumaliza walitoka pasipo kumuaga mtu yoyote yule wala kutumia usafiri wa nyumbani.
Nelson hakujua Clara kapanga kumpeleka wapi ila alishituka baada ya kuona wakiingia hospital akaamua kumuuliza.
"Unaumwa mpaka umeamua kuja hospital?"
"Mimi nipo sawa tu ila nataka ukata..hiriwe!"
"Nini Clara!"
"Eeeeh nataka tu ukatolewe huo uchafu wako, ebhu twende huko tunachelewa!"
Nelson kukataa alishindwa kabisa mbele ya mtoto wa kike, walifika kwa Doctor na mwongeaji alikuwa ni Clara na sio Nelson na Doctor mwenyewe alishangaa kumuona Nelson mpaka umri huo akiwa bado hajatahi...riwa.
"Ulifeli wapi jamaa yangu!?"
"Alikoswa mda Doctor ila naomba umsaidie tu!"
"Basi sawa, nenda ulale hapo kitandani!"
Nelson alienda kulala kwenye kitanda kama alivyoambiwa na Doctor na Clara alivyoambiwa awapishe alikataa akitaka kujionea jinsi Nelson anavyotahi...riwa.
Nelson alijikaza kiume na Doctor aliifanya kazi yake na kumaliza.
"Hapo sasa umekuwa kidume kamili, baada ya mda uje nikubalishe bandeji!"
"Sawa Doctor!"
Alinyenyuka na kuvaa nguo zake wakatoka na Clara.
"Hapo sawa Nelson!"
"Inauma ila najikaza tu!"
"Pole wenzako wanawahi mapema wewe sijui ulikuwa wapi tu jamani ila sasa ivi tutakuwa tunafanya vizuri!"
"Haitatokea tena jana ilitokea kwa bahati mbaya tu, namweshimu mno Baba yako Clara sitaki kuja kumkosea!"
"Huu ndiyo ujinga ambao siupendi sasa? yaani nihangaike kukuleta huku utahiri..we alafu ukatae kufanya na mimi? labda sio mimi Clara!"
Clara alizungumza kwa hasira na mda huo huo simu yake ikaita na alivyoitazama mpe..nzi wake alikuwa akimpigia.
Clara aliikata hakutaka kabisa kuipokea na safari ilianza ya wao kurudi nyumbani.
Walifika na kumkuta Mr Alex nje akiwa kasimama na mkewe aliyebaki mdomo wazi baada ya kumuona binti yake kongozana na adui yao.
"Ivi ndivyo ninavyotaka mimi, mmchukulie Nelson kama ndugu yenu na sio kibaka!"
Mr Alex alizungumza na kuachia kicheko baada ya wao kumkaribia.
"Baba shikamoo!"
"Marahaba kijana wangu wapi mlipokuwa?"
Nelson alikaa kimya na kushindwa kujibu na ndipo Clara alipolopoka mwenyewe na kuwambia kuwa walienda hospital.
"Hospital?"
"Ndio nilimpeleka huyu alidai anaumwa na hayupo sawa!"
"Huo ndiyo upendo ninaoutaka mimi, nikupongeze sana binti yangu kwa kumchukulia Nelson kama kaka yako!"
Baba mtu alizidi kumwaga sifa kwa Clara lakini haikuwa hivyo kwa Mama Clara.
Alifyuma balaa na alimshika mkono Clara na kumvuta na kuelekea naye ndani.
"Mama nini na wewe niachie mkono wangu"
"Nataka uniambie Clara ukaribu na huyu kiba..ka umeanza lini?"
"ila mama kwani umesahau jana nilichowaambia?"
"Kwani ulituambia nini?"
"Niliwaambia nipo kwenye mpango mzito wa kuhakikisha Nelson anatoka kwenye hii nyumba na mpango wenyewe ndiyo huu sasa nimeshaanza kuufanyia kazi!"
"Kama ni hivyo hapo sawa, nilihisi kuna jambo jingine kabisa!"
"Hakuna jambo jingine nyie subirini mtajionea wenyewe!"
Upande wa nje Mr Alex alimuuliza Nelson kwanini hakumwambia kama anaumwa na Nelson aliamua kutoboka ukweli kuwa alienda kutahi..riwa na hapo alipo maumivu anayasikia sema kajikaza tu.
"Kutahiri**wa?"
'Ndio baba"
"Na Clara anajua kama ulienda kwa hilo jambo?"
"Hapana nilimficha, ilibidi nitumie kile kiasi ulichonipatia jana kujitibu!"
"Safi sana kidume wangu umefanya jambo la maana, nenda ndani ukapumzike!"
Nelson alitembea taratibu na kuelekea ndani..........ITAENDELEA.
Full Tsh 1000, Namba ya malipo 👇🏻👇🏻
LIPA NAMBA 67027625 - VODACOM JINA JOHN ELIAS.
Baada ya Suzan kutoka sebuleni kuelekea alielekea jikoni ,Victor alivyobaki chumbani alinyanyuka na kwenda kusimama dirishani akiangalia nje kwa mbali kichwa chake kikiwaza.
“Huyu msichana kweli anaweza kuwa tofauti? Anaweza kuwa mke wangu?”
Alikumbuka siku za mwanzo, Suzan alipokuwa akijibu shaba nae na kumkataa kabisa Ilimlazimu kutumia nguvu nyingi kuwa karibu naye. Lakini sasa Suzan amekuwa mtu mpole na anamsindikiza bila hata kubishana
“Kama huu huruma hii haitoki moyoni kwa Suzan basi mimi si Victor.
Akiwa bado kwenye mawazo hayo, mlango wa chumba uligongwa akarudi kitandani haraka na kuitikia .
" Ingia
Suzan alifungua mlango alirudi na kikombe cha uji mikononi, akasogea taratibu na kitanda.
"Hebu amka ujaribu huu uji. Victor alipouona ile uju akifanya anataka kutapika.
" Hapana siwezi.
" Hapana jaribu hata kidogo tu utapata nafuu huo uchovu unaotokana na kutokula .
" Asante suzan lakini siwezi.
Suzan alimwangalia kwa macho ya upole, hakusema chochote, alikaa kitandani kisha akachukua kikombe na kijiko, akichota uji kwa kijiji na kupuliza kwa mdomo wake kisha akapeleka mdomoni kwa Victor. Hili tukio lilimfanya Victor wapate msisimko na hisia flan hapo ndipo alipoamini suzan ndio mwanamke anaemfaa.
Alifungua mdomo wake akawa uji.
Baada ya kunywa vijiko kadhaa Victor alimwangalia Suzan.
" Asante suzan kidogo naona nafuu.
" Sawa hata hivyo kujitahidi umekubwa nusu ya kikombe huu mwingine utakunywa baadae.
Suzan alichukua kitambaa cha maji akamfutafuta vizuri mdomoni kisha akarudisha kikombe jikoni alafu akarudi chumbani na kukaa pembeni.
Victor aliweja mziki wa selin dion wa my love will go on. Walitulia na kusikiliza maneno ya ule muziki huku Victor hakumuangalia sana usoni. Alishindwa kujizuia alinyoosha mkono wake taratibu na kuushika mkono wa Suzan, Suzan aligeuka kumuangalia
"Unaonekana tofauti leo.
" Kivipi?
" Kwa kila kitu, umependeza pia unajali sana leo. Suzan alitabasamu alafu akasema
"Sijui labda ni kwa sababu naona unateseka. Sipendi kuona mtu anayejaliwa na Mungu anateseka hivi.
Suzan alisema kwa sauti ya pole.
Maneno ya suzan yaoigonga moyo wa Victor na kufanya nae aachiwe tabasamu.
"Una maanisha unanijali, na mimi ni mtu wa maana kwako?
"Kwa namna fulani, ndio. Sio rahisi usiku huu mimi kutoka nyumbani na kuwa hapa.
Victor alitabasamu, akamshika mkono Suzan.
"Suzan…"
"Abee..."
"Ukiambiwa kuwa mgonjwa huyu sio mgonjwa wa kweli, utajisikiaje?
Suzan alimtazama kwa mshangao.
"Unamaanisha nini?
"Namaanisha mimi.....
Suzan alisimama kwa ghafla.
"Victor usiniambie huumwi ulikuwa unanichezea akili yangu.
Victor alisimama na kumsogelea kwa utulivu.
"Ndiyo, Suzan. Sikuwa mgonjwa. Nilihitaji tu kuona kama unanijali, sio kwa sababu nililazimika uwe karibu na mimi, si kwa sababu nina pesa, si kwa sababu nimekuzoea ila kwa sababu ya moyo wako.
Suzan alitazama chini, akiwa haamini kilichotokea.
"Kwa hiyo huu wote ulikuwa ni mtihani?"
Victor alishika mikono yake.
"Mtihani wa mwisho. Nataka mwanamke wa maisha yangu, Suzan. Nilipoanza na wewe sikujua kama utabadilika, lakini leo nakuona tofauti.
Suzan alinyamaza kisha akashusha pumzi ndefu.
Victor aliendelea, " kama huna jibu usijibu sasa hivi. Fikiria. Lakini nitakwambia ukweli mmoja, leo umeonyesha kile ambacho sikuwahi kukiona ndani yako.
Suzan alitabasamu kwa aibu.
"Victor… sijui kama ni mapenzi, au huruma, au vyote viwili. Lakini ukweli nimeuona tangia muda tu .
Victor alimsogelea taratibu, akaweka kiganja cha mkono wake kwenye shavu la Suzan.
"Ukweli gani uliouona?
" Kuwa unanipenda na unanihitaji haikuwa kunikomoa kama nilivyokuwa nadhani mwanzo lakini sijajua kama unanitania kwaajili ya kutimiza haja zako au unanipenda kwa muda na sina makazi ya milele kwenye chumba cha moyo wako?
Full 1000
Whatsp 0784468229
*SEHEMU YA KUMI NA MOJA*
Walikubaliana na kuanza mchakato wao, Husna alikuwa mzuri sana kwa kuigiza,ni ngumu kujua kama ni mtu mbaya, walipambana kwa miezi kadhaa, mpaka wakamnasa Naseer, upande wangu niliweka sawa na familia yangu, na nikawa binti bora sana, nikarudi chuo kuendelea na masomo, niliomba mda Naeer asiniguse kwanza nimalize masomo, alikataa na kusema naweza kusoma na huku nahudumia ndoa, nilikuwa naogopa sana mimba, akaniomba nitumie uzazi wa mpango, yeye hawezi kujizuia...
Niliamua tu kufanya hivyo, sikutaka ukaribu na yeyote niliewahi kumhudumia, nilikuwa nawakatia, nilisemwa sana, ila nikajikaza nakuendelea na maisha, nilianza kuishi na Elham mtoto wa Najma, nilimlea vizuri na kuwa nae makini sana, alitokea kunipenda, na kuniita mama, alikuwa na miaka 7 sasa....
Nilikuwa namsaidia home work, alikuwa smart sana kama mtu mzima, siku moja Naseer alirudi nyumbani akiwa anaogopa alipiga magoti na kuniomba nimsamehe kafanya kosa lakini hakudhamilia, nilishangaa na kumuuliza kabla sijamsamee kafanya kosa gani, alisema kampa mwanamke mimba na ni yatma anajihisi hatia anaomba ruhusa amuone, kuepusha hio dhambi, nilichoka nikahisi mwili wote umekufa ganzi...
Nilijikuta nalia tu nakumjibu sawa, alinisogelea ili kunimbembeleza lakini sikutaka mazoea, nilianza kumuona Naseer kama mwanaume wa ajabu sana, nilimchukukia mno, nikaamua kuangalia, ataoa wangapi, huenda anampango wakuoa dunia nzima, nilijikuta nasahau ata mafundisho ya dini, mapenzi yanauma jamani, kumbe kina Najma walivyoona kumpata kawaida inakuwa ngumu walimuendea kwa mganga, na wakafanikiwa make mimi sikuwa mtu wa ibada kivile nilikuwa kawaida tu, naswali kawaida tu sio kivile....
Hivyo ilikuwa lahisi tu kwao kufanya ubaya na wakafanikiwa, walianza kucheza na akili yake,kwa madawa, akawa hanijali tena mimi, anaweza maliza mwezi hajaja kwangu, yuko kwa Husna, na ndoa hata sijui ilipitaje, sikutaka kufatilia, na nilipuuza na kuona ndivyo alivyo, kumbe ndio maana Najma alikuwa anachit, huenda ndio tabia yake, na nikiunganisha na story na watu kuhusu ndoa nikaamini kumbe ndo tabia zao tu, sikushtuka kabisa kama kuba nguvu za ziada zinatumika...
Mimi niliendelea kupambana kivyangu uzuri ada nililipiwa ya miaka mitatu yote, hivyo ni mahitaji tu ndo yalikuwa changamoto, nikaamua kufanya biashara ya urembo apo apo chuoni, Najma na Husna walianza kulala na Naseer chumba kimoja na hata Naseer hakukataa, alikuwa anatembea nao wote kwa pamoja, analala hoi, mpaka kazini akaanza kuyumba, kampuni zikaanza kuyumba mno, ilibidi mama ake aniombe nisimamie, anahisi mwanae hayuko sawa...
Nilikuwa nauzoefu kiasi, ilibidi nianze kusimamia na kublock baadhi ya acount za pesa ili asitoe apo alikuwa anesahau kabisa kuhusu kazi nimezi minne hajakanyaga kwenye kampuni yake, alivyokosa pesa ya kula bata na wake zake akaja, alimkuta mama ake na mimi, ilibidi mimi na mama ake ndio tusimamie, mimi nilitoka nikawaacha mtu na mama ake wanazozana, mama ake alisema kachukua kampuni yake na riba ya hio kampuni ya vitambaa hivyo kampuni zote ziko chini yake kuanzia leo Naseer sio CEO, Naseer alipanic nakusema haiwezekani, aliondoka akaenda kwenye kampuni yake nyingine ya maji, aliamua kuitumia hio kwa sababu mama ake alikuwa haijui...
*SEHEMU YA KUMI NA MBILI*
Alianza kulandama hio, akawa anatoka na wake. zake, wanamzimisha, wanachukua pesa wanaenda kufanya yao wakimaliza wanarudi na kumdanganya, mimi n mama mkwe tulianza kupata mashaka sana, tulihisi kuna tatizo, tulianza kuomba dua, tulifunga, tulipambana kufanya dua, ilifika hatua tukaanza kukata tamaa kabisa, lakini tunajikaza tu, niliogopa kusema kwa mama mkwe nimekata tamaa, kwa sababu ataniona mkwe mchovu nikawa najikaza, Dua ilijibu aiseee...
Naseer alikuja nyumbani kachoka, hajielewi, nilimuekea maji akaoga nikampa chakula akala, akalala, alilala, siku nzima, simu yake si ikaaanza kuita kucheki mpigaji imeandikwa bi mdogo, nikaachana nayo ilivyokata si ndo nikaona picha juu ya profile ya simu, ni Husna na Najma, nilishtuka ikabidi nianze kuikagua simu, nikakutana na picha za ajabu nyingi, aisee nilichoka nilichukua picha zenye angalau nikahamishia kwangu nikamuomba mama angu mzazi aje kwangu, alikuja....
Nikamuonesha picha na kumsimulia kila kitu, mama alichoka akaniuliza Thuraya, unapitia yote haya huniambi, unaakili kweli wewe mtoto?, mimi ndio msiri wako, hakuna mtu atakae kuelewa zaidi yangu, mama mkwe wako anaweza kukugeuka lakini mimi mama ako siwezi, unatatizo niambie mapema tujue cha kufanya...
Mama alisema tuzidishe dua, na nisiswali kwa kubip natakiwa kila siku niswali kwa ajili ya ndoa yangu, nimombee mme wangu, wavurugaji nje ni wengi, wakimshindwa kawaida wanakuja kivingine, watatia ata madawa kwenye macho,mme wako akiwaona tu ananasa, kama humuombei Dua mmeo, ndio anaenda hivyo, hasara kwako...
Nilimtizama tu mama, alinyamaza kwa muda na kusema huyu Husna kuna kitu anakitafuta kwenye familia yangu sio bure, sasa acha tushirikiane karma itampa anachokitafuta, naomba usije ukawaza kwenda kwa waganga, tulia kabisa, Dua inanguvu mno itasimama na wewe,niliongea vingi na mama kisha akaondoka muda wote huo. Naseer alikuwa hajaamka, nilimtafuta shehe akaja nikampa maelezo kiasi aliandaa maji akayafanyia dua, tukasoma na kisomo, kisha nikamuamsha, mengine nikampa akanywa, mengine akaoga....
Alianza kulia, akasema haelewi nini kinaendelea kwenye maisha yake, nilimtuliza nakumwambia asijali tufanye ibada kila kitu kutakuwa sawa, alikuwa hakumbuki mambo mengi mno, ilibidi tu nimsimulie mwanzo mwisho wa kile ninachokijua, alishtuka, akachukua simu yake, akawasha na kuangalia adi video za ajabu ajabu aisee, aliwaza mno, alinitizama nakusema kwa hapa alipofikia mali zake hapaswi kuwa nazo...
Alilazimisha, kuniandikisha mimi kila kitu ili lolote likitokea mtoto wake na mimi tusipitie wakati mgumu, awa sio watu wa kawaida, alikuwa na kiwanda cha mabati, shule vyote aliniandikisha mimi, hata mama ake hakumshirikisha akaomba hivi anavyovijua mama ake ataongea nae pia viwe chini ya jina langu,nilibaki tu namshangaa, nilianza kupata nguvu na kuongeza bidii kwenye Dua...
Kumbe ata mimba alidanganywa Husna hana hata uwezo wa kuibeba hio mimba, walianza kumtafuta make aliwaaacha hotelini na wanadaiwa uko, hawana pesa, imebidi wafanye ufuska wao ndio wakalipia wakarudi kwenye nyumba aliyomjengea Najma, wakakubaliana wauze afu watajua cha kumjibu Naseer...
Hawakujua hati zote zinasoma mimi, kila kitu, walimtafuta ili wapauze aje kusain, akawa hapatikani, alivyowasha tu simu wakamvagaa, hakuwapokelea, wakajua tayari kuna shida, wakaamua kurudi kwa mtaalam wao, wamefika Ilikuwa ni kijijibi ndani ndani humo....
Full 1000
Whatsp 0784468229
Kila siku zilivyozudi kwenda Shahid alikuwa akiumizwa na swala la Shania alitamani kufanya.
kitu kwaajili yake. Alitamani kujua shania anaishi wapi? Pia alikuwa anatamani kukutana na ndugu wa Shania.
Siku moja ilikuwa siku ya jumamosi Shahid aliamua kutoka nyumbani kwake na kumfuata yule kijana muuza chips.
Karibu bro.
Asante, sasa dogo mimi nilikuwa nina shida naomba unisaidie.
'Shida gani kaka?
"Nilikuwa naomba unipeleke kwenye nyumba anayoishi Shania na shangazi yake. Mmmmh kaka kwema?
"Kwema.
Basi sawa nitakupeleke mara moja alafu mimi nirudi kwenye shughuli zangu.
"Poa.
Yule kijana aliongozana na Shahid mpaka kwenye gari wanapanda na kijana akaanza kutoa
maelekezo mpaka wakafika nyumbani kwa
mama Farida.
Nyumba yenyewe ni hii hapa bro
Naomba unipeleke mpaka kwa wenyeji.
Sawa. Walizunguka nyuma ya nyumba
kulikuwa kimnya.
Kulivyotulia hivi wenyewe wapo kweli. Aliuliza
yule kijana kisha akaanza kuita.
"Mama Farida, mama Farida.....
Abeee nakuja. Ilikuwa ni sauti ya mama Farida kutoka ndani.
Mama Farida alijikuta mpaka mlangoni.
Shikamoo mama Farida.
Marahaba.
Shikamoo mama. Shahidi nae akisalimia
Marahaba baba, karibuni.
Asante. Mama Farida mimi sijali nimemleta
mgeni wako.
Mama Farida alimuangalia shahid kisha
akasema
Sawa, karibu mwanangu.
Asante mama.
'Karibu ndani.
Tukae hapa nje yanatosha sana mama yangu.
Sawa basi karibu ukae kwenye stuli ngoja na
mimi nichukue mkeka.
Sawa.
Mama Farida mimi naondoka.
Kwahiyo ulimleta tu mgeni?
Ndio
Basi sawa karibu tena.
Asante. Bro acha mimi niwahi kwenye
majukumu.
Poa, poa nitapitia nikitoka huku.
"Poa.
Mama Farida alintandika mkeka wake akakaal huku akiwa kanyoosha miguu yake.
Karibu baba.
Asante mama yangu. Mimi naitwa Shahid.
Najua hatufahamiani nakuona leo na wewe ndio
unaniona leo. Jambo kubwa lililonileta mlangoni kwako ni Shania.
Shahidi na mama Farida waliangaliana. Shania huyu huyu mtoto wa kaka yangu?
Ndio.
Eheee Shania kafanya nini tena?
Shahidi alitulia kidogo na mama Farida akazipdi
kuwa na wasiwasi.
Ongea baba. Amevunja kioo cha gari lako? Au kafanya nini na ile hali yake?
"Usiwe na wasiwasi mama kuna mambo mawili yaliyonilita kuhusu Shania......
Ni mambo gani hayo niambie tu.
Kwanza kuhusu hali yake nilikuwa natamani
kutoa misaada wa matibabu ila siwezi kuchukua maamuzi mwenyewe mpaka nifike kuonana na
wewe ambae ni mlezi wake mama.
Taratibu tabasamu lilianza kujipamba uso wa mama Farida na kumshukuru Mungu kwa
msaada uliopigwa hodi mlangoni kwake.
Nashukuru sana kwa hilo baba yangu mimi sina neno na hilo nilikuwa namuomba sana
Mungu niweze kupata mtu wa kuliona hili, kwahiyo ni ruksa na nitakuwa bega kwa bega na
Wewe.
Asante mama kwa kunipa hiyo nafasi na suala la pili.......
Kwenye hili ilikuwa ngumu kuongea moja kwa moja Shahid hakusita na mama Farida alikuwa makini kusikiliza.
Mama naomba radhi na unisamehe sana kwa hili ni ninaloenda kuliongea.
Mwanangu nitasamehe vipi wakati sijui kosa
lako?
Shahidi alishusha pumzi kisha akajilaza na
kusema.
Mimba ya Shania muhusika ni mimi.
Hapo sasa Shahidi kaamua kuweka wazi siri yake je mama Farida atamuamini? Au
atamchukuliaje kuhusu hilo swala?
Itaendelea
Full 1000
Whatsp 0784468229
Albert unasemaje? "Mama mimi tayari ninamke na mtoto yani kifupi ni mme wa mtu, sasa huyu mimi nampeleka wapi? " Albert usinichanganye we mtoto, yani umeoa mimi sijui, afu unatamba unamwanamke mimi huyo simtambui ninaemtambua ni huyu aliekuja mpaka kwangu akatambua umuhimu wa mama, "sasa mama hata ukimtambia inasaidia nini mwenzie ana uhali wa kisheria na moyo wangu pia aya uyo mbona mnataka kunichumia dhambi za bure, kwanza nilishagundua muda tu kama uyu mwanamke ni kibaraka wako ndo nikazidi kumchukia kwanza sio type yangu...
Pili hana akili, zipo za darasani tu ila kuhusi maisha ni sifuri, uyu acherewi kutoa siri za ndani nje, kupika hajui, yani yupo yupo tu, kitandani kwenyewe hajui step anakatika ovyo ovyo tu utadhani tyre ya pancha, hajui nafasi ya mwanaume kitandani hadi nje,naoa napeleka wapi? Au ndo kunifanya niwe nachit kila siku? " Mama angu nakuheshimu sana ila naomba uadui wako na mme wako mimi usinihusishe na usinieleze kabisa kama kweli ni mbaya kiasi hicho ulikuwa na muda wa kuachana nae mbona mpaka leo mpo pamoja na kumpa unampa?..
Mama kumbuka sisi ni wanao, izo chuki unazotupandikiza zinamadhara makubwa kwetu, tukipata laana ya mzee, unazani maisha yetu yatakuwaje, huhitaji tumhudumie, ilihali yeye alituhudumia ata kama nikwa uchache lakini alitoa, mama hukua na kazi wala biashara, kuvaa ata kama ni nguo mbili kwa mwaka alikuwa ni huyo huyo unaemsema, hatukuwahi kulala njaa japo kuna muda tulinusurika ulienda kukopa mara kadhaa tukala hilo ni jukumu lako kama msaidizi usilichukulie hatia kwa sababu alipopata mzee si alilipa ayo madeni?..
Najua hata yeye anamengi ila kwa sababu anajua nafasi yake kakaa kimya kutulinda sisi na kulinda heshima yako, mama najua kila kitu saiv sitaki tu kukutia aibu mbele ya mpambe wako nimebadilika baada ya kujua wewe na baba ugomvi wenu ni wenu, na hauhusiani kabisa na sisi, na chanzo ni mzee afu wewe ukamalizia na kubwa kuliko bila kujua unajipalia kaa la moto hukutumia hekima ukaamua kutumia hasira na matokeo yalipotokea unarudisha tuhuma zote kwa mwenzako yakwako umeyakumbatia, nakutizama sana mama naomba ukae mbarli sana na vita yangu hii nikihitaji msaada wako nitakuomba kwa sababu bado wewe ni mama kwangu, siwezi kwepa unanafasi kubwa kwenye maisha yangu lakini sio wewe tu ninyi nyote wawili kwangu ni wa thamani sana, nilikuwa nakuja nyumbani naleta zawadi yakwako tu, ata kunikumbusha kama mzazi na baba ako hapana, James alimletea baba shart tu ukalichoma moto ili tu mwanao asipate baraka ya mzazi wake, hio roho mama sio, nilikuwa nakuachia pesa jikoni nyingi afu nakuja kukukabidhi tena sebleni nyingne kwa ajili yenu nimegundua nilikuwa nakosea sasa hivi mtapata pasu kwa pasu na nguo nitakazomnunulia baba angu naomba kwa upole kabisa usizichome tutagombana, ulikuwa unamshindisha na njaa apa kwako ili hali anaumwa, sawa na nyumba hii kajenga mwenyewe, nimekuacha nimemchukua baba nimempeleka kwenye matibabu sasa hivi yuko sawa kabisa, anatembea mwenyewe, na hivi karibuni atarudi nyumbani kwake jiandae make uliyoyafanya unayakumbuka vyema kabisa, mama Albert alishtuka wewe mtoto umefanya nini? Umeamua kumtibu baba ako ili aje aniue si ndio? Albert alitikisa tu kichwa akaingia zake chumbani kwake akachukua vitu vyake vya muhimu nakusepa...
Itaendelea....🔥
Offer offer offer
Pata full kea kwa sh 800
Whatsp 0784468229
Kwa presha ambayo Mama huyo alikuwa nayo pale pale alizimia, hakika Mr Tamir alihisi Dunia inazunguka, yaani jasho kwenye ukwapa lilimjaa haswa.
Kwanza ilibidi Aite wafanyakazi wake wasaidiane kumukimbiza Mkewe hospital.
Mr Tamir alikuwa kachanganyikiwa kuliko kawaida.
Masaa hayo hayo alianza kufanya mchakato Wa kuwasiliana na wahusika walio ifunga akaunti ya Jovin, maana Yeye ndo alikuwa katoa vihongo mpaka ikawa vile!.
Japo kulikuwa na ugumu Wake kueleweka, ila kwa Sababu alikuwa anatumia Pesa Hiyo aliambiwa asubiri Baada ya Masaa 24 akaunti itakuwa ipo Sawa!.
Kurudisha nyaraka ilikuwa Siyo Kazi kwa Sababu Mr Tamir alikuwa nazo nyumbani kwake na kizuri na bahati ambayo alikuwa nayo alikuwa hajazibadili Majina, Japo kuwa Ndo alikuwa kwenye hatua ya Mwisho kubadili Majina!.
Mr Tamir alijaribu kupiga ile Namba kwamba amwelekeze Jovin kwamba akaunti ya benki itakuwa Sawa Baada ya masaa 24 lakini ile Namba ilikuwa haipatikani tena!.
Mr Tamir ni kweli Zile nyaraka alizirudisha kwenye ile ile nyumba ambayo ilikuwa Mali ya Mr Jovin Tena ikiwa ni maficho ya Siri ya Bwana huyo, na nyumba Hiyo nayo ilikuwa ishakuwa Mali ya Mr Tamir.
Lakini ni kama Mr Tamir alikuwa hakubali Mali alizo kuwa Tayari kazipata na kuziweka mikononi Mwake na Tayari alishaanza kufanya mpaka Taratibu za kujumlisha kabisa eti leo zinapotea kizembe!.
Mr Tamir pale kwenye ile nyumba aliweka walinzi wake Wa kutosha ili kuilia Dolia kiasi kwamba Jovin akifika tu wamdake, pia kingine aliweka Hati feki Mule ndani, kifupi alikuwa hakubali.
Basi Masaa yalisogea ni kweli Mida ya Saa Tatu Usiku Mr Jovin alionekana kuingia mule ndani, Mr Jovin alikuwa anajua pale kuna watu wanamvizia kwa Sababu ile Hirizi Yake ilimpa taarifa kwamba kuna hatari, lakini bwana Huyo aliona liwalo na liwe na alicho kuwa anaamini Mr Tamir hawezi kumuua kabla hajampata Binti yake!.
Mr Jovin alizama mpaka ndani kabisa alifungua zile Droo Baada ya kukagua aligundua ni Hati feki, pia mihuri Ya kampuni ilikuwa hamna!.
Muda huo alianza kusikia michanyato Mule ndani ikiwa ni ishara ya Watu kuvamia mule ndani, tena ilionekana ni kundi la Watu na Siyo Mtu Mmoja!.
Kitu alicho kifanya Mr Jovin alishika pale kwenye shingo Yake ambapo alikuwa kachanjiwa Dawa na ilikuwa Mara ya Kwanza kwa Jovin kutumia Njia Hiyo tangia apewe na mtaalamu!.
Jovin alisugua pale shingoni alihisi kitu kama moshi unatoka na kumzunguka hivi!.
"Heee kupotea Gani ambako mtaalamu alisema napotea, mbona kama nataka niuponze hivi!" Jovin alijiongelesha Baada ya kuona bado yupo pale pale Huku moshi tu ukiwa unamzunguka!.
Gafla vidume kama vitano vilizama Mule ndani, hapo Ndo Jovin alielewa Kazi ya ile Dawa, maana wale Jamaa walikuwa hawamuoni kabisa!.
Walimtafuta mpaka kwenye makabati lakini hawakumuona.
Jovin Yeye alikuwa anawachora tu huku akiwa anawaangalia wanavyo msaka!.
"Haiwezekani lazima Humu kuna mlango Wa Siri Wa kutokea, kama Siyo hivyo basi kuna chumba Cha Siri atakuwa kajificha!"
"Uuuuu hilo naamini maana mlangoni hajapita kabisa na asingeweza kupita kwa idadi yetu tusimuone, hapa Boss tu apewe taarifa!" Yalikuwa ni maongezi ya Wale vibaraka Wa Mr Tamir!.
Na kweli taarifa zilimfikia Mr Tamir, kiukweli Usiku huo Mr Tamir hakulala, alijiona kabisa anaenda kumpoteza Binti Yake! Yaani ile Namba ya Jovin alikuwa anapiga Mara mbili mbili lakini haipatikani!.
Alijaribu kulazimisha hata usingizi lakini ulikuwa hauji kabisa!..
"Shiiiitiiii Ndo nimefanya Nini Sasa Mimi jamani!" Mr Tamir alikuwa anajisonya lakini wala haikusaidia!.
Basi masaa yalisogea hatimaye palikucha na kuwa asubuhi!.
Mr Tamir alidamka asubuhi ili awahi hospital kumjulia Hali Mkewe, lakini akiwa anatoka pale getini mapigo ya Moyo yalianza kwenda Kasi.
Mr Tamir alishuhudia nguo za Binti yake ambazo alikuwa kazivaa kwa Mara ya mwisho zikiwa zimejaa Damu! Kwanza Bwana huyo alikaa chini kwa kuishiwa Nguvu!.
Gafla pale pale Simu Yake ilianza kuita Namba ilikuwa ni tofauti na ya Jana Yake.
Alipo Pokea tu Simu ile alisikia Sauti za Binti Yake akiwa analia Huku akiwa anaomba msaada!.
"Baba nakufa mie!! Nisaidie Baba Yangu wananiua!" Ilikuwa ni Sauti ya Binti Yake na Mr Tamir ambapo Sauti Hiyo ilifanya Mr Tamir achanginyiwe Huku akiwa kama karukwa na akili!.
"Halloo!! Halloo!!! Mr Jovin!! Halloo...!" Mr Tamir alijaribu kuita lakini Simu ilikatwa, Baada ya Dakika Moja ujumbe uliingia kwenye Simu Yake!.
"Mr Tamir huwezi kunizunguka kama unavyo fikiria! Nakupendelea Siku Nyingine! Ndugu Yangu ikipita Leo namalizana na Binti Yako, nahamia kwa mkeo na pia nikimalizana na huko nahamia kwako! Hii Vita haitoisha mpaka Mmoja wetu kati Yangu Mimi na Wewe afe, la sivyo kwa Amani kabisa Fanya Yote niliyo kwambia!." Ulikuwa ni ujumbe mzito na wa vitisho!.
Mr Tamir kiukweli alinyanyua mikono Juu aliona hawezi kumpoteza Binti Yake kisa vimali vya Jovin wakati Yeye ana kampuni kubwa zaidi ya ile ya Mr Jovin.
Muda ule ule alizama ndani, alikusanya Hati zote orijino na mihuri ya kampuni na vitu vingine vinavyo hitajika, bila hiyana alivirudisha kule aliko vitoa mwanzo!.
Ilipo fika Mida ya Saa Tatu kama kawaida Jovin alienda kuangalia na awamu hii Hirizi hata haikucheza hiyo ilimanisha kwamba ni Salama kwake.
Mr Jovin Baada ya kukagua aligundua zile ni Hati orijino na mihuri ni yenyewe! Baada ya Hapo aliingia kwenye Simu Yake kuhakikisha kama akaunti imefunguliwa na inafanya Kazi!.
Mr Jovin alijikuta anacheka pekee Yake Baada ya kuona akaunti Yake kuu inafanya kazi na Pesa zote zipo salama!.
Basi mdogo mdogo Mr Jovin aliondoka!na aligundua kuna watu wanamfuatilia kwa nyuma bila shaka walikuwa wanataka wajue anapo ishi au Binti Wa Mr Tamir alipo hifadhiwa.
Mr Tamir wala hakwenda huko wanakodhani wao, alienda kuishia kwenye Moja ya Hoteli ya kifahari!.
Baada ya kufika tu pale Hotelini!! Jovin hakukaa masaa hata matatu Tayari Simu zilikuwa zimepigwa kituoni na wahudumu Wa pale, maana ilikuwa inafahamika Mr Jovin ni Jambazi na anatafutwa na polisi na popote atakapo onekana basi taarifa zitolewe.
Akiwa kwenye chumba chake Mr Jovin alihisi hatari, bahati nzuri chumba chake kilikuwa chini na Siyo gorofani Juu!.
Mr Jovin alibeba mkoba wake Wa nyaraka Huyo alisepa haraka Sana pale Hotelini!, kwa Maana Hiyo Askari ni kama walichelewa.
Basi Siku Hiyo ilipita, ikiwa ni asubuhi na mapema Mr Tamir alishangaa Binti Yake anarudi akiwa ni mzima Wa afya Tena akiwa hana hata doa wala mkwaruzo!.
"Heeee Binti Yangu upo sawa, hujaumia popote!?" Mr Tamir aliuliza!.
"Baba Mr Jovin ni Mtu muungwana na mwema Sana, kiukweli hajanifanyia kitu chochote kibaya, alikuwa tu ananikarimu vizuri!"
"Heeeee makubwa unamsifiaje mtekaji na hujui Mambo Gani nimepitia, na ile Sauti uliyo kuwa unalia Mimi nikajua ulikuwa unateswa!"
"Hahaaa Baba Siyo Mimi hata!! Ni kijana Huyo anaitwa keivo anajua kuiga Sauti mpaka Basi! Ila ukweli Baba Wale ni Watu waungwana tu!" Basi Binti Wa Tajiri alikuwa anasimulia huku akiwasifia, Muda huo Binti huyo alikuwa anamuwaza tu kijana Keivo! Kifupi alikuwa kadata na keivo kwa muda mfupi ambao alikuwa kakaa naye!.
"Uuuuu yule kaka jamani mbona hanitoki kichwani! Natamani hata waje waniteke tena!" Hayo yalikuwa mawazo ya Binti yule aliye julikana kwa jina la Hijmai.
Mr Tamir alijikuta anajiona mpuuzi kwa kurudisha Mali mikononi mwa Jovin wakati kumbe mtoto wake alikuwa hata hayupo hatarini!.
"Ila Bado sijachelewa lazima niambulie chochote kitu!" Mr Tamir alijiongelesha mwenyewe kwa hasira, Baada ya Hapo alirudi ndani na kuzama chumbani Baada ya hapo alipiga Simu kwa Mr Antonio, na kumsimulia kila kitu!..
"Shiiiitiiii Mr Tamir Ndo ujinga Gani umefanya Sasa! Yaani umerudisha kila kitu mpaka mihuri!?"
"Mr Antonio huu Siyo Muda Wa kulaumiana! Lazima Tufanye Jambo, Hii kampuni inabidi ifirisiwe, Pesa zote za kampuni tuzihamishe!"
"Sasa Mr Tamir kipi huelewi happ, Benki ipi itakubali kuhamisha mabilion ya kampuni, Bila mhurui wa mkurugenzi! Na mmiliki Wa Kampuni!!?"
"Mr Antonio kitu ninacho Taka ni Wewe kumpanga mhasibu, maana kule benki watia saini wanao ruhusu Pesa itoke ni watatu tu, mhasibu Mkuu, meneja na Mkurugenzi! Kuhusu mhuri Wa mkurugenzi na Namna ya kumshawishi Pesa ihame niachie Mimi!" Yalikuwa maneno ya Mr Tamir akiwa anajikubali!.
Yaani Mr Tamir alikuwa anataka ile kampuni ya Mr Jovin ibaki kampuni Jina tu Labda na bidhaa zilizopo na wafanyakazi, ila Pesa za kampuni zote alikuwa anataka kuzihamisha, kifupi alikuwa anataka kuifirisi kampuni!.
Je atafanikiwa mpango wake!? Na Vipi Jovin ataendelea kujificha dhidi ya polisi au kuna maajabu atafanya!?
Full 1000
Whatsp 0784468229
Walipofika mlango wa kuingilia ukumbi, mlango mkubwa wa kioo ulifunguliwa kwa heshima.
Ndani kulikuwa kumepambwa kwa mapambo meupe na ya dhahabu, maua, taa za kung'aa, na meza zilizopangwa kwa umaridadi wa hali ya Juu.
Prisca alihisi miguu ikitetemeka. Aliinama.
kidogo kuangalia pete iliyokuwa kidoleni mwake.
"Ni kweli haya yananitokea mimi? Alijisemea.
Jimmy alimsogeza karibu na kumnong'oneza,
"Leo ni siku ya furaha Wewe ndiye malkia wa usiku huu naomba usiniangushe.
Wakaingia ukumbini Watu walishangilia, wengine wakapiga makofi, na wengine waliwaangalia kwa mshangao. Kamera ziliwaka kila kona.
Prisca kijasho kilimtoka alikuwa akitetemeka kwa hofu lile jambo lilikuwa kubwa kuliko alivyokuwa amejichukulia. Alimwangalia Jimmy na kuuliza kwa sauti ya chini
"Mbona kila mtu anatuangalia?
"Leo ni usiku wa wetu nataka ulimwengu ujue kuwa wewe ni sehemu ya mafanikio yangu. sitaki mtu afutilie mashaka.
Jimmy alitabasamu kisha akajibu,
Prisca alibaki mdomo wazi.
"Jimmy sijui hata kama naweza kuvumilia.
watu "Shhh... Umeshafika hapa ona wanavyokuangalia, Wewe ndiye staa leo.
Walienda kukaa kwenye viti walivyoandaliwa na mtangazaji wa shughuli hiyo alitangaza kupitia kipaza sauti.
"Kwa mara ya kwanza tunawatambulisha rasmi JIMMY & PRISCA AU MR AND MRS JIMMY.
wanando wapya. Ukumbi mzima ukalipuka kwa shangwe..
Prisca alihisi mapigo yake ya moyo yakienda mbio, Alichanganyikiwa. Jimmy alitambua kuwa
hayupo sawa alimsogelea na kumnongoneza. "Ondoa hofu Kuwa kawaida tafadhali.
Prisca alijikaza akaanza kutabasamu.
Sherehe iliendelea kufana jimmy alisimama
kwenye nafasi yake kama bwana harusi kweli
alikuwa alimshika Prisca kwa kuiachia na hasa
kumpiga mabusu bila kuogopa.
Ukifika muda wa walitakiwa kwenda kucheza.
Walinyanyuka na kusogea mbele, jimmy alisogea na kumshika kiuno wakaanza kucheza taratibu
huku waliangaliana usoni. Prisca alikuwa anaona aibu.
"Usione aibu haya ni maigizo tu.
Prisca alijikaza mpaka sherehe ilipokuwa kuisha Ilikuwa Mida ya saa sita usiku. Walitoka ukumbini na kwenda kupanda kwenye gari ya
Jimmy.
"Inaelekea wapi?
"Kwa sasa siwezi kwenda nyumbani nimpeleke hoteli.
"Sawa.
Walienda mpaka kwenye hotel ya knigh hotel..
Hoteli yenye hadhi.
Jimmy alichukua chumba kisha akamsindikiza mpaka chumbani.
Jimmy alitoa bahasha na kumpatia.
"Malipo yako ni haya.
Prisca alipokea ile bahasha na kushukuru. "Tutaonana kama imepangwa tuonane tena. Alisema jimmy kisha akaondoka
Usiku ule Prisca alilala pake hotelini Kesho yake asubuhi aliamka na kujiandaa kisha akarudi nyumbani kwao.
Alipoingia tu ndani akakutana na sura ngumu ya kaka yake Deo pamoja na mama yake. Prisca alijua hakuna usalama alisimama mlangoni huku akiwa kamshikilia mlango.
"Kilichikugandisha hapo ni kipi? Mama yake aliuliza kwa sauti ya ukali?
Prisca aliachia mlango na kupiga hatua ndogo ndogo alisogea alipo mama yake.
"Hivi umelala wapi? Deo aliuliza
"Nilimuacha mama nilienda kusoma
"Una uhakika na hicho unachokisema?
"Ndio, siwezi mama si. Nilikuaga? "Hukunian Ila kuwa unaenda kuolewa. Prisca alivyosikia hivyo alishituka.
"Unashika nini?
"Hamna mimi sijaolewa. Prisca alikataa lakini kwa bahati mbaya pete ya ndoa aliyovalshwa na
Jimmy bado ilikuwa kwenye kidole chake.
"Hilo bati laki ni kuthibitishia cha kwanza pia kuna picha nyingine hapa.
Deo alitoa simu na kumuonyesha picha zote za ukumbini. Prisca hakuweza kubisha lakini alijiuliza kaka yake ametzipataje pataje zile picha.
"Wewe mimi siwezi kuishi na mke wa mtu hapa. ndani nenda kachukue kila kitu chako uende kwa mume wako.
"Jamani mama...
We hakuna cha mama hapa unatakiwa. kuondoka.
"Lakini yule sio mwanaume wangu ilikuwa ni dili tu.
"Sisi hatujui hilo twende kwa huyo mwanaume. wako.
"Mimi sijui anaishi wapi.
"Leo itajulikana.
Jamani kaka Deo.....
"Prisca usitake nikuvute na mapanga naomba usimame tuondoke...
Prisca hakubisha alikuwa anamjua vizuri sana kaka yake.
"Usisahau begi lako.
"Mama hilo achana nalo litamfuata nyuma.
Prisca aliondoka vile vile wakaenda kupanda kwenye pikipiki na hakujua wanaelekea wapi maana yeye mwenyewe alikuwa hajui wapi kwa kumpata Jimmy..
JE NINI KITAENDELEAAA!! "
OFAAAA KUPATA YOTE NI 1000 TU UNAPATA MPK MWISHO KABISA
Full 1000
Whatsp 0784468229
Nilishaanza kumuogopa, kwa maana kuanzia namfahamu sijawah hata mara moja kumuona katika hali kama ile, kuna namna nikawa kama naanza kumuogopa maana sikuona kama ni hali ya kawaida, niliona kama anaweza kuja kuniua, nikasimama na kutaka kuondoka, akanifata na kunikumbatia kwa nguvu kisha akasema naomba usiniache mamaa naomba usiniache, wewe ndio dawa yangu nimechoka kunywa dawa, hata kama ukinikasirikia ila hakikisha kuwa hauendi mbali na mimi, nimechoka kunywa dawa kwa miaka mingi, watu wanajua kuwa nina pesa ila mimi ni mpweke sana, na upweke wangu umefanikiwa kuuondoa wewe tu naomba usiniache....
Alikuwa anaongea kama mtoto mdogo ambae hakuwa na cha kufanya, alikuwa anaongea kama mtoto mdogo ambae mama yake alikuwa amemuacha mwenyewe na Amelia sana akimlilia mama yake, nikamshika mkono na kurudi nae kitandani, hapo simu nikaweka pemben maana usalama wa afya yake ni muhimu sana kuliko hata hilo penzi jipya, nikaanza kumchezea nywele huku namuimbia, akatulia kisha akalala lla alikuwa anashtuka kila dakika ananiangalia, nikawa nashangaa huyu vipi,mwisho akashindwa akaenda kuangalia simu yangu ipo wapi, alipoona ipo mbalia akaja akalala vizuri kisha akanambia naomba usiniache shimena wangu...
Ingawa siku hio Edward alilala kwa marue rue sana, ila alilala mpaka asubuh, na asubuh akanambia kuwa jioni ya siku hio kutakuwa na mkutano, ameshaanza kuona kama kelele hazimuathiri sana na kwa kuwa anaenda kukutana na watu wazima huenda akaweza kuhimili, hivyo nisítembee nae sana, mwisho nionekane kama mlinzi wake binafsi..
Basi nikakubali, tukajianda atukaenda kazin, na jion ya siku hio tukawa tumeenda kwenye hio shughuli, ni kweli asilimia kubwa walikuwa ni watu wazima hivyo sikuwa na wasiwasi kabisa, kumbe kuna watu nahisi walikuwa wanajua hali ya Edward, kuna muda nimeenda zangu uwani, nikashangaa nasikia disko limeanza, nikatoka uwani mbio, kufika nakuta watu wamejaa ambao hata hawakuwepo na walikuwa wamemzunguka Edward kana kwamba walikuwa wamepania kuona anadhalilika, nikafika nikamuona Edward macho yameshaanza kuwa mekundu na muda sio mrefu ataanza kutetemeka kwa uoga na ni jambo la aibu sana kwa mtu kama yeye, hivyo nikachukua mic kwa mtu mmoja ambae alikuwa anaperform karioki kwa lazima maana hakutaka kunipa kisha nikaanza kuimba taratibu na watu wote waliokuwa pale wakakaa kimya....
Nikaanza kuimba "I found love, for meee Darling just dying by in, and follow my lead I found a boy handsome and sweet I never new your someone, waiting for meee We were just kids when fell in love
not know and what it was, I will not give you up
this time
baby just kiss me slow, you're the one that I owN sasa wakati ambapo nilifika hapo nikawa nimeshamfikia Edward, nikamsogelea na kumuambia kwa sauti ya chini kuwa " siku zote nitakuwa kwa ajili yako...
akashusha pumzi kisha akanikumbatia kwa
nguvu sana, mpaka kuna muda nikawa nahisi kama mioyo yetu imekutana, akaniambia naomba usije ukakaa mbali na mimi shemina... watu sasa wakajua kuwa tunapendana sana kumbe nilikuwa namtibu, maana alishaanza kuchanganywa na zile kelele za pale, hivyo asilimia kubwa ya watu waliokuwa pale hawakushtukia mchezo ulivyokuwa unaenda, basi nikamshika mkono na kuondoka nae hapo hakuna mtu ambae alielewa kuwa Edward alikuwa anaanza kuchanganyikiwa kutokana na kelele ambazo zilikuwa eneo lile....
basi tukafika nyumban nikashangaa Edward ameingia chumban alafu akawa anatetemeka kwa uwaga, mara nyingi huwa anakuwa hivyo pale ambapo kelele zinakuwa zimeshaanza kumdhuru na kumuathiri, nikamsogelea na kumuuliza shida ni nini, nikashangaa anaanza kulia, kisha akasema laity kama usingekuwa pale wakati ule, basi ningedhalilika, ni nani ambae alifanya vile, alitaka kila mtu ajue kuwa mimi nina matatizo ya akili....
Full 1000
Whatsp 0784468229
Misukosuko haikuishia kati ya kabir na jayden mara kwa mara walikuwa wakipishana kauli. Nadia akiona hali inaenda kuwa mbaya aliamua kuchukua maamuzi magumu .
Siku hiyo alitoka ofisini kwake akaenda ofisini kwa kabir.
" Karibu sana mwandani wa moyo wangu.
Nadia akiweka barua mezani kwa kabir.
" Boss hii ni barua yangu ya kuacha kazi.
Kabir alimuangalia usoni kwa makini kisha akachukua ile barua na kuisoma.
" Nini sababu ya wewe kuacha kazi?
" Nilijua mambo yanaenda sawa lakini naona kila siku zinavyoenda mambo yanazidi kuwa magumu kelele kati yako na jayden haziishii.
Kabir alimuangalia kisha akaichana ile barua na kutupia vipande vya karatasi kwenye dastbin.
" Naomba unipe muda wako , naomba jioni tukapata pamoja chakula cha usiku.
Nadia alimuangalia huku akiwa anajiambia.
" Sasa muda wa kumueleza ukweli umefika.
" Vipi unafikiria nini?
" Sasa nipo tayari .
" Asante kwa kukubali ombi langu.
Ilifika muda wa kutoka kazini Nadia alirudi kwanza nyumbani kwake kumuangalia mtoto wake .pia hakutaka kutoka akiwa kavalia mavazi ya kiofisi . Aliingia bafuni akaoga na kujiweka vizuri.
Alichukua gauni lake safi na zuri akavaa , alichukua pochi yake ndogo kisha akaondoka na kuelekea hotel ya Rose garden.
Alifika na kumkuta kabir ameshafika alikuwa akimsubiri.
" Pole kwa kuchelewa.
" Usijali .
Muhudumu alifika hadia aliagiza kinywani na chakula .
" Nimeitikia wito nakusikiliza boss wangu.
Wakati Nadia anaongea macho yake yalikuwa yakimkagua kabir jinsi alivyokuwa kapendeza . Kusema kweli kabir alikuwa ni bonge la mwanaume, anakipenda na kujijali. Yani ukimuangalia tu mwili wako unasisimka.
" Nadia nina mambo mengi ya kuongea na wewe kwanza kabisa naomba nikuombe msamaha kwa kile kilichotokea kipindi kile porini.
Nilitamani niongee kitu na wewe lakini hukunipa nafasi , kama ungenipa nafasi basi nisingepitia misukosuko niliyopitia na wala haya yote yasingetokea.
" Umepita misuko siko gani?
“Nadia… hujui nimepitia
Siku niliyoondoka pale hotelini nilihusi nimeacha kitu kikubwa sana huko nyuma.
Nilitamani kujua ulipo kuna muda nilienda dar nikikupa matumaini naweza kukuona lakini haikuwa rahisi nilikata tamaa na kurudi Arusha.
Yani kuna wakati nilihisi napagawa hakuwa chizi kwaajili yako Nadia
Ndugu zangu waliona kama nachanganyikiwa wakaamua kunilazimisha kuowa Ndio maana hata ndoa yangu haikuwa chaguo langu. Nilikaa nikijifariji labda ipo siku nitakutana na wewe.
Siku niliyokuona nilihisi mwili mzima kupata ganzi, kwanza sikuamini kama wewe ndio ipo kwenye sherehe yangu ya harusi. Nilikosea furaha mpaka mke wangu akajua sipo sawa.
Nadia leo hii umekaa mbele yangu, unanifanya niamini miujiza ipo.” sasa hebu niambie kuteseka kote huko leo hii nikuache uende kwa Jayden?
Maneno yale yalimgusa Nadia moja kwa moja moyoni. Hisia zilizokuwa zimefichwa kwa muda mrefu zikafufuka kama moto uliokuwa unataka kuzima alafu upepo ukaufufua tena. Machozi madogo yalimtoka bila hata yeye kujua.
Walijikuta wote wakinyamaza, wakitazamana tu kwa muda mrefu. Ndipo Kabir aliponyoosha mkono wake na kumgusa Nadia taratibu. Nadia hakujizuia, alijisogeza karibu zaidi na kabla hajajua walijikuta midomo yao imekutana na kupigana busu zito
Hawakujali tena muda wala sehemu, walijikuta wakihitaji faragha.
Kabir alisimama
" Nisubiri hapa nakuja .
Nadia aliitikia kwa kichwa
kabir alienda kuchukua chumba kwenye ileile hotel waliyokuwa wamekaa.
Baada ya muda kabir alirudi na kunyoosha mkono na Nadia alimpa mkono wake , walishikana mikono yao na kwenda kwenye chumba alichochukua
walijumuika pamoja kwenye ulimwengu wao wa mahaba. Safari hii Nadia hakuaogopa alikuwa huru sana na kabir alionekana kuwa na hisia nzito sana , sauti za mahaba na miguuni ulitawala ndani ya kile chumba.
Usiku mzima uligeuka kuwa wa hisia kali, Ilikuwa kama ndoto ambayo kila mmoja hakutaka aamke
Baada ya mapumziko kadhaa Nadia akawa amejipata juu ya kifua cha Kabir, moyo wake ulijaa wasiwasi na mchanganyiko wa furaha na . Alijua muda umefika. Hakutaka tena kuficha.
“Kabir…” alitamka kwa sauti ndogo
“Hmmm, my love…” Kabir alimjibu huku akipapasa nywele zake.
" Lakini wewe una mke ujue.
" Usijali kuhusu hilo mimi nitakua nini cha kufanya.
" Au unataka kunifanya mchepuko?
" Kamwe haitawezekana wewe ni nafasi yangu ya kwanza lazima nifanye halali.
" Unataka kumuowa mke wa pili?
" Ndio nadhani dini yangu inaruhusu.
" Vipi mkeo atakubali?
" Haitajalisha amekubali au amekataa nitaangalia msimamo wangu na uzuri anajua iuwa kuna mwanamke nampenda anaitwa Nadia.
Nadia hakuamini kwa haraka maneno ya kabir akimchukulia kama wanaume wengine na porojo zao.
Nadia akavuta pumzi ndefu.
“Kuna kitu muhimu sana nataka nikueleze. Naomba usinishangae, naomba usinihukumu ila ni lazima ujue.”
Kabir akatazama uso wake kwa makini. “Nadia, niambie. Hata iwe nini, nitakuelewa.”
" Nataka ujue mimi ni mama , nimezaa na nina mtoto wa kiume.
Full 1000
Whatsp 0784468229
Chapter 3
Vipindi viliendelea, ulifika muda wa kipindi chake. kila mtu alikaa kimtego darasani tukabaki wawili tu, ambao tulikuwa kawaida, wengine wote waliacha mapaja wazi, Teacher aliingia. akawapuuza tu, alifundisha, ila kuna namna akawa anatazama sana upande wa Rozi, baada ya kumaliza kufundisha akaomba darasa tujitambulishe, tukawa tunajitambukisha kwa majina kila mtu, tulijitambulisha, akashukuru na kuondoka, baada ya muda akaomba saa moja ya kila mtu kujitambulisha, in deep, sio tu majina, watu wote walikubali kwa furaha, tuliombwa tujadili kisha majibu tumpe kiongozi wa darasa ampelekee, tulijadili, wakatoa muda upi tumpe mwalimu, nikatakiwa kupeleka Rozi akaomba yeye apeleke, watu darasani wakagoma wakaanza vita, ikabidi waelewane niende mimi mwenyewe....
Nilienda nikagonga nikaruhisiwa kuingia, nilimpa mda, nikawa nataka kuondoka akanizuia, akainuka kwenye kiti, nilikuwa muoga, muda wote naongea sijamtizama, na huenda ata angekuwa mwingine ata nisingejua, alivyoanza kusogea ndio nikainua macho kumtizama, nilivyomtizana tu, akasimama akafumba macho nakuniomba niende, nikaondoka huku najiuliza alinisimamisha ili iweje, au alitaka kuniuliza kuhusu Rose, make toka mda namuona anatizama upande wetu sana, nikajua tu, huyu kampenda Rose, nilitabasamu nakurudi darasani...
Nilifika kila mtu anauliza kasemaje, niliwatizama kwa kuwahurumia tu, nikawaambia kasema tu tujiandae,basi kila mtu akarudi kwenye dawati lake kusubiri, ila mida ilivyokaribia, robotatu ya darasa, walichomoka kumbe wameenda kujipodoa,kila mtu akawa anarudi kapodoka, adi Rose na Sara, nilibaki tu natabasamu jinsi wanavyohangaika aisee, muda ulifika kwanza Teacher kaingia anashangaa watu wako tofauti, hakufumbia macho, akaamua kusema, naona mmependeza wenyewe, wakafurahi kusikia. wamesifiwa...
Tulianza kujieleza tunakotoka, idadi ya familia, kila mtu akajieleza adi kazi za wazazi, mimi pia sikuficha nilijieleza, sikuona aibu coz darasa zima linajua, kuna siku nilimkera Rose akaamua kutangaza, sikuchukia nilichukulia kawaida tu,make ni kweli mama angu ni house maid, tulijitambulisha wote tukamaliza, mtoto wa kapuku nilikuwa peke yangu, wengine wote wana toka familia nzito, ata Rose cha mtoto...
Alishukuru nakutupa wosia,na nikama alikuwa anatoa onyo kijanja ili wasimuandame, alikuwa akihusia maisha na kuwazuia mahusiano kwa wakati huu sio salama tujitahidi sana tumalize kwanza shule, angalau huko chuo, aliongea kwa upana sana, kisha akaondoka, kila mtu akawa anahisi, kaambiwa yeye, watu walinywea kwa muda kulipoa make muda wakujitambulisha watu walijimaliza mno...
Siku iliisha, hatimae wakaanza kumzoea japo kuna ambao hawakusikia hasa Rose, alitoroka usiku na kwenda kwa Teacher, alihisi kabisa Teacher anampenda make kila akiingia darasani jicho huwa huu upande wetu, na aliamini kabisa siwezi kuwa mimi, make yeye ni mzuri kunizidi mimi, alitoka kwa wizi akampa pesa mlinzi akachomoka, alivyofika kwanza Teacher alishangaa, alimuwasha kofi kisha akamweka chini nakumshauri asifanye huu ujinga tena sio tu kwake hata kwa walimu wengine...
Alimpa wosia na kumtaka arudi Rose aligoma nakuomba tu angalau akubaliwe, Aliwekwa kofi jingine nakutimuliwa, akasema atapiga kelele watu waje, akaambia sawa piga, Rose alishindwa akaamua kuondoka lakini akiwa na hasira. mno, alifika Bwenini akaniamsha, akaanza kunililia na kujieleza kwangu, akanisimulia kila kitu, dah nilimuhurumia nikamshauri ajifanye nae kukaza huenda, Teacher kuna kitu anaogopa, au huenda, anasubiri umalize shule, tuliamini hii ndio sababu tukakubaliana kumpa mda Teacher, kulikucha vipindi vikaendelea, ila leo kukawa na jipya tena yani la motooooo...
Itaendelea....
*SEHEMU YA NNE*
Waliingia walimu wakataita majina ya wanafunzi tukabaki watu 7 tu, wengine wote walituhumiwa. kwenda usiku kwa Teacher G na mlinzi aliepokea. rushwa walitembezewa fimbo zakutosha, na mlinzi akafukuzwa kazi, yani hawakuamini, kila mtu alienda kwa muda wake, wamekuja kuumbuliwa mbele ya darasa, tena fimbol ziliwakuta kama mvua, na wazazi wakaitwa, wakapewa onyo, apo kukawa kumetulia, yani walipoa wakawa na adabu sio kawaida, Rose pia alikuwa miongoni mwao....
Vipindi viliendelea likizo ya mwezi wa nne ikafika, apo mwezi wa 5 4m 6 wahitim tupande tulirudi likizo, tukakuta kaka zake Rose waliokuwa nje kimasomo pia wamerudi, na kuna mmoja Ronard, kaka mkubwa alikuwa ananimendea sana, hasa hii likizo nilijitahidi sana kukaa nae mbali adi muda wa shule kufungua ukafika, akaomba yeye ndo atupeleke, Boss hakukataa, na hivi mmewe pia alikuwa likizo ndo kabisaaa....
Akaona kapata furusa yakubaki na mme wake, Ronard, alitupeleka shule lakini njiani akaanza kunipiga mistali uku mdogo wake anamkuwadia, nilikuwa kimya nikaomba wanipe muda lengo nifike tu shule salama, sikuwa na imani nao kabisa, sikuwa nataka kupenda kabisa,historia. ya mama angu ilikuwa inazunguka sana kichwani kwangu, apa kichwani nina nywele ndefu sana kila wiki lazima nizipunguze, ilinibidi kujifunza kujishave mwenyewe na wembe kichwani, ili kuficha urefu nilirithi nywele za baba angu asiejulikana, nachojua tu ni mzungu wa
Canada....
Walikubali na kutuwaisha shule, kaka Ronard akatoa pesa nyingi akatugawanisha, nilikataa wakanibembeleza, huku wanasema mbona kama unatukwepa, nilijikaza nikapokea ilikuwa pesa nyingi kwangu, kwasababu mama angu hunipatia pesa ya matumizi ama emergence elf 15 ama 20, na tayari ameshanipatia, hii aliyonipa kaka Ronard ni laki moja na nusu, ilinipa wasiwasi mno ata kuipokea, nilijikaza tu, ili yaishe...
Nilipokea akafurahi, nakusema nakupenda sana Gift nakuahidi ukimaliza tu masomo yako mimi navuta jiko aisee, sitaweza kusubiri zaidi, nilitabasamu tu bila kujibu chochote, alitaka kunikimbatia nikakimbia, wakahisi naona albu, Rose akafurahi nakuanza kuniita wifi,mimi kimya sikulipenda kabisa hilo jina, leo tunafika tunatambilishwa, madam mpya na Teacher sasa huyu alikuwa kiboko acha nyie nyie, kwanza uyu mzuri afu anasauti fulani ivi huchoki kusikiliza dah..
Ila toka watu wachapwe wakawa makini apo unatamani kimya kimya,na madam nae hakuwa haba mrembo atari, na alifanana sana na Teacher G, na alikuwa na jina kama langu, alitokea kunipenda adi mwenyewe nikajua yani kila kitu utasikia somo fanya hivi, mara peleka hiki au atakuja na chakula ataniita nikale nae, alikuwa makini ata kunikazia kwenye masomo mno, adi nikampenda, nikajihisi nimepata dada. na mimi, kuzaliwa bila ndugu inauma nyie unakuwa unatamani upate ata mtu tu wakumuita dada, kaka, mdogo wako yani sijawai ata kupata wakucheza nae, mama angu alikuwa ananiacha anaenda kazini na ivi ni ndani ya geti nikawa nacheza tu peke yangu...
Sitakiwi kuchangamana na watoto wa boss,
mama aliweka mipaka ili asilete kelele, nilizoea
nikawa namsubiri akirudi nakula nacheza
mwenyewe nilivyoanza shule ndo ikawa angalau, ata kuongea nimeanza kujua nikiwa na miaka 7 sikuwa na mtu wa kuongea nae mara kwa mara ikapelekea kutokujua kuongea, nilivyopelekwa shule ndo nikaanza kujua nilipata amani sana, nikajikuta nasoma kwa bidii ili nisimualbishe dada G, sijawai kushika no moja lakini awamu hii nilishika, kila mtu hakuamini, mimi huwa ni 8,9 sijawai kuwazidi leo nimekuwa wa kwanza kama utani, wakaanza majungu, Madam. ananipendelea, na Teacher mpya alianza kutembea na Rose, lakini kumbe alikuwa pia ananitaka, alikuwa anapambana nimuelewe. nikagoma, akawa anatembea na wanafunzi kama 5, afu wakajuana, kila siku nikupigana, afu mwenzao yuko bze hajali, ile kitu ilijilikana. mwalimu akafukuzwa apo tumeingia 4m 6....
Rose alijikuta hachomoki kwa teacher
aliefukuzwa akaendeleza mahusiano, akawa anatumia simu ya magendo, nilivyotaka kumshauri akawa mkali nakudai namuonea wivu, kanipa kaka angu sijaridhika, nikashangaa mbona mambo kayakuza sana, niliamua kumuacha afanye anachokitaka, siku hazigandi hatimae tulihitimu, siku ya graduation, Mama alinipigia simu nakusema hatoweza kufika hamna mtu wakubaki nyumbani, ila boss atakuja nisihuzunike, ukweli hii iliniuma mno, nilijikaza kulia nikashindwa kabisa, nilitoka nikajibana sehemu nakuanza kulia, nilitamani mama angu
ahudhurie ata kama ni maskini...
Mama ni mama tu, niliumia mno, nilijikaza kumbe wakati nalia Madam Gift alikuwa nyuma. yangu, alinikumbatia, akaniambia lia machungu yote yaishe bado hujalia, nikama aliniambia lia kwa nguvu, nililia sana, nilivyotosheka nikanyamaza, akaniambia anaomba yeye ndie awe ndugu yangu, anatamani awe na ndugu lakini hakupata hio bahati na kalelewa na baba tu, tuliunganisha undugu nakupena no na namna yakupatana, na hata majina mtandaoni tukakubaliana majina yakuandika incase tukapotezana basi mtandaoni itakuwa sehemu. yakupatana kwa hayo majina ya tuliyokubaliana tutatumia....
Madam aliniaga akajiandae yeye ni dada sasa, tulifurahi kwa pamoja na kuagana, kesho yake ilikuwa graduation wazazi walifika, na sheree ikaanza, muda wa keki, ya pamoja mzazi aliekuja kunilisha keki alikuwa ni Madam G, mama Rose alijisahau, akawa katoka muda naitwa alikuwa anaongea na cameraman, nilimlisha madam na yeye akanilisha na taji aliandaa, na Muda wa vyeti pia alijitokeza na vyeti nilichukua vingi kwakweli...
Ilifika muda wa kukaa na familia sasa, Boss alikuja na keki moja ya Rose, niliumia ila nikawaza nakuona nakosea sana, sipaswi kukasirika hii iko sawa, mama alitakiwa aandae yani wanilipie ada bado na mambo madogo madogo niwasumbue hii nakosea, nitakuwa sina. shukrani, hili walilonitendea nikubwa mno kuliko hio keki, nilivyowaza tu ivo nikapata amani kabisa nakufurahi pamoja na wao, kumbe Madam aliandaa keki kwa ajili yangu, alileta keki tukaungana na Mama Rose, nilijikuta nalia kwa furaha mno, nilipewa zawadi na keki tukakata zote, na kula juu...
Nilimshukuru sana dada angu wa hiyari,
niliomba kuongea na mama kupitia simu ya dada angu, nilimtambulisha kwa Dada angu wa hiyari na kumsimulia aliyonitendea mama alifurahi adi akalia, waliongea nakupongezana, tukawa ndugu, nilipiga picha za kutosha, Rose aliniita na kunambia, kaka ake ananiita kule nyuma, nilisita sana, nyuma tena nilimwambia naogopa kwenda peke yangu, alicheka nakuniambia niache uoga, alisema nimfate anisindikize, nilikuwa naogopa mno...
Nilienda nikakuta kuna cameraman, keki ya jina langu, па zawadi, Ronard alivyoniona alitabasamu nakuomba tukate upya keki, kaandaa mwenyewe kwa ajili yangu, nilisogea Itaendelea...
Full 1000
Whatsp 0784468229
MY FOREVER MAN 💘 15
Abby alipoona hali imekuwa ngumu mno, moyo wake ulijaa maumivu na hasira. Alinyanyuka kitandani ghafla akasogea mabatini akatoa begi ,akavuta shati lake kwa pupa na kuanza kukusanya vitu vyake vidogo vidogo na kuweka kwenye begi bila mpangilio.
Kamila akajikuta akisimama haraka huku akiwa ametoa macho
“Abby! Unafanya nini?” aliuliza kwa sauti ya hofu.
“Ninaondoka Kamila sitaki kuendelea kukaa mahali ambapo kila siku naonekana msaliti. Kama kweli huamini tena maneno yangu, basi ni bora niondoke kuliko kila siku kuumizwa na maneno ya watu wako wa karibu,” Abby alisema huku akijaribu kuficha hasira alizokuwa nazo.
Kamila alimsogelea ksribu akashika mkono wake.
“Hapana Abby… usifanye hivyo tafadhali,” aliongea kwa sauti ya uchungu. Macho yake yalitoa machozi.
“Ndiyo, nimekasirika, nimeumizwa, na nimechanganyikiwa… lakini moyo wangu hauwezi kukuruhusu uondoke. Siwezi kuvumilia kukupoteza.
Abby alibaki ameduwaa, akimtazama Kamila usoni Kwa muda fulani hakusema kitu, aliendelea tu kumwangalia akijiuliza je maneno haya ni ya dhati au ni hofu tu ya kumpoteza.
Kamila aliendelea kushika mikono yake yote miwili, akawa anamuomba
“Naomba Abby usiende. Hata kama nimekosea kukushuku, nitajifunza kusikiliza na kuelewa. Usiniachie hivi… kwa mara nyingine tena nitavunjika moyo kabisa.
Abby akavuta pumzi ndefu, akamwangalia kwa macho makali lakini yenye upole.
“Basi Kamila, kama kweli hutaki niondoke, nipe nafasi ya kuthibitisha. Niachie nipambane na huu mchezo wa hila unaochezwa nyuma ya pazia. Lakini nahitaji uamini hata kwa kidogo… kwa sababu bila imani yako, vita hii sitashinda.
Kamila akamkumbatia kwa nguvu, machozi yakimtiririka mashavuni.
“Naahidi nitakupa nafasi, Abby. Sitaki tena kusikia habari za kandokando. tafadhali, usiniache.”
Wakiwa wanaendelea kuongea Rehema alikuwa nyuma ya mlango, akisikiliza kila kitu. Alishika simu yake haraka, akamwandikia Kijo ujumbe:
"Mpango unaanza kuyumba Kamila bado anamshikilia Abby. Tunahitaji mpango mpya kabla hawajagundua mchezo wetu.
Kijo aliposikia huo ujumbe alipiga ngumi ukutani mpaka akaumia.
."Aaaa ina sasa nimeumia, huu ni ujinga gani tunafanya yani tunapiga hatua kubwa mbele lakini baada ya muda tunaanza upya .
Abby alibaki amekumbatiana na Kamila kwa muda mrefu, lakini ndani ya moyo wake kulikuwa na hali ya wasiwasi. Alijua adui zao hawatakaa kimya, walikuwa watu wanaojua kupanga na kutumia hila. Alimwachia taratibu Kamila na kumwangalia kwa upole.
“Kamila, kuanzia sasa tunatakiwa kuwa makini zaidi. Usimwamini mtu yeyote kirahisi. Kuna watu karibu yetu ambao wanataka kutuona tunatengana.
Kamila alitikisa kichwa, macho yake bado yakiwa mekundu kwa kulia.
“Ni kweli mpenzi… nimeanza kuona dalili. Lakini sasa hivi sitaki tena kumsikiliza mtu kila litakalotokea tutakaa na kulijadili. Kuna muda naamini kuwa ni michezo ya kijo lakini sijui ni wivu au ni nini najikuta nashindwa kujiamini.
Kwa upande mwingine, Rehema alipokuwa bado nyuma ya mlango, moyo wake ulianza kupiga kwa kasi. Hakuwa amewahi kumsikia Kamila akizungumza kwa dhati namna ile. Alijua mpango wao unakaribia kufichuka. Aliandika tena ujumbe wa haraka kwa Kijo:
"Tusipoongeza kitu kipya, Kamila ataacha kusikiliza maneno yangu. Abby anaonekana anashinda moyo wake kila dakika. Fanya kitu Kijo, tafadhali!"
Kijo akiwa nyumbani kwake, alitembea tembea chumba kizima akiwaza kwa hasira. Aliweka simu mezani kisha akavuta kiti, akakaa
“Hapana… siwezi kuruhusu Abby aendelee kuonekana mshindi. Kama mpango wa uongo haujafanya kazi, sasa ni lazima nitumie mpango wa nguvu. Siwezi kumwachia Kamila mikononi mwa Abby,” alisema kwa sauti kali .
Alinyanyua simu yake na kumpigia mtu aliyejulikana kwa tabia za kufanya kazi chafu. Baada ya sekunde chache simu ilipokelewa.
“Kaka, nahitaji msaada wako. Kuna mtu nataka aumizwe kidogo sio kufa, bali apate funzo. Wewe ndiye unaweza kufanya hivyo bila mtu kugundua. Je uko tayari?”
Sauti upande wa pili ilicheka kwa kejeli.
“Unajua mimi sichezi na kazi ndogo, lakini kwa ajili yako nitafanya. Nipe tarehe na sehemu.”
Kijo alitabasamu
“Kesho jioni, Abby anatoka kazini saa kumi na moja jioni. Nitakutumia ratiba yake yote. Anapaswa kupata fundisho la kumfanya aache kujiona shujaa mbele yangu. Pia mumpe onyo kali aachane na kamila.
" Hilo limeisha.
Wakati huo, Abby na Kamila walikuwa wamekaa kwenye sofa, Kamila akiwa amechoka akajilaza kwenye mapaja ya abby usingizi ulianza kumpitia. Lakini Abby hakuwa na usingizi Alikuwa anafikiria “Niachie nipambane na huu mchezo wa hila unaochezwa nyuma ya pazia.
Hakujua kuwa adui yake tayari amepanga hatua mpya ya hatari zaidi.
Full 1000
Whatsp 0784468229
alikuwa akifanya biashara zake kubwa nchni Tanzanian pia alifungua kampuni kubwa sana. Licha ya kuwa na huo mri Jimmy hakutaka kabisa swala la kuowa yeye alikuwa Bize na biashara zake hata kama alikuwa na mambo yake mengine ilikuwa kwa siri sana hakuwa anapenda skendo za ajabu ajabu.
Katika mipango yake ya kutaka kutimiza mambo yake alitakiwa kufunga ndoa yani awe na cheti cha ndoa na wakati huo hakuwa na mpango wa kuwa na mke..
Jioni moja jimmy alikuwa amekaa na rafiki yake Patrick rais wa Tanzania, mfanya biashara mkubwa pia. Jimmy akaamua kumshirikisha swala lake ili aweze kumpa msaada.
"Kama nilivyokwambia bado nataka kuwa hapa na ili mipango yangu kutimia natakiwa kuowa.
Patrick akitabasamu kidogo kisha akanyanyua grass na kunywa fundi moja kisha akarudisha grass mezani.
Hatimae umeamua sasa.
"Hilo ni swala dogo sana jimmy hapa wasichana
Kumbuka nataka cheti na sio ndoa.
warembo wako wengi sana na wakila aina sema unataka mwanamke wa aina gani, toa sifa zake.
"Haujanielewa vizuri Patrick.
Mimi sitaki mke nataka cheti cha ndoa.
Nimekuelewa vizuri sana Jimmy Kila unachokitaka utakipata kikubwa ni pesa tu. Unajua pesa kwangu sio tatizo nataka jambo
liende haraka sana.
"Sawa nipe siku ya leo, kesho nitapata jibu.
Iwe uhakika tafadhali.
Ondoa shaka nina kijana wangu mmoja hajawahi kuniangusha.
Baada ya mazungumzo waliachana Patrick alimtafuta kijana mmoja wa chuo Mike na
kumuelezea shida ya jimmy.
"Mike najua wewe Mjanja na haushindwi nataka unitafute msicha mrembo, smart na Mjanja. "Hiyo imeisha bro nakuletwa mtoto mbichi
kwenye sifa ulizotaja. Patrick alitoa kiasi cha pesa na kumpa yule
kijana. "Kesho mapema sana mlete kwangu.
"Usijali kaka hili limeisha, mapema nitakupigia simu.
Poa.
Patrick aliondoka na kumuacha Mike akiwa bado kasimama
Mike alipiga mahesabu na mahesabu yake yakaangukia kwa binti mrembo mwenye
kujiamini na Mjanja prisca. Muda huohuo alitoa simu yake na kumpigia
Prisca "Hey Puko wapi?
"Nipo chuo.
"Vizuri nipo hapa maeneo ya getini njoo chapu kuna mchongo wa maana.
"Poa nakuja hapo sasa hivi.
Mike alikaa sehemu akimsubiri mara akamuona Prisca akiwa anaelekea maeneo ya getini.
"Hey Prisca. Prisca aligeuka kumuangalia. "Njoo hapa mrembo tujue tuyajenge
Mike usinipotezee muda nataka unipe
mchongo wa maana sio michango isiyo na hela Ni mambo ya pesa ndefu mama Prisca
aliposikia mambo ya pesa ndefu alisogea karibu zaidi.
"Mmmh niambie.
"Kuna mchango wa hela kama utakuwa tayari kesho nikupeleke maeneo "Wapi?
" Maeneo flani ya watu wakubwa huko.
"Kwanza mchongo wenyewe ni mchongo gani?
"Kuna jamaa anataka cheti cha ndoa.....
Sasa mimi na cheti cha ndoa wapi na wapi? "Tulia basi nikupange.
"Eheeee
"Huyo jamaa ni raia Marekani yupo hapa ana biashara zake ukisikia biashara ni biashara kweli sio biashara ya mitumba ni makampuni makubwa, muwekuzaji wa maana kabisa.
"Nenda kwenye point tafadhali.
Ndio nakuja huko, sasa kuna mambo yake yanataka cheti kwahiyo anataka mrembo wa kufunganae ndoa ya mkataba baada ya muda
flani ndoa inakufa. Na unajua talaka ikitoka lazima upate chochote kitu.
Acha hizo wewe ukiniangalia mimi nataka ndoa ?
"Hiyo sio ndoa yani akifunga ndoa akipata cheti wewe unasepa zako unamuachia vyeti vyake.
Prisca alitulia kidogo huku akiwa kashika kidevu chake.
"Mbona kama nakuelewa hivi.
"Huu mchongo wa maana sana mara kesho unaingia chuo na ndinga yako.
Unajua kushawishi. Poa kesho tutaenda huu mchongo usimpe mtu
mwingine. "Nitampa nani wakati wewe ndio Mjanja hapa.
Kwahiyo fanya maandalizi kesho asubuhi na
mapema nakupeleka mjengoni. Poa hilo limeisha.
Usisahau kupigilia mapigo flani, yani gauni moja matata yani utoke kwaajili ya ndoa. "Naelewa.
Kesho yake mapema sana Mike alikuwa nje ya geti la chuo akimsubiri Prisca.
Pia alionekana akiwa anaongea na simu mara
kwa mara. Baada ya muda kidogo Prisca alifika huku akiwa amevalia gauni lake safi la lango ya
off white na nywele zake alikuwa amevaa vizuri. Mike alimuangalia huku akitabasamu.
"Safi sana yani umepita kulekule.
Acha maneno mengi, tunafanya je sasa? "Hakuna kupoteza muda moboss wanalisubiri
huko na wanasumbua hatari.
Walikodi tax na kuelekea kwenye kampuni ya Patrick. Wakati huo Patrick na jimmy walikuwa wakiwasubiri kwa ham
Chapter 2
Jimmy na Patrick wakiwa ofisini Jimmy alikuwa anaangalia saa ya mkononi kwake.
"Una uhakika watafika?
Kuwa mpole kaka huyu kijana hajawahi kuniangusha wapo njiani. Muda sio mrefu watakuwa hapa.
Prisca na Mike walifika ndani ya jengo la ofisi Prisca akawa anashangaa. Mike hii ni sehemu kubwa sana mpaka napata
uwoga
Tulia mtoto nilikwambia hili ni kubwa sio maadili ya kitoto kama ulivyozoea. Mike alipiga simu kwa Patrick kumjulisha kuwa. wameshafika
Niambie Mike
Nipo mjengoni na mtoto mkali.
Sawa pita ofisini kwangu.
Poa
Mike alikata simu akamuangalia priscz ambae alikuwa na hofu kidogo.
*Twende zetu.
Walielekea kwenye lift kisha wakaenda mpaka ghorofa ya tatu. Walifika kwenye mlango wa ofisi ya Patrick
Hebu subiri kwanza.
Alisema Prisca.
Vipi tena.
Huyo mtu yupoje?
Wa kawaida tu punguza wasiwasi. Prisca karibu kwenye safari ya mamilioni Hakuna kurudi nyuma.
Mike aligonga mlango.
Fungua mlango. Baada ya kukaribishwa mike alifungua mlango
wakaingia ndani Waliingia ndani ya ofisi macho ya jimmy na
Patrick yalikuwa kwao. Waoooo karibuni sana.
Asante.
Walienda kukaa kwenye sofa alimuangalia Jimmy ambae Patrick alikuwa
akimuangalia Prisca huku akimthaminisha. Bro muhusika wetu ni huyu mrembo anaitwa Prisca. Mike akimtambulisha.
Karibu Prisc
Asante. Bila shaka unajua sababu ya wewe kuwepo hapa.
Ndio
Upo tayari
Ndio maana nipo hapa. Safi, huyu ni mr Jimmy, ndio mtu ambae
mtafunga ndoa ya mkataba
Prisca alimuangalia Jimmy na kuamini kuwa ni mtu kutoka nje maana hata kiswahili chake hakikuwa kizuri akichanganya kiswahili na
kiingereza.
"Kwahiyo huyu ndio huyo msichana? Ndio, smart and Sharo kama yule uliokuwa.
unataka.
Jimmy alimuangalia tena prisca.
Nitakulipa milioni 10.
Endapo utafanya kile ninachokitaka
Prisca alishituka maana hela alivyotakiwa hakutegemea wala hakuwahi kuishika U. Una unauhakika?
Mike na Patrick walitabasamu.
Ni pesa ndogo sana kwangu.
Sawa lakini kumbuka sio ndoa kweli ni dill hakuna MAPENZI hakuna uhusiano ni cheti tu
Jimmy akitabasamu kwa mara ya kwanza kisha akasema.
Good then lets proceed.
Vipi kuhusu malipo yangu
Cheki imeisha andaliwa.
Sawa tunaweza kwenda.
Wakiongozana wote wanne wakaenda kwenye ofisi ya msajili wa ndoa.
Jimmy na Prisca walikaa kwenye viti huku mashahidi wakiwa wamesimama nyuma yao.
Je mpo hapa kwa hiari yenu? Afisa msajili
aliuliza. Prisca alimuangalia Jimmy kwa sekunde kisha
akajibu. "Ndio Jimmy nae akajibu
Ndio
Baada ya kukubali kila mmoja alisaini upande wake, vyeti vikagongwa muhuli na kukabidhiwa
vyeti vyao vya ndoa.
Jimmy alijiangalia kile cheti huku akitabasamu. Mr and mrs Jimmy hongereni sana. Asante.
Baada ya kutoka nje ya jengo jimmy alimpatia Prisca cheki ambayo ilikuwa imeisha sainiwa
"Haya ni malipo yako. Prisca alipokea kwa bashaha huku akiwa na
tabasamu pana.
Asante hapa kila mtu aende na njia yake. Baada ya hapo kila mtu alishika njia yake, Huku nyuma mike nae alipewa fungu lake
Mida ya saa kumi Prisca akiwa nyumbani kwao na furaha zake mara simu yake ilita alipoangalia alikutana na namba ya Mike
Huyu anataka nini tena na kazi imeisha? Lakini hakuacha kupokea, alipokea ile simu.
Niambie Mike. Prisca kuna jambo la dharula limejitokeza
unatakiwa kukutana tena na Jimmy Kuna nini tena wakati tumeshamakizana.
Inasemekana wafanyakazi wake wameandaa sherehe ya kum surprise hivyo unatakiwa
kuwepo kwenye hiyo sherehe.
Unasemaje wewe? Mbona kama mnaenda kunitania?
Kabia Mike hajajibu ilisikika sauti ya Jimmy. Kubaki kuja nitakupa milio mbili. Baada ya Prisca kusikia hela alitoa macho hakuwa na ta
kusema Prisca alikaa kimnya hakujua akubali hiyo ofa au
akatae. Hey lady... Sauti ya Jimmy alimshitus
Sawa lakini sijajiandaa kwa chochote, unajua kwenye sherehe natakiwa kupendeza.
"Hilo sio tatizo tukutane MAYA FASHION. "Sawa nakuja hapo sasa hivi,
Prisca alingia ndani haraka akachukua kibegi chake kidogo na kukiweka mgongoni. Wakati anaondoka mama yake alimuona.
Wapi saizi na vunegi vyako?
Naenda kujisomea na wenzangu.
Prisca unamjua vizuri sana kaka yako. Aaaah mama, hivi mtanichunga mpaka lini? Mimi nimeshskuwa mkubwa bwana na isitoshe
siendi kufanya kitu kibaya naenda kujisomea na wenzangu.
Shauku yako.
Prisca alitoka hivyo hivyo kigumu alichukua usafiri wa pikipiki mpaka Maya fashion. Alikuta gari ya kifahari imepaki nje ya duka na
muda huohuo jimmy alishuka akiwa kwenye suti moja kali alikuwa amependeza sana kuliko alivyomuona asubuhi
Jimmy alipiga hatua kumfuata Prisca alipofika
karibu alisalimia.
Ingia hapo ndani kila kitu kipo tayari ni wewe tu unasubiriwa
Ok
Prisca aliingia dukani na kuchagua nguo na viatu pamoja na vito vya thamani. Na kila kitu alikuwa amelipa Jimmy.
Baada ya hapo waliondoka na kwenda saloon
huko Prisca alitengenezewa haswa na kuvaa nguo zake, alitoka saloon akiwa kapendeza mno mpaka Jimmy alikuwa anamshangaa huku akiwa kashika kiuno.
Prisca alipiga hatua ndogo kumfuata alifika karibu yake na kusimama mbele yake. Waoooo umekuwa mrembo sana.
Asante.
Jimmy alifungua mlango wa gari na Prisca akapanda Jimmy aliweka vizuri gauni kisha
akafunga mlango nae akaenda kupanda na kuwasha gari wakaelekea ukumbini.
Walipokuwa nje ya ukumbi wakiwa bado wapo
ndani ya gari Jimmy alitoa pete. Naomba nikuvalishe hii pete
Kuna pete tena? Na hii si ni pete ya ndoa? Ndio inabidi
Prisca alinyoosha mkono na jimmy akaingia pete kwenye kidole.
Baada ya hapo akavaa na yeye kisha akashuka kwenye gari na kwenda kumfungulia mlango, Prisca alishuka
Naomba tuingize kama mume na mke kweli. Sawa
Jimmy aliweka mkono wake na Prisca aliingiza mkono wake katikati kisha wakaanza kutembea taratibu kuelekea ukumbini
Full 1000
Whatsp 0784468229
7
"Wewe mimi siwez kulala na wewe, kwanza nipo period, siwez kufanya mapenzi tena na mwanaume mimi, kama ndio ulikuwa umenitafutia kazi ili unile basi sina shida na kazi yako, nikashangaa anaweka kidole chake kwenye lips zangu na kusema naomba usiongee sana, si unajua mimi siwezi kelele, ila sijasema kuwa nataka kusex nawewe, nimesema naomba kwenda kulala na wewe, au wewe umeelewa tofauti, nakuahidi sitakaa nikufanye kitu chochote kile bila ridhaa yako, nataman tu kulala bila dawa, na nililala kwa mara ya kwanza nikiwa karibu yako, naomba nisaidie kwa hilo...
Hapo angalau nikamuelewa, ingawa najua wanaume huwa hawatabiriki, ila nafsi yangu ikawa inaniambia kuwa natakiwa kumuamini tu, maana ni kweli najua anashida, na mimi ndio natakiwa kumsaidia kutokana na shida yake... Basi nikakubali, na wakati wote akawa ananiangalia na kila muda ananishika mkono, tumefika kwake akapitiliza bafuni, mimi nilikuwa tayari nimeshaoga, hivyo sikwenda kuoga na baada ya hapo kila mtu akapanda kitandani ila kila mtu akageukia upande wake, nilikuwa naogopa kuliwa kama nini, na wakati mtu mwenyewe ameshawah kunila, ila sijui hata nilikuwa naogopa nini kiasi chote kile....
Basi tukakaa kitandani lisaa lizima, hakuna mtu kati yetu ambae alipata hata chembe ya usingizi, nikashangaa Edward anaamka, kisha akaenda kuchukua vidonge vyake, nikamuuliza kwanini anachukua, akanambia ameshindwa kulala, nimkamzuia kisha nikamrudisha kitandani, maana nishajua mimi ndio dawa yake, nikalala kifuani kwake kisha nikaanza kumuimbia nakuja kumuangalia ameshalala kitambo, taratibu nikajitoa mwilini mwake nikashangaa kanishika, ikabidi nilale kifuan kwake, kweli tulilala mpaka asubuh, mpaka akapitiwa kabisa na alitakiwa kufika kazini saa moja kamili na wakati huo ilikuwa ni saa tatu asubuh, nikasema simuamshi, ila kumbe nikiamka mimi nay eye lazima aamke, kweli akaamka, kuangalia saa ni saa tatu...
umeona sasa wewe mtoto namna ambavyo nimepitiwa kwenda kazin na nilikuwa nina kikao saa mbili kamili, nikawa sina cha kufanya zaidi ya kucheka tu, na kumuambia sasa, tujiandae twende....
Akasema "hapana, leo ni siku yangu mimi kukaa na wewe, maana sijawah kulala kwa muda mrefu bila dawa nataman kuendelea kulala, akachukua simu yake akapiga simu kuwa hatofika kazini, akamkabidhi mtu majukum, kisha tukapika na baada ya kupika tukala na kusafisha nyumba, nilishangaa kwanini mtu kama Yule asiwe na wafanya kazi, kumbe aliwatimua, tukafanya kila mtu akaingia bafuni kuoga, na mara baada ya kuoga akataka nimuimbie, sikufanya hiyana, nikaanza kuimba hapo kanilalia kwenye mapaja nikaanza kuimba kweli alilala, akalala karibu masaa mawili...
Amekuja kuamka akawa ananiangalia kisha anatabasamu, ikabidi nimuulize mbona unatabasamu... " sauti yako inamaajabu gani, kwanini nalala kila nikisia sauti yako, akasema..
"ina uchawi, huoni nikikuimbia unalala tu, nikajibu akaanza kucheka, na mimi nikacheka..
Basi kwakuwa hakuwa amenigusa nikajua huyu hajanipenda, huenda ni kweli anataka kunisikia tu sauti yangu na anataka niwe karibu yake. kwakuwa namsaidia kukaa sawa na nasaidia asitumie dawa zake, kumbe mwamba kanielewa ila kusema ndio changamoto..
Kesho yake tukaenda kazini, akasema kuwa nitakuwa secretary wake, watu walishangaa maana watu wengi walikuwa wananifahamu maana nilitoka kufanya field muda mchache uliopita, sikukataa, akawa akitaka kwenda sehemu ambayo imamkusanyiko wa watu anaenda na mimi, kwa kuwa sehemu nyingi hazikuwa na kelele akawa akijiskikia vibaya ananishika tu mkono akaaa sawa, akajihakikishia kuwa yuko sawa, kumbe makelele yakizidi hata nikimshika mkono ni bure...
ITAENDELEA...Chapter 8
Basi kama mnavyojua mwanamke asiposifiwa wala kuambiwa nakupenda kuna namna anataman asikie, siku moja nimetoka kazini, nikasema nizunguke zunguke maana Edward alikuwa kwenye kikao, nikaparamiana na mwanaume mmoja, alikuwa ananukia balaa, alafu analips tamu, mpaka nikawa nataman kuzikiss, nay eye aliponiona ni kama aliduwaa na kunigeukia kisha akasema unaitw anani mrembo..
shimena, nikamjibu huku natabasamu na macho naangalia chini kwa aibu za kike..... owww unajina zuri kama wewe mwenyewe, shimena sijui ni kwanini ila nilipokuona kuna namna moyo wangu umedunda sana, nimejikuta nataman kukufahamu zaidi, akatoa bussness kadi yake kisha akasema kuna sehemu ya muhimu naenda ila naomba unitafute, naitwa Alfred kisha akaondoka zake...
Basi nikawa namuangalia huku natabasamu, mpaka nikahakikisha macho yangu hayamuoni tena, nikarudi zangu ofisini, nikawa nimekaa tu namfikiria huku natabasamu, kumbe Edward amerudi muda mrefu ananiangalia nikiwa natabasamu tu, akawa anashangaa nawaza nini hicho ambacho kina nipa furaha kiasi chote hicho, akaona asiendelee kunishangaa akanishika na kuniita" shimena...
Ndio nikashtuka, "ahhh boss Edward umekuja.. Nikashangaa ananiangalia kwa hasira kisha kwa sauti ya ukali kidogo akasema " nifate ofisini... Sikubisha nikaanza kumfata, ila nikashangaa hana cha kunipa nifanye, maana nilihisi labda anataka kunipa majukum, ila hakuna hata majukum yoyote yale ambayo alinipa na badala yake akawa kimya tu anafanya mambo yake... boss umeniambia nikufate ofisni, nikaanza kusema, akanifata kisha akanambia umeshapata mwanaume ee..
"mbona unaniangalia kwa hasira hivyo, kwani kuna shida gani kwa mimi kuwa na mwanaume na wakati mimi ni mwanamke, au unadhani nitakufa nikiwa single, mimi ni mwanamke bana hilo swali sio la kuniuliza, nikasema nikashangaa mtu amepanic, kisha akasema " nilijua tu, sasa hi hivi sasa hivi nimeshakaa sawa, sasa hata kama ukitaka kuwa na mtu unaruhusiwa na sitakaa nikusumbue kwenye maisha yako tena, nashkuru sana kwa kunisaidia ila hatimae nilishapona, unaweza kwenda ukaendelee na majukum yako..
Sikujua ni kwa sababu gani alikuwa ananipanikia kiasi chote kile, ila sikutaka kuzozana nae, nikakaa zangu kimya na kuendelea na mambo yangu na majukum kama kawaida....
Basi kama kawaida tukai nyuymban, alikuwa na hasira hata hakula, na hilo halikunisumbua sana, nikaenda kumpikia ila bado alikataa kula, kumbe mwamba kuna namna kuchanganyikiwa, hapo mimi namuwaza zangu Alfred tu, maana niliamin Edward ananitumia tu, na inatakiwa ifikie hatua na mimi niwe na maisha yangu na nipendwe...
Basi nikawa nambembeleza pale akalala, sasa kumbe kama akili yake haljatulia anakuwa analala usingizi wa maruerue mimi sijui, nilipohakikisha amelala nikachukua ile business card kisha nikamtumia sms Alfred maana bado muda haukuwa umeenda sana, ilikuwa ni kama saa tatu tu...
Tukaanza kuchart kwa raha zetu, hapo nacheka mpaka najisahau nacheka kwa sauti, ingawa nilikuwa chumba ambacho alikuwa Edward ila kwa namna nilivyokuwa busy hata sikuwa najua kama ameshaamka, basi nikashangaa naanza kukabwa, nilinyongwa mpaka nikashangaa huyu anashida gani, ila ghafla kuna kama kitu kikamjia kisha akaniachia na kukaa kimya akaanza kujikunyata kwa uwoga..
umefanya nini Edward kwa nini ulikuwa unataka kuniua, nikashangaa anaanza kulia usiniache shimena wangu, naomba uwe pemben kisha akasema naomba usiniache naomba yangu kila siku....
Full 1000
Whatsp 0784468229
simu ataongea nini, simu iliita mwisho ikakata lakini baada ya muda simu ilianza kuita tena, alibonyeza kitufe cha kupokea akapokea .
" Hallow. Suzani alipokea na kuongea kwa sauti ya chini
" Suzan...
" Abeee
" Umenipigia?
" Aaa.. nadhani simu ilijipiga.
" Sawa, unaendeleaje?
" Naendelea vizuri .
" Uko wapi?
" Nipo nyumbani, sijakuona upo sawa kweli?
" Hali yangu sio nzuri naumwa.
" Ndio maana sauti yako haipo sawa, unaumwa nini?
" Ni homa ya kawaida.
" Pole.
" Asante.
Baada ya hapo kulipiza kimnya kila mmoja alinyamaza kusikiliza mwenzie ataongea nini.
" Nataka kukuona. Victor alivunja ukimya
" Utakuja nyumbani?
" Hata wewe unaweza kuja kwangu.
" Sijui unakaa wapi.
" Upo tayari D aje kukuchukua?
" Sawa mwambie aje akifika mtaa wa pili dukani kwa mama Tunu anipigie simu .
" Sawa baada ya muda mchache atakuwa hapo.
Baada ya kukata simu suzan alitoka chumbani kwake akamfuata mama yake.
" Mama, veen amenipigia simu Kaniomba nikusindikize kwenye sherehe ya ndugu yake.
" Unapenda mambo ya usiku wewe. Sasa usiku nani atakurudisha nyumbani?
Nitawahi kurudi
" Mmmmm mambo ya sherehe nayajua kama ukiona amechelewa kurudi bora ulale hukohuko kwakina Veen sitaki kulia mimi hii dunia imeharibika.
Suzan alifurahi maana alipewa uhuru wa kuongea na Victor mpaka atakapotisheka na kama atachelewa ataenda kulala kwa Veen kesho ndio arudi kwao.
Alienda chumbani kwake alichukua kigauni chake kizuri ambacho alivaa anapendeza na kila mtu huwa anamsaidia kuwa kapendeza. Akisimama kwenye kioo cha dressing akachsna nywele zake vizuri na kuzibana kisha akavaa nguo yake . Uso wake aliupamba kwa vipodozi na midomo yake aliitaka lipstick nyekundu .
Akiwa anamalizia kujiandaa simu yake iliita D alikuwa anapiga.
" Madam nipo dukani kwa mama Tunu.
" Sawa nakuja sasa hivi.
Alivaa viatu vyake kisha akatoka . Alifika dukani kwa mama Tunu akaona gari imesimama pembeni alienda akapanda na safari ya kuelekea nyumbani kwa Victor ilianza.
Baada ya dakika 20 walifika kwenye mtaa uliokuwa umetulia na kulikuwa na mijengo ya maana , hakukuwa na fujo wala kelele hali ya hewa ilikuwa safi . Waliingia kwenye moja ya jumba moja la kifahari.
" Karibu madam suzan.dereva alimkaribisha baada ya kumfungulia na suzan akashuka.
" Asante. Suzan alishuka huku akishangaa mazingira na mandhari ya pale.
" Boss yupo ndani karibu.
Dereva alimuongoza mpaka sebleni.
Suzan aliendelea kushangaa vitu vya thamani vilivyokuwa vimepamba sebule.
" Yupo chumbani nifuate huku.
" Chumbani? Kwani hawezi kuja huku?
" Tangia ameanza kuibwa hajawahi kutoka amekuwa mtu wa chumbani.
Suzan alipandisha ngazi wakaelekea chumbani kwa Victor alifunguliwa mlango akaingia.
Alimkuta Victor akiwa amekaa kitandani huku akiangalia movie kwenye TV yake kubwa iliyokuwa kwenye ukikuta wa chumba.
" Mmmmh kweli kuna watu wanaishi bwana ona kile kitanda . Suzan alijisemea
" Karibu Suzan.
Suzan alisogea karibu na kitanda alimuangalia Victor usoni kweli alionekana hayupo sawa uso wake ulimpauka na midomo ilikuwa mikavu.
" Pole sana.
"Asante , kaa karibu yangu huwenda nitapata nafuu.
" Afadhali madam umekuja unaweza kumshawishi aweze kula maana ni siku ya pili hajatoa kitu tumboni.
" Hii sio sawa kwani mnampa chakula gani?
" Pizza, baga, juice...
" Hivyo sio vyakula vya kula mgonjwa jamani hebu kaniinyeshe jikobnimuandakie hata uji mwepesi .
" Sawa madam.
" Usijisumbue suzan sina hamu ya kula .
" Huwezi kupona bila kula.
Suzan alinyanyuka akatoka huku nyuma dereva na Victor walikonyezana kumbe Victor hakuwa anaumwa sasa nia yake ilikuwa ni nini kusingizia ni mgonjwa?
Full 1000
Whatsp 0784468229
13
Nadia alishindwa kuendelea kukaa pale ofisini alinyanyuka na kutoka huku kabir akiwa anamsindikiza kwa macho na kusahau kama Jayden yupo pale.
" Vipi kuna tatizo? Jayden aliuliza
" Hapana.
Jayden valimuonyesha sehemu ya kusain kisha akatoka na kuelekea moja kwa moja ofisini kwa Nadia.
" Vipi Nadia kuna jambo lina kusumbua?
" Hapana.
" Unajua haipaswi kujificha kitu Nadia.
" Naomba uniachie nataka kukaa pekee yangu .
" Kuna kitu kinaendelea kati yako na kabir na ndio maana siku ile kwenye sherehe ulikuwa huna amani hata kidogo.
Nadia hakuwa na cha kujitetea alinyamaza kimnya.
" Una uhusiano nae kimapenzi?
" Hapana.... Alijibu Nadia kwa sauti ya ukali.
Jayden nimesema toka ofisini kwangu sitaki maswali.
" Sawa natoka lakini nakuhakikishia nitajua kila kitu , hata kama sio leo basi siku za mbeleni nitajua tu Nadia.
Jayden alitoka ofisini kwa Nadia kwa hasira akabamiza mlango.
Kwa upande wa kabir bado alikuwa akimfikiria Nadia na kuona kama bahati imerudi tena kwa mara ya pili hakukumbuka kama yeye ni mume wa mtu bado tamaa zake zilikuwa ni ku mmiliki Nadia.
" Haijalishi nipo na nani au yupo na nani Nadia yupo kwenye nafasi yangu.
Maombi yangu yamefanya kazi na ndio maana yupo karibu na mimi hivi sasa. Hii ndio karma yangu.
Nadia alibaki ofisini kwake akiwa na mawazo Maneno ya Jayden bado yalikuwa yakirindima kichwani:
“Nitakuja kujua kila kitu, Nadia…”
Alijaribu kujishughulisha na faili lililokuwa mezani, lakini maandishi hayakuonekana, yalikuwa kama michoro isiyoeleweka. Kila akijaribu kushika kalamu mikono yake ilitetemeka.
Wakati huo Jayden alikuwa ameshuka chini kwenye parking, lakini hasira zake zilimfanya ashindwe hata kuendesha gari. Alijigonga kwenye kiti cha dereva, akapiga ngumi kwenye usukani.
“Huyu Kabir ana nini na Nadia? Na kwa nini moyo wangu unaniuma hivi?” aliwaza kwa uchungu.
Saa chache baadaye, Nadia alipokuwa anaondoka ofisini, Kabir alitokea na kumuita.
“Nadia,” Nadia alisimama kumsikiliza “tunahitaji kuongea.
Nadia akatikisa kichwa “Kabir, acha usinifanye nionekane dhaifu mbele ya kila mtu. Hii siyo sawa. Kama ni mambo ya zamani basi yaishi kila mtu aendelee na maisha yake .
Kabir alimshika mkono na kumvutia ndani ya lift .
" Niangalie usoni .
Nadia hakutaka kumuangalia aliangalia pembeni
“Kwa nini inakuwa tatizo ukiniangalia machoni? Kwa nini kila neno langu linafanya moyo wako kudunda?” Kabir alimvuta kidogo karibu, macho yao yakatazamana
Nadia alijaribu kujiokoa, akatazama pembeni, lakini pumzi yake ilikuwa nzito.
“Tafadhali… acha Kabir. Usinifanye tukarudia makosa yale yale.”
" Acha ijirudie na haitakuwa kosa tena.
Wakati huo huo, mlango wa lifti ulifunguka, na Jayden akatokea akiwa ameshika simu yake. Macho yake yalishitushwa na kile alichokiona Kabir alikuwa amesimama karibu mno na Nadia. Baada ya kumuona jayden alimuachia
Kimya kikali kikatawala kati ya watatu hao.
Huu ulikuwa mwanzo wa moto mpya, moto ambao ungeunguza kila kitu kama usipozimwa mapema…
MIMBA YA DHARURA 14
Jayden alisimama pale mlangoni huku akiwa anabonyeza simu yake, lakini alikuwa akimuangalia Nadia kwa jicho la pembeni.walifija ghorofa ya kwanza mlango wa lift ulifunguka kila mmoja alitegwa kutoka.
Nadia aliamua kutoka na kuwaacha jayden na kabir.
Alienda kuchukua usafiri wa pikipiki na kwenda nyumbani kwake.
Ile ameingia tu ndani huku nyuma mlango uligongwa.
" Dada kafungue mlango.
Alisema Nadia huku yeye alimchukua mtoto wake.
Baada ya mlango kufunguliwa Jayden aliingia ndani.
“Nadia…” aliita kwa sauti nzito yenye hasira “Kumbe kile ndicho alichokuwa unachojificha? Hii ndiyo sababu unasema hupendi kuulizwa maswali?”
Nadia alimpa mtoto dada wa kazi .
" Nendeni chumbani.
Waliondoka na kuwaacha wao wawili .
" Jayden kwanini unanifuatilia hivi? Kwani mimi na wewe tuna makubaliano gani?
" Hatuna makubaliano yoyote lakini huoni kuwa kabir ni mume wa mtu?
" Najua kama ni mume wa mtu.
" Kwahiyo imeridhika kuwa mchepuko wake?
Nadia alitoa tabasamu dogo.
" Unadhani sana ya kujua kila kitu lakini nasikitika kukwambia kuwa haiwezekani kujua kinachoendelea kati yangu na kabir.
" Kwahiyo kuna siri nzito ipo kati yenu?
" Sina la kujibu ila ni bora ukae mbali na hili.
" Sikiliza Nadia nasema lazima nitajua nini kinachoendelea na ikizidi nitahakikisha mke wa kabir anajua mchepuko wa mume wake. Nitahakikisha anakujua.
Mara amina akaingia .
" Hizi kelele nizanini?
Amina aliwaangalia usoni kwa zamu lakini hakuna alijibu . Jayden aliamua kuondoka na akina akimsindikiza kwa macho.
" Nadia nini kinaendelea?
Nadia alikaa kwenye kochi kama mtu aliechoka.
" Usiniambie leo tena umekuja na mapya.
" Hivi ni kubwa kuliko.
Eheeee....
Amina alikaa kwenye kochi ili kusikiliza
" Kabir ndio boss kwenye kampuni ninayofanyia kazi na amekuja kwa kasi ya ajabu anataka kuendekeza pale tulipoishia.
"Weweeeeeee.....
Amina alipiga kelele
" Acha ujinga kelele za nini?
" Nilikwambia rafiki yangu lazima ulikutana na kabir mambo yanaenda vizuri.
" Hakuna uzuri wowote kama unavyoona vita imeanza jayden ananifuatilia na kutaka kujua kinachoendelea kati yangu na kabir.
" Huyu nae chefuuu ananifuatilia kama nani? Kwani ulimkubalia?
" Hapana .
" Basi achana nae alafu mwambie kabir kuwa kuna kiume chake cha mbegu huku.
" Ni mapema sana kumueleza hivyo hilo linahitaji muda.
" Kujua ndio huki my dear ulichelewa kuuanika utautwanga mbichi.
Siku zilizidi kwenda kabir hakuchoka kumfuata Nadia na kumuomba mashairi matamu ya mapenzi ili kumvutia kwake.
Siku moja kabir alienda ofisini kwa Nadia , alimkuta kasimama moja kwa moja alienda na kumkumbatia.
" Unafanya nini .... Alisema Nadia huku akitaka kujitoa kwenye kumbatio. Lakini haikuwa rahisi kabir alimbana kwa nguvu
" Siwezi kuvumilia nilikuta usiku , nipe dakika moja nikumbatie huenda nitajisikia vizuri.
" Jiheshimu, wewe ni boss alafu ni mume wa mtu.
Mara mlango wa ofisi ya Nadia ulifunguliwa na jayden alizama ndani na kukuta wamekumbatiana.
" Hivi ni nini kinaendelea kati yenu nyie wawili?
Jayden alijikuta aliuliza kwa sauti ya ukali.
Kabir alivunja kumbatio na kumgeukia .
" Unauliza kama nani? Kaka, mjomba au baba yake Nadia?
" Wewe ni mume wa mtu kabir hiki unachofanya sio.
" Kwani mke wangu alikuwa kibarua cha kunilinda au kunichunga ninachofanya?
Hivi kwa nini kila anapokuwa Nadia na wewe upo kwani umekuwa kimvuli chake?
Jayden alijikuta anashindwa kujizuia alipaniki na kutaka kumvamia kabir.
Nadia akasimama katikati ya wanaume hao wawili, machozi yakianza kutoka. “Acheni! Kabir, Jayden… sihitaji vita hapa. Hii ni kazi tupo kazini sitaki mfaidishe watu.
Kabir alimgeukia Nadia kisha akaingia kwa sauti nzito.
“USema hivyi Nadia lakini moyo wako unasema vingine kabisa.
Jayden alikuwa na hasira mpaka akarudia simu ukutani, ikapasuka. “Moyo wake sio mali yako Kabir! Na nitahakikisha unajua kuwa Nadia ni wangu. Wewe nenda katulie na mke wako ambae haujamaliza nae hata miezi sita.
" Nimeshasema mambo ya familia yangu hayakuhusu. Nataka ujue huyu Nadia nimeanza kumfahamu kabla yako au kabla ya huyo unasema ni mke wangu.
Nadia alisimama katikati yao huku akiwa anawaangalia wanavyotupiana maneno.
Nadia alifuta machozi haraka, akapumua kwa nguvu.
“Sitaki kumuumiza mtu yeyote lakini msinilazimishe kutoa maamuzi yangu.
Aliongea Nadia kisha akaondoka na kuwaacha ofisini. Kabir aliondoka akamuacha jayden akiwa haelewi .
" Hawa wamekutana lini na Nadia kampa nini kabir mpaka anasahau kuwa ni mume wa mtu na heshima yake hapa
Nadia alikaa akafikiria sana akaona mwisho wa siku mambo yanaweza kuwa magumu . Alimuomba jayden waongee ili kuweka mambo sawa.
Baada ya kazi walienda kukaa sehemu wakapata chakula.
" J kuna jambo nataka kuongea na wewe na naomba unielewe kwa jicho ninachokwambia.
" Ongea nakusikiliza ila usiniambie kuwa unampenda kabir na mimi ukanipotezea.
" Nataka kukwambie ukweli .
Jayden alitulia kimnya huku akiwa anamuangalia .
" Kabir ni baba wa mtoto wangu .
Jayden alishituka Alitaka kuongea lakini alijikuta anapata kigugumizi.
" Kwahiyo inakuwaje sasa Nadia, mimi mahitaji kuwa na wewe.
" Kabir hebu acha hili swala liende taratibu na kabir ajue kuhusu mtoto wake baada ya hapo.....
" Unamaana kabir hajui kuwa una mtoto nae?
" Ndio
" Basi naomba usimwambie kaa kimnya hivyo hivyo.
" Unamaanisha nini kusema nikae kimnya.
" Wewe tulia mimi nitajua la kufanya na pia nakuomba sana, nakuomba Nadia usirudishe mapenzi yako kwa kabir yeye ni mume wa mtu hata Kupa mapenzi ya kweli zaidi atakufa ya mwanamke wa kando hautakuwa na thamani , tofauti na mimi nitakupa thamani na heshima kama mke wa mtu.
Nadia alimuangalia jayden na kushusha pumzi ndefu.
Full 1000
Whatsp 0784468229
Akawa akihitaji anaenda bar kwa siri bila mama ake kujua, anajiuza uko ata kwa wanaume wawili, na ili aende nao kwanza anatafuta tomboy amsage ndo akawape, ikawa nikawaida yake,mama ake akaanza kusikia tetesi, akaogopa akaanza kuwa karibu na binti yake. amuulize Ila Najma alikuwa mjanja akadal, amepata mwanaume anataka kuja kujitambulisha, mama akafurahi na kupata amani...
Najma alianza kuwaza akakumbuka kuna mtu alisema, kuna kaka mmoja ni shoga japo ni CEO, akafatilia akaona akiolewa na mtu wa ivi itakua. poa ili wote watunziane siri, alianza kumchunguza mpaka akamjua, nakuanza kumwinda kumbe kakosea, ni CEO mwingine kabisa, akawa kamwekea Naseer kwenye kinywaji, vitu vyakuongeza nguvu па kumlewesha kiasi, na alimwekea kwenye maji, make Naseer atumii pombe...
Alikuja kwenye kikao tu cha kibiashara ndo kikamkuta, akawa katembea пае, na alimtegeshea siku za hatari,baada ya kuamka Naseer anajikuta yuko na mwanamke, alipanic akaanza kuhoji, Najma akajitia kulia na kulalamika amebakwa, İlibidi Naseer awe mpole tu, ajaomba radhi, nakuachana nae, baada ya miezi analetewa mimba, kwakuwa Naseer akuwa akijua chochote kuhusu Najma, aliamua tu kumuoa...
Siku tu ya ndoa ata fungate hawakula, Naseer akapata dharula, akaondoka, na huko alikoenda ndio akaenda kupata mkanda mzima wa Najma, alichoka alirudi na hasira akaanza kumuuliza Najma, Najma aliwaka akaanza kumchimba bit na yeye ni shoga, Naseer akachukua nakumwambia yeye sio shoga, ugomvi ulikuwa mkubwa, mpaka ikapelekea Naseer kuondoka nchini, mpaka Najma alipojifungua, akapina DNA nakukuta ni damu yake, hakutamani ila kwa kuwa ni damu yaje hakuna namna, aliamua kumshauli Najma aende kutibiwa apate naushauli ili aweze kuwa mke wake, Najma aligoma nakusema ni maisha yake, alianza kuwa na jeuri kwa sababu alijua siri ya ndugu yake na Naseer ambayo familia ilikuwa inaficha, akaitumia hio kama fimbo ili asiachike wala kushauliwa kama Naseer atamuacha atasambaza video, ya mdogo wake na Naseer ambae ameolewa kuwa hana marinda, japo kwa sasa ameshaacha hio tabia na aneolewa nje na mmewe hajui, lakini kumbe Najma anaushahidi wa video dada ake Naseer akiliwa na mlinzi, ilibidi Naseer awe mpole miaka yote hio, huku anatafuta huo ushahidi aupoteze, na hadi leo hajaupata....
Naseer alivyorudi alizipata taarifa za mke wake lakini ata hakujisumbua kabisa kufatilia, alikuwa bize na kazi, Najma alianza kupata wivu alitamani, Naseer amuonee wivu, lakini saivi ndio kabisa hata kumfatilia aliacha, upande wa yule house girl wetu Husna, aliolewa akaachika, akaja mjini kunitafuta hakunipata alianzia chuo hakutaka kuanzia kwetu, alichunguza akagundua, amechelewa nimeolewa, alichukia. na kushangaa imekuwaje, akiwa kwenye mawazo alikutana na Najma...
Walitizamana, Najma alikuwa na ham alitaka mtu yoyote, alimuita husna amsaidie kitu chooni kama mwanamke mwenzie, Husna alikubali, walivyofika chooni, Najma akawahi kumshika chini mwenzake, Husna alitabasamu, akamwambia, chukua room nikupe vitu baby, Najma kusikua hivyi akajuakapata member alifurahi mno, wakatoka nakuchukua room, wakatafuta na vijana wawili, wakaanza yao, walikutana wote matatizo matupu, Husna hakuwa anagawa nyuma, Najma alianza kumfundisha, siku hio hio akafumuliwa, walijikuta wanazoea, na bila kuwa mtu nne awatosheki...
Najma hakuwa anajali kabisa kuhusu mtoto wake alikuwa bize na mambo yake kama vile hajazaa, upande wangu nilipona kabisa nikajitambua, nakuwa sawa apo ni baada ya miezi 10, Naseer aliniijia akanipeleka sehemu tofauti na anazozijua Najma, alifurahi mno kuniona, upande wa Najma na Husna walianza kuyumba pesa za gest, kila siku, na kulipa wanaume wakuwatia, wakaamua kuchonga dili, Husna amtege mme wa Najma kwa mimba ndio njia rahisi, ili aolewe wawe karibu....
Full 1000
Whatsp 0784468229
Siku zilizidi kusogea na miezi lilizidi kwenda mbele. Siku moja majira ya saa saba mchana jua kali lilikuwa linawaka, Shahid alikuwa kwenye gari na Aisha walikuwa wanaenda sehemu mara ghafla Shahid alihisi kama kumuona Shania. Aliangalia kwa makini aligundua kwa ni yeye na wakazi huo Shania alikuwa na tumbo kubwa, alikuwa kachoka alitembea huku akiwa anavuta
miguu na mdoli wake alikuwa kuning'iniza.
Shania. Shahid alijikuta kuongea kwa mshangao huku macho yake yakiwa yanaangukia nje kupitia dirishani na huku akiendesha gari kwa mwendo mdogo mdogo. Aisha alikuwa amesikia na akawa makini
kuangalia kule alikokuwa anaangalia Shahid
aligundua kuwa huyo Shania ni yule mwanamke
kichaa.
"Shahidi huyo Shania ni yule kichaa? Shahidi alitaka kumuangalia na hakuona haja ya kumficha.
"Ndio.
"Kuna kitu gani au kuna siri gani unaendelea kati yako na huyo mwanamke kichaa? "Alijitolea sana na nilikuwa nampa chakula mara
kwa mara. Aisha alijikuta moyo wake unatilia na kucheka
kidogo. Alseee kumbe sikuwa na haja ya kulibeba hili kumbe mtu mwenyewe ni kichaa. Shahid alimkata jicho kisha akaendelea
kuendesha gari lakini akili yake haikuwa sawa kumuona Shania akiwa kwenye hali ile kulizua maswali mengi kichwani kwake..
Kuanzia siku hiyo shahidi alitamani kuwa mwenyewe alimwambia Aisha aende kwao kwanza anataka kusafiri kikazi. Siku iliyofuata Aisha aliondoka akarudi kwao na
shahid alipata muda mzuri wa kutafakari mambo yake bila kuchanganywa na maneno. Alianza kufuatilia kuhusu Shania
Siku moja akiwa sehemu alimuona Shania anagombana huku akimtishia mawe kijana mmoja. Ilibidi shahidi aende kujua nini kimetokea Shania alipomuona alianza kulia akamfuata na kumkumbatia "Nini kinaendelea hapa? Shahidi aliuliza watu
waliokuwepo karibu huku Shania akiwa bado kamkumbatia. Yule kijana alikuwa anamtania anakuita
mchumba. "Huyu kichaa huwa hapendi utani na wanaume. Shahid alimbembeleza baada ya hapo
alimchukua wakaenda kukaa sehemu. Shahidi Alimuangalia jinsi alivyokuwa kachoka na lile tumbo lake
Mungu wangu hii mimba inaweza kuwa ni mimba yangu. Alijisemea shahidi Shania alikuwa anamuangalia tu.
"Nataka embe.
"Sawa naenda kukununulia.
Nataka na juice. Shahidi alimuangalia na kuachia tabasamu.
"Njaa ina kuuma? Alimuuliza na Shania akitikisa kwa kichwa. "Sawa subiri kidogo utakula.
Shahidi aliemuacha pale akaenda kutafuta chakula na baada ya dakika chache alirudi akampatia chakula na Shania akaanza kula. Shahidi alikuwa akimuangalia mpaka alipimaliza kula alimshika mkono wakafika upande wa pili wa barabara wakaenda sehemu wanayouza matunda akamnunulia matunda akawekwa kwenye mfuko. Shania sasa nenda nyumbani ulale haya matunda.
"Haya. Shania aliitikia kisha akaondoka huku shahidi akiwa kasimama akimsindikiza kwa macho.
"Kweli damu zenu zinaendana huyu binti hana
ukaribu na mwanaume yoyote na huwa anakuwa mkali sana yani na watu wanajiuliza hiyo mimba kaipataje na huyo mwanaume alimshawishi vipi mpaka akafanikiwa kumvua chup. Mama muuza matunda aliongea, shahidi alinyamaza kimnywa, Shahidi akilipa hela ya matunda kisha akaondoka kwenda kupanda kwenye gari lake.
Kumbe wakati akiwa amekaa na Shania akiwa anakula Rashidi alikuwa amewaona mpaka walipovuka barabara na kunukia matunda pia aliona.
Shahidi alipokuwa anaendesha gari kuelekea nyumbani kwake Rashidi nae alikuwa akiendesha gari kumfuata nyuma.
Shahidi alipoingia tu ndani na Rashidi nae alifika. "Vipi? "Safi, nataka tuongee.
"Sawa,
"Shahid unahusiana vipi na mimba ya yule kichaa? "Unasemaje?
"Nauliza wewe ndio muhusika wa ile mimba ya yule kichaa?
Hili swali lilikuwa gumu kwa shahidi kujibu moja kwa moja alisimama na kumtolea macho Rashidi.
"Ukimnya wako ni jibu Shahid, unamaana ni kweli yake nilivyosikia? Bado Shahid alikuwa kimnya.
Unaleta albu gani kwenye familia? Hujui kama hii ni kadhia mbaya sana na vipi kama Aisha mpenzi wako akijua unaenda kuwa na mtoto na
kichaa?
Anaitwa Shania na usimuhukumu kutokana na matatizo yake. Yule ni mwanamke na anahaki ya kupendwa kama wanawake wengine. "MUNGU WANGU hiki ninachokisikia kutoka kwako ni kweli ama naota ndoto za mchana?
"Kama unaota basi amka, amka kaka yangu Rashidi na usikie ukiwa unajielewa. "Daaaah hii kali ya mwaka aiseee sikutegemea
kusikia hili kutoka kwako yani kwa jinsi ulivyo wala hauendani na matendo umayofanya kwanza ulianzaje kulala na mtu wa aina ile? "Ni kama wewe unavyofanya tu. "Hahahaha huna kinyaa wewe?
Wakuona kinyaa. ni wewe ambae unawabadilisha ila kwangu ilikuwa burudani tu na tamu kupita maelezo.
Shahidi walimaliza kuongea kisha akaelekea chumbani kwake. Rashidi alibaki kasimama na kusema.
"Hii ni aibu ya mwaka bora kunyamaza
nimuachie mwenyewe. Ila nae anatakiwa kupimwa akili yake huenda kaambukizwa uchizi au ndio tuchukulie ule msemo ukikaa na waridi lazima unukle sasa yeye anapata uchizi.
Full 1000
Whatsp 0784468229
.
Basi nikapokea maelezo kadhaa pale kisha huyo nikatoka nje, ile natoka tu uso kwa uso na Yule bff wangu Yaani Neha.
“Nilikuwa nakusubilia ili tubadilishane Namba niondoke mwaya mume wangu ameshamalizana na matibabu yake“
Basi tukabadilishana Namba pale kisha kila mtu Akashika njia zake, Kwa upande wangu moja kWa moja nikaenda Nyumbani kwetu Yaani kwa wazazi wangu.
“Mbona Kama hauko Sawa ??”
Mama yangu aliniuliza pale
Tu nilipofika Nyumbani.
“Twende chumbani mama tukazungumze kitu “
Nilimwambia mama yangu na pasi na kupoteza muda tukaenda chumbani, Yaani kwenye chumba ambacho nilikuwa nikikaaga mwanzo.
“Kuna shida gani ujue unanipa wasiwasi sana mwanangu”
Mama aliniuliza pale tu tulipoingia chumbani na kufanikiwa kufunga mlango.
Nilijikuta nikianza kulia tu maana hali yangu haikuwa nzuri kabisa, Yaani nilikuwa na maumivu makali mno, Kiukweli Nimekuwa nikipitia kila aina ya maumivu kwenye maisha yangu na sikuwai kumshirikisha mtu yeyote Yule.
“Mama Mimi ni mjamzito na hapa unaponiona nimetoka hospital”
Nilizungumza kwa sauti ya kwikwi.
“Kwahiyo mimba ndio inakuliza au ? Shamsa mwanangu watoto ni baraka sasa unalia nini ? Au mumeo ataki Tena Mtoto mwingine?”
Nilitumia muda wangu wote kumuelezea mama yangu hali halisi ya maisha yangu kWa ujumla.
“Unasemaje wewe ? Shamsa umewezaje kufumbia macho kitu Kama iko ? “
Mama yangu alishtuka sana baada ya mimi kumaliza kumsimulia kila kitu.
“Niliamini Kuwa ni kipindi cha muda tu mama lakini kwa sasa nimeshindwa mama yangu, nimeshindwa mama siwezi tena 😫”
Nilijibu uku nikilia sana.
Mama yangu akanisogelea na kunikumbatia kWa nguvu sana na kWa sauti ya huruma akazungumza.
“Nitazungumza na baba yako Leo akisharudi nina imani atakuwa na jibu la matatizo yenu yote na kila kitu kitakuwa Sawa Binti yangu Sawa “
“Nitashukuru sana mama, Naomba mnisaidiie mno nilipofikia sina sehemu ya kuegemea mama yangu “
Nilizungumza kWa maumivu makali sana.
Baada ya muda nikaaga na kurudi zangu Nyumbani, nilifika na kumkuta mume wangu Akizunguka uku na uku na aliponiona tu akaniuliza.
“Ulienda wapi ??”
Nilimuangalia kisha nikakaa kwenye kochi na kumsalimia.
“Za Saa hizi mume wangu “
“Hizo salamu nimeshapata sana tu umetoka wapi ? Yaani umefikia hatua unatoka tu Nyumbani kaama unavyotaka si ndio ? “
Walahi kuna muda niliona sasa Ananipigia Kelele tu ukizingatia sijisikii vizuri ndio kabisa mambo ni Mvulugano.
“Hamad zungumza kwa sauti ya chini mume wangu Mbona kila muda Una payuka tu jamani eeeh, ata hivyo asubuhi nilikuwa nataka kukuambia Kuwa nataka kutoka lakini ukutakaa ata kunisikiliza, nikakupigia na simu Mara Tatu mfululizo lakini ukupokea simu yangu, nikakutumia na ujumbe WhatsApp umefungua umesoma umekaa kimya maana yake nini sasa “
Hamad akaniangalia kwa hasira kisha akaniuliza..
“Kwahiyo wewe ndio unaumwa si ndio ?”
“Unaniuliza hivyo ukiwa Unamaanisha nini ! Hamad siko vizuri mume wangu AFYA yangu haiko Sawa”
Hamad akacheka sana na kuzungumza.
“Yaani AFYA yako haiko Sawa kwaajili ya iko kimimba chako au ? Kwahiyo mimba ni ugonjwa au ??”
Majibu ya hamad yalionesha wazi Kuwa tayali alishapata majibu kupitia daktari wetu ambaye yeye ni Rafiki yake wa Karibu sana
“Hili suala ndio limenifanya mimi niwai kurudi Nyumbani, Shamsa niliwai kukuambia Kuwa nataka Mtoto wa Tatu kutoka kwako ??”
Uwiiiiih ili swali la hamad Mbona Kama linanichanganya sana Yaani anataka kumaanisha nini, Kiukweli nilibaki njia panda na nikajikuta nikimuangalia tu.
“Usinitumbulie mi macho mie Sawa, sikia huyu Mtoto ni wako tu Mtoto wa Tatu namsubilia kwa Khadija tu na sio kwako, Shamsa hakuna zawadi ya kuzaa, hakuna sifa kwenye kuzaa Sawa”
“Unataka kumaanisha nini labda ? Hamad Mbona unanichanganya mume wangu “
“Huyo Mtoto mtafutie baba yake maana Mimi sina haja na Mtoto Tena, Yaani unashindwaje kujilinda mpaka unabaki Kubeba mimba Kama kichaa “
“Ulitaka nijizuie kWa njia gani hamad, uzazi wa mpango umenikataza, lakini bado unanitumia muda wowote ule ambao utaniitaji haya unataka mimi nijilinde kWa style gani ? Eti utaki Mtoto Kwahiyo Mimi peke yangu nitawezaje ?”
“Usinipigie Kelele mie, umeona madhara ya kutokuwa msomi kila kitu ninachokuambia unafanya au ndio unaleta ule msemo wa masikini na watoto wake ? Mtafutie baba huyo Mtoto wako”
Hamad alimaliza kuzungumza Shombo zake na kuondoka zake na kuniacha nikijililia Mwenyewe tu, kuna muda naona ni Kama Mungu ananionea tu maana haya sio majaribu ya kawaida kwakweli, Yaani hamad kWa sasa kila kitu kwake ni kibaya.
*********
Week nzima ilipita uku nikiwa sina amani na nikiangaika na ujauzito wangu ambao ulikuwa ukinisumbua sana, mimba za watoto wangu waliopita Wala azikuwai kunisumbua lakini huyu wa Tatu ni hatari jamani 🥹 huyu Mtoto hakuna chakula kinakaa mwilini nikila dakika 5 nyingi natapika, uvivu wa hali ya juu na nilijikuta nikianza kukonda na kubwa kuliko sikuwa napenda kuoga 🥹😂.
Ikiwa ni siku ya weekend, siku hiyo Nyumbani tulitembelewa na mama na baba yangu mzazi na siku hii walikuja kwaajili ya mazungumzo kati yangu na hamad baada ya Mimi kupeleka malalamiko Nyumbani kwetu.
“Hivi vizee vyako vimekuja kufata nini Nyumbani kwangu ?”
Hamad aliniuliza, muda huo Mimi na yeye tulikuwa chumbani.
“Hamad hao ni wazazi wetu usisahau “
“Ni wako sio wangu Sawa ? Halafu hapa ni Nyumbani kwangu si kwako, sasa mimi Sina Muda wa mazungumzo Sijui manini nini kawaambie waondoke sitaki kumuona mtu Nyumbani kwangu “
“Hamad, najua Una kiburi sana mume wangu lakini kwa leo please zungumza vizuri na wazazi wangu “
Hamad akaniangalia tu mwisho akatoka nje, kWa haraka na Mimi nikamfata.
“Shekhe Nafikili umekuja siku mbaya Mimi natoka na mke wangu Khadija “
Alizungumza Mume wangu kwa sauti ya dharau sana.
“Aaah kama mnataka Pesa ya mchele mchele hii hapa “
Alizungumza hamad na kutoa noti kadhaa na kutaka kumkabizi baba yangu.
“Hamad mwanangu Wala sikuja kwaajili ya Pesa Nimekuja kwaajili ya mazungumzo kati yako na mwenzako hapa juu ya matatizo yanaayoendelea”
Alizungumza baba yangu kwa sauti ya utulivu na yenye Hekima Ndani yake.
“Kwakuwa Binti yako ndio alikuambia Basi zungumzeni mkimaliza ondokeni “
Alizungumza hamad kisha akarudi chumbani yeye na Hadija wake.
Baba yangu alijikuta akichukia sana akanyanyuka na kwa hasira akazungumza.
“Nikikanyaga kwenye hii Nyumba yako Tena Basi nitafia mlangoni kwako sitafanikiwa kuingia Ndani”
Kisha baba akamshika mkono mama na wakaanza kuondoka.
Kwa haraka nikawakimbilia na kwenda kuwaomba radhi lakini baba yangu alikataa kabisa kunisikiliza.
Walahi nilijikuta nikiwa na hasira sana haraka nikarudi Ndani na moja kwa moja nikaingia chumbani kWa hamad ambapo nilimkuta yeye na Khadija wakiwa wanatokasana tu.
“Hamad ni nini kile umefanya kwa wazazi wangu ?”
“Watu masikini awaruhusiwi kwenye Nyumba yangu “
Aaah hapo hamad alinifanya niwe na hasira ya mbogo na pasi na kufikilia nikamchapa kibao cha shavu, nyieee 🥹🥹 kitendo cha Mimi kumpiga hamad kiliniponza jamani hamad alianza kunipiga pasi na kujali hali yangu, Yaani nilipigwa kuliko kawaida.
ITAENDELEA.
Full 1000
Whatsapp 0742133100
Siku ilipita vizuri, kesho yake Albert aliondoka, na kuniachia pesa ya matumizi na kuomba nimjulishe wakati wa kurudi aniijie,nilikubali akamuachia na bibi laki 2 , kisha akasepa, bibi alifurahi akasema mama ako saiv ata weka wapi sura yake? Nikacheka nakuanza kumsimulia siku ya mahali ilivyokuwa, tulicheka wenyewe, upande wa Albert alirudi na kuacha gari mahali , kisha akarudi dar, alifika akakuta kwao kuna kelele yule demu wake kaja anadai anamimba yake, Albert alikataa nakumwambia nilikwambia mimi tayari nina mtu wangu, na siku zote nilikuwa na tumia kinga na wewe hio mimba imeingilia wapi, " Albert ni kweli ulisema hivyo lakini mimi nilikuwa nakuhitaji nilitoboa kinga ili nipate nafasi kwako😭...
Pole kama ulifikiri hio ndio njia yakunipata pole tena mimi sikupendi kwako nilikuwa mpitaji na uzuri nilikuambia kabisa, sina makazi na wewe ulikuwa na bwanaako tukakubaliana leo unasema ujinga gani? Mama ake Albert akaingilia, "mwanangu kumbuka uyu binti kabeba dam yako, mama ata akibeba na figo zangu kwangu sio sababu, siwezi kuoa mwanamke ambae sijampenda, wa tamaa tu, hio ndoa haitafika popote, mimi kwake nilikuwa wazi kabisa alitakiwa aishi kwenye makubaliano basi...
Mwanangu unataka kuwa kama baba ako? Yaani unatelekeza damu yako? "Mama unajua ninachokiongea lakini? Mimi siwezi kuoa mke wa starehe kuna mke wa kuo aafu kuna wa matumizi tu kwangu huyu alikuwa ni kama kivuko tu cha kukata kiu yangu, kweny kukata kiu huwa hatuangalii upendo niyeyote tu naweza pita nae , ila mke natakiwa nimpende upendo ndio utakao fanya tudumu, tuvumiliane, na kusameheana, yaani mtu nisipompenda atakumsamehe tu naona jam, uyu binti mama kajitakia mwenyewe, sasa atachagua moja, kuzaa au kutoa, akizaa mimi kulea sion tatizo ila kumuoa siwezi ata kwa bahati mbaya..
Wewe mtoto wewe una laana? Ee unataka kufata umalaya wa baba yako si ndio? Mama sasa hapa mzee kaingiaje? Unaona nakuona tu siku izi unamtetea baba ako, unajua nimeteseka kiasi gani na wewe? Baba ako alikuwa bize na wanawake zake, bila mimi wewe ungekuwa hapa? "Mama acha kutengeneza drama na huruma saivi ndo nimeanza sasa kuelewa kwa nini sitakiwi kuingilia ugomvi wako na baba kwa haya ninayoyaona haya 🙌..
Itaendelea...🔥
Full 1000
Whatsp 0784468229
Nadia alishindwa kuendelea kukaa pale ofisini alinyanyuka na kutoka huku kabir akiwa anamsindikiza kwa macho na kusahau kama Jayden yupo pale.
" Vipi kuna tatizo? Jayden aliuliza
" Hapana.
Jayden valimuonyesha sehemu ya kusain kisha akatoka na kuelekea moja kwa moja ofisini kwa Nadia.
" Vipi Nadia kuna jambo lina kusumbua?
" Hapana.
" Unajua haipaswi kujificha kitu Nadia.
" Naomba uniachie nataka kukaa pekee yangu .
" Kuna kitu kinaendelea kati yako na kabir na ndio maana siku ile kwenye sherehe ulikuwa huna amani hata kidogo.
Nadia hakuwa na cha kujitetea alinyamaza kimnya.
" Una uhusiano nae kimapenzi?
" Hapana.... Alijibu Nadia kwa sauti ya ukali.
Jayden nimesema toka ofisini kwangu sitaki maswali.
" Sawa natoka lakini nakuhakikishia nitajua kila kitu , hata kama sio leo basi siku za mbeleni nitajua tu Nadia.
Jayden alitoka ofisini kwa Nadia kwa hasira akabamiza mlango.
Kwa upande wa kabir bado alikuwa akimfikiria Nadia na kuona kama bahati imerudi tena kwa mara ya pili hakukumbuka kama yeye ni mume wa mtu bado tamaa zake zilikuwa ni ku mmiliki Nadia.
" Haijalishi nipo na nani au yupo na nani Nadia yupo kwenye nafasi yangu.
Maombi yangu yamefanya kazi na ndio maana yupo karibu na mimi hivi sasa. Hii ndio karma yangu.
Nadia alibaki ofisini kwake akiwa na mawazo Maneno ya Jayden bado yalikuwa yakirindima kichwani:
“Nitakuja kujua kila kitu, Nadia…”
Alijaribu kujishughulisha na faili lililokuwa mezani, lakini maandishi hayakuonekana, yalikuwa kama michoro isiyoeleweka. Kila akijaribu kushika kalamu mikono yake ilitetemeka.
Wakati huo Jayden alikuwa ameshuka chini kwenye parking, lakini hasira zake zilimfanya ashindwe hata kuendesha gari. Alijigonga kwenye kiti cha dereva, akapiga ngumi kwenye usukani.
“Huyu Kabir ana nini na Nadia? Na kwa nini moyo wangu unaniuma hivi?” aliwaza kwa uchungu.
Saa chache baadaye, Nadia alipokuwa anaondoka ofisini, Kabir alitokea na kumuita.
“Nadia,” Nadia alisimama kumsikiliza “tunahitaji kuongea.
Nadia akatikisa kichwa “Kabir, acha usinifanye nionekane dhaifu mbele ya kila mtu. Hii siyo sawa. Kama ni mambo ya zamani basi yaishi kila mtu aendelee na maisha yake .
Kabir alimshika mkono na kumvutia ndani ya lift .
" Niangalie usoni .
Nadia hakutaka kumuangalia aliangalia pembeni
“Kwa nini inakuwa tatizo ukiniangalia machoni? Kwa nini kila neno langu linafanya moyo wako kudunda?” Kabir alimvuta kidogo karibu, macho yao yakatazamana
Nadia alijaribu kujiokoa, akatazama pembeni, lakini pumzi yake ilikuwa nzito.
“Tafadhali… acha Kabir. Usinifanye tukarudia makosa yale yale.”
" Acha ijirudie na haitakuwa kosa tena.
Wakati huo huo, mlango wa lifti ulifunguka, na Jayden akatokea akiwa ameshika simu yake. Macho yake yalishitushwa na kile alichokiona Kabir alikuwa amesimama karibu mno na Nadia. Baada ya kumuona jayden alimuachia
Kimya kikali kikatawala kati ya watatu hao.
Huu ulikuwa mwanzo wa moto mpya, moto ambao ungeunguza kila kitu kama usipozimwa mapema…
MIMBA YA DHARURA 14
Jayden alisimama pale mlangoni huku akiwa anabonyeza simu yake, lakini alikuwa akimuangalia Nadia kwa jicho la pembeni.walifija ghorofa ya kwanza mlango wa lift ulifunguka kila mmoja alitegwa kutoka.
Nadia aliamua kutoka na kuwaacha jayden na kabir.
Alienda kuchukua usafiri wa pikipiki na kwenda nyumbani kwake.
Ile ameingia tu ndani huku nyuma mlango uligongwa.
" Dada kafungue mlango.
Alisema Nadia huku yeye alimchukua mtoto wake.
Baada ya mlango kufunguliwa Jayden aliingia ndani.
“Nadia…” aliita kwa sauti nzito yenye hasira “Kumbe kile ndicho alichokuwa unachojificha? Hii ndiyo sababu unasema hupendi kuulizwa maswali?”
Nadia alimpa mtoto dada wa kazi .
" Nendeni chumbani.
Waliondoka na kuwaacha wao wawili .
" Jayden kwanini unanifuatilia hivi? Kwani mimi na wewe tuna makubaliano gani?
" Hatuna makubaliano yoyote lakini huoni kuwa kabir ni mume wa mtu?
" Najua kama ni mume wa mtu.
" Kwahiyo imeridhika kuwa mchepuko wake?
Nadia alitoa tabasamu dogo.
" Unadhani sana ya kujua kila kitu lakini nasikitika kukwambia kuwa haiwezekani kujua kinachoendelea kati yangu na kabir.
" Kwahiyo kuna siri nzito ipo kati yenu?
" Sina la kujibu ila ni bora ukae mbali na hili.
" Sikiliza Nadia nasema lazima nitajua nini kinachoendelea na ikizidi nitahakikisha mke wa kabir anajua mchepuko wa mume wake. Nitahakikisha anakujua.
Mara amina akaingia .
" Hizi kelele nizanini?
Amina aliwaangalia usoni kwa zamu lakini hakuna alijibu . Jayden aliamua kuondoka na akina akimsindikiza kwa macho.
" Nadia nini kinaendelea?
Nadia alikaa kwenye kochi kama mtu aliechoka.
" Usiniambie leo tena umekuja na mapya.
" Hivi ni kubwa kuliko.
Eheeee....
Amina alikaa kwenye kochi ili kusikiliza
" Kabir ndio boss kwenye kampuni ninayofanyia kazi na amekuja kwa kasi ya ajabu anataka kuendekeza pale tulipoishia.
"Weweeeeeee.....
Amina alipiga kelele
" Acha ujinga kelele za nini?
" Nilikwambia rafiki yangu lazima ulikutana na kabir mambo yanaenda vizuri.
" Hakuna uzuri wowote kama unavyoona vita imeanza jayden ananifuatilia na kutaka kujua kinachoendelea kati yangu na kabir.
" Huyu nae chefuuu ananifuatilia kama nani? Kwani ulimkubalia?
" Hapana .
" Basi achana nae alafu mwambie kabir kuwa kuna kiume chake cha mbegu huku.
" Ni mapema sana kumueleza hivyo hilo linahitaji muda.
" Kujua ndio huki my dear ulichelewa kuuanika utautwanga mbichi.
Siku zilizidi kwenda kabir hakuchoka kumfuata Nadia na kumuomba mashairi matamu ya mapenzi ili kumvutia kwake.
Siku moja kabir alienda ofisini kwa Nadia , alimkuta kasimama moja kwa moja alienda na kumkumbatia.
" Unafanya nini .... Alisema Nadia huku akitaka kujitoa kwenye kumbatio. Lakini haikuwa rahisi kabir alimbana kwa nguvu
" Siwezi kuvumilia nilikuta usiku , nipe dakika moja nikumbatie huenda nitajisikia vizuri.
" Jiheshimu, wewe ni boss alafu ni mume wa mtu.
Mara mlango wa ofisi ya Nadia ulifunguliwa na jayden alizama ndani na kukuta wamekumbatiana.
" Hivi ni nini kinaendelea kati yenu nyie wawili?
Jayden alijikuta aliuliza kwa sauti ya ukali.
Kabir alivunja kumbatio na kumgeukia .
" Unauliza kama nani? Kaka, mjomba au baba yake Nadia?
" Wewe ni mume wa mtu kabir hiki unachofanya sio.
" Kwani mke wangu alikuwa kibarua cha kunilinda au kunichunga ninachofanya?
Hivi kwa nini kila anapokuwa Nadia na wewe upo kwani umekuwa kimvuli chake?
Jayden alijikuta anashindwa kujizuia alipaniki na kutaka kumvamia kabir.
Nadia akasimama katikati ya wanaume hao wawili, machozi yakianza kutoka. “Acheni! Kabir, Jayden… sihitaji vita hapa. Hii ni kazi tupo kazini sitaki mfaidishe watu.
Kabir alimgeukia Nadia kisha akaingia kwa sauti nzito.
“USema hivyi Nadia lakini moyo wako unasema vingine kabisa.
Jayden alikuwa na hasira mpaka akarudia simu ukutani, ikapasuka. “Moyo wake sio mali yako Kabir! Na nitahakikisha unajua kuwa Nadia ni wangu. Wewe nenda katulie na mke wako ambae haujamaliza nae hata miezi sita.
" Nimeshasema mambo ya familia yangu hayakuhusu. Nataka ujue huyu Nadia nimeanza kumfahamu kabla yako au kabla ya huyo unasema ni mke wangu.
Nadia alisimama katikati yao huku akiwa anawaangalia wanavyotupiana maneno.
Nadia alifuta machozi haraka, akapumua kwa nguvu.
“Sitaki kumuumiza mtu yeyote lakini msinilazimishe kutoa maamuzi yangu.
Aliongea Nadia kisha akaondoka na kuwaacha ofisini. Kabir aliondoka akamuacha jayden akiwa haelewi .
" Hawa wamekutana lini na Nadia kampa nini kabir mpaka anasahau kuwa ni mume wa mtu na heshima yake hapa
Nadia alikaa akafikiria sana akaona mwisho wa siku mambo yanaweza kuwa magumu . Alimuomba jayden waongee ili kuweka mambo sawa.
Baada ya kazi walienda kukaa sehemu wakapata chakula.
" J kuna jambo nataka kuongea na wewe na naomba unielewe kwa jicho ninachokwambia.
" Ongea nakusikiliza ila usiniambie kuwa unampenda kabir na mimi ukanipotezea.
" Nataka kukwambie ukweli .
Jayden alitulia kimnya huku akiwa anamuangalia .
" Kabir ni baba wa mtoto wangu .
Jayden alishituka Alitaka kuongea lakini alijikuta anapata kigugumizi.
" Kwahiyo inakuwaje sasa Nadia, mimi mahitaji kuwa na wewe.
" Kabir hebu acha hili swala liende taratibu na kabir ajue kuhusu mtoto wake baada ya hapo.....
" Unamaana kabir hajui kuwa una mtoto nae?
" Ndio
" Basi naomba usimwambie kaa kimnya hivyo hivyo.
" Unamaanisha nini kusema nikae kimnya.
" Wewe tulia mimi nitajua la kufanya na pia nakuomba sana, nakuomba Nadia usirudishe mapenzi yako kwa kabir yeye ni mume wa mtu hata Kupa mapenzi ya kweli zaidi atakufa ya mwanamke wa kando hautakuwa na thamani , tofauti na mimi nitakupa thamani na heshima kama mke wa mtu.
Nadia alimuangalia jayden na kushusha pumzi ndefu.
Full 1000
Whatsp 0784468229
Wale wanawake majirani hawakuweza kujibu Chochote walitoka kimya, Fina alikuwa anacheka ile kinafiki, haijulikani kwanini afanye hivyo
Ray alibaki akiwa na Nasma pale ndani hata hivyo alimtazama kwa mshangao bila kuongea chochote halafu akainuka, Ray akajua hapo kuna tatizo
Ray alitoka hadi nje ya chumba akatembea mpaka getini kisha akamkuta Karimu akiwa anaongea na simu pale nje. Alimsubiri akamaliza kuongea na simu
"Karimu" Aliita Ray
"Ee"
"Nambie ukweli, kipi kilichotokea"
"Mh daah" Karim aliguna kwanza huku akionyesha tabasamu Fulani hivi "Broo" Alisema Karimu
"Nambie mzee mbona unaguna mke wangu kapigwa na nani mbona sielewi?"
"Hama Hapa unapoishi Bro, la sivyo utapitia magumu sana" alisema Karimu
Ray alitazama akapata wazo
"Daaah Kuna kitu nimeelewa" alisema
"Nini" Karimu aliongea
"Rose" aliongea Ray
"Kama ulikuwepo man, Rose kaja na visichana kama nane hivi hapa wamempiga mkeo, tatizo naye ni mpole sana mzee"
"Nikuambie kitu Karimu?" Alimuuliza
"Yap boss"
"Ntamuua Rose" Aliongea kwa hasira macho yakiwa makundu, halafu akaingia ndani ya geti na kusogea mpaka chumbani akaingia, ndipo alipomkuta Nasma amesimama chumbani anawaza sana huku machozi yakiwa yamekaukia kwenye shavu
"Nasma" aliita Ray akamsogelea na kupiga magoti "Nisamehe Nasma" Aliposema hivyo ndo kabisa Naa alilia kabisa kwa uchungu huku akifoka kwa sauti
"Kumbe unalijua kosa lako Ray, kumbe wewe ndo umetuma wanawake wako, ahihiiiih" Alilia kwa uchungu na kuketi kitandani
"Acha kuongea kwa sauti ngoja Nikuambie yule sio mwanamke wangu Nakuambia kweli" Ray alisema huku akimsogelea na kumshika mapajani
"Usinishike" Aliongea binti kwa hasira huku akiishika mikono ya Ray na kutaka kuitoa lakini Ray aliikaza wakabaki wameshikana
"Nasma, yule tuliachana muda sana, ni wivu wake kisa kaona wewe ni mzuri zaidi yake
"We Muongo Ray" Alisema binti
"Nakupenda, na ntahakikisha hili halitotokea tena, umeumia sana?" Ray aliuliza na kuinuka akaketi pembeni mwa binti huku akimkagua majeraha
"Nimeumia kwa sababu yako, nataka twende hospitalini" nikatibiwe
Ray alimtazama usoni "Kweli?" alisema akiwa anatabasamu kwa furaha hakuamini amesamehewa, Naa alitikisa kichwa "Ok Jiandae niko nje na Karimu, ok??"
"Sawa"
Ray aliinuka na kugeuka huku akiitoa simu mfukoni na kuiwasha halafu akatazama kama kuna ujumbe au la, alitembea mpaka mpaka nje huku akiitazama simu yake kwani kulikuwa na jumbe kutoka mtandaoni kwamba mama yake amempigia mara tatu pamoja na dada Anita akiwa anataka kuujua umbea
Ray alikuwa anataka kumcheki Karimu lakini alimkosa pale nje ikiwa ameshaondoka Karimui
Ilibidi Ray ampigie simu lakini Karimu alikuwa bize akiongea na simu nyingine, akaachana na hiyo Mada
"Phina" aliita Ray kwa nguvu "We Phina" aliita tena
"Abee" Phina alitoka chumbani kwake na kusogea getini
"Samahani nikuulize" alisema Ray
"Nini..." aliuliza kwa wasiwasi Fina akijua labda jamaa ameshamshtukia "Usije ukanihisi vibaya mimi sijampiga mkeo" alisema binti
"Najua sio wewe but ni Rafiki yako, I'm sure kwamba ulikuwepo tangu hii ishu ikitokea sasa embu nielezee ilikuwaje"
"nilikuwa ndani, nikasikia kelele tu nje, kutoka hivi, mabinti kibao wanamshambulia mkeo" alisema
"For what now?" aliuliza kwa hasira
"Sijui mimi, embu niache kidogo, mtafute Rose muulize"
"Daah yule mwanamke kumbe ni mbwa, yaani nikimkuta nampigia mamae" alifoka kwa hasira kijana Ray maana alikuwa amekasirika sana "Ok powa Phina" aliongea Ray na kurudi chumbani ambapo alimkuta Naa akiwa anajitizama kwenye kioo cha kabati Majeraha yalikuwa mengi usoni ndipo alipomtazama Ray huku machozi yakimlenga lenga
"Ray"
"Usilie Nasma, aammh unaj...." alisema ila binti akamdakia juu juu
"Unanipenda?" aliuliza
"Yap" Ray alisema akitikisa kichwa kisha akatembea na kumkumbatia kwa nyuma
"Basi kama unanipenda tuhame hapa" alisema binti
"Mmmh, unajua la...."
"Sitaki maelezo mimi kama ndo hivi narudi kwetu" alisema na kujinasua kifuani mwa mtaalam na kuketi kitandani kwa hasira na kushika tama
"Sorry....nisamehe mimi"
"Tuhamee" alisema kwa kiburi maana alijua anapendwa"
"Ok, basi sawa" alisema Ray
Simu ya Ray ilianza kuita na kuitoa mfukoni akatazama hivi ni Da Anita anapiga...ITAENDELEA
𝑺𝒆𝒂𝒔𝒐𝒏 𝒕𝒘𝒐
𝐿𝑜𝑣𝑒𝑆𝑡𝑜𝑟𝑦.....: 𝐋𝐀𝐒𝐓 𝐁𝐎𝐑𝐍 𝐍𝐀 𝐁𝐈𝐊𝐈𝐑𝐀 𝐘𝐀 𝐇𝐎𝐔𝐒𝐄 𝐆𝐈𝐑𝐋
(𝙉𝙙𝙞𝙫𝙖 𝙉𝙜𝙪𝙣𝙙𝙪)
𝑩𝒖𝒓𝒖𝒅𝒂𝒏 𝑺𝒊𝒎𝒖𝒍𝒊𝒛𝒊
EP04
"Huyu Naye anataka kuniambia nini" Ray aliongea kwa sauti ya chini Nasma akachukua jicho lake paap na kulizungusha kutazama kwenye simu kwa ajili ya kuyalinda mahusiano yake, alipokuta imeandikwa Dada Anita, alitulia kimya, Ray akapokea
"hallo"
"Hallo shikamoo Da Anita" aliita
"Marahaba hahahaa Ray hahah" alikuwa anacheka Ray akabaki ameshangaa
"Vipi mbona unacheka" aliuliza
"Mh, Hapana Ray we muhuni sana" alisema Anita
"Uhuni wangu nini?" aliuliza
"Hahaa, yaani ukaamua kutoroka na Housegirl, kweli wewe ni hatariiii"
"Mh" Ray aliongea na kukata simu halafu akamgeukia Nasma, Nasma alishtuka kidogo
"Vipi kuna tatizo?"
"Nope, jiandae twende zetu"
"Hapana, huyo uliyekuwa unaongea naye nani?" Aliuliza Naa
"Da Anita mtoto wa Ma Mkubwa....tuondoke" alisema
"Sawa, but Umekula wapi leo mbona sikuelewi"
"Ah mmh, hivi ulipika ee embu nipe Chakula nile kwanza, sijala"
"Hahahaha, unachekesha" Binti aliongea kwa jeuri fulani hivi, kisa Ray hajala hadi akumbushwe, alipakua chakula mwenyewe kwenye chombo halafu akala pale pale kitandani na kugeukia nje
Aligeuza macho akala haraka haraka halafu akainuka na kuanza kutembea kuelekea mlangoni "Twende Hospitali" aliongea
Cha kushangaza ni kwamba Nasma hadala ainuke kwenda hospitali ndo kabisa alijilaza kitandani na kugeukia ukutani
"Vipi mbona unalala tena"
"Niko sawa, sina Maumivu na siendi popote nalala zangu"
Ray aliposikia maneno hayo alimtazama binti kwa hasira mpaka pua na mdomo vikawa vinacheza cheza kwa hasira kali sana.
Ray alifanya akama anafyonza kiume ile "Dhyaah" halafu akatoka nje bila kuongea chochote.
Alitembea mpaka nje ya Geti ndipo akarudi na kuchukua pesa pamoja na Earphone halafu akatembea kuelekea mtaani kuzurura, alikuwa ana hasira sana
Ray alitembea tembea mpaka Maeneo Victoria, alipofika akasimama na kupata wazo aende kwa Karimu lakini hakutaka kwenda bila kumpigia simu "Oi Kerry" alisema
"Hahahahaaaa" Karimu alicheka kwa nguvu
"Unacheka nini mzee?" aliuliza
"Hiyo Kerry ndo maana yake Karimu sio, basi umenipa bonge la AKA leo man" alisema Karimu
"haha okay naibuka hapo sasa hivi"
"Sipo magetoni"
"Uko wapi?"
"Temeke Mikoroshini"
"Humo humo naibuka mzee baba" aliuliza mtaalam
"Haina noma"
Ray alipanda gari, kama mbili hivi halafu akaenda pale alipokuwa Karimu, alimkuta Karimu akiwa anakunywa Pombe, alipendelea sana kunywa Castle lite, ama Serengeti lite, Ray alikuwa sio mlevi kabisa
Ray alipofika eneo lile aliketi, kulikuwa na washikaji kibao, lakini Ray kwa utoto wake eti alikuwa na Stress zake kuhusiana na Nasma
"Ningekuwa mnywaji leo ningelewa sana" alisema Ray
"Kisa nini, lile tukio ama?" Karimu aliuliza
"Boy bora lile yaani kuishi na mwanamke ni shughuli sana" alisema, Mara muhudumu akamletea Coke baridi
"Kwani vipi"
"Eti kananiletea kiburi kale kademu hakanijui mimi vyema Sio?" aliongea kwa hasira na Kunywa Soda mara moja "Man namuambia tuende hospitali, halafu anajilaza kitandani et 'SIENDI POPOTE MI NIKO SAWA'" Aliongea Ray huku akiwa ameweka kidole kwenye pua kumteta
"Hahaha, Ray" Aliita Karimu huku akiweka mkono mezani kama mwalimu anayeuliza ada ya mtoto "Hilo tu linakupa stress???" alisema "BADO HUJAONA CHOCHOTE.....Utalewa lazima unywe pombe Nakuambia" alisema Karimu
"Daaaah" Ray alipata hasira
"Usiseme Dar, Dar kubwa hii, wewe vunga kama huelewi ila si una miaka 24, we subiri boss" Alisema Karimu na kupiga glass mdomoni akanyonya bia...JE RAY KAONA LOLOTE KWENYE NDOA HAPO?.
Kwa sh 1000 unamaliza season two
Njoo WhatsApp 0743433005
Kwa jeuri aliongea kwamba kakataa milioni 30 za Yanga kwenda kutumbuiza kisa yeye ni shabiki wa Simba imani yake ilimwambia kwamba hakuna mtu atazuia yeye kutoimba kwenye Simba lakini mambo yamekuwa tofauti Simba wamemfungia vioo.
Kwenye hii dunia ukijifanya mfia timu kuna siku utadharirika na kupoteza fursa muhimu, nadhani kwasasa Tunda atakuwa anajiona ni mjinga kiasi gani kwa kukataa pesa ndefu kisa Simba anatakiwa ajifunze kwa wengine.
Alikiba ni shabiki wa Yanga lakini ilipokuja pesa ndefu kutoka Simba hakuiacha na anaifanya kazi ya Simba kwa weledi, Mbosso shabiki wa Simba lakini Yanga wameweka pesa mezani akaenda kutumbuiza kwenye tamasha la Yanga kisha karudi Simba na hakuna aliye mtukana lakin hata Diamond alifanya hivyo alifanya kazi na Simba kisha akaenda kufanya kazi na Yanga kakusanya pesa zake anakula maisha.
Huyu jamaa badala ya kuangalia kazi yeye akaweka ushabiki mbele labda kama hajui, Timu zinapoita msanii lengo sio kumuhamisha timu bali yeye kwenda kuburudisha mashabiki na mashabiki hawa wa hizi timu ndio mashabiki wa muziki pia. Leo hii Diamond, Alikiba, Mbosso na Zuchu wanajua kwamba kwenye hizi timu kuna mashabiki zao hivyo wanapaswa kuwaburudisha bila kujali timu zao na wakikataa kufanya hivyo maana yake wamewakatili mashabiki wao.
Haya leo katupwa na hajapewa hata shilingi angeichukua milioni 30 ya Yanga si ingemsiadia pakubwa? Kimuziki sasa hivi Tunda hana hata thamani ya kulipwa milioni 5 halafu timu inakupa milioni 30 unakataa kisa ushabiki huyu si hajielewi, haya wenzie wanakula pande zote wanapiga pesa zao wanatengeneza maisha yeye kabaki hana pa kwenda.
Kwenye hii dunia ukiendekeza ushabiki wa mipira na vyama unaweza jikuta unapoteza fursa ambazo zingebadilisha maisga yako na kukupa utajili?
#Mbosso #Diamondplatnumz#Alikiba#Zuchu
Chakula chake cha usiku nilikuwa nakipikia nyumbani kule mgawahani kwetu hakuna hata umeme pale ni spesheli kwa chakula cha asubuhi na mchana tu😍😍
Basi bwana nilimwelekeza akaniambia anakujaa🙈🙈 ilibidi sasa nianze kumpakulia msosi wake kwenye hotpot nzuri mteja ni mfalme bwana😍
Ile juice niliitia kwenye kopo fulani hivi naloekea maji yangu ya chuo🙈🙈ni zuri😍😍 Hemed alifika karibia na kwetu akanipigia..
Nilimuomba asije na gari yake mpaka nyumbani majirani wataanza kutudisi hahahaa mi naogopa🙈🙈 aliegesha gari kwa mbali kidogo kisha akatembea mpaka kwetu🙈
Nilimkaribishia nje kulikuwepo na kiti pale akakaa nikamtolea chakula chake nilikuwa nimekifungasha vizuri akanishukuru baada ya hapo akatutakia usiku mwema akaondoka zake..
Usiku tena wakati najisomea akanipigia😝😝 ilikuwa mida kama ya saa nne hivi nikajiuliza au nimezidisha machumvi huko kwenye chakula hahahaaa
Nilipokea kama kawaida yake akaniambia samahani kwa usumbufu Bella😔😔 bila samahani Hemed karibu nakusikiliza..
Asante sana kwa chakula Bella🥹🥹 chakula ni kitamu sana😞😞tangu nizaliwe leo ndo nimekula chakula chenye radha tamu ninayoipenda❤️❤️
Asante sana mama Mungu akubariki🥹❤️ lol🙈🙈🙈nilijisikia furaha miee🙈nikamwambia asante kwa kushukuru Hemed naomba nikutakie usiku mwema.
Nilikata simu chapu😂😂mi sitaki hizo habari za kuzoeana mwisho yaibuke mengine akuu najiepushaaaa...
Baada ya kukata simu ikaingia msg🤗🤗na that time sijui nilianza kuwaje🙄 simu ikiita tu nawaza ni Hemed😔😔msg ikiingia tu nawaza katuma Hemed..
Nilifungua msg kweli ilitoka kwa Hemed aliniuliza kama niko free anipigie tuongee mmhhh nilimkatalia🙈
Nilimwambia niko bize🤗🤗 bize usiku huu Bella??. Kwani unafanya nini mamaaa...
Uuwww huyu naye kwanini ananiharibu😰😰😰nilishindwa kabisa kuacha kujibu msg zake🥺🥺kila akituma najibu kila akituma najibu nikajikuta hata madaftari nimeyatelekeza..
Nilimwambia mie usiku mida kama hii nakuwa najisomea maana ndo nakuwa free sina hekaheka..
Oh sorry mama kwa usumbufu so unasoma uko level gani??. Nikamwambia niko chuo...
Chuo gani unasoma unasomea nini??. Nikamwambia niko IFM nasomea course fulani..
Wow hongera🥺❤️nikamwambia asanteee...hapo nyumbani mnaishi na wazazi wenu???..
Dah😭😭😭hilo swali lilikuja kunikumbusha wazazi wangu🥹🥹🥹nilijikuta tu naanza kulia na sikuweza kumjibu chochote nilizima simu nikaenda chumbani kwangu😓
Nilichukua picha ya mama na baba nikawa nawatizama tu naishia kuwaloanisha kwa machozi..
Nililia usiku mzima majukumu niliyonayo ni magumu😭😭😭 kesho yake niliamka macho yamevimba sana...
Sikuweza kulala wala kubakia nyumbani ilibidi nitoke nikahangaike nikilalala nani atanitafutia sina wa kunitafutia😰..
Nilimtuma poppy sokoni mimi nikatangulia kupika vitafunwa bado simu nilikuwa sijaiwasha😰
Wakati napika vitafunwa kwa nje nilisikia muungurumo wa gari nilipochungulia nikamuona Hemed anashuka kwenye gari na vile vyombo alivochukulia chakula usiku..
Nini kitafuata???. Itaendeleaaaaaa
*SEHEMU YA 05*
Hemed alipiga hatua mpaka ndani na mida hiyo sikuwa na mteja yoyote maana ilikuwa asubuhi sana ..
Niliipua nilichokuwa nakipika nikaenda kwanza kumpokea😔😔 aligundua siko sawa😰😰..
Swali la kwanza aliniuliza Bella are you okay??..
nyieee hiko ndo kitu pekee nilichotamani kuulizwa kwa muda huo😭😭🙌
Nilishitukia tu machozi yananitoka bila kujizuia nilimwambia no I'm not okay Hemed🥹🥹..
Aliweka vile vyombo pembeni then akanikumbatiaa😞😞wakati Hemed amenikumbatia kwa bahati mbaya poppy nayeye alirudi kutoka sokoni akawa ametukuta😰😰..
Nilimwachilia Hemed haraka nikarudi nyuma kuendelea na kazi yangu..
Sikuweza kumwelezea chochote naye aliona mazingira siyo rafiki ikabidi aondoke lakini hakuwa okay kwa sababu ya hali aloniacha nayo..
Tulisaidiana na dogo kuandaa chakula kabla wateja hawajaanza kuja..
Mida ya saa nne mimi nilipeleka chakula site kwa Hemed poppy akabaki anahudumia pale ofisini..
Siku hiyo nilienda nikamkuta Hemed kule site alikuwa tu amekaa ndani ya gari lake..
Niliwapa chai mafundi nilipomaliza akaniita kwenye gari mmhhh sikuenda 😓😓 watu wataanza kutujadili wakati hakuna hata kinachoendelea kati yetu..
Alipoona siendi aliamua kutelemka kwenye gari akanifuata pale nilipokaa..
Alikuja akaniomba tuongee mi nikamkatalia nikamwambia hapa siyo sehemu sahihi..
Aliniomba tuzunguke nyuma ya nyumba muda huo mafundi wanakula..
Nilimkubalia tulienda nyuma ya nyumba Hemed akaanza kuniuliza nina shida gani kwanza nimevimba sana macho kama mtu niliyekesha nikilia..
Nilimwambia kuna vitu tu vinanisibu alianza kunibembeleza nimwambie lakini naanzaje kumwambia mtu hata simjui nianze kumwelezea matatizo yangu..
Sikumwambia chochote niliishia kulia tu na baada ya hapo nilichukua vyombo nikaondoka pale..
Hemed alinifuata ofisini mgawahani kwetu pale...alikuja akamuita poppy akaenda kuzungumza naye hata hivo nilishamzuia poppy kusema kitu chochote bila ruksa yangu..
Hemed bado alitaka kujua nasumbuliwa na nini alimuuliza poppy lakini poppy hakuweza kuongea chochote alimwambia tu kuna siku dada mwenyewe atakwambia🥹😞😔..
Mkaka wa watu siku hiyo hata hakunywa chai nilimhurumia sana🙈
Aliondoka ila akaniomba niwashe simu🤗🤗🤗nilifanya hivo ilibidi niwashe simu nione anataka kusema nini...
Baada ya kuwasha simu alinipigia akaniuliza kama nimekula nikamwambia sina appetite ya kula chochote..
Alinibembeleza mno akaniomba nile chakula mmmhhh nilimuitikia tu lakini wala sikula..
Jioni mida ya saa kumi tulifunga mgahawa tukarudi nyumbani kwa vile huwa tunapika chakula cha Hemed nyumbani
basi nasisi tulianza kuwa tunakula uko huko home badala ya mgahawani..
Siku hiyo usiku Hemed alikuja kuchukua chakula akiwa hana Amani kanyong'onyea😔😔
Nilimtolea chakula chake lakini alikataa kukipokea aliniambia nirudishe chakula ndani tukale wote maana mpaka muda ule bado nilikuwa sijala🙈
Nilijaribu kumgomea nayeye akanigomea😝😝akadai haondoki pale kwetu bila mimi kula🙁
Itaendeleaaaaaaaa
Full yote 2000
Whatsapp 0657171961
KWETU Morogoro
ukigongwa na kunyenyuka kitandani kwenda kufungua.
Alifungua mlango na kukutana na Clara aliyekuwa kwenye ka...nga moko.
"Nelson samahani kwa kukusumbua"
Yalikuwa kama maajabu kwa Nelson kuombwa samahani na Clara maana haikuwa kawaida kabisa.
"Haina shida Clara"
"Nilikuwa naomba ukanisaidie kunirekebishia kitanda changu chaga zimedondoka chini!"
"Sawa twende!"
Waliingia chu...mbani na Nelson alikuta kweli chaga zimedondoka chini, Clara aliurudisha mlango na kuitupa kanga yake chini na kubaki mtu..pu pasipo Nelson kumuona.
"Pole sana Clara ilikuwaje mpaka chaga zika.....
Alisita kuongea baada ya kumuona Clara yupo uc...hi.
"Nooo usinifanyie hivyo Clara!"
Clara hakuongea kitu zaidi ya kumso..gelea Nelson alipokuwa na kumshika kwa ngu..vu akiwa na mipango yake.
"Leo nataka nione uanaume wako!"
"U...u...uuu...una maana gani?"
Kigugumizi kilimshika Nelson na Clara alianza kukipa...pasa kifu..a chake.
"Siwezi Clara!"
"Acha woga wewe ni mtoto wa kiume!"
Nelson alikuwa haelewi kabisa mambo hayo na wala hakuwahi kufanya, alibaki kaganda vile vile kama sanamu na Clara aliona ndiyo mda sahihi wa kuanza kazi yake.
Alimka..mata Nelson na kwenda kumbana..nisha ukutani na kufungua mka..nda wa suruali ya na kuishika Maxxxhine ya Nelson.
"Hujatahi...riwa bado?"
Clara aliongea kwa mshituko mkubwa na mda huo huo mvua kubwa ikaanza kunyesha nje.
"Sh***t!"
Alizungumza maana aliona mpango unaenda kuharibika kabisa baada ya mvua kuanza kunyesha.
Mpango wa Clara ulikuwa ni kumshawishi Nelson ili akubali na baada ya hapo apige kelele ili watu wote wasikie ndani ya nyumba yao na wakija wakute chaga zipo chini, yeye yupo u..chi na shati la Nelson limechanwa chanwa ionekane kama alikuwa anataka kumba...ka na yeye alikuwa akihangaika kujiokoa.
Clara mudi ilikata baada ya mvua kubwa kuendelea kunyesha na nguvu za kiume zilimshika Nelson aliyekuwa haelewi kitu chochote kile na kujikuta tu akikishika kitu..mbua cha Clara.
"Ashiii wewe achaaa"
Clara alimzuia na kutaka kusogea pembeni na Nelson alijikuta tu akimshi..ka kwa nguvu na kumbananisha ukutani na kuupeleka mdo..mo wake kwenye shingo yake na msisi...mko wa ajabu aliupata Clara baada ya kukisiwa shingoni, Licha ya Nelson kuwa mara yake ya kwanza lakini haikumfanya ashindwe kujua sehemu gani anayotakiwa kudumbukiza.
Aliitoa maxxhine yake yenye go..vi na kumla..za chini Clara aliyekuwa kwenye hi..sia kali na chuki aliziweka pembeni kwa mda, hisi..a za Clara zilikuwa karibu mno kama pua na mdomo ndiyo maana alile..gea na kushindwa kumzuia Nelson.
Hakujua hata miguu yake ilipanu...liwa saa ngapi na Nelson ila alishitukia tu mho...go ukiingizwa ndani ya kisima chake.
"Ooooh Nel.... jamaniiiiiiii!"
"Nimeshaweka tayari wanafanyeje?"
Nelson aliongea maana bado alikuwa hajui chochote kile!.
"Nifanye Nelson!"
"Kiaje!?"
Clara aligundua kuwa Nelson hajui chochote kile hivyo aliki...shika khi..uno chake na kuanza kumfundisha namna ya kuzaga...mua.
"Nasikia ra***ha!"
Ra**ha alizokuwa akizisiki zilimtoa wazimu Nelson na kuendelea kuingi..za na kuutoa mho**go wake na ukubwa wake ulizidi kumtia wazimu Clara mpaka akamku...mbatia Nelson na kumshushia mabu***su kedekede.
Msumari wa Nelson ulikuwa imara haswa na ungeweza kutoboa kitu chochote kile kilaini kinachotoboleka. Nguvu alizokuwa nazo Nelson zilikuwa babu kubwa kwani saa moja lilikatika wakiwa pale chini na Clara alikuwa ameshacho..ka tayari lakini Nelsom hakuwa na dalili kabisa.
"Nelson hufiki tu jamaniii!?"
"Kufika kiaje?"
"Kileleni!"
"Huwa wanafikaje kwani mimi sijui kitu!"
"Mmmmh subiri kwanza tuhamie kita..ndani!"
Nelson alijitoa juu ya mwi...li wa Clara aliyemwambia Nelson akaziweke chaga vizuri.
Nelson alisogea kita...ndani na kuziweka chaga vizuri na Clara aliegemea ukutani akimtazama Nelson, hakutegemea kama kijana waliyezoea kumwita kiba..ka yeye na ndugu zake angekuwa na nguvu zile za kumsugu..a kwa mda mrefu pasipo kuchoka lakini alipoitazama macxhine ya Nelson alishikwa na aibu mwenyewe baada ya kuliona go..vi.
"Mmmmh inamaana na umri wote alikuwa hajakata tu jamani!"
Clara aliwaza huku akiendelea kuutazama mho..go wa Nelson.
Nelson alimaliza kukiweka vizuri kita...nda na kumsogelea Clara.
"Tayari nimemaliza!"
Clara alimtazama machoni na pasipo kuongea alimshi...ka na kuanza ku..mla denda huku wakisogezana kita...ndani.........ITAENDELEA.
Full Tsh 1000, Namba ya malipo 👇🏻👇🏻
LIPA NAMBA 67027625 - VODACOM JINA JOHN ELIAS.
Basi bana maisha yakawa yanaendelea kwenda kama kawaida, na mume wangu aliendelea kunifanya kuwa mwanamke wa thamani na mwanamke bora sana kwake, hakuyumbishwa na maneno ya mtu yoyote Yule, maana yeye ndio aliamua kunipenda na hakuna mtu mwingine yoyote Yule ambae anaweza kuuvunja huo upendo ambao alikuwa nao kwangu…
Siku moja nilirudi nyumban mapema baada ya kupigiwa simu na mwalimu wa mwanangu kuwa mwanangu anaumwa, nilipofika nyumban, nikamkuta mama yangu mkwe, nikamkuta pamoja na kaka mmoja wa mume wangu, alikuwa mkubwa sana kwa mume wangu, inawezekana hata akawa marika yangu, ila alikuwa mlevi balaa, pamoja na yule binamu wa mume wangu…
Kitendo cha kuingia ndani tu nikapokelewa na maneno, sikutaka kubishana na mtu, nikaenda kumuangaia mwanangu na baada ya hapo nikaenda jikoni maana nilikuwa nasikia njaa sana, ila kabla sijala, nikasikia Yule dada wa mume wangu, ambae ni binamu anasema “ yaan kazi kula tu na kumloga kaka yangu, unajua gharama ya hicho chakula kweli wewe…
Sikutaka kumjibu, nikanyanyuka na kuanza kwenda zangu chumban kwangu, nikashangaa mtu kaja kukibweta chakula, alikuwa ni mama mkwe, kisha akasema “ hauna haki ya kula chakula ambacho amekitafuta mwanangu bibi kizee wewe, nikamuangalia bila kusema neno kisha nikataka kuondoka, nikashangaa naanza kupigwa, mama yangu mkwe akaanza kunifinya na Yule shemeji yaangu akaanza kunipiga mateke, nashangaa wananipiga ila sikuwa najua hata wananipigia nini, nikawa nalia, na watoto wangu wakawa wanakuja kuamua, na Yule ambae nilimzaa kabla ya kuolewa na Kendrick nae akawa anapigwa akaachwa mtoto wa Kendrick tu, aisee nilipigwa sana mpaka nikawa hoi, kisha mama mkwe akasema “ huo ndio mwanzo , ila nitahakikisha mpaka unaondoka kwneye hii nyumba, Yule ambae unamuona kama dada wa kazi, ndio anastahili kuwa mama mjengo wa nyumba ya mwanangu na sio wewe bibi kizee…
Sio siri nilijisikia vibaya sana kwakweli, nikaingia ndani, nikaanza kuoga, ila wakati natoka bafuni nikashangaa namuona mume wangu, akaniangalia kwa sekunde kadhaa kisha akasema “ nani ambae amekufanyia hivi…
“ nilikutana na vibaka wakanipiga, nikajibu maana sikutaka kufarakanisha familia ya watu..
Kendrick akaniangalia kwa sekunde kadhaa kisha akaenda kupiga ngumi ukutani, kisha akatoka nje, na kuongea kwa sauti ya ukali kuwa “ nani amemfanyia vile mke wangu…
“ mwanangu kwani mke wako amefanyiwa nini, itakuwa amepata laana za mungu baada ya kunitukana maana mimi ni sawa na mama yake, ila hana adabu anakaa na kuanza kunitukana, akawa anasema mama yangu huku akiwa anajifanhya analia, wakatyi huo mimi nilikuwa nafungasha virago vyangu, sikutaka kuendelea kukaa na watu kama wale, labda kama wataondpoka, mume wangu alijaribu kunizuia nisiondoke ila nilikataa kata kata maana sikutaka vita tena, na kwa namna ambavyo wananichukia wanaweza kunidhuru zaidi………
Nikaondoka zangu, na mume wangu alishindwa kunizuia ila akaondoka na mimi na kwenda kunilipia guest nzuri kwa ajili yangu na wanangu kisha akarudi nyumban kukaa na ndugu zake, ila anafika tu akashangaa anaanza kusikia mama yake anasema “ ila martin umejua kumchapa Yule mchawi, yaan nilitaman uchjukue chuma maana niliona kama fimbo haimuumi, maana kukaa na mchawi ni hatar sana, na Yule wakike akasema “ yaan nilikuwa nataman nimnyonge afilie mbali kabisa, na mama yake kendrickl akasema “ sio kumnyonga tu, ulitakiwa ujaribishe yule anaroho ngumu kama ya paka kwa maana asingekufa haraka…
Mara Kendrick akakohoa na kusema “ angalau paka amepata mume mwenye roho kama yap aka kama yeye…
Watu wote walitahamaki, maana hakuna hata mmoja ambae alihisi huenda Kendrick anaweza kuwa eneo lile…….
Mama yake Kendrick akaanza kujichekesha na kisema “ nimeshamuondoa huyo mchawi, nina uhakika utapata mwanamke bora..
ITAENDELEA……………
Full 1000
Whatsp 0784468229
Nililala nimekuja kuamka tumefika na niko hosptal kumbe nilipata homa kali mno, walinitibu nikakaa sawa, nikaanza kupewa semina sasa ilichukua miezi kuelewa ilibidi Naseer arudi Tanzania kwanza kuendelea na biashara huku mimi natibiwa, alikuwa na kampuni ya magari na vitambaa vya suti na vya kike, alifungua viwanda, alirudi nakukuta mke wake Najma anaitembeza bila kujali, adi kwa walinzi, alikuwa mtu fulani hivi haridhiki kabisa na kila mwanaume, aliamua tu kurudi kwenye usagaji, hil ndio ilikuwa inamlizisha....
Alishaathilika wala na hataki kukubali, kushauliwa, na hii tabia nae pia ilianzia kwa bibi yake, mama ake alikuwa mfanyabiashara, akawa bze na ni single mother akaona awapeleke watoto wake kwa mama ake, aliamini uko ni salama, kwa sababu hata yeye kalelewa vizuri na anaamini sana malezi ya mama ake ni bora mno, kuliko awaache na wadada wa kazi, na hizi skendo za kila siku, akaona bora awapeleke tu wanae kwa bibi yao...
Aliwapeleka kwa mama ake, bibi alikuwa mtu poa sana, alianza kuishi na wajukuu zake na kuwalea kwenye maadili, alikuja mtoto wake wa mwisho na watoto wake, nae akawaacha pale kwa bibi yao, hao ndio waliomharibu, nahakuna aliyegundua, mpaka wanakua, Najma alikuwa na mdogo wake wakiume, huyu pia aliharibiwa vibaya mno, akawa anaingiliwa na watoto wa majirani toka akiwa mdogo, huyu alivyofika darasa la 5 akaanza kuonyesha dalili na ilikuwa ni kijijini hawakutegemea kabisa wala kushtuka, kuna mwalimu alikuwa anapenda sana hio michezo, aligundua na alikuwa mgeni akaanza kuwa anamuingilia na yeye akawa anaomba aingiliwe na yule mtoto, ikawa ni tabia yao na mdogo wake Najma alikuwa mdogo lakini alibarikiwa mzigo hakujua tu namna yakuutumia alivyoanza kuutumia kwa mwalimu akanogewa, akaanza kuwafanyia na wengine, na hata dada ake akawa kaanza kumfanyia, kila siku usiku anawabaka ndugu zake mwanzo walifanyiwa hivyi wakiwa wameenda kisimani na yule mwalimu aliwafanyia na kuwapa dawa, familia haikujua wakajua wanaumwa tu, walivyopona wakawa wanatamani ila hawajui wanapataje, kumbe mdogo wake kashakubuhu akaanza kuwa anawatembelea usiku na kwa kuwa walikuwa wanasikia raha, wakawa hawapigi kelele kabisa...
Wanaacha mpaka wote wanamalizwa dogo anaondoka, akaanza kuwa anakuja na mwalimu wanawachangia mpaka wanarizika, tabia ikakolea mpaka anaingia sekondari kashakuwa hatari, mpaka wake za watu, alihriibu watoto wa watu wengi mno, kimya kimya, wamekuja kushtuka alifumaniwa na wanakijiji anamuingizia mtoto wa jirani yake kwenye mashamba, alimtia mtoto wa watu aliwa machungani, wakiwa na mwalimu kakazidiwa na hakakua peke yake vilikuwa vitatu vyote waliviharibu na ilikuwa mara ya kwanza, zile kelele kumbe kuna watu walizisikia kwa jinsi walivyoshuhudia uchungu uliwashika walijichukulia sheria mkononi, wakawapiga mpaka kufa, Bibi anakuja tu kuletewa mwili wa mjukuu wake, hakuamini alilia kama mtoto pressure ikapanda pale pale akadondoka na kuaga dunia...
Najma ilibidi achukuliwe na mama ake, akaenda kufanyiwa vipimo ikajulikana pia kashaathilika vibaya, mama ake aliumia akaomba atibiwe, alitibiwa lakini kumbe kuna dawa alikuwa hamezi anatupa, anameza maji tu wao wanajua anameza, dozi ilipoisha wakamruhusu arudi nae nyumbani..
Alirudi nae nyumbani akaamua kumpeleka bording shule ya waschana tu, lakini huko nako akawa anatembea na walimu wake, anagawa kama nini, alimaliza 4m 4 akafeli, ikabidi apelekwe veta na mama ake, akasomea ususi, akamfungulia salon, maisha yakaendele.....
Itaendelea....
Full 1000
Whatsp 0784468229