Menu


Trust You

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

Estaste, Kinondoni baada ya HR Mkuu Mzee Shilatu na msimamizi Steven Diallo kuning'oa kutoka Ebony FM, Iringa. Nikapokelewa na Tom Chilala, Wiltrudies Mutembei @wiltrudiesmutembei kisha wakanikabidhi kwa "Semaji" @ahmedally_ Kituo changu cha kuripoti ilikuwa ni Kiss FM, wafanyakazi wengine wote walikuwa Mwanza kasoro mimi tu! Feb nikamfuata HR Joyce nikamuomba nihamie mwanza kujiunga na wenzangu chini ya Boss Sharbano Aboubakar na huko nikakutana na marehemu D Seven (R.I.P), DJ Malizi, DJ Jeff Jerry, Lulu Jama @zakia_lawino , DJ Dave, @mbabavc nk. Kutokana na uwezo wangu katika kutangaza vipindi vya michezo nikawa naingia kwenye vipindi vya Star TV (asante mkongwe Hillary Riamy) na RFA kwenye Show Time New Chapter na mwanangu Renatus Kiluvia @bizzofresh (CHA MWISHOOOOO) 😃. MWANZA! MWANZA! Najua hii media ina mengi sana katika maisha ya watu wa kinda ya ziwa na Tanzania mwa ujumla. Hapa wamepita wakongwe kama Baruan Muhuza @baruan_muhuza , Godwin Gondwe, Fredrick Bundala, Paul James, Fredwaa (R.I.P), Juma Baragaza (R.I.P), Wambura Mtani, Rahab Fred (R.I.P), Gabriel Zacharia, Steve Moyo (R.I.P), Msabaha (R.I.P), Glory Robinson(mtoto wa Mama Sabuni), Cymphrose Makungu, Yusuph Magasha nk. SAHARA MEDIA GROUP LTD. #tillwemeetagain

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

Daaaah nilishangaaaa sana kwamba aya mambo yamekujaje kujaje, na mbona sielewi, nikasema mama sijaelewa yani kwamba umesema? , mama akanmbia nilishaongea sana na wewe millan, juu ya suala la wewe kuoa, kila siku nakueleza sana ni lini unakuja nyumbani kufanya ibada ya ndoa ila hujawahi kuelewa millan, na nilishakueleza kuwa millan dawa yako nnayo , na ipo jikoni inachemka , sasa basi , dawa yako imeshaiva, na lazima uinywe na huwezi kuwa una zini kila siku hali yakuwa unaelewa dini vizuri sana, hivyo basi kama familia tumekuolea na mke yupo apa, khaaaaa nikasema mama mmeniolea mimi , mama mm mbona sio mtoto mdogo, inakuaje mpaka mnaniolea jamani, ni vile sikuona mwanamke sahihi wa kuwa wangu Mma mi nnavyokwambia ,nna mwanamke nishamzalisha mtoto ana miez 3, na ana mimba , mama uyo mimi ndo nipo tayari kumuoa, na ndo mana ile siku nilikwambia nitakuja uku kuzungumza na wewe ,nilitaka kuja kusema kwamba sasa nataka.kuoa, broo akadakia akasema uyo mwanamke ni wa ngapi unamzalisha? , nikabaki kimya, kaka akanmbia sikia millan ,acha kutufanya sisi wajinga apa ,wewe kuzalisha wanawake ni kawaida yako, na tabia zako nazisikia sana, ni vile huwa nakukaushia tu, wewe usituzuge apa, tunavyokwambia apa tushakuolea na ukifika mda wako wa kuludi dar, basi unaondoka na mkeo full stop, daah mbona niliisi kufaa, mi ntamueleza nn zena, ataniamini kweli mm, nikasema kaka ,mimi uyo mwanamke siondoki nae na sijaoa, mama akasema thubutu ,labda kama sijakuzaa mimi, nakumwagia radhi apooo hadhalani kabisa , nakwambiaje mwanamke wako utambeba na utaondoka nae mshenzi wewe, unapenda sana kuzini na kuzalisha ovyoo wanawake, sasa imefika mwisho wake, Baba akasema sasa nyamazeni na mimi ndo natoa kauli ya mwisho, millan uyo mwanamke wako sisi kama familia hatumuitaji, tumekutafutia bintu mzuri sana , anayejua dini na mwema mnoo, uyoo sasa ndo mwanamke utakaye anziasha nae familia ya halali, na ndio mkeo anaitwa jaila, nyieee mbona nilikoma, broo akasema baba, uyo hajataka au ametka anaondoka na mkewe, mzinifu mkubwa uyu, daah mnajua broo wangu mwanajeshi, alafu sisi tunaheshimiana sana, mi mbele ya kaka yangu siongei kitu, namuheshimu kinoma noma, nilitulia kwanza nikawaza sana nafanyaje apa, nikasema mma lakini nimeshamzalisha uyo mwanamke na ana mimba yangu tena, mama akanmbia sawa ,utahudumia pia, kwani wewe umezalisha wanawake wangapi, si wote unawahudumia ,basi na uyo utamuhudumia ,ila mke wako wa halali ambae sisi tunamtaka na tumememlizia ni jalia, dooooh nilichoka mpaka pumbu mbwa mm, ahaaaa walinikomesha ,mi nnavyompenda zena, aaaah ilhiii ilinivuruga sana , jamani mm nampenda zena sana, sio masihara, yani nampenda zena kweli kweli Leo mama ananmbia hamtaki zena na wameshaniolea mwanamke mwengine mi nafanyaje, niacheni wanangu,niacheni, kiatu changu mimi ni kizito hakivaliki , nilichanganikiwa kisengeee nilivurugwaa mnoo, apo mama anazidi kugongelea msumali kuwa yeye anamtaka jalia basi, hataki kuelewa , nilipoa mana hakuna alieyekuwa upande wangu na yote sababu ya tabia zangu, acheni kabisaaa,basi bwana mi nikapoa tu, nikasema sawa wazazi wangu mi nimeelewa na nimekubali, basi mama akapiga vigele vigele kweli kweli, apo moyoni naumia kinoma wanangu, moyo unauma kisenge, mi nampenda zena ,mi namuhitaji zena kwa kila kitu, nampenda sana yule mwanamke , na ata zena annipenda sana mm, na ameniamini tena lakini niliona naenda kumuangusha tena, na mbaya zaidi ana mimba, ataangaikaje na watoto watatu mwenyewe, daaah kichwa kilikuwa kinawaka, na wala sikufurahia chochote kilicho kuwa kinaendelea pale, basi bwana ,mama akanmbia aya nyanyuka , twende chumbani ukamuone mkeeeo, aseee mnajua nilikuwa nimenyongea kama naenda kuchinjwaa, yani kama nasukumwa hivi, natamani kulia wanangu Basi nikainuka mpaka chumbani, daah nikakuta mwanamke amekaa kitandani ila amefunikwa ,kwa jinsi nilivyomuona , nilishaona ni mwembambaa na mrefu, basi kaka akanmbia msogelee mkeo na umfunue , kweli nikafanya hivyo na nikamfunua sula tukaonana sasa, mashallan ni mzuri sana, si mnajua wadada wa kipemba , shepu ndo wananyimwa ila uziri ahaa mashallah, ni mzuri sana uyu dada, wala haikupingika hiyo, nilimuangalia na yeye aliniangalia na akatabasamu bwana ,basi mama ni vegere gere kweli kweli, yani sitaki kuwambia hii issue, basi bwana baada ya kumuona mke wangu sasa ,mama akanmbia nibaki vhumbani niongee na mke wangu, na wao wakatoka wakatuacha sisi tu Nimamuuliza unaitwa nani? , akanmbia jalia, nikamuuliza anajishughurisha na nn, akanmbia ndo ametoka kumaliza chua miaka 2 iliyopita kwaiyo bado hajaajiliwa, nikamuuliza kwao, akanielekeza wala hakukuwa mbali na apa nyumbani, yani mama alimuona uyu binti apa apa mitaa ya nyumbani naona akampenda ndo akanifanyia balaa sasa, oyaaa hili balaa kweli wanangu acheni tu, basi bwana na yeye akaniuliza maswali kutaka kunijua, na mm nikamueleza tu kwa uchache sana kuhusu mimi, apo nilikuwa najifosi tu ata kuongea ,kichwa kishavurugika mamae, akiri inawaza mambo kibao, basi bwana baadaa ya maongezi mama aktufata kule chumbani, kisha tukaelekea mezani na tukapate chakura cha usiku kwa pamojaa, daah mezani kulinoga mnoo, nyieee si mnajua wapemba wakiamua kupika, basi apo mezani kulikuwa na kila kitu, ila wanangu sikusikia raha ya chakura ata kidogo, nilikuwa nawaza ntamwambia nn zena anielwe katika hili, na vile haniamini, ataona nimemfanyia uhuni tu, kumbe na mm hii safari nimebananishwa Basi tukala pale ,uku mama anmsifia sana jalia, kuwa ni binti mzuri, mwenye misingi mizuri ya dini, na anamjua sana mwenyezi mungu, so kwangu ata kuwa mke mwema kweli kweli, mi nilibaki kuitikia ila kichwa hakikuwa sawa kabisa, basi bwana abaada ya chakura na maongezi yote ,saa 5 usiku ndo mm na mke wangu tuliingia chumbani, nyieee ile tumefika tu ndani, jalia kaanza makeke, doooh sindo anataka kunioenesha alivyofundwa sasa, ahaa mtoto kaanza kunishika shikaa, mala ananingalia kisha ananikoyeza ,mala ananibusu, aseee mi na umaraya wangu wote nilibaki nimetulia tuli yani sielewei ata nafanya nn, yani ile kumshika tu sikuweza, yani akiri haipo kwake kabisaa, daaah ata uboo mnazani ulisimaa ulitulia kimya unamuwazia zena🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌 🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

Wassap;0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Akasema mimi pia nimekula njoga nikaoge basi chapi chapu. nikase​ma sawa. Kweli mwanaume akaenda kuoga nikabaki nimetulia tu na baada ya mda akatoka akanifata pale kitandani akanishika mikono akanmbia shamira unajua wewe ni mwanamke mzuri sana yani sikufichi shamir wewe unavutia sana mpka navurugwa mwenzio na leo nimeshimdwa kabisa kuvumilia. Nikasema razaki vwana ebu acha kunipa mawaiza ya mapenzi kama vile mie mtoto tuanze kudanganyana danganyan apaa. mie naomba pesa yangu kwanza mambo yasiwe mengi.basi razki akatabadamu kisha akaingiza mkono mfukoni kisha akainipa elfu 50.nikaipokea na nilipohiakikisha nikaiweka kwenye sidiria Nikaona razaki kanisogelea akaanzaaa kunipapasa mapaja. Pale mala anishike apa mala uku nikaona kabisa anachanganikiwa na mwili wangu na ata hajui anishike wapi maskini🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣. Sikujivunga kma kawaida yangu nikamuweka chini yeye mie nikapampandia juuu nikaaanza kushughurika nae .mh nilimpa vitu uyu kaka mpka alichanganikiwa. Yani kama sina mimba na vile ndogo haikunisumbua kabisa.niliyaludi hatari kaka alijilia raha mno. Na uzuri razaki wala hakuwa mwanaume kitombi sana hapana.akifunga moja anapumzika kwanza anakuuliza masuali zikikata ata kama dakika 30 ndo anakupandia tena .so sikuoma shida ata mana nnamuweza kabisa Basi nikampa kaka mpka akachanganikiwa tulivyomaliza pale akanambia daah we mtoto mtamu sana yani shamira sikia basi mama acha kudanga tukae wote tuendeshe maisha.uyu nae fala kweli ana hela za kunituliza mie ahaaa anataka kunichuja tu. Nikasema mimi sina mpango wa kuishi na mwanaume bwana ili ukinihitaji kwa ajili ya kutombana na pesa wewe niite. Nikaona razaki katabasamu kisha akasema daah sikia basi shamira unazani mimi ntaweza kuvumilia nikiaikia washikaji wengine wanasema wee ni mtamu? Yani nahisi ntapata wivu ni vile umenikazia tu ila ungekubali kutulia na mie .mimi ningekuoa kabisa na ningekuweka ndani. Kwani huu mmimba hajauona kma fala🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 nikabaki nikacheka tu .nikasema bwana mimi nasepa home. Akanmbia lala apa bwna. nikasema mboma bado sa hizi ndo kwanza saa 7 .apa nakodi boda tu mpka home chapu wala usijali akanambia basi powa.na akanisindikiza mpaka road mimi nikapta boda nikaludi zangu home Nafika nikakuta malngo umefungwa nikajua shoga nae kaenda kudanga. nikaangalia funguo chini ya mlango .nimachukua funguo nikafungua mlango nikaenda kupumzika zangu bwana. Basi shoga yenu nikaludia kazi yangu ya udangaji sasa.yani kama vile sina mimba.mimba ninayo na nikipata mwanaume anataka kutombana na mimi ananipa pesa naondoka nae.na baada ya mwezi nilifrash kabisa kuhusu hamadi .nikaona bwana kama yeye hanitaki na mimi ngoja niachane nae kwanza mwanaume mwenyewe anadunda sana siku ataniua yule.kwaiyo kama vp kila mtu afanye maisha yake .mambo yaende Na nikawa normal tu .apo kitumbo ndo kinakuja mana mimba ilishafika miezi 2. Shoga yenu nikawa busy na maisha yangu ya kawaida . Mpka club nikawa naenda na pombe nakunywa. Na mimba ipo kudadeki na nilisema wala sitoi ntazaa tu.alafu uyo hamadi siku amuone mtoto wangu aseme mwanae ntamvunja. Basi maisha yakawa yanaenda na kama mnavyonijua shoga yenu nna nyota ya wanaume atari.basi leo nikienda kwa danga hili nakaaa siku 3 napata danga lingine naenda .ila niliona razaki ndo kama kanielewa zaidi ananiganda mno yani alikuwa anatamani kunimiliki.ila nilimgomea atari nilishajisemea mimi sitaki kabisa mwanaume wa kuishi nae tutavunjana tu kwa tabia zangu. 🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

Binafsi nilikuwa napenda sana vipindi vitatu pale RFA , 1 - Sindano 3 za moto, asubuhi na Fredwaa...!! 2 - Sitosahau na Sky Woker 3 - Showtime bongo moja ya show za mchana saa 8-10 na mwanadada Groly Robnson mtoto wa mama sabuni ,uyu dada alkua ana vibe sana cjui kaendaga wapi. Kama Muhenga unakumbuka kipindi gani kutoka RFA?😎 JIUNGE NA KAMPUNI BORA YA KUBETI YA DB BET, JIUNGE KWA LINK HII. DB-BET PRINCE: Website Link 👇👇 https://db-bet.co/4k2UzxN App Link 👇👇 https://db-bet.co/4pVcA2p SEHEMU YA PROMOCODE ANDIKA MELODY

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

39 MPAKA 40 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Nilitukana kweli kweli kwemye gari umo. Ila barka hakunijibu alikuwa busy na kuendesha gari. Akawa ananipeleka mlandizi ukoo. Nikasema wewe mjinga unaenfa kunitupa wapi uku. Ebu niache na uachanae na maisha yangu. Aseeee kwani ndo alinisikiliza wala hakunisikiliza . Alikuwa kimya . Mpaka mlandizi ndani ndani uko. Aknipeleka sehemu ina mji mpya kabisaaa. Ndo akanipeleka uko kuna nyumba pia ni nzuri tu ila bado haina fensi .ila ni kumepoa sana.yani kwa pale hakukuwa na nyumba karibu. Na ata tulipoingia ndani . Wala hakukuwa na furinitures. Ni nyumba ambayo kama imetoka kumaliziwa kujenga hivi. Ila akanivuta mpka chumbani sasa. Ndo kuna kitanda tu. Yani nilihisi hii pia ilikuwa ni nyumba yake.ila hiii ndo imekamilika hivi sooon Tumefika ndani sasa. Baraka akanambia nenda kaoge utoe hasira kwanza kabla hatujaongea. Nikasema sina cha kuongea na wewe mbwa mmoja ww. Akasema shakira kwani hujalidhika na matusi yote uliyonitukana .ebu acha basi . Nikasema mpumbavu ww. Nataka kuondoka. Nikaenda mpaka mlangoni mh kashachomoa funguo. Nikageuka namungalia.nakuta anavua nguo. Nikabaki namshangaa tu. Alivua hana ata aya akatoa mpaka boksa akabaki kama alivyo zaliwa akaingia bafuni . Nikasikia maji yaanamwagika nikajua anaoga. Nikatulia pale kitandani tu nna hasira. Nimeondoka ata funguo ya saloon sijaacha.mana gile alikuwa ananipigia nikapokea nikamwambia gile kausha tu leo. Rudi nyumbani. Ntakupanga kesho kilichojili. Akanambia fresh.basi baada ya mda akatoka kama alivyozaliwa .akavuta taulo akaaanza kujifuta. Akanmbia kaoge basi nakuhitaji kitndani shakira .nimekumiss sana. Looh ili lipumbavu ili. Kwaiyo aoe mwanamke mwengine mie nije kuwa awala jamni looh Nikasema unikome nyooo. Kwaiyo mimi ndo wa kuchezewa eeeeh. Nakuuliza wewe .ebu niache. Baraka akainuka akanifata kisha akanishika kiuno akanivuta mpaka.kitandani. nikawa nakaza kumsukuma ila sikuwa namuweza. Akaanza kunibusu kwa fujo mwilini aseeeee nikajikuta hissia zinapanda sana juuu ya uyu mwanaume. Ata kumzuia sikuweza tena. Nikajikuta nimemuachia tu mwili wangu. Akafanya anavyotaka. Aseeeee nikajikuta nimezini na mume wa mtu. Tena nilitombana sana na baraka .yani ata yeye naona alinimiss sana.mimi ndo siwaambii. Tulifanyana kweli kwrli.yani.tukaeka matatizo yetu pembeni..tukapena penzi takatifu. Tena la rahaaa. Full kunyonyana kila sehemu. Mpaka mchana sa 8 ndo naachiana na baraka na akili ndo ina lejea sasa nimefanya nini. Apo nishakojozwa kweli.kweli. Tumemaliza pale. Baraka akanisogelea akanmbia shakira .najutia nilichokifanya .nimeoa sawa .ila nakupenda sana wewe shakira nakuwaza na kukufikilia kila siku. Nakupenda sana shakira . Sielewi nifanye nini. Nilizani kutokukuoa ww ndo nitakiwa nimekukomesha na bado nilikuwa na kisasi juu ya tulivyoishi uko mwanzo ila shakira nimeshindwa kukusahau.nakupenda sana. Naomba uwe mwanamke wangu shakira . Naomba uwe wangu. Wewe ndo kila kitu kwangu. Wew ndo furaha yangu shakira plssss naomba nielewe. Nikasem umemaliza. Aya naomba unipeleke nyumbani yaliyotokes leo ni bahati mbaya . Ima mimi nna mtu wangu kwa sasa. Baraka akasema sitaki kusikia kuhusu uyo adrian wewe ni wangu. Na mimi ndo ntakja nakuoa.Plsssss. Aseee mnamsikia uyu mwanaume anaomba mie nikawe awala wake loooh. Nikasema kama uliona sina nafasi ya kuwa mke basi na nafasi ya uawala siitaki tena unikome mjinga ww. Baraka akasema shakira ww hunipendi kwani mimi nakupenda sana shakira. Najua nimekosea sana.na naelewa nimekuumiza sana na kwa mengi.but haizuii kusema nakupenda shakira. Imefikia stage ili nilizike kwa mke wangu basi akairi lazime izame na nione nipo na wewe . Nimeludi nna mwezi sasa ila nimeshindwa kuwa mbali na wewe. Shakira mimi namuacha bahati. Nikasema we ukome unamuacha kwa sababu zip za maana . Unataka kunitia hila.mimi sikutaki nna mwanume wangu full stop. Baraka akasema shakira .nikasema sitaki kukuelewa plsss niache. Basi baraka akatulia kimya tu ananingalia.na mimi nikatulia kimya nikitwetwa kwa hasira. Bariaka akanambia kaoge basi. Nikainuka nikingia bafuni mana nimetoka kusex. Nilipomaliza kuoga ndo nikatoka sasa. Nikakuta baraka kalala usingizi kabisa.naona alichoka na show. Simu yake ipo kwa pembeni. Nikaisogelea ile simu kisha nikafanya kama nimeiwasha.heeee nakuta kwenye scereeen kawrka picha yangu. Mh nilivyoangalia nilijua hii picha alinipiga jana alivyokuja kwetu. Nikajua ni kujishaua na kujifany ananipenda sana .ninuongo mtupu unazaddhani mbele ya mkewe ataacha hivyo sio kweli.basi na mie vile nimechoka nikasogea pembeni ya ukuta kabisa. Nikajilaza na usingizi ukanilitia kabisa. Mh nakija kustuaka nakuta baraka kanikumbatia nyuma yangu.KANISHIKILIA KABISA KIONO CHANGU..nikawa amtoa mh kakaza mkono.ataki kutoa .nikajua Uyu ata hajala.nikasema ebu niche niamke. Akasema pumzika shakira jioni nakupeleka nyumbani.nikasema mpumbavu ww unajua umenitia hasara ya sh ngapi. Leo kwa kutokufungua. Akasema kwani ni sh ngaoi per day unaingizaga.nimasem.a laki 3. Kumbe ni uongo mtupu. Akasema sawa ntakupa.ila now pumzima shakira natamani sana nikukumbatatie tu.nikasema sawa .basi akanisogelea kwa karibu kisha akanikumbatia kwa nguvu. Tena uku ananibemebeleza mpaka nikajikuta usingizi unakuja tena na nikalala tena.nikaja kustuka jioni kabisa tena yeye ndo ananiamshaa. Nikaamka kiuchovu akanmbia jiandae nikuludiha nyumbani mzee akakuzingua mana naona mda umeenda.nikasema kwan unazani mimi ni mtoto mpaka baba anizungue. Mala Adrian ananipigia.ila nilishindwa pokea simu yake kabisa bado akawa ananipigia simu.mimi nikakakusha kimya . Akaw anatuma sms anauliza nipo wapi mpaka sijafungua saloon. Ula sikulidi . Daaa. Basi usiku sana ndo baraka akanilidisha sasa mpaka ubungo na wala hakufuka njiani. Na kama.kawaida uko njiani hatukuwa tunaongeleshana kabida .tena mimi ndo nilinuna kinoma basi tu. Niliposhuka kwa gari lake uyo nikaelekea nyumbani sasa. Aseeee nilifikia moja kwa amoja chumbani kujibu mashtaka kwa adrian .nikampigia mwrnyewe. Adrian akafoka sana kwamba ulikuwa wapi. Na tobwa nn sijafungua duka.nikasema mimi leo sjatoka kabisa adrian ila niko nyumbani na nnaumwa mno yani ata kutoka nimeshindwa. Adrian ndo akapoa sSa akasema daaah pole sana mchumba nilichanganikiwa basi pole . Nikasema asante. Basi nikamfunga sana pale. Ila akanielewa . Tukaagana nikawa naendelea ratiba zangu. Usiku saana baraka akanitumia sms. Akasema nimeinjoy sana kuwa na ww shakira na i leo haitakuwa mwisho bali ni mwanzo wetu nakupenda sana. Aseeee uyu kaka ni ming'anga jamani mbona anakuwa hivi na aya mambo aliyapika mwenyewe mie nikakausha kimya ata kumjibu sikujisumbua zanguuu.

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

Nikikupenda mimi inatosha, acha kuwa na presha, acha kuhangaika na ndugu zangu, kama wakikupenda ni ziada tu lakini haibadilishi chochote! Nani alikudanganya kuwa wanapaswa kukupenda! Mimi mwenyewe sina uhakika kama wananipenda zaidi ya kupenda pesa zangu sembuse wewe ambaye ni mgeni hapa! Shida nikuwa, nakupenda mimi ila hukai ukatulia, hunipi amani kwakua tu Mama yangu hakupendi! Kwakua tu Dada zangu hawakupendi! Hivi unategemea nini! Dada yangu wa kwanza ndoa hana, kila siku anaumizwa kwenye mahusiano, mtoto wa pili huyu kazalishwa na mwanaume hahudumii chochote mimi ndiyo namsaidia kila kitu! Haya huyu Dada yangu kaolewa juzi tu lakini ashadundwa mara ngapi na mume wake anakuja sisi ndiyo tunaamua! Mimi si ndiyo namtumiaga mpaka pesa ya matumizi ananililia, sasa unataka akupende badala ya kukuonea wivu, unafikiri yeye hatamani hizi raha ninazo kupa apate mtu wa kumpa! Halafu eti utegemee akupende kwa raha zote hizi unazonipa! Lakini sasa mke wangu, kwa hali unayoendelea nayo hata mimi nitakuchoka, nimekuchagua wewe, nishakuambia ndugu zangu hawakupendi, wana mambo yao, sijui makabila, sijui dini na vitu vingine! Kuna mwanamke wao wanamtaka mimi nimuoe, hata simjui na wala simjali. Ni kweli huyo mwanamke alishanipigia simu, sijui Mama yangu kamchukua anaishi naye, sijui Dada yangu anampost sasa mimi yananihusu nini, wewe yanakuhusu nini? Mimi si niko na wewe, badala ya kunipa raha, nilogeke kabisa nisahau kama nina ndugu kila siku ni Kelele Mama yako hanipendi! Mara wifi kapost tena yule mwanamke! Kwani mimi nawanunuolia Bado mpaka niwapangie cha kupost! Mimi lini uliniona nimempost huyo mwanamke, lini ulinifumania naye, muache abwabwaje wewe kula raha kwangu. Ila mambo ya kuninyima amani kisa hupendwi na ndugu zangu yashanichosha utanifanya nitafuta mwanamke mwingine wa kula raha, sikukuoa kwaajili ya ndugu zangu nimekuoa kwaajili yangu, mimi, wangu peke yangu!

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Basi bwana penzi likanoga mpaka mwezi ukakata, apo zena alikuwa na wasi wasi kuwa ntamuacha ,ila mi wala sikuwa na ayo mawazo kichwani kwangu ata kidogo, kila siku namuona zena mpya na nazidi kumpenda uyu dada ,kwanza ana heshima sana, ananipenda mnoo, ananisikiliza kweli kweli, aseeee nilipagawa na zena bwan, yani nilikuwa naona raha ya kuwa na familia, raha ya kushinda na watoto mda wote uku na mwanamke akiwa pembeninyako acheni kabisa ,nyie ikakata miezi 2 , nipo na mchumba hakuna kesi wala ugomvi, michepuko nikuwa nnayo michache, 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌🙌, mnazani nimeacha kabisaa ahaaa, naenda kutomba nje ila kwa heshima mnoo, zena ata hajui na usiku nalala kwake, na nna adabu nae kinoma yani nampenda sana Nyieeee kuna kipindi zena akaanza kuumwa mnoo, mnajua zena alikuwa anaumwa, yani alikuwa aunaumwa mpka akawa kumbembeleza mtoto anashindwa , yani mtoto analia yeye kachoka anaumwa anabaki jumuangakia tu, mna kwa uo mda ,arshaina akikuwa na miezi 5 ,basi mi nikampeleka hospitala zena , nyieee si imaonekana zena ana mimba tena, ohhhh zena alichanganikiwa sitaki kuwambia ,ananambia itakuwaje na mwanae bado mdogo, ahaaa nikamtuliza nikamwambia tulia, arshaina atakuwa na hii mimba itakuwa , aseee zena alikuwa ni mwanamke wangu wa kwanza nataka kuzaa nae watoto wawili, nikaona basi kama kuoa acha nimuoe zena, nililizia kabisa kwanza nampenda sana , ana heshima na ananifaa kuwa mke,so nikaona basi sasa nioe nitulie na zena , watoto wawili namzalisha siwezi kumuacha aangaike na mimi ndo mwanaume wake wa kwanza ,nikaona ebu nitulie na zena sasa Basi bwana nikaludi na zena mpkaa nyumbani na nikamtuliz kuwa asipanik , na atulie , akanmbia naogopa et mtoto mdogo atakuwa kambembemenda , nikasema sio kweli, arshaina anendelea vizuri sana si unamuona ana afya nzuri tu ,zena akanmba sawa ,ila dr. Aliruhusu tu amnyonyeshe mtoto mpaka atakaposema basi, mi nafanyaje sasa ,zena akwa ana wasi wasi sana na mimi, nikamwambia ongea na familia yako, mimi week hii naenda zanzibar nyumbani naenda kuonga na wazazi wangu na familia yangu ya kuwa nataka kuoa,nyie zena alifurahi sana ,nyie uyu demu mm ananipenda kisenge na mm nampenda yani kiufupi mimi na zena tunapendana kweli kweli , na alivyosikia serious namtangazia ndoa alichanganikiwa kweli kweli Basi hii siku nikawa kwa zena naongea nae namtuliza na kumshusha presha kuwa hatulie na yeye wala.sio wa kwanza kuzaa haraka haraka wala haina shida na ahaitasumbua na watoto wote watapata malezi na watakua vizuri tu labda mimi.nifee, asee nikiwa pale kwa zena si na mama yangu mzazi nae ananipigia, nikapokea nikamsalimia mama ,na akanitikia vizuri kisha akanmbia ni siku gani nna mda niludi nyumbani ana maongezi mazito na mimi, dooh nikamwambia alafu mma unajua nilishakuwa na safari ata mm ya kuja uko mana ata mimi nna mazungumzo na wewe, mama akanmbia basi ujee ili tuyaongee yote , nikasema sawa mama ,daaah nilifurahi kinoma, nikamwambia zena ,aya umesikia nishaongea na mkweo ,mimi week ijayo naenda pemba kuonge na mama juu ya hili suala ,zena akanmbia dawa, basi na hii siku nikalala.na zena , na tukatombana kama kawa, kama mimba ndo kashabeba sasa sie tusile raahaa zetu sio kweli bwana, nakumbuka nilipomwambia ibraa nataka kumuoa zena ,alinambia ahaaa mganga wa zena sio tapeli bwan, mpaka we chumbanumekubali kuona na unataka kuwa na zena, nikamwambia nishaharibu tena sasa ana mimba nyengine, namuachaje sasa, ibraa akvheka sana akanambia sio sababu issue nj qewe unampenda sna yule mwanamke ,nakutakia ndo njema kaka na familia nzuri yenye amani ,nikasema.asante sana mwanangu Basi mi nikachukua ka rikizo kazini ka week 2 ,na nikaplan sas kwenda pemba nyumbani, na nilimuaga zena uku nikimtaka awajulishe wazazi wake kuwa baada ya week 2 mimi napeleka barua kwao, na zena akakubali na wala hakuwa na shida, nyiee basi atimaye siku ikafika ya kwemda pemba, nikaagana na zena na nikamuachia pesa nyingi sana ya matumizi . mana naelew ana watoto wadogo wawili na hali yake ya mimba, so atakuwa na matumizi mengi sana alafu mi now mchumba nampenda kisengeee ndo mana, kwaiyo sitaki apate shida kabisaa yani Basi bwna , mie nikachukua boti mpka nyumbani zanzibar , na zanzibar nikachukua boti mpaka pemba , acheni kabisaa , nakumbuka nilifika homee saa 10 jioni ,na nilikuta ndugu zangu wote wapo hpme , ya ni broo wangu mwanajeshi yule na mdogo wangu bwna, mh nikajua uwenda mama ametuita kwa pamoja tu ana hamu ya kutuona wanae, basi mama aknikalibisha vizuri sana nyumbani, na ata baba alifurahi kuniona ,aseeee tulifurahi sana ndugu wote kukutana home, uku tukitaniana sana, na hii siku mana familia yote tulikamlika na tulikuwa chakura kama familia na mm niliplan kuwambia suala langu la ndo baadae bwana, mana nilikuwa najua hawataamini kama.nimepata mwanamke na amenikamata mpaka nataka kumuoa , na usiki saa1 ndo mma akaanziaha kikao chake , Basi mimi nilikuwa makini sna kumsikiliza mama yangu na baba yangu kitu walichotuitia, akaanza kuongea baba ,akasema bwana iki kikao kimeitwa madhumuni ni kwa ajili ya millan, kheeee nikastuka kwanza millan mie tema imekuaje yani nikakaa vizuri kwanza , mama akasema tumekaa kama familiy, tukakujadiliana sana na kaka yako na mdogo wako juu ya suala lako la wewe kuoa, na kwakua haukuwa unaonesha direction yoyte juu ya kuoa, sisi kama familia tumekuolea mkee millan, nyieeee mbona nilihisi kyfa, moyo wangu ulifanya paaaah

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Basi bwana penzi likanoga mpaka mwezi ukakata, apo zena alikuwa na wasi wasi kuwa ntamuacha ,ila mi wala sikuwa na ayo mawazo kichwani kwangu ata kidogo, kila siku namuona zena mpya na nazidi kumpenda uyu dada ,kwanza ana heshima sana, ananipenda mnoo, ananisikiliza kweli kweli, aseeee nilipagawa na zena bwan, yani nilikuwa naona raha ya kuwa na familia, raha ya kushinda na watoto mda wote uku na mwanamke akiwa pembeninyako acheni kabisa ,nyie ikakata miezi 2 , nipo na mchumba hakuna kesi wala ugomvi, michepuko nikuwa nnayo michache, 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌🙌, mnazani nimeacha kabisaa ahaaa, naenda kutomba nje ila kwa heshima mnoo, zena ata hajui na usiku nalala kwake, na nna adabu nae kinoma yani nampenda sana Nyieeee kuna kipindi zena akaanza kuumwa mnoo, mnajua zena alikuwa anaumwa, yani alikuwa aunaumwa mpka akawa kumbembeleza mtoto anashindwa , yani mtoto analia yeye kachoka anaumwa anabaki jumuangakia tu, mna kwa uo mda ,arshaina akikuwa na miezi 5 ,basi mi nikampeleka hospitala zena , nyieee si imaonekana zena ana mimba tena, ohhhh zena alichanganikiwa sitaki kuwambia ,ananambia itakuwaje na mwanae bado mdogo, ahaaa nikamtuliza nikamwambia tulia, arshaina atakuwa na hii mimba itakuwa , aseee zena alikuwa ni mwanamke wangu wa kwanza nataka kuzaa nae watoto wawili, nikaona basi kama kuoa acha nimuoe zena, nililizia kabisa kwanza nampenda sana , ana heshima na ananifaa kuwa mke,so nikaona basi sasa nioe nitulie na zena , watoto wawili namzalisha siwezi kumuacha aangaike na mimi ndo mwanaume wake wa kwanza ,nikaona ebu nitulie na zena sasa Basi bwana nikaludi na zena mpkaa nyumbani na nikamtuliz kuwa asipanik , na atulie , akanmbia naogopa et mtoto mdogo atakuwa kambembemenda , nikasema sio kweli, arshaina anendelea vizuri sana si unamuona ana afya nzuri tu ,zena akanmba sawa ,ila dr. Aliruhusu tu amnyonyeshe mtoto mpaka atakaposema basi, mi nafanyaje sasa ,zena akwa ana wasi wasi sana na mimi, nikamwambia ongea na familia yako, mimi week hii naenda zanzibar nyumbani naenda kuonga na wazazi wangu na familia yangu ya kuwa nataka kuoa,nyie zena alifurahi sana ,nyie uyu demu mm ananipenda kisenge na mm nampenda yani kiufupi mimi na zena tunapendana kweli kweli , na alivyosikia serious namtangazia ndoa alichanganikiwa kweli kweli Basi hii siku nikawa kwa zena naongea nae namtuliza na kumshusha presha kuwa hatulie na yeye wala.sio wa kwanza kuzaa haraka haraka wala haina shida na ahaitasumbua na watoto wote watapata malezi na watakua vizuri tu labda mimi.nifee, asee nikiwa pale kwa zena si na mama yangu mzazi nae ananipigia, nikapokea nikamsalimia mama ,na akanitikia vizuri kisha akanmbia ni siku gani nna mda niludi nyumbani ana maongezi mazito na mimi, dooh nikamwambia alafu mma unajua nilishakuwa na safari ata mm ya kuja uko mana ata mimi nna mazungumzo na wewe, mama akanmbia basi ujee ili tuyaongee yote , nikasema sawa mama ,daaah nilifurahi kinoma, nikamwambia zena ,aya umesikia nishaongea na mkweo ,mimi week ijayo naenda pemba kuonge na mama juu ya hili suala ,zena akanmbia dawa, basi na hii siku nikalala.na zena , na tukatombana kama kawa, kama mimba ndo kashabeba sasa sie tusile raahaa zetu sio kweli bwana, nakumbuka nilipomwambia ibraa nataka kumuoa zena ,alinambia ahaaa mganga wa zena sio tapeli bwan, mpaka we chumbanumekubali kuona na unataka kuwa na zena, nikamwambia nishaharibu tena sasa ana mimba nyengine, namuachaje sasa, ibraa akvheka sana akanambia sio sababu issue nj qewe unampenda sna yule mwanamke ,nakutakia ndo njema kaka na familia nzuri yenye amani ,nikasema.asante sana mwanangu Basi mi nikachukua ka rikizo kazini ka week 2 ,na nikaplan sas kwenda pemba nyumbani, na nilimuaga zena uku nikimtaka awajulishe wazazi wake kuwa baada ya week 2 mimi napeleka barua kwao, na zena akakubali na wala hakuwa na shida, nyiee basi atimaye siku ikafika ya kwemda pemba, nikaagana na zena na nikamuachia pesa nyingi sana ya matumizi . mana naelew ana watoto wadogo wawili na hali yake ya mimba, so atakuwa na matumizi mengi sana alafu mi now mchumba nampenda kisengeee ndo mana, kwaiyo sitaki apate shida kabisaa yani Basi bwna , mie nikachukua boti mpka nyumbani zanzibar , na zanzibar nikachukua boti mpaka pemba , acheni kabisaa , nakumbuka nilifika homee saa 10 jioni ,na nilikuta ndugu zangu wote wapo hpme , ya ni broo wangu mwanajeshi yule na mdogo wangu bwna, mh nikajua uwenda mama ametuita kwa pamoja tu ana hamu ya kutuona wanae, basi mama aknikalibisha vizuri sana nyumbani, na ata baba alifurahi kuniona ,aseeee tulifurahi sana ndugu wote kukutana home, uku tukitaniana sana, na hii siku mana familia yote tulikamlika na tulikuwa chakura kama familia na mm niliplan kuwambia suala langu la ndo baadae bwana, mana nilikuwa najua hawataamini kama.nimepata mwanamke na amenikamata mpaka nataka kumuoa , na usiki saa1 ndo mma akaanziaha kikao chake , Basi mimi nilikuwa makini sna kumsikiliza mama yangu na baba yangu kitu walichotuitia, akaanza kuongea baba ,akasema bwana iki kikao kimeitwa madhumuni ni kwa ajili ya millan, kheeee nikastuka kwanza millan mie tema imekuaje yani nikakaa vizuri kwanza , mama akasema tumekaa kama familiy, tukakujadiliana sana na kaka yako na mdogo wako juu ya suala lako la wewe kuoa, na kwakua haukuwa unaonesha direction yoyte juu ya kuoa, sisi kama familia tumekuolea mkee millan, nyieeee mbona nilihisi kyfa, moyo wangu ulifanya paaaah

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

Daaah mchumba ndo kashanikatia simu mi nafanyaje sasa ,basi nikaweka simu pembeni tu, kisha nikapanda kitandani, nikavuta shuka , nikapumzika na asubih sana nikaamkia kazin na mwanangu lbraa,ibra akaniuliza vp jana ulimpata yule demu kwa simu, nikasema yaaa nilimpata , na tuliongea tu, ibraa akanmbia au sio na bado humtaki, nikabaki kimyaa, ibraa akanmbia daah we msenge kweli umependa jana umelala uku bila ya demu, yani jana hujagonga millan wewe ,daaah kumbe kuna mda shetani anaweza kuwa malkia , nikabaki kimya ibraa alicheka sana , mi nikakausha tu, na tukafanya kazi mno , jioni tu kazi ikaaisha mm sikutaka ata kulala, nikamwambia ibraa twenzetu kesho tuamkie dar, yote apo mi namuwaza zena tu ,natamani nikamuone, hizo siku 2 amabazo sijamuona naona ata sijielewi kiukweli, ibraa akanmbia basi powa hakuna noma, na kweli chapu tulienda hotel tukakusanya vinvyotuhusu, tukaingia ndaninya gari, na tukaanza safari ya kuelekea dar Mpaka usikau saa 4 ,tulishaingia dar, na mm nikaenda kwangu tu, nikaona ntaenda kumuona zena kesho, basi kweli , huu usiku mm nikapumzika zangu, ata zena sikumpigia mtu mwenyewe ananichamba ahaaa, na asubuh niliamkia kazini mana wakubwa walitaka report ya safari yetu, so nilienda kuwasilisha na nikawa busy sna mpka usiku saa 1 ndo nikatoka job, nikapita makumbusho, nikamchulia iphone zena kali kweli kweli, ndo nikapanga nimepelekee sasa , baada ya kumnunukia ile simu ndo nikaelekea kwa mchumba sasa, basi nikapita na dukani nikamchukulia zawadi kwnza ummy, mana ummy nilishamzoesha zawadi so akiniona nimefika tu , ni baba zawadi yangu, basi nikaenda mpaka kwa zena, basi bwana nimefika kwa zena ,nikagonga mlango akaja kunifungulia zena akanikalibisha vizuri tu , nikaingia ndani,aseee yani ile kumuona tu moyo wangu umefarijika na ukatulia mnoo, basi nikamuulizia ummy nikaambiwa kaenda kuoga, nikamuuliza arishaina, akanmbia anaendelea vizuri ila kalala , nikasema ahaa sawa , basi mimi nikawa nimetulia kwenye sofa najifany kucheza simu yangu ila namuangalia zena ,ahaaa zena kazuri nyie, daah alafu sasa mchumba ndo ataki ata kunisikia Nikasema ahaa zena nimekuletea simu , nikatoa simu niliyomnunulia kisha nikampa ,nyie zena akafurahi mnoo, akanmbia asante baba arshaina, mh basi mm kwakua mchumba alifurahi kwangu mm ikawa ni raha tu, nikamwambia kuwa mkini basi wasikuchukie na iyo ,akanmbia sawa ntakuwa makini, daah mchumba aliipenda sana simu, mh si hanitaki uyu mbona vitu vyangu anapokea na anavisherehekea kweli kweli, wanwake bwana , aya powa Basi mi nikatulia mpaka ummy akatoka kuoga, nikampa zawadi zake akanifurahia sana mwanangu, na nikapiga nae sana story apo nimekaa zangu tu, mpaka nikala pale kwa zena na mpaka saa 5 mm nilikuwa kwa zena watoto wote wakalala, basi iyo saa 5 zena akanmbia , aya naomba uende sasa nataka kupumzika na watoto, daah nikamwambia ebu kaa kwanza zena tuongee, aksema nikae wapi na tuongee nini sahizi kumbe wewe ulikuja na maongezi mda wote umenyamaza ulikuwa unamanisha nini, mi now nimechoka sitaki maongezi na mtu, naomba uondoke, daah si kachukua somu yangu uyu ,et now ananikazia niondoke daah ,mimi nikasimama mwanaume ,nikamsogeleza zena taratibu, mpaka nikamfikia nikamshika kiuno, akataka kunitoa ahaa wapi nikamkazia, nikamwambia zena ,nakupenda sana ,nakupenda sana mama arshaina, na kupromise mama ,kuanzia sasa mi nipo tayari kutulia kwa ajaili yako plssss mama angu naomba unielewe na tuongee na tuelewane, zena mi nnapokuw mbali moyo wangu wote unakuwaza wewe, kama kukosea nilishakosea but for now nakuhutaji sana naomba unisameh nakupenda sana zena ,mma ummy wangu Zena akataka kunisukuma ahaaa wapi, mi wala sikukubali kusukumika, nikazidi kumsogelea kisha nikamkumbatia kwa nguvu, mh zena akanmbia niache bwana we ni muongo na sikutaki, nikasema hapana mama ,kama mapenzi wewe ndo umenifundisha ,kama kupenda wewe ndo umenifundisha, na kuheshimu mwanamke zena wewe ndo umenifundisha plsss snaomba tuwe pamoja, natulia kabisa zena na nitabaki na wewe tu ,nakupenda sana ,mama yangu, na nakuhitaji sana zena, naomba plssss zena akanmbia sikuamini, sikuamini kabisaa tatizo, mh mimi nikamsogelea mdomoni nikaanza kumkisi taratibu, nyie ata zena alitukia tuli, nikaona basi mtoto kanipa space uyu, ahaaa mi sikujiuliza tena nikamvuta kwenye sofa, yeye akawa chini na mimi nikawa juu, tukaanza apo, aseeeee ,mbona ata yeye alinimiss sana tu, alinipa makiss ya kutosha , nyiee makiss kweli kweli, na mie nilishachanganikiwa nae, nikamvua kijoraa waala hakuwa na shidaa Na yeye akanivua na nguo zangu ,kisha akanikalia kwa juu, nyie acheni kabisaa, mtoto alinipa kweli kweli, akawa anajipimia pale ,nikaona mbona kama simfaidi vizuri,yeye akikaa juu, nikampindua kicha nikamueka yeye chini na mimi nikapanda juu, ahaaaa nilishindilia aseee acheni masihara ,nilikula mzigo hii siku, hii game ilikuwa hakuna kuongea, vilisemezana vikojolea vyetu tu, ahaaaa zena ananipend nyie alijuwa ananionesha kabisa kuwa ananifurahia, ananikumbatia uku ananishika vizuri, yani ananipapasa kwa mahaba, nyieeee ilikuwa rahaa sitaki kuwaambia, alafu sasa game ilikuwa ya kimya kimya chumbani si watoto wamelala, ahaa tulitombana mnoo ,mi nilikuwa naunga kama mwanadawazkmu, nyiee zena mtamu acheni kabisaaa, daah nimemuachia zena usiku saa 8, alafu zena anaanza kuliaaa,doh nikajua kumekucha Nikamuuliza zena nn sasa mbona tumefurahia tu unalia nn sasa, zena akanmbia nimeludia makosa yale yale, kwa nn unakuawa unanilaghai we mwanaume apo anafanya kama ananipiga ,nikamwambia zena tulia na usinisikilize haipo kama hivyo kabisaa , niamini zena haitakuja kutokea nikuache wewe kabisaa, nakupenda sana zena, nakuhitaji sana, kuliko chochote, naomba unielewe kipenzi plssss, naomba unielewe mama, zena aknmbia nakujua baba arshana, unaongea yote ni sababu tumefanya tu, ila hauna mapenzi ya dhati na mimi,.nikasema nani kakwambia ayo mambo hakuna kitu kama icho unaelewa mama, zena akanmbia sawa, basi tukaenda kuoga, tulupotoka sasa ,zena akanmbia unaondoka hu mda? Nikasema sasa apa ntalala wapi, akanmbia si kitandani na wanao, nikasema mh si ntawabana ,akanmbia hapana twende bwana ,basi akanishika mkono mpaka chumbani, akawabana watoto kwa pembeni kabisa, kisha akanikakibisha mie ,ahaa mi nikapanda kitandani ,kisha zena sasa akanikumbatia, nikainjoy na nikasikia rahaa sana, nikajikuta nacheka tu , na nikamkumbatia kiuno kweli kweli Badi tukalala hivyo mpaka asubuh nakwambia, yani usiku mtoto akistuka ni anamnyonyesha tu ,akishamaliza kumnyonyesha akalala, anamsukuma kwa pembeni anakuja kunikumbatia mimi, ahaaa aseee mpaka kunakucha, asubuh sasa ilikuw ni j mosi na nilikuwa siendi kazini, basi ummy alivyoamka akafurahi kunikuta nipo pale, et baba yangu umelala apa uwe unalala apa kila siku nikamwmabia swa mwanangu ntakuwa nakuja kila siku na ntakua nalala apa , nyie hii siku nikawatoa na out kabisaa, nikawapeleka beach na tukaenjoy sana tu, nyie hii siku nilitumia pesa, walikula wanchotaka wlicheza, walibeba kila walichokitaka, yani ata zena hii siku alikuwa na furaha sanaa, nikaonaa ahaaaa kama furaha yangu ipo kwa zena naangaika na nini, wakati uyu demu mi nampenda na nikiwa nae kama hivi napata rahaa na amani zote za maisha, asa si nijitahidi kupunguza umaraya nitulie na mpenzi apaaa Basi tukaludi usiku sana kwa zena, daah hamuwezi amini na hii siku nikalala tena kwa zena, na nikala mzigo usiku sana watoto walivyolala ,ahaaaa huba likakudi bwanaa, sitaki kuwaeleza hii awamu nilikuwa nampemda zena kweli kweli, yani kila anachotaka.mi.nilikuwa nampa zena kwa wakati, nilikuwa nahudumia kama nimechanganikiwa na mbaya zaidi nampenda zena kisenge, nilitulia mno sitaki kuwaambia, yani mwanamke wa nje mi simtaki wala.simtamaini, mda wote namuwaza zena, nilitulia mnoo sikutka.kufamya makosa tena au kufanya chochote ambacho kitamuumiza zena, sijuh niwambiaje mwenzenu, nikawa kama nimeamia kwa uyu demu, mana mm siku unayonikuta kwangu ni chache sna, mda wote mm nipo kwa zenaa, yani nashinda kwake nakula kwake naoga kwake, navaa kwake, aseeeee zena alinikamata bwana ,nilikuwa na adabu nae mno na ata zena alikuwa na adabu na mm sana na kuniheshimu kama mwanaume, asee kwa iki kipindi nilipata amani ya mahusiano na familia sasa, yani mpaka.ibra akawa ananmbia asa we si umuoe uamie nae kwako basi mambo yaishe, nikasema.nipo nafikilia soon mnaweza kula mchele, ibra akawa anacheka sana, ananambia we zena kakuroga nn, nikawa nacheka tu, mana kwangu sirudi ,yani kila siku kwa zema kama nishaoa uko, na nikichelewa zena anajua kuniulizia mbona hufiki na kana wivu katoto aka, basi navurugwa 🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

kipande cha 38 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Basi ndo hivyo . Nikaikosa ndoa na bwana barka.na nikawa busy na maisha yangu . Na mambo yangu. Na nikazidisha mapenzi tu kwa adrian.na nashukuru saloon yangu ilikuwa kubwa tu. Wateja wawili watatu napata allahmdullilah. Maisha yanaenda nipo na baby wangu tena.ila sasa mimi na adrian tulikuwa tunakwama kwenye suala la dini. Bwana ni mkristo na mie ni muislamu alafu sasa kila mtu alikuwa hayupo teali kubadili dini. Nikaona eeeh ebu niachane na habari za dini na nifocus na nwanaume wangu tu na maisha yangu . Maisha yakawa yanaenda na siku zinakimbia. Siku iyo sasa nimeludi nyumbani mida ya jioni nimechoka sana. Aseee ile naingia ndani si namuona baraka aseeee moyo wangu ulifanyaaaa paaaaah. Tena yupo busy anaongea na baba yangu. Nyie baraka kwanza kakua mno. Kawa mkaka hasa. Apo sijamuona mda sana . Almost miaka 3 na nusu.alikuwa Kapendeza mnoooo. Amenyoa kipara ila kimempendeza kinomaaaa. Ushawahi kuona wale wanaume wananyoa vupara ila wanapendeza sana ndo barka sasa. Kavaa vizri yani kawka kweli kweli. Aseee nilipomuona kama alinitonesha moyo wangu tu. Ila nilijikaza sana. Nikasogea niamsalimia baba pale.kisha nikamsalimia na yeye. Tena nikampa heshima kama kaka yangu. Na yeye akaniitikia vizuri kisha uyo nikaingia chumbani kwangu. Nikawaacha wakiwa busy na maongezi yao. Baada ya mda mama akainiita . Nikatenge chakura mezani. Nikatoka ndani. Na nikatenga chakura mezanai . Na tulikuwa kwa pamoja kabisa. Aseee nilikua busy na chakura changu na simu yangu tu. Tena nachati na mwanaume wangu. Nilikuwa nasikia sana baraka anaongea na baba. Baraka anamwambia sijuh ataenda tena coz ya miaka 2. Ameludi kwa mda tu. Kuja kuona familia yake. Sikuwasapoti kabisa. Baada ya chakura mie nikatoa vyombo. Kish nikaingia chumbani kwangu. Yani sikujua ata baraka kaondoka saa ngapi. Nilikuwa busy na mambo yangu. Sikutaka kujihusisha nae kabisa. Basi nikiwa ndani busy na mambo yangu kabla sijalala. Simu yangu inaita alafu namba ngeni mh. Nikapokea .nasikiliza sauti nasikia ni baraka. Aseeee nikamuuliza unanipigia unataka nini. Akasema sikia shakira nimekuja kwa ajili ya kukuona wewe . Na sio mjomba.mimi mjomba nilishaonana nae tangu week ile kazini kwake. Naomba utoke nipo nje nakusubili kuna gari nyeusi apa nje njoo. Nikasema hivi we mwanume ni msenge kumbe. Eeeh we ni msengee eeeh. Unaniitia nje kwanini. Au una nia gani na mimi mpumbavu ww. Si umeshaoa ama. Akasema sikia sasa hasira za nini sindo mana nimekuuta unajua nataka kusema nini nimesema njoo nje. Lione lilivyo na amri zake. Nikasema we msenge tu na siji. Akasema au sio .nikasema ndo hivyo nenda kwa mkeo bwna sina shida na wewe.mjinga nini.. kisha nikakata simu. Akawa anapiga tena nikablock na namba yake. Asa yeye si kashanicha leo anaaangaika nini.mshamba nini Nikampigia simu mpenzi wangu tukawa tunao gea zetu.nikaachana kabisa na issue za baraka. Na usiku sana ndo nikapumzika. Asubuh ya hii siku niliamka mapema.kwanza nikaanza kimsaidia mama baadhi ya kazi .nilipomaliza sasa ndo nikaingia zangu kazini. Asee ile nafika kazini tu. Nashangaaa namkuta barka yupo nje ya ofisi yangu yani kama ananingoja.hivi wanaum mbona huwaga wanaangaika lakini. Uyu si alishanambia hanitaki na ameshaoa leo anakuja ofisini kwangu kufanya nini sasa. Nikamsogelea kisha nikamuuliza vp umekuja nikupambe . Nikufanyie make up unaenda kuolewa ama? Akabaki.kimya ananiangalia tuuu. Nikasèma ebu toa pumbu zako weka pembeni uko .nataka kuwa busy na mambo yangu sa hzi Akasema umemaliza kuongea.nimasema wewe ebu sogea bwana. Akanambia naomba gwende kwemye gari nataka kuongea na ww. Nikasema we mshamba nini. Kwani unanilingishia kigari chako cha mkopo kile. Mimi nn a bwana angu ana gari pia .tena kali kuliko ule mkokote i wako nikupashe sasa. Baraka akasema oooh ni adrian sio.nimasema yaa we ulitaka awe nani ni uyo uyo ndo mwanaume wa maisha ya gu sasa. Baraka akasema sawa. Akanishika mkono kwa nguvu akaanza kunivuta sasa et kuniingiza katika gari yake.nikawa sitaki. Heeeee nashangaaa akanibeba mpaka kwenye gari yake ya mkopo.akanisukumiza ndani kisha na yeye akapnda .akaanza kudrivee. Aseee nilimind. Gari zima nikawa namtukana.nilitukana kweli kweli.yani hakuna tusi ambalo sikumtukana.kuanzia la mama yake mpaka familia yake. Mana nilishakuwa na hasira kwa nn anichukue kinguvu sasa.

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

36 MPAKA 37 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Maua akasema khaaa yani unanitukana mimi. Kwaiyo mimi naweza kuolewa na kaka yangu. Nikasema yaa unaweza sasa kisebengo cha nini. Nakuona sana tangu jana umekuja nyumbani una maneno maneno sana mpumbavu ww. Unazani uyo kaka yako mimi namtaka sana ama. Sina shida nae wala sina haja nae. Maua akasema et sina shida nae. Mbona ile siku alikushushua akasema hakutaki. Sasa hakutaki kweli umemnyanyasa sana wewe na mama yako. Umesimia kaka yangu ana maisha now unaleta shobo iloo. Aseeeee nilitamni nimlukie uyu dada yani ilibaki kidogo sana .ila nikajikaza tu. Nikakaushaa nikaamua kuondoka zangu. Nikamuacha anaongea. Aseee uyu maua nae ni chizi kama mie. Kama uyu ndo angekuja kukaa kwetu tungekuwa tunalushana ngumi kweli kweli. Aseee nikafika saloon nna hasira mpaka natetemeka yani. Gile akaniuliza vp shoga.mbona asubih umepita vizur .kisha umeludi hivi imekuwaje kwani.umegombana na adrian.nikasema hapana yani yule mdada yule nimepita nae asubuh anaitwa maua.ni ndugu yake na baraka. Aseee amenijibu vibaya sana. Ikabidi nimsimulie vizuri sasa gile. Gile akanituliza akanambia tulia na upunguze presha kipenzi. Yani tuliza presha kabisa. Nikasema sawa na kweli nikatulia tu. Ila nilikuwa nna hasira sana na maua basi tu. Nikafanya kazi zangu na jioni sana ndo nikaludi home. Basi baba aliomba kuongea na mimi sasa. Nikasema sawa nikaenda kumsikiliza baba ynagu anasemaje Basi nikatoka sebleni nikakaa na baba. Baba akanmbia shakira mtoto wangu unajua nakupenda sana mwanangu. Nikasema ndio baba naelewa. Akasema sasa naelewa sana kuwa una chembe za kumpenda baraka. Najua na naelewa . Sielewi aya mahusiano yenu mliyaanzishaje wewe na baraka na sijuh mlikubakina vp ww na mwenzio.nyinyi kuwa ndugu wala kwangu sio jambo kubwa .sababu kidini baraka anaruhusiwa kukuoa ww. Na sijuh nini kimetokea ama baraka labda aliona ww humfahi kuwa mkewe yani sijih alipima kwa kutumia nini. Au inawezekana uliyomtendea. Si unaelewa jinsi ambavyo mwanzo ulikuwa unaishi nae. Nikasema ndio baba. Akasema basi uwenda pia aliyajaza. Ila naomba ukubali aya yanayoendelea na achana na baraka kabisa. Fanya maisha yako. Nikasema naelewa baba na nitafanya hivyo. Akasema baraka kesho anaenda kuolewa na kka yake mtoto wa baba mdogo bakari. Na mimi.ni mjomba wake lazima nikauzulie .na tufanikishe hilo. Siwezi kuingia kattika chuki zenu. Na siwez kumchukia baraka kwa chochote kile. Nikasema naelewa baba. Wala usijali kabisa. Nyie nendeni tu. Na tupo pamoja baba. Bba akasema ata siku ukimuona barka anaomba ubwage moyo wko na ufanye maisha yako. Na wewe tafuta mwenzio mkikubalina mlete nyumbani mufate utaratibu sawa. Nikasema.sawa baba. Basi baba akanambia ni ayo tu mrembo wangu kama.tumeelewana nashukuru. Nikasema sawa baba .nikaendelea na ratiba zangu nyengine. Na kweli kesho yake baba na mma walienda uko shughurini. Mana ndoa ilifanyika gongo la mboto kwa mjomba bakari.na walienda kumuoa uyo bahati kibiti. Mi wala sikuumia sana.niliamua tu kujishukulia mana kwanza kwa ile familia hapna.. nikaenda zangu saloon tu. Basi nikiwa busy na kazi zangu. Mama akanichek watssap. Aksema shoga uyo baraka ata ajuhi kuchagua iko kibahati kabaya mweee. Nilijikuta nimecheka kwa sauti wallah. Yani mama mgomvi. Yani yupo kwenye sherehe anafanya umbea. Basi mama akanitumia picha ya bibi harusi. Loooh asa uyo maua alikuwa anajifanya kumsifia wifi yake kwa kipi. Yani baada ya weupe hana la ziada kabisaaaa.mbovu puuuh. Yani mbaya ni vile weupe umembeba tu. Aseee Nikajikuta nimecheka kweli. Ata roho haikuniuma mwanamke mwenyewe sijaona ata alichonizidi puuh.basi nikawa busy na wateja wangu. Aseeee niivyoludi nyumbani sasa. Nilivyokutana na mama. Weee mama alimnanga uyo bi harusi jamani. Ananza kunambia yani mbaya. Mala hana matako .mala mbaya .mala hakufikii mwanagu .mala chefuu tu. Mh mama nae ana wivu uyu.nikabaki nacheka kweli kweli mimi.mpaka baba ndo akaingilia akasema acheni wivu ndo ata kama mbaya ndo kaolewa sasa. Mh ndo atushushue sasa baba. Mama akasema aoe tu. Mwanamke mwenyewe mbaya kwendeni uko. Nikawa nacheka kweli kweli mama nae. Baba akasema mh ebu ninyamaze baraka nae. Ndo nini kile lakini. Apo ndo nilicheka zaidi. Yani nilicheka mpak mzee kaongea.baba akasema kweli katika aya maisha usililie uzuri lilia bahati. Mwanagu bahati huna. Nikasema baba nnayo we ngoja ntakuletea mkwe pedesheee apa hautaamini. Baba akabaki kucheka tu. Na mie nikaingia chumbani kwangu. Ila kama binadamu moyo lazima uume ujue. Kwli niliamini maneno ya baba. Usililie uzuri lilia bahati. Mh nikaona aya bwana baba ndo kashaoa na mie nafanyaje acha maisha yaende sasa mpaka mwanaume kashaoa atakuwa wangu tena wala sio kweli.

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

Wassap; 0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi shost alivyotoka kuoga akanmbia shamira shoga yangu nisamehe kwa yale maneno nilokwambia basi. Nikasema yapi? Akasem si yale ya kukwambia ukatoe mimba .usiniwaze vobaya ni vile rafiki yako nilichanganikiwa kuhusu wewe. Nikasema wala usiwaze kipenzi na uwe na amani kabisa. Naelewa sana so kuwa kawaida. Akasema.powa shoga ngoja tuache aje tu kama dume au jike ngoja lije tu nikacheka tu. Mala mda uwo uwo husna akawa ananipigia .nikapokea nikasema vp mama.akanambia sikia ahoga apa razaki kanipigia anang'ang'ania sana nimpe namba yako naogopa bwana usije ukanichamba kama mwajuma.nikamwambia mwenyewe hataki.nikacheka nikasema we nae ebu mpe iyo namba nimsikie anasemaje kwani .akasema powa Basi kweli haikupita mda dimu yangi somunyangu ikaita bwana na namba ngeni nikajua ninl uyo razaki ndo kapewa namba zangu na hisana. nikapokea nikasema allow. Akanambia yes hallow shamira ni mimi razaki nimeomba namba yako ya simu kwa husna. Nikasema saw unasemaje baba.akasema daa husna bwana mimi sikufuchi yani nimekuona apa leo.nimekuwaza sana nimekutamani kinoma.kama inawezakana naomba tulale wote leo .mh na tumbo.nikatombwe nje uko tena jamani.nikawaza nikaona na pesa yenyewe inakata alafu maisha lazima yaendeleee.nikamuuliza una sh ngapi kwanza Akanmbia sikia sema wewe dau lako. Mimi nachotaka nikupate tu .usiku wa leo tuenjoy shamira.nikasema sawa mimi ili nije apo inabidi unipe.laki 1 ipo ? Akasema sikia sina laki 1 nna 50 plsss naomba tuwe wote leo nikaona ata hamsini sio sawa na kulala apa. Nikasema sawa nakukuta wapi.basi razaki akasema we njoo mpka mitaa ya kina husna apa kwa nyuma nimi ndo nakaa au panda boda nakuja kulipa dear .nikasema.sawa kisha nikakata simu. Aisha akauliza vp mbona kama unataka kutoka.nikasema nimepata kidanga apo ngoja nikakipuluse elfu 50 yake. Akasema weee ayo ndo mambo sasa naona usharudi mjini.na hivyo ndo inatakiwa kuwa changamka shoga yangu .usijiwke weke utazeeka na usikae kifala fala kumlilia mwanaume bwna.nikasema wala sina uo mda simpigii simu wala simtumii sms uyo hamadi kama kaamua kuniacha sawa mimi ntafata maisha yangu tu. Aisha akasema safi kabisa fata maisha yako mambo yaende. Basi nikavaa kigauni changu kizuri cha kumwaga tu. Na kitumbo wala hakikuwa kimejigokeza kwanza mimi ni mnene kwahiyo tumbo lilikuwa linafichwa na mwili.basi mie nikaenda mpka anapokaa husna. Kisha nilipofika wala sikuingia ndani kwa husna . Nikaenda nyuma ya nyumba anahoiishi hisna .nikampigia razani akanambi ananaifta nitulie. Nikasimama kama dakika 5 nikaona razaki kaja akanisalimia nami nikamuitikia vizuri. Akanishika mkono kisha tukaanza kutembea kuelekea kwake.tulivyofika akanikalibisha mpka ndani kwake hakuwa na vitu vingi ata.alikuwa ndo kwanza anajipanga.mana alikuwa na kitanda na godoro tu wala hakuwa na kitu cha zaidi akanikalibisha kitandani nikaka pale.kisha akanmbia vp ushakula shamira au nikakuchukuliee chips. Mh nile michipsi ya ovyo nitapike niumwe apa aka.nikasema mimi nimeshiba kipenzi.na nipo vuzur. La da nikungoje jukale wewe. 🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀 Mwandishi; lissa wa huru media Nikaona aisha kakasirika akanambia sawa kama unataka kulea iyo mimba na kuzaa. Ile kulea mtoto ni gharama umae ukielewa hilo suala mapema . Mana sio suala dogo na isitoshe baba wa mtoto kakataa. Nikasema haijalishi nitapambana tu .akasema sawa. Mh kutoa mimba sio kwrli bwana .mbona sina maisha magumu ya kutoa mimba ata .hapana kwa kweli jamani. Basi shoga akajiamdaa aksema naenda job .nikasema powa.nikabaki mwenyewe nikashika tumbo langu nikasema aka mwanangu kwakuwa umepangiwa kuja duniani utakuja tu. Wala sikutoi aka sifanyi ilo balaa mimi .huwenda nimebeba daktari tumboni mwangu ndo nimtoe tu aka hapna bwana. Basi nilikaa sana ndani nikiwaza waza na mawazo yakiwa mengi sana . Kisha nikaona niache kukaaa ndani sasa mana mimi sio mwali na nifrsh aya mambo na nijiache freee tu. Basi kweli nikavaa dela langu nikaenda kwa shoga yetu mwengine anaitwa husna.uko nilipata amani kidogo man alinikalibisha vizuri na tukapiga sana story. Yani tuliongea sana. Akawa ananipa tu story za mitaani na nikaona kidogo amani ipo bwana . Basi nikiwa napiga story na shoga yangu akapiya razaki mana sie tulikuwa tumekaa nje ya kibaraza cha nyumba aliyopanga husna. .razaki ni mkaka flani wa uku uku mtaani ila uyu kaka wala hakuwahi kuwa mwanaume wangu .ila namjua na sijamzoea sana wala nini. Ila anakaa karibuni na anapikaa husna na niliona kamzoe .basi akatusogelea akamsalimia husna .akasema ahaa mama mkwe vp kwema. Anamuita mama mkwe sababu husna teali ana mtoto wa kike . Basi husna akassema nambie baba mkwa wangu bola ata nimekuona naomba elfu 5 uko.nikaona razaki kacheka kisha akasema ahaaaa mama mkwe bwana we kila ukiniona unaniomba pesa tu .au mwano kakwambia mimi pesa nachota .basi husna akacheka tu. Kisha razaki akanisalimia mimi akasema mambo vp shamira.nikasema powa tu. Akanambia akhaa shamira nilikuwa sikuoni ulikuwa haupo kwani .nikamshangaaa uyu kaka kuniuliza hivyo wakati wala sina mazoea nae.nikasema ndio nilikuwa sipo akasema powa basi. Kisha akatoa elfu 10 akampa husna .akasema aya mama mkwe utachukua elfu 5 .na elfu 5 utampa shamira anywe soda basi.nikatabasamu kisha nikasema asante. Basi razaki akanambia asante kushuku pia kisha uyo akaomdoka zake. Nikasema shoga uyu kaka ananijulia wapi mie. Mbona kaniukiza et ukikuwa haupo? .Husna akacheka akasema we nae unajifanya umesahau asiri yako we kuna mtu asiyekujua apa. Mtaaa ulipoa huu kwa sababu haupo shoga. Unajulikana na kila mtu nikawa nacheka tu.basi nikaongea sana na shoga mida ya jioni ndo nikamuaga husna. At lesast nilijichangamsha nikasahau stress kidogo. Nikapita sokoni nikanunua samaki mana ndo nilijisikia kula hivyo. Nikanunua na ndizi zangu .kuhusu pesa bado nilikuwa nna kiakiba kidogo. Basi nilipotoka apo moja kwa moja mpka nyumbani.sikumkuta aisha. Yani nado hakuwa kaludii. Basi mie nikakoleza moto kisha nikapika ndizi rosti na samaki nikakaanga. Nilipomaliza kupika nikaenda kuoga. Nilipotoka nikamkuta shost nae kashaludi. Nikamsalimia viziri tu nae akaitikia kisha akaenda kuoga. Mie nikashika simu yangu nijalibu kumpigia tena hamadi ila wal sikumpata kam kawaida nikajua itakuwa kabadilisha namba tu na kaamua kuwa na maisha yake daaah sawa bwana😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭 🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

Nakumbuka kuna kipindi ,nilisafiri na ibraa kikazi kwenda moro , apo nilishamuaga zena kuwa mm nasafari naenda moro kikazi, ntakaa siku 2, akanmbia hakuna shida, basi mm nikawa moro busy sana na kazi, basi bwna , siku ya kwanza nikiwa moro sasa ,nilianza kumpigia zena simu kuanzia saa 2 asubuh mpaka saa 10 jioni hajapokea, oyaaaa nilipagawa kinoma noma, yani nilivurugwaa , wivu ulinijaaa sana , wivu ulinijaaa mnooo, yani nikawa nawaza uyu anafanya nn mpaka apokei simu , au ana mwanaume leo, pigaa simu sanaaa, unajua nilivurugwa yani sikuw sawa kabisaa ,akiri haikuwa imetulia ata kidogo, mpaka ibraaa kaniuliza we vp mbona kama hauko sawa, shida nn, nikasema daah mwanangu , sielewi leo toka asubuh nampigia simu zena lakini hapokei simu yangu kabisaaa, ananivuruga kinoma Ibraaa akaningalia kisha akaanza kucheka, akanmbia sasa kinachokuvuruga nini? Unavurugwa na zena au mwanao, nikasema amna mwanangu ,mi nataka kumuulizia mwanangu tu, ibraaa akacheka akanmbia wapi wewe, apo zena ndo anakuchanganya, endelea kuwa hivyo hivyo watu now hawajali ana watoro wangapi , wanaoa tu,utashangaa siku zena anakwambia anaolewa , mh nikaona ibraa nae ananivvuruga tu,nikaona nivunge, nikafanya kazi pale mpaka usiku saa 2, apo sasa tukaludi hotels, basi tukakubaliana na ibraa kuwa mi naingia room kwangu na yeye kwake, tukaoge na kuchange nguo kisha tunaingia club ,tukakamate wachumba si unajua tena kila mkoa lazima upoe na mchumba Basi mm nimefika room nikaanzaa kumpigia tena simu zena khaaa apokei, nikamaind kinoma yani kwa nn hapokei simu, uyu anatombwa nn , mbona hataki kunipokelea simu yangu , kwa nn yani , daaah sikuwa sawa, basi kila mdaa nampigia nakwambiaa ,pigaa sana , nilivurugwaa ,apo sio kwamba namuwaza mtoto hakuna, nawaza anafanya nn tangu asubuh mpaka sasa hapokei simu zangu, mi sikuoga wala sikujiandaa kwa kutoka, nilikuwa nampiga simu zena tuu, mpaka ibraa kaja kugonga mlango wangu, nikamwambia ingiaaa, asee anaingia ananikuta ata viatu sijavuaa, na wala sijajiandaa kwa chochote, ibraa akaniuliza we bwana vp hatuendi ama ,mbona hujajiandaa kwa chochote , nikasema kaka zena mpaka now hapokei simu yangu naendaje, atakuwa yupo na mwanaume uyu si ndio ubraa, ataniharibia mwanangu , mana mwanangu bado mdogo sana Ibra akanmbia daah alafu umeanza kumpigia tangu saa ngapi, nikasema tangu saa 2 asubuh ata kazini sijaingia na nikawa simpati na mpaka sasa simpati, ananichukuliaje uyu mwanamke, ibraaa akasema daaah uyo atakuwa kakamatiwa kaka, alafu sa hizi itakuwa mshikaji kamkamatia kwa juu ,alafu zena anamkatia mauno na alivyo na matako makubwa yule demu, uyo jamaa alomkamatia leo atakuwa anafaidi kisengee, alafu mwanao katupwa kule tu kinalia alafu watu hawakajali wala nn, watu wanakula utamu sa hizi, nikamwambia aya toka ndani umu we msengee, ibraa akacheka sana akanmbia we umeenza lini kumuonea wivu zena, et mwanao anaalibiwa acha uongo we unampenda zena, apo unaumia na wivu, kajiandae bwana twenzetu ukakamate demu na wewe, kesho utampigia atakuwa kashamliza kutombwa atapokea simu yako tu , twenzetu kaka Daah ibraa anajua kunitania msenge uyu ,na kugongelea msumali kwenye kidonda, yani anajua jinsi ya kunikomesha, nikasema mi siendi sina mood na mwanamke , ahaaa ibraa akicheka mpaka akakaa chini, akasema weeee kwa ajili ya zena leo unakataa mwanamke mwengine, ahaaaa alafu zena mzuri bwana, sa hizi itakuwa kawekwa chali, jamaa anashindiliaa tu, nikainuka na ngumi, ibra akatoka haraka chumbani kwangu uku anacheka , mi nikaenda kufunga mlango wangu, aseeeee ile nimetulia ndo naona namba ngeni inanaipigia sas, mi nikapokea chapu, nikasikia haloo baba arishaina, aseeee nilijikuta moyo umepoa mnooo, nilishajua ni sauti ya zena, nikamuuliza kwa sauti ya kulalamika ,kwa nn hupokei simu yangu tangu asubuh zena , akanmbia jamani pole mi simu nimeibiwa , jana wamekata dirisha uku nyuma wmenichukulia simu, ila aloiba naona hajaizima ,daaah apo ndo moyo unashuka sasa, nikasema kweli? Akanmbia ndio , hii simu ndgo nimemuagiza shey banana ,mda sio mrefu, nikasema umeibiwaje simu na ilikuajee, akanmbia jana mwanao kanisumbua sana ,so nilivyolala nikawa nimechoka na simu nimeweka kitandani kwa pembeni, ndo wakakata nyavu uku, wamebeba simu , nikasema sawa, kiukweli nilikua ntamani kumuhamisha , ata kakakae sehemu nzuri Mana kule anapoishi yeye ni uswahilini sana na ndo mana ameibiwa ,nikajua vibaka ni wengi,ila naanzaje kwa nilivyo zingua mwanzo ,nikajua zena hatakubali, na ntaaanzisha ugomvi tu, basi nikamwabia sawa pole, naludi kesho kutwa ntakuletea simu sawa , akanmbia sawa asante, nikasema vp madogo wanaendeleaje, akanmbia wako powa ,nikasema sawa ummy yuko wapi, akanmbia yupo sebleni anaangalia katooni mimi nipo chumbni, nikasema sawa muite niongeee nae, akanmbia mh utanimaliza salio langu, nakata kisha piga wewe, nikasema powa , kweli akakata simu na mm ndo nikapiga, kweli nikaanza kuongea na simu, yani naanza kumchimba mtoto kuwa kweli mama kaibiwa simu, nisije kuwa napigwa na kitu kizito, ummy tena akanieleze kama uyo mwizi wakati anaiba alikuwepo, yani mpaka nikawa nacheka, basi nikajikuta mda mwingi nimepoteza kupiga story na ummy, mpaka saa 5 kasoro, ndo mama yake kampkonya simu, akanambia mtaongea kesho basi , anatakiwa kulala kesho shule, nikamwmabia sikia kuwa makini basi , usiweke vitu vya maana ,pembeni ya kitanda kama kuna wazi ukoo ,akanmbia sawaa, daah nilitamani bado niongee nae ,ila sasa nongea nn, naogopa ata kumwambia nampendaa , mana daah namuelewa zen ,kwa niliyomfanyia naanzaje sasa kujiongelesha mbwa mm, Basi akaniaga kuwa anataka kupumzika, nikasema sawa basi uwe na usiku mwema mrembo, mh ata hakunijibu akanikatia simu tu ndwiiii, nikaona eeh kweli ndio , basi bwana apo sasa na mimi ndo nipata amani ya moyo, na kwa mala ya kwanza tangu nianze safari zangu, nikalala hotel bila ya mwanamke, sikutaka tu, nikaogaa zangu, nikaagiza chakura ,nikala,kisha nikapanda kitandani kupumzika, ahaaa nilikuwa namfikilia sana zena, saa 7 hivi nikajikuta nimmis sana nikampigia kwa ile namba mpya sasa ,na zena akapokea , akanmbia ehhhh nambie , nikasema ahaa haujalala bado , akanmbia ahaaa nimestuka tu, mwanao alikuwa analia ,nimembadilisha nguo, nikasema ahaa sawa nami nimehisi tu atakuwa analia ndo nikaona nikupigie, nikamsikia zena nacheka.kisha akanmbia, sikia nikwambie millan, nakuona sana , ila tambua kuwa mm na wewe tutabaki kuwa wazazi tu, usikae ukategemea kuwa mie ntaludiana na wewe hilo suala usahau ndugu yangu, na halipo kabisaa, daah ilinikata hii, nikasema zena kwani bado una hasira tu na mm, tumezaa now ujue mi na wewe tunalea sas, ebu acha hizo zena, akanmbia bwana mi nalala kwaheri nikakatikwa na simu ndwiii. Dooh 🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀 Sehemu ya 44 Mwandishi; lissa wa huru media Aseeee tulichoka mno na shoga yangu asa mimi jamani.nafanya nini na hili tumbo na mwanaume hanitaki. Na ameshakana kuwa hii mimba sio yake na hausiki nayo. Mh kazi ipo. Aisha wala hakuona aibu akainama akaziokota zile pesa zote . Akanambia twende shoga tuatajua tunafanya nini tukifika nyumbani.Basi shoga akaanikokota tu mpka stand. tukapanda gali la mbagala. Na tulivyofika mbagala tukapanda gari mpka kwetu saku. Aseeee sikuwa sawa kabisa . Yani nilikuwa na mawazo sana.na chengine kilichoniumiza ile kumkuta hamadi ana mwanamke mwengine.nikawa na waza yani mda uhuu mchache tu awe ameshapata mwanamke hapana itakuwa alikuwa anacheat.mbona mapema sana jamani. Nilijikuta ata sijielewi mpka machozi yakawa yananitoka sasa. Aisha akaniuliza unalia .aah shamira usiniangushe bwana usilie. Wewe ni mwanamke shipavu unayejua kupamabania changamoto zako plsss acha Nikasema aisha yule ni mwanamke wake eeeh. ni mwanamke wake si ndio. Yani nilishachanganikiwa nafanya kumuuliza aisha wakati nilikuwa nae na hana analolijua ata. Akasema tulia kwanza nini bwana unataka kujipandisha mapresha shamira. Nikasema plssss kwanini anikatae vile ina maana anaona mimi nambambikia mtoto. Aisha si unaelewa kuwa sijawahi kutembea na mwanaume mwengine tangu niende kwake si unajua aisha. Akasema ndio naelewa tulia basi.nikasema sasa kwa nini anakataa mimba na wakati allinambia anataka tuzae. Kwa nini ananisusia sasa. Nauliza kwa nini mimi ntaishije mwenyewe jamani. Nililia hii siku kwa uchungu mkubwa na aswa wivu ilinikaba mno.ile kumuona ana mwanamke mzuri ndo alinivuruga mimi wallah .mh nikaona kabisa nitakuwa chizi Basi aisha alinisogelea akanikumbatia akanambia tulia achana nae yule. Mshamba tu alafu shamira ww ni mzuri kama kaondoka yye wewe utapata mwengime na maisha yataenda shida nini acha kulia bwana.nikasema lakini mimi nampemda sana hamadi yani sana .namuhitaji mno asa katika iki kipindi. Aisha akanmbia upo na mimi achana nae bwana na asikupe mapresha ata. Basi ilikuwa ngumu kumuelewa aisha .kuhusu hamadi. Mana nampemda sana uyu mwanaume.basi akanibembeleza sana shoga yangu mpka nikalala kabisa Nikaja kustuka mchana mchana hivi nakuta shoga kapika ugari na dagaa . Nikavuta chakura nikala vizur mana njaa iĺikuwa inanuma sna. Nilivyomaliza kula nikaenda kuoga kisha nikaludi kitandani nikasema napumzika akanmbia powa shoga yangu lala kidogo na pole kwa majanga.nikasema ya dunianai ayo wala usijali. akanambia sawa Basi niliamka usiku sana .nikawa chumbani peke yangu nikajua aisha kaenda dukani kwake. Mana ile pesa nilimpaga milioni tatu aisha alifungua fremu na akaweka vipodozi vya wadada na rosheni na chupi na taiti.yani urembo wa wanawake ule. Basi bwana nikavuta simu nikajalibu kupiga namba ya hamadi ikawa haipatikani bado.nikabaki nimechoka nawaza sana .nafanyaje na hii mimba mimi. Niliwaza mno ila sikufikilia kutoa kabisa. Mana maremu shangazi alishawahi kunambia usije ukajalibu kutoa mimba ata siku moja. Nikawa za au nizae na mtoto akishakua namwambia baba yako alikukataa au vp 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭 🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀 SHAMIRA Sehemu ya 45 Wassap; 0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Niliwaza sana .na mawazo yalikuwa mengi sana .ila nikawaza nikasema mimi shamira siwezi kushindwa na maisha mpka nikashindwa kumuhudumia mtoto. Nikaona lakini pia nimezingua ndo mana hamadi kachukia sana na kawa mkari sana kwangu. Ila ninaweza nikaenda tena nikaongee na hamadi vizuri alielewe ili suala jamani mh. Mimi sikuuwa nataka kabisa kuwa single mother jamani. Basi nikiwa pale nawanza mno aisha akanipigia simu. Akasema shost nataka nikununuliee chipsi nikubebee chipsi yai au kavu.akasema leta kavu tu na soda akasema sawa shost Basi kweli akaniletea ila sikuwa sawa kabisa. Sio kwamba nilikuwa najisikia kichefu hapana .ila mawazo yalikuwa .engi sana kichwani nilikula kidogo sana. Sikuwa sawa kabisa. Aisha akasema shamira ebu kula basi. Unamuwazia mwanaume kiasi iko na alivyonichamaba mimi ata hamu naye sina. Ahaaa kajua kutuumbua yule kaka jamani. Alafu kwa nini ulikuwa hufuti sms shamira.mpaka naonekana mnafiki pale. nikasema aisha kwa sasa sitaki lawama. Naomba nipumzike niliona anaichanganya tu. Nikapanda kitandani nikawa navuata usingizi. Aseee nilipata usingizi kwa shida sana. Mawazo jamani kila nikimuwaza mwanaume nahisi kuumwa mimi. Nawaza nakuwaa single mama mimi daaah. Basi mawazo yalikuwa mengi mpka nikapitiwa na usingizi na sikujua ata nimelela saaa ngapi mimi. Asubuh niliamka nimechoka mno.ila kidogo akri ilitulia nilienda kuoga nikaludi chumbani. Nikakuta aisha nae kashaamka anaaandaa chai. Akanmbia vp shoga yangu wa kuteswa na mapenzi unaendeleaje.nikatabasamu tu .nikasema wewe tena mimi nipo powa kidogo leo. Aisha akanambia aya ebu njoo kwanza apa tuongeee kitu. Badi nikasogea nikaaa kwenye sofa .nikasema aya nipe mchapo shoga nakusikiliza.akanambia kwanza naomba ujikaze shamira. Wewe ni mwanamke usiwe unalia lia bwana. Tuna biashara teali na umenipa msingi ile ni biashara yetu hatuwezi kushindwa kuendesha maisha yetu. plssss ebu acha kuwaza na kujikondea .halafu kitu kengine mwanaume ameshakataaa mimba na hii mimba ni ndogo shamira kwa nini usiitoe hii mimba. Mh moyo wangu ulifanya paaah. Kutoa tena kisa nini kwanza Nikasema wewe aisha mbona umefika mbali sana sijaplan kutoa mimba ata kidogo. Kwa nini nitoe .akasema sikia kwiyo unataka kuwa single mama. Mana mwanaume kama ulivyomuona katuchamba atari na kasema hakutaki na kashapata mwanamke. Unazani ataa atamuwaza uyo mtoto. Ebu utazeeka shamira toa mimba tuludi sokoni maisha yaendelee. Na mimba kama iyo kuna mwanaume atakutamani sasa. Acha ushamba bwana katoe. Nikasema aisha mimi mimba sitoi kabisa na sina mpango wa kutoa mimba. Akasema unaogopa nini mimba changa iyo . Mimi apa nimeshatoa mimba 3 na mbona sijafa na nalipa sina mpango .na labda nikwambie shamira kuzaa sio kazi .ila kazi kulea mzigo utaweza kuulea mtoto. Nikasema niweze ama nisiweze mimba sitoi shoga yangu. Na ata kama kakataa sio mbaya kanipa zawadi ya mimba nitalea mwenyewe. Mwisho napaga mtoto wangu atanilea baadae ila kutoa mimba hapana Ayaaa mzigoooo uoooo njoooni tuendleeeeeeeeee mambo ji motroooooooòoo❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

SONGA NAYO......... miezi kama miwili ilipita huku nikiishi Tanzania pamoja na wifi yangu kipenzi BLESS 🥰 yes amekuwa wifi yangu badala ya mtoto wangu lakini nimemfanya kama bjnti yangu nampenda huyu mtoto never and ever 🥰 Kipindi hicho Bless amefikisha miezi 11, nilianza kujihisi tofauti kabisa, mara nimchukie bless kuna mda nilikuwa nakapiga kabisa bila sababu 🥹 "Kwahiyo hiyo mimba ndio inakufanya umpige mwanao sio..??" Siku moja mama aliamua kunitolea uvivu baada ya kuona nampiga sana Bless bila sababu " unaongea kuhusu nini mama..??" Nilimuuliza "We binti acha kunifanya mimi kama matako yako sawa.." Ila mama 😅 yani hiyo Kauli atakuwa kaitoa wapi kama sio kwangu maana mimi kitu kidogo basi lazima niseme hilo neno "Acha kuwaza vingine aambavyo havipo kabisa.." Nilimwambia "Acha ujuaji nikuulize hiyo miezi ya nyuma umeingia perido..?? Mama aliniuliza swali ambalo lilinifanya kidogo nishtuke maana kweli hiyo miezi miwili sijaona siku zangu, na huwa ninkawaida Sana kwa mimi kupitulia mwezi au miezi bila kuona period "Ukweli sijaona siku zangu, lakini niko hivi toka zamani sana.." "Sawa mkuu.." 😁😁 mama huyu alinijibu kisha akaja kumchukia Bless ambaye alikiwa analia baada ya kumfinya, basi maisha yaliendelea na kabinti kangu kakawa kanakuwa vizuri tu Bless alikuwa mrembo nyei, yani alikuwa mzuri mpaka kuna mda nikawa namuonea wivi sasa, na kipindi hicho cvote bless ananijua kama mama Sitaki kumwambia chochote mpaka pale atakapokuwa mkubwa, ndio nifunguke mwanzo mwisho maana kumwambia akiwa na umri mdogo inaweza kumuathiri kisaikolojia ******** Bandugu, hebu itaneni kutoka mashariki , magharibi, kaskazini na kusini mje muone siku yangu mhimu sana, hii siku ndio siku ambayo nilivaa gauni la harusi Hii siku ndio siku ambayo niliiheshimosha familia yangu kwa miaka yote ambayo nimeishi nayo, siku ambayo kipenzi changu Bless alifikisha mwaka mmoja 🥰 Nyie hivi mnaijua ile hisia ya kufurahia kitu ambacho kimekuja katika siku ambazo ni siku muhimu sana,?? Basi naweza kusema mimi nilikuwa miongoni mwao Siku hii nilikuwa na furaha sana na sababu kuu ya kuwa nilijijua nina ujauzito wa miezi minne, 😅 nicheke mie yani siku zote hizo sikuwa najijua ila siku ya harusi yangu ndio nikajua kama nina mimba Tena mimba ambayo iliingia kwa siku moja tu kwenye gari tena siku ya kuzaliwa kwanngu aloooo 🤣🤣🤣 yes najivunia mimo acha nitambe dunia nzima ijue ni kiasi gani najisikia furaha.. Basi bwana ndoa yangu ilipita na ilikuwa ndoa kubwa sana kuwahi kutokea hapo buza, maana kulikuwa na kila aina ya chakula watu wallikuwa mpaka wengine wakawa wanabeba kwenue vikoba vyao Na siku hiyo ndio siku ambayo watu wengi walizini na kutenda dhambi 😅😅 ni kweli maana kulikuwa na mkesha wa siku mbili arafu ukatae kuwa hakukuwa na uzinzi kweli 😅 Anyway niachane na hayo All in all niwashukuru sana kwa kuwa nami mwanzo mpaka mwisho wa mkasa huu, ninaamini kuna kitu umejifunza kupitia hii story Amani, upendo na heshima humfanya mtu kufika mbali na katika jambo ambalo hulitarajii kabisa mungu anaamua kukuonyesha miujiza yake Mfano mzuri ni Mira yes binti alikuwa na mungu ambaye alikuwa akimuongoza eeeh niache ulokole bwana 😅 kufika hapa sina la ziada tena ninawatakiwa furah, amani na upendo katika maisha yenu MWISHOOOOO

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

SONGA NAYO...... Mdada mie nikaanza kupiga ukelele wa furaha na bila kujigikiria mara mbili mbili nilimkumbatia Anfrey mwamba naye ni kama alitegemea hivyo maana alinipokea tena kwa hamu kubwa "Anfrey asante asante ansante, sijui hata nikupe nini Anfrey ..." Niliongea huku tukiwa bado tumekumbatiana pale, machozi yalikuwa. Yanatoka kama mvua, yani mimi ni mwepesi wa kutoa machozi kuna yale ya furaha, huzuni na njaaa 😂 Basi mimi ni shwaaa michozi hiyo 😂 niliwahi kuambiwa eti natumia machozi vibaya siku nikipata msiba wa baba au mama yangu nikilia machozi hayatatoka ng'o 😂 sasa sijui ni ukweli au uongo 😁 "Mira mama, we kuwa na amani nimekupa hii zawadi kubwa kwa sababu wewe ni mfano wa kuigwa yani sijui hata niseme nini tu ili unielewe.." Alivyoongea hivyo nikajitoa kifuani kisha nikamtazama usoni, akakwepesha macho na kupeleka pembeni. "Vipi unaonekana kama hauko sawa..??" Nilimuuliza, akageuza shingo na kuniangalia kishaakazungumza "Mira niambie ukweli Bless ni mtoto wako..??" Nikashtuka kidogo kisha nikamuuliza "Wewe ni nani aliekwambia..??" "Aaaah nijibu kwanza, Bless ni mtoto wako..??" "Hapana.." "Kwahiyo ni mdogo wangu sio..??" "Ndio.." "Mira sijui hata nikupe nini kwa shukrani, maana naona kama gari ni zawadi ndogo sana ila usijali mungu akinijalia nitafanya kubwa zaidi ya hili.." "Aaah basi bwana inatosha.." Nilisema huku nikitaka kugeuza mazungumzo "Hivi Mira wewe ni binti wa aina agani ambaye unaweza kukaa na kitu kizito kiasi hiki, yani najiuliza toka jana nimefahamu kuwa Bless sio mtoto wako huwezi amini siku nzima nimekaa nakuwaza.." ( 🙄 uniwaze kwani nimekuwa mpenzi wako au.?? ) "Kawaida tu si unajua tena me nilikuwa kule kama mdada wa kazi tu so haviingiliani na hayo.." "Haviingiliani kivipi Mira, kumbe siku zote hizo hujawahi kuniambia kama Nasrat oooh Bless ni mdogo wangu na unakaa kimya kabisa hiviiii my God.. " Anfrey alikuwa anaongea kwa uchungu sana, ikabidi nimtulize kidogo maana mwamba alikuwa anaumia sana kumuona mdogo wake namna ambavyo aliteseka sana "Lawama zote hizi zinatakiwa ziende kwa madam maana yeye ndie chanzo, mimi sio kama nilikuwa sitaki kukwambia hapana Anfrey me nilikuwa naogopa mno kumpoteza Bless maana nilikuwa nampenda Lakini pia Bless alikuwa mdogo sana so ikabidi nifanye hivyo kwa ajiri ya kumlinda maana madam alikuwa akinipa vitisho.." Nilisema huku machozi yakinitoka dah, basi mwamba akanikumbatia pale huku akinipiga piga mgongoni 😂 nicheke kwanza mimi mtoto wa mama Mira Kumbe kumbato lenye hisia ndani yake huwa ni zuri sana na hamniambii mpaka kumkataa mkaka wa watu 😊 lile kumbato lake lilikuwa zuri sana iseee 🥰 Msinione maraya ila ukweli huyu mkaka alinivutia toka ile siku ya kwanza kabisa ninamuona kwenye laptop, so mdada mie naweza kusema huyu mkaka nilikuwa namtamani mda sana 😂 Sasa nimewaambia ukweli kuna wengine mnafurahi kimoyo moyo my zangu niambieni kama nimepatia kuchagua au niachane nae tu nitafute mtanzania mwenzangu.. Basi siku hiyo ikapita siku nyingine ikashika nafasi niliamka na kujikuta juu ya kifua cha mwamba 🥰 nilishtuka walah kidogo nikimbie ila nilishangaa zaidi baada ya kujikuta ndani ya gari Inamaa usiku wa jana huba lilituzidia sana mpaka tukajikuta tukalala ndani ya gari, kuna namna nilifurahi ila nilipokumbuka kuwa huyu mkaka anapendwa na wadada wengi Nikamsukuma huko kwa kumkanyaga na teke kwenye kifua 😅, aaah niseme tu ukweli huyu kaka akitoka kuamka anakuwa mzuri hatari 🥰, badala ya kuendelea kumkanyaga nikajikuta nabaki kumshangaa Kile kifua chake sasa na zile Sixpack zilinipagawisha mimi 🥰 "Mbona unanishangaa hivyo..??" Aliniuliza, ndio nikakurupuka sasa baada ya pepo la uzinzi kunitoka,, ndio hapo kidogo fikra zikanijia kuhusu usiku wa jana bwana Yani usiku wa jana ulikuwa usiku wa malove love, hamuwezi amini ndugu zangu usiku huo ndio usiku ambao mimi na Anfrey tulivunja amri ya sita tena kwennye gari wazinifu sie Mira mimi nilichakazwa haswa😅 sema tu kilichonisaidia ni kwammba sikuwa bikra, mnashangaa nini bikra yangu ilitolewa kitambo sana na ex wangu Huyu mwanaume popote ulipo ulaaniwe wewe na ukoo wako wote maana ulikuja kwenye maisha yangu na kuchukua bikra yangu, haya sasa nitamwambia nini huyu mwarabu Unajua kiasi gani huyu mwarabu ataniona mimi matako yake 😅 popote ulipo wewe Gerald nakuapia nikikushika natoka na ....... Basi siku hiyo bwana ndio siku ambayo sitaisahau kabisa kwenye maisha yangu maana maisha yangu yalibadilika kwa kiasi kikubwa sana Hamuwezi amini ndugu zangu, yale ambayo nilikuwa nikimuomba mungu kwa mida mrefu sana aliyatimiza, amini tu yale ambayo unamuomba mungu wako na mungu anakufanyia siku ambayo hitegemei kabisa Yani anafanya kitu kuwa kama surprise kwako, ninachokuambia ndugu yangu mtumaini mungu kwa kila hatua unayoipiga na pia usache kumshukuru kwa kile kidogo unachokipata Hamuwezi amini jamani maisha yangu yalibadilika, maisha yangu yalikuwa yenye furaha tele pamoja na mume wangu kipenzi ANFREY ambaye mwanzo nilimkataa Hii ni kali walahi, yani mwanaume nilimkataa lakini leo hii anakuja kuwa baba watoto wangu nyiee.... ITAENDELEA........

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

SONGA NAYO....... Basi ikabidi waniache, nikaingia ndani nikawa nimeloa chepechepe na binti angu nae vile vile hakunibanduka kabisa mikononi mwangu "Karibu sana baba karibi, jisikie upo nyumbani.." Nikiwa chumbani navaa niliweza kumsikia mama yangu akiongea huko, nilijua bila shaka anamkaribisha Anfrey, basi mama Bless mie nikabadili nguo kisha nikatoka Mkumbuke kwamba sikuweza kupokea funguo za gari, nilisogea na kuketi moja ya sofa. Mama alimuandalia Anfrey chakula. Basi wakaati Anfrey anakula Hakim alikuja kumchukia Bless huku akinikonyeza nitoke nje, mimi ni nani nikatae na huku umbea ndio maisha yangu, chapu nikatoka nje "Dah sis, unajua wewe una nyota kali haya tuambie yule nani..?," Baada ya kufika nje, kaka zangu wakarundikana wote hapa wanataka kumjua Anfrey kama ni mchumba wangu, Hebu ngoja kwanza niwatambulishe kaka zangu maana toka mwanzo sijawaambia kabisa Okay love, kama nilivyosema awali sie tumezaliwa watoto nane na wote tupo hai na kibaya zaidi tunaishi kwa wazazi waetu 😂 ikiwa mamalao ndio kabisa ninaongoza kwa kukaa nyumbani Kaka zangu wote wameshamaliza elimu ya msingi na secondary so wapo nyumbani ila wanafanya vibarua vidogo vidogo ambayo vinaweza kuwaingizia pesa Sasa ngoja niwatambulishe majina yao ili kama kuna wadada mmevutiwa nao muwatafute kabisa ili mimi npate mwanamke mwenzangu wa kumuita wifi 🥰 Sasa mimi ndio wa kawanza, naitwa Mira yes Miranda 🥰 wa pili anaitwa Eliazar, na number tatu Eliakim ila tumezoea kumuita Hakimu na dume la nne Elisha 🥰 nyie huyu mkaka yuko 🔥 Yani Elisha ni muhandsome pia ni mtulivu sana bro wangu, hanaga papara na anahuryma sana kaka ayangu huyu mungu azidi kumuinua na sio yeye tu bali wote Anafuatia huyu pasua kichwa wa familia 😆 Ezra, yani Ezra bwana sijui akili zake zina matope au mayai, maana huyu dogo akili zake anazijua mwenyewe walah Kuna siku huyu dogo bwana tulikuwa tumekaa nje wanafamilia ila baba ndio hakuwepo, punde bana akapita mdada flan hivi huyo dada ameolewa na ana maumbile ya kawaida sana Yani maumbile yake, yako hivi ni mwembamba wa wastani hana shape ila tako ndio analo lakini ni gumu 😂, sasa siku hiyo mdada wa watu sijui aliweka nini maana tako lilikuwa limelainika ile mbaya Ezra atabaki kuwa Ezra bwana, si akajikuta anaongea tena mbele ya mama "Yani tako la mama mussa huwa halieleweki kabisa, leo unaliona gumu kesho laini saivi hapo limetepeta na halina muelekeo kabisa.." Nilicheka sana hii siku, mama akawa analalamika kuwa simfundishi Ezra tabia njema, sasa kama mtu amechagua maisha yake ya nini kumfatilia na sio kama ni mfundishe mimi Ezra ni kijana mkubwa na ninamuheshimu mno so kuwa nakaa na kuanza kumueleza huku jamaa linajua zuri na baya.... Haya sasa anafuata huyu hapa Six boy Emmanuel, nyie wazazi sijui walipania kwenye kuita majina maana madume yote herufi zao za mwanzo zinaanza E kasoro mimi tu Tabia ya Emmanuel ni mzee wa totozi, 😂 kuzaa watoto wengi hasara tupu maana hawakosi vibaka hata jambazi lazima litakuwemo So me nimejiwekea mipango ya kuwa na watoto watatu tu huku bless ndio akiwa mtoto wa kwanza, basi bwana maneno mengi ya nini, tuendelee sasa linafuata hili domo zege la familia Eliya Ila Eliya 😂 yani Eliya acheni aitwe Eliya maana ni muoga harafu ako na aibu huyu kijana na sijui kama ana mchumba kweli maana kutongoza tu hawezi Hata mimi dada yake kunitazama tu aibu 😅 huyu kijana kuna mda huwa ananikera sasa, yani muda wote yeye ako ana aibu tu kama mwanamke vile dah nachoka mimi 😆 Sasa kuna hili la mwisho yani hili dogo hasara tupu, huyu dogo ni mbea yani hakikisha siri zako humwambii huyu dogo la sivyo unazikuta zishafika kwa mama Mira,... Nazani mmewajua kaka zangu bwana, basi tuendelee pale tulipoishia aaah tumeishia wapi kweli yes nimekumbuka bwasi bwana nikamtazama hawa kaka zangu maana ni waongo sana "Umbea tu ndio unawasumbua hebu nipisheni mimi.." Niliongea huku nikitaka kuingia ndani, nikavutwa tena nikajikuta niko katikati yao 😂 kuwa na kaka raha sana maana muda wote watakuwa wanakulinda tu Basi wakawa wananisisitiza niseme "Ni mtoto wa boss wangu.." "Mh mtoto w boss na akuletee zawadi ya gari..??" Eliudi kama kawaida yake akaongea "Eti..??" Na wenzake wakadakia "Sikilizeni nyie, yule ni mtoto wa boss wangu na hatuna mahusiano yoyote baina yetu , hizo zawadi hata huko Oman alikuwa akiniletea sana so naomba mkae kwa kutulia.." Niliongea kisha nikarudi zangu ndani, basi msaa yalisogea hatimae muda wa Anfrey kuondoka uliwadia, so ikabidi nitoke nikamsindikize lakini nilishangaa baada ya kufika kwennye garai akanikabizi fungo za gari.. "Za nini hizi..??" Nilimuuliza "Ni zako mama Bless.." Majiraniiii itaneni huku mje muone nimepewa funguo za gari, niliwehuka pale pale na kuanza kulembelea kidole kimoj 😂 maana kupewa gari tena lenye bei kubwa kiasi kile ni bahati bwana tena kubwa...... ITAENDELEA........

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

Mimi naitwa Baba Derick, Leo asubuhi mapema sana, kama kawaida yangu niliamka kwenda kutafuta riziki. Kabla sijaondoka nyumbani, niliweka shilingi elfu mbili mezani. Nilimwambia mke wangu wazi kabisa kwamba pesa ile ni kwa ajili ya chakula na matumizi madogo ya siku hiyo. Baada ya hapo nikaondoka zangu kwenda kazini kupambana na maisha. Ilipofika jioni, nilirudi nyumbani nikiwa nimechoka sana. Lakini nilipofika ndani, nilishangaa kitu ambacho sikutarajia kabisa. Nilikuta mezani kuna kuku wa pilau na vyakula vingi sana, kama vile kuna sherehe fulani imefanyika. Nikamuuliza mke wangu kwa mshangao: “Mbona hivi vyakula ni vingi hivi? Mimi si nimeacha elfu mbili tu asubuhi?” Mke wangu akanijibu tu kwa kifupi: “Bana mwenyewe nimetafuta na kupambana.” Lakini moyoni nilihisi kuna kitu hakiko sawa. Nikamwambia tena: “Hapana, hii siyo kawaida. Hivi vitu haviwezi kununuliwa kwa pesa ile niliyoacha.” Maneno yakaanza kuongezeka, ugomvi ukaanza pale pale ndani. Tukaanza kutukanana, sauti zikapanda hadi tukaanza hata kusukumana kwa hasira. Ndipo ghafla mke wangu akanitupia maneno ambayo sikuwahi kuyatarajia maishani mwangu. Aliniambia: “Ngoja nikuambie ukweli wewe mwanaume… huyu mtoto Derick sio wako. Hivo kuanzia leo jua kabisa, baba yake yupo. Na kama hujui, baba yake ndiye aliyetoa hivi vitu na ndiye anayemlea.” Kiukweli ndugu zangu, maneno yale yamenichoma moyo sana. Nilihisi dunia imenisimama. Mtoto Derick ambaye nimemlea, nimempenda na kumjali kama damu yangu… ghafla naambiwa sio wangu. Kwa hasira na maumivu, nimeenda nikamchukua Derick, nikapiga naye picha. Nikaamua kuweka mtandaoni ili niwaombe ushauri. Naombeni Ushauri kabla sijaenda kupima DNA.

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

mitaa ipo tupu hakuna watu nje kutokana na hali ya hofu ya mashambulizi ya Iran, maduka yamefungwa na hali inazidi kuwa ngumu kuvumilika kwa watu" "Hata makombora makubwa ya Hezbollah yanaanguka Tel Aviv bila ving'ora vya tahadhari kulia jambo ambalo halijawahi kutokea hapo awali". Hii imeripotiwa live na BBC. Juzi msemaji wa jeshi la Iran IRGC alieleza kuwa wameshashambulia radar zote za marekani hivyo ving'ora vya tahadhari havitalia tena huko Israel mashambulizi yatakua ni ya kushtukiza ving'ora vitalia baada ya kuwa makombora yatakua tayari yameshapiga target, na kweli leo BBC wameripoti makombora yameanza kushuka Tel Aviv bila ving'ora vya tahadhari kusikika.

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

Basi bwana tumefika kwake, ikabidi niwaache kisha nikatoka nikaenda super market kuwachukulia mahitaji, aseee nikawabebea kila kitu cha kula, sijuh unga ,mchele, kuku , nyama, maziwa ya mtoto mana bado zena maziwa yalikuwa hayatoki, nikambebea mtoto dipers ,net , nguo, sijuh sabuni za kuogea na kufulia ,na vitu kibao yani, kisha sasa baada ya maemezi ndo nikaludi kwa zena , naikamuingizia ndani vile vjtu vyote, zena wala hakuongea kitu, na wala hakuonesha utata na mimi, na wala hakuvigimea, pale sasa nikamwambia shey, kuwa shemu inabidi ukae apa ata kwa week 2 uwe unamuangalia shoga yako si unaona hali yake kwa sasa, basi naomba hwe apa na umsaidie , na mm ntakuw nakupa elfu 70 kila iku, shey akafurahi nakwambia akanmbia kweli shemu, nikasema kweli, we kaa nae kwanza mana ana mshono hawez kufanya kazi ngumu , msaidie na mtoto uyu namuona makari kweli analia sana so atakuwa anamsumbua sana, shey akanmbia limeisha hilo shemu, mi ntamsaidia kila kitu , na kweli mm nikatoa laki 7 nikampa ya siku 10,shey akafurahi nakwambia naona hakutegemea kama atapata pesa za gafra hivyo, kisha sasa nikaingia chumbani kuongea na zena ,nikakuta anambembeleza mtoto, nikamwambia nimeshaongea na shey atakuwa na wewe apa anakusaidia mroto akanmbia sawa ,nikampa laki 3 nikamwmabia hii ya matumizi ,wala hakuleta ubishi akapokea akanmbia asante , kisha nikamuaga sasa mana daaha nilikuwa na usingizi kinoma, sikuwa nimelala vizuri kule hospital , zena akanmbia sawa karibu tena, apo sasa mimi ndo nikaondoka na kurudi kwangu Nilikuwa nimechoka kweli kweli, nilivyofika nyumbani ,nilipiga maji moja kwa moja nikajitupa kitandani, na ilikuwa jioni kama saa 10 hivi, ila niliamka kesho yake asubuh saa 1 , mpaka kwenda kazini nimechelewa, nikajiandaa haraka haraka, na nikampigia simu zena ,heee nakuta kuanitoa block na anapatikana ,nikajua basi apa kesi imeisha ila nitulize akiri kwa zena,mana daah akichukia anakuwa na hasira sana, mi nikaongea nae kuwa anaendeleaje na mtoto , akanmbia jana mtoto kawasumbua sana hawajalala ,ila sasa maziwa yameanza kutoka ananyonya kaacha kusumbua ,nikamwmabia sawa basi mi naenda job na nikiludi nakuja na nitampa jina mtoto, akanmbia sawa hakuna shidaa, nikamuuliza vp ummy, akanmbia kashaenda shule, nikasema sawa ,basi nikakata simu na nikaelekea kazini, apo ibraa ananiuliza we na zena imekuaje tenaa mmeludi pamojaa, aseee nikamsimulia sasa ibraa mroto alivyokuwa ananipelekesha ,ibraa alicheka sana akanmbia hivi kuna mwanamke ambae umetamani kuwa nae sawa kama uyu , nikasema hapana, ibraa akanmbia we unampenda zena muoe utulie sasa, ahaaa masuala ya kuoa ya nn sasa daah Basi bwana mi jioni nilivyotoka job tu, nikaenda kwa zena , na kweli nikapewa mwanangu, mh mkari uyu, nikajua uyu atakuwa na mdomo kama mama yangu, mana mama akinipigia simu wee kinawaka, ananimbia dawa yangu ipo jikoni mi si sitaki kuoa, basi jina nikatoa nikase.a uyu ataitwa arishaina , mama yake wala hakuwa na dhida akakubali, na nilikaa sana pale mpaka nikala pale pale , na chakura lipika shemu shey, ila sio kitamu kama akipeka zena ,weee zena anajua kupika ila sasa bado hayupo sawa, mi nikaongea sana na zena, yani hakuonesha kunikasilikia kabisa na mm sikutaka kuulizia ugomvi, nikajua kanifungulia moyo, basi na kwakua nahudumia mwanangu basi mambo yasiwe mengi na ugomvi ukaanza tena Basi bwna mi nikaanza kulea mtoto na zena na baada ya week 2 , zena akanmbia anaendelea vizuri so nimruhusu tu shey aendelee na mjukumu yake, na mm kweli nikamruhusu shey kuwa busy na mambo yake, na zena akawa busy na malezi sasa, ahaaa nilikuwa namwaga hela mwanaume , yani nilikuwa nahudumia ile serious, mtoto akiumwa namfata zena tunaenda hospital , na nikawa sichagui sassa, ummy mwanagu na aka kadogo mwanagu, na naenda kuna mda nashinda nao sana, ila sasa mimi na zena hatukuwahi kuongelea mapenzi kabisaaa yani , ata siku moja, sisi ni kuelea tu, nikienda ni habari za watoto basi, sisi kama sisi hatukuwa na chochote amabcho kilikuwa kinaendelea kati yetu, Tukapambana na malezi mpaka mtoto uyu mdogo akafikisha miezi 3, apo nna adabu na zena wee, simjibu vibaya ata kidogo, najua kichwa chake tu , kwaiyo heshima na adabu ilinijaaa juu yake, ila sasa nilijikuta mi namuelewa sana zena, yani sawa ni tunalea ila kuna mda natamani tu kumuona na kuongea nae, najifanya naenda kuona watoto, au nampigia simu najifanya naulizaia watoto ila sio kweli nilikuwa nammis yeye, nikisafiri sasa daah moyo naona hauna amani, yani natamani mda wote niwe na zena, ata kuongea nae tu mi nafarajika, nikipiga nikikuta simu yake inatumika mi nakuwa na wivu kwamba anaongea na nani, ila nashindwa kumuuliza mana hatuna mahusiano, naweza kusema mi bwana nilijikuta nampenda sana zena, ilikuwa ni mala ya kwanza nampenda mwanamke na kumfikilia hivii, aseeeeee acheni kabisaaa mapenzi aya , nilihisi kabisa zena kaushinda moyo wangu, au kwa sababu sijatembea mda mrefu ,mh sina uwakika... HUU NDIO MWISHO WA SEASON 2 YETU USIKOSE SEASON 3 SOON INAKUWA TAYARII

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

Wataalamu wanahofia kuwa Kim Jong Un anaweza kutumia tukio hilo kama kisingizio cha kupanua uungaji mkono wake kwa Tehran, jambo litakaloleta tafarani kubwa duniani. Korea Kaskazini ina ubalozi wake jijini Tehran, nchini Iran na uhusiano wa kidiplomasia kati ya nchi hizi mbili ni wa muda mrefu na wenye nguvu kubwa, ulioanza rasmi tangu Mapinduzi ya Iran ya mwaka 1979. #usa #NorthKorea #Israel #iran Twambie: Kama itatokea kweli unadhani Korea Kaskazini itaingia vitani kuishambulia Israel?

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

ACHA NIKUPENDE ❤️ 3 MTUNZI uhuru media Karibu WhatsApp 0794810082 Kwa jicho aliloangaliwa na Nicky ilimbidi aondoke haraka haraka akaenda jikoni huku akiwa kachukia na machozi yalimtoka bila kutegemea. Alipofika jikoni akakuta Kuna ratiba ya vyakula imebandikwa ukutani ikabidi asogee na kusoma chakula anachotakiwa kuandaa kwa hiyo siku. " Saradi na kuku. Akisoma Kisha akaenda kufungua friji akatoa hivyo vitu na kuanza kupika haraka haraka japokuwa alipika kwa tabu maana mikono ilikuwa inamuuma. Alipomaliza kupika aliandaa na kwenda kutenga kwenye meza ya dinning. Alipotaka kuondoka Nicky akamzuia " Subiri hapo. Pink alisimama pembeni ya alipokaa Nicky. Nicky alifunua chakula alipokiana alikunja sura na kumfanya pink ashituke kwa uwoga. Alianza kula huku akisikilizia . Baada ya sekunde alimsukuma sahani Kisha akachukua grass ya juice akamwagia usoni. " hiki Ni chakula gani umepika, uchafu gani unanilisha wewe mpuuzi kumbe hujui kupika . Unacheza na pesa zangu ,unafikiri hivi vitu Mimi huwa naokota? Hii Ni pesa Tena pesa nyingi tu ambayo unaweza kukulisha wewe kwa wiki mbili nzima. Pink alisimama akiwa kajiinamia huku alijifuta juisi usoni kwake kwa kutumia kiganja chake Cha mkono. "Potea mbele yangu. Pink aliondoka huku machozi yakimtoka aliingia chumbani kwake na kubamiza mlango. Alikaa chini akawa anajifuta Ile juice. " Huyu mwanaume Ni shetani na haya yote Ni makosa ya dada Zuri anawezaje kukopa Pisa kwa mtu katili Kama huyu. Aliongea pink huku akilia kwa uchungu. Alilia badae akaona Ni ujinga alifuta machozi na kusema. " Basi pink hutakiwi kulizwa na huyu mjinga unatakiwa ujitetee unatakiwa kumuonyesha upande wako wa pili. Lazima nilipize kwa kile alichonifanyia. Pink alinyanyuka pale chini akaenda bafuni kuoga. Nicky baada ya kuona pink hayupo alivuta sahani ya kuku na saladi akaendelea kula , kumbe alimfanyia makusudi ili kunikomoa tu. " Mmmmh kumbe anajua kupika hiki chakula kitamu Sana. Nitaendekea kumfanyia vituko mpaka ajue Mimi sio mtu wa kuchezewa. Nicky aliendelea kula huku akijilamba na kumshushia na mvinyo. Pink alipotoka bafuni alihisi mwili wake umepata nguvu akatoka akaelekea jikoni kwaajili ya kutafuta chochote kwaajili ya kula. Alichukua mkate na juice akakaa kwenye kiti na kuanza kula , baada ya dakika chache Nicky alifika jikoni na kuchukua sahani ya mkate. " Nani aliyekuruhusu ule chakula changu? Aliuliza Nicky kwa ukali. " Kumbuka hata Mimi Ni binadamu siwezi kuishi bila kula alafu ukizingatia nimefanya kazi ngumu njaa inaniuma Sana. " Hilo Mimi halinihusu. " Kama hakikuhusu niache niondoke hapa kwako niende nikatafute kazi ili nikulipe pesa zako. Nicky alicheka kwa dharau " Hapa ndani hautoki mpaka mtakapo pata pesa yangu yote. " Basi Kama unataka iwe hivyo nitendee haki Kama binadamu. " Unataka kupewa haki gani wewe mjinga. " Sawa Mimi Ni mjinga Ila natakiwa kula chakula la sivyo sitafanya kazi yoyote utakayonipa utaniuwa hapa. Baada ya kuona pink anamaanisha anachoongea Nicky aliamua kumpa Ile sahani , pink akakaa na kuendelea kula. Kesho yake asubuhi pink alivyokuwa anafanya usafi alidondosha sahani . Nicky aliposikia alienda jikoni haraka. " Wewe kwanini unavunja vitu vyangu vya thamani... " Ilikuwa bahati mbaya " Sitaki kusikia neno bahati mbaya kuwa makini unapokuwa unafanya kazi zako. Nahitaji kikombe Cha kahawa fanya haraka nataka kutoka. Aliongea Nick huku akitoka jikoni. Pink aliacha kazi aliyokuwa anafanya akaandaa kahawa na kuweka kwenye kikombe . Wakati anapeleka alikanyaga kipande Cha sahani " Aaaaaaaa. Alipiga kelele na kuachia kile kikombe Cha kahawa . Nicky alienda jikoni akamkuta pink yupo chini na damu nyingi zikitoka mguuni . " Tafadhali naomba unisaidie. Alisema pink huku akilia. Nicky bapimuonea huruma alienda kuvhomoa kipande Cha kigae kilichochoma mguuni , pink akapiga kelele za maumivu " Kelele sikukutuma uwe mzembe , hii ndio dawa ya watu wazembe Kama wewe. Nicky alimsaidia huku akiwa anasimanga mpaka alipomaliza kujisafisha akaniweka dawa na kunifunga bandeji. Alipomaliza akaniambia " Safisha hapa alafu niangalie kahawa nasubiri sebleni. Nick hakuwa na huruma alichojali yeye ni kutimiziwa anachotaka . Pink alijivuta mpaka kabatini akachukua kopo la kahawa na maziwa alipoona kopo la pilipili alitabasamu Kisha alinyoosha mkono wake alichukua na kusogea lilipojiko akaanza kuandaa kahawa vizuri na kuweka maziwa alipomaliza aliweka pilipili Kisha akaonja , pilipili ilikuwa inawasha alitema na kuchukua maji akasukutua mdomo wake maana ulikuwa inawasha. Aliona haitoshi akaongeza Tena pilipili . " Umefika muda wako wa kuonja mateso. Aliweka kikombe kwenye trei akawa anaelekea sebleni huku akiwa anatembea kwa shida huku akichechemea, Nick alichukua kijiko akakoroga kwanza kahawa ndipo akaanza akanywa. ACHA NIKUPENDE ❤️ 4 MTUNZI uhuru media Karibu WhatsApp 0794810082 Baada ya kukoroga vizuri Nick alinyanyuka kikombe Cha kahawa na kumpeleka mdomoni, alikunywa Mara moja na kushusha kikombe haraka Sana . " Aaaaaah ulimi wangu..... Nick alilalamika huku akiwa amenyanyuka haraka na kukimbilia nje . Alihangaika ili aweze kuondoka ule muwasho mdomoni kwake kwani alihisi Moto unawaka . Alienda kwenye Bomba la bustanini alifungua haraka na kijinga mdomo wake na kuanza kusukutua. Wakati huo pink alikuwa kasimama sehemu alikuwa akimuangalia huku akicheka. " Hili igizo analoiguza Ni zuri Sana angalau amenifanya nimecheja na kuongea Siku za kuishi. Nick alirudi ndani , alipofika sebleni akaanza kuita. " Pink, pink, wewe pink..... Pink alitoka jikoni akiwa anachechemea akaenda sebleni. " Yembea haraka.. Nick alifika " Hivi unataka kuniuwa, umetengeneza kahawa ya aina gani? " Nimetengeneza kahawa ya kawaida kwani vipi? " Oooh kawaida eee, Sasa twende ukaonje. Nick alimshika mkono na kumvutia kilipo kikombe Cha kahawa. " Nick unaniumiza mguu wangu unajeraha usinivute hivyo. Pink alilalamika lakini Nick hakumuelewa Walifika mpaka kilipo kikombe Cha kahawa Nick akanyanyua na kumpatia. " Kunywa. " Huwa sinyi kahawa Nina aleji na kahawa. " Usinitanie wewe utainywa hii kahawa huwezi kunitesa hivi. Mpaka Sasa mdomo wangu unawaka Moto. Shika kikombe unywe mwenyewe kabla sijakunywesha kwa nguvu. Pink alipokea kile kikombe huku akiwa anawaza afanye Nini ili kukwepa kunywa Ile kahawa yenye pilipili. Alipata njia akajifanya analia huku anatetemeka kwa uwoga Kisha akakidondosha kile kikombe , kikombe kilipofika chini kilipasuka na kahawa ikamwahika. " Aaaaaaaaaah hivi mbona unapenda kunitoa hasara unevunja kikombe Cha pili hivi unajua gharama za hivi vikombe wewe? Nick alifokana pink alimuangalia kwa upole. " Usiniangalie hivyo,unatoa huruma ili nikuhurumie. Nibie uneweka Nini kwenye kahawa? Au unataka kuniuwa. " Eee Mungu wewe ndie ujuae Mimi siwezi kuuwa hata mjusi iweje nimuuwe boss wangu. Alafu kumbuka Mimi Ni mgeni hapa ndani Sina ninachokijua huenda Kuna kiungo nimechanganya naomba unisamehe. Pink aliongea huku akiwa anatia huruma mpaka Nick akakuelewa. " Toa taka taka zako hapa alafu huu ujinga wa kunivunjia vitu vyangu utasababisha Deni liongezeke. Alivyosema hivyo pink akapata wazo akasema . " Nick..... " Unaniitaje? " Nikekuita jina lako. " Hivi Mimi na wewe tuna hadhi sawa? Kumbuka kuwa wewe Ni Kama mtumwa wangu unatakiwa kuniita jina la kunipa heshima yangu. " Sawa nitakuita mfalme. " Nini? Hebu tafuta jina lingine niite Boss. " Lakini hujaniajili. " Lakini Ni Kama nimekununua. Jibu la Nick lilimuuzi Sana pink. " Kwahiyo umeninunua kwa thamani ya Bei ya pipi, hapana Mimi sio wa kununuliwa kwa milioni moja. " Lakini hamna hiyo pesa ndio maana upo hapa binti. " Kijana kukupa pesa yako inawezekana Sana Kama ungenipa nafasi ya kwenda kutafuta hiyo pesa ndani ya miezi miwili nitakuletea pesa yako ili niwe mbali na upeo wa macho yako. " Hahahaha utaenda kufanya kazi gani ili uweze kupata pesa za kunilipa au unataka kwenda kuungana na dada yako mkafanye biashara ya kumrudhisha wanaume? " Unaongea upuuzi gani, hebu nipishe. " Heeey kumbuka unaongea na boss wako hutakiwi kunijibu kijeuri hivyo. Pink hakuona haha ya kuendelea kubishana nae aliamua kuondoka akaenda chumbani kwake. " Wewe no jeuri Sana Ila kwa Leo acha nikusamehe kwasababu haupo sawa Ila siku nyingine ukiniletea ujeuri wako nitajua jinsi ya kukufundisha adabu, unatakiwa kujua Mimi na wewe tupo tofauti. Kesho yake Nick aliamka mapema na kwenda kumgongea pink. " Wewe msichana mvivu hebu amka ufanye kazi. Kelele za Nick zilimfanya pink aamke na kufyonza. " Huyu shetani anataka Nini kwenye maisha yangu, Sasa asubuhi yote hii naenda kufanya kazi gani lakini kwanini dada Zuri aliamua maamuzi magumu hivi Kama alikuwa kanichoka Ni Bora angenitambua maana hainiingii akilini kuwa ugonjwa nilioumwa ulighalimu pesa zote hizi. Kama ningejua Hali itakuwa hivi nisingekubali kuja . Pink akiwa kakaa kitandani alilalamika huko mlangoni Nick aliendelea kugonga mlango kwa fujo. " Pink fungua Kama hautafungua nitaenda kuchukua funguo za akiba na nilifungua nikaja kukuchukua huko ndani nitakupatia adhabu Kali na hautakula siku nzima. Pink aliamua kushuka kitandani akaenda kufungua mlango Kisha akasimama wakawa wanaangaliana na Nick. " Unalalaje Kama umekufa , haya toka Kuna kazi zinakusubiri kaniandalie kifungua kinywa nataka kuwahi kazini. " Sawa. " Nakupa tafadhali kuwa makini kwenye upishi wako usije ukanifanyia Kama ulichofanya Jana. Nick akageuka ili aondoke ghafla akasikia kishindo aligeuka nyuma haraka alishituka kumuona pink yupo chini, alimfuata haraka na kuanza kumuita. " Pink, pink, lakini pink hakuitika alionekana Kama kazimia. Aliposhikwa mkono ulikuwa umelegea , Nick aliamua kumbeba na kumpeleka kitandani Kisha akatoka nje . Pink alifumbua jicho moja na kutabasamu , alipohisi Kuna mtu anakuja alifumbua macho na Kurudi kwenye Hali yake ya kuiguza kuzimia. ACHA NIKUPENDE ❤️ 5 MTUNZI uhuru media Karibu WhatsApp 0794810082 Nick alirudi chumbani akiwa kabeba taulo pamoja na beseni dogo ambalo ndani kulikuwa na maji ya baridi. Alifika karibu na kitanda akakaa huku akiwa kaweka kibeseni pembeni Kisha akalowanisha upande wa taulo na kuweka kwenye paji la uso wa pink. " Sijui kapatwa na tatizo gani mtoto wa watu. Aliongea Nicky huku akionekana kuwa na wasiwasi, pink alitamani kucheka Ila akajilaza . Maji yalikuwa ya baridi yalitoka kwenye friji lakini pink alivumilia ule ubaridi ili asije kugundulika kuwa anaigiza. Baada ya muda pink alifumbua macho taratibu akamuona Nick akiwa kakaa pembeni anamuangalia, alimshika kwenye shavu na kuuliza " Pink upo sawa, umepatwa na Nini? " Aaaah kichwa kina niuma ,mwili wangu hauna nguvu. " Unajua ulizimia. " Oooh nimepatwa na Nini mpaka nizimie? Kwani umenifanya Nini ? " Sijakufanyia kitu chochote. " Oooh kichwa changu, najisikia vibaya Sana.... Aliongea pink kwa sauti ya chini Kama vile mgonjwa kweli. " Unaonekana kukosa nguvu ngoja nikakuandakie kitu Cha kula. Alisema Nick huku akinyanyuka haraka na kwenda jikoni kuandaa chakula. Huko chumbani pink alikaa na kuanza kucheka kimnya kimnya ili asisikiwe. " Sijaamini kumbe muoga hivi alafu ananiigizia ana roho mbaya , nimeshajua mapungufu yake nitampeleka mpaka akili imkae sawa, siku nikichoka nitakuwa nazimia. Nataka nifanye aniache niwe huru Kama hela yake nitamlipa tu , nitaenda kutafuta kazi ya kufanya. Nick alimaliza kuandaa chai ya maziwa soseji , mkate na mayai ya kukaanga Kisha akampelekea. Pink aliposikia Nick anakuja aliegemea mto na kujifanya kachoka Hana nguvu. Nick alimtengea pale kitandani alafu akamuuliza " Unaweza kula mwenyewe? " Ndio nitakula. Nick alimsaidia kumuweka vizuri pink akaanza kula taratibu huku Nick akiwa anamuangalia " Jitahidi kula iliupate nguvu. " Najitahidi. " Kula hicho chakula kiishi. Pink akaitikia kwa kichwa. Nick alipoona pink anakula taratibu aliamua kutoka kwenda kujiandaa ili awahi kazini, alipotoka tu pink akaanza kufakamia maana njaa ilikuwa inamuuma Sana . " Mmmm bila kuigiza ningewezaje kuhudumiwa Kama malkia , kumbe hili jinga linajua kupika hivi. Yai tamu, chai inaviungo Tena sukari ipo sawa kabisa. Aliongea pink huku akiendelea kula alinakisha siles moja ya mkate na kipande Cha yai. " Hivi acha niende navyo taratibu nisije nikashitukiwa. Baada ya muda Nick alirudi akiwa kajiandaa alikuwa kapendeza kwanza harufu ya marashi aliyojipulizia ilisambaa chumba kizima. " Vipi umejitahidi kula? " Ndio. " Sawa malizia hicho kilicho Baki ili upate nguvu maana nitakuacha hapa mwenyewe. " Sawa, nitakuwa sawa. " Ok siku ya Leo usifanye chochote pumzika. " Sawa. Nick aliondoka akamuacha pink mwenyewe lakini getini kulikuwa na mlinzi na ukuta ulizungushiwa nyaya za umeme hivyo haikuwa rahisi pink kutoroka . Siku hiyo pink alikuwa huru pale ndani aliruka ruka kwenye makochi na kucheza na kufanya chochote alichotamani kufanya. " Aisee kufanya hivi Ni Raha Sana nikiwa hivi kwa muda wa wiki moja tu nitanenepa. Ilifika majira ya saa Saba pink alikuwa sebleni akiangalia movie huku miguu akiwa kaweka juu ya meza kubwa ya kioo, meza ya gharama huku mkononi akiwa kashika apple na pembeni kulikuwa na bakuli lililojaa popcorn. Akiwa anaendelea kula hukuvakifurahia movie alisikia honi ya gari alishituka na kunyanyuka haraka, alitoa bakuli la popcorn na kuweka vizuri pale alipokuwa kakaa Kisha akakimbilia chumbani kwake na kupanda kitandani , alivuta shuka akajifunika na kujifanya kalala. Alijua Kama ni Nick lazima angeenda chumbani kwake kumuangalia. Alikaa kwa muda akisubiri Nick aingie lakini haikuwa hivyo. " Huyu kichaa aneanza madharau yake kwani hajui Kama aliniachia mgonjwa? Pink alinyanyuka akafungua mlango na kunyata taratibu mpaka kwenye ngazi za kushukia sebleni akakutana na sauti kubwa ya muziki alipoangalia vizuri akamuona mtu kasimama akiwa anacheza huku akiwa kashika grass ya mvinyo mkononi. Yule mtu hakuwa Nicky . " Mmmh huyu Ni Nani Tena? Alijiuliza pink huku alizidi kuangalia kwa makini , Mara yule kijana mwenye umri Kama wa Nicky aligeuka wakakutana macho kwa macho. Yule kijana alimuangalia huku akitabasamu taratibu pink aligeuka na Kurudi chumbani kwake

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

*_________________________________________* *Sehemu Ya 1* Ndani Ya hospital Moja kubwa wanaonekana Vijana wawili Wakiwa Wanasubiri Majibu Ya vipimo ambavyo Tayari walikuwa wamepima. "Hivi Sindele kwa mfano ikatokea Mimi nimekutwa nimeathirika utanioa au utaniacha!?" "Uuuuu Tatu Hapo kiukweli Sijui, Kwani Wewe Vipi ikibainika Mimi nimeathirika utafanyaje!?" "Hahaaaa Sindele Hii Ndoa lazima itokee kivyovyote, Si unajua wazazi Wetu Ndo wanaitaka, kwa Hiyo Hata nikikuta umeathirika nitaolewa na Wewe ila hatutashiriki tendo Yaani itakuwa Ndoa Jina" Yalikuwa mazungumzo ya vijana Hao Ambao nyuso Zao zilikuwa zinaelezea Mambo mengi Muno, kwa jinsi tu wanavyo angaliana walionekana ni vijana Ambao hawapendani ila kuna kitu kipo nyuma ya Pazia ambacho kinawalazimisha kuoana!. Basi Baada ya Muda kuwadia waliitwa kuchukua Majibu Yao. Hakika Mule ndani kuligeuka Msiba, Daktari alifanya Kazi ya kunyamazisha kile kilio na Yote Hiyo ililetwa na majibu yaliyo onesha kwamba kijana Sindele hajaathirika yupo Safi Bali Binti Wa kuitwa Tatu ana UKIMWI kama Wote😆😆😆😆!. Aisee Yule mtoto alilia Muno Huku akijiuliza huo UKIMWI kaupatia Wapi wakati hajawahi lala na mwanaume maisha Yake Yote. Kwanza Tatu alisema hayaamini Yale Majibu walienda hospital Nyingine Huko pia nako walikuta Mambo ni Yale Yale!. Hapo Sasa Majibu ilibidi yarudishwe nyumbani kwa wazazi kile kilicho tokea Huko hospital!. Wazazi Wa Tatu na wazazi Wa Sindele walikuwa ni Wabia kwenye kampuni Moja, yaani walikuwa wanamiliki kampuni Moja Huku ndani Yake kukiwa na biashara kibao zinazo endelea ambapo zingine zilikuwa halali na zingine haramu, na familia hizo kuna makubaliano ya mikataba ambayo Wao walikuwa washaiweka na Sijui ilikuwa ya Aina Gani ila tutajua mbeleni!. Basi Baada ya majibu Yale Aisee wazazi walikataa kuairisha Ndoa, Neno Lao lilikuwa ni lazima Ndoa ifanyike na kwa Jinsi walivyo yapokea Majibu Bila Shaka hawakushitushwa yaani walikuwa wanategemea yatakuwa Vile!. "Heeeee Mama si nimekwambia Tatu kaathirika mbona unasema Ndoa ipo pale pale Hiyo ipoje kwani!?" "Sindele kuhoji maswali mengi sitaki Wewe tambua kwamba lazima Wewe na Tatu muoane kivyovyote Vile na mzae mtoto Baada ya Hapo Sasa Ndo mtajua Nyie mnaachana au inakuwaje!" "Heeeee makubwa Mama kwa Hiyo unataka Mimi nimuoe Mtu kaathirika, kama una Shida na mjukuu nitafutie mwanamke mwingine ila Siyo Tatu!" "Sindele nisikilize unataka Tatu utamuoa na hutaki utamuoa nimemaliza!" Yalikuwa mazungumzo Kati ya kijana Sindele na Mama Yake, kwanza Sindele hakuelewa kwa Nini analazimishwa kumuoa Huyo Tatu, aisee Sindele alimwangalia Mama yake Huku akiwa haishiwi kujiuliza maswali!. "Hivi Huyu ni Mama Yangu Kweli!?? Au Bibi alinidanganya tu!?" Ni Swali Ambalo Sindele alijiuliza Bila kupata majibu!. Huku nyumbani kwa Kina Tatu vilio kwa Binti Tatu vilikuwa havikomi, ilibidi wazazi Wake wamwambie ukweli Binti Huyo, kumbe aisee mtoto Tatu alikuwa kazaliwa na virusi ila wazazi Wake miaka Yote walikuwa wanaogopa kumwambia mpaka Siku aje ajipatie Majibu mwenyewe Kutoka kwa Daktari!. "Sasa Baba kama mlijua nimeathirika kwa Nini mkubali kwamba Mimi niolewe na Sindele!?" "Tatu Mwanangu lazima Hilo litokee, Bila hivyo Haya makampuni Yote na utajiri tulio nao utapotea, Hiyo Ndo Njia pekee Ya kufanya Mali Zetu ziendelee vizazi na Vizazi!."yalikuwa majibu ambayo yalimfikirisha Muno Tatu. Binti Yule alisimuliwa mengi muno na wazazi Wake alipangwa akapangika na baada ya Hapo naye alijisemea kivyovyote Vile kwa Yale aliyo elezewa na kusimuliwa lazima Sindele amuoe!. Basi Siku kadhaa zilipita kijana Sindele alihisi ni utani Lakini aliona lile swala ni kama lipo serious Hivi, Sindele alikuwa analazimishwa na kupewa vitisho ilimladi amuoe Binti Tatu. Sindele aliamua kwenda kwa Doctor kupata ushauri, Basi kijana aliambiwa inawezekana akaishi na Mtu Mwenye UKIMWI na Yeye asipate huo UKIMWI kama atafuata ushauri Wa kitaalamu. Kutokana na Hilo Sindele alikubali kumuoa Tatu na Ndoa Ya Bomani ilipita, Baada ya Hapo ilipangwa bonge la parti kufanyika kusherekea Ndoa Hiyo!. Lakini kabla Ya Hiyo parti, Siku Hiyo Tatu na Sindele walichukuliwa na kupelekwa Sehemu, Ilikuwa ni mbaali Mwendo wa Masaa zaidi ya Kumi kutokea pale Mjini na ilikuwa vijijini ndani ndani kabisa. Baada ya kufika kwenye Moja ya Kijiji walipaki Gari na kuanza kutembea kwa Mguu maana huko mbele Gari ilikuwa haiwezi kutembea Tena!. "Mama mbona siwaelewi tunaenda Wapi!??" Sindele akiwa Haelewi kitu aliuliza, Binti Tatu Yeye alionekana anajua kinacho endelea maana kila kitu alikuwa ashasimuliwa na wazazi Wake kwa Hiyo alikuwa Hata Hashangai. "Sindele nimekwambia Acha maswali! Tukifika tunako enda Ndo utaelewa!" Basi walitembea zaidi Ya Nusu Saa walijikuta wapo porini kabisa, Huko porini kulikuwa na Magofu Ya nyumba za kale Muno. "Vueni Viatu!" Ilikuwa ni Kauli ya Mama Yake na Tatu Baada ya kuwa wameyafikia Yale Magofu, ni kweli Wote walivua kisha waliingia ndani ya lile Gofu!. Baada ya kuingia kuna ishara Mama Tatu na Mama Sindele walizifanya na kutamka maneno ambayo Siyo Sindele Wala Tatu Ambao waliyaelewa, Muda Huo Baba Tatu na Baba Sindele Wao walikuwa wapo kimya tu. Baada ya Zile ishara kuna Mlango Wa Ajabu ulifunguka na Wote waliingia kule ndani! Aisee kulikuwa kunatisha Huko ndani hapana mchezo, Mbele Yao alionekana Babu kikongwe akiwa amekaa tena alikuwa amekaa anaelea hewani, ulikuwa ni uchawi Wa Hali ya Juu Kutoka kwa Yule Mzee!. "Heeeee Mama Huku ni Wapi!?" Sindele aliuliza kwa Uoga Lakini Mama Yake alimpatia ishara ya kukaa Kimya. Basi ilibidi wakae kwenye vigoda ambavyo vilikuwepo pale Bila Shaka utaratibu walikuwa wanaujua!. Basi Pasina kuongea Neno lolote Yule Mzee alisogea Kisha alitoa ishara kwamba Sindele na Tatu wasogee mbele na kweli walisogea. Yule mtaalamu alichukua Damu ya Sindele na Damu ya Tatu Kisha alizitia kwenye kibuyu Baada ya Hapo walitulia kusikilizia Majibu, Muda Huo kila kitu kwa Sindele kilikuwa kigeni. "Hizi Damu haziendani kuna kitu mumekosea!" Yalikuwa maneno ya mtaalamu akiwa kawatumbulia macho wazazi Wa Tatu na wazazi Wa Sindele tena akionekana kuwa na hasira. "Babu Mbona hatujakosea Popote, labda ni kwamba Huyu Binti ni mwathirika ila Huyu kijana ni mzima labda inaweza kuwa Ndo Sababu!?" Mama Yake na Sindele aliuliza!. "Kwa Nini mnakuwa wazembe kuzingatia masharti, nilisema kama ni wazima Basi Wote wawe wazima na kama wana ugonjwa Basi wote wawe wagonjwa, Mnapewa nafasi ya Mwisho lasivyo tusije laumiana"yalikuwa maneno ya mtaalamu ambayo yalifanya Wote watazamane, Baada ya Hapo waliamua kurudi nyumbani ili wakalimalize Hilo Tatizo!. "Sindele Hapa haina Namna ili tufanikiwe inabidi uwe kwenye Hali kama ya Tatu yaani Hiyo ni lazima Siyo Ombi" yalikuwa maneno ya Mama Yake na Sindele ambayo yalimshangaza kijana Sindele, kwanza alitumbua Macho akiwa haamini yule ni Mama Yake kweli au alidanganywa na Mtu aliye mlea! Sindele bila kuuliza Chochote Wala kuongea chochote alipitiliza chumbani Kwake kwanza maana alikuwa anaona kama anataniwa hivi nahisi Hapa Ndo Mkasa wetu ulipo anzia Je ilikuwaje kwa kijana Sindele na Yapi yapo Nyuma ya Pazia mpaka ilazimishwe Sindele kumuoa Mtu Mwathirika. *Sehemu Ya 2* Sindele bila kuuliza Chochote Wala kuongea chochote alipitiliza chumbani Kwake kwanza maana alikuwa anaona kama anataniwa hivi nahisi Hapa Ndo Mkasa wetu ulipo anzia. "Uuuuu Hivi Huyu ni Mama Yangu Kweli au kuna Mchongo Bibi Yangu alitengeneza, maana nilicho kiona Leo! Na Yale Bibi aliyo kuwa anafanya kama vinaendana hivi!!" Sindele akiwa chumbani Kwake alijiuliza maswali Yasiyo na Majibu, Sindele alikumbuka Jinsi ambavyo Bibi Yake alikuwa anasifika kwa uchawi na uganga kijijini Kwao Basi alipo kumbukumbu na kule porini aliko pelekwa na Mama Yake alianza kuona kama kuna Vitu havipo Sawa!. "We Sindele ebu Njoo Huku tuzungumze Hakuna Muda kabisa wa kupoteza!" Sindele akiwa anawaza gafla alisikia Sauti ya Mama Yake. "Mama Ebu nambie unatania Basi, unataka kusema unataka niwe Na UGONJWA kama Tatu!?" Baada ya Sindele kuona kelele za Mama Yake zimezidi aliamua kutoka na Hilo ni Swali alilo uliza! "Sindele Mwanangu mbona Waathirika wanaishi tu kama Watu wengine, Ujue tusipo Fanya Hivi kuna Vitu vingi Muno tutavikosa!?" "Aisee nilijua unatania kumbe upo serious, Sasa ni Hivi kuanzia Leo Huyo Tatu simtaki na Ndoa yenyewe Basi kama Vipi Mimi nisiwe mwanao tu! Utamwambia Hata Mumeo kile mnacho kitaka hakitakuwa!" Basi kijana Sindele akiwa na hasira aliamua kuropoka Baada ya Hapo aliondoka nyumbani kwa hasira!. Siku Hiyo Sindele hakurudi nyumbani kabisa maana hasira ambazo alikuwa nazo zilikuwa Siyo za kawaida, Huwenda Sindele angejua kitakacho tokea Basi angepotea Moja kwa Moja na asingerudi tena!. Siku iliyo fuata asubuhi na mapema kabisa Sindele alirudi nyumbani, na alimkuta Mama yake na Mume Wa Mama Yake wakijichekesha chekesha tu!. "Sindele Mwanangu ule Jana ulikuwa utani Hata Mimi nimeamini nilikosea!" Basi Mama Sindele akiwa anajichekesha aliongea, Baada ya Hapo Sindele naye alitabasamu akiamini ni kweli ulikuwa utani maana kiuhalisia Mama hawezi kufanya Vile kwa mtoto Wake!. Kijana Sindele akiwa Hana Hata wasiwasi alitengewa supu Safi na chapati changanya mayai, Basi Sindele Meno Yote yalionekana akiamini ule Ndo upendo Sasa wa Mama kwa mtoto Wake!. Sindele alipiga ile supu na chapati mpaka alivimbiwa Lakini Baada ya kushiba tu alihisi kama kizunguzungu, yaani alianza kuona Vitu Viwili Viwili!. Baada ya Hapo kijana Sindele alizidiwa na kuzimia!. "Pumbavu zako ulihisi sikio linaweza kuzidi kichwa! Sasa Hapa Baba Dayo Mpigie Simu Doctor Faraja tumalize Kazi!" Baada ya Sindele kuzimia tu hayo yalikuwa maneno ya Mama Sindele akimwambia mumewe!! Na inaonekana kabisa Sindele alikuwa Siyo mtoto Wa Mume Wake, je kipi kipo nyuma ya Pazia kuhusu Sindele kuwa mtoto Wa Mama Huyo hayo Yote tutayajua tu kaa kwa kutulia. Basi ni Kweli Yule Baba kama alivyo ambiwa alimpigia doctor Simu na baada ya Nusu Saa doctor alikuja Kisha walimpigia Simu Binti Tatu naye aje pale nyumbani, kilicho fanyika kilifanyika Damu ya Tatu ilichukuliwa kimakusudi kabisa na Sindele aliwekewa tena kwenye mshipa kabisa!. "Shoga Yangu Mama Dayo Hapa Sasa nimeamini Maneno Yako kwamba hutavunja ahadi kwa Njia yoyote ile!" Basi Mama yake Tatu Baada ya lile zoezi alimpongeza Mama Sindele!. Masaa yalisogea, Siku ya Kwanza ilipita Siku ya Pili ilipita, kila Sindele akizinduka alikuwa anakutana na Sindano kisha anazimia Tena!. Zilipita karibia Wiki Mbili Sasa Hapo Sindele akiwa kazimia alibebwa na Safari ya kuelekea kwa mtaalamu ilianza!. Sindele alikuja kuzinduka Yupo kwenye Gari wanaelekea kwa Mtaalamu, alipo angalia pembeni alimuona Mke Wake Tatu, pia aliwaona wazazi Wa Tatu na wazazi Wake!. "Ma!ma!ma!.. Mama!!, nini kinaendelea!??" Kwa taabu Sana Sindele Sauti ilimtoka!. "Ebu tulia Sindele utajua mbele kwa mbele!!" Yalikuwa Majibu ya Mama Yake na Sindele!. Basi Baada ya safari ndefu walifika kwa yule Yule Mzee ambaye walienda mwanzo, Baada ya Yule Mzee kachanganya Damu alicheka kwa Sauti kubwa na ya kishindo!. "Hahaaaa ili tumalize na kufunga ukurusa! Kilicho bakia ni Hizi Damu mbili kuleta kiumbe ambacho kitakuwa Sadaka!" Hayo yalikuwa maneno ya Yule Mzee ambayo yalifanya Sindele atumbue Macho!. Basi Baada ya kukamilisha kilicho wapeleka kwa mtaalamu Huyo walirudi Mjini!. Sindele alikuwa haelewi Hata kimoja kinacho endelea, yaani alikuwa anaona tu Mwili Wake umetobolewa masindano ila ukweli alikuwa hajui lolote!. Basi Baada ya kufika Mjini sherehe kubwa ya kusherehekea Ndoa ya Sindele na Tatu iliandaliwa, Watu maarufu walialikwa na sherehe ilifana kweli kweli!. Baada ya sherehe wazazi Wa Sindele na wazazi Wa Tatu walifanya mpango Wa kuwatafutia wawili wale chumba ili Sasa wakapelekeane Moto, maana Lengo la wazazi alikuwa ni mtoto atakaye zaliwa Kati ya Sindele na Tatu!. "Tatu hakikisha unamshawishi Sindele kwa Njia yoyote mpaka mnafanya Mapenzi Sawa eee!?" Hayo Ndo yalikuwa maneno ya Mama Tatu akimsisitizia Binti Yake!. Na kweli Muda uliwadia wa wanandoa hao kushirki tendo kwa Mara ya Kwanza!. "Tatu Ebu acha kunitania kwa Hiyo unataka kunipaka maradhi Siyo!? Sipo Tayari kufanya huo upuuzi Hata kwa bunduki!" Basi wakiwa chumbani Sindele pasina kujua kama naye anao Tayari aliamua kumpa ukweli Tatu!. Binti Tatu kiukweli alijaribu kila Njia kumshawishi Sindele Lakini mtoto Wa kiume alikaza, Tatu alijaribu Hata kukaa uchi mbele ya Sindele Lakini haikusaidia!. Tatu uvumilivu ulipo mshinda aliamua kuropoka!. "Sindele Mimi sioni Hata unacho lingia maana kama ni Umeme Hata Wewe unao! Bora tufanye tu!" Yalikuwa maneno ya Tatu ambayo yalifanya Sindele atumbue Macho, pale Pale kuna kitu kilipita kichwani kwa Sindele fyaaa!. Japo ulikuwa Usiku Lakini Sindele aliamua kutoka na kwenda hospital kupima. Aisee Sindele hakuamini alipo ambiwa ameathirika, alibadilisha hospital kama Tatu lakini kote aliambiwa Majibu Hayo Hayo, hakika ulikuwa Usiku Mgumu Muno kwa kijana Sindele!. Akiwa na hasira Sindele aliamua kurudi pale Hotelini alipo muacha Tatu, na kweli alimkuta Tatu anajigeuza geuza kitandani!. Kipigo alicho kipata Tatu aisee mbona aliropoka Yote, maana baada ya Sindele kuingia tu kule ndani wala hakuuliza alianza kushusha kipigo, mpaka Tatu aliropoka Namna Sindele alivyo wekewa Damu!. Kwa hasira tu kupooza Machungu Sindele aliamua kufanya mapenzi na Tatu tena alikuwa anafanya kwa hasira kama anakomoa hivi, Lakini ukweli ni kwamba Hapo Ndo alikuwa anafanikisha mipango ya Watu!. Japo Tatu aliondoka na manundu ilipo fika asubuhi Lakini kile alicho kuwa anakitaka kilifanikiwa!. Sindele alipo rudi nyumbani alimuuliza Mama Yake ni Kitu Gani kafanya Lakini Mama Yake aliishia kumjibu kwa mkato!. "Kwani aliye kwambia Waathirika Siyo Watu nani!? Acha mawazo ya zamani Wewe ni mtoto Wa Kiume kaza!" Hayo Ndo Yalikuwa majibu ya Mama Sindele!. Ndugu msomaji wiki nzima Sindele hakupata usingizi, kibaya zaidi Pale Mjini Sindele Hata angesema akimbie kwa Mama Yake alikuwa hana pa kwenda kwa Hiyo ilibidi tu atulizane pale kwao Japo ilikuwa kwa maumivu makali Muno. Tatu naye alikuwa anaishi nyumbani kwa kina Sindele maana alikuwa ni Mke Wa Sindele!. Kadri Siku zilivyo zidi kusogea Ile Hali Sindele alianza kuizoea na kuona kawaida tu, Tatu Tayari alikuwa ni mjamzito. Maisha yalikuwa Ya kawaida kwa Sindele pale nyumbani ila Mambo yalianza kubadilika Baada Ya Tatu kujifungua!. Mtoto akiwa na Siku Tatu tu alichukuliwa na wazazi Wa Sindele Pamoja na wazazi Wa Tatu na waliondoka Naye kwenda kwa mtaalamu, Hata walivyo Rudi walirudi bila Huyo mtoto Huku nyuso Zao zikiwa za furaha kuonesha kuna kitu kikubwa wamefanikisha!. Binti Tatu Yeye Wala hakuuliza mtoto Yuko wapi maana alikuwa anajua kinacho endelea, ila Sindele Sasa Ndo alikuwa gizani maana alikuwa hajui lolote!. Manyanyaso kwa Sindele yalianza aisee Baada ya kuwa lao lishafanikiwa, Hata Tatu alirudi nyumbani kwao hakuendelea kukaa pale kama Mke Wa Sindele!. Kijana Sindele kulala na Njaa alianza kuona kama kawaida, ilifika kipindi alianza kuona Yule Siyo Mama Yake kwa Yale aliyo kuwa anafanyiwa!. Binti Tatu Naye alipata mwanaume mwingine tena msomi mwenzake na Mwenye Pesa Zake, na Tatu alimtaka Sindele amuandikie Taraka!. Sindele alikuwa anaona kama mapicha picha kwenye maisha Yake, maana baada ya kutoa tu Taraka kwa Tatu haikupita Hata mwezi Pale Kwao alifukuzwa. Sindele ni Nani na ilikuwaje Yupo Hapa, Je yapi yapo nyuma ya Pazia kuhusu wazazi Wa Sindele na wazazi Wa Tatu. Turudi Miaka ishirini na Tatu Nyuma kabla Sindele hajazaliwa Hapa Ndo Mkasa wetu unaenda kuanzia Miaka 22 iliyopita...... Alionekana Binti Wa Miaka 17 akiwa analia kweli kweli Huku akiwa kavaa nguo za Shule, Binti Huyu alikuwa kabaini ana ujauzito ingali Bado Yupo Shule na alikuwa yupo Kidato Cha Tano Tena alikuwa ni Binti anaye tegemewa na ukoo mzima kuja kuwa mkombozi, maana Ndo alikuwa anaonekana kuwa na akili kwenye ukoo mzima!. Jina lake ni Panina Binti Huyu Baada ya kugundua ana ujauzito tena ukiwa ujauzito Wa Baba Mtu mzima kiukweli aliamua kufanya maamuzi magumu ili kunusuru aibu na kunusuru masomo Yake!? Je unahisi alifanya maamuzi Gani!? Na huyu penina ni Nani!?? Na Je kijana Sindele ilikuwaje tunamuona alipo!? Kisasi Gani Cha Sindele kinazungumziwa!?? Nadhani Hapa Ndo Hadithi Yetu inaenda kuanza Huko kote ulikuwa ni utangulizi!. Tukutane sehemu Ya 3 *Sehemu Ya 3* Jina lake ni Panina Binti Huyu Baada ya kugundua ana ujauzito tena ukiwa ujauzito Wa Baba Mtu mzima kiukweli aliamua kufanya maamuzi magumu ili kunusuru aibu na kunusuru masomo Yake!?. Penina alipewa ujauzito na Mpishi Wa Shule tena Mpishi Huyo alikuwa ni Mzee, Vishawishi vya Hapa na pale Ndo Vilifanya penina kuingia kwenye mahusiano ya Siri na Yule Baba!. Penina Kwao maisha yalikuwa ya kawaida Muno, na wazazi Wake walikuwa wajasiriamali wa kawaida tu, kwa Hiyo kila Senti wanayo ipata walikuwa wanawekeza kwa kumsomesha penina, alafu Leo Hii eti ana ujauzito, hakika penina aliona Zile taarifa wazazi Wake wakizipata Basi aisee anaweza akatengwa Hata na ukoo!. Penina Baada ya kugundua Hali ile hakumwambia Hata rafiki Yake Mmoja, Pia hakumwambia Hata Yule Baba aliye mpatia ujauzito, yaani kimya kimya penina aliamua kubeba Begi lake Bwenini na kutoroka pale shuleni. Japo nyumbani kwa kina penina ilikuwa ni pale pale Mjini na ilikuwa Siyo mbaali Kihivyo na Shule ila penina alikuwa anakaa bwenini maana Ndo yalikuwa masharti ya Shule kila Mwanafunzi kukaa bweni, penina alikuwa anarudi tu kwao Siku za weekend!. Baada ya penina kutoroka pale Bwenini alienda mpaka Stendi na kupanda Gari, ilikuwa ni basi iliyochokaa Bila shaka ilikuwa inaelekea Huko vijijini!. Penina alikuwa kama kapagawa maana Hata maamuzi Yake alikuwa hana uhakika nayo!. Safari ilianza penina akiwa Hana uhakika na anako elekea, ilikuwa ni safari ya Masaa zaidi ya Kumi na kitu!. Mida ya Saa Kumi na Mbili Jioni penina aliamua kushuka kwenye Gari Huku akiwa katikati ya Kijiji ambacho Hata hakijui!. Penina alianza kupita nyumba Moja Baada ya Nyingine akiwa anaomba msaada Huku anatoa maelezo ya Uongo, kwa maelezo Yake ni kwamba alikuwa ametelekezwa na Mumewe na hajui Hata Hilo ni Eneo Gani!. Wengi Wao walionekana kumkatalia kiasi kwamba penina alijikuta katembea umbali mrefu Muno kutoka barabarani, yaani alijikuta yupo vijiji vya mbaali kabisa!. Ikiwa Imefika Saa Nne za Usiku bahati iliyoje penina Baada ya kutoa maelezo kwa Bibi Mmoja Hivi alifanikiwa kupewa hifadhi!. Ilikuwa Siyo hifadhi Ya Siku Bali miezi kadhaa, Yule Bibi hakuwa na hiana kuendelea kuishi na penina pale Kwake, Japo Bibi Yule kutokana na utaalamu Wake aligundua Yote aliyo yaongea penina ni Uongo ila aliamu kukausha, maana huwenda Naye kuna Faida alikuwa kaiona kutokana na ule uongo wa penina. Upande Wa Huku Mjini penina alikuwa katafutwa kweli kweli na wazazi Wake kushirikiana na walimu mpaka taarifa zilifika polisi Lakini penina hakupatikana!. Miezi kadhaa ilipita upande Wa Huku Kijijini Muda Wa penina kujifungua ulifika, na bahati iliyoje penina alijifungua vizuri tu mtoto Wa kiume!. Aisee huwezi Amini mtoto hakuonja Hata Ziwa la mama Yake, ukiwa ni Usiku Sana penina aliamua kumterekeza mtoto mchanga kijijini na kumuachia Yule Bibi msala!. Katika Kijiji hicho hakuna ambaye alikuwa anamjua penina Wala aliko tokea, kwa Hiyo Hata pa kwenda kumtafutia walikosa!. Yule Bibi Yeye aliona ni Sawa tu maana Hata hivyo kapata Mrithi Wake atakaye rithi mikoba Yake ya uchawi na uganga na Ndo Faida ambayo Bibi Yule alikuwa kaiona Tangia Penina anafika Kwake. Panina Baada ya kurudi Mjini alitoa maelezo ya Uongo Kwamba alitekwa na Watu asio wajua na walikuwa wamemfungia sehemu Huku wakimtesa!. Basi Binti penina alipewa pole nyingi Muno na wazazi pia walimu shuleni na wanafunzi wenzake!. Penina aliendelea na masomo Japo kuwa alikuta wenzake washafika Kidato Cha Sita, alijitahidi kufundishwa masomo ya binafsi na vipindi vya ziada ili alingane na wenzake na hatimaye Kweli Wote kwa pamoja Baada ya miezi kadhaa walimaliza Kidato Cha Sita. Bahati Mbaya au nzuri Maksi ya Penina ilimruhusu kwenda Diploma na Siyo Chuo kikuu!. Upande Wa Kijijini Yule mtoto mchanga aliendelea kulelewa vyema na Yule Bibi akiwa amepewa Jina la Sindele, kwa Lugha ya Pale Kijijini Sindele maana Yake ilikuwa inamaanisha Mrithi Wangu, kwa Hiyo Bibi Huyo alitoa hilo Jina kwa malengo!. Siku hazigandi hatimaye miaka kadhaa ilipita penina alimaliza masomo Yake ya Diploma na alipata Kazi kwenye kampuni Moja hivi Kubwa linalo jihusisha na Maswala ya kuuza Vyombo vya Moto Nchi nzima na lilikuwa kampuni kubwa Muno, kwa kuwa penina alikuwa kasomea maswala ya Masoko Basi aliwekwa kwenye hicho kitengo. Akiwa anafanya Kazi kwenye kampuni lile Kwa Mara ya Kwanza penina alikutana na mwanaume ambaye alikuwa mhasibu Wa Pale hakika wawili hao walitokea kupendana Muno!. Pia Yule Mwanaume kwa Jina la Ibrahimu alikuwa na Rafiki Yake ambaye alikuwa pia na kacheo cheo kwenye Hilo kampuni!. "Penina Ujue Mimi na Rafiki Yangu Bedo kuna mpango kabambe tupo nao Sijui na Wewe utakuwemo kwenye Huo mpango, maana Bedo kasema Demu Wake kakubali!" Siku Hiyo penina aliletewa Mpango Fulani na kipenzi Chake Ibrahim, na ulikuwa Mpango wa kulichukua lile kampuni, yaani walikuwa wanataka kumpora Mzee Mwenye lile kampuni!. Hakika penina aliona ule mpango unamfaa maana Hata Hivyo familia nzima ilikuwa inamtazama Yeye na Huku mshahara ukiwa ni mdogo!. Unahisi mpango ulikuwaje na ulifanikiwa!? Na ilikuwaje mpaka tunaona Watu wapo kwa mganga!?? *Sehemu Ya 4* Hakika penina aliona ule mpango unamfaa maana Hata Hivi familia nzima ilikuwa inamtazama Yeye na Huku mshahara ukiwa ni mdogo!. Mpango wa Watu Wanne kupora kampuni ulianza, Yaani Ibrahim na mpenzi Wake penina, pamoja na Bedo akiwa na Mpenzi Wake!. Hakika walikuwa wamejilipua maana Mtu wanaye panga kumdhurumu Naye alikuwa Siyo mnyonge na alikuwa Mtu Maarufu!. Hatua kwa Hatua walikuwa wanasuka Mambo iliwachukua Mwaka Mzima kukamilisha, Siyo kampuni tu Bali Utajiri na Mali zote za Tajiri Huyo walifanya mipango na ulaghai walizitia mikononi, yaani Documents zote za umiliki zilidondokea mikononi Mwao!. Yule Mzee ambaye kaporwa Mali alijaribu kuleta Chokochoko Lakini alitumiwa Watu na kuuawa. Ndugu Wa Baba Yule walijaribu kupeleka kesi mahakamani kudai Mali za ndugu Yao Lakini ilisemekana ashauza kila kitu na Alikuwa Hana Mali, yaani penina na wenzake walijikuta wanamiliki utajiri Wa Mabilioni gafla, na Wale ndugu walipo Zidi kuleta Chokochoko nao waliuawawa Wote. Basi Ibrahim alimuoa penina pia Bedo alimuoa Yule Demu Wake ambaye Tayari alikuwa kazaa Naye, na familia hizo mbili ziligawana asilimia Hamsini za Hisi kwenye ile kampuni na Mali zote!. Lakini Baada ya miezi kadhaa tu kutoka wachukue ile kampuni Mambo yalianza kwenda kombo Huku kampuni ikiwa inaporomoka kwa Kasi, kila Njia waliyo ifanya kuokoa kampuni ile ilishindikana, Basi Hapo ilibidi waende kwa mtaalamu maana waliamini wanafanyiwa figisu!. "Mali zote za Yule Mzee zilikuwa za kafara na ushirikina kwa kuwa kafariki Basi Mali zote zitapotea! Na Mbaya zaidi Nyie mnaweza kuwa Kwenye matatizo maana zile Roho za Watu alio watoa Yule Mzee zitaanza kuwaandama Nyie!" Hayo Ndo yalikuwa maelezo ya yule mtaalamu!. Basi penina na wenzake waliomba awasaidie kunusuru Yale majanga. Yule mtaalamu aliwaelekeza sehemu ambayo wanaweza kupata msaada, pia aliwapa maelekezo Namna ya kufika!. Hapo Sasa penina na wenzake Ndo waliamua kufunga safari na kwenda kule porini tuliko ona mwanzo akina Sindele wanapelekwa!. Hakika walifika Huko walikutana na masharti mazito Muno. "Ili kunusuru majanga yanayo enda kuwatokea na kubakisha Mali Salama mnahitajika mtoe kafara, na kila Mmoja wenu atoe kafara ya Watu Watatu anao wapenda na ndugu Wa karibu Baada ya Hapo litabakia Sharti Moja Ambalo mtakaa Miaka kumi na Tano Ndo mtarudi tena kulikamilisha!" Hayo Ndo yalikuwa masharti ya yule mtaalamu!. Hakika ilihitajika roho Ngumu, kwa kuwa walikuwa wameyavulia Maji Nguo waliamua kuyaoga!. Huwezi Amini penina aliwatoa wazazi Wake wawili pamoja na Dada Yake kafara yaani alijikuta anaingia kwenye Tamaa ya Utajiri kuliko kawaida mbaya zaidi walikuwa wameonja maisha ya utajiri kwa Hiyo hawakuwa Tayari kuyaacha. Kila Mmoja Wao alitoa kafara ya ndugu Zake anao wapenda Watatu, Baada ya Hapo Sasa Mambo yalianza kunyooka na kampuni ilirudi kwenye uimara Wake tena Mara dufu!. Upande Wa Huku Kijijini Tayari mtoto Sindele alikuwa kakuwa kuwa kafikisha Miaka kama Sita Hivi, Hapo ilibidi apelekwe Shule na kuanza Darasa la Kwanza!. Siku hazigandi miaka ilisogea hatimaye Sindele alimaliza Darasa la Saba na hakufanikiwa kufaulu, kwa Hiyo alibaki kijana Wa pale pale kijijini!. Kero Moja kwa Sindele ilikuwa ni uchawi na uganga wa Bibi Yake, na kila Siku alikuwa anakumbushwa na Bibi Yake kwamba ajiandae kurithi ile mikoba, maana Bibi Huyo alikuwa kazeeka Muno ni miaka tisini alikuwa anaikaribia!. Sindele maswala ya uchawi alikuwa hayapendi kweli kweli sema Basi tu Bibi Yake alikuwa mchawi!. Miaka ilizidi kusogea hatimaye Sindele alifikisha miaka ishirini Sasa Hapo Kasi ya kulazimishwa kurithi mikoba ilizidi, na ilifika kipindi Sindele alianza kutishiwa na Bibi Yake pamoja na wachawi wengine kwamba akikataa Basi anaweza kufa!. Kijana Sindele Aliona ya Nini kujitesa kuendelea kuishi sehemu wanayo Amini uchawi, Sindele aliamua kutoroka pale kwa Bibi Yake , na safari ilikuwa ni kwenda Mjini Ambako Vijana wengi wa Kijijini huwaga wanaamini kuna maisha mazuri na Pia Pesa zipo Nje Nje!. Sindele alifika Mjini kwa Mara ya Kwanza Huku Akiwa hana mbele wala nyuma, alikuwa haelewi atakula nini na kulala Wapi, ila kutokana na kero za Bibi Yake aliona Bora tu akapambane Mjini! Baada ya kufika Mjini Wiki nzima Sindele alilala sitendi, yaani alijikuta anajifunza upiga Debe Bila kupenda!. Hakika maisha yalikuwa magumu Muno kwa kijana Huyu, Baada ya kuona kupiga Debe hakuna Tija Sindele aliamua kuanza kutembea Mtaa kwa Mtaa kuomba Kazi kwenye majumba Ya Watu!. Turudi upande Wa Huku kwa Penina, Tayari penina na Mumewe Ibrahim walikuwa Wana watoto Wawili maana Tangia waoane ni zaidi ya Miaka Kumi na Kitu ilikuwa imepita!. Maisha Yao yalikuwa mazuri Muno Huku Shida zikiwa Siyo Sehemu ya maisha Yao yaani Pesa ilikuwa inaongea!. Mtoto Wao Wa kwanza kwa Jina la Dayo alikuwa anasoma Shule ya kitajiri na alikuwa na miaka Kumi Na nne, mtoto Wao Wa Pili nae hivyo hivyo alikuwa anasoma Shule ya kitajiri alikuwa na Miaka Kumi, Yaani Wote walikuwa wanasoma shule za kitajiri!. "Baba Dayo kwa Nini tusitafute kijana Wa kutunza mazingira ya Humu ndani, ujue naona kama Mlinzi Wa Pale Getini anazidiwa na ukijani Huku ndani umeanza kupotea!" Basi Siku Hiyo Mama Dayo ambaye Ndo penina alitoa Wazo na kweli walikubaliana watafute kijana Wa kutunza Bustani na mazingira mengine ya Mule ndani Ambapo wao walikuwa wanapaita Paradiso Yao!. Bahati iliyoje Wakati wanawaza kutafuta kijana Wa Kazi, kama ameotea Hivi kuna kijana alionekana kuja kuomba Kazi pale na alikuwa Siyo mwingine Bali ni kijana Sindele!. Sindele alijikuta anapata Kazi kwenye Jumba la kifahari Huku akiwa haamini, Tena kwenye Jumba la Mama Yake mzazi Pasina Yeye kujua!. Ilikuwaje mpaka Mama Dayo akajua Sindele ni mtoto Wake!? Na ilikuwaje Sindele akalazimishwa kumuoa Binti Wa kuitwa Tatu!? *Sehemu Ya 5* Sindele alijikuta anapata Kazi kwenye Jumba la kifahari Huku akiwa haamini, Tena kwenye Jumba la Mama Yake mzazi Pasina Yeye kujua!. Maisha mapya kwa Sindele yalianza, Huku akiwa kajitambulisha Kwamba anaitwa Sinde, yaani Sindele alikuwa hapendi kujiita Sindele! Alikuwa anaona akifupisha na kujiita Sinde Ndo unyama. Sindele alianza maisha mapya ya ufanykazi, Japo yalikuwa ya manyanyaso ila alijikaza, Sindele alikuwa anaombea watoto wa Mama mwenye nyumba wasiwe wanarudi toka shuleni maana walikuwa wanampelekesha Muno tena walikuwa na Dharau isivyo kawaida!. Basi Siku hazigandi hatimaye Sindele alimaliza Mwaka ndani ya Mjengo Ule akiwa kama mfanyakazi mtiifu Japo Ndo hivyo alikuwa anavumilia mengi, kwa mfano kuna kipindi mtoto Wa Boss amewahi kumumwagia Mkojo makusudi, yaani alikojoa kwenye kikopo na kwenda kumumwagia Sindele kwa makusudi kabisa, ila Ndo alikuwa mtoto Wa Boss, Sindele hakuwa na lakufanya zaidi ya Kujichekesha Huku Roho inauma. Ile Miaka 15 ambayo Penina na wenzake walikuwa wamepewa na mtaalamu kwamba inatakiwa warudi Kwake wakapewe Sasa sharti la Mwisho ilikuwa imetimia na Kweli walirudi kwa Yule mtaalamu, awamu Hii walikuta kazeeka Kawa Mzee!. Walijielezea vizuri na Kweli mtaalamu aliwakumbuka vyema!. "Nahitaji Damu Ya mjukuu Wenu itolewe kafara na Hiyo Damu Ndo itafunga Mali zenu zisipotee!" Yalikuwa maelezo ya mtaalamu!. "Mtaalamu Sisi Lakini hatuna wajukuu!" "Sasa Hapo Ndo ibabidi mpate, yaani uzao Wa kwanza kutoka kwenye familia zenu mbili inatakiwa waoane na wapate mtoto ndani ya Mwaka Mmoja Kisha Huyo mtoto Ndo atafunga hizo Mali, lasivyo Mali zote mulizo Nazo zitapotea kama vumbi kwenye upepo!" "Uuuuu Sasa uzao Wa kwanza kama Wote Wakawa Jinsia Moja hapo inakuwaje!!" "Sasa Hapo Mimi Sijui inakuwaje ila mizimu Ndo inataka hivyo, na Bila Shaka mpaka mizimu imesema hivyo inaamini uzao wenu Wa kwanza ni jinsia tofauti!" Kwanza ilibidi Wote watazamane!! Upande Wa Bedo na Mkewe Wao ni Kweli walikuwa Na mtoto mkubwa ambaye kafikia umri Wa kuolewa maana alikuwa Ndo katoka kumaliza Chuo akiwa na Miaka 21 na mtoto Huyo walikuwa wamempata Hata kabla hawajaoana yaani kipindi Hata hizo Mali hawajazipata!., ila changamoto ilikuwa kwa upande Wa penina na Mumewe maana mtoto Wao Wa kwanza alikuwa ni Dayo ambaye alikuwa kafikisha Miaka kama Kumi Tanto kuelekea kumi na Sita Hivi!. "Uuuuu Sasa Dayo kumuoa Tatu Jaman si itakuwa ubakaji Huo!" Yalikuwa maneno ya penina akimuonea huruma mwanae!. "Mtaalamu Kwani huwezi kubadilisha Sharti!??" Mume Wa Penina aliuliza!. "Sharti Ndo Hilo Halibadiliki, Fanyeni hima maana baada ya Mwaka tu Mali kidogo kidogo zitaanza kupukutika na kumbuka Mali zikiisha basi kitakacho Fuata ni uhai wenu!" Yalikuwa maneno ya yule mtaalamu, hakika familia zilitoka pale wakiwa wamepagawa!. Baada ya kufika nyumbani walikaa kikao na waliona ni Sawa tu inabidi mtoto Dayo amuoe Binti Tatu!!. Haraka haraka walifanya mpango na Ndoa ya Kimya Kimya ilipita, yaani ni familia tu walikuwa wanajua, maana kwa umri Wa Dayo ilikuwa ni kama ubakaji kwa Hiyo taarifa zingesambaa huwenda Hata Sheria ingefuata Mkondo, Baada ya Hapo Sasa walienda kwa mtaalamu ili Damu zikachanganywe, yaani Damu Ya Dayo na Damu ya Tatu maana ilikuwa ni Moja ya maelezo ya mtaalamu!. Lakini kitu cha Kushangaza Damu zile zilipo changanywa hazikuendana na mtaalamu alibaini kwamba Dayo Siyo mtoto Wa kwanza!. Aisee Hapo Sasa Bwana Ibrahimu Ndo aliijua Siri ambayo alikuwa haijui kuhusu Mkewe kwamba amewahi kuzaa, yaani penina Naye kumbukumbu Ndo zilirudi kwamba amewahi kuzaa mtoto na akamtelekeza kijijini. Japo Mr Ibrahim alilalamika Muno kwa Mkewe kumficha Siri Hiyo lakini Ndo yalikuwa yametokea. Kilicho kuwa kinatakiwa ni Huyo mtoto atafutwe Ndo aje afunge Ndoa na Tatu! . Hapo Sasa Kizazaa Ndo kilipo anzia maana ilimlazimu penina na Mumewe kusafiri mpaka kijijini kwenda kumsaka Huyo mtoto!. Penina alikuwa anakumbuka vyema mazingira aliyo mtelekeza mtoto, kwa kuwa walikuwa wamethibitishiwa na mtaalamu kwamba Huyo mtoto yupo hai Basi walikuwa na matumaini ya kumpata!. Lakini bahati mbaya walipo fika maelezo waliyo yakuta ni kwamba Huyo mtoto ashafariki!. "Ila we Mwanamke Wa Ajabu kweli!? Yaani Baada ya Miaka ishirini na kitu kupita Ndo unakuja kumuulizia mtoto Wako!? Haya Huyo mtoto ashafariki!" Hayo yalikuwa maelezo ya Bibi Yake na Sindele ambaye walimkuta kajichokea, maana miaka tisini Siyo mchezo!. Kutokana na maneno ya Mtaalamu walikuwa na uhakika kwamba Huyo mtoto yupo hai ila Yule Bibi anaficha tu!. Basi penina alizama kwenye mkoba Wake alitoa kibunda Cha Pesa kama million mbili Hivi na kumpatia Yule Bibi! Aisee Yule Bibi alitumbua Macho kuona zile Pesa maana tangia azaliwe alikuwa hajawahi shika Pesa Nyingi Vile!. Bibi Wa Watu alianza kufunguka kuhusu Sindele!. "Bibi kwani anaitwa nani Huyo mtoto tukamtafute Huko Mjini!?" "Anaitwa Sindele!!" Yule Bibi alijibu, aisee lilikuwa Jina Jipya kabisa Masikioni Mwao. Kumbuka kijana Sindele Mjini alikuwa anajiita Sinde yaani alikuwa anapenda kufupisha kwa Hiyo Hata pale kwa Boss Wake alijitambulisha hivyo kwamba anaitwa Sinde. Basi penina na Mumewe walirudi Mjini wakiwa na Jina la Sindele kichwani na waliamini kwa Pesa walizo Nazo Basi watampata tu!. Baada Ya kufika Mjini kitu cha kwanza walienda kwenye maredio na magazeti kutoa taarifa kuhusu Sindele, na walitaja mpaka Kijiji anacho Toka na Jina la Bibi Yake, maana Hizo taarifa zote Bibi alikuwa kazitoa Baada ya kumwagiwa Pesa. Japo picha ya anaye tafutwa ilikuwa haipo Lakini maelezo yalikuwa yanajitosheleza vizuri kabisa!. Wiki nzima ilipita Huku Huyo Sindele akiwa hajajitokeza, penina na Mumewe walikuwa Wanasubiri Simu mpaka Wanasubiri tena Sana Sana walikuwa wanapata Simu za matapeli!. Maana vijana kama Watatu walijitokeza kwamba Wao Ndo kina Sindele Lakini walipo pelekwa kwa Bibi Yule aliwakataa hawajui na wengine walikamatwa uongo Baada ya kushindwa kutoa maelezo fasaha!. Sindele Mwenyewe alikuwa hajui Hata kama anatafutwa maana Hata Simu kwamba ataona taarifa alikuwa hana!. Kama bahati tu Siku Hiyo Sindele alibahatika kupata chansi ya kwenda kudhurura Baada ya kuwa kamaliza Kazi!. Katika Kuzunguka alikutana na Bango likiwa limeandikwa Maandishi makubwa na meusi*SINDELE ANATAFUTWA*. Kijana Sindele alisogea na kuanza kusoma maelezo kwa undani, aisee kijana alipagawa alipo ona taarifa kwamba wanao mtafuta ni wazazi Wake na atakaye Saidia kupatikana kwa Sindele atapewa million Hamsini! "Aisee Huu utajiri Walai, kama tu atakaye nipata anapewa Hiyo pesa Mimi Je!!" Sindele akiwa anakenua meno kwa furaha alijiwazia na alijua kabisa ni Yeye anatafutwa kutokana na taarifa zilizopo pale, maana mpaka Jina la Bibi Yake lilikuwa limetajwa!. Sindele aliandika kwenye mkono Namba za kwenye lile Tangazo kisha alipo fika mbele aliazima Simu kwa Mama tu muuza mboga!. Upande Wa Pili penina na Mumewe walipokea Simu Huku Mtu akijitambulisha kwamba Yeye Ndo Sindele, kutokana na maswali machache waliyo muuliza kwenye Simu na kuyajibi kwa ufasaha aisee walipata kimuhe muhe Cha kukutana na Huyo Mtu, maana waliona Huyo anaweza kuwa ndiyo!. Basi kwenye Simu walipeana maelezo sehemu ya kukutana, na Sindele aliwaelezea Nguo alizo Vaa na muonekano Wake, na aliwaambia Hana Simu!. Aisee hapa Ndo patamu!? Unahisi penina akigundua yule mfanyakazi Wake Wa pale nyumbani Ndo mwanae atachukua hatua Gani!? Vipi Sindele atafanyaje!??

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

ili kujaribu kubadilisha mwenendo wa timu katika Ligi ya Misri na CAF Champions League. 🔴 Maamuzi yaliyotangazwa: 💵 Kupunguzwa mishahara: Wachezaji wote wa kikosi cha kwanza watakatwa 30% ya mishahara yao, na pia 25% ya thamani ya mikataba yao itasimamishwa kwa muda, kuanzia mara moja hadi pale hali ya timu kwenye mashindano yote itakapoimarika. ✈️ Ratiba ya safari kubadilishwa: Kikosi kitaondoka Cairo Alhamisi badala ya Ijumaa kama ilivyopangwa awali. 🔍 Tathmini ya benchi la ufundi: Makamu wa rais Yassin Mansour pamoja na mjumbe wa bodi Sayed Abdel Hafiz wamepewa jukumu la kufanya tathmini ya haraka ya benchi lote la ufundi na wafanyakazi wa mpira. uongozi wa Al Ahly unaonyesha kuwa hauko tayari kuvumilia matokeo mabaya, hivyo umeanza kuchukua hatua kali ili kuisukuma timu kufanya vizuri tena. Kwa Tanzania ni Klabu ipi inasatahili kufanya maamuzi kama haya?

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

SONGA NAYO....... Mira mie nikaanza kupiga maombi ya kuteketeza roho ya umauti niliomba sana, jasho lilikuwa likinitililika na kulowanisha kifua Changu Nilikuwa nimezama kwenye ulimwengu wa roho nikifanya maombi, ni sauti ya mtoto ndì iliyonirudisha kwenye ulimwengu wa mwili Nikafumbua macho na kutazama, nilifirahi baada ya kumuona Nasrat akiwa amefumbua macho akinitazama kwa furaha niliyokuwa nayo nikamkumbatia ila kwa tahadhari kubwa Kuepeuka kutonesha jeraha lake, kilichofuata hapo ni asante yesu, ambazo zilitawalla karibia chumba kizima "Nasra binti yangu kuanzia leo hutaitwa tena Nasra nakubadili hili jina kwa sababu mungu amejidhihirisha kwako na kuonyesha nguvu zake kwahiyo kuanzia sasa utaitwa Bless..." Nilitamka hayo basi Nasrat au Bless akatabasamu, kitendo kilichonifanya na mimi nitabasamu eeh kuashiria hili jina binti yangu amelipokea...🙏🙏 Kwa uwezo wa mungu binti yangu aliendelea kuimarika siku mpaka siku, hata kile kitovu chake kiliacha kabisa kutoa usaha, amani ilirudi tena kwenye moyo wangu "Bless niachie jamani uwiiiiiii..." Ni kelele ambazo nilikuwa nikipiga ni baada ya Bless kunivuta nywele wakati nikiwa nimembeba mabegani, 😂 binti yangu ni mkorofi nyie huu ukorofi ameupata baada ya kufika bongo yani kabadilika ile mbaya Bless ni mtoto mtundu sana, amepata watu wa kucheza nae nakwambia kamechangamka muda ote kanatabasamu tu na uso wake ulionekana kuwa na nuru 🥰 Nilikuwa niko zangu ndani na ka binti kangu tena nyumbani kabisa huku buza 😅 ndio makao makuu ya Mira na nimecheza sana hiyo mitaa hata miguu na utumbo wa kuku nimeula sana So huku ni nyumbani nimecheza sana rede nakwambia..😅 "Da Mira kuna mtu anakuita huko nje.." Basi mdogo wangu Eliudi, alikuja kuniita, Eliudi ni mdogo wangu na ndie rast born wa familia ya mama Mira. Basi nilitoka huku mikononi nikiwa nimempakata Bless Kweli nipotoka nje nilikuta kuna gari nzuri sana tena ile ya gharama achana na hizi za million moja, ile gari ilikuwa ikiwaka waka balaa Nilitembea mpaka kwenye hilo gari nikajaribu kuita lakini hakukuwa na mtu. "We Eli, huyo mtu ambaye ananiita yupo wapi..??" Nilimuuliza Eliud huku nikipiga hatua za kuondoka maeneo yale, sasa bana sijui huyo mtu alitaka kunishtua maana alikuja nyuma angu na kuniziba macho "Otea nani..." Nilisikia sauti ya mdogo wangu mwingine huyu ni wa tatu kuzaliwa na bado anaishi hapa hapa nyumbani sasa kitendo cha kumsikia anaongea nikajua ni yeye tu huyu dogo "Hakim si uniache basi we nae, yani hutaki kuniona nikuwa na amani..." Nikawa naendelea kulalamika lakini sikuachiwa "Hakim nitakupiga ujue, harafu mikono yako inanuka umeshika nini..??" Niliposema mikono yake inanuka akaniachia nikageuka ili kumpiga kofi lakini nilistop hii ni baada ya kumuona Anfrey ndie aliekuwa nyuma yangu Na kibaya zaidi alikuwa akijinusa mikono hii ni baada ya kusema mikono yake inanuka 😆 maskin kaka wa watu alikuwa anajinusa tu😂😂🙌🏾 Niliona aibu hatari nikageuka kuangalia pembeni nikamuona hakim ananichekea, watoto wa mama Mira hasara tupu kijana amekuwa yule lakini ana mambo ya kitoto sana Ikabidi nigeuke nimuombe radhi Anfrey lakini nilishangaa akinikabizi fungo za gari, macho yalinitoka nikajua labda huu mkaka ananitania bwana "Aah ni yangu..??" Niliuliza huku nikiwa natetemeka nyie, yani kumiliki gari sio mchezo wengine huwa wanazimia kabisa kwa furaha, nilishangaa zaidi ni baada ya ndugu zangu wakiniimbia wimbo wa happy birthday ndio nikajua kuwa leo ndio siku yangu ya kuzaliwa Kwanza nilimuangaliaa Anfrey kisha nikawaangalia kaka zangu, katika maisha yangu sijawahi kifannyiwa surprise nzuri kama hii ambayo kwa namna moja au nyingine Ilinifanya nijisikie furaha sana lakini pia na kujiona kuwa hata mimi ninapendwa bwana. "Happy birthday my sis.." Kaka zangu wwaliniambia, nilifurahi balaa nikasogea na kuwakumbatia huku Bless nae yumo humo humo 😂, basi baada ya kukumbatiana na hawa ndugu ambao tunashea damu ya kunguni Nikamgeukia Anfrey maana wakati yote yanendelea alikuwa akitutazama tu, kitendo cha kugeuka tuliangaliana sana ndio tukaja kushtuka ni baada ya mimi kumwagiwa maji 😂 Makaka zangu walikuja na ndoo zilizojaa maji na kunimwagia hawakujali kama Bless nilikuwa nae, Bless alinifanya nicheke maana wakati namwagiwa na yeye alikuwa anchekelea yani furaha yake ni kuona anamwagiwa maji.. "Jamani imetosha sasa khaaa.." Ni sauti ya mama ilisikika hata sijui alitokea wapi maana aliaga anatoka kwenda kwenye vikoba vyake huko, sasa sijui alifika sangapi..... ITAENDELEA......

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

Napoli walimchukulia kama takataka na kumfanyia ubaguzi, lakini Galatasaray wanamchukulia kama familia yao .. Hadithi ipi ni yenye huzuni kwa Victor Osimhen kwenye maisha yake , hadithi yenye huzuni ni kuhusu kifo cha mama yake .. Osimhen alimpoteza mama yake mzazi akiwa na umri wa miaka mitatu . Osimhen aliwahi kusema " mama yangu alikufa pindi nikiwa mdogo, kaka yangu aliniambia mama alilala na hakuamka tena".. Kwenye mchezo wa Galatasaray dhidi ya Liverpool, mashabiki wa Galatasaray wameonesha bango lenye maandishii ya " WE ARE THE FAMILY AND FAMILY IS EVERYTHING".. Alafu kwenye bango hilo aliwekwa Victor Osimhen na hayati mama yake mzazi kama heshima kwa mchezaji wao ... Victor Osimhen alishindwa kujizuia na kutoa machozi.. FOOTBALL ⚽.

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

Mi sikufanya ajizi, nikamuuliza kwani apa majirani zako hawapo, akanmbia mmoja alisafiri na mwengine kaenda kwao leo, wote hawapo, nikaona kazi leo, nisingekuja sijuh ingekuajee, ni mungu tu aliniongoza nije uku, nikamuuliza vifaa vyako viko wapi, akanioneshea, yani kakataa vyangu, kabangaiza kanunua vyake ,ahaa mwanamke jeuri uyu, yani ananionesha kuwa mm sio lolote aya bwana ,nikamchukulia akanielekeza na nguo zake nimbebe nikamuekea kwenye mfuko vizuri kisha sasa , akanmbia nichukue dera nimveshe mana alivaa kitenge tu, basi mi nikamtoa kitengee, nikamvesha deraa, kisha sasa nikamchukua na ummy, mana sikuwa na jinsi na hakuna wa kumuacha nae mtoto, ummy ananiuliza tunaends wapi bab, namwambia tunampeleka mma hospital anaumwa ,akanambia sawa kweli mi nikaangaika na zena mpaka kwenye gari, nikampakia nyuma ,kisha ummy ndo nikamueka mbelee, aseee nilikimbizaa gari kweli kweli, mana zena alikuwa ananlalamika sna akuwa naumia ,nikajua uchungu ndo unazidi kumchanganya uyu Aseee mpaka saa 4 tukafika hospita moja ya private kubwa ipo maeneo ya airport, basi nilimshusha harka na nikamuaharakisha ndani na manurse haraka wakampokea ,wakampeleka leba, mimi uku njee nikabaki na ummya sasa, apo niliomba dua, kumuonbea zena ajifungue salama ,mana mambo ya uzaizi huwa yana mambo mengi kweli kweli, aseee mpaka saa 8 tuko pale, zena hajajifungua na njia inagoma kutanuka, so nikaambiwa nitie saini afanyiwe operation ,na mm nilichanganikiwa ,ila sikujiuliza mi nikasaini ili zena afanyiwe hiyo operation, na kweli mpaka.saa 11 asubuh zena alijifungua mtoto wa kike, kwa njia ya operation, ahaaaa nilivyosikia kuwa amezaa wakike nikifurahi kinoma, mana daaah nilikuwa nimemis sana mtoto wa kike, nna watoto wa 5 ila wote wakiume, afadhali sasa uyu kaja binti daah , nilifurahi sana, na ata zena alikuwa anaendelea vizuri na alishazinduka tukaruhusiwa kwenda kumuona Mi nikaingia sasa, ila zena alikuwa kawaida tu ,wala hakunioenesha kisirani wala hasira, sijuh na mimba ilikuwa inampelekesha , basi mimi nikawa namuuliza unaendeleaje, vip hali yako, akawa ananijibu tu kuwa anaendelea vizuri ila kidonda tumboni kinamvuta tu, nikajua ganzi ishaanz akumuisha, nikapewa mwananagua sasa nimuone, mashaallah, yani uyu dogo alifanan na mama yangu kila kitu, yani kaam mama , nikajua daaah apa nimepata mama, ila ni kakali yani kanalia mnooo, alafu sasa kwa mda huo zena maziwa yakawa hayatoki, sijuh ndo njaaa kakawa kanalia mnoo, ummy alifurahi et nimempata mdogo wangu, ntakuwa nacheza nae ,nikawa namwambia yaaa mdogo wako uyuu ,mpendane sawa, basi zena akawa anatabasamu tu, apo sasa nikampigia simu ibraa nikamwambia kuwa zena kajifungua mtoto wa kike, ibraa akanmbia kuanzi leo wewe ni baba mkwe wangu, mimi uyo mtoto akikua naoa mke wapili, nikacheka tu, na baada ya mda ibra akaja kweli kumuona zena na akaampa hongera tu, et kwa kumletea demu Na jioni ndo shey anakuja hospital na yey kumuona shoga yake, akampa sana hongera zena , na akamwmabia hakuwa anapatikana mana simu yake kwa jana ilimzimikia kwa skku nzima , ahaa uyu nae mdangaji tu kama mimi alafu mambo mengi, basi bwanaa zena alikaa pale hospitalini siku 3 akiangaliwa, nilikuwa nipo nae bega kwa bega, full kujiongelesha ,oooh unataka nni, unajisikia kula nn zena, ana akinambia chapu naenda kumchukulia ,namjua zena akichange weeee sikutaka hizo shida, so kwa siku tulizokuwa tunakaa hospitali mm na zena tilikuwa tunaongea vizuri tu wala hakukuwa na shida kabisaa japo hakuwa amenichangamkia sana, na siku ya 4 sasa zena ndo akaruhusiwa kurudi nyumbni, na mm ndo nijamludisha sasa mpaka nyumbani kwake, japo nilikua natamani akakae kwangu, yani yule mtoto nilikuwa na raha nae kinomaa, si mnjua tena mtoto wa kike nilikuwa na hamu nae sana 🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

SEHEMU YA 19 🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Asubuhi Mr Marvel alipoenda chumbani kwa Noela kama kawaida yake ili kumuamsha, anakuta chumba kipo kimya, hakuna mtu wala baadhi ya vitu vya Noela havipo😳. Anadhani labda ameenda chuo mapema, Anamuita dereva wake na kumuuliza kama amempeleka Noela chuoni. Ila Dereva anamjibu hajamuona hata kidogo, wala hajampeleka popote. Moyo wa Mr Marvel unaanza kwenda mbio. Anatoa simu yake haraka na kuanza kumpigia Noela. Simu haipatikani. Anajaribu mara kadhaa lakini ni vilevile. Baada ya muda mfupi, simu yake inatoa taarifa ya meseji mpya. Ni kutoka kwa Noela. Meseji yenyewe inasema: “Nimeondoka sababu sitaki kuwa chanzo cha baba na mwana kugombana. Badala ya kuchagua kati yangu na Salmon, ni bora mimi niondoke ili ubaki na mtoto wako kwa amani. Najua imenichukua muda mrefu kusema hili, lakini nakupenda sana Mr Marvel na ninakutakia kila la heri kwenye maisha yako” Baada ya kusoma, mikono yake inaanza kutetemeka. Uso wake unabadilika, Anahisi kama dunia imesimama. Anajaribu kumpigia tena, lakini simu bado haipatikani. Anatoka nje kwa haraka, anaanza kumtafuta kila sehemu. Anauliza walinzi, majirani, hata marafiki wa Noela. lakini hakuna anayejua alipo💔. Siku zinapita, Wiki mbili zinaisha tangu Noela aondoke. Ndani ya muda huo, Mr Marvel hajaenda kazini hata siku moja. Anakaa nyumbani tu, hana hamu ya kula wala kuongea. Mwili wake unaanza kudhoofika. Mama Salmon ambaye amekuwa akimtembelea mara kwa mara anaona hali ile. Mwanzoni alidhani huenda atapata nafasi ya kurudiana na Mr Marvel, lakini sasa anaelewa ukweli kuwa, Mr Marvel anampenda sana Noela kuliko alivyowahi kufikiria. Anamuonea huruma maana Mapenzi yanamtesa waziwazi. Basi Siku moja, anamuita Salmon nyumbani. Salmon anapofika, anamuona baba yake amekaa sebuleni kimya, Uso umechoka, macho yamezama ndani ndo Anashtuka😳. “Mom, Dad ana nini?” anauliza kwa sauti ya chini. “Anampenda sana Noela kuliko kawaida. Tangu aondoke, hana amani kabisa”😔 Salmon anamtazama baba yake kwa muda mrefu. Ndani ya moyo wake, anajua ni kweli Baba yake anampenda Noela sana, hata kuliko yeye mwenyewe alivyowahi kumpenda. Ingawa moyo wake unauma, anaamua kufanya uamuzi mgumu. Kama baba yake anampenda Noela kiasi hiki, basi ni bora amrudishe ili apate furaha. Siku chache baadaye, Salmon anasafiri kwenda Arusha. Anaamini Noela atakuwa amerudi nyumbani kwao. Baada ya kuulizia, anafanikiwa kufika kwenye nyumba ya kina Noela. Anagonga mlango na kuomba kuongea naye. Mwanzoni Noela anakataa, Hataki kabisa kumuona. Lakini baada ya Salmon kumsihi sana, mwishoni anakubali kuonana naye. Wanakaa nje ya nyumba, kwenye benchi ili waweze kuongea Salmon anaanza “Naomba unisamehe kwa yote yaliyotokea” “Nimeshakusamehe”😒 “Dad yuko kwenye hali mbaya sana. Tangu uondoke, amedhoofika na Wewe ndio dawa yake” Noela anakunja uso “Una maana gani?” “Naomba urudi, Dad atakufa kwa mapenzi” “Siwezi! Sitaki kuwa sababu ya nyinyi kugombana” Salmon anamtazama “Niko tayari ninyi muwe pamoja. Mimi Sina tatizo tena”😊 Noela anashangaa “Unamaanisha kweli?” “Ndio! Ivi kweli Unampenda Dad?” Noela anajibu kwa sauti ya chini “Ndiyo” Maneno yale yanamuumiza Salmon, lakini anajikaza. Ameamua kujitoa kwa ajili ya baba yake. “Najua nilikuumiza sana Noela na nilikua mjinga kukupoteza wewe! Nataka ujue sikukuchiti kwasababu wewe ni kibonge au sababu ya mwili wako, No! Ni tamaa za mwili na vishawishi vya Iris ndo vimenifanya nifike hapa leo! Ila jua, siku zote utabaki kuwa moyoni mwangu and please mpe Dad wangu nafasi”🥹 Anamsihi sana na Baada ya mazungumzo marefu, Noela anakubali kurudi. SEHEMU YA 20 Siku inayofuata, Salmon na Noela wanasafiri kurudi Dar. Wanapofika, Salmon anampeleka moja kwa moja kwa baba yake. Mr Marvel anapomuona Noela, anasimama haraka, Anamkimbilia na kumkumbatia kwa nguvu. Uso wake unaonyesha furaha na mshangao kwa pamoja. Salmon na Mama yake wanakubaliana kuwa Mr Marvel na Noela wawe pamoja. Baada ya hapo, Mama Marvel anarudi Mwanza, na Salmon anaanza maandalizi ya kwenda kusoma nje ya nchi. Baadaye, Salmon anafanikiwa kwenda Sweden kwaajili ya masomo. Na akiwa huko anajitaidi mno kumsahau Noela na pia anaanzisha mahusiano na binti mrembo kwajina la Prisca. Japo wanapenda ila nafasi ya Noela moyoni mwa Salmon haiwezi kufutika. Upande wa Mr Marvel na Noela, penzi lao linaendelea vizuri. Mr Marvel anachukua jukumu la kumsomesha Noela hadi anamaliza masomo yake. Kisha baada ya hapo wanafunga ndoa kubwa mno inayo hudhuriwa na watu wengi mno. Na toka Noela Aolewe na Mr Marvel hajawai kutoa chozi hata kidogo. Yeye kila siku ni furaha na raha hasa pale anapo dekezwa na mumewe🥰. Tukiachana na hayo kuna huyu binadamu anaitwa Iris! Kwa bahati mbaya baba yake alifariki kwaiyo ikawa ngumu kwake kuendelea na chuo. Na apo ana wadogo zake kama watano wa kuwalea na mfukoni hana hata mia. Alidhani atapata msaada toka kwa Salmon ila ndo ivyo Salmon yupo Sweden. Kwaiyo akabaki bila mpenzi, bila rafiki na bila chochote hata marafiki wachache wa chuo aliokua nao walimtenga baada ya kuzidi kuwaomba hela kila siku. Mwishoni Iris akarudi Mtwara kuwalea wadogo zake na ivi karibuni nimepokea Taarifa kuwa aliolewa na mmakonde mmoja ivii na sasa wana watoto watatu. Maisha yake ni magumu na huwa anajilaumu sana kwa kile alicho mfanyia Noela. Ndo maana napenda kusema, malipo ni hapa hapa duniani!📌 Asante kwa kuisoma simulizi hii na kwaheri👋🏻 ~MWISHO~

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Sehemu ya 41 Basi bwana , zena alivyoniona mnazani alisimama,hapana bali ndo kwanza akaongeza speed ya kuelekea kwake ,na mm nikawa namfata kwa haraka ili asije akajifungia, basi zena akaingia ndani kwake akataka kufunga malango ,ila nilishafika nikazua nami nikaingia ndani ,zena akanmbia unataka nn nakuuliza unataka nn, usinijazie mbuu ondoka ndani kwangu, nyieeeee mi sikutaka maneno mengi ,mwanaume mimi na ujanja wangu wote, nikapiga magoti mbele ya zena , nikamwambia sikia zena nimekosea ile siku, mi binadamu kuna mda natereza mama ,nisamehe , nimekosea kweli kweli, na nimeteleza mnoo ,nakuhaidi zena sitarudia tena kufanya kosa kama lile ,nisamehe sana mama yangi, mi naumia nikikuona wewe na hali yako hii unapambana na biashara za moto na mimi nipo, nisamehe zena ,nisamehe mama yangu, nipe chance sasa niwajibike kama baba, oyaaaa nilinywea hii siku mana nilishaelewa apa nikipanda na nikajifanya na mm kuwa juu, mimi na zena hatutafika kokote, mana na yeye kashakuwa na hasira nikaona apa mm nipoe tu, mana ndo nimezingua Zena akanmbia nyanyuka uendee, sitaki drama kabisaa, mwanaume gani wewe. ,najuta ata kukujua mjinga wewe, naomba ondoka apaa ,ondoka bwana millan usinitibue mm, unaniletea misamaha yako ya kinafiki mimi, ni lini umewahi kujali millan, ni lini umeewahi kuwa na hiyo hururma, ni mala ngapi nimelia mbele yako na haujajali lolote ,leo unakuja unaanza fyoko fyoko, naona unataka kuniludisha kwenye mifumo yako ya maisha si ndio? Unataka kunirudisha kwenye mambo yako ya kipumbavu ili unitese si ndio, ili unisumbue mm si ndio, millan mi sishindwi kupambana na maisha yangu, mimi na wewe kipindi tunakutana uliknikuta nna maisha yangu na nna kwangu ambapo mm nililizika napo tu, ukanidanganya mengi mpaka nikaingia kwenye mkenge wako wa majuto, leo unajileta tena unakuja kujiongelesha apa, millan sikuhitaji kwa chochote na sitaki niwe na mahusiona na wewe kwa chochote kile naomba uende, kama nilivyokwambia mimba mm naimudi nisikuone apa mshenzi mmoja wewe Daaaah nikaona apaa ni shidaa, apo zena anaonge akwa hasira mpaka machozi yanmtoka, nikainuka nikamshika mkono, akanipanch mkono wangu, akanmbia usinishike mwanaharamu wwe, na marufuku kuja apa kujibebisha kwa mtoto wangu, mana nakujua we ni mnafiki tu, na wala.hujawahi kumpenda ummy, ila ulikuwa unajifanya kumpenda ikiwa ni moja ya mbinu yako ya kunipata mimi, na unichezeee mjinga wewe, tabia zako zipo wazi millan, mimi nishakubali kuwa nimebug na nimeingia kwenye mkengeee, ila sikubali kulea na wewe, so ondoka apa huna mtoto na mimi, mjinga wewe, daaah nikaona apa nikiendelea kukaa hatutapata muafaka , zena ana hasira sana anaongea mpaka anatetemeka, ikanibidi mm niondoke, nikatoka nje nikaingia kwa gari yangu, aseeee nilijua nimezingua mi ni polisi, naelewa mtu akiwa anaongea kwa kumaanisha kwemye macho yako tu, aseee nilijikuta kama machozi na mimi yananilenga, sikuwa sawa, zena alinambia maneno ya kunikata sana Nikafika zangu job , sina mood kabisaaa yani, nimepoa kisengee ata hamu ya kuongea na mtu sikuwa nayo, nimeingia ofsinis nikiwa busy na kazi, ila kila nikikumbuka maneno ya zena naumiaa, mi sikutaka kumuelezea ili jambo ibraa wala nn, nilihisi nalimudi na nitaongea nae mwenyewe tu zena tutamaliza, alafu nilikuwa naona aibu mbele ya ibraa mana ile siku nilijitamba sana kuwa naachana nae zena na sina mda nae, lakini leo nilikuwa nahitaji kuwa baba kwake, na familia yake , ila demu ndo kanigomea sasa, basi bwanaa kuanzia apo mi nilikuwa napita sana kwa zena, navizia mida ambayo yupo nyumbani ndo naenda nyieeee,ila sasa zena akawa hana habari na mm kabisaa, na kila nikienda hasira zake ndo zinazidi kupanda ,hataki kunifikilia ata kidogoo , tena apo ananipa na maneno makari mapya kila siku, na nikimkuta yupo na ummy, hataki ata kidogo, nimshike mwanae ,ananmbia mi simpendi yule mtoto ila nilimtumia tu kumpata yey, aseeee mi sikuchoka sielewi ni kwa nn, ila bado nilitaka suruhu na zena, nilifosi kwenda mwezi mzima, apo zena akafikisha mimba ya miez 8, ila bado hatulupata suruhu Aseeee nakumbuka iyo siku, nimetoka job, nikapita k kooo , nikamnunulia nguo zena , madera madera ya kulelea nafanya ile kumuandalia uzazi, nikamchukulia na ummy nguo, theni nikapita duka kubw la madawa, pale sasa nikamchukulia vifaaaa vyote vya kujifungulia mana nilishajua mimb ina miezi 8, mwezi wa tisa lazima akajifungue ,japo sikuwa tarehe zake za makadilio na hajanieleza kabisaa hii yote sababu tupo katika maugomvi, so ata muda wa kunielezea aya mambo inakuwa ngumu, basi baada ya maemezi ayo mi nikaenda kwa zena sasa , aseeeee acheni ,yale madera yalichanwa chanawa mbele yangu,,, ummy nimempa zile nguo anashangilia, akapigwa makofi ,na zile nguo zena akazivuta akazichana na kisu mbele ya macho yangu, nikaona isiwe kesi mi nikabeba vifaaa tu, niaondok navyo mana niliona na vyenyewe vitachanwa chanwa na kuvunjwa hivi hivi, ila nilijisikia vibaya sana , nilijisikia vibayaaa mnoooo , asa kwa ummy, yani anafanya mtoto sasa, aniogope mana anajua akinishobokea tu anapigwaa, nilijiuliza uyu mwanamke kwanza kabira gani mana mda wote nadate nae nilikuwa silijuh kabila lake ,na mbona ana hasira hivii, aseeee ulikata mwez na nusu nafatilia msaamaha na hakuna daaah ,nikakakausha wananangu Niliona nimpe.space kwanza mana daaah, alikuwa akiniona anacharuka kweli kweli, anawaka mda mwengine, ananifungia mlango njeee , nabaki nimesimama tu, wapangaji wengine wananaingalia nakuwa napata aibu, yani hakuwa anataka ata kunisikia kabisaa, nikaona nipoe kwanza, kweli mi nikaacha kwenda kwa zena kwanza ,na pia nilipata kazi ya kusafiri kwa week 2 nikaenda mwanza , uko nikawa busy sna na kazi, sijuh kwa nn but kwa hiki kipindi ata mood ya madame wengi nilikuwa sina yani ilikuwa inanaikata kinoma noma , basi bwana nilikaaa mwanza kwa week 2 kisha ndo nikarudi dar kuendelea na maisha , apa dar nilikaa kama week tu, nikaona ebh nikamuone zena hii siku mana sikuwa nimeenda kwke sasa kama week 3, mi sikuwa nakoma wala nn japo mchumba alikuwa ananikazia kisenge Tena iyo siku ilikuwa ni usiku , kama.saa 3 ndo nikaenda mana najua naenda kudhalilika, ila usiku ata wapangaji wenzake wanakua ndani kwao so nadhalilika mwenyewe, ila mchana doooh nikaona jau, basi bwana mi nimefika kwa zena nikagonga mlango, na akaja kunifungilia mlango ummy, nikaingia mpaka sebleni, ummy akaniamkia ila ananiogopa mtoto ata kuniwoow kama ile zamani hakuna, sieleiw zena akikuwa anamwambia nn uy mtoto, nikamuuliza mama yuko wapi, akanmbia chumbani anaumwa mama leo, mh nikasema sawa mi sikugonga wala nini ,nikaingia mpaka chunbani, kweli namkuta zena ,amekaa kitandani ila anaangaika anagaika, mh nikamuuliza zena shida nini, akanmbia naumwa naumwa sana nampigia shey hapatikani, mh nikamuuliza unamwa nini, akanmbia kiunoa ,na tumbo uku chini linanaivuta, mh mi nakujua uyu uchungu, mi si naelea anishazalisha sana, nikaona uchungu nyoko leo mtoto kanijibu hakuna ujeuri wala kunufukuza manina zake🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌🙌🙌 🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

“Dad, Ninakupa masaa 24 Uchague. Ukimchagua Noela, huta niona tena. Lakini Ukinichagua mimi, utaachana na Noela then tutaendelea na maisha yetu kama zamani” Baada ya kusema hivyo, Salmon na mama yake wakatoka kule ofisini. Mr. Marvel akabaki peke yake akiwa njia panda, Hakujua afanye nini. Huku mtoto anataka, huku mapenzi anataka ila jamani🙌 Basi Jioni aliporudi nyumbani, Noela aligundua hana furaha Akamuuliza, “Kuna nini?” Mr. Marvel akamsimulia kila kitu kilichotokea ofisini mchana. Noela akamuuliza “Utamchagua nani?” “Sijui” “Mchague Salmon maana Ni mwanao. Pia sisi hatuko kwenye uhusiano kusema kwamba ni ngumu kwako kuchagua”🥺 “Ni ngumu kwa sababu nakupenda Noela! Ni mara ngapi nimekua nikikuonyesha???…. Je Mama Do you love me??? Kwa mara ya kwanza, Noela akatingisha kichwa kukubali kwamba anampenda “ndio nakupenda”🙈 Mr. Marvel hakuamini alichokisikia! Weeeh akafurahi sana na kumkumbatia kwa nguvu, kuwa hatimaye amekiri hisia zake. Noela akamuuliza “Tutafanyaje sasa?” “Nitatafuta njia ya kuongea na Salmon vizuri ili akubali uhusiano wetu” “Na akikataa je??” “Hawezi kukataa, ila nipe mda wa kuongea nae vizuri sawa msichana wangu??”🥰 “Sawa” Noela akakubali lakini moyoni tayari alikuwa ameshaamua kuondoka. Hakutaka kuwa sababu ya baba na mwana kugombana au kuivunja familia ya watu💔. Asubuhi na mapema kwa siri sana, akakusanya vitu vyake vyote na kuondoka bila hata mlinzi kumuona. Hakuenda hostel, wala hakwenda mahali pengine zaidi ya kurudi nyumbani kwao Arusha. Nini kitaendelea? Nakuja…

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

Basi mimi nikaludi nyumbani nipo stressed kinoma , yani mawazo yamenijaa mnoo, nawaza inakuwaje sasa demu ndo kashanikazia ,ila naumia mnoo kwa ile hali yake na bado anaendelea kufanya biashara za moto vile daah ,yule demu anaumia bwana, nilimuwazia zana na alivyo na hasira na mimi sijuh itakuwaje sasa , nikaona ile mimba ina miezi 7, mi nikimkaushia ntanyimwa mtoto kweli, nikaona hapna lazima nipate suluhu na zena, tuongee na tuyamalize ili mimi nipate ata channce ya kuhudumia ile mimba, manaa daah niliona demu anaumia vile, akija kuzaa si atamjaza maneno kibao mtoto , nikaona hapana bwana hasira apa niweke pembeni, nitafute mdaa mimi na zena tuongeee, basi bwan kuna namba yangu uwa ninayo zena haijuh, nikachukua iyo siku nikampigia, na kweli akapokea Aseee nilivyosema tu halllow, simu ikakatwa napiga tena nayo kashanilamba block, nikajua kasikia sauti kanijua ,dooh nikaona kweli safari hii mchumba kaamua yani, basi mm sasa nikampigia shey uo usiku kama saa 5, kweli shey akapokea, nikamwambia shey sikia, mi ni mtu mzima ila safari hii nimezingua na naelewa kama nimezingua, but now nataka amani, kwa sasa nataka kuwa baba kwa mwnangu, ebu plsss ongea na zena , tumalize hizo shida, shey kanmbia millan, mi kwa sasa sitaki kujiingiza katika shida zenu kabisaa kati yako na zena, hivi unajua zena hataki ata kukusikia nazani umejionea vizur tu leo, aya mm naanzaje kwenda kumwambia ayoo hapana mm siwez , alafu millan we ni mzinguaji alafu ukashindwa kumuelewa zena, Zena sio mwanamke wa pilika pilika kabisaa kama sie , zena ni mwanamke mtulivu asiye na shida ata akodogo, millan zena alikuwa anakupenda kweli wewe, na hakutarajia yale, lakini ukamfanyia ya kumfanyia na haukujali kabisaaa, tena ukaonesha umwamba wako kama wewe mwanaume ,leo unanambia mie nikaongeee na zena arudi mwako,habadani mimi siwezi, yani siwez kabisa, mana mambo yako afande millan unayajua, dakika mbili ni wewe na dakika 2 sio wewe, kiukweli mm siwez hapana kabisaa, nikasema shey we ndo rafiki wa pekeee wa zena, asa usiponisaidia wewe atanisaidia nani, mi now serious nataka kulea mimba , mbona inakuwa hivi , shey akanmbia issue moja wewe huna wema millan, na unapenda sana kucheza na hisia za watu, kiukweli hapana sitaki, we panga mda nenda kaongee mwenyewe na mwanamke wako, apo sasa shey akanikataima na simu . Nikaona powa hakuna noma Basi mi nikaandaaa msosi ,nikala kidogo kweli, yani nilijishngaaa mood ya kula kama nnavyokulaga ata sina, baada ya chakura sasa , nikaenda zangu kulala.ata kuoga niliona shida, daaaha asubuh na mapema mi kablaa sijaenda kazini ,hamuwezi amini mi nikapita kwa zena, yani kwa mda uo nilijikuta tu nataka kuwa responsible kama baba, sikutaka zena awe anaangaika vule wakti mi naweza kumsaidia, yani saa 12 nipo kwake, nimefika nikatulia njeee mana kulikuwa kimyaaa, si mnajua asubuh watu hawajaamka na hadi nyumba ilikuwa imefungwa, aseee kama bahati, namuona zena anatoka kavaa dera anampeleka mtoto shule yani ummy , mi sikushuka nikatulia nimngoje aende mpaka arudi na naona gari yangu hakuiona ,mana kwa apa Alipohamia now gari napaki mbali kidogo, basi kweli akaendaaa na mwanae, nilipoona anarudi na mimi haraka nikamuwahi sasa ili nizungumze nae nione kama tunaweza kuelewaana

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

Kila mwanamke ana mzunguko wake lakini hii ndiyo mizunguko ambayo kila mwanamke lazima awe na mzunguko mmoja kati ya hizi:👇 1. MZUNGUKO WA SIKU 22. Huu ndo mzunguko mfupi kuliko mizunguko yote na kuna uwezekano wa kuingia period mara mbili kwa mwezi mfano mwanzoni mwa mwezi na mwishoni mwa mwezi japokuwa siyo lazima lakini wapo ambao huwatokea hii na siyo tatizo maana mzunguko wao ni mfupi. Kitu muhimu siyo kubadilika tarehe ulizoingia bali idadi ya siku ulizotumia katika hedhi iliyopita na hedhi ya sasa. Katika mzunguko huu wa siku 22 siku za hatari hapo ni siku ya 4 mpaka ya 9 baada ya kuanza hedhi.🩸 2. MZUNGUKO WA SIKU 23. Katika mzunguko huu wa siku 23 siku za hatari hapo ni siku ya 5 mpaka ya 10 baada ya kuanza hedhi.🩸 3. MZUNGUKO WA SIKU 24. Katika mzunguko huu wa siku 24 siku za hatari hapo ni siku ya 6 mpaka ya 11 baada ya kuanza hedhi.🩸 4. MZUNGUKO WA SIKU 25. Katika mzunguko huu wa siku 25 siku za hatari hapo ni siku ya 7 mpaka ya 12 baada ya kuanza hedhi.🩸 5. MZUNGUKO WA SIKU 26. Katika mzunguko huu wa siku 26 siku za hatari hapo ni siku ya 8 mpaka ya 13 baada ya kuanza hedhi.🩸 6. MZUNGUKO WA SIKU 27. Katika mzunguko huu wa siku 27 siku za hatari hapo ni siku ya 9 mpaka ya 14 baada ya kuanza hedhi.🩸 7. MZUNGUKO WA SIKU 28. Katika mzunguko huu wa siku 28 siku za hatari hapo ni siku ya 10 mpaka ya 15 baada ya kuanza hedhi.🩸 8. MZUNGUKO WA SIKU 29. Katika mzunguko huu wa siku 29 siku za hatari hapo ni siku ya 11 mpaka ya 16 baada ya kuanza hedhi.🩸 9. MZUNGUKO WA SIKU 30. Katika mzunguko huu wa siku 30 siku za hatari hapo ni siku ya 12 mpaka ya 17 baada ya kuanza hedhi.🩸 10. MZUNGUKO WA SIKU 31. Katika mzunguko huu wa siku 31 siku za hatari hapo ni siku ya 13 mpaka ya 18 baada ya kuanza hedhi.🩸 11. MZUNGUKO WA SIKU 32. Katika mzunguko huu wa siku 32 siku za hatari hapo ni siku ya 14 mpaka ya 19 baada ya kuanza hedhi.🩸 12. MZUNGUKO WA SIKU 33. Katika mzunguko huu wa siku 33 siku za hatari hapo ni siku ya 15 mpaka ya 20 baada ya kuanza hedhi.🩸 13. MZUNGUKO WA SIKU 34. Katika mzunguko huu wa siku 34 siku za hatari hapo ni siku ya 16 mpaka ya 21 baada ya kuanza hedhi.🩸 14. MZUNGUKO WA SIKU 35. Katika mzunguko huu wa siku 35 siku za hatari hapo ni siku ya 17 mpaka ya 22 baada ya kuanza hedhi.🩸 HIZO NI SIKU ZA HATARI KWA KILA MWANAMKE NA MZUNGUKO WAKE UKIONA UNA MZUNGUKO TOFAUTI NA HII/ MZUNGUKO UNABADILIKA BADILIKA KILA MWEZI UJUE UNA TATIZO LA MVURUGIKO WA HOMONI. Je, baada ya kujihesabia angalau miezi minne nyuma kuanzia leo umegundua wewe una mzunguko wa siku ngapi?. #SAID_UZAZI.

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

Baada ya jana klabu ya Simba kutangaza kumuongezea mkataba mpya wa mwaka mmoja beki wao kitasa Rushine De Reuck, baadhi ya mashabiki wa soka nchini 🇿🇦Afrika Kusini haswa wa Kaizer Chiefs wameonekana kuumizwa sana na tukio hili huku mashabiki wa Mamelodi Sundows wakiwazodoa kuwa hawawezi kumpata😂 Ikumbukwe wakati Rushine anajiunga na Simba mwanzoni mwa msimu, ripoti kutoka 🇿🇦Afrika Kusini zilisema kuwa Kaizer Chiefs walikuwa wanamtaka lakini Sundowns wakagoma kutokana na upinzani wao uliopo katika ligi ha PSL! HAYA MAMBO YAPO MPAKA BONDENI KWA MADIBA!😄

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

ENDELEA....... Madame Yustar alitoa amri mimba itolewe ili kuepusha laana kwenye ukoo wao. "Hapana siwezi kutoa mimba hata iweje" Mellisa alimvimbia mama yake. Saa ngapi asilukiwe akaanza kutembezewa kichapo. Nae hakukubali apigwe kilahisi, walijikuta mama na mtoto wanapigana mie nilikuwa nimesimama pembeni nawaangalia yaani najionea maajabu haya yaani mama na mtoto wanapigana kisa mwanaume. "Nakwambia lazima utoe hiyo mimba labda kama mimi sio mama yako" Madame Yustar akiendelea kuongea huku anamshushia kipigo mwanae na Mellisa nae hakukubali alikuwa anajitutumua kumludishia mashambulizi mama yake japo ilikuwa ngumu kwake kwasababu mama yake alimzidi nguvu. Niliingilia ugomvi kuwaamulia, waliachiana kila mmoja alikuwa mwenye hasira kali sana. "Mimi ndiye chanzo cha huu ugomvi. Nimeamua kuondoka kwenye maisha yenu, naombeni mnisamehe ila sisi wote tuna makosa. Madame wewe ndiye ulilazimisha kuwa na mahusiano na mimi kwankunitishia nisipokubali basi utanifukuza kazi. "Hivyo hivyo hata kwa Mellisa ulinitishia pia. Mimi ni mtoto wa masikini niliyekuwa nimekata tamaa na maisha. Sehemu yenye unafuu wa maisha ndipo nilikutana na vikwazo vyenu. Niliamua kukubali yote kwasababu ya maisha na sio tamaa za kimwili. Kiukweli nyie wote wawili sijawai kuwapenda, ila keasababu mlilazimisha ilibidi nikubali tu" Niliongea hayo. "Leo unaongea nini?, unamuogopa mama kusema kweli kama unanipenda. Hivi unajua ukweli umuweka mtu huru?" "Ukweli wangu ndo huo. Naweza kuondoka muda huu nikapambane na life kwengine" Wote walianza kulia. Aiseee hawa watu walikuwa na kichaa cha mapenzi. Nilishangazwa na namna walivyokuwa wanalia. Kila mtu alisema ananipenda na hayupo tayari kunipoteza. Nilijuta hata kwanini nilikubali kujiingiza kwenye huu mkenge nilitamani siku ziludi nyuma niwakatae wote wawili ila ndo hivyo jambo lishatokea. Madame alitoka chumbani kwa mwanae tulibaki mimi na Melissa. "Leo nakupenda usinikatili namna hii. Baki na mimi mwenye kiumbe chako. Kwanza uliwezaje kutembea na mama mbona ni sawa na mama yako mzazi jamani?" "Wote mlilazimisha mapenzi kwangu, ningefanyaje na mimi nilikuwa sina kitu na nyuma yangu nins familia inayonitegemea nitafute niwapelekee chochote kitu. Mellisa labda nikwambie ukweli tu ambao sikutamani muujue wote wawili wewe na mama yako. "Ukweli gani huo unaotaka kumwambia na ambao ulituficha wote?" Madame Yustar aliingia chumbani tena huku akinitwanga na swali. "Nitasema Leo" "Hebu kwanza njooni sebleni" Madame akituambie twende sebleni. Tulikaa hapo sebleni huku ukimya ukitawala. "Leo zungumza chochote ili nikuelewe na naweza nikakuacha uendelee na maisha yako kama nitakuelewa tofauti na hivyo utaendelea kuwa mtumwa kwenye nyumba hii na hakuna sehemu unaweza kunitoroka" "Haina haja ya kuniwekea vizuizi tena. Kwa namna yoyote ile siwezi kuishi nanyi tena" "Ukiwa na maana?" Madame Yustar aliniuliza. "Ninaondoka leo hii" "Hautatoka hapa bila ridhaa yangu" "Hauwezi kunilazimisha niendelee kukupenda. Moyoni mwangu yupo mwanamke mmoja tu ninayempenda ambaye ni mama hinaya mke wangy" "Una mke?" Melissa aliuliza kwa mshangao, mama yake nae alinitazama kwa viulizo. "Ndiyo nina mke tena wa ndoa kabisa" "Ya kweli hayo leo?" Madame aliniuliza. "Huo ndo ukweli" Madame alifoka kwanini nilimdanganya siku zote mpaka kuzama mazima moyoni mwangu. Mellisa na alipaniki wote walijikuta wanalia tena kwa uchungu. Mellisa alienda chumbani kwake. Huko alijifungia ndani alilia sanaaa. Mie sikuwa na sababu ya kuendelea kubaki. Niliingia chumbani kwangu nilifungasha vitu vyangu huyo nikatoka. "Hapa ukikuja ukiwa huna kitu na unatakiwa kuondoka kama ulivyokuja" Madame bakinikazia. Sikumpinga niliachia begi na uzuri hakukuwa na kitu cha maana zaidi ya nguo na viatu tu. Pesa zangu zote nilikuwa naweka kwenye accont ya bank na nyengine nilikuwa namtumia mke wangu. Nilinyangamywa mpaka simu ila sikujali kwasababu mimi sio masikini tena kama walivyodhania. Madame alijiaminisha naweza kukubali kuendelea kuwa mpenzi wake kwasababh mimi ni masikini nisiye na akili kumbe mwenzie nishajipata muda mrefu nina nyumba nzuri na biashara bado account yangu inasoka. Alininyang'anya mpaka simu ili tu aniwekee vikwazo ila alifeli niliondoka. Huo ndo wakati wangu wa kutulia na familia yangu sasa. Kabda ya kufika kwangu nilipitia kanisani. Nikienda kanisani kwaajili ya kufanya toba. Nilimueleza mchungaji yote wala sikumficha. Mchungaji aliniongoza sala ya toba. Baada ya kutubu nilijihisi nipo huru sasa kimwili na hata kiroho. Nilipitia bank kutoa pesa baada ya hapo nilienda kufanya shopping kwaajili yangu na familia yangu kwa ujumla. Huko shopping nilikutana na Madame Zuri. Alianza nae ujinga. Niliamini hili ni jaribu ambalo MUNGU amelileta mbele yangu baada ya kufanya toba. Madame Zuri alifanya mbwembwe za kila aina ila nilimkataa, pesa sijui nini. Yaani slifanya jitihada zote ili nimkubali nikalale nae ila nilikataa kata kata. Baada ya kukutana na Madame Zuri ndipo nilikumbuka kuhusu afya yangu. "Nisije nikampelekea mke wangu maradhi. Inabidi niende hospitali kupika ukimwi kwanza" Nilienda hospitali kujua hali ya afya yangu, namshukuru MUNGU nilikuwa salama🥹🙏. Niliondoka mpaka mwangu. Ujio wangu wa gafla ulimshamgaza mke wangu ila kwa furaha alinipokea kwa bashasha. "Sitokaa mbali nanyi tena. Nakupenda sana my wife. Wewe ndo mwanamke wa maisha yangu, mwanamke ambaye ni kipaumbele changu, mwanamke wa ndoto zangu, mama watoto wangu. Tambua haupo na mimi mwilini tu bali mpaka moyo wangu umeutawala wewe" Niliongea hayo kwa hisia mke wangu alinikumbatia kwa nguvu. Kiukweli tunapendana sana na mke wangu. Mwanamke aliyenivumilia nyakati za shida na maangaiko. Kuna wakati tulilala njaa kwa kukosa chakula ila sikuwai kusikia wala kuhisi amenisaliti. Upande wa Mellisa baada ya kuchoka kulia sasa alitoka chumbani kwake alienda chumbani kwa mama yake alimkuta mama yake anakunywa pombe. "Mama nipo tayari kutoa mimba" Alizungumza akiea serious kabisa. Mama yake alifurahishwa na maneno ya mwanae. Aliamini kama Melissa atagoma kutoa mimba na akazaa basi itaendelea kuwa laana ya kizazi na kizazi. Mama na mtoto walisamehana kiroho safi. "Ila nina ombi moja" Mellisa alimwambia mama yake. "Ombi gani?, niambie binti yangu" "Baada ya kutoa mimba sihitaji kuendelea kuwepo hapa nchini. Nahitaji kuendelea na masomo nje ya nchi" "Hilo tu. Limepita mwanangu" kabda Usiku haujawa mkubwa walifanya mchakato wa kutafuta dawa ya kutoa mimba changa" Mellisa alifanikiwa kuharibu mimba na baada ya hapo aliondoka nchini. Upande wangu na familia uangu maisha yaliendelea vizuri biashara yangu ilizidi kukuwa nilifaniliwa kufungua duka lengine la spea, nilinunua gari, Hakika leo nimekuwa Leo na sio jana tena. Madame Yustar ananitafuta sana ili tuendelee na mapenzi yetu ya siri ila hajawai kufamikiwa kunipata. Alishaenda mpaka pale nilipokuwa nakaa awali kwenye chumba cha kuoanga cha giza ila hakufanikiwa kunipata mpaka leo hii na laini ya simu nilibadili.......Huu ndo UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE. Nimefanikiwa japo nikichezewa sana uwanaume wangu🥹🥹🥹😂😂😂. Natarajia kuitwa baba wawili, kwa sasa mke wangu ni mjamzito. Yes kila siku namuambiaga MUNGU hakika njia zako hazichunguziki japo nilikukosea ila nilikumbuka toba na kwakuwa wewe ni MUNGU wa rehema ukanisamehe BABA. Endelea kuyagusa maisha yangu, endelea kuigusa familia yangu, mke wangu na watoto wangu. ............MWISHO............ IMEANDIKWA NA MTUNZI NURU HALISI.......... ASANTENI WOTE MLIOFUATILIA MKASA HUU WA KUSISIMUA MWANZO MPAKA MWISHO. MUNGU BABA AZIDI KUWABARIKI SANA ❤️🙏🙏🙏.

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

ENDELEA......... Mipango yangu iliendelea kwenda vizuri. Nilifanikiwa kufungua duka langu la spea za magari mke wangu alikuwa nsimamizi mzuri. Japo hakuwa na elimu ila alikuwa na akili ya biashara sana na ni mwanamke mwenge uchungu wa pesa. Basi asubuhi moja tukiwa mezani kwaajili ya kifungua kinywa. Ilikuwa chai ya maziwa, mkate na mayai ya kukaanga. Gafla Mellisa alijisikia kichefu chefu. Alikimbilia jikoni kwenye sink la vyombo alianza kutapika. "Ana nini huyu?" Mama yake aliuliza. Wote hatukuwa na majibu, nilipata hofu moyoni nilihisi labda Mellisa nibmjamzito. "Mama yake alimfuata jikoni alimkuta bado anatapika. Alisimama pembeni yake. Alipomaliza kutapika swali la kwanza alimuuliza. " Mellisa una mimba?" Mellisa mwenyewe alishtuka kwanza. "Unashangaa nini sasa. Nakuuliza una mimba?" "Sijui mama" "Okay, najua huwezi kuendelea kunywa chai maana ndiyo sababu ya wewe kujisikia kichefu chefu. Nenda chumbani kwako kapumzike nakuja muda si mrefu" Mellisa alienda chumbani kupumzika, mama yake alitoka nje ya nyumba hatukujua ameelekea wapi. "Inaweza kuwa ni mjamzito" Misha aliniambia tukiwa mezani tunakunywa chai. Hofu ilizidi kunitanda. Madame aliludi na moja kwa moja alienda chumbani kwa binti yake. "Shika hiki kipimo kapime mimba" Alimkabidhi Mellisa kipimo. Melisa alienda chooni baada ya muda akitoka akiwa na kipimo mkononi, alimkabidhi mama yake. "Unaweza kuniambia hiyo mimba ni ya nani?" Mama yake alimuuliza. Mellisa alikaa mimya kama vile hajasikia. "Leo kama utasubutu kujifanya kiburi nitakupiga kipigo cha mbwa koko, sikumbuki kama nimewai kukupiga ila leo nitakuzibua haswaaa! Niambie muhusika wa hiyo mimba. "Mama nakwambia ukweli ila naomba umsamehe pia yeye hana kosa mwenye makosa ni mimi. Nampenda sana mama yangu" Melissa aliongea hayo huku analia. "Sawa niambie ni ya nani?" "Muhusika wa hii mimba ni Leo" Mellisa aliongea kwa sauti ya chini. "Umesema ya nani?" "Ya Leo mama" "Leo Huyu wangu au Leo gani?" Mama yake aliuliza kwa uoga. "Ndiyo Leo huyu mfanya kazi wetu" "Uwiiiiiii! Nimekwisha mimi" Mama mtu alishika kichwa na kukaa chini kabisa. "Mama naomba usimdhuru nampenda sana Leo nipo tayari kuwa mke wake. "Mb...wa wewe unaongea ujinga gani. Unawezaje kushare du...du na mama yako" "Sijakuelewa?" Mellisa aliuliza kwa mshangao. "Hujaelewa nini. Hivi Mellisa muda wote tulioishi na Leo humu ndani kusoma hujui hata picha huoni, yaani wewe huyo nae umelikalia du....du la Leo mpaka mimba umebeba?, Uwiiiii! Aibu gani hii" Basi ni vilio tu vilitawala humo chumbani. Ilibidi mimi na Misha tuwafuate huko chumbani ili kujua shida nini. Ile naingia tu Madame Yustar alinikwida kisawa sawa. Alinitukana matusi kama yote huku ananishushia vibao vya maana. Sikuwa na namna zaidi ya kuwa mpole tu. "Unaweza kutembea na binti yangu mpaka kumbebesha mimba mimi sikutosh" Misha alibaki mdomo wazi. "Mama Leo hana kosa. Mwenye makosa ni mimi, mimi ndiye niliyempenda kabda yake na nilimlaximisha kuwa na mimi kwa kumtishia nitamchongea afukuzwe kazi. Nampenda sana Leo tafadhali usimoige" Mellisa aliongea hayo huku akiwa analia. Mama yake aliishiwa pawa. Alikaa chini kwa mala nyengine alianza kulia, alilia sana na hakuna aliyemsogelea kumbembeleza. Baada ya kunyamaza alimwambia Misha atoke anataka maxungumzo ya watu watatu tu. Misha alitoka. "Umesema wewe ndiye mwenye makosa maana ulimpa vitisho Leo yaani ulitumia ubabe ili akupende si ndiyo?" Madame alimuuliza mwanae. Mellisa hakujibu zaidi ya kuinamisha kichwa chini. "Okay basi ni hivi, hiyo mimba itolewe tena kwa haraka leo hii hii kabda jua halijazama. Siwezi kuifuga hii laana mimi" Madame aliongea hayo kwa kumaanisha......... ITAENDELEA...........

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

SONGA NAYO.... Niliwaona mama na baba yangu wakiwa wanamshangaa sana yani walishangaa mpaka wakanisahau mtoto wao kama naumwa 😂 Basi mimi niipomuona Anfrey nilinyanyuka na kwenda kumkumbatia " Nasrat wangu, yupo wapi mtoto wangu..??" Nilimuuliza pale tu nilipojitoa kwenye kifua chake, upande wa wazazi wangu walikuwa hawaelewi chochote kilichokuwa kinaendelea hapo. "Mtoto wako yupo kwenye hospital nyingine tofauti na hapa, maana kule yupo chini ya uangalizi mkubwa sana maana hali yake sio nzuri .." "Sawa naweza kwenda kumuona..??" "Kwa sasa hali yako sio nzuri ndio kwanza umeamka, unajua toka uzimie kule Oman ni week mbili sasa yani tumekusafirisha ukiwa hujitambui kabisa..." Habari hizo nilikuwa ngeni kwangu, nilijua tu hakuna uwezekano wa kumuona Nasrat tena ikiwa kama nipo Tanzania na Mtoto yupo Oman nitafanya nini mimi eeeh Nilipiga magoti chini na kukusanya mikono kwa pamoja kisha nikasema "Ee mungu, ikiwa umeandika apitie kikombe hiki cha maumivu , ninakuomba bwana umuepushie mabaya yote yaliyo mbele yake na hata yajayo Nakuomba bwana muinue yule malaika wako, muondoe katik roho ya umauti ambayo anaipitia kwa wakati huu najua bwana unaweza na hakuna jambo lolote lile lisiloshindikana kwako Pleas Lord, 😭😭" Niliomba sana mpaka mama akaja kuniinua lakini sikuacha kusali nikimuombea Nasrat, muda ulienda nikiwa sina furaha amani wala utulivu Nilikuwa situlii kabisa mule wodini, na siku hiyo ikapita kwa mbinde sana hata usiku sikupata kabisa usingizi, kesho yake majira ya saa nne Anfrey alirudi akiwa ameongozana na swatii Sikuwa mwenye amani kabisa ndani ya moyo wangu, basi nikasalimiana nao pale ki kavu tu huku moyo wangu ukiwa na hamu ya kuwauliza habari za Nasrat "Mira, unatakiwa kunywa chai harafu twende ukamuone mwanao.." Nilitabasamu, basi chai ikaletwa nilikunywa haraka haraka vitafunwa nilikuwa navitafuna mara moja au mbili kisha nameza yani chapu chap nikawa nimemaliza 😅😅 Anfrey na swatii wakabaki wananishangaa tu, me sikujali nilichokuwa nawaza kwa muda huo ni mtoto tu basi hayo mengine hata hayanihusu kabisa. Basi hawakuwa na muda wa kupoteza tuliingia kwenye gari, na safari ya kuelekea kumuona mtoto ilianza, safari niliiona ndefu sana basi tuliweza kufika Kwa kuwa akili yangu haikuwa sawa sikuweza kutambua sehemu tulipokuwa, baada ya gari kusimama nilikuwa wa kwanza kushuka kwenye gari Nilitembea kama vile me ndio mwenyeji yani nilikuwa sijielewi kabisa, ikabidi Anfrey na swatii waongeze mwendo wa kunikimbilia 😂 "Mira hapa kuna itaratibu wake mama, so tafadhali sana kuwa makini tu usije kuleta vurugu.." Anfrey alizungumza nikajibu tu sawa kisha tukaendelea na safari yetu, tulifika mapokezi tukaelekezwa vizuri tu huku kwa upande wangu nikijitahidi kutulia Tulifuata maagizo yote ya mdada wa mapokezi kisha tukaondoka, chumba alichokuwa mtoto kilikuwa ni ghorfa ya tatu so tulitumia lift kufika huko Kweli bana tulifika mpaka chumba alichokuwemo mtoto, nyie niliumia zaidi baada ya kumuona binti yangu akiwa bado hajazinduka na kibaya zaidi kitovu chake kilikuwa kimevimba na kutoa usaa ni vile tu walikuwa wanamsafisha kila muda 🥹 Nilisogea na kuanza kumshika nywele zake huku nalia dah, yani kama ikitokea nikagundua ambaye amefanya hivi walah nitahakikisha na yeye anapitia maumivu ambayo anapitia huyu Malaika Hata kama nitakuwa nimemkosea mungu kiiasi gani ila kwa hili niseme tu samahani yani siwezi kuvumilia kumuacha huyo mtu aishi kwa amani na ikiwa binti yangu anapambania uhai Nitamtenda kitu kibaya ambacho atakaa akijutia maisha yake yote, nilikuwa nampapasa mtoto ila mawazo yalikuwa mbali mno, basi nilikaa mle wodini huku nikiwaomba wale wengkne watoke Kwakuwa walikuwa wanajua mimi ndio mama mzazi wa Nasrat so hawakuwa na kipinganizi, walitoka mle wodini na kuniacha mimi na binti yangu Nilimtazama binti yangu kisha nikapiga magoti mkono mmoja nilimuwekea Nasrat juu ya paji lake la uso harafu ule mwingine niliuinua juu ........ ITAENDELEA......

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Siku iliyofuata, Noela alipofika chuoni alihisi hali si ya kawaida. Watu walikuwa wanamuangalia kwa macho ya ajabu, wengine wakinong’ona pembeni yake. Alijaribu kupuuza lakini hali ilikuwa mbaya zaidi alipoingia darasani😭. Mwishowe, rafiki yake mmoja akamwonyesha picha zilizosambazwa kwenye magroup. Aliona picha zake pamoja na maneno ya kumdhalilisha. Hapo ndipo alielewa kwa nini kila mtu alikuwa anamtazama vile. Alishindwa hata kusoma siku iyo, Akaamua kuondoka chuoni na kurudi nyumbani😭. Tukija kwa mama Salmon, alikuwa akiwaza sana ombi la mwanae. Alikuwa na hisia bado kwa Mr Marvel, lakini kurudiana naye haikuwa rahisi kwa sababu Mr Marvel hakumtaka tena. Baada ya kufikiria kwa muda, akaamua kurudi Dar ili akajaribu bahati yake huenda akarudi kwa mumewe kama zamani. Jioni Mr Marvel aliporudi nyumbani, alimkuta Noela analia. Haraka akamsogelea Akamuuliza, “Kuna nini?” “Chuo kizima kinanicheka. Wanasema nimetembea na baba na mtoto”😭 Mr. Marvel akakasirika, akidhani ni Salmon ndiye aliyesambaza maneno yale. Akamkumbatia Noela na kusema “Usijali. Haya mambo yataisha” “Siwezi kwenda chuo tena. Sina amani mimi”🥺 “Pumzika nyumbani kwa siku mbili. Baadaye utaendelea kwenda chuo, kama utaona bado hali ni ngumu, nitakutafutia chuo kingine! Sawa” “Sawa” Noela akakubali huku Mr. Marvel akimbembeleza ili ajisikie vizuri🥰 Kusema kweli Hata Noela alikuwa ameanza kuwa na hisia kwa Mr. Marvel lakini kwa jinsi mambo yaliyokuwa yanaendelea, hakuona kama anaweza kuanzisha uhusiano naye tena💔. Basi Siku iliyofuata, Salmon alifika ofisini kwa baba yake. Lakini hakuwa peke yake, alikuwa pamoja na mama yake, Grace. Mr. Marvel akashangaa kuwaona pamoja. Akamuuliza “Grace, umefika lini?” Grace akajibu “Nimefika muda si mrefu” “Okay karibuni mkae” Wote wakakaa ili kuzungumza. Salmon ndie alikua wa kwanza kuongea “Dad! Sitaki kukuona na Noela” “Ninamjali na nampenda Noela. Ni ngumu kuwa mbali naye” Salmon akakasirika “Siwezi kukubali hilo”😡 “Kwanini huwezi kukubali??? Nilikutana na Noela kabla hata sijajua kuwa una mahusiano nae! Kabla hata hujanitambulisha kwake! Na toka siku hiyo nilimpenda mpaka leo” Mr Marvel alikua mgumu kuelewa. Kuona kuna uwezekano baba na mtoto kupigana, Mama Salmon akamuomba Mr Marvel kama mzazi mwenzake “Tafadhali achana na mpenzi wa mtoto wako. Tujaribu kurudiana na kujenga familia yetu tena! Huu umri sio wa kuhangaika na vibinti Marvel”🥺 “Siwezi kurudiana na wewe. Sababu sina mapenzi na wewe! Moyo wangu na hisia zangu anazo Noela tu! Huyo ndo mwanamke ninae taka kuwa nae” Mr Marvel aliongea kwa hisia kiasi kwamba Mama Salmon akaona kweli anamaanisha anachokisema. Pia akagundua jinsi gani Mr. Marvel anampenda Noela. Aliona anampenda sana kuliko hata alivyo mpenda yeye zamani💔. “Ooooh unampenda sana??? Basi Chagua moja Mimi mwanao au huyo mwanamke” Salmon alisema kwa uchungu. Maskini Mr. Marvel akabaki kimya kwa muda. Anampenda sana mwanae kuliko kitu chochote na upande mwingine anampenda Noela kwaiyo kuchagua ni ngumu.

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Salmon alisimama pale akimtazama Noela na baba yake kwa macho yaliyojaa hasira na maumivu. Hakutegemea kabisa kumuona Noela akiwa kwenye dinner ya kimapenzi na baba yake mwenyewe. Iris yeye alisimama pembeni, akitabasamu kwa dharau. Ndani ya moyo wake alifurahia sana kuona Noela akiwa amefumwa😔. Salmon akasema kwa sauti ya juu “Huyu ndiye mwanaume anae kupa kiburi Noela? Baba yangu?”🗣️ Noela akakunja uso maana Hakupenda kabisa kumuona Salmon pale, tena kwenye usiku wa birthday yake. Ukizingatia yeye na Mr Marvel walikuwa hawapo bado kwenye mahusiano. “Salmon hii si sehemu ya kuleta kelele please ondoka” Salmon akacheka kwa uchungu “Niondoke? Unataka niondoke baada ya kugundua kuwa unatembea na baba yangu?”🗣️ Watu waliokuwa karibu wakaanza kuangalia upande wao si unajua wabongo kwa umbea🤣! Ikabidi Mr. Marvel amtazame Salmon kwa macho makali “Hey Salmon, tulia. Hii si sehemu ya kufanya drama” Lakini Salmon hakuwa tayari kumsikiliza hata baba yake. Alikuwa amechanganyikiwa kabisa. “Why Dad??? Yani Wanawake wote duniani hawakufai mpaka uchague ex wangu? Whhhy”🥺 “Unalalamika nini wakati wewe ndo mwenye makosa??? Alafu Mimi sina mahusiano na baba yako kama unavyo fikiria” Noela alijitetea “Ndiyo nilikosea Lakini sikutegemea wewe utafika hatua ya kuwa na baba yangu”😡 Mr. Marvel akasema kwa sauti nzito “Noela si mali yako! Mliachana na kila mmoja ana haki ya kuendelea na maisha yake” Iris akadakia “Unaona sasa Salmon? Huyu ndiye Noela wako. Anatembea na baba yako bila hata aibu! Heri yangu mimi”😒 Noela akamgeukia Iris kwa hasira “tena Wewe kaa kimya maana Yote haya yalianza kwa sababu yako” “Kwa sababu yangu? Mimi nilifanya kosa lakini wewe sasa umeamua kulipiza kisasi kwa kulala na baba yake sio?” Salmon akapandwa na hasira zaidi “Iris, nyamaza!”🗣️ Iris alinyamaza Lakini tayari watu wengi walikuwa wanawatazama mpaka aibu. Mr Marvel akamshika Salmon begani “Go home, tuliza hasira then tutazungumza kesho nyumbani!” Salmon akageuka nyuma macho yake yakiwa mekundu akaondoka bila kusema lolote huku Iris akimfuata. Mpaka pale birthday dinner ikawa imesha haribika kabisa. Mr. Marvel akamwangalia Noela kwa upole “Kama unataka, tunaweza kuondoka”😔 Noela akatikisa kichwa “Hapana, Leo ni birthday yangu Sitaki mtu yeyote aharibu siku yangu” “Utakuwa comfortable kuendelea kula hapa na watu wakitushangaa kiasi hiki??” “Yes! Gharama zote hizi ni kwaajili yangu alafu tubadilishe hoteli kisa Salmon! No! Tule hapa hapa” Noela akavuta kiti akakaa Mr. Marvel akatabasamu kidogo “thats my girl” Basi Muziki wa taratibu ukaendelea pale, wakaletewa chakula chao wakala, na mwisho Mhudumu akaleta keki mezani na kuanza kumuimbia “Happy birthday to youuu! Happy birthday dear Noela, happy Birthday to you”🎂 Noela akatabasamu kisha akakata keki na kumlisha Mr Marvel baada ya pale wakarudi nyumbani sababu mood yote ya birthday iliisha. Upande wa Salmon hakuweza kabisa kukubali kumuona Noela akiwa karibu na baba yake. Picha ile ya dinner iliendelea kumtesa kichwani. Alikuwa na hasira, wivu na maumivu kwa wakati mmoja💔. Akaamua kumpigia mama yake ambaye alikuwa Mwanza. Simu iliita weeh na ilipo pokelewa Mama Salmon akauliza “Salmon, kuna nini? Mbona unanipigia usiku hivi?” Salmon akajibu kwa sauti ya huzuni “Mama, please uje nyumbani, Nahitaji uwe hapa” Mama yake akashangaa “Kuna nini kimekutokea?” “Dad anaharibu mambo. Ana uhusiano na Noela, ex wangu na mimi Siwezi kuvumilia hilo. Please njoo ili urudiane naye hata kama ni kwa muda Itasaidia kuwatenganisha” Mama yake akanyamaza kwa sekunde chache coz Hakutarajia kusikia kitu kama hicho. “Hayo mambo ya baba yako na mimi si rahisi hivyo, Salmon! Kamwe baba yako hawezi kubali kurudiana na mimi” “Mom nakuomba Hata kama itashindikana kuwa pamoja ila please njoo kwanza. Nisaidie hili”🥺 Mama yake akavuta pumzi “Sawa, nitafikiria then Nitakujulisha” “Asante mom!” Kisha akakata simu. Upande wa Iris, alikuwa bado na hasira. Alitaka kuhakikisha maisha ya Noela yanaharibika kabisa. Alichukua baadhi ya picha zake kisha akaanza kuzisambaza kwenye magroup ya chuo Akaandika kuwa Noela ana mahusiano na Salmon pamoja na Baba yake. Hapo msisahau kuwa Salmon ni kipenzi cha wadada wote wa chuo, kwaiyo Ndani ya muda mfupi zile taarifa zikaanza kusambaa huku wakimsema vibaya Noela. “Huyu tipwa tipwa kiboko! Kuanzia baba mpaka mtoto Duuuuh!!!! Ila mijitu minene” Iyo ilikua moja kati ya meseji za kwenye magroup ya chuo. Yani meseji zilikua nyingi tena chafu kiasi kwamba siwezi hata kuwaandikia hapa! Je nini kitaendelea? Nakuja………

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

lazima baadhi ya mambo tuambiane ukweli mchungu hili uwe tiba kwa vizazi vijavyo pamoja na wasanii chipukizi. Hili swala la Chado Masta kuzaa na Kidemu Jau kuna namna sio salama sana kwa career yao ya uigizaji pamoja na jamii kwa ujumla. Najaribu kuwaza kibinadamu tu hivi wazazi wa Kidemu Jau wanafikiriaje suala la mwanaye kuzaa na mtu ambaye ni mkubwa sana ki-umri dhidi ya binti yao. Kuna namna kama pia naona ina madhara makubwa kwa Kidemu Jau mwenye ambaye bado mdogo kiumri hivyo anaiweka atarini career yake ya uigizaji kwa kuwa ni ngumu sana kwa msichana umri kama wake kulea mtoto vizuri huku anafanya kazi za sanaa hususa uigizaji. Lakini naweza kusema Chado Masta na Kidemu Jau wanaendelea kuwaaminisha wazazi wachache waliokuwa wanaimani ya kuwa uigizaji ni uhuni kwa maana ya leo hil mzazi hasikie kuwa Chado Masta na Kidemu Jau wanamtoto lazima moja kwa moja itajenga picha ya hao wamepatana kwenye uigizaji. Hii itazidi kuwapa wakati mgumu watoto wa kike wenye hali na nia ya kuigiza kwa maana wataona na wao safari yao ni kuwai kupata mtoto. Vipi wewe kwa upande wako, ni sawa Chado Masta kuzaa na Kidemu Jau?

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

Daaah unajua mtoto alibaki kashangaaa ,et akasogea nyuma yangu akajificha, aseeee zena akainuka kwa kwa hasira ,akaja akamvuta mtoto, akamipiga konde moja la mgongo zito kwei kweli ,yani hii siku mtoto mwenyewe hakuelewa nini kinamtokea, apo anataka kumpiga tena et hizo hasira tu za kumuona yupo na mimi, mi nikamshika zena nikamwambia muache mtoto unataka kumpiga nn sas, anaelewa nn sasa kuhusu sisi, zena akanmbia niache mjinga wewe kwani mwanao uyu , nikasema ndio mwanangu ,huwez kumpiga hivi mtoto et kisa matatizo yetu , ye anaelewa nn, apo ka ummy kamejificha nyuma yangu kabisaa kanalia , alivyokuja kunileta kwa mbwe mbwe ,angejua anayokuja kukutana nayo, ata asingenileta madkini ila ndo mtoto hakakuwa kanaeleaa kabisa maskini.aseee zena alikuwa na hasiraa na mimi ,yani ile live , Akanmbianaya nipe mwanangu na usepe apa, nikasema sawa ila nimekuja kukuona zena na nahitaji tuongeee, akanipandisha kisha akanishusha , akanambia unataka kuongea na mm kwa nn, we nani kwanza mjinga nn, ebu ondoka apa usinijazie mbu mm na usiharibie siku kabisa, na nipo busy na wateja, na mda uo uo akaw anafika rafiki yake shey akawa anaingia ndo akatukuta pale, basi ummy alivyomuona shey, akamkimbilia uku analia, anamwambia mma mkubwa mama kanipiga uku analia, shey akamuonua kisha akamwambia aya nyamaza sasa , shey akanisogelea akanambia millan vo mbona upo apa uhuu mda, nikasema nimekuja nataka kuongea na zena ila hataki kuongea na mimi kabisaa, shey akanmbia millan kwani mambo unayoyafanyaga uwa unasahau au inakuaje mbona nashindwa kukuelewa afande millan, kwani si mlishakubaliana kuwa utamuacha uyu na maisha yake leo imekujaa Ebu acha kumsumbua zena na umuache, hujui amepitia mangapi tangu ameanzisha mahusiano na wewe, alafu millan hujawahi kujali ebu muache na maisha yake bwan, fujo za nn, nikasema saaa shey mm nimefanya fujo gani, kuja kutaka kuongea nae, nyie mnazani iko kiumbe akichobeba zena ndo kiataacha kuwa mwanangu ata nn kitokee ni mwanangu, zena akanmbia mwanao nani, wewe ntakupiga na flampeni la chapati mpumbavu nn ,tena usinitie hasira mimi mjinga wewe, au unaona nnavyojinyamazia kimya nakukaushia unaona nakuoogopa , mjinga nn ebu ondoka apa, daar ilikuwa aibu alafu kuna watu kibao pale, kuna mshikaji mmoja ,akaja akanmbia broo ebu nenda bwana hii sehemu ya biashara na wewe mwanaume hizi kelel sio sawa, awa watoto wakike, we tenga mdaa uwatafute uongeee nao ,mi nikasema powa kaka nimekupata, sikutaka maneno, nikaaanza kuondoka et, ummy kananikimbilia baba tuondoke wotee ,eeh nahisi shey ndo alimdaka ,naona nusu apigwe uko nyuma ,ila watoro bwana, ila sikuwa sawa ata kidogo, yani hakuna kitu kinatuumiza wanaume kama uachane n mwanamke kisha yule mwanamke, amove on na awe busy na maisha yake, na asikuoneshe anakuhitaji tenaa, oyaaa inauma kisenge, mi nishazoe wanawake kunipapalikia wote nnaozaa nao kama mama ahamed, ika uyu na mimba yake yupo busy anatafuta pesaa daah 🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

Basi nikasema ummy upo mama, ummya kanmbia ndio baba nimekumiss, kila siku niktaka kuongea na wewe mama ananikatazia, nikasema ooh sawa mama ndo mana leo nimekuja kukuona mama sawa, basi ummy akanishika mkono akanmbia twende ukapaone kwetu kupya baba ,twende nyumbani kwetu, basi akawa ananivutaaa, nyieeee akawa anawambia watoto wenzake naona alikuwa anacheza nao ,et nyieee mnamuona baba yangua ananipenda sana leo kaja kuniona, mh nilijisikia vibaya mbele ya mtoto, sijaongea nae wala kuja kumuona mda sana, na wakati naelewa aka kabinti kananipenda sana , ila bado mtot alionesha kanimiss na bado ananipenda mnoo,basi kweli akaniiingiiza mpaka kwao na ilikuwa nyumba kubwa ila ina vyumba vya. Ndani na watu watu wanashare corrido, mpaka wapanganji wa mule wakawa wanashangaa, jinsi ummy alivyonishika mnoo, ummy akawa nanaitambulisha yani, uyu baba yangu leo kaja kuniona, yani ata sikupata shida y kujielezwa na akanikalibisha mpaka ndani, aseeeee nikaingizwa mpaka ndani, zena alikuwa kapanga chumba na sebule ila vile vya kawaida tu Ila ndani kwake ni kusafi na kulipendeza sana, sababu bado alikuwa na vile vitu ambavyo nilimnunulia, basi sasa nikamuuliza mama.yuko wapi mboana simuoni, akanmbia yupo kule kwemyw biashara anauza biashara, nikamuuliza mama anauza biashaea wapi, aanmbia sio mbali nikupeleke kule anauza chapati nzuri mama yangu, mh nikamwambia sawa nipeleke nikamuone mam, nyie ummy akanishika tena mkonoo, akanitoa ndani tukaamza safari ya kuelekea kwa mama yake🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌🙌🙌, apo njiani anajulikana ummy nahisi ni katundu aka, basi watu wanamuuliza ummyy uyo nani kwani, ahaaa ni bba yangu uyu , baba yangu mzuri mzuri ananipemda sana ndo kaja kuniona, basi watu wanacheka na mimi naishia kucheka tu, apo ni yeye ndo kanishik mkono basi bwaana mtoto aknifikisha mpaka anapofanyia biashara mama yake, aseeeee hii siku niliumia sanaaaa nilimumoa mnooo Ilikuwa ni fremu ndogo tua, iliwekwa mabechu mengi, na walijaaa wateja ila wanaume ndo sana, alafu apo kwa njeee ya baraza ndo nilimuona zena sasa, ana tumbao kubwa mnoo na miguu yake imemjaa kweli kweli, ila anasukuma chspati na anangaika na moto, aseeeee nilihisikia vibaya sanaa, na apo niliona kuna mdada ndo anamsaidia kutengea wateja na kupaakua maharageee, mi niliogopa ata kumsogelea zena, na nilimuonea huruma sana mana nilijua ana umia kwa hali yake ,ila anasukuma chapati ana kuchoma daaah, nyie ummye kanaivuta mpaka mbele ya mama yake. Kisha ummy akasema mama muone baba yangu mzuri kaja kuniona, Apo ndo zena akainua sura yake tukaangaliana sasa, nyieeeeee , niliona aibu sijuh niseme, sijih nilionaje yani, zena akasema.ummy muachie mkono uyo mtu haraka, si mwanae alinishika mkono, ummy akasema mi nimmemis baba , niache nimshike mama, nyieeee mnajua tonge la chapati ambalo ndo linataka kusukumwa, zena akalichukua akampiga nalo mtoto kwa nguvu, paaaah akasema msenge wewe unamshika unamju , baba yako alikuzaa saa ngapi maraya mtoto wewe, nyoooooo, muachie mkono sasa hivi,daa ummy akaniachia akawa analia mtotoz mana lile tonge alimpiga nalo shavuni, alafu alitumia nguvu so nilijua limemuumiza ,nikaona kumekuacha apa leo, 🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Basi zena akanmbia ni sawa pia, nikasema powa ibraa twenzetu, ibra akanmbia mh millan usipanic bwana ,uyu mwanamke alafu sa hizi ana hasira, ebu tulia tuongee vizuri kaka, mbona yanzungumzika, nikasema ibraaa, unaongea na mwanamke ambae ameshasema yeye anajiweza na atalea mwanae, asa apo unaongea nae nini ,kama yeye mwenyewr anajiweza ,ebu twenzetu bwana ,mi nikanyanyuka na nikatoka njeee kabisaa, na mda uo uo ibraa akatoka nae ile kunifata, akanambia millan mbona unafanya kama huwajuh wananwake uyu ana hasira tu, alafu we ndo umemkosea ujue, nikasema bwana tuondoke mi mwenyewe nilikuwa natafuta sababu tu ya kuachana nae nilishamchoka twende bwna, mwanamke ananing'ang'ania kama nini, ibraaa akaningalia sana kisha akanisikitikia, nikamwambia we msenge unanisikitikia nn, kwamba yule zena ni mama yangu mzazi atanipa laana ama nini, ibra akanambia we unazingua some times ila ngoja nikuache mwanangu, na mm ninakusha kweli Basi bwana mi na ibraa tukaachana pale, ye akakodi boda kuludi kwake na mm nikakodi boda ya kurudi kwangu, mi nilijua uyu zena wala hatoboi kwanza hii mimba ilikuwa inamsumbua so ata biashara alisimama, mi ndo nilikuwa namuhudumia kwa uo mda,ila kwakua alinambia yeye anaweza kujisimamie mwenyewe basi fresh, mi na ujeuli wa kipemba utanambia nn, nikaona fresh , basi bwana tukachuniana na zena kuanzia apo, mimi sikumtafuta tena zena na wala zena hakunutafuta kwa mda wa miezi 2 kama masihara yani kila mtu kala buyu serious, oyaaaa zena alikaza, yani hakuna kutafutana kabisaa ata status zake sizioni sijuh alifuta namba zangu ata sielewi. Nikakaza mnoooo, apo iyo miezi miwili na mama ahamed nimemkaushia kimyaa, si nilishamwambia mi sikuhudumii akazani masihara, asa mi nikamuonesha shooo mamae,na nikampiga mpaka block yani hanipati kokote, Siku iyo niliwahi sana kurudi nyumbani kwangu, mana apo nilikuwa nimelala kazini kama siku 2 ,so siku iyo niliwahi kurudi nije kupumzisha mwli tu, basi kweli nikafika home nikaingiza gari ndani ile nashuka tu kwa gari naomuona na mama ahmad nae kaingia, mana nilikuwa sijafunga geti, nikamuuliza we mshamba shida nn? , akanmbia jamani millan samahani, nisamahe utaua mwanao, naomba unisamehee, kumamake alipoa hiii siku, ye si anajifanya ana mdomo sana, apa kwangu alifunga breki mamae, nikasema we si una mdomo sana na unajuaga kunitukana, si unanambiaga mi msenge, msenge anatomba, sasa kazi unayo we bado dozi haijakuingia, kama huwez kumlea mwanangu, nileteee kesho tu nampeleka pemba anaenda kulelewa na bibi yake hakuna shida, we si jeuri, mi ntakuenesha sasa kama mm kiburi, toka nyumbani kwangu, mama ahamed akasema.jamani millan sitarudia tena , mwenzio nafukuzwa nilipopanga kisa kodi ntangaika na mtoto millan, usifanye hivyoo, nikakingalia kisha nikakionea huruna na kilivyo chembamba ,sijuh nilifata nini kwa uyu demu na mimi na kuangaika kwangu Nikavuta pesa ,kama laki 2 ,nikamtupia ,nikamwambia kaanze nayo hiyo ,kisha acha nijifikilie , nikiona moyo wangu umerizika ntakuongezea pesa, akanmbia swa asante baba ahmadi nyooo adabu alikuwa nayo, na adante akasema manina, nilikuwa nikimpa pesa uyu ata asante anambii, ila alishaniona akinichanganya na mm ntamchanganya kweli, basi akasepa zake, na mimi nikaingia ndani, apo zena kakaza hajanitafuta kabisa na mimi.nikasema simtafuti kudadeki zake vile vile, basi bwana ikaongezekeza miezi miwili mbele, apo mimi kwa kukisia ni kwanbia mimba ya zena itakuwa tayari imefikisha miezi 7, na mm na zena hatujaonana kwa miez 4, mnajua ni mingi, sio kuonana ata kuongea, ila nikajifikilia nikaona uyu mwanamke jeuri ila ngoja ata nimlipie kodi . Mana hatakiwa n uwezo wa kulipi kodi ile sehemu niliyompangia, apo saaa ndo nikampigia mama mwenye nyumba wa ile nyumba amabayo nilimpangia zena, Badi bwana, yule mama akapokea kisha nikamsalimia vizur ,nikamwmabia mama samahani, ahaa nilikuwa nataka kumlipia kodi zena apo, mana huu mwezi ndokodi yake ya zamani inaisha, yule maa akanmbia khaa baba bwana mbona zena kahama apa miezi 3 iliyopita nyuma ,tena mpaka kodi alisamehe, mana hakumaliza miezi, khaaaaa nyie nilisema unanambia nn mama, yani kahama apo miezi 3 iliyopita, yule mama akasema ndio tena mpkaa kodi alinisamwee mwanangu apa, nikaona kumekucha daaah mbona jau hiii , nikasema ameamia wapi mama, mama aksema kwani hamuna maongezi mazuri na zena, nikasema ndio mama apa kati kati tuligombanna kidogo, yule mama akasema jamani mwanangu, mnagimbana nini na mwenzio na hali yake ile, kisha akanmbia ahaa kiukweli mimi alipoamia sipajuh ila kuna kijana alimsadia kuhama uyo anaweza akawa anapajua alipoamia zena, mh nikasema sawa mama, Yule mama akasema laikin mmepisha nn mbona zen ni binti mstaarabu sana asiye na shida, tena siku alokuwa ana hama apa niliumia kweli ,ila akinambia ana changamoto hivyo lazima ahaame, nikasema ni kweli mama changamoto ndo hio tulikwazana kidogo, ila mimi kesho nitakuja basi nikutane na uyo kijana anipeleke alipoamia zena kwa sasa ,yule mama akanmbia sawa , nikakata simu daaah kwaiyo demu kahamaa yani, nikaona zena kweli jeuri, basi siku hiii ndo mimi nikampigia zena, mamae nikakuta mtoto kaniramba block la maana , nikaona kweli ndio, hii siku nililala na mawazo nikamuwazia sana uyu mwanamke, yani ile siku alosema tunaachana naona alimaanisha mana hajawahi kunitafuta kuniomba ata 100 yangu ata siku moja, daaah kazi ipoo,.basi asubuh na mepema niliingia kazini, na sikutka kumuelezea ili jambo ibra kwanza mana nilijua atanikanyagia sana mana mimi mwenyewe ndo nilitaka kuachna na zena, ila kiukweli kabisaa, hii siku nilikuwa nimeplan kwenda kumuona zena uko alipoaamia, sijamuonaa mdaa, mtu mpka kafikisha mimba yamiez 7. Nikaonasiwezi kukana damu yangu kiivyo bwna Na kweli mm nilivyotoka job, nikaenda moja kwa moja mpaka kwa yule mama mwenye nyumba , mana yule mama alikuwa anakaa nyumba ya nyuma na zena alikuwa nakaaa nyumba ya mbele, ila nyumba zote ni za uyu mama, basi nikamslimia vizuri yule mama , na akaintikia na akanichangamkia tu mama wa watu, kisha sasa nikamwambia mama nia yangu ya kuja ni kwamba anielekeze jinsi ya kumpata uyo kijana ili anelekeze alipoaamia zena apo na waza au kaenda kuishi na mwanaume mwengine uyu demu, yani mawazo kibao, uo mdaa ulikuwa saa 11 jioni hivii, basi kweli yule mama akampigia uyo kijana ,na uzuri uyo kijana alikuwa boda boda, so wala hakuchukua mda mwingi akafika pale na yule mama akamwambia mpeleke alipoomia yule dada ulomuamisha siku zile apa ,yule boda akasema ahaa kwa da zena, mh anamjua nikamuuliza unamjua kwani, akasema namjua si anapika chapati na maharage sa hizi jioni mtaaa wa mbele apo, doooh Nikasema sawa nipeleke kwake, yule broo akanmbia powa, na kweli akadrive bodaa mpaka kwa zena , wala hakukuwa. Mbali sana na pale ambapo amtoka, ila tu huu mtaa ambao alikuwa kaamia sasa hivi ulikiwa uswalihilini zaidi ata gari haingii. Na ndo mana jamaa akanileta na boda yake na mimi gari nikaacha kule juu, basi bwana tulivyofika ,jamaa akanionesha nyumba akanmbia da zena kaamia mule ,mh ni nyumba ya kawaida sna kama ile ya mwanzo alotoka nikajua kaludi kwenye nyumba ambayo atakuwa na uwezo wa kujilipia kodi, daaah basi nikashuka nikampa yule elfu 20 nika.wambia chukuua hii kaka, akanmbia powa broo asante sana ,nikasema barida kisha sasa nikaanza kuelekea kuifata ile nyumba ata sijafika ummy kanilukiaaaa et woooooo baba ata sijuhi kalitokea wapi🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌 🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

ENDELEA......... Tuliingia room tulifanya yetu baada ya hapo tulitoka mie nililudi kazini na Mellisa aliludi nyumbani. Majira ya jioni nilimpitia Madame Yustar kazini kwake. Aiseeee nae akataka yaani nilikuwa nachoka kinouma asikwambia mtu. Nilishindwa kumkatalia nikasema wacha nikampeleke moto nae japo kinyonge. Cha kushangaza alitaka twende hotel hiyo hiyo tuliyoenda mchana mimi na binti yake. Yaani tumetoka pale hotelini saa tisa mchana saa moja jioni naludi tena. Tulifika hapo hotelini Madame Yustar aliagizia nyama choma na vinywaji. Tulianza kula taratibu baada ya hapo aliniambia nikachukue room huku nyuma kuna muhudumu shilawadu aliyetuona mchana hapo mimi na Mellisa alimfuata. "Samahani Madame huyu kijana ni mtoto wako?" "Mashwali ya nini nenda kwenye point" "Nilimuona hapa masaaa mchache yaliyopita alikuwa na mwanamke" "Mwanamke?" Aliuliza kwa hamaki. "Siwezi kumsahau ni huyu huyu mpaka nguo ni hizo hizo. Na baada ya muda waliingia room" Yule muhudumu akiwa anaendelea kunielezea nilifika hapo ilibidi aondoke. Tuliingia room na Madame ila alikuwa amepoa. "Kuna tatizo?" Nilimuuliza. "Nasikia leo ulikuwepo hapa muda si mrefu. Unaweza kuniambia ulikuwa na mwanamkd gani?" Madame aliniuliza kwa sauti ya upole. "Mimi!?" Nilijifanya sijui anazungumzia nani. "Ni wewe kwa maelezo niliyopewa, kuna asilimia za ukweli kabisa. Ebu Leo usitake kunivulugha ninakupa kila kitu na nimeyabadilisha maisha yako kwa kiasi kukubwa. Kutoka kuwa muokota makopo mpaka kuwa hivi, nakulipa vizuri nakuhonga pesa nyingi tu sijui nitakufanyaje endapo nikigundua unanisaliti" madame Yustar aliongea hayo. "Baby huenda wamenifananisha mie nimeshinda ofisini leo huku nimefika saaa ngapi, wala kuna mpango wa kutugombanisha mimi na wewe. Unajua kwenge part kuna mambo yalitokea sema sikutaka tu kukwambia ila acha nikwambie kabda mambo hayajaharibika. "Mambo gani niambie" madame Yustar aliongea kwa paniki. "Kuna rafiki yako mmoja alinitongoza nikamkataa baada ya kumkataa aliniambia atafanya juu chini kuniharibia" "Ni nani?" Aliniuliza kwa hasira. "Sijui anaitwa nae ila naweza namna alivyo na nguo alizovaa ukamfahamu" basi nilianza kumuelezea huyo rafiki yake. Ukweli ni kwamba. Yule mwana mama aliyetuona hotelini mimi na Mellisa hata mimi pia nilimuona na usiku wa party alikuwepo, ila nilijikausha kama vile sijamuona na niliamini taarifa za kuniona mimi na Mellisa zitamfikia Madame Yustar. Madame Yustar alifikilia kwa muda kidogo. "Mbwa huyu alinipigia mchana akiniambia amemuona Melissa na mwanaume hapa hotelini sikutaka kumpa nafasi ya kumsikiliza naona saivi amemtuma muhudumu ili alivunje Penzi letu" "Marafiki wengine ni nyoka kabisa. Achana nae baby" Nilifanya kumtuliza Madame Yustar. "Kuanzia sasa mimi na yeye ushoga umevunjika. Yaani kumbe anataka kuupora utamu wamgu mpaka anatumia nguvu kiasi icho. Huyu anaweza kuniua kabisa she....nzi zake" Madame Yustar alichagukwa kweli kweli. Mie moyoni kwatu. Nilijikuta mjanja balaaaa!......... ITAENDELEA.............

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

ENDELEA.......... Ndani ya masaa kadhaaa niliingiza mkwanja wa milioni tatu na nusu kutoka kwa jimama la mjini. "Hata Madame Yustar hajawaibkunipa pesa nyingi hivi kwa muda mchache. Huyu nimkubalie nini?" Nilijiuliza mwenyewe. Ila uma......laya bhana 🙌🙌🙌. Baada ya muda tulikuwa ndani ya gari nilimpeleka madame Yustar kazini kwake. Alinikumbushia suala la jana kuhusu kufunga ndoa. "Nilikuwa nimelewa sawa ila nilimaanisha kile nilichoxungumza. Nahitaji ndoa nimechoka kujibana na wewe" Nilikaa kimya hata nisijue nimjibu nini. Mimi tayari ni mume wa mtu na baba mtoto. Naipenda sana familia yangu na sijawai kuwaza kuachana na mke wangu, nampenda sana mama Hinaya. "Mbona hujibu Leo?" "Huyu sijui nimwambie tu ukweli leo.ila muda bado naweza nikaharibu mipango yote" "Sawa nimekuelewa, hili jambo yulipe muda tutalizungumza na kukipanga kwanutulivu maana ni jambo kubwa" "Unazungumzia jambo kubwa gani mbele ya pesa. Wenye pesa hatunaga mambo makubwa tukihitaji ndoa masaa 24 ni mengi" madame Yustar aliongea hayo. "Lazima familia zifahamu ndo maana nimesema tutaongea kwa utulivu kuoanga kila kitu. Kumbuka familia yangu mimi ipo mkoani" "Okay sawa basi badae tukutane hotelini kwaajili ya msxungumzo nahitaji hili jambo lifanyie kwa haraka maana nahisi hatari ya kukupoteza" "Usijali mpenzi wangu. Mimi ni wako tu" Nikimfikisha kazini kwake na mie nikaelekea kazini. Majira ya saa sita mchana Mellisa alikuja ofisini kwangu. "Mbona upo hapa muda huu?" "Ahadi ni deni. Funga ofisi nakuhitaji siku ya leo tuitumie pamoja" Mellisa aliongea. "Hivi Mellisa upo sawa kweli?" "Nimechizika na penzi lako nielewe tu au mpaka nivue nguo mbele za watu ndo utanielewa?" "Huu ni muda wa kazi Mellisa kwanini unakuwa hivyo?" "Aliyekuajili ni mama yangu, hizi ni mali zangu mimi, utafunga au haufiki?" Mellisa aliongea hayo huku akiwa amekaza sauti na macho yake hayakuonyesha mdhaha. Nilitii nilifunga ofisi. Kwa pamoja tuliomgozana mpaka hotelini. Kabda ya kuchukua room tulihitaji kupata chakula kwanza. Tukiwa tumekaa sehemu tunasubilia chakula huku tunapiga Story mbali mbali, nyuso zetu zikiwa zimepambwa na tabasamu kumbe upande wa pili kuna mmama mtu mzima alikuwa anatushangaa kama vile anatufananisha. Alimpigia madame Yustar. "Hivi binti yako bado yupo nje ya nchi?" "Mbona kama kuna taarifa unataka kunipa. Zungumza hakuna haja ya kupita njia ndefu. "Basi muda huu nipo hotelini nakuona binti yako akiwa na kijana na wanaonekana kuwa ni wapenzi" "Labda kama kuna chengine unaweza kuniambia?" "Hilo si la maana?" "Mellisa ana mtoto gani mpaka nishangazwe na yeye kuwa na mwanaume?, vipi huko nje ya nchi najua alikuwa anaishi vipi?, anafaa kuwa mke wa mtu kwa sasa. Asante kwa taarifa ila punguza kufuatilia maisha ya watu" "Ila mwanaume aliye nae ni yule kijana," kabda hajamaliza kuongea Madame Yustar alikata simu hakutaka kuendelea kumsikiliza huyo shoga kidawa wake. Kwanza anamjua rafiki yake ni mbea sana. Hiyo ndo ilikuwa pona yangu mimi. Basi baada ya kumaliza kula tuliingia room kupeana mavituzi😋😋😋😀......... ITAENDELEA..........

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

ENDELEA.......... Mellisa nae alibana nje ya mlango wa chumbani kwa mama yake alitaka kujua nini kinaendelea. "Hapana mazingira ni hatarishi sana" "Unamuhofia nani na tupo nyumbani kwangu, kwanza nataka dunia yote ijue kuwa wewe ni mwanaume wangu na nataka unioe uwe halali yangu" Madame Yustar aliongea hayo kwa sauti ya kilevi. Mellisa alisikia ila hakuamini alichokisikia. "Sawa nimekuelewa ila naomba kwa leo tupumzike" nilijitahidi kumkwepa madame Yustar niliamini endapo nitaingia mkenge basi Mellisa atatubamba maana alishaanza kuhisi jambo. Kwa singo upande madame Yustar alikubali kuniachia niondoke. Nilimpiga busu la kizushi nikatoka chumbani. Ile natoka tu nakutana na jicho kali la Mellisa. Nilijua hapa kwisha habari yangu. Mellisa alinishika mkono aliniongoza mpaka chumbani kwake. Alifunga mlango kwa ndani. "Kuna tatizo Mellisa?" Nilijikoroga bhana kujifanya kama vile sielewi nilipigwa gonge la banzi la shavu. "Mbwa wewwme unawezaje kunilala mimi na mama yangu" "Una maana gani kusema hivyo?" Nilijitos ufahamu kujifanya sielewi anaongea nini. "Wewe huyo leo unatembea na mimi na mama kwa wataki mmoja" "Mellisa mbona unanitukana. Nawezaje kutembea na mama yako. Yule si kama mama yangu. Hata kama sina adabu ila sijafika kiwango icho. " nimesikia mama aliyokuwa anakuambia. Eti umuoe, wewe ndo mwanaume wa maisha yake" "Hivi unajua mama yako amelewa sana leo. Usiweke akilini maneno yake ni akili za pombe tu na wala usisubutu kumkumbusha maneno aliyoyatamka utaufadhehesha moyo wake" "Ni kweli wewe na mama hamna mahusiano yoyote na upo hapa kwaajili ya kazi tu?" "Sina mahusiano nae na namuheshimu sana kama mama yangu" Baada yabkulidhishwa na majibu yangu alinikumbatia kwa furaha. "Nakupenda sana Leo usije ukaniumiza wala ukaniacha" "Ondoa shaka mamy" Alitaka tuingie sita kwa sita. Nilimwambia nimechoka na heka heka za huko kwenye party huku nikimuahidi kesho yake nitampa show ya kibabe. Nilienda chumbani kwangu, nilitoa zile pesa nilizotunukiwa chooni nilianza kuxihesabu zilikuwa milion moja na nusu. Nilishangaa namna watu walivyo na pesa za kuchezea namna hiyo. Asubuhi niliamshwa na mlio wa simu. Namba ilikuwa ngeni. Nilipokea nilisikia sauti ya mwanamke. "Yes baby, leo tunaweza kuonana nahitaji tuinjoy zaidi" "Wewe ni nani?" "Ni mimi madame Zuri yule uliyemkuna jana kule chooni" "Nakuheshim wee mama achana na maisha yangu. Niliongea kwa makasiriko alafu nikakata simu. Dakika tano nyingi sms ya muamala iliingia kwenye simu yangu. Nafungua nisome sasa nilistuka baada ya kuona muamala wa shilingi milioni mbili kutoka kwa madame Zuri maana jina la muamala lilikuwa Zuri delvin. "Nimekutumia pesa ya chai akikisha unakula na kushiba usipate vidonda vya tumbo my love" ujumbe ulisomeka hivyo kutoka kwa madame Zuri........... ITAENDELEA.........Leo anaingia mkenge saa itakuaje 😂😂😂😂

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

ENDELEA........... Watu pombe ziliwakolea mie sio mnywaji wa pombe nilikuwa naangalia tu maujinga wanayoyafanya. Mkojo ulinibana nilienda chooni ile natoa tu dudu mlango ulifumguliwa aliingia mshangazi mmoja kati ya wale waliokuwa wananisifia mbele ya madame Yustar. "Umekosea huku ni kwa wanaume" Niliongea hayo huku nikitaka kumuingiza rafiki yangu kwenye suruali. Saa ngapi lishangazi lile lisiidake mashine yangu. Mie huyo nikatoa macho. "Weee mama vipi?" Nilimuuliza. "Vipi nini, kwani wewe ni mtoto mdogo?. Hapa kuna kitita cha pesa kama utanionjesha utaondoka nacho. Na ulivyojaaliwa sasa. Ona kitu hiki uwiiiii! Utwke usitaki utanipa tu na mie nionje, kumbe ndo maanda Yustar amenawili kwasababu anamiliki tango la maana" mwana mama yule aliongea kwa sauti ya kilevi. "Tuheshimiane bhana mbona unakuwa kama mtoto mdogo na mtu mzima kabisa wewe". "Weeee! Koma mie na utuuzima gani. Ona navyolipa. Alafu tuwe serious bhana. Pesa nakupa tena ngoja nikupe kabisa. Yule mshangazi alitoa kibunda cha pesa kwenye pochi yake akinikabidhi mkononi kwa lazima. Kwa haraka haraka haikuwa chini ya milioni moja. Pesa shetani jamani, mwanaume mie nilikuwa kito.......mbi mbele ya pesa. Sikutaka kupoteza muda tena. Pesa nishapewa nilimeleka moto huko huko msalani huku nimemfumba mdomo wake na mkono wangu sauti ya makelele yake isisikike Yaani dakika kumi tu yule mshangazi alikuwa hoi. Mie nilipomaliza nilitoka chap nikamuacha yeye huko anacheka cheka. " Mb....wa huyu nipo tayari hata urafiki kati yangu na Yustar uvunjike ili nimdake mazima huyu kijana. Yaani kimoja tu ila uwiiiiii! Hatari. Aliongea mwenyewe huku anarekebisha nguo zake. "Nilikuwa nakutafuta ulienda wapi?" Madame Yustar aliniuliza. "Nilienda chooni kujisaidia" "Okay kuwa makini" "Usijali kwa hilo" Basi sherehe iliendelea, ilipofika tamati tuliludi nyumbani. Ilikuwa majira ya saa Nane usiku. Cha kushangaza tulimkuta Mellisa macho tena amekaa sebleni ni kama vile alikuwa anatusubilia sisi. "Naona ndo mnaludi saa nane usiku huu mmmh!" "Leo nisaidie kunipeleka chumbani" madame Yustar aliongea kwa sauti ya kilevi. "Muache nitampekea mimi" Melissa alizungumza alafu alimfuata mama yake ili ampeleke chumbani kwake. Nilijua kinachomsumbua Mellisa ni wivu tu. "Hutaweza kupandisha nae hizo ngazi, unaweza ukamuangusha au mkaanguka wote. Acha nimpeleke mala moja" Nilizungumza. Mellisa akinitazama kwa hasira. Sikujali. Nilimpeleka chumbani madame Yustar, ila nilipotaka kutoka aliniganda eti tulale wote ana hamu na mimi. Mellisa nae alibana nje ya mlango alitaka kujua nini kinaendelea.......... ITAENDELEA..........

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

ENDELEA......... Madame aliwapa taarifa Mellisa na Misha kuwa mimi sio mlinzi tena bali ni mfanya kazi wake kwenye biashara zake. Rasmi niliajiliwa kusimamia duka kubwa la spea. Huko ndo kulikuwa na pesa kama zote. Licha ya kulipwa vizuri ila nilikuwa napata hongo kibao. Kama masihara ndani ya miezi mnne tu mimi na mke wangu tulikamilisha ujenzi wa nyumba yetu. Haikuwa nyumba kubwa sana ila tulijenga kisasa zaidi. Niliendelea kula kuku na mayai yake kwa siri sana huku kila mmoja akiniongo. Mellisa alikuwa ananionga pesa balaaa. Anaomba pesa kwa mama yake akipewa ananipa mimi. Mama mtu mwenyewe alikuwa ananipa sana pesa. Niliishi nao kwa akili sana ili niuage umasikini. Kila mtu militenga nae muda wa kumlidhisha pasipo wao wenyewe kujua hilo. Weekend moja madame Yustar aliniomba nitoke nae party ya rafiki yake. Mavazi yangu yalikuwa ya kitajiri balaaa, yaani siku hiyo niliwaka sio pouwa unaweza kusema tajiri flani hivi. "Kwanini mama anajali sana kuhusu Leo mpaka imepitiliza sasa" Mellisa alimuuliza Misha. "Usimuwekee mashaka mama yako japo kuna muda hata mimi nashindwa kuelewa ila tambua tu mama yako ni mtu mzuri, ana roho ya kipekeee. Ona muonekano wangu na wako. "Kwa mtu mgeni kufika hapa kwenu hawezi dhaniaka kama mimi ni dada wa kazi kwaiyo usishangae hata kwa Leo" "Nimekuelewa lakini hali hii ya kutoka wote mpaka kwenye party ni jambo la kushangaza. Kwanini asingeenda na mimi?" "Yule ni mwanaume anajua namna gani ya kum care mama, kama angeenda na wewe asingekuwa na uhuru maana muda wote angekuwa anakulinda wewe" "Ila ni kweli na anavyopenda kunichunga sasa kama vile mtoto mdogo" "Hahahaaaa! Mtoto kwa mama akui" Tulifika huko kwenye party ilikuwa nilibaki mdomo wazi. Yaani party ilikuwa ya mishangazi ya mjini. Yaani umri umeenda ila matendo yamesimama unaweza kusema watoto wa mwaka 2000. Mashangazi wote walikuwa wamekamatia vibenteni wao, nilikutana na vijana wenzangu kama mimi eti ndo waume zao. Vyakula pombe vilikuwa kibao. Madame Yustar alinitambulisha mimi kama mume wake, macho ya mashoga zake yaliwatoka. "Ni kijana mzuri na anavutia" mmoja wa mshangazi alizungumza hayo. "Sitaki mapapa kwenye penzi langu" Madame Yustar alizungumza kwa makasiriko kuwakanya mashoga zake wasije kupita na mimi na ushoka utavunjika. "Kwanza ulimpata wapi huyu ni kijana mzuri sana na anaonekana ana nguvu sana kitandani," "Mpaka mnauona uzuri wake na nguvu zake mjue nimemwaga pesa nyingi sana kwaajili yake. Leo unaweza kujichqnganya kwa vijana wenzio mkabadilishana mawazo" Niliondoka niliwaacha wanaendelea kunijadili. Nilijichanganya kwa vijana wenzangu wawili yulianza kupiga story za hapa na pale huku wenzangu wakinisifia kuwa nimepata mshangazi mzuri mwenye mvuto utasema kitoto cha 2000. Eti kama wangekuwa ni wao hata kuloga wangeloga maaana madame Yustar hana tofauti wa watoto wa 2000 labda umri tu. Ni kweli wasemacho. Madame Yustar ni mwanamama mzuri, sura ngozi, shepu, miguu ya bia nywele ndefu unaweza kumfananisha na mwanamama mmoja hivi wa jua kali jina namuhifadhi......... ITAENDELEA.............

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

ENDELEA.......... Madame Yustar alibaki mdomo wazi. "Ebu inuka kwanza" alininyanyua kwa mikono yake miwili. "Sina maana ninakufukuza kazi na wala sijasema kuwa una mahusiano na binti yangu. Naamini Mellisa unamtazama kama binti yako kwasababu mimi ni mpenzi wako, haijalishi hata kama malika yenu yapo sawa. " maana yangu ni kwamba nataka nikukabidhi biashara yangu uisimamie wewe. Leo nimekupenda kweli kweli natamani hata uwe mume wangu tuache kujibana bana kama hivi. Muda huu kichupa kimejaa na mazingira ndo hivyo hayaruhusu kabisa kukulana" Mwana mama huyu alidata vibaya mno kwaajili yangu. Hakika heshima ya mwanaume sio pesa. Pesa ni kinogesho tu. Katika mazungumzo ya hapa na pale nilimuomba pia kesho kwenda kumtembelea rafiki yangu kabda sijaanza kazi. Kesho iliwadia nilienda maeneo niliyokuwa naishi nikiwa sio Leo yule muokota makopo. Nilienda kama vile muheshimiwa flani hivi nikiwa na ndinga la kitajiri(gari) Nilifika nje ya nyumba nilipokelewa na mtoto aliyenifanania kila kitu. Niwaibie siri sasa wasomaji. Mie Leo nilikuwa na familia yaani mke na mtoto wa kike. Maisha magumu ndiyo yaliyonifanya niwe muokota makopp ili familia yangu ipate chochote kitu. Niliamua kumdanganya madame kwa kuhofia anaweza kuninyima kazi kama akijua nina familia kutokana na kazi aliyotaka kunipa. Nilimuambia mke wangu hali halisi alielewa na aliniluhusu niende. Sikuisahau familia yangu. Pesa zangu zote za malipo nilillkuwa namtumia mke wangu yeye ndiye aliyeluwa anashililia kila kitu cha familia na wala sikuwai kuwa na mashaka nae. Basi nilifika nyumbani kwa mke wangu. Kila mipango tuliyokuwa tunaipanga ilienda vizuri. Mke wangu aliniambia tayari ameshanunua kiwanja. Kila jambo tukilolipanga lilienda vizuri na yote ni kwasababu mke wangu alikuwa na uchungu wa maisha kutokana na hali duni tuliyopitia. Nilishinda na familia yangu mpaka jioni huku nikimburudisha mke wangu vya kutosha,Mama Hinaya wangu. Jioni niliondoka nikiwa nimeacha kila kitu kipo sawa. Nilifika kwa madame Yustar nilimkuta Mellisa kibarazana. "Hivi unaweza kuniambia ulienda wapi, umesahau nini kilichokuleta humu ndani?" Aliongea kwa paniki sana. Kabda ya kumjibu niliachia tabasabu nilijia ni wivu tu ndio unaomsumbua. "Kwaiyo mimi naongea wewe unacheka si ndiyo?" "Ounguza wivu mama. Nilienda kusalimia washaji zangu maana ni kitambo sana sijaonana nao" "Sasa kwanini hukuniaga au kuniambia twende wote. Sijapenda kwakweli". "Usijali mtoto mzuri mimi ni wako tu" Mellisa akapoa kama maji mtungini. Mellisa alianza kuwa na wivu wa mapenzi juu yangu. Hali hiyo ilinipa ofa mimi maana wahenga wanasema mapenzi hayana siri. Nitaweza kweli........ ITAENDELEA........

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

31 MPAKA 32 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Basi adrian akanipeleka mpaka chuo. Akanmbia kumbe upo apa.sinza nikasema ndio ndo nipo apa .akasema oooh sawa .vp lakini umenielewa na unayafikilia maneno yamgu.nikasema yaaa nimekuelewa na nakufikilia wala usijali. Akanmbia sawa nipe namba zako.nikasema sawa kisha nikampa namba zangu. Mwanaume akavuta pochi akanipa laki 2. Nikamshukuru akanmbia sawa shakira but nifikilie sana nakupenda mno. Nikacheka zangu tu.kisha uyo nikaingia zangu chuo. Sasa apa chuo nilikuwa na mazoea na mdada mmoja ana umri kama wangu anaitwa gile . Yani gile kwa chuo apa alikuwa ndo shost yangu kweli kwrli. Kiukweli nilivyopata nafasi nilimshilikisha gile juu ya baraka na adrian. Akanmbia sikia achana na uyu barka kwanza ni kama ndugu yako .alafu mwanaume anayekupemda hawezi kuwa anajifanyia maamuzi yake tu. Alafu anazingua uo mda wote yye anapigia ndugu zake vp ww haoni muhimu wako achana nae .nikasema sawaaa. Basi mda wa kutoka chuo. Ulipofika ile natoka na shoga yangu gile .heee namkuta adriana getini ananisubili mh kaka yupo serious uyu. Basi ikabidi nimtambulishe gile kwa adrian na adrian kwa gile. Basi adrian akaomba kututoa out . Na sikuona shinda kweli akatutoa bwana. Akatupeleka sehemu nzuri ya kupata chakura ipo ubungo tukala na shoga yangu kuku za kutosha. Full mbuzi za kuchoma. Tukala na kunywa pale. Basi adrian akasema..gile ongea na shost yako anisamehe basi nampenda sana . Yani nateseka kwa kuwa naye mbali mwambie anisamehee basi. Basi gile akasema wala usijali shemeji aya yashaisha mbona. Ila gile apo anaongea uku anamalizia kipaja cha kuku.nikabaki nacheka tu. Tulipomaliza kula. Mwanaume akalipia bill yoteee. Kisha sasa tukingia ndani ya gari . Tukampeleka gile kwao tabata kwanza . Kisha ndo akaniludiaha kwetu ubungo. Basi alinifikisha mpaka mitaa ya nyumbani kabisa. Akanmbia aya bwana mi nakuaga nikamuangalia nikajikuta nimecheka tu. Kisha nikamsogelea nikambusu mdomoni. Nikatka kuchomoka akanishika mkono. Akasema nini sasa mbonaa unataka kunikimbia. Nikabaki nacheka tu. Akaniuliza umenisamehe mpenzi na yameisha sasa. Nikasema ndio adrian akanmbia asante shakira. Basi akanikamata akaanza kunisss serious. Woow niliinjoy mnoo. Nikajiachia akaanza kunichezea na maziwa . Mh na vile sijashikwa siku nyingii. Uwiii nikajiachia tayari nakwambiaaa. Nikapeleka mkono kwenye suluali yake .nikakuta kumevimba atari. Nikaingiza kabisa. Nikaanza kuchezea mboo yake. Kisha nikainamaaa nikaanza kumlambaaa sasa . Weee nikainyonya kweli kweli. Mpaka adrian akanikojelea mdomoni ndo nikamuacha sasa. Akanmbia nimekumiss sana .lini tunaonana plsss.nikasema keho ni week end hatuend chuo tutaonaa akanmbia sawa nakungoja kwa hamu sana . Mana nimekumiss sana. Nikasema powa kisha uyo nikashuka nikaongia zangu ndani. Basi nilivyofika ndani nikakuta mzee anaongea nasimu kama na wajenzi hivi. Nikahisi mzeee anajenga nyumba nyengine .ila sikuumuuliza ata. Ila baadae sasa ndo nikamuuliza mama. Kwani bba anajenga nyumba nyenine mama akasema achana nae bwana. Ni baraka alimtumia pes amjomba yake amnunilie kiwanja sa hivi ndo kamtumia pesa tena anataka amjengeee. Nikasema ahaa basi sawa. Mimi wala sikuuliza tena ata anajenga wapi.nikaona kama hayanihusu hivi. Mana mwanaume tangu ameondoka hajawahi kunitafuta wala kuniulizia. Maana yake hanipendi wala hanitaki. Sikuona shida ataaaa. Nikaingia chumbani kwangu. Na adrian nae ndo alikuwa ananipigia. Basi tukawa tunanongea pale akanmbia kwa sasa yeye amehama apa mitaa ya ubungo ila anaishi mbezi. Pale amepangisha nikasema sawa. Kanambia so kesho nakufata nakuleta uku kwangu mbezi. Nikasema sawa na hongera mpenzi sana. Basi tukapiga sana story . Na adrian alinambia kuwa ananihitaji sana katika mahusiano yetu ya mapenzi hivyo ananihitaji sana . Nikasema sawa hakuna shida nakupenda pia mume wangu . Basi nikaona acha tu niwe na adrian. Na kweli kesho yake. Mwanaume alinifata mitaa ya kwetu akanipeleka mbezi nikaenda kuukalia mimi. Na rasmi penzi langu na adrian likaludi nakwambia. Tena safari hiii lililudi kwa kasi mnoo. Si unajua now sisomi. So ata nikimdanganya mama naenda kwa rafiki zangu.kumbe naenda kwa adriani. Na uzuri mchumba vipesa pesa anavyo. Basi mambo yakawa yananyooka kweli kwrli nakwambia. Sasa siku iyo nimeenda kwa baba mdogo bakari. Kule walipo ndugu zake na baraka dada zake yani. Uyu dada yake wa pili kuzaliwa . Yani akitoka baraka ndo yeye anitwa maua uyu ni makamu yangu kabisa. Kisha sasa ndo wananmdogo wao wa mwisho ambae ana kama mika 9 hivi. Basi nilipofika nikapiga sana story na mama mdogo lakini piah niliongea na maua. Nikamuuliza hivi kka yenu uwa anawapigia akasema sana tena mpaka pesa anatutumia . Nikasema ahaa kumbe . Akasema ndio tena kama jana kanitumia laki 7 naenda kumtumia wifi bahati. Mana yeye alikuwa hampati katika simu. Alafu kule kaka anapata mda mdogo wa kuongea na simu. Nyie nilimind sana. Nikasema pumbavu kabisa kumbe uyu mimi ndo anitaki mpka mwanamke wake bahati anampigia na wanaongea na pesa anamtumia .na nikajua uko anapata vipesa pesa. Mana nimesikia anajenga leo nayasikia aya . Nikasema ahaaaaa sawa . Kwani uyu bahati ndo nani wenu. Maua akasema ni wifi yetu bwana wa uko nyumbani. Yani ni mchumba wa kaka yetu. Ila usimwambie sasa siku ukikutana nae. Uyo bahati ni mchumba wa kaka baraka tangu wanasoma uko nasikiaga na kaka anasemaga ndo atamuoa uyo bahati daaah. Nyie kweli nipo na adrian ila baraka naendaaa. Yani zile habari kwangu zilikuwa mbaya na zenye kuuma sana. Na tukiwa tunaongea . Simu ya maua ikaanza kutita.akasema woow kaka anapiga. Nikasema naomba kuongea nae. Maua akasema ngoja nimsalime basi kisha nakupa. Niliona anajichelewesha.nikavuta ile simu nikaipokea. Nikasikia baraka anasema maua nishampata wifi yako naomba mtumie ile pesa. Nikasema msenge wewe.kuma la mama yako. Nyieeee apo nilishapanic.maua alibaki katoa macho tuuuuu

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

SEHEMU YA 7 ENDELEA.......... Wote tulipitiwa na usingizi mzito. Tuliamka saa kumi jioni na wa kwanza kuamka alikuwa madame. Nilistuka kutoka usingizini baada kuhisi nimeshikwa mashine yangu. "Madame" nilimuita kwa uoga. "Shiiiiii!" Alininyamazisha kwa kuniwekea kidole chake mdomoni kwangu. Aliendelea kuichezea mashine yangu mpaka ikasimama😁. Oya sikutaka kuwa mzembe mambo nayajua na uzuri Madame kashaielewe show yangu. Nilitoa ushilikiano wa kutosha. Nikaichapa tena kwa mala nyengine. Mpaka tunamaliza wote tulikuwa hoi. Madame aliniambia tukaoge tuondoke. "Ukaoge na mimk?" Niliuliza swali la kijinga. Madame wala hakunijibu alinishika mkono akaniongoza mpaka bafuni. Aliniambia nimuogeshe, "Niogeshe kwa uhuru kabisa na ushike kila kona unitoe jasho" madame alizungumza baada ya kugundua kuwa bado nakauoga. Alinipa uhuru sasa nilianza kumuogesha na kumsugua kila kona ya mwili wake. Saa ngambi asiseme nimtawaze eti kwa bibi😋. Bhana weee sina baya mie nilitii alichoniambia ile naanza kumtawaza tu nashangaa anagugumia. Nilijua anataka dawa huyu tena. Huko huko bafuni sikumuacha aiseeee. Nikaichapa tena. Sasa tulitoka tukiwa wepesi kabisa. "Leo sijawai kukunwa hivi kama unavyonikuna wewe. Na heka heka zangu zote mpaka nakuwa hivi wewe ndo mwanaume wa kwanza kabisa kunifanya nijue radha ya mapenzi. Asante nitakuongezea mshahara badala ya laki mbili nitakulipa laki tano" Madame Yustar aliongea hayo sikuamini nilitoa macho kama fundi saa kapoteza nati😳😳😳. Kutoka laki mbili mpaka laki tano si mchezo kabisa. Basi aliniambia tuendelee kufanya siri nisimwambie mtu yoyote yule. Tuliludi nyumbani tulikuwa wakavu kama vile hatujatoka kukunana huko😄. Siku nayo ikapita penzi kati yangu na madame Yustar lilizidi kuwa moto. Madame Yustar aliniambia nijifunze kuendesha gari ili niwe nampeleka sehemu mbali mbali kama yeye hajisikii kuendesha. Alitumia njia hiyo ili tuwe huru pale tunapotaka kwenda kufanya yetu maana kuongozana mala kwa mala bila sababu ya msingi kungezua taharuki kwa Melissa na Misha. Wiki mbili tu zilitosha mimi kujua kuendesha tukapata uhuru. Kila madame alipohitaji mauta.....mu alitumia njia ya kusema nipeleke sehemu flani, tunaenda hotelini tutashinda huko kupeana raha tu. Mshahara wangu alikuwa ananipa kama kawaida laki tano. Jioni moja Mellisa na Madame Yustar wakiwa wamekaaa bustanini Melissa akimwambia mama yake kuhusu kutaka kuludi uturuki. "Ushamaliza masomo yako kule unaludi kufanya nini?" "Sijazoea Tanzania sina marafiki wa maana na hata mazingira siyafurahii pia, na zaidi hunipi uhuru" "Ooooh my GOD" "Yeah" "Mkataa kwao ni mtumwa. Wewe ushakuwa mtumwa sasa" "Sijali hilo. Nahitaji kuludi. Naomba usnze kunifanyia maandizi. Madame Yustar hakumjibu binti yake. Alijitia yupo busy kusoma kitabu. Melissa alijua moja kwa moja mama yake hataki aondoke tena nchini. Kwa hasira aliinuka akaelekea ndani. " haendi popote, huko nchi za nje aende kufanyaje tena na wakati masomo amemaliza mwishoe adumbukie kwenye ufuska". Aliongea mwenyewe Mama ananibania sana hajui kuwa kuna upwiru. Sasa mie naishije hivi khaaaaa! Melissa aliongea mwenyewe akiwa chumbani kwake. Aliona ndani hapakaliki pia kwa namna alivyobanwa na upwiru. Alihitaji kuogelea walau kidogo apunguze hisia. Alitoka nje akiwa amevakia nguo nyepesi, alienda Swimming kuogelea mwenyewe. Mie katika kupita pita zangu huku na kule nje ya nyumba nikamuona Melissa anaogelea. Nikajibanza bhana sehemu nimcheki. Nguo ndembe ndembe inachola maungo yote chuchu zote zinaonekana yaani ni kama vile tupo u....chi tu. Nikasema nimkemee shetani ashindwe na alegee kabisa sitaki kula haya mayai mimi na wakati kuku nishamla. Nikapita zangu shwaaaaa!. Nililudi zangu getini ila roho yangu haikutulia. "Ngoja nikamuangalie tena" nililudi kumuangalia Melissa nilimkuta anaelea juu ya maji kichwa kinatazama mawinguni na macho amefumba. Sikajua labda amepatwa na shida. Niliyalukia maji ili kutoa msaada. Meliisa alikuwa mbali kimawaza alikuja kushtuka baada ya kumshika maka.....lio yake pindi nataka kumbeba ili nimtoe majini......... ITAENDELEA......... SEHEMU YA 8 ENDELEA.......... Melissa alishtuka baada ya kuhisi ameshikwa tako. Alishangaa baada ya kuniona. Mie mwenyewe nilishtuka nikasogea. Ilibidi nianze kujitetea. "Samahani nilipoona umetulia juu ya maji muda mrefu nilijua labda umepata shida. Nilikuwa hapa kutoa msaada tu" "Haina haja ya kujieleza sana ila nachotaka nikuambia ni kwamba sitaki na sipendi kufuatiliwa" Nilijisemea moyoni huyu vipi nae nilijua atasema hata asante kwa kujali. Siku nyengine hata nikimkuta anatapa tapa kama samaki mchangani nitamuacha hapo si kanajifanya kajeuri. Mellisa alitoka ndani ya maji, bahati mbaya aliteleza akiwa pembezoni kwa swimming anatembea. Alijikuta ametua mikononi mwangu. Nilimdaka vizuri kabisa hata yeye hakuamini. Nilimshusha kutoka mikononi mwangu baada ya kutazamana kwa dakika chache. Nilimtaka awe makini pindi anapotembea sehemu kama hii. Kwa namna alivyo kuburi sasa hata hakunushukuru. Alianza kutembea majini ili atoke kuna kitu alikanyaga ndani ya maji. Alipiga makelele kwa uoga akanikimbilia. Alinilukia mbele yangu. Mikono yake aliizungusha shingoni mwangu na miguu yake aliizungusha kiunoni kwangu. Chuchu zake ziligusana na kifua changu zikaniibua hisia. Saa ngapi askari wangu asisimame dede. Melissa alishtuka tu askari wangu anamgusa makalioni. Alinitazama usoni. "Nini hiki?" Aliniukiza. "Upo sawa?" Nilimuuliza. "Kuna kitu nimekanyaga chini ya maji sijui ni mdudu au ni nini,Naogopa" "Usijali nitakutoa" nilimtoa Mellisa majini ndipo aliona sasa hali yangu. Kitu kimesimama tiii. Yaani hata kuficha nisingeweza. Mellisa alipigwa na butwaa, ukweli nilikuwa na maumbile makubwa kiasi sio makubwa ya kuumiza ila ya kutoa burudani kwa sana😜. Niliingia tena majini kutafuta ni kitu gani Mellisa alikanyaga ndipo niliona kokoto. "Ni hili kokoto ndilo ulikanyaga" "Asante" kwa mala ya kwanza alinishukuru. Niliondoka nililudi eneo langu la kazi na Melissa nae alienda chumbani kwake. Huko chumbani sasa akili yake iliwaza tu rungu langu namna lilivyosimama dede na kumgusa makalioni. Majira ya usiku wa saa nne nikiwa kwenye eneo langu la kazi nilishangaa Baada ya kumuona Melissa. Alikuwa amevalia nguo ya kulalia. Kigauni chepesi kifupi sana. "Karibu nikusaidie nini?" "Ni swali zuri sana hili. Okay naomba tusogee bustanini nina mazungumzo na wewe" Baada ya kufika bustanini Melissa alinikumbatia. Ni tukio ambalo sikulitarajia kabisa. "Nina nye....ge naomba unitoe kidogo" alininong'oneza sikioni" Mapigo ya moyo wangu yalilipuka puuuuuu!😳😳😳............. ITAENDELEA............ SEHEMU YA 9 ENDELEA........ Baada ya Mellisa kuniambia anaomba nimtoe nye...ge mapigo yangu ya moyo yalilipuka. "Mellisa!" Niliita kwa mshangao. "Sina haja ya kukubembeleza unatakiwa ukubali kati ya mambo mawili tu. Ku sex na mimi au kufukuzwa kazi. "Una maana gani kunipa machaguo mawili. Inamaana nikikataa wewe huyo utanifukuza kazi?" "Nitamwambia mama ulitaka kunibaka, hiyo ndiyo itakuwa tiketi yako ya bye bye" Hakutaka kunipa nafasi ya kuendelea kujitetea tena. Alinikumbatia tena kwa nguvu. Sikuwa na namna zaidi ya kukubali tu. Basi tulifanya yetu pale, Mellisa hajui kujituma kabisi, mie kidume nikajilia changu. Mtoto wa kike ni milio tu ya mahaba, uzuri bustani ipo mbali na nyumba kidogo. Tulimaliza kufanya yetu Mellisa alinishukuru mpaka nilimshangaa. Alionekana kuwa na furaha sana. Mie sikutaka kuendelea kuwepo hapo bustanini nilijifanya kuchukia kunilazimisha kufanya nae ila moyoni nilikuwa na furaha sana. Mellisa licha ya kuwa gogo ila ni mtamu kuliko mama yake. Nililudi eneo langu la kazi na Mellisa aliludi ndani. Palikucha asubuhi muda wa chai walikusanyika mezani. Kama kawaida mie chai naletewa nje kwenye eneo langu la kazi. "Mama nimeamua kubadili maamuzi" Mellisa alixungumza walipokuwa mezani waajili ya kupata kifungua kinywa. "Maamuzi yapi?" "Leo anaweza kujumuhika na sisi muda wa chakula" kabda ya mama yake kumjibu alimuangalia kwa udadisi. Mellisa alijistukia. Alijiwai kwa kujielezea ili aeleweke asimpe mama yake mashaka na maswali mengi kichwani mwake. "Nimeona simtendei haki kijana yule, si vizuri kumtenga mtu wakati wa chakula. Kuna maisha baada ya haya sijui kesho yangu itakuaje. Kwa sasa ninajifunza kuishi na watu kwa utu na utulivu sana kama wewe mama yangu. Licha ya kuwa na pesa ila una utu sana kwa kila mtu na una upendo na unajitoa sana kusaidia wenye uhitaji" Maneno yake yalimgurahisha mama yake. Muda huo huo Misha aliambiwa anifuate aludi na mimi ndani. "Mellisa amepitisha kukaa meza moja na wewe wakati wa chakula. Si jambo la kawaida na sijui nini kimetokea kwa Mellisa. Navyomfahamu huwa na misisamo yake mikali sana" "Unataka kusemaje Misha?" "Tusijisahau kuwa sisi ni watumwa humu ndani. Tuachane na haya tunasubiliwa ndani ila badae kuna kitu nataka nikuambie" Tuliingia ndani. Nilikaribishwa kwenye meza ya chakula. Tulianza kula ila ajabu Melissa alikuwa ananionea aibu eti. Baada ya chakula Madame aliondoka kazini ndani ya nyumba tulibaki watatu tu. Nilikuwa nimekaa nje ya nyumba kibalazani naongea na simu na familia yangu alikuja Misha. Nilikata simu kwanza ili kumsikiliza. "Kama hutojali naomba tuwe wa penzi na hata badae tuwe mke na mume" Misha aliongea hayo bila kona kona. Kwanza nilimshangaa. "Hii nyumba ina mapepo au?" Nilijiuliza mwenyewe. Yaani wanawake watatu wote niwale mimi khaaaaa! Si watanimaliza nguvu za kiume. "Mbona upo kimya?" Misha aliniuliza. "Misha bhana," kabda sijamaliza kuongea Melissa alifika hapo kibarazani. "Leo naomba ukajiandae unipeleke sehemu" Mellisa nalizungumza hayo. Niliona namna Misha alivyochukia. Sikuwa na namna nilitoka na Mellisa. Safari yetu iliishia ufukweni mwa bahari. "Leo nimejisikia kuja kupunga upepo wa bahari na kuiweka akili yangu sawa kwa kile ninachokiwaza. Mafikiri nitapata majibu hapa kabda sijaludi nyumbani" Mellisa aliongea. "Hivi una mahusiano?" Melissa aliniuliza. "Ukimaanisha mpenzi?" "Yeah" "Hapana sina mpenzi" "Onhooooo! Limekuwa jibu zuri sana kwangu. Kuanzia sasa mimi ni mpenzi wako. Nimependa namna ulivyonikuna jana. Ujue wewe ndo mwanaume wa kwanza kunikojoza kwenye mapenzi, nilishangaa sana Jana sikuweza hata kulala usiku mzima, nilikuwa nawaza tu. "Inawezekana vipi. Nimetembea na wanaume wa tatu kabda yako na wenye hela ila hawajawai kunifikisha kileleni ila kwako nimefika na nimeona sasa raha ya tendo. Hakika mapenzi hayana mwenyewe" Mellisa aliongea hayo......... ITAENDELEA.......... SEHEMU YA 10 ENDELEA......... "Kwa sasa siwezi kusema nakupenda ila naomba uwe na mimi kwaajili ya kunifikisha kileleni kila napohitaji. Nipo tayari kukulipa" Melissa aliongea hayo. Nilizidi kumshangaa binti huyo mrembo. "Naogopa Mellisa kibarua changu kitaota nyasi. Kuna watu nyuma yangu wananitegemea" "Kuhusu hilo Usijali kwani itakuwa siri yetu wawili tu. Nakuomba tafadhali usikatae" Mellisa alinibembeleza sana ilibidi nikubali tu. Tuliondoka kurejea nyumbani. Aliomba yeye ndo aendeshe gari, nilimuacha usukani. Alipita barabara tofauti kabisa na ya nyumbani. "Tunaenda wapi tena mbona kama polini?" Nilimuuliza. "Siwezi kuludi nyumbani na nye....ge zangu. Naomba unipe hata kimoja Kuna hela hapa" Mellisa aliyasema hayo, alisimamisha gari alitoa hela kwenye mkoba kama laki mbili hivi akanikabidhi. "Sasa kwanini tumekuja huku kichakani?" "Nahitaji unihudumie kwenye gari. Nasikia mapenzi ya garini ni matamu kuliko ya chumbani. Nataka nijaribu pia" Mellisa aliongea hayo. Nilibaki nashangaa tu. Nilimpa alichokitaka. Mpaka tunamaliza alikuwa hoiiii!. Upande wa nyumbani Madame Yustar aliludi kabda yetu. Alituulizia alipewa majibu yaliyomshangaza. "Mellisa huyu huyu ameomba atoke na Leo?" "Ndiyo mama. Naona ameamua kubadilika kweli" Misha aliongea hayo. "Hii ni ajabu ila tuachane na ayo kama kweli amebadilika ni jambo Jema sana. Naomba uniandalie kahawa. Nipo chumbani kwangu. Tuliludi nyumbani kabda ya yote kila mmoja wetu alikimbilia bafuni kuoga kwanza. Si unajua jasho la minyanduo halinaga siri kabisa. "Ni kipi kinaendelea kati yako na Mellisa. Mbona imekuwa gafla sana?" Misha aliniuliza. "Majibu ya maswali yako anayo Mellisa, vipi unaweza kumuuliza?" "Unaniuliza swali gani Leo?, kwanza vipi hukusu jibu langu?" "Vipi kama nitakuambia siwezi kuwa na mahusiano na wewe, utajisikiaje?" "Sitegemei jibu hilo kutoka kwako" "Tayari nipo kwenye mahusiano" Tukiwa tunaendelea na mazungumzo Madame Yustar alifika. Aliniambia nimfuate. Niimfuata mpaka bustanini. "Unaendeleaje mpenzi wangu. Ni muda mrefu sijapata muda wa kuzungumza na wewe" madame Yustar aliongea hayo. "Nipo vizuri my love" "Hata mimi naona. Sasa kuna jambo nilitaka nikuambie" nilitega nasikia vizuri kumsikiliza. "Kuanzia sasa hautakuwa mlinzi tena nyumbani kwangu" "Nimekukosea wapi mpaka uniachishe kazi. Mimi na Mellisa hatuna mahusiano yoyote yale. Kilichotokea leo aliniomba tu nimpeleke matembezi. Tafadhali sana mpenzi niamini" Niliongea hayo na tayari nilikuwa nishapiga magoti mbele ya Madame Yustar. Madame Yustar alibaki mdomo wazi......... ITAENDELEA......... Leo kajilopokea mwenyewe

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

MTUNZI uhuru media Nicky alishusha pumzi Kama ametua mzigo mzito alipokuwa kaubeba Kisha akasema . " Wewe Tena , umefuata Nini hapa nyumbani kwangu? " Hili swali natakiwa nimuulize wewe Mr. Maana Mimi mwenyewe sijui kwanini nipo hapa? " Siamini Kama nimekuona kwa Mara nyingine Tena nyumbani kwangu, kwahiyo wewe ndio binti uliewekwa rehani na Zuri? Alisema Nicky Kisha akamkonyeza na kumfanya pink ainamishe macho yake chini. Pink alizidi kuogopa maana Nicky alikuwa anamuangalia Sana na alihisi anaweza kumfanyia chochote. Aliendelea kumuomba Mungu kimnya kimnya. Baada ya Nicky kumuangalia kwa muda akasema . " Acha nikuache upumzike Sina haraka na wewe. Alivyosema hivyo alitoka na wale wanaume wawili. Pink alienda kukaa kitandani huku akiwa Ni mwingi wa mawazo alikuwa anafikiria afanye Nini ili atoke Ile sehemu maana alihisi sio salama kwake. " Eee Mungu nakuomba umsaidie dada Zuri apate pesa kwaajili ya kunitia hii sehemu sitaki kukaa hapa. Nicky alikaa sehemu akawa anakumbuka tulia alilofanyiwana pink . Siku moja pink alikuwa yupo barabarani na rafiki zake wa mitaani wakiwa wanakula ice cream Mara wakapishana na Nicky akiwa anaendesha gari lake akawapita na kuwamwagia maji machafu kwa hasira pink alisema " Mjinga uliekosa akili kwani huoni macho yako Yapo kisogoni? Nicky alipofika mbele kidogo akamsimamisha gari Kisha akarudisha gari mpaka walipo akashuka . " Nyie Malaya mnasenaje? " Wewe sisi sio Malaya, Malaya wewe na ukoo wako. Pink na wenzake waliendelea kutukanana na Nicky. Pink alimsogelea na kumpaka ice cream kwenye shati lake jeupe kile kitendo kilinikera Sana Nicky kwasababu alikuwa anaenda sehemu muhimu Sana hivyo ilimbidi aahirishe hiyo safari akarudi nyumbani . " Sasa huu Ni wakati wa kulipiza kusasi changu maana ameungua mwenyewe kwenye 18 zangu. Siku hiyo ilipita pink alihudumia kwa kila kitu na ilipofika usiku alilala akiwa salama kabisa. Kesho yake asubuhi Nicky alienda chumbani kwa pink akamkuta bado kalala fofofo. Nicky alichukua saa iliyotegesha alam na kuiweka sikuoni kwa pink, saa ikaanza kupiga kelele kwa sauti kubwa na kusababisha pink akurupuke na kuangukia upande wa pili. Nicky alicheka Sana mpaka pink akaona aibu. " Hey, habu toa uvivu wako hapa unalala mpaka saizi una Raha gani? " Samahani. " Unafikiri upo hapa kwaajili ya kulala, huko nje Kuna kazi nyingi za kufanya habu nifuate. Pink alimfuata nyuma mpaka walipofika nje kwenye bustani ya mauwa Nicky akasimama na pink nae akasimama. Nicky aliagizia kwanja kwa kijana wake wa bustani Kisha akamtupia , pink akakwepa. " Okota Hilo kwanja na uanze kukata huo ukoka akikisha unasawazisha na kuwa sawa. " Nini, Mimi sijawahi kufanya kazi Kama hizi. " Hebu acha ujinga uliwezaje kunipaka ice cream na ushindwe kufyeka, huwa najua wababe huwa hawashindwi kazi nataka kazi ifanyike. Pink aliokota kwanja na kujaribu kufyeka masikini ya Mungu hakujua hata kulishika Hilo kwanja lakini Nicky hakujali aliondoka na kuingia ndani huku akisema " Huu Ni mwanzo wa mateso yako pink utakuwa mtumwa wangu mpaka nitakapotosheka maana najua Zuri hawezi kuleta pesa zangu mapema. Nicky alienda kukaa kwenye dirisha la chumbani kwake akawa anamuangalia pink anavyohangaika kufyeka. Pink aliendelea kufyeka. Mpaka akahisi kuchoka na bustani hakufika hata nusu. Alienda kutegemea kwenye mti huku tumbo likiwa linamsokota kwa njaa. Baada ya masaa matano alikuwa kamaliza na mikono ilijaa malengelenge. Aliingia ndani akamkuta yupo sebleni anaangalia movie, alimpita akiwa anaelekea kwenye chumba chake. Mara akaitwa " Pink . Pink alisimama akaitika " Abee " Nenda jikoni ukaniandalie chakula. Pink alingata meno kwa hasira alitamani kwenda kumrukia amkabe Ile shingo yake. " Lakini ungeniacha nipumzike kidogo nimechoka. Nick alimgeukia na kumuangalia huku akiwa kakunja sura yake .

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

Mwandishi; lissa wa huru media Asubuh sasa . Mama aliniamsha niajiandae anataka kunitoa out. Basi nikajiandaaa nikatoka zangu sebleni. Nakutana na mzeee alinikata jicho hilo. Nikaona aibu jana si kasikia maupumbavu yangu. Nikakusha kimya na yeye wala hakuniiuliza . Basi mama akanichukua akanipeleka beach. Nikalerax sana . Tukaongea mambo mengi n mama .alinishauri tu niachane na baraka niangalie maisha yangu tu. Mana ata baraka haoneshi kama ana nia ya dhati na mimi. Basi nikamuelewa tu mama japo kiuchungu. Mana baraka alikuwa ndani ya damu yangu jamani .acheni kabisaaaaaa. Basi tulipotoka beach tukapitia kariakoo mama akaninunulia simu kubwa nzuri tu ya laki 3. Akanmbia aya sasa nakupa uhuru wa kutumia simu. Urefresh akiri yako. Aseee nikafurahi sana mama. Mana nilimisi kuperuzi mitandaoni sana. Basi jioni kabisa ndo tukaludi nyumbani. Nikiwa na rahaa tu na akiri ilishakaa sawa. Na kuanzia apo ndo ikabidi tu maisha yaendeelee mana barka alishaamue aangalie mipango yake. Na mie nikaona nifanye maisha yangu tu. Basi mda ukaenda na baada ya mwezi nikapata cheti changu na mzee akanipeleka sinza kwenye chuo cha urembo. Apo nilikuwa najifunza kupaka make up. Kupamba maharusi. Kudesign mishono. Kusuka na kupamba maukumbi. Yani vitu vingi kweli kweli. Na ada ilikuw ni milion moja kwa mwaka. Na mzee ndo alikuwa ananilipia . Apo mzeee hakuwahi kabisa kuniiuliza upumbavu wangu na baraka . Alikuwa kimya na issue zake Basi nikaanza kujifunza urembo sasa. Naenda asubuh na ludi jioni. Na uko ile kujichanganga nikapta marafiki wengi tu. Yani nilichanganyika na watu.nikawa niko sawa sasa. Na taratibu ata yale mawazo juu ya barka yakawa yanapungua nikawa busy na maisha yangu tu. Basi siku iyo sasa mapema asubuh nimeamka nikajiandaa kwa ajili ya kuelekea chuoni. Basi ile nimetoka nyumbani nimepiga kama hatua 3 hivi. Eeeh si naona nashikwa mkono. Nageuka hivi namuona adrian. Nyie uyu kaka anajua kufosi jamani. Nikasema we vp akanmbia plsss mama ebu panda kwenye gari tuongeee. Hivi kweli nakufata leo mala ya ngapi. Shakira ujue nakuhitaji sana.nakuhitaji kuliko lolote mwenzako. Naomba tuongeee plsss. Nikamuangalia sana .nikaona ebu nimsikilize. Basi kweli nikaingia katika gari lake. Akaniuliza unaelekea wapi shakira. Nikasema.sinza. akanmbia sawa. Basi akaanza kudrive kunipeleka chuo. Njiani akawa ananibembeleza sana et nimsamehee. Akanmbia sikia shakira we unaelewa sana ni kwa kiasi gani mimi nakupenda sana . Ila ile siku ingekuwa kesi mbele ya wazazi ningeeleza nini mimi na wewe inajulikana ni mwanafunzi. Nisingeweza kueleza hilo plssss mama naomba uelewe hili suala. Nakupenda sana shakira naomba tuendeleee na uzuri now umeshamaliza shule ntakuwa freee Mimi ntakuja kwenu ntaomba radhi wazazi . Nitaleta barua na ntakuoa nakupenda sana kipenzi. Mh mwanaume alitia swaga mpaka nikalegea. Nikaona mh kama vp ngoja tu nimsamehe adrian .na niwe nae mana kwa jinsi alivyokuwa ananifatilia nikaona bola niwe na uyu baba.niachane na uyo mpumbavu anayetaka kuwa mwanajeshi

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 12 SONGA NAYO....... Basi safari ilikuwa ndefu kidogo, kwa mara ya kwanza toka nifike Oman hii siku ndio niliigia supermarket bwana, hiviii kumbe waarabu wana pesa hivi na hata kuniambia tu hapana jamani Maana huko tulipoenda sijui nipaite supermarket au kasri ?? Yani shoga enu nilikuwa nashangaa huku nikiwa na binti yangu nimebeba kwa mbele na ile mibebeo rasmi ya watoto achana na hivi vikoi sijui vitenge huku hawatumii hivi vitu na hawajui kwanza wanabebewaje 😆 Yani nchi yangu raha sana maana mtoto anaweza kubebewa hata mtandio na asianguke but huku uarabuni aisee mambo ni uzungu uzungu sana. Nikiwa na kabinti kangu huku Anfrey akiongoza njia, tulianza kuchagua sasa niseme tu ukweli kwenye kuchagua kitu me huwa siogopi kabisa Nilichagua kila kitu ambacho nilikipenda, unakuta kitu kingine nimekipenda na nikakichukua ila sijui matumizi yake 😆 basi mahemezi yalikuwa mengi sana tulinunua vitu kama hatutakuja kununua tena Tulipomaliza kuchagua kila mtu alikuwa hoi kasoro binti yangu ambaye hakujua kitu chochote kilichokuwa kinaendelea.. "Dah nimechoka sana..." Andrey alizungumza ( 🙄sasa kama umechoka kwahiyo unataka nikubebe au ??) Nilijiwazia kisha nikamwambia "Pole hata kwa upande wangu ni vilevile nasikia pumzi inakata.." "Hebu tuondoke nahitaji kupumzika kabisa.." Alizungumza huku akinisaidia kubeba pochi yangu, basi mimi nae sikuwa mbishi nikamfuata nyuma nyuma mpaka kwenye gari, kama kawaida wote tunakaa mbele So baada ya kupanda gari nilikaa mbele huku binti yangu nimempakata kwa mbele, basi akawasha gari na safari ya kurudi home ikaanza Tuliwa njiani tukaanza kupiga story za hapa na pale na kujikuta nikimzoea sana "Hivi Mira, wewe ni kabila gani...??" Anfrey aliniuliza kwa wakati huo me nilikuwa nikiangalia vitu ambavyo tumenunua 😁 "Ah me msukuma bana, sijui ushawahi kusikia hili kabila??" "Yaaah nasikiaga tu kuwa wasukuma wanapatikana sana mwanza.." "Kabisa yani hujakosea.." "Ndio maana unajua kupigana 😁" "Kwamba uliniona napigana na nani..??" "Usijifanye hujui, jana ulimpiga nani na kama sio Ellice??" "Sema nini huyo nduguyo anazarau sana na ndio maana nikamzoa, ila kusema ukweli wasukuma ni watu wapole mno we jaribu kwenda Tanzania siku moja uone ambavyo utapokelewa yani watahakikisha unakula mpaka na ambavyo hutumiii..." Basi safari ikawa tamu kidogo kuliko wakati tunakuja, kwa uwezo wa mungu tulifika salama kabisa, nikaashuka kwenye gari na moja kwa moja nikaelekea ndani kwenda kumlaza Nasrat maana alikuwa amelala Nilipofika chumbani nikamlaza vizuri na kumfunika shuka kisha nikatoka moja kwa moja mpaka nje kwa lengo la kwenda kushusha mizigo. Tulisomba mizigo mpaka ikaisha, kwa upande wangu nilikuwa Hoi bin Trabant ikanibidi kwanza nipike chakula cha mtoto kisha nikapumzike kidogo Basi Mira mie nikaingia jikoni, chakula cha Nasrat sijawahi ruhusu kipikwe na mtu yoyote yule zaidi yangu. Basi nikawaanza kupika pale Nilipika chakula kikapikika, kwa mbali kabisa nikasikia sauti ya mtoto akilia, kitendo cha kusikia ile sauti nikashtuka kisha nikazima jiko kwanza na kuanza kutembea ili kuelekea chumbani Mara Ellice huyu hapa. "Unaenda wapi..??" Aliniuliza sikumjibu nikaendlea na safari yangu,maana sauti ya Nasrat ilinifanya nihisi kuna kitu kibaya kimempata, nikiwa mwenye wasiwasi sana niliekea mpaka chumbani Lakini niliweza kusikia kilio ambacho kilikuwa cha maumivu kadri ambavyo nilikaribia kuufikia mlango, mapigo yangu ya moyo yaliianza kwenda kasi, niliogopa pale nilipokumbuka maneno ya madam Nikavaa roho ya ujasiri na kuusogelea mlango kisha nikafungua, sikuona chochote ila mtoto alikuwa analia sana nikasogea kitandani na kumbeba lakini alindelea kulia Nikajua lbda amekojoa na pampas ndio inamuwasha so ikabidi nimvulishe, 😳 my God hivi mnajua niliona nini ???........ ITAENDELEA........ SEHEMU YA 13 SONGA NAYO...... Katika hii dunia sijawahi kushihudia ukatili na roho ngumu lakini Leo ndio niliweza kuamini na kushuhudia kabisa, binti yangu akilikuwa amechomwa na pini kwenye kitovu 🥹 harafu sasa hiyo pini inaunganishwa na pampazi 😭 Lilikuwa ni tukio lenye kuumiza moyo kwa upande wangu, nililia mno yani nilitamani hata hayo maumivu ambayo anapitia mtoto basi ndio ningekuwa napitia mimi lakini sio huyu Malaika Hivi kuna watu ambao wanaweza kufanya hivi kweli, ?? 🥹🥹 mtoto mdogo tena Malaika anafanyiwa kitendo cha kikatili hivi aisee nililia huku nikijaribu kuitoa ile pini lakini wapi Kamasi zilikuwa zikinichuruzika tu machozi nayo ndio kabisa yani nasumbuka mtoto nae ndio anazidi kuongeza kilio, nilikuwa nalia kama mtoto sauti yangu ndio iliwashtua wanafamilia So baada ya dakika chache wakawa wamefika, baada ya kufka pale na kukuta hali ya mtoto wakamchukua mara moja na kumpeleka hospital Na vyote ambavyo alifanya hivi alikuwa Anfrey pamoja na swatii hao wengine hawakujousisha kabisa, kwenye gari tulikuwa watatu, nikiwemo mimi, swatii lakini pia na Anfrey ambaye ndie alikuwa anaongoza usukani Njia nzima nilikuwa nalia nyiee, yani ungeniona ungejua kabisa Nasrat ni mtoto wangu wa kumzaa. Hatimae tulifika hospital na bila kuchelewa mtoto akaanza kufanyiwa matibabu mara moja Maana hatukupewa usumbufu kwa sababu ilikuwa hospital ya private na gharama zote alilipia Anfrey, mungu azidi kumbariki huyu kaka.. Muda wote nilikuwa nikizunguka nje ya chumba ambacho Nasrat ndimo alimokuwa, nilikuwa nalia kama sina akili nzuri yani kifupi nilichanganyikiwa, hivi angekuwa mtoto wangu wa kumzaa ningekuwa kwenye hali gani eti jamani ??? Si ningekuwa kwenye chumba cha wagonjwa mahututi kabisa , niliendelea na mizunguko yangu ambayo kama ungekuwa unahesabu basi hata mia moja ilikuwa inafika "Mira kila kitu kitakuwa sawa, twende ukapumzike.." ( 😏nikapumzike harafu binti yangu nimuache kwenye hali gani..??) "Siwezi nasema siwezi.." Niliendelea kulalamika huku michozi ikinitoka bomba la majii, basi ikabidi waniache tu mpakka nitakapochoka mwenyewe kusimama Basi muda ulienda na masaa yalisogea, nilijikuta nikiishiwa nguvu kabisa na kundodondoka chini, aliyeniona alikuwa ni swatii maana ndie niliyekuwa nae hapo maana anfrey alitoka nje mara moja Basi nikabebwa juu juu kuingizwa wodini ambako nikaanza kutibiwa chapu chapu, madaktar walijitahidi kwa uwezo wao kushusha presha ambayo ilikuwa juu sana 😢 Naweza nikasema kwamba nimshukuru sana mungu maana madaktari jasho lilikuwa likiwatoka balaa kwa sababu yangu na wengi wa madaktari walijua kuwa Nasrat ni mtoto wangu so pande zote mbili wakawa wanajitahidi sana kuokoa maisha yetu Namshukuru mungu nilirudi kwenye hali yangu ya kawaida lakini nilisisitiza sana kutaka kumuona mtoto, bila hinaya wakanipeleka kwenye wodi ambayo ndimo alimokuwa amelazwa Nasrat Baada ya kufika mle wodini nilimkuta binti yangu akiwa hajitambui kabisa huku puani wamemuwekea mpira wa oksijeni 🥹 hii ilikuwa inaumwa sana Niliumia sana kuona mtoto anateseka namna vile kwa sababu ya makosa ya mama yake kumkataa hiii iliniuma ndugu yenu na kusababisha tena nirudishwa ICU 🥹 Hii wanelewa wale ambao wanapitia hali kama yangu, hii kitu inauma usikie kwa mwenzio ila omba yasikukute ndugu yangu Basi bwana, nikowa nimelala sijitambui kabisa nilijiona niko kwenye dunia ambayo haikuwa dunia ambayo tunaishi wanadamu Dunia ile ilikuwa ni sawa na paradiso 😁 eeeh mimi sio mtenda dhambi lazima nifike huko so hata upende wa hospital niseme tu nilikuwa nimekufa Maana nafsi iliachana na mwili so nilikuwa dunia nyingine kabisa.Nilikuwa nikitembea huku na huko kama vile nilikuwa nikotafuta kitu.. Kwa mbali nilisikia vilio vya ndugu zangu akiwemo mama yangu mzazi lakini pia na baba huku walkiliita jina langu. Nikashtuka ndio nikajikuta kuwa nimerudi duniani, yani nilikuwa nakufa kabisa na kumuacha binti yangu, nilinyanyuka pembeni yangu alikuwepo nesi ambaye alikuwa akiandika andika kitu kwenye daftar Kitendo cha kuzinduka kilimfanya atabasamu kidogo kisha akazungumza "Unajisikiaje...??" "Salama.." 😁 yani nilikuwa siko sawa badala ya kumjibu najisikia haueni namjibu salama, basi nesi akaniangalia kwenye macho kama vile kuna kitu anatafuta, nikawa naona ananipotezea muda wangu bure maana nilikuwa na hamu ya kumuona Nasrat. Wakati yule nesi akiniangalia kama niko sawa mlango ulifunguliwa akaingia mama yangu, nyiee nilijikuta nikinyanyuka bila hata kuambiwa Sikuweza kuamini eti Leo mama yangu anaweza kuja Oman, nikiwa bado natafakari mama amefikaje fikaje Oman mara baba naye huyu hapa . "Baba mama, inamaana mmeweza kuja mpaka huku..??" Niliwauliza, wakatazamana kisha baba akazungumza "Nafikiri upumzike kwanza, hayo mengine utayajua tu muda bado.." "Kwanini muda bado eheee, kwanza Nasrat yupo wap..??" Niliwauliza nikiamini huenda nipo Oman kumbe haikuwa hivyo nilikuwa tanzania. "Nasrat ndio nani..??" Mama na baba wakaniuliza kwa pamoja "Acheni basi masihara kwani hamjamuona mtoto mdogo ana miezi kama saba hivi mzuri mzuri yuko wapi kwani na anendeleaje..??" Niliwauliza lakini ni kama hawakuwa wakielewa kabisa nilichokuwa nazungumza, wakabaki wasinielewe tu basi wakiwa kwenye sintofahamu mlango ulifunguliwa akaingia Anfrey...... ITAENDELEA........

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

Mwandishi; lissa wa huru media Basi nimefika home nimenuna kweli kweli.nikaona yule adrian kama alikuwa anataka kunitia nuksi tu. Mtu kashanikaa mbele ya wazazi . Na yeye ndo kasababisha ata shule nimefel pumbavu zake.nikaona aka ngoja bwana baraka mie. Basi nikawa binti mzuri nakwambia .yani ni mimi na nyumbani .nyumbani na mimi. Nikitoka ni dukani mala moja nimetumwa na sichelewi nishaludi home .ila sasa adrian na yeye alikuwa anakomaa kunifatilia jamani. Yani nilikuwa nikitoka nje nakutana nae sana .ila wala sikutaka upumbavu mie nikasema namngoja mpenzi wangu baraka.na kama.madihara ikakata miezi 3. Nikawa nangoja siku tu ni lini baraka analudi. Siku iyo sasa nipo home na mama. Tukapika vizuri tulivyomaliza tukatenga mezani mana mzee alisema yupo njiani analudi muda sio mrefu. Basi sie tukaanza kula uku tunapiga story kweli kweli. Mala mzee nae akaingia . Akaingia kwanza ndani kwake .kisha ndo akatoka sasa. Akasema mke wangu nijazie chakula kingi leo nna njaa sana. Kweli mama akamjazia chakura. Kisha tukaanza kula taribu. Baba akasema leo bwana nimepokea habari nzri sana juu ya baraka. Mh nilivyosikia barkaa nikatulia kwanza mana moyo ulikuwa unapiga kweli kweli. Baraka tena kafanya nini. Baba akasema baraka alikua anatalajia kuludi leo. Ila hataludo tena.nikauliza kwa nn. Akasema amepata nafasi ya kujiunga jeshini hivyo ameona ajiunge tu na jeshi . Eeeeh nini. Nikasema kwaiyo baba hatarudi. Akasema ndio. Amenambia atakuwa huko kwa miaka 3 kwanza ya mafunzo. Aseeeee nilibaki.nimeganda kama sio mimi. Ningoje miaka 3 tena. Na mbay zaidi hanitafuti mimi anampigia mjomba ake tu .yani baba yangu. Na kuna siku nilienda kwa mjomba bakari.niliwauliza wadogo zake wakanmbia huwa anapiga kuwasalimia. Nikaona kabisa basi mimi baraka hanipendi na sina umuhimu kwake. Nilijikuta machozi yananishuka mbele ya wazazi. Mama akauliza we mbona unalia eeeh. Aseeee nikasukuma chakura.nikanyanyuka kwa hasira nikaingia chumbani kwangu. Nikajifungia kabisa malango.nikalia mno.nilililia sana.tena kwa sauti na hasira kweli kweli. Nikasikia mama anagonga fungua. Ebu fungua . Shakira mwanangu fungua. Nikasema mama kwa nn ananifanyia makusudi.nimemvumilia miezi 3 kanambia analudi tunakuwa wote .atakuwa anakupigia ili tuongeee lakini ni muongo hajawahi kupiga ata siku moja. Bado anatakaa kuwa mbali na mimi kwa miaka 3. Naishije bila ya yeye naishije. Nampenda sana mimi. Nampenda sana baraka ananitesa mimi. Hivi mnajua nilikuwa kama chizi. Nililia uku nikilalamika sana .na wazazi wakisikia . Sikujali ata kidogo. Nilikuwa nalia tuuu. Nillia mno. Mpaka nilipojisikia kunyamaza ndo nilinyaamaza mwenyewe kisha nikalala kabisaaa. Ila usingizi ulikata usiku kama saa 7 .mama alikuwa aita shakira shakira .nikasema abeee mama akasema fungua mlango mwanangu. Basi nikasogelea mlango kisha nikafungua mama akaingia. Akanikuta nimechoka sana. Akaa kalibu na mimi. Akanishika mkono. Akanambia pole sana. Naomba nieleze nini kinaendelea kati yako na barkaa. Mimi nilisema mama .nisameheni mimi nampenda sana baraka.mama akanmbia sawa nielezeee. Nikasema nilianzisha mahusiano naye na alinambia akiludi tutakuwa pamoja nimngoje na atanioa tu .mama akanmbia mmewahi kufanya mapenzi. Mh apo nikakakataa nikasema hapana hatujawahi. Mama akasema sawa lakini shakira si unajua baraka ni kaka yako ama umesahau mwanangu? .nikabaki kimya. Mama akanmbia sikia niwambia ata uyo baraka hakupendi.mbona akimpigia baba yako hamuulizi chochote kihusu ww. Yeye anaangalia mamabo yake tu. So plsss naomba uache kulia na uendelee na maisha yako unanielewa nikasema lakini nampenda sana mama. Mama akasema achana nae .wewe tulia upate cheti chako ukaenze kujifunza urembo upambanie mambo yako sawa. Nikasema sawa mama. Basi maa akanikumbtia kisha akawa ananituliaza kwa mamaneno mazuri.nashukuru nikapoa tu. Na nikawa kawaida tu. Temper ikashuka kabisa. Nq hii siku mama akalala na mimi kabisaaaa. 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

If you are Proud to be a woman: Share this post Meanwhile who is waiting for PART 5 of OSATO the Pure Water Seller? If you missed any part, Iink is in pinned comment

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

SONGA NAYO... Pale nje tulibaki wawili tu mimi na madam hao wengine waliingia ndani. Madam aliponiita nilimuangalia tu bila kumuitikia, huyu mama nikimuona nahisi kichefuchefu kabisa "Mira achana na hizi nguo, kesho tutaenda kununua nguo nyingine lakini pia ningependa kukuuliza ile simu uliipenda..??" Nilinyanyua uso na kumuangalia kwa mshangao, akilini mwangu nilijua labda swatii ndio atakuwa kaniletea lakini nakuja kujua aliyeninunulia ndio huyu mbwa Aah nilichoka, nikamtazamaaa kwa muda kisha nikamwambia "Kwahiyo ulishindwa kunikabizi kwa mikono yako ukaamua kuiweka chumbani, ukute umenitegeshea bom wewe.." "Aah Mira usifike huko, me siwezi kufanya hivyo nilikuwekea huko kwa sababu jana nilipokuita ulikataa kuongea na mimi ndio maana nikaipeleka chumbani kwako, kwanza me siwezi kukuua maana nakupenda sana binti ya..." "We koma, yani nimekuwa binti yako au mama wa binti yako..??" "Nini kinaendelea hapa..?" Sauti kutokea nyuma yetu ilizungumza, haraka madm akageuka akiwa na wasiwasi sana kwa upande wangu nilikuwa kawaida kabisa yani nilikuwa nafurahi kimoyo moyo "Aaah anfrey kumbe bado upo hapa..?? Madam alimuuliza mwanae huku akiwa anatetemeka sana "Ndio nimefika saivi baada ya kusahau simu yangu hapo kwenye bench.." Anfrey aliongea akasogea mpaka kwenye benchi na kuchukua simu yake kisha akatutazama kama amehisi kitu kisha akataka kuondoka mama yake akamzuia "Aaah nilikuwa namwammbia Mira kesho aongozane na wewe muende mukanunue nguo za mtoto lakini pia na mahitaji mengine madogo madogo.." Alizungumza madam "Sawa.." Alijibu Anfrey kisha akaondoka zake huku akimuacha mama yake akimtazama kwa wasiwasi sana, nami bila kupoteza muda nilishika njia ili kuingia ndani lakini madam akanisimamisha nikamgeukia "Mira nakuomba sana hii siri ibaki kati yetu.." Aliniambia, me nikabaki kimya sina cha kumjibu kisha nikashika njia na kuingia ndani, kama kawaida yangu huwa sipendi kukaa sebleni Yani mida mwingi nautymia nikiwa chumbani na binti yangu, basi bwana Mira mie moja kwa moja nikaelekea chumbani nikiwa nakaribia kufika kilipo chumba changu nilipishana na Ellice "Mchezo umeuanzisha wewe, nakwambia utaona yani nitahakikisha unaondoka kwenye hii nyumba.." Elilice alizungumza huku akiniangalia kwa zarau na kuondoka maeneo hayo, nikabaki namshangaa huyu binti dah ana roho mbaya sijawahi ona Na sijui amekuja lini maana wakati anakuja hapa sikumuona, basi mimi huwa sina tabia ya kuweka vitu rohoni kwa mfano nikiambiwa kitu nikae nacho makini huwa napotezea au wakati mwingine nasahau kabisa Shoga enu nikasahau kabisa maneno ya Ellice so nikaingia chumbani kwangu na kulala.... Kesho yake niliamka kama kawaida nafuata ratiba zote za kumuhudumia mtoto, majira ya saa tatu nilikuwa nimeshamaliza kila kitu so nilikuwa free kabisa "Mira.." Nikiwa nimejipumzisha chumbani kwangu madam aliingia na kuniita jina langu, nikanyanyuka na kukaa kitako huku nikimtazama azungumze "Jiandae muda ndio huu.." Alisema na bula kusubiri neno lolote kutoka kwangu akaondoka, basi mimi ninavyopenda mitoko aweee chapu nikawa tayari kwenye gari nikiwasubiri wao wamalize kujiandaa Baada ya muda kidogo nilimuona madam akiwa ameongozana na Anfrey mpaka pale nilipokuwa, Andrey akafungua mlango wa gari alishangaa kunikuta nikiwa nimemsubiri 😁 "Umeingia mda gani..??" Aliniuliza "Kitambo sana mbona.." "Mira hakikisha unakuwa huru kuchagua yani chochote urakachokipenda we unachukua sawa..??" Madam aliniuliza "Sawa madam.." Bas Anfrey aliwasha gari na kuondoka mahali pale, njia nzima tulikuwa kimya sijui kwa sababu hatujazoeana 😁 ila kusema ukweli huyu kaka namuogopa mno Maana sipendi wanaume weupe na wazuri maana nitakuwa mtu wa kulia kila siku, ukweli au uongo ?? Nawauliza nyie akina dada ambao mnawanaume weupe na wazuri Hivi hamjawahi kulia kweli 😆 anyway mahusiano ya watu hayanihusu ikiwa me sina hata mwanaume wa kusingiziwa tu... ITAENDELEA........

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

MTUNZI uhuru media " Pink ujue hapa Ni mjini na maisha ni magumu Sana pesa zinapatikana kwa shida hivyo unatakiwa kujiongeza sio Ila siku Mimi ni nikeshe huko nje nipigwe na baridi alafu wewe kwa Raha zako unavuta shuka unasubiri kuletewa. Alisema zuri huku akiwa anakunywa supu aliyotengewa na pink muda mfupi uliopita. " Dada zuri hiyo kazi unayofanya Mimi siwezi . " Unafikiri Mimi napenda kuuza mwili wangu hii yote Ni kwasababu ya shida tu. " Kwani siwezi kufanya kazi nyingine. " Kazi gani ambayo unaweza kufanya shule hujasoma , siku hizi hadi ma house girl wanaotakiwa waliosima ukienda kuomba unaulizwa cheti hii ya kujiuza haina masharti yoyote. Pink alisimama pembeni akiwa kajiinamia maana kazi aliyokuwa anaambiwa afanye ilikuwa Ni mtihani mkubwa Sana kwake . Alikumbuka wazazi wake walinifariki na ndugu wakamdhurumi kila kitu na kumfukuza nyumbani kwao kwakuwa hakuweza kupambana nao aliamua kuondoka na kwenda kuishi na dada yake zuri. Zuri na pink hawakuwa ndugu wa kuzaliwa Ila wazazi wao walikuwa Marafiki Sana na kwa bahati mbaya wote walitangulia mbele za haki. Wazazi wa zuri walifariki akiwa kidogo anaejitambua lakini kwa upande wa pink walimuacha akiwa kidato Cha pili baada ya hapo hakuweza kuendelea na masomo. Zuri alimchukua na kuishi nae Kama mdogo wake mtaani watu wote walijua pink na zuri Ni ndugu wa damu. Pink baada ya kujitambua zuri alitaka aungane nae kwenye biashara ya kujiuza ili waweze kujikimu kimaisha. "Hauna haja ya kulia pink kwasababu hapa tulipo wote Ni mayatima hatuna wa kumlilia Wala kuomba msaada kumbuka yatima hadeki Pink aliondoka akaenda kukaa nje huku akiwa anafikiria afanye Nini ilinkujikomboa kwenye haya maisha maana kila alipofikiria swala la kufanya biashara ya mwili wake haikumuigia akilini. Siku hiyo ilipita hatimae mwezi bila zuri kumwambia kitu chochote kuhusu kwenda kujiuza , hiyo ilimfanya pink apotezee. Siku moja usiku Wanaume wawili Walienda nyumbani kwao ktafita zuri. " Tumemkuta zuri? " Dada zuri hayupo. Pink alipowajibu hivyo wale wanaume walimuangalia Kisha wakasema " Sawa tutakuja kesho. Walipoondoka pink alifungua mlango akaenda kulala. Kesho yake asubuhi na mapema zuri alirudi nyumbani akiwa kaongozana na wale wanaume wawili lakini pink alipowaangalia alihisi Kuna kitu hakipo sawa maana Zuri alikuwa Kavita mdomo na wale watu walikuwa wanamuamrisha afanye kitu. Zuri alimshika mkono pink wakaingia chumbani . " Kusanya kila kilicho chako kunasehemu unatakiwa kwenda. Pink alishituka " Dada umeamua kujifukiza nyumbani kwako. " Hapana mdogo wangu unaenda sehemu salama baada ya muda utarudi tutakaa pamoja. Pink aliogopa lakini Zuri alimbembeleza afanye hivyo. " Niamini utakuwa salama kipenzi. Pink alichukua begi lake akakunja nguo na kunywe mabegi. " Tayari " Ndio. " Haya nifuate. Walitoka wote mpaka sebleni wakawakuta wale wanaume bado wamesimama. " Haya twende.alisema moja wa wale wanaume huku alichukua begi Pink. " Dada niambie naenda wapi? Aliuliza pink huku machozi yakitoka. Zuri alimkumbatia na kumwambia " Pink kipindi kile ulivyoumwa Sana sikuwa na pesa ya kukutibia hivyo ilinibidi nikaazime pesa sehemu nikaahidi baada ya muda nitarudisha lakini kutokana na Hali ngumu ya maisha na kipato changu kidogo nimeshindwa kulipa deni huyo mtu amesema ukakae kwake mpaka nitakapolipa Hilo Deni. Naomba unisamehe mdogo wangu sikuwa na njia Ila nakuahidi kutafuta pesa Kisha nitakuja kukuchukua. " kwani Ni kiasi gani Cha pesa ulichokopa ambacho kunathamani ya utu wangu. Aliuliza pink kinyonge. " Sio nyingi kipenzi Ni milioni moja tu. Pink alishindwa kuongea kitu ilibidi akubali kuondoka na wale wanaume akiwa kajitoa sadaka maana hakujua hao watu wanaenda kumfanya Nini. Walipanda kwenye gari huku pink akiwa kakaa siti ya nyuma peke yake alikuwa anajishauri aruke akimbie lakini aliona wazo lake ni lakijinga. " Acha nikubaliane na kinachoenda kunikuta sijui huyo mbaba anaenda kunifanya Nini. Hatimae walifika kwenye jumba moja la kifahari, wakashuka na kuingia ndani walipofika sebleni walimkuta Kaka mmoja mwenye makadirio ya miaka 29 au 30 akiwa kasimama anaangalia mlangoni na mkononi akiwa kashika grass ya mvinyo. Walipofika karibu Pink alionekana kushituka Sana pia Nicky alishangaa kuona sura ya pink. Water walibaki wamesimama waliangaliana lakini Nicky alionyesha kuwa na chuki.

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

SONGA NAYO..... Muda ulienda majira ya saa nane nilitoka nje kwa lengo la kuanua nguo za mtoto, lakini nilipofika nilikuta nguo zote ambazo nilifua na kuanika zikiwa chini Tena zilionekana kabisa kuna mtu ameziangusha makusudi na kuzikanyaga kanyaga zikiwa bado mbichi, nyie katika siku ambayo nilichukia basi ni hii siku walah Maana mimi sipendi kuzarauliwa na pia mimi sio mnyonge, na kitu ambacho hamkijui ni kwamba mimi bwana sipendi ile kazi ya kufanya harafu narudishwa nyuma yani sipendi kabisa hii tabia. Sasa kitendo cha kukuta nguo ambazo nilikuwa nimezifua zikiwa chini tena zikiwa zimechafuka kilinikera sana, nikawa naomba mungu huyo mtu ambaye amefanya hivi ajulikane mapema Kweli bana huyo mtu akawa amekuja hapo na sio mwingine bali ni yule mdada niliemuona pale seblen, yule dada alisogea mpaka nilipokuwa huku akicheka sana " inauma eee..??" Aliniuliza huku akinisogelea lilikuwa kosa kubwa sana kwake kunisogelea maana nilimchota mtama wa maana 😂 msinishangae mimi hayo mambo nayaweza maana nimekulia kwenye familia ambayo ina madume watupu 😂🙌🏾 Yani kule nyumbani kwetu Tanzania ni mimi pekee ndio mtoto wa kike lakini hao saba wote madume, na kibaya zaidi hao madume ni wakatili sana Kabla sijaja Omani nilikuwa naonewa hatari 😂🙌🏾 japo nilikuwa mkubwa wao ila sikuwa naweza kupigana na mwanaume mimi, so kila nilipokuwa nawakosea basi nilichotwa mtama 😂 Ikafika wakati na mimi nikaanza kuwachota mtama wale ambao wananizarau lakini pia kunionea, sasa huyu ndugu yenu ni kama ameviamsha vitu ambavyo vilikuwa vimelaka kwa muda mrefu sana😅😅🙌🏾 Acha akome, yani sura nzuri ila roho sasa 😏 binti ana roho mbaya huyu sijawahi ona aisee.. Yule mdada baada ya kumchota mtama nikakimbia na kwenda kupotelea kwenye nyasi, 😂 sio kama nilikuwa naogopa hapana nilikuwa nampa funzo kuwa hata mimi hayo nayaweza vizuri tu mbona "Mama weee, nakufa huku.." Ni sauti za yule mdada ndio zilikuwa zinasikika baada ya kuangukia makalio na kibaya zaidi aliumbwa na sura nzuri ila kalio hola 😅😅 nacheka kama mazuri vile Maana binti alikuwa hana kalio hata lile la bahati mbaya, sasa kitendo cha kuangukia makalio nahisi aliumia maana kulikuwa na mifupa tu 😆😆 Mungu nifundishe kunyamaza mimi, 🤫 nisije kuonekana muongo bure na huku naongea vitu vya ukweli kabisa, basi bwana kelele za yule binti ziliwatoa watu ndani Wakatoka mpaka nje na kumkuta mdada anagalagala hapo chini yani kama ameumia sana na hawezi kusimama 🥺, upande wangu nikabaki natazama mashetani ya Oman namna ambavyo yanakuwaga kumbe ndo yanakuwaga hivi 😁 "Umekuwaje...??" Madam alimuuliza huku akimsaidia kunyanyuka pale chini "Mfanyakazi wako, oooh my God nitatoa wapi tena kalio zangu mie ..." 😂😂😂 yule mdada alikuwa analalamika kama vile aliumbwa na makalio makubwa, haki ya mama nilicheka sio poa, kitendo kilichowafanya watu wageuke sehem nilipokuwa nimejificha "Mira huko kwenye nyasi unatafuta nini..??" Madam aliniuliza huku akisogea mpaka nilipokuwa na kunishika mkono huku akinivuta kunitoa kwenye nyasi mie nacheka tu, tumbo linauma kwa kicheko "Da Mira tuambie basi na sisi kinachokufanya ucheke hivyo.." Swatii aliniambia, basi ndio akazidi kunifanya nicheke, wakazidi kuangalia mimi,.. "Yani nimepigwa hata kunisaidia hamna kweli.." Alizungumza yule dada "Kwani umefanyaje mbona hatuelewi ??, harafu unagalagala kama mtoto bwana.." Anfrey aliongea "Si huyu mfanyakazi wenu amenipiga.." "Mmh we Ellice acha uongo bana, toka lini Milra akaanza kupiga watu..??" Alizungumza madam akinitetea ndio nikajua yule mdada anaitwa Ellice, basi yule dada akaendelea kusisitiza kuwa nimempiga lakini hakuna aliyemuamini hata kidogo "Mhhh Mira hizi nguo mbona zimekuwa hivi..??" Swatii aliniuliza baada ya kuona nguo za mtoto zikiwa chini, nikageuka na kumtazama yule mdada nikamuona akiwa na hofu sana lakini pia alinisisitiza nisiseme Yani kwenye vitu ambavyo sipendi kwenye maisha yangu, basi ni kuongea uongo, sinaga tabia ya kudanganya watu wakubwa hata kama huyo mtu awe amenikosea kiasi gani siwezi kumdanganya Sasa huyu binti wa Oman ni kama anataka kuniona mimi matako yake kabisa na hajui nimetokea mkoa gani yeye ananiforce tu "Kusema ukweli hizi nguo nilikiwa nimezifua il...." Ellice akadakia "Muongo muongo me siwezi nikafanya hivyo..??" Yani ndugu yenu alijichanganya huku, sikuwa na nia ya kuwaambia maana nilimuonea huruma, sasa kitendo cha kudakia maongezi akawa ameharibu kila kitu.. "Ellice ni wewe ndie umefanya hivi..??" Madame alimuuliza Ellice na siku hiii bwana madame aliweka uso wa serious sana mpaka nikabaki namshangaa huyu mama amekunywa konyangi au vipi?? "Aaah shangazi sijamaanisha hivyo.." Ndio nikajua kumbe hawa watu wana undugu baada ya Ellice kumuita madam shangazi yake.. "Ila ulimaanisha nini, unajua Ellice acha kuniona mimi kama kijana mwenzio sawa, kwanza hiki kitendo ulichokifanya nilikishuhudia kwa macho yangu kabisa Ukitoa nguo kwenye kamba na kuzitupa chini kisha ukazikanyaga kanyaga, haya niambie ulikuwa na maana gani kufanya hivi...??" "Hapana shangazi, me sijafanya.." Alijitetea "Hujafanya sio??, tangulia chumbani nakuja.." "Lakin....." "Nimesema tangulia chumbani..." Wakati yote yanaendelea Mira mimi nilikuwa naangalia tu na nisielewe eti, yani kwanini madam alipomwambia Ellice atangulie chumbani Ellice aliogopa sana Nilikuwa najiuliza tu na nisielewe kinachoendelea kwa muda huo "Mira.." Madam alinifata na kunishika mikono yangu, huyu mama ananipenda sana mimi 🥰 yani ananipenda sijui hata nielezeeje jamani maana dah 🙌🏾 huyu mama ni mfano wa kuigwa Eeeh mfano wa kuigwa kwa kujali watu, na sio kuigwa kwa kutelekeza watoto ogapa hii kitu..... ITAENDELEA......

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

Mwandishi; lissa wa huru media Basi kesho yake jioni sana ndo baraka alianza kujiandaa mana alikuwa anaondoka na basi la usiku. Nilijisikia unyongea sana. Ila alinambia nivumilie mana ni miezi 3 tu na chuo anachagua dar ili niwe nae. Basi nikaona sawaa. Na mzee ndo aliondoka na baraka kumpeleka stand. Jamani nilijikaza ila nilikuwa sipo sawa. Mpaka mama akaniuliza wewe tangia lini umeanza kumsikitikia baraka. Yani kawa mshikaji wako lini. Mpaka leo anaondoka unajisikia vibaya hivyo. Eeeh. Nikasema mama nilishabadilika rohoo na baraka ni mtu ambaye hana shida kabisaa. Mama akaningalia akasema sawa bwana. Ila si atarudi mbona apo jeshi ata hawakaagi sana.nikasema.sawa. Basi sasa maisha ya kuwa mbali ma baraka yakaanza. Yeye akiwa ndo kaenda uko jeshini kigoma. Ilikata weekk ila baraka alimpigia simu baba mala moja tu kumjulisha baba kuwa kafika salama . Ila hakumpigia mama kama alivyonambia kuwa atakuwa anampigia simu mama ili tuwasiliane ila no hakumpigia simu mama kabisaaa. Basi bwana majibu ya form four yakatoka. Shoga yenu nilipata division 4 ya mwisho kabisa. Baba alichoka yani ata chuo sipangiwi. Mzeee akanmbia ndo ulichokivuna hiki si ulishaanza mapenzi ukiwa shule aya mambo ndo aya . Chamuhimu ata least nilipata cheti. Mzee akasema nikae nyumbani .nikishapata cheti atanipeleka nikasomee urembo tu.nikasema sawa. Basi maisha yakawa yanaenda tu. Japo nilikuwa nammis sana baraka yani.sana..kuna mdaaa mpaka nakaa nmuwaza nalia.naenda kuchukua shati lake nalala nalo ndani yani nilimmis sana kiukweli Siku iyo.sasa bi mkubwa akanituma sokoni. Nikaenda kuemea sasa wakati naludi.nikaona kuna a gari kama inanifata hivi.mana nilikuwa natembea pembezoni mwa bala bala. Ikawa inanipiga honi .ila nikadhalau nikajifanya kama.sisikii hee si nikasikia sauti ya adrian ananiita shakira .hey shakira .nikasimama kwanza kumsikiliza. Nikasema unasemaje wewe. Kwli bwaana alikuwa ni adrian kazid kupendeza na kwaka sana .bonge la handsome jamani. Nikasema nakusikiliza. Akasema naomba upande katika gari shakira tuongee. Nikasema kwaiyo ayo maongezi kakam sijaongiia kwenye gari hayaongeleki ama. Akasema plsss naomba unisikilize ili tuongeee. Nikasema asa ww una nini cha kunambia mshamba mkubwa ww. Akasema najua una hasira sana shakira ila nilifanya vile kwa sababu shakira. Na nilisafiri nilienda home bukoba. Nimeludi dar kama nna week.plssss shakira tuna mengi ya kuongea naomba tuongeee.nikamuangalia kisha nikakumbuka ile siku kanikana mbele ya wazazi. Nilimsonya bonge la sonyo kisha uyo nimasepa zangu home. Yani nna vyompenda baraka ndo ntaakaa kumsimiliza yeye. 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

Basi demu akaondoka zake na hasira zake, na mimi nikaludi zangu ndani, kisha sasa nikampigia mama ahmed, na kweli akapokea skmu , nikasema hivi we mwanmke unanizoea sanaaa, si nakuuliza wewe, unanizoe mimi sanaa, hivi we unapata wapi nguvu ha kuja nyumbani kwangu na unakuja kuongea usenge usenge wako, we ni nani kwanza ,kwani inakuwaje , yani kuzaa na wewe ndo imekuaa shida we demu jau nini, mama ahmed akawa anacheka akasema loooh wewe ndo jau kwa unavyechezea wanawake mpka kesho, na utapata laana za wanawake waote unaowaliza mshamba wewe ,mtu mzima ovyoo unashindwa kutafuta wa kuoa unaanza kuangaika na wanawake leo uyu kesho yule, na kazi yako kuzalisha kama paka, lione kwanza , na utakufa na ukimwi msenge wewe,nikasema we mjinga acha upumbavu wako, na ulichokifanya leo kimeniuzi sana na kukuonesha hilo, kuanzia leo mimi wewe sikupi ata mia, wewe si una mdomo sana, sasa pambana na umuhudumie mwanao, mi sikupi ata 100 wewe si jeuri na unajua sana kuongea ,na sinunajua sana kutukana sasa ntakuonesha, sikungoja jibu lake upande wa pili nikakata simu Nikaona uyu mama.ahmed namuendekeza sana wakati mi ndo namuweka mjini, namlea msenge uyu, namtumia pesa kinoma kuliko wanawake zangu wote nilozaa nao, alafu nikikosa pesa siku moja tu nikawa sijamtumia dooh, inakuwa shida anakuja mpaka nyumbani kwangu, na hana adabu akimkuta mtu anaanza kelele zake, sasa nikasema nitamkomesha maraya uyu, simuhudumii manina zake kisha ndo atanijua mimi ndo nani, basi bwana ,mi apo sijumtafuta ata zena nikatulia zangu tuli, nikajua ata kwa mda huu nikimtafuta hawezi kunielewa, mi nikatulia zangu nikawa nacheki movueee, na hiis iku bwana kulikuwa na npira wa simba na yanga taifa na teali nilishkuwa na tiket, nikachek.movue mpak saa 7 hivi, ibra akanipigia simu kuwa mda sasa tukachek games taifa, mana na yye alikata tiketi, Basi kweli ,nikajiandaaa zangu, na mm ni mshabiki sana wa timu ya simba ila ibraa ni yanga, basi bwana niliponaliza kujiandaaa mwanaume nikachukua bodaaa, mana sikutaka kwenda na gari yangu sehemu zenye pilika pilika za wtu wengi hapana ,na ata ibraaa nilikutana nae taifaaa ,ndo tukaingia sasa iwanjani, tulikuwa vvip kabisa, na kwa uo mdaa game bado ilikuwa haijaanza mi nikamuhadithia ibraaa kuhusu balaaa lililotokea leo home juu ya zena na mama ahmad, ibraa akanmbia daah pole sana kaka so unaamuaje, nikasema.sasa mimi naamua nini, apo wa kuaamua ni zena, kama kamaind anatoa mimba ni sawa, akinambia anazaa pia ni sawa yani ipo hivyo mwanangu, ibraa akanmbia daaah mwanangu shida we hujawahi kujali moyo wa mtu, hivi humfikilii zena atakuwa kaumia kwa kiasi gani, sikia usiwe hivyo kaka, tukitoka kuangalia hii game twend kwa zena tukaongeee nae mm na wewe, na ikiwezekena muombe msamaha, aseeeee millan unajua yule mwanamke umemkuta bikraa, so haelewi kuhsu mapenzi ukute aya maumivu unayompa wewe ndo ukawa wa kwanza alafu unchukulia powaaa, Nikasema sasa nifanyaje mwanangu, tatizo zena ananiganda sana, all times anataka kuwa na mm na ndo mana yote yanatokea, unazani angekuwa anatulia kwake yangetkea ayaaa ahaa, mambo mengine ata sielewei inakuajee, aibraa kaanmbia tulia tunachek games kisha tunaenda kuonana na zena kwake usiku sawa, mi nikasema sawa ,na apo sababu ya ibraaa, ila mi ningeuchuna tu ,mpaka siku ambayo zena angejisikia kunicheki, na mimi ndo ningemjibu na tungeongea, basi kweli tukachek game na mpaka saa 2 ikawa ishaisha ,na uzuri simba tulishinda bwana, nikawa namtania tania mwanangu ibraaa sana kuwa tumewachambisha ibra ananmbia nyie mmetuotea tu, basi nikacheka sana na itani sana, mi bwana ibraaaa ni rafiki yangu kwrli kweli, kwanza hakuna siri yangu ambayo haijuh au siri yake ambayo mimi siijuh yani, Basi kweli tulivyotoka kwemye mpira sie moja kwa moja tukaenda kwa zena, basi tulivyofika nikakuta zena yupo na shoga ake yule shey, alafu zena hakuwa sawa kabisaa, nikajua kazi ipo apa, basi shey yeye ndo alitukalibisha ,zena alikuwa kalala tu katika sofaa, shey akasema karibuni jamani ,mana mwenye nyumba anajisikia vibaya hyupo sawa, na nilipomuangalia zena aniliona kavimba macho kwa kulia, nikaona doooh asa mambo madogo tu yale ndo analia hvi, asa akikutana na mambo yangu makubwa makubwa yale atayaweza uyu 🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌🙌, nikaona uyu ikiwezekana niacha kudate nae ,mana nikiendelea nae ntamuua kwa matukio yangu na presha bulee, basi ibraaa sasa akaomba kuongea na zena ,na kweli zena akakubali na ikainuka akaa kwenye sofaa, apo mie hataki ata kunitizama et , ndo ana hasira tena na mie, najari sasa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌 Basi mie nikatilia zangu kwa pembeni kwenye sofa ata presha sina, basi ibraa akamwambia ahaa shemeji si tumekuja apa ,kukutaka radhi na kumuombea msamaha mshikaji kwa yale yaliyotokea leo asubuh nyumbani kwake, mh uyo nnaeombewa msamaha sasa sula ata haioneshi kwamba nimekubali kosa na nataka kusamehewa , sula hairefect kabisaa yani, basi ibraa akasema shemeji msamahe jamaaa, ni mambo ya kawida tu ila angekueleza tu kuwa ana watoto teali, ila bado anamtegemea anayekuja pia ,na anamuhitaji sana, so fanya yaishee zena , mana hali yako haikutaki wewe uwe na hasira wala mawazo kabisaa, unaweza kupata shida uko mbelee, zena akasema kwaiyo shemu wewe ndo unamuongelea uyu kwani hana mdomo, uyu haoneshi kuwa anataka kuniomba mimi msamah, kiukweli now naanz kumuelewa vizuri millan ni mwanaume wa aina gani, millan ni muongoo shemeji, millan ni katiri na hajali, na hawezi kujali mwanamke uyuu, ni vile nilifanya haraka tu ya kuwa nae katika mahusiano, na nazani unamjua sana rafiki yako shemeji Nikasema ooh sawa so unaamuajee, mana mi complain nakuaga sipendi kabisaaa, aya nambie wewe unaamua nn juu ya hili suala mi nikimchoka demu nakuwag na kiburi, zena akaningalia kisha akmwambia ibraa shemeji uyu ndo ulokuwa unamuombea msamaha, ibraa akabaki kimyaaa ,zena aksema sikia siwezi kutoa mimba mimi, sijawahi kufundishwa hivyo kabisaa, ntakubali kuwa nimepata hasara na nimealibikiwa kama ao wengine alowafanyia kama mimi, na ukawazalisha na kuwacha but kuanzia leo mimi na wewe basi, yani siitaki mahusiano ya mapenzi na wewe kabisaaaaaaa tena sitaki serious, nitalea mimba na nitaazaa sawa ,ila mahusiano na wewe sitaki, na alafu kuanzia leo sitaki huduma yako ata ya mia, mm natajua naishije na naendeshaje maisha yangu, ibraaa aksema no shemu mbona imefika mbali sana aya mambo yanaongeleka , mi nikasema ibraa ebu tulia bwana si kashaamua hivyo fresh, kma mahusiano yamevunjiaka ni sawa na kama hutaki ata 100 yanguu juu ya kuhudumia mtoto wangu pia ni saw ,but at the end of the day atabaki kuwa ni mtoto wa millan, so kama wewe umeona unajimudu na unaweza kuendesha maisha yako bila ya mimi ni sawa piaa, nikaona zena machozi yanamtoka kweli kweli naona alikuwa haamini, mi kubembeleza mwanmke sipendi kwanzaa, alafu mwanamke akijafanya anajiweza mi naaachana nae, nilozaa nao wananijua vizuri kichwa changu, hawaniletei jeuri za kijinga kama hizi, mi nakuachia mtoto kweli ukijifanya unajiweza

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Asa mimi ni nani nimnyimeee weeeee sio kweli. Nikamsogelea kisha nikamuangalia kwa jicho la kulegea sana. Akatabasamu kisha akanivuta zaidi. Akanipa mdomo. Tukaanza kukisss taratibu. Aseeee nilihisi kama dunia nzima ndo nimeimiliki apa. Yani taratibu mwanaume . Safari hii hakuwa na haraka sana. Nilitulia kweli. Nikaanza kumvua nguo taratibu. Mpaka akawa mtupu kabisa. Mshedede umesimama kweli kweli. Basi nikamsogele kisha na mimi nikatoa kigauni changu nikatoa na kichupi. Nikampandika kwa juu . Yeye kakaa na mimi nikamkalia kwa juu . Nikaungiza mshedede kwenye kuma yangu. Nikaaanza kuukatikiaaa taratibu. Nilikata kweli kweli. Utamu ukanizidia mnoo. Apo baraka kanikamatia kiuno uku anashuka kwenye matako yangu anayabinya binya. Oyaaaaaaaa utamu ulinizidia jamni. Niliikatika kweli kweli.nikaona baraka ananikumbatia sana. Uku anatwetwa kwa nguvu. Kisha gafra akanichomoa juu. Akawa anamwagaaa. Nikasema jaman mwagia ndani tu mimi sipo siku zangu za hatari baraka. Akasema hapana sihitaji kubeti shakira. Naweza nikakupa mimba alafu bado sijajipanga kuwa baba kwa chochote nikasema sawa. Basi akanikamata tena akaniinamisha nyieee. Kaka anayajua uyu. Niliyiwa mnooo. Yani nilikuwa nakojoa kama mwandawazimu. Mala kanivuta kaniweka hìvi. Yani mpaka saa 11 mimi na baraka bado tumeshikana tu. Aseeeee niliinjoy sana kuwa na baraka yani sana. Iyo saa 11 tupo hoi.nikamwambia baraka tulale . Akanmbia naenda kulala chumbani kwangu ntapitiwa umu.nikamsogelea barka nikambusu .kisha nikamwambia baraka nakupenda sana . Baraka akatabasamu. Akasema nakupenda zaidi.mh nikajisikia rahaa sana. Yani rahaaaa mnoooo. Basi baraka akatoka chumbani kwangu .n mimi ndo nikajilaza sasa. Uwwww nikapitiwa nakuja kustuka saa 5 tena mama ananiamsha. Akaniuliza uko kulala mpaka sa hizi unaumwa ww. Yani baraka saa 1 tu kashaamka anafanya usafi njee we unalala mpaka saa hizi na mtoto wa kikee. Ebu inuka apo. Nikainuka nimechoka kweli kwli. Mama akasema fanya haraka uko mpumbavu ww. Nikainuka mam akasema aya kaoge uje sebleni . Basi kweli mimi nikaingia kuoga kivuvi kwrli kwrli. Mana baraka alijua kunichosha.nilipomaliza sasa.ndo nikavaa vizur. Nikatoka sasa .nikakuta baba ana ongea na baraka pale. Na mama alikuwepo mimi.nikaenda kukaa pembeni ya mama. Baba akanmbia mpe hongera kaka yako amefauru vizuri mno. Amepata division 1 ya point 4. Safi kabisa. Mh kumbe ili kaka lina akiri eeh. Nikasema hongera kaka baraka. Akaniangalia kisha akanikonyeza. Nyie nusu nicheke mbele ya wazazi mimi. Baba akasema na amepangiwa na kwenda jeshini uko kigoma. Si unajua form six wakimaliza wanaenda kwanza jeshi kabla ya kwenda chuo. Basi ndo kapangiwa uko na anaondoka kesho kutwa. Nikasema baba mbona ni haraka sana kaka. Yani kupangiwa leo na kesho kutwa awasili. Baba akasema.sasa sindo shelia zao na ndo wanavyotaka..alafu baraka kashaka sana nyumbani acha abadilishe mazingira kwanza. Alafu ww umeanza kumpenda barka nini. Ila baba ndo anishushue. Basi nikajinyamazia kimya.barka kasema shakira usijali tutakutana tu. Kule jeshi ni miezi 3 tu. Khaaaa mingi yoye iyo atanitomba nani sasa. Nikajibu kwa unyonge sawa. Kisha baba akatoa pesa akampa baraka akasema kanunue vifaa vyako vyote vya kwnda uko . Mana kesho utaanza safari mna kigoma ni mbali. Nyie et kesho ndo anaondoka nilijisikia vibaya sana. Nikajisikia na unyonge.nikakosa rahaa kabisa mimi..basi nikasema kaka baraka naomba nikusindikize. Baba akasema ni sawa msindikize piah. Na kweli mimi ndo nilimsindikiza mpaka kariakoo .ila uko njiani ni nimenuna tu . Ata akiniongelesha nikawa simjibu kabisa. Nilimind sana. Yani kwa nn asikatae kwenda jeshi. Onaa sasa. Yani sikupenda kabisa. Baraka alishanielewa . Akaacha kuniongelesha akawa kimya tu. Bqsi tukqzunguka kariakoo. Na akanunua vifaa vyote alivyotakowa kwenda navyo uko jeshini. Baada ya apo. Akanmbia tunaenda gongo la mboto nikawaage wadogo zangu nikasema sawa. Uko gongo la mboto ni kwa mjomba bakari. Ndo ambae alikuwa anaishi na ndugi zake. Basi tujaenda mpaka uko. Na kweli.aliwaona na nduhu zake akaongea nao sana na kuna pesa akawapa. Ila sikuelewa ata wameongea nini na ndugu zake. Mana wakati wanongea mimi niliwaacha ndugu kama ndugu . Baada ya apo sasa . Tukapanga gari na tukaanza safari ya kuludi nyumbani. Bado sikuwa naongea nae. Na akinionhelesha sikuwa namjibu mpaka tunfika home jioni. Ila kabla hatujaingia ndani. Baraka akanmbia hivi unakasilika nini shakira. Kwani huelewi kuwa ni moja ya iisue ya kusoma. Nikasema kwani lazima kwenda jeshi. Ulikuwa na uwezo wa kukataa . Sio lazima. Baraka akanamba sawa ntakuja vhumbani kwako usiku tuyaongea shakira. Nikasema usije vhumbani kwangu. Kisha nikamucha nje mimi nikaingia ndani. Na moja kwa moja nikaingia chumbani kwangu nna hasira mpaka nalia. Yani ndo ananiacha hivyo. Penzi lina siku 2 anaondoka jamani. Na haoneshwi ata kuumizwa kuniacha mimi. Wala hajali kabisa. Niliumia sana kwani teali moyo wangu unampenda sana baraka. Yan ata mama alipokuja kunambia suala la kula nikasema nimeshiba uko njiani na kaka barak tulikula kumbe wala sikula ata . Ila moyo unauma mpaka njaa siisikii kabisa. Basi usiku sana kama saa 5 ndo baraka akaingia chumbani kwangu na sahani ya chakura.nikamungalia tu. Akanmbia inuka ule basi mtoto wa mjomba. Nikasema sitaki bwana na uniache. Akasema asa nakuachaje mama mtu hujala .we kula kisha tuongeee. Tuna mengi san ya kuongea leo .nikasema sitaki. Akanambia shakira una hisi mimi sikupendi ww. Shakira mimi nakupenda sana tum japo najua wewe ni dada yangu ila nina uwezo wa kukuoa wewe na ukawa mke wangu. So naomba ulerax. Mimi najielewa shakira na nnajua nini nafanya. Naomba unielewr plsss. Naomba univumilie na ujitunze kwa ajili yangu. Nakupenda sana . Tena nakupenda mno shakira. Na nakuhaidi kama utatulia ntakuoa nakuhaidi. Ila naomba unielewe. Na uniache na ulizike mimi kuenda jeshi mana ni moja ya njia yangu ya kujifunza. Nikamuuliza chuo utachgua cha wapi? . Akasema ntachagu cha apa apa dar ili niwe na ww. Nikasema kweli. Akasema yaa .nikamuuliza uko jeshi mnakaa mda gani. Akasema ni miezi 3 tu. Nikasema sawa je tutawasiliana. Akasema ntakuwa nampigia shangazi kukusalimia basi. Nikasema sawa .apo ndo kama moyo nikakunjua na alinielekeza sana. Alipona nimeelewa sasa. Ndo akavuta sahani ya chakula akaanza kunilisha nikatulia na nikakubali. Alipomaliza sasa tukapinduka tena usiku mzima. Tukatombana kweli kweli.mpaka saa 10.ya alfajiri ndo akaludi chumbani kwake. Kiukwrli kwa jinsi nilimpenda uyu baraka na kumuelewa niliona nijitunze tu kwa ajili yake. Na mbona mabinamu wanaoana vizur tu. Nikaona basi isiwe shida achanimngoje baraka .mana nilihisi nampemda sana. Japo tulipata siku 3 tu ya kusherehekea penzi letu .ila kila mtu alielewa penzi la mwenzake❤️ 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

SONGA NAYO.... Kisha kwa ujasiri mkubwa nikazungumza. "Madam kwanza nasema asante kwa kuniamini lakini pia kwa kunijali nikuambie kitu siwezi kuolewa na kijana wako ile hali mimi ni mfanyakazi wako, sina thamani ya kuolewa na huyu pia sina hadhi ya kuwa naye ukiangalia mimi ni masikini na nipo hapa kwa ajiri ya kazi. So ndugu zangu hiyo habari ya kuolewa na mtoto wenu mfute kabisa kwenye akili zenu maana mimi ni binti wa kimaskini.." Nilimaliza kuongea hapo kisha nikaondoka sikutaka kusubiri neno lolote kutoka kwao nkaelekea moja kwa moja mpaka chumbani kwangu ambapo nilimkuta binti yangu akiwa bado kalala Kwa kuwa usiku ulikuwa mkubwa nami nikapanda kitandani nikalala lakini ndio hivyo sikulala usingizi maana kwanza nilianza kuperuzi mtandaoni si mnajua tena simu mpya. Hakuna siku nililala kwa kuchelewa kama hii siku maana nililala saa kumi na moja kamili ndio nikalala 😂😂🙌🏾, kichwa kinaniuma yani macho ndio kabisa basi nikalala zangu. Nimelala kidogo tu pakapambazuka kutokana na usingizi wa jana yake hivyo niliamka saa tano, hapo sijampa chakula mtoto na ukiangalia mtoto anatumia chakula maalumu so nikaamka kwa kukurupuka kama nimemwagiwa maji. Nilisahau hata kupiga mswaki maana namjali sana mtoto hivyo nikatoka chumbani mpaka jikoni, seblen nilipishana na watu mbalimbali kutokana na kuharakisha sikuweza kuwazingatia. Basi niliweza kuandaa uji kwanza ili Nasrat apate kupooza njaa kwanza ndio nifuate chakula cha kuongeza nguvu, baada ya kumaliza kuandaa uji wa mtoto nikashika njia mpaka chumbani Lakini nilishangaa baada ya kufika chumbani kwangu na kutokumkuta mtoto, hivi mnajua kuweuka ndio kulinikuta mimi sasa maana nilichanganyikiwa balaa moja kwa moja nikashika njia mpaka alipokuwa madam. "Mtoto yuko wapi..??" Baada ya kufika kwa madam sikumsalimia zaidi ya kuanza kumuuliza habari za mtoto. "Mira upo sawa kweli..?" Madam aliniuliza. "Bwanae mambo ya kuwa sawa hayakuhusu, nauliza mtoto yuko wapi..??" Niliuliza nikiwa nimepaniki.. "We binti unaongea kuhusu nini, harafu kumbuka huyu ni boss wako hutakiwi kumpandishia sauti.." Kuna mdada mmoja aliniambia. "We binti kaa kimya sawa, mambo ya familia hayakuhusu.." "Msicheeew, kwahiyo na wewe unajiona ni mwanafamilia.?" Nikaona wananiletea mambo meusi, nikaanza kuzunguka karibia nyumba nzima huku namuita lakini sikumuona nilichanganyikiwa taratibu machozi yalianza kunitoka nilijua tayari wameshamtoa kafara mtoto.. "Aaaaaaaaaah.." Nilipiga sauti moja ya ukunga kisha nikapoteza fahamu, nilikuja kuzinduka nikiwa chumbani kwangu lakini pia pembeni yangu alikuwepo nasrat, nilifikiri nipo ndotoni Nilinyanyuka na kukaa huku nikimuchukua mtoto na kumkumbatia na muda huo mlango wa chumbani ukafunguliwa akaingia Anfrey. "Umeamka..??" Aliniuliza, sikumjibu mimi akili yangu ilikuwa inamuwaza Nasrat tu. "Samahani kwa kilichotokea, maana mimi ndie nilikuja kumchukua bila ridhaa yako.." Anfrey aliniambia. "Hakuna shida.." Nilimwambia, basi akatoka nikabaki mimi na kipenzi changu, nilimuogesha na kumpa uji, na muda wote huo sikuweza kutoka sebleni. Majira ya saa sita nilitoka sebleni huku nikiwa nimebeba beseni lenye nguo za mtoto kwa lengo la kwenda nje kufua, nilipofika seblen ndio nikaanglia vizru bwana bwana 🙄 Kulikuwa na mdada mzuri yani mzuri huyo mashallah 🥰 nyie nilibaki namtazama huyu dada bila kummaliza bwana maana alikuwa 🔥 "Unaniangalia nini, si uende huko ukafue.." Eeeh sasa me kosa langu ni kumtazama tu au kuna lingine?? Ikabidi niondoke na kuendelea na kazi zangu, nilifua haraka haraka ili kumuwahi binti yangu huko nilikokuwa nimemuacha Baada ya kumaliza kufua nikaanika nguo vizuri kisha nikaingia ndani, ambapo nilipitiliza mpaka chumbani kwangu na kumkuta Nasrat amelala. Kwanza najivunia kwa kuwa na binti mpole lakini pia mzuri 🥰 eeeh binti yangu mpole na mtulivu, sio mtoto wa kulia lakini ni mstaarabu sana Naweza kumuacha na mtu yoyote na kumkuta akiwa sawa tu labda awe anaumwa au hajala ndio huwa analia lia sana, basi nilisogea na kuanza kucheza nako pale Nasra alikuwa ameshaanza kutambaa so me nikawa namfunza kwenye kutambaa vile vile huyu dogo anakuwa haraka haraka sijui anataka kuniletea wajukuu me sijui 😂😂🙌🏾..... ITAENDELEA......

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

ENDELEA....... "Jitahidi uwe na utu kuna maisha baada ya haya, kuna kupanda na kushuka. Kuishi na watu vizuri ni hadhina pia binti yangu. Nakupenda sana na najivunia wewe ila ubinafsi wako unanichukiza" Madame aliongea hayo kwa unyonge na baada ya hapo alisusia chakula. Chakula hakikulika tena Melissa nae alisusia chakula aliyebaki mezani ni Misha peke yake. Ilipita week sikutia mguu wangu ndani ya nyumba maana nilishaambiwa mie ni mlinzi kwaiyo nafaa kuwa nje ya nyumba na si ndani. Asubuhi moja Madame aliniambia tuongozane wote sokoni kwaajili ya kumsaidia kubeba mizigo. Safari ya kwenda sokoni ilianza. Tulifika tulinunua vitu vya ndani na baada ya hapo tulipita hotelini. "Nahitaji tupate juice kidogo" Madame aliniambia baada ya kufika hapo hotelini. Tulitafuta sehemu tulikaa, vinywaji vililetwa. Madame aliagizia bia zake za kutosha. Mie niliagizia Juice maana si mtumiaji vileo. Tulianza kunywa huku tunapiga story kuhusu maisha. Nilichogundua madame akilewa anaongea sana na wala sio msiri kabisa na mbaya zaidi achagui mtu wa kuongea nae. Huwezi naamini alinipigisha story hadi za madanga wake namna wanavyomuhonga pesa. Basi mie nililuwa namsikiliza tu na kujichekesha japo hata kinafki kumfurahisha bosi. Basi pombe ilipomkolea zaidi aliniambie anahitaji kulala hawezi kwenda nyumbani kwa hali hiyo Melissa hapendezwi kumuona akiwa amelewa na pia anajitahidi kumpa mwanae malezi mazuri kwa vitendo. "Licha ya mimi kuwa na mambo mengi lakini mwanangu hajui tabia zangu. Anachojua ana mama mpole na mcha MUNGU" Madame Yustar aliongea hayo kwa sauti ya kilevi. Alichukua chumba kimoja hapo hotelini akiniomba nimpeleke maana yeye kutembea ilikuwa ni mtihani. Nilianza kumkokota mpaka kwenye chumba cha hoteli. Nilimlaza kitandani, nikamvua viatu, Nilipotaka nitoke chumbani nikamsubilie nje mpaka muda atakapokuwa sawa Madame Yustar alinivuta shati langu pasipo kutegemea nilimdondokea kifuani na midomo yetu iligusana. Bhana weee kama utani tulianza kulana de.....nda😋. Heka heka za kusasambula nguo zilianza, dadika chache tu wote tulikuwa watupu. Safari hii alinigusa pabaya. Silitaka kumuonyeshea kuwa mie ni kidume kweli kweli, nilimfanyia maandalizi ya kibabe kabda ya mechi kuanza alikuwa ashamwaga mala mbili dadeki. Hakuna sehemu ya mwili wake sikuacha kuitalii kwa ulimi wangu. Madame Yustar alilia kilio cha huba haswaaa! Niliitwa majina yote ya kimahaba na nilitangaziwa upendo eti ananipenda sana hawezi kuniacha yupo tayari aingie vitani na mwanamke yoyote atakayesubutu kunisogelea" Yote hayo aliyaongea labda ya kuanza kumpelek moto 😋😋😋. Nilipoona kazidiwa sana mpaka anaanza kutukana ovyo hapo niliamua kuipeleka kunako kibibi. Chubwi, Chubwi, chubwi. Mama anajua kulia kwa huba huyo acha kabisa. Yaani na mie ndo alikuwa ananipa mzuka dadeki. Aiseeee nilihakikisha hii show inakaa kichwani mwake muda wote animiss 😁😁😁. Baada ya kumpa dozi ya kutosha alinikumbatia kwa nguvu zote hakutaka kabisa nitoke juu ya mwili wake..........Famchezo nini. Heshima ya mwanaume ipo kitabdani pesa vinogesho tu vya penzi😄😄😄😄............ ITAENDELEA..........

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

Basi zena akawa nataka kuingia ndani ,mama ahamd akasema we zena sijuh ndo nani tulia nikupashe shoga angu, apa bwana hakuna, kama umebeba mimba ukazani una bwana hapa hakuna. Uyu mwanaume kazi yake ni kuzalisha tu, na kuhudumia, tena kuhudumia kwenyewe mda mwengine fujo, mpaka namfta kufata pesa ya matumizi ya mtoto, uyu bwana kukaata mimba hawez ila utakoma na utajuta kuzaa nae maraya uyu, apo zena akasimama akasema kwani wewe umezaa na millan, mama ahmed aksema sio mm tu, uyu mshenzi ana watot watano uyo anaekuja kama mimba yako ya uyu baba, sijuh atakuwa wasita sijuh wa 7 ,na alivyo mbwa uyu baba kila mtoto anazaa na mama akeeee, kumbe umebeba mimba bwana humjuhi vizuri mbavu zangu mieeeee, Dooih ap nikaona mama.ahmed atazidi kunihalibia ,nilimsogelea nikamtandika kofi moja tu, ananijua akaanguka mpk chini, alivyoinuka apo hakuuliza pesa ya mtumizi wala ya nini, akaenda kusimama getini, anachamba et ata ukunipiga ndo nishamwmabia kweli mwanamke wako ,wewe ni mwanaume wakuchezea wanawake na kuwaharibia mipango yao, ila sio mwanaume muoaje lione kwanza kipolisi lizima halina akiri, polisi jinga kabisaaa wewe. Nyieeee namuangalia zena ananingalia kwa hasira , ahaaa asa nafanyahe ndo kashajua, basi zena akingia ndani kwa hasira, nami nikaingia nikamkuta kakaa kwenye sofa sebleni ,kisha akaniuliza ni kweli juu ya ayo aloongea uyu dada, nikasema ndio ni kweli nna watoto wa 5 na uyo anaekuja kutoka kwako ni wa 6, zena akanmbia we baba mbona mshenzi hivyo, si nilishakuliza uko nyuma kuwa una watoo ama huna,ukanikataliwa kuwa huna , kumbe umezalisha wanawake watano millan, mbona sioni future yangu kwako Nikasema kwani shida nini zena juu ya watot, mi sijawahi kukataa mtoto ata siku moja, na ata uyo anaekuja kwako nitamuhudumia tu, so kipengele kinatoka wapi, wewe lea mimba ,mimi ntahudumia, zena akanmbia millan , kwaiyo kumbe ulikuwa unanaidanganya sio, unazani kama ungenambia umezalisha wanawake watano mimi ningekuwa na wewe, we ni mwanaume muongo sana millan, najuta sasa kuwa na wewe, nikasema sasa unajuata nini kwani wewe unahudumiwa na wanangu ama na mimi, mimi ndo nitahudumia iyo mimba na mpaka unajifungua so kelele sitaki, unazani mi ningekueleza ukweli mi ningekupata wewe , no sitaki kelele bwana kwanza kichwa changu kina mambo mengi ya maana, zena akanmbia ooh so hili jambo ni la kipumbavuz nikasema zena mi sibishanagi sna na wanawake mana sio mtoto wa kike, so naomba unyamaze, mh zena akanyanyuka kwa hsira akaenda chumbani , kisha baada ya mda akatoka kashavaa akbeba na kila kitu chake, et aanaondoka asa mi namzuiaje kwa mfano, nikamuacha aendee tu ,hasira zikitulia tutaongea na uzuri mimi ndo baba wa mzigo wake na haikwepeki hiyooooo🫡🫡🫡🫡🫡 🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Khaaaaa mi nikamtumia sms, nikamwambia mm sipo nyumbani, naomba uondoke apoo, mambo yasiwe mengi, akaniuliza upo wapi saa 6 hii, nikamwambia nipo kazini akanmbia kazini ndo hupokei simu? Upo kwa maraya zako si ndio, ahaaaa mi sikumjibu wala.nn, nikaweka.simu mfukoni nikawa nipo busy na club, kwani nimemuoa, na ndo mana mi nilikuwa sitaki kumleta kwangu kwa ajili ya hizi iissue ,we unaendaje kwa mtu bila ya taarifa, mi nikamkaushia nikawa busy na mambo yangu, club ilinoga kisenga ,luka sana na watoto wazuri, apo nishakamata demu, alafu unajua mambo ya club mule mule mnamalizana, basi bwana usiku wa saa 9 mm ndo naludi kwangu,,, tena hii siku nilichoka tu mapema, mi naludigi club alfajir kabisaaa Aseeee iyo saa 9 usiku nafika home, nakuta zena kakaaa getini kajiinamia khaaaaa, uyu demu ana akiri vizuri kweli, yani usiku mzima kakaa peke yake ananingoja, nilimmind kinoma, asa anakaaje nje usiku mnene kama huu ,akibakwa jee, nilizani nilivyomwambia kuwa sipo, atakuwa amesharudi nyumbani ,et akakaaa apa apa, alivyoona gari yangu n yeye akasimama, mi nikashuka nikaenda kufungua geti wal sikuongea nae, kisha nikaludi kwenye gari, na nikajngiza gari ndani na yeye akaingia,nilivyoshuka, nikamuuliza we demu huna kwako, ni nn kilikuwa kimekuweka pale mpaka sa hizi saa 9 usiku, nyie zena akniuliza umetoka wapi uhuu usiku na unanuka pombe hivi, nikamwambia we demu unataka kubishana na mimi, mi si nakuuliza na wewe unanaiuliza, au sio tunabishana kwaiyo, zena aknmbia millan ,umetoka bar kunywa ?, na ulikuwa na wanawake uko eeh, nikamwambia yaaa nilikuwa bar na wanawake zangu unasemaje, ndo kilichokufanya ukae apo getini usiku huuuu Zena akanmbia ni mtoto wako ndo ananipelekesha millan, mda wote najisikia kuwa na wewe na sio lengine, mda wote natamani kuwa karibu yako na sio chengine, alafu wewe unanaijibu kabisa kuwa umetoka bar na ulikuwa na wanawake zako kweli. Millan, nikasema zena, mimba isiwe sababu, we ni mtoto wa kike, uwezi kuja apa usiku na unakaa kwenye geti na wakati nishakwambia sipo, zena sitaki hizi drama mm, mwanzo na mwisho kuja nyumbani kwangu usiku na mwanzo na mwisho kuja kwangu bila ya ruksa full stop,naomba ulielewe hilo, zena akanambia ooohh kumbe sawa, baada ga apo sasa, mi nikaanza kuingia ndani na yeye akawa ananifata , kimya kimya, tumefika ndni tukaingia chumbani, mi nikaingia bafuni mana nimetoka kutimba uko kama wanawake 2 tofauti, nikapiga maji nilivyotoka, nikamkuta zena kakaa kitandani, mi sikutaka kuongea nae ,nikajilaza kitandani nikapumzika zangu ata kumgusa sikumgusa , asubuh saaa 2 , nikamshwa na zena, et mpenzi amka huendi kazini, nikawmabia leo niko off niache nipumzike akanmbia sawa, mi nikavuta shuka nikaendelea kupiga usingizi Mh nikaja kuamka saa 4, zena wala hakuwa kitandani, mi nikaenda bafuni nikapiga maji, kisha nikapokea simu kutoka kwa mkubwa wangu wa kazin,alinipa maelekezo nikayapokea, na kisha nikayafakisha mahari husika kwa mda huo huo,kisha sasa ndo nikatoka ndani, mh nakuta nyumba safi kwrli kweli, nikjua binti kujitima uyooo kashafanya usafi, basi zena alivyoniona akanikalibisha mezani kw afurahaa mnoo, alikuwa kashaniandalia chai, na chapati, na maandazi, basi nikakalibia na akanitengea vizuri kisha akanikalibisha waoow ,nikakaaa nikawa nakunywa chai, dooh basi zena akanmbia millan samahani kwa jana sitaludia kuja usiku kama ule, ila nilikumiss sana ndo mana ,na mimba ndo inanisukuma, nikikuona wewe ndo. Nalata amano Nikasema.sawa zena yameisha but sio sawa ,unakujaje usiku kama.ule nanakwambia sipo bado unaendelea kuningoja ,sio sawa na umekosea mpenzi, akanmbia sawa basi nisamehe,nikasema sawa yameisha ummy umemuacha na nani, akanambia nimempeleka kwa shey leo yuko off, nikasema sawa malaiza kula ujiandae nikuludishe kwako ukamuangalie mtoto, zena akasema lakini mm nimekumiss nilikuwa nataka kukaa kwako ata siku 2, doooh kwangu akae siku mbili kufanya nn sio kweli, nikasema no nna kazi nyingi sana hii week, natakiw kufanya so ntakuwa busy sana ,so lazkma nikupeleke kwako, akanmbia lakini ata kama.ukiw abusy ni sawa ,mi sitakuzuia kwenda kazini, we nenda mimi ntabaki apa mpenzi, na usiku ukiludi tunaonana,nikasema no zena nimesema kula nikuludishe kwako, mimi ni mwanaume na nnapoongea na omba nisikilizwe full stop, basi zena kiunyonge akasema sawa ,kisha tukaw tunaendelea kula ila sasa zena akawa anakula kwa unyonge, ahaa mi kwangu bwana nakuachaje , na wakati nna wanawake kibao wanakujaga apao wakimmkuta si kitanukaa Basi sasa tukiwa tunaendelea na kula, nikasikia mlango wangu wa kuingilia ndani,yani sebleni , unagongwa kwa nguvu mnoooo ,nyieeee mi nikajua kumekucha ,zena akaniukiza nani aangonga mlango hivyo, nikasema itakuwa wakusanya pesa za ulinzi na taka.,ngoja nikawaone, basi nikasimama nikaenda kufungua mlngo do si alikuwa mama ahmad, aseee nikamzuia uku uku njee, nikamuuliz mama ahmad shida nn, mbona unakuja kwangu bila ya taarifa, mama ahmad akanmbia wacha weee leo unanizuia kwa njeee mana maraya wako yupo ndani bila ya shakaaa,nakujua sana wewe , sasa sikia nataka kumuona kwanza uyooo asiekujua wwe vizur na akauvaa mkenge kama sie, nikasema mama ahamad ntakupiga nazani unanijua naomba sasa hivi usepe, akanmbia sawa nimefata pesa ya kula ya mtoto , ya jana na leo, na alafu nilikumiss ila kwa kuwa ndani una mwanamke mwengine hakuna shidaaa, mi naondokaa nipe pesa ,nikamungali uyu demu alivyo na matatizo yani usipotuma pesa ya mtoto siku moja, knakuwa tatizo ila sikutak zena ahisi kitu chochote jui ya iwepo wa mama ahamed nikaona nimalizane nae tu ,nikachomoa pesa nikampa mama ahmad nikamwmabia aya nendaa, aseee nikiwa naongea na mama ahmed zena si akafungua mlango kisha akatoka njeeee doooh Mama ahmad akasema oooh kumbe ndani umekamata bonge la demu leo, ahaa leo umejua kuchagua mana mda mwengine unabebaga mpaka marehemu wanaotembea alooooooo, mi uyu mwanamke nilibug ,mtoto wa uswahilini anaongea uyu alafu mgomvi kinoma, zena akasema baby mbona sielewi ni nn kinaendelea, nikasema zena nenda ndani uyu anakusanya pesa za ulinzi we ningoje ndani, mama ahmad akasema weeee nani anakusanya pesa ya ulinzi, we mwanaume unachanganikiwaa, oohhhhh kumbe sababu ushamtia mimba na uyu, alooooooo, apo sasa zena alikuwa na mimba ya miezi 3 na ishaanza kuchomoza ,zena akanmbia millan mbona sielewi baba, nikafoka nikasema.zena nimesema nenda ndani, mh 🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

. 🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Iris alipoingia ofisini, Mr. Marvel alikunja uso. Alijua Iris si mtu mzuri baada ya kile alichomfanyia Noela, lakini hakutaka kuonyesha kwamba anamjua vizuri. Akaamua kuwa mtulivu na kusubiri kusikia shida yake. Iris akatabasamu na kusema “Good morning” Mr. Marvel akajibu “Good morning” I“Naweza kukaa?” “Ndiyo, kaa” Iris akakaa kwenye kiti karibu na meza ya Mr. Marvel. Akamtazama huku moyoni akimsifia jinsi alivyo handsome. Aliona kabisa ni type yake na wanaendana. Akajiuliza kwa nini hakumuona mapema mpaka Noela akapita nae🤔? “Ok! Ndiyo, nikusaidie nini?” Mr Marvel akauliza “Kuna kitu nataka kuzungumza na wewe” “kuhusu nini?” “kuhusu Noela. Najua anaishi kwenye nyumba yako” Mr. Marvel akatabasamu “Mimi sitaki kusikia mambo ya Noela kwa sababu kila kitu kumhusu ninakijua” “Hujui kila kitu, Mimi ni rafiki yake namjua vizuri sana. Taarifa zake zote ninazo hapa!” “Chochote kile kuhusu yeye sitaki kukisikia, Especially ukiwa ni wewe ndo unae niambia” “Najua hutaki, lakini lazima unisikilize. Noela si msichana mzuri. Alimuumiza sana mwanao, mpaka Salmon akaja kwangu kutafuta msaada. Najua unajua kuwa kuna kitu kilitokea kati yangu na Salmon. Ilikuwa ni makosa na ilitokea mara moja tu. Tena Ilitokea chini ya ushawishi wa pombe, Hakuna aliyekuwa na akili timamu. Najuta sana Na yote haya yasingetokea kama si Noela. Alimuumiza sana mtoto wako” “Sasa unanisimulia haya kwa sababu gani? Nifanye nini na taarifa hizi?”🤷‍♀‍ “Ninakuambia ili ujue mimi si mtu mbaya, Mtu mbaya hapa ni Noela na Unatakiwa uwe makini naye. Najua unatumia pesa nyingi kwake, lakini hastahili” Mr Marvel “Asante kwa taarifa” akiwa hajali kabisa. Iris akashangaa mbona mwamba hata hashtuki?? Vyote alivyomwambia havijamtikisa hata kidogo. Ikabidi aongeze nguvu “Mr. Marvel, mimi ni msichana mzuri sana. Sidhani kama mwanao atapenda kukuona upo karibu na ex wake. Itakuwaje akigundua kuwa wewe na Noela mnaishi nyumba moja?” “Kinachoendelea kati yangu, Noela na mwana wangu havikuhusu! Also Najua namna ya kumshughulikia Salmon so thanks” “Please usimuumize mwanao hivi, Anampenda Noela ujue??? Mwache awe naye kwani shi ngapi??? Mbona Mimi nipo hapa kwa ajili yako…… Naweza kukujali na kuwa na wewe zaidi ya anavyofanya Noela. Alafu mimi ni mtamuuu” akang’ata lipsi zake kimakusudi ila Mr Marvel ndo kwanza hana time zaidi ya kutabasamu. Mpaka pale akawa kashapata uhakika ni kitu gani kilimpeleka Iris ofisini kwake. Kwanza akawaza ilikuaje Noela akawa na rafiki kama Iris??? Alitafakari mpaka akachoka. “Wewe una wivu sana! Kwa nini unataka kila kitu alichonacho Noela? Kwanza ulimchukua Salmon kutoka kwake, ukalala naye na sasa umeona Noela anaishi vizuri bado unataka kumharibia!Why???” “Hapana, hapana! Nilishakuambia, kilichotokea kati yangu na Salmon kilikuwa ni bahati mbaya” “Kulala na boyfriend wa rafiki yako kwa miezi minne mfululizo unasema ni bahati mbaya? Kama ingetokea mara moja, ningeweza kusema kweli ni bahati mbaya! Lakini nyinyi mlifanya hivyo mpaka mkawa na uhusiano wa siri! Stop that” “Kuna mtu alikuwa ananilazimisha. Haikuwa kwa hiari yangu”🥺 “Binti, Nina kazi nyingi za kufanya. Please toka ofisini kwangu na usirudi tena hapa na mambo ya kipuuzi” “Mr. Marvel embu……embu…nitazame vizuri. Angalia jinsi nilivyo mrembo. Mwili wangu uko vizuri, tumbo flat Naweza kukupa mambo mpaka ukapagawa. Mimi ni mzuri kuliko Noela, Nitakuridhisha kitandani” Iris akasimama na kuanza kujinengua mbele ya Mr. Marvel, akidhani atamtega kirahisi kama alivyo mtega Salmon. Mr Marvel akachukia akaona kama Iris anampanda kichwani. Alipiga simu moja tu, walinzi wakaja kumtoa Iris juu juu kama mwenge na kwenda kumtupa nje🤣. Baada ya kufukuzwa Iris akaapa kwamba hatokubali. Lazima atamwambia Salmon kila kitu kuhusu baba yake na Noela ili kama kukosa basi wakose wote. Haya, ikafika tarehe 18 Agosti, siku ya birthday ya Noela. Kwa sababu alikuwa kwenye mitihani chuoni, alikuwa busy hivyo birthday yake haikuwa jambo kubwa sana kwake. Lakini Mr. Marvel hakuweza kuiacha siku ipite bila kumfanyia kitu maalum. Alimpenda sana Noela na kumuona akiwa na furaha ilikuwa jambo kubwa kwake. Siku hiyo, akaandaa chakula kizuri cha usiku kwenye hoteli yake nzuri kwa ajili yake na Noela tu. Baada ya kuandaa kila kitu, akamtumia sms Noela “Nimekuandalia surprise nzuri kwaajili ya birthday yako. Jiandae, leo usiku tunaenda dinner❤️💕” Noela aliposoma ujumbe huo, akatabasamu. Alipomaliza mtihani tu akatoka darasani na kutembea haraka kuelekea parking ili arudi nyumbani mapema kwaajili ya kwenda kujiandaa. Lakini njiani akakutana na Salmon, akiwa na maua pamoja na boksi. Noela akamuuliza, “Unataka nini tena jamai??? Please niachie” “Nataka kukupa zawadi ya birthday” “Sihitaji chochote kutoka kwako”😒 “Ni zawadi tu hakuna kingine. Kwa nini unaumiza hisia zangu hivi?” “Siumizi hisia zako bali unajiumiza mwenyewe. Kubali tu kwamba sitaki tena kuwa na wewe then Endelea na maisha yako. Mbona ni simple ivo” Salmon akavuta pumzi, akamtazama Noela kisha akampisha apite sababu hata angesema kitu gani, Noela asinge zipokea zawadi zake. Alipokuwa amesimama pale, Iris akamfuata akitaka waongee. “Please Unaweza kuniacha peke yangu? Nina mambo mengi kichwani” Iris akacheka “skia Sitaki chochote kutoka kwako, nataka tu tuzungumze” “Kuhusu nini? Nimeshakuambia kaa mbali na mimi!”😡 “Najua na huna haja ya kunikumbusha kila mara. Nilikuwa nataka kukuambia, kama una nafasi tunaweza kutoka pamoja leo usiku” “Una kichaa wewe sio bure! Unavyo niona nipo kama nina mood ya kutoka na wewe?” “Kheee! Sikiliza vizuri, Hata mimi sitaki chochote kutoka kwako nina mipango yangu saa izi! Nataka tu kutoka na wewe ili nikuonyeshe kitu kuhusu Noela. Kama hutaki napo ni sawa ila jua tu kitakulamba mpaka uchanganyikiwe” “Unamaanisha nini? Unataka kuniambia nini kuhusu Noela?” Salmon alikua na shauku sana ya kutaka kujua🤔 “Nitakuambia na kukuonyesha kila kitu leo usiku. Jiandae, tutaenda pamoja”Baada ya kusema hivyo, Iris akaondoka. Salmon akabaki anajiuliza anataka kuonyeshwa nini tena kuhusu Noela??? Hakutaka kutoka na Iris, lakini hakuwa na chaguo baada ya kutishwa kiasi kile. Basi Usiku huo, Noela alikuwa amejiandaa vizuri kutoka na Mr. Marvel. Alikuwa amevaa gauni jekundu na viatu vyeusi! Weeeh alikua kama malaika. Sema wapendwa mbali na utipwa tipwa, Noela ni mrembo sana na kale ka uso kake ka kitoto kalimfanya avutie zaidi. Mr. Marvel hakuchoka kumtazama kila dakika😍 Walienda hotelini, wakapokelewa na maua kisha mhudumu akawapeleka kwenye meza yao juu kabisa ghorofani ambapo huko ndipo kila kitu kilitakiwa kufanyika. Huko kulikuwa na mtu anapiga piano na wengine wachache waliokua wanapata dinner na wapendwa wao. Noela Akamtazama Mr. Marvel na kumuuliza “Umeandaa yote haya kwa ajili yangu?”🥺 “Ndiyo, kwa ajili yako tu. Ili Kuonyesha kwamba birthday yako ni muhimu” Noela akasema “Asante” kisha akamkumbatia🫂. Mara Ghafla wakasikia sauti nyuma yao. Walipogeuka, wakamuona Salmon na Iris wamesimama pale🔥. Mambo yameiva sasa… Nakuja.

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

. Shambulizi hizi zimeacha eneo hilo likiwa na moto na hofu. Shambulizi Iraq Ndege zisizo na rubani (drones) zimeangukia kwenye vituo vya mafuta na viwanja vya ndege. Wanajeshi wa Marekani walisababisha mashambulizi kadhaa kuondolewa karibu na mji wa Erbil kwa tahadhari ya mashambulizi kwenye hoteli. Kisasi cha Kifo cha Kiongozi wa Iran Kundi la Shia linalounga mkono Iran, Upinzani wa Kiislamu nchini Iraq,liliashiria shambulio kwenye kambi ya kijeshi ya Marekani karibu na Uwanja wa Ndege wa Baghdad. Shambulio hili lilifanywa kama kisasi kwa kifo cha Kiongozi Mkuu wa Iran, Ali Khamenei,aliyefariki Jumamosi iliyopita. Mashambulizi Israel na Lebanon Israel na Iran zinaendelea kubadilishana moto. Jeshi la Ulinzi la Israel (IDF) limethibitisha wimbi jipya la mashambulizi kwenye malengo ya kigaidi katika Mkoa wa Dahiyeh, Beirut, Lebanon. Iran imerusha shambulio lake la ishirini na tatu, huku IDF ikisema mizinga kutoka eneo hilo kuelekea Israel imetambuliwa. Moto Tehran Mashambulizi ya anga yamesababisha moto mkubwa na moshi kuenea Tehran. Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mehrabad umeangukia mashambulizi katika masaa ya mapema ya asubuhi hii.

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

Macho waliyo angaliana kipindi anaondoka yalinifanya nikabaki nasema moyoni ohooo it about to down 🥲. Samuel baada ya kuondoka Alvin alinifuata na kufika ananikwapua foil ilikuwa na nayama na kutupa pembeni , nilimuangalia kwa mshangao na kumuuliza . "We vipi mbona umetupa nyama zangu 😧" kwa hasira akanijibu . " Kwa hiyo kwasababu ya vijinyama hivi ndo vinafanya ushindwe kupokea simu yangu si ndio !?" 😧😧aaaa jamani huyu anazungumzia simu gani? Na hata kama amepiga simu nikaacha kupokea ndo anitupie nyama zangu ?🤨 Kwamba nyama na simu vinahusiana nini kwa mfano 🧐, ukweli sikupendezwa na jambo hilo hata kidogo😐. "Sikia Alvin sijaona simu yako na hata kama ingekuwa ni kweli umepiga bado hauna mamlaka ya kuja na kufanya huu ujinga ulio ufanya " "Ooooh ina maana hiki nilichofanya ni ujinga ila wewe kulishana na huyo muhuni sio ujinga si ndio " " Kabla sijakujibu futa neno muhuni,Samuel si muhuni na yes nilikuwa nakula nae kwani kuna shida au siruhusiwi ?" "Hilo lilipaswa kuwa jibu na si swali, Wardah umekuja hapa kufanya kazi nasio kupoteza mda wako na watu wasio jielewa . Kumbuka nilikwambia nini na uliniahidi nini?" "Excuse me! Ni lini nimeingia makubaliano na wewe kwamba sitakiwi kuongea na watu ?" "Acha kupunguza ukali wa jambo ,sema mlikuwa mkilishana 😒" "Ndio tulikuwa tukulisha so shida iko wapi ?" "Oh kumbe huoni shida si ndio ? ,sikia Wardah mimi si rafiki tu kwako bali ni zaidi ya ndugu na mimi ndio mtu pekee kwenye maisha yako. Kwa hiyo lolote ufanyalo ambalo ni kinyume na maadili lazima nikukanye , na toka siku ya kwanza nilikwambia jilinde na vijana wapuuzi kama huyu . Ila no hukunielewa Zaid unazidi kupita kwenye kila njia niliyokwambia usipite, na nikuulize unaona ni sahihi kufanya huu ujinga sehemu yako ya kazi ?" Nilishusha pumzi ndefu nikainuka na kusema" Alvin Nakuelewa na najua ndio wewe ndo mtu pekee nilie nae kwenye mji huu . Lakini haina maana kuwa utasimama kama mwamuzi kwenye kila kitu nifanyacho na nikukumbushe mimi ni mtu mzima ,hivyo kila nifanyalo nafanya nikiwa na akili zangu timamu" "Wow ,hahahahha unajua unani furahisha sana , hivi unajisikia lakini au unaropokwa tu ? Ila sawa haina shida so nambie hivyo ndivyo umeamua kucheza na maisha yako?" "😮‍💨Alvin tafadhali embu achana na haya maana naona unatafuta kukwazana na mimi " "Hapana Wardah sina mda wakutafuta kukwazana na wewe ila tu naomba nikukumbushe wewe ni yatima usie na support ya ndugu wala marafiki . Hivyo njia pekee ya kukufanya uishi maisha mazuri ni kazi kwa maana hiyo unatakiwa utumie akili yako yote kuhakikisha unailinda kazi yako. Kingine nilikwambia wanaume si ndugu zako , Wardah wanaume wako kwaajili ya kuharibu maisha yako wala si kingine. Sasa jifanye ushaujua mji ,jifanye umeshapendeza na hilo shape lako likukuzue uyavagae nakwambiaje utalia machozi ya damu" Aliongea na kuweka mfuko aliokuja nao mezani na kuondoka kwa hasira, nilimuita lakini hata kugeuka hakugeuka ndo kwaanza akapanda boda na kusepa.😕 Kichovu nilishusha pumzi na kuuchukua ule mfuko alioacha mezani nikataka kuuweka chini nikasita na hii ni baada ya kusikia vitu vikinukia 🥲. Bila kupoteza mda nilifungua na kukuta nimewekewa kuku choma mzima 😋, ukiachana na kuku kulikuwa na chips yai iliyoshiba haswaa 😋😊. Niliachia tabasamu na kuchukua kifuko kingine ambacho hakikuonekana kuwa na chakula , nika fungua pale na kukuta ni mitandio mitatu pamoja na vipini vya kufingua ushungi. Nilitabasamu lakini moyoni nilijisikia vibaya kwa kilichotokea 😪 lakini sikutaka iwe hivi wala sioni kama kuna kosa nililofanya 😪😥. Basi kinyonge nikiviweka vizuri na kutoka nje nikaokota zile nyama zilizotupwa na kuziweka kwenye dustbin kisha nikarudi kukaa . Mda ulisogea kidogo nikaona nimtafute Alvin ili nijishushe maana nikisema najifanya kichwa ngumu kitanilamba maana ni kweli sina mtu mwingine zaidi yake😔. Sijui alikuwa bado na hasira na mimi maana nilipiga simu hadi nikachoka ila hazikupokelewa , nikaona nimuache hasira zikitulia tutaongea . Kweli bhna nikaacha na kutulia, mda ukaenda ikafika usiku nikafunga , sasa siku hiyo nyumbani tulibaki mimi na Daria tu hivyo nilivyofunga tu. Tukaingia zetu ndani na kuanza kupiga story huku tukila kuku na chips alizokuja nazo Alvin 😋, sasa baada ya kula na kupiga story za hapa na pale Daria akaniuliza. "Hivi Wardah nikuulize ikitokea Alvin na Samuel wote kwa wakati mmoja wakakutaka utafanyaje coz naona wote nikama wameshazama penzini" '" Penzin? Embu acha pombe binti ,yaani unataka kusema kwamba Alvin ananipenda mimi !?" "Sio Alvin tu na Samuel" "Unawazimu wewe" "Sio wazimu Wardah hawa watu wa nakupenda na ninaona dalili za kuzuka tatizo sasa kwa ushauri mdogo tu ni kwamba ndugu yangu wewe. Angalia yule unaempenda ndo ubaki nae huyo usie mpenda vunja mazoea nae kabisa laa sivyo kutakuja kutimka kivumbi hapa hutaamini " " Sikia bibie mimi hapa sina hisia na mtu yoyote kati yao, na sio mimi tu hata wao hakuna mwenye hisia na mimi so habari za nimuache yupi na nikae na yupi zipotee kabisaa " "Haya me nakwambia unaona kama nakutania ila ndo hivyo ,maana huwezi kunambia ukaribu aliutengeza Samuel kwako eti niwa kirafiki tu. Binti huyu mtu ni anakutengenezea mazingira tu ila ukweli anakupenda , na Alvin pia hivyo hivyo sasa endelea uje kupoteza wote" Nilimuangalia nikaona huyu acha nimkalie kimya tu maana simuelewi hata kidogo😏. Basi baada ya Daria kuona nimemkalia kimya alibadilisha mada na kuongea vitu vingine, mda ulienda ikafika saa ya kulala kila mmoja akaingia chumbani kwake. Mimi kufika tu nikatoka kibalazani na kumkuta Samuel amekaa kama vile ananisubiri ,alivyo niona tu akasimama na kunipungia mkono huku akitabasamu 😊. Ujinga tunaofanyaga tukiwa huku juu ni kupigiana simu na kuongea huku tukiangaliana 😆😁 eeeh maana hatuwezi kuongea moja akiwa kule na mwingine akiwa huku . Lazima watu watajua na kusikia tunachoongea so tunachofanya ni nini ? Tunapigiana simu na kuongea , mda mwingine anawasha mziki kwenye kiredio kidogo sauti inakuwa si kubwa Sana alafu anacheza yaani ilikuwa ni full vibe 🥰😇. ITAENDELEAUTANIITA SHEMEJI SEHEMU YA 21 Basi bwana tuliongea karibu masaa mawili ndio tukaagana na kila mmoja akaingia chumbani kwake, sasa mimi ile nimeingia naangalia simu nikakuta Alvin alinipigia wakati nikiwa naongea na Samuel. 🥲 Si nikasema nimpigie 🥲kwani alipokea 😒? Huyu kijana naona leo nakisirani pro 😏 , haya kama hataki kupokea basi hasira zake zikiisha atanitafuta. Haya mtoto wakike nikapanda kitandani ili nilale zangu mara nikakumbuka nina zawadi ambayo sikuifungua na niliambiwa niifungue nikiwa mwenyewe. Chap kwa haraka nikaamka na kuchukua kibox kile , nikasogea kati kati ya kitanda na kuanza kufungua hapo karoho kanadunda kutaka kujua kilichomo ndani 🥲 mara buuum nikafungua 🥲 jamani nyie 🥰😇. Embu kaka kuna wakuotea aote ni kitu gani nimepewa 🥲😇, nyie my wenu nimepewa simuuuu😇 tena sio kasimu ni simu ya viwango vya juuu 🥲🥲. Moyo ulilipuka kwa furaha nikatamani kupaa lakini sikuwa na mabawa 🥺, nikatamani kupiga ukelele ila siwezi nitaamsha walio lala 🥲. Sasa nifanyaje 🥲, niliwaza chap na kuamka nikachukua kiswaswadu na kumpigia nikamwambia please naomba utoke kibalazani , bila kuuliza kunanini akatoka . Uliza kitu nilifanya 😇🥲,? Mwenzenu baada ya kutoka tu nilituma mabusu ya hewani kama mia na uchafu😆 alafu nikawa kama namkumbatia ila ndo nakumbatia hewa 😆. Na yeye alivyo jinga akawa anayapokea 🤣😅, nilifurahi na kumwambia asante sana , akajibu " anything for you mamaa"🥰 uwiiii jamani nafwaaaa🥰😇. Nyie niseme tu siku hii ilikuwa ni siku bora kuliko zote kwenye maisha yangu 😊, nililala usingizi mnono kuliko kawaida na kwa mara ya kwanza nikaingia kwenye ulimwengu wa smartphone tena kali kama mtoto wa mshua 🥲😇 Aa Mungu please bless this man for me😇😇,maana anajua kunipa maraha bwana 🥲😇. Basi bwana siku hiyo ilipita kiivyo, kesho yake asubuhi nikamuonesha Daria simu yangu akaendelea kukazia kuwa kijana kashazama kwangu. Kama kawaida nikapuuza na kuendelea na mishe zangu ,mchana Samuel akaja dukani na kunifungulia baadhi ya mafile pamoja na kunionesha vitu vyote muhimu. Baada ya hapo nikabaki ni mwendo wa kuperuzi tu bando linatoka wapi ? Kwake mwenyewe 😊 eee sikujua hata bei ya bando likiisha tu naungwa juu kwa juu . Maisha yakasonga ,ukaribu ukazidi Alvin nae akaachaga hasira zake pembeni akawa ana anakuja kuniona karibu kila siku sema alikuwa si mkaaji . Sasa bwana baada ya wiki kadhaa kupita siku hiyo Alvin akampigia boss wangu na kumuomba of ya siku nzima , boss wangu hanaga baya akasema sawa. Nikashangaa nafatwa kuuliza nikaambiwa kashapewa ruhusa kitambo, so nikajianda kisha haoo tukaokaondoka tulienda wapi beach ⛱️ 😊. Kufika huko tukaogelea na kuenjoy kwa sana , na ilipofika jioni akanambia tutalala pale nilishangaa na kumuuliza kwanini tulale pale ila hali tunaweza kurudi nyumbani. Akanijibu eti anataka kukaa na mimi siku nzima , nikabaki okay🤨 ila kichwani nilihisi kuna kitu sema nikaona acha nibaki tu maana toka nilivyo Anza kazi hakuna siku tuliyokaa pamoja hadi siku ikapinduka. So atakuwa kanimiss actually hata mimi nimemmiss 🥲 ndio nikweli nimemiss ukaribu wake kwani ni vibaya 🥲au ndo nishaanza kufikiliwa vingine 🥲. Nisifikiliwe vibaya bhna ni kawaida sana so achane tuenjoy 😉. Basi nilikubali akachukua chumba ,nikauliza tena kulikoni achukue chumba kimoja akajibu kwakuniuliza " nimesema nataka kutumia siku hii nikiwa na wewe je kuna shida tukishare chumba kimoja? Au sasaivi huwezi kwa kuhisi labda naweza kukufanyia kitu kibaya?" "No sina maana hiyo ila nimeuliza tu" "Basi jibu ndo hilo na kama huko tayari kuwa huru kusema,siwezi kulazimisha so nikachukua viwili" "Haina shida chukua tu " eeeh Mungu nilinde lolote lisitokee maana dah sijisikii poa kwa hili kwakweli 😔. Niliwaza na kubaki nikiigiza kutabasamu, kweli bhna akalipia chumba kimoja ,baada ya kula tukaenda chumbani sasa madai tunaenda kupumzika . Uliza kama kulikuwa na pumziko 😅😆 ila Alvin 🙌 yaani tulifika chumbani nikiwa roho juu juu kwa hofu nikihisi huenda nitaenda kutafunwa. Lakini haikuwa hivyo bhna ila sikulala elewa sikulala🥲, yaani usiku kucha ilikuwa ni michezo, story kuangalia movie na mambo kibao and then buuum asubuhi hii hapa. Watu ndo kukumbuka kwamba ohoo tulitakiwa tulale , ikabidi aongeze masaa tukalala weee saa nane ndo tukaamka ,tukapata chakula cha mchana . Kisha tukajiandaa kuondoka , sasa baada ya kukweka kila kitu tayari kwa kuondoka Alvin akaniita na kunambia " Wardah naweza kumwambia kitu?" Bila wasi wasi nikamwambia " yeah nambie" Akasema" nimepata kazi " "Weeeeee🙀 mbona habari njema hizi na ulikaa nazo 🥲, mh kabla ya hongera nambie ni kazi gani uliyo somea au" "Yeah " "Wow kweli Mungu ni mwema, hongera sana " "Asante ,,aaam naweza kukuomba kitu ?" "Yeah omba chochote" "Utakubari?" "Yeah kwanini nikatae " "Okay , tunaweza kuondoka wote?" "Kwenda wote wapi?" "Mwanza ,huko ndiko niliko pangiwa kufanya kazi , so naomba twende wote " Alivyo sema hivyo nilimuangalia na kubaki kimya , maana sikujua niongee nini yaani twende wote kiaje na vipi kuhusu kazi yangu?🤔 Alvin baada ya kuona nimekaa kimya alinishika mikono yangu na kunisemesha kwa upole sana . "Wardah tafadhali naomba useme ndio ,si tamani kuwa mambo na wewe hivyo tafadhali usiseme hapana" "LA la lakini Alvin ni ngumu mimi kuwa na wewe huko ,maana ni......" "Kama ni kazi nitakutafutia nyingine na kwasasa kazi yangu ni nzuri so nitahakikisha unapata kila unacho hitaji kwa wakati " Nilikaa kimya huku nikiwa sielewi nimjibu nini , moyo ulisema nenda nae ila akili ilikataa huku mawazo kuhusu Norvin yakizunguka kichwani. Alvin kuona nimezama kwenye dimbwi la mawazo akanambia " ni sawa unaweza kufilia then utanipa jibu ila usichukue mda mrefu " Nilijibu ndio kwa kutikisa kichwa , akanishika mkono tukatoka na safari ya kurudi nyumbani ikaanza . Sasa bwana wakati tunatembea kutoka eneo lile la beach tukakutana uso kwa uso na Shuu mdogo wake Alvin, kitendo cha kuniona nikiwa na ndugu yake kilimshtua sana. Akataka kuongea ila Alvin akamkatisha na kunishika mkono vizuri kisha tukaenda kupanda bajaji tuliyo request na kumuacha Shuu akituangalia kama vile haamini anachokiona. SEHEMU YA 22 SONGA NAYO.................... Basi bwana safari ya kurudi nyumbani iliendelea nikafika nyumbani , hakutaka kuingia ndani hivyo nilimuaga na kushuka mwenye bajaji akageuza wakasepa. Mimi si ndo nigeuke ili niingie ndani ya geti nikashangaa kumuona Samuel akiwa juu ananiangalia , nikampungua mkono kwa mbali na kutaka kuingia ndani akanipa ishara nisiingie ndani. Sikuwaza nikasimama kumsubiri ,ajabu alitoka nje na gari kunifikia akanambia ingia kwenye gari , nikauliza tunaenda wapi nikaambiwa ingia chap. Eeh sawa nikaingia ,akaendesha na kwenda mbali na nyumbani kisha akasimama na kukaa kimya kwa mda kisha akaniuliza. " Ulikuwa wapi jana ?" Uliza yake na namna uso wake ulivyo onesha hasira ilinifanya nijiulize kanichukia kwasababu yangu au kuna mtu kamkwaza. Basi kwa upole nikamwambia " nilikuwa kwa shangazi " "Shangazi yako ! Una uhakika ?" "Yeah kwani vipi mbona kama hauko sawa ?" "Yeah siko sawa, Wardah toka jana nakupigia simu yako lakini ulikuwa unaongea kana kwamba ulikuwa na mtu pembeni yako?" Kwa hiyo kachukia kisa alipiga nikawa naongea kwa uoga au ana mambo yake 😏🤔 niliwaza na kumjibu . "Hapana bhna utakuwa ulihisi vibaya ila mbona nilikuwa naongea kawaida tu " "We unaona vile ni kawaida na why umerudishwa na huyo kaka ina maana ulikuwa nae pia? " Nilitaka kujibu ndio nikasita na kusema " hapana nimeonana nae wakati narudi tu , mh kwanini umenileta huku au ndo ulitaka kuniuliza hivyo tu " " Nimekuleta huku ili nikwambie kuwa na kupenda " "Eeeh😳!?" " Ndio nakupenda na si kama rafiki bali kama mpenzi na mwanamke ninae tamania kuishi nae maisha yangu yote " " Samuel! embu acha masiala na turudi nyumbani, nina kazi nyingi ujue " "Sitanii Wardah , nakupenda na ninakuhitaji " Nilikaa kimya na kuishia kumuangalia usoni, moyoni sikuamini kama kile ninachosikia ni kweli ama anaamua kunizingia ,kunipenda mimi Wardah kupendwa na Samuel hapana bhna. Samuel kuona nimekaa kimya alifungua mkanda akanisogelea zaidi na kunambia huku akiniangalia usoni bila kupepesa macho wala kusita sita . "I love you Wardah , nakupenda kuliko neno lenyewe so please naomba uwe wangu I promise nitakupenda na kukulinda maisha yangu yote I swear " Huyu mtu atakuwa serious😐, " aaam Samuel naomba turudi nyumbani " "Tunarudi ila nijibu kwanza " "Samuel!" "I love you " "Lakini......" sikumaliza kuongea alinisogelea karibu zaidi tukawa zero distance, taratibu aliinua mikono yake na kuushika uso wangu na kwa sauti iliyojaa hisia kali akanambia. "Lakini nini Wardah, sisi ni marafiki ! Je ni kosa marafiki kuwa wapenzi? No Wardah ni kawaida hisia za mapenzi kuzaliwa ndani ya urafiki wala hakuna ubaya wowote . And unatakiwa kujua kuwa hisia za mapenzi hazina mipaka so please usinikatae kwa kigezo cha urafiki wetu kwanza hii ndo nzuri coz bond yetu si rahisi kuvunjwa ." "Samuel 🥺!" "Please be mine ,Wardah nilikupenda toka siku ya kwanza kukuona na hata sasa bado nakupenda so mamaa sema ndio , fungua moyo wako na uache nikupende" Aisee nilivurugwa kuliko kawaida, moyo wangu ulibaki njia panda nisielewe nimkubali Samuel au Alvin na je nikimkubali Alvin itakuwaje maana siwezi kumkubali huyu alafu nikaishi na yule japo Alvin hajafunguka kunihitaji kimapenzi. Ila nado haitaingia akilini nikimchagua Samuel alafu nikaishi na Alvin, au nimkatae niende na Alvin ila je moyo wangu unataka nini ? Niliwaza sana ila sikupata jibu , Samuel hakukaa kimya ndo kwaanza alizidi kunichombeza kwa maneno matamu na ahadi kede kede. Kitu kilichozidi kunifanya nizidi kuvurugwa , aaaa sasa nimpende yupi na yupi nimuache 🤔🤔 Kazi ipo sijui binti atachukua uamzi gani, au ngoja nikuulize mpendwa wangu we unafikili yupi anapaswa kubaki na Wardah je ni Alvin au Samuel Na itakuwaje kama akimchagua Alvin mwanaume ambae amemsaidia na kumshika mkono kwa mda mrefu, je akiondoka nae huko mwanza je maisha yao yatakuwa sawa? Na hadi mda huu Alvin hajafunguka kuhusu kumpenda ila tu kaomba kuondoka nae , lakini pia ikitokea mama yake Alvin akijua kuwa Wardah yuko na kijana wake tena wanaishi pamoja unafikili atakaa kimya. Na vipi kama akiamua kubaki na A Samuel je Samuel atampenda na kumthamini ? Ama na yeye ndo atakuwa wakupita ? Yote hayo tutayafahamu katika msimu wa pili wa kisa hiki ,so mpendwa wangu usibaki nyuma twende wote sambamba tumalize kisa hiki pamoja love u byeeee *MWISHO WA SEASON ONE*

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

Mda ulienda na ratiba zangu zikisonga kama kawaida, jioni ikafika Samuel akatoka kazini ,naona leo mood yake ilikuwa vizuri maana alifika karibu yangu akasimama na kunisalimia . Kisirani nilichokua nacho kwa siku hii hakikuniruhusu kuitikia salamu yake kabisa ,na sio salamu tu hata kuinua uso kumuangalia tu sikuthubutu. Ndo kwaanza nilijiweka bize kubonyeza kiswaswadu changu 😏, akaniangalia kwa mda nikaona anapandisha kioo na kuondoka , huku nyuma nikamsindikiza na sonyo 😏 Yaani jitu jana lilinipita kama halinioni ,bado usiku likalala bila kuniona alafu leo bila mshipa wa aibu linanisalimia kama vile hakuna kilichotokea 🙄😏. Akwende huko 😏 kwanza staki mazoea na yeye tena ,eeeh ataki kabisaa ,kama ni maisha kila mmoja aishi maisha yake nyambafu 😏😏. Nilikuwa nimekaa nje ila kwa hasira niliinuka na kuingia ndani , mood ya kuchezea simu nayo iliondoka nikabaki naongea mwenyewe kama chizi😐. Dakika kadhaa zilipita nikasikia geti dogo la nyumbani kwao linafungwa kakubamizwa nikahisi huyu anaweza kuwa yeye ,haraka nikajifanya nimelala. Kweli sekunde chache mbele nasikia harufu ya manukato sijakaa sawa nikasikia anaita kwa upole " Wardah! " me kimya ,akaita tena " Wardah mama " Bado nilikaa kimya , akaita tena sikuitika kwa sauti iliyojaa upole akasema " Wardah najua nimekukosea sana mamaa ila please naomba unisamehe " Pamoja na kuongea kwa upole bado sikujibu akaongea tena mimi kimya , masikini kwa huzuni akaniuliza "Wardah umenichukia mama😥" Sikuwa na mpango wa kufungua macho ila ongea yake ilinigusa nikaona mbona kama namuonea kaka wawatu🥲, taratibu nikafungua macho nakujifanya kama nataka kulia 🥲🥺. Nikaona mtu anaingia hadi nilipo na kuchuchumaa mbele yangu na kunambia " tafadhali mamaa niko chini ya miguu yako naomba unisamehe and I promise hata nikiwa na siku mbaya kiasi gani sitarudia kukuumiza tena. But please usininunie hivi ,sitaweza kuishi ikiwa moyo wako una hasira juu yangu 🥲" "Muongo na umekuwa na tabia mbaya sana Samuel kweli wewe niwa kunipita mimi au umenichoka" "Noo Wardah usiseme hivyo ,me sio muongo wala sijakuchoka😥" "Kumbe nini kulifanya unipite au ndo ushapata kisichana kinakuzuzua akili" "Hapana mamaa hakuna mtu yeyeyote anaweza kufanya niacha kuongea na wewe,ila sikuwa sawa na nakili kuwa ni kosa nimefanya so unaweza kunisamehe tafadhali 🥺?" "Mmmmmh nipe mda nifikilie 🥲" "Acha zako bhna , alafu nimekuletea zawadi " "Wewe sasa na zawadi zako 😊 na hii tabia hakikisha unaenda nayo hadi uzeeni ,sio unanizoesha saizi alafu kesho unaacha wallah nitakuroga 😏" "Umesema uzeeni ? Ina maana umeshaamua kuwa utakuwa na mimi maisha yako yote ?" "Yeah kwani kuna shida gani au mwenzangu ushasain mkataba na Israel 🤨" " kwanini nisain na nikisain nitakuachia nani😊" "Utamuachia mume wangu 🙃" "Unahisi ni rahisi eeh ? Kwanza tuachane na hayo weekend hii tutaenda wapi maana nimemiss kula raha na wewe 😊" "Mmmh kuhusu hilo tutaona siku ikifika ,sasaiv nipe zawadi zangu kwanza maana roho yangu ishakaa juu juu kama bundi anusae hatari" Nilivyosema hivyo alicheka na kuinuka akatoka na kuchukua mfuko aliokuja nao , akanipatia mpenda zawadi nikapokea huku meno yote yakiwa nje 😁. Kabla hata ya kusema asante nilianza kufungua ili nijue kuna ninii😊, bwanee mfuko wa kwanza kabisa ulikuwa na mbuzi choma 😊. Nikatoa mwingine umejazwa chocolate kama zoote 😋 huu wa mwisho ulikuwa na kibox ambacho kilifungwa kama zawadi special. Nilikiangalia na kumuangalia akanambia " usifungue hapa , subiri ukishaenda kupumzika ndo utafungua " "Kuna nini mbona kama unanitisha maana huchelewi kuweka bomu 💣 " "Usijali ukitaka kwenda kwa mtu mwingine ndo nitakuletea bomu ila kwasasa hapana utakula vitamu tu 😋😇" "Mmmm!☹️ huaminiki wewe, ila fresh nikilipuka utabaki unaishi maisha magumu kuliko ugumu wenyewe maana hakuna mtu kwenye hii dunia ambae anaweza kukaa na wewe kama mimi " "Eti 😆 embu kwenda huko ,kwanza achana na hilo box la mlipuko na ule nyama kabla hazijachuja utamu😜" Sikujibu nikaweka pembeni na kuchukua mfuko wenye nyama nikafungua na kutaka kula akanishika mkono na kusema. "Eeeeh binti huna haya wewe,yaani unakulaje bila kunawa" "Wee bwana niache ,kunawa kwani naimeshika nini kichafu 😏" "Hata kama bhna nawa huko " "Sinawi sasa utanifanya nini 😏" Alitabasamu na kuchukua maji akaninawisha kwa lazima 😏, basi baada ya kunawa nilianza kula ,aajabu akawa ananiangalia kwa huruma huku akimeza mate 😃🥲 Bila kuongea nilichukua kipande cha nyama na kufanya kama nampa akafungua mdomo aaa😵, nikasogeza karibu kabisa kisha nikatoa haraka na kula mwenyewe 😆😄. Akajifanya kanuna😅😆 nikamwambia " sasa unataka kula chakula cha mtoto huoni aibu au ndo wale wakunywa uji wawagonjwa😀" Kwa upole akasema " nionje kidogo tu 🤌🥺" "Staki 😒" "Please 🥺" "Eeeh basi nisije kukabwa bure" niliongea na kumlisha moja na mimi nikachukua nikala ,alivyo meza tu akafungua mdomo eti anataka tena😒🙄 Sinaga roho ya uchoyo ,nikawa nampa moja nakula moja , basi akawa anacheka mwenyewe kama chizi 🙄😒. Sasa tukaanza story akawa ananipa umbea wa huko kazini kwao , na mda huo tunaendelea kula mdogo mdogo mara ghafla bin viuu nikasikia "Wardah!!" Sauti ilikuwa ya Alvin na namna alivyo niita ilinishtua nikaunua uso kuangalia mbele nikakuta kasimama uso umefura kwa hasira😡. Moyoni nikasema"" wema nishautia maji nini"" Samuel bila kujali alinishika mkono na kujilisha nyama niliyokuwa nimeshika na kuinuka akasema. "Nitarudi baadae " kisha huyooo akaondoka. ITAENDELEA

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Licha ya kukataliwa mara kadhaa, Salmon hakukata tamaa. Alikuwa anamfuata Noela chuoni kila mara ili ambembeleze. Pia alikuwa anampigia simu na kumtumia sms kiasi kwamba Noela akaamua kubadilisha namba ili aache kusumbuliwa🥱. Na Kuhusu Iris, Salmon alimsahau kabisa. Uhusiano wao ukazidi kuwa mbaya maana kichwa cha Salmon kilijaa Noela tu na sio mwanamke mwingine👌 Katika yote haya, Noela akazidi kupendeza. Alibadilika sana hata kwenye mavazi yake. Alikuwa anavaa vizuri sana nani kwa sababu Mr. Marvel alijua kumchagulia nguo na viatu vizuri. Pia alikuwa anatumia simu mpya na Kila wiki alikuwa anabadilisha hairstyle. Alipata pia marafiki wapya waliompenda na aliowaamini. Kwa hiyo Noela wa zamani na Noela wa sasa walikuwa watu wawili tofauti. Noela wa sasa hakuruhusu watu wamtumie kwa sababu ya wema wake plus Wanafunzi wenzake darasani walimpenda sana. Siku moja jioni baada ya vipindi, kama kawaida Noela akaingia kwenye gari na kuondoka eneo la chuo. Hakujua kuwa Iris alikuwa anamfuatilia nyuma kwa pikipiki😤. Iris alitaka kujua Noela anaishi wapi na ni nani huyo mwanaume anayemhudumia hivyo. Alikuwa na hamu sana ya kujua kwaiyo alimfuata kila mahali, kuanzia alipopitia supermarket na sokoni kisha ndipo hapo Noela akaelekea nyumbani. Nyumba aliyokuwa anaishi Noela ilikuwa nzuri sana na ya gharama kama nilivyosema mwanzo. Iris alipoiangalia akajaa wivu na hasira. Hakuamini kama Noela anaishi kwenye nyumba nzuri kiasi kile. “What? Anaishi hapa? kwenye nyumba hii nzuri hivi? Mungu wangu, mimi bado niko hostel, nabembeleza mapenzi ya Salmon! Wallah Siwezi kubali kabisa. Huyu mwanaume anayemhudumia Noela lazima nimfanye wangu ili na mimi nianze kuishi maisha mazuri kama yake. Hilo lazima litokee….”😡 Akaamua kusubiri pale ili aone kama ataweza kumuona huyo mwanaume. Alijificha nje ya nyumba kwa masaa mawili au matatu kama sikosei. Baadaye kabisa kuna gari lilifika aina ya G wagon! Ndani yake alikuwa yupo Mr. Marvel. Lili ingia ndani kisha Mr Marvel akashuka akitembea taratibu kuingia ndani. Apo Iris anajitaidi kuchungulia mpaka akamuona alieshuka kwenye gari ni nani. Kwanza alishangaa, sababu ni mtu ambae uso kama anamfahamu au kuna mahali fulani alishawai kumuona. Akafikiria kidogo ni wapi amewahi kumuona mtu huyoo ndipo kumbukumbu zikamrudisha siku ya birthday ya Salmon. Yule mwanaume alikuwa pale ndiye yule yule aliyemuona nyumbani kwa akina Salmon. “Waiiiiit………si baba yake Salmon yuleeee!”😳 Hakuamini macho yake kuona kuwa mwanaume anayemhudumia Noela ni baba yake Salmon. Akajikuta Anacheka coz hakuamini kwamba Noela anaweza kuwa na mahusiano na baba pamoja na mtoto. “Kumbe huyu siyo malaika kama nilivyodhani. Kwanza alikuwa na mtoto, sasa amehamia kwa baba. Lakini huyu baba yuko vizuri. Kama ningejua anapenda wasichana wadogo hata nisingepoteza muda na mwanae. Lakini hakuna kitu kitashindikana. Kwa huu utajiri na jinsi alivyo handsome lazima awe wangu….! Subiri mtaona…..”😠 Akajiapiza pale kisha akaondoka zake maana tayari alishajua alichotaka kujua. Wakati huo, Noela alikuwa jikoni anaandaa chakula cha jioni. Alikuwa na furaha na alipanga kumpikia Mr. Marvel chakula kitamu👌. Akiwa jikoni akahisi uwepo wa mtu pale jikoni. Akatabasamu na kugeuka, akamuona Mr Marvel amesimama mlangoni. “Good evening, Noela! Siku yako ilikuwaje?” Noela akajibu “Ilikuwa poa sana. Wewe je?” “Niko sawa, ila nilikuwa na kazi na mikutano mingi sana leo” “Aaaaaah ndiyo maana hukunipigia hata simu” Noela akajikuta ananuna! Kwa mbali alishaanza kuwa na kawivu na Mr Marvel🤣 “Sorry, nilikuwa busy sana Lakini haimaanishi nimekusahau. Nilijua tu ungekasirika ndiyo maana nimekuletea zawadi!” Akamwonyesha boksi zuri, ndani kulikuwa na mkufu pamoja na hereni zake. “Itakua ni ghali sana” “Hapana ni bei ya kawaida tu” Noela akasema “Hapakuwa na sababu ya kuninunulia zawadi. Maelezo yako ya kwamba ulikua busy nimeyaelewa mbona”🙈 “I know lakini hii ni njia yangu ya kukuomba samahani. Basi fanya kama hii ndo zawadi yako ya kwanza ya birthday yako” “Birthday yangu? Umejuaje inakuja?” Mr. Marvel akatabasamu “Najua mambo mengi kukuhusu”😊 “Unanitisha sasa” “HahahahahHahaha, usiogope. So una mpango gani na birthday yako? Unaonaje tukapumzike Zanzibar kidogo?” “No! Birthday yangu itakua kwenye kipindi cha mitihani, nitakuwa busy sana”😔 “Sawa! Basi Zanzibar tutaenda wakati utakapokuwa free. Lakini siku ya birthday yako lazima tutoke, Huwezi kunikatalia” “Sawa Maana najua hata nikikataa hutakubali” Noela akatabasamu, kisha akaendelea kupika. Baada ya dakika chache, chakula kilikuwa tayari. Akaandaa mezani, Wakakaa pamoja na kula. Baada ya chakula kama kawaida, wakaangalia movie, wakapiga stori nyingi wakawa hadi wanajisahau. Mr Marvel alikuwa anamtazama Noela kwa hisia fulani iviii za mapenzi. Alitamani hata amlambe busu lakini alihisi bado ni mapema, kwa sababu Noela alikuwa bado hajapona vizuri maumivu ya mapenzi. Uzuri baba wa watu alikuwa tayari kusubiri. Na kitu kizuri ni kwamba aliona matumaini kuwa wanaweza kuwa pamoja na hilo ndilo lililompa subira. Sasa Siku iliyofuata, Mr. Marvel alikuwa na mkutano muhimu asubuhi sana, hivyo akaamka mapema akaondoka. Alikuwa na mkutano kuanzia saa mbili asubuhi hadi saa tano. Baada ya hapo akaenda kula, kisha akarudi ofisini. Akiwa ofisini, secretary wake akaingia na kumwambia kuna mgeni anataka kumuona. Mr. Marvel akamuuliza “Ni nani huyo?” “Simfahamu lakini anasema anakujua. Ni rafiki wa mwanao” Mr. Marvel akashangaa, “Rafiki wa mwanangu? Kwa nini aje ofisini kwangu?”😳 “Sijui ila anaonekana ana jambo muhimu sana la kukuambia” “Sawa, mwache aingie” Secretary akatoka na baada ya dakika chache akarudi na yule mgeni. Mgeni huyo hakuwa mwingine bali ni Iris. Dada ana heka heka huyuuu🙌 Je nini kitaendelea? Nakuja……..

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

JIBU LA SWALI KUTOKA MTANDAONI: SWALI: (Aslm alkm: swali langu nihv, Nn hukmu ya mwanamke mjamzito aliyepewa taraka katka sheria ya kiislami?) JIBU: Wa ‘alaykum salaam wa rahmatullah. Hukumu ya mwanamke mjamzito aliyepewa talaka katika Sharia ya Kiislamu iko wazi ndani ya Qur’an na fiqhi ya wanazuoni. 1. ‘Iddah yake ni mpaka ajifungue Mwanamke mjamzito aliyepewa talaka, ‘iddah yake inaisha pale atakapojifungua, iwe ni baada ya mwezi mmoja au miezi kadhaa. Dalili ni kauli ya Allah katika Surat At-Talaq (65:4): > “Na wajawazito, muda wao ni mpaka wajifungue mimba zao.” Hii ni hukumu ya moja kwa moja, hakuna khitilafu ya msingi katika hilo. 2. Kuhusu makazi na matumizi (nafaka) Ikiwa talaka ni talaka ya kwanza au ya pili (rejea): Bado yupo ndani ya ndoa kisheria hadi ‘iddah iishe. Mume anawajibika kumpatia makazi na matumizi. Anaweza kumrejea bila ndoa mpya kabla ‘iddah haijaisha. Ikiwa ni talaka ya tatu (ba’in kubra): Hawezi kumrejea isipokuwa aolewe na mume mwingine kwanza (kwa ndoa halali, si ya kupanga). Hata hivyo, kwa kuwa ni mjamzito, baba wa mtoto bado anawajibika kumhudumia kwa sababu ya ujauzito. 3. Kuhusu nasaba ya mtoto Mtoto atakayezaliwa ni wa mume aliyempa talaka, kwa sababu ujauzito ulitokea ndani ya ndoa halali. Hilo halibadiliki kwa talaka. 4. Je, anaweza kuolewa kabla ya kujifungua? Hapana. Haruhusiwi kuolewa mpaka ajifungue, kwa sababu ‘iddah yake bado haijaisha. Kwa ufupi: ‘Iddah ya mjamzito = mpaka ajifungue. Ana haki ya kupata matumizi wakati wa ujauzito. Mtoto ni wa baba halali. Hawezi kuolewa hadi ajifungue. Allah atujaalie tujifunze dini yetu kwa usahihi na kuifuata kwa hekima. Aamiin.

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Dakika chache baada ya Noela kuondoka, Salmon aliingia akiwa anatoka jasho. Alimtazama Iris na kusema “Nimesikia Noela alikuwa hapa” “Nani amekuambia hivyo?”😳 “Nina watu wangu kila mahali, hivyo niambie ukweli, alikuwa hapa?” “Ndiyo, alikuwa hapa”😠 “Kwa nini huku niambia kwamba alikuwa hapa?” “Sikuona kama hilo ni jambo muhimu kwako kujua. Pia, alikuja kuchukua nguo zake na vitu vyake vyote” Salmon akashangaa “Unamaanisha nini?” 😳 “Namaanisha Noela ameondoka hostel. Na ninavyoona, kuna mwanaume nyuma yake. Aliletwa hapa na gari kubwa la bei kali. Nafikiri ni huyo huyo mwanaume aliyemnunulia zile zawadi” Salmon akafura kwa wivu, Akakasirika mpaka akaenda kupiga ngumi ukutani. “Una akili sawa kweli? Unapiga ukuta kwa sababu yake? Kwa sababu ya yule tembo?” Iris alitoa macho “Huyo tembo ni muhimu sana kwenye maisha yangu kuliko unavyoweza kufikiria. Sitakubali kumpoteza kirahisi, Iris. Na yote haya yametokea kwa sababu yako. Nimepoteza mtu muhimu sana kwangu….”🥺 “Lakini mimi pia ni muhimu kwako” “Kila mtu kwenye maisha yangu ana umuhimu wake, lakini Noela ni wa kipekee. Huwezi kuelewa” Baada ya kusema hivyo, Salmon akaondoka zake. Hili lilimuumiza sana Iris. Alifanya kila kitu ili Salmon ampende, lakini haikufanya kazi. Kila siku hali ilizidi kuwa mbaya zaidi💔. Akaona kama kwa Salmon ina gonga mwamba, basi hana namna zaidi ya kumkwapua mwanaume anayemhudumia Noela kwa sababu anaonekana ana pesa. Akimpata huyo hata Salmon hatakua na maana tena kwake. Ila Iris🙌 Basi Wiki hiyo, Noela alianza kuingia darasani. Alikuwa analetwa chuo na dereva wa Mr. Marvel na akimaliza masomo, anaingia kwenye gari na kurudishwa nyumbani. Na apo Salmon alikua anajaribu sana kuzungumza naye, lakini hakupata nafasi kwa sababu alimkosa mara kadhaa. Hakujua kabisa kama Noela alikua analetwa chuo kila siku na gari la baba yake. Sasa Siku moja, akaamua kusubiri nje ya darasa la Noela. Baada ya vipindi kuisha, Noela na wanafunzi wengine walikuwa wanatoka nje. Hapo ndipo Salmon alipata nafasi ya kumshika mkono Noela na kumvuta pembeni ili wazungumze. Noela kwa hasira akafoka “Unataka nini?”🗣️ “Nataka kuzungumza na wewe maana umekuwa ukinikwepa kwa muda mrefu” “Salmon hakuna cha kuzungumza. Kumbuka tayari tumeachana” “Hakuna sababu ya kuachana, Ilikuwa ni kutoelewana tu. Tunaweza ku fix na kuendelea na uhusiano wetu” “Hilo haliwezekani” “Kwa nini haliwezekani? Au kwa sababu tayari una mwanaume mwingine?” Noela akatabasamu “Ni kwa sababu ulinisaliti na rafiki yangu wa karibu. Ingekuwa afadhali kama ungecheat na mwanamke mwingine, lakini umefanya na rafiki yangu Iris. Hukuwa na hata aibu??” “Najua nilichofanya ni kibaya sana. Samahani Noela, kweli najuta. Sikuwahi kufikiria mambo yatafika hapo momy pleasee”🥺 “Hakuna kurudiana Salmon! Asante kwa kila kitu ulichonifanyia kwenye maisha yangu” “Please usifanye hivyo……….Nakupenda………Nakupenda, please…….usiondoke” Noela hakusema chochote, Aliutoa mkono wa Salmon na kuondoka bila hata ya kugeuka nyuma. Yote haya yalionwa na Iris Aliejaa hasira, alikasirika sana na akaanza kupanga jinsi ya kuharibu maisha ya Noela. Unajua nini kitatokea baada ya hapo? Nakuja…………

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

Basi bwana wiki kadhaa zilipita maandalizi yakaanza kufanyika na mwisho kila kitu kikawa tayari nikaanza kazi rasmi🥰. Kutokana na mazingira tuliyokuwepo ililazimika duka liwe kisasa zaidi, vitu vilivyowekewa kwaajili ya biashara vilikuwa vya kishua kishua na sio unga wa kupima sijui mafuta ya kupima au vitu vidogo vidogo. Kiufupi ilikuwa ni min Market, ili kuboreshwa zaidi akaweka na huduma zote za kifedha kwa hiyo pakawa mwaaa👌 😊. Mtoto wa bukoba nikashika usukani 😊 Mungu huwa hamnyimi mtu vyote bhna , kaninyima elimu ila nyota ya biashara kaiwasha inang'aa mwee😊. Basi biashara ilianza kwa kishindo ,wateja wakamiminika kutoka kila pande, yule kijana wakununua mayai kila wiki ndo akapata njia ya kutengeza ukaribu vilivyo😝. Japo haikuwa rahisi ila kutokana na kuja kila siku mdogo mdogo tukaanza kuwa tunapiga story hadi ikafikia kipindi tukazoeana na kuwa marafiki.🥲 Daria alishangaa sana imekuwaje Samuel kuwa karibu na mimi kiasi kile ila hali haijawahi kutokea kwa binti yoyote wa pale mtaani , nikawa namwambia sijui💁‍♀️ Eeeh sasa najua nini mimi 🥲 maana mazoea yenyewe yalivyoanza yalianza kimasiala tu kwanza sikuwahi kupenda kuwa karibu nae .😏 Ni vile tu Mungu ana mipango na njia zake 😒, basi bwana ukaribu wangu na Samuel ulikuwa haushikiki yaani ninavyo sema haushikiki namaanisha 🥲 Mtu ulikuwa ukituangalia kwa mbali unahisi au kuona sisi ni wapenzi ukisogea karibu unatuona kama mabest 😊 ukigeuka na kutuangalia kiupande upande tunaonekana kama tuna crashiana vile 😆. Yaani tulikuwa kimvurugano tu wala hakuna alieelewa kuwa tuko katika kundi gani 🥲, na ukiniuliza mimi namuona je nitakwambia namuona kama mshikaji tu.😊 Eeeh huo ndio ukweli jamaa namuona kama mshikaji wala hakuna hata siku moja niliyowahi kumuona kama mwanaume au kufikilia lolote yenye hisia za mpenzi. Kwa hiyo msije kusema oh kutakuwa kunakitu maana haiwezekani watu wawahisi kuwa wapenzi ,akuuu kwenye mapenzi nae sipoo🙅‍♀️. Na sio kwamba nikimtaka siwezi kumpata naweza sana ila sipoo na staki 🥲 mpoo? , haya bwana maisha yaliendelea miezi mitatu ikapita tukiwa bado lelele😇. Bwana weee nakumbuka siku hiyo alitoka job kama kawaida akaja dukani mimi mda huo niko nacheza game la nyoka kwenye kiswaswadu cha boss ambacho alinipa kwaajili ya kazi. Basi akawa amepita bila kunisalimia na kuingia ndani , kwakua nilikuwa bize na simu sikuweza kumuona ila baada ya kusikia geti lao likifunguliwa nikachomoka chap na kwenda kuchungulia. Kupiga jicho hivi naona gari lake ndo kinaishia ,nikaona ooooh huyu mbwa kapita bila kunisalimia leo fresh 😒, nilivuta domo likafika kuleee☹️ . Kwa hasira nikarudi na kukaa game halikuchezeka tena ,nikabaki nasubiri aje nimsuuze vizuri 😏. Ajabu hadi inafika mda wa kufunga hajaja , nikataka kumtumia meseji ila nikaona hapana nitakuwa najipendekeza ngoja nikaze fuvu😐. Basi kinyonge nikafunga na kuingia ndani , kwakua ilikuwa ni siku ambayo mama huwa anarudi na chakula niliingia ndani tu na kuingia bafuni nakuoga chap kisha nikaungana na wengine tayari kwa kupata chakula. Na baada ya kula niliweka mazingira sawa nikaaga na kwenda chumbani kulala,uliza nililala 😔? Yaani kila ninavyo jitahidi kutuliza akili ili nilale wapi usingizi unagoma kuja. Moyo nilihisi kama umeingia uzito ambao hata sikujua umetoka wapi😔, niliendelea kujitahidi kuusaka usingizi mwisho nikaona eeeh siwezi kujiua . Nikaamka na kutoka kibalazani labda naweza kumuona ,lakini hakutoka wala hata taa ya chumba chake haikuwa on 😔 swali likabaki kichwani . Huyu mtu kalala au kaamua leo asiongee na mimi 🤔 na kama ni kweli kwanini afanye hivyo 🤔 , maswali hayo hayakuwa na majibu , basi kinyonge nikarudi kitandani na kuulazimisha usingizi uliogoma kuja. Kama Mungu zilipita dakika tano tu simu yangu ikaita kuangalia mpigaji ni Alvin 🥲 afadhali rafiki yangu wa milele kanikumbuka 🥲. Na huyu ndo rafiki sasa sio hili gume gume linalojifanya dunia yote yake 😏 na ole wake kesho anisemeshe 😏 yaani nitamchamba hata amani shwain yeye 😏😒. Basi nilipokea simu ya Alvin na kuanza kupiga story, unajua bhna moja kati ya watu wanaojua kunifanya nifurahi hata nikiwa na huzuni au hasira kali ni Alvin. Aaah huyu kiumbe nampa salute 🙋 ananijua na kunijulia hadi anakera😇 yaani dakika moja tu ilitosha kunisahaulisha yote yaliyokuwa yakininyima raha na kunifanya niwe mchangamfu 😇😊 Story na umbea wa hapa na pale ulienda hadi saa Saba kasoro ndo tukaagana na kila mmoka akalala 😴😴. Kesho asubuhi na mapema niliamka na kufanya majukumu yangu ya kila siku , nilivyo maliza nikajiweka safi ,kisha nikakaa zangu sebleni na kuangalia tv. Unaweza kuuliza leo siingii kazini? Jibu ni kwamba naingia ila navuta mda ili Samuel aondoke maana sikutaka kumuona kabisa so nitakaa na akiondoka tu nitaenda kufungua. Kweli dakika zilisogea lisaa likapita hatmae mda wake wa kwenda kazin ulifika akaondoka ,na baada ya kuondoka tu nikajiinua na kwenda kufungua. ITAENDELEA

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

🦈 Nikamwambia sikia usilie mbeleya mtoto basi sio sawa , mana ummy alikuwa pale lale sebleni anamuangalia mma yake anavyolia, zena akanmbia swa nipeleke nyumbani kwngu tu, nikasema now ni usiku sana nakurudishaje zena ata mimi nimechoka sana, naomba leo ulale apa mwanamke wangu, kisha kesho mm ntakurudisha nyumbani, zena akawa hataki, nikajua ana hasira, nikambembeleza sana basi apo zena ndo akakubali ila kishungo upande na baada ya kumbembeleza sana, apo ka ummy kalishakuwa na usingizi kweli kweli, mi nikamchukua mtoto nikaaenda kumlaza chumba chengine, kisha nikamchukua zena nikaingia nae chumbani kwetu, doooh tulivyoingia ndani tu, zena akaanza kunisomea kesi, akawa ananambia hanielewi, nimebadirika , now nimekuwa sina mda nae kabisa na wakati yeye ananipenda sana , nikasema basi mama yangu zena, kuanzia now ntakuwa makini na wewe, na ata kama nikiwa busy vp ,ntajitahidi kutenga mda kwa ajili yako , akanmbia sawa na nikamsoundisha sana mchumba ndo yakaisha na akanisamehe Basi bwana, usiku huu akalala kwangu, na game akanipa, mtoto akaflash kabisa, ila asubuh sasa tukatoka mapema sana ,mana mm nilikuwa naingia kazini, so nikawachukua kabisa na nikawapitisha kwake, kisha mimi nikanyoosha kazini sasa, bwana hii siku nilimueleza ubraa kuwa zena ni mja mzito, ila mwenyewe antaka tuzae, ibraa kanmbia millan, unazingua kaka , kwa nn usimuoe zena, mbona zena ni mwanamke mzuri tu, na mpaka ameshakubebea mimba, ebu oa kaka, we unataka uoe ukiwa na umri gani, umri unaenda millan uo au mpaka ukizeeka ndo utaoa, zena ni binti mzuri si kila siku unanaieleza habari zake, unataka kuangaika na maraya wa mjini millan, eeeh unataka kuangaika na maraya wa mjini millan, acha upumbavu kaka, ebu muoe zena ,utamjutia uyoo, nikasema tulia wewe ,mi sina ratiba za kuoa kwenye maisha yangu kabisaaa, yani plan sinaa, apoo jamani mama yangu hamalizi week, ni simu ananikumbusha juu ya kufanya ibada ya ndoa ,ila mm bwana nilishjiona kuoa mi siwez,yani kutulia na mwanmke mmoja ahaaa thubutu Basi ibraa aknisihi sana pale ,ahaa mi wala sikujali wala nn, na mida mida tukawa busy tunaendelea na kazi , mnazani ndo nilimpigia zena kama nilivyomwambia ,ahaaa uo mda nnao sasa🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌🙌, mimi sikumpigia wala.nn na wlaa.sikwenda kwake kabisaa, kama.siku 3, siku zote hizo yeye ndo ananipigia analalamika ,mi mpaka nikawa nakasirika sasa mana usumbufu bwana ,mi namwambia nipo busy ye hanielewi ananipigia simu tu khaaa, basi mda mwengine nakuwa simpokelei wala nn, yani mm mwanamke nikishatembea nae, ananikata kinoma siwafichi, nakuwa simtamani sana, labda tusikutane mda mrefu,basi bwana mahasiano ya mm na zena ndo yakwa hibyo kwa shida shida kweli kwli mpka ikapita miezi 2, kuna mda naend akumuona ila ndo lawama kibao, ila ahaaa mi sikuwa namjali wala nn, kwanza nawaelewa wanawake ndo kazi zao kuongea Siku iyo zena kanipigia simu usiku saa 6 nilikuwa club na wanangu , yani mdundo umenoga kisengeeee , wachumba kma wote mambo niyapendayo, et naona zena ananipigia simu saa 6, mi.sikumpokelea ile simu, zena akapiga tena, sikupokea , eheee akapigia kama mala 5, ila nyie zena mimba yake ilikuwa inamuendesha bwana, mie nikakausha nashangaa kanitumia sms, nifungulie mlango nipo kwako, khaaaaaa uo mda saa 6 usiku, alomwambia mm nipo nyumbani nani, alafu uyu zena nilishaanza kumuona ananipanda kichwani, yani anaona kama vile yeye ndo ananimiliki sanaaa khaaaaa Mwendelezo unakuja Tafadhali changia ulicho nacho najua Hali ya maisha yetu 0768304821 omary luambano 🙏🙏🙏 tovuti hii Bila wewe siwezi peke yangu

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

Nikasema sikia utakaaa apa, na usiwaze kabisa kuhusu kodi, mimi nipo na sina plan za kukuacha wewe kabisaa, nakupendaa sana, nakupenda kuliko chochote zena, siwez acha kukulipia kodi ata siku moja, na apa utakaa kwa mda mfupi sana, nakuoa soon utaamia kwangu sawa zena, akanmbia sawa asante millan ni pazuri nimepapenda sana, nikasema okey ,karibu mama, basi tukaikagua sana nyumba nikiwa nae na zen alionesha kapafurhia sana pale na kapapenda , na baada ya apo nikawapeleka mpaka home kwake, kisha nikamkabizi funguo ya makazi mapya na nikamkabizi na pesa kidogo, nikamwambia kesho tu aamie makazi mapya, basi zena akanishukuru sana, mtoto wa watu, nikamwambia usijali ni ya kawaida ayoo, wewe ni mwanamke wangu, so kuwa na amani kabisa mpenzi , akanmbia sawa, apo mm ndo nikaaga kisha nikaludi kwangu Na kesho yke niliamkia job na niliwasiliana tu na zena ,na akanmbia ameshamia makazi mapyaa, nikampa hongea na nikamwambia nikitoka kazini basi nitaenda kupaona, na kweli mm nilivyotoka kazini , nilienda kwake alipoamia sasa, mashallah, kuliko kuzuri na kumependeza sana mana alipanga vitu vyake vuzuri mnoo , basi bwanaa zikapita week 2 , nimezama kweli kweli na zenaa, yani penzi limenogaa kinoma, hizo week mbili mi nyumbani nimelala siku 3, hizo siku zengine zote nalala kwa zena, nakula kwa zena , na kuna nguo zangu nyingi tu ,nilikuwa naacha kwa zena kabisaaa, nakula utamu tenaaa, mtoto mpya mpya utanambia nini , aseee zena alikuwa na furaha sana , kwa kipindi chote, alikuwa na rahaaa mnoo, alikuwa anaonesha kunipenda na kunijali kweli kweli, aseeeee kama kuzama dada alizama, na mm kwa uo mda naenda kwa zena, mademu zangu wengine wote nikapiga chini ,ila.sasa baada ya week 2, nikawa nishamzoea namuona kawaidaaaa, na nikapunguza kwenda kwake, sikuwa naelewa nilikuaga na mdudu ama nini, ila nikishatembea na mwanamke , anapunguza kunivutia natafuta wanawake wengine Basi ndo ikawa hivyo kwa zena , nikiwa nikitoka job sipiti kwake tena kama zamani, nanyoosha kwangu, apo visingizio kibao, mala nimebanwa sana , mala naingia shift usiku, mala.nimechoka sana kazi zilinizidia , hivyo yani, nikawa nafosi machaka mapya sasa, zena kashaliwa nafanya nini, apo zena sijawahi kumpeleka nyumbani kwangu ata siku moja na hapajui kwangu, siku iyo sasa kanipigia simu mida ya mchana, apo nna week 2 sijakanyaga kwake ,sababu kibao, mi nikapokea simu, nikasema nambie mchumba akanmbia powa , uko wapi nikasema nipo kazini zena vp, akanmbia unakuja saa ngapi uku , sijakuona mda nimekumiss, nikasema oohh zena ,leo nipo busy sana na kazi, apo bwana nilikuwa kuna demu wangu wa zamani, usiku wa hii siku nilikuwa nimepanga tukapashane nae kiporo, zena akanmbia ahaaaa sawa so hautakuja nyumbani, nikasema yaaa ,akanmbia lakini haujaja week 2 sasa kila siku ni busy tu jamani, ummy anakuulizia ,nikasema ntakuja zena mambo ni mengi ata mm nimemmis sana ummy na natamani sana kuja kumuona ila majukumu yamenizidia nielewe mama ,akanmbia basi sawa ,kisha akakata simu, yani ahaaaa , nishamtomba sana asa naenda kwake kufanya nini sasa Basi bwana mimi sikuenda kwa uyu demu kama mwezi, namkwepa kwepa sanaaa, siku iyo zena akanitumia sms, akanmbia millan naomba leo ukutoka kazini naomba ufike,japo nishkujua kuwa ww ni mwanaume wa dizaini gani, doooh asa kama kashanijua mm ni mwanaume wa dizaini gani kwake mi naenda kufanya nn, mi nikaingalia ile sms sana ,ila nikaona ngoja tu niende nikamuoneee, basi kweli mi nilivyotoka job hii siku ndo nikapita kwa zena, basi katoto kake kakanichangamkia sanaa, yani sanaa tu, naona kalinimiss na vile sijaenda mda, ila zena wala hakuwa kanichanganmkia kabisaaaa, nikajua ayaa bwana, basi nikamsalimia zena , akaniitikia ila kiunyonge kweli kweli, nikamwambia ummy nenda chumbani niongee na mama kwanza, ummy akanyanyuka akaingia chumbani, nikamwambia zena vp mbona unanuna sasa , mi sifanyi makusidi kutokuja kwako ,ni vile nina kazi nyingi sana kazini , nakuwa nabanwa sana niamini na unielewe mama, zena akaningalia sana akanmbia una uwakika ? Nikasema yes, zena akanmbia kwaiyo upo busy mwezi mzima unashindwa kupata ata mda mdogo wa kuja kuniona si ndio Nikasema yaaa , niko busy sana na kazi nielewe mama ,akanmbia sawa ,japo sikuamini kabisaa umechange sana millan, umekuwa mwanaume ambae sikuelewi, nisipokupigia mim simu ,we hunipigii kabisa, millan umekuwaje, unanaifanya naanza kukufikilia vibaya, na kuna mda najutia kwa kuingia katika mahusiano na wewe, why lakini baba, nikasema no unakosea , ebu nielewe tu zena ,kazi yangu kuna mda huwa inanikula sana mdaa, zena akaningalia sana akanmbia sawa , akanmbia ningoje akaingia chumbani na baada ya mda akatoka na karatasi akanitupia ,mi nikaichukua ile karatasi nikasoma, ooh yalikuwa ni majibu ya hospital ambayo yalikuwa yanaonesha zena ni mjamzito wa mwezi mmoja na siku 10, nikaona kazi ipo mtoto wa 6 anakuja, na baba bado sisomeki kabisaa, uzuri wa mm sas, mi namsikiliza mama mwenyewe anasemaje, akitaka kuzaaa fresh, akinambia anatoa poa frssh na ela ya kutolea nakupa, apa nipo mi tajeer wa watoto bwana, Nikasema nimaona we ni majamzito sio, akasema ndio si umeona apo, nikasema yaa nimeona hongera, so wewe kama mama umeamuajee, zena akanmbia naamua nini, unazani kuna la kuamua zaidi ya kuzaa ,nikasema sawa zaa hakuna shida mi ntaudumia mimba mpaka mtoto, zena akanmbia millan ,ebu naomba basi nikupeleka nyumbani kwa ndugu zangu, ukajitambulishe na ikiwezekana unioe, nazaaje nje ya ndoa millan, nikasema ahaaaa mama tulia bwana ,aya mambo hayataki harkaa yanataka kujipnga, we lea mimba, mi najipanga, ikifikia miezi 6 basi mi nataned akwenu , zena akanmbia sawa ,ukitoka apa unaenda wapi leo, nikasema naenda kwangu, zena akanmbia sawa naomba leo twende kwako, nataka kupajua kwako, mana sasa tumeshakuwa katika hatua kubwa millan, nawezaje kubeba mimba ya mwanaume ambaye bado simjuhi vizur ata kwake tu sipajuhi , nikaona kazi ipo, nikamwambia now usiku ummy unamuacha na nani, we tulia mi ntakufata siku nyengine ata kesho , zena akanmbia hapan, leo naenda kwako, utanifata siku nyengine ni lini na unvyonambia upo busy sanaa Alafu millan, hii si ni mimba ya kwanza unampa mwanamke ,it means unaenda kupata mtoto wako wa kwanza mbona upo kawaida sana nilitegemea utafurahi sana, mh angejua anayekuja wa sita , sijuh wa saba mana daaah🤣🤣🥲🤣🤣🙌🙌🙌🙌, nikasema mm nimefurahia mbona , kuwa na amani kabisaa , au unataka mpka niluke luke zena, mi nimefurahi ila leo tulia plssss, zena aknambia hapana apa leo mguu wako , mguu wangu mpaka kwako nipajue tuu, ahaa mi sikuwa nataka apajue kwangu basi tu, nikaona kwakua ana mimba yangu, apa teali kuna kitu cha pamoja tunakitengeneza na nikakubali kumpeleka kwangu, basi nikamwambia sawa muandae mtoto tunaenda, kweli zena hii siku alinikomalia, akamuandaa mwanae harka harka, nikawapakiza kwenye gari yangu na safari ya gomz kwangu ikaanza, basi njiani , nikawa najalibu kumuongelesha zena ila zena wala hakuwa ananichangamkia sana naona alishaona hakuna mwanaume umu🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌 Basi bwana tukafika mpaka kwangu, mi naishi pazuri, ila shida daah nabadilisha sana wanawake sana apa, basi bwna nikaingia na zena mpkaa ndani, basi ummy akawa ananmbia baba apa ndo kwetu kupya ni kuzuri, mh mimi nikawa nacheka tu zena wala hakusema kitu nikamkalibisha kwangu, na nikamwambia aya maam apa ndo kwangu, na karibu sna, akanmbia ningejisikia raha na furaha , kma wewe mwenyewe kwa ridhaa yako ndo ungetaka mimi nije apa ,.ile umenileta baada y mimi kukufosi, nashukuru nimepaona na nimepajua naomba tu niludishe kwangu, khaa ata kukaa ahajakaa et, nikamwambia acha masihara ,asa mi nakurudishaje usiku huu tena, we lala mi asubuh na kupeleka kwako, akanmbia hapana nataka kurudi kwangu, nilitaka kupajua unaishi wapi tu, na nimeharizika, nikaona uyu ananitania uyu, nikamsogelea nikamsika kiuno, nikamwambia shida nn mama mbona kama una hasira, nikaona zena machozi yanamtoka , nikajua kumekucha apaaaK

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

. Harivansh Rai Bachchan, one of India’s most respected Hindi poets, looks calm and dignified, while his son Amitabh stands beside him — a man who would go on to become one of the biggest legends of Indian cinema. And then there’s little Abhishek, still a child in this photo, probably unaware that he too would grow up to become part of the film industry and carry the family name forward. What makes this picture so beautiful is its simplicity. No glamour, no stage — just three generations sharing a quiet moment together. It’s a lovely reminder that behind all the fame, the Bachchans are also a close-knit family with deep roots and a powerful legacy.

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

zena alinikumbatia uku analia sikuelewa ni ule uchungu wa kutoa bikra yake au mahaba yamemzidia acheni kabisaaa ila nilimvuta kwa karibu nikamtuliza na nikambembeleza kweli kweli mpaka mchumba akatulia nilimwambia sikia zena acha kulia na unisikilize mi nakupenda sana na ntakuoa niamini kipeniz sawa akanmbia ndio asante nashukuru na naomba usiniache millan nakupenda sana nikamwambia mm siwezi kukuacha wewe habadani mpenzi basi nikamtuliza mchumba na nakumbuka sana nilimuhaidi vitu vingi zena hii siku yani vingi mnoo ambavyo ata havikuwa vinatoka moyoni mwangu kabisaaa basi zena akawa powa na akawa ancheka tu nikaongea sana na mtoro hii siku mtoto akawa ananielezea kuwa ananipenda sana yani maelezo kibao na hivi ndo kashanipa mambo nikajua atazidi kuchanganikiwa na mimi basi saa 9 usiku ndo mimi na zena tunalala tena mchumba kanikumbatia nakwambia nikaona aya bwana ndo mahaba aya basi bwana tukalala nikaja kustuka asubuh kitandani nipo peke yangu mh nikavuta simu nacheki mdaa et saa 3 asubuh dooh ni vile tu iyo siku sikuwa naingia kazini piah basi nikiwa nimekaa pale kitandani akaingia sasa zena na tabasamu pana nakwambia alafu mtoto na dimpos basi mashavu yake yakawa yanabonyea mashallah zena mzuri wanangu ila mimi ndo kichwa changu kidhakuwa na mambo mengi basi zena kanambia unaendelea na umemkaje mpenzi nikasema niko powa zena vp ww akasema niko powa akanmbia aya basi amka ukaogee mpenzi daan et choo cha njeee nikasema naoana aibu si kutakuwa na watu wengi apo nje akanmbia hapana kila mtu yupo kwake kaoge bana uje kunywa chai nikasema powa basi akanipa taulo lake na mm nikavaaa suluali yangu akanipeleka mpaka chooni na maji alikuwa kashaniwekea so mm nikaingia tu kujimwagia maji daaah nikaona uyu demu anakaa pabaya kweli iko choo kibovu kisenge mpaka kinatibua ila nikajikaza mwanaume nikaoga na nilipomaliza sasa nikatoka nikaingia mpaka ndani nikakuta zena kashaniandalia nguo zangu zile zile ila kaziweka vizuri mi nikafikia kuvaaa tu na nikavaa boksa tu bado nilikuwa namtaka mtoto na nautaka mchezo nikamuuliza kwan ummy yupo wapi akanmbia nishampeleka shule nikasema powa basi mtoto alinipikia supu ya nyama na chapati nikashuka chini kwenye mkeka mtoto akanitengea sasa woow zena anajia kupika bwana niliinjoy sana chakura chake apo na chai ya maziwa kwa pembeni apo tunakula mtoto ananingalia kwa jicho la kulembua kweli kweli nikajua anatakaaaa uyu basi baada y chakura nikamvuta tena kitandani na wala hakuwa muoga na wala hakugoma aseee nikaselubuka nae tena nikala mzigo taratibu mana alikuwa anasema bado anasikia kunauma chini nikawa naenda nae slow kabisaa aseee mwanaume sikutoka ndani nilikula mzigo kweli kweli yani mpaka sa 10 jioni nipo chumbani kwa zena tunakulana tu mala nimemshika apa mala apa si mnajua mkiwa hamjuani sana penzi lake linavyokuwa basi mpaka iyo saa 10 jioni ndo tunaachana sio kwamba mda wote tunafanya ila yale mahaba tu na apo ni baadabya zena kumkumbuka mwanae kuwa anatakiwa kurudi shule alafu akitukuta vile itakuwa sio sawa ndo nikamuacha ila niilinjoy sana kuwa na zena nilimsoma ni mwanamke anayejielewa snaa basi apo mi nikavaa kisha nikamuaga kuwa naenda kupumzika kesho naingia kazini mapema sana zena akanmbia sawa basi ukifika nyumbani utanipigia mpenzi nikasema sawa hakuna shidaa basi bwana hii siku nikatoa pochi nikampa zena laki 1 ndo ilikuwa pesa yangu kubwa kumpa mi demu akanipa kuma ela nampa fresh wala sio ubahiri mimi basi zena akapokea na akashurkuru sana kisha tukatoka wote akanisindikiza mpaka nilipopark gari yangu kisha sasa nikaagana nae mie nikaondoka zangu na yeye akaenda kumfaya mwanae shule daa nikiwa njiani nilifurahi sana mana nilihitimisha azma yangu ya kumkula zena na pia niliinjoy kumkuta bikra nikajiona nina bahati kudadeki basi nikadrive mpaka nyumbani kwangu na nilivyofika tu mikamtumia sms zena ya kuwa nimefika zena akanipigia akanmbia basi kaoge ndo upumzike si umeondoka kwangu bila ya kuoga uhuu mda nikasema sawa hakuna shida mke wangu basi kweli nikaenda kuoga ndo nikaja kujimwaga kutandani sas apo nikampigia simu kwnza ibraaa na ibra akapokea kisha nikamuuliza oyaa yule demu jana ulimalizana nae vp kule mbezi mana daah ibraa akacheka akanmbia we msenge ulilala wapi mbona ulikuwa hupokei simu zangu au ndo ulilala kwa zena nikasema ebu nijibu kwanza kuhusu yule dada ibraa akanmbia pale hakuna demu bwan yule demu mi nimelala nae jana nimekula mzigo sana doooh yani ile mi kuondoka yule demu nae kaenda kumpa ibraaa nikajua yule demu maraya mwenzangu tunafanana tabia kabisaaa nikasema kwaiyo jana umesaliti mwanagu umemsalimti mkeo sasa fresh ngoja siku ujichanganye nimwambie mkeo ibraa akacheka akanmbia kausha bwana kuna mda unabadilisha mboga kidogo eeeh we ulilala kwa zena ama na mtoro kaelewa kuhusu ile isssue ya jana nikasema kaka kaelewa bwana na kesi ilisha na alafu kanipa utamu ibraa kasema weee wacha wewe amekupa mzigo nikasema ndio na uzuri mwanagu yule demu nimemkuta bikra kumbe yule mtoto wala sio wake ni wa marehemu dada yake ibraa akasema weeee umri ule yule demu ni bikra nikasema yaaaa ni bikra na mm ndo nimemtoa jana na leo nimetomba sana mwanangu yani nimekula mzigo kinoma ibraa akanmbia sasa millan kwa nn usitulie na uyu zena na ukamuoa si umemtoa biraa nikasema tulia wewe uyo mkeo ulpomuoa umemtoa bikra wewe kumtoa demu bikra haimaanishi utamuoa ww ibraaa akanambia millan bwana powa basi tutaongea zaidi kesho kazini nikasema umyama kaka na baada ya kumaliza maongezi na ibraa mi nilijibwaga kitandani nikalala kabisaaaa yani nikapumzika zangu mana nilihisi nimechoka kweli kweli basi nililala sana nikaja kustuka usikua saa 4 tena ni zena ndo ananipigia nikapokea na tukaongea san yani mtoto alikuwa kakolea kweli kweli maongezi yake mda wote ooh usiniumize usinicheat tulia na mimi jamni na mimi namjaza kweli kweli yani mm niwe na yeye tu amekuwa kaburi basi tuliongea sana kama mapenzi ya sekondari na saa 7 ndo tukakalala nyieeeeee penzi la mimi na uyu demu ndo likazidi kunogaaa mimi nilikua nakaa siku 1 siku ya pili naenda kwa zena kula mzigo na mtoto ananipa asa ananinyimaje kwa mfano na nishamuonjesha utamu basi hwanaaa ila sasa nikawa siyapendi yale mazingiea ya kwa zena nikaona basi nimtafutie ata nyumba nzuri nimpangie ata chumba na seburee mana kuna mda nikienda kwake nakuwa nakosa ata faragha ya mimi na yeye tu kwa sababu ya mtoto na ana chumba kimoja so mm mwenyewe kwa mda wangu nilimwambia dalali anitafutie chumba na sebule maeno ya kule kule banana na dalali akanmbia sawa na yule dalali baada ya siku 1 akanipa majibi kuwa kipo na sehemu nzuri kuna geti na gari inaingia nikaona apo ndo pazuri sana na nikaomba kwenda kupana wooow ni kuzuri sana alfu kodi laki tu na chumba ni master na kuna sehemu ya jiko nikaona apa apa namleta zena ili niwe nakuja kumfaidi vizuri si mnajua mtoto bado uyu ubichi ubichi haujaisha japo na kwa sasa afadhali haumii sana ila badoooo basi mi nikalipia kodi ya miez 6 na nikamnunulia seti 1 ya sofa show case ya tv tv sikununua mana najua anayo na nikamnunulia na friji vyengine nikajua atakuja navyo yye apo sikumwambia kabisaa kuwa tunaamia nyumba mpyaaaaaa na sikumueleza kuwa nimekuoangia nyumb mpya na baada ya week mimi nilienda kwa zena nikamwambia kuwa kuna sehemu nataka twende kuna kitu ukaone zena akakubali na wala uyu mwanamke sio mbishi kwangu kabisaa kila nachokisema kwake ni sheria sio mwanamke mbishi kabisaa basi mimi nikampeleka mpka makazi mpyaaa na tulivyofika nilimwambia kuwa zena apa ni kwako na kuanzia leo natakaa uwe unaishi apa nazani umepapenda na nimetaka chumba na sebure ila ata nikiwa nimekumiss na nataka kulala kwako basi niwe nalala na sio unamtoa motot akalale njee sio sawa zena akapangalia sana akaniuliza hivi vitu vyote umeninunulia mimi nikasema ndio mpenzi ni wewe kisha aksema sawa asante ni pazuri na nimepapenda je kodi ni sh ngapi nikasema laki kwa mwezi zena akanmbia mh mbona kodi ni kubwa je ikitokea umeshindwa kunilipia kodi inakuwaje mbona kama sitaweza kupaendeleza kupalipia kwa nn hujanitafutia nyumba ya uwezo wangu tu ata siku wewe ukikwama mimi ntakuwa najilipia mh nikaoma uyu demu ana akiri kinomaa yani anawaza mbali sana aangalii leo tu anaangalia na kesho yake

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

aliyeishi na mama yake mjane kwenye nyumba ya kupanga uswahilini. Mama yake, Mama Kelvin, alikuwa akijishughulisha na kuuza mbogamboga sokoni ili mwanawe apate chakula na mahitaji mengine. Kelvin alikuwa na hasira na umaskini; alichoka kuona wenzake wanaendesha magari ya kifahari huku yeye akitembea kwa miguu. Siku moja, Kelvin alikutana na rafiki yake wa zamani, Jerry, ambaye alionekana amebadilika sana kimaisha. Jerry alimpeleka Kelvin kwenye "kijiwe" kimoja cha siri na kumwambia: "Kelvin, umaskini ni ugonjwa, na dawa yake ipo. Kama unataka kuwa kama mimi, lazima uwe na moyo wa chuma." Jerry alimpeleka Kelvin kwa mganga mmoja maarufu anayeishi misituni, aliyejulikana kama Mzee Manyanya. Mzee Manyanya alimtazama Kelvin na kumwambia: "Nataka nikupe utajiri ambao hujawahi kuuona. Lakini, lazima utoe kitu unachokipenda zaidi ili kiweze kulinda mali zako. Bila damu ya mtu wa karibu, pesa hizi hazitadumu." Kelvin, akiwa amepofushwa na tamaa ya kuendesha Range Rover, alijibu bila kusita: "Niko tayari kutoa chochote." Mganga akamwambia, "Mlete mama yako hapa kesho usiku." Kelvin alirudi nyumbani na kumdanganya mama yake kuwa amepata mradi wa siri mkoani na anataka ampeleke kuona shamba atakalolinunua. Mama Kelvin, kwa upendo na imani kwa mwanawe, alikubali. Walipofika msituni usiku ule, Kelvin alimkabidhi mama yake kwa wale watu wa giza. Mama Kelvin alimtazama mwanawe kwa macho ya huzuni na kusema: "Kelvin mwanangu, nimekupigania tangu ukiwa mchanga, leo unaniuzia utajiri?" Kelvin aligeuka na kukimbia huku akiziba masikio yake. Ndani ya wiki moja, Kelvin alikuwa bilionea. Alinunua majumba, magari ya kifahari, na kila mtu mjini alianza kumheshimu. Lakini, kila akifumba macho, alikuwa akiona sura ya mama yake. Kila akila chakula cha gharama, alikuwa akihisi harufu ya damu. Nyumba yake kubwa ilikuwa na baridi kali ya ajabu, na kila usiku alisikia sauti ya mama yake akilia kwenye korido. Baada ya mwaka mmoja, yale masharti yalianza kuwa magumu zaidi. Mganga alimwambia anahitaji damu nyingine ya ndugu wa karibu. Kelvin hakuwa na ndugu mwingine. Ghafla, biashara zake zilianza kuungua moto moja baada ya nyingine. Magari yake yalipata ajali bila sababu. Kelvin alijikuta anapoteza kila kitu. Alirudi kule msituni kumuomba mganga msaada, lakini alikuta eneo lile ni pori tupu na hakuna aliyewahi kuishi hapo. Kelvin alipoteza akili na kuanza kuokota makopo mtaani akiwa amevaa nguo zilizochanika, huku akipiga kelele: "Mama nisamehe! Sitaki tena utajiri! Mama rudi!" Alikufa kwa huzuni na njaa pembeni ya lile soko ambalo mama yake alikuwa akiuza mbogamboga zamani. Funzo la Leo: Hakuna utajiri wa kweli unaotokana na kumwaga damu, hasa ya mzazi aliyekulea. Baraka za wazazi ndizo zinazotengeneza maisha yetu. Ukichagua njia ya giza, utapata mwangaza wa muda mfupi lakini mwisho wake ni giza la milele Weka maoni yako kwenye comment hapo chini uniambie kuwa umeionaje stori na umejifunza kitu gani pia usisahau Kunifollow Ili usipitwe na SIMULIZI zijazo.

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

Wassap:0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Aisha akasema sasa sikia tuna kazi naye .si kafanya uo usenge kwaiyo zile laki 9 zako ulizomtunza kaona sisi mafala .sasa tutamuonesha kumamamke zake twende uko uko charambe msenge mmoja uyo. Tukishapagawa machizi wawili tena na mimi nna hasira za kupigwa .nikasema tutasomana uko msenge yule. Basi kweli mguu moja mguu mbili mpaka anapokaa mwajuma . Nikamkuta nje anapiga story na mashoga zetu wengine sikumuuliza.nilimdaka nilimkunyuga mpka alikuwa haaamini. Aseee sikutaka maelezo yani hasira zote za kudundwa kwangu nikammmalizia yeye.mpka watu walinishika sasa. Nikasema we msenge wewe nani kakwambia uwape namba wasenge wenzio. Akasema nini wewe kwani si mabwana zako ama .wametaka namba nimewapa .unajishaua nini maraya mkubwa wewe huna mbele wala nyuma Mikasema mimi ndo shamira shoga unaona wivu nimekupita maisha eeeh. Sasa labda nikwambia mimi nyota yangu kali na mimi sio sawa na wew. Na kinachokusumbua ni wivu msenge wewe unaona nshakuacha mbali. Labda nikwambie tu mimi ndo shamira. Ata hujaribu kuniharibia vp utashindwa na labda tu nikwambie mimi nyota yangu kari mshamba wewe Aseee nilimtukana uyu dada nilikuwa na hasira nae aisha akanambia msenge yule achana nae .mtu anatombwa na mabwana 10 ndo anapata elfu 5 naye atakuwa mwanamke au dampo.aseeee tulichalulana mno.nikamwambia nataka na laki 9 yangu niliyokutunza oyaaa mimi ndo shamira nitakunyoosha kumamako wewe. Aseee tulitukana mna . mpka aisha akanambia inatosha twemzetu sasa. Aseee nililudi nyumbanin na hasira natukana njia nzima .nimefika home nipo hoi kudadeki nikafikia kulia sasa na mahasira yangu.basi aisha akanibembeleza akasema basi kipenzi nyamaza na utulie sio siri nilokuwa naumia mno mana moyo ulikuwa unampenda sana yule kaka. Kuna jinsi alinibadilishia maisha .na alinipa upendo mno.ni vile hakuwa anapenda maupumbavu yangu na teali ndo nishaaalibu mnazani nafanyaje mimi moyo wangu uliuma sana. Na nilipata maumivu makari mno.basi aisha alinibembeleza sana .nikawa nasema aisha mimi nampenda hamadi ongea nae basi mwambie naisamehe now ntakuwa anavyotaka yeye . Basi aisha kasema sawa ila nyamaza. Naomba nyamaza kabisa na kila kitu kitakaa sawa . Nikasema sawa uku nalia mno.na moyo unaniuma sana jamani. Basi nashika simu mchumba ajanitafuta ata nikampigia mimi nakuta hapatikani sielewi ni alizima simu yake ama vp.nilihisi moyo unauma sana japo kanipiga ila sikujali kwa huu mda.namjua hamadi ni mwanaume mwenye hasira sana ila ananipenda mno yani sana ni vile nimeshindwa kwenda na principles zake tu. Basi nikatulia pale. Nikapata na usingizi kabisa. Ata usiku aisha aliponiamsha kula nilisema nimeshiba nikajilalia zangu. Asubuh nimaamka mapema nikaenda kuoga nikaludi ndani nikawasha tv nikawa naaangalia. Nikajalibu kumpigia hamadi akawa hapatikani tena nikaona aya bwana .naona kaamua mana huwa ananifata lakini jana kaniacha kabisa ata kunifata hapana mwanaume kaaamua. Basi mwenzenu nilikaaa na shost yangu saku week 2. Mwanaume hajanitafuata na kila nikimpigia hapatikani. Moyo ulikuwa unauma sana yani mno. Nilikuwa nasikia uchungu sana kwa ninayo pitia ila sikuwa na jinsi tu.nikaonaa ahaaa kama kaamua tuachane basi ni vyema pia kila mtu akafanya maisha yake na mambo yakaenda mana mh . Basi nikaw busy na mambo yangu tu ila sasa nilianaza kuona mabadiliko katika mwili wangu naumwa umwa sana yani sikuwa najielewa hivi .nilijihisi kabisa mimi nitakuwa na mimba. 🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

Mpyaaa 🔥🔥🔥  SEHEMU YA 1       😂😂😂😂Em kwanza nicheke mieee  , hivi mnakumbuka zile issue za yule baba wa kule sijui  wapi wapii  mi hata sijui bwana anatokea wapiii yulee wa 400+ video 😜😜😜    Siku enyewe nilikuwa saloon bwana nimeenda kuosha osha nywele hivi nisuke kilimanjaro yangu ya buku 🤗🤗🤗   Wamama wa saloon hapo wakaanza kupiga story sijui kuna mbaba video zake zimevuja anafanya mapenzi na wanawake 400 heee🙄🙄 nikashtukaa aaweeh hii tena mbona mpyaa , Sikutaka kuchangia mada mana mie mpole mpolee  😅😅najifanya sina hatia ila nikawa nameza maneno na mie nirudi mtaani kuwahadithia shost zangu Mana habari zilikuwa bado za motooooo😜😜😜wakawa wanasema kuna huyo baba sijui wa nchi gani huko, ni  kiongozi mkubwa tu serikalini , amekutwa na video 400+ za ngono kwenye Laptop yake akifanya mapenzi na wanawake  tofauti tofauti Embu Imagine yaan wanawake 400 halafu hizo video zotee ni zake yeye ila wanawake ndio tofauti tofauti  wanafika 400 tena na kupita we huogopiii Nakuuliza we huogopii??😅😅😅Mi niliogopaa mwili ukanisisimkaa, Ndio maana mie sitaki  kuwa na bwana akaa bora nitunze kidude changu😜😜 tena nilichoka baada ya kusikia et ni mume wa mtu mmh🙄🙄mi sitaki kuolewa bwana😫😫😫, Umbea nikaumeza wotee . Nilipo toka hapo sasa mimi ndio kinara mtaani story zote ninazo nawakarisha watu chumvi kama zoteee 😂😂😂    Basi mie nina Tambo langu bwana , yaan nikisema tambo namaanisha lisiimu kubwaa la Tecno lakini mie ndio natambia nalo si langu Hata siwekagi bundle  nikupigiwa tu nakupokea kwanza niweke bundle nina hela miee ya kuchezea😅😅😅 Sasa kwakua mie mtaani nishaonekana star mana kila mtu alikuwa ananifata kuniuliza  kama ni kweli , nikimuhadithia huyu nae anaenda  kuhadithia wenzie hukoo wakimuuliza alipotoa anasema kwangu nao wanakuja kuthibitisha  ,       Ilibidi   nimuibie jero mama ili niweke bundle  la jero ili namie nipate habari kamili mana nilisikia wale wa mama wanasema huko mtandaoni kumechafuka kila sehemu ni habari za huyo baba tu na video zake zimesambaa kila kona Nikaweka zangu ki bundle cha jero tu( 500Tsh) safari ya kwanza ni mjini  FACEBOOK 😅😅😅Niingie insta kufanya nini yaan mie insta jamani naonaga kumepoooza hata hakunogi sijui ndio mshamba  hata sijui  ila kule kwa mr Fb aloooo🙌🙌🙌  Huko ndio naonaga umbea full full, sasa nikaingia ili niongeze materia  ya bwana mianne plus😅😅😅 ili niwaadithie vizuri  mtaani  nikiwa na ushahidi wa kuona mwenyewe Nilikuwa napita kila page nasomaaaa tena kwa umakini hatarii , kila page kila page , kila taarifa inayo muhusu mr mianne plus nilikuwa siiachi inipiteee   Sasa nikapita kwenye page moja hivi nikakutana na post inasema et bwana mianne plus mbona anapenda kushika chuchu hii inamaana gani??   Nikazama kwenye Comments ili nipate data namie , nikikaa kusimulia nitoe udaku mzitoo😅😅😅😅    Kuna Comments  zingine zinasema anatema tema mate mie ananikera mwengine anasema  hata mimi sipendi linavyotema mate basi tuuu   Namie roho ya kutaka kuona video sasa si ndio ikanivamiaaa🙄🙄🙄 *02*    Mwanzo hata sikuwa  nataka  kuona mie video zake ila nilitaka tu kutoa habari za uhakika ninapo simulia wamama wa mtaani kwetu ..   Sijui ndio ule msemo wanasema safari moja huanzisha ingine🙄 ndio hii sasaa , nikaanza kutamani kuona hayo nayosoma kwenye Comments  ili niwe na ushahidi kabisaaa  kuwa niliona .. Nikatamani kuona sasa nitapata wapi  nizione nikawa nawaza mwenyewe  nikaona embu ngoja nikoment hapa kama atatokea msamalia mwema  wa kunitumia sawa nitaona  asipo tokea basiii Nikaandika hivi "Jamani naombeni na mimi hiyo dhambi nionee😔😔"   Nikaweka na vi emoji   vya kutilisha huruma 😅😅😅   Nikasikilizia majibu , Watu wakawa wanajibu hapo kwenye Comment yangu    Lete Buku tu nakutumia zote mianne , mwingine sijui nipe bundle oyaa zipo kibao , wengine unataka kuona nini wewe Nilikasirika roho ikaniumaa nikaona kama wananidhihaki hawa nikaifufa ile Comment yangu fasta halafu nikazima data nikalala zangu huku najuta  kwanini  niliandika vilee .. Usingizi nao hata hauji nikageuka geuka karibu li saa zimaa, usingizi hauji nikachukua simu yangu nikawasha data tena   ile nawasha tu messenger  zikaingia msg mfululizo  kama nne hivi zimetoka kwa mtu mmoja lakini simjui na hakuna rafiki yangu... Nikafungua  nakuta video nne zimetumwa nikafungua video  ya kwanza 🙈🙈🙈Si ndio naona watu wananyanduana aloo🙈🙈 mara ikaganda ndo ime pray sijui sec kumi zilee ki bundle  kimeisha   Roho iliniumaaaa😔😔😔mara sms ikaingia pale pale messenger umepata ?? 🙄🙄 nikajibu Asante mwaya japo hazijafunguka kwahiyo sijaona kitu akanambia mmh kwanini sasaaa nikasema aah bundle  limekatia akanambia  mbona  bado upo online  nikasema aah nitakuwa zimebaki  Ndogo ndo mana hazifungui video  akanambia  nipe namba nikuwezeshe usilale roho juu buree...akaniwekea na Emoj za kuzomea😜        Nikaandika namba chap 😅😅😅😅akhaa mwenzangu  nikiremba wakati hapo nimeweka bundle  kuweka tena  sijui mwaka gani     Sekunde hiyo hiyo ikaingia msg ya kawaida  M_pesa imethibitishwa umepokea 10000 kutoka kwa mussa ,Alooo🙄 nikasema huyu nani tena amekosea namba    Mara messenger ikaingia Hope umepata mrembo eeh🙄 nikamuuliza ndio umetuma elfu kumi?? Akasema ooh kumbe imekuja 10000 nilitaka kutuma 1000 itakuwa wanakupenda sana hawa voda Any way Tumia yotee🤗🤗🤗🤗🤗 Jaman nikamtumia emoji  za kuchekaa  na zile za kumshukuru zile mikono miwili imekutana 😂😂😂   Nikajiunga bundle la jero kama kawaida yangu  hapo nikasema afadhali nimepata ya kuanzia asubuhi  hapa mana embu nikae kimyaaaa😷😷😷    Nikafungua video zangu hapo ndio ulikuwa na mwisho wa kuchati nimefungua zile video  zilikuwa nne  nikaangalia vyema kabisaa😂😂😂   Halafu mimi ni single  bwana sasa kuangalia ma video kama yale, nikajikuta hata nawatamani ma demu wa mianne plus naona wanafaidiiii😜😜 halafu nilibaba lizuriii aisee nikabaki najisemea li handsome limejariwa kote juu na chini 🤗🤗🤗🙈🙈   Lina sura nzuri mwili mzuri yaa vooooo🤣🤣🤣🤣🤣🤣  li zuriiiiiii kote kotee, nikajikuta nimeona visivyoonwaa mie , usiku ukawa wa mazinguziii nikalala kwa shida miee🤗🤗😜😜😜😜    Nimeamka zangu asubuhi  siku enyewe nilikuwa wa kwanza hela za mihogo si ninazo bwana nikaamka zangu pweee kwenye mihogo Nikakuta foleni sio ya hapa kila mtu amewahi mihongo , Nikatazama pale nanu nammudu mana nina ubuyu kama wote wa Mianne plus nataka niutoee  kila mtu asikie sasa nitaanzisha vipi?? Nikamcheck mdada mmoja alikuwa yupo nae kwenye foleni nikaenda kukaa oembeni yake , nikaanza kujisemesha "ila wanaume jamani huyu baba wanawake mianne au alikuwa anatumia madawa?" Hapo hata hajaniuliza basi tu nawashwa kuongea "Yaan unajua mie nasikia sikia tu juu juu hivi ni kwelii??"     Hilo lilikuwa kosa lake kubwa sanaaaa🤣🤣nilianza kuongea kama nimemeza flash ya mr mianne plus Wamama wote wa mihogo nakwambia walinigeukia kila mtu ananiuliza swali lake    "Sasa mke wake maskini mama wa watu uuh sijui amejisikiajee??"  Mama muuza mihogo alikuwa anasikitika utafikiri huyo ni mdogo wake "Unaambiwa amezimia hapo tangu jana mpaka leo hajaamka mumewe amekamatwa na police na hapo wampima ni muathirika yaani huyo mke wake unaambiwa ametishia kujiua atari" 🤣🤣Mimi hata habari za mke wake sijui sema nikapita na upepo huko huko kwanza hawana hata ma tambo wataonea wapiii??     Nilipiga udaku nikahadithia kila aliekuja 😔😔mie ndio nilikuwa wa mwanzo mwanzo kufika pale lakini mpaka mihogo inakaribia kuisha mama Muuza ananiambia we Dina wewe huchukui mihogo nikamwambie niwekee ya elfu mbili akaniwekea , Ndio nikaondoka kwenda nyumbani    "Enhee leo ukaamkia wapi we mwenda wazimu??"    Mama yangu akanidakia huko ndio nachomoza tu nyumbani   nilimuacha bado amelalaaa "Mama nilifata mihongo ilikuwa na foleni" "Nani amekuagiza" "Ya kwetu nimechukua na sukari" niliongea huku nampa mama vile vitu "Hela umetoa wapii??" "Sa mamaa si upokee kwanza jamani aah" "Eh.ehee nipokee ili iweje hela umetoa  wapii,Huna kazi huna badhi kazi yako ....... *03* "Eh.ehee nipokee ili iweje hela umetoa  wapii,Huna kazi huna badhi kazi yako  kulala tu nakula hayaa nambie  hiyo hela umetoa wapi Dinaa kama umeanza michezo michafu Dina nakukata hilo kojoleo lako mbwa wewe hivi unanielewa??' "Jamani mamaaaa!!!"   "Jamani Ng'ong'oooo ,Nyooo!!!"   😔😔Niliamua kuingia zangu tu ndani kwa hasira yaan mama yangu hana hata shukrani  kila siku ananitukana mie kazi yangu kula na kulala nimeferi Form four, ananiita mie mmbea naweza hiyo kazi tu  Mtaa mzima wanajua mie  nilipata zero mama yangu hajui kuongea taratibu  hapo penyewe mtaa mzima wamejua kama mie nimeleo nimenunua mihogo kwa hela ya kuhongwa mama akaikataa ile mihogo  ..     Nikajitupa zangu kitandani  nikachukua simu nikawasha data , vimeseji vijaingia kwa kuongozana nilipo fungua ni yule Kaka wa jana alie nitumia video anatumia jina la Mussa shango   (Hujaamka tu mrembo) (Uko poa) (Siku njema) Mmmh🙄nikasema huyu kaka nae vipi mbona kama ananishaukia, nikaingia kutazama Profile yake , hakukua na picha hata mojaa  Mmh nikasema hapa si ndio watu wanakutanaga na majini jamani  naskiaga story  za majini hivi hivi   Nikaachana nae nikaendelea kusaka habari za Mr Mianne , mama akaingia ndani   "We Dina ,Umetoa wapi hela ??"   Yaan mama yanguuu😟😟😟khaaa!!  "Mi nikajua yameshakwishaa?? Daaah ?" "Yanaishajee??"   Yaan huyu mama yangu Amekuwa ananikagua mie tangu mdogo mpaka najielewa , kila siku kunipachua chupi ananikagua  kama nimeanza wanaume mama yangu ni mkaliii , sijawahi kumzoea japo mimi ndio kipenzi chake lakini nikileta ujinga weeh nafumulia mie kama hanijuii , Yaan hapa huwezi amini tunagombania   mihogo ya elfu mbili na sukari robo jamanii🙌🙌🙌   Mama yangu ana maisha magumu sana lakini sio wa kutegemea mtoto wake  wa kike zaidi wa kiume  , kaka yangu ndio huwa anatutetea nyumbani kwa vitu vyote kula hata mimi shule ,japokuwa na yeye bado anajitafuta huko ...   Mama katuzaa wawili tu mimi na kaka yangu yeye yupo mkoa mwingine anajitafuta Elfu tatu tu na chench inarudi lakini imekuwa kesi ya jinai , hapa mama kawa mbogo mie nilijua atafurahi mana hatukuwa na ratiba ya tunakula nini asubuhi  nina uhakika mama amelala na hela yake ya mtaji tu wa mkaa na sio ya kulaa lakini ona anavyonichamba ... "Bwana mama me sijapewa na mwanaume wala sina huyo mwanaume??" "Enhee umetoa wapi, Au tuvuane chupi unataka??"        "Mamaaaa!!!" "Nyokooo!!" ."vua hiyo chupii" "Mamaaaaa!!! Kwahiyo mimi kukusaidia kununua chakula imekuwa shida??" "Sio kununua  chakula shida hela umetoa wapi Dina, hela hizo miambili zisikudanganye mwanangu hivi unanielewa vizuri  , kufeli shule  sio kufeli maisha  sio ujirahisi kwa hawa wavuta bangi wa hapa mtaani  Dina hivi unanielewa??" "Maaamaaaaa aah  Nakuelewa wala mie siwezi  siwezi mama siweziii aaah" "Hayaa kalete mihogo  " "Saaa mama unanipa hela ya mihogo wakati nimenunua mihogo  hii hapa  mama sijahongwa hii hela jamani wala sina bwana" Mama yangu aligoma kabisa kula hiyo mihogo asojua imetoka wapii  namie kumwambia nilipo toa nilikuwa nashindwa   Ilibdi nimwambia mama  nilikuwa na 3000 nilimuibia ibia kwenye mkaa wake yaan niliikusanya kidogo kidogo   Mama angu huwa ananiamini sana tu mana ananipenda mno na anajua mie siwezi  kwelii  kugeuka mashart yake na kila siku najitunza mie *04*       mama akanionya onya hapo akanichamba kuhusu kumuibia hela akasema ndio maana alikuwa anapoteza hela kumbe mimi ndio naiba 🙄 Sijawahi  hata kumuibia helaa huyu mwanamke jamani mungu shahidi lakini tafanyaje sasa sina pa kuipeleka hii mihogo 🤦‍♀️     Hela iliyobaki mmh nikaona bora kula miguu ya kuku mwenyewe  huyu mwanamke  asije kuniua buree😟😟😟 na Itkadi zake ngumu ngumu  ....   Na ka hela kaka isha habari tena za kuweka bundle  nikasahau na vile nilikuwa nishamaliza shida yangu  ya kuona Chululu ya Kaka mia nne akaaa🤣🤣🤣 sikuwa na shida tena        Usiku kuna namba ngeni ikanitext , hapo zilikuwa zimepita kama siku tatu  hivi tangu ninunue mihogo au nipewe hela na yule mtu asiejulikana (Mamboo) (Nanii??)  (Mmmh vibaya  hivyo  wenzio wanaitikia hata salamu kwanza mrembo) Mmh nikawaza hili li nani hilii  nikaandika kwa hasira (bwana weeeh kama huwezi kusema we nani kausha mxeeeeww)    Haikupita muda simu ikaanza kuita namba ile ile  iliyotuma sms nikapokea nimekunja sura hatari "Halooo"  Nikasikia sauti ya kiume kwanza nikatulia kuitafuta na zile hasira kidogo  zikanywea "Mambo" akanasalimia tena amechamgamka hatari :poa" "Uko poa" "Ndio" Yaan  hapo najibu kifupi huku naivuta ile sauti kama niliwahi kuisikia sehemu "Hujanijua??" Nikataka nimjibu kwa karaha yaan ananiuliza hijanijua wakati hata kujitambulisha hajajitambulisha nikajikazaaa "Ndio" "Okay let call It Friend " "Sijasoma kaka angu kama huwezi kuongea kiswahili basiii" Hapo kaba likanishinda ananiletea English wakati mie ni Form 4 felia Mxeeeew   Akaanza  kucheka akacheka kwelii mie nipo kimyaa namsikiliza  akanambia  embu acha hasira bwanaaa  mie musaa" "Mussa gani?? " "Mmmhhhh hapoo sijui nikutambulishe vipi okay mie yule nilikutext Ma juzi  kati kule  fb kuna kitu ulikuwa unahitaji nikakutumia jina langu ni mussa" Ohoooo🤣🤣🤣🤣🤣🤣nilicheka kwa aibuuu nikamwambia kumbe wewe akasema ndio  we mkali mpaka umenitisha daah nikasema hamna bwana mie hata sio.akasema mmh lakini una sauti nzuriii kweli nilijua naongea na katoto nikasema hee kwahiyo nilimtumia matusi.mtoto wa watu🤣🤣🤣 . Daah nikasema mie sio mtoto bwana nimemaliza mpaka  4m4 ujue akanambia  kwahiyo una miaka mingapi nikasema 17 akanambia  we bado mtoto bwana kumbe upo Under18 halafu mie nikakutumia vitu vya Kumi na nane plus (18+)  daaaah 🤣🤣 Nikamwambia bwana sio  mie mkubwaaa Akanambia  umeolewa eeh?? Nikasema mmmh anioe nanii miee akasema kwa sauti hii Hope utakuwa mzuri zaidi ya hii sauti yako mie  nikachekaa si unajua wadada tukiwa tunasifiwa huwa nguvu zinaisha kabisaaaa😂😂😂 mwili unakuwa unatetemeka kwa Rahaaa Basi tukaongea tukaongea tukaongeaaaa usiku hapo unaenda tu kaka ana story huyu sijawahi kuonaaa🤗 Mpaka ukaingia usiku sanaa mie nasinzia yaan akiongea najikuta sijasikia yote nilikuwa nimesinzia *05*    Akanambia  nikuache basi ulale  nikasema sawa mana nasinzia hapa hatari ndio akakata simu mie usingizi ukanipitia Nimekuja kushtuka asubuhi  nakuta text et ulale salamaa mmmh huyuu nikatabasam tu bwana  , nataka kuifuta kuna text ikaingia M pesa  nimepokea 15000 kutoka kwa mussa mmh😞😞 jamani wakati bado nashangaa ikaingia text nunua Vocha bint et uwe na asubuhi  njema Hee hadi kujibu nikashindwa nijibu  niniii??   Unajua Elfu kumi na tano kwangu ni kama  milioni eeh nishazoea jero jero naa jero  yaan mia tano ya Tanzania mie kuishika kwangu ni mtihani sana sasa hela kama hizi nawehuka Nilimtumia sms Asante  sanaaa lakini naomba usinitumie tena pesa mama yangu akijua anaweza hata nichunja hapendi mno , na simu yangu anaishika mara kwa maraa Akanijibu muda huo huo akanambia  mmh jamani I wish nimuone mama nimpe Hongera amekulea vyema mpaka raha umekuwa kama sio bint wa Dar Mie nikacheka kwa emoji tu sikuandika kitu akanambia sijakuuliza hata jina mhu unaitwa nani cxx Nikamwambia  naitwa Dixfxnxxxa mie akasema  Hata kajina kazuri sauti nzuri hivi huyu bint atakuwaje  si atakuwa zaidi hata wa yule malkia wa uingeleza🤣🤣🤣🤣🤣 Ila wanaume jamani 🙌🙌🙌🙌🙌 hapanaaa Nilichekaaa sanaaa nikamwambia  walaa mie wakawaida tu akasema Wish nikuone siku moja nikamwambia inshaallah  tutaonana bwana Mussa Akacheka kwa Emoji akanambia D mamaa nitakuchek mida nipo kibaruani hivyo nisije fukuzwa kazi bureee    Nikasema sawa kazi njema akasema sawa mamaa et akaweka na emoj ya kuchumu😘 Makubwa 🙌🙌🙌  sijawahi mie kuchat na Boy yeyote zaidi ya mashost kwahiyo haka ka moments  nilijiona kama kiasi flani nimebadilika yaan nimependa😜😜  Mana muda wote nilikuwa nazipitia pitia Ile text😂😂 mtu mwenyewe hata simjui lakini basi tuuu anafurahisha Mchana akanitex hello mmh nikajibu fast hbr Akajibu poa babyy umekula?? 🙄🙄🙄Babyyy tenaaaa??? )Nikamuuliza kwa mshtuko akanambia  Baby I mean mtoto jamani we si unakisauti kama mtoto jamani hata hivyo hujatimiza miaka 18 so we ni Babyyy😀😀😀 . Ila huyu kaka 😂😂😂 nikaona aibu nikajichekesha kwa emoj  kama zotee  Akambia Umeshakula babyy 😀😀😀nikajibu bado Akanambia kwanini nikamwambia  ni mapema sana sa hii sa sita hii jamani akanambia  kwani chakula cha mchana wanakula sa ngapi?? Nikasema sa nane au Tisa  Akasema🙄🙄weee hicho mbona cha usiku nikamwambia  basi tumetofautiana mie cha usiku sa nne kabisa  akasema hee wewe unalala sa ngap nikamwambia  muda wowote  tu akanambia  nakutumia hela basi ule hata viazi hapo mie sijiskii vizuri nakula wakati baby yupo njaa 😀😀😀Nikamwambia  mie sisikii njaa bwana chai nimekunywa muda huu akasema  hee basi mie nakutumia unywe hata soda😀😀 Nikawaza  huyu mbona ameng'ang'ania sana kunitumia helaa?? Ujue ndio wanatolewa kafara watu hivi hivii hakiamungu  nikamwambia  mie hapana usinitumie mama yangu atajua na anaweza hata nitoa kichwa akacheka kwelii kwa Emoji  akanambia  nakutumia  ndogoooo hata hawezi kujua ya soda tu please  Jamaniiii 🙄🙄nikabaki nina mtafakari huyu vipii hata bado sijamjibu ikaingia sms ya M pesa imethibishwa umepokea Elfu tano kutoka kwa Mussa Mmh🙄🙄 nimepatikana mie aisee    Akanambia  nunua soda basi baby,mie narudi kibaruani kwani baadae bwana et Hata sikumjibu aisee mie mbona naanza kuogopa  jamani yaan naogopa kabisaa Yaan ile kuongea  kwangu  kila habari  ninayo lakini habari yangu nilikosa mtu wa kumsimulia kabisaaa   Niliona ngoja tu nimwambia mama lisije kuwa jini mie nikafa bure bila mama kujua lakini roho ingine inanambia nitaanzia wapi mie kumwambia mama yanguu??   Nikatoka  chumbani kwangu  ilikuwa usiku  mama yupo ndani kwake , nikaenda kumwambia mama nashida ua kuongea na wewe akanambia  enhee kwemaa nikasema hata sio kwema mama kuna huyo mkaka sijui mba....." "Amekubakaa??" Mama aliniwahiii hata sijamaliza Yaan mama yangu bora mniue maiti mpelekeeeni lakini sio kunibandua aisee hilo ni kosa la jinai kabisaaa "Mama bwana ndo mana mie sipendi kukuambia mambo yangu we hata husikilizi" "Embu ongea sasa haraka haraka unajibana bana ninii??"   Nikamwambia  mama kuna mtu mie nilikutana nae Fb tu akaniomba namba yangu nikampa  si mjui wala hanijui ajabu ananitumia ma hela kila saa mie naogopa asije kuwa jambazii Mama akasema  ma helaa??  Yaan alikutumia kama milioni ngap?? Ni mzungu au ?? Milioni tena🙄🙄🙄 nikamwambia mama sio milioni embu angalia ile siku alinitumia elfu kumi...... INAENDELEA......

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Mr. Marvel akaendelea “Niliendelea kufanya kazi na wakati mwingine nilikuwa nambeba Salmon na kwenda naye kazini. Kwa sababu hiyo, nilipoteza baadhi ya kazi kwa sababu haikuruhusiwa kufanya kazi na mtoto. Nilipokuwa napambana na maisha nilisikia mke wangu ameolewa na mwanaume mwingine tajiri, maarufu na mwenye nguvu. Iliniuma, lakini nilisema sawa tu. Niliendelea kufanya kazi mchana na usiku mpaka nikakutana na rafiki yangu wa zamani………… Huyu rafiki Tulikuwa karibu sana lakini mambo yakatufanya tutengane. Yeye alikuwa ana maisha mazuri, alikuwa na biashara kubwa. Alijua mimi ni engineer mzuri, lakini sikuwahi kupata nafasi ndipo Akaamua kunipa kazi kwenye kampuni yake. Kuanzia hapo maisha yakaanza kubadilika. Niliweza kupanga nyumba nzuri, nikaajiri mtu wa kumwangalia Salmon nikiwa kazini. Niliweza kumudu milo mitatu kwa siku hata sita kwa siku pia niliweza. Maisha yakawa mazuri na sikutaka tena kufikiria mapenzi. Nilijikita kwenye kazi na kumlea Salmon tu. So Miaka mitano ikapita Nikaanzisha kampuni yangu na sasa imekuwa kubwa” Noela akauliza “Na mke wako?” “Now ni zamu yake kuteseka. Yule mwanaume aliyemuoa alimwacha na hakupata mwanaume mwingine tena. Aliposikia nipo vizuri Alitaka kurudi kwangu lakini sikumkubali” “Kwaiyo Sasa yuko wapi?” 🤔 “Yuko Mwanza anaishi kwa ndugu zake. Sijui anafanya nini sasa na sijali sana kuhusu yeye” “Salmon anamkumbuka mama yake?” “Yes! Licha ya yote aliyofanya, bado ni mama yake. Wakati mwingine anaenda kumtembelea na kukaa naye siku chache” “Unadhani Salmon anataka mrudiane na mama yake?” “Mhhhhh! Ndiyo! zamani alikuwa ananisihi nimsamehe mama yake na mimi nikamsamehe. But kurudiana ilikua ni ngumu sana” Noela akauliza “Kwa nini?” “Kwa sababu ya yote aliyonifanyia ni ngumu kumuamini tena! Also kwa sasa moyo wangu unadunda kwa mwanamke mwingine. Nategemea siku moja atanipa nafasi nimuonyeshe ananichanganya kiasi gani” aka tabasamu😍 Noela akabaki kimya, akaona aibu kwa sababu alijua mwanamke anayezungumziwa ni yeye. Mr. Marvel akauliza “Una swali lingine?” “Ndiyo. Uliwezaje kukaa peke yako muda wote huo?” “Kwa kweli ilikuwa ngumu. Nililala na wanawake wachache mpaka siku ile nilipokutana na wewe hotelini. Na mimi pia nataka nikuulize, ulikuwa unafanya nini pale?”🤔 “Kabla sijakujibu, Kwanza si uliona jinsi chumba kilivyopambwa?” “Yes” “Ilikuwa kwa ajili ya Salmon. Nilimuandalia kila kitu, lakini hakuja. Ilipaswa kuwa usiku wetu wa kwanza” “Samahani kwa kuharibu usiku wako” “Nafurahi ulifanya hivyo. Ni Bora nimpoteza usichana wangu kwa mtu mzuri kama wewe na sio Salmon. Unajua aliniambia eti hakuja hotelini kwa sababu baba yake alipata ajali?” Mr. Marvel akashangaa, “Nini? Mimi? Ajali? No!”😳 “Ivyo ndivyo mwanao alivyo nidanganya! Lakini yaliyopita, yamepita” “Ningependa kuomba msamaha kwa niaba ya mwanangu! Ni kijana mzuri and i love him ila ni Ujana tu unamsumbua!”😊 “Usijali kuhusu ilo ila Wewe ni tofauti sana na yeye” “KiVipi?” “Wewe unajali, ni mpole, mnyenyekevu na pia mkorofi. Si rahisi uumize mtu kwa sababu wewe uliwahi kupitia maumivu kama hayo” “Vizuri sana. Umenisoma vizuri”😊 Noela akatabasamu kisha Wakakaa kimya kidogo ndipo wakaamua waingie ndani maana giza lilikwisha ingia. Kwa muda wote Noela alipokuwa kwenye ile nyumba, alizidi kuwa karibu sana na Mr. Marvel. Walikuwa wanapiga stori, wanapika pamoja, wanaangalia movies na kutoka mara kadhaa. Ilikuwa ni wiki mbili tu, lakini ilionekana kama wamejuana muda mrefu. Na kwa sababu ya Mr. Marvel, Noela aliacha kufikiria kuhusu Salmon na Iris. Basi Usiku mmoja walipokuwa sebuleni, Noela akamwambia Mr Marvel kuwa anataka kurudi chuo. Mr. Marvel akauliza “Una uhakika?” Noela akasema “Ndiyo” “Utakaa chumba kimoja na Iris?” “Sitaki Na sijui nitaishi wapi”🥺 “Kama ndo ivyo… Endelea kukaa hapa” Noela akauliza “Na chuo je?” “Usijali, Nitakupa gari na dereva. Atakuwa anakufikisha chuo kila siku, na baada ya masomo atakurudisha nyumbani salama. Apo Vipi?” Noela akashangaa “Utanifanyia hivyo?”😳 “Ndiyo! kama utakua tayari” “Mimi nipo tayari” Noela Alifurahi sana kwa sababu hatalazimika kukutana na Iris au Salmon mara kwa mara🥳 Kwa upande mwingine, Salmon alikuwa anamtafuta Noela lakini hakumpata. Hakujua aende wapi kumtafuta kwa sababu Noela hakuwa na marafiki wengi. Pia simu yake ilikuwa imezimwa. Noela Aliwasha simu tu alipotaka kuwasiliana na familia yake kisha anazima ndo maana ilikuwa ngumu sana kwa Salmon kumpata. Hali hiyo ilimkera sana Iris. Alikasirika kwa maana Salmon bado alikuwa anamtafuta Noela badala ya kumpa yeye attention🤣. “Wakati mwingine nahisi ulikuwa unanitumia tu” Iris alilalamika Salmon akauliza “Unamaanisha nini?” “Noela hayupo badala iwe nafasi yetu kufurahia mapenzi yetu lakini wewe kila wakati unamtafuta, unampigia simu, hunipi attention ninayo stahili. Tayari Nimewaambia watu wote kuwa tuna date, ila ni ngumu wao kuniamini coz huonyeshi mapenzi kwangu” “Iris, nitakuonyesha mapenzi baada ya kumpata Noela. Hata huogopi au kuwa na wasiwasi labda kuna kitu kimemtokea? Tangu atufumanie siku ile hajawai pokea simu zangu wala kuja chuo”😳 “Mimi najali kuhusu wewe tu Salmon! Achana na ilo tipwa tipwa lako”😒 “Iris, Noela alikuwa rafiki yako. Angalau uwe na huruma kwa anachopitia” “Kheeee! Ni kosa langu kwamba humpendi? Ni kosa langu kwamba hukuwa mwaminifu kwake? Hili si tatizo langu. Please usilitaje tena jina la yule nguruwe” “Unajua nini?? Acha nirudi nyumbani coz mood imeisha” “Hutalala hapa? Nilidhani umekuja kukaa na mimi”🥺 “Siwezi kulala hostel. Vipi kama Noela akirudi akatukuta tena hapa?” “Sawa, basi twende wote huko kwako!”😊 “Uwende wapi?? Wewe kaa hapa, subiri kama Noela atarudi au laaah! Kama Akirudi nipigie simu” Salmon akaondoka akimuacha Iris akiwa na hasira. Iris Hakujua afanye nini ili moyo wa Salmon uwe wake kabisa, kwa sababu kila kitu alichofanya hakikufanikiwa. Sasa Asubuhi ya siku iliyofuata, Iris akiwa amelala, akasikia mtu akiingia chumbani. Alidhani ni Salmon, lakini alipomuona Noela, akaogopa kidogo kisha akajifanya hajali kuhusu ule ujio wake. kwa dharau akauliza “kheee ndo umerudi?”😒 Noela akajibu “Ndiyo” “Sikiliza Noela, sijali kama umerudi au la. Hilo ni jambo lako. Ninachotaka ni ukae mbali na mwanaume wangu, Salmon. Tunapendana, sitaki na drama zako” Noela akatabasamu akisema “Sawa” kisha Akaanza kufunga makabati akitoa nguo zake na kupaki kwenye mabegi kimya kimya🤐. Hili jambo lilimshangaza Iris kwa sababu alidhani Noela angegombana naye lakini hakufanya hivyo. Baada ya kumaliza kupaki mizigo yake, dereva wa Mr. Marvel akamsaidia Noela kubeba mabegi yake na kuyapakia yote kwenye gari. Walipomaliza waliondoka zao. Iris kuona vile akachanganyikiwa zaidi. Noela amehama hostel na tena amekuja kuchukuliwa na gari la gharama, na dereva juu!😭 “Ina maana Noela kapata mwanaume tajiri? Ndiyo maana haumi sana kuniona na Salmon? Kwa lile gari, lazima huyo mwanaume ni tajiri. Ina maana yeye kapata mwanaume tajiri, mimi nateseka na Salmon ambaye hajawahi hata kuninunulia kijiko. Lazima nichunguze nijue huyo mwanaume ni nani, ikiwezekana nimpitie. Noela hawezi kunizidi mimi. Mimi ni mzuri kuliko yeye tipwa tipwa kama ngiri” Je Nini kitaendelea? Nakuja…

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Noela alipoondoka hakujua hata aende wapi. Alitembea polepole barabarani, machozi yakimtoka na wala hakujali. Aliumia kwa sababu alisalitiwa na watu wawili muhimu sana kwenye maisha yake💔. Alikumbuka dalili alizowahi kuona kwamba kuna kitu kinaendelea kati ya Iris na Salmon lakini alikuwa anazipuuza tu😭. Kisha mwishoni akakumbuka maneno ya Mr. Marvel aliyomwambia muda mfupi uliopita. Akagundua kuwa kuna uwezekano Mr. Marvel alikuwa anajua ukweli tangu mwanzo. Kwa hasira Akatoa simu yake na kupiga ile namba ya mwisho ambao ilikua ya Mr Marvel. Wakati huo, Mr. Marvel alikuwa amelala lakini alipoona anayepiga ni Noela, alipokea simu haraka. Kwa utani akasema “Umenimiss tayari?” “Kumbe ulijua mwanao analala na rafiki yangu wa karibu halafu hukuniambia?” Noela alisema huku analia Sauti ya Noela akiwa analia ilimpa ukichaa Mr Marvel mpaka usingizi wote ukamuisha “Uko wapi sasa?” “Sijui hata niko wapi! Ila ninachojua ni kiwa Nataka tu kufa…… haya maumivu ni too much”😭 “Uko wapi Niambie, Nakuja hapo sasa hivi” Noela akacheka kwa uchungu “Nooooo usije. Kwa nini uje? Kwanza ukija Nitakuwa tayari nimeshakufa. Siwezi kuona rafiki yangu na mpenzi wangu pamoja. Inauma sana”😭 Baada ya kusema hivyo, Noela akakata simu na kuizima kabisa. Aiseee Hilo lilimfanya Mr. Marvel apanic. Hakuwa tayari kumpoteza Noela kwa gharama yoyote. Aliposikia anataka kujiua, akachanganyikiwa kabisa. Akaamka, akabadilisha nguo then akachukua bodyguards wake na magari kadhaa, akaanza kumtafuta. Alitaka kumpata kabla jambo baya halijatokea. Wakati huo, Noela alikuwa tayari amefika darajani. Alisimama pale akiangalia maji yalivyo tulia. Maumivu ya usaliti yalikuwa makubwa sana na kitu pekee kilichokuwa akilini mwake ni kujiua ili asisikie maumivu tena💔. Alidhani Salmon alimcheat kwa sababu yeye ni mnene, mkubwa na si mrembo vya kutosha. Na sio mara ya kwanza kwa watu kumsema vibaya kisa mwili wake. Alijichukia kwa kuwa mnene kiasi kile. Akaangalia mwili wake akahisi mpaka kichefuchefu. Basi alitupa pochi yake pembeni kisha akaweka mguu wa kwanza, kisha aweke wa pili ili ajitupe. Mungu bariki kuna mtu alifika nyuma yake akamdaka kwa nguvu. Hakua mwingine bali ni Mr Marvel! Hamuwezi amini alitumia almoast milioni 3 ili afanikishe kumpata Noela kwa mda mchache! Na kama Sio yeye tungekua tunaongea mengine kuhusu Noela Sasa ivi🥺 “Usiniguse!…..Niachie!……Nataka kufa!……Niachie!” Noela Akaendelea kupiga kelele lakini Mr. Marvel hakumuachia. “Unataka kujiua kwa sababu ya mapenzi? Kwani Wewe ni wa kwanza kuchitiwa???” Noela akalia kwa sauti “Inauma sana… haya maumivu ni too much……inaumaaa……”😭 “Najua inauma lakini maumivu yanatufanya tuwe na nguvu. Kama kila mtu alie chitiwa angejiua, dunia ingekuwaje? Ivi Umefikiria kuhusu familia yako? Ndugu zako? Unajiua kabla ya kutimiza ndoto zako, kwa sababu ya watu wasiostahili uhai wako???” “Kama ningejua mapenzi yanauma hivi nisinge jihusisha nayo. Etii amenicheat kwa sababu mimi ni mnene, si mzuri! Hata rafiki yangu amediriki kuniita mimi nguruwe”😭 “Wewe uko perfect ulivyo. Kuwa mnene kunaongeza uzuri wako. Mimi napenda ulivyo, na machoni pangu wewe ni mwanamke mrembo sana! Maisha ni mazuri sema hujakutana tu na mtu sahihi. Mimi nipo na nitakuonyesha ninafaa kwako. Please tulia…….” Maneno hayo mazuri yalimtuliza Noela. Akamkumbatia Mr. Marvel huku analia na Mr. Marvel akamwacha alie juu ya kifua chake🥰. Baada ya Noela kutulia, wakaingia kwenye gari na Mr. Marvel akampeleka kwenye nyumba nzuri sana. Nyumba hiyo aliijenga kama sehemu ya kupumzika pale anapokuwa na stress au anataka kutulia. Nyumba ilikuwa nzuri, simple na classic. Ilikuwa karibu na bahari, hivyo upepo wa bahari ulikuwa unasikika vizuri kabisa👌. Walipofika Mr. Marvel akampa chumba Noela ili apumzike kwanza maana hapakua hata na haja ya maongezi. Noela akakubali, akaingia chumbani kulala. Sio kwamba alilala kwa raha??? Hapana, kila aliposhtuka kilio kilianza upyaa mpaka kunakucha. Jua lilipo chomoza Noela aliamka akaenda hadi jikoni akamkuta Mr Marvel yupo busy anaandaa Breakfast. Alisimama mlangoni akimtazama kwa muda mrefu huku akimchunguza. Sio siri Mr Marvel ni handsome kinoma hata mtoto wake Salmon hajaurithi u-handsome wa baba yake kama inavyotakiwa maana ingekua balaa zaidi ya hili. Pia aligundua ni mpole alafu anajali mno, sasa akashindwa kuelewa kwa nini Salmon si kama baba yake🥱 “Hujachoka kuniangalia?” Sauti ya Mr Marvel ilimshtua Noela mpaka akaona aibu “Sorrry”🙈 Mr. Marvel akatabasamu “its okay! unaweza kuniangalia mpaka uchoke” “Sipaswi kufanya ivo! By the way Unapika nini?” “Nakuandalia breakfast” “Ila mimi Sina njaa” Noela akajitetea “Izo ni stress tu ndio maana huna hamu ya kula. Unatakiwa Kula hata kidogo ni nzuri kwa afya yako”😊 Noela akajibu “Sawa” Kisha Mr. Marvel akaandaa meza yenye vitafunwa vichache kama soseji, mayai na sambusa. Walikaa pamoja mezani wakipata kifungua kinywa huku Noela akila kidogo tu kwa sababu kila akifikiria yaliyotokea jana hamu ya kula inapotea. Baada ya chai alimshukuru sana Mr. Marvel kwa kumjali kwa muda mfupi waliokuwa pamoja Mr. Marvel akamuuliza “Mpango wako ni upi?” “Sijui, Sijisikii kurudi chuo sasa hivi”😔 “Mpaka lini?” “Sijui! Sitaki hata kumuona Salmon wala Iris. Itauma sana” “Kwa hiyo unataka kujificha?” “Ndiyo, Kama hakuna shida, ningependa kukaa hapa siku chache mpaka nitakapokuwa sawa” Noela aliomba🥺 “Unaweza kukaa hapa kwa siku zote utakazo but kumbuka lazima usome. Familia yako inakutegemea” “Najua! Nahitaji tu muda wa kupona kama wiki moja au mbili tu zinatosha” “Sawa, no problem” “Acha niende chumbani” Noela alinyanyuka akarudi chumbani na hapo kilio kikaanza upya. Alikua anaogopa kulia mbele ya Mr Marvel kwaiyo alijiificha ili alie vizuri. Uzuri Mr Marvel ni mtu mzima anajua kupona kidonda cha mapenzi sio rahisi. Ila Kwakua yeye yupo, atahakikisha Noela anakua sawa kabisa. Basi Mchana akaenda kugonga mlango wa chumba cha Noela. Alipofunguliwa, alimuambia Noela Kuwa kamuandalia Suprise, jambo Ambalo Noela hakua analitegemea kabisa. “Nini? Siko tayari kwa surprise” Akatabasamu kidogo😊 “Ni lunch tu. Pia nimekununulia nguo chache, Natumaini zitakutosha” Akampa mifuko yenye nguo na viatu. Noela akashukuru “Asante” Baada ya hapo Mr Marvel akaondoka akimpisha Noela ajiandae. Noela alipofungua ile mifuko akakutana na magauni mazuri na pamoja na viatu. Na vyote vilikuwa size yake, imagine hata nguo za ndani zilimtosha. Akashangaa Mr. Marvel alijuaje size zake na yeye ni tipwa tipwa🙈🙈 Basi kwenye yale magauni, alichagua gauni moja jeupe ambalo ndilo alilovaa. Na lilimpendeza sana mpaka Mr. Marvel alipomuona, alijisifia kuwa anajua kuchagua🥰. So Pembezoni kidogo mwa ile nyumba palikua pameandaliwa special kwaajili yao. Kulikua na vyakula, vinywaji na kulipambwa pakapambika. Mr Marvel alifanya vile kwa matumaini ya kumfuraisha Noela na kweli alifanikiwa kwani Noela alikua hakaukwi na matabasamu usoni. Tena hasa U-gentleman wa Mr. Marvel ulimvutia mno. Kulikuwa na mambo aliyomfanyia ambayo Salmon hakuwahi kumfanyia kabla.. Sasa Wakiwa wanakula, Noela akamuuliza Mr Marvel swali la kizushi “Mkeo yupo wapi?” “Mke gani?”😳 “Si Mama Salmon?” Mr. Marvel akatabasamu “Ooooh…” “Hautaki kuniambia? Niko interested maana sijawahi kumsikia Salmon akimzungumzia” “Yeah! Ni kweli Lakini tule kwanza, Tukimaliza nitakuambia kila kitu unachotaka kujua kuhusu mimi. Sawa, msichana wangu?” Noela akasema “Sawa” Wakaendelea kula kimya kimya huku Noela akimtazama kwa siri siri. Kadri walivyoendelea kuwa pamoja ndivyo alivyozidi kuvutiwa na Mr Marvel bila yeye kujua. Baada ya kumaliza kula, Mr. Marvel akamshika mkono wakaenda kutembea ufukweni. Walitembea, wakacheza na maji kidogo, wakakimbizana kama watoto. Ilikuwa moment nzuri sana👌. Walipochoka na kupumzika, ndipo Mr. Marvel akaanza kumwambia ukweli kuhusu mama yake Salmon. “Miaka michache iliyopita, nilikuwa na mke mzuri sana niliyempenda. Lakini wakati huo sikuwa na kitu licha ya kuwa msomi mwenye Degree ya Engineering. Hata milo mitatu kwa siku sikuweza kumudu. Nilifanya kazi kwa bidii but mapenzi na juhudi hazikutosha. Wife Alitaka maisha ya kifahari, pesa na mimi sikuwa navyo. Aliamua kuniacha lakini akagundua ana mimba ivyo akahairisha kuniacha kwa mda! Alivumilia mpaka alipojifungua Salmon ndipo akaondoka na kuniachia mtoto” Noela akashangaa “Nini?”😭 “Ilikuwa ngumu sana kwangu, kufanya kazi na kulea mtoto mchanga kwa wakati mmoja” Noela akauliza “Halafu nini kilitokea?” Unajua nini kitatokea baadaye? Nakuja………

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀 Mwandishi; lissa wa huru media Nikasema hapana sijafanywa hivyo akanmbia nini wewe umegawa namba kwa wanume zako wanatuma sms unajifanya kushaangaaa unanichukuliaje wewe. Kwanini unanidhalilisha shamira mpka najuta kuwa na mwanamke kama wewe. Mwanmke mchafu wa tabia kila nikijifikilia kukupeleka kwetu nakuwazia maraya wewe. Mh niliumia jamani mbona sijafanya kitu na tangu niamue kuishi na uyu mwanaume mimi sijawahi kutombwa na mwanaume tofauti na yeye daah🥲🥲🥲🥲🥲🥲🥲🥲🥲 nikasema hamadi mimi sijafanya hivyo kipenzi niamini akanmbia wewe sipendi uongo wako kila siku ni kuongopa ongopa mpumbavu wewe. Inaonekana ata yule shoga yako ni maraya kama wewe pumbavu kabisa. Na sijuh kwa nini nilikuamini mwanamke mdangaji kama wewe.yani wewe ji bule kabisa naona kabisa kwako napoteza mda wangu.mwanamke kila diku matukio .nimechoshwa na mambo yako ya kisenge senge. Najalibu kukupa kila unachokitaka lakini wapi .ama dikuridhishi kitandani ebu nambie. Nikasema hapana naridhika.akasema sasa kumbe nini kinakusumbua wewe paka la uswahilini .mh😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭 Mimi nikachukia nikasema sawa basi ngoja niondoke nikuachia nyumba yako na maisha yako mimi nikifanya kitu nakubali .na kama ni kweli ningekwambia tu kuwa niligawa namba.ila sijafanya hivyo nafikiri ni marafiki zangu. Akasema mpumbavu wewe kelel unatakaa kuondoka si ndio unataka kwenda kwa ao mabwana zako sasa utaondoka na arama zangu. Akanivaa mwilini awamu hii hakuna bakora .mh hamadi hii ndo shida yake anapenda kuingiana mauongoni sana jamani. yani kukupiga dakika mbili sijuh ana hasira sana mpka anashimdwa kuzicontrol . Basi akanidunda kweli kweli nikawa nalia tu. Tena ata sikujalibu kumludishia mana weee ataniua. Basi alivyoridhika kunipiga ndo akaniacha sasa .nipo hoi .nakoma kwa uyu mwanaume kupigwa mimi nyie acheni tu. Basi mimi nikawa nalia tu pale kitandani akasema naondoka shamira nikiludi nisikukute nyumbani kwangu .nakuvunja. sasa nimeridhika nenda kwa ao mabwana zako maraya wewe. Si tumetoka kuongea juzi tu aya mambo. Unaona mimi msenge msenge sio. Unaleta upumbavu kwangu. Nakuuliza wewe mjinga .unanichukuliaje mimi . Eeeh ebu nambie.nikabaki kimya mana niliogopa ata kumjibu asije akaniludia kuniweka mibao Basi akaongea sana kwa hasira yani mno .akanambia ntakuuwa nakwambia maraya wewe. Mala umetoroka umeenda uku. mala umeenda kule umekuwa na tabia za kisenge senge mno kwa nini.nakuulza nikabaki nalia tu .sasa boss kuopata msimu wa pili wa hii story mimi ndo ninayo uyu mwizi alokuuzia hana.kuoata nicheki wassap kwa namba sifurisaba nanesita sabatisa sitatatu sitatatuakaondoka kwa hasira.nikaona basi isiwe shida. Nikanyanyuka nikachukua mabegi nikatia nguo zangu zote. Nikabeba kila kitu kkinachonihusu. Nikakusanya kila kitu yani .nilikuwa na maumivu mno.kwanza sijafanya kitu chochote . Nikaona kwanza uyu mwanaume ataniua sio kwa kunidunda uku. Bola nisepe zangu tu mambo yasiwe mengi apa. Basi nikajikusanya shoga yenu mpka saku kwa aisha na mabegi yangu nipo hoi. AISHA alivyoniona akasema vp .nikasema niache kwanza nilale kisha nikiamka .naamka kwa mwajuma. Nilikuwa na asira nae Basi aisha akachukua mabegi akaingiza ndani. Nilikuwa na hasira alafu mwili ulikuwa unaniuma sana.nikapumzika tu. Nililala mno kwanza mwili ulikuwa unaniuma sana yani sana. Nikaja kustuka saa 7 mchana kidogo nasikia mwili afadhari. Aisha akanambia njoo ule basi. Basi nikashuka chini nikavuta ugari na tembere.nikala mpka nimeshiba nilishindialia mana nilikuwa na njaa kweli .nilivyo shiba sasa nikasema sikia sasa nimeshiba nipeleke kwa uyo mwajuma cha umbea nataka nikamkomeshe sasa .yeye si mbea ntamuonesha.aiasha akasema kafanyaje kwanza. Nikasema watu wananiomea sana wivu yani mwajuama kawapa wanaume zangu wote wa zamani namba yangu mpya wanitafute waniharibie kwa hamadi.yeye ndo wakaunifanyia hivyo.sasa mimi nimepigwa mpka mpaka mwili nahisi sio wangu nataka na yeye nikamuoneshe tukalushane uko uko msenge yule. Nilimand kweli kweli na nilikua na hasira mno......... 🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

1- Mheshimiwa nani alikupa ruhsa kuingiza Ukanda wetu katika vita dhidi ya Iran na kwa gharama gani uliwaza kuwa watu wa kwanza kuteseka ni nchi za Ukanda huu ambao ndio sisi? 2- Tuna haki ya kukuhoji tunajiuliza ulikuwa uamuzi wako ama Netanyau? 3- Kabla wino haujakauka nikuulize ile Bodi ya amani uliyounda inafanya kazi gani kwasasa? Sisi tupo katika matatizo makubwa tunapigwa Kijeshi unaweza kutuambia sasa utaratibu upoje maana uliunda Baraza kwa hoja ya amani. 4- Mheshimiwa unafahamu pesa nyingi zaidi katika hilo Baraza la amani zimetoka kwenye nchi zetu tumetoa mabillion ya dola, leo tuna haki ya kukuuliza pesa zetu zimeenda wapi? Au tulikuchangia pesa ili ukafadhili vita za kutuweka matatizoni? 5- Sio sisi tu umetupa hasara bali hata Wapiga Kura wako wa Marekani uliowaahidi maisha mazuri wanalia gharama zimepanda za maisha, pesa zao za kodi unatumia kwenye vita bila kusahau Wanajeshi umewadumbukiza shimoni kama Ngamia wanaangamia. 6- Kama unasema unafanya yote kwa ajili ya amani basi leo tuulizane kwa heshima na uwazi, amani ipi?

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

SONGA NAYO............... Mda ulienda jioni ilipofika akatoka kazin ,baada ya kufika nyumbani tu salamu ya kwanza aliingia chumbani na kufungua kioo na kutoka kwenye kibalaza kilicho pembezoni mwa chumba chake . Alifika na kusimama huku macho yote akielekeza kwenye chumba changu, alisimama karibu nusu saa bila kuniona akatoka na kurudi chumbani . Alibadilisha nguo na kutoka hadi nje akaangalia kama ataniona ila sikuwepo nje , akarudi tena ndani na kupanda ghorofa ya mwisho na kusimama juu kabisa akawa anaangalia pande zote ila bado hakuniona😥. Moyo wake uliingiwa na huzuni sana ,maana alitamani kuniona ila bahati haikuwa upande wake 😥 masikini kinyonge alishuka na kurudi chumbani kwake. Akaingia bafuni na kuoga ,baada ya kuoga akatoka na kurudi kukaa kibalazani , mda ulienda ikafika hadi saa tano usiku bado sijaonekana machoni pake. Ngoja kwanza kabla sijaendelea naomba niulize hivi vile visehemu vya wazi ambavyo viko kwenye nyumba za ghorofa ambavyo watu hutumia kupumzika . Au vingine ndo hivi vimekaa upande wa chumbani yaani unakuta chumba kina mlango wa kuingilia lakini bado kuna mlango wa kioo ambao unafunguliwa kwa kuslide si ndo vinaitwa kibalaza au? Nisije kuwa natamka tofauti nikafikili naeleweka kumbe nawalisha matango pori🥲, ila nahisi mnanielewa bhna . Basi bwana kijana wawatu baada ya kukaa kwa mda mrefu alichoka na kuamua kuingia chumbani na kulala, usiku ukapita kesho yake asubuhi na mapema aliamka na kujiandaa kwaajili ya kwenda kazn. Alivyo maliza alitoka akiwa na matumaini ya kuniona nje lakini alivyo pita hakuniona , akajiambia ataniona jioni , lakini hata jioni alivyo rudi pia hakuniona 😥. Bado akajipa tumaini ila siku iliisha nyingine ikaingia na kuisha akiwa bado hajaniona 😥, moyo wake ulikosa raha kabisa 😥 akabaki akiwaza nini afanye ili tu anitie machoni 😥. Baada ya kuwaza sana alipata jawabu, tabasamu lilopotea usoni likarejea 🥲 kwa kujiamini akainuka na kuingia jikoni akachukua mfuko na kuja hadi getini kwetu akagonga. Nikiwa nimekaa zangu ndani huku sina hili wala lile nilisikia geti likigongwa , haraka nikainuka na kwenda kufungua hapo akili mwangu najua ni kaka wa mifugo maana alikuwa katoka kidogo. Ajabu nilifika nafungua nashangaa ni Samuel, nilimuangalia kwa mshangao huku nikijiuliza amefuata nini 🤔 , Samuel kuona namuangalia bila kumkaribisha akasema. "Mambo" nilijishtukia na kusema. "Aaaam poa ,karibu " "Asante , nahitaji mayai sijui nitapata !?" "Ooh yeah yapo karibu " niliongea na kumpisha apite nae bila kuchelewa alipita nikafunga geti na kuongoza kuelekea ndani . Huku nyuma alikuwa akiangalia namna nyama zinavyocheza 🤭 moyoni anasema huyu ndo mwanamke sasa🤗mimi nae bila kujua naangaliwa mzigo 😃 nikaendelea kuchapa mguu. Basi alikaa kwenye sofa lilokuwa balazani me nikaingia ndani ,kufika yalipo mayai nikakumbuka sijauliza anataka mangap ikabidi nirudi na kumuuliza . "Samahani unahitaji kiasi gani?" "Trey moja au hayatoshi?" "Hapana yapo " nilijibu na kurudi ndani nikamfungia kisha nikatoka na kumpatia akapokea na kunipa hela yangu . Nilimshukuru tukaongozana hadi getini akatoka nikafunga na kurudi ndani , baada ya hapo ikawa kama utaratibu kila juma moss lazima aje kununua mayai . Sikuwaza wala kufikilia kwamba anakuja kununua kwaaliji yangu me nilihisi ilikuwa ni kawaida yao ,japo nilikuwa nawaza sana wanatumiaje mayai hadi kila wiki lazima wanunue trey. 🤔 Uliza upande wa pili mayai yaliyokuwa yananunulia kila wiki yalikuwa yanaenda wapi 😄, ila wanaume wakiwa na jambo lao wanapambana hadi wafanikiwe 😅. Yaani mtu anakuja kununua mayai unahisi anenda kula na familia yake kumbe anachukua hapa na kwenda kuuza mtaani kwa rafiki yake 😅. Kwa hiyo anachukua si kwasababu anayahitaji ila nikwasababu anataka kuniona ,wote tusema okay 😅 😅. Haya muuza mayai niliendelea kuuza mayai miezi ikakata , ikawa mara moja moja ananiona nje nikiwa bize na kazi zangu au usiku nikiwa kwenye kibalaza cha chumbani kwangu. Mdogo mdogo miezi ilikata , mtoto wawatu nikazidi kunawili 😊 mapenzi kwa boss wangu yakazidi siku hadi siku ,nikawa naishi si kama mfanyakazi bali ndugu yaani ni full maupendo 🥰. Sasa bwana baada ya kupita miezi kadhaa siku hiyo nikiwa nimetoka msikitini kuswali ,nilifika nyumbani nikaitwa na boss akidai anamaongezi na mimi. Kusikia hivyo nilishtuka nikihisi nimeyavurunda nini😥, eee Mungu saidia niwe sijakosea kitu maana kibarua kikiota nyasi itakuwa tatizo kubwa. Basi nilikaa huku mapigo ya moyo ya kienda mbio , boss baada ya kuona nimekaa na niko tayari kumsikiliza akanambia. "Wardah mwanangu , nimekuita hapa nikitaka kuongea na wewe vitu viwili tu. Kwanza naomba nikupongeze kwa ufanyaji kazi wako, kwakweli umeni surprise maana kwa jinsi nilivyo kuona kwa mara ya kwanza tu nilihisi hapa hamna mfanya kazi. Ila umethibitishia kuwa sitakiwi kumhukumu mtu kwakumuangalia usoni, kwa hiyo nakushukuru sana kwa hilo pamoja na kuwa rafiki bora kwa wanangu. Sasa ukiachana na hili kingine nilichotaka kuongea na wewe ni hiki , aaam ninataka nifungue duka hapo nje na kwakua hakuna mtu wa kusimamia nikaona ngoja niongee na wewe kwanza. Ili kama ukiwa tayari uwe wewe kwasababu humu ndani sioni kama kuna kazi nyiingi kiasi hicho na pia wewe tunakufahamu vyema so haitakuwa vizuri kumpa kazi hii mtu mwingine ile hali we upo. Kwa hiyo kama uko tayari unaweza kubeba majukumu yote ,me nitakuongezea pesa ila kama utaona huwezi kufanya yote basi nitafute mwingine. " Weeee🤩nilifurahi nikatamani kumrukia , jamani hii ni neema ya pekee, yaani nimepata kazi juu ya kazi mshahara juu ya mshahara 🥲aaa Mungu wewe nikupe nini mimi🥰😇. Bila kufikilia wala kunjing'ata nilijibu ndio niko tayari 😊 boss akasema poa na kunitajia kiasi cha pesa atakacho kuwa akinipa kwa mwezi . Kwa moyo mmoja nikasema asante mama 🥲😇 na kukaa tayari kwaajili ya kuanza kazi mpya , aka dada mshika mawili 😇 sasa sijui wahenga watapita na mimi au ndo nitawashangaza 😊 Embu tukutane kesho jamani.......😇 ITAENDELEA

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

Tunaanza... Asubuhi na mapema, Sheikh Abdullah alimuita binti yake, Amirah, ambaye alikuwa na umri wa miaka ishirini na tatu. Amirah alitoka chumbani kwake na kumfuata baba yake ili kumsikiliza. "Baba, mimi huyu hapa," alisema Amirah, binti mwenye heshima. Alikuwa amevaa vizuri, kama binti wa Kiislamu. "Kaa hapa binti yangu," alisema Sheikh Abdullah huku akimwonyesha mahali pa kukaa kwenye sofa. Amirah alikaa na kumtazama baba yake. Muda mfupi baadaye, Bi. Sauda, mke wa Sheikh Abdullah na mama mzazi wa Amirah, aliingia ndani. Alikuwa akitoka kufanya usafi uani. "Mke wangu, bora umefika, nilikuwa nataka kuongea na binti yako kuhusu lile jambo," alisema Sheikh Abdullah. "Ongea naye, mimi bado nina kazi," alisema Bi. Sauda. Bila shaka alijua jambo ambalo mumewe alitaka kumuambia binti yake. "Sawa." Sheikh Abdullah alimwangalia binti yake kwa tabasamu. "Hakuna kitu nachokifurahia kwa sasa kama kuona bado unaendelea na maadili binti yangu. Mwenyezi Mungu amefurahishwa sana na kitendo chako cha kuwa karibu naye. Ukiendelea hivi, Allah hatakuacha binti yangu." "Amina, baba," alijibu Amirah kwa upole huku akiwa amejisitiri. "Nilikuwa napenda kukuambia kuhusu chuo. Huendi tena Dodoma. Tumeona usomee tu hapa Dar es Salaam binti yangu, lakini utakuwa unaishi huko chuoni, ili uendelee kufanya vizuri zaidi. Hiyo kozi yako ya uuguzi inahitaji umakini mkubwa. Ujikite kwenye masomo vizuri. Ukiwa hapa nyumbani, aaaaah, utakuwa unajichanganya. Mara sijui upike, mara vile, mimi sipendi kabisa. Kuna chuo kipo hapa Dar tu, ni kizuri sana na kinakufaa," alisema Sheikh Abdullah. Amirah alifurahi sana. Alipenda sana kuwa karibu na familia yake. Dodoma ilikuwa mbali sana. Alisomea huko kwa miaka miwili, na sasa alikuwa anaenda kumaliza miaka miwili mingine hapa Dar. Kwake, hii ilikuwa furaha maana hata akipatwa na shida yoyote, itakuwa rahisi kupata msaada wa familia. "Baba, asante sana, ninafurahi kusikia hivyo. Kaka Muhammad amekubaliana na hili?" alihoji Amirah kwa furaha. "Ndio, amekubali bila shida. Na mdogo wako Fatma wa darasa la saba anaenda shule ya bweni." "Kwanini baba? Mimi naona si sahihi kabisa. Shule ya bweni kuna mambo mengi sana, halafu Fatma bado mdogo. Akae kwanza hapa, aanze bweni akiwa kidato cha kwanza," alishauri Amirah. Sheikh Abdullah alikaa kimya kwa muda kisha akajibu, "Lakini ni kweli. Subiri niongee na mama yako kwanza." Maisha ya familia hiyo yalikuwa ya kawaida kabisa. Sheikh Abdullah alikuwa baba wa watoto watatu: wa kwanza Muhammad, wa pili Amirah na wa tatu Fatma. Alikuwa na mke mmoja tu. Muhammad, ambaye ndiye mtoto wa kwanza, alikuwa ameajiriwa serikalini na alikuwa na kazi nzuri tu. Amirah ndio hivyo, alikuwa amebakiza miaka miwili amalize chuo. Ilikuwa ni familia iliyoshika dini sana. Majira ya mchana, familia ya Mzee Stephen pamoja na Bi. Anna walikuwa wakipata chakula pamoja na vijana wao wawili, Treson na Joshua. Familia hii ilishika dini sana. Stephen alikuwa mchungaji wa kanisa la Methodist, kanisa maarufu sana nchini Tanzania. Alijulikana kama Mchungaji Stephen. "Nimesema kesho, kuna mfungo. Hivyo kila mtu ajiandae kufunga kabisa. Ni familia nzima, wala sitaki kuletewa visingizio hapa, mpaka huyo Fadhila atafunga," alisema Mchungaji Stephen. Fadhila alikuwa mfanyakazi wa ndani. "Baba, mimi nitakuwa na zamu ya usiku kesho, nipo tayari kabisa kufunga, wala sina kizuizi," alisema Joshua kisha akamtazama mdogo wake Treson, ambaye alikaa kimya bila kuongea chochote. Ukimya wake uliwafanya kila mmoja amtazame. Baada ya muda, Mchungaji Stephen aliongea tena. "Treson, wiki ijayo unarudi chuoni, huu ni mwaka wako wa mwisho kabisa. Pambana kijana wangu ili ulete matokeo mazuri. Kaka yako alikataa kufanya mambo ya biashara, alisema kuwa si mambo yake, hivyo nakutegemea sana wewe. Wewe una upevu kabisa na haya mambo. Mimi natakiwa kukaa chini kufanya kazi ya Mungu, na si kuendelea na mambo haya tena." "Usijali baba, nimeenda kupigania kampuni yetu. Nategemea mambo yataenda sawa bila shida." "Asante kijana wangu, ni kukutakia tu masomo mema. Kumbuka mwaka huu ndio wa mwisho. Pambana sana," alisema Mchungaji Stephen, na Bi. Anna akaingilia kati kwa pupa. "Mambo ya wanawake achana nayo. Kumbuka kanisani kwetu kuna mabinti wengi wazuri wanamuamini Yesu kuwa Bwana na Mwokozi wa maisha yao. Ukimaliza tu chuo, utakuja kuoa. Achana na hao wa huko chuoni wanapenda tu kuchuna hela. Halafu wewe ni mtoto wa mchungaji, inatakiwa uoe vizuri, siyo kwa njia za panya." "Nimekuelewa mama." "Mama bwana! Unadhani Treson ni mdogo? Anaelewa kila kitu, ni mtu mzima huyo. Miaka ishirini na saba bado mdogo? Hayo maneno si ya kumuambia," alisema Mchungaji Stephen. "Mtoto ni mtoto tu, lazima aambiwe." Majira ya usiku, familia nzima ya Mchungaji Stephen walikusanyika kufanya ibada ya usiku. Aliyekuwa mhubiri alikuwa Joshua. Ibada ilienda sawa kabisa, walimaliza na kila mmoja alienda chumbani kwake kulala. Treson alikuwa bize na kompyuta yake akisoma mtandaoni. Licha ya kusoma chuo kikuu, bado aliona ni vyema kuelimika zaidi mtandaoni pia. Upande mwingine, Amirah alimpigia simu rafiki yake kipenzi sana, Charline, na kumuambia kuhusu ratiba yake kubadilishwa chuo. Charline alifurahi sana. Wote walichukua kozi moja lakini walitengana baada ya Amirah kwenda kusomea Dodoma. Basi Amirah alichukua fomu mtandaoni ya chuo alichoambiwa na baba yake, na akatuma maombi yake. Asubuhi na mapema, aliamka na kuangalia kama amejibiwa. Alikuta amejibiwa na amepewa maelezo yote. Aliambiwa anatakiwa kuripoti chuoni mapema ili kuweka mambo mengine sawa. Alimuambia kaka yake Muhammad kila kitu na alimuomba pesa ya kununua baadhi ya vitu, kama viatu na mahitaji mengine ya msingi. Jioni alitumiwa pesa na kaka yake. Kesho kutwa alienda kununua vitu vyake. Ilikuwa imebaki siku mbili tu aende chuoni. Ilikuwa kama bahati kwake kupata nafasi kwenye chuo hicho cha CCAP UNIVERSITY. Baada ya siku hizo mbili, Amirah alijiweka sawa. Aliagana na familia yake. Kaka yake alikuwa bize sana siku hiyo hivyo hakuweza kwenda kumsindikiza mdogo wake. Alimpa tu pesa ya nauli na matumizi. Muhammad ndiye aliyekuwa kila kitu kwa mdogo wake Amirah. Chuo kilikuwa mbali kidogo na nyumbani kwao, kama masaa matatu hivi kwa gari, lakini ilikuwa ndani ya Dar es Salaam. Majira ya saa tisa, alipanda bajaji mpaka stendi na kupanda basi kuelekea chuoni. Aliwasiliana na rafiki yake na kumuambia kuwa anaelekea chuoni. Charline alimwambia kuwa yeye tayari alikuwa chuoni, alifika asubuhi. "Natamani kukutana na wewe tena Charline, baada ya siku nyingi hivi, si mwaka?" alihoji Amirah. "Mwaka tayari, tunaelekea miaka miwili sasa." "Mmmh! Nimekukumbuka sana." "Usijali, kwa sasa utakuwa unalala na mimi. Nimeletewa jina lako hapa kama mwandani wangu wa chumba, yaani ninafurahi sana," alisema Charline. Amirah alifurahi mno na hakutaka kuamini. Alimuambia ataamini mpaka pale atakapojiridhisha mwenyewe. Baada ya masaa matatu, Amirah alifika eneo karibu na chuo. Sio chuoni penyewe, ila chuo kilikuwa kinaonekana kwa mbali. Gari lilifikiri alikuwa anaelekea chuoni kabisa, hivyo alitakiwa kushuka ili achukue bajaji au bodaboda. Alishusha begi moja kubwa na lingine la mgongoni. Aliposhuka, kulikuwa ni sehemu ya upweke sana, haikuwa na mwendo wowote. Hivyo kila bajaji iliyopita ilikuwa na abiria. Alikaa takriban nusu saa akisubiri bodaboda au bajaji. Amirah alichoka baada ya kukaa kwa muda mrefu. Aliamua kukalia begi lake kubwa. Muda mfupi baadaye, kuna gari nzuri tu ilipita na kusimama mbele kidogo. Mtu alishuka kwenye gari, hakuwa mwingine bali alikuwa Treson. Alimfuata Amirah kwa upole, na kumuuliza swali. "Unahitaji msaada?" Sauti ya Treson ilimshutua sana Amirah na kumtoa kwenye dimbwi la mawazo. Aliushika moyo wake baada ya kumtazama Treson, ambaye alitamani kuendelea kuongea lakini aliganda kwa muda. Hakutarajia kabisa kukutana na mwanamke mzuri na mrembo kama Amirah. Treson alijikuta amevutiwa sana na Amirah, alishindwa kuelewa. Itaendeleya......

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

SONGA NAYO...... Madam hakuwa na maneno mengine ya kuongea zaidi alijiinamia kama mtu anaefikiri kitu, ili kuepuka kesi mtoto wa mama Mira mie nikaamka na mwanangu haoo mpaka chumbani kwetu na kumuacha madam akiwa amekaa pale. Muda wa party ulifika naweza kusema bwana party ilifaa na kufaaana yani ilikuwa kama sherehe maana watu walijaa karibia ukumbi mzima, na wageni waalikwa wengi walikuwa wadada 😂😂 Yani wadada walikuwa wengi na mishangazi nayo haikukosekana kabisa 😂😂 mimi nilikuwa nacheka bwana kila nikitazama namna mabinti walivyokuwa wakijipendekeza kwa Anfrey ndio kabisa nilihisi kuchoka Unakuta kidada kimevaa kinguo kifupi yani imebakia kidogo tu kalio lionekane hapo ikitokea ameinama awee nyeti zote zinabaki hazarani 🤣🤣 Yani ilikuwa tafran tupu maana wadada kila muda walikuwa wanaenda kule mbele ambako alikaa Anfrey na sababu yenyewe haina maana eti tuchukue photo 😆😆 Kila muda ilkuwa photo mpaka nilichoka kutazama upuuzi, nikiwa na mtoto wangu nilinyanyuka pale nilipokaa ili nielekee chumbani nikapumzike maana muda ulikuwa umeenda sana.. "Mira.." Nilisikia kuitwa, ikabidi nigeuke nione nani alieniita, bwana si nikakuta ni madam yani huyu mwanamke sijui ananitafuta nini mimi "Naenda kupumzika mara moja nitarudi.." Niliongea na sikusubiri hata aongee chochote nikasepa zangu, nimefika chumbani kwangu juu ya kitanda nilikuta boksi yani lilionekana kama kuna zawadi ndani yake namna lilivyokuwa limefungwa Kwanza nilimshusha mtoto nikamlaza, nilipomaliza nikalichukua lile boksi na kwenda nalo mpaka chooni ili kama kuna kitu kibaya kinitokee mimi na sio mtoto wangu Basi kufika chooni ndio nilianza kufungua kwa tahadhari kubwa, macho yalinitoka baada ya kukutana na boks la simu, kwanza nilitoka chooni ili nikaangalie vizuri Kufika chumbani niliwasha taa hata zile ambazo nilikuwa situmii nazo niliwasha 😅, basi nikiwa na furaha kweli lilikuwa boksi la simu na simu yenyewe ilikuwa simu janja Aweee kuna furaha niliipata aiseee maana toka nizaliwe sijawahi tumia simu kubwa na nilitamani siku moja nije nitumie smartphone. Na leo ni kama bahati imejileta mwenyewe , sijui ni nani kanipa hii zawadi basi bwana sikupoteza muda niliweka sim yangu charge kisha nikatoka nje, kwenda kuangalia party namna inavyoendelea. "Mbona unaonekana una furaha sana..??" Swatii aliniuliza, kweli nilikuwa na furaha tena kubwa maana kumiliki simu sio mchezo tena hujanunua kwa pesa yako bali umepewa kama zawadi awee furaha zilikuwa zimezidi kiasi kwamba zikaanza kutokea kwenye masikio sasa 😆😆 "Dah sijui hata niseme nini ili unielewe.." "Mh nambie kwani kuna nini...??" "Nimekuta kuna zawadi nimewekewa chumbani na sifahamu nani ameniwekea nilipofungua nikaku..." Sikuweza kumaliza kuongea hii ni baada ya Naina kufika pale tulipokuwa tumekaaa. "Mira mama anahitaji kuongea na wewe.." Baada ya Naina kufika hapo tulipo aliniambia naitwa "Kuna nini kwani..??" "Wewe nenda utajua mbele kwa mbele.." Nikaona isiwe kesi nikashika njia mpaka alipokuwa amekaa madam, alikuwa amekaa na wamama watu wazima na pia hata Anfrey alikuwepo, basi baada ya kufika pale nilipewa kiti nami bila ubishi nikakaa "Mira kwanza samahani kwa kukuita hapa.." Alizungumza mwanamke mmoja wa makamo akiwa ananitazama sana, basi mimi sikujua nini wameniitia hapo zaidi nilibaki naitikia tu "Mira tumependezwa na ufanyaji wako wa kazi, lakini pia tunapenda kukuomba ukubali ombi letu.." "Ombi gani...??" "Samahani tupo hapa kuwakutanisha wewe na Anfrey..." Nikanyanyuka kwa jazba nyie, hawa watu wananiona mie matako yao sasa maana kama mtoto nimekubali kumlea lakini kwa hili siwezi kuwakubalia aisee. "Mira hebu kaa kwanza.." Madam aliniambia, nikakaa huku nikiwa nimenuna wakati yote hayo yanaendelea Anfrey alikuwa kimya kabisa akitazama tu namna wazazi walivyokuwa wananiforce. "Mira sio kwa ubaya lakini.." Madam alizungumza kisha akaweka kituo me nilikuwa namchora tuu huyu mama. "Naweza kusema kwamba wewe ndie mwanamke ambaye nimekuona unafaa kuwa mke wa kijana wangu, lakini sikuforce ni maamuzi yako binafsi." Hapo nikapumua kwanza kisha nikachukua moja ya Glas ya wine iliyokuwa hapo juu ya meza nikanywa kisha nikasimama huku nikiwa nimechachuka balaa....... ITAENDELEA......

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

Nikafunga gari ,kisha nikashika mkono akawa bado hayupo sawa kakasilika sana, ila niliona kidogo hasira yake imepungua pale ambapo ibra alipiga simu na kusikia maongezi ya ibraa, basi bwana ,nikaenda nae mpaka ndani kwake tumefikaaa , akatoa funguo kwenye pochi akafungu mlango tukaingia ndani sasa, dooh tumefika ndani sasa, ikabidi nimtulize kwanza zena ,nianze kumuongopea sasa, nikampanga kiswalihi kweli kweli, nikamwambia nimini zena yule sio mwanamke wangu, zena akanmbia mbona mlikuwa kama mpo deep kabisa katika mazungumzo ya mapenzi unanidanganya wewe, daaah nikaona apa nna shughuri leo, nikamuuliza ummy yuko wapi, akanmbia yup chumba cah pili nilimuacha na jirani natka nikamchukue, nikamwambia usimchukue mpaka tuwekan sawa kwanza , kisha nikamwambia sikia mke wangu, kama hauniamini mm sijaludi leo ,naweza kumpigia mtu mwengine pia, mfanyakazi mwenzangu akhibitidha Basi akanmbia sawa naweza kuamini kuwa yule sio mwanamke wako, ni mwanamke wa ibra sawa, ila mbona mpaka unaludi dar hujanambia ,eeeh na mimi nikamgeuzia kibao si unajua zetu wanaume ukikamatwa na kosa, nikasema lakini ata wewe una shida kwanini umeenda kufanya kazi bar na hujanambia , au piah ulikuwa unafaka kupata wanaume kule, kheee nikajifanya na mie wivu umenijaa sasa, akasema nimepata kazi nna siku 2 ndo kwanza nimeanza jana na leo, mana uku kwenye mgahawa yule mama kasafiri asa unazani ntafanyaje, na kweli uyu mm simpagi pesa ya mana ambayo atasema anaweza kuendesha maisha yake noo wala sio kweli, so nilielewa na chapu tu nilimsoma kuwa zena ni mwanamke mpambanaji sana nalielewa hilo na ata hizi kazi za baamedi hizi ni shey ndo anamuunganishiaga Basi nikamwambia kuanzia leo, sitaki kabisaa ufanye hizo kazi sawa, yani sitaki uende kule tena kuwa baamedi, mi ntajua na kussupirt vp, zena akanmbia sawa, apo bado vichozi vyake vinatoka, basi mie nikamsogelea vizuri nikamshika, vizuri uso wake ,nikaanza kumfuta machozi na mkono wangu uku namwambia usilie bwana ,acha mpenzi tusamehaeni ,hayatajitokeza tenaa, aseee ile namfuta machozi na vile namshika uku namfuta sura yake, ahaaaa. Mwanaume nikajitukta natamani sana kumkiss, na namjua huwa hatakagi kabisaa, nikijalibugi tu kufanya hivyo huwa ananitoa mdomo wangu kabisaa, ila nikaona ngoja na leo nijalibu bahati yangu, basi taratibu nikapeleka midomo yangu kwenye midomo yake, ila hiii siku niliishangaa mwanamke hakunisukuma wala hakukwepesha mdomo wake usigusane na wangu, basli akatulia tuli, ahaaa taratibu mwanaume nikaanza kumkissss, nyie akalitulia tuli, nikaona leo ndo ile siku niliyokuwa naiongojea nn, mbona leo ndo nilizani nimezingua sana kumbe leo. Ndo mtoto kaamua kunitunuku hivi daaaah , basi tukiwa tunakisss vile,mi taraibu nikapitisha mkono wangu kwenye brauzi yake, nikaanza kushika viziwa vyake vidogo vidogo, nikaoana napo hajanikataza kabisaaaaaa, nikaona yes leo nakula mzigo bila shida Basi nikaanza kumvua nguo yake ya juu wala hakunisumbua na kweli nikaitoa nikakuta mtoto kavaaa sidiria yake kwa juuu, apo uku tunakisiana ni midomo tu ndo inazungumza na mda uo kila mtu naona alishakuwa na hisia na mwenzie kati yetu sio mm wala sio yeye, basi nikamtoa na ile sidiria ,nikaaanza kumnyonya maziwa, apo nado nikawa namuona anajinyonga nyonga sana, yani kapagawa nikajua uyu itakuwa hisia zake zimejaa apa kwenye maziwa , basi nikazichezea vizuei nido zake kumfanya achanganikiwe na azidi kupata nyege asije akaghairi, ila naona mchumba leo aliamua kunipa wala hakukuwa na complain yoyote na kila nilipopashika aliniacha tu, apo nimesota mwaka kasoro ndo utamu napewa leo mamae, nikaoan leo ntamgonga uyu demu mpaka apige kelele, yani ntalipia mda wangu wote alokuwa ananilingia, Basi nikamtoa jeans yake, waaao akabaki na taiti , apo shepu yake naiona imechora vizuri, nikamtoa na taiti, kisha sasa apo na mimi, nikavua nguo zangu, kiukweli nilichonotice demu mambo hayajui kabisaa, yani ata kunishika kusema.ananivua nguo hana, nikimuacha nikamuangalai sura anaona aibu kibao, nikaoana kazi ipo leo, basi bwana nikaanza kumuandaaaa, mana kwa yeye hakuwa na maandalizi na mm ata kidogo, yani hii siku niliseena zena mapenzi hajui ,gogo uyu, yani ata ile kuleta mkono wake aishike mashine aipime kwanza, hana , yeye ni katulia tu mi ndo namshika na kumcheza ana guna guna, nikaona uyu ndo mana kaachwa na baba ummy, mi mwenyewe mwanamke wa kutulia kwemye kutombana simuwezi, mwanamke lazima uwe na pilika pilika bwana , ila kwa uyu sikuziona wala.nn, nikaona nile mzigo nisepe zangu bwan, nishavumiulia mda sanaaa Basi bwana, mie nikambeba mchumba mpaka kitandani, nikamwaga pale, apo yupo kama.alivyozaliwa ni anaziba sula, mi mpaka nikawa namshangaa uyu mwanamke nikaona labda kwa kuwa ndo tunakutana kwa mala ya kwanza, sikujali, apo nishadindaaa, ahaaaaa nikampanua sasa nianze kazi, aseeee naona mtoto anabana bana miguu yani msumbufu mpaka akawa inanikata sasa, nikamwambia zena shida nini we relax ,kuwa na amani ,usinibane naichie nikupe rahaa sawa, akanmbia sawa ,ila namuona anaogopa.,unajua alikuwa ananikata kinoma ila kwakua nilishakuwa na tamaaa nae ,nikaona hakuna noma, nikamuweka tena vizur kisha sasa nikaanza kumuingiza ,mh nashangaaa naingiza mzigo haungiii, demu kaloa fresh ila kila nikitaka kumuingiza haingiiii, mh mbona nikawa sielewi nikahisi uyu ananifanyia makusudi ama vp mbona haiingiia,nikamuuliza oyaaa mboana siingiii inakuwaje, mh nikaoana zena kainuka uku kashika maziwa yake, yani ile kayafucha ,akanmbia mi sijawahi, mh nikamuuliza we ni bikraa? Akanmbia ndio ni bikra ,sijawahi kufanya bado, doooh mi na umaraya wangu wote sijawahi kumtoa mwanamke bikra mpaka nafika umri wangu huu, yani ata mwanamke wangu wa kwanza nilikuta wahuni washamuwahi, ila uyu ni limshangaa snaa, nikamuuliza una miaka mingapi, akanmbia 29, wala hakuwa mdogo zena kabisaa, niliona uyu demu kweli ana msimamo miaka 29 ana bikra kwa maisha aya, nikamuuliza vp kuhusu uummy mbona sielewi akanambia ni mtoto wa marehemu dada, aliniachia akiwa mdogo sana ,mi ndo nimemlea na anajua mm ndo mama yake, nilishangaaaa na ni msiri uyu demu, hakuwahi kunidokezea ata mala moja,kuwa ummy si mwanae wa kumzaa, mi mda wote nahisi ummy ni mwanae wa kumzaaa kumbe wala , nilivyokuw anamkanyiaga uyo baba ummy sasa,🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌🙌🙌, kumbe daah wala hamuhusu, mi nikamsogelea nikamwambia sikia zena ,haiumi tunafanya taratibu hautaumia kabisaaa, njooo mama ,mh nikamvuta tenaa kati kati ya kitanda mana sasa dereva nilishaelewa balabala ya kupita ikojee nikajua kumbe mtoto bikraa, ndo mana haelewi chochote kwemye sex Basi hwanaa, nikaanza kumuandaa tena, apo sasa ukua namuelekeza japo kaogaa, namwambia nifanyie ikii, basi kweli anafanya, namwambia nishike babu, anaogopa kweli ila akanishikaaa, nikaanza kumchezea kwa bibi wake,, ahaaa akajiachia miguuu kweli kweli kwa kusikilizia utamuu, basi baada ya kuona nishamuandaa vya kutosha nikamwambia zena naingiza sasa tulia sawa, akanmbia sawa basi mwanaume nikaanza ile kumchezea tu na mboo yangu namuona anaangaika kwa rahaaa, basi nikaanza kumtia taratibu, sikutaka kumpa maumivu sana, nilitamani afurahieee kwa siku yake ya kwanza. Basi nikawa nafanya hivyo, uku namuongezea size ya kuzama, yani sikuwa na harka nae ni taratibu, taratibu yani, japo kuna mda niliona anaumia basi apo namnyonya maziwa, mpaka mzigo ukaingia wote, wala sikumfanyia roho mbaya, apo sasa nikaanza kufanya taratibu, ila bado nilikuwa napata shida kuingia na kutoka ,si unajua demu akiwa sild, si ikawa inanibidi kuna mda nitumie nguvu ana lalamika anaumia, hivyo hivyo, nikawa naenda nae mpaka mie wazungu hao, nikamuunganishia mchumba, nikawa namtia uku namchezea kwa bibi ,ahaaa nikawa naona na yeye anasikia rahaaaa Nikamfanyia hivyooo na baada ya mda akanmbia najisikia kuna viti vinakuja, nikamwmabia viache vijeeee, na kweli nikaona ananikumbatia kwa nguvu nikajua kafika uyu, nyieeee ndo ilikuwa hivyo, ni nilimkula mtoto kisenge, oyaaa demu mtamu kinoma , ana bana mnoo ana joto kweli kweli, yani mimi ndo nilikuwa wa kwanza kwake unaweza ukaona rahaa yake inakuwajee, basi nilitomba mwanaume ,mpaka uku mwisho akawa analia sasa anaumia , nikajua yaaa namtonesha ,nikatoa sasa, apo shuka ata halitamaniki, kuna damu ,japo hazikuwa nyingi, mchumba nimemuacha saa 8 yupo hoii, ameshalia kweli.kweli, mpka macho yamevimba, basi nilivuomaliza nimamkumbtia kwa nguvu nikamwmabia zena nisamehe mama hautaumia tena tukifanya tena, utazoea tu, zena akawa analia kanambia sina uwakika kama.nipo sahihi kwa iki nilichokifanya, nakupenda sana millan ndo mana nimeamua kuwahi kufanya hivi, japo nilipanga nikafanye hivi ndani ya ndoa yangu, ila.nimeshindwa nimehisi labda unaweza ukawa na wadada wengine sababu sikupi na nakupenda sana, nikaona aeeeh mtoto kumbe kakolea kweli kweli, basi ngoja akalibie kwenye kundi la kulia kaama wenzake, ni kweli nilimtoa bikra uyu mwaanmke.kuna jinsi nilijisikia rahaa na nilisema ata kama ntakuwa namcheat basi nisimuoneshe, sababu kanipa heshima ambayo uko nyuma sikuwahi kuipata kabisaaaa, nikamwambia mpenzi kuwa na amani kabisaaaaaaaaa, mi siwezi kukuzingua wew, na mimi kwako ni mtu sahihi na soon nakuoa zenaaa, apo kwenye kuoa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌🙌🙌 Dooooh eh bwana zena ndo kashampa jamaa bikra , na jamaaaa mnamjua tabia.... *Na huu ndio mwisho wa season yetu ya kwanza (1) usipange kukosa season 2 hivii karibuni itakuwa tayarii*

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema Said
 

daha mashemeji kingine

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

Nikasema mama.nisikilize, unasikia mke wangu, haipo kama unavyowaza wewe. ,mi yule.sio mwanamke wangu, yule.ni shemeji yangu, ni mwanamke wa ibraa, na tulikuwa tunakutana wote jioni hiiii, mi uyu demu nimekutana nae jioni hiii apo njeee, na ibraa anakuja yupo njiani kwa ajili ya demu wake, niamini plssss, zena akanmbia sawa hakuna shidaa, nenda kaendelee tu na rafiki zako mufurahi, mi nishakuelewa millan, ahaaaaa naanzaje sasa tena kurudi kwa yule mwanamke, nikamwmabia mbona unafanya kazi apa na hujashilikisha, na usikuu huu upo apa ummy anabaki na nani, zena hakunijibu akawa anondoka, daah nikajua kamaind nikawa namfata nyuma mpaka tumetoka njeee, et hataki kuongea na mm ,nikamshika mkono kwa nguvu, nikamwmabia tunaondoka nyumbani wote nakupeleka mm , akanambia nooi, we si umeludi hko tanga hukuona umuhimu wa kunueleza mm mwanamke wako, aaa apa unakuja kujielezea nn ,au unataka kunipeleka wapi, ebu niache bwana mimi naenda mwenyewe Daah mi nikamshika mkono kwa nguvu, nikamwambia twende kwenye gari mi nakuludisha nyumbani, akanmbia sitaki, naona ana hasira alafu kashanza na kulia, nikamvuta kwa nguvu mpaka nikipark gari nikafungua mlango nikamuingiza kilazima, akawa amekaa mbele ila ana hasira na machozi yanamtoka, na mm nikaanzaa kudrive gari sasa , kuelekea banana kumludihe na tukaongeee. Vizuri, bado sikuwa tayari kuachika na utamu sijapewaa weeee,kuwa wewe kuweza,🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌🙌🙌 nikiwa njiani sasa yule demu nilomuacha pale bar akawa ananipigia kisengeeee, na simu nimeweka sauti ila nikawa supokei, zen akanambia kwa nn hipokei ihii simu ndo yule mwanamke anakupigia si ndio, nikasema.nisikilize zena ni shemu wangu na si lingine, zena akanmbia we ni muongo na haujabadilika lolote ukute ata tanga hukuwepo, mi najuta kabisa kuwa na wewe, shey alinieleza kila kitu kuhusu tabia zako nikajua umebadilika kumbe hakuna kitu, apo anaonge na analia sana Mi nikanyamaza kimya asa naongea nini, na ndo nishaalibu, alafu nimajua kumbe mi mchawi wangu yule shey, anamjaz maneno shoga yake mjinga yuleee, apo mi kweli ila bar ya zamani alipokuwa nafanya kazi shey, niligonga mabaamedi wote, nilimuacha uyo shey tu ,na kwa sababu mbovu kweli kweli ,yani hakunivutia. Basi tukiwa njiani sass, ibrraaa akanipigia, kwakuwa nilikuwa na drive nikaweka loud mi najua mwanangu anajua kucheza na mazingira vizuri, ibraa akanmbi we fala mbona shemeji yako ananipigia simu anambia umesepa umemuacha na anakupigia hupokei, si nilikwambia kaa nae apo mi nakuja, demu mwenyewe mgeni dar masela wakimsumbua jeee, nikamwambia mwanangu mi nna majanga, nimefika pale kumbe zena alikuwa pale, kaniona kanifikilia vibaya mnoo, amejua mi yule demu wangu,umenitengenezea kesi mzee, mwanamke wangu hataki at kunisikiliza kaka, Ibraaa akasema daaah, mbona anakosea sasa, basi fresh mi nipo kimara apa namuwahi demu wangu, ebu malizana na zena kwanza na umuelezeee vizuri asikuwazie vibaya na unavyompemda uyo demu akikuach utakufa mwananangu, nikasema ndo ipo hivyo kaka mi bila ya zena siwez kabisaaa, ahaaaaaa nikaona ibraa msenge ana akiri uyuu, ibra akanmbia we muelezee shemeji, akizingua utanipigia niongee nae nikasema sawa, apo sasa nikaona zena kama kapoa hivi, nikamwmabia zena si umesikia maongezi ya ibraaa kuwa na amani zena, mi yule dada sio mwanamke wangu, na tanga nimeludi leo, niliplani kuja kwako kesho kukuona, niamini, nikaona zena kanyamaza kimya, nikahua kwisha aaa uyuuu , kishanasa, apo sasa nikaweka na air plane mode yule demu asinipate ,akinipigia tena mimi, kisha nikaendelea kudrive mpka banana kwa zena, kisha sasa nikashuka ,na yeye nikaenda kumshushaa , akanipa mkono kisha nikasmshusha 🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

SONGA NAYO..... Hatimae ule mda wa kuwasili huyo mkaka wa kuitwa Anfrey ulifika walimpokea kwa furaha sana wazazi kama wazazi walimzawadia kijana wao gari ya milioni 80 Mimi nilikuwa kwa mbali natazama tu namna walivyokuwa wanampenda huyu kijana, kuna muda nilikuwa nawaza hivi vitu wangekuwa wanamfanyia na rast born wao pia Lakini kwenye akili zao wamemfanya Swatii kuwa rast born, eeh mungu nifundishe kunyamaza. "Hatimae umepakumbuka nyumbani maana ulikuwa umetukimbia..." Madam aliongea. "Hahaha hata amna mama, ni vile tuu nilipenda kuwa mbali ili mnimiss sana..." "Na kweli umetuweza maana tulikumiss sio poa, eeh karibu tena nyumbani kaka.." Naina alizungumza, basi walisogea mpaka nilipokuwa nimekaa maana wakati wao wanajishughulisha na kumpokea mimi nilikuwa nimewaachia wana familia wampokee kipenzi chao. "Mira.." Madam aliniita, sikuitika zaidi nikanyanyua uso na kumtazama. "She is my son, it's everything in my life.." Madam aliongea aisee huyu mama sijui amepanga kumuumiza nani maana kama anafanya vyote hivi kwa Nasra hawezi kumuelewa kama anafanya kwa ajiri ya mimi kuumia basi nampa pole Maana mimi nina moyo wa jiwe 😂 kuumia nitaumia kidogo kisha nasahau na maisha yanaendelea ndivyo nilivyo mimi sasa kama ananifanyia hivi mimi ni sawa na kuumiza figo zake. "Saw.." Nilijibu kwa kifupi, sikutaka mambo yawe mengi, akamgeukia tena kijana wake.. "Anfrey huyu ni mtoto wangu yani namaanisha Mira nimemfanya kama binti yangu nampenda kama ninavyowapenda nyie.." Alizungumza madam lile likaka likanitazama sasa, niwaambie tuu hili likaka lizuri yani limekuwa lizuri kuliko hata nilivyoliona jana kwenye laptop. "Hi Mira...." Alinisalimia. "Hi too.." Nilijibu kwa haiba ya kike si mnajua tena mtu ambaye hujamzoea lazima umuonee viaibu aibu lakini pia lazima umuogope 😂😂🙌 "Wooow nakuona upo na Queen hapo, ila mtoto wako mzuri mashallah..." Alisema Anfrey na kunifanya kwanza nitabasamu, kama mlezi hili la kusifiwa kuwa mtoto wangu mzuri na huku sijamzaa mimi lilinifurahisaha sana basi nikacheka pale muda wote madam alikuwa kanuna kama amekula hamira 😂😂 "Hakika ni mzuri sana, naweza kusema pia amefanana sana na mama..." Swatii aliongea, mama yake aalimkata jicho binti akabaki anacheka cheka tuu bila mpangilio mimi nilikuwa nawachora tuu "Really, hebu naomba nikusaidie kidogo maana toka nafika hapa nakuona hujapumzika..." Alisema Anfrey huku akisogea nilipo ili kumchukua mtoto, Nilimuangalia madam nilimuona kabisa akiwa hajapendezwa na tukio lile basi ikabidi nikatae kwa kusema. "Kaka unajua ndio umefika hivi, so ni bora upumzike kwanza mtoto utambeba tuu mbona bado yupo sana hapa.." "Ni kweli.." Madam akadakia, kweli bwana Anfrey hakuwa mbishi alielekea chumbani kwake chumba ambacho kiliandaliwa kwa ajiri yake, huku sebleni tulibaki mimi na madam maana hawa wengine walitoka wakisema wanaenda salon "Sitaki Anfrey ajue kuwa nina mtoto mwingine, naomba hii ibaki kuwa siri yako hata hawa vijakazi wapya sitaki wajue hii siri ni ya watu watatu tuu ambao ni mimi na baba yako lakini pia na Naina.." "Nafikiri ungeenda kuendelea na kazi zako maana hakuna chochote cha maana unachoongea.." Nilimwambia. "Sawa, lakini nimefikiria nikaona itapendeza zaidi kama utakubali kuwa mchumba wa Anfrey.." "Leo naona umekunywa pombe sio bure.." Nilimjibu, kimya kilipita kwa muda akamuua kuvunja ukimya "Hii issue iko serious sana, napenda wewe uwe mkwe wangu kwa kijana wangu, nitaongea nae nazani atakubali.." "Huo mda ulitakiwa kuwa na binti yako, na sio kuongea vitu vya kipuuzi ambavyo havina kichwa wala miguu.." Ila mimi yani boss wangu namjibu hivi, ngoja nitimuliwe kazi ndio nitakoma, hata kama nimejua napendwa bwana lakini sio hivyo......... ITAENDELEA........

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

Huo Ndio ukawa mwanzo Mpya wa upendo kati yangu Mimi na madam groly, Yaani mimba tu na kukaa nae Ndani ya miezi miwili tu tayali madam groly aliona utofauti wangu. Kwa upande wangu Kama mnakumbuka, nilipendwa kuishi kwa madam groly kwaajili ya kumkela na kumsumbua lakini nimeibiwa kumuelewa na kumpenda zaidi. Kuna watu duniani wa naweza wakakuchukia kutokana na mitazamo Yao tu wanayoijenga. kwenye fikra zao juu yako pasi na kukufahamu undani wako na Ndio iko kilichotokea kwa madam groly. Kwa upendo ambao tuliutengeneza sisi Kama familia Walahi, Mimi na Enzo tulishindwa kabisa kurudi NYUMBANI kwetu, tukajikuta kule Kwa Enzo tukipangisha na tukabaki kwa mama mkwe NYUMBANI Kwa mama mkwe nilijiachia utazani NYUMBANI kwetu, nilidekezwa utazani Mimi Ndio Mtoto wao wa mwisho mule Ndani. Kwa upande Suzy Ndio kabisa, alinipenda kuliko maelezo, Suzy alihakikisha kila ananifanyia Ka massage Yaani wooool, kuna muda nilikuwa naona Kama namiliki dunia vile kutoka na mapenzi mazito ninayooneshwa na hil familia Kwa upande wa urafiki wangu Mimi na Suzy, waoooooh Sijui niwaambie nini lakini urafiki wetu ulikuwa so mwaaaaah, Suzy alikuwa naakuja kunitembelea kila weekend na madam groly Wala hakuwa na shida nae, na ikitokea weekend imepita na Pili ajaja lazima madam amuulizie au baba Enzo Maana wamependa vibe lake na upendo mkubwa aliokuwa nac Nyieeeh siku azigandi Bwana, siku zilikimbia na miezi ikaendelea kuyoyoma na hatimaye mimba yangu ikatimiza miezi 7, Kiukweli nilichoka mapema sana, nilikuwa nikitembea kwa kujivuta sana, muda mwingi Nilihisi Uvivu wa hali ya juu. Ikiwa nikiwa ni siku ya jumamosi, siku hiyo. NYUMBANI Ilikuwa na wageni kwani Suzy alikuwa akitolewa mahari na mzungu wake ambaye walikutana Uko chuoni si unajua Tena mambo ya wasomi Nyumba ilikuwa bize sana siku hiyo, Yaani kila mtu alikuwa anatokea kina yake, huyu anaingia uku, huyu anatokea uku lla Kwa upande wangu sasa, nilikuwa Kama mwadawa nyamigulu Yaani kimekaa tu Nipo Nipo na sina Masada wowote ule. Sherehe ya Mahari ilienda salama kabis ana mahari ikalipwa yote uku ikiambatanishwa na zawadi kedekede. Wenye Pesa sio wenzetu Bwana, baada ya mahari kutolewa, ikapita mwezi mmoja tu na week zake Kama MBILI shughuli zingine. zikashika nafasi Yaani kitchen part, Sijui send off na mambo mengine mzungu alikuwa hot anataka babe wake. "lla Wifi nitawamisi sana" Alizungumza Suzy kwa huzuni. Wakati huo Mimi na yeye tulikuwa saloon kwani ilikuwa ni siku ya harusi. 'ATA sisi tutakumisi sana Tena sana, lakini lazima ukaanzw maisha yako kipenzi na uzuri hapo Kenya sio mbali sana tunauwezo wa kuja kukuta kukutembelea na wakati mwingine wewe kututembelea Niliendelea kuzungumza na WiFi yangu uku mambo ya make up yakiendelea. Ndoa ya Suzy yenye we ilifanyika saa 8 MCHANA na saa 10 kila Kitu kila wa kimekamilika na Suzy akawa Mke wa mtu halali kabisa. Ikiwa ni muda wa kupiga Picha za ukumbusho, shoga yenu nikaanza kumtania nick shemeji yangu na nusu. "Bado wewe sasa sio kila siku unapiga Picha za wenzio Nick akaniangalia kisha kwa SAUTI ya chini akaninong'oneza. "Nirahishie kwa binti wa uswazi Basi Ila nick jamani, uwa anapenda sana kumuita Pili kwa Jina lo la binti wa uswazi. Ikiwa ni Majila ya saa 4 usiku tukiwa ukumbini, gafla tu nikaanza kuhisi mambo ndivyo sivyo, Yaani kiuno kilianza Sijui kukaza Sijui Ndio kuuma jamani "Mama huu ni uchungu" Nilizungumza kimoyomoyo uku nikiwa na wasiwasi wa hali ya juu. Niliweza kujua Kuwa ni uchungu kwa Kuwa mama zena alikuwa ameshanifundisha na kunielekeza mambo mengi sana Nilijaribu kujikaza kusubili sherehe hilshe lakini Ishunikawa pambe. "Enzo nipeleke nje nikapogwe na upepo" Nilimwambia Enzo, Enzo Angu Wala hakuwa na shida, akanishika mkono na kunitoa nje, tulipofika tu nje nikamwambia. tusije kuharibu sherehe ya suzy "Muite mama zena kimya kimya tuwal hospital siko Sawa, hakikisha uwapi wengine taarifa Enzo Wala hakupoteza muda haraka akaingia Ndani na aliporudi akarudi na mama zena. Lakini pia tukapiga simu kwa mlinzi wa NYUMBANI na kumuomba atuletee vitu vyangu ambayo niliviandaa kwa kujifungua. Nyleeeh uchungu Una Una Walahi, lakini Mungu ni Mwema sana, yaani nilivyofika hospital Ndani ya dakika 45 tu nikajifungua. "Hongera sana ni Mtoto wa kike" Alizungumza ness uku akinikabizi Mtoto wangu Niwachekeshe sasa, muda wote huo wakati najifungua. Enzo alikuwepo na alishuhudia kila kitu, lakini Mtoto alivyotoka tu mume wangu. akazimia Maana ameona mambo mazito Majila ya saa 7 siku baada ya Enzo kuamia, Ndio tukapigia familia simu na kuiambia Kuwa tayali mgeni Mpya wa familia amewasili Familia yangu ni noma, ilifika mapema snaa ikiwa na zawadi kibao Sijui ata walitoa wapi ukizingatia ilikuwa usiku. Sasa hapa nitaondoka kwa amani baada ya kumuona shangazi Alizungumza Suzy akiwa amemshika Mtoto wangu. Kuna muda nilikuwa aliamini kabisa Kama naitwa mama. Upande wa Enzo alikuwa na hekaheka jamani akutulia ata kidogo. Kwakuwa nilijifungua salama na Mtoto wangu alikuwa Sawa kabisa, siku iliyofuata. tukaruhusiwa na kwenda NYUMBANI Maisha ya mama ya kaama sasa, kulala kidogo kuangaika sana na nisiwe muongo Mtoto wangu ni mlizi sana, nashukuru Mungu familia yangu. Ilikuwa kinisaidia sana. Mtoto wangu alikuwa akipendwa sana, Yaani kila kitu Ndani ya Nyumba ni charity, charity. Ooooooh sikuwaambia, binti yangu anaitwa CHARITY Yote yanawezekana kupitia Mungu na Rehema zake, usichoke na usikate tamaa pambania unachokiltaji lakini pia hakikisha Kama chenyewe pia kinakuitaji Mpaka nilipofikia sina la ziada kwako shabiki yangu, zaidi nikushukuru kwa Kuwa na Mimi Kuanzia mwanzo mpaka mwisho Mungu akubariki sana nakupenda. MWISHO

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

Nikiwa kama mpenzi na shabiki mwanachama wa Simba niliyenyooka ninajikuta nina wajibu wa kusema ukweli pale panapohitajika ili kama kuna hatua za kuchukuliwa zichukuliwe mapema na mhusika kabla jambo lolote baya halijatokea. Miongoni mwa watu wanaomfagilia sana huyu mchezaji Rushine mimi ni mmoja wapo. Katika safu ya ulinzi kwa timu ya Simba huyu jamaa ni wa kutunzwa kama yai; maana kwa sasa janga lolote likimpata Simba tutakuwa na mtihani. Huyu mchezaji ni fundi wa ulinzi. Lakini juu ya ufundi wake wa kulinda; waswahili wanasema kila kizuri hakikosi kasoro; ana uchezaji mmoja hatarishi sana. Endapo wote tutakaa kimya na kuogopa kumuudhi, iko siku atatuletea janga la kuigharimu timu. Rushine amekuwa na mtindo maalum anapocheza kiasi kwamba kwa anayemfuatilia kwa makini anaweza kujua nini atafanya baada ya nini. Mfano unaweza kujua baada ya kipa kumuanzishia mpira atautuliza kwanza akiangaza huku na kule kama anayesubiri adui amsogelee kisha atarejesha pasi kiduchu kwa kipa kama hataki vile. Au akipasiwa na mlinzi mwenzake ataweka pozi kidogo kisha kutoa sidepass na yeye kurudisha kwa mlinzi huyo mwenzake. Unaweza kusema kuwa hana papara ya kutoa pasi, kwamba pengine mbele kumebana hawezi kupeleka mpira, lakini mara nyingi si hivyo; nafasi anakuwa nayo lakini anapoza sana mpira. Wakati mwingine timu iko katika kasi ya kutafuta goli na dakika zimeshakwenda. Timu ikiwa imepamba moto, kwa uchezaji huo unakuwa unapunguza kasi badala ya kuongeza na unawapa maadui muda wa kujipanga kupambana na mashambulizi yenu. Sisi mitaani ukiusema ukweli huu kwa mchezaji bora kama Rushine mashabiki maandazi wanakufokea na kukuambia basi kacheze wewe. Kwa mapenzi hayo hatutakuwa tunamtendea haki nyota wetu huyu. Mtoto umleavyo ndivyo akuavyo na samaki mkunje angali mbichi. Kwangu mimi kuna kipindi huwa nashika roho mkononi pale ambapo kuna washambuliaji kama wawili wanakuja golini kwetu na yeye Rushine kwa kujiamini anadiriki kurudisha mpira kwa kipa. Haya tuseme leo yupo kipa Kassali mtaalamu ambaye yuko makini kwamba akiona backpass zimezidi inaanza mpira mbele badala ya kwa walinzi; kesho tukiwa hatuna kipa makini itakuwaje ? Au tukipata wapinzaji ambao wepesi kusoma mchezo; si watatumia udhaifu huo unaojirudia kila mara kutushindilia magoli ? Maradhi haya ya pasi za nyuma na golini ambazo hazina ulazima ndizo zilizowang'oa akina Inonga na Che Malone. Tulianza kutahadharisha kabla ikaonekana tunawasakama; mwisho wa siku walijiamini kupita kiasi wakasababisha maafa mfululizo golini wakaonekana kama wasaliti. Mpeni salamu hizi kijana wetu ajirekebishe. Muda bado anao sana. Katika mechi na Prisons kama sikosei Rushine alicheza anavyotakiwa kucheza. Anaanzishiwa mpira na kipa, anapenya kuelekea mbele kwenye nafasi anawapa viungo waendelee. Kumbe kucheza vizuri anaweza. Kwanini anafanya hayo makusudi katika mechi nyingine ?!. Baada ya kusema hayo na kuamini ujumbe ataupata; nimhakikishie tu kuwa wanasimba tunampenda sana na tunamhitaji. Tunamkosoa ili ajisahihishe aje kuwa bora zaidi na zaidi. Tusipomwambia sisi hakuna mwingine atakayemkosoa; watamuacha aangamie jumla kisoka. HERI IWE KWAKO RUSHINE DE REUCK MUNGU IBARIKI SIMBA.

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Mwandiishi; LISSA Basi bwana rasmi tukaanza aya mahusiano bubu sasa, ambayo mimi binafsi sikuwa nimeyaafik kabisaaa, na wala sikuwa nayafurahia ata kidogo ,ila mchumba si kaamua basi powa, nikaona ngoja nisogeze mda tu mbele, mana ahaaaa nilikuwa siyaelewi wala nn, apooo sasa zena kila siku ananitumia sms za kunitakia kazi njema na jioni atanitafuta kuniulizia kuwa naendeleaje ,sijuh pole na kazi mume wangu, yani mambo kibao, bado na mm nikawa narespond kama vile ambavyo yeye anataka,ila sasa pesa sikuwa nampa san kabisaaa, ambacho kikubwa nilikifanya kwake tulipoanza aya mahusiano ni nilimnunulia kitanda tu, mana ile kulala chini na mtoto kama binadamu ilikuwa inaniumiza ,ila ata kuonana na zena ,ni mala chache sana ndo naenda kwake, mostly mi nipo busy na mambo yangu, yani kuna mda nasahau kabisaa kuhusu aya mahusiano, ahaaa mahusiano ya kijinga jinga ndo nn sasa, apo ata nikienda kwake hataki ata nimkiss ,asa jamani ndo mahusiano gani ayoooo ,ata kumshika hataki, ata ukimtumia zile sms za mapenzi za usiku, ahaaaa zena hanijibu kabisaa ,wakati kuna wenzake mpaka picha za utupu wananitumia na unyama tu, Ila pesa zangu nikimpa anachukua fresh kabisaa, na asante ana sema ila mm hataki ata niuguse kidogo mwili wake, yani ata ile kumshika mkonoo, yeee hataki yani, nikawa nahisi apa nachumwa vyangu wallah hakuna mapenzi apa, ila ngoja tuoneeeeee, apo kale ka ummy kannanipenda sanaaa, na kanajua mie ndo baba yake, ila sikuwa na jinsi, na ikawa kila week end ya j mosi ntapita kwa zena kumuona , ntakaa apo na kucheza na ummy,ntakula kabisa ndo naludi kwangu, na kwa kupika tu zena naajua kupika mashaaallah, basi ayo ndo yakawa aina ya mahusiano kati yangu na zena, nikapambana nae kweli kweli mpaka ikakata miez 2 ,wanangu utamu sijapewa na sioni dalili yoyote ya kwamba ata anatalajia kunipa , yani na nikimuita kuja kwangu aahaaaa hataki kabisaaa ata kusikia ,,so ikawa mm ndo kila siku naenda kwake ,yeye ata kupajua tu ile kwangu hapajui hajawahi kufika kwangu ata siku 1, apooo mnazani nimetulia thubutu, kama kawa mi na wanawake wengilu tu, kuna mdaaa ndo hivyo kazini demu akijichanganya naluka nae,yani awa maafande wa kike kam kawa ,na vile nna cheo kikubwa, basi unyama tu ,kama kawaida maisha yanaenda Siku iyo sasa bwana, nilikuwa zangu job na mwanangu ibraaa, kuna kazi tulikuwa tunaifatailia , na tulikuwa busy sana, mh uo mda wa mchana naona zena ananipigia,apo zena ni mama ntilie bado mujue sijambadilishia chochote, naanzaje mambo hajanipa na pesa nampa a kawaida sana ,yani inaweza kata week ,nikampa.elfu 20, tena namwambia na ya mtoto ipo apo apo ya kuendea shule na wala hakuwa na shida katika suala hilo, na wala sikuona kama.anafosi sana juuu ya mm kumpa pesa ,ye chovhote ntakachompa anapokea fresh kabisaa maisha yanaenda, basi siku iyo kanipigia simu nilikuwa ofisini na mwanangu ibra kuna kazi tulikuw tunaimalizia, nikapokea simu, nikasema nambie mke wangu, akanmbia ahaaa pole na kazi mpenzi, nikasema asante nimeshapoa nambie, akanmbia ahaaa nipo nataka kuandaa chakura kizuri kwa ajili yako unaweza ukaja, ahaaaa asa chakura kitanisaidia nn, mi nataka chakura chengine bwana, nikasema asante zena but leo niko busy sana na kazi ,ntakuja mda mwengine kupata chakura na wewe, akanmbia sawa mpenzi, basi sawa endelea na kazi, basi mi nilivyokata simu nikasonyaaaa , ahaaaaa Ibraa kanmbia nn, nikmwambia zena uyu ananita niende kwake jioni nikale, asa mi chakura kitanisaidia nini, mi sijisikii kwenda uswahilini kwake kwanza, ibraa akanmbia ila uhisi amani kwa sasa at least una mahusiano, mana sikumbuki millan ni lini ulikuwa n mahusiano ya kimapenzi ata week moja na mwanamke , ila uyu demu mna mwezi now, nikasema sababau hajanipa bado ila akinipa tuu ahaa anaachana nae. Basi ibraa akacheka sana akanmbia sawa bwana, basi bwana kaka yenu nikaendeleza mahusiano na zena ,ila sikumuweka kipaumbele sana, yani mpaka nijisikie sana , ndo ata ntanunua dera nampelekea kwenda kumzuga, kuna mda kama sitaki usumbufu, mi namwambia nimesafiri, apo natanua dar ata week 2, wala hanisumbui sana, siku nikivuta demu geto, simpokelei simu yake ata week 1, kawaida ,na nikimpigia namsondisha sanaa braa braa kibao, ila kitu ambacho alikuwa ananifurahisha zena , aseeee zena ni muelewa ,yani muelewa mnoo, ata kumdanganya sipati kazi ngumu. Ni kumpanga moja ,mbili 3 basi nimemalizaaa na anaonesha kuelewa kabisa, penzi bubu likanoga bwana, na kitu chengine zena sio mwanamke wa kupiga simu kuomba pesa hapana, yeye akikupigia ni mtaongea mengine tu, mpaka mtaagana yani kama kumpa pesa ni pale ntakapojisikia mwenyewe kumpa, Basi nikasukuti sana na hili penzi mpaka likakata miezi 5, yani sijapewa na hakuna dalili, ahaaaa ilifikia stage , mi nikazalau kabisa aya mahusiano, na sana sana nilikuwa namwambia zena mm nimesafiri,yani sipo dar kabisaaa, ananmbia tu sawa so uko wapi, apo natafuta limkoa lolote namdanganya,ananmbia sawa nimeeleewa hakuna shida ukiludi njooo nyumbani, basi apo mi nakuwa busy na wachumba zangu, mala leo nipo na uyu kesho na yule, mi bwana kila siku natongoza na swaga ndo hizi hiz ntakuoa nakupenda sana ,kumbe ahaa wapi ni uongo mtupu, siku iyo bwana nilipata demu mkari kisenge, mtoto ana vitu vyangu kweli kweli, mtoto kajazia kajazia kweli, uyu demu nilikutana nae kwenye seminer ya kazi apa apa dar, oyaaaaa nikaomba kukutana na uyu demu, mtoto akakubali fresh kabisaa, apo ni kama nilimuomba mtoko si unajua yani tukutane sehemu tunyweeee , tuinjoy nikajua uyu akishalewa tu mie mzigo napewa bila ya shakaaa, millan mie tena na uhndsome uhuuu Basi kweli mtoto.akakubali vizuri wanangu,apo mm nna mwez nimemwambia zena nimesafir nipo tanga kumbe nadunda mwanaume,ila naona michosho bwana na mapenzi yake ya kitoto, basi nikaongea na mtoto akanmbia yeye kwao kibaha so tusiende sehemu ya mbali, kupata vinywaji mda wa kuludi isimsumbue, nikamwmabia sawa wala usijali, mi freh nikacheki liquour nzur maeneo ya mbezi nikapapata bwana, nikampanga demu fresh, kweli mida ya usiku saa 2 ndo tulikubalina kuonana apo, mwanaume nikajiandaa fresh nikawaka ,nishapendeza ,ahaa unaweza kusema na mika 25, hivi kumbe nazeeka mbwa mm, basi mie nikatoka nikachukua gari yangu mpaka mbezi nilipokubaliana nakutana na mchumba, basi ile nimefika wala sikushuka, nimampigia mchumba akanmbia anakalibia kweli bada ya kama dakika 10 .akanmbia amefika na mm ndo nikashuka pale, kweli nikakutana.na mchumba na tukasalimiana kisha sasa, mwanaume nikamshika mkono yule mrembo kisha tujaingia ndani ya ile bar nweza kusema , nilivyomshika mkono sasa yul dada, kama najunaa nae mda mrefu, mi nilivyo maraya kumzoea mwanamke dakika 2, na simuogopi mwanamke kabisaa, hizo aibu ndo sizijuh ata zinafananaje, basi tukachagua sehemu nzuri kabisaa ya kukaaaa, tukawa tumetulia pale, tukingoja muhudumu, uku naanza kumuhoji hoji kuhusu yeye mana nilikuwa najua jina lake tu. .kwamba anaitwa tekra basi, Sasa tukiwa paleeee akaja muhudumu sasa kuja kuchukua oder, mi nikaagiza bia zangu kama sita, demu nae kanakunywa akagiza savannah, kisha yule muhudumu tulompa.oder akaondoka sasa , sie tukawa tunae delea na story busy kweli keli , basi bwana daaah si naona zena ndo kabeba vile vinywaji tulivyoviagiza sasa anavileta pale, oyaaa mi nilikuwa nahisi kama naotaaa ,yani zena tena ukuu, kafata nn, mbona hajawahi kunambia kama anafanya kazi apa, ahaaaaaa nilichanganikiwa kwa dakika, aseeee zena akafika pale, akasema karibuni sana wateja wetu, kisha akatoa bia ,akawa antuwekea vizuri pale mezani , oyaaaa nilihisi ama nimemfananaisha mbona hajastuka kuniona apa, daaah nilikosa amani alafu nikajisikia vibaya mana nna mwez namdanganya nipo tanga alafu leo kanishaika apa ata la kuongea sikuwa nayo, tekra akasema thankss darling, alafu nataka na nyama choma, zena akasema sawa na wewe broo , ahaaaa nikamuanglia kwa aibua ,na yeye akaningalia kwa kunikazia sula, nikasema mi sitaki kitu , akanmbia sawaaa ,kisha akaondoka zake daaah nikajua demu nishamkosaa, miezi 10 nimefukuzia mzigo doooh leo naukosa, ahaa nishakamatwa na chet apa ndo sipewi kabisaaaaa Basi zena akaenda ukooo ,pale mm nikabaki ata mood sina , yani ata ile kuongea na mchumba kama mwanzo sikuweza kabisaaa, yani raha na amani nikawa sinaaa si nishahalibu, basi pale pale nikamtumia sms ibraaa kisha nikampanga kilichotokea ,ibraa akasema inuka kaongee na zena ,mi nakuja najifanya uyo demu ni wangu apo, nikasema fresh mwanangu, kabla sijaionuka naomuona shey ndo kaleta nyama pale ,daaaah shey akanisalimia pale, nikaitikia kwa aibu acheni tu, kisha akaweka nymaa akageuza kuondoka, aseee nikamwambia tekraa nakuja sasa hivi, naenda toilet mala moja, akanmbia sawaa, daah chapu nikatoka nikamfata shey, nikamwmauita shey, shey akasimama, akanmbia millan ndo nn unafanya sasa, we si una mahusiano na zena ,yani unamdanganya mwenzako kwamba upo tanga kumbe hujaacha mambo yako millan nilizani kweli umebadilika kama ambavyo ulimuhaidi mwenzako, nikasema shey sikia mi yule sio demu wangu ni shemeji yangu, nimetangulia nae tu, na mwenye mtu wake anakuja soon, na tanga nimeludi leo na gari ya saa 12 jioni, yuko wapi zena niongeee nae kanza ,akanmbia mh anajiandaa anataka kuondoka mana imemkata sna na kazi ndo kwanza tumeanza jana, ananambia hajisikii tena kuwa apa, millan ebu usiwe hivyo, daaaaah kweli mi nikamwambia sawa yupo wapi akanmbia yupo kule anachange nguo, mi nikaemda mpaka uko ,nakuta na zena ndo anatoka ,kiukweli niliona hayupo sawa kabisaa, nikaona apa nishayatimba kabisaaaaa 🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

Kutokana na ongezeko la watumiaji wa Safaricom M-Pesa wanaohitaji kutuma pesa kwenda Vodacom M-Pesa Tanzania, nimeamua kuandika makala hii ili kuwasaidia wale ambao hawafahamu jinsi ya kufanya muamala huo. Tuma pesa kutoka Kenya kwenda Tanzania Fuata mtiririko ufuatao kufahamu jinsi ya kutuma pesa kutoka M-Pesa Kenya kwenda M-Pesa Tanzania Kwenye simu yako, fungua application ya ku manage SIM CARD (Sim Toolkit) Chagua Safaricom kisha fungua M-Pesa Chagua “LIPA NA MPESA” Chagua Pay Bill kisha weka namba ya biashara yaani Business Number ambayo ni 255255 Sehemu ya kuweka “Account Number” weka namba ya simu ya Tanzania kwa kuanza na code ya Tanzania pekee bila + yaani 2557XXXXXXXX Andika kiwango unachotaka kutuma katika Kenyan Shillings KES. Ingiza namba yako ya siri ya M-Pesa halafu kubali muamala. Baada ya kukamilisha mtiririko huo, utaulizwa kama unataka kuzuia muamala, uandike herufi yoyote ndani ya sekunde 25, usiandike chochote, acha kama palivyo au waweza bofya CANCEL, baada ya hapo utaambiwa “Thanks for using M-Pesa” na kiwango ulichotuma kitatumwa moja kwa moja kwenye namba uliyotuma Tanzania. NJIA MBADALA Iwapo upo Tanzania, na ungependa kutoa pesa moja kwa moja kutoka kwenye laini yako ya Safaricom bila kuituma Vodacom kwanza, unachopaswa kufanya ni ku bofya namba ya M-Pesa ya Safaricom ambayo ni *840#. Kama ndio mara yako ya kwanza kubofya namba hiyo, utaambiwa uandike eneo ulilopo, utaandika eneo lolote ulilopo kwa Mfano, Dodoma, au Arusha. Baada ya kufanikiwa kuhifadhi eneo ulikopo, utabofya tena *840# na utachagua ROAMING PICK UP, hapo sasa utaweka nambaya wakala wa M-Pesa unapotaka kuchukua pesa yako na utaendelea kufuata maelekezo kama kawaida, kwenye njia hii ya pili, badala ya kuweka kiwango kwenye Shilingi za Kenya, unaweka katika Shilingi za Tanzania. Endelea kuwa pamoja nasi kufurahia elimu tunayoitoa kupitia blog hii

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

SONGA NAYO............. Zilipita dakika kadhaa nikatoka na kumfuata sebleni , akataka kuendeleza story zake nikamwambia aaah 🤚nioneshe kazi za kufanya kwanza ,kama ni maongezi baadae. Hakuwa na shida akaanza kunionesha mazingira yote ya nyumba ile na kunipa taratibu zao pamoja na majukumu yanipasayo kufanya Baada ya hayo nikataka kuingia jikoni kwaajili ya kuandaa chakula cha jioni ,akanizuia kwakunambia mara zote juma tano huwa mama yake anarudi na chakula so nyumbani hakupikwi kitu. Niliitikia sawa na kukaa tu maana hakukuwa na chakufanya. Mda ulisogea ikafika usiku mama yake akarudi tukampokea ,akauliza kama nimesha elekezwa na kupewa taratibu zote wote tukajibu ndio. Basi kaingia chumbani sisi tukabaki tukiandaa meza na baada ya mda akatoka tukapata chakula pamoja kisha kila mmoja akaendelea na ratiba zake . Mimi huwa sio mpenzi wa tv hivyo baada ya chakula Daria na mdogo wake walibaki wanaangalia movie mimi nikaingia chumbani kwangu. Nilifika na kujitupa kitandani , nikalala chali na kuelekeza macho yangu juu , taratibu akili yangu ikaanza kuzama kwenye dimbwi la mawazo, niliwaza na kukumbuka matukio yote ya nyuma. Nikashusha pumzi ndefu na kutoka kitandani nikasogea dirishani , ili niangalie nje walau nipigwe kiupepo ,maana mara zote nikiwa nahisi msongo wa mawazo au kutokuwa sawa huwa napenda nikae sehemu nipigwe upepo weee. Hapo nahisi nafuu kwa kiasi kikubwa sana , hivyo nikasogea pale na kufungua mapazia pamoja na kioo sasa ile nimefungua kioo nilikutana uso kwa uso na yule mkaka niliekutana nae nje mida Ile namkimbilia Alvin. Nilishtuka maana sikutegemea kumuona pale, sasa nikawaza niendelee na jambo langu au nifunge na kurudi zangu kulala🤔mmmh hapana nikifunga ataona kama namkimbia maana tayari alishaniona . Kwa hiyo cha kufanya nikuendelea na mambo yangu ila nitajifanya kama sijamuona , kweli nilichukua kiti nikakaa na kula upepo wa Mungu. Upande wake akawa ananiangalia huku akitabasamu naona alihisi sijamuona ,akaona akae ili aweze kuniangalia vizuri 😏. Dakika zilisogea ikafika mda nikaona sasa hapa niko sawa , nikainuka na kutoa kiti kisha nikafunga vioo na kurudi kitandani . Upande wake baada ya kuona nimetoka na yeye akatoka na kuingia ndani, alitembea kuelekea sebleni na kufika anakaa huku uso wake ukiwa bado na tabasamu pana. Robyn ambae ni kijana watatu wa familia hiyo alikuwa amekaa sebleni huku akiangalia tv , kitendo cha Samuel kuja na kukaa huku akitabasamu mwenyewe kilimfanya akaacha kuangalia tv na kumuuliza ndugu yake. "Oya vipi mbona unatabasamu mwenyewe umepata mtonyo wa maana nini ?" Samuel kuulizwa hivyo alimuangalia Robyn na kusema " hii ni zaidi ya mtonyo mzee😊, aaah Mungu fundi bhna " "Una maanisha nini ??🤨" "Achana nayo maana hutanielewa " aliongea na kuinuka akaondoka , Robyn alibaki akimuangalia huku akijiuliza ni nini kilichomfanya ndugu yake kuwa na furaha vile. Aliwaza bila majibu ,akaamua kuachana nayo na kuendelea kuangalia Tv, basi mda ulienda hatmae usiku ukapita na asubuhi ikaingia . Kama kawaida watu waliamka na kila mmoja akawa bize na majukumu yake huku wakwenda kazini wakiwa bize kujiandaa. Sasa mmoja kati ya majukumu yangu humu ndani ni kufanya shughuli zote za ndani pamoja na kusimamia mauzo ya mayai pamoja na kuku. Maana boss wangu alikuwa akijushughulisha na ufugaji wa kuku ,sungura pamoja na ngo'mbe ,ila ng'ombe walikuwa sehemu tofauti na nyumbani hapo. Hivyo kijana anaehusuka na mifugo asubuhi huwa kule waliko ng'ombe na baadae ndo huja huku nyumbani kwaajili ya kuwahudumia hawa hapa pamoja na kuweka mazingira ya nje sawa. Sasa mimi huwa niko shap sana kwenye kazi zangu hivyo nilivyo maliza kila kitu nikaona kuliko nikae ndani tu ni bora nimsaidie kijana wawatu walau hata kumwagilia maua . Basi nikachukua mpira na kuunganisha kwenye bomba kisha nikaanza kumwagilia, ambapo baada ya kumaliza ndani nikatoka nje ya geti na kuendelea kumwagilia. Upande wa Samuel baada ya kujiandaa na kunywa chai alichukua begi lenye pc pamoja na simu yake akataka kutoka kuelekea kwenye gari kwaajili ya kuanza safari ya kwenda kazn. Lakini kabla hajapiga hatua kutoka nje aliitwa na mama wa nyumba ile , Samuel aliitika na kuambatanisha na salamu. Mama yule aliitikia huku akionesha kuchukia na kumwambia " Nipe funguo za gari lako " Samuel alihisi kama hajasikia vizuri akamuuliza " sorry umesema !!?" "Nimesema !! Kwamba hujasikia nilichosema 😠 embu nipe bhna unanichelewesha " "Okay ,lakini kwanini unataka funguo la gari langu ,au kuna kitu ulisahau humo ?" "Samuel! Unataka kunitibua si ndio , embu nipe bwanaaa 😡" eeeh hii kali, aliwaza Samuel kumpatia funguo mama yule au tumuite Mrs Watson aliichukua kwakukwapua na kuondoka huku akiambatanisha na sonyo kali. Kwa hatua za haraka alienda maegesho na kuingia kwenye gari la Samuel, hakuchukua mda akawasha gari na kuondoka. Samuel alibaki amesimama mlangoni huku akijiuliza kwani kuna nini hadi mama yake kaamua kutumia gari lake🤔, aliwaza na kuamua kurudi ndani . Akamuita binti wa kazi na kumuagiza chumbani kwa wazazi wake ili akamchukulie funguo ya gari la mama yake , binti yule bila kuchelewa aliingia chumbani na kuangalia sehemu zinako wekwaga funguo ila hakuona . Akajaribu kuangalia sehemu nyingine lakini pia hakuona, akatoka na kumwambia Samuel kuwa hajaona funguo , Samuel akamuuliza. "Unauhakika hakuna ?" Binti yule alijibu ndio Samuel akaona huyu hayuko serious akatoka na kwenda mwenyewe ila pia hakuweza kuona . Kwa hasira alitoka na kuchukua simu yake akampigia mama yake, ajabu simu iliita ila hakupokelewa na sio kwamba Mrs Watson alikuwa haoni simu no aliiona ila hakutaka kupokea. Basi Samuel alivyoona simu zake hazipokelewi aliacha na kwenda chumbani kwa Robyn akangia kufika anakaa kitandani. Kwa sauti yenye hasira akamwambia Robyn " Mama kashaanza mambo yake, ameondoka na gari langu na funguo zingine hazipo " "Ohooo mapema hii ! Sasa utafanyaje maana mwenyewe nataka kwenda chuo na baadae nitakuwa na mizunguko mingi " "Naelewa ila sasaivi inabidi unisogeze hadi kazn " "Sawa na jioni je ?" "We sikia nipeleke kazini kuhusu jioni nitajua mwenyewe" "Poa " Robyn alimaliza kujiandaa wakatoka na kuingia kwenye gari, mlinzi akafungua geti wakatoka , sasa mda ambao wanatoka mimi nilikuwa bado namwagilia . Hivyo walivyonifikia tu Samuel macho yote kwangu , angalia yake ilimfanya hadi Robyn akageuka kuniangalia na kumrudia ndugu yake . Akataka kuuliza ila akakausha na kuendelea kuendesha wakanipita , upande wangu nilimaliza nikakunja mpira na kurudi ndani. ITAENDELEA

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema officialgonga
 

SONGA NAYO..... nilipokaribia kumfikia nilimsikia akizungumaza "Sawa baba basi wacha sie tufanye maandalizi kidogo..." Niliweza kumsikia madam akiongea hivyo, kwakuwa mimi huyu mama namuona boya sikutaka kumjali nilimpita nikaelekea chumbani lakini nikiwa katika kutembea nilisikia madam akiniita. Nilirudi ili kumsikiliza alichokuwa ananiitia, huyu mama ananipenda sio poa baada ya mimi kufika pale alinikumbatia na alionekana kuwa na furaha sana. Alinikumbatia kwa wakati kisha akajitoa kwenye kumbato na kunishika viganja vya mikono yangu huku akitabasamu na kunifanya niogope. "Vip...??" Niliuliza baada ya kuona natazamwa kama sanamu, hakunijibu zaidi akaibusu mikono yangu, mimi nilikuwa nashangaa na nisielewe chochote. Ikabidi nijitoe mikono yangu maana hata sikuwa naelewa chochote, akanishika tena mikono kisha akazungumza. "Mira leo nina furaha sana, kijana wangu yupo uwanja wa ndege anakuja huku..." Aisee hivi mnajua nilijisikiaje, yaani pamoja na kunisumbua kote kule sijui kufanya hivi na hivi kumbe kijana wake anakuja me nikajua labda amemkubali Nasra kumbe anaongelea habari ya kijana wake aisee nilichukia. Nikaivuta mikono kwa nguvu, sikumjibu neno lolote zaidi nikaondoka, akaanza kunikimbilia huku ananiita "Mira mama, hebu simama tuzungumze basi..." Sikutaka kusikia chochote kutoka kwake maana anaongea vitu vya kipuuzi yani anawaza ujinga ujinga badala ya kujali mtoto aisee ananikera mimi. Aliendelea kuniita ila mimi sikusimama lakini nilipofika mbele kidogo nilisimama hii ni baada ya kumuona Swatii anatokea chumbani kwake ikabidi nisimame na madam nae akawa amefika pale nilipokuwa Swatii baada ya kutuona aliamua kutufuata.. "Morning mom...!!" Swatii alimsalimu mama yake, mama mtu macho yote yalikuwa kwangu mwanamke alikuwa ananitazama huku anataka kulia kabisa huyu mama ananipenda hata upendo unaonekana kwenye macho yake. "Morning..." Alijibu kifupi tu, basi Swatii anaona Kawaida, madam akanishika mkono wangu huku anaongea. "Mira, nakuomba uende airport ukampokee Anfrey..." Madam aliniambia, Swatii kusikia Anfrey anakuja alifurahi sana akaanza kurukaruka huku akinisihi twende. "Madam siwezi kwenda maana Nasra bado anaumwa.." "Aah Mira, mtoto utamuachia Shida..." Nilimuangalia huyu mwanamke yani sikuwa namuelwa kabisa kwenye akili yake kuna akili au matope, hivi naweza kwenda airport kwenda kupokea jitu zima lina akili zake timamu arafu nimuache mtoto anaumwa tena nimuache kwa mdada mpya wa kazi ambae amekuja jana tuu Sikuwa na neno la kuongea zaidi nikabaki kimya, Swatii nae akaunga hoja ya mama yake basi mtu mbili zikabaki zikinisihi niende airport. "Nimesema nina mgonjwa hivi hamuelewi nini sasa.." "Kumbe unamgonjwa..??" Swatii aliniuliza, alionekana hajui lolote kuhusu afya ya mtoto "Ndio anaumwa sana, inabidi uende hata wewe na Naina.." "Usijali kipenzi wewe baki umuangalie mwanao mimi nitaenda kumpokea kaka.." Swatii alizungumza, madam hakuwa na neno la kuongea zaidi alikubali kishingo upande na sikutaka hata kubakia hapo niliondoka nikimuacha akiniangalia sikugeuka hata kumtazama. Basi kama kawaida yangu nilikuwa namcare sana Nasra yani binti yangu alikuwa mzuri mpaka nikawa naona wivu sasa maana sio kwa uzuri huo arafu jitu lenye akili zake timamu linakataa mtoto kwa sababu za kijinga Kama alikuwa na nia ya kujiunga freemason si angejitoa mwenyewe na sio mtoto ambae hana aita, kuna upande nilikuwa nikishindwa kabisa kuamini eti hii familia wamejiunga freemason na huku nawaona wanahudhuria sana ibada Lakini inawezekana ikawa kweli maana siku hizi watu wanaishi kwa kuigiza ni watu wema machoni kwa watu lakini huku ndani ya nyumba balaa tupu kama lililo ndani ya nyumba hii Nilitamani kujua kuwa yale maneno aliyoniambia madam ni ya kweli, niliamua kufanya uchunguzi ili kuhakikisha zaidi. Nafanya hivi ili kulinda maisha ya mtoto Nasra Basi bwana siku hiyo hapo nyumbani yani kuanzia kwenye ile mida ya saa tatu asubuhi kulikuwa na heka heka nyingi, kwa siku moja wwaliweza kualika watu kibao huku wakipanga party iwe usiku. Upande wangu sikujishughulisha na chochote zaidi ya kumuangalia mwanangu ambaye muda wote alikuwa hajui lolote likiendelea.......... ITAENDELEA......

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

filmmaker V. Shantaram and actress Jayshree, so films were always a part of her world. She started as a child artist in Subah Ka Tara and was later introduced as a heroine by her father in Geet Gaya Patharon Ne. She went on to do popular films like Janwar, Around the World, Brahmachari, Dil Ne Pukara and Suhag Raat. She had that simple, graceful charm that suited the 60s era perfectly. During a shoot in the US, she met American student Greg Chapman and fell in love. They got married in a traditional Hindu ceremony in 1967, and she decided to leave films at the peak of her career. She moved to Los Angeles, where they ran a custom clothing business and raised their daughter. From Bollywood fame to a peaceful life in the US, Rajshree truly chose love and family over stardom.

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

*_______________________________________* .Chapter 19&20 Tuliondoka na mume wangu kuelekea kwake. Aseee ni bonge la nyumbaa ile aliyonipa ikaanzeee kwenye parking kuna magari kam yotee, bustani kumbwa muda huo mimi nachungulia tu kwenye gari hapo naona mapya hayaa jamani maana nilikuwa naona kule ninapokaa ndio napaona pazuri balaa, kumbe kuna kam hay, tuliingia ndani, tukapelekwa chumbani, na nilikuwa na maswali mengi sana kwa Salim kam alivyobadili jina akapewa jina hilo. "Kwanini ulikuwa kimya muda wote huoo?, unajua nimefikiria mangapi? Na kwanini ulivyorudi hujaniambiaa unajua nimevumulia mangapi etty Ellias?" Nililalamika na nilimuita Ellias kwasababu ndio jina nililolizoea Salim ndio jina langu sio Ellias afu mke wangu tutaongeaa, kuhusu kila kitu mimi nipo tayri kukuelezea hili mke wangu, ila timiza kwanza haja yangu nimekumiss etty" alisema mume wangu, nikamkata hilo jicho hiloo la wee haya dawa yako inachemka, akawa ananitazama kalegeza macho balaa utasema sio mwanaume, nilikuwa namtizam kwa hasiraa kweli yaani akanisogeleaa akaaanza kunipa Juicee "Wewe, subirii nikaogee tutaendeleaa sawa?" nilisema nikikimbilia bafuni nikafunga mlango maana kwa situation niliomuacha nayoo angenifuata huku huku bafuni, maana hata lile shela niliamua kwenda kulivuliaaa bafuni mule mule, mimi mwenyew nilikuwa nimemmisi sana yaani ila nilitak nikakisafishe akikutee kisafii bhana sioo anakurupukiaa kurupukiaa hatujakutana miezi miwili anajuaje kam mimi ni msafi huku kwa bibi? basi nilienda kuoga, yeye alikuwa ananisubirii tu nikatoka nimevaa kitauloo tuu akuu. Nikamsogeleaa me mwenyew nikamwambia aendelee pale alipoishiaa huyu ni mume wangu bhana muache ajipakuliee kinachomtosha. bhana, tuliendeleaa kupeana juicee kam kawaida yake anajua udhaifu waangu ulipo akaja kule kule kwenye sikioo lililozoeaa kusikia umbeaa, yaani nakuwaga very sensitive hapa kwenye sikio uwii, nilikuwa napiga kelele tu, nikajikuta nashuka naenda kunyonya pipi, aku lilikuja tu hiloo wazo mee baada ya kuzidiwaa, nikanyonya pipi mpaka nilipotosheka hasaa, akanipandisha kitandani sasa hapo nishakuwa hoii naililia tuu hiyo lollypop yangu, hajuwa mchoyoo mume wangu alinipa kisawa sawa mpka nikawa nachokaa yaani nikichoka anaanza upya kuniandaaa jaman alinikulaa huyu mkaka, kam vile hatokuja kunikula tenaaa jamani wakati ndio kwanza tunaanza Tulimaliza tukaendaa bafuni ila hata hukooo, hatukuachana salama na ya kwenye maji inavyonogaa jamani mniachee tuu mimi, nienjoy sana tulikuwa tumechoka tukaamua kulala kwanza ila nilishtuka saa tisa usikua nikamuamsha etty ananiuliza unataka yanki huyu mwanaume mjinga kweli anapenda papampa huyuu ovyoo nimemuamsha tuongeee wakati mimi anijibu maswali alisema nitimize ahadi yake, haya nijibu maswali yangu, weee mwanaume, sitaki jua lichomoze sijapata majibu yangu" nilimwambia mume wangu aliinuka akakaaa akanambia "Mke wangu, sikufanya kusudi ujue hili swala la kubadili dini lilileta shida sana, nilijua itakuwa rahisi sana wazazi wangu kuelewa, lakini ilikuwa ngumu sana kwao kuelewa, walikataa na wakachukua hadi simu yangu na kuvunja line wakanipa line nyingine ili tuu, nisiwasiliane na wewe, nimeteseka kama wewe pia mke wangu yaani wamekuja kukubali baada ya kuona hakuna ninachokiweza kukimudu bila wewe mke wangu, ikabidi wakubali kwasababu nilitaka hadi kujiua kwa ajili yako mke wangu, lakin hili waliona litawagharimu sana kwenye maisha yao kwasababu mimi ndio mtoto wao wa pekee ikabidi wakubali hili, ila walivyokuonaa na kusikia sifa zako walikupenda" nilijikuta hadi namuonea huruma mume wangu jamni maan kapitia magumu zaidi yangu nilimkumbatiaa, heee yeye kukumbatiwa tu akataka tena jamni nikampa tuu jamank ndio mume wangu, mhhh maan nimeambiwa mume akitaka uko jikoni unaacha kupika unaenda kumpa hhhhhaa Siku zilipita na tayari nilikuwa, mjamzito na kwa upane wa dada Mariam alikuwa tayari anaujauzito tayari na yeye, ila yeye yake ilikuwa kubwa kanizidi kam miezi miwili hivii, na wazazi wake mume wangu walirudi Marekani kuendelea na biashara zao hukoo ila mama mkwe alisema nikikaribia kujifunguaa, atakuja kukaa na mimi nikabaki na mimi, Ila jamni nina gubu mimi mpaka mume wangu anachoka ila ntafanyaje na akiuliza anaambiwa avumilie ni mimba tu inanisumbua, plus na kazini siendi mume wangu wangu nikijifungua atanifungulia biashara hataki tena mke wake aende maofisini tena, kuna vijana wengil wa hovyoo huyu ana wivu na yeye mhhaa karibuni sana, mlikuwa na mimi mtunzi wenu, Simulizi za Baby smile, ubarikiwe sana dear kwa saport yako Mungu akuzidishie pale ulipotoa, karibu tena kipenzi changu nawapenda mno vipenzi vyangu GLORY BE TO GOD THE END.

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest