Menu


Trust You

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

Yule Mzee aliniambia , kupambana sio lazima uonekane unakimbia , hata ukisimama ukiwa umechoka ni aina ya mapambano.. Kabla sijaongea chochote yule mzee akaongeza kwa kusema, kamwe usijaribu kurudi nyuma, hata kama mbele ni giza.. Nikamwambia kuna watu tulitegemea wawe mwangaza wetu wakati wa giza lakini wametukimbia.. Mzee akaniambia, Usiogope watu kukukimbia wakati wa giza, kwa sababu giza huisha lakini anayetembea gizani huwa na macho ya Simba.. Nikamwambia mzee unazeeka na hekima zako , Asante kwa busara zako.. Mzee akaniambia, Hekima sio kuwa na miaka mingi , ni kujua nini cha kufanya kwa kilichokupata kwa wakati sahihi, na ukishajua hilo hata dunia ikupige haitakuondoa katika mstari.. Kituo changu cha kushuka kilifika , nikaagana na yule mzee nikashuka zangu , huku akiniambia Usiogope kuanza upya pale unapofika mwisho.. KINARA SIKU ZOTE Jay S Wadhamas TWENDE MBELE mdundo.com/a/15130 SUPPORT NYOTA YANGU ING'AE #wadhamasmusiq @topfans Follow Darly G Kenya

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

SITASAHAU NILICHOKIONA KWENYE LILE KANISA 😱😱 Sehemu ya PILI ( 2 ) ************ @Kila Mtu 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 Ghafla palitokea mtu ambaye alikuwa na ulinzi mkali sana.Ulinzi wake ulikuwa ni ulinzi wa mbwa,Yaani kuna mbwa ambao walikuwa pembeni yake,wakiwa wanamlinda huku wakiboka"huhuuu..........................." Huyo mtu alikuwa ni bibi kizee wa zamani sana,macho yake yalikuwa mekundu mithili ya wavuta bangi.huku kichwani mwake pakiwa na mvi za kutosha. Hatimaye mazungumzo yalianza rasmi. "Shikamo Mama" Yule mchungaji alisema. "Marahaba mwanangu" Yule bibi alijibu. "Kuna mtoto nimemuokota,huyu mtoto inaonekana kuwa ana nguvu za ajabu hivyo Naomba umwangalie kama kweli ana nguvu"Yule mchungaji alisema. Hatimaye Yule bibi alimchukua mtoto kisha alianza kuimba nyimbo zake,wakati huo,yule mtoto mchanga alikuwa analia sana. Baada ya mda,Yule bibi alicheka sana"hahahahaha........................" Hatimaye alisema kuwa huyo mtoto ana nguvu za ajabu sana,hivyo wanatakiwa kumlea vizuri ili baadae aje kuwa mrithi wao. Hatimaye Yule mchungaji alifurahi sana kusikia hivyo,Baada ya mda,alimchukua yule mtoto kisha alikwenda nae nyumbani kwake. Baada ya mda,Yule mchungaji alifika kwenye jumba lake la kifahari ambalo lilikuwa na ulinzi mkali pamoja na CCTV Camera. Ndani ya hilo jumba palikuwa na magari ya kifahari ikiwemo,Hammer, VAT na Mercedes Benz. Yule mchungaji aliingia ndani ya jumba lake akiwa na yule mtoto. Hatimaye alipokelewa na mabinti warembo sana ambao walikuwa nusu uchi.kisha aliketi chini.Hao mabinti walishangaa sana kumuona mtoto mchanga.Baadhi yao waliuliza maswali lakini Yule mchungaji hakujibu hata moja. Hatimaye alitoa amri kwa mfanyakazi wake wa ndani ambaye alijulikana kwa jina la Yemi.Yemi alikabidhiwa huyo mtoto kwa lengo la kumtunza mpaka pale ambapo atakuwa mkubwa.Yemi alimpokea huyo mtoto kwa mikono miwili huku akiwa na maswali kedekede. Baada ya mda,wale mabinti ambao walikuwa nusu uchi,walianza kumchezea mchungaji,Yaani walianza kumshika mchungaji katika Sehemu nyeti za mwili wake. Yule mchungaji alikwenda nao mpaka chumbani kwake,kisha alizini nao. Siku iliyofuata, Yule mchungaji alikwenda kwenye kanisa lake,alikuwa anamiliki kanisa kubwa sana ambao lilijulikana kama"AGAPE HOME OF ALL NATIONS"Hili kanisa lilikuwa maarufu sana,hii ni kutokana na ishara pamoja na miujiza ambayo ilikuwa ikitendeka mahali hapo. Watu kutoka mashariki,magharibi,kusini na kaskazini,walifurika kwenye kanisa la huyo mchungaji. Baada ya mchungaji kufika kanisani,alimkuta mwanamke mmoja ambaye alikuwa analia sana.kilio cha huyo mwanamke ilikuwa ni kupata mume kwani miaka imeenda sana hana mume. Yule mchungaji alimuita yule mwanamke kisha alimwambia kwanini unalia???Yule mwanamke alisema kuwa shida yaku ni mume,anatamani sana kupata mwanaume ambaye atafunga nae pingu za maisha. Yule mchungaji alimwambia kuwa ili apate mume anatakiwa kuacha kazi yake ya kikahaba ambayo kimsingi ndio sababu ya Yeye kutopata mume mpaka sasa. Hatimaye Yule mwanamke aliingiwa na hofu huku akipata mshangao kuwa mchungaji amejuaje kuwa Yeye ni kahaba.Baada ya mda,alikwenda zake. Hatimaye Yule mchungaji aliingia kwenye chumba chake. Baada ya mda,Yule mchungaji alichukua kitabu Fulani ambacho kilikuwa na rangi nyeusi.kitabu hicho kilisomeka hivi"No Body Is safe"hilo ndilo lilikuwa jina la hicho kitabu. Ndani yake palikuwa na picha za watu wengi sana ikiwemo; watoto,vijana pamoja na wazee.Jinsia zote wakike kwa wakiume.Lakini kwenye hicho kitabu, Baadhi ya picha zilikuwa na alama nyekundu ya (X).Alafu kila picha ilikuwa na namba yake. Yule mchungaji alifungua mpaka kwenye picha namba 346,ilikuwa ni picha ya mwanamke mmoja mrembo sana.jina lake lilisomeka Lilian. Hatimaye Yule mchungaji alichukua kalamu kisha aliweka alama ya (X) kwenye hiyo picha. Baada ya mda,Yule mchungaji alichukua fimbo yake ya Dhahabu ambayo ilikuwa na sanamu yenye vichwa vitatu vya Nyoka aina ya Python.Nyoka mwenye sumu Kali sana.kisha Alinena maneno machache kwenye hiyo fimbo.Mara tu Baada ya kumaliza,ghafla ile fimbo ilibadilika na kuwa Nyoka mkubwa mwenye vichwa vitatu.huyo Nyoka alijulikana kwa jina la MUNA ambaye kazi yake ilikuwa kutoa kafara. Hatimaye Yule mchungaji alimpatia MUNA kazi ya kwenda kuondoa uhai wa mwanamke mmoja kwa jina la Lilian ambaye tulimuona kwenye kile kitabu cha No body is safe. Baada ya MUNA kupatiwa hiyo kazi,ghafla alipotea katika mazingira ya kutatanisha. Majira ya Usiku,katika familia Fulani,palionekana picha ambazo zilikuwa ukutani.Hizo picha zilikuwa niza ndoa huku nyingine zikiwa ni picha za familia. Wakati huo,Mr James alikuwa mezani Yeye pamoja na mke wake kwa jina la Lilian, pamoja na watoto wao wawili,Jimmy pamoja na Angel. Walikuwa wanakula pamoja na kunywa huku wakifurahi na kucheka. wakiwa kwenye hali hiyo,ghafla Lilian alihisi kutapika,hivyo alikwenda mpaka bafuni.Alifungua mlango wa bafuni kwa haraka sana lakini alichokutana nacho.........................................Dah. Dah.................directed by Wile boy. Lilian alikutana na yule Nyoka mwenye vichwa vitatu, Yaani MUNA. Lilian alikutana uso kwa uso na MUNA, pale pale alimng'ata kwenye paji la uso wake.Sauti ilisikika"noooooo..........................." Baada ya mda,Lilian alikimbizwa hospitalini huku hali yake ikiwa mbaya sana. Madaktari bigwa walijitahidi kwa hamu na Mali kuokoa maisha ya Lilian, lakini kwa bahati mbaya sana sumu ya MUNA ilikuwa hatari sana ambayo haina tiba wala dawa. Usiku wa saa Sita,Lilian alipoteza maisha akiwa na umri wa miaka Ishirini na Tano......huku akiwa na watoto wawili. Rest In peace Lilian........... Upande wa pili,kwenye lile kanisa la Yule mchungaji palionekana ....🤔🤔 Nyieeeee....Mambo ni ya motooo.😂 Kwani wewe auogopi Usipite bila kulike na kukomeniti fanya ku share kabisa ili sehemu inayofuata isikukose maana ndiyo sehemu balaaa🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥. Jamani comment zenu zikiwa nyingi naleta mwendelezo fasta.

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

Shirikisho la mpira wa miguu barani ulaya UEFA,limepanga kuiondoa klabu ya Crystal Palace Football Club kwenye orodha ya timu zitakazoshiriki kwenye mashindano ya UEFA Europa League Msimu ujao 2025/26, kwasababu ya muingiliano wa umiliki. Wamiliki wa klabu ya Crystal Palace FC 🦅 wanaimiliki pia Klabu ya Olympique Lyonnaise kwa asilimia 43%. Kwa mujibu wa kanuni za UEFA timu ambazo zipo chini ya umiliki wa mtu, kampuni au ushirika mmoja na kama zitatokea zote zimefuzu kucheza shindano husika ambalo lipo chini ya UEFA,ni klabu Moja ndio itaruhusiwa kushiriki mashindano hayo. Olympique Lyonnaise wamefuzu kucheza mashindano ya UEFA Europa League na Crystal Palace FC pi wamefuzu kucheza mashindano hayo hayo na wote wapo chini ya umiliki wa mtu mmoja, Crystal Palace FC wana asilimia kubwa za kuondolewa kwenye mashindano kuliko Lyonnaise. FOLLOW US.

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

Hizi Gen Z methali zimeanza kuwa nyingi sasa.. Ebu tuandike notes sasa 1. Chelewa chelewa utapata ushagongewa.. 2. Aliye juu mfuate huko 3. Samaki mkunje, atoshee kwa sufuria... Ongeza yako.

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

CHUO CHA MIHEMKO SEHEMU YA 15 --- Siku ya safari ilifika. Mabasi mawili ya chuo yakajaa wanafunzi wa Debate Club, baadhi wakiwa wamevaa rasmi suti zao, wengine casual lakini na confidence usoni kama wanasiasa wa opposition. Mimi nilikaa kiti cha nyuma karibu na dirisha, nikishikilia notebook yangu yenye nukuu za points kali. Nilivaa top nyeupe ya shingo-funga, sketi ya jeans na viatu vya sport. Nilionekana kama Neema mpya msomi, mrembo, lakini anayejua ku-balance akili na feelings. Wakati bubu wa mawazo akinitembelea kwa mbali, nikasikia vibration ya simu yangu: Teddy: “Najua unazidi kung’ara. Kumbuka you’re not just representing chuo, unaniwakilisha mimi pia. Nakupenda Neema.” Nilikaa kimya sekunde kadhaa kabla sijamjibu. Mapenzi hayapimwi kwa ujumbe mmoja wa maneno matamu. Lakini maneno yake yalinisisimua kama ka-AC ka hostel kazima kwa bahati mbaya. --- Tulifika Dodoma mida ya saa kumi na moja jioni. Tulipokelewa na wanafunzi wa chuo wenyeji kwa mbwembwe za kutosha. Nikakutana na Maimuna mwanafunzi wa sheria kutoka chuo cha wenyeji, ambaye alikuwa mshindani wangu wa debate. “Nimekusikia Neema... wewe ndo Rising Star wa Mbaya University?” “Naam, ila nyota zangu zikiwaka usije ukachomeka.” “Haha! Basi tutawaka wote, bora kushindana kuliko kuogopana.” Maimuna alikuwa mzuri, mrefu, na mwenye confidence kali kama vile anakula hoja kwa kifungua kinywa. --- Usiku huo tulienda kulala katika hostel ya muda, ambapo wasichana tuligawanywa vyumba viwili. Nililala na Asha msichana wa mwaka wa pili, mwenye ndoto za kuwa mwanasiasa. “Neema, usidanganywe. Debates ni siasa. Ukishinda leo, ushawahi kufungua milango ya connections. Tumia nafasi hii.” “Sawa Asha, lakini moyo wangu bado uko nyumbani.” “Kama ni wa mwanaume, tafadhali uache hostel. Hii ni safari ya mafanikio, siyo picnic ya feelings!” Tulicheka, lakini nilijua maneno yake yana uzito. Nilielewa kuwa huu ulikuwa wakati wa kupambana si kupendapenda. --- Kesho yake mjadala ulianza. Ukumbi ulijaa. Kamera zilikuwa zikiwaka, na waamuzi walisimama kwa ustadi. Topic: “Social Media Does More Harm Than Good.” Neema upande wa kupinga. Maimuna upande wa kuunga mkono. Saa ya kupambana ilifika. Niliposimama kutoa hoja zangu, moyo ulinitetemeka mwanzo, lakini baada ya sentensi ya pili, confidence ilirudi kama nishati ya jua mchana. “Mitandao ya kijamii imewapa vijana sauti. Kama ingekuwa ni madhara tu, basi hata hii debate usingesikia kuhusu mimi kabla sijafika Dodoma.” Watu wakapiga makofi. Nikaongeza pointi nyingine juu ya elimu, ajira, na ushawishi mzuri. Maimuna naye alikuwa moto. Alitumia mifano ya visa vya kuharibika kwa ndoa, kupoteza muda na uongo mtandaoni. Ukweli ni kwamba, ilikuwa vita kali ya hoja. Baada ya rounds tatu, majaji wakatangaza washindi… “Timu ya Neema – Mbaya University, mmeshinda kwa hoja thabiti na uwasilishaji mzuri.” Watu wakapiga makofi. Nilihisi nguvu mpya, heshima mpya. Lakini furaha hiyo haikudumu sana. --- Usiku ulipofika, nikiwa napanga notebook yangu, Doreen alinipigia: “Neema, kuna kitu nimeona... na sidhani kama utakitaka.” “Sema tu Doreen.” “Amanda ameweka picha kwenye status yake, yuko club na... Teddy wako.” “Wewe unatania?” “La hasha. Wamekaa karibu. Caption yake ni ‘Vitu vya zamani vikikumbusha kumbatio.’” Simu yangu ilinishika butwaa. Nilitamani kusema siyo kweli, lakini moyo ulianza kubisha hodi ya hasira. Nilifungua status ya Amanda kwa line ya WiFi niliyochukua kwa mdada wa reception. Picha hiyo ilikuwa halisi. Teddy yupo, Amanda yupo. Meza ya vinywaji ipo. Ukaribu wao hauna ubishi. --- Niliumia. Nilikaa kimya, nikiwa nimebanwa na maswali elfu kichwani: Je, ni kweli Teddy anarudi kwa Amanda? Ni kiki au ni kumbatio la ukweli? Nilishinda debate, lakini naonekana kushindwa kwenye mapenzi. Na je, huu ni mwisho wa safari yangu na Teddy, au ndio mwanzo wa kujua ukweli wote? --- SEHEMU YA 16 INAKUJA HIVI PUNDE: Neema akarudi chuoni akiwa na ushindi wa kitaaluma lakini majeraha moyoni... Je, atakabiliana na Teddy? Amanda ana mpango gani tena? Na je, kuna sura mpya inayokuja kuibadilisha game? Umejipanga? Nikupige Sehemu ya 16 sasa hivi? Haya gonga like hapo na uniambie kwenye commentn chochote...

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

CHUO CHA MIHEMKO SEHEMU YA 14 --- Nilibaki nimesimama pale cafeteria nikiwa kama sanamu la Makumbusho ya Taifa. Video ile ya sekunde ishirini ilishanichanganya akili. Nilihisi midomo yangu inatetemeka, mikono inatetemeka, na moyo ukidunda kama jenereta linaloanza kazi usiku wa giza totoro. “Usijali baby, nimemwingiza tu Neema ili Amanda aone nimemmove on…” Maneno hayo yaliendelea kupiga marudio kwenye masikio yangu kama notification ya message usiku wa manane. Nilimuangalia Teddy, macho yangu yakiwa hayana machozi lakini yamejaa maswali. “Hii video... ni ya kweli?” Teddy aligeuka na kuniangalia kama mtu aliyefumaniwa akilisha ndizi sokoni. Uso wake ulikuwa wa mshangao, kama vile na yeye amekutana na taarifa mpya. “Neema, hiyo siyo mimi... yani siwezi kusema hivyo... hiyo sauti wamechakachua!” Alisema kwa kujiamini lakini sauti yake ilikosa mzizi. Ilikuwa dhaifu kama mtu anayepinga ushahidi wa DNA bila mawakili. “Lakini sura... sauti... na hiyo chumba ni ya kwako!” “Ndiyo chumba changu, lakini hiyo clip imekatwakatwa. Amanda ananilostisha kwa makusudi! Ana uwezo wa ku-edit video, alinionesha siku moja akiwa anamtengenezea kiki mshkaji wake wa Instagram.” Nilianza kupepesa macho, moyo ukiwa na vita ya hisia na akili. Hisia zangu zilikuwa zinasema nimwamini Teddy, lakini akili ilikuwa inabishana, ikikumbushia “red flags” zote. --- Usiku huo nilijifungia hostel, nikiwa nimewasha taa lakini giza likiwa ndani ya moyo wangu. Nilimtext Doreen, nikamwambia: Me: “Mambo yamebadilika... kuna video ya Teddy akiwa na mwingine.” Doreen: “Wewe nilikwambia. Mwanaume mwenye scandal ya marks si mtu wa kumuweka ndani ya moyo. Hapo sasa anakuonyesha episode mpya ya chuo.” Me: “Lakini anasema video ni feki.” Doreen: “Sawa, usikurupuke. Ila chunguza, usiamini maneno matupu. Hawa maboyfriend wa vyuoni wanavaa sura mbili kama nyoka.” --- Siku iliyofuata class tulikuwa na kipindi cha ‘ICT Practical’. Kwa bahati mbaya au nzuri, nilikaa karibu na Amanda. Alinitazama kwa tabasamu lililojaa kejeli. “Niliwahi kukuambia mapema, Neema. Teddy si mwanaume wa kufa naye. Ni project ya kila mwaka ya chuo hiki.” Nilitabasamu kimkakati, nikaamua kumpa jibu la kistarabu. “Amanda, video haimaanishi kila kitu. Na hata kama ni ya kweli, nina uwezo wa kusimamia maisha yangu mwenyewe. Mimi si sehemu ya vita vyako vya kihisia.” Amanda alishtuka. Labda hakutegemea ningejibu kwa utulivu kiasi hicho. Lakini ukweli ni kwamba ndani yangu kulikuwa na vumbi la hasira. --- Baada ya class, nilimfuata Teddy. Tukakutana pale kwenye bustani ya nyuma ya hostel. Tulikaa kwenye benchi lililochorwa maandishi ya “TRUE LOVE LIVES HERE” irony kabisa kwa yaliyokuwa yanatokea. “Teddy, usinipotezee muda wangu. Kama ni kweli, uniambie. Kama siyo kweli, nionyeshe proof.” “Nina proof, Neema. Nimepata ile video original kutoka group la Amanda. Kuna editing. Kwanza, hiyo clip haionyeshi mwanzo wala mwisho. Pili, nimegundua background sound ni ya wimbo wa zamani niliosikiliza nikiwa home. Imepachikwa.” Akanipa simu yake, akaonesha software ya video analysis aliyotumia kuonyesha timestamps zilivyokatwa. Sasa nikaanza kuona upande mwingine wa shilingi. Labda, labda kweli Amanda ana hasira za kimapenzi zilizomfanya ku-plant evidence ya uongo. “Neema, kama hutaniamini bado, niko tayari kwenda mbele ya Doreen, Amanda na hata walimu wa ICT. Niko clean.” --- Siku chache zilizofuata Teddy alibadilika. Alikuwa makini zaidi, hakuwa na jokes za kipuuzi. Alikuwa anani-text kwa care, akinipigia hata usiku kuniuliza kama nimekula au nimejifunza. Sasa nikawa kwenye kizunguzungu kingine huyu ni Teddy halisi au Teddy mpya wa maonesho ya ‘damage control’? Chuo kimejaa michezo ya akili. Usipokuwa makini unaweza kuachwa ukiwa na penzi la Instagram na huzuni ya dunia halisi. --- Wakati mapenzi yananiyumbisha, kuliibuka jambo jipya darasani. Mwalimu mmoja wa Philosophy aliniita ofisini. “Neema, una potential kubwa sana. Tafadhali jiunge na debate club ya chuo. Tunaenda kushindana Dodoma wiki ijayo.” Haikuwa rahisi kusema hapana. Nilihitaji kitu kingine cha ku-focus, mbali na Teddy, Amanda na drama za video. Siku hiyo nilirudi room nikiwa na azimio moja: “Nitamuacha moyo uendelee kupenda, lakini akili yangu ibaki active. Naanza maisha mapya, na sina hakika kama Teddy atakuwa sehemu ya huo mwanzo mpya.” --- SEHEMU YA 15 INAKUJA HIVI PUNDE: Je, Neema ataingia rasmi kwenye ulimwengu wa debate? Teddy ataweza kusafisha jina lake? Na Amanda, ana mpango gani mwingine wa kuvuruga game? Michezo ya chuo bado haijaisha... Gonga like ziende kasi nisichelewe

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

CHUO CHA MIHEMKO SEHEMU YA 13 --- Nilirudi hostel nikiwa nimechanganyikiwa kama mwanafunzi wa Hesabu aliyetumbukia kwenye mtihani wa Kiswahili. Maneno ya wale madem wawili pale cafeteria bado yalikuwa yananikwaruza kwenye ubongo wangu kama sindano ya sindano iliyobaki kwenye ngozi. “Teddy alikuwa na scandal na lecturer mmoja wa kike…” Hilo halikuwa jambo dogo. Nilikuwa nimeshapanda kwenye basi la mahusiano, sasa basi hilo linakumbwa na kasheshe la ‘condemned engine’? Nilikaa kitandani, nikiwa nashikilia simu yangu kama vile itajibu maswali yangu yote. Nikamtext Teddy: Me: “Tunahitaji kuongea kesho. Ni muhimu.” Teddy: “Niambie sasa hivi, mrembo wangu.” Me: “Kesho.” Sikutaka maelezo ya haraka haraka kwenye WhatsApp. Nilihitaji usoni kwake, nione uso wake unapojibu yale maswali magumu. Macho yake yatasema ukweli, hata kama mdomo utaamua kuwa muongo. --- Asubuhi ilinikuta nikiwa nimevaa kaptura fupi ya nyumbani, tshirt ya white na sweta juu kwa sababu asubuhi za Mlimani huwa na baridi ya hila. Nilimtext Teddy kuwa tukutane pale UDOM Park nyuma ya lecture halls, sehemu tuliyopenda kuwa wawili bila kelele za dunia. Teddy alikuja akiwa na uso wa mtu ambaye hajui kinachomsubiri. Nikakaa kimya kwa dakika mbili. Halafu nikatamka: “Nimeambiwa ulipata maksi ya juu kutoka kwa lecturer mmoja wa kike kwa sababu mlikuwa na mahusiano. Ni kweli?” Alichukua muda kunijibu. Alikodoa macho chini, halafu akasema kwa sauti ya upole: “Ni kweli nilipata maksi ya juu kwenye ile course. Lakini sikuwahi kulala naye wala kuwa na uhusiano wa kimapenzi. Ilikuwa ni drama ya wivu kutoka kwa mwanafunzi mmoja aliyekuwa ananitaka, na nilikataa.” “Na kwa nini kila mtu anaamini hivyo?” “Kwa sababu waliona professor ananipendelea. Ilifika hatua hata yeye alianzisha uchunguzi binafsi kuthibitisha hakuna uhusiano wowote.” Nilimwangalia macho. Ule mng’ao wa macho yake ulionekana kama wa mtu asiye na chembe ya uongo. Lakini katika dunia ya mihemko, hata mwizi anaweza kulia kwa dhati. “Na Amanda?” nikauliza bila kupindisha maneno. “Amanda aliniamini, akaniwekea moyo wake wote. Lakini sikumpenda. Nilijaribu kumpenda kwa huruma lakini moyo haukuweza. Alipoona napunguza mawasiliano, alianza kunishambulia. Ndio chanzo cha majungu na stories hizi zote. Na sasa umepokea matunda yake.” Nilikaa kimya. Moyo wangu ulihisi labda anaongea ukweli. Lakini ubongo wangu haukuwa tayari kuwekeza tena asilimia zote. --- Jioni hiyo nilikaa na Bestie wangu wa hostel, Doreen. Nikampa full update ya Teddy, Amanda na scandal ya maksi. Doreen, kama kawaida yake, alikuwa na msimamo mkali. “We Neema, mapenzi si kitu cha kulazimisha. Ukishaanza kuhisi shaka mapema, basi tambua haupo salama. Halafu mwanaume mwenye historia chafu huwa hajui kusafisha jina, anakusubiri uamini na kisha anakuchezea.” Maneno ya Doreen yalinikaba koo. Nilihisi kama yananigonga ukutani, lakini pia yalikuwa na ukweli ndani yake. Siku hiyo nililala nikiwa nimechoka kihisia. Mapenzi, scandals, midomo ya watu… yote yalikuwa yakinizunguka kama mzimu wa kwanza wa hostel. --- Siku iliyofuata kulikuwa na class ya presentation ya group. Nilivaa penseli skirt yangu nyeusi, na blouse ya rangi ya cream iliyoacha mabega wazi. Nilikamua lotion kiasi na lipgloss nikaweka kwa ustadi. Nilijua macho yote yangekuja juu yangu… lakini macho ya Teddy ndiyo niliyotaka zaidi. Tulipokutana darasani, alininyemelea kama kijibwa cha ulinzi kilichozoea mtu mmoja. “Upo fresh leo, Neema wangu?” Nikatingisha kichwa bila kusema. Akahisi kuna tone la baridi limeanza kushuka kwenye uhusiano wetu. --- Wakati presentation inaendelea, kulikuwa na makofi, kicheko na mambo mengine ya kawaida darasani. Lakini baada ya class, mambo yalibadilika. Nilikuwa natoka darasa na Teddy, tukapitiliza cafeteria kununua juice. Ndipo tuliposikia sauti ya Amanda, akiwa amesimama mbali kidogo na sisi, akiwa na simu mkononi: “Neema, unafikiri huyu Teddy wako atakuweka tofauti? Hebu angalia hii video…” Alinitazama na akacheka kisarkasti. Nikakaribia kwa tahadhari. Alinionesha clip ya sekunde kama 20, ikimuonyesha Teddy akiwa kwenye room, akimkumbatia msichana ambaye si mimi. Sura haikuwa wazi kabisa, lakini sauti ya Teddy ilikuwa dhahiri. Alikuwa anasema kwa utulivu: “Usijali baby, nimemwingiza tu Neema ili Amanda aone nimemmove on.” Moyo ulinipiga kama dumu la ngoma za kilugha. Macho yakanitoka. Nikamuangalia Teddy, nikataka kusema kitu, lakini sauti haikutoka. Amanda akaondoka huku akicheka, “Ulimwengu wa chuo ni mchezo wa vichwa. Karibu uanze kujifunza somo la kwanza, Neema.” --- CHUO CHA MIHEMKO – SEHEMU YA 14 inakuja hivi punde: Neema atakabiliana vipi na kashfa hiyo? Je, Teddy ni muongo wa kimkakati au Amanda anacheza na video za kuchakachua? Je, huu ni mwisho wa mapenzi yaliyokuwa yameanza kuchanua? Tukutane kwenye sehemu inayofuata – "Video ya Ushahidi au Mtego wa Chuki?"

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

Grand P aachia mu0nekano wake mpya. Kwa wale ambao hamumjui tajiri huyo kutoka nchini Guinea tazama kwenye c0mments secti0n akiwa na demu wake wa mwanzo kabla hawajamwagana, wakarudiana kisha kumwagana tena Grand P ambaye ana miaka 34, maisha yake mara nyingi anaonekana akila bata viwanja na t0tozi mbalimbali

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

😳 "Siwezi kuji0gesha mwenyewe hivyo nimemuajiri mtu wa kuni0gesha kwa mwezi ninamlipa shilingi milioni 20" - amesema Aisha Feruzy, socialite wa Kibongo Awali, mrembo huyo alieleza yafuatayo "Asili yangu mimi ni mtu wa Singida lakini sijawahi kufika huko kwasababu hakuna uwanja wa ndege(airport), siwezi kupanda basi kama ch0mbo cha usafiri sababu nitaambukizwa mag0njwa, kiufupi mimi sijawahi kwenda mikoani, nimezaliwa hapahapa Dar es salaam" - alijitapa kimwana huyo

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

Ukimsikiliza Chidi Benz kwenye ngoma ya Mashallah aliuzungumzia muziki wa Bongo Fleva japokuwa ukipagawa utadhani alimzungumzia mwanamke mrembo. Hii ni sawa na Kanye West. Kwenye ngoma yake ya Homecoming aliamua kuuzungumzia mji wake wa Windy ambao upo Chicago ila humo kidogo alibadilisha jina na kuuita Wendy. Ukitega sikio utamsikia akisema my name is Windy and I like to blow trees" and "when I grew up she showed me how to go downtown, in the nighttime her face lit up. Kanye West alizaliwa huko Atlanta, jiji lililokuwa ndani ya Jimbo la Illinois lakini baadaye mama yake, Donda akaamua kuhamia Chicago na mwanaye, so Kanye West akaanza kukulia ndani ya Wendy, Chicago kwa muda mrefu sana. Japokuwa alificha hapo kwa mstari wa My Name is Windy and I like to blow trees alimaanisha kuwa wakazi wengi wa mji wa Wendy walipenda sana kuvuta bangi. Ni mitaa ya watu weusi, kulikuwa na uhuni wa kila aina na hata uvutaji wa bangi ulikuwa ni wa kiwango kikubwa mno. Na uzuri wa ngoma hiyo alifafanua kabisa kwamba if you don’t know right now, I’m talking bout Chi town...Huu mji wa Chi upo ndani ya Chicago, sehemu ambayo Kanye West alikuwa akishinda sana na washikaji zake. Ukiusikiliza huu wimbo amemzungumzia manzi fulani mkali sana, jinsi alivyokuwa akivaa, mwendo wake, uzuri wa sura yake na kila kitu lakini hayo yote aliyokuwa akiyazungumzia yalimaanisha mji wa Chicago na mitaa yake mbalimbali. Hii ndiyo kazi ya sanaa aliyokuwa akiifanya Kanye West mpaka leo hii. The guys is genius sana japokuwa sometime unaweza kumuona kama hana akili. Endelea kunifuatiliakatika channel yangu kwa kubofya link hapo chini...... https://whatsapp.com/channel/0029Vaj2egfCRs1iDmk7Bt1W

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

Kwa Nini Series Nyingi za Korea Zina Mambo ya Shule Halafu Kuna Wanafunzi Wanaonewa-Onewa. Pia Lazima Kuwe na Mwanafunzi Mmoja Anavaa Miwani (Mara Nyingi Ndiye Huonewa), na Yule Mbabe Nywele Anaweka Mabrichi😁😁. Enewey. Kuna Haka Kamzigo, Kanaitwa ONE High School Heroes. Kapo Episode ya 4, Katamu Katamulile. Mwendo Mkono Mkonolile. Full Action, Full Ubaberism. Sema Humu wa Miwani Anatwanga Mkono, Usimguse. One To Watch.

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

Picha Mpya Ya Mashalove Akiwa Amevalia Kama Mtoto Mdogo Full Pampas 😜🤣😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

🆕️ Taarifa za awali zinaarifu yakuwa klabu ya Azam FC iko njiani kuanza ujenzi wa uwanja mpya wa kimataifa ambao utakuwa unatazamana na bahari ya hindi wenye uwezo wa kuchukua mashabiki 25000. Maeneo yanayotajwa mpaka sasa ni Kijichi na Kigamboni ndipo ambapo uwanja huo unakwenda kujengwa. Hii itakuwa timu ya kwanza Afrika Mashariki na kati kuwa na uwanja baharini. BIG MOVE? @alilkhalid8 @alikhalid_sports #bullasreports

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

LOVE A THIEF A Woman Who Gave Counterfeit Money to a Poor Hawker Chapter 1 © Gambo Elvis Every weekend, a young girl would hawk goods on the street for her aunt. One sunny afternoon, a well-dressed woman approached her and asked, “If I buy your goods for 1,000 CFA, will you have change for a 10,000 note?” “Yes ma’am,” the girl replied eagerly, thrilled by the chance to make such a big sale. The woman, named Janabu, knew very well that the 10,000 CFA note she handed over was counterfeit. But she also knew the poor, naive girl would never be able to tell the difference. Smiling sweetly, she took her goods, pocketed the change, and vanished into the crowd. The young orphan, completely unaware of the deceit, was simply overjoyed that she had made such a profit. She couldn't wait to get home and tell her aunt. But fate had other plans. On her way home, a young boy approached, pretending to be interested in buying something. The moment she let her guard down, he snatched her purse and bolted. She cried and screamed for help, but the boy was long gone. When she returned home empty-handed, her aunt was furious. She whipped her mercilessly, denied her dinner, and gave her chores so exhausting that she sat outside in the cold, still working well past midnight. The next morning, as they headed to the school office to report that the exam money was gone, they stumbled upon a commotion. A large crowd had gathered, and in the middle of it was a boy being beaten badly. “That’s him!” the girl cried. “Auntie, that’s the boy who stole my money!” The aunt rushed forward, only to hear someone in the crowd shout, “This boy came to our shop yesterday and paid with a counterfeit 10,000 CFA note. We only discovered it was fake this morning.” “I didn’t know it was fake!” the boy pleaded desperately. Just then, someone in the crowd recognized him and ran to fetch his mother. Moments later, a worried woman pushed through the crowd to rescue her son. As soon as the young girl saw her, her eyes widened. “Auntie, that’s the woman who gave me the counterfeit note!” she exclaimed. The truth hit everyone like lightning. The woman, Janabu, stood frozen. She had no idea that the fake money she used to cheat an innocent girl would end up in her own son’s hands—and now he was nearly lynched for it. In a twist of poetic justice, Janabu was made to pay twice: Once for the counterfeit note her son used at the shop And again for the one he had unknowingly stolen from the orphan girl. The woman who had tried to cheat a poor child ended up cheating herself—twice. She remained silent, too ashamed to admit the full truth, knowing it could ruin her. She never dared to deceive anyone again. The evil you do eventually finds its way back to you—sometimes double. I will not stop posting: MASTER MISTAKENLY SLEEPS WITH HIS HOUSEMAID But if you love this story: LOVE A THIEF. Go click on or go to: Lo-Wey It's my other page. The rest will only be posted there chapter two coming there soon.

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

AZAM FC : KWA FEISAL WANAFANYA KUFURU YA PESA ✍️ -Azam Fc wapo kwenye mpango wa kuongeza mkataba wa Feisal Toto hadi mwaka 2028 ... Mkataba wa sasa hivi wa Feisal utaisha June 2026 . - Hela ya kusaini mkataba mpya mchezaji Feisal atapokea kiasi cha milioni 805,254,286 za Kitanzania. -Azam watamlipa Feisal Toto kiasi cha milioni 79,092,064 kwa mwezi kama mshahara. -Pia Azam imeongeza kiasi cha $3 million kwenye kipengere cha kuachiwa kwa muajiri. wao.. yani Feisal kuondoka itahitajika zilipwe shilingi BILIONI 8 za Kitanzania. -Feisal hadi sasa hajasaini mkataba mpya na ameweka wazi anataka kuondoka. Hii ni kwa mujibu wa muandishi bora barani Africa Micky Jnr African Football Journalist Note : ✍️ Mkataba huu ukitiki basi Feisal atakuwa ni mchezaji mwenye thamani kwenye NBC PREMIER LEAGUE .. KING FEI 🙌

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

PART 1: THE NIGHT MY WIFE WALKED IN — AND BEAT BOTH ME AND MY SIDE CHICK LIKE THIEVES! --- Part 1: Let me confess. This story is not for the faint-hearted. If your heart is weak, drink cold water before reading. My name is Michael, but in Port Harcourt, the boys call me “Chairman of Soft Life.” I had a good job at an oil servicing company, a fine car, and an even finer wife, Oluchi. Tall, caramel skin, with that kind of body that makes pastors speak in tongues. She was a businesswoman, owned two boutiques and a POS stand. Always busy, always grinding. I used to call her “Madam Hustle.” But you see, even with all that beauty and brains… I was still an idiot. I met Cynthia at a friend’s birthday party. She was light-skinned, loud, and had eyelashes that could sweep compound. She laughed at all my jokes, even the dry ones. Within a week, we were already eating shawarma in my car and sharing “good morning baby” messages. I told myself it was harmless. Big mistake. Cynthia started catching feelings. She would post our chats on her WhatsApp status. She saved my name as “Hubby 🥺💍.” Omo. I warned her, “Don’t cross the line. I’m a married man.” She said, “And I’m a married side chick. Let’s focus.” I thought I had it under control, until one Friday evening when thunder decided to strike my destiny. That evening, my wife said she was traveling to Aba to restock her boutique. She kissed me goodbye, packed her Ghana-Must-Go, and zoomed off in her Toyota Corolla. I called Cynthia immediately. > “Baby, my house is free tonight. Come and sleep over.” She arrived like a hurricane. Full makeup, nightwear that looked like she borrowed it from Nollywood, and perfume that could blind mosquitoes. We cooked spaghetti, watched Netflix, and did what foolish men do when their wife is away. Around 2am, I heard the front door creak. At first, I thought I was dreaming. Then I heard heels. High heels. Marching like destiny had arrived. I froze. Before I could say “Holy Ghost fire,” my bedroom door flung open— It was Oluchi. Wigless. Bagless. Makeup-less. But fully powered by rage and native energy. She looked at me. Looked at Cynthia. Then looked at me again. > “Michael… you are cheating on me in our bed?” I stood up, stammering. “B-baby, it’s not what it looks like—” Before I could finish, Oluchi charged like a bull in Ojuelegba traffic. What happened next, I cannot fully explain. She pounced on Cynthia first. Grabbed her by her 72-inch wig. Flung her across the bed. Cynthia screamed, “Jesus!” but Jesus had logged off. Oluchi turned to me and shouted— > “You! Useless man! Hold your side hen before I remove her teeth!” I rushed to stop her. Big mistake. That’s how my wife slapped me like NEPA slap transformer. One side of my face went offline. To make matters worse… that’s when Cynthia said the worst thing ever: > “You told me you were divorced!” CONTINUE WITH PART 2 HERE 👉👉 Whispers & Wonders

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

Mama mmoja aliamua kumtembelea mtoto wake wa kiume anayesoma chuo kikuu katika HOSTEL aliyopanga ili wale chakula cha jioni pamoja.. Alipofika hapo chumbani kwa mtoto wake alimkuta mwanaye anaishi na msichana mrembo sana, pia kuna vitanda viwili, yule msichana akaanda chakula wakala pamoja,,, Lakini Mama akawa anamuangalia sana yule binti, mtoto wake akavunja ukimya na kusema: (NAJUA UNACHOFIKIRIA MAMA, USIWE NA WASIWASI HUYO NI MWANACHUO MWENZANGU TUU WALA SIO MPENZI WANGU)! Mama akatabasamu tuu lakini hakujibu kitu! Halafu akawaaga na kuondoka zake! Baada ya siku tatu, yule msichana akamwambia yule jamaa kuwa, tangu mama yake aje kula chakula siku ile kuna sahani moja ya SILVER imepotea pale chumbani! Jamaa akaamua amuandikie BARUA mama yake isemayo: (SHIKAMOO MAMA YANGU KIPENZI, NI MATUMAINI YANGU KUWA UMZIMA WA AFYA NA MIMI PIA NI MZIMA, MAMA KUNA SAHANI YA SILVER ILIPOTEA HAPA CHUMBANI KWANGU TANGU BAADA YA WEWE KUONDOKA SIKU ILE ULIPOKUJA KULA CHAKULA,,,, SIO KWAMBA NASEMA UMEICHUKUA WALA SISEMI KWAMBA HUJAICHUA ILA KIUKWELI SAHANI HIYO ILIPOTEA TANGU SIKU ILE ULIPOONDOKA HUKU✍🏿 Wako mwanao kipenzi) Mama baada ya kupokea ile barua akaamua kujibu namna hii: ✍🏿 MARHABA MWANANGU KIPENZI, SISI SOTE NI WAZIMA,, SIO KWAMBA NASEMA HUYO MSICHANA HUWA UNALALA NAYE KITANDA KIMOJA WALA SISEMI KUWA HUWA HULALI NAYE KITANDA KIMOJA, ila ukweli ni kwamba kama huwa analala kwenye kitanda chake basi angeiona hiyo SAHANI YA SILVER chini Ya mto wa kitanda chake... wako mama kipenzi. USIFANYE MCHEZO NA MHENGA,,, WANA AKILI NYINGI SANA HAWA WATU. Fahari ya vijana ni nguvu zao, Na uzuri wa wazee ni kichwa chenye mvi. 😁😁😁 USISAHAU KUSHARE

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

PENZI LA GANGSTAR (sio lazima unipende nikikupenda mimi inatosha ) 1 HUSQER BALTAZAR Kuna vitu unaweza usiamin kama vinaweza kumfanya mtu akakupenda sana mpaka akapagawa, muda mwingine huyo mtu ambae hatukutegemea kabisa kama anaweza kumpenda mtu kama wewe… Siku moja nilikuwa natoka zangu nyumban, hapo nimegombana na mama yangu wa kambo, kanitukana sana na hata usiku wake hata sikula hivyo wakati naamka asubuh akanambia kuwa anataka nibandike chai na nioshe vyombo, hata sikumjibu maana hata usiku sikula, yaan wale wao alafu vyombo nioshe mimi wewe kuweza, nikaondoka akawa ananitukana ila hata sikumtilia maanani, maana kwanza siku hio nilikuwa natakiwa kwenda kwenye interview, maana nilikuwa nataman sana kuhama nyumban,maisha ya mama wa kambo mwenye roho mbaya kama huyu ninaeishi nae sio poa kwa kweli…… Sasa nikiwa njian si ndio nikamuona mdada anasutwa balaa, akawa amekaa chini analia, nikasogea mpaka pale alipo kisha nikamnyanyua na kumuambia aondoke, si ndio binti mmoja akadakia na kusema “ unajua huyu katufanyia nini, embu acha kuingilia mambo yasiokuhusu wewe mchawi mwingine… “ ndio nimeshaingilia sasa utanifanya nini, nikaongea kwa sauti ya ukali kidogo, nikashangaa wanacheka kinafki na mmoja akasema “ na huyu tumuingize ili ajute kuingilia mambo yasiyomuhusu maana anajishaua sana, akasema mmoja wa wale mabinti, ila hata sikumjibu nikamuinua Yule bint na kutaka kuanza kuondoka nae… “ wewe changudoa ulielaaniwa muache huyo muasherati hapo chini haujui alichotufanya, mwanamke mnafki kama nini, unajifanya unaingilia unajua sisi ni akina nani mpaka unaingilia ngoma zisizokuhusu, akasema bint mwingine na mimi nipo kimya naanza kuondoka zangu maana sikutaka kubishana na watu, ila sikuona sawa kumuona mtu anaonewa tena barabaran kabisa, niliona sio ustaarabu hata kama amefanya makosa kiasi gani…. Wale mabint walipoona kuwa siongei nao naondoka na yule waliokuwa wanamchamba kimya kimya wakawasha vile vispika vyao na kuanza kuimba zile nyimbo za mafumbo wakaanza kusema “ na yeye yumo nay eye yumo matako hana anakalia kiuno, wakiwa wanamaanisha kuwa yule dada hana makalio anachotumia kukalia ni kiuno sie kimya … Mara wakabadilisha nyimbo wakaanza kuimba “ ngedere nipe sura yangu nimtishie mwanangu, ngedere nipe sura yangu nimtishie mwanangu, huyu nae vipi mbona sura ngumu ni ngedere nyani, sikujua walikuwa wanamlenga nani, maana hakukuwa na yoyote kati yetu ambae alikuwa ana sura mbaya, maana ni kweli Yule dada ambae walikuwa wanamuimba, hakuwa na shepiu ila sura mashallah… Sasa mmoja akajichanganya akaja kunizodoa, aiseee nilimshika mkono nikamkunja, hakuamin macho yake, wenzake wakataka kuingilia wakahisi wananiweza, sijui hata zile style za shaulin soka nilizotoa wapi, maana niliwatembezea kichapo kama jakchain, yaan ni mwendo wa kuruka nao tu, mpaka nakuja kutulia wote wamekimbia na watu wametuzunguka wanashangilia, Yule dada ambae nilikuwa namsaidia akanifata kisha kwa sauti ya upole akasema “ nisamehe sana kwa kukuingiza kwenye ugomvi wangu ila nashkuru sana kwa kunisaidia…. “ usijal, ni jukumu langu kumsaidia kila anaeonewa, nikasema na Yule binti akatabasamu kisha akanambia kuwa yeye anaitwa angel na mimi nikamuambia kuwa naitwa scholastica ila anaweza kuniita tu skola, basi tukaagana pale kumbe zile harakati zote zile kuna mwamba alikuwa ananiangalia tu, akawa anaangalia namna ambavyo niligeuka john cena dakika za kuhesabu ila sikumuona, nikaendelea zangu na safari yangu… Nikakuta nimechelewa kwenye interview kwa hio hata sikuweza kuingia ndani, nikawa najiambia kuwa mungu hawez kuniacha maana anajua kuwa nilikuwa natenda msaada hivyo lazima atanisaidia, ingawa nilikuwa najipa moyo ila nafsi yangu ilikuwa inaniuma sana, maana kukaa na mama yangu wa kambo sio jambo rahisi maana ana vituko zaidi ya vituko vya jini yaan, nikiwa natembea tembea mara mvua ikaanza kunyesha, kikawaida huwa natembea na kikoi, sasa nikakitoa kikoi changu na kujifunika, nikafika eneo moja ambapo hakukuwa mbali sana na sehemu ambayo nilikuwa nimeenda kuombea kazi, kwa maana ni yale majengo ambayo ni maghorofa tu hakuna nyumba za kawaida, hivyo kumetulia sana… Nikatafuta sehemu nikasimama maana mvua ilikuwa kubwa kidogo, mara nikashangaa namuona mtu anakimbia kuja upande niliokuwepo, aliponiona akaingia ndani ya kikoi changu kisha akavua vuatu na suruali yake akaweka ndani ya mkoba wangu akabaki na boksa, akanilaza chini, yaan mambo yote yalikuwa yanaenda haraka sana kiasi kwamba sikuwa naelewa hata ni kitu gani kilikuwa kinaendelea… “ anza kuguna, anza kuguna haraka sana, akasema nikawa sielewi, nikashangaa ametoa kisu kisha akasema utaguna huguni, tena uniite majina matamu, sikuwa na namna zaidi ya kufanya kile ambacho alikuwa anataka nikaanza kusema “ auchi ahhhhh mume wangu, tamuuu ahhhhh tamuuu shiiit, nikashangaa anaanza kunikiss, ghafla wakawa wanapita watu na ilikuwa mchana, ila Yule kijana alikuwa amejifunika kikoi changu akawa anapanda juu na kushuka chini kana kwamba ananikula kumbe sio kweli, na kwa aina ya lile eneo lilivyo ni ngumu watu kupita pita, hivyo hata wale ambao walikuwa wanapita walipoona kuna muhuni anakula uroda wakaona wasimkatishe utamu mwanaume mwenzao wakaendelea zao kukimbia kana kwamba kuna mtu walikuwa wanamtafuta…. Walipopita Yule mwanaume akaamka haraka sana kisha akaanza kuvaa nguo zake haraka haraka kisha akasema “ ni mara ya pili tunaonana na tumai tutaonana mara nyingine nyingi zaidi, kisha akaniachia business card yake na kusema “ kesho mapema sana naomba ufike kwenye kampuni ya Nuresh campany nitakulipa kwa wema ulionifanyia leo kisha akaondoka zake….. Nilibaki nimetoa macho ila kwenye swala la kulipwa ndio nilipopaelewa, maana sikuwa nataka kabisa kurudi nyumban, maana kukaa na yule mama ni bora hata kukaa na mzimu, basi sikutaka hata kurudi nyumban, nikajiambia kuwa nitaenda kwa shoga yangu na kutakapo pambazuka niende kwa kwa huyo mwanaume aliposema huenda nikapata hata mtaji wa kuchoma mahindi… Kweli nilikuwa na rafiki yangu mmoja alikuwa amepangisha na alikuwa anafanya kazi ya mama ntilie tu, nikamfata na kuomva kulala kwake, maana nilishaapa kuwa sitakaa nirudi nyumban tena mimi, na kweli akakubali, basi nimelala ila akili mwangu nawaza namna ya kufika kwenye hio nuresh kampan… Basi asibuh kulipopambazuka mimi ndio nikawa wa kwanza kuamka na haraka haraka nikaanza kujiandaa kisha nikachukua simu yangu na kuanza kupiga kwenye ile namba ambayo nilikuwa nimepewa, ilikuwa ni asubuh sana hivyo nilikuwa naongea kwa sauti ya utulivu sana wakati ambapo simu ilipokelewa… “ hallo nani mwenzangu, upande wa pili uliongea mara baada ya kupokea ile simu ambayo niliipiga… “ mimi ndio Yule dada ambae ulinambia kuwa nikutafute jana kwa kuwa nilikusaidia, sasa sijajua kampuni yako ilipo hivyo kama hautajali naomba kujua ilipo nije, nikasema kwa sauti ya utulivu sana, nikasikia upande wa pili unasema “ kum*mak*, kumbe wewe Malaya unasauti tamu hivi, yaan hapa nilipo mpaka nimesimamisha aiseeee, guna basi kidogo nitakuongezea malipo, akasema Yule mwanaume, nikashangaa huyu mwanaume vipi, yaan mimi nilikuwa nataka msaada kuhusu msaada nilioutoa alafu mtu anakuja kunambia maswala ya kuguna guna weee kuweza… “ samahan kama hauwez kunisaidia basi, naomba nikutakie asubuh njema nikasema ila kabla sijakata simu nikasikia upande wa pili unasema “ hauna mamlaka ya kunikatia simu mimi, guna kidogo nitakupa pesa yoyote unayotaka mamaaaa, akasema… Nikaona huu upuuzi, nikaanza kuhisi labda nimekutana na muhuni tu, na huenda nisilipwe nikakata zangu simu na kuanza kuona hakuna cha msaada wala kitru gani ambacho ningeweza kukipata…. Basi pozi lote la kwenda kwenye kampuni kulipwa likakata, shoga yangu yeye akajiandaa zake kisha akaenda kwenye mihangaiko yake, sasa ile natoka tu nashangaa magari mawili meusi yanakuja kupaki pemben ya nyumba ambayo nilikuwa naishi, tena zilikuwa ni range nyeusi, mara nikasikia mlango unagongwa nikajua ni wageni wa shoga yangu, nikaenda kufungua nikashangaa nakutana na sura ya Yule mwanaume ambae nilimsaidia, nikiwa bado nashangaa shangaa pale akapitiliza mpaka ndani kisha akawa kama anakagua kagua kisha kwa akanisogelea na kusema “ hii sio sehemu sahihi kwako.. “ unataka nini na kwanini unafatilia maisha yangu, naomba uondoke, nikasema.. Akacheka sana kisha akasema “ kuondoka, unahisi kuwa nitaondoka hapa, yaan leo umenifanya nimesimamisha kirahisi rahisi lisaa lizima alafu unaniambia maswala ya kuondoka, mwanamke wangu hawez kukaa sehemu kama hii, embu jiandae tuondoke, akaongea kwa sauti ya mamlaka…. Nikajikuta nimetoa macho maana sikuwa najua nimeanza kuwa mwanamke wake lini…….. NAKUJA……. Likes zikifika 2000 napst kiande kingine, hakikisha unasharebkwa kadri yabuwezo wako

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

💕😁💖DRAMA OF LOVE💖😁. part 19 "Fika Mama Lucy hospital, Brianna is not feeling well. According to the letter she left, you are the reason for her unwellnes 😱😱" Whaaat 😱. Noh😭, am the reason?? How? Kumbe Mom alikuwa nyuma yangu🙆. Nilidial namba ya Madam kuenda kumkol ndo nikamuona mathe 😲. HER: Sky, ni nini mbaya unashinda ukisema no?? Niambie mm ni mamako❣️. Ukifanya ivo hata mm pia naanza kuwa na wasiwasi 😭. "That girl😭😭" "That girl mgani sasa? Ninini kimemfanyikia?" She implored ME: Brianna Queen has poisoned herself, na amesema et ni mm ndo nmefanya ajiue😭. MOM: Jesus Christ 😱😱. Unasema yule msichana nilikuja shule kumjuwa😲😲. ME: Eeh mwenye ulikuja shule hadi ukafanya sahi tuko home hatusomi😭😭. MOM: 🙆🙆, where's she now, is she alive?? ME: Yes mah, she has been rushed to Mama Lucy hospital 🙏🙏. MOM: Take care of everything Sky,,, am going there now😲😲. Mathe aliprepare na kutoka hiyo tym yenyewe🙏. Hata hakufika mbali, madam akanipigia simu tena😲. HER: Sky, please you have to forget what she did to you and come😭😭. You have to save my sister's life, she wants to see you please 😭😭. ME: I can't make it Madam,, I have so many things to do here at home. MADAM: How heartless are you sky?? Many things yan zinashinda maisha ya Sistangu 😭. Come please?? ME: Kata kidogo mam ananikol madam🙏🙏. Akiwa anaongea mm nikarecieve simu ya mathe🙏. VOICE: Which room Sky, nmefika huko🙏. ME: Ulizia tu ukitumia majina yake kamili mam, hadi mm sijaambiwa💖💖. Mam alipohang up, kumbe madam hakukata. Madam Stacy: Are you done talking to your mom now you heartless boy😭😭😭. So umeamua akufe sindio?? Eh? ME: I said I have some stuffs to handle Madam,, I can't make it there🙏. Am sorry 🙆🙆. MADAM: Waaah, sikujuwa kama unakaa ivi Sky, sikujuwa kama una roho ya shetani hivo, good Bye 😭😭. Nilimkol Mam akaniambia amempata, na sasa hayuko mbaya sana ila anainsist tu niende et ana kitu cha kuniambia😪😪. ME: mam just tell her akipona mkam nayeye home kwetu🙏. Si unajuwa siwezi wacha boma 🙏. MOM: Okay hata anaskiza ndo huyu❣️. HER: Hello Beb 😭😭. "Hello to you Brianna,, how are you now??" "Am happy kumuona mama ako❣️❣️," ME: And if I may ask, do you think Killing yourself is the solution for our differences?? HER: To me it's Yes Sky,, I can't bear it seeing you there ignoring me as if I killed your mother 😭😭. All I did was totally nonsense 😭, ND I had apologized to you and to her🙏🙏. Sikujuwa full story 😭. ME: So ukaamua kusema et mm na yeye tulikuwa tunakiss, hadi nikapewa suspension 😪😪. MOM: Sky, sky?? My daughter ebu leta hiyo simu😪😪. Wee ni nini mbaya na wewe, mtoto wa mtu anaumia na bado unamuuliza maswali ya ujinga ka hayo😪. Kama huna kitu poa ya kumwambia kata simu😓😓. Nilianza kuskia sauti nyngi kwa room yao😲😲. Kwan ni nini kinaendelea🤔🤔. Hakuna aliyenijibu🙏. Nilikata then nikakol tena🙏. "Hello Mom, kuna nini naskia makelele ivo?? HER: Oh kwan hukua umekata?? Ni mwalimu mkuu na wanafunzi kadha wamekuja kumwona Brianna Queen ❣️❣️. ME: Hadi mwalimu mkuu😲😲. (Nikaskia wakicheka, kumbe mathe hakuwa ametoa kwa loud) MKUU: Sky, I want to talk to you 🙏🙏. ME: Talk to me Sir. HIM: It's a private issue,, I have your gift❣️❣️. Nancy is now fine💖. ME: Okay Sir, anytime any day, you are welcome home... HIM: Then concerning Brianna, please make sure you have solved your problems,, I know you are still kids❣️❣️. Imgn an Angel like Brianna et anaamua kujiua ju yako 😲 ME: Mwalimu gredit imeisha🙏🙏. Siku zilisonga Brianna akafutwa hospitalini na kama nilivyotaka, mama alikuja na yeye hadi kwetu💪💪. She was fully recovered MOM: No love in my house✌️✌️. Nyinyi sasa mmekuwa dada na ndugu❣️. Pendaneni kama familia moja💖💖. Wee Queen, hiyo smile mm siitaki kwa hii nyumba. Na wewe Trevor ujuwe mm pia niliwahi kuwa msichana, wacha kumkanyaga QUEEN kwa mguu hapo chin ya meza😲😲. QUEEN: 😱😱, MOM: Basi someni kwa bidii itakuwa furaha yangu mkipita mtihani nyny nyote❣️❣️. Goodnight my children ❣️. ME: Are you happy now?? Brianna: Happy for what?? ME: Kuitwa mtoto wetu😂😂. BRIANNA: Ona huyu, tumeambiwa tusome si kuulizana maswali 🙈. Me: 1+1?? HER: Two ME: Two plus two? Her: 4 Me: 4+4? BRIANNA: Hiyo ni bhangi gani unatumia😪😪. MOM: Ngài wuuuwih😱. Mtoto wangu anatumia bhangi na huwezi niambia, (alitoka kwa yake room mbio) Niliambia Brianna mam hapa akitupata ni mazishi🙏. Sote 🏃🏃‍♀️ hadi kwa room yangu na kisha kujifungia huko💪. MOM: Fungua huu mlango🤔.(hatukufungua) Haya basi laleni huko, mtu asikanyake nje😓. BRIANNA: Waah huyu mamako si ni dramatic aki 😂😂. Kwan alikuwa anaskia tukiongea😂. ME: Hiyo ndo inakuwanga tu kazi yako kwa maisha yangu Brianna. Kila mara nikiwa na wewe lazma nijipate kwa ngori😪. HER: Lakn sasa hata na wewe ulikuwa unaniuliza maswali gani hayo jamani😪. What is 1+1?? ME: 😂😂😂, wacha me nilale mwenyewe ujipange venye utatoka ndo uingie room yako😂✌️.(nilijirusha kwa bed kulala nikiangalia juu💪) HER: 🤔🤔, ama mamako ataniekelea ngoto🙆. (Alienda akashika kwa mlango akaona mathe aliwasha TV akaanza kuwatch😱) SKY she's watching TV 🙆🙆. ME: Oh wow, huo ni mtego Brianna,, ile kuundwa utaundwa leo😂😂. Hiyo haga yako tamu hutawahi iona tena🙈. HER: (alifungua mlango polepole et ndo atoke mbio, before mama aamke atakuwa ameingia kwa room yake🏃‍♀️🏃‍♀️) MOM: Bhangi? Sky anavuta bhangi?? Tangu lini?? Brianna alirudi mbio bila kuulizwa kitu. "Sky am scared, it seems amekasirika sana😭, si tusome tusome hadi alale kwanza alfu niende? Please 🙏" ME: Eti tusome,, mm nataka kulala😂. Chukuwa kitabu kwa hiyo bag usome❣️❣️. Akienda kulala pia utaenda sawa💪. Mom akaenda miayo😲😲. "Nyny watoto kwan hamsomi leo?? Pitine huku msome" huyu akaona amepoa🙏. Zile slippers aliwekelewa😂, " wewe unajuwa (akipigwa) mtoto wangu anavuta bhangi na husemi, " teke moja la haga then akarudi kwa room yangu mbio 🏃‍♀️😂😂. BRIANNA: 😂😭😂😭😂😂😭😭😂. ME: Unacheka ama unalia wewe?? Nmekwambia huskii, huyo akijam hadi supper huwezi kula, anyway kaa hapa tusome tusome basi🙈🙈. HER: Kesho narud kwetu walahi,, these dramas are now too much😂😂. What a mom😂. Karibu niuliwe bure tu😂. ME: Na bado😂, kama hautabehave normally, my Mom will treat you abnormally 😂😂. HER: Sasa wewe ni kunicheka tu😭. Ujuwe mm sitoki kwa hii room, leo ni wewe utaenda kulala huko😪😪. ME: Okay haina shida🙈🙈. Tusome sasa❣️❣️. Si usonge huku tusome, mm sichapangi wasee🙈. Kalisonga, kwenda kufungua kitabu, stima nayo kumbe ilikuwa imejam😂. Ilipotea mara that, tulianza kusikia mama akitembea kuingia kwake kwa bedroom ❣️❣️. BRIANNA:(whispering) She's going to sleep❣️. MOM: Going to sleep where?? Sitoki hapa,, et anavuta bhangi?? SKY fungua huu mlango😪😪. Brianna mara hiyo akajitupa kwa blanket na kujifunika🙆. MOM: Sky?? Wewe mtoto hunijui mm😪. Nalipa fees ili uende uvute bhangi huko shuleni🙆🙆. ME:. Mom she was just kidding,, she didn't mean it 😪😪. Mbna leo uko na kisirani hivi, kwan hatutasoma et ju ya hiyo tu😪. Mam mm haunibambi ak😭. MOM: Ni sawa, goodnight tukutane asubuhi😱. BRIANNA: sky mbna unajibu mamako ivo?? ME: Sasa for sure ni nini inamfanya akasirike hivo?? Wewe nawe uliniona wap nikivuta bhangi😭. HER: I was just joking, hadi wewe unajuwa ivo, sijui mbna Mom amejam ivo, ama kulikuwa na issue ingne?? ME: ❣️❣️, those thighs please 🥺 💖. Hivi ndo wewe huwa mhot😲😲. HER: What are you talking about?? ME: I mean, eeish❣️. HER: wee ni nini unanisongea hivo?? ME: ulisema ulinipa nini nikague nikashindwa?? MOM: Athe?? Kukupea nini ukague sky?? Toka toka toka,,, toooka nje😭😭. After kufungua mlango. Nilitolewa nikaenda kulala kwa room ya Brianna 😭😭. MOM: kuwapea dakika mbili tu already mnataka kufanya😱. Huyu Mom ni nini mbaya na yeye😭😭😭. To be continued... Part 20 LOADING. ..(wach alama❣️(like))

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

PART 5 JINSI UTULIVU ULIVYOPONYA NDOA YANGU Baada tu ya kujifungua niliwataarifu wakwe zangu lakini hawakuja kumuona Mtoto, wakasema kijana wao aliwakataza kuja nyumbani kwake hivyo hawawezi kuja bila ridhaa yake. Hii kauli iliniuma lakini niliongea na Pastor akasema wako sahihi kama Mtu kawaambia wasikanyage nyumbani kwake waje kufanya nini, Pastor akasema tulia Lea Watoto wako mengine yatajiset. Nilikaa miezi mitatu Mume hajapiga simu, hajatuma message wala kutuma Pesa, nikashangaa hata ile hela kidogo ya matumizi aliyokuwa anaituma pia aliacha, nikaamua kunyamaza tu. Pastor aliniambia unapoona hauna majibu mwambie Mungu akupe majibu. Kuna siku nimekaa zangu nyumbani kidogo akaja yule Mama wa jirani, lakini safari hii alikuja kitofauti. Kwanza tangu nimejifungua hakuonekana na sio kawaida yake na alikuwepo nyumbani kwake ila kwangu hajagusa. Ndio maana alivyoingia nikashangaa Leo imekuwaje? Kufika tu ananiuliza hauendi kwenu? Nikamuuliza kwetu kivipi? Akasema kwenu kwa wazazi wako, hivi kweli changamoto zote hizi za Ndoa bado upo tu, ningekuwa Mimi ningeshaondoka. Nikamuuliza changamoto gani? Kwani kumetokea nini? Akasema Mumeo ameshakuacha, na inaonyesha hakutaki tena, maana ni miezi kama mitano sasa au sita hajarudi. Nikamwambia Ndio lakini huyu ni Mume wangu wa Ndoa, siwezi kuondoka kizembe hii ni ndoa, akaguna Mmmhmmmh! Haya, ila ningekuwa Mimi ningeondoka. Uzazi wote huo umeganda hapa si ungeenda kwenu kujifungua? Nikaona anaanza kuniudhi. Nikamwambia Ndio lililokuleta?, kama Ndio lililo kuleta basi nakuomba utoke, toka tena haraka sana toka. Akaniambia unanifukuza kama nani hapa, Wewe huna mamlaka hayo, na nikimwambia Mumeo kuwa umenifukuza utaona kitakacho kupata. Nikamwambia Mama tafadhali nakuomba utoke nisije nikakukosea heshima, akasema naondoka ila kwakuwa umenifukuza humu ndani utaondoka, nikamwambia labda kama hii ni nyumba ya Mumeo, akacheka kwa dharau heheeee, utajua mwenyewe ila jua utatoka. Akasema inaonekana kwenu ni masikini sana na huna pa kwenda ndio maana umeng'ang'ania hapa, aisee nilikasirika nikasema kwa ukali tokaaaa kwa nguvu kama nakemea Pepo akastuka akaondoka, japo alitoa mfyonyo huo hatari. Nilikosa amani sana nikasema kwani huyu Mama kawaje au kapatwa na nini? Inamaana hata Yeye ni adui yangu. Nilikaa baadae nikampigia Pastor akasema huyo kuna jambo, tuendelee kuomba Mungu ampige upofu na amfichue. Usiku mida kama ya saa tatu, nikashangaa Mume wangu ananipigia Simu, imagine hajatutafuta tangu nimejifungua mpaka Leo, roho ikasita kupokea. Baadae akatuma message kama umechoka kukaa hapo ondoka acha kuwafanyia watu ninaowaheshimu ujeuri, utaondoka. Nikajua ni yule Mama kamwambia Mr kuwa nimemfukuza. Sikumjibu wala sikupokea nikazima simu nikapumzika maana nilihisi kichwa kinauma. Mama Ivan alinipigia simu akasema nataka kuja kumuona Mtoto nikamwambia njoo karibu. Basi siku hiyo Mama Ivan anakuja ilikuwa weekend, akaniambia nakuja na gari yenye Tinted nifungulie geti sitaki watu wanione, nikamwambia sawa. Basi akafika nikafungua geti akaingia, ila ile nafunga geti namuona yule Mama wa jirani akapita anachungulia anataka kujua ni nani kwenye gari. Alipita hajanisalimia na Mimi sijamsalimia, nikafunga geti faster, nikamwambia Dada hakuna kufungulia Mtu. Mama Ivan akashuka faster akaingia ndani, nikamuuliza vipi kwani, akasema sijataka huyo Mama wa jirani anione maana ndio mbaya. Nikamwambia umejuaje maana juzi tumetoka kugombana na Mr kaniambia nitaondoka hapa. Mama Ivan akasema Mdogo wangu Wewe ni mdogo wangu, umekuwa mwanamke mwenye Upendo sana kwa mwanangu, lakini pia nimekuona ni mwanamke jasiri sana na mvumilivu. Ila kuna mambo yanaendelea natamani nikwambie mdogo wangu, nikamwambia niambie Dada nakuomba Akachukua simu akanionyesha picha za Mr yuko na Mwanamke na Mtoto, nikamwambia hizi picha Dada yangu alinionyesha alizipata insta japo sijajua huyo Dada ni nani na wakoje na Mume wangu, akasema sasa tulia kipenz ni hivi, Huyu binti ndio Mtoto wa huyo Mama wa jirani, moyo ukastuka Paaah, akasema na huyo Mtoto huyo Dada kazaa na Mumeo, na juzi wamefanya kama sherehe ya kumgomboa Mtoto na Mumeo kalipishwa na mahari, nikasema unasemaje? Akasema ndio hivyo na hivi kampangia nyumba wanaishi wote Huyu binti ndio alinitoa Mimi kwenye hii nyumba, yani huyu ndio sababu ya Mimi kuondoka hapa. Akasema tulia nikupe story kipenzi, nikakaa chini huku natetemeka sielewi jamani ITAENDELEA

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

PART 4 JINSI UTULIVU ULIVYOPONYA NDOA YANGU Nikweli Mume wangu hakurudi nyumbani mwezi mzima na, yani ni mwezi mzima ukakatika hakuna simu hakuna message, zaidi tu naona miamala ya pesa za matumizi basi. Hii kitu ilinipa mashaka kwani naona kabisa Mume wangu yuko hapa hapa Dar lakini nyumbani haji, sasa yuko wapi? Kuna siku Bwana usiku nataka kulala, simu yangu ikaita, alikuwa Dada yangu akaniambia Jane unaendeleaje? Nikamwambia sijambo, akaniuliza umejifungua? Nikamwambia hapana bado kama wiki hivi nikafanyiwe operation. Akasema vipi Mumeo mmeachana? nikamwambia hapana tupo wote kwanini unauliza, akasema mmmh mbona naona kuna mahali kapostiwa yuko kwenye sherehe ya Mtoto ni kama vile anamvalisha Pete huyo mwanamke aliyezaa nae. Nikasema whaaat nitumie. Basi Dada yangu kunitumia picha kweli Mume wangu kabeba Mtoto na wamefanya kama sherehe ya engagement. Nilivyoona vile nikaangalia kidole changu nikakuta kina pete bado nikasema inawezekanaje hii jamani, kweli Mtu anioe halafu akachumbie Mtu mwingine haiwezekani. Hapo hapo nikasikia kama mshale umechoma kwenye moyo wangu, nikaanza kusikia maumivu ya moyo, nilisikia uchungu sana sana. Nikakaa nikaanza kulia kwa uchungu sana, nikasema kweli Roy Wewe wa kunifanyia hivi kweli, kama hakuwa ananipenda kwanini alinioa kwanini? Nililia, nikatafakari sana, mpaka nikaanza kujisikia vibaya. Ikabidi nimpigie Dada yangu aje tu kunisaidia. Dada Alipofika hali yangu ikawa mbaya, akasema Mdogo wangu nisamehe nimekosea kukupa taarifa kwenye hali hii nisamehe, Mimi hata naelewa basi, nimekazana tu kulia. Baadae hali ikawa mbaya nikawa nashindwa kupumua, ikabidi nikimbizwe hospital. Kufika Hospital kupimwa wakasema Pressure iko juu sana inabidi nilazwe. Doctor akasema mbona hali imebadilika ghafla, hii sio nzuri inahatarisha usalama wako na wa Mtoto. Nikawekwa kwenye chumba cha uangalizi. Nakumbuka nilikuwa nimevimba mwili mzima, miguu, mikono, uso ndio usiseme nilikuwa kama nimeumuka hivi, nilikuwa natisha haswa. Dada yangu akawa analia anajilaumu tu kwanini aliniambia. Sasa nikiwa mule hospital, kuna Nurse alikuwa ananihudumia akawa ananipigisha story na kunitia moyo, akawa ananiuliza imekuwaje, jitahidi uachilie ili ujifungue salama. Nikawa napiga nae story sana. Kesho yake aliingia tena shift ya jioni, akaja kwenye chumba changu. Akaniambia Madam unaendeleaje nikamwambia sijambo, akasema tena hapa tuna maombi huwa tunashiriki online na Pastor wetu, naomba Leo tuombe wote, nikamwambia sawa nahitaji sana maombi. Basi muda ukafika akaweka maombi ya SHUSHANI kwenye simu, akaniambia wewe fwatisha tu taratibu omba taratibu utapata Amani. Nakumbuka siku hiyo Pastor aliombea sana kuhusu uponyaji wa Moyo aliomba sana sana. Nilijikuta ninaomba, ninalia mpaka maombi yanaisha nikajiona mwepesi. Nikamwambia yule binti nimeenjoy sana maombi, akasema usijali kesho yapo nitakuja tuombe pamoja. Sio siri baada ya yale maombi niliona moyo umekuwa mwepesi sana na kama kuna kitu kimetoka, na kwa mara ya kwanza nililala usiku. Nimekuja kuamka asubuhi ni saa moja manesi wamekuja kunipima pressure na kunipa dawa, wakasema tunaona pressure inashuka kidogo tumeona tukuache upumzike. Kweli nikalala tena mpaka saa nne. Ndio nikaamka nikaoga nikanywa uji nikarudi kulala. Jioni ilipofika kale kabinti kanurse kakaja, kakaniuliza vipi unaendeleaje, nikamwambia Leo nimelala siku nzima akasema, nimeongea na Pastor wangu yule wa jana nimemuomba Leo aongee na wewe, kasema baada ya maombi atakupigia akuombee. Nikamwambia nitashukuru sana sana Kweli maombi ya saa mbili yakaanza, nikaomba haswaa baada ya hapo Pastor akapiga simu nikaongea nae kwa kifupi akaniambia, Kwasasa unachohitaji ni imani tu kwa Mungu, pale unapoona mambo ni magumu hakikisha Imani yako haitetereki. Endelea kumuamini Mungu kuwa atakusaidia hata kama unaona mazingira ni magumu kiasi gani. Amini tu kuwa Mungu anakupenda na hajakuacha, hilo tu. Akaniambia Kwasasa achana na mambo yote na anza kuwa excited na Mtoto wako utakaye mzaa, mshukuru Mungu kwa Neema ya kuwa Mama na muombe akuvushe salama, ukishajifungua sasa tutaonana tuongee vizuri. Kweli Pastor aliniombea sana sana. Ila kitu cha ajabu wakati anaomba akaniambia nakuomba utangaze msamaha kwa Mumeo, Muombee Mumeo rehema na mwambie Mungu kuwa umemsamehe ili Mungu akupe amani. Baada ya pale nilijisikia vizuri sana, nikamshukuru yule Binti Nurse kwa kuniunganisha na Mtumishi wa Mungu, nikamwambia kuanzia Leo Mimi ni mwana Shushani. Kesho yake nikapimwa pressure imeshuka kabisa, Doctor akasema kwa hapa naweza kumtoa Mtoto. Kweli mida ya jioni saa kumi na moja nikaingizwa theater nikafanyiwa operation na Mungu mwema ilienda vizuri na nikabarikiwa Mtoto wa kiume. Nilimshukuru Mungu sana, na kama Pastor alivyosema nimfurahie Mtoto wangu, kweli nikawa kila nikimuangalia mwanangu najisikia raha ya ajabu. Nikaruhusiwa kurudi nyumbani, Mume hakurudi wala kupiga simu , Pastor akasema tulia tu nyamaza kimya, Kwasasa pata nguvu kwanza ukishakaa sawa utamtafuta. Kweli sikumtafuta nika focus na Mtoto nikawa busy na mwanangu basi siku zikawa zinaenda. Pressure iliisha kabisa, nikawa naenda kupima wanasema iko normal, mwili ulikuwa umevimba sana nawenyewe ukanywea kabisaaa, nikarudi kama kawaida. ITAENDELEA

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

ANIPHA 😂😂. Sehemu ya 12. Niliingia chumbani kwangu nikachukua funguo za duka na kutoka nje maan Mainda hakuwepo ndani, alikuwa kashaenda kazini kwake na mimi nikatoka hadi nje nikaita boda na kuondoka kwenda dukani Baada ya kufika dukani nikaanza kufanya usafi huku nasikilza zangu mziki Baada ya usafi nikakaa sasa kusubri wateja, muda kidogo akaingia Allen na Tanasha na mimi nikawa busy kama siwaoni vile, Tanasha akaanza kunisalimia hapo. "karibuni sana jamani, mmekuja hadi huku" "Ndio wifi, ngoja tuchague chague nguo kwanza si Ndio babe" "yeah, anza kichagua mimi nakuja sawa" Tanasha alienda kichagua nguo na Allen akabaki pale na mimi, na mimi nikachukua simu yangu na kuanza kumfuata Tanasha, Allen aliniita nikasimama. "Ndio boss kuna shida yoyote" "anipha embu acha hizo story, mimi nataka tuongee tu japo kidogo" "tuongee kuhusu nini labda Allen, aah si wewe uliesema kila mtu awe na Maisha yake eeeh au sio wewe" "Ndio lakini nahitaji kuongea na wewe tafadhali anipha" "me sina shida na wewe tena sawa, niache kabisa yani kaa mbali na mimi sawa" "Anipha... Anipha nisikilize basi mama" Niliondoka na kumuacha Allen amesimama na mimi nikaenda mahali aliko Tanasha, tukaanza kuchagua nguo huku tunapiga story huku tunacheka hapo mimi najikaza tu maan kila nikifikiria kuwa Tanasha ndiye mke mtarajiwa wa Allen naumia sana jamani 🥹🥹🥹. Tulimaliza kuchagua nguo Allen akalipia kisha wakaondoka, nikabaki peke yangu huku roho inaniuma sana lakini sikuwa na namna Ndio hivyo. Mida ya jioni nilirudi nyumbani nikiwa nimechoka sana kwani kuna nguo mpya zililetwa dukani hivyo nikawa nazipanga mule dukani, Nilifika nyumbani nikaingia chumbani kwangu kuoga Baada ya hapo nikaenda seblen kula. "shoga angu ulikuwa wapi jana mmh" "aah nilikuwa kwa brown Ndio maan sikurudi nyumbani jana usiku" "Mmmh wewe na Brown mnaanza kunipa wasi wasi kabisa 😂😂" "umeanza lione kwanza, hamna hata kitu ni vile tu nilikuwa sijiskii vizuri Ndio maan sikurudi nyumbani" Baada ya chakula cha usiku kila mtu aliingia chumbani kwake kulala, mimi hapo roho inaniuma kweli kweli kujua kuwa Allen wangu mimi analala chumba kimoja na Tanasha 😡😡. Usiku sana nilihisi kama kina mtu kitandani kwangu nikaanza kupapasa kitanda changu nikahisi kama nimeshika kitu kama mwili wa mtu hivi nyie niliogopa sana ikabidi niwashe taa, sikuamini macho yangu kwani aliyekuwa kitandani kwangu ni Allen tena amelala bila hata wasi wasi. "Huyu anafanya nini hapa jamani kama sio kutafutiana tu matatizo jamani khaaa, we Allen wewe embu amka huku shenzi wewe" Itaendelea....... Full 1000 0784468229

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

Simulizi.. ANIPHA 😂😂. Mtunzi.. Sehemu ya 11. Mimi na Brown tulienda hadi kwenye hotel na nikaagiza pembo sasa mtoto wa watu, nikaanza kunywa nilikunywa mpka nikawa chakali kabisa sasa nikaanza kuongea, huku nikimtukana sana allen muda huo Brown ananiambia tuondoke yani hapo mimi sielewi chochote nataka tu niendelea kulewa basi. "Brown, hii ya mwisho sawa niache tu nimalizie hii jamani 😂😂😂" "hapana Anipha, amka twende nyumbani sawa umelewa sana" "Sawa nitaenda nyumbani lakini, usinipeleke kule aliko Allen sitaki kabisa kumuona mwana haramu huyo 😡😡😡" "sawa amka sasa twende" Ile naamka tu kwenye kiti nilianguka nyie mpaka nguvu za kusimama zikaniisha, Brown akanibeba hadi kwenye gari lake Baada ya hapo sikujua kitu chochote tena, mpaka asubuhi nakuja kuamka nashangaa tu, maana hata sjui ni wapi jamani. "Sasa hapa ni wapi jamani na mbona nguo sio hizi nilizokuwa nimevaa jamani eeeh, aah mbona kichwa kinauma hivi jamani" Muda huo huo Brown alifungua mlango na kuingia ndani akiwa na bakuli yenye supu na chapati mkononi. "hivi hali anipha, unajisikije" "kichwa tu Ndio kinaniuma na mbona nipo kwako kwa nini??" "jana ulikataa kwenda kwa Mainda kwa sababu hukutaka kuonana na Allen" "daaaah sasa Ndio nimefanya nini mimi jamani sawa, wacha nioge niende nyumbani" "jamani Anipha, kula kwanza Ndio ujiandae sawa me nitakuwa hapo nje nakusbiri sawa" "sawa Brown asante" Nilikula kile chakula haraka haraka baada ya hapo nikaingia bafuni kuoga nikarudi chumbani hapo nawaza navaa nini sasa jamani mimi daah, Mara Brown akagonga mlango. "Anipha, fungua kabati kuna nguo humo sawa" "sawa" Nikafungua kabati la nguo humo chumbani nilikuta nguo nyingi sana kwenye lile kabati nikachangua nguo moja nikavaa chap chap nikatoka sasa ili niendee nyumbani. "Brown, twende sasa" "sawa mama twende" "lakini Brown mbona unangua nyingi hivi za kike ni za nani??" "😂😂, Anipha hizo nguo Ndio zile nilizonunua dukani kwenu siku ile, zilikuwa zako yani nilizinunua kwa ajili yako wewe hapo" "Aaah sawa, asante" Majibu ya brown yalinifanya nijiskia vibaya sana maan sina hata mpango wa kukubali kuwa mpenzi wake daah sjui hata nafanyaje sasa jamani mimi. Tulifika hadi nyumbani kila mtu akiwa kimya kabisa. "asante sana Brown" "usijali Anipha, badae ngoja mimi niende kazini" "sawa kazi njema B" Brown aliondoa gari maan hakuingia hata ndani aliishia getini na mimi nikaingia ndani, ile naingia tu ndani nakutana na Allen mlangoni. "Samahani naomba kupita" "unatoka wapi asubuhi hii, maana yake ni kwamba hukulala nyumbani" "khaaa, wewe ni nani mpka uniulize hivyo yani 😂😂" Nilimjibu hivyo Allen kisha nikaondoka kwenda chumbani kwangu nikapishana na Tanasha mimi hapo niko busy mpka chumbani kwangu. Itaendelea... Full 1000 Whatsp 0784468229

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

Simulizi... ANIPHA 😂😂 Sehemu ya 10. Nilikaa chumbani muda mrefu hadi Mainda akaja kugonga mlango. "Hello, Anipha fungua mlango basi mbona umekaa uku mwenyewe jamani" "Mainda kwa nini mimi jamani eeeh kwa nini lakini 😭😭" "nini wewe mbona sikuelew kwani una shida gani jamani kipenzi, nambie basi mama eeeh" "kwani mimi Kosa langu mimi ni kumpenda si Ndio Mainda, niambie basi kama nimefanya makosa 😭😭" "embu nieleweshe basi , kipenzi yani sikuelewe hata kidogo" "Mainda, huyo Allen mdogo wako ndio yule yule Allen niliekusimulia Mainda ni yeye kabisa, lakini hajataka hata kuniangalia usoni kwel jamani 😭😭" "basi mamy, nyamaza achana nae sasa, kuwa na Maisha yako kipenzi sawa" "Siwezi Mainda nampenda sana Allen, naanzaje sasa kumsahau na kuanza upya maisha yangu mimi jamani" "sasa sikia anipha, ukilia utampa kiburi Allen sawa, we kuwa busy na Maisha yako na ujifanye Huna muda nae kabisa sawa, kama bado anakupenda basi atarudi sawa kipenzi" "daaaah sawa dear sina namna anipha mimi jamani" "pole sana kipenzi, pia msamehe sana mama yetu Ndio alivyo sawa" "nilisha msamehe zamani sana kipenzi usiwe na wasi wasi sawa" "sawa dear, vaa vizuri twende sebleni na uwe busy sawa" "Sawa, shoga yangu Ndio maan nakupenda sana 🫂" "aya fanya haraka sasa nakusubili hapa hapa twende wote" Nikafungua kabati langu la nguo na kuchagua nguo yangu ile nzuri kabisa nilionunuliwa na Brown nikavaa Baada ya hapo tukaelekea sebleni mimi na Mainda yani hapo mimi nimejikaza Sana maana ingekuwa enzi zangu zile weee mbona Tanasha angekuwa anatema tu damu muda huu 😂😂. Bwana wee ile nimefika tu sebleni macho yangu na Allen yakagongana, Allen alinishangaa mpka ikabidi mimi sasa ndio nijifanye niko busy maan utadhani alikuwa anataka kunitoboa maana sio kwa jicho hilo jamani hapo mimi nasema na bado Allen utaniangalia sana shenzi wewe😂😂😂. Tukakaa sasa mezani kwa ajili ya chakula muda huo mimi niko busy na simu na chati na Brown ilimradi nimchanganye tu Allen, nikamwambia Brown aje kunichukua nyumbani maana sijiski vizuri kabisa. Na hivi Brown ni mtu wa sifa sana dakika tu nikasikia oni getini 😂😂😂. Nikanyanyuka na kwenda kufungua geti nikaingia na Brown hadi ndani. "hey B, nisubri hapo nikachukue hand bag yangu tuondoke" "sawa mama hamna neno ngoja mimi nisalimiane na wageni kwanza hapa" "poah" Niingia chumbani kuchukua kimkoba changu ili niondoke na Brown, nikamuacha brown anasalimiana na Allen na Tanasha Baada ya hapo nikamiga Mainda kisha tukaondoka zetu. Itaendelea...... Full 1000 Whatsp 0784468229

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

ANIPHA 😂😂. Mtunzi... Sehemu ya 9. Maisha yalikuwa mazuri mno yani weekend tunaenda kuenjoy mimi, Brown na Mainda, siku hiyo tulikuwa kwenye hotel moja nzuri sana tunakula, Mainda akasema kuwa kuna kaka yake anakuja week hii kumsalimia hivyo tutakuwa nae kwa siku chache pale nyumbani. "Sawa hamna shida, kipenzi tutakuwa wengi nyumabni" "yeah, sasa Brown Sisi ngoja twende nyumbani maan muda umeenda sana" "Hamna neno, twende niwapeleke then me nitaelekea kwangu" Brown alitufikisha nyumbani na yeye akaelekea kwake. "Eeh best embu niambie vizuri huyo kaka yako ni nani" "Mmmh ona huyu jamani 😂😂hapo tu ushaanza kumuwaza kaka yangu jamani" "Hapana bwana sio hivyo, nataka tu kujua" "Sawa anaitwa Allen, ni mdogo wangu, me naanza anafuata yeye" "Allen, mmh sawa" "unadhani atakuwa Allen wako 😂😂, ila wewe aya bwana wacha me nikalale" "Sawa usiku mwema" Kila mtu aliingia chumbani kwake kulala huku mimi nikiwaza huyu Allen ni nani au Ndio Allen mpenzi wangu mimi jamani sasa itakuwaje, eeh Mungu naomba tu asiwe Allen ninaemjua mimi jamani sjui hata nitafanyaje. Niliwaza sana mwisho nikapitiwa na usingizi mpka asubuhi. Asubuhi hiyo tukajiandaa na Baada ya hapo tukaenda kila mtu kazini kwake hapo mshahara wangu natunza tu maan nilikuwa sinunui chochote wala kulipia chochote, kila kitu alifanya Mainda basi. Siku hua azigandi hatimae siku ya mdogo wake Mainda kuja ikafika, tukafanya usafi Nyumba nzima mpka chumba cha wageni Baada ya usafi tukapika chakula tukaandaa vizuri sasa, tukakaa sasa kumsubiri mgeni na siku hiyo hatukwenda kazini wote mimi na Mainda. Muda ya mchana Ndio mgeni sasa akawa amefika stendi hivyo Mainda akaondoka na gari yake kwenda kumchukua huyo mgeni stendi mimi nikabaki nyumbani naanda mazingira ya kumpokea mgeni sasa. Baada ya muda Mainda akarudi sasa na huyu mgeni, kwanza akaanza kishuka mdada kwenye gari kisha Mainda hapo mimi namsubiria tu huyo Allen 😂😂hao wengine sina shida nao hata kidogo, baada sasa ya hao wengine kishuka kwenye gari Ndio akashuka sasa huyo Allen, Mungu wangu ni Allen mpenzi wangu Ndio mdogo wake na Mainda yani niishiwa nguvu kabisa, na hata yeye aliponiona alijifanya kama hanijui kabisa. "Karibu sana mdogo wangu, naona umeniletea na Wifi kabisa" "asante dada Mainda, na huyu anaitwa Tanasha, ni mke wangu mtarajiwa Ndio nimemleta ili umuone dada mkubwa" "waooh jamani, karibu sana Tanasha hapa Ndio kwangu karibu sana" "Asante sana wifi" "Na huyu anaitwa Anipha, ni rafiki yangu sana piah anafanya kazi kwenye duka langu " "oooh sawa basi tuingie ndani sasa dada" Muda huo wote mimi sielewe chochote, yani mimi nimekaa siku zote hizo namuwaza Allen kumbe yeye alisha nisahau kabisa kweli jamani 🥹🥹🥹. Tuliingia ndani mimi nikapitiliza moja kwa moja hadi chumbani kwangu nikafunga mlango nikaingia bafuni, nikafungulia maji nikiwa na nguo hivyo hivyo, nililia sana mpaka nikahisi kufa yani. Nilikuwa nahisi kama kuna kitu kinaninyiga shingoni yani jamani nyie acheni tu 😭😭😭😭yani mimi leo sina ujanja kabisa daah. Itaendelea.....

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

ANIPHA 😂😂. Sehemu ya 8. "Na wewe kulikoni, mbona uko hivyo unaumwa ama ni nini" "hapana Mainda niko poa, kichwa tu Ndio kinaniuma ila nitakuwa sawa tu ngoja ninywe dawa" "sawa kunywa dawa upumzike sasa, me ngoja niende kazini sawa badae, nitakuwa nakupigia simu sawa" "Sawa Mainda, asante" Mainda aliondoka na kwenda kazini na mimi nikanywa dawa nikarudi kulala. Niliamka mchana na kukuta meseji kibao na missed calls nyingi kutoka kwa Brown, nikampigia simu sasa. "Hello, Brown" "Anipha nini shida mama mbona hupokei simu zangu, nimetuma meseji kibao hujibu kwa nini Anipha???" "Brown, nisamehe sana sijafanya makusudi kabisa, sijiskii vizuri Ndio maan hata dukani sijafungua" "daah pole sana jamani sikuwa najua chochote, nisamehe sana, naweza kuja kukisalimia" "usijali niko sawa kabisa, tutaonana kesho dukani" "sawa Anipha, uwe unapokea basi simu yangu" "sawa hamna shida" Baada ya Brown kukata simu, nilitoka hadi jikoni kwenda kutafuta chakula maana nilikuwa na njaa sana jamani. Nikiwa busy napika Mainda akapiga simu sasa mmbea mwenzangu 😂😂. "We mwanamke vipi, unaendeleaje, maana nimepiga simu nambiwa unatumika" "si ache yani, ni Brown Ndio alikuwa amepiga kama kawaida yake yani kulalamika tu" "😂😂Ndio, si anakupenda jaman Ndio maana ana lalamika tu jamani" "aaah Mainda bwana embu Acha hizo mimi sina hata mpango na Brown jamani" "Aya, shauri yako Anipha, kwa hiyo unaendeleaje sasa hivi" "aah nipo sawa sasa hivi, na kesho nitaenda dukani" "Sawa kipenzi wacha me niendelee na kazi badae" "Sawa mama asante" Baada ya hapo nikala chakula changu na kurudi chumbani kwangu nikaoga kisha nikalala tena mpka jioni, muda ambao Mainda Ndio alikuwa anatoka kazini kwake. "Kipenzi, nimerudi ngoja nibadilishe nguo alafu nije nikupikie chakula sawa mwaya" "sawa kipenzi asante" Mainda alibadilisha nguo na kuja kupika chakula cha usiku, tukala na kuanza kupiga story, Mainda akanisimulia kuhusu mpenzi wake kuwa wamegombana na anampango wa kuachana nae. "jamani Mainda kwa nini sasa muachane kisa nini na wewe khaa" "Bwana wewe me sina muda wa kubembelezana na mtu mimi, yani mtu ana dharau sana we humjui Ndio maana" "jamani aya sawa, maamuzi ni yako mama" "na vipi kuhusu wewe" "mimi tena kuhusu nini sasa" "si kuhusu Allen na wewe" "kuhusu Allen me siwezi kuwa na mpenzi wingine wakati mimi na Allen bado hatijamalizana" "mmalizane nini tena jamani wakati yeye mwenyewe Allen alikwambia muachane, embu sikiliza inaonekana kuwa Brown anakupenda sana hivyo we kuwa nae basi" "Mainda, asante kwa ushauri lakini mimi bado nampenda sana Allen" "Mmh aya mama mwenye upendo wake wa agape 😂😂" "Nyoo umeanza na wewe" Baada ya story kila mtu aliingia chumbani kwake na kulala, kesho yake Asubuhi niliwai kuamka nikapike chai, tukanywa kisha tukaelekea kazini. Nimefika tu dukani bado nafanya usafi Brown huyu hapa na maua mkononi utadhani mimi ni nyuki khaa 😂😂🙌. Ikabidi nijifanye tu nimeyapenda ili asianze kulalamika hapa kama kawaida yake. "asante sana Brown kwa kuja" "usijali anipha, ngoja mimi niwai kazini, nitarudi badae kukupa hi" "sawa hamna shida" Miezi sita sasa inapita nikiwa Arusha na muda hua Brown na Mainda Ndio marafiki zangu wakubwa sana, japo Brown alisha nitongoza ila nilimwambia kuwa anipe muda kwanza, hakuwa na neno kaka wa watu alikubali kabisa na Maisha yakaendelea na mimi sasa hapo sivai tena vile vijora vyangu labda nikiwa nyumbani tu ila dukani nilikuwa navaa nguo nzuri nzuri kabisa zile za kidada zaidi 😂😂 Itandelea..... Full 1000 Whatsp 0784468229

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

💕😁💖DRAMA OF LOVE💖😁. part 18. Did I do wrong to hit her😪, but she was uncontrollable, why was she judging the person she knew nothing about 🤔🤔. Why?? Nancy aliniangalia kwa mshtuko😱. Nancy: sky,, mbna umemchapa ivo😱. That's very bad ak😱. Brianna: Beb ni mm umepiga ivo😭😭. Utanitafuta😭. She left us, ikawa hata sina cha kusema, but Nancy hakufurahia, Nancy: I know you are concerned about my life sky but you wouldn't have hit her 😪. What if muachane, utamlaumu nani?? ME: Nancy, it's enough 😪. Tutaongea baadae❣️. Nilienda nikakaa nyuma ya daro, that day sikuongea na mtu, hadi Kamau 😭. I remained silent until the following day morning tukiwa daro,, Even Njeri alikam kunishow story ya KAMAU but nikamshow sikuwa kwa mood ya kuongea na mtu🙏🙏. Tukiwa daro ndo principal akafika na kutuita mm na Brianna tena😱. Ina maana hukusahau😭. Nikiimgn venye hatukuwa tunaongeana Brianna, sijui amechange venye tulipanga ama🙆. Tulikuwa nyuma naye mkuu akiwa mbele tukienda ofisini🙏. ME: Please Beb, don't mess up again, mm sitaki kupewa suspension tena😭. HER: Who cares?? Usiniambie na hiyo sauti yako mbaya😪. And please mm sio BAE wako sawa?? Enda kwa Nancy 😪. ME: You know nothing Brianna,, wacha kujifanya na hujui chochote kumhusu huyo msichana, she's really suffering 😭, just imgn et........ Principal: Shut up! Stûpid children 😪. Kwanza wewe Sky, nilikwambia huyu msichana atafanya udrop kwa grade yako ya kawaida🙏🙏. Mbna msingoje angalau mmalize exam kwanza?? Ingia na mpige magoti haraka😪😪. Brianna hakuniangalia tena,, and when the teacher asked her to repeat what she said 😱😱. HER: Teacher mm simjui huyu mtu😭. Alinipiga😭😭. MKUU: Alikupiga kwann, na mbna unasema humjui, si ni jana tu ulisema yeye ni bwanako?? HER: Nilimpata na Nancy wakikiss mbele ya darasa, so nilipojaribu kuwakanya ndo akanipiga kofi ya maskio😭😭. Sir am sick😭. MKUU: Sky is it true?? Mbna ulimpiga?? Waah mbna Brianna aniset ivi ak😭. Mbna asiseme tu ukweli, sometimes hasira huwa hasara😭. Nilishindwa nikubali ama nikane, 🙆🙆. MKUU: Am talking to you young boy,, usinikasirishe?? ME: Brianna, why lying to our principal?? Why? Sema tu ukweli kwann nilikupiga kofi😪😪. Sir please I know you are also a parent kando na kuwa mwalimu🙏🙏. Let's call Nancy sahi, at least she will clear up everything 🙏🙏. BRIANNA: Clear up what and you were kissing?? Teacher this idiõt is a liar 😪. He should be suspended 😪. Mkuu pia alianza kumshuku Brianna after kuongea maneno meeengi, hadi hakuogopa kunitusi mbele yake😱. MKUU: Hey madam Stacy. Please call for me Nancy form two🙏. ME: Mwalimu, that lady is slowly dieing of depression 😭, alishindwa kuwaelezea nyinyi walimu, kwa hiyo akaamua kuniambia mm, her Uncle is the real definition of a devil 😭. That lady hana wazazi, you can't imgn wakati sisi tunasoma nyumbani, yeye unarapiwa na the so called her Uncle, na ni kila siku😭😭. Nancy alinielezea akilia 😭, mm nikaamua kumpanguza machozi 😭, Brianna naye alipoingia...... MKUU: Wacha kwanza Nancy mwenyewe amefika,, okay Nancy kama kweli Sky anasema ukweli, ebu malizia hiyo story🙏. Nancy: Brianna alipoingia akaona Sky akinipanguza machozi, bila hata kuuliza kilichokuwa kinaendelea, yeye alinirukia na kuanza kunipiga😭😭. Aliniuma hapa kwa shingo😭, ilibidi sky amtoe juu yangu lakn hata baada ya hapo, Sir BRIANNA hakutaka kujuwa , alizidi kunitusi venye mm sina wazazi😭😭. Hapo ndo😭😭(alishindwa kumaliza juu ya uchungu😭) hapo ndo akapigwa na Sky sir 😭. BRIANNA: 😱😭😭😭. MKUU: Brianna mbna umenidanganya🤔🤔. Nancy sit down, Sky you have been suspended for one week for having an affair in school 😪. Na wewe Brianna 😪. Umepewa suspension ya two weeks for lying to me, having an affair in school and lacking respect. Mje na wazazi siku ya kurudi😭😱😱. ME: Sir kindly I beg you to forgive me😭. It won't happen again 😭. Nilipewa barua na kuambiwa tuishie mara hiyo🙆🙆. Tukiwa kwa njia kurudi daro ndo tutoke.... BRIANNA : Beb😭😭. Please give me one minute ak,, am sorry 😭😭. I didn't know that 😭. Please Dear am sorry ME: Sorry for yourself you heartless woman😭😭. Uliniona wap nikimkiss Nancy?? BRIANNA I think we were not meant to be together 🙌💔💔💔. I Loved you but not anymore 💔🙌. HER: Sky don't be so heartless like me then,, at least find a place in your heart to forgive me😭😭. I have learned a lesson 💔. I love you honey, remember where we have come from😭. Tulifika daro, nikiwa nmeshika barua kwa mkono. Walai Njeri na Kamau hawakuamini😭😭. NJERI: Sky?? Suspension again 😱. Nooh😭😭. What happened?? ME: Si ni huyu mjinga hapa😭😭. Anasema et mm nilikuwa namkiss Nancy, ak surely 😭 hata kama ni chuki Brianna?? KAMAU: Be strong man,, usikubali machozi ikutoke mbele ya madem❣️❣️. Am with you in everything 🙏🙏. Ukienda home make sure hausongi mbali na kitabu🙏🙏. Kando na haya mapenzi, usisahau kuna masomo pia💖💖. I'll miss you bro😭😭. NJERI: I have another idea, sitaki uende home ak😭. What about hiyo story nilitaka tuongee ukasema hauko kwa mood💖💖. ME: Tunaweza ongea before niende, but hapo kwa idea wacha tu Njeri 🙏🙏. I know you care so much about me but🙌, sitaki niwe mzigo kwako tena💔. Anyway niambie niskie🙏 NJERI: So Beb mm na Kamau venye ulituwacha ivo🙆🙆. I thought it was just for fun, but venye naona ak. Ni kama kamau hakukuelewa🙏🙏. He's now so serious about it, hadi nashindwa kumshow sitaki 😭😭 ME: Njeri for me, I think it is........ Brianna: Sky twende😪😪😪. Me: Wap, ulikuja na mm kutoka kwenu😪😪. Enda hadi sitaki kukuona. Kidogo tukamwona mwalimu mkuu akija🙆. ME: Njeri tutaongea sawa,, but please msikize Kamau, give him your total attention, that guy loves you so much ❤️😋. MKUU: Bado mko hapa 😪. Follow me 😱. Aaih follow him to where,,, mm nilitoka kwa gate nikaenda home🙏. Brianna alinibeg akipiga magoti kwa barabara lakn sikumskiza🙏. Vile alipiga magoti mm nikachukuwa pikipiki nikaishia😪. Nilimblock kila mahali, hadi sikuwa nachukuwa namba mpya ju nilijuwa ni yeye😪. MOM: Mbna mapema hivo😪. Umefanya nini round hii🙆. ME: Nmefanya nini na wewe ndo ulileta haya maneno Mom?? Sasa mambo ya simu huku nyumbni ulipeleka shule ya nini, ulipata nini after kujuwa Brianna queen?? Nimepewa suspension ya week moja😪😪. MOM: Ngooja, ni mamako ndo unaongelesha ivo, eeeh?? Alichukuwa kiti ya plastic na kuniwekelea kwa mgongo, kwenda kunipiga ingne nlikuwa nmeshaingia kwa room yangu na kujifungia🙏🙏. MOM: Jifungie huko tu,, supper kula tu huko mm huwezi nisumbua kila siku ni macase tu.. kila siku makosa tu, ama ni wewe ulichoma shule nilikutoa?? Fungua uniambie kama wewe ni jambazi🙄. Sikumuongelesha,, nilijifungia huko hadi the following day, supper sikukula, breakfast pia🙏. Mom akaanza kuwa na wasiwasi 😲, "wee Sky amka ukunywe chai,,,, ya jana yaliisha, sasa unakaa huko unataka ukufe njaa❣️❣️.? SKY?" Sijui alidhan nmejinyonga ju sikujibu anything 🙏. Ilibidi akavunja mlango na kunipata nmelala😲😲. HER: My son, please amka unywe chai basi❣️. Umelala vya kutosha💖💖. Niliamshwa 🙏. Mothers are the greatest gift that God gave us❣️. In the other side Brianna hakuwacha kunipigia na new namba🙏. Siku ya tatu nyumbani ndo nilipata text "Hello Sky, please call me am Njeri ❣️" Wait Njeri?? Si huyu nilimuacha shule🤔🤔. I called but sauti haikuwa yake🙄. ME: who's this?? VOICE: Am Faith. How may I help you?? ME: Si ni wewe umenitumia text? What is wrong with you?? HER: Oh am sorry, kuna mtu aliniomba simu myb ni yeye alikutumia ad sikuwa najuwa, am sorry, nilisema naitwa Faith 🙏. Me: Okay am Sky, bye bye😪😪. Nilihang up but aliendelea tu kunikol😱. ME: What is it again Faith?? HER: Mbna hujaniuliza mtu aliniomba simu?? Ama unamjuwa?? Me: I know her already,, wachana na yeye, na umshow asijisumbue na mm, have already moved on💔💔. Faith: sky, huyu alisema anataka kukushukuru kwa kumsaidia kusave life yake, et nikwambie sijui uncle ameshikwa🤔🤔. ME: 🤔🤔 aaih mbna simjui?? Myb ni wrong number, alisema anaitwa nani?? Voice: alisema nikwambie Nancy 😱😱. Me: Oh my goodness 😍. Where is she?? Faith: Akija nitakukol muongee sawa🙏. ME: Please make sure tumeongea nayeye ak🙏🙏. I want to know everything?? HER: Hahaha lakn ako hapa❣️. Ndo huyu💖. Hello Sky?? ME: Nancy?? HER: Yes nambie🙈🙈. ME: Siamin kama unacheka leo🤗🤗 HER: You are behind this smile sky,, my uncle has been arrested 🙏. Am now living with our principal 💖. Nmetaka kukushukuru sana kw upendo na usaidizi wako ak.. I didn't know you were that kind of a man❣️❣️. Sijui nitakulipa na nn Sky 💖. ME: Hahaa no need Nancy,, wewe nilipe tu kwa kumfanyia mwengne mazuri❣️. Nikiona umesmile ivo, nafurahia pia❣️. HER: Wow, how is your relationship with Brianna. najutia koz ni mm ndo nilikuweka kwa haya yote🙆🙆. ME: wachana na yeye Nancy.. cha muhimu suspension yangu inaisha in 3 days times ❣️❣️. Nmewamiss sana jamani🙏. Nancy: Kuja unione basi🤗. ME: Hahaa, wacha kumaliza gredit ya mwenyewe wewe,, tuongee siku ingne🤗. Nilipohang simu 😱😱😱. A text from madam Stacy 😱. "Hello am madam Stacy sister ya Brianna,, please fika mama Lucy hospital😱😱" Whaaat?? To be continued.... Usikose kuweka LIKE...🥰🥰

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

PART 3 JINSI UTULIVU ULIVYOPONYA NDOA YANGU Maisha yaliendelea, niliendelea kuishi na Ivan na kumlea kama mwanangu na hakuwa na tatizo lolote. Sikuwa na mtenga na Mama yake hivyo kama akitaka kuongea na Mama yake Nampa simu anampigia na wanaongea. Mama Ivan baadae alifunga ndoa kubwa tu na Mumewe, nilimtakia kila laheri kwenye Ndoa yake na akaniomba sana nimlelee mwanae. Nikamwambia sawa hakuna tatizo. Mume wangu aliendelea na tabia zake mbaya za kuto kurudi nyumbani na hasemi anakolala, mara arudi usiku kalewa na hataki kuulizwa. Na mara zote akirudi usiku anakuwa na Mwanamke kwenye gari, ambapo anapaki gari nje anamuacha huyo mwanamke humo kwenye gari halafu Yeye anaingia ndani kuoga na kutoka. Ni kama vile huyo mwanamke anamsimamia. Hiki kitendo kilikuwa kinaniuma sana sana, na nikawa najiuliza huyu mwanamke ni nani, na mbona hawaniogopi, yani anamleta mwanamke hapa hapa nyumbani kwangu kweli. kumbuka nilikuwa mjamzito na nina pressure na mimba inanisumbua, lakini bado Mtu hajali. Na hata nikijaribu kumuuliza anakwambia achana na Mimi, au asinijibu kabisaaa. Kuna siku nilitoka nje kutaka kumuona huyo mwanamke, nikafika kwenye gari nikaanza kugonga kwa nguvu, niligonga sana ili afungue lakini hakufungua na vioo vina tinted kali sana hivyo sikuona ndani vizuri. Nikamwambia nataka nikuone toka nje tafadhali, nilikuwa nimepanic sana. Lakini wakati naendelea kugonga Mume wangu alikuja, nadhani yule Dada alimpigia. Akaja mbio akanivuta kwanguvu akasema unataka nini, kwanini unanifwatilia. Nikamwambia Mimi ni mkeo na nina haki ya kujua huyu mwanamke unamuacha kwenye gari tena hapa nje ya nyumba yangu ninani. Ulikuwa ugomvi mkubwa lakini hakunipa majibu, alinipiga vibao usoni vya nguvu, akasema achana na maisha yangu, kama umechoka kukaa hapa ondoka. Akaniacha akaondoka Sio siri sikulala nililia usiku kucha, nalia kwanini hivi, na baada ya hapo hakurudi kama siku tatu, hajapiga simu wala kuulizia hali yangu. Niliongea sana na wazazi wake lakini hawakuwa na msaada kwani walikuwa wanamuogopa. Na nikawa naogopa kuongea na wazazi wangu kwani najua wanavyomchukia wataniambia tu achana na hiyo Ndoa rudi nyumbani. Nikaona nitulie tu. Hapa jirani tunapoishi yupo Mzee mmoja na mkewe ambao Mume wangu anawaheshimu sana. Ndio yule Mama ambae alieniambia niwe makini sana na Mama Ivan. Hii familia imekuwa huru sana kwenye nyumba yangu, yani tangu naolewa huyu Baba na Mkewe watakuja nyumbani kwangu muda wowote, huyu Mama ataingia hadi jikoni na kuchukua chochote anachotaka. Anaweza akaja akapakua chakula akala akaondoka, Mume wangu anakaniambia hawa nawaheshimu kama wazazi wangu, naomba wakitaka chochote wapatie tu. Baada ya ule ugomvi yule Mama alikuja asubuhi na kunikuta niko na hali mbaya sana, akaniambia mwanangu pole akawa anisaidie kunikanda miguu, akasaidia kunipikia uji na akawa ananitia Moyo kuwa jitahidi usiwaze sana usije ukapata shida na hali yako. Huyu Mama nikatokea kumuamini sana na nikawa namuhadithia kila kinachotokea na Yeye anaitia moyo sana sana. Huyu Mama nae alikuwa na binti ana mimba kubwa tu kama yangu, akawa anasema yani hapa nina wajawazito wawili wewe na binti yangu na wote nawahudumia. Nikamwambia Mama asante. Huyo binti yake sijawahi kumuona ila namsikia tu na sikuhangaika nae sana niliona maisha yake haya nihusu. Kuna siku nikiwa nakaribia kujifungua, tarehe zangu za Operation zikiwa zimekaribia. Mume wangu alituma message kuwa atakuwa busy na kazi hivyo hatarudi nyumbani mpaka mwezi ujao, nilimuuliza kama una safiri ila hakinijibu, ila alituma tu pesa na nikawa nampigia hapokei, nikaachana nae nikajua ni ubusy. Sasa siku hiyo nimekaa zangu nje napunga upepo, Mama Ivan akanipigia simu, akasema Mdogo wangu unaendeleaje? Nikamwambia sijambo. Akaniambia mdogo wangu nakupenda sana, kuna jambo natamani nikwambie ila kutokana na hali yako naomba ujifungue kwanza ndio tuongee, nikamwambia kuna nini Dada akasema hapana ni issue zangu jifungue kwanza halafu tutaongea. Nikamwambia sawa. ITAENDELEA

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

CHUO CHA MIHEMKO SEHEMU YA 12 --- Siku iliyofuata ilianza kama kawaida, lakini ndani yangu haikuwa kawaida hata kidogo. Ujumbe ule wa usiku bado ulikuwa unanifanya nione sura ya Teddy kwa jicho la pili. Ile sauti ya kutokuwa na uhakika ilinibembeleza kichwani: “Neema usiwe wa kuaminia mapenzi kirahisi… kumbuka ulichojiambia kabla hujaingia chuo…” Nilijaribu kupotezea, nikajifanya niko sawa, lakini moyoni kuna kitu kilikuwa kinatamba hofu ya kuumizwa na mtu uliyeanza kumuamini kabla hata hujampa nafasi ya kukudanganya. Siku hiyo tulikuwa na group discussion pale old library. Nilipofika, Teddy tayari alikuwa ameketi kwenye kona tuliyokubaliana. Alinikaribisha kwa tabasamu ile ya kutuliza vita ya ndani. Nikaketi naye, lakini tofauti na siku zingine, sikuwa na ile mood ya kumsogelea wala kumchekea. Alinisoma fasta. “Upo poa leo?” aliuliza kwa sauti ya taratibu. “Poa tu,” nikamjibu huku nikiwa najiuliza kama ni kweli. Tulimaliza discussion kwa utulivu, lakini kabla sijaondoka, akaniambia kwa sauti ya chini: “Naomba dakika zako kumi tu. Sitaki kuondoka na maswali moyoni mwako.” Nikasimama kimya. Niligundua ameanza kusoma dalili. --- Tulijipenyeza mpaka maeneo ya garden ya faculty ya arts, pale ambapo watu hawafiki sana. Akaanza kuongea. “Neema, najua umepokea ujumbe. Nilitabiri hilo. Kuna watu hawataki kuniona na mtu yoyote mpya. Wanaona nikiwa na wewe ni kama najisahaulisha yaliyopita.” Nikamtazama. “Yaliyopita yapi Teddy?” “Sitaki kukuficha. Niliwahi kuwa kwenye mahusiano na msichana aliyenifanya niamini mapenzi ni vita. Tulinuniana, tukagombana, tukajaribu kuokoa kilichovunjika... lakini mwisho wa siku, tulitoka kila mmoja na majeraha yake. Wengine waliona mimi ndiye chanzo cha machungu, wakaanza kuniandama kimya kimya.” “Na huyo msichana yuko hapa chuo?” “Ndiyo, mwaka wa tatu, anaitwa Amanda.” “Amanda gani?” “Amanda wa BBA.” Nikameza mate. Amanda? Yule mrembo mwenye followers 15k Instagram? --- Basi hapo moyo wangu ukachanganyikiwa zaidi. Huyo Amanda nilikuwa namjua mwanadada anayejulikana chuoni kwa jina la “Fashion Killer.” Sasa nikawa najiuliza: “Iweje mtu kama Amanda akosee kuchagua mwanaume sahihi? Huyu Teddy ana nini cha kipekee au cha hatari?” Lakini pia nikawa najitetea: “Kosa la mmoja si kosa la wote.” Teddy alinishika mkono, kwa mara ya kwanza kwa ujasiri wa mtu anayejua hofu yangu. “Sitaki ushindwe kuniamini kwa sababu ya mabaya ya nyuma. Siwezi kujisafisha kwa maneno, lakini naweza kukuthibitishia kwa vitendo kama utanipa nafasi.” Nilimtazama. Nikamwona mtu aliyebeba mzigo wa hatia za zamani lakini bado ana tumaini la kesho. --- Usiku ule, nikiwa kwenye room yangu, nilipokea message kutoka kwa Amanda. Amanda: “Neema, sikutegemea kama na wewe utakuwa wa aina hii. Kumchukua mtu ambaye hakuweza kunipenda ipasavyo siyo ushindi. Ni kama kubeba boksi la glass lililovunjika.” Nikakaa kimya. Sikutaka drama, lakini sikutaka pia kusemwa kimyakimya. Nikajibu: “Sikuchukua kitu cha mtu. Huu si ushindani. Kila mmoja anapendwa kwa namna tofauti. Kama yeye hakukupenda ipasavyo, haimaanishi hata wengine atawafanyia hivyo.” Amanda hakujibu. Ila hiyo message ilitosha kuniweka kwenye orodha ya ‘wasiohitajika’ katika ulimwengu wa fashionista huyo wa chuo. --- Siku zikasonga. Teddy aliendelea kuwa karibu nami. Alikuwa ananipikia chai ya maziwa hostelini kwetu, akileta na maandazi aliyotengeneza mwenyewe. Alinifundisha namna ya kutumia Excel vizuri na akanisaidia kuandika CV yangu ya kwanza. Kila siku alinipa sababu mpya ya kumuamini, lakini sauti ile ya nyuma bado haikunyamaza. Kila nikipata utamu, kuna kitu kilikuwa kinaniambia: “Ukishazoea, ndio watakuharibu.” --- Siku moja, nilipokuwa nikienda kununua vocha cafeteria, nikasikia wasichana wawili wakiongea nyuma yangu: “We unajua Teddy alikuwa na scandal na lecturer mmoja wa kike mwaka jana?” “Umeambiwa na nani?” “Mbona ipo wazi. Yule lecturer wa media studies. Alimpa Teddy A halafu story zikasambaa. Ila walinyamaza kimya kimya.” “Wanaume kama huyo sio wa kuamini, anajua kucheza akili za watu.” Nikashtuka. Nikajikuta nasimama ghafla, moyo ukidunda kama ngoma ya maombolezo. Sasa tena scandal na lecturer? --- CHUO CHA MIHEMKO - SEHEMU YA 13 inakuja hivi punde: Neema anaanza kuchokonoa ukweli wa Teddy. Ni kweli alikuwa na uhusiano wa kimapenzi na lecturer? Na je, Amanda alikuwa akisema ukweli kuhusu heartbreak? Je, Neema ataendelea kusimama na Teddy au moyo utamkimbiza mbali na penzi lenye kivuli cha mashaka? Tukutane kwenye sehemu inayofuata – "Ukweli wa Chumbani na Hadaa ya Maksi."

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

Ghana imeamua kutumia Mtandao wa Polisi wa Kimataifa (Interpol) kwa ajili ya kumtafuta na kumrudisha nyumbani aliyewahi kuwa Waziri wa Fedha wa nchi hiyo Ken Ofori-Atta. Ofori-Atta (66), ana makosa ya kukwepa sheria wakati wa uchunguzi wa kesi kadhaaa za ufisadi zinazomuhusu. Kesi hizo ni pamoja na utakatishaji fedha ulioisababishia Serikali hasara kubwa. Baadhi ya nchi ambazo anasadikiwa kuwepo ni pamoja na Marekani na Uingereza. #KitengeUpdates

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

SIMULIZI YA MAISHA: NILIMUUA MAMA YANGU MZAZI ILI NIOLEWE NA BABA | EP 42 RECAP: SEHEMU ILIYOPITA Niliyasikia maongezi yao tena yote na niliamua kuyarekodi kabisa ikiwa kama sehemu ya Ushahidi wangu, sikutaka kufanya mambo bila kuwa na Ushahidi wa kile ambacho nataka kukifanya. Kuanzia pale ndio nikajua kwamba kilichokuwa kikimsumbua Brandina sio ugonjwa ambao Daktari aliniambia yaani Auditory Hallucinations ingawa ulitaka kufanana nao bali ni uchawi kutoka kwa Sammy. “Ama zangu ama zao, watajua NANI KANIAMBUKIZA ROHO MBAYA” nilijisemea ndani ya moyo wangu. SEHEMU YA 42 Anza na Like kwanza.......Nilirudi kwa Betrice huku nikiwa na sura ambayo imechangamka kiasi hadi alishikwa na mfadhaiko kwanini nimebadilika ghafla kutoka kuwa na huzuni hadi mtu ambaye tabasamu limeanza kuonekana kwenye uso wangu. Alinitazama kwa muda huku akitaka kujua ukweli, ni nini haswa kilikuwa kinaendelea hadi nikawa vile. “Kuna nini maana umetoka kuongea na simu tu umekuwa kama mtu ambaye umechanganikiwa hivi?” aliniliuza Betrice “Kila kitu hutokea kwa sababu, Mama aliwahi kuniambia hivi “In the magical universe there are no coincidences and there are no accidents. Nothing happens unless someone wills it to happen” labda kama utakuwa hujaelewa alimaanisha kwamba “Katika ulimwengu wa miujiza ni kwamba hakuna kukosa ushirikiano au linganifu katika vitu fulani yaani kila kinachotokea basi kina sababu yake na hakuna ajali katika dunia hii bali kila kinachotokea ni kwamba huenda mtu ambaye linamtokea amesababisha kama sio kutaka” nilimwambia Betrice. Niliona Betrice kama akifikicha macho hivi, akazamisha kidole sikiooni. Moja kwa moja nilitambua wazi kwamba hajanilewa kile ambacho nilikuwa namaanisha nikasema. “Ukiona mtu limempata jambo fulani basi tambua kwamba yeye ndio amesababisha, hivi nitakuwa nakosea endapo nikiuua mjomba na Sammy?” “Kwanini?” Betrice aliuliza. Sikuona kama nilipaswa kumjibu kwa maneno badala yake, nili-play sauti ya mazungumzo yao ilia pate kusikiliza. Alisikia kile ambacho kilikuwa kikiongelewa. “Mungu wangu! Inamaana hawa ndio wamemuua?” “Kama ambavyo wewe unashangaa ndivyo ilivyokuwa kwangu. Je, katika hili nitakuwa nakosea kuua? “Mh! Kwa hasira ambazo mimi niko nazo nahisi wewe unachelewa kuchukua maamuzi au nenda kasema kwa askari” “I know them, hawaamini katika uchawi so even those sound (kwahiyo hata hizi) wanaweza kupinga” “Ila kweli hapa ndipo serikali muda mwingine inakwama” “Usijali nitajua nini la kufanya kaa nyuma yangu” nilimwambia Betrice. Tuliongea mengi hadi polisi walipokuja na kutukabidhi mwili wa Brandina huku wakisema kwamba ni kweli ripoti ya Daktari inaonesha kwamba mgonjwa alikuwa na msongo wa mawazo ndio maana alijinyonga hivyo tunapaswa kwenda kumpumzisha. Hatukutaka kuwasikilizisha wala kuwaambia lolote lile badala yake niliondoka na mwili wa ndugu yangu hadi nyumbani ambako nilikutana na watu mbalimbali ambao walikuja ili kutupa pole. Mzee Jawan na Mama walitupokea huku nao wakidondosha kilio, nilijaribu kuangaza kulia na kushoto labda ningemuona Shammy ama Loy mahala pale lakini sikubahatika kumuona. “Vipi mmepanga mnazika saa ngapi?” aliniuliza Betrice “Hapana ila tutakaa na Mama pamoja na Mama kisha tutaona tunafanyaje” “Si wapo hao hapo kwanini usizungumze nao?” “Sawa hakuna shida” nilisema. Nilimuita Baba pamoja na Mama kisha nikakaa nao pembeni kidogo ili tupate kuzungumza juu ya mazishi. “Muda wa kumpumzisha ndugu yetu ni saa ngapi?” niliwauliza “Mjomba yenu ndio ana idhini ya kusema saa ngapi na wapi maana sisi tupo tu hapa kama ambavyo ninyi mnajua” “Kwahiyo hadi waje wao si ndio?” “Naona itapendeza zaidi” alisema Mama Brandina. Usoni kwangu niliweka tabasamu ila ndani ya moyo wangu kulikuwa na hasira, sikupendezeshwa na kitendo cha wao kujitenga na msiba ule huku wakimsukumia Loy kwamba ndio anapaswa kufanya kile kitu. “Sawa lakini hakuna shida, kama akija tutapanga na asipokuja tutapanga wenyewe” nilisema kama nikiwa na hasira hivi “Si ulimpa taarifa ama?’ “Ndio, anajua kila kila kitu na aliniambia kwamba atakuja hospital lakini sijamuona” ‘Ok, basi tumsubiri maana sisi hatuna sauti lolote endapo yeye akiwepo” Mama alisema. Niliondoka mahala pale kisha nikarudi kwa Betrice kuzungumza naye, nilimwambia kwamba usiku tunapaswa kuwa makini mno. Hatutakiwi kulala hata kidogo tena tuwe katika chumba cha maiti ili kuilinda wasije kufanya ya kufanya. Uzuri wa Betrice alikuwa ni mwelewe sana, alikuwa akiniheshimu sijui kisa nilikuwa namsaidia sana ama lah lakini naimani kwamba upendo huzaa upendo. Laiti kama Betrice nisingekuwa nampenda basi hata asingekuwa anapambana nami kwa namna ile. Dakika zilienda na jioni ilikuwa imetia timu, nilimuona mjomba akiwa nyumbani na Sammy. Walisimamisha gari katika eneo la maegesho kisha walishuka lakini niliona Sammy akilia kupita maelezo, ilinibidi nimnong’oneze Betrice “Umeona wanafiki wanavyokuwa, wanalia sana msibani wakati wao ndio wala nyama” “Kila kitu kitaenda sawa, mwache alie leo ila Kesho atalia yeye” Betrice aliniambia. Loy alipiga hatua hadi sehemu ambayo nilikuwa nimesimama huku Sammy akielekea kuongea na Mama. “Alvila ilikwaje mbona hujanipa taarifa?” aliuliza mjomba huku akinichunguza kwa mbali ili kujua kama yale maongezi yao ya asubuhi niliyasikia ama lah “Ndio hivyo, msiba upo kama kawaida sidhani kama tunapaswa kulaumiana. Kila mmoja alikuwa anatambua kwamba Brandina alikuwa anasumbuliwa na nini?” nilimwambia Mjomba “Mh! Mungu ampumzishe ila nimeumia kwakweli” “Hakuna sababu ya kuumia ikiwa tunajua kwamba hata ingekuwa vipi angekufa, namna mzuri ya kumfanya Brandina awe sehemu salama ni kumuombea tu” nilisema kama kumtoa mjomba katika unafiki wake ambao alitaka kuniletea. Maongezi yetu yalifika tamati, tuliitana kama familia na kupanga muda sahihi wa mazishi ambapo tulisema saa tisa alasiri ndio tunatakiwa kumpumzisha Brandina katika makaburi ya Sinza sehemu ambayo hata Mama yetu pia tulimpumzisha. Nakumbuka usiku wasaa tisa, nilikuwa nimekaa pembeni ya mwili wa Brandina ambaye alikuwa kitandani. Upande wangu wa kulia kulikuwa na Betrice ambaye alishikwa na usingizi hivyo aliamua kujilaza. Niliendelea kutazama mwili wa ndugu yangu lakini, nilihisi kama mlango ukifunguliwa hivi. Haraka nilimwamsha Betrice kwa kumsukuma naye aliamka huku nikimziba mdomo. “Nahisi ndio anakuja kuwanga” nilimwabia kwa kumnong’oneza “Nani?” “Sammy, jifanye umelala nami nimelala” nilisema. Kama ambavyo tulivyopanga, basi tulifanya hivyo kwa kujifumbisha macho. Dakika moja mbele Sammy aliingia ndani, kisha akazima taa na kuwasha tena lengo kupima kama tulikuwa macho ama lah. Alipoona kwamba tumelala, alisogelea maiti na kuchukua nywele moja lakini, nilisema. “Kwahiyo ndio kazi ambayo imekuleta hapa sio?” niliona akitetemeka huku akitupa nywele chini na kutaka kuondoka lakini Betrice aliekea katika mlango na kufunga kwa funguo kisha aliitupa kwa nje Unalalamika inachelewa kutoka wakati nimekushushia bei, kutoka kila season kwa 3000Tsh mpaka bei ya 2500 kwa season zote tatu... Bado unalalamika... Achana na bei ya zamani ya 9000Tsh.... Njoo na 2500 usome simulizi yako.... WhatsApp namba 0717255498.

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

🖤UNRIGHTEOUS CONTRACT 🖤 💔The twins dilemma 💔 🥂CHAPTER SIXTY TWO. 6️⃣2️⃣ (Justin’s secret) . Story by: SUC WRITES * . Note: This chapter is not edited, so kindly ignore the typographical errors. 😌 * ❌❌DO NOT COPY OR REPOST ❌❌ * 🥂 Ryan retuned home looking tensed, and Rihanna went to welcome him. “Ryan, is everything alright?” “Let’s terminate the pledge, Anna. You are free to leave if you want to. I’m fine all by myself. Even to my parents I was a peasant, and instrument, so I don’t want to be a burden to you as well. Thank you for everything, Anna.” He muttered, and she embraced him. “What did you find, Ryan?” “It’s all worthless. I should have begin this in the first place. I should’ve focused more on my own goal and avoid all distractions.” “Do you mind to share?” * They went to sit, and he narrated everything that Mr. Joffrey told him to Rihanna. “So are you going to give up because of that?” “What’s the use? I was never relevant to them so why waste my time on people that never regarded me?” “Ryan, it might seem that way to you, but in my end, your father protected you, and your mother wanted a complete family for you. How would you explain the photo album we saw, how will you explain their last moments. They were both worried about you.” “But they never paid attention to me.” “Because they were filled with guilt. They paid all their attention to work so it will ease their guilt. There are different types of affection, Ryan. And theirs was unique. I believe this might be what he wanted when he visits.” She said, and Ryan looked at her. “Who visited?” He asked, and her eyes widen when she realized what she said. She already made up her mind not to tell him about the chairman’s visit, but now she carelessly split the beans. “Errrmm… it’s no one.” She shuddered. “It’s fine, I could just check the cctv camera.” “Oh, CCTV.” She exclaimed. “Who visited? And what did you discussed? Were you threatened?” “I don’t think he is the one threatening me.” She muttered. “What? You are being threatened?” He shouted. “Ryan, it’s before I moved in. Someone sent me an anonymous note saying I should remain where I was. I never thought I’d return here, so I didn’t pay attention to it. And today, I got a spam text.” “Let me see the text.” He said, and she showed it to him. “Why do I feel like it’s related to what I’m trying to dig?” “Should we be worried?” She asked. “We’ve to be careful. But I’ll ask Justin to look into this.” He said, and she nodded. “So, who visited?” “It was your grandfather.” “What? That was his first. What did he want? I’m sure he knew I wasn’t around, he must be aware of your return. He was here on purpose to see you.” “Yes, he was. And it was kinda a threat to me.” “What did he say to you.” He asked, and she started a long story. * * FLASHBACK to the Chairman visit*** * Rihanna looked at the chairman unable to hide her fear, his sudden visit collide with the text she received seems somehow related. “Hey, that’s no fun. Why are you startled to see me?” The chairman asked, and she tried to compose herself. “Good day, sir. I was just surprised. You never visited before.” “Yes, I should have visited a long time ago, but I went on a trip, a vacation trip after you divorced. This old man also needs a a break.” He said, and Rihanna looked at him wondering if Ryan announced the annulment. “Oh.” Was the only word that escapes his mouth. “And when I returned, your twin sister already took her place.” He said, and Rihanna’s eyes widen. “Sir?” “Relax, Anna. I actually prefer you to her. Ryan needs someone by his side and that’s you. He is starting to doubt me, so someone has to rely on someone. Since the contract has expired, you two can start a new together.” He said, and Rihanna remained speechless, wondering if Ryan was that close to his grandfather to tell him everything. “Hoowww do you know all these?” She found herself asking, because no matter how she think about it, Ryan can’t be that open to his grandfather. “Because I know everything, my dear. I’ll give you a chance to stay by Ryan’s side, so use it wisely and don’t misbehave.” With that he stood up. “Why do you’ve to give me a chance? I don’t think I need to ask for a chance from you.” She said, and he chuckled. “I never regret liking you, you are just perfect. But if I were you, I won’t ask questions. I would look around, and think of the best way not to misbehave. Ryan has been an obedient child since I took custody to him, his only goal was the chairmanship, but now he is getting distracted which is somewhat disappointing.” “Do you know anything about what happened 30 years ago?” She found herself asking. “30 years ago, you aren’t born then. So you shouldn’t be too curious.” He teased. “Was it you?” She asked, and he looked at her - the sudden question was uncalled for. “What did you say?” “Are you the one sending me threats? You knew from the start that I was Rihanna, and you suddenly sent me that because you know I’d return, and now you are trying to stop me from supporting Ryan to uncover his parents case. Why are you doing this, sir?” “Wow. That’s wonderful. Who could’ve threatened you? I’m merely here to show my support, but now I’m starting to reconsider, you aren’t as fun as before.” “We don’t need your support, sir. I don’t need it to be precise, neither am I scared of you.” “Let’s see how it goes, my lady. But I’d rather keep this little meeting from Ryan.” He said, and winked at her before leaving. She touched her chest and managed to breathe properly after she made sure that he was completely gone. She didn’t know what gave her the confidence to talk back, but she was pleased. His sudden visit to threaten her was uncalled for. * * FLASHBACK ENDS*** * Ryan eyes widen immediately Rihanna concluded. “Did you open the door for him? You didn’t mention that.” “No. He came in himself.” “How did he know the passcode?” “That’s true. You said he never visited before.” “There is a spy so where. I never told anyone about my plans and only few people know the passcode to my house. Just you, Ms. Helen, Justin, and probably your sister.” “Then who could it be? Who could have tell him the passcode?” “The same person who told him every other thing.” “Do you think Justin is a spy?” She asked, and he looked at her. “How much do you trust your sister?” “What? Are you trying to suspect, Didi?” She shouted and stood up. “Justin and I practically grew up together, there is no way I can suspect him. Grandpa adopted him when I was a teenager, and since then he has been my personal assistant. How could I suspect him?” “More reasons why you should. Your grandfather probably planted him by your side to spy on you.” “That doesn’t make sense. If Justin was a spy, then grandfather would have been aware of this from the start, he would’ve use it to urge me to annul my marriage. Not take my side.” “So why do you think it’s, Didi? Why would she do such?” “I don’t know. But everything changed when I brought her in. I can’t place my hand on it, but I don’t trust her.” “You don’t have to, because you don’t even know her. Didi can act like a know-it-all because she is smart, but she can never do anything that would hurt anyone, far from hurting me. What made you think she would?” “Justin sent something to me, your sister have once met with my grandfather alone when we were still together. I mean before the contract expires.” “Didi met your grandfather?” “She didn’t tell you about it?” “Even though. That’s not any reason for you to point fingers at my sister. If you are going to be like this, then I don’t have to be here.” “Then could it be Ms. Helen?” He grumbled, and she looked at him. “Ms. Helen knows nothing.” “Those you think know nothing actually knows it all.” “Come on, Ryan. Why would Ms. Helen do such?” “Same reason why it can’t be Justin.” “Neither Didi. Your grandfather says he knows everything, he might have super powers or something.” She shouted, and ran off. “Super powers? Are you kidding me?” Ryan grumbled, and laughed in sarcasm. He thought of everything again, and shook his head. “There is no way it could be Justin. If grandfather ask him to spy on me, then he want me down, I wouldn’t have made it this far if Justin was a spy. No way.” He muttered, and went to his room. * He left for work the following day after going to check on Rihanna but she refused to see him. He has an important meeting, so he couldn’t skip that to attend to her whining so he left with intentions to make up with her later. * He was busy sorting out things at work and Justin stood next to him assisting him when Justin phone beeped again for the third time. “If it’s urgent, you can attend to it.” He said. “It’s nothing important, sir.” “Let’s roundup here. Cancel the other things in my schedule and reschedule the important once.” “But, sir… your schedule is really packed this week.” “I’ve prior engagements, so do as I say.” He muttered, and left. * He stood behind close to company and watched Justin drove off in a hurry. “It’s not like I’m doubting you Justin, but I’ve to confirm this.” He muttered, and drove after him. He tailed him until he drove out of town, and Justin pulled over at a hospital. “Hospital? What does he want here?” He thought. Justin had no family or close friends that he could visit at the hospital, so the thought of him being sick triggers him. He waited for a moment for the coast to be cleared before he went in. “Good afternoon, sir.” The polite nurse greeted. “Excuse me, can I use your help?” “Anything, sir.” She said, and adjusted her hair slightly. “I want the record of a patient. Can you assist me with that?” “We don’t normally give out personal informations like that, sir.” “Oh, is that so?” “But I can always assist you.” She said, and winked beautifully. “Thank you.” “The patient name?” “Justin Davis.” He said, and she started checking her system. “I’m sorry, sir. But I’ve no such patient here.” “Then he might be a visitor.” “Sir, it’s going to take long to find a visitor’s record. But I’ll help you find it. You can wait behind, or give me your number. I would send it to you.” “Isn’t that Ryan Theodoros?” He heated other nurses whispered to themselves loud enough for him to hear. “I would just wait behind.” “Mr. Theodoros, can we help you with anything?” Another nurse asked approaching him - one of the nurses whispering earlier. “Never mind.” “Are you perhaps here to see Miss Carolyn?” She asked, and they all looked at her. “Carolyn what are you saying?” The first nurse asked, and Ryan let out a sigh as he realized it was her name. “His handsome secretary always visit that particular patient in the VIP ward, so I just thought he was here for her as well.” She said, and Ryan got interested. “How do you know his secretary? And getting informations on VIP patients…? What string are you pulling, Carolyn?” “Relax. It’s no string I know his secretary because they appear most time on tv together, remember I follow up on billionaire news. And how I got the VIP information, is my secrets. I always have my ways.” “Can you help me with her information?” He asked, and she smiled. “Then you’ll have to help me with something as well.” She said, winking at him. “Sir, I already got it for you. Carolyn Davis, she is Justin Davis sister, and he is her guardian.” The first nurse said, and they all looked at her. “What? What sort of betrayal is that?” The other nurse whined. “His sister?” Ryan repeated. “Yes, sir.” “Can you asses her information?” “I’m sorry, sir. But we can’t do that. We don’t have access to the informations of VIP patients.” “Thank you, this will do. I’ll just see the director.” He said, and left. “Wait! Is he going to the director’s office?” Another nurse said. “Will he leave like that?” The first nurse whined. “Billionaires have access to every doors.” Another nurse said. “Gosh, I was about to make a brilliant request before you butt in. Now see, he didn’t even compensate you.” Nurse Carolyn lashed, and left in anger. * Ryan left the director’s office after he got Carolyn’s informations. She has been in the hospital for twenty years suffering from a heart condition. “Justin has been enduring this all by himself for that long?” Ryan thought, dumbfounded. “Sir… why are you here?” He heard Justin asked from behind. “Why? Why didn’t you tell me, Justin? Why would you suffer alone why?” He shouted, and Justin broke down in tears. That was the first time he ever see him cry. . TO BE CONTINUED… . Hmmmm… . 45 shares for the next chapter. . Kindly like and comment after reading. Let's hear your thoughts on the story. . Don't miss any chapters, ensure you are following me Suc Writes to get notifications whenever I post

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

Story………………...SHE WAS MY WIFE (ALIKUWA MKE WANGU) Mtunzi……………..Simulizi Za Zooper Sehemu...ya......02 Umri………………...18+ ENDELEA......... Akiwa bado kwenye mawazo mazito kwa mbali alimuona mke wa boss wake, Niko alichoka baada ya kumuona ni Bibiana aliyekuwa kitofauti kabisa, urembo wake ulimfanya aone hata yeye kumbe alikuwa akimpausha tu binti wa watu alipokuwa akiishi naye na Bibiana alishangaa kumuona Niko akiwa kasimama kwenye gari ya mme wake. "Wewe!" Bibiana aliongea kwa mshangao na Niko alijikaza kiume. "Ndio ni mimi, nimetumwa na boss nije nikupokee!" Bibiana aliganda kama sanamu akiwa hamini kabisa kama mwanaume aliyemkimbia kipindi cha nyuma kaajiriwa na mme wake. Niko alisogea na kubeba begi lake na kulipakiza kwenye gari wakati huo Bibiana akiwa bado kwenye mshangao akiwa haelewi kitu gani kinachoendelea na wapi Niko alipojifunzia wapi kuendesha gari mpaka akaajiriwa na mme wake?. "Ingia ndani ya gari!" Niko alifungua mlango wa mbele ila Bibiana hakutaka kukaa mbele zaidi alifungua mlango wa nyuma na kuingia mwenyewe pasipo kuongea kitu. Niko naye alizama ndani ya gari na kabra hajaanza kuendesha gari akaongea baada ya kukumbuka msoto wa maisha ulimfanya mpaka aitafute kazi kwa tabu. "Naomba ufanye kama hatujuani na usije kumwambia boss kama mimi na wewe tumewahi kuwa mke na mme" Bibiana alikaa kimya pasipo kumjibu Niko na safari ilianza ya kuelekea mjengoni. Njiani kulikuwa na ukimya mkubwa, si Niko si Bibiana kila mtu alikuwa akiwaza kivyake, Niko aliwaza ilikuwaje mpaka Bibiana akakutana na boss wake na kumkimbia wakati huo Bibiana aliwaza ni kwanini ameajiriwa na mme wake ikiwa hakuwahi kuwa na ukaribu naye na hakuwa na utalamu wowote ule wa kuendesha gari?. Ghafla Bibiana alipiga kelele baada ya kuona wanataka kupata ajali lakini Niko aliendesha kwa utalamu wa hali ya juu na kuikwepa gari iliyokuwa mbele yao. "Usije kumwambia mme wako kama ilibaki kidogo tu tupate ajali!" Bibiana alikubali kwa kichwa pasipo kuongea kutokana na mawazo aliyokuwa nayo. Baada ya mda walifika na mlinzi alifungua geti na Niko akaiingiza gari ndani, haikupita mda Boss au ukipenda mwite Ivan alitoka ndani na kumfata Bibiana aliyekuwa akishuka ndani ya gari na alipomfikia alimkumbatia na kumpiga bu....su huku akiongea. "Nilikukumbuka sana mke wangu!" "Hata mimi pia nilikukumbuka sana mme wangu!" Walikumba...tiana kwa sekunde kadhaaa na kuingia ndani na Niko alikuwa ni mla chabo na kusahau mpaka kutoa begi la mke wa boss wake, haikupita mda Boss wake alitoka ndani na kuongea kwa sauti. "Lilete hilo begi ndani!" "Aya boss!" Niko alibeba begi na kuingia nalo ndani na kuwakuta wote wawili wamekaa kwenye kochi moja na binti wa kazi aliyekuwa akiitwa Tatiana alifika na kulichukua begi nakulipeleka chumbani ila Niko alibaki akiwa kakodoa tu macho akiwatazama. "Umefanya kazi nzuri unaweza kuondoka!" "Asante boss!" Alitoka nje baada ya kumaliza kazi yake na kwenda kuungana na mlinzi aliyekuwa amekaa karibu na geti akipiga zake mluzi. "Ivi unaitwa nani!?" "Naitwa Niko!" "Mimi naitwa Makoye ni na mda mrefu kidogo kwenye hii nyumba!" "Nashukuru kukufahamu!" Ukimyaa ulitawala na ndipo Makoye alipomuuliza kama anaweza kucheza karata na Niko alikubali. "Ngoja nizilete tuchangamshe akili kidogo!" "Basi sawa!" Mlinzi aliingia kwenye chumba anacholala na kuleta karata wakaanza kucheza, akili zote za Niko zilikuwa zikimuwaza Bibiana tu hivyo mlinzi alijipigia magoli ya kutosha mpaka akaanza kumuona Niko hajui kucheza karata na ni boya tu. "Ndio unajifunza leo kucheza karata nini!?" "Dah, bado sijajua namna ya kucheza vizuri!" "Ndio maana najipigia tu magoli!" Mlinzi aliongea huku wakiendelea kucheza. Upande wa ndani Bibiana alimuuliza mmewe alimuajirije Niko na mmewe akamjibu. "Niliunganishwa tu na moja ya wafanyabiashara wenzangu na nilivyokagua leseni yake ya udereva haikuwa na shida yoyote ile, kwani kuna tatizo au alitaka kusababisha ajali mlipokuwa njiani nimtimue sasa ivi!?" Bibiana alikaa kimya kwanza na kuwaza amchongee Niko kwa mmewe ili akose kazi lakini alikumbuka Niko alivyomuomba asimwambie boss wake kama wamewahi kuwa mke na mme, na alipokumbuka tabu walizozipitia walipokuwa wakiishi pamoja aliona haina haja ya kumharibia kazi. "Mbona umekaa kimya!?" "Hapana mme wangu ni dereva mzuri!" "Hapo sawa, twende chumbani!" Walinyenyuka na kuongozana wote mpaka chumbani na baada ya kufika huko Mmewe alionesha uanaume wake mbele ya Bibiana, dakika 7 zilimtosha kabisa kuvunja amri ya 6 na kulala kitandani tena akiwa hoi wakati huo Bibiana akiwa bado anauhitaji wa ten..do. "Umeridhika mke wangu!?" "Ndio mme wangu!" "Ndicho ninachokupendea, wewe ni mwanamke usiyependa kufanya ng..on..o kwa mda mrefu, unamisingi sahihi na haupo kama mabinti wenzako kabisa wa dunia ya kileo!" Sifa alizopewa Bibiana alionesha kuzikubali tu na kumkumbatia mmewe lakini ndani ya moyo wake aliutaka mchezo ila ndiyo hivyo angeanzaje kumwambia mmewe kuwa hajatosheka na anahitaji tena, Bibiana aliogopa kuonekana mroho wa ng..ono na hatosheki na kile anachopewa na mmewe hivyo ili kuepusha hayo yote alikuwa mtu wa kukubaliana na hali hata kama mmewe atatumia dakika 3 tu kwenye tendo. Akili yake ilihamia kwa Niko aliyekuwa nje, alinyimwa pesa sawa lakini hiyo kazi kwake haikuwa tatizo na ndicho kilichomfanya mpaka achukue maamuzi ya kuolewa naye miaka ya nyuma. "Alafu kuna kitu nakitaka!" Sauti ya mmewe ilimkulupua na kumtoa kwenye mawazo. "Nini mme wangu!?" "Nataka mtoto, nataka kuitwa Baba na mimi!" "Usijali mme wangu tutampata tu!" Hakuwa na ubavu wa kumkosoa na kusema yeye ndiye mzembe anayechelewesha mpaka ashindwe kushika ujauzi..to mapema zaidi ya kumtia moyo tu. Baada ya mda mmewe alijiandaa kwa ajili ya kwenda kwenye biashara zake na alipomaliza alitoka nje na kumwambia Niko awashe gari ili waweze kuondoka, Niko alifanya kama alivyoambiwa na Boss wake alipanda ndani ya gari na safari ikaanza. "Nyooka na hiyo barabara!" "Sawa boss!" "Ivi umeoa!?" "Hapana boss sijaoa!" "Kwanini sasa hujaoa mpaka sasa ivi na umri wako unazidi kusogea!" "Huyu boss kama angejua kama kaniibia mke basi asingeniuliza swali la kijinga kama hili!" Niko aliwaza mwenyewe na kumjibu boss wake kuwa ni hali ya maisha tu ndiyo imemfanya ashindwe kuoa mapema. "Jitahidi uoe mapema umenielewa!?" "Sawa boss!" Umbali wa safari ulikuwa mrefu ila kutokana na ubora wa gari hawakukawia kufika sehemu husika. "Nisubiri hapa nitatumia kama masaa matatu!" "Aya boss!" Niko alibaki nje kama alivyopewa maelekezo kwa ajili ya kumsubiri boss wake aliyeingia ndani kwenda kuonana na wafanyabiashara wenzake. Alikaa ndani ya gari mpaka akachoka na baada ya mda alisikia mlio kwenye kimeo chake wa sms kuingia, alikichukua na kuusoma ujumbe aliotumiwa na kugundua kuwa umetoka kwa Bibiana au mke wa boss wake, macho yalimtoka Niko baada ya kuusoma ujumbe aliotumiwa na Bibiana.......ITAENDELEA.

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

MASTER MISTAKENLY SLEEPS WITH HIS HOUSEMAID CHAPTER 22 © GAMBO ELVIS Then Verona returned back from her thoughts, as she was the one imagining what must have happened to Jaila, it was her imagination of what was going to happen to her housekeeper if she drank the juice containing the poison. Then her husband warned her, "If anything happens to Jaila's pregnancy, I will hold you responsible. Don't stress her up and don't even attempt to do anything funny to her," "Do you now consider me as an evil wife," "You can be worse." Then she walked out of the room to Jaila's room and when she got there she found her drinking from a cup. Terrified, she asked her, "What are you drinking?" Verona bumped into her room and grabbed the rest of the juice she had poisoned, took it outside, poured it on the ground and wasted the bottle in the dumpster. "I was asking you what you were drinking and you were looking at me like mumu," "It was just water," "Was it not the juice on your table?" "No," "You are lucky." It was surely her husband's threats that had pushed her to get rid of the deadly portion. Maybe she thought of destroying another woman's happiness and realized how wicked she was going to be if she was unraveled. After she left, Jaila kept wondering, "She now walks into my room in my presence and takes my juice, just to pour it outside. Is it wickedness or she is about to run mad. Mr. Beri has to be very careful. Why must she do that, I no longer have the right to a bottle of juice. She is just jealous that I have what she doesn't. Hmm!" She sighed and concluded, "If she is reacting like this just because the husband wants to adopt my kids, what will happen when she finally finds out that he is actually their biological father." Later that day, Mr. Beri walked outside and tiptoed into Jaila's room. A few minutes later, his wife who was prying followed him from behind, then he got in and the wife stood by the door. She was trying to eavesdrop at their conversation. He was surely there to tell her something important because he avoided sneaking into her room when his wife was around. Then she kept on trying to get what he was telling Jaila, till the Housemaid who was not actually in her room stepped out of the external latrine and jammed with Verona at her door. "Sorry madam," "You were not inside?" "Yes madam, I went to ease myself." Verona fumbled and blabbed, "Yeah, what are you doing now?" "Do you want me to do something for you madam?" "Not exactly." As Jaila walked into her room, she was shocked to find the master in. "Sir, I didn't expect to see you here," "I walked in, thinking you were in, there is something I want to tell you." Then she places her fingers across her lips, trying to hush him, but he doesn't seem to understand, then she whispered, "I met your wife standing at my door sir," "She's outside," "Yes sir." they whispered to each other and the master quickly took over with a louder tune, "Yes, I was coming to tell you that no matter what happens in this house, my wife remains my wife. Hope you got me right." "Yes sir," "Never you disrespect her." Then he walked out, meeting her wife pretending as if she was passing by. "What are you doing in the maid's chamber?" "Idleness, I just wanted to talk to her and let her know her position in this house." And her wife was sure that the house girl surely made him understand she was outside and he pretended. There is this guy still stealing my stories engr.. Don't blame me if your page is banned for copyright.. TBC...

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

SITOKUSAHAU ULICHONIFANYIA BABA MPAKA NIKAKOSA MME! Baba alikua amesha maliza kula ,nakuniambia nitoe vyombo mezani. Baada ya kuniambia hivo, nilijaribu kuinama ndipo sketi yangu ilipopanda kwa juu kidogo. Niliinuka taratibu kisha nikachukua kitenge cha mama kilichokuwa kimetundikwa kwenye henga na kujifunga. Wakati najifunga, gafla nilihisi mtu ananikumbatia na kunishika kwenye maziwa yangu ndipo niliporuka juu kama mtu aliyekanyaga kinyesi cha kuhara cha mlevi aliyekunywa K-vant afu akachanganya na Castle Lite. Niligeuza shingo langu ndipo nilipokutana na sura ya baba akiwa ametoa macho. Kabla sijaongea chochote, alinivuta kwa nguvu kisha akaniweka kitandani. Kwa mara ya kwanza sikuamini kile macho yangu yalichokiona. Bila kupepesa macho wala kumumunya maneno, nilimshika baba mikono yake huku nikiwa natetemeka miguu kama fundi cherehani kisha nikamwambia, "'Baba sipendi hata kidogo kunishika.." nilimwambia huku nikiwa nimekunja uso. "Mwanangu, nimekupa upendo wote mpaka umenzidi mama yako. Nami ni wakati wangu sasa wa kufaidi matunda yangu. Uzuri ulionao ni juhudi zangu hivo sitaki wanaume wakuchezee" baba aliongea kwa sauti ya chini huku akiwa anakatakata maneno kama redio iliyomeza tape ya kanda. "'Baba nakuheshimu sana. Mimi ni mtu mzima na nimejitunza kwa ajili ya mme wangu mtarajiwa. Ni aibu kubwa sana na laana kwa hiki ulichokifanya juu yangu. Ni kweli umenisaidia sana na bado nahitaji msaada wako kama baba lakini sio kwa njia hiii baba ..." nilimwambia "Nimefanya hivi huenda ni mara yako ya kwanza lakini ni utamaduni wetu. Wewe ni mtu mzima na umeshaanza mahusiano hivo kimila unatakiwa kulala na baba yako kabla ya kukutana na mme yeyote. Hili sio ombi ni takwa la lazima.." Baba aliongea kwa ukali kidogo. "'Mimi sitaki baba.., usiniharibie usichana wangu. Kama ni mila zinaweza kuvunjwa maana sio biblia..wala msaafu..' Nilimjibu huku nikijaribu kujinasua mikononi mwake. "'Mwanangu sikia nikwambie, mama yako amekuwa akinisumbua mpaka nakosa haki yangu ya ndoa hivo nikaona nisiende nje ya ndoa kwani sio salama. Tutafanya kwa siri na wala hakuna atakayejua . Kila kitu nitakutimizia na utaishi kama mfalme wewe ndo mtoto wangu wa pekee.." Baba aliongea huku akiwa anajaribu kunivua sketi yangu. Baada ya kuniambia hivo, nilianza kupambana naye ili kujinasua lakini kwakuwa alikuwa amejaliwa nguvu, alichana brauzi yangu na kuyaacha maziwa yangu madogo kwa wastani yaliyokuwa na umbo kama yai la bata mzinga yakiwa nje . Nilijihisi mwili wangu kuwa mtupu ndipo nilipomuachia baba kisha nikafunika maziwa yangu kwa viganja vya mikono yangu. Nikiwa siamini kama baba ndo ananifanyia hivo, nilijikuta nimetolew sketi na kubaki na nguo ya ndani ndipo nilipoona hatari inakuja mbele yangu. Kiukweli sikuwahi kuguswa na mtu yeyote tangu nazaliwa mpaka umri huu. Kitendo hicho kilinifanya mwili wangu wote kuzizima huku mapigo ya moyo wangu yakienda kasi . Baba alipitisha mkono wake taratibu kwenye paja langu laini ndipo nilipohisi kama ananitekenya hivi. Nilirusha miguu kama ng'ombe anayekataa kuchinjwa lakini baba hakuniachia. Kwa mbali machozi ya uoga yalianza kunilenga machoni mwangu ndipo nilipomsukuma kwa mkono mmoja japo hata hakutisika . Kitendo cha kuachia mkono mmoja, baba aliweka mdomo wake mpaka kwenye ziwa langu la kushoto kisha akaanza kulizungushia ulimi wake uliokuwa na mate mgando hivi ndipo kwa mara ya kwanza nilipojihisi hisia kali zikinipanda mpaka nikabaki nimeganda huku nikisikilizia. Kiukweli nilijihisi raha ya aina yake iliyoambatana na uchungu na aibu juu yake.. Niling'ata meno yangu na kukunja sura yangu kisha nikasema, "Niache nakupigia kelele..!, niache nakupigia kelele!" Nilimtisha kisha nikajaribu kupiga kelele ndipo aliposhutuka na kuniachia. Niliinuka kitandani kwa aibu kali kisha nikajibanza ukutani ili asione maziwa yangu kisha nikaanza kulia . Wakati naendelea kulia, alinifuata taratibu kisha akaniambia, "Cathe mwanangu!, maji ukishayavulia nguo sharti uyaoge. Hakuna chochote ambacho sikijui juu yako maana nimekulea na kukuosha tangu ukiwa utotoni mpaka leo hii. Ndugu zako wote nao walifanyiwa kama wewe ndo wakaja kuolewa tena. Nakuomba kwa hiari yako usogee ." Alinishika "'Baba kwanini unanifanyia hivo lakini!, nitajiua mimi !, unapata faida gani kulala na mimi!, baba..naenda kujiua kwa ajili yako. " Niliogea huku nikijaribu kufungua mlango lakini kwa bahati mbaya alikuwa ameshaufunga na kuficha funguo Aliniacha nikahangaika na mlango kisha akaniambia kwa sauti ya chini, "'Kwani unaogopa nini?" Sikumjibu chochote kwani nilikuwa na hasira huku nikiwa nimeangalia ukutani ili macho yangu na yake yasigusane. Baada ya mda kidogo, alifungua kabati kisha akachomoa kibegi kidogo huku nikiwa namchungulia kwa jicho la chongo. Alitoa burunguti la noti zilizokuwa zimefungwa "Chukua pesa hivi za matumizi na kama nilivyokuahidi gari, nitakununulia la kifarahi sana. Najua hauko vizuri lakini mimi nakupenda sana na sitaki uharibikiwe kabisa. MWISHO

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

Sanga:“Sasa, uko tayari kuona uchawi tuliofanya?” Mteja (msichana): (anacheka kwa upole, anajishika mdomo kwa kidole) “Aah, lazima nione! Umenifanya nijisikie kama malkia mbele ya kamera.” Sanga: (akimkazia macho kwa bashasha) “Wewe ni malkia. Ila nadhani ulikuwa unahitaji msukumo kidogo tu. Kamera inampenda sana mrembo mwenye kujiamini kama wewe.” Mteja: (akizungusha nywele kwenye kidole chake) “Labda ni vile ulivyokuwa unaniangalia ndio maana nilijisikia hivyo. Ulifanya nione kama niko kwenye picha za sexy za jarida fulani. Sanga: “Mmhmm, sikuweza kujizuia. Kila click ilikuwa kama—bam. Nguvu, mtazamo, mvuto wa kipekee. Ulinipea kila kitu.” Mteja:“Ahh… usifanye hivyo! Unanifanya nicheke na kuonea aibu!” Sanga: (akicheka kwa utani) “Kwanini niachie wakati aibu inakupendeza sana? Umechanganya haya yote—aibu na kujiamini—mchanganyiko wa hatari.” Mteja: (anacheka, anavuta pumzi kwa raha) “Wewe ni mchokozi! Sawa, naomba. Tafadhali, nionyeshe jinsi nilivyopendeza.” Sanga: (anakandamiza kitufe, picha zinaonekana kwenye skrini) “Haya, angalia sasa. Kumbuka tu, huu ni mwanzo”

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

NIPE YOTE DADY💞💞21 Nilibaki nimeduwaa nilijua nitawekwa mabao na talaka juu ndo kwanza nikapewa kibali cha kupiga ila tu nisiue😂😂 Aiseee nilijisikia raha sana😍😍nilimkumbatia selim nikamuuliza nikuletee chakula huku chumbani au anashuka kwenda kula mezani🥰 Selim aliniambia nimletee chumbani nile nae🥰🥰basi nilikwenda jikoni nikaandaa chakula nikaleta chumbani tulikula pamoja kwa kulishana🙈 Baada ya hapo tukapiga story mbili tatu kisha tukalala usiku huo ulikuwa wa amani sana kwetu hatukugombana wala kukwazana, basi siku iliisha kesho yake asubuhi na mapema nikaamka na kwenda jikon nikamkuta Sauda dada wa kazi akaniambia kuwa mama mkwe kasema atakuwa anapika chakula mwenyewe haruhusiwi mtu mwingine kupika😩 ninavyopenda kupumzika nikasema hii mbona fursa😂😂Nilirudi chumbani na kukaa maana hakukuwa na kazi nyingine, Selim aliamka tukasalimiana pale kisha akajiandaa alivyomaliza akaniaga na kuondoka🥰🥰. Baada ya Selim kuondoka nilitoka chumbani na kwenda jikon kuangalia maendeleo ya msosi yakoje, nilifika na kumkuta tena Sauda nikamuuliza boss wako kasema anapika mwenyewe mbona hadi mda huu jiko limenuna Alijibu kuwa bado kalala eti kiu no kinauma, kabla sijaongeza neno alikuja Aunt Suna tukamsalimia kisha akasema. "Nyie mnakaa na njaa hadi mda huu eti kisa mama mwenye nyumba kasema atapika mwenyewe, embu nipisheni nipashe chakula cha jana nile alafu nisubiri zangu mchana🤣" Kweli bhna alitoa vyakula vyote vilivyobaki akapasha tukagawana tukala na kunywa huko huko jikon,kisha tukaosha vyombo na kwenda kukaa sebleni🤣🤣. Mida ya saa tano kasoro mama mkwe alitoka chumbani kwake akiwa kashika kiuno kana kwamba anaumwa, Aunt Suna alivyo mkorofi akamuuliza "kheee wifi kulikoni mbona saizi alafu umeweka mkono kiunoni kama kikombe?"Mama mkwe hakujibu akanyoosha hadi jikoni😂😂 nikasikia aunt anasema "hapa inabidi kula chakula na maziwa pembeni hachelewi kutuwekea sumu huyu" tuliangua kicheko kama kaongea la kuchekesha. Kama alivyosema kuwa atakuwa akipika yeye mwenyewe ndivyo alivyo fanya bwana, alipika bila hata kutaka msaidizi baada ya kupika aliweka mezani ukweli watu wote tuliogopa kula hadi pale alipoanza kula yeye. Aunt alimkonyeza Sauda akainuka na kwenda kuleta maziwa🤣🤣🤣 kabla hatujaanza kula ghafla tulisikia mtu akiomba kwa sauti ya juu "ee Mwenyezi Mungu takasa roho zetu na utupokee vyema" alikuwa mtoto wa Aunt Suna unaweza kumuita Jabir huyu ni kiazi kama viazi wengine😂Alipomaliza kuomba akamwambia mama yake "mama kula kwanza basi kipenzi changu tuone kama yaliyomo yamo au hayamo"Aunt Suna alimuangia mwanae na kumpa kifinyo huku akiongea "we mtoto mshenzi sana wengine wana walinda mama zao wewe unataka nitangulie mimi" " tuliishia kucheka namna mama na mtoto walivyokuwa na vituko,mda wote huo mama mkwe alikuwa kimya huku akila chakula chake bila kumsemesha yeyote😩" Nilichukua maziwa nikaminina kwenye glass kisha nikasogeza sim yangu karibu ili nikianza kuumwa tu napiga maziwa na kumpigia sim doctor chap kwa haraka kinga ni bora kuliko tiba🤣🤣. Baada ya kumimina maziwa nilipakua chakula na kuanza kula uliza wengine walikuwa wakifanya nini yani walikaa wakinitolea macho kama vile wanatafuta sindano iliyodondokea kwenye nyasi, mimi nikawa bize kula huku nasikilizia kama nitaumwa... Basi bwana nilikula chakula hadi kikaisha hapo mama mkwe kashainuka na kuondoka Jabir akaniuliza "Binamu husikii kuumwa " nilitabasamu na kumjibu hapana basi wengine wakapakua yeye akasema atakuwa wamwisho kaka muoga huyu😂. Walimaliza kula wote akakaa kama dakika mbili huku akituangalia alipoona hatuumwi akasema sawa na kupakua akala, tukiwa bado tumekaa nikasikia tumbo linauma tena kwa kuunguruma nikasema huenda ni hofu tu sijakaa sawa nasikia kama nataka kutoa uhara weee nilichomoka kwa speed ya 5G hadi chooni watu wakabaki kulikoni niliharisha nyiee😭😭upande wa pili aunt nae likaanza mchomoko ni ule ule shwaaaaa kwa choo😂😂😂 Akafata Sauda shwaaaaaa mlinzi nae yani ilikuwa kwazam kimbembe kwa Jabir wallah huyu mtoto sijui kama ni mzima yeye badala aende chumbani kwake akaenda kwa mama mkwe kujisaidia🤣🤣 Aisee Mama alijua kutukomesha siku ile natamani mgetuona namna tulivyokuwa yani hakuna aliekaa mbali na mlango wa chooni 😩 Tulifanikiwa kumpigia doctor akasema anakuja hivyo tukakaa tayari kumsubiri, hapo kila mmoja anatamani ndio awe wakwanza kutibiwa mama mkwe katupunguzia mafuta bila kupenda.. Doctor alichelewa mno tukampigia Selim na kumpa taarifa, haikupita muda akawa amefika na dawa akatupatia😩 tulikaa kama dakika 40 tukapunguza kuhara hakuna aliekuwa na nguvu za kuongea wala kucheka huku kwenye njia ya haja kubwa kulikuwa kunawaka moto simnajua ukihara sana unakuwa kama unaungua ee basi ilikuwa shida juu ya shida kila mmoja aliapa kumkomesha mama mkwe Selim alichukia na kwenda kumgombeza mama yake kwani alishtuka au kuongea ndio kwaanza alikuwa kaweka miguu juu huku akinywa juice kwa mrija.. Kilichofuata nikunywa maoro ili kuongeza nguvu Selim alituagizia chakula tukala na kupumzika, walah huyu mama nitamkomesha subiri😒😒 Niliingia chumbani ikabidi niv ue nguo zote nielekeze ma t😌k🙄o kwenye feni maana yalikuwa yanawasha vibaya mno😩😩 Nilitulia pale kwenye feni kaupepo kakawa kananipuliza raha mstarehe wakati naenjoy upepo wa feni kwenye ma t😌k🙄o ghafla mlango si ukafunguliwa.. kuja kugeuka nakutana na selim macho kwa macho kakodoa jicho lote kwangu na hapo mkumbuke niko uch sina nguo hata moja🙄 Hahahaaa kitakachofuata sasa na kuikula tu🤣 Njooni wasap mpate uhondo wa kitakachoendelea kwa buku tu namba yangu ni 0742133100

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

SITASAHAU NILICHOKIONA KWENYE LILE KANISA 😱😱 Sehemu ya Kwanza ( 1 ) ************* @Kila Mtu 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 Majira ya Saa sita Usiku,palionekana gari ambalo liliparamia mti mkubwa na kusababisha kutokea kwa ajali mbaya sana. kwenye siti ya mbele,upande wa dereva,palikuwa na mwili wa mwanaume ambao ulitawaliwa damu huku na kule.Huku upande wa pili palionekana mwanamke ambaye alikuwa amebeba mtoto mchanga. Hatimaye alimtazama mume wake ambaye kwa bahati mbaya sana alikuwa tayari amekwisha kutangulia mbele za haki. Taratibu machozi yalimtoka huku akiwa amembeba mtoto mchanga. Baada ya mda,Huyo mwanamke alianza kupiga hatua kadhaa kwa ajili ya kwenda kutafuta msaada.wakati huo,mtoto wake alikuwa analia sana. Bila shaka Huyo mwanamke alikatiza katikati ya msitu mnene ambao ulitawaliwa na sauti za wanyama wakali kama vile Simba,chui,duma na cheetah. Hatimaye,baada ya mda,mbele ya macho ya Huyo mwanamke aliona jengo ambalo lilikuwa na msalaba juu.bila shaka hili lilikuwa kanisa.hivyo Huyo mwanamke aliamini sana kuwa mahali hapo kuna msaada wa maisha yake pamoja na maisha ya mtoto wake. Taratibu alipiga hatua kadhaa mpaka kwenye mlango wa hilo kanisa.kisha alinyoosha mkono wake wa kiume kwenye kitasa cha mlango kisha alifungua mlango. Mara tu baada ya kufungua mlango, ghafla kuna ndege weusi walitoka ndani ya hilo jengo.mbele yake palikuwa na Giza Nene sana. Huyo mwanamke alijaribu kuita kama kuta kuwa na mtu wa kumsaidia lakini hapakuwa na majibu yoyote. Hatimaye alianza kupiga hatua kadhaa mbele.Mara tu baada ya kufika katikati ya hilo jengo,ghafla taa ziliwaka.Huyo mwanamke alitazama huku na kule,lakini hapakuwa na mtu yoyote yule. Alizidi kusonga mbele mpaka kwenye madhabahu ya hilo kanisa.kisha alimuweka mtoto wake kwenye hiyo madhabahu,akiwa amemfunika vizuri. Wakati huo,huyo mwanamke alikuwa macho akiwa anasubiri msaada. Baada ya mda,Hatimaye alipitiwa na usingizi mzito sana. Majira ya saa nane za usiku au usiku wa manane.katika eneo Fulani la makaburini,palionekana viumbe wa ajabu.viumbe hao walikuwa na miili kama vile ya binadamu wa kawaida.lakini kitu cha ajabu ni kwamba walikuwa wanakula na kunywa damu pamoja na nyama ya binadamu. Hao viumbe walikwenda mpaka mahali ambapo lile gari lilikuwa limepata ajali.kisha waliona mwili wa Yule mwanaume. kisha walianza kugombania huo mwili.Baadhi yao walitoa moyo,wengine walitoa maini kisha wakaanza kula. Baada ya mda,hao viumbe waliondoka wakielekea kule ambapo Yule mwanamke alikuwepo,Yeye pamoja na mtoto wake. Baada ya mda,hao viumbe walifika katika hilo jengo, kisha waliingia ndani mpaka kwenye madhabahu ya hilo kanisa.mahali ambapo Yule mwanamke alikuwepo pamoja na mtoto wake. Bila huruma yoyote ile,hao viumbe walimshambulia huyo mwanamke.kisha walianza kula na kunywa damu pamoja na nyama zake. Baada ya kumaliza hilo tukio la kutisha,kwa bahati mbaya sana,mmoja wao alimuona yule mtoto mchanga ambaye alikuwa amefunikwa vizuri. Taratibu alianza kutoa nguo ambazo zilikuwa zimemfunika huyo mtoto kisha alimuona mtoto mchanga ambaye alikuwa katika usingizi mzito sana. Mara tu baada ya kumuona huyo Mtoto,wote walicheka kwa sauti"hahaha............................." Bila huruma walimsogelea mtoto kwa lengo la kumuuwa kama vile walivyofanya kwa wazazi wake.wakiwa kwenye hali hiyo,ghafla Yule mtoto alifungua macho,kisha macho yake yalibadilika na kuwa ya rangi nyekundu kama vile macho ya vampire.pale pale,palitokea kitu kama vile radi,kisha kiliwapiga wale viumbe wote................................Dah. Baada ya mda,palitokea mtu ambaye alikuwa amevaa nguo kama vile mchungaji.kisha alipiga hatua kadhaa mpaka kwenye madhabahu,mahali ambapo Yule mtoto alikuwepo.kisha alimchukua Yule mtoto,alimtazama kisha alicheka"hahaha" Mara tu baada ya kucheka,alipotea katika mazingira ya kutatanisha sana. Baada ya mda,alitua katika eneo ambalo lilikuwa limejaa makaburi mengi sana.huku radi zikiwa zinapiga huku na kule. Hatimaye alipiga hatua mpaka mahali ambapo palikuwa na mti mkubwa sana ambao ulikuwa na matunda ya kila aina. Kisha alitamka maneno machache,Mara tu baada ya kumaliza kutamka hayo maneno,ghafla palitokea. ....🤔🤔 Nyieeeee....Mambo ni ya motooo.😂 Kwani wewe auogopi Usipite bila kulike na kukomeniti fanya ku share kabisa ili sehemu inayofuata isikukose maana ndiyo sehemu balaaa🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥. Jamani comment zenu zikiwa nyingi naleta mwendelezo fasta.

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

Hadithi ya "Mbweha 🐾 na Jogoo 🐓 Siku moja, mbweha alipita karibu na jogoo. Akamwambia: "Ewe jogoo, niliwahi kusikia sauti ya baba yako mara moja, ilinivutia sana na nikatamani kuisikia tena." Jogoo akamjibu kwa majivuno na sifa; "Sauti yangu ni nzuri kama ya baba yangu!" Kisha akafumba macho yake ili apige kelele kwa sauti yake. Mbweha alipoona jogoo amefumba macho, akamrukia maramoja na kumkamata, kisha akakimbia naye mbali. Mbwa wote wa kijiji walipoona tukio hilo, wakaanza kumkimbiza mbweha. Jogoo, akiwa mikononi mwa mbweha, akamwambia mbweha: "Kama unataka kuwakimbiza mbwa hawa wasikufuate, waambie kuwa mimi (jogoo) sitoki kijijini kwao." Mbweha alifumbua mdomo wake ili kuzungumza, lakini kabla hajamaliza kusema — jogoo akaanguka kutoka kinywani mwa mbweha na kukimbia akaokoka! Mbweha akasema kwa hasira: "Ulaaniwe mdomo unaoongea wakati ambao unatakiwa unyamaze!" Jogoo akamjibu akisema; "Na lilaaniwe jicho linalofumba wakati linapaswa kuwa macho!" Mafunzo kutoka hadithi hii: 1. Usijivune au kuamini sifa unazosifiwa kirahisi, hasa mbele ya watu wenye nia mbaya kwako. 2. Mtu mjanja hujua wakati wa kunyamaza na wakati wa kusema, lazma ujue kusoma alama za nyakati, na huo ndio ujanja. 3. Uwe makini na hila za watu wenye tabia ya unafiki, mnafiki anahila nyingi pale anapotaka kufanikisha jambo lake lazima uwe makini mno juu ya hila za watu. 4. Usifumbe macho (kihisia au kimawazo) mbele ya hatari – kuwa macho kila wakati, kamwe usimuamini mtu moja kwa moja ajapokujia na sura nzuri ya Swahaba Abubakri Swiddyq. 5. Ujasiri na busara vinaweza kukuokoa hata katika hali ya hatari sana,. Ni hadithi fupi yenye hekima nyingi!

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

👕🙌 Presenting our standout performers in The 2024/25 CAF Champions League Team of the Season... #TotalEnergiesCAFCL #CAFCL

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

💕😁💖DRAMA OF LOVE💖😁. part 17 Kumbe sijui maneno matamu ya mapenzi🙆, sijui kabisa mm, kumchanganya mtoto wa mtu kwa maneno ili anipende kumbe sijui🙆. Kweli usione jua la asubuhi ukadhania halichomi🙏, ikifika mchana utashangaa, kamau alirushia Njeri mishale ya maneno hadi nikajiona sijui chochote kwa mapenzi😱😱. Nani alitarajia hayo🤔, nan alitarajia kamau anaweza geuza akili za Njeri 🤔, anyway ilibidi nikanyage kando ndo wapate nafasi nzuri na murwa ya kuongea ❣️❣️. Nilitamani nisiangalie nyuma lakn shingo likateta, kutazama nilipowaacha bado wameshikana mikono🤩🤩. Hakuna mtu aliyefurahia kama Brianna 💖, hakuwacha kuwarushia jicho kila mara🤩. Kamau ni kama alikuwa na bahati ya mtende, hakuna mwalimu aliyekanyaga darasani, ilionekana walikuwa kwa meeting baada ya mgeni kuwasili🙏🙏. Nje walikubaliana?? Walipendana?? Tutoke hapo🙌🙌. Brianna: I'm very sure this is a joke Beb, kamau and Njeri on the same sentence?? Me: Wewe hujaila pilipili wala kuionja, mbna inakuwasha sasa😂😂. Kam nje tuongee kidogo💖. HELLEN: Love love love, morning, love, afternoon, love, now it's evening bado ni Love 😪😪. Kwan mnadhani sisi hatuna ma boyfriend 😪. BRIANNA: sky you have to be careful with this soul😂😂. Mbna inamuuma ivo, wee ama umemcrushia boy wangu🙄. ME: Who said that? Brianna chunga huo mdomo wako🙄. She's our class rep🙏🙏. HELLEN: Na sasa kuwa na crush kwa msee ni mbaya😂😂. Oyah sky mbna hukukamia hizo bidhaa😱😱. Me: Utanipa usiku kwa preps sawa?? BRIANNA: 🤔🤔🤔 HELLEN: Okay take care❣️. (Akimwangalia BRIANNA kwa dharau) What is this that Hellen is insisting me to read?? Anyway mbna niandikie mate wakati wino upo, preps hazikuwa far❣️. BRIANNA: Mbna uliniita😪😪? Me: I hope hujakasirika juu ya Hellen?? HER: Why should I get angry for someone who doesn't beat me in everything, bora isiwe venye nafikiria😪. Mara hii nanyonga tu mtu walahi🙄 Me: Waah wewe ungekuwa radio ningetoa mawe ndo inyamaze😂😂. Mbna umekunja uso lakn, kuja haapaa🤩🤩. Nilikavuta kakanilalia kifuani then nikamsukuma uko💖. ME: Ujuwe kesi bado haijaisha Brianna,, mara hii tusijiconfuse please 🙏🙏. Unajuwa venye mathe alisema😭. HER: Hapo hakuna cha kuogopa dude✌️💪. We'll just say the truth, am sure hawezi tupatia suspension koz bado anakumbuka maneno ya OCS ✌️. Me: OCS ule siz wa njeri mwenye alinisaidia kunitoa kwa ngori baada ya wale niliowaamini kunikimbia😭😭. BRIANNA: aki usianze tena please 🙆🙆. Haven't we talked about it already?? ME: Anyway (staring at her 🍑👁️👁️) WOW 😋 hiyo chest 👅👄. Brianna: 🙈🙈twende class wacha ufisi na ulishindwa 😂😂. ME: Nilishindwa wap🙄🙄. HER: Ile tym ulikam home,, yani umepewa mali safi ukague unashindwa🙈🙈. ME: 😂 ilikuwa tufike hapo kweli🙈. Si dadako alitupata ndo nikawacha❣️. HER: hahaa so sahi nikikupa unaweza kagua, ebu cheky🍑🍑,(she opened her bra 😱😱) si usonge hata uguze sky. ooh❣️❣️. Me: Ngài, mbele ya wasee beb?? HER: akh! Sasa muone Wasee wako wap na tuko nyuma ya daro, mamode wako meeting, kam bana naungua🍑🍆. Me: Waaah Brianna please,, sitaki sahi🙈🙈. HER: Hutaki na mbna hapo mbele trouser imenini😱. ME: Wewe tu ak🙈, twende daro 🙈. HER: 😂😂😂wewe hata sidhani kama una nguvu za kiume😂. ME: whaaat😱😱. Brianna unaweza niambia ivo surely 😭😭. Kufika kwa mlango wa class kumbe madam Stacy aliingia kitambo😲😲. Tuliingia Brianna akakaa, before mm kuketi.... Madam: SKY ebu rudi huku mbele haraka😪😪. Mbna unaingia kama umepocket kwa trouser, hiyo ni tabia gani😪. Toa mkono kwa mfuko na usimame straight Kama mwanafunzi🙏🙏. Hehee madam hakuwa anajuwa nilichokuwa nmefanyiwa na sistake 😭. Wanaume wanajuwa kwann nilikuwa nmepocket😭👉🍆😭😭. Ingawa niliamua kutoa mkono tu🙆. MADAM: Nimesema simama straight 😲😲. Woih weee kwan umeficha nini kwa trouser kijana😭. Ebu toa Wanafunzi wote isipokuwa Njeri wakapasuka kwa kicheko😭. MADAM Stacy: Ngài ak huyu mtoto,,, kwan mmetoka wap na Brianna?? Wewe kuja hapa😪.(Mtoto akaamka) Mmnetoka wap na Sky?? BRIANNA: Hatujatoka pamoja, mm nmetoka Loo🙏🙏😱. Madam: Enda mketi but lesson ikiisha mnifwate😭. Lesson kuishia alikuwa ameshasahau😂😂. Lakn mbna Njeri hakufurahia🤔🤔. Ina maana hawakukubaliana na KAMAU ama?🤔? KIDOGO kengele ya kutoka nje ikapigwa💪💪😂. "Siih kamau, ebu njoo kidogo" nilimuita after kila mtu alitoka nje🙏. Me: Kuliendaje man,,, niliacha kama umefanya mtoto karibu alie💪💪. HIM: Bado Nina kazi bro,, imgn alikataa kabisa, but akasema we can be best friends 🙏🙏. Bado anainsist tu et huenda wewe ukakasirika ju hujamshow chochote kuonyesha mmeachana, so alidhani huenda tunampima🙆🙆. "Usikuwe na wasiwasi bana,, mm na BRIANNA nimejaribu nikaona bado kananimind🙏🙏, we'll make sure hawa watu wamekuwa marafiki, then BRIANNA amalizie hiyo game sawa💪💪" nilimshow❣️. Kidogo Nancy akafika na kitabu akiomba tumsaidie❣️. ME: Mbna unasema " please" sisi wote ni wasomi, lazma tusaidiane kwa chochote💖. Umekwama wap?? Nancy: Hii kitu mm hunichanganya ak,,, nmekam tu mniangalilie kama niko correct🙏. KAMAU: Hapa ulikuwa umeanza vizuri but (thinking 🤔🤔) hii 36 uliitoa wap?? Juu (🤔🤔) I think jibu ni 11 sio 36 dear.. ME: 😱😱, umeipata aje bro,,, Kamau alikuwa ameivia hesabu already❣️. Aliicalculate hadi pia nikatii, Nancy alishukuru sana ❣️. ME: You don't have to do that Nancy.. we're like your brothers,, be free to ask us anything 🙏🙏❣️. Nancy: Anything?? Me: yes anything ❣️❣️. HER: Sky is it good for someone to fall in love with a person who is 30years older than her 😭😭😭. Is it good for her to go ahead and sleep with him, either willingly or forced😭. Nancy alipomaliza tu kuongea, machozi yakamtoka😱😱. HER: Ama wacha tu😭😭. Sorry for telling you please 😭. Bye bye 😭😱😱. KAMAU: Bro, this girl is undergoing depression 😭😭, please save her life the way you saved mine😭. It seems she's being mistreated by the person she's living with 😭. Harakisha before it's too late man😭. Oh my God, look, she's still crying 😭😭😭. Nilimuendea na kuketi kando yake😱😱. ME: My dear, crying will not change anything, but sharing can change everything. You seem to be so stressed Nancy, what is the matter?? HER: My uncle 😭😭😭. (Nancy alijikuta analia kwa sauti😭) Hadi mm nikashindwa kuongea😭😭. Nilitoa tu handkerchief yangu na kuanza kumpanguza machozi😭. Me: Cry no more Nancy,, it's enough 😭😭. Look, you have to share everything with me,, a problem shared is a problem is half solved dear,, (bado nampanguza machozi) Nancy: Sky why am I going through all these, why??😭😭, just because I don't have parents ?? Niliona huo sio wakati poa wa kuongea naye, koz nilishinda nikimpanguza machozi hadi Briannaakatupata😱. HER: Whaaat,, wewe malaya? Unafanya nini na bwanangu😪😪. Eeh leo utanijuwa😱😱(akamrukia but nikamtoanisha) ME: Hey Beb please,, you don't know what she's going through 😭. Wacha kupayukapayuka hapa Ngoja uelewe story kwanza😭. BRIANNA: Unaona venye umefanya nitusiwe,, wee Malaya, unalilia nani sasa, mbna unalia kama yatima, nakuuliza wewe mjinga😪 Nilijikuta nmemwekelea Brianna kofi😭😭😭. Hellen: Ngai 😱😱😱 sky?? BRIANNA: ........... To be continued..... Part 18 usikose ak❣️❣️❣️. Make sure umelike🙏🙏

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

YAMENIKUTA; Alinifungulia Duka nikatembea na Jirani nikidhani atanioa! Nimeolewa, ndoa yangu ina miaka 7 sasa. Mwaka jana mume wangu alinikfungulia biashara ya duka la spea. Hapa nilipo, jirani kuna duka jingine la lingine la spea kubwa sana. Sasa kuna baba mmoja mtu mzima ambaye alikuwa anapenda kuja kunisalimia mara nyingi. Yeye ameoa ila mke wake ni mara chache sana mke wake anakuja hapa dukani. Ni mama wa nyumbani hivyo mara nyingi anakuwa bize na familia. Baada ya mimi kuja hapa dukani, nikajikuta tunaanza kuwa karibu na huyu baba, tukaanzisha mahusiano naye. Ni baba ambaye anajali na kila siku alikuwa ananipa mipango mikubwa, akiniahidi mambo mengi. Hela aliyokuwa ananipa ni ndogo, sanasana elfu kumi, kubwa sana ni laki. Ila alishaniambia mpaka ataninunulia kiwanja. Alishanipeleka mara mbili kuangalia viwanja lakini sikuvipenda. Akaniambia ataendelea kutafuta. Alinipa uhuru wa kuingia dukani kwake ninavyotaka, mpaka kuhesabu pesa ingawa sikuchukua ila wafanyakazi walikuwa wanajua na kuniheshimu kwani mara nyingi anakua mkali sana na kama mfanyakazi asiponiheshimu. Kutokana na ukaribu wangu naye, nilijikuta naanza kumdharau mume wangu. Mume wangu ni mfanyakazi wa serikali, kipato chake ni cha kawaida tu, hivyo hata kufungua hilo duka alichukua mkopo ili tusaidiane majukumu. Lakini baada ya kumpata huyu mwanaume, nilijikuta namdharau mume wangu. Nasafiri kununua mzigo na kukaa hata wiki bila kupokea simu za mume wangu. Akiniuliza, namjibu vibaya na kumuambia tuachane. Mume wangu alikuwa anavumilia, mara nyingi yeye ndiye hutaka suluhu na kuomba misamaha hata kama hajanikosea! Kwa mfano, nikiwa safarini akinipigia simu nisipopokea nitamlalamikia yeye kuwa ananifuatilia sana na kumpigia kila mtu kuwa ana wivu! Wiki mbili zilizopita nilimpigia simu mwanaume, akapokea mke wake. Nilimwambia nataka kuongea na mwenye simu, akauliza "wewe ni nani?" Nikaanza kumtukana na kumwambia mimi mke wa mume wako nataka mwenye simu. Nilimtukana sana yule mama, yeye hakunijibu. Nilifanya hivyo kwa kuwa nilikuwa na jeuri ya mwanaume, kwa kuwa ananipenda na kuniruhusu kuingia dukani kwake kwa uhuru. Baada ya kuridhika kuwa ameshanitambua, niliakata simu. Baadaye mwanaume alinipigia na kuniomba tuonane naye. Mimi nilijua ni mambo ya mapenzi ila aliponiona alini*piga sana. Alini*piga nusu kun*iua, alinambia hivi unaelewa ni wapi tumetoka na mke wangu? Umenivunjia ndoa yangu kwa ujinga wako. Alisema hanitaki. Ilikuwa dukani kwake na wakati anamaliza kunipiga, watu walijaa kuangalia kumbe mume wangu alikuwa pale anaangalia kila kitu lakini hakufanya chochote. Nilijizoa na kuondoka, nikachukua PF3 na kwenda kuripoti lakini haikusaidia kwa kuwa mzee anajulikana na kila mtu. Kesi iligeuzwa kuwa mimi ni mwizi na mambo mengine kibao. Nilirudi nyumbani sikumkuta mume wangu, hakurudi mpaka kesho yake. Hakuniuliza kitu chochote mpaka siku iliyofuata ndiyo akaenda kumchukua mama yangu akaja akanikabidhi kwa mama yangu na kumwambia kuwa yeye ameshindwa na hanitaki tena. Kwa wakati huo akili ilikuwa haijakaa sawa, niliamini kabisa kuwa mume wangu hana ujasiri wa kuniacha pia nilidhani labda yule baba hasira zitapungua atakuja kuniomba msamaha. Haikuwa hivyo. Mume wangu siku ile aliniacha nyumbani, nikalala kwa mama, ila kesho yake ndiyo tuliondoka alinindikia talaka yangu. Kuja kuangalia kumbe yule baba zile ahadi ni za uongo, nyumba ambayo ina fremu zake ni za wakwe zake, wamepewa tu pia mtaji wa kwanza ni baba mkwe alimpa hivyo familia ya mke wake iko vizuri hataki kunisikia. Nimerudishwa nyumbani na talaka na ninavyoona mume wangu hana mpango wa kunirudia. Bado nampenda mume wangu, ni shetani tu alinipitia. Huyu baba kaniharibia maisha yangu. Najaribu kumpigia simu tuongee hataki. Mume wangu nimejaribu kumuomba msamaha ananiambia hapana hanihitaji, na kwamba watoto atalea mwenyewe kwani kabaki nao wote. Nisaidie, sijui nafanya nini, najua nilikosea lakini nashindwa nifanye nini kurudisha ndoa yangu! OFA! OFA! OFA! Kama unataka kujifunza zaidi kuhusu ndoa, basi soma kitabu cha "NDOA NI FURAHA". Bei yake ni Tsh. 15,000/- lakini leo unaweza kuninunua kwa Tsh. 9,999/- au usubiri ndoa ikishavunjika uje kununua kwa bei halisi." Kukipata, unalipia TSH. 9,999/- kwa M-Pesa No. 0742-381-155 au Tigo Pesa No. 0657-552-222. Hakikisha jina linakuja Iddi Makengo, kitabu unatumiwa kwa WhatsApp/Email/Facebook. MWISHO

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

Mwalimu kauliza swali darasani wanafunzi wataje kazi za wazazi wao: Tina : Mimi baba yangu mfanyabiashara mama yangu mwalimu. Mwalimu : Safi, haya Juma Juma : Baba yangu dereva mama yangu hafanyi kazi. Mwalimu : Vizuri, haya Zogo Zogo: Mimi mama yangu malaya anajiuza baba simjui. Mwalimu : Pumbavu wewe, nenda ofisini kwa mwalimu mkuu ukamueleze upuuzi wote uliosema hapa. Zogo anaenda ofisini anarudi huku anatabasamu na anakula biskuti. Mwalimu : Mwalimu mkuu kakupa adhabu gani? Zogo: Kaniambia nimpe namba ya mama… 😂 😂😂😂😂

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

Ukipewa nafasi ya kuzungumza na Amber Rutty kitu gani kitakuwa cha kwanza kumuambia?

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

💕😁💖DRAMA OF LOVE💖😁. part 16 Tuko ofisini kwa principal 😭, pembeni amekaa mamangu, kakasirika kweli kweli 😓, mbele yangu amesimama Brianna, a partner in crime😂. Haachi kusmile kila anaponiangalia😪, sijui ni nini kilikuwa kimemfurahisha😪. Haya yanatokea baada ya mamangu kutaja jina la Brianna queen darasani tena machoni mwa NJERI 🙆. Sikutaka Brianna ajitambue kwa hiyo venye aliniangalia nilimpa ishara ya kutosimama🙏🙏, don't ever joke with a woman that is in Love 😭😭. Brianna kalisimama kwa ujasiri na kudai ni yeye ndiye😱😱. NJERI: Sky?? Did I hear your mom calling her Queen 😭😭. Mom: That is what she's saved on his phone 😱. Brianna Queen, yes... Or please my daughter, can you read for me this name?? Mom alimuagiza Nancy (prefect wa sanitation) Nancy: It's QUEEN with two love emojis at the end🙆🙆. Njeri alikoza cha kusema, yan aligeuka fukara wa maneno, aliniangalia kwa macho ya simba jike mwenye amejifungua juzi na ana njaa🙆🙆. She just clicked, mm nikaangalia chini😭. Principal: SKY, is Brianna your girlfriend?? Me: Noooh how Sir, she's not😭😭. She can't be, she shall not be and Sir she must not be my girlfriend 😭😭. Watu walicheka, Principal: Brianna, if you want to continue learning in this school. You must say the truth 😪😪. Nothing but the truth 🤝. Is Sky your boyfriend?? Brianna: (alimwangalia Njeri kisha aksmile) Sir, a point of correction please, Sky is my husband not BF 😱😱. We have been in a relationship since I stepped in this school😱😱. Waah karibu nifaint😭😭. Case ilishindikana kusuluhishwa darasani ikabid tumeitwa ofisini 🙏🙏. Principal: wewe msichana, so you lied to me right?? Brianna: Noh Sir, I didn't, Sky is my man🙏🙏. Principal: I heard you saying since you stepped in our school?? Brianna: Yes sir, that first day🙏🙏. Mom alikuwa hatulii, aliomba tu apewe ruhusa anirukie😭. Principal: my girl, unakumbuka last term mlipatikana town mkigombana ukimbeg sky akusamehe hadi mkatangazwa kwa TV 🤔🤔. Why did you lie to me??? Brianna: 😱😱 Principal: Sasa jamani, hapa mkipewa suspension mnaweza enda kwa OCS tena🤔🤔. Mbna mnadanganyana?? Sky unatka kuoa🤔🤔. Me: hapana mwalimu.. HIM: Haya mwambie Brianna kwamba, you are just wasting her time😲 😲. Prinz aliinama chini kuchukua kalamu ambayo ilianguka Nilimwangalia mtoto akanipa smile ya heaven😲🤩, kisha akijifanya anajikuna then akainua blouse yake kidogo😱😱. Kumbe pia alikuwa amejiweka tattoo ya jina langu🙆. Sema kuchanganyikiwa😲😲. Me: waah mkuu we mwenyewe mchapie🙏. Hiyo ni ngori manze🙆🙆. Mkuu: Wee si umeskia anakuwestia tu tym, wachana na yeye na umove on sawa😓😓. Brianna: Ak sky hajasema ivo teacher 😪. Mm nampenda😭. Kidogo mgeni wa board akafika👏👏. Sijui Brianna alitoa wapi audacity ya kuongea ivo mbele ya principal.. Principal: Welcome Sir, eeeh, you can go to class, nitawaita✌️✌️🤩🤩. US: Okay Sir Bye 😋😋. Kufika karibu na mlango, mam akanirukia na kuanza kuninyonga😭😭. HER: Wewe unataka kuniua😭😭. Eeh yan mi... (Akanipa kofi ya shingo) ... mimi nalipa fees na unacheza tu😭😭. Alinitega tukaanguka nje😭, kumbe Njeri alikuwa ametufwata na alikuwa tu huko nje akiskiza😪😪. NJERI: Ak mam usimuue😭😭, (alimfuruta mam hadi akamtoa juu yangu😭 nikatoka mbio 🏃🚶🏻‍♀️) Mom: Ngoja tukutane home mkifunga, usipokuwa namba one usahau kama mm ni mama yako😪😪. Nonsense 😭 Hiyo siku darasani hakukukalika😭, kila mtu alikuwa na visirani tu🙆. Kamau: Pole sana brother,, it's hard but in the world of love, all this is normal🙏🙏. But Brianna loves you so much💖💖. NJERI: Nyesh love nyo nyaji🙄 nyo nyo nyo nyo🙄. Who told you she Loves him?? Kama anampenda si angemtetea wakati mamake alikuwa anamnyonga😓😓. Wewe kamau sijui nia yako ni gani kwa relationship yangu na sky😪😪. Kumbe Njeri alifika akasimama nyuma ya kamau bila kamau kujua😭. HER: beb pole sana najuwa Brianna aliongea tu kwa madharau ivo mbele ya mamako eti ndo aniumize mm😪😪. She doesn't love you at all😪. Look hadi hajakam kukwambia pole😲😲. (Silent) HER: Why are you not talking Beb, Am I disturbing you?? Me: Please dear,, I need time to freshen up my mind, l'll talk to you later 🙏. HER: Okay then, your happiness is my priority ❣️. After ameenda nilimuita Tena kamau 🙏🙏. Me: Bro, do you think this girl will love you the way you love her🤔🤔. Mbna anakuhate ivi🤔?? Kamau: Hehee, Bro nothing is impossible 🙏🙏. Mm najuwa hujamwambia koz unamfeel pia sindio?? They say it's better to try and fail than failing to try 💖💖. Am ready for anything bro, Me: okay bro, usiende. Nilimuita Njeri kwa kona, tukakuwa watatu🙏🙏. NJERI: Yes, I hope you are fine now?? Me: Don't bother dear,,, mm nimetaka nikuulize kitu🙏🙏. HER:,🤔🤔, okay ask. Me: Has kamau ever done you wrong, stolen your thing, abused you or myb hit you or gossip about you in any way?? HER: 😱😱, waaah kamau?? No no no he hasn't... Why did you ask, If you won't mind 🙏🙏. Me: If he hasn't done anything wrong to you, then why do you hate him so MUCH 😭😭. Why? is he not a human being?? HER: To be honest, I have no grudge against kamau, he's a nice guy, handsome genius and also friendly 💖💖. I always enjoy being around him💖💖. Why did you ask ?? Me: Just take a good look at him❣️❣️. Do you think he deserves the style you have just talked to him 😪😪. HER: Sky surely,, ok am sorry 🙏🙏. "Sorry is not enough for now,, please hold his hand💖" I requested NJERI: His hand?? Sky?? Okay kamau leta mkono😓. Me: Good, kamau how do you feel that softness 🤩🤩. Kamau: Bro, me holding Njeri's hand is like a dream coming through 😭😭. She has a soft skin I say❣️❣️. "NJERI, how do feel holding his hand for the first time" HER: He's fine, Yes he's 🙏🙏. Me: WOW 😋, kamau, tuassume Sasa huyu Njeri ni first time mmekutana, na umempenda. Assume umemuita akasimama na amekupa only 2mins. Tell her what you feel💖💖💖🙏. HER: waah sky wewe ,,, Me: Tulia upangwe🤩🤩. Okay si umempa time aseme chenye amekuitia❣️❣️. HER: Waa🙈🙈, okay wacha aseme💖. Kamau: Finally my day has arrived, meeting an angel like you Njeri, for sure I have gone out of words but I must say you are so beautiful dear,, just hold a breath😲, close your eyes, (Njeri alifanya ivo) leta huo mkono mwingne😲( akampa mkono tena😲 but kibahati mbaya Njeri akafungua macho🙆) NJERI: 😲😲, whaaaat😱 kamau, is that my name on your arm😱😱. Kamau: am dieing of your love please,, this is....... Me: Guys kidogo tu narudi🙈🙈. Waaah hawa karibu wafanye nijione ni kama sijui mapenzi bwana😂😂. Nilifika kwa mlango kuangalia bado walikuwa wameshikana mikono😱. To be continued... Did they fall in love?? Don't miss part 17❣️ ensure you like the story please❣️.

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

Story………………...SHE WAS MY WIFE (ALIKUWA MKE WANGU) Mtunzi……………..Simulizi Za Zooper Sehemu...ya......01 WhatsApp……....0613083801 Umri………………...18+ ENDELEA......... Saa12 jioni ndiyo mida yake ya kutoka kazini na kuelekea nyumbani kwake, mkononi alishika mfuko uliokuwa na dagaa ndani pamoja na nyanya chungu akiwa na tabasamu pana usoni, alitembea haraka huku akiwa kainamisha kichwa chini kama mtu anayetafuta pesa aliyoidondosha na baada ya dakika kadhaa alifika na kukutana mlango umefungwa kwa nje na kusogea mpaka sehemu inapokaa funguo na kuichukua na kuufungua mlango. Macho yalimtoka baada ya kutokuona nguo za mke wake anayeitwa Bibiana, haraka alichukua kimeo chake kilichochoka na kuchakaa na kujaribu kumpigia ila simu ilikuwa haipatikani na wazo alilolipata ni kumpigia mama mkwe wake na bahati nzuri simu ilipokelewa. "Mama shikamo Bibiana yupo huko!?" "Hapana hajafika kwani kuna nini!?" "Sijakuta nguo zake na hapatikani kwenye simu!" "Usinilete matani wewe kijana namtaka mwanangu" "Dah!" "Sio dah, wewe ndiyo unaishi naye sasa unaniuliza alipo mimi najua?" "Basi samahani mama" Pozi lilimwisha baada ya mama mkwe kumuwakia na kuamua kukata simu. "Huyu demu vipi mbona anataka kuvuluga akili yangu mimi aaaaaah" Alilalama na kumpigia swahiba wake wa karibu. "Oya umeshafika home!?" "Aise kuna msala huku!" "Upi tena!?" "Bibiana katoroka!" "Au karudi kwao!?" "Sidhani maana nimempigia mama mkwe kasema hayupo!" "Nakuja hapo gheto sasa ivi tu!" "Poa poa!" Baada ya mda alifika na kumkuta swahiba kavulugwa. "Oya Niko eeeh au ulikorofishana naye!?" "Wapi sasa!?, asubuhi nimemuacha kalala narudi nakuta hayupo!" "Dah sijui atakuwa wapi tu, twende kwa yule binti wa jirani anayependa kumsuka" "Poa poa!" Waliongozana na walipofika huko binti alisema hajui ni wapi Bibiana alipo. Hali ilikuwa sio shwari kwa Niko baada ya kumkosa Bibiana, miezi ilikatika pasipo kumpata na cha kushangaza Mama Mkwe wake hakuwahi kumpigia simu kwa ajili ya kumuulizia, siku moja Niko na Ben walichukuana na kuelekea ukweni na kumkuta Mama mkwe. "Mama shikamoo!" "Marahaba!" "Umeshapata taarifa za Bibiana!?" "Msahau na usiendeleee kumtafta tena!" Mama Mkwe aliongea. "Kwanini Mama!?" "Wewe elewa nilichokwambia" "Kwani Bibiana yupo wapi!?" "Ivi huelewi nilichokwambia au!?" "Oya Niko tuondoke" Ben alimvute akimtoa ili asizidi kuharibu zaidi. "Bora wewe nimwelewa kuliko mwenzako na kama ningejua nisingekubali mwanangu aishi na kudume suruali kama huyu ambaye hakuwahi hata kutoa ile shingi mia kama mahali" Mama mkwe baada ya kuongea alirudi ndani. "Huna chako hapa jamaa yangu tuondoke tu" "Siamini kabisa Bibiana ndiyo wakunifanyia ivi!?" "Nyie mnanipigia kelele!" Sauti ya Mama mkwe iliwakulupua na kuwafanya waondoke na baada ya mda Niko alifika kwenye gheto lake akiwa pamoja na Ben. "Kaza roho jamaa yangu wewe ni mtoto wa kiume!" "Nipo fresh mbona" "Basi poa tutachekiana!" Macho ya Niko yalimtazama Ben aliyegeuka na kuondoka na baada tu ya kutoweka aliingia ndani na kukitazama kitanda alichokuwa akikitumia kulala na Bibiana. Kitanda kilimkumbusha mbali hasa siku ya kwanza aliyombikir..i na kumkaribisha kwenye ulimwengu wa mahaba, mambo mazito aliyakumbuka Niko aliyofanya na Bibiana na kusogea zake kilipokuwa kitandani na kujilaza huku akiwaza na kuwazua. "Kumbe ukapuku mbaya ivi yaani ufundi wote ule kwa Bibiana ila bado kanikimbia tu duh, sijui atakuwa wapi sasa ivi ila fresh tu haya yatapita!" Mawazo yakujifariji yalipita kwenye kichwa cha Niko akimuwaza Bibiana. Miaka miwili ilikatika na Niko aliyasongesha maisha pasipo kuwa na uwepo wa Bibiana, bahati mbaya kwake mambo badala ya kunyooka yalikata kona na kupinda balaa, kila kitu kiligoma na mambo yalikuwa hayaendi kabisa. Akili ya Niko iliwaka moto baada ya kazi aliyokuwa akiifanya kufa na hakukuwa na kazi tena ila Ben alipata wazo na kushauriana naye kitu gani wafanye. Makubaliano yaliyopita ni wao kwenda kujifunza ufundi wa kuendesha magari makubwa kwa madogo walau waweze kupata dili za hapa na pale za kuyafanya maisha yao yasogee, walijichanga na kwenda kwenye mafunzo na baada ya mda walimaliza na kilichokuwa kimebaki kwao ni kila mtu kupambana kivyake kutafta madili ya kazi. Bahati kwa Niko alipata kazi kwa moja ya don mkubwa aliyemwahidi kumlipa mshahara mnono tu, alibeba kile kilichokuwa chake na kuhamia kwenye nyumba ya tajiri yake iliyokuwa mbali na yeye alipokuwa akiishi. "Kijana karibu sana hapa ndiyo kwangu!" "Asante boss!" "Nadhani nimeshakupa maelezo kuhusu kazi yako!?" "Ndio boss" "Utakuwa unalala kwenye chumba cha nje anacholala mlinzi na usisahau kila siku asubuhi kuamka na kuyafanyia usafi magari yangu" "Nimekuelewa boss!" "Oky, kazi yako ya kwanza ni kwenda kumchukua mke wangu yupo safarini na sio mda atafika kwenye kituo cha magari!" Niko alikubali na kuondoka kwenda kuianza kazi yake kwa mara ya kwanza, alipanda moja ya gari la boss wake na kuanza kuendesha lakini ndani ya gari aliongea kimoyo moyo kuwa watu wanapesa na wanajua kuzichezea hasa, inakuaje mtu anashukia kituo cha magarii kilichokuwa karibu tu ambacho angeweza kuchukua boda boda kwa bei ya chini itakayomleta sehemu husika mpaka yeye ahangaike kumfata na gari? lakini haikumfanya aache kufanya kazi iliyomleta. Aliendesha gari taratibu ili asije kuharibu mambo na ukizingatia ndiyo siku yake ya kwanza kazini na baada ya mda alifika na kupaki gari yake pembeni na kushuka ndani ya gari, macho ya watu yalikuwa kwake kutokana na gari ya gharama aliyokuwa nayo kitu kilichomtia kiburi Niko baada ya kuona watu wanamwangalia kila mara na alipokuwa amesimama yeye alipita binti aliyekuwa kafungasha balaa na kumfanya Niko ameze mate na kumwita. "Unaniita mimi kaka!?" Binti aliongea na kugeuka nyuma kuangalia kama kuna mtu mwingine aliyekuwa akiitwa na Niko. "Ndio wewe!" Angeanzaje kulinga baada ya kuitwa na Niko aliyekuwa kasimama nje ya gari la thamani. "Abee kaka!" Niko alimtazama kuanzia chini mpaka juu na kuongea. "Nimeku..penda nipe namba zako" "Mmmmh aya andika!" Alitoa kimeo chako nakutaka kumpa ila alisita ili maswali yasije kuwa mengi kwa binti ya kwanini yupo na gari ya gharama ya kifahari alafu anakimeo kilichochokeana. "07..... Binti alimtajia na baada ya kumaliza aligeuka na kuondoka na Niko aliisave namba yake lakini pale pale simu yake iliita na kuipokea. "Hello!" Sauti ilimwacha hoi Niko kwani haikuwa ngeni kwake. "Hello!" Alimjibu kwa hofu kubwa huku moyo wake ukienda mbio. "Upo wapi nimeshafika tayari na nimepewa maelezo na mme wangu utakuja kunichukua!" "Nipoo... "Acha tu nimeshakuona nakuja hapo!" Simu ilikatwa lakini Niko bado aliendelea kuiweka simu yake sikioni akiwa haamini baada ya kuisikia sauti ya mtu ambaye hakumtegemea kabisa............ITAENDELEA.

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

MIMBA YA BESTMAN 9 Mara kwa mara Sameer alikuwa akimtembelea Mulky na walifurahia penzi lao bila mtu yoyote kujua kwani hata mlinzi hakuweza kushituka sababu tangia hapo mwanzo Sameer alikuwa akienda nyumbani kwa Yasini. Siku moja wakiwa wamekaa sebleni Sameer alikuwa kajilaza mapajani kwa Mulky huku mulky akiwa anampapasa uso wa Sameer na waliongea mambo yao ya kimahaba kifupi ilikuwa ni furaha sana kwao. Wakiwa wamejisahau walisikia sauti ya viatu ilimaanisha kuna mtu anaenda. " Nahisi kuna mtu anakuja. Alisema Sameer baada ya kusikia. " Hakuna mtu ambae anaweza kuja kunitembelea muda huu. Sameer alikosa amani alinyanyuka haraka akakaa. " Hebu jitulize bwana hofu ya nini kama mlinzi hawezi kuja huku muda huu hata likitokea tatizo atapiga simu, Yasini bado sana kurudi. " Niamini mimi kuna mtu yupo mlangoni. Mulky aliamua kunyanyuka akaenda mpaka mlangoni akafungua kweli alimkuta Hamida kasimama mlangoni. " Wewe umekuja saa ngapi? " Mbona kama una wasiwasi , haujapenda mimi kuja kwako? " Sina maana hiyo sio kawaida yako kuja kwangu bila kunipa taarifa . " Basi ndio imetokea leo. " Sawa Karibu ndani. Mulky alimpisha Hamida akaingia ndani huku nyuma mulky alifunga mlango,Hamida alisalimiana na Sameer kisha akakaa. " Nilikuwa na shemeji yangu ananichangamsha hapa. Mulky aliongea hivyo baada ya kumuona Hamida anamuangalia Sameer kwa jicho la kumtilia shaka. " Sawa. Alijibu Hamida huku akitoa tabasamu. Wakati huo Sameer hakuwa na amani alihisi hamida kawashitukia pale alipo anawachora tu akaamua kuaga. " Sasa shem acha muda wangu wa kukaa hapa umeisha acha niwakimbie. " Sawa. " Ujio wangu ndio unakukimbiza? Aliuliza Hamida. "Hapana nilikuwa hapa muda mrefu sana. " Sawa. Sameer alinyanyuka na kuondoka. Hamida alimgeukia Mulky na kumkazia macho usoni. " Vipi mbona unaniangalia hivyo? " Nahisi kuna kitu kinaendelea kati yako na huyo bestman wa ..... Kabla Hamida hajamaliza kuongea Mulky alimkatisha kwa kuuliza " Kitu gani unachokihisi? " Mulky sitegemei kama unafikiria kujificha kitu wakazi kuna kitu nahisi nimekoshuhudia kwa haya macho yangu mawili. Mulky alishituka na mapigo ya moyo wake yakienda mbio. " Umeona nini? " Una mahusiano na Sameer. " Unaongea nini wewe, Sameer ni rafiki mkubwa wa Yasini hivi kama mtu akija akasikia unaongea hayo maneno si itakuja kuleta shida na kwa upande wangu utakuwa umeniweka kwenye wakati mgumu sana unajua dhana sio kitu kizuri alafu mimi na Sameer tunaheshimu ana sana. Mulky alilalamika ili kumuaminisha Hamida kuwa hakuna chochote kinachoendelea kati yake na Sameer. " Sawa nimekuelewa shoga yangu. " Naomba usije ukaingia tena kitu kama hicho. " Nimekuelewa mama. Waliamua kuachana na hizo habari wakaendelea kuongea mambo yao mengine. Siku zilisogea Uhusiano wa Sameer na Mulky ulipamba moto muda ambao Yasini hakuwepo waliutumia vizuri sana hiyo nafasi walikutana hotelini kwaajili ya uhuru zaidi na kumaliza shida zao. Siku moja wakiwa kwenye chumba cha hotel Mulki akiwa Kamlia Sameer kifuani alisema " Si Unajua Yasini anarudi kesho ? Sameer alishusha pumzi kisha akasema " Najua . Sasa itakuwaje kuhusu uhusiano wetu ? " Unataka kuniambia tutaachana? " Sitamani hata kidogo iwe hivyo nakupenda sana Mulki na endapo ikatokea ukatoka kwenye ndoa yako basi nitakuwa. Mulky alimuangalia Sameer huku akiwa anacheka " Unacheka nini sasa kwani mimi siwezi kukuowa? " Kumbuka una mchumba uneshamvalisha pete na unamalengo nae sasa usitake kunidanganya nikavunjika ndoa yangu kwa mikono yangu. " Kwani uchumba si huwa unavunjika? " Kwenye hilo swala hapana bora tuendelee tu kufanya siri na kila mmoja abaki kwenye mipaka yake. " Unataka kuniambia utavumilia kwenye hiyo ndoa ? " Kwa sasa wewe upo hivyo sina shaka nitakuwa napata kila nitakachokuwa nataka shida yangu imeisha sitaumiza tena kichwa . Sameer akitabasamu na kukubaliana nae. Waliongea mambo yao mengi kuhusu uhusiano wao baada ya hapo Mulki alinyanyuka akaingia bafuni kuoga kisha wakaagana akaondoka alirudi kwake na kumuacha Sameer pale kwenye chumba cha hotel. Kesho yake mapema sana Mulky aliamka akiwa kachangamka na kuanza kufanya maandalizi ya kumpokea mume wake. Aliweka sawa mazingira ya chumba chake cha kulala na kuonekana na mvuto , harufu nzuri ya kuvutia . Alipomaliza aliingia bafuni akaoga alipomaliza alijifunga kipande kimoja cha kanga nyepesi na kwenda kusimama mbele ya Kioo cha dressing table alijiangalia kwenye kioo huku akisema. " Anakuja sasa sijui nitaweza kujigawa vipi maana kumiliki na bwana wawili kwa wakati mmoja ni mtihani mkubwa sana kwangu na wote naona kila mmoja anafaida kwangu Mume wangu Yasini japokuwa ana mapungufu lakini nampenda sana na Sameer ni mwanaume anaeniliwaza na kunipatia kile ninachotaka sasa hapa natakiwa kucheza kwa akili sana na siri mno. Hivi nitaweza kweli tamaa ndio zinanihadaha? Lakini Sameer ndio pumbazo la moyo na Yasini ni mume na ndio mwanaume aliyestahili kunipa kile ninachopata kwa Sameer sasa hapo nafanyaje jamani kwani hiki ninachofanya nitalaumiwa? Mulky akiwa bado anawaza na kuwazua simu yake iliita. Aliekuwa anapiga alikuwa Sameer. " Hallow. " Habari yako asali wangu. " Salama. Alijibu mulky huku akiwa anatabasamu. " Uko wapi muda huu? " Nipo nyumbani najiandaa kwenda kumpokea Yasini. " Oooh sawa . Nimekupigia simu kukukumbusha kuwa ufute msg zote usiache ushahidi wowote . " Nimeshafanya hivyo mapema sana. " Safi sana nakupenda. " Nakupenda pia. " Ok bye. Mulky alikata simu na kuanza kujiandaa kwaajili ya kwenda kumpokea mume wake. Yasini alifurahi kuonana na mke wake. " I miss you my wife. Alisema huku akiwa kamkumbatia. " Nilikukumbuka pia karibu tena nyumbani mume wangu. " Asante. Waliongozana kwenye gari yao na kuanza safari ya kurudi nyumbani kwao. Walipofika nyumbani Mulky alifanya majukumu yake kama mke alimuandaa mume wake kwaajili ya kuoga alafu yeye akaenda jikoni kuandaa chakula . Baada ya Yasini kutoka kuoga alitoka bafuni akakuta mke wake amemuandalia nguo za kubadili . Alichukua zile nguo akavaa baada ya hapo alitoka na kwenda kuungana na mke wake kwenye meza ya kulia chakula. " Vipi mke wangu kila kitu kipo sawa ? Usalama upo? " Ndio usalama upo " "unauhakika hakuna ambae alikuwa ananisaidia majukumu? Aliuliza Yasini huku akiwa anamuangalia Mulky usoni. Mulky alishituka, mapigo yake ya moyo yalifunga kwa kasi alihisi huenda Yasini anajua kitu kuhusu yeye na Sameer pale pale mawazo yake yalipelekwa kuwa Hamida anaweza akawa kamueleza kitu Yasini kwani hakuna mtu mwingine aliekuwa anawashuku zaidi ya Hamida. " Inamaana Yasini kakutana wapi na Hamida mpaka akamwambia ...... Ukimya wa Mulki ulimfanya Yasini aulize " Vipi mbona umeshituka inamaana ni kweli kulikuwa na mtu ambae ananisaidia majukumu yangu? Full 1000 Whatsp 0784468229

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

😍 Shilole(37) akiwa nje ya moja ya nyumba zake aliyojenga Dar. Aidha, Shilole alishaweka wazi kwamba kwa siku moja gharama za matumizi nyumbani kwake ni Tsh.40,000 kwahiyo mwezi mzima anatumia shilingi milioni 1.2 kwa mtumizi ya nyumbani kwake tu

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

LEO NAWAJIBU HILI SWALI JINSI YA KUTUNZA UKE Kuna mambo mengi sana yanayopelekea wanawake kutokuwa na joto wakati wa tendo au uke kulegea. Asikudanganye mtu kuzaa hakumsababishi mwanamke kuwa na uke uliolegea au mwanamke kukosa joto wakati wa tendo ila wanawake wengi hawajui kujitunza vyema kwa ajili ya kusababisha kila siku kuonekana wanawari wadogo. Baadhi ya mambo ukiyazingatia unaweza kuwa mnato kila siku hata kama una umri mkubwa au umezaa sana. 1____Usilale na shahawa. (Manii) Kwa namna moja au nyingine shahawa zinaweza kupelekea uke kulegea ingawa sio kwa asilimia kubwa hivyo mwanamke pale utakapomaliza kufanya tendo la ndoa hakikisha unaenda chooni unakojoa hata kama ni kidogo kisha unajikamua kisha unawe vizuri. 2___Nawa na maji baridi kila siku asubuhi. Hakikisha maji niya baridi,utakapo amka kanawe na maji baridi na upitishe kidole ndani na uhakikishe utelezi wote umetoka tena bila sabuni maana maji pekee yanatosha. (kidole KISIWE na kucha ndefu kata kucha) Wale wa inajisafisha yenyewe mtanisamehe kidogo. 3__Pendelea kupikia jiko la mkaa au jiko la kuni Kama linapatikana. Tena mwanamke shart uwe na kigoda,umekaa kwenye kigoda chako unapika. Ule mvuke unaotoka kwenye mkaa unasababisha uke kuwa na joto. wale watumia umeme mtusamehe kidogo. 4____ Usipende kuvaa nguo zinazoacha sehemu kubwa ya mwili wako wazi. Pendelea kuvaa nguo zinazoficha sehemu kubwa ya mwili wako kwa maana joto la jua likigonga ngozi linaathari kidogo na linaweza Sababisha ngozi kukakamaa na hata kuungua. Lakin jua litakapokutana na kitambaa kabla ya kufikia ngozi linasababisha ngozi kuwa nyororo na kuongeza joto mwilini maana zile nguo ulizo vaa zinauwezo wa kuhifadhi joto kwa muda kadhaa. 5__ Kunywa chai ya tangawizi au juice ya tangawizi kabla ya tendo Kama hauna vidonda vya tumbo. Chai ya tangawizi au juice ya tangawizi inaongeza joto mwilini na hata ukeni pia kwa mwanaume inaweza kumletea msisimko wa haraka wakati wa maandalizi ya tendo. TUKUTANE KWENYE GROUP TUMALIZIE MADA UJUE JINSI YA KUJITUNZA KWAJUTUMIA VITU VYA ASILI VISIVYO NA CHEMICAL. WASP ME 0769228130

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

CAF five-year club rankings 👀 1. Al Ahly — 78 points 🇪🇬 2. Mamelodi Sundowns — 62 points 🇿🇦 3. ES Tunis — 57 points 🇹🇳 4. RS Berkane — 52 points 🇲🇦 5. Simba SC — 48 points Tanzania 6. Pyramids — 47 points 🇪🇬 7. Zamalek SC — 42 points Misri 8. Wydad - 39 points Morocco 9. USM Alger — 37 points Algeria 10. CR Belouizdad — 36 points Algeria

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

CHUO CHA MIHEMKO SEHEMU YA 11 --- Mapenzi si mchezo wa kamari, lakini siku hiyo nilihisi kama nimevuta karata mpya, na jina lake lilikuwa Teddy. Teddy alikuwa tofauti. Sio kwa sababu alikua na miili sita au ana gari, la hasha. Alikuwa na kitu kingine utulivu wa mwanaume anayejua anachotaka na hajawahi kuruhusu maisha yamtese bila sababu ya msingi. Siku ile niliangalia zile picha ndani ya folder aliyoniwekea kwenye flash. Kila picha ilikua kama sentensi ya kitabu nilichosahau kukisoma mapema. Ilikua mara ya kwanza mtu kunitazama kwa macho ya ndoto na kuniona kama mstari mzima wa fahari. Nilimtext: “Ulinichora bila kuniambia, ulinisoma bila kuniuliza. Unataka nini kwangu, Teddy?” Akanijibu baada ya sekunde chache: “Sitaki kukumiliki Neema, nataka kushiriki nawe safari ya kukua.” Nikakaa kimya. Yaani huyu jamaa ananipigia one liner za kunifanya niwaze majibu kwa dakika ishirini. --- Wiki iliyoingia ikawa ya projects, assignments, na mid semester test. Nilikuwa busy, lakini si busy ya kukwepa mapenzi… Busy ya kujiweka sawa kwa mtu anayeonekana kujua thamani yangu kabla hata hajaniambia "nakupenda". Teddy alianza kunisindikiza library, akanisaidia reference formatting, akawa kama kivuli chenye mwanga. Watu wakaanza kuuliza: > “Mmeshaanza?” “Ronnie kaisoma namba au bado anakujifanya ni mwanafunzi wa Resit?” “Teddy kakudaka au unamdaka?” Mimi nilikuwa kimya. Nilijua kwenye maisha ya chuo, ukisema unapenda mtu leo, kesho picha yenu ipo kwenye status ya group la campus. Na ukimkataa mtu mzuri kwa haraka, unaweza ukajikuta umebakiza vitanda viwili tu vya chaguo cha upweke na cha maumivu. --- Siku ya Jumatano kulikuwa na event ya Career Day. Teddy alikuwa mmoja wa waandaaji. Alivaa suti ya blue, shati jeupe na tai nyekundu ile rangi inayowakilisha ujasiri wa mtu anayejua ana deni la moyo wako. Tulipokutana pale kwenye ukumbi, akanitazama na kunong’ona: “Siku ya leo, kila mtu aje na ndoto yake. Mimi nimekuja na wewe.” Mimi nikajicheka, nikajifanya sielewi. Lakini moyoni, nilikua najibembeleza nisikubali mapema sana. Baada ya hotuba za makampuni na networking ya kawaida, Teddy alikuja pale nilipokaa peke yangu. Alichukua kiti, akakaa pembeni, kisha akaniambia kwa sauti ya chini kama vile anaogopa kamera za hisia: “Neema, nimekuwa nikikutazama kimya. Si kwa ajili ya kutamani tu, bali kwa ajili ya kuthibitisha kwamba wewe ni mtu sahihi wa kupendwa bila shaka.” Nilimtazama… kwa macho ya mtu aliyejaa hofu lakini pia kiu. “Unamaanisha nini hasa?” Akanijibu bila kukwepa macho: “Nataka uwe mwanamke wa kwanza kumwambia mtoto wangu kuhusu maisha… na si kwa sababu tu nakupenda, bali kwa sababu najua, ukichagua kupenda, haufanyi mchezo.” Moyo wangu uligonga kama drum ya bendi ya taarab. Muda huo, nilitamani dunia isimame, watu wote waondoke, na sisi tuwepeke yetu tukimenyana na mihemko yetu. --- Lakini usiku huja na baridi ya ukweli. Baada ya event, tulirudi hosteli. Nikiwa nalala, nikapokea message kutoka kwa namba isiyo na jina: “Usijidanganye na Teddy. Huyo jamaa si mtu mzuri. Ana historia ya kuvunja moyo wanawake kadhaa. Usiwe mjinga mwingine.” Nilishikwa na butwaa. Nikashusha simu polepole kama mtu aliyegundua amepewa zawadi ya chocolate iliyojaa sumu. Moyo wangu ukaanza kupambana na akili: "Je, ni kweli? Au kuna mtu anapenda kuniharibia tu?" "Ronnie anaweza kuwa nyuma ya hii? Au ni mmoja wa waliomwagiwa Teddy mapenzi wakadhani ni ndoa?" Nikamtext Teddy: “Una maadui wengi?” Akanijibu: “Ni watu wengi wanaoniona najitahidi kumpenda mtu ambaye hajui kuumiza. Wanadhani nimeficha nia mbaya.” Nikamuuliza moja kwa moja: “Umeshawahi kuumiza mtu kihisia?” Akanijibu: “Ndiyo. Lakini si kwa makusudi. Na kila mmoja wao alinishukuru baadae kwa kuwa mkweli.” --- CHUO CHA MIHEMKO - SEHEMU YA 12 inakuja: Je, ujumbe ule wa usiku ni onyo halali au wivu wa mapenzi? Neema atafungua moyo kwa Teddy au ataweka kinga ya majeraha ya nyuma? Na historia ya Teddy ni ya kweli au ni hadithi ya watu waliokataa kukubali kurasa mpya? Safari inaendelea, na chuo kinazidi kufundisha somo ambalo hakuna lecturer aliyehitimu kulitolea GPA – Mapenzi na maamuzi. Weka like hapooooo

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

MASTER MISTAKENLY SLEEPS WITH HIS HOUSEMAID CHAPTER 21 © GAMBO ELVIS The next morning, Verona drove out of town to go see a doctor who was a specialist in safe and delicate abortions. She walked into his office and greeted. "Good day Doctor," "Good day madam," the young doctor saluted her back and asked, "What can I do for you?" "Something very special," "Do I know you somewhere, have we met before," the doctor felt like she was familiar and Verona understood that he must be one of her fans who was unable to make out where he have seen her face before, but since she didn't want to work with any doctor that could recognize her she refused, "No sir, we have not met before." "So what can I do for you?" "An abortion," "Are you pregnant," "Yes doctor," "In order to do that safely, I still need to know the state of the child in your womb," "Not really, doctor, I want something quick and snappy. Like now. Something that will make it look like a miscarriage. A substance that even if I drop it in my drink, it will terminate a four months old pregnancy and still make it look like a miscarriage," "You don't even look pregnant, not to talk of four months," "I know, but I made my findings before coming here. Name your price, all I need is the drug that can do the job. I don't need a loud person, I need someone who I can buy the drugs and quietness with his price," "Five hundred thousand," "No problem." Verona was ready to do anything to discredit Jaila from gaining grounds at her husband's sight. So the doctor gave her some medicines to add in her drink, thougj she knew it was for the victim and she was going to have an abortion that looked like a miscarriage. She got back home and called Jaila, "Yes madam," "Go to the nearby boutique and buy me chocolate." immediately she walked out, Verona got into her room and poured the medicine into the fruit juice standing next to her bed. When Jaila returned from the boutique and handed her the packet of chocolate she said, "You can now retire to your room." Verona sat in her room thinking and worried. There was a lot going on, on her head. As if evil dominated good deeds, when her husband was back from work, Jaila was thirsty and was tempted to drink the juice where the deadly portion was added. She almost hesitated but didn't know why she was feeling funny. After all she was the one who left the drink there. So she grabbed the bottle, emptied it in a glass and drank it appetizingly. A few minutes later, she felt dizzy and fell asleep. Then later woke up screaming because blood was oozing between her legs, "My baby." TBC...

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

NIPE YOTE DADY💞💞💞 SEHEMU YA 18~~20 Nilikula nikamaliza nikachukua simu yangu nikamtafuta Selim nikamwambia "ukiandika talaka tafadhali andika tatu ikiwezekana niongezee moja ya ziada " Muda huo Selim hakuwepo ndani nahisi alitoka wakati niko jikoni..baada ya kumtumia ujumbe nilielekea chumbani moja kwa moja nikaanza kupanga nguo zangu vizuri kisha nikaoga na kuvaa nguo nzuri nikajiremba na unyunyu kwa mbali alafu nikakaa tayari kusubiri talaka zangu😍😍. Mda ulienda hadi inafika saa mbili usiku Selim hajarudi mmhh hata ile sms pia hakuijibu duh sasa mbona kachelewa hivi😔😔 hebu acha niende nikachukue kinywaji pia nimuangalie mama mkwe wangu kichomi usikute kafa huko namimi sijui🙄🙄 Niliinuka kitandani nikaelekea mlangoni ile nafungua tu mlango nikakutana na Aunt suna hata kabla sijamsalimia akanikumbatia na kunikambia😍😍. "katika siku ulizowahi kunifurahisha ni leo aise ungemtengua hata mgongo maana anataka kukufanya zoba " nilishangaa yani badala ya kugombezwa napongezwa" basi nikajichekesha pale ila nilikuwa nawaza naandaliwa bomu nini maana kwa kitu nilichofanya na hizi pongezi haviendani kabisa.. Basi nikatoka na kwenda jikon nikakuta mama mkwe hayupo nilimimina juice mara akaja SAUDA (msichana wa kazi) akaanza na yeye kunipa hongera na kusema kuwa alinisikia nikimpiga ila akajifanya hasikii maana hakutaka kuja kumsaidia... Nilibaki najisemea kweli mama mkwe ni kichomi mpaka watu wote wamemchoka, yuko wapi saiz?? Sauda akasema yuko chumbani ndo nimetoka kumkanda. Nilicheka na kurudi chumbani kwangu, nikamsubirie simba wangu aje na talaka zake nirudi kwetu😑😑uzuri baba mkwe kumbe alisafiri kwa hiyo mama alivyokuwa ananiambia nipike sijui hiki mara kile likuwa ni kunichosha tu. Nilikaa hadi saa tatu Selim hajarudi Aunt Suna akaja kuniita nikaenda sebleni nakuta wameagiza piza na kuku wa kfc. Aunt akasema "binti yangu kaa hapo tusherekee ushindi wa mtu aliejifanya simba jike leo kavunjwa nyonga na swala " Nilishindwa kujizuia nikabaki nacheka yani kumpiga wifi yake ndio anaagiza hadi piza kweli kama ni hivi nipewe kazi ya kumbonda kila siku tafadhali. Bila kugoma nikakunja miguu tukaanza kula kwa raha zetu kwambaali tunaburudishwa na mziki mwanana. Basi bwana tulikula na kusaza kile nilichopika tukaweka kwenye friji pamoja na hiki kilichobaki. Baada ya kushiba tukakaa na kuangalia movies yani watu walikuwa na amani utafikili kunamtu kapandishwa cheo kumbe ni kukunjwa kwa mtu😂 Tulikaa seblen hadi saa tano muda wote naangalia saa mbona minuno wangu harudi😌 basi kufikia saa sita kasoro Selim alirudi nyumbani alikuja akiwa amekasirika sana😌alitupita bila kutusemesha akaelekea chumbani.. Niliinuka nikawaaga kina aunt namimi nikaelekea chumbani fasta😩😩nilimkuta selim amekaa tu kwenye kochi huku kainamisha kichwa..alionekana mwenye mawazo mengi sana.. Nilimfuata nikamuita honey uko sawa kweli??aliinua uso na kuniangalia kisha akaniambia Norah kwanini unaniona mjinga kama Jeni anavyoniona mjinga??kwanini mnanifanya mimi kama mtu asie jielewa why🥹🥹?? Toba😑😑mbona Jeni na sio mama?. Huyu itakuwa katoka kwa Jeni huyu..anaonekana kavurugwa sana 😢 sitakiwi kumuongezea mawazo mengine acha nijaribu kumuondoa kwenye hiyo hali kwanza.. "niliwaza hivo kisha nikamtizama selim niliketi pembeni yake nikamwambia wewe sio mjinga Selim, wewe ni kijana mwelevu mwenye kujituma na kusimamia vyema kile unachokifanya" "Selim aliniambia siyo kweli najua unanidanyanga ili niweze kujisikia vizuri ila ukweli mimi ni mjinga tena mpumbavu sana🥹🥹🥹" "Nilimshika selim mkono nikamwambia mimi nikikuangalia sikuoni hivyo wewe kwenye macho yangu unaonekana bonge moja la mwanaume ambae kila mwanamke anatamani kuwa nae" "Selim aliniambia sizani kama kila mwanamke anatamani niwe mume wake ikiwemo wewe hapo Norah 🥹" "Nilimwangalia sana selim maskini mimi ni mke wake na yeye ni jukumu langu hata kama bado hatujawa pamoja kimwili ila tayari tushafunga ndoa sisi" "Nilimwambia selim huwezi kuwa wa kila mtu unapaswa kumchagua mmoja unaempenda wewe ili uwe nae alafu pia tambua kuwa mimi sikuchukii.." "Norah please acha kunidanganya we niambie tu ukweli🥹🥹nikweli mimi ni mjinga ndio maana nashindwa hata kuamua mambo yangu mwenyewe" "Nipo kama kivuli tu maisha yangu yanashikiliwa na wazazi wangu wao wamegeuka na kuwa kama remote kwangu wananicontrol vile wanavotaka wao hivi mimi ni mwanaume wa aina gani sasa?" Yani selim huko alikotoka sijui kakumbwa na nini mimi nilijua akifika atachochewa moto na mama yake ataniandikia talaka haraka na kunirudisha kwetu lakini kaja tofauti na nilivotarajia.. Nilijua tu huyu mwanaume itakuwa ametoka kwa Jeni na huko kwa Jeni itakuwa kawashiwa moto ndo maana akili yake imevurugika kiasi hiki..kinachomsumbua ni mapnzi na si kitu kingine.. Nilimuuliza tu kwa upole Jeni ndo kakuvuruga??anatamani ufuate kile anachokitaka uache kufuata kile anachokitaka baba yako siyo??selim wewe ni mtoto wa kiume hebu jisimamie kaa chini wewe kama wewe jiangalie nikitu gani unachokitaka kipambanie hichohicho.. Alafu huu ujinga hata mimi natamani ufike mwisho hebu jisimamie wewe ni mtoto wa kiume linapokuja swala la mapnzi zisimamie hisia zako na si kufuata kile unachopangiwa na wazazi wako.. kama unamtaka jeni weka wazi kwa familia yako kisha mimi unipe talaka niondoke mbona unashindwa kuwa na msimamo wewe?? Selim aliniambia naelewa Norah ndio maana nimetangulia kukwambia mimi ni mjinga sijui hata niamue lipi najua mimi ni mjinga ila nakuomba plz endelea kunivumilia.. Nilikaa kimya kwa mda kisha nikamwambia" Selim nikikuita mjinga nitakuwa najitukana mwenyewe acha tu niendelee kukuvumilia.. Mimi na wewe tuliunganishwa na wazazi wetu bado tuna muda wa kuzipambania hisia zetu acha tuendelee kuvumiliana Ikitokea tukapendana na kuridhiana ni sawaa ikitokea pia tukaona hatuwezi kuwa pamoja tutaachana kila mmoja atamfuata yule anaeona ni sahihi kwake.. Kama ukiona jeni ndio sahihi kwako mimi sitokuwa na neno juu ya hilo nitaziheshimu hisia zako na nitamwachia jeni nafasi ya kuwa nawewe.. Selim alinikumbatia akaniambia asante Norah kwa kunipa moyo hakika maneno yako yamenipa nguvu mpya💞💞nilimwambia usijali selim mimi nitakuwa upande wako siku zote mpaka pale utakapoamua uamuzi wako mwenyewe bila kuingiliwa na familia yako.. Kwa mara ya kwanza selim alitabasamu 🥹 nilifurahi sana kuliona tabasamu lake🥹❤️❤️nilitabasamu pia kisha nikamwambia Selim kabla ya yote mimi na mama yako tumetoka kupigana kwahiyo ni bora nikwambie mwenyewe kabla hujasikia kutoka kwa mtu mwingine..nilimwelezea selim kila kitu kuhusu ugomvi wetu ulivokuwa selim aliniuliza vipi hujaumia?? Nilishangaa😳😳nikawa ni kama sijamsikia vizuri nikamuuliza unasema??nakuuliza hajakuumiza?? Hapana mimi ndo nimemuumiza nasikia katoka kukandwa huko.. Selim alitabasamu na kujibu nashukuru kama uko salama kuhusu mama yangu ukipata nafasi mpige tena ila usimuue tafadhali.. Nyieee🤣🤣🤣ilibidi nimnuse selim mdomoni hajanywa kitu kweli?? Mbona leo kasimama kiume nilitarajia talaka nginja nginja ndo kwanza naulizwa kama niko salama hahahaaa🤣🤣 Itaendeleaaaaaa Full 1000 WhatsApp 0742133100

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

I Forgave Him, Then He P0isoned Me ( A Story You Need to Read) Episode 3 He thought I was gone forever. But the strange sound from behind made him pause. As he turned slowly, he saw nothing. Gradually, he walked toward my bedroom, trying to trace the source of the sound. Eniola followed quietly behind. As they entered the room, he froze. “Ah ah, I left her on the bed. How did she get to the floor?” Eniola sighed, “Hmm.” There I was, unconscious on the floor. Standing over me were two people I loved. One was my man, Arinze. The other, my best friend, Eniola. Now, they stood together… wanting me ded. I could feel my heartbeat slowing. I could feel life slipping away… But something deep inside refused to let go. Arinze knelt beside me and checked my body. “This is taking too long. I put three drops in her glass of wine, she should be gone by now,” he muttered. Then he grabbed a pillow from the bed and moved to press it against my neck. “Ahh! Stop!” Eniola yelled. “I can't watch you do this. Just open her mouth and pour in the whole raw content instead! Arinze scoffed. “If you can't watch, go to the sitting room. I’ll handle it.” Eniola took a deep breath, then slowly walked out… looking back one last time before leaving. Just then, Arinze’s phone rang. He glanced at it. It was my mum. He ignored it. It rang again. He finally answered. “Hello ma.” My mother didn’t wait for greetings. Her voice trembled. “Arinze, please… where is Simi? She’s not picking her calls. I’ve been trying her line. I’m having a bad feeling. Please put her on the phone.” Arinze paused, then replied coldly, “I... I’m not with Simi.” “What? But Simi called me less than an hour ago when you arrived. She even said she made pounded yam and egusi soup for you. So when did you leave?” Arinze’s mind raced. He tried to piece together a lie. He faked a laugh. “Ah! Mummy, so you even knew about the delicious meal she made for me. Well I stepped out to get a surprise gift for her. I’m heading back now. I’ll tell her to call you.” “Please do,” my mum said, then broke down in tears. “Simi… my only hope. Who will take care of me when I’m old? Who will call me ‘mama’ with that sweet voice? Simi, please don’t leave me…” “Ma, please calm down. I’ll be home soon,” Arinze said coldly and ended the call. My mother’s tears didn’t move him one bit. He stood there, sweating, thinking. Then he called Eniola back in. “Change of plans,” he whispered. To Be Continued... 💬 A mother’s love is truly incomparable. If you're a mother or a woman reading this, may God continue to protect you and your children. But now I’m scared… will Arinze plan something against Simi’s mum too? F0L0 Dede of Africa to get notified on EPISODE 4. Written by Dede of Africa All rights reserved One Love 💖

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

Tukisema Manchester United imekosa mvuto sokoni me nakukatalia mchana kweupe Bryan Mbeumo huyoo kakubali Kujiunga na Manchester United hataki kusikia kilabu chochote kinamfatilia Zaidi ya Manchester United 😀 . Amevikataa vilabu Kama Arsenal, Newcastle na Spurs sasa hadi Arsenal haina mvuto sokoni hapana Muda mwingine ni Mapenzi tu mchezaji mwenyewe na target zake wala siyo pesa au mafanikio🥴 . Mbeumo huyooo msimu ujao maji mtaita mma dadeki zenu 😁🙌

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

PART 1; CHOZI LA BINTI MASIKINI Mtunzi: Lipeta S Shaaban Asubuhi Katikati ya jiji la waswahili wanapoishi waswahili, wao wanapaita uswahilini. Kelele za ndege aina ya kunguru zinasikika. Giza lilikuwa linatokomea taratibu na mwangaza wa jua la asubuhi likitaradi. Chumbani kwenye nyumba moja iliyochakaa, Bibi Zena akiwa bado yupo kitandani alichukua simu yake iliyokuwa kitandani na kuiwasha. "Saa kumi na mbili na dakika kumi!" Alisikika akizungumza Bibi Zena kwa mshangao mithili ya mtu aliyeshika butwaa. "Nililala saa ngapi sijui" Alijiuliza mwenyewe pasipo kujijibu. Aliamka toka kitandani na kwenda hadi sebuleni kwake ambapo meza kubwa chakavu pamoja na viti vichache vya mbao vilipapendezesha sehemu hiyo kwa mpangilio anuwai. Pembezoni karibu na mlango wa kuingia vyumbani kulikuwa na meza ya TV. Alifika pale na kuiwasha redio ndogo iliyokuwapo eneo hilo. "Taharuki ya tanda kupotea kwa Kenny. Polisi wasema hawahusiki" Hii ilikuwa taarifa kutoka kwenye gazeti moja lililokuwa likisomwa redioni. Bibi Zena alishindwa kujizuia, machozi yalianza kutiririka taratibu. Bibi Zena alichukua biblia iliyokuwa juu ya meza yake na kufungua na kuanza kuisoma "...Nitayainua macho yangu niitazame milima; msahada wangu utatoka wapi? Msahada wangu u katika BWANA, aliyezifanya mbingu na Nchi. Asiuache mguu wako usogezwe; Asisinzie akulindaye; Bwana ndiye mlinzi wako; Bwana ndiye uvuli mkono wako wa kuume. Jua halitakupiga mchana, Wala mwezi wakati wa usiku. Bwana atakulinda na mabaya yote, Atakulinda nafsi yako..." Hiki kilikuwa kifungu cha maneno katika Zaburi ambacho Bibi Zena aliyatumia kama maombi huku akilia kwa sauti ya taratibu ikichanganyika na kikwi. ******************* Msituni Huu ni msitu uliopo pembezoni kabisa na jiji la waswahili. Msitu huu unatisha kwa taswira yake kutokana na sifa zake za kuogofya zinazosimuliwa na watu. Si kwa kuwa na wanyama wakali au miti yenye kushikamana. Maisha huwa mafupi sana kwa kila aingiaye kwenye msitu huu. Chini ya mti mkubwa, anaonekana mtu aliyelowa damu, macho yake yamefunikwa na kitambaa cheusi kilichofungwa barabara kwenye uso wake. Mikono ya huyo mtu imefungwa kwenye mti na miguu yake imefungwa kuukuu kwenye kipande cha gogo kubwa. Hakukuwa na mtu mwingine aonekanaye hapo isipo kuwa yeye. Hakukuwa na sauti isipokuwa ya ndege wa msituni hapo. Huu ulikuwa ni muda wa mchana ulio kamilika. Kwa dakika chache kupita, wanaume watatu walioshika siraha ndogo za moto au bastola walifika hapo. Wote walikuwa wamevalia suti nyeusi zilizo fanana. Silaha zao walizishika mkononi pasipo kuogopa. "Sikiliza bwana Kenny, hatuhitaji kukutesa sana. Ikiwa utatuonyesha ulipoiweka memory card uliyoitumia kurekodi tukio letu pale hotelini basi tutakuachia huru." Alisema mwanaume mmoja kati ya wale watatu waliovalia suti nyeusi huku akipitisha silaha yake kwenye uso wa bwana Kenny. "Ndugu zangu mimi sijarekodi chochote pale?" Kwa kusuasua kutokana na maumivu aliyonayo Kenny alizungumza. "Sasa kwanini ulikuwa unakimbia?" Aliuliza mwanaume wa pili "Mmoja wenu alinionyesha silaha kabla ...." Alijaribu kujibu Kenny. "Kelele..." Alinyamazishwa kwa kupigwa teke la tumbo. "Sasa sisi tunakuua, utakufa na hiyo memory card yako, sawa?" Lakini Kenny haukujibu chochote kwani alikuwa akiugulia maumivu makali aliyokuwa nayo. Kimya kikatawala kwa muda kabla mlio wa risasi kusikika. Ndege wa mitini waliruka kwa hofu. Hata wakawa wanapiga kelele kwa milio yao *************** Huu ni mwanzo tu tukutane sehemu ya Pili Ni follow 🙏

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

Story For AduIt Only 3 “See arrange the bed quickly. Two M£n are coming, and you know what it means” Angel said with a mischievous smile. The men came and they dined together, two men. Did what they wanna do and enjoyed every single moment. They got payed plenty of thousands. Then the men left. Anna was so happy, “I mean is this how money is easy to make?” She asked. “I told you, you are too beautiful, you can’t waste your beauty because you lost your husband, this is even the beginning” Angel he friend says and they smile together. Anna’s mind was no even on her baby, the baby she threw and abandoned on the lonely street. But that night while the baby was as crying alone at the street. Some passerby who passed that road head the loud cry of the baby but they didn’t bother to check on the source of the cry. People walked up and down the street paying deaf ears to the cry, some were scared to go close to the bush to check. But God was not at sleep. A poor woman, young and beautiful was passing that same road, she was coming back from the market at that late hours, she was poor and would remain at the market until she sold all her bananas. As she walked back home, she heard the cry and paused. “A baby!” She whispered. “What is a baby doing here at night,” she thinks. The cry sounds so lonely and bitter. So she walked without fears close to the bush and behold she found the child. A young handsome male child lying by the bush alone. “Who did this to you ?” She say to the baby and took it. “Don’t worry you are safe now” she said again. The. She took the baby to her poor home. Get it washed up and fed it immediately. Meanwhile Anna was partying with her life. Moving around the town with Angel her friend. She still look very young and she didn’t waste that opportunity. She met new friends and money was coming like water. “I don’t know but if chief settle me this week, then trust me I might buy a car!” Anna said and jumped. “Oh my god! Are car? That man is really rich, I wish he saw me first, Am so happy for you!” Angel said to Anna. “What is our slang again?” Anna asked. “WE BETTER USE WHAT WE HAVE TO GET WHAT WE WANT” the two of them shouted at same time. “Anna I know Sl££ping with men is not good but. Here is the plan, after we make enough money. We will stop and get young girls as our own personal girls, we give them to m£n and they bring money while we remain the madam!” Angel suggested. “Your wisdom is too much,” Anna replied. “What is our slang again?” “WE BETTER USE WHAT WE HAVE TO GET WHAT WE WANT” the two of them shouted at same time. To be continued. See epis0de at the c0mments section 👇👇

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

Story For AduIt Only 2 With ang£r, she picked up a h@mmer from the table and rushed the ch!ld. “You keep disturbing my life you little w*tch” Anna says to her bàby. “Maybe you don’t deserve to liv£. Yo have don so many bad to me than good, I don’t think you are still useful to me. Because of you I just lost my customer, someone who would pay me plenty of money just for 0ne nlght” Anna says. Then she raises the h@mmer up ab0ve her head. She was ready to strike the b*by with it. Not even bother whether it was her b*by or not. All that matters to her was her new business, bringing different m£n into her late husband’s house and flirting with th£m. A business introduced to her by Angel, her ev!l friend. She raise it up and wanted to strike the b*by but something flashed her memory. Something she could not understand. Immediately she dropped the h@mmer and took the b*by from the bed. “No need to k*ll you, I don’t have to feel guilty. It better I just throw you away at the street and there you can cry to you d!e!” Haha stup!d child, always disturbing my life!” She whispered and took the b*by out of the house that night. She went to the street it was dark and few people were passing. The innocent ch!ld could not understand what his mother was doing. So it stayed silent and felt peaceful. She came to a place that felt more lonely than she dropped the ch!ld, turned her back and walked away. “Am free am finally free, no more distractions or disturbances from that ch!ld” she says and laughs as she goes. She heard the b@by start crying but she paid deaf ears and went away. Now she can party as she likes, bring plenty male customers to her house and do what she likes. Feel young again and enjoy life like a teenager. When she arrives at her house, she met her friend Angel. “Anna where have you been, I have been waiting for you here for the past 30 mins” Angel says. “I went to throw something away!” Anna with a mischievous smile. “What are you throwing away this night that can’t wait till morning?” Angel asked. “My b@by, I decided not o thr0w it away, could you believe this ch!ld made me loose one of my customers that pay me over a million for a night?” Anna said. “Anna you did the right thing, that ch!ld is drawing you back, look at how beautiful you look, you deserve to enjoy life, Anna now that you threw it away, we can fully focus on our business, make money and be the richest women in town” “Yes!!! Anna said jumping up. “See arrange the bed quickly. Two customers are coming, and you know what it means” Angel said with a mischievous smile. “Money money money!!! Anna shouted. Then she quickly began to arrange the bed. Her business was all that matters.. To be continued. See full story at the comments section. 👇👇👇👇👇

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

💕😁💖DRAMA OF LOVE💖😁. part 15 Who among Njeri and Brianna is truly in love with me🤔🤔. I thought I had found Njeri 🤔, is this the way she talks or it's because she's just angry and jealousy of Brianna 🤔. Kumbe sikuwa namjuwa vizuri, lakin ni mrembo jamani❣️....... Wait🤔, pia Brianna ni mrembo sana 🙈. Who's a true lover here🤔. Hellen naye nilidhan alinipa barua kisiri ndo Njeri asijue kumbe pia alikuwa kwa game😪😪. The way Njeri alikuwa ananiongelesha ilibidi nianze kumcompare na Brianna 🤔. Brianna had never insulted me before ❣️, it's only that she moved aside during the time I needed her most🤔, after there she realized her mistake and apologized 🙏. Should I give her a second chance, should I catch these two birds at the same time in my hand🤔. Mshika mbili moja humponyoka walisema wazamani🙏🙏, wakarudia wakasema njia mbili siku moja zilimshinda fisi akafa😂. Mm mwenyewe hata sijui nampenda nani sasa😂😂, Brianna ako sawa sana kimaumbile❣️❣️, but pia Njeri ni mama lao ukija kwa maumbile. Kwanza lips oh my goodness 😍 I can't leave Njeri walahi🙏🙏. I can't,,, Yes Njeri is my choice🤩. Nilianza kujiongeleaha pekee yangu "Wee, kwani uko na nani huko??, Fungua huu mlango😪" ilikuwa sauti ya mama ambayo ilinitoa kwenye ndimbwi la mawazo🙆🙆. Mom: NJERI ako wapi ndo unashinda ukimtaja😪😪. Umeanza mambo ya mapenzi sky?? Ako wap?? Me: Mom😪, hakuna mtu humu ndani🙏🙏. Aliangalia chin ya bed na kila mahali hakupata mtu🙆. Her: Na mbna unashinda ukisema Yes njeri, njeri is my choice, who's she?? Me: Mom you are taking it more serious 😂. It was a song, nilikuwa naimba wimbo tu🙈🙈. Mom: Haya imba basi(simu yangu akaita tena😲😲, oh my God, alikuwa Brianna 🙆🙆) si ushike simu, ebu leta😪😪. Mom alichukuwa simu😭😭. Her: Brianna Queen ndo jina lake ama umemsave tu🤔🤔. Me: Ni jina lake mam😭😭. Alirecieve 😱. Brianna: Hello honey?? Ngài 😭, karibu nifaint koz simu mm nilinunuliwa ili nisomee😭. Mom: Honey hayuko sasa unaongea na nyuki😱 sema😱. Brianna: ooh Mom habari yako?? Mathe: 😓😓, poa wewe ni nani, unasaviwa Queen, wewe unaitwa Queen 🤔🤔. BRIANNA: (silent) Mom: eeh nakuuliza, hello?? Brianna: Ndio mom. Tunasoma nayeye🙆🙆. Mom alinirushia simu na kutoka nje😱. Mom: sky kesho tukutane shuleni😭😭. Nataka kumjuwa huyo Queen ndo nani🙆🙆. Brianna hakuhang up simu, after mathe kutoka ndo nikaanza kuongea na yeye. Me: Wee sasa mbna umekol na tulikuwa tumemaliza tu vizuri😪😪. Brianna ninini huwa ikakusumbua lakn😪😪. HER: sky you saved me Queen ❣️❣️?? Wow. Okay am sorry King 💖. Me: Who's your King?? HER: And who's your Queen 💖. Okay am sorry Njeri's King 🙏🙏. Me: Who's Njeri's King 😪😪. Her: 😂😂sasa msimamo wako uko wap wewe. But I know unanipenda lakn unajifanya hunipendi❣️❣️. Nilimkata, that night sikuchat na any of them, ingawa Njeri bado hakuwacha kunitumia messages za love,, "Hey sky. I know It was wrong to call you idiõt 🙏, but am sorry, I didn't mean it please, see you tomorrow tuongee kama wapenzi dear, it's only one day and have already missed you so much ❤️. Good night my king 💖💖" Bado sikurply. On Monday shule, kwa class Brianna hakuwa anashikika, kidogo hellen akakam palali nilikuwa😪😪. HER: Mr lover boy,, vipy?? "Hellen I need to be left alone please 😪, mm hiyo michezo ya kutumwa ukikam kunisoma sitaki😪" I said to her. "😂😂, Huku mm niko katikati bwana, nililipwa donge nono sana kufanya hiyo kazi, lakn hayo yakiwemo ya kumsave Brianna et Queen ni ya baadae, tutaongelea, ebu nisaidie hiyo book niliweka kwa bag yako🙏🙏" Me: Kwa bag yangu?? Uliweka when🤔🤔? Her: Ile day mlikuwa mnafanya prac kwa lab🙏. You mean hukuifungua ukasoma?? Me: ak walahi siwezi lie🙏. Kulikuwa na good news ama?? HELLEN: Sijui kama kwako ingekuwa good news but kwangu it means a lot ❣️❣️. Tuliangalia kwa bag nikapata kumbe ameniandikia barua😱. Hellen: Wee kwan unataka kusomea kwa daro,, si ungesoma ukiwa home🤝. Me: Ok hellen, niachie kitabu basi nitajisomea baadae, kwanza inahusu nini?? HELLEN: Utajuwa tu Sky,, utakam uchukuwe jioni sawa❣️. Aaih anyway, yan Brianna alikuwa ashawaambia venye aliongea na mathe🙆🙆. Even Njeri alionekana kunikasirikia sana😲. Mara hiyo Kamau akafika🙏. HIM: Bro now days uko kimia sana manze,, is it because of Njeri?? Me: Hahaa how now,,, wewe tuko tu kimoja man, umefikia wap hiyo risto ya assignment?? Kamau: Bro hayo ni baadae 🤟. Kwa Sasa ni kuhusu Njeri 🙏🙏. Do you love her for real, coz I remember ilikuwa tu game ya kumleta Brianna kwa life yako tena,, am like your brother sky, hide nothing from me❣️❣️. Me: Mm simpendi Njeri bro,, na kama nampenda basi nampenda kama beshte yangu❣️. Nothing more 🙏. HIM: sky wacha chocha. What about the kisses and hugs in the lab?? Isitoshe, hata yeye mwenyewe alisema ilikuwa game but now mko serious 🙏. YES or NO?? Me: 🤔🤔🤔, kamau do you love NJERI ?? HIM: No need to explain bro,,, look at my hand 😱😱. Kamau hadi alikuwa ameeka jina la Njeri kama tattoo 😲😲. Me: You can't be serious bro,, what if she doesn't love you back?? What Will you do?? HIM: Already ashakataa man,,, anasema et nyinyi mko kimoja sahi🙏🙏. But ju wewe umekana, am sure ukimsho venye nampenda atanikubali bro, she listens to you much🙏🙏. Please help me to get her 😭. Me: 🤔🤔, waah kamau,?? Anyway wacha nitajaribu tuone🙏. HIM: Nitashukuru sana bro,,, then nina riport yako kutoka kwa class officials ✌️✌️. Me: Class official?? Hellen ama Nancy?? Kamau: Hellen.... Me: Amesema nini?? (Kidogo Njeri akafika tukiwa na Kamau) Her: Hey, Mambo Beb. Hadi huwezi nipa salamu ak💖💖. Oh sorry,, mambo KAMAU?? Kamau: poa Sana Njeri (huku ameniangalia kwa macho ya huruma) NJERI: Sky so?? Waah lakn nimekumiss💖💖, ebu songa kidogo nikwambie kitu?? Kamau: Bro, si tutachekiana magithaa(matime) Me: Fity jamaa🙏🙏. NJERI: Ak Beb leo lazma tumwambie Brianna ukweli kwamba humpendi😪😪. Mm ak sijui kwann nahisi ni kama mnaweza rudiana😭. Please isiwe ivo, mm nakupenda sana dear, and you know it 🙏🙏. Si tutamkataza ujinga jioni?? Me: 🤔🤔🤔. Mlangoni kukaingia walimu wawili na mam😭😭. Principal: Yes mama Sky,, Who are you looking for?? Mom: Am looking for Queen 😱😱. Brianna aliniangalia nikajuwa hapa sisi kwisha😭. Principal: Samahani mama, hapa hakuna msichana anaitwa Queen 🙆🙆. Mom: mwalimu mm sio miinga, akatoa simu yangu😭😭. Si huyu amesaviwa Queen na sky alisema wanasoma class moja😱😱. NJERI akadhani ni yeye🙆🙆. Akaniangalia kama amesmile😭. Mom: Brianna Queen ndio nani😱😱. Ngài 😭😭 NJERI:....... To be continued.... Part 16. Usikose Usipite hii jamani.

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

💕😁💖DRAMA OF LOVE💖😁. part 14 Her: Beb alikuja ama hapana?? Me: whaaat why? when? Who?? NJERI: Sky usinipandishe hasira please, nauliza Brianna alikuja ama hapana?? YES or NO. ME: no hakukuja😭😭😭. NJERI: Sasa anakuja aje na ni mm ndo niliandika hiyo letter 😲😲. I almost fainted 😂, yan nmekuwa nikimficha mwenye letter?? This must be a joke😭, Njeri alianza kunirushia maswali mazito mazito hadi nikashindwa kujitetea😭. Ilibidi nmehang up simu😪. Mara that nikamkol Brianna nione kama kweli siye aloandika ile barua ya kunitembelea😱. Hakushika calls zangu, I wanted to call even more than million times but Njeri hakunipa time, alikuwa ameshakol tena😪😪. Me: What again Njeri?? Have you not insulted me enough 😪? HER: Sky if you think am finishing to insult you, my dear, am really sorry, am just about to start now, koz wewe sijui msimamo wako uko wap, I thought ju unanipenda, niliexpect uniambie venye hiyo letter ilisema, instead wewe unanificha mimi et ungeenda kwa uncle mike😭😭. Do you really love me Beb 😭😭. Me: Kata kidogo Brianna ananikol 🙏🙏. NJERI: whaaat😱 sky nitakuundaaa😱. Mm nikate uongee na Brianna kwanza? Like for real? Nilimhang mwenyewe akiwa anaongea💔. Voice: Hello dude, sorry I wasn't around with the phone? Why did you call?? Me: who's this?? Brianna: Oh my goodness 😭. Sky hadi huna namba yangu😪. Hata sauti ushaisahau?? She didn't know that nilikuwa najifanya tu ndo nijue kama bado ananipenda🙈🙈. She didn't talk bad to me. Me: Ooh am sorry, you are Brianna right?? Her: How may I help you?? Me: Anyway, I expected you to come at my place 🤔🤔. What happened?? HER: (laughing) Me to come at your place?? Since when?? To do what? Me: Si uliniandikia barua ukasema ungetaka tumeet tusolve mambo yetu💔. Her: Hey boy, mm mambo yako niliachana nayo kabisa,, I can't be stressed for someone who doesn't appreciate my existence 🙌🙌. What Happened between you and NJERI?? Me: Nothing, what are you doing right now?? BRIANNA: Oh am happy if you are now concerned about it, am thinking about someone special in my life ❣️❣️. Someone who knows my value on this earth, someone whose my heart felt so special for💖💖. Someon...... Me: Enough 😪😪😪. What kind of a song is that, I wanted to listen to it more and more but your voice is not good for singing, it's irritating my ears😪😪. Brianna: 😂😂😂😂, I know why?? Me: Why?? Her: It's simply because you only wanted to see me crying every now and then 😭😭. Sasa ukiona nmefurahi inakuuma sana. Anyways, thanks for calling boy, am happy 😂😂. Me: Can I ask you a question Brianna?? HER: Anytime anywhere dude.. ask ❣️ Me: Do you think Njeri loves me?? BRIANNA: 😂😂😂, what a confused boy😂, yan mm nakuambie kama shetani mwenye alininyang'ana bwana anakupenda ama hakupendi😂. Sky sometimes you just have to be a bit serious. And you expect me to give a positive answer 😂😂. Me: I know you very well Brianna ❣️, you always say it the way it's 🙏🙏. HER: oh really, wow thankyuu. You know me very well na bado ukaniacha ukaenda kwa mwenye hujui😂😂. Hiyo inaleta sense kweli for God's sake 🤔🤔. Me: You haven't answered my question girl😪😪. BRIANNA: Anyway , maybe anakupenda koz sidhan kama unaweza kwamilia kwa msee hakupendi, si unaona mm nilikufwata hadi nikachoka nikajipa shughuli😂😂. Pia nawe ka huoni matumaini, tafuta kazi ya kufanya hata kama ni kuumwa na kichwa😂. Me: Brianna why do you always joke with serious issues.. 😪😪😪. Her: Just the way you joked around with my feelings, was that not a serious issue to you?? Brianna and I conversed for almost an hr🙏🙏. One thing I liked about her is that Brianna hananga chuki, hananga mambo ya kuficha maneno🙏🙏. Kwake kama haiwezi haiwezi🙏🙏. Sijasema nataka turudiane na yeye🙈🙈 Sema kutaka simu, 79missed calls from Njeri, 17 text messages 😂 "mbna hutaki kushika calls zangu, wewe ni mjinga sana😪😪" first message " beb am sorry wewe sio mjinga"😂. 2nd one Lakn to be honest Njeri the way anaongea mtu anaweza dhani hanipendi😂😂. Hadi anaboesha🙈🙈. As I was thinking about how I would handle the situation, call ikaingia😲 NEW NUMBER😲. VOICE: Hehee kwa hivyo umekuwa ukinilenga tu sio?? eeh??, hadi nikol na new number ndo ushike?? Now tell me, wewe na Brianna mmepanga kuniua sindio😪😪. Me: Njeri, that is exactly how I always feel when you shout and bugs at me😪😪. Are you a power saw?? NJERI: Why?? Me: Wewe kila saa ni kelele tu😭😭. NJERI: Whaaat😱😱😱. After I saved from being suspended from school, now you talking to me like this?? Me: Ooh now I see, so because you saved me from being expelled from school, now you can shout, abuse and insult me for no reason, Njeri you are a m@d woman 😪😪. NJERI: idiõt 😪😪 To be continued...... 😭😭 Wakuu heri Brianna hata🙈🙈🙈 Part 15 LOADING 🙏🙏 fanyeni ile kitu niangushe next🥰🥰

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

05* MY HEART Nilifika ghetoni kwa Jabir, nilijizuia kuingia baada ya kukutana na bonge la Muziki, kama mnavyojua nyumba za Wanafunzi ni full vurugu tu. Inaonekana yeye na Washkaji zake walikuwa na party. Sikutaka kuwa kikwazo kwao, sauti za Wadada wakipiga kelele zilipenya masikioni mwangu na kwa namna fulani hivi nilijikuta ni kisikia wivu. Niliondoka kwa kutembea, sikutaka kusumbuana na dreva wa bajaji wala pikipiki. "Kwanini Jabir hajawahi kunitambulisha kwa rafiki yake hata Mmoja? kwanini asinialike kwenye party? kwanini hajawahi kuniuliza kuhusu changamoto nazokutana nazo kazini?" Nilijikuta nikijiuliza maswali mengi bila majibu "Kuanzia sasa na kuendelea sitamfuatilia Jabir, sitaenda kwake bila mualiko.... nitaendelea kuhudumia tumbo lake, nitalipa kodi na ada bila kulalamika. Pindi atakapomaliza Chuo nitaharakisha ndoa kati yetu, anaweza kuwa na wanawake wengi kwa sasa lakini naamini Mimi ndio chaguo lake sahihi" Nilijitia nguvu kisha ni kaenda nyumbani Siku zilizidi kwenda nikiwa nimedumu katika msimamo wangu wa kutomfuatilia Jabir wala kwenda kwake bila mualiko. Kuna muda alinihitaji lakini niligoma si kwa sababu sikuwa nimemkumbuka, nilitaka kutafuta pesa kwa ajili yake kwa sababu alibakiza siku chache tu amalize chuo. Sikuwa na mawasiliano na Ali, nafikiri alienda Nje tena. Pengine huko ndiko kuna mke na watoto wake.....kwa miaka yake ile aliyonitajia si rahisi kukosa familia. Hatimaye Jabir wangu alimaliza Chuo, nilishusha pumzi kana kwamba nimetua mzigo mzito uliokuwa kichwani mwangu. Siku ya mahafali yake alinialika, nilimtumia Milioni mbili kwa ajili ya kukodi ukumbi kabisa. Sikuona hasara kulipa watu wapike chakula....siku ya leo nilipendeza sana. Moyo wangu uliniambia ni lazima nitatangazwa kama mkewe mtarajiwa hivyo ilikuwa ni muhimu kwangu kupendeza. Niliwaalika wazazi wangu pia pamoja na majirani, japo Mhitimu alikuwa ni Jabir lakini kwa namna nilivyokuwa kipaumbele kwa kila kitu unaweza kusema Mimi ndiye Mhitimu. Wazazi wa Jabir walipendeza pia.... sijui kama nitakuja kutumia pesa kama siku ya leo. Pesa zilinitoka ndugu zangu kiasi kwamba niliishiwa. Jabir aliwaalika marafiki zake pia wa kike na wa kiume....kwa namna ukumbi ulivyokuwa umenoga isingekuwa rahisi kwa watu kushindwa kusema Jabir ni Mtoto wa kishua. "Nawashukuru wazazi wangu kwa kunipambania toka elimu ya msingi mpaka Chuo kikuu" Jabir alianza kuongea Sikuumia kuwatangaza wazazi wake kama Mashujaa kutoka shule ya msingi mpaka Chuo. Ingekuwa ni aibu kubwa watu kujua Mimi pia nilihusika kumsomesha, hivyo hii haikuniumiza. "Namshuru pia Mpenzi wangu Laura kwa kuwa sehemu ya ufadhili katika swala zima la ada" Jabir aliongea Sikushtuka pia, huenda jina la Sadie hakulipenda na hata ameamua kunibatiza jina la Laura. Mara nyingi Mwanamke hana dini wala kabila hivyo niliona it's okay kuitwa Laura siku ya leo. "Laura naomba usimame, siyo kusimama tu naomba upite mbele, nahitaji kila mtu akuone.... Mwanaume pia analipiwa ada" Jabir aliongea Nilisimama nikiwa naona aibu kusemwa na wazazi wangu kwa kumsomesha Mwanaume. Nilistaajabu ya Mussa baada ya kumuona binti mrembo akipiga hatua kwenda mbele.... Minong'ono mikubwa iliibuka, nikiwa nimesimama nilimshuhudia Jabir akimvika pete Laura. Sikuwa na ujasiri wa kushuhudia kifuatacho, niliondoka kwa kukimbia huku nikiwahurumia wazazi wangu kwa fedheha niliyo waachia ukumbini. Kifo cha baharini kilinifaa kwa wakati huu na siyo kitu chochote. Niliingia baharini nikiwa mwenye maumivu makubwa. Nilizikumbuka juhudi zote nilizofanya kwa Jabir....nilikumbuka kwa ukaribu namna nilivyo chinja Jogoo wa Baba aliyekula chumvi nyingi....Sadie Mimi sistahili kuishi tena. Nilifumba macho yangu kusikilizia kifo....lakini ghafla nilihisi kuna mtu ananivuta Itaendelea Full 1000 Whatsp 0784468229

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

NIPE YOTE DADY💞💞💞 SEHEMU YA 16~17 Baba yangu alitoa amri kuwa nijiandae tuondoke alichukizwa sana na lile tukio Selim alivosikia habari za kuondoka alichanganyikiwa.. Ikabidi aanze kuomba msamaha ila baba alikuwa kakasirika mno hakutaka hata kumuona selim mbele yake😰😰 Kila mtu ilibidi aanze kujieleza kule ndani baada ya mama Selim kujieleza na baba kutokuelewa baba Selim na Selim waliungana na kumuomba baba msamaha walimbembeleza mwisho akakubali. Alitoa onyo kwa selim na kumwambia iwe mwisho kuninyanyulia mkono kama ndoa imeshindikana anirudishe nyumbani sio kunipiga.. Baada ya hapo baba hakutaka maongezi mengine aliondoka bila hata kusema ni kipi kilichomleta katika ile familia hakika alichukizwa sana.. Baada ya baba kuondoka kesi ikabaki kwa Selim na mama yake aisee Baba selim aliongea kamavile hatoongea tena selim alifokewa kama mtoto ugomvi ulikuwa mkubwa mpaka mzee akasusa kula na kuondoka.. Selim alivoona baba yake kaondoka nae akasusa akasepa Mama yake nae akaunga,mimi na aunt tulikaa mezani tukala nilipomaliza niliinuka haraka na kwenda chumbani.. nilipofika huko nilimkuta selim kajilaza kwenye kochi kama kawaida yake..nilipanda kitandani nikajifunika kisha nikaanza kulia😭😭😭nililia mno hiyo siku😭😭 Nililia hadi kwi kwi selim uvumilivu ulimshinda aliamka na kuja kitandani akalala na kunishika mgongoni kisha akaniambia " "nisamehe nilikuwa na hasira sana wala sikukusudia kukupiga " sikutaka kuongea chochote aliomba msamaha hadi akachoka na kulala pale pale pembeni yangu🙈.. Nyiee🙈🙈et akanikumbatia kabisa na kunisogelea zero distance 🙈🙈basi namimi nikatulia tuli🙈🙈tukalala mpaka asubuhi Kulipokucha tu mimi ndo nilikuwa wa kwanza kuamka nikakimbilia bafuni😁😁nilifungulia maji kisha nikakaa pembeni nikawa nawaza usiku mzima selim alivolala pembeni yangu😌😌 Basi mawazo yalienda mbali nikasahau kabisa habari za kuoga😁😁lisaa lizima lilikata maji yanamwagika tu mimi niko pembeni.. Selim aliendelea kulala akawa anasubiri nitoke bafuni akashangaa mbona sitoki lisaa la pili lilikuwa linaenda kuisha😌😌ilibidi aje kunigongea kwani nilisikia?. Nilikuwa nawaza vitu vingi kiasi kwamba hata ukisimama mbele ya macho yangu naweza nikakwangalia lakini nisikuone😁 Selim aliita weee akachoka akaamua kusukuma mlango na kuingia kule bafuni huku akiwa na presha za kufa mtu..sijui alijua nimejiua?? Aliingia akanikuta niko zangu pembeni tu nawaza hata kuoga sijaoga😌😌alinisogelea akanigusa begani akaniuliza shida nini?? Wala sikumjibu nilianza tena kulia😭😭akakazana kunibembeleza huku akiomba msamaha nikamwambia "Selim nimechoka na haya maisha natamani tu unirudishe kwetu😭😭 please naomba tu uniache niende kwetu" masikini alinikumbatia🙈🙈akawa anashindwa hata cha kuongea 🙈🙈aliniangalia kwa muda akaniambia "Noraha naelewa kwamba hunipendi ila tambua familia zetu ndo zilitaka hivi sisi hatuna budi Norah naomba tu ubaki namimi please.." "Selim siwezi mimi nimechoka siwezi kuendelea kubaki hapa😭😭hunipendi mama yako hanipendi ndo maana mnashirikiana kunipga mtakuja kuni ua siku moja😭😭" Nisamehe Norah najua unaongea hivi kwasababu nilikupga jana please niambie nifanye nini ili unisamehe🥹🥹 "Nataka uniache niende mbali nawewe ukifanya hivo kweli nitakusamehe🥹🥹selim alipiga goti akaniambia No siwezi kukuacha Norah siwezi" "kwann?" aliniangalia kwa mda kisha akataka kujibu akasita baada ya kusikia sauti ya baba yake ikimuita aliniinua tukatoka mle bafuni akaniacha chumbani na kwenda kumsikiliza baba yake... Alitaka kuniambia kitu gani?. Alafu mbona hataki kuniacha niondoke?? Au selim ananipenda???Nilibaki nikijiuliza maswali mimi mwenyewe😑 Selim na baba yake sijui waliongea nini ila Selim alirudi chumbani akiwa amepoa sana nikaona nimuache nisimletee drama nitaendelea kumuumiza😰😰 Basi aliingia bafuni na kwenda kuoga alimaliza akatoka nikamfuata nikamuuliza unataka kula nini nikakuletee akanambia kuwa hataki kitu nilimhurumia maana usiku wa jana alilala njaa nilimwambia please niambie unachojisikia kula.. Alibaki ananiangalia tu🙄🙄nilimpapasa usoni kidogo nikamwambia basi acha mi nikakuletee chochote..nilitoka mpaka jikoni nikaandaa chakula cha selim kisha nikampelekea chumbani.. Alikula akamaliza akaniambia asante Norah..siku hiyo selim hakutoka kwenda sehemu yoyote zaidi alikuwa chumbani tu na kazi zake alizifanyia nyumbani.. Zilipita wiki mbili tukiwa na amani selim alibadilika sana namimi nikakaa kama mke mwema sikutaka kuleta fujo wala drama zozote.. Siku moja mchana tulikuwa wote chumbani mimi na Selim..Selim alianza kulalamika njaa nikamuuliza unajisikia kula nini nikakupikie?. Bado mimi na Selim tulikuwa hatujaanza kuishi kama wanandoa lakini amani ilikuwepo tulikuwa na masikilizano ya amani sana.. Selim aliniambia chakula anachotamani kula nikatoka mpaka jikoni nikaenda kuandaa nilipika vizuri wakati napakua kwenye hotpot mara mama mkwe akaja pale jikoni.. Ni harufu ya nini hiyo aliuliza akiwa ameshika kiuno alisogea na kuangalia akaniuliza.. "umepika nini hiki" Nikamjibu kuwa nimepika lost ya maini na wali wamaua... Kabla hata sijamaliza kujibu nikashangaa mama anakimwaga kile chakula chote😳😳aiseee nilipatwa na hasira mpaka nikawa natetemeka..Ivi mnajua kwa hiko kipindi mimi na Selim ni kama tulishaanza kupendana fulani hivi.. Hata hiko chakula my wenu nilijipinda kukipika vizuri ili nimfrahishe selim sasa why mama akimwage chakula changu lakini😭😭 Nilimuuliza "mama unamaana gani kumwaga chakula hiki chakula nimempikia mme wangu" "Mama aliniambia nilikwambia hii sio nyumba ya baba yako kwamba unajiamlia tu nini ufanye nini upike hapa sio kwenu😨😨" "Kama ni chakula ulitakiwa ufuate ratiba ya leo inasema nini ratiba inasema tambi nyama wewe unaenda kupika huu ujinga wako nani alokupa ruhusa?" "Lakini mama mimi nimepika cha mume wangu tu na mwanao ndio kaniomba nimpikie hivo lakini kwanini umenifanyia hivi mama😭😭" "mwanangu tangu lini akala maini toka nimemzaa selim amekuwa akiyachukia maini inakuwaje leo akutume umpikie?.." "swala la kutokula maini silijui ila mimi nimefanya kama alivyotaka basi🥹🥹" "Nasra nakujua vizuri na ninajua ni namna gani mama yako kawalea vibaya acha tu leo kwambie Nasra hutakaa uishi kwaamani kwenye hii nyumba lbda niwe nimekufa" Aisee Mama selim aliamua kunionyesha wazi ni kwa namna gani anavonichukia💔💔niliishiwa nguvu😭😭hata kale kaupendo nilikoanza kuwa nako moyoni juu ya selim nilikaondoa.. Niliona kabisa kwenye hii nyumba sitokaa nikubalike bora niishi tu kama Norah na niwe tyr kuondoka hapa muda na wakati wowote.. Baada ya yote hayo nilianza kupiga hatua mdogo mdogo nikawa naondoka kule jikoni💔💔moyo wangu ulikuwa umegawanyika vipande sielewi nini nachotakiwa kukifanya... Wakati naondoka mama alinistopisha na kusema "Unaenda wapi rudi hapa upike "Dah nyieee sikutaka ubishi nikarudi na kumuuliza "sawa mama unataka nipike chakula gani " "kwani haujui kusoma " nilijibu sawa kisha nikatoa nyama kwenye friji nikakaa kusubiri iyeyuke ili nianze kupika wakati nasubiri mama aliniita akanambia " kuna nguo zimeanikwa nje nenda kazianue na uzikunje " "nilimuangalia na kumuuliza "zile nguo walizofua wadada wakazi " alijibu ndio nikasema sawa na kutoka nje nikaanua za Asma wifi yangu na zakwake za baba mkwe nikaziacha" alafu nikamwambia msichana azianue maana niliona sio sawa mimi kushika nguo za baba mkwe wangu wakati mke wake yupo. Sasa kitendo cha mama kumuona msichana akipeleka nguo za baba chumbani kwao ikawa kosa kwann aniambie mimi kitu alafu mimi nimwambie mtu mwingine. Alinifuata na kuanza kunitukana nilimuuliza swali moja tu "je nisawa mimi kuanua nguo za baba mkwe wangu na kupeleka chumbani kwenu ikiwa upo na hauumwi?" Mama alichukia akaanza kufoka kwamba namfundisha namna ya kuishi kwenye nyumba yake nikaona anatafuta ugomvi wa lazima nikamucha na kuingia jikon na kuanza kupika. Alisubiri nimemaliza kupika akaja kufunua vyakula akasema baba hali vyakula vyenye sukari wala hatumii nyama nyekundu sasa nikamuuliza nimekuuliza mnapika nini umeniambia nisome kwenye ratiba😳😳 nimesoma ratiba nakupika sawa sawa na maelezo yaliyopo kwenye ratiba alafu saizi unakuja kusema sijui mumeo hatumii nyama nyekundu mimi ningeota?? kama sukari mbona anakunywa kwenye chai kila siku asubuhi nyiee yalizuka mabishano pale jikoni🥹🥹mama akaniamuru nitoe kuku nipike haraka kabla baba hajarudi.. Nilijifikiria sana nikasema inafu is inafu hivi kwenye hii nyumba ninafanya nini?? Hakuna ninachofaidika nacho kwenye hii nyumba zaidi ya manyanyaso.. Niliamua kuacha kila kitu nikatoka kule jikoni mama alinizuia na kuniambia ni lazima nifanye anachotaka nifanye... nilimwangalia nikamuuliza mama hivi ukiniangalia unaona ni kama ninaweza kuvumilia hivi vitimbwi vyako..???au kwasababu unaona nakuwa mpole basi unanichukulia kama mjinga?.. sasa sikia nikwambie kitu sipiki chochote yule ni mume wako wewe ingia jikon pika vile anavyopenda" Baada ya kumwambia hivo mama nilishituliwa na bonge moja la kofi🥹🥹sikutaka hata kumcheleweshea aisee tulianza kuzichapa kule kule jikoni😌😌 Nilimpiga yule mama hatokaa anisahau🔥🔥na siku hiyo watu ni kama walizibwa masikio huko vyumbani kwao hakuna aliesikia hata kelele za ugomvi.. Nilimkalia chini nikawa nampa kipigo huku namziba mdomo kelele zisitoke nje😩😩yani nilimpa kipondo cha mwanaukome nilivochoka nikamwachia akatoka mimi nikabaki jikoni.. Nilijua tu atakachokifanya ni kwenda kuwaelezea watu kilichotokea sasa kabla ya yote nilipakua kwanza chakula nikala ili wakija kunirudisha kwetu nirudishwe nikiwa nimeshiba.. Nilijua kabisa ule ndo mwisho wangu na selim na ule ndo mwisho wangu kwenye ile nyumba.. Je itakuwaje?? Ni kweli ndoa ya vipenzi vyetu ndo itaishia hapo?. Selim ataamua nini?. Full 1000 WhatsApp 0742133100

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

MASTER MISTAKENLY SLEEPS WITH HIS HOUSEMAID CHAPTER TWENTY © GAMBO ELVIS Jambo walked out of the gate, leaving Mr. Beri perplexed and his wife was smiling. The smile of the devil on her face, gloating over Jaila's penury. Mr. Beri got into the house and his wife dissuaded him from adopting her kids and claimed, "Jaila is not only a desperate house girl, but a cheap prostitute sleeping with any Jack and Jill." "How far are we sure that the tattered looking fellow is responsible for her?" pregnancy," "You heard from her mouth." "Let her give birth at least before we make the final decision." "What!" He patiently waited for her to go make her hair in the saloon. Then he confronted Jaila, "Is there any chance that the hooligan who claimed to be your boyfriend is the father of the children in your womb," Even Jaila doubted the paternity of the twin in her womb, "No one can tell sir," "It means that, no one can tell what?" "It is still possible he can be the true father sir, but the chances are low. I am almost sure he is not the one. It's your kids sir," "Almost, what if they turn out to be his," "And if they are yours sir, will you marry me," "let's wait and find out through a DNA test when you are delivered of them." Then he walked away and she stayed there ruminating, "I just pray they turn out to be Mr. Beri's children. I really don't know who is responsible for my pregnancy, but I wish it turns out he is the one, he deserves to have children of his own." While Mr. Beri was restless, walking up and down in the living room worried, "I don't have to tell my wife anything now. I just pray the children are mine. I need to protect her now till the DNA test is carried. Then from there I will know if I will still keep the secret and adopt the kids or I will open up and then marry Jaila as my second wife. But there is a problem, I signed for monogamy with my wife. I just have to endure, let everything come to play. I will need to conduct a secret DNA test without the awareness of anyone, even Jaila." As a celebrity, Verona was able to maintain a perfect career as a popular iconic music star to the detriment of her marriage. The same man who married her, believed in her talent and stood by her. Invested in her gift and made her reach the lime light; Created a famous artist and she failed to sustain the values of a good wife. She put her fame first before her family and as most female celebrities, she thought she was on top of the world when she was on the height of her career, not knowing that no one stays at the top forever. She was so jealous and furious and instead of trying to conceive the fruit of the womb she decided to conceive evil, "I am going to visit one of the best doctors i know, and pay him, let him prescribe the drugs that I will put in her drink. When she drinks it, it is going to terminate her pregnancy. Something that will make the abortion looks like miscarriage. Even if my husband suspects that it is an abortion, I will make it look like she did it herself and is refusing to admit it. I thought that Jambo was going to poison my husband's mind against Jaila but it seems like he is completely hypnotized by the fact the housemaid is pregnant." Jealousy and hate was transformed into evil thoughts and if it was conceived and born, it was going to be fatal. TBC...

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

MASTER MISTAKENLY SLEEPS WITH HIS HOUSEMAID CHAPTER TWENTY © GAMBO ELVIS Jambo walked out of the gate, leaving Mr. Beri perplexed and his wife was smiling. The smile of the devil on her face, gloating over Jaila's penury. Mr. Beri got into the house and his wife dissuaded him from adopting her kids and claimed, "Jaila is not only a desperate house girl, but a cheap prostitute sleeping with any Jack and Jill." "How far are we sure that the tattered looking fellow is responsible for her?" pregnancy," "You heard from her mouth." "Let her give birth at least before we make the final decision." "What!" He patiently waited for her to go make her hair in the saloon. Then he confronted Jaila, "Is there any chance that the hooligan who claimed to be your boyfriend is the father of the children in your womb," Even Jaila doubted the paternity of the twin in her womb, "No one can tell sir," "It means that, no one can tell what?" "It is still possible he can be the true father sir, but the chances are low. I am almost sure he is not the one. It's your kids sir," "Almost, what if they turn out to be his," "And if they are yours sir, will you marry me," "let's wait and find out through a DNA test when you are delivered of them." Then he walked away and she stayed there ruminating, "I just pray they turn out to be Mr. Beri's children. I really don't know who is responsible for my pregnancy, but I wish it turns out he is the one, he deserves to have children of his own." While Mr. Beri was restless, walking up and down in the living room worried, "I don't have to tell my wife anything now. I just pray the children are mine. I need to protect her now till the DNA test is carried. Then from there I will know if I will still keep the secret and adopt the kids or I will open up and then marry Jaila as my second wife. But there is a problem, I signed for monogamy with my wife. I just have to endure, let everything come to play. I will need to conduct a secret DNA test without the awareness of anyone, even Jaila." As a celebrity, Verona was able to maintain a perfect career as a popular iconic music star to the detriment of her marriage. The same man who married her, believed in her talent and stood by her. Invested in her gift and made her reach the lime light; Created a famous artist and she failed to sustain the values of a good wife. She put her fame first before her family and as most female celebrities, she thought she was on top of the world when she was on the height of her career, not knowing that no one stays at the top forever. She was so jealous and furious and instead of trying to conceive the fruit of the womb she decided to conceive evil, "I am going to visit one of the best doctors i know, and pay him, let him prescribe the drugs that I will put in her drink. When she drinks it, it is going to terminate her pregnancy. Something that will make the abortion looks like miscarriage. Even if my husband suspects that it is an abortion, I will make it look like she did it herself and is refusing to admit it. I thought that Jambo was going to poison my husband's mind against Jaila but it seems like he is completely hypnotized by the fact the housemaid is pregnant." Jealousy and hate was transformed into evil thoughts and if it was conceived and born, it was going to be fatal. TBC...

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

*BINTI MPELELEZI* SEHEMU YA....18 Na Mamuh Mohd (0716730000) Tulipoishia...... Kumfuatilia alipata uhakika kuwa Kosho wamemteka na isitoshe amesema ukweli... SONGA NAYO...... "Natakiwa kutumia dhana zangu za siri sasa kufanikisha hili. Hakuna pengine ambapo wanaweza kumteka Kosho kama sio msituni kule ngoja nitajua". Yenah aliangaza kutafuta namna ya kutoka katika kasri ile. Binti hakuwa mtu wa kawaida amepitia mafunzo ivyo ana mbinu nyingi nyingi sana kwake hakuna ambacho kilimshinda. Binti aliamua kutoka kawaida tu tena alitumia gari si alijua kuendeshwa mwenyewe. Wanamtambua sasa walinzi wote ivyo hawakumuuliza kitu. Alielekea msituni kabisa kuna njia ambazo alipita kwanza kuna mahali ambapo alikuwa amefukia vitu vyake vya kazi sasa alienda kuvitoa. ilikuwa ni darubini na silaha Pamoja na mavazi ya kazi. Alitunzaga hivyo vitu kwa siku nyingi na ilibaki kuwa siri yake. Sasa aliamua kuvitumia kwa ajili ya kazi yake hiyo maalum. Himaya haikuwa na misitu mingi, msitu ulikuwa upo eneo moja tu. Basi binti nae hakutaka kupoteza muda haraka alielekea huko. Alikuwa akitumia darubini yake kuangalia vizuri vitu kwa umbali kupitia kila kona. Basi alifanikiwa kuona Sehemu ambapo mazingira yalimuonesha kuwa kuna kitu kinaendelea. Yenah bila kupoteza muda aliwahi Sehemu hiyo huku akiendelea kuangaza akitumia darubini yake. Upande wa malkia alikutana na Sultan akiwa anaangaza kumtafuta yenah. "Mmewangu sina muda wa kupoteza leo nina ushahidi huyo yenah unaemfuga ndie nyoka hafai hapa ndani. Sasa twende mwenyewe ukajionee". "Mpaka lini utaacha kumuandama mwenzako kinachokuumiza haswa ni mimba au?" Mmewangu nipe hii nafasi haitajutia na ikitokea nakudanganya basi fanya uamuzi utakaotaka". Sultan kuambiwa vile basi akamuambia malkia waende sasa akamuoneshe huo ushahidi. Walifika hadi kwa dereva samwel Ndipo malkia akamuambia awapeleke kule msituni ambapo hapakuwa mbali sana na pale sema kwakuwa ni viongozi hawawezi kutembea. Samwel aliendesha gari lakini huku akikumbuka kipigo alichokipata usiku ule na mtu ambaye hajamfahamu ni nani. Alijiona kama ameponea chupu chupu hana hamu. Basi wakati huo yenah alifika eneo na kumkuta Kosho amefungwa kuna vijana wakimlinda pale. Binti wakati huo alivalia nguo za polisi na kujifunika kwa mask hadi usoni huku ameshika silaha ya moto. Vijana wale waliogopa eeeeh sio kawaida. Yenah ndipo akawaambia mtafuata maelekezo yangu haya mfungueni huyo kijana haraka. Basi walimfungua pale huku wanatetemeka sio kawaida. "Nawaacha sababu hamna hatia mmetingwa na mtu ila mkiingia tena katika anga zangu kunifuatilia hakika nitawadhuru. Sipo peke yangu tupo wengi sana mkithubutu kusema chochote baada ya hapa hakutakuwa salama nawahakikishia". Yenah palepale akahisi kama kuna ujio wa watu Sehemu hiyo. Haraka akatumia darubini yake kuangalia ndipo akamuona Malkia na kijakazi wake akiwa na sultan wanakuja Sehemu hiyo. Yenah akamshika mkono Kosho na kuwaambia tena vijana wale, "Silaha hii ninayo lakini nawaacha kwa sababu sasa mjichanganye kusema chochote muone hakikisheni mkiulizwa chochote Mnakana". Kisha waliondoka seehmu hiyo kwa kupitia upande wa pili kabisa. Walifika mahali Yenah akajificha na Kosho wakawashuhudia malkia na sultan wanaelekea Sehemu. "Tumewahi bila shaka malkia anakwenda kumpeleka sultan akijua wewe upo utasema ukweli". "Ahhh yenah umejitahidi sana sijui ingekuwaje jamanii". "Usijali". Walipopita nao waliinuka na kuondoka zao. Sasa malkia pozi lilimuisha kufika wanakuta vijana wale wamekaa tu Kosho hayupo. "Nyie yule mfungwa tuliemfunga yupo wapi? Anatakiwa kusema ukweli". Mmoja wa vijana wale akajibu, "Mfungwa yupi? Hakuna mfungwa yoyote wewe umetuweka hapa umesema sijui tuongee vitu gani hatuelewi kwa kweli". "Acheni mambo yenu...semeni ukweli wa kilichotokea". "Malkia hatuwezi kusema uwongo unaoutaka bana". Wote walishangaa hata malkia na kijakazi wake walibaki pozi limewaisha jumba bovu limewaangukia.... Full 1000. Whatsapp no 0716730000 Sijui itakuwaje? Tukutane Sehemu ya 19

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

Story For Adult Only 2 With anger, she picked up a hammer from the table and rushed the ch!ld. “You keep disturbing my life you little w*tch” Anna says to her baby. “Maybe you don’t deserve to liv£. Yo have don so many bad to me than good, I don’t think you are still useful to me. Because of you I just lost my customer, someone who would pay me plenty of money just for 0ne nlght” Anna says. Then she raises the hammer up ab0ve her head. She was ready to strike the b*by with it. Not even bother whether it was her baby or not. All that matters to her was her new business, bringing different m£n into her late husband’s house and flirting with th£m. A business introduced to her by Angel, her ev!l friend. She raise it up and wanted to strike the b*by but something flashed her memory. Something she could not understand. Immediately she dropped the hammer and took the baby from the bed. “No need to k*ll you, I don’t have to feel guilty. It better I just throw you away at the street and there you can cry to you d!e!” Haha stup!d child, always disturbing my life!” She whispered and took the baby out of the house that night. She went to the street it was dark and few people was pass. The innocent child could not understand what his mother was doing. So it stayed silent and felt peaceful. She came to a place that felt more lonely than she dropped the child, turned her back and walked away. “Am free am finally free, no more distractions or disturbances from that child” she says and laughs as she goes. She heard the baby start crying but she paid deaf ears and went away. Now she can party as she likes, bring plenty male customers to her house and do what she likes. Feel young again and enjoy life like a teenager. When she arrives at her house, she met her friend Angel. “Anna where have you been, I have been waiting for you here for the past 30 mins” Angel says. “I went to throw something away!” Anna with a mischievous smile. “What are you throwing away this night that can’t wait till morning?” Angel asked. “My baby, I decided not o thr0w it away, could you believe this ch!ld made me loose one of my customers that pay me over a million for a night?” Anna said. “Anna you did the right thing, that child is drawing you back, look at how beautiful you look, you deserve to enjoy life, Anna now that you threw it away, we can fully focus on our business, make money and be the richest women in town” “Yes!!! Anna said jumping up. “See arrange the bed quickly. Two customers are coming, and you know what it means” Angel said with a mischievous smile. “Money money money!!! Anna shouted To be continued. See full st0ry at the c0mments section. ????????????????????

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

I Forgave Him, Then He P0isoned Me (A Story You Need to Read) Episode 2 I was still lying on the floor, unconscious after drinking the wine. The knock at the door made Arinze panic. He looked at my motionless body, not knowing what to do. “If anyone sees her like this… I'm finished. This could be the end of the road for me,” he thought, trembling. Quickly, Arinze thought of a plan to cover his mess. He lifted me from the floor, rushed into the bedroom, and placed me on the bed. “Simi... Simi...” he called, shaking me. But nothing. No response. No movement. Just foam slowly gathering at the corner of my mouth. The man I trusted... The one I built dreams with... I loved him sincerely. I forgave him, even after catching him with someone else. Yet this same man… had a dark mind against me. He stared at me for a few seconds… Then slowly nodded, convinced I had completely passed out. Then he ran back to the dining table, picked up the glass I drank from, and poured out the remaining wine. The knock came again. “Hold on! I’m coming!” he shouted, his voice cracking. But his mind was running fast. "What if the person at the door asks of Simi? What if I say she’s sleeping, and they come back later to find her body? Won’t they suspect and trace me? He whispered to himself. So he came up with another idea. To offer the visitor some wine but mix with the same thing. That way, the visitor will be gone too, so there will be no trace. Arinze nodded to himself. It made sense. He wiped the sweat off his face with his palms, took a deep breath, and walked to the door. As he opened the door, his eyes widened. it was Eniola. My best friend. The same girl I once caught with Arinze. The same girl I called a sister. I gave her money, even when she didn’t ask. I shared everything with her. No secrets. I never imagined she was planning with Arinze all along. “Oh… it’s you,” Arinze said, forcing a smile. “I thought it was someone else.” Eniola stepped closer, glanced around, and spoke in a low voice. “I’ve been calling, but you weren’t picking,” she said. “I’ve been in the car for long. So I came to check... have you done it?” Arinze nodded. “Yes. It’s done,” he said confidently. Then he glanced at his wristwatch. “You know no one survives five minutes after just one drop… but I used three.” Eniola chuckled. “Ah-ah, Arinze!” He smiled. “Yes na, I had to fast-track the whole thing. Five minutes felt too long for me. Now she’s completely gone. She thought she was smart. Let her go and rest.” Eniola nodded, then whispered, “Let’s go.” Just as they were about to leave, he paused. “Wait,” he said. “Let me clear the table.” He rushed back inside and quickly removed everything from the table. Eniola stood by the door, waiting. Then, Just as Arinze was about to step out… They heard something. A sound. From behind. Like movement. Arinze froze. Eniola's eyes widened. They looked at each other in shock. Then... silence. Slowly... Very slowly... Arinze turned around. To Be Continued... ???? What was that sound? Has Simi woken up? Or is something else going on? Remember to F0low this page so that you don't miss episode 3. ✍️ Written by Dede of Africa All rights reserved One Love ????

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

????????????DRAMA OF LOVE????????. part 13. After Njeri aliona 94% akajitoa akiwa amejam mbaya sana.. That day hakuniongelesha siku ya pili na ya tatu vile vile????. Aaih,, the fourth day nilimfwata kwa lab akiwa ameenda kufanya practicals???????? Me: Hey, njeri?? Her: Hi Me: Why are you avoiding me now days,, kuna shida?? NJERI: nothing,, mm niko sawa????. Me: Talk to me,, it's hurting me when I see you distancing youesel6 from me every day????. What have I done?? Her: Kumbe umekuwanga ukitumwa na kamau kwangu na hujawahi sema?? Me: ???????? Nilishindwa cha kumjibu ikabidi nibuy time ya kutafuta excuse????. Me: What are you practicing today dear?? Wliwachana nayo akaniangalia HER: sky, how does that question relate with mine?? How long has he been sending you to me?? Hapo nikaona huenda Kamau amechoma????, lakn mbna njeri anaongea akiwa serious ivo, since I knew her, sijawahi muona akiwa so serious ivo????????. Does it mean she has changed her mind?? No I have to find out ????, not after I have given in for her????. Her: Ooh swali ni ngumu sio?? Sky nmekuja kugundua kitu moja kukuhusu????, you are so selfish dear???? Hapo nikajuwa hapa sina changu????, misemo za wahenga zilianza kuflow kwa mind, zikiongozwa na "mtaka yote huwa anakoza yote????" but I had already kicked Brianna out of my mind, kumshow tu ndo sikuwa nmemwambia????, what did kamau tell my girl????. I know him very well, kamau would not say anything ill about me, ooh no????. Me: So after leaving you down there with HIM, all you were doing is discussing about me right??? Ok it's well, endeleeni basi????????. NJERI: (laughing so loudly) Mr jealous mwenyewe????, sasa unataka kulia????. I was just playing around with your mind BEB. How can I leave you.❣️❣️, how can I even think of it, you are my dream BF. Gime a hug please. Me: Really, oh my goodness ????????. Am not jealousy dear, it's love that I have for you ❣️❣️. But huo useriousness wako ndo ulinipa wasiwasi. Come come The hug was so sweet and lovely until she stopped smiling anymore ????????. Me: Beb is there anything I should know ????, you are scaring me please. NJERI: Sky am not a kid to be played around with ????????. You still love Brianna, stop blackmailing me with your sweet voice and nice smiles ????????. I love you so much ???? Me: Dear I always mean what I say????. How can play around with a gold Njeri. It's just that after she realized our closeness ndo akaanza kunifwatilia and you too know what she did to me????????. It's you I love mammy ❤️. Brianna is just fighting to get me back after ameona nmetoka kwa hiyo ngori????????. Beb akufaaye kwa dhiki walisema huyo ndiye rafiki ........ "Sky, can I see you please ????" kumbe Brianna alipoona nmeingia kwa lab kumfwata Njeri, pia alinifwata????????. Aliniita tena????. BRIANNA: Beb it's just a humble request, nataka kukuona,, kama nmekudisturb kuongea na Njeri basi pole????????. Akaishia. NJERI: "beb it's just a humble request" Yani Brianna amekuita "BEB" are you sure hunichezi????????. Me: Now I know, you don't trust me right?? Hellen akafika. Her: Romeo and Juliet ????????. I see you have changed our school lab into a romancing room ????. Msiniambie mnataka kukulana live live hapa????, Sky nakujuwa vizuri wewe????. NJERI: Hellen when will you be serious just for once????????. Kwan ushawahi kuliwa na yeye????. Hellen alimfwata mbio wakicheka, aliponifikia akinirushia kaletter, nikajuwa kumbe hata haukuwa mchezo, alitaka Njeri asione hiyo letter????????. Nilijiexcuse nikaenda chooni ili niipitie ile barua????, actually it was from Brianna ????. "Hi sky, I didn't know my breakup words would get us into this hatred ???? I don't know why umenihate haraka hivo????, for the second time please my darling I beg you to forgive me, I know what I did was bad aki na I regret,,,,, I don't know kwann umemove on haraka ivo????????. Tafadhali nakuomba, consider my feelings too Sky, I can't concentrate in class as usual, then sijui mbna unapenda kukiss na kuhug Njeri machoni pangu????. I decided to end our relationship not because I don't love you dear, I was advised by madam Stacy to do so????????. Am regretting everything, kama unaona kuongea na mm kwa shule ni ngumu, then naweza come home on Sunday coz naskia tunatumwa home kesho sijui kwann. Please please please mm Brianna bado nakupenda????????❣️. See you on Sunday beb. Bye bye ????????. Yours truly Brianna ❣️." This message got my attention so much. But I can't leave Njerifor now❣️, I promised her to be by her side Everytime ????????. Anyway I decided not tell anyone about it ????????. Sijui Njeri alikuwa amesence kitu ama ????, kila mara alikuwa ananiuluza kama nina kitu cha kumwambia before twende home????????. Should I tell her about what BRIANNA had written to me????. Ama Hellen alikuwa amemshow????. I was so confused till we left for home????????. NJERI: Beb I'll miss you this weekend ak????. Can I come over to your place either on Sarto or Sunday❣️❣️?? Wait????, ama amejuwa Brianna alipromise kukam home Sunday ????. She hasn't talked like that ????. I thought to myself. Me: Myb on Sarto dear,, sunday nitaenda kumwona uncle Mike ????????????. Her: It's okay then, I'll come on Sarto tulale alfu ukienda kwa uncle mike on Sunday tutatoka wote mm nikienda home????????????. Sawa Me: ????????. NJERI: Beb?? Why are you so shocked ????????. On Sarto Njeri hakukam na hakukol kunisho reason ????. Pia sikutaka nimkol ju angenishow akam Sunday na achome????????. On Sunday pia Brianna hakukam, na hakukol kunisho reason ????????. Instead Ni Njeri ndo alikol???? Me: Hello queen?? Her: Beb alikuja ama hapana?? Me: whaaat why? when? Who?? NJERI: sky usinipandishe hasira please, nauliza Brianna alikuja ama hapana?? YES or NO. ME: no hakukuja????????????. HER: Sasa anakuja aje na ni mm ndo niliandika hiyo letter beb hadi mm sijajuwa msimamo wako ak????????. Ni nini unataka sky?? Mm ama Brianna?? PART 14 LOADING GUYS????????. am not in the mood.. Calm me down with LIKES ????????????

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

CHUO CHA MIHEMKO SEHEMU YA 9 Ronnie, ah! Huyu jamaa alikua kama bahasha yenye barua nzuri nje umependeza, ndani una ujumbe wa moyo. Tangu alipojitokeza kwenye ile party, kila kitu kikawa kama kimetulia… angalau kwa nje. Lakini moyoni, bado kulikuwa na mdundo wa maswali: "Je, huyu si mwingine tu kama Adam aliyevaa ngozi ya fadhili?" Lakini jamani, moyo wa mwanamke ni kama plastiki ya nailoni unayeyuka kwa moto wa maneno matamu. Ronnie hakusema mengi, lakini kila alichokisema kilikuwa kina timing, kina uzito, na kina direction. Siku moja alinipigia nikiwa darasani. Nika-text: “Nipo lecture, nikutafute baadae?” Akanijibu fasta: “Sawa, focus baby girl… elimu kwanza, emotions zifuate.” Nikacheka kimya kimya. Huyu mtu alikuwa anaongea lugha ya mwili wangu kabla hata hajau Siku ya Jumatano, alinialika kwenye picnic. Mitaa ya Njiro, bustani ya kisasa, maua, muziki wa taratibu na vibes za starehe. Alikuja na kikapu cha chakula, mistari ya kutosha na ile harufu ya kiume inayomfanya msichana ajisikie salama bila hata silaha. Tulikula, tukacheka, tukazungumza mambo ya maisha, siasa, na ndoto. “Neema,” aliniangalia machoni kama mtu anayepima kina cha roho, “Najua haujapona kabisa. Na sitaki kuwa dawa, nataka kuwa hewa — kitu usichohitaji kupona ili uendelee kuishi.” Mimi? Nikaishiwa maneno. Nikatabasamu kama binti wa mjini anayejua penzi halali limemvizia. Lakini chuo sio paradiso. Na kila safari ya furaha huwa na kivuli chake. Siku moja, nikiwa nimetulia hostel nikipiga Netflix, Mwanaisha akanigongea mlango kwa nguvu. “Neema! Fungua haraka!” Nikadhani labda moto umetokea. Kufungua mlango, akanirusha na simu: “Tazama hii!” Nikachukua simu, nikaiangalia video ya Ronnie yuko kwenye club, akimshika kiuno demu mrembo wa Law School, anayeitwa Debby, wakicheza kimahaba hadi watu wakaanza kupiga video kwa kisiri. Caption ya mtu mmoja kwenye WhatsApp: "Sema tena anampenda Neema, kumbe usiku ni DJ wa mioyo ya wengine." Nilikaa kitako nikiwa kimya. Si kwa sababu ya kushtuka, bali kwa sababu nilikua nimeanza kuzoea maumivu haya. Ya kuwa na matumaini halafu yachomwe kama picha kwenye moto wa wivu. Nilimpigia. Simu ikaita mara mbili, akaipokea. Sauti yake ilikuwa tulivu kama kawaida: “Hey baby.” Nikamjibu, “Still unaniita baby hata baada ya video ile?” Akakaa kimya kwa sekunde. “Neema, hiyo video sio kama inavyoonekana…” Nikamuuliza: “Sio wewe huyo unamshika kiuno?” “Ni mimi, lakini” Nikakata simu. Mwanaisha akaniuliza, “Utafanya nini sasa?” Nikamjibu, “Nitakaa kimya, nitajifunza.” “Na moyo wako?” Nikamuambia, “Moyo wangu hauna bima ya mapenzi… ila nitapambana.” Siku ya Ijumaa, nilivaa suruali ya jeans iliyonikaza kama swali gumu, top nyembamba, nikajiremba, nikachukua kitabu changu cha Ethics nikasogea Library. Kama kawaida, midomo ya watu haikosekani. “Yule wa Adam.” “Yule wa Ronnie.” “Yule wa video.” Lakini nilitembea kifua mbele, nikiwa najua kitu kimoja chuo ni darasa la kila aina ya somo: la mapenzi, la kuvunjwa, na la kuamka ukiwa mpya. Na siku hiyo, nilianza kuandika ukurasa mpya. Nilikaa, nikajibu maswali ya Ethics, huku nikijifunza Ethics ya moyo wangu. Ni wakati wa kupenda tena, lakini kwa akili. Kupenda kwa hisia, lakini na mipaka. Na kujiweka mbele kabla ya yeyote. Nachelewa kwasababu ham like, gonga like uone kama soketi mapema kabisa, haya sasa kimbiza like zifike 100.... Kama haupo kwenye page yangu basi jiunge, kama zikifika like 100 kwenye page mnaweka mwendelezo mapema sana, na kama tukienda mwendo wa haraka tutafika final chap.. Kama haupo kwenye page yangu Facebook basi fursa hapa kisha follow page yangu Facebook.. ???????????? Layman Donsue Simulizi

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

JIRANI ACHA UKOROFI ‎ ‎EPISODE 01 ‎ ‎Naitwa kelvin ni kijana wa miaka 25 naishi katika nyumba moja ya kupanga iliyopo huku ubungo maeneo ya kibo. Npambana na maisha yangu na hakuna kitu nachokijali kama maisha yangu .... ‎ ‎Mtaani kwetu yaani sehemu tuliyopanga kuna wapangaji wengi sana . Lakini asilimia kubwa ni wanawake. wanaume tupo tupo ila wanawake ndo wengi kama nyuki ila mimi sio pigo zangu . Wapangaji wengi wanasema labda jogoo hapandi mtungi ... Lakini mimi nasemaje waje wajaribu na wakawasimulie wengine .... ‎ ‎Hadithi inaanza majira ya jioni nikiwa gengeni nanunua vitu kwa ajili ya kujipikia si unajua usingle boy na mambo ya kupika. Kazi nafanya lakini kazi ya kupika ni ngumu sana ‎" naomba dagaa wa buku " ‎" oooh nikuwekee wakubwa au hawa wadogo" ‎" niwekee hawa wadogo nikapike haraka" ‎ ‎Basi ule mshangazi ukanihudumia naupa hela ukakataa et umetoa sadaka nilifurahi mi sina hiyana niliondoka lakini akawa ananikonyeza . Nikajue yaleyale mambo ambayo siyataki kabisa . Basi nilipitia gengeni na kuchukua nyanya kisha nikaelekea nyumbani ... ..... ‎Akili nilimuwaza Fatuma ule mshangazi ulionipa dagaa unanitaka sio siri tatiza mi na mapenzi wapi na wapi? ‎ ‎Nikirudi geto nilipofika nilisalimiana na wapangaji wenzangu japo kila wakiniona wanasema mwamba huyu. Asiyependa wanawake wanasema eti labda jogoo hawiki niliwatazma na kuingia ndani . Huko nilipika chapu . Kuna kupika na kuna kupika vizuri sijuwi mimi niko wapi lakini we jua tu napika chakula kilichoiva na kina lika kuhusu kupika vizuri hiyo sijuwi .... ‎ ‎Nilikiwa nimejipumzisha mida ya saa mbili jioni nilishtuliwa kutoka usingizi baada ya mlango kugonga ...nilijiuliza ni nani ? Maana hakuna anayegonga mlango wangu hovyo hovyo nikajua mama mwenye nyumba ananidai kodi yake sjamlipa ‎ ‎“NGO! NGO! NGO ! ” ‎ ‎Niliamka na kuweka laptop pembeni na kuinuka taratibu. Nlipofungua mlango, niliikutana uso kwa uso na jirani mpya ambaye kahamia juzi anaitwa Tina msichana mrefu, mweusi mwenye tabasamu la kuvutia na nywele zilizopambwa kwa rasta fupi. ‎ ‎TINA: (akiwa na simu mkononi) "Pole na kazi Kelvin… naomba nichaji kidogo, simu yangu imezimika kabisa." ‎ ‎KELVIN: (akiwa ameshtuka kidogo) "Ah, hakuna shida. Ingia tu, weka hapo kwenye soketi." ‎ ‎Tina aliingia kwa tabasamu na kuweka simu yake chaji. Badala ya kutoka kama alivyotarajiwa, alikaa pembeni ya kochi na kunitazama muda huo narudi kukaa kitandani .... ‎ ‎TINA: "Nitakaa tu hapa ningoje ijae kidogo, si unajua kwetu umeme haupo?" ‎ ‎Nilmwangalia kwa kushangaa yaliyojaa udadisi. ‎ ‎ "Una uhakika itakaa muda mfupi? Unajua usiku huu…" ‎ ‎TINA: (akimkatisha kwa tabasamu) "Usijali, siwezi kaa muda mrefu… au kama unanitaka nikae zaidi uniambie mapema." ‎ ‎Nilimeza mate taratibu Ghafla alivyokua kakaa kwenye kiti maana tulikuwa twatazamana alitanua ma** j a nikaona kufuri la pinki mjumbe aliinuka haraka kama mshale ..... ???????????????????????????????????? Follow the HADITHI ZA KELVIN MLOWE ❤️✋???? channel on WhatsApp: https://whatsapp.com/channel/0029Vaw5SzK7YSd3RKAO8G46

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

JIRANI ACHA UKOROFI ‎ ‎EPISODE 01 ‎ ‎Naitwa kelvin ni kijana wa miaka 25 naishi katika nyumba moja ya kupanga iliyopo huku ubungo maeneo ya kibo. Npambana na maisha yangu na hakuna kitu nachokijali kama maisha yangu .... ‎ ‎Mtaani kwetu yaani sehemu tuliyopanga kuna wapangaji wengi sana . Lakini asilimia kubwa ni wanawake. wanaume tupo tupo ila wanawake ndo wengi kama nyuki ila mimi sio pigo zangu . Wapangaji wengi wanasema labda jogoo hapandi mtungi ... Lakini mimi nasemaje waje wajaribu na wakawasimulie wengine .... ‎ ‎Hadithi inaanza majira ya jioni nikiwa gengeni nanunua vitu kwa ajili ya kujipikia si unajua usingle boy na mambo ya kupika. Kazi nafanya lakini kazi ya kupika ni ngumu sana ‎" naomba dagaa wa buku " ‎" oooh nikuwekee wakubwa au hawa wadogo" ‎" niwekee hawa wadogo nikapike haraka" ‎ ‎Basi ule mshangazi ukanihudumia naupa hela ukakataa et umetoa sadaka nilifurahi mi sina hiyana niliondoka lakini akawa ananikonyeza . Nikajue yaleyale mambo ambayo siyataki kabisa . Basi nilipitia gengeni na kuchukua nyanya kisha nikaelekea nyumbani ... ..... ‎Akili nilimuwaza Fatuma ule mshangazi ulionipa dagaa unanitaka sio siri tatiza mi na mapenzi wapi na wapi? ‎ ‎Nikirudi geto nilipofika nilisalimiana na wapangaji wenzangu japo kila wakiniona wanasema mwamba huyu. Asiyependa wanawake wanasema eti labda jogoo hawiki niliwatazma na kuingia ndani . Huko nilipika chapu . Kuna kupika na kuna kupika vizuri sijuwi mimi niko wapi lakini we jua tu napika chakula kilichoiva na kina lika kuhusu kupika vizuri hiyo sijuwi .... ‎ ‎Nilikiwa nimejipumzisha mida ya saa mbili jioni nilishtuliwa kutoka usingizi baada ya mlango kugonga ...nilijiuliza ni nani ? Maana hakuna anayegonga mlango wangu hovyo hovyo nikajua mama mwenye nyumba ananidai kodi yake sjamlipa ‎ ‎“NGO! NGO! NGO ! ” ‎ ‎Niliamka na kuweka laptop pembeni na kuinuka taratibu. Nlipofungua mlango, niliikutana uso kwa uso na jirani mpya ambaye kahamia juzi anaitwa Tina msichana mrefu, mweusi mwenye tabasamu la kuvutia na nywele zilizopambwa kwa rasta fupi. ‎ ‎TINA: (akiwa na simu mkononi) "Pole na kazi Kelvin… naomba nichaji kidogo, simu yangu imezimika kabisa." ‎ ‎KELVIN: (akiwa ameshtuka kidogo) "Ah, hakuna shida. Ingia tu, weka hapo kwenye soketi." ‎ ‎Tina aliingia kwa tabasamu na kuweka simu yake chaji. Badala ya kutoka kama alivyotarajiwa, alikaa pembeni ya kochi na kunitazama muda huo narudi kukaa kitandani .... ‎ ‎TINA: "Nitakaa tu hapa ningoje ijae kidogo, si unajua kwetu umeme haupo?" ‎ ‎Nilmwangalia kwa kushangaa yaliyojaa udadisi. ‎ ‎ "Una uhakika itakaa muda mfupi? Unajua usiku huu…" ‎ ‎TINA: (akimkatisha kwa tabasamu) "Usijali, siwezi kaa muda mrefu… au kama unanitaka nikae zaidi uniambie mapema." ‎ ‎Nilimeza mate taratibu Ghafla alivyokua kakaa kwenye kiti maana tulikuwa twatazamana alitanua ma** j a nikaona kufuri la pinki mjumbe aliinuka haraka kama mshale ..... ???????????????????????????????????? Follow the HADITHI ZA KELVIN MLOWE ❤️✋???? channel on WhatsApp: https://whatsapp.com/channel/0029Vaw5SzK7YSd3RKAO8G46

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

Three Years Pregnancy Episode 41 Two weeks later. “Common Emmanuel we need to hurry to car park, we are getting late!” Grandma said..”Am coming,” he answered walking out with his game console on his hands. “So you really can’t live without those game, we need to heard to the bus station now, your uncle must be waiting to see you” Grandma said to her little boy. Gloria’s mother has no choice than to take the boy to his uncle who lives in another state, and from there, his uncle will be taking him abroad to study in USA. Amanda was not ready to accept the boy into their family and she was tried of begging. Even the boy was not willing to go leave with Amanda anymore, he felt rejected and decided to stay away from Amanda forever. While grandma taking Emmanuel to the park, she asked him again. “Are you sure you don’t want to grow who your dad anymore?” “I wanna grow with my dad, but I don’t wanna grow with his wife, she don’t like me!” He say. They got the to the moto park and travel down to Uncle Sam’s House. Uncle Sam already prepared the documents for moving the boy out of the country. So Emmanuel was flied out of the country immediately, he was taken to America to continue his studies until he grow. He would be staying there with a relative. And that was it, the little boy left everyone behind, his grandma, and also his dad. His grandmother was so happy became knew she would die soon, her illness was increasing, and it has no cure, soon she would die, this was why she needed her grandchildren to be in a good hands after her pass. Meanwhile Amanda was still at her home forming boss and showing ego. Still on her ground, she would never accept the boy, she was not even aware the boy was gone. She knew Gloria’s mother was gonna d!e soon, but still she didn’t care, all she wanted was a peaceful family without a son from the outside. “Amanda that boy is my son, your son, our son, who knows what tomorrow brings, it been three weeks since i have been pleading with you, just give the little boy a chance!” Jerry said. But Amanda won’t listen. Angela came and gave her own advice. “Amanda am your friend from day one, I have been with you for over years, been with you through bad and good. I know deep down that you are just angry, yes you you are right it not easy, but let the past go, that boy is innocent, please give him a chance to live with his father” Angela said.. But still Amanda won’t listen. She didn’t listen to her husband, her friend too. Now her mother came to meet her. “Amanda if anyone tells me that you are my daughter, I might say no” “But why, am your daughter” Amanda replied still confused.. “No, am not sure you are my daughter. Because my Amanda is not like you. How can suddenly become this ev!l?” “Mom are you calling me ev!l ?” Yes Amanda. I can’t believe the pride in you, you made everyone look foolish. You can’t listen to your own husband, you can’t listen to Gabriel, you can’t listen to me and worst Angela too. You think you have become in charge. I regret to tell you but if you continue like this, you will fall down easily, put your pride at your back, everyone deserves a forgiveness.” Mama Amanda said. “But mama.. “Shut your m0uth! I know what you want to say, YES HE CHEATED ON YOU, listen to me Amanda I will never advise you about this again, and I will make sure your husband don’t come begging again, same with Angela.. do what you like QUEEN!!! Amanda mother walked away angrily and disappointed in her daughter. “What is she feeling like,” she thought as she goes away. That evening Amanda sat alone. She began rechecking her life again. She realized her mother was right, she was become something different from her real self. Ever since her husband went to jail and she lived Alone for about Seven years, she became proud of herself, she felt like she was a boss, pride overshadowed her. Tears dropped down her face as she sat alone. The next morning, Amanda decided to let the little boy come stay. Everyone was at the house including Angela and her husband who came to say hi, because it was weekend. “Please forgive me to everyone,” Amanda broke the silence with a cry. “I just realized what I have become, pride has taken over me, please forgive me, let the boy come stay with us, he is my son too!” Amanda said. Everyone burst into happiness and her husband hugged her. Well what they didn’t know was that the boy was long gone to America. “We need to go and bring him immediately, he must be so happy and his grandmother too” Jerry said But then suddenly a call came through, Jerry’s phone rang and he picked it immediately. The caller broke a very sad news to Jerry and end the call. “J£SUS! No! No! This cannot be true, this cannot be true! Jerry was standing shouting like a mad man. “What happened? Who called you?” Amanda asked worriedly.. “The nanny’s mother, SHE IS DEAD! Do you wNt the next epísode to be the last ? To be Continued. F0llow my second acc0unt to unl0k another epis0de today???? Raphael’s Creative Pen.BackUp Please f0IIow that acc0untt

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

‎PENZI LA SINGLE MAMA ‎SEHEMU YA 5 ‎Tunaendelea pale pale tulipoishia baada ya Maria kujiuliza sana maswali kuhusu mwanaume anayemsaidia mtoto wake ambaye kichwani mwa mwanaye anafahamika kama mjomba . ‎ ‎Alijiuliza sana Maria kuhusu huyo mwanaume mwenye huruma,mwenye kujali mtoto wake na mwenye kumjali yeye ingawa hata hamfahamu. Alijisemea ‎" MUNGU akuzishie baraka na akupe maisha marefu ,maana katika dunia hii ni ngumu mtu kumjali mtu asiyemfahamu. Natumai siku moja nitakuona kaka" ‎ ‎Basi asijuwe kuwa mimi ndo ninayemsaidia mwanaye na hata dawa vyote nimefanya mimi. Huku hata akili yangu inawaza nitaona na maria lini na nilijiuliza kwa nini namsaidia sana yule mtoto? Na kwa nini sipendi awe katika shida ? .Ni maswali ambayo nilijiuliza nikiwa kitandani majira hayo ya mchana . ‎ ‎SIKU TATU BAADAYE...... ‎ ‎Kama kawaida yangu niliamka mapema siku hiyo ilikuwa jumapili niliamka mapema nakufanya shughuli zangu . Na baadaye nikabeba ndoo kueleka mtoni kuchota maji. Kichwani kwangu nilifuta mawazo kuhusu Maria nilijuwa huenda kasafiri. ‎ ‎Nilishuka taratibu kwenye njia yenye migomba na kushuka mtoni nikiwa na mawazo yangu mwenyewe kuhisu maisha. Nilikuwa natazama simu yangu tu .Nikiwa nasogea taratibu karibu na kisima nilisikia mwanamke akiimba .. ‎" ni kwa uwezo wa Mungu ,ni kwa uwezo wa roho mtakatifu....." Baada ya kusikia ile sauti niliacha kuchezea simu ‎ ‎Sauti za ndege zilikuwa zinasikika na hata chura pamoja na upepo kwa mbali kwa sababu maeneo tunayo ishia ni karibu sana na milima . Alikuwa kanipa mgongo tu ile anainuka na kunigeukia niliangusha mpaka ndoo chini mwili na hata mikono vyote viliishiwa nguvu.... ‎ ‎" Mariaa!!! " niliita kwa sauti ya mshangao na ya uoga kama siamini aliyekuwa mbele yangu kweli ni maria ? ‎ ‎Naye alishusha pumzi na kuniita ‎" Gooodluck " Basi niliacha ndoo pale pale nikamsogelea karibu zaidi . ‎ ‎" Ulikuwa wapi maria?" nilimuuliza kwa sauti ya kuonyesha sijamuona kwa muda mrefu ‎ ‎" mbona mimi nipo Goodluck" ‎ ‎" mmmh uko wakati hata mtoni ulikuwa huji?" ‎ ‎" hapana, nilipata kashida kidogo " ‎ ‎" kah shida gani tena jamani" ‎ ‎"We elewa kashida si unajuwa sisi ni binadamuna tumeumbiwa shida" ‎ ‎" Sawa ila niliku........" nilikuwa nashindwa kumaliza aliitikia kwa mshangao ‎ ‎" Ulini nini ? Mbon unasita kusema ?" ‎ ‎" Nilikumis Maria " Nilisema kwa kujiamini then nilimsogelea na kumkumbatia ‎ ‎Alishtuka sana na haki hii niliinmgundua baada ya kumkumbatia alikuwa anatetemeka na mapigo ya moyo yalikuwa yanaenda mbio sana.Akaniuliza nikiwa bado nimemkumbatia .. ‎ ‎" kwanini umenikumbatia? Huwezi kusema bila kunikumbatia ????" ‎ ‎Ndipo akili yangu ikarudi maana nilifabya kitendo ambacho moyo ukiamua bila kuushirikisha ubongo wangu.Niliona aibu ‎Huku nainama chini kuokota ndoo yangu ‎" Am sorry Maria hata sikutarajia imetokea tu ghafla " ‎ ‎Alicheka " imetokea tu ghafla ? . Mh acha uongo Mr." ‎ ‎" kweli tena ujuwe nilitaka nikwambie tu lakini mwisho wa siku nimekukumbatia kabisa". ‎ ‎" okay hakuna shida ! Nataka niwahi nyumbani ili nijiandae niende kanisani". Alisema maria ‎ ‎" oooh wewe ni dhehebu lipi"nilimuuliza maria ‎ ‎" mimi ni mkatoliki ,wewe je ? ‎ ‎" hata mimi pia ni mkatotiki ‎ ‎" leo hauendi kanisani ??" ‎ ‎" Naenda ndo maana nafanya mambo yangu yote asubuhi " ‎ ‎" aaah apo sawa ngoja niwahi " ‎ ‎" Naomba niwe kampani yako leo" ‎ ‎" mmmmh jamani " ‎ ‎" mbona unaguna Maria? " ‎ ‎" Noo hakuna shida tukutane mbele kidogo ya duka la mangi kuna mti mkubwa nitakusubiri pale usichelewe" ‎ ‎" haha asante, na kwanini nichelewe? ‎ Wakati leo naongozana na Ua moja zuri " ‎" haya sawa mi naenda " ‎ ‎ ‎ ‎Basi alijitwisha ndoo mwenyewe akawa anaobdoka na mimi nilijitwisha yangu.kulikuwa na umande umande lakini nashukuru MUngu nilirudi nyumbani kwetu salama. Nilimwagilia bustani harak haraka . Na kufanya kazi zote haraka haraka lakini kwa umakini . Kisha niliingia kuoga. Baada ya muda mfupi nilitoka bafuni na kuingia chumbani kwangu . ‎ ‎Nilijifuta kila sehemu nikajipaka mafuta nikavaa vizuri kiatu kishapigwa kiwi.Vaa saa yangu yaani nilijicheki kwenye kioo nikasema " kioo hakidanganyi sana " ‎Nilijipuliza pafyumu nikijisemea " mmmmh kweli maria atanisifia hivi nilivovaa sijuwi? ‎ ‎Niliwambia wazazi wangu kuwa natangulia kanisani wataweza kunikuta huko .Nilitoka nikiwa natembea taratibu tu. Kila mwanmke niliyekutana naye alikuwa akigeuka kunitazama . Mpaka nikawaza nawashangaza au nawavutia? ‎ ‎Nilitembea nikampungia mkono mangi alikuwa akiendelea na shughuli zake za kila siku. Nilifika hadi tulipokubaliani lakini sikuweza kumuona mtu yoyote yule ‎Ikabidi nicheki saa bado dakika mbili muda wa makubaliano ufike ..... ‎ ‎" Enheee siku ya kwanza tu anataka avunje ahadi mmh! Huyu mwanamke " lakini kabla sijaongea zaidi nilishikwa bega niligeuka taratibu kutazama nani kanishika bega ‎Mashalaaah nilitahamaki kwa nilichokiona mmmmh kweli mungu ni fundi sana .... ‎Nilibaki nimekodooa macho yangu yaani siamini ninachokiona. Nilisema ni wewe kweli???????? ‎ ‎Mapigo ya moyo wangu yalizidi kwenda kasi, nilitazama kwa makini ....... ‎ ‎FULL 1500 ‎0699286085

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

MY HEART 03--04 Mimi siyo muongeaji sana ili siku ya leo ilinilazimu kubandika na kubandua stori ili tu kumfurahisha "Ni kiasi gani cha pesa unataka...." Mwanaume huyu aliuliza "Milioni sita...." Niliongea nikiwa najua Mwanaume huyu hawezi kutimiza "Nilitegemea ungesema milioni 100... unaonekana hujazoea kuomba pesa au Wanaume unaokutana nao si wazuri katika swala zima la kuhonga..." Mwanaume huyu aliongea huku akicheka Kwa kuwa sikuwa na akaunti ya benki ilinilazimu kuwasha simu yangu ili niwe na uhakika kama pesa imeingia kweli kwenye simu yangu baada ya kumtajia namba. Nilisikia mapigo ya moyo wangu yakiporomoka baada ya kukutana na ujumbe wenye idadi ya pesa inayo someka Milioni sita. Furaha niliyokuwa nayo ilikuwa kubwa sana "Naitwa Ali....." Ali aliongea kisha akaondoka, pamoja na kunywa pombe nyingi lakini hakuwa akipepesuka hata kidogo. Sikutaka kumuambia Tulla kuhusu pesa iliyoingia kwenye simu yangu. Asubuhi na mapema sana nilienda Chuoni kwa Jabir, hakukawia kuja kuniona baada ya kumpigia simu. Alianza kulalamika kuhusu kuzima simu siku ya jana. Nilitoa bahasha iliyokuwa na milioni tano ni kamkabidhi. Nilimuona Jabir akibabaika nilipompatia kiwango kikubwa cha pesa. Kwa kuwa hakuwa busy sana, tuliingia mtaani kutafuta chumba kwa ajili yake. Vyumba vya maeneo ya chuo vilikuwa ghali sana na hata sikuelewa kwanini Jabir kachagua kukaa nje. Tulifanikiwa kupata chumba kizuri kwa cost ya laki moja na nusu na si laki tena. Nilitaka kukataa lakini Jabir alinitazama kwa macho ya amekipenda. Kwa kipindi chote hiki hakuwahi kuuliza nafanya kazi gani, sikuelewa kwanini haniulizi lakini kwa namna moja au nyingine niliona ni sahihi kutouliza vitu ambavyo vingepasua amani kati yetu. Nilifanikiwa kutimiza furaha ya Jabir, chumba chake kilivutia kana kwamba siyo Mwanafunzi. Kwa mara ya kwanza kabisa alitaka tufanye mapenzi, sikuwa tayari katika hili....nilimkumbusha ahadi tuliyo wekeana. "Una hofu ya nini wakati wewe ndio mke wangu?....nimechoka kuvumilia" Jabir aliongea Kwa kuwa nilikuwa nampenda sikuona sababu ya kukataa na ukizingatia mazingira yangu ya kazi yalivyo magumu naweza kujikuta nimeipoteza bikira yangu kwa Mwanaume mwingine tofauti na Jabir. Sijui ni kitu gani kilinipata lakini nilijikuta ni kijisikia mnyonge kwa kupoteza usichana wangu. Jabir alinituliza kwa maneno mazuri....huu ndio ulikuwa mwanzo wetu wa kukutana kimwili mara kwa mara. Nilikuwa makini sana nisije kunasa ujauzito kabla ndoa. Jabir pia alikuwa makini sana katika hili. Huwezi kuamini lakini sikuwahi kumuona tena Ali na kila nilimpigia simu hakuwa akipatikana tena. Nilifikiria pengine ni Malaika aliyeletwa kwa kipindi hicho kunisaidia kuhusu shida ya Jabir. Maisha yaliendelea na hata Jabir aliingia mwaka wa pili, kwa namna moja au nyingine alibadilika. Hakuwa akisubiria nimpatie pesa ya matumizi kila mwisho wa wiki, alianza tabia ya kunipigia simu kuomba. Matumizi yake ya pesa yaliongezeka kwa namna fulani, mara nyingi simu yake ilikuwa ni kwa ajili ya kuomba pesa na si kunijulia hali wala kukumbusha kuhusu malengo yetu. Sikufurahishwa na hii hali.... nilihitaji kuzungumza naye kwa upana zaidi hivyo nilienda nyumbani kwake bila taarifa, niliamini kama nitaenda mida ya saa 12 asubuhi itakuwa rahisi kwangu kumpata. Nilipofika mlangoni kwake nilisikia kama sauti ya Mwanamke ikizungumza....nilihisi kuchanganyikiwa hivi. Niligonga mara moja, mlango ulifunguliwa....sikutaka kukaribishwa niliingia ndani nikiwa mwenye wingi hasira. Jabir alishtuka sana baada ya kuniona....nilimuona akijing'atang'ata. Kwa kuwa nilikuwa nimechoka sababu ya kukesha kazini, sikutaka kuongea chochote. Mwanamke wake alitaka kuniletea fujo, sikuwa tayari kupigana naye nilijishusha sana kiasi cha kuomba msamaha. Nilitembea njia zima nikiwa mnyonge, kabla sijafika nyumbani Jabir alinifikia. "Ulinicheleweshea pesa ya kodi, huyo Mwanamke aliomba nitembee naye ili atatue hilo tatizo" Jabir aliongea bila hofu "Pengine ulikuwa hujui, lakini pesa yote inayoingia tumboni kwako, inayolipa ada na kulipa kodi ya nyumba inatoka bar, nafanya kazi bar.... nafanya hivyo kwa ajili yako lakini ni kama napoteza nguvu zangu....hebu kuanzia sasa naomba ujitegemee" Niliongea ni kataka kuendelea na safari yangu Jabir alinikumbatia huku akinibembeleza kwa maneno mazuri, alidai wazazi wake wamekataa kumlipia ada hivyo ni ngumu kwake kuniachia Mimi mzigo wote. Akiwa kanikumbatia simu yangu iliita, nilishtuka kuona Ali anapiga simu. Nilizima kuepusha mengi *04* Nilitarajia Jabir angeniuliza kwanini nimezima simu lakini hakufanya hivyo. Niliondoka huku ni kimuomba anipe muda wa kufikiria kuhusu upuuzi alioufanya siku ya leo. Mida ya jioni ilipowadia nilielekea kazini, niliachia tabasamu baada ya kumuona Ali....mwaka mzima ulipita bila kuonana naye "Nilienda Nje kikazi na ndio sababu sikupatikana kwenye simu" Ali aliongea huku akiweka mezani boksi dogo la pafyumu. Mimi siyo mpenzi wa manukato hivyo sikuonesha dalili ya kuishobokea. "Bila shaka hupendelei manukato lakini hii zawadi ni kwa ajili yako" Ali aliongea "Baada ya demu wako kuikataa ndio unaniletea Mimi? pole sina interest na manukato" Niliongea "Bila shaka Mwanafunzi wako kakuumiza!....ni aibu binti mrembo kama wewe kutembea na watoto wasiojua matumizi ya pesa" Ali aliongea kisha akairudisha pafyumu kwenye koti lake Niliachia tabasamu kwa uamuzi aliochukua. "Nilitarajia nikirudi utakuwa umebadilika cha ajabu uko vilevile, hujui kuvaa wala kupendeza. Manager wako anakuacha kwa sababu ni ngumu kupata barmaids lakini ungekuwa kwenye ofisi kubwa sidhani kama ungetoboa hata miezi minne" Ali aliongea "Una miaka mingapi Ali...." Niliuliza "Oh, unataka kunilinganisha na Mwanafunzi wako?...na miaka 35 niambie nimemzidi mingapi" Aliuliza Niliachia tabasamu kwa mara nyingine, sikuona sababu ya kumzungumza Jabir mbele yake ila ukweli ni kwamba alimzidi miaka 9 na Mimi alinizidi 10. "Leo unataka ni kupe kiasi gani cha pesa" Ali aliniuliza "Siwezi kuchagua, yoyote utakayo nipatia itafaa" Niliongea "Okay, lini utakuwa na nafasi nikupeleke saluni na hata ni kufanyie shopping ya nguo" Ali aliuliza swali lililoshtua moyo wangu, tangu niwe mtu mzima sikuwahi kuulizwa swali hili na Mwanaume yoyote "Kesho nitakuwa free...." Niliongea nikiwa na shauku ya kuona ni kitu gani Mwanaume huyu atafanya. Siku ya leo alinitumia milioni tatu, hakuishia hapo aliniwekea pafyumu mezani akidai ilikuwa ni kwa ajili yangu. Nilijikuta ni kitamani angekuwa Jabir..... sikutaka kumvunja sana moyo niliichukua pafyumu. Kulivyo pambazuka asubuhi, nilimpelekea Jabir milioni moja na nusu. Alifurahi sana kupita kiasi.... chumba chake kilikuwa kichafu, ilinilazimu kumfanyia usafi. Sikuishia hapo nilimpikia chakula kizuri. "Nimekusamehe, naomba usirudie kukutana na Mwanamke yoyote yule tena....umebakiza mwaka mmoja umalize siwezi kushindwa kukuhudumia. Kama shida ni sex nipo hapa kwa ajili yako" Niliongea Jabir alinikumbatia....hakuishia hapo alinifanyia vitu vilivyo ni changanya sikuelewa kajifunzia wapi. Kwa siku zima nilishinda kwake na hata ni kasahau kuhusu Ali.....sikuwa najisikia kwenda kazini hivyo nilimtumia pesa Tulla aniombee ruhusa, bila rushwa asingeweza kunisaidia. "Utafunga mlango nawahi darasani..." Jabir aliniambia kulivyo pambazuka Nilimtakia masomo mema kisha Mimi ni kaendelea kulala. Ali alinipigia simu, sikujua ni kitu gani napaswa kuongea... nilijikuta nikiwa mzito kupokea simu yake. Nilihofia kama nitamzoesha kuwa napokea simu zake basi atakuwa anapiga muda wowote bila kuzingatia mipaka. Muda wa kazi ulivyokaribia niliondoka, sikuelewa ni kitu gani kimemzuia Jabir kurudi nyumbani. Nikiwa nimesimama barabarani nasubiria usafiri, nilimuona Jabir akiwa na Binti mrembo hivi aliyeonekana kuwa Wakishua mbaya mbovu. Sikutaka kuzingatia kwa sababu hawakuonesha dalili yoyote ya kuwa kwenye mahusiano. Niliingia kwenye daladala, nikakaa seat ya dirishani.... nilifanikiwa kumuona Ali akiwa anaongea na simu. Alikuwa kapendeza sana kana kwamba anaenda kwenye sherehe. Sikutaka kumzingatia niliendelea kuchat na Tulla kuhusu kazi. "Aisee wewe ni Mpuuzi kweli...nadhani ilikuwa ni mida ya saa saba mchana, kwa macho yangu nimemshuhudia Jabir akimfanyia shopping demu fulani hivi wa kishua.....najua huniamini but ipo siku utalia kama mbwa kwa kujitoa kupita kiasi kwa Mwanaume mwenye vichwa viwili" Tulla aliniambia baada ya kufika kazini Sikuwa na jibu la kumuambia, nilianza kuhudumia Wateja ilihali moyo wangu ukiwa na maumivu. Nilimuona Ali akija, sikutaka kuonana naye siku ya leo hivyo nilijificha.....pamoja na Tulla kunitaka niende kumhudumia lakini niligoma. Moyo wangu ulihitaji kuongea na Jabir na si kingine. Nilishika simu nikampigia lakini hakupokea. Nilifanya hivi zaidi ya mara kumi lakini hakupokea, mwisho kabisa simu ilizimwa. Wazo la kwenda nyumbani kwake liliniijia, nilimpa Tulla elfu 50 akanishikia nafasi yangu. Zamu yake huwa ni mchana, mida ya usiku huwa anakuja kudanga tu Nilisimamisha bajaji kisha ni katoa maelekezo Full 1000 Whatsp 0784468229

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

*MY HEART* *1---2 *________________________________________* *SEHEMU YA KWANZA* Kuna huyu mtu mmoja siwezi kulala bila kuongea naye kwenye simu....unaweza kuniona kichaa lakini siyo Mimi ni hisia nilizonazo juu yake. Najua watu wa familia yangu wanaweza kunishikia panga kwa kusema nipo tayari kutoa figo zangu kwa ajili yake. It's okay huenda wao pia wana mapenzi juu yangu kama nilivyo kwa Jabir. Sina uhakika katika dunia hii kama kuna couples wana haki ya kusema mapenzi yao yamedumu muda mrefu ukilinganisha yangu na Jabir. Tumekuwa wapenzi tangu utotoni, tukikumbatia ahadi ya maisha ya pamoja. Tulikua tukicheka na kuota ndoto za kuoana, lakini maisha yametulazimisha kukabiliana na changamoto. Sikuwa mzuri sana darasani, hivyo nilishindwa kuendelea na elimu ya chuo kikuu. Japo Jabir alifanikiwa kuendelea na Elimu ya chuo kikuu lakini maisha yake yalikuwa magumu sana. Tofauti na Nchi zingine, hapa Jijini Mini Serikali haikutoa mikopo kwa Wanafunzi wasiojiweza. Wazazi wa Jabir walikuwa na kipato cha chini sana, isingekuwa rahisi kwao kumudu gharama za Kijana wao hata kama wangesema wauze uwanja wao. "Sadie, kuliko niende chuo ni kadhalilike ni heri nifanye maarifa ya kukuoa....sisi bado ni vijana hivyo tutafuta pesa kwa njia nyingine na si kuweka matumaini katika elimu" Jabir aliniambia asubuhi moja akiwa kakata tamaa "Napenda nikae nyumbani nilee watoto wangu na si kushinda mtaani ni kitafuta pesa....ni lazima uende chuo nikijua utafanikiwa. Niamini Mimi huwezi kudhalilika kwa kushindwa kulipa ada.... nitafanya maarifa pia, miaka mitatu siyo kitu" Niliongea "Maarifa?....ni maarifa gani hayo utafanya, Wazazi wangu na jamaa zangu wameshindwa katika hili, niambie Sadie ni kitu gani utafanya..." Jabir aliuliza akionekana kuwa na hofu "Sijui ni kitu gani nitafanya, lakini kwa kuwa napenda kuwa Mama wa nyumbani pindi utakaponioa ni lazima nikusaidie kwa sasa, naomba usiwe na shaka." Nilimuambia Jabir Kitu kinachonifanya nimpende zaidi ni vile anavyokuwa mwepesi kunielewa kila tunapoweka mezani hoja ya kujadili. Kwa kuwa siku ya kesho ndio alikuwa anaenda chuo nilirudi nyumbani mapema, Wazazi wangu walikuwa shamba....bila kufikiria mara mbili mbili nilimkamata jogoo aliyenona kuliko wote nikamchinja. Ndani hakukuwa na mafuta, nilienda dukani kwa Masele nikachukua mafuta huku nikiweka ahadi ya kupeleka pesa siku ya kesho. Nilimkaangia kuku yote Jabir kisha ni kampelekea kwa siri kubwa. "Hifadhi hizi nyama, zitakusaidia kwa siku tatu au zaidi utakapo kuwa chuo" Niliongea "Sadie, Baba yako atakuua.... naomba urudi nayo" Jabir aliongea "Hata nikirudi nayo haiwezi kuwa jogoo tena....nitajua ni kwa namna gani nitamalizana na Baba yangu naomba upokee hii zawadi" Niliongea kisha ni kambusu Jabir Sikuwa tayari kuyatazama macho yake, nilikimbia huku mapigo ya moyo wangu yakiwa juu. Pamoja na kwamba Mimi na yeye tumetoka mbali, hatukuwahi kukutana kimwili hata siku moja. Mara nyingi huwa tunaishia kukiss....tena ni ile kiss ya shavuni, kwenye paji la uso au mkononi. Niliporudi nyumbani, nilikuta Baba yangu kashika bakora, sikutaka kujieleza zaidi ya kumtegea mkono. Alinichapa mpaka hasira yake ilipokata "Usiniambie Jogoo wangu kaishia tumboni kwa Jabir!" Baba alifoka "Kabla wiki haijaisha nitakuletea jogoo mwingine, nisamehe Baba" Niliongea kwa kutia huruma Baba yangu hakuongea chochote alitupa fimbo chini akaenda ndani. Nilimgeukia Mama nione kama ananionea huruma lakini aliniangalia kwa hasira ni wazi kabisa nilimdhalilisha. Kulivyo pambazuka asubuhi niliekea kwao Jabir, sikutaka nionekane hivyo nilijificha nyuma ya mti. Nilimshuhudia kipenzi cha moyo wangu akiagana na watu wa kwao. Tabasamu lilitanda usoni mwangu baada ya kuona kashikilia kifuko nilichomuwekea kuku wa kukaangwa. Nilitangizia kwa mbele... nilihitaji nimpatie maneno mazuri kabla hajaondoka. "Jabir.... naomba usisahau kama nakupenda, nenda kasome kwa kujiamini. Nitajitahidi kila mwisho wa wiki nije kukuona....maisha ya hostel yanaweza kuwa magumu ila na kuhakikishia kila kitu kitakaa sawa" Niliongea Kwa mara ya kwanza kabisa, Jabir alinibusu mdomoni.....nilijikuta ni kimtazama bila kummaliza. "Nitahakikisha nafanya vizuri....naelewa Mke wangu anapenda kukaa nyumbani na watoto wake hivyo nitahakikisha na kaa kwenye ofisi ili yote hayo yatokee" Jabir aliongea kisha akaondoka Nilibakia kumsindikiza kwa macho, mwendo wake wa kunesa kidogo ulipasua moyo. "Jabir nakupendaa" Nilimpazia sauti baada ya kuona anatoweka kwenye upeo wa macho yangu *02* Nilirudi nyumbani nikiwa mnyonge, moyo wangu ulilipuka baada ya kumuona Masele (Muuza duka) kaja kudai pesa yake. "Asubuhi namna hii unakuja kuchukua pesa.... Mimi siyo ATM ukichomeka kadi yako unaondoka na pesa, kaendelee na shughuli zako nitakuletea muda niliochukua mafuta" Niliongea "Mtaa mzima umeujaza madeni laiti ningejua wala nisingepokea chupa yako kuweka mafuta" Masela aliongea kisha akaondoka Maneno yake hayakunishtua, kila nikilikumbuka busu la Jabir nilihisi ganzi mwili mzima. Nilihitaji kutafuta kazi ili niweze kumsupport Jabir wangu kwa namna moja au nyingine.....nilitamani kwenda nje kabisa ya Jiji la Mini kusaka pesa, changamoto iliyo nikabili ilikuwa ni nauli. Kama nitasema niuze simu yangu basi ningekosa mawasiliano, kama mnavyojua siwezi kulala bila kuongea na kipenzi cha moyo wangu. Niliachana na wazo la kwenda nje ya Jiji la Mini. Nikiwa nimetulia nyuma ya nyumba yetu, rafiki yangu Tulla alikuja kunitembelea. Kazi yake ni barmaid katika bar moja maarufu Jijini kwetu. Mara nyingi huwa nakwepa kuonana naye kwa sababu ya tabia zake za ulevi. "Nasikia Jabir kaenda chuo, muda si mrefu utalia kilio kisichoelezeka sababu ya maumivu. Chuoni kuna wadada warembo kupita kiasi halafu hawanaga njaa...kwa namna Jabir alivyo mzuri lazima atapata sponsor wa kike amuweke mjini....huna haja ya kumfikiria tena" Tulla aliongea Niliachia tabasamu kwa maneno yake, tangu nimfahamu hajawahi kubariki uhusiano wangu na Jabir, kila siku amekuwa ni mtu wa kuona kasoro. Mwanzo nilikuwa na kasirika lakini baada ya kuzoea maneno yake niliona kawaida "Oyaah, nitafutie nafasi hapo kazini kwenu ila naomba niwe nafanya usiku....kama unavyojua familia yangu wakijua nafanya kazi bar wataniua" Niliongea "Kama uliweza kumpelekea Jabir jogoo wa Baba yako na hujauliwa sembuse na kufanya kazi bar, kuwa muwazi just say unaogopa kutemwa na Jabir akisikia mkewe mtarajiwa amekuwa barmaid. Kabla sijakutafutia nafasi naomba kusikia why unataka kufanya kazi hatarishi kama hii" Tulla aliongea "Na madeni kuanzia nyumbani na huko madukani kote....nahitaji kulipa madeni ya watu. Pia nataka niwe mrembo zaidi ya hapa, kila mwisho wa wiki lazima niende kumuona Jabir chuo. Sitaki adhalilike sababu ya muonekano wangu" Niliongea "Mbwa wewe, ngoja ni kutafutie kazi halafu nije kusikia unamsomesha Jabir wallah nitakuua" Tulla aliniambia Niliachia tabasamu baada ya kusikia atatafuta kazi kwa ajili yangu. Tuliongea mawili matatu, baada ya kusikia sauti ya Baba yangu Tulla alikimbia, anamuogopa Mzee wangu kupita kiasi. Nilijikuta nikicheka baada ya kumshuhudia akidondoka. Siku iliyofuatia Tulla alinitumia ujumbe kuwa kazi imepatikana, ili kusaidia gharama za masomo ya Jabir pamoja na matumizi yake niliamua kufanya kazi kama barmaid. Mwanzo nilipata changamoto ya kukabiliana na Walevi lakini kadri siku zilivyoenda nilizoea. Ingawa kazi hii ilikuwa na manufaa lakini nilijitahidi kuficha ukweli huu kwa Jabir nikihofia kudharaulika na kuachwa kabisa. Ilifikia hatua ni kakosa kabisa muda wa kuongea na Jabir hasa majira ya usiku kwa sababu ya kuhudumia Wateja. Jabir hakuwa mtu wa kulalamika hasa baada ya kumweleza najisikia hatia kuzungumza usiku ilihali nimelala na mdogo wangu ambaye anaelekea kubalehe. Kila Jumapili nilihakikisha naenda kumuona nikiwa nimebeba zawadi pamoja na pesa za matumizi. "Maisha ya hostel ni magumu, nataka nipange nje ili iwe rahisi kuja kunipikia siku za weekend na hata kuzungumza mambo yetu, shida nahofia kuhusu kodi. Kama unavyojua familia yangu wanaweza kunilipia nusu ya ada na nyingine unatimiza wewe, kama nitapanga nje itakuwa changamoto zaidi" Jabir aliongea Nilitamani kumzuia kuhusu wazo lake la kupanga lakini kwa kuwa aliamini nitaweza kumlipia kodi nilikubali. "Vyumba vizuri ni vile vyenye gharama ya laki moja kwa mwezi vinakuwa na choo ndani, kama unavyojua Mimi ni Mwanaume ni aibu kupigizana kelele kuhusu usafi na wanawake...." Jabir aliongea kana kwamba nimekataa "Darling, nitalipia huna haja ya kuwaza....na kuhusu vitu vya ndani nitaweka pia, tafuta chumba then utanijulisha" Niliongea Jabir alinikumbatia baada ya kuona naweza kufanya kila kitu kwa ajili yake. Nilirudi nyumbani nikiwa mnyonge.....akili yangu ilikuwa imechoka sana hasa nikifikiria ada, kodi ya pango, kodi ya tumbo la Jabir pamoja na furniture za ndani kwake. Sikumbuki hata nililala saa ngapi nilikuja kushtuliwa na kelele ya alarm. Muda wa kazi ulikuwa umefika hivyo nilisepa "Siku hizi unashika sana pesa lakini sioni ukipendeza wala kununua simu kali....japo mtaani umemaliza madeni lakini siku ya jana Baba yako kaniomba pesa....Sadie usiniambie kila pesa unayopata inaenda kwa Jabir!" Tulla aliongea baada tu ya kutia mguu kazini Kabla sijamjibu kuna Mteja aliingia, nilihitaji kumchangamkia nikiamini ataniacha chochote kitu pindi atakapotaka kuondoka "Karibu boss....naweza kujua unahitaji kinywaji gani" Niliongea huku nikiachia tabasamu Mwanaume huyu aliniangalia kwa kunikadiria kuanzia chini mpaka juu "Usiniambie Manager hawapi mshahara kwa wakati ukapandezesha nywele zako..." Mwanaume huyu aliongea kisha akageuka huku na kule kuangalia Mhudumu mwingine....nilitaka kuondoka lakini alinizuia "Kidogo umejisitiri mwili wako ukilinganisha na wenzio, niletee pombe yoyote unayohisi itanilewesha" Mwanaume huyu aliongea kisha akaelekea kwenye kiti kilichokuwa kwenye kona. Nilimletea bia ambayo niliamini itamulewesha mapema, hakuwa mtu wa kupenda kuongea. Alilipa pesa kwa Matron kisha nikaa kumpa company, ni wazi kabisa alikuwa na msongo wa mawazo "Oh sorry, ni kama nimekufungia bahati ya kupata pesa.... usijali hujakaa hapa bure nitakulipa pesa nzuri tu, kuliko unitazame tu kwanini usiongee chochote" Mwanaume huyu nisiyemfahamu jina aliongea Kabla sijaongea chochote simu yangu iliita, sikujua Jabir ana shida gani ilihali nimeshamzuia kupiga simu usiku. Sikuwa tayari kumkwaza Mteja aliyeahidi kunilipa pesa nzuri, niliizima simu Full 1000. Whatsp 0784468229

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

Title: Jessica’s Joy As told by Jessica Wagner For Straight From The Heart Series Episode 2 People always saw me before they knew me. Not because of my smile or my cheerful spirit—no. Because I’m small. Diminutive. The kind of small that makes people pause, then whisper when you walk by. I’m the last of six children. All my siblings are tall—commanding, elegant in presence. But me? I stopped growing early. No one really knew why. Some said maybe it skipped a generation. Maybe there was someone like me down the ancestral line. I never found the answer. I grew up in Benue, loved by my family, but not spared by the world. "She go grow pass like this?" "Na so she go small reach her wedding day?" By the time I turned 29, most of my mates were married or living on their own. My social media was a daily parade of bridal showers, baby bumps, and glowing couple photos. I remained at home—still petite, still unmarried, and feeling like life had dealt me a slow, cruel hand. But if I lacked in height, I never lacked in beauty and brains. My long, boisterous hair was the envy of many. And my parents—bless them—never let me settle for less. They gave me the best education they could afford, hoping it would open doors for me. It did. I got a great job at the bank and rose steadily to become Operations Manager of my branch. But still, the mockery followed me. "Jessica no go marry oh." "Even if man marry her, na her size she go born." It hurt. Deeply. I cried into my pillow many nights. I questioned God. I wondered if this was how my story would end—accomplished, but alone. Then one day, my grandfather called me to the village. He sat me down under the mango tree he had planted the year I was born. He looked into my eyes, gently and firmly, and said: “Jessica, there’s a man for every woman, and a woman for every man. Your own man will come, no matter how long it takes.” His words settled into my soul like sunlight on a cold morning. I returned to Abuja with peace in my heart—even if I didn’t understand how it would all unfold. Three years later, at our bank’s anniversary party—where all branches came together—I met Austin. Tall. Soft-spoken. Gentle-eyed. He worked in a different branch and had German ancestry—his mother was Nigerian, and his father, German. He listened with his eyes before his mouth ever spoke. He offered me small chops, made me laugh, and made me feel seen. We talked. We danced. And then he said something I’ll never forget: “You are the most beautiful woman in this room.” I thought he was just being polite. But he kept coming back. Calling. Visiting. Showing up with consistent love. For months. People mocked him too. "You sure say na this one you wan carry go house?" "She go born her kind, oh." But Austin never wavered. “Jessica,” he told me, “they don’t see what I see. And that’s okay.” At 38, I walked down the aisle and said “I do” to the king of my heart. And six years later, we’re still going strong—happily married and blessed with two vibrant children: a boy and a girl. 'Not of my kind', as people had speculated, but truly of my womb—strong, healthy, full of laughter and life. Now when I sit in our living room and look at Austin and our kids, I smile and whisper: “Grandpa, you were right.” There is a man for every woman. There’s joy after mockery. Hope after heartbreak. Light after waiting. My name is Jessica Wagner, a wife, a mother, a career woman. I may be small in size, but I carry a mighty testimony. And if you’re reading this with a physical challenge, disability, or anything the world has used to make you feel less than—hear me: You are not less. You are more than they know. Love is not for the perfect—it is for the willing, the patient, and the true. Your sunrise is coming. Hold on. Don’t give up before the light. #jaybeeseriesandmedia #straightfromtheheart #highlightseveryonefollowers2025 #highlight #highlights #highlightseveryone #fypシ゚ #fypシ゚viralシfypシ゚ #dimunitive

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

BRAINY BELLE???????????? 01 Inawezekana Mama yangu alivyokuwa mjamzito alimpenda sana Baba yangu kupita kiasi????????. Nasema hivi kwa sababu nimefanana na baba hadi namna ya kutembea☹????????. Kama tungekuwa tunalingana I think Walimwengu wangetuita mapacha????????. Kuitwa brother nikiwa nimevaa nguo za kiume???????? ilikuwa ni kugusa????. Pamoja na Mama kunitengeneza hivi na vile lakini bado nilionekana kama Mwanaume????????☹ "Huoni kama kavaa hereni masikioni????, unawezaje kusema atamuoa Binti yako huko mbeleni????????, hakika umenikosea????" Mara nyingi Mama alivutana na Wanawake wenzake tunapokuwa kwenye shughuli???????? Niliamini pindi nitakapo balehe muonekano wangu utabadilika????????☹. Lakini hata baada ya kuanza kuvaa pedi sikutanuka nyonga kama mabinti wengine????????. Matiti yangu yalikuwa madogo sana hivyo sikuwa na haja ya kuvaa brazia????. Ilifika mahali nikamzuia Mama kuhangaika kunitengeneza????????, nilijivunia kufanana na Baba yangu☹. Nilikuwa na akili sana darasani kupita kiasi????????, siku ya mahafali yetu ya kuhitimu kidato cha nne, nilipewa jina la utani kama Brainy Belle na Mhe. Waziri Mkuu aliyekuwa mgeni rasmi????????. Matokeo yangu mazuri yalimfurahisha sana Baba na Mama????????. Kaka zangu walikuwa warembo kama Mama yangu hivyo hata matokeo yao darasani yalikuwa ni ya kirembo zaidi????????. Wazazi wangu walikuwa na pesa za kutosha hivyo hata kama Kaka zangu watazingua darasani uhakika wa kumiliki pesa chafu ulikuwa ni mkubwa????. Pengine ndio sababu walikuwa wazembe sana darasani???? "Natamani kuwa Rais wa kwanza mwenye jinsia ya kike????????, nitafurahi kama historia yangu itasomwa na Kaka zangu warembo" Jioni moja tukiwa tunakula nilizungumza "Belle! ndoto yako ni kubwa sana nani atakuoa sasa????" Mama yangu aliongea kwa mshangao "Hakuna sifa nzuri kama kuwa Mama wa Nchi hii????????, kuolewa ni ndoto nyingine nitaanza kuifikiria pindi nitakapofikisha umri kama wako????????" Niliongea "Huko mbeleni nitakuwa na amani sana????, kufahamika kama Kaka wa Rais wa Nchi hii itakuwa sifa sana kwangu????????, endelea kufikiria ndoto kubwa my dear sister????" Kaka yangu mkubwa aliongea kwa heshima na kufanya watu wote tucheke. Kwa kuwa wazazi wangu walikuwa na pesa nyingi????, elimu ya kidato cha tano na cha sita nilisoma katika shule za international.???????? Matokeo yangu yalikuwa mazuri sana????????..... Baba yangu alipendekeza niende Chuo Kikuu cha Uchumi kilichopo China kinacho julikana kama "Zhejiang University of Finance and Economics" (ZUFE)????????. Kutokana na maelezo yake ni moja ya vyuo vikuu maarufu vinavyotoa mafunzo katika masuala ya uchumi na fedha????????. Wazo lake lilikuwa ni nzuri sana lakini kwa kuwa nilikuwa na imani na Vyuo vinavyopatikana Nchini kwetu nilipendekeza kubakia Jijini Santos????????. Mara ya kwanza kutia mguu katika Chuo Kikuu Cha Santos nilishangazwa na namna mabinti wa kike walivyovaa nusu uchi????????. Nilionekana kama mshamba hivi kwa kiwango kikubwa????????, sikutaka kujionesha kuwa sina njaa kama wao???????? wanavyofikiria????????????????. Hakuna hata Mwanaume mmoja aliyekuwa ananitazama kwa macho ya matamanio kama watu wengine????????. Kila kitu kilibadilika baada ya kufanya mtihani wa kwanza????, matokeo yangu yalikuwa mazuri sana kuliko watu wote????. Kitu kilichowaacha midomo wazi ni pale Waziri Mkuu alipotembelea Chuoni kwetu kisha akaomba apige picha na Mimi????????. Wanafunzi wengi pamoja na Wakufunzi walianza kunichangamkia kupita kiasi????????????????. Kila mmoja alitamani kuwa rafiki yangu????, sikuwa ni kijua chochote kuhusu mapenzi lakini nilianza kupokea usumbufu kutoka kwa Wanaume???????? Itaendelea ???? Stor by Nash Whtsp 0773792227 Full 1000 tu

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

MIMBA YA BESTMAN 7 Mulky alikuwa kajiinamia anaangalia chini , Yasini alimshika begani huku akimuita jina lake. " Mulky.... Mulky alinyanyua kichwa akamuangalia " Mulky mke wangu hakuna mtu yoyote wa kuingilia maisha yetu naomba upuuzie kile ulicho tokea . " Nawezaje kupuuzia wakati kilichoongelewa kina ukweli ? Familia yako inatamani kuona unaitwa baba wanatamani kuona watoto waliruka ruka ndani ya hili jumba hata mama yako nahisi anatamani sana ila hajawa na ujasiri wa kuniambia. " Hata kama hawawezi kuingilia maisha yetu. Na kuhusu mama yangu hana Uswahili huo anaamini Mungu ndio mpangaji na mtoaji kwa yule ambae amepanga kumpa .Mulky mke wangu kuwa na amani baada ya muda fulani mambo yatakuwa sawa hata hiyo mtoto atapatikana. " Kila siku umekuwa ikiniambia hivyo kwani hiyo siku haifiki mume wangu? " Ipo siku itafika tunakotoka ni mbali na tunakoelekea ni karibu mke wangu kipenzi endelea kuwa na subira. Safari hii mulky hakujibu alimuangalia tu .baada ya hapo alinyanyuka akaenda kuungana na wageni. Wageni walipokuwa wanaondoka mama yake Yasini alisogea pembeni na mulky . " Mwanangu msameje shangazi yako huwa anapenda kuongea sana. " Usijali mama mimi nipo sawa. " Sawa Mwenyezi Mungu atakujalia upate familia iliyo bora na kizazi chema. " Ameeen mama. Baada ya kuongea aliwasindikiza mpaka getini kisha akarudi ndani. Siku zilienda huku mulky akiwa anavumilia alishindwa kuchukua maamuzi magumu sababu alikuwa anampenda sana mume wake . Siku moja Yasini alimuaga mke wake alikuwa anaenda safari nchini Dubai kwaajili ya biashara zake. Siku ya safari mulky akimsindikiza mume wake uwanja wa ndege. " Nakutakiwa safari njema. " Asante mke wangu na wewe ubaki salama pia kuwa muangalifu kuangaliwa sana. " Usijali " Sawa ubaki salama. " Sawa. Walimaliza kuagana Yasini aliingia ndani kusubiri kusubiri muda wa ndege kuondoka ili waanze safari na Mulki alielekea kwa rafiki yake Hamida. Siku hiyo mulky aliamua kumueleza kila kitu Hamida. " Hamida naomba nishauri nifanye nini sina amani kwenye ndoa yangu. " Wewe unataka kuniambia Yasini anakutesa au anakunyanyasa? " Hapana hajawahi kunifanyia hivyo ila....... Alipofika hapo alitulia kwanza. " Ana nini niambie basi. Mulky aliendelea kukaa kimnya na Hamida alionekana kuwa na shauku kubwa ya kujua. " Usiniambie Yasini ana mchepuo. " Hapana hana mchepuo. " Sasa nini? " Tangia nimefunga ndoa sijawahi kukutana kimwili na mume wangu. Hamida alishangaa " Kheeeee wewe unaishijevsasa kwenye ndoa ya aina hiyo na kwanini anakufanyia hivyo? " Nahisi kuna tatizo lakini haniambii tatizo lake . " Sasa umeamuaje? " kwa sasa sijaamua chochote ila mbaya zaidi shangazi yake alikuja anataka mtoto. " Mmmmh ndugu wa mume wameanza mbona kama watakusumbua sana? " Ni huyo tu lakini mama mkwe wangu hana shida kabisa. " Kuna kitu nataka kukishauri kama utaweza basi kutachukua ushauri wangu. " Nipe ushauri. " Kuishi hivyo bila yake mambo yetu ya kikubwa ni uongo unaonaje kama utapata jamaa wa pembeni ukamaliza shida zako kwa siri? Mulky alishituka " Unamaanisha nimsaliti mume wangu? Vipi akijua? " Kwani utamwambia? " Hapana nishauri kingine hicho siwezi. " Kama hutaki basi lakini tambua utakuwa kwenye ndoa iliyojaa maneno mengi na itakushinda. Mulky aliona kama Hamida anazidi kumchanganya hakupata nafuu ambayo alihisi atapata baada ya kumwambia. " Acha niende nitakuja wakati mwingine. " Kwahiyo ndio ningekufukuza au? " Hapana Mulky alinyanyuka akaondoka. Alifika nyumbani kwake akiwa hayupo sawa kabisa alijitupakwenye kochi akawa anafikiria ushauri wa Hamida. " Sijawahi kuchepuka na wala sitamani hilo litokee. Akiwa bado yupo kwenye mawazo mlango uligongwa . " Karibu fungua mlango uko wazi. Mlango ulifunguliwa Sameer akaingia huku akiwa Kawambwa na tabasamu mwanana usoni mwake na Mulki alimpokea kwa tabasamu. " Karibu Sameer " Asante shem, uko poa? " Niko poa. " Mbona kama umepooza hivi au sababu jamaa kaondoka? " Inawezekana ikawa hivyo si unajua wawili ni wawili tu. " Ni kweli lakini usijali nipo hapa nitakuliwaza japo kuwa sitamfikia jamaa. Mulky alitabasamu tu " Unaonaje tukicheza game kidogo " Sawa. Walicheza game kidogo mulky alichangamka na kusahau maneno ya Hamida. Muda ulienda Sameer aliaga . " Shem muda umeenda acha niondoke sasa " Sitamani hata uondoke . " Hahahaha nitakuja siku nyingine. " Naomba iwe kesho tafadhali. " Sawa nikitoka kazini nitapita. " Nitafurahi sana kukuona doctor Sameer. Siku zilizidi kwenda Mulk y na Sameer walikuwa wanaona kila siku na walikuwa kama marafiki na kila mmoja alijali mipaka yake. Siku moja Sameer akiwa nyumbani kwa Mulky mvua kubwa sana ilinyesha na huko nje kulikuwa na ukungu sana kila Sameer alipotaka kuondoka Mulki alimzuia. " Hali ya hewa ni mbaya sana bora ubaki tu . " Nitabaki vipi nyumbani kwa mke wa mtu ikiwa mwenyewe hayupo? " Mmmh unaanza kukuza mambo kwani tunalala chumba kimoja ? Vyumba vipo vingi sana hapa. Mulky alimsihi sana mpaka Sameer akakubali kubaki. Mulky alienda kuandaa chumba kwaajili ya Sameer kulala alipomaliza alienda kumuita na kumuonyesha. " Shukran sana shemeji acha mimi nipumzike. " Sawa uwe na usiku mwema " Na kwako pia. Mulky alitoka pale chumbani na kufunga mlango kisha akaenda chumbani kwake. Baada ya nusu saa mulky alikumbuka hazina taa za jikoni ilimbidi atoke akiwa kavaa night dress yake fupi hakuwa na wasiwasi alijua Sameer hataweza kutoka . Alienda akiwa jioni kainama ghafla Sameer alifika akawa kasimama na kumuangalia Mulki kwa mshangao mkubwa , Mulky nae alipogeuka alimuona Sameer akiwa kasimama anamuangalia kifua kukiwa wazi na chini alivaa bukta fupi. Full 1000 0784468229

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

PART 10:(FINAL) : MTI UNAOMWAGIKA DAMU Mganga aliongeza "Mizimu imekubali maombi yetu, ardhi imepona" Kuanzia siku hiyo mabadiliko makubwa yalionekana hapo kijijini. Maisha yalilejea kama zamani. Watoto waliiacha kuumwa Kila mara Watu waliacha kusikia sauti zile za kuogofya usiku. Ule mti ulikaa mahara pake. Watu watu hawakusahau tukio lile kamwe. Kila mwaka waliadhimisha siku hiyo kwa Sherehe zilizoambatana na shughuri za kusafisha sehemu za mti ule pamoja na kupanda maua. Hadithi ile ya kweli ilibaki kuwa urithi wa vizazi vyao. Siku zilienda sana hata Mwandamo, mtoto jasiri wa kiume amekua. Mwandamo akawa mtu mwenye hekima na busara zaidi pale kijijini. Watu walikwenda kwake kuomba ushauri wanapokuwa na shida. Watu wengine wanasema "Mwandamo amebarikiwa na miungu hata kuonyeshwa vitu ambavyo wengine hawakuviona kabla" Hata Mwandamo akawa na msemo wake kuwa "Ukiuficha ukweli dhambi itakuukumu, na ukiuweka bayana ukweli hata mti utiririkao damu utakusamehe" Mwisho Funzo: Ukweli umuweka mtu huru. Hakuna haja ya kuuficha hata kama unaumiza kwa wakati huo. Wahenga husema "Heri ya nusu shari kuliko shari kamili" Dhambi unayotenda leo na ukaificha, itawahukumu vizazi vyako kama si wemwenyewe hapo baadae" Tuwe na hofu ya Mungu Nawapenda na kuwashukuru kuwa nami kwenye simulizi hii Mpya inakuja hivi punde ???? ni followLipeta S Shaaban

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

PART 9: MTI UNAOMWAGIKA DAMU "Ilikuwa upofu, historia yetu ilifichwa, Leo tumeikunjua moyo wetu na bila shaka mizimu italala kwa amani" Alisema mwenyekiti wa kijiji Yule bibi kikongwe alisogea mbele taratibu huku akiwa ameshika njiwa weupe wawili. Alipofika akauzunguka ule mti mara kadhaa kisha akawaachia wale njia nao wakaruka juu wakapotea huko. "Nanyi roho zetu zipeperuke kwa amani" Alisema bibi kikongwe huyo. Taratibu damu ikaanza kukata. Ule mti ukanyooka kama ilivyokuwa awali. Magome ya huo mti ukawabadirika na kuwa nyeusi. Amani ikaanza kunawiri. Watu walipiga makofi na wengine wakapiga magoti. Wangine walilia kwa furaha. Anga likaanza kung'aa Mwandamo naye akasogea mbele bila hofu. Alikuwa ameshika kipande cheupe cha nguo. Alipofika pale kwenye mti akaufunga kwa kile kipande chake cha nguo . "Hii ni kwaajili yenu, mwanzo mpya na uanze" Alisema Mwandamo Shangwe likafuata. Wanakijiji wakafurahia. "Maombi yetu yamekubaliwa" Alisema Mganga na kuendelea "Amani imerejea" Vifijo na nderemo ikasikaka Tena Kipi kiliendea Baada ya hapo? Usikose sehemu ya 10 na ya mwisho hapo baadae Lipeta S Shaaban

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

ANIPHA 6--7. Mtunzi.. Sehemu ya 6. Nilifika Arusha mida ya jioni sana nikaa pale stendi sasa, nikimsubiri mtu anaekuja kunipokea Baada ya muda kidogo alikuja mdada lakini kwa kumuangalia tu yeye ni mkubwa kwangu hivyo nilimsalimia na Baada ya hapo tukapanda kwenye gari aliyokuwa amekuja nayo huyo mdada. Safari iliishia kwenye Nyumba nzuri tu ina geti kali, bustani kwa nje na swimming pool nzuri, yani Nyumba ilikiwa nzuri kabisa kwa matumizi ya binadamu 😂😂😂🙌, si mnajua tena me mshamba jamani. "Anipha karibu sana nyumbani, tutakuwa tunaishi wote hapa" "Asante sana dada" "Me Naitwa Mainda, niite tu hivyo sawa anipha" "sawa hamn shida" "aya twende ukaone chumba chako, kesho Ndio nitakupeleka Sehemu ya kazi sawa" "sawa Mainda" Mainda alinionyesha chumba changu na Baada ya hapo nikaingia bafuni kuoga, kisha nikaelekea seblen kula nilikuwa na njaa kali sana maan sikula chochote safari nzima. Baada ya kula niliingia chumbani kwangu kulala ili kesho niwahi huko kazini kwenyewe sasa. Asubuhi, niliamka nikajiandaa kama kawaida yangu nikavaa kijora changu pambe hapo na tundala twangu twa kidada basi, nikaelekea sebleni kumsubiria Mainda Baada ya muda akatoka chumbani kwake tukaondoka. Mainda alipaki gari yake mbele ya duka kubwa tu tukashuka na kuingia ndani, lilikuwa duka la nguo kila aina za wadada, za wakaka mpka watu wazima, kiufupi duka lilikuwa kubwa sana na kila nguo ilikuwa na bei yake hivyo ilikuwa rahisi kwangu mimi kufanya kazi. "Sasa Anipha hapa Ndio kazini kwako kuanzia leo, ila mimi ninafanya kazi hapo mbele sio mbali sana na hapa kwa hiyo nitakuwa nakuja kukuchukua muda wa kurudi nyumbani sawa" "sawa dada, aah mainda" "sasa mamy kazi njema eti, badae" "asante kwako piah mainda" Mainda aliondoka na kuniacha pale dukani, nikaanza kufanya fanya usafi na kupanga nguo mule dukani na Baada ya hapo sasa nikaa kisubiri wateja waje. Nikampigia simu dada Tina, kumwambia kuwa mimi sipo nyumbani kwani sikumpa taarifa yoyote. "Sasa baba amebaki na nani jaman anipha" "baba si kabaki mwenyewe jamani, alafu yeye Ndio kanitafutia hii kazi dada kwa hiyo usiwe na wasi wasi sawa" "sawa uwe makini sawa, badae kuna kazi nafanya hapa" "sawa dada" Baada ya kukata simu sikiwa na cha kufanya zaidi ya kucheza game la nyoka tu kwenye kiswaswadu changu 😂😂😂🙌. Nikiwa busy na game langu aliingia mdada na kuanza kuchagua nguo na mimi nikaachana na simu na kuanza kumuangalia mteja wangu, yule dada alichangua nguo mbili tu kisha akalipia laki moja. Hapo sasa mimi nikawaza kama ingekuwa ni vijora si vingekuwa kumi maan kijora kimoja ni shilingi elfu kumi 😂😂😂🙌lakini yeye kanunua nguo mbili tu jamani ila hata mimi ni bahili nyie acheni. Baada ya hapo wateja wakaanza kuja sasa na biashara ikachangamka ila Kuna mteja mmoja alinunua nguo nyingi sana za kike na kuime n akaziacha hapo dukani na kusema kuwa kuna mtu atazifuata jioni na mimi nikazifunga vizuri kabisa nikazitunza. Nilikaa dukani mpka mida ya jioni lakini hakuna mtu yeyote alikuja kuchukua zile nguo mpka Mainda anakuja kuni chukua, ikabidi nimueleze Mainda akasema hamna shida atakuja tu kizichukua hivyo tukafunga duka tukaondoka kwenda nyumbani. Itaendelea........... Simulizi.. ANIPHA 😂😂. Mtunzi... ya 7. Kesho yake asubuhi kama kawaida tulijiandaa mimi na mainda, tukanywa chai Baada ya hapo mainda alinipitisha dukani na yeye akaelekea kazini kwake. Nilianza kufanya usafi Baada ya usafi nikakaa sasa kusubiri wateja . Muda sio mrefu yule kaka wa jana akaja dukani . "karibu sana kaka," "asante, jana nilipata dharula kidogo na Ndio maan sikutuma mtu wa kuchukua hizo nguo Samahani sana" "hamna shida kabisa kaka nguo zipo tayari ngoja nikuletee" "sawa, me naitwa Brown Niite tu hivyo sawa" "sawa hamna shida" Nikasema watu wa Arusha hawapendi ukubwa kabisa jamani khaaa 😂😂, ila hata mimi nina umbea jamani. Nilifuata zile nguo na kumkabidhi yule kaka yani Brown. "asante sana, chukua hii kadi yangu kuna namba zangu hapo naomba unitafute sawa Samahani lakini" "sawa brown hamna shida" Brown aliondoka dukani na kuniachia kadi yenye namba zake, nikachukua zile namba nikaandika kwenye simu yangu na nikasave kisha nikaendelea na mambo yangu. Nilikuwa najitaidi kuwa busy ili nisimuwaze kabisa Allen kwani bado nilikuwa nampenda sana kiasi kwamba sio rahisi kwangu mimi kumsahau Allen lakini ndio hivyo. Basi wiki inaishi nikiwa katika jiji la Arusha na hapo sikiwa hata kumtafuta brown na nilisha sahau kama Nina namba yake kwenye simu yangu. Mimi na Mainda tulizoeana sana kiasi kwamba mtu yoyote akituona anahisi Sisi ni ndugu kwani mainda hakuwai kunionyesha dharau yoyote yani tuliisha poa kabisa. Mida ya jioni nipo dukani najiandaa kufunga sasa duka ili nimsubiri Mainda twende nyumbani, Brown akafika dukani na kuanza Kutoa lawama kibao Mara sjui kwa nini sijamtafuta, Mara nimempa wasi wasi khaaa hadi nikabaki namshangaa tu maan sio kwa maneno hayo. "Samahani, Brown ni vile tu niko busy Ndio maan ila nitakutafuta" "Sawa, Anipha basi nipe namba yako mimi nitakutafuta mwenyewe" "sawa" Nikamtajia Brown namba yangu Baada ya hapo akaondoka na mimi nikaendelea na kufunga duka kisha nikamsubiria Mainda aje twende nyumbani. "shoga yani leo yamenikuta mwenzio Acha tu" "😂😂yapi hayo tena shoga angu" "we unacheka unadhani mazuri sasa" "Embu niambie basi best yangu jamani hayo majanga" Nikaanza kumsimulia Mainda kuhusu Brown, kuanzia siku ananunua nguo mpka leo alivyo kuja dukani na kuanza kulalamika juu yangu. "sasa shost, shida iko wapi hapo jamani, eeh" "we huoni shida kabisa hapo jamani, yani kama vile mimi sjui ni mpenzi wake yani ungemuona hiyo sura wewe kama anataka kulia 😂😂" "Atakuwa anakupenda huyo Anipha jamani kwani wewe huelewi nini sasa" "lakini mimi siwezi kuwa mpenzi wake Mainda, hiyo Ndio shida" "kwa nini sasa, kwa sababu ya Allen au," "Ndio Mainda, mimi bado nampenda sana Allen na siwezi kuwa na mtu mwingine" "khaaa, kama yeye alikuacha bila ya kukusikiliza kuna ulazima gani wa wewe kuendelea kumpenda jamani, embu achana na huyo Allen wako kula Maisha wewe" "Mmmh sielewi hata cha kufanya yani naomba tu Brown asinitongoze basi" " Acha ujinga wewe, huyo Allen wako unaemuwaza kila siku yeye yupo busy huko na wanawake alafu wewe unateseka hapa" "Hata sijielewi kabisa Mainda" Mimi na Mainda tulipiga story mpka tunafika nyumbani, tukaingia jikoni na kuanza kupika Baada ya kula kila mtu aliingia chumbani kwake maan kila mtu alikuwa amechoka sana. Siku hiyo sikupata hata lepe la usingizi kwani usiku kucha nilikuwa nakimuwaza tu Allen wangu ambae sjui hata kama ananikumbuka mimi jamani, mpka kuna kucha kichwa kilikuwa kikiniuma sana mpka macho yakawa mekundu. Kwa sababu ya kumuwaza Allen usiku kucha, mwanaume ninaempenda sana. Itaendelea...... Full 1000 Whatsp 0784468229

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

ANIPHA ???????? Sehemu ya 5. Nilifika nyumbani nikiwa nimechoka sana, nikaingia moja kwa moja chumbani kwangu nikachukua maji nikaingia bafuni kuoga aisee kama nilifungulia machozi Baada tu ya kujimwagia maji, nililia sana ????????????????mpka nikahisi kizimia kabisa, hivi ningekuwa tajiri kweli mama Allen angeniambia maneno makali kiasi hicho au kwa sababu Sisi kwetu masikini na tunaishi bunju, lakini Hakuna mtu anapenda kuwa masikini jamani ????????????????nililia sana baada ya hapo nikaoga nikarudi chumbani kwangu kulala. Nilikuja kuamka baada ya kusikia kelele za baba aliyekuwa akiniita nje, nikatoka nje nakuta ni giza kabisa, kumbe nililala muda mrefu jamani. "abee baba" "kulikoni leo mbona umelala mpka sasa hivi, unaumwa ama" "hapana baba nipo sawa kabisa" "aya nenda upike, Nina mazungumzo na wewe badae" "sawa baba" Nilirudi chumbani kwangu nikachukua simu yangu na kuiwasha nikiwa na matumaini ya kukutana na meseji kutoka kwa mpenzi wangu Allen, lakini niliambulia maumivu makubwa sana zaidi ya yale niliyoyapata kutoka kwa mama yake. Kwani nilikutana na meseji yenye maneno makali sana kutoka kwa Allen kitu ambacho sikuwahi kukitegemea kutoka kwa Allen. "Anipha, nilidhani wewe ni mkorofi tu kumbe hata heshima huna, wewe ni wa kumtukana mama yangu kweli Anipha, alikukosea nini lakini, hata hivyo yeye ni mtu mzima kulikuwa na ulazima gani wa wewe kumtukana mama yangu eeeh" "Basi sawa anipha, hii Ndio meseji yangu ya mwisho kutoka kwangu na kuanzia leo mimi na wewe basi kila mtu awe na Maisha yake sikutaki tena" Hizo zilikuwa meseji mbili zote kutoka kwa Allen, niliishiwa nguvu kabisa yani hakutaka hata kunisikiliza kabisa mimi jamani, aliamua kumuamini mama yake tu. Nilizima tena simu na kuingia jikoni kupika. Nilipika chakula na baada ya hapo nikaweka chakula mezani tukaanza kula na baba huku nikimuuliza maswali. "hivi baba mimi ni binti mbaya sana??" "Ndio wewe ni mkorofi sana lakini wewe sio binti mbaya hata kidogo" "kwel baba, unanijibu hivyo kwa sababu mimi ni binti yako si Ndio" "hapana, anipha wewe sio binti mbaya kabisa wewe ni binti yangu bora sana kwani leo una nini mbona huko hivyo" "hapana baba nipo sawa tu, ila nilitaka kujua kama mimi ni mbaya kwako au binti mbaya" "hapana binti yangu, tena maliza kula hapo Nina habari nzuri sana leo" Mimi na baba tunamaliza kula, nikatoa vyombo na Baada ya hapo ninakaa vizuri sasa kumsikiliza baba, maana nilikiwa na huzuni sana na sikuwa na mtu wa kuongea nae. "Sasa anipha, Kuna mtu nilimpa kazi ya kukutafutia wewe kazi ya kujishikiza muda huu, maana naona hii ya kwako ya vijora sio nzur kwani kila siku unagombana na watu kila siku au wewe unasemaje??" "ni sawa tu baba kwani kazi yenyewe ni wapi kwani baba??" "ni Arusha" "ni sawa baba kwani hata mimi nimechoka kukaa tu nyumbani" "Sawa kama umekubali kwa hiyari yako mwenyewe, kesho nitaongea na huyo mtu alafu nitakupa majibu sawa" "sawa baba hamna shida, usiku mwema" "sawa kwako piah" Nilingia chumbani kwangu na kuwasha simu tena kisha nikasoma zile meseji zote mbili kutoka kwa Allen nikihisi labda nitakuta mabadiliko yoyote lakini hamna kitu. Nililala usiku nikiwa na mawazo sana mpka kuna kucha, nilifanya kazi zangu haraka haraka na baada ya hapo nikaingia mtaani sasa kuuza vijora vyangu vilivyobakia. Baada ya siku mbili baba alinipa majibu kuwa kazi tayari na nijiandae kwa kuondoka, nilihisi furaha sana lakini kwa upande mwingine nilihuzunika sana kuondoka bila ya kumuaga Allen wangu kwani bado ninampenda sana Allen ila si kuwa na namna zaidi ya kuondoka tu. Nilijiandaa vizuri na kesho yake nilianza safari ya kuelekea Arusha kwa ajili ya kazi hapo sjui hata ni kazi gani ila kwa kuwa ni baba yangu niliamini ni kazi nzuri tu kwangu. Itaendelea....... Full 1000 Whatsp 0784468229

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

ANIPHA BIKRA YA MCHONGO 3--4???????? Sehemu ya 3 Bwana wee ile nafika tu nyumbani baba nae huyu hapa akaanza kuni piga ngumi jamani hata sjui Kosa mm anipha wa watu. "We mshenzi wewe ushakuwa bondia si Ndio eeh" "baba nimefanya nini jamani" "hujui eeh na kuuliza ww mbuzi hujui, aya nani kakwambia upigane na watu huko mjini" "baba jamani nisamehe lakini yeye Ndio mkorofi baba jamani" "shenzi ww marufuku kupigana tena mwehu wewe" "sawa baba" Nkaingia chumbani nikiwa na hasira sana na maumivu ya kipigo juu, nikaapa lazima nimpige tena Agnes, yani mimi nimepigwa kwa ajili yake lazima tu na yeye alipe ????????????????ila mimi sikomi jamani. Nikaingia jikoni nikachemsha maji nikaanza kujikanda maan sio kwa ngumi zile jamani baba yangu anangumi huyo acheni tu , nikamaliza nikaanza kuandaa chakula cha mchana. Nilipomaliza kazi zangu nikaoga vizuri nikachukua vijora vyangu huyo nikaingia mtaani sasa kuuza vijora vyangu, niko zangu busy natembea nikasikia kama kuna mtu ananiita nikaanza kutembea kuelekea Sehemu inako tokea ile sauti, nikakuta kuna wadada wawili wamekaa nje ya nyumba "nyie Ndio mmeniita???" "Ndio anipha ni Sisi tunataka vijora sare vya kigodoro leo usiku" "sawa hivi hapa, chagueni tu" Nikawapa vijora bwana wakaanza kuchagua, nashangaa mwingine anaanza kichana kijora kimoja khaa huyu vipi nikakaa sawa ili nimuangalie vizuri, yani huyu anataka nipigwe tena na baba huyu maan siwezi kuvumilia kabisa. "we dada unaakili timamu kweli wewe, yani unachana kabisa kijora changu na hujakilipia eeeh" "we Ndio unajiita anipha vijora wewe sasa leo umeingia cha kuime dada, vijora Ndio hatulipi na Huna la kutufanya" "khaa, unasema nini wewe" Nani kasema mimi wa kuonewa kabisa anipha mimi wee, nikaanza kupigana bana nikasahau kipigo cha baba cha mchana, nilimpiga yule dada aliechana kijora changu Baada ya hapo niaamia kwa mwenzie. Nikamaliza nikaanza kukusanya vijora vyangu ili niondoke sasa ile nageuka nyuma tu Allen huyu apa, uwii nimekwisha mimi jamani. Nitamwambia nini Allen jamani na alisha nikataza kupigana jamani uwii. "Anipha, nini hiki lakini mara ngapi nakukataza kuhusu kupigana eeeh" "Allen, yani kiukwel kabisa mimi sio mkorofi yani sjui tu" "nyamaza anipha, kimya kabisa sawa ingia kwenye gari tuondoke" "lakini nisikilize kwanza jamani" "nimesema kimya, na upande kwenye gari basi" Basi bwana sikuwa na namna nikapanda kwenye gari safari ikaanza hapo hata sjui tunaenda wapi, lakini jamani mimi sio hata mkorofi si hata nyie mnaona kabisa kuwa naonewa jamani daah, hapa Allen haongei chochote yupo kimya kabisa. Gari ya Allen ilisimama mbele ya nyumba nzuri sana ya kifahari, kwanza geti tu mmh acheni jamani kuna watu wanaishi alafu kuna Sisi tunao ishia ???????????????? Amri ni moja tu shuka, nikashuka kwenye gari nikasimama sasa hapo nasubiri amri tu. Allen alinishika mkono mpka ndani ya ile nyumba. "jamani kaka Allen huyo, karibu sana kaka" "asante Briana, mama yuko wapi???" "yupo chumbani kwake kaka" "sawa na wewe kaa hapo nakuja na utulie kabisa staki fujo zake" "sawa Allen" Allen aliniacha seblen na kwenda chumbani aliko mama yake. Itandelea......... Simulizi... ANIPHA ???????? Sehemu ya 4. Allen anaelekea chumbani kwa mama yake na kuniacha mimi pale sebleni nikiwa nashangaa Shangaa tu ila ushamba huu jamani, baada ya muda kidogo Allen anarudi akiwa na mama wa makamo tu hivi na kuanza kunitambulisha kwake. "mama huyu anaitwa Anipha, ni mpenzi wangu yani mke wangu mtarajiwa" "sawa, karibu nyumbani binti yangu" "asante sana mama" "Sasa mama, Mi nawaacha hapa kidogo kuna mahali na kwenda nitamchukua huyu jioni" Allen anaondoka na kuniacha nyumbani kwao mimi pamoja na mama yake na mdogo wake wa kike briana, hapo mimi sjui hata cha kuongea nimekaa tu kimya. "we binti, umekutana wapi na kijana wangu, Mmmh" "aah mama tulikitana mjini tu, nilikuwa nachagua vijora vya kuuza" "ooh kumbe unauza vijora, unakaa Sehemu gani???" "naishi bunju mama" "sawa, sasa huku bunju hukuona type yako huko, eeeh au Ndio Unataka pesa tu kutoka kwa kijana wangu" "hapana mama, sijawai hata kumuomba pesa yoyote allen mama" "we me sio mama yako sasa nisikilize vizuri kabisa, Unataka shilingi ngapi ama pesa kiasi gani ili uachane na kijana wangu maana najua uko na kijana wangu kwa sababu ya njaa tu" "Hapana mama me sina shida na pesa za allen na kuhusu kuachana na allen ni maamuzi yake basi" "we binti ni jeuri sana wewe si Ndio, ila sio mbaya mchumba rasmi wa allen yuko njiani kuja Tanzania kwa hiyo wewe Acha tu kupoteza muda wako hapa sawa binti katafute tu bwana wa kukustili huku huku bunju" Maneno ya mama Allen yaliniumiza sana licha ya mdomo wangu wote ila kwake nilipoa kabisa, sikiwa na namna zaidi ya kuondoka pale nyumbani na hapo sina hata shilingi mia mkononi na sjui hata nafikaje nyumbani ilikuwa huzuni sana kwangu mimi ????????????. Nilianza kutembea pole pole huku nikiwa nimeinamisha kichwa changu chini kwa huzuni sana, ukumbuke kwetu ni bunju uswahilini kabisa alafu kwao Allen ni mbali sana hadi kufika nyumbani kwetu, kwanza nilizima simu kabisa. Nilitembea sana na hivi nilikuwa na huzuni ukiongezea na hasira juu Nilitembea bila ya kuchoka mpka nyumbani huku njia nzima nikitafakari maneno ya mama Allen daah niliumia sana na nikaapa kuwa nitatafuta pesa kwa udi na uvumba mpka kila mtu ataniheshimu tu siku moja ????????. Itaendelea........ Full 1000 Whatsp 0784468229

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

MIMBA YA BESTMAN❤️* *SEHEMU YA 06 ___________________________________ SEHEMU YA 06 Mulky akiwa amezubaa wenzake wakiendelea kuongea na hakuwa anasikia chochote maana akili yake ilikuwa inawaza mbali sana. Hamida aligundua hilo alimuita " Mulky, mulky..... Mulky hakusikia mpaka yule muhudumu aliekuwa akimhudumia aliposhika begani na kumwambia. " Mulky unaitwa na Hamida. Mulky alimuangalia Hamida. " Vipi upo sawa kweli? " Ndio nipo sawa ulikuwa unasemaje? " Basi tutaongea badae. Wakiendelea kupatiwa huduma walipomaliza waliondoka pamoja mulky aliwapa lifti wakaanza kumpeleka mwajuma nyumbani kwake. Kwenye gari walibaki wawili Hamida na mulky. Hamida alimuangalia akahisi kuna jambo haliko sawa kwa Mulky na hataki kusema. " Mulky kuna jambo unanificha? " Hapana Hamida" " Kuwa muwazi tafadhali. Au una matatizo kwenye ndoa yako? " Hamida sijui nianzie wapi kukueleza .... " Anza popote. "hebu nipe muda kwanza. " Kwahiyo unataka kufa na siri so ndio? Na tangia lini tukafichana kwenye mambo yetu unakumbuka siri zangu nyingi na nzito nimekuwa nikikushirikisha vipi wewe unifiche mambo yako? Mulky alitafuta sehemu akaenda kusimamisha gari kwanza alafu alimgeukia Hamida wakawa wanaangaliana. " Niambie sasa. " Hamida nina jambo linaumiza sana kichwa changu na sijui mitatatua vipi shida hii. " Ndio uniambie tushauriane. " Hivi una jua tangia nime...... Kabla mulky hajamaliza kuongea alisikia mtu anagonga kwenye kioo cha dirisha la gari yake akageuka kumuangalia na kufungua kioo , alipomuangalia vizuri yule mtu aliachia tabasamu. " Waoooo Sameer umekuja lini? " Nina siku mbili tangia nimekuja. " Mbona Yasini hajaniambia kuwa umerudi? " Hata nae hana taarifa kama nimerudi nataka kumfanyia surprise na hapa nilipo nilikuwa naelekea nyumbani kwenu. " Basi sawa acha tuongozane pamoja. " Kama una mambo yako fanya kwanza. " Sina cha muhimu ..... " Lakini upo na mwenzio. " Usijali kuhusu mimi hata hivyo nimefika nilikuwa nasikia hapa. Alisema Hamida na mulky akamuangalia " Usijali shoga yangu nenda kamuandalia mgeni wako. " Lakini mimi sio mgeni ni mwenyeji sana. Alisema Sameer . " Kweli Sameer sio mgeni kwani umesahau? " Sio kumsahau nahisi simjui kabisa. " Jamani Hamida huyu si ndio yule bestman wa Yasini aliyesimamia kwenye harusi yangu. Rafiki kipenzi wa Yasini . " Hapo nimeshaanza kupata picha , lakini kabadilika . " Nimekuwa mzee sindio? Sameer aliongea kama utani. " Hapana unazidi kuwa handsome. " Hahahaha masihara hayo. Baada ya kutambulisha na na kupiga story mbili tatu Sameer alienda kupanda kwenye gari yake na mulky aliachana na Hamida. " Hamida nikipata muda nitakuja kwako tuongee. " Sawa fanya hivyo kipenzi. " Sawa. Hamida alifungua mlango wa gari akashuka Mulki akapelekwa nyumbani kwake. Mulky alielekea nyumbani kwake huku wakiwa anafuata gari ya Sameer kwa nyuma hivyo walifika nyumbani pamoja. " Karibu sana Sameer. " Asante . Waliingia ndani huku Sameer akiwa anaangalia mazingira. " Naona ndoa tamu sana. Mulky alimuangalia Sameer alafu akacheka kidogo. " Kwanini unasema hivyo? " Naona jinsi ulivyonawiri mtoto wa kike. " Acha utani bwana mbona nipo kawaida. " Huo ni mtazamo wako lakini kwa upande wangu umependeza jamaa yangu kaweza majukumu yake kama mume. " Tuachane na hayo niambie unakunywa kinywaji gani? " Nichaguliwe chochote kilichopo. " Kuna juice ya mabasi, embe na passion. Pia kuna soda. " Unajua mimi sio mpenzi wa soda niletee juice. " Sawa nipe dakika chache. " Sawa. Mulky alienda kuchukua juice akamtengea mgeni wake nae akakaa wakawa wanaongea mawili matatu. Baada ya muda Yasini alirudi kutoka kwenye mihangaiko yake alifurahi kumuona Sameer walikumbatiana na kujuliana hali kwa furaha. " Mbona umekuja bila kunipa taarifa? " Nilikuwa nataka kukifanyia surprise. " Surprise gani? Sijapenda. " Basi yaishe . Walienda kukaa wakaendelea na story zao huku mulky akiwaacha na kwenda jikoni kuandaa chakula. Mara kwa mara Sameer alikuwa akienda nyumbani kwa Yasini walikaa na Mulky wakawa wanapita story mara nyingine walikuwa wanacheza game pamoja hiyo ilikuwa nafuu sana kwa Mulky hakuwa na mawazo sana alifurahia sana uwepo wa Sameer. Kuna siku wazazi wa Yasini walienda kuwatembelea nyumbani kwao . Shangazi yake Yasini alimuuliza Yasini. " Yasini mbona unachelewesha mambo nilijua nikija nitakuta hali ipo tofauti. " Unamaanisha nini shangazi? " Wifi hebu achana na hayo. Alisema mama Yasini huku akiwa anamuangalia mulky . Wakati huo mulky alikosa furaha ghafla. " Wifi hawa watoto ukisema iwaache hivi utakuta bila kuona mjukuu vijana wa siku hizi hawajali kuhusu familia utandawazi unawamaliza vijana wetu. Yasini alimuangalia shangazi yake kwa jicho kali kisha akamuangalia Mulky ambae alikuwa kajiinamia . " Shangazi haya ni maswala yangu na familia yangu nisingependa mtu mwingine aingilie na swala la kupata watoto ni mipango wangu na mke wangu. " Wifi ona Yasini anavyojibu wakati namtetea yeye mwenyewe. " Kila jambo na wakati wake wifi sisi ni binadamu hatuwezi kumpangia Mungu. Yasini hakutaka kuendelea kusikiliza marumbano yao alienda kumchukua mke wake wakaenda ndani. " Ona sasa wanaondoka na kutuacha hapa hiyo ni heshima ya wapi? Alafu huyu Yasini huyu tangia ameowa amekuwa na dharau flani hivi. " Umeyataka wifi unafikiri yule mtoto wa watu anajisikiaje na ndio kwanza siku ya kwanza umekuja na maneno ya akitoka hivyo? Na mwanangu hana tabia hiyo usimtoe mdomoni kwa mabaya. " Kwahiyo wifi wewe imeridhika na hili huna mjukuu au hautaki kulea wajukuu mwenzetu? " Kama imepangwa miles nitakuwa tu tunatakiwa kuwa na Subra. Yasini na Mulky walienda chumbani kwao , Yasini alimkalisha mke wake kitandani nae akakaa pembeni. Full 1000 whatsp 0784468229

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

MIMBA YA BESTMAN 05 Mulky alikuwa anaumia sana na hakuweza kumueleza yoyote kile anachokiita ndani ya ndoa yake. Kuanzia hapo Yasini aliamua kutumia ukali kama siraha alitaka kumfanya mulky amuogope ili aache kumsumbua kudai haki yake ya ndoa. Njia yake ilifanikiwa mulky hakuwa alimuongelesha tena kuhusu swala la unyumba aliamua kuishi kama pambo ndani ya nyumba na kuonekana mke mwenye furaha ndani ya ndoa yake mpaka ikafikia baadhi ya ndugu na marafiki kumuonea wivu na kumsifia kuwa kapata mume bora ambae anamjali na kumpatia kila anachotaka , Mulky alitamani kusema kitu lakini alipokumbuka kauli ya Yasini ya kuwa endapo atasikia popote atakiacha nae aliamini swala la mwanamke kuachwa talaka tatu ni jambo la aibu na hakuanini kama akisema kuna ambae atamuamini kuwa anapitia hayo. Mulky aliendelea kuvumilia kwenye ndoa yake huku akiwa anatamani kuomba ushauri hata kwa rafiki lakini akaogopa kutoa siri za ndani ya ndoa yake. " Itakuwaje kama nikasema nje na taarifa zikisambaa si nitaonekana mimi ni mwanamke wa ajabu nimeshindwa kustiri aibu ya mume wangu. Wakati Mulky anawaza hayo alikuwa jikoni anaandaa chakula. Hatimae alizama kwenye dimbwi la mawazo akajisahau kabisa kama anapika Alikuja kushituka baada ya Yasini kufika pale jikoni na kuzima jiko. " Yani upo hapa na bado unaunguza chakula? Aliuliza Yasini huku akiwa anamuangalia usoni na Mulky alikuwa kaduwaa anamuangalia tu " Naongea na wewe una matatizo gani? " Nilipitiwa . Alijibu mulky huku akishika sufuria iliyobandikwa jikoni kwa mkono , mara aliachia ile sufuria baada ya kuungua. " Una matatizo gani wewe kwahi hujui kuwa hiyo sufulia niya moto unashika bila chochote. Mulky alinyamaza kimnya akawa anaangalia mkono wake ulipungua huku akipuliza. Yasini alimuangalia mulky akahisi kumuonea huruma alitambua kile anachofanya ndicho kinachomfanya awe kwenye ile hali. " Inawezekana haya yote anayopitia yanatokana na mimi? Sasa nitafanya nini sijui ni mpe talaka ili awe na amani mmmmh hicho kitu haliwezekani nampenda sana mke wangu naamini ipo siku mulky wangu atakuja kuwa na furaha , uwanaume wangu utarudi nitahangaika na kutafuta tiba mpaka hali yangu itakapokuwa sawa . Yasini alisogea karibu zaidi alafu alinyoosha mkono wake na kuushika mkono wa Mulky iliokuwa umeungua, aliangalia sehemu aliyofungua ilikuwa nyekundu. " Pole. " Asante " Twende nikakupake dawa. " Haina haja nitakuwa sawa. " Acha ubishi umeungua sana. Mulky alikubali kwenda kupakwa dawa alipomaliza alinyanyuka na kurudi jikoni, alichukua sufuria nyingine akaweka jikoni ili apikee chakula kingine maana kile cha mwanzo liliungua kikawa hakifai. Yasini alimfuata jikoni akazima jiko alafu wote wakawa wanaangaliana. " Haina haja ya kupika chakula kingine nenda ndani kajiandae tutoke. Mulky hakuongea neno alitoka jikoni akaenda chumbani akajiandaa kavalia nguo yake nzuri akapendeza . Ni kawaida sana kwa Mulky kupendeza kutokana na uzuri wake kila nguo aliyovaa ilimtoa bomba pia umbo lake zuri ilichangia nguo kumkaa vizuri. Yasini alimuangalia mke wake alivyokuwa alimfuata kwa mwendo wa Madaha akajikuta anaachia tabasamu kwa mbali lakini alipokumbuka kuwa ndoa yao haina amani tena kwa sababu yake lile tabasamu lilifutika. Alienda kufungulia mlango wa gari , mulky alipanda nae akaenda kupanda na kuwasha gari. " Unapenda twende wapi tukapata chakula cha usiku? Aliuliza Yasini. " Popote kwangu ni sawa. Aliongea Mulky huku akiangalia mbele bila kumuangalia Yasini. " vipi maumivu ya ulipopata jeraha? " Yamepungua. Baada ya hapo kimnya ilitawala walifika hotelini wakaagiza vyakula wakawa wanakula kila mmoja akiwa kimnya. Yasini aliamua kuvunja ukimya. " Mke wangu najua na kunyima raha na unaniona kama mtu mwenye roho mbaya sana kwako. Yasini aliweka kituo akitegemea mulky ataongeza chochote lakini haikuwa kama alivyotegemea mulky alikuwa kimnya. Yasini alinyoosha mkono wake na kuushika kiganja cha Mulki ambacho kilikuwa juu ya meza. " Naomba izidi kunivumilia ipo siku itasahau haya yote tunayopitia kwa sasa. " Nashindwa kukuelewa huniqwki wazi kama kuna tatizo ungeniambia ili tuhangaike pamoja. " Aaaaaah usijali mke wangu muhimu kinacho hitajika niusiri na uvumilivu wako. Kwa mara nyingine tena mulky alimuelewa mume wake alidhia kuwa na Subra mpaka mume wake atakapokuwa sawa japokuwa hakujua nini kinamsibu mpaka inashindwa kuwa kama wanaume wenzake wanaosimamia ndoa zao vyema . Siku moja Mulky alienda saloon akiwa na gari mpya , wenzake walivyomuona walianza kumsifia. " Mulky wewe sio mwenzetu maisha imeyapata hongera shoga yangu. " Mmeanza maneno yenu kwanza msije kunipiga kijicho. " Kwa kweli hapa hakuna mwenye kijicho tunakutana tangia miaka na hakuna aliemuwekea mwenzie kijicho. " Nilikuwa na tabia mashoga zangu. Tayana hebu nitangenezee nywele zangu. Alisema mulky huku akiwa anakaa kwenye kiti tayari kwaajili ya kupata huduma. Story ziliendelea huku mulky na wenzake wakiendelea kupata huduma . " Hamida mbona umekaa huko huishi nywele zako? Mulky walimuuliza mmoja wa mashoga zake. " Sina hela shoga yangu nimekuja kutengeneza kucha tu. " Nywele zipo rafu sana hizo hebu tuongee huruma. " Sasa sina hela nafanyaje? " Nitalipa. " Huo upendeleo mulky hata mimi utanilipia. Alisema mwajuma. " Hakuna shida . Mwajuma na Hamida walifurahia ofa waliyopewa na kumuombea dua kedekede. " Mwenyezi Mungu akujaalie kizazi chema. " Uzao wako uwe mapacha. " Na ndoa yake iwe yenye baraka na upate kila anachokitaka kutoka kwa mume wako. Badala ya kufurahia dua alijikuta ananyongonyea alikuwa kashajikatoa tamaa kama ipo siku atamzalia mume wake na kupata furaha ya ndoa kama wengine. Itaendeleaaaaa Full 1000 Whatsp 0784468229

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

YALIYOMKUTA MUUZA UJI 1--2❤🔞 01 Kwa jina naitwa Salome karibu katika mkasa huu wa muuza uji ili upate kujua changamoto nilizokutana nazo kwenye kazi yangu hasa ya kusumbuliwa na wanaume wakihitaji nitoke nao kimapenzi. NB: Story hii ni kwa wakubwa tu wenye miaka kuanzia 18 na kuendelea kwa wale waliochini ya miaka 18 🔞🔞 mtupishe kidogo. Siku hiyo niliamka asubuhi huku nikiwa na uchovu kutokana na mizunguko niliyokuwa nayo siku iliyopita. Nilitazama vyombo vyangu vilivyokuwa vichafu na kuamua kuanza na kazi ya uoshaji wa vyombo asubuhi hiyo. Baada ya kumaliza nilikuwa na kazi ya kuanza kukologa uji pamoja na kupika chai ili niwapeleke wateja wangu. Nilipokamilisha kila kitu niliingia mtaani huku nikiwa nimebeba chupa zangu pamoja na vitafunwa ambavyo ni vitumbua. Safari yangu ilinipeleka mpaka sokoni kulipokuwa na soko kubwa. Kila asubuhi vijana mbalimbali walikuwa wakipenda kwenda kwenye soko hilo kwa ajili ya kubeba mizigo na ndiyo sababu iliyokuwa ikinifanya niende kuuza ndani ya hilo soko. "Salome umetuletea vitumbua" kijana mmoja aliongea aliyekuwa akiitwa Peter. "Kawaida yangu Peter leo niungishe na pia unilipe pesa yangu ninayokudai" niliongea huku nikiweka vitu nilivyokuwa nimevibeba chini. Peter baada ya kuona nimemkumbushia deni nililokuwa nikimdai aliamua kunijibu. "Jioni njoo uchukue pesa yako kwenye geto langu Salome na ikiwezekana utanipa kitumbua cha kikubwa" Peter aliongea. Upande wangu niliona ni kama dharau kwani moja kwa moja nilijua anataka kuniingiza kwenye mtego wa kutaka kunitia nakufanya mapenzi na mimi. "Kwani ulinikopa tukiwa kwenye geto lako Peter? mimi sio mtoto utake kunila kizembe hivyo naomba unitafutie pesa yangu na unilipe" nilimwambia Peter na baadhi ya vijana waliokuwa wakisikiliza mazungumzo yetu walianza kunitetea kwa kumwambia Peter anilipe pesa yangu. Baada ya maneno kuwa mengi Peter alitoa pesa niliyokuwa nikimdai na kunilipa huku akiniambia "Unabahati Salome ila siku nyingine utaingia kwenye mtego wangu na ninavyokutamani siku hiyo nitakupelekea moto ambao hujawahi kupelekewa" Peter aliongea na kwakuwa nilikuwa nimeshazoea maneno yake sikutaka kuhangaika nae. Nilianza kuhudumia vijana waliokuwa wakihitaji uji huku wengine wakihitaji chai na kama unavyojua mazingira ya aina hiyo vijana wakorofi huwa hawakosi. Nikiwa nimeinama namimina uji kwenye kikombe alikuja kijana mmoja na kunipiga kofi la kwenye makalio. "Oya sister niwekee uji" aliongea baada ya kunipiga kofi la kwenye makalio. Sikutaka kuwa mnyonge niliweka chupa yangu chini na kumgeukia kijana aliyenipiga kwenye makalio nakumpiga kofi huku nikimwambia. "Ndiyo mpaka unipige kofi la kwenye makalio kwani uji upo kwenye matako yangu!?" niliongea huku nikiwa na hasira. "Dah, Musa na wewe umezengua jamaa yangu, mbona sister yupo fresh tu na hana shida yoyote ile" kijana mmoja aliongea akimwambia Musa aliyenipiga kofi la kwenye makalio na wengine wote waliunga nae na Musa aliamua kuondoka baada ya kuona vijana wenzake wanamponda. Basi baada ya mda nilimaliza kuuza na kurudi kwenye chumba nilichokuwa nikiishi. Nilifika nyumbani na nje nilimkuta kijana akiwa kasimama akinisubiri. Kijana huyo hakuwa mwingine bali alikuwa ni Felix aliyewahi kuwa mpenzi wangu kipindi cha nyuma. "Eheee!!!, nini kimekuleta hapa Felix!?" nilimuuliza huku nikiweka vyombo vyangu chini nilivyokuwa nimevibeba. "Salome kwani bado tu una hasira na mimi...!? naomba tuingie ndani basi tukaongelee ndani ili tuumaliza ugomvi wetu" Felix aliongea huku akinibembeleza. "Uingie ndani na nani!? changanya miguu yako na uondoke hapa haraka kabra mdomo wangu haujaanza kuchanganya gia" niliongea na Felix kwakuwa alikuwa akijua jinsi nilivyokuwa muongeaji aliamua kuondoka na kuniacha mwenyewe. Nilipumua baada ya kubaki mwenyewe na kabra sijaingia ndani kuna mpagaji mwenzangu aliyekuwa kwenye chumba chake alitoka baada ya kusikia maongezi yetu na kuniambia "Salome ungempa mda kijana wa watu maana amekusubiri kwa mda mrefu" "Mama J mimi hilo sijali atajua mwenyewe huko" nilimjibu na baadae niliingia ndani. Baada ya kuingia ndani nilipumzika ili ikifika mida ya jioni nipike uji kwa ajili ya kupeleka gengeni. Mida ya jioni ilifika na niliandaa uji kwa ajili ya kupeleka gengeni, bahati nzuri aliweza kuja rafiki yangu aliyekuwa akiitwa Shamsa kwa ajili ya kunisaidia na huo ndiyo ulikuwa utaratibu wetu wa kazi. Tulibeba vitu na kuvipeleka gengeni kwa ajili ya kuuza ikiwa ni mida ya saa moja jioni. Tukiwa tumekaa mimi pamoja na Shamsa, mteja wa kwanza aliyekuja alikuwa ni mwanaume na sura yake ilikuwa ngeni kwetu hivyo alituomba tumuhudumie na mimi niliifanya kazi ya kumpatia kile alichokuwa akikitaka. Baadae vijana wengine walianza kuja huku Peter akiwa ni miongoni mwao. Alifika na mimi siku hiyo sikutaka kumuhudumia maana niliujua usumbufu wake kwenye upande wa ulipaji. "Salome naona siku hizi umeanza kuwa tajiri mpaka unakataa kunihudumia!?" Peter aliongea kwa kulalamika ila baadae Shamsa alinishauri nimhudumie. "Shamsa huyu mtu ni msumbufu sana ila kwakuwa umenishauri ngoja nimpatie kile anachokitaka" niliongea na kumuwekea Peter uji na baada ya hapo alianza kunywa pamoja na wenzake. Baada ya Peter kumaliza kunywa uji alinyenyuka nakuanza kuondoka pasipo kulipa pesa kitendo kilichonikera zaidi na kuamua kumuachia biashara Shamsa kwa ajili ya kumfatilia Peter.....ITAENDELEA. Unajua kilitokea nini baada ya kumfatilia Peter? tukutane sehemu ya pili. YALIYOMKUTA MUUZA UJI ❤🔞 02 Nilimfata na kuanza kumwita lakini alivyokuwa na dharau aliendelea kutembea pasipo kusimama. "Huyu anataka kunizoea" niliongea na kuanza kumkimbiza lakini Peter alivyoona namkimbiza na yeye alianza kukimbia akielekea kwenye geto lake. Alifika kwenye geto lake nakuingia ndani na baada ya mda na mimi niliweza kufika. "Peter nipatie pesa yangu" niliongea nikiwa nimesimama nje ya chumba chake nikimsihi Peter anipatie pesa yangu. "Njoo uchukue pesa yako huku ndani" Peter aliongea akinitaka niingie ndani ya geto lake. "Ivi unafikiri ata nikiingia humo ndani utafanikisha kufanya kile unachokitaka kutoka kwangu!?" nilimuuliza sababu nilijua lengo lake nikutaka kufanya mapenzi na mimi kwa kutumia nguvu. Peter aliendelea kuweka msimamo wake kuwa kama nataka pesa yangu basi niingie ndani ya chumba chake. Kama kuna mtu atakuwa amewahi kufanya biashara nazani atakuwa anaelewa umhimu wa faida kwenye biashara na ndiyo maana usishangae kuona mfanyabiashara akikudai shingi mia. Sikutaka kujali kama pesa niliyokuwa nikimdai Peter ni Tsh 500 na maamuzi niliyoamua kuchukua nikuingia ndani ya chumba chake huku nikiwa na lengo langu. Nilifika na kumkuta Peter akiwa tayari ameshavua suruali yake na kubaki kwenye pensi. "Nilijua tu lazima uje humu na leo lazima nikule Salome utake usitake" Peter aliongea kwa kujiamini. Kwakuwa maisha ya mtaani nilikuwa nimeshayazoea, niliamua kujifunga kitenge vizuri maana nilijua vita vitakavyoenda kutokea sio vya nchi hii huku ndani nikiwa nimevaa suruali kama ilivyokuwa kawaida yangu. Baada ya kujifunga kitenge vizuri niliamua kumsogelea Peter na kwenda kumkaba. "Peter naomba pesa yangu!?" niliongea huku nikiwa namvuta shati. Upande wa Peter kwake alichukulia kama faida kwani kipindi namkaba matiti yangu yaligusa kwenye kifua chake na aliamua kupeleka mikono yake kwa kunishika matiti kitu kilichozidi kunikasirisha zaidi sababu sikuwa na nyege zozote za kufanya mapenzi kwa wakati huo. Niliona anataka kunizoa baada ya yeye kunishika matit🙄, pale pale nililianzisha kwa kuanza kumpiga huku nikitoa maneno ya kila aina. Peter hakutegemea kama nitafikia hatua hiyo ndani ya chumba chake. "Wewe demu msenge kweli unanipiga kisa unanidai miatano tu!?" Peter aliongea baada ya kofi langu kumpata vyema kwenye shavu lake. Kwakuwa na yeye alikuwa ameshashikwa na hasira alianza kujibu mapigo kwa kunipiga. Mwanaume atabaki kuwa mwanaume tu kwani Peter alinizidi na mimi uvumulivu ulinishinda na kuanza kupiga kelele kwa ajili ya kuhitaji usaidizi maana Peter alianza kunipiga kama anapigana na mwanaume mwenzake. Kelele zangu ziliwafanya majirani waliokuwa karibu wasogee kwenye chumba cha Peter kwa ajili ya kuangalia kipi kilichokuwa kikiendelea na kwakuwa mlango ulikuwa wazi waliweza kutuona jinsi tulivyokuwa tukipigana hivyo waliamua kuingia na kuanza kutuachanisha. "Peter kuna tatizo gani!?" Mzee aliyekuwa mle ndani alimuuliza. "Si huyu demu ananidai miatano lakini ameanzisha ugomvi usio kuwa na sababu" Peter aliongea. "Nyooooo, wewe mwanaume muongo sana, sitaki maneno yawe mengi nipe pesa yangu niondoke" niliongea na Peter baada ya kuona watu wanazidi kujazana aliamua kunipatia pesa niliyokuwa nikimdai na mimi niliondoka. Nilirudi mpaka gengeni na kumkuta Shamsa akipiga story na mwanaume aliyekuwa wa kwanza kutuugisha biashara yetu. "Salome mbona umchelewa hivyo!?" Shamsa aliniuliza. "Nilikwambia yule mwanaume ni mpuuzi sana, alitaka kunibaka kwa lazima ndani ya geto lake" niliongea na kumsimulia kila kitu Shamsa bira kujali kama kuna mwanaume aliyekuwa akisikiliza story zetu ambae ni mteja. Baada ya kumaliza kumsimulia Shamsa mwanaume aliyekuwa akisikiliza Story zetu aliamua kuongea. "Nipeleka kwa huyo kijana aliyetaka kukubaka" aliniambia na mimi nilifikiria na baadae nilikubali kumpeleka kwa Peter. Tukiwa njiani tukielekea kwa Peter wote tulikuwa kimya kutokana na sisi kutokuzoeana na kijana niliyekuwa nikiongozana nae alionekana sio muongeaji sana. Tulifika na bahati nzuri tulimkuta Peter. "Wewe malaya umeijia nini tena!?" Peter aliongea baada ya kuniona na hakujali kama kuna mwanaume niliyekuwa nimeongozana nae. "Kijana kwa usalama wako piga magoti" kijana niliyekuwa nae alimwambia Peter. "Wewe mjinga nini!? nani apige magoti!? emu tokeni hapa kwenye geto langu" Peter aliongea na kutaka kuingia ndani lakini kijana niliyekuwa nimeongozana nae alitoka kwa kasi na kwenda kumshika Peter nakumvuta kwa nguvu. Peter baada ya kuvutwa alianguka mpaka chini na alivyokuwa mbishi alinyenyuka kwa ajili ya kupigana nae lakini Peter alianza kupigwa kama mtoto na baada ya mda alitulia. Kijana baada ya kumuona Peter ametulia alijitambulisha kuwa yeye ni mwanajeshi na kutokana na kile alichokionesha Peter alitaka kumchukua kwa ajili ya kumpeleka kituoni lakini kwa upande wangu moyo wa huruma uliniingia nakuamua kumzuia asiondoke na Peter. "Naomba umuache naamini atakuwa ameshajifunza" nilimwambia Mjeda aliyekuwa amemshika Peter. Mjeda alikubali kumuachia Peter na baadae tuliondoka na kurudi gengeni huku nikimshukuru kwa kile alichoamua kukifanya mbele ya Peter. "Ingekuwa vizuri kama ukinipatia namba zako kwa ajili ya usalama zaidi" mjeda aliongea na mimi sikutaka kumnyima zaidi ya kumtajia namba zangu za simu....ITAENDELEA.

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

JINA LANGU SHAMSA SEHEMU YA KWANZA “Kaka eeh, mi nasema ukweli. Yule binti ambaye hupita kila jioni saa kumi na moja... bwana wee... huyo si binadamu wa kawaida,” alisema Festo akimeza mate. "Unamzungumzia yule mwenye nguo kuvaa nguo za kupendeza hupita kila jioni, yule mwenye miwani ya kisanii?” aliuliza Twaha huku akishika kinywaji baridi alichokinunua kwa mkopo. “Huyo huyo!” walijibu wote kwa sauti moja kama wanafunzi wa darasa la tatu. Festo, ambaye hakuwa na kazi yoyote rasmi isipokuwa kuhesabu magari ya kifahari yanayopita barabarani, alikuna kidevu chake kilichojaa ndevu. “Mie nilidhani ni msanii wa Bongo Movie. Au labda ni mtoto wa balozi.” “Sasa shida ni jina lake" "Tuna miaka miwili tunamuona, lakini hakuna anayejua jina lake. Kila mtu anamuita jina tofauti. Mwingine anamuita Vanessa, mwingine Princess. Walikuwa ni madereva wa bodaboda Tandale, jijini Dar es Salaam. Maisha yao yalizunguka kwenye mbio za kila siku kupata hela ya chakula, mafuta, na kodi. Kijiwe chao kilikuwa pembezoni mwa barabara kuu, mahali pa stori. "Kaka eeh, kesho ni siku yangu. Nitamtongoza yule mrembo, hata kama ananiangalia kama bodaboda tu. Mimi sioni sababu ya kuchelewa tena. Maisha ni haya, tukikosa nafasi, ni nani atapata?” "We subiri kesho apite" "Nitamtongoza tu" Festo aliongea huku akitabasamu kwa kwa bashasha. "Kesho uje sasa umependeza, umeoga, na umevaa vizuri. Kama utaonekana msafi atakupa nafasi, la sivyo atakukataa kabisa,” Twaha aliongeza huku akicheka. “Kazi yenyewe ya bodaboda hiyo... sidhani kama atakukubali,” aliongeza tena kwa sauti ya kejeli, na kijiwe kikacheka kidogo. ******** Saa nne usiku, Festo alipofika nyumbani kwake, alifungua mlango wa chumba chake cha kupanga kilichojaa harufu ya jasho na mafuta ya pikipiki. Hakuwa na mke wala watoto. Kulikuwa na kitanda, godoro lililoisha na begi la nguo lenye sura ya kuchoka. Aliweka pikipiki yake pembeni, akavuta pumzi ndefu kisha akalalia kitanda bila hata ya kubadili nguo. Lakini akili haikumpa amani. Taswira ya msichana yule ilimjia tena na tena. Macho yake yakimkumbuka ipasavyo kabisa. Akamwaga begi lake na kuchagua suti ya buluu, suti pekee ambayo huwa anaivaa kwa mitoko maalumu. Japo Ilikuwa imepinda na kufifia rangi, lakini kwake ilikuwa ni silaha ya mwisho. “Kesho ni siku yangu. Nitavaa hii. Nikienda kurusha swaga kwa yule mrembo… lazima anikubalie,” alisema kwa matumaini. Msichana huyo alikuwa ni mrembo wa ajabu, na kila jioni alipita kwenye kijiwe chao cha bodaboda, akivutia macho ya kila mtu . Alitembea kwa mguu, nguo zake za kupendeza zilimfanya aonekane tofauti kabisa na mwendo wake. Hakuna aliyefahamu msichana huyo aliishi wapi, Wala hakukuwa na mtu aliyemjua vizuri, Wanaume wengi walikuwa wakijaribu kupiga mbizi wakijitahidi kupanga namna ya kumkaribia, lakini haikuwa rahisi. Akamwaga begi lake na kuchagua suti ya buluu suti ambayo ndiyo huwa anaivaa kŵenda kwenge mitoko. Ilikuwa imepinda na kufifia rangi, lakini kwake ilikuwa ni silaha ya mwisho. “Kesho ni siku yangu. Nitavaa hii. Nikienda kurusha swaga kwa yule mrembo… lazima anikubalie,” alisema kwa matumaini. Asubuhi Festo alijitahidi kuoga vizuri kwa maji akapaka losheni ya kunukia, akavaa suti yake ya buluu na kuikamilisha kwa viatu vya ngozi alivyovipiga kwa kiwi nyeusi. Alipotua kijiweni, kijiwe kilizizima. “Festo, umependeza. Jioni ikifika, usiogope. Hii ndiyo fursa." ********* Msichana huyo ambaye hakujulikana jina, alikuwa mzuri hatari. Alikuwa na uzuri ambao ulipelekea wanaume wenye ndoa kusahau wake zao, na vijana kuacha kucheza kamari kwa dakika moja. Jioni ilipofika, hewa ya Tandale ilikuwa imepoa, jua likielekea magharibi huku Kijiwe cha bodaboda pakiwa kimya, kila mmoja akiwa makini kufuatilia dakika ambayo msichana yule angepita. Na kweli, kama ilivyokuwa desturi yake, aliweza kutokea. Mavazi yake yalikuwa ya kuvutia, gauni la mpira , pamoja na miwani ile ile ya kisanii. Alitembea kwa hatua za uhakika, bila haraka wala wasiwasi, miguu yake ikitua chini. "Dada samahani, naomba niongee na wewe kidogo,” Festo alisema kwa sauti ya heshima huku akijihisi kutetemeka Lakini msichana huyo hakujibu. Hakuinua hata uso kumwangalia. Aliendelea kutembea, hatua zake zikiwa tulivu kama vile hakuwa na masikio, Festo alisimama, akamwangalia kwa mshangao, "Dada...?” "Mimi nakupenda, nijue hata jina lako" Festo alijaribu tena kwa sauti ya chini zaidi. Lakini bado msichana yule hakugeuka, hakuongea. Alitokomea mbele tu, taratibu, hadi akapotelea kwenye mbali. Festo alibaki amesimama, suti yake ikianza kupoteza maana mbele ya ukimya ule mzito. Moyo wake ulikuwa bado ukidunda, akimuona msichana huyo kwa mbali akipotelea. Kaka... labda msichana huyu sio wa dunia hii. Au labda... anasubiri mtu wa aina nyingine kabisa.” Twaha aliongea huku akimsogelea Festo. Mwanamke huyu alionekana hapendi masihara. Kila alipopita, hakuwa na tabasamu, hakuwa na ishara ya kuchangamkia yeyote. Macho yake yalikuwa mbele tu. Huyu binti ana siri gani? Anaishi wapi? Anaenda wapi kila jioni saa moja kamili? Na kwa nini kamwe haongei?” Ilikuwa ni jambo la ajabu. Kila mtu alikuwa ameshajaribu kumpungia mkono, kumpa salamu, au hata kumchekea. Lakini hakuwa akijibu. Hakuwa hata akiashiria kuwa amewaona. Saa nne usiku, Festo alirudi kwake huku akiwa kavunjika moyo. Suti aliyovaa, ile ya buluu aliyoiamini kama silaha ya mwisho, haikumsaidia kitu. Alihisi fedheha, akijilaumu kimoyomoyo, akitembea taratibu huku machozi yakimlengalenga lakini yakikataa kutoka. Alipofungua mlango wa chumba chake cha kupanga, harufu ya jasho, mafuta ya pikipiki na ukimya mzito vilimkaribisha kama marafiki wa zamani. Aliketi kwenye kitanda chake, akivua viatu vyake polepole kana kwamba vinamchoma. Alitazama suti yake, kisha akaiweka juu ya begi lake la nguo, ambalo lilionekana kuchoka zaidi yake. Aliishi maisha magumu hakukuwa na runinga, hakuna feni, wala jokofu. Chakula kilikuwa majaliwa. Kazi yake ilikuwa ni bodaboda kushinda kijiweni mpaka usiku ndipo audio kupumzika. "Yule msichana ni nani hasa? Na kwa nini moyo wangu hauwezi kuacha kumfikiria" Festo aliwaza huku akikumbuka taswira ya yule msichana. Kila jioni, bila kukosa, Festo humuona msichana huyo akipita kijiweni kwao pale Tandale. Saa kumi na moja kamili, , anajitokeza barabarani akiwa amependeza kupita maelezo gauni zuri, viatu vya kisasa na ile miwani ya kisanii. Festo na watu wengine walimsalimia mara nyingi, lakini msichana huyo hakuwa akijibu. Hakutikisa kichwa, hakugeuza shingo, wala hakuonyesha dalili ya kusikia. Hali hiyo iliwafanya wengi waanze kuzungumza chinichini, Huenda mwanamke huyo alikuwa ni Bubu. "Kesho akipita, nitajaribu kumshawishi" "Aniambie anaishi wapi. hata jina lake nijue" Festo alijiongelesha kisha akaweza kupitiwa usingizi. ***** Asubuhi ilipofika, Festo aliamka mapema kuliko kawaida. Alijipangusa maji baridi kwa haraka, akavaa tisheti simba. kisha akachukua pikipiki yake na kuelekea kijiweni. Alikuwa bado na maumivu moyoni, lakini hakuwa tayari kukata tamaa. Alipofika kazini, marafiki zake walimtania kidogo juu ya suti ya jana lakini alicheka nao, akijaribu kuficha kilichokuwa ndani yake. Ilipofika jioni, kama saa kumi na moja kasorobo, Na hapo akatokea tena. Msichana yule. Alikuwa na gauni la kijivu lililokaa vizuri mwilini mwake, miwani ile ile ya kisanii, na begi dogo. Hatua zake zilikuwa za kawaida huku madereva bodaboda waliyokuwa wakipiga stori wote wakinyamaza. "Dada samahani " Festo alimuita huyo mwanamke. Tafadhali… naomba dakika moja tu. Jina lako tu. Unaitwa nani?” Msichana hakusimamisha mwendo. Hakutazama pembeni. Macho yake yalikuwa mbele tu kana kwamba hakuwa amesikia chochote. JE NINI KITAENDELEA? HAKUNA KUCOPY WALA KUSHARE HAKI ZOTE ZIMEHIFADHIWA...

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

????????????DRAMA OF LOVE????????. part 12. HELLEN: Shut up sky,, si wewe uliniambia pia????. Kama mko in love semeni tu????. NJERI: Ak to be sincere ????. Am really in l....... "Sky, come with me please ????????" kabla Njeri hajamaliza, niliitwa na Brianna ????, kumwangalia Njeri hakufurahia kabisa????????. Na ju sikutaka ajam..... Me: Maria can I go?? HER: ???????????? HELLEN: ????????????. NJERI: Ok but.....ok Ama enda tu????????. Nilimfwata Brianna hadi kwa field,, alikuwa amejam kiukweli????. HER: SKY I know you are sticking with Njeri just to make me jealous. Me: Oh who told you that. HER: I know everything, all this is pretence , infact your acting was so poor, Njeri was performing better than you????. Me: Brianna what is the issue here,, why did you call me?? BRIANNA: I don't like that, I don't want to see any girl having an affair with you ????, I know NJERI loves you and she's just utilising that opportunity for her own advantage????????. Sky I saw everyone talking bad things about, I couldn't bear the pain, that's why I decided to end our relationship, am sorry ????????. Me: Brianna your sorry doesn't even sound sincere????. Her: But the mistake was all yours, and I have apologized, ending our relationship doesn't mean I don't love you, for now that apology is enough ????????. Me: Ok am leaving ???? Her: Am not done. Me: what again?? Her: Sky from now henceforth, you must not watch such videos again, it's bad????. And if you want to see a naked girl then I'll.... Me: you will what?? Her: I'll remove those eyes of yours,,, so that you see nothing, idiot She left.. NJERI and I continued to flirt untill we went home for midterm break????. And this round, she had shown everything that she was deeply in love with me ❣️.. one day Brianna called me at night.. HER : Hello Beb. Me: hello. Her: have you eaten?? Me: No not yet.. Why are you calling me?? HER: Because mah mom wants to invite you for dinner❣️ Me: ooh really,, Brianna: can I ask you something Sky? Me: ask Her: When we broke up,, did you miss me?? Me: I haven't thought of such things ????. Her: So you didn't miss me at all. She was always with you so how can you miss me then????????. Me: Do you have something else,,,,, Brianna?? Her: Sky ni mm tu naongea since nikukol,, do you have something to ask????. Me: Have you eaten?? HER: si nmekwambia ndo naenda kukula????????. What is wrong with you?? Me: I forgot????. What else?? She hanged up the phone,,, alingoja nikol lakn wap,,, untill the day before tufungue shule,, kila siku Njeri kalikuwa kananikol❣️. We were talking almost a half an hour ????????. So ile day usiku Brianna alikuwa amekol nikakaa kushika????. Then after like 5mins ivi NJERI naye akakol. Voice:Hello chizzy,, umekula?? Me: hahaha nawezaje kula before niongee na wewe jamani????????. NJERI: Oh wow,, sky for sure time really flies when am talking to you ❣️❣️. Your voice is so romantic Me: leave that out,,, kila day huwa sitaki kuwacha kuongea na wewe ak.. you are such a nice creature????????. So what have you planned for me tommorow ???? "Wee,, kuja ukule mm nitakufungia huko kwa room,, kila siku nice creature, nice creature.... Ni nani huyo unaongeanga na Yeye kila usku????????" maongezi yetu na Njeri yalikatizwa na mom????. Me: hey,, see you at school,, hope umemskia mathe????. Her: Okay boy,, good night ????. Me: Bye ????. At school, Brianna didn't gave up on us,,, tulikuwa kwa tea break, Njeri alikuwa amenunua escort tunachangamkia????????. Tena Brianna akaniita????. Kamau: Bro enda haraka,,, it seems our plan has worked out????????. Enda jamaa. I was just looking at Njeri to see her reactions ????. Her: Sky,, Me: Yes,, niende?? Her: Enda tu????????. Hapo nikawawacha na kamau,, jamaa alifurahi sana.. anyway.... Brianna: Sky,, I think I did a very big mistake for apologizing to you ????. Me: what did I do Brianna ????????. Her: Why were you talking to me like that,, hujawahi ongea ivo kwa simu????. Me: Kwan nilikuwa naongea aje?? Her: You used to break jokes when talking to me,, we used to laugh throughout the conversation ????. Sky you used to call me the whole day kama tumeenda halfterm, what is wrong with you,, si I have already apologized to you ????????. Me: Brianna why are you bugging me?? Her: So you are angry at me?? What have I done,, actually you are the one annoying me???????? Sky I wish ningekuwa na nguvu, ak walahi ningekuchapa sahi????????. Kidogo hellen akafika????????. "Waah guys, mnashindana kuongea aje ni kama politician on a TV show ????. Ooookay today am gonna predict your Future ????". She took a pen and prayed for it????. Brianna LOVES SKY Brianna: I don't believe in such things hellen.. that's is just a game it's not True ????????. Hellen alicalculate akapata 94%. Brianna: Wow❣️, is it real?? HELLEN: Yes stop shouting at each other ????. You have a bright future ❣️❣️. Kutazama nyuma kumbe Njeri alikuwa amekuja kuangalia after nlikuwa nmekawia kurudi????????. After pia kuona 94% . She just left ????????. That day hakuniongelesha siku ya pili na ya tatu vile vile????. Aaih,, the fourth day nilimfwata kwa lab akiwa ameenda kufanya practicals???????? Me: Hey, Njeri? Her: Hi Me: Why are you avoiding me now days,, kuna shida?? Mariah: nothing Sky,, mm niko sawa????. Me: Talk to me,, it's hurting me when I see you distancing yourself from me every day????. What have I done?? Her: Kumbe umekuwanga ukitumwa na kamau kwangu na hujawahi sema?? Me: ???????? To be continued....

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

SHANGAZI KIDOGO TU EPISODE 5 Baada ya mjomba kukohoa nikajua tayari nmeyakanyaga rasmi. Nilianza kutetemeka nikijuwa hapa sina jipya sasa.. Nilikuwa mara nijifiche chini ya uvungu . " Tunafanyaje shangazi " " Bhana mi mwenyewe sijuwi" " Naona tu mambo yashaisha' " Ni kweli uncle wako anaweza akakuua" " Mmmh ! Mpaka nawaza. Leo" Mjomba alianza kuongea toka yupo huko" nilikuwa najuwa toka muda kuwa wewe unakula kitimbua cha shangazi yako" Nilishtuka nakuanza kutetemeka zaidi huku mapigo ya moyo kama yanakimbia kama hussen bolt .... Nilisikia mlango wa stoo unafungiiliwa na panga linavutwa . Nikajua leo ndo leo mwisho wa maisha yangu. " Nimesema toka nje " " Mume wangu msamehe kosa ni langu" " Tena we ndo ukae kimya, naanza nayeye namaliza na wewe" " Mjomba nisamehe mjomba nisamehe" Muda huo mimi na shangazi tumeushika mlango kwa nguvu ili mjomba asoinhie ndani.... Akasema ngoja achukue shoka avunje mlango alipotoka tu . Tulifungua mlango.na shangazi na kutoka mbio . Tulipita kwenye mlango mkuu huku akitufukuzia kwa nyuma tulikimbia lakini alikuwa bado yuko nyuma yetu nikajua leo ndo mwisho.wa maisha yangu. Tulikimbie bado yuko nyuma kavaa kaushi nyeusi na bukta nyeusi mkononoli kashika panga. Tupo mbele yake yupo nyuma yetu . Huku akisema " nitakayemkamata namuua " Nmemshika mkono shangazi .. Tulivuka barabara mbio mbio ile yeye kuvuka lilitokea roli na kumvaa . Huwezi amini alikuwa chini ya roli linammbuluza tulilia sana mimi na shangazi maana baada ya kusimamisha roli alikuwa tayari ashapoteza maisha 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭 Ni huzuni kwa kweli kumpoteza jomba la majomba sababu ya tabia yetu ya burudani lwa wote Maiti ya mjomba ilipelekwa mochuari. Shangazi alilia sana sio siri mimi sikulia hata kidogo kwa sababu sikujua adhabu yangu ni ipi mbinguni motoni au wapi yaani sijuwi mawazo chungu nzima nawaza nafanyaje...... Basi baada ya mazishi ya mjomba shangazi alitaka niendelee kuishi na yeye najua nikiishi naye nini ? Kitatokea tutaendelea kupeana tu bila kujua nafsi ya marehemu itahuzunika sana Sio siri najuta sana na shangazi kidogo tu 😭😭ndo maana leo nimewasimulia kwa heri natumai mmejifunza kitu .Asante sana kelvin mlowe kwa kuwa mvumilivu na msikivu wa kuandika stori hiii najua kuna funzo wamepata asante .... ************MWISHO ✍️*******"""""""""" Follow the HADITHI ZA KELVIN MLOWE ❤️✋🔥 channel on WhatsApp: https://whatsapp.com/channel/0029Vaw5SzK7YSd3RKAO8G46 INAYOFUATA JIRANI ACHA UKOROFI

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

TATU MSAMBWANDA MTUNZI: PATRICIA DAMAS SEHEMU YA: 08 MAWASILIANO: 0676604830 AU 0783642467 SONGA NAYO….. ???????????????????????????????? OFA OFA OFA …….‼️ NJOO UMALIZIE TATU MSAMBWANDA KWA SH. 800 TU NAMBA YA MALIPO NI 0676604830 DAMAS MGEMBE NB: OFA HII MWISHO LEO SAA 3 KAMILI USIKU 19/05/2025. Nilianza kumuonea huruma lakini gafla nikashtuka na kuona huu ni ujinga na Zain ananiona Mimi ni Kama Mtoto Mdogo hivi, Yaani ata miezi mitatu bado hatujafikisha kwenye mahusiano lakini nimeshaona kila rangi, ni mtu ambaye anataka kunifanya Mimi Kama toy, kWa hasira nikatoa mikono yangu kwenye mikono yake na kumwambia. “Kaa mbali na Mimi Zain, haya mambo ya nakupenda wewe Sijui nini nini unikome Sawa ? Haya mambo ya kutaka kunifanya Mimi Kama mpuuzi ukome kabisa, nimechoshwa na wewe, kwanini ukuwai kuniambia ata siku moja huu upuuzi wako ndio unakuja kuniambia siku ya Leo, Yaani siku ya harusi yako” “Tatu niliogopa kukuumiza nielewe mpenzi wangu “ “Hivi unajisikia kweli wewe? Uliogopa kuniumiza si ndio ? Kwahiyo hapa unahisi Kuwa ujaniumiza au ? Zain nimechoka Kaa mbali Ka Mimi” Yaani ni Kama kukutana na zain ndio imekuwa shida Yaani nilijikuta nikianza kuumia upya na kilio kukaanza upya. “Nilijipa imani kubwa sana juu yako, lakini ni makosa yangu kabisa, ni Mimi ndio nilikuingiza uku, ni Mimi ndio nilikutega si ndio ? Walahi nilikuwa mpumbavu sana” “Tatu sio kaama hivyo, labda kwakuwa nilichelewa kukuambia lakini Mimi ndio nilianza kukupenda, siku ya kwanza nakuona pale kazini moyo wangu ulivutiwa sana na wewe, ingawa nilikuja kukatishwa tamaa na tabia zako ambazo nilikuwa nikizisikia lakini zingine niliziona kWa macho yangu, Tatu siku ambayo nilikuja Nyumbani kwako ndio nilijua Kuwa wewe ni mwanamke wa tofauti sana, na ndio upendo wangu ukaongezeka kwako” Niliona ni kama anaanza kunitungia story zake za abuniasi. “Nipo kazini Zain” Nilizungumza na kutoka nje na zoezi lankuwahudumia yeye na Rafiki zake likaishia hapo. Hatimaye muda wa ndoa ulifika na taratibu zote zikafanyika na hatimaye Zain akawa mume wa mtu Rasmi kabisa, nilikuwa natamani ata kulia kwa sauti lakini sikuweza maana kila mtu angeniuliza. Baada ya kumaliza majukumu Tena Mimi nikawa wa kwanza kuondoka na kwenda Nyumbani, nilifika na. Kubadili nguo kisha nikaenda zangu tu club kwaajili ya kupunguza stress za hapa na pale. Stress ambazo Mimi Mwenyewe nilijisababishia kWa kuangalia kwenye penzi la Zain, Yaani huyu kaka Kila nikijitaidi kumtoa akilini mwangu Yaani ndio Kama nilianza kumkumbuka kwa kasi sana. “Kwahiyo Saa hizi amelala juu ya kifua chako si ndio ??” Nilizungumza kWa sauti yangu ya ulevi na muda huo nilikuwa nikiangalia Picha ya Zain kwenye siku yangu. “Kwanza watu wenyewe wabaya na amjaendana, mwanamke wako mbaya na shape yake Kama ubao wa pull table ????????” Nyieeeeh Ila Mimi nina makasiliko sana, nilienda kunywa ili nilewe na ikiwezekana nisahau kuhusu huyu mwanaume lakini ni Kama ndio nilikuwa nikiogeza hivi, Yaani nilijikuta nikikumbuka kila kitu kuhusu yeye, nilikumbuka kıss, nilikumbuka jinsi ambavyo mimi na yeye tulipika kWa pamoja na tulikuwa ni watu wenye Furaha sana. “Zain mjinga sana wewe” Niliendelea kulalamika kWa hasira sana. Siku hii Bwana nililewa sana mpaka nikaja kuchukuliwa na vai na kurudishwa Nyumbani nikiwa sijitambui kabisa. Ila Mimi na vai kilichotufanya Kuwa marafiki Sijui ni kitu gani Walahi maana Mimi na vai ni watu wawili tofauti, vai ni Mtulivu sana, lakini pia yeye ana mwanaume mmoja tu aangaiki kama Mimi, ukiachana na hivyo, vai atumii kilevi cha aina yoyote ile Yaani ni msichana Fulani hivi Mtulivu sana. Asubuhi niliamka nikiwa na maumivu makali sana ya kichwa kutokana na Kuwa nililewa sana, vai wangu akanipikia supu na kuniwekea nipate kunywa. “Thanks babe “ Nilimwambia vai wangu ambaye ananijali sana. “Thanks babe, Ebu nitokee hapa, hivi ilikuwaje Jana ukalewa Kama vile ? Tatu watakuja kukubaka siku moja umenikela sana jana “ Vai akaanza kulalamika kwani hii tabia yangu ya kuelewa uwa haipendi kabisa. “Sikuwa Sawa Jana” Nilijitetea. “Jifunze ku move on na kujipenda, najua sio suala rahisi lakini ukianza na kujipenda haya mambo mengine yote utaona Kuwa ni kawaida sana” “Nitajaribu “ “Tatu ujue niko serious, sio kesho na kesho kutwa unapata shida upya, na kuhusu huyo Zain wako sitaki kumsikia Tena kwenye hii Nyumba, me sitaki mtu ambaye Ana kufanya kutokuwa Sawa, nataka uwe na Furaha Tatu wangu Sawa mama “ Nyieeeeh Rafiki Ninaye na ninatamba nae, Yaani vai ni zaidi ya Rafiki. Kwakuwa sikuwa Sawa, Nilizungumza na boss mkubwa na kumuomba ruhusa ya kupumzika Nyumbani Kama week Mbili hivi ili kuweka akili yangu Sawa lakini pia kukubaliAna na kila kilichonikuta. Boss wangu hakuwa na baya nikupatiwa ruhusa hivyo Ka likizo kikaanza, nilitumia muda mwingi sana kukaa na vai wangu na kutoka kwangu Nyumbani ilikuwa ni mpaka nikipata appointment na madanga yangu. Kidogo kidogo nilianza Kuwa Sawa na kuna Namna niliona Kuwa nilikuwa mjinga kumlilia Zain. Ikiwa ni Majila ya Saa 10 jioni, Mimi na vai tukiwa tunaangalia movie, tuliweza kusikia mtu akigonga getini nikamuuliza vai. “Unatalajia mgeni au ??” “Hapana “ Vai Alijibu naa kuinuka kwaajili ya kwenda kuangalia ni Nani alikuwa akipiga hodi. Baada ya Kama dakika Mbili nikasikia Kelele kiasi haraka nikatoka nje na uso kWa uso nikakutana na Zain. “Unafanya nini hapa ?” Nilimuuliza kWa sauti ya jazba sana. Vai alinigeukia kisha kwa utulivu akaniambia. “Rudi Ndani Tatu huyu mtu namalizana nae Mimi “ Imagine Mungu anakubariki Rafiki yako Kama vai wangu hapa. Vai akamgeukia Zain na kumwambia. “Ondoka Broh uhitajiki hapa, na mwanzo mwisho Leo kufika kwenye Nyumba hii “ Vai kWa hasira akashika geti na kutaka kulifunga lakini Zain akawa na……. NAKUJA MY ZANGU….

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

MJEDA NA BIKRA YANGU *_____________________________ *SEHEMU YA 23 na 24 Aliondoka kama anataka nimzuie nllakini nilimsindikuza hata kabla hajatoka vizuli, nikabana mlango, mme wangu, alivyoona simpigii simu, akaanza, akaacha kutoa matumizi, akizani nitampigia niombe,lakini wapi akasmua kufunga dyka langu kubwa alilonifungulia,bahati nzuli nilishafungua ofc nyingine, na nimeshajenga nyumba inawapangaji na nina ofce za ice-cream, mabanda ya chips panda ya kuonyesha mpila... Kiasi kwanza naweza kulipa mpaka ada ya mwangu, na maisha yakaendelea bila shida, tena hii ocf nyingine ina mpaka kucha, kope, zote zinapatikana, japokua nilikiwa na ujenzi wa nyumba yangu kubwa tu, na tayali nilisha maliza ukuta na geti nilianza kwanza na ukuta/fensi nilivyokamilisha ndio nikaanza nyumba nayo ipo Kwenye lenta, nikawaza kwa haya yanayoendelea kujigawa sio lahisi itabidi nisubili angalau nilipie tu ada ya mwanangu ndio niendelee... Niliwaza nikaamua kuongea na kaka angu, ndie ndugu pekee wa damu nilie nae, ni yeye na mwanangu milard, sina mtu mwingine wakumwamini nilimuomba ushauli kuhusu hili, kaka angu alinizuia nisilipe ada, endapo nitafanya hivyo, basi hatakama tutakuja kuyaweka sawa, mwanaume ataacha kuwajibika ataniachia majukumu mimi.. Chakufanya niwape walimu namba zake wamtafute, alipie, kweli alitafuta akasema hana kaka alinambia nisiingilie majukumu ya mwananume nitakuja kutelekezewa majukumu, nijikaushe tu kwa muda atalipa, ilikuwa ngumu sana kwangu kuelewa mtoto alisimamishwa shule kwa wiki nzima, ndio baba ake akalipa ada... Baada ya miezi sita aliludi na kunikuta na tumbo langu tena ni baada ya ritha kunifuma, nilikuwa sionane nae kabisa, alivyosikia nina mimba na simjali alipanic akaja ghafra mimi sikuwa na hiki wala Lile ila mrinzi alinijulisha wakati niko njia kuwa boss kaludi,niwahi ila ata sikujisumbua kupata presure alishanitoka kabisa... Nililudi zangu usiku kama kawaida na tumbo langu la miezi 8,lilikuwa kubwa jamani sio kama la milard,nilikuwa nachoka ila nitafanyaje,nililudi nikiwa nimeshiba na kijana wangu, Tulikuta mwenye nyumba, kajaa alivyoniona tu kwanza nimenawili kama vile, kila kitu kiko sawa, alinidaka mzeba mzeba, Re nitakuua, Re hii mimba ya nani? Usinambie umeanza kunisaliti mke wangu aliongea huku anatetemeka, sikuwa najibu kitu namuangalia tu alipandwa hasira, akaniwasha kofi.. Nilipigwa makofi mawili nijibu, nani natembea nae,hivi Rameck unazani ukifanya uchafu ni kila mtu anafanya si ndio ee? Nilijikuta nimetoa siri niliyoificga kwa muda mrefu sana, kuwa anatembea na ritha, kwahiyo kumbe ulijua ukaona sasa unilipizie, yani kisa nimezaa na ritha na wewe sasa ukaona ukazae nje, hii kwangu ilikuwa ngeni aiseeeee nilichoka... Ata lakuongea nilikosa alivuta mkanda anipige mwanangu aligonga mlango, bahati nzuli hatukufunga akazama, mama kumbe ndio maana Baba sisi hatupendi tena, kashawapa upendo wetu watu wengine, naomba nikalale na mama angu wewe nenda tu tumeshazoea kwa sasa maisha yetu... Rameck alishtuka na milard ni udhaifu wake hana kauli kwa milard, alitaka kujitetea lakini milard alinitoa, tukaenda chumbani kwake, asubuhi kulivyokucha niambiwa niondoke asijekuniua na atamjua tu alinioa mimba apo sasa ndio atakaponinyoosha, nililazimishwa kwenda kwa mama mkwee tena kwa ulinzi, ili nisitoloke... Bahati nzuli mwanangu alikuwa likizo niliondoka nae aligona kubaki na baba ake, Rameck alitafuta mwenye mimba hakumpata, siku hazigandi nilijifungua mapacha watatu, na wote hawakunifanana mimi, hawakuhutaji hata DNA kujua , kama ni wao, Rameck alikuja,aliona hata aibu kunitizama sikutaka mazoea tena, niliomba talaka mbele ya mama ake,binti yangu kwani kuna tatizo gani jamani, nilitamani kujibu vibaya nikajikaza kwasababu mama alikuwa anajua kila kitu, na mtoto wa ritha pia nilimkuta kwao... Walitaka tuyaongee lakini moyo wangu tayari haukuhitaji mazungumzo kabisa,nilihitaji tu talaka, niendelee na maisha yangu kama kulea nitalea tu wanangu niko tayali kuwa single mother,sikutaka hata kukaza uzazi nikaondoka, lakini kabla sijafija popote, nilidakwa nikaludishwa kwangu , kwa ulinzi tena kama mwanzo, simu akachukua ila nilificha simu moja ya biashara zangu hakuwahi kuijua... Re mke wangu, mimi ni binadamu, kukosea kupo mama naomba unisamehe mke wangu, nakuahidi, ditoludia na kuhusu ritha nimeshaschana nae tayari, sikua naongea na Rameck wala mama ake, siku moja nikasikia mama mtu anamshauli dawa ya mwanamke jeuri muolee mke wa pili... Mama sio kwa Re, namjua vizuli sana mke wangu,kufanya hivyo nitakuwa nahalibu zaidi anauwezo wakukaa hata mwaka bila mimi, anaweza yeye sio kama mimi, anauwezo wakunioma na mwanamke na asiniulize mama bola basi angekuwa anaongea Re haongei, anakuacha kimya kimya, na mimi mama katika wanawake wote hapa duniani nikk tayari nikose wote ila sio Re... Haonwengine ni tamaa lakini Re, ni roho yangu mama, kama hujui hakuna mwanamke anaweza kunichanganya ama kuniumiza kama Re, hivyi usitafute nikosane na wewe,mama nina watoto sasa sio mtoto, napaswa, kuitengenezea familia yangu furaha,mke wangu anatakiwa kuwa proud na mimi, unanishauli kuua familia yangu mama kweli unanitakia mema... Kwa mwendelezo zaidi follow hii page https://whatsapp.com/channel/0029Vaa1ydLI1rcqxL1uoT0v hapo tuko mbele zaidi OFFER OFFER SOMA YOTE KWA SH 500 HAITAPOSTIWA TENA FACEBOOK NJOO NA 500 ya Tanzania WhatsApp number 0755090082

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

MJEDA NA BIKRA YANGU _____________________________ SEHEMUYA 21 na 22 * HHamweziaamini nnnilimkutaRRameckna rrithawwakiwana ttaulowwamekubatianawwakiwawwamelala ssikuwasemeshacchochote nnilitokakkimyakkimyappasipowaokkunionanniliendakkuliahhukokkwangu nnikakumbukapia aasubuhirritha aalinipaddawa aakidaikkuwanniyauzazi, nnilimuahidinnitaitumialeo nnikitokakkanisaninnilivyokumbuka nnikaamuakkumpammbwakkwenye cchakula hhamweziaaminihhatadk 3 hhazikuisha mmbwaaakakaukahhapohhapo.. NNiliogopammnonnikaanzakkuangaliana uusalamasasa wwammwanangu ila mmilardwwangualikuwa very smart,anaelewa halaka sana,nilimuomba asile chochote popote hata nyumbani, mpaka mimi mwenyewe nimpatia hata ndugu zangu,marafiki hata baba ake, mtoto alinitizama, mama usijali najua hufanyi kwa nia mbaya nakuamini... Kwa sasa mama sitokuuliza chochote kile,unaonekana, hauko sawa, naomba popote unapoenda, tuongozane huna wa kukulinda kwa sasa zaidi yangu mama, usinitazame kwa umri wangu,nimekubali maelekezo yako mama bila masharti, naomba na mimi ukubali bila excuse yoyote... Dah sikuwa na jinsi ilibidi tu nikubali, nilikuwa najisikia vibaya, mwanangu aligundua hilo, aliomba mlinzi achukue gari, aniwaishe hospital, nilifika hosptali nikapimwa nikagundulika ni mjamzito wa miezi miwili, lakini presure iko juu sana,nilipewa dawa za pressure... Tulilazwa na mwanangu, sikuona hata simj ya kunijulia hali, mpaka kunakucha, zilipita wiki mbili naona miamala tu ya matumizi, anadai yuko kazini, sikutaka kufatilia tena mambo yake, niliamua kupambana na tumbo langu na mwanangu, ritha aliniambia kasafiri kikazi, nimsamee hakuweza kuniaga, akataka kujua kama nimetumia dawa nikamwambia nina mfungo mpaka nimalize maombi... Alitaka kujua yanaisha lini,nilielewa lengo lake,anataka animalize mme wangu akiwa nje na nyumbani,ili asipewe kess ya mauaji, au huenda wanashilikiana, niliwaza nikaona kichwa kitapasuka,niliamua kutulia, nikaanza kujenga na kuwekeza kwenye miladi, nilikuwa nafanya kazi mpaka usiku ili nijitafutie pesa zangu mwenyewe... Kuna siku nikaona Rameck anapiga simu, sikuipokea niliacha kwanza iite kisha ikate, akabiga tena nikakausha, mala ya tatu nikampa milard, pokea simu ya baba ako mimi niko bize,kweli akapokea wakasalimuana, akaniulizia, milard akajibu mama yuko bize akipata muda atakupigia, nini inamaana hujamwambia kama ni nini ndie nimepiga?.. Anajua na yeye ndie kaomba nimsaidie kukujulisha kuwa yuko bze, aisee alipanic, kidogo ritha akapiga nae pia nikampa milard, ata sikujisumbua kuwaludia,alichofanya ritha aliludi akafikia kwangu niliwaomba walinzi wanisaidie kusema sipo hata kama nipo... Na uzuli hasira niliigamishia kwenye pesa badala ya kulia, niliamua kuwa bize na maokoto, ritha hakunikuta, alipiga simu pia hakunipata wakaanza kuhisi kuenda nimejua, ritha akaamua kuja usiku nimeludi na mwanangu akiwa na nguo zake za shule kwenye begi lake huku amevaaa za nyumbani, huwa natoka nanguinzake kwenye mkoba anapitishwa na gari lake dukani, nampa za nyumbani anachange kisha tinaingia kupiga kazi mpaka muda wa kuludi nyumbani, tunafika saa nne usiku hata dada wa kazi hatuna, let aliolewa,tunafika nyumbami tunakuta yuko nje anatusubili, nilimkalibisha kama hakuna kitu najua nilimchangamkia mno... Kwa akilinzake akajua sijajua chochote, " we Rehema kulikoni kumuweka mmeo roho juu,mpaka ananipigia simu usiku usiku nije kuwatizama,niligundua anarecord, au umepata kamchepuko? Make so kwa masaa haya shoga angu,ritha bwana usikalili, mwili wangu sio gazeti kwamba kila mtu asome, nina mipaka nao sana, nilikuwa kwenye biashara zangu, tulotoka familia za chini hatuna muda wa kudeka, ukideka ni kwa muda tu, wanakudekeza wanakugeuzia mgongo na kuwa maadui... Vipi za kazi, nzuli naona mambo sio mabaya shemu anatunza sio mchezo, nilitabasamu tu sikujibu lolite alijitahidi saba kuniprovacal, lakini hakupata alichokuwa anakitaka... Niliona anataka mazoea yake yakulala kwangu, make muda unaenda haondoki nikuongeza mada tu, ritha rafikia yangu nenda kalale nifunge namimi nilale, nimechoka sana nitacheki muda keshi nije kwako tuonge,alichoka hakuwa na ujanja akaamua kuondoka hakuwa na mtoto na sikutaka hata kuuliza...

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

MJEDA NA BIKRA YANGU *_____________________________ *SEHEMU YA 19 na 20 Basi kama kesho, nitakuandalia dawa utamtilia kwenye chakula, itakisaidia kama hii imekushinda,niliamua kuitikia tu jioni Rameck aliludi, hakunisemesha aliingia akaoga akabadili nguo, niliingia akanisemeaha,Re najua hujapika wewe wala sio let, sasa naomba jiandae wewe,let,mtoto na mimi tunatoka ni amri sio ombi... Niliwaza tunaagaje lakini nikakaza roho, tulitoka tukasema kuna mahali tutalidi, Rameck aliingia akarock mvumba mwenyewe na kuconect na simu na saa, hakuishia hapoalihakikisha kabakiza chumba jiko, na sebure, wao hawakujua... Walihisi anatafuta kitu, tulienda kula tykiwa huko alam ya simu iliita kuashilia hatali, kwenye simu na saa, tuliondoka kwani hatukwenda mbali na nyumbani, tulikuwa mitaa hio hio na tayali Rameck alikuwa ameshaweka oda, tulikuta oda iko tayali,tulikula nakuondoka, tulifika nakuwafuma wanahangaika kufungua chumbani kwetu, hatukukngea nao waliondoka wenyewe, tuliamua kuwapa nauli usiku huo huo, asubuhi tukawapeleka stend... Kumbe mamdogo alitaka nizalie nyumbani kama wanae, aliumia mimi kuolewa, japo bila shuhuli,lakini iliwauma ndio maaana akaja na ruth, ili waniondoe kwenye ndoa, akae ruth, na walishamjaza maneno yauongo, kumtega akiwa mtupu, kumbe mwenzao anaulinzj wa camera nyumba nzima, kila kitu wanachoongea,nakupanga na wanavyofanya yani kila kitu... Mwanangu alifunga mwaka, tuliamua kumfanyia bithday, ritha na neema walikuja pia, tulishelekea, pamoja ila aliyeondoka ni neema, ritha alibaki akidai anahitaji kubaki amenikumbuka, sikuwa na hiyana nikakausha... Lakini sikuelewa ritha alikuwa na tabia za kuvaa nguo za ajabunkama ruthi, nilijalibu kuongea nae lakini hakujilekebisha, baada ya miezi miwili aliondoka maisha yaliendelea, nilianza biashara ya kuuza lasta,urembo,na ususi miaka ilizidi kwenda... Mwanangu alifikisha miaka saba, lakini mimi sikuwa nimeshika ujauzito, ndoa ilianza kuwaka moto, Rameck alitamani sana, kupata mtoto mwingine, alianza kubadilika sana, nilifanya vipimo sikuwa natatizo lolote,niliwaza sana nikiwa kwenye msongo wa mawazo baba alipata ajali akiwa anakuja kuniona akafariki, sikupata hata nafasi ya kumuuguza baba angu, lilikuwa ni pigo kubwa sana kwangu,ilibidi tuende kumpumzisha baba angu, Rameck aliniacha nyumbani, baada ya wiki mbili nilikaa nyumbani kama miezi miwili kutuliza akili, tulijadili na kaka tukaamua kuweka mpangaji ili atuangalizie nyumba yetu, nilifanya kila kitu nikaweka sawa kisha nikaludi kwangu, Rameck alikuja kutupokea akiwa na ritha... Nilifika nikakuta kila kitu kiko sawa,tulienjoy, neema akanipigia nakunishauli nianze maombi,kweli nilifanyia kazi wazo lake, nilianza kuomba na kuhudhulia kanisani,nilifanya kwa bidii kwani hata Rameck, alianza kuonyesha mabadiliko, sikuwa namuelewa , nikiuliza naambiwa bize, lakini ramenk mme wangu hata kama ni ubize, ndio kwa kiasi kikubwa hivi? Unasafili miezi tena sehemu isiyojulikana!... Re mke wangu, ebu punguza maneno mke wangu,yani natoka huko mimechoshwa na kelele za risasi na bunduki, na wewe nae uje kunipigia kelele hivi sasa mimi nitakuwa naenda wapi kutuliza akili yangu? Kwa sababu kazini moto, ukija nyumbanj ndo kabisa kuni zinachochewa tena za petrol... Basi yaishe mme wangu,niliona niepushe ugomvi tu yaishe, ritha alikuwa na mtoto wa kiume kama wa mwaka mmoja hivi,nilimuuliza ritha baba wa mtoto akasema kaenda nje kimasomo, siku moja niliwahi kutoka kwenye maombi, nikaona nipite kwa ritha nimpitishie mwanae zawadi huwa nachukua za wote kijana wangu na wake, nafika mlango uko wazi, hakuwa na geti kuingia ndani nilichokikuta ???? JE NINI KITAENDELEAAA LEO NIMEGEUKA VUNJA BEI NA MWAGA OFAAAAA LIPIA 500 CHAP NAMBA YA MALIPO 0755090082 JINA LA USAJILI ZAINABU SUNGITA MPESA KISHA NJO WHATSAPP 0755090082 NA MUAMALA WAKO NIKUTUMIE SIMULIZI HI MPK MWISHO SIMULIZI HI HAIPOSTIWI FACEBOOK TENA WAHI WHATSAPP 0755090082

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

MJEDA NA BIKRA YANGU *_____________________________ *SEHEMU YA 17 na 18 nimekuelewa mme wangu,lakini vipi kuhusu kazi natamani kujitafutia, Re kuhusu kazi hapana,kwa sasa naomba ufungue ofc yako lakini sio kuajiliwa, tafuta location, andaa bajeti,nipambane nikupe mke wangu, nyie mambo yalianza kunoga mwenzenu , nilifulahi mwenyewe nikalala na amani kabisa,kulikucha nikawa nimechangamka nikapewa cha asubuhi cha kushitukiza sikuleta ubishi nikatoa ushilikiano wote mpaka baby nuru ikalejea kwa kasi ya 5g ????... Baba alipata amaninkutuona hivyo, upande wa mamdogo, alikubali kuja ila aliomba aje na binti yake, nilimuomba mme wangu, akakubali, tuliwatumia nauli wakaja,baba aliniomba mtu yeyote nisimluhusu akaingia chumbani kwangu... Zaidi yangu na mme wangu, alinisisitiza sana,nilielewa,na kujua lazima anamaana yake,nilishika hilo neno akilini na moyoni,mamdogo na mdogo wangu ruth, walifika, tulienda kuwapokea mimi na mme wangu, tuliwapokea vizuli kwa furaha sana... Baada ya siku tatu nilianza mafunzo ya ndoa lakini masomo yake hayakuwa mazuli, niliwahi sikia kwa watu haya yalikuwa nikiunyume nilianza kupata mashaka sana, na ruth alikuwa bize na shemeji yake mni mimi niliwekwa bize na masomo ya ndoa, nilijua moja kwa moja hapa kuna tatizo, nilimpigia wifi yangu, nikamueleza, akaniambia sio wema niwaondoe mapema, nilishindwa kuwafukuza, siku moja Rameck, alikuja akiwa na hasila sana... Sio kawaida yake, Re mke wangu, naomba kesho waandae mamdogo na shemeji waondoke hapa nyumbani kwa usalama wa ndoa yetu tafadhali sana,sikujua ni nini, ila nilishindwa kuwaambia, kesho yake mme kaamka kanipa nauli, akaondoka wakati ametoka nilitoka nikafunga chumba changu na kika siku nilikuwa nabadiki kufuli kwa sababu nilihisi watakuwa wanachongesha funguo... Na kweli kumbe leo walichongesha, nilishangaa mchana , mamdogo ananiuliza hivi humo ndani mwako, umeweka dhahabu hadi mimi mama yako hutaki niingie na natakiwa kukagua chumba chako kuona kama unatandika vizuli, natakiwa kukuelekeza namna yakutandika kitanda aina tifauti tofauti kulinganya na chumba chako na ukubwa wa kitanda... Mamadogo mme wangu haruhusu mtu yeyote kuingia chumbani kwetu kwao ni mwiko, wewe nae kama mtoto saivi si hayupo, hili nikwafaida yako kumbuka, mamdogo nakuelewa, lakini kwa hili hapana mamdogo, sasa kama hutaki mimi naenda kwangu siwezi kufundisha mtu asiejielewa, hafundishiki... Nilinyamaza kimya tukashinda hatuongeleshani jioni nikaingia kupika wakanikatalia,mwanangu acha ruth akusaidie,hapana mama acha tu nipike leo apumzike, "hapana wewe ninamaongezi nawewe, ilibidi tu nikubali, binti yangu nataka nikusaidie ili udumu kwenye ndoa yako, leo chukua mbegu za mme wako nije nikutengenezee kitu binti yangu, yani mmeo atakuganda hutoamini... Huku mdogo wangu aliingia kupika tena chakula haswaaa,mamdogo mimi sihitaji kutumia dawa, kama ataniacha ye aniache tu ila siwezi mamdogo,we binti yangu unaishije mpaka baba ako kaomba nije kukufunda anaelewa, haya maisha bila hivyo huwezi kudumu kwenye ndoa hata upambane vipi.. Kwa mwendelezo zaidi follow hii page hapa chini tuko mbele zaidi Full 1000 Whatsp 0784468229

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

MJEDA NA BIKRA YANGU *_____________________________ *SEHEMU YA 15 na 16 Nilikaa Baba aliongea nafikiri kila mtu nimeongea nae, na wote, mmekubali kila mmoja anampenda mwenzie, Rameck alishtuka akanitizama, akaona haitoshi akaamua kuuliza, Baba samahi, naomba tu kusikia mwenyewe kutoka kwa Re, kwasababu hajawai kuniambia ata kwa bahati mbaya, kama ananipenda mimi hajawahi... Niliona aibu yani niseme hivyo mbele ya baba kweli mmmh, nilishika simu nikaona bola nimtumie sms, Rameck mme wangu jamani, ndio mbele ya baba kweli jamani, naomba basi nikakwambie chumbani au popote ata mbele za watu nitasema, ila namuonea aibu baba, kuludia ludia hilo neno mbele yake lakini haimaanishi sikupendi mme wangu, ila kama nikisema mbele ya baba ndo utajisikia vizuli niambie nitajikaza tu niseme kwa sababu ndo ukweli nakupenda... Rehema mimi naongea wewe unachezea simu? Kwahio hapa naongea pumba si ndio? Nilishangaa baba kawaka, muda huk tayari sms iliingia kwa Rameck, ila alivyoona moto umewaka kwangu, akaona bola ajisalimishe, ata hakufungua kabisa... Hapana baba sio hivyo,baba alitaka kuniwasha kibao, nikaona nilopoke halaka sana, Baba nilikuwa namtumia mme wangu sms, baba nilikuwa naona aibu kusema mbele yako, nikamuomba nikasemee chumbani, " kwahio kusema unampenda mwenzio mbele yangu ni aibu, lakini kulala nae chumba kimoja nipo hio hukuona aibu,naomba usitupotezee muda Rehema kama humpendi mmeo naomba uweke wazi hapa hapa, ili mwenzio ajue mapema... Rameck akadakia baba hapana sitaki tena kujua kama ananipenda, baba siko tayali kumuacha, ata kama atasema hanipendi baba siwezi ni bola nibaki nisijue chochote, tafadhali baba, niliona hapa bola niseme tu, niliinuka kabisa, Rameck nakupenda, sijaanza kukupenda leo wala jana, ni vile tu matendo yako yananikwaza nashindwa kukwambia najikuta nakasilika tu... Rameck hakuamini alinitizama mpaka nikaona aibu nikashusha macho, baba ikabidi aingilie kumtoa kwenye wenge Rameck,nadhani umesikia kijana wangu sijamlazimisha nimempa uhuru, kila mmoja nimemulewa naomba sasa kila mtu atekeleze wajibu wake... Rameck aliongea lakini baba, mimi naogopa baba Re anaweza kunitoloka tena baba nitafanyaje mimi nampenda mke wangu,aliongea huku machozi yakisogea kutoka, baba alimtuliza, Rameck kijana wangu jiamini, mpe nafasi, mle uhuru, mimi baba yenu nipo amini hakuna kitakachohalibika... Rameck alikubali kishingo upande tu, tulimaliza kikao tukaingia kulala, nilimuona Rameck, kakosa amani kabisa,aliingia nakukaa kwenye sofa anafuta tu machozi kimya kimya,nilimsogelea,akakwepesha uso nisimuone,niliamua kumkalia mapajani, muda huo nilikuwa na kanga tu ndani sihavaa chochote... Alishtuka akasahau kama ananificha nisimuone akiwa analia,akawa amenitizama, niliamua kumfuta machozi,huku namunong' oneza sikioni, Rameck mme wangu, nakupenda mno, nilianza kukupenda siku tatu kabla ya kunibaka, nilikuona chuo, ulikuja ila nikupata hasila na wewe, siku ya graduation kama unakumbuka... Asubuhi nilikuona wewe na madamu raya, ulikuwa unamjibu shit kisa umemtumia ukasema, anajilahisisha, yeye sio type yako, wewe unamtu wako, ukweli nilijikuta tu nachukia na wivu ukanishika, sikujionesha ndio maana tulivyokutana, nilikuongelea maneno nachafu nikwasababu nilikuwa na hasila na wewe... Nilihisi nikifanya hivyo nitapata amani, moyo uliniuma nakuona kama crush wangu malay*, niliumia niliongea huku machozi yakimiminika, Re mke wangu, nisamee siamini Re kumbe ooh God! Nisamee mke wangu, sikujua kama nimeujeluhi moyo wako, naomba nijieze sio kwamba mimi ni malay* , Rameck mme wangu, naomba usiongee tu, nitaumia naomba tuachane nayaliyopita... Nipe uhuru siwezi kwenda popote, ni wewe tu unanishuku, kabla sijaendelea kitu kilikuwa kinachoma, wakati namnong'oneza sikioni nilikuwa naamsha vitu bila kujua,mme wangu alidaka lipis zangu, akaanza na kichwaji chake pendwa... Shoo ya msamaa waga tamu jamani ????, nyie haaa nilihisi dunuani niko peke yangu na mme wangu, alijua kunitia,nilihisi sasa nitamwaga mpaka dhambi, nilitoa mpaka siri zangu, nikaona baba usinitanie acha nijalibu na mimi game, awee kumbe kiuni fen bwana ninacho, nilijihudumua kwa mbembe huku namchezea, tulikomia make sio kwa mabao hayo... Aisee kwa mala nyingine tabasamu langu laukweli lililudi, Re mke wangu hili tabasamu mala ya mwishk kuliona ukiwa chuo, apa nimepata amani mno, ruksa kutoka ila hakikisha saa 12 uko ndani, lakini pia kaa mbali na jinsia yangu, ninawivu mbaya sana sitoweza kuvumilia kabisa kuona uko unafurahia na mwanaume mwingine... Nitakununulia simu kubwa, lakini hakikisha hainifanyi nikakuonea wivu,hainifanyi nikakasilika mmke wangu, mimi kauli ya simu ya mke haiguswi siwezi nitapasuka mke wangu, au hata kukuletea kisrani tu bule... Kwa mwendelezo zaidi follow hii page hapa chini tuko mbele zaidi Full 1000 Whatsp 0755090082

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

MJEDA NA BIKRA YANGU *page Bahari ya simulizi *SEHEMU YA 13 Na 14* inafika hatua naomba kwa nguvu kweli mke wangu? Ee yani huwezi tu kunipa kwa hiyari, mpaka tugombane, apo utaniona mimi mkorofi, mimi nakunyanyasa, makosa yote utanipachika mimi, unanifanya nakosa kukuamini naogopa, muda wote nawaza ivi kweli kuna siku utanipenda kiasi kwamba utakuwa tayali kutamba hata huko nje kuwa mimi ni mmeo, mimi ni baba watoto wako, kweli kuna siku itatokea au ndio nikikosea tu kukuto nje... Ndio siku nakupoteza, utapata unaempenda, inamaana mimi nj mbaya sana Re, nina kasoro gani mimi niambie basi, ee niambie natisha? Au sikufurahishi kitandani Re? Niambie basi kasoro yangu nini? Re mke wangu mbona nakupenda sana mimi ????, niambie basi nifanyeje unipende, uniheshimu, unijali, nisitumie nguvu, nawewe uenjoy , tutaishi hivi mpaka lini... Tulikuwa tunalia wote, hakuna wakumnyamazisha mwenzie,mtoto nae akaamka wote watatu tukawa tunalia, Rameck akaamua kumchukua mtoto ata hakuwa ameoga, alienda kuoga nae bafuni, uku wanalia nakumbembelezana, walitoka wamenyamaza mimi pia niliingia kuoga, nikatoka bado ninalia mawazo mengi, sina ata kinga, vipi kama nimebeba tena mimba????... Re kama inawezekama naomba unisamee, nashindwa kuvumilia, maumivu unayonipa mama ni makali sijui tu aliongea akatoka nje na mwanae usiku ivo ivo wakaenda kukaa balazani, waliludi nikapewa mtoto nimnyonyeshe, nilimnyonyesha nikampa baba ake walicheza wenyewe mpaka mtoto akasinzia... Tuliingia kulala kibishi kika mtu na stress zake, kulikucha Rameck akanijulisha, Re baba amefika, nilisahau kukujulisha kasafiri na gari za usiku, tayari yuko mbeya, naenda kumpokea nimeshapika, letcia(mdada wa kazi)atakusaidia kazi zilizosalia, nguo za milard ( mtoto wetu) nimeshafua, aliongea hivyo hata hakusubili jibu akaondoka... Niliamka nikajiandaa nikaenda kusaidiana na let kazi,hazikuwa nyingi badae nikaja kumuogesha mwanangu, nikamvisha nguo na mimi nikaoga tukaelekea sebureni, ile tunafika tu, na Rameck na Baba wakawa wamefika, nilimmiss sana Baba angu nilifurahi mno kumuona alishangaa kuniona nimekonda akahisi huenda kwasababu nanyonyesha... Siku hii tulishinda wote mpaka jioni na Rameck hakwenda kazini, usiku nilijua yatatokea yajana nikawa na hofu kweli, Re kuwa na amani, leo sikugusi mama anaona umekosa amani kabisa, lala mke wangu, kwa sasa angalau uchupa umepungua, japo ukinipa kwakweli siwezi kukataa unautamu wako tu haukinai... Sikujibu nilijifanya tu nimemuelewa, ila nilikuja kupitiwa usingizi ata sikujua ni saa ngap, kulikucha asubuhi, tuliendelea na pilika pilika, Baba alitoka na mkwe wake, kumbe mzee alishagundua kuna tatizo akamkaba uko mwanaume mwenzie, ikabidi Rameck, aseme kila kitu, Baba hakumpa jibu akaomba pia aongee na mimi, kisha atatuita wote tuongee kwa pamoja... Waliludi, nyumbani, mzee akaomba kuongea na mimi, mnilimwachia baba ake mtoto, tukaenda kukaz chumba cha kikao umo umo ndani, Baba: Rehema binti yangu, naomba uniambie nini shida mbona sioni nuru usoni kwako, lakini pia hata kwenye ndoa yako? Baba mimi niko sawa tu, hatuna shida yeyote, "Rehema nakujua vizuli sana binti yangu,naomba usinifiche,mwenzio nimemuuliza na amekuwa wazi kwangu hivyo nahitaji kujua kwa upande wako, sijui kama unatambua huo ukimya, unakutesa wewe mwenyewe mnajiangamiza wenyewe.. " Maisha gani haya mnaishi mnamtoto atakuja kujifunza ninj kwenu, mnatengeneza mazingira gani, unataka uishi maisha haya mpaka lini,kama unataka furaha kubali kuzungumza, bado unanafasi ya kuikomboa ndoa yako , bado unanafasi yakuipambania furaha yako na ya mme wako... Nilijikuta nalia, baba wewe hujui tu, Rameck sio baba, sijui nitaishije baba mtu hataki nitoke nje, hataki hata nimiliki simu baba nitaishije mimi? Umu mimi nikama mfugwa tu,hata nikisema niongee nae hawezi kukubali,nilishamuomba lakini alikataa anahisi mimi nitatolika sijui ata mawazo yake yakoje... Nikushauli kitu binti yangu, nilichokibaini, mmeo anakupenda sana, na kinachomsumbua ni wivu na kutokujiamini , hujamtengenezea mazingila ya kujiamini, kumuonesha kuwa yeye ni kila kitu kwako, yeye pekee ndie unaempenda... Mfanye asiwe na mashaka na upendo wako kwake, hili ndo linalomtatiza anachoamini yeye, humpendi, yeye ndie anakupenda, hivyo endapo atakuachia basi utaenda kwa unaempenda, sasa baba mimi mbona sina ata hayo mawazo, ni yeye tu kutokujiamini kwake mimi saivi ata namchukia tu... Hapana mwanangu, upendo unaweza kumbadilisha mtu yeyote hapa duniani, mmh baba sio Rameck yani heeee ????, " binti yangu mimi nilikuwa zaidi ya huyo Rameck lakini nilibadilishwa na upendo wa mama ako, huenda angekuwa hai ungejifunza kitu, fata ushauli wangu, amani ni kitu muhimu sana kwa binadamu, muheshimu, na jitahidi kumuonesha upendo, mfanye ajione yeye ni bora kuliko wanaume wote hapa dunia... Nitaongea na mamdogo wako atakuja kukupa darasa kidogo ujue wapi pakuanzia, ninauhakika mmeo kwa mazingila uliyomtengenezea, hawezi kukuluhusu kwenda popote, mpaka atakapojihakikishia yeye ndie peke yake unaempenda, hakuna wakushika nafasi yake, sijui kama umenielewa binti yangu,tulielewana na baba, akaomba pia kuongea private na Rameck... Niliwapisha wakaongea badae tukaitwa wote, lakini nilikuta kama Rameck katoka kulia macho yalikuwa yanaonekana kabisa yametoa machozi.... Kwa mwendelezo zaidi follow hii page hapa chini tuko mbele zaidi Full 1000 NJO Whatsp 0755090082

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

MJEDA NA BIKRA YANGU ​ *page Bahari yasimulizi *SEHEMU YA 11 Na 12* Lakini Rameck mbona tumeshayamaliza, sasa huku naondokaje hata sijui niko wapi, na tayari umenioa, mbona unataka kunigeuza mfungwa sasa, " Re hata useme nini mke wangu, sitokuluhusu, kama kuna kitu unahitaji niambie nitakuletea lakini sio kutoka nje... Nilikupa nafasi ya kukuamini lakini uliipoteza mrembo wangu, nikweli mimi ni dhaifu kwako sana, lakini siwezi kukubali kukupoteza, Rameck kwa nini lakini, mimi tayari nimekubali siendi popote natakiwa kufanya mazoezi lakini pia ata nipete hewa ya nje... Lakini hakukubali, nilinuna, lakini ata niulizwe kulikoni hamna kana utani ikakatika mwezi mzima na nusu, sijatoka nje apo mimba ina miezi 8 na wiki mbili, zilisalia siku tu zakuhesabu, mama mkwe alikuja kunihudumia, ndani sikuwa na amani tena, wivu ulizidi... Mama mkwe alifika, Rameck akaenda kumpokea, waliludi wakiwa na furaha wenyewe mimi ata,nilikuwa naforce tu furaha,mimba ilinipenda nilikuja nikiwa nimenawili, lakini saiv nimepungua kweli, nilikuwa nimeshapika nikatenga tukala, nikatoa vyombo kimya kimya, sikuwa naongea kabisa mpaka niulizwe... Nilipitiliza kuosha, nikiwa naosha,Rameck akaja, lakini mke wangu nini hiki unafanya unataka kuonesha picha gani kwa mama? Ivi kweli na hali hiyo, unaosha vyomba na nina mfanyakazi ndani,namlipa ili iweje sasa ata kama anaemergence kwa nini usiniite nikaosha mwenyewe, mbona nilishakuzuia majukumu nataka uishi kama malkia na sio mfanyakazi kwa nini unajinyima raha lakini, napenda ufanye kazi moja tu yakunifurahisha mimi hizi zingine niachie mwenyewe... Sikujibu kitu, alivyoona kimya alisogea akanikumbatia kwa nyuma,najua tamanio lako ni kunikimbia, naweza kutekeleza kila tamanio lako lakini sio tamanio la kukupoteza wewe na mwanangu,nashindwa kulitimiza kwa sababu litaniumiza kupita kiasi, kwani huko nje unataka nani akakuone, ilihali tayali nimeshakuoa... Naomba uache unachokifanya tafadhali sana,alinitoa vyombo mkononi, nakuniondoa jikoni nilifika sebuleni nikajikaza tu kuongea na mamkwe, siku ilipita kulikucha baada ya chai mamkwe akataka tutoke tukapige zoezi, kwa mala ya kwanza Rameck akakubali lakini tukaenda nae, na kuludi nae, jioni napo hivyo hivyo... Sikuwa na simu nikitaka kuwasiliana na mamdogo,kaka au baba natumia simu ya Rameck,ilikuwa inanitesa mno, mama mkwe aliomba no zangu nikamwambia sina simu akashangaa, hakusema kitu ika jioni, Rameck akaludi na kinokia cha batani, nilijikuta tu machozi yananitoka... Niliipokea tu, nakusema asante huku nalia maumivu yalizidi nikajikuta nimelia kwa sauti,"Re kuna shida gani mke wangu? Kuna kitu nimekukosea? Niambie basi mke wangu? Mbona unalia, nilikimbia bafuni nikalia uchungu ukaisha nikatoka,lakini macho yangu yalikuwa mekundu kama nimekunywa sana... Nilitaka kutoka, niende sebleni, lakini Rameck akaniwahi mlangoni, mke wangu niambie basi wapi nimekosea angalau nijue, mimi niko sawa nilijisikia tu kulia, Re atakama nakujua vizur sana, kuna jambo, hio tabia yako yakutunza mambo moyoni, ndio inayokuumiza, unatatuzo ama kuna jambo hujalipenda unaona halikk sawa nuambie, kama simu hujaipenda pia niambie.... Rameck mimi niko sawa jamani, niliamua kukausha coz najua hata niongee nini hawezi kunielewa, aliniomba tutoke wote, tulitoka kufika sebuleni, nikahisi tumbo,nyonga vyote vimekaza,mama mkwe hakuwa na mambo mengi,aliniuliza ninavyoumwa nikajibu akasema ni uchungu, andaa begi lake leta tukimbie hosptali, waliniwahisha hospital,nilifika niko hoi kwa maumivu, nililia mpaka machozi yakakauka... Baada ya nusu saa, nilishusha jembe, Copy ni Rameck mtupu,na ilikuwa ni saa mbili mbili usiki, nilibaki na mama mkwe, hivyo alimpa taarifa mwanae kuwa tayari, mimi aliniachia kiswaswadu kilikuwa na line na no zake na ndugu zangu anaowajua tu,sikujisumbua kumpigia niliwapigia Baba, mamdogo,wifi na kaka, mama mkwe alihisi hatuna maelewano akashindwa kulivumilia... Binti yangu, nahisi nyinyi wawili kuna tatizo, naomba usinifiche kuwa huru kwangu, mmh mama amna tuko sawa, wakati tunaendelea kuongea Rameck akapiga kwenye simj yangu nikataka kuvunga ila nikaona ndo njia yakuondoa utata, nilipokea haloo, Re mke wangu, hongera na asante sana sijui hata nikuoe zawadi gani mke wangu umenifanya kuwa Baba sasa... Sikujibu kitu, mke wangu naomba uniambje mama unahitaji nini?, Chochote tu, Re kuwa huru wewe chagua, chochote tu ni sawa, Re natamani uchague mwenyewe,naomba nikuoe muda utafakari ukitoka tu hospital uniambie mke wangu, nilijibu tu sawa, " binti yangu unapewa ofa nzuri kiasi hicho, afu unaogopa kutaja aisee ningekuwa mimi nisingekosea... Ningeomba ata nyumba, nilitabasamu tu, moyoni najua kabisa hata nikiomba nikapewa sitofanyia chochote, mfungwa naomba nini sasa,tukiwa bado tunaongea usiki huo huo Rameck alikuja, nilikuwa VIP, hivyo alivyoonesha tu vitambulisho akapita, sikuwa natamani hata kumuona,nilimpokea kawaida sana, sikuwa na furaha nae kabisa, alikuja na vibe wakashilikiana na mama mkwe, kufulahj na kuongea mimi kimya... Rameck alitambua kabisa, sina furaha, akajua bado ninamchukia namuigizia tu, kesho yake wifi yangu alikuja aisee nililia kwa furaha na machungu, alielewa siko sawa, Rameck aliongeza umakini akihisi kama nimekuja kutoloshwa, tuliluhusiwa nikaludi nyumbani, miezi mitatu, wifi alika na mimi akaondoka, mama mkwe pia alikuwepo baada ya mtoto kufikisha miezi 6 nae akaondoka... Muda wote huo nilikuwa nampiga dana dana Rameck simpi utamu toka nimejifungua namchenga,mama mkwe alivyoondoka akanibana, Re ujue sikuelewi kabisa mtoto tayari ana miezi 7 sasa lakini wewe bado unanitenga mpaka chumba bado unalala peke yako, unaona hio ni sawa kweli,kumbuka mimi ni mwanaume niliekamilika nakula na nina shiba, au unanitafutia sababu ya kukuchit ili uniache?... Uko kimya kama kawaida yako ni dharau ndo umezoea kunionesha, najitahidi sana kuwa mwema kwako, lakini wewe unafanya nini? Sasa leo utanisamee sitovumilia zaidi, nilivyomtizama kweli alikuwa serious, Rameck lakini mtoto bado mdogo huyu, Re mimi sio mtoto ujue namimi nina watu nauliza hii yangu sasa imezidi... Rameck kwa nini lakini sio muelewa niachie basi usinishike, lakini wapi alihakikisha anakata kiu yake, baada yakumaliza sasa, ivi mke wangu tutaishi hivi mpaka lini kwa nini usinipende tu, ukinipenda huwezi kuninyima mmeo ukinipenda huwezi kuninunia bila sababu,nilijua ni kisrani cha mimba lakini kumbe ni maamuzi yako... Ivi unatambua kweli kama naumia sana najikaza tu kwaku nakupenda Re, mimi sio wakutoa machozi mimi sio wakulia naukomando wangu wote umeniweza mama, kazi yako ni kuniliza, umeshatambua nakupenda ndio maana unanifanyia kusudi, kumbuka na mimi ni binadamu sina moyo wa chuma Re????... Kwa mwendelezo zaidi follow hii page hapa chini tuko mbele zaidi Full 1000 Kuipata yote njo Whatsp 0755090082

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

MJEDA NA BIKRA YANGU. MTUNZI: BABY SMILE 😊. EP 10. Nimekuelewa Rameck, basi nilikubwatiwa na mtumbo wangu kama mtungi,nikalala nimeamka jioni, nikakuta msosi tayari, tukiwa tunakula, simu ya Rameck iliita, ni mjomba wake ndie alipiga, waliongea nikapewa mimi nithibutishe kwa mzee ili apokee mahari yangu... Nilisita ila Rameck alipiga magoti kunisihi, tena kwa machozi, nilijikuta nimekubali bila kufikiria,na simu ikakatwa, Rameck alinikumbatia kwa furaha, "Re nakuahidi mke wangu, hutojuta, nakupenda sana Re, najua bado unawasiwasi na mimi, naomba unipe muda wakunielewa... Rameck alinisogelea, akaomba angalau kidogo nimpimie juice amix, nilikubali yaishe aliomba kidogo lakini aliludia yale yale ya kwenye gari, na leo ndio kabisa alizidisha na hivi sikuwa napenda kuvaa kitu ndani nilikuwa na kijora tu, sikuwa na chochote ndani, alijua kunivuruga huyu mjeda nyie🙌😋, nilianza kutoa sauti za malalamiko,nimekuja kushtuka sina hata kijora , mwenzangh nae hana kila kitu, tena nibaada ya kuhisi kitu, kinataka kuzama... Nilishtuka nikakumbuka, yale maumivu ya siku ile, weeee utamu ulikatika muda ule ule,ile nataka kuleta vulugu Rameck aliniwahi, akazamisha kitu,huku anajinywea juice yake, nikaanza kusahau kabisa ile hofu, jamaa alivyokna nimenigewa akaniongezea moto, aaweeeee ilikuwa tamu kishenzi, nilinogewa nikawa naomba gia tu zikaziwe... Nilishuhulikiwa mpaka nikaomba kuachwa sasa, "Re we ni watofauti sana mke wangu, nisamee hili joto lako mke wangu nashindwa kabisa kukuachia,naomba nimalizie kidogo tu mke wangu,alimaliza nikiwa hoi,aliniogesha,akanipaka mafuta na kunivalisha, "Re mke wangu mbona hunitizami?.. Nitizame basi mrembo wangu, natamani kuona vimacho vyako, wakati nakutia mke wake macho yako yalikuwa yanazidi kunivuruga jamani 😋, jicho la kunichanganya sio siri, hili jicho leo ndio nimelibaini, nimepa udhaifu mwingine mwilini kwako, yani nikiliona tu jicho lako mke wangu, nakumbuka utamu wako, nakumbuka ulevyokuwa unaililia dah Re umenimaliza mama, umenimaliza sijiwezi kabisa, natamani hata nikufiche wasikuone wengine mke wangu... Rameck jamani mmh, sikuwa najua hata niseme nini, nilikuwa hoi ata kuingia kupika sikuweza ilibidi Rameck ndo anipikie tena, nilikula tukaingia kulala, "Re naomba usiwe unalala na vijora, alinipa kinguk cha kulalia akanionesha na nyingine tayari alikuwa kaniandali nguo za kutosha kwenye kabati, kilikuwa kinaonyesha mwili vibaya mno, nilikuwa kama sijavaa tu... Ila sikuwa na jinsi, nilipanda kitandani nilale, nikaona Rameck kaganda kunitizama kwa matamanio, nilijua hapa nisipokuwa makini nialiwa tena, muda huo ata moyo wangu sijui unawaza nini... Niliingia kulala, uku nalalamika tumbo, ilibidi ajiongeze hapa hapati kitu, tukalala, kumekucha nikatamani kutoka nje kunyoosha miguu, Lakini Rameck alinikatalia, "Re najua unatafuta mbinu yakunikimbia tena, hapa kila kitu kimo, unataka kwenda nje kufanyaje? Huduma zote utazipata humu ndani.... Kwa mwendelezo zaidi follow hii page hapa chini tuko mbele zaidi https://www.facebook.com/share/16c29HCmh7/ Full 1000 Whatsup 0794440997 jina Mwita Magesa VODA AU Whatsup 0688156169 Airtel AU Whatsup 0657762790 TIGO Itaendelea....💥 DEARS HII SIMULIZI TUNEIACHIA YOTE YANI MWANZO MPAKA MWISHO HUKO KWENYE CHANNEL CHA KUFANYA INGIA KWENYE LINK ALAFU FOLLOW KWAAJILI YA KUPATA BURUDANI PIA KUTAKUWA NA SIMULIZI NYINGINE NYINGI NA NZURI https://whatsapp.com/channel/0029VbAJs4t6LwHh20cfQo0G

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

MJEDA NA BIKRA YANGU. MTUNZI:BABY SMILE ????. EP 9. Nilimsogelea kisha nikamwambia, Rameck mbona unanichanganya, naomba utulie kwanza, tupumzike basi,mimi nasikia usingizi tukiamka tutaongea, usiku kucha tulikuwa safari, hata hatujapumzika unanipa mambo mazito mazito,Rameck ukweli nashindwa kuelewa.. "Re nachotaka unielewe tu mke wangu, nakupenda, nisamee sana, kwa sababu ya hasira zangu mke wangu nilifanya kitu cha kijinga sana, naomba usiendelee kuniazibh mama nimekoma mke wangu ????,naomba nioe nafasi moja tu nikuoneshe upendo wangu, natamani unielewe mke wangu, kama ningekuwa mhalibifu kwako, nisingeludi kukutafuta, ningekuacha mwenyewe... Niliona hapa hatufiki mwisho, nilikuwa nimechoka sana, niliamua kumtuliza kwa kumkumbatia bila kuongea chochote, kidogo alitulia, akaomba nikaoge nije kulala, niliingia kuoga nikatoka nikapanda kitandani kulala, nikiwa nimelala nikahisi, Rameck amenisogelea,niliogopa nikikumbuka yale maumivu na hili tumbo langu, nikaamua kujihami... Nilikumbuka njia pekee ya kumwelewesha Rameck ni kauli tulivu, niliamua kiwa mpole, niligeuka nakuongea, Rameck nimechoka sana alafu na hili tumbo hio inauma sana, " Re mke wangu saivi haiwezi uma usiogope, lakinj kwa leo sitokufanha chochote, kwanza umechoka lakini pia nahitaji uridhie mwenyewe kwa moyo mmoja... Mimi nitazidi kujikaza, nitavumilia lakinj tambua pia mimi ni mwanaume, naomba usinikawize, najikaza sana mke wangu, nakuhitaji sana kimwili, kihisia, na kiakili na kiroho, tafadhali usinipuuze... Kwa mwendelezo zaidi follow hii page hapa chini tuko mbele zaidi https://www.facebook.com/share/16c29HCmh7/ Full 1000 Whatsup 0794440997 jina Mwita Magesa VODA AU Whatsup 0688156169 Airtel AU Whatsup 0657762790 TIGO Itaendelea....????

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

MJEDA NA BIKRA YANGU. MTUNZI: BABY SMILE 😊. EP 8. Hamwezi amini,alikuwa na Rameck, alikuwa hacheki na wowote ni kanikazia mpaka nikaogopa,niliamua kunyamaza tu nisije tupiwa nje,nikapotea na mwanangu kusiko julikana, Baba angu asije akapata hata mwili wangu,nilijikuta napitiwa usingizi, nakuja kuamshwa tumefika sehemu nisiyoijua,nilishushwa kimya kimya... Nikapakiwa kwenye gari, moja kwa moja kwenye ofce za ndoa za serikali, nilishtuka nikataka kuongea ila sauti haitoki, Rameck akaongea tukiwa nje, ili tuingie ndani,Re sina masihala na moyo wangu nahitaji saini yako na pete, sihitaji maswali, pendekezo wala duku duku kwa sasa, maumivu niliyonayo ni zaidi ya maumivu ya kidonda, nikama mtu anaechokonoa kidonda kibichi tena kwa kukisugua kwa pilipili na chumvi... Sitaki drama, utanifanya nifanye mambo ya ajabu dunia inishangae, nimemaliza, tuliingia ndani alikuwa ameshawaandaa, nilisainishwa ndoa na pete juu,baada ya hapo nilibebwa msobe msobe, mpaka nyumba moja inaulinzi mkali kuanzia walinzi binadam, mbwa, cctv camera, umeme, yani ulinzi mkali kila kona mpaka milango... Njaa nayo ilikuwa inaniuma, mpaka minyoo tumboni ikaanza kupayuka, Rameck alisikia, akanipeleka mpaka chumba kimoja kikubwa sana,aliniweka kwenye sofa kisha akatoka, aliludi na chakula kwanza akanipa kidonge nimeze, nilitia shaka, akanimezesha kwa lazima, baada ya hapo akanipa chakula, nilivyokuwa na njaa, ata sikuvunga, na uzuli aliniletea chakula ninachokipenda... Nilikula kimya kimya, nilivyomaliza, nikataka kuongea, nikasita baada ya kukumbuka sauti haitoki, " we ongea sauti imeshaludi niliifunga kwa muda, nimeshakupa antidote, saivi unaweza kuongea" Rameck kwa nini, umenifanyia hivi, mbaya zaidi umenifungisha ndoa, hujui kama ninafamilia? Vp familia yangu saivi itakuwa kwenye wakati gani Rameck, unanikosea sana, naomba niongee na mamdogo na Baba... " Re ivi unajisikia unachokiongea, ama unaongea tu kulingana na upana wa mdomo wako, au kwakua mdomo ni mali yako? Famili yako pekee ndo unajali kuhusu wao, ila vipi ulivyofanya maamuzi yakunikimbia, uliwaza angalau kidogo tu kuhusu mimi na damu yangu?... Unajua naumia kiasi gani Re? Lakini Rameck kwani mimi nilikukosea nini ambacho unaendelea kuniandama kila leo? "Re unaongea kitu vitu gani ivi ni kweli huelewi kabisa hisia zangu?, Re nakupenda nimekupa muda, lakini nini ulichonifanyia tena bila huruma, Re mimi kuwa mbali na wewe ni mateso, ni bola uniue, lakini kama bado naishi, sitokubali kukaa mbali na wewe... Rameck naomba tu nikuweke wazi, ukweli mimi sina hisia zozote na wewe, kwa kile ulichonifanyia kwakweli sijui kama nitakuja kusahau, hujui nilijitunza kuasi gani, tena kibaya zaidi ulinivua utu wangu hadharani, umenidhalilisha vyakutosha, naishi tu kwa sababu ya hii mimba, maumivu uliyonipa sitamani hata kukuona, hizo hisia sina juu yako kabisa... " Re mimi ni binadamu mke wangu, maneno yako yalinitia hasira mama nihasira tu, sikukusudia naomba unisamee mke wangu, nakupenda sana Re,naomba ukunje moyo wako tuanze upya, kama ninadhabu mama imetosha nimeteseka sana, mpaka nakupata... Nimeshalipia mke wangu, nihurumie, hisia juu yangu unazo , nivile hujatambua, lakini nitakusaidia kutambua kwa sasa hutoondoka kwenda popote, kesho mama na bamkubwa wataenda kwenu kumalizia utaratibu, endapo utaondoa chuki unayoichochea moyoni, basi utatambua hisia zako kwangu... Rameck tatizo hunielewi, hujui ninavyojisikia 😭, natamani kufanya hivyo ila moyo wangu unakinzana, ivi kama mimi ulinifanyia hivi, vipi huko wengine mtaani inamaana ni tabia yako mbona wengine hawakunifanyia haya ni wewe tu, hizo hasira zako zako, zingefanya kazi, endapo ungenipa adhabu, na sio kunibaka... Vipi ukibaka watu wenye maradhi, nitakuwa na amani gani kuwa mkeo huku ninahofu, yakuambukizwa maradhi, kusalitiwa,sina uwezo wa kuhimili matukio yako mfano nimesgaupata kwangu, hio nguvu yakukupenda naitoa wapi Rameck?.. "Re mke wangu, mimi sikufanya hivyo kwa sababu tu nimekurupuka,nimekuchunga kwa miaka sasa, nilikiwa nasubili tu umalize chuo niongee nawewe na hio siku nilifanya makusudi kutoa mafuta kwenye gari, ili tu nipate muda wakuongea na wewe, niliumia sana pale mtu ninaempenda, ananichukulia poa,tena kibaya zaidi ulinishuku kuwa mimi ni shoga, mke wangu hii kitu angeongea mtu mwingine tofauti na wewe, nisingepanick mke wangu, hili neno sio geni kwangu, ila kulisikia kutoka kwako ndo tatizo lilipoanzia, nilifanya hivyo kwa sababu nilijua nakuhitaji na nitakuchukua mwenyewe hivyo wewe ni heshima yangu... Ndio maana walioingia kukutoa niwakike na hata usafiri nilikuandalia na kulipia, nilishajua nimekosea na kwa heshima yangu na yako nilihitaji ufike sarama, kuhusu afya yako nilishatambua, wakati mnaelekea kuhitimu kama unakumbuka mlichangia damu,vipimo vyako nilihonga kwa doctor nikavipata, hivyo wakati nafanya hivyo tayari nilishatambua afya yako, kwasababu nikishajiandaa kukuoa, na hatua zako toka ukiwa kidato cha pili nilikuwa nakufatilia... Naomba mke wangu nisamee sana, unanitesa Re,hata jina nilikuwa nakujua nilitaka tu unitamkie kwa kinywa chako, lakini nilikiwa nakitambua toka ukiwa kidato cha pili, na nilikupenda toka siku hio nilikuwa kulinda mitihani ya nector, na wewe ndio ulikuwa unatuhudumia chakula kama unakumbuka... Nilibaki nashangaa sana, kwanza hata sikumbuki, niliamua tu kunyamaza, Rameck alikuwa kaloa kwa machozi, kama vile sio mjeda, yani analia kama mtoto, nilimtizama nikamuonea huruma kwanza kakonda sio kama mwanzo... Kwa mwendelezo zaidi follow hii page hapa chini tuko mbele zaidi https://www.facebook.com/share/16c29HCmh7/ Full 1000 Whatsup 0794440997 jina Mwita Magesa VODA AU Whatsup 0688156169 Airtel AU Whatsup 0657762790 TIGO Itaendelea....💥 : MJEDA NA BIKRA YANGU. MTUNZI:BABY SMILE 😊. EP 9. Nilimsogelea kisha nikamwambia, Rameck mbona unanichanganya, naomba utulie kwanza, tupumzike basi,mimi nasikia usingizi tukiamka tutaongea, usiku kucha tulikuwa safari, hata hatujapumzika unanipa mambo mazito mazito,Rameck ukweli nashindwa kuelewa.. "Re nachotaka unielewe tu mke wangu, nakupenda, nisamee sana, kwa sababu ya hasira zangu mke wangu nilifanya kitu cha kijinga sana, naomba usiendelee kuniazibh mama nimekoma mke wangu 🙏,naomba nioe nafasi moja tu nikuoneshe upendo wangu, natamani unielewe mke wangu, kama ningekuwa mhalibifu kwako, nisingeludi kukutafuta, ningekuacha mwenyewe... Niliona hapa hatufiki mwisho, nilikuwa nimechoka sana, niliamua kumtuliza kwa kumkumbatia bila kuongea chochote, kidogo alitulia, akaomba nikaoge nije kulala, niliingia kuoga nikatoka nikapanda kitandani kulala, nikiwa nimelala nikahisi, Rameck amenisogelea,niliogopa nikikumbuka yale maumivu na hili tumbo langu, nikaamua kujihami... Nilikumbuka njia pekee ya kumwelewesha Rameck ni kauli tulivu, niliamua kiwa mpole, niligeuka nakuongea, Rameck nimechoka sana alafu na hili tumbo hio inauma sana, " Re mke wangu saivi haiwezi uma usiogope, lakinj kwa leo sitokufanha chochote, kwanza umechoka lakini pia nahitaji uridhie mwenyewe kwa moyo mmoja... Mimi nitazidi kujikaza, nitavumilia lakinj tambua pia mimi ni mwanaume, naomba usinikawize, najikaza sana mke wangu, nakuhitaji sana kimwili, kihisia, na kiakili na kiroho, tafadhali usinipuuze... Kwa mwendelezo zaidi follow hii page hapa chini tuko mbele zaidi https://www.facebook.com/share/16c29HCmh7/ Full 1000 Whatsup 0794440997 jina Mwita Magesa VODA AU Whatsup 0688156169 Airtel AU Whatsup 0657762790 TIGO Itaendelea....💥

Home Login Signup
Top 20 Popular Contact us
Terms & Conditions About us Latest