Menu


Trust You

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

Mambo hayakuwa mambo kabisa ,usiku haukuwa usiku kwangu,ukiachana na vumbi lililopo chumbani kwangu hasa uvunguni milio ya sauti za mahaba ,chini ya kitanda zilinipagaqisha nikajikuta napandwa na genyw mara moja. "Uuuush,aaasssh uwiiiii ahaaaa,tramuuuu uwiiii neneee halafu inabanaaaa uwiii"sauti za mahaba zilikuwa zikisikika. Muda ulipita kama nusu saa hivi....sauti hazikuacha kusikika .Mwanzo nilidhani huenda ni mama mwenye nyumba apelekewaye moto....mshangao ulizidi kuibuka moyoni mwangu pale niliposikia kishindo kwenye ukuta..... Ilihali sikuwa na mtindo wa kuwasha kibatati ila ilinilazimu kuwasha hakika... Kama mjuavyo nyumba za kuoanga za bei rahisi huwa hazina bati kayi ya chunba na chumba...punde nilipokiwasha kibatari....nikajikyta nikishuhudia shoo nzima...sikuachankukaa juu yabkitanda na kuenhoy shoo iliyokuwa ikitolewa bure kwa muda huo. "Mmmmh!!huyu mbaba anato**a hakika..."nilijisemea. "Ila wadada sisi ,tutachomwa na moto wa petrol ukiacha ule wa kuni tuwaombeao wakaka mmmh😀,siamini kama demu wa yule boy,mstaarabu eti leo analiwa na baba mwenye nyunba?tena bila condom?na mkongo?😀hii ninkali hakika...ni heri mimi nisiye na bwana kuhliko huyo ,kwanza anajitia matawi balaa...halafu huyo mume sijui bqana ake daaaah😀sema basi acha nilale nisijw kuoaliwa nibakishe ya kesho tu."nilijisemea kisha nikalala hiku nikutabasamu..ni wazi nilijiona malaya mtakatifu😀. Asubuhi iliwadia ,siku hio nikaamka asubuhi na mapema saa 11 hapo sina hata pa kwensa nikaamua nikimbie maana kwa usiku ule baba mwenye nyumba angenikamata angenifir**hakika..... Nikiwa natembea tembea njiani gafla likapita gari halafu likanimwagia maji......ukiunganisha uchovu wa asubuhi na genye za jana usiku...nilijikuta nikisogea mbele nakulizuia lile gari.... "Huyu mbwa atanifahamu siku ya leo....nina njaa nahitaji supu nisiyougharamia'nilizungumza. Nakuja

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

Basi baada ya mambo kumalizika, sio siri nilikuwa najisikia vizuri sana, ingawa najua sikupaswa kutembea na boss wangu, tumemaliz akaniangalia kisha akaanza kuniomba msamaha, akaingia chumban kwake akatoka na p2 akataka nimeze, sikukataa kwa sababu pia sikutaka kubeba mimba zisizotarajiwa hata kidogo… Baada ya hapo akataka kuondoka pale chumban, ila nilitaman sana kuongea nae, alisema yeye ni omari, zile ni akili za hisia au alikuwa ana maanisha, au alisema hilo jina kwa sababu nilimsimulia kuhusu mimi na omari… Nikaita omari, akatabasamu, kisha akanambia “ umeschanganikiwa eee, au ndio umeshammiss mwanaume wako?.. “ ulinambia nikuite omari kumbuka, nambie wewe ndio omari? Na imekuwaje mpaka ukafika hapa, na imekuwaje pia mpaka ukawa mtoto wa hii familia na wakati wazaz wako nawajua… “ usihoji sana mambo ambayo hayana majibu, naitwa nabil Mustapha, ila nilihisi una hisia sana na omari ndio maana nikakuomba uniite hilo jina, na sikuwa na maana yoyote ile, na kuanzia leo nao mba tusahau kila kitu ambacho kimetokea na tuishi kama ambavyo tulikuwa tunaishi mwanzo na nashkuru sana ila nakuahidi hili lililotokea halitakaa litokee tena… Maneno yake kuna namna yakawa yananiuma sana, yaan inawezekana vipi anambie nisahau kitu ambacho kimetokea dakika chache zilizopita, ila nikatikia sawa tu, kisha nikajiambia kuwa nimekuja kufanya kazi na sio kutafuta mpenzi hivyo natakiwa kuhangaika na kazi yangu na sio vijana wa watu… Basi nikatoka kwa sababu mimi ndio nilienda chumban kwake, nikaingia kwangu kisha nikaoga, ila msisimko na mawazo ya shoo ndio yakawa yananitesa sana, kwa sababu sikuwah kufanyiwa niliyofanyiwa na nabil kuanzia nimezaliwa, yaan hili ndio tendo la kwanza nililofanya kwa ridhaa yangu mwenyewe… Basi kulipambazuka, na shughuli za kawaida zikawa zinaendelea, na tulivyoamka kuna watu wengine wakaja kuungana na sisi kwenye ile vocation na inaonekana kama familia ya Yule mwanaume maana asilimia kubwa walikuwa kama waarabu hivi.. Walikuwa na upendo sana na baba na mama yake nabil wakanifanya kama mwanafamilia, na sikwenda pale kama kijakazi, kama ambavyo nilidhani, sikuruhusiwa kufanya kazi yoyote zaidi ya kujumuika na familia kwenye shughuli zote za kifamilia… Sasa bana kuna ndugu yao mmoja yeye ndio kidogo alikuwa mweusi, ila alikuwa na nywele nzuri balaa, akanifata na kuanza kuniuliza mimi ni nani? Kwa sababu hakuwah kuniona, basi nikamuelezea na tukaanza kupiga story sasa, alikuwa ni mchangamfu sana, yaan ukikaa nae alafu ukanuna lazima ukachekiwe bandama maana lazima itakuwa na shida… Sasa kumbe nabil amekaa na ndugu zake, sijui ndio ananimissigi au vipi, nashangaa anakuja kukaa ambapo nilikuwa nimekaa na Yule ndugu yake, alikuwa anaitwa faisal .. “ usinambie umevutiwa na mtoto mzuri, akasema nabil .. Faisal akacheka kisha akasema “ kwani kosa lipo wapi na unajua kabisa mimi nipo single na dada si haujaolewa pia? .. “ ndio, na hapa nilipo natafuta mchumba, nikajibu nashangaa nabil anaanza kucheka kisha akaanza kusema “ kwa hio zinura ndio ulikuwa unanidanganya si ndio, sasa si ungesema tu hunipendi nijue moja.. Kwa akili yangu nikajua ni utani wa kawaida, ila kumbe nabil alikuwa ana maanisha kila neno ambalo alikuwa analiongea, nikajibu “ nyie wote wazuri bana mimi siwez kuchagua, hapa tutangalia mwenye kisu kikali tu.. “ mwenye kisu kikali ndio mlanyama au sio? Akauliza nabil.. “ swadakta sikujua kama unaakili ya kujiongeza kiasi hicho, nikajibu huku nacheka zangu nikijua tunataniana tu.. ITAENDELEA

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

Mapigo yangu yakaanza kwenda mbio, lile giza giza la pale likaanza kuleta tasiwra ya omari wangu wa kweli ambae hajaanza kutakata kwa pesa, Yule omari ambae ngozi yake ilikuwa imefubaa kutokana na kushinda kulima mashamnba ya vibarua huko unguuni ambapo ndio alikuwa anaishi.. Omari ambae kupaka mafuta ilikuwa kama sherehe au kitu kikubwa sana kwake, na siku akipata mafuta mazuri kidogo lazima atakuja kunisimulia kuwa amepaka mafuta ya tofauti na atataka nisikie harufu yake, machozi ndio yalizidi kunitoka kila alipopiga hatua moja na kukaribia kunifikia… “ mbona unalia? Aliniuliza baada ya kufika karibu yangu.. Niliskosa cha kumjibu na badala yake nikageukia upande wa pili kisha nikaaanza zangu chini na kusema “ samahan naomba kukaa pekee yangu.. “ no zinura siwez kukuacha pekee yako ukiwa katika hali kama hio, akanambia.. Kwa namna alivyoongea ni kama omari wangu, alikuwa anapenda kunambia hivyo wakati ambapo nikiwa nimeanguka kimasomo, au nimekerwa na mtu, nilikuwa napenda kujitenga na kulia, hivyo anakuja karibu yangu na hata nikimfukuza alikuwa akikataa kuondoka na kunambia hawezi kuniacha katika hali kama ile… Nilijikuta nimeinua macho yangu na kumtazama kisha nikasema “ embu nambie wewe ni nani, na kwanini nikitane na wewe jamani.. “ una maanisha nini? Akauliza kana kwamba hakuwa ameelewa nilikuwa naongea nini… Nilishindwa kupata jibu, nikajikuta nainamisha macho yangu na kulia tena, aisee nililia sana na akawa ananipiga piga mgongoni huku ananiomba nimuambia nina shida gani… Kwa kuwa alisisitiza sana ikabidi nimsimulie kila kitu kuhusu mimi na omari na mambo yote yaliotokea, alionekana kunionea huruma sana, na kumtakia omari apumzike mahala pema peponi… “ ni kweli atapumzika mahala pema peponi na vipi kuhusu mimi? Nikamuuliza.. “ una maanisha nini ukisema hivyo dhinura? Na yeye akaniuliza tena.. “ mimi hatma yangu itakuwa je, kwa sababu sijui Mungu ana maamuzi gani na maisha yangu, kwa sababu kanikutaisha na mwanaume kama omari tena, ambae ni wewe, umefanana nae kila kitu, yaan kuanzia mwendo, sauti, sura, hizo dimpozi namna unavyotamka jina langu, kwanini lakin nimekuja kukutana na mwanaume kama omari tena… Nabil akashusha pumzi kisha akaangalia chini kwa sekunde kadhaa na kusema “ huenda kuna historia ya mapenzi hukuimaliza kati yako na omari ndio maana akakukutanisha na mimi, huenda alitaka hio simulizi ikamilike na tabasamu na sio huzuni tena… Maneno yake ni kama yaliongeza kitu moyoni mwangu, nikamuangalia na kusema “ huenda ni kweli.. Basi tukakaa pale na kuanza kupiga zoga pale, mwisho usiku ulikuwa mkali sana, ikabidi tiuagane na mimi nikaenda kwenye chumba changu nay eye akaenda kwenye chumba chake… Sasa nimeshaoga nimemaliza kila kitu, nikaanza kuhisi kiu, nikatoka chumban nilipo na kwenda ukumbini labda nitaona jiko, ila wakati natoka chumban kwangu, nikamuona nabil chumba chake na changu vilikuwa vinaingiliana, hakuwa amefunga mlango vizuri, na alikuwa ameinama chini kana kwamba alikuwa analia… Nilijisikia vibaya, na kusogelea mlango wake na kuusukuma, mpaka nasukuma hakuwa amenisikia, ikabidi niite na kuuliza “ shida nini mbona upo kwenye hali kama hii, kwanini unalia?... Hata hakunijibu akaja mpaka nilipo kisha akaniangalia kwa sekunde kadhaa kisha akanikumbatia kwa nguvu, yaan alinikumbatia mpaka akaanza kutetemeka na nilikuwa nasikia mapigo yake ya moyo yanaenda kasi sana… Sasa lile kumbato la nabil ni kama nikaanza kyhisi joto la omari maana alishawah kunikumbatia mara kadhaa na joto la omari nilikuwa nalikumbuka, na ndio hilo ambalo nililihisi siku hio, nikashangaa nabil nay eye kama uzalendo ukamshinda, akaanza kama kuzifuta lips zangu na kidole gumba chake, basi tukajikuta tunaanza kukiss… Mwili wangu ulikuwa unasisimka sana, nilijikuta na kuwa na hisia za ajabu, yaan kila mguso na namna ninavyozisikia pumzi zake zilikuwa zinazidi kunipa ukichaa, na kusahau kabisa kama nabil alikuwa ni boss wangu… Najua nabil alikuwa Malaya sana, kwa namna ambavyo watu wengi waliniambia, ila kuna namna hisia zangu zilinisaliti kabisa, nikajikuta nakosa maamuzi na hisia ndizo zikawa zinaniamulia, akaanza kunikiss sana, alikuwa anaonekana nay eye kama alikuwa na hisia sana na mimi, tukakiss na romance za hapa na pale kwa karibu nusu saa nzima, yaan mpaka nikajiona naanza kuzama mazima sehemu ambayo hata sikutegemea kuzama.. Basi tumekiss pale weee, kisha akasema “ mimi ni omari mamaa, naomba usinikataze kufanya ninachotaka kufanya… Alikuwa anaongea huku pumzi zikiwa zinatoka kwa tabu sana kwa sababu alikuwa ana hema haraka haraka sana kana kwamba alikuwa anakimbizwa… Nilikuwa nimevaa dera tu, akaanza kunipapasa akagundua sikuvaa nguo zingine, kwa sababu nilikuwa najiandaa kulala, nikashangaa abdala kichwa wazi anazidi kusimama kama mlingoti wa chuma… Kwa namna ambavyo alikuwa anaonekana amezidiwa sana, akanivua dera akatupa huko, kisha akanitupia kitandani, yaan ule utamu ambao nilikuwa nausikia kwa maandalizi sikuwah kuusikia kuanzia nimezaliwa, kwanza sijawah hata mara moja kufurahia utamu wa mapenzi, kwa sababu toka nilipofanyiwa ukatili na wale wa huni, ni kama nilikuwa naogopa sana wanaume, hivyo sikuwah hata mara moja kufanya kwa hiari yangu na siku hio ndio ilikuwa mara ya kwanza kwangu… Baada ya maandalizi kabambe akaanza kupitisha mtalimbo wake taratibu, kama anataka au hataki vile, yaan ni kama alikuwa ananinyanyasa kihisia, nikaona usinitanie, nikamvuta mpaka nikasikia mtambo wake umepita wote mpaka mwisho wa kuta za maumbile yangu, nilidhani nitaumia ila ndio kwanza utamu ulizidi…. Baada ya kufanya hivyo ndio kama nilimpa nguvu sasa za kunipiga shoo ya maana, na kweli hakunilazia damu, ilikuwa ni shoo shoo, na hapo sikumbuki kabisa kama ni boss wangu na natakiwa nimuheshimu, ila nikawa naililia kabisa… Sasa shoo imeenda imeenda akawa anakaribia kumaliza nashangaa anasema “ sema omari, niite omari ahhhh mamaaaa, niite omari… Kwa kuwa nilikuwa namimi nimetaitishwa, nahisia zilikuwa juu kiasi kwamba nikawa kama zoba, basi nikaita omari kwa ile sauti ya kutolea nyoka pangoni, aisee alishusha pumzi kisha akafunga macho na kusema “ ahhhh zinura, zinura wangu, ohhhh mamaaa, niite tena, ahhh mamaaa niite tena, shiiiit wewe mtoto, wewe mtoto say my name please, basi nikaita tena omari wangu, aiseee akaanza kutetemeka kama generator mbovu kisha akaanza kusema “ namaliza namaliza kipenzi changu, nipokeee, nipokeeee, nipokeeeee ahhhhhhhh… ITAENDELEA

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

“ ulikuwa unafanya nini na Yule mpuuzi jikoni, yaan kumbe unalipwa mshahara ili uje ufanye umalaya si ndio, kweli wanawake ni viumbe wa ajabu sana, hamjulikani mnataka nini, hapa umekuja kufanya kazi upate hela, au umekuja kutafuta bwana mwenye hela, ambapo hautajali hata kama unatoa utu wako cha msingi uwe nae tu, huyo kiyan unae muona ana mchumba wake na ameshamtolea mpaka mahari, jitulize, mbona wewe mzuri tu na unaweza kupata mwanaume mzuri wa maana ambae anaweza kukuoa, akasema… Nikashangaa kwa nini anasema vile, kwa sababu kwanza sikuwa nimefanya jambo lolote baya na kiyan, na sikuwa naona sababu yay eye kunifokea kwa kiasi chote kile, ikabidi nimuulize “ boss mbona kama haupo sawa? Shida ni nini.. Nilipomuuliza hilo swali ndio kama akajishtukia, akaangalia chini kwa sekunde kadhaa kisha akasema ‘ mimi ni sawa na kaka yako nakulinda tu.. “ sawa nashkuru sana, nikajibu kisha nikaingia zangu ndani na kuendelea na majukum yangu mengine, ila wakati nafika ndani, akaniita akataka nikae mezani n anile.. “ hakuna tatizo boss, mimi nitakula tu, nikajibu.. ‘ utachagua ule au uache kazi, haya upesi njoo ukae mezani, akasema kwa sauti ya ukali, na kwakuwa nataka kazi yangu nikatii, ila wakati wote kiyan alikuwa anacheka tu kana kwamba ameona kitu kinachomchekesha… Nabil akaenda jikon akaniletea sahani na juice kisha akanipakulia chakula na kunitengea, na baada ya hapo akataka nile nay eye akawa anakula, wakati wote huo kiyan alikuwa anatuangalia huku anacheka, na kati yangu na nabil hakuna mtu hata mmoja ambae alikuwa anamtaza mwenzake, wote tulikuwa tunaangalia sahani na tukala mpaka tukamaliza… “ leo umefanya kazi nyingi sana, utakuja kufanya kazi nyingine baadae nenda kapumzike, akasema kiyan.. “ nataka nimalizie kuosha vyombo, nikasema … “ nimesema nenda kapumzike, akajibu kwa sauti ya ukali nikatii, na kweli nilichoka maana jana yake nilikesha naangalia movie, kama mnavyojua wadada tukitoka kijijini namna tunavyokuwaga malimbuken wa movie.. Basi nikaenda zangu kulala, sikuwa najua hata nimelala masaa mangapi, naamka nakuta nje tayar kunagiza, na nilipoangalia saa, nashangaa naona ni saa mbili kamili usiku, nikakurupuka na kunawa uso kisha nikatoka jikoni kwa ajili ya kupika.. Ila wakati natoka chumban kwangu nataka kushuka ngazi, nikasikia sauti ya kiyan na nabil wakiwa wanaongea kutokea chumban kwa nabil kuna namna nilijikuta nataman sana kusikia wanaongea nini, akawa kiyan anasema “ najua unampenda sana huyu mwanamke kwanini usimuambie? Au shida ni Yule mwanamke wako wa nje ulipokuwa unasoma unahisi atarudi, nakuapia huyo hatakaa arudi tena na huenda ameshaolewa kwa miaka yote saba hio ulioachana nae… Niliposikia mwanamke wan je, na wameachana miaka saba nikajua moja kwa moja sio omari, kwa sababu sisi tunamiaka sita toka hatujaonana, alafu yeye alikuwa nje ya nchi kwa miaka saba nyuma, nikaamin kuwa ni mtoto wa hii familia, na nikajiapia kumuheshimu kwa sababu amefanana na mwanaume ambae nilishawah kumpenda sana kwenye maisha yangu… Basi bana wazaz wa nabil hawakurid siku hoo nyumban, nikatoka na kwenda jikoni nikakuta ameshapika na kila kitu ni kisafi, niliamka na njaa, nikaanza kula mara na wao wakashuka, wakala na kiyan akaondoka zake, ila kuanzia kiyan aondoke nabil akawa aniangalia sana, nikawa sasa najikagua labda kuna shida ninayo, ila sikuwa na shida yoyote ile, maana alikuwa ananiangalia kisha anatabsamu zake.. Hata sikumfatiliza, nikala haraka haraka, ila kabla sijatoka mezani, simu ya nabil ikaanza kuita, alikuwa anapiga mama yake simu, akapokea, wakasalimiana pale kisha sijui mama yake alimuambia nini, ila akajibu “ mama si unajua mambo ya vocation sio mambo yangu kabisa, ingekuwa club sawa, ila mimi sitatoka kwa sababu nataka kukaa nyumban.. Nikawa najuambia kuwa matajiri wana raha, yaan mpaka wanatumia hela vibaya kwa sababu ya kwenda kushangaa shangaa tu… Basi nikashangaa inaingia sms kwenye simu yangu kutoka kwa mama yake nabil ikisema “ funguo chumban kwangu, kuna nguo kitandani kadhaa nimekununulia, kesho tutakuja kukuchukua tutoke wote kama familia… Nilijisikia vizuri sana, kuwekwa kama mmoja wa wanafamilia, nikatabasamu baada ya kusoma ile sms nikashangaa nabil kanikata jicho kisha akasonya, hata sikumfuatiliza nikarudi zangu chumban kwangu… Kesho yake niliamka mapema sana, na kufanya shughuli zangu, na nabil alitoka akaja kurudi kwenye kama saa kumi, akanikuta nimekaa zangu ukumbini naangalia zangu movie, na baada ya kurudi akaja baba yake na mama yake, kisha wakamuambia akajiandae.. “ nilishawaambia siendi sehemu bana, nyie nendeni mimi mtaniacha hapa nilinde nyumba, ingekuwa club, hata maneno yasingenitoka, akasema nabil hapo ameshabadilisha nguo kavaa zake bukta na vesti ana zunguka zunguka hapo ndani, wazaz wake hawakutaka hata kubishana nae, wakamuambia tu sawa… Sasa mimi nikaenda zangu kuoga kisha nikavaa, yaan nguo zilinikaa vizuri, sasa ile natoka nakutana macho kwa macho na nabil alibaki kaduwaa huku anatabasamu kana kwamba ameona kitu cha thaman ghafla, mara akaanza kusema “ yaan kwa kuwa baba na mama mmesisitiza sana, naomba na mimi niende tu, akasema nabil kwa sauti ya juu maana wazaz wake hawakuwa ukumbini, kumbe mwanzo alisema haendi sehemu kwa sababu alihisi mimi nitabaki nyumbani, ila alipoona na mimi naondoka akaona nay eye aende tu… Basi baba yake nabil na mama yake waka panda gari lao na mimi na nabil tukapanda gari lingine ambalo alikuwa anaendesha nabil, na hatukuwa na mazoea ya kuongea, hivyo kwenye safari nzima tulikuwa kimya… Sijui hata tulienda wapi, ila ilikuwa ni kama nyumba ambayo ilikuwa nje ya mji kidogo, na pemben ya hio nyumba kulikuwa na mto, basi tulipofika tukala na baada ya hapo nikawa natembea tembea nikaona ule mto, ulikuwa ni mdogo, nikaenda kukaa na kuanza kulia, nikaanza kukumbuka ile siku tulikuwa mtoni na mwanga wa mbalamwezi ulikuwa unamulika kama siku hio, nikamkumbuka sana omari wangu, na kuwalaani watu wote ambao walityfanyia ukatili… Kumbe nabil baada ya kutoniona walipokaa wazaz wake akaanza kunitafuta, kwa sababu pale kulikuwa na watu wengine, ambao ni wapishi na wafanya usafi, sijui alihisi kuna mwamba naongea nae au vipi… Nikiwa sina hili wala lile nalia zangu, mara nikasikia sauti ya nabil nyuma yangu ikisema Zinura… Kuanzia nafika kwenye ile nyumba alikuwa ananiita dada tu, na kwa namna alivyotamka nikajikuta nimesikia sauti kama vile omari wangu alivyoniita, nikageuka kwa shauku na kusema Omari, nay eye akaniangalia huku ananifata huku akiwa anatabasamu… Kwanini unadhan nabil ametabasamu baada ya kuitwa omari, na nabil ni nani, na kwanini afanane na omari kila kitu, na kama nabil ndio omari na vipi kuhusu wazaz wake maana anaonekana ameishi sana nje ya nchi, au labda ni pacha wake? Hata mimi sijui, usikose kipande kinachofuata… ITAENDELEA ….

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

Nilihisi kama sijaona vizuri, nikaanza kumuangalia kwa makini sana ni kweli alikuwa ni yeye, cheka yake, na namna ambavyo anaongea, dimpoz zake, urefu wake yaan kila kitu alikuwa ni yeye, ila tofauti ni kwamba alikuwa na afya na amenawiri sana.. Nikaja kushtuliwa na harufu ya vitunguu kuunguwa ndio nikashtuka na kuanza kupika upya… Nilikuwa sielewi kabisa kama ni nina ota au laa, maana kila kitu yaan kitu alikuwa sawa sawa na omari, sasa kichwan kwangu nikawa na majibu na maswali kadhaa, la kwanza, huenda labda wamefanana tu maana duniani watu wawili wawili, na kingine kama angekuwa ni yeye si angerudi nyumban kwao, kwa sababu anaishi maisha mazuri anachezea hela alafu wazaz wake hawana hata viatu vya kuvaa, mwisho nikatoka na jibu kuwa sio omari wangu, na nisimlinganishe na wanaume wa shenzi kwa sababu omari wangu ni mtiifu sana na anaadabu hawez kuwa na sifa mbaya kama kuwa Malaya au kujihusisha na dhambi yoyote ile… Basi nikapika pale mpaka nikamaliza na baada ya hapo nikaenda kutenga mezani, nikawa nasikia mama yake anauliza “ Nabil mwanangu ni lini utaacha tabia yako ya hovyo lakin, nataman sana kukuona umeoa na mimi niwe na mjukuu mwanangu.. “ni kweli sisi tumeshakuwa watuwazima sana tunataman familia yetu izidi kupanuka, utuletee mkamwana atulee, na utuletee na wajukuu, si unaona upo pekee yako hauna hat ndugu, akawa anasema baba mwenye ile nyumba ambae alikuwa kama muarabu koko flani hivi… “ sasa ngoja niwaambie, si mnaona namna ninavyochapa kazi kama sina akili nzuri, akasema nabil na baba yake akajibu “ kwa hilo nakupongeza, yaan kampuni imepata faida kubwa sana kuanzia ulipoanza kuiendesha.. “ mnafikiria Napata je nguvu sasa? Akauliza nabil.. “ ndio utuambie hii hari uliyo nayo inatoka wapi?.. “ madem, yaan nikikaaga na mademu nafanyaga kazi kama sina akili nzuri, mmeona sasa faida za watoto wazuri namna wanavyonipa munkari ya kufanya kazi.. Nilishangaa namna nabil anavyoishi na wazaz wake, ila mimi nikimkumbuka baba yangu mzee Suleiman, yaan ukisema habari za mabwana mbele yake, utashangaa stuli ya kichwa imekuangikia kichwani, na mama yangu ameshaenda kuchukua kuni yenye moto anakupiga nayo mpaka moto uzime, lakin sijui hawa ndio wanaishi maisha ya kizungu au vipi, kwa sababu anaongea kitu chochote kile anachokitaka na wazaz wake wanamuangalia tu, tena wanacheka kabisa… “ nimesikia umeniletea mke nambieni ni mzuri ee, akauliza nabil na mama yake pamoja na baba yake wakaangaliana kisha mama yake akasema n” huyu binti kaja kutusaidia kazi hapa, na hajaja hapa kuwa mwanamke wako, safari hii ukifanya ujinga yaan sitokusamehe kabisa nabil, akasema mama yake na nabil akacheka kisha akasema “ nilikuwa nakutania bana mama nataka sasa hivi niwe shehe au mnaona je?.. Wazaz wake wakaangaliana kisha wakacheka na baba yake akasema “ sawa tunakuombea… Niliposikia wazaz wake wanamuita nabil nikajua hawez kuwa omari wangu, watakuwa wamefanana tu, basi nikatenga chakula kisha nikasema “ chakula tayari, karibuni mezani, Yule kijana aligeuka kwa mshangao kisha akaniangalia kwa mshtuko… Nilishangaa ni kwanini alikuwa ananiangalia vile , ila nikajizuia kuwaza ninachokiwaza kwa sababu omari asingeweza kabisa kupata mali alafu wazaz wake wateseke, na huku kwa nabil sasa, akaanza akamsogelea mama yake kisha akasema “ mlijuaje kama hivi ni vitu vyangu mtoto kajazia balaa… Nabil alikuwa amezoeana sana na mama yake, mama yake akacheka kisha akasema “ acha tamaa… Basi wakaenda mezan na kula, na mimi nilikaa sehemu nikiwa nawaangalia, walikuwa wanaonekana ni familia yenye furaha sana, nikaanza kumuwaza omari wangu, huenda angekuwa hai na sisi siku moja tungekuwa na familia yenye furaha kama ile.. Basi wakala na mara baada ya kumaliza kula nikaenda kusafisha meza, na nabil kumbe alikuwa anashangaa umbo langu na sio mimi kama ambavyo nilikuwa nadhani… Basi nikaanza kuishi kwenye ile nyumba, kusema ukweli ilikuwa ni familia yenye upendo sana, kiasi kwamba wakaanza kuninunulia na mimi mafuta ya elfu 35 pamoja na nguo nzuri, nikawa naishi nao kama ndugu, ila kuanzia nnimefika pale kuna namna nabil alikuwa anrudi sana nyumban mapema, kwa sababu alikuwa anaweza kutokomea hata mwezi hajarudi nyumban, yaan wazaz wake wanakutana nae kazini tu… Akiulizwa amepatwa na nini akawa anasema tu, siku hizi anafurahia vyakula vya nyumban kuliko mahoteli, maana mwanzo hawakuwa wanapika kabisa bali walikuwa wanaagiza tu.. Wazaz wake wakawa wananipongeza ila kutwa mama yake akawa ananiuliza kama mwanae ananisumbua, ila ukweli alikuwa ni kijana mstaarabu sana, hata hatukuwa tunaongea, yaan akiwa nyumban anashinda zake anacheza magemu, na mimi nikimaliza shughuli zangu nakaa zangu chumban maana nikimuangalia nataman kulia maana nahisi kama nipo na omari wangu… Siku moja akaja rafiki yake nabil nyumban, ni kama nabil hakuwa anataka aje, ila alikuja kama kwa lazima, maana nilisikia anaongea nae kwenye simu akimuambia kuwa “ usije mimi sipo nyumban, ila alikuja kwa kulazimisha, na alipofika nyumban nikasikia anasema “ nataka nimuone huyo anaesababisha unarudi nyumban kama kuku wa kizungu, yaan saa kumi na mbili tayar upo ndani kama unaiwahi ftari… “ usiongee kwa nguvu bana, embu twende ndani akasema nabil haraka haraka na kweli wakaingia zao ndani.. Basi nabil akaniita niandae chakula, nikaandaa ugali na samaki, kwa sababu ndio anapendaga, nikawatengea kisha nikarudi zangu jikoni kuendelea na shughuli zangu, mara Yule rafiki yake nay eye akaja jikoni na kusema “ naweza kupata juice, ila kabla sijamjibu nikasikia naitwa na nabil, nikaenda ukumbini akanambia “ mbona ujaleta maji ya kunawa?.. “ sinki si hilo hapo boss najuaga mnanawaga hapo, nikamuambia maana huwa kuna sinki la kuoshea mikono kwenye dinning room, akaniangalia kisha akasema “ ahaa sawa kaendelee na majukum yako.. Kweli nikaridi jikoni na rafiki yake hakuwa ametoka jikoni, akawa anasubiri nimpe juice kama anavyosema, kabla sijaingia mlango wa jikoni nikasikia “ dada njoo, ananiita tena.. Nikarudi mpaka alipo kisha nikamuuliza “ naweza kukuhudumia nini boss?... “ maji ya kunywa yapo wapi?.. “ hayo hapo kwenye jug, na glass nadhan unaiona, nikajibu kwa unyenyekevu.. “ ahaa sawa nenda kaendelee na majukum yako, nikajibu sawa Nimefika nikawa sasa namuandalia Yule rafiki yake juice, bana bana kumbe chakula hakiliki, akaacha kula, akatafuta upenyo akawa anachungulia nafanya nini na rafiki yake alikuwa anaitwa Kian.. Basi nikaandaa juice kisha nikamiminia kwenye glass, ila sasa wakati nampa kiani juice akaanza kuushika mkono wangu kama ana upapasa, kisha ndio akapokea juice, aisee sijui nabil alitokea wapi, kisha akanishika mkono na kuanza kutoka na mimi nje kwa hasira kana kwamba amemfumania mke wake wa ndoa, kumbe wivu bana mimi sikuwa najua.. NAKUJA……

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

Nimekuja kuamka nipo hospitali ya mount meru, na wakati huo ilikuwa ni mchanam nikajua kuwa ni lazima nilikuwa nimepoteza fahamu kwa usiku mzima, na kweli ilikuwa hivyonna jina la kwanza kulitaja baada ya kufungua macho ni omary … Mama yangu alikuwa pemben yangu, akaniangalia kisha akasema “ zinura mwanangu ndio kwanza umeamka, nambie una sikia njaa.. Ni kama sikusikia swali la mama yangu, nikawa na mimi nauliza swali kuwa omary yupo wapi?.. “ yupo mwanangu, yupo pona kwanza utaenda kumuona, mama yangu alisema, ila alikuwa ababuabfalia kwa sura ya majonzi ikionesha wazi kuwa omari hakuwa sawa kama mama anavyosema, nilielewa nikajikuta naanza kulia, na kusema “ mama kawashikeni wakafungwe wamemuuwa omari wangu na wakati hakufanya jambo lolote lile, mama sisi hatukuwa tumewakosea kabisa, ila sijui ni kwanini walitufanyia hivi, na sijui ni kwanini walimuuwa omari wangu mama, wamemuuwa omari nimeona kwa macho yangu mwenyewe, nikawa naendelea kusema… Mama yangu akaangalia chini kwa sekunde kadhaa kisha akashusha pumzi na kutoka na kuniacha pekee yangu wodini, nakuja kumuangalia kupitia kioo kilichopo dirishan namuona akiwa analia, hali hio ikanitia mashaka sana na mimi nikajikuta nalia pia, maanan nilikuwa nina uhakika kuwa omari wangu tayari atakuwa ameshakufa.. Nilikaa hospital siku ile, ila nilipewa p2, na vidopnge vya kuzuia maambukizi ya virusi vya ukimwi zile pep nikapewa na kuambiwa natakiwa kuanza kumeza kwa siku 28 na baada ya miez mitatu niende nikapime tena.. Basi nimerudi nyumban kila mtu anakuja kunipa pole, na akili zangu nikawa naamin kuwa wananipa pole kwa sababu omary wangu amefariki, na kila mtu alikuwa ananionea huruma, nilijikuta naona aibu hata kwenda shuleni kumalizia mitihani yangu ya kidato cha nne, maana tulifanya mahafali kabla ya mtihani, na najua huenda ningefaulu vizuri maana nilikuwa ni miongoni mwa wanafunzi wanaofanya vizuri sana kwenye shule yetu, yaan omari alikuwa ni lazima awe wa kwanza na mimi nilikuwa nacheza namba mbili mpaka tano ila mara nyingi nilikuwa nakuwa watatu na wanne kishule na hata mtihani wa mock nilipata division one ya 16, ila sikutaka kwenda shule nilikuwa najiona kama nina mkosi au laana… Baada ya kama siku kadhaa kuanzia nirudi, wazaz wa omari walikuja, walikuwa wanaonekana kama watu wenye maishaa duni sana, maana mama yake alikuja peku na baba yake alivaa viatu, ila alikuwa anaonekana kama alikuwa anatembea peku tu maana lapa lilikuwa limetoboka sehemu yote ya kisigino… Wakanifata na kunipa pole, maana taarifa za yaliotutokea yote walikuwa nazo, kisha wakaniuliza kuhusu mtoto wao omari… Nikajikuta naanza kulia, kwa sababu sikuwa najua hata naanza kuwasimulia nini na naanza kuwasimulia vipi, kwa sababu kila nitakachoonge nilihisi ni kama kingekuwa kinakata sehemu ya moyo wangu kwenye vipisi vipis,ila wakanisihi sana, na sikuwa na namna zaidi ya kuwasimulia kuanzia jambo lilivyo anza mpaka mwisho, na wakaniomba niwaambie kuhusu vijana ambao walifanya matendo hayo, na kweli nilikuwa nawakumbuka na baada ya kufanya tukio wote waliondoka kijijini sijui hata walienda wapi, ila nikawatajia, mama yake akaanza kulia, ila baba yake akasema “ ni lazima watalipa damu ya mwanangu, kisha wakaondoka… Baada ya siku kadhaa mazishi ya omari yakafanyika, ingawa mwili wake haukupatikana, ila waliona bora wazike tu hata jina, maana kumsubiri mtu ambae hauna uhakika kama atapona au laa ni ngumu sana.. Basi bana maisha yakaendelea na kwakuwa nilikuwa na msongo wa mawazo ambao ulipelekea kutomaliza kidato cha nne, maisha yakaanza kuwa magumu, ila nilikuwa na rafiki yangu mmoja alikuwa anaitwa mwajuma, akanambia twende mjini tukatafute maisha , maana tukiendelea kukaa nduruma tu basi maisha yetu yatakuwa ni hapo tu kama wanakijiji mpaka mwisho wa maisha yetu… Hapo ilikuwa tayari imeshapita miaka kama sita, na sikuwah kutaka kujihusisha na mahusiano, kuna namna nilikuwa najiona kama nina laana, na nilijikuta nahisi huenda kifo cha omari nitasababisha niishi maisha yangu yote kama mjane niliefiwa na mume nikiwa katika umri mdogo sana… Basi tulienda arusha kutafuta kazi za ndani, na tunamshukuru Mungu mwajuma alipata pale pale arusha ila huyo boss wake akanambia kuwa ana ndugu yake, ambae alikuwa anaishi dar es salam kwa kipindi hicho alikuwa nae anataka mfanyakazi, ila akanipa na tahadhari na kunambia kuwa “ ana mtoto mmoja wa kiume ambae ni muhuni kupita maelezo, hivyo nikifika pale nifanye kazi na niachane na maisha yao, ila wanampenda na kumuenzi kama jicho maana ni mtoto wao wa pekee na wamempata kwa tabu sana… Nikauliza kwanini unasema wamempata kwa tabu, ila hata hakunambia sababu… Basi kesho yake nikaongea na huyo mama ambae ndio ataenda kuwa boss wangu mpya, alikuwa anasauti nzuri na alikuwa anaongea kwa upole sana, yaan mpaka nikaona ehee nimeshapata boss mzuri sana, na kesho yake akatuma nauli, na Yule mama akanipandisha kwenye saibaba enzi hizo ndio lilikuwa gari classic sana arusha, na safari ikaanza… Nilikuwa nasali bara bara nzima kuwa nipate hela nije kuwasaidia wazaz wangu na kijiji changu, na mungu anijalie nipate boss mzuri ambae hatanitesa wala kunisimanga kutokana na hali yangu, na kwa kipindi hicho hata urembo wangu ukaanza kupungua kutokana na ugumu wa maisha uliopelekewa na kukosa matunzo mazuri kwa mtoto wa kike kama mimi…. Nilifika dar saa tisa mchana, kipindi hicho magari yalikuwa yanakimbia kama yametumwa, maana hakukuwa na tochi barabaran na sikuja kupokelewa na mama wala baba mwenye nyuma, wala kijana wao, ila nilikuja kupokelewa na mlinzi kutoka ubungo hapo… Basi bana alikuwa amekuja na gari na safari ikaanza, tukaenda mpaka klwenye nyumba moja ipo huko mbezi beach, kiukweli ilikuwa ni nyumba nzuri sana, na nahisi kwenye maisha yangu yote ambayo nimeshakaa kijijin sikuwah hata kwa bahati mbaya kuingia kwenye nyumba kama ile, na nilipokuwa mdogo nilikuwa nahisi majumba makubwa yenye kengele wanakaa wazungu tu, ila ushamba huu.. Basi bana nikaingia ndani, yule mama alikuwa mkarimu sana nay eye akanipa onyo kama ambalo amenipa Yule bosi wa shoga yake mwajuma kuwa “ nina kijana wangu, sijajua atarudi lini, ila anaweza kuja hata leo, na hajatulia kabisa, naomba ufanye kazi na uachane na mambo yake, sitegemei kuja kuharibu maisha yako, maana najua ulipotoka maisha sio mazuri ndio maana umekuja kutafuta maisha… Nilimuitikia kuwa nimemuelewa na hatimae nikaanza kufanya kazi.. Basi zilipita kama siku nne, jion ya siku hio nikasikia mlinzi akisema bro karibu sana.. Sikujisumbua hata kumuangalia ila alicheka kisha akasema “ nasikia mama ameleta pisi mpya, embu nambie nikali ee.. Ile sauti haikuwa ngeni masikioni mwangu, ikabidi nichungulie, lahaula! Nashangaa nakutana na sura ya omari… ITAENDELEA ……..

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

Ni mwaka 1997 ndio mwaka niliokuwa naanza darasa la kwanza katika kijiji cha nduruma, shule ya msingi mlangarini.. Nilikuwa natoka kwenye familia yenye uafadhali wa maisha kidogo pale kijijini, kwa sababu kwanza nilienda shuleni nikiwa nina nguo za shule zote, na viatu vyeusi ambavyo vilikuwa vimepigwa kiwi vizuri na guo yangu ya shule iliyopasiwa kwenye pasi ya mkaa… Ingawa tulikuwa bado tunaishi kwenye nyumba ya udongo, ila angalau nyumban kwetu kulikuwa na solar, hivyo ndio nyumba pekee ambayo ilikuwa inawaka taa tena vizuri sana, kuna baadhi ya watu wakawa wanatuita matajiri, kwa sababu baba ilikuwa kila jumapili analeta jenerator analiwasha kisha wanakijiji wanakuja kuangalia tamthili, kwa kipindi hicho zilikuwa zile za kina muhogo mchungu na mama kai za Itv, na matangazo yaliokuwa yanapita ni yale ya jambo, yaan watoto wa kijiji kizima nyimbo zao kuu zilikuwa ni chai jaba kikombe cha ubora, na ile ya mimi naitwa jambo kubwa, na wewe je, mimi naitwa jambo ndogo na wewe je, mimi naitwa jambo kati kati, yaan hizo nyimbo mbili zilikuwa kama nyimbo za kijiji na ulikuwa usipozijua unaonekana mshamba kwa sababu hauangaliag tv, yaan mpaka wale ambao hawakuwa wanakuja nyumban kwetu iliwalazimu kushika hizo nyimbo ili wasije kuchekwa na watoto wenzao.. Sasa Wakati naanza kusoma darasa la kwanza , kuna mwanafunzi wa kiume alikuwa anatoka kijiji jirani, alikuwa anaonekana kama anatoka kwenye maisha duni kuliko hata ambayo nilikuwa natoka mimi, kwa sababu sisi tunaanza la kwanza na viatu, angalau kidogo wasafi, ila yeye alikuwa anakuja peku… Alikuwa mchangamfu sana, na kila mtu pale darasan alimpenda, licha ya kuwa na maisha duni, ila alihakikisha kuwa kila aliekuwa karibu yake ni lazima awe na furaha, alikuwa anaitwa omary .. Katika kipindi kifupi toka tumeanza shule, tulijikuta tunakuwa marafiki wakubwa sana na omary kutokana na uchangamfu wake na upendo wake kwa watu wengine na adabu aliokuwa nayo kutoka kwa mkubwa na mdogo, yaan kila ambae alikaa karibu nae alijihisi amani na furaha ya kweli… Nilikuwa naumia anavyotembea peku, zile hela zangu ambazo nilikuwa napewa kwa ajili ya kula shule, na wakati huo nilikuwa napewa shilling 50, nilikuwa sili, naweka mpaka ikajaga kufika shilling 750 kwa enzi hizo nikamnunulia viatu… Yaan alilia kwa uchungu na kunambia hakika zinura sitakaa nikusahau kwenye maisha yangu yote.. Miaka ikaenda na sisi tukawa tunaendelea kukuwa kama kawaida, hatimae tukamaliza elimu ya msingi na urafiki wetu ukakuwa zaidi, na tukaanza kujihisi wenyewe kuwa hatukuwa na hisia za kawaida bali tulishaanza kutengeneza hisia za mapenzi kati yetu… Hatukuwa na uhakika kwa sababu ya umri kuwa mdogo ila binafsi nilianza kujisikia vibayua kila nikiona ameongea na mwanafunzi wa kike, au mtu yoyote Yule wa kike, nay eye vile vile hakuwa anapenda kunona hata nikimsalimia mwanaume kwa bahati mbaya… Miaka ikaenda, tukaanza kidato cha kwanza katika shule ya sekondari ya mlangarini, na mwaka ambao tulianza kidato cha kwanza ndio mwaka ambao nilivunja ungo, hivyo nikaanza kupendeza, kangozi kakaanza kuteleza, hips na tutako tukaanza kutoka, mvuto ukaanza kunijia, nikawa ni binti mwenye mvuto mno, nadhan katika shule ya mlangarin mimi ndio nilikuwa binti mrembo kuliko mabinti wote pale, na wivu kwa omary ndio ukazidi mara dufu, maana mara kadhaa alikuwa akinikuta naongea na mwanaume atanuna balaa… Basi maisha yakaenda, na namshkuru Mungu mapenzi yetu yalikuwa ni yakuhamasishana kwenye mambo mazuri, na kusema ukweli pale shuleni sikuwa na rafiki wa kweli zaidi ya omari, kwa sababu nilitembea nae kila mahali, na hakuwah kutaka nikae pekee yangu kama yupo shuleni, na tukawa tunafundishana na hata waliokuwa wanatuona tupo karibu ni wanafunzi wenzetu walikuwa wanatufikiria vibaya ila watu wengine wote walikuwa wanadhan tulikuwa na ukaribu wa kusoma tu maana matokeo yalijieleza vyema… Miaka ikaenda na hatimae tukaingia kidato cha nne mimi na omari wangu, na tulisoma mchepuo mmoja, na masomo sawa, hivyo tulikuwa tunakaa pamoja mpaka darasani, na tulikuwa tunakaa mbele kabisa yaan… Nilivyofika kidato cha nne ndio kama uzuri wangu ulizidi mara dufu, usumbufu haukuwa wa kawaida, na wale vijana wa babe wa shule na mtaani wakaanza kumtishia omari kuwa akae mbali na mimi, ila haikuwa rahisi, kwa sababu kwa namna nilivyokuwa nampenda kukaa mbali na omari wangu ilikuwa kama adhabu kali sana yenye kuumiza vibaya sana… Maneno na vitisho vya watu havikuwah kututeteresha hata kwa bahati mbaya, bali ndio kama vilizidi kutupa nguvu na kuchochea kwa kasi moto wa penzi letu, kwa sababu hatukutishiana hata kwa utani kuachana na omari wangu… Maisha yakawa yanaendelea kama kawaida, na siku ya mahafali ya kuhitimu kidato cha nne ikafika, wazaz wa omari hawakuwa na uwezo wa kumfantia mahafali, ila nikakubali tufanye pamoja, na kwwa kuwa familia yangu ilikuwa inajua kuwa tulikuwa ni marafiki tu wa kawaida hakuna mtu hata mmoja ambae alishangaa… Sasa kama tunavyojua mambo ya mahafali, kuna muda wa kucheza mziki ukafika, kuna muhuni mmoja wa pale kijiji akanifata na kutaka kucheza na mimi, nikakata akanilazimisha sana ila nikamsukuma huko na kumfata omari na kumueleza kilichonikuta… Omary akanishika mkono kisha tukasogea pemben kidogo na shule, sehemu moja ambayo kulikuwa na mto nduruma, tukawa tumekaa kule mtoni tunapiga zetu story, na omary akawa ananiapia kuwa akija kufanikiwa atanijengea nyumba kubwa sana, na kuninunulia gari, anaamin atakuwa tajiri sana baadae na utajiri wake utakuwa ndio utajiri wangu… Nilikubali maana ni kawaida yake kutoa ahadi kila siku na sikujua ni lini hizo ahadi zitaanza kutekelezwa… Basi tukakaa hapo mtoni mpaka kagiza kalipoanza kuingia, tukaona turudi zetu nyumban, ila wakati tunajiinua maana tulikuwa tumekaa chini, tukasikia sauti inasema “ hawa huku… Mara tukashangaa tunaona kundi la wahuni, walikuwa kama kumi hivi, wote nawajua ni vijana wa mtaani tu, basi wakaja mpaka tulipo, walimpiga sana omari, kisha wakaanza kuniingilia kwa fujo, mungu anisaidie mimi…’ Yaan vijana wote walinifanyia huo ukatili, sitaki kuamin kama usichana wangu ndio ulikuwa unatolewa kikatili namna ile, nilipiga kelele sana ila waliniweka mavitambaa mdomoni ili nisiweze kupiga kelele, na nikimuangalia omari kwa namna alivyochapika hakuwa anaweza kufanya jambo lolote lile zaidi ya kupepesa macho tu… Alikuwa anaonekana kuumia sana kwa kitendo ambacho nilikuwa nafanyiwa, mpaka akawa anajikuta anatokwa na machozi bila kutegemea… Wale ambao walimaliza kunifanyia ukatili wakamshika omari na kwenda kumtupa kwenye mto nduruma, na kipindi hicho kilikuwa ni kipindi cha mvua, hivyo mto ulikuwa umejaa, nikawa naona mwili wa omari wangu ukiwa unaenda na maji, nikajikuta nimepoteza fahamu NAKUJA

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

“Una maanisha nini? Ikabidi na mimi niulize… “Mimi ndio niliekuoa, akasema .. Nikatoa macho, kisha nikamuuliza “Kwani unaitwa nani… “Naitwa Erick Resmund na nadhani ndio jina ulilolisikia wakati nakuoa, au ulisikia jina lingine tofauti?.. “Kumbe wewe ndio Erick , sasa kwanini haukunambia wakati wote huo mpaka nikajua umeniteka, nikazidi kuongea, akatabasamu kisha akanambia “Yaan akili yako ni ndogo sana, ndio nimekuteka ila haujawah hata mara moja kujiuliza kwanini ulivyofika nyumban kwangu ulikuwa kaparty kidogo, ujue kuwa nilikuwa nimejipanga ila si unajua mm ni muhuni, nilitaka kumchukua mke wangu kwa namna ya tofauti tu, akasema … “Sasa Yule mzee ni nani? Ikabidi niulize… “Embu tuache kuongelea watu, wewe nambia unanipenda kiasi gani, na ulianza kunipenda lini, nimekuwa nakuwaza sana, nikihisi nimeingia cha kike, kumbe ulikuwa na wewe unanielewa sana tu, ila hata ishara haukuwah kuonesha jamani, au ulitaka niote? Akaendelea kusema… “Kuna siku ulikuja ulikuwa umependaza, kwa mara ya kwanza niijikuta kila nikikuangalia Napata msisimko, kwa kuwa nilikuwa nakuchukulia kama mkombozi na muokozi wangu, sikutaka hata kukukera, nikaingia zangu chumban, sasa kuanzia nafika chumban akili yangu iligoma kabisa kutulia, nikawa kama nikikufikiria napatwa na msisimko wa ajabu, nikajikuta naanza kujichukulia sheria mkononi, mpaka uliponikuta, nikawa sasa sikujui jina lako ndio maana nikawa naishia kusema mjeda mjeda, ila Yule mjeda alikuwa wewe… Aisee aliangua kicheko, na kusema “Siamin kama na mimi ni bongolala kiasi KIle, ila nahisi niliendekeza wivu sana mpaka nikawa sifikirii, nilishaamin kuwa unipendi ndio maana nikawa nahisi kama unaweza kuniacha wakati wowote ule ndio maana nilikuwa kama nimechanganyikiwa, ila nilitakiwa nielewe maana ulikuwa unaonekana kabisa ulikuwa una hisia na mimi, maana hata shoo uliitoa kwa uhakika licha ya kuona nimesusiwa mzigo ila uliziweka mbele hisia zako kuliko uoga, sasa hapa nani alaumiwe… “Wewe ndio ulaumiwe, ulishindwa nini kunambia kama unanipenda, nikasema.. “Weee kwanza wewe ulitakiwa uwe unaniwekea mitego wakati wote, uone kama nisingeingia, nilikuwa nashindwa hata kukuangalia, maana nilikuwa hata nikikuangalia nashindwa kujizuia, ndio maana nikawa naishi na wewe kama mpita njia, kwa kuwa nikijilegeza kidogo nina uhakika ningeshindwa kuvumilia na kutaka kamchezo… “Na ukawa huna uhakika kama hako kamchezo na mimi nakapendaga, nikasema, nikashangaa mwamba amehema kisha akanambia “Naomba basi kidogo…. Weeee nilikurupuka na kuruka mpaka chini ya kitanda na kutaka kuondoka maana niliona ningeendelea kukaa vile, basi dakika sio nyingi, ufisi wa mume wangu ungeshindikana kabisa kujificha… Akanirukia kisha akanishika kiuno, akawa ananiangalia kisha akanambia “Naomba kiss tu… “Safari moja huwa ina kawaida ya kuanzisha safari nyingine, naomba nikalale, kwa leo inatosha, nikajitetea… Ila hata hakubishana na mimi, akaanza kunikiss, sasa alikuwa ni good kisser kiasi kwamba nikashindwa hata kuendelea kukataa, tukajikuta tunakiss, aisee tulikiss kwa dakika kadhaa mwisho akanambia, “Mamaa nenda kalale, sitaki kukuumiza tena, nikataka kwenda chumban kwangu ila akanizuia na kunambia “Niamin sitakugusa mamaa, ila nataka joto lako, basi nikamsikiliza nikapanda zangu kitandani nikalala sina hata hili wala lile, na wakati wote huo alikuwa amenikumbatia, nimekuja kushtuka nataka kwenda uani, nikajua labda kaitwa kwenye kazi zake, maana namjua, unaweza ukashinda nae vizuri ila dakika chache unashangaa hayupo na anaweza kushangaa asirudi hata mwezi mzima… ITAENDELEA …

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

Zilipita dakika kadhaa nikiwa bado nimetulia tuli chini ya uvungu wa kitanda jamani,Upande wa baba mwenyw nyumba bado aliendelea kuuchezea chezea ub*oo wake...nilibaki nikiduwaa kila nikiutazamaa... "Sijui ni urefu ama unene unaoongezeka?"nilibaki nikijiuliza.Nyie sio uoga hapana,bwana wangu aliyepita alikuwa nayo ndefu na enne kuliko huyu ila mbona kama hii inaongezeka kila baaada ya dakika?halafu inakuwa nene sana jamani??hii ni maajabu .Niliendelea kujiuliza. Mida woye wote huo,mzee huyo alikuwa amenipa mgongo hivyo hakutanbua kuhusu ukosefu wangu kitandani hapo,baada ya dakika tano tu aligeuka na kuanza kunitafuta kitandani hapo..Ni ajabu sana sinaga uoga kwenye mitarimbo ila huu wa kqake mbona kama unaniogopesha..???unaongezeka kila saaa?? "Nuru??we nuru wewe??upo wapi sasa?"nikiwa nipo chini ya uvungu nikasikia sauti ya baba huyo ikiniita. Nina nini cha kujiambia ama cha kuitikia?sikuona umuhimu wa kuitikia kabisa nikaamua nikaushe tu ....ukubwa wa ule ubwaa...ubweee uliniogopesha hivyo nikaamua kukausha kau😀. Acha mbaba wa watu ahangaike.....kwa giza lililokuwepo mule ukizingatia naishia kwenye chumba cha giza...hakufanikiwa kuniona kwa muda huo. "Au katokea dirishani huyu mbwa?"alisikika akijiuliza. Nilibaki nikipumua kwa taabu sana.hasa niwazapo kama akinikuta itakuwajw?anaweza nitoa marinda siku ya leo. "Huyu mbwa nikimpata nitamtoa mari**nd a hakika ,haiwezekani anilie hela yangu hivihivi.."alizungumza baba huyi kisha akafungua mlango na kuanza kuondoka. "Mlio wa pwatu,pwatu,pwatu haukuacha kusikika kila atembeapo ni wazi..hakuvaa chupi ama boksa kabisa" Nakuja......

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

. Safari yao ilianza na sinema, lakini hivi karibuni ikageuka kuwa hadithi ya kweli ya maisha ambayo taifa lilitazama kwa kupendeza. Kuinuka kwa Amitabh kama "kijana mwenye hasira" na uigizaji mkali wa asili wa Jaya uliwafanya kuwa aikoni za miaka ya 70. Kwa pamoja, walifafanua umaarufu, neema, na heshima. Zaidi ya umaarufu na shangwe, uhusiano wao unahusu familia na umoja. Jaya aliondoka kwenye uangalizi katika kilele cha kazi yake na kuangazia nyumbani, huku Amitabh akiendelea na mbio zake za hadithi. Kupitia mafanikio, mapambano, na kurudi nyuma, walisimama kwa kila mmoja. Kama wazazi wa Shweta na Abhishek, hawakujenga familia ya nyota tu, bali urithi uliokita mizizi katika maadili, utu, na upendo usio na wakati.

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

"Mbwa nani tena huyo jamani?anayetaka kuniharibia starehe yangu huyo?onaa mtarimbo wangu ulivyosimama namna hiii nashindws kuichapa vizuri."alizungumza baba mwenye nyumba huku akiuvaa msuli wake kisha akasogea karibu na mlango wangu.Mie kutandani nilibaki nikishangaa tu..ni ajabu hii....anafahamu wazi kuna wapangaji wawili tu mimi na mkaka mwenye demu wake na mkewe...ni ajabu sana haogopi kuhusu kufumaniwa na mkewe huyu baba huyu. "Nini na wewe usiku huu tena?"alisikika baba mwenye nyumba akiuliza. Muda huo nilikuwa chini ya uvungu sikutaka kabisa kuonekana ama laah kung'olewa pua ni wazo mwili wangu naupenda. "Nimekumiss mume wangu jamank nakuhitaji"sauti ilisikika mlangoni,moja kwa mija nilifahamu ni mama mwenyw nyumba na si mwengine. "Nilikwambia unisubiri ona sasa mpaka mtarimbo wangu umesimama namna hii na bado sijapiga show ,hebu nisubirie huko..walau nizamishe kichwa tu halafu nakuja"baba mwenye nyumba alizungumza hivyo kisha akazama ndani. Nikiwa chini ya kitanda nilishuhudia baba huyi akivua msuli wake kisha akachukua kikaratasi alichokiweka pembeni ya meza ya kitands changu...nikaona kachukua kama ungaunga hivi akaaanza kujipaka kqenye mtarimbo wake huku akiunesesha nesesha ...haikuchukua muda nikauona ukianza kutoa misuli ya ajabu....... Nilibaki nikiduwaa tu🙄nisielewe nini cha kufanya🙌 Nakuja sasa hivi

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

SIMLIZI: Police alihakikisha niko salama Akasema binti unaweza kwenda nyumbani au tukupeleke . Mmh nikasema naweza Afande nikanyuka sasa Kumbe ile sumu ilionekana niliyopewa Nimuulie yule mwanasiasa Mmh . Wewe binti hebu tulia Hiii nini police wakaitana jamani huyu binti anasumu kali sana hivo binti uko chini ya ulinzi Kuanzia sasa Songa nayoo 👇👇👇 Daaah jamani hiii sasa ndiyo kesi kubwa Niliwaza sana moyoni pilly alinisogelea akaninong'oneza imekuwaje rafiki mbona bado sumu unayo Mmh pili rafiki yangu najua umepambana sana ili Unikomboe lakini kwa hili sas imebaki neema ya mungu tu . Ikitokea nikafingwa mtafute kijana anaitwa mika Mwambie kila kitu Huyo ni kaka yangu Basi police walinichukua Hadi kituoni Wewe binti sema ukweli Mko wangapi Mmh Afande mbona sielewi tuko wangapi kwenye nini Kwenye ujambazi ....Nilianza kupigwa bakora Pili alitoka akaenda kumtafuta kaka mika Kule gest huenda bado yupo Maelekezo niliyompa aliyafata hadi kwa mika Kaka habari Salama vip unataka nini aliitikia Mika Salamu huku akijumlisha swali Pilly alimwambia Nimekuja kukupa taarifa jenn amekamatwa ..mika alisituka Akatoa macho wewe unasemaje. Pily alirudi kambini Madam alikuwa amechukia kweli Wewe Pilly ulikuwa wapi .. Pilly alijibu madam nilikuwa sehemu tu Wewe unadanganya sasa kwakuwa umegairi kauli yangu Namimi nataka nikuonyeshe Tafadhari madam naomba unisamehe Sitarudia nisamehe madam Sinaga huo ujinga Unafanya makosa kimakusudu Unategemea msamaha leo hamna Waliitwa vijana 3 Sikilizeni nahiaji mumkomoe Pilly At@mbe hadi achanganyikiwe Pily alitaka kukimbia alitakwa akapelekwa Ndani chumbani Wakaanza kumvulisha polepole Bila hata kumtomasa Alingiziwa mmmh ashiiiii Jaman Ile jamaa anapampu mbili tatu Pily aliamua kujitetea Alimpiga sehemu za siri jamaa alianguka huju anapiga kelele nalufaaaa Nisaidien Kituoni Nikiwa ndani nimekaa giza limetawala Nawaza sipati majibu nikasikia mtu anatembea Mmmh huyu ninani Ndani ya sero Itaendelea 13

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

kutaka kumpandishia Bruce Lee ila watu wakaingilia na Jackie Chan mwenyewe anasema alishukuru watu waliingilia na pia baada ya muda alijua amekosea na kwenda kumuomba msamaha King of Martial Art's Bruce Lee.Na baada ya hapo mambo yalikuwa shwari na kuendelea ku shoot movie,Na jina la movie hii ni "Enter The Dragon" na kwenye movie walikuwepo miamba wengine wengi tuu kama Jimmy Kelly,Yuen Wah na Sammo Hung pale mwanzoni mwa movie alipokuwa akipasha na Bruce Lee huku walimu wakiangalia .Na mwamba mwingine ni Bolo Yeung kule kwenye kisiwa alikuwa kama kubwa la maadui ,Na kwa kupitia movie hii ndipo ninapozidi kuthibitisha kuwa wale waigizaji wakubwa wote wa movie za Martial Art's duniani na ambao ni wakongwe asilimia kubwa wamepita kwenye mikono ya Bruce Lee na ukweli ndo huo Naaam

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

Sasa hapa ndio napongezwa au nakashifiwa, nikawa najiuliza ila nikaenda tumemaliza, tukaenda bafuni, aisee hio siku ndio kama wanakijiji wa kwenye kirikuuu walivyokuwa wamepata maji namna walivyokuwa ndio huyo mwanaume alikuwa, akawa anasherehekea ushindi kwenye papuchi yangu, yaan nilikunjwa mpaka nikawa najihisi kupagawa, nilikuwa Napata raha hadi mwisho nikawa naumia… Nikilalalamika kidogo tu, nashushiwa tusi kisha akasema “Umeyataka mwenyewe, umetaka mwenyewe niwe hivi, tulia nile, ahhhh mamaaaa, shiiiit wewe mtamu, ahhhhh tulia, tulia nashindwa kumaliza mapema, nasikia raha sana, nitakupa kila unachotaka nivumilie, nivumilie mamaa, nivumilieeee shiit, nivumilie jaman, nivumilie, siwez, siwez ashhhh nakupend sana wewe mse****hu… Yaan nilioga matusi mpaka nikataka, na shoo ilikuwa mpaka saa kumi na moja asubuh, nimwendo wa bampa tu bampa hakuna kupoa, hakuna kupooza… Tumemaliza akanibeba akanipeleka bafuni, yaan kwa namna nilivyokuwa nimekunjwa, mwili wote ulikuwa unaniuma, akaniogesha kisha akanibeba mpaka kitandani na kunilaza na baada ya hapo akaniletea dawa, alijua kabisa kuwa lazima mwili uniume, kisha akanifunika, akaja kwa nyuma yangu na kusema “Embu nambie mamaa, imekuwaje leo ukaw hivi, hapa penyewe najikaza tu ila nakutaman sana… Nilivyosikia hivyo nikaona hapa dakika sio nyingi mashambulizi yataanza tena na nitakuwa nimepaniw sana, nikataka kuondoka nikalale chumban kwangu.. “Unaenda wapi?, akauliza… “ Naenda kulala chumban kwangu, nikajibu kwa sauti ya unyonge sana… “Kwanini hautaki kulala na mimi mamaa, embu nambie au bado unanichukia?.. “Naogopa mashambulizi yasije yakaanza tena, mwili wote unaniuma nionee huruma jamani, nikaanza kujitetea, akacheka kisha akasema “Usijali mrembo wangu sitakugusa hata kidogo nitajikaza, wakati ule zile huduma zako zilinivuruga na sikuwa nimekutana na mwanamke kwa muda mrefu ndio maana nilikuwa vile, ila kwa sasa hivi ukisema unanipa siwez kukataa, ila siwez pia kukuumiza maana si unajua wewe ndio mrembo wangu na mwanamke ambae nakupenda sana kuliko kitu chochote,,, Siku hio alikuwa anaongea kama mtu ambae ana maanisha sana, nikamuangalia kwa sekunde kadhaa kisha nikauliza “Kwani umeanza kunipenda lini? “Kwanini unauliza swali kama hilo? Na yeye akauliza swali juu ya swali… “Ulikuwa unanichukulia kama mateka, sikuwah kukuona ukiniangalia kwa jicho la mapenzi wakati wote huo ambao nimeishi na wewe hapa, mpaka kuna wakati nikawa nahisi kama nimelazimisha kuja kuishi na weww humu ndani, na kuna muda nilikuwa nakuchukulia kama kaka yangu kwa namna ulivyokuwa unaishi na mimi… Akatabasamu kisha akasema “Mimi nimeanza kukupenda kuanzia siku ya kwanza nilipokuona, nilijua kabisa kuwa wewe ndio utakuwa mke wangu, nilijua kabisa kuwa wewe ndio mwanamke wa maisha yangu, ila ile siku baada ya kukufikisha nyumban, ukasema kuwa unawachukia sana wanajeshi, ile kauli sio siri ilininyong’onyesha sana, kwa sababu nilitaka nipajue kwenu ili niweze kuanza harakati zangu, ila nikajiambia kuwa naweza kukusahau maana nimeshakutana na wanawake wengi sana, ambao wote walikuwa na sifa tofauti sana, na wote hao hawakuwah kunikaa akili, ila wewe ilishindikana kabisa kukusahau na kukuchukulia kama hawa wanawake wa kawaida, kuna wakati hata kazi zangu nilishindwa kufanya kwa ufasaha kwa namna ambavyo nilikuwa nakupenda sana maaa…. “Kumbe ulikuwa unanipendaa eee, si ungesema jamani maana hata na mimi nakupenda, ila siunajua nimeolewa? Nikauliza… Akacheka sana kisha akanambia “Hakuna mwanaume hapa dunian ambae anaweza kukuoa wewe, kama mimi nipo hai… ITAENDELEA …

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

“Happiness embu nambie huyo mpuuzi yupo wapi mamaa, au unataka kuniona nakufa kwa pressure, embu nambie uliekuwa unamfanyia hivi ni nani, najua una mtu wako ulikuwa umempanga, huyo mwanaume nambie anaitwa nani na anakaa wapi, niambie akasema kwa ukali..… Sio siri nilijisikia vibaya sana, kwa sababu sikuwa nategemea hata mara moja kama mwanaume ambae nampenda sana na kumuamin sana anaweza kupoteza uaminifu na mimi kwa kiasi hicho, nikamgeukia kisha nikamuangalia na kusema “Naomba nikuambie tu, nataman tuishi maisha mazuri mimi na wewe, mimi nahisi kama nakupenda labda kama wewe hunipendi unambie leo mapema tu nijue nitafanya nini… “Unataka kufanya nini kwa mfano? Akauliza.. “Siwez kuishi na mtu ambae hanipendi, hivyo moja kwa moja ni lazima nitaondoka tu… “Ukishaondoka unaenda wapi? Akauliza tena.. “Naenda kuendelea na maisha yangu, huenda Mungu akaniwekea na mimi mtu ambae atanipenda na mimi pia, nikajibu nikiamin kuwa ni majibu ya kawaida tu, ila kaka mjeda akaniangalia kisha akasema “Najua una mwanaume wako na unatafuta sababu za kuniacha, najua haujawah kunipenda lakin ujue kuwa hauwezi kuondoka hapa bila talaka na mimi sikuachi hata kama ukitaka… Nikaona sasa hapa tutaendelea kubishana, nikamsogelea taratibu, kwa mapozi ya hali ya juu, kisha nikaanza kufungua vifungo vya shart lake kwa madaha, akawa anahema juu juu, kisha nikamvua na magwanda yake, na baada ya hapo nikamshika mkono kuelekea bafuni… Alikuwa kimya ananiangalia huku anatabasamu, nikamuogesha pale na baada ya hapo nikajiambia kuwa anatakiwa kula, nikamvisha taulo, na wakati wote huo alikuwa kimya ananiangalia tu… Nikamshika mkono mpaka mezani, na baada ya hapo nikamtengea chakula, wakati wote huo alikuwa kimya ananiangalia tu, tukala na mara baada ya kumaliza kula, akaniangalia kwa sekunde kadhaa kisha akasema “Leo umepanga kufanya nini?.. “Kukupa raha handsome wangu, sasa nikanyanyuka hapo ni kwa madoido nikijua namtega, kumbe mwamba ameshategeka kitambo hapo alipo ni kwamba anajikaza tu, na nikajipitisha karibu yake ilinichukue sahani yake, alininyang’anya ile sahani kisha akanikalisha juu ya meza, akaanza kazi, yaan ilikuwa ni tukio la ghafla hata mimi mwenyewe sikutegemea kabisa kama ghafla hivyo anaweza kufanya anayoyafanya… Alizama chumvini, aisee sikuwah kuupata utamu kama ambao niliupata siku hii, nikabaki nagugumia tu kama sina akili nzuri, ametoka chumvini, akaniangalia kwa sekunde kadhaa kisha akasema “Nakupenda sana mamaa, nakupenda mno sijiwezi … Kwa raha nilizokuwa nazipata, si nikatoa mguno, aisee shughuli ilianzia pale pale, hakutaka hata kusubiri sijui mpaka twende chumban, nahisi hata alikuwa anaona kama chumban ni mbali hivi, kwa sababu alikuwa anaonekana kama ameshaishiwa uvumilivu… Ingawa ilikuwa shoo ambayo sikuwa naitegemea ila nahisi ndio ilikuwa shoo tamu zaidi ambayo nilishawah kupewa kuanzia nazaliwa, tumemaliza hapo, akachukua vyombo akaenda kuosha yeye, kisha akanambia “Nenda mamaa ukaoge nakuja, ila nakutaman wewe mtoto sio utani, nikatabasamu kisha nikaenda kuoga… Nimemaliza nayeye akawa anataka kwenda kuoag, nikamuwahi, na kuanza kumfanyia masaage, aisee sijui wanajeshi na uhusiano gani na matusi, maana alikuwa anatukana balaa, nikitaka kuacha nashangaa natukanwa na mimi, yaan mimi na huduma zangu zote zinachanganywa na matusi, alafu anamalizia “Ole wako uache nitakukek**a mwenyewe bila kiwembe… ITAENDELEA …

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

Saa nane usiku ikafika hatimae nikawa nimechoka...nilipotazama pembeni suma na domo zege walikuwa wamelaliana na wanamama walevi kwenye mabenji....sikusita kuwaamsha ..sikutaka wamama wa watu wachafuke kwa mikojo😀. "Oyaa wanaa!!!,wanaaa!!!!acheni basi...embu amkeni haraka...tuondoke...nisije kubakwa hapa na kutolewa rinda ingawa mpo mahala hapa wehu nyie"nilizungumza. Nilipoona hawaamki mahala hapo sikusita kuwamwagia maji ya ukoko ya mama jamali😀...... "Hahahaha"nilijikuta nikiangua kicheko kwa namna suma alikurupuka. "Mvua jamaa mvua nahitaji kukinga maji..kwa uhaba wa maji dar..nitakufa hakika😀"Baada ya kufumbua macho vizuri akajikuta akiangua kicheko kwa mazingira aliyokuwepo. Basi pamoja na wadau wangu tukaongozana hadi nyumbani kwangu.....waliponifikisha wakageuza makwao.... "Mfyuuuuu!!"sonyo la mama mwenye nyunb ahalikuacha kusikika pindi nilipomamiza mlango...ni wazi kelele zangu ziliwaharibia stimu..nilisikia fikra alikuwa akidinywa na mumewe kwa wakati huo. "Ni wazi anapelekewa moto,sishangai sana ni kawaida ya baba mwenye nyumba kuishiwa nguvu za kiume pale anisikiapo..."nilizungumza kisha nikaelekea kulala. "Ngongongo!!!!!"nikiwa nimelala majira ya saa kumi za usiku sauti za hodi ,ilisikika mlango mwangu....nilifahamu fikra ni baba mqenye nyumba. Sikusita kufungua mlango,japo nilichoka ila nilihitaji kumsikiliza kwa umakini. "Nuru wewe...wacha weee!!!"alisikika baba huyo akizungumza. "Nakusikiliza una shida ipi?niliuliza. "Nuru nipe kidogo basi nimemisii zigo hilo mama nipe mama angu"alizungumza. "Kukupa tu sio tatizo kwanza sina hela ya kodi ya mwezi huu ,pia nimeishiwa na unga na vitu vya ndani kama utaninunulia utaingiza hadi masikio si kichwa tu"niliongea huku nikimpapasa mzee huyu kifuani. "Hilo tu mama limeisha..shika hii laki mbili itakubeba kwa vitu vya ndani"akazubgumza yule baba . Nami sikusita kama ijulikanavyo wanawake mbele ya sasamoa nikapokea kisha nikamvuta mzee wa watu hadi ndani...... Purukushani za hapa na pale za kutiana uchovu wa mwili zikaanza....buana weee huyu mzee ana kitambi ila kupeleka moto anajua...si haba ndio maana mkewe huwa hanipendi....anaujua moto wa mumewe... Shughuli ilikuwa pevu haswa..japo ni mzee ila sio mvivu..muda mwingi alitumia kuniandaaa. Ile anataka kuuingiza uboo....mlango ukasikika ukigongwa.....😀 Unahisi nini kitajiri?.......

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

"Wananitaka ila.mie siwataki...siku nikianza kuwataka wao mie hawanitaki....si wengine ni hao wenye vibamia...mbaya zaidi nikiwataka wenyemizigo wananikubali halafu wananikataaa.....nuru mie nuru mpenda mizigo"nilijikuta nikiimba nikiwa narudi om na wadau wangu... "Domo zegeee eeeeh!!!"nikaita. "Eeeeeh nuru"akaitika. "Nimelewa chakari bin vuup hakika..nahitaji unibebe jembe langu"niliongea. "Jitwike mgongoni .. Malkia wangu ombi lako kwangu ni amri..."alizungumza wote tukajikuta tukicheka kwa pamoja......nikiwa napanda domo zege aliachia ushuzi... "Aaaaah!!!!tayari hana linda huyo"suma alisikika akizungumza..... "Linda unalijua wewe au unataka nikuoneshe ulipo ...hapo wakaanza kusogeleana....sijui ni pombe ama laaah wakajikuta wakipigana....."kwa namna nilivikuwa ninechoka sikuona sababu ya kubishana nao ......nilikuwa na bia mkononi nikawamwagia wote vichwani..... "Ni wazi watu hawa hawana vichwa vilivyokaza vizuri......waliacha kupigana na kusikilizia ladha ya bia ile...nilipolitanbua hilo nikabaki nikitabasamu" "Mna mawili...tuondoke ama laah niwaache mfila*ne hapahala nikishuhudia mwanzo wake"niliongea. "Aaaaah!!acha zako nuru wewe...upoje wewe embu tuondoke huko...halafu pa da nikubebe malkia wangu"alizungumza domo zege. "Ni heri nimoande mbwa...kuliko wewe"nikazungumza. "Kumaanisha"domo zege akauliza. "Hauna tofauti na mbwa" Kauli yangu ikawafanya wote wakenue meno yao....ilikuwa ni furaha kwangu....ikiwa ni majira ya saa sita usiku...tukaanza kuimba tena.......mziki ulipininogea ikanilazimu...kujata miuno mbele ya wana wangu...kwa kuwa tulikuwa karibu na mtaaa...wafanya biashara wa usiku hawakuwa nyuma nyjma wote walisogea pale tulipo na kuanza kushangilia. "Nuru !!!!nuru!!!!!nuru!!"sauti hizo hazikukauka midomoni mwao kwa kunishangilia...nami sikushangaa sana ..kwa udogo wa kiuno changu na ukubwa wa makalio yangu..ni wazi walivutiwa sana na uchezaji wangu....... Nakuja

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

Nilipoona haniitikii nikaamua kumkimbilia sasa maana sasampa hilo hapo linaondoka mbele ya macho yangu like serious??sijui nimepatia...basi mbiombio yule kaka naye ni kama.kiziwi wala hasimami...saa ngapi miguu ikaachama na mwili nikatua chini kama mzigo puuih"yalaaah uwiii!!!!nikajikuta nikipiga kelele kwa maumivu......sauti yangu ikawafikia washikaji wangu hakuna aliyeninyanyua wengi walibaki wakiangua kicheko kutokana na namna nimeanguka...sikumind nilinyanyuka na kuendelea na safari...ni kawaida kwa washkaji kuchekana kwenye vitu kama hivyo...basi nikanyanyuka mahala plae na kuendelea kumkinbilia huyi jamaa...kiukweli ni kama alikuwa anafanya makusudi vile kwani nilipokaribia kungikia alinitazama kw amacho ya dharau kisha akafunga mlango na kuondoka. Sikukaa kinyonge kwa namna hio ,nuru mie huwa sionewi hovyo kama wanavyodhania....nikajikokota mpaka kwa washkaji tu...hapo akilini mwangu nafahamu fika nitakutana nae tu huyo mbwa...nuru mie si wa kudharsulika kuhasi hiko.....heri angenifungulia kama pochi ningempa hata kwa bure kqlwasababu mie pia naupata huo utamu. Nilipifika kwa washkaji zangu .hawakuwa wakimaliza kunicheka ndo kwanza wakaanza upya.... ."vicheko vyenu vimenizidia hakika ,hakika jamani😭"nikajikuta nikilia sababu ya machungu niliyokuwa nayo...si ya kuknywewa gongo bali sasampa alilolitaja lili iumiza moyo. "Inaonekana ulishawaza vijora vipya eeeh ,si kwa kilio cha namna hio "alisikika domo zege akizungumza. Sikuhitaji kujibizana nae...nilisogelea meza ya wana na kuendelea kunywa gongo, kama desturi gongo iliponinogea nikaanza kuangusha uno....huliitaga uno la uzazi la kwendraa....... "Nuruuu!!!!!!nuruu!!!!!!"wana hawakuacha kunisifia kwa namna nilivokuwa nikilimwaga hilo uno😁🙌 . "Puuuuf!!!!puuuf!!"nikajikuta nikiangusha kibao kwa domo zege pale aliponisogelea na kukamata kiuno changu. "Ni heri uombe kuliko kufosi...nilikupa mdogo wangu umtoe ubikra ukamkataa ,vivo hivyo unikomee domo zege wewe!!!"nilizungumza.....japo ilikuwa ni onyo sauti za vicheko kutoka kwa wana na domo zege mwenyewe zilisikika .. ... .. Nakuja

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

Safari yangu iliishia kwenye glossary moja hivi ya hapa.mtaani kwetu...hivi niliwaambia ni wapi naishi?naishi manzese sio mbali sana ila ni hapo naishi....manzese shimoni huko ndo kwetu....kama mjuavyo maeneo ya huko..hakuja poa hata kidogo..pale nilipokaa tu kwenye glossary hawakuacha kunifata wale wadau wangu na kununua bia ...hawakuacha kuniagizia gongo pia..ndio kinywaji changu pambe nikielewacho😁. "Huwenda si mwanamke wewe haiwezekani"nilisikia sauti ngeni ya kiume ikiniongelesha. "Ni heri ukakaa kimya kujiepusha na vurunguti langu kuliko kuingilia mtu usiyenijua kabisa ni wazi unapenda matatizo ya kujitakia wewe mtu"nilizungumza. "Ni ajabu hii hakika"sauti za washkaji zangu zilisikika zikizungumza pale baada ya yule mkaka kunisogelea karibu kisha akachukua kopo langu la gongo na kuanza kulifakamia kama hana akili nzuri kabisa... "Ni heri ungeomba ununuliwe bia kama hamu ilikujaa kuliko kufakamia namna hio kama gisi mwenye njaa,ama kweli nguo humstiri masikini haya karibu masikini mwenzangu nitakupa imofa ya gongo kadhaa japo sina hela ila nitajitia kwaajili yako" "Si kujitia bali kujitoa...nimekuepusha na bia siku ya leo.....kama unajiuza nahiyaji kula usiku wa leo na wewe nitakulipa vema sana"alizungumza. Nikabaki nikimtazama kana kwamba naelewa anachokisema ama nimekasirishwa na akisemacho 😁ila kila nikikumbuka kuhusu sasampa aliyohitaja naishiwa pawa. Yule kaka alipoona nipo kimya nikamuona akipiga hatua na kuanza kutoka nnje...washikaji zangu wakaanza kunitolea macho ya siamini amini😁 ni wazi walifahamu mdau wao siwezi kupitwa na dili hilo kwa namna napenda ngono kuliko kula..... Nilipogeuka nyuma .......nikaita we

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

👉 Mume wangu umetembea na mke wa mwanetu...👇 " Na wewe umetembea na mtoto wangu? ( Sasa kesi juu ya kesi mtoto wao akaondoka...mzee akamwambia mama mkwe) " Mimi sikutembea nae nilimbaka hapa sebuleni uyo kaja kakuta tunashindana nguvu na chanzo cha kubaka wewe si ulikuwa unaninyima kuma na ukuwepo. " Dah sasa mtoto wa watu ushamwalibia maisha. " Tuache ayo sasa mimi naona tusamehane maisha yasonge. " Sawa naomba na mimi unisamehe kwa tukio langu. " Nimekusamehe. " Sasa kumbe ulikuwa na mtoto nje. " Nimekusamehe na wewe Tulia mengine yote Fanya akuna kilichotokea. ( Basi wazee walisamehana kweli...na mzee akaamua kutulia na mkewe akanitumia tu pesa na kuniambia) " Nikipata mwanaume niolewe na nitulie yeye katulia na mkewe" ( Nilipokea sms sikumjibu...maisha yalienda kidogo...siku za mbele shangazi akaanza kuumwa nilimpeleka hospital ya pesa Dokta alimwambia shangazi) " Njia yako ya uke imechunika sana una vitu vigumu unaingiza uku? ( Shangazi akaona kabisa mboo bandia sio ngozi na ndio imemchubua kuma kwa ndani vidonda vile vinamletea homa Kari alimwambia Dokta ukweli alipewa dawa sindano uku akaonywa) " Sio tabia nzuri kwa mwanamke kufanyiwa au kufanya. " Nimekuelewa Dokta. ( Tulivyorudi shangazi akaniambia) " Kuanzia Leo usije tukaenda kwa p na usije ukatamani mwanamke mwenzio akusage au umsage si tabia nzuri utulie upate mwanaume na mimi kuanzia Leo natulia nipate mwanaume. " Sawa. ( Ndio nikaamua sasa kufanya biashara zangu nikapanga chumba changu na mimi nikaja kuumwa shangazi alinisaidia kwakweli maumivu ni makali sana kwakweli kusagwa sio kuzuri....nilikuwa najuta kwanini nilimpa kuma baba mkwe ila ndio majuto ya kimya kimya...nilikuja kupata mwanaume akunioa tukawa tunaishi nilikuwa na tabia njema ambayo sikuwai kuwa nayo kutokana na matukio yaliyonipiga nikajifunza....nawasihi wanawake wenzangu wenye tabia kama zangu waache kusagwa sio dili...kuwa maraya mpaka unatoa kuma kwa baba mkwe sio Dili...nawasihi kaka zangu muache kufakamia watu wazima mtakuja kukutana na mama zenu au ndugu zenu kama yaliyomkuta bodaboda....nawasihi tena wanaume leeni watoto wenu nawasihi wazee wasiwe kama baba mkwe.... Sina mengi na hapo ndio mwisho wa simulizi yangu hii. Mwisho mwisho mwisho

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

SIMLIZI: Baada ya kusoma huo ujumbe nika jua siyo kuzuri Ndiyo maana milango imefungwa Niliinuka ili nikimbie kumbe mle ndan walikuwemo watu tayari kwaajili ya kuniuwa Mimi nimetumwa nimuuwe huyu Kiongozi Na kumbe Kiongozi nae ametumwa kiungo vmcha kahaba na mganga ili ashinde uchaguzi huu Songa nayoo👇👇👇👇 ,, jenn nilihisi leo ndiyo siku yangu ya kufa Maana sikuona tena tumaini Moyo unaniambia giza limetawala Nilijaribu kutafuta njia ya kutoka ndani Sikuona Nikawaza nini nifanye mbona mambo Nimagumu Jasho jembamba likinitoka Nikaenda kujificha chooni Nikawa nasikia ameenda wapi huyu ..hatujui boss Hakikisheni mumemkamata Maana hii ndiyo tageti ya mwisho Tukosa hapa hatuwezi kupata .. Huku mwenzenu choz linatoka Kama la ng'ombe la kimya Nikawaza leo nafanyaje au ndiyo nikajisal8mishe tu Kama nakufa nife moyo mwingine unasema jikaze Utashinda Niliangalia juu weee nikaona kumbe kuna dilisha dogo kwenye singibodi wewe Mbona mungu amekuja kuniponya Nilijalibu kushika na mikono ili nipande juu ya kochi Haikuwezekana Maana nilikuwa mfupi nikasogeza diaba lililokuwa na maji huko chooni nikalifunika Nikapanda juu ya kenchi huko mwenzangu Ni giza tu Utandu umetanda . Lakini nilichoshukulu nikwamba Ningumu kuniona nilitafuta sehem nikakaa Upande wa madam sasa walipoona mambo yamekuwa magumu walirudi nyumbani Pili alimuuliza madam. Itakuwaje jenn ikiwa Tunatoka Wewe mbwa Kama vipi nenda mkafe wote huko Pili alinyamaza lakini moyoni hakuafiki Kumuacha jenn akiwa sehemu ya hatari Maana matatizo yao ni yaleyale Richa ya hivo ni marafiki Alichokifanya Pili baada ya kufika nyumbani Alitoka kimya kimya Nakukimbilia kutuon Akawaita police .. police walikuja kwa wingi sana Jenn. Nikiwa juu najaribu kuangalia Kama kuna pakutokea linikanyaga Pabaya kumbe sigibodi imeoza niliteleza nikangukia kwenye chumba varandani Wewe jamaa walipiga kelele boss amekuja Mkamateni haraka ile wanataka kunikamata tu Ikasikika sauti ya waliokuwa nje Jaman kumenuka police hao Aaaa kila mtu alitawanyika Nikabaki mimi tu Na wengine walikamatwa Wewe nilikombolewa Lakini nimekonda kwa hofu ..Pili aliniita jenn uko salama Ndiyo rafiki yangu Police alihakikisha niko salama Akasema binti unaweza kwenda nyumbani au tukupeleke . Mmh nikasema naweza Afande nikanyuka sasa Kumbe ile sumbu ilionekana niliyopewa Nimuulie yule mwanasiasa Mmh . Wewe binti hebu tulia Hiii nini police wakaitana jamani huyu binti anasumu kali sana hivo binti uko chini ya ulinzi Kuanzia sasa Itaendelea 12

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

ENDELEA........ Nilicheka huku nalia wao wenyewe walinishangaa huyu vipi?, "Ni jambo jema na ni matamio yako kwa muda mrefu kuitwa baba. Hongere undugu wangu Manka". Niliongea hayo huku nikiwa nimepambwa na tabasamu lenye maumivu makali sana moyoni. "Asante soon nampa heshima Sony ya kuitwa baba. Ok tusikuchoshe sana yetu ni hayo tu" Manka aliongea hayo bila hata aibu eti ndugu sisi tumeshea dudu la mwanaume mmoja na wote ni wajawazito na mimba ya huyo bwana Sony. Nyie nilihisi uchizi mwenzenu. "Baby nahitaji kupumzika nimechoka sana" Manka aliongea kwa madeko huku amemlalia Sony kifuano. Nyie nilikuwa nahisi labda naota jamani kumbe ni kitu halisi kabisa😭. Walitoka chumbani kwangu ndipo nilipata nafasi ya kulia. Nililia sana usiku huo hata sijui nilipitiwa na usingizi saa ngapi. Nilikuja kushtuka majira ya Saa tatu asubuhi. Nilichelewa sana kazini ila sikuacha kwenda. Baada ya kumaliza kujiandaa nilitoka chumbani, milimkuta Manka amekaa sebleni anakula embe. Sikumsemesha nilimpita ila kabda sijaufikia mlango aliniongelesha. "Nice haujaniona?" Hata sikumjibu niliendelea na safari yangu. Nilifika kazini wafanya kazi wote walinishangaa siku hiyo nilikuwa kitofauti kabisa. Kwanza ukiniangalia tu utagundua kuwa naumwa. Nilipeleka baadhi ya document kwa boss. "Samahani boss sijisikii vizuri ndo maana unaona nimechewa kufika" "Najua usiku wa Jana umekesha unalia sana mpaka macho yako yamevimba. Muda wa lunch nahitaji kupata chakula na wewe" Sony aliniambia hayo. Nilimkabidhi document baada ya hapo nilitoka ofisini kwake. "Huwezi kuamini Manka ana mimba ya Sony" nilimwambia hayo Sophia na nilishindwa kujizuia kulia. "Mbona maajabu haya" imekuaje yani mmmh!" "Moyo wangu umepasuka pasuka" "Pole my dear. Amini kila kitu kinatokea kwasababu" "Siamini kama mbwa hawa wanaweza kunikatili namna hii na mbaya sikuwai kuhisi kabisa kama wana mahusiano limekuwa jambo la gafla sana ndo maana naumia zaidi" "Vipi Sony anasemaje kuhusu ujauzito wako?" "Hata nguvu za kumwambia kuhusu hii mimba sina tena. Nina mpango wa kuitoa tu MUNGU atanisamehe. Ni aibu ndugu wawili ku share mwanaume mmoja na mbaya zaidi eti wote tumzalie hii ni laana Sophia" "Ni kweli ila usisubutu kuharibu hii mimba unajua kila pito tunalopitia MUNGU ana makusudi yake". " kwa sasa hata uongee nini sitokuelewa. Nisamehe kwa hilo my dear ila tambua nipo kwenye wakati mgumu sana" Majira ya mchana kweli tulienda kula chakula cha pamoja na Sony, chakula chenyewe kilipanda basi?, Nilikubali tu wito wake ili kumsikiliza anataka kuniambia nini. "Nice!" Sony aliniita kww sauti tulivu. "Abeee!" Niliitika kwa unyonge. "Nisamehe kwa kuuvunja vunja moyo wako" "Ni sawa naamini ilipangwa iwe hivi" Mimi ni mwepesi sana kulia yaani kwenye kulia huwa ni ngumu sana kujizuia, nilianza kulia pasipo kujali uwepo wa watu wengine hapo hotelini. "Ni kweli mimba ya Manka ni yako?" "Ndiyo ila sikukusudia na hata ukiniambia nikueleze ilikuaje sielewi. Ila ukweli mimba ni yangu" "Inawezekana vipi Sony?, kwaiyo nyie watu wa wawili mlipanga kunisaliti na kuurarua moyo wango, hakika umejua kuniumiza kupita kiasi, hichi kidonda sijui kama kitakuja kupona kwenye maisha yangu" Niliongea hayo huku nikiwa nalia. "Tuweke tofauti zetu pembeni kwanzu. Bado nakuhitaji kwenye naisha yangu. Manka kubeba mimba si jambo baya sana maana ni matamanio yangu kwa muda mrefu kuitwa baba. So ahadi yangu ipo pale pale wewe ndo mke wangu. Nakupenda sana Nice kama unajali Furaha yangu naomba uishi vizuri na Manka" Sony aliongea ni kama vile ni kitu cha kawaida tu........ITAENDELEA...... SIMULIZI :

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

__________________________ 👉 Uwiiiiiiiiiiiiiii Uwiiiiiiiiiiiiiii Aaaaaaaaa Nakojoaa Nakojoaaaaaaaa Nakojoaaaaaaaa...👇 Asante. ( Nilijishusha kiuno chote mboo ikawa ndani ya kuma yangu na kweli nilikojoa na yeye dk 2 akanikojolea alafu anajali nilishuka juu yake akanifuta nikamfuta akaniambia) " Nenda kalale kwako. " My nimechoka. ( Akaenda nje kuchukua ndoo yenye maji akaja kunifuta futa mwilini kama vile ananikanda kanda mwili nikapata nguvu nikavaa nguo zangu nikaondoka kwangu...nimelala mwepesi wala simuwazi mume wangu...usiku sana nikampigia muuza maji wangu namuuliza) " Unafanya nini saizi. " Nasoma soma nilale. " Nitumie unachosoma. " Sawa. ( Akanitumia kweli ndio nikazidi kujua uyu fundi kumbe anachukua uku nikasoma) " SEHEMU 7 ZA MWILI MWANAMKE HUPOTEZA UJASIRI AKIGUSWA NA MTU ANAEMPENDA 1.. mikono (hasa viganja) mguso wa mkono huamsha hisia za usalama na ukaribu. akiguswa na anayempenda, mapigo ya moyo huongezeka na aibu tamu hujitokeza. 2.. shingo ni eneo nyeti kisaikolojia. mguso wa heshima hapo humfanya ahisi karibu sana, mara nyingi hushindwa kujificha hisia. 3.. masikio (karibu na nyuma ya sikio) eneo hili linahusishwa na hisia na umakini. mguso mdogo huamsha msisimko wa kihisia bila maneno. 4.. kiuno mguso wa upole huashiria ulinzi na umiliki wa kihisia. hapa huanza kujisikia “salama na wake”. 5... mgongo wa juu hugusa mfumo wa neva unaohusiana na utulivu. akiguswa na anayempenda, hujisikia kupumzika na kuamini zaidi. 6.. uso (hasa mashavu) mguso wa uso ni wa karibu sana. humfanya ajione anathaminiwa, ndipo aibu na tabasamu hutokea. 7.. nywele kuguswa nywele kwa upole huamsha kumbukumbu za upendo na uangalizi. hapa huweza “kupoteza ujasiri” kwa sababu anahisi mapenzi ya kweli. Nkwambie siri si wapi unagusa tu, bali jinsi unavyogusa — kwa heshima, upole, na hisia. mguso wa mtu anayempenda hubeba ujumbe unaopita maneno. kumbuka: mapenzi ya kweli huanza kichwani. ( Nilicheka mwenyewe nikajua nipo na fundi wa mahaba sio mume wangu mpenda mavi ila siku akijichanganya kuniambia...nikalala asubuhi asubuhi shoga yangu wa buza akaja ananiambia) " Shoga Samahani kama naingilia ndoa yako ila wewe kwa sababu nakupenda mumeo amejiachia sana kwa yule demu nakuonea huruma wewe unaweza kuumwa umwa alafu ujui unaumwa nini kumbe mumeo anatoa mboo kwenye mavi anakuletea wewe kumani nakushauri utumie kondom kwa mumeo au Fanya mpango uwachanishe penzi lile. ( Duu hapa kaniambia ukweli mume wangu akafile uko aje kwangu anitombe yale mavi si yataniwasha kumani...nawaza nifanyaje nikamwambia shoga yangu) " nafanyaje kuachanisha penzi Lao. " Usiku twende pale ukafumanie mawili akuache au aachane na demu wake. " Sawa. ( Nilikubali ushauri fasta tulikaa tukala chakula..alikuja muuza maji kuniletea maji shoga yangu akaanza kuniambia) " Uyu kaka kakaa vizuri kwa matumizi ya kitandani cheki kifua kile cha kulalia kile na anaonekana anayo mboo ndefu uyu. " Shoga yangu ndio nini unaongea. " Wewe ujui wanaume mafundi kitandani wanaonekana ata wakitembea aka najitongozesha sijakojoa siku nyingi kitandani. ( Ananikera uku kaka muuza maji yeye hana habari anajaza tu maji uyu shoga yangu kweli wa buza alinyanyuka akaenda kumwambia kweli) " Kaka Samahani najua unaye mke au mchumba ila mimi nimekutamani kimapenzi umekaa vizuri unavutia nipo tayari kulipia gest ukanifanye. ( Yani shoga yangu ananikwaza namuona kaka muuza maji ananiangalia mimi alafu mimi najifanya kama sijui kitu alafu akamjibu sasa shoga yangu) " Asante kwa kunipenda ila mimi siwezi kumsaliti wangu. ( Shoga yangu akajizima data akamsogelea anaupeleka mkono kwenye mboo ya kaka muuza maji) Dah yani.. ITAENDELEA

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

__________________________ 👉 Sawa kazi kwako my si unaiona vizuri. " Ndio. ( Dah yani...👇 Kwa mala yangu mashavu yangu ya kuma yanakunwa na kidevu ndio nikajua umuhimu wa ndevu kwa mwanaume jamani ndevu zinasisimumua akawa anazipitisha kwenye mashavu yangu ya kuma mimi nikatanua miguu zaidi...akatoa ulimi kama ncha tu alafu akapitisha juu ya shimo la kuma uku ananitomasa mapaja nilizidi kusisimka...kuchezewa kuma na ncha ya ulimi mixsa kutomaswa mapaja lazima mguno utoe mwenyewe nikawa mautoa mguno) " Uwiiiiiiiiiiiiiii Uwiiiiiiiiiiiiiii Aaaaaaaaa Assssssssssss. ( Akajua amegusa penyewe sijui masomo ndio yanamsaidia kuandaa mwanamke uyu...akanipekechekua mashavu yangu ya kuma aupate wekundu wa kuma vizuri sasa akawa ananilamba wekundu wa kuma uku anayachezea mashavu ya kuma kama anachambua mbaazi ivi nasikia utamu nilikunja miguu mimi nikamshika kichwa chake nikamkandamizia kumani kwangu namkatikia) " Uwiiiiiiiiiiiiiii Uwiiiiiiiiiiiiiii Aaaaaaaaa Assssssssssss Tamuuuuuuuu Asante Uwiiiiiiiiiiiiiii Aaaaaaaaa Assssssssssss Tamuuuuuuuu Asante. ( Napiga kelele kama zote si kwa utamu huu anajua kuzungusha ulimi kwenye wekundu wa kuma akatoa ulimi kwenye wekundu wa kuma sasa akaupeleka juu ya kisimi jamani alinilamba kisimi taratibu uku kanizamisha kidole kumani cha kati anakizungusha taratibu nasikia raha namkatikia yani nakatikia kidole na ulimi) " Aaaaaaaaa Aaaaaaaaa Uwiiiiiiiiiiiiiii Asante Ashiiiiiiiiiiiiiiiii Ashiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii nakupenda Aaaaaaaaa Aaaaaaaaa. ( Aliongeza spead ya uzungushaji ulimi kwenye kisimi na kidole kumani nikawa kama mweu utamu nausikia hapa) " Uwiiiiiiiiiiiiiii Uwiiiiiiiiiiiiiii Aaaaaaaaa Assssssssssss nakupenda nakupenda nakupenda my nitombe nitombe Aaaaaaaaa Aaaaaaaaa Uwiiiiiiiiiiiiiii Asante Ashiiiiiiiiiiiiiiiii naomba unitombe jamani tayari inatosha. (sio sili kuma ilikuwa inapwita kweli kweli yani nyege zimenipanda sana kaka muuza maji sio mchoyo wa mboo vile vile nilivyolala Alishika mboo yake vizuri alinipiga brash dk mbili tu kama vile anapiga hodi kwenye mlango wa kuma alafu akaanza kuikandamizia ndani taratibu naisikia inazama kumani ikaingia nusu akaitoa robo akairudisha tena mazima ndani ikazama yote akaanza kunipamp sasa mwendo wa minyama nje minyama ndani uku ananiambia) "Nakupenda sana usingeolewa ningekuoa mimi. " Asante Asante. ( Mimi naikatikia mboo inakuna kuta zote za kuma alipoona maneno yake ayana ushirikiano na mimi akuongea tena hapo alinibadilisha Style alichomoa mboo kumani akalala chali...mimi aina kuelekezwa tena kama mtoto nikashika mboo ya kaka muuza maji nikatanua miguu nashusha kiuno chini nairengesha kumani mwenyewe naikalia mboo inazama mdogo mdogo kumani yeye ameleta mkono juu ya kuma yangu ananichezea kisimi wakati mimi najipimia mwenyewe tamu iyo namwambia) " Usije ukatomba mwanamke mwengine Aaaaaaaaa Aaaaaaaaa tamu mboo yako. ( Yananitoka maneno ata sielewi akanivuta kifuani akawa ananitomasa matako uku ananinyonya maziwa mimi naukatikia uboo mboo ipo kumani) " Uwiiiiiiiiiiiiiii Uwiiiiiiiiiiiiiii Aaaaaaaaa Nakojoaa Nakojoaaaaaaaa Nakojoaaaaaaaa. ITAENDELEA

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

__________________________ 👉 Sawa kazi kwako my si unaiona vizuri. " Ndio. ( Dah yani...👇 Kwa mala yangu mashavu yangu ya kuma yanakunwa na kidevu ndio nikajua umuhimu wa ndevu kwa mwanaume jamani ndevu zinasisimumua akawa anazipitisha kwenye mashavu yangu ya kuma mimi nikatanua miguu zaidi...akatoa ulimi kama ncha tu alafu akapitisha juu ya shimo la kuma uku ananitomasa mapaja nilizidi kusisimka...kuchezewa kuma na ncha ya ulimi mixsa kutomaswa mapaja lazima mguno utoe mwenyewe nikawa mautoa mguno) " Uwiiiiiiiiiiiiiii Uwiiiiiiiiiiiiiii Aaaaaaaaa Assssssssssss. ( Akajua amegusa penyewe sijui masomo ndio yanamsaidia kuandaa mwanamke uyu...akanipekechekua mashavu yangu ya kuma aupate wekundu wa kuma vizuri sasa akawa ananilamba wekundu wa kuma uku anayachezea mashavu ya kuma kama anachambua mbaazi ivi nasikia utamu nilikunja miguu mimi nikamshika kichwa chake nikamkandamizia kumani kwangu namkatikia) " Uwiiiiiiiiiiiiiii Uwiiiiiiiiiiiiiii Aaaaaaaaa Assssssssssss Tamuuuuuuuu Asante Uwiiiiiiiiiiiiiii Aaaaaaaaa Assssssssssss Tamuuuuuuuu Asante. ( Napiga kelele kama zote si kwa utamu huu anajua kuzungusha ulimi kwenye wekundu wa kuma akatoa ulimi kwenye wekundu wa kuma sasa akaupeleka juu ya kisimi jamani alinilamba kisimi taratibu uku kanizamisha kidole kumani cha kati anakizungusha taratibu nasikia raha namkatikia yani nakatikia kidole na ulimi) " Aaaaaaaaa Aaaaaaaaa Uwiiiiiiiiiiiiiii Asante Ashiiiiiiiiiiiiiiiii Ashiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii nakupenda Aaaaaaaaa Aaaaaaaaa. ( Aliongeza spead ya uzungushaji ulimi kwenye kisimi na kidole kumani nikawa kama mweu utamu nausikia hapa) " Uwiiiiiiiiiiiiiii Uwiiiiiiiiiiiiiii Aaaaaaaaa Assssssssssss nakupenda nakupenda nakupenda my nitombe nitombe Aaaaaaaaa Aaaaaaaaa Uwiiiiiiiiiiiiiii Asante Ashiiiiiiiiiiiiiiiii naomba unitombe jamani tayari inatosha. (sio sili kuma ilikuwa inapwita kweli kweli yani nyege zimenipanda sana kaka muuza maji sio mchoyo wa mboo vile vile nilivyolala Alishika mboo yake vizuri alinipiga brash dk mbili tu kama vile anapiga hodi kwenye mlango wa kuma alafu akaanza kuikandamizia ndani taratibu naisikia inazama kumani ikaingia nusu akaitoa robo akairudisha tena mazima ndani ikazama yote akaanza kunipamp sasa mwendo wa minyama nje minyama ndani uku ananiambia) "Nakupenda sana usingeolewa ningekuoa mimi. " Asante Asante. ( Mimi naikatikia mboo inakuna kuta zote za kuma alipoona maneno yake ayana ushirikiano na mimi akuongea tena hapo alinibadilisha Style alichomoa mboo kumani akalala chali...mimi aina kuelekezwa tena kama mtoto nikashika mboo ya kaka muuza maji nikatanua miguu nashusha kiuno chini nairengesha kumani mwenyewe naikalia mboo inazama mdogo mdogo kumani yeye ameleta mkono juu ya kuma yangu ananichezea kisimi wakati mimi najipimia mwenyewe tamu iyo namwambia) " Usije ukatomba mwanamke mwengine Aaaaaaaaa Aaaaaaaaa tamu mboo yako. ( Yananitoka maneno ata sielewi akanivuta kifuani akawa ananitomasa matako uku ananinyonya maziwa mimi naukatikia uboo mboo ipo kumani) " Uwiiiiiiiiiiiiiii Uwiiiiiiiiiiiiiii Aaaaaaaaa Nakojoaa Nakojoaaaaaaaa Nakojoaaaaaaaa. ITAENDELEA

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

__________________________ 👉 Kichuri ni...👇 Nyuma yani njia ya kutokea mwanaume anapewa aingie. " Weee usiniambie. " Ndio ivyo nakwambia mumeo kapewa kichuri kachanganyikiwa naisi. " Basi sina mume siwezi kukaa na mwanaume kama uyu. " Sasa shoga unataka kumuukumu kwa kosa dogo tu ilo yani siku akikuomba kichuri ndio ulianzishe. " Yani nitamng'ata 1200 zake aniambie ujinga huo. " Ujinga wenzio tunatamba mjini. " Shoga na wewe unatoa kichuri. " Nikufiche uchawi natoa vizuri ila kwa waume za watu mpenzi wangu simpi na ajui kama natumia ayo mambo. " Shoga acha ujue sio vizuri. " Tuachane na izo mada wewe umeolewa usingeolewa ningekwambia usinywe pombe na mwanaume umjui. " Basi tuache izo mada. ( alikata simu nikawa nawaza sana nimeolewa na mwanaume wa aina gani mimi Nilichukua ile picha na maandishi yake nikatulia mala akaja wifi yangu nikamuonyesha namuuliza) " Ungekuwa wewe ndio mimi wifi unafanyaje? " Mimi nikiona wangu kachukua mwanamke kanipita viwango sigombani nae najua nikisema fyoko natoka anaingia yeye nanyamaza tu kama uyu kakuzidi kiwango kila kitu anaonyesha zigo zigo guu guu tulia wifi. " Je ningekuwa nimefanya mimi ungemshauri kaka yako atulie? " Thubutu yani ungenijua rangi yangu nyengine umfanyie ivi kaka yangu. " Basi tuyaache. " Sawa mimi nimekuja kuoga kwangu sina maji yani aya maji mwaka huu yanatunyosha. " Sawa kaoge maji yapo. ( Akamimina maji akaenda kuoga akarudi akaniambia) " Wifi maji unayo mengi ngoja nije kufua kidogo mwenzio sina maji nyumbani. " Sawa njoo ufue. ( Akaondoka mimi nawaza juu ya mume wangu na tabia yake...basi alikuja akafua mimi nikaenda dukani kununua unga nije kusonga ugali...kweli penzi ni kikohozi kulificha uliwezi nilimuona mkaka muuza maji ameshika simu anasoma soma nikajua anasoma sms ya mapenzi katumiwa nilimfata kama vile mume wangu nikamnyang'anya simu kuangalia anachosoma nikachoka hoi nikaanza kusoma na mimi) " -Mwanamke anayekupenda kitendo tu cha kumshikashika au kukuwaza ukija kumvua chupi utaona imelowa. Ukiwa akilini mwa mwanamke unalowa mwenyewe unamvua nguo ya ndani umelowa. Changamoto tu ya wanawake wengi wanaishi na watu wasio na HISIA nao. Mwanamke anaweza akiwa na hisia halafu uko naye kila kitu huwa hakiendi sawa anakuwa kama kuku aliyenyeshewa na mvua hata ngozi yake huwa inapoteza nuru kwasababu ya hisia Mwanamke akiwa na hisia ngozi hujiandaa kwa hekaheka damu unaongezeka kwenye mzunguko wengine hutetemesha midomo kwasababu ya hisia wengine miguu kabisa wapo ambao hutazama kwa huruma wapo ambao huwa wanaitika tu hata kama hujamuita unashang'aa anaitika kwa jicho la nahitaji huduma yako mtoto anaitaka Mwanamke akikupenda kwa dhati kabisa unaweza hisi ana pepo la ngono kuna wakati anaiomba kabisa au anaishika anaiweka ndani anakupa kama hatakupa tena" ( Nilimwambia) " Kumbe unasoma maneno aya. " ndio ila my jaribu kujizuia wewe ni mke wa mtu. " Sawa ila au basi. " Nini niambie. ( Naisi kama nishampenda kuliko mume wangu nimekuwa na hisia na yeye kama ilivyoandikwa nikamwambia) " Nina hamu na wewe. " Dah unafanya nizidi kukupenda sijawai kuambiwa hili neno ila saizi nipo kazini baadae njoo home nitakupa na zawadi nzuri. " Sawa. ( Nilienda zangu dukani nikarudi nikapika chakula tukala na wifi alafu akaondoka mimi sasa na kiranga changu mwenyewe naenda kwa kaka muuza maji...hii siku sitaisahau alijua kuifumua uyu kaka ni fundi alianza kwa kuichambua nanii yangu) " Tanua miguu my. " Sawa. " Nakupenda sio mbishi wewe. " Sawa kazi kwako my si unaiona vizuri. " Ndio. ( Dah yani...) ITAENDELEA

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

__________________________ 👉 Sawa my Asante naisikia inazama Asante Aaaaaaaaa zamisha yote Aaaaaaaaa Aaaaaaaaa Uwiiiiiiiiiiiiiii...👇 . Unaweza. ( Nilishindwa kuvumilia niligonga mlango awakusikia mpaka walipomaliza yao ndio mume wangu kaja kufungua akanishika mkono akanipeleka chumbani ananidanganya) " Mke wangu lile tambiko hili asiumwe tena usiwaze chochote kibaya. " Tambiko ndio mapenzi. " Usiwaze sasa uko lala mke wangu. ( Niliumia ila nikiwaza na mimi nishazagamuliwa nikauchuna mambo yasiwe mengi...nimelala asubuhi naamka simuoni yule demu wala nguo zake na mume wangu kaondoka...nikasema shauri yake...naangalia mezani naona 5000 ya chakula...nikaondoka zangu kununua vitafunwa sasa napita sehemu namuona mume wangu yupo na rafiki yake yule rafiki yake anasema) " Hapo unafanya la maana sana rafiki yangu iyo ndio inaitwa unamweshimu mkeo. ( Nikasogea kidogo nisikie vizuri ananiheshimu kivipi...mume wangu akasema) " Yani siwezi kumfanyia mke wangu mambo ayo ndio maana namla yule demu mimi najua yule demu anipendi anapenda pesa zangu lazima nimle kichuri tu. " Ndio dawa yao iyo unajua kichuri uwezi kumla mke wa ndani kwa sababu akipata matatizo yanakuusu asilimia zote. " Ilo najua ndio maana namla yule demu kichuri alafu sasa si ndio akaniambia mke wangu amfulie ndio atanipa kichuri vizuri mimi nikatumia akili tu nilifanya ivi........ ( Alimwadisia ukweli wote nikawa nimeachwa njia panda neno kichuri na rafiki yake akamwambia) " Usirudie tena kufanya ivyo na umepata mke mpole angekuwa mwengine kingewaka kisawa Sawa humo ndani. " Mke wangu ananiogopa sana si nishawai kumpiga. " Ndugu usimpige Shemeji kama kumpiga mpige uyu anayekupa kichuri sio mke. ( Niliona rafiki yake ananitetea upande wa kupigwa ila amuonyi mwenzie asifanye yale anayofanya...wakaachana mimi najiuliza nini maana ya kichuri nikaona ujinga huu kuumiza kichwa wakati shoga ninao nikampigia shoga yangu mmoja yupo buza nikamuuliza) " Shoga Samahani ivi kichuri ndio nini? " Ila wewe ndio ujinga wa kuwai kuolewa uku mengine uyajui kichuri dawa ya kuwakomesha wake wenye mdomo kwenye ndoa zao. " Ndio nini sasa. " Ukiwa na mdomo utakuja kujua tu nipo bize kidogo hapa kuna kigodoro naenda kutunza. ( Akakata simu...yani uyu ndio naweza kumuuliza aya mambo wengine nawaheshimu inawezekana kichuri ni tusi nikatulia zangu...jioni mume wangu karudi ananiambia) " Mke wangu Samahani kwa kukuuzi Jana usiku naomba uwe na amani Sawa. " Sawa. " Ila wiki hii nitakuwa bize sana na kazi ivi kwa siku unatumia dumu ngapi nataka niongeze bajeti kidogo. " Tatu. " Sawa 8000 mala 7 ngapi? " 56000. " Shika hii elf 60 tutaonana siku ya nane acha nipambane kwa ajili yako. " Sawa. ( Akaondoka zake sijui kazini kweli au ndio kaenda kula kichuri...siku ijaisha siku inayofata kaka muuza maji akaja kuniletea maji ananiambia) " Vipi Leo utakuja? " Tutaangalia. " Poa. ( Akamimina maji akaondoka...kama kawaida achukui pesa...mimi napita pita mtandaoni naona picha ya mume wangu anachambua mchele alafu yupo na yule yule demu alisema binamu yake alafu chini imeandikwa) " SI DAWA NI UJUZI TU WA KITANDANI" ( Wakati nashangaa ile picha shoga yangu wa buza akanipigia akaniambia) " Shoga mdomo umeshakuponza naona mumeo amepewa kichuri na mchele anachambua angalia fb mambo jina Fetty mideko. " Ndio nimeona hapa niambie kichuri ndio nini? ( Aliniambia maana ya kichuri macho yalinitoka) " Kichuri ni..... ITAENDELEA

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

Niliumizwa kwa taarifa nilizozisikia za Damian kurudi kwenye kazi yake ya uzoa taka japo nilipanga kumsahau kwa wakati huo kutokana na kile kilichotokea. Mwezi mmoja ulipita pasipo kuonana na Mzoa taka na mambo kwangu yalianza kubadirika kwani mwili wangu ulikuwa ukiniwasha na kila mda nilikuwa nikitamani kufanya mapenzi, kila nilichokuwa nikikifanya kilikuwa hakiende kabisa kutokana na nyege kunisumbua. "Hii sasa shida nyingine sijui nifanyeje tu hapa" niliongea nikiwa mwenyewe baada ya hamu za kufanya mapenzi kunishika. Na kama kungekuwa na mwanaume yoyote yule karibu yangu asingepata shida ya kunikuna siku hiyo. Mda wote mikono yangu ilikuwa ikishika matiti yangu ili kupunguza hamu lakini bado haikusaidia, nilitamani mpaka kwenda kununua uume wa bandia ili unisaidia kutuliza hisia nilizokuwa nazo lakini napo niliona itakuwa hatari kwangu kwani lazima ningekuwa addicted na huenda nisingetamani tena kuwa na mwanaume kwenye maisha yangu kama ilivyowaaathiri baadhi ya wanawake. "Hapa nimtafute mzoa taka tu hamna namna japo alinikosea" niliongea mwenyewe na kuchukua simu yangu kwa ajili ya kumpigia mzoa taka. Nilipiga lakini kwa bahati mbaya simu ilikuwa haipatikani kwa wakati huo. Sikuwa na njia nyingine zaidi ya kutulia na siku hiyo ilipita. Siku iliyofata kwakuwa ilikuwa ni siku ya kazi nilienda kazini na kidogo ilisaidia kupunguza hamu za kuwaza minyanduo. Siku hiyo mida ya mchana nikiwa ofisini mimi pamoja na wafanyakazi wenzangu, tulisikia sauti za mtu akigombezwa na mlinzi hivyo baadhi yetu tunaopenda umbea na mimi nikiwemo tuliamua kutoka kwa ajili ya kwenda kuangalia mtu aliyekuwa akigombezwa ni nani. Macho yangu hayakuamini kumuona mzoa taka akigombezwa na mlinzi. "Nani kakupa ruhusa ya kuja kwenye ofisi za watu nakuanza kuzoa taka..!?" Mlinzi alimuuliza na upande wangu moyo ulikuwa ukienda mbio maana ni jana tu nimetoka kumuwaza alafu leo namuona akiwa kwenye mazingira ninayofanyia kazi. sikutaka kuingilia zaidi ya kuondoka na kurudi kwenye ofisi yangu. Nilifika na kukaa kwenye kiti huku nafsi nyingine ikiniambia kuwa bado namhitaji mzoa taka kwa wakati huo. Siku hiyo ilikuwa ni siku ya matukio kiupande wangu na sitaisahau nikiwa bado namtafakari mzoa taka mama yangu alinipigia simu. "Hello mama" niliipokea nakuongea. "Irene, jumamosi kutakuwa na kikao nyumbani hivyo panga ratiba zako vizuri na uje nyumbani siku hiyo" mama aliongea na mimi nilimjibu kuwa nitajitahidi ili niwepo japo nilikuwa sifahamu ni kikao cha nini. Pia niliamua kumtafuta dada nakumuuliza kama amepewa taarifa nilizopatiwa mimi lakini aliniambia kuwa hana taarifa zozote zile. Sikutaka kuendelea kuumiza kichwa kwa kile nilichoambiwa na mama zaidi ya kuendelea na kazi zangu na baada ya mda aliingia mfanyakazi mwenzangu. "Vip hali ya huko nje!?" nilimuuliza nikitaka kujua kilichomtokea Mzoa taka. "Huyu mlinzi anaroho mbaya huyu, yani kaamua kabisa kumdhalilisha mwanaume wa watu!?" mfanyakazi mwenzangu aliongea na mimi sikutaka kuona akiendelea kuongea sana zaidi ya kumuuliza kile kilichotokea. Aliniambia kuwa mzoa taka aliondoka ila akiwa amedhalilishwa vya kutosha na hali ile ilizidi kunikosesha amani kabisa. Mda wa kazi ulipoisha nilikuwa na kazi ya kumtafuta mzoa taka na bahati nzuri nilifanikiwa kuelekezwa sehemu aliyokuwa akiishi na moja kwa moja nilienda mpaka kwake alipokuwa akikaa. Nilifika na kusikitishwa na mazingira ya chumba alichokuwa akiishi mzoa taka. "Irene umeijia nini nyumbani kwangu!?" Mzoa taka aliniuliza na alionekana hajafurahishwa na ujio wangu. "Mbona unahasira hivyo Damian!! naomba tukae tuyamalize na kumbuka wewe ndiye uliyenikosea mimi" niliongea nikimkumbusha kuwa yeye ndiye chanzo cha yote. "Yote sawa ata kama mimi nilikosea lakini mimi sikuwa na ujaja ata kama ungekuwa wewe ni mwanaume Irene, yani mwanamke alikuja dukani kwangu na kukaa huku akinipa mitego ya kila aina kwanza alianza kupanua mapaja yake na ndani alikuwa hajavaa chupi yoyote ile hivyo nilijikuta nikimtamani na kuamua kumtongoza" Mzoa taka aliongea na kuzidi kujitetea. Kwakuwa nilikuwa nimeshaujua ukweli sikutaka kujali kuhusu kujitetea kwake kwani mda huo mawazo yalikuwa yakiwaza kunyanduliwa tu maana mwili ulikuwa ukiniwashwa hivyo niliamua kumwambia mzoa taka. "Basi twende nyumbani Damian" niliongea na Damian hakutaka kukataa alibeba nguo zake na tukaongozana wote mpaka nyumbani. Ile tunafika nje ya nyumba yangu tulikuta gari ya Alex ikiwa imepaki.........ITAENDELEA. Alex nae 😒😒😒😒 alitusumbua mno yule mwanaume sehemu ijayo ina majibu zaidi.

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

ENDELEA....... "Ni muda wa kazi sasa. Uliniambia jana una mazungumzo binafsi na mimi. Nafikiri tutazungumza badae" Sikuwa na namna zaidi ya kutoka ofisini kwa Sony. Nilienda eneo langu la kazi kila nilipojitahidi kufanya kazi zangu akili yangu haikuwa sawa kabisa. "Una nini leo Nice?" Sophia rafiki yangu na pia ni mfanya kazi mwenzangu aliniuliza. "Nipo sawa" "Nakufahamu lakini ila kama umeamua kunificha naamini ni jambo lako binafsi ila kuwa makini usiharibu kazi." "Kiukweli simuelewi binamu". "Manka?" "Yeah" "Yule ndugu yako hayupo sawa. Mala nyingi napokuja kwako kuna matendo naona anayafanya si sawa kabisa sema sijui ni namna gani mnaishi wenyewe nilichagua kunyamaza kimya nisiwafitinishe ndugu" "Nitakueleza badae". Tuliendelea na kazi. Majira ya saa nane mchana Manka alikuja kazini kwangu. Kwakuwa mimi ni Secretary ilikuwa lazima apitie kwangu kama anataka kuonana na Sony. " inaendeleaje?" Nilimuuliza kwa kujali ila alinijibu kwa mkato. "Salama. Nataka kuonana na Sony. "Kuna tatizo?" Nilimuuliza "Mimi kuonana na Sony mpaka wewe ujue?, utaacha lini wivu wa kijinga wewe" "Kumbuka mimi na wewe tupo vipi. Ni miiko mashemeji kuzoeana kupitiliza, alafu ujue kabisa unaongea na dada yako kwaiyo uwe na nidham. "Unasemaje wewe. Ngoja sasa nikuonyeshe" Manka aliyasema hayi na baada ya hapo alianza kulia kwa sauti huku anaugulia tumbo. Wafanya kazi wote walikusanyika eneo hilo. "Kuna nini Nice?" Sophia aliniuliza. "Sielewi ana shida gani na mimi. Huwezi amini sijamgusa hata ukucha tu" Muda huo huo Sony alifika eneo hilo alimkimbilia Manka pale chini ni kama vile alikuwa amepagawa. Watu wote tulipigwa na butwaa..... "Nini kimetokea?" Sony aliuliza na macho yake yalielekea kwangu. Kabda sijamjibu Manka alijibu. "Nice amenipiga tumboni. Sijui kwanini ananitesa amesahau kama mama yangu na baba yake ni mtu na dada yake. Amekuwa katili sana kwangu". Manka aliongea huku anajiliza. Sony aliniangalia kwa hasira, alimbeba Manka mikononi mwake. Wafanyakaza wakaachia njia wapita. Mie nilikuwa nimesimama kama mstimu jamani siamini nachokiona kabisa nilistuka tu nimesukumwa huko nikaenda kudondokea kiti. Nilianza kuugulia maumivu ya tumbo. "Pole Nice nashindwa hata niseme nini juu yako kipenzi" Sophia aliongea hayo huku ananifuta machozi. Tunakuja kushtuka damu zinachuruzika miguuni mwangu. Nilishika tumbo langu kwa uoga "Una mimba?" Sophia aliniuliza. Kwa uoga niliokuwa nao maumivu yalizidi mala mbili yake. Sophia akiwa anashauriana na wafanya kazi wengine kunipeleka hospitali na wengi walikuwa wanaogopa kutoka kibarua kitaota nyasi. Kwa mbali tulimuona kijana mmoja mtanashati anakuja eneo tulikuwepo. Alitufikia pale alinitazama kwa huruma mie nikazima sikujua nini kiliendelea. Nilikuja kushtuka nilijikuta nipo hospitali pembeni yangu alikuwepo Sophia" "Umeamka kipenzi. Unajisikiaje kwa sasa?" "Naona nipo sawa. Vipi ulimpa taarifa Sony kuwa nipo hapa?" "Siwezi kuzungumza nae chochote kwanza naanzaje na yeye ndiyo sababu ya wewe kuwa hapa" "Niambie vipi kuhusu mimba yangu" "Jambo la kumshuru MUNGU upo salama kabisa ila tumshukuru pia kijana yule kwa kutoa msaada kama si yeye kulikuwa na uwezekano mimba kuharibika" "Nilishika tumbo langu nikaachia tabasamu ilhali ndani ya moyo wangu nina maumivu makali sana. Majira ya jioni nilitoka hospitali niliongozana na Sophia mpaka nyumbani kwangu. Huko tuliwakuta Manka na Sony. Eti Sony wangu anambembeleza Manka ale chakula. " Nyie watu mnawezaje kuondoka kazini bila ruhusa yangu?" "Kwamba hata ningefia pale kazini ni sawa?, hivi Sony umepatwa na nini?" "Punguza Jazba Nice, daktari alisema unatakiwa kuwa mtulivu kimwili hadi kiakili" Sophia alinitulia baada ya kuona nimeanza kupaniki. Alinipeleka mpaka chumbani kwangu huko tuliweza kuongea mawili matatu. "Nahisi kuchanganyikiwa mwenzio sielewi jamani" niliongea huku nalia. "Usilie kipenzi jali kwanza afya yako kila kitu kitakuwa sawa ni jambo la muda tu". " nisikuchoshe sana Sophia. Asante kwa msaada wako unaweza kwenda nyumbani kupumzika. "Kama nisingekuwa mke wa mtu ningebaki na wewe leo hii. Ok acha niende ila naomba uwe mtulivu" Sophia aliondoka, dakika chache tu Sony na Manka waliingia chumbani kwangu. "Naomba nizungumze na wewe kwa uchache tu kabda sijaondoka kwasababu sihitaji umfanyie mwenzako vulugu. Safari hii utaionja polisi sitakuacha salama" Sikumjibu zaidi ya kumtazama tu. "Manka ni mjamxito na mimba ni yangu mimi. Baada ya kukwambia haya sitegemei kama utamfanya chochote kibaya sitokuelewa" Sony aliongea hayo bila ya aibu. Nyie nilijikuta naangua kicheko huku nalia.............ITAENDELEA.........

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

ENDELEA....... "Manka wewe wa kunijibu mie hivyo?" "Kibaya kipi hapo si nimekuuliza tu" "Ukiwa na maana?" "Maana yangu ni kwamba kuzaa huzai. Bwana unae miaka miwili sasa ila hujawai shika mimba hata ya bahati mbaya kwa kisingizio cha kusema kwamba mpaka unioe. Wewe huyo ukiolewa sijui" Nilishangazwa na kauli ngumu za Manka na alivuka mikapa mpaka kunitukana eti mie mgumba. Uvumilivu ilinishinda nilujikuta nampiga Manka. Nilimtembzea vibao vya maana. "Unanipiga mimi, sasa ngoja nikuonyeshe" Manka aliyasema hayo na baada ya hapo alichukua simu yake. Sikuwa na haja ya kuendelea kubaki chumbani kwake. Nililudi chumbani kwangu. Moyo wangu ulikuwa na maumivu makali nisingeweza kujizuia kulia. Nililia kwa uchungu haswaa. "Mbona kama vile Manka amedhamilia kulisambalatisha penzi langu. Hapana Sony ni wangu sitokubali, huyu ni mwanaume wangu na naweza kusema ni mume wangu maana tayari ameshanitolea mahari na pete ya uchumba ipo kidoreni mwangu" niliyasema hayo huku naitazama pete ya uchumba niliyovalishwa na Sony mwezi mmoja tu uliopita. Basi nikiwa nimejilaza kitandani kwangu mlango ukifunguliwa gafla aliingia Sony akiwa amefulu kwa hasira. "Karibu baba watoto wangu". Nilimkaribisha kwa tabasamu ila tabasamu hilo niligeuka kuwa kilio. Aiseee nilitembezewa mkongoto huo uwiiii! " kwaajili ya Manka unanipiga mimi?" Nilimuuliza Sony baada ya kutosheka kunipiga. "Na nitaendelea kukupiga mbwa wewe. Kwanini unampiga mwenzio na unajua anaumwa" "Sikudhamilia kumpiga ila alinijibu vibaya na mimi pia nina moyo sio chuma, Sony mpenzi wangu mbona imekuwa hivyo. Hujali chochote kuhusu mimi. Hunipi muda wa kuongea wala kujitetea. Inamaana mimi huyu nimekuwa mbaya gafla tu kwako?" "Usiku wa leo nilitegemea ungekuwa usiku wa pekee sana kwetu ila umekuwa usiku wenye maumivu sana kwangu. Kosa langu liko wapi eti?" Namna nilivyokuwa naongea huku nalia Sony aliingiwa na roho ya huruma juu yangu. Niliona amelegeza nyuso zake ananitazama kwa huruma namna ninavyolia kwa uchungu. Alinisogelea kwa ukaribu alinyanyua mkono wake anifute machozi ila kabda hajafanya hivyo Manka aliingia chumbani kwangu. Alijifanya anaugulia tumbo. Sony alimkimbilia haraka. "Unajisikiaje. Nikupeleke hospitali?". " mbwa huyu ulifaa hata kumpeleka polisi" Manka aliongea hayo kwa hasira. Sony alimtoa chumbani kwangu. Sikujua kuna nini kinaendelea kati ya Sony ma Manka....... Kesho asubuhi niliamka nikajiandaa kwenda kazini nilipokuwa tayari nilipita chumbani kwa Manka kumjulia hali. "Sony aliniambia nikwambie uniandalie chai kabda hujaenda kazini" "Hivi ni kweli unaumwa?" Nilimuuliza Manka. "Wewe unanionaje?" Alinijibu. Niliangalia saa yangu ya mkononi. Muda ulikuwa ushaenda. Sikuwa na namna niliingia jikoni nikabandika chai fast baada ya hapo nikaondoka. Nafika kazini tu nikaitwa ba boss. "Mbona hujamuandalia mwenzio chai na unajua kuwa anaumwa, kwaiyo kazi ni bora sana kuliko utu wa mtu tena ndugu yako" Nilipoingia ofisini tu kabda ya salamu kutoka kwa boss wangu ambaye ni Sony mchumba angu na mume wangu mtarajiwa. "Kama chai mbona nimempikia Jamani" "Bila kitafunwa?" "Mkate upo" Nilimjibu. "Kaendelee na kazi zako" "Sony naomba nizungumze jambo moja hata kwa dakika moja". Niliona hiyo ndiyo nafasinya kumwambia Sony nina mimba yake...........ITAENDELEA.......... SIMULIZI :

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

ENDELEA........... "Nimeanza kuona sasa jinsi gani ulivyo na roho mbaya. Kwa hali hii umeanza kunitisha mapema, kama ndugu yako unaweza kumfanyia roho mbaya kiasi hiki vipi ndugu zangu si unaweza hata kuwatilia sumu wewe?" Sony aliongea hayo. Ilibidi nijitoe nyuma ya mgongo wake. "Kuna baya gani nimemfanyia Manka?, mbona nyie watu wa wili mnataka kuniharibia furaha yangu siku ya leo. "Aya Ulienda wapi au kisa nilighahili kutoka out na wewe kwaajili ya kumpeleka mwenzio hospitali na wewe ukaona upate nafasi ya kwenda kwa wanaume zako" "Nilienda" kabda sijamaliza kujitetea Sony alininyamazisha. "Wewe ni mwanamke ambaye haukubaligi makosa sio. Kwaiyo unaona upo sahihi. Vipi ulijua tutakula nini baada ya kuludi hospitali, Naomba unipishe sitihaji kukutamkia maneno makali" "Lakini Sony kwanini unanihukumu tu pasipo kunisikiliza kwanza" "Nimekwambia tokaaaa". Sony aliongea kwa hasira sana sijawai kumuona katika hali hiyo. Sikuwa na namna nilitoka jikoni nikaelekea moja kwa moja chumbani kwangu. Sony baada ya kuivisha supu alimpelekea Manka pale sebleni alianza kunywesha. Natoka chumbani nawakuta wananyweshana Supu. Manka alikuwa ananiangalia kwa jicho la uchokozi. Ananichekea kinafki. Sony alikuwa busy kumnywesha supu Manka. Sikujua wawili hawa imekuwaje leo kuwa na ukaribu wa namna hiyo na walikuwa kama chui na paka. Mililudi zangu chumbani nilijua baada ya kumaliza kunyweshana supu Sony atanifuata chumbani kwangu ili nimpe taarifa za ujauzito ila haikuwa hivyo. Nilipoona kimya kimezidi nilitoka chumbani tena nilienda sebleni. Sebleni hapakuwa na mtu yoyote. Nilitoka nje napo hawakuwepi ndipo nilipata wazo la kwenda chumbani kwa Manka. "Nilifungua mlango nikaingia chumbani niliwakuta wawili hao wapo kitandani. Sony alikuwa anambembeleza Manka alale. " hawa haya mazoea yameanza lini?, ni kwaajili ya Manka kuumwa tu au kuna mengine nyuma ya pazia? Nilijiuliza nwenyewe pasipo kupata majibu. "Samahani nilikuwa na mazungumzo na wewe" "Kuhusu nini?" Sony alinijibu jibu ambalo sikulitegemea. "Ni mambo yetu binafsi" "Kama ni mambo yetu binafsi tutazungumza hata kesho. Kwa leo nimechoka sana" Nilipaniki vibaya mno. "Hivi Sony unanichukuliaje eeeeh, umechoka na upo hapa na Manka eti unambembelez alale tangu lini wewe na Manka muwe na ukaribu wa namna hii eeeeh!, Nyie watu naona mnataka kunipanda kichwani" "Hutaki kuzungumza na mimi kwamba umechoka huku upo na binamu kutwa nzima ya leo. Naomba uondoke kwangu" Nilijikuta navuka mipaka na kumtimua Sony. "Manka uwe makini, Ukijisikia tofauti usisite kunitafuta nitakuwa hapa hapa ukinihitaji" Sony aliongea hayo nilizidi kushangaa. Aliondoka na wala hakujali chochote kuhusu mimi. Sikutaka kumvungia Manka nilimuuliza amemfanya nini mchumba angu. "Kwa akili zako basi unajua nimemloga hiyo bwana ako" Manka alinijibu kwa dharau huku ananipandisha na kunishusha. " Kuna lengine linaweza kumbadilisha Sony mpaka anidharau mimi kupita kiasi kwaajili yako. "Vipi una kizazi?" Manka aliniuliza kwa dharau aiseeee sikuamini kama binamu yangu tena niliyemkaribisha nyumbani kwangu anaweza kunipanda kichwani..........ITAENDELEA............ SIMULIZI :

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

BINAMU WEWE UNGEWEZA? SEHEMU 02 ENDELEA...... "Hajambo kabisa" "Na mipango mengine si inaenda vizuri?" "Kabisa mama, tegemeeni mambo mazuri hivi karibuni" "Hata mimi naona Japo unanificha mama yako kwa jambo kubwa kama hili labda unasubili mpaka tumbo lionekane ndo uniambie kama ni mjamzito" Mama aliongea hayo mie huyo nisiangue kicheko. "Mama bhana umeanza mambo yako. Tangu lini nikakuficha mambo yangu na wewe ndo msiri wangu" "Sasa mbona hili umenificha ndo maana nasema labda unasubiri tumbo likuwe" "Ndo kwamba unamaanisha mimi huyu ni mjamzito?, mama bhana" "Una kichaa wewe?, hujui kama una mimba au unanizuga mbwa wewe. Mtu mzima dawa popote anapokuwa mimi nimekuzaa wewe na ndo wa kwanza kuona jua unanificha mimba jinga kabisa wewe" Nilifikiria kwa dakika chache huku nikipiga mahesabu kwenye kichwa changu. "Inaweza kuwa kweli mbona sijaingia kwenye siku zangu karibia miezi miwili" niliongea hayo kwa sauti. "Yaani Nice na utuuzima huo hujui hata dalili za mimba?" "Mama nina tabia ya kupitiliza siku zangu ni ngumu kujua mapema kama nina mimba". Nilijitetee ila ni uongo mtupu. Hata sikuamini kama ni kweli ni mjamzito. Majira ya jioni niliondoka nyumbani nilitaka nihakikishe kama kweli nina mimba. Moja kwa moja nilienda hospitali. Nafika tu hospitali kwa mbali niliwaona Manka na Sony wanaelekea parking huku Sony akiwa amemshika Manka kwa uangalifu sana. Wivu wa mapenzi ulinikaba haswaaa! Niliendelea kuwatazama mpaka walipoondoka eneo hilo na wao wala hawakuniona. Nilienda kuonana na doctor alinifanyia vipimo ni kweli nilikuwa mjamzito tena wa miezi miwili. Nilifurahi sana maana ni matamanio yetu mimi na Sony kupata mtoto hasa Sony alikuwa na hamu sana ya kuitwa baba. Niliondoka hospitali kwa mbwembwe zote. Nilijua muda huo Sony atakuwa nyumbani kwangu tu. Maana hawezi kuondoka akamuacha mgonjwa peke yake. Nilifika nyumbani ile naingia ndani nikamkuta Manka amekaa kwemye sofa alafu miguu kainyoosha mezani. Mkononi kwake ana kipande cha rimao. "Unaendeleaje?" Nilimuuliza kiroho safi. "Salama" Alinijibu kwa mkato tu. Sikutaka kumjali sana tena nina furaha zangu mwenyewe nilamuuliza kuhusu Sony. "Ni muhimu kuliko mimi binamu yako?, Ok yupo jikoni ananiandalia supu" Sikutaka mambo yawe mengi nilielekea jikoni moja kwa moja. Ni kweli nilimkuta Sony anaandaa supu. Nilimkumbatia nyuma ya mgongo kwa mahaba kama yote ila niliishiwa pawa kwa maneno aliyonitamkia. Wacha nilie kwanza 😭😭😭😭😭😭😭........ITAPENDEZA.........

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

Wengi wananiita Nuru,nuru......wengine huniita nuru mpenda mizigo huyooo ila sijali ilimradi yangu yananiendea tu. Siku moja nikaamua kutoka nnje walau ninyooshe nyooshe miguu nipate ahueni...mara nyingi hupendelea kukaa sana ndani....natokaga mara moja moja sana wakati wa mchana ila mara nyingi wakati wa usiku. "Nuru!!!nuru!!!!naona leo umwtukunbuka eeeeeh🙌"sauti za wadau wangu wa mitaani zilisikika zikizungumza...nikisema wadau namaanisha wanangu kindakindaki yaaani wale wa kuzaliwa kabisa. Sikutaka kuwaonesha maringo wala madharau niliwasogelea na kuongea mawili matatu kisha nikaondoka,sikuacha kuwaachia lawama kutokana na namna nimejaaliwa japo sijisifii ila ndo hivo yaani🤭. Haikuchukua muda nilifika.mahala husika nilipodhamiria kuwasili kwa siku ya leo. "Ooooh !kipenzi naona leo umewahi sana ..sikutarajia kuonana na wewe mchana maea zote ulikuwa ukija usiku mahala hapa"alizungumza Juma bwana angu. "Anhaa bebi na wewe mie nimekaaa leo nikaona nije tu maana upwiru umenibana sio poa yaani"nikazungumza kisha nijamfata nikamkumabatia...japo tulikuwa nnje ila sikuona aibu kuanza kumbinya binya mtarimbo wake. "Mmmmh,mbona imekaza namna hii ingali ndo kwanza umeniona?"nikauliza kisha nikakaa kimya tu,kisha jumaa na mimi tukaendelea kukunbatiana. "Babe jamani,mpaka hamu inaniishia sasa ,umeniweka muda mrefu sana"Tukiwa tumekumbatiana sauti ilitokea kwenye xhumba cha bwana angu juma. Alivyokuwa hana haya sasa akanitoa akanificha nyuma yake kisha akamfuata yule dada akaaanza kumwambia. "Nisamehe bebi nilikuwa na dada yangu si unajua yule dada yule namzungumziaga sana eeeh ndo huyu basi" "Ooooh ,wifi za wewe?"akaniuliza tena mkavu😁. "Safi,vipi mtarimbo wakw una umudu?"nikamuuliza kisha nikamkazia macho nikitegemea jibu. Hakunijibu badala yake akabaki akiniangalia kwa kushangaa. "Anamaanisha unawezana na mimi na tabisa zangu"akajibu juma. "Anhaaa...kabla yule dada hajamaliza kuzungumza nikadakia.....simaanishi hivyo wala ni vile nakuonea hurum ahio bahari atakayokuachia shauri yako. "Na wewe juma uache umalaya mie ni wa kuniita dada yako kweli??,shoga angu huyu ni bwana angu,tena nikisema bwana angu nakosema ni dear ex,sema basi tu.....nashukuru kapata wa kumfichia aibu....."niliongea kisha nikaondoka....niliposikia kelele za kugombana nyuma yangu nikabaki nikitabasamu..... Nakuja.....

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

👉 Subili nimpigie mama...👇 " Mwanangu unataka kutugombanisha na mama yako si ndio. " Baba angekuwa mtu mwengine saizi nishamfila. ( Nilistuka kimoyoni bahati nzuri simu aipatikani...akanishika mkono akanipeleka chumbani akaniambia) " Hili nikusamehe naomba mkundu nikufile. ( Mmm nikaona hapa akuna cha msamaha anataka anikomoe nilisema kimoyoni nilihapa sitakuja kufilwa mimi nilimwambia) " Nimekukosea hili kosa sio la kusamehewa nipe taraka yangu tu. " Kwaiyo utaki kunipa mkundu upo tayari nikupe taraka. " Ndio. " Hatakuja kukupa taraka mama ajue umetembea na mumewe. ( Nilikaa kimya nikiwa nafikilia jinsi mama mkwe anavyonipenda alafu aone nimempa kuma baba mkwe itakuwaje nawaza nawazua ukimya wangu ukampa nafasi tena mume wangu kusema) " Naomba unipe mkundu nakusamehe na mama sitamwambia na wewe sikuachi. ( Mala baba mkwe akaingia ndani anamwambia mwanawe) " Sema shilingi ngapi nikulipe aya mambo yaishe. " Baba nakuheshimu toka nje nimalizane na mke wangu. " Sawa ila usimpige. ( Mzee alikaa nje ya mlango mimi nikasema kimoyoni Bora taraka kuliko kufilwa...akaniambia) " Kwaiyo utanipa mkundu tumalize aya mambo? " Hapana nipe taraka tu. ( Kwa sababu mama yake apatikani akampigia shangazi na akaja sasa akamwambia shangazi yake yote na ujinga wake akamwambia mpaka alichoniambia na nilichomwambia...mimi sina wasiwasi shangazi nishampa kuma hapo shangazi akanipa ongera) " Nakupa ongera kwa kulinda heshima ya mkundu wako wanawake wengi kwenye ndoa wanafilika pale tu wanapokutwa na kosa kama hili sio katombwa na baba mkwe yani kafumaniwa tu wanaume wengi hili wayamalize uwafila wake zao wewe umeona umekosea utaki tena kukosea umeona bora kosa moja kwa maana mumeo angekuwa ndio tabia yake kwako kukufila nakupa ongera kwa kusimamia vizuri utu wa mkundu wako japo umekosea kumpa penzi baba mkweo na wewe mpe taraka chap mkeo usije kufa. " Nakufaje? " Wewe utamtesa uyu na yeye anaweza kukuwekea sumu mpe taraka nimesema. ( Kesi nyepesi napewa taraka na mume wangu...uku nawaza kumbe kuna wanawake wanafilwa kwenye ndoa zao kisa wamefumaniwa...duu uku nawaza nakabiziwa taraka...shangazi akanitumia sms) " Ukitoka hapa unaenda kwangu uyu msenge tu yeye south Africa alikuwa anatomba anataka wewe usitombwe michezo ya kufila ndio michezo yake itakuwa alikuwa anatafuta sababu tu akafile maraya uko" ( Nasoma sms uku nacheka kimoyoni...basi mume wangu akanipa taraka mimi na yeye ikawa basi..niliondoka moja kwa moja kwa shangazi...iyo siku tulisagana sana sana...upande wa baba mkwe kumbe alienda bar kupoteza mawazo ajiulize atanisaidiaje...kumbe bar aliyokuwa ndio ina gest mkewe ajasafili anatombwa na kishandu yani bodaboda...sasa anamkuta mkewe kabeba chips anaingia gest...alivuta subila dk tatu akamfata akamuona mpaka chumba anachoingia...mzee alienda moja kwa moja akazuiliwa na muhudumu sasa muhudumu ni wa kike alishindwa kumzuia kikamirifu mzee...akaweza kumuacha akaingia mule chumbani kwa teke moja tu akakuta mkewe yupo kifo cha mende anatombwa akampiga kofi bodaboda yule la matako) " Wewe bingwa wa kukaza wake za watu si ndio. ( Mama mkwe mkojo unamtoka baada ya mboo ya bodaboda kuchomoka kumani...muhudumu aliomba msaada nje ndio ikawa bahati kwa bodaboda kutokupigwa mama mkwe kajifunika shuka kuficha kuma yake na USO mzee anasema) " Umekosa nini kwangu unakuja kutombwa na kijana wa ovyo nywere kasuka. ( Sasa watu walioingia kumsaidia bodaboda wakawa wanamuomba mzee) " Msamehe kijana. " Siwezi kumsamehe anitombe mke wangu alafu nimsamehe uyu namuuwa. ( Kuna mtu anamjua mama wa kijana alimpigia simu na fasta mama uyo akaja alivyofika wakashangaana na baba mkwe alafu yule mama akasema) " Unataka kumuuwa mwanao? ( Mama mkwe katulia kwenye shuka anatamani kusema kitu mzee alikaa kimya yule mama akasema) " Uyu ni mwanao ambae uliniambia atakutafuta si ulikataa kutoa faini kumkomboa na baadae ukaoa sasa ona mtoto kamlala mama yake hili kosa lako. " Yaishe aya yanazungumzika mwanangu nenda tutaongea. ( Bodaboda anaondoka na mama yake....watu wanatawanyika mama mkwe anavaa cha kusema hana baba mkwe akaita gali wakaenda nyumbani kwao wanafika tu aliyekuwa mume wangu anasema) " Mama usishangae nipo hapa napiga simu sikupati na mke wangu nimemuacha kosa akwambie baba. ( Ila anashangaa mama yake hana furaha kabisa...mzee akamwambia mwanawe) " Wewe ondoka hapa nyumbani umeshakuwa. " Kwa sababu umetembea na mke wangu ndio unanifukuza. ( Mama mkwe akasema) " Mume wangu umetembea na mke wa mwanetu? ITAENDELEA

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

Sikia mimi sina pesa ya bure unajua umenikosesha pesa kiasi gani Yaani umenitia aibu Sasa nakupa offa kama uko tayari Sawa madam niko tayari nipe hiyo offa .sasa leo idadi yako naiongeza badara ya kulala wanaume 5 utalala na wanaume kumi Sitaki mistake ..sawa madam nimekubali Mamaaaaa baada ya hayo kuyaona na kuyasikia Mimi jenn niliogopa mnoo Kumbe madam suzy anauza madada kwahiyo Na mimi ataniuza😪😪😪😪😪 ,,,,👇👇👇👇songa nayo Jenn alijisemea akiwa amesimama kwa mbali kidogo na alipokuwa madam suzy .. baada ya yote Madam suzy alimuita Jenn Jenn njoo binti yangu Sawa madam . Nimekuja ..sasa binti yangu leo natamani kidogo uanze kujifunza kazi Chapo nimapema sana lakini ni vizuri ukaanza leo Ili ujipatie uzoefu Baada ya kuambiwa hivo nilisituka . Madam kazi gani hiyo . ...aaah Jenn najua hujajua kazi yakufanya lakini Nikuambie hapa huwa tunafanya kazi Yakuingiza pesa za kutosha sasampa kibao Kwa kila binti unae muona hapa namlipa kwa siku elf 50 Nawewe pia ntakulipa hivohivo Kama wengine . Jenn nataka nibadilishe maisha yako Uwe na pesa uwe na mwonekano Uwe mtu wa thamani Aliniambia madam huku nikiwa nawaza mbali ...sasa pili mchukue jenn muende nae kambini Akaanze kazi .. Mmh nilishangaa mbona madam hata haniambii Nikazi gani ninayoenda kufanya Wewe jenn tangulien kambini Nami nipo njiani nakuja Lakini madam, wewe hakuna cha lakini Kazini .. unazani kuna cha bure hapa Tulipakizwa kwenye haice iliyokuwepo Hapo kwa madam hadi kambini Kambi yao ilikuwa maeneo ya mabatini Kama unaelekea buzuruga Mkono wa kushoto Jengo moja hivi . Tulipofika tu madam nae akaja Mda huo natetemeka Moyo unanidunda . sikilizen wote sasa ni mda wa kuanza kazi Madam suzy aliokuwa anatoa maelekezo hapo .leo kuna odda hapa imepatikana na hii oda niyapesa ndefu sana Malipo ya hii oda ni million mia Heeeee kila mtu alistuka oda gani madam Sikilizeni kuna mwana siasa anakuja hapa mwanza leo Na mwanasisa huyo anatakiwa kuuliwa Leo hii .. Hapo kila mmoja maji yalimtoka hawajawahi kupokea odda kama hii . Madam suzy aliendelea kutoa ratiba Sasa basi kwa binti atakae chaguliwa na huyo mwanasiasa kwenda kulala nae Huyo ndiye anatakiwa kumuuwa . Hiiiiii jamani wengine hatujawahi kuuwa ..jimya wewe msenge . Hapa tuko kwaajili yakupata pesa . Hapa ipo sumu ya kumuulia huyo mwanasiasa Sasa madam mbona hiyo kazi ni ngumu Usipoweza si tunakamatwa wote tunaenda kufia jera .. Aliongea pili huku akinitazama machoni Ndiyo binti zangu ukifeli kumuuwa wote tunafia Jera Inabidi kwaatakae chaguliwa akaifanye kazi Kwa umakini hii sumu inauwa kwa mda wa masaa 24 Kwa mantiki hiyo atakuwa ameshafika Maeneo mengine . Tukiwa bado tunajadili Mara msafara wa mwanasiasa ulitia timu Madam alituambia jipangeni ili achangue Mimi nilitaka kujificha madam akasema kaa tu Tu kwa nyuma hawezi kukuchagua Moyo wangu haukuwa na amani Kweli alifika akaja kuchagua chaajabu alinifikia wewe hapo njoo Mamaaa leo sasa Nilimsogerea akasema wewe ndiye siku ya leo unanipa utamu .. Madam alisema huyo bei ni million Alisema hivo ili asinichukue lakini Huyu mwanasiasa alisema si million tu Bali natoa million mbili tena keshi Daaa leo sasa Madam alipokea pesa Akaniita njoo jenn chukua hii sumu hakikisha Umejamilisha kazi Madam kwa huu ulizi mbona hii nihatari Siyo hatari hii ndiyo kazi iliyotuleta hapa Siwezi kupotesmza million mia Madam mimi siwez nawezaje kuuwa na ikiwa sijawahi .. Madam si umpe mwingine hii kazi Nililia sana lakini haikunisaidia Nilichukua sumu nikaingia kwenye chumba Nilimkuta amejimwaga kitandani Akinisubilia ..... unaitwa nani ,,,naitwa jenn .....ohoooo jenn nice name ,,,asante Wakati niko pale milango ya ile guest house ikawa inafungwa Alafu kukafunguliwa redio sauti ya juu Nikawa nawaza nini kinaendelea leo Au ndiyo inavokuaga kila siku. Kiongozi alianza kunitomasa lakini mimi hata mudi haikuwepo badae nikawa nasikia sasa Mudi ya mapenzi imekuja Nikaishika rungu ya kiongozi Akawa ana hema oooooo Nilipeleka hadi kwenye kum@ yangu Alinitomb@ Kiongozi nae alikuwa mzembe kidogo tu chaliii Ndiyo sasa nikawa nasikia hamu ya kutombw@ Jaman wekaaaa Haaa jamani nimechoka Kiongozi akapitiwa usingizi Mda huo nikawa nawaza nimuwekee hii sumu sasa Nikiwa bado nafikiria cha kufanya Ikangia sms kwenye simu ya Kiongozi Nikaifungua sms ilikuwa inasema .. hakikisha umemuuwa kahaba . Ambaye anatumiwa Na watu wengi Na ukimuuwa chukua kiungo kimoja cha mwili wake ulete Hakika utakuwa kiongoz hadi kufa kwako. Baada ya kusoma huo ujumbe nika jua siyo kuzuri Ndiyo maana milango imefungwa Niliinuka ili nikimbie kumbe mle ndan walikuwemo watu tayari kwaajili ya kuniuwa Mimi nimetumwa nimuuwe huyu Kiongozi Na kumbe Kiongozi nae ametumwa kiungo vmcha kahaba na mganga ili ashinde uchaguzi huu Itaendelea,,,, 11 USIKOSE SEHEMU YA 11 JE JENN ATAPONAJE JE ATAFANIKIWA KUTOKA NAJE WENZAKE WAKO NA HALI GANI

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

. 👉 Uwiiiiiiiiiiiiiii Uwiiiiiiiiiiiiiii Aaaaaaaaa...👇 Tamu Tamuuuuuuuu. (;Mzee akawa ananitomba anasugua kuta zote za kuma...na mimi namkatikia maana ananikuna vizuri...alinilalia juu akawa ananilamba USO wangu nilifumba macho akaleta ulimi kwenye jicho akawa ananifikicha jicho uku nimefumba kama ananitoa mchanga ivi uku ananipamp nje ndani mboo aitulii kwenye kuma yani mwanzo mwisho utamu juu ya utamu) " Aaaaaaaaa Aaaaaaaaa Assssssssssss Tamuuuuuuuu Nakojoaa Nakojoaaaaaaaa Nakojoaaaaaaaa Nakojoaaaaaaaa. ( Nikawa nampa uno la kusigina yani sitaki mboo ichomoke kwenye kuma akinikandamizia ndani naisikilizia akiwa anaitoa naifata kwa kiuno uku namfinyia kwa mdani mzee anaipa tu kweli kweli nikawa Nakojoaa nimemkumbatia kwa nguvu) " Nakojoaa Nakojoaa Nakojoaaaaaaaa Nakojoaaaaaaaa. " Kojoa tu mpenzi wangu na mimi nitakojoa. ( Mzee anajibu sauti nzito uku ananipamp kweli kweli raha ya kukojoa mboo iwe inakusindikiza na ugumu wake wa kudinda acha tu sio kwa utamu huu mzee akagusa gololi kwa spead ya kuchochea mboo kumani) " Uwiiiiiiiiiiiiiii Uwiiiiiiiiiiiiiii Aaaaaaaaa Assssssssssss Tamuuuuuuuu Asante Uwiiiiiiiiiiiiiii Aaaaaaaaa Assssssssssss. " Nakojoaa sasa mpenzi wangu. " Kojoa naupokea. ( Kweli alinikojolea vizuri kwa raha zangu bao tamu lilinichosha kidogo...nikalala nasikia mzee anasema) " Hapa nimekutomba. " Kwanini my. " Kuna mtu anatomba demu alafu akimaliza demu ananyanyuka anafata simu mezani aangalie komborela. " Sasa kila mtu na nguvu zake. " Aina nguvu inakuwa yule demu ajatombeka ameguswa guswa juu juu tu ya kuma. ( Mzee muhuni uyu ikabidi nicheke tu na kweli nimetombeka nikamwambia) " Asante kwa kunitomba. " Asante kwa kushukuru. ( Alienda chooni akachukua maji kwenye kopo akaja na kitambaa akawa ananifuta futa mwili na kitambaa chenye maji hapo nasikia raha...na usingizi ukanijia mzito...niliamka saa 12 alfajiri...nikaenda kuoga mzee nimemuacha kalala kitandani...nikafungua milango nikawa nafagia hikamaliza sikufunga tena milango nikawa nimeisindika nikaenda kufagia sebuleni...sasa nimeinama nafagia chini ya sofa mzee akaamka na wenge lake ananiambia) " Ivyo ivyo kaa my nipige cha asubuhi. " Sawa. ( Alinikudua sketi akatoa chupi akapaka mafuta kichwa chake cha mboo akanikandamiza na mboo kumani ile ananipamp tupo katikati ya game raha tunapata wote kumbe mume wangu karudi kutoka south Africa akili hana akupiga Hodi aliingia mazima ndani akanikuta natombwa na mzee na uno namkatikia mzee anachapa makofi matako tulistuka na Kauli moja) " Mke wangu unatombwa na baba yangu. ( Mzee akachomoa mboo uku inamwaga shahawa nilinyanyuka nikiwa sina nguvu sijui nafanyaje hapa...mume wangu anamwambia baba yake) " Baba unamtomba mke wangu. " Usitoe sauti sana aya yanazungumzika. " Yanazungumzika vipi. ( Anashika simu anampigia mama yake mtihani huu uku anasema) " Subili nimpigie mama. ITAENDELEA

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

( shida ya maji shikamoo) __________________________ 👉 Twende..👇 " Sawa ila wewe mke wa mtu sio vizuri kuongozana chukua funguo nikukute ndani. " Poa. ( Yani nasukumwa na hasira nashika funguo ya kaka muuza maji naanza safari ya kwenda kwake...njiani naonana na wifi kwa mbali anapigwa na mwanaume sasa sijui ni bwana ake au mumewe maana simjui kiundani wifi...nawaza sasa je akisema anakuja kwa kaka yake alafu akinikosa itakuwaje?...nawaza uku watu wameamulia ule ugomvi wanauliza chanzo jamaa anaongea) " Uyu mke wangu ila anapenda ujinga sana asinione nimesimama na mtu anavamia na kutukana sasa nimesimama na mama yangu mdogo alafu ni kama mama yangu mzazi kwa sababu ndio kanilea yeye kavamia na kumtukana mama mdogo je wewe unafanyaje niambieni tu. (Akatokea mwenye akili zinafanana akajibu) "Kumpiga tu mwanamke asiyejielewa dawa yake makofi tu si ata waswahiri wanasema asiyefunzwa na mama yake ufunzwa na walimwengu. ( Mwengine akasema) "Usiwe unampiga mweleweshe uyu binamu wivu ni sehemu ya maisha yake ila kwa hapo amekukosea yamalizeni nendeni kwenu. " Sawa. ( Wakaondoka...Moyoni nasema kumbe ndio maana aliniambia kupigwa ni kuonywa uyu kashazoea kupigwa...sikutaka kukatisha safari yangu uyo naenda kwa muuza maji kutokana nilisimama pale kumbe yeye alitangulia akakaa nje ya mlango wake...mimi nafika nafungua mlango tukaingia ndani...basi alinifanyia mahaba ya kunilisha chakula mixsa utani kidogo wa hapa na pale yani ananifanya namzoea nisiwe na aibu nae akaniambia) " My naomba nipige moja tu hili ukalale kwako sio vizuri kulala nje ya ndoa yako. " Sawa. ( Nilikubali kwa moyo mmoja...kweli alinitoa nguo akatoa nguo...tulishiriki tendo...bila kinga na utamu nilipata kwakweli anachelewa kufika kileleni nilipiga bao tatu yeye ndio akapiga ilo moja nikasema kimoyoni moja tu dk 45 na zaidi la pili itakuwaje?...ila nimefurahia tendo...nikaenda kuoga nikarudi zangu nyumbani mwepesi alinipa elf 40 ya kununua sabuni...maana alinichafua nguo ya ndani...siku ilipita...siku ya pili mume wangu alirudi na yule msichana niliyemuona nae buchani ananiambia) " Uyu ni binamu yangu. ( Mimi siwajui ndugu wote ila kumbukumbu inanijia ndio uyu uyu sikutaka kubisha dk mbili naona ananiambia) " Mke mwenza naumwa. ( Neno mke mwenza lilinistua kidogo ila mume wangu alitanguliza neno binamu nikapita nalo ilo ilo) " Pole tatizo nini? " Tumbo. ( Nikazani chango uku nawaza au kapindwa pindwa sana Jana na mume wangu...mala inakuja bodaboda na nguo...mume wangu ananiambia) " Shusha nguo za binamu wangu izo ufue acha nikamnunulie dawa muite mwenye maji nunua dumu kumi. ( Nilipewa elf kumi Nilitoka nje kweli kaka muuza maji anapita kama sio yeye alinishughulikia Jana nikamwita akanijazia dumu kumi akuchukua pesa kaleta kwa demu wake uku mimi ile elf kumi ikawa nyongeza kwenye pesa ya sabuni...sasa kweli nilifua nguo zote nikaanika...nikaenda kula mgahawani siku iyo sikupika mgonjwa alikula chips kuku...sasa nilienda kulala nikiwa hoi sana...mgeni kalala chumba chengine...sasa kumbe mume wangu alinichosha na ile miguo nilale sana...alitoka akaenda kwa binamu wake...mimi kimeniamsha mkojo naenda chooni simuoni mume wangu kitandani ndio napita kwenye mlango aliolala mgeni namsikia anaongea ndani mume wangu sauti ya chini) " Umeamini nakupenda si ulitaka mke wangu akufulie nguo zako amekufulia aya chengine nini unataka. " My Endelea kwanza kwanza kufanya ukiganda ivyo unakuwa mzito. ( Nikachungulia kupitia pembeni ya mlango naona mume wangu yupo juu ya aliyesema binamu yake tena wapo kama walivyozaliwa binamu kakunja miguu mabegani kwake yani mume wangu kauzamisha nanii yake ndani ya kitumbua...nafanyaje hapa nawaza mala naona mume wangu anapiga uno la nje ndani mwanamke yule anatoa mguno) " Baby usichomoee jamani hapoo hoooshii my wangu nasikia rahaaa kipenzi . . yaaaa haaa hooshii mpenzi unajua haswaa kitunakipendagaa . Hashihii jamaaani slow down be by hoooshii yaaa. Yote yako Mtukane mkeo my. ( Kweli mume wangu ananitukana) " Mke wangu fala sana my naomba basi ukae Style nayoipendaga. " Sawa wewe tu chomoa nikae unavyopendaga. ( Naona kwa macho yangu mwanamke anapiga magoti juu ya kitanda alafu kamsusia mume wangu) " Aya kazi kwako my. " Sawa ipokee. " Sawa my Asante naisikia inazama Asante Aaaaaaaaa zamisha yote Aaaaaaaaa Aaaaaaaaa Uwiiiiiiiiiiiiiii. ITAENDELEA MWISHO WA KIONJO. MKE ATAFANYAJE SASA...HII NI NGUMU KUMEZA...MPAKA KWA MPALANGE YAPO HUMU. .

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

👉 Chupi Nivue au utavua mwenyewe my...👇 " Ivue tu. ( Mimi nipo bize na kuchezea pesa nikamsaidia kunyanyua mguu tu chupi ilipofika chini si mgeni wa kuma yangu...ila alikuwa na nyege mimi nikashika sofa nimeinama akaweka mate kwenye kichwa chake cha mboo akaanza kunitomba...nilinyanyua mguu mmoja juu kama mbwa dume anakojoa na yeye akaushika ule mguu uku ananitomba...mkono mmoja nimeshika pesa mwengine nikaupitisha chini ya tumbo langu nikaenda kumshika pumbu baba mkwe nazikuna pumbu uku yeye anatomba namsikia anaguna guna) " Mmmmmm Mmmmm Mmmmm Mmmmm Mmmmm Mmmmm Mmmmm Mmmmm Mmmmm mtoto fundi wewe. ( Mzee anasikia raha namkuna kuna pumbu...aliongeza spead ya utombaji anajua uyu si mchezo uku ananipiga makofi matako yangu) " Aaaaaaaaa Aaaaaaaaa Uwiiiiiiiiiiiiiii Asante Ashiiiiiiiiiiiiiiiii Ashiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii nakupenda Aaaaaaaaa Aaaaaaaaa Uwiiiiiiiiiiiiiii Asante. ( Mzee akawa anakojoa raha ya kutombwa ukojolewe nasikia bao Zito ndani ya kuma yangu mpaka raha na mimi nilikojoa makofi ya matako yaliniongezea nyege....mixsa pesa ipo mkononi...akaniambia) " Nenda kaoge sasa uje tuanze mapenzi maana nilikuwa na wenge unajua nimejitunza kwa sababu yako. " Asante. ( Nilienda kuweka pesa yani natembea uchi kama mwanga vile nikaenda kuoga nikachuchumaa kuusafisha tena kuma kuondoa shahawa za mzee nimejizungushia kidole vizuri kumani kuma ikawa safi kabisa....nikaoga safi Nikatoka nikaenda tena sebuleni simuoni kumbe kaenda kuoga chumbani kwake kanyoa mavuzi...akaniita) " Njoo uku. " My uko sio vizuri njoo hapa hapa sebuleni. " Ukumbini hapo akuna kitanda njoo uku. ( Nikawaza kitanda ichi sio alichopatikania mume wangu japo mboo ndio ile Nikaingia zangu chumbani kwa baba mkwe akaniambia) " Ninyonye mboo my. ( Sikutaka kujiuliza nilipiga magoti nikashika mboo ya baba mkwe naichezea taratibu kama sitaki vile alafu nikaiweka ulimi juu ya kichwa nikaanza kulamba jando lile uku namkuna kuna mboo yenyewe...mzee kafumba macho ananikuna kuna kichwani...nikazamisha mboo mdomoni alafu ndani ya mdomo nilikunja ulimi nikawa kama napiga vigeregere sio kwa mguno niliosikia sasa kwa mzee) " Weweee Mmmmm Mmmmm Mmmmm Mmmmm Mmmmm Aaaaaaaaa utaniua utaniua kwa raha izi nakupenda nakupenda. ( Mzee ajawai kupigiwa vigeregere naisi amepagawa kabisa anatetemeka nikaona mboo imeshika moto nikaitoa mdomoni nikaanza kuichua kwa mkono mzee akapiga bao la nguvu...yani nimempigisha nyeto...nikamfuta nikapanda kitandani alafu Nikabong'oa bong'o nione mzee atafanyaje...mzee uyu kwa mala ya kwanza akanitanua matako alafu akaweka ulimi juu ya mkundu akawa anauzungusha taratibu nje ya mkundu uku ananitomasa matako ulimi unanisisimua nikazidi kuinama nikawa najichezea kisimi mwenyewe uku nazungushiwa ulimi nje ya mkundu...mzee akawa kama anataka kuingiza ulimi ndani ya mkundu alikuwa anaukandamizia) " Mmmmmm my sio ivyo uusikandamizie ndani toa toa toa toa uko. ( Mzee akawa asikii anaukandamizia tu na mkundu umejaa mate naisi ulimi unapenya ndani ya mkundu nikaanza kuubana mkundu nisije zoea bule mzee akanitekenya nikashindwa kuubana mkundu nasikia ulimi umezama kidogo) " My my Aaaaaaaaa toa toa uko mkunduni sio kumani my. ( Mzee asikii amezamilia Leo kunifila na ulimi naona anauchezesha dk mbili akautoa naona tena amekojoa bao nje ananiambia) " Ulimi sio mboo useme utakuharibu nimesikia raha sana unaona nimekojoa kwa kukuchezea tu mkundu my una mkundu wa moto mtamu sana. ( Mimi nikabaki nimetoa mimacho tu najiuliza nikiwa nachamba mbona sioni wa moto...mzee dk tano akasimama tena akaniweka kifo cha mende miguu kaninyanyua kaweka juu y mabega yake alafu akanipinda mimi mwenyewe nikashika mboo yake nikawa anailengesha kumani kwangu na kweli akaikandamizia mboo kumani ikawa inapita) " Uwiiiiiiiiiiiiiii Uwiiiiiiiiiiiiiii Aaaaaaaaa. ITAENDELEA

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

SIMLIZI: Hadi kum@ikawa inawaka moto Nilichanika chanika Nilijaribu kuomba msaada lakini sikuona Waliponiachia nimechoka wee Nilianza kutembea kwa shida huku nikimkumbuka mama yangu Kuna wimbo alikuwa anapenda kuuimba 😭😭😭 %%niko haaaapa duniaaa nituweee nguvuuuu zimeniishiaaaa Kifoooo kifoooo kimeniita Nguvu yakukimbiaaaaa sina 👇👇👇 Wakati nakatiza njiani mbele yangu ikasimama Gari yakifahari Nilipotakukimbia Nikasauti ya mwana mke Usikimbie .. naitwa madamu suzy Naitaji kukusaidia mda huo nimevurugwa Nani amekuambia nataka msaada wako . Hapana binti kwa hali uliyonayo hapo Kila mtu mwenye roho ya utu lazima ujue unahitaji msaada. Naomba uingie kwenye gari twende kwangu Please usiniogope. Daaa ilinibidi nikubali tu Aliwasha gari hadi kwake tulifika maeneo ya Sahara kwenye nyumba kubwa nzuri Tuliingia ndani Kari binti yangu nikiwa nimejifunga kanga ya madam suzy. Nilikaa kwenye sofa Walikuwepo mabinti wengi mle ndani Madam suzy aliwambia mpeni maji akaoge Pia mpatien na nguo nzuri Nilienda kuoga Nikajisafisha sehemu za siri Nidamu tu . Basi chakula kililetwa Tulimaliza kula daa nikawa nasikia kila mtu akafnye kazi yake tukutane kesho Mmmh hawa wanafanya kazi gani Nilijisemea moyoni mmmh acha nitulie . Nione Karibu binti yangu sijui unaitwa nani .. mimi naitwa jenn mtoto wa bosco .. sawa pole kwa yaliokukuta Basi nenda ukalale kesho tutaongea Usiku ulikuwa mulefu mno mawazo Mengi picha ya baba akigongwa gari ikinijia kichwani . Vipi madam suzy nimeona umeleta mali mpya Aaaa ni hivo .. juma nahitaji kupanua hofsi tangu Nipate pesa nyingi Vipi juma lakini umeionaje Heee acha madam tangu uanze kuleta warembo huyu ni mrembo pia najua hata dau lake nikubwa sana .. Ndiyo juma tunahitaji warembo Ili hata viongozi wa serikali wanapokuja wafurahie huduma zetu na si hao tu na hata matajiri huwa wanapenda warembo waliotulia Oky basi madam kesho mimi aanze kazi Maana cha bure ni jua na mvua tu Mda wote nilikuwa nawaza je mimba itakuwepo Ama imetoka wakati wa kubakwa Mmh mimi jenn sijui mwisho wangu Asuhi niliamka nikakuta madam suzy Akiwa anahesabu pesa nyingi Pembeni madada wengi wamekaa Akawa anahesabu anawapa Chukua sasampa kazi yako nzuri Nimeipenda . Aliwagawia kila mtu elf hamsini kila mmoja kasoro dada mmoja tu Alikuwa analia madam nisamehe Siwezi kukusamehe kwa ujinga ulioufanya Kwani ulikuja hapa kufanya nini ...madam nilikuwa nimechoka na yule mwanaume alikuwa amepaka madawa akawa hafiki kilele Nilijitahidi sana madam ili amalize lakini Haikuwa hivo.. Kumbe wewe binti ni mjinga kwani Ulikuwa umecho yaan unaniambia mimi habari ya kuchoka wewe mjinga Yaani kupata sasampa hadi uumie hakuna pesa ya bure Sikia mimi sina pesa ya bure unajua umenikosesha pesa kiasi gani Yaani umenitia aibu Sasa nakupa offa kama uko tayari Sawa madam niko tayari nipe hiyo offa .sasa leo idadi yako naiongeza badara ya kulala wanaume 5 utalala na wanaume kumi Sitaki mistake ..sawa madam nimekubali Mamaaaaa baada ya hayo kuyaona na kuyasikia Mimi jenn niliogopa mnoo Kumbe madam suzy anauza madada kwahiyo Na mimi ataniuza😪😪😪😪😪 ITAENDELEA 10

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

( shida ya maji shikamoo) __________________________ 👉 Nikubali au nikatae najiuliza hapa Dah yani...👇 Nikajikuta nimesema) " Sawa. ( Kaka muuza maji akanikumbatia kwa furaha sasa naona mdomo wake anauleta mdomoni kwangu kabla ajanigusisha simu yake inaita ule mwanga wa simu ulinifanya nione aibu nikafumba macho yeye akaniachia akashuka kitandani kupokea simu) " Haloo. " Oya mzee anasema Kesho afungui Kuna sehemu anaenda Kwaiyo tulioweka madumu kule tukachote maji saizi tuyatoe tujue tunaweka wapi. " Poa Kesho itakuwa magoli sana acha nichukue na dumu zengine zote nikusanye maji usiku huu huu. " Poa mwana shida ya maji kwetu furaha tunapiga pesa Kesho mwendo wa dumu 1500 usilete pigo za huruma wakati dawasa wenyewe awana huruma na watu wao. " Kauli za uchochezi izo ziache dawaso wanawapenda wateja wao ila maji ndio madogo nakuja. ( Alikata simu akaniambia) " Mimi naenda kuchota maji sijajua nitarudi saa ngapi kama nitakesha wewe asubuhi funga mlango funguo weka juu ya mlango Sawa my. " Sawa. ( Aliondoka akanifanya nizidi kuvutiwa na yeye anajali kazi sio mapenzi angekuwa mwengine hapa angeniambia nipige moja kwanza alafu niondoke maana baazi ya wanaume wanapenda chini kweli...Nililala asubuhi sana nikaondoka kwa mjumbe..kaka Muuza maji ajaja usiku tena alikuwa bize na maji uko...nikafika kwa mjumbe akanipeleka kwa mume wangu asubuhi akafungua mlango mjumbe akasema) " Uyu amelala kwangu saizi wewe hasira zimeshuka tuonge. " Subilini dada yangu anakuja. ( Dk tano nyingi kweli wifi kaja alafu wifi akawa kama yeye ndio mjumbe) " Hee niambie sababu ya wewe kufukuzwa usiku hapa. ( Nikamweleza yote kisa mimi kumuona mume wangu anakula akadakia) . " Sasa wewe mtaa wa nne kule ulifata nini kama sio umbea aya umemkuta anakula kwanini ulishindwa kujizuia mtoto wa kike wamama zetu walikuwa wanapika kuku nyama zote wanawapa baba zetu wao wanakula miguu na vichwa...nyama mpaka wapewe ulizani wao walikuwa wajinga walikuwa wanajishikilia. ( Mjumbe akasema) " Na aya kumpiga inakuwaje? " Uyu ajapigwa kaonywa aliyepigwa anaweza kuzungumza mdomo saizi ungekuwa umejaa unafanya masihara na kupigwa nini? " Sawa dada mtu hitimisho nini sasa maana wewe ndio umekuwa mjumbe. " Hitimisho ajishikilie mtoto wa kike uyu sio jambo dogo anakimbilia Kwako mjumbe wewe ndio umemfungisha ndoa uyu ndoa uvumilivu. " Sawa amekusikia ila kumbuka na wewe mwanamke. " Tena mwanamke wa nguvu. ( Kesi ikaisha kwa mimi naonekana nina makosa...mume wangu akaacha 2000 ya kula ananiambia) " Mimi naenda zangu pesa ya kula iyo. ( Mjumbe ananiangalia mimi kwa huruma sana alafu wifi akasema) " Kachenji unipe buku ya pikipiki mimi mmenisumbua asubuhi asubuhi. " Chukua tu yote mimi nitakoroga uji nitakunywa unga upo ndani. " Sawa. ( Wifi akachukua ile 2000 akaondoka na mume wangu akaondoka mjumbe akaniambia) " Yakikushinda chukua uhamuzi mimi naondoka zangu. " Uhamuzi gani sasa mjumbe nichukue. " Mimi sitaki nikufundishe kila kitu wewe wa kike tumia akili yako hapa akuna ndoa Bali kuna doa. " Mjumbe unamahanisha nini? " Wewe ukiwa mkubwa utajua acha niende mie. ( Nikawa nimebaki na mawazo nikiwa mkubwa nitajua...nilitoka nje nikatafuta cha kukila nikala pesa ninayo aliyonipa kaka muuza maji...alafu namuona yupo bize anapita anapambana kuuza maji...pale nilipokaa sasa karibu na butcher la nyama naangalia kwenye butcher namuona mume wangu yupo na mwanamke anamnunulia nyama....nikajificha anatoka buchani anamsimamisha kaka muuza maji) " Oya dumu shilingi ngapi? " 1500. " Duu Leo yamepanda ivyo. " Ndio. ( Mume wangu anamuuliza yule mwanamke) " Baby tuchukue madumu mangapi? " Matano yanatosha. " Unajua Leo sirudi kwangu acha tuchukue Saba. " Sawa. ( Nimesikia kwa masikio yangu mume wangu arudi kwangu...alafu hao wameshikana mikono wanaondoka na kaka muuza maji...roho iliniuma nikarudi nyumbani...kweli jioni ananipigia simu ananiambia) " Nimekutumia elf tatu katoe 2500 ukanunue chips mayai ule ulale funga mlango Leo sirudi. " Sawa. ( Nawaza sasa niende kumpa muuza maji anile au nivumilie...yani nipo kwenye mawazo makubwa Nikatoka naenda kununua chips mayai ile pesa yake wala sijaitoa nafika kwa muuza chips nakutana na kaka muuza maji..akaninunulia na mishikaki ya 5000 chips mayai juice juu uyu kaka anajali akaniambia) " Vipi usiku upo uku mumeo yupo wapi? ( Uyu kaka amjui mume wangu ndio aliyemuuzia maji...na mimi nilivyokuwa mjinga nikamwambia ukweli kuwa mume wangu arudi ila sijamwambia yule aliyemuuzia maji...ila kaka wa maji anapenda kunipa mtihani akaniambia) " Twende basi ukale kwangu arafu arafu kidogo. " harafu harafu ndio nini. " Unipe my kidogo ninyoshe kiuno si unajua kazi zetu izi. ( Yani nikajifanya mtoto) " Nikupe nini? " Tamu my naomba twende. ( Nawaza niende au nikasema kimoyoni kama mume wangu anakula saizi uko kwa mwanamke mwengine kwanini mimi niitunze acha nikampe muuza maji akaimwagie maji) " twende. ITAENDELEA

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

zinaonyesha kwamba mifumo ya rada iliyotengenezwa na Wachina nchini Venezuela (JYL‑1, JY‑11B, JY‑27) haikuweza kugundua vikosi vya Marekani, na hivyo kuruhusu ndege za hali ya juu kama vile F‑35 kuingia anga ya Venezuela bila kugunduliwa kwa wakati. Mambo yanayoweza kuchangia ni pamoja na kuruka katika mwinuko mdogo, kufunika ardhi, uwezo wa kuficha siri, na mapungufu katika ujumuishaji wa rada na utayari wa uendeshaji. Hii inathibitisha kwamba rada za Wachina bado zina wakati mgumu kufuatilia na kugundua wapiganaji wa siri, kinyume na madai yao.

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

indicate that Chinese-made radar systems in Venezuela (JYL‑1, JY‑11B, JY‑27) were unable to detect U.S. forces, allowing advanced aircraft such as F‑35s to enter Venezuelan airspace without timely detection. Factors likely contributing include low-altitude flight, terrain masking, stealth capabilities, and limitations in radar integration and operational readiness. This proves that Chinese radars still have a hard time tracking and detecting stealth fighters, contrary to their claims.

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

Zamani kulikuwepo mfalme mwenye nguvu kubwa aliyeitwa Firaun. Alitawala Misri na kujiona hana anayemzidi. Kwa kiburi chake, alifikia hatua ya kusema: “Mimi ndiye mola wenu wa juu kabisa.” (Qur’an 79:24) Firaun aliwatesa wana wa Israil, aliwaua watoto wao wa kiume na kuwaacha wa kike, akidhani kwa kufanya hivyo ataizuia haki isishinde. Lakini Allah (ﷻ) akamchagua Nabii Musa (A.S) ili amkumbushe na kumuonya. Nabii Musa (A.S) alimwambia Firaun amche Mungu mmoja na awaache wana wa Israil waende zao. Lakini Firaun alikataa, akazidisha kiburi na dhulma. Allah (ﷻ) akamletea ishara nyingi: — fimbo ikawa nyoka — mkono ukawa mweupe — njaa, mafuriko na adhabu mbalimbali Lakini bado Firaun hakutaka kutubu. Siku moja, Nabii Musa (A.S) aliwaongoza wana wa Israil kuvuka bahari kwa idhini ya Allah. Firaun akawafuata kwa jeshi lake kubwa. Bahari iliporudi kama kawaida, Firaun na askari wake wakazamishwa. Wakati wa kuzama, Firaun alisema: “Ninaamini sasa kuwa hakuna mungu ila yule anayeabudiwa na wana wa Israil.” (Qur’an 10:90) Lakini ilikuwa chelewa sana. Imani ya wakati wa adhabu haikukubaliwa. Allah (ﷻ) akasema: “Leo tutakuokoa mwili wako ili uwe ishara kwa waliokuja baada yako.” (Qur’an 10:92) 🕊️ FUNZO KUBWA ✔️ Kiburi humuangamiza mtu ✔️ Nguvu na mali si kinga dhidi ya adhabu ya Allah ✔️ Kutubu mapema ni neema ✔️ Haki hushinda, hata ikichelewa 📌 Usidharau onyo, wala usijione mkubwa kuliko haki. 🤲 Allah atujaalie unyenyekevu na mwisho mwema. #KisaChaFiraun #QuraniTukufu #FunzoLaMaisha #HistoriaYaKiislamu #BinHajjAlQaadim

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

Basi nikajinyanyua na kumkiss kwenye shavu, akanivuta kisha akanipa French kiss moja matata kisha akasema “Mimi ni mume wako, hakuna mwanaume hata mmoja kwenye hii dunia ambae anaruhusiwa kukushika hata kucha, sasa jifanye mwenda wazimu, wewe na huyo nitakae kukuta nae mtanijua mimi ni nani, kisha akaondoka zake…. Nikaanza kujiambia kuwa, ukisikia mapenzi ya kibabe basi ndio haya, mwanaume mbabe kama kitu gani, nikajikokota pale kitandani taratibu na kuelekea bafuni, nikiwa bafuni nikaanza kupata wazo, maana kwenye harusi niliambiwa kuwa naolewa kwa niaba ya Eric, na huyu kaka mjeda ameniambia yeye ni Eric, na kuna muda ananiambia kuwa yeye ni mume wangu, nikawa najiuliuza, au mambo yote ambayo anayafanya ni kwa sababu ananipenda na ameniona nini, sasa kama ameniona anashindwa nini kunambia kuwa yeye ni mume wangu, kuliko kuniweka kwenye fumbo gumu kiasi hichi… Na kama kweli yeye ni mume wangu, je Yule mzee ambae alinioa alikuwa ni nani, na nani ambae alimpa taarifa kuwa naolewa, maana sikuwah kuwa na ukaribu nae hata kidogo na sikuwah pia hakuwah hata kunambia kuwa ananipenda hata mara moja, kuanzia aliponirudishaga nyumban kwetu kibabe ule wakati ambapo nilikuwa natoka sokoni sikuwah hata mara moja kukutana nae, wala kuongea nae jambo lolote lile… Nilikuwa najiuliza maswali ambayo hata mimi sikuwa na majibu yake sikuwa najua hata napaswa kujibu nini kwa maswali kama hayo, sikuwa najua pia natakiwa kufanya nini ili kuhakikisha kuwa najua hisia za kaka mjeda na siri zilizojificha ambazo sikuwa nazifahamu kabla… Basi siku hio nikaanza kuangalia nguo ya mitego ila hata sikuipata hata moja, ikabidi nimtumie sms kuwa natoka naenda dukani, hakujibu, akaja kupiga nipo dukani, na kuniuliza “Upo duka gani?.. Ikabidi nimuambia ila akakata simu, sikuwa najua kama alikuja au alimtuma mtu aje kuniangalia maana sikuona mtu yoyote. Nikanunua cha kununua, hapo nikanunua vigauni vifupi vya mitego na mambo mengine yanayohusiana na kumtega mwanaume vizuri, na baada ya hapo nikanunua manukato mazuri na mafuta ya masaage, hapo hata massage yenyewe sijui namna ya kuifanya ……. Basi nikarudi nyumban nikapika hapo, nimemaliza nikatenga chakula mezani baada ya hapo nikaingia mtandaoni kujifunza namna ya kumfanyia mtu massage maana hakuna kitu hata kimoja nilichokuwa nakielewa wakati ule…. Baada ya hapo nikajiandaa na mimi vizuri, kaka mjeda alirudi kwenye saa tano kasoro, nikawa ukumbin namsubiri, kwanza sikusikia hata gari lilivyoingia nashangaa tu mlango unafunguliwa na mtu anaingia, nikasimama na kwenda kumpokea, sasa kwa namna nilivyovaa ni kama alikutwa na butwaa, kisha kwa sauti ya mideko nikasema “Pole na kazi na karibu ndani mume wangu…. “Happinesss usiniambie kuwa kuna mwanaume wako ulikuwa umempanga aje hapa ndani saa hizi, yan aje nyumban kwangu, embu nambie ndio Yule mpuuzi wa kwa shangazi yako, au ulijua leo sitarudi ili ufanye mambo yako… Nikaanza kumshangaa huyu vipi, kisha nikamsogelea na kumkiss kwenye lips zake kisha nikasema “Hakuna mwanaume ambae namsubiria mume wangu, nilikuwa nakusubiri wewe tu, naomba usiongee sana, nambie unakula kwanza au unaenda kuoga… Ni kama kaka mjeda hakuwa amesikia ninachokisema, akaniangalia kwa mshangao kisha akaanza kuingia kwenye vyumba kana kwamba kuna kitu anatafuta, nikawa namshangaa huyu vipi, au ndio ameshachanganyikiwa saa hizi… ITAENDELEA,……….

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

Kwanza alikuwa anakimbiza gari kama amechanganyikiwa vile, yaan wakati wote ambao tulikuwa kwenye gari nilikuwa nasali sana tusije tukapata ajali bure, na namshkuru Mungu tulifika salama, kitendo cha kuingiza gari ndani alikuja akanifungulia mlango kisha akaanza kunikokota, kana kwamba ameshamkamata muhalifu ambae alikuwa anamtafuta kwa kipindi kirefu sana …. Kuna muda akawa anaona kama namchelewesha, alinipiga taksi bega, kisha nashangaa ananiingiza chumban kwake, nikaanza kupata wasiwasi na kumuuliza “Unataka kufanya nini wewe… Hata hakunijibu, akaenda kufunga mlango kisha akasema “Utavua nguo mwenyewe au unataka nije kukuvua mimi… Nikaona sasa hichi kizaa zaa, nakuja kuliwa bila kutaka dakika za kuhesabu hapa na sikuwa tayar hata kidogo na hilo… Alipoona bado najiuliza uliza alikuja akanikumbatia kisha akapitisha sijui ni kisu akaanza kuchana nguo niliyovaa, nikaanza kuhangaika, nilisikia tu kauli moja “TULIA… Nilijikuta napatwa na wasiwasi wa ajabu sana, akanichania nguo pale kisha akaanza kunikokota mpaka bafuni, ambapo akaanza kuniogesha utasema kalazimishwa, maana alikuwa ananisugua mwili kwa nguvu mpaka nikawa nalalamika kuwa naumia, ila hata hakuwa ananisikiliza, amemaliza kuniogesha akanifuta kidogo kisha akaenda kunitupa kitandani, nikaona ehee kazi inaanza sasa… “Unataka kufanya nini wewe, ila maswali yangu yalikuwa kama sentensi za ajabu kwenye masikio yake, kwa sababu hakuna swali hata moja ambalo alikuwa anajisumbua kulijibu na badala yake akawa kimya kisha akaanza kazi, bola hata kuniandaa nikawa nalalamika kuwa naumia, nilitegemea hata ataniandaa ila hata hakujisumbua, akapaka mafuta kisha akaendelea na kazi, nilikuwa nasikia maumivu yale ya michubuko aliyokuwa ananisababishia na vile amejaliwa mtambo ndio shughuli ilipozidi kuwa ngumu… Basi bana kuna muda akawa anakaribia kupata bao la kwanza, ndio akaanza kuita baby, ahhhh baby, ila wakati wote alikuwa kimya kana kwamba alikuwa anasubiri msafara wa raisi upite kwa namna alivyokuwa kimya kama bubu… Nikaona sasa hapa nikijifanya nakaza na mimi, nitaliwa hivi hivi kibabe, na hakuna kitu ambacho naweza kumfanya hata kwa bahati mbaya … Ikabidi nijidekeze na kusema “Baby naomba niandae kidogo please… “Niite jina langu, Happness niite jina langu please… Nikashangaa anataka nimuite jina lake na wakati hata sikuwa najua anaitwa nani, akasema niite Erick, sasa nikajikuta napatwa na butwaa nikashindwa kuita, maana hilo jina ndio lile jina la Yule mzee ambae alikuwa ananioa, sasa inawezekana vipi awe na jina kama Yule mzee… Nikiwa bado najiuliza, akaja kunimumunya tuchuchu twangu, mpaka nikajikuta mwenyewe namuita, Eric, ahhhhh Eric wangu, hapo hapo shiiit, ndio nikazidi kumpa ukichaa, akawa anaendelea na maandalizi kabambe mpaka nilihisi kuchanganyikiwa kwa mambo aliyokuwa ananipa wakati ule… Tumemaliza kila mtu yupo hoi, akawa amenikumbatia kwa nguvu na kunambia “Nakupenda sana happness, na mimi nilikuwa nampenda ila sikuwa na uhakika kama nayeye alikuwa ananipenda pia, maana alikuwa ananipuuza sana… Mara simu yake ikaanza kuita, akapokea, nikasikia najibu tu “Nakuja mkuu kisha akaamka akaenda bafuni, akaoga haraka haraka, akatoka bafuni akavaa kisha akanisogelea akaniangalia kwa sekunde kadhaa kisha akasimama na kusema “Amka uje unibusu… Yaan alikuwa anaongea kwa amri, nikawa najiuliza ndio mahaba ya kijeshi haya au laa, maana sielewi, nikiwa bado najiuliza nikasikia anasema “Mimi mambo ya kubembeleza bembeleza ndio sinaga, unakuja kunibusu au niondoke zangu… Nikaona sasa hichi kizaa zaa sasa, yaan hakuna kubembelezwa hata kidogo, ni mwendo wa rara nikurenge tu… ITAENDELEA ….

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

Kwa upande mmoja nikahisi ni mchezo, ila kwa upande mwingine nikahisi ni kweli, huyo Bosco alikuwa ni rafiki yangu sana, sasa akazamiaga meli akaenda south Africa, na ile kiutoto utoto akanambia kuwa anaenda kutafuta maisha atarudi baada ya muda flani kunichukua nikaishi nae, akaenda kweli, nani miaka kama minne, sikuwah kumuona wala kumsikia, hivyo kuna namna nafsi yangu ikaanza kupata mashaka, nikajiambia kuwa kukipambazuka nitaenda. Kweli kumekucha nikanywa chai, kisha nikawa naangaza angaza kuangalia kama kaka mjeda yupo ila sikumuona, nikasema labda ameenda kwenye mambo yake, nikaona nimtumie sms ili asije akaanza kunihoji maswala yake na kunifokea fokea, nikatuma sms kuwa “Natoka na naweza kuchelewa kurudi, nimeona nitoe taarifa, kisha nikaingia zangu chumban kujiandaa… Sasa wakati natoka nikawa nasikia harufu ya manukato, ila sikujali sana, wakati nafika nje nikasikia, “Panda kwenye gari nikupeleke.. “Kaka mjeda unataka kunipeleka wapi, kwani unajua ninapoenda… “Nimesema panda kwenye gari nikupeleke laa sivyo rudi ndani ukalale na hautotoka hapa mpaka nitake, akaendelea kusema nikaona bora nisi hangaike na kubishana nae, nikapanda kwenye gari kisha tukaanza safar, nikamuambia naenda kwa shangazi, basi akanipeleka, sasa ile nafika tu nakutana na Bosco ndio ametoka kwa shangazi, nilishindwa kujizuia na kwenda kumkumbatia kwa nguvu, sio siri nilikuwa nimemkumbuka sana… Tukabaki tukiwa tumekumbatiana kwa takriban dakika mbili, kisha akaniachia akaanza kuniangalia sana, kumbe huku kaka mjeda anajaa sumu, anataka kuleta vurugu ila hata hajui anaanzia wapi kuleta hizo fujo… Basi bibi mimi nikawa najiachia zangu na Bosco, sikuwa nataka hata kwenda kumsalimia shangazi yangu, maana nikimuonaga nashikwaga na hasira balaa, kwa mambo ambayo ameshawah kunifanyia, ila Bosco akasisitiza sana nikamuone, basi nikaingia ndani, nikakuta kila kitu kimevurugika, hakufai, alikuwa anaumwa sana, nikajua kuwa nimeitwa kwa sababu shangazi anaumwa… Nikamuangalia Bosco, akaniambia “Msamehe shangazi yako na umsaidie walau kidogo maana anayopitia ni makubwa sna… Sikumjibu, nikafanya usafi, kisha nikapika na kumuuliza ana shida gani, akanambia kuwa anahitaji pesa ya matibabu kama laki mbili tu, basi Bosco akasema kuwa atampa shangazi, na wakti wote huo mjeda amekaa zake kwenye gari hajatoka, mpaka nikaenda kumpelekea chakula, akaniangalia kisha akatabasamu na kusema asante… Baaadae nikaenda kufata sahani, Bosco akaniuliza kwanini nilipeleka sahani kwenye gari, nikamuambia nimekuja na boss wangu Bosco akataka walau akamsalimie, nikaenda kumpeleka, aisee mjeda alimkata jicho kisha akasema “ Happiness kama umeshamaliza kilichokuleta hapa naomba tuondoke… “Leo mimi siondoki nalala hapa, nikasema kwa sauti ya kujiamin, aisee mjeda akafunga vioo kisha akawasha gari na kuondoka zake… Kumbe alikuwa anaondoka lakin akili haikai kabisa, hakufika mbali akarudi, maana ni kama nafsi yake ilikataa kuniacha nikae na Bosco, sasa wakati anakuja akatukuta tunaongea tukiwa tunaangaliana, aisee nilishangaa nabebwa taksi bega kisha akaniingiza kwenye gari, ikabidi Bosco aingilie na kusema “ Wewe ni boss wake tu, kwanini unajifanya kama mume wake… Mjeda akacheka kisha akasema “Amekudanganya mimi ni mume wake, so ukiendelea kuchekeana na mke wangu utanijua mimi ni nani, kisha akapanda kwenye gari na kuliwasha kwa hasira na kuanza kuondoka… Yaan tumefika nyumban nilijuta kukutana na Bosco aisee… ITAENDELEA …………….

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

Basi nikaanza kuwaza nifanye nini, kwanza nikajiambia kuwa nikaangalie ameacha shilling ngapi, nikakuta ameacha kama laki tatu hivi, nikaziangalia kisha nikatabasamu na kujiuliza “Kwani huyu anafanya haya yote kwa sababu ipi, kwa sababu anaonekana hana hisia na mimi, ila amekuwa kama malaika na nuru ya maisha yangu, kwanini anafanya hivi, au ndio malaika ambao amewatuma Mungu kuja kuonesha nuru kwenye maisha yangu? Nikawa najiuliza maswali ambayo binafsi hata sikuwa na majibu, ila nikajiambia kuwa “ atakuwa ananisaidia tu kama mdogo wake, natakiwa sasa nitafute na mimi mwanaume maana upwiru utakuja kuniua… Basi nikapika nikala, kisha nikatafuta zangu kiwalo, huwa ana kawaida ya kuninunulia nguo hizi za kisasa sana kila wakati, hivyo nikawa nina viwalo vya kutosha ndani, nikapiga zangu kimoja, kikachonga vizuri kashape changu cha mchongo, kisha ikapiga wigi na makeup yangu ya uchwara, na baada ya hapo nikatoka… Nimefika kwenye mgahawa mmoja hivi, ulikuwa ni mgahawa maarufu sana kwenye sehemu ambayo nilikuwa naishi, nikaagiza chakula na kuanza kula, na mara baada ya kumaliza kula, maana niliagiza visnaks tu, kwakuwa nilishakula nyumban nilikuwa nimeshiba, kisha nikaanza kunywa juice masaa, ili walau atokee mwanaume mmoja aje kunipa kampan, maana nilishachoka upweke, nilikuwa na mimi nataman kuwa namtu, ambae anaweza akanitumia sms asubuh, na jion, na akanipigia simu hata tukaongea lisaa lizima, nilikuwa nataman sana kuwa na mwanaume wa namna hio na mimi…. Basi nimekaa kama nusu saa, mara akaja mwanaume mmoja, alikuwa ni mweupe alafu anatabasamu flani hivi tamu sana, na baada ya hapo akakaa karibu yangu tukaanza kupiga story, nikiwa hata sijaanza kumjibu mara simu yangu ikaanza kuita, sikuwa najua hata kama Yule mwanaume ambae naishi nae alikuwa na namba yangu ya simu, nikapokea, kitu cha kwanza nilichoulizwa ni “Upo wapi?.. Nilikuwa nina uhakika kuwa yupo kazin, na namjua anaweza akaondoka nyumban na hata mwezi mzima usimuone, kwa sauti ya kujiamin nikajibu “Nipo nyumban.. “Upo nyumba ipi hio Happiness, mbona mimi nipo nyumban, kama unataka kuwa salama, naomba urudi sasa hivi.. Nilimuangalia Yule kijana ambaen alikuja kukaa na mimi, kisha nikamuomba namba za simu na kumuambia kuwa “Kaka yangu mkali sana, hapa nilipotoka nyumban nimetoroka, naomba nirudi ila tiutawasiliana, basi akanipa pale nikambip kisha huyo mpaka nyumban… Nafika nakuta mwamba amejaa sumu balaa, akanikata jicho kisha kwa sauti ya ukali akasema “Umetoka wapi happiness.. “Nilienda kunyoosha miguu, unataka nikae hapa ndani kama mfungwa wako si ndio? Nikajifanya na mimi ni mwamba namjibu kwa jeuri na wakati hata akisema anifukuze sina pa kwenda… Akaniangalia kwa hasira kisha akaingia zake chumban kwake, nikawa nashangaa huyu vipi, ila kwa akili zangu mbovu nikajua kuwa ana mastress yake ya kazi na mimi hayanihusu hata kidogo… Basi nimekaa zangu chumban nikaanza kuona namba ngeni inapiga, kwa akili zangu za haraka haraka nikajua ni Yule kijana ambae tulikutana nae muda mfupi uliopita, nikapokea kwa shauku, nashangaa nakutana na sauti ya shangazi, nikataman kukata simu, kwa kuwa nilishampigaga block muda mrefu sana, maana nilikuwa naona kama ananichanganyaga vile, ni kama alijua, akaniwah na kusema “Bosco amekuja na anahali mbaya sana, ameomba sana uje kumuona, kisha akakata simu… ITAENDELEA …

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

Sijui ni kwanini maneno yake yaliniumiza sana, nilijua kuwa amefanya ya kufanya kwa sababu ananipenda sana, kumbe anajifanya kuwa alikuwa ananisaidia, sikuwa nataka kusaidiwa kabisa mimi, ila nilikuwa nataka anipende ili nikatambishie watu ambao walijua nitakuja kuteseka, na pia kwa sababu moyo wangu ulikuwa unamuhitaji sana…. “Kwanza sikukuomba unisaidie, nilikuwa nimeridhika kabisa kuolewa na Yule mzee, kwanza anamvuto sana, nina uhakika ningezaa vitoto vizuri sana, na kingine umesema kuwa umenisaidia kwa sababu unataman nije kuolewa na mwanaume ambae namtaka, basi mwanaume ninae mtaka ni mjeda sio wewe kwanza, anakaa huko mtaani kwetu, nikajibu kwa kujiamin, nikashangaa mwamba amenywea kama amemwagiwa maji vile kisha akaondoka zake… Kumbe hapo amejaa sumu balaa, yaan alikuwa na hasira kiasi kwamba hata hakulala nyumban, roho ilikuwa inaniuma sana, maana nilikuwa nampenda sana, ila nilimuona kama ana madharau flani hivi, nikataka kama kuyakomesha yale madharau yake na kutengeneza heshima yangu binafsi… Maisha yakawa yanaendelea kama kawaida, alikuwa ananipa kila kitu, yaan nikisema kila kitu namaanisha, ila hakuwa ana muda na mimi kabisa, nilikuwa najisikia vibaya sana, na kuanza kujilaumu kwa mdomo wangu mrefu, huenda labda mwenyezi Mungu alipanga aje kuwa mume wangu, ila nilivyo na bichwa bovu maskin ya Mungu nimeshaharibu kila kitu mimi… Nilipendeza nikanawiri, shangazi alikuwa ananipigia simu sana akitaka nirudishe gharama za watu za harusi ety Yule baba anamdai, nikawa hata sipokei simu zake wala kujibu sms zake, niliona kama anataka kunipa stress na wakati nilikuwa nakula kuku kwa mrija huku… Mwisho nikamblock kabisa asiniletee utani, sasa kwa kipindi chote hicho ambacho nilikuwa naishi na mjeda sikuwah hata mara moja kumuuliza jina lake, tulikuwa hatupigi story wala kuonge kitu chochote kile yaan alikuwa hata akinikuta nimekaa ukumbin basi anapitiliza zake ndani moja kwa moja… Kweli nilinawiri na kupendeza sana, ila nilikuwa nina upweke wa hali ya juu, nilikuwa najihisi mpweke kuliko kawaida yaan, siku moja nilimfata na kuomba kuongea nae… “Unataka nini?.. “Kwanini tusikae hata tupige story hata kidogo, yaan tupo wawili tu humu ndani na kila mtu anaishi maisha yake, na jambo la kushangaza hata jina sikujui, kweli, nikaanza kulalamika… Akarudi na kunigeukia kisha akasema “Ulisema kuwa kuna mwanaume ambae unampenda, sasa kwanini usingeenda kukaa na huyu mwanaume unaempenda na uachana na mimi, nitakulisha maana nimekuwa kama malaika kwenye maisha yako, ila siwez kukugusa tena, kisha akaondoka zake… Yale maneno yake yalinifanya nijisikie vibaya sana, na nikasahau kama mimi ndio nimesababisha yote hayo… Niliingia ndani na kujifungia kisha nikaanza kujiuliza ananichukuliaje huyu, yaan anaishi na mwanamke nyumba nzima kama anaishi na mwanaume mwenzake, ngoja nitamfundisha adabu.. Kesho yake nikaamka mapema sana, ila hata sikumkuta ukumbin, mara akaingia ndani kana kwamba kuna kitu anaenda kuchukua, kisha akatoka na kunambia “Sitakuwepo kwa mwezi mzima, hela zipo kwenye kabati la vyombo na nina uhakika kila kitu kipo vizuri, kisha akaanza kuondoka zake.. Nikajikuta nimeropoka na kusema “Asante Mungu, aisee alinigeukia na kunikata jicho kisha na yeye akaondoka zake.. ITAENDELEA …

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

Akasogea hata hakutaka kunisemesha, akaanza kunikiss kwa fujo, kwa kuwa na mimi nilikuwa na hamu zangu nikawa nampa ushirikiano, yaan ndio kama nikawa nazidi kumvuruga… “Happy kumbe una hisia na mimi, ahhh mamaaa, ungeniambia mana nateseka sana, ashhhiiit mamaaa, ahhhh, mamaaaa, shiiit, nakupenda sana wewe mtoto, ahhh, akawa anagugumia , nilikuwa nina hamu sana, ila baada ya kuona mtambo wake aiseee nilishtuka na hisia zote zilikata, nikasema ehee nakuja kuuwawa sasa kwa kutolewa kizazi… Nikasogea pemben kisha nikawa naanza kuvaa nguo zangu kwa uoga, akanishika kisha akasema kwa sauti ambayo ilikuwa inatoka kwa tabu sana kuwa “Mamaaa, huwez kuniacha hivi mke wangu, nina hali mbaya sana, usijali kuhusu maumbile yangu naweza kujikontrol naomba usiniache hivi… “Nilikuwa sikutaji mjeda wewe, naomba uniache, aliniangalia kwa unyonge ila hakuniacha, akanisogelea na kunikumbatia kwa nguvu sana kisha akasema “Haujui ni kiasi gani nimekuwa nikiteseka na hisia kali sana juu yako, naomba usinisumbue na nakuahidi utafurahia kila kitu… Niliingiwa na wasiwasi sana, ila akaanza kunilainisha na maneno yake matamu pamoja na ile miguso ya sehemu husika, nikajikuta nalegea na kuanza kumpa ushirikiano sasa… Basi alipohakikisha nimelegea na sijitambui tena, akaanza kazi yake, mwanzo nilikuwa naogopa kwa ukubwa wa maumbile yake, ila sijui hata alikuwa anajidhibiti vipi, maana nilijikuta nasikia raha za ajabu, mpaka napata goli nikiwa sijielewi kabisa, na alijua hapa tayar ameshanipatia na sina cha kufanya zaidi ya kupokea huduma yake anayo nihudumia pamoja na ule uanaume wake… Basi shoo ilikuwa kali sana tena ya kibabe mno, baada ya shoo kila mmoja alipitiwa na usingizi, nakuja kushtuka nashangaa nakuta chakula pemben yangu, akaniangalia, ila alikuwa ananiangalia kwa hasira sana ila sikujali, nikajua labda ana maruani yake, na kiufupi hayanihusu hata kidogo… Basi nikaanza kula, na baada ya kumaliza kula nikaingia bafuni kuoga, nisingeweza kutembea kwa kujiamin na wakati nimetoka kwenye shoo… Basi huyo nikaoga zangu, ila kabla sijatoka bafuni, nikashangaa mlango umefunguliwa na kaka mjeda ameingia na mpaka wakati huo sikuwa najua alikuwa anaitwa nani?.. Akachukua dodoki kisha akaanza kunisugua, alikuwa ananisugua kwa hasira, ikabidi sasa uvumilivu unishinde na kuuliza.. “Vipi wewe mbona kama tunakomoana aisee, kwani nimekuomba uje uniogeshe, umejipendekeza mwenyewe alafu unakuja kuniumiza, aliniangalia kwa hasira mpaka nikajua hapa dakika sio nyingi nakuja kupasuliwa, ila akaniogesha mpaka akamaliza kisha akanibeba juu juu, akaenda kunitupa kitandani, ila wakati wote huo alikuwa kakunja sura kama kalambishwa ndimu vile… Akanipaka mafuta kisha akanitupia nguo akataka nivae, nimemaliza ikabidi nimuulize “Mbona unaleta ujeshi mpaka chumban, ndio maana wanajeshi wanawake zao wanapigwagwa sana na wahuni nje.. “Unasemaje wewe?.. akasema huku ananisogelea… Nilijikuta naingiwa na wasiwasi na woga wa hali ya juu.. “Nambie ni mwanajeshi yupi huyo ambae ulikuwa unapata hisia mpaka unaamua kujifanyie vile ulivyokuwa unajifanyia mpaka nikakukuta, Happinesss nambie haraka kabla sijakufanya kitu kibaya, akasema, na hapo ndio nikagundua kumbe kinachomtesa ni wivu, kumbe nay eye ananipenda , ikabidi nimuulize… “Kwani unanipenda?.. Akaangalia chini kwa dakika kadhaa kisha akanambia “Jibu swali kabla ya kuuliza swali, ninani huyo ambae yupo kwenye hisia zako?.. “Na mimi siwez kukujibu mpaka unambie kama unanipenda au laa, na mimi nikajibu… Akacheka kwa dharau ila kicheko ambacho kilikuwa kinaonesha wazi kuwa alikuwa anaumia sana, kisha kwa sauti ya kujiamin akajibu “Mimi ni mwanajeshi wa taifa hili, na kazi yangu kubwa ni kulinda amani ya raia, nilipita pale na kuona kama hauna raha, ndio maana nikaona nikuokoe kwa Yule mzee, maana nilikuwa nina uhakika kuwa haukuwa unampenda, na kukuchukua kukuleta kwangu, ili ukija kupata mwanaume ambae utampenda wewe, nitakupa talaka na utaenda kuishi nae… ITAENDELEA ….

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

SEHEMU YA 1 Basi siku hio shangazi yangu amenituma sokoni, na shangazi yangu ni mkali kama pilipili, yaan vipigo ana vyovipata kutoka kwa mume wake huwa anataka kunimalizia mimi kila siku, sijui hata nimeshawah kumkosea nini huyu shangazi mimi, ila hata siku moja sikuwah kubishana nae, kwa sababu kwanza sina pa kwenda, mama yangu alishafariki na baba yangu nae alishaoa zake muda mrefu na ndio maana akanipeleka nikakae na dada yake kwa sababu mke wake hakuwa ananitaka hata kidogo… Hapa kwa shangazi hakuna rangi ambayo sikuwah kuacha kuiona, Kama ni vipigo na matusi nilishavizoea sana, na matusi yakawa kama ndio lugha yangu kuu, nguo zangu zilikuwa zimechakaa sana, na kuna muda nilikuwa natembea bila viatu na mlo wangu ulikuwa wa kubangaiza sana, nilikuja nikapata kazi ingawa malipo yalikuwa madogo ila angalau nilikuwa na kipato… Shangazi alikuwa anataka mshahara wangu, na kwa kuwa nilikuwa namuogopa nikawa nampa ila nilimdanganya kuwa nalipwa shilling elfu thelathin badala ya laki moja na uzuri aliamin, hapo angalau nikaanza kujinunulia nguo na mahitaji yangu mengine na mimi nikaanza kuonekana kama mwanamke kati ya wanawake… Siku moja sasa shangazi akanituma sokoni, akanitaka niende na ile hela yangu ya mshahara, nikaficha akiba yangu nyingine nikaenda na hio hio tu, nikafika sokoni nikaanza kuhemea vitu nilivyoagizwa, mara ghafla nikamuona mama ambae alikuwa amevaa nguo kuu kuu, akiwa amebeba mtoto mgongoni na mwingine anatembea peku, huyo ambae alikuwa anatembea peku alikuwa kama na miaka minne… Kwa lile jua lilivyo kali, alafu mtoto mdogo kiasi kile anatembea peku, na wakati mimi mwenyewe nimevaa viatu na nasikia joto la lami, nikajikuta naona huruma sana, nikaenda mpaka alipo Yule mama na kumuomba nimnunulie mtoto viatu, akakubali, nikaingia dukani na kununua ndala za elfu mbili, kisha nikanunua na mkate na maji nikawapa, hisia zangu zilinituma kuwa watakuwa na njaa sana…….. Baada ya hapo nikawaacha si ndio nikasema niangalie kama nina nauli nashangaa sioni hata mia, ndio nikakumbuka kuwa pesa yote nimeshatoa, kuangalia mbele naona wanaume wanne wamejazia sana wanatuangalia, nilishikwa na hasira sio siri, yaan wanaume wanne, wanaona kabisa mama anateseka na watoto wake na hata hawajali kabisa, yaan wanajifanya kama hawakuona, nikawafata na vile nilikuwa nina hasira za kutokuwa na nauli nikaanza kuwashushia maneno.. “ Yaan ndio maana Mungu mwenyewe alisema kuwa mama ndio wa pili baada ya Mungu kwa sababu alijua kuwa wanaume ni makatili na hawana huruma, ivi ni kweli hamkuwa mnamuona Yule mama na wanae namna wanavyoteseka na jua na mijanaume mizima imekaa inawaangalia tu, sijui wanaume wengine wapoje, nikasema nikawa naondoka zangu… Kuna wanaume wawili wakawa kama wanataka kunifata ila kuna mmoja wao alikuwa mzungu wa kikuu akawa anawazuia, ila nikashangaa nashikwa mkono, aisee niligeuka na kuangalia ni nani, nikajikuta na ropoka na kusema “Wewe mzungu wa bei ya jion unataka nini… Hata hakusema na mimi akanibeba taksi bega kisha akaniingiza kwenye gari, ilikuwa ni hizi kenta za kubebea mizigo ila ilikuwa imezibwa, hivyo ukiwa ndani mtu hakuoni, wameziba na maturubai… Kuingizwa ndani si ndio nikaona magwanda ya jeshi, nyie nilihisi kupagawa, nikawa natetemeka kama nina degedege, nikajua ehee hapa sasa nimejichanganya pa kubwa sana… Nikajikuta naanza kulia, nikashangaa Yule ambae alikuwa mweupe akaniangalia kisha kwa sauti ya ukali akasema “Unalia nini sasa na wakati tunataka kukupeleka nyumban… “Sitaki kwenda nyumban nishusheni nitatembea kwa miguu, nikaanza kulalamika, nikashangaa nakuja kufungwa mdomo kisha akanambia kuwa utatuelekeza nyumban kwenu kwa ishara… Ikabidi niwe mpole, nikaanza kuwaelekeza na kweli baada ya dakika chache tukafika mpaka kwa shangazi, akashusha vitu vyangu kisha akanifungua mdomo, nikajikuta nimeropoka, nawachukia wajeda, yaan hata kama haujawafanya kitu wanataka kukuonea tu, wakanisikia ila hawakusema neno lolote lile wakaondoka zao… Nimeingia ndani kwa shangazi macho yameiva kwa kulia, nilikuwa naogopa kupewa adhabu, kwa sababu kwanza nimewajibu vibaya na kingine wakati wananipandisha kwenye gari akili yangu ikanituma kuwa napelekwa kambini kupewa adhabu mpaka nijute kwa nini nimekutana nao, kumbe hata hawakuwa na shida na mimi na badala yake wakanirudisha zao nyumban… Basi maisha yakawa yanaendelea kama kawaida, nikasahau kabisa kuhusu habari za wale wajeda walionileta nyumban kwetu kibabe na nikawa naendelea na maisha yangu kama kawaida… Siku moja nimetoka zangu kibaruani mara nashangaa namuona mlangoni kana kwamba alikuwa ananisubiri kwa hamu, nikasogea mpaka alipo kisha nikamsalimia… “Nilikuwa nakusubiri kwa hamu sana mwanangu, yaan bora hata umekuja, akasema shangazi mara baada ya kuniona, na ndio mara ya kwanza shangazi yangu anaongea kistaarabu sana kiasi kile nikahisi lazima kuna jambo maana mimi shangazi yangu namjua vizuri tu…. Basi nikaingia ndani nashangaa nakuta na glasss ya juice ety shangazi kaniandalia, akili yangu ikanituma kuwa nimewekewa sumu nataka kuuliwa, kwa sababu sijawah kumuona hata siku moja shangazi yangu akinijali vile, nikaishika tu ila nikajiambia kuwa sitokunywa mimi, nikiwa nina uhakika kuwa ni mtego…. “Happy mwanangu nina taarifa njema kwako, najua wewe ni mrembo ila sikuwa kujua kama urembo wako unaweza kubadilisha maisha yetu na kusababisha tuuage umaskin mwanangu, akasema shangazi na kiukweli sikumuelewa hata amemaanisha nini, na sikutaka kutia neno, niliogopa asije akabalisha story yake na kuanza kunishushia matusi kama kawaida yake… “Kuna mwanaume anakupenda sana na ameleta posa huwezi amin, ndani ya posa ameweka shilling million mwanangu, yaan watu wanaenda kutoa posa wanapewa elfu kumi sisi posa tu ni million moja, naomba ukubalia kwa sababu wamesema kuwa ulishakubaliana nao, na lililobaki ni swala la ndoa tu… Nilishangaa sana, kwa sababu sikuwah kukubaliana na mtu yoyote Yule kuhusu swala la kunioa, sasa inawezekana vipi mtu atoke huko alipotoka na kutaka kunioa na wakat anajua kabisa kuwa sina makubaliano nae yoyote, kuna wakati nikahisi labda huyo mleta posa amekosea mlango, ila nikaoneshwa posa ilikuwa imeandikwa majina yangu matatu, hapo ndipo nilipohisi kuchoka sio kidogo… “Shangazi mimi sina mchumba na wala sijakubaliana na mwanaume yoyote Yule kuleta posa hapa nyumban, hivyo hio posa siitambui, nikasema kwa sauti ya unyenyekevu mkubwa… “Wewe mjinga nini, unakataa hela, nakuuliza unakataa hela, sasa ni hivi utake utaolewa na usitake napo utaolewa kahaba mkubwa wewe, akasema shangazi kisha akatoka zake nje… Nilibaki najiuliza bila majibu, nikajiambia kuwa Mungu anajua ninachostahili na hawez kuniacha niteseke… Basi baada ya kama wiki mbili, nikashanga mahari inaletwa na aliekuwa analeta hio mahari alikuwa ni baba mmoja mzee sasa, kwa makadirio alikuwa na kama miaka sitin na wakati huo nilikuwa nina miaka 22 tu, nilihisi kuchoka, yaan nawezeje kuolewa na mwanaume mzee kama Yule, shangazi alichokuwa anakiangalia ni maokoto tu akawa anapiga zake vigelegele na kunipongeza kwa kuletewa posa na mahar na mzee tajiri… NAKUJA…….. SEHEMU YA 2 Niliingia chumban kwangu na kuanza kulia, sikutegemea kabisa kama nakuja kuolewa na mwanaume ambae hata simjui licha ya kutokumjua bado sijampenda nani mzee sana, ila Yule mwanaume mzee, alikuwa anaonekana kama ananiheshimu sana, kwa sababu hajawah hata kutaka kuwasiliana na mimi na hakuwah pia kutaka jambo lolote lile kutoka kwangu, yaan tunaweza kukaa tunapiga story na akawa ananiita yale majina ya kitoto, kitu ambacho huwa sikipendagi … Basi siku zilipepea kama upepo, nikashangaa naanza kufundishwa maisha ya ndoa, sikuwa tayar na jambo lolote lile, ila hakuna mtu hata mmoja ambae alikuwa anayaona machozi yangu au kukielewa kilio changu, na watu wote walikuwa wanahangaika na harusi ambayo bibi harusi hakuwah kuwa na mahusiano yoyote yale na bwana harusi… Maisha yalikuwa magumu sana kwangu, kilio na huzuni ilikuwa ni sehemu ya maisha yangu, nilikata tamaa na kuamin huenda napaswa kuishi kwa majonzi kiasi kile kwenye maisha yangu yote, niliamin kuwa natakiwa kuwa wa kuamuliwa kila kitu mpaka hatma ya maisha yangu… Basi siku zikaenda ila hapo sina raha kabisa, na hatimae siku ya ndoa nayo haikukawia ikafika kama utani vile, nikaenda kupodolewa ila machozi hayakukauka machoni mwangu, mpaka makeup ikawa hainikai kabisa, kwa sababu mifereji ya machozi ilikuwa inazidi kuchimbika mashavuni mwangu, kutokana na huzuni kubwa ambayo nilikuwa nayo moyoni na namna ambavyo nilikuwa nimekata tamaa sana kuhusu hatma yangu… Ila kuna muda nikaamua kuachia tumaini langu kwa Mungu maana kwa binaadamu tunaweza kushindwa ila kwa Mungu hakuna kitu ambacho kinashindikana… Nikawa ni mtu wa maombi ila walau mambo ya badilike, ila mpaka nafika kanisan namuona mzee akiwa mbele yangu akiwa ananiangalia, ila hakuwa anatabasamu, na kuanzia ananitolea posa hatukuwah kuwasiliana hata mara moja, nikadhan labda ni kwasababu anajua nalazimishwa, nikawa najiambia kuwa kama anajua nalazimishwa sasa kwanini anaendeleza swala la ndoa na mimi, na maswali yangu yote hayakuwah kupata majibu hata mara moja, kwa sababu nilikuwa najiuliza na kujijibu mwenyewe…. Basi nikiwa na huzun na simazi kubwa moyoni, nikawa naingia kanisani kwa upole na unyonge wa hali ya juu, na mtu yoyote Yule laity angeona namna ambavyo naingia angejua ni wazi kabisa sikuwa na raha na sikuwa nimeifurahia ile ndoa hata kidogo ila ndio hivyo sikuwa na lakufanya… Basi nikafika mbele na yule mzee bado hakuwa ananiangalia kabisa, alikuwa kama ananionea aibu sana, ila nikawa siwazi jambo lolote lile zaidi ya kwa nini ananionea aibu na hataki kuniacha niendelee na maisha yangu… Basi padre akaanza “Bibi Happyness Revocutus upo tayar kuolewa na bwana Eric Fernand kwenye shida na raha, huzuni na vicheko, mvua na jua mpaka kifo kitakapo watenganisha?... ITAENDELEA ….. SEHEMU YA 3 Machozi yakaanza kunkitoka nikayapangusa na nikakaa kimya kwa kama sekunde thelathin kitu kilichompelekea padre arudie tena kuwa “Bibi Happiness Revocutus upo tayar kuolewa na bwana Eric Fernand kwenye shida na raha, huzuni na vicheko, jua na mvua, na kuwa pamoja mpaka kifo kitakapowatenganisha?... Nikamuangalia shangazi, alikuwa kakunja sura kana kwamba anaumwa uchungu, nikaona hapa nikikataa basi ni lazima nitakutana nacho, hivyo kwa sauti ya unyonge nikasema “Ndio nipo tayar… Akageukiwa Yule mzee nay eye akaulizwa “ Je upo tayar kuoa kwa niaba ya Eric katika shida na raha, huzuni na vicheko, shibe na njaa mpaka kifo kitakapo watenganisha, Yule mzee nay eye akaitikia ndio… Nilishangaa sana kwa nini anaambiwa kwa niaba, ila sikuhoji sana, kwa sababu kwanza hata ningetaka kuhoji ningemuhoji nani, na wakati najua kabisa kuwa hakuna anaeweza kunijibu kwa ufasa na huenda hata hawana wanachojua chochote kile… Basi Shangwe na vigele gele vikatawala pale ndani, kuna baadhi ya watu wakawa wananionea huruma na wengine wakawa wananiona mjinga kwa kulia lia, na kutaman hata bahati yangu ya kuolewa na mwanaume mtu mzima just awe tajiri tu, kama tunavyojua wanawake na pes sijui wana udugu gani… Basi baada ya ndoa padre akasema tuvishane pete, Yule mzee akanivalisha pete ila kabla mimi sijamvalisha nikashanga mlango wa kanisani umepigwa teke kisha akaingia mwamba mmoja ambae nilihisi kama nimeshawah kumuona siku moja ila sikuwa nakumbuka ni wapi, kitendo cha yeye kuingia tu mambo yote ambayo yalikuwa yanafanyika pale kanisani yalisimama na hata lile zoezi la kumvisha Yule mzee kikongwe asie na haya likaishia hapo, akaja mpaka mbele kisha akachukua ile pete ambayo nilikuwa nimeishika kisha akavaa na kunisogelea akaanza kunikiss… Mwanzo nilijua ni lile busu la kawaida ambapo watu huwa wanakiss baada ya ndoa, ila nikashangaa mwamba hata hasogei pemben yaan ni anakiss mpaka nikaanza kuhisi kama anataka kunikausha mate sasa, mpaka padre akaanza kukohoa ila mwamba hata hakuwa ananiachia kana kwamba alikuwa ana kiu ya muda mrefu sana na mwisho ndio amepata maji, hakuwa hata anasikia kikohozi cha mchongo cha padre, mpaka padre ikabidi ajikoholeshe kwa nguvu zaidi, ila mwamba hata hakuniachia kabisa, akawa anaendelea kunikiss mpaka mwisho sasa padre akasema “Inatosha sasa nadhan unapaswa kutuambia wewe ni nani na kwanini upo hapa.. Mwamba akaniachia kisha kwa sauti ya mshangao akauliza “Mnataka kujua mimi ni nani!... Hata hakutaka kujieleza akanibeba taksi bega kisha akaanza kutoka na mimi eneo lile… “Muache huyo ni mke wa mtu, akawa analalamika shangazi, kana kwamba alikuwa ananionea huruma sana kwa kuchukuliwa na mtu mwingine na wakati nimeolewa na mtu mwingine kumbe alikuwa anaona kama nikichukuliwa na mtu mwingine huenda asipate hela kama ambavyo alifikiria… Yule mzungu wa bei ya jioni, aka mjeda cheupe akamgeukia kisha akamuambia “Aisee sipendag unafiki, najua hata kumpenda humpendi sasa nisisikie kelele zako za chura za kujiliza liza, maana dakika sio nyingi nitakupeleka ukaishi maisha wanayoishi chura wenzako, kisha akaendelea zake na safari akiwa bado amenibeba taksi bega… Kiukweli kila kitu kilikuwa kinaenda haraka sana, mzee wa magwanda hakutaka hata kumsikiliza mtu, na ilikuwa kila mtu anaogopa baada ya kumjibu shangazi, kuna watu wakaanza kunong’ona kuwa nilikuwa na mahusiano nae muda mrefu hivyo atakuwa amekuja kunichukua, ili mradi kila mtu akawa anasema la kwake, ila hakuna mtu hata mmoja ambae alimzuia, na mimi kiukweli nilijisikia amani kidogo, kwa sababu ni keri kuolewa na mwanaume mbabe kuliko kile kijizee ambacho shangazi alitaka niolewe nacho..… NAKUJA………….. SEHEMU YA 4 Basi akaenda na mimi mpaka kwenye gari kisha akaniangalia kwa sekunde kadhaa na kusema “Siamin kama nimekuoa mrembo wangu, yaan ukivaa shela sikuwa najua kama unapendeza kiasi hichi.. “Unataka nini kwenye maisha yangu?, mbona mimi sina shida kabisa na wewe, na sijawah hata kuwa na shida na wewe hata siku moja, kwa nini umekuja kuniteka kwenye ndoa yangu? Ikabidi niulize kana kwamba nilikuwa naipenda sana hio ndoa yenyewe… Akaaanza kucheka kisha akanambia “Mimi sijakuteka kwenye ndoa yako, ila nimekuja kumchukua mke wangu kwenye ndoa yetu, hivyo hakuna kitu ambacho amefanya kilichokuwa kibaya… “Unajua sikuelewi wewe mwanaume, yaan umekuja kunioa na wakati hata jina silijui, na sijui hata unataka nini kwangu, nikawa nazidi kuongea… Akacheka kisha akanambia “Nina uhakika kuwa jina langu unalijua vizuri sana, na ninachokitaka ni mapenzi yako, yaan unipe mpaka nichanganyikiwe,… Nikaona sasa hichi kizaa zaa, anataka nimpe mpaka achanganyikiwe, naweza vipi kufanya hivyo? Nikawa najiuliza maswali ambayo hata mimi sikuwa na majibu nayo hata kidogo,. “Nataka kurudi nyumban, nikaanza kusema, akaniangalia kisha akacheka na kunambia “Labda nikurudishe mavumbini, kisha gari likawashwa tukaenda mpaka nyumba moja hivi, ilikuwa ni self, nimefika pale nikakuta kabisa watu wamejiandaa na wengi walikuwa ni wajeda… Nimefika tu wakaanza kushangilia na kusema “Shemu.. shemu … shemu… Nikaona ehee kazi imeshaanza sasa, naanza kuitwa shemu mapema yote hii, au ngoja niendelee kuangalia kuna nini kitaendelea maana mpaka wakati huo sikuwa naelewa kitu chochote kile, na kila kitu kilikuwa kama ndoto isiyoeleweka kwangu… Basi Yule mjeda mweupe akanichukua na kunipeleka ukumbin ambapo kulikuwa na vitu viwili , inaonekana ni wazi vilikuwa vimeandaliwa kabisa, basi mimi nikakaa nay eye akakaa kiti cha pemben yake, wajeda wengine wakaanza kumletea zawadi sasa, hizo zawadi zenyewe, mtu anakuja na mihogo, wengine mbuzi, wanamuambia asije akawaangusha na aifanye kazi ipasavyo, sasa nilivyokuwa na akili fupi nikazani labda wanakazi zao, kumbe kazi za kwenye mtu kati ndio ambazo anatakiwa asiwangushe wenzake, basi wengine wanaleta krang, mmoja ndio akaleta pweza mkubwa nilishtuka sana, kwa sababu kuanzia nazaliwa sijawah kumuona pweza akiwa hajaandaliwa, naishiaga tu kuona vipande vyake vikiwa vimekaangwa…. Wakawa wanakunywa pale wamemaliza wakaondoka zao, Yule mjeda hakuwa amevua magwanda na mimi nikawa namuita tu mzungu wa bei ya jioni, ila sikuwa namuita kwa nguvu, akanipeleka chumban kisha akaanza zake kufanya zake usafi, akaanza kusafisha nyumba kisha akapanga kila kitu vizuri, mimi nimeoga nimekutana na nguo kabatini, kabati lilikuwa kubwa sana na upande mmoja walipanga nguo za kiume na upande mwingine kulikuwa na nguo za kike, ni kama kila kitu kilikuwa kimeandaliwa tayar bila mimi kujua, basi nika vaa kisha nikakaa zangu kitandani nikiwa bado siielewi hatma yangu… Nikiwa nimekaa pale mara simu yangu ikaanza kuita, kuangalia alikuwa ni shangazi, nikapokea… “Upo wapi? Akauliza kwa sauti ya shauku, ambayo ni dhahiri alikuwa anaonekana anataka kujua nilipo, na nilikuwa nina uhakika kuwa anataka ajue nilipo ili anipeleke kwa Yule mzee wake… Nipo salama usijali shangazi, nikajibu ila akaanza kufoka na kusema “Unajibu tu kuwa nipo salama unajua umetuacha kwenye hali gani, Yule mzee ameondoka na nina uhakika atarudi na kutaka vitu vyake, naomba urudi nyumban Happiness sisi hatuna cha kumlipa Yule mzee… “Nipo kwa mwanaume ninae mpenda na kama mnataka niwe na huyo mzee labda mniue kwa sababu siwez kuwa na mwanaume ambae anaweza hadi kumzaa baba yangu, kisa tamaa zenu za mali. Nilikaa kimya kwa sababu nilijua kuwa mpenzi wangu atakuja kunichukua, sasa kama nyinyi mnanguvu sana mnitafute wenyewe kwa jitihada zenu na sio kuniuliza nipo wapi, nipo mbinguni nakunywa asali ipitayo kwenye mito, nikajibu kisha nikakata simu…, ITAENDELEA … SEHEMU YA 5 Sijui hata nilikuwa najiamini nini, sikuwa najua kama huyu mzungu wa kikuu anaweza kutaka kuishi na mimi au laa, au hata ana mipango yake, alafu namjibu nyodo shangazi kitu ambacho hata yeye mwenyewe hakuwah kukifikiria, kwa sababu nilikuwa naishi nae kwa utii wa hali ya juu, kuna muda nilikuwa nataman sana kumjibu ila nafsi yangu ilikuwa inakataa, kwa sababu nikisema namjibu alafu akanifukuza nitaenda kuishi wapi?... Basi bana kumbe nilipokuwa naongea pale Yule mjeda alikuwa ananisikiliza, akafungua mlango sio siri nilishtuka kisha kwa sauti ya uoga nikasema “Toka chumban kwangu… Alikuwa kama hanisikii vile na akawa anazidi kunisogelea kisha akaninong’oneza na kusema “Niambie unanipenda… Nikasema ehee kimenikuta sasa, nikaanza kujiuma uma, kisha nikamuambia “Mimi siwez kukupenda kwa sababu najua kabisa kuwa umenisaidia tu na hauna mapenzi na mimi, asante sana… Akashusha pumzi kisha akasogea pemben na kusema “Nilijua unanipenda, maana nimekusikia ukiongea na simu ukisema kuwa mimi ni mpenzi wako na unanipenda sana … “Samahan sana sikuwa nimemaanisha, ni kwamba shangazi yangu ananitambia sana na anataka nirudi nyumban ili niende kuolewa na Yule mzee na wakati mimi sitaki, nikasema akaniangalia kwa sekunde kadhaa kisha nikashangaa anaanza kucheka… Nilishangaa huyu vipi, sasa anacheka nini, na wakati hakuna kitu chochote kile ambacho nimesema kilichokuwa kinachekesha, alipomaliza kucheka akanisogelea na kusema “Usijali nitasubiri.. Sasa sikuwa nimemuelewa atasubiri nini, ila sikujali sana na maisha yangu yakaanza pale, na nilikuwa Napata kila kitu, ila sikuwa namuona yule mjeda aka mzungu wa bei ya jioni, ila kila ninachokitaka nakipata tena kwa wakati, na kulikuwa na mfanya kazi ingawa nilikuwa naishi pekee yangu… Siku moja nimekaa zangu naangalia zangu tv, nilishazoea kuishi mwenyewe, ni kama nilisusiwa nyumba, akaingia Yule mjeda, alikuwa katupia balaa, na vile alikuwa mweupe, nikashindwa hata kuangalia pemben nikajikuta namuangalia sana, tena kwa jicho, tukakutanisha macho akatabasamu nikaona dimpoz zake, aisee hapa ndio alizidi kunichanganya huyu kijana jaman… “Happiness unaendelea je na vipi mambo yanaendaje, akasema mara baada ya kuingia ndani, nikatabasamu kisha nikamjibu kuwa nipo salama.. Basi akaenda kukaa kwenye kiti akawa nay eye anaangalia zake luninga, nilimuangalia mwisho uvumilivu ukaanza kunishinda nikawa nataman hata nimfate nimkumbatie, kwa mara ya kwanza nilihisi msisimko wa hali ya juu, nikawa kila nikimuangalia napata hamu mpaka nikawa najishangaa nina shida gani jamani mimi?... Nikaenda chumban kwangu kisha nikakimbilia kitandani nikaanza kujichukulia sheria mkononi huku taswira yake ikiwa inaisumbua akili yangu, kila nikimfikiria nikawa napata msisimko na nikajikuta nasema mjeda ahhhh, ohhh Mungu wangu wewe ni handsome sana, ahhhh babby mjeda wangu njooo ingiza ingiza , ahhhh tamu, tamu sana ashhh, yaan hapo nasikia raha na nafanya hayo yote nikiwa na taswira ya namna nilivyomuona mjeda akiwa anaingia ndani, nilikuwa nasikia raha ajabu, nikawa nataman hata angekuja kuniendelezea burudani maana nilishafikia kiwango cha kutaka moto sasa… Nikiwa bado naendelea na raha zangu, kumbe mlango ulifunguliwa na sikuwa nasikia maana niliweka akili zaidi kwenye taswira ya kaka mjeda pamoja na raha ninazosikia, sasa kuna muda si ndio nikageuka, aisee nakutana na mwamba amesimama ananiangalia, sio siri nilishtuka sana, na taratibu akawa ananisogelea… ITAENDELEA ….

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

Nyota iliyo karibu sana na Dunia, haiko mbali sana, si kwenye galaksi nyingine, bali hapa hapa nyumbani, katikati ya mfumo wetu wa Jua. Adui wetu ndo mlinzi wetu. Hii nyota imekuwa ikifanya kazi ya kusambaza uwezekano wa kuwepo na maisha Duniani kimya kimya kwa zaidi ya miaka milioni 4.5, bila kupumzika hata sekunde moja. Yenyewe inakadiriwa kuwepo kwa miaka billion 4.6 Kwa macho yetu, Jua huonekana kama duara la kawaida la mwanga. Tunaliamkia kila asubuhi, na kuliona likizama jioni nyuma ya milima, kana kwamba ni sehemu ya ratiba ya kawaida ya maisha. Lakini ukweli ni kwamba, kile tunachokiona ni moja ya mashine za asili za nishati ya nyuklia zilizopo ulimwenguni. Hachana na Chernobyl, hiki kinu cha kufua umeme cha angani kina umene wa kuwasha sayari zaidi ya 9 na watoto wao wote. Kisayansi, Jua ni nyota ya daraja la kati. Ndani yake, katikati kabisa, kuna joto la takribani nyuzi joto milioni 15 za Celsius. Katika joto hilo, atom za Hydrogen zinabanwa na nguvu ya gravity mpaka zinachanganyika na kuunda Helium. Mchakato huo unaofahamika kama "Nuclear Fusion" ndio chanzo cha mwanga, joto, na uhai wote duniani. Kuungana kwa viindi vya atoms za Hydrogen kuunda Helium kunazalisha nguvu kubwa sana ya mionzi na mionzi hii husafiri kwenye anga tupu mpaka kutufikia huku Duniani. Lakini hapa kuna jambo lingine la kushangaza. Mwanga tunaouona ukitoka kwenye Jua unakuwa sio wa wakati huo, bali unakuwa ni mwanga wa muda kidogo uliopita. Iko hivi.... Mwanga pamoja na mionzi yote husafiri kwa mwendokasi wa kilomita Laki tatu kwa sekunde moja (300,000km/s). Chukulia kutoka Dar mpaka Bukoba, kwenda na kurudi mara 200 ndani ya sekunde moja.! Jua lipo kilomita Milioni 150 ukitokea duniani, kwa huo umbali mwanga ukitoka kwenye Jua unatakiwa kusafiri kwa dakika 8 njiani ili kufika huku. Kiuhalisia ni kwamba, unachukua muda wa takribani dakika 8 na sekunde 20 kusafiri kutoka kwenye Jua hadi unafika duniani. Ina maana kwamba kila unapolitazama Jua, unaona taswira ya zamani, unaangalia kile kilichotokea kwenye Jua dakika 8 zilizopita. Kwa mfano tu, kama Jua lingeweza kuzimika ghafla, Dunia ingeendelea kuwa na mwanga kwa dakika 8 bila kujua hatari inayokuja. Mimea ingeendelea kufanya photosynthesis. Ndege zingekuwa angani. Watoto wangekuwa wakicheza. Shughuli za kila siku zingekuwa zinaendela kwa sababu mwanga bado upo njiani unakuja, hatujui kama nyuma kuna giza linafuata, mara ghafla tunakumbwa na Giza. Fikiria hilo kwa sekunde chache. Hilo linatufundisha jambo moja la kina sana: Maisha yetu yote yanategemea nyota ambayo hatuioni kwa wakati halisi. Yaani dakika 8 zilizopita Jua limeunda nguvu ambayo inanifanya niishi sasa hivi. Jua pia hupoteza uzito wake kila sekunde– takribani tani milioni 4 za uzito hubadilika kuwa nguvu na nishati safi ya mionzi na mwanga. Hata hivyo, ni kubwa kiasi kwamba upotevu huo hauonekani. Jua lina uzito mkubwa sana, akiba ya kutosha kuendelea kuwaka kwa zaidi ya miaka bilioni 5 ijayo. Lakini pamoja na utulivu wake, Jua lina tabia nyingine isiyozungumziwa sana, na hii ndo hatari sana, rafiki wetu wa kutupambania kupata maisha anapogeuka kuwa muuwaji wetu. Jua hutoa milipuko kama huku Duniani tunayoona kama Volcano, kwenye Jua volcano huitwa "Solar Flare" utofauti wa Volcano na Solar Flare ni kwamba huku kwenye volcano mlipuko huanzia kwenye kiini (core) ya gimba, wakati kwenye Flare za Jua mlipuko huwa tu kwenye ganda la juu linaitwa "Chromosphere" Huu mlipuko huzalisha ujiuji wa moto (hot plasma) na huweza kuruka hadi kutoka kwenye angahewa ya Jua na kuruka juu nje ya Jua hiki kitendo huitwa "Coronal Mass Ejections" Ni kitendo cha maada za moto kutoka kwenye Corona ya Jua na kupaa mbali zaidi na wakati wa kufanya hivyo husukuma hewa ya moto kutoka kwenye Jua (Solar Wind) kuelekea Sayari za karibu. Upepo huo mkali wa mionzi na joto kali huweza hadi kufika duniani na kuathiri ukanda wa umeme na sumaku wa Dunia, hii itaathiri mawasiliano, satelaiti, na mifumo ya umeme duniani. Kwenye makala niliyoandika tarehe 24 mwezi May, 2023 niliwahi kuelezea hizi Solar Flare, Solar Wind na Solar Storm zinavyoathiri mawasiliano ya satellite na internet Duniani na hiyo siku Dunia nzima ilikuwa haina mtandao. Nakumbuka Jamii Forum 'waliiba' ile makala wakaiweka kwenye platforms zao, kutumia Expert Member kwemoj ya majukwaa yao, nikawa nazozana nao.! Sio hiyo tu, pia hizi Solar Wind ndo huwa zinasababisha Aurora kwenye North au South Polar Lights, joto la vimbunga hivi kutoka kwenye Jua husababisha "Heat wave" hasa kwenye nchi za Kaskazini na Kusini. Heat wave ni kitendo cha joto kuongezeka ghafla ndani ya mda mfupi na kuathiri mazingira, jambo ambalo huwa linasababisha moto wa nyika mara kwa mara kwenye misitu ya Marekani, Canada na Urusi, hata India nayo iliwahi kukumbwa na heat wave. Wafatiliaji wa account hii wanajua nishaeleza sana. Hilo ndo Jua, urafiki wake na Dunia unatupatia mazingira ya kutupa maisha, lakini mara kadhaa lazima tulionje joto la jiwe hilo laini linalolipuka. Inasadikika baada ya miaka milioni 5 Jua litamaliza akiba yake ya maada za kuunda joto, yaani Hydrogen atoms zitakuwa zimeisha na msawazo wa Helium utakuwa mkubwa sana na italazimisha Jua kulipuka na kusambaratika. Mlipuko huo huitwa Supernova, kitendo cha Nyota kupasuka baada ya kumaliza akiba yote ya atoms za Hydrogen za kufanya Fusion kuunda joto na mionzi. Supernova zimesharekodiwa kadhaa kutumia telescope na kutupa ushahidi wa kinachohofiwa kutokea, na kweli kitatokea na hapo itakuwa mwisho wa mfumo wa Jua maana sayari zote zitasambaratishwa na ambazo hazijasambaratika zitapotelea mbali huko kwenye anga. Enjoy Jua likiwa bado lipo, na kabla halijachanganyikwa kuachia uji wa moto unaohatarisha maisha ya Sayari zote za angani kwenye mfumo huu. Mimi ni mdadavuaji wako wa Sayansi ngumu kwa lugha rahisi, niite Cekam Cekam's na sasa hivi nimeanza kuunda Video za ma-Alien zitakuwa zinakuja wakati wa mapumziko.

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

1. Hakuna taifa lenye haki ya kuvamia nchi nyingine bila ya haki Katika Uislamu, uchokozi umekatazwa, bila kujali ni nani anayeufanya. "Piganieni katika njia ya Mwenyezi Mungu wale wanaowapigana nanyi, lakini msifanye dhambi. Hakika Mwenyezi Mungu hawapendi waasi." (Qur'an 2:190) Kuvamia nchi kwa ajili ya madaraka, rasilimali, au utawala ni ukandamizaji, hata kama unahalalishwa kwa kaulimbiu za kisiasa kama "demokrasia" au "usalama". ⸻ 2. Watawala hawako juu ya uwajibikaji Uislamu hauwatakasi marais, wafalme, au viongozi. Ikiwa kiongozi ni: • dhalimu • mkandamizaji kwa watu wake • fisadi basi atajibu kwa Mwenyezi Mungu, iwe amekamatwa katika ulimwengu huu au la. Mtume ﷺ alisema: "Mtawala dhalimu anayeadhibiwa vikali zaidi siku ya Hukumu." (Imeripotiwa katika Ṭabarānī, ikimaanisha inaungwa mkono na maandishi sahihi) ⸻ 3. Lakini haki haiwezi kuwa unafiki Uislamu unakataa haki teule. Ikiwa nchi yenye nguvu itakamata au kushambulia nchi dhaifu huku ikitenda uhalifu yenyewe, huu ni unafiki - si haki. "Msiruhusu chuki ya watu ikusababisheni kuwa wadhalimu. Kuwa waadilifu; hiyo ndiyo karibu zaidi na haki." (Qur'an 5:8) Haki katika Uislamu lazima iwe: • halali • wazi • bila maslahi ya kisiasa ⸻ 4. Kumwadhibu mtawala lazima kusiharibu taifa Uislamu unakataza adhabu ya pamoja. Vikwazo, uvamizi, na vita ambavyo: • kuwanyima raia njaa • kuwaua wasio na hatia • kuharibu miundombinu ni haramu, hata kama mtawala ni mwenye dhambi. Mtume ﷺ alikataza vikali mauaji: • raia • wanawake • watoto • wasio wapiganaji ⸻ 5. Ukuu na heshima ya mataifa Uislamu unatambua heshima ya watu. Kuidhalilisha taifa hadharani, kulikalia, au kulidhibiti kutoka nje si haki ya Kiislamu, hata kama kiongozi wake amekosea. "Ukandamizaji utakuwa giza Siku ya Kiyama." (Ṣaḥīḥ al-Bukhārī & Muslim) ⸻ Msimamo wa mwisho wa Kiislamu Uislamu ungesema: • ❌ Hapana kwa uvamizi usio wa haki • ❌ Hapana kwa viwango viwili • ❌ Hapana kwa adhabu ya pamoja • ✔️ Ndiyo kwa uwajibikaji • ✔️ Ndiyo kwa haki yenye ushahidi • ✔️ Ndiyo kwa rehema kwa raia Kila mtawala, kila jenerali, na kila mamlaka makubwa yatasimama peke yake mbele ya Mwenyezi Mungu, bila jeshi, vyombo vya habari, na bila mamlaka ya kura ya turufu. “Na Mola wako hamdhulumu mtu yeyote.” (Qur'an 18:49) #Mtazamo wa Kiislamu #HakiKatikaUislamu #HakunaUkandamizaji #Hadhi ya Binadamu #Uwajibikaji #AchaDhuluma #UislamuDhidi ya Udhalimu ya Udhalimu #QuranNaHaki #Ummah #Haki ya Kimataifa.

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

What islam says about invading countries 1. No nation has the right to invade another unjustly In Islam, aggression is forbidden, regardless of who commits it. “Fight in the way of Allah those who fight you, but do not transgress. Indeed, Allah does not love the transgressors.” (Qur’an 2:190) Invading a country for power, resources, or dominance is ظلم (oppression), even if it is justified with political slogans like “democracy” or “security”. ⸻ 2. Rulers are not above accountability Islam does not sanctify presidents, kings, or leaders. If a leader is: • unjust • oppressive to his people • corrupt then he will answer to Allah, whether arrested in this world or not. The Prophet ﷺ said: “The most severely punished on the Day of Judgment is an unjust ruler.” (Reported in Ṭabarānī, meaning supported by sound texts) ⸻ 3. But justice cannot be hypocrisy Islam rejects selective justice. If a powerful country arrests or attacks a weaker country while committing crimes itself, this is hypocrisy — not justice. “Do not let the hatred of a people cause you to be unjust. Be just; that is closer to righteousness.” (Qur’an 5:8) Justice in Islam must be: • lawful • transparent • free from political interests ⸻ 4. Punishing a ruler must not destroy a nation Islam forbids collective punishment. Sanctions, invasions, and wars that: • starve civilians • kill innocents • destroy infrastructure are haram, even if the ruler is sinful. The Prophet ﷺ strictly forbade killing: • civilians • women • children • non-combatants ⸻ 5. Sovereignty and dignity of nations Islam recognizes the honor of peoples. To humiliate a nation publicly, occupy it, or control it from outside is not Islamic justice, even if its leader is wrong. “Oppression will be darknesses on the Day of Resurrection.” (Ṣaḥīḥ al-Bukhārī & Muslim) ⸻ Final Islamic position Islam would say: • ❌ No to unjust invasion • ❌ No to double standards • ❌ No to collective punishment • ✔️ Yes to accountability • ✔️ Yes to justice with evidence • ✔️ Yes to mercy for civilians Every ruler, every general, and every superpower will stand alone before Allah, with no army, no media, and no veto power. “And your Lord does not wrong anyone.” (Qur’an 18:49) #IslamicPerspective #JusticeInIslam #NoToOppression #HumanDignity #Accountability #StopInjustice #IslamAgainstTyranny #QuranAndJustice #Ummah #GlobalJustice

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

Alex aliniona nikiwa nimeongozana na mzoa taka. "Heeeh kumbe bado hamjaachana!?" Alex alituuliza na mimi niliamua kumjibu. "Wewe ulitakaje kwani!?" "Wewe mwanamke kumbe bado unajifanya jeuri sana subiri utaona" Alex aliongea na mimi mda huo hasira zilianza kunishika hasa baada ya kukumbuka kile alichomfanyia dada yangu na kutaka kuvunja mahusiano yetu mimi na Mzoa taka kwa kumtumia Suzi. "Baada ya kumuambukiza dada yangu umeona haitoshi unataka uniambukize na mimi sindio!?" Baada ya kuongea Alex alishituka. "Kumuambukiza...!?" "Kwahiyo unajifanya hujui ulichokifanya kwa dada!?" niliongea na Alex aliamua kuingia kwenye gari yake na kuondoka kwa speed. Mzoa taka aliniangalia na kuniuliza "Irene kuna kitu gani kinachoendelea mbona sielewi!?" "Tuingie ndani nitakwambia tu" nilimjibu nakuingia nae mpaka ndani nakuanza kumweleza kile alichoniambia Dada alichofanyiwa na Alex kisha baada ya hapo tulienda kuogeshana. Tukiwa bafuni tulianza kufanya yetu na mimi kutokana na hamu nilizokuwa nazo sikutaka kujali kama mzoa taka aliwahi kufanya mapenzi na mwanamke mwingine na huenda akawa na magonjwa. Niliinama na mzoa taka alichomeka mtalimbo wake kwenye kipusa changu na kuanza kunipa utamu. Baada ya kumaliza kufanyia mapenzi bafuni mzoa taka alinibeba na kunipeleka kitandani "Leo nataka nitoe upwiru wote ili nisije kutamani tena mwanamke mwingine" Mzoa taka aliongea huku akiniweka style ya kifo cha mende na mimi kasi ya kupumua ilizidi kuongezeka kutokana na mazunguko wa damu kwenda haraka. Tulifanya mapenzi kwa mda mrefu na baada ya mda tulimaliza huku nikiwa hoi. "Usije kurudia tena kunisaliti Damian" nilimwambia huku tukiwa tumekumbatiana. "Usijali Irene sitarudia tena" Damian aliongea. Mimi na Damian tulirudiana na siku ya jumamosi ilifika hivyo niliamua kwenda nyumbani kama mama alivyoniambia. Nilifika nyumbani na mama aliniambia kuna mtu aliyepanga kunikutanisha nae. "Mama ni nani huyo unayetaka niongee nae!?" "Usiwe na haraka Irene atakuja mda sio mrefu ila tafadhali nisije kukuona ukirudiana na yule mzoa taka" Mama aliongea pasipo kujua kama tayari tumerudiana na kuzagamuana juu. Sikutaka kumjibu zaidi ya kukaa kimya maana kama ningemwambia basi lazima malumbano yangeibuka. Baada ya masaa kadhaa kupita mtu aliyetaka kunikutanisha nae alifika na alikuwa ni mwanaume wa makamo mwenye miaka isiyozidi 35. Sikujua mipango ya mama ilikuwaje ila alikuwa akimchangamkia kijana aliyekuwa pale nyumba. "Patrick kijana wangu karibu sana na jisikie upo nyumbani" Mama aliongea akimkaribisha kijana aliyekuwa akiitwa Patrick wakati huo mimi nilikuwa mtazamaji huku nikiwa na mawazo yangu na nilitamani kujua kile kilichokuwa kikiendelea. Mama aliamua kunitambulisha kwa Patrick na alijaza sifa za aina akimwambia kuwa na mtoto mmoja na sipo kwenye ndoa na sifa nyingine nyingi. Baadae aliondoka na kutuacha sisi wenyewe na ndipo Patrick alipoanza kuniuliza maswali yaliyofatana na moja likiwa kama nitakuwa tayari kuolewa na yeye. "Sipo tayari kuolewa na wewe Patrick samahani kwa hilo" nilimtolea nje Patrick. "Mbona mama yako kaniambia kuwa upo tayari kuolewa na kaniomba nikuoe?" Patrick aliongea na mimi sikutaka kumfanya mama yangu aonekane ni mbaya mbele ya Patrick. "Ni kweli nilitaka kuolewa ila ilikuwa zamani kidogo maana kwa sasa nina mtu wangu na tunapenda nae sana" nilimjibu na maongezi mengine yalichukua nafasi yake. Baada ya maongezi ya mda mrefu Patrick aliaga na kuondoka na mama alimsindikiza huku wakiniacha mwenyewe sebleni. Ndani ya dekika kadhaa mama alirudi huku akiwa kakasirika. "Irene ivi unajua nimehangaika kiasi gani kumshawishi huyo kijana akuoe alafu wewe unamwambia kuwa una mtu na haupo tayari kuolewa na Patrick!?" "Mama huo ndiyo ukweli mimi sikutaka kumdanganya kijana wa watu" Nilimjibu mama yangu bira kumwangalia usoni. "Aya mlete sasa huyo mwanaume wako tumuone" mama aliongea na mimi niliamua kumwambia ukweli maana ata ningeficha isingesaidia. "Mbona nimeshakuja nae hapa mama" "Kwani hana jina na mimi nitamjuaje bira wewe kunitajia jina lake?" Mama aliongea. "Ni Damian nimeamua kurudiana nae" niliongea na mama alibaki akiwa kashangaa. "Umerudiana na mzoa taka tena?" mama aliniuliza na mimi nilimkubalia maana nilikuwa naujua utamu niliokuwa nikiupata kwa mzoa taka wangu. Hiyo siku mama alitukana matusi ya kila aina akinilaumu mimi pamoja na Dada yangu aliyevunja ndoa yake kipindi cha nyuma. Niliondoka nyumbani bira ya kuelewana na mama. Nilifika nyumbani na Damian alitambua kuwa sipo sawa kwani sikuwa na raha kabisa siku hiyo. "Irene kuna tatizo gani au nikuzagamue ili urudi kwenye hali yako ya kawaida!?" Damian aliniuliza. "Niache kwanza kipenzi sipo sawa kwa sasa" nilimwambia na Damian ilibidi aniache. Wiki mbili zilipita na maisha yaliendelea na baada ya mda kupita Alex hakuwahi kutusumbua tena nahisi ni baada ya kujua kuwa nimeijua siri yake kuwa tayari ni mwathirika. Upande wa nyumbani bado familia yangu ilikuwa haijamkubali kabisa Damian kama mme wangu hasa upande wa mama yangu na ni kitu kilichokuwa kikinisumbua kwani niliamini lazima kuna siku nitakuwa matatizoni na familia yangu bado ina umhimu mkubwa kwangu. Nilitaka kuweka kila kitu sawa ili wazazi wangu waweze kumkubali Damian kama mme wangu. Siku hiyo nilienda mwenyewe nyumbani kwa ajili ya kuongea na wazazi wangu. Nilifika na nilimkuta mama huku baba akiwa hayupo. "Mama nahitaji kuongea na wewe" niliongea na mama aliamua kunipa nafasi ya kuongea kitu kilichonifanya nikawa pale. Nilimwambia kuwa inabidi akubaliane na hali kuwa Damian ni mtu wangu ninayependana nae tena tupo kwenye mahaba moto moto. "Irene ivi unafikiri watu watatuzungumziaje sisi wazazi wako hasa wakikuona unaishi na mtu aliyewahi kuwa mzoa taka!?" Mama aliniuliza. "Ni sawa mama ila mimi na yeye tunapendana na hayo ni maneno ya watu tu na kingine yule ndiye baba wa mtoto wangu" nilimwambia mama maneno ya kila aina na baadae alikubaliana na mimi na kuahidi kuanzia siku hiyo atamchukulia na kumheshimu mzoa taka kama mme wangu. Mwaka mmoja ulipita na nilikuwa na mimba nyingine huku nikiendelea kuishi na Damian au mzoa taka kama nilivyozoea kumuita. Upande wa dada angu alifanikiwa kuolewa na mwanaume mwingine japo mmewe alikuwa hajui kama dada ni mwathirika na hiyo iliendelea kuwa siri yetu mimi pamoja na dada angu. Upande wa Alex aliyekuwa mme wangu yeye aliendelea na maisha yake na mpaka sasa anaishi na mwanamke mwingine japo sijui kama ameshaacha tabia yake ya kuwalawiti wanawake.                           Mwishooooo. Bira shaka utakuwa umejifunza mengi  kwenye mkasa huu, tukutane tena kwenye mikasa mingine ya kusisimua. Msimuliaji.......Irene. Mwandishi....Zooper.

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

Nilifika nyumbani na baada ya mda mzoa taka nae alifika na kwakuwa karibu kila kitu kilikuwa changu sikutaka tena kuendelea kuishia na mzoa taka. "Damian ondoka mbele ya macho yangu sihitaji kukuona tena" niliongea pasipo kumuangalia usoni. "Siwezi kuondoka mpaka unipe nafasi ya kujieleza" mzoa taka aliongea. "Uniambie nini!? yani uchepuke alafu uniambie nikupe nafasi ya kujieleza!?" nilimuuliza huku nikiwa bado na hasira. "Najua nimekosea lakini mbona na wewe ulikuwa ukichepuka kipindi cha ndoa yako na ulikolezwa na penzi langu Irene!?" alijichanganya na kuongea kitu kingine kilichozidi kunikasilisha zaidi. "Kwahiyo kumbe ndiyo sababu iliyokufanya utembee na huyo mwanamke wako!?" "No sio hivyo Irene" Damian alijitahidi kujitetea ila sikutaka kumwelewa siku hiyo, niliamua kumtimua pia niliamua kuchukua funguo za dukani maana zilitumika pesa zangu kwenye biashara yake. Kiukweli sikutaka kujali kama ndiye baba wa binti yangu. Maisha mapya yalianza bira ya uwepo wa mzoa taka na sikujua ni wapi alipokuwa akiishia Damian. Baada ya wiki mbili kupita nilipigiwa simu na Alex. "Huyu mpuuzi anataka nini tena!?" niliongea huku nikiwa najifikiria nipokee simu yake au niiache lakini baada ya kuita mda mrefu niliamua kuipokea. Ile naipokea nilikutana na kicheko kutoka kwa Alex "hahahahahahahahahahah" Alex alicheka kwa mda mrefu bira kuchoka na mimi niliamua kuikata simu. Baada ya mda alipiga tena na niliipokea huku nikiwa na hasira. "Una matatizo gani!? mbona unapenda kunisumbua!?" nilimuuliza Alex. "Nilikuahidi Irene kuwa lazima mtaachana na huyo mzoa taka wako, kiko wapi Irene??? hahahahaha nilijua tu hawezi kuchomoka mbele ya mtaro" Alex aliongea na mimi nilianza kujumlisha matukio na moja kwa moja wazo nililopata ni huenda Suzi alitumwa na Alex kwa ajili ya kuja kuvunja mahusiano yangu na mzoa taka. "Umelizika sasa Alex sio!?" nilimuuliza baada ya kuutambua ukweli. "Bado mpaka ujute kwanini ulikuwa msaliti wakati wa ndoa yetu" Alex aliongea na mimi niliamua kumkatia simu. Licha ya kumkatia simu bado aliendelea kunitumia jumbe za kila aina akiniambia kuwa bado hajatosheka na mpaka nitajuta kumfahamu. Kiukweli nilikuwa sijui niwe upande gani kwa kipindi hicho kwani niliutambua ukweli kuwa mzoa taka aliingizwa kwenye mtego na yeye akaingia. "Lakini ata kama ulikuwa ni mtego kwanini Damian alikubali kunisaliti!?" niliongea mwenyewe huku nikiwa nawaza cha kufanya. Wiki mbili zilipita nikiwa naishi mwenyewe pamoja na mwanangu na mfanyakazi wangu wa ndani, siku hiyo nilipigiwa simu na dada yangu na aliniuliza kama nipo nyumbani na mimi nilimkubalia kuwa nipo nyumbani. sikujua alikuwa na lengo gani ila aliniambia atafika ndani ya mda mfupi hivyo niliamua kubaki nyumbani na kumsubiri. Dada alifika na ujuo wake ulinichanganya kwani alionekana ni mtu mwenye mawazo sana. "Dada kuna tatizo!?" nilimuuliza ili nipate kujua na dada aliniambia. "Ndio mdogo wangu kuna tatizo tena sio dogo" "Tatizo gani hilo!?" ilibidi nimuulize kwa mara nyingine na dada alianza kunielezea tatizo lililokuwa likimsibu. "Mdogo wangu mimi dada yako tayari nimeisha na Alex aliyekuwa mmeo ameamua kunimaliza kabisa" Dada aliongea huku machozi yakimlenga lenga na mimi mda huo nilikuwa bado sijamwelewa kile alichokuwa akimaanisha. Nilimuuliza kwa mara nyingine na dada alianza kunifafanulia kwa kunieleza ukweli kuwa ameshafanya mapenzi na Alex zaidi ya mara tatu na mara zote alikuwa akimwingilia nyuma ya maumbile au waswali wanasema kwa kumzibua mtaro na tayari alikuwa ni mwathirika na alidai kuwa Alex ndiye aliyemwambukiza. "Dada kwanini lakini na wewe ulikubali kumbinulia na yule mpuuzi!?" nilimuuliza Dada. "Niliingia kwenye mtego wake Irene sikuwa na njia nyingine ata mimi sikutarajia kama nitafanya nae mapenzi Alex japo alikuwa ni mmeo" Aliongea na mimi nilibaki nikimtia moyo kuwa wapo wengi tu wenye ugonjwa aliokuwa ameupata kwa wakati huo huku nikimsisitizia kuwa afate taratibu zote za utumiaji wa dawa ili maisha mengine yaendeleee. Baada ya maongezi ya mda mrefu Dada aliamua kuniuliza. "Irene mbona simuoni mzoa taka wako!?" Dada ilibidi aniulize baada ya kutokumuona Damian nyumbani kwangu. "Hayupo nimeshamtimua tayari na tumeachana mimi na yeye" niliongea mbele ya dada na hakuacha kuniuliza sababu ya sisi kuachana na mimi nilimwambia ni kwa sababu ya uchepukaji wake aliokuwa nao japo sikutaka kumwambia kama Alex ndiye chanzo na ndiye aliyetengeneza mipango ya kututenganisha mimi na Damian. Siku hiyo dada alishinda nyumba na siku iliyofata aliondoka na siku mbili zilipita tangu dada aondoke na siku hiyo nilipigiwa simu na mama hivyo ilinibidi niipokee. "Irene huyu mzoa taka wako bado upo nae mpaka sasa!?" mama aliniuliza. "Hapana sipo nae" nilimjibu baada ya yeye kuniuliza. "Hapo sawa maana ningeshangaa na umefanya la maana kuachana nae maana nimemuona huku akizoa taka" mama aliniambia na baada ya maongezi alikata simu. Kiukweli moyo wangu ulishituka baada ya kuambiwa kuwa Damian amerudi kwenye kazi yake ya zamani ya kuzoa taka kwa mara nyingine hasa ukizingatia ndiye mwanaume aliyekuwa akinilizisha vizuri kwenye mapenzi.........ITAENDELEA.

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

Baada ya mda kupita Damian alishindwa kusimamisha kwa mara ya kwanza kabisa mbele yangu tangu nimjue. "Unashida gani lakini!?" ilibidi nimuulize kwa mara nyingine maana sikuwahi kumuona akiwa kwenye hali ile. "Ni uchovu tu Irene ngoja tulale ila mda wowote ule nitakupa utamu, nisamehe kipenzi" Mzoa taka aliongea na kunibusu kwenye paji la uso na kugeukia upande mwingine wa kitanda chetu na kulala. Upande wangu sikuwa na usingizi kabisa japo nilikuwa na nyege mda huo ila nilijikuta nyege zote zikiisha kutokana na mawazo niliyokuwa nayo kwa wakati huo hasa ya Damian kushindwa kusimamisha mbele yangu. "Hapa lazima kuna kitu sio bure" nilijiwazia mwenyewe huku nikiwa na mpango wa kuanza kumfatilia mzoa taka. Sijui ata nililala sangapi ila nakumbuka nilikuja kuamka mida ya saa moja asubuhi na Damian alikuwa ameshaamka tayari tena alikuwa akijiandaa kwenda kwenye duka lake. "Damian mbona mapema sana leo!?" nilimuuliza maana haikuwa kawaida yake. "Kuna sehemu naenda kuchukua mzigo mara moja Irene ndiyo maana naondoka mapema" Damian aliongea huku akiendelea kujiandaa na baada ya kumaliza kujiandaa aliondoka na kuniacha mwenyewe kitandani. Niliangalia saa yangu nakutaka kuamka kwa ajili ya kujiandaa kwenda kazini ila nilikumbuka kuwa siku hiyo ilikuwa ni holyday hivyo haikuwa siku ya kazi. Nilipanga kuanza kumfatilia Mzoa taka ili nijue ni kitu gani kilichomfanya abadilike kiasi kile. Basi baada ya masaa kwenda nilijiandaa na mimi nilienda kwenye duka lake na bahati nzuri nilimkuta. "Irene mbona hujanijulisha kama utakuja!?" Mzoa taka aliniuliza. "Mmmmh, kwani mpaka nikujulisha Damian na wewe!?" ilibidi nimuulize na baadae tulikaa huku Damian akiwa bize kuchati na mtu na sikujua ni nani aliyekuwa akichati nae mda huo. Haikupita mda alikuja mwanamke mweupe mwenye makalio makubwa na matiti yaliyochongeka vizuri na mimi mwenyewe nilijisemea kama ningekuwa mwanaume basi ningeluka nae japo haikumaanisha kuwa nimuone Damian akiwa nae kwenye mahusiano. "Suzi karibu tupo" Damian aliongea huku akiwa na hofu kidogo. "Hapa ni kama kwangu nimekuja unitimizie swala langu chapu niondoke" mwanamke huyo aliyekuwa akiitwa Suzi aliongea na mimi nilibaki nikiwasikiliza maana nilikuwa sielewi chochote kile. Damian hakutaka kuona wakiendelea kuongea mbele yangu alimshika mkono ili amsogeze pembeni lakini Suzi hakutaka kwenda pembeni. "Unataka unipeleke wapi Damian!? au kisa kuna huyu malaya wako hapa ndiyo hutaki asikie maongezi yetu!?" Suzi aliongea akiniita mimi Malaya na mimi sikutaka kukubali kabisa kuona nikiitwa Malaya. "Wewe binti shika adabu yako mimi sio Malaya unasikia" niliongea huku nikimsogelea Suzi. "Eeeeh!!! babie, sijaja kuzozana hapa na watu wasiojielewa" Suzi aliongea na kumgeukia Damian. "Nipe changu faster nisepe sikukupa utamu wa bure bure tuliwekeana makubaliano kabisa kuwa nikikupa mbele na nyuma milion 2 zinasoma kwenye akaunti au umesahau kama uliniahidi!?" Suzi aliongea na alionekana ni mzoefu wa hizo kazi kwani hakuwa na aibu yoyote ile japo maongezi yao watu wengine walikuwa wakiyasikia ila yeye hakujali kuhusu hilo. Damian baada ya kuona kila kitu kimekuwa wazi aliamua kumvuta Suzi na kumpeleka pembeni huku mimi mda huo nikiwa siamini kama Damian ameweza kunisaliti na kutembea na Suzi. Sijui walikuwa wakijadili kitu gani ila mimi huku nilikuwa ni mwenye mawazo na hasira zilianza kunishika kutokana na kile nilichokisikia. Kwa hasira nilianza kuchukua baadhi ya vyombo vya udongo vilivyokuwa dukani na kuvivunja vunja na baadae Damian alisikia sauti ya vyombo kuvunjwa hivyo aliamua kuja haraka ili kunizuia. "Wewe Irene unafanya nini!?" Damian aliongea huku akijaribu kushika mikono. "Achia mikono yangu nakuambia haiwezekani mimi nikuhangaikie alafu wewe uende kufanya umalaya wako Damian" niliongea huku nikiwa ni mwenye hasira hasa baada ya kukumbuka kuwa ata pesa ya mtaji mimi ndiye niliyempatia. Upande wa Suzi nae aliamua kusogea mpaka sehemu sisi tulipokuwa na baadhi ya watu pia. "Irene emu tulia mke wangu nitakwambia kila kitu...... wewe utamwambia nini huyo hapa hamna siri tena ninachotaka unipe changu nakupa siku mbili tu nikija million 2 niikute hukunizibua bure bure" Suzi aliingilia maongezi yetu na baadae aliamua kuondoka huku akiacha baadhi ya watu wakimwangalia. Ilikuwa ni aibu kubwa hasa kwa upande wangu hivyo niliamua kuondoka na kurudi nyumbani na kwenye akilia yangu nilikuwa nimeshafanya maamuzi tayari zidi ya mzoa taka......ITAENDELEA. Unajua ni maamuzi gani niliyoamua kuyafanya? sehemu ijayo ina majibu zaidi.

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

Siku zilizidi kwenda nikiwa naendelea kuishi na mzoa taka na hakuwa tena kupatwa na tatizo la ukichaa. Siku moja nikiwa kazini Alex alinitumia ujumbe na kuniambia kuwa lazima atahakikisha kuwa mimi na Mzoa taka tunatengana na mimi kwa hasira niliamua kumpigia na bahati nzuri alipokea simu. "Ivi Alex unafikiri mimi natishika na maneno yako!?" Ilibidi nilimuulize. "Unajiamini sana Irene subiri utaona" Alex aliongea. "Basi sawa tuone kama utaweza kututenganisha" nilimjibu na baadae nilikata simu. Baada ya mda kwenda nilirudi nyumbani na Mzoa taka aliporudi nilimweleza kile alichoniambia Alex. "Kipenzi hayo ni maneno ya mkosaji tu wewe mwache asumbuke huko ila mimi huku kila siku naichapa na tunapeana mahaba kipenzi" Mzoa taka aliongea na mimi niliamua kumuuliza japo nilikuwa najua alichomaanisha. "Unaichapa nini!?" "Mmmmh Irene ina maana hujui ngoja nikuoneshe ni kitu gani ninachokichapa" Mzoa taka aliongea na kuanza kusogeza mkono wake kwenye nani yangu. "Basiiii nimeshaelewa Damian haina haja ya kuanza kunishika sasa ivi na kunipandisha nyege kipenzi sipo sawa kwa sasa" niliongea maana sikuwa na hamu ya kufanya mapenzi kwa wakati huo na nilimjua vizuri Damian kama angeshika futa langu basi ni lazima tungeanza kufanya sex. Mda huo ulipita na ilipofika usiku tuliamua kupeana utamu kama ilivyo kwa wanandoa wengi. Basi siku mbili zilipita na siku ya tatu nilianza kuona mabadiliko kutoka kwa Damian maana alikuwa hajiamini hasa anapokuwa karibu na mimi na mara kadhaa alikuwa akitoka nje kwa ajili ya kwenda kuongea na simu. Mwanzoni sikutaka kumfatilia  sana ila baada ya mda nilianza kupatwa na mashaka na kuhisi lazima kuna kitu kinachoendelea. "Mbona Damian kaanza kubadirika gafra ivi!?' niliongea mwenyewe huku nikiwa sielewi baada ya kuona mabadiriko kutoka kwake. Siku hiyo uvumilivu ulinishinda na kuamua kumuuliza. "Damian una matatizo gani?' "Kwanini umeniuliza hivyo Irene!?" alinijibu na mimi niliamua kuongea kile kilichokuwa kwenye moyo wangu. "Umebadilika sana siku hizi haupo kama zamani au ndiyo umenichoka" niliongea mbele ya mzoa taka. "Mimi Irene...!! haiwezi tokea kukuchoka wewe ata iweje, sema tu mambo yamekuwa mengi dukani na sasa ivi wateja wameongezeka ndiyo maana nakuwa bize sana na nikirudi nakuwa nimechoka" Damian aliongea na mimi niliamua kukubaliana nae. Siku kadhaa zilipita tangu nifanye nae maongezi kuhusu kubadirika kwake na siku hiyo usiku nilishangaa Damian kuchelewa kurudi nyumbani maana ilifika mpaka mida ya saa 5 usiku na mzoa taka alikuwa bado hajarudi. Ilibidi nimpigie na simu yake ilikuwa ikiita pasipo kupokelewa na baada ya dekika 30 kupita ikiwa inaelekea saa 6 usiku Damian alinipigia simu. "Hello Irene nilikuwa mpirani ndiyo nipo njiani nakuja sasa ivi" aliongea na kukata simu na mimi kuniacha kwenye mshangao huku nikiwa najiuliza tangu lini Damian akashabikia mpira sababu tangu niishi nae sikuwahi kumuona akienda kuangalia mpira ila niliamua kumsubiri. Na kweli baada ya mda kupita Damian alifika na hakutaka ata kunisogelea, moja kwa moja alielekea bafuni kuoga na nguo alizokuwa amezivaa alizichanganya kwenye nguo chafu ili iwe ngumu mimi kuziona. Baada ya mzoa taka kumaliza kuoga ilibidi nimuulize Damian kama kumtega. "Timu gani zilizokuwa zinacheza leo Damian!?" "Leo kulikuwa na mechi ya Tanzania na simba, na simba kashinda goli 3 kwa 1" Damian aliongea. Upande wangu japo nilikuwa sio mfatiliaji wa mpira ila nilibaki kwenye mshangao tangu lini Tanzania ikacheza na Simba?? nilihisi lazima kutakuwa na kitu kilichokuwa kikiendelea nyuma ya pazia. Sikutaka kuendelea kumuuliza sana Damian zaidi ya kumwambia. "Baby nataka" niliongea nikimaanisha kuwa nahitaji kukunwa mda huo. "Aya mke wangu" Damian alinijibu na kuanza kunipapasa kwa ajili ya kunipandisha hisia. Kiupande wangu hisia zilianza kupanda na nyege zilianza kunishika huku kisima changu kikianza kulainika na kuwa tayari kwa ajili ya kuliwa ila siku hiyo mambo yalikuwa tofauti kwa Damian kwani mtalimbo wake ulikuwa umelala yani haukutaka kusimama kabisa. "Dami una matatizo gani mbona haisimami!?" nilimuuliza maana haikuwa kawaida yake. "Itasimama tu Irene, wewe kuwa na subira" aliongea huku akiendelea kuingiza vidole vyake kwenye uchi wangu akinisugua. "Baby imetosha natakaaa.." ilibidi niongee sababu nilikuwa nimepandwa na hisia na nilihitaji kukunwa mda huo na sio kuingiziwa vidole ila tatizo lilikuwa kwa Damian ambae mpaka mda huo mhogo wake ulikuwa umelala tena ukiwa fofofooo.....ITAENDELEA.

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

Nilishangaa kumuona Mzoa taka akibadirika gafra na kuwa kichaa kwani alitoka nje akiwa hivyo hivyo uchi. "Wewe Damian" nilimwita lakini Damian hakutaka kunisikia. Nilihisi kuchanganyikiwa baada ya kumuona Mzoa taka ametoka nje akiwa uchi, haraka nilienda kuvaa dela langu nakutoka kwa ajili ya kumfatilia mzoa taka. Nilifika nje nakumuona Mzoa taka akikimbia huku akiwa uchi na baadhi ya watu waliokuwa wanamwangalia walianza kumcheka baada ya kuona mtalimbo wake. Ilibidi nianze kupiga kelele kwa ajili ya kutafta msaada na bahati nzuri kulikuwa na vijana waliomuona Mzoa taka nakuanza kumkimbiza nakufanikiwa kumshika. Damian aliletwa huku akiwa anachekacheka kama mtu aliyelukwa na akili. "Naombeni mnisaidie kumfunga kamba" niliongea na vijana walimfunga kamba mzoa taka na kumpeleka mpaka ndani kisha baada ya hapo waliondoka. Nilibaki njia panda huku nikiwa sijui cha kufanya na wazo nililolipata nikumtafta dada yangu nakumweleza kile kilichomtokea mzoa taka. Dada aliniahidi atakuja nyumbani mda sio mrefu na baada ya masaa kadhaa kupita alifika nakuingia mpaka ndani nakunikuta nikiwa mimi pamoja na mfanyakazi wangu aliyekuwa amembeba mtoto wangu. Alitaka nimpeleke mahali tulipomfungia Damian na kutokana na mawazo niliyokuwa nayo nilisahau mpaka kumvalisha nguo mzoa taka. Tulifika na Dada badala ya kuniambia cha kufanya alibaki akiwa anauangalia mtalimbo wa mzoa taka na baadae aliniambia. "Mdogo wangu kumbe ulikuwa unafaidi ivi!?" aliongea na mimi ilibidi nimuulize. "Kwanini dada!?" "Mua wa mme wako unaonekana mtamu balaa yani mpaka nimeutamu bure" dada aliongea. Nilimuona ni kama mtu aliyekumbwa na pepo la ngono nakujikuta akitamani kufanya mapenzi na mzoa taka. "Dada unaongea nini!! mimi nataka kumuona Damian akipona alafu wewe unaniambia habari za kuwa nafaidi?" niliongea huku nikiwa nimekasirika kidogo. "Basi yaishe mdogo wangu ila huyu inaoneka kalogwa" dada aliongea na mimi nilikubaliana nae sababu hali ya Damian ilibadirika gafra kipindi tunafanya mapenzi. Nilikubaliana nae na baadae alinishauri tukamwite mchungaji ili aje amwombee mzoa taka. Nilichukua kitenge na kwenda kumfunga Mzoa taka nikisaidizana na dada na baada ya kumfunga tulitoka kwa ajili ya kwenda kumtafta mchungaji. Tulielekezwa na moja kwa moja tulielekea kwa mchungaji na bahati nzuri tulimkuta akiwa na wanamaombi wenzake. Dada aliongea tatizo lililotufanya tukawa pale na bahati nzuri mchungaji alikubali kuongozana na sisi huku akifatana na wanamaombi wenzake mpaka nyumbani kwangu. Tulipofika walianza kumuombea mzoa na baada ya mda Damian alipona nakurudi kwenye hali yake ya kawaida huku akiniuliza kilichotokea mpaka yeye kuwa kwenye hali hiyo hasa baada ya kuwaona watu wamaombezi ndani ya nyumba yetu. Niliamua kumwambia ukweli kuwa alikuwa kichaa na mzoa taka alibaki akishangaa. "Mimi Irene nilikuwa kichaa!?" aliniuliza ili kupata uhakika na mimi nilimhakikisha kuwa alikuwa kichaa. Waombaji waliondoka nakutuacha sisi wenyewe ndani na Damian alishikwa na aibu na kwenda chumbani na mimi ilibidi nimfate kwa ajili ya kwenda kuongea nae. Nilimkuta Mzoa taka akiwa kakaa kitandani huku ameshika kichwa chake. "Irene ivi ilikuwaje mpaka nikawa kichaa maana nakumbuka nilikuwa juu ya kifua chako tunafanya mapenzi!?" Damian aliongea. "Hayo yameshapita Damia.... nilisita kuongea baada ya simu yangu kuita hivyo nilienda kuipokea na nilikutana na namba ngeni. Niliipokea mbele ya Damian mwenyewe na sauti ya mpigaji ilisikika kwenye masikio yangu ikiwa ni ya Alex aliyewahi kuwa mme wangu. "Irene ulifikiri nitakuacha kwa ujinga ulionifanyia wa kunidanganya kuwa mtoto ni wangu kumbe sio wangu!, mpaka ujute na huo ni mwanzo tu" aliongea na baadae alikata simu. Mimi na Damian tulibaki tukiwa tumeangaliana na moja kwa moja nilianza kuhisi huenda Alex ndiye aliyeamua kumloga Damian. "Nitamuonesha huyo mpuuzi" Damian aliongea ila upande wangu sikutaka kuona tukiendelea kuwa na visasi na Alex hivyo nilimshauri Mzoa taka aachane nae. Baadae alinielewa na alitaka tufanya mapenzi kwa wakati huo ila mimi nilimzuia. "Nitakupa utamu ila sio sasa ivi Dam!?" niliongea huku nikijianda kunyenyuka kwa ajili ya kwenda sebleni nilipomuacha Dada. "Subiri kwanza Irene nataka nione kama nitakuwa kichaa tena huoni nilibadirika na kuwa kichaa wakati tukiwa tunazagamuana...!" Damian aliongea na hakutaka kupoteza mda palepale alinilaza kitandani vizuri na mimi sikutaka kukataa zaidi ya kumwacha afanye kile alichothamilia. Alinivulisha dela nililokuwa nimevaa na tukaanza kuzagamuana. Tulitumia mda mrefu kufanya mapenzi na baadae tulimaliza pasipo Damian kubadirika na kuwa kwenye hali ya ukichaa. "Umelizika sasa Damian!?" nilimuuliza nimuone atajibu kitu gani. "Tena sana na jinsi ulivyomtamu basi sahau kabisa mimi kuwa mbali na wewe, ata kama ningekuwa kichaa bado ningekuwa nakuja kupata utamu wako Irene" Mzoa taka aliongea huku tukiendelea kushikana na mda huo nilisahau kama Dada yupo ndani ya nyumba yetu..........ITAENDELEA.

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

Mwenyekiti ilibidi awatulize na baadae tulikaa kikao na mtu wa kwanza kuongea alikuwa ni Alex. "Mwenyekiti waambie wanipe mwanangu mimi niondoke" "Huna mtoto hapa wewe ivi huelewi au!?' Mzoa taka aliongea kwa mara nyingine na mwenyekiti aliamua kuniuliza mimi ambae ni mama wa mtoto. "Binti emu tuambie ukweli ili tuwezi kulitatua hili baba wa mtoto hapa ni yupi kati ya hawa wawili...!?" Baada ya mwenyekiti kuniuliza sikutaka kumficha Alex na ukizingatia hakuwa mme wangu kwa wakati huo. "Baba wa mtoto ni Damian na sio huyu Mwenyekiti" niliongea nikiwa na maana kuwa Alex sio baba wa mtoto wangu. Baada ya mimi kuongea vile Alex aliondoka huku akiongea maneno ya kila aina na alidai tutamjua kuwa yeye ni nani na ata mwenyekiti alipomuita Alex hakutaka kurudi kabisa. Mzoa taka alimsogelea mwenyekiti na kumwambia. "Umemuona mwenyekiti huyo jamaa alivyomkolofi? siku ukisikia nimekufa ujue ni yeye au ukisikia nimekuwa kichaa ujue yeye kaniloga" Mzoa taka au Damian alimwambia mwenyekiti. Kutokana na mambo yaliyotokea mwenyekiti na yeye aliamua kuondoka na kutuacha wenyewe. Siku hiyo ata hamu ya kwenda kazini iliisha kabisa kwanza nilikuwa nimeshachelewa na ugomvi uliotokea ndiyo ulinifanya nisiwe na hamu ya kwenda. Ilinilazimu nipige simu na kuwaambia kuwa kuna msiba kwenye nyumba ya jirani hivyo sitoweza kwenda kazini. Bahati nzuri waliweza kukubali na kuniruhusu kutokwenda kazini. Baada ya mda mzoa taka aliondoka na kuniacha mwenyewe nyumbani. Masaa matano yalipopita mama yangu mzazi alinipigia simu na kuniuliza kama nipo kazini kwangu. Sikutaka kumdanganya nilimwambia ukweli kuwa siku hiyo sikwenda kazini na baada ya kumwambia mama alinitaka niende nyumbani haraka kwani alikuwa na maongezi na mimi. Sikujua tatizo nini ila niliamua kumtaarifu mzoa taka kuwa nahitajika nyumbani. "Irene nisubiri nije tuongozane wote" Damian aliongea na mimi ilibidi nimsubiri. Baada ya Damian kuniambia anataka tuongozane sikutaka kumkatalia japo nilijua nyumbani baba na mama bado hawajamkubali Mzoa taka kama mme wangu. Tuliondoka na kufika nyumbani nikiwa na Damian na mama alivyoniona nimekuja na Mzoa taka ndiyo alizidi kuchukia zaidi. "Kwani ilikuwa lazima uje nae huyo mzoa taka!?" Mama aliuliza huku Damian akiwa karibu. "Mama lakini huyu ni mme wangu mimi" nilimjibu maana penzi la mzoa taka lilikuwa limenikolea kweli kweli. "Irene kuanzia leo sitaki kukuona nyumbani kwangu, nenda ukaendelee na maisha yako na hutoona tena nakutafuta" mama aliongea bira kuniambia sababu iliyomfanya aweze kuniita. Kwakuwa hasira za mama yangu nilizijua niliamua kuondoka nikiwa na Damian. Tulifika nyumbani na kumpita house girl aliyekuwa amekaa na mtoto na moja kwa moja tulienda mpaka chumbani. Mzoa taka alinishika na kuniambia. "Irene mimi ata wasemeje ila siwezi kuachana na wewe mke wangu" Mzoa taka aliongea lakini mimi mda huo nilikuwa mbali kimawazo kwenye kichwa. Siku hiyo sikuwa na hamu ya kufanya mapenzi kutokana na mawazo niliyokuwa nayo ata kama Mzoa taka angeanza kupandisha hisia zangu nisingekubali kufanya nae mapenzi na kama angelazimisha basi nisingempa ushirikiano wowote na ningelala kitandani kama gogo na kumuacha mzoa taka ahangaike mwenyewe. Nikiwa na mawazo dada yangu aliweza kunipigia simu hivyo niliamua kuipokea ili nimsikilize. "Irene ndiyo umefanya nini na wewe!?" Dada aliongea na mimi sikuwa na cha kumjibu sababu nilijua lazima atakuwa amesha ambiwa kila kitu kilichotokea nyumbani. Dada alinisimulia kila kitu huku akiniambia kuwa Alex alipelekea malalamiko nyumbani ya  mimi kuzaa na mzoa taka kipindi tulichokuwa kwenye ndoa na ndiyo sababu iliyomfanya mama aniite na kutaka kufanya maongezi na mimi. hakukuwa na siri tena kwani tayari dada alikuwa ameshaujua ukweli ukweli. "Irene ina maana ulikolezwa na penzi la mzoa taka mpaka ukaamua kuzaa nae!?" Dada aliniuliza. "Nampenda Damian na ndiyo maana nipo nae pia sijutii kuzaa nae" nilimjibu na baada ya kumjibu dada alikata simu. Kwakuwa maongezi yetu alikuwa akiyasikia Damian alinifata na kunikumbatia. "Irene hakika nitazidi kukuonesha upendo ambayo hujawahi kuoneshwa kipenzi" Damian aliongea huku akizidi kunipapasa kwa kutumia mikono yake. "Damian leo sipo sawa kabisa sijisikii kufanya mapenzi" niliongea kwa kudeka maana nilijua mzoa taka alitaka tufanye sex. "Njia pekee ya kutuliza mawazo ni hii" Damian aliongea na kuendelea kunifanyia utundu. Sijui ata mawazo yalienda wapi kwani na mimi nilijikuta nikianza kumpa ushirikiano Damian na pale pale tulianza kufanya mapenzi. Tukiwa kwenye minyanduano nilishangaa kumuona Mzoa taka akijitoa kwenye mwili wangu na kuanza kukimbia chumbani kama mtu aliyechanganyikiwa huku akiongea maneno ya ajabu. "Nimepewa utamu utamu utamu utamu utamu utamu" Damian alirudia kutamka neno utamu zaidi ya mara kadhaa huku akiendelea kutembea chumbani na mtalimbo wake ukiwa unaning'inia. Nilishindwa kumwelewa kakumbwa na tatizo gani kwani ni mda mfupi tu alikuwa juu ya kifua changu akijipimia mwenyewe.....ITAENDELEA.

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

SIMLIZI: Ilipoishia 👇👇👇 Nilichukia nilipomuona mika ametoka nje niliamua kutoroka Nakuingia mjini mwanza bora nikafie mbele Nikiwa njiani nikamuoma baba uso kwa uso ***** Sikuwa na chaguo lingine zaidi ya kuanza kukimbia Mda huo ilikuwa ni majira ya saa sita mchana Huku na huku baba anakuja kwa kasi nyuma Huku akisema wewe jenn simama Tuyamalize lakini sikuweza kumuelewa Nilifika maeneo ya daraja la mabatini Hapo ilinilazimi nikatize barabara Maana baba alikuwa amenikaribia Nilifanikiwa kuvuka ile naruka mtalo tu nikasikia Kilio nakufaaa . Niligeuka kwa msutuko mkubwa .. masikini baba aligongwa na gari akafa palepale Daar mara watu walinigeuzia kesi Wewe binti kwanini huyu mzee alikuwa anakukimbiza Au wewe ni mwizi nilijaribu kujitetea lakini haikuwezekana nilichoamua nikukimbia tu Nilipandisha mlimani Sasa huku machozi yakinitoka Nikijiona nimwenye hatia . Moyo wangu unaugulia Mbele alijitogeza mkaka alinisaidia Akanificha getoni kwakwe . Karibu kuwa na amani uko salama Sijui unaitwa nani . Nilimjibu mimi naitwa jenn Oky Karibu jenn mimi ni mathayo Na hapa ni kwangu uwe huru wala usijali daaah Sikuwa na amani nilihisi tu kama huyu mkaka anataka anibake.. Aliniletea chakula jenn kula hiki chakula Nimekuandalia .. Nilijikaza nikala akawa anaongeresha Jenn mimi ni mathayo kijana wa matiga nimeokka nasali kwa nabii bg malisa Natamani nikusaidie ili upate msaada jumapili Twende wote kanisani .. Nilimkubalia tu . Huku nikiongea kimoyomoyo 🤔wewe ongea tu ila ujue huniambii mimi Ilipofika jioni saa mbili nilijiona niko vizuri Sasa nitoke kwa huyu mathayo Nikajitafutie msaada huko mbele Nilitoka nikaingia sasa mjini acha mitaa ikanichanganya Sielewi nianzie wapi . Usiku huo mara mvua ikawa inanyesha Nikajikuta uchochoroni Gafla nikasikia sauti tulia Moyo ulipiga paaaaaa Heeee nini tena Niligeuka kabla sijaona chochote vijana wawili waliamua kunibaka . Acha achaaaa shida duniani Nilihisi kama nimekuwa wakufa tu Kwani wale vijana sijui walikuwa wamekunywa dawa ya kuongeza nguvu wewe nilitombw@ Hadi kum@ikawa inawaka moto Nilichanika chanika Nilijaribu kuomba msaada lakini sikuona Waliponiachia nimechoka wee Nilianza kutembea kwa shida huku nikimkumbuka mama yangu Kuna wimbo alikuwa anapenda kuuimba 😭😭😭 %%niko haaaapa duniaaa nituweee nguvuuuu zimeniishiaaaa Kifoooo kifoooo kimeniita Nguvu yakukimbiaaaaa sina Moyo wangu uligua Nguo zote zimechanwa taiti yangu na sigeti Nikabaki na blauz tu ITAENDELEA 9 SIMLIZI HII INAENDELEA KARIBU KAMA UMEIPENDA TOA MAONI YAKO Usisahauli kushare na ku 👍 na comment

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

Alishuka kwenye kuma na kuchezea kusimi kwa kutumia vidole vyake utadhani alikuwa akipiga kinanda. Alimchapa makofi ya matako na kufanya yatikisike. Bolo la Hilali lilikuwa mpaka likichurizisha matone ya kilainishi, alilishikilia akiwa amesimama kisha akalilaza katikati ya matako makubwa ya Muna, aliusafisha msamba akianzia juu ya mkundu akiupitia mkundu wenyewe mpaka kwenye kuma, ilikuwa ni pandisha shusha akitishia kuchomeka kwenye mkundu, “Aaashiii…bebi nifire mkundu unawasha..aaasssssss…” alilalamika Muna pale kichwa cha bolo kilipotishia kuingia kwenye mkundu wake. Muna alianza kukatika mauno wakati bolo la Hilali likifanya safari msambani hapo ya kupandisha juu na kushusha chini.Aliubembeleza mkundu mpaka ukafunguka taratibu,  “Mpenzi wangu leo nina nyege za mkundu, naomba unifire mpaka nikojoe,” “Usijali mke wangu, una mkundu mtamu sana, nitakufira mpaka ukojoe,” walijibizana huku kichwa cha bolo la Hilali kikiwa kimeshazama mkunduni, alikandamiza kwa kubemebeleza mpaka bolo likazama lote. Alishakuwa mzoefu Muna wa kufirwa, halikuwa jambo alilolihofia, alishaingia ulimwengu wa mlango wa nyuma. “Oooh Yesssss, bolo linanifira, linanikuna vizuri mkundu wangu, mwanaume utaniua wewe, hicho kisimi jamani! Uwii! Unaninyegesha zaidi mpenzi wangu nakupenda wee mwanaume,” “Una matako mazuri sana, niongeze kasi ya kukuchezea kisimi mke wangu?” “Ongeza babaa, zamisha bolo lote mkunduni mpenzi nifire kwa nguvu vile upendavyo, nimemisi bao la mkundu, ole wako umwage nje,” “Nitakumwagia ndani mke wangu, mkundu wako unabana hadi raha,” “Kwa ajili yako, mkundu kwa ajili yako mume wangu, nifire vile utakavyo, yeees….yesssssss….yeeeeesssssss….hapo! hapo bebi fira sasaaa yereuwiiiiiii…aaaaaah…” alizidi kulalamika Muna pale alipoanza kukatikiwa mauno na Hilali huku kasi ikiongezeka, bado kisimi chake kiliendelea kutekenywa na vidole. “Hayo mauno, bebi unanikuna vizuri mkundu wangu, nikikukuta unamfira mwanamke mwingine nitakuua, najutia kwanini sikukup amkundu muda mrefu, tamu sana jamani, ongeza kasi nakaribi kukojoa,” aliposikia hivyo Hilali aliacha kumchezea kisimi kisha akamshika kiuno, alipandisha mguu mmoja juu ya kochi kisha akaanza kumfira kwa kasi, jinsi mkundu ulivyong’ang’ania bolo la Hilali utadhani mfupa kwenye nyama. Yale matako yalikuwa yakitikisika jinsi alivyokuwa akikitwa. “Aaaasssss….bebiiiiiii…nakojoaaaa….nakojoaaaa mpenzi wangu….kumanina mkojooooo…aaaah kumamamamake….” Alitukana kabisa Muna kisha akakojoa, alipokojoa aliangukia hapo kochini kama tembo aliyepigwa risasi

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

( shida ya maji shikamoo) __________________________ 👉 Nashangaa ananilamba machozi yale uku ananikuna kuna kichwa ananibembeleza jamani...👇 Nasikia raha nikawa nimetulia akaniambia) " Umekula? " Sijala bado. " Basi subili ule my. ( Aliniweka kwenye sofa taratibu kweli nimekaa namuwaza yeye mbona uyu anajua kujali kuliko mume wangu...alitoka nje kumbe kaenda kuninunulia wali kwa mama ntilie na kuku nusu akaniletea na juice...kweli nilikula uku ananiambia) " Usilie nyamaza. " Sawa. " Niambie kisa nini mpaka amekupiga? ( Nikamwadisia mwanzo mwisho akaniambia) " Uyo kakufukuza ila ukilala nje ni tatizo kubwa zaidi nakupenda na sitaki upate tatizo naomba urudi akakufukuze tena katoe taarifa kwa mjumbe mdanganye mjumbe unaenda kulala kwa shoga yako alafu ndio uje ulale uku Sawa. " Sawa. ( Nilikuwa nimeshiba nikaondoka kweli uku nasema kumbe kuna vijana sio wahuni Angekuwa mwengine ndio angeona nafasi ya kunila...nikaenda nikagonga mlango mume wangu ataki kufungua tena ananiambia) " Sifungui sitaki kukuua. ( Nikatoka nikaenda kwa mjumbe kumwambia yanayoendelea mjumbe akanichukua mpaka kwa mume wangu mjumbe ni mama mtu mzima) " Hodi hodi hodi. " Karibu. ( Alifungua mlango akaniona mimi na mjumbe akafunga) " Mama kama upo na uyo wewe nenda tu kanikera sana alali humu. ( Mjumbe akaninong'oneza) " Mumeo ni chizi kidogo au? " Sijui. " Muwe mnafatilia istoliya za makuzi za waume zenu uyu chizi kidogo. " Sijui. " Wapigie ndugu zake. " Simu ipo humo ndani. " Aya tunafanyaje sasa na mimi kwangu pale kuna ugeni utaenda kulala wapi? " Nitaenda kulala kwa shoga yangu. ( Tunaongea sauti ya chini kabisa...mjumbe akapaza sauti sasa anamwambia mume wangu) " Naondoka na mkeo ila unachofanya sio kizuri. " Wewe nenda nae tu. ( Tulitoka na mjumbe yule uku nawaza au kweli mume wangu chizi sasa kwa kosa lipi aswa hapa...njiani mjumbe ananiambia) " Asubuhi sana uje twende tena kama ataki ukae pale akupe simu ufanye mawasiliano na ndugu zake Sawa. " Sawa. " Yani mumeo nimeshindwa kumpatia jibu kama vile maji yanavyotuzingua na yeye anakuzingua wewe. " Acha tu mjumbe. " Sasa unaenda kulala kwa shoga yako mala usiku maji yanatoka unakuwa unamsaidia shoga yako kujaza maji uku kwako maji auna na wauza maji wanatukomesha dumu 1000. " Yani maji ndio tatizo kubwa ila yataisha tu mvua zinakaribia. " Sawa basi nenda ila ndio uwai kuamka mwanangu. " Sawa. ( Niliondoka uku najua kabisa Leo siwezi kuachwa salama nilale na mwanaume mpaka asubuhi aniache ivi ivi ila kama atataka nitamuomba atumie kinga maana naweza kunasa mimba mambo yakawa mengi...natembea uku naongea mwenyewe...mpaka kwa kaka muuza maji akanifungulia mlango Nikaingia...Nilikaa kwenye kiti yeye yupo kitandani namwadisia yaliyojili akaniambia) " Ngoja nitege alarms saa 11 alfajiri nikuamshe ywende kwa mjumbe. " Sawa. " Sasa njoo ulale kitandani my. " Mimi nitalala hapa hapa kwenye sofa. " sofa sio kitanda njoo ulale kitandani my. " Mimi nitalala kwa Leo si nina shida. ( Akashuka kitandani akaja kunishika mkono ananipeleka kitandani) " My kwanini ulale kwenye sofa na upo kwa mpenzi wako ninayekupenda. " Mimi naogopa kulala kitandani. " Unaogopa nini? ( Uku ananibeba ananiweka kitandani sijawai kubebwa na mume wangu kupandishwa kitandani naisi uyu kaka ni fundi alinishusha taratibu kitandani nikawa nishalala kitandani ananiambia) " Umezoea kulala na taa au niizime. ( Sijui nini kimenikuta najikuta nimeropoka) " Izime. ( Kaka muuza maji akaenda kuzima taa kukawa na giza akawasha redio mziki laini alafu sasa anakuja kitandani nawaza hapa naliwa Leo alivyopanda akaniwekea mkono kwenye kiuno ananiambia) " Naomba unipende sitakuumiza na sitotaka ulie tena wewe ni mrembo sana nakupenda sana. ( Mkono wake autulii kwenye kiuno pale namuuliza) " Wewe auna demu? " Sina. " Unaniongopea. " Kweli sina demu ona nimekushika tu nimechafua boxsa. ( Akashika mkono wangu akaupeleka kwenye nanii yake kweli ametoa mbegu nanii ya moto ananiambia) " Naomba niwe free kwenye mwili wako my. ( Nikubali au nikatae najiuliza hapa Dah yani) ITAENDELEA

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

SIMULIZI : 🏵️🏵️🏵️🏵️🏵️🏵️🏵️🏵️🏵️🏵️🏵️🏵️🏵️🏵️ 🍂🍂🍂🍂🍂🍂🍂🍂🍂🍂🍂🍂🍂🍂 SEHEMU 01 MWANZO........ Kitendo cha kutoka tu ndani kwangu nilistaajabu baada ya kumuona mchumba angu ambaye tayari alikuwa ashanichumbia amemshika binafu yangu kiuno huku akimuangalia kwa wasiwasi kidogo. Binamu alikuwa wa mwanza kuniona hakuonyesha kustuka wala nini badala yake aliachia tabasamu alagu alimgeukia mchumba angu. Nilisikia akizungumza. Naomba uniwaishe hospitali tumbo linaniuma sana, nilimwambia Nice lakini hakujali, napoelekea naweza kuzimia. Binamu alimwambia mchumba angu Sony huku akizidi kujilegeza na kujifanya mwenye maumivu. "Huyu mtoto mbona ameanza kunifanyia drama, ananitafutia nini mimi?, nilijiuliza mwenyewe huku nikiwa nawaangalia na mpaka muda huo Sony hakuwa amenioan. Sony alifika hapo nyumbani kwangu kwa lengo la kunitoa out ila safari iliingia doa. Nilimuona Sony anambeba binamu Manka kabda ya kumuingiza kwenye gari nilizungumza ndipo Sony alijua kuwa nipo eneo hilo. "Kuna nini kinaendelea?". " Nice huyu ni ndugu yako tena mdogo wako huyu kwanini hujali kuhusu yeye. Hivi unaweza kweli ukamtelekeza mwenzio ndani kwemye hali hii kisa tu unataka kutoka out na mimi?" Sony aliongea kwa paniki. "Sina taarifa za yeye kuumwa. Eti Manka unaumwa nini?" Nilimuuliza Manka ila hakujibu alizidisha kuugulia. Sony alimpakia Manka mwenye gari alishika usukani hao wakaondoka. Sikuwa na nguvu za kuludi tena ndani. Nilikaa hapo kibarazani nawaza na kuwazua kwanini Manka amebadilika namna hii.... Baada ya kukaa muda mrefu pale nje ya nyumba yangu niliingia ndani, nilibadili ngua nikavaa penzi na tisheti. Niliingia jikoni kwaajili ya kuandaa chakula kwaajili ya walioenda hospitali ila kabda sijaanza kupika simu yangu ilianza kuita. "Mama anajisikia vibaya, amenikataza nisikwambie ila naogopa asije akazidiwa zaidi, kama hutojali naomba uje" Sauti ya mdogo wangu Joleen ilisikika simuni. Sikuwa na chakujiandaa tena nilitoka chap kama nilivyo safari kwenda nyumbani kwetu. Mama yangu alikuwa anasumbuliwa sana na presha haitaji mawazo kabisa. Alinishangaa baads ya kuniona hapo, alijua moja kwa moja Joleen amenipa taarifa. "Naomba nikupeleke hospitali" "Nipo sawa haikuwa na haja ya wewe kusumbuka namna hii. Joleen ni mtoto mpu bavu sana. Nikimwambia tu najisikia vibaya ataanza kusumbuwa watu, hapa navyokwambia kampigia mpaka baba yenu huko nje ya nchi". " Anakupenda sana na ndo maana anajali kuhusu wewe. Jiandae basi nikupeleke hospitali " "Nipo sawa kwa sasa wala usijali nadhani nilimiss uwepo wako karibu yangu ndo maana nilikuwa hovyo" "Jamani mamaa!" "Ondoa shaka mwanangu. Vipi mkwe hajambo?" Mama aliniuliza nilikaa kimya kwa sekunde kadhaaa........ITAENDELEA......... SIMULIZI : BINAMU WEWE UNGEWEZA? SEHEMU 02 ENDELEA...... "Hajambo kabisa" "Na mipango mengine si inaenda vizuri?" "Kabisa mama, tegemeeni mambo mazuri hivi karibuni" "Hata mimi naona Japo unanificha mama yako kwa jambo kubwa kama hili labda unasubili mpaka tumbo lionekane ndo uniambie kama ni mjamzito" Mama aliongea hayo mie huyo nisiangue kicheko. "Mama bhana umeanza mambo yako. Tangu lini nikakuficha mambo yangu na wewe ndo msiri wangu" "Sasa mbona hili umenificha ndo maana nasema labda unasubiri tumbo likuwe" "Ndo kwamba unamaanisha mimi huyu ni mjamzito?, mama bhana" "Una kichaa wewe?, hujui kama una mimba au unanizuga mbwa wewe. Mtu mzima dawa popote anapokuwa mimi nimekuzaa wewe na ndo wa kwanza kuona jua unanificha mimba jinga kabisa wewe" Nilifikiria kwa dakika chache huku nikipiga mahesabu kwenye kichwa changu. "Inaweza kuwa kweli mbona sijaingia kwenye siku zangu karibia miezi miwili" niliongea hayo kwa sauti. "Yaani Nice na utuuzima huo hujui hata dalili za mimba?" "Mama nina tabia ya kupitiliza siku zangu ni ngumu kujua mapema kama nina mimba". Nilijitetee ila ni uongo mtupu. Hata sikuamini kama ni kweli ni mjamzito. Majira ya jioni niliondoka nyumbani nilitaka nihakikishe kama kweli nina mimba. Moja kwa moja nilienda hospitali. Nafika tu hospitali kwa mbali niliwaona Manka na Sony wanaelekea parking huku Sony akiwa amemshika Manka kwa uangalifu sana. Wivu wa mapenzi ulinikaba haswaaa! Niliendelea kuwatazama mpaka walipoondoka eneo hilo na wao wala hawakuniona. Nilienda kuonana na doctor alinifanyia vipimo ni kweli nilikuwa mjamzito tena wa miezi miwili. Nilifurahi sana maana ni matamanio yetu mimi na Sony kupata mtoto hasa Sony alikuwa na hamu sana ya kuitwa baba. Niliondoka hospitali kwa mbwembwe zote. Nilijua muda huo Sony atakuwa nyumbani kwangu tu. Maana hawezi kuondoka akamuacha mgonjwa peke yake. Nilifika nyumbani ile naingia ndani nikamkuta Manka amekaa kwemye sofa alafu miguu kainyoosha mezani. Mkononi kwake ana kipande cha rimao. "Unaendeleaje?" Nilimuuliza kiroho safi. "Salama" Alinijibu kwa mkato tu. Sikutaka kumjali sana tena nina furaha zangu mwenyewe nilamuuliza kuhusu Sony. "Ni muhimu kuliko mimi binamu yako?, Ok yupo jikoni ananiandalia supu" Sikutaka mambo yawe mengi nilielekea jikoni moja kwa moja. Ni kweli nilimkuta Sony anaandaa supu. Nilimkumbatia nyuma ya mgongo kwa mahaba kama yote ila niliishiwa pawa kwa maneno aliyonitamkia. Wacha nilie kwanza 😭😭😭😭😭😭😭....... Je nini kitaendelea Pata mwendelezo

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

👉 Naomba mwanangu simu yako...👇 ( Nikawa nampa bahati nzuri simu yake ikapiga akapokea kabla ajachukua yangu namsikia anaongea) " Yani kwanini unanichanganya upokei simu yangu nilikuwa nachukua simu nyengine nikupigie hapa. " Samahani nilikuwa road kubwa naendesha pikipiki ndio maana sikupokea simu. " Njoo nyumbani. " My Samahani najua nitakukwaza naomba kama game tucheze gest japo nakuwa nacheza chini ya kiwango. " Upo wapi nije. " Nitumie pesa niende kuchukua gest alafu nitakwambia nipo gest gani. " Sawa. ( Mama mkwe akaondoka ananiambia) " Funga mlango. ( Mimi nafunga mlango naona penzi la kijana limemdatisha mama mkwe....nikatulia zangu ndani tuli nawaza Kesho kununua kiwanja kimya kimya nikatafuta madalali wa ukweli mtandaoni nikawapata nikawa na mashaka nao nikamtafuta boss kwenzi bingwa wa kuuza viwanja kwa uhakika nikampata...nikajua kesho naamkia ofisini kwake...basi nikalala usingizi autoki nikaona niingie kurasa za jogoo poll nisome nisome niongeze maarifa kichwani kweli nikawa nasoma) " WADADA MNAPASWA KUTAMBUA na Unapaswa Kuiweka Kichani Na Gongea Na Misumali Kabisa Ili Isije Ikatoka Maana Ni Siraha Yako Kubwa Sana Kwa Haya Maisha Ya Sasa Kama Utaelewa Na Kuiweka Kichwani Basi Hakuna Cha Kukuangusha Kwenye Mahusiano. Dada Unapaswa Kutambua Kuwa "Mwanaume Hutafuta Mwanamke Kwa Sababu Kuu Mbili, Lakini Sababu Hizo Mbili Hazitoshi Kumfanya Akuoe Hata Kidogo Mwanaume Hutafuta Mwanamke Kwa Ajilia Ya 1. UPENDO 2. SEX Lakini Sababu Kubwa Itakayomfanya Mwanaume Akuoe Sio Sex Wala Upendo Bali Ni "Uwezo Wako Wa Kumfanya Awe Na Amani" Bado Hujaelewa Mwanaume Anaweza Akakupenda Lakini Asikuoe. Mwanaume Anaweza Akawa Anafanya Mapenzi Na Wewe Hata Mara 5 Kwa Wiki, Mwaka Mzima, Pengine Hadi Akakuzalisha Na Mtoto Lakini Asikuoe. Na Akaja Akaoa Mwanamke Ambae Amekutana Nae Miezi Miwili Iliopita. Unafikiri Ni Nini Sababu Na Ni Kwanini Alikuacha Na Kwenda Kuoa Mwengine, Sababu Ipo Wala Usidhani Ni Umalaya Wake!!!!! Sababu Ni Kwamba Alie Muoa Ameona Ndio Mwanamke Sahihi Anaeweza Kumpa Furaha Na Amani Katika Ndoa Kuliko Hata Wewe. Huwa Nasema Na Huwa Narudia Rudia Sana Kuwa, Mwanamke Na Mwanaume Linapokuja Suala La Mahusiano Wako Tofauti Kabisa. Wanaume Hufikiria Vitu Vikubwa Na Vingi Sana Kabla Ya Kuoa Na Sio Kuoa Tu Kwa Mihemko. Hutafuta Mke Bora Atakaeweza Kuitunza Nyumba Na Kumuheshimisha Mwanaume, Hutafuta Mama Bora Wa Watoto, Hutafuta Msaidizi Bora Wa Familia Watakao Ianzisha. Wanahitaji Mwanamke Wa Kuwapa Furaha Na Amani Ya Moyo, Na Hukwepa Wanawake Wanao Wakosesha Amani Na Kuwasababishia Kero Maishani Mwao. Na Hii Ndio Sababu Mwanaume Anaweza Kukaa Na Mwanamke Hata Kwa Miaka Miwili Lakini Asimuoe Na Akaja Kuoa Mwanamke Mwengine Kabisa. Na Alie Olewa Kwa Kumuongalia Unaweza Ukaona Umemzidi Kila Kitu, Ila Ukweli Ni Kwamba Unajidanganya, Hujamzidi Hata Kidogo. Yeye Ndio Amekuzidi Na Ndio Maana Ameolewa, Unaapaswa Kujielewa Na Kubadilika Kutengeneza Thamani Yako Kwa Mwanaume. 🚶🚶.......Nimemaliza jogoo poll hapa namba yangu 0657774735" ( Nilicheka mwenyewe ila maneno mazuri sana aya ukizingatia lakini nikapata usingizi...asubuhi sana nikaenda kwa boss kwenzi na kweli nilinunua kiwanja kibaha uko nililipa pesa yote alafu nikarudi nyumbani uku nawaza kumdanganya mama mkwe bahati nzuri narudi ajarudi...nakaa nusu saa ndio kaletwa na pikipiki...akashuka moja kwa moja kaenda chumbani kujipulizia na feni kwenye kuma...nikasema kimoyoni sasa hii ni starehe au mateso...nikajiongeza mama mkwe hana utelezi wa kutosha kuma yake inakauka kwa haraka itakuwa ndio maana anachunika akisuguliwa sana...basi siku mbili tatu zikapita...mama mkwe akasafili akaenda kwao kuna tatizo kidogo....alafu uku baba mkwe karudi uwanja ukawa wetu kanimisi nimemmisi ila mimi nimemisi na pesa nianze ujenzi kabisa...baba mkwe akaniambia) " Aina aja kwenda hotelini wakati nyumba IPO kizuizi akipo si utanipa humu humu au? " Wewe tu baba. " Najua ujashika pesa Muda mrefu mikono yako imekaa kinyonge Shika pesa kwanza my. ( Yani baba mkwe anajua kwenye uzia kutupia rupia hapa akanifurahisha amenipa pesa na mimi nazihesabu na yeye ananivua nguo zangu taratibu jamani wala sina iyana akaniuliza) " Chupi Nivue au utavua mwenyewe my? ITAENDELEA

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

ENDELEA....... "Acha kushangaa nina uhakika nilipokuwa na miaka saba 8 tulikutana kwenye hekalu la Watawa. Hiyo siku ulikuwa umevalia nguo nyeupe....sijui lengo lako lilikuwa ni nini lakini ulifanikiwa kuiba sadaka zilizokuwa zimewekwa kwenye kapu" Mfalme aliongea na kunifanya ni kumbuke, nikiwa na miaka 12 nilifanya hili tukio kwenye hekalu la Watawa. "Kwahiyo Mimi na kuzidi miaka 4 🙄 ni aibu kuzungumza mbele za watu. Kamwe usije kuongea kuhusu Uzee wangu" Niliongea...... "Miaka minne siyo kitu, umebarikiwa mwili mzuri kuliko watu wote wote niliowahi kuwaona....utachelewa kuzeeka" Mfalme aliongea...... Basi tuliendelea kupiga stori za hapa na pale. Mida ya jioni ilipowadia tulirudi Ikulu..... "Nimekusubiria kwa muda mrefu sana " Malkia Shamsa aliongea baada ya kufika malangoni kwangu. "Unalipi la kuniambia?" Nilimuuliza "Nimekupokea kama mke mwenza, kuanzia sasa na kuendelea naomba tuishi kwa upendo " "Kwanini umebadilika ghafla namna hii ni kitu gani kimetokea?" "Sheria zetu zinasema Mfalme ana haki ya kuoa Wanawake zaidi ya 100 kama nitamuonea wivu nitakuwa navunja sheria " Malkia Shamsa aliongea. Mmmh maneno yake hayakuniingia akilini hata kidogo....huyu si mtu wa kubadilika kirahisi namna hii. Baada ya kuondoka tu nilimtuma Kijakazi wangu akachunguze "Mfalme katoa onyo kwake na kwa Malkia Ada, endapo wataendelea kukuletea shida wewe basi atawafukuza mahali hapa. Nadhani hii ndio imewatisha " Kijakazi wangu aliongea. Nilijikuta ni kitabasamu kuona Mfalme anajali kuhusu mimi. Basi Malkia Shamsa pamoja na Ada walikuwa wanashindana kuja kunisalimia na kuniletea zawadi. Kuna baadhi ya zawadi zilikuwa zimewekwa sumu lakini nilifunika kombe mwana haramu apite kwani kama ningesema nizungumze kwa Mfalme basi wangekuwa kwenye hatari kubwa. Hatimaye siku ya kujifungua iliwadia. Uchungu ulinipelekesha siku tatu mfulilizo. "Nimesikia fununu Malkia Ada na Shamsa wapo wanafanya uchawi usitoke salama leba " Kijakazi wangu aliniletea maneno. Hii ilinipa nguvu ya kujipambania, kama utani hivi lakini hatimaye nilifanikiwa kujifungua mtoto wa kike Kama ningeleta mtoto wa kiume basi ningeheshimika zaidi. Lakini pamoja na yote Mfalme hakuacha kunipenda. Binti yangu Shaa alikuwa mwerevu kuliko hata Mwana wa Mfalme Ivan. Watu wote wa Ufalme walitokea kumpenda sana. Hata Malkia Shamsa pamoja na Ada walimpenda. Baba yangu alijisalimisha kwa Mfalme kwa kuomba nafasi ya kuwa Mwalimu wa Shaa pamoja na Ivan. Nilielewa lengo lake ni kuleta usawa.... halooo sikuwahi kufikiria kama Baba yangu ni Mwalimu mzuri namna hii. Ivan alianza kuimarika pia, hii ilimpa nguvu Malkia Shamsa pamoja na Ada na hata wakaondoa unafiki waliokuwa nao juu yangu. "Unajua Kwanini sijawahi kukupatia mafundisho ya aina yoyote ile?" Baba yangu aliniuliza asubuhi moja baada ya kumaliza kutoa masomo kwa Watoto Mfalme. "Sijui...." "Una maamuzi magumu kama Mwanaume, endapo tu ungepata elimu yangu hata kidogo ungelisumbua hili Taifa na sina uhakika kama ingeishi maisha materefu " Niliachia tabasamu kwa maneno yake, na hata nilimshukuru kwa kujali kuhusu Mimi. Niendelee kupendana na Mfalme, upendo wetu ulikuwa hauchuji hata kidogo....vijembe vya chini chini vilikuepo lakini havikunitisha............ Ahsanteni kwa kusoma kisa changu, kama utani hivi eeeh ila naitwa Malkia mdogo Sadia🥰🥰🥰. ................MWISHO............ UBARIKIWE WOTE MLIONISHIKA MKONO KUPITIA SIMULIZI YANGU HII. MUNGU BABA AZIDI KUWABARIKI SANA SANAAAAA. ITOSHE KUSEMA NAWAPENDA🫶🫶🫶🙏.

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

ENDELEA........ "Naomba aingie kwanza Malkia mdogo Sadia" Sauti ya Mfalme ilisikika. Nilimgeukia Malkia Shamsa nikiwa nimejaa tabasamu. "Nenda wewe, unaonekana kuwa na shida sana ya kuzungumza na Mfalme... Mimi nitakuja kesho " Niliongea kisha ni katega mgongo nisepe. Lakini Malkia Shamsa alinidaka mkono. "Pamoja na yote lakini Mimi ndio Mke wake wa kwanza wa Mfalme. Naheshimika pande zote za hii Nchi" Malkia Shamsa aliongea. "Unaweza kuwa una heshimika lakini ukapoteza nafasi ya kusikilizwa, wewe hapo tayari ushapoteza nafasi ya kusikilizwa " Niliongea kisha ni kaendelea na safari yangu. Nilielekea malangoni kwa Mtabiri Mkuu, nilimkuta akifanya ibaada. Sikutaka kumsumbua nilikaa pembeni yake nikawa nafanya ibaada pia. "Umekuja kwa wakati sahihi " Mtabiri Mkuu aliongea kisha akakaa pia. Nilitega masikio kusikia ni kitu gani anataka kuzungumza na Mimi. "Huko nje Raia wana changamoto sana, kuliko ushinde malangoni ukirushiana maneno na Malkia Shamsa au Malkia Ada itapendeza kama utatoka nje kusikiliza watu wako " "Watu wangu?" "Ndiyo, huenda ulikuwa hujui lakini Raia wa Taifa hili ni watu wako " "Sawa, ingawa sijawahi kujifunza mambo ya siasa lakini nitajitahidi kadri ya uwezo wangu " "Kusikiliza watu hakuna tofauti na unavyo sikiliza matatizo ya watu wa familia yako au marafiki zako. Mbinu ni zile zile" "Kwanini umenichagua Mimi na si Malkia Shamsa" "Miungu ndio imekuchagua na siyo Mimi. Kazi yangu ni kufuatisha kile miungu wanataka" Nilifurahishwa na maongezi yake, kulivyo pambazuka asubuhi niliondoka pamoja na Vijakazi wangu na Askari ishirini kwa ajili ya usalama. Haikuwa ngumu kama nilivyo fikiria. Nilizungumza na watu wangu kama navyoongeaga na watu wa familia yangu. Nikiwa katika kuhojiana nao nilishtuka baada ya kumuona Mfalme akiwa kavaa nguo za Kiraia. Alionekana kufurahia namna navyo endesha mambo. Baada ya ziara yangu kuisha Mimi na yeye tulielekea Ikulu ndogo iliyokuwa pembeni kidogo ya Mji. "Nina ujauzito wako " Niliongea. Mfalme alinikumbatia kwa mahaba yote. "Mimi na wewe tumewahi kuonana tulipokuwa watoto " Mfalme aliongea na hata ni kashangaa tumewahi kuonana wapi....... ITAENDELEA..........

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

ENDELEA...... "Mke mwenza .....umesahau wadhifa wangu hata uniite mke mwenza" Malkia Shamsa alionesha hasira zake waziwazi. "Furaha tu ndio imenifanya ni zungumze hivi, nakuomba unisamehe sana " Daktari alijitetea. "Ni dharau, si wewe pekee yako tu...kuna watu sasa hivi nikipita mbele yao wananicheka kimtindo siku ya kesho kutakuwa na msako mkali juu ya watu hao. Sitakuwa na huruma na mtu yoyote yule.... hongera kwa ujauzito. Na hii ni zawadi yako " Malkia Shamsa alizungumza huku akinisogezea boksi . Nilimpa ishara Kijakazi wangu alifungue tuone kilichomo. Moyo wangu ulishtuka baada ya kukutana na panya waliokatwa katwa vipande. "Hivi ndivyo itakuwa endapo utajitia kichwa ngumu, hivi ndivyo itakuwa endapo utajifanya unaijua Ikulu vyema kuliko hata Mimi uliyenikuta " Malkia Shamsa aliongea kisha akaondoka. Si nilijikaza kupiga kelele lakini baada ya kuondoka kwake nilipiga kelele za kuogopa, hata Daktari alipiga kelele pia. "Mnasubiri nini kutoa hilo boksi la panya " Nilifoka.... Vijakazi walikimbizana kama panya kutoa boksi. Sikuamini kama Mimi pia naheshimika... "Ni muda wa Mimi kuvimba, ni lazima ni wavimbie pia. Ni lazima ni heshimike " Nilijisemea ndani ya moyo wangu kisha ni kapanda kitandani kupumzika kwanza. Usingizi ulikuja basi, nilihitaji kuizungukia Ikulu yote nikiwa na Vijakazi wangu. Askari walikuwa wanapita huku na kule kuwakamata watu wanaomchukulia poa Malkia Shamsa. Mmmmh nilishtukia tu wamenifikia pia eti nipo chini ya Ulinzi. "Naweza kujua kosa langu ni lipi " Niliuliza. "Wewe pia ni miongoni mwa watu wanao muangalia Malkia Shamsa kwa kumkadiria na ndio sababu tupo hapa kukukamata " Nilijikuta ni kiachia tabasamu kwa mashtaka nayopatiwa. Nilipiga hatua ni kamsogelea Kiongozi wa Askari. "Endapo utaendelea kunizingua nitamueleza Mfalme kuwa ulikuwa unanitaka siyo kunitaka tu uliingia chumbani kwangu kwa lengo la kunibaka kama upo radhi kuhimili haya mashtaka fanya utakavyo" Niliongea. Kiongozi wa Askari alinywea kwa mkwara niliomchimba. "Ni muda wa Mimi kutafuta heshima " Nilijisemea kisha ni kaelekea malangoni kwa Malkia Shamsa. Sikutaka kukaribishwa niliingia kibabe. "Nini maana ya wewe kuingia bila hodi " Malkia Shamsa alinifokea. Sikutaka kuongea badala yake nililwapua upanga kwa Askari ni kauzamisha tumboni kwa Kijakazi wake "Hivi ndivyo kitakupata endapo utaendelea kunichukulia poa " Nilifoka. "Mshenzi wewe ni kitu gani hiki unanionesha " Malkia Shamsa alifoka. Niliuhamishia upanga wenye damu shingoni kwake. "Kuanzia sasa unapaswa kuchagua maneno ya kuniambia tofauti na hapo tutakuwa na mgogoro usioisha " Niliongea kisha ni kautupa upanga chini nikasepa. "Leo ni zamu ya Malkia Shamsa kuingia chumbani kwa Mfalme kwa bahati mbaya sasa nitaingia Mimi. Nahitaji kujua moyo wa Mfalme upo upande wa nani " Niliongea pekee yangu. Vijakazi wangu waliishia kucheka. "Kwanini mnacheka? " "Ni kawaida kwa mtu kuongea pekee yake wanapokuwa Ikulu " Kijakazi wangu wa karibu aliongea Nilijikuta ni kicheka pia. Mida ya usiku nikiwa nimejiremba nilielekea langoni kwa Mfalme. 📢Mtukufu Mfalme, Malkia Shamsa na Malkia mdogo Sadia wako hapa. Nimruhusu nani aingie 📢 Taarifa zilitumwa ndani. Basi wote tulitulia kusikilizia majibu...... ITAENDELEA........

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

ENDELEA....... Basi Mfalme alitoa amri Mtabiri Mkuu atolewe gerezani mara baada ya harusi yetu kukamilika. Sikuelewa kama nimefanya jambo jema au nimeharibu maana watu walikuwa wakinong'ona. Nilikuwa na uwezo wa kuomba watu wa ukoo wangu wapatiwe dhahabu lakini sikutaka kufanya hivyo kwa sababu Mtabiri Mkuu aliingia matatizoni kwa sababu yangu. Kama si yeye kunichagua nilipokuwa gerezani sidhani kama leo hii ningekuwa Ikulu. Hakuna jambo lisilo na mwisho hatimaye harusi yetu ilimalizika. Watu wa ukoo wangu walimshukuru Mfalme kwa kumpatia zawadi ya pombe. Yeye pia aliwashukuru kwa kuwapatia vipande vya dhahabu kila mmoja. Kwa kuwa sherehe ilikuwa imemalizika hawakukaa waliondoka. Usiku wangu na wa Mfalme ulikuwa ni wa kipekee....pombe iliwekwa mezani kisha tukaanza kulewa kidogo kidogo. "Ulijifikiria nini kumpatia farasi wako jina langu hii inaniuma sana " Nilijikuta ni kikumbuka matendo yake ya zamani. "Naomba unisamehe, usiliweke jambo hili kichwani...." "Nisiliweke vipi kichwani! tayari lipo kichwani unavyosema nisiliweke kichwani unanichanganya " Basi Mfalme alinibembeleza kwa kuninyandua, mmmh Mimi huyu nilisahau hasira zangu. Kulivyo pambazuka asubuhi ilikuwa ni siku nyingine, Mfalme alirudi malangoni kwake. Baadhi ya Mawaziri walikuja kunipongeza kwa kuwa mke wa pili wa Mfalme. Malkia Ada alikuja pia, iliwalazimu Mawaziri wote waondoke. "Ulikuwa na haja gani ya kuomba Mtabiri Mkuu atolewe gerezani?...wewe na ukoo wako ni masikini kabisa wa kutupwa kwanini usingeomba mtajirishwe na si kuhangaika na mtu mwenye anaweza kuletewa taarifa na miungu" "Nisamehe kwa uchaguzi niliofanya, lakini watu wa ukoo wangu wamezoea umasikini ukilinganisha na Mtabiri Mkuu hajazoea maisha ya mateso na ndio maana niliona ni sahihi kwangu Mimi kufanya huo uchaguzi" "Nguruwe pori wewe, kwanini usiseme tu ukweli kuwa una jambo lako na Mtabiri Mkuu. Nyie wawili kuna kitu mnataka kufanya sitaruhusu hilo jambo litokee " "Jambo lipi tena mkwe?" "Mkwee hapana usiniite mkwe nasikia kizungu zungu " Malkia Ada ana mambo aisee. Nilijikuta ni kikosa cha kusema, alinisomea maneno mengi ya kuchosha akili yangu kisha akaondoka. Sijakaa sawa Malkia Shamsa aliingia, harufu ya marashi yake ilinivuruga, nilijikuta ni kitapika 🤮.. "Kutapika mbele yangu, hebu mlete Daktari ampime kabla sijafanya maamuzi magumu" Malkia Shamsa aliongea. Daktari alikuja akanifanyia vipimo.... badala ya kunipa majibu Mimi alimgeukia Malkia Shamsa. "Hongera mke mwenza ni mjamzito " Daktari aliongea akionekana kufurahi...... ITAENDELEA......

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

ENDELEA...... Basi nilitolewa juu ya meza kwa amri ya Mfalme. Kama utani hivi lakini niliondoka na Mfalme. Sadia Mimi nilipatiwa malango yangu, ilinilazimu ni kae ndani kwa ajili ya harusi itakayo fanyika siku tatu zijazo. Waja watake wasitake jambo litakuwa..... Mfalme ndio kashapitisha hivyo. Taarifa zilitumwa nyumbani kwetu , vile Baba yangu hana subira aliingia malangoni kwangu kwa siri kubwa. "Naomba utoroke mbwa wewe, umewezaje kuthubutu kutembea na Mfalme hadi umependekezwa kuwa mkewe wa pili hakika sitakubaliana na hili" "Makasiriko ya nini sikutaka pia lakini kila kitu kimetokea chenyewe.... kwahiyo upo hapa kuniambia nitoroke? siwezi kutoroka kwa sababu kama nitafanya hivyo basi Mimi na watu wengine wa ukoo wangu tutakuwa hatarini. Siwezi kuingiza watu hatarini kisa wewe. Tena usinikasirishe nisije kukuitia Walinzi wakutoe hapa " "Wewe huyo kwahiyo tayari umeshakuwa mtu wa kutoa amri" Baba yangu aliingia kwa kebehi. Nilitaka kumuonesha kuwa sitanii nilivuta kengele ya dharula. Badala ya kuingia Walinzi aliingia Malkia Shamsa....sijui tu ilikuaje lakini Baba yangu alijificha siku nyingi. "Naona sasa hata kuua mende imekuwa kipengele ni mwendo wa kuita tu Walinzi " Malkia Shamsa aliongea huku akimkanyaga mende. Sikutaka kumuambia kama kengele ya dharula ilikuwa ni kwa ajili ya Baba yangu. "Karibu..." Niliongea huku nikimpa ishara akae kwenye kiti. "Ni kweli umeadhamiria kuwa mke wa pili wa Mfalme " Aliniuliza huku nikikaa. "Sikuwa nimedhamiria lakini kwa kuwa bahati imekuja sina namna zaidi ya kupokea " "Kwahiyo ni kikufanyia mpango wa kutoroka kabla ya hizo siku tatu utatoroka " "Kwa ajili ya watu wa ukoo wangu siwezi kufanya hivyo naomba uache tu mambo yaende kama yalivyopangwa" Niliongea bila kufikiria. "Baba yako ni Mwalimu mzuri sana, sielewi kwanini hakukufunza kusoma nyakati, Mimi hapa sitakuambia utoroke tena Ikulu badala yake utakutana na matukio ambayo hujawahi kuyaona tangu uzaliwe " Malkia Shamsa aliongea kisha akatega mgongo asepe, sijui alikumbuka nini aligeuka nyuma. "Mwalimu toka humo uvunguni huna haja ya kujificha " Aliongea kisha akaondoka. Sikujua hata amejuaje kama Baba yangu yumo uvunguni, huenda wawili hawa wamekuwa Mwalimu na Mwanafunzi kwa muda mrefu. Baada ya Malkia Shamsa kuondoka Baba yangu alitoka uvunguni. "Ikulu ni sawa na wacheza kamari, ukiujua udhaifu wa adui yako unatoboa lakini ukiwa hujui chochote kuhusu adui yako kutoboa kwako ni kugumu sana.....siwezi kukufundisha chochote endelea kujipambania lakini usisahau kama Malkia Shamsa ni hatari kuliko hata Malkia Ada " Baba yangu aliongea kisha akaondoka. Sikutaka kuumiza kichwa changu kufikiria maana ya maneno yake. Hatimaye siku ya jambo letu liliwadia, nilipendeza sana na watu wote wakawa wananiangalia Mimi. Watu wa ukoo wangu walikuepo pia isipokuwa Baba yangu. "Chagua kitu kimoja unachotaka nitakutimizia " Mfalme aliongea. "Naomba umtoe Mtabiri Mkuu kwenye kifungo alichowekwa. Mrudishe katika nafasi yake " Niliongea. Watu wote walionekana kushangaa....... ITAENDELEA..........

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

ENDELEA....... "Hizo dhana ni za nini " Malkia Shamsa aliuliza akionekana kuogopa. "Swali la ajabu sana Mkwe umeleta malalamiko kuwa Sadia katembea na Mumeo hii ni mara ya pili. Kinachotakiwa kufanyika muda huu ni kumuadhibu. Nadhani adhabu zangu zina fahamika.....nitaichana chana hiyo K yake " Malkia Ada aliongea kwa msisitizo. Nilianguka chini kuomba huruma, mie nisiye kuwa hata na mtoto mmoja niliomba kuhurumiwa. "Nitakuhurumia baada ya kuichinja K yako..... naomba mmlaze hapo juu ya meza " Alitoa amri akiwa kafura kupita maelezo. Mie Sadia ndio niliamini kuwa kilo zangu hazina tofauti na zile za karatasi. Nilibebwa juu juu kisha ni katupwa kwenye meza. Nilivuliwa nguo zote ni kabakia kama nilivyo zaliwa. Miguu yangu ilifungwa kikatili aisee mmoja magharibi mmoja mashariki. Yaani hata ningefurukuta vipi isingekuwa rahisi kutoboa. "Malkia Ada, tafadhali sana kabla hujatoa hukumu yako nina ujumbe wako kutoka kwa miungu " Mtabiri Mkuu aliingilia kati. "Ujumbe kutoka kwa miungu hasa baada ya kuona nataka kutoa adhabu kwa huyu binti mtukutu basi miungu wakakuletea ujumbe hebu naomba uzungumze huo ujumbe" Malkia Ada aliongea kwa kebehi. "Hili Taifa haliwezi kuwa na Malkia tu isipokuwa Mfalme anahitaji kuwa na pisi kali wa kumliwaza....na Sadia ndio kachaguliwa kuwa Pisi kali wa Mfalme Pangani " Mtabiri Mkuu aliongea. "Pisi kali ? yaani hata miungu wanaijua hiyo misemo ya kihuni!....hii ni ajabu sana. Lakini na kumbuka nimewahi kukuuliza kuhusu huyu binti ukasema hakuna maono umeona na pindi utakapoona utaniambia. Kwahiyo umeona maono siku ya leo...." Malkia Ada aliongea kisha akamsogelea Mtabiri Mkuu "Tangu ufike hapa unaonekana kuwa na roho mbaya juu ya Shamsa. Kuna namna huwa unahisi kama anaupiga mwingi. Unajua hata huwa siyaamini maono yako nitaongea na Mfalme tutafute mtu mwenye mawazo chanya juu ya Taifa hili na si hayo yako " Malkia Ada aliongea. Mtabiri Mkuu alidondoka chini akawa kapiga magoti. "Nisamehe kwa kusema hivi lakini kisheria Malkia haruhusiwi kuwa na wivu. Ni haki ya Mfalme kuwa na Wanawake zaidi ya mia. Na mabinti wote wanaopatikana Ikulu ni mali ya Mfalme hivyo hata akionekana yupo na Mwanamke mwingine tofauti na Malkia watu hawatakiwi kunong'ona au kuongea chochote " Mtabiri Mkuu aliongea. "Kubabake " Malkia Shamsa alifoka, hakuishia hapo alishika mkasi akazikata nywele za Mtabiri Mkuu Kwa kifupi hakuwa na utofauti na Mwanaume. "Mpelekeni kwenye kiwanda cha ngano, maisha yake yote yatakuwa huko...." "Nitaenda kwenye kiwanda cha ngano, na nitatumikia adhabu yangu maisha yangu yote lakini naomba msiyashike maneno yangu nyie wote hapa kuwa Mfalme hatoweza kuwa na Mwanamke mmoja maisha yake yote hivyo itapendeza kama Malkia Shamsa atajiandaa kiakili......Sadia ni chaguo la miungu kuwa atakuwa mke wa pili wa Mfalme " Mtabiri Mkuu aliongea. "Hebu niondoleeni huyo kivuruge hapa nisije kumtoboa macho " Malkia Shamsa alifoka. Basi Malkia Ada alishika kisu kikali airarue K yangu. 📢Mfalme kafika simama mtoe heshima📢 Sauti ilisikika. Basi shughuli zote zilizokuwa zinaendelea zilisitishwa. "Kitu gani kinaendelea mahali hapa " Mfalme Pangani aliuliza. "Kwanza kabisa nimemuadhibu Mtabiri Mkuu, atasaga ngano maisha yake yote. Lakini pia nitashirikiana na Malkia Ada kuirarua K ya Sadia kwa kosa la kunidharau Mimi " Malkia Shamsa aliongea. "Ni vile nilichelewa tu kutangaza lakini Sadia ni pisi kali wangu....siku tatu zijazo sherehe kubwa itafanyika. Natumaini Malkia Ada utaniunga mkono katika hili. Naomba aondolewe mara moja juu ya hiyo meza " Mfalme alitoa amri........ ITAENDELEA.........

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

ENDELEA..... Nilijikuta nikikosa namna, Mfalme alinibana kona zote. Na Mimi na hisia bhana nilitoa ushirikiano. Tena kwa wakati huu niliibugia yote.... Mfalme ni mayowe tu ya utamu nami ndio nilizidisha manjonjo. Niliikalia nikawa naitawala navyotaka niliipeleka kushoto na kulia, magharibi na kaskazini hadi akaanza kuongea lugha ambayo Mimi sielewi hata kidogo. Mtumeeeeeee si nilisahau kufunga mlango. Tunu kijakazi wa Malkia Shamsa aliingia. Basi hata aogope sasa hakufanya hivyo badala yake aliangaza macho kwa ukaribu. Baada ya kuiona sura ya Mfalme alianguka chini kuomba rehema. Hatukuwa na hamu ya kuendelea na ya kuendelea na tendo. Tunu alifumba macho yake Mfalme akajisitiri. "Siwezi kukuambia kipi ufanye, kuishi au kufa ni juu yako " Mfalme slimtishia Tunu kiakili. "Mimi huyu nahapia kwenye kaburi la marehemu Baba yangu siwezi kuzungumza chochote kwa Malkia Shamsa wala Ada. Na ikitokea nimetoa siri ndotoni basi ninyongwe Mimi " Tunu alitoa ahadi huku akilia. "Sijui ni kitu gani kilikuleta unaweza kuongea " Mfalme aliongea. "Malkia Shamsa anamuita Sadia" Tunu aliongea kwa kujing'ata ng'ata. Nilivaa kwa kujisitiri ni kafuatana na Tunu. Nilijikuta ni kikosa amani hasa nikifikiria Tunu anaweza kuropoka kitu ikala kwangu. "Mbona macho yako hayatulii, usiniambie kuna kitu umefanya " Malkia Shamsa aliniuliza huku akimkabidhi Ivan kwa Kijakazi mwingine. Sikujua lengo lake ni nini alianza kunisogelea taratibu. Mmmmh eti alinikumbatia akawa ananinusa nusa. "Unanukia marashi ya Mfalme, usiniambie kuna kitu kimetokea kati yenu 🙄" Malkia Shamsa alifoka huku akijitoa kwangu. Niongee nini Mimi sasa niliendelea kukaa kimya. "Huyu huwa ana tabia ya kukaa kimya anapoulizwa vitu vya maana....hebu naomba uniambie ni kitu gani kinaendelea umemkuta huyu katika hali gani" Malkia Shamsa aliuliza. "Alikuwa amelala " Tunu aliongea. "Unanitania " Malkia Shamsa aliongea kisha akashika kisu alikiweka shingoni kwa Tunu. "Nauliza kwa mara ya mwisho endapo hautatoa majibu yanayo eleweka na kutoboa hilo shingo na kisu" Alimtishia. Tunu ni muoga balaa, alifumba macho yake kisha akazungumza kila kitu. Mimi ni nani hata niendelee kusimama, nilidondoka chini kuomba rehema. "Ondokeni wote " Malkia Shamsa alitufukuza. Tuliendelea kusimama ilihali tuna tetemeka, sikujua ni kitu gani kinamtetemesha Tunu ilihali hajatenda ubaya wowote. "Hamtaki kuondoka 🙄 basi nitaondoka Mimi" Malkia Shamsa aliongea kisha akaondoka yeye. Tunu alinigeukia kwa hasira "Hivi unajua ulichokifanya? tafuta kamba ujinyonge mapema tofauti na hapo utakuwa kwenye hatari kubwa nikimaanisha wewe pamoja na watu wa ukoo wako" "Kujinyonga hapana siwezi kufa kwa sababu sijafanya ubaya wowote, Mfalme mwenyewe ndio alikuja chumbani kwangu. Ningewezaje kukataa na huku alinipatia amri nifanye naye mapenzi " Nilijitia kulia. Tunu aliondoka akaniacha bila shaka alienda kumtafuta Malkia Shamsa. Sikuona sababu ya kuendelea kukaa malangoni kwa Malkia niliondoka. Ile natoka tu nilidakwa na Vijakazi wa Malkia Ada. Walinibeba juu juu kana kwamba naenda kuchinjwa. Nilijikuta ni kiogopa, baada ya kuingia malangoni kwa Malkia Ada nilimwagwa chini. Nilishtuka baada ya kuona dhana za kukatia nyeti za Mwanamke zikiwa mezani........ ITAENDELEA..........

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

ENDELEA....... Niliinamisha kichwa changu kutoa heshima kwa Malkia Ada. "Nadhani Mimi na Malkia Shamsa tulikufukuza, kwanini umerudi hapa " Malkia Ada aliniuliza. Nilipokosa jibu alimgeukia Mfalme. "Pangani, naweza kujua kwanini bini huyu mwizi karudishwa hapa au kaletwa kuchinjwa " "Hapana.....kama hauna haraka huko uendako unaweza kurudi ndani. Nitatoa tamko kuhusu huyu binti " Mfalme aliongea. "Kwa kuwa najali kuhusu usalama wa Taifa hili nitarudi ndani...." Malkia Ada alimpa ishara Mtabiri Mkuu wakageuza miguu yao. Kabla ya kutangazwa rasmi kuhusu vyeo vyangu nilibadilisha mavazi. Mlinzi alikuja kunichukua akanipeleka kwenye ukumbi wa baraza la Mawaziri ambako Mfalme huendesha vikao vyake. Nilitoa heshima kwa kuinamisha kichwa changu. Ile Mfalme anataka kuongea Malkia Shamsa alifika. Ilimlazimu kusitisha kwanza mpaka Mkewe alipokaa. "Kuanzia sasa na kuendelea huyu binti atakuwa ni Kijakazi wangu pamoja na Mpishi wangu " Mfalme aliongea, nilitarajia atayapima maneno kwa vitendo lakini alinipitisha moja kwa moja kuwa nitakuwa Mpishi wake. "Nakataa " Malkia Shamsa alipinga. "Kwanini " "Huyu ni mwizi alipora nguo ya Kijana wangu pamoja n hereni za Malkia Ada.....nilimfukuza tafadhali sana naomba asirudishwe mahali hapa " Malkia Shamsa aliongea. "Unawezaje kupinga amri ya Mfalme? mbona ni kama unavuka mipaka Malkia au una sumbuliwa na wivu " Malkia Ada aliingilia kati. "Ni...ni...ni... nisamehe, nadhani akili yangu haipo sawa " Malkia Shamsa alijitetea. Sijui na wengine waliona lakini nilimshuhudia Malkia Shamsa akikonyezana macho na Ada....Sikujua wanapanga nini. Nilipitishwa rasmi kuwa Mpishi wa Mfalme pamoja na Kijakazi wake na hakuna mtu mwingine aliyejaribu kupinga tena. Niliamua kuthibitisha maneno yangu kuwa naliweza jiko kwa kuandaa chakula cha mchana. Huwa siliogopi jiko lakini siku ya leo nilijikuta ni kitetemeka Mb...wa Mimi, nilijizuia kuficha mtetemo wangu nisije umbuka. Unajua huwa napika chakula kimzaha mzaha hivi. Yaani ukiniangalia vibaya unaweza kusema hakuna kitu nafanya. Ndani ya dakika 20 chakula kilikuwa tayari. Niliamriwa kukionja chakula nami nilifanya hivyo, lengo ni kupima kama kina sumu au la. Vilikuwa ni vijiko viwili tu lakini nilijikuta ni kizidisha. Nilikula vijiko sita. Mfalme aliachia kicheko, watu wote tulicheka pia. Alionekana kufurahia chakula changu kuliko kawaida. Mida ya usiku nikiwa najiandaa kulala, mlango wangu uligongwa....aliingia Mfalme. Japo suruali yake ni mapana kama ya dobi masumbuko lakini nililishuhudia dudu lake likiwa limenyooka kama rula. Mie huyu nilitulia nione ni nini anataka kufanya... ITAENDELEA........

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

ENDELEA...... Safari ya kurudi Ikulu ilianza, ndani ya moyo wangu nilikuwa na mashaka. Sikuamini kama naenda kufanya kazi kweli, isije kuwa ni mbinu ya Mfalme kwenda kunichinja kwa kosa la kutia nguo ya Kijana wake kwenye furushi. Akili ya kuomba msamaha iliniijia, nilidondoka chini ni kapiga magoti katikati ya safari. "Sikuchukua nguo ya Kijana wako kwa ubaya....si unajua nimemlea yule. Basi hali ya kuwa naangalia nguo zake kila ni kimkumbuka ilinitawala " Niliongea. "Nakupeleka kule uwe Kijakazi wangu na si vinginevyo hayo makosa yaliyo kuondoa Ikulu Mimi hayanihusu" Mfalme Pangani aliongea. "Hayakuhusu na huku Malkia Shamsa ndio amenifukuza, huoni kama utamkasirisha " Niliongea. "Naomba ukae kimya, sipendelei watu wanao ongea sana...." Mfalme Pangani alifunga mjadala. Nilifyata mdomo wangu, safari iliendelea kila sehemu tuliyokutana na hoteli, Mfalme alitusihi tule. "Matumbo sasa mbona yatatupasuka " Niliongea. Mlinzi wa Mfalme aliniwekea upanga shingoni. "Mfalme hapendelei watu wanao ongea sana, kwanini huo mdomo wako hausikii " Alinifokea. "Najaribu kutafuta Mpishi mzuri atakaye furahisha moyo wangu na ndio maana tunaingia kila hoteli huna haja ya kumuwekea panga " Mfalme Pangani aliongea. "Kumbe hekaheka zote hizi shida ni Mpishi . Najua kupika kila kitu yaani hata hii meza naweza kuipika na ikaiva kabisa " Niliongea ukweli siyo kujigamba. "Wewe huyo upo vizuri kwenye swala zima la kupika " "Ndiyo...." "Tunaelekea Ikulu, endapo utalitendea jiko haki basi utakuwa Kijakazi wangu pamoja na Mpishi wangu " Mfalme Pangani aliongea akiwa kanikazia macho. Mie huyo, moyo wangu ulishtuka utadhani nimepigwa na kitu kizito kichwani. "Vipi huwezi kupika mbona umeshtuka" Mlinzi wa Mfalme aliuliza. "Naweza...." "Kwa kuwa unaweza kupika ni vyema tukaelekea Ikulu..... sipendelei maneno mengi navutiwa na vitendo " Mfalme Pangani aliongea. Safari ya kwenda Ikulu iliendelea, ile tunafika tu kwenye lango la kuingilia tulikutana na Malkia Ada akiwa na Mtabiri Mkuu. Moyo ulianza kudunda dunda ukizingatia nilifukuzwa....... ITAENDELEA...........

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

ENDELEA....... "Nimesema lala ni kukague au nikuitie nguvu kazi " Malkia Shamsa alifoka. Nguvu kazi tena jamani nilianguka chini kuomba msamaha. "Leo siyo siku ya kusamehe naomba uache kuongea neno nisamehe 😠" Malkia Shamsa alifoka huku akinirushia teke. Nilijitia kuumia kumtia moyo lakini ukweli kutoka moyoni sikuumia. "Malkia, kila kitu kimetokea kwa bahati mbaya, naomba unisamehe tafadhali, kama utaniua nitaweka wapi sura yangu " Niliomboleza. "Kesho asubuhi na mapema utaondoka hapa....kwa usiku mzima nitakesha nikifikiria kosa litakalo kufaa na hata hivyo na rahisisha mambo kwa sababu ya Baba yako. Kanifundisha sana mambo mengi kabla sijaja hapa hivyo nitakupunguzia adhabu " Malkia Shamsa aliongea kisha akasepa na mtoto wake. Walikuja Vijakazi wake wanne wakaniwekea Ulinzi nisije kutoroka kabla ya kupatiwa adhabu. Mwanzo walikuwa imara, yaani kila nilipogeuka nilikutana nao sura lakini kadri masaa yalivyoenda mmoja baada mwingine alifumba macho yake sababu ya usingizi. Nilijiweka tayari kwa kutoroka, nilikusanya vitu vyangu vya thamani bila kusahau kanguo ka Ivan mwana wa Mfalme....nilihitaji kuwa nako kama ukumbusho kuwa nililea mtoto wa Mfalme. Laiti kama ningejua nisingefanya hivi. Nilianza kunyata taratibu ile nataka kufungua mlango nilidakwa na Tunu (Kijakazi wa Malkia) huyu binti anakuwaga na balaa sana naweza kumuita shetani mwekundu kwa sababu matendo yake huwa ni magumu sana. "Wapi unaenda Mbwa pori wewe, hivi unafikiri tulikuwa tumelala hii mbinu niliwafundisha wenzangu ni kijua fika utaingia mkenge kubabake. Hebu nijibu, nini kimekusibu ukaipakia nguo ya Mwana wa Mfalme kwenye nguo zako " Tunu aliniuliza. Vile anaongea sasa utadhani yeye ndio Malkia Shamsa. Nilikuwa na mpango wa kumjibu lakini nilimpuuzia. "Huyu hana mdomo wa kujitetea, hebu leteni hizo hereni za Malkia Ada tumuongezee kwenye furushi lake. Hapo kinguo cha Ivan kule hereni za Malkia Ada. Hakika siku ya kesho patanoga " Tunu aliongea huku akicheka. Basi hereni za Malkia Ada ziliwekwa ndani ya furushi. Kulivyo pambazuka asubuhi Malkia Shamsa alikuja akiwa bado kafura. "Malkia wangu huyu Yaya ni mwizi mkubwa, tulizuga kulala wacha aiibe nguo ya Mwana wa Mfalme. Pia ana hereni za Malkia Ada " Tunu alipigilia msumari. "Mwizi?.... ulitaka ukaifanyie nini nguo ya mwanangu pamoja na hereni za Malkia Ada. Kubabake bila shaka ulifikiria kufanya vitu vya kishirikina " Malkia Shamsa aliongea. Mdomo wangu Mimi ulikuwa mzito, sikuweza kujitetea wala kuongeza neno lolote. Malkia Ada aliletwa kuthibitisha hereni nilizo nazo ni zake au la. "Hereni zangu zimefikaje mikononi mwako ....hakuna mtu mwenye ujasiri hapa Ikulu wa kuingia malangoni kwangu bila ruhusa yangu, inaonekana wewe ni kibaka uliyekomaa. Huyu achapwe viboko 50 kisha aondolewe hapa akiwa kavaa matambara 😠" Malkia Ada aliongea. Basi nilinyweshwa fimbo 50 za makalio kisha ni kavalishwa matambara. Kama utani hivi niliondolewa Ikulu, na kwetu mie hivyo sikutaka kutanga tanga hata kidogo nilinyooka moja kwa moja nyumbani. Ile nafika tu Baba naye alifika akiwa amelewa chakali. "Ikulu inahitaji watu Wahuni na si wastaarabu. Kama hujui kucheza michezo ya pata poteza kila iitwayo leo utakuwa unalia tu, ahsante kwa kurudi nyumbani " Baba yangu aliongea. Nilitaka kuangua kilio lakini niliona ujinga hivi, niliingia ndani kulala. Sikumbuki ilikuaje lakini nilikuja kushtuliwa na Mama yangu kuwa nahitajika nje. "Mb...wa wewe, yaani unafuatwa kabisa nyumbani na Wanaume. Hebu nenda ukawasikilize kabla Baba yako hajaamka likawa balaa " Mama aliongea.. Wanaume wapi hao tena? mbona Mimi sina marafiki wa kiume wala mashemeji . Ile natoka nje nilishtuka kumuona Mfalme akiwa na Mlinzi wake. Nilidondoka chini kumpa heshima , sijui ilikuaje familia yangu yote ilikuja nje kutoa heshima bila shaka walikuwa wanachungulia dirishani. "Tunarudi wote Ikulu, kwa wakati huu hautakuwa Yaya wa Kijana wangu badala yake utakuwa Kijakazi katika malango yangu " Mfalme aliongea. "Tunashukuru ee Mtukufu Mfalme " Watu wa familia yangu walinisaidia kujibu kwa sababu nilikuwa nimepigwa na butwaaa........ ITAENDELEA..........

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

ENDELEA....... "Nimesema lala ni kukague au nikuitie nguvu kazi " Malkia Shamsa alifoka. Nguvu kazi tena jamani nilianguka chini kuomba msamaha. "Leo siyo siku ya kusamehe naomba uache kuongea neno nisamehe 😠" Malkia Shamsa alifoka huku akinirushia teke. Nilijitia kuumia kumtia moyo lakini ukweli kutoka moyoni sikuumia. "Malkia, kila kitu kimetokea kwa bahati mbaya, naomba unisamehe tafadhali, kama utaniua nitaweka wapi sura yangu " Niliomboleza. "Kesho asubuhi na mapema utaondoka hapa....kwa usiku mzima nitakesha nikifikiria kosa litakalo kufaa na hata hivyo na rahisisha mambo kwa sababu ya Baba yako. Kanifundisha sana mambo mengi kabla sijaja hapa hivyo nitakupunguzia adhabu " Malkia Shamsa aliongea kisha akasepa na mtoto wake. Walikuja Vijakazi wake wanne wakaniwekea Ulinzi nisije kutoroka kabla ya kupatiwa adhabu. Mwanzo walikuwa imara, yaani kila nilipogeuka nilikutana nao sura lakini kadri masaa yalivyoenda mmoja baada mwingine alifumba macho yake sababu ya usingizi. Nilijiweka tayari kwa kutoroka, nilikusanya vitu vyangu vya thamani bila kusahau kanguo ka Ivan mwana wa Mfalme....nilihitaji kuwa nako kama ukumbusho kuwa nililea mtoto wa Mfalme. Laiti kama ningejua nisingefanya hivi. Nilianza kunyata taratibu ile nataka kufungua mlango nilidakwa na Tunu (Kijakazi wa Malkia) huyu binti anakuwaga na balaa sana naweza kumuita shetani mwekundu kwa sababu matendo yake huwa ni magumu sana. "Wapi unaenda Mbwa pori wewe, hivi unafikiri tulikuwa tumelala hii mbinu niliwafundisha wenzangu ni kijua fika utaingia mkenge kubabake. Hebu nijibu, nini kimekusibu ukaipakia nguo ya Mwana wa Mfalme kwenye nguo zako " Tunu aliniuliza. Vile anaongea sasa utadhani yeye ndio Malkia Shamsa. Nilikuwa na mpango wa kumjibu lakini nilimpuuzia. "Huyu hana mdomo wa kujitetea, hebu leteni hizo hereni za Malkia Ada tumuongezee kwenye furushi lake. Hapo kinguo cha Ivan kule hereni za Malkia Ada. Hakika siku ya kesho patanoga " Tunu aliongea huku akicheka. Basi hereni za Malkia Ada ziliwekwa ndani ya furushi. Kulivyo pambazuka asubuhi Malkia Shamsa alikuja akiwa bado kafura. "Malkia wangu huyu Yaya ni mwizi mkubwa, tulizuga kulala wacha aiibe nguo ya Mwana wa Mfalme. Pia ana hereni za Malkia Ada " Tunu alipigilia msumari. "Mwizi?.... ulitaka ukaifanyie nini nguo ya mwanangu pamoja na hereni za Malkia Ada. Kubabake bila shaka ulifikiria kufanya vitu vya kishirikina " Malkia Shamsa aliongea. Mdomo wangu Mimi ulikuwa mzito, sikuweza kujitetea wala kuongeza neno lolote. Malkia Ada aliletwa kuthibitisha hereni nilizo nazo ni zake au la. "Hereni zangu zimefikaje mikononi mwako ....hakuna mtu mwenye ujasiri hapa Ikulu wa kuingia malangoni kwangu bila ruhusa yangu, inaonekana wewe ni kibaka uliyekomaa. Huyu achapwe viboko 50 kisha aondolewe hapa akiwa kavaa matambara 😠" Malkia Ada aliongea. Basi nilinyweshwa fimbo 50 za makalio kisha ni kavalishwa matambara. Kama utani hivi niliondolewa Ikulu, na kwetu mie hivyo sikutaka kutanga tanga hata kidogo nilinyooka moja kwa moja nyumbani. Ile nafika tu Baba naye alifika akiwa amelewa chakali. "Ikulu inahitaji watu Wahuni na si wastaarabu. Kama hujui kucheza michezo ya pata poteza kila iitwayo leo utakuwa unalia tu, ahsante kwa kurudi nyumbani " Baba yangu aliongea. Nilitaka kuangua kilio lakini niliona ujinga hivi, niliingia ndani kulala. Sikumbuki ilikuaje lakini nilikuja kushtuliwa na Mama yangu kuwa nahitajika nje. "Mb...wa wewe, yaani unafuatwa kabisa nyumbani na Wanaume. Hebu nenda ukawasikilize kabla Baba yako hajaamka likawa balaa " Mama aliongea.. Wanaume wapi hao tena? mbona Mimi sina marafiki wa kiume wala mashemeji . Ile natoka nje nilishtuka kumuona Mfalme akiwa na Mlinzi wake. Nilidondoka chini kumpa heshima , sijui ilikuaje familia yangu yote ilikuja nje kutoa heshima bila shaka walikuwa wanachungulia dirishani. "Tunarudi wote Ikulu, kwa wakati huu hautakuwa Yaya wa Kijana wangu badala yake utakuwa Kijakazi katika malango yangu " Mfalme aliongea. "Tunashukuru ee Mtukufu Mfalme " Watu wa familia yangu walinisaidia kujibu kwa sababu nilikuwa nimepigwa na butwaaa........ ITAENDELEA..........

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

( shida ya maji shikamoo) ________________________ 👉 Kaongea jambo zuri ila ndio nikubali kisa maji Dah yan...👇 Nikamwambia) " Naomba niende tutaongea siku nyengine. " Kwaiyo umekubali mimi ni wako itakuwa siri yetu. ( Niliona nijibu kwa kumlidhisha tu hili nitoke na maji) " Ndio. ( Akanipa maji...nikaondoka nayo nimebeba ndoo naenda nyumbani namkuta mzee mmoja anamwambia mume wangu) " kijana acha mfumo dume kwenye hili janga la maji unatuona sisi wanaume wenzio tunakaa foleni mabombani tunasaidia wake zetu maji kuchota wewe usiku huu unamtuma mkeo akatafute maji unakosea. " Mimi jandoni sikufundishwa uboshoke yani nikae foleni bombani kama vile sijaoa huo ni ujinga. " Basi kama unataka ivyo nunua dumu tsh 1000 ma juzi tuliuziwa maji dumu 1500 nakwambia ukweli gharama za maisha zimepanda. " Kwenu sio kwangu wanawake mnawaendekeza unazani kijijini akunaga shida ya maji mbona wamama wanaenda umbari mrefu kufata maji tena kwengine kuna milima wanabeba maji mimi mke wangu atabeba maji atakuwa mwanamke tofauti na wa kwenu hao. " Sawa naona Shemeji anarudi na maji. " Si ayo kayapata mimi sikai na mke kama nakaa ma yai niseme litapasuka. " Sawa. ( Mimi nimechoka nasema uyu ajui nimekoswaswa kuliwa chumbani kwa muuza maji anajisifia ujinga tu hapa....basi akatumia yale maji usiku kalala ananiambia) " Wewe unajua kuna wanaume wengine wajinga sana yule mzee na umri ule anakaa foleni kwenye maji si ufala ule. " Anamsaidia mkewe ndio vizuri. " Kama anampenda sana basi angemsaidia kubeba mimba. " Mume wangu sio Kauli nzuri iyo. " Mpumbavu yule Kesho ukachote maji ufue nguo zote humu ndani. " Sawa. ( Tulilala uku nasema Moyoni nina mume katili sio mwanaume mwenye moyo wa huruma na mimi...asubuhi kanitolea nguo zake nje uzuri nyumba inayo fensi alafu anavaa majinzi tu nawaza maji mengi nayatoa wapi yeye kashaacha TSH 5000 kaondoka...wakati nawaza nasikia mlango unagongwa kufungua kaka muuza maji kaniletea mkokoteni mzima dumu kumi anatimiza ahadi yake...sikutaka kujivunga nikalisafisha jaba namimina kwenye jaba mengine nimeweka kwenye beseni...sasa wakati namimina kwenye jaba yule mkaka akawa ananisaidia kufikicha yale majinzi ya mume wangu...yani Kuna watu sio waoga na mimi namimina kidogo kidogo nimependa kujichetua kwake maana majinzi magumu kweli....dk 20 tu nguo zote ngumu kanifulia akaanika akachukua madumu yake ananiambia) " Nakupenda sana. " Asante. ( Basi akaondoka mimi nikafua nguo zengine zilizobaki...alafu nikaenda gengeni kutafuta dagaa njiani naona madada wawili wanaongea) " Mimi yule muuza maji akinitongoza nampa awe ananipa maji bure aya maisha kununua maji dumu 1000 si mchezo na sisi ivi vyoo vyetu sasa. " Ndio umpe Kisa maji. " Sasa kama anakuletea dumu 7 kila siku si elf saba kakugomboa kwanini usimpe yani akinitongoza tu sijivungi. " Ila kweli na Sisi wanawake tulivyokuwa wavivu kuweka ndoo kichwani mbona yule kaka kama anataka wanawake atawala wengi. ( Mimi nikawavuka nasema kimoyoni kumbe yule kaka kama atamtongoza yule dada atampa nikamwangalia kanizidi kwa shep mpaka sura nikatulia zangu kimya nikanunua kilichonipeleka gengeni nikarudi zangu nyumbani...sijala nyama siku nyingi kweli pesa nayoachiwa aitoshi...basi mchana yule kaka akaja na mfuko kaweka kuku nusu akaniambia) " Kula wewe uyo usije kumpa mumeo. " Sawa. ( Aliondoka nikasonga ugali chap nikajisosomora vizuri nikatupa mifupa mbali kabisa...Nikaingia jikoni kumpikia midagaa mume wangu...usiku akaja akala akatulia...siku ya pili akaondoka akanipunguzia bajeti akanipa elf nne) " Mume wangu mbona Leo umeacha elf nne. " Wewe unazani kila siku sikukuu maisha kuna kupanda na kushuka Leo yameshuka. " Sawa. ( Akaondoka zake...dk 20 yu mkaka muuza maji akaja Leo ajaja na maji akaniambia) " Nilikuwa nakuletea maji ila nimeisi utakuwa nayo maji yako nimeuza shika elf kumi hii baadae. " Sawa.. ( Akaondoka zake..yani kama naanza kumuelewa ivi yani ajaniletea maji ila kanipa pesa...nikatulia zangu mchana nikasema na mimi nikalifuraishe tumbo nikanunue chips mayai na mishikaki...naenda kwa muuza chips mtaa wa nne uko si ndio namuona mume wangu anakula kuku nusu peke yake chips mayai juice kubwa nikamfata) " Mume wangu ndio nini? " Nenda nyumbani tutakuja kuongea nyumbani. ( Niliondoka ata hamu ya kula iliniishia nawaza kumbe yeye anakula vizuri mimi ananiachia pesa ya kula ovyo...mawazo yakazima njaa...alirudi usiku na fimbo najiuliza fimbo ya nini kumbe ya kunichapa mimi..akanisogelea na mkwaju wa mgongoni paaaaa) " Mshenzi wewe kumbe unazurula mchana nani kakwambie ufike kule. " Ndio unanipiga mume wangu. ( Akanipiga tena mkwaju wa makalio paaaaa) " Nakuuliza nani kakwambia ufike kule unijibu leo nitakuumiza humu. ( Niliona upenyo nikakimbia akafunga mlango ananiambia) " Lala uko uko nje usirudi humu mshenzi wewe. ( Nilitoka najikuta naenda kwa mkaka muuza maji uku Nalia machozi yananitoka...nafika kwa mkaka muuza maji nikamkuta Nikaingia ndani kwake akanikumbatia ananiuliza) " Nini kinakuliza mpenzi. " Mume wangu kanipiga. " Usilie nyamaza my. ( Nashangaa ananilamba machozi yale uku ananikuna kuna kichwa ananibembeleza jamani) ITAENDELEA

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

( shida ya maji shikamoo) _________________________ Mume wangu mume wangu ndio unaondoka. " Ndio naondoka kwani vipi? " Samahani mume wangu pesa hii aitoshi. " Uliwai kuona wapi pesa inatosha uoni matajili kila siku wanatafuta. L" Samahani sipo uko namaanisha pesa aitoshi gharama ya maisha imepanda dumu la maji linauzwa tsh 1000 sasa ivi kuna shida ya maji. " Wewe sikia katafute maji yanapouzwa shilingi Mia au 200 uchote usinizingue. " Wapi sasa. " Hao wanaokuuzia dumu 1000 wanachota wapi waulize. " Mume wangu inawezekana ni mbali. " Mbali Kesho tu acha niwai. ( Mume wangu sio mtu wa kuelewa jambo kirahisi uyo kaondoka...kaniachia tsh 5000 ndani maji amna na vyoo vyetu ivi vinaitaji maji mengi naishi ubungo Riverside kwetu tuna shida ya maji sio mchezo natoka nje kufikilia natoa wapi maji namuona mkaka mmoja anauza maji kwa pikipiki anamuuzia jilani yangu dumu sita yani jilani anatoa elf sita ananunua maji ile pesa imepita bajeti yangu nikamuuliza yule kaka) " Samahani kaka za saizi. " Salama. " Ivi maji unatoa wapi? " Kwa kapangura ila kuna foleni kubwa na sizani kama ayajakatika. " Ndio wapi? " Unapajua ruge? " Ndio. " Sasa ukifika ruge ulizia au utaona watu wanaenda au wanarudi. " Sawa dumu shilingi ngapi? " 200 tu. ( Sasa hapo kwa kapangura ni sehemu ya kwenda na pikipiki kwa 1000 ukipanda bajaj ni 500 kutokana na mimi nilipo...nilichukua ndoo mbili uyo naenda kuchota maji kwa kapangura...nimetembea na jua langu mpaka bombani kweli nilikuta foleni nikampigia simu mume wangu) " Mume wangu maji yanatoka uku ruge kwa ndani ndani ila kuna bonge la foleni. " Wewe kaa tu ilimradi urudi na maji. " Nakwambia usije ukarudi nyumbani ukaona sipo tukagombana. " Mimi nipo bize na kazi zangu usiku nikute chakula. " Sawa. ( Yani naishi maisha magumu sana kisa ndani kuna unga tu basi elf tano ijue mboga ijue mkaa ijue mimi kula asubuhi na mchana usiku na yeye akikute chakula...mimi asubuhi napiga pasi ndefu siri nakujaga kula mchana shida hii ya maji ndio inanichanganya akili...nilikaa kwenye foleni kuanzia saa nne mpaka saa tisa ndio nachota maji ndoo mbili...sasa kubeba izo ndoo na umbali wake nilibeba moja moja ya kwanza nikaipeleka kichwa kinawaka moto shingo inauma nikaenda kumalizia ndoo ya pili narudi nyumbani namuona mume wangu karudi na rafiki zake anamwambia rafiki yake) " Mimina maji ukaoge usiogope mimi mwe Nataka nikaoge. " Mimi nimezoea kuoga ndoo kubwa nyumbani. " Basi mimina kwenye ndoo ndogo izo mbili ukaoge. (jamani sio siri utosi ulikuwa unanicheza kuzuia siwezi ivi kweli shida ya maji hii mtu akaoge ndoo ndogo mbili...na kweli kaenda kuoga anashukuru pale...na mume wangu akaenda kuoga maji nusu...nikabaki na nusu aya sijaoga sijapika hapa nanuka majasho kuzibeba izi ndoo...alafu mume wangu ananiaga) " Kwaheri nilikuja kuoga mala moja tu wai kupika Leo njaa inaniuma sana. ( Nilishindwa kumjibu...nilichukua kopo mbili kwenda kujimwagia Nikaingia jikoni kupika mboga nilinunua za majani...uku nawaza maisha aya yatakuwaje nilibaki na 1000 nilinunua maji kwa yule mkaka alikuja akanimiminia uku ananisifia) " Wakubwa wanafaidi. " Nini? " Yani mtoto mzuri kama wewe ulikuwa unajiumiza kubeba maji wakati umeolewa mume unaye tena anafaidi. ( Moyoni nasema ajui tu nyuma ya pazia nikawa namwambia) " Sasa anafaidi nini? " Anafaidi matunda ya mwilini mwako mtoto chuchu saa sita. ( Nilikaa kimya akamimima maji kwenye mdoo uyo akaondoka....mume wangu akarudi na rafiki yake mwengine anamwambia) " Karibu karibu naona umetoka majasho ngoja nikakuangalizie maji ukaoge. " Utakuwa umefanya la maana sana kwangu sina ata tone tena weka mengi maana nataka nishushe mzigo. ( Akachukua ndoo mbili akamimina maji yale naumia Moyoni kusema siwezi kweli alienda kuoga na kufanya ya kushusha mzigo maji akayamaliza akukaa akaondoka...sasa mume wangu akala alipomaliza kula akaniambia) " Sasa hapa nioge nilale sasa ivi kuna joto sana uwezi kulala bila kuoga. " Maji yameisha mume wangu. ( Niliwekwa kibao kimoja cha mdomo mpaka nikajing'ata paaaaaaa) " Una akili maji yanaishaje ndani mfano nimebanwa na tumbo la kuhara inakuwaje maji ni uhai wewe unadiliki kusema maji yameisha. ( Niliinama nalia mimi kwa kile kibao akaninyanyua tena na Kofi la mgongoni ananiambia) " Chukua ndoo katafute maji popote pale. ( Akanisukuma nje...sina pesa nawaza kule kwa kapangura bombani atanikopesa kweli...naenda kashafunga napata wapi maji mala nakutana na kaka Muuza maji mwenye Kauli yake wakubwa wanafaidi) " Unatafuta maji saizi amna labla twende ukachukue kwangu. " Mimi sina pesa lakini ya kukupa iyo 1000. " Nakupa bule tu. ( Nilienda kweli ndani kwake maji yapo ila anakaa chumba kimoja naona madumu yale ananiambia) " Ingia basi umimine maji. ( Shida izi niliingia..naingia na yeye anaingia ananiambia) " Samahani naomba tuwe wapenzi mimi nitakuwa msaada mkubwa kwako. " Hapana mimi nina mume wangu naomba nimimine tu maji niondoke. ( Naona ananisogelea kama kashabadilika ivi yani hamu imempanda kanishika mzigo wangu ananiambia) " Itakuwa siri yetu mimi nakuletea dumu 10 kila siku pale usipate shida ya maji kipindi chote ichi kigumu naomba tuwe wapenzi. ( Kaongea jambo zuri ila ndio nikubali kisa maji Dah yani) ITAENDELEA Karibu kwenye chombezo hili ukiona uku ujue IPO FULL nunua ujue nini kiliendelea.

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

Tayari mchezo ulishamkolewa, alishavunjwa bikira ya mkundu. Baada ya kutoa mkundu ni kama alimpa limbwata Hilali aliyemdekeza mno Muna ambaye alizidi kujihisi kama malkia akiwa na Hilali. Alipofika nyumbani kwa Hilali alikokuwa akiishi mwenyewe, alimkuta hapo sebuleni akiwa uchi, alishalipaka bolo lake mafuta, lilikuwa liking’aa kama nyoka mweusi aliyemwagiwa mafuta ya kula. Alisimama mlangoni huku aking’ata lipsi zake, alishamtesa dereva taksi wa watu ambaye alikuwa akimkodolea macho aliposhuka mpaka alipozamia getini kwa Hilali maana huko nyuma na lile gauni fupi ni kama matako yalitaka kuonekana. Basi Muna akiwa hapo mlangoni alishika gauni lake na kulipandisha juu, ungemuona sasa kutokea nyuma ndio ungechanganyikiwa na jinsi matako yake yalivyokuwa mazuri yenye kunyegeza.Alitembea kwa madaha utadhani kuna sehemu alitakiwa kuziruka hapo sakafuni.Alimpita Hilali aliyekuwa akilishikashika bolo lake nene kisha akachukua kilainishi kilichokuwa katika hali ya kimiminika na kuzidi kutembea mpaka kwenye kochi lililotazamana na kochi alilokalia Hilali. Hilo gauni alilovalia Muna, mgongo wote ulikuwa wazi, lilionyesha mpaka mtuno wa matiti yake yaliyojaa ila chuchu zilitangulia mbele kama mkono wa masikini umuonapo tajiri. Alijimiminia mafauta hayo mazito yaliyokuwa yakichuruzika kwenye matako yake mengine kukimbilia katikati ya matako, mengine mapajani. Akaanza kujipaka huku Hilali akimtazama kwa matamanio makubwa sana kiasi kwamba bolo lake hakulishika tena, lilidinda kama na kuwa imara kama gia ya trekta bovu. “Iko siku nitazikwa kwa ajili ya mkundu wako,” alisema Hilali akiwa bado ameketi hapo kochini akimuangalia Muna alivyokuwa akijipaka kilainishi matakoni na kwenye ule msamba wake “Mimi pia watanizika kwa ajili ya hilo bolo lako,” “Una mkundu mtamu sana wewe mtoto,” “Ona mate yalivyokujaa,” “Yataachaje kwa matako hayo…” aliposema hivyo alinyanyuka Hilali na kumfuata Muna Alipomfikia alianza kumsaidia kumpaka kilainishi. Vidole vyake vilimpitia katikati ya matako vikiteleza na kumgusa mkundu wake, alisisimka Muna, “Aaaashiiii…ooossssss…aaashiiweweeee umeingiza kidole, bebiii…” aliguna hivyo huku akizidi kupanua matako yake. alipanda juu ya kochi na kuzidi kupenyua matako yake manene. Kwa waliowahi kuwainamisha mbuzi kagoma wanawake wenye matako makubwa basi msisimko wake huwa sio wa kawaida, kwanza huvutia tu kuyaona jinsi yajimegavyo. “Sijawahi kuona mkundu mzuri kama huu, wa moto, unabana hado raha…” alisema Hilali akimuingiza vidole mkunduni taratibu sana.

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

👉 Aaaaaaaaa Aaaaaaaaa Uwiiiiiiiiiiiiiii Uwiiiiiiiiiiiiiii Aaaaaaaaa...👇 Asante. ( Nilipagawa na wanavyonifanyia...mzungu akatanua mashavu ya kuma akawa ananilamba wekundu wa kuma anapitisha ulimi taratibu....uku shangazi kaachia mguu kaja kunitanua mikono sasa hana kinyaa shangazi akanilamba kwapa la kushoto...uku la kulia ananichezea kwa kidole nazidi kupagawa sijawai kufanyiwa ivi...nikawa kama chizi napiga kelele) " Uwiiiiiiiiiiiiiii Uwiiiiiiiiiiiiiii Aaaaaaaaa Assssssssssss Tamuuuuuuuu Unanitekenya Aaaaaaaaa Aaaaaaaaa. ( Dk mbili nasikia mboo inazama kumani maana nilikuwa nimefumba macho sio kwa kutekenyeka uku ile mboo ilikuwa ina tetema ni mboo bandia....mzungu ananiingiza nayo kumani uku ananinyonya kisimi changu...kwakweli nilikuwa naikatikia ile mboo kama sina akili mzuri nilikuwa nafika kileleni sasa naongeza spead ya kukata kiuno) " Uwiiiiiiiiiiiiiii Uwiiiiiiiiiiiiiii Aaaaaaaaa Assssssssssss Tamuuuuuuuu Asante. ( Nilikuwa natamani nikojolewe kumani ila ndio mboo bandia aikojoi nikakojoa mwenyewe...sasa mzungu akatoa ile mboo bandia kumani shangazi qkanifuta kuma vizuri alafu akalala yeye kitandani...mzungu akaniambia) " Mnyonye maziwa uku kumani niachie mwenyewe. ( Mimi nikaanza kumnyonya maziwa shangazi na yeye ananikuna kuna kichwani uku ananyonywa kuma na mzungu...yani shangazi mzoefu amejikunja mazima naiona kuma yake vizuri mixsa mkundu wake...sasa unyonyaji anaomnyonya shangazi tofauti na wangu shangazi ananyonywa kuma uku anachezewa matako anatomaswa...mimi najiongeza nazungusha ulimi juu ya ncha ya chuchu naona shangazi kafumba macho anaweweseka) " Tamu tamu tamu tamu Aaaaaaaaa Aaaaaaaaa niiingize mboo p Aaaaaaaaa Aaaaaaaaa. ( Mimi nikawa najua mzungu anaitwa p ila kirefu chake sijui shangazi sasa akaingizwa mboo bandia kumani uku mzungu anamlamba mkundu...shangazi anatombwa mixsa kulambwa mkundu akawa kama chizi anaweweseka) " Asante Aaaaaaaaa Aaaaaaaaa Assssssssssss Tamuuuuuuuu Tamuuuuuuuu tamuuuuuuuuuuuuuu raha nasikia Aaaaaaaaa Aaaaaaaaa Uwiiiiiiiiiiiiiii Asante Ashiiiiiiiiiiiiiiiii. ( Yani mpaka mimi nyege zilinipanda tena yani sijawai kulambwa mkunduni...shangazi dk 20 akakojoa....mimi nikamfuta...tukamlaza mzungu yani kumbe ni zamu kila mmoja atafanyiwa shangazi akaniambia) " Wewe mzungushie ulimi nje la tobo la sikio. ( Basi mzungu kichwa akaweka upande akaniomba kidole changu cha kati akinyonye nikampa akawa anakinyonya kama ananyonya mboo uku namlamba tundu la sikio...shangazi yupo bize na kumchezea kuma mpaka mzungu mwenyewe akaomba mboo...kweli shangazi alimtomba na ile mboo bandia ila Style ile ile aliyofanyiwa yeye shangazi alikuwa anamlamba mkundu mzungu uku anampamp na mzungu kakunja miguu mazima anasikilizia utamu...dk 20 akakojoa...na yeye akawa hoi...tukaenda kuoga wote mzungu akatupa pesa wote akasema) " Uwe na siri hii ni starehe ya kila wiki si umefurahia. " Ndio. ( Mimi kwenye pesa nakuwaga bwege basi Tuliondoka na shangazi akaniambia) " Weka pesa zako vizuri Rudi ukweni kwako. " Shangazi Nisindikize. " Sawa. ( Nampenda shangazi sio mbishi kweli alinipeleka mpaka nyumbani nilimkuta mama mkwe anaongea na simu) " Mume wangu nipo nae hapa labla simu yake IPO chumbani. ( Akanipa simu) " Shikamoo baba. " Marhaba simu IPO wapi. " Chumbani. " Sawa aya baadae. ( Alikata simu mimi ndio naangalia simu alipiga mala nne sikuweka mlio simu sikuisikia...nikawa nawaza Style hii baba mkwe atafanya penzi letu lijulikane...shangazi alipoondoka tu Nikaingia chumbani nikamwandikia sms baba mkwe) " My ndio nini sasa unapiga simu kwa mkeo alafu unanitaka mimi uku unaniambia kwanini sipokei simu uoni kama mkeo atastuka mimi na wewe tupo vipi?" ( Akanijibu) " Wivu auangalii hatari Nisamehe my wangu nakupenda sana" ( Mala mama mkwe ananiita sebuleni akanistua akaniambia) " Naomba simu yako mala moja. ( Duu nawaza baba mkwe akituma tena sms itakuwaje na ujinga simu nipo nayo mkononi nawaza kumpa uku naona nakosea mwenyewe) " Naomba mwanangu simu yako. ITAENDELEA

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

Kulingana na mazingira yalivyokuwa sikutaka kumwambia palepale kuwa Grace sio mtoto wake maana ni lazima angeanzisha vulugu. "Siwezi kukupatia mtoto Alex kaa ukijua hilo" niliongea na baadae niligeuka kwa ajili ya kuondoka ili nikaendelee na kazi zangu. "Wewe malaya emu usiniletee utani, mwanangu lazima utanipa sitaki aishi kwako maana utamfundisha tabia za kutembea na wazoa taka na huenda ukamfundisha kutembea na vichaa kabisa" Alex aliongea. "Wewe ata uniite malaya sawa tu ila mtoto sikupi" niliongea na kuondoka huku nikimuacha Alex akisema lazima atamchukua mtoto wake kutoka kwenye mikono yangu. Nilikuwa na uhakika wa karibu asilimia 100% kuwa hakuwa na lengo la kuishi na mtoto ila alitaka kunikomoa tu na ndiyo maana sikuwa tayari kumpatia mwanangu na ukizingatia sio baba halisi wa mtoto. Niliporudi nyumbani nilimweleza Damian kile kilichotokea. "Irene ilitakiwa umwambie ukweli kuwa Grace sio mtoto wake" Damian aliongea. "Bora ibaki kuwa siri yetu tu akijua yanaweza kuwa mengine na ukizingatia ndiyo sababu iliyonifanya anioe kipindi cha nyuma" niliongea lakini Damian hakuacha kunisisitizia kuwa nimweleze ukweli Alex. Pia aliniambia nisije kurudiana nae tena au kumfanya nae mapenzi. Nilimtoa wasiwasi Damian na kumwambia haitawezekana tena mimi kuwa na Alex pamoja. "Nyie mnasemaga tu alafu baadae mnakubali kwenda kunyanduliwa huko kisiri siri" Mzoa taka hakuacha kuongea wasiwasi aliokuwa nao mbele yangu. Basi siku iliyofata kumbe Alex alikuwa amethamilia kumchukua mtoto wangu Grace alikuja akiwa na mwenyekiti wa mtaa asubuhi hiyo na mimi mda huo nilikuwa nikijandaa kwenda kazini. "Mwenyekiti mwanamke mwenyewe ndiyo huyu hapa hataki ata kunipa nafasi ya kuonana na mwanangu, na hataki niishi na mwanangu" Alex aliongea na mimi nilishangaa kwa maneno aliyoyasema. Sauti ya Alex, Damian aliyekuwa ndani aliweza kuisikia nakuamua kutoka nje, ile anafika nje Alex alimwangalia kwa hasira nahisi kilichokuwa kikimtia hasira zaidi ni baada ya kugundua kuwa nilikuwa nikitoka nae kimapenzi kipindi tupo kwenye ndoa. Mwenyekiti alinitaka nieleze kwanini sitaki kumpa nafasi Alex ya kuonana na mtoto wangu au kwenda kuishi nae. "Mwenyekiti mimi simwamini huyu mwanaume kabisa kwenye maisha yangu na anatabia chafu sana ndiyo maana sitaki akae karibu na mwanangu" niliongea. Kama kungekuwa na mtu mwingine ambae hatufahamu asingeweza kuamini kama mimi na Alex ni watu tuliokuwa tukiishi pamoja tena tukiwa na elimu zetu za juu. Alex alikasirika baada ya kumwambia ana tabia chafu "Nani anatabia chafu!?, mimi natabia chafu!?" Alex aliongea huku akinisogelea lakini Damian aliamua kuingilia mazungumzo yetu. "Wewe dingi usimsogelee mke wangu" Damian au mzoa taka aliongea huku akimzuia Alex asisogee karibu yangu. "Nani dingi!!?" Alex alimuuliza na mda huo alizidi kukasirika zaidi. Alex alifanya kitendo cha kushitukiza kwa kunyenyua mkono wake na kumpiga ngumu ya usoni Damian ambae nae hakutaka kukubali kupigwa na Alex. wote walianza kupigana mbele ya mwenyekiti na sisi tulikuwa na kazi ya kuwaachanisha. Nyie acheni tu ndiyo maana sipendi kuachanisha watu wakiwa wanapigani kwani kipindi namzuia Damian asiendelee kupigana nilijikuta ngumi iliyopigwa na Alex ikinipata kwenye titi langu la kushoto na kunifanya nisogee pembeni. kihelehele cha kuendelea kuwaachanisha kiliisha na kuamua kumwangalia mwenyekiti aliyekuwa akiwaachanisha huku nikipiga kelele za kuhitaji msaada. Baada ya mda mwenyekiti alifanikiwa kuwaachanisha na kwakuwa Damian au mzoa taka alikuwa kwenye hasira kwa wakati huo aliamua kulopoka mbele ya Alex. "Kwanza mtoto mwenyewe sio wako ni mtoto wangu mimi" Damian aliongea na mimi niliona sasa kili kitu kinaenda kuwa wazi. "Unasemaje wewe mjinga yani mpaka mtoto wangu unasema ni mtoto wako!? mwenyekiti unamuona huyu, nitaua mtu mimi hapa" Alex aliongea kwa sauti ya juu. "Nani umuue!? wewe ata kukagua mtoto kama ni mtoto wako hujui huoni nafanana nae macho yule mtoto!?" Damian alizidi kuongea huku mimi nikihisi kushikwa na haja kubwa mda huo. Alex baada ya kuona mzoa taka amekomalia kuwa ni mtoto wake alinigeukia mimi na kuniuliza. "Wewe malaya, ni kweli huyo mtoto ni wa huyu malaya mwenzako!?" Alex aliongea na Damian alichukia kumuona akiniita malaya. "Kuwa na adabu huwezi kumuita mama wa mtoto wangu malaya lasivyo nitakupasua hapa sasa ivi" Damian aliongea na majibizano yaliendelea mpaka pale mwenyekiti alipoamua kuingilia kati.....ITAENDELEA Unajua nini kilitokea baada ya mwenyekiti kuingilia kati 😪😪😪😪 sehemu ijayo ina majibu zaidi.

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

Baada ya mda kupita Dada aliyazoea maisha ya kuishi bira kuwa na mme na tuliendelea kuwasiliana mara kwa mara. Nikiwa nyumbani mimi pamoja na mzoa taka niliamua kumwambia ukweli Damian ambao sikuwahi kumwambia mtu yoyote yule na ilikuwa siri yangu peke yangu. "Damian huyu mtoto niliyenae wewe ndiye baba yake mzazi na sio Alex" nilimwambia Damian au mzoa taka. Hakuamini kile nilichomwambia zaidi ya kuniuliza kwa kile nilichokisema na mimi nilimhakikishia kuwa ni mtoto wake, tangu siku hiyo Damian alikuwa akiujua ukweli kuwa Grace ni mtoto wake. Siku mbili zilipita tangu nimweleze ukweli Damian kuhusu mwanangu Grace na siku hiyo nikiwa kazini nilipigiwa simu na mpigaji alikuwa ni Alex, sikutaka kupokea simu zaidi ya kuiangalia. Baada ya mda namba ngeni nyingine ilipiga na mimi ilibidi niipokee na kumbe mpigaji alikuwa ni yule yule Alex. "Unajifanya hutaki kupokea simu yangu Irene sio!?" Alex aliniuliza. "Kwani lazima mimi kupokea simu yako au!?" na mimi nilimjibu na kumwambia aongee haraka kile kilichomfanya anipigie na kama hana jambo la maana basi nitamkatia simu. Alex aliniambia "kumbe ndiyo ulikuwa malaya hivyo yani ulikuwa ukimwingiza mbeba taka kwenye chumba chetu na mnafanya mambo yenu" Alex aliongea na mimi nilijua hakuna siri tena ila sikutishika kwa sababu tayari nilikuwa nimeshaachana na Alex. "Ndicho kilichokufanya unipigie simu!?" nilimuuliza na kujaribu kupindisha mada. "Wewe mwanamke ni malaya sijawahi kuona ndiyo maana tulipokuwa chuo karibu kila mwanaume ulikuwa ukiongea nae" Alex alizidi kuongea na mimi niliona ananipotezea mda na ukizingatia nilikuwa kazini kwa wakati huo. Nilikata simu huku nikitafakari ni nani aliyemwambia Alex kuwa nilikuwa nikimuingiza mzoa taka kwenye chumba chetu kipindi cha nyuma. baada ya kuwaza kwa kina sura ya mfanyakazi ilikuja na moja kwa moja nilijua lazima atakuwa yeye aliyemwambia. Niliendelea na kazi na baada ya mda wa kazi kuisha nilitembea kwa ajili ya kurudi nyumbani lakini nikiwa njiani kuna gari ilinipigia honi ikinitaka nisimame. Kwakuwa sikuwa mtu wa malingo niliamua kusimama na kusubiri nione ni nani aliyekuwa ndani ya gari hiyo. Gari ilifika mahali nilipokuwa mimi na mwanaume mweupe alionekana akiwa ndani ya gari hiyo peke yake. "Mambo mrembo" "Poa" niliamua kuitia baada ya kunipa salamu. "Panda ndani ya gari nikusogeze mbele" aliongea na mimi sikuwa tayari kupanda ndani ya gari yake hivyo nilimkatalia na kuendelea na safari yangu. Licha ya kuendelea kutembea kuelekea kwangu bado alikuwa akinifata akiwa na gari yake. "Mtoto mzuri kama wewe unakubalije kutembea kwa miguu" aliongea kila aina ya maneno ya kunipamba lakini nilikuwa kama kiziwi na sikutaka kumjibu neno lolote lile. Nilihisi kilichomvutia kwangu nikuhitaji kufanya mapenzi na mimi na sio kingine kwani ndivyo wanaume wengi walivyo sababu huanza kumtamani kwanza mwanamke kwa mwonekano wake wa nje ndipo mambo mengine yanafata. Baada ya kumkatilia aliamua kuondoka akiwa na gari yake na mimi baada ya kufika nyumbani nilimkuta tayari Damian au mzoa taka amesharudi nyumbani. "Damian leo mbona umetoka mapema sana!?" nilimuuliza na mzoa taka aliniambia. "Bora ata umekuja mke wangu kuna mwanamke nimemuona huko anafanana na wewe nikajikuta nikikukumbuka Irene" Baada ya Damian kuongea niliishia kuguna kwa kile alichokisema. "Mbona unaguna Irene au ulitaka nitembee nae yule mwanamke ikiwa wewe kipenzi upo karibu!?" "Sina maana hiyo ila kazi nim... kabra ata sijaendelea kuongea tayari mikono yake ilikuwa imeshaenda kushika kitumbua changu. "Beb subiri kwanza nikaoge vinginevyo hutafaudu vizuri maana nanuka jasho kwa sasa" niliongea lakini mzoa taka hakutaka kuniachia kabisa kwani siku hiyo alikuwa na upwiru wa hatari. Niliamua kumuacha afanye kile alichokuwa akikitaka. Damian au mzoa taka alinilaza kwenye kochi na kunivulisha nguo zangu kisha baada ya hapo aliniweka vizuri kwa ajili ya kuanza kunizagamua ila kabra hajaanza tulisikia mtu akibisha hodi kwa nje kwenye mlango wetu. "Nani tena huyo anayeharibu starehe za watu!?" Mzoa taka aliongea kwa kulalamika na baadae ilibidi tusitishe kile tulichotaka kukifanya. Nilivaa nguo zangu na kuweka mambo sawa huku Damian akienda chumbani tena akiwa analaumu kwa starehe yetu kukatishwa. Nilienda kuangalia mtu aliyekuwa nje na hakuwa mwingine bali alikuwa jirani yangu ambae huwa anashinda na mtoto wangu. Alinikabizi mwanangu Grace kisha baada ya hapo aliondoka. Niliingia ndani nikiwa na mwanangu na niliona kuna umuhimu wa kuajiri binti wa kazi ili awe anashinda na mtoto wangu. Haikupita mda Damian aliweza kutoka chumbani na alinifata na kuniambia kuwa amekabwa na upwiru wa kufa mtu. Nilimwambia anipe dekika kadhaa za kwenda kuoga na baada ya kumaliza nilimpatia utamu kama alivyokuwa akihitaji. Baada ya siku tatu kupita aliyewakuwa mme wangu ambae ni Alex alianza kunisumbua akitaka turudiane na sijui alikuwa na lengo gani kwangu kwani usumbufu wake ulikuwa sio wa kawaida. "Alex wewe siuliniita mimi malaya kwanini unataka turudiane!?" nilimuuliza na Alex aliniambia kuwa zilikuwa ni hasira tu alizokuwa nazo. Licha ya Alex kutaka nirudiane nae ila hakuwa kwenye moyo wangu kabisa kwani ata kuolewa nae ilikuwa ni kwa ajili ya kuficha aibu baada ya kugundua kuwa na mimba ya mzoa taka. Niliamua kumwambia kuwa haiwezekani tena mimi na yeye kuwa pamoja. "Irene sasa ivi sitakulazimisha tena unipe tundu la nyuma naomba ukubali kurudi nyumbani mke wangu" Alex alizidi kunibembeleza na baadae ilibidi nimkatie simu. Tangu siku hiyo kila nikiona namba ngeni na sauti ikiwa ya Alex basi lazima nikate simu. Alex baada ya kuona sipokei simu zake aliamua kunifata kazini kwangu, alifika na kuomba kuonana na mimi. Ilibidi niende kumsikiliza kile kilichomfanya atake kuonana na mimi japo nilikuwa na uhakika kuwa ni kunibembeleza ili niweze kurudiana nae. "Leo sijaja kuomba msamaha kwako ila ninachohitaji Irene kutoka kwako ni mtoto wangu Grace" Alex aliongea. "Mtoto!!?" ilibidi nimuulize. "Eee mtoto, nataka unipe mtoto wangu nikamlee mwenyewe na wewe uendelee na maisha yako" Alex aliongea bira kujua kama mtoto mwenyewe sio wake na ni wa mzoa taka.....ITAENDELEA.

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

Aliniambia kuwa na yeye aliamua kutafuta mzoa taka tena yeye alienda mbali zaidi na kutafuta mzoa taka ambae akili zake hazipo sawa kidogo, basi alimpeleka nyumbani kwake na baada ya kumfikisha chumbani Dada alivua nguo zake na kubaki uchi na mzoa taka nae alifanya kama alivyofanya. Dada baada ya kutoa mtalimbo wake uliokuwa na kila aina ya makovu hamu zote ziliisha za kufanya mapenzi kutokana na mwonekano mbaya wa mtalimbo wa mzoa taka wa Dada. Dada alitaka kukimbia kutoka kwenye chumba alichokuwemo ila mzoa taka alimuwahi na kuanza kumuingilia kwa nguvu na kwakuwa akili zake hazikuwa vizuri alianza kuongea kwa sauti huku akisema "Ai ai ai ai ai ai" sauti ya mzoa taka ilisikika kutokana na utamu aliokuwa akiupata kutoka kwa dada. Bahati mbaya upande wa nje mda huo mme wa Dada alikuwa akiwasili na alisikia kelele za Mzoa taka wa dada alizokuwa akipiga kwenye chumba chake. Mme wa Dada haraka aliingia chumbani na kumkuta Dada akiendelea kunyanduliwa na mzoa taka kitendo kilichomfanya azimie hapo hapo lakini haikumfanya mzoa taka aache kuendelea kula utamu wa Dada mpaka pale alipotosheka ndipo alimwachia. Dada baada ya kumaliza kufanya mapenzi na mzoa taka hakutaka kukaa nyumbani tena zaidi ya kuondoka na kuja nyumbani kwangu huku akimuacha mmewe akiwa bado amezimia. Dada alimaliza kusimulia huku akiwa kwenye hali ya huzuni. "Dada usirudi nyumbani kwako mme wako anaweza kukuua kabisa sasa ivi na ikiwezekana uwe unakaa ndani tu" ilibidi nimpe ushauri. "Wewe acha tu sijui nilijichanganyaje na mimi ila ata hivyo yule kichaa nae anajua mambo japo mtalimbo wake hautamanishi na hapa nahisi huenda kaniambukiza magonjwa lakini ilikuwa ikisimama imara sio kama ya mme wangu huwa ipo lege lege" Dada aliongea na mimi moyoni nilisema kweli sisi ni ndugu wa damu na mama hakuchepuka sababu wote tulikuwa tukipenda kufanya mapenzi na kulizishwa. Siku mbili zilipita na siku ya tatu nikiwa kazini nilipigiwa simu na  jirani yangu ninayependa kumuachia mtoto wangu pindi ninapoenda kazini na alinitaka niende haraka nyumbani kwangu. Bahati mbaya siku hiyo nilikuwa nimebanana na kazi za kiofisi hivyo ilibidi nimuulize kuna kitu gani kinachoendelea nyumbani mpaka anitake niende. Aliniambia kuwa kuna mwanaume yupo nje ya nyumba yangu akihangaika kuvunja malango. "Mungu wangu lazima atakuwa shemeji huyo" niliongea mwenyewe baada ya kupatwa na hisia na sikutaka kujali kama kuna kazi nyingi za kiofisi na nilichokuwa nawaza ni hali ya Dada. Nilimfata mfanyakazi mwenzangu na kumwelezea kiufupi sana kile kinachoendelea nyumbani kwangu kisha baada ya hapo niliondoka pia sikuacha kumpa taarifa Damian aliyekuwa kwenye duka lake kwa wakati huo. Nilifika nyumbani na kumkuta shemeji akiwa anahangaika kubomoa mlango wa nyumba yangu huku akiongea na Dada aliyekuwa ndani akimtaka afungue mlango ambae nae aligoma na kukataa kabisa kufungua mlango. "Shemeji emu acha kufanya hicho unachokifanya" nilimwambia lakini shemeji hakutaka kunisikia zaidi ya kuendelea kuvunja mlango wa nyumba yangu hivyo ilibidi niombe usaidizi kwa watu na bahati nzuri waliweza kuja na kumzuia shemeji. "Niachie nawaambia nikamuue huyo mwanamke haiwezekani aliwe na kichaa" shemeji aliongea huku akiwataka watu wamuachie. Baada ya mda alifika Damian na kukutana na kile kilichokuwa kikiendelea kwenye nyumba yetu. Watu walizidi kuongezeka kwenye nyumba yangu na shemeji aliamua kuondoka mwenyewe huku akiahidi lazima amuue Dada kwa kosa alilolifanya la kunyanduliwa na mzoa taka. Watu waliokuwepo pale walianza kuongea yao kwa kile alichokisema shemeji kuwa mke wake amechepuka na mzoa taka. "Mmmh watu jamani ivi ni kweli alichokiongea huyo mwanaume!?" dada mmoja aliongea na mimi nilisikia kile alichokiuliza hivyo niliamua kuingilia mazungumzo yao. "Naomba mtoke mbele ya nyumba yangu haraka sana" niliongea kwa msisitizo. "Eeeeeh wewe dada ukomee kabisa kutufukuza kama mbwa, hatujaja peke yetu hapa wewe mwenyewe umetuita ukihitaji msaada wetu hivyo tutoe kisitaarabu" mkaka mmoja aliongea baada ya kuwafukuza. "Watu wengine hawana shukrani kabisa" mwingine nae aliongea na wote walianza kuondoka huku wakiongea maneno ya kila aina ya kunilaumu mimi baada ya kuwaambia waondoke. Sikutaka kuhangaika na maneno yao zaidi ya kumwambia dada afungue mlango. Niliingia ndani na kumkuta Dada akilia. "Dada haina haja ya kulia mmeo ameshaondoka" nilimwambia ili kumtoa hofu aliyokuwa nayo. "Nimekaribia kufa mimi Irene" Dada aliongea na nilijua maneno ya mmewe yalimtisha na kumfanya ahisi anaweza kuja kuuliwa mda wowote. Ilibidi niwapigie simu wazazi wetu na kuwaeleza kila kitu kilichotokea. Dada ilibidi aende nyumbani na mme wake aliitwa kwa ajili ya kutafuta suruhisho lakini Mme wa Dada alikataa kumsamehe na ndoa ya dada ilivunjika huku kila mtu akiamua kuendelea na maisha yake......ITAENDELEA. .

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

romantic comedy-drama film written and directed by Karan Johar, in his directorial debut, and produced by his father Yash Johar. It stars Shah Rukh Khan, Kajol, and Rani Mukerji.[3] Set primarily across two time periods, the narrative follows the love-triangle between college friends Rahul, Anjali, and Tina. Years later, Rahul’s young daughter attempts to reunite him with his former best friend. Kuch Kuch Hota Hai Theatrical release poster Directed by Karan Johar Written by Karan Johar Produced by Yash Johar Starring Shah Rukh Khan Kajol Rani Mukerji Cinematography Santosh Thundiyil Edited by Sanjay Sankla Music by Jatin–Lalit Production company Dharma Productions Distributed by Yash Raj Films Release date 16 October 1998[1] Running time 185 minutes[1] Country India Language Hindi Budget ₹100 million[2] Box office est. ₹1.07 billion[2]

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

SIMLIZI: Tulipoishia 👇👇👇👇 Wale wawindaji walikuwa sita Waliamua kubaka jenn huku mika akiwa amefungwa kamba Jenn alilia kaka mika nisaidie lakini haikusaidia Kitu . Mika njooo nakufaaa mika nisaidieee Jenn wale jamaa waliamua kumufanyia unyama Wa hali ya juu Lakini gafura kukasikika lisasi Na ukimya ukatawala 😭😭😭😭😭 Haya tuondokeni hapa haraka ilikuwa ni sauti Ya baba heeee leo sasa Mika aliniambia hapa tujisalimishe tu Basi tulibebwa hadi nyumbani Upande wa mama yake jenn Yaani mama jenn kule polini Yule chizi aliendelea kumpapasa mama jenn nyege zika mpanda alianza kutoa miguno ya mahaba Ashiiii yule chizi aliongeza maujuzi huku Mama jenn akiwa anahisi utamu usio kipimo Chizi alianza kunyonya matiti ya mama jenn yalitokuwa makubwa alinyonya mama jenn hakuwahi kunyonywa Kama alivyonyonywa leo Yule chizi aliipanua miguu ya mama jenn Mguu mmoja akaupandisha juu ya usikani Na mmoja akaubana Sasa kuma ikabaki inje kabisa chizi akainama Nakuingiza ulimi ndani ya kuma ya ma jenn Chizi alianza kulamba chumvi chumvi ndani Ya kuma ya mama jenn Alilamba kweli kisimi kikasimama kikiwa kimevimba Lakini chizi alikuwa mtaalam alikinyonya Akarusha shahawa nyingi mama jenn .. zikamrukia chizi usoni zingine mdomoni Akawa anaziramba tu Yule chizi Hapo sasa chizi aliushika mtambo wake Na kuelekeza kwenye kuma ya mama jenn Ashiiiii unaniuwa jamani asiiii taratibu Baada ya Yule chizi kumaliza mama jenn Hapohapo Hali yake ikabadilika Kumbe Yule chizi hakuwa chizi bali ni msukule wa dagu ya mume wake Upande wa jenn na mika Sikieni leo ninyi Watoto nifunze adabu Kwanza mika ilikuwaje ukawa una lala na dada yako mbona sielewi hapa mzee alifata fimbo Hapohapo Mika alimshika mkono jenn nakuanza kukimbia Walipofika mbele kidogo mzee hakuwaona lakini sasa Jenn akawa anaumwa sana kulingana na mambo aliyoyapitia alimwambia mika Naomba nipeleke hospital nikapime hali yangu siyo nzuri kabisa Itaendelea 6

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

👉 Baby usichomoee kidole jamani hapoo hoooshii my wangu nasikia rahaaa kipenzi . . yaaaa haaa hooshii unajua haswaa kitunakipendagaa . Hashihii jamaaani slow down be by hoooshii yaaa...👇 Uwiiiiiiiiiiiiiii. ( Kijana akaitafuna pipi mate akayatemea juu ya kisimi cha mama mkwe akawa anakilamba kisimi chenye ladha ya pipi kifua sasa anavyolamba ananipandisha mimi nyege anajua kupiga deki vizuri juu ya kisimi uku anamzungushia dole kumani) " Nakupenda nakupenda Aaaaaaaaa Aaaaaaaaa nakupenda Nakojoaa Nakojoaaaaaaaa. ( Mama mkwe analalamika anakojoa wakati huo na mimi nishatanua miguu yangu najichezea kisimi naona utelezi kama wote unanitoka...nikajizamisha kidole nikakojoa nguvu ziliniishia kuchungulia niliacha mama mkwe anaingiziwa mboo kumani uku kalala kifo cha mende....nikaenda chumbani kwangu nawaza...umaraya auna umri au Kosa analo baba mkwe kuto kumtomba mama mkwe ndio nyege zimemshika...nawaza najikuta nashika simu nampigia baba mkwe) " Haloo. " My ujalala mpaka saizi. " nimekumisi. " Narudi soon nikupe tamu yako. " Sawa umelala peke yako. " Yah nimelala peke yangu nikupigie video call. " Ndio. ( Yani naisi nishadata kwa baba mkwe akanipigia video call kweli kalala peke yake alienda mpaka chooni tukiwa live alinifurahisha ni mwaminifu akakata simu...mimi nikalala asubuhi sana kijana akaondoka yule kashamgalagaza vya kutosha mama mkwe...na mimi nilimfurahisha mama mkwe nilimchemshia supu asubuhi asubuhi anywe apate nguvu....akaniambia) " Mwanangu nakupenda wewe kama ulijua nina hamu ya supu. ( Mimi natabasamu tu Moyoni nasema kwa kuchezewa na mboo usiku kucha supu ndio inafanya uone mwili upo Sawa sasa...basi tulishinda kwa furaha...mpaka shangazi akaja kunichukua ila mama mkwe akasema) " Wifi wewe nenda nae tu nikisema nimpigie mume wangu atamzuia. " Sawa kuna mambo mengine sio lazima umshirikishe kaka. " Sawa safari njema. ( Basi tukaondoka mimi ma shangazi uku ananiambia) " Utafute kiwanja kimya kimya ujenge kimya kimya wala mimi usiniambie kiwanja kiko wapi nakupa akili tu ndoa za siku izi sio za kufa na kuzikana. " Kwanini shangazi unaniambia ivyo. " Wewe jiulize mumeo nje uko atombi je akinogewa na kuma za kizuru. ( Yani shangazi anatoa maneno kavu kavu nikakaa kimya akaniambia) " Acha kuwaza sana tushafika nyumba ile pale. " Sawa. ( Kweli tuliingia nilimuona mzungu ana matatoo kibao wa kike akanikumbatia alafu akaleta mdomo wake mdomoni kwangu ananilamba lips uku ananitomasa matako yangu nikawa kama nimepigwa shoti ivi shangazi ananiambia) " Achia mdomo kula denda wewe bahati iyo wanawake wangapi mtaani awajaliwa denda na mzungu. ( Mimi najikuta nimeachama mdomo mzungu kaingiza ulimi kwenye kinywa changu anauzungusha kama mwanaume nashangaa shangazi ananichezea UTI wa mgongo wangu nawaza nataka nisagwe mande Leo mzungu katoa ulimi anasema kiswahiri) " Ameumbika sana uyu nimependa matako yake laini sana. ( Shangazi akajibu) " Hata kisimi chake laini sana uyu. ( Walinivua nguo kwa kushilikiana wakanipeleka kitandani kitanda kikubwa sijawai kufanyiwa nilichofanyiwa siku iyo shangazi alininyanyua mguu akaanza kunilamba unyayo...nasisimka...mzungu ananilamba kisimi uku ananikuna kuna mashavu ya kuma nikawa nasikia utamu shangazi ananilamba unyayo uku ananitomasa paja ananitekenya vizuri..na ule ulimi wa mzungu kwenye kisimi mimi hoi) " Aaaaaaaaa Aaaaaaaaa Uwiiiiiiiiiiiiiii Uwiiiiiiiiiiiiiii Aaaaaaaaa. ITAENDELEA

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

SIMLIZI: Ilipoishia .. kama hutaki kutoa hiyo mimba basi twende tukaje mji tumlee mtoto. ..kaka mika mimi ni dada yako 👇👇👇👇 Mika alimsogelea jenn akamkumbatia Sikia dada jenn kweli wewe ni dada lakini Hawa ni maji yamekwisha kumwagika Hatuna njia nyingine Naomba jenn ufanye mamuuzi ili tukinusuru Kwa huri kule baba ana tuwinda kama wanyama Mmh kaka mika nini unasema mimi nawewe tumetoka tumbo moja Ni jambo gumu lisilowezekana kuishi kama mme na mke mimi na wewe Sawa dada jenn. Sasa unamamuzi gani Maana mimi hapa nimechoka kukaa hum guest house Nataman niwe huru Mika nilipo kwa sasa sina uamuzi naomba tusubiri kesho tuone tutaamkaje Maana hakili yangu haiko sawa .. Sawa dada jenn.. Mimi nimepata wazo unaonaje umtafute pita aliekuwa mpenz wako . Umuombe mrudiane Akikubali umwambie akuoe ili tuifiche hii aibu Mmh siwezi mika kumpa kesi mtoto wawatu isiyo mhusu Niache nilale kesho tutajua cha kufanya Moyo ulikuwa umejaa maumivu nikimwangalia mika wala hajali tena anatamani tu anitomb. Sasa hii hali inazidi kuumiza sana Usiku mika hakulaza damu alianza kunishika shika Lakini nilimsukuma ..mika ni king'ang'anizi Aliendelea kunisumbua Wewe mika Niache kwa sasa siwezi kufanya mapenzi na wewe ujui ni dada yako mimi . Kwa sababu ya usumbufu wa mika nilicherewa kulala nilikuja kulala mda umeenda Nilikuja kuamka asubuhi Sikuamini nilichokiona nilikuta kaka mika amenitomb@ Nililia weee mika umelogwa ama mimi ni kaka ni dada yako .... Nilichukia nilipomuona mika ametoka nje niliamua kutoroka Nakuingia mjini mwanza bora nikafie mbele Nikiwa njiani nikakutana na baba uso kwa uso ITAENDELEA 8

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

SIMLIZI: Ilipoishia 👇👇👇 Jenn ndani ya hospital . Baada ya kupimwa na kugundulika ana mimba Binti nimechukua vipimo vyote Nimepima uti hauna na maralia huna pia Lakini habali njema ni kwamba una mimba Ya wiki mbili . Jitaid usifanye kazi ngumu maana inaweza kukuletea mazara Jenn alingua kilio pale pale Mamaaaaaaaaaaa nimekukosea mzazi wangu Nimelala na kaka yangu Nisamehe baba na mama Huyu mtoto atamuitaje mika Baba au mjomba Hii aibu naiweka wapiiiii Mhhhhhi Jenn alilia sana ninajutia Huu ujinga Doctor alimusogelea na kumuuliza binti Kwani kuna nini kinaendelea Doctor niache Jenn alitoka huku mwili wake hauna nguvu Vizuri alielekea alipomuacha mika Kwenye guest house Alimkuta mika amejinyoosha kitandani . Kaka hii ni aibu kaka yangu ..umepima ukangundua nini Nimepima kaka nina mimba 😭😭😭 ..usilie sasa dada unafili ukilia ndiyo utapona .. msaada pekee tukae mimi na wewe tujadili tunafanya nini kuficha hii aibu Sikia mika nilikuambia kwamba acha kunitomb@ Hii niaibu lakini ulitumia nguvu Dada hili tayari limetokea naomba tufanye kitu kitacho tusaidia mimi na wewe Sawa unataka tufanye nini mika ..hapo dada kaitoe hiyo mimba ..🤔🤔🤔🤔 Upande wa mama jenn Akiwa ndani ya chumba akihangaika na misrule ya baba jenn . Baada ya kukosea mashariti ya mali Akajikuta matatani inabidi mama jenn atombw* Na msukule hadi azae hapo ndipo mji wao utarejea sawa . Misukule ilikuwa na ugwadu sana Mama jenn alivulishwa na msukule mzee Mama jenn alikuwa ameumbika Msukule alitokwa na udendee Ilianza kumtomasa polepole Ulimi sikioni Mara vidole kwenye kum@ Mama jenn hakuwa na ujanja maana baba jenn tayari alikuwa amemtegea dawa ya kulegeza nguvu Msukule alichomoa dude nakuliweka ndani ya kum@ ya mama jenn... Uboo mnene wa msukule na mavuzi hayajanyolewa wewe Mama jenn masikini wa mungu hakuwa na ujanja Hajui hafanye nini alitobw@ hadi akawa anaachama tu . Huku dilishani baba jenn bosco alikuwa anachungulia aone kama mipango yake inafanikiwa Baada ya kuona kila kitu kimeenda kama alivoambiwa na mganga matole Alichukua chupa ndogo na kwenda kuchukua like shahawa Akatoka nje nakuwasha gari lake dogo Alienda hadi kwa mganga wake .. Safi safi sana ndug bosco Sasa utajili wako unaenda kurejea Unatakiwa ufate kila hatua Hauruhusuwi kumsaidia ndugu wa Upande wa mama yako lakini ikiwa ndugu wa Upande wa baba yako basi msaidie Pia chumba alicho tombew@ mkeo hakiruhusiwi kufunguliwa na mtu tofauti na wewe . Huku mika na dada yake Kwani jenn huwezi kutoa mimba ? Ndiyo kaka mi naogopa kupiteza maisha Sasa kama huwezi kutoa mimba basi twende Tukajenge mji nikuoe . Tulee mtoto Kaka mimi ni dada yako TUKUTANE SEHEMU YA 7

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

SIMLIZI: Tulipoishia 👇👇👇👇 Mzee hakuamini alichokiona kwakweli siamini Hiki ninachokiona Mzee alichomoa pisto mika na jenn walianza kukimbizana humo ndani Mzee amechafukwa ...hii nyie watoto nawaua Hiii laana siitaki Mika alikimbia na jenn dada yake Ili Mzee asiwauwe Mzee baba jenn alibaki ndani akilia sana Mungu wangu hii ninini Watoto wangu wakuzaa wanafanya mapenzi kweli Kweli siamini siamini Mika alikimbilia polini na jenn dada yake Kaka mika huku tunaenda wapi . Ahaaa jenn huku tunaenda mbali tukajifiche Mzee asituuwe maana unamjua baba Hakili zake . Jaman kaka mika unaamini huku tutakuwa Mahali salama . ,,,ndiyo dada jenn Huku tutakuwa salama kabisa lakini ..we mika lakini ya ninin tena sema basi Lakini nini . Aaa ni hivi dada jenn huku tunaweza kuendeleza mapenzi yetu kwa uhuru Zaidi kwani kule walitubana wazazi. Jamani mika mimi ni dada yako Hatuwezi kuendelea kufanya ule upuuzi Alafu dada jenn unasahau kitu kimoja Unajisahau kuwa mtoto umemrambisha asali Siwezi kuacha hata kwa dawa . Basi jenn na mika walitafuta sehemu nzuri kule polini wakajificha Hadi usiku Lakini mda huo mika alikuwa akitaka penzi tu wala si kingine Jenn hakuwa na hisia kabisa Wslilala saa tano Kule nyumbani Mzee alikuwa akipiga simu Kwa mtu Fulani hivi Alafu akamwambia Uwahi asubuhi Uje nikukamilishie kabla mambo hayajaharibika Jenn, na mika polini Mika hakutaka kutulia alianza kumshika jenn Jenn aligoma . Jamani kaka mimi ni dada yako Angalia yaliyotupata hadi sasa tulo polini baba anatutafuta kutuuwa . Mika alinyenyuka na kumshika jenn Wewe mwenyewe ulinirambisha asali Sasa unataka uniache naugulia Siwezi dada utanisamehe dada alichana taiti nakuingiza leo mika alikua na mzuka wa mapenzi hatari Hakujali kuwa wako polini bali alijali kutomb@ tu Jenn alipiga kelele sana alilia mno Kwa sauti kaka mimi dada yako Niache Na hapo polini kuliwa na wawindaji Walibahatika kusikia zile kelele Walikuja mbio Waliwakuta jenn na mika wakiwa uchi Walimkamata mika na kumfunga kamba kwenye mti . Yaani bahati haiji mara mbili leo mungu ametuletea demu hakika tumeteseka siku nyingi Kwa migalala Wale wawindaji walikuwa sita Waliamua kubaka jenn huku mika akiwa amefungwa kamba Jenn alilia kaka mika nisaidie lakini haikusaidia Kitu . Mika njooo nakufaaa mika nisaidieee Jenn wale jamaa waliamua kumufanyia unyama Wa hali ya juu Lakini gafura kukasikika lisasi Na ukimya ukatawala 😭😭😭😭😭 Itaendelea 5

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

SIMLIZI: Mika alimaliza . Akashuka kifuani Akiwa amelowana kila pande Nilikuwa nimechoka asikwambie mtu Sijawahi kufanyiwa hivo tangu nianze mapenzi Nilijisafisha nikajifunika shuka aibu imenishika Kweli mika ndiye amenitomb kweli Asubuhi ilifika nikaandaa chai tukanywa na kaka mika mda aibu sasa hata kuangaliana machoni Ilikuwa shida 👇👇👇👇👇 Dada jenn mimi naenda kutembea senta Aliongea mika huku akitoka Nikabaki hapo nyumbani peke yangu Lakini nilikuwa na furaha mno Ilipofika mchana mama alinipigia simu . Helow jenn ..mama shikamoo Marhaba hujambo ..sijambo Vip mnaendeleaje happ nyumbani ..mama sisi tuko salama Sawa mwanangu mimi nilipata zarula sitakuja na leo hadi jion hivo naomba mkae kwa maelewano na kaka yako mika nisikute ugomvi .. sawa mama nimekuelewa Mama alikata simu moyoni nilifurahi maana nilijua na leo mika ananit😁mb@ tena Nilipika chakula safi mchana Lakini mika hakuja Niliumia huwezi amini hadi nimeanza kumuonea wivu Nilichukua simu nikampigia hakupatikana mmmh Jaman mika yuko. Wapi. Ilifika jioni saa moja ndiyo mika akarudi Wewe mika nini hii hadi huu mda kweli Naunajua tuko peke yetu jamani Dada jenn samahani nilikuwa na juma huko Mastor yakanoga aaa acha Vip umepika Ee tayari Sawa ngoja nikaoge Mda wote namwangalia mika Simumalizi siyo kwa mapenzi haya Tulipata chakula wali na maharage Tukashiba Leo hata kuangalia TV 📺 hatukuangalia Kila mtu aliwahi kitandani Kama kawaida kila mtu na shuka lake Ilifika saa sita bado mika amelala tu Daaaa vipi leo au nimuanze Niliamua kumuanza mwenyewe nilipeleka mkono Kwenye rungu la mika ajabu nililikuta nimesimama wima Nikaanza kulichezea mika akawa ana jigeuza geuza Na mimi nikaongeza kasi Mika aliinuka nakuanza kunishikashika Sasa vima titi vyangu vilivo simama Alianza kunyonya nyonya matiti Mimi nimiguno tu ooooooo Ooooo ooooooo oooo Jomoniiiii ooooo tamuuu Mika Alianza kushika kwenye kum@ Wewe huku ulimi wake ukiwa sikioni akiuvilingisha Nilalama mmmmmmm ooooooo mika bebiiii ingiza Ooooo shiiiiiii Akaweka dude lake kubwa limesimama Nililia kweli maana ni tamu mno Oooo taratibu mika unaniuwa mika jamanii Oooooo nakufa mimi Mika alinitomb@ hadikawa nasikia moto kwenye kum@ Asubuhi sasa tuliamka kama wapenzi si kama dada na kaka Tulienda kuoga wote Badae tuliekea sokoni tukahemea nyama Na vitu vingi matunda Tukarudi nyumbani Mambo yalikuwa mazuri stor nyingi ni mapenzi tu Upande wa mama jenn alikuwa njian Akirudi kwake kutoka kwenye biashara zake Alifika sehemu ya poli kidogo akiwa na gari lake Alimuona jamaa mmoja amechakaa Lakin alionekana kama ataka msaada Alisimamisha gari lake akafungua mlango ili aingie kumbe bwana alikua ni kichaaa furan8 tu Suruali imechanika sehemu za siri ziko nyinje Tu mama jenn aliingiwa na tamaa alimubeba huyo jamaa Akawasha gari mbelee . Alianza kumukadilia vip mbona huyu mwamba ana mashine kubwa hivi Na mama jenn mume wake ni dereva wa mabasi ya mwendo kasi ya kutoka dar hadi mwanza Lile jamaa linachekelea tu Wewe unajua mapenzi Alimuuliza jamaa akacheka tu . Alisimamisha gari akaliambia unaweza kutomb@ Jamaa kusikia hivo bila kupoteza mda lilimfata Aka liambia ngoja kwanza nitengeneze Vita vya gari mama jenn alijiraza mwamba alimtmrukia ,, Upande wa jenn na mika nimapenzi tu Huku Jenn leo mama anakuja Naunajua nafasi hatutapata kwahiyo unaonaje Twende tufanye sasa hivi alafu Usiku tuwe bize Hilo ni wazo zuri mika Waliingia ndani lakini walikuta mlango wa chumba cha baba na mama yao umefunguliwa hawakujali Waliingia chumbani kwa mika nakuanza kupeana utamu Mika alianza leo na kunyonya kum@ Jenn Alianza kutoa masauti Shiiiiiiii uwiiiiiii tamuuuuuuuu Mama weeeeeee mikaaaa mikaaaa Ingiza Ulimi wa mika ulichezeshwa kwenye kum@ Mika akanyonya matiti Alichomoa dude lake aliingize Hapo sasa jenn ana mwaga maji tu Ghafla mlango ulipigwa take kumbe baba yao Alikuja bila wao kujua Aliomba ruhusa kazini kwamba tunaelekea uchaguzi na uchaguzi wa mwaka huu Siuelewi Sasa baba jenn hakuamini alicho kiona Kwa watoto wake wa kuwazaa ,,,ITAENDELEA 4 KAMA BADO HUJANIFOLOW NIFOLOW SEHEMU INAYOFATA NI BALAAA ALAFU NIAMBIE HII SIMLIZI IENDELEE AU IMETOSHA

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

SIMLIZI: Mara polepole mkono wa kaka akaupitisha tena kifuani awamu hii sikuutoa maana si kwa huu utamu nilisikia raha kwakweli Sikutamani aache Aliendelea kunibinya binya mika nikawa na hema kwa kasi Mika hakuishia hapo alishusha mkono wake hadi kwenye uke wangu 👇👇👇👇 Nikaushika kisha kwa sauti ya chini nikamuita kaka Lakini kaka hakuweza kuniitikia Zaidi alisukuma mkono Hadi akashika uchi wangu Hapo nilianza kuhusi tofauti kwakweli nilikuwa na mda sijakutana na mwanaume Tangu mpenz wangu Jose nimfumanie na rafiki yangu sikutamani kujiweka tena kwenye mahusiano Kaka mika alipitisha kidole ndani ya k*ma yangu akwa anakizungusha nilijikuta naanza kutoa misauti kama mwehu Mikaaaa ila wewe ee jomon mika Mika ohoooo mikaa Kaka mika alipoona nimemwaga Alitoa dude lake kubwa Akanivua chupi yangu nakuitupa miguuni Nakuniwekea nilianza kukataa kataa ila mika nini unafanya hiyo Mika hakunijali Aliendelea kunisukumia .. ila wewe mika Mika tamu tamuu utamu uliponizidia sikuvumilia Nilipanua miguuu Kaka mika weka yoteee ingiza Mika alikuwa na dude kubwa umri mdogo lililopinda kwa mbele acha Mmh ohooo yesiiiiii mika Shiiii unaniumiza mika oooooo Mama weeeee taratibuuu mika Kaka mika alipiga bao akajumlisha juu kwa juu Nilihisi kama niko sijui dunia ya wapi Aliponisugua sana mika nilimkumbatia kwa nguvu Nikarushaa maji huku sauti kubwa ikinitoka Oooyessiii shiiii baby unaniua mikaaa jamani mika Taratibu Mika alimaliza . Akashuka kifuani Akiwa amelowana kila pande Nilikuwa nimechoka asikwambie mtu Sijawahi kufanyiwa hivo tangu nianze mapenzi Nilijisafisha nikajifunika shuka aibu imenishika Kweli mika ndiye amenitomb kweli Asubuhi ilifika nikaandaa chai tukanywa na kaka mika mda aibu sasa hata kuangaliana machoni Ilikuwa shida Itaendelea

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

JENNIFER ndilo jina langu tuko wawili tu kwenye tumbo la mama na baba ni mimi na kaka yangu mika Baba ni dereva wa basi ya mwendo kasi Kutoka dar kwenda mwanza . Mama nayeye ni mfanya biashara ya mikoani Hivo nyumbani tunakaa sisi tu mara nyingi Mimi nina miaka 17 kaka yangu ako na miaka 15 Ndiyo kwanza nimemaliza secondary school Nilimaliza kupika cha usiku Nikaenda kumuita kaka mika aje tule leo mama hakuja inaonekana amelala huko Kaka mika njoo tule Mmh hee umepikaje jenn mbona chap hivo Ila wewe huogopi leo mama unaonekana amelala huko . Jamani dada jenn ndiyo unaogopa hadi unapika haraka hivo ee . Tulikula na kaka mika huku tukiwa tunaangaliana tu Kwani mimi sikuzoea hii hali . Mika alinawa aaa dada mi nimeshiba We kula . Mika alienda kuangalia session Mimi mawazo yote nikwamba leo nalalaje Mama hajaja mmh . Sijui Nilimaliza kula nikatoa vyombo Nikajisogeza kuangalia session Tukiwa tumekaa kwenye sofa kaka alipitiwa usingizi . Nikamuasha wewe twende tukalale Daaa sawa mika akazima TV Tukaelekea kulala kulingana na uoga Nilimuomba kaka tulale tu chumbani kwake Mika hakuwa na shida powa kama unaogopa Tulilala kila mtu shuka lake . Ilipofika saa saba usiku nilikuja kusutuka kaka Ameniwekea muguu pia amejifunika shuka langu Mmhh nikautoa Badae nasituka kaka ananishika vimatiti vyangu vilivo simama Alafu anavunga kama amelala Nikaitoa mikono yake nikageukia ukutani Ajabu sasa na kaka akageukia kwangu Nikawa nahisi kitu kikinichoma matakoni Nikapeleka mkono Nikashika kumbe ni rungu la kaka jamani nilisisimka mwili wote nikaachia haraka Japo niliachia ila nilibaki nikiwaza kama kuingiziwa Lakini .. sauti nyingine ikisema huyu ni kaka . Mara polepole mkono wa kaka akaupitisha tena kifuani awamu hii sikuutoa maana si kwa huu utamu nilisikia raha kwakweli Sikutamani aache Aliendelea kunibinya binya mika nikawa na hema kwa kasi Mika hakuishia hapo alishusha mkono wake hadi kwenye uke wangu Inaendelea sehemu ya pili 2

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

Waliingia maharusi kisha walifunga ndoa na kuelekea kupiga picha baada ya picha walienda ukumbini watu walifurahi sana harusi ilikuwa kubwa yenyekufana nakupendeza Franco na Vanessa walipendeza sana Vanessa alikuwa anadeka sana kwa Franco hakika na Franco pia alimdekeza kimahaba Vanessa Harusi ilipoisha Franco alimchukuwa mkewe na kuenda nae hanimun zanziba walikaahuko siku saba na kisha waliludi nyumbani kwa kina Franco kwa muda wajiandae wakatafute nyumba yawao wawili walikuwa na mahaba pale ndani kanakwamba nimgeni huyo Vanessa alikuwa muda woote yupo begani mwa Franco hakutaka kuwapa nafasi watu wakae nae hivyo alimkip bize sana nakazini wanaenda wote walifanikiwa kupata nyumba na walihama nyumbani pale na kuhamia kwao walikuwa na furaha baada ya muda mchache Vanessa alikuwa mjamzito hakika mapenzi yaliongezeka kwa Franco alikuwa Vanessa akohoi Franco anamkimbilia mbio jamani nyinyi raha ya mapenzi umpate yule anayekupenda utajua mapenzi nimatamu au rah Hakika wawili hawa jamani walipendana muda wa kukalibia kujifungua walienda Canada huko ndipo alipojifungulia Vanessa na mtoto wake alikuwa na ulaia wa nchi mbili kalikuwa kazuri sana kakiume familia ilikuwa yenyefuraha sana mamaake Vanessa na babaake Vanessa walifurahisana mtotowao alikuwa na furaha na muda ulipofika walikabiziwa ofisi ya baba kuwa ya Vanessa ashilikiane na Franco Pia wazazi wa Franco walielewa mapenzi waliokuwa nayo Vanessa na Franco hivyo waliamua kuwapa radhi zao kumkubali Vanessa na tayari wamepata mjukuu Fred alikuwa hana budi aliamua kuwaalika siku moja nyumbani akakaanao nakuongea nao kisha aliwaambia hana tena kinyongo nao hivyo wawena amani kisha alimbeba mtoto nakuwaomba naweza kutoka na mwanangu walimwambia wewetuu walicheka na kufurahi kwakweli ilikuwa familia yenyeupendo na yakubutia maana wanapenda sana kilasiku kama ndio wapenzi wapya hakika Franco nimwanaume mwenye haba zito hata mama wa Vanessa alifurahi sana kuona mwanae yuko nafuraha na mwanaume mwenye mapenzi walikuwa wanawavutia watuwoote Franco alikuwa anawaambia kuwa Vanessa niwake pekeake.......mwisho wa hadithi hiii ila ndio mwanzo wa hadithi nyingine endelea kututuatilia

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

Hatimaye muda wa maandalizi ya harusi umefika walitoka kwenda kutafuta shera ya harusi mapambo nakila kitu na yeye aliandaa kwa upande wake suti na viatu Hivyo walifuatilia ukumbi Siku ya harusi ukumbi ulikuwa mkubwa pia watu waliokuja walikuwa weengi biharusi alipelekwa saruni kupambwa akiwa na msindikizaji wake walipambwa vizuri sana bwanaharusi pia alikuwa saruni ya wanaume Wakati biaharusi anachukuliwa apelekwe kanisani alichukuliwa nakupelekwa kwengine alienda kukutana na Fred bila hidhini yake aliuliza kwanini dereva umefanya hivi deleva alikaa kimya Fred alimfungulua mlango Vanessa na kumwambia njoo tufunge ndoa kipenzi changu kwani nilikuwa nakusubili muda sana Vanessa alikasilika na kumwambia Fred sitaki haya maigizo yako niache niondoke unanipotezea muda nasubiliwa kanisani na padri Fred alijibu haya sio maigizo na hapa kunapadri pia kwani Vanessa hinipendi kabisaa Vanessa alimjibu sikupendi kimapenzi hakika nakuchukulia kama rafiki nakuomba Fred niache niwahi Fred alimtazama Vanessa na kumwambia sawa sina budi nilizani unalazimishwa na Franco kumbe umempenda mwenyewe Vanessa alijibu nikweli mwanzo alikuwa ananitaka alikuwa ananirazimisha lakini sasa nampenda yeye pekeake naomba nisamehe Fred mungu atakujalia utampata atakae kupenda naomba niende Kwa upande wa kanisani Franco alisha fika watuwoote wapo pale walikuwa wanamsubili Vanessa tuu na wamepiga sim hazipatikani kupiga saruni wakaambiwa alishatoka hapo muda mrefu wanampigia dereva hapatikani watu walichanganyikiwa hatari wanamtafuta msindikizaji wa biaharusi naye sim haipatikani Franco alifikilia haraka haraka na kumpigia Fred bahati alimpata kisha akamuuliza Fred unafanya nini Fred alijibu nipotuu kwanini unauliza Franco alimuomba acha hicho unachotaka taka kufanya baba na mama woote wapo hapa nihatari utawasababishia presha Alijibu Fred kuwa tayari nimeacha yupo njiani biaharusi anakuja Franco alimwambia nashukulu mdogoangu Fred alikata sim Baada ya dakika chache biharusi huyuhapa watu walifurahi wakaingia ndani ya kanisa ibada yandoa iedeleee...........je harusi itafanikiwa tafadhali endelea kufuatilia story taamu

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

Walifirahi mnoo wazazi wa Vanessa sana walimpenda mnoo Franco walianza maandalizi ya harusi ya mrembo wao kwani furaha ya mtotowao ndio furaha kubwa sana kwao Franco nae alikuwa nimwenye furaha sana aliwaambia nyumbani sikusionyingi naenda kufungandoa na Vanessa hivyo tujiandae Mama pamoja na Erica walimwambia sawa tutafanya maandalizi waambie na wadogozako Alimwambia mama hamna tatizo nitawaambia woote kuwa na amani Aliwasubili walipotoka makazini kwao Fred na France aliomba kuzungumza nao waliitika na kumsikiliza Franco alianza pamoja na kuwa nimekukosea Fred natumai utanisamehe kwa hili kwani tayari nimesha kosea hivyo wewe ninduguyangu utaendelea kuwa nduguyangu hata itokee nini Fred alitulia akamwambi kwahiyo umeharibu tena sio Franco alijibu hapana nilikuwa nimewaita nataka mnisapoti kwenye shuli yangu naenda kufunga ndoa na Vanessa France hakuwa anajua kitu alionyesha kushangaa na kuuliza mbona Vanessa Franco alijibu kuwa France kila kitu kimesha tokea ilikuwa bize mnoo Hivyo naomba niseme Vanessa niwangu kwa sasa Fred alichukizwa kwa hasila aliondoka kwa hiyo kauli akawaacha wameduaa France akabaki kuguna nakisha akasema hakika mapenzi nimchezo hatari sana usipokuwa na rohongumu unaweza ukafa haya unaenda kufunga ndoa na kisha unamleta humu humu ndani hapana kaka utaleta tatizo fanya mpango ukatafute nyumba kwengine sawa maana Vanessa nimrembo hakika Franco alimjibu sawa kwa ushauli nitahakikisha naendanae mbali na hapa nyumbani France akasema msije namimi mkanitia kwenyehiyo zambi maana Vanessa anavutia kila mwanaume atakae muona sitaki kabisaa lawama uondoke nae mbali Franco akakoroma kidogo wewe France unaongea nini kumbuka mimi nikakaenu nayule kuanzia sasa nishemejiyenu France akajibu ilikuwa hivyo hivyo kwa kaka Fred ulifanya nini haya bwana nimeshakuelewa tutamuheshimu Alipomaliza alitoka na kuingia kwenye gari kwenda zake kukutana na kipenzichake alipofika alimpigia sim na kumuita akaja kisha akamwambia twende wapileo nikutembezee uenjoy Vanessa akamwambia twende zetu maeneo ya ufukweni tukacheze sawa Walikubaliana walienda bich kucheza mchezo wakukimbia na kucheza mpira kwa kimahaba walikuwa niwenyefuraha sana walipomaliza wakatoka na kwenda kwenyegari kisha waliondoka wakiwa njiani Franco alimuuliza binti mrembo huna njaa Na Vanessa alijibu ninanjaa kalimnoo ukichelewa kufanya maamuzi nakumeza woote kimatani wakacheka na kufurahi Franco kama kawaida yake alimpeleka sehemu na kupata chakula chajioni wakiwa wanafurahi kisha walizungjmzia swala lao la ndoa na baada ya hapo walianza kunywa mvinyo walikunywa Vanessa akasema inatosha kipenzi tuondoke Walienda kwenyegari iliwaondoke walifika kwenye geti la kina Vanessa wakaanza kukiss romance na kutomasana mwisho hisia ziliwazidi Vanessa alimuomba twende hotel hapa siwezi kuenjoy Franco aligeuza gari walienda hotelini walikuwa na shauku kubwa Franco alishuka kambeba Vanessa mikononi hadi chumbani walipofika walikuwa kama simba kamuonya swala porini kwa mahaba waliokuwa nayo hakika walikuwa wanapendana kuliko Fred walifanya starehe zao mpaka walipomaliza Franco alimbeba Vanessa kama kawaida yake hakika Franco anamahaba sana alifanya yale yoote ambayo Fred hakuyafanya kwa Vanessa alimjali kwakila muda dakika sekunde alimpa furaha anayostahili hivyo alifanikiwa kuuteka kirahisi moyo wa mtoto wakike alikuwa anampenda sana Walioga kwa mtindo wakuogeshana na baada ya hapo walifutana maji kisha walivalishana na kuondoka kwenda kwenye gari kwaajili ya kurudi nyumbani kwani muda ulikuwa umeenda ila haikuwa tatizo sana kwakuwa tayari anavibari vyoote vywa wazazi wa Vanessa alimludisha na kumuingiza ndani kwao kisha aliwasha gari kuelekea kwao nayeye alifika nyumbani akaingia ndani kulala........je harusi itafanikiwa Fred anawaza nini unataka kujua endelea kufuatilia simulizi taaaamu sana

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

👉 Hapo chausiku uchawi ukamtoka kusikia sauti ya baba na mboo ipo IPO mkunduni sasa..dah yani...👇 Aliludi kwa mbele mboo ikachomoka na mavi kama yote...chausiku alishika mavi yake kwa mikono yake na kumpakaza mganga uku anapiga kelele) " Ananibaka ananibaka. ( Watu walikimbilia chausiku kajitoa ufahamu ajali yupo uchi...na watu walimpiga mganga uku wanasema) " Ndio tabia yake uyu mshenzi anawatomba sana wake za watu. ( Kijana wa ovyo alikuwa ameenda kuchimba dawa kusikia mkuu wake kimenuka akachimba mbio...sungusungu walimkamata mganga na kumpeleka police kuja kukaguliwa ata leseni ya uganga ana...polise wakasema) " Hawa ndio wanasababisha ata vifo vya albino waganga kama hawa uyu kazi anayo. ( Na kweli sheria ilifata mkondo mganga alifungwa kwa kosa la ubakaji na kufanya kazi pasipo leseni....sasa chausiku akamsimulia baba kwanini alienda kwa mganga...na baba akamsimulia yaliyomkuta...chausiku alimuacha baba hapo hapo akutaka ata maongezi mengi...baba anakuja nilipo mimi tuje kulala chumba kimoja baba analia kama mtoto) " Mwanangu usije ukawa kama mimi nimepoteza Leo nalala tu apa kesho nijue naenda wapi. ( Usiku huo baba aliumwa sana kibofu cha mkojo nikampeleka hospital akalazwa...nikaenda kumwambia shangazi..damu nzito kuliko maji shangazi alikuja asubuhi dokta mmoja asiye na adabu akujua shangazi ni dada wa baba yeye alijua sijui mke wake moja kwa moja anamsema) " Tabia ya kuwapa waume zenu mikundu unaona sasa uyu kaziba kibofu cha mkojo na michanga. " Wewe dokta koma auna akili au ujasomea hekima ya kazi yako unajua mimi nani kwa mgonjwa? " Nilimwambia mwanawe jana amlete mkewe apa. ( Kweli aliniambia jana ila kuvulugwa nikaenda kumwambia shangazi sasa kwani baba si ana mke kumbe dokta kakumbuka kauli yake sasa akuuliza..hapo shangazi akaniita akaniambia) " Baba yako kimemfilisi mkundu na kimempa maladhi mkundu na yupo kitandani apo kwa sababu ya mkundu sasa mimi kama kawaida mwenye kilanga apewi pole naludi kwangu angaika na baba yako uwe makini aliyezoea mkundu sio wa kulala nae chumba kimoja. (Aliniudhi kauli yake ya mwisho aliyosema...alafu akaondoka...nililudi nyumbani kuuza kitanda godolo..na nikaenda kumtibia baba uku moyoni nasema siji kufila kwenye maisha yangu mimi tena...baba alitoka hospital na akanishukuru sana akaniambia) " Mwanangu sina la kusema acha niludi kijijini na wadogo zako naenda kuanza maisha mengine wewe baki mjini ila usije ukasubutu kufanya mapenzi na mwanamke kinyume na maumbile. ( Mimi kimya...alienda kijijini na bahati nzuri kwake alikutana na mama wa kambo wa kwanza ila awakuludiana aliweza kumpa mwanga wa maisha ya kijijini jinsi yalivyo na aliwasaidia wadogo zangu Kiroho safi...baba alibadilika akawa mtu mwema kweli kweli...mimi nikakomaa na jiji ndio nakuja kuona kina asha na wenzie wamekuwa mateja...pesa ile walifanya starehe za kila aina mwishoni wakaangukia kwenye unga...sasa awatamaniki ata uwe na ugumu gani ukiwaona mboo inanywea uteja sio kitu kizuri kwenye jamii...na wakichanganya awana malinda wakijamba kimavi kinatoka basi wananuka kweli kweli...mimi nazidi kujifunza kupitia wao...japo chausiku yeye kawa malaya wa kutupwa ila sio teja...yeye anawacheka wenzie..kiufupi wote wamepoteza ila kuna kupoteza zaidi.... Mpaka apa nimefika mwisho wa simulizi yangu hii mazuri yachukue mabaya yaache...kikubwa kufila kufilwa akuna inshu sio kitu kizuri kabisa..... Mwisho mwisho mwisho Mwisho mwisho mwisho

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

👉 Nimeibiwa😭😭😭😭😭😭😭😭. " Baba umeibiwa pesa yote? " Mpaka mwanamke wangu 😭😭😭. ( Simu ikakatika...nikawa najiuliza mwanamke anaibiwa vipi...nampigia simu yule aliyetaka kumsaga amina apatikani...ikabidi nimwelekeze amina jinsi ya kujistili...kwa kipande cha kanga akuna pedi ndani pale na Nikamwambia ukweli wote juu ya mabadiliko yake ya mwili...sasa nyumba za kupanga azina adabu nasikia nje watu wanaongea maneno mazito nipo ndani na amina na yeye anasikia anayeongea ni mwanamme anawaambia wanawake nje) " HAKUNA MWANAUME MWENYE UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME KWA MWANAMKE FUNDI Fikiria unakutana na mwanamke kila unapomgusa hata ile hamasa ya milio ya kwamba anataka mboo hatoi... Yupo mwanamke ambae hata Kama ulikuwa huna mpango wa kutomba siku hiyo utamtomba tu! Hatoi lawama ila atajiliza Kama mdudu wa sikio kwa sauti mwanana huku akichezea mboo iliyolala, itavutwavutwa kwa mapozi na sio kuvuta mboo na mapumbu yetu Kama mnavuta kamba ya kuwashia jenereta!! Onesha kweli unataka kutombwa na mume wako uiijifanya kila siku Kama unalazimishwa matokeo yake Kama jamaa anamadeni na majukumu mengi unaweza kukatika hata mwezi hajakutomba!... Mboo zetu zinasimama ikiwa akili imetulia Hivyo Kama mwanamke utajua kumrudisha mwanaume kwenye mchezo kwa vishawishi vya sauti, kunyonya mboo, hata Kama alikuwa hataki utatombwa tu!.. maumbile yetu sio Kama yenu kusema unaweza ukachanua tu mboo ikaingia hata Kama huna midadi!! Sisi Ni Hadi mboo isimame Sasa Ni jukumu lako mwanamke kuchangamka .sio unajiegesha Kama kiroba Cha viazi halafu unamshutumu mwenzio kuwa Hana nguvu za kiume! ( Mimi apa natamani niwe na redio sina uyo jamaa ndio anazidi kuongea ujinga nje uko.....nikakaa kimya bahati nzuri tumbo la amina lilitulia usingizi ukaja tulilala asubuhi asubuhi tukaamka mimi nikawai kwenda kununua matunda kwa ajiri ya biashara..naludi saa nne naona baba na yeye kaludi kachoka ananiambia) " Mwanangu nimeibiwa apa nisindikize kwa shangazi yako. ( Sikumwambia tumefukuzwa tukaenda kwa shangazi wote na baba akaanza kumwambia shangazi moja badala lengine) " Tulipofika zanzibar asha akaniambia twende hotelini kabla atujafika hotelini likaja gali nyuma yetu wakashuka wakamchukua asha na begi la pesa mimi wakanionyesha bastora na kuniambia kimbia. " Sawa apa umekuja kufanya nini? " Dada nimekuja kukwambia matatizo yaliyonikuta. " Mwenye kilanga apewi pole kilichokufanya uuze nyumba nini?...na uyo mwanamke ndio kacheza huo mchezo sina mengi ukiweza kamloge uwezi acha nenda kakae na wanao kwenye chumba cha mwanao ulichompangia. " Dada dada dada😭😭. ( Baba analia kama mtoto aamini macho yake dada yake anamfukuza kwa hasira baba kanyanyuka wala akutuaga anaondoka kumbe anaenda kwa mganga...sasa anafika kwa mganga anapita dilishani anasikia sauti ya chausiku anaimba imba) 🎶 Nauli yako nakula lakini siendii. ( Baba akastuka ile kuchunguria anaona mganga mkuu anamfila chausiku tena anakata uno kweli kweli kwenye mkundu wa chausiku mwenyewe kainama anaimba tu wimbo kama afanyiwi kitu...baba alisema kwa nguvu) " Tiba gani ya kufila iyo. ( Hapo chausiku uchawi ukamtoka kusikia sauti ya baba na mboo ipo mkunduni sasa...dah yani) ITAENDELEA

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

👉 Mmmmmmm...👇 ( Mganga mkuu kashaushindilia uboo mkunduni vizuri umezama anakata uno mdogo...chausiku akasema) " Toka toka unanifila bila idhini yangu toka nitakushitaki. ( Kijana wa ovyo akaona mlipulipu umetoka kwenye mwili wa chausiku akaenda kuuchukua akammwagia dk tano tu chausiku anacheka cheka akili sio zake anaimba nyimbo za kitoto) 🎶 Ukuti ukuti... wa meme wa meme... mwenzetu mwenzetu... kagongwa kagongwa..na nini...na gali na gali...tumpeleke hospital asije kusema kwa baba yake yesa yesa yesa yeee...bado kidogo...yesa yesa yesa yee. ( Yani anayejibu kijana wa ovyo uku chausiku anafilwa KIPANDE kile mwenzetu anagongwa ajui yeye ndio anagongwa na mboo ya mkunduni...mganga mkuu akamaliza kupiga bao akachomoa mboo..akampisha msaidizi yani kijana wa ovyo na yeye akamwingiza mboo ya kumani...anamtomba uku chausiku kabadilisha nyimbo anaimba nyengine) 🎶 Tumpeleke tumpeleke...wapi kwa balesa...kwa balesa...kuna nini...mwajuma...katobolewa...katobolewa na nani...mchaga muuza duka...uyo mwajuma shilingi imemponza watu kumi na mbili midizini wamemtomba. ( Kijana wa ovyo kucheka anatamani ila ndio yupo kwenye show alimtomba mpaka akamaliza...sasa mganga mkuu akaludia kufila mala nyengine na kijana wa ovyo akatomba mala nyengine wakachoka wakamnawisha alafu wakamuacha alale apumzike wao wakatoka nje kupongezana kwa kazi ya mlipulipu....upande wangu yule mama aliyetaka kumsaga amina akaniambia) " Shabani komaa na kazi yako amina yupo mikono salama yule aliyeingia kwa baba yako ana mpango wa kumtesa amina wala mdogo wako mwengine sawa? " Sawa. " Mimi nimekuja kukwambia ivyo tu Leo naumwa siku zangu siwezi kuja kutombwa na wewe. " Sawa. ( Basi aliondoka...mimi nikawa bize na kazi yangu nauza mahindi...sasa baba aliufakamia mkundu wa asha mpaka kazi akasahau kwenda kwa wakati akafukuzwa kazini...kwa utamu wa mkundu...asha ajui baba kazi ana kashazoea matumizi mixsa kumpa mkundu kweli kweli..na baba hili aendelee kuishi vile vile akaanza kuuza vitu vya ndani aendelee kula bata...baada ya kutafuta kazi yeye akili ipo kwenye mkundu tu wa asha...mimi nikaanza kuona mambo kwa baba kama yanaenda ndivyo sivyo namuuliza) " Baba mbona unauza vitu vya ndani? " Ulinisaidia kununua? " Sijakusaidia sasa unauza mpaka kochi wageni watakaa wapi? " Nyumba sio ya wageni hii alafu wewe nimekupangia kaangalie maisha yako. ( Nikaona yasiwe makubwa acha niende zangu...upande wa chausiku alizongwa na madawa akawa chakula cha waganga kwa ujinga wake...mimi nikampigia simu mama wa kambo wa kwanza kumwambia ya nyumbani akaniambia) " Itakuwa baba yako kazi kafukuzwa kwa kuendekeza starehe kuwa makini atauza mpaka nyumba na wadogo zako wataangaika. " Sawa. ( Kumbe wakati ananiambia ivyo kweli baba kashaleta madalali kwenye nyumba na nyumba siku ya pili kauza nashangaa ananiletea wadogo zangu ananiambia) " Shika laki mbili izi ongeza mtaji wako kaa na wadogo zako mimi naenda zangu zanzibar pale nimeuza nikiludi nanunua nyumba nyengine. " Baba pale umepauza? " Pigia mstali neno lako umepata ilo ndio jibu. ( Baba uyo akaondoka na asha zanzibar...mimi nilichanganyikiwa sana naenda kwa shangazi kumwambia shangazi akaniambia) " Kakae na wadogo zako sitaki kusikia izo taarifa yeye anauza nyumba anaenda zanzibar unazani ataludi na pesa tena yule sitaki kuwaona apa nendeni mkakae alipokupangia😭. ( Shangazi anatufukuza uku machozi yanamtoka mimi nikachukua wadogo zangu naenda kulala nao chumba kimoja...na ndio siku amina anavunja ungo usiku yani anapata hedhi ya kwanza imemjia na tumbo kuuma amina aoni aibu yani ajui ananiambia) " Kaka kaka uku kwa bibi kunatoka damu na tumbo linaniuma. ( Mimi nishajua uyu tayali kavunja ungo je nimwelekeze jinsi ya kujistiri au nafanyaje kichwa kinazunguka mawazo...simu yangu inaita wakati huo napokea nasikia sauti ya baba analia) " Baba umepatwa na nini? " Nimeibiwa 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭. ITAENDELEA

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

Walimtafuta sana bila mafanikio mama wakati amekaa sebureni kachoka siku yatatu mdada wakazi alikuja na barua nimeiokota chimbani kwa dada Vanessa mama aliichukua na kuisoma ilikuwa imeandikwa niacheni nahitaji kuwa pekeangu kwa muda msihofu mama nababa mwambieni na Franco nipo dubai kwamuda nitaludi Walipata nafuu wakaendelea namajukumu yao wiki ilikatika ikiwa hawajamuona baada ya wiki mbili ndio Vanessa aliludi sikuhiyo apofika tu uwanja wa ndege alitoa simu nakumpigia Franco aje kumpokea Franco alichukua gari haraka nakuenda alipofika alimkimbilia na kumkubatia kwanguvu sana akamwambia Franco mfalme wangu siwezi kukaa mbali nawewe hakika umenionyesha sayari mpya sijawahi kuiishi tangu nimeingia sitaki kutoka naomba kuzikwa hapa hapa kwa vyovyote nakupenda wewetuu pekeako Franco alimwambia nakupenda pia kisha alimchukuwa na kumpeleka kwenyegari kumludisha nyumbani walifika na kushuka kisha waliingia ndani waliwakuta wazazi baba na mama yake wote wapo sebreni Aliingia nakupiga goti mpaka kwa baba nisamehe baba niliacha barua na hamkuiona mimi ndio mwenye makosa baba kisha alienda na kwa mama ila wote walimwambia hunakosa kwani sisi ndio hatukuzingatia nini unapitia haya yameisha aliwakumbatia na kisha akasema asanteni sana na naomba leo niwatambilishe kuwa nipo kwenye mahusiani na Franco baba na tayari kanitambulisha kwao tunaenda kuvalishana pete tuu naombeni ridhaa kwenu Baba alifurahi sana kwani Franco nikijana anamjua hivyo alimwambia naomba Franco uongeze umakini zaidi kwasababu tayari unaendakuwa mwanafamilia nakingine umtizame kwa makini na sitaki alie lie nimtoto mpendwa sana wababa na mama Franco aliahidi atakuwa makini kwa kilakitu hivyo was hofu kuhusu Vanessa yupo sehem sarama Mama akaongea nakuamini sana Franco huwezi kuniangusha sio Franco alimjibu mama siwezi kuwa na amani mama Kisha waliandaa chakula navinywaji wali enjoy sana alikuwa na pete akaitoa kisha kumvisha Vanessa alifurahi walifurahi wote baada ya hapo siku zilipita wakapanga waandae haruri ya Franco na Vanessa........je itakuwaje halisi itafanikiwa unatamanikujua tsfadhari endelea kufuatlia simulizi hii

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

ENDELEA........ "Sitaenda mtoni kwa Mfalme, waamshe mabinti wote waje ukumbini. Kwa vyovyote vile mhalifu atapatikana" Malkia aliongea akionekana kuvurugika. Nilijitia bize na mtoto lakini Kijakazi wa Malkia Shamsa alinidaka. "Wewe pia ni Mwanamke, njoo hivyo hivyo tena bahati nzuri nguo zako zimelowana na kamtindo ka nywele zako sasa utadhani ni mdogo wake Malkia" Tunu aliongea, ana mdomo huyu acha tu. Basi alinisaidia kubeba mtoto tukaelekea kwenye kusanyiko lililoitishwa na Malkia Shamsa. Hata Ada Mama wa Mfalme alikuja kujionea kinacho endelea si unajua tena Wanawake tuna asili ya uongo. "Kuna Mbweha mmoja alikuwa anaoga na Mfalme kwenye mto ambao hatakiwi kuingia. Sitaki kutumia nguvu nyingi naomba awe mwaminifu kwa kupita mbele adhabu yake itapungua " Malkia Shamsa aliongea. "Hebu subiri kwanza, kuna mtu kaingia kwenye mto tofauti na wewe " Malkia Ada aliuliza. "Ndiyo Mama, sielewi hata kwanini unacheka hili jambo halifurahishi hata kidogo sielewi kwanini unacheka " Malkia Shamsa aliongea. "Wala huna haja ya kupaniki kila kitu kitaenda sawa, na hata hivyo kuna mtu kalowa..... Yaya wa Ivan pita mbele " Malkia Ada aliongea akiwa kakunja sura yake. Huyu naye huwa haelewiki dakika mbili zilizopita alikuwa anacheka ghafla tena kabadilika. Nilipita mbele kwa aibu, "Wakati na kuletea Ivan wangu ulikuwa katika hiyo hali " Malkia Shamsa aliuliza. Nilitikisa kichwa kuashiria ndiyo. "Kwahiyo wewe ndio ulikuwa unaoga mtoni na Mfalme " Malkia Ada alinidaka kwa mara nyingine tena. Nilikosa jibu, sikujua nazungumza nini na ukizingatia Mimi ndio mkosefu. "Ukimya ni jibu tosha, afungwe miguu yake huku na kule kisha farasi liondolewe " Malkia Ada alifunga mjadala. Sikuwa tayari kufa, nilianguka kifudifudi ili niombe rehema lakini jibu la ghafla lilikuja kichwani mwangu. "Sikuwa na mpango wa kusema lakini Mfalme Pangani aliniita nimsaidie kutafuta pete yake iliyokuwa imedondokea mtoni....haikuwa rahisi kuipata lakini nilifanikiwa " Nilitunga maneno ya uongo. "Muite Mfalme Pangani aje kuthibitisha maneno ya Sadia " Malkia Shamsa alitoa amri. Basi Kijakazi wake Tunu aliondoka kwa kukimbia. Dakika mbili hazikupita Mfalme Pangani alifika. "Ni kweli ulidondosha Pete kwenye mto wetu na huyu Yaya wa Ivan alikusaidia kuipata?" Malkia Shamsa aliuliza. Mfalme alitikisa kichwa chake kuashiria ndiyo. Niliwaona watu wote wametulia kutokana na ushahidi wa Mfalme. Kwa kuwa ilikuwa ni usiku wote tulitawanyika. Nilienda chumbani kwangu kubadili nguo, Ivan alikuwa ana sumbua sumbua hivyo nilimuweka Mgongoni. Haikuchukua muda alilala, ile namtoa Mgongoni nimlaze kitandani Malkia Shamsa alikuja. Alinipokonya mtoto kisha akamuweka kitandani. "Pete unayosema ilikuwa mtoni ni hii hapa....alinipatia Mimi kitambo tu. Kwahiyo wewe na Mfalme mmeongea uongo.....naomba ulale kitandani ni kague sehemu zako. Naufahamu vizuri udhaifu wa Mume wangu " Malkia Shamsa aliongea. Eeh jamani eti nilale kitandani anikague........

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

ENDELEA........ "Naomba utulie " Sauti ya Mfalme Pangani ilisikika baada ya kuanza kumtoa mkono. Mmmh kutulia tena jamani basi nilitulia akawa anachezea chuchu zangu. "Malkia wangu, siku ya jana nimeongea na Mtabiri Mkuu kanieleza Mimi na wewe tumebarikiwa watoto wengi mfano wa mchanga wa bahari. Lakini kwa kuwa nakupenda sitaruhusu uzeeke mapema " Mfalme aliongea huku akizidi kutalii huku na kule. Nyie watu basi nikawa hoi taabani, kitu kilipitishwa kwa nyuma.... eeeh vile nina muda mrefu sasa liwalo na liwe tu. Nilianza kutoa ushirikiano 😋😋😋😋....... Tuliviringishana hivi na vile mwisho tulifika kileleni. Nyie wacha niumbuke sasa, Mfalme alinigeuza mbele tukawa tunatazamana. Yeye alishtuka Mimi pia nilishtuka, "Wee mbwa nani kakupa kibali cha kuingia kwenye mto wa Mfalme na Malkia.... lengo lako ni nini wewe nguruwe pori " Mfalme alifoka. Nilijitupa kwenye maji eti nipige magoti wacha maji yaingie puani ni kaanza kukohoa mfulilizo ..... Mfalme aliniokoa vile ana hasira sasa alinikata mtama ni kaanguka kwenye maji. Sikutaka hata kujishughulisha kujiokoa ni heri nife tu na si kukabiliana na adhabu ya kifo. Mfalme alinitoa kwenye maji kisha akanikata mtama tena. Walinzi wake walikuja mbio kutokana na purukushani iliyokuwa inaendelea. "Msiwe na shaka hakuna kitu chochote kibaya...." Mfalme aliongea huku akijitahidi kunificha. Ile Walinzi wameondoka tu, Mfalme alinitimua. Niliondoka kwa kukimbia bila kugeuka nyuma. Ile naingia chumbani kwangu tu Malkia Shamsa alifika akiwa kambeba Ivan. "Nimekumbuka Mimi na Mfalme Pangani tumeahidiana kukutana mtoni, naomba ubakie na mtoto " Shamsa aliongea. Nilitamani kumuambia tayari nishaliwa na Mfalme huko mtoni lakini nilijizuia. "Malkia, Malkia " Sauti ya Kijakazi wake ilisikika. Shamsa alifungua mlango ili ajue ni kitu gani kinaendelea. "Kuna Binti alikuwa kwenye mto na Mfalme, wallah nahapia siku ya leo Mfalme kakusaliti " Kijakazi aliongea bila kupumzika....... ITAENDELEA..........

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest