Menu


Trust You

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

walibaki kushangaana tu, baba cathe alishangaa sana maana hakumfaham mzee fahad lakini alishangaa baada ya mkewe kufahamiana na mzee huyo, pia cathe alishangaa kumbe mama. anamfahamu basi itakuwa vizuri msamaha wangu utapita kirahisi sana bora tu, alijisemea cathe moyoni huku akiwa na furaha sana, kwa upande wa calor nae ndo alifika nyumbani mda. huo alishangaa baada ya kuwaona watu wanashangaana akajiuliza kuna nini hapa nae akasogea alimuona mzee fahad lakini hakumtambua aliwasalimia wazazi wake lakini hakuna aliyejibu salamu hiyo akajiuliza hawa vipi tena, aisee ilikusa ni full kushangaana tuu eva eva we binadamu kweli eva alisema. mzee fahad aiseee neno hilo lilitikisa hisia za kila mmoja hapo alitamani kujuwa kwanini asiwe binadamu? *"mama cathe nini kinaendelea na huyu nani?** alisen baba cathe, mama cathe hakuweza hatal kujibu alibaki tu anamshangaa mzee fahad hakujuwa ajibu nini "we mama cathe si naongea nawewe"*" alisema tena baba cathe ndipo mam cathe akashtuka nikama alikuwa katika dimbwi la mawazo mazito "aa.....h.....u...yuu...u.....si...mjui.*" mama cathe alijibu kwa kigugumizi kiukweli alichanganyikiwa. sana *"eva hunijui mimi kweli?" alisema mzee fahad mama cathe usinichanganye sasahivi kama humjui mbona alivofika ukamuita jina lake nataka kujuwa huyu nani usinivuruge alisema baba cathe kwa hasira *eva hivi eva wa kunifanyia hivi mimi wewe ama kweli milima haikutani ila binadamu tunakutana eva ulinikimbia na pesa zangu kila kitu changu nilijuwa nimepata mwanamke kumbe ulikuwa na dhamira ya kunifanye niteseke hadi leo hil, haya nashukuru Mungu kwa kunikutanisha nawewe nachotaka kujua mtoto wangu yuko wapi? alisema mzee fahad. aiseeeeeeee kila mmoja hakuamini anachokisikiaa **mtotooooooo????** aliropoka cathe hakuamini kama mama yake alizaa mtoto mwingine na mwanaume mwingine hakuamini kabisa una..unamtoto. *"eva.....eeee.e.vaa... mwingine?????" alisema baba cathe nae alishangaa sana kusikia maneno ya huyo mzeee, mama cathr hakuwa anajibu alianza kuangua kilio kwa sauti kubwa sana, calor alinyanyua mikono yake na kuiweka kichwani mwake ishara ya majuto makubwa *eva wewe hufai kabisa hatakama nilikuwa masikini lakini sio kunikimbia hujui tu nilikuwa nakupenda kiasi gani nilitoka kwenye majonzi ya kufiwa na mkewangu lakini wewe ulinipoza na kunisahaulisha yote, picha ya mwanangu ninayo hii hapa alisema mzee fahad huku akiingiza. mfukoni na kuitoa picha ya mtoto mdogo amabaye alipenda sana kumuangalia

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

upande wa baba cathe alimuita mkewe hapo seblen unawaona hawa wapumbavu wamekaa wakazani mimi sitasikia akakudanganya kuwa amekubaliwa kumb devi kaikataa mimba sasa cathe sitaongea tena ndoa umeivunja mwenyewe nakupa mda mchache tu jioni sitaki kukuona hapa aliserna baba cathe "lakini mume wangu unamfukuza mtoto wako kama mbwa kweli ??? uyu situmemzaa wote unataka aende wapi uamuzi unaouchukua angalia usije kujutia alisema mama cathe "baba cathe kakosea sana istoshe ni mwanao na msamaha kashaomba kinachotakiwa ni kukaa chini na kuzungumza tujue tunafanyaje nakama devi kamkataa inatakiwa tumpeleke polisi kwanini amchezee mwanai alafu amuache unatakiwa uwe na uchungu baba huyu ni mtoto wako hata iweje alisema calor "unachosema ni kweli lakini calor haukuwepo wakati mama yako ananijibu jeuri alikuwa hanisijilizi kwa lolote juu ya cathe alikuwa yupo radhi amsikilize cathe lakini sio mimi mumewe, sasa leo nimuangalie nani nachotaka cathe utoke hapa atakaye kutaka atakufuata alisema baba cathe huku akiondoka, cathe alipiga magoti kuomba msamaha lakini bba yaje hakutaka kusikia iondoke na kuwaacha hapo baadae kweli seven impeleka fahima hadi bar hiyo agness alipomuona fahima hakuamini alimfata na kumkumbatia alifurahi sana kumuona alifurahi mno ulipotelea wapi shoga yangu jamani nilikumiss sana alisema agness acha tu ila nusu iniponza na pia nusu uneniokoa shoga yangu alisema fahima kisha akaanza kjmuhadisia mkasa mzima tangu sikulle alipopeleka soda chumbani kwa seven mpaka hapo alipo sasa alimuhadithia kila kitu agness masikini shoga yangu duh pole sana lakini pia hongera nafurahi kukuona ukishi maisha ya amani sana nanimi jiandae zawadi maisha haya nishayachoka naolewa shoga yangu alisema agness Jamani hongera sana sitakosa kwenye hilo nitakuwa nawewe bega kwa bega shoga yangu alisema fahima asante shoga yangu halafu fatuma alikuwa anakuja hapa ety kukuulizia shoga nilikuwa nampa vidonge vyake anaenda kunywa na maki huko mbele alisema agness wote wakacheka usiniambie ko Ikuwa unamchambaaaa" alisema fahima "ndiyo yani nilikuwa namchamba kisawasawa hadi leo kakoma kujaa halafu nikaja kusikia amefumaniwa shoga kapigwaaaaa he yani natamani siku wakuone ulivyo pendeza nahisi roho zitawatoka alisema agness basi walicheka na kifurahi sana shoga sasa mbona shem nae kaja huku alisema ag unauliza tena he yani yule karna mlinzi unavo muona kila napoenda nyumaaa kila kona nyumaa wivu umemjaa mpaka unamwagika ko pale anavoniona roho yake saaafi mwenyewe alisema fahima basi agness akacheka san walifurahi sana kwakweli mashoga hao walipendana sana, basi hatimae wakaagana na kuondoka zao upande mwingine kazini kwa mzee fahad alikuwa yupo bize kwelikweli na kazi mara simu yake ikaita ghafla ilikuwa namba ngeni ikabidi aipokee akaipokea ikasikika sauti ya mwanamke akilia sana "unashida qani binti aliuliza mzee fahad baba mimi ni yule dada wa sikuille ulonisaidia gari yangu naitwa cathe alijitambulisha ooh sawa sasa mbona unalia hivo shida nini alisema mzee fahad nina matatizo makubwa bab yangu naomba uje hapa kwetu nitakuelekeza kwakuwa wewe ni mstaarabu naomba unisaidie alisema cathe sawa mwanangu lakini ilibidi kwanza uniambia tatizo jikija nijue nakisaidia vipi na nijue naanzaje alisema mzee fahad basi cathe akaanza kumuhadisia mambo yote kuhusu maisha yake hadihapo lengo la kumuita mzee fahad nikuja kumuombea msamaha kwa baba yake ili yeye asifukuzwe, mzee fahad alisikitika sana akampa pole ikabidi aage kazini kwao na kuanza kwenda nyumbani kwa kina cathe ambapo ashaelekezwa upande mwingine katika apartment ya devi siku hiyo devi aliingiza mwanamke ndani yani kazi yaje ilikuwa kulewa tu na kuingiza wanawake mpaka hapo alibakia oesa chache sana katika akaunti yake maana aliendekeza sana starehe basi akiwa katikatiya starehe zake na mwanamke wake mara mlango ukagongwa kwa fujo sana yani uligongwa kwa fujo mno devi akaenda kufungua akiwa amekasirika sijui nani huyu anayekuja kituvurugia mood yetu pumbavu sana alifika na kufungua mlango aiseeee hakuamini baada ya kumuona calor kaka yake cathe, calor alimsukuma devi kisha akaingia hadi ndani. "kwahiyo umemtia mimba mdogo wangu halafu unamuacha unastarehe na hao kahaba wenzio eeeh si ndio alisema halafu usinlite kahaba umekuja katika majumba ya watu hata salamu huna anaanza kutukana wewe unajuwa chanzo chake uyo dada ako tamaa zake ndo zilimponza na malaya sana sio mimi tu anawanaume kibao sasa nitaikubari vipi mimba kama sio yangu je alisema devi nyingine maneno hayo yalimchoma sana calor alimpiga ngumi devi kwa hasira kisha akamuongezea na mshenzi mkubwa wewe tena koma kumuita mdogo wangu malaya wakati wewe ndo malaya mchafu takataka wewe wakati unamtongoza hukujua kama anawanaume hukujua kama anamchumba kilichokufanya umtongoze nini kana sio ushoga huo alafu unajifanya kidume sio wewe si jeuri haya pigana hapa nipo leo pigana alisema calor kwa hasira sana uondoke alisema dwvi oya usinichukulie poa sikuogopi naomba "nani aondoke wewe mbuzi nini yani hapa nimekuja kujua moja tu utamuhudumia mdogo wangu au humuudumi alisema calor kwa hasira sana amuhudumie nani aende kwa mabwana zake huko alisema devi kwa jeuti sana "hahhah et ee basi usijari ataenda ila devi kama ulivoyaharibu maisha ya mdogo wangu namimi nakuhakikishia nitayaharibu maisha yako na utajutia sana kwaheri alisema calor na kuondoka devi alibaki akiwa anacheka tu ety wananitishia pumbavu zenu haya fanyeni mnachotaka nyau nyie alisema devi kisha akamfata mwanamke wake na kuendelea na starehe zao, nyumbani kwa seven aliwasili akiwa na mpenzi wake fahima waliingia ndani na kumkuta sarafina pekeyake mama yuko wapi? alisema seven wamepata ugeni nyumbani wa shangazi eriko kwahiyo wameondoka alisema sarafina "ah haya ko umebaki wewe cha umbea alisema seven "ndiyo nataka nichunguze umbea alisema sarafina muone kwanza umbea tu alisema seven kisha akaongoza kwenda chumbani akimuacha fahima na sarafina wifi nikupe umbea alisema sarafina hhhaahaha nipe alisema fahima muda sio mrefu utanunuliwa bonge la zawadi alisema sarafina "weee zawadi gani hiyo aliuliza fahima kwa shauku weeee mimi mwenyewe kaka hajaniambia anajuwa nitasema tu ko hata sijui ila ndohivo alisema sarafina "Jamani wanatabia mbaya tu ngoja niende mara moja chumbani asant sana my wifi alisema fahima kisha akatoka kuelekea chimbani alipo seven upande mwingine mtaani uswahilini alionekana kijana calor akiwa na vijana watano akizungumza nao walikibaliana biashara hiyo kisha wakapewa pesa kila mmoja baada ya hapo wakasambaa na calor akageuza kurudi nyjmbani kwao huku mzee fahad alifika mpaka alipoelekezwa alifunguliwa geti na mlinzi kisha cathe akaja alifurahi sana kumuona mzee huyo akamkaribisha hadi ndani seblen akaenda kumuita mama yake kumtaarifu ugeni huo, baada ya dakika tatu mama cathe alifika seblen hapo akiwa na mumewe, mzee fahad alipomuona mama cathe alishtuka sanaa mnoooo na mama cathe nae alishtuka wakajikuta wanaitana fahad?

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

Asubuhi ilifika maana nilikuwa naisubiri kwa hamu kubwa sana maan sikulala na niliona hapakuchi nilikuwa na mawazo sana niliinuka kitandani saa 12 kamili nikajiandaa nikahakikisha nampikia hadi dada angu chakula na kukiacha kiko mezani na mimi nikaondoka kazini Nilifika mapema sana nilifika saaa 1 kamili, ujue hadi mlinzi alinishangaa Miss kuna nini?" Aliuliza mlinzi usijali hamna shida sio kwamba alishangaa tu mimikuwahi na sio kawaida yangu bali alishangaa pia niliwahi kabla hat ya muda uliowekwa pale kazini maana kazi zinaanza saa 1 na nusu mimi nimefika saa 1 kamili, hili ndilo lilikuwa linamshangaza na nilikuwa serious sana hyo siku sikuwa nacheka hata mlinzi alinishangaa wakati kawaida yangu ni kucheka, kucheka kama vile kachiz flani lakin leo aliponichangamkiaa nilimkalia kimya tu sikuwa na kitu cha kumwambiaa Niliingia officine kwangu nikawa nimetulia tuli sikutaka mtu yoyote ajihusishe na mimi maana nilikuwa nina stress sana sikutaka mchangamano kati yangu na watu wengine nilijitahidi kujiweka very busy, kuna muda yale maneno ya CEO yaliniingiaa san hadi nikaanza kuwaza yawezekana mimi ndio nampenda sana yule kijana na sio yeye hadi nikajikuta nawaza kwanini mimi ndio namuhudumia yeye kan kwamba mimi ndie mwanaume niliemuoaa niliona kama kuna sehemu nilijinyima mimi kama mwanaume, mimi sina ninachotegemea kwake ila yeye ni kila siku kwenye 25k yangu ninayopewa kam posho kwenye kampuni yangu, nampa 15k na kam angekuwa ana akili sio leo nimeanza kumpa pesa yaani toka tupo chuoo nilikiwa pesa ya boom namgeaa yeye, kwaa ajili ya kufungua biashara na mwisho wa siku alikuja kusema aliibiwa na nilichukulia sawa kwa maana nilikuwa namuamini sana, pia kingine kikubwa nacho kumbuka kuna sehem nishawahi kufanya kazi, siku napokea mshahara wangu wa kwanza akasema kapat tatizo ilibidi nimpe pesa yote, lakin nilikuwa sijuil Hussein anafanya kazi gani? na nilikuwa najua hana kazi hivyoo nilikuwa nampatia vipesaa vyangu ili afanye biashara ila yeye kila siku analeta sababu nyinginee....niliwaza sana mpaka ikabidi nilie maan sikuwa na uamuzi tena zaidi ya kuliaa maan kumuacha Hussein nilikuwa siwezi jamni nilijihisi anyone sana Ila nikafuta chozi ili kazi zingine ziendelee, maan naweza kulia siku tatu mfululizo, bila kunyamaza hivyo ilinibidi nifute machozi niendelee na kazi yangu, inayonipa amani ya kuishi maan kwa sasa hivi nilikuwa hata me namsaidia kwenye swala la kodi na mengineyoo madogo madogo nilikuwa namsaidia hivyoo nisipo kuwa makini na hili kwakwel kitanilamba maan dada nae huko alipokuwa ameajiliwa kwa huyo mmama kuna siku anamlipa, kuna siku anamzinguaa na bado baba na mama wanatutegemea muda huo Hussein nae anataka kupitia hapo hapo kwahyo lazma nitafutee kwa hali na mali, hii siku nakumbuka sikutoka nje kabisa Mara aliingia shemeji James "Salma upo sawa? Mimi sijakuzoeaa hivyoo ujuee? najua wewe ni mchangamfu sana sasa kwanini unakuwa hivyo aliuliza shem James "Mhh nipo poa kabisa shem usijali kuhusu mimi, mimi nipo saw shem" nikajichekesha kinafki kuepusha maswali mengine kama unahisi kuna kitu hakipo sawa unaweza kuomba ruhusa hata ya wiki moja ili ukakae sawa mimi nakuona haupo saw kabisa binti nilicheka tu wala sikujibu, shem alinisogeleaa akaja akaketi kwenye kiti cha pale mbele yangu "Usijali naelewa unavyojihisi unaonekan una mawazo sana, na kam una wasi wasi na pesa yako kwenye hayo mapumziko utakayoomba utakuwa unalipwa kila siku kam vile upo kazini, hata hivi haina haja ya kwenda mpaka kwa CEO wa hapaa kwasababu hayupo kasafiri kidgo kuna miradi yake mingine anafuatilia na hapa ameshakaaa sana hua anaenda kwa siku tatu anarudi, hivyoo kuhusu ruhusa wewe rudi tu nyumbani get pass nitakupa mimi hapa alisema shemeji James "Sawa ila leo naomba nimalizie hii siku nitaondoka shem usijali siwez kurud nyumbani kwa sasa nielewe" nilimwambia shem na yeye aliondoka kuelekeaa kwenye mambo mengine maan pale yeye alikuwa ni manager na mtu wa karibu sana na CEO wa ile kampuni, ili niliwaza kuna kitu atakuwa anakijua huyuu sio buree tu mtu aje officine kwako aseme etty anakuomba akupe ruhusaa mhh niliwaza na hili bichwa langu bovuu Jioni ilifika na nilienda nyumbani salama tu, ila leoo nilisema namtumia tu halafu tuone kam atanipigia kuniambia at least asante, maana ilikuwa kila siku nikituma me ndio nampigia na bado anasema poa, yaani kuna namna Fulani maneno ya CEO wangu yaliniingiaa hasa, nikabidi nianze na experiment kwanza, lakin ni kwel hata kupiga hakupiga nikaanza kuyaamin sasa maneno ya CEO kwamba mimi namtegemea sana Hussein kihisia, hili lilikuwa la kwanza kulinotice Nilifika nyumbani sikutaka kuonana na dada uso kwa uso, maana nilikuwa najua atanambia kwamba nimwambie nini kinanisumbua na sikuwa tayar kumueleza kwa huo wakati nilikuwa nipo silent sana, niliamua tu kupika mapema kuepusha sababu za kuamshwa usingizini kula, nikalala zangu mapema, sikuwa nataka kumwambia dada angu chochote.... Itaendelea...... Chapter 7 Asubuhi ilifika maana nilikuwa naisubiri kwa hamu kubwa sana maan sikulala na niliona hapakuchi nilikuwa na mawazo sana niliinuka kitandani saa 12 kamili nikajiandaa nikahakikisha nampikia hadi dada angu chakula na kukiacha kiko mezani na mimi nikaondoka kazini Nilifika mapema sana nilifika saaa 1 kamili, ujue hadi mlinzi alinishangaa Miss kuna nini?" Aliuliza mlinzi usijali hamna shida sio kwamba alishangaa tu mimikuwahi na sio kawaida yangu bali alishangaa pia niliwahi kabla hat ya muda uliowekwa pale kazini maana kazi zinaanza saa 1 na nusu mimi nimefika saa 1 kamili, hili ndilo lilikuwa linamshangaza na nilikuwa serious sana hyo siku sikuwa nacheka hata mlinzi alinishangaa wakati kawaida yangu ni kucheka, kucheka kama vile kachiz flani lakin leo aliponichangamkiaa nilimkalia kimya tu sikuwa na kitu cha kumwambiaa Niliingia officine kwangu nikawa nimetulia tuli sikutaka mtu yoyote ajihusishe na mimi maana nilikuwa nina stress sana sikutaka mchangamano kati yangu na watu wengine nilijitahidi kujiweka very busy, kuna muda yale maneno ya CEO yaliniingiaa san hadi nikaanza kuwaza yawezekana mimi ndio nampenda sana yule kijana na sio yeye hadi nikajikuta nawaza kwanini mimi ndio namuhudumia yeye kan kwamba mimi ndie mwanaume niliemuoaa niliona kama kuna sehemu nilijinyima mimi kama mwanaume, mimi sina ninachotegemea kwake ila yeye ni kila siku kwenye 25k yangu ninayopewa kam posho kwenye kampuni yangu, nampa 15k na kam angekuwa ana akili sio leo nimeanza kumpa pesa yaani toka tupo chuoo nilikiwa pesa ya boom namgeaa yeye, kwaa ajili ya kufungua biashara na mwisho wa siku alikuja kusema aliibiwa na nilichukulia sawa kwa maana nilikuwa namuamini sana, pia kingine kikubwa nacho kumbuka kuna sehem nishawahi kufanya kazi, siku napokea mshahara wangu wa kwanza akasema kapat tatizo ilibidi nimpe pesa yote, lakin nilikuwa sijuil Hussein anafanya kazi gani? na nilikuwa najua hana kazi hivyoo nilikuwa nampatia vipesaa vyangu ili afanye biashara ila yeye kila siku analeta sababu nyinginee....niliwaza sana mpaka ikabidi nilie maan sikuwa na uamuzi tena zaidi ya kuliaa maan kumuacha Hussein nilikuwa siwezi jamni nilijihisi anyone sana Ila nikafuta chozi ili kazi zingine ziendelee, maan naweza kulia siku tatu mfululizo, bila kunyamaza hivyo ilinibidi nifute machozi niendelee na kazi yangu, inayonipa amani ya kuishi maan kwa sasa hivi nilikuwa hata me namsaidia kwenye swala la kodi na mengineyoo madogo madogo nilikuwa namsaidia hivyoo nisipo kuwa makini na hili kwakwel kitanilamba maan dada nae huko alipokuwa ameajiliwa kwa huyo mmama kuna siku anamlipa, kuna siku anamzinguaa na bado baba na mama wanatutegemea muda huo Hussein nae anataka kupitia hapo hapo kwahyo lazma nitafutee kwa hali na mali, hii siku nakumbuka sikutoka nje kabisa Mara aliingia shemeji James "Salma upo sawa? Mimi sijakuzoeaa hivyoo ujuee? najua wewe ni mchangamfu sana sasa kwanini unakuwa hivyo aliuliza shem James "Mhh nipo poa kabisa shem usijali kuhusu mimi, mimi nipo saw shem" nikajichekesha kinafki kuepusha maswali mengine kama unahisi kuna kitu hakipo sawa unaweza kuomba ruhusa hata ya wiki moja ili ukakae sawa mimi nakuona haupo saw kabisa binti nilicheka tu wala sikujibu, shem alinisogeleaa akaja akaketi kwenye kiti cha pale mbele yangu "Usijali naelewa unavyojihisi unaonekan una mawazo sana, na kam una wasi wasi na pesa yako kwenye hayo mapumziko utakayoomba utakuwa unalipwa kila siku kam vile upo kazini, hata hivi haina haja ya kwenda mpaka kwa CEO wa hapaa kwasababu hayupo kasafiri kidgo kuna miradi yake mingine anafuatilia na hapa ameshakaaa sana hua anaenda kwa siku tatu anarudi, hivyoo kuhusu ruhusa wewe rudi tu nyumbani get pass nitakupa mimi hapa alisema shemeji James "Sawa ila leo naomba nimalizie hii siku nitaondoka shem usijali siwez kurud nyumbani kwa sasa nielewe" nilimwambia shem na yeye aliondoka kuelekeaa kwenye mambo mengine maan pale yeye alikuwa ni manager na mtu wa karibu sana na CEO wa ile kampuni, ili niliwaza kuna kitu atakuwa anakijua huyuu sio buree tu mtu aje officine kwako aseme etty anakuomba akupe ruhusaa mhh niliwaza na hili bichwa langu bovuu Jioni ilifika na nilienda nyumbani salama tu, ila leoo nilisema namtumia tu halafu tuone kam atanipigia kuniambia at least asante, maana ilikuwa kila siku nikituma me ndio nampigia na bado anasema poa, yaani kuna namna Fulani maneno ya CEO wangu yaliniingiaa hasa, nikabidi nianze na experiment kwanza, lakin ni kwel hata kupiga hakupiga nikaanza kuyaamin sasa maneno ya CEO kwamba mimi namtegemea sana Hussein kihisia, hili lilikuwa la kwanza kulinotice Nilifika nyumbani sikutaka kuonana na dada uso kwa uso, maana nilikuwa najua atanambia kwamba nimwambie nini kinanisumbua na sikuwa tayar kumueleza kwa huo wakati nilikuwa nipo silent sana, niliamua tu kupika mapema kuepusha sababu za kuamshwa usingizini kula, nikalala zangu mapema, sikuwa nataka kumwambia dada angu chochote.... Itaendelea......

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

Mlige akanambia sikia sio kila wanachosema wazazi wnapatia. Nooo kma mama yako amesema anakupa radhi. Ukiludiana na mm ata mm mama yangu kanambia hivyo hivyo. Lakin faridah mi bila wewe nashindwa. Unazani mi napenda kusaliti ndoa. Hapana faridah. Nashindwa kila nnaposikia habari zake. Nashindwa nnapokuona .naomba sana tusifatishe wazazi. Na naomba sana usitoe mimba yani ukitoa mimba yangu faridah .sijuh ntakufanya nn. Na safari hiii mimi wala sitakusamehe . Mh mimi nikawa nalia mana ata mimi bwana namtaka na nampenda sana tu. Ila sasa mazingira ni magumu . Nikawa nalia. Mlige akanambia kuwa makini na ujauzito wangu. Lia unavyitaka ila ikitoka iyo mimba utanibeba nakwambia. Kisha uyoo akafungua mlango akaondoka ndo na mama anaingia chumbani kwangu. Mama akanmbia yani nakwambiaje uyo mlige wako ntampeleka polisi na ntampigia bab yako kumuelezea uhu uchafu wako mjinga ww. Mie nikawa nalia tu. Heee nashika simu nakuta matusi jamani ni yanatoka kwa mama mlige na kwa yusta . Mbona nilikoma mimi. Yani sikuwa swa kabisaaa. Nikazima na simu tu. Basi zikapita siku 3 sijawasha simu na mama kaninunia. Na hizo siku 3 zote ambazo sipatikani mlige anakuja nyumbani anaingia kinguvu . Et anakuja kuniona.yani hajali kuhusu watu kabisa. Mi mpaaka nikawa namkattaza kwamba sio sawa. Hataki kunielewa .namjua nikajua apa anapelekwa na hasira na ujeuri wake. Basi ndo ikawa hivyo. Siku iyo kaja nakwambia mama yangu kamwambia ondkka usingiiee kwa farida. Loooh kama hamsikii kaingia chumbni kwangu. Kisha kafunga mlango. Mie nilikuw nimelala.mpaka nimeamka. Namsikia mama ana bwata kweli kwi. Mlige akatoa simu akanipa. Akanmbia mi siwez kulala sijajua hali yako na ya mtoto wangu tumboni. So chukua hii simu nishaweka na laini kila kitu . Tutakuwa tunawasiliana umo. Mie nikasema sawa . Hakukaaa sana akaondoka. Nyieee mlige jeuri.sijapata kuona Basi ayo ndo yakawa maisha yangu. Sijuh yusta akiamua kuja kutukan kwetu na mama yake . Sie tunafunga mlango ndani. Watachamba apo kwrli kweli. Et wanamuita mama yangu mwanga. Na mie mwanag tunamloga mligee. Basi mama analia tu. Mie nabaki kimya ata cha kufanya sina. Ata road nikawa siendi mana habari ni zangu tu. Mh sikuwa naenda kabisaa. Basi apo mlige yeye ananipigia simu tunaongea .japo sina raha nae sasa. Na pesa ananitumia na kashanambia . Jiwazishe jilize. Jione una matatizo sana. Ila iyo mimba ikitoka utanibeba. Mi nafanyaje sasa. Basi napambana na tumbo languu. Mpaka matusi nikawa nishazoea sasa. Nikalea mimba mpak ikafika miez 7 . Apo mlige anatka mpaka tuonane hatki kuelewa. Ni mm ndo namkatalia nilimwambia tu tuzae na tuleee basi . Ila aendelee na mkeo. Mlige wala hakunijibu. Ila siku akiamua kuja hakuna cha kuomba ruksa wala nn. Anakuja. Na yusta akaacha kuja kunifanyia fujo nyumbani sijuh alimpiga mikwara ataa sielew Basi ikawa hivyo yani. Mi nikawa nalea sasa tumbo lake. Yani ni ndani tu . Nikienda road kwa emergency sanaa. Basi siku iyo nipo nyumbani. Mlige kaja. Mh ana ata kusema.nakuja uyu baba. Mama yangu akawa ata salamu za mlige hataki. Ila mlige hajali . Mi.nikainua nikaingia chumbani na yye akaja . Nikakaa kitandani. Nikamuuliza vp mbona leo sahizi. Mana kaja usiku. Akanmbia ahaaaa mi najisikia kulala na wewe leo. Mh uyu baba mbona ana shida lakini. Nikamuuliza wewe una nn . Huoni kama tunaandamwa na tuna majanga mlige . Ebu nenda bwana..ahaaa mi apa hunitoi yani siondoki . Kma hutaki nilale apa jiandae tukalale njeee. Khaaaa . Na mtumbo wa miez 7 . Anataka kunisumbua. Nikamwambia we huoni hali yangu mlige . Mi sitaki presha now ebu niache nipumzike. Akanambia sawa kwani mi naenda kukuchosha noo . Mi nimekumisss nataka tukalale wote . Nataka kusikia joto la mwanangu. Mh nikamwambia hapana mama hataniruhusu. Mh basi akanambia swa et kanikalisha hataki kuondoka .nyoeee uyu baba Mi nikamwambia ondoka kwako bwana. Et usinipagie bwana. Basi kajikalisha mpka saa 7 mama ndo kaja kumfukuza ndo kalizika🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌. Et aya bwana naondoka watu washaanza kunifukuza. Mpaka nikawa nacheka. Ndo uyoo anaondoka. Ndo ikawa hivyo . Siku anakuja ndani anajifungia mpaka saa 8 za usiku. Mpaka afukuzwe na mama. Ndo ananiaga anaondoka. Siku iyo nipo na mama . Mama akawa ananingalia sana. Mpaka nikawa najistukia mama akaniuliza we yule baba umempa nini kwani. Mie kimya. Mama aknmbia au umemroga kweli mlige ww. Mbona unampelekesha yule baba eeeh. Mie nikasema jamni mam hadi wewe unaona mie mchawi . Sijamfanya kitu. Mama akasema hapana sio kwa kukupenda uku. Ata kama ndo tuseme we mtoto mdogo mbichi. Mbona yusta nae mbichi. Khaaa . Mi akij ap namfukuza nakwambia sitaki mabaalaa. Mie nikajinyamazia . Kwanza uyo mlige mwenyewe mnazani anakubali kufukuzika bila ya kuniona sio kweli. Basi mie nikalea mimba mpaka miez 8. Apo nikimuona yust namkwepa naogopa kupigwa shoga yenu. Siju iyo sasa ilikuwa ni mida ya mchana . Rahul ametoka shule . Akanisalimia nikamuitikia. Akambia mama mi sitaki ugali leo nataka chipsi kuku lleo na mayai. Loooh . Nikamwambia koma usinihalibie bajeti zangu . Ugaki ule bibi kakufunikia .et sitaki mimi mama mwambi baba elly anitumie hela. Nikamwmabia nyoooi ukome kushobka na mababa wa wenzio. Toka apaa. Akanuna akajibanza pembezoni mwa mlango et kanuna.. ila nikajisikia vibaya na pesa nnayo . Kwa nn mwanagu asile alichokitaka. Nikamwambia aya nyanyuka twendeee ukale unachokitaka. Mjinga wewe. Ndo iwe mwisho leo kunipangia cha kukila. Basi mwanangu akafurahi mnooo nakwambia . Akakenua uyoooo Bibi mie nikainuka. Kujikokota tu. Mana mtumbo ule kule. Basi nikamshika mwanagu tukaend mpka wanapouza chipsi bala balani kabisa. Akagiza anachokitaka nkwambia. Namwambia vizur yule muuza chipss. Eka mayai mengi umo🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌 mama yangu atalipa. Nyiee uyu mwarabu koko ana visaa. Aseeee tupo pale tunasubir chips nikastuka nnaitwa na sauti ambayo naijua vizuri sana. Nikageuka haraka nyieeeee nilistuka ssna namuona zayd pale . Mh nikamshika mwanangu mkono vizur haraka. Zayd akanambia woow una mimba sasa. Umependeza sana . Umekuwa mrembo kweli kweli na mimba imekupenda. Nikasema we zayd unataka nn . Ebu achana na mimi. Akanmbia unazani nimekufat wwewr. Nooo . Nimefata damu yangu ya kiarabu. Huwa haiendi mbali kabisaa. Nipe mwanangu we uendelee kufanya umaraya wako . Weeeee . Nikamwambia mpumbavu ww. Ukitaka kumchukua uyu mtoto labda kwanza mm nife ndo ntakupa uyu. Yani kwanza niue mm. Kisha nakupa mwanangu. Weeeee namjua michezo yake uyu . Akanihalibie mtoto thubutu Weee akaanza kunivutaaa . Et amchukue mwanagu nilimbana rahuli. Yani nilisema uyu laba atoke na mkono. Ila mwili ni wangu. Rahul akawa analia si anaumia tunamvuta . Aseeee hana ata huruma. Anamvuta tu mtoto. Mi naona mwanagu anakia anambia mma mkono ananitoa naumia mama. Weee alfu mwanangu alivunjika mkono mi nikamuachia nakwambi. Uku nalia pale. Akamvuta upnde wake mtoto akanmbia hautkaaa ukamuona mwanangu tena. Naondoka nae uyu. Nikajua uyu ataenda kumfanua shiga mwananagu. Ile anataka kugeuka. Mh kakutana na mligeee. Nyieeeee mlige akamuuliza uyu mtoto unampeleka wapi zayd? 🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema Said
 

MMMH NAOGOP SAS MAPENZ YA KWEL YAPO HASWA KWA WA BABA WATU WAZIMA

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

Baada ya ile simu ya mme wangu kuita niliipokea mimi kisha nikamuwekea mme wangu sikioni kwa sababu yeye mkononi kwake alikuwa kambeba mtoto..... nilimsikia baba lia akiwa anaongea kwa machungu na masikitiko ya hali ya juu alimwambia paschal kuwa binti yangu ameshindwa kupambana😰😰 ameondoka katika uso wa dunia😰😰 kipenzi changu ameniacha peke yangu😰 mikono yangu ilianza kutetemeka machozi yalianza kunitoka baba yake lia alituambia kuwa lia amefariki ameaga dunia binti yangu hatunaye tena😰😰 zilikuwa ni taarifa mbaya sana kwetu.... kumbe ndiyo maana mtoto alilia kwa sauti nahisi alimlilia mamake😭😭😭 simanzi zilitawala katika nyuso zetu..... paschal alisikitika sana kiukweli hakutegemea alimtizama mtoto wake huku machozi yakiwa yanamtililika nilienda nikambeba yule mtoto nilimuacha alie ili kuondoa machungu moyoni mwake...... Baada ya muda nilimfuata nikamuomba anyamaze imetosha sasa kulia mme wangu.... aliniambia wife..... Junior 😭😭 nilimuondoa hofu nilimwambia mimi nitamlea junior nitasimama kama mama kwake na wala sitombagua nitamlea kama mtoto wangu wa kumzaa....kumbuka nawe unamlea shazil kama mwanao na haujawahi kunionyeshea kuwa wewe siyo baba yake...... baada ya kumwambia paschal vile alinikumbatia then akaniambia asante..... tulifunga safari tukaelekea kule nyumbani kwao na lia..... tulishinda kule nyumbani tukiomboleza usiku mie nilirudi nyumbani paschal nilimuacha kule msibani....kama mjuavyo lia alikuwa na kidonda cha operation asingeweza kukaa sana mazishi yake ilibidi tu yapelekwe haraka haraka...... baada ya kifo chake siku ya kesho yake tulimpumzisha katika nyumba yake ya milele😭😭 rest in peace lia 🙏 bado junior niko naye yuko katika mikono salama ninamlea kama mama kwake na anajua mimi ni mama yake kutokana na vile ninavyomhandle vizuri..... Kila siku tunakuombea dua njema upumzike kwa amani...... Baada ya mazishi ya lia.... nilikaa nyumbani miezi tisa kwa ajiri ya kumcare yule mtoto wake kwa sababu bado alikuwa mdogo sana alihitaji kuwa katika mikono ya mwanamke ambaye anaelewa namna na kumhudumia mtoto mchanga... sikutaka kumuachia msaidizi wa kazi wala mtu mwingine yeyote lia kabla hajafa aliomba sana tumlelee mtoto wake vyema.....niliamua kuifanya hiyo kazi mwenyewe kwa mikono yangu kwa usaidizi wa Mme wangu na uwepo wa Mwenyezi Mungu kila kitu kilienda sawa🙏🙏... Alhamdulilah junior alikua tena bila shida yoyote ile baada ya junior kutimiza miezi 9 nilimtafutia mtu wa kumlea ikabidi namm sasa nirudi ofisini kwangu niendeleee na majukumu ya kulijenga taifa😁😁 tayari mtoto alikuwa kaishaanza na kutembea hakuwa na shida yoyote....alikuwa anabakia nyumbani na mlezi mie naenda kazini..... Nice na shazil tyr wao walishaanza kwenda shule siku nyingi tu..... Ilikuwa ni jioni mida ambayo nilikuwa natokea ofisini kwangu kuelekea nyumbani kwangu mme wangu alinipigia simu akaniomba nipitie mjini ili niende nikamchukulie junior vifaa vyake vya kujifunzia kusoma na kuandika.... niligeuza gari nikarudi mjini nilifika katika maduka ambayo ndo yalikuwa yanauza hizo vitu nilizokuwa nazihitaji......niliegesha gari yangu pembezoni mwa barabara nikatelemka mdogomdogo nilianza kutembea kwenda kule madukani..... kwa mbele nilimuona mtu kama Hemed🤣🤣🤣 niligeuza haraka huku nikiwa naificha sura yangu asinigundue😁😁 hemed tangu nilipoondokaga kule nyumbani kwake nilikata kabisa mawasiliano naye namba zake nilifuta nikatia block hatukuwa kabisa na mawasiliano nilifanya vile ili kuepusha ukaribu nae si mnajua mambo ya maex🤣🤣hawachelewi kukushawishi et😆😆 unakuja jikuta umeshamrudia bila taarifa.... sikutaka ile kauli ya kuwa wazazi hawaachani ijiinue kwangu nop🫰🫰 Baada ya kugeuka haraka haraka kwa nyuma yangu nilihisi ni kama kuna mtu anakuja huku akiwa anakimbia nilivyogeuka nilimuona hemedi akiwa ananikimbilia huku akiwa ananiita pendo please nakuomba usimame tuongee nakuomba mamangu🙏🙏 sikutaka kabisa kujenga ukaribu na hemed kule nilipoegesha gari yangu ni pembezoni mwa barabara niliwahi haraka kwenye gari nilipanda zangu kwenye gari nikaiwasha na kuanza kuondoka kule kwenye ile sehemu pale😣😣 niliiondoa gari kwa kasi ili niweze kumkimbia yule ex wangu king'ang'anizi sikutaka hata apajue kwangu nilihofia anaweza kunifuatilia kwa nyuma na kweli hiyo ndo ilikuwa nia yake nilikuwa namwangalia kwenye site mirror alienda haraka akapanda kwenye gari lake ili aweze kunifuatilia mimi aliondoa gari kwa kasi sana aliingia barabarani bila kutizama kulia wala kushoto kama kuna gari lolote linalokuja.....hemed alienda kugongana uso kwa uso na gari dogo lililokuwa linaelekea kule alikokuwa anatokea yeye😰😰 hemed macho yake alikuwa anaangalia kule nitakoelekea ili nisimchenge yeye hakuangalia barabara kuu anakoingia kuwa magari yanapita muda wote nikiwa zangu busy kudrive kwa kasi ili nipotee machoni kwa Hemed mara nilisikia kishindo😣😟 nilivyoangalia kwenye site mirror nililiona gari la hemed likiwa limechakaa vibaya hatari😪😪 nilichanganyikiwa nilishindwa niendele au nirudi😰😰 hapana siwezi kuendelea hebu Acha nirudi nikamwangalie hali yake😪😪.....alipata ajali mbaya sana..... Niliiondoa gari yangu barabarani nikaiweka pembezoni mwa barabara baada ya hapo nilitelemka nikaanza kukimbia kuelekea kule ilikotokea ajari nilikuwa nakimbia huku nikiwa naita hemed😰😰 nilifika pale nikakuta tayari watu wameshaanza kuwaokoa watu waliokuwemo ndani ya zile gari mbili zilizopata ajari ambapo gari moja ilikuwa ni ya Hemed na gari ya pili sikujua ni ya nani kwa muda ule.....hemed alitolewa kule kwenye gari akiwa amepoteza fahamu walimlaza pale pembeni wakaanza kumpepea..... nilisogea pale namm nikawa nampepea huku nikiwa nalia😪😪 nilimuita majina yote huku nikiwa namsihi aamke bado mtoto wake anamhitaji sana.....police walifika pale wakatuondoa watu wote kisha wale wahusika wa ajari ambulance ilikuja kuwachukua na kuwawahisha hospital......nilirudi haraka kwenye gari langu nikaifuata ile ambulance hadi katika ile hospital walikopelekwa akina hemed..... walishushwa kwenye ambulance haraka na kuingizwa katika vyumba vya kupatiwa matibabu...... nilishuka kwenye gari langu nikasimama pale huku nikiwa natokwa na machozi nilikuwa najiulaumu why sikusimama ili niweze kumsikiliza hemed huenda hayo yote yasingetokea.... Nikiwa nimesimama nje ya ile hospital si nikaanza kuona kizunguzungu 😣😣 kadri nilivyozidi jikaza ndo nilikuwa nazidi kujihisi vibaya mwilini kwangu nilijisogeza nikaenda liegemea gari langu ili nisidondoke nilianza kuita msaada pale kwa sababu hali yangu ilizidi kubadirika alikuja nurse mmoja akanishikilia.... vipi una shida gani nilimwambia najisikia vibaya ninahisi kichefu chefu na kizungu zungu 😣😣 nasikia kutapika🤮🤮🤮 nilianza kutapika yani kitumbo kilianza kuvurugika ghafla tu hali ya mwili wangu ikachefukwaa hatarias yule nurse alimuita mlinzi ili wasaidiane kuniingiza ndani kule hospitalini nikapatiwe matibabu..... niliwaomba wanichukulie mkoba ndani ya gari then wailock milango yote ya gari baada ya hapo walinisaidia kunishikilia hadi kule ndani hospital nilipewa kitanda nipumzike nilimpigia mme wangu paschal nikampa taarifa ya sehemu niliko na hali yangu ilivyo... aliniambia kuwa atafika muda siyo mrefu kwa ajiri ya kuja kuniona.....doctor alikuja kunichukua vipimo baada ya hapo alitoka.... haikupita muda paschal alifika kule hospital alifika akanikiss kwanza then akaniuliza vipi nini kimekupata mine🥹🥹 hakuna shida kubwa sana ila tu niwape hongera..... alijibu doctor aliyekuwa kashikilia makaratasi ya majibu ya vipimo vyangu...... hongera😾😾 mbona hongera?!😟😟.... Itaendeleaaaa......

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

*____________________________________* *SEHEMU YA 11* SONGA NAYO.................... Ilituchukua karibu lisaa hadi kufika kituo tunachoshukia , tukashuka Alvin akalipa na kunishikia begi langu la nguo haoo tukashika kichochoro kuelekea huko anakojua yeye. Mda huo tunatembea alikuwa akinisemesha kwa uchangamfu mnoo na kila alipokutana na mtu anaefahamiana nae alinitambulisha kuwa mimi ni mdogo wake . Mtoto wawatu sikuwa na neno zaidi ya kuishia kutabasamu tu 😊 na safari ikaendelea dakika kadhaa mbele tukafika mwisho wa safari yetu, ambapo kulikuwa na nyumba kubwa iliyo choka kiasi flani. Nilisimama huku nikiangalia mazingira ya eneo lile Alvin akaniita na kunambia " oya unashangaa hili jumba la dhahabu 😃 embu twende ndani kwanza uvute pumzi kisha urudi kuliangalia vizuri. Maana ukiliangalia kwa macho yaliyojaa njaa na uchovu utaona kama kasri la kichawi" Nilitabasamu na kumfuata tukaingia moja kwa moja ndani ambapo tulipita kwenye koldo moja ndefu kama njia ya kwenda mbinguni🤣, maana sio kwa urefu ule. Kichwani nikawa najiuliza hii nyumba imengwaje na mbona vyumba ni vingi hivi 🤔, na niya familia au ya kutoa misaada kwa watu wasio na sehemu ya kuishi. Niliwaza na kuendelea kumfuata nyuma Alvin ambapo alitembea hadi kwenye chumba cha mwisho kabisa ,akatoa funguo na kufungua kisha tukaingia ndani. Akaweka nguo zangu chini na kukaa mimi nikabaki nazungusha macho kuangalia mazingira ya chumba kile , Alvin aliniangalia na kunambia " embu kaa bwana unashangaa kama mshamba " Nilivyo ambiwa hivyo nilihisi aibu na kukaa chini huku macho yakiwa yanazunguka kumalizia kuangalia 🥲, basi Alvin baada ya kuona nimekaa akanambia . "Sasa sikia ,hapa ndipo ninapoishi mimi na kwakua huna nauli ya kurudi kwenu basi itakubidi ukae hapa hadi pale itakapopatikana hiyo nauli" "Jamani Alvin asante sana 🥲M/Mungu akubariki mnoo " "Haina shida tuko pamoja " "Aaah samahani ,unafikili mama yako ataweza kunipatia hela yangu 😥?" "Mama yupi 😅 binti hiyo imeshapita yaani hupati hata senti, we chakufanya sasaiv ni kuanza kutafuta mavumba mengine " Kuambiwa hivyo nilinywea na kumuuliza kwa upole sana " Sasa nitaipataje ile hali sina kazi wala ndugu yoyote 😥?" Kwa huzuni aliniangalia kwa sekunde kadhaa na kusema " usijali nitakusaidia japo sina hela wala mishe siunajua tena bado mwanafunzi ,ila nakuahidi nitapambana kwaajili yako sawa mrembo😊" Maneno yake yalinipa matumaini na kunifanya nitabasamu na kubaki nikiangalia chini kuficha machozi yaliyojaa machoni 🥺bila kujua alishaona 🥲. Kwa upole alinishika begani na kunambia " usiwe mwepesi kulia bhna ,sisi ni binadamu tumeumbwa kusaidiana na tafadhali wakati mwingine uwe makini sio kila nyumba ni salama kwako kuingia. Wala si kila mtu mzima ana utu na huruma , mjini watu wanafanya mabaya ya kila aina ili tu watimize mipango /haja zao kwa hiyo hata tukitengana leo tafadhali kumbuka na uwe makini." Niliitikia ndio kwa kutikisa kichwa huku nikifuta machozi na kurudisha mafua ndani 😪, Alvin aliinuka na kunambia " nakuja sasaiv" Nilijibu sawa akatoka nje na kuniachia nafasi ya kuendelea kuangalia mazingira ya mle ndani . Kulikua chumba kidogo sana ambacho ndani yake kulikuwa na kigodoro kidogo ,hakukua na jiko wala chombo zaidi chupa za soda zilizokaa kwakuzagaa karibu kila kona ya chumba. Vumbi na bui bui walio kuwa wakining'ia hadi kwenye nguo vilinifanya nikainuka na kuanza kukung'uta nguo na kuziweka vizuri, nikatoka nje ya chumba kuangalia kama nitapata hata fagio walau nifagie. Bahati nzuri chumba cha nne kutoka kile chetu kulikua na fagio ambalo liliegeshwa pembezoni mwa mlango. Basi mtoto wakike nikatoka na kulifuata ,kufika nikataka kugonga ili niombe maana si vizuri kuchukua kitu cha mtu bila kuomba ila chumba kilikuwa kimefungwa kumaanisha hakuna mtu. Nikaona kwakua nafagia chap na kurudisha acha nichukue tu ikitokea mwenyewe akarudi Kabla sijamaliza nitaomba samahani, basi nikachukua , ajabu ile napiga hatua kurudi nikasikia weeeee🗣! Nilishtuka na kugeuka kuelekea nje ambako nipo sauti ilikotokea ,nikakutanisha uso na mwanadada kanishikia kiuno huku akiwa kaweka uso kama mtu aliekamuliwa limao.😬 Niliogopa nikataka kurudisha lile fagio akaniwahi na kusema "eeee✋️subiri kwanza mbona unaharaka ya kurudisha 😏" Aliongea na kupiga hatua kuingia ndani akaja hadi karibu yangu akawa ananiangalia kwa kunichunguza mwisho akaniuliza " we mgeni ee!!?" Nikajibu "ndio ,samahani kwakuchukua fagio lako bila ruhusa yako nili........!" Kabla sijamaliza alinikatisha na kusema . "Haina shida nilijua ni hawa vishtobe maana kazi yao kutumia vitu vya wenzao kununua vyao aaah 😏, mh nambie shoga umehamia hapa au umeletwa na bwana ?" Neno umeletwa na bwana lilinifanya nikaguna badala ya kujibu ,akauliza tena " eti umehamia au umekuja kugawa dhambi 😊" Kugawa dhambi ! kwanini nigawe dhambi kwamba naonekana kama mgawa dhambi au hapa kazi yao kubwa ni kugawana hizo dhambi😏 😐, niliwaza na kumjibu " hapana nimgeni wa Kaka Alvin " Nilivyo mwambia hivyo alionekana kushangaa na kuuliza "kaka yako Alvin 🤨,hapa kuna mtu anaitwa Alvin!?" Oooh! Itakuwa anajulikana kwa jina lingine na kwanini anakazana kuniuliza maswali kama shida ni fagio lake si achukue tu 😏😒 "aaam! Namaanisha nimekuja na kaka yangu anaishi chumba kile cha mwisho " Nilivyo mwambia hivyo alitabasamu😊 kama vile kaona furushi la hela 💰na kunambia "weee!🤗 usiniambie huyo bonge la Kaka ni kaka yako ? " Aaah ni kaka yako wewe😒😏 niliwaza na kubaki nikitabasamu tu akanambia " Sasa sikia mrembo wangu we chukua fagio ukafanye zako usafi , alafu ngoja nikupe ndoo na dekio maana vumbi la humu ndani haliishi kwa fagio tu." 🤔Mbona kama nashobokewa ghafla alikuwa anamtaka Alvin nini maana shobo zimeibuka ghafla kama ushuzi wa usingizini 🙁😒. Bwanaee bidada yule aliingia ndani akachukua ndoo na dekio akanipatia na maji juu ,nikapokea hapo uso nimeujaza tabasamu pana ila ndani huku niliyokuwa nayawaza na kuongea ni Mungu anajua 😆. Basi baada ya kupokea nilishukuru na kuondoka ,kidogo kidogo nikawa nageuza shingo kumuangalia vizuri 🥲 nikawa nawaza huyu ndo ile mbagala rangi tatu niliyoisikia au 🤔. Maana kababuka ngozi kawa kenge si kenge mjusi si mjusi yaani yupo kama kituko cha taifa , si chai ya rangi wala maziwa wallah vipako vya bei rahisi vinajua kuniunguzia watu😆. Maana hawezi kuniambia eti anaugonjwa wa ngozi hivyo ni vipako vilivyo mkataa ,mmmh anatisha bwana na sijui madhara ya vipako hivyo vimeenda kunyonya na kuvyonza mafuta na nyama za mwili. Maana sio kwa wembamba ule ,vimiguu kama katuni wa kuchorwa ,sijasema vitako mmmh nifunge mdomo mie nisije nikaonekana ninaringa bure acha tuseme wote niwa Mungu😎. Haya bwana nilianza kufanya usafi huku nikiimba nyimbo zangu za kilugha😊, kazi ikawa nyepesi kama kumsukuma mlevi ,chezea kazi na mziki wewe😇 ni full vibe . Dakika 30 zilinitosha kuweka kila kitu sawa , nikarudisha vitu vya watu kwa moyo wa shukrani na kurudi kukaa , bwanawee nimekalisha nyama zangu chini hata dakika mbili hazijaisha nasikia mlango unagongwa. Nikasema ingia, kimya nikasema tena ingia kimya ,nikahisi huenda ni watoto so nikatulia mara ukagongwa tena nikaona eeeh ni majini au misukule 🤔. Haraka nikainuka na kwenda kufungua ajabu nafungua tu napokelewa na sura ya bidada mwenye rangi tatu zake mjini, uso wake ulikuwa na tabasamu nono hadi nikashangaa 🧐. Uliza basi kipi kilicho mleta hadi anagonga na kukaa kimya kama hana sauti, 😏bila kuongea aliangalia ndoo yenye maji aliyokuja nayo na kurudi kuniangalia huku akitabasamu na kupepesa macho kama vile ananilembulia 🧐. Nilimuangalia like huyu vipi ni dishi ama ana kitu anachokitaka kwangu 🤨, kwa sauti ya chini isiyo onesha maswali wala wasi wasi nikamwambia. "Karibu dada😊" akajichekesha na kusema " Asante mwaya ,nimeona nikuletee maji uoge maana utakuwa umechafuka 😊" Mmmmmm! Huu ni ukarimu au natengezewa mazingira ya kuingizwa mitegoni 😐🤨maana sielewi ,maji ya kuoga 🤔 okay acha nione yajayo huenda nawaza sana . Niliwaza na kushukuru kisha nikayachukua na kutaka kuyaingiza ndani akanishika mkono kunizuia na kunambia " nivyema kama ungeenda kuoga sasaivi 😊" Okay 🤨hii inaanza kutisha sasa hadi mda wa kuoga ,embu ngoja huyu dada anaweza kuwa mganga nini 🤔 na kama ni mganga anataka nini kwangu nyota? Aaah kama ni nyota kaangukia pua hii nyota itamletea makasumba hatakaa aone auheni nyota yangu mimi 😅aaah aulize historia yangu kwanza asije kukanyaka kinyesi . Haya acha nimpe anachotaka " aaam sawa ngoja kwanza nichukue kanga basi " niliongea nikajua ataitikia sawa na kuondoka ila aliitikia na kubaki amesimama huku akitabasamu ty. Kwa mashaka niliingia ndani nikavua nguo na kujifunga kitenge kisha nikatoka na kumkuta bado kasimama ,nikachukua ndoo na kuomba anielekeze lilipo bafu akanipa maelezo . Nikashukuru na kupiga hatua kulifuatia bafu , hatua tatu tu akaniita kugeuka akanyosha mkono uliokuwa na sabuni na kusema " shika sabuni" Na hii tena 😦😦 SEHEMU YA 12 SONGA NAYO................. Nilipokea na kwenda bafuni ,kufika nikakuta kuna maji mengine kwenye ndoo, naona ndo wanayotumia watu , sasa nikaona huyu mtu si wa kumuamini kirahisi hivi. Bila kufikilia mara mbili mbili niliacha maji aliyonipa na kuoga yale niliyokuta ,sabuni pia sikuitumia nikailowanisha tu kisha nikamimina yale maji kwenye ndoo niliyoikuta mle na kutoka. Ajabu ile nimetoka nakuta kasimama hatua kadhaa kutoka ulipo mlango wa bafu, nilimuangalia kwa macho yenye kiulizo 🤨akacheka tu. Ukweli sikumuelewa na kwa namna flani nilipata uoga,yaani kwanini anipe maji alafu aje kusimama karibu na bafu ina maana anataka kuhakikisha kuwa naoga kweli au?🤔 Na kwanini afanye hivyo🤨 aaah huyu atakuwa mchawi aisee yaani hii si ya kupinga maana duh😐,niliwaza na kumrudishia sabuni yake kisha nikaingia ndani yeye akabaki nje . Baada ya kuingia ndani nilivaa haraka Alvin asije akaja akakuta sijavaa yakawa mengine 🥲, basi bwana baada ya kuvaa nilikaa kumsubiri . Bahati nzuri hakuchukua mda akawa amerudi akiwa na chips mayai mbili pamoja na soda , nilipokea na kutenga tukazifinya kwanza .😋 Na baada ya kumaliza ikawa ni story kwenda mbele , Mda ulienda usiku nao ukawa mrefu nikawa nasubiri aondoke ili nilale ila ndo kwaanza alizidi kuongea wala hakuonesha dalili ya kuondoka. 🥴 Niliendelea kuvumilia huku nikipiga miayo ya usingizi 🥱 nae kama jinga lisilo weza kujiongeza hata kwakusoma picha 😏 likawa bize kuongea hadi usingizi ukanichukua kabisa. Nililala nikaja kushtuka baada ya kuhisi kuguswa na kitu mapajani, niseme tu yowe nililopiga lilitosha kukimbiza mende wote waliokuwa ndani ya chumba na mipaka ya jirani😆😁. Alvin alishtuka na kuniuliza " we nini mbona unapiga mikelele hivyo 😦" Haraka niliinuka huku nikijitengeza sketi yangu vizuri na kumuuliza " ulikuwa unataka kunifanya nini 🤨?" "Kukufanya nini ukimaanisha nini ?" "Wewe acha kunijitoa ufahamu nimesikia kitu cha baridi kinanigusa hapa" Nilivyo sema hivyo Alvin alicheka na kusema " Okay kwahiyo una maanisha mimi nataka kuku...embu acha ujinga wako me nilikua nachukua mto kwa bahati mbaya nikakugusa ila haina maana nilitaka kufanya ujinga na wewe. Kwanza uondoe hayo mawazo ya kipumbavu akili mwako ,me siwezi kufanya upuuzi kwako." "We muongo mto ulikuwa mbali na mimi sasa mapajani mwangu umefuata nini " "We bwanaee acha ufala wako basi, nimesema ni bahati mbaya ila naona unanikomalia , na nikwambie kiufupi tu we sio mambo yangu hata nitamani kufanya loloye na wewe. Yaani unajiona hivyo ulivyo sina kitu ninachoweza kutamani hata kimoja ,kwa hiyo kua na amani kabisa na kama hunioni au kunichukulia kama kaka yako basi nione kama rafiki yako ." Aliongea na kujilaza,, nilibaki namuangalia kwa sekunde kadhaa Kisha nikamuuliza " huoni kama si sahihi kulala na mwanamke kitanda kimoja ?" "Si sahihi kivipi na imeandikwa wapi ?" "Sio swala la kuandikwa wapi ila sote tunajua kuwa si sawa " "Wewe embu rudisha mwili wako hapa ulale , me nimesha kwambia wewe ni rafiki yangu mbali na kuwa rafiki yangu huna chochote cha kunifanya nikutake . Embu ngoja niamke labda naongea lakini sauti inaishia tumboni, sikia me mwanamke mnene sio mambo yangu kabisa tena sifagilii hata kwa dawa . Licha ya hivyo sichanganyagi urafiki na mapenzi, so wewe kwangu ni rafiki hata ungekuwa na vitu ninavyotaka bado nisingeweza kukusogelea kwasababu naheshimu urafiki wetu ,sawa kwa hiyo ondoa shaka " Aliongea na kurudi kulala, nilisimama kwa mda mrefu huku nikijishauri nilale pembeni yake au nilale hata chini tu🤔. Nikaona aawee mwanaume ni mwanaume tu acha nilale zangu chini nisije kutwa na kitu kizito bure 🥲, basi nikalala zangu chini . Dakika mbili mbele Alvin akaamka na kunambia "oya acha ujinga basi ,sa ndo nini kulala chini ?" Nikamjibu kuwa haina shida acha nilale hapa tu , alivyo mkorofi alikuja kunivuta na kunirudisha kwenye godoro nikataka kurudi akanishika na kunambia . "Sipendi ubishi , kwa hiyo usitake kuniharibia usiku wangu sawa ?" Aliongea akionesha kuchukia sana ,nikawa sina jinsi zaidi ya kutulia . Kishingo upande nikalala pembeni yake, mda ukasogea hatmae kukakucha kitu cha kwanza alinambia " haya umelala usiku mzima pembeni yangu vipi umemenguka nyama au kuna mahali pamepungua ?" Sikuwa na jibu zaidi ya kukaa kimya ,akajiandaa pale na kuondoka me nikabaki nyumbani , sasa kama kawaida bidada mwenye rangi zake tatu akaendeleza upendo wake. Akaniletea chai hadi chakula cha mchana , na kwa jinsi alivyo bana kuhakikisha nakula nilishindwa hata kukataa japo nilikuwa na wasi wasi maana so kwa kuchangamkiwa kule 😐. Basi bwana siku zilisogea wiki mbili zikakata nikiwa bado naishi na Alvin, ambae alihakikisha napata chakula kwa wakati . Na si chakula tu alihakikisha mda wote anaokuwa karibu na mimi uso wangu usikatike tabasamu , alinijali kupita kiasi hadi nikahisi ananipenda nini ?. Maana sio kwa upendo ule aliokuwa akinionesha 😊, bidada mwenye rangi tatu zake mjini hazikuwa zikipanda tena na hii ni baada ya kujua ukweli kuwa mimi na Alvin sio mtu dada yake . Hii ina maana alikuwa akinijali kwa sababu alitaka kumuonesha Alvin kuwa yeye anamoyo safi wa kuweza kuwapenda ndugu zake kwa maana hiyo apewe nafasi tu maana moyo wake ulishamzikia chalii kitamboo 😃. Bahati mbaya Alvin hakuwa na mda nae hata kidogo kwa hiyo hasira zake zooote akazihamishia kwangu 😏 ,niseme tu kwa huyu dada ndo nilikoona rangi halisi ya wadada wa uswazi. Mamaa nilikuwa nasuuzwa mie ,vijembe vya wazi wazi na taraabu za mipasho ndo kitu ilikuwa inatamba tu , Wardah mie nisie na damu wala chembe chembe za uswahili. Nilikuwa zangu bize na mambo yangu wala sikuwahi kujisumbua kwa lolote ,,yaani ni full amani ☺️☺️. Basi bwana baada ya siku 21 kupita Alvin alirudi nyumbani kama kawaida nikampokea matunda aliyo kuja nayo , nikayaandaa tukala na baada ya kumaliza akaanzisha maongezi kwa kunambia. "Wardah , nimefanikiwa kupata nauli ya wewe kurudi nyumbani,ila kuna jambo ambalo litahitaji uamzi wako ?" Maneno yake yalinifikilisha kwa sekunde kadhaa huku nikijiuliza itakuwa nini 🤔, kwa sauti iliyojaa hofu nikauliza " jambo gani tena 🥲?" Kwa uso uliojaa tabasamu lenye maumivu akanambia ................... SEHEMU YA 13 "Kuna kazi imepatikana " "🙄jamani umenishtua nikajua labda ni kitu kikubwa " "Kupata kazi sio kitu kikubwa ?" "Inategemeana ni kazi gani ,hata hivyo sihitaji kufanya kazi kwa mtu tena " "Kwa hiyo uko tayari kurudi kijijini ?" "Yeah na ndio nilichokuwa nikisubiri kwa wakati wote huu si ndio?" "Yeah, lakini Wardah sidhani kama nisahihi kwako kurudi nyumbani maana najua huko hakuna future yoyote zaidi ya kwenda kupoteza mda. Sikia najua unaweza kuwa umekosa amani juu ya watu ila safari yako bado mbichi sana ,unatakiwa upambane kujikomboa " "Nakuelewa lakini naweza kujikomboa nikiwa kwetu kwa hiyo naondoka ?" "Hapana huwezi , Wardah sijawahi kufika kwenu lakini kutokana na historia yako niamini mimi unatakiwa uwe mbali na mji wa baba yako . Si kwa ubaya ila ndio njia pekee itakayo kufanya ufanikiwe , kumbuka ulitamani sana kusoma kumbuka maisha uliyokuwa ukiota kuyaishi je unafikili kurudi kuwenu kutakamilisha yote hayo? Jibu ni hapana huwezi ,na ndio maana nakushauri tafadhali baki ,mimi niko tayari kuwa ndugu yako katika mji huu na kila mara utakapo hitaji support yangu nitakuja. Ila tu uniahidi kwamba hautakata tamaa, wala hauta uza ndoto zako kwa uoga bali utapambana kwa jasho na damu kuyafikia maisha yale uliyohitaji " Maneno yake yalifanya nikatabasamu na kumuangalia kwa mda kisha nikamwambia " unaongea kama rahisi vile ,lakini sio rahisi kama unavyodhani, Alvin ! dunia ya leo kufikia malengo pasipo kuwa na mgongo au bega la kuegemea ni ngumu sana . Na unajua wazi sina mama sina baba sina kaka wala dada ambae naweza kumpigia leo nikamwambia nahitaji kitu flani au msaada flani nikasaidiwa. Alvin niko peke yangu na ndio wadogo zangu wapo lakini kwa asilimia mia 💯 hawana msaada wowote kwangu wala mimi sina msaada wowote kwao. Tupo kama hatupo zaidi niseme tumekuja kuwasindikiza wenye maisha kuishi maisha yao, hivyo naomba usiongelee lolote kuhusu ndoto zangu. Maana nikama unachimbua donda lililokuwa linaelekea kupona " "Hapana Wardah maisha hayako hivyo, na tambua kua kufanikisha ndoto zako hakuhitaji familia yako bali ni Mungu na juhudi zako " "Unataka kunambia watu wote ambao hawajafanikiwa hawajitumi au kumtegemea Mungu ?" "Sina maana hiyo wala siongelei watu wengine naongea na wewe , Wardah sio kila mtu aliefanikiwa alifisaidiwa na familia wala si kila aliefeli alikosa familia ya kumshika mkono. Bali kitu unachotakiwa kujua nikuwa kila mmoja ni main character kwenye story yake mwenyewe , na ukiwa kama main character huhitaji mtu mwingine kuandika story yako. Ni wewe ,kesho yako inaandikwa na maamuzi na matendo yako ya leo ,,vile vile mafanikio huja kwa maamuzi na upambanaji wako . Embu nione mimi sina baba ,mama yangu ndo yule ni mama kwa kuzaa ila si mama katika malezi , hajali kesho ya watoto wala sifa katika jamii zaidi amegeuza mwili wake kama kitega uchumi. Je umeshajiuliza ni naishi vipi katika dunia hii ile hali kila mmoja ananinyoshea kidole na kuniita mtoto wa malaya ? ,, au unafikili nafurahia kusikia na kuona yote hayo?. Okay tuachane na hilo, Wardah mimi sijawahi kupata au kuhisi upendo wa mama wala wa baba japo nimekuwa nikiwaona . Na ndio wote si masikini lakini pesa zao hazikuwahi kunifikisha kokote kwenye maisha yangu, zaidi nimekuwa nikipambana mwenyewe na kuhakikisha naishi maisha ninayotaka . Sasa niambie tofauti yangu na wewe ni ipi ? Hakuna na ndio maana nakwambia pambana ufikie malengo yako wala usiwaze sijui sina mtu wala sina hiki, aaah huhitaji mtu aje akufanikishe . Bali Mungu na juhudi zako baasi ,kwa hiyo nakuomba sana baki , kama unaona ni haraka sana unaweza kufikilia ukipata jibu nambie ila ushauri wangu ni huo fanya kazi." Nilikaa kimya kwa mda mrefu kisha nikamuuliza " Unahisi hiyo kazi itakuwa salama kwangu ?" "Asilimia mia ,na nimekutafutia mwenyewe kwa hiyo ondoa shaka utakuwa salama " "Okay ,ni kazi gani?"" "Kazi za ndani?" "Oooh😔" nilijibu na kuinama kwa huzuni , ukweli moyo wangu haukuwa tayari kurudi kwenye kazi za ndani tena 😪. Alvin alinishika mikono akaniinua uso wangu na kunambia " tafadhali usiwe mnyonge wala usiogope , Wardah niko na wewe leo na hata kesho ila tafadhali usikate tamaa . Maana moyo wangu unatamani kuona ukifurahia maisha ya ndoto yako ,tafadhali sana usininyime kuliona hilo " Yalikuwa ni maneno mazito yenye hisia kali kiasi cha kunifanya nishindwe kujizuia na kujikuta nalia 😭,Alvin alinivutia kwake na kunikumbatia akawa ananipapasa mgongoni taratibu huku akinambia . "It okay utafika nakuamini " 😪🥲 nyie maneno yake yalizidi kuniliza 😭 nilijihisi tofauti kwa kiasi ambacho siwezi kueleza 🥲 ndoto zangu zilizokuwa zimefunikwa na wingu zito la kukata tamaa .. Wingu lilianza kufifia taratibu na mwisho zikaonekana na kurudi kutanda kwenye kuta za moyo wangu , kiu iliyokata nayo ikarejea kwa kasi . Basi bwana baada ya kulia kwa mda mrefu nilijitoa kwenye kumbato taratibu nikataka kujifuta machozi akanishika mkono kunizuia na kunifuta yeye mwenyewe tena akiniangalia usoni bila hata kupepesa jicho pembeni. 😊😊 Angalia yake ilifanya nijihisi aibu ,nikaangalia chini akaniinua uso taratibu na kuniita "Wardah " nikaitika kwa kuguna " mmm!" Akanambia "niangalia usoni " nikamuangalia kwa aibu aibu akanambia "we ni mzuri na nimrembo sana " Nilitabasamu na kuangalia chini kwa aibu 🤭kisha nikamuuliza "kweli ?" Akajibu " yeah kweli " nilijibu asante na kutaka kuinuka ajabu alinivuta kunirudisha kisha aka.................... SEHEMU YA 14 SONGA NAYO ................... Akanambia " niahidi kwamba hautabebwa na upepo wa dunia " "Nakuahidi 😊" "Kweli au unaongea tu " "Kweli ,na wewe niahidi kitu kimoja " "Kitu gani hicho ?" "Niahidi kuwa utakuwa rafiki yangu kwa siku zangu zote " nilivyo sema hivyo alitabasamu na kusema. "Nakuahidi nitakuwa zaidi ya rafiki si leo si kesho bali siku zangu zote " wote tulitabasamu na kubadili mada tukaongea mengine ,mda ulienda na siku ikaisha . Kesho yake jioni baada ya kurudi nyumbani aliniomba twende tukaonane na huyo boss anaehitaji binti wa kazi , sikuwa na pingamizi nikajiandaa kisha tukaongozana . Haikuwa karibu hivyo ilitubidi kupanda usafiri wa Umma ambapo tulitumia saa moja na madakika yake ndipo tukafika sehemu husika. Kama kawaida nikageuza macho yangu huko na huko kuangalia mazingira ya mji ule , kwa sauti ya ndani nikasema " mmm! Hapa nipazuri kuliko hata kule "😊 Basi bwana baada ya kukaribishwa kwa ukarimu wa hali ya juu tulikaa kusubiri mwenyewe afike maana tuliambiwa ametoka kidogo. Ili kupoteza mda tukaona tujiweke bize kwa kupiga story zetu huku matani na vituko vya hapa na pale vikiendelea ,mda ulienda zikapita kama dakika 50 hivi tukasikia geti likifunguliwa. Wote tukakaa kimya maana tulihisi aliefika ni mwenye nyumba, na kweli baada ya mda mfupi mlango ulifunguliwa akaingia mwana mama wa makamo kiasi cha kuuelekea utu uzima . Wote tukasimama na kumsalimia akatukaribisha na kuomba msamaha kwa kuchelewa , Alvin akamjibu kuwa haina shida . Basi baada ya hayo kupita mama yule aliniangalia na kumsemesha Alvin,"bila shaka huyu ndo binti uliesema utaniletea?" Alvin akajibu" ndio madam ni huyu " "Okay ,,binti karibu nyumbani kwangu jisikie huru kabisa " "Asante madam " "Karibu! Mh unaitwa nani?" "Wardah ndio jina langu " "Oooh Wardah,, we ni mwislam eeh?" "Ndio " "Okay haina shida ,aaam nadhani ndugu yako ameshakwisha kukueleza kuwa nakuhitaji ili unisaidie majukumu ya nyumbani " Nilijibu ndio akanieleza taratibu za nyumba yake pamoja na majukumu yangu kisha tukakubaliana kiasi atakacho nilipa na baada ya hayo yote kuzungumzika tuliaga kurudi nyumbani. Maana sikuja na nguo kwasababu ilikuwa anione kwanza kisha akishalidhia ndo nirudie nguo , hivyo baada ya makubaliano kupita tukarudi nyumbani. Siku hiyo ikapita kesho yake asubuhi na mapema nikakusanya kila kilicho changu Alvin akanisindikiza hadi sehemu yangu ya kazi , ngoma ikaja kwenye kumuaga 🥲, mdomo ulikuwa nzito kusema byee moyo ndo kabisaa haukutaka kukaa mbali nae hata kidogo 😪. Kilichotokea hapo nikilio kama naenda kuchinjwa vile 🥲😪, Alvin akanibembeleza wee lakini wapi machozi yaligoma kukata kabisa 😪😪 na ukiniuliza nini kilikuwa kinaniliza ni nini wakati nilipaswa kufurahi kuwa nimepata kazi. Jamani mazoea 😪 nimemzoea mnoo huyu kijana , yaani amekuwa mtu ambae anafanya najisikia salama awapo karibu yangu na ni mtu pekee aliefanya nijihisi wa thamani . Sasa leo naenda kuwa mbali nae 😪aaah niacheni nilie tu 😭 maana nani anaejua 🤷‍♂️kama kesho tutaendelea kuwa marafiki 🥲vipi kama mkata kamba atapita na urafiki wetu kwa kigezo cha kuwa mbali au ubize 😪🥲 . Roho inauma jamani 😪 ila basi tena sina namna haya ndo maisha 😪, kwa huzuni nilifuta machozi na kumpungia mkono wa kwakheri 👋 na yeye akanambia byee 👋na kunipa kisogo😪. Nyie nilitamani kumkimbilia 😪lakini sikuweza nikaishia kugeuka na kila mmoja akapiga hatua kwenda mbali na mwenzie😪😪🥲. Nikaingia ndani na yeye akatoka nje ya geti, kichovu nikakaa kwenye sofa , Daria binti wa boss wangu akiwa ameshika begi langu alitabasamu na kusema. "Basi dada usiwe kama unaomboleza ,hamjaachana bali mtaendelea kuonana" Sikumjibu kitu zaidi ya kufuta machozi huku nikiangalia chini , mara nikakumbuka kitu haraka nikainua uso na kumuangalia Daria usoni akataka kuuliza kitu ila kabla hajauliza niliinuka haraka na kutoka nje mbio 🏃‍♀️ . Nilikimbia hadi nje ya geti nikawa naita Alvin 🗣 bahati mbaya alikuwa amefika mbali kidogo nikaona hata siwezi kuacha uaende hivi nikaanza kuzichanja mbuga huku nikiita Alvin 🗣 Mbio zangu hazikuzaa matunda kwani ile namuona tu ndo akawa anaondoka na boda boda 🥲, nilisimama kichovu sana 😔 kwa huzuni niliangalia kacha niliyovaa mkononi na kusema. "Nilitaka nikupe hii kama zawadi na ukumbusho wangu kwako 😔😪" niliongea kwa huzuni sana hadi machozi yakanitoka . Basi kwa huzuni niligeuka nyuma ili kurudi ndani ila nikashtushwa kuona kijana kasimama nyuma yangu huku akiniangalia , nilimuangalia kwa jicho la hasira na kutaka kumpita ajabu akasimama mbele yangu kunizuia na kusema. "Samahani" sikuona sababu ya kuitikia samahani yake kwanza siko kwenye mood ya kujibu mtu saizi😏. Nikataka kuondoka akanizuia tena 🙁, nilichukia nikataka kuongea ila akaniwahi na kusema " naweza kupokea hiyo zawadi kwa niaba yake ?" Kwa sauti isiyo na masiala nikamjibu " tunafahamiana 🙎‍♀️😠" pamoja na kuongea huku nikionesha sitaki mazoea ya kijinga , alitabasamu na kusema. "Sawa kama hutaki kunipa acha nikupe mimi kwa niaba yake ,maana najua hata yeye anatamani angekuachia kitu " Aliongea na kutoa chocolate mfukoni na kunyosha mkono kunipatia huku akisema " hii ndio zawadi yangu kwako ila kwa niaba yake " 🙄ila watu wengine bhna yaani una mparamia mtu usomjua na kujichetua namna hii ,😏nilitamani kuachia sonyo ila nikaona haina maana nikaona acha niondoke zangu. Ila kwa mara nyingi akasimama mbele yangu kunizuia na bila kutegemea alishika mkono wangu kilazima na kuweka ile chocolate kwenye kiganja changu na kuifunika kwa mkono wangu wa pili. Sio siri nilichukia 😡, kwa hasira nikataka kujitoa mkono wangu kwake ila kabla sijafanya hivyo nikasikia sauti nyuma ikiniiya "Wardah " Haraka niligeuka na kukutana uso kwa uso Alvin akiwa amekunja uso kwa hasira 😠. SEHEMU YA 15 SONGA NAYO................... Haraka niliitoa mikono yangu kwa kijana yule na kusema " A aalvin umerudi " niliongea kwa hofu iliyoambatana na kigugumizi. Alvin hakujibu akanishika mkono na kutaka kunirudisha ndani sangap yule kaka asimzuie na kusema " hata kama umerudi si vyema zawadi kurudishwa ,Wardah pokea zawadi yako" Aliongea na kutaka kunipa kwakunishikisha mkononi Alvin akamuwahi na kuichukua ,bila hata kuongea akanishika mkono hadi karibia na geti la kuingia. Umeanza kufanya nini ndio lilikuwa neno la kwanza mara tu alivyo niachia mkono, nami kwa upole nikamwambia " samahani si mfahamu hata hivyo nilikuwa nakukimbilia " "Haitakuwa mara ya kwanza kukawambia kuwa makini , kumbuka una malengo makubwa sana " " Nakumbuka yote ,mh achana na hiyo nilikuwa nimekuletea zawadi🥲 " niliongea huku nikivua ile kacha mkononi mwangu na kushika mkono wake nikamvika. Baada ya kumvika aliuangalia mkono wake kwa mda na kusema ," Asante haya urudi ndani sasa maana nimerudi baada ya kusikia sauti yako ikiniita " "Ooh sawa asante na byee " alijibu poa nikaingia ndani ya geti na yeye akaondoka 🥲, Daria alikuwa amesimama hatua kadhaa kutoka geti lilipo ,alipoona naingia tu akacheka huku akikung'uta mikono. Sikumuuliza nini kinacho mfanya acheke maana nilihisi ameona kilicho tokea nje japo hakuna lakuchekesha, ilanilivyo mfikia nikasema " samahani nilisahau kumpatia Alvin kitu ndo maana nimemkimbilia" "Haina shida 😊,ila dada una dakika chache tu hapa tayari ushaanza kunifanya nione mambo ya kina jumong live, sijui huko mbele kuna nini 😄" "Una maanisha nini !" "Hamna ila unamjua yule kaka aliekupa chocolate 🍫?" "Namjuaje na nimefika sasaiv😒" "Okay, kwakua ndo umefika na mimi ndo nimekupokea nitakuwa mwenyeji wako kwenye kila kitu na kama hutojali tunaweza kuwa marafiki 🥲" "Sawa asante " "Sawa asante ndo una maanisha nini 😏, sikia bhna kama unamadharau mimi na watu wenye madharau ni mbingu na ardhi🤨 Na sinaga shobo na watu ni kwamba nimetokea kukupenda tu baasi so kama unaona roho yako haitaki kuwa na urafiki na mimi sema mapeeema Sawa dada?" Okay sitakagi kukutana na watu wenye roho mbaya kama yule binti mwa fulani ila huu urafiki mbona kama unalazimishwa 😒 Niliwaza na kusema " samahani sijadharau ila nimepokea ukarimu wako asante " "😊haina shida ,sasa twende ndani nikakupe mambo ya humu na vitongoji vyake " alinishika mkono tukaingia hadi kwenye chumba ambacho niliandaliwa . Kufika akakaa kitandani na kusema "Sasa iko hivi yule ngoja kwanza nianze na mimi, aaamn kama ulivyo sikia naitwa Daria ni mtoto wa pili nina miaka 20 niko chuo mwaka wa kwanza. Napenda kula kila kitu, kuvaa nguo nipendazo ni vipensi na vigauni vifupi, rangi yangu pendwa ni purple . Haya yangu ni hayo ,sasa nikupe ya mtaa 😊." Aliongea na kuinuka akatoka nje ya chumba na kurudi na maji kwenye chupa ndogo, akanywa fundo moja na kurudi kukaa kitandani kisha akaendelea kusema. "Mh tuendelee nilitaka nilainishe koo kwanza , kwa hiyo kuhusu yule kaka uliekuwa umesimama nae anaitwa Samuel anakaa kwenye huu mjengo ulio pakana na sisi . Na humo ndani wako wakaka hawa watatu, mkubwa wao yuko nchi za watu huko na huyo ni kisu tena kisu kikatacho kuwili maana so kwa handsome ule . Wa pili ndo huyo Samuel kama unavyomuona kijana wawatu kapanda hewani , rangi yake na muonekano wake ndo kama ulivyo uona . Naona kwenye maxsi za uhandsome atapata 8/10 huku huyo kaka yake akishikilia zoote 😊, haya kuna huyo wa mwisho yeye nae ni niwa moto hajapishana na huyu Samuel. Sasa ukiachana na hao vijana wa mzee Watson kuna hili jengo la upande wa pili humu napo kuna wakaka hao wawili ✌️ dada dada nimekuita mara mbili kama walivyo wawili. Nasemaje hao ni viwembe vya rungu kwanza rangi zao ni za maji ya mchele ,mionenakano ndo kabisaaa ,sasa sifa yao kuu ni umalaya hao ukijichanganya kidogo tu unapitiwa na unaachwa mchana kweupeeee. Sasa ujichanganye kije kukuta kitu niko pale sitakufuta chozi hata kidogo ,na nimesahau kukupa sifa za hao vijana wa Mr Watson ,, my friend hao nimkauzu kuliko jina lenyewe. Yaani hawataki mazoea na mtu yoyote si wa kwanza wala wa mwisho japo yule wa kwanza kazidi wote, na naona wanaringa kwasababu hela kwao ni nyingi maana mtaa wote huu wao ndo wanaongoza nadhani hata mjengo wao unajionesha . Basi sasa ukiachana hao, hiyo nyumba ya mbele hapo humo kuna wadada ni warembo balaa ila umalaya nao umelala pale " Aliweka pozi akanywa maji ,nikaona eeeh huyu ataongea hadi siku ipinduke ikanibidi nijifanye nimelala maana sio kwa maneno hayo, mtu unaongea bila kumeza mate jamanii😐. Basi baada ya kujifanya nimelala alikaa kimya akachukua maji yake na kuondoka , nikafungua macho na kukaa kitako . ITAENDELEA

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

SONGA NAYO..... Nilipomuona Lizy hasira zote zikaniisha, nikabaki naona aibu yani aibu harafu sasa hapa mbele palikuwa pametuna hivyo Nafahamu Lizy alikuwa ameniona So nikabaki najikanyanga kanyaga kama mtoto wa kike "Umepajuaje hapa..??" Nilimuuliza baada ya kimya cha muda mrefu "Kuna rafiki yangu amenielekeza.." "Kwamba yeye anapajua nyumbani kwangu...??" "Anasema aliwahi kukuona unaingia humu.." "Mh " niliishia kuguna tu, basi ikabidi nimkaribishe ndani, binti mgumu huyu walah 😂🙌🏾 katika watu ambao nimekutana nao basi Lizy ndio mgumu walah Yani nilitumia kama lisaa limoja kumbembeleza aingie, na vile nilikuwa na hisia nae awee nilijikuta nikimpigia magoti kabisa "Basi nitaingia ila kwa shart tu.." Aliongea "Lipi hilo.." "Kavae ngo maana siwezi nikaingia na wewe ukiwa umevaa hivi.." Jamani sijui kama mngebahatika kuniona walahi mngejua nimechizika yani shwaa nikawa nimeingia ndani na muda sio mrefu nikawa nimetoka ila ndio hivyo mzee wangu alikuwa bado amesimama "Haya karibu mwanafunzi wangu..." Nilisema kwa sauti ya upole nanushawishi mkubwa, nyie kwa muda huu shetani wa ngono alikuwa ameniingia walah, yani kwenye akili yangu nilikuwa nawaza Lizy akiingia tu nimbebe mpaka chumbani Basi bwana binti akavua visendo vyake na kuingia lakini nikamzuia "Hivyo viatu vyako ingia navyo ndani..." 😂😂🙌🏾 yani sitaki kesi kabisa hii wanaielewa wale watu ambao wanaenda geto.. Basi binti alichukulia kawaida akaingia navyo na kuvulia ndani , baada ya kuingia ndani nikamshika mkono na kwenda kumkalisha kwenye sofa Jamani baada ya kupokea mshahara nilinunua vitu vya ndani kama fridge na sofa moja na vingine hapo kidogo ndani palipendeza na kupafanya pavutie "Siri nyumba yako ni nzuri..." Alisema Lizy huku akinisifia basi mie nilikuwa natabasamu tu ila kwenye akili yangu nilikuwa napanga mipango namna ya kumuanza huyu binti 😂 "Hivi Lizy ulishawahi kufanya..??" Mwanaume nilijikaza na kumuuliza "Kufanya nini...??" Aliniuliza ndio nikajua huyu binti ametulia walah maana hata hiyo kufanya hajui dah "Aah yani kufanya hivi, mwanaume na mwanamke kukutanisha sehemu zao za siri ulishawahi...??" "Eeh...??" ( dah sasa hapo huelewi nini laki si nilikufundisha kabisa darasani...) "Kwani dasrasani niliwahi kukufundisha nini..??" Nilimuuliza "Aah sir me nimeleta hela yako hii hapa, ngoja niende nikawahi kupika.." Lizy alizungumza huku akinipa ile elf tano ambayo nilimpa muda sio mrefu ( kwahiyo hapa ndio sitakupata tena, lakini naweza kufanya kitu...) Nilijiwazia na kumtegeshea wakati ananipa ile pesa, nikamkamata kiuno, aweeee 🥰 binti kiuno chake kilikuwa kizuri ndio kilizidi kunipa mzuka zaidi "Siri vip tena mbona hivyo...??" Aliniuliza huku anatetemeka, kwa muda huo naweza kusema sikuwa najielewa kabisa nilichofanya hapo ni majuto mjukuu maana nilikuja kulejewa na akili nikiwa tayari nisha mbiriki binti wa watu 🥹 "Wewe umefikaje hapa...??" Nilimuuliza binti wa watu kwa muda huo alikuwa analia tu na mashuka yalitapakaa damu, nikamuangalia huku nakumbuka aliingiaje hapa ndio nikakumbuka sasa 😂🙌🏾 Walah sie wanaume ni wajinga sana tena sana, basi nilichofanya ni kumnyanyua pale kitandani na kumwambia avae nguo zake Nikawa naona analeta malingo ya kunililia nilichofanya ni kumkalipia kwa ukali akavaa haraka haraka, nikamshika mkono mpaka nje Ilikuwa saa moja usiku ka giza kameshatanda angani, baada ya kumsukuma nikakumbuka na Sendo zake, nazo nikazitoa na kumtupia Bado kalibaki kanalia lia hapo nikamshika mpaka nje ya geti na kukasukumiza huko..😂😂🙌🏾 "Yani kumbe ulikuja kwa lengo la kunitega ili niingie kwenye mtego wako, nikwambie tu huwezi kunifanya chochote hata ukienda kuwaambia hao nduguzo Hawatanifanya chochote maana wewe ndio umejitakia mwenyewe, nakwambiaje tena, unaiona hii nyumba ione kama kituo cha police Nisione mguu wako wala kwato zako zinakanyaga hapa, nitakukata vipande vipande lione kwanza..." Niliongea hayo na kufunga geti, kisha nikarudi ndani, nimefika ndani moja haikaliki mbili nilikuwa situlii chezea miaka 30 wewe 😂🙌🏾 Siku hii bwana niliwehuka walahi, usiku sikuweza kulala kabisa hata kula sikula kabisa nilikuwa nawaza vipi kama yule binti atabeba mimba Nitaweka wapi sura yangu eeeh mungu, mwanaume hiyo siku ndio nikajua kama kuna mungu, maana siku zote ninatenda dhambi za uzinzi na sikumbuki kama kuna mungu lakini hii siku nilipiga magoti na kuanza kusali kimoyo moyo 😂 Ombi langu kutoka kwa mungu ni kwamba yule binti asibebe ujauzito kabisa yani nilikuwa naomba mpaka ndotoni 😂 hatimae hii siku ikaiisha na siku nyingine ikaashika nafasi niliamka nikiwa nimechoka sana Lakini pia na mawazo juu, ilinitakiwa niende kazini, so nilijiandaa na kuondoka siku hii nilifika kwa kuchelewa lakini pia nilikuwa na wasiwasi kama lizy ataenda kumwambia mwalimu mkuu Basi muda ulienda na upande wangu nilikuwa natakiwa kuingia kipindi cha mchana so muda wote macho yalikuwa kwenye ofsi ya mwalim mkuu kama nitamuona Lizy anaingia humo Lakini palikuwa hola mpaka muda wa mimi kwenda kufundisha ulifika, nikaingia darasani lakini nilikuwa na aibu jamani acheni tu 😢 Nikaanza kufundisha pale huku nikiangalia kama nitamuona Lizy lakini sikumuona kabisa, moyo wangu ulikosa kabisa amani....... ITAENDELEA.....

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

#DoDeewaneSeherMein #DoDeewaneSeherMeinReview Ravi Udyawar handles the film with maturity and restraint. The screenplay avoids melodrama. The strength lies in its emotional authenticity. The dialogues are organic & socially relevant without sounding preachy. 👍 Siddhant Chaturvedi delivers one of his most nuanced performances. His body language reflects hesitation. His silences speak volumes. It is a controlled & sincere performance. 💥 Mrunal Thakur is exceptional. She portrays insecurity without turning Roshni into a fragile victim. There is quiet strength in her restraint. Her emotional arc feels organic. 👏 Sandeepa Dhar leaves a mark despite limited screen time. Her role is impactful. Her confrontation in the second half is an eye-opener scene for many and she performed it gracefully. 👌 Ila Arun brings warmth & grounding energy to the film. Joy Sengupta & Ayesha Raza contribute meaningfully without overpowering the leads. The pacing is measured. Some viewers might find the first half slightly slow, but that patience pays off. Visually, the film is stunning without being flashy. Every frame feels intimate. Music blends seamlessly into the storytelling. The BGM remains subtle. The film may rely on a few familiar character beats, but its emotional honesty far outweighs its predictability. What truly works here is the sincerity. It is not about dramatic confessions or fairy-tale romance. It’s about hesitation, insecurity, and finding comfort in someone who understands your flaws. That choice makes all the difference. ✨ In a cinematic space crowded with loud romances and exaggerated drama, Do Deewane Seher Mein feels soothing, comforting, & relatable. It encourages viewers to slow down and embrace imperfections. The heart of the film is in the right place. And it stays there till the very end. 🍿 💫

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

By Babie Love Tsap 0742133100 Anzaaaa “ Hello guys nataka umakin zaidi katika hoteli hii nadhan kila mmoja anajua wajibu wakee kwa wateja okay ...?!?” Aliongeaa msichana mmoja matata sana alionyeshaa yeye Ndio mmiliki halali wa hotel hiyo Msichana wa kisasa kabisa mwenye hadhi ya kitajirii haswaa alikuwa na kila kitu alichokitaka yeye alikuwa nacho “ Madam Camilla kuna faili unatakiwa kuweka saini yako kwaajili ya mzigo hapaa....” aliingia mmoja wa wafanyakazi wakee kwenye hotel Hiyo “Okay wekaa hapa nitashughulikia hapo mara moja .....” alijibu Camilla huku akichukua faili hizo akasain kisha akasema “ Afu nahitaji chumba kizur kwajili ya part kubwa kiasi kitengenezwee kwa maua hai sitaki bandia hakikisha hiloo Oky?!?” “ Sawa madam nitampa mtaalam wa urembo wa chumbani hakika atafanya vizur sana ..” alijibu yule mfanyakaz “ Vizur unaweza kwenda ..” “ Sawaa madam..” Yule mfanyakaz Alitoka moja kwa moja hadi kwa meneja wao na kumtaarifu kile madam alichokitaka “ Sawaa ukitoka muite Mariana Ndio anaweza kufanya hiyo kazii...” “ Sawaa meneja..” Mariana ni mmoja wa wafanyakazi pale kwenye hotel ile yeye alikuwa kwenye sehemu ya upambaji ama dizaini mkubwa wa chumba punde tu baada ya usafi Mdada huyu alikuwa mkarimu mno kwa kila mmoja wao wengi wa wafanyakazi walimpenda sana Mariana “ Mariana unaitwa na meneja tafadhal ..” “ Meneja tena!?!? Kuna nini?!?” Ali uliza Mariana kwasababu alijua kuna shida sio rahisi mtu kuitwa na meneja hovyo hovyo “ Kuna kazi hii hapa hivyo meneja anakuita kwaajili ya maelezo kamili kwasababu ni chumba atakachotumia madam Camilla..” “ Ahaaha Sawaa ngoja niende...” Mariana alitoka haraka ofisini kwake na kuelekea kwa meneja haraka “Umeniita meneja?!?!!” Aliuliza punde alipofungua mlango “ Ndio nahitaji chumba kizur ufanye kwa ufanisi maana atatumia madam Camilla nadhan unamjua sitaki makosa yatokee ...” alisema meneja na kumfanya Mariana atabasam na kusema “ Usijali meneja sitafanya makosa nakuahidii..” “Vizur .....” Baada ya kuchukua maelezo jinsi ya hicho chumba kiweje Mariana alitoka ofisini kwa meneja na kwenda Kufanya maandilizi ya chumba hicho 🌹🌹🌹🌹🌹🌹 “ Hello darling hujafika badoo?!!” Ali onekana Camilla akiongea na simu kwa madaha yote akiwa bado ofisini kwakee “ Nina dk kadhaa za kushuka aridhini mpenzi najua umenimis sana ..” iliskika sauti yakiume maridhawa kabisa iliyomfanya Camilla aachie tabasamu zito kabisa “ Hakika nimekumic mno na Niko na maandiliz safi kabisaa nakuja muda sio mrefu hapo uwanja wa ndege dear ...” “ Okay ❤️ Nakupenda sana ..” “ Nakupenda zaidi Brayton ..” Camilla baada ya kukata simu alichukua pochi yakee kisha akatokaa nje ya ofisi yakee na kutoka nje ya hotel Hiyo na ku ingia moja ya gari ya kifaharii mno iliyokuwaa tayari na dereva ndani “ Twende uwanja wa ndege haraka ...” alisema Camilla baada tu ya ku ingia kwenye gari hiyoo Dereva bila kusitaa aliwasha gari na safari kuanzaa kuelekeaa uwanja wa ndege 🌹🌹🌹🌹🌹🌹 Mariana tayari alikuwa bize kwa kuandaa chumba cha boss wakee kama alivyoambiwaa alitumiaa akili yakee yote kufanya kazi Hiyo hakutaka kufanya makosa kabisaa “ Weka rangi za kuvutia sitaki taa za angavu sana zinaumizaa macho hizo slzitakii okay weka kila kitu Sawa tuna dk 10 kila kitu kiwe tayari...”alisema Mariana huku akiwa bize sana na jambo hilo 🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹 Baada ya dakika kadhaa ndege ilitua kwenye nchii hiyo na kuteremsha abiria wakee na mmoja wao alikuwa ni Mwanaume mmoja anaeitwaa brayton Camilla alifurah alipomuonaa mpenz Wakee baada ya miaka mitano kupita alikuwa masomoni kipindi hicho “ Waoooow dear...” alisema brayton huku akimkumbatia Camilla kwa mahaba mazito mno hapo uwanja wa ndege “ Mmmh kipenz nilikumiss mno..” alisema Camilla huku akiwa kwenye kifua cha Brayton “ Ndio nimefika sasa naona na wewe umekuwa mkubwa sasa..!?!”alitania kidogo Brayton na kumfanya Camilla acheke sana Ndipo walipoingia ndani ya gari kwaajili ya kwenda hotelini “ Ooho ni muda sana Camilla Una fanya kazi gani?!?!” Aliulizaa Brayton “ Aah niko na kaz ni nyingi otea ni kazi gani?!?!” “ Aaah labda n msimamiz wa kazi maana tangu shule ulikuwa kiongozi wetu...” Wote walicheka huku wakikumbatianaa kwa raha mno huku gari ikingia hotelini hapo ila Brayton alionekana kushangaa kidogo na kuuliza “ Camilla Mbona tunakuja Huku nilifikiri labda utanipeleka home kwanzaa nimechoka nahitaji ku pumzika dear...!!?” “ Aaah kwani hapa hatuwezii kupumzikaa?!? Nimekumic unajua?!?” “ Nafahamu ila au basi twende tyu ..” Camilla alifurahi baada kusikia hivyoo ndipo waliposhukaa na kupokelewaa vizur kabisa hakuamini hata Camilla mwenyew kama utakuwa vile “Karibunii...”alisema Mariana huku akiwapatia vinywaji baridiii kabisa “ Asante sana..” aliitikia Brayton huku akichukua glass moja Lakini cha ajabu na kilichowashangaza wote walikuwa palee macho ya Brayton hayakutoka kwa Mariana kabisa Kitendo hicho kilimkera mno Camilla na kumgeuza shingo yakee huku akimuulizaa “ Unamjua huyu?!?” “ Hapana hapana dear kuna nini kwani?!?” Camilla hakutakaa kumjibu zaidi alimshika mkono na kuelekeaa kwenye chumba alichokiagizaaa huko juu Brayton baada ya ku ingia ndani alistuka baada ya kuona jinsi chumba kilivyo dizaini wa vizur kabisa ndipo akaulizaa “ Mtaalamu gani kafanya hivi?!?” “ Brayton usinichanganye kabisa ulichokifanya hapo nje sijasahau huwez fanya hivyo mbele ya wafanyakazi wangu huoni aibu wewe?!?” Camilla akiwaka tayari “ Aaah mpenz wangu nisamee unajua yan sijui ilikuwaje ila nisamehe sana nakuomba nisamehee..” Brayton alikiri makosa na kumfanya Camilla atulie sasa na kumkumbatia akisema “ Nakupenda usinichanganye tafadhal...” “ Nakupenda pia usijal..” 🌹🌹🌹🌹🌹🌹 Huku nje gumzo lilizukaa hadi kumfanyaa Mariana ahisi hofu sana maana Camilla anaweza kumfukuza kazi kabisaa “ Yaan acha wanaume hawaa et katumbua macho kabisa kwa Mariana badala ya madam Camilla yaan ..” alisema mmoja wa wafanyakazi hapo ndani na kufanya wote wacheke mno Mariana alikuwa pemben aliwatazama tyu maana kwa upande wake alikosa Amani kabisa kwa kile kilichotokeaa ndipo simu yake ilipoitaa alipotazama alikuwa mdogo wake a napiga “ Hallo ..” “ Dada utaweza kuja maana leo nimetoka mapema tu ..” “ Aaah Isabel chukua tu tax’s Nina kazi hapa tafadhal mdogo wangu nitakukuta nyumban..” Isabel hakujibu alikata siku maana alichukia kutokuja dada yake kumchukua hakuja kumchukua Kama kawaida yakee Mariana alichanyikiwa kwa kilichotokea pale maana ana weza kukosa ajira ile inayomfanya apate mahitaji yote yake na ndugu yakee 🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹 Wawili hao wakiwa kwenye chumba cha wapendanao wakipata raha zote za dunia ndipo simu ya Camilla iliianzaa kuita bila kuchelewa Camilla alipokea huku akimtazama Brayton usoni Brayton anamfahamu vizury Camilla hivyo hakungoja kuambiwa ndipo akachukua begi lake na kutaka kuondoka ndipo Camilla akamzuia huku akisema “ Brayton unaenda wapi sasa?!?” “ Camilla nimekuja hapa kwasababu sitaki kuaharibu mood yangu leo afu wew umeshaaanza simu zako nakujua vizur utaondoka uniache hapaa na sihitaji hilo....” Brayton aliongea kwa upole sana Camilla alimtazama kisha akasema “ Ni kweli kipenz hii simu ni muhimu pengine kuliko wewe na lazima niondoke Ndio ..” Brayton alimshangaa sana ndipo akamuuliza kwa mshangao sana “ Unasema mimi sio muhimu kama Hiyo simu?!?! Camilla sihitaji ugomvi ila naona unataka kunikwaza kwanini?!?” Camilla wala hakujibu alichukua pochi yake na kumkiss shavuni kisha akaondoka zakee Brayton alishikwa na hasira mno maana penzi lakee linamtesa kweli kweli ukizingatia anampenda mno Camilla Ndipo alipoagiza chupa mbili za kinywaji kikali kwaajili ya ulevi kidogo .............. Itaendeleaaa

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

. The film told a simple, emotional love story. Vijay and Chandni fall in love, but their relationship faces strong opposition from her family. It had that classic “rich girl, poor boy” angle, with family pressure and social differences creating drama between the young couple. Even though Faasle didn’t work at the box office and is often called a flop, it had its own sweet moments. The music by Shiv–Hari was melodious, and the film was shot in beautiful locations. Most importantly, it marked the beginning of Farah Naaz’s successful career in the late ’80s. For Rohan Kapoor too, it was a big launch under a big banner, which made the film memorable in its own way.

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

Nikaliwa kwenye gari ya bwana wangu na ushirikiano nikatoaa mwanzo mwisho kama chizii vilee. Kama lisaa hivii ndo anamaliza nipo hoii yupo hoiii akavaa nguo zake kimya kimya, mie uso umenishuka kama paka zee, Aibuu yaani sijui hata nasema ninii, hapo sina hata nguo ndo naanza kupapasa naitafuta gauni yangu, akanitupia T_shrt yake nijifutie hahah yaani kimya kimyaaa nikajifuta, Hee si namuona anaondoka yaani hata hasemi kwaheri au natakiwa kufanya nini. Nikaona kaenda kugonga geti moyo ukalipuka nikasema huyu hawezi kwenda kumwambia kweli D amenilala humuu, weee nilivaa haraka haraka nikachomoka mbio yeye alikuwa ameingia ndani ya geti nikawasha gari mbiooo kwanguuu Njia nzimaa naenda nawaza kuhusu Ule mjunjano pale aloo, Sijui nifurahie au nihuzunike maana nimebakwa hivyo, habari za D ameenda kulala na wanawake watatu hata sikuwa nazikumbuka tena, Nikachukua simu yangu nikamtumia sms Tinner "Shoga nimebakwa mwenzio" hapo hapo akapiga simu hahah sijui alijua nipo hoii nimetatuliwa "We Veroo upo serious??" Aliniuliza kwa hamaki kweli mpaka nikaanza kucheka "Afu ujue utakuja kuniua na presha mjinga wewe, Enhee D amekubaka mana sio kwa cheko hilo" "Bora hata D shoga angu yaliyonikuta leo mmh hata sijui nianzie wapi" "Bwanaa embu anza hapo hapo!" "Veda amenibaka dada tena kwenye gari ya D" "Veda....Veda ndo nani " "We nae si yule mvuta bangi wa huko kwenu" "MUNGU WANGUUU....!!! hahahah we Vero kwelii???" "Unachekaaa??" "Hahaha hata sijui nacheka niini ilaa I'm sure umefurahiaa huo mbako eeh" "Mxeeeuw!!!" ", enhee embu nambie ilikuwaje??" " Nitakuja kesho shoga angu yaani sa hii hata akili haifanyi kazi ila nina makubwa hatari ..." Nikakata simu nikanyoosh goti mpaka kwangu , Nilifika hoi miguu bado haina nguvu kama nimepandisha kilima "Mungu wangu .... hivi Veda amewaza nini??? Kwahiyo amenibaka hahah uuuuh hata siaminiii " nilikunywa maji mengi sanaaa lakini mpaka ndani ya glass nilikuwa naona ile picha ya Veda kuanzia anavyo fungua mkanda mpaka zipu yake anavyoniekea uuuh nikajikuta nasisimka tenaa "Ohooo ..." nikajitupa kitandani kwanza usingizi haukupita kabisaa yaani nilikuwa nageuka huku nageuka kulee jamani jamaniii huyu kaka aligoma kabisa kutoka kichwani vile alivyokuwa ananinyonya lips mwili wotee unasisimkaaa, mpaka nikawa najipiga makofi ya kwenye paji la usoo anitoke lakini wapiii, Nyie mpaka majogoo yana wiki mie Veda hajanitoka kabisa kichwani.... Palivyokucha kibishi kibishi tu hivyo hivyo nikajiandaa kwenda kazini, nikapanga nikitoka kazini niende kwa Tinner nikamuadithie yaliyonikuta jana labda nitapumua, nishajiandaa zangu nimeupara natoka tu D anaingia tena akiwa na Veda mweeh, Nilihisi miguu kama imepiga shotii . Sio D ndo alinishtua Noo!!! Ni Veda yaani ile kumuona Veda halafu tukagongana machoo mie picha nzima ya jana ikaniijia kichwani na hivi li mkaka mbavuu aah weee, Moyo ulikuwa una dunda kma ngoma ya harusi ya ghafla, alikuwa kawaida kama jana hakikutokea kitu, mikono kaweka mfukoni, macho yakee ..aaah yale machoo ndio yalinimaliza na vile alikuwa ananiangalia kwa wizi wizi yaani kama ananipimia hivi na mie nashindwa kabisa kulitoa jicho kwake, Kuna muda tuligongana macho kwa sec tu ila mie niliona kama dakika nzima imeisha tunatazamana, mkavuu hata kutabasam hakuna, Nilihisi kachanganyikiwa walaiiii... "Wife ndio unatoka!!" yaani D anajitoa kabisaa ufaham hahah yaani kaa jinga et pamoja naa upuuzi wake wa jana anavyoniuliza hapa jamani kama hakuna kilichotokea jana "NAOMBENI MTOKE NYUMBANI KWANGUU!!" yaani niliongea kwa msisitizo na ukaliii tena nilimaanisha “Verooo, yaani unanifukuza hapa??” kama jingaa, nilishusha pumzi kwa hasira mana anajitoa ufahamu nikapiga hatua kadhaa nikamsogelea na alikuwa karibu na gari yangu "D mie na wewe tulimalizana jana , Kwahiyo kila mtu ana maisha yake TOKA KWANGU!!!" "Ah ...khaa...Veda hivi unamuelewa huyu mwanamke???" Veda akanitazama mpaka nikajikuta nameza mate kwa nguvu, Hasira, Aibu na Hofu vyote humo humoo .. "Ulinidharau D, umenidhalilisha mbele ya wanawake zako umenifanya nijione sina maana D Toka kwanguuuu!! "Aah, , Vero Unajua jana nililewa sana mke wangu, sikumbuki chochote kilicho endelea, Yaani hata sijui nikueleweshe vipi, Veda embu nisaidie kumwambia kama wale wanawake waliniwekea ma dawa kwenye kinywaji!!'" Baba hilii hata haya halina jamani, Huyo Veda sasa hahaha embu ngoja kwanza nicheke akaondoka na hapo akatoka nje ya getii hahaha yaani hadi nilitamani kucheka "Sikia Vero wale wanawake sikufanya nao chochotee aliwatumia Veda baada tu ya wewe kuondoka pale" yaani angejua huyo Veda alinibanjua kwenye gari zaidi ya lisaaa humo hata asingeropoka huu ujinga . Nikaona huyu ananichanganya tu hata kama napenda hela mwenzangu ila nilimuamini sana huyu mwanaume jamani sanaaa nikajua nimepata ila kwa picha ya jana mmmh hapana natakiwa kujitafakari upya juu ya maamuzi yangu .. Wakati naenda kufungua mlango wa gari akawa ananizuia anataka nimsikilize aah, zikatokea purukushani hapo vuta nikuvute mie sitaki kabisa habar zake analazimisha kweli et wale wanawake Veda ndio alitembea nao yeye alikuwa amelewa sana hata hajielewi, Mjinga kweli sasa kama alikuwa Hajielewi ikawaje akaelewa Alienda nyumbani nawanawake na Veda akalala nao, mara aliwekewa madawa yaani anajikanyaga huku na kulee .. Nikamsukuma huko nikaingia kwenye gari wakati nawasha gari yeye akatoa upepo kwenye tailli ya mbele, Nilisikia hasiraaaa akanambia haya shuka tuongee ukinisamehe nitakununulia gari ya kifahari ambayo utaendana anayo, Nilimtolea bonge wa msonyo nikashika nikafungua geti bahati nzuri kulikuwa na Boda inapita Nikapanda, Veda alikuwa amesimama nje .. Hata niliposema nisimtazame sikuweza nikajikuta tu tumekutanisha macho, akanikazia macho huku anatoa moshi puani nyieeeee shhhh So romantic hili kakaaaa la mtumbaaaa hahaha ITAENDELEA.....

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

Aseeeee nimekuja kustuka namuona mama yangu pembeni na nipo hospital. Nyieee cha kwanza nikashika tumbo langu. Ooh lipo . Mi mwenyewe nilikuwa nataka.kuzaa ssana na mlige najua mema alonifanyia mm basi ata niwe na kumbu kumbu yake tu.. mama akainukaaa . Akaendaa kumuita daktari aseee ile daktari kafika tu. Nikamuuliza vp kuhusu mimba yangu. Akanmbia tulia faridah. Kuipata kazi kama hizi nichek mm mtunz kwa namba sefurisaba nanesita sabatisa sitatatu sitatatu.usinunue kwa wez utaumia sana. Mimba ipo sawa japo imepata mtikisiko kidogo. Ila ipo sawa na upo salama kabisa. Aseeee ndo nashusha pumzo. Nilikuwa nasikia maumivu sana ..mwilini koteee. Yni kunauma aseeeee.. mama wala hakuongea na mm. Nikajua kakasilika . Mh na apa nishaumbuka na kila kipo wazi kuwa bibi mie nilikuwa natembea na mlige. Mh aibu mnoo. Mama alikuwa kavimba kweli.kweli. mda uo uo mlige ndo anaingia hospital .ni anatwetwa nakwambia.ata hajamsalimia mama Amefika anahema ananiuliza unaendeleajee. Mama yangu faridash nambie kakumiza wapi. Vpo kuhusu mtoto wetu.mi.mpaka naona aibu mana mama.ni anatuchora na mjicho mkari mpaka nikawa naogopa. Mlige ata hajali yani. Nikasema elly mi niko powa naendelea vzur. Akanmbia nambie mimba haijtoka. Akasema hapana haijatoka. Et anambia inuka twende. Khaaaaa . Mama akamwambia we mlige unataka kumpeleka wapi mwanangu. Et mlige ndo anastuka. Ahaaa mama kumbe upo shikamoo. Mama akasema marhaba aya muache apo anaendelea vizur. Mlige akasema.ahaaa sawa mama. Mma akamwsmbia alfu wewe mlige we si una mke wewe. Kwaiyo ulikuwa unamsaliti mkeo unakuja kutembea na uyu mjinga mwenzio mpkaa mmetiana mimba. Unaona leo mkeo alichomfanya mwanangu anataka kumuua..na kuniita mimi mwanga nakuroga wewe. Mlige akasema. Samahani mma. Mama akamwambia ebu ondoka kwanza apa hospital. Mlige akaniangalia mimi.nikamkonyeza kwamba aende . Mlige akanmbia ntakupigia. Kisha akaondoka. Mie nikabaki na mama ni ameninunia ile mbayaaa jamani Basi Asubuh ndo tukaruhusiwa pale hospital nikiwa naendelea vuzur tu na bills zote alilipia mlige . Nyieee mama ni kaninunia vibaya sana. Tumefika nyumbani kimewaka.nyieee mama kaniwakia ile mbayaaa. Alinisema alinambia we una akiri wwwe. Kwaiyo wewe na shoga yako ya mnashea bwana si ndio. We si ulisema humtaki wewe. Leo kiko wapi na mimba umembeba fisadi mkubwa. Mie kimya. Mama akiongea sana akanmbia unananidhalilisha mm mshenzi wewe. Mie nikanyamaza kimyaaa .mama aliongea sana . Mi.nikaingia zangu chumbani . Nikajipumzisha .mda uo uo mlige ananipigia .mie nikapokea uku nalia .mloge akanmbia naomba usilie kabisa. Naomba unyamaze faridah swa naeleea setuation unayopitia. Na mm napitia pia. Ila kuwa strong . Nakupenda sana faridah. Naomba tulia na ulilax mwanamke wangu ntakupigia baadae.nikasema sawa kisha nikakata simu. Ile nakata tu . simu nyengine inaingia pale. Naangalia aliyenipigia mh ni namba ngeni . Mie nikapokea .nyiee si mama yake mligee. Nilikomaaa. Nilitukunwa na uyu mama mpaka nilijuta. Alinibadilikia hakuwa yule tenaa. Si anajua mambo niliyomfanyiaga mwane kile kipindi.Alinambia we mtoto huna haya wew. Tena hun aya wala hujui vibaya mshamba wa maisha na mali ww. We si ulipata mwarabu ilukampandisha mapresha mwanngu. Si ulikuwa unataka kuniulia mwanangu leo unamuona mzuri. Eeeh leo unamuona mtamu eeeh..umeenda dar umetombwa tombwa umechunda mpaka umezalishwa. Unakujaa kumsumbua mlige. Sikia nakwambia iyo mimba yako sio ya mlige na kama familia ya mlige hatukutambui tunamtambua mkewe yista tu. Mshenzi mkubwa unanilogea mwanangu msenge ww. Nikaona mambo yasiwe mengi nikakata simu .presha juu juu. Mh ile nakata simu namsikia na mama anaongea na simu ila anatukanwa piah. anatukanwa kweli kweli mana mama aliweka.simu loud .doooh nilivyochunguza vizur . Nikagundua anaonngea na mama yake mlige. Asee namsikia mama yanggu anajitettea e.et kama mimi mchawi sawa bwana mungu atanilipia. Mi mwenyewe sikuwa najua lolote. Nyieee mama yangu kugombana hawezi kabsa. Ila leo namponza mama yangu anatukanwa rohooo iliniuma sana. Moyo uliuma mnioo. Yani nikawa najisikia vibaya sanaaa. Vibaya mmnooo . Aseeee nikasikia mma mpka analia kisha akata skmu. Akaja chumbani kwangu na hasira . Akanambia kwa nn unanidahlilidha wewe. Ona leo mie natukankka mchawi kwa ajili yako .kwanini huna akiri na hauna msimamo wewe. Kuipata kazi kama hizi nichek mm mtunz kwa namba sefurisaba nanesita sabatisa sitatatu sitatatu.usinunue kwa wez utaumia sana.Mwanaume kashaoa unaenda kumpanulia mapaja.yako mshenzi wewe. Mie kimyaa eeeh mama sijuh ndo hasira aknifata. Akaanza kunipiga mangumi ya mgongo. Na hali yangu hiii. Nililia nyieee.mama Akaniachia akanmbia yani wewe nataka uachane na mlige mala moja na ukiendelea nae nakupa radhi .nakwmabia. nakumwagia radhi mmi. Utaenda kutafuta mama yako alokuzaa labda sio mm. Mh mie nikawa nalia tu. Mama kafikia hatua kubwa mpaka anataka kunipa radhi Nyieee mie nikatulia . Usiku mwanaume ananipigia.sikumpokellea . Akapiga ttena sijapokea . Akapiga tena.sijapokea.nikamtumia sms .nikmwambia kuanzia. Leo mimi.na wewe basi.mi.mimba ntatoa tu. Baki.na mkeo . Mama anataka kunipa radhi mi siwez tena mligee. Asee mlige. Akanipigia simu. Akanmbia wewe usipanik nakuja apo kwenu .nikifika mitaa ya apo kwemu ntakustua uje tuongee.nikasema mimi sitaki. Na elewa tu kuwa sikutaki. Mama yako. Kanipigia simu kanitukana na kamtukana na mama yangu.mi siyatakia aya mahusiano.mlige akasema umezoea kuniacha au sio. Sikia sasa we kumamako safari hiii siachiki unanielewa wewe. Na nakufata apo apo kwenu sasa ujue kama nimepagawa . Mbona nilishngaaa mlige leo anatukana. Ata sinamjibu kanikatia simu . Nikamkatia simu kisha nikamblock. Doooh dakika chache .nasikia mlango unagongwa kwa nguvu. Mie nilikuwa nipo chumbani kwangu ata sielewi. Dakika 2 mlige kaingia mpaka chumbani. Akafunga na mlango . Tukawa wawili tu. Apo mama anaggonga mlango wangu kwa nje et we mlige toka uende kwa mkeo usinitafutie mabalaa mimi.nimesema nenda kwa mkeo sitaki kesi. Mm nilishangaa nilimwambia elly umefata nn. Akanambia nimekufata wewe . Sikia faridah. Acha kuangalia mioyo ya watu Ebu tujiangalie mimi na wew. Naelewa sana kjwa wewe unanaipenda mimi. Na hunipendei. Pesa. Faridah una hisia za kweki na mimi kumbuka mimi ndo nimekufundisha mapenzi ww ..na mimi ndo mwaname pekewe nakupeda ssna wewe. Leo unatka kuua mtoto wangu kisa. Sikiiza sio mama yako wala mama yangu anaeweza kutuingialia mimi na wewe au umezoea kuniacha na kunipa maumivu killa.siku ebu nambie nambie faridaah. Mh nikawa natetemeka nampenda kweli uyu baba ila mama kanambia atanipa radhi maogopa mimi . Nikasema hapana mlige mi sitaki aya mahusiano .we baki na mkeo .mlige akapiga ngumi ukutani kwa hasira uku anatetemeka mh 🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

Basi bibi mie nilipomaliza kusuka.nikaenda kwangu kupumzika kabisa. Basi siku iyo mlige kanipigia akanmbia njoooo nyakanazi. Mh nikajua anataka mzigo. Mie nikajiandaa mpaka nyakanaza. Akaningiza kwenye gari . Heeee safari biharanulo. Nikamuuliza uku leo unanipeleka kufanya nn. Akanmbia tulia mama. Nikasema sawa . Mh nyieee uyu baba kumbe alienda kuninunulia kiwanjaaa. Mi sikuamini. Akanmbia nakunulia apa . Mwanagu anakuja uyoo.nataka uwe na kwako sasa. Mi siwez kuwa nakuiba kila siku. Mie mpaka nililia . Kiwanja kikubwaaa. Nikamkimbatia uku namuomba msamaha. Akanmbia faridah yameisha mama angu nakupenda sana . Nyiee uyu bba. Hivi mnajua apo mimi na miaka 27 . Mlige ana 46. Ila tunavyopendana . Sitaki kuwaambia .alafu mligee ukimuona unaweza kusema ana miaka 30. Kwanza ni mwembamba anajipend mnioo. Basi shoga yenu kile kiwanja nikaaandikishwa mie. Jina langu kabisa. Na zile karatasi zote mlige akanipa mm Tumetoka pale tujaenda kwa engineer wa nyumbaa. Nikapewa design ambayo nataka nyumba yangu iwee. Nilichagua. Na mlige akaongea na engineer kuwa anataka kesho tu ujenzi wa nyumba uanzeee yani . Mh mie nilimshukuru uyu baba.sitaki kuwaambia . Basi jioni sana ndo tukaludi tumefika nyakazi kachukua lodgee. Nikaenda kulipia kiwanja chake apo🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌🙌🙌. Mana ilikuwa ni week end. Jamani ilikuwa ni rahaaa mnoo. Nikabebika na mume wa mtu mpaka asubuh. Mie ndo nimeludi nyumbani. Aseee ile nafika tu nyumbani . Namkuta yusta ni kabimba ananisubili apo. Mh moyo wangu ulifanyaaaa paaah. Ila nikajikaza. Nyieee yusta alivyoniona akanidaka nakwambia akanikaba akanmbia wewe nambie uliendaa wapi na mume wangu jana. Unajifanya mjanja sana maraya wewe. Msenge mkubwa. . Nikasema ww mimi sikuwa na mume wako Yusta akasema maraya wewe. Jana umeonekana nyakanazi unaingia kwenye gari la mume wangu mwanga ww. Nyieee uo mdada mama alikuwa hayupo naona alienda shamba. Ata sijajielezea yusta akanivaa. Na mwenzangu ana nguvu. Shoga yenu nilipigwa sitaki kuwaambia. Alafu akawa ananipiga sana sehemu za tumboni. Et anambia hii ndo inakupa jeuri sasa naitoa. Aseee alinipiga yani mimi ata kumludisha ngumi moja sikuweza. Mpaka majirani ndo wamekuja kumshika.mimi niko hoii naona damu chini zinavujaa. Yusta anatukana mnoo. Anambia we ni maraya na mnanionea gere ww na mama yako mnataka mali za mwanaume wangu. Manamloga mlige sio bule mshenzi wewe Nakwambiajeee ntakuonesha mshezni wewe. Na iyo mimba kama ya mlige nakutoa kwa mikono yangu. Mshamba wewe.si ukiondoka apa kijijini . Kwa mbwe mbwe. Na si ulimkata amlige et umepata bwana mwarabua leo kiko wapi .unakuja kutembea na mume wangu. Si ulimuacha ww. Leo unamuona mzuri sasa ntakuonesha.aseee mie kwa uo mdaa sikuwa najielea kabisa. Nikaanza kuona kiza mbele . Nikazima pale pale.

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

ANZA NAYO…… “Wewe sikiliza umu Ndani teshachoka kukulea sasa, Kazi utaki kufanya, unataka kukaa tu, unataka tukulishe na kukuvisha Binti akili zako Zipo Sawa au ? Sasa Basi usiku wa Leo Utakuwa wa mwisho kwenye hii Nyumba, Yaani kesho utatafuta pa kwenda Nyumbani kwangu sikuitaji Tena nimekuchoka” “Lakini ma mdogo” “Hakuna cha lakini, usiku huu ni wa mwisho kwenye Nyumba yangu, labda Kama utakubali kufanya kazi ambazo nakutafutia la Sivyo, njia yako nyeupeeeeh, Yaani unasepa bila Fujo” Ooooh yaaaaaah that me, najua wote mnajiuliza nimefikaje kwenye hiyo situation, na Nipo hapa kukusimulia kila kitu pasi na kuficha ata kitu kimoja, lakini Naomba nikuambie kitu, siku zote baraka ya mtu aiwezi kutoweka, zaidi inaweza ikachelewa tu lakini sio kupotea kabisa. Call me Ishani, Mtoto wa Pekee kwa baba na mama yangu, kwa upande wangu Nimebahatika kulelewa na wazazi wangu wote wawili, lakini waswahili usema kisichokuwa riziki Basi akiliki. Nikiwa na miaka 13 na nikiwa Mwanafunzi wa darasa la 7 baba yangu akaugua kwa muda mfupi sana na kupoteza maisha, na kujikuta nikibaki na mama yangu tu. Kwa rehema za Mwenyezi Mungu nikamaliza darasa la 7 na moja kwa moja nikaanza kidato cha kwanza uku mama yangu akiwa ndio sapoti kwenye kila pande ya maisha yangu, Guys am so proud of her 😊. 🥹Naomba niseme Kuwa dunia tunapita tu maana nilipokuwa kidato cha tano, mama yangu pia akafariki na kuniacha Mimi Mwenyewe. Hapo ndio ukawa mwanzo Mpya wa maisha yangu, hapo ndio nilijua dunia adaa ulimwengu shujaa 💔🥹. Baada ya kifo cha mama yangu, Ishani Mimi nikatolewa Mbeya kijijini na kupelekwa mjini Dar es salaam kwa mama yangu Mdogo, Yaani Nyumbani kwa Mdogo wake mama yangu. Mama yangu Mdogo Bwana ni mwanamke ambaye Mungu amembariki sana, anamiliki duka kubwa sana la nguo mjini sinza, Lakini pia mume wake ni mzungu, ambaye ana Pesa sana. Mama yangu Mdogo amebarikiwa Mtoto mmoja wa kike ambaye yeye ni mkubwa kuliko Mimi anaitwa WENDY Yaani Mimi na mtoto wa mama yangu Mdogo tumepishana miaka miwili tu. Mume wa ma mdogo, Mara nyingi uwa anakuwa nje ya nchi na uja Tanzania Mara moja moja sana. Kitendo cha Mimi kwenda kwa Mama Mdogo tu ndio nikageuka na Kuwa dada Yao wa kazi za Ndani, hiyo haikuwa shida, shida ni kwamba ma amekuwa ni mtu wa kunitesa sana, kunipiga, kuninyima chakula na kila kitu. Ma mdogo ajawai kuniruhusu kutafuta kazi zaidi amekuwa akinitafutia wanaume na kutaka nilale nao ndio nipate kulipwa. Kitu ninachoshukuru ni kwamba, Nimekuwa mtu wa kujiamini lakini pia kujitetea na wanaume wa ma mdogo hawakuwai ata kunigusa. Kwa Sasa ma Mdogo aniitaji Tena na ameamua kunifukuza. TUENDELEE. Katika usiku huo nilijitaidi sana kujielezea na kujitetea Kwa ma Mdogo lakini ilishindikana kabisa, ni wazi Kuwa ma Mdogo alikuwa amekusudia kunifukuza Nyumbani kwake na hakusubili ata kupambazuke usiku huo huo akanifukuza NYUMBANI kwake. Unamjua mtu hopeless 😩 wewe ? Huyo ni Mimi sasa, Ndani ya muda mfupi tu nilijikuta nikilanda landa MTAANI uku nikiwa sina msaada wowote ule, si msaada tu, sikuwa ata na Mia mbovu kwa wakati huo kwenye jiji kubwa Kama ili la Dar es salaam. Baada ya kuzunguka uku na uku kwa muda mrefu, ndipo nikakumbuka Kuwa, Nina Namba ya Rafiki yangu ambaye nilisomaga nae kijijini, lakini kwa hapa Dar yeye ni mwenyeji sana Maana ana miaka minne tangu afike Dar. Pasi na kupoteza Muda nikampigia na hakuchukua muda mrefu akafika na kunichukua. “Waooooh chumba chako ni kizuri sana Tusajigwe” Nilimwambia baada ya kufika chumbani kwake, tusajigwe akaniangalia Kwa muda na kuniambia. “Ilo tusajigwe limeishia Uko Uko Mbeya binti Sawa ? Hapa mjini najulikana Kama Tuntu” Nilijikuta nikicheka na kumwambia. “Sasa tuntu Ndio Jina gani ? “ “Ukikua utaacha, eeeh nambie na mabegi usiku huu Kama taraka nginja nginja ni nini binti ?” Hapo nilijikuta nikianza kulia Walahi Maana kuna Namna ni Kama nilianza kusahau Kuwa nilipotoka nimefikuzwa 😂, hivyo tusajigwe ni Kama Ndio kanikumbusha. “Ma Mdogo amenifukuza NYUMBANI kwake “ Tuntu akashusha pumzi nzito kisha akakaa kwenye kochi na kuniuliza. “Shida nini ? Au umeanza jeuri nawe ?” Nikaka kwenye kochi na kuanza kumsimulia Kila kitu ambacho kilikuwa kinaendelea nyumbani Kwa mama Yangu Mdogo. “Kwahiyo Unataka kuniambia Kuwa mama yako Mdogo anauza wasichana pale nyumbani kwake isipokuwa binti yake tu ?” “Ndio, na Mimi sitaki kabisa kufanya hiyo kazi, tusajigwe Rafiki yangu Naomba sana unistili hapa nyumbani kwangu” Tusa akaniangalia kisha akakunja nne na kwa SAUTI ya kujiamini akanijibu. “Kukaa NYUMBANI kwangu ni uongo mkubwa sana binti, Yaani uwezi kuishi hapa “ Kwanza nilishtuka sana na kumuangalia Tuntu kwa mshangao wa hali ya juu, uku akili yangu ikiniambia Kuwa Tuntu ni ananitania tu, hivyo nikaishia kucheka. “Unahisi nakuchekesha eeeh! ? Sina huo muda wa kukuchesha, Ishani kitu usichokijua ni kwamba, hiyo kazi ambayo wewe unaikataa kwa herufi kubwa, Mimi mwenzio Ndio inaniweka mjini “ Alizungumza Tuntu uku akiwa amenikazia macho akisisitiza Maneno yake. “Tuntu unajiuza ?” “Na huyo mama yako Mdogo Ndio madam wangu, Ishani, Mimi bila huyo mama yako Mdogo Saa Hizi Sijui ningekuwa wapi, mama yako Mdogo amenisaidia sana Tena kupitia kazi hiyo hiyo ambayo wewe uitaki” “Tuntu umeuza utu wako “ “Lakini nalala Ndani kwenye chumba kizuri, naishi na nakula ninachokitaka sio Kama wewe unayelandalanda usiku huu na mabegi” Alizungumza Tuntu Tena kwa dharau ya hali ya juu. “Sasa sikia, msaada wangu kwako, ni kukuacha ulale kwa usiku huu na kukipambazuka tu tafuta pa kwenda Maana nikikuacha wewe tu nitagombana na Tajiri yangu aliyenionesha mji ukoje” Walahi nilibaki sura ndogo Kama kidonge cha piliton. Hatimaye asubuhi ikashika nafasi uku nikiwa sijapata ata lepe la usingizi usiku kucha. Kweli cha kuazima si chako, Majila ya sa MBILI asubuhi Tuntu akaniamsha na kuniambia niondoke msaada wake umeisha. ******* Week nzima ilipita nikiwa nalanda landa tu mtaani, kwa wakati huo ata BEGI la nguo sikuwa nalo wahuni wa Dar walipita nalo kitambo sana. 😂🙌 Baada ya kuangaika sana mtaani, Ishani Mimi nikaamua kurudisha mpira kwa kipa, Yaani niliamua kurudi nyumbani kwa ma Mdogo na kukubaliana na sheria zake zote. Ma Mdogo aalitumia mwezi mzima kunitengeneza na kuniandaa uku akihakikisha Kuwa nakuwa na muonekano mzuri sana, aaaah nisiwe Muongo Bwana, Mimi Mungu ameumba halafu mama akazaa, Niko vizuri kinyama. “Kazi yako inaanza Leo Mteja wako atakuja Saa 3 usiku jiandae na usiniangushe “ Alizungumza ma Mdogo kisha akanipatia nguo Mpya na akaondoka zake. “Huyu atogusa ata mwili wangu, na akinigusa tu napandissha mashetani” Nilizungumza kimoyomoyo uku nikimuangalia kwenye kioo. Hatimaye muda ulifika na moja kwa moja nikapelekwa kwenye chumba cha kazi, mtumeeeeh uso kwa uso nikakutana na………. unataka kujua ni Nani ? Tukutane kwenye sehemu ya Pili ITAENDELEA SEHEMU YA 02 SONGA NAYO……… 💍❤️💍❤️💍❤️💍❤️💍❤️ USO kwa uso ni kakutakana na mkaka ambaye si mgeni kwenye macho yangu na Nina mkumbuka vizuri sana, Yaani namkumbuka vizuri. Iko hivi, Huyu kaka alishawai kuja Mara ya kwanza na nikamuigizia Kuwa Nina mashetani na sikuishia hapo Yaani hadi ku mng’ata nilimng’ata mbwa Huyu, halafu Leo amerudi Tena kwa Mara ya Pili. “Mmmmh Huyu nikimuigizia Tena si atagundua ? Au anikumbuki sura ? Maana sasa hivi nimenawili sio Kama Mara ya kwanza alivyonikuta” Nilijiuliza kimoyomoyo uku nikimuangalia kwa macho ya wasiwasi na nikiwa nimeshikilia mlango Sijui ni ufunge au niuache wazi. Kwa Mwendo wa polepole kaka Yule akanisogelea na kisha akanipita na kwenda kufunga mlango, alikuwa akiniangalia kwa macho ya kunitamani sana ni Kama alikuwa bado ana hasira na Mimi hivi tangu siku ile nilipoweza kumng’ata. “Vipi Leo mashetani yako mbali ? “ Mkaka huyo aliniuliza kwa SAUTI yenye kejeli sana Ndani yake. Kiukweli mkaka alikuwa mzuri sana, handsome kuliko maelezo, ananukia vizuri na Pesa anaonekana Kuwa anayo, lakini Saa matendo yake Wala hayaendani na mambo yake anayoyafanya, Yaani anaishi maisha ya kihuni na hanasa. Mkaka huyo akatembea taratibu na kwenda kukaa kwenye kitanda kisha akaniuliza. “Kwahiyo Unataka nikufundishe Kila kitu ? “ Nikamuangalia kwa huzuni nikitaka anionee huruma lakini Ndio kwanza Kama nilijichomea utambi tu, kwa SAUTI ya kibabe akaniambia. “Njoo uanze kazi yako binti sijaja kupiga Picha hapa “ Hapo nikashtuka na kumuuliza. “Nani Mimi ?” “Hapana naongea na hayo mashetani yako ya kuigiza, unajua siku ile kwajili ya ujinga wako nimepoteza Pesa kiasi gani ? Unajua nimeharibu Pesa ngapi ? Leo sitaki ujinga, sitaki upuuzi wa aina yoyote ile” Nilimuangalia na kuzungumza kimoyomoyo. “Muone kwanza, mkaka mzuri lakini ni msherati” “Unataka nikufate Uko ulikosimama ?” Akaniuliza kwa hasira sana. “Aaaah, aaaah Hapana, am mkojo umenibana sana” Nilianza kuzungumza Maneno ambayo ata Mimi sikuwa najua nazungumza kuhusu nini, Yaani nilikuwa Kama nimechanganyikiwa hivi 😂🙌. “Sasa naelewa, wewe na Huyu madam wako, mnaniona Mimi Kama bwege na Ndio Maana mnanichezea hii michezo yenu ya kijinga Saa subili uone, Leo maji utaita mma na hakuna mtu ataweza kuja kukusaidia “ Akanyanyuka pale kitandani haraka na kuja kunifata, hapo sasa Ukaanza mchezo wa kuku na jogoo 😂🙌 Yaani tulijikuta tukikimbizana Ndani ya chumba Kama watoto wadogo 😂. Mwanaume ni mwanaume tu jamani, kaka alinikamata akiwa na hasira ya hali ya juu kutokana na jinsi ambayo Nimekuwa nikimfanyia. Kwanza nikashangaa sana akianza kuachana nguo zangu kwa hasira sana na sio kuzivua, baada ya muda nikajikuta nikiwa mtupu tu, Nikabaki kijitaidi kujificha kwa mikono yangu. Kwa mwendo wa haraka akasogea na kuwashasabufa na akaweka SAUTI ya juu kabisa, SAUTI ambayo ata sisi ilikuwa tukioongea hatuelewani hao wa nje Ndio kabisa hawakuweza kusikia chochote zaidi ya mziki. “Boss, subili kwanza, subili sasa nikuambie kitu” Nililalamika baada ya mkaka huyo kunisukumia kitandani na kuanza kunifuata. “We msichana wewe, wewe nitakupiga nikuchakaze Sawa? Me sio babu yako Sijui unanielewa ? Acha fujo zako me sina muda wa kupoteza” Alizungumza kwa ukali sana kisha akanivamia mwilini. “Polepole sijawai “ Nililopoka ikiwa ni sehemu ya kujitetea lakini pia Ndio ulikuwa ukweli wa mambo. Mkaka huyo akacheka sana kisha akaniambia. “Kahaba mzoefu na bikra ni vitu 9 tofauti” Baada ya muda kaka akafanikiwa kufanya Jambo lake na kuna Namna nilimuona akiwa Mtulivu na mpole kuliko alivyokuwa mwanzo. Kwa upande wangu nilibaki nikiwa nimekikunyata kwenye kona ya kitanda nikiugulia maumivu ya mwili wangu, lakini pia maumivu ya moyo baada ya kupoteza usichana wangu kwa njia ya hovyo sana baada ya kuitunza kwa muda mrefu. “Am sorry”😔 Alizungumza mkaka huyo kwa sauti ya chini sana na yenye majuto Ndani yake. “Can you just leave ?” Nilimuomba aweze kuondoka tu, mkaka huyo akaniangalia kisha akavaa mavazi yake na kuondoka. Kwa upande wangu Walahi ni Kama Chizi aliachiwa jalala vile, nilijikuta nikilia kwa SAUTI kubwa sana, SAUTI yenye maumivu ya hali ya juu, nilijikuta nikikumbuka mpaka wazazi wangu kutokana na haya maisha ambayo nayapitia kwakuwa tu wao Hawapo kwenye uso wa dunia. Baada ya muda ma Mdogo akaingia. “Kwani wewe utoki umu Ndani au ? Ebu nyanyuka tuweke chumba Sawa msichana mwenzio aingie na Mteja wake” Alizungumza ma Mdogo uku akionesha kutokujali kuhusu Mimi ata kidogo. Nilinyanyuka kwa kujivuta vuta uku nikitoa na mashuka ambayo yalichafuka kwa damu. “Eeeeeeeh Makubwa haya, Ishani usiniambie Kuwa wewe ulikuwa bado mbichi ?” Alizungumza ma Mdogo kwa mshangao uku akinikejeli. “Sasa ulikuwa unamtunzia Nani ? Kwani ulikuwa na ndoto za Kuwa sister mtawa au kuolewa ? Yaani umeharibu mambo Mwanangu, Yaani ungeniambia mapema Kuwa ujawai, Huyu mbwa ningemuongezea bei jamani khaaah” Imagine anayezungumza hivyo ni mama yangu Mdogo kabisa Tena amelelewa na mama yangu Mimi baba ya mama Yao kufariki hey akiwa na miezi mine tu, halafu Leo hii ananifanyia Mimi ujinga Kama huu 🥹. Basi nikajizoa zoa pale kwenda chumbani kwangu. ********** Siku zikaendelea kwenda na kazi yangu Ndio ikawa ni hiyo, Yaani Leo Niko na mwanaume Huyu kesho Nina Huyu, Kiukweli nilijikuta nikiwa mzoefu sana Tena sana, niliacha kulalamika na kuamini Kuwa hayo Ndio Maisha yangu sasa. Hatimaye miezi 3 ikapita nikiwa Bize na kazi yangu Hiyo, Yaani Sijui niwambie nini lakini Ishani wenu Nimekuwa mbobezi kwenye hii kazi siogopi Dudu Wala Mende. Ikiwa ni siku ya jumamosi jioni, siku hiyo madam akaniambia Kuwa Nina Mteja wa muhimu sana hivyo nikupatie huduma ya kueleweka Maana yeye ni VIP, Kama Kawaida muda upofika tu nikaenda kwenye chumba cha kazi, na kwa Mara nyingine Tena nikakutana na mkaka ambaye Ndio alifungua fungua njia, siku hiyo nilikuwa wa tofauti sana, nilikuwa Nina tabasamu pana sana usoni mwangu, halafu nimechachuka Kama samaki aliyewelewa ndimu na Ka chumvi. Polepole nikasogelea sabufa na kuliwasha ingawa sikuweka SAUTI ya juu sana lakini mtu wa nje ilikuwa sio rahisi kusikia. Kwa mwendo wa madaha na mahaba mazito nikamsogelea mkaka huyo na kuanza kazi yangu. “Sijajia Ilo Kwahiyo acha” Alizungumza mkaka huyo muda ambao Ndio nilikuwa nataka kumtoa nguo zake. “Umekuja kupiga Picha au kunishanga ?” Nilimuuliza nikiwa nimemkazia macho. “Hapana Nimekuja kuzungumza na wewe, by the way am ENZO Sijui mwenzangu unaitwa Nani ?” Nikamuangalia kwa kumpandisha na kumshusha kisha nikamuuliza. “Unatengeneza nida au vyeti vya kuzaliwa ?” “Please nitaji kukujua lakini pia kukusaidia, ni wazi Kuwa hii sehemu sio kwajili yako, imani yangu inaniambia Kuwa unaitaji kuaidika” Nikamuangalia na kumwambia. “Broh si Umelipia Pesa kule ? Sasa Basi tusichoshane fanya kilichokuleta na uwende “ Nilizungumza kisha nikamvamia mwilini mwake, kak huyo akanisukuma na Kwa mwendo wa haraka akafungua mlango na kuondoka ? JE NI KWELI ENZO ANATAKA KUNISAIDIA ? ITAENDELEA SEHEMU YA 03 ANZA NAYO……… 💍❤️💍❤️💍❤️💍❤️💍❤️ Kwanza nilibaki nikishangaa uku nikiwa siamini kabisa Kama Kweli Huyu kaka amelipia Pesa nyingi sana lakini ata kunigusa ajanigusa zaidi ameondoka akiwa na hasira tu, Tena hasira ya Mimi kukataa kuzungumza nae. “Atajua Mwenyewe” Nilizungumza na kunyanyuka kwaajili ya kutandika kitanda vizuri, muda huo huo ma Mdogo akaingia akiwa na hasira sana. “Mteja wangu umemfanya nini ? Mbona ameondoka kwa hasira sana?” Nilimuangalia ma Mdogo kwa muda kisha nikamdanganya. “Amepokea simu ya msiba, me sijamfanya chochote” “Una Bahati Yaani leo Sijui ningekufanya kitu gani we binti wewe” Ma Mdogo alimaliza kuzungumza Maneno yake kisha akatoka nje. “Ila huyu mwanamke kuna siku nitamuonesha show moja hiyo atokuja kuamini kwenye maisha yake” Nilizungumza nikiwa na hasira sana. Baada ya kuweka chumba vizuri, polepole nikarudi chumbani kwangu, Ile Naingia tu chumbani kwangu nikakutana na Wendy, Yaani Mtoto wa mama yangu Mdogo. Huyu msichana na mimi hatukuwai kuelewana ata siku moja, Ka binti kanajisikia sana aka, hivyo baada ya kumkuta chumbani kwani Wala sikuwa na muda nae, moja kwa moja nikasogelea kabati na kutoa taulo yangu nikiwa nataka kwenda kuoga. “Ina Maana ujaniona au ?” Wendy aliniuliza uku akiniangalia kwa dharau. “Kwahiyo baada ya kukuona ulitaka nije kukubeba au ?” Nilimuuliza. “Ishani umekuwa jeuri sana sasa hivi, naona Uko kupendeza kwako Saa hivi kunakupatia jeuri ya hali ya juu, anyway sijajia hayo, nguo zangu chafu zinakuwa nyingi sana hivyo Basi nataka ukafue sasa hivi” Alizungumza Wendy. My zangu ni Kweli nilikuwa namfulia Wendy lakini Saa hivi Walahi atanitafuta kwa tochi. Nilimuangalia Wendy kwa muda kisha nikamuuliza. “Ulikuwa unavaa na Mimi hizo nguo au ? Nitolee upuuzi wako hapa” Nilijibu kisha huyo nikaenda zangu bafuni kuoga. Nilioga na nilipotoka tu nikakutana uso kwa uso na ma mdogo akiwa na binti yake wananiangalia Kama wanataka kunimeza vile. “Kwahiyo Ishani umefikia hatua ya kumpiga binti yangu ?” Ma Mdogo aliniuliza, kwa haraka nikamgeukia Wendy na kumuuliza. “Nimekupiga ? “ Kuna Namna Wendy aliona kabisa Huyu sasa hivi aogopi mtu, kwa upole akaangalia chini na kuzungumza. “Ajanipiga ila ataki kunifulia nguo zangu” “Usijali kesho nitamuita dobi aje kukufulia” Alizungumza ma mdogo, kisha Wendy akatoka nje na mama yake akanigeukia Mimi. “Jiandae kuna Mteja chumbani, halafu ukitoka Uko njoo Nina mazungumzo na wewe” Sikumjibu kitu chochote zaidi nikajianda kwaajili ya kwenda kumuhudumia huyo Mteja. Lahaulaaaaaaaah!!😳 ata Kama Ndio Mteja Huyu Hapana kwakweli 😏 Yaani sio MZEE Ila ni kababu 😂🙌 kwanza niliganda nikimshangaa tu. “Ooooh you are so beautiful 😍 “ Alizungumza MZEE huyo baada ya kuniona. Mtumeeeeeeeeh ata meno hana Huyu MZEE jamani 😂 Nikamuangalia na kumuuliza. “Umeshaacha barua ya milasi nyumbani kwako ?” MZEE huyo akashtuka na kuniuliza. “Unamaanisha nini unavyosema hivyo ?” “Wewe MZEE Wewe Unataka kunipa dhambi tu, umri huo Unataka kucheza hii michezo si unafia hapa wewe, sikia me siwezi kukuhudumia, changanya hiyo miguu yako, nenda kadai Pesa yako na uende” Nilizungumza kisha moja kwa Moja nikatoka zangu nje, ata Kama Ndio kazi, siwezi kulala na MZEE ambaye mama yangu anaweza kumuita babu na sio baba. Baada ya muda Kama Kawaida moto ukawaka, ma Mdogo alichukia sana baada ya MZEE Yule kwenda kudai Pesa zake na kuondoka akiwa amechukia sana. “Ishani Unataka kunipanda kichwani si Ndio ?” Ma Mdogo aliniuliza akiwa na hasira sana baada ya kumpotezea Mteja wake wa kizee. “Aaah ma Mdogo hivi hii ni roho gani mbaya ambayo unayo ? Nafanya kazi kubwa halafu unipatii Pesa ata kidogo kwakuwa tu nakaa nyumbani kwako halafu Leo hii unaniletea kizee ambacho kimeshajifia kitambo kabisa, Hapana kwakweli , Kama ni rahisi Kwanini usiende wewe au Wendy ?” Weeeeh hapo ma Mdogo akachukia sana na akanyanyua mkono wake na kunipiga kibao. Yaani katika siku ma Mdogo amejichanganya basi ni Leo 😏 Yaani Leo amekanyaga waya wa umeme akiwa peku. Nilishachoshwa na Kila kitu hivyo, si kufikilia Mara MBILI MBILI, nilijikuta nikimvamia ma Mdogo na tukaanza kupigana, mkubwa ni mkubwa tu, kuna Namna ma Mdogo alinishinda nguvu, na kwaajili ya kujitetea Mimi Mwenyewe, nikaokota chupa ya soda na kumtandika nayo kichwani mwake. Ma mdogo hakuchukua muda mrefu akadondoka chini na kupoteza fahamu uku damu zikimtililika tu. “Huu msala huu “ Nilizungumza kimoyomoyo uku nikiwa na wasiwasi sana, haraka nikachukua BEGI la nguo na kupakia nguo zangu, sikuishia hapo, nikamsachi ma Mdogo na kuchukua Pesa ambayo alikuwa nayo kisha nikaondoka uku Lengo langu likiwa ni kurudi tu Mbeya Maana yooooh huu ni msala mkubwa sana Kwa upande wangu. Sasa katika hekaheka za kukimbia na ile wasiwasi ambayo nilikuwa nayo, nilijikuta nikivuka barabara pasi na kuangalia, ata Sijui gari lilitokea upande gani lakini lilinigonga kwa nguvu sana. Chapter 4 ANZA NAYO Baada ya hapo Wala sikujua ni kitu gani kilitokea Maana nilikuja kuamka nikiwa kwenye chumba cha hospital, kichwani nikiwa na bandage, na dripu ya maji iliendelea kushuka mwilini mwangu kwa kupita kwenye mkono wangu. Lakini pia pembeni yangu, alikuwako mwanamama wa umri wa makamo, alikuwa amevalia nguo na vito vya thamani sana, mwanamama huyo, kwa wakati huo alikuwa amepitiwa na usingizi kiasi. "Ashih" Nililalamika baada ya kusikia maumivu makali sana ya kichwa. Polepole na kwa uchovu wa hali ya juu, mama yule akafungua macho yake, ni wazi Kuwa aliweza kusikia SAUTI yangu kwa wakati huo "Ooh thanks God umeamka" Aizungumza mwanamama huyo akiwa amefungamanisha mikono yake, baada ya kuniona Kuwa nimeamka. Nilibaki nilimuangalia tu mwisho nikataka kunyanyuka ili niweze kukaa kitako. "Usinyanyuke Tulia kwanza nimuite Dokta Alizungumza mama huyo Kisha akanyanyuka na kutoka nje. Kwa upande wangu nilibaki nikishangaa na kujiuliza ilikuwaje? Nimefikaje na vipi kuhusu vitu vyangu, Maana nilijitaldi kuangaza macho yangu uku na uku na sikuweza kuona ata BEGI yangu ya nguo Wala ata viatu tu ambavyo nilikuwa nimevaa. Baada ya muda mwanamama Yule akarudi akiwa ameongozana na daktari. "Ah kwa Sasa anaendelea vizuri kabisa, Nafikill kwa Leo tutabaki tukitazamia hali yake na kesho tunaweza tukaruhusu uweze kwenda nae" Alizungumza Dokta baada ya kuniangalia vizuri. "Asante sana Dokta Alijibu mama Yule akionekana Kuwa ni Mwenye Furaha sana Baada ya muda Dokta akatoka nje na kuniacha Mimi nikiwa na mwanamke huyo ambaye sikuwa nikimfahamu kabisa, lakini alionesha kujali Sana kuhusu Mimi. "Hellow, naitwa madam Glory Sijul wewe unaitwa Nani?" Aliniuliza mwanamke huyo "Haya sasa mambo ya madam yameanza Yaani Dar kila mtu mzima ni madam" Nilizungumza kimoyomoyo nikiwa nimemkazia macho "Umenisikia?" Aliniuliza madam glory baada ya kuona Kuwa nipo Kimya. "Nimekusikia naitwa Ishani, hapa nimefikaje ? Nilimuuliza. "Aaah Mimi Ndio nilikuleta hapa hospital, baada ya kukukuta barabarani ukiwa umetelekezwa na mtu ambaye alikusababishia njali Kwanza Nikamuangalia kwa muda uku nikiwa siamini kabisa Maneno yake Maana ni Kama. alikuwa akinidanganya kwa kiasi chake. "Asante sana kwa kunisaidia Nilimshukuru tu ingawaje moyo wangu bado ulikuwa hauja kubaliana kabisa na maelezo yake "Eeeeh Una Namba ya ndugu zako tunaweza kuwasiliana nao wakaja?" "Sina ndugu Nilijibu nikiwa serious sana. "Unataka kusema Kuwa hapa jijini hauna ndugu kabisa?" Nikamuangalia na kumjibu. "Ndio na sio tu jijiji ata Uko nilikotoka sina ndugu Mmama wa watu akashusha Pumzi Ndefu na kuzungumza. "Ni siku nne Saa naangaika na wewe hapa hospital mambo yangu yote yamesimama, Ishanii unaishi wapi?" Nikawa za na kuwazua kwa haraka Sana kisha niliamua kumdanganya. "Siku ambayo nilipata ajali Ndio siku ambayo niliingia Dar es salaam kwaajili ya kutafuta maisha Mama watu akahisi kuchoka kabisa na pasi na kuzungumza kitu chochote kile, akatoka nje na kuniacha nikiwa Mwenyewe pale wodini. Siku iliyofuata, niliweza kutuhusiwa kutoka hospital na moja kwa moja huyo mama akonichukua akiwa ajaniambia kitu chochote kile Kiukweli moyo wangu ulijikuta ukiwa na wasiwasi sana, kuna Namna nilikosa amani kabisa. "Samahani madam Groly Tunaenda wapi?" Nilimuuliza tu, muda huo Mimi na madam Groly tulikuwa kwenye gari moja Kali sana, na ilikuwa Ikiendeshwa na pande la mtu, Yaani kaka alijazia kila kona "Nakupeleka NYUMBANI kwangu, since umesema Kuwa hauna ndugu na hauna sehemu ya kukaa "Asante sana Mungu akubariki Nilimahukuru Tu uku moyo wangu bado ukiendelea kujiuliza je huyu ni mtu Mwema kweli au Ndio yaleyale ya ma Mdogo, kujifanya Mwema kumbe ana matumizi na wewe. My zangu, kuna watu wanaishi halafu kuna sisi hapa tunaishia, nyieeeh huu mjumba wa huyu mmama ni hatari na nusu woililih, "Hii Nyumba au ikulu Mungu wangu si unachunwa ngozi na hakuna mtu anasikia" Nilijisemesha Mwenyewe tu kimoyormaya, kutokana na wasiwasi mkubwa sana ambao nilikuwa nao, Nilijiuliza hayo, kipindi ambacho gar Ndio ilikuwa inaingia kwenye geti "Karibu sana Ishani jisikie Uko NYUMBANI" "Asante sana ma" Baada ya muda tukashuka kwenye gari tayali kwaajili ya kuingia Ndani, nilibaki nikishangaa mazingira mazuri na magari ya kifahari ambayo yalikuwa yamepangwa kwenye Nyumba hiyo. Hivi mwanzo Nilimwambia Kuwa ma Mdogo Ana maisha mazuri ? Ebu futeni Bwana nilikoses, madam Groly ni mwamba na nusu Ebu kwa pamoja tuseme igweeeha kwajili ya utajili anaomiliki madam glory woiiiih. Ishan Aliniita madam glory baada ya kuniona nikiwa nimeganda nikishangaa ukubwa na uzuri wa Nyumba yake "Twende Ndani Hapo nikajishtukia na kwa aibu ya hali ya juu nikaingia Ndani, Ndani nako Ndio usisene nyie watu wanamiliki vitu vya thamani kubwa sana. "Ma Zena, ma zena" Mama aliita kwa Sauti ya juu wakati huo Mimi na yeye tulikuwa tumesimama tu sebuleni. Baada ya muda akaingia mwanamke Fulani hivi ambaye kwa makadilio alikuwa anafikia miaka 40 hivi "Karibu madam" Alizungumza mwanamke Huyu niliyemfahamu kwa Jina la mama zena. " Asante, Huyu anaitwa ishanii ni mgeni wetu, kwa sasa mpeleke kwenye chumba cha juu apate kupumzika, wakati Ana Pumzika utamuandalia smooth na mtoli wa ndizi Alizungumza madam Groly kisha akaondoka pasi na kusubili jibu kutoka kwa mama zena. "Nifuate" Alizungumza mama zena kisha akashika njia Nami nikamfuata. Kiukweli nilikuwa Nina uchovu wa hali ya juu hivyo. Nilijikuta nikilala Sana Tena ukizingatia chumba chenyewe ni full kiyoyozi Ndio kabisa. Nilikuja kuamka muda ambao Giza lilikuwa limeshaingia na sikuwa najua ni Saa ngapi, kwa utulivu kabisa nikanyanyuka na kutoka nje lengo langu likiwa ni kwenda kupata maji ya kunywa. Katika pitapita zangu za uku na uku, kwenye moja ya chumba, niliweza kusikia maongezi ambayo yalikuwa ya Siri sana, lakini maongezi hayo yalinilenga sana Mimi. JE NINI KITAENDELEAAA!! "

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

Wale wadada wakanyamaza kidogo, wakaniangalia kuanzia kichwani mpaka miguuni. Mmoja akauliza “Huyu ni nani tena?” Nikavuta pumzi ndefu, nikajikaza. “Sikujua kama leo ni sherehe, , mie ni mke wake” nikasema kwa sauti ya kutulia yaani nikajikaza mpaka mwisho "Hee, We Deo umeoa lini" yaani mpaka jina wanamjuaa nilichoka mie D akajitoa mikononi mwao “Jamani achaneni na mimi kwanza…” akarudi nyuma kidogo "Veroo kwanini umekuja hapa bila kunambiaa??" Nikabaki nimeyatoa macho hilo swali analo niuliza jamani "D ...sitakiwi kuwa hapa hadi nikupe taarifa??" "Sio hadi unipe taarifa , hadi nikuite, Nimekuita??" Mmmh yalinishuka mie "Haya Nenda nyumbani!!" "Yaani D niondoke mie nikuache na hawa wanawake kwelii?? Siendi popote nimesema siendi popote paleeee " nikaanza kulia walau anionee huruma sasa mana kumshawishi kwa upendo nimeshindwa nililia huku naongea maneno ya kutia huruma kamani nililiaa Wale wadada wakacheka kwa kejeli. “Nimekwambia ondoka nitakuja kwako, Sipendi mwanamke asie nisikiliza" yalinishukaa "D......" hata alinisikiliza jamani "Veda, Embu nisaidie kumtoa huyu asiingie hapa Getini yaani watu wengine bwana" sikuamini masikio yangu Jamani nililiaa akaja huyo Veda akanizuia kuingia mana nilikuuwa namfata nyuma D "Si nilikwambia hutakiwi kuwa hapa??" Nikamgeukia kwa hasiraaa nikamwambia "Niacheeee!!!" Nikajitoa kwa nguvuuu lakini alikuwa amenibana hata sikujichomoa "Niachee!" Hata ananielewa basi ananivuta kunitoa na mie aah hatasikuwa nakubali nikawa najirusha nahangaika kujitoa kwenye mikono yake nilipoona haniachii nikaanza kumtukana yaani hasira zangu zote nikaona ngoja nimalizane nae "Nimesem niachiee niachee, Mwanaume mzimaaa upo hapa kumlinda mwenzio lione baba zimaa au jogoo hapandi mtungi et hanithi wewe Embu niacheeee ... Mwenzio ana enda na wanawake wewe kazi kumfata fata tu nyuma lijinga kweli hili kakaaa Mxeeeuw " "Ondoka" yaani anavyojibu kama hatugombani vile "Au shoga wewee eeh msnge weweee, Ndo mana kutwa kumfata fata nyuma kama fa...." wee Yale maneno sijui yalimuumaaa wee aliniweka bonge wa banziiii hadi nikaona 6 6 6 kichwani zinazunguka .. Nikashika uso nikainama kwa sec "Shit!!! Ooh sorry yaan aah okay tuone!!'" Akawa ananitoa mikono yaani kahamanika kweli sa sijui alihisi kauwa "Niacheeee, Mshenzi wewe niacheee, We nae mwanume wewe we mwaume weweee mjinga tu" Akaniachia mkono polepole, akahema kwa nguvu kama mtu ambae anajizuia asifanye kitu kingine. “Nimekuomba uondoke kwa amani, ” akasema kama ananibembeleza hivi “Usinilazimishe nifanye nisichotaka.” '"Embu tusifike mbali tafadhali panda gari yako nenda nyumbani ukapumzike " ndo nilisikia sasaaa "Hivi wewe hata una dem kweli wewe unajua mpenzi wewe au kazi yako kufata fata wanaume wenzio nyuma unataka kuchokonolewa, Sio ajabu hata husimami...." "Unataka kuona navyo simamishaaa....." Nilishtuka ameninyanyua juu juu kama karatasi yaani gafla tu nikajikuta juu amenibebaa kama .. "Unataka uone uanaume wangu??'" "Embu niache we kakaa Niachee, D ....D njoo unisaidieee" hapo napiga miguuu aniachie hakuongea na hata Sikujua anataka kunifanya nini mie nilijua ananipeleka sehem ingine ili akanipige vizuri, nikashangaa anafungua mlango wa gari ya D akanitupia huko, ile nataka kuinuka akanirudisha tulikuwa huku nyuma "Unataka kufanya ni..." nishangaa kaivuta gauni yangu juu wee niliyatoa machoo halafu sikuwa hata nimevaa Pichu yaani akakutana na kitu live niliona aibu nikarusha miguuu ili nijitetee niliona kabisa hapaa nabakwa kweupeeee "Kaka angu tafadhali, kaka angu tafadhali usi aaaah" weee nikashtuka mtu kaweka domo lake kwenye K yangu haa Nikaishiwa pawa jamani sa sijui nipige kelelee au nishangilie mana alivyokuwa anakanyonya kuna msisimko flani hivii niliupata mweeh "NAPIGA KELELEE UNANIBAKA NIA..... WE KA..." nikajikuta Pumzi gafla tu zinakata ile kurusha rusha miguu et ikawa haina nguvu tena afu sijui ni ule upwiru nilio kuja nao kutoka nyumbani mana nilijiandaa kuliwa ila sio na huyu mwehu bwanaaa !!! Nikalegeaaa mie tena kaka wa watu akajilia vyake kwenye gari la bwana angu yeye Bosi wakee .... Itaendelea....

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

Ukurasa wa kutazama wa YouTube unaangazia upakiaji wa kwanza kabisa unaoitwa "Me at the zoo," ikionyesha mwanzilishi mwenza wa YouTube Karim mwenye umri wa miaka 25 wakati huo katika Zoo ya San Diego akizungumza kuhusu tembo. Klipu hiyo ya sekunde 19 imetazamwa mara milioni 382 na kupokea zaidi ya watu milioni 18 walioipenda tangu ilipochapishwa kwa mara ya kwanza kwenye jukwaa Aprili 23, 2005. Mwanzilishi mwenza wa YouTube Jawed Karim katika "Me at the zoo." Kwa hisani ya V&A Museum "Jambo la kupendeza kuhusu hawa watu ni kwamba wana vigogo warefu sana," Karim alisema kwenye kipande hicho. "Timu yetu ya uhifadhi wa kidijitali imetumia miezi 18 iliyopita kujenga upya muundo na tajriba ya jukwaa kuanzia tarehe 8 Desemba 2006, muhuri wa zamani zaidi uliorekodiwa mtandaoni," msemaji wa V&A aliongeza. Timu ya V&A ilishirikiana na timu ya utumiaji ya YouTube na studio ya kubuni ya mwingiliano yenye makao yake London oio kwenye mradi huo. Kazi ya kwanza ya YouTube itaonyeshwa katika matunzio ya Design 1900-Now huko V&A South Kensington, wakati mchakato unaohusika katika kuunda upya utachunguzwa katika onyesho dogo kwenye Ghala la V&A East huko Stratford.

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

Maneno ya Boda boda yalikuwa yananifikirisha sana, nikafika nyumbani sina hata rahaa, kila nikapiga sana simu ya D hakuwa anapokea nilipiga sanaaa hata hapokeii .. Usingizi hauji yaani kila nikikumbuka wale wanawake jamani wapo uch uch tu daah najikuta natamani hata kulia sa anawezaje kwenda sehemu kama ile eti kujipumzisha mmh Usiku nikaona simu inaita D ananipigia nikaipokea haraka harakaaa, Ajabu hakuwa D nikakutana na sauti ya Veda, Ooh akaniuliza swali moja tu "umefika salama??" Nikasema " Ndio D yu....." Nikasikia Tii tiii mweeh simu ishakatwa hee kwahiyo katumwa aniulize au vipi, Nikaanza kupiga simu haipokelewi, nilipiga sana haikupokelewa tenaa daah . Nikajuta yaani nilitamani hata nisingejua tu D alipo, Basi nikalala zangu sa ningefanya ninii , mpaka naamka asubuhi sikukuta hata simu ya D jamani nikapiga tena haikupokelewa , mie nikajiandaa zangu nikaenda kazini, nikasema sitapiga tena simu . Kaja kunipigia simu mchana nilikuwa na hasiraa, nikaipokea huku nimenunaa hatari "Halo.!'" Yaani haloo ilikuwa kavu hatari nimekasirika sijawahi "Mke wangu ...mrembo wangu Vero wangu nimekumiss ujueee " heheh nyie haha yaani hata nguvu ya kuchukia nilikuwa nayoo sasaa nikajikuta nacheka akanambia "Umekula mamaa eeh'" wee sa ngap isije sauti ya kudeka "Hata sijala we jana umeniudhi sanaa" yaani hapo nimelegea hatari "Came on mke wanguu kwanini sasa unajitesa okay naomba unisamehe kuhusu jana eeh' "Mie sipendi bwana uwe unaenda hapo D mie sipendi bwana " "Nimekuelewa mama watoto wangu Sitaenda tenaa sawa eeh" "Sawaa kwahiyo upo wapi??" "Ahm nimetoka Godaun hapa nilienda kukagua gari si unajua hawa vijana bwana hawa aah soon utaanza kusimamia wewe ma mtu" mie tenaa hapo nachekaaaa yaani laiti ungeniona heheh maharage kg 50 nikipewa kuhesabu bila shaka nitakupa idadi yake kamiliii .. Tukaongeaaa jamani hapo akanibembeleza niende kula kudeka sasa, akanitumia na hela niende kula mie li kichwa paaaa!! Nikala kwa mapana 60, Sasa tangu baby kaja hatujanyanduana ujue na aliondoka umekuwa muda kweli mie binafs nilikuwa nishamiss dudu hivyo, Nikapanga nikitoka kazini jioni niende huko nikalale kesho niamkie kazini, Wakati natoka kazini nilimpigia sana simu hakupokea unajua kawaida mana ni mtu ambae yupo bize sana ndo mana nikasema mie ananipa muda mchache wa kuwa nae ila kama tutaoana inamaana nitamuona zaidi kuliko sasa tunavyo ibana ... Nilipoona hajapokea simu, mie nikaenda mpaka nyumbani nikaoga vizuri mtoto wa kike unyunyu kama wote bwana eeh nikachukua vishanga vyangu nilivinunua kitamboo nikavitunza mpaka siku D aje ndio nitavaa kwa ajili yake, basi mtoto wa kike leo ndo nikavaa nikatafuta na gauni yangu nzuri ya mpira lainiiii, halafu sikuvaa Hata pichu ili nisimpe tabu kuhangaika , nilitaka akutane na tamu yake live liveee hahah nyie nilikuwa na upwiru na ile kum_miss Ba mtu imekuwa muda mrefu hahah basi bwana vinyunyu kama vyooote yaani nilihakikisha nanukia mpaka uch hatariiiiii hahaha . Nikapanda gari yangu nikasema kwake napajua ya nini sasa nihangaike na kumpigia simu jamani wakati mie ma mtu ndio mwenye mjengo tenaa ... Safari mpaka kwa D, Nikakuta gari yake ipo nje nikajua yupo nikapack mbele kidogo mana ile gari yake iliziba geti, Wakati naikaribia ile gari nikashtuka kumuona Veda amesimama nje ya gari ameegamia anavuta mibange yake yaani huyu kaka na Bangi jamani khaaa!! Mie hapanaa jamani .. Alipo niona alishtuka akaniuliza "Umekuja kufanyaje hapa!!" Khaa!! Nikamshangaa sa ananiuliza hivyo kama nani kabla sijajibu akanivuta mkono "Hutakiwi kuwa hapa'" ananivuta kunipeleka kwenye gari yangu , nikauuvuta mkono nikamuuliza "We kama nanii??" Akaniachia "Sikiliza sipo hapa kukubembeleza sawa Ondokaaa!!" Akaongea kwa ukaliii amenikazia jicho mama limenoka bangi tu Bado natafakari huyu amekubwa na nini leo nashangaa mlango wa gari ya D umefunguliwa akashika D na wadada wawili jamani jamani jamaniii amelewa yupo pwiiii wale wadada ni wanamatako hadi yanawashinda kutembea walivyovaa nusu uch kabisaa yaani wapo wazi sehemu kubwa ya mwili jamaniii wamemshika huku na huko yaani kimahaba kabisaa Baada ya wao kutoka akatoka tena mdada mwingine nae ameshika chupa za pombe kali yaani kazibebelea mpaka zingine zinamshinda daah .. Wale wadada wanatembea huku wanamchezea mwingine kifua mwingine shingo jamanii, nilisikia aibuuu haswa mbele ya Veda dah nilijisikia aibu, hasiraa na uchungu huko humoo Machozi yakaanza kunitoka miguu inatetemeka, nilitoka mbioo hata kabla hawajalifikia geti nikamvuta D kwa nguvuu nusu aanguke nilishika shati nikavuta kwa nyuma wote wakayumba yumba Veda hana hata habar akasimama pembeni anavuta bangi yake kama mtu asiyejali chochote, kana kwamba pale hakuna kinachoendelea D alipo niona alishtukaa Alishtuka ghafla kama mtu aliyemwagiwa maji baridi. “V…Vero…??” Itaendelea.....

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

after talks with the Russian ambassador as it tries to extradite him back to face charges. “Working with the Ghana Police CID, we have activated international legal action through INTERPOL to ensure that once the individual sets foot outside Russia, we have a legal route to make him answer for his actions within Ghana,” Communication Minister Sam George saida

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

SONGA NAYO...... "Uwiiiii mamaaa, sir nisamehe.." Alilalamika yule mwanafunzi. ( yani unaongea hivyo na mtu ambaye ananifanya nikose usingizi, nishindwe kula harafu unaongea unavyojisikia na mimi nikiwa hapa kabisa, pokea na hicho..) Nikamshushia kingine 😂😂 "Sir samahani..." "Nilikuruhusu uongee..??" Nilimuuliza "Hapana sir..." "Hebu toka hapa, beba na kiti chako uondoke sitaki kukuona hapa na kwenye hili kundi uhame utafute kundi jingine mbwa wewe.." Basi yule mwanafunzi akabeba kiti chake huku analia akaondoka zake, ili kujifanya nimesahau nikarudi kukaa ili wanafunzi wajue nimemsahau Lizy ila ukweli nilifanya makusudi kabisa "Yani binti muongo muongo kama nini bana, sasa yeye yanamuhusu nini hapo aje na mzazi aseme nimemuonea kumbe wala binti ndio ana matatizo.." Nilijongelesha 😂🙌🏾 Basi nikaanza kufundisha na muda wote nafundisha hapo nilikuwa namuangalia sana huyu binti walah 😂 kuna namna nilivutiwa nawe, kuna muda nilikuwa najisahau hata kufundisha nabaki nimemtazama tu aisee Ilifika wakati mpaka wanafunzi wangu wakawa wangeuka kuona ni nani namtazama..😂🙌🏾 Basi masomo yaliendelea na muda wa kurudi nyumbani uliwadia nikamfuata Lizy muda huo anatembea pole pole kuelekea nyumbani na mimi nikaongozana nae 😂 Sikuwa naogopa chochote si ni mwanafunzi wangu lakini, hivyo sikuwa na wasiwasi kabisa "Mambo..." Kakiwa kanatembea taatibu nilikasalimia na sio kawaida yangu 😂 akageuka na kuniangalia kisha akashtuka. "Mh mbona umeogopa hivyo, au ninatisha..??" Nilimuuliza "Hapana siri, ni vile tu umenshtua yani.." Akaongea, dah ngoja niwaambie kwanza, kumbe Lizy ni mzuri namna hii na hata kunishtua tu hamna mnaendelea kukaa kinya watu wangu, walah binti ni mzuri na hii siku bwana niliweza kumuona kwa ukaribu zaidi🥰 "OH pole kumbe nimekushtua, basi shika hii hapa pesa ukanunue Counter.." Nilisema huku nikimpa elfu tano, akanianngalia tu bila kupokea huku akiiangalia hiyo pesa, ikabidi nimshikishe kabisa kenywe mkono wake Na muda huo huo akaja madam Penina so hakuweza kabisa kunirudishia "Kipenzi..." Madam penina baada ya kufika hapo aliniita jina ambalo lilinifanya nimuangalie Lizy mara mbili mbili, 😂 maana kwenye akili yangu nilijua huyu binti atakuwa amenielewa Lakini nilishangaa ni baada ya kuguna kidogo kisha akatuaga na kuondoka zake nikabaki namtazama jamani niliumia 😂🙌🏾 "Haya na wewe kipi cha kuniita mpenzi na huku mwanafunzi wangu alikuwa hapa...." "Aaah Henry kwahiyo umesahau kabisa kama mimi sio mpenzi wako..??" Aliniuliza "Haikuwa na haja ya kuniita mbele ya mwanafunzi..." Niliongea kwa hasira, jamani kuna kitu nawaficha mimi na huyu madam tuna mahusiano, lakini hayo mahusiano upande wangu siyachukulii serious ,yani mimi nakuwa na huyu dada pale ninapokuwa na ugwandu wa muda mrefu 😂🙌🏾 Jamni mtanisamehe bure akina dada ila ukweli huyu dada ameyataka mwenyewe yeye ndie ambaye alinifuata na kuniambia ananipenda, na kibaya zaidi akaja mpaka geto kwangu Kama ambavyo mnavyonijua kwa tabia zangu siwezi acha mzigo hovyo hovyo kabisa nilichofanya ni kupita nae shwaaa 😂 mdada saivi ndio ananielewa kinoma Ila upande wangu simpendi kabisa yani hata kumuona tu najihisi vibaya 😏, basi madam penina, ohooo danga langu akawa ananibembeleza pale huku akinipa maneno matamu matamu Nilijua tu anataka hakuna kingine, nilichofanya mimi ni kumwambia tu twende geto kwangu, bila ubishi akanifuata tukachukua boda mpaka geto Wa kwanza kuaingia alikuwa yeye, basi mimi nilikuwa nafanya taratibu yani najivuta vuta kama sitaki nataka akafungua mlango na kuingia Ile naingia tu sebleni akanidaka na kuanza kunipapasa paasasa, alooo🤣🤣 nilijua tu huyu kuna vitu vinamsumbua vimemkaba mpaka koo Akanifungua shati langu akalitupa huko 😂 akamaliza akashika surualia akairusha huko, muda ote me nimetulia tu huku namuwaza Lizy wangu "Henry mbona hivyo lakini..??" Aliniuliza baada ya kuona simpi ushirukiano, sikumjibu nikamuangalia tu, basi akaendelea akanivulisha bosex akashangaa jamaa bado amelala Akanitazama machoni, me mkavu namuangalia tu huyu dada namna alivyokuwa anasumbuka kwa ugwandu 😂🙌🏾 "Henry, unaumwa au mbona leo imegoma kusimama ...??" Aliniuliza "Sijui..." Nilimjibu kikavu, akainama na kuishika lollipop na kuanza kunyonya hapo, jamaa wapi kitu kipo vile vile, alifanya kila anachojua ili mashine isimame lakini wapi kijana wenu alikuwa ametulia tuli Mwisho akachoka na kukaa kwenye sofa, akawa ananitazama tu alikuwa na hasira yani hata kuongea hawezi akachukua nguo zake akavaa 😂😂🙌🏾 me naendelea kumcheki Hata bila kuniaga akaondoka zake, nikaanyanyuka na kufunga mlango nikaanza kumuwaza Lizy sasa, mara kitu hiyo ikasimama nikashangaa Itakuwa madam penina kaniwekea madawa sio bure, nikabaki natapatapa mule ndani huku nikiombea mzee wangu alale lakini wapi Nikawa nataabika tu nikaona cha kufia nini nikaingia bafuni na kuvua nguo zote nikachukua sabuni 😂😂 na kuanza kujisugua huku nikivuta taswira ya mtoto Lizy Mwamba jasho lilikuwa linanitoka, nikiwa naendelea na mchezo nikasikia mlango unagongwa, nikastop kwanza "Nani...??" Niliuliza lakini palikuwa kimya, nikajua nmesikia vibaya nikaendelea muda huo huo ukagongwa tena nilichukia, nikachukua taulo na kujifunga huku nikiwaza kwenda kumtukana huyo ambaye alikuwa anagonga mlango Nikatoka huyo mpaka sebuleni na kushika kitasa huku nikiwa na hasira jamani ile nafungua namuona Lizy mbele yangu...... ITAENDELEA........

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

utakaopigwa Machi 01, 2026 kuhamishiwa katika uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar badala ya Benjamin Mkapa kama ilivyopangwa awali na kubainisha kwamba kanuni zinaruhusu. Akizungumza na chombo kimoja cha Habari Boimanda amesema mchezo huo Kati ya wenyeji, Yanga Sc dhidi ya Simba Sc umepelekwa visiwani Zanzibar kutokana na uwanja wa Benjamin Mkapa kuwa na matumizi mengine siku ya Machi 01, 2026. Tarehe 1, Machi 2026 kutakuwa na mashindano makubwa ya Mabara yote ya Qur'an ulimwenguni katika Uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es salaam ambapo mgeni rasmi wa tukio anatarajiwa kuwa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Dkt. Hussein Mwinyi. #KitengeSports

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema Said
 

hatar kibend tumepat

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

Ucjali lia mimi tayari nimeshakusamehe na ninakuombea kwa mwenyezi mungu akuponye uweze kurudi kwenye hali yako ya kawaida.... lia aliomba msamaha kwa paschal kutokana na vishawishi alivyokuwa akimpatia na hivyo ndivyo vilivyopelekea Junior kupatikana Junior ni jina la mtoto wa lia...ucjali lia tayari yalishapita hatuna budi kuachana nayo tugange yajayo.... aliongea paschal..... mimi pia siyo msafi ni mkosefu nilimuomba lia samahani kwa sehemu yoyote ile niliyowahi kumkwaza basi aniwie radhi sote binadamu makosa tumeumbiwa sisi.....tulikumbatiana pale baada ya hapo tulimuaga lia alimkiss mtoto wake Junior alimwambia nakupenda sana kipenzi changu hata kama kesho ukiamka usiponikuta basi tambua kuwa mimi mama yako ninakupenda sana na ninakuombea ukue vyema rehema za mwenyezi mungu ziambatane nawe..... machozi yalikuwa yakimtoka lia kipindi alipokuwa anayaongea hayo maneno..... basi inatosha lia wacha sisi tuondoke ili tusiendelee kukufanya ulie.... pumzika hali uliyonayo hautakiwi kabisa kulia utajiumiza.... nilimwambia vile tuliaga tukaondoka pale.... Moyo wangu ulikuwa na amani sana.... angalau lia aliweza kuyatambua makosa yake na kuomba msamaha siyo hilo tu hata mimi nina amani kwa kuwa nimeweza kumuomba samahani kwa pale nilipowahi kumuumiza angalau sasa tutaenda kuwa marafiki mimi na yeye.....namuomba mwenyezi mungu amponye....eh mungu wangu lia kaweza kukiri makosa yake na kuomba radhi kwangu na mme wangu namimi natamani kuomba radhi kwa mme wangu kwa makosa ya uzinifu niliyoyafanya yakapelekea mimi kuzaa nje ya ndoa....usiku wa ile siku nilimfuata mme wangu nilimuomba tuongee alinikubalia..... niliyakiri makosa yangu yote kwa paschal nilimuomba anisamehe nilishajutia mme wangu na sitamani kuwa kama zamani.... mme wangu alinikumbatia aliniambia pendo nakupenda sana ni wewe pekee ndo mwanamke uliyejaa kwenye moyo wangu ikitokea ukaniacha wewe basi hakuna yeyote yule atayeweza kuufikia upendo nilionao kwako hata ikitokea mapenzi yetu yakaisha basi tambua wewe katika moyo wangu utaendelea kuwepo milele na milele.....alinikumbatia alinikiss aliomba namm nimsamehe kwa kila kitu alichowahi kuteleza kwangu nilimwambia yote kheri mme wangu siku zote tunajifunza kutokana na makosa😘😘..... Tulienda zetu chumbani kulala usiku ule ulikuwa ni usiku wetu wa pekee wa kulizindua penzi letu lileeee kama la zamani kipindi ndo tumeanza kutongozana🙈 ilikuwa ni baada ya kuondoa vinyongo vyote katika mioyo yetu...... mme wangu aliniomba twende bafuni tukaoge wote pamoja niliambatana naye kwenda bafuni tulioga huku tukiwa tunachezeana mapenzi ni raha sana haswaa pale unapokuwa katika himaya ya yule unayempenda kwa dhati baada ya kutoka kule bathroom mme wangu aliyakausha maji yaliyokuwa katika mwili wangu kwa kuitumia towel nyepesi baada ya hapo alinipaka mafuta mwilini kwangu huku akiwa ananipapasa fulani hivi🔥hisia nzito zilianza kulindima katika viunga vya mwili wangu nilikuwa namtizama tu mme wangu vile anavyonihudumia kwa upendo wa hali ya juu basi nilijikuta najiambia hata ikitokea tukazaliwa upya basi mimi nitamuomba yeye tu ndo awe wa kwangu.....alinifanyia massage pale kwenye nunu yangu😋😋 alikuwa anaimassage taratibu kwa mahaba😋😋😘😘.... Nilinogewa na ule utamu niliokuwa naupata niliendelea kuusikilizia tu nilitamani aendelee kunifanyia vile🙈🙈 alinifanyia kwa muda hadi kiusingizi kilianza kuninyemelea.....ni zamu yangu namimi nataka kukufanyia kama hivyo.... nilimwambia..... ni sawa laazizi wangu aliniruhusu nilimkalia kiunoni kwake nikaanza kum-massage katika sehemu za shingoni kwake mabegani kila sehemu yani nilimfanyia na yale maandalizi ya kikubwa baada ya hapo alikuja juu yeye🙈🙈 alianza kunichokoza kwa kuitumia bakora yake alikuwa ananitekenya pale kati na mwishowe aliizamisha et nilianza kuililia ilikuwa tamu siyo kidogo alianza kunitia taratibu huku akiwa ananipatia mate mdomoni kwangu hakuacha kunisugua huku mikono yake ikiwa inazichezea nyonyo zangu😋😋 ni utamu tu ndo kitu nilichokuwa nakisikia.... niliitumia mikono yangu kuupapasia mwili wake katika sehemu mbali mbali zile zinazoongeza hamu ya tendo sikuacha kumzungushia kiuno changu taratibu naye alikuwa ananitia taratibu huku akiwa anaisifia tamu yangu💋💋 alinisugua tena na tena alichoka kukaa juu akanipandisha mimi nikaenda jipakulia.... niliichezea kiufundi hadi akakojoaaaaaaa💋💋 Baada ya tendo tulilala huku tukiwa tumekumbatiana nampenda et upendo wangu wote upo kwake kamoyo kangu kote nimekauza kwake🤣🤣 nayeye hana neno mtoto wa mama mkwe ametulizana kwa mtoto wa kiiraq..... usingizi ulikuwa ni mtamu sana si mnajua ukikumbatiwa na yule umpendaye vile unavyoenjoy na radha ya usingizi inakuwepo ya kutosha😋💋😋...... kesho yake asubuhi baada ya kupambazuka tulijiandaa baada ya hapo tulielekea hospital kwa ajiri ya kwenda kumuona lia tumpeleke na Junior kwa ajiri ya kwenda kunyonya....tulifika pale hospital madactari walituzuia kumuona lia.... samahani sana hamuwezi kuonana naye hali yake imebadirika ghafla amerudishwa icu kwa ajiri ya kuwa chini ya uangalizi wa hali ya juu wa Jopo la madactari wanaopambana ili kuweza kumrudisha katika hali yake ya kawaida...... hayo yalikuwa maelezo ya dactari kuhusiana na lia....amekuwaje kwani?! yani kimemtokea kitu gani?! Na hali yake mnaionaje nawaomba mfanye kitu kwa ajiri ya kumrudisha katika hali yake ya kawaida doctor nakuomba upambane fanya kwa ajiri ya Junior anamhitaji sana mama yake😰😭 machozi yalianza kunitoka baada tu ya kuambiwa kuwa Hali ya lia inatisha sana..... Maskini Junior😰😰kila nilipomwangalia nilisikitika sana yeye hakujua hali anayoipitia mama yake huko icu😰😰 kenyewe kalikuwa tu kanatuangalia hatukujua hata kanawaza nini akilini kwake😰😰 baby usiwaze mommy atakuwa safe nilimwambia Junior huku nikiwa nambeba kutoka kwenye kile kigari chake..... nilienda nikaket sehemu nzuri yenye kimvuli nikaanza kumnywesha Junior maziwa yake nilimpatia maziwa taratibu alikunywa akashiba baada ya hapo nilichukua kile kitambaa chake cha kumsafishia mwilini kwake nilimsafisha baada ya hapo nilimbadirishia pampers pamoja na nguo kalisinzia et...nilikabeba nikakafunika vizuri tulipanda zetu kwenye gari tukaanza kuondoka pale hospital. ..... tulifika nyumbani nikaenda chumbani kwa Junior kwa ajili ya kumlaza Junior nilimlaza kitandani kwake baada ya hapo nilimfunika vizuri nikatoka nilienda maktaba nikachukua vitabu viwili kimoja ni kitabu cha mapenzi kinachoelezea namna ya kuimarisha ndoa pamoja na mahusiano...... na kitabu cha pili ni kitabu chenye simulizi za kutisha ambazo mara nyingi mme wangu huwa anazipendelea sana...... nilimpatia kitabu chenye simulizi za kutisha kisha na mimi nilibakia na kile kitabu changu chenye simulizi zinazoelezea namna ya kuimarisha mahusiano pamoja na ndoa.... Tuliketi tu pale kwenye ngazi za juu ghorofani nje ya chumba cha Junior tukawa tunajisomea kurasa za kwenye vitabu ili angalau tuweze kupoteza mawazo tusogeze na muda.....tukiwa zetu busy kujisomea ghafla ilisikika sauti ya Junior akiwa analia kwa sauti ya juu sana mimi na mme wangu wote tulikimbilia chumbani kwa Junior kwenda kumwangalia kawaje mbona alie kwa sauti kiasi hiko na wakati alikuwa yuko usingizini nilikwenda nikambeba baba yake aliniomba nimpatie ambembeleze alimbembeleza mno lakini mtoto alikuwa ananyamaza kwa sekunde tu kisha analianzisha upya...... alilia hadi kwikwi ikamkamata... tukiwa bado tunaendelea kumshangaa Junior tuliwaza hadi kumpeleka hospital lakini simu ya mme wangu pascal iliita alipiga baba yake lia alikuwa anatutaarifu kuwa lia hatunaye tena katika dunia hii😭😭😭... Itaendeleaaaa........

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

Nikasem na mm pia simkumbuki. Rahul akasema unamkumbuka mma.si yule alikua nanibeba . Nikasema simjuh mbona unanilazimisha. Mwanangu si ndo akakumbuk akasema ni elly bibi. Anaitwa bab elly. Uzuri sasa mimi nikiwa na mlige. Nimezoea sana kumuita jina lake lenyewe elly.so mma ili jina halijui🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌🙌. Mama akasema mtoto maraya wew. Umeshapata bwan mwengine anaitwa elly si ndio mie kimya. Mama aksema sawa umwambie waje nyumbani kukutole posa sio kukuchezea uko watakupanua harka. Mshenzi wewe. Mie kimyaaaa ila raul anakumbuka jaman. Khaaaa kama katumwa. Mama akanisema pale kisha uyo akatoka ndani. Asee nikamsogela rahul nikamfinyaa shavuni. Heee si kaanza kulia. Namsikia mam unampiga mtoto si ndio . Nikasema hapana mama kaanguka mimi wala sijamfanya kitu Heee mwnagu nae et bibi ananifinyaaa.🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌🙌🙌. Mama akaja kumchukua. Et twende uku mchumba wangu achana na hilo shetani. Akamchukua akaondoka nae. Akaenda kulala nae chumbani kwake. Basi na mie nikajipumzisha nikiwa na mawazo mengi. Kweli bwana nampenda na ata mlige aananipenda sana .ila kuwa pamoja itakuwa mtihani . Mh basi nikajilalia zangu asubuh nikaamka na kazi zangu. Mida ya saa 4 hivi naona mlige ananipigia . Nikaenda kupokelea chumbani kabisa. Akanmbia vp mchumba unaendeleaje.nikasema.niko powa vp ww. Akanmbia niko powa . Vp bi mkubwa hajazingua.nikasema hapana wala sio sana ila sasa rahul si kakutaja uku. Mlige akacheka akanmbia wee sure. Nikasema.ndio ila kakutaja kwa jina la elly mama ajajua. Mlige akasema ata kama atajua ni sawa tu mi sijali kiukweli. Nikasema.no mlige una mke wewe. Akanmbia nakumbuka sasa mbona unanikumbusha. Mh nikabaki kimya akanmbia uwe na siku njem nakupenda sana faridah..nikasema powa .kisha nikakata simu. Nyieeeeee achenii Kuanzia apo shoga yenu penzi na mlige likaludi kama kanitia bikra jana. Yani lilijaaa aswaaaa. Baba kanipenda kanipenda kweli. Mahaba kama yotee. Na pesa ananipa sana. Nyieee na mimi nikaanza kuonekana mwanamke. Na mambo yake kama kwa ni mwanza ndo tunaenda kufanya yetu. Ikawa sasa namuacha mtoto naenda mwenyewe uko nakaaa ataa weeek . Ila sasa nikawa nazuga bwana akiludi mimi nabaki ata siku 3 ndo naludi. Kumfanya yusta asistuke. Ila mlige wee uyu baba kwa kunipenda sio siri. Kwanza akiwa na mm ni ana rahaa mnoo. Tunacheka na kufurahii. Namtania hivyo .japo ananambbia we skkuamini najua ukipata mwanaume wakunizidi unaniacha. Nakuwa naumia na ayo maneno ila sina cha kufanyaaaa. Shoga yenu nikawa mchepuko aswaaaaaa ikapita kama miez 2. Mie mchepuko wa mlige. Na pesa annipa. Apo mama anajua nna bwana anaitwa elly yupo mwanza . Ana gari . Kumbe ndo mlige🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌 Basi siju iyo sasa nipo nyumbani naosha vyombo. Mh najisikia kichefu chefu kweli kweli. Nyieeeeee nikajua apa mamb yashatiki mana kwanza sikuwa najielewa. Na mlige alikuwa nafosi kinoma kuzaa na mie. Yani alikuwa hataki kumwaga njee kabisa. Na mie wala sikuzuia. Niliona ata nimfurahishe kwa hili uyu baba. Kama kuzaa nae basi saw tu. Na kweli nilivyoona vile .mie niikaenda kujipima . Weeee mzigo umetiki. Dr akanmbia ina mwezi na week 1. Basi mie nikamtumia sms mlige nikamwambia mana nilikuwa na uwa kika kwa uo mda atakuwa kazini. Nikamwambia mimi nimepima leo ni mjamzto. Wee mlige akapiga simu mda uo uo. Natweta. Et faridaha plsss hakuna kutoa mimba nasema hakuna kutoa.mimba khaaa kwani mie nimemwambia nataka kutoa mimbe🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌🙌. Nikasema sitoi mbona una presha elly. Akanmbia uko wapi. Nikasema home akanmbia sawa usizulule plss isije kutoka. Nyieee mpaka nikacheka yani nilijua uyu baba alikuwa na kiu ya kuzaa na mimi aswaaa. Basi shiga yenu nikaanza kulea mimba ata mama sijamwambia . Nyiee baba anatuma pesa kama chizi. Sikua na shida ata. Nikanenepa na nikapendezaa. Mie wala sikuwa na shida kwanza nilikuwa na heshima. Namba ya mlige kwenye simu yangi sijasevu kabisa. Na nikichart nae nikimaliza nafuta. Sijuh yeye sasa uko. Ile mimba ilivyofika miez 3 .mama akanigundua. Nikamwambia ahaa mama. Ndio mimi mja mzito ila alonipa mimba anaitwa elly amesafiri tu . Ameenda Congo ila akiludi anakuja. Mama alinambia we nyots yako ya kuzaliswa nyumbani sawa sina cha kufanyaaa. Mh mie nikaanza kuangaika na mimba yangu. Hii mimba ilinipenda wala sikukonda na kuumwa kama rahul hii mimba nilipendeza. Niliwaka . Mtako ukaludi. Apo sasa ndo mlige ana shida kila week end anataka tukalale wote . Et anataka joto la mwanae. Mpaka nikawa namsema kwamba mkeo atajua ahaa wapi wala hataki ni mbishi jamnai. Siku iyo sasa nimetoka road. Nikakutana na yusta naona alienda kuangalia maduka ya mumewe. Basi nakwambia alivyoniona akanambia we dada mbona umependeza hivyo na una mimba. Nikasema ndio nn mimba . Akanmbia wewe mbona umependeza sana . We hutembei na mume wangu kweli wewe. Nikasema kwani mumeo maraya. Mbona una muhisi vibaya kila ukiniona.kwanza nna mda sana sijaonana nae uyo mlige sijuh ata anafananaje. Na hii mimba shiga nataka kuzaa mtoto wa pili na baba rahul kaludi wala usijipe presha aknmbia ahaa kumbe sawa. Ila mie nikisikia unatembea na mume wangu nakwambia kutakucha yani ntakiwasha hautaamini. Mie wala.sikumjibu nikaondoka zangu mana sikutaka maneno mengi. Nikapambana na kulea mimba mpka mimba ikafikisha miezi 4. Nyie apo mlige nikiguna tu . Ananipa nnacho kutaka. Yani mapenzi alinizidishai mpka nikawa namshangaa kwamba uyu ana moyo wa aina gani. Yani hajapungiza ata kunipendaa mimi uyu baba. Na hivi nma mimba yake ndo kabisa kachanganikiwa mnoo. Basi siku iyo nikampigia simu nikamwambia nataka ela ya saloon. Nilimjalibu tu .mana pesa ya matumizi alishanipa. Akanmbia sawa unataka sh ngapi mke wangu . Nikamwambia yoyote akanmbia sawa. Akata simu ikaingia laki 2. Et kasuke mke wangu upendeze zaidi. Mie nikamwambia asantee. Basi mie . Nikafanya kazi zangu . Nikajiandaa uyo nikaenda zangu sallon..nimefika pale . Namkuta yusta ndo anasukwa. Mh ikabidi mm nisubiri nikaaka kwa pembeni. Na wadada wengine . Mh akaanzaa yani mie mume wangu ananipemda jamanii . Yani apa kanipa laki 3 ya kuja kusuka tu. Sijuh anipa sna pesa. Sihuh kwangu apumui. Sijuh nimemkamata. Basi nakwambia menno kibao.na mwenye saloon ana msupport na kweli mtuuu wako hana bayaa. Anajua kukupendaa. Basi sindo kaniona mie . Anajua kujielezea. Mie niko pale pale .mumewe ananipigia. Wala sijuogopa nikapokea. Nikasema ndio baby. Akanmbia ushaanza kusuka..nikasema hapana akanmbia asa kama kuna foleni nikupeleke ukasukr nyakanazi basi. Usiumie kiuno kukaaa apo. Nikasema hapana mpenzi . Ntasuka apo apo .akanmbia swwa mida nikasema powa .mh yust akanmbia weee baba rahul uyoo. Nikasema ndio .akanmbia aya bwana.naona kakutelekeza ata kukufata hataki mpaka umekuw mwanakijiji. Mie kimyaaaa.akanmabia naona na sasa hivi ndo kakulidia mana apa kati ulipauka. Mie kimoyoni nasema ungejua ww. Mumeo Mumeo ndo mwenye huu mtumbo wala usingeongea . Akasuka zake ananikashifu mpka kamaliza .uyoo akamlipa yule dada akaniaga akasepa zake.mie ndo nikaanza kusukwa .yule dada akanmbia pole shogaaa. Najua ulijuwa unapigwa vidongo wewe na shoga yako.nikasema nishayazoea ya dunia. Akanmbia uyu tushamzoea wenzio. Anapenda kujisifia na uyo mumewe . Wakati nasikia hapendwi ata kidogoo. Bwana hamtaki ata. Ila yeye ndo kajing'ang'aniza. Sijuh ndo kafata pesa. Mh kwani na wewe si umchukue uyo mlige . Umkomeshe uyu. Nikasema wala sitembei na waume za watu. Yule dada akanmbia ahaaa tunakoma wallah . Mh anajua kujisifia dada. Mpaka mambo ya ndani kuna siku anakuja anaanza kutwambia leo mume wangu kanitomba mpka nimechanganikiwa . Asa wapi na wapi jamani. Mh mie nikabaki kimya. Nikamwambia dada nisuke niondoke . Mana ata sijielewi. Sikutaka umbea wa masaloon nikaja kusutwa mie 🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema Said
 

Miendelezo pls

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

SONGA NAYO.... Basi kama mwalimu nikamwambia Lizy apite akae, kweli na yeye akaenda na kukaa, kisha nikawatazama hao wanafunzi sasa walikuwa wananiangalia hao na mimi nikatoa mimacho yangu yote nje na mshipa wa kichwani nikaukaza sasa na kuzungumza "Yoyote ambaye atamfukuza Lizy darasani nitakula nae sahani moja, nyie si mnajifanya ni sikio la kufa basi endeleeni maana hamjui cheo changu wala wazazi wangu kifupi mimi natembea na mabodyguard, kaka yangu ni police, baba yangu ni mwanajeshi na dada ni askari sasa mtu ajichanganye aone cha moto na hiyo mikasi yenu..." Nilitoa mkwala kweli kweli, ambao kwa namna moja uliwafanya watulie na kuogopa, kisha nikaondoka zangu 😂 Baada ya kutoka mle darasani nikaelekea mpaka staff nimefika huko nikakaa zangu, akaingia madam Penina, huyu dada alikuwa ameshanielewa kitambo tu ila sema anaogopa kuniambia Basi Madam Penina baada ya kufika hapo akasogea mpaka kwenye meza yangu na kukaa kwa juu huku akinitazama kwa macho ya uchu nyie "Nikusaidie nini..?" Baada ya kuona ananiangalia sana ikabidi nimuulize "Aaahh Sir Henry hivi umeoa..??" ( hili ndo lililokuleta hapa, hata hivyo fresh tu ukijichanganya nitakukula ohooo ) "Hapana muda bado wa mimi kuoa..." "Mh lakini mbona unaonekana mdogo hivyo..??" ( 🙄 kama naonekana mdogo twende geto nikakuonyeshe kama mimi ni mdogo au mkubwa..) "Aah ni mwili tu jamani..." "Sawa.." Alijibu kifupi huku akiniangaliaa, moyoni najiwazia tu ajichanganye aone namna nitakavyomshughulikia kwanza amenikera kwa kumpiga Lizy we ngoja Basi madam penina aliniangalia sana mpaka alipotosheka mwenyewe akanyanyuka na kuelekea kwenye meza yake lakini hakuacha kuniangalia. Muda ulienda hatimae break ilifika na wanafunzi wote wakaenda kwenye canteen kupata kifungua kinywa, upande wangu nilikuwa nimeboeka sana yani ikabidi nitoke nje nikazunguke zunguke huko ili kidogo nichangamshe akili Basi nikatoka nikawa natembea tembea naangalia namna wanafunzi ambavyo wanachezesha makalio yao wanaponiona 😂 lakini mimi sikuwa najali kabisa Nikaendelea na safari lakini nilifika sehemu na kumkuta Lizy akiwa amekaa na msichana flan hivi wakiongea na kupiga story, japokuwa alikuwa anapiga story ila alionekana kuwa na njaa sana. Nilimuonea huruma nikamuita, akaja mpaka nilipokuwa huku akimuacha rafiki yake anatuangalia sisi, nikaangalia huku na huko kama kuna mtu anatuona nikakuta kweli tunaangaliwa Nilichofanya nikatoa buku, kisha kwa sauti kubwa ambayo mwanzo ilisikika kwa sauti lakini mwishoni ilikuwa ya kunong'oneza "Nenda canteen, ( hapa nilitamka kwa sauti ) ukanywe chai (kwa kunong'oneza ) So ikawa kwa hivi "Nenda canteen, ukanywe chai.." Nilisema hivyo kwa sauti na wanafunzi wakaelewa namuagiza canteen , basi binti akanishukuru huyo akaongozana na rafiki yake mpaka canteen Upande wangu nikabaki naabasamu tu, sijui huyu binti amenipa nini walah 😂 yani najikuta namuonea huruma kabisa dah mniokoe mapema mimi nisije kujikuta nampenda mwanafunzi wangu jamani... Muda nao ulikimbia mapumziko yakaisha na kila mtu akaingia kwenye majukumu yake, kama kawaida upande wangu nikaingia form two kwenda kufundisha kiswahili Nilifundisha kalibia lisaa limoja, aisee toka mwanzo nawaambia kazi ya ualimu ni ngumu lakini pia inahitaji uvumilivu mkubwa sana. Maana wakati nafundisha wanafunzi walikuwa wanapiga sana kelele, ikabidi nimwambie monter wa darasa aniandikie majina ya wapiga kelele hapo kidogo wakatulia.. Ilipita kama miezi miwili hivi, huku nikiwa na muwaza sana Lizy yani binti sijui hata aliniwekea nini walah, nilikuwa namuwaza mpaka kipindi cha kula 😆 Basi ikiwa ni siku nyingine kama kawaida kipindi cha remedial kilifika nilienda kwenhe group langu na kukuta wanafunzi wwangu wameshafika wananisubiri tu Na siku hiyo nilikuwa nimewaambia wanafunzi wanunue counter book maalumu za kufanyia test, sasa hiyo siku nilitakiwa kukagua kama wamenunua kweli au laah Basi nikaanza kukagua mmoja mmoja kumbuka kila kundi linakuwa na wanafunzi zaidi ya 10, so ilikuwa kazi ngumu,. Wakati nakagua kagua pale nikamfikia Lizy ajabu huyu binti hakuwa na hilo counter. Nilimuangalia bila kummaliza kuna mwanafunzi akaongea "Yani huyu Lizy amepewa pesa na shangazi yake ya kununua counter lakini amekula yote, saivi hapo amejitilisha huruma kweli..." Mwanafunzi yule alisema kwa kunong'ona ila nilimsikia, nikamgeuki na kumuangaliaa, bana mimi Henry nilikuwa sitaki kabisa kumsikia mtu akimsema Lizy So yule mwanafunzi ni kama alijichanganya walah nilimpiga fimbo ya mgongo hiyo ambayo ilimuingia kabisa mpaka kwenye utu wa mgongo, na vile alikuwa hajawaa sweta sasa awee 😂😂🙌🏾 "Me nafundisha unaanza kuongea nani amekupa ruhusa ya kuongea..??" Nilimuuliiza kwa ukali.. "Samahani mwalimu..." Alisema yule mwanafunzi huku akilia kabisa, kuna namna niliona nimemuonea bure lakini na yeye akome kuropoka hovyo hovyo 😂 Niligeuka na kumuangalia lLizy, nakaona kanatetemeka yani kama kanasikia baridi, hapo nilijua tu ananiogpa bàda ya kumcha yule mwanafunzi "Haya na wewe Counter lipo wapi..??" Nilimuuliza kwa sauti ya ukali "Aaah sir ah nili.... aah yani..." "Ongea vizuri unaongea kama hujala asubuhi bana..." "Sir naomba unisamehe, ukweli me naishi na shanngazi yangu amesema hana hela ya kununua..." Yule mwanafunzi akadakia tena "Uongo uongo, me Leah ameniambia kabisa kuwa umepewa hela ukaila yote.." Nilichofanya ni kumshushia kiboko kingine kisha nikatulia 😂 ITAENDELEA............

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

Chapter 5 Kulikucha ila hata leo nilichelewa kuamka maaana dada pia inavyoonekana jana alichoka sana hivyoo na yeye pia alilala sana hakuamka pia nikajikuta nimeshtuka saaa moja ikabidi tu niwahi kujiandaa nikatoka kama kwenye saa 1 na dk 45, ila plus na kupanda daladala nikajikuta nafika kazini saa 3 kasoroo, maaan nilitoka haraka haraka hata dada mwenyew sikumuamsha kabisaa maaan nilikuwa naona kama vile nimechanganyikiwa maana nilikuwa sielewi kabisa, Nikafika kazni yaani nafika tu nakutana na mdada mmoja anaitwa Suzy akanisalimia akaniambia CEO ananihitaji officine kwake sikuwa na jinsi zaidi ya kunyooka hadi officine kwake nikafika nikabisha hodi nikaingiaa, CEO ni akawa ananishangaa tu maana kwa haraka hadi kuna vifungo viwili vya shirt sikufunga alinitizima nilivyokuwa nimesimama kwa wasi wasi na kutetemeka huku kijasho chembamba kikibubujika kutoka kwenye komwe langu maana nilikuwa nimebana nywele zangu natural hiki kulifanta nionekane mrembo zaidi usoni kwa mtu, alinitizama kwa muda Funga hivyo vifungoo, halafu njoo uchukuee hizi document ukapitie, kwa sababu baadae kutakuwa na presentation na ambae ina bidi aje atoe presentation hajafika kapata dharuara hivyoo. Kapitiee saa sita utakuja kutoa presentation pale mbele ya bodi nahisi nimeeeleweka hapo sawa? Alisema CEO na kuniruhusu nitoke nikashangaa kwanini hajaniuliza wala hajapanic kuhusu mimi hapa kuchelewa officine, kwakweli nilijiona mimi mjinga sana Wallah na kuapa kote kule lakini sijawahi hadi nikajikuta nafika officine kwangu najicheka peke yangu, maana nilikuwa na wasi wasi sana juu ya hili na wala halijaulizwa nilijicheka pia kwasababu ya huu uvivu wangu wa kurithi jaman mimi ni mvivu utasema nimechanjiwa kwakweli mhhh, Muda wa kupresent uliifika na nilihakikisha nalitendea vizuri sana hilo, me ni mvivu ila usijaribu kunipa kazi ya kujielezeaa wee naweza afu nina mbwembwe balaa maaan hata chuo hakuna situation nilikuwa naipenda kama kwenda kufanya presentation pale mbele za watu, na nilikuwa sikoseii hadi wana group wenzangu walikuwa wananikubali sana mimi, na kingine nina bebwa na sauti yangu ya kuvutia ambayo nikiwa naelezea kitu huwa inafanya nionekane nina mamlaka Fulani hivil kwenye ulimi wangu wakati wa kuongeaa, hii ilifanya CEO anitazame sana tena kwa makini mnoo, maaan nilikuwa namvutiaa kwa jinsi alivyokuwa ananitizama jicho lake lilionesha wazi kuvutiwa na uzungumzaji wangu, ninazungumza kwa makini na uangalifu mkubwa, kama kwamba nina uzoefu na ile hali, kumbe ndio mara yangu ya kwanz kufanya kazinkwenye kampuni.... Baada ya kikao CEO alimuita shem James wakaelekea officine kwake, na mimi nilikuwa pamoja na wafanyakazi wenzangu wapo wananipa hongera maana nilikiwa nimepresent vizuri sana kuliko hata alie kuwa amepangwa nilijikuta natabasamu tu, maana nina penda sifa balaaa basi weee nikisifiwa meno yote yanakuwa njeee. Nilitoka hapo nikaelekea officine kwangu nikampigia simu Hussein tukawa tunaongea, yaani tukiwa tunaongeaa mimi na yeye hatumalizi hata dakika tatu na nishazoeaa, hyo. hali kwangu ilikuwa ya kawaida sana kwangu, tukamaliza nikakata simu alikuwa ananikumbusha kwamba nisisahau kumtumiaa ishu ambayo niliikuwa namtumia kila siku. kwangu haikuwa tatizo nilikubali na nilivyokata simu nilibaki natabasamu maana me kuongea nae na kumsaidia nilikuwa najua ndio inafanya anione wa muhimu sana na mtu pekee kwenye maisha yakee Siku zilienda ila nilikuwa nachelewa kama kawaida yangu mimi cha usingizi Salma, na kazi zilikuwa zinaenda ila sasa naona kuna kitu. kilikuwa hakipo sawa maaana CEO alikuwa hafoki wala nini alikuwa ananiacha na mimi nikaona ni kawaida ila kwa upande wa presentation nilikuwa naenda mimi kwasababu hata CEO alisema anapenda uwasilishaji wangu na nilikuwa nafanya vizuri sana kwenye hili swala Ilikuwa mida tayari ya kutoka kazini na Me nishatoka kazini, nipo zangu stand nasubiria zangu daladala niende nyumbani, ila kwa muonekano leo ilikuwa kama vile daladala za kwenda nyumbani leo zilikuwa hamna ujue Dsm kuna siku daladala za sehemu Fulani, zinakua shida sana ilibidi tu nisubirie tu kama kutakuwa na bahati, nilikua naogopa kupanda daladala za kuonganisha kwa ajili ya kuchelewa nyumbani, mara naona gari jeusi aina ya BMW limesimama na lile gari ni kama la CEO wa pale kwenye kampuni ninayofanyia kazi, likashushwa vioo nashangaaa namuona CEO nikawa najiuliza huyu anafanya nini hap? "Njooo twende leo daladala hakuna", alionekana mchangamfu zaidi ya nilivyomzoea siku zotee na kwa kuwa nilikuwa na haraka nahofia dada atapiga simu sana kam akifika kabla yangu, maana huwa anachelewa kufika kabla yangu nikaamua kupanda gari la CEO, tukiwa njiani kila mtu alikuwa kimya alikuwa akianzisha story me namjibu kifupi yaani alikuwa anajaribu kunichangamkiaa ila mimi hyo siku sikuwa sawa kabisa niliamka tu moody yangu mbaya kwhyo sikuchangamka, ghafla gari likasimama "Nataka nikuombe kitu Salma aliniita kwa unyenyekevu mpaka nikamshangaa ett aniombe kitu ila nikajua ni boss nikasema sawa omba hamna shida akatoa chocolate ya dairy milk na vile ninavyoipenda hata kam hajanipa nikampokonya nikaifunguaa nikaanza kuishambulia mhhh ila mimi hata sijauliza kwanini gari limesimama nipo busy na chocolate kwa furaha nilikuwa kam kachizi eety namwambia "chukua na wewe ule, chukua" tena nilikuwa namwambia kwa uchangamfu yaani kama mtoto ila yeye no ananishangaa tu hata hanijibuu Akaaanza kunisogelea kwa ukaribu akaja mpaka usoni kwangu yaani kiasi kwamba pumzi zetu zilikuwa zina karibianaaa kabisa, nikawa na mshanngaa akanifunga mkanda vizuri ila bado ananitizama kwa makini sana usoni hata macho alikuwa hapepesi jamani hadi naona aibuChapter 6 Akawa anendelea nilishindwa kuongea kwa. sababu lips zangu zilikuwa mdomoni mwake kati kati ya ulimi wake, nilijaribu kumsukuma ila nguvu za kumsukuma mwanaume sikuwa nazo, plus mtu mwenyew mimi lege lege basi akawa anajipakulia akaniaacha akawa ananitizama usoni kwa umakiini mkubwa tena ule wa hali ya juu, ananikazia macho mimi nilikuwa nimeinamisha macho chini kwa aibu maan hata kwa Hussein sijawahi fanya hivi tunaishiaga tu kwenye yake makiss ya mara moja basi, hivi kwangu niliona kama uchafuu vile, ila hapa niliona sio uchafu lakini nilikuwa nina aibu ya hali ya juu, akaaniiinua tena akaendeleaa sasa na juice yenyewe hii ilikuwa mara yangu ya kwanz kufanyiwa hivyoo nilihisi tofauti sana kwakweli, nilikuwa na aibu mnoo Alikuwa ananipa juice afu anaacha ananitizama usoni afu anaendeleaa tena akazidisha nikawa kunipapasa nilijikuta nalegea sana namtizama kwa jichoo flani hivii lililolegeaa sana nikajikuta yaani nipo mbali kweli kihisia nipa far away, alikuwa ananipapasa mwili wote hadi akanza nifunguaa vifungo vya suti yangu nikabaki na brazia tu pia nayo kwenye kunipapasa akatafuta vile vipini vya brazla akaifunguaa pia, yaani alikuwa anafanya hayo yotee huku akinipa juicee mdomon hakunipa chance ya kupumua nilijikuta napata shida sana ile hali niliokuwa naisikia, sijawahi kuisikiaa toka nazaliwaa hatimae akaanza kunyonya vichuchu vyangu jamn nilihisi kam vile sipo tena duniani maan alikuwa ananyonya anayafakamia yaani mawazo yangu hayakuwa hapo kabisa akashuka mpaka kwenye ile suti yangu akafunguaa kizipu changu akawa anapeleka mkono kule kule kwa bibi, hapa ndipo nilihisi nakufa kabisaa maana haikuwa sawa hiii hapa kwanguu nilijikuta naanza kutoa miguno huku nafunguaa vifungoo vya shirt la CEO, taratibu nikaanza kumpapasa na mee, yaani sijui hii idea nilitoa wapi jaman, nampapasa hapo natafuta mkandaa upo wapi niutooe nikahakikisha natoaa mkanda na nafunguaa zipuu Hee ndio nakuja kushtuka sasa ashaanza kuingiza tayar, tena nilistuliwa na maumivuu yale ya mwanzoni tu, na hapo ndipo nikakumbuka mimi ni mchumba wa mtu, nikajikuta namsukuma maan hapa nguvu za kumsukuma nilikuwa nazo haswa maan alikuwa kalegea na ni wazi alikuwa hayupo kwenye faham zake. 'CEO plz chomoa, mimi ni mchumba wa mtu nilimwambia huku nimefunga mikonoo kwa maana kwamba namuombaa asifanye alichokuwa anataka kumalizia kukifanya alinitizama na akatoka juu yangu yaani sikuamini kwamba ilikuwa robo kabikla changu nilichokatunza kaondokee Nilivaa, nikawa nimeinama chini hapo mawazo yangu yapo tu nishuke mule kwenye gari, niondoke maan gari lilikuwa limesimama, nikataka kushuka CEO akanishika mkono kunizuiaa kwenye hili Samahani kwanza kwa kilichotokeaa, ilaaa sio mimi ni hisia zangu zilinituma, kufanya vilee, nakupenda nielewe" alisema CEO "hivi wewe unanipenda hujaniambiaa, tena unasema ni hisia zako zimekutuma hivi unajielewa wewe?" Niliongea kwa panic kile kitendo kiliniumiza sana tena sana kuna upande nilijihisi nimemuumiza sana. Hussein Hivi unajua kama mimi ni mchumba wa mtu unalijua hilo? Nilimuuliza CEO Ellias nalijua hiloo, ndio maana nimekwambia nakupenda hivi una uhakika huyo mwanaume wako anakupenda sio?, mwanaume anaekupenda anakujali wewe pamoja na hisia zako na hana chaguo lingine zaidi yako, wewe unakuwa namba moja kwake na hakuna ziada kwenye hiloo mamy, jua hiloo na kingine mtu anaekupenda anafanya mtegemeane kihisiaa ila kwako imekuwa tofauti wewe ndio unaejali kuhusu yeye na hisia zake, unamtegemeaa yeye kihisia na wewe umemfanya wa pekee kwake na wala sio yeye aliefanya hiloo yeye wewe sio kipaumbele chake, yeye anakipaumbele chake kwake kwenye maisha yake, na wala sio wewe, sisemi hilo kwa utashi tu ili nikupate Ila nafanya hivyoo ili ujue nafasi yako, na nina ushahidi juu ya hilo, usiniulize nimejuaje mimi sijakupenda jana wala leo na nimefatilia kila kabla ya kuset kila ktu ila kuna kitu nilikuwa nataka nikukumbushe kwamba nakupenda, halafu ujue wewe hapo special sana kwangu, nakuthamini na ninakuhakikishiaa kwamba nitakupa ushahidi wa nitunzie ulichonacho Salma kila kitu kuhusu huyo Hussein wako tunaweza kwenda kwa upande wangu hii ilikuwa inanikeraa sana kwasababu sijawahi kupenda mpenzi wangu asemwe vibaya mbele yangu, alikuwa ananiboa sana, tulifika nyumbani kam mabubu nikashuka bila hata kuuliza amepajuaje mimi nikaondokaa tu na kuingia ndani.... Dada alinitizama akajua tu sipo sawa maan hata kumsalimiaasikumsalimiaja wala nini? kumsalimiaa sikumsalimiaa wala nir Nikapitiliza zangu ndani chumbani, hata sikuog nikalala tu nilikuwa na mawazo sana kuhur kilichotokea na pia kuhusu maneno CEO kampuni ninayofanyia kazi alionamb nikiyafikiriaa ni kam ya ukweli ila kwa mir nilikuwa hapana hili halipo akilini kwasaball nilikuwa nampenda sana Hussein, hapa ilikuw ni akili inapingana na moyoo maan nilikuw kwenye dilemma dada hata hakuwa na ci kuniambiaa maan aliona kabisa sipo sawa maana hadi alikuja kulala alinikuta nipo maci na machozi yanatoka, alijaribu kunisemes sikujibu kitu, alijua tu sipo sawa, alijuaa siwe kumjibu kabisa maan nikiwaga kwenye hii h nakuwaga siwez kuongeaa yaani alikuw ananijuaa utafikiri yeye ndio mama yangu......

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

, she began acting when she was just three years old and quickly became a favorite among audiences for her innocent charm and natural expressions. During the 1970s and early 1980s, she appeared in several memorable films such as Samundar, Paap Aur Punya, Aulad, Khuda Kasam, and Naya Kadam. Whether it was an emotional scene or a lighthearted moment, Baby Guddu had the rare ability to make every role feel real and heartfelt. Despite her growing fame, she decided to leave the film industry at the age of eleven to concentrate on her studies. Later in life, she built a successful career outside films and joined Dubai Airlines, gracefully stepping away from stardom to lead a private and accomplished life.

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

na aliyeshiriki katika kutayarisha filamu kama Razia Sultan pamoja na kuongoza filamu ya Chhoti Bahu, alikutwa akiwa amefariki nyumbani kwake, msemaji wake bwana Hanif Zaveri amethibitisha. Kwa mujibu wa taarifa Baig Alikuwa akiugua kwa muda mrefu. Kwa kuwa hakutoka nje ya nyumba kwa takriban siku nne hadi tano, majirani walilalamika kwa polisi kuhusu harufu mbaya iliyokuwa ikitoka nyumbani kwake. Polisi walivunja mlango na kukuta mwili wa Baig sahab, kisha wakamjulisha binti yake. Baadaye waliupeleka mwili wake katika Hospitali ya Cooper kwa uchunguzi wa maiti (post-mortem) majira ya saa 1:30 hadi 2:00 usiku. MM Baig alianza kazi yake kama msaidizi wa watayarishaji wa filamu kama vile J. Om Prakash, Vimal Kumar, na Rakesh Roshan katika filamu kama Aadmi Khilona Hai, Jaisi Karni Waisi Bharnii, Karz Chukana Hai, Kala Bazaar, Kishen Kanhaiya na nyenginezo. Baig sahab alikuwa na uhusiano mzuri na mtayarishaji wa filamu Rakesh Roshan ambae ni baba wa Hrithik Roshan na alimsaidia sana Hrithik Roshan katika matamshi (diction), udhibiti wa sauti (voice modulation), na mazungumzo (dialogues) kwa kuwa alikuwa na ujuzi mkubwa katika mambo hayo. Baig sahab alimfundisha Hrithik jinsi ya kutamka na kuwasilisha mazungumzo vizuri, na hii ilikuwa kabla ya filamu yake ya kwanza, Kaho Naa... Pyaar Hai, kutolewa. Baig alifariki akiwa na umri wa miaka 70. Daima atakumbukwa kwa mchango wake mkubwa katika tathnia ya filamu Bollywood na India kwa ujumla. "Sisi sote ni wa Mungu na kwake Tutarejea" #mmbaig #death #hrithikroshan #bollywoodswahilistoriez #filamuzakihindi

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

Nottingham Forest beat Fenerbahçe 3-0 in the first leg of their UEL knockouts playoffs tie. The Vítor Pereira era is off to a winning start ✅

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

. They met back in the 1980s and dated for almost nine years before getting married. Coming from different cultural backgrounds, their relationship did face resistance initially, but love and understanding won in the end. Today, they’re often seen as one of Bollywood’s strongest and most drama-free couples. Mana Shetty has always stayed away from the spotlight and focused on building her own identity. She’s a creative director, entrepreneur, and philanthropist who runs the luxury lifestyle brand R House and is also the director of S2 Realty Developers. Deeply involved in social causes, she actively supports Save the Children NGO and even produced the film Chal Chala Chal in 2009. The couple has two children. Their daughter Athiya Shetty made her Bollywood debut with Hero and is now married to Indian cricketer KL Rahul. Their son Ahan Shetty entered films with Tadap. Suniel often says his family keeps him grounded, while Mana prefers a quiet life, focusing on work, charity, and keeping things real at home.

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

The decisive moment came through Emam Ashour, whose goal proved enough to seal all three points and keep the title race firmly alive. #AfricaSoccerZone #AfricanFootball

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

Asante sana kwa comment yako

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

Asante sana hongera kwao watunzi

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

yote IPO soma tu

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

😂😂😂😂

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

. Ayesha, who was a former model and appeared in the film Teri Baahon Mein (1984), has always been Jackie’s biggest strength. She stood by him even before fame came knocking, when they were living a simple life in a Mumbai chawl. Over the years, she moved into production and business and co-founded Jackie Shroff Entertainment Limited with him. The couple has two children. Their son, Tiger Shroff, born in 1990 as Jai Hemant Shroff, is now one of Bollywood’s biggest action stars. Known for his killer dance moves, martial arts skills, and extreme fitness, Tiger has built his own strong fan base and identity in the film industry. Their daughter, Krishna Shroff, born in 1993, chose a different path. She’s a fitness enthusiast, entrepreneur, and co-owner of MMA Matrix gyms. Krishna is known for her bold, independent mindset and strong social media presence. Overall, the Shroff family keeps things grounded, close-knit, and refreshingly real despite all the fame.

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

fahima hakujibu kitu akarudi ndani naseven nae akarudi ndani, sasa ndonini miseme mbele za watu alisema fahima "siili uniamini kama nakazi nyingi alisema. seven sasa kwani nisipokuamini wewe unaumia nini alisema fahima unadhani ni rahisi kukaa hivo yani naona haupo sawa halafu nikae tu hujui kama namimi naumia nikikuona hivo alisema seven "ok twende tukale alisema fahima sawa ila nimekumiss sana alisema seven kisha akamsogelea fahima na kumkumbatia "ujue nakupenda sana mke wangu kwahiyo tukiwa na mifarakano siwezi kabisa kuna kitu nimekimiss sana zaidi ya chakula alisema seven huku akimuangalia fahima ambae alitulia. kwa wakati huo mh kitu gani aliuliza fahima kwa tabasam "nimekumiss sana wewe fahima pis nakuomba unipatie tu kidogo mke wangu nimejikaza sana ujue alisema seven kwa hisia mno lakini mi naogopa sikulle uliniumiza sana alisema fahima am sorry mamaa haitajirudia tena nakuahidi hautaumia tena" alisema seven sawa alijibu fahima nakupenda mwenzio alisema seven nakupenda pia severni alisema fahima ebwana ee kasauti cha mahaba ka mtoto wakike kalimchanganya seven, alimvutia kifuani kwake. taratibu akasogea mdomo wake na kumpa romance mtoto wa watu, alitulia nae ndani ya dakika 4 jinsi gani alimmisi mtoto wa kike kisha akaondoa mdomo wake asante sana mke wangu twende kwanza. tukale kisha tukimaliza nikuogeshe nikuandae vizuri alisema seven sawa asant pia mume wangu alisema. fahima basi walifurahi sana wakatoka chumbani. humo wakiwa wanatabasam fahima akaelekea Jikoni kuendelea na mapishi ya jioni huku seven akarudi sebleni kuongea na familia muda ulienda sana hatimae chakula cha usiku kiliandaliwa walikula kisha mzee fahad yeye akamua kuondoka maana muda ulienda mama seven na dada zake wakaenda chumbani kupumzika na fahima akaongozana na seven. chumbni, siku hiyo mtoto mzuri aliogeshwa aliandaliwa vizuri ipasavyo kimwili hatimae fahima. alimtunuku penzi tamu sana seven yaani penzi la utulivu sana lililomkolea seven kisawasawa siku hiyo walienjoy sana ndipo fahima akajua kumbe mchezo huu wa usiku ni mtamu sana, basi walimaliza na kulala siku hiyo walilala usingizi mnono kwelikweli, asubuhi na mapema nyumbani kwa mama cathe, sikuhiyo calor aliamka akiwa na mawazo. sana, aliwaza mengi sana juu ya mdogo wake, aliamua kumfata nje ambapo ndio cathe alikuwa amekaa tangu alfajiri naona leo umeamka mapema sana alisema calor "ndio kaka alisema cathe nimekuja hapa nina jambo muhimu sana. nataka tuzungumze alisema calor sawa kaka alisema cathe kabla ya kuzungumza naomba ujue kitu kimoja, cathe sisi wanaume tunajijuwa ni waongo sana kwahiyo hata ukinidanganya nitajuwa tu hivi cathe nikweli devi amekubali hiyo mimba aliuliza calor cathe alishtuka sana hakutegemea swali zito kama hilo nataka uniambie ukweli ili nijue nakusaidiaje mdogo wangu ukinificha haitasaidia kitu alisema calor kaka nikweli kusema ukweli devi hajaikubari ameikataa kaka amenikataa namimi pia sijui nitafanyaje mimdanganya mama ili asinifukuze alisem cathe huku analia dah usijari mdogo wangu nataka nikaongee na devi pia nikaongee na seven najuwa seven ni muelewa sana anaweza kunisaidia alisema. calor kaka seven hatonikubali tena mimi kaka alisema cathe. usijari niachie mimi alisema calor, muda huohuo akajitokeza baba cathe akiwa amesikia kila kitu wakati wa maongezi yao, cathe na calor walishtuka walipomuona baba yao waliamini kasikia kila kitu, "wote njoeni ndani alisema bab cathe kisha akatangulia ndani, nawao wakafuata wakiwa na wasiwasi sana, upande mwingine wa wapenzi hao wawill seven alikuwa anafungwa vizuri vifungo vya shati alipokaa sawa kila kitu akawa tayari sasa kutoka. kwenda kazini kwa staili hii mimi sirudi tena nyumbani alisema seven nakufanya fahima acheke Macha ujinga huko kumbuka leo wote mnarudi nyumbani mama kasema alisema fahima "yani sirudi nani arudi sirudi kwalile penzi la Jana yani muda wote naliona tu utakuja kuniua fahima we haya tu alisema seven "sasa seven ujue hivi tunazini mimi sipendi kabisa alisema fahima "am sorry mke wangu nafanya maandalizi ya ndoa leo ndo nataka nikaandae kadi za mualiko wa harusi alisema seven "wow nitafurahi halafu leo nataka nitoke alisema fahima wapi yani usije kuniambia unaenda kwenu sitaki kusikia kabisa hapa ndo ushafika na usitarajie kutoka wewe ndio mama mwenye nyumba hii alisema seven seven jamani hata sijamaliza mi nilitaka niende kwa agness tu kule bar kumsalimia alisema fahima aha sawa ila tutaenda wote alisema seven alokwambia naenda nani yani apa sitoki nitakaa mpaka utakapoondoka namimi nikupeleke na nikurudiahe nyumbani ndo niende The seven hebu nenda kazini alisema fahima kazini alisema seven maneno hayo yakamchukiza ghafla tu fahima akatoka chumbani akiwa amekasirika seven nae akamfuata walifika seblen na kumkuta mama. seven anaandaa chai "kumekucha nyie vipi asubuhi asbh kugombana tu alisema mama seven mama mwambie seven aende kazini alisema fahima "mimi siendi sasahivi alisema seven "kwani shida nini jamani aliuliza mama seven sihuyu apa hataki kwenda kazini anataka kufuatana namimi tu alisema fahima aiseee mama seven alishindwa kujizuia akaanza kucheka alicheka sana sasa seven jamani mkwe wangu yupo nenda kazini mie sinipo leo alisema mama seven mama uyu anataka kutoka siwezi kumuacha atoke pekeyake apa tunaenda wote na kirudi wote alisema seven sasa hapo shida iko wapi basi fahima. mwanangu usijari nenda na seven sawa mwanangu tatizo muelewe mwenzio anakupenda sana na anawivu sana ndio maana hataki utoke pekeyako alisema mama seven sawa mama fahima alijibu kishingo upandw kisha akaelekea jikoni, mama seven aliwaangalia sana akabaki kucheka tu *MWISHO WA SEASON ONE*

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

Mhh CEO alinitizama tuu maana, kisha akatabasamu hujafukuzwa kazi, ila ni vile tu hujaelewa nilikuwa naamaanisha nini hapo, binti sikusem kwa nia ya kukufukuza kazi basi nikisema pengine kuna siku utaacha kazi, na kwa jinsi nilivyokuona kwa huo uvivu wako siku ukiolewa usifanye kazi maan utakuwa unarepport kazini saa 5 asubuhi, mhhh unaweza kwenda", niliondoka huku nasema najiapiza yaani mimi nikirudia mimi kuchelew kuamka nibadilishwe jina jamni maana niliona mhh huku kunapoelekea ni kufukuzwa kazi kana siku ya kwanza hadi CEO wa kampuni niliyo ajiriwa kashajua udhaifu wangu ila mimi jamani niliondoka kumbe sir alikuwa ananitizama tu kwa jinsi naondoka kwa mwendo wangu wa maringoo kama twiga maaan nilikuwa nanata sio poa nairingia ardhi kwa mwendo wa cat walk , na nilikuwa sikosei kabisa, ila hata mlangoni sijafika naskia "Kuhusu deni lako la kukanyagiwa viatu nitakuongezeaa kwenye mshahara wako wa mwisho wa mwezi sawa? Sikuitika nikajifanya sikuskiaa ila nilitabasamu nikaona hapa itakuja pesa ndefuu maaan hawezi niongezeaa 20k, maan inavyoonekan hanunui vitu hovyo hovyo. huwa ananunua sehemu maalumu kam shoppers na sehemu nyingine kama mall hivyoo, nilitoka nikamuacha pale officine kwake. Nilitoka nikakutan na shem James aliniuliza nini kimetokeaa nilimjibu short nikajibu hakuna shida alionesh kunijali, na mimi nikajua ni kwa sababu ya Zakia tu asingekuwa shga angu nisingejaliwa hivi jamani Hatimae muda ulifika wa kondoka na tulipewa 25k zet za nauli mimi kama kawaida yangu nikapit sehem kumtumiaa mperizi wangu Hussein pesa maaan nilikuwa. Nikipata kazi pesa nusu na robo ni ya Hussein na hapo Inayobaki huwa yangu na nilikuwa sitaki ushauri yaani dada yangu ananiambia mwanaume hapewi pesa ila mimi niliona ni sawa tu na sitaki kusumbuliwa kwenye mahusiano yangu kabisa. ukizingatia kashatoa na barua kabisa nyumban nilimuona yeye ni mtu wa maana san kwangu, hata hivyoo Hussein alinifany nimtegemeee kihisia jamani hili jambo sio zuri kabisaa yaani ukimtegema mtu kihisia inakuwa shida sana kumuacha na anakuwa anakumudu kila siku, hili jambo dada yangu alikuwa tu aniambia kila siku lakini mimi sikuwahi kumuelew kwanza nilikuwa namuona mzinguaji tu hana lolote Nilimaliza kufanya mambo yangu nikawa natoka sasa nielekee stand maana kubolt sio kweli kabisa na hivi sina hela bora nichelewe kil siku nyumbani niliondoka nikapanda nauli nikaondoka zangu, nakuelekea nyumbani mimi niliwahi kufika kuliko dada nilifua suti zangu za kazini nikaanika, nikaoga nikavaa dera langu nikaona bora kwanza niende kwa Zakia nikapate. update za mtaani jamani hhh mie nae kwa umbeaa sijui nipojee napenda sana "Hee shga bora umefika maaan nilikuwa nataka nikupigiee uje au kama umechoka nikufuate" alisema Zakia akiniambia mimi hata kabla sijakaaa, enhee kuna umbea gani shga angu maaan hizi taaarifa hadi za kunipigia simu sio buree umbea wa hadhi huoo We unavyooambiwa yuleee Hadija wa pale kwa Mama amina mshenzi kumbe yaani kawagoganisha wanaume wawili kumbe wote ndugu shga angu mhhh kuna watu hawana haya kabisa, halafu sasa huyo Hadija mwenyew mimi namuona ana haki ya kutembea nao wote wawili maaan yeye huyo mmoja hata alikuwa hamuhudumii ana kazi ya kumla tu, na saa nyingine huyo mwanamke ndio anampa pesa shgaa hee jamni ila yule nae hata kam ndio ndugu wawili enhee ndio hivyoo shga angu, "ila kakosea hapo tu kwenye ndugu wawili, Ingekuwa, watu wawili tofauti ningeonaa yupo sawa ila ndugu mwenzangu hii haijakaaa poa kabisa shga angu" heee kwahyo wanaume wawil Ingekuwa sawa jaman Mungu aniepushe kutembeea na wanaume wawili kwa muda mmoja" "mh ila wew nae mjini hapa kila nyumba ina namba, mh kwahyo boss wako akikutaka. humkubalii? Siez fanya huoo upumbavu mimi kwanza mimi sio wa hivyoo, me mtu wa heshma siwez kuwa na wanaume wawil mda mmoja na hata hivyoo Hussein wangu ananitosha" niliongea kwa msimamo na niliona pia Zakia alikuwa kashaniharibia siku yangu tayr maana nilikuwa sitaki kukerwaa kashaniingizia mambo meusi, nikaona niondoke tu tena hata bila kumuaga huyo Zakia mwenyew alibaki ananisindikiza na maneno ya kunitania" Sawa mam true love never die, one day yes utakuja tuu, hapa unaliaa maaana sio kwa tukio ambalo huyo Hussein wako atakufanyiaa maana unampenda sana, ila wewe haya kesho ukirud uje na zawadi alisem kwa mbali na sikumtiliia maanani mimi nilikuwa busy wala hata sikumpatiliza mee kwakweli Nilifika nyumbani kwetu nikakaaa tu nimetuliaa, naona namba ngeni inanipigia nikapoke hallow mtu na yeye akajibu "hallow sasa kesho chelewa kazini sawa eeh, utaniambiaa vizurii sawa bintii? Kwan nani wee unanitishia maisha jaman wewe kijana wa hovyoo? We kazini kwangu unapajuaa auu ndioo shoboo? Nilijibu vibaya muda huo hata mtu anaongea simjui ni nani?" okay unaonekan hupendi namba ngeni ila me ni CEO wako Ellias" awee nilishgaa nusu niulize namba yangu katoa wapi? Ila kwa hili nilisita nilijibu tu Samahani mkuu sikufahamu hiloo. naahdi kwamba sitachelewa sir, kisha nikakata utafikiri me ndio nimepig ila mee jaman hapana H Nilimsubiri dada ngu tukala na kwenda kupumzika kwa ajili ya kesho ambayo kulikuwa, kuna kazi hususani mimi niwahi kazini maaana wazazi wangu wameambiwa wamefurahi utasem wameambiwa kwamba nina, fanya kazi. ikulu m, maana ntakuwa mtu wa kwanza kijijini kwetu kufanya kazi kwenye kampuni... Itaendeleaaa...

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

59 MPAKA 60 MWISHOOOO 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Ahaaa basi nikamtoa na t shirt ya juuu. Wala hajabisha tena . Nikamfungua na sidiria yake. Kisha naikabugia ziwa lake la kushoto nikaliingiza mdomoni. Weeeeeee. Akaanza kuikatikia nakwambia . Ni anakatika mnooo. Et apo apo haji apo apo baba pau. Wewe acha iyo mizuka yake. Nikamsugua kinoma noma . Nilimbinua mtoto. Hakuna kulazimishana tena .full kunikatia miuno. Nilitomba mae kinoma . Mtoto anaililia full kudendeka. Yani midomo inakulana na chini kuna kulana.aseee tukastushwa na mlango unangongwa . Kisha ni mtoto analia. Mh alikuwa paulina . Mh ikabidi nijichomoe sasa kwa princess ni usiku saa 7. Mama ake haraka akavuta taulo akavaa . Na mm nikavaaa tauro kwa chini kisha Mi nikaenda kufungua mlango. Nikamkuta kweli kanalia. Nikamuinua nikaingia nae ndani Mama akainuka akamchukua akampakata akasema.nn mama. Akasema nimeota mama .nimeota tena..basi mama ake akawa anasema tulia mwanangu mzuri. Tulia kabisa mama aya nyamaza basi . Nyamaza mtot wangu. Nikamuuliza ana shida gani. Akanmbia ana weweseka sana usiku. Inamtokeaga .yani nalala nae ujue nyumbani mh .nikasema.sawa ntajua nafanyaje. Basi ikabidi tulale na mtoto kudadeki game ikaishia apo na nimemmisi princess kisenge yani ntafanyaje tu. Bsi princes akamvuta mwane akawa anambembeleza alale. Mi nimekaa kwa pembeni namungakia tu. Princes akaniangalia akacheka. Akanmbia ebu lala ukoo . Kwanza mbakaji ww. Mh uyu nae si alikuwa ananikatikia kabisa. Basi ikabidi rahaa ziishie pale . Mana kwanza paulina ata hajalala Kaanza kutuongelsha et baba uku ndo morogoro. Mie tena eeeh mama yangu. Ndo uku. Basi akaanza na maswali mala kanisimulia kile mala hiki.mpaka mama yake kalal katuacha sisi. Kanisogelea kabisa .kanikumbatia mwenyewe ananisimulia hadithi na mm mpaka.nikalala. asubuh nimeamka nipo mwenyewe kitandani. Mh baada ya mda wakaingia wanagu .wakanisalimia nakwambia pale . Kisha wakanmbia maam kasema tuje kukuamsha ye anaandaa chai. Basi nikasema sawa .wakatoka .mie nikaenda kuoga. Nimetoka namkuta princess ndani .et kanifata tukanywe cahi nilivyommis bado nikamvuta nikamwambie nipe tena..akanmbia jamani asubuh tu. Nakupa baadae nikasema mbali. Nikafunga mlango .nikaludi nae kitandani. Ahaaa nikakanyaga gia mpka nikakojoa mala 2. Ndo nikamuacha Tumemaliza apo tukalidi kuoga wote bafuni.niliona princess ananiangalia antabasamu. Nikamkumbatia nikamuuliza mbona unatabasamu akanambia hapana najiuliza tu kwa nn bado nakupenda licha ya yote uliyonipitisha daaah. Nikamkumbatua tu princezs na tulipotoka msalani.nilimuomba radhi mwanamke wangu. Nikamtaka msamaha mnoo. Nilipiga magoti nikijuta sana niliyoyafanya. Alilia na yeye mnoo. Na mm niliumia..aseeesss ila mwisho wa siku akanmbia nimekisamehee na nakupenda sana . Mi sijawahi kupenda kama.nnavyokupenda ww .bab peter. Naomba tu tuwe pamoja .na tulee watoto pamoja ata mm siwez kuzaa tena. Niliogopa nikamuuliza kwann. Akanmbia baada ya kuzaaa. Akaanza kuumwa . Akawa hayupo sawa. Kumbe nurse alisahau kumtoa kondo la uzazi. Aseeeee ikaharjbu kizazi chake .kwa usalama wake ikabidi atolewe kizazi sasa. Alinambia aliumwa sana nusu kufa. Watoto kalea kwa shida mana mwanzo baba yake alimyomua nyumbani . Baada ya kurudi na mimba na kishindwa kumaliza chuo. Nyiieee Nilijiona nna makosa sana kwa huyu mwanamke nilimpigoa magoti na nikazidi kumuomba msamaha. Nilimuomba msamaha sana. Nikammabia mimi anisamehe tu. Nilimpigia na mgoti zaidi na zaidi alinismaehe princess. Na akinambia ananipenda sana ila alikuwa na hasira tu na mm. Nilifurahi kisenge .nilimwambia nakupemda sna leo mpaka kiama. Aseeeee basi baada ya uyu mwanamke kunisamehe.mimi mwenyewe nilimpeleka singida mama akamuone sasa. Asee mma alivyoona wajukuu watatu we alifurahi . Walivyonifanania dada ndo sikwambiaaa. Ilikua rahaaa mnoo. Kiukweli nilisikia tu kuwa fatuma kaolewa ana maisha yake ila sio na alex. Ila mtoto alimchukuaga alex ata sikutaka kuyauliza na mengine mm Tulikaaa kwa mama kama siku 3. Tukaludi moro dada akanipigia ananiuliza we mtoto demu mkari kama yule umemtoa wapi . We mpumbavu ulianza kuchepuka nae mbona una watoto nae wakubwa. Nilicheka nikamsimulia tu .kuwa ndo yule mchepuko wangu.dada alicheka akasema daaah kweli mlipangiwa . Mma ako anasema mwanamke utamuweza uyo mbona mzuri sana. Angejua uyo princess akivyokwama kwangu hajiwez kwa chochote Na mm princess alinipeleka kwao na akaenda kunitambukisha kuwa ndo baba mtoto. Nakumbuka mama yake alinambia ungekuja kipindi iko umemvulugia masomo mwanangu ningekukimbiza sana. Ila basi yashaisha baba karibu sana nyumbani . Na ufanye mpango sasa mufunge ndoa mukae pamoja. Haikuwa swala ila kwenye ndoa sasa princess hakutaka kubadili dini yake na mm sikutaka kubadili dini hivyo ikatulazima tukaenda kufunga ndoa ya serikalini. Mpaka.sasa mm na mke wangu tpo katika ndoa miaka 4. Tuna furaha mnoooo. Mnooo tu. Kila mtu na dini yake ila wanangu ni wakristo.wamebusy sana kwa mama yao si unajua ndo kawalea.mi nikawaacha tu. Cha muhimu nipo katika ndoa na mke wangu na nampenda sana. Na ata princess ananipenda sana. Kugombana kawaida ila tunapendana sana. Ugomvi wetu mkubwa princess mkali kwa watoto. Anapiga sana kupiga watoto wakikose akidogo. Asa paulina ndo kila siku anampiga hasikiii kweli kweli . Yani ana matatizo kuliko kaka zake . Ni mgomvi alafu yeye ndo wa kwanza analeta kesi. Na ukute yye ndo mgomvi. ALafu sasa paulina ndo anapendana sana na mam. Mpka weeekend anakilia kwenda babati kwa bibi yake. Basi likizo zikitokea nampeleka yeye na paul.peter ni kapoa sana ata kukaa kwa mtu hawez. Huwa tupo nae nyumbani tu. Uyu kapoa sana na sio mgomvi.ila paulina na paul ndo wenyewe . Kama ngumi ni wao. Kugombana ni wao. Ila kakaa yao peter wala hana shida. Mana peter ndo wakwaza. Wapili paul. Paulina wa mwisho ila ndo ana fujo sana. Na kwa akiri sasa peter kama mm. Yani shuleni ni kichwa kinoma . Paul ndo anafata. Ila paulina mh 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌🙌. Nakuwa wa 34 kati ya watu 35. Alafu ananumbia baba apo nimejitahidi. Nacheka sana.tunaanza kusakaziana hizi akiri karithi kwenu . Ila napambana nae na tutions akae saw. Umwambia maneno na ugomvii we hakimpiti kitu.ila ndo kabinti kangu .nakapenda kweli. Si tupo moro bwana . Mke wangu alinifats uku. Na biashara zake akahamishia uku. Nampemda sana uyu mwanamke .nampenda mnooo. Na namuonea wivu kweli kweli. Mana anazidi kuwa mzuri kila leo. ❤️ MWISHOOOOO

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

Aseeeee ata nikifurah ndo sio wangu ni mume wa mtu. Basi nangalia missed calls mama kanipigia sana . Wee mimi wala sikutaka kumpigia mama nikamtumia tu sms.mama mi naludi keshi kutwa . Mama akapiga wee wala sijapokea nikajua ntachambwa. Nikakausha kimyaa. Mh nikawa namwangu tunaangalia tv na kuna tamthilia pale. Rahuk ananiuliza mma uyu ni baba. Eeeh. Namwambia ndio ni baba. Anambia sawa . Ana maswali nae . Basi tukaa pale mpaka mda wa mchana kama saa 9 ndo mlige anaingia . Mh yupo mtoto wala sikumuwow. Ila akaja pale akanisalimia nikamuitikia kisha akampaka rahul akaongea nae pale. Sijuh ujambo umekula nn na mama. Madwali kibao. Kisha akaingia chumbani Mh nikamuekea kartoon rahul .kisha na mm nikamfata sasa ndani. Namkuta anavua shati lake .nikamsogelea nikamvua shati lake. Nikamujliza vp umefanya kazi vizuri. Akanmbia ndio. Nikamuukiza vp kichwa akanmbia kipo powa . Basi nikataka kuondoka . Eeeh akanivuta akanmbia unaenda wapi sasa mimi nataka kuwa na ww. Nikasema nipo naenda tu kupunguza sauti ya tv. Akanmbia ngoja niende mimi. Kweli akaenda akampunguzia rahul. Kisha akaja chumbani akafunga mlango na funguo. Akanifata sasa. Akanikumbatia akanmbia nimekumiss sana faridah mwenzio. Mh mi nikatuli tu. Akanzaa kunitoa t shirt yangu . Nikabaki maziwa wazi. Akaanza kuninyonya kwa hisia. Mh sasa hii siku ndo nilimuona mlige wangu. Wala sio hasira tena. Basi na mie taratibua nikawa napapasa mwili wake. Na nikamaliza kumtoa shati na singlend . Nikamfungua na mkanda wake taratibu. Nyieeeeeee mlige akanmbia mama nakupenda sana faridah..siwezi kukuacha mm. Mh basi bwana mie na mlige hii siku tukapeana penzi zito. Unajua zito. Yani mpaka mlige akawa ananibiinya mdomo nisitoe sauti.mana kuna mtoto . Baba alinifanya kwa rahaa mnoo. Hakuna hasira wala nn. Yeye anakojoa na mm nakojoa.nafikiri kwa hii siku kila mtu alimfurahia mwenzie hakukuwa na hasira kabisa wala ugomvii. Baada ya kutombana sasa ndo namkumbuka rahul. Nikachukua taulo haraka nikavaa nikatoka namkuta kalala uku ananyonya vidole vyake. Ndo alivyo mwanangu anapenda kunyonya vidole. Basi nikaenda kumlaza vizuri nikaludi chumbani . Aaseee mlige akanivuta akanipakata akanmbia unakumbuka siku ya kwanza mm na wewe tunakutana. Mi nikacheka tu . Mana nakumbuka alinipiga nikakimbia nyumbani kumuita baba. Mlige akanmbia. Nakupenda sana faridah. Kama kunipatia maam umenipatia, Navurugwa kwa kila kitu chako . Natamani tuendeelee kuwa katika mahisiano. Ila sikuamini faridaha nakuogopa sana nahisi any time unaniacha tena. Si kisha unanambia mi mkubwa ndo mana hunitaki unataka wa umri wakk. Mh Nikasema hapana mlige wala haipo hivyo kipenzi. Akanmbia kumbe ipo vp faridah . Mi naumia sana . Ni vile mi mwanaume najikaza tu. Naishi katika ndoa ambayo siifurahii . Unazani mi nampenda yusta hapana ila nilijikuta nimemuoa nikihisi moyo utatulia ila hakuna ata. Aseeee najutia maamuzi ila sina jinsi ishatokea . Ila mm kukuacha siwez. Kama vp ata kama kwa siri ni sawa tu tuwe pamoja . Kla siwezi kukuacha kabisa faridah..mh mi.nafanyaje jamani..nikasema sawa. Basi tukaenda kuoga kisha sasa tukaludi ndani asee. Mlige alikuwa na furaah mda wote ni kanishika mkono. Mala farida wangu. Mala farida we utaniacha tena..mala faridah daah mi najiona mjinga sana kwa jinsi nnavyokupenda nashindwa kufanya chochote juu yako. Yani maneno yalikuwa mengi. Na tulikaa pale siku 3 . Na bwana. Nabebika aswaa. Ila.sasa nilikuwa nashangaa sikumuona ata mala moja uyu bwana anaongea na mkewe. Yan hamna mpka nikashangaaa Na baadaa ya siku ya 3. Mlige ndo akanmbia kesho tunaludi mie.nikasema.sawa. na kweli nikaludi na mlige mpaka runzewe akanishusha apo. Akanipa na pesa laki 3. Akanmbia tumia nakutafutia pesa upate ata kabiashara kidogo. Nilokuwa namshukuru acheni tu.kisha mwanaume uyo akasepa . Yani akaniacha nyuma yeye akatangulia na mie nikazug sana runzewe pale.jioni kabisa ndo bibi mie naludi homee . Nimefika nyumbani . Mama kaninunia akanmbia eeh ndo umekaa siku 3 uko. Ukikuwa unafanywa na uyo baba rahul tena.nikasema hapna jamani mama. Alinambia anataka kuwa na mwanae kwa skku 3. Mama akanmbia kwa iyo ajakufanya untaka kunidanganya apa . Eeh akamuliza et rahul baba alikuwa analala na mma eeh. Rahul akasema ndio wanalala wote bibi. Mimi naangalia katuni. Mh nikawa naogopa asije kutaja mlige uyu mtoto Mama akasema mshenzi kabisa ww huna ata aibu. Kama ulikuwa unaenda kufanywa si ungemuacha mtoto . Eeeeh . Unaenda kukaa.na mtoto ansikiliza upumbavu wenu. Mama nae. Mh mi wala sikumjibu. Mama akanmbia yusta alikuja apa kukusalimia. Nimemwambia aupo siku ya 3 sasa . Nyieee moyo wangu ukfanya paah . Nilichanganikiwa . Ila nilijikaz na mda uo uo . Yusta ananipigia simu. Mie nikaingia chumbani kwangu. Ndo nikaipokea ile simu. Nikasema hallow. Yusta akanmbia we hizo siku 3 ulizokuwa kwenu haupo ulienda wapi. Mh ata salamu hakuna..nikasema mie nilikuwa na mishe zangu. Na nilienda kwa baba mtoto wangu.yusta akanmbia wewe kaa mbali na mume wangu nakwambia kabisaa mume wangu hataki ata kukuona anakuchukia sana kwa mambo yako ha kisenge ulomfanyia Mh nikasema kwni mimi nimemfata mumeo. Mie wal niko busy na yangu na tangu nimeludi wala sijawahi kuonana na mlige. Akanmbia habari ndo hivyo mana naona sikuelwi. Mume wangu akisafiri na ww nasikia kwenu haupo. Yani usiwe karibi na mume wangu kabisa. Kwanza ana hasira sana na ww .atakuua. mh mie kimyaa. Akajiropokesha .mie nikakata simu yangu nageuka hivi namuona kweli mama. Akanmbia we uyo yusta mbona kama anakushutumu unatembea na mumewe. Nikasem sijuh tena mama ndo nilikuwa namuelezea kuwa sikuwa na mumewe mm Mama akasema faridah .isije kuwa kweli ulikuwa na mlige. Mi najua sna mlige anavyojupenda ww. Isije kuwa umekuludia faridah..nikasema hapana sijuwa nae mm. Mama akamuita rahul . Eh akaja chapu nakwambia. Mama akamuuliza kwan uliienda kwa yule baba yako mwarabu.eeh rahul akasema ahaaa sio uyo bibi. Yule baba angu mweusi mzuri. Ananukia . Ana gari nzuri. Mh mama akamwambia wee anitwa nani . baba nani. Mwanagu akasema ahaaaa ahaaaaa ahaaaaa.yani ile kama hakumbuki. Anaambia et mama anaitwa baba nani yule. Mie kimya chizi nn🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌🙌111 MPAKA 113 🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

SONGA NAYO Asubuhi wa kwanza kuamka nilikuwa mimi,nilijikuta na uchovu wa ajabu sana,nikaona niamke nielekeee chooni kukojoa Ile natoka tu kwenye shuka 😳😳nikagundua nipo uchi wa mnyama🥲hapo ndo akili ikanirudi nikagundua yaliyojiri jana Mamaaa!!!!!!!!!!!!Erick erick umenibaka ,umenibaka etick ,nikaanza kupiga kelele hapo kama sio mie niloutaka🤣🙌 Sikuridhika nikamfata boss pale kitandani acha nimtingishe,umenibaka Erick umenibaka kweli?? "Nikubake kwa kipi na uliutaka mwenyewe,em nitolee kelele zako sehemu za siri zangu zinahitaji mapumziko" 😳😳khee manake kwanza nilishangaa sana sikuamini nilichokisikia eti ken* zake zinahitaji mapumziko sio??sawa. Kwa hasira nikatoka nikavaa haraka haraka nikatoka hadi nnje ,sebleni nimewapita wazazi wake kama sijawaona bila salamu bila nini yaani kama nna utahira hivi Nikiwa njiani sasa nikawa nawaza kile kitendo cha jana" mmmmh sema niliinjoy mmmh🥰🥰anajua hadi anajua tena".Nikiwa nawaz hivyo kuna kauli inanambia amka Joy kuwa na msimamo kama mtoto wa kike🤣🙌akili inakinzana na moyo Basi buana nikatoka mkuku mkuu hadi mchikichini nipo hoi kama mbuzi wa kimasai,moja kwa moja nikaelekea bafuni kuogaa,nilipomaliza nikabana mlango nikalala Kwa muda huo sikuwa na wazo la kwenda kazini wala wapi yaani nilivurugwa haswaa🙌🙌 Nikiwa nimelala nasikia kuna mtu anagonga mlangoni na vile mlango wenyewe wa mchongo nikaitikia karibuuu upo wazi Khee kumbe mama ashrafu nkajua sijui nani ,aya nambie nakuskiliza 'khoo mie sio mtu wa maana sio,ulimtegemea samia au majaliwa mbwa wewe?." Mama ashrafu alizungumza Mama na wewe ushaanza em nambie shida nini lakini,nilizungumza. Enhee hayo ndo maneno sasa so unabwabwaja tu.Joy yule bwana mapesa alokuwa akikukimbiza siku ile amekuja kukuulizia na kanipa elfu kumi ya soda pindi tu nikimpa taarifa zako,sasa tuongee biashara,unipe cha juu au nikakuchome?🤣 Khe mama ashrafu,we wa kuniuza mimi kweli mi si mwanao?niliuliza. Sina uzazi mie mayai nshakaangia chipsi ,nipe jibu unanchelewesha. "Nakuja sina hela za mchezo mimi,nilijibu." Mfyuuu nyoo mnuka njaa tu kazi kulala si bora uje unioshee vyombo nkupe afu mbili,msichana mzima hovyo kabisa🤣🤣🙌🙌ila mama ashrafu🙌🙌kiboko kwa kweli Sikuchukua muda nilifika mahali lilipopaki gari la boss kama nilivyopeea taarifa "Ajabu sikumkuta Erick zaidi ya wafanyakazi wake tu".Boss wenu yupo wapi?Niliuliza Hayupo,katuagiza tukupeleke kazini hivyo usilete usumbufu tuongozane mara moja. Ni sawa,nilinibu na kujifanya kama nataka kuingia ile wanafunga mlango tu mie huyo nikajirusha kama jonsina,nikala chocho za kwendra nikajua kabisa hawa hawanipati Nikiwa nimejibanza huku nikichungulia kujua yanayojiri ,nilishtushwa na simu ikiita tilitili tilitili,kuangalia ilikuwa namba ngeni,huwa sina kawaida ya kupokea namba hizo hivyo nilipuuzia Tilitili tilitilitili simu hio haikuacha kuita hivyo niliamua kupokea "Haloo Joy?." Mbona unanisumbua hivyo lakini? Sauti hio haikuwa ngeni na nilivyogundua ni Erick nilikata mara moja na kuzima simu kisha nikarudi kwenye chumba changu cha giza. Itaendelea

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema Said
 

weweeeeh hatari sana asant mwandishi ila mpak apo mamb yanaend saw ila hatuwez kusahau ujinga alio fny farida ila nimefurah san baad ya mlige kulia ni njia nzur san ambayo imefanya kupunguz maumivu aliyo nayo kuhus fard maan hanampend bado na hanaonesh bado hanamuhtaj na kwa upande wa farida aache utot wak na kutokuwa na msimamo kam umri kampita si angemkataa tok mwanz ila kam kamkubal bas ampende hvy hvy kam ni pesa anayo na mlige hanawez kump zaid hvy tu

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema Said
 

weweeeeh hatari sana asant mwandishi ila mpak apo mamb yanaend saw ila hatuwez kusahau ujinga alio fny farida ila nimefurah san baad ya mlige kulia ni njia nzur san ambayo imefanya kupunguz maumivu aliyo nayo kuhus fard maan hanampend bado na hanaonesh bado hanamuhtaj na kwa upande wa farida aache utot wak na kutokuwa na msimamo kam umri kampita si angemkataa tok mwanz ila kam kamkubal bas ampende hvy hvy kam ni pesa anayo na mlige hanawez kump zaid hvy tu

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Wakati nawaza pale akaja yule muuzaji na baadhi ya sampo ya vitu vya kike vya gharama kweli dah mfukoni pesa ya kufosi na uhakika wa kupokelewa zawadi sina ila fresh ngoja nijaribu tu 😄 hata hivo wanaume si tumeumbiwa mateso wacha nijitese tu nilitoa pesa mfukoni nikanunua nguo za ndani vinguo fulani hivi hatari sana Princess akivivaa vile mamae atawaka hatari muhuni nanunua akamvalie mwanaume wake dah lakini kwa vile najipendekeza ili niwe karibu na watoto wangu hakuna namna itabidi nifanye tu basi nilichukua braa za rangi kadhaa pale na vichupi chupi fulani hivi vya kisasa nikafungashiwa nikaondoka zangu mpaka home nimefika tu ndani nikapiga simu kwa mama la mama nimwambie kuhusu mizigo ili akiniruhusu hata mida hiyohiyo niende nikaipeleke.. Nilipiga simu kinoma haipokelewi dah nikaona fresh nikaiacha nikaenda kwanza kuoga nimemaliza kuoga ile natoka tu bafuni nakuta simu inaita Princess huyo anapiga nikaipokea fasta kabla haijakata ikikata naweza nikanuniwa mwaka mzima na watoto nisiwaone🤣🤣🤣🤣🤣kichaa sana yule mwanamke hello naam vipi akasonya vipi ya nini mbona unapiga piga sana simu una shida gani..ah samahani nilitaka tu kuwajulia hali hahahahaaa kutujulia hali hiyo vipi sitaki uzoee zoee kunipigia simu koma kabisa nimekwambia😣😣 Sawa mama nisikilize basi nilichotaka kukwambia ongea haraka niko bize unanipotezea muda.. haya mama nimewachukulia vitu naomba unielekeze mnapokaa nije nivilete..vitu gani na nani kakuomba?? Princess jamani watoto kuna vitu waliomba niwanunulie nimeshavinunua naomba niwaletee.. Uwaletee wapi hivi janaume zima et naomba niwaletee uwaletee kwa nani?? We unajua kodi ya nyumba sh ngapi au unalegeza tu lisauti lako libaya lione ka jinga akakata simu dah nikajicheka kwanza😂😂😂😂sasa hizi chupi nitavaa mimi au🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣nilijiona msenge kinoma ila fresh Siku ikapita kimya siku ya pili kimya mmmhhh siku ya tatu nikaamua kujipigisha simu hola hapokei ikakata kama wiki bila mawasiliano siku moja usiku akanitafuta akaniuliza ni vitu gani ulitaka kuleta? Nikamtajia tu vile vya watoto akasonya akaniambia kwahiyo hao watoto walijileta wenyewe duniani nikacheka kimoyomoyo kumbe kweli yule mwenye duka aliongea ukweli.eh Kwamba nikipeleka zawadi za watoto peke yao mama yao atanuna bora hata nilikubali kununua na zawadi za mamtu..ila sikumwambia nilitulia akachamba we badae akaniambia kesho zilete ila usije mpe tu mtu alete na kama ni mavitu ya ovyo atarudi nayo.. Naomba nije mimi pleas nikaongea kiume kwa sauti Fulani hivi mpaka bibie akashindwa kutoa jibu la haraka akakata simu😅😅😅badae akatuma msg subiri nijifikirie dah haya bwana nikatulia huku naomba Mungu nikubaliwe tu kweli.. Hiyo siku akanitafuta akaniambia wako sehemu niende bahati nzuri nilikuwa nyumbani sikutaka kupoteza muda maana nilipewa dakika chache nikichelewa wanaondoka... nilibeba vile vitu nikapakia kwenye gari fasta nikaifuata ile location kwa mbali nikawaona aiseee nilitoa hadi machozi sikuamini.. Nilienda hadi sehemu walipo watoto wakanikimbilia wakanikumbatia kwa furaha sana nikaanza kuwagawia zawadi zao mama yao akawa pembeni tu anaangalia anabenua midomo nakwambia hatari.. Nilicheza na wanangu pale wakahitaji na baadhi ya vitu pale nikawanunulia ilikuwa raha sana haikupita muda mrefu mama yao akaniambia muda umeisha tunatakiwa kuondoka akawakusanya watoto wakawa wananililia dah.. Basi ikabidi nimuombe niwarudishe mimi nyumbani lakini mamtu hataki hata kusikia kanikazia muda huo hata zawadi sijampatia bwana ziko kwenye gari naogopa kinoma maana anaweza akazikataa nikaaibika😅😅😂😂😂 Nilivoona amekaza kuondoka nikawaza mmhh acha tu nimpatie zawadi zake akikataa basi kweli nilienda kwenye gari nikazichukua alafu watoto nikawaambia nendeni kwenye gari tukabaki wawili mimi na mama yao.. Nikajikaza kisenge yani nikamwambia hizi hapa nimekuletea heee hakuamini akajidai kukataa nikambembeleza mpaka akachukua akaanza kuziangalia nani kakwambia uniletee zawadi za hivi kwa sauti Fulani hivi ya kudeka hahahaaaa nikajua hapa fresh twende basi nikupeleke nyumbani lamama🥰🥰🥰🥰 Akakubali ile sitaki nataka tukaenda kwenye gari mzee baba moyoni nachekelea tu nikimwangalia mtoto Princess anazidi tu kuiva kanawili huyo basi alinielekeza wanapokaa nikawapeleka hadi nyumbani na juice nikapewa😂😂😂😂unajua kilichofuata ni nini??? Penzi likarudi tena la moto kinyama siku hiyo napigiwa simu usiku mtoto hajisikii vizuri nipeleke dawa nafika huko nakuta mamtu ndo hajisikii vizuri anautaka hahahaaaaaaaaaaa sikutaka kupoteza muda mzee nikatumia fursa vizuri nikaanza kufanya maandalizi ya nguvu🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Itaendeleaaaa

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema Said
 

Dah nimeamini maumivi ya mapenz hayaishi kamwe na kwa mtu yule uliyempenda kwel na hat ukiwa na hasira naye basi akiwa karibu yako ni tiba tosha, n mapenz hayan umri maan moyo unapend na mwil hunafat mlige leo analia kweny bega la mtu aliyempend san na kumumiz pia kwa kuwa moyo bado upo kwake na kwel mapenz hisia nimepend san apa asant mwandishi Na kingine mwandishi pend kuweka hata vipande vinne maan apa umeniacha na mafikirio duuh najion kama mie vile jaman ila asant na tumalize salam ila mwisho huwe mzur weng wetu tunamachoz ya karb sihtj kulia tena kam mwanzo mlige wang alivyoachwa mataa pls

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

SEHEMU YA...... 1 ilikuwa ni majira ya Jioni nyumbani kwa Kijana Tajiri aliefahamika kwa jina la ABDUL. Kijana ambae alijaaliwa kuwa msomi na kuweza Kupata kazi Nzuri. Hali ile ilimpelekea kuishi nyumba moja na wazazi wake pamoja Mdogo wake wa kike alieitwa Amina. Basi siku hiyo majira ya jioni Mwanamama Ambae ni mama mzazi wa kijana Abdul na Binti Amina Alikuwa Zake alijiandaa kwa ajili ya Kupata ibada Ile ya magharib ndipo mala alisikia Katika luninga kuwa Tayari umeingia mwezi Rajab. Mwanamama huyo alifurahi na Haraka akaelekea kwenda kutekeleza ibada ya magharib. Alipomaliza na Mumewe alieitwa mzee Maftar Nae Alikuwa ndo amerudi kutoka msikitini "Baba Abdul kumbe Rahab umeingia leo mwezi umeandama?" "Ndio mama Abdul rajab Tayari Hapa tunaelekea kuikaribisha Ramadhan". Mwamama huyo gafla akawa mnyonge na kuinamia chini. "Vipi mkewangu mbona umepooza gafla?" "Ni kwa Sababu ya kijana Wangu ABDUL Naona kabisa tunaanza kwenda kukosana... Hapendi kabisa kufunga ramadhan maisha yake mwanangu ya hanasa tu.... Sijui Safari hii itakuwaje Tena. Unakumbuka ramadhani ya mwaka jana ilibakia kidogo tu atufukuze hapa nyumbani kwake eti kisa Tunampa mawaidha. Sasa safari hii Tena sijui utakuwaje?..... Tukimlazimishaga sana hata futari hatununuliwi sio siri nawaza mmewangu mtihani huu. Kijana wetu mwanzo hakuwa ivi Kabisa ila hizi kazi huko amekutana na watu tofauti tofauti ndio shida". "Mkewangu huu ni mtihani Tena Cha ajabu anaaanza hadi kumuharibu na huyu Mdogo wake Amina si unaona anavyovaa siku hizi yaani balaa jamani". "Mhhh hapa yote Sababu ni Abdul laiti Abdul angekaa sawa basi Yote haya yasingetokea..... ". Mzee Maftar alinyamaza kwa muda Kisha akamuambia mkewe, " Nina wazo mkewangu bi Hidaya" " Mhhh niambie mumewangu" " Tumeambiwa katika dini kuoa ni nusu ya dini na Kupata utulivu... Nakumbuka hata Mimi kabla sijaoa nilikuwa kama mjinga ivi Ndipo wazazi Wangu wakanisihi nioe. Alhamdulilah nilikuoa nikakaa sawa mpaka Leo tumetotoa vijana wetu na tunazeeka pamoja mashallah..... Kwa kuwa suala la kufunga hataki sasa tumsihi aoe mke Ambae sisi tutamchagulia. Tutafute mwanamke anaeijua dini huwenda akiwa nae faragha ataweza kumbadilisha". Bi hidaya au mama Abdul kusikia vile alijikuta anafurahi, " Ujue mumewangu ni kweli... Suala la ndoa Allah halijalia uzito wa aina yake kuwa ni nusu ya dini huwenda Kweli ikasaidia... Tena ulipoongea ivyo tu moyo umenisisimka namuwaza yuleeee Binti Fatma mtoto wa bi Sema. Wale wana dini sana watu wa unguja wale Binti yake yule mkubwa alishaolewa lakini fatma bado yupo Na ni ukhtu anasomesha dini watoto kaajiliwa. Nawaza Fursa adhimu sana hii". " Ewaaaaaaa!!!! Sasa mkewangu tusikawie ikiwezekana Rajabu hii hii Mipango ianze isikawie pengine shaabani wafunge ndoa ili Ramadhan wawe kwenye ndoa". " Kila jambo la kheri naamini huwenda Kwa kheri.. wewe ukitoka msikitini kuswali inshaaa unuwie na hili jambo letu nami nitaomba tupate wepesi maana Kijana wako si unamjua alivyo mkorofi" " Ni kweli mkewangu tufanze Dua ili wewe uamke na huko Kwa bi Sema na mie nianze kuzungumza na Abdul. Basi walifurahia Mipango yao hapo wenyewe na baadae bi Hidaya akaelekea zake jikoni kutazama chakula alichokuwa anapika. Majira ya kama saa 3 usiku Alirudi Binti wa kuitwa Amina huyu Mtoto wao wa kike aliekuwa kwa Wakati huo anasoma elimu ya secondary. Amina aliwakuta wazazi wamekaa Sebleni, "Muda huu Ndo unarudi mwanangu shule gani hiyo?" "Mhhh mama jamani ndo maana hata kaka abdul anawaambiaga muache ushamba tulikuwa na day out na wanafunzi wezangu" " Hilo baibui mbona umelikunja ndo ulivaa ivyo hayo matembezi na wenzako? " " Heee jamani ahhhh mama ushaanza Yani ushaanza khaaa". Hapohapo mala alifika sasa Mr Abdul.. kijana mkubwa, kuingia kwake kwanza wote walinyamaza zaidi ni yeye ndie aliwasalimia wazazi na Kisha akawa anaelekea chumbani kwake. Baba yake akamuita, "Abdul mwanangu pole na kazi... ila umekuja mda muafaka sana... Mtazame Mdogo wako ndo anarudi saa hizi eti walikuwa day ut sijui dei ut na wenzake kweli Binti wa kiislam kurudi nyumbani saa hizi?". Abdul alitabasamu kwanza, "Yah niliongea na mwalimu wake nina taarifa hizi walikuwa na day out so hakuna Cha ajabu hapa.... ". Abdul aliendelea kwenda zake chumbani kwake na hata Binti Amina akaelekea chumbani kwake Sasa walibaki wazazi Mzee Maftar na mkewe bi Hidaya wakitazama ndo watoto hao... Boss mkubwa wa kuitwa ABDUL na Mdogo wake Amina. Sijui itakuwaje? Wazazi watafanikiwa Mipango waliyoipanga juu ya kijana wao....? Tukutane sehemu ya 2 *ZAWADI YA RAMADH'AN* SEHEMU YA...... 2 Tulipoishia..... Sasa walibaki wazazi mzee Maftar na mkewe bi Hidaya wakitazama ndo Watoto hao... Boss mkubwa wa kuitwa ABDUL na Mdogo wake Amina... SONGA NAYO...... Usiku wa siku Ile bi Hidaya aliamka usiku mwenyewe na kuchukua udhu Tayari kwa kufanya ibada. Mwanamama huyo aliswali Kisha akaomba kwa uchungu kuwa sasa wajibiwe maombi yao kile wanachokitaka kiweze kutimia. Asubuhi majira saa nne ivi, ABDUL alikuwa zake ofisini kwake Ndipo mala aliingia msaidizi wake wa kazi. Binti huyo aliitwa Nayma alifika ofisini hapo na kumuambia boss wake ABDUL. "Mhhh my boss Kuna mgeni wako naona baba mkwe amekuja" "Unamaanisha Nini?" "Baba yako yupo hapo nnje Anahitaji kuzungumza na wewe a emekufuata mpaka huku kazini" " Ahhh!!! Huyu mzee jamani hapo ukute anataka ela ya kawaha ebu ngoja nikamsikilize". " Haya twende". Wakitoka hapo huku nayma amemshika ABDUL begani. Walifika mpaka Mapokezi ambapo Alikuwepo mzee Mftari amekaa. " Mzee shikamoo ivi hatukuonana Asubuhi eeeh" " Marhaba.... Ulitoka mapema Natoka msikitini Asubuhi sikuona gari lako umeshaondoka". " Ok sawa njoo nnje basi nikuagizie hakawa najua unapenda sana" " Asante... Asanteee baba Asante mwanangu". Basi walitoka nnje na kukaa palikuwa na viti sehemu tulivu sana. Mr Abdul aliagiza kahawa kwa ajili ya baba yake nae akafurahia sana. " Kijana Wangu nimekuja hapa kuna jambo nataka tuzungumze...." " Mhhh jambo gani baba? " " Kijana Wangu umeshakuwa mkubwa sasa... inatakiwa upate mwenzako na uoe... Tunahitaji kuona wajukuu zetu tafadhali " " Mhh baba mbona gafla? " "Yani mwanangu hili jambo limenisonona sana nimelala mpaka naota. Nadhani wakati umefika mwanangu upate mwenzako" " Mhhh baba wanawake wa mjini ivi unawajua vizuri... Wengi wanapenda pesa tu" " Tumezingatia Hilo Mimi na mama yako tukapata wazo kuwa mke tuachie sisi kazi ya kutafuta mke wa wewe kuoa tuachie sisi wazazi wako tukuangalizie mwanamke mwema ambae mtaoana na kuridhiana Vizuri". "mhhh sawa basi nipo Tayari baba Kwa Hilo ila tu awe mke Mzuri Ambae anatazamika hata nikaenda nae maeneo naenjoy... " " Hilo wala usijali utapata mkewako mwema na Mzuri tunataka wajukuu buana. Kama ivi upo zako kazini sisi nyumbani pale tunabakia na wajukuu wanacheza cheza tunaburudika". ABDUL alifurahi pale basi waliendelea Kupata vinywaji huku akifurahi na baba yake. Mzee Maftar Aliporudi nyumbani nae akampa taarifa zile mkewe kuwa Abdul amekubali sasa ni wao tu kuanza mazungumza na ile familia waliyoikusudia. " Yaani mmewangu sijui hata niseme Nini sikutegemea ujue kama Abdul angekubali kirahisi namna hii yaaani ni Mungu tu" " Ndo Maana tunaambiwa mkewangu Kila jambo la kheri basi huwenda Kwa kheri pia tuombe na upande wa pili watuelewe". " Hakika mmewangu ". Basi taarifa zile zilimfanya mwanamama bi Hidaya nae Kupata nguvu. Siku iliyofuata mapema sana alifika nyumbani Kwa bi Sema ambae ni rafiki yake wanafahamina. "Umeadimika jamani bi Hidaya mpaka nilikuwa nakuwaza nataka nije kukutembelea" "Nipo rafiki Yangu pirika tu nakwambia... Vipi ma weye Watoto hawajambo?" "Alhamdulilah hawajambo Kabisa". " Mhhh Sasa nimekuja hapa huu mguu ni wako Nina jambo kuhusu kijana Wangu ABDUL " " Mhhh kwema? " " Kwema nilikuwa naomba aje kumchumbia Binti yako yule Fatma" " Mhhh Abdul huyu huyu naemfahamu mimi ama mwingine? Atawezana na Fatma? Mhhh sidhani kwa kweli hata kama Fatma mwenyewe atakubali Nahisi hatokubaliana na hili bi hidaya labda ujaribu sehemu Nyingine" Bi hidaya kusikia vile kwanza pozi lilimuisha, alisikitika sana basi hakuwa na hiyana akaendelea na maongezi mengine baadae akaagana Kuondoka Zake. Mwanamama ni sema alibaki alijisemea, " Abdul namfahamu ana dharau hata Kwa wazazi wake, anaringa na pesa zake alafu Leo amuoe Binti Yangu si atamtesa jamani? Hapana Kwa kweli. Lakini kumbe wakati yote hayo yanaendelea bint Fatma mwenyewe alikuwa aliyasikia. ilitokea TU Nae ndo alikuwa amerudi nyumbani lakini mama yake hakumuona. Akiwa mlangoni akasikia maongezi Yale yote ... Sijui itakuwaje? Tukutane sehemu ya 3 *ZAWADI YA RAMADH'AN* SEHEMU YA.... 3 Na Mamuh Mohd 0743433005 Tulipoishia.... ilitokea TU Nae ndo alikuwa amerudi nyumbani lakini mama yake hakumuona. Akiwa mlangoni akasikia maongezi Yale yote.... SONGA NAYO.... "Assalam walleykum warahmatulah wabarakat" "Walleykum msalam mwanangu habari za kazi" "Alhamdulilah Mimi ni mzima tu mama Yangu.. haya nipo ndani kwanza najimwagia maji" "Haya sawa". Fatma alisikilizia kama labda mama yake atamuambia Chochote lakini akaona kimya, basi akaingia zake Ndani kuendelea na shuhuli zake. Wakati huo bi Hidaya alirudi nyumbani na Kupata kuzungumza na Mumewe. Alimueza kuwa ni sema amekataa kuhusu Binti yake kuolewa katika familia yao hiyo. "Ahhh kwanini sasa iweje akatae jambo la kheri kama hili jamani?" "Ni kwa Sababu... Ujue anamfahamu vizuri kijana Wangu ABDUL... Yule ni rafiki Yangu huwa Tunazungumza namfahamu kama hana neno. Lakini Leo katumia kigezo icho kama fimbo ya kunipigia.. kiukweli hii kitu imeniuma sana" "Ahhh!!! Mtihani huu..sasa basi nikienda msikitini labda nijaribu kuzungumza na wazee wezangu kule kwa Ambae ana Binti yake akubali tufanye hili jambo" " Mhhh sawa lakini fatma alikuwa ni Binti mwema sana... Moyo Wangu ulikuwa umempenda sana. Haya kama sio ridhiki yetu huwenda Kweli kijana wetu si kijana mwema Ndio Sababu hapati Mwanamke aliekuwa mwema pia" " Hapana usiseme ivyo mkewangu sisi tunachohitaji ni kheri... Jambo la kheri ndilo sisi tunaliomba na inshallah Allah atatuwekea wepesi katika hili" " Amiin ". Basi Siku hiyo majira ya usiku Alikuwepo Binti Hadija ambae ni ndugu wa Binti Fatma huyu alikuwa Tayari ameshaolewa yupo kwake na Maisha yake. Binti huyu japo kwa muonekano wa nnje alionekana kuwa mwema sana lakini ndani alikuwa ni mtu wa makelele kila kukicha. Ni Mwanamke Ambae mumewe alikuwa na kipato kidogo ivyo hali ile ya kukosa baadhi ya mahitaji kwake ilikuwa ikimkera sana. Alifika hatua akawa akimpatia mumewe tendo la ndoa pale anapotaka yeye na sio kwa Wakati Ambao mumewe anataka. Mumewe ambae aliitwa Salim, alibarikiwa hekma sana na alimpenda kwa dhati sana mkewe. Hakuwahi kuwaambia wakwe zake wala mtu yoyote madhila anayoyapata katika ndoa yake hiyo. Basi siku ile majira ya usiku Abdul Alirudi nyumbani mapema na kukaa na baba yake. "Baba kwa kweli lile jambo uliloniambia Leo Asubuhi nimekaa nimewaza sana. Sikutaka kuoa kwa sasa maana Bado mambo Mengi nayafanya ila hapo uliponiambia wajukuu natamani sana. Sasa nilitaka kufahamu huyo Mwanamke Ambae nyie mmeona anafaa kuwa Wangu ni nani naweza kuonana nae nimfahamu tuzungumze" " Mhhh mbona una haraka mwanangu? Mke ni siri hutakiwi kuanza kumzoea Utamchoka hata kabla ya ndoa. Utaonana nae mala moja wakati Ambao Mipango inaendelea Haraka sana". Abdul kwa lile aliona ni sawa maana alilinganisha hata mpenzi wake aliekuwa nae kwa sasa ambae ni Secretary wake ameshamchoka Tayari. Akajisemea kwamba huwenda vile kuwa anaonana nae mala kwa mala ndo imekuwa ivyo. " Sawa baba Ila awe mke Mzuri anaetazamamika Mimi nakazania Hapohapo tu". Basi Wakati wanazungumza ivyo mala aliingia Mdogo wake Abdul yule alieitwa Amina. Amina alionekana kuwa na machozi usoni mwake kama mtu Ambae ametoka kulia. Kaka yake Alishangaa sana si ndo ikabidi amuite, "Wewe shida nini? " "Acha tu kaka... Sir amenipiga sana Leo sijui hata kosa langu ni lipo amenionea sana naumia kaka" " Mhhh Sasa hao walimu wamefikia pabaya kesho mguu wako mguu Wangu wakanieleze Sababu ya kukupiga". Baba mzee Maftar Ndipo akajibu, " Amekupiga kwa Sababu gani? Na mbona mnachelewa kutoka kila siku kwanini? Kazi mama yako utasaidia saa ngapi? ". Abdul akajibu, " Baba hayo mengine achana nae yeye mama kama kachoka kazi aagize msichana wa kazi kijijini huko huyu Kwa sasa anasoma hawezi kufanya kazi kesho huyo mwalimu wako atanijua Mimi ni nani". Hata mwanamama bi Hidaya yeye alikuwa pembeni tu akisikiliza hakuwa na la kusema. Basi buana siku iliyofuata Asubuhi Abdul kabla ya kwenda Kazini alianzia shule anayosoma Mdogo wake. Walikwenda wote mpaka katika ofisi ya mwalimu mkuu, Alifika na kuanza kufika hakutaka hata kujua Sababi ni ipi ila alipomjua mwalimu Huyo aliefanya Ivyo alimvaa. "ivi unadhani Mdogo Wangu hapa anasoma bule au? Huyu anasoma nalipa ada Au unamtaka maana nyie walimu hamkawiii... Iwe Mwanzo na Mwisho kumpiga Mdogo wangu laaa sivyo siogopi chochote". Walimu walijaribu kumtuliza Abdul mpaka akatoka na kuondoka zake. Lakini Wakati Abdul anatoka alipishana na mrembo bibie Fatma ambae nae ndo alikuwa anafika Shuleni hapo. Kumbe Fatma shule aliyokuwa akifundisha ni Hiyo ambayo anasoma Mdogo wake Abdul. Lakini ilikuwa ni shule kubwa sana ambayo Ina wanafunzi wa nursery, primary hadi secondary. Yeye Fatma alikuwa akifundisha dini tu kwa upande wa Primary. Binti alipopishana na Abdul alimtazama japo alikuwa amevalia mavazi juu mpaka chini. Binti huyo alikuwa amevaa zake baibui pake, juba lake na nikab ivyo Abdul yeye hakumuona wala kumzingatia lakini Bibie Fatma yeye alimuona na alikuwa akimfahamu kutokana na wazazi wao kuwa marafiki. Fatma Ndipo akasikia baadhi ya walimu wakiwa wanazungumza, "Huyu ana jeuri sana inaama angefika na kuuliza kwa ustaarabu tu kwani angepungukiwa nini mpaka afoke? Anakuwa mjeuri sana aisee". Fatma akaona aende zake mpaka eneo lake la kazi. Lakini ndani ya moyo wake alikuwa ameshampenda Abdul na alikuwa Tayari kuolewa nae. Licha ya kujulikana ni mtu mkorofi lakini kitendo cha mama yake Abdul kutangaza Nia ya kutaka kumuoa yeye alijikuta anaanza kumpenda Sana. Pia aliamini huwenda alikuja na hasira siku ile huwenda Kweli Mdogo wake aliumizwa kama kaka aliumia ila hana shida yoyote. Alikuwa alijisemea Fatma Mwisho akakata Shauri kuwa aende yeye mwenyewe nyumbani kwa bi Hidaya akazungumze nae. Wazo lile lilimkaa kabisa Fatma akilini na majira ya mchana Binti alitoka Kazini na kwenda Mpaka Nyumbani kwa Abdul akikusudia kuonana na Bi Hidaya mama yake Abdul. Fatma alifika akabisha hodi na kupokelewa na bi hidaya mwenyewe. "Assalam walleykum mama" "Walleykum msalam Karibu" "Asante shikamoo mama" "Marhaba Karibu". Fatma Ndipo akavua nikabu yake mama Abdul akamuona. " Haaaa mwanangu Karibu jamani nilikuwa nakusikia Sauti tu Sasa ndo nimekufahamu Fatma Wangu jamani Karibu mama... Karibu" " Asanteee ". Waliingia mpaka ndani wenyewe... Tukutane sehemu ya 4

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

SONGA NAYO...... Hatimae mda wa vipindi ulianza na siku hii nilikuwa na kipindi cha asubuhi kwa kidato cha tatu nilikuwa natakiwa kwenda kuwafundisha geography Basi nikaelekea darasani, kufika humo nakuta wanafunzi hawatulii wanapiga kelele yani ndio kwanza asubuhi darasa lilkuwa chafu karatasi zilizagaa kila sehemu Nilicbukia sana nikamuita monter na montress wapite mbele, kweli wakaja kuangalia vizuri monter ni ka toto kadogo ila sura imakakamaa dah 😅 " we ndio monter...??" Nilimuuliza yule dogo. "Ndio sir.." Alijibu kwa sauti ya bes jamani sauti ambayo hata mimi kijana wa miaka 25 sina ila huyu dogo anayo dah 😅 "Kwanini darasa lako ni chafu..??" Niliendelea kumuuliza "Sio hivyo sir..." "Sio hivyo nini sasa..??" Nilimuuliza huku nikimchapa chapa na fimbo begani, ila mimi nae nimezidi sasa, yani sina hata week tayari nimeanza kuchapa wanafunzi 😂 Jamani niseme tu ukweli sikuwa na mpango wa kuchapa mtu, ila monter ndio alikuwa ananiforce nimpige kwa sababu alikuwa ananijibu kama anaongea na mshkaji wake jambo lililopelekea kuchapa darasa zima 😂😂🙌🏾 Hasira hizi acheni tu, nikiwa nachapa chapa pale tena fimbo za mgongoni nikakutana na sura ambayo naijua kabisa, nikastopi kisha nikamtazama huyo binti "Kwani wewe una pacha wako..??" Nilimuuliza baada ya kuona anafanana sana na Lizy, hata ile tabia ya kuinamisha uso na huyu alikuwa nayo.. "Hapana mwalimu huyu Lizy ameletwa huku na dada yake Leah.. " Kuna mwanafunzi aliropoka, hii tabia siipendi kabisa nauliza mtu mwingine ila najibiwa na mwingine nilichofanya ni kumpiga fimbo ya mgongoni yule ambaye aliropoka 😂😂🙌🏾 "Namuuliza huyu arafu we unajibu inamaana unamfanya mwenzio hajui kuongea au..??" Nilimuuliza yule binti ambaye alilopoka basi binti akakaa kimya nikamgeukia tena Lizy "We si nakuuliza..??" "Hapana ni mimi, ila huku nimeletwa na Leah.." "Kwani wewe huwezi kukataa au huna nguvu za kumpiga..??" Nilimuuliza kwa ukali maana huyu binti kuna muda anakera sana yani amekaa kinyonge nyoge ndio maana anaonewa, nilichofanya hapo ni kumshika shati lake na kumtoa nje Huku nikimsisitiza aende kwenye darasa lake kisha nikarudi darasani na kufunga mlango, 😂 basi somo lilianza rasm nikaanza kufundisha sasa Nilikuwa nafundisha maada ya maziwa makubwa yanayopatikana barani Africa, kwahiyo hapo nikauliza swali "Ni maziwa yapi yanayopatikana barani Africa je mnaweza kunitajia baadhi ya majina..??" Kuna mwanafunzi akanyoosha mkono, nikamchagua akasimama na kusema "Maziwa ya ng'ombe..." 😂😂😂🙌🏾 nilikuwa nimekasilika ila kwa hili lilinifanya nicheke walah, sio mimi tu hata wanafunzi wengine walicheka sana, hako katoto kalikonijibu kalikuwa kadogo dogo harafu kafupi nyie 😂 Katika siku ambayo nilicheka ni hii siku walah 😂 dah kuna wanafunzi wengine ni pasua kichwa, basi somo liliendelea na hatimae kipindi changu kiliisha nikatoka nje, nafika nje sasa namuona mwalimu anamchapa mwanafunzi Kwa kuwa mimi ni mbea nikajifanya nazuga ili kwenda kutazam nijue amekosea nini, maana mimi sipendi kuona mtu anaoneawa kabisa "Ooh madam Penina.." Nilimuita baada ya kufika hapo maana alikuwa kanipa mgogo, akageuka na kunitazama kitendo kilichonifanya nimuone huyo mwanafunzi ambaye alikuwa anamchapa Dah niliumia sana sijui kwanini baada ya kumuona Lizy ndie ambaye alikuwa anachapwa. "Mh asubuhi asubuhi umeshika stick vipi amekosea nini huyo..??" Nilijisogeza ili kumtetea huyu binti sasa 😂 kwa kuwa huyu madam ni bongowazi akanijibu "Mijitu mingine bwana, badala ya kuwa darasani muda huu yeye anazunguka tu huku nje na yupo form four kabisa sijui ana shida gani huyu..??" "Dah, sasa madam wewe nenda ukaendelee na masomo niachie huyu nitamalizana nae.." Nilizungumza, kweli yule madam aliondoka nikabaki mimi na huyo msichana sasa, alikuwa bado amepiga magoti vile vile nikasogea karibu kabisa na alipokuwa. "We si nilikwambia uende darasani mbona hukusikia..??" Nilimuuliza "Sir sio hivyo kusema ukweli darasa zima naonewa sio kama siwezi hapana naweza sana ni vile tu nikileta ubishi naweza nikachomwa mikasi maana mle darasani wanafunzi wengi ni wazambuli ..." ( 🙄😳 inamaana nimekuja kwenye shule ya wazambuli...??") Nilijiwazia "Mh sasa binti hayo niachie mimi nitamalizana nao mimi, dah sasa si masomo yanakupita lakini..??" Mwanaume nilijikaza ili nionekane na mimi ni mwanaume kweli 😂 lakini ukweli ni kwamba mimi naogopa mno tena ni muoga sana kwenye haya mambo ya vibaka aweee naweza kuacha kabisa simu yangu ili niokoe roho yangu Basi ikabidi nimwambie anifuate ili nimpeleke huko darasani, basi mtu mbili tuliongozana haooo mpaka darsani nafika darasani bana bana 😳 Nakuta baadhi ya wanafunzi wamepanda juu ya meza wanakatika huku wavulana wanawabambia huku nyuma, kifupi darasa liligeuka kuwa jumba la mziki na kwa mbali kulikuwa na redio inalia.. Nilivyoingia wote wakashuka chini na kukaa tena wakatulia kama sio wao, nikabaki nawatazama hawa wanafunzi na shule yao khaa 😩 Ety ndio nasikia kuwa inafaulisha wanafunzi vizuri tu ndio kwa staili hii, aah hapana kwa kweli huenda kuna michezo michafu inafanyika ili kufaulisha wanafunzi..... ITAENDELEA.......

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

Mh na mimi nikaanza kulia. Aseeee hakukuwa na kuoga tena. Mana niliona mlige . Anazidi kulia na ata simuelewi tena..ikabidi mimi ndo nijikaze sasa. Nikafunga bomba. Nikachukua taulo nikamfunga chini . Nikamtoa mpaka chumbani. Ata simuelewi naona kabdilika . Nyie mshaona mwanaume analia kwa uchungu. Niliona leo aa nna kasheshe mimi farida. Kwaanza nikambeba rahul nikamtoa chumbani mna kuna kama kasebule.nikaenda kumuweka kwenye sofa nikamfunika kisha nikaludi chumbani sasa. Aseeee nikampigia magoti mlige. Nikamwmabia mlige plssss nyamaza naomba utulie tuongeee. Nilikuwa naogpa mtu analia .je akizuru mm. Na mm ndo namuumiza uyu baba. Mlige akanmbia kwani shida yangu ilikuwa nn .nmbie faridaah sijuh mapenzi. Au pesa mama . Nambiee faridah mi naishi maisha yasiyo na furaha sababu yako. Nambie shida ilikuwa nn . Faridah kwa sababu nilikuwa nakupiga. Mbona nilikuwa nakupenda faridaha nambiee mimi. Nielezee . Asa mm namwambia nn. Nilikuwa tu na mm nalia uku nimeshika miguu yake na kumuomba msamaha . Uyu baba mi kanisaidia mengi sana. Mligeeee nilijua nimemkosea na nimemuumiza sana. Na sio kumuumiza tu. Namuumiza bado . Ana kinyingo na mimi uyu kaka. Aseeeeee ilikuwa ni shidaa. Nilibembeleza mwanaume mpaka saa 8 hatujalala. Mlige analia tu. Yani kaacha kulia kwa sauti.ni kwikwi. Yani nilikuwa na leso namguta machozi mpaka ikajaa maji. Naongea nn mbele yake. Hiii siku niliumia sana. Yani saa 8 . Naona ata simuelewi ananmbia kichwa kinamuuma sana . Mh nilielewa ni kulia . Basi harak mi nikatoka njee ya chumba nikaenda mapokezi kuomba dawa za kichwa mala moja.nikapewa zile dawa . Haraka nikaludi ndani . Namkuta mkuge kashika kichwa kabisa. Aseeee harka nikampa dawa. Nikampa na maji. Anambia kichwa kinaniuma san faridah. Mh basi nikachukua kitamba nikaanza kumkanda na maji ya baridi. Nyiee kama nusu saa . Ndo namuona kakaa vizuri. Yupo hoi. Nikamvuta kisha nikamlaza kwenye miguu yangu. Akanmbia faridah naomba nilale apa kwenye miguu yako leo na mimi. Nikasema sawa elly hakuna shida we lala tu. Na kweli akalala maskini. Moyo uliuma sana . Na nikaumia mnoo. Basi na mm nililala hivyo hivyo kwenye sofa mpaka asubuh yani. Yeye ndo alikuwa wa kwanza kumka . Akanmbia aha faridah sory ujaumia mama. Nikamwambia hapana elly mi sijaumia. Akanmbia ssawa nataka kujiandaa nna kikao saa 3 kamili. Nikamshika mkono.nikamwambi elly naomba uwe sawa kipenzi uko unakoenda. Naomba usiyawwaze kabisa ya jana sawa. Mlige akaningakia kisha akatabasamu akanmbia sawa nimekuelewa . Akaingia bafuni kuoga. Mi nikamuacha aoge ila nilikuwa na mawazo sana juu ya uyu baba. Alipotoka . Mi nikamtolea nguo katika begi lake. Nikamuacha avae. Akavaa fresh ila akanmbia nisaidie basi kunifunga vifungo vya shati. Mie nikasema sawa. Nikamfunga vizuri . Apo ananiangakia sna. Akaleta mikono yake akanishika kiuno. Akaja mpaka kwenye makalio yangu akayabinya. Mh nilikumbuka mbali sana kipindi tuko vizuri ndo ilikuwa kawaida yake hiii. Mim nikatulia tu. Akanmbia sawa baadae naingia kazin Basi akavuta pochi akanipa elfi 50 . Akanmbia for emergeny ila apa nishalipia mpaka chakura watakuletea. Mi sitachelewa sana kuludi faridah . Naomba usije ukaondoka sawa . Nikasema hapana siwez nakungoja akanmbia sawa .kisha uyo akatoka zake . Mi ndo naenda kumuamsha rahul.. nikaenda kumuogesha na kila kitu . Na mimi nikaoga na break fast ikaja pale.nikala na mwanagu. Mh nikamtumia sms mlige.nikamujliza umefika salama .akanijibu ndio mke wangu nimefika salama Nyieeeee nilisikia karahaaaaa sitaki kuwaambia.

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

Ni nani jina la huyo mwanamke aliyejifungua?! Nilimuuliza eve aliniambia jina lake ni lia Stanley.... lia lia lia...... kwanini huachi ndoa yangu ikawa na amani nikufanyie nini ewe mwanamke ili uweze kukaa mbali na mme wangu?! Kwanini hukomi.... natakiwa kufanya nini ili kumkomesha huyu binti kama ni matusi tushatukanana sana....kama ni kupigana tushapigana niliwahi kumng'ata hadi kwenye makalio yake sababu ni hiyohiyo kumganda mme wangu lakini mbona haachi..... nimtumie vibaka wampoteze?! Au nimtumie mtu wa karibu yake amtilie hata sumu kwenye chakula ale afe😟😟 au nimtumie nurse eve nitamlipa ili amchome lia sindano yenye sumu ili aweze kupoteza maisha....siwezi kumuacha mme wangu siko tyr kuanzisha mahusiano mapya......nitadiri naww lia na nitakufunza namna ya kuheshimu ndoa za watu....hivi ni kweli nimedhamiria kutaka kumuua🤔🤔 duh vipi kama mzimu wake ukiwa unanitokea na kunisumbua si nitaishi kwa wasiwasi sana🤨🤨 ila nahisi kinachomchanganya lia ni mapenzi.... upendo alionao kwa mme wangu ndo kitu kinachomfanya ashindwe kabisa kumove on..... nitamsaidieje sasa ili aweze kutambua kuwa paschal ni mme wangu na haipo siku ambayo yeye atakuwa wake...... Kiukweli niliwaza sana siku ile..... nilifikia uamuzi wa kwamba nijiandae niende kule hospital waliko niende nikawaone niliwaza kumuua lia apotee kabisa kwenye uso wa dunia lakini niliona hiyo siyo njia sahihi..... nilijiandaa nikaandaa na chakula baada ya hapo niliondoka kuelekea kule hospitalini....nilimkuta eve aliniongoza hadi sehemu aliko mme wangu.... maskini mme wangu alikuwa kachoka sana alikuwa tu amekaa kwenye viti vya wagonjwa na alipitiwa na usingizi pale nilivyofika pale karibu yake nilimuonea huruma sana ananificha ili kuilinda ndoa yetu nahisi hiyo ndiyo sababu pekee inayomfanya yeye apambane na haya peke yake bila kunihusisha...... nilimsogelea karibu pale nikaketi kwenye kiti cha pembeni yake nilimgusa began zaidi ya mara tatu lakini hakushtuka nilimuacha alale kwanza niliomba kwenda kumuona lia nurse eve alinipeleka kule alikolazwa lia hakuwa katika hali nzuri tangu alipofanyiwa operation alikuwa hajapata fahamu...... Nilimtizama alipokuwa kalala usingizi mzito sana wala hata alikuwa hajitambui.... kiukweli nilimuonea huruma sana nilifunga macho yangu pale nikamgusa lia mkono wake nilimfanyia maombi nilimuomba mwenyezi mungu amuamshe pale akiwa mzima ili aweze kumuona mtoto wake na kumlea..... niliombaaaa....... nakuomba...... nilimsihi mungu ampe pumzi yule mwanadada lia.... baada ya kumaliza kuomba niliyafuta machozi yangu yani niliomba kwa hisia hadi machozi yakawa yananitirilika ..... mimi ni mama niliyezaa nina watoto nilimuwazia zaidi yule mtoto kichanga aliyemzaa lia niliwaza vile wanangu wanavyokuwa huru kwangu nikamuwazia na yule mtoto mdogo wa lia anahitaji zaidi uwepo wa mama yake...... nilimuomba mwenyezi mungu ampe uzima lia......baada ya kuyafuta machozi yangu niligeuka nyuma nilishangaa kuona paschal akiwa amesimama pale mlangoni na alikuwa anabubujikwa na machozi mengi sana baada ya mimi kumgeukia paschal alipiga magoti chini huku akiwa analia aliniambia naomba unisamehe sana mke wangu kwa kukuficha juu ya hili..... sikutaka kuendelea kuwa pasua kichwa kwa mme wangu pale alipokuwa alikuwa na stress nyingi sana sikutaka kumuongezea stress zingine na hata hivyo nilishaamua kuwa wife material kwake.... nilimfuata nikamuinua pale chini nilimpangusa machozi yake na baada ya hapo nilimkumbatia nikamwambia Acha kulia..... naelewa kila kitu lakini kunificha haikuwa njia sahihi uliyoamua kuichagua..... aliniomba radhi aliniambia jana jioni kipindi nataka kutoka ofsini...... Alinifuata baba yake lia aliniambia kuwa binti yake yuko hospital anapambania uhai wake na wa mtoto aliniomba niambatane naye kwa sababu lia ameomba sana niende nikamuone hospital nilishindwa kukataa niliongozana na baba yake lia hadi huku hospital nilimkuta lia akiwa na hali mbaya sana alikuwa analia na kuniambia kuwa yeye atakufa alitaka tu mimi nije ili aniombe nimulee vyema mtoto atakayemzaa.... kuzaa kwa njia ya kawaida ilishindikana ikabidi afanyiwe operation jana usiku na tangu alipofanyiwa operation hajaweza kuamka hadi mda huu..... ucjali hatokufa ataamka.... nilimtia moyo paschal nilimshikilia mkono hadi nje kule kwenye gari nilimpatia chakula akala hakula chochote tangu jana usiku alikuwa na njaa sana alimaliza kula akanishukuru then kwa pamoja tuliendelea kusubilia majibu ya madactari kuhusiana na hali ya mgonjwa ..... nilipelekwa nikamuona yule mtoto wa lia..... mtoto alikuwa sawa hakuwa na tatizo lolote lile kiafya..... ni wa kiume alifanana sana na paschal 😣😣 Kiroho lazima kiume buana duh yani unawaza kabisa hili bao lilipenya lotelote ina maana hawa watu walikulana nyama kwa nyama😪😪 lakini yule ni mtoto huwezi kumhukumu..... paschal hakuacha kuomba radhi kila sekunde nilimuondoa shaka..... Ilifika hadi jioni lia akiwa hajazinduka kutoka usingizini.... tuliruhusiwa kumchukua yule mtoto tukaondoka naye kwa kuwa yeye hakuwa na shida yoyote..... nilimchukua nikaenda kumhudumia nyumbani kwangu lia katika maisha yake kalelewa na baba tu hapakuwepo na mtu katika familia yao ambaye angemchukua yule mtoto na kwenda kukaa naye.... uzuri ni kwamba kipindi hicho tayari paschal alikuwaga kaishanifungulia ofisi yangu na mimi ndo niliyekuwa boss hiyo ilinifanya nipate muda wa kumhudumia yule mtoto mimi mwenyewe kwa mikono yangu kwa sababu sikuwa na zile heka heka za kuwaza mambo ya kazini kwa sababu nilikuwa nimejiajiri mwenyewe..... usiku mida ya saa nane tulipatiwa taarifa kuwa lia ameamka...... zilikuwa ni taarifa njema kesho yake asubuhi tuliamkia hospital tukampeleka na mtoto ili aweze kupata maziwa ya mama....lia hakuwa katika hali nzuri bado alikuwa hajaweza kuongea kitu chochote kile na hata kupumua alikuwa anapumua kwa mbali sana hali yake ilikuwa inatisha sana..... tiliendelea kuwa tunamtembelea hospital tulikuwa tunampeleka na mtoto kwa ajiri ya kwenda kupata maziwa ya mama..... Zilipita kama 2 weeks hali ya lia ilianza kutengamaa kwa kiasi Fulani alianza hata kuongea japo kwa tabu sana....aliniomba radhi kwa ubaya aliowahi kunitendea hapo nyuma....asante kwa kunilelea mtoto wangu pendo nakuomba unisamehe kwa ubaya wote niliowahi kukutendea hapo nyuma..... kila siku nilikuwa ni mtu wa kumfuata fuata mmeo japo kila siku alikuwa akinikumbusha kuwa yeye ni mme wa mtu na moyo wake tayari ulishakupenda wewe mke wake sikutaka kukubaliana na uamuzi wake niendelea kumshawishi na kumtega sana tu hadi nikafanikiwa kufanya naye mapenzi nilikuwa natamani akuache ili anioe mimi lakini hiko kitu kilikuwa kigumu sana kwake...... siku niliyoamini kuwa paschal siyo wangu na hawezi kuwa wangu ni ile siku uliyotufumania kule nyumbani kwako paschal alinifukuza mimi na wewe ulibakia..... siku ile ndo niliamini kweli cha mtu huwezi kukimiliki..... sikukata tamaa baada ya siku kupita nilipoanza kuona mabadiriko ya mwili wangu nilikwenda hospital kupima ndipo nilipogundulika kuwa mimi ni mjamzito...... Nilikuwa nikimtafuta paschal bila matumaini simu zangu alikuwaga hapokei kabisa na hata msg zangu alikuwa hajibu....siku niliyokata tamaa juu ya paschal ni ile siku aliyonionya kuhusu kuwa nampigia pigia simu kila muda alithubutu kunipatia namba yako ili nikiwa na shida nikutafute wewe na siyo yeye kiukweli nilijichukia sana mimi nilijua nikiibeba mimba yake inaweza ikamshawishi yeye akanipenda mimi lakini kumbe nilikuwaga najidanganya tu.....mimi nakuomba tu unisamehe najua mimi ndo niliyekuwa sababu ya mvurugano usio kwisha kwenye ndoa yenu..... mmeo anakupenda na mimi nimeliamini hilo....sitaki tena kuwa sababu ya uvunjifu wa amani kwenye ndoa yenu kiukweli natamani kuwaona mkiwa mnaishi kwa furaha..... hali yangu ni kama hivi unavyoniona sijui kama nitapona ila hata nikifa basi nitaenda kwa amani kwa sababu angalau nimeweza kukuomba wewe msamaha kwa usumbufu niliokuwa nikikupatia nawaomba mnilelee mtoto wangu nakuomba unisamehe pendo...... Itaendeleaaaa......

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

If I had to choose one German food I could eat every day and never get tired of, it would be Brötchen—those small, crusty bread rolls that are everywhere in Germany and somehow always taste right. They’re simple, but that’s exactly why they work: a good Brötchen has a crisp outside, a soft inside, and a fresh-baked smell that makes even an ordinary morning feel organized. In many countries, bread is just a side item. In Germany, bread is an identity, and Brötchen are the daily version of that identity—quick, flexible, and endlessly customizable. The best part about Brötchen is that they fit into almost any routine without becoming boring. Breakfast can be as minimal as butter and salt, or as filling as cheese, cold cuts, boiled eggs, cucumber, and a little mustard. If you like something sweet, you can add jam, honey, or chocolate spread and it still feels like a proper meal. When you eat the same basic food often, you need variety without complication, and Brötchen deliver that perfectly. You don’t need to learn a new recipe every day—you just change what you put on top, and it becomes a different experience. Brötchen also match the rhythm of German life: early mornings, bakery culture, and the idea that quality can be everyday, not only for special occasions. In many towns, people stop at the bakery on the way to work, pick up a paper bag of warm rolls, and the day starts with something fresh. That habit creates a relationship with food that’s calm and reliable. It’s not about chasing the most extreme flavor; it’s about comfort and consistency. And once you’ve had a truly fresh Brötchen—still slightly warm, crust crackling when you tear it open—you understand why people stay loyal to it. Another reason you don’t get tired of Brötchen is how well they pair with other German staples. They go perfectly with Quark, Frischkäse, and regional cheeses. They work with smoked fish in the north, with hearty sausage spreads in the south, and with simple vegetable toppings when you want something lighter. They can support a strong black coffee, a milky latte, or a cup of tea, and they still make sense. Even leftover Brötchen have a place: you can toast them, turn them into a sandwich for later, or use them as a base for quick snacks. There’s also a subtle satisfaction in how Brötchen bring structure to the day. They’re portioned, easy to share, and easy to pack. You can eat one and feel like you had “something,” not just a random bite. For students and busy families, that matters. Food that you can repeat daily needs to be practical, not only delicious. Brötchen are exactly that: a dependable format you can build on. And then there’s the emotional side. Many Germans connect Brötchen with weekends—especially the tradition of getting fresh rolls on Saturday or Sunday morning. It’s a small ritual, but rituals are what make repeated foods feel special instead of dull. When a food is tied to routine and comfort, it stops being “the same thing again” and becomes part of how you live. So if the question is which German food you could eat every day and never get tired of, Brötchen are an easy answer. They’re not flashy, but they’re endlessly adaptable, deeply rooted in everyday culture, and consistently satisfying. With the right toppings, they can be light or hearty, sweet or savory, quick or slow. And when something is that flexible—and that good—it doesn’t get old. It becomes a daily favorite. Deutsch (German) Wenn ich mich für ein deutsches Essen entscheiden müsste, das ich jeden Tag essen könnte, ohne es jemals leid zu werden, dann wären es ganz klar Brötchen. Diese kleinen, knusprigen Brotrollen sind in Deutschland allgegenwärtig – und trotzdem fühlen sie sich nie langweilig an. Ein gutes Brötchen hat außen eine krachende Kruste, innen eine weiche, luftige Struktur und diesen Duft von frisch Gebackenem, der selbst einen normalen Morgen irgendwie besser macht. In vielen Ländern ist Brot nur eine Beilage. In Deutschland ist Brot Kultur – und Brötchen sind die tägliche, praktische Form davon. Das Besondere an Brötchen ist ihre unglaubliche Vielseitigkeit. Man kann sie ganz schlicht essen: mit Butter, vielleicht etwas Salz – fertig. Oder man macht daraus ein echtes Frühstück: Käse, Wurst, hartgekochtes Ei, Gurke, Tomate, Senf. Wer es süß mag, nimmt Marmelade, Honig oder Schokocreme. Wenn man ein Lebensmittel sehr häufig isst, braucht man Abwechslung, aber nicht unbedingt jeden Tag ein neues Rezept. Brötchen lösen genau dieses Problem: Das Grundprodukt bleibt gleich, doch der Belag verändert alles. So entsteht Vielfalt ohne Stress. Brötchen passen außerdem perfekt zur deutschen Alltagslogik: frühe Morgen, Bäckereien an jeder Ecke und die Idee, dass gute Qualität nicht nur etwas für Feiertage ist. Viele Menschen holen sich morgens schnell frische Brötchen auf dem Weg zur Arbeit. Dieses Ritual wirkt unscheinbar, schafft aber eine angenehme Verlässlichkeit. Es geht nicht darum, ständig nach dem spektakulärsten Geschmack zu suchen, sondern um Komfort, Routine und ein Essen, das „immer passt“. Und wer einmal ein wirklich frisches Brötchen gegessen hat – warm, mit einer Kruste, die beim Aufreißen knackt – versteht, warum so viele darauf schwören. Ein weiterer Grund, warum man Brötchen nicht so schnell satt hat, ist, wie gut sie sich mit anderen typisch deutschen Lebensmitteln kombinieren lassen. Sie passen zu Quark, Frischkäse, regionalen Käsesorten, zu Räucherfisch im Norden oder zu herzhaften Wurstaufstrichen im Süden. Sie funktionieren auch leicht und gesund – mit Gemüse, Kräutern, vielleicht etwas Olivenöl. Ob Kaffee, Tee oder Kakao: Brötchen machen fast immer Sinn. Selbst wenn sie nicht mehr ganz frisch sind, bleiben sie nützlich: kurz aufbacken, toasten oder als belegtes Brötchen für unterwegs einpacken. Brötchen geben dem Tag außerdem Struktur. Sie sind portioniert, schnell vorbereitet, leicht zu teilen und einfach mitzunehmen. Man isst eins und hat das Gefühl, richtig gegessen zu haben – nicht nur „irgendwas“. Für Familien, Schüler oder Menschen mit wenig Zeit ist das wichtig. Ein Essen, das man täglich wiederholt, muss nicht nur schmecken, sondern auch praktisch sein. Genau das sind Brötchen: ein verlässliches Format, das man je nach Stimmung und Bedarf anpassen kann. Und dann ist da noch die emotionale Seite. Viele verbinden Brötchen mit dem Wochenende – mit dem klassischen Samstag- oder Sonntagmorgen, an dem jemand „mal eben zum Bäcker“ geht. Solche kleinen Rituale machen ein wiederholtes Essen besonders, statt monoton. Wenn ein Lebensmittel Teil des Lebensrhythmus wird, fühlt es sich nicht an wie „schon wieder dasselbe“, sondern wie ein Stück Zuhause. Darum lautet meine Antwort: Brötchen sind das deutsche Essen, das man jeden Tag essen könnte, ohne es je leid zu werden. Sie sind nicht laut und nicht extravagant – aber sie sind flexibel, tief in der Alltagskultur verankert und einfach dauerhaft lecker. Mit den richtigen Belägen können sie leicht oder sättigend sein, süß oder herzhaft, schnell oder gemütlich. Und genau deshalb werden sie nie langweilig.

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

Mimi ni kijana wa miaka 36, nimeoa na ndoa yangu ina miaka 7 sasa, binafsi sijabahatika kupata mtoto. Kama kawaida huko mwanzoni nilijua kuwa matatizo ni ya mke wangu, akawa anaenda hospitali, mara anaambiwa mambo ya hormonal inabalance, kuna wakati anaambiwa kuwa ana uvimbe anatumia dawa lakini hakubahatika kupata ujauzito. Mwaka juzi hali ilikua mbaya, nikajikuta naanza kuwa na hasira, namkasirikia mke wangu na kuona kama ananichelewesha, katika kipindi hicho chote nilikua sijawahi kuchepuka lakini watu wengi walinishauri kuchepuka kutafuta mtoto kwani umri unaenda, kweli nilifanya hivyo lakini kuna dada mmoja wakati niko naye namuambia matatizo ya mke wangu aliniambia kitu ambacho kilinichanganya sana. “Mbegu zako mbona maji hivi, mimi mwenyewe ex wangu alikua kama wewe ananisumbua kuhusu mtoto kumbe yeye ndiyo mwenye shida!” Hapo ndipo niligundua kuwa, kumbe alikua kaolewa na mume wake alikua akimnyanyasa sana walivyoenda kupimwa wote mwanaume ndiyo akakutwa na tatizo hivyo akamuacha na sasa hivi anataka mtoto. Wakati nakutana na huyo Dada nilimuambia kuwa mke wangu hazai hivyo alivyoona mbegu zangu ziko hivyo aliniacha kabisa kwani yeye hakua anataka mapenzi bali mtoto. Baada ya kuniacha kwakweli nilihisi kuchanganyikiwa, kwakua mke wangu kila akienda hospitalini aliambiwa sijui ana viuvimbe nikajua ni yeye sikuwahi kupima. Nilijipanga na kwenda mkoa mwingine nikapimwa nikaambiwa mbegu ninazozalisha ni maji tupu hivyo siwezi kumpa mwanamke ujauzito. Ilikua ni siku ngumu sana kwangu, nilipima sehemu nyingine kama nne lakini jibu lilikua ni lilelile. Nakumbuka nilikua safarini ile narudi sina furaha mke wangu ananiambia kuwa ana ujauzito wangu. Sikuuliza sana nilikua na mawazo, nikaendelea kumhudumia mpaka akajifungua na sasa hivi ana mtoto ambapo bila kupima DNA kwa kuangalia tu magroup ya damu najua kuwa si mtoto wangu. Sababu ya kuja kwako ni hivi, najua mke wangu kanisaliti na kwenda kuzaa na mwanaume mwingine, sijawahi kumfumania wala hanionyeshi dharau yoyote. Ananijali kama mume wake na mtoto ananipenda sana, lakini nashindwa kuelewa nitaishije na mtoto ambaye si wangu? Vipi siku moja Baba yake akija, nawaza nifanye nini kwani mwanzo niliamua kukubali hivyo hivyo, ila kwasasa mke wangu ananiambia ana ujauzito mwingine. Najua mimba si yangu kwani nimepima tena bado tatizo lipo sasa nifanye nini naona kama kachepuka tena, nahisi kuchanganyikiwa na sijui cha kufanya. Mtoto kaniheshimisha, kuna watu wengi walikua wananidharau, nyumbani nilikua naonekana kama mtoto yaani kama sina akili ila baada ya mtoto kila kitu kimebadilika lakini nawaza hivi nitalewa watoto wa watu mpaka lini, nishauri, nimuambie mke wangu ukweli niachane naye au nivumilie tu na nivumilieje?

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

, totally different career phases, and zero interest in pleasing society—it was bold for that time. There was no big media circus, no flashy wedding photos splashed everywhere. Just a quiet, confident decision that spoke louder than noise. For more than a decade, they stayed together and focused on building a family, raising Sara Ali Khan and Ibrahim Ali Khan away from constant limelight. That choice itself was rare in Bollywood. But real life isn’t a movie. In 2004, they went their separate ways—calmly, with dignity, and without public drama. No blame games, no headlines. Just two people closing a chapter that once broke norms and proved love doesn’t need approval to begin—or noise to end.

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

. She was known for her performances in films like Ready, Jalebi, and Taskaree, leaving behind memorable moments on screen. An artist gone, but her work will continue to live on 🎬✨ May her soul rest in peace 🙏🏻 Strength to her family and loved ones during this difficult time 💔 #PravinaDeshpande #RIP #Bollywood

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

This week, all eyes are on Germany! Why? Because you can earn a 10% bonus when you increase your Germany earnings by 25% or more compared to the previous week. What does that look like in practice? For example, if you earned $1,000 from Germany over the past 7 days and increase it to $1,250 over the next 7 days, you qualify. In this case, we’ll reward you with an extra $125 bonus. Earn a bonus based on your DE traffic revenue Your profit from Germany (19.02.2026–25.02.2026) must be at least 25% higher than your profit from 12.02.2026–18.02.2026. If you meet this condition, please email marketing@monetag.com with the subject line “I want a bonus” by 27.02.2026. We’ll review your results and, if confirmed, credit the bonus to your balance by March 13, 2026. Please note: the minimum bonus amount is $5.

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

Majira ya saa saba yalifika ambapo mimi na boss tuliongozana wote hadi kwenye kikao Kama ilivyodesturi boss wangu yupo smart kweli kweli, watu wote wanamwogopa na kumuheshimu hana masihars kabisa kwenye kazi yake. Kikao kiliisha kisha tuliongozana na boss hadi nyumbani kwake kwaajili ya mapumziko "Nahitaji kwenda na wewe kwenye sherehe nyumbani kwetu naomba uruhusu hilo". Boss alizungumza. Mimi tena ile kusikia sherehe🤣🤣na vile napenda kula sikuona sababu ya kukataa nilikubali moja kwa moja. Ni sawa boss nitaenda nawe. Nilijibu. Sawa nifuate , boss alizungumza hayo na mimi nilimfuata na kuingia ndani ya gari Safari yetu iliishia kwenye duka kubwa la nguo kwa ushamba wangu na mandhari ya mahali pale aikutambua ni wapi kabisa Tuliingia wote kisha akanipa amri ya kumfuata yule dada, huku na yeye akielekea kwenye chumba ambacho kiliandikwa "MALE" kwa nnje. Ilichukua lisaa limoja tu ambapo nilichaguliwa gauni zuri pamoja na kupambwa vizuri si haba nilipendeza sana🥰flat skini mimi nilinoga haswaa, mdomo wangu mweusi ulibadilika na kuwa mwekundu chezea wewe. Nikatoka nnje ya chumba kwa manjonjo yote kama sio mie Nnje sasa🙌🙌😳😳nilishangazwa sana baada ya kumkuta boss akiwa kavalia suti yenye rangi nyekundu sawa na gauni langu, 🥰🥰🌹ukituangalia vema waweza sema ni romeo na julieth, japo julieth wa bei ya jioni😁🤣 Boss aliponiona aliniangalia kwa mwangalui wa oooooh waooo🥰ila ni vile tu alishindwa kusema Tuliongozana hadi kwenye gari lake na safari ya shereheni ilianza Ilichukuwa muda mfupi sawa kisha tukawasili mahali hapo, mwa mara ya kwanza boss alishuka na kuja kunifungulia mlango😳😳nilibaki nikiduwaa tu Akanishika mkono tukaongozana hadi kwenye sherehe hio Ndani sasa🙌🙌🙌so beatiful jamani khaaa hili si kasri jamani ni ikulu,tuliingia wote mimi na boss wangu huku tukiwa tumeshikana mikono,mwa pamoja tulikaa kwenye kiti ambapo tulizungukwa na watu wachache si zaidi ya saba kwa mahesabu yangu ya haraka haraka Hello dad hello mom👋 Yes hello son. Mmmh hawa na hii english yao ntaweza kweli,na hapa sijui ndo kwao sio akwa ushua huu nikipiga hesabu ya fasta hapa hili kochi ni zaidi ya milioni tano,hii taa ni milioni moja ,kichwa cha mama.wigi laki tano,hereni zake laki tatu😳😳🙌🙌🙌mmmh yesuuu ni ajabu hii mtu anavaa kiwanja sikioni 🙌🙌 Joyce joyce greet my parents,boss aliniongelesha Ooooh hello everybody,nkatia udhungu kidogo😁 Yes hellowakanijibu mambo yakaendelea Basi buana baada ya hapo tukaelekea mezani kwaajili ya kula ,tukiwa tumekaa tukisubiri msosi keki ililetwa mezani Baada ya muda nilishangaa wazazi na watu wengine wakiimba Happy Birthday to you,happy biday to you,nikamgeukia boss kumwangalia ajabu alikuwa akishangaa kama mimi "Happy birthday my son live long,".Mama erick alizungumza What !!ni birthday yangu leo ina maana?boss aliuliza Ndio ina maana hukumbuki?? Hapana mama kazi nyingi sana ,anyway asanteni sana wazazi na ndugu zangu lets celebrate Basi keki ikakatwa hapo wakalishana kizungu na vistiki mie natamani wamalize niikombe icing niile maana mie ninyime keki sio icing jamani🙌🙌🙌 Mara naona Erick ananisogelea huku kaweka keki mdomoni😳😳khee huyu boss kichaa etii,kwanza nikarudi nyuma kwa kushangaa japo bahati haikuwa upande wangu,nikajikuta nimejikwaa ile nataka kudondoka boss akanidaka halafu akaniwekea keki mdomini kiulazima,mie tena amuu🥰🥰nyie kama kuchi kuchi hotahe😁😁 Papapapapa papapapa!!! Sauti za makofi zikasikika kutoka kwa ndugu na wazazi wa Erick ,mie tena aibuu ilinijaa hatari,japo nilipoona vyakula nilijikuta nachangamka gafla Nilipakua mikuku minyama na kuanza kuifakamia,sijali kabisaa nilikuwa natafuna hadi mifupa Boss ananiangalia tu huku anashushia wine sijui ni pombe ile ila hata sikujali kabisa😁nyie hata ungekuwa wewe ungeacha mfupa na kuku nyama adimu kwa mtu kama mie😁👌 Baada ya zoezi la chakula kukamilika ,tukatoka nnje kidogo hapo tukaanza kushushia kinywaji ,mie tena nikaidaka savanna na vile ni afu tano kwetu😁nilizifakamia haswaa🙌nafasi kuja mara mbili uongo aiii Erick we Erick nipeleke chooni,hapo nishalewa tena sielewi kituu 😳Kwanza boss alishangaa na watu wote walibaki wakinitazama,haraka sana akaniziba mkono kisha akaniongoza hadi chumbani huku akiyumba yumba ishara ya kulewa Niliingia hadi chooni nikakijia kisha nikawa narudi chumbani huku nayumba Gafla nikaanguka chini puuh kama mzigoo,baada ya muda Erick akaja kunibeba Akanikokota hadi kitandani ambapo akanilaza kisha akaniinamia kwa juu akawa ananiangalia Kwa jicho la mahaba🥰🥰nyie🙌 sijui ni upwiru au ni pombe tukajikuta ndani ya sita kwa sita Itaendelea

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

Mmmhhhh namba ni ya nani hii😪😪 yani saizi huyu mwanaume simuachi hata kitokee kitu gani🌚🌚 yani nasemaje nitampenda yeye na hao mademu zake sina muda wa kuanza kutafuta mahusiano mapya tena🤨🤨 baada ya kuisoma ile msg iliniumiza sana nilipanic sana lakini niliyakumbuka maneno ya mamangu shangazi yangu pamoja na bibi yangu wametoka kunipa somo juzi tu tena leo hii wasikie kuwa ndoa yangu imeingia dosari natakiwa kuwa na akili pendo mimi tayari nilishakosea hapo nyuma.... kwa sasa natakiwa kujisimamia kama mke wa mtu na mama wa watoto wawili.....habari za kushindana na mwanaume niziache na huu utoto niliokuwa nao nyuma niuache nataka nimfanye mme wangu kuwa rafiki yangu nina imani nikifanya hivyo nitaua mahusiano yote ya nje mme wangu atakuwa huru kwangu na atanishirikisha kwa kila kitu anachokipitia endapo kama nikimfanya kuwa rafiki yangu.....nilibakia kuket pale kitandani huku nikiwa nawaza namna ya kuifanya ndoa yangu kuwa imara....nilinyanyuka na kuendelea na zoezi langu la kupanga nguo boo alitoka bafuni alf bahati nzuri vile anatoka tu bafuni na ile namba ndo ikawa inapiga kwa mara ya pili..... Paschal aliiangalia ile simu then aliikata kwa haraka sana mmmhh mbona kakata😔😔 alizima data akaiweka ile simu pembeni alinisogelea alinikiss aliniambia kuwa ananipenda na anatamani ndoa yetu iwe imara tuvishinde vikwazo nilimuitikia lakini kiwivu kilinishambulia sana nilitamani nimjue huyo anayemtafuta boo wangu ni nani😣😣nilitulia nalo rohoni nikamaliza kupanga nguo nikaingia zangu bafuni kuoga nilivyotoka bafuni nilimkuta boo akiwa katika hali ya taharuki🫣 vipi uko sawa nilimuuliza yani alionekana kuwaza sana....aliniambia niko sawa mke wangu nakuomba uvae ukimaliza twende tukale.... nilimuitikia nikamwambia sawa mme wangu nilivaa nikamaliza tukatoka..... alinishikilia mkono wangu aliniuliza tunaenda kula wapi?! Popote tu nilimjibu..... are you okay,!!?? Yes I'm okay hubby... Tulienda kutafuta chakula cha usiku tulikula na baada ya hapo tulirudi kupumzika..... samahani mke wangu najua kuna msg uliifungua kwenye simu yangu naomba nikuelezee vizuri ili uweze kunielewa.....ni sawa mme wangu kama umechagua kuniweka wazi basi nitafurahi kuusikia ukweli kutoka kwako... boo aliniambia kuwa ile msg niliyoifungua ilitoka kwa lia na mimi nilipoingia bafuni aliiongea naye na alikuwa anampatia taarifa kuwa yeye ni mjamzito.....duh niliumia yani niliumia kupita kiasi adhabu gani hizi yarabii nilijihoji kimoyomoyo......nilijikaza ili paschal asigundue ni kwa ukubwa kiasi gani vile nilivyoumizwa na ile ishu... samahani mke wangu nakuahidi hakuna siku ambayo mimi nitaweza kurudisha mahusiano na lia naomba nikuondoe shaka juu ya hilo wife..... ni sawa boo lakini nakuomba ujisimamie sitopenda kushuhudia tukiwa tunarudi kule tulikotoka..... Aliniondoa shaka aliniahidi ya kwamba sitosikia wala kuhisi au kuona chochote kati yake na lia paschal alimpigia lia alimtumia namba yangu akamwambia ukiwa na shida yoyote pitia kwa mke wangu yeye ndo atakuwa anakusikiliza shida zako.... lakini paschal nahitaji tuongee huwezi kunifanyia hivyo mimi siwezi kuongea na huyo mwanamke kwani hanipendi tafadhari nakuomba usinifanyie hivyo kumbuka nina kiumbe chako tumboni kwangu..... lia huwa ni kaongeaji sana kalianza kupiga kelele kule kwenye simu lakini paschal aliikata ile simu kisha aliziblock namba za lia baada ya lia kuwekwa black list alianza kunitirilishia mimi mvua ya matusi....alinichamba sana tu...... Sikumjibu kitu jamani mimi siyo pendo yule wa mashindano tena nop🤝 nilishaamua kuwa pendo mke wa Paschal Wife usipambane naye huyo wala hata sizani kama Ana ujauzito ni msumbufu tu take it easy mine....ni sawa hubby nimekuelewa ....tulilala na kesho yake tulianza safari ya kurudi USA baada ya kufika usa nilimtafuta lia nilipanga kikao nayy pamoja na paschal lia hakutaka kabisa kuja kuonana na mimi alitaka kuonana tu na paschal mme wangu alikataa akamwambia hawezi kwenda kuonana naye kama ishu ni huo huo ujauzito basi aulee tu then akishajifungua atamletea mtoto amlee...mme wangu naye alionyesha mabadiriko makubwa sana hakuwa yule paschal wa nyuma huyu wa sasa alikuwa kadhamiria kuijenga ndoa yake alibadiri hadi namba za simu kwa ajiri tu ya kumkwepa lia hii ilitokana na usumbufu wa lia kumtafuta paschal kila siku kwa kutumia namba mpya kwa sababu zile za kwake zilishawekwa blacklist ..... Siku zilisonga maisha yakaendelea ndoa yetu ilisimama mahala pake ♥️ hapakuwepo na drama za aina yoyote ilipita miezi kadhaa kila mtu yuko na amani zake upendo na heshima vilitusaidia kuilinda ndoa yetu..... siku moja usiku mme wangu alinipigia simu aliniambia kuwa hatoweza kurudi nyumbani alidai kuwa alimtembelea baba yake alijua kuwa atawahi kurudi lakini kwa bahati mbaya kachelewa hivyo itabidi alale huko then kesho yake ataanza safari kurudi nyumbani..... sikumaind kwa sababu baba mkwe wangu alikuwa anakaa jimbo tofauti na lile tunaloishi sisi na kuna umbali mrefu.... nilimwelewa mme wangu na nikamtakia usiku mwema.... nililala kesho yake mapema asubuhi nilipigiwa simu na rafiki yangu eve huyu ni nurse katika hospital kubwa nchini marekani urafiki wangu na eve ulianza siku nilipoenda hospitalini kwao kujifungua mtoto wangu ambaye ni shazil.... siku hiyo eve alinichangamkia sana kila muda alikuwa anakuja kwenye kitanda changu kunifanyia vipimo na kunijulia hali yangu hata uchungu uliponikamata yeye ndo aliyenizalisha nilipojifungua mtoto wa kiume alifurahi sana alisema nimepata mchumba basi tulicheka sana pale na alimpatia mwanangu zawadi na urafiki wetu ndipo ulipoanzia pale tulifahamiana kiasi cha kuelezeana kijujuu maisha ya kimahusiano eve ni mtu mzima kiasi..... nilimwambia kuhusiana na hawa wanaume wawili ambao ni paschal na hemed nayy aliniambia niangalie kule ambako moyo wangu unapenda zaidi..... nilishamuonyesha paschal na hemed wote anawajua eve ni mama siyo bint kama mimi..... mara nyingi alikuwa akinishauri pale nilipokuwa nikielemewa na shida inayohitaji ushauri.... Nilipokea simu yake wenyewe tunaitanaga bestie eve ni wale watu wazima wanaojipenda hawapendi kabisa kuzeeshwa....aliniuliza za siku nilimwambia ni nzuri uko wapi nilimwambia niko usa best ila nimekugaya ni majukumu tu ndo yamenitinga lakini nakupenda na ninakukumbuka kila siku bestie yangu mke wa kijana wangu shazil😍😍 hahahaa ukimwambiaga hivyo anacheka aajisikia raha sana..... aliniuliza kati ya wale wanaume wawili unaishi na yupi?! Mmmmhh mbona kaniuliza swali hili😪😪 mom kuna nini kwani😰😰 aah nimeuliza tu kwa sababu nilimuona mmojawapo usiku hapa hospitalini kwetu alikuwa na mwanamke mwingine mjamzito tulimfanyia operation alijifungua mtoto wa kiume.... nilihisi kama pumzi yangu inaenda kukata😟😟😪..... Itaendeleaaaa.....

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

SONGA NAYO...... Nikashangaa amepiga magoti chini akafungua chupa ya maji akamaliza akjimiminia mdomoni, mimi kwangu yalikuwa mageni kabisa sijawahi kuona mtu anakunywa maji kwa staili hiyo Basi alipomaliza kunywa maji akarudi kukaa na kuniambia asante huku akinikabizi chupa ya maji yale ambayo yalibaki kidogo Nilichofanya ni kumwammbia akae nayo tu, basi akatabasamu tabasamu hafifu ila lilionekana vyema kabisa kwenye uso wake na kumfanya awe mrembo mashaallah 🥰 Eeeh umalaya huu acheni tu ndugu zangu walah hili jiji litaniua mimi kwa hizi pisi aiseee 😋 "Sasa Lizy nenda nyumbani kesho tutaongea vizuri hakikisha unakuja shule pia unakuwa msafi sawa..??" Nilimwambia akabiki kuwa mnyonge mpaka nikashangaa binti alikuwa na nguo ambazo hazielewiki kabisa dah "Vipi mbona hivyo..??" Nilimuuliza "Sir unajua mimi nakaa na shangazi yangu, na sio kama mimi ni mchafu hapana sir ni vile nguo zangu amepewa mtoto wa shangazi harafu mimi nikapewa hizi.." Alisema, jamani nilimuonea huruma "Kwani huyo mtoto wa shangazi yako anasoma kidato cha ngapi..??" Nilimuuliza "Anasoma pamoja na mimi ndio yule ambye ulimwambia after ubao.." Eeeh nilichoka walah 😅 nikamtazama binti mara mbili mbili, kisha nikaangalia huku na huko kama kuna mtu ananiona kisha nikamwambia "Si umwambie akupe nguo zako au ushtaki kwa mwalimu mkuu..." "Sir me aiwezi maana kuna wakati niliwahi kufikisha hizi kesi kwa mwalimu mkuu ila dada akaingilia kati na kuanza kumtetea Leah..." " kwani dada yako ana mahusiano gani na mwalimu mkuu..?" "Aaah dada ndio huyu aliyekuwa hapa.." "Nini..??" Kakakaa kimya bila kunijibu, inamaana kumbe yule ni dada yake na yule anaejifanya slay queen kwa nguo za mtu mwingine ni binamu yake mbona sielewi eti au masikio yangu yameacha kusikia siku hizi Wakati nikitaka kumuuliza swali jingine akawa ameningia Sir Joseph so nikaacha hata kuendelea kuzungumza nae zaidi ya kumwambia aende nyumbani Kabinti ka watu kakanyanyuka na kuondoka, jamani kwa mara ya kwanza nilijikuta nikiingiwa na roho ya huruma ya kumsaidia huyu binti... Basi baada ya Lizy kuondoka ndio na mimi pamoja na sir Joseph tuliongozana mpaka kwenye gari yake, eeh huyu kaka ana miliki gari na siku hiyo akanipa na lift kabisa Njia nzima tulikuwa tunapiga story za hapa na pale kuna namna nikajikuta namziea huyu Joseph maanaalikuwa amechangamka sana sio poa Basi ilibidi anipitishe mpaka kwangu kisha yeye aakaondoka zake, nikafungua geti na kuingia ndani, nimeingia ndakuta watu hapo nje wamekaa Kimbea mbea "Habari zenu..." Niliwasalimia, wakanijibu siktaka kusubiri chochote nikashika njia mpaka kwenye chumba changu nikafungua mlango na kuingia ndani, nilikuwa nimechoka sana kwa hekaheka za so nikaanzia kwanza kuoga Mtoto wa kiume baada ya kumaliza kuoga sasa nikaanza kumuwaza Lizy, yani sikuweza kabisa kumtoa kwenye akili yangu yule binti aliitawala yote mpaka medulla oblangat 😂 Basi nikaa sana mule ndani, huku nikipiga mahesabu namna ya kwenda kununua chakula nije nipike, sasa bana napiga zanguajesabu mlango unagongwa Nikanyanyuka na kutoka nikakuta mdada mwingine nayo ilikuwa pisi ikiwa imebeba sahani ya chakula "Nikisaidie nini..??" Nilimuuliza nikiwa nimeweka uso wa serious sana "Ah aaah aah aaa oh yan nimeagizwa nikuletee chakula.." "Kwamba nilikutuma au..??" "Hapana lakini mi..." "Ondoka..." "Laki..." "Nimesema ondoka, nilimwambia kwa ukali basi mdada akaondoka nikafunga mlango kwa nguvu kana kwamba mlango ndio umenikosea kisha nikarudi chumbani kwangu..... ********* Siku nyingine ikashika nafasi kama kawaida yangu ni kupigilia pamba kali, siku hii nilipendeza zaidi ya jana 😂 maana nilipotoka nje nilipishana na tule mdada ambaye alinipa chakula baada ya kupishana nae alisababisha ajigonge kwenye mlango wa kuingilia Kitendo cha yule dada kujigonga ndio nikajua kwamba nimependeza sana 🥰👌 basi nikatoka nje ile kufungua geti nakuta gari imepakiwa hapo nje Katika kuitazama vizuri ndio nikajua ni gari ya Joseph, na kweli ilikuwa yake baada ya yeye kushusha kioo cha gari, bila kuchelewa nilipanda na safari ya kulelekea shuleni ilianza Tulifika shuleni saa moja na madakika, moja kwa moja nikaingia ofsini, siku hii nilikuwa na majukumu mengi so nilianza kuandaa mapema ili nimalize mapema Wakati yote yanaendelea huko nje sikuzingatia kabisa kwa kuwa na ubize nikasahau kabisa habari za Lizy...... ITAENDELEA ......

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Basi mwanaume nikawa nawaza tu haka katoto haka katakuja kupenda pesa kinoma na wivu kama wote😂😂😂kanasukuma wenzie kabisa hakataki wasogelee simu ila nilitokea kukapenda sana maana nakenyewe kalikuwa active sana niliongea na watoto wangu wote nilifurahi sana story kama zote nikaanza kusimuliwa kila kitu wanachofanya nyumbani shuleni vitu wanavyovipenda marafiki zao wote naonyeshwa hadi matokeo yao shuleni ilikuwa raha sana kusema kweli mama yao alikuwa pembeni tu anasikiliza badae akachukua simu akaniuliza vipi umeridhika? Watoto bado wakawa wanalia mama tunataka kuongea na baba hasa haka kakike kapaulina dah kweli watoto wa kike na baba zao ni damdam..basi mwanaume nikawa sitaki hata kukata simu nikamwambia bado sijaridhika mama wape simu tuendelee kuongea akatukana hujaridhika kwani tunatombana hapa hapo kasogea mbali kidogo na watoto dah lile neno mamae likaamsha mpaka mkonga wangu ukaanza kutapatapa kwenye suruali nikabaki kimya nimetoa macho tu Princess akaenda chumbani kwake akafungua na nguo kabisa hewa ipite dah mamae nilitoa macho mtoto nina hamu nae huyu bado sijasahau viuno vyake kifua chake kilinikumbusha utamu wake wote aliokuwa ananipatia mtoto alikuwa na balaa huyu hatari na nusu.. Kata simu huko lione ushaanza kudinda huko nakujua vizuri sana..hahaa wala hata hamna niko fresh tu...fresh ya nyoko mxieeew akakata simu lakini dah kaniacha vibaya ila fresh tu kikubwa nimeongea na watoto wangu nimewaona wameniona hilo ndo la msingi nililala mwanaume lakini usingizi dah haukuja nikijigeuzia huku pagumu kule pagumu nawaza mambo kibao madeni ya washikaji maisha kiujumla lakini hata hivo nilikuja nikapata usingizi lakini ni kwa tabu sana asubuhi na mapema niliamkia kazini nikapiga kazi mpaka mida Fulani hivi nikatoka hadi duka moja hivi wanauza vitu vya watoto nikakumbuka kale katoto changu ka kike kalivyokuwa kanaomba pesa ya kubanio🤣🤣🤣inabidi ninunue vibanio vya kutosha nianze sasa kujipendekeza kwa watoto wangu niwini mioyo yao.. Mwanaume nilifanya shopping ya nguvu sana pale dukani nilinunua vitu kadhaa kwa ajili ya watoto wangu wote🥰🥰🥰wakati naondoka yule mwenye duka akaniambia tuna vitu vizuri pia kwa ajili ya wadada unaweza ukamchukulia na mwanamke wako pia si unajua sisi wanawake tunawaoneaga wivu hadi watoto ukienda hivo na vitu vya watoto peke yake mama yao lazima akununie anaweza hata akakunyima usiku🤣🤣🤣🤣🤣 Aise huyu muuzaji alifaa awe mwanasiasa nilijikuta nacheka na yale maneno yake😂😂😂😂😂niliwaza yale maneno aliyoniambia nikasema sawa lete nivione hivo vitu vya wadada..akasema sawa nikabaki pale nawaza yule mwanamke hivi nikimchukulia hizo zawadi atazipokea kweli au ndo nitafukuzwa nazo maana dah akili zake yule.. Itaendeleaaaa

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

Nyieeeee nilinuka.na deraa tu ndani nilivaa chupi tu nilitoka peku peku. Dooh rahul ana balaa et alienda na wenzie kucheza kwenye bara bara kubwa jamni. Nilichanganikiwa mm. Nafika mpaka pale road. Naona watu wengi . Kuna mama ni shoga yeke kidogo na mama. Aknmbia faridah wahi runzewe mtoto yupo uko tumemuwaisha hispitali.nyiee nilikuwa nalia. Nilichanganikiwa alafu uo mda mama hayupo kaenda shamba. Mh uyu mama ndo akinisimamia pale akaniita boda harka .ikaja nikapanda Mie mpkaa runzewe. Nakuta mtoto ndo anafanyiwa matibabu na kuna mkaka boda boda ndo alimleta haraka. Na wala sio yeye aliyemonga. Aliyemgnga alikimbia nakwambiaaa alivuoona soo tu akanyoosha moja kwa moja. nimefika nalia kama chizi . Manurse ndo wakanambia tulia mtoto anaendelea vizuri. Usilie ataaa. Nikasema kweli jamani naombeni nimuone kwanza. Naombeni nimuone mwanangu. Nataka kumuona rahul wsngu. Wakanambia hapana ndo anapata matibabu.yupo na daktari. Wala usijali utamuona sawa. nikasema sawa Nikawa nimekaa pale nalia ata amani sina. Weee mie mwanangu nampenda japo baba yake mshenzi ila mwanangu nampemda mnoo. . Mala na mam nae anakuja naona alipewa taarifa uko. Akanmbia vp anaendeleaje mie nalia namwambia mam bado sijamuona. Mama akanmbia tulia atakuwa sawa.basi nikatulia pale. Mala dr akatoka sasa . Akanambia mzazi wa rahul aya njoo sasa. Nkwambia nilikimbia haraka nikaenda pale.. na mama akja nyuma daktar akaniingiza chunba alichokuwa mwanagu. Jamani alikuwa kavishwa ogo mkononi na mguuni .bado usoni kafungwa mabandages. Aseee niliumia sana na yeye analia mwanangu .nikamkumbatia nikamwambia rahul tulia mtoto wangu si unaona mama nimefika apa. Aya nyamaza baba yangu. Akawa analia pale si unajua mtoto .aseeeeee nafanyaje sasa. Dr anamba gharama za matibabu ni laki 1 na 50. Nyie sina ata buku iyo kuja apa . Yule boda kanileta buleee. Mh tukaangaliana na mama. Yule dr akasema mnahitajika kulipia mana anahitajika kupewa na dawa zengine . Kuzuia maumivu ya ndani kwa ndani . Nikamjibu sawa nakuja kulipia. Yule dr akatoka akaniacha na mama doooh Namuukiza maam we una pesa .akanmbia sina ata 100. Mh na mm ndo kabisa . Mh kiukweli sikuwa na mtu wa kumuazima pesa. Nilimtumia sms yusta . Nikamuelezea jamani. Nikamwambia anikopeshe. Akanijibu pole sana . Mwambie baba yake mmi nimepanga kuendea saloon pesa yangu. Now sina na sitaki kumsumbua mume wangu ana majukumu mengi kwa sasa. Mh nilijalibu kumbembeleza nakwambia akwa ata hanijibu. Apo mama anamuangalia mtoto.mie nikatoka njeee .sijuh kwa nn sikufikilia sana nikampigia mligeee. Yani ata sikujali ni mume wa mtu au atakuwa na mkewe uo mdaa .mi sikuwaza hiloo . Mlige akapokea akasema helllow nani. Nikasema elly ni mm. Akanmbia unataka nn. Nikasema naomba unisaidie mtoto kagongwa na piki piki nipo hospitali runzewe . naomba nikopeshe laki 1 na 50 tu nilipie apa huduma kisha nakurudishia kesho mapema Akanmbia sawa kisha akakata simu. Nyie mda uo uo muamala ukatema. Akanitumia laki 2. Kisha kanitumia sms kesho naitaka pesa yangu mapema sana. Nikamwabia sawa. Mbona sikuamini. Aseee nilimuona mlige ana roho nzuri sana. Licha ya yote niliyomfanyia wala hakuona shida kunisaidia. Nikaenda kulipia pesa . Mama akniuliza umepata wpi pesa. Nikasema nimeongea na baba yake kanitumia. Mama akanmbi sawa kimbe wala pesa katuma mlige. Basi tukapewa na dawa zote . Kisha tukaruhusiwa sasa . Nashuru rahul alikuwa sawa tu anaongea ila sasa ndo maumivu analalamika sana. Mpaka namuoea huruma baba yangu. Nampa pole tu. Namwambia tulia baba yanguu eeeh . Si mnajua watoto wakiumia wanavyodeka basi anataka nimpakate tu. Basi niliangaika nae usiku kucha anaumia . Kila sehemu nafanyaje sasa ndo kulea. Nambembeleza. Nakwambia. Mpaka asubu mh kumekucha nipo hoi. Hii siku mlige wala hakuniulizia kabisa pesa yake.Nikapamabana ane kama week ndo kidogo namuona sawa. Basi siku iyo asubuh nakuta sms ya mlige kanambia nhitaji pesa yangu. Nimekukaushia week ya 2 pili sasa ujanirudishia inakuwaje. Mh acheni kabisa. Napata wapi mm iyo laki 2 ya kimlipa .nikamjibu nivumilie .ntakupa kesho kutwa. Akanmbia acha kunizungisha hauna pesa ha kunipa . Cha kufanya nakuja saa 10 jioni kwa juma . Nakutaka uko uje kunilipa kikubwa pesa yangu. Mh mligee. Mbona anataka kunipa seke seke uyuuu Mh nikasema no mlige mi siwez kuja uko we ni mume wa mtu bwana mi siji. Mlige akanmbia pow kama huji na kuja mm kwenu . Nakuja kukudai pesa yangu utaona ntakachokifanya apo kwenu . Mh nikasema mlige basi usije ntakujaa . Mh niliogopa asije akniletea balaa kwa mama. Akanmbia sawa sasa ole wako uzingue. Nikasema sawa. Nyie kweli mda wa saa 10. Mi nikamuaga mama naenda kumnunulia dawa rahul runzewe. Et kuna zengine dr alinambia nikafate .kumbe uongo mt upu. Mama akanmbia sawa uwahi basi si unaona mtoto anaumwa na anavyodeka mwanao.changamka .niksema sawa mama nachangamka. Basi bibi mie nafanyaje .nikanyoosha bondeni. Na ni kumetulia mnoo.watu wanaokaa uku ni wachache sana .mana ni sehemu za mabondeni Ila mlige an balaa sana . Mi nikafika mpaka pale. Nimefika nikgonga malngo. Akanmbia ingia .mie nikaingia namkuta kajilaza kwenye kitanda cha kambaaa. Mie nikaenda kukaaa pembeni Nikamwambia mlige sio sawa lakini. We shemejo yangu now. Mlige akanivuta wla hajanijibu .akaanzaa kunikissss nyieee . Mi nilishindwa kujicontroll kwa chochote. Na mm nikajikuta nampa ushirikianao mnoo. Aseeee ilipigwa mechi ya mwakaa. Mlige akinikula kwa hasira hii sikuu. Juu ya kitanda cha kamba. Yani kama kile kitanda kingekuwa kinaongea basi kingesema baasi muacheee. Aseeee nilichezea mashine mpka nilichanganikiwa. Hakojoi. Aseeee mwanzo nilikuwa namkatikia ila nikaacha. Aseeeee alinifanya mpaka nikawa namsukuma sasa. Nikawa namwambie mlige mi nimechoka umekuwaje hivi.mbina ukojoi. Asee mligeee. Hakuongea na mm akanifanyaaa mpaka mi nikawa nalia nahisi maumivu makari. Mpaka alipotosheka akniacha ata hajakojoa mdudu umemdinda vile vile . Akanmbia umekuwa mbaya now hauna radha kabisaa ndo mana nashindwa kukojoa . Daaah . Mi nikabaki kimya. Akanmbia yani nishazoea viuno vya mke wangu. Anajua sana kutombana yusta . Na k yake inabna na safi na tamu ila ww. Imekuwa kubwa sana imepanuka na imepoa . Hakuna radha kabisaaa. Aseeee mi naongea nn sasa Akavuta boksa yake akavaaaa. Kisha akavuta suluali yake akavaaa . Na nguo yake ya juu . Akavuta simu yake akasepa. Kaniacha pale mie uchiii aseee nilipata huzuni moyoniiiii .niliumia mnoooo . Niliumia sana. Njlijisikia vibaya sanaaaa .yani kanionajeeee. Nilijikokota nikavaa nguo zangu. Nikatoka nikasindika mlango wa watu. Taratibu nikaanza kukndoka zangu. Yani hajanipa ata 100 na maneno ya kashfa puuuh. Nikajua aya bwana. Na kweli mwenzangu yusta tangia tunasoma anaonekana anajua sana mambo .si mnakumbuka mambo mengi alikuwa ananifundisha yeye. Basi nilivyoludi nyumbani nilijikausha kimyaaa. Ila nilikuwa na huzuni. Nyie mwanaume akikuzalau kwenye mambo ya ndani na kukukashifu inauma sanaa yani sanaa . Ndo ilinikuta hii siku.alafu akakukompare na mtu mwengine daah inauma bwana 🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

Mh. Mie nikajituliza zangu kimyaa. Nishaambiwa mie sio mtamu. Kuma imepanuka nafanyaje sasa . Ila kama ndo kupanuka labda nilivyozaa ila sikuwa na wanaume kabisaa mimi. Yani mpaka nafikia umri huu mi wanaume nnaowajua ni mlige na zayd basi. Nikaona yatapita aya. Basi deni shoga yenu ndo nikalimaliza kihivyo. Akawa hajanipigia tena simu na mm sikumpigia .na namba yake mlige mm wala siisevu . Mume wa mtu uyu naanzaje kusave namba yake. Basi nikawa naendelea kupambna na maisha yangu tu. Mdogo mdogo nikaona apa mie nitafute kazi. Ata ya kuokota elfu 2 kwa siku. Mana kuna mda nakaa kama msenge kiasi cha kwamba. Ata mtoto akinambia mama nataka pipi. Mie sina pesa kabisaa. Nilifulia shoga yenu . Sikuwa yule kabisa. Dada mwenye tambo zake mjini. Niliishiwa aswaaa. Wala sikuwa na tambo kabisaa. Basi bwana siku iyo sasa . Mda wa jioni . Naona mlige ananipigia . Mh nikaogopa mnooo. Nikasema uyu baba anataka nini tena. Nikapokea ile simu. Mlige akanmbia upo wapi. Nikasema nipo nyumbani vp. Akanmbia nna kikao mwanza cha siku 3. Nataka unipeleke. Kheeeee nyie mnamsikia uyu baba. Nikasema wapi . Mi siendi kokote . Kwnn niende uko na una mkeo. Mlige unataka kunitafutia balaa mimi. Alafu mm niondoke ukoo. Mwanangu namuacha na nani.sitaki mligee. Nyieeeee mlige akafoka. Akanmbia we demu unajifanya unajua sana kujibu sio. Nakuuliza wewe faridah unajua sana kujibu. Unahisi nakushobokea sana nakuuliza wewe maraya. Khaaaaa asa aya yamekujaje jamni. Akanmbia sikia kesho jiandae tunaenda mwanza . Alafu tukiwa tunaongea mm na ww habari za mke wangu zinakujaje apa mshamba nn wewe. Khaaaa mi nikkata simu Et kanitumia sms . Tunaenda au ndo umegoma. Nikasema sitaki na ukiendelea namtumia sms mkeo namwambia. Kanmbia sasa mwambie na tushawahi kutombana juzi kati apa. Mh sikumjibu tena mm. Akanitumia sms. Akanmbia mi nazani wewe unanijua vizuri . Mimi chizi tena mm mwehu aswaaa . Kesho natungulia runzewe nakungoja apo . Sasa. Jichanganyee usije uoneeee . Nikasema sina wa kumuachia mtoto. Akasema mbebe kwani uyo mtoto ataalibu nn. Mh mi wala sikumjibu. Nashangaa kanitumia laki 2. Akanitumia na sms fanya maandaliz. Khaaa uyu kichaa nini . Mbona anatak kuniletea heka heka lakini. Nionekane natembea na mume wa shoga angu lakini. Basi mi nikakausha ..kesho yake. Asubuh jamni niliamshwa na sms za mlige za vitisho nakwambia . Et nisipoenda ata nifanya kitu kibaya. Sijuh atakuja kukiwasha kwetu. Yani mambo kibao. Mi nikamjibu nakuja. Na kweli mie nikaanza kumuandaa mtoto. Mama aliponiona nafanya maandalizi ya kutoka. Akaniuliza ay mwenzetu wapi. Nikasema ahaa mama naenda kahama . Baba rahul kanipigia nimpeleke mwanae akamuone. Mama akasema kwaiyo uyo baba rahul kufika apa hawez ..au mnataka kurejesha majeshi . Akukupige tena. Uludi kama mwiko apa. Nikasema mama mi siendi kukutana nae gest wala . Naenda kwa mdogo wake ndo na yeye anakuja apo. Anataka kumuona mwanae.mama akanambia sawa . Naomba usilale uludi leo leo. Kama anahamu na mwnae sana muachie wewe ludi apa. Nikasema sawa mama. Basi mie nikamuandaa pale. Mana uyu ndo alikuwa kigezo cha mie kutoka . Yani bila ya uyu mi ningesema naondoka naenda wapi. Sio kweli. Nikavaa tu kawaida gauni langu lefu. Apo mwili unludi ila sio sana yani. Basi bibi mie nikambeba mwanagu . Nikapanda gari mpaka runzewe. Nilivyofika nikampigia simu . Akapokea . Nikamwambia nimefika apa runzewe mbona sikuoni. Akanielekeza alipo mie nimeenda na mwanagu. Tumefika pale kweli nikamkuta ni restaurant sehemu ya kula . Nikaenda mpaka pale. Akanipokea mtoto kabisaa. Mh ila mlige ana moyo wake. Mtoto wa hasimu wake uyu. Na mwanagu mimi wala hanaga shidaa. Kabisaa . Akatuulia pale. Mlige akamuuliza eeh boy unataka kula nn. Et ananingalia mm. Ila rahul nikanambia nimuagizie chips. Kweli mlige akamuagizia pale. Na mm akaniagizia chipsi yai na mishikaki. Bila ya kuniuliza mlige ananielewa sana nn napenda na kipi sikipendi. Basi tukala kimya kimya wala hatukuwa na story pale.baada ya pale . Mlige akambeba mwanagu tukaingia ndani ya gari sasa. Mh gari kali. Gari inanukia mnoo. Basi mi nikampakata mwanagu . Njia nzima ni kimyaaa wal hakuna kuongeleshana na si mnamjua mlige ana kisirani. Basi ni kimyaaa. Labda rahul ndo anaongea nae. Yani. Mlige anamwambia mwanagu rahul.baba yako fala fala yuko wapi yule? Khaaaaa . Mwanagu nae anacheka et baba angu fala yupo mbalii .ukooooooo🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌🙌🙌. Mie nimenyamaza zangu kimyaaa. Mna mlige ni ana mambo ni ananichokoza tu. Anasema yani rahul uo weupe mpka rahaa watu wanapagawaga na weupe leo kiko wapi. Mi nimenyamaza zangu kimyaa. Akanichokoza sana nakwambia. Anamwambia et rahul umekonda now umekuwa kabaya doooh. Et anamwambia mtot. Mwanagu anacheka tu. Si haelewi ila najua naambiwa mie . Nikajinyamazia zangu kimyaa. Basi akadrive mpaka .tumeingia mwanza. Na tulifikia hotel.ni kubwa mno. Basi akachukua room. Apo ni kambeba mwanangu . Na tukaingia mpaka hotel. Room kabisa. Akanmbia tutakaa apa kwa siku 3. Ya nne ndo tunaludi nyumbani .mie nikase.a sawa . Apo nyumbani nimeagaa naludi leo leo. Basi mlige akanmbia naenda kuwatafutia nguo za kuvaa kwa mda mtakuwa uku. Nikasema sawa hakuna shida . Na kweli . Akatoka. Na baada ya mdaa mlige akalidi kabeba mfuko . Akanipa . Nyieee kweli ni nguo et kaninunulia mpka chupi ila uyu baab. Nikamwambia asante. Akanmbia itokeee moyoni na ulizike kweli. Mh aya majibu yake sasa . Mie kimyaa. Nikamuogesha mwanagu nikambadili nguo. Mana mlige alimnunulia nguo piah. Baada ya kumvalisha . Akanmbia tushuke tukale chakura cha usiku .mana uo mda kama saa 2 usiku. Apo shoga yenu sijashika simu kabisaa. Yani sijashika najua mama atanitafuta tu Basi baada ya chakura kule chini . Tukapanda juu. Mh mwanagu alishakuwa kasinzia mana usingizi . Na kachoka sanaa. Na nginja nginja za magari. Basi akalala. Nikalaza vizuri kitandani. Nikaona mlige anavua nguo mbele yangu Ila uyu . Mie nikawa namuangalia tu . Akanmbia twende tukaoge. Nikasema tangulia akanmbia mbona unakuwa kma mtoto faridah ebu twende bwan. Mh nikanyanyuka kweli tukaingia bafuni. Akafungua maji kisha kanivuta. Akanikumbatia kwa nguvu . Ikawa maji yanatumwagikia. Yani alinikimbwatia asswaa ata kupumua nashindwa sasa.nikamwambia mlige unaniumiza . Mh namsimia ana meza kwikwi basi nikajua analia maskini. Nikamtoa harka kwenye kumbato. Namuangalia kweli analia kabisaa. Nyieeee na mimi nikajikuta machozi yanatoka . Nikasema mlige plssss nisamehe usiwe unalia kwa ajili yangu kila siku . Naumia sana. Na nakosa barak. Mlige akanmbia ntaacha kulia kwa ajili yako siku nikifa faridaah. Faridaah unaniumiza kila siku m Kwenye maisha yangu . Faridah kw nn ulifanya vile mhhhhh 🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

muda ulisonga mbele hatimae jioni ya saa kumi ilifika seven akiwa ofisini alinza kujiandaa kitoka kisha akapitia ofisi ya john, aliingia na kumkuta yuko bize na compyuta ""nakuona upo bize jamaa alisema seven "yes boss nawasilisha apa alisema john "ok sawa mimi naenda zangu nyumbani maagizo yote nishamuachia secretary hakikisheni wale wapuuzi hawaingii hapa si cathe wala devi wala mwanasheria alisema seven sawa boss lakini vipi mbona sahizi mapema sana sio mida yako hii alisema john ndugu yangu acha tu alisema seven nakumfanya johna acheke kidogo sasa unacheka nini alisema seven amna nimecheka tu nahisi itakuwa shem huko. anakukazia hataki masihara kabisa alisema john huku akicheka nae seven akacheka shem gani bhana hebu acha zako alisema seven ""mh niache zangu tena haya bhana msalimie sana ila asiwe anakubania hivo duh sahizi saa kumi hii alisema john "John we humjui fahima vizuri apa nimechoka ngoja niwahi sitaki kelele zake sasahivi hapa. ataanza kupiga simu alisema seven na kifanya john acheke sana "haya bhana kesho basi alisema john basi seven akaondoka akimuacha john anaendelea na kazi, upande wa mama fatuma huku alikuwa na majanga matupu tu alikuwa amejifungia ndani kwake baada ya kufuatwa na wanawake wa kausha damu maana alishindwa kulipa "nakwambiaje jifanye tu kutukimbia unatujua vizuri sisi hatukimbiliki nyauba wewe yani leo hatuondoki yunakaa hapa hapa halafu tuone kama utajinyea humo na kujikojolea humo alisema kiongozi huyo aliyejulikana kama mama zena hawa vipi yani asubuhi mtoto wake kaja kichukua nguo zangu jioni wanakuja wao kha yani sitoi ela mimi karna kukaa mtakaa humohumo tu sitoi pesa hata kidogo nakwanza. sina ela apa kha alijisemea mama fatuma, huki nje bado vichambo viliendelea na muda. huohuo akatokea fatuma ambaye ndo alikuwa anarudi kwenye mizunguko yake ehe sogea hapa wewe mtoto kahaba mkubwa wewe sindio umefumaniwa asubuhi na mwanangu halafu ukajifanya kukimbia unadhani tunakimbilika yani wewe na mama yako wote pumbavu sasa ngojea alisema mama zena kisha akauchukua mkoba wa fatuma ambao ndani yake kulikuwa na simu smartphone na pesa kadhaa, fatuma alianza kuwaomba wamrudishie jamani nawaomba mnipe kuna simu yangu humo sasa mimi nimefanya nini jamani mnanionea tu nipeni alisema fatuma huku analia, mama fatuma haraka akasimama. dirishani "weeee msimpe mshenzi mkubwa huyo mimi apa asubuhi zena kaja kuchukua nguo zangu na jiko kwa kosa lake la kutembea na waume wal watu sasa safi sana chukueni na hata mkitaka mumvue nguo abaki uchi sawa tu chukua shoga angu mama zena ko hapo hatudalani kabisa. mpaka zipite wiki mbili alisema mama. fatuma apo shoga angu tutaelewana haina shida alafu wewe mtoto siku nyingine ukome kulala na mabwana wa watu alisema mama zena kisha wakaondoka na wenzie wakamuacha fatuma analia tu chini, bila kujua lakufanya upande mwingine catherin alikuwa chumbani mudawote analia tu hakupata amani hata kidogo alikumbuka maneno machafu aliyokuwa anaambiwa na devi hakuamini devi yule. aliyekuwa anampa maneno matamu leo hii anamulta kahaba hakuamini alitamani siku zirudi nyuma angalau arudishe mapenzi kwa seven alijutia sana mara mlango wa chumbani kwake ukafunguliwa na mama yake akaingia ndani humo "wewe vipi devi ushaongea nae alisema. mama cathe "ndio mama amesema atailea tu alisema. cathe kwa kudanganya alijuwa akisema ukweli tu atafukuzwa kwao sawa na vipi kuhusu ndoa mnatakiwa mfunge ndoa kabla mimba haijakua alisema mama cathe "hilo swala nitaongea nae kesho mama nataka nipumzike alisema cathe ""sawa na unywe dawa za maumivu umelia sana. leo hutakiwi kuwa na mawazo tena kwakuwa devi kakibari alisema mama cathe sawa mama alijibu, basi mama cathe akatoka chumbani humo bila kujua kafichwa ukweli seven nae ndo aliwasili nyumbani ikiwa saa 11 na nusu, aliingia ndani na kuwakuta familia yake na baba fahima wakiwa bize kwelikweli kupiga story, basi alifika na kuwasalimia wote "karibu sana mzee sikupata taarifa kumbe ulikuja alisema seven ndiyo nilikuja mda tu wala usijari kabisa alisema baba fahima sawa mzee vipi fahima simuoni hapa alisema seven "wifi ameenda chumbani kuoga alisema sarafina "halafu we sara wewe hukuagi huo mdomo wako wewe alisema seven na kufanya wote wachek "sasa seven unataka akue mara ngapi hapo jiandae tu mwakani kupata shemeji alisema. selina heee dada selina sio vizuri hivoo alisema sarafina ila unavotoa siri za wenzio ndo vizuri alisema selina aisee ilikuwa ni kituko familia hiyo ilizoea sana kutaniana sana tu basi seven akawaaga anaenda mara moja kuongea па fahima, alifika mpaka mlangoni na kugonga hodi akafunguliwa na fahima akiwa amenuna. kwelikweli seven akajuwa tayari kishanuka samahani nilikuwa na kikao ndomana nimechelewa alisema seven sawa endelea na kazi zako alisema fahima huku akijifunga vizuri mtandio wake ""hivi fahima mbona sikuhizi umebadilika hivyo muda wote visilani tu alisema seven unamuuliza nani sasa alisema fahima "kwani hapa naongea na nani alisema seven hebu nipishe huko alisema fahima kisha akampushi seven na kufungua mlango kutoka. na seven nae akamfuata huku anaongea fahima ujue sipendi nakwambia rudi tuongee fahima fahima usinivuruge alisema seven na wakati huo walikuwa washafika tayari seblen ""kuna nini tena jamani alisema mama seven baada ya kuona hali hiyo. "hamna kitu mama alijibu fahima "mama hebu mwambie fahima mimi nilivyo na majukumu kazini anakasirika kiasi hiki kisa tu nimechelewa sasa nilikuwa na kikao ningefanyeje sasa alisema seven aiseee mama seven bado kidogo tu acheke akajikaza kwelikweli maana alijua tayari hawal wanapendana sana na fahima anawivu sana kwa seven hebu fahima mwanangu rudini kwanza mkaingee ndani sawa haya ni mambo madogo sana hebu kaongeeni ndani kwanza alisema mama fahima, mzee fahad alikuwa anamuangalia mwanae akitabasamu tu alipata sana amani ya moyo Itaendelea

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema Mohmy
 

Jamani kama ndo kumuadhibu farida imetosha mnatuumiza tukimuona farida anaumia tunaumia

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

54 MPAKA 55 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Aseeeee, nikaanza kuelezea mm. Akaja yeye. Ahaa akasema tu.mimi uyu sijazaa nae . Mh yupo serious. Akasema sijazaa nae kabisa. Kama alivyosema mwenyewe . Alinipa pesa nikatoe mimba na nilitoa mimba yake. Anashatoka na watoto wangu tu. Yule mzeee alimuangalia saan princess. Akasema princess punguza hasira mwanangu. Binadamu hukosea sana . Ila ni vyema kusameheana na maisha yakaenda . Mpe watoro wake usimnyime .mbona kasema kafanana nao. Princess akasema hajafanana nao uyu n muongo ni amechanganikiwa tu. Nikasema princess mi sijachanganikiwa .unamaan mi siwez kuona kinachonifanana. Yule madame faustina akasema princess ebu tupe picha za wanao tuone. Princess akasema mi siwapigi picha wanangu. Mh Et watoto wa miaka 7 .hana picha zao anakimbia kuonesha mana anaelewa ni kwa jinsi gani nimewafanana watoto wangu.basi yule mam akasema sikia nikwambia princesss.ni bola tuyamalize aya mambo apa. Kama nahisi uyu jamaaa kakufanyia chochote kibaya. We sema . Atalipa faini. Utapewa ila kumnyima wanae utashindwa. Princess akasema sijazaa nae. Yule madame akasema.sawa kama hujazaa nae . Mnaenda kupima dna kesho. Na ikigindulika ni watoto wake atawahudumia. Na atakuwa baba. Na kama ukikataa kwenda kupima. Tunampa jamaa anaenda mahakamani uko hawatataka mchezo na hakuna kumbembelezana kama apa .ila utapokonywa watoto wako. Akabaki kimyaaa . Basi tukamaliza kakao na muafaka kwamba tukapime dna za watoto kesho. Aseeee nilitoka na furaha hii siku mana niliona wanangu ntawapata .ni ambana kidogo tu. Basi bwana .kesho yake namtumia sms hajibu. Nampigia hapokei. Nilipiga .mpka nikapiga tena. Akanitumia sms ebu tok apa . Siendi kokote nishasema.sio wanao. Ila princess ahaaa uyu maa ni mbishiii. Aseeee nilipiga simu hakupokea ataa. Mi sikuangaika nae. Ila kesho nilikuja ustawi sasa . Nikasema.a kwamba jana mwenzangu hajakubali kwenda kupima DNA .akapigiwa simu akaambiw tunampa barua aende mahakamani.akajibu sawa mpeni tutajuana mahakamani . Mh anajiamini . Naelewa pesa kwao ipo. Kweli mi nikaandikwa barua ya kuanza taratibu za mahakamani sasa Basi mi nikaludi kwanza moro kujipa mda kidogo. Mana daah kazi inanitaka na bado mambo mengne yananitaka. Nilimtumia sms kuwa mi nishapewa barua . Nimekuja moro baada ya week.2 nikija dar naaanza proncess. Akanitumia sms ili upate wanao nilipe fidia milion 50. Khaaa kwanza nikacheka ata least leo kakubali awa ni wanangu. Nikampigia mda uo uo .akapokea .nikamuuliza upo serious akasema ndio .nilipe iyo fidia nifidie shida zote nilizopitia mpka kufukuzwa nyumbani . Mh nikasema sawa nakulipa kesho mchana .akanmbia sawa hakuna shida. Daah nikacheka account yangu nna milion 25. Tena iyo ndo nilikuwa nimeplan nijazie jazie nikafanue finishing nyumbani kwangu niamie. Ila akivyonambia nimpe fidia aniruhusu kuwa baba kwa wanangu weeee. Nikaona ela natafuta chapu tu. Mi nikaanza kuwapiga simu wanangu wa kazini. Nikawa nawakopa kisenge. Yani uyu milion 5 uyu 6 uyu 2. Mpka nijafikisha milion 45. Kesho yake mchana akanitumia account namb yake nimuingizi pesa nikampigia .nikamwambia princess sikia nimekosa milion 5 . Naomba nikulipe hii 45 kwanza. Akanmbia no sitaki uswahili nataka yote. Bila ya hivo tutaenda uko mahakamani na ntakana sio mwnao na ntaona hautaamini ww. Ahaaa nikamwambia basi mama ngoja nipe dakika 10. Alinipelekesha kisenge. Mpaka majasho ya pumbu🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌 Ahaa nikaanza kufosi milion 5. Alafu annazidi kutima sms ikifika jioni hujatuma iyo pesa utasahau kuhusu watot. Ahaa nilichanganikiwa . Nikafosi kinoma nikapata. Iyo alinikopesha mwanangi lemi .mana lemi mwenyewe nilishamkopa. Nikamtumia milion 50 kwa account. Yake. Kanmbia sawa utapanga siku ya kuja kuwaona wanao. Nilitamni kwenda iyo siju ila ata elfu 30 ya mafuta sikuwa nayo. Aliniacha na mpumbu yangu tu. Manina.🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌🙌. Nikamwambia sawa. Akanambia kahaa si ulikuwa unadai watoto kwa fujo ww aya njoo uwaone. Mbona hutaki kuja . Nikajua unakuja leo.nikasema princess ntakuja week end . Kazi zimenibana. Princess akacheka akasema looh ata kuongopa huwez .sema huna ata mia pesa zote nishakupulusa mshamba ww. Nyooo kisha akakata simu yake. Nilijisikia aibu.na kweli hii siku sikuwa ata na buku mfukoni akiba zote nimempa uyu demu mamae. Dah kweli kesho yake nimeingia job.nipo kma msenge. Yani ni vile gari yangu ilikuwa na mafuta na kazi msosi ni free. Ila nashukuru ilikuwa ni tarehe za mwisho wa mwezi. So sikusuffe sana baada ya siku 3 mshahara ukaingia sasa . Na kwenye biashara zangu kukatiki. Kwaiy kidogo . Ndo nikajiona mwanaume. Mana mwanaume bila pesa mfukoni daah sio powa . Kwaiyo iyo ijumaa ndo nikampigia princess sasa. Kuwa nataka kwenda kuwaona watoto. Akambia sipo nimeenda nao zanzibar kutembea kidogo. Nikasema mbona hujanipanga. Akanmbia ndo nakupanga kwaiyo kama bwana angu anataka kwenda kunitombea zanzibar nisiende kisa. Mh nikasema kwaiyo umeenda kutombwa na watoto? Akanmbia bwna sipo elewa hivyo akanikatia simu. Mi ikabidi nipoee. Basi ikawa ndo hivyo. Kila nikimpigia ni sipo. Nimeondoka na watoto. Nimefanya iki na watoto. Asee mpka.nilichoka.simu iyo nimepigia akanmbia sipo nimeenda tanga .nimewapeleka watoto kutalii. Nikamwambia sikia princess. Nimeshindwa juu ya awo watoto tufanye nimeshindwa . Tumefanye upo huru na wanao . Na mm sio baba yao kuanzia leo mi sitawafatilia tena ao watoto unajua niliongea kwa uchungu mpaka nikawa nalia .akaniuliza ndo unajiliza makubwa. Sawa hakina shida nashukuru kwa kuukataa ubaba mapemaa sana . Kisha akakata simu yake ahaa nilichoka bwana miez 6 nambembeleza yey bado naoga matusi na dharau .aya kama nimekomsea sio kama hivi Mi nikamkaushia kabisa princess. Yani ilikata kama mwez .siku iyo sasa hee simu yangu inaita bwana naangalia anayepiga ni princess kisha ananipigia video call. Mi nikashangaa. Ni usiku uo mdaa. Nikapokea ile simu . Mh nikamuona na yeye yupo maeneo ya nyumbani tu. Akanmbia watoto wako wanataka kukusalimia. Mh nikasema sawa wape simu. Kweli akawapa. Aseee hi siku nilipata rahaa ya moyo kweli kweli. Basi watoto wakwa wananinshangilia kabisa .et baba.unakuja kutufta lini. Ahaa aka ka kike ndo mkorofi et uyo sio baba yenu ni bab yangu et baba utanipa pesa nikanunue ice cream mana mama kaninyima .et baba utanipa na pesa nataka nikanunue kibanio cha nywele. Nikaona kabisa aka kakike aka katakuja kuwa kanapenda ela. Mwanaume wake atakoma🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌🙌🙌. We siku ya kwanza tu anataka ela kisha nikanaonekana kasumbufu yani kanafosi kaongee peke yake

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

Mamlaka ya mawasiliano ya Gabon (HAC), imepiga marufuku huduma za Mitandao ya kijamii kote nchini humo hadi ilani nyingine itakapotolewa. Uamuzi huo unalenga kuzuia unyanyasaji unaofuata na matumizi mabaya ya majukwaa hayo. Katika taarifa yake kwa Vyombo vya habari, Mamlaka ya juu ya Mawasiliano (HAC) inasema kwamba imeona uenezaji wa mara kwa mara kwenye Mitandao ya kijamii na majukwaa ya kidijitali ya maudhui yasiyofaa, kashfa, chuki na matusi ambayo yanadhoofisha utu wa binadamu. Mdhibiti wa Mawasiliano anaamini kuwa mitandao ya kijamii inatumiwa vibaya, kinyume na sheria za Gabon na kanuni za Kimataifa. Machafuko ya umma, kuenea kwa taarifa potofu, unyanyasaji wa mtandaoni . Nchini Gabon, WhatsApp, Facebook, na TikTok ndio mitandao ya kijamii inayotumiwa sana.

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

“The CBF stands in solidarity with Vinícius Júnior, victim of yet another act of racism this Tuesday, after scoring for Real Madrid against Benfica in Lisbon." "Racism is a CRIME. It is UNACCEPTABLE. It cannot exist in football or anywhere else. Vini, you are not alone." "Your decision to activate the protocol is an example of courage and dignity. We are proud of you." "We will remain steadfast in the fight against all forms of discrimination. We stand by your side. Always”. ❤️

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

hadi milango ya Ulaya, kutoka Baghdad mpaka Cairo, bendera ya Uislamu ilipeperushwa juu ya majumba, masoko, na misikiti mikubwa iliyojengwa kwa fahari. Watu waliamini kuwa dola hii ingedumu milele iliitwa “ngome ya Waislamu,” kwa sababu ililinda ardhi takatifu, iliongoza kwa sheria za Kiislamu, na iliwapa hifadhi mataifa mengi yaliyokuwa chini ya bendera yake. Katika karne ya 16, dola hii ilifika kilele chake chini ya utawala wa Suleiman mkuu. Huyu alikuwa mtawala aliyekuwa kama kivuli cha haki na nguvu kwa wakati mmoja. Aliiongoza dola kwa mkono wa sheria na upanga, akapanua mipaka yake hadi Hungary, Balkan, Mashariki ya Kati, na Mediterania. Istanbul ikawa kitovu cha dunia...mahali pa elimu, biashara, na siasa. Lakini baada ya kifo chake, kila kitu kilianza kubadilika. Sio kwa mara moja, bali taratibu mambo yalianza kuharibika...... Masultani waliokuja baada yake hawakuwa na ule moto wa uongozi. Wengi wao walianza kujifungia ndani ya ikulu ya Topkapi, wakiacha mambo ya dola mikononi mwa washauri, mawaziri, na makundi ya kijeshi. Utawala ukawa wa mbali na wananchi, rushwa ikaanza kuota mizizi ndani ya dola, na maamuzi yakaanza kufanywa kwa maslahi ya wachache. Hivyo ikawa kama nyumba kubwa ambayo baba mwenye nyumba ameacha kuisimamia.... Wakati huo huo, kulikuwa na jeshi maalum lililokuwa uti wa mgongo wa dola: Janissaries. Mwanzoni walikuwa ni jeshi lenye utii na nidhamu. Walichukuliwa wakiwa watoto, wakafundishwa kwa bidii, wakawa askari wa kipekee waliomtii sultani moja kwa moja. Lakini kadri miaka ilivyosonga, nao wakaanza kubadilika. Wakaanza kujiona kama wamiliki wa dola badala ya watumishi wa dola. Wakadai mishahara ya kudumu, wakaruhusiwa kurithisha vyeo vyao, na wakaanza kupinga mageuzi yoyote ambayo yangewafanya wapoteze nguvu. Ulaya, kwa wakati huo, ilikuwa inabadilika kwa kasi. Walianzisha viwanda, silaha zikaboreshwa, meli za kivita zikatawala baharini, na jeshi la kisasa likaundwa kwa sayansi na nidhamu mpya. Ottoman, kwa upande wake, ilibaki katika mifumo ya zamani. Kila jaribio la mageuzi lilipingwa hasa na Janissaries. Hata masultani waliothubutu kubadilisha mfumo waliondolewa au kuuawa. Ilipofika mwaka 1826, Sultani Mahmud II aliamua kukata mzizi wa tatizo. Aliwaangamiza Janissaries kwa nguvu kubwa katika tukio lililojulikana kama (Auspicious Incident.) Lakini ukweli mchungu ulikuwa huu: tiba ilikuja wakati ugonjwa ulikuwa umeenea mwilini kote. Uchumi nao ulikuwa umeanza kulegea. Njia mpya za biashara za Ulaya kupitia bahari za mbali zilipunguza umuhimu wa Ottoman katika biashara ya dunia. Fedha zikapungua, deni la nje likazidi, na dola ikaanza kutegemea mikopo kutoka kwa mataifa yale yale yaliyokuwa yanaitamani ardhi yake. Ulaya wakaanza kuiita Ottoman: “mgonjwa wa Ulaya” jina lililobeba kejeli, lakini pia ukweli mchungu. Ndani ya dola, upepo mpya wa mawazo ulivuma. Watu wa makabila na dini tofauti walianza kujiuliza: “Kwa nini tusitawale wenyewe?” Wazo la utaifa (nationalism) likachochewa na Mapinduzi ya Ufaransa. Wagiriki waliinuka kwanza, wakafuatiwa na Waserbia, Wabulgaria, na mataifa mengine ya Balkan. Ardhi ikaendelea kupotea, uasi ukazidi, na dola ikaanza kusinyaa..... Kisha likaja pigo la mwisho..Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia. Ottoman ikaungana na Ujerumani, ikipigana vita nyingi kwa wakati mmoja dhidi ya maadui wenye nguvu zaidi. Ingawa kulikuwa na ushindi wa kihistoria kama Gallipoli, uchumi na jeshi vilichoka kabisa. Vita vilipoisha, washindi waligawana mabaki ya dola kupitia Mkataba wa Sèvres... . Lakini kutoka katika majivu hayo, alisimama mtu mmoja mwenye maono mapya mtu huyo si mwingine bali ni Mustafa Kemal Atatürk. Aliongoza mapambano ya mwisho, akaondoa kabisa mfumo wa usultani mwaka 1922, na ikazaliwa Jamhuri ya Uturuki. Hapo ndipo pazia lilipofungwa rasmi kwa Dola ya Ottoman baada ya zaidi ya miaka 600 ya historia. Naam hii hadithi ya kuanguka kwa Ottoman empire si hadithi ya kushindwa kwa siku moja tu. Ni wazi inatufunza kwamba nguvu bila mageuzi hudhoofika, mamlaka bila haki huanguka, na dola yoyote haijalishi ni kubwa kiasi gani ikikosa busara, umoja, na uwezo wa kubadilika, mwisho wake hufika polepole… hadi siku historia inaandika mstari wa mwisho. Kwa history, story, reallife events na visa na mikasa ya dunia nifollow Maher bey. ✍️Maher bey #like #shere #comment

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

huku sebleni walipo calor walisikia ugomvi wa wazazi wao wanagomben sana chumbani, calor alihisi kabisa itakuwa kuna tatizo tena sio dogo "kwani kun nini jaman cathe mbona kelel nyingi sielewi nimerudi hakuna aliyenifurahis yan hat siwaelewi nawewe unalia kwani kuna nini niambie alisema calor kaka mimi ni mwanamke mjinga sana kaka mimi sina akili ndiyo maana wazazi wetu wanagombana alisem cathe huku akilia kwanini unasem hivo hebu nyamanıza kwanza alisema calor kaka nimeiharibh ndoa yangu kwa mikono yangu mwili alisem cathe hukuakiliua sana kaka devi alinipanga mengi sana nikamsaliti seven nakutembea na rafiki yake nipate kuwa mmiliki mall siku ya ndoa yangu ndipo nilipofumaniwa na seven naleo ndipo nimeachwa kaka nimemkosa mtu muhimu sana kaka sidhani kama devi ataweza kunihudumia kama seven tamaa yamali imeniponza na sasa nina mimba ya devi sijui devi atalipokeaje hill na mpaka sasa sijui devi yuko wapi nachanganyikiwa mimi kaka vipi kama devi atanikatao na ataikataa mimba? Kaka nitakufa mimi alisema cathe huku akilia kwelikweli, mpaka hapo calor alichoka hoi alichoka mwili mzima na akili hakuamini anachokisikia alimuangalia sana cathe anavyolia kisha akatikisa kichwa msikitisha sana hakujuwa afanye nini na amsaidie vipi hakuelewa kabisa, haraka akatoka nje na kupanda gari kaondoka billa kumuaga yoyote yule huku seven alifika alimuangalia sana devi juu mpaka chini unataka nini alimtupia devi swall hlio hapa nimemfata john sio wewe alisema devi, john alitaka kuongea lakini seven akamzuia asiseme kitu nakjona unavotapatapa masikini kama yatima usiye wazazi, sasa unahangaika nini wakati wewe wewe ni jeuri tena umesomea si uonyeshe jeuri yako sasa, tafuta kampuni wekeza fanya kazi unakuja kupigana na wafanya kazi wangu kosa lao nirs, kama mke nishakuachia kaka endelea kumla maana mtamu sana nakama pesa mikono unayo tafuta alisema seven kwa kulamini sana "mkeo alinifuata mwenyewe tena anashobo sana sasa kama kajitongozesha mimi nifanyeje 7 alisema devi hhahha upo kama imfarnaji sasa umeishiwa maneno mimi sijakwambia uniambie kama anashobo au la nimekwambia endelea kumla na katafute pesa sasa hapa unataka nini au unataka kwenda kuozea jela maana fujo unazofanya hapa umepoteza muda watu kumbuka sahizi kila mtu alitakiwa afanye kazi yake lakini wewe umekuja kuharibu ratiba na kufanya fujo mfano nikikukamata nikakuweka jela je nimekuonea alisema seven lakon bro tungeyaongea tu tukayamaliza mambo madogo haya alisema devi huku aklengwa lengwa na machozi mambo madogo ee hata mimi naona ila nakuonya uslje tena ukasubutu kuja hapa yani usije ukapita ndani ya lile geti hapa wewe sio mfanya kazi tena na barua yako utawekewa nje ya geti kule pori utaikuta hauruhusiwi tena kuingia hapa nikija kukuta hata nje ya geti umekaa basi jua utaozea jela maishani mwako mtoeni nje alisema seven kwa ukali kidogo walinzi wakamtoa nje haraka kumtupia aiseee devi alilia sana siku hiyo jeuri yote ilimuisha aljutia sana tena sana alipenda sana kazi yake kwakuwa alipata mshahara mzuri sana lakini ndohibo siku hiyo alljuwa sana kulla, akaondoka kuelekea kwenye makazi yake alipopanga ukiachana na ile hotel waliyokodi, upande mwingine wa fahima alikuwa akiandaa chakula cha mchana akiwa na mdada wa kazi huku wakipiga story mara mlango uligongwa akaenda kufungua alimuona baba yake mzee fahad alifurahi sana alimpokea na kumkaribisha ndani karibu sana baba karibu alimkaribisha asante fahima alijibu. "mama huyu ni baba yangu mzazi anaitwa mzee fahad alisema fahima kumtambulisha baba yake kwa mama seven ooh karibu sana baba karibu alisema mama. seven baba huyu mama ndiye mama mzazi wa seven na hao ndio dada zake seven wamekuja kunisalimia na kujulia hali yangu alisema fahima oooh nashukuru sana jamani kwa kuja nashukuru karibuni sana alisema mzee fahad asante baba napole sana kipindi mko hospitari sisi seven hakutuambia kamal anamgonjwa maana hata mimi hali yangu Ilikuwa mbaya kidogo aliserna mama seven nakumbuka fahima aliniambia alisema babal "ndo hivo klukweli nilipitia kipindi kigumu sana kutokna na mwanangu seven aliyokuwa anayapitia hata kumgonga huyu binti haikuwa dhamira yake naamini hakuwa sawa hata kidogo ndipo ikapelekea mpaka ajali hiyo alisema mama seven duh poleni aliuliza baba fahima alipatwa nanini seven alikuwa na mchumba yake ambaye alimpenda sana na kuishi nae pamoja lakini alimtolea barua mpaka mahallikuwa bado tu kumuoa nalengo lake siku yandoa amsapraizi sasa siku ya ndoa tushajipanga kila kitu akaenda kumfuata mchumba wake ndipo alipomkuta na mwanaume wakiwa tupu kabisa na mwanaume huyo alikuwa ni rafiki wa seven ilisikitisha sana. tangu hapo seven akili zilimruka kabisa alisema mama seven kwa majonzi sana kiasi. kwamba alitikisa hisia za watu mpaka fahima. akadondosha machozi alijisemea moyoni kumbe ndiyo maana alikuwa anamtaja cathe cathe kumbe huyo cathe ndo mnyama kiasi hiki duh kwa tukio hili kwakwell simlaumu tena kunibaka kwakweli inaumiza sana angefanya makusudi ingekuwa sawa lakini mh kwahili hapana alijisemea fahima moyoni akimuonea huruma sana seven duh kwakweli inaumiza sana aiseeee polen san kumbe kipindi anahangaika na binti yangu kumbe alikuwa katika wakati mgumu sana alisem baba fahima tena sana tu na kwakweli nampa hongera san maana alihangaika san na huyu binti ilhall anamajonzi mazito moyoni pia nashukuru sana maana asingemgonga huyu binti bes nahisi mwanangu angekuwa chizi kabisa lakini kuja kwa uyu binti kukamfanya awe na akili japo kidogo na akawa bize kwahiya huyu binti ndiy allyefanya awe katika hali nzuri alisema mama seven aiseeee nitazidi kumshukuru Mungu kwa hapa. tulipogikia alisema mzee fahad, basi wakaendelea kuzungumza fahima nae akaelekea jikoni kuandaa chakula, upande mwingine. devi alikuwa anakunywa bia chumbani kwake Il kupunguza mawazo huku skimba nyimbo za kuhuzunisha afarijike. muda huohuo mlango wa chumbani kwake ukafunguliwa akaingia cathe, devi alikasirika sana baada ya kumuon cathe "umefuata nini hapa we mwanamke alisem devi devi leo hii unaniambia nimefuata nini? yani mimi mpenzi kabla cathe hajamaliza kuingea alikula kibao kimoja cha shavu kutoka kwa devi nisije nikasikia tena ukiniambia mimi mpenzi wako ten ukomeeeee hayo mapenzi yameanza In alisema devi "unasemaje devi yani unauliza mapenzi yameanza lini kha wewe unanichezea sio sasa sikia devi usicheze na akili yangu tena nina mimba yako na ole wako uikatae cathe alisema "unasemaje wewe rudia tena alisem dev devian nimekwambia nina mimba yako alisema cathe kwa sauti hahaha ama wewe mwendawazimu kweil yani mimi nikutie mimba kinyago kam wewe shetan alisema devi shetani huongea na shetan mwenzie devtan niite majina yote anayotaka ila neno langu ole wako uikatae hii mimba hapo ndipo utakaponijuwa mimi ni nani nadhani hujaujua upande wangu wa pili alisema cathe "kwahiyo unanitishia sio sasa sikia sina muda wa kulea hiyo mimba na kuanzia leo mimi nawewe sio wapenzi mimi sina kazi nitakulisha nini kwanza unadhani sikujua kama unatembea na hakimu? sasa hiyo mimba sina imani nayo kwakuwa wewe malaya sana kwahiyo peleka kwahakimu amabye ndiye alikutia mwishoni mimi naomba unikome sawa alisema devi maneno hayo yalimuuma sana cathe akamzaba kibao devi kwa hasira sana kwahiyo hakimu ndiye aliyenitia peke yake? devi unajisahaulisja sio umesahau kama wewe ndiye ulinilaghal na kuharibu maisha yangu umesahau kama ulinipa maneno mazur mpka nikamsaliti seven" alisema cathe sikia wewe mwanamke mjinga huaribu mwenyewe ndoa yake usinilaumu mimi tamaa yako imekuponza mwenyewe mimi nilikuwa nashida nahizo mall sio wewe, tena naomba ukome kuja hapa nitakuja siku kukulla ndani usinivuruge nakwambia alisema devi hahhahahaha ety nikome sikia wewe unajifanya mjanja sio sasa hil mimba hulkwepi hata kwa sekunde sifuri I swear nakuapia devi ni moja nikuue au nikuweke jela milele huwezi kuniharibia malsha kisha kuniacha nahangaika alisema catherine kisha skafungua mlango na kutoka akiubamiza kwa hasira sana devi alishusha pumzi nzito sana hakujua afanye nini, kwao ni kijijini shamba kazi kafukuzwa na cathe ndo anamimba yake na mali kakosa kazi kakosa ndugu zake wote wapo vijijini wanamtegemea yeye ni yeye tu ndiye aliyepata bahati ya kufanya kazi hapo baada ya kusaidiwa na seven, sio kwamba devi alisoma hapana. hakusoma kabisa alitoka kijijini tu kuja kutafuta maisha ndipo amakutana na seven na kusaidiwa mpaka alipofikia hapo, alijilaumu sana kwa uzembe alioufanya alijutia sana

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

Basi bwana ikabidi nifate ushauri wa mzeee Kesho yake mapema sana .mimi niliamkia ustawi wa jamii posta. Makao makuu kabisa. Nilivyofika pale nikakuta na mwanamama pale . Anaitwa miss faustina..nilieleza kilichonileta pale na shida yangu. Na wala sikuficha kama kawaida yangu.nilielezea nilipokosea. Nilisema.lakini mwisho nililosema badala ya yote ayo mm nataka kuwa bba kwa wanangu na wanangu wanijue sasa ila princess yeye hataki ananmbia wale sio wanangu na wakati najua kabisa ni wanangu. Yule mama akanmbia pole sana na hongera kwa kujitambua sasa na kutamani kuwa baba.kanmbia ni kweli ulimkosea princess Ila kuna sheria . Na ni lazima princess ww akupe uhuru wa kuwa baba kwa watoto wako wala hakuna shida weka namba yake ya simu apa na anuani. Nikatoa pale Kisha yule mama pale pale. Akampigia simu princes. Akajitambulisha vizuri kamwambia j 5 ya tarehe 7 unatakiwa ofisi za ustawi posta. Princess alijibu sawa. Kisha yule mama kanmbia nenda njoo tareje 7. Mie nikasema sawa Apa sasa kidogo niliona mwanga. Aseee ile natoka njee princess kanitumia mbarua wa matusi uo. Akanmbia ukiiuona mguu wangu apo ustawi utaniita msenge. Daah mi nikakausha wala sikumjibu. Nikalludi home kwa lemi. Apo nipo dar nna wek 2 . Inaeendea ya 3. Nikaona apa hii kesi ni ngumu wallah . Baada ya kesho kutwa mi lazima niludi moro kuendelea na kazi kisha nitakuw nakuja tu uku kufatilia zaidi na zaidi.. basi bwana kweli kesho kutwa ikafika nikaenda fresh ustawi. Wala hakuja. Tulimsubir mpka tukachuka na simu kazima.yule mama akanmbia we nenda sie watu wa hivi tushawazoe. Akanipangia tareh nyengine ni baada ya week 2 .ndo nije . Mie sasa apo nikaludi moro kwanza kuendelea na kazi mana daaah. Basi moro uko kila siku nalala na sms za matusi za princess. Anatumia kabisa niwaache wanae .nikae mbalia na wanae. Yani kuna mda mpaka niliwaza au niache tu. Nikaushe . Ila nilimkumbuka alex. Nikaona mbona jamaa alipambana kwa ajili ya mwanae mmoja tu. Mimi niache watoto wa 3. Na najua ndo watakuwa awo awo tu.nikasema hapana uyu atukane mpka kukuche ila sikubali. Basi bwana kama.siku tulopangiwa kesho .mimi usiku nikasafiri kuja dar na nikafikia kwa lemi. Lemi alinamboa daaah kaka una kipengele.nikasema yatapita tu aya kaka hakuna noma. Basi nikalala pale kwa mshikaji na kesho yake asubuh saa 2. Mi nikawahi ustawi. Nikaingia ofisini kulikuwa na yula mama faustina na mbaba mwengine mtu mzima .akawa anasubiliwa yeye sasa yani princezs kila akipigiwa anasema yupo njiani anakuja mpaka saa 4 ndo anafika. Tena kavimba kweli kweli. Naona alipigiwa simu akapigwa mikwara ndo akaja . Basi bwana tukaaanza kuongealea kesi sasa

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

Nimeingia natetemeka mnoo. Mh kulikuwa na taa ya chemli pale. Mlmi na yeye tulionana vizuri. Akanmbia njoo ukae apa nataka tuongee. Kweli mm nikasoge nikaenda kukaa pale. Akaningalia sana yani kwa udadisi . Akanmbia mtoto wako ajambo. Nikasema ndio ajamboo. Aanmbia ni mzuri sana kuna siku nilimuona na mama pale road. Si yule mwarabu . Nikasema ndio. Akambia umemaliza chuo. Nikanyamaza kimyaa. Akanmbia naongea na ww faridah. Nikasema hapan nilidisco. Akanmbia ahaaa vp mbona umekonda hivi. Unaumwaa nn Nyieee nilimpigia magoti . Nikasema mlige nisamehe nimekukosea sana. Nisamehe mlige nomekukosea sana. Dunia ishanfunza mligeeee. Mlige akaniangalia sana kisha akatabasamu . Akanmbia ahaaa pole sana . Umeachw sio. Umeshazalishwa umeachwa. Na chuo ukazingua. Mi nikawa nalia tu pale kwenye miguu yake. Akanmbia faridah kwani kile kipindi shida ilikuwa nn. Ebu nambie ili nisiyaludie tena kwa mke wangu akaniacha pia . Nikasema japan ni ujinga wangu tu..nisamehe na utoe kinyongo moyoni mwako juu yangu kwa yote niliyokufanyia mlige .nishajifunza. mlige akaniangalia sana. Akanmbia polee sana ndo dunia . Kila mtu huwa anapitia maumivu kwa mda wake. Mlipo ya wema wangu na upendo wangu kwako ulikuwa ni upumbavu mnooo. Daah wanawake bwana. Pole sana . Nilitamani kukuona tu .mi nilishakusamehe nilipompata yusta. Ni mzuri na ana heshima na kuna sehemu anakuzidi sana . Nazani unapajua si alikuwa mwalimu wako. Daaaah rohooo inauma yani ana maanisha et kitandani Mie nikabaki kimya akanambia okey .nilitaka kukwambia ukiniona uache kijificha ficha na mashungi . We kuwa huru na maisha yako tu. Na wlaa usinionee aibu mm. Pole sana mana umepoteza uzuri wako wote. Na kwaheri . Kisha mlige akanyanyuka uyoo akaondokaa. Mie nikabaki pale nikawa nalia mnooo. Mlige kaongea maneno ya kunichosha sana na kuniumiza mnooo. Daah basi juma akanmbia pole bwana faridah . Ndo maisha ayo mambo ya kawaida tu . We fanya maisha yko basi . Ya kawaida tu aya mbona. Nikasema sawa mi naondoka . Akanmbia ngoja basi nikusindikize mpaka juu kule. Na kweli juma akaniludisha tena mpka maeneo ya nyumbani bibi mimi ndo ningia ndani. Macho yamevimba. Mh mama alivyoniona akaniuliza vp. Mbona umevimba macho. Nikasema haapana mma...mama aknmbia nambie nn kimetokea uko. mh ulikuwa unalia faridah?.nikasema ni mlige mama alikuja kuniona ndo kanambia maneno ya kuniumiza . Mama akasema sikia kaaa nae mbali kabisa ni mume wa mtu asije akituletea kizai zai apa. Nikasema sawa mie nikaingia chumbani kwangu kujipumzikia . Mana kama maneno nishapewa ya kunitosha aswaaaa . Et kwamba katoka kwa mwnafunzi kaenda kwa mwalimu anainjoy sana. Mh nikaona sawa hakuna sidaa Shoga yenu kuanzia apoo. Nikawa busy na mambo yangu. Nikamuomba mma anipe kishamba kidogo. Nikawa nal8.ma miogo. Sina habari asa nafanyajeee. Mana sielewi kabisaa. Ata mtaji wa kufanya biashsra sina. Nikaona apa nipambane tu na maisha. Basi mama akapata kipesa kidogo. Akampeleka shule rahul. Kachekechea tu yani . Ndo anaenda kushinda apo. Ile akachangamkie na wenzie tu .mana Ata sale hatukumnunulia . Ila akpoteze mda man kana miaka 4 kakubwa sasa. Basi siku iyo nakwambia nipo zangu nyumbani . Akaja mtoto anakimbia nakwambia . Akawa anaiita kwa nguvu mama rahul mama rahil mwanao kagongwa na boda bida kule bala balani. Nyieee nilikuwa nakula. Kwanza nihisi kma kitu kimenikata tumboni kama kisu kimepita shawaaaaaa. Yani 🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

Nikasema ni kweli yusta nimemfanyia mengi mabaya. Najutia na naumia . Ukipata mda mwambie anisamehe sana. Yusta akasema wee wala sitaki kumtibua mume wangu kipenzi. Yani mume wangu akisikia jina lako anapagawa . Anataamani kutapika. Na kama alikuwa anakula anasusa chakura. Na mm wala sitaki kumvuruga tu. Na apa mie nimekuja kukuomba sana ukae mbali na mume wangu. Mh nikasema yusta mm wala siwez kutembea na mlige tena . We kua na amani kabisa ya moyo. Mi nipo nyumbni najiangalizia tu. Nikikaaa powa naludi zangu dar wala sijaachikaaa. Mh akacheka akanmbia mh ila umefabaaa . Mrs tajeer mh na uhuu mwili ulikuwa unapigwa ama. Mie kimyaaa. Nikajua shoga kaja kunikashifu walaah. Akatoa simu yake kali nakwmabia kubwa kwenye screen kamuweka mlige . Akajifanya kuichezea nikajua ananirusha rohoo miee Nikamuuliza nasikia una waroto 2 akanmbia yaa nnao wawili shoga wa kwanza aa mika 3 anayefata ana 2 mlige kanizalisha haraka haraka wala hataki masihara. Wamefanana sana na mlige. Yani ukiwaona wala huulizi na mlge navyowapenda wanae sikwambii. Acha tu. Nikamuuliza mh kwann ujawabeba sasa. Akanmbia wala siwabebi wapo na dada . Mi nna miangaiko sana. Mlige kanifungulia biashara kama zote ndo nipo napambana sna yani. Mh nikasema sawa umependeza shoga angu. Niachia ata elfu 50 basi shogaaa . Basi yusta akacheka. Akasema heeeee we si umesema hujaachikaa. Looh umeisha aya bwana apa mi sina pesa nyingi nna elfu 10 hii itakusaidia. Apo katoa pochi yake. Imejaa elfu 10 . Kama zote ..akanmbia usione nyingo zina mahesabu shoga .nikasema sawa asante wala usijali ata hii itanitoosha. Mh akaaga uyoo akondoka zake. Mh mdada mchoyo uyuu. Mie nilikuwa nmpa pesa zangu kama mwehu . Ye ndo hivi. Nikajishukulia tu miee. Basi bwna zikapita week 3. Nipo ndani najifungia tu . Siku iyo mama akanmbia kwani ww kinachokufanya ujifungie ndani ni nn eeeh kwani we umeua au umeiba. Toka njee na fanya mambo yako. Ujaua mtuu. Asa utakaa ndani kila siku mpaka lini. Mie nikasema sawa mama. Ila wapi wala siendi mbali .bala balani siendi kabisaaa. Yani siendi naona aibu .na apo ndo week 3 nipo home kamwili kanaludi . Acheni kabisaaa. Basi siku iyo mama akanmbia twemde tukatembee bala balani tukaemeee . Mie nikagoma mama akanmbia ebu twende ukooo we una shida gani mjinga ww. Basi bibi mie ndo nikakubali nikavaa. Dela langu ma mtandio nikajifunika. Mama akambeba mwanangu. Tukaenda road . Na tukaemea. Tukaludi . Asa mam ndo akwa ananifanyia hivyo kila siku usiku tunaenda road najichangamshaaa kidogooo. Basi apo road mlige alipashika. Alijenga maduka kama 3 . Na kaweka wanafunzi wake tulomaliza nao. Namjua mlige ana rohoo safi . Naona alifanya kama kuwapa ajira. Hivyoo. Nilikuwa namjutia sana .ila sikuwa natamani kukutana na mlige ata kidogooo. Yani sikuwa natamani kumuona . Naogopa sana na naona aibu mnoo ntamuangaliajee mimi. Basi ndo ikawa hivyoo mpaka ikakata miezi 3. Mk sijaonana kabisa na mlige. Ila yusta namuona na mbwe mbwe jamnk mhh. Nikimuomba pesa ananipa elfu 5 au elfu 10. Nabaki kuguna tu mana mengine niliyataka mwenyew ningetulia na mlige wala yasingenikuta mieeee Basi bwanaaa . Siku iyoo sasa . Mama akanipigia simu kwamba nikachukue mchele dukani nipike kabisa mana yey yuko shamab. Basi mie nikasem sawa. Bibi mke nkachukua pesaa mpaka dukani . Nikanunua mchele na mafuta. Basi nikiwa pale napimiwa . Ikapaki gari pale. Tena kali mnoooo. Mh nageuka hivi. Na mligee ndo anashuka . Aseeee moyo wangu ulifanyaaa paaah. Mlige wal hakustuka kuniona. Aseee mi nikageuza sula yangu chapu pembeni . Alikuwa kavaa pensi nyeusi na t shrt ya kijani flani hivi kawakaa sana yani kama alitokea nyumbani vile . Hakuwa kavaa official .nyie uyu baba wala hazeeki.. ni amezidi kuwa handsome. Sikutamani kumuangalia tena naona aibu na nilivyojiishia mimi. Yule kijana alokuwa nanaihudumia .aksema boss karibu. Mlige akasema thankss. Endelea kumuhudumia mteja. Mh kumbe na hili duka ni lake wala sikuwa nimejua mm. Yule mkaka akaniwekea . Nikataka kuondoka . Mlige akaniita faridaah. Nikasimama uku natetemeka ile ya wazi kabisa. Mlige akanisogelea akanmbia ndo hutaki ata kunisalimia sio. Nikasema hapana akanmbia nilikuwa mwalimu wako pia . Haitoshi ww kunipa salamu. Nikasema shikamooo. Aakaningalia kisha akatabasamu tu wala hakuniitikia salamu yangu. Akanmbia nenda. Mh mimi ata kugeuka sikutaka ni mbioo. Mungu wangu kwa nn kaniona sas. Na nilivyoishaa mimi doooh nimejitia aibu sana mbele yake. Basi nimeludi nyumbani na nikaandaa chakura ila mawzo .mlige kapendeza nyiee kwanza ata siendani ane tena nilivyojisshia . Mh Basi usiku ndo mama kaludi na mambo mengine yakaendelea . Mwenzenu nilikuwa ni mtu wa nyumbani sana . Au siku niende shamba kumsaidia mama kulima baso nakuja kupumzika . Road sitokei aibu watu walikuwa wananisema sana jamani. Mh siku iyo bwna ilikuwa mida kama ya usiku sa 2. Nipo nyumbani na mama tunaongea. Ongea . Mana rahul alilala mda mrefu sana. Basi tukawa tunaongea ongea . Mala mlango ukagongwa .mie ndo nikaenda kufungua . Alikuwa ni mkaka flani nimesoma nae shule ya sekondari pamoja. Na ni kuna duk moja la mlige uyu kaka anaiuza anaitwa juma. Nikamshangaa kuja kwetu ule mda nikamsalimia nikamuukiza umekuja kumuona mama nikuitie. Akanmbia hapana nimekufata ww nataka tuongee kidogo jambo la siri. Mhh mie nikaludi ndani nikamwmabia mama nakuja kuna mtu anongea nae apoo. Mama akniukiza nanai. Nikasema juma yule alikuwa mwanafunzi mwenzangu. Mama aknmbia sawa Basi mi nikatoka kwa pembeni kumsikiliza juma . Mh nashangaa ananmbia mlige anakuta yupo. Uku . Kanambia nikupelek. Nikapgopa sana mm. Nikasema hpana smi sitaki kwnda. Akanmbia unaogopa nn sasa anataka kuongea na ww tu na wal sio si lengine. Ebu plsss umsikilize. Mh nikamuuliza yupo wapi. Akanmbia kwangu kule bondeni chapu tu. Mh mume wa mtu sasa .mlige nikawa naogopa jamani. Juma akanambia twende bwana . Anahitaji sana kuongea na ww. Mh mie nikawa naogopa je akinipiga may be bado ana hasira na mimi kwa niliyomkosea . Mh nikawa naogopa ila juma akanibembeleza sana . Mie nikakubali tukaenda mpaka kwa juma . Ni kajumba cha udongo chumba kimoja tu.juma akanmbia ingia ndani yupo umoo nakungojaa mh nikawa naogopa ila nikajikaza nikaingia na kweli nikamkuta mlige ameekaa juu ya kitanda cha kamba. 🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

MWANZO "Nikiwa nimeketi kwenye benji mimi pamoja na wenzangu kama ishirini hivi nnje ya kampuni ya All Over iliyopo Mikocheni B , ikiwa ni majira ya saa moja kamili asubuhi ambapo ofisi hio bado haikufunguliwa "Sijui itakuwaje leo kampuni kubwa hili halafu tupo kibao sijui tutapata kazi jamani?? Jua kali hili mtaani pagumu hatarii, tutapata tu mahi hata usiwaze, hayo ni maongezi ya wadada wawili walioketi pembeni yangu" Ni wazi nao walikuwa wakisubiri interview kama mimi tua, niliishia kuwaangalia kisha nikatabasamu mithili ya mtu mwenye akili timamu na mwenye kujiamini sana🙌kumbeee ni huzuniii Ukiniangalia vyema nimekati huku miguu yangu nimeibana, kutokana na kutetemeka kwa muda mrefu na sikutaka nijulikane, si mara yangu ya kwanza kufanya interview ila nilishangaa sana kwanini naogopa sana leo Tulikaa nnje kwa muda mrefu sana huku tukibadilishana mawazo ya hapa na pale Ikiwa ni majira ya saa mbili na nusu tukiwa bado tupo nnje tumekaa, alikuja mdada mrefu, mweupe , smart mzuri, aliyevalia suti nyeusi pamoja na kiatu kirefu cheusi pia "Habari zenu, nifuateni mkiwa kimya, dada yule alizungumza" Wote tulishangaaa kwa kuangaliana kwa kiulizo na hataka sana tulinyanyuka na kumfata nyuma Tulifika hadi nnje ya ofisi fulani ambayo tulipatiwa viti na kukaa mahali hapo Tukiwa tumekaa kwa mbali alionekana kijana mmoja wa makamo, handsome🥰sijapata kuona, mrefu, mweusi, ana kifua cha mazoezi japo alivalia tshirt na kipensi tu lakini wadada wote tulijikuta tukimtazama bila kuchokaa Ni ajabu sana na tulizidi kushangaa pale tulipoona anakuja upande wetu😳😳 "Acheni kumshangaa hivo ni boss wetu huyo, yule dada aliyevaa suti alizungumza" 😳😳😳Ni boss mbona ni ajabu hii nilibaki nikishangaa tu Baada ya dakika kadhaa yule boss alifika hadi pale tilipoketi "Mpo pouwa warembo?" Alitusalimia 🤣🤣Baadhi ya wadada walijichekesha na kuonesha shombo kama wana washwa washwa na upwiru Mimi sasa hata sikuwa na habari nae nilijitia mkaxi siku hio Kwa mbali nilimuona boss akiniangalia ila sikutilia manani Alivoingia ndani tu ya chumba kilichoonekana kuwa ni ofisi yake , tukaanza kumsema sasa🤣Si unajua mambo ya girlz umbea kunioga🙌🙌 "Jamani mzuri huyo hatariii, yaaani yupo fire, ila vaa yake sijaielwa hafai kuwa bwana angu😳,mara mwingine akasem, yaani huyu akikutomb*** unaweza ukapaa kabisa. Khaaa🙌🙌mie nilibaki kushangaaa tu Sijui ikawaje nikajikuta nimeropoka" mie natamani awe mume wangu jamani🤣🤣🙌🙌" Wenzangu waliangua kicheko mpaka basi, Muda huo huo boss alitoka nnje na tilivomuona tu tukakaa kimya kama sio sisi vile Boss huyo akaanza kutuangalia mmoja mmoja kuanzia juu mpaka chini, ni kama vile alikuwa akituthaminisha mavazi , muonekana pamoja na usmart Alituangalia wote kisha akasimama na kutabasamu "Wewe uliyevaa juu kijani chini nyekundu ndio utakuwa PA wangu nyie wengine nitawapa nafasi nyengine, boss aliongea hayo, kisha akasema nifuate mrembo" Mie nikawa najiwazia tu uyo PA anabahati hatari ndo nshakosa mume mie🤣 Nikiwa sina hili wala lile nikashangaa watu wote wananitazama mimi,tena sio kutazama kule ni kunikodolea mimacho kodoo Friji langu likayeyusha barafu ikabidi niwaulize tu Nyie vepee ?mbona mnanitazama hivyo?? Si umeitwa wewe na boss au sio wewe mwenye kijani na nyekundu?unajizima data au ndo kuringa kisa umechaguliwa?yule dada aliniuliza Kheee ni mimi😳😳nikabaki nikishangaa tu,ikabidi kwanza nijikague Khee😳kumbe ni kweli nimevaa kijani na nyekundu uwiii🙌mbona kama hoho na nyanya si kachumbari hii jamani,yaani mawazo yangu yote nimevaa suti nyeusi ama kweli yanipasa kuhama mchikichini kwenye chumba cha giza mbwa mimi Ikabidi niinuke haraka haraka na moja kwa moja nikaelekea kwenye ofisi ya boss Ile naingia tu nikamkuta ana😳😳........ We unahisi alikuwa anafanya nini?? Nilimkuta akivua nguoo nyie jamanii🥰boss anakifua kizuri hatari Nilijikuta nikimuangalia kwa mtindo wa kumkagua si tu kumuangalia nilijikuta hadi nameza mate jamani🙌🙌 Mwanamke gani wewr unamuangalia mvulana akibadili nguo? Au unataka kunibaka wewe?? Boss alizungumza Yaani mimi babe face hivi ni mwanamke na wewe mkubwa hivo ni mvulana una maanisha nini?? Niliuliza huku sauti yangu ikitetemeka Unasemaje wewe?? Kwahiyo unataka kunambia mimi ni mwanaume, hapana sio kweli mimi ni bikra kama joseph wa bikira maria Ni mwanaume mtakatifu sana 😳😳Jamani huyu boss vipi mbona kazi ninayo mimi 🙌🙌 Nikiwa nawaza yangu kichwani nikasikia "Njoo hapa uiname mbele yangu" 🙌🙌🙌 Itaendelea STORY TAMU HIII USIKOSE MDAU WANGU MY CRAZY BOSS 02 Niiname mbele yako kivipi boss mbona sielewi nini unamaanisha lakini? Nilijibu huku nikitetemeka akili yangu yote ikiniambia leo natatuliwa marinda sio bure🥲🥲. Chagua mawili kuja hapa uiname au uache kazi sina muda wa kubembeleza. Lakini boss wewe🥲,huyo nikajisogeza kama sio mie nlokuwa naogopa nikajiinamisha binuu "Kiuno chako ni kidogo kama cha dondora hauna tako kabisa , miguu ni midogo kama stiki huwezi kunishawishi hata nikifumba macho, boss aliongea." Sogea hapa nikuinamishe vizuri 😳😳😳Uniinamishe kiaje na nimeinama?jamani😁nilijikuta nimewehuka gafla🙌🙌 Sogea hapa nimesema😡😡boss aliongea kwa kufoka hadi nikaogopa ,nikamfuata hadi aliposimama nikainama tena kama mbuzi anakula majani🥲 Gafla nikashangaa boss kaja mbele yangu kanisimamia; " Nifunge kamba za viatu ndo nilichokuitia,alizungumza". 😳😳😳Nikabaki nakodoa kodo siamini nini nakiona Unanichelewesha ,fanya haraka tuna safari".Boss alizungumza. 😳😳Safari siku ya kwanza kazini??🙌eeh Mungu linda marinda yangu weeh,nikajiinamisha nikamfunga nilipomaliza nikainuka . Nifuate na utembee vizuri ,siwezi kuwa na sekretari anatembea kama ana mabusha hivi😳😁😁jamani🙌🙌. Nilimfata nyuma nyuma kama mkia njiani wafanyakazi wote walikuwa wanamsalimia yaani nikajihisi natembea na bonge la jitu halafu mie kinzi maana hata sionekani Tuliongozana hadi kwenye gari ,akanifungulia mlango kisha na yeye akaingia "Tunapoeleka sihitaji mdomo mdomo kaa kimya na ufanye kikupasacho". "Sawa boss".Nikaitikia Safari ilisonga hadi nnje ya duka kubwa la nguo huko sinza mie tena hata sikupata tabu kupajua kutokana na uzururaji wangu. "Shuka nifuate".Boss alizungumza Tuliongozana wote hadi ndani ya duka hilo si haba ni zuri haswa,nikajiona nipo Marekani mwenyewe🙌🙌na vile nimeshazoe mitumba ya bukubuku ilala aaaah hunambii kitu "Mfuate huyo dada na umtii,boss alizungumza." Nami nilimfuata huyo dada kwa nyuma akaniingiza hadi ndani ya chumba hiko kikubwa halafu kina mapazia meusi "Dada naomba usinibake wala kuniua mimi ni binti mtiifu tu hata kama umetumwa na boss naomba tafadhali usinifanyie hivyo mi nna familia".Nilijikuta najihami kila nikikumba nilivyoinamishwa naishiwa pawa uoga unazidi kunitawala Yule dada akanisogelea karibu nikajikuta napiga yowee"mamamaaa yalaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!" "Ni nini hiii??we unafanya nini kwenye biashara ya watu??" Si mwingine bali boss wangu alionekana akihema kwa kasi huhuhuhuhuhu Nilivomuona tu boss,ukijumlisha hasira na jinsi nilivyopayuka nikamponyoka huyoo ,kilichoendelea sikijuii😁 Itaendelea MY CRAZY BOSS 03 SONGA NAYO Njianj sasa akili yangu yote inawaza kuhusu kule kila nikiwaza nilivyoharibu naishiwa pawa🥲🥲"Hivi ushawahi kumpiga mwalimu na jiwe akakuona halafu kesho yake ukaanza kuwaza unaendaje shule??".Wahuni najua mnanielewa vizuri Yaani njia nzima nipo kama taila nikajikuta natembea kwa mguu kutoka sinza hadi mchikichini ,sielewi nilifikaje ila ndo hivo nikafika kwenye chumba changu cha giza moja kwa moja nikalala maana ilikuwa jioni tayari sikukumbuka hata kubadilisha kachumbari yangu mie nkalala tu Nakuja kushtuka kushakucha jamani mimi!!!!!😳😳itakuwaje sasa sijui nikoje jamani??ila kazi yenyewe nishaharibu acha tu niendelee na maisha yangu mbwa mimi Basi nikajikongoja hadi kwa mamantilie hapo mchikichini nilipokuwa nafanya kazi mwanzo Mama ashrafu shikamoo?? "Marhaba hujambo?" "Sijambo mama nimekuja kusaidia vyombo" "Karibu ila ile kazi yako vipi au ushamtongoza boss wako na wewe?" Hee mama ashrafu hivi unaniona mimi ni wakutongoza kweli,kwanza boss mwenyewe wa kumtongoza yuko wapi? "Ni mimi hapa,nifuate ". 😳😳Khee huyu nae kafuata nini hapa jamani,Mungu wangu sijui kasikia nilichoongea yelewiii nimeisha mie uwiiii Nikapata wazo wakati boss anaelekea kwenye gari mie nikasimama huyoo nikaanza 🏃🏃haraka huku nayashika matako yangu kwa hofu ya kutatuliwa marinda Wakati nakimbia nikashtukia nimeshikwa mkono ila nageuka nakutana na boss😳😳 "Boss nisamehe jamani nitunzie marinda yangu ,mimi baba na mama maskini ndomana naishi mchikichini boss marinda yangu." " Nifuate."Boss alizungumza Sikuwa na ujanja tena zaidi ya kumfata tu maana hata kama ningekimbia lazima angenikamata 😔marinda yangu jamani marinda yangu mimi Nikapanda gari huku boss akiwa kakaa pembeni yangu ananitazama kwa hasira balaa😡mie nazidi kuogopa kila nikiwaza huyu anaonekana sio mzima anaweza nifanya lolote nabaki hoii Safari iliishia nnje ya jumba kubwa jamani linaonekana kuwa ni kasri la malkia elizabeth,mara nikamuona boss anashuka ananifuata nilipokaa nyie mie nkazidi kuogopaa uwiii🥲🥲 "Shuka".alizungumza Mie nikawa naogopa sana kila nikiwaza utekaji haramu kwenye tv kwenye haya majumba makubwa mie hoi jamani🙌🙌naogopa nikabaki nashangaa tu😳natetemeka kama jenereta bovu mwenzenu "Mbebenj muingize ndani ,boss alozungumza". Mara nikawaona vijana wawili wamejazia kama mudi mnyama wa harmonize wananifuata "Boss natembea a natembe mwenyewe🥲🥲!!!!!!!!!!!!!!." Nilipayuka sijui sauti ilitoka wapi Boss akageuka akanizoom kisha akaingia ndani,nikajikaza kutembea kama kobe nanyata huku nazoom mazingiraa,jamani kuna swimming pool ya kipepeo halafu ni ya kijani huku kuna wanyama kibao nyani,mbwa, kuku . Nilivoingia ndani sasa😳😳😳yelewi ikabidi nisimame kwanza nishangae kumbe mbinguni ipo duniani??Nyie nyumba nzuri yaaniangekuwa mume wangu huyu🤗🤗🤗nikajikuta nachekacheka "Bila shaka akili yako ina waza ngono,kaa hapa kuna kazi nimekuitia,boss alizungumza" Nilikaa huku nikiwa naogopa moyo puuh puuuh boss mkali hata hacheki mmmmh "Halafu sikujitambulisha mie mwenzenu naitwa JOYCE ADAM nimezaliwa Tanga ila wazazi wangu wote walifarikigi hivyo nikadandia magari ya mzigo hadi dar,kizuri nilisomaga hadi chuo ,nilivomaliza ndo yakajiri yalojiri hivo mi ni yatima na kwa sasa naishi mchikichini chumba cha mlango mbovu maana giza nimelizoea,ni hayo tu. Itaendelea MY CRAZY BOSS 04 SONGA NAYO "Nataka unifundishe kutanua ni muda sana sijatanua ndomana nimekuita hapa, boss alizungumza." 😳😳Kwanza nikashangaa jamani , kutanua?? Yaani mimi nimfundishe kutanua kivipi jamani natanuaje mbona ana balaa, niliniongelesha kisha nikasimama "Sawa boss , niliitikia ". Ntafanyaje sasa nyumba kubwa sioni hata pa kutokea nini nifanye😔 "Pascal leta zile file nataka huyu anitanulie baadhi ya idea ". Kwanza unaitwa nani? Aliuliza. "Joyce Adam , nilijibu." Sawa, naitwa Erick Hizi hapa boss, kijana mmoja alieonekana kuwa mlinzi wa boss Erick alifika na kumkabidhi file boss huyo Boss erick alisimama na kuanza kuja upande niliokuwa nimekaa, nilibaki nikishangaa sana kwani sikuelewa nini lengo lake, alipofika karibu zaidi nilianza kurusi nyuma huku nikifumba macho kwa uoga. "Siwezi kukufanyia kitu, ulivyomchafu na mdomo mweusi , em njoo hapa unitanuliea idea". Ni kweli nna mdomo mweusi ila si mchafu ni maisha tu,nilijijibu kimoyomoyo kisha nkkamsogelea na kumsikiliza Sijui nini kilijiri nilijikuta nimelala miguuni mwa boss giza likiwa limetanda nnje , nilikurupuka haraka haraka huku nikiangaza huku na kule, Nilinyanyuka na kutaka kutoroka haikuwa bahati yangu milango haikuwa wazi na sebleni palikuwa giza "Utalala hapa leo kesho tutaongozana wote kazini sina muda wa kuja kukutafuta tena , boss alizungumza hayo kisha akarudi kulala kwenye kochi".Nilibaki nawaza sana amani sina kila nikiwaza kutatuliwa marinda, mwenzenu sio bikira ila marinda yangu nayapenda sina hela ya pampasi Nilikaa macho hadi asubuhi ambapo boss akiamka na kunionesha chumba cha kujiandaa "Fanyia mambo yako humu na iwe haraka". Sawa boss niliitikia kisha nikaingia bafuni kuoga, nilipotoka nilikuta gauni nyeusi pamoja na heels, 😳😳Mungu wangu tangu nizaliwe sijawahi kuvaa hivi si ntachekesha mimi lakini😁ngoja nivae ntajua huko huko Buana weeh nikatinga 😁viatu na kagauni buana🥰nikasogelea kioo anhaaaa nyieee butterfly mnazijuaa sile zinazokujaa ukijamba ushuzii zilee yaani kama unapaa ,mashallah jamani mie mzuri japo tako sina🤗 Wakati najiangalia na kujisifia kwa mbali nilisikia hatua za viatu zikiingia chumbani kwangu,sikujali niliendelea kujiangalia hapa na pale Nifuate,aliongea boss ambaye alionekana kunitazama kwa muda ,nami nilimfuata kwa nyuma Hio tembea sasa😁😁kama nna busha katikati ya mapaja nyie hivi viskuna vina watu wake buana sio mie😁 Nilijikaza hadi kwenye gari la boss ,tukaingia na safari ya kuelekea kazini ilianza,ilichukua muda mfupi tulifika ,nilianza kushuka mimi kisha nikamfungulia boss mlango "Oooooh nimechoka embu nishikie hili koti kwanzA,". Lakini boss ndani una vest tu sio proffesional kabisa nilizungumza "Eti ehee kachumbari??😁😁alivojibu hivo ilinilazimu kukaa kimya kila nikiwaza nilivyo vaa juzi🙌🙌". Anyway nipe ,angalau niwe tofauti,nikamkabidhi boss koti kisha safari ya kuingia ndani ikaanza Wakati tunaingia macho yote ya wafanyakazi yapo kwangu,kila mtu anakenua kila akiangalia tembea yangu😁si wao tu 😁ni huzuni Mara nikashtukia nimebebwa juu juu si mwingine bali boss,wafanyakazi wote wakawa wananing'ona "Boss nishushe mbona hivyo lakini,kazini hapa" Nilijaribu kujitetea lakini boss hakunielewa aliongozana na mimi hadi ofisini kwake kisha akafunga mlango na kuniweka kitini Nnje wafanyakazi wanasikika wakiongea,"yaani huyo dada ni wazi tu analiwa na boss mtu hana mvuto wala nini awe secretary we unahisi nini kama sio kugawa mnato" Upande wa ofisini tulikuwa mimi na boss ambapo kila mmoja wetu alikuwa akimuangakia mwenzake hasa boss Erick alizidi kunitazama kwa hasira nilijikuta nikitetemeka sana kwa uoga " Nisamehe boss nisamehe sana boss sirudiii tena".Niliona isiwe soo ni heri nijishushe yaishe Unalijua kosa lako mrembo??boss aliuliza. Huku akitabasamu Nilikaa kimya bila jibu la kumpatia kabisa " Anyway uvae raba kwanzia kesho ".Boss alizungumza hayo kisha akatoka nnje ya ofisi nami nikamfuata " Leila njoo mara moja,boss alizungumza huku akimnyooshea mkono binti aitwaye leila". Abee boss. Em geuka nyuma mara moja nipe 360° Leila alizunguka huku akijichekesha chekesha ni wazi alikuwa akimtaka boss " Una mchumba?au umeolewa?.Boss aliuliza Ha.......hapana. Kwanini huna mchumba hadi umri huo na ushaanza kuzeeka?boss aliuliza. Bado namsubiri boss,leila alijibu "Anyway pengine atakuja ila usiwaze kuwa na mimi hauna maajabu yoyote wala uzuri wa ajabu sijui unapataga wapi muda wa kuwakosoa wengine." Nenda kaendelee na kazi zako Tuliongozana mimi na boss hadi kwenye kikao huku nikiwa natabasamu kila nikiwaza boss alivyonikingia kifua leo Upande wa leila alionekana akilia na kujawa na hasira huku akila kiapo cha kunikomoa maana mimi ndo sababu ya yeye kukataliwa na boss😁 " Tulifika hadi sehemu kikao kinafanyika boss aliniamuru nikae pembeni yake kisha kikao kikaanza". " Mauzo ya kampuni yameongezeka sana nj wazi tunahitaji kuboresha mbinu za mwanzo ili tuibuke vinara wa sekta hii.Alisema Kijana mmoja mtanashati alieonekana kuwa na cheo fulani". " CEO Erick waweza kutoa maoni kwenye hili kama unaweza lakini?,yule kaka alimuuliza boss kwa dharau". Nilimuangalia boss kwa macho ya uoga uoga ya kuibia ibia nikisubiri nini atajibu " Kama utaweza kubananisha miguu yako hapo katikati na kufocus kwenye akili yako ya kichwani na si chini kampuni hii itazidi kuwa na mauzo".Boss alijibu Watu wote walicheka sana ni wazi hakuna alieheshimu jibu lake. "Nikimaanisha ili kampuni iende sawa zaidi ya kasi ya mwanzo , mbananisho wa ratiba , wafanyakazi na kila kitu kinatakiwa kiwe kwenye mpangilio unaoeleweka na mzuri, mfano muda muutumiao kucheka mnapaswa kuwa kazini".Am done boss alizungumza kisha akanyanyuka na kuondoka huku nikimfuata kwa nyuma Wafanyakazi wote waliobaki kwenye kikao walionekana kuwa kimya huku kila mmoja akitafakari majibu aloyatoa boss Nikiwa narudi ofisini na boss Erick nilijikuta nikiyatafari majibu yake aloyatoa japo jibu la kwanza lilinipa hatihati. "Hivi boss una maana gani na kusema kichwa cha chini jibu lako la kwanza sikulielewa kabisa,niliuliza". "Huwezi kulielewa kama unakichwa cha juu peke yake,mpuuzi kama Frank na wale wafuasi wake wengine wamenielewa ,by the way am their boss🤗. Boss alizungumza hayo huku akiingia ofisini nami nilimfuata " Inaonekana una uwezo mkubwa sana wa kusoma akili ya mtu, hivi ukiniangalia unahisi nawaza nini? Boss aliniuliza." "Unawaza mafanikio ya kampuni, nilijibu kwa kujiamini". Hapana. " Nawaza ngono".Boss alijibu 😳😳Ngono ?? Usishangae sana ,ni jambo la kawaida kwa binadamu wenye vichwa viwili mwilini mwao,puuzia hilo. Itaendelea MY CRAZY BOSS 05 Siku zilisonga huku nikiwa nazidi kujifunza namna ya kuishi na boss wangu nakucopy tabia zake Kama ilivyokawaida ilikuwa majira ya saa 11 na nusu ambapo nilifika nyumbani kwa boss mikocheni B, sikuwa mgeni mahali hapo nilimuandalia nguo pamoja na vifaa vyote avihitajivyo kazini kama saa na kila kitu Baada ya dakika tano boss alitoka akiwa amekwisha vaa hivyo nikamsaidia kumuweka sawa kisha tukaongozana hadi kazini "Una kikao na wafanyakazi saa saba mchana ni lazima uwasili nilizungumza". Kitu cha lazima kwangu ni kupata mke wa kuoa kwa sasa si vikao , alijibu. Lakini boss? Nimekutouch enhee? Anyway nitahudhuria unikumbushe , alijibu kisha akaingia ofisini kwake "Nikiwa ofisini nafanya mambo yangu iligonga kengele kutoka ofisini kwa boss ikiashiria kuniita". Haraka nilinyanyuka na kukimbilia ofisini humo "Nimekumiss, Joy em kaa hapa kwanza tupige story mbili tatu, boss alizungumza". Sikubisha nilikaa kama ivyoniamuru. Hivi msichana ukitolewa bikra huwa mnajisikiaje? Eti nambie joy? Maumivu . Nilijibu kifupi. Ohooo kumbe basi leo nilikuwa najifunza kuhusu hilo tukiachana na magari nna mpango wa kugundua kipako maalumu cha kupunguza maumivu hayo, boss alizungumza Kwanza bikira ni nini? Ukiachana na jina la maria nyie mna nini hadi mnaitwa mabikira? 🤣🤣Kwanza ilinibidi nicheke maana nilivumilia nikachokaa "Hivi boss unanitakia nini lakini na haya maswali mimi?" Niliuliza Hapana nijibu tu , joy sasa kama si wewe ntamuuliza nani? Okay, basi nikaanza kumuelezea hapo hadi nkachoka "Anhaa kumbe ubikra ni ngozi? Ina maana mafuta yatafaa si ndio??" Nilimuangalia boss😳😳halafu nikaondoka maswali yake ya kipuuzi yalinimaliza nguvu. "Joy ina maana na wewe bado una hio ngozi? Nikiwa naondoka nilishangazwa na hilo swali" . 😳😳Jamani🙌maswali haya hapana jamani nikabaki naduwaa bila majibu kabisa Okay inaonekana huna itakuwa rahisi sana kwangu sitaumia kama ulivyosema🤣🤣uwiii All in all huyo ndo boss buana ana sasampa la kwendraa akitoka nnje serious balaa ilaaaaah🙌🙌😁 Itaendelea

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

AKIWA UWANJANI. ⚠️🚫 Mchezaji wa Benfica alimwita NYANI!!! ‼️ VINI AKATAA KUCHEZA!! 😤❌

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO....... Kazi ya ualimu inahitaji moyo sana jamani, msione kwamba watoto wenu wanafaulu vizuri tu lakini upande mwingine huwa wanapitishwa 😂 Sijui mnanielewa bandugu, yani kama sisi walimu wa kiume ni shida tupu 😅 maana kuna muda unajikuta tu umempenda mwanafunzi wako Harafu sasa huyo mwanafunzi yeye anachotaka kutoka kwako ni maksi tu aisee 😂 bana bana mimi yalinitokea jamani Yalinitokea zaidi ya mara tatu nikatoa rushwa ya maksi 😅 hii siku sitaisahahu binti alinihaidi nikimwekea maksi kubwa kwenye mtihani wake atanipa penzi ambalo sijawahi kupewa maisha yangu yote Kwakuwa mimi nilikuwa mzee wa kupenda sana totozi na mademu sikupoteza hata muda yani fasta nikawa nimemuwekea maksi 100 😂 Huyu binti mshenzi kabisa, popote alipo nakuapia nikikukamata sitakupiga bali nitakupeleka geto ambapo nitakushughulikia vibaya mno pamoja na hasiira nilizokuwa nazo Za muda mrefu ambazo alinidanganya aweee nahakikisha hatembei kabisa 😂😂 Hahahaha😂😁 ndugu zangu na watu wangu leo nawaletea bonge la simulizi, simulizi hii inanihusu mimi hapa Henry Ooh au sir Henry 😁 Sasa Henry mimi ni mwalimu wa shule ya secondary hapa mwanza, hii shule bana ni shule ya zamani sana yani ya kizamani ila saivi imebadilishwa muonekano wake inapendeza sana Na inaonekana kama shule mpya ambayo imefunguliwa siku chache zilizopita lakini hii shule inasadikika imesomesha wanafunzi wengi mno ambao baadhi yao wengine wameshazeeka kabisa 😂 Mimi ni mzaliwa wa songea mjini mjini huko, ila nipo mwanza kwa sababu ya kazi kama ambavyo nimewaambia mimi ni mwallimu ndio kwanza nimefika kwenye jiji la mwanza Jiji ambalo linasifika kwa kuwa na fujo nyingi, aisee yani ninakaa kwa tahadhari kubwa nisije nikayaboronga mie ikiwa sina ndugu kabisa kwenye huu mkoa 😆 Eeeh bado sijajitambulisha vizuri, okay love jina langu kamili ni HENRY NESTORY nimezaliwa mkoani songea, mama yangu ni mgonjwa wa miguu ambayo imekuwa ikimsumbua kwa muda mrefu sana 😢 Baba yangu yeye alishafariki nikiwa kidato cha tatu 🥹 maisha yetu kule nyumbani ni maisha ya kawaida lakini kuna muda yanakuwa magumu Sie nyumbani tumezaliwa wawili tu akianzia dada yangu Helen ndio namalizia mimi, yes mimi ndio rast born lakini inasemekana kwamba mama yangu alikuwa anataka kuongeza mtoto mwingine Lakini alipoanza kusumbuliwa na tatizo la miguu akaairisha 😂 wazazi waacheni tu kama walivyo, dada yangu Helen ni muuguzi kwenye hospital iliyopo huko huko songea ni mtu ambaye hashindi nyumbani . Kwa sababu ya kazi aliyonayo maana kuna muda anakuwa na shift ya usiku so hapo nyumbani tukaamua kumuweka mdada wa kazi awe anamuangalia mama Basi maisha yanasonga mbele tukipata kidogo tunamnunulia mama yetu zawadi ili na yeye ajisikie furaha maana amebaki mpweke kweli 😢 Haya upande wangu mimi ndio kwanza nimefika huku mwanza so nimejipangia ka chumba na seble ambako nimelipia karibia miezi tisa huko, ili kasukume maisha mbele Sehem ambayo nimepanga mimi ni zile nyumba ambazo ujenzi wake ni wa gharama sana, yani nalipia elfu 50 kwa mwezi huo mmoja 🥺 nililazimika tu kupanga hapo maana sikupenda kabisa kujihusiha na nyumba za uswahilini Maana kule kuna fujo sana nasikia usiku unatangiziwa wakati wa kwenda kuoga unapigwa makasi ya mbavu 😆 kitu ambacho sikitaki na nakiogopa sana Sasa Henry mimi nsio kwanza ni siku ya kwanza toka nipange kwenye ile nyumba ambayo ina kila kitu maji yalikuwepo, umeme bila kusahau bafu na choo yani kilikuwa chumba kizuri 🥰 Basi nilichofanya ni kununua kitanda changu cha bei sana kile ambacho ukilalia juu yake basi lazima usahau jina lako la ukoo kwa muda 😆 Nikanunua na neti zile originally wadada wanapenda kuita sijui neti za zipu 😂 basi nikanunua na gas na ndoo kubwa mbili na sufuria kama tatu hizi na sahani na mwiko Eeh ili niwe najipikia maana sipendi kula hotelini kabisa, napenda kujipikia ndani, na nikipika chakula alooo 🥰🥰 nyumba nzima inanukia Baada ya kila kitu nilipanga vizuri kabisa bila kusahahu feni nayo nilinunua so vitu vile vizuri vilikaa chumbani harafu harafu ndoo na gasi niliweka seblen Seble ikabaki kubwa haina hata kazi ya kufanya, 😆 basi baada ya kila kitu nikaoga na kupannda kitandani maana nilikuwa nimeshakula so kitumbo changu kilikuwa ndi Muda huo ilikuwa saa 12 jioni na ilikuwa siku ya jumapili so kesho nilitakiwa kuriport shuleni, basi Henry mimi nikaingia online Ambako nilianza kufatilia shule ambayo ndio nilitakiwa kwenda niliangalia na ufauli wa wanafunzi, kweli hii shule ilikuwa inafaulisha vizuri tu maana kwenye mtihani wa taifa wa form four ilishika nafasi ya 28 kitaifa Basi kijana wenu nilipekua na ambavyo havikutakiwa kabisa baada ya hapo nikaingia whatsapp na kumpigia dada yangu, kwa kuwa siku hiyo ilikuwa weekend dada alikuwa nyumbani So tuliweza kuzungumza vizuri pamoja na mama yangu, tulipiga sana story nikiwa naongea na ndugu zangu nikaisikia mlango wangu wa seblen ukigongwa Kwanza moyo ukafanya puh, nikajua tu wazambuli wameingia, nyie hili neno nimelisikia baada ya kufika huku ngoja niwaeleweshe WAZAMBULI, wazambuli ni kikundi cha watu flani ambao wanajihusisha na uhalifu kama wizi, kubaka, unyang'anyi, n.k Kwahiyo kwa huku kibaka anafahamika kama mzambuli, mzambuli sio mbaba mkubwa, yani ni vijana wadogo sana wengine bado wanafunzi kabisa harafu wana vuta bangi ile mbaya 😅 Nazani mmenielewa sana tuendelee, sasa kitendo cha mimi kusikia mlango wangu unagongwa nikajua tayari nimevamiwa.. Ikabidi kwanza nishuke nikajihakikishie, kweli mwanaume nikashuka huku nikiwwa nimevaa pensi huku juu nikiwa kifua wazi, nilisogea taratibu mpaka kwenye mlango na kuchungulia kwenye kitobo cha kupitishia funguo Nilimuona mdada akiwa amesimama huku mkononi akiwa amebeba sahani, sikusubili mara mbili mbili nikafungua mlango 😅 "Habari yako..??" Alinisalimia yule dada. "Salama vipi..??" Nilimjibu huku nikimkagua juu chini kana kwamba nina msican 😂 "Salama, ah kuna chakula nimekuletea hiki hapa kwa sababu ndio kwanza umehamia hapa hata vyombo hujanunua so nimeona sio mbaya kama nitakupa angalau utulize utumbo.." ( 🙄 kwahiyo unanifanya mimi mjinga sana siwezi nunua vyombo au kiherehere ndio kimekujaa, we kama unanitaka tu si useme. ) Nilijiwazia, kisha nikazungumza "Aaah hata usijari dada yangu nimeshiba.." Niliongea huku nikitaka kufunga mlango akanizuia "Aah sio hivyo bana, unajua hiki chakula nimejitahidi kupika kwa ajiri yako jirani yangu so pokea hata ukila kidogo tu ..." ( mbona unanilazimisha hivyo, isijekuwa ukawa umeniwekea nanii zako huko harafu unipe mimi nile ili nikupende ) "Aah.." Niliishia kusema hivyo "Pokea kaka yangu tafadhali.." Dada alikuwa analazimisha huyu, ikabidi nipokee tu kisha nikakitazama kile chakula, kilikuwa wali samaki. "Hebu subiri kwanza.." Nilimwambia baada ya kuona anataka kuondoka, basi mdada wa watu akageuka kisha akaniangalia "Kula kwanza vijiko viwili hapa.." "Eeh??" "Nimesema kula vijiko viwili hapa isijekuwa umeniwekea sumu bure...." "Aah kaka angu usifike huko me ni mtu mzuri tu na ninasali kabisa so kuwa na amani.." ( kwahiyo kama unasali ndio huwezi kumuwekea mtu sumu, hebu shika chakula chako bwana..) Nilijiwazia huku nikimrudishia chakula chake, huyu mdada hakutaka maneno mengi alichofanya alichota kijiko cha kwanza na cha pili akala kisha akanitazama "Haya umeamini sasa.." Sikumjibu nilichofanya ni kuchukua kile chakula kisha nikamwambia asante na kufunga mlango, nikarudi chumbani nikiwa na hasira sana kwa sababu ya huyu dada kuniletea chakula Ambacho kwa upande wangu nilikuwa nimshiba, nilifikilia kukimwaga roho iliniuma basi ikabidi nile hivyo hivyo, jamni kumbe mapishi ya mwanza ni mazuri hivi jamani 🥰 Yani nilikuwa na mpango wa kula vijiko hata vinne ili kumlizisha lakini kwa utamu wa kile chakula nilikimaliza chote 🥰 nilikula huku nikimsifia mpikaji, jamani huyu mdada anajua kupika.... ITAENDELEA...... SEHEMU YA 2 SONGA NAYO..... Baada ya kumalliza kula niliiosha sahani vizuri kisha nikatoka kumpelekea, hapo nilipokuwa naishi kulikuwa na wapangaji watatu ambapo ni mimi na yule mdada lakini na mtu mwingine aambaye simfaham bado Basi mwamba nikagonga mlango, akafungua akiwa amevaa kinguo kifupi hicho walah shetan naomba uniepushe mbali 😅 Nami bila kupepesa macho nikiwa mkavu kama sijaona kitu nikampa sahani yake na kutaka kuondoka akazungumza "Jamani si ungeacha tu nikaosha mimi.." ( 🙄 we mdada kuwa na mipaka so ulitaka nikuletee sahani ikiwa chafu ili uniroge ) 😂😂🙌🏾 Katika ukuaji wangu wote ninaamini sana uchawi upo, yani ninaamini asimia 80 kuwa kuna watu wanachukuliwa misukule kabisa so nilikuwa makini sana Nilichofanya mimi ssikumjibu yule dada nikashika njia na kuingia zangu ndani, nikimuacha akiwa ananiangalia tu.... Siku nyingine ikashika nafasi niliamka saa kumi na moja, 😆 ndio lazima niwahi maana ndio kwanza nina report, basi kijana wenu nikaingia bafuni na kuoga Nilivyomaliza kuoga nikapigilia pamba zangu kali sana, katika siku ambayo nilijiona nimependeza basi ni hii siku aisee maana niliwaka kama moto 😆 na kibaya zaidi nina body nzuri awee mdada yoyote akinitazama hawezi kuchomoka walah Basi Henry mimi nilikuwa tayari nikajipulizia na unyunyu 🥰 yani nilionekana kama mtoto wa kishua, saa kumi na mbili na nusu niko stendi. Kwa sababu sehemu niliyokuwa naishi ilikuwa na umbali kidogo na shule ilipo so niliamua kuchukua boda huyoooo mpaka Muhandu Seco. Kwa mara ya kwanza nikakanyaga kwenye hiyo shule bwana 🥰 shule ilikuwa nzuri na wanafunzi wake walikuwa na sare nzuri za shule mazingira yalikuwa yametulia na yalivutia Nilifika nikashuka kwenye boda na kumlipa boda pesa yake, kisha nikaigeukia shule kuitazama, wanafunzi walikuwa wamekaa vikundi vikundi bila shaka walikuwa wanajisomea ilikuwa ni mida ya saa moja kasoro hivi Nikajiuliza inamaana hawa wanafunzi wanafika shule saangapi maana mazingira yalionekana safi na sijui huo usafi ulifanyika muda gani.. Nikiwa natembea mdogo mdogo mara akaja mwanafunzi wa kiume, huyu mwanafunzi alikuwa mdogo tu kwa makadirio yake basi atakuwa na miaka 15 kama sio basi 16 "Morning sir..??" Yule mwanafunzi alinisalimia huku akinipokea kibegi changu kidogo hivi cha kiume msije mkazani mkoba wa kike ndio maana nimesema kibegi Kijana alikuwa na adabu sana, na mimi nikamuitikia ki roho safi tu akaanza kuniongoza njia "Headmaster ameshafika..??" Nilimuuliza akanijibu ndio, basi sikuwa na maneno zaidi akanipeleka mpaka ofsini kwa mwalimu mkuu, na muda wote huo wanafunzi walikuwa wananitazama sana walah Kitendo cha kuangaliwa nilijua bila shaka nimependeza, basi Henry mimi niliingia ofsi ya mwalimu mkuu kwa kuwa alikuwa na habari za ujio wangu Alinikaribisha vizuri na kunieleza mambo mengi, baadae akaja mwalimu mwingine tena huyu alikuwa wa kiume basi tukasalimiana palle akajitambulisha anaitwa sir Joseph Basi ili kujuana vizuri na mimi nilijitambulisha pale, baadae kidogo niliweza kusikia kengere ikilia bila shaka ilikuwa ni kengere ya kwenda pared Wanafunzi walikuwa wanakimbia hovyo hovyo kama kumbikumbi 😂 nilikuwa najionea tu maajabu ya hii shule, basi tulikaa mle ofsini kwa muda kidogo nikasikia wanafunzi wwanaimba wimbo wa taifa Baadae kidogo wakaimba Tanzania nakupenda, walivyomaliza huo wimbo wakaimba wimbo wa shule aisee bora zile nyimbo za taifa waliimba vizuri ila wimbo wa shule ulinifanya nicheke walah Yani kuna wengine walikuwa wanaimba kama hawakula usiku, sauti zinatoka ndogo kuna wale wengine wana bess hao, mpaka nikashangaa inamaana kumbe kuna vijana wana bess harafu kuna mimi hapa nina sauti na sio bess 😅 Baada ya muda kidogo tulitoka nikiwa nimeongozana na yule Sir ambaye alijitambulisha kama Joseph, nikiwa na mwenyeji wangu tulitembea mpaka pared Kama zilivyo ratiba nyingi za hapa Tanzania mgeni lazima ajitambulishe ndio ilivyokuwa kwangu, Nikasimama mbele wanafunzi walikuwa wananitazama hatari kuna muda nilikosa kabisa kujiamini 😂 Ka uoga kakiwa kameanza kuninyemelea nikasogea mbele kidogo ili waweze kunipna vizuri.. "Habari zenu wanafunzi, natumaini mko poa, kwa majina yangu naitwa Henry Nestory, we unaweza kuniita sir Henry inatosha, ni mwalimu mpya kuanzia sasa nitafundisha hapa kwa mdarasa yale ya juu, asanteni sana..." Nilimaliza kujitambulisha huku kijasho kikiwa kinanitoka mwanaume mimi, 😅 jamani sio kwamba nawaogopa wanafunzi hapana jamni ila kilichokuwa kinaniogopesha na kunifanya niweweseke bila sababu Ni mabinti 🥰jamani kwenye hii shule kulikuwa na mabinti wazuri, yani wako smart harafu wengi wao ni slay queen Nyieeee 😅 kwa namna ninavyopenda mabinti wadogo nitafukuzwa kazi kabisa mungu naomba uniepushe mimi. Basi bwana mwenyeji wangu akaniambia nimfuate bila ubishi nikaondoka lakini niliacha minong'ono huku nyuma, niliondoka na kwenda ofsini ya walimu huko nilikuta walimu wengi wako kama kumi na mbili hivi dah 😅 Harafu wengi ni wadada, jamani kumbe mwanza kuna wadada wazuri hivi na hamsemi tunaendelea kukaa single tu inachosha bana 😅.... Basi nilisalimiana nao nikajitambulisha pale kuwa mimi ni mwalimu mgeni lakini pia nipo kwa kipindi kirefu, basi wadada na wakaka wakaitikia tu yani walikuwa seriously sana Jambo ambalo lilinifanya na mimi kuwa serious na kazi yangu, basi muda ulienda wanafunzi wakaiingia madarasani kuanza vipindi, kila mwalimu akanyanyuka na kwenda kwenye somo lake ambalo alitakiwa kufundisha kwa siku hiyo Upande wangu nilitakiwa kuingia mchana maana nilikuwa na kipindi kwa form four na nilitakiwa kwenda kukabidhiwa rasmi maana yule aliekuwepo alikuwa na majukumu mengi so nikapewa kwenda kufundisha somo la biology..... ITAENDELEA....... SEHEMU YA 3 SONGA NAYO........ Muda ulienda ukafika muda wa break, nikaletewa chai ya nguvu, hata sikujua walinunulia wapi hiyo chai ilikuwa tamu nyie 😋, hatimae muda wa kuingia madarasani tena uliwadia kama kawaida walimu walielekea kwenye majukumu yao Hapo shuleni kuna mapumziko mawili yani break ya saa nne harafu na lunch ya saa sita, kwahiyo mimi nilitakiwa kwenda kipindi ambacho wanafunzi wametoka lunch Basi mwamba nikatoa simu na kuanza kupekua pekua na kuangalia angalia hilo somo la biology maana kuna mengine nilikiwa nimeanza kusahau kabisa "Sir Henry..." Nikiwa bize na simu yangu nikasikia kuitwa na sauti laini lakini pia ilikuwa tamu nyie, nikainua macho yangu nilishangaa baada ya kumuona mwanafunzi Tena huyu mwanafunzi alikuwa slay queen binti alikuwa mfasi jamani, mwanzo nilifikiri aliyeniita labda atakuwa mwalimu mwenzangu lakini nilipomuona aaaah mungu alifanya kazi yake sawa kwenye kuumba asiee Nilibaki namuangalia huyu binti bila kummaliza kabisa, na sijui huyu binti alikuja kwa lengo la kunikomoa sijui maana alianza kunirembulia macho yake yale makubwa yaliyoka kama gololi yalizidi kunichanganya mimi 😂😂 Mnisaidie jamani huku, ndio kwanza siku ya kwanza nimeanza kutamani mwanafunzi wangu, pepo shindwaaaa 😂 "Nikusaidie nini..??" Nilimuuliza huku nikijaribu kutomtazama. "Sir nimeagizwa na sir japhet nije nichukue chark.." Binti aliongea kwa sauti ya puani yani alikuwa anabana sauti sizani kama huko ndani mbavu zilikuwa salama kweli 😅 ( sasa chark hujui sehem zinapokaa, mbona unataka kunipanda kichwani..?? ) Niliongea kimoyomoyo huku nikimtazama huyu binti, basi binti akasogea sehemu ambapo chark zilikuwa zikihifadhiwa akafungua kabati na kutoa chark Muda huo amenipa mgogo namtazama maumbile yake namna yalivyokuwa yanavutia na jinsi ka siketi kake kalivyokuwa kafupi sasa dah Yani hata sijui ilikuwaje kuwaje nashangaa binti ameangusha boksi la chark na chark zote zikaanguka na kupasuka vipande vipande. Si binti akainama bana kuokota zile chaki tena hakuinama kwa kuchuchumaa yani aliinama ile ya moja kwa moja sijui mnaita chuma mboga 😂😂 me sijui Katika siku ambayo nilipata tabu basi ni hii siku walahi, maana huyu binti alikuwa ananifanyia makusudi kabisa, na kibaya zaidi hakuwa amevaa hata taiti humo ndani yani mapaja yote yalikuwa nje na yalivyokuwa meupe sasa dah nilimeza mate taratibu tu "Wewe.." Nilimuita akageuka na kunitazama "Hivi huwezi kushona siketi ndefu kama walivyo wenzako, kwahiyo wewe mapaja yako ni mazuri sana kushinda wenzio sio..??" Nilimuuliza ila ukweli huyu binti alikuwa anakosea mno, hata kama napenda totozi ila kwa hili hapana kwa kweli, maana mimi niko serious na kazi yangu so ninapokuwa kazini nakuwa kazi kazi Nilipomuuliza hivyo hakinijibu bali alianza kunichambua kama karanga yani ile ya kuangaliwa juu chini juu chini upo 😂😂 "Nakwambiaje mwisho leo, sitaki kukuona na hiyo siketi yako tena.." Nilimwambia hakunijibu akaondoka zake huku nyuma akichezesha aiseee, yani kazi hizi zina changamoto kubwa, hapo ni kuwa na roho ya ujasiri la sivyo kuna uwezekano wa kumpa mimba mwanafunzi wangu kabisa Basi niliendelea na kazi yangi, kweli muda ulienda na kipindi kiliisha ikafika kipindi cha lunch napo nikaletewa wali samaki na mboga za majani, aiseee 😋 hawa wana mwanza wanataka kunifanya nisirudi songea Maana chakula ninachokula toka nifike huku ni kitamu tu mpaka nashindwa kujua nani mpishi....... ITAENDELEA....... SEHEMU YA 4 SONGA NAYO........ Hatimae ule muda wa mimi kwenda kukabidhiwa ulifika, na ambaye alikuwa ananikabizi hilo somo alikuwa mwadada tu mrefu mwembaba kidogo lakini alikiwa na shape ya kichokozi mdada alikuwa 🔥 Basi nikaongozana na huyo dada yeye mbele mimi nyuma naangalia namna mungu alivyotulia kuumba aisee 😆 tulifika darasani tukaingia, wanafunzi wakasimama kutoa salamu Jamani jamani, watoto walikuwa wadogo ila wana sauti kubwa yani zile bessi mule ndani zilijaa darasa Zima sikujua kama nimesikia sauti za kike kweli 😂 "Karibu sana sir, hili ndio darasa ambalo unatakiwa kufundisha biology " Kisha akawageukia wanafunzi "Jamani huyu mnaemuona hapa ni mwallimu mpya wa somo la biology na mimi ndio nimeamua kumkabizi yeye maana masomo mengi yamenielemea sana so naombeni kwa heshima na utiifu Mmuheshimu kama ambavyo mlikuwa mnaniheshimu mimi niwapo darasani, haya wacha mie nitoke, sir Henry kazi njema.." "Asante madam Penina..." Nilimjibu basi madam akatoka nikabaki na hao wanafunzi sasa, wananitazama kama wanataka kunimeza vile "Hamjambo..??" Niliwasalimia baada ya kuona natazamwa sana, wakanijibu ki roho safi tu basi katika kuangaza si nikamuona yule binti ambaye alikuja ofsini masaa machache yaliyopita tena alikuwa amekaa nyuma kabisa na sehemu ambayo alikuwa amekaa amezungukwa na wavulana tu aisee "Wewe njoo huku mbele.." Nilimuita akajifanya hanielewi "Nani mimi..??" Aliuliza huku akijinyooshea kidole. "Ndio wewe kwani kuna mwingine zaidi yako.." Akanyanyuka na kuja mbele, namna alivyokuwa anatembea sasa dah 😬 yani anatembea huku anarusha siketi inaenda kulia kushoto 😆 Basi kakafika mpaka nilipokuwa kananitazama kwa macho ya mahaba kweli, sasa najiuliza haya macho yako hivi au ni umalaya ndio unamsumbua "Futa ubao..." Nilimwambia, akashtuka kwanza na kuniuliza "Unasema nifute ubao...?? ( 😏 amna, futa makalio yako..)😆😆 "Kwahiyo hujasikia au..?? "Lakini sir..." "Nimesema futa ubao.." Nilisema kwa sauti ya ukali mpaka akaogopa, binti akachukua ufutio wa ubao na kuanza kufuta ndio nikajua macho yake sio ya hivyo bali anayalegeza tu anapokuwa anaongea na mimi mbwa huyu 😃 Alifuta akiwa amenuna hatari, basi baada ya kumaliza kufuta akarudi kukaa nikamsimamisha, akageuka na kunitazama "Kachukie kiti chako na kila kitu chako uje ukae huku mbele.." "What...??" "Hujaelewa au unataka niongee kifaransa, nimesema hivi kachukie vitu vyako ukae mbele na marufuku kukaa nyuma kuanzia leo.. " Nilimwambia akabaki ananiangalia tu sikujali nikageukia ubaoni na kuandika topic ambayo ndio walikuwa wamefikia, yule binti alienda kuamisha vitu vyake na kukaa mbele huku mdomo ukiwa umevimba huo kama ametafuna amira 😂😂🙌🏾 Sikujali kabisa nikaanza kufundisha, aah ukweli hawa wanafunzi walikuwa watulivu sana yani walikuwa wananisikiliza ile mbaya mpaka nikaanza kuhisi labda kwa sababu nimependeza sana leo. Basi muda ulienda kipindi changu kikaisha nikaondoka zangu na kurudi staff, muda ulisogea kama kawaida ikafika muda wa wanafunzi kurudi makwao Hii shule ni shule ya kutwa so wanafunzi walienda paredi mwalimu wa zamu akatoa matangazo mafupi na kuwaomba wanafunzi wa form four na two wabaki remedial Kwa kuwa ilikuwa ni siku yangu ya kwanza hapo shuleni ikanibidi nibaki na nilitakiwa kufundisha kwa muda huo, nilifundisha form four Kipindi cha remedial kilianza na kila wanafunzi walipangwa makundi tofauti tofauti na kila kundi kulikuwa na mwalimu ambaye alikuwa anawafundisha....... ITAENDELEA DEARS..... SEHEMU YA 5 SONGA NAYO........ Basi bwana mimi nae nilikuwa na kundi langu ambalo ndio nilitakiwa kulifundisha history, basi mwamba nikowa nawaka mtoto wa kiume nikaenda kwenye kundi la wanafunzi wangu Kundi lilikuwa sehemu nzuri yenye upepo mtamu maana shule hiyo ilikuwa na miti mingi ambayo ilileta kivuri na upepo mzuri kipindi cha joto Basi nikafika pale lilikuwa ni kundi la wasichana tu aiseee 😂, nimefika sasa wote wakasimama na kunipa heshima kama mwalimu nami bila kinyongo nikawaitikia na kuwaomba wakae Wakaa na kuanza kunisikiliza nikaanza kwanza na kuwauliza maswali kadhaa wa kadha, wakanijibu vizuri tu sasa bana wakati naanza kufundisha macho yangu yakatua kwa binti flani hivi Huyu binti alikuwa amekaa yani anatia huruma kumtazama alikua amekaa kinyonge nyonge hata lile tabasamu hakuwa nalo kabisa Mimi kama mwalimunwa kundi ikabidi nimuulize shida nini isije kuwa ananjaa matokeo yake akanifia bure 😂 "Wewe uliekaa huko nyuma simama.." Nilimsimamisha, kwa kuwa alikuwa amekaa nyuma mwenyewe akawa amejujiua hivyo akasimama hata hakunitazama kabisa akainamisha uso chini dah 😢 "Unaumwa..??" Nilimuuliza "Hapana sir." "Sasa mbona umekaa kinyonge hivyo au labda unanjaa...??" "Hapana sir..." "Basi njoo ukae huku mbele ili unielewe vizuri maana umekaa kinyonge sana.." Basi kakabeba kiti chake na meza yake kakaja huku mbele nilipokuwa mimi so nikawa namtazama kila ninapofundisha, jamni huyu binti hana uwezo wa kunitazama machoni sijui kwanini Muda wote nafundisha alikuwa ameinamisha uso chini mpaka nikawa najiuliza kwani haumiii?? Basi muda ulienda nilifundisha kwa lisaa limoja wakati huo ilikuwa saa kumi na moja na nusu So ndio muda wao wa kuondoka ikabidi nifunge somo na kuwasisitiza sana wajifanyie kazi kile nilichowafundisha, huku nikimuomba yule binti anifuate ofsini Basi baada ya somo kuisha huyo nikaoondoka zangu nikiwa mbele yule mwanafunzi nyuma, kwa kuwa tulikuwa tumebaki walimu wadogo sana na wengine walikuwa bado wanafundisha huko nje So ofsi ilikuwa haina mtu, nikaingia na yule mwanafunzi nikakaa na kumwambia achukue kitu nae akachukua na kukaa tukawa tunaangaliana, binti hawezi hata kunitazama aisee "Hivi kuna kitu kinakusumbua labda..??" Nilianzisha mazungumzo huku nikimuangalia sana usoni lakini ndio hivyo niliishia kuona paji la uso tu 😂 "Hapana sir niko sawa tu.." Alinijibu huku akiwa bado ameangalia chini "Unaitwa nani..??" Nilimuuliza "Lizy..." "Lizy vitunguu, nyanya chungu au mchicha..?" "Elizabeth Nestory..." ( 🙄 mmh kumbe hadi majina tunafanana bana ) "Una umri gani...??" Nilimuuliza tena "Miaka 17.." "Mh mbona mdogo hivi harafu umri mkubwa saivi ungekuwa hata form six huko.." Niliendelea kumdadisi "Ni matatizo ndio yalikuwa yananisumbua.." "Matatizo gani..??" "Sir Henry kumbe bado hujaondoka..??" Kabla Lizy hajanijibu kuna mwalimu wa kike aliingia, baada ya kutukuta tukiwa wawili tu mle darasani akamuangalia kwanza lizy tena kwa zarau kisha akazungumza "Haya na wewe humu unatafuta nini..??" ( 🙄 eeeh sasa kuna ubaya gani wa yeye kuwa humu na ikiwa nimemuita mimi ) Nilijiwazia kisha nikamjibu haraka haraka "Samahani madam nimemuita mimi, maana yupo kwenye kundi langu kuna vitu nataka kuvijua kuhusu yeye so ndio maana yupo hapa.." "Unasema yupo kwenye kundi lako..??" Aliniuliza "Ndio kwani vipi.." "Heèee nikwambie tu huyu mwanafunzi hamnazo yani hana hata ile akili ya kijongeza hapa unamvyomuona anaonekana mpole lakini akifika huko mtaani binti ni mcharuko huyu.." Alisema yule madam huku akimchoma choma kichwani na kidole chake cha shahada, pamoja na kuchomwa vile binti alikuwa ametulia tuli. Roho ya huruma iliniingia kabisa, jamani huyu dada hakuwa na adabu kabisa, imagine mwanafunzi nimemuita mimi nina mazungumzo naye lakini anakuja kuingilia mazungumzo yetu na kibaya zaidi anaanza kumchoma choma Kuna namna nilichukia sana, hivyo basi nilichofanya ni kuweka hasira zangu pembeni "Madam.." Nilimuita baada ya kuona anavuka mipakka sasa, akaniangalia tu bila kusema kitu "Unaweza kuondoka na kutupisha, maana nina mazungumzo naye.." Nilimwambia akaniangalia tu na kubinua mdomo kisha akaenda kwenye meza yake akachukua mkoba wake akaondoka zake Baada ya yule madam kuondoka nikamgeukia sana mwanafunzi wangu, yani alikuwa ametulia kuna namna niliona kabisa huyu mwanafunzi hana raha kabisa Nikachukua maji ya kunywa kwenye droo ya meza na kumpa, akanitazama kisha akapokea hapo sasa ndio nikamuangalia vizuri jamani 🥰 Ka binti kalikuwa na uso wa upole yani dah nashindwa hata kuelezea kabisa 🥰 baada ya kupokea maji akanyanyuka kwa akili zangu nikajua labda anataka kuondoka ile nataka kumwambia rudi....... ITAENDELEA........

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

Juventus hoi huko kipogo Cha maana kabisaaa hichi 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

Mmmhhh kwa hiyo hemed kumbe ni kamalaya😣😣 hebu ngoja nimpigie simu nimuulize yuko wapi😒😒 au niende nikamfumanie ili nipate sababu ya kuachana naye kaishaanza kuniudhi et bora niondoke kwake nimuache peke yake😏😏 baby mie nataka kuondoka nirudi nyumbani 😌😌 oh sweery heart lakini ujue kukaa kwako kule nyumbani kwa Hemed kunaniumiza sana mimi yani hata kama haujawa tayari kurudi hapa nyumbani ni bora uniambie mimi nikutafutie sehemu nyingine ukae na watoto kuliko hivyo unavyoendelea kukaa na yule mwanaume unaniumiza et🤨🤨 pole mme wangu basi nitafutie nyumba nyingine ili niondoke pale nyumbani kwa Hemed.....wazo la paschal nililipenda sana la kunipangishia nyumba nilitamani kuwa huru nimkuze kwanza yule mtoto mdogo alikubali kunitafutia nyumba tuliagana ilikuwa ishafika saa 3 za usiku niliondoka pale kwa paschal nikarudi nyumbani..... mercy aliniambia kuwa tayari kaishafika kule baani aliko hemed na wako wote wanapata moja baridi moja ya moto.... Nilimpigia hemed nikamuuliza niwapi aliko aliniambia kuwa yuko sehemu na marafiki zake ni wapi huko nije ucjali hata hivyo natarajia kuondoka huku sasa hivi usijisumbue kuja nitakujoin nyumbani soon tu.....oh sawa.... niliendelea kusubilia lisaa lilikatika nilitaka kumpigia tena kabla cjapiga mercy alinitumia voice note alimrecord hemed akiwa anampapasa matiti huku akiwa anamsifu kuwa yeye ni mrembo na mambo mengine kibao...mhhh nilitaka ushahidi mzito kiasi nilimuomba apige picha na hemed tena picha itoke hemed akiwa akiwa ameshikilia nyonyo ya mercy ili hata akiiona asiweze kubisha😂😂 cjy hata nilikuwa nawaza nini et nikikumbukaga hizi vitu najiona mjinga sana🤣🤣 mercy alifanikiwa kuzipat zile picha na alinitumia usiku uleule...... Best mwenzio tyr nimeshaanza kupata hisia juu ya Hemed naomba uniachie huyuhuyu nimempenda yuko lomantic.... ilikuwa ni msg ya mercy mmmhhh😣😣 huyu naye mbona ananifanya nione wivu😝 ni sawa mercy ucjali nikifanikiwa kufanikisha kile ninachokihitaji basi nitakuachia..... Uuuuwwww kamoyo kalikuwa kananiuma lakini🤣🙈🤣 kila nilipoziona zile picha vile hemed alivyoikamatilia nyonyo ya mercy😩😩 nilikuwa naskia wivu hatari....mida ya saa saba usiku ndiyo mida ambayo hemed alilejea nyumbani alikuwa kalewa kiasi kwa mbali huwa siyo mlevi anakunywaga kidogo sana na siyo kila siku mara moja kwa mwezi na mwezi unaweza ukapita bila kugusa pombe kabisa lbda akiwa yuko na mastress yake ndo anakunywaga kupitiliza.....nilivyomuona hemed nilishikwa na hasira sana nilitamani kuuliza kuhusiana na zile picha zake na mercy lakini niliona wacha nivute subra ili angalau paschal anitafutie nyumba kwanza ikishapatikana basi ndo niharibu huku kwa hemed.... na pia nikimuuliza leo hii anaweza akahisi kuwa ni mimi ndo nimemchezea mchezo ngoja zipite hata siku tatu......nilimpokea hemed nikamtengea chakula alikataa kula😣😣 nilimbembeleza kula lakini alikataa pendo usijali kuhusiana na mimi we jali mambo yako tu.... aliniambia hivyo. Hemed alipanda kitandani akalala namm nilijitupia kitandani nikalala yani ilikuwa hakuna kuongeleshana ni kila mtu na usingizi wake😒😒 kulipambazuka tukajiandaa kwenda kazini bado kulikuwepo na sintofahamu kati yetu.....ilipita kama one week kila jioni mercy na hemed walikuwa wakitoka jioni baada ya kutoka ofisini...... ilifikia pahala hemed akaenda kulala na mercy nyie siku hiyo nililia 🤣🤣 ilikuwa ni usiku mercy alinitumia msg aliniambia samahani best mimi kiukweli leo naenda kumpa hemed nyama uzalendo umenishinda..... pia tumekubaliana kupeana penzi usiku wa leo kwa kuwa jana tulicheki afya zetu tukawa tuko sawa...... namkataliaje sasa wakati nilimwambia atakayemkubalia anajibebea huo ndo ulikuwa mkataba wetu....nilimwambia ni sawa mercy endapo kama atakukubalia we nenda tu nilijibu tu huku kichwani nikiwa najipa imani kuwa hemed hawezi kufanya hivyo.... kilichotokea sasa ni alifanya tena alilala hukohuko usiku mzima🙈 siku ile sikusinzia nililia hadi asubuhi.....mida ya saa nne asubuhi ndo hemed anarudi nyumbani nilimfuata nikamkaba🤣 nilimwambia wewe ni msalit nakuchukia😣😣 ila wanaume ni waongo just imagine hadi picha zake na mercy nilimuonyesha lakini hemedy alijikana kabisa na hata mercy alimkataa kabisa akadai hamjui..... Nilimwambia mimi naondoka kwako😣😣 alianza kunibembeleza lakini nilikataa nilimwambia I'm done with you😏😏 uuuww alilia🤣🤣 lakini haikuwa sababu ya kunizuia mimi kuondoka tayari paschal alishanitafutia nyumba na aliniambia nisibebe kitu chochote kutoka kule nyumbani kwa hemed zaidi ya nguo zangu tu na za wanangu.....nilihamia mtaa mwingine kwenye nyumba mpya nilianza kukaa kule na watoto wangu pamoja na msichana wangu wa kazi...... Hata kule ofisini kwangu kwa zamani aliponitafutiaga kazi hemed niliacha kwenda boo alinifungulia biashara nzuri kubwa🤸🏻‍♀️🤸🏻‍♀️ akaniambia tulia hapo mama watoto😘😘 sitaki uonane tena na yule mshenzi niliajiri wasaidizi kule katika ofisi yangu mpya uuuhuuu namie nikaanza kuitwa boss🤸🏻‍♀️🤸🏻‍♀️ kila siku boo alikuwa anakuja nyumbani kwangu pale et akawa anajidai kuwa kaja kucheza na watoto😂😂😂kumbe kaja kucheza na mama mtu🤸🏻‍♀️🤸🏻‍♀️ alikuwa anakuja na kuondoka wooiii mwisho wa siku alihamia kabisa🤪🤪 alihamisha na nguo zake karibia zote akazileta mjengoni maisha yakaendelea alizidisha huba kwangu likawa la motoooo🔥🔥 tulipanga safari kurudi Tanzania kwa ajiri ya kwenda kuzichota tena baraka za wazazi🫶 tulipanga kumtembelea mika kule gerezani ikiwezekana pia tuweze kumtoa kule...... pia tulipanga kulitembelea kaburi la mama yake Paschal...... Tuliondoka USA tukarudi zetu Tanzania tuliwatembelea wazazi wangu walifurahi sana kutuona pamoja walitubariki na kutusihi tuungane na tuzidishe upendo tusijeivunja ndoa yetu.... walinikarisha kikao wakanifunda🙄🙄 kufundwa kwa baada ya ndoa chezea 🤣🤸🏻‍♀️ tulimtembelea mika gerezani alikuwa kakonda sana😣😣 alionekana kama mtu aliyekwishayajutia makosa yake hakuwa na kiburi tena alituomba radhi akatuomba tumtoe kule kwenye ile sehemu..... nilimbembeleza my chocolate wangu nikamsihi na kumuomba amsamehe ndugu yake alikubali kumsamehe alianza kufanya taratibu za kumfutia kesi alhamdulilah vyote vilifanikiwa mika aliachiliwa huru kutoka gerezani na kwa pamoja tuliungana kwenda kulitembelea kaburi la mama yao mika na paschal mika alilia sana na kugalagala kule kaburini alikuwa anajutia kwa ujinga wote aliokuwa akiufanya kipindi cha uhai wa mama yake tulimnyamazisha tulimsihi atulie alikuwa kama mtu aliyechanganyikiwa tulimtafuta saikolojist kwa ajiri ya kumtibu mika ili akili zake zikae sawa..... Tulipanga kurudi zetu nyumbani kwetu USA paschal alimuahidi ndugu yake atulize akili afuate kile anachoshauriwa na mwanasaikoloji alimwambia kuwa akishakaa sawa atakuja kumfungulia campuni yake nchini Tanzania ili apate kitu cha kumuingizia pesa alimnunulia mjengo kwa ajiri ya kuishi mika alimshukuru sana mdogo wake na kila muda hakuacha kumuomba radhi kwa ubaya wote aliokuwa akimtendea hapo nyuma.... ilikuwa ni usiku muda ambao nilikuwa busy kupakia nguo zetu kwenye mabag yetu ya kusafiria kwa sababu kesho mapema tulipanga kurudi zetu nchini marekani mme wangu paschal alikuwa yuko bafuni anaoga..... simu yake iliita niliichukua nikaitizama ilikuwa ni video call ile na ile namba ilikuwa haijaseviwa na jina sikuipokea niliachana nayo..... baada ya simu kukata ilitumwa msg hey baby where are you nilikuja ofisini kwako kukutafuta lakini cjakukuta kuna kitu nataka tuongee ni cha muhimu sana kwako na kwangu please honey pick up my call..... Itaendeleaaaa.....

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

alisema mama cathe kwa mama usiseme mimba mama huwenda homa tu alisema cathe huku analia sana kwakweli alijutia sana mpumbavu mkubwa wewe hivi unayaona hayo matapishi mjinga mkubwa wewe cathe unatutia aibu sana umetutia albนนนนนนนนนนนนน alisema mama cathe jwa hasira sana, mtoto talla sana wewe mtajuwana na mama yako nakama unamimba untagute haraka baba wa huo ujauzito aje apa tukuozeshe sitaki kulea. mjukuu asiye na baba nimemaliza alisema baba catherin kisha akanyanyuka kutaka kuelekea ndani lakini ghafla mlango ulifunguliwa. akaingia calor mtoto wao wa kiume aliyetoka masomoni ndo anafuka muda huo alikuja kwa tabasam sana lakini aliwashangaa wazazi wake walivyo kasirika hakuna aliyeenda kumpikea. wote walimpita na kuelekea ndani na kumuacha cathe akilia sana pale chinu ikabidi calor sende kumnyanyua cathe na kumuweka kwenye sofa na kumbembeleza asijue chanzi chake ni nini upande mwingine katika apartment ya devi alikuwa amechanganyikiwa sana tena sana tu "dah ninani huyu aliyeharibu mpango wetu au john uyu john leo nitakula sahani moja anachezea sana maisha yangu sasa ngoja alisema dwvi kisha akavaa haraka haraka kutoka kuelekea kazini kwa john alitoka kishari kwelikweli upande mwingine kwa seven walimaliza kula chakula vizuri sana walikisifia chakula kilivyo kitamu sana kwahiyo mkwe wangu ndo umeamua kuturoga kwa kutupikia mapishi matamu kama. haya ili tulale hapa sindiyo alisema mama. seven kwa utani hahaaha hamna mama alijibu fahima uku akitabasam muda wote seven jicho lake ilikuwa jwa fahima tu hakupepesa oengine zaidi ya kwa fahima, seluna na sarafina nao muda wote walikuwa wakimchunguza kaka yao bila kujua huku wakicheka kimya kimya "unaitwa nani mwanangu alisema mama seven fahima alijibu jina zuri mmezaliwa wangapi aliuliza mama seven mimi nimezakiwa peke yangu tu, niko na baba yangu tu mama ashafariki mda sana nimelelewa sana na baba alisema fahima kwa huzuni pole sana mwanangu ila kwasasa hautakuwa na huzuni tena ushampata mama yako ambaye ndiyo mimi nitakupenda kama binti yangu na kukufariji pia alisema mama seven asante san mama nashukuru alijibu fahima alifurahi sana mimi ndiye mama yake seven nimewazaa watatu tu wakwanza huyu selina anafata seven kisha sarafina mziwanda wangu huyu cha kudeka alisema mama seven walicheka kwell masana sarafina ni mtu wa kudeka sana akiwa na mama yake, ila naomba sana muishi vizuri hatujui kama mna mahusiano au la maana mimi seven hajaniambia kitu hayo mengine unayoyasikia hapa ni utani tu, ila kama mnapendana msikae naomba mugane haraka alisema mama seven sawa mama aliitikia seven, mama mimi leo nitalala hapa alisema selina "kwani nani amesema anaondoka alisem mama seven walicheka namani familia likuwa kituko sana, basi wakaendelea kupiga story mara simu ya seven ikaingia unumbe kutoka. kwa john ikimuomba afike kazini, mama mimi nawaacha kidogo alisema. seven unaenda wapi alisema fahima, na kufanya dada wa seven wafinyane walikuwa wambea kwelikweli subiri kwanza nimalizane na mama wewe tutaenda kuzungumza ndani alisema seven. wapi sasa kazini au aliuliza mama seven ndiyo mama nataka sasa nikaimarishe nitakuwa bize kidogo maana siku zijazo nina kikao kikubwa sana kwahiyo nataka niweke mambo sawa alisema seven sawa mwanangu nakuombea dua tu isema mama seven, basi seven akamwambia fahima waende wakazungumze ndani, wakaongozana hadi chumbani, unaenda wapi aliuliza ten fahama kazini alijibu seven utarudi saa ngapi alisema fahima "Jamani fahima mbona hivo lakini mi sijui mda wowot nitarudi alijibu seven saa kumi uwe nyumbani lasivyo hapatatosha unaondoka unaniacha na wageni pekeyangu alisema fahima, seven akamsogelea karibu sana akashika shavu lake na mkono wake "am sorry najuwa hilo ila nimetumiwa mesej najohn kuna jambo muhimu sana sitachelewa kurudi alisema seven sawa alisema fahina huku akiwa amenuna, seven akamsogelea na kumkiss shavuni, nakupenda sana natumai wewe ni mwanamke bora kwangu uliyeweza kunisimamisha tena na leo ninazawadi yako nzuri sana alisema seven kwa tabasam nae fahima akajikuta anatabasam alijihisi amani sana alipomtazama seven, sawa zawadi gani alisema fahima sikutaji alisema seven tabia mbaya hiyo alisema fahima hebu nipige busu apa huwenda nitabadilika na kuwa na tabia nzuri alisema seven nakusababisha fahima acheke alikuwa anamfurahisha sana bibie, basi seven alimuaga na kutoka zake aliwaaga na kuondoka akiwaacha wakizungumza, muda huohuo ndio devi aliingia katika kampuni hiyo alikuwa kam kachanganyikiwa tu allenda mpaka ofisini kwa john walinzi walimzula lakini alileta fujo, muachen wakamuachia alisema John, walinzi "hivi wewe unataka nini katika maisha yangu eee unatak nini weweeee mbona unanifatilia sana alisema devi kwa hasira mno nani akufatilia mwehu kama wewe hata mende chooni hawezi kufanya ujinga kama huo unanini haswa mpaka nikufatille bro isema john kwa dharau sana sikia john niwe nakitu au sina kaa mbali na maisha yangu nimekuja kukuonya kaa mbali umesababisha nimefukuzwa kazi narudia tena kaambali alisema devi aisee wewe chunga mdomo wako nitakuzingua sasa hivi mjinga wewe nani aliyekutuma ukalale na mke wa biss tena ndani kwake umalaya wako na tamaa zako ndizo zimefanya ukose kazi sasa unakuja hapa kunibwekea kama mbwa oya bro siko kwenye mood kabisa leo alisema john kwahiyo mimi mbwa sio: alisema devi sasa kwa unyama uliomfanyia mwenzio utasema wewe mtu kweli yani sio mbwa tu ni shetani kabisa wewe alisema john aiseee kauli hiyo ilimuuma sana devi akasogea na kumpiga ngumi john najohn hakukubari akarudisha wakaanza kukamataka na kupigana Ikabidi maaskar wawashike kuingilia kati ugomvi huo, niacheni hata kidogo tu nimuonyeshe mbwa. wewe sema john "niachienii nasema niachieeee alisema devi wote walikuwa na hasira sana kuna nini hapo ilisjkika sauti ya seven hapo watu wote wakajiweka sawa muda huo ndio aliwasili hapo uku nyumbani kwa mama cathe chumbani alikuwa akisemwa sana na mumewe nishakwambia kabisaaa ole wake mimba Isiwe na baba alisema baba cathe baba cathe jaman hata sipumui lakini sasa mimba itakosaje baba jamani alisema mama. cathe wewe sa hivohivo sasa ole wake ikataliwe hakai hapa hakai alisema bab cathe. baba cathe tusifikie huko jamani mume wangu alisem mama cathe keleleeee kwahiyo unataka lishe tu kirahisi wewe na mwanao wote wapuuzi tu alisem baba cathe kwa kufoka sana sasa unanilaumu mimi kosa langu nini nahuyu mtoto tutamtupia nani kashakuwa mzigo wetu alisema mama cathe mzigo wako sio wetu narudia tens mimba. Ikikataliwa sitaki kumuona happppaaaaaa alisem baba cathe cathe ITAENDELEA

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

Short pauses will be allowed during matches to enable Muslim players to break their fast. 𝑹𝒆𝒔𝒑𝒆𝒄𝒕 🤲✨

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

Daaah lemi akaja akanmbia relex. Ndo mala ya kwanza hawez kuelewa . Tulia mwanangu kila kitu kitakua sawa nikasema powa . Basi tukapanda gari tukaludi kwa lemi. Apo mm akiri haikamati kabisa. Nikasema lemi mi nipo kama week nataka niwekane sawa kbisa na princess akanmbia saw. Basi jioni saa nilmpigia princess tuongeee .aseee alivyopoke na akajua ni mm. Niljuta. Alinitukana matusi ya. Nguoni sitasahau. Unaua mi sijawah kugombana na princess mpaka akanitukana ata mjinga tu ila hii siku nilijutaa. Aabaaaaa yani aliuvua uanaume wangu wote akauweka paleeee Alinambia we msenge si nishakukataza kunifatilia. Nimekwambia kaaa mbali na maisha yangu msenge ww. Unafirwaa eeh nakuuliza unafirwaa. Nimesema huna mtoto na mm wewe. Kwanza kwa mboo gani ya kunizalisha mm wewe. Una mboo ya kunizalisha mimi msenge ww. Sitaki nakwambia kwa nn huelewi .sina mtoto na ww. Ahaaaaa mbona nilitulia .sikuongea neno ata.moja. akanmbia we ni mshamba sana. Tena mshamba wa maisha . We ushanizalilisha mala ngapi. Nakuuliza ww ushanizalilisha mala ngapi. Ushanikataa mala ngapi. Leo unakuja na kimboo chako .nyoko nyoko watoto.nenda na ww kachanike mboo yako watoe. Au wambie wanaume wenzio wakufanyeee upate mimba ukazae. Aseeeee mbona nilikoma.mi simujua kama princess ana matusi hivi.namuonaga mpole kinoma. Akanmbia sasa kam ww mwanime endelea kunifatilia ntakuitia mwizi msenge kisheti wewe. Akakata simu ndwii. Unajua niliweka loud kwa pembeni alafu lemi alikuwepo. Aseee lemi alicheka hii siku🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌🙌🙌 Alicheka mpaka alikaa chini. Akanmbia oyaaaa mpka ukipata wanao .tupo hoi .uyu demu si wakisure uyu ndo anatukana hivi. Mi nimenuna apo nishaikoga mitusi ya maana . Lemi akanmbia daaah unanuna nn sasa. Mi ndo nimekwambia ukazae. Ila princess kiboko kumbe wanaume wanaza.a alicheka kisenge. Mi nilimind yale matusi yaliniingia kinoma.ila nikarelax nikajua ana hasira tu. Kesho yake sasa ilikiwa j pili. Lemi akanmbia huondoki kesho si job. Nikasema hpana bado mimi na princess tunahitaji kuongea. Akanmbia sawa . Basi hii siku nikaomba location aliyopo. Nikaambiw akaingia mikocheni. Asee mi nikapambana nitumiwe location nikachukua boda mpaka mikocheni. Hii siku lemi alienda kunuona mama yake mzazi .alipigiwa simu anaumwa. Mie ndo nikaenda mwenyewe sasa. Nilishajipanga kwa kila kitu asa matusi Nimefika pale nikamuona yupo kwenye duka kubwa la pafyumu. Si kuna kioo .nikamuona kwa ndani kama vile anaongea na wateja.daah kwa haraka haraka nikajua apa ndo kazini kwake. Na kwa juu ya lile duka kuliandikwa jina lake . Kwa herufi kibwa zile usiku zinwaka. PRINCESS PERFYUMU. Mi nikasogea mpaka ndani nikaingia bwana daah yukagongana macho kwa macho . Akanipotezea mana alikuwa anaongea na wateja. Na alipomalozana nao . Akanmbia eeh shida yako. Mi nikamsogelea nikampigia magoti kabisa sikujali kwamba kwa nje watu wanaona. Ama vp. Nilimwanbia princess nisamehe tu. Nisamehe mama. Nipo tayari kwa kila kitu ila princess usininyime watoto. Princess nilipata ajali mbaya mno. Mi now siwez kuzalisha mwanamke princes.s. nionee huruma awa ndiop wanagu wa pekee. Na mtoto nilozaa na fatuma sio wangu. Fatuma alinibambilizia tu. Plssss proncess kama ni laaana ishanipata mama. Kama maumivu nishapitia .nisamehe tu niruhusu niwe baba kwa wanangu sasa. Princess alinambia wewe apa ni kazini Apa ni dukani kwangu natafuta wateja sa hizi ebu ondoka usipatie nuksi. Nkasema nielewe mama. Princess akanmbia nenda ww mpumbavu mmoja .hivi we unajua mm nimepitia mangapi baada ya kuanza mahusiano na ww. Umenidhalilisha mala ngapi haji. Umenikataa mala ngapi? Umenitumia mala ngapi. Unajua nimeteseka vp na mimba.nimeshindwa ata kumaliza chuo. Nimefukuzwa mpaka nyumbani. Nimeteseka na mimba miez 9 nikiumwa mnoo. Niliangaika sana . Mimba ya watoto 3 .unahisi ni masihara leo unakuja na mapumbu yako unaongea nn wewe. Ebu nyanyuka uondoke haraka. Sina mda na ww. Na sitakaa nikakusamehe kwa yote umenifanyia. Yani nakwambia na mimba unanipa pesa nikatoe . Leo unakuja kudai watoto gani unikome mpumbavu ww. Ondoka nakwambia ondoka. Aseee apo akaw anaongea uku analia akaanza kunilushia chupa za pafyumu🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌. Nikamshika nikamwambia tulia tulia mama plss akanmbia nimesema toka ofisini kwangu. Sikutambui na sikujui ondoka nimesema. Nikasema sawa naondoka.asee mwenzangu alishakuwa na hasira. Alinipiga na chupa moja maeneo ya uso mpka kimevimba..si mnajua chupa za udongo zile🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌🙌.. daaah ikabidi nimuache. Nikaondoka . Nilielewa nimemuumiza sana uyu mwanamke yani sana . Aseeeee nililudi home nimevimba. Yani princess ana hasira na mimi kinoma. Nikaona uyu siku nikienda pembeni kuna kisu atanichoma wallah . Mi niliomba kalikizo cha week 2 .nipo dar napambana na princess ahaa nilikuwa nakoma Yani mi na lemi mpaka tulikiwa tunachanganikiwa .kuna siku tumeenda dukani kwake .katoka na ndoo ya maji ya kidekia. Akatumwagia kudadeki. Aseee maongezi yakaishia apo. Tukaludi nyumbani kupumzika🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌. Mh nikaoana sasa inakiwa ni shida na mambo ni magumu mana hataki kuelewa kabisaa yani kabisaa. Lemi alinambia apa tutumie watu wazima . Kwaiyo sasa tukaenda kuongea na baba yake lemi. Nilimuelezea uhalisia kabisa mzee. Sikumficha wala .nilimuelezea kweli mm nilikosea .moja mbili na tatu. Ila tu sikuwa nimemwambia kuwa sina uwezo wa kuzalisha kwa sasa.ilo nilimueleza princess tu. Ila wapi ata huruma akunionea.tulimpa na location ya kwa princee . Na kweli mzeee alienda. Nlijua mzee ana busara uwenda ata nipa majibu mazuri san akiludi ilaaa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌🙌🙌 Alivyoludi mzee alinambia .nimefika mpaka kwa princess na nimefanikiwa kuwaona wale watoto. Asee mwanangu una damu kali na umejizaa. Ila yule mwanamke ana hasira sana. Hajanielwa ata kidogo. Tena ana hasira aswaa nafikiri baada ya kumpa mimba kuna shida kapitia so kaweka kisasi moyoni. Amenambia kwamba hajaazaa na ww. Na wale sio wanao ila wale ni watoto wako. Mmefanana sana . Yani mmefanana mno. Asa yule wa kike doooh. Nikachoka apo ni week.ya pili napambanai watoto ila wapi. Mzee akanmbia nakushauri kesho nenda ustawi wa jamii watakusaidi. Yule kwa maneno hawez kuelewa .nenda katumie sheria.nikasema sawa. Nyie si mmezoe ustawi wanaendaga wanawake kualalamika hawaudumiwi watoto. Sasa hii nilienda mm kutaka kuhudumia wanangu kidadeki🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

Basi bwana . Mama akapika . Shoga yenu nilikula kidogo mnoo. Mama akamvuta mtot ndio akamlisha na rahul anawahi kuzoea watu . Anaanza kumuuliza mama . We nani . Sijuh ww apa ndo kwako. Mbona baba harudi. Nyieee ananitibua akimuulizia uyo baba ake ni basi tu. Basi mama anakuwaa anamjibu jibu. Mimi ni bibi. Yani hivyo ile kumchangamsha tu mtoto. Basi nikamuuliza baba yuko wapi. Mama akanmbia kaenda katoro bado babu anaumwa sana .mh uyo babu yngu ni mzeee jamani. Ila hafi nakwambia🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌. Ni anaumwa kalibia miaka 8 ssasa. Ila wala hafi .na mzee anaendaga sana kumuuguza uko kwake. Basi baada ya chakura m mie ndo nikaenda kuogaaa. Nikaenda kulala. Ila hii siku kidogo amani ilipatikana bola tu nimemalizana na mama yangu japo kanisema ila ni mama kanipokea na kaumia sana alivyoniona kwa jinsi nilivyo. Basi sasa shoga yenu ndo nikawa nimeludi. Nikawa sitoki ndani. Najifungia ndani na mwanangu tunaangakia video tu. Nikitoka naenda chooni basi. Sizululi kabisa naona aibu jinsi nilivyo. Nilimpa mama elfu 30 akamtafutie rahul nguo za kushindia. Manaa mm ninazo kwa kabati niliziacha za kuanzia maisha na zengine nzuri sana. Na zote alininunulia mlige. Basi mie nikawa wa ndani tu. At least sasa mama anatembea sna na mwanang. Akienda bala balani anaenda nae hivyo yani mie nikawa ndani tu. Apo nna kasimu kadogo kiswaswadu nilimwambia mama pia anininulie . Apo ten nikawa ata akiba ya mia ndani mie wala sinaaa. Nipo hooii maisha yamenipiga aswaaaa. Basi mzeee alivyosikia nimeludi akampigia simu mama akamwambia anataka kuongea na mm. Na kweli mama akanipa simu nikaonage ana baba mmh acheni tu. Mzeee alisema jamni alinisema mnooo. Et kanambia na nikiludi nakuja kukufukuza. Mie nikanyamaza kimyaaa tu. Basi shoga yenu jilikaa home kama week.2. Apo mama ndo kila kitu nyumbani apambane . Atafute chochote kitu . Ndo alete nyumbani. Yani nyumbani kulikuwa na njaaa. Mwanzo rahul alikuwa analilia kuku. Mpk akasahau akazoe majani ya maboga. Apo na dawa zake nampaka . Ila sikumwambia mma kuwa zayd alianza kumlawiti mtoto. Sikumsimulia kabissaa. Niliona aibu ata mm mwenyewe. Basi ayo ndo yakawa maisha yangu ya ndani tu .na nikitoka ni usiku nakaa barazani kwetu . Apo rahul ni anacheza watu wote washamjua mwanangu. Na vile anatembea na bibi yake sana ndo kabisa.na mzuri kweli mwanangu wala sio masihara. Mzuri mnoo rahuli. Yani uyu mtotto alikuwa mzuri kuliko baba yake. Basi bwana .siju iyo sasa nipo zangu nyumbani mama ametoka .nikishangaa nasikia mlio wa gari njeee. Mh nikajiuliza uyo nani. Nikachungulia dirishani mh naona anashuka yusta nyieeee ni kapendezaa mnooo. Kawaka mnooooo.. nyieee kawa mzuri sitaki kuwaeleza mdada wa mjini kweli kweli. Ana kiatu kirefu aseeeee aibu niliona mie. Basi akaja kugonga mlango. Mie nikanyanyuka nikaja kumfungulia mlango akaingia shoga ananukia atari. Nikamkalibisha kwa aibu. Akanmbia jamni woow uyu ndo mwanao. Alimuona mwanangu alikuwa na yeye anaangalia tv. Nikasema ndio.kisha nikamwambia rahul muamkia mama. Kweli mwanangu akamsalimia . Akaitika yusta . Kwa mapozi nyieeeee. Akanmbia ooh pole shoga nasikia umeludi una week naaaa ila hutembei shida nn au unaogopa kukuona ulivyochunda? Mh nilibaki kimyaaa mieeee . Nikasema wala shoga yangu mie nimeamua kupumzika tu nyumbani akacheka akasema kweli bola upumzike mana mhhh sio kwa kuchoka ukooo. Yani faridaah umeishaaa. Mpaka umekuwa mbaya ataa kutamanisha hutamanishi. naona uyo mlge akikuona atakuona kituko kweli kweli101 MPAKA 103 🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

Baada ya paschal kuondoka pale Hemed alinichekiiii 😪😪 kisha nayeye akaondoka akaniacha pale bila kuniongelesha chochote🫣 au ndo nimeachwa na wote☺️☺️ sa mbona hivi😎😎 aah haya mambo ya kumiliki njemba mbili mbichi mbichi ambazo bado damu zinachemka yatakuja kunitokea puani😌😌 kibaya zaidi wameshajuana natakiwa kufanya maamuzi yupi niwe naye na yupi niachane naye hizi drama zitajasababisha wauane watoto wa watu😝😝..... nilirudi ofisini wachache waliogundua kinachoendelea walibakia kuniangalia hawanimalizi🤪😜 nilipita zangu kimya kimya hadi ofisini kwangu nilikikuta kile chakula alichokuwa kaniletea hemed kwa ajiri ya lunch.....oh bestie umerudi hope umekutana na boy friend wako hapo nje but surely I don't understand unawezaje kuwamiliki wote hao🌚🌚 mercy naye ni mbea huyu rafiki yangu🤣🤣 khaa mercy I don't date all of them😩😩 lakini wote wawili wanakugombania huwezi kuamini bestie niko single et tafadhari nakuomba unipatie mmoja🌚🌚 baada ya mercy kuniambia nimpatie kidume mmoja nilichanganua akili faster niliona lile linaweza kuwa wazo litakalonisaidia mimi kumpunguza mwanaume mmoja kutoka kwenye maisha yangu....nilichokifanya ni kitu kimoja nilicheza mchezo hatari sana lakini sikuwa na namna.... Nilichokifanya nilimpatia mercy namba ya paschal pamoja na namba ya hemed nilimuomba awatege hawa wanaume wote wawili yule atakayefanikiwa kutegeka mie nitaachana naye atakuwa Hanifai....nilitoa namba ya paschal lakini kimoyomoyo nilikuwa nalia na Mungu wangu ili paschal asijeshawishika😩😩 nilimuomba mercy aanze kazi siku ile ile then atakuwa ananipatia feedback ya kile watakachokuwa wanamjibu.....aliwatext wote muda uleule lakini hawakujibu hadi muda wa jioni natoka ofisini hakuna hata mmoja akiyekuwa ameijibu msg ya mercy.....niliondoka kwenda nyumbani lakini sikuwa na amani kutokana na situation iliyokuwepo kati yangu na Hemed siku iliyokuwa imepita nilimkera kwa kwenda kumuona paschal bila kumtaarifu lakini taarifa akazipata kwa nice na siku ya pili akanifuma live kwa macho yake hiyo siyo ya kusimuliwa tena duh namwambiaje sasa itabidi tu niwe mpole.....nilifika nyumbani nikaoga baada ya hapo niliingia jikoni kumwandalia hemed chakula anachokipenda muda wote huo paschal alikuwa hajanicheki namm sikutaka kumcheki kwa ule muda nilimuacha kwanza hasira zake zishuke si mnajua ni mzee wa mahasira mingi niliogopa naweza nikamtafuta akaanza nifokea😣😣.... Nilipika nikamaliza nikapakua chakula kwenye hotpot nikaweka mezani baada ya hapo nilikwenda kuwafundisha watoto wangu nice nilimfundisha home work na shazil nilimfundisha namna ya kuitumia tablet yake yani nilijipa tu majukumu huku nikiwa naendelea kumsubilia baby daddy akuje tule.....baada ya muda wa kusoma watoto kupita niliwapakulia chakula wakala baada ya hapo walikwenda kulala nikabakia na yule binti yangu wa kazi tukiwa tunaangalia movie kila mida nilikuwa naangalia saa tu mmmhhh huyu mbona haji kulikoni au kuna kitu kimemkumba😣 nilichukua simu nikampigia lakini hakuwa hewani..... nilipakua chakula kidogo nikala then nikaelekea chumbani kulala 😂😂 waajiriwa tunalalaga kama wanafunzi unawahi kulala kwa ajiri ya kuwahi kazini.....nililala mpaka asubuhi hemed hakutia mguu nyumbani duh🙄🙄😪 yamekuwa haya mbona makubwa🌚 nini kimemfanya aache kuja nyumbani usiku kucha au tayari mercy kaishamnasa😝😝......au kuna kitu chochote kibaya kilichomtokea🌚🌚 nitajuaje sasa wakati ata hapatikani. .... Niliamka nikaanza maandalizi ya kwenda kazini vile tu ndo nimemaliza kuvaa mlango wa chumbani ulifunguliwa aliingia hemed hakunisalimia wala kuniongelesha chochote alifika akavua nguo akavaa towel akaingia zake bafuni..... nilimnyamazia na mimi sasa mtu kalala nje usiku kucha then anarudi nyumbani kakununia kama vile wewe ndo uliyemkosea zaidi😝😝 nilimaliza kuvaa nikasepa kuelekea ofisini kichwa kilikuwa na hasira hatari nilikuwa najiuliza hemed alilala wapi nitamkomesha namm naenda kwa paschal na akitaka shoo nampatia na nitachelewa kurudi nyumbani maksudi ili nimuumize moyo😏😏 nilifika kazini na mihasira kama yote ni gud moningi tu nilikuwa nawapatia wafanyakazi wenzangu then napita shwaaa😪😪 hata kazi sikuweza kufanya nilienda wash room kwanza nikaliaaa😰😰baada ya hapo hasira zilipungua nilijiweka sawa nikarudi ofisini kwangu..... baada ya kutoka kule washing room niliikuta simu yangu ikiwa inaita alinipigia booo paschal nilipokea nilimsalimia kabla ya yote nilimuomba radhi kwa kile kilichotokea jana kule ofisini aliniambia ni sawa my wife japo naumia sana lakini sina namna..... naumwa sana pendo niko vibaya sana tangu Jana mida ile niliyoondoka hapo nilikuwa na stress vibaya mno stress zilinipelekea kuwaza mambo mengi ya nyuma yaliyokwishapita kiukweli nilijikuta naumia sana nilishindwa kuhimili yale maumivu..... nikajikuta nakunywa ili angalau niweze kupata hata usingizi nilikunywa pombe nyingi kwa kuzibugia kutoka na zile mawazo nilizokuwa nazo nililewa sana nikajikuta nimelala palepale sitting room asubuhi nimeamkia kutapika sana sina nguvu mwilini kichwa kinaniuma sana nakuomba kama hautojali uje uniandalie chakula mke wangu nina njaa nakuomba unisadie et...... Jamani😣😣 boo wangu hata sauti tu ilidhihirisha yale aliyoyaongea ni dhahiri shahiri kuwa boo hakuwa sawa.....niliikata ile simu nikawa nawaza niende au laaa..... hello best hi...hi too mercy😌😌 wow nimekuja kukwambia kuwa tayari hemed kaishajibu charting zangu ndo niko nachqrt nayeye hapa.....oh good job 👏 unatakiwa kumdanganya vitu vingi ili asigundue kuwa huu ni mchezo tunaomchezea... usimwambie kuwa wewe ni mfanyakazi wa huku ofisini anaweza akahisi kitu.....nilimpangia mercy mikakati namna ya kumchartisha hemed ili asijegundua kitu baada ya hapo nilikwenda kwenye huo mgahawa wa pale kazini kwetu nilinunua maakuli ya kutosha pale kisha nilimuagizia paschal kule nyumbani kwake then nilimtumia ujumbe ya kwamba mimi nitamtembelea jioni baada ya kutoka kazini...... baada ya chakula kumfikia alinicall akanishukuru nilimbembeleza ili aweze kupata appetite ya kula🙈🙈 alikula kweli kweli na vile ndo nilikuwa nishamuahidi kuwa jioni nitakwenda kumuona endapo kama akila chakula cha kutosha alikula hadi raha......jioni baada ya kutoka kazini nilikwenda moja kwa moja hadi nyumbani kwa paschal nilimkuta yuko chumbani kwake kalala...... alf alikuwa yuko na towel tu🙈😌 towel yenyewe ilikuwa hata haijafungwa vizuri😌 baby nilimuita nikiwa nimesimama kule mlango wa chumbani ..... get in sweery heart ❤️ alinikaribisha huku akiwa anajigeuza🙈🙈nililiona tango lake kwa sababu alipojigeuza ile towel ilijifungua kule kiunoni🫣🙈🙈..... Niliyaziba macho yangu alismile then aliamka akaja kunipokea pale mlangoni uuuww nilipata nyege vile alivyoigusa mikono yangu akanivutia chumbani duh😋😋 nilipata msisimko 🙈😋 alinitizama usoni kwangu nilimuonea aibu alikaa pale pembeni yangu alirudia tena kuniangalia usoni kwangu duh hisiaaaaa🙈 aliniomba mate 🙈🙈 nilinyamaza tu nilimkubalia kimoyomoyo 🙈🙈 tulipeana mate oh shit mwenzenu nyege cjy zilitoka wapi yani nilijikuta natamani kuifinyia kwa ndani et😋😋 paschal baada ya kuwa tumeshapeana mate aliniambia baby I miss you nimemis mapenzi yako nimeukumbuka utamu wako ....... I miss you too baby I miss everything from you😣😣😣 baby alianza kunipapasa😋😋 nilijituliza nipewe maji ya baraka🤪🤪 na vile muhogo wake ulikuwa waziwazi mie nilianza kuupapasa🙈🙈 kila mmoja alikuwa na feeling Kali sana kwa mwenzie jioni ile paschal aliniduu🙈🙈 alinifuck😋😋 alinipa utamu ulioambatana na maji ya baraka😘😘🙈 nyie kufika tu nikafikia midinyo🙈🙈 ila ilikuwa tamu sana yani kilikuwa kimoja cha hamu🫰🫰.... Baada ya kupunguzana hamu tulikwenda kuoga then tulirudi zetu chumbani tukaanza kukumbushana nyuma kipindi ndo tumeanza kutongozana😝😝😝 jamani upendo kwa boo wangu ndo kwanza ulizidi kunoga et🙈🙈 yani nilikuwa natamani nimlambelambe😋😋 na vile alinitia utamu basi mwenzenu uuuwww akili zangu zilikuwa zinamuwaza yeye tu...... mercy alinitumia msg akaniambia bado paschal hajajibu msg zake lakini hemed tyr wameshapanga kukutana nilimuliza ni wapi akanitajia ni baa Fulani kubwa ya kifahari sana huko ndiko hemed alikomuomba mercy aende ili akampe company..... Itaendeleaaaa......

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

hukua fupi Kufuatia mzunguko wa mwezi wa miaka 33, Ramadhani huhama siku 10-12 mapema kila mwaka - huzingatiwa mara mbili mnamo 2030, na kupindukia mnamo 2031 na 2047. Kupitia Shirika la Anadolu. #AlfajiriLeo

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

49 MPAKA 50 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Basi nilimuacha kama mwez lemi anendeelee kumfatilia princess. Akanmbia kila j mosi anakuwa kunduchi beachi. Alafu anaishi kibaha. Na sehemu yake ya kazi ni mikocheni apo ni kutojana na location knavyosema mana akitembea na simu tu anakuwa anaonekana .lemi akanambia huwa namuona akitoka kibaha. Anaenda mikocheni . Na apo mikocheni huwa anakaa ata siku nzima nafikiri apo ndo kazini kwake. Nikasema sawa this week end nakuja dar nataka twende apo kunduchi beach tukaangalie. Akanambia fresh. Basi ijumaaa tu ya iyo week nilipotoka job. Mwanaume nikanyanyua chuma mpka saa 4 nipo dar kwa lemi. Apo lemi alikiwa anaishi mbezi. Aknambia mwanangu lazima kwanza tumchore iyo kesho tukienda uko kunduchi tusije tukapigwa bwana. Mana anaweza akaja na mumewe au bwana ake . Nikacheka nikasema hakuna noma tutakuwa makini tu .basi usiku kama saa 5 tukaingia club kidogo.na tukalidi saa 8 tukapumzika. Kesho yake saa 2 asubuh si tulishafika kunduchi beach tukapoa ndani ya gari. Nikiwa naomba sana princess aje uku na watoto Lemi ndo alikiwa anaongea na mshikaji wake anamuelekeza kuwa kwa sasa naona location iko wapi.kwa uo mda akasema bado location inasoma kibaha. Tukaendelea kusikilizia mpka saa 4 . Akatustua akatwambia anakuja sasa nazani mana anaelekea njia ya goba nazani ni anakuja uko. Basi kweli mshikaji akawa anatupa aupdates mpka kufika kwake akatulekeza mpka upande alopark . Na kama nahati. yani prjncess alipark kwa pembeni yetu kabisa. Sie tuli tumejikaushaa. Na baada ya mda mlango ukafunguliwa upande wa dereva akashuka princess bwana. Aseeeee mtoto mkari kinoma .mzuri mnoo. Kawa mzuri kisenge. Yani kapendeza .kanenepa bodi limejichonga. Basi katoka kavaa kigauni chake cha kumwaga cheipesi na viatu vyake vya kuingiza uku chini ana vicheni vya miguu vya gold kwenye miguu yake..aseee miguu yake ikazidi kupendeza. Yani mtoto.ndo kawaka kinoma noma Aliposhuka sasa.yeye na mlango wa kushoto akashuka mdada mwengine. Ila uyu alikuwa wa kawaida tu. .kisha princess akenda kufuungua mlango wa nyuma .wakatoka watoto watatu wa kama mika 7. Aseeeee wale watoto wawili ni wakiume na uyu wa 3 ni wa kike. Aseee niliwangalia vizuri wale watoto.bila ya shaka ni wanangu . Wote wamenifanana. Unajua ile kuhamaki et nikataka kishuka.lemi akanishika mkono akanmbia unaenda wapi sasa utaharibu tulia. Basi nikona princess kamshika mkono wa kike.kisha wa kiume akawashika yule dada mwengine wakbeba na begi kama la mgongoni. Kisha wakaanza kuelekea ufukweni. Nyieee nilipata rahaa ya ajabu .aseee nilizani nakufa sina mtoto.kumbe ninaowatatu .hapana lazima princess aelewe na ajue kuwa sasa nataka kuwa baba kwa wanangu. Daah Basi tukashuka na sisi tukaanza kuwafatilia. Tukaona wameenda kukaa sehemi ina viti kisha princess anawabadilisha nguo wanae. uku anongea nao. Nilikuwa naona nawabadilisha nguo za kuogea .kisha akaingia nao kwenye maji madogo japo yey wala hakua anaogelea ni kama vile kucheza nao tu na yule mdada mwengine yeye alikuwa anaogelea .nilipata amani mnooo ya moyoo. Ni wanangu .nimefanana nao sana. Naa bada ya mda nikoan princess katoka amekaa kwa pembeni kisha anachezea simu yake.apo tena sijutaka la kusibiri nilimwambia lemi acha nikaongee nae.lemi akanmbia swa Ila tegemea kukataliwa zaidi. Nikasema naelewa hilo lemi. Basi mie nikamfata princes mpaka pale . Ni kweli alikuwa anaongea na simu ila aliponiona simu yake ikamdondoka.nikavuta kiti na mimi nikakaa . princess akasema unanifatulia kumbe ww? Nikasema hapana na mm leo ndo nimekuona huu mda .nikaona nije kukusalima au kuna shida. Princess akanmbia hakuna aya ondoka.sasa. utanialibia mambo yangu sa hizi .nikasema princess naelewa una hasira sana na mm. Na ninakili kwa mungu kuwa nimekukosea mengi ila nimekuona na waroto apa bila ya ubishi princess wale ni wanangu. Princess akasonya akaniuliza wanao wapi .na wanao gani ww usinitilie nuksi sa hizi . Mimba yako si nilitoa au umeshasahau kama ulitoa pesa ya kutoa mimba. Nikasema princess lakini hukutoa awa watoto nimefanana nao sana . Akanmbia we koma ao watoto hawafanani ana ww na sio wanao.kisha akanyanyuka kwa hasira akenda baharini. Akawachukua wanae.kisha mwengine akamshika yule dada yani kama anamwabia yule dada waondoke haraka. Mi nikanynyuka nikamfata mpaka meneneo ya parking walipokuwa. Wanaelekea kwa ajili ya kuondoka. Apo ni anwavalisha haraka haraka. Aseee ndo nikawasogelea sasa.ahaa uyo mmoja wa kiume ni mama yangu mtupu. Yani kama mama yangu. Na walivyoniona uyu wa kike akasema shikanoo uncle. Aseeee njkajikuta chozi linanaitoka Princezs akmwambia kelele wewe mpumbavu mkubwa. Et uncle unamjua uyo .nyooo .basi mtoto akanyamaza. Nikasema princess ebu tulia tuongee asa unataka kwenda wapi na hatujamaliza mazungumzo . Wala hakunijibu ila niliona ana hasira sana Aalipomaliza kuwabalisha nguo wanae akmwabia yule dadda. Mainda wapelek watoto kwenye gari tunaondoka sasa hivi. Kisha sasa akanigeukia kaanmbia sikia wewe mshamba sina mda wa kubishana na ww kabisa.sitaki ata kuongea na ww. Na sikutamani kuonana tena na ww katika maisha yangu nando mana nilivyosikia unafundisha mzumbe ata kusoma nimeghair . nilitamani ata uwe ushakufa uko . Kwa jinsi nakuchukia ila unachotakiwa kujua kwenye maisha yako ni kama hauna mtoto na mimi.na sijawahi kuzaa na ww. Na mimba yako nilishatoa awa watoto wana baba yao ukome nakwambia . Tena ukome kunizoea .jinga ww .Doooh kisha akageuka ili aondoka .mi nikamdaka mkono. Yani ata hajataka kunielewa akanipiga kibao kikali cha shavu. Akanmbia hiko ni kibao sasa endele kunifatilia kama sijakupiga bastora.kisha akanisukumaa akaingia ndani ya gari yake. Akatoa gari kwa hasira kweli. Nilibaki pale moyo unaum sana mpaka chozi linatoka mwanaume

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

ALIMJARIBU 'BOI' WA NDANI ILI KUHAKIKISHA KAMA NI TASA Hapo ndipo Malaika alipohisi dunia nzima imemuelekea yeye. Kila kona aliyopita ilikuwa ni masengenyo, dharau za ndugu, na minong’ono ya majirani iliyomchoma kama mkuki. Lakini kilichokuwa kinamuua kabisa ni Baraka, mume wake. Yule mwanaume aliyemwahidi kumlinda "kwenye shida na raha," sasa amekuwa baridi kama barafu, anampuuza na kumtazama kama vile yeye ndiye balaa lililoingia kwenye ile nyumba ya Arusha. Ile hali ya kuishi na mume ambaye hakuongeleshi, anakukasirikie bila sababu, na kukuona huna thamani, ilimvua nguvu Malaika. Alikuwa anatembea ndani ya lile jumba kama msukule; kuta za nyumba zilionekana kama zinataka kummeza. Kila akiona watoto wa majirani wakicheza nje, alihisi kisu kinapita moyoni mwake. Alijiona kama mti uliokauka katikati ya bustani ya tajiri—huna faida, huna matunda. Siku moja mchana, hali ya hewa ilikuwa imetulia tuli. Baraka alikuwa kazini, na ndani kulikuwa na Malaika na Sule, yule kijana wa kazi. Malaika alikuwa sebuleni, akipandisha vinywaji vikali ili angalau asahau machungu yake. Hapo ndipo wazo la "kichaa" likamjia kichwani—wazo ambalo mwanamke mwenye akili timamu hawezi kulifikiria, lakini kukata tamaa kulimfanya aone ni sawa. “Siku zangu za hatari (Ovulation) ni sasa... Je, nikimjaribu Sule? Si nitapata jibu kama kweli mimi ni tasa au la?” Moyo ulimlipuka kwa kasi! Alijua ni dhambi, alijua ni hatari, lakini alihitaji jibu, na labda pia alitaka kulipiza kisasi kwa dharau za mume wake. Akajikaza, akamwita Sule kutoka uani. “Sule! Njoo huku ndani mara moja.” Sule akaingia huku anafuta jasho, “Naam, Ma.” “Niletee chupa nyingine ya mvinyo hapa,” Malaika alisema huku anajidai mchangamfu. Alipoileta, Malaika akamkaribisha na yeye. “Chukua glasi hii, kunywa kidogo na mimi.” Sule alishtuka, akachezesha macho. “Samahani Madam... kwani kuna sherehe gani leo?” “Hakuna sherehe mwanangu, nimeamua tu kunywa, na kunywa peke yangu ni upweke mtupu.” “Ah Madam, mimi hizi pombe za kizungu zinanipiga chenga sana.” “Hunywi kabisa?” “Nakunywa bia kidogo, lakini hizi zingine hapana.” Malaika akacheka kidogo, “Basi jaribu hii kidogo tu. Lakini kabla ya hapo, nenda duka la dawa hapo mbele ukaninunulie kitu.” Aliandika jina la dawa fulani kwenye karatasi—dawa ambayo inatuliza mwili lakini inaongeza msisimko na hamu. “Wakiuliza ya nini, sema unataka kitu cha kuuweka mwili sawa, usitoe maelezo mengi. Na usiende famasi kubwa, nenda hapo chemist ya mtaani haraka.” Sule akatii, akatoka. Malaika alibaki anatetemeka. Hakujua kama anachofanya ni ujasiri au ni ukichaa uliopitiliza. Baada ya dakika kadhaa, Sule akarudi na ile dawa. Malaika akaipokea, kisha akamtuma Sule akakague kama geti limefungwa vizuri. Sule alipotoka tu, Malaika akamimina kile kichocheo kwenye kinywaji cha Sule na kukikoroga kwa umakini. “Wacha nione kama atahimili huu mlegezo,” aliwaza. Sule alirudi, Malaika akamwambia, “Funga mlango vizuri, piga na kufuli kabisa kwa usalama wetu.” Sule alitii bila kujua kinachoendelea. Alipoketi, Malaika akamlazimisha kunywa kile kinywaji, akamsaidia kabisa mpaka akamaliza. Saa moja halikuisha, Sule akaanza kulegea. Macho yakawa mazito, maneno yakawa yanatoka kwa shida, mwili ukamshinda kabisa. Alikuwa kama mtu aliyepagawa na usingizi mzito na ulevi wa ghafla. Malaika, kwa sababu ya upofu wa mawazo yake, aliona huo ndio muda wa kufanya kile "jaribio" lake. Sule hakuwa na uwezo wa kukataa wala kuelewa kinachoendelea; alikuwa kama amepoteza fahamu huku Malaika akiongoza kila hatua. Baada ya mchezo kuisha, Sule alisinzia fofofo pale pale kwenye kochi. Malaika akafanya usafi wa haraka sebuleni, akahakikisha kila kitu kipo sawa kama hakuna kilichotokea. Baada ya masaa mawili, Baraka alirudi kutoka kazini. Akamkuta Sule amelala fofofo sebuleni. “Huyu kijana ana nini? Mbona amelala hapa kama amekufa?” Baraka aliuliza kwa mshangao. “Atakuwa amechoka tu mume wangu,” Malaika alijibu kwa utulivu wa ajabu. “Nimempa kazi nyingi sana leo, labda yamemchosha.” “Haya, kama unasema hivyo, sawa.” Sule alikuja kushtuka baadaye, kichwa kinamuuma kama kimepasuliwa na kizunguzungu cha ajabu. Hakuwa anakumbuka chochote cha maana. Madam alimpakulia chakula, naye akaenda chumbani kwake (boy’s quarters) kulala tena. Malaika akajihisi ana amani fulani hivi ya ajabu. Aliona kama amemkomoa Baraka na dharau zake. Alijidanganya kuwa amefanya jambo sahihi. Lakini maskini, hakujua kuwa lile tukio la alasiri ile litaenda kubadilisha maisha yao milele. Miezi michache mbele, siri hiyo ingeleta maswali ambayo yangemvua nguo si tu Malaika, bali hata Baraka mwenyewe na uanaume wake anaoujivunia. ITAENDELEA...

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

“Malaika! Malaika mwanangu!” “Naam mama... mbona unaniita kwa presha hivi, kuna nini tena?” Mama mkwe aliingia ndani huku uso umemshuka kama amekula ndimu, yaani kuanzia asubuhi alikuwa na jambo lake limekaa kooni. Miaka mitatu sasa imepita tangu Malaika aolewe na mwanawe kule Mwanza, lakini nyumba imepoa kama jokofu. Hakuna hata kichefuchefu cha uongo, wala tumbo kuchomoza—hakuna kitu kabisa! Na kwa mama mkwe, hili jambo lilikuwa linamfanya apandishe mori. “Malaika,” mama alianza kumpiga dongo, “hivi wewe kwenye hii nyumba ya mwanangu ni pambo la ndani au mke?” “Hapana mama,” Malaika alijibu kwa upole huku akitetemeka, maana alishajua tu hapa ni mwendo wa mashambulizi. “Mbona unaniuliza hivyo?” “Unaniuliza swali ambalo jibu unalo?” Mama akamtolea kibezi cha hali ya juu. “Inaonekana Baraka amekuoa ili uwe unapangusa vumbi kwenye makochi tu hapa Arusha. Maana miaka mitatu sasa, hata dalili ya mjukuu sioni!” Malaika akashusha pumzi ndefu. “Mama, najua unatamani mjukuu, na mimi pia natamani sana—lakini kila kitu ni mpango wa Mungu.” “Hebu nistue mwanangu, wewe siyo Hana wala Sara wa kwenye Biblia! Usijifananishe na watu wa kwenye vitabu,” mama alimfokea. “Miaka mitatu inatosha sana Mungu kutoa jibu. Jikague vizuri, labda unajua mwenyewe unachokifanya huko sirini ambacho kimeziba tumbo lako!” “Mama, jamani... mbona husemi hivyo? Tulienda mpaka hospitali kubwa kule Dar, daktari akasema mimi sina tatizo lolote.” “Sasa unataka kusema mwanangu ndio ana tatizo?” “Hapana mama, sijasema hivyo...” “Basi jiongeze unipe mjukuu! Nataka wa kiume, wa kike, mimi sijali. Nataka kitu cha kubeba mkononi, siyo makochi ya Arusha!” Malaika alihisi machozi yakimlengalenga. Yaani kila mahali ikawa ni kusemwa tu. Hata kule sokoni, wanawake walikuwa wanamtazama kwa jicho la kando kana kwamba yeye ndiye kirusi cha familia. Siku moja mchana, alimsikia mwanamke mmoja akimnong’oneza mwenzake huku anajua kabisa Malaika anasikia: “Tazama sisi huku tunahangaika kulisha watoto watano, na huyu mwingine hapa ananunua kilo za nyama na samaki wa bei mbaya lakini hana hata mtoto mmoja wa kula naye. Pesa imepotea kweli!” Kauli hiyo ilimchoma kama pasi ya mkaa. Alirudi nyumbani akajifungia chumbani, akalia sana. Malaika alikuwa anaishi kwenye jumba la kifahari, maisha ya kishua, lakini hakuwa na furaha. Alikuwa na kijana wa kazi, Sule, ambaye ndiye alikuwa anafanya kila kitu. Malaika alikuwa na wivu sana, hakutaka kabisa mume wake, Baraka, ahudumiwe na binti wa kazi. Aliamini mabinti wa kazi ni "vicheche", wanaweza kumteka mume wake. Ndio maana akaamua kuajiri kijana wa kiume, Sule, ili awe na amani. Lakini baada ya miaka mitatu ya ukimya, mume wake Baraka naye akaanza kubadilika. Siku moja jioni, Baraka alirudi nyumbani akiwa amefura kama amemeza nyuki. “Mpenzi, karibu nyumbani. Umetoka kazini?” Malaika alijisogeza kumbeba begi, akijaribu kumtuliza mume wake. “Kwani nitakuwa nimetoka wapi kwingine zaidi ya kazini?” Baraka alimfokea kishari. “Mbona unanifokea mpenzi? Kuna tatizo gani?” “Tatizo ni wewe, Malaika! Wewe ndio tatizo!” Malaika alistuka kama amepigwa shoti. “Nimefanya nini mume wangu?” Baraka akazungusha mikono yake huku akitazama sebule yote. “Tazama huku! Unaona nini?” “Sioni kitu... zaidi ya makochi na samani nzuri.” “Na hilo ndio tatizo kubwa! Nina pesa, nina magari, nina kila kitu mwanaume anachotaka. Lakini nikirudi nyumbani nakutana na nini? Samani! Hakuna mtoto anayekuja kunikumbatia, hakuna kelele ya mtoto inayoniita ‘Daddy!’ Nataka ninunue peremende na biskuti nirudi nazo nyumbani nijihisi mwanaume. Nataka uhai kwenye hii nyumba!” “Mpenzi, tunapambana...” Malaika alinong’ona kwa sauti ya chini. “Sikiliza Malaika, nakupa mwezi mmoja tu! Usipopata mimba, ninaleta mke wa pili!” Malaika alihisi kama dunia inampasulia. “Kwa hiyo unanilaumu mimi? Unadhani mimi ndio sipendi mtoto?” “Nilipokuwa kijana kule Mwanza, nilimpa msichana mimba. Japo mtoto alizaliwa mfu, lakini hiyo ilithibitisha kuwa mimi ni mwanaume kamili! Sasa usinicheleweshe. Kama baada ya mwezi mmoja hali ni hii hii, naoa mke mwingine!” Malaika alijihisi amesukumwa ukutani. Alimpenda sana Baraka, na wazo la kuletewa mke mwingine lilikuwa linamuumiza kuliko kifo. Aliamua kuendelea kujaribu, akisali muujiza utokee. Lakini mwezi ukakata... hakuna kitu! Baraka akawa mkali kama mbogo. Usiku mmoja, alirudi nyumbani amechelewa, na Malaika akasikia harufu ya pafyum ya kike ambayo si yake. “Mbona umerudi muda huu? Na hii harufu ya nini?” Malaika aliuliza kwa wasiwasi. Baraka akamtazama kwa dharau akasema, “Ni pafyum ya mtu tu. Na ikigeuka kuwa mtoto kwenye tumbo la mwanamke mwingine, ndio utaelewa maana yake.” Hapo sasa, nguvu zote za Malaika zikaisha. Akili ikamruka. Akahisi kama dunia haina usawa. Alijua lazima afanye kitu... chochote kile... ili kuokoa ndoa yake. Alikuwa na shauku ya kujua, "Hivi kweli mimi ni tasa, au mume wangu ndio anajigamba bure?" Pale Sule, yule kijana wa kazi, alipopita sebuleni na kumsalimia, “Shikamoo Aunty,” Malaika alimtazama Sule kwa jicho tofauti. Kijana alikuwa na nguvu, mtanashati, na mbichi. Wazo moja la ajabu na la hatari likamjia kichwani. Wazo ambalo hakuwahi kuliwaza maishani mwake. “Labda ninaweza kumtumia huyu kijana wa kazi ili nijipime... nione kama kweli tumbo langu ni tasa.” ITAENDELEA...

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

MR AB TULIPOISHIA “Ndio, baba yangu alinipa mbinu za kumrudisha mtu aliyechukuliwa msukule arudi duniani kwa mara nyingine......nilijaribu kufanya hivyo ila wao hawakurudi maana mtaalam alisema kwamba hawakuchukuliwa misukule” “Yesu.....” Nilipagawa huku nikiwaza mengi, hizo zilikuwa habari mpya kwangu, niliogopa sana maisha ya kishirikina. ENDELEA “Usiogope” Jerry aliniambia “Unanisikia Anitha? Mimi nilizaliwa na pacha mwenzangu....tukiwa na miaka minne tu alifariki nikabaki peke yangu” “Whaat.....Jerry!!!” Nilisema kwa mshtuko wa hali ya juu. Yote haya yalinifanya niogope nilikuwa nimeshtuka kwani nilijua fika nimeshatembea na msukule. Sikuamini “Mbona unashtuka?” Jerry aliniuliza “Jerry, kwanini unapenda kunificha baadhi ya mambo katika maisha yako, ona sasa ulichosababisha” Nilisema, kichwani nilimaanisha ameshanitembeza na mtu ambaye ni msukule au jini kama angeniambia kabla basi ningejua na ningemkwepa yule mwenzake feki “Nimesababisha nini mke wangu?” niliuliza “Daaah” Nilisema huku nikitetemeka “Juzi, nilipoenda Iringa nilipata pia nafasi ya kukaa na mtaalam mmoja akaniambia pacha yangu anatumikishwa kula nyama za watu na kuua katika barabara na madaraja makubwa, usione ajali zinatokea tu, kuna vingi” “Jerry!!” Nilisema huku machozi yakinitoka “Usilie ngoja nimalizie, kuna sadaka nimetoa ili arudishwe duniani, nimeambiwa nitaona ishara tofauti tofauti na sasa nimeshaona viatu na begi huku ndani, kikubwa zaidi ni ile hirizi” “Hirizi gani?” Niliuliza “Kwenye nguo zake kulikuwa na hirizi, ile ilitumwa moja kwa moja nikaambiwa nitaikuta sehemu ambapo huo msukule umefikia” alisema Jerry akazidi kunichanganya “Are you serious?” Nilimuuliza huku hamu ya kusikiliza ikiniishia. Niliinuka kitandani kwa uoga nikatoka sebuleni na kuketi huku nikishika tama kwa mikono yangu yote miwili. “Jesus......ina maana nimetembea na msukule?” Nilijiuliza huku machozi yakinitoka, nilipata maswali mengi sana kichwani, nilikumbuka kwamba Jerry ameniambia kwamba pacha wake alifariki akiwa na miaka minne tu, niliendelea kuwaza, sasa kama alifariki na miaka minne mbona amerudi mkubwa tena akiwa amekaa kibishoo kabisa. Alikuwa amechora tattoo na hata nguo alizovaa ni za kisasa kabisa, nilipata wasiwasi na kugundua huenda ikawa sio yeye, nilijitia moyo. Nilikumbuka jinsi anavyojua kufanya mapenzi kumpa raha zote mwanamke nikasema hapana yule sio msukule kwani msukule anawezaje kufanya mapenzi kwani huko usukuleni kuna muda wa kupetiana kweli? Hapana, nilijipa majibu binafsi. Nilikumbuka vituko anavyovifanya vimekaa kishirikina “Hamna yule atakuwa ni jini sio msukule” Niliwaza na kutabasamu Kwa akili ya kawaida msukule tunauchukulia kama lijitu lichafu lenye manywele marefu, na kucha ndefu linalotisha, ila yule hakuwa hivyo. Nilikumbuka kitu kimoja kwa msukule alichukuliwa huwa anakatwa ulimi ili asiweze kuongea kabisa hata akasema alipokuwa kipindi akikamatwa duniani. ITAENDELEA YENYE KIRUNGU SEHEMU YA 10 NA MR AB BAADA YA SIKU 4 Ilikuwa ni usiku nikiwa nimelala kitandani na mume wangu, nilikuwa usingizini kabisa naye alikuwa pia usingizini mume wangu. Nilihisi sauti inaniita usingizini, ilikuwa inaniambia nitoke nje lakini mi nilikuwa nahisi ni ndoto, baada ya kusikia vile taratiiibu usingizi uliniishia nikafungua macho na kutazama. Nina tabia ya kuangalia dirishani ili nijue kama kumekucha au bado ni usiku, nilipotazama dirishani hivi kulionekana ni usiku lakini kulikuwa kuna vimulimuli vya kutosha nje. Nilishangaa kidogo huku nikivitazama, vilizunguka dirishani vikanifanya nimkumbuke Jerry wa Kirungu hali iliyonipelekea kuketi kitandani na kushika kifuani. Nilikaa kama dakika 5 moyo unanidunda kwa kasi hadi nikaamu kushuka kitandani. Bado Jerry alikoroma na hakuniongelesha. Niliwasha taa nikamtazama bado amelala, nikaizima na kubaki kiza halafu nikasogea dirishani. Katika kuangalia dirishani niliona sehemu shaya/vimulimuli wamejaa wengi sana nikapatazama palikuwa juu ya jiwe. Nilimuona Jerry wa Kirungu ameketi juu ya lile jiwe kubwa anatazama katika nyumba yetu. Nilimtazama alionekana mwenye mawazo na aliketi peke yake. Sasa wakati namkodolea macho aliniona nikaona ameshtuka na kusimama akanitazama Alionekana kwamba amenimiss, nilishuhudia ametoa tabasamu pana halafu akanionyesha ua kwamba ameniletea, mi nilikaa kimya maana nilikuwa na mume ndani Aliniita kwa ishara kwamba nitoke nje lakini nilipandisha mabega kwa ishara ya kukataa kata kata. Aliendelea kuniita. Navyomtazama kijana yule alikuwa ananivutia sana, nilipenda alivyo alikuwa sexy sana yaani sexy mno kuliko mume wangu. Mi mume wangu anakaa kiutu uzima sana so nakosa ile enjoyment “Huyu ni jini eti” Nafsi ilianza kuniambia “Achana naye atakuletea matatizo makubwa sana” Roho ilizidi kunisuta huku nikimtazama ‘Shindwa pepo' niliongea kwa sauti ndogo halafu nikarudi nyuma na kuketi kitandani nikashika tama Nawaza hivi mara ujumbe kwenye simu yangu, cha kwanza kabisa kabla sijaifuata nilimtazama Jerry kama bado kalala. Nilipothibitisha hayupo macho niliifuata simu na kufungua ujumbe ni wa kijana yule “BABY NIKO HAPA NJE KWA SABABU NIMEKUMISS, PLEASE NJOO UNIPE HATA KUMBATO TU” aliniambia kwenye ujumbe mfupi. Niliacha kuijibu ile meseji maana nilikosa cha kumjibu, kama ni kumpenda nimeshampenda ila sasa namuogopa maana simuelewi vivyo hivyo niko na mume pale ndani. Mara ujumbe mwingine “ANITHA NJOO BASI AU HAUJAMISS ANGALAU KUINYONYA RUNGU YANGU?” aliniuliza swali ambalo lilileta picha moja kwa moja nanii yake ilivyo ndo kabisa udenda ukanitoka. Nilikumbuka alivyonitekenya nayo nikabaki nawaza ni jinsi gani alivyo mtamu. Niliendelea kuwaza ndipo akanitumia ujumbe “NAONDOKA NA SITORUDI TENA KWAKO MPENZI BYE” aliniambia Badala nijibu niliinuka kitandani na kusimama dirishani nikatazama kama yupo bado, sijui hata machozi yalitokea wapi kweli ushirikina unaweza kumteka mtu haraka sana jamani. Nilishuhudia kijana yule akianza kupaa taratibu kuelekea angani, shaya/vimulimuli walikuwa wakimfuata taratibu kuelekea angani. Nilipata wazimu ‘Sasa anaenda wapi” Nilijiuliza huku nikitazamana naye macho kwa macho anatoa machozi nami natoa machozi pia. Nilishindwa kuvumilia niliwahi simu na kuandika ujumbe “USIONDOKE PLEASE NAKUJA” nilituma huku mikono ikinitetemeka wa uoga halafu nikafuta machozi. Haikupita dakika nzima, alinijibu “TUKUTANE WAPI? AU NIKUPELEKE UKAWAONE WATU WANAOFANANA NAMI?” aliniuliza “HAPANA NJOO NAOGOPA KUTOKA KAMA UNAWEZA KUINGIA CHOONI NJOO” nilituma Msomaji huwezi kuiamini hii hadithi utaona kama natunga lakink ndivyo ilivyo. Niliketi tena kichwa kimeshaanza kuniuma uma, nikaona mwanga ndani kumewaka paap na kuzimika. Japo nilikuwa na uoga lakini nilijua ameshawasili. Taratiibu nilitoka na kuelekea chooni, huwezi amini ile nimefika tu hivi nilimkuta amesimama amenyooka na ukuta, akanikumbatia bila kumuongelesha chochote tulipeana kwanza ndimi. Tukiwa tunabadilishana mate, nilishangaa ameuchukua mkono wangu mmoja na kuutumbukiza ndani ya suruali yake. Ile nimeishika hivi, mwili mzima ulikufa ganzi, nilisikia raha niliipapasa kichwani nikajikuta nataka angalau niinyonye tu. Nilimpa denda kwa fujo sana halafu nikachuchumaa na kuitoa ndani ya bukta nikaitazama “Auwiii” Nilisema kwa sauti ya kunong’oneza, na kuizamisha mdomoni taratibu. Alininyonyesha mb** zaidi ya dakika kumi sitaki kuiachia mdomoni maana kile kirungu cha juu kilinisafisha kama mswaki. Hakusita alinibeba mzima mzima na bahati moja mbaya au nzuri usiku ule nilivaa night dress pekewe hata chupi sikuwa nayo. Kijana yule alinipandisha hadi usawa wa kiuno chake, amenibeba kama mtoto mi nimemkumbatia nampa denda yeye akaichukua na kuniwekea kwenyewe. Kwa jinsi ilivyoingia ikisigua kuta zangu, nikijikuta namuachia ulimi halafu mikono iliyomkumbatia nikamuachia. Nilitua ukutani kwa mgongo ila yeye bado kanibeba na mbo* karibia yote ipo ndani. “Auwiiii aash” Nilisema kwa hisia maana nilipokuwa namtazama macho yamenilegea nami nimelea sikujua hata nifanye nini. Aliichomoa na kuingiza tena nikajikuta napiga makelele “Aaah, aaaah aash, pleaaase aaasb baby” Nilisema huku nikijisahau kule ndani mume wangu yupo......ITAENDELEA

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

NA MR AB Jerry aliendelea kuninyonya ulimi ndipo ghafla yule mwenzake akaondoka kwa hasira kuelekea mlangoni ** Haya mambo ni kama vile ukichaa, ilinibidi nimuachie Jerry na kusogea nyuma kidogo “Vipi mke wangu? Haujanimiss?” Aliniuliza “Jerry” Niliita “Naam Anitha wangu” “Ulipoingia ndani hujaona chochote?” Nilijikuta naropoka bila kujua madhara gani yanaweza yakatokea kutokana na swali hilo Jerry aliangalia kule na huku halafu akapanua mikono na kuniuliza “Kivipi? Mbona sikuelewi, sijaona nini kivipi?” aliniuliza “Aamh, I mean mbona sikuelewi?” Nilimuuliza “Hunielewi?” Aliuliza akinishika kwa nguvu “Mke wangu umenisaliti?” aliniuliza kwa hasira huku akinitikisa “Hapana sijakusaliti ila” nilisema “Ila nini? Nambie hivi vitu ni vya nani” alinibadilikia upya “Niliota ndoto ya ajabu mume wangu, kuna siku ulikuja hapa nyumbani ukaacha hivyo viatu na begi, lakini asubuhi sikuelewa kama ni ndoto au ni kweli embu niambie haujihusishi na mambo ya kishirikina?” nilimuuliza “Hapana, sikiliza Anitha, kuna kitu nimeshajua, ila kwa sababu nimekumiss acha kwanza tufanye kidooogo, nina muda sana sijafanya” aliniambia. Maneno ya Jerry yalinitia wasiwasi kidogo, nilimuomba akaoge kwanza ili awe msafi nimpe haki yake ya ndoa, wakati akiwa bafuni, mimi nilienda sebuleni nikamkuta yule Jerry Feki AkA Jerry Kirungu akiwa amesimama katikati ya Sebule anawaza sana Nilimuita “Wewe” akanigeukia kwa macho yaliyogeuka kuwa mekundu kabisa kwa kuonyesha amekasirika “Umekasirika?” nilimuuliza kijana yule akatikisa kichwa kumaanisha hapana hajakasirika. “Kweli?” Nilimuuliza akatikisa kichwa. Nilimuangalia kwa muda alikuwa ‘Sexy' sana na ni mtu ambaye ana mvuto kwa kumtazama hivi, hata mwanamke yeyote angemuona lazima angemtamani sana kwa jinsi alivyojazia. “I’m sorry huyu ni mume wangu wa ndoa lazima ukubalia iwe hivyo” nilimuambia kijana yule Kijana yule alitikisa kichwa kukubali halafu akainama na kuchukua viatu halafu akaanza kuvaa. “Unaondoka?” Nilimuuliza akanitazama kwa jicho la hasira kidogo, nilipata hofu, nilijua naye ananionea wivu labda ameshafurahia yale mapenzi tuliyopeana muda wa siku moja mbili. Alipomaliza kuvaa vizuri alitembea taratibu kuelekea nje ila nilimfuata nataka kumkumbatia kidogo tu, mara sauti ikasikika nyuma yangu “Vipi Anitha, una mapepo?” Ilikuwa sauti ya mume wangu ametoka bafuni na taulo, kumbe muda wote alikuwa anachungulia naongea na nani. Nilimgeukia Jerry huku nikitabasamu “Hamna mume wangu” Nilimtuliza ila akawa anaangalia angalia kule sebuleni “Vile viatu viko wapi?” Aliniuliza mi nikakaa kimya “Nauliza viko wapi?” Alisema kwa hasira “Twende ndani nikakuambie kitu cha kushangaza mume wangu” Nilisema “Kitu gani?” “Wewe twende” Nilisema huku nikisogea katika mlango wa kutokea nje nikaangalia yule mwenzake ameshaondoka muda mrefu na simuoni. Nilifunga mlango na kumkumbatia Jerry halafu tukaenda hadi chumbani. Bado nilikuwa na wasiwasi lakini niliamua kumuonyesha ufundi ili ajisahau yale yote yaliyosibu nilimpa kimoja kwanza. Lakini sasa kwa kweli Jerry hakuwa fundi kama mwenzake, au labda kwa sababu ya maumbile, yule ana Kirungu ila Jerry hana. “Mume wangu” niliita “Nini?” “Ulikuwa wapi muda wote mbona ulikuwa hupatikani?” niliuliza huku nikimpapasa kifuani “Niliogopa sana” Nilisema “Oh, sorry, nina mawazo mengi ila najua kuna mambo ambayo nimeshaanza kuyaona mke wangu” “Mambo gani?” “Anita, nimezaliwa mwaka 1989 mkoani Tabora, ila kwa bahati mbaya mwaka 1994 familia yangu yote ilipata ajali nikabaki peke yangu kwa sababu niliachwa nyumbani kuwa kama mlinzi wa nyumba” “Hayo yote ulishawahi nieleza, nataka unieleze ulikuwa unafanya kazi gani kwanini ulikuwa hupatikani muda wote” “Naelekea huko, usiwe na haraka” “Mh, ok” “Kabla ya hapo kuna mambo ya kishirikina yalitokea nikiwa mdogo kama nilivyoelezwa na marehemu Baba” “Kivipi?” Niliuliza huku nikianza kuogopa “Watu wengi sana walichukuliwa misukule kijijini kwetu” “Eeh?” “Ndio, baba yangu alinipa mbinu za kumrudisha mtu aliyechukuliwa msukule arudi duniani kwa mara nyingine......nilijaribu kufanya hivyo ila wao hawakurudi maana mtaalam alisema kwamba hawakuchukuliwa misukule” “Yesu.....” Nilipagawa huku nikiwaza mengi, hizo zilikuwa habari mpya kwangu, niliogopa sana maisha ya kishirikina.....JE NINI KITAFUATA? USIKOSE

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

MR. AB TULIPOISHIA Piiiiiiiii, alipiga honi konda, nikasogea na kuchungulia vizuri, kweli ilikuwa kama nimetabiri hivi, nilimshuhudia Jerry anashuka kwenye pikipiki amevaa shati na suruali ya kitambaa akasogea “Mke wangu Anita” Alisema Jerry huku akinifuata anikumbatie mimi nimebaki nimeganda kama sanamu sijui nifanyeje. Alinikumbatia ila mimi sikuonyesha ushirikiano maana nilikuwa nina wasiwasi sana akiingia ndani itakuwaje maana atamkuta mwanaume mwenzake. ENDELEA “Mke wangu” Alisema Jerry huku akiwa amenikumbatia “Mbona hauna raha?” aliniuliza na kuniachia akaniangalia usoni mimi machozi yashaanza kunilenga lenga “Et baby” aliuliza na kunifuta machoni kidogo “Why??? Why mume wangu why??” nilimuuliza kwa hasira huku nikiwa natafuta njia yoyote ya kumzuia asiingie ndani kwanza “I’m sorry mke wangu.....najua kiasi gani unajisikia kwa kutokunipata hewani kwa muda wote huo.....nilipitia matatizo makubwa” aliniambia huju akinishika katika misuli yangu ya mikononi. “No, sihitaji kusikia lolote kutoka kwako, naomba urudi huko kwa wanawake wako” Nilisema huku nikijitoa kwake na na kuwahi mlangoni ili nimzuie “haiwezekani ni karibia mwezi sasa sijui ulipo na haupatikani” nilisema lakini nia yangu ilikuwa kumzuia tu asije akaingia ndani akamkuta mwenzake “Please mke wangu usifikie huko, I missed you, naomba niingie ndani tukae nikuelekeze” alisema “Nooooo....nononono sihitaji wewe jiondokee tu” nilijaribu kumzuia, halafu nikaukamata mlango nataka nifunge niingie ndani halafu nikamtoe nje yule mwenzake kupitia mlango mwingine. Jerry alinizuia kwa kutumia nguvu ili nisifunge mlango na alifanikiwa kuzuia, alikuwa na nguvu kuliko mimi, alipambana na mlango mi namzuia ila kwa bahati mbaya akaona raba za kiume sebuleni. Zilikuwa za yule kijana mwingine ambaye yupo ndani. “Wait....wait....wait...” Alisema kwa mshangao “Hizo...” alisema huku akinyoosha kidole kuzinyooshea zile raba “Hivyo viatu mbona.....ah” alisema kwa mshangao ameshahisi kitu tofauti. “Uko na mwanaume ndani ndo maana unanizuia?” Alisema kwa hasira na kusukuma mlango kwa nguvu nami nikaishiwa nguvu akaingia ndani “Anitaaa” alinifokea huku akizivitazama vile vitabu “Mume wangu” Nilisema huku nikiwa naogopa zaidi na zaidi mwili wote unanitetemeka. Mume wangu alitoka pale kwa kasi ya ajabu anaenda chumbani kuangalia kama kuna mtu mwingine, ilibidi nimfuate nyuma. “Jerry....please sio kwamb.....” Nilisema kwa huruma ninatamani ardhi ipasuke sijui la kufanya. Nilishangaa Jerry aliingia chumbani na mimi nilimfuata nikiogopa atampiga kijana wa watu lakini tulipofika ndani nilikuta Mume wangu anachungulia kila mahali kutafuta mtu aliyeko ndani, wakati mimi namuona kabisa yule Jerry Feki ameketi kwenye kochi la chumbani anamtazama kwa tabasamu Ghafla Jerry mume wangu alitoka ndani ya chumba na kuelekea bafuni na chooni akatazama, halafu akatoka na kucheki kila chumba huku akinitukana na kuniambia maneno mabovu sana ya kashfa Alirudi tena chumbani akasimama mbele yangu, mi namuangalia, kisha namuangalia yule mwenzake anacheka, nikashindwa kuelewa “Niambie ukweli” Alisema Jerry “Ukweli gani mume wangu?” niliuliza “Vile viatu vya nani?” alisema huku akikagua chumbani zaidi “Nambie” alinifokea mara tena akaona begi la kijana yule akalivamia “Na hili begi la nani?” aliniuliza lakini mimi kimya bado nashangaa na kujiuliza ina maana hamuoni?” Jerry alilibeba lile begi akaenda kuketi nalo pale pale mwenzake alipo, kama vile alikuwa anamkalia lakini kijana yule alipotea paap na kutokea katika kitanda akaketi. Mume wangu alifungua lile begi huku anajaribu kuangalia kilichopo ndani, alitoa nguo zilizokuwepo akazitupa chini “Anitaaa!!!” alifoka “Niambie hivi vitu ni vya nani?” aliniuliza kwa hasira “Mume wangu mimi sijui” Nilimjibu “Hujui kivipi? Eeh huju....daah?” Nilishuhudia akitokwa na machozi ndipo akalipiga begi chini puuh “Kwa hiyo limetokea lenyewe humu ndani?” Aliuliza Jerry kwa hasira “Hata sielewi kweli Jerry sijawahi kukusaliti...” “Usiongee ujinga” Alisimama anataka kunipiga mara akapiga teke kwenye zile nguo, puuh kwa hasira, nikashuhudia hirizi jekundu limeruka na kudondoka mbele yangu linawaka waka. Jerry alilitazama huku akihema kwa hasira ila alipolitazama kwa muda niliona kama amelishangaa na kurukia hirizi ile. Aliibeba na kutazama hirizi kweli inang’aa alipotazama hivi Jerry alishtuka sana na alianza kulia “Hapana.......hiiiii hapana....this can’t be happened......hihihiiiii aii” alisema akilikumbatia hirizi lie “Jerry....” Nilimuita kwa mshangao “Umepatwa na nini?” Niliuliza na kumshika, alilegea na kupiga magoti chini analia “Aaah......Nooo daah” Alisema Mume Niliinua macho nikamtazama yule kijana ambaye alikuwa yeye hamuoni. Kijana alinionyesha ishara kwamba nikae tu kimy. Sikuelewa kinachoendelea. Nilisubiri kama dakika kadhaa Jerry aliinuka macho mekundu akanikumbatia “Nisamehe mke wangu, sikujua....” Alisema Jerrt mume wangu “Nini mume wangu?” niliuliza lakini Jerry aliukamata mdomo wangu tayari kwa Romance alionekana amenimiss sana. Lakini nilikuwa namuonea aibu yule mwenzake ambaye alikuwa pale ndani bila yeye kujua “No, usifanye hivyo hapa” Nilisema “Kwanini?” Jerry aliniuliza ila kabla sijajibu yule mwenzake alinionyesha ishara ambayo sikuelewa kitendo kilichofanya nikaropoka na kumuuliza “Unamaanisha nini?. Nitumie meseji” Nilisema maneno yaliyomshtua Jerry “ee? Meseji? Unaongea na nani?” Jerry aliniuliza “Noo baby sorry” Nilisema na kumkumbatia tena Jerry aliendelea kuninyonya ulimi ndipo ghafla yule mwenzake akaondoka kwa hasira kuelekea mlangoni HAKIKA SIKUELEWA NIFANYE NINI JE NINI KITAFUATA? KWANINI JERRY AMEONA HIRIZI AKASHTUKA? MIMI NA WEWE HATUJUI SABABU, HUENDA TUKAIPATA KATIKA SEHEMU YA 08 USIKOSE

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

MR. AB TULIPOISHIA “Wewe Anita......Anitaaaa” Ilikuwa sauti ya baba mmoja jirani aitwaye Ba Masoud. Nilishtuka na kufumbua macho nikatazama “Anitaaaa.....wewe binti” Sauti ya mwenyekiti ilisikika “Yupo kweli au ameshatekwa huyu, usikute ameuawa tuko hapa hapa” Ilikuwa sauti ya mwanaume mwingine kumbe ndo wamekuja kunikomboa saa kumi akati message nimetuma saa sita. Wakipiga kelele mlangoni mi natekenywa taratibu naona kama wananisumbua ENDELEA Nilizidi kumkumbatia zaidi nambinulia hata sielewi, mara nikajisahau nikapiga kelele. “Aaaj.....baby” Hii yote ilikuwa kwa sababu alinisugua kwenyewe. “Wewe Anitaa” Alizidi kusumbua Mwenyeketi. Mimi nikawa nazidi kutulia ila kijana yule aliichomoa na kujilaza kando yangu “Vipi?” nilimuuliza akanyosha mkono kumaanisha niwasikilize hao “nani?” Niliuliza kwa nguvu hao watu waliokuwa nje “Vipi, umeshalala?” Niliuliza “Ndio” Nilisema kwa mkato “Sawa, tumekuja kuthibitisha usalama samahani nilikuwa nimesinzia” mwenyekiti alijitetea “Sawa hamna shida tutaongea zaidi asubuhi” “Sawa” Wale wanaume waliondoka nikawachungulia kwa dirishani walikuwa wanne. Nilipohakikisha wameishilia nilimpanda wangu kifuani na kuikalia imesimama kama mnara, niliendelea kuhangaika nayo, tulifanya hadi nikachoka mwenyewe Asubuhi ilipofika tulioga vizuri ila niliogopa ejapo akija mtu pale nyumbani akamkuta itakuwaje, hata hivyo nilimficha chumbani mi nikawa ninamuandalia kila kitu kwa nje. Nilitamani kupiga naye story ila ndo hivyo alikuwa kama vile ni bubu kabisa alikuwa hazungumzi. Nilimuhudumia chai na chakula, kwani hela ya matumizi iliachwa na mume wangu nilikuwa na uwezo wa kutoa pesa kwenye akaunti yake ya benki. Muda wa mchana kama saa nane hivi nilijisikia hamu ya kwenda kuburudishana naye, nilipomaliza kula tu nilijifunga kitenge kibichi na kwenda chumbani kumpatia alichokitaka. Nilipofika chumbani nilichanganyikiwa, nilikuta amesinzia kitandani. Vitu vya ajabu vilikuwa vikimtoka. Alikuwa ameweka mikono kama vile anapokea kitu fulani, licha alikuwa usingizini. Mikonono kulikuwa kunatokea maua ya aina tofaut tofauti ya rangi nyingi, yalipindeza kila yalipoota na kudondoka kitandani Nilibaki namshangaa, nikaketi katika kochi dogo lililokuwa chumbani nikawa namuangalia huku nafikiria hivyo vitu cinatokeaje wakati sio vya kawaida “Jerry” Nililitaja jina hilo ila hakuitika. Ua rose lililmtoka mikononi, harufu nzuri ilitanda chumbani ndipo nikawa nawaza how comes anafanya vitu vya ajabu Uoga wa kuwa naye pale ndani ulianza kutoweka nilipenda michezo yake ya utoto utoto. “Napenda ua rose jamani” Nilisema kwa sauti ndogo huku nikifuata mkononi na kujaribu kulishika ila likapotea “Tokeza tena basi” Nilisema ila halikutokea Rose bali lilikuja la aina nyingine lenye harufu kali iliyonipa chafya tatu mfululizo Ghafla vipepeo walianza kuingia ndani kufuata ile harufu ya maua nikashangaa “Wewe amka vipepeo” Nilisema na kumtikisa akashtuka usingizini. Alinitazama kwa mshangao kucheki hivi kuna maua kadhaa. Alionyesha uso wa furaha isiyo na kifani kiasi kwamba aliyashika halafu kila vipepeo walipoingia ndani ndo ilikuwa furaha yake, nilipendezwa naye. Niliondoka ndani ya chumba na kuketi sebuleni nikashika tama na kuanza kuwaza kwamba naishi na nani ndani kwangu. Niliiangalia biblia yangu ilipo ila sikuiona, hata sikushtuka sana nikageukia upande wa pili na kuishika simu yangu Mawasiliano yangu mimi na yule Jerry mpya yalikuwa ya kwenye simu tu. Nilikaa nikawa nachati naye wakati niko sebuleni naye kajilaza chumbani. Nilifanikiwa kumuuliza maswali kadhaa “Samahani Jerry wewe ni kijana Mzuri ila ninafikia mahali nakuogopa” Nilimtumia ujumbe “Kwanini waniogopa?” aliniuliza kwa ujumbe mfupi “Hivi vitu unavyovifanya ni vitu vya aina gani?” Niliuliza “Oooh, mimi hata sijielewi” Alinijibu “Hujielewi, kwanini? Kwanza ulisema wewe ni jambazi, jambazi gani mbona sikuelewi na ilikuwaje mpaka ukawa jambazi?” niliuliza “Niliweza kuwa na maisha magumu sana kipindi cha nyuma nikaamua kuingia katika ujambazi kujipatia kipato, ni miaka 17 sasa nimetoka jela kwa msamaha wa rais, sina makazi” Alinijibu kitu kilichonishangaza “Whaat?” Niliuliza “Nisamehe kwa hilo” “Haya masuala ya kuleta viumbe vya wadudu ndani inatokana na nini?” “Sijui huu uwezo naupata wapi ila nilianza kuzoeana na wadudu wa aina mbalimbali katika misitu nikivizia magari usiku na mchana” “Daaah....so una mpango gani?” “Nasubiri siku yangu ya kufa, sina ndugu wala rafiki” alinijibu “Mke na mtoto?” niliuliza “Sijawahi kuwa na mwanamke kabisa wewe ndiye wa kwanza” “Muongo toka” Nilisema huku nikiona ananidanganya maana alikuwa na ufundi usio wa mchezo. “Kweli, ila Anita ninakupenda sana nataka uwe mke wangu” “Kweli?” “Ndio, nahitaji watoto” “Tatizo nimeolewa na aliyenioa anafanana sana na wewe sijui kwanini” “Oh, natamani nimuone......” “haha” Tulitaniana sana, ilifika mpaka muda wa jioni saa moja kasoro, nikawa nje nasonga ugali kwenye jiko la mkaa barazani, ghafla nikaona taa za pikipiki ikiingia kwangu. Nilishtuka na kutazama kwa makini isije kuwa ni mume wangu maana nilikuwa hatarini niko na mwanaume mwingine ndani Piiiiiiiii, alipiga honi konda, nikasogea na kuchungulia vizuri, kweli ilikuwa kama nimetabiri hivi, nilimshuhudia Jerry anashuka kwenye pikipiki amevaa shati na suruali ya kitambaa akasogea “Mke wangu Anita” Alisema Jerry huku akinifuata anikumbatie mimi nimebaki nimeganda kama sanamu sijui nifanyeje. Alinikumbatia ila mimi sikuonyesha ushirikiano maana nilikuwa nina wasiwasi sana akiingia ndani itakuwaje maana atamkuta mwanaume mwenzake......ITAENDELEA

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

MR. AB Tulipoishia Ile nimefika sebuleni kulikuwa na giza, nikapapasa swichi na kuwasha taa. Sikuamini, nimewasha taa hivi, naona mwanaume kasimama katikati ya chumba amevaa boxer tu, ana tattoo zake ameinamisha kichwa chini. Kuinua uso hivi sio mwingine ni yule mwanaume ambaye ametoka kwangu mchana, ambaye alijiita Jerry kama jina la mume wangu. Kidogo nizimie. Endelea “Shindwa pepo” Nilisema kwa sauti kubwa huku moyo ukienda kasi “Haha......” Nilishangaa yule kijana amecheka huku akinitazama kwa furaha, alionekana kutokuwa na lengo la kunidhuru. “Yesu nisaidie” Nilijisemea kimoyo moyo huku nikisogea nyuma ili nikimbilie ndani. Hakufanya chochote alizidi kusimama pale sebuleni ni nikaingia chumbani na kujifungia. Mwili ulijaa barafu, mwili ulishindwa kufanya kazi kama ilivyo kawaida. Kiukweli alinitisha. Niliona cha kwanza kabla ya yote nichukue simu nimpigie mwenyekiti wa mtaa lakini nikaambiwa sina salio la kutosha “Eeh Mungu wangu” Nilisema kwa sauti ndogo huku nikianza kuandika ujumbe. “SAMAHANI KUNA MTU KANIVAMIA NDANI NAOMBA UJE UNIOKOE MUME WANGU HAYUPO” nilituma nikahakikisha umepokelewa ujumbe halafu nikatulia kusubiri majibu japo nilikuwa sina tumaini kabisa nilihisi atakuwa ameshalala. Niliona anachelewa kunijibu hivyo nikachukua jukumu la kutoka kupitia mlango wa nyuma lakini kabla sijatoka chumbani ujumbe uliingia kwenye simu yangu Nilihisi labda mwenyekiti kajibu hivyo nikaenda kuusoma haraka. Kutazama hivi sio wa mwenyekiti bali ni wa kijana yule maana namba nilikuwa nimempa mchana “SAMAHANI ANITHA, USINIOGOPE MIMI SIO JINI WALA MCHAWI ILA SAMAHANI NIMEKUTISHA” aliituma nikaisoma na kubaki nikifikiria kidogo mara akaongeza nyingine “MIMI NILISHAWAHI KUWA JAMBAZI NINA MASTER KEY UFUNGUO AMBAO NAWEZA FUNGUWA KOFULI YOYOTE NDO MAANA NILIINGIA HAPA SEBULENI KWAKO ILI NILALE MAANA SINA SEHEMU YA KULALA” Niliposoma huu ujumbe kwa mbaali ulinishawishi, kitendo cha kushawishika nilijikuta naketi kitandani, ila roho nyingine ikaniambia kwamba ananizuga yule sio mtu wa kawaida. Niliendelea na wazo la kutoka nje, nilichukua simu na kuanza kutoka huku nikinyata lakini nilipofika kwenye mlango nifungue nilikumbatiwa kwa nyuma “Uwiiiii....” Nilipiga yowe kwa sababu ya uoga, nywele zilisimama huku nikipatwa na ubaridi. Nilijaribu kufungua mlango ila niliishiwa nguvu na kujikuta nadondoka chini na kupoteza fahamu. Sikujua kilichoendelea ila nilishtuka baadaye nikajikuta niko kitandani nimelala chali naye kaketi kando ya kitanda anachezea “Shaya” sijui aliwapata wapi wanawaka waka mikononi mwake yeye anatabasamu tu. Niliinuka kwa uoga kitandani bado sikumuamini maana niliona kama mzimu. Kijana yule aliishika simu yangu na kunipatia, nilipotazama muda ni majira ya saa 10 na dakika 23 alfajiri. “Saa 10?” Nilimuuliza akatikisa kichwa “Ondoka” Nilimuambia ila alinitazama kwa huruma uso wake ulionyesha hana pa kwenda. Bado alikuwa na boxer pekee kifua kilijazia na alichorwa tattoo ya fuvu likichomwa moto kifuani “Wewe, who are you?” Nilimuuliza ila akawa anatabasamu tu bila kunijibu maana uwezo wa kuongea alikuwa hana na sikujua alipoupotezea au labda alizaliwa hivyo Alinionyesha kwa matendo ila alichomaanisha ni kwamba nimuangalie anachokifanya. Nilimtazama kwa makini nikaona amenyoosha mikono miwili akawa anaviringa viringa Shire (Shaya) wakawa wanajaa kule ndani. Shaya ni nini? Nitakuelezea kwa kifupi Shaya ni wadudu wadogo wadogo wapaao ambao wanakuwa kama wana taa yaani wanawaka waka wakati wakipaa gizani Endelea Shaya walifika kama 500 kule ndani mi nikawa nashangaa mara kijana yule akaenda kuzima taa ya chumbani na kukabaki giza Haki ya Mungu uongo mbaya wale wadudu walivyokuwa wakiwaka waka kule ndani kulipendeza mpaka nikajikuta natabasamu na kuupenda ule mchezo. “Wewee......Mbona wanawaka hivi unafanyeje? Wametoka wapi? Kwanini wanakufuata?” niliuliza maswali mengi mfululizo kijana yule hakujibu akawa anakimbia chumbani nao wanamkimbiza yaani inapendeza sana. Yule kijana ambaye alifanana mnooo na mume wangu, alifikia mahali akawa amelala chini kabisa sakafuni nikaona na wale wadudu wakupendeza wamemfuata na kumlalia akawa anawaka waka huku anatabasamu Nilikuwa namuona maana mwanga wa wale wadudu ulisababisha chumbani kusiwe na giza kubwa sana “Aah wewee” Nilisema kwa furaha huku nikimshagaaa Kijana aliinuka na kupanda kitandani akanishika na kunilaza chali halafu akanilalia na kunikumbatia. Wadudu Shaya walimfuata kitandani na kutufunika sisi sote mimi na kijana huyo ambaye hakuwa wa kawadia sana Nilisikia raha kiasi kwamba ile michezo yake niliipenda sana na hata kumkumbatia na mimi. Kumbuka nilivaa night dress pekee na ndani kulikuwa na chupi tu. Naye alikuwa na boksa tu. Tulianza kuchezeana huku wadudu wakawaka wakituzingira miili yetu yote na wengine wakipepea chumbani kote. Kijana alinibusu shingoni mwangu nikasisimka na kumfumbia macho huku tabasamu mwanana likinitoka nikajikuta ninapanua mapaja akaingia katikati. Nilisikia imeanza kumtuna kijana wa watu, na mimi michezo yake ilivyokuwa imenifurahisha ilinifanya nikawa namsugulia sugulia taratibu Tuliendelea kupapasana mara ndimi zikagusana na kuanza kutekenyana. Hata sielewi saa ngapi aliitoa kwenye boxer mimi nishaanza kuloa nilisikia amesogeza tu chupi yangu pembeni halafu kirungu chake kikatua kwenye mlango wa shimo langu. Tulizidi kukumbatiana mara akajikandamiza kidogo nikasikia rungu imeingia “Aaaah......shssshit” Nilisema na kuuachia ulimi wake halafu nikamkumbatia nikampa denda halafu nikanyanyua kiuno inaingia robo tatu nzima “Auwiiii......aauwii” Nilisema nikiweweseka siwezi hataufumbua macho nitazame wale shaya wanavyowaka mi nimemnasa mkaka wa watu nainjoy taratibu. Ghafla tunafanya vile nikasikia mlango umegongwa “Wewe Anita......Anitaaaa” Ilikuwa sauti ya baba mmoja jirani aitwaye Ba Masoud. Nilishtuka na kufumbua macho nikatazama “Anitaaaa.....wewe binti” Sauti ya mwenyekiti ilisikika “Yupo kweli au ameshatekwa huyu, usikute ameuawa tuko hapa hapa” Ilikuwa sauti ya mwanaume mwingine kumbe ndo wamekuja kunikomboa saa kumi akati message nimetuma saa sita. Wakipiga kelele mlangoni mi natekenywa taratibu naona kama wananisumbua JE BINTI ATAWAAMBIA NINI? USIKOSE SEHEMU YA 06

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

Na Mr AB SEHEMU YA NNE Alifanya kuniwekea kunako, akaisukumiza kikaingia kile kichwa tu “Ooohhh..bhaaan...” Nilihema kwa hisia huku nikijisukumiza nyuma ikawa inaingia taratibu hadi ulipoingia mpaka mwisho. Ilinitekenya halafu akaanza kuchochea taratibu. Mkono mmoja ulinipapasa mgongoni na mwingine aliutumia vizuri alitumia kidole chake kunichezea mkun....ni.....aaaash Baby.....sssh Nilisikia utamu usio wa kawaida mwanaume yule alionekana michezo anaijua sana. Nilianza kuikatikia. Alitoa kidole mku....ni na kunishika kiuno kwa mikono yote miwili akawa ananigonga makalio yanalia paa paa paa, nilikuwa nasikia raha sikuipata kwa muda mrefu “Aah...baby......ssssh aah baby ooh” Nilipiga kelele nilikuwa sijielewi kwamba yule nimeshamuhisi sio mume wangu ilibidi tu niendelee kuikatikia. Nilikojoa nikalowa nikawa nimeshaishiwa hamu ikabidi nimuite “Kojoa baby aaash” Nilisema nikimzungushia akawa anaendelea kunipiga jeki “Uwiii, aaash” Nilipiga kelele za mwizi kwa jinsi alivyokuwa fundi, nilijikuta natamani tuendelee tena. Ila baada ya dakika moja alinikojolea. * Tulioga vizuri tukatoka na kuketi sebuleni. Nilikuwa namshangaa kijana yule machachari ambaye hawezi kuongea. “Samahani” Nilitamka nikaona amenitazama, “Wewe ndiye Jerry au ni ndugu yake?” niliuliza huku nikimtazama kifuani ana tatoo ya fuvu la binadamu pamoja na moto unalichoma Yule kijana akitikisa kichwa kuonyesha amekubali “Sasa umekubali kipi? Wewe ni Jerry?” niliuliza akatikisa kichwa kukubali “Sio ndugu yake?” Niliuliza akatikisa kukataa “Khaa....mimi unanijua?” Nilimuuliza akakubali “Mimi nani?” niliuliza akatabasamu na kuchukua simu yake akaanza kuandika. Baada ya kuandika aliinuka akanifuata na kunipa ile simu, nilipotazama aliandika “WEWE NI MKE WANGU” alinijibu “Mke wako ulinioa lini?” niliongea “MIAKA MITATU ILIYOPITA” aliniandikia ilikuwa ni kweli ni miaka mitatu “Sio mume wangu wewe najua, ila basi sawa” Nilisema “NIMEINJOI PENZI LAKO INABANA VIZURI, Naomba niendelee na safari yangu” aliandika na kunipatia simu nikaitazama “Sawa asante pia, nitumie ujumbe kwenye simu yangu labda tutajuana zaidi” Nilisema Alinipa simu yake kwa maana nyingine alikuwa anataka nimuwekee namba yangu. Nilifanya hivyo nikasevu na kujitumia ujumbe. Aliniaga akaondoka sikujua alikuwa anaelekea wapi maana hakunieleza vizuri. Nilibaki pale nyumbani nawaza mbona kama ni ndoto lakini kiukweli haikuwa ndoto ilikuwa ni ukweli mtupu. Muda ulisogea, nilijaribu kuipiga namba ya mume wangu ya simu lakini alikuwa bado hapatikani. Nilipika chakula cha jioni nikala halafu nikalala. Usiku nilisumbuliwa na ndoto sa ajabu ajabu ndoto ambazo zilikuwa zilinitisha. Nakumbuka niliota nimeenda eneo moja la makaburini ile usiku na nikakuta mafuvu kama milioni yakichomwa moto na mtu mmoja ambaye alikuwa hana kichwa. Niliogopa sana, yule mtu alianza kunikimbiza, nikawa napiga kelele za msaada alinikamata na kuniambia “Nataka leo nikuchome uwe kama hayo mafuvu” alisema kwa sauti yenye kutisha. Aliingiza mkono ndani ya koti lake na kutoa sime (Panga la kimasai) akanipitia shingoni, kutokana na uoga nilishtuka usingizini “Shindwa kwa Jina la Yesu” Nilisema kwa uoga “Mbona naota ndoto kama hii?” Nilijiuliza huku nikiketi kitandani naangalia kule na huku nikashuka kitandani na kuwasha taa. Nilipata uoga wa kutisha maana nyumbani nilikuwa peke yangu mimi. Niliona niende sebuleni nikachukue biblia yangu ili inilinde kama kuna majini au wachawi wananifuatilia. Ile nimefika sebuleni kulikuwa na giza, nikapapasa swichi na kuwasha taa. Sikuamini, nimewasha taa hivi, naona mwanaume kasimama katikati ya chumba amevaa boxer tu, ana tattoo zake ameinamisha kichwa chini. Kuinua uso hivi sio mwingine ni yule mwanaume ambaye ametoka kwangu mchana, ambaye alijiita Jerry kama jina la mume wangu. Kidogo nizimie........JE HUYU JAMAA NI NANI? USIKOSE SEHEMU YA 05

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

"Daah mbona haisimami?" Nilimuuliza boss wa mume wangu "Ngoja niondoke nitarudi siku nyingine leo sijisikii vizuri" alijibu akipandisha suruali yake halafu akatoa shilingi elfu 20 akanipatia "shika hii" "Mh asante" nilisema licha ya kwamba sikuwa na shida sana ya hela ila nilitaka mb** niichezee "Ok bye" "Poah" Boss wa mume wangu aliondoka na kuniacha nikiwa bado nina nyg hatari, niliingia bafuni nikaoga zangu kwa maji ya baridi, na nikatoka nikiwa nimelegea legea bado. Nikiwa nimejilaza kitandani mchana nilisikia mtu ananigongea mlango "Nani?" Nilimuuliza "Ngo ngo ngo?" Alizidi kugonga Niliinuka na kujifunga kitenge nikatoka mpaka mlangoni nikafungua, kuangalia hivi, mume wangu Jerry amerudi "Jerry??""!!!!" niliongea kwa mshtuko lakini hakunijibu. Nilimshangaa kuanzia juu mpaka chini, mimi Mume wangu alikuwa ni mtu wa heshima, alipendelea kuvaa suruali za kitambaa pamoja na mashati lakini cha kushangaza Jerry alirudi akiwa amebadilika sana alikuwa amevaa Tisheti nyeupe iliyombana ikionyesha mwili uliojazia kama vile mbeba vyuma. Alivaa suruali ya jeans na raba nyeupe. "Jerry mbona sikuelewi?" Nilimuuliza kwa mshangao huku nikijiuliza mbona amebadilika ghafla lakini Jerry alinitazama tu bila kuongea chochote, nilibaki nikijiuliza tatizo nini mbona haongei na mimi? Kuna shida?. Jerry alinitazama kwa huruma alionekana mtu aliyechoka alionekana mtu mwenye maumivu moyoni mwake, nilianza kupata hofu labda amemuona bosi wake akitoka pale nyumbani. “Mume wangu....karibu ndani” Nilisema kwa hisia huku nikijifanya nina wasiwasi na maisha yake “Umekutana na mangapi huko mbona sikuelewi?” nilimuuliza “Apaa....paa..mpaah” alisema Jerry kama bubu, nilishtuka vipi “Vipi?” Nilimuuliza “Apaaa...paapa” Alisema huku akinyooshea mkono kinywani kumaanisha hawezi kuongea, niliogopa zaidi “Aapppaa” alisema huku akionyesha ishara kwamba anahitaji kinywaji “Unataka maji?” Nilimuuliza nikaona ametikisa kichwa, kwa maana nyingine alikuwa anasikia lakini kuongea anashindwa “Ingia ndani” Nilisema huku nikimpisha aingie ila alikataa kwa matendo “Kwanini sasa? Kwani nimekukosea nini?” Nilimuuliza ila alibaki akionyesha ishara kwamba hawezi ingia. Niliogopa sana, nilipomtazama mbona kama sio Jerry nayemjua? Nilipata wasiwasi na kuingia ndani nikachota maji na kumletea. Alipokea maji akanywa haraka haraka halafu akashukuru kwa matendo na kugeuka anaondoka. “Please” Nilisema nikimshika mkono na kumvuta “Niambie mbona kama sikuelewi?” nilisema Jerry alitoa simu mfukoni, ilikuwa simu ndogo ya batani, akaanza kuandika message pale kwenye simu na kunikabidhi nikasoma. Aliandika hivi “NIMECHOKA KUNA SEHEMU NAWAHI ILA SIJUI NI WAPI, NIMEPITA HAPA ILI NINYWE MAJI, ASANTE” aliandika vile ikabidi niifute nami nikamuuliza “KWANI WEWE NI JERRY? AU NIMEKUFANANISHA?” niliuliza “NDIO MIMI NI JERRY” alinijibu “SASA MBONA HAUWEZI KUZUNGUMZA UMEKUMBWA NA NINI?” “NILIPOKUWA IRINGA NILIFANYA UHALIFU WAKANIWEKEA KAA LA MOTO MDOMONI NIKAWA NIMEPOTEZA UWEZO WA KUONGEA” Niliposoma ule ujumbe nilishtuka hasa, kumbe kweli ni Jerry, ametokea Iringa amepatwa na matatizo gani? Na alifanya kosa gani? “NAOMBA UINGIE NDANI NIKUULIZE KITU” Nilizungumza Jerry alinitii akaingia ndani, aliketi kwenye sofa dogo na kunitazama huku akijifuta jasho. “Nisamehe mume wangu” Nilisema nikaona ameshtuka kidogo huku akinitazama kwa mshangao “Nisamehe, labda kuna kitu umehisi ila tu, sijafanya chochote naye Haki ya Mungu....nilikuwa nakusubiri wewe” Nilimuambia “Ila umebadilika upo kama mtu mwingine au sio wewe?” Niliuliza kwa mshangao Jerry aliendelea kukaa kimya kwa muda, nilimletea chakula nikamuwekea mezani, alipoona chakula tu mate yalimdondoka akakivamia bila hata kunawa mikono akawa anakitafuna haraka haraka kwa fujo. Baada ya kula kwikwi zilimbana akawa anataka maji. Nilimletea haraka haraka akanywa na kutulia huku akihema Jerry aliinuka akabeba begi lake la mgongoni anataka aondoke, haraka haraka niliwahi mlangoni kumzuia asiondoke nikaubana mlango kwa ndani na kutoa ufunguo. “Jerry....nieleze kwanza unaenda wapi?” Nilimuuliza huku nikimsogelea “Unaenda wapi?” Niliuliza tena Alionyesha matendo kwamba anaenda huko mbele lakini nikamkumbatia. “Mi sikuelewi” Nilisema kwa huzuni ila kifua kile ninapokilalia ni cha tofauti sio sawa na cha Mume wangu Jerry, nilishangaa kifua kitamu tena kimejazia kimejipanga Nilianza kumpapasa kifuani, kumbe naye alikuwa na hamu zake nikaona suruali imetuna, niliigusa kwa mkono pale kwenye flaizi nikapapapasa kidogo, kulikuwa na zigo humo ndani Nilishangaa ametupa begi chini halafu akanikumbatia na kuninyonya shingoni, kwanza mnyonyo wenyewe sio wa kawaida. Alinitekenya shingoni nikamuachia mi nimeshaanza kulegea nalowa taratibu ukizingatia ni muda sijafanya. Alinibeba kwa nguvu zote na kuniweka kwenye sofa. Alianza kucheza na chuchu zangi akafungua khanga nilojifungia na kuzitomasa chuchu. Nilinogewa nikampa denda “Aaash aah” Nilisema kwa hisia na kufungua zipu yake nikatoa msurupwenye wake taratiibu na kuanza kuupapasa. Kichwani nilihisi yule sio Jerry ila mbona wanafanana kila kitu. Niliinuka na kuketi nikataka kuinyonya dudu yake ile naitazama ni bonge la dudu nyembamba fulani hivi ila kichwa ni kikubwa yaani ilikuwa kama kirungu “haaah ina kirungu” Nilisema kwa sauti ndogo akanizuia na kunipanua mapaja anataka kuninyonta kunako. Nilimzuia kwanza “Ngoja nikajisafishe kwanza ndo unyonye” Jerry alitikisa kichwa kunikubalia haraka nikashuka pale uchi siogopi, nilienda bafuni nyumba yetu ni self contained. Jerry ambaye nilikuwa siamini kama ni Jerry kweli aliinuka kwenye sofa na kunifuata hadi bafuni alionekana mwenye hamu kushinda hara mimi. Sikusita bafuni nilitawaza haraka halafu nikamkumbatia na kumvua tisheti, nilishangaa Jerry alikuwa na tattoo za kutosha kifuani “Please we sio mume wangu” Nilisema kwa uoga ila sijakaa sawa mkono wake umeshatua katikati ya mapaja ananitekenya kiarage “Aaaash, please stop niambie kwanza wewe na..... Aaaash” Nilishindwa malizia sentensi baada ya vidole vyake viwili kuingia ndani ya naniliu mpaka mwisho “Oooh aaash bhaaas” Nilisema lakini alikuwa akivichochea kwa kwa kasi hadi nikajikuta natua ukutani kwa ulegevu maana nilihitaji mb.... Jerry alivua suruali yake na kunivuta akanipiga denda halafu akanipigisha magoti na kuanza kuninyonyesha mbo...kama vile lolpop. Hakika ilikuwa nzuri kale kakirungu kalinipagawishi, niliinyonya kama nafyonza maji, akawa anahema tu. Baada ya kunyonya sana Jerry aliniinua na kunigeuzia ukutani akaniinamisha kidogo halafu akaisogeza na kunichapa nayo makalioni. Alifanya kuniwekea kunako, akaisukumiza kikaingia kile kichwa tu “Ooohhh..bhaaan...” Nilihema kwa hisia huku nikijisukumiza nyuma ikawa inaingia taratibu hadi ulipoingia mpaka mwisho. Ilinitekenya halafu akaanza kuchochea taratibu. Mkono mmoja ulinipapasa mgongoni na mwingine aliutumia vizuri alitumia kidole chake kunichezea mkun....ni.....aaaash Baby.....sssh.......ITAENDELEA

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

Tulipoishia Asubuhi ilipofika Nilijikuta namtext boss wa mume wangu "Wewe" nilituma asubuhi na mapema maana niliamka na nye** vile vile "Niambie madam" "Ninahitaji mboo" Nilimuandikia ujumbe huo ili nione atajibuje, yaani akijibu vizuri tu nilipanga nampa yote. Endelea Nilisubiri kama dakika kumi hakujibu boss wa mume wangu, nikawa naogopa unajua ukimtumia mtu ujumbe kama huo halafu hajajibu basi unabaki unajiuliza kakuchukuliaje. Nilipata maswali, nikawa nawaza "Ameniona malaya au? Au amehisi labda sina msimamo....mh" Nilisubiri anijibu lakini hakunijibu ilibidi nimuongezee nyingine ili kumpima kama kakasirika "Mbona kimya?" Nilimuuliza "Samahani niko bize kidogo ila message yako nimeona, vipi uko wapi?" aliniuliza "Niko nyumbani" "Mimi niko kazini, nikitoka tu nitakupitia hapo nyumbani tuongee" aliniambia "Sawa" Niliendelea kuwaza mambo mengi kuhusiana na mapenzi akili haikutulia kabisa, nilikuwa sina hata mtoto mmoja bado. Nilimtumia ujumbe Angela rafiki yangu "Angela, vipi shoga angu nina nyeg...nifanyeje?" nilimuuliza "Pole shoga, fanya kuogea maji ya moto zitaisha" "Kweli?" niliuliza "Ndio, mimi zikinipanda kama mume wangu yuko mbali huwa naogea maji ya moto" "Sawa ngoja nijaribu" Nilibandika maji jikoni haraka halafu nikawa nimevua nguo na kujifunga kitenge tayari kwa ajili ya kwenda kuoga. Nikiwa nawaza kwenda kuoga nilikumbuka kidogo natakiwa ninyoe huku chini sio kusafi kivile. Nilichukua sheva na kuepua maji jikoni nikapooza na kuingia bafuni. Nilijisafisha nikanikanda vizuri halafu nikatoka bafuni na kwenda kitandani. Usingizi mzito ulinipitia kiasi kwamba nilikuja kushtuka baada ya kugongewa mpango kwa nguvu. "Nani?" Niliuliza huku nikipiga miayo kwa sababu ya kutoka usingizini "Amahaji" alitaja jina lilikuwa la boss wa mume wangu "Anhaa, karibu" nilisema huku nikishuka kitandani na kujifungia khanga vizuri halafu nikaenda kumfungulia mlango. Ile nimefungua hivi boss wa mume wangu alinikumbatia kwa nguvu "Aaaash....acha bhana" nilisema kwa hisia maana kitendo cha kunikumbatia tu nilisikia mwili wote umenisisimka "Ulikuwa umelala?" Aliniuliza "Ndio, karibu ndani" Nilisema kwa hisia huku nikiingia ndani na kutingisha makalio makusudi "Woow, Anita" Aliniambia huku akiingia ndani. Tuliketi sebuleni na kuanza kupiga story. "Kwani Jerry anafanya kazi gani huko?" Nilimuuliza "Atarudi baada ya muda mfupi hivyo atakuambia mwenyewe" alinijibu Kila nilipomtazama boss nilitamani, maana mimi kwa ile mihemko yaani nilitaka mwanaume yeyote. Nilianza kumtega kwa kumfunulia mapaja na kujipanua panua. Nilipomtazama alikuwa anaonekana anapata hisia kali na hata alinifuata kwenye sofa yangu akapiga magoti chini halafu akaanza kunipapasa mapajani. Nilianza kusikia utamu, nilijilaza kwa mgongo huku nikimpanulia miguu. Boss alianza kunilamba mapajani taratibu na kunibusu huku akipanda mpaka kinako. Alinipanua mapaja na kuzamisha ulimi wake kunako kitumbua "Aaaaash aaauwii" Nililia kwa utamu huku nikibinua kiuno na kumuacha awe ananinyonya taratibu. Nilisisimka sana nilikuwa natamani hata kimoko tu. Boss alinivuta na kunitega vizuri akaendelea kuninyonya, katika unyonyaji wake nilisikia raha maana sikuwahi kunyonywa muda mrefu sana. Nilisikia ameingiza kidole akawa ananipapasa taratibu. Nilinogewa nikamvuta na kumpa denda huku nikimfungua suruali na kutoa uume wake. Sikuamini yule jamaa alikuwa na kauume kadogo kama kidole. Nilishtuka ila sikujali maana nilikuwa nahitaji kutiwa angalau. Nilimvuta kwangu ili aingize ila kabla haijaingia Boss alikojoa juu ya mapaja yangu huku akipiga kelele "Aaaaaah taaamu" alisema kwa sauti kubwa alikuwa ana matatizo sijui. Nilishangaa sikuwahi ona mwanaume wa ana hiyo, "Vipi?" Nilimuuliza "Taamu aaah" Alizidi kusema huku ameshanichafua na misha.... yake huyo bwege. Ilibidi nijifute halafu nikaanza kumpapasa, yaani ilichukua zaidi ya nusu saa nzima naipiga jeki lakini haisimami tena.

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

Sehemu ya kwanza Mume wangu ni mtu msiri sana ambapo ni mara nyingi tumekuwa tukigombana hasa pale ninapogundua kwamba kuna mambo ya muhimu amenificha kwa muda murefu. Hata hivyo ugomvi haijaweza kuwa tiba ya kuubadilisha usiri wake, naishi naye kama vile mimi sio mke wake halali wa ndoa. Nakumbuka siku moja aliniambia anaenda mkoani Iringa mimi aniache nyumbani maana tumejenga Kwangwa mkoani, Mara. "Kuna nini mume wangu?" Nilimuuliza "Kuna kazi naenda kufanya nimeagizwa ofisini" aliniambia "Lini wamekuagiza na unaenda siku ipi?" niliuliza "Naondoka kesho kutwa....siku baada ya kesho" "Mh....Mume wangu, hivi Jerry una tatizo gani my Love?" niliuliza "Kwanini?" "Mbona vitu vyako huwa unavifanya kwa kushtukiza sana? Halafu baby ni juzi tu umetoka safari hata siku mbili hazijaisha sasa unaondoka tena?" niliuliza kwa hasira maana nilikuwa nina hamu sana ni muda sijafanya "Ni mwezi unakaribia kuisha sasa na hatujafanya chochote Jerry" nilimuambia kwa hasira "Wewe mwanaume gani?" niliuliza "Samahani, Anita, sidhani kama ni kosa langu" "Sasa wewe unaondoka niko mwezini nikimaliza siku zangu hivi utanionjesha penzi nimeimiss mume wangu" nilisema kwa hisia huku nikiumia kidogo rohoni. Nilimsogelea na kumkumbatia, yaani nawashwa ila tu basi niko hedhini "Utakaa muda gani?" Nilimuuliza "Sijajua, ila kazi ikikamilika tu nitarudi mapema. Mi mwenyewe nimekumiss mke wangu". "Daah" Nilimvuta mume wangu nikampa denda, tukiwa tunanyonyana mate mkono wangu unachezea uboo wake, nilishindwa kuwa mvumilivu, niliivamia na kunyonya kwa speed huku nikifyonza kama vile nataka kuitoa damu. "Aaash, Anitha.....daah" aliniita huku akinipapasa kichwani ilionekana mwenyewe ameshanogewa na mnyonyo wangu. Niliendelea kunyonya sasa kadri navyonyonya ndo napata hisia kali zaidi. Nilijikuta nataka uboo kwa namna yoyote "Please mume wangu, nif...." Niliogopa kumalizia sentensi maana nilihisi nitamkwaza bwana angu, kwani alikuwa hapendagi utani kabisa. Nilifanya makusudi nilibinua makalio juu juu ili nimtamanishe anifanye hata kinyume maana kabla sijaolewa kuna ex boyfriend wangu alikuwa akinionja huko mara moja moja. Nilivua nguo zangu, muda huo damu zilikuwa hazitoki "Mume wangu, naomba niikalie" niliongea kwa hisia nikimvutia kasi anipe raha "Kivipi sasa maana upo kwenye siku" "Ila mume wangu kwani si hata huku hauingizi kwa nguvu, mi nataka kimoja tu nimemiss kukojolewa" Nilisema kwa hisia "Oh, sorry hiyo tabia unataka kuleta haifai hapa kwangu Anita kwanza hayo mawazo umeyatoa wapi? Au ulishawahi kufanya hivyo?" "Hapana, sijawahi, I'm sorry babe, nina nye... Sana kumbuka tatujato....na muda" "Ok tulale kama kesho zikikata tutafanya" "Sawa" Nililala kwa maumivu, roho iliniuma, yale niliyotarajia nitayakuta kwenye ndoa mimi sikuyaona nilifikiri kunyanduana ni kipaumbele cha kwanza kumbe wala unaweza kaa hata mwaka bila kupata hiyo ladha. Niliwaza sana * SIKU MBILI BAADAYE Jerry aliondoka nyumbani akaniaga kwamba anaenda Iringa, aliniacha katika hali ngumu kimwili, mi napenda sana mbo* kila saa ninawashwaga napenda kukunwa sana. * Siku zilisogea zikasogea nikawa nimeshazoea ile hali ya kuishi bila kukunwa. Nilijihisi niko perfect ila cha kushangaza Jerry mume wangu alikuwa hapatikani kwenye simu. Nilipata stress sana. Ilibidi nimtumie ujumbe bosi wake na kumuuliza kwanini mume wangu hapatikani. Boss aliniambia kwamba yuko eneo baya sana mtandao hamna, maana ni chini ya ardhi kuna uchunguzi anaufaya. "Mh mbona unanitisha jamani uchunguzi gani chini ya ardhi?" "Kuna maasi yanafanyika mpakani mwa Tanzania na Msumbiji hivyo inabidi wafuatilie kwa kina" "Daah jamani mume wangu mimi" niliongea kwa huzuni ila boss alinicheka "Hahaha, umemmiss nini?" aliniuliza "Hamna hata sijamiss chochote ninahofia afya yake" "Mmh, lazima umemiss" alianza boss kunichokoza "Nini?" "Umemiss kirungu chake....." aliniambia maneno ambayo yalisababisha nikavuta picha ya mbaali na nilivyokaa muda bila kufanya nilijikuta najibu ujinga "Boss bwana acha maneno hayo, unajua mi sijakunwa muda halafu unanitajia hivyo napata hamu" Nilituma ujumbe kwa hisia huku chuchu zikianza kuniwasha na kusimama "Pole sana, vipi nije nichomeke au?" aliniuliza "Nooo, naogopa, nitanogewa mwenzangu hafu wewe mtu wa pwani akuu utanisababisha nipagawe" "Mmmh, haya basi kama rungu umelikataa ina maana hata kunyonywa kisimi hautaki?" aliniuliza boss wa mume wangu "Auwiii, acha boss bhana mi nitalowa huku" "Samahani nikuamkie usiku mwema ila mpenzi wako yuko salama" "Asante boss" Boss hakunijibu tena ujumbe, muda ule alibaki kimya na kuniacha katika mawazo na nyege ameshanipandisha. Nilichanganyikiwa, nilitamani nikunwe na mwenzangu yuko mbali hata sijui kama yuko salama. Nilijikuta namuwaza boss wa mume wangu, natamani uboo wa mwanaume yeyote, tena aliposema masuala ya kunyonya K yaani ndo kabisa. Asubuhi ilipofika Nilijikuta namtext boss wa mume wangu "Wewe" nilituma asubuhi na mapema maana niliamka na nye** vile vile "Niambie madam" "Ninahitaji mb*o" Nilimuandikia ujumbe huo ili nione atajibuje, yaani akijibu vizuri tu nilipanga nampa yote.....ITAENDELEA Likes 200 tuendelee na sehemu ya pili

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

Alikuwa ni mwimbaji, mtunzi na mtayarishaji wa muziki kutoka India ambae alifahamika zaidi kama Disco King kwa kutengeneza muziki wa disco unaotumia ala za kielektroniki (synthesizer) kuwa maarufu katika tasnia ya muziki ya India, na aliimba baadhi ya nyimbo alizozitunga mwenyewe. Alikuwa maarufu sana miaka ya 1980 na 1990 kupitia nyimbo za filamu na Alipata mafanikio makubwa ya kibiashara hasa katika filamu za Kihindi, Kitelugu na Kibengali. Muziki wake uliendelea kupokelewa vizuri hadi karne ya 21. Mnamo Mwaka 1986, alitambuliwa na Guinness World Records kwa kurekodi zaidi ya nyimbo 180 ndani ya mwaka mmoja. Bappi Lahiri alifariki dunia mnamo tarehe 15th February mwaka 2022 akiwa na umri wa miaka 69 kutokana na tatizo la kukosa hewa wakati wa usingizi ambalo kitaalam linafahamika kama obstructive sleep apnea, pamoja na madhara yaliyotokana na COVID-19, huko mjini Mumbai. Daima atakumbukwa kwa mchango wake mkubwa katika tathnia ya filamu Bollywood na India kwa ujumla. WIMBO WAKE UPI AMBAO UTAKUFANYA USIWEZE KUMSAHAU HUYU NGULI ? #bapilahir #deathanniversary #bollywoodswahilistoriez #filamuzakihindi #instatanzania ............................................................................................

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

Msanii maarufu “Toss”, anayefahamika kama hit maker wa Umlandu, kwa sasa anaripotiwa kuingia kwenye uhusiano mzito wa kimapenzi na aliyewahi kuwa mchumba wa marehemu rapa wa Afrika Kusini, AKA. Mrembo huyo si mwingine bali ni Nadia Nakai, ambaye mbali na kuwa rapa pia ni muigizaji na DJ maarufu nchini Afrika Kusini. Taarifa zinaeleza kuwa wawili hao wamezama rasmi kwenye penzi jipya ambalo linaonekana kuchanua kwa kasi kubwa.

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

Usiku mzima Hemed hakuniongelesha kitu chochote namm sikutaka kumuongelesha nililala zangu kimya nikajikausha mpaka asubuhi niliwahi kuamka nikamwandalia kiamsha kinywa then nilirudi chumbani kwa ajiri ya kujiandaa kwenda kazini.... nilivyotoka bafuni nilimkuta hemed bado yuko chumbani alikuwa anamalizia kuvaa ... darling nimeandaa break fast kwa ajiri yako nina imani utaenjoy nilijipendekeza kumuongeresha make usiku kucha tulilala bila kuongea na hata asubuhi nilipoamka nikamsalimia aliitikia ilimradi tu😩😩baada ya kumtaarifu kuhusu chakula nilichoandaa kwa ajiri yake aliitikia thank you.... hiyo thank you ilijibiwa like sitaki nataka😩😩 mbona hivi baby nini shida kwani niliamua kujifyatua akili nikamuuliza hivyo🙈🙈 alinikata jicho🌚🌚 nilirudi kinyume nyume nikaenda endelea na mishe zangu za kuvaa niwahi kazini..... Hemed hakula hata kile chakula nilichoamka kumwandalia ili ale kabla hajaenda kazini duh🤨🤨 kwa hiyo kasusa😒😒 anyway atajijua mwenyewe hata akinuna saizi paschal yuanibembeleza cjali minuno yake mimi limtu nimeamua kuacha usingizi wangu ili nilitengenezee kiamsha kinywa lakini limethubutu kuondoka bila kula🤨🤨 ....nilichukia lakini sikuwa na cha kufanya zaidi ya kuonja onja kile chakula kwa juu juu baada ya hapo nilimuaga kipenzi changu shazil kwa kipindi kile alikuwa kaishafunga miezi tisa..... niliondoka zangu kwenda kazini.......baada ya kufika kazini ilipita muda kidogo hemed alinitumia msg samahani sweery heart ❤️ nilisahau kukila kile chakula ulichoandaa kwa ajiri yangu lakini nina imani hata usiku nitakikuta na nitakula darling I'm very sorry..... it okay baby nimekuelewa lakini kile kilikuwa ni kwa ajiri ya asubuhi tu na siyo usiku.....basi sawa my love wakati mwingine ukiandaa nitakula.....mhhh😏😏😏 niliona tu ni kama usumbufu asiendelee kuniharibia siku huyu naye nilizima simu nikaweka pembeni nikaendelea na kazi.....nilifanya kazi hadi mida Fulani hivi ya mchana nilikuwa na vihasira vilivyonifanya niendelee tu kufanya kazi make nikiwaga na hasira huwa napenda kujipa ubusy ili nisiendelee kuwaza..... How are you pendo🤝🥰 oh mercy I'm fine 😘😘 you're welcome bestie😘😘 are you okay?! I'm fine best🥰🥰 ni mercy alikuja ofisini kwangu.... huyu mercy ni rafiki yangu sana tunafanya kazi ofisi moja alikuja kuniambia kuwa kuna mgeni wangu yuko hapo mapokezi anahitaji kuniona..... ni nani jina lake nilimuuliza mercy.... his name is paschal.... wow 👌 👏 paschal mruhusu aingie ofisini kwangu tafadhari kabla cjasahau mercy paschal ni shemeji yako huyo ni mme wangu ooh I'm happy for you bestie🥰🥰🤝 mercy alikwenda kumpatia paschal ruhusa wa kuingia ofisini kwangu nyieee kumbe mkikosana kwa muda alf mkaja anza kupatana kumbe penzi ndo linakuwa la moto vile🔥🔥 yani ilikuwa nikama vile mimi na paschal ndo tunatongozana et🙈🙈 baada ya mercy kuondoka nilikimbilia washing room nikaenda jicheki kama usoni kwangu niko poa niliikoleza make up yangu ikakaa poa nikaongezea na kilipstic kidogo🔥🔥 nilinoga sana baada ya hapo nilirudi ofisini kwangu nikaket kwenye kiti then kichwa changu nilikilaza kwenye meza lilikuwa ni pozi mideko si nishaambiwa mahabuba wangu yuko chini reception ilinibidi nianze kudeka kabla ya yote...... Baada ya dakika chache mlango uligongwa nilikaribisha kwa sauti ya chini🙈🙈 aliingia paschal kule ofisini kwangu hi baby alinisalimia huku akiwa ananichumu chumu shingoni kwangu nyieeee🙈 nilitamani kunaniliu🤣🙈au basi 🙈🙈 nilimkumbatia alinikiss et🙈 pole na kazi my lovely wife..... thank you hubby🥰 umechoka et?! Yeah of course I'm very tired 😫 ...... pole mama nimekuja kwa ajiri ya kukujulia hali nikupeleke lunch pia.....nimekupigia sana ukawa hupatikani lakini kwa vile ulishanielekeza ofisini kwako nimeona tu wacha nije kukuona.....please usipende kuwa unaiweka simu yako off unanipa wasiwasi et😣😣..... pole hubby basi nitaiweka on.. Paschal aliniomba tutoke kwa ajiri ya lunch 💃💃 nilikubali alinishikilia mkono niliosha kule ofisini🤣🤣 nisingeweza kuacha kuwatambishia🫰🫰 niliondoka na baby daddy tukaenda kupata lunch 😋 kilikuwa ni chakula Fulani hivi amazing 😘😘 tukiwa zetu pale tunaendelea kula nilipigiwa simu na mercy.... hello BFF your another husband is here🌚🌚 who😧😧?! Nilimuuliza..... his name is Hemed..... hemed is there in the office?!😟😟?! Yeah bestie he is here......duh kimeumana nilimwambia mercy amwambie hemed kuwa nimetoka nje kwenda kutafuta chakula ohshit na gari langu nililiacha parking kule ofisini kibaya zaidi kule ofisini kuna mgahawa wa kila aina ya chakula😩😩😩 haikupita muda hemed alinipigia where are you baby nimeleta lunch kwa ajiri yako nimekupigia sana ili nikutaarifu kuwa ninakuja lakini haukuwa hewani uko wapi?!.... pole mpenzi nilitoka mara moja lakini nitarudi muda siyo mrefu..... ulitoka ukaenda wapi na gari yako naiona hapa🤨🤨 uko na paschal right😒😒?! Hapana baby niko na rafiki yangu tulitumia gari yake🌚🌚... naomba location ya sehemu uliko...... duh nafanyaje sasa ningali bado naendelea kuongea na hemed kwenye simu paschal alinifuata make nilitoka pale katika meza ya chakula nikasogea pembeni kidogo kuongea na simu...... Baby chakula kinapoteza mvuto wa kuliwa kikishapoa kitakuwa kiporo please 🙏 weka simu yako pembeni twende tukamalizie kwanza kula......its okay darling we kaendelee kula nitakujoin my..... nilichokifanya niliizima ile simu then nikaenda kuendelea kupata chakula......baada ya chakula tulipumzika kidogo pale si mnajua shemegi yenu ana mambo ya kizungu 🤣🤣🤣 baada ya chakula unatakiwa kupumzika angalau nusu saa siyo unamaliza kula safari zinaanza kiguu na njia tulirest kwanza huku tukiwa na vinywaji vyetu kwenye glass zile ndefu😎 story za hapa na pale mapendo kama yote nampenda yule kijana wa mama mkwe aakhiiii😩😩 lakini kila nilipokumbuka kuwa hemed naye yuko ofisini na vile nimetoka kuwatambishia kuwa paschal ndo mme wangu hivi wataniwaziaje si wataniona kidada kisomi kumbe kidangaji🌚🌚 hapa ni kuwapiga wote hawa marufuku kuwa wananifuata ofisini kwangu watajanichafulia cv zangu.......paschal alinirudisha ofisini imagine bado hemed alikuwa kaganda zake nje ya zile ofisi alikuwa kapark gari lake pale kisha kasimama zake kaegemea kwenye gari...... tulifika kule ofisini paschal alimuona hemed alitelemka kwenye gari akasimama nayy akaliegemea gari lake duh niliogopa hadi kutelemka kwenye gari nini kitatokea hapa mungu wangu wasije wakaanza kupigana et...... Nilishuka kwenye gari nikamuomba paschal aondoke pale wasije wakaanzisha fujo...... please honey leave tutawasiliana et sitaki muanzishe drama hapa ofisini mkajaniharibia kazi yangu😟😟😟.... pendo wewe ni mke wangu natumaini unalitambua hilo siwezi kuendelea kuvumilia kumuona huyu mwanaume akiwa anakufuata nyuma nyuma kila sehemu nina moyo pendo ninaumia ujue...... hemed alisogea pale huku akiwa anapiga makofi.....hey stop it✋️🌚 nilimzuia sitaki drama et..... oh hutaki drama siyo it's ok pendo kabla hemed hajaongezea neno paschal alimsogelea akamwambia ninaweza kukushtaki ujue huyu ni mke wangu hakuna sheria inayokuruhusu wewe kuishi nyumba moja na mke wa mtu achana na mke wangu kabla cjakuchukulia hatua...... hahahaaaa nazani wewe mshenzi ndo unayetakiwa kutoa talaka kwa mwanamke wangu ili niweze kufunga naye ndoa ulimuacha kwa muda gani?! Unajua aliishije kwa kipindi chote hicho hivi unajua kama sisi wawili tayari tuna mtoto,?!..... move on broo ulishaachwa mimi ndo mme mtarajiwa wa mkeo na ni baba wa mtoto wako pia...... hemed aliongea mbovu sana paschal hakupenda hakutaka kuleta drama ila alipanda kwenye gari lake kwa hasira akaondoka mahali pale...... Itaendeleaaaaaaaaa

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

SONGA NAYO................. Kauli ya ole wako uinuke na inuka zilikuwa nyingi hadi nikahisi kuchanganyikiwa ikawa ni mwendo wa simama kaa kama mtoto wachekechea . Mwisho Aunt Vero aliingilia kati na kusema " Dada!! Alvin yuko sahihi ,muache mtoto wawatu " Kauli ya aunt Vero ilimfanya madam akaachana na Alvin na kuhamia kwake, kwa hasira akamuuliza " Vero unasemaje!! Ina maana unamuunga mkono huyu mpuuzi?" "Sio kwamba namuunga mkono , sikia shoga angu Wardah bado ni mdogo mno hastahili kukaa kwenye nafasi unayotaka kumueweka " "Eti mdogo anaudogo gani huyu ,na kwanza yeye kuwa mdogo au mkubwa vinanihusu nini mimi? . Embu acheni upumbavu wenu basi na sitaki kuingiliwa kwenye maamuzi yangu tafadhali " Alvin alitaka kuongea aunt Vero akamwambia "Alvin subiri kwanza ✋️, mama Shuu hili swala halihitaji maamuzi ni wewe kutii huwezi kutaka kumharibu mtoto wawatu na tukukalie kimya . Fanya kama tulivyo ongea usiku ,huyo aliekuja amekuja akijua wazi anakuja kufanya nini kwa maana hiyo mpeleke yeye mwenyewe. Ila swala la kwamba ubadilishe maamuzi na umchukue Wardah hili nakupinga ,huyu mtoto anahitaji kuwa na kesho iliyo bora " "Hahahahahha wallah tena najionea maajabu ,na sasa nimepata picha kwanini Alvin amekuwa na ujasiri wa kusimama na kunipinga ,kumbe tayar umeshamnywesha sumu mwanangu. Na sasa nisikie kwa makini ,huyu binti alikuja kwa hela yangu mwenyewe na siku zote amekaa kwenye nyumba yangu anakula na kulala kwangu unanielewa. Kwa hiyo atafanya kile ninachotaka mimi nasio nyie ,eti huwezi kuruhusu ,we ninani hadi usiruhusu mwanao huyu au una ukoo nae ?" "Sina ukoo nae ndio lakini nikiwa kama mwanamke ninaejua nini maana ya kuwa mwanamke huyu hatoki hapa?" "😆😆eti rudia tena we ni nani ?nyooo huna haya weye,, eti me mwanamke🤧 wakiita wanawake na wewe utatoka chakubimbi wewe 😏. Embu usinifanye nikakutolea maneno ya ajabu saizi mie ,mtu umekausha kizazi chako kwa magonjwa ya zinaa , leba hujui inafananaje wala hujui utamu wa ndimu. Alafu unataka kunikazia mishipa ya makalio ,we cheusi kwanzia leo utaanza kwenda na mimi kazini hii sio ombi ni lazima unanielewa " Alvin hakutaka kuendelea kusimama bure alinifuata haraka na kunivuta nusu achomoe mkono wangu🥲 ,mkuku mkuku hadi chumbani. Huku nyuma tukaacha wakongwe wakirushiana maneno,,basi tukafika chumbani akaniachia mkono na kusema. "Fungasha kila kilicho chako uondoke haraka sana " "Niende wapi!!?😳" "We ni fala eeh😡, yaani unaona tunavyo pambana kutetea hilo tubwasha lako lisiende kuuzwa na kutumika hovyo alafu bado unauliza maswali ya kibwege oya👉 nitakufumua mikofi huo ushamba ukutoke . Embu fungasha vurago chap usepe " Nilimuangalia Alvin kwa huruma sana nakumuuliza " bado sijaelewa nini haswa ambacho kinaendelea maana naona mnagombana na madam bila sababu ya msingi. Kama ni kuhusu kazi me nipo tayari kufanya kazi yoyote wala haina shida " "Aaa mamae wewe😡 👉 nitakufumua h......" hakumalizia kuongea akaingia Shuu huku akisema . "Kwanini unataka kumlazimisha wakati ameshasema anaweza? , mwaya Wardah kama unaona unaweza usimsikilize huyu anawivu tu ,ila ukweli hiyo kazi ina pesa nzuri . Na najua unamajukumu mengi ambayo yanahitaji hela ya kutosha so binti mwenzangu nak.........." Alvin hakumuacha amalize alimvuta mkuku mkuku akamsukuma na kumsindikiza na bete la makalio. Kwa hasira akafunga mlango na kunirudia akanambia" umesema uko tayari kufanya hiyo kazi ?" Nikaitikia ndio kwa kutikisa kichwa , akasema " Wallah ushamba mzigo, hivi unajua utachokua unafanya au unaropokwa tu ?" "Alvin ! Kazi ni kazi nitafanya tu haina namna " "Kwa hiyo uko tayari kuuza thamani yako kama mtoto wakike kisa hela ? Okay basi acha niwe mteja wako wa kwanza " Aliongea na kuanza kufungua mkanda wa suruali yake nilimuangalia kwa mshangao huku nikijiuliza anataka kufanya nini , sijakaa sawa nikashangaa anafungua zipu .😳 Weee niliruka kama kuku alikoswa koswa kuchinjwa , haraka akanidaka nikamwambia" Alvin hapana naomba unisifanyie hivyo tafadhali 🥺🙏." "Nisifanye nini we siumesema uko tayari kufanya hii kazi ,sasa acha niwe mteja wako wakwanza haya sogea hapo nikupe baraka zangu" Baada ya kusema hivyo ndio nikamuelewa alikuwa ana maana gani 🥺, nilijikuta nikianza kulia kwa uchungu ,ina maana nilikua naenda kuuzwa kwa wanaume 😭. Alvin alinituliza na kunambia " usilie hizi ni changamoto za maisha na uzuri umeshavuka ,sasa kinachotakiwa ni kujiandaa kwaajili ya hatua inayofuata." "Sasa nitaenda wapi 😥?" "Utaenda wapi kwani hauna kwenu ?, binti embu cha kupoteza mda " Niliinamisha uso chini na kusema "Sina nauli?" "Hauna nauli ukimaanisha nini 🧐?" "Kweli sina hela ,mshahara wangu wa mwezi uliopita nilituma nyumbani na mwezi huu bado hajanipa" "Beki tatu wote akili zenu zinakomaga hapo , ina maana wewe ukipata hela kitu unafanya nikutuma nyumbani, kuweka akiba aaaah . Haya sasa ndo ishatokea dharula haya nambie unaondokaje hapa ?" Nilikaa kimya huku nikiangalia chini , akanambia " chukua nguo zako tuondoke " "Tunaenda wapi ?" "We acha maswali na ufunge tuondoke haraka maana nikikupa mgongo utaletewa njemba zilizo Shiba kisawa sawa " Kweli kinyonge nilikusanya nguo zangu zote nilivyo maliza akanishika mkono tukatoka hadi sebleni mda huo bado madam na Aunt Vero wanachambana. Bila kusimama Alvin aliongoza kuelekea mlango wa kutokea huku akinambia " angalia mbele ukigeuka tu unakuwa jiwe la chumvi " 😃 niseme nini zaidi ya kusema ndio na kufuata sharti. Bila kugeuka nyuma wote tukatoka nje ,tukafunguliwa geti dogo haooo hadi bara barani akasimama na kunambia " bado hutakiwi kugeuka na kulia ni mwiko " Nikajibu sawa ,bajaji ikaja tukapanda safari ya kuelekea nisipo pajua ikaanza . Hatua mpya kurasa mpya 😊. ITAENDELEA

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

Nilivunga tu kwa kweli make ukweli wote ndo kaishasanuliwa na nice na ukweli nilifanya hivyo sikuona kama kuna umuhimu wa kujitetea kwa lolote.... nilisubilia tu aamue chochote kilicho kichwani kwake kama ananiacha au laaa......

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

sawa

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest