Mapishi Classic
Is a Tanzanian Blog which prepare different food recipes found all over the world.Here you get the chance of reading Swahili and Non Swahili recipes found across the world.The recipes are written by two languages i.e Swahili and English.Welcome all to read and leave your comment about our recipes. Karibuni Nyote mjifunze mapishi ya Kiswahili na mengineo yanayopatikana dunia nzima.Karibuni mjifunze na tunakaribisha maswali na maoni tutakujibu haraka iwezekanavyo. Ahsanteni Sana.
(Hamishia kwenye ...)
?
(Hamishia kwenye ...)
?
Jumamosi, 3 Desemba 2016
KEKI RAHISI YA VANILLA NA COCOA(SIMPLE VANILLA AND COCOA CAKE)
MAHITAJI/INGREDIENTS
1.Siagi Robo kilo(1/4 Kg)
1/4Kg Butter
2.Sukari Robo kilo(1/4 Kg)
1/4 Kg Sugar
3.Unga Robo kilo(1/4 Kg)
1/4 Kg Plain Purpose Flour
4.Mayai 6
6 Eggs
5.Arki Vanilla Kijiko cha chai 1
1 Tea Spoon Vanilla Essence
6.Cocoa Vijiko vya Chakula 3
3 Tbsp Cocoa Powder
7.Baking Powder Kijiko Cha Chakula 1
1 Tbsp Baking Powder
8.Chungwa 1
1 Orange
7.Maganda ya Chungwa Kijiko Cha Chakula 1
1 Tbsp Orange Zest
8.Chumvi Kiduchu
Pinch of Salt
9.Fruit Cake Kikombe Cha Chai Nusu(Sio Lazima)
1/2 Cup Fruit Cake(Optional)
10.Juisi ya Chungwa Vijiko 3
3 Tbsp Lemon Juice
MAANDALIZI/PREPARATIONS
1.Chekecha unga kwenye bakuli kisha weka chumvi na baking powder na uchanganye vizuri kwa mwiko
In a bowl sift the flour then add baking powder and salt,mix them very well by using spartula
2.Osha chungwa vizuri kasha lipare kwa kipario ili upate maganda yake kijiko kimoja
Wash an orange then grate it till you get one spoon of its zest
3.Weka maganda ya chungwa na Fruit Cake kwenye ungana uchanganye tena vizuri
Add the orange zest and Fruit Cake in a bowl of flour and mix them very well
4.Weka sukari na siagi kwenye bakuli jengine
In a separate bowl add sugar and butter
5.Saga mchanganyiko wako kiasi cha dakika 3
Beat the mixture for atleast 3 minutes
6.Weka Vanilla endelea kusaga kiasi cha dakika 2
Then add vanilla and keep beating the mixture for 2 minutes
7.Weka mayai yako moja moja mpaka yamalize huku ukiendelea kusaga
Add the eggs one by one until you complete them alland keep beating the mixture
8.Weka juice ya chungwa kisha saga tena kidogo
Add lemon juice and keep beating the mixture
9.Malizia kuweka unga kidogo kidogo mpaka umalize wotehuku ukisaga
Lastly add flour little by little till it finish and beat your mixture
10.Chukua bakuli chota mchanganyiko wako weka miko 3
In a small bowl add your butter mixture atleast 3 spatula of it
11.Kisha weka cocoa kwenye kibakuli uloweka mchanganyiko wako changanya vizuri kwa kijiko kikubwa
Add cocoa in that mixture and mix it well by using table spoon
12.Washa Jiko la Umeme moto wa nyuzi joto 160
Pre heat the oven 160’C
13.Chukua trei weka karatasi ya kupikia
In a tray add baking paper
14.Kisha Anza kuweka mchanganyiko mweupe na kati weka wa cocoa kasha malizia mweupe
Start to add white butter mixture and the cocoa mixture at the middle and the white mixture on top
JINSI YA KUPIKA/HOW TO COOK
1.Weka trei jikoni kwa muda wa dakika 50 ndio fungua jiko na tizama keki yako
Bake the cake for 50 minutes then open the oven to check it
2.Ingiza kijiti kisafi kwenye sehemu mbali mbali za keki yako kuangalia kama imeiva
Insert the tooth pick in the cake to check if it is cooked well and done
3.Ikiwa kijiti kitatoka na umaji maji basi keki yako bado rudisha jikoni
If the tooth pick seems to be wet the cake its not yet cooked return it in the oven
4.Kijiti kikitoka kikavu zima jiko toa keki wacha ipoe
If the spoon comes dry switch off the oven and remove the cake let it cool
5.Ikipoa toa kwenye trei na ikate vipande tayari kuliwa na kinywaji upendacho
When it is cool cut it into pieces and serve with any drink you prefer
Angalizo:Note;
1.Hakikisha unafata vipimo sahihi vya unga,siagi,sukari,baking powder na mayai ili upate keki nzuri
Make sure you use appropriate measurement of butter,sugar,plain purpose flour,baking powder and eggs for best result of the cake
2.Ukikosea vipimo vya keki hupelekea kutoiva au kuwa ngumu
When the cake ingeredients are misused may not give you soft cake or it may not cooked evenly
3.Kuwa makini na jiko lako kama lina moto mkali tumia nyuzi joto ambazo hazitounguza keki yako
You know well your Oven so make sure you set appropriate Degrees that may not burn the cake
4.Tumia Chombo ambacho mchanganyiko wa keki hautojaa mpaka juu ili ipate nafasi ya kuiva vizuri kwani ikipata joto hufura na huweza kupelekea mchanganyiko ukamwagika kabla ya kuiva
Use the tray that has enough space that may not lead the cake mixture to rise and comes out when it is heated
5.Unaweza kupika kwa kutumia mkaa pia
You can even bake by using charcoal
6.Hakikisha hukati keki yako mpaka ipoe inaweza kupelekea kukatika katika
Make sure you do not cut your cake if it is not cool enough
7.Keki inaweza kukaa mpaka siku 3 mpaka 4 kwenye mazingira ya joto na siku 6 mpaka 7 kwenye mazingira ya baridi bila kuharibika
The cake can stay up to 3 to 4 days in hot areas and 6 to 7 days in cold areas
Furahia Keki Yako.
Unknown at 07:42
Shiriki
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni
‹
›
Nyumbani
Ona toleo la wavuti
Inaendeshwa na Blogger.
Kunihusu
Unknown
Tazama wasifu wangu kamili
Secret death of the president of Iran, do you know who is responsible? Read this article here before they delete it
gonga94.com
#iran #??_??_??????_???_????_? #Deadline #IRAN
Secret death of the president of Iran, do you know who is responsible? Read this article here before they delete it
gonga94.com
#iran #??_??_??????_???_????_? #Deadline #IRAN
En person skjuten i Salem – allvarligt skadad
UPPDATERAD IDAG 23:17PUBLICERAD IGÅR 21:20
En person har hittats skjuten i Salem, söder om Stockholm. Brottsoffret är allvarligt skadad, enligt polisen.
Personen har förts till sjukhus med ambulanshelikopter.
– Personen hittades utomhus, säger Nadya Norton, presstalesperson på Stockholmspolisen.
Polisen fick larmet strax före halv nio på onsdagskvällen.
– Vi fick in larm för att folk hade hört smällar, säger Nadya Norton.
Norton vill inte kommentera om någon är gripen eller misstänkt, men säger att polisen är på plats för att samla in information. Fallet utreds som försök till mord och grovt vapenbrott och en teknisk undersökning har påbörjats.
– Vi kommer nog att vara kvar större delen av natten, säger Nadya Norton vid 23-tiden.
What are Kenyans searching on Google?
Which hashtag is trending on Twitter?
What is kot in Twitter?
What is most searched in Kenya?
Artificial Intelligence is the most searched topic by Kenyans in the Google search engine. Trends show that people have searched for Artificial Intelligence (AI) more than ever in 2023 so far, with interest rising 270 per cent since last year, and 400 per cent in the last five years.
Would Take "Appropriate Action" Over Prince Harry Visa Question: Trump
Washington:
Former U.S. President Donald Trump on Tuesday said if Prince Harry lied on his visa application about drug-taking Trump would seek to take "appropriate action" if he won November's presidential election, declining to rule out Harry leaving the United States.
Trump's comments to British right-leaning media outlet GB News came in an interview with presenter and frequent Harry critic Nigel Farage.
U.S. visa applicants are required to make a disclosure about any history of drug use, which can impact their application. Lying on an application can result in penalties including deportation.
Harry, who has lived in California since 2020, admitted to past illegal drug use in his memoir "Spare," after which conservative think tank the Heritage Foundation sued the U.S. Homeland Security Department to access his immigration records. Earlier this month, a judge ruled in that case that the details pertaining to Harry's visa application should be handed over to court.
Farage, a long-time Trump ally, asked the Republican presidential candidate if Prince Harry should receive any "special privileges" if he lied in his application.
"No. We'll have to see if they know something about the drugs, and if he lied they'll have to take appropriate action," Trump replied.
When asked if that might mean Harry "not staying in America," the former president replied: "Oh I don't know. You'll have to tell me. You just have to tell me. You would have thought they would have known this a long time ago."
Since Prince Harry and his wife Meghan Markle left royal duties and moved to California, they have often railed at their treatment by Britain's royal family.
From an interview with Oprah Winfrey in 2021 to a Netflix documentary series and Harry's book, the couple have asserted that the royals and their aides failed to protect them from a hostile press and leaked negative stories about them.
Listen to the latest songs, only on JioSaavn.com
The couple, who married in 2018, have rarely returned to Britain since their departure for the United States.
Tension Is Growing: Cyberpunk 2077 Release Date Is Postponed! What To Do?!
Cyperpunk 2077 — the highly anticipated open-world RPG — has been delayed again and is moving from its planned September 17th release date to November 19th, developer CD Projekt Red announced today on Twitter.
The announcement notes that as of today, the game is technically “finished” from a content and gameplay perspective, with all the quests, cutscenes, skills, items, and functionality in place. But the finished game is so complex and so large, CD Projekt Red says, that it needs the extra time to “go through everything, balance game mechanics, and fix a lot of bugs.”
It’s been a long road to release for Cyberpunk 2077, which has been in development since at least 2013. Originally set to release on April 16th, the game was delayed to September 17th back in January. A multiplayer component for the game, originally planned to be released after the initial launch, was also delayed at that time; CD Projekt Red says it likely won’t appear
Hapa nina imani nyota huyu wa muziki wa Miondoko ya Mchiriku alimaanisha kama ingekuwa thamani ya mtu ni mali, basi ndevu angepewa ng’ombe kwa maana ndiye mwenye umbo kubwa, uwingi wa kila kitu mwilini mwake na hiyo ingekuwa sababu ya kupewa ndevu
Sina makosa, mmh wanionea bure
Ati umepanga kunitoa roho
Na mambo ya dinner yalimkosha akanipenda bure
Ananipa mahaba nilivyo mroho
Sikumchota nusu nilimbeba mazima mazima
Acha alkasusu ninazo hata dawa za China
Nilimuomba busu akanivuta nichimbe kisima
Kisha akaniruhusu nimposti nimtag na jina kabisa
Na kama inauma nakupa pole
Nakupa pole, nakupa pole, nakupa po
Kama inauma pole
Nakupa pole, nakupa pole, nakupa pole
(Pole we eeh eh)
Sikumfukiza hata dawa upendo karidhia ah
Ooh nakafika nakapa dawa tena ametulia aah
Ulimchukiza kayanawa mapenzi kakimbia ah ah
Vile visa tabia mbaya hataki kurudia ah ah ah
Ulimtia uoga
Ati penzi halitonoga
Kaja hata sikuroga
Kadata na chuma mboga
Sikumchota nusu nilimbeba mazima mazima
Acha alkasusu ninazo hata dawa za China
Nilimuomba busu akanivuta nichimbe kisima
Kisha akaniruhusu nimkposti nimtag na jina kabisa
Na kama inauma nakupa pole
Nakupa pole, nakupa pole, nakupa po
Kama inauma pole
Nakupa pole, nakupa pole, nakupa pole
Nakupa pole (Pole)
Kipya kinyemi naringa
Nichecheme nicheche che
Nakuwa zuzu kabisa
Nichecheme nicheche che
Katia hamira navimba
Nichecheme nicheche che
Nafanya navimba eeh
Nichecheme nicheche che
unaiambiwa ilikota mwaka 1969 lakini leo 2024 ndo hizi ngoma inatamba sana kwenye majukwaa mengi sana duniani nasi sisi gonga94 tumekosegezea karibu kabisa hii hapa twende tuka enyoy
Nndoto, nndoto, nndoto, nndoto
Nndoto, nndoto, nndoto, nndoto
Mimi ni mvuvi toka kaskazini baharini
Sina chochote mfukoni
Sihusihani kabisa na madini
Hivi ntakupata na nini?
Usiku kucha nakesha mtoni
Haiba imepotea usoni
Mapenzi hayana makazi, malazi
Utayapata popote duniani
Ila naimani toka moyoni
Umeiteka ramani
Tena uletwe mzani upimwe upendo wangu
Mi ntatoka number one
Ila naimani toka moyoni
Umeiteka ramani
Tena uletwe mzani upimwe upendo wangu
Mi ntatoka number one, haya
Ntakupa samaki unikubalie, ntakupa samaki (samaki eh)
Ntakupa samaki unikubalie, ntakupa samaki (samaki eh)
Ntakupa samaki unikubalie, ntakupa samaki (samaki eh)
Ntakupa samaki unikubalie, ntakupa samaki (samaki eh)
Ni mwenye mapenzi yako, mjuzi wa thamani yako
Nikupe samaki hautaki
Nuru lahai wa ubani, mtoto wa allua tani
Hata kwenye baraza ntashtaki
Si kwa wali mkavu na kwa chukuchuku chee
Nakuletea jodari ufurahi
(Mzuri wewe)
Usio na fikra chakavu nkiondoka ntakupa neno byebye
Wangapi wenye wingi wa mali
Mapenzi yao ni mafuta na maji?
Tamati nitakupa samaki
Kuhusu upendo mi ni kama dibaji
Wangapi wenye wingi wa mali
Mapenzi yao ni mafuta na maji?
Tamati nitakupa samaki
Kuhusu upendo mi ni kama dibaji
Ila naimani toka moyoni
Umeiteka ramani (samaki eh)
Tena uletwe mzani upimwe upendo wangu
Mi ntatoka number one
Ila naimani toka moyoni
Umeiteka ramani
Tena uletwe mzani upimwe upendo wangu
Mi ntatoka number one, haya
Ntakupa samaki unikubalie, ntakupa samaki (samaki eh)
Ntakupa samaki unikubalie, ntakupa samaki (samaki eh)
Ntakupa samaki unikubalie, ntakupa samaki (samaki eh)
Ntakupa samaki unikubalie, ntakupa samaki (samaki eh)
Nikupeleke visiwani ukale pweza na tasi
(Ntakupa samaki)
Au twende Mwanza ukale sangara na sato
(Ntakupa samaki)
Tupande treni twende Ujiji tupate migebuka
(Ntakupa samaki)
Tumalize Tanga, nyumbani, ukale jodari na ngisi
(Ntakupa samaki)
Nndoto, nndoto, nndoto, nndoto
Nndoto, nndoto, nndoto, nndoto
Samaki eh
Hi nyimbo ndani yake Kuna maumivu makubwa Sana vile binadamu wakati wamagumu Mambo huwa Ni mengi Sana yani mbaka Kuna wakati unaweza uka mkufulu mungu ila yote kwa yote kamanda is back tumpe sapoti kwenye social media na kwenye digital platform zote hasa Spotify ili apate angalau pesa kidogo huu utakuwa mchango wa kweli twendeni jamani twendeni jamani
Verse 1 Bora hata nimshukuru Mungu Kwa hivi nilivyo, Maana hata Kuna wengine hawajafika nilipo, Bora hata nimshukuru Mungu Kwa hiki nilichopata, Maana hata Kuna wengine wamekosa kabisa. Tabasamu njoo,Nataka nibadiri Wangu mtazamo niishi kitajiri Na wewe maumivu njoo,Nataka nibadiri Wangu msimamo niishi kijasiri, Ile habari ya kulialia Kila siku nakataa (Nakataaa). Na kama nilisainiwa mkataba nafuta aah, Ndugu tulowasaidia wakaficha makucha (Makucha). Wao walipofanikiwa wakataka kutushusha aah!!! Bridge Nafuta zile why me!! Kwanini mimi!! Sijapata kwanini ? Kwanini ? Najawa ujasiri ujasiri Nitapata na mimi na mimi Nafuta zile why mimi Why mimi !! Sijapata kwanini ? Kwanini ? Najawa ujasiri ujasiri Nitapata na mimi na mimi Chorus Bora hata nimshukuru Mungu Kwa hivi nilivyo, Maana hata Kuna wengine hawajafika nilipo, Bora hata nimshukuru Mungu Kwa hiki nilichopata, Maana hata Kuna wengine wamekosa kabisa. Verse 2 Na nilipo huenda Kuna wengine wanapatamani, Zamani huko nililishakataliwa na watu wa nyumbani, Kile kidogo ninacholalamika lakini nimepata, Wengine huko wamepambana wamekosa kabisa. Kumbe ni Bora kuridhika na hiki, Nilichopata ndio yangu ridhiki, Mungu ni Bora yeye hatabiriki, Amekupa hicho mi amenipa hikii. Bridge Nafuta zile why me!! Kwanini mimi!! Sijapata kwanini ? Kwanini ? Najawa ujasiri ujasiri Nitapata na mimi na mimi Nafuta zile why mimi Why mimi !! Sijapata kwanini ? Kwanini ? Najawa ujasiri ujasiri Nitapata na mimi na mimi Chorus Bora hata nimshukuru Mungu Kwa hivi nilivyo, Maana hata Kuna wengine hawajafika nilipo, Bora hata nimshukuru Mungu Kwa hiki nilichopata, Maana hata Kuna wengine wamekosa kabisa. Maana hata Kuna wengine wamekosa kabisa. Verse 2 Na nilipo huenda Kuna wengine wanapatamani, Zamani huko nililishakataliwa na watu wa nyumbani, Kile kidogo ninacholalamika lakini nimepata, Wengine huko wamepambana wamekosa kabisa. Kumbe ni Bora kuridhika na hiki, Nilichopata ndio yangu ridhiki, Mungu ni Bora yeye hatabiriki, Amekupa hicho mi amenipa hikii. Bridge Nafuta zile why me!! Kwanini mimi!! Sijapata kwanini ? Kwanini ? Najawa ujasiri ujasiri Nitapata na mimi na mimi Nafuta zile why mimi Why mimi !! Sijapata kwanini ? Kwanini ? Najawa ujasiri ujasiri Nitapata na mimi na mimi Chorus Bora hata nimshukuru Mungu Kwa hivi nilivyo, Maana hata Kuna wengine hawajafika nilipo, Bora hata nimshukuru Mungu Kwa hiki nilichopata, Maana hata Kuna wengine wamekosa kabisa. Maana hata Kuna wengine wamekosa kabisa. Verse 2 Na nilipo huenda Kuna wengine wanapatamani, Zamani huko nililishakataliwa na watu wa nyumbani, Kile kidogo ninacholalamika lakini nimepata, Wengine huko wamepambana wamekosa kabisa. Kumbe ni Bora kuridhika na hiki, Nilichopata ndio yangu ridhiki, Mungu ni Bora yeye hatabiriki, Amekupa hicho mi amenipa hikii. Bridge Nafuta zile why me!! Kwanini mimi!! Sijapata kwanini ? Kwanini ? Najawa ujasiri ujasiri Nitapata na mimi na mimi Nafuta zile why mimi Why mimi !! Sijapata kwanini ? Kwanini ? Najawa ujasiri ujasiri Nitapata na mimi na mimi Chorus Bora hata nimshukuru Mungu Kwa hivi nilivyo, Maana hata Kuna wengine hawajafika nilipo, Bora hata nimshukuru Mungu Kwa hiki nilichopata, Maana hata Kuna wengine wamekosa kabisa. Zamani huko nililishakataliwa na watu wa nyumbani, Kile kidogo ninacholalamika lakini nimepata, wengine huko wamepambana wamekosa kabisa. Kumbe ni Bora kuridhika na hiki, Nilichopata ndio yangu ridhiki, Mungu ni Bora yeye hatabiriki, Amekupa hicho mi amenipa hikii. Bridge Nafuta zile why me!! Kwanini mimi!! Sijapata kwanini ? Kwanini ? Najawa ujasiri ujasiri Nitapata na mimi na mimi Nafuta zile why mimi Why mimi !! Sijapata kwanini ? Kwanini ? Najawa ujasiri ujasiri Nitapata na mimi na mimi Chorus Bora hata nimshukuru Mungu Kwa hivi nilivyo, Maana hata Kuna wengine hawajafika nilipo, Bora hata nimshukuru Mungu Kwa hiki nilichopata, Maana hata Kuna wengine wamekosa kabisa. Zamani huko nililishakataliwa na watu wa nyumbani, Kile kidogo ninacholalamika lakini nimepata, wengine huko wamepambana wamekosa kabisa. Kumbe ni Bora kuridhika na hiki, Nilichopata ndio yangu ridhiki, Mungu ni Bora yeye hatabiriki, Amekupa hicho mi amenipa hikii. Bridge Nafuta zile why me!! Kwanini mimi!! Sijapata kwanini ? Kwanini ? Najawa ujasiri ujasiri Nitapata na mimi na mimi Nafuta zile why mimi Why mimi !! Sijapata kwanini ? Kwanini ? Najawa ujasiri ujasiri Nitapata na mimi na mimi Chorus Bora hata nimshukuru Mungu Kwa hivi nilivyo, Maana hata Kuna wengine hawajafika nilipo, Bora hata nimshukuru Mungu Kwa hiki nilichopata, Maana hata Kuna wengine wamekosa kabisa. Mungu ni Bora yeye hatabiriki, Amekupa hicho mi amenipa hikii. Bridge Nafuta zile why me!! Kwanini mimi!! Sijapata kwanini ? Kwanini ? Najawa ujasiri ujasiri Nitapata na mimi na mimi Nafuta zile why mimi Why mimi !! Sijapata kwanini ? Kwanini ? Najawa ujasiri ujasiri Nitapata na mimi na mimi Chorus Bora hata nimshukuru Mungu Kwa hivi nilivyo, Maana hata Kuna wengine hawajafika nilipo, Bora hata nimshukuru Mungu Kwa hiki nilichopata, Maana hata Kuna wengine wamekosa kabisa. Mungu ni Bora yeye hatabiriki, Amekupa hicho mi amenipa hikii. Bridge Nafuta zile why me!! Kwanini mimi!! Sijapata kwanini ? Kwanini ? Najawa ujasiri ujasiri Nitapata na mimi na mimi Nafuta zile why mimi Why mimi !! Sijapata kwanini ? Kwanini ? Najawa ujasiri ujasiri Nitapata na mimi na mimi Chorus Bora hata nimshukuru Mungu Kwa hivi nilivyo, Maana hata Kuna wengine hawajafika nilipo, Bora hata nimshukuru Mungu Kwa hiki nilichopata, Maana hata Kuna wengine wamekosa kabisa.
Akiwa anatokea India na mkazi wa UAE Ayisha anasukumwa na shauku yake ya kueneza amani na upendo ulimwenguni kote kupitia uimbaji wake wa kipekee wa kusisimua. Tamaa yake kubwa ni kutokeza muziki unaoweza kujaza mioyo na akili za watu amani na upendo. Hii anaamini ni njia ya uhakika na yenye nguvu ambayo kwayo jamii yenye amani inaweza kujengwa.
Mwimbaji wa nyimbo za ibada anayeshirikiana na wasanii mbalimbali duniani kote, Nyimbo za Ayisha za kusisimua na za Kiroho zimeleta machozi kwa mamilioni ya watu na amani katika mioyo ya watu.