Menu


Trust You

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

✍️ Imeandikwa na Rachel Niliwahi kuamini kuwa mapenzi makubwa zaidi duniani ni yale ya ndoa, lakini sasa moyo wangu unanipinga. Mume wangu ni mchangamfu, mwenye upendo na heshima. Lakini tangu siku nilipokutana na mdogo wake, kulikuwa na kitu kisichoelezeka kilichonigusa ndani kabisa ya nafsi yangu. Sauti yake ya upole, jinsi anavyonitazama kana kwamba anasoma mawazo yangu, na hata jinsi anavyotabasamu… yote yamegeuka sumu tamu inayoua amani yangu taratibu. Sijawahi kumwambia. Kila mara nikimuona nyumbani kwetu, moyo wangu unacheza kwa kasi ya ajabu. Wakati mwingine hukaa karibu nami, kuniuliza mambo madogo madogo, na macho yake huzungumza zaidi ya maneno. Nimejaribu kuepuka mawazo haya, nimejaribu kumwona tu kama shemeji, lakini moyoni najua nahitaji zaidi. Je, ni dhambi kumtaka mtu ambaye tayari ana uhusiano wa damu na mume wangu? Najua nikimwambia, naweza kuharibu kila kitu — ndoa yangu, familia, na hata heshima yangu. Lakini kadri siku zinavyopita, hisia hizi haziishi… zinakua. Ninaomba ushauri. Nifanye nini kabla sijajikuta nikifanya kosa nisiloweza kulisahihisha? 💔

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

ANZAA...... "Umesema mganga niitie kwenye nini hii dawa!?" "Chai au maji ya kunywa na umpe mmeo anywe, baada ya hapo utakuwa umemshika na atakupenda mpaka utashangaa mwenyewe!" "Hapo nimekuelewa mganga!" Alijibu na kumlipa pesa na kunyenyuka na kumfanya mganga atumbie macho yake akiyatazama maka...lio yake yaliyokuwa yakitikisikika. "Kama ni kalio tu basi unaloo!" "Khaaaa na nyie waganga kumbe mnataka!?" "Hata sisi fimbo tunazo dada tena zinachapa kweli kweli au nikuchape kimoja!!?" "Nyooo kwenda huko, tabia mbaya tu hizo mganga, mimi naenda bhana mfate mkeo ukamchape na bakora yako!" "Khekhekhekhekhekhekhe!" Mganga alikenua meno akicheka akiendelea kuburudika na ukubwa wa maka...lio ya Mwanamama aliyekuwa akitoka kwenye kiduku chake na baadaye alipotea mbele ya macho yake. "Sijui nimefeli wapi leo kumpa dawa ya kumdumaza na kufanya yangu ila sio mbaya siku nyingine atajileta tu!" Mganga mnoko alizungumza baada ya kuachwa na upwiru. Mwanamama aliyetoka kwenye kiduku cha mganga alienda moja kwa moja na kupanda kwenye gari yake na kuukamata usukani na kuanza kuendesha, masaa mawili yalikatika akiwa njiani na ndipo gari yake iliposimama nje kabisa ya nyumba ya kisasa, geti lilifunguliwa na mlinzi na gari iliingia ndani. "Baba Rashidi amesharudi!?" "Bado hajaja boss!" "Sawa, funga geti!" "Aya boss!" Aliteremka ndani ya gari na kubeba mkoba wake na kuanza kutembea akieleka ndani akiacha kizaa zaa kwa mlinzi aliyebaki akikodoa macho akitazama makalio ya boss wake yalivyokuwa yakitisika kwa nyuma. "Watu wanafaida kwenye hii dunia acha tu, madam ana bonge ya mtakoo, eeeeeh mwenyezi mungu nipe na mimi mke kama madam!" Aliomba maombi ya kipuuzi na kusahau kumuomba muumba amtoe kwenye kazi ya ulinzi na kumpa maisha mazuri ila badala yake aliomba mwanamke mwenye maka...lio makubwa tu!. Mwanamama aliingia mpaka ndani na kuwakuta watu wakinyo...nyana mate. "Rashid!" Haraka walitengana na kila mtu alisogea pembeni. "Kinaendelea nini hapa na wewe siulitakiwa kuwa jikoni sasa ivi unapika!?" Binti aliyekuwa akinyon...yana mate na Rashidi alinyenyuka haraka na kukimbilia jikoni akimuachia msala mwenzake. "Ivi Rashid mwanangu ni mara ngapi nimekwambia uache kutembea na binti wa kazi!? na ukizingatia bado unasoma, huoni kama utaambukizwa magonjwa mapema mwanangu!?" "Imetokea bahati mbaya tu halitajirudia tena" Rashidi aliongea akiuficha mtalimbo wake uliokuwa ndindiiiii ili mama yake asiuone. "Leo iwe mara ya mwisho vinginevyo nitaleta mfanyakazi wa kiume humo ndani na sio wa kike tena maana kila nikileta mfanyakazi wa kike unamdinya!" "Nimekuelewa Mama!" Mama Rashidi aliondoka akiwa na mkoba wake na kuingia chumbani kwake. Alikumbuka maagizo aliyopewa na mganga na pale pale alitoka chumbani na kwenda kwenye firiji kwa ajili ya kuchukua maji ya kunywa ila hakukuwa na maji, alikereka na kumwita binti wa kazi kwa hasira aliyemkuta akinyon...yana mate na kijana wake na alipofika aliongea. "Kwanini hukuweka maji ya kunywa kwenye friji!?" "Nilisahau mama!" "Grace kuwa makini lasivyo hutadumu kwenye hii nyumba!" "Nimekuelewa mama!" Binti alitaka kuondoka ila Mama Rashidi aliongea. "Kuna maji nayaweka humu kwenye friji sitaki mtu yoyote yule ayanywe umenisikia!?" "Ndio mama!" "Nenda kamwambie na huyo mwenzako nilichokwambia!" "Aya mama!" Grace aliondoka na Mama Rashidi alichukua glasi na kuweka maji na baada ya hapo aliweka dawa aliyopewa na mganga kwenye maji akiyanenea na baadaye aliiweka glasi kwenye friji na kuifunga vizuri. "Hapa hatachomoka na sidhani kama ataendelea kutamani mala....ya zake wa huko nje!" Alitoka maeneo yale na wakati yeye anatoka Rashidi naye alifika na kusogea kwenye friji na kuifungua, alichukua maji yaliyotoka kuwekwa mda mfupi uliopita na mama yake na kuyanywa na mda huo huo alifika Grace. "Wewe!, mama ametukataza tusinywe maji ya kwenye friji!" "Sikujua ila hata hivyo nitaweka mengine, sogea hapa nikwambie kitu!" Grace alisogea na Rashidi aliupeleka mkono wake mpaka kwenye kitumbua chake na kutaka kufanya uchokozi ila binti aligoma. "Usiku bhana Rashidiiiii sio sasa ivi!" "Basi poa nenda ukaendelee na kazi, leo kuna sitahili kabambe nataka nikuoneshe utapenda mwenyewe, hakikisha unakula na kushiba vizuri!" "Mmmmmh!" Grace alijiondokea na Rashidi aliweka maji mengine kwenye glasi na kuyarudisha kwenye friji. Kijana alikaa kwenye kochi na kuanza kutazama tv na mda huo huo mama yake alifika. "Mwenzako ameshakwambia!" "Kuhusu nini mama!?" "Kuna maji nimeyaweka kwenye friji usinywe sawa!" "Aya mama!" Rashidi alijikausha kama vile hajayanywa na pale pale alijikuta akianza kutamani makali..o makubwa ya mama yake, kijana alianza kuzungusha ulimi, damu ilizunguka kwa kasi kwenye mwili wake na bakora yake ilisimama pale pale.......ITAENDELEA.

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

ENDELEA............. Mizagamuo ilianza upya tena temu hii Sister Mary alionesha ushirikiano wa aina zote, hakukumbuka tena kama yeye ni mtawa na ni dhambi kubwa kwa kile alichokuwa akikifanya ila kilichokuwa ndani yake ni kukata kiu tu, mpaka wanakuja kumaliza Sisiter Mary alikuwa hoi na alienda kuoga kwa mara nyingine na baada ya hapo akaondoka. Oscar alikuwa tayari ameshapata uhakika kuwa sister Mary sio mhusika hivyo alikuwa na kazi ya kuendelea kuwasaka wengine na binti aliyekuja kwenye kichwa chake ni Recho. "Mmmmh sidhani kama Recho ndiyo aliyenifanyia hapana kwakweli!" Oscar alijipinga mwenyewe kwani Recho alikuwa ni mucha mungu hasa na hata kumwingiza kingi tu ilibidi ajifanye na yeye ni mcha mungu kwa kusoma vifungu baadhi vya bibi...lia, aliikumbuka siku aliyotegena naye na siku hiyo Recho alipiga simu zaidi ya mara mia ila hakutaka kuipokea kabisa zaidi alimtumia ujumbe tu na kumwambia mahusiano yao yameishia hapo. "Au inawezekana akawa ni Recho eeeeeh!?, Bhana eeeeeh kiuhakika zaidi ngoja nimtafte alafu nitaona itakuwaje!" Baada ya maamuzi kupita kwenye kichwa chake kazi ilianza ya kumtafta Recho siku hiyo hiyo. Alienda mpaka sehemu aliyokuwa akiishi Recho na kumkuta Mama Recho. "Karibu kijana!" "Asante Mama za hapa nyumbani!" "Nzuri!" "Recho nimemkuta!" "Hapana!" Oscar alikaa kimya kwa mda na kujaribu kuomba mawasiliano yake ila Mama Recho aliwaka na kumtimua akimkazia kuwa binti yake ameshaolewa tayari na anaishi kwa amani na mme wake. Oscar alijiondokea baada ya kunyimwa namba na kabra hajafika mbali alimuona mdogo wake na Recho akiwa kashika simu. "Bora kabisa, Sophy njoo!" Sophy alisogea mpaka alipokuwa kasimama. "Shikamoo kaka!" "Marahaba mzima!" "Mzima tu!" Oscar hakutaka mambo mengi, alichomoa noti na kumpa Sophy. "Ya nini hii pesa kaka!?" "Ya soda!" "Asante!" "Nipatie namba za Recho!" Sophy aliamua kumpatia na baada ya hapo Oscar akaondoka. ************* Sister Mary akiwa kalala kitandani pamoja na Sister mwenzake alianza kumuwaza Oscar na pale pale ny...ege zikapanda. Alibaki akijigeuza kama samaki kitandani hali iliyomshangaza Sister mwenzake. "Mbona sikuelewi Sister Mary!?' 'Kwanini!?" "Ni mda sasa umekuwa ukijigeuza kila wakati!" "Sina usingizi Sister Alice ngoja nisome bibi...lia kidogo" Sister Mary alishuka kitandani na kukamata bi...ble ila sasa kila akijaribu kusoma wapi!!!!!?, mawazo yote yalikuwa kwenye mje..geje wa Oscar tu akiikumbuka mi..zagamuo. Alinyenyuka na kuelekea uwani na baada ya kufika huko alipiga kwanza njia ya msalb kwa hofu na kuongea mwenyewe. "Siwezi tena kuvumilia!" Sister Mary baada ya kuongea alianza kuvua ng...uo zake na baada ya kumaliza mkono wake aliypeleka kwenye qitumbua chake na kuanza kujisu...gua kwa kasi. "Ashiiiiiiiiiii!" "Mmmmmmmmh" Alizidi kujisugua kwa kasi huku akivu..ta hisia kama mtali..mbo wa Oscar upo ndani ya tunda lake na baada ya mda hisia ziliko...lea na kumwa..ga pale pale. Huku Sister Alice alinyenyuka na kwenda uwani na alipofika aliugonga mlango kwa nje hali iliyomshitua Sister Mary aliyekuwa kwenye maandalizi ya kwenda mzunguko mwingine, haraka alivaa nguo zake na kutoka nje. "Samahani kwa kukusumbua Sister Mary!" "Haina shida Sister Alice!" Sister Alice aliingia uwani na Sister Mary aliamua kurudi kulala. Siku iliyofata Sister Mary baada ya kumaliza kusali misa ya asubuhi aliamua kwenda nyumbani kwa Oscar na kumkuta Vero aliyemkaribisha kwa heshima mpaka ndani. 'Karibu mtumishi!" "Asante, Oscar nimemkuta!?' "Hapana hayupo!" "Akija mwambie nilifika kumtembelea!" "Aya sister!" Sister Mary aliaga na kuondoka na bahati mbaya kwake namba ya Oscar hakuwa nayo. Upande wa Oscar alikuwa kwenye harakati zake za kutafta tiba, mda huo alikuwa akimsubiri Recho baada ya kupeana ahadi ya wao kuonana, Alilibana vizuri ru..ngu lake ili Recho asiweze kuliona na kusababisha balaaa jingine na baada ya kusubiri kwa mda mrefu hatimae Recho alifika na kusimama pembeni. "Recho! kaa kwenye kiti" "Sio lazima ongea haraka ulichoniitia!" Recho alizungumza kwa hasira na Oscar alimkalisha chini kwa lazima. "Ongea nakusikiliza!" Kama kawaida ya Oscar alichomoa pesa na kumpatia. "Za nini hizi pesa!?" "Za kwako!" "Mimi sina utani na pesa!" Recho aliziweka kwenye mkoba wake bila kuuliza kwanini kapewa pesa na Oscar. "Unajua kwanini nimekupa hizo pesa!?" "Sijui!" "Nataka unipe kitu!" "Kitu gani!" "Hichi hapa" Oscar aliongea akitaka kuupeleka mkono wake kunako na Recho alimgundua. "Mmmmh wewe!".......ITAENDELEA.

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

ENDELEA........... Walianza kupeana zamu wao kwa wao na Mage alishangazwa na jinsi bako...ra ya Oscar ilivyokuwa haizimi licha ya yeye kwenda ro...und tatu ila Grace hakushangaa sana kwani tayari alikuwa akifahamu. Grace aliika..&.lia na kuanza quzungusha qiuno chake kwa kasi na Oscar alimkaba shingo...ni akimtaka akoleze mambo na kuongeza kasi. "Aaaaaaaaah, yaah!" Sauti ilimtoka cheupe na kumw....aga pale pale na kuusogeza mdomo wake na kuanza kum..la de..nda Oscar. "Grace zamu yangu na mimi!" Grace alinyenyuka na kumpisha Mage ambaye naye aliika...&.lia bakora na kufanya kama alivyokuwa akifanya Grace na kutokana na ndo..nga ya Oscar kutumikishwa mda mrefu mambo yalianza kubaribika na alianza kuhisi maumivu. "Malizia nipumzike!" "Mmmh jamaniii!" Alijibu akiwa kale...geza macho yake na kuendelea kujihudumia mwenyewe, alipanda na kushuka kwa ustadi mkubwa wakati huo mikono ya Grace ikiwa kwenye chu....ch za ndugu yake akimkoleza ila afike vizuri na kumwa....ga pale pale na ndipo Oscar alipopata mda wa kupumua akiwa kwenye maumivu makali. Grace na Mage walianza kumpatia service ya maana mara kumkanda miguu mara kumkanda mgongo na Oscar alijiona mtu special, alikuja kuondoka mida ya jioni na kurudi kwake na wiki moja mbele alipata mbinu juu ya sister mary na kumtaka afike nyumbani kwake kwa ajili ya maombi, kwanza alimtoa mkewe kwa mda na yeye pasipo kujua aliondoka na kumuachia mwanya Oscar. Sister Mary alifika akiwa mwenyewe na Oscar alimkaribisha vizuri tu ndani. "Karibu ndani sister!" Sister Mary aliingia akiwa hana wasiwasi kabisa na kukaa kwenye kochi na Oscar aliingia zake chumba na kuvaa pensi huku msumari ukijichora vizuri na kurudi sebleni alipomuacha sister mary na macho yake yalitua kwenye pensi ya Oscar na alimkazia macho na kuongea. "Unaonaje kama ukienda kubadilisha pensi uliyoivaa!" "Nitaenda kubadilisha ila sio sasa ivi!" Oscar alisogea karibu yake na kukaa na moyo wa sister mary ulianza kwenda mbio, hofu ya ajabu iliingia ndani yake na pale pale Oscar alianza ma...keke yake pasipo kumuogopa akimuomba wakumbushie kitu ambacho sister mary hakutaka kabisa ila Oscar aliendelea kumganda mpaka akaanza kula...inika mwenyewe. "Nimeshakula kiapo ila nakupa mara moja na baada ya hapo sitaki kukuona tena unanifatilia wala kuja ninaposali, najua unakuja kusali ili tu uniweke karibu" Oscar hakutaka kuyumbushiwa na maneno yake ila alichozingatia tu ni kuambiwa anape...wa mara moja. Alimsh...ika kiu.....no na kumvua kitambaa chake na kukiwa pembeni, aibu ilitawala kwa Sister Mary kuona anaenda kuzaga...muliwa na mtumishi wake, Mizagamuo ilianza pale pale na aibu zilianza kukata kwa Sister Mary na jo..to ta...mu lilizidi kumtoka lililompawisha Oscar. "Usimwa..gie ndani!" "Sawa!" Oscar alikubali na kuendelea na show na baada ya mda wa...zungu walisogea ila kutokana, na Kwa ut..amu wa joto la sister mary angeanzia wapi kupigia ba..o lake nje?, alifyatulia kwa ndani mle mle. "Mmmh jamani Oscar nilikwambia upi...gie nje ona sasa!" "Pole!" "Nikipata mi...mba je!?" "Huwezi kupata!" "Mmmmmh!" "Geukia ivi!" Oscar alimpi...ndua na kuuendeleza mchezo kwa mara nyingine tena. Bao la pili alifungia ndani na mtali..mbo ulikuwa bado ume...simam vile vile kitu kilichomshitua sister mary. "Mbona iko vile vile!" "Nililogwa mwanzo nilijua wewe!" "Nini!?" Sister Mary alikaa vizuri kwenye kochi kumkabili . "Unamaana gani kusema ulilogwa!?" Oscar alimpa story kiufupi na Sister Mary ha...mu ya kuendelea na show ilikata kabisa na kumuuliza bafu lilipo. "Nenda ivi!" "Sawa!" Aliondoka na Oscar aliegemea zake kwenye kochi akijiwazia na baada ya mda Sister Mary alirudi na kuanza kuvaa nguo zake huku akiongea. "Umenifanya nitenda dhambi hivyo nikuombe usije tena ninaposalia!" "Sawa nimekuelewa!" "Pia nakushauri ukimbilie kwa muumba utapona sio lazima uamini maneno uliyoshauriwa na mganga wako!" Oscar alibaki tu kumsikiliza Sister Mary na akili ya uchokozi ilikuja hivyo alimsoge..lea na kuyashika mak...alio yake. "Acha usinishike!" "Njoo basi tufa...nye ya mwisho!" "Sitaki!" "Alafu ujue naku...penda mno Mary, unaonaje kama ukiacha utawa nikaku....oa na kukuweka ndani!" "Uniweke ndani!?, wewe siunamke tayari!?" "Ndio ninaye ila nataka nikufanye uwe mke wa pili!" "Shindwa pepo siwezi huo ujinga, ubaki salama!" "Shika pesa ya usafiri!" Oscar alichukua pesa na kumpatia na kabra hajaondoka alimbana...nisha mlangoni na kumshushia de..nda la kijapani mpaka sister mary akajikuta analege..a tena. "Cha mwisho basi Mary!" Oscar alizungumza lakini Sister Mary hakujibu zaidi ya kula buyu tu na Oscar baada ya kuona hivyo alim....sogeza kwenye uwanja wa vita. "Nimeshaoga tayari Oscar!" "Utaoga tena!" "Mmmmmh"............ITAENDELEA. Full Tsh 1000, WhatsApp 0748697173 Namba za Malipo 👇👇👇👇 0613083801 HALOPESA JINA JOHN 0748697173 M-PESA JINA JOHN.

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

ENDELEA........ Oscar alimfikia na kuongea. "Nilikuwa na shida ya kuonana na sister mary" "Oooh sister Mary hayupo kaenda kuwasilimia nyumbani kwao na atarudi baada ya wiki moja!" Alishukuru kwa kupewa taarifa na kugeuka zake kwa ajili ya kuondoka ila sister alimwita na Oscar akasogea. "Jitahidi uzizuie ta...maa zako za kimwili!" Alijiongeza mwenyewe na kujiangalia. "Dah, aya sister!" Oscar aliiziba iku...lu yake na kugeuka na kwa mbali alimuona binti cheupe akiingia kwenye gari lake, haraka alimkimbilia na kuingia ndani ya gari pasipo hata kuruhusiwa. "Leo nataka nikapajue unapokaa!" "Nahisi kwenye kichwa chako kuna wadudu hawapo sawa!" "Hahahaha" Alicheka huku akifunga mkanda wa gari vizuri na binti alichoma mafuta na safari ikaanza na macho yalipotua kwenye zi..pu ya Oscar aliona ndonga yake ilivyokuwa ndii. "Sipendi unavyonidi..ndshia hovyo!" "Isamehe bure ndivyo ilivyo hata mimi sipendi na natamani niikate kabisa!" "Mke wako anakazi!" Alichokuwa akikiwaza Oscar alikijua mwenyewe tu, siku hiyo alikuwa na mkakati babukuwa kwa binti cheupe aliyekuwa akiitwa Grace. Haikuchukua mda mrefu wakawa wamefika anapoishi Grace na gari ilizama ndani ya geti na Grace alikuwa wa kwanza kushuka kwenye gari akifatiwa na Oscar. "Ndio kwangu hapa na siishi peke yangu!" Grace alisukuma mlango na Oscar aliingia ndani na kumkuta binti mwingine amelala kwenye kochi amenyoosha miguu juu na Oscar alimtazama kwa mshangao mkubwa kwani alikuwa akimjua na alikuwa kwenye list yake ya wote aliowahi kuwa..la. "Mage ni wewe!?" "Ni mimi wewe ulijua ni nani!?" "Mage unamjua huyu!?" Mage alikubali kwa kutikisa kichwa na Grace alikaa kwenye kochi kumuuliza vizuri na ndipo Mage alipolopoka kila kitu kuwa Oscar ni x wake na kama yupo kwenye mahusi..ano aachane naye maana ni mzee wa kuwachezea tu. "Mimi sipo naye kwenye mahusiano ila nilitaka kujua ty!" "Ndiyo hivyo Grace nimekwambia mapema!" "Mmmh nakuja!" Grace aliondoka na Oscar alijitoa akili na kumso....gelea Mage na kuanza kuongea maneno kama yote akimbembeleza na kumuomba msamaha. "Na usingenikuta je!?" "Ningekutafta!" "Acha uongo wewe ni mtu wa ku..la na kuondoka kwani sijui!" "Sio kweli!" Oscar alijibu na kumshi...ka na Mage alijifanya mkali ila Oscar aliamua kutumi..a uanaume wake huku moyo akijiapiza lazima apunguze idadi hapo hapo na ajue kama Mage ndiye aliyemfanyizia au sio yeye. "Oscar tuheshimiane!" Licha ya kuongea kiukali ila Oscar hakutaka kujali zaidi ya kutaka kujaribisha mashi...ne yake kwa Mage aone kama itazima, hakujali kama kaletwa na Grace zaidi ya mikono yake kuipeleka kwenye ka..nga ya Mage nakutaka kui...toa ila Mage naye alimzuia na kutaka kunyenyuka kwa hasira na kidume atabaki kuwa kidume tu. Kwa nguvu za ajabu Oscar alimrudish..a kwenye ko..chi na kuitypa ka&nga yake chini na Mage alibaki kwenye chpi tu. "Huoni hata ai....bu!?" "Naona ila mashi..ne ndiyo haioni ai..bu!, hapa naitaftia tiba!" Aliitoa ndo...nga yake na kulazimisha kuiweka hivyo hivyo pasipo hata kukitoa kifuni..ko cha Mage. "Ila Oscar.... Sauti ya Mage ililegemea na nguvu zilianza kupungua za kupambana na simba aliyekuwa kwenye maandaliza ya kumla, Oscar aliuendeleza mche...zo kwa kuiset vizuri bako...ra yake na kukisogeza pembeni kifuniko cha Mage na kuiza...mi..sha. "Mimi sita&ki!" "Mara mo..ja tu!" Oscar alizungumza huku akianza kumfinyia kwa ndani na kui..shika mikono yake vizuri huku akimwangalia Mage machoni. "Utalipa Oscar nakwambia!" "Shingapi nitalipa!" "Shing.... aaaaaa...shiiiiii!" Mti ulikuna penyewe na Mage aliacha...ma na kure..mbua kwenye macho yake. Mda huo huo Grace alitokeza na kupigwa na butwaa baada ya kuwakuta watu wakizaga...muana sebleni pasipo hata kuogopa uwepo wake. "Heeeeeh!" haraka alirudi nyuma na kujibanza kabra hawajamuona na kuendelea kuwachungulia, kwanza alipiga njia ya msalaba pale pale. "Hawa vipi!?" Wakati yeye akiendelea kuwachungulia huku Mage alikubali kuliacha goli wazi na Oscar alikuwa akijichagulia tu upande gani afunge, ali..mpindua jinsi alivyokuwa akitaka yeye pasipo Mage kuleta ubishi wowote ule na Grace alipokuwa amejificha shetani alimvaa, alikumbuka jinsi Oscar alivyokuwa akidi...ndsha kwa ajili yake na pale pale alihisi muwa...sho wa ajabu kwenye mwi...li wake. Pasipo kutegemea alijikuta akitoka sehemu aliyokuwa amejificha na Mage alipomuona aliongea. "Mmmh Grace nisamehe ndugu yangu nimezidiwa mwenzio!" Oscar aligeuza shingo yake na kumtazama Grace aliyekuwa kasimama tu akiwa haelewi cha kufanya, kuongea alishindwa kuwa naye anawa....shwa na anahitaji mkunaji na ukimya wake ulitosha kumwaminisha Oscar kuwa naye ana...taka. Alimvuta walipokuwa na kusitisha mizagamu..o na kuanza ku..&mla ma...te na cha ajabu Grace alitulia kama vile hajatoka kanisani kusali mda mfupi uliopita. Kizuri kula na mwenzako, Mage baada ya kuona ndugu yake anataka na yeye aliamua kumsaidia kazi Oscar kwa kuishusha suru..ali ya Grace na mambo yote yakawa hadharani.............ITAENDELEA. Full Tsh 1000, WhatsApp 0613083801 Namba za Malipo 👇👇👇👇 0613083801 HALOPESA JINA JOHN 0748697173 M-PESA JINA JOHN.

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

ITAENDELEA...... Mpaka anafika kwenye benchi alilokuwa amekaa mwanzo hakujua kama tayari mambo yameshavulugika zaidi alikaa na kuwaza atatumia njia gani kuongea na Sister Mary, binti cheupe aliyekuwa amekaa alimwangalia Oscar na alishituka kuona bado imesimam**a tu na kwa mawazo yake alijua amemta...mani ndiyo maana alikuwa akimgusi...shia mtali..mbo wake kwa nyu...ma na kwa sauti ya chini alimwongelesha. "Huoni hata aibu wewe kaka yaani unadi..ndish kanisani!" "Heeeeeh!" Oscar alijiziba na mikono yake na kumuuliza. "Watu wameona!?" "Kama mimi nimeona wengine wataachaje kuona!" "Mamamamamamaa, aaaaaaaaaaah" Pozi lilikata kwa Oscar na kiani alili...shika ru..ngu lake na kulibana kwenye mkanda wake. "Mbigu utaisikia tu kama ndiyo tabia yako hii? yaani unasima...misha kanisa!" "Nyie vijana acheni kuongea!" Mzee aliyekuwa amekaa nyuma yao aliwanyamazisha hivyo walitulia na misa iliendelea na baada ya mda misa ilitamatika na macho ya Oscar yalikuwa kwa Sister Mary akisubiri atoke ili amfate kwa nyuma. Mmoja baada ya mwingine walianza kuondoka akiwemo binti cheupe aliyekuwa amekaa karibu na Oscar na baada ya mda Sister Mary alinyenyuka na kutoka nje na Oscar alichomoka kama mshale na kumfata huku baadhi ya watu wakimtazama waliokuwa bado ndani ya kanisa. "Mary Mary!" aliita kwa sauti na Mary aligeuka na kuishika bibilia yake vizuri. "Tumsifu ye***s kristo!" "Amina!" "Hatusemi Amina tunasema mile..le amina!" "Aya milele Amina!" "Nakusikiliza mpendwa katika bwana" Utawa ulionekana kumtawala kabisa Sister Mary kama vile hawakuwahi kuzaga..muana kabisa kipindi cha nyuma. "Na shida Mary!" "Samahani mpendwa, ingekuwa vizuri kama ukaniita Sister Mary!" "Mmmmmh, basi sawa nashida ya mhimu sana Sister Mary!" Mary alimtazama kuanzia juu mpaka chini na alikumbuka alivyokuwa kasi...mamsha ndonga yake alipokuwa akienda kutoa sadaka kanisani na kwa mbali aliona ndonga yake ilivyokuwa imetuna. "Nakusihi umrudie mungu kijana, haipendezi ku..simami..sha maungo yako kanisani" "Kaanza mahubili tena!" Kichwani aliwaza na kuamua kujitoa mwanga mbele ya Sister Mary akimwambia kuwa bado anampe..nda na alipomuona tu kanisani mashine ilinyoo....ka, sister mary aligoma na mda huo huo alifika sister mwenzake na kumchukua na kuondoka naye na Oscar hakuwa na namna zaidi ya kugeuka na kuanza kutembea taratibu ili akachukue usafiri mbele ya safari, ubongo ulivulugika akiwaza njia ya kumtong...za sistr mary mpaka amwingize kingi na akiwa anatembea zake taratibu kuna gari ilifika na ku&simama pembeni yake na kioo cha gari kikashushwa. "Wewe kijana wa hovyo unaelekea wapi!?" Oscar alipiga jicho na kumuona binti cheupe aliyekuwa amekaa naye kanisani. "Huko mbele kutafta usafiri!" "Panda nikusogeze tumefundishwa kusaidiana kanisa sijui kama unayakumbuka maneno ya padre au mda wote ulikuwa unawaza ngo..no tu!" Alicheka na kupanda kwenye gari upande wa mbele na safari ikaanza. Cheupe alionekana mwongeaji balaaa na maswali ya mtego yakutamani kujua kwanini ndonga yake ilisim...ama kanisani hayakukoma na Oscar alilopoka pale pale. "Ulivyo mre...mbo mwanaume rija..li anaachaje sasa kudi..ndsha!, hapa penyewe ngoma imeshasoma!" "Unakichaa wewe!" "Sio kichaa ila ndiyo ukweli au nikuoneshe!?" "Akhaaa utaenda kumuonesha mke..o ukifika nyumbani sio mimi!, kwanza unaitwa nani!?" "Oscar!" "Ndio maana una mambo ya ajabu" "Kwanini!?" "Kina Oscar mara nyingi mnashida vichwani na mnapenda ng..on...o sana!" "Sio kweli!" Oscar alibisha na maongezi yaliendelea, kimchezo mchezo Oscar alianza kumta...mani cheupe ukijumlisha na tatizo alilokuwa nalo la kudi..nda masaa 24 kila siku alijikuta mambo yakianza kuvulugika pale pale, kengere zilianza kumuuma na misuli ya mp..in iliuma mara mbili yake akihisi mtambo wake unataka kunyofoka. Mikono yake aliipeleka iku...lu na kujishika na binti alimshangaa na kumuuliza baada ya kuona anahangika. "Kuna tatizo gani!?" "Imesi...ma...ma kwa mda mrefu mpaka imeumaa!" "Eeeeeh makubwa, kwahiyo nikupeleke hospital!?" "Acha tu!" Alizidi kugugumia kwa maumivu makali na binti aliipaki gari yake pembeni. "Nikusaidieje sasa!?" "Nipeleke karibu na duka la madawa!" Binti alikubali na kuondoa gari na baada ya mda walifika lilipo duka la madawa na Oscar alimwagiza vidonge anavyotumia. Binti alishuka kwenye gari na kwenda kununua vidonge pamoja na maji na baada ya mda alirudi na kumpatia na Oscar alivifakamia kwa kuvimeza haraka pamoja na maji na kutulia aone kama maumivu yatakata. "Mmmmh ugonjwa wako ni wa ajabu maana sijawahi kukutuna na mtu anaumwa huko chini kama ulivyo wewe!" Oscar hakutaka kumwambia ni tatizo gani linalomsumbua ila baada ya mda walitengana na kila mtu alipita njia yake. Oscar alijikuta anakuwa muumini mzuri tu wa dini ya kikri...sto ili tu amwingize Sister Mary kwenye mtego wake na alionesha kudhamilia kumrudia mungu na aliacha kum...tongoza hovyo Sister Mary, siku hiyo kama kawaida alijiandaa asubuhi na mapema kwenda kwenye misa na Vero aliongea. "Unajua sikuelewi mme wangu!" "Kwanini?" "Karibu kila siku unaenda kusali kwenye kanisa la romani tena mbali kabisa ikiwa kuna kanisa jingine lipo karibu hapo!" "Na sababu yangu Vero" "Sababu ipi hiyo!?" "Kidogo nikienda kusali kwenye lile kanisa mwili unakuwa sawa na sisikii maumivu hovyo" "Mmmh aya ibada njema!" Oscar aliondoka na alipofika kanisani alisali kama kawaida ila siku hiyo hakumuona Sister Mary na baada ya misa kuisha alimfata sister mmoja kwa ajili ya kumuulizia na kumbe mpi..ni wake ulikuwa umetu..na na sister wa watu aliachama mdomo kama kaningwa na kitu kwenye koo lake akimtazama Oscar akija upande wake............ITAENDELEA. Full Tsh 1000, WhatsApp 0613083801 Namba za Malipo 👇👇👇👇 0613083801 HALOPESA JINA JOHN 0748697173 M-PESA JINA JOHN.

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

ENDELEA......... Baada ya kuona mambo yako vile vile alijchukua simu yake na kumpigia nesi na simu ilipokelewa mda huo huo. "Oscar!" "Nesi sipo sawa nahisi naelekea kukata moto!" "Kuna nini tena Oscar? kwanza punguza plesha ili uniambie vizuri!" Oscar alimwambia ukweli nesi pasipo kumficha na jinsi alivyokuwa akisikia maumivu makali kwenye mwili wake. "Unajijua kabisa unamatatizo kwanini unafanya map...nz mda wote Oscar jamani!?, utakuwa sawa tu ila jaribu kwenda kuoga na kama utaogea maji ya baridi itakuwa vizuri zaidi, pia utumie vile vidonge unavyokunywaga" "Nimeshatumia!" "Basi nenda ukaoge kwanza!" Oscar alikata simu na kwenda bafuni kuoga. Huku kwa binti mwenye zigo aliyetoka kuzaga...mua na Oscar alikuwa kwenye mawazo mazito, kwenye maisha yake Oscar ni mwanaume wa pili kula..la naye ukiachana na mme wake na kilichokuwa kikimchanganya ni jinsi Oscar alivyokuwa akiunga...nisha safari ikiwa mmewe huchukua mda mrefu kwenda round nyingine akishamaliza mzu...nguko. "Wewe unatoka wapi huko!?" Sauti kali ilimtoa kwenye mawazo na alipotazama mmewe alikuwa akija upande wake na ndiye aliyemuuliza. "Nilienda kwa fundi mara moja kuangalia kama atakuwa kamaliza kushona nguo yangu!" "Nilikutuma wapi!?" "Kwa bibi!" "Wewe ukaenda wapi!?" Binti alikaa kimya. "Stella nitakupiga!?, naona umeyakumbuka makofi yangu!" "Nisamehe mme wangu!" "Nenda haraka kwa bibi na ole wako nirudi nyumbani nikute hujarudi!" Alitoka haraka na kuelekea sehemu aliyotumwa. Upande wa Oscar alikuwa tayari ameshamaliza kuoga na kidogo maumivu yalipungua kwa mbali, alijitupa kitandani na mda huo huo nesi alimpigia simu ila hakutaka kuipokea zaidi ya kuizima na kulala. Usingizi ulimchukua na masaa matatu mbele alishituka kutoka usingizini baada ya mlango kugongwa na kuamka huku maumivu akiendelea kuyasikilizia kwa mbali, taratibu alitembea mlangoni na kuufungua mlango na mtu aliyekuwa mlangoni hakuwa mwingine zaidi ya Stella. "Sipo sawa rudi utaku...ja kesho asubuhi!" "Mmmh aya kaka!" Stella aligeuka na Oscar aliyaangalia mak..alio yake na kuulaumu mwili wake kwa kumuuma vinginevyo show ingepigwa. Ile Stella anapiga kona aki...toka lodge alikutana na mme wake akiwa na mwanamke mwingine tena wameshikana mikono kabisa. "Na wewe hapa unafanya nini!?" Stella aliulizwa ila aliamua kumgeuza swali mmewe. "Huyo nani na unaenda naye wapi!?" "Sio lazima kujua nenda nyumbani na ole wako nisikukute!" Alikubali kuondoka ili kuepusha maneno na kitendo cha yeye kuondoka mmewe alizama ndani ya lo...dge akiwa na mchepuko wake. Siku iliyofata Oscar alianza safari ya kurudi nyumbani kwake ili akajipange upya kumtafta Mary aone kama atapona na alifika na kupokelewa na Vero. "Mme wangu umefanyikiwa kujitibu!?" "Angalia mwenyewe!" Oscar alikaa kwenye kochi na Vero alimsogelea na kuchungulia ndani ya sur...uali yake na kuukuta mnara unasoma kama kawaida tena internet ikiwa ni 5G. "Mmmmh pole sana, uliongea na Bon!?" "Bado kwani vipi!" "Jana alikuja kunitembelea nikajua uliongea naye!" "Huyu naye mambo gani tena ya kuja kunitembelea huku anajua sipo kabisa!" "Mmmh ila simshiriki mwenzako wa kibiashara au wasiwasi wako nini!?" "Sio vizuri tu ila nitaongea naye" Oscar alijibu. Siku iliyofata aliianza kazi ya kumtafta Sister Mary, kwa kiasi flani alitaka kuacha kumfukuzia ila alivyokumbuka maneno ya mganga wake ya kuhakikisha anatemb...ea nao wote aliowahi kuwa nao kwenye mahusi...ano mpaka pale atakapompata aliyemloga hakuwa na namna zaidi ya kuhakikisha kazi inafanyika. Alienda mpaka kwenye parokia aliyokuwa akifanyia kazi Sister Mary na kumuulizia ila siku hiyo hakuwepo na alipojaribu kumpigia alikuwa hapatikani kabisa. Siku iliyofata ilikuwa ni siku ya jumapili, siku hiyo aliamka asubuhi na mapema na kujiandaa vizuri na kuchukua usafiri mpaka kwenye parokia anayohudumu Sister Mary. Misa ilikuwa imeshaanza na siku hiyo Oscar hakuvaa buga zaidi ya kulibana run..gu lake ili asisababishe so na kuingia ndani ya kanisa, macho yake yalitua mbele walipokuwa wamekaa masister na vitambaa vyao vyeupe vichwani aone kama atamuona Sister Mary. "Kijana tafta siti ukae!" Kuna mzee alimwongelesha na Oscar alisogea mpaka upande wa mbele na kukaa kwenye moja ya benchi na pembeni ya benchi hilo kulikuwa na binti mweupe peeee!. Macho ya Oscar yaliendelea kuwatazama masister waliokuwa upande wa mbele na ilikuwa ngumu kwake kumuona sister mary kutokana na wao kumtegea visigo. Oscar alikuwa haelewi kitu zaidi ya kufatisha kila kilichokuwa kikifanyika, kwenye kupiga magoti atapiga kwenye kusimama atasimama yote asionekane hajui kitu na ni mvamia tu wa dini ya watu ila alijisahau na kujikuta akisimama peke yake na binti cheupe aliyekuwa amekaa naye alimvuta chapu nakumkarisha chini na kumuuliza kwa sauti ya chini. "Ni mara yako ya kwanza kusali romani?" "Eee!" "Ndio maana" Misa iliendelea na mda wa kutoa sadaka ulipofika alinyenyuka na kutangulizana na binti cheupe huku akiwa kasimama nyuma yake, saa ngapi mta...limbo usichomoke sehemu ulipokuwa umebanwa na kuanza kumgusa gusa binti kwa nyuma na bahati mbaya kwa Oscar akili yake yote ilikuwa kwenye kuwatazama masister wote waliokuwa wamekaa mbele, walifika mpaka upande wa mbele kabisa na macho ya watu waliokuwa wamekaa mbele yalitua kwa Oscar aliyekuwa kadi..ndsha huku akiwa hana habari kabisa zaidi ya kulisogelea sanduku la sadaka na kutoa huku akiendelea kuwaangalia masister waliokuwa pale mmoja baada ya mwingine na bahati nzuri alifanikiwa kumuona Sister Mary ambaye naye alibaki mdomo wazi kumuona Oscar kaja kusali ila mbaya zaidi akiwa kasimami.....sha wima tena mbele ya kanisa...........ITAENDELEA. Full Tsh 1000, WhatsApp 0613083801 Namba za Malipo 👇👇👇👇 0613083801 HALOPESA JINA JOHN 0748697173 M-PESA JINA JOHN.

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

ENDELEA......... na kusogea mpaka walipokuwa wao. "Sam achaa!" Mwanamama alipiga kelele na Oscar aligeuka na kumuona akija na panga kwa kasi kwa lengo la kuwakata. Alirukia pembeni haraka na Sam alimkosa na panga alilokuwa nalo na alipotaka kumfata Mama yake alimsogelea na kuanza kumzuia. "Achaaa!" "Umezidi yaani unakuja kufany..ia humu kwenye nyumba yetu? leo nauuwa wote" Oscar baada ya kusikia mambo ya kuuwana pale pale nguvu zilikuja, alisogea haraka na kumpokonya panga alilokuwa nalo. "Lete panga langu nikuoneshe kazi!" "Toka nje haraka Sam kabra sijakufukuza hapa nyumbani jumla" "Bora niondoke ila sio kuendelea kuishi kwenye hili dangu...lo" Alitoka nje kwa hasira na mwanamama alisogea mlangoni na kuufunga na kumgeukia Oscar ila alishangaa kumuona akiv...aa nguo. "Mbona unav..aa tena?" "Hapa sio pakukaa tena!" "Njoo tuendelee bhana!" "Sina ha..mu!" "Sio kweli mbona bado imesi...mama?" Oscar alikula buyu na kuendelea zake kuvaa mpaka pale alipomaliza. "Kama unaondoka sawa ila nipe changu faster kabra sijakubadilikia!" Mwanamama aliongea na Oscar alichomoa pesa na kumpatia. "Hapa sawa!" Oscar aliondoka zake baada ya mambo kushindikana, alifika sehemu kulipokuwa na kimvuli na kukaa huku akijaribu kupiga hesabu idadi ya wanawake aliokuwa amewabakiza. Dakika chache zilitosha kumkumbusha kuwa hata nusu tu bado hajafika, alikuna kichwa akiwaza anayefata ni yupi na kushika simu yake na kuanza kukagua namba aone kama atabahatisha namba ya mwanamke yoyote yule na ndipo alipokutana na namba ya mwanamke aliyemsave Mary na kujaribu kumpigia. Simu iliita mpaka ikakata yenyewe na aliamua kunyenyuka kwa ajili ya kurudi kwenye lo..dge aliyofikia ili ainze safari ya kurudi kwake lakini akiwa njiani simu yake iliita na alipoitazama Mary ndiye aliyekuwa akimpigia na haraka akaipokea. "Tumsifu Ye... kristo" "Amina!" Aliamua kujibu ilimradi tu kutokana na kutokujua namna ya kuitikia. "Naongea na nani mtu wa mungu!?" "Unaongea na Oscar!" "Oscar yupi!?" "Acha mambo yako Mary hunikumbuki kwani?" Mary alimkumbuka vizuri ila Oscar alipigwa na butwaa baada ya Mary kumwambia kuwa sasa ivi ni Mtawa na anamtumkia mungu na mambo yote ya kale ameshaacha, mbaya zaidi alimkaribisha kwenye parokia aliyokuwa akihudumu utumishi wake na baada ya hapo akakata simu. "Kesi nyingine hii!" Oscar pozi lilimuisha na nguvu za kuendelea kutembea ziliisha kabisa, alisogea zake pembeni na kukaa na haukupita mda alipita binti aliyekuwa na kishu..ndu cha maana na kumsalimia ila Oscar alikaa kimya. "Wewe kaka nakusalimia" "Aaah nilikuwa mbali kimawazo, habari yako" "Nzuri tu, ivi wewe ni mgeni kwenye hichi kijiji eeeh!?" Oscar alikubali na binti alimkaribisha na baada ya hapo akaendelea na safari yake. Macho yalimtoka Oscar baada ya kuona mbinuko wake wa nyuma na kujikuta akimwita kwa sauti ya juu na binti alisogea mpaka alipokuwa na Oscar hakutaka mambo mengi zaidi ya kutoa pesa na kumpatia na kuomba game pale pale. "Mmmmh mimi ni m...ke wa mtu pia kuna sehemu nawahi" "Hata mimi ni m...me wa mtu, shika hii hapa nyingine!" Aliongeza pesa nyingine na nguvu ya pesa ilimshawi..shi bi...nti wa watu mpaka aka...kubali. Oscar alimpe..leka kwenye lodg..e aliyofikia na kuzama mpaka chumbani. "Na...ogopa tunaweza kuku...twa!" Oscar alimsogelea na kushika mat**ko yake na kuanza kuyabiny...a. "Mmmmh!" Binti alianza kuzitoa ngu....o mwenyewe ili mambo yafanyike haraka aende kwenye mambo yake na baada ya kumaliza dog styl ilimhusu mbele ya Oscar aliyevutiwa na maka**lio yake, ni vile tu hakupewa ruhusu ya kuipitisha bako..ra kwenye njia ya vumbi, kulia na kushoto kote ma..shine ilisu..gua ipasavyo mpaka kumvu...tia binti wa watu "Unaitwa nani kaka!?" "Os.... alisita kwanza kutaja jina lake halisi nakusema... naitwa Onesmo" "Unajua Onesmo, icha..pe kabisa Onesmo aaaaa.....shiii" Kilichokuja kumshangaza binti ni kuona mpi..ni wa Oscar hauzimi licha ya kwenda round tatu na pale pale machale yakaanza kumcheza. "Mbona hutoshe...ki?" "Mimi ndivyo nilivyo hata uki...ta...ka mpaka asubuhi sawa tu" "Mmmmmh basi nitarudi baadaye nia...chie niende kwanza mme wangu atanipiga" Oscar alimwinami...sha kwanza na kuendeleza show mpaka pale alipopiga ba..o jingine tena na alivyotaka kusimama alishindwa baada ya miguu yake kukoswa nguvu na ilibaki kidogo tu adondoke. "Pole la..la upumzike!" Oscar alisogea kitandn na kutulia na binti alianza kuvaa ha..raka haraka na alipomaliza alilitazama ru...ngu la Oscar lililokuwa bado ndiii na kuamua kuondoka zake huku akiahidi kurudi baada ya mda mfupi. Baada tu ya yeye kuondoka haraka Oscar alisogea kwenye begi lake na kuchukua dawa haraka na kunywa huku akihema kwa kasi, uchovu aliokuwa nao ulikuwa sio wa kawaida, mwili wote uliuma na kilichokuwa kikiuma zaidi ni pimbilili zake mbili pamoja na ma...shi..ne yake, aliitazama mishipa yake na ilionyesha wekundu kama inataka kutoa damu kitu kilichozidi kumtia hofu. "Nini hichi!?" Oscar aliongea mwenyewe na kukaa kitandani akizidi kuitazama. "Mbona sielewi au ndiyo mda wangu wa kufa umefika!?" Alizungumza tena kwa mara nyingine na kuchukua maji kidogo na kujimwagia aone kama atapata afadhali........ITAENDELEA. Full Tsh 1000, WhatsApp 0613083801 Namba za Malipo 👇👇👇👇 0613083801 HALOPESA JINA JOHN 0748697173 M-PESA JINA JOHN.

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

ENDELEA......... "Mabinti wa sasa ivi bhana emu shika vitu vyako uondoke!" "Nilijua lazima unune tu sio kama wewe mda mwingi natumia kuia...msha kuliko kuika...lia!" "Naona umenichoka Nancy!" "Wala!, mimi nakwambia ukweli jitahidi isiwe kama pulizio bhana mimi huwa unanikera sema basi tu" Nancy alichukua vitu na kuondoka na muuza duka alibaki akimtazama jinsi alivyokuwa akiondoka. Moyoni hata yeye aliwaza kwanini Oscar mpaka anaondoka bako..ra yake ilikuwa wima pasipo kuzima na alihisi Oscar anatumia madawa ndiyo maana, upande wa Oscar baadhi ya watu walikuwa wakimla chabo na ndipo alipogundua na kuamua kuibana vizuri ili wasiendeleee kumla chabo. Alirudi mpaka kwake na kujipanga kwenda kwenye kijiji alichoambiwa siku inayofata kwa ajili ya kumtafta muuza matatunda. "Mke wangu!?" "Abeee mme wangu!" "Yale masuali mapana bado yapo!?" "Ndio yapo!" "Yaandae kesho nitaondoka nayo!" "Mmmmh unaenda wapi!?" "Kuna sehemu naenda mara moja!" "Basi sawa!" Siku iliyofata Vero alianda na Oscar alivaa buga moja wapo na safari ikaanza ya kuelekea kijijini kumtafta muuza matunda. Alifika na kutumia zaidi ya siku tatu akimtafta na bahati kwake alimkuta Mama Sam akiuza pombe za kienyeji au gongo tena akiwa kwenye mwonekano wa kizeee. Moyoni Oscar alisema kazi anayo kutokana na mwonekano wa mwanamama, mbaya zaidi walevi baadhi walimshi...ka maka...lio na wengine qiu..no mara wamkumba...tie yaani ilikuwa ni tabu tupu. Alikaza roho na kumwita pembeni na Mama Sam alikuwa kaishamsahau kabisa ila baada ya kujitambulisha alimkumbuka vizuri. "Nilisahau kabisa kama ni wewe, mwezio maisha ya mjini yalinishinda nikaamua kuja kijijini kutafta maisha" "Pole sana, nimekumbuka ma..mbo yako ndiyo maana nimeamua kukufata mpaka huku!" "Mmmmh kweli Oscar!?" "Eeeeh kweli!?" "Itakuwa unanidanganya yaani wana...wake wote wale wa mjini uwaache alafu uje unitafte mimi huku kijijini inawezekanaje hiyo!?" "Amini nachokwambia" Ili kumhakikishia alimsogelea na kushika ta***k lake na kuanza kulipa...psa na mlevi mmoja alisogea walipo huku akilelengeta na alipowafikia alitaka kumpiga kofi Oscar ila alimshitukia na kumkwepa na mlevi alitua mpaka chini kama mzigo. "Mshezi wewe kijana unamshika ta***k..o mke wetu" "Oscar achana nao hawa ndivyo walivyo" "Hata mimi naona, twende tukazaga...muane faster" "Na wateja je!?" "Mbona jambo dogo hilo" Oscar aliingia ndani na kuwanunulia wateja wote waliokuwa mle na baada ya hapo aliondoka naye. "Twende tu nyumbani kwangu naishi mimi na watoto wangu!" Oscar aliona sio mbaya hivyo alikubali kuongozana naye mpaka anapoishi. Walifika na moja kwa moja mwanamama alimpeleka chumbani, aaaaaaaah chumba kizima kilinuka harufu ya gongo tu na Oscar alibaki akitema mate hovyo chumbani. "Mbona hamna harufu sana na wewe Oscar jamani!" "Sogea kita..ndan" Oscar aliona afupishe mambo tu ili afanye kilichomleta na akishamaliza ajiondokee. Mwanamama alisogea na kupa...nda kitandani na kuvu..a nguo zake zote. "Yalaaaaaaaaaaaah!" Oscar aliongea kwa mshangao. "Unashangaa nini na weww Oscar nj...oo basi!" "Mmmmmmh!" Aliguna na kusogea na kilichomfanya ashangae ni weusi uliokuwa umetapakaa kwenye kitu...mbua cha mwanamama, ilionesha dalili ya kupigwa na kuchanganyikiwa ndiyo maana weusi ulikuwa mkubwa kuliko asili ya ngozi yake. Oscar hakutaka mambo mengi zaidi ya ku...toa na kuzamisha na mwanamama alitoa sau..ti ya juu pasipo kujali kama yupo kwake. "Aaaaaaa.....shiiii" Show iliendelea mle mle chum..bani na mda ulivyozidi kwenda harufu ya pombe aliyokuwa akiisikia aliacha kusikia na kuendeleza mizag...amuo. "Oscar yooooooooh, unajua yoooooooo!, Welooooooo, yalaaaaaaaah" Maneno ya ajabu na ya kikabila yalimtoka mwanamama na kuzidi kup..andisha midadi ya Oscar. Huku nje watoto wa mwanamama walisikia sauti ya mama yao ndani na mmoja wao aliwaambia wenzako. "Mama yupo ndani anafa**nya" "Nyooo uongo hawa***fany ila wapo wanaongea tu" "Lione hili wewe mpaka sasa ivi hujajua tu wanavyofanyaga!?" Wakati wao wanaongea kaka yao mkubwa alifika na baiskeli aliyekuwa akiitwa Sam na kuwakuta wadogo zake wakibishana maneno ya ajabu ajabu. Naye alipotega sikio alisikia sauti ya mama yake akipele. kewa moto upande wa ndani na Oscar. "Huyu anataka kuzoea kutuletea walevi wake hapa, subiri leo nimuoneshe sasa" Sam aliingia kwenye chumba chake na kuchukua panga analotumia kukatia kuni na kuzama kwenye chumba cha mama yake na kumkuta Oscar akiendelea kupiga sho. w. "Mazoea yanataka kuzidi leo damu inamwagika hapa" Aliongea na kunyenyua panga lake na.........ITAENDELEA. Full Tsh 1000, WhatsApp 0613083801 Namba za Malipo 👇👇👇👇 0613083801 HALOPESA JINA JOHN 0748697173 M-PESA JINA JOHN.

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

ENDELEA......... Kwanza alianza kujiliza mbele ya Agatha kitu kilichomshangaza. "Kinachokuliza ni nini sasa!?" "Agatha!" "Jina langu!" "Najua unahasira na mimi ila na jambo zito la kukwambia!" "Lina kilo ngapi hilo jambo!?" Oscar alimso..gelea na kumshi..ka kitu kilichokuwa ni kosa. "Unajua hii nguo ina thamani gani mpaka unishike!?" Agatha aliongea kwa hasira na kushika mkoba wake na kutaka kuondoka ila Oscar aliona liwalo na liwe. Pale pale alimshika na kumlaza kwenye kochi kwa nguvu. "Unataka kufanya nini!?" "Nipo kwenye matatizo mazito mno ya kuokoa maisha yangu utanisamehe kwa hili Agatha!" Ka mchezo vile ila alianza kulitafta tunda la Agatha na bahati mbaya kwa Agatha aliv..aaa chup tu kama ilivyo kwa wanawake wengi wa kileo. Alilipandisha juu ga..uni lake na kuichomoa ma..shine yake. "Unataka kuniba...ka Oscar!?" Oscar hakumjibu zaidi ya kulazimisha kuichomeka mpaka ikazamaaa. "Oscar Oscar Oscar..." Licha ya Agatha kulalama ila kidume aliendelea na kazi ya kukaza qiuno chake akizama na kutoa. "Ngoja tu utaona!" Agatha aliongea kwa hasira ila Oscar aligusa penyewe palipomnye..ge&sha Agatha na kumsisi...mua mpaka akatoa mguno wa aaaaaaa....shiiii. Oscar baada ya kuona mbuzi wake kakubali kuchinjwa alimgeuza na kuanza kumchinja na Agatha naye alisahau kabisa kama yeye ni mke wa mhe..shimiwa tayari, uho..ndo ilimkolea binti wa watu na kuanza kumpa ushiriki...ano Oscar ila alisha..ngazwa na jinsi Oscar alivyokuwa akiunganisha safari pasipo hata kupumzika wakati huo yeye akihitaji mapumziko. "Sikuelewi Oscar mbona zamani hukuwa ivi!?" Oscar alijichomo..a na kuk..aaa pembeni na kushika kichwa chake kitu kilichozidi kumshitua Agatha. "Kitu gani kinachoendelea ume..nibaka alafu unaonyesha hali ya kusikitika mimi nikueleweje sasa!?" "Nasikitika maana sijapona!" "Hujapona kivipi!" Oscar alilitazama ru..ngu lake na Agatha aliliangalia ila hakuelewa alichomaanisha. "Bado sikuelewi!?" Oscar aliona isiwe kesi, alimsimulia kwa kifupi na Agatha alinyenyuka na kuanza kuvaa nguo zake kwa hasira huku akitoa lawama kama zote. "Mimi nikajua umekumbuka pe..nzi langu kumbe umekuja kujaribisha kama niliku..roga, fyuuuuuuuuu!" "Ila pia nililiku..mbuka ndiyo maana nililazimisha uni..pe kwa nguvu!" "Bora ukanyamaza kabisa!" Agatha alimpiga na mkoba wake kwenye kichwa na kuendelea kuv...aa na baada ya kuma..liza aliondoka na baada ya mda Oscar naye aliv..aa na kutoka nje. Licha ya Agatha kujifanya kaondoka kwa hasira kumbe alikuwa nje akimsubiri Oscar ndani ya gari lake na Oscar pasipo kujua alivyofika tu nje aliitwa na Agatha. "Panda kwenye gari!" Oscar alisogea akachungulia kwanza aone kama kuna mtu mwingine na baada ya kujiridhisha alipanda kwenye gari na kukaa na macho ya Agatha yalitua kwenye zi..pu ya suruali yake na kuuona mta..limbo ukiwa bado umenyooka. "Kumbe kweli ila inge...kuwa uongo ningekupiga risasi ya kichwa!" "Kumbe mpaka bastora unayo sasa ivi!?" Agatha alitikisa kichwa. "Kweli maisha yanabadilika" Ic iliyokuwemo ndani ya gari ilimfanya mpaka jasho alilokuwa akilihisi asilihisi tena na Agatha alimuuliza anampango gani wa kutatua tatizo linalomsibu. "Kute..mbea na wote niliowahi kuwa nao!" "Kumbe ulikuwa mala...ya hivyo kama ningejua ni fyeka fyeka basi nisingekubali kuk.upanulia kipindi kile" "Hayo yameshapita!" Oscar alijibu na kiuchokozi alilishika p..ja la Agatha aone atakavyoamua ila Agatha alikausha na kumuacha aendelee kulishika. "Andika namba zako kwenye simu nitakutafta mwenyewe!" Oscar aliandika kama alivyoambiwa na kumrudishia simu yake na pasipo kuombwa Agatha alichomoa kibunda cha pesa na kumpatia. "Shika ukale na wewe pesa za serikali sio kila siku unakula pesa zako!" "Duh, kwahiyo hizi ni kodi za wananchi sio!?" "Ndio maana yake ila ole wako uwe umeniambu...kiza magonjwa nakuuwa Oscar!" "Sina magonjwa" Oscar alimtoa hofu na kushuka kwenye gari na kujiondokea. Njiani alikuwa akiwaza mwanamke mwingine aliyewahi kutoka naye na ndipo alipoikumbuka siku aliyoshikwa na upwi...ru na kujikuta akienda kuomba game kwa mwanamama mmoja aliyekuwa akiuza matunda na siyo mara moja tu zaidi ya mara tatu. "Aaaaaaaaaah!" Oscar aliguna mwenyewe na kushika kichwa chake huku akijilaumu kwa jinsi alivyokuwa pitiapitia kipindi cha nyuma, mbaya zaidi hakujua kama mwanamama huyo bado anauza matunda au ameshaacha ila alichukua usafiri na kwenda mpaka sehemu alipokuwa akiuzia matunda. Hakukuta kibanda cha kuuzia matunda tena zaidi ya kukuta duka jingine lililokuwa limejengwa maeneo yale, Oscar alisogea kuangalia kama mtu aliyekuwa dukani ni mwanamke anayemtafta ila alikutana na sura tofauti kabisa. "Kuna mtu namtafta sijui utakuwa unamfahamu!?" "Nani huyo bro!?" "Kabra ya hili duka kuwepo kulikuwa na kibanda cha kuuzia matunda, nahitaji kujua yule muuzaji alipo kwa sasa!" "Aaaaaah unamaanisha Mama Sam!?" "Eeeeeeh huyo huyo!" "Ameshahama" "Amehamia wapi!?" "Alirudi kijijini kwao!" "Dah!" Oscar alichoka na kuinamisha kichwa chake na kuna mteja wa kike alifika dukani na kuwasalimia na kuagiza kitu anachohitaji na ndipo Oscar alipovunja ukimya na kuuliza kijiji alichohamia na muuza duka alimwelekeza na Oscar akaondoka na kitendo cha yeye kuondoka binti alipata upenyo na kumuongelesha muuza duka. "Unaona wanaume wenzenu walivyo!?" "Wapoje kwani!?" "Huyo mkaka inaonekana ni rija...li balaaa!" "Kivipi!?" "Mpi..ni wake ulikuwa wi...ma mpaka nikaogogpa!"..............ITAENDELEA. Full Tsh 1000, WhatsApp 0613083801 Namba za Malipo 👇👇👇👇 0613083801 HALOPESA JINA JOHN 0748697173 M-PESA JINA JOHN.

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

ENDELEA........ Oscar hakuwa na mudi kabisa ila alimuacha mkewe aichezee anavyojua, mambo yakulisha...na yalisimama kwa mda na show ilianza kupigwa pale pale, Vero alika...lia na kuiweka kwenye njia na mineng..uo ikaanza, dafu la kwanza alilivunja akiwa juu na kumku..mbatia Oscar na kuendelea kuzung...usha qiuno chake mpaka pale alipovu..nja dafu la pili. "Nimeto...sha sasa mme wangu!" "Mimi bado!" Oscar alimbinua na kuiendeleza show na dakika ziliyoyoma akiwa bado kaikamatia kisawa sawa mpaka pale alipochoka licha ya mtali..mbo wake kuendelea kuwa nd..iii na baada ya wao kumaliza waliendelea kula mpaka pale walipotosheka na kwenda ku..lala. Siku iliyofata Oscar aliamkia kwa Nesi akiwa na matumaini kidogo ya mri..ja wake kuzimishwa, alimkuta Nesi akiwa na wateja baadhi hivyo alitulia mpaka pale alipomaliza kuwahudumia wakabaki wawili tu ndani ya duka. "Njoo huku Oscar!" Walipelekana kwenye chemba na Nesi akamwambia autoe mtali..mbo wake na Oscar alifanya kama alivyoambiwa kwa kuutoa nje. "Kuna dawa nimepewa ngoja nijaribu nione kama itakusaidia!" "Poa wewe jaribu tu, nimechoka hili lidude kusima..ma kila mda nakoswa amani kabisa" Nesi alichukua sindano huku ndani yake kukiwa na dawa na kuu..shika mp...ni wake na kuuchoma dawa. "Ooooh!" "Pole vumilia tu!" Aliongea na kuichomoa sindano. "Kaa hapo kwenye kiti kwanza upumzike tuone kama dawa itafanya kazi!" Oscar alikaa kama alivyoambiwa na wakati huo huo kuna mwanaume alifika na Nesi aliposikia sauti yake alitoka mbio kwa ajili ya kwenda kumsikiliza. "Mmmh umekuja kunitembelea!?" "Kwani kuna ubaya mimi kuja huku mke wangu!?" "Hamna ubaya!, sema nipo na mgonjwa namhudumia!" "Haina shida wewe endelea tu na huduma mimi ngoja nikae hapa!" Mmewe aliongea na kukaa kwenye kiti kilichokuwa pembeni na huku Oscar alianza kutoa sauti za maumivu hali iliyomlazimu Nesi akimbie haraka kwenda kumuangalia. "Kuna shida gani!?" "Inauma mno!" Kwa maumivu aliyokuwa akiyasikia mpaka chozi lilidondoka na faster Nesi aliina...ma na kulishika ru...ngu lake na kuanza kulipuliza. "Bado nasikia tu maumivu tu" Nesi alizidi kupuliza aone kama atamsaidia na baada ya kuona Oscar anaendelea kulalamika kuwa anamaumivu alisogeza mdomo wake na kuanza ku....inyny... "Ohooooo angalau!" Oscar aliongea na Nesi aliendelea kuin..yony..a ili kutuliza maumivu aliyokuwa akiyasikia Oscar. Huku mmewe aliyekuwa amekaa alishindwa kuelewa ni matibabu ya aina gani aliyokuwa akiyafanya mkewe, penzi sabuni ya roho bhana saa ngapi asinyenyuke alipokuwa amekaa na kwenda mpaka kwenye chumba walichokuwemo na macho yalimtoka baada ya kumshuhudia mkewe akiwa bize ku..nyny mashi...ne ya Oscar. "Ayaaaaaaa mke wangu!?" Nesi alishitushwa na sauti ya mmewe na kugeuka. "Yaani unamny..ony?" Haraka aliutoa mdo..mo wake kwenye mrija wa Oscar. "Nilikuwa na mtibuu tu!" "Kumtibu!?" Oscar aliv...aa ngu...o zake na kuondoka haraka akimuacha nesi kwenye kesi nzito na mmewe, hakuna kilichokuwa kimebadilika kwake zaidi ya kusikia maumivu makali kwenye mpi...ni wake na aliamua kurudi kwake kwa ajili ya kwenda kupumzika. Masaa matatu yalipopita kidogo maumivu yalikuwa yamepungua lakini bado mtalimbo ulikuwa wima vile vile, Oscar aliona bora aendelee na jukumu lake la kuwatafta wote aliowahi kute...mbea nao hivyo alianza kuwaza ni yupi anayefata. Jina lililokuja kwenye akili yake ni la binti aitwae Agatha, Oscar alikumbuka vizuri siku aliyokutana na Agatha na kumshaw..ishi mpaka akaingia kingi na kuingia naye kwenye mahusiano na hata siku aliyokata naye mazoea Agatha alionesha uhitaji wa kutaka mahusiano yao yasife, kwa kiasi flani alihisi huwenda ni Agatha aliyemfanyizia mambo. Jukumu lilianza la kuhakikisha anamtafuta Agatha na sehemu ya kuanzia ilikuwa alipokuwa akifanyia kazi Agatha, mguu wake ulimpeleka mpaka alipokuwa akifanyia kazi Agatha lakini alikutana na taarifa za Agatha kuhama na alipofatilia alipenyezewa kuwa Agatha ameolewa na mwanasiasa mkubwa mwenye pesa zake na ni ngumu kuonana naye. Msalama mwingine uliokuwa mbele yake aliuona Oscar na kichwa kiliwaka moto akiwaza ataanzaje kumpata Agatha, peke yake aliona itakuwa ngumu kumfikia hivyo aliamua kumshirikisha Bon na mipango ikaanza kupangwa ya namna ya kumpata Agatha. Walifatilia mpaka sehemu alipokuwa akiishi Agatha na mjengo uliwaogopesha kwani kulikuwa na ulinzi mkali kiasi kwamba nafasi ya kuonana na Agatha ni 0.0001% "Naona uachane naye tu Agatha alafu sidhani kama ni yeye aliyekuloga!" Maneno ya Bon ndiyo yalizidi kumvunja moyo kabisa Oscar ambaye naye alijikuta akikubaliana naye. Aliona asitishe kumfatilia Agatha lakini siku mbili mbele alijikuta akishikwa na maumivu makali sehemu za si..ri na alipojaribu kutumia vidonge maumivu hayakukata zaidi ya kuongezeka, dalili za kukata moto aliziona na ndipo wazo lilipokuja la kwenda kwa mganga, Oscar alifika kwa mganga. "Unajisahau sana kijana" Mganga aliongea huku akifanya mambo yake na kidogo maumivu kwa Oscar yalipungua. "Nimeshakwambia ukizubaa utapoteza maisha sasa wewe endelea kuzembea!" Baada ya mganga kumkazia alirudi kwenye kazi tena kwa kasi ya 5G kumtafta X aliyemloga. Alianza na Agatha licha ya ugumu uliokuwepo wa kuonana naye kutokana na yeye kuolewa na mwanasiasa mkubwa. Oscar alienda kwao na Agatha na kudanganya kuwa anasiri nzito anayohitaji kumwambia Agatha hivyo aliwataka wamkutanishe naye na bahati nzuri ushawishi wake ulikuwa mkubwa mpaka wakakubali kumkutanisha na Agatha. "Ongea haraka sina mda wa kupoteza" Agatha aliongea bila hata kumwangalia usoni na kwake alikuwa kama takataka tu na Oscar alitulia kwa sekunde kadhaa akiwaza namna ya kumwingilia ili amshawishi.........ITAENDELEA. Full Tsh 1000, WhatsApp 0613083801 Namba za Malipo 👇👇👇👇 0613083801 HALOPESA JINA JOHN 0748697173 M-PESA JINA JOHN.

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

Not the usual kind. This one was slow. Deliberate. Three soft thuds at exactly one-second intervals. Like a metronome counting down to something I couldn’t name. I opened the door expecting a delivery. What I saw instead was a man in a brown coat, soaked from the rain, his eyes hidden beneath the brim of a dark hat. He held out a small black box with a red button in the center — like an old-fashioned desk buzzer. “You’ve been selected,” he said flatly, “for a rare opportunity.” I laughed. “This some kind of prank?” His voice was calm but cold. “Every time you press this button, someone you know will instantly become wealthy — richer than you can imagine. But,” he added, “someone else you know will d!e. You will not know who.” I stared at the box. Sleek. Plastic. Slightly warm. “What's the catch?” “You just heard it,” he said. “No, like—seriously. Who are you?” But the man was already walking away. I called out, “Hey!” and stepped outside. But he was gone. No sound of footsteps. No trace. Only the button remained, sitting in my palm like a ticking bomb with no timer. I should’ve thrown it away. I didn’t. I brought it inside and placed it on my coffee table. That night, I couldn’t sleep. Day 1 I stared at the button. What if it was real? I grabbed my phone and opened up my contact list. Scrolled through. My best friend Daniel — dead broke. My aunt Naomi — always asking for money. My old professor, Miss Ada — brilliant but forgotten. All of them could use a miracle. But the cost… I shook my head. “It’s a trick.” Still, I kept staring. Day 2 Curiosity gnawed at me. I googled stories about strange devices. Nothing. I even searched “death wish button,” “mysterious red button,” “wealth in exchange for d3ath.” Nothing. Was this a social experiment? A hidden camera prank? I examined the box closely. No wires. No ports. No sign of power. But it was warm again. That night, I cracked. I told myself I’d press it just once. Just once. For Naomi. She’d just been diagnosed with Stage 3 cancer. Her GoFundMe was struggling. And maybe, just maybe, the button was a coincidence generator — not a real cause. I hovered my finger over it. “Just once…” Click. Nothing happened. No sound. No flash. Just a soft vibration, like something had shifted in the world. Then — silence. I felt sick. Guilty. Ashamed. But nothing seemed to change. I went to bed. The Next Morning I woke up to 32 missed calls from my cousin. I answered on the first ring. “What’s wrong?” “Naomi!” he shouted. “She—she just got picked for some millionaire’s last-will charity thing! Five million naira! Out of nowhere! They’re covering her surgery! She’s on TV right now!” My heart pounded. I checked the news. It was real. She was crying on live television, thanking a foundation none of us had ever heard of before. And then… the second call came. From Daniel’s brother. “Bro,” he whispered, “Daniel was found d3ad this morning. Cardiac arrest. Out of nowhere.” I dropped my phone. Day 4 I didn’t eat. I didn’t sleep. I stared at the button. What had I done? Daniel was my best friend. The only one who helped me when I lost my job last year. And now he was gone — just like that. Like a payment. But Naomi was alive. Was that evil? Was I evil? Day 5 I put the box in a drawer and told myself never again. But the drawer began to hum. That night I had a dream. I was standing in a room full of gold. Everything glittered — necklaces, coins, bars. But every step I took left behind a corpse. Daniel was there, reaching out. So was my grandfather. Even my childhood dog. I woke up sweating. Day 7 My rent was overdue. My bank account was empty. And my job had just cut my hours. Then I got a text from Miss Ada. “Still struggling?” she asked. “Want to talk over lunch?” I thought about her. Brilliant. Underpaid. Her mother was sick. She used to tutor me for free. She deserved better. I reached into the drawer. Click. This time, I felt the vibration go through my chest. Fifteen minutes later, I got a call. Miss Ada had just been granted a full scholarship to study in France — with a housing allowance. Her dream. No explanation. No strings. I smiled for a second. Until I got the second call. My neighbor — Mr. Chuka. Heart failure. Gone. I used to borrow pepper from him. Day 10 I told myself I’d stop. But I pressed it again. And again. And again. Each time someone got wealthy: scholarships, winning the lottery, promotions, inheritance, even long-lost relatives showing up with checks. And each time… someone else d!ed. Car accidents. Illness. Su!cide. Fires. One guy choked on peanuts. Another disappeared in his sleep. Never strangers. Always someone I knew. Day 14 I lost count of how many times I pressed the button. It was like a drug. The high of helping someone, followed by the crushing guilt of losing another. But then something changed. The button started glowing. And the man in the brown coat returned. He was sitting on my couch when I came home. “How many times?” he asked. I froze. “Six. Maybe seven.” He nodded. “The button’s alive now. It has chosen you.” “Chosen me for what?” He stood and handed me a mirror. I looked. I didn’t recognize the person staring back. My eyes were sunken. My skin pale. My lips cracked. “I look sick,” I said. “No,” he replied. “You look… owned.” Day 15 Now, the button pulses on its own — even when I’m not near it. I keep hearing whispers behind walls. My dreams are full of graves with no names. My contact list has started updating on its own, suggesting new people. And yesterday… I got a message from Daniel’s number. “It was worth it. Press it again.” But Daniel is d3ad. I know he is. Right? TO BE CONTINUED IN EPISODE 2... Follow for episode 2 Author Ovie

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

ENDELEA.............. "Oya kausha babu huyu ni jamaa yetu" "Kanitia hasira sana aise anamwachiaje aondoke!?" Frank aliongea kwa hasira na upande wa Suzi alikuwa tayari ameshafika anapoishi, aliingia ndani na kuvaa nguo zingine vizuri na baada ya hapo akatoka na kwenda kwa mwenyekiti wake wa mtaa akiwa na hasira balaaa!. "Mwenyekiti!" "Wewe nani uliyehapo nje?" "Toka nje haraka!" Mwenyekiti alitoka nje kumsikiliza Suzi. "Mbona unapiga makelele hivyo binti kuna tatizo?" "Tatizo lipo hapa nilipo kuna vijana wamenif**r mwenyekiti twende haraka ukawakamate uwaweke ndani!" "Heeeeee!" "Sio heeee tuondoke haraka!" "Subiri kwanza!" Mwenyekiti aliingia ndani na baada ya mda alitoka akiwa na simu na kuwapigia migambo wa mtaa wake. "Tupite huku!" Suzi alikuwa wa kwanza kutangulia mbele na mwenyekiti alibaki kwa nyuma akimla chabo, macho yake hayakubanduka kwenye mfereji wa Suzi. "Pole walikufi**r wangapi?" "Kwahiyo unaongea kwa nguvu ili utangaze kila mtu ajue au?" "Aaaah nimepitiwa tupite huku" Mwenyekiti alibadilisha mada baada ya kuona Suzi kakasirika. ****************** Walifika wakiwa na migambo wao na kumkuta Frank na wenzake. "Ndio hawa mwenyekiti" Baadhi walianza kukimbikia ila Frank pamoja na James walikamatwa na kuchukuliwa. ***************** Tuje kwa Boke na Mama yake walichokuwa wakisubiri ni mzee kuwapatia mgao kama walivyokuwa wameahidiwa na walizidi kuongeza dozi ya kumpaga..wishe mpaka mzee akadata mwenyewe na ulikuwa humwambii kitu kwa Mama Boke pamoja na Binti yake. Siku hiyo Boke akiwa mitaa alikutana na Baba D akiwa na kijana wake, alimkata jicho kwa hasira akikumbuka alivyoingizwa cha kike kwa kupewa simu kopo na mzi**go ukaliwa bure lakini Baba D yeye baada ya kumuona Boke upwi**ru ulipanda na alimfata alipokuwa kasimama. "Leo sitakudanganya Boke nitakupa hii simu" "Kampe Mama yako na Bibi yako!" Boke aliongea na kuanza kuondoka. "Hichi kitoto kimeshakuwa kijuaji hichi!" "Kaka achana nako tu hako sasa ivi hukaweza!" "Nimebakiza nyu**ma tu ndicho ninachokitaka siku kakiingia kwenye tageti kataisoma namba, twenzetu" Waliondoka wakati huo Boke aliamua kupita kwenye mgahawa siku hiyo kumtembelea Suzi na alipofika alikutana na vulugu Frank akizifanya akiwa pamoja na kundi lake. "Wewe mala...ya leo lazima ujute na wewe!" Frank aliongea huku akiyatupa masufuria hovyo akisaidizana na wenzake na watu walianza kujazana maeneo yale. Boke alisogea karibu na Frank alipomuona tu mkali yote aliyokuwa nayo ikakata na kumshika mkono Boke na kuondoka naye. "Kuna nini mbona unafanya vulugu na kutupa masufuria hovyo?" "Twende gheto nikakwe..lezee vizuri" "Aaaah huko siendi!" "Usinitanie Boke nitakugeuzia kibao na wewe sasa ivi tu!" Licha ya ujanja alionao Boke ila kwa kidu..me Frank aliyemto..a bik..ra huwa hajiwezi kabisa, alikubali kuondoka na Frank wakiacha kizazaa kwenye mgahawa kikiendelea. Walifika na kitu cha kwanza alichokitaka Frank ni kukionja chakula alichokuwa amekikumbuka, Boke naye hakutaka kumnyima zaidi alimpakulia na kuanza kumlisha tena temu hii akiongeza majonjo kwenye chakula chake na Frank mwenyewe alishangaa kwani uta**mu uliongezeka mara dufu zaidi. Aliika**lia vizuri na kuanza kunyonga khiuno chake taratibu akienda kulia na kushoto huku chu..chu zake zikiwa kwenye mdo..mo wa Frank ambae naye hakuwa mbali zaidi ya kuya..shika maka**lio yake akimsaidia kumpanda na kushuka. Baadaye Frank alimgeu...za na kumla..za vizuri na kuanza kumza..gamua kwa speed kali kama hataipata tena. "Ooooooooh F!" Boke aliongea na kutaka kuya...ban mapj yake ila Frank hakutaka kukubali kabisa, alimu...weka vzr na miza..gamuo ikaendelea. Ule usemi wa kila mbabe na mbabe wake ulimkuta Boke, mbele ya Frank alipoa na kufata kile anachokitaka na hata baada ya wazo kuko...jzana Boke alijiandaa kwa ajil ya kuo..ndoka ila Frank aligoma. "Hiii kwanini unanizuia?" "Leo nataka ula...le hapa!" "Siku nyingine sio leo" Boke aliongea na kuendelea kuva...aa. "Nakwambia hutaki kunielewa!" Frank alianza kum...vua na baada ya hapo akazichana chana nguo za Boke kuanzia ch...upi mpaka suruali alizokuwa amevaa. "Ndio nini sasa?" "Ili usiondoke kaa humu tu..tiane mpaka basi!" "Ndio tatizo lako hili unatumia ubabe badala ya kutumia akili aaaaah!" Boke alikaa kitandani kwa hasira akimtazama Frank akishindwa afanye nini baada ya nguo zake kuchanwa na huku kwenye mjengo wa kifahari wa mzee alifika na kumkuta Mama Boke peke yake tu akiwa kaina**ma chuma mboga kama ulivyo utaratibu wao wa kila siku na mzee alibaki ameyatazama maka**lio yake akijaribu kupandisha stimu......ITAENDELEA.

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

ENDELEA.............. Kwa uta**mu aliokuwa akiupata mzee alifumba macho kabisa na Mama Boke alimshitua binti yake kwa kumfinya kidogo ili aongee mpango wao. "White eeeeh!" "Ooooh Boke, sema unachotaka laaziz!" "Nataka na sisi utupe mali zako hata nusu tu jamani!" "Nini wewe!?" Mzee alifumbua macho na Mama Boke alifunika mdomo wake akijua tayari wameshayakanyaga ila Boke hakushituka kabisa. "Mbona umeshituka white jamani?" "Mambo ya mali yameingilianaje na stare..he yetu?" "Mmmh jamani kwani utapungukiwa nini ukitupa sisi kidogo tu white na wewe!" Boke aliongea na kuanza kupitisha ulimi wake kwenye mayai ya mzee. "Ooooooh wewe m..to..to utaniuwa!" "Kubali basi white na wewe!" "Kwa ra..ha hizi naanzaje sasa kukataa, nimekubali" "Kweli white?" "Taanzaje sasa kukataa!" "Mama unashangaa nini na wewe mla..mbe kila sehemu white wetu!" "Ila kweli!" Mama Boke naye aliungana na alichoambiwa na binti yake, siku zote simba hawezi kuzaa paka hata siku moja, Tabia ya Mama Boke na binti yake zilifanana kwa kila kitu. Mzee alipitishiwa uli..mi huo kwenye mwili wake mpaka nusu ya jasho alilokuwa nalo likakata kabisa na Mama Boke hakujali maana alikuwa akiendeshwa na furaha tu kwa mzee kukubali kuwapa mgao!, mpaka wanakuja kumaliza bako..ra ya mzee ilikuwa inau...ma na alihisi inataka kunyofoka kwa shughuli pevu iliyofanyika. ********************* Ikiwa ni siku nyingine mpya mzozo mkubwa uliibuka kwenye gheto alilokuwa akiishi Frank, Suzi hakutaka kuelewa zaidi ya kung'ang'ania kubeba tv kwa ajili ya kuondoka nayo kama walivyokuwa wameelewana. "Wewe mjinga nini kwa uta**mu gani ulionao mpaka uondoke na tv yangu?" "Naona hunijui Frank yaani mpaka nyu**ma nimekupa alafu unataka kunigeuka?" "Kwenda huko hakuna cha kuondoka na tv hapa!" "Aaaah subiri uone!" Suzi aliangaza pembeni na kuona kinu kidogo alikichukua na kukirusha kwenye tv ya Frank ikaanguka pale pale n kupasuka. "Ukome kama kukoswa tukose wote!" "Umenipasulia tv yangu?" "Utajijua!" Suzi alitaka kuondoka ila Frank alimshika na kumrudisha na kuanza kumnasa makofi na Suzi akaanza kupiga mwano. James ambaye ni mtu wa karibu na Frank hakuwa mbali, alisogea kwenye gheto la Frank baada ya kusikia makelele na kuingia ndani. "Oyaa kuna nini?" "Kanivunjia tv yangu acha nimtie adabu!" "Duh mbona hatari, utamuuwa mwanangu!" "Acha afe!" Frank alijibu huku akiendelea kumshushia kipigo na James alifanikiwa kuyaona matkoo ya Suzi na kujikuta akiaanza kumtamani na kuamua kumsogelea Frank. "Oya babu tumfunge kamba ili tumtie adabu vizuri!" "Sawa!" Frank alikubali bila kuuliza mpango wa James ni upi na licha ya Suzi kupiga kelele hakuna mtu aliyekuwa na time kabisa zaidi ya watu kuendelea na mambo yao tu, ndiyo maisha waliyokuwa wakiishi kwenye mtaa huo. Suzi alifungwa kamba na James alitoa wazo wamfunge mdomoni ili asiendelee kupiga makelele, Frank alikubali kwa mara nyingine pasipo kuuliza na baada ya kila kitu kukamilika James akaongea. "Acha nichovye kwanza na mimi kidogo alafu tuendelee kumtia adabu!" "Poa wewe hata masikioni weka haiwezekani aniharibie tv yangu!" Baada ya James kupata ruhusa aliicho...moa maxxhine yake na kumu..weka vizuri Suzi na kuichomekaa kwa nyumaa. "Mpele..keee moto kabisa!" Frank aliongea kwa hasira na kusogea pembeni. "Sawa Babu wewe check mzigo unavyopigwa huu!" Maxxxhine ilikuwa tayari ndani ya tig..o ya Suzi aliye...lala na kujaribu kuyabana maka...lio yake ili tu ichomo...ke ila James hakutaka kukubali zaidi ya kumbananisha na kuanza kumzagamua. Franka alikuwa mtazamaji tu na alivyokuwa akimuona Suzi ndivyo hasira zilivyokuwa zikipanda. "Nakuja sasa ivi tu!" "Poa poa!" Aliongea na kutoka nje akimuacha James akijilia uta**mu kwa nguvu, alifinya mpaka pale wazu...ngu walipotoka na kuucho...moa mpini. "Duh, una ti**go tamu balaa, sema nini kwa ra**ha ulizonipa acha nikufungulie tu uondoke chapu!" James aliongea na kushuka kitandani na kumfungulia na baada tu ya kumaliza Suzi aligeuka na kumpiga kofi la nguvu. "Mtajuta nawaambia" "Yaani nakusaidia alafu unanipiga?" Suzi hakutaka kujibishana naye zaidi ya kuondoka na James alipotazama kwa chinu aliona ch**pi yake. "Duh nimempelekea moto mpaka kasahau chujio!" Aliiokota na kuinu...sa kwanza. "Hii haru..fu inashawishi hala tayari mnara unaelekea kusoma tena sijui kwa nini nimemwambia aondoke tu aaaah na mimi kumbe ni fala ivi" Wakati akiendelea kujilaumu mlango ulifunguliwa na Frank akiwa kaja na wahuni wenzake. "Oyaa wote ingieni mjipigie!" Wa kwanza kuingia alikuwa yeye mwenyewe Frank akifatiwa na wahuni wenzake na walishangaa kumkuta James peke yake. "Yule de*mu yupo wapi?" "Kanitoroka mwanangu?" "Kakutorokaje wakati tulimfunga kamba" "Alinisukuma na kukimbia aise!" "Kivipi sasa ikiwa kamba hizo hapo na inaonekana alifunguliwa?" "Dah, sema nini haya yanazungumzika tu jamaa yangu" James aliongea na mda huo Frank alikuwa kachafukwa kabisa yaani kama hamjui, aliwageukia wahuni aliokuja nao na kuongea. "Oya kama vipi mzibueni hata huyu atawafaaa!" "Nini wewe yaani wanifi***r mimi?" "Hutaki au?"........ITAENDELEA.

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

(Vipande Vyote 50 TSH1000, WhatsApp👉0675137453) ****** Macho yalinitoka nikimtazama shangazi Magge ambae alikuwa uch🫣 kama alivyozaliw🥱, sikuweza kustahimili kumtazama ikabidi nitazame pembeni kwa aibu. "Steve mbona kama unaniogopa jamani?" Aliniuliza huku akinisogelea, "Hamna shangazi sasa.." "Sasa nini jamani?" Alinipapas✊papas✊kifuani taratibu "Lakini shangazi unadhani mjomba akijua kinachoendelea kati yangu na wewe itakuwaje?" "Hawezi kujua, atajuaje kwanza labda umwambie" "Siwezi kumwambia" "Basi kama hutomwambia unadhani atajuaje?" "Lakini shangazi kwanini nimfanyie hivi mjomba?" "Kwa sababu unamsaidia tu mjomba wako na unanihifadhi mimi shangazi yako Steve, unadhani usiponihifadhi mimi nani atanihifadhi au unataka nikuelezee matatizo ya mjomba wako ndiyo uridhike?" "Matatizo gani?" Nilimwuliza huku dyudy🍆 likiwa limedinda limesimama ndani ya bukt🥱, sasa tukitazamana uso kwa uso mama huyo akiwa amenisogelea karibu kabisa, matit🍒yake makubwa yakinigusa kifuan🥱 akatabasamu na kugeuka akiifuata dressing table huku nikishuhudia matak🍒 yake makubwa yakitikisika yaani yakiruka ruka kwa zamu, yakiwa yameshikiliwa na miguu yake minene 'ya bia' yenye michirizi kutokana na unene wake na pengine kutokana na vipodozi anavyotumia maana pamoja na utu uzima wake bado alipenda kujipodoa podoa na hata weupe alionao sikumbuki kama ndio wenyewe aliokuwa nao miaka kumi hivi nyuma. Aliinama na kuiokota khanga aliyokuwa ameiangusha chini, kijana wa wa watu nikishuhudia uch🫣 na mkun🥬 vya shangazi yangu huyo vilivyofichwa katikati ya minofu ya matak🍒 yake makubwa vikinimulika kidogo alipoinama kuiokota khanga ambayo alijifunga mwilini na kukisogelea kioo. "Mjomba wako ana matatizo ya kiume, nina muda mrefu sijainjoi chochote kutoka kwake Steve" aligeuza shingo huku akitikisa kichwa. "Pole aunty duh, mngeenda hata hospitali akapate matibabu" "Hana shida yoyote ya kuhitaji matibabu, angekuwa nayo huko kwenye safari zake anapoendesha malori asingekuwa na wanawake wengine" "Unamaanisha mjomba ana wanawake wengine michepuko nje?" "Ndiyo na mmoja nadhani amezaa nae huko" "Mh pole aunty" "Basi sawa samahani Steve kwa kilichotokea na fanya kama hakuna kilichotokea kati yangu mimi na wewe yaani sahau tu usikumbuke sawa?" Aliniambia nikamsogelea pale pale kwenye kioo nikimsimamia kwa nyuma, dyudy🍆 lililokuwa ndani ya bukta likiingia katikati ya matak🍒 yake makubwa. "Haina haja ya samahani aunty" nilimnong'oneza sikioni huku mikono yangu nikiipitisha kwa mbele kifuani mwake na kuanza kuyashik✊ shik✊matit🍒yake makubwa huku nikimbus😋 bus😋 shingoni. "Steve?!!" "Shiiiiii" nilimnyamazisha huku nikisogeza ulim😋 wangu na kuanza kuupitisha kwenye kuta za sikio lake nikiuingiza mpaka ndan kabisa na muda huo huo khanga nikaifungua ikaanguka chini, shangazi akabaki uch🫣kama awali. Kwa sababu alitaka basi sikuwa na sababu ya kumnyima, nilianza kumpapas✊ papas✊ kila kona ya mwili wake hasa kwenye matit🍒yake makubwa kifuani huku shangazi akiingiza mkono wake ndani ya bukt😁 yangu akalitoa dyudy🍆 lililokuwa limesimama kwa kunyooka na kuanza kulichezea kwenye kichwa, ukitoa vijimrenda kidogo vya uchu, akilipapas✊ papas✊ hasa kwenye kichwa upara na akipitisha vidole mpaka kwa chini kwenye koroda🍒 zangu akizirusha rusha na kuzivuta vuta bado nikiwa kwa nyuma nimembambia. "Kwani una miaka mingapi Steve?" Aliniuliza huku akihema hema "Kwanini unaniuliza aunty?" "Una dude kubwa kushinda la mjomba wako" "Hii haijali umri ni maumbile tu" nilimjibu akageuka sasa tukatazamana macho kwa macho yaani uso kwa uso, vifua vyetu vikigusan🫣 huku mwanamama huyo akinitazama kwa macho yaliyolegea kama amekula kungu. "Usinifikirie vibaya Steve nimeshindwa kujizuia juu yako sikujua hata nikuanzie wapi wewe mtoto, tangu uje kwenye nyumba hii nimejikuta ni mtu wa mahangaiko tu" "Hata mimi sikuweza kusema kitu juu yako kwa sababu wewe ni shangazi yangu niliogopa tu kukukosea adabu lakini kila nilipokuona ulikuwa unanivuruga" "Unanidanganya Steve, na utu uzima huu nikuvuruge wewe?" "Kama unavyo vile ninavyovitaka unadhani sitovurugika?" "Kama kipi unachokitaka?" Aliniuliza nami nikapitisha mikono na kuyashika matak🍒 yake makubwa yote mawili, la kulia na la kushoto nikiyaminy✊, akatabasamu. "Mbona unanicheka?" "Hamna sijakucheka, unapenda matak🍒 yangu tu mh?" "Hapana vipo vingi ila.." "Ila nini?" "Hiki ndicho kinachonivuruga zaidi, au nimekosea kutaja chaguo langu katika mwili wako mamy" "Shiiiiii wala hujakosea Steve, mwili wangu wote wako, chochote unachokitaka chukua tu" aliniwekea kidole mdomoni nami nikakitoa taratibu na kusogeza midom👄 yangu kwenye midom🫦 yake, akaipokea tukaanza kunyonyan😋 mat👄yaani dend🫦 Sikuacha kumpapas✊ papas✊ hata wakati mat😘 yakiendelea, ulim😋wangu ukipita mpaka uvunguni mwa ulim😋 wake huko mkono wake akiendelea kuling'ang'ania dyudy🍆 langu akilishika na kulivuta vuta namimi nikasogeza mikono yangu katikati ya mapaj🥱yake uvunguni kabisa na kuanza kumshik✊ shik✊ uch😋 wake uliolowana tepetepe, shangazi akatoa midom🫦 yake kwenye midom👄 yangu na kuchuchumaa taratibu huku akimalizia kunivu🥺 bukta niliyovaa, akazishika koroda🍒zangu akiwa amechuchumaa mbele yangu na mimi nimesimama na kuliingiza dyudy🍆 langu midomoni mwake akaanza kulisuuza taratibu "Auuunty" Nililalamika... 👇👇👇 (Usisubiri kipande kimoja kila siku, Njoo Whatsapp👉 0675137453 Uvisome VIPANDE VYOTE 50 Kwa TSH1000 Tu, pamoja na Video)

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

Niliogopa kumwambia Robby kuhusiana na Lulu ......Kaka Robby takuja usiku ngoja niende nikasaide kazi kidogo kule jikoni.... nilimwambia......hapana mama jikoni siyo jukumu lako kule kunamuhusu Mwaj na mama Lulu Tu ....wewe ni Mimi kwahyo relax hapa........daaaah🤔 nifanyeje.....bas nikakaa pale kifuani huku nikiwa sina Amani kabisa......ikafika saa tisa nikaskia naitwa huko nje🤣..... sikitu sikitu ukowapi sikitu.....alikuwa ni Lulu ......Robby akasikia naitwa.....yupo huku .....akaitikia🤣......hapo Mimi mkojo unagonga pichu naogopa balaaa....yaan nlikua namuogopa Lulu kuliko hata boss wangu mama Lulu.......Yuko wapi huyo....akauliza Lulu......Robby akajibu Yuko huku chumbani kwangu....chumbani? Lulu akashangaa....bas akaja mpaka pale mlangoni akagonga....usiingie tuna maongezi private kidogo ....Robby akajibu........maongezi gani hayo Robby na huyo mtoto nilimkataza kuingia huko chumbani......Lulu akauliza.....maongezi kuhusu maisha yetu ya baadae Bana Kwan hutaki wifi wewe.......Robby akajibu.....whaaat? Lulu akashangaa......wifi yangu namjua hakuna mwingine ......badae boss we nenda akitoka atakuja .... Robby akamwambia Lulu .....Lulu hakujibu kitu akaondoka pale mlangoni........ Robby tapigwa leo Lazima nipigwe na Lulu......nikaanza kulia😭......akupige Kwa lipi....yeye ni Nani hapa ndani....yaan akupige ndani ya nyumba yangu....wewe ulisikia wapi ........Kwanza umemkosea nn.....hawez kuleta Sheria zake ndani kwangu vinginevyo ataondoka asubuhi......Robby aliongea Kwa msisitizo hatarious🤣......kumbe hapa ni Kwa Robby na siyo kwao......nikawaza. ....nilidhan hapa ni nyumbani Kwa mama Lulu kumbe ni nyumbani Kwa Robby.......bas Robby wangu akaniomba nimfanyishe zoezi la kutembea ......Kama kawaida tukakamatana viuno tukaanza kutembea......... ilifika mida ya saa kumi na mbili jion Robby akawa amepitiwa na usingizi ...nikamtoroka na kurudi chumbani kwangu.......niliingia na kuanza kutafta simu yangu niliiacha pale kitandani lkn haikuwepo .....nilitafta mpaka nikachoka .....wazo likanijia fasta ...nikamuulize Lulu.... mmmmh huyu Lulu anaweza kunipiga jinsi alivyo kisirani........niliamua kuenda ntamuogopaje na amenikuta pale..........nilishuka mkapa sebuleni ........sikuamin macho yangu....nilichokiona pale sebuleni.... alikuwepo Lulu pamoja na Yule dada alieniletaga hapa Kwa mama Lulu......alaf kibaya zaidi walikuwa wanapekua simu yangu ....na kulikuwa na msg za Robby kama zote......OMG 😳...... nikasogea .......shmakoo dada ....nilimsalimia Yule mwingine hakuitikia akaniangalia Kwa dharau Sana.........samahan dada Lulu naomba hiyo simu yangu...... nikamwambia Lulu.......njoo uchukue akaniita nikasogea pale walipokuwa wamekaa.......wakanivuta Kwa nguvu wakaniweka katikati Yao wakanikalisha.........hivi wewe mtoto nilikuleta hapa kufanya kazi au kuiba mabwana za watu......Yule dada akaniuliza......bwana yupi wa mtu nimemuiba😏 .......na mm nikamuuliza swali......nikashtukia kibao cha mgongoni pwaaaaaa.......yaan nakuuliza swali na Wewe unaniuliza swali......unajeuri Sana ee...... dada zangu nawaheshimu sana sitaki kuwavunjia heshima naombeni simu yangu niondoke......mnachukuaje kitu changu bila ruhusa yangu? Nikawauliza.........hapo Nina jeuri baada ya kujua pale ni nyumbani Kwa Robby 🤣......hii simu unajua gharama yake....Lulu akaniuliza ....gharama yake kamuulize Robby ndo alie nunua........nikamjibu ....weee alinikunja akaanza kunipiga alinipiga makofi mpaka Mwaj akatoka jikoni akaja na kuanza kutuachanisha .....uzuri ni kwamba sikumgusa Yule dada nikamfata Yule alieshika simu nikaikwapua ..... dada Lulu Mimi siyo ngoma........Kama umezoea kuwaonea akina Mwaj Mimi sioneeki ........jukumu langu ni Robby pekeake kazi zingine hazinihusu ......anaepaswa kunipiga ni mama yako tu alienitoa kijijini lkn siyo wewe .....naomba hii isijirudie........ niwaambie Tu kitu Mimi Nina hasira za Simba ....yaan nikikasirika naweza kumrarua mtu lkn huwa najitahidi Sana kucontrol hasira zangu nisimdhuru mtu...........mkinga wewe unajibu Nani hivyo yaan wewe Leo kzi huna lazima urudi kijijini kwenu leo.....huwezi kuwa kawifu kangu wewe huna haya .......nilimkadiria Sana Lulu nikaona pale hakuna kitu yaan haniwezi ......nikisema tupigane tamtoa magego tu..... niliondoka nikaenda chumbani kwangu nililia balaa zaidi ya masaa mawili nilikuwa nikilia.....nilitamani Lulu aondoke siku ileile lkn sikuweza maana Mimi ni wakuja Tu😭...... kutokana na hasira nilizokua nazo usingizi ilinipitia .....Nilikuja kushtuliwa saa tatu usiku....... alikua ni mtoto wa Lulu...... Nikajua Tu hapa Robby ananihitaji......nikanawa uso vzr nikajiweka sawa ili asijue kilichotokea.....nikaenda chumbani kwake........njoo mamy I miss you so much.....Robby akanipokea na kunikumbatia akanikiss kisha akanambia ....... Najua huna Amani tena ...lkn kaa ukijua Lulu ni mgomvi sana ....hicho kisikufanye upoteze furaha akikutendea ubaya wowote naomba uniambie nitamtoa hapa akakae kwenye nyumba ya mama......Robby alinambia ......hakuna kitu Robby usijali akinikose nitakwambia ...nilimjibu ..lkn moyoni nilikuwa na uchungu balaa.....tukapiga story pale.....nikamuaga naenda kulala.....weeee nilikwambia leo tutakuwa pamoja umesahau eee ......hapana Robby takuja kesho kulala...hapana Leo na kesho na milele utalala huku na Mimi 😳.....daah sikuwa na pingamizi bas akafungulia mziki laiiini😋 ...... pale mezani kulikuwa na chakula spesho kutoka supermarket tukaanza Kula ...hapo tunalishana na kucheka ...bas burudani nikasahau kashkash za Lulu .....usiku tulipeana mautamu Kama kawaida🤣....safari hii nikaanza kupata Raha hahahahaahaaha........robby Yuko romantic Sana jmn alaf ni mzuri wa kila kitu Sura umbo roho tabasamu yaan each and everything kwake ni fantastic.....bas tukalala zetu mpaka asubuhi...... ITAENDELEA FULL STORY UNAIPATA KWA KULIPIA TSH 1000 NAMBA YANGU YA WHATSAPP NA KULIPIA PIA NI 0715906120 MTANDAO YAS JINA LA USAJILI FLORA

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

Basi nilipoisoma Ile masg nikatamani kujibu lkn sikua najua jinsi ya kuandika kwenye simu ....basi nikamjibu tu moyoni....sawa Mme wangu 😇.....hili jina mume wangu nalipenda Sana Ila naona haya kumuita Robby aibu hahahahaha.........bas nikiwa pale chumbani mlango ukagongwa nikaenda kufungua.......mbona unavaa nguo za mitego hivo? Hujui kuwa hii ni familia ya kisabato......tafadhali jitahidi kuendana na hii familia sawa 🙆... ...alikuwa ni Lulu ......sawa dada hamna shida........kitu kingine ukitaka kumhudumia Robby mlete huku sebuleni usimfate kule chumbani kwake unamfataje mwanaume chumbani ukiwa na vinguo vinakubana kiasi hicho? Aliniuliza........hapo akili yangu yoote imeshapotea nawaza tu jinsi ya kufukuzwa kazi maana tayari nimeshagundua sitaendana na Lulu kabisa ni mkali Sana alafu ni mfatiliaji wa mambo ......sawa dada nimekuelewa .....vizuri Kama umenielewa....... Nilienda kule aliko Mwaj nikakaa nae maana nyumba nilianza kuiona chungu😥.......sikitu huyu Lulu ni mkorofi Sana jitahidi uendane nae ...yaan ukimkosea akakasirika anaweza kukuwasha makofi bila kujali.......tena ulivo mdogo mdogo ivo na fimbo anakucharaza😳.....nyie wamama iniliogopa nikaanza kupoteza furaha ghafla 😥...... basically tukaandaa chakula cha mchana Mida ya Kula wote tukawa mezani ..........chakula cha Robby alipewa mtoto mkubwa wa Lulu akapeleka.....mama hivi hawa wafanyakazi wako huwa huwaambii Sheria za nyumba yako.....lulu alianzisha.......kwann mama mishely.....huyu nimekuta amevaa kinguo hakina adabu kabisa au hajui kuwa humu kuna mtoto wa kiume ......Lulu aliongea. ...huyu bado mgeni Lulu muache azoee mazingira atakuwa sawa tu.......mama lulu alinitetea .......totoo Mimi huwa nacharaza bakora Kama ukiwa mkaidi sawa......Lulu alinitishia....sawa dada nikajibu kiuoga Hadi hamu ya Kula ikaniisha😥........ asante kwa chakula mama...niliaga .... Mbona kidogo hivo mwanangu sijakuzoea au dada yako amekukwaza alivosema hivo.....mara Lulu akadakia......nimemkwaza na nn mama kama Sheria za hapa zinamshinda arudi kwao au ahame kituo cha kazi......daaah😥.....Robby wangu naona kabisa naenda kumpoteza .......niliwaza sana.....nilienda chumbani kwangu nikachukua kikaratasi nikaandika......Roby nitaumia Sana nikikukosa katika maisha yangu lakn navoona hii hali naelekea kukukosa.......nikakificha kwenye begi langu kile kikaratasi......nikajilaza kidogo .......hazikupita hata Dakika mbil nikaskia.....sikitu sikitu.....niliitwa ....nikatoka kufungua mlango.....mbona unaitwa hauitiki........alikuwa ni Lulu ....sikukisikia dada nisamehe ......ulisikia ila ni ujeuri Tu .....kha🙄 huyu dada vipi huyu yaan kafikia hata masaa matano hajamaliza tayar ananifanya nione nyumba chungu .....niliwaza ......kawaogeshe watoto uwafulie na hizo nguo zao ....sawa dada. Nilienda kuwaogesha wale watoto kisha nikawafulia nguo zao zote......nikarudi chumbani kwangu na kuchukua simu yangu ....Robby alikuwa ameshapiga mno na kutuma msg nyingi za kuniita chumbani kwake hapo nlikua napata ahueni kuwa ninae mtetezi 😇........mmmh tafanyaje sasa siwezi kwenda Lulu ameweka kizuizi........mama nini shida unafanya nini kimekubana hivi hadi unashindwa kupokea simu yangu.......hujaja kumuona. Masaa matatu sasa unaamani, Kama wewe unaamani Mimi sina kabisa naweza kuugua zaidi please njoo mama? .........ilikuwa ni msg kutoka Kwa Robby .......au Mwaj amekupa kazi ....hayo siyo majukumu yako jukumu lako ni moja Tu kunihudumia mimi.......ilikuwa ni msg nyingine hiyo........daaah niliishia tu kulia 😭 sikuweza kujibu .......baadae kalikuja kale katoto kadogo chumbani kwangu......hello aunt( uncle is after you) mmmmh hata sikuelewa jmn nikabaki nimekodoa macho🙄 ......muda huohuo msg ikaingia ....njoo chumbani kwangu nimemtuma mtoto aje kukuita ......duuuh 😥 nifanyeje niende au nibaki tu na maumivu yangu.......nilijiuliza.........mmmh nikiona huu sasa ni upuuzi kumuendekeza Lulu itanigharimu.......alafu kipendacho roho hula nyama mbichi ningumu Sana kunitenga na Robby ...Lulu liwalo na liwe kwenda chumbani kwa Robby siwez kuacha ........nilijisemea Kwa ujasiri wa ajabu......niliondoka pale chumbani kijasiri Sana nikaelekea Kwa Robby🏃 .....muda huo Lulu yupo na mama yake sebuleni wanapiga story ...... Nilimkuta Robby kakasirika Sana......Sikitu unafanya nini mama....si unajua chakula hakipandi pasipo wewe angalia hadi kimepoa ulikuwa wapi.....nikatupia jicho pembeni kweli chakula kilikuwa hakijaguswa .......duuuh🤔....Kaka Robby Kula tafadhali ngoja nikalete chamoto ....nikajichukua kwenda kufata kile chakula ili niende jikoni nikamletee chamoto.... ...unaenda wapi unataka unitoroke tena .....njoo hapa Robby akanivuta mpaka kitandani ......sasa tutakaa wote hapa hutoki utaondoka humu ndani kesho mchana sawa........na huo mchana nitakuwa nimekuagiza ndo utapata nafasi ya kutoka hapa........Robby alinambia ......na ukicheki saa ni saa Saba mchana ....yaan nikae nae kuanzia ule muda mpaka kesho yake mchana nisitoke ......Lulu atanitafuna nyama walay akijua nipo Kwa Robby hahahahaha🤣...... ITAENDELEA FULL STORY UNAIPATA KWA KULIPIA TSH 1000 NAMBA YANGU YA WHATSAPP NA KULIPIA PIA NI 0715906120 MTANDAO YAS JINA LA USAJILI FLORA

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

Nilisafisha kile chumba nikapanga vitu vizuri kabisa pakawa Safi..kuchungulia kwenye kabati nikakutana na ruồndo la nguo chafu...khe .. inamaana Lulu alivoondoka mara ya mwisho aliacha nguo chafu kwenye kabati lake ....mmh sikuwa na neno...nilichukua zile nguo nikazama bafuni kuzifua....zilikuwa ni nguo za mtu mzima pamoja na za watoto wakike...bas wakat huo nlikua nmeacha simu yangu chumbani kwangu ...nilipomaliza kufua nikaenda nje kuanika...yaan nilizifulia zile nguo mlemle ndani ya chumba cha Lulu bafuni kwake....nikaenda nje nikaenda chumbani kwangu kuchek simu missed call 16....ninani huyu?...Robby Kuchek upande wa msg zipo 8 ...ny love njoo unipe utulive..mama sweetheart ...achana na Kazi njoo upumzike...yaan zilikuwa msg za kunipa tabasamic. Bas hapo nikajaaa na kujipa imani kuu kuwa napendwa mie bahati ya mtende imeniangukia......nikaingia bafuni kuoga nikavaa nguo yangu moja wapo kati ya zile nilizopewa na Robby nikapendeza .nikaenda jikon nikachukua chai chapati pamoja na matunda nikaenda chumbani kwake...nikaingia nikakuta Robby ameweka Pc kitandarni anaonge na mtu yaan vidio cal.bas nikaweka ile chai ...alivoniona Tu akazima lle pc akanishika akanikalisha pale kitandani....bas nikiwaga na Robby nashindwa kuhesabu idadi ya mabusu ambayo huwa napigwa ndani ya nusu saa hahahahahaaha karibu mrembo wangu ...akanambia....asante Robby.... karibu chai ... nikamwambia ooh thank you so much mama...akachukua chai akaanza Kwa kuninywesha Kama kawaida tukale Kwa kupokezana tukamaliza ...naomba unishike mikono nisimame...hee usimame Robby unawezaje?.. Nikamuuliza... mazoezi mama mdogo mdogo nitaweza. kweli nikamshika mikono akashuka pale kitandani akaanza kujivuta hapo kavaa tshert ya dark blue na bukta nyeupe fupi imembana bas kapendeza huyo atari..... kaanza kujivuta huku kapitisha mikono yake kwenye kiuno changu....hivi mmeelewa nyie ? ....sikieni yaan ni hivi nlivomshusha pale kitandani akaniachia mikono akanishika kiuno ..bas nikawa napiga hatua moja kurudi nyumba nae anapiga hatua moja kuja mbele hhaahaha amazing Sana ..tulipiga hatua nyingi Sana ...Robby pumzika...nikamwambia ..hapana mama twende nina hamu Sana ya kusimama tena ili niharakishe ndoa yangu.. Nina shida na watoto watano... khe watano Robby...nilimuuliza..hahahaha mbona wachache Sana tena hapo nimepunguza Sana maana nilipangaga wawe 10 ila mama akasema nipunguze kidogo Ikn Mimi nataka wawe kumi ili vurugu zijae ndani kwangu .... aliongea huku kanikazia macho alafu alikuwa serious ..daah watoto kumi kweli? Ndio na huwezi kuchakaa maana matunzo ni hundred percent.... kanij ibu....mmh nikaishia kuguna Tu .... bas kumbe wakat tunapiga story tayari Joel na Mwaj walisharudi nyumbani na Lulu akiwa na watoto wake wawili wakike mmoja miaka 12 mwingine 8....mara ghafla mlango wa chumbani kwa Robby ukafunguliwa bila hodi watoto machotara wakaingia wakatukuta tumeshikana viuno...oh sorry sorry (samahani samahani) si mnajua watoto wakikaa ughaibuni nao wanakua na tabia za kizungu...bas wakawa wanatoka nje ....heeeey come come (Robby akawaita) nikamsogeza kitandani akakaa.... Millen( Yule mkubwa) waaao umekua Sana ,na huyu Mishel (mdogo) woote akawakumbatia pale vitoto vinaita Tu anko anko mara anko hiki anko kile....hapo Mimi nimekaa pembeni sielewi kitu maana wanaongea kingereza Tu na niliishia la NNE D .....bas mara ghafla Lulu huyu hapa...ni mzuri mashaalah ....yaan anasura hiyo na mshepu mzuri mweupe peee kamaa Robby vilevile. Na wanafanana na Robby kama vitunguu... waaao boss Lulu .waaao boss Robby nimekumis Sana boss wangu wakapigana wao pale wakasalimiana jmn walifurahi balaa....alaf wanapendaga kuitana Daah fantastic sana...wakaongea Yao pale ...... hello hujambo... Lulu akanambia...sijambo shkamoo dada Lulu...nikamjibu....hee unanifaham kumbe .....a. kaniuluza...ndio mama Lulu alinambia kuhusu wewe....waao ...Boss huyu ndo mfanyakazi mpya ? Lulu akamuuliza Robby ... No no no boss huyu siyo mfanyakazi she is my close friend anaitwa Sikitu (ni rafiki yangu wa karibu Sana) ohoo mbona Yuko hapa chumbani? ... Ananihudumia si unajua miguu yangu inashida....Boss hujapona Tu tangu kipindi kile...shida aliyosababisha Maua mpaka leo unateseka? Lulu akamuuliza Robby..naelekea kupona boss huyu mwanadada amenisaidia Sana( Mimi sasa) akamwambia ...okay fine bas wakaendelea kupiga story pale nikaanza kuondoka zangu Mama unaenda wapi njoo tupige story ...Robby akanambia...niache tu akapumzike atarudi baadae..Lulu akasema Bas nikatoka zangu nikaenda chumbani kwangu kucheza gem la kwenye simu....nuda huohuo ikaingia kutoka kwa Robby. u.siwe mpweke mamma jiandae Leo usiku TUTAKUWA PAMOJA ..yaan alindika Kwa herufi kubwa kabisa..... hahahahaha ITAENDELEA FULL STORY UNAIPATA KWA KULIPIA TSH 1000 NAMBA YANGU YA WHATSAPP NA KULIPIA PIA NI 0715906120 MTANDAO YAS JINA LA USAJILI FLORA

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

Basi bwana boda akanirudisha mpaka nyumbani .....nikifika nikamkuta mama lulu kakaa na Robby pale nje wanapunga upepo nikaenda pale alipokuwa mama lulu ....nikapiga goti mama mzigo huu hapa....kwa sisi tuliotokea bush kupiga goti wakati mkubwa amekaa ni kitu cha kawaida ....mmmh huyu mtoto ana heshima jamani sijawahi kuona....mama lulu akaongea ....daaah nikaona aibu😌....huyu anafaa kabisa kuwa mke wa fulani huyu.....robby aliongea huku akiwa ananikazia macho....akanikonyeza 🤣 bas nikaangalia chini.......mmh huyu hana aibu hata kwa mama yake......nikawaza....wakat huo mama lulu alikuwa akimnyoosha robby miguu..... huo mzigo ni kwaajili yako mwanangu .....mama lulu alinambia .....wa kwangu mama?.....nilimuuliza kwa kushangaa...ndiyo nenda ndani ukaangalie kila kilichopo humo ni chakwako.....asante sana mama Ubarikiwe na Mungu.....amina mwanangu aliitikia....nilinyanyuka na kuondoka kuelekea ndani.....wote waliniangalia kisha wakaongea kitu ambacho sikukisikia wakacheka...... basi nikaenda chumbani kwangu huku nikiwa na hamu ya kujua ninini kimo ndani....chap Kwa haraka nikafungua ule mfuko.......waaao jmn kulikuwa na nguo nzuri pamoja na viatu halafu chini ya kile kifuko nikakutana na kipochi kidogo nikakifungua nikakuta kimemo kimeandikwa " from your love Robby" ( kutoka kwa mpenzi wako Robby) I Love you to the moon☺️ daaaaaah acheni tu Jmn sikuamin macho yangu kumbe ule mzigo uliandaliwa na Robby kwaajili yangu 😌.... Nilifurahi nikaskia raha ya ajabu .....nikaanza kujaribu zile nguo yaan mulemule zilinikaa ile mbaya utadhani nilipimwa ....nikiwa katika kujaribu mara mlango wa chumbani kwangu ukagongwa........nikaenda kufungua alikuwa mama lulu ...kaka yako anaomba ukampasie nguo anataka aende mahali...sawa mama..... nilitoka na Kwenda chumbani kwa Robby .....nikagonga mlango......ingia. ....alijibu nilimkuta amekaa ....nguo ipi utapendelea nikuandalie kaka Robby.......nilimuuliza.......aliniangalia hakunijibu kitu..........naomba hiyo namba uliyopewa kule dukani na yule jamaa....khe 😳😳 amejuaje huyu ....hapohapo uoga ukaniingia mmmh asijekuwa mchawi huyu kaka 🤣🤣.......unathubutu kuchukua namba mitaani mama?....unasimu?.....haya mpigie tumsikie anasemaje ....unataka ukampe nini yule kijana? Kwahyo mimi umeniona mzembe siwezi kukupa kitu ambacho kitakuachia alama maishani eeeee.....robby alilalamika ...sikujibu kitu nilibaki nimeinama Sina cha kusema😥.....kafunge mlango na funguo uzilete hapa kwangu....alinambia.......nilienda kufunga mlango wa chumbani kwake kisha nikampa ufunguo....... haya twende tukaoge ..... ... ..alinambia..... uwiiiii leo sichomoki nimelikoroga leo lazima nilinywe......hapa lazima damu imwagike ....afe kipa afe beki mechi lazima ipigwe na mabao yafungwe hahaha🤣🤣......yalikuwa ni mawazo kichwani kwangu baada tu ya kuambiwa twende tukaoge.......sikuwa na ubishi maana nilijua fika nimemkose robby .... nikamchukua mpaka bafuni nikamuingiza kwenye lile beseni kisha nikajaza maji .....haya njoo humu .......akanambia😳 hapo kaingia humo na kiboksa tu 🤣......vua nguo njooo....saa nifanyeje 🤣...ungekuwa wewe ungekataa kweli na tayari ulishafanya kosa la kuchukua namba kwa mwanaume..... bas kiunyonge nikavua nikazama kwenye beseni akanikumbatia humohumo .......umeniumiza sana mama .....unataka nirudie maumivu ya zamani .....sitaki kuumia zaidi ....nakupenda wewe mtoto nina wivu mkuu juu yako mama. why huelewi Nina hasira nitakuumiza leo aaaaaaaaah.........aliongea kwa machungu kisha akanikandamiza kifuani kwake ......uwii jmn hasira za robby zinaishiaga kifuani kwake anakukumbatia kwa nguvu mpaka unahisi mioyo inagusana hahahaha....... bas akafunba macho pale......sasa leo hauchomoki ulie, utubu ,upige yowe hautatoka salama hapa ndani .... tuoge kwanza mengine kitandani ......akaongea ITAENDELEA *NIMEZAMA* 18💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋 Tulioga jamani Robby alinisugua mwilini yaan ushawahi kuogeshwa na mtu ana hasira alafu anakupiga mabusu Yale ya hasira ? hahahahaha....ndo ilikua hivo ....tulimaliza kuoga tukatoka pale bafuni ...hapo kichwani nishajua Leo nimekwisha😇 ..... Robby alichukua simu yake na kumpigia mama Lulu......haloo mama yeyote atakaekuja kuniulizia mwambie sipo napumzika siko poa kabisa......akakata simu ......akalalia tumbo pale kitandani.....nisaidie Mafuta ...akasema...nikampaka .....haya njoo na wewe nikupake....ikabidi Tu niende naanzaje kubisha sasa na nishafanya makosa..... Basi taratiiibu akanipaka Mafuta na kunifunika taulo.....kiufupi Robby ashaona many*ny* yangu na mwiili wooote ....maana mara nyingi alitaka nivae au nivue nguo nikiwa mbele yake 🤣...... alipomaliza kunipaka mafuta akaniweka kifuani......haya nieleze kuanzia moja Hadi kumi kwanini unachukua namba za wanaume mitaani ? Aliongea huku akichezea nywele zangu.....hapana Kaka Robby.....hapohapo .....alinikatisha......tulikubaliana uniite Nani?......mu......mu....nikashindwakumalizia ..... Kaka Robby ni ngumu kwangu kutamka hilo jina maana halina uhalisia..... nilimwambia.... anhaaaaa kumbe unataka uhalisia sawa Leo nakupa uhalisia wenyewe ili ukamsimulie Yule muuza nguo pale dukani......aliongea Kwa hasira ......akanishika na kuanza maandalizi hahahahaha......hapa patamu sasa🤣......aaf nyie mnauliza Robby mbona mgonjwa anawezaje.....khe Robby anaumwa miguu Tu hakuna kingine kinachomuuma..... Huku kwenye boxer kuna uzima uzima tena uzima wa ajabu🤣🤣🤣🤣......miguu na boxer wapi na wapi hahahaha...... Bas bwana akaniandaa vilivyo basi na Mimi pia ni binadamu nina hisia guani hamsini 😇....... sitaki kusema nini kilitokea ....Ila nachoweza kuwaambia nikwamba pale kitandani palikuwa na shuka ya baby pink....ilibadilika na kua nyekundu 😂 Robby wewe🙌 sawa rafk angu .......uliamua kweli siku ile Ila niliyataka mwenyewe sikulaumu Baba lkn nafurahi kumpata rafiki wa milele ...wewe hapo Robby wangu😌...... Nyie Robby akiona damu anachanganyikiwa.....basi alivomaliza mauaji yake ya hasira pale... akaanza kuniamsha akadhani nimekata Moto 😂 ..na kweli nilikuwa sina hali kabisa maana mmmmmmh ....sitaki kusema wakubwa mnajua .....Robby aliiangalia Ile shuka zaidi ya Dakika 20 ......akachukua simu yake akampigia Mwaj fasta.....niandalie maji ya Moto sasa hivi please......akakata simu..... my love my love...please Amka mama.....basi nikaamka nimenuna balaaa hapo Nina maumivu Makali Atari..... kama kawaida akanivutia kwenye garden love akanibana hapo......mkewangu..... thamani yako kwangu NI zaidi ya Hummer yenye gharama sana duniani.........mmh maneno kuntu 👌......basi kitu pekee nitakupa ni upendo wa dhati usio na doa...... nisamehe nimekuumiza lakni naomba nikupe zawadi kubwa mno Kama hii uliyonipa Mimi......bas muda huo nimevimba Tu kifuani vidam vinachuruzika kidogo kidogo 🤣.....bas Robby akagusa vile vidam kisha akasema asanteni kwa kuja🤣.....ngoja nikaoge Robby nilimwambia .....sawa mama .....nikainuka pale nikachukua taulo jeupeeeeee nikazama bafuni......bas Mwaj akawa ameshaandaa maji akaja kugonga ......ingia yaweke hapo ...Robby alimjibu....... hee Kaka Robby umeumia au nije nikusaidie🤣....Mwaj si akaona Ile shuka .....hapana bwana kuna kitu nimemwaga usijali tasafisha......hapana Kaka nikusaidie....Mwaj akakazana anataka kutoa msaada 🤣🤣.... asante usijali atakuja sikitu kusafisha. ...ooh sawa Kaka akatoka nje...... nikatoka bafuni......naomba utoe hii shuka uikunje uiweke kwenye kabati....Robby aliongea....khe😳😳 Robby ni uchafu huu inatakiwa kufuliwa...nilimjibu ....hapana usiifue hii ni kumbukumbu kubwa Sana kwangu ......hii shuka nitakuja kuwaonesha wajukuu zangu miaka mingi ijayo tafadhali nitunzie hiyo thamani .... aliongea Kwa hisia Robby wangu .....basi nikakunja kisha nikaliweka Kama alivotaka...... mama natamani nikukande ili upunguze maumivu lkn Hali yangu inanibana😥...alionyesha huzuni Sana ....usijali Kaka Robby naelewa pumzika Tu ....nikachukua Yale maji ya Moto nikaenda kujikanda chooni.....nilitoka nikamuandaa Robby akaoga kisha ule mtoko ukafata.....tulipendeza ilikuwa ni saa moja jioni tukaaga tukatoka out ......yaan nilikua natembea kama nimetoka kukeketwa🤣🤣 ITAENDELEA 19--20 *NIMEZAMA* 19💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋 Basi tulipanda gari tukatoka wawili Tu pamoja na dereva wetu.....kwanza kabisa tulienda Kwa daktari wa Robby akamfanyia checkup miguuni na kumwambia mwezi mmoja ujao atakuwa fresh kabisa na atatembea tena bila kile kigari .....Omg ....ilikuwa ni taarifa nzur Sana kwangu ...... nilifurahi sana kusikia ndani ya siku 30 tayari Robby atakuwa anatembea......bas tuliondoka na kuelekea eneo fulani tulivuu hapohapo Dodoma.... tulikaa sehemu ambayo ilikuwa imejificha kidogo palikuwa na zile taa zinazowakaga rangi tofauti tofauti.....aaah eneo lilivutia zaidi bas tukakaa hapo😌......Tulikaa muhudumu akaja tukaagiza chakula kikaletwa.....Robby alikua akiniangali Sana haamini macho yake hahahaha.....Sikitu nahitaji siku ambayo nitasimama tena unipeleke Kwa mama yako nikamsalimie na kumpa zawadi nzuuri Sana ya shukrani Kwa kukutunza na kukulea kwaajili yangu......nilishindwa hata kujibu nikaangalia chini ....akaniinua shingo yangu kisha akanipa kiss la mdomo 😋........ naomba ufumbe macho Nina zawadi kwaajili yako......hee nifumbe macho tena....mmmh niliwaz.....basi nikafumba........fumbua ...Robby akanambia.....nyie nyie nyie .....alikua ameshika kikopo kizuuuuri chenye umbo la apple......akafungua ndani kisha akatoa Pete😋......mama utake usitake Mimi nakuoa yaan hauna kipingamizi juu yangu nakuoa tena muda siyo mrefu.......hee mbona kibabe hivi 🤣 niliwaza.........bas akachukua kidole changu akanivisha Pete.....daaah sikuwahi kuvaa Pete kidoleni ndo ilikuwa mara ya Kwanza .....Ile Pete ilikuwa ya dhahabu original,👌........badae akatoa kaboksi kadooogo akafungua kisha akatoa simu kubwa samsung kama anayotumia yeye akatoa line akaiweka pale kwenye simu.......mama hii ni kwaajili ya mawasiliano ....lakin inatakiwa iwe na namba tatu Tu.....yangu ....mama Lulu na mama yako....hapo wengine hawana chakuongea na wewe ....daaah Robby anawivu nyie 🤣....akanipa simu hapo nakodoa Tu macho wala sijawahi Tumia simu Tangia nizaliwe..... asi Robby akanipa simu pale. Akanifudisha kutumia.....then tukala chakula tukamaliza tukaondoka...... tulipita Duka fulani hivi la nguo za ndani nikanunuliwa dazan 4 za pichu.....daaah nyie nilikuwa na vyupi mpaka vingine navisahau hahahaha......basi aliyekuwa anauza lile Duka alikua ni Yule dada alienichukuaga stendi akanipeleka Kwa kina Robby mnamkumbuka eee🤣......alinipa ule mzigo wa pichi huku akiwa amenuna atari .... kha huyu mbonà kanuna hivi 🧐 nilijiuliza.....sikitu umeoga sikuhizi naona mambo yako simabaya....yule dada aliongea....sikumjibu kitu......bas tupllivoondoka pale .....simu ya Robby ikaita namba ngeni...... Akapokea ....hee alikuwa ni Maua.... Robby kumbe ni kweli unatembea na huyo ma*la*ya.....sasa nitamuonesha kwamba Mimi siyo level zake .....unaniacha Mimi na elimu yangu unaenda kuchukua huyo mnuka jasho ..... Sawa ni wangu fanya chochote ....Robby alijibu Kwa kujiamini kisha akakata simu......nilipata wasiwasi na uoga Sana....lkn kifuani Kwa Robby palikuwa na utulivu wangu😋 akaniweka kifuani .......usijali mama huyu Hana cha kufanya ni mfa maji haishi kutapatapa......feel free relax enjoy maisha ukiwa mikononi mwangu .....sawa mama....sawa Robby nilimjibu......bas tulienda nyumbani tukalala pale chumbani kwake...... Kesho yake kulikucha nikafanya majukumu yangu kama kawaida.....ilikuwa ni siku ya juma Tatu....niliandaa chai kisha nikafanya usafi kidogo kumsaidia Mwaj....tulikaa jikoni kuanda chakula......sikitu Jana Kaka Robby sijui alijikata nilikuta kitandani kwake kuna damu na nilipomuomba nimsaidie kusafisha alikataa akasema utasafisha wewe .....Kwan alifanyaje...Mwaj aliniuliza.....mmh sikuwa na chakujibu....mi sijui maana hata kusafisha sikuenda kiufupi Jana sijakaa na Robby siku nzima ...nilimdanganya Mwaj ....mmmh sawa lkn lazma nimwambie mama Lulu kilichomkuta Robby....usikute anatatizo alaf sisi tunakaa kimya...Mwaj aliongea......Yule n mtu mzima haina haja ya kumwambia mama lulu maana Siyo mtoto Yule ....niliongea ..... Bas mara mama Lulu akaja ......Mwaj naomba uongozane na Joel ( mlinzi getini) mkamchukue Lulu yupo airpot amekuja Mimi sijiskii vzr siwezi kutoka......mama lulu aliongea......khe😳 Lulu amekuja kutoka Los Angeles jamani waaaao nilifurahi na nilikuwa na hamu kubwa Sana kumuona Lulu........bas Mwaj na Joel wakatoka kuelekea airport.... .sikitu naomba unisaidie kusafisha chumba cha Lulu maana hakijatumika miezi minne yote kitakua kichafu sana.....mama Lulu alinambia ....bas akanionesha kile chumba nikaanza kusafisha... ITAENDELEA FULL STORY UNAIPATA KWA KULIPIA TSH 1000 NAMBA YANGU YA WHATSAPP NA KULIPIA PIA NI 0715906120 MTANDAO YAS JINA LA USAJILI FLORA

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

Bas bwana Robby akapagawa kusikia mtoto sijawah kuguswa na mwanaume ......mnaijua ile feeling mwanamke unapojielezea kwa mwanaume kuwa wewe ni new product alaf mwanaume apate ile sapraiz 🤣.......daah inakuaga pambe sana...... bas Robby akanibusu kila sehemu huku akiongea vijineno vya kuchombeza ilove you mama.... .i love you mama....i love you mama....nakupenda milele daima kamwe hakuna wa kututenga zaidi ya kifo......nilifeel kitu kitamu sana moyoni mwangu .....robby hakuwa na Papara kabisa tayari njiwa nipo kwake mawe ya kazi gani👌......mama najua hatujapata chakula tangia mchana naomba ukalete ile box pale juu ya meza.......nilinyanyuka na kuenda kufata ile box....niliileta pale kitandani........fungua Sweetheart......robby alinambia.....daaah😂 Hilo jina sweetheart lilipenya kwenye ubongo wangu likaenda kutokea kwenye medulaobolangata hahahaha.... niliskia Raha jmn. ...bas nikafungua lile box ...mmmmh mmmh mmmmh ndani kulikuwa na harufu taaaam ya chakula .....ni pizza wamama.....kama hujawahi kula njoo ule kwangu mbweni dsm kila weekend lazma ipikwe🤣.....bas palikuwa na umma pale pamoja na mapocho kibao......robby akachukua umma akaanza kunilisha OMG.....sikuwahi kulishwa .....bas kaka yule akawa ananilisha alaf na yeye anakula daaah umma ni mmoja wamama 🤣.....tukala tukamaliza kulikuwa na vinywaji pale .....robby anapenda sana fanta pineapple ....bas tukanywa pale tukashiba ndiiiiii .....nikatoa Ile box ........haya kifuatacho itv😂 Sikitu mama sasa ule wakati niliokuahidi ndo huu kaa hapa.......robby alinambia....nikakaa.....sikitu Bosco he unakubali kuolewa na robby awe mume wako siku zote za maisha yako akuoneshe raha iliyopo duniani.......haya jibu ndio nimekubali.....robby alinambia🤣....bas wote tukacheza pale akanikiss kwenye mdomo wangu😋 Mimi nina miaka 32 ...wewe unayo mingapi... aliniuliza 20 kaka Robby........kumbe ukinikosea naweza kukuchapa maana wewe ni mtoto kwangu si ndio .......niliona aibu nikainama chini...... naomba kuanzia sasa usiniite kaka niite mume wangu ....mimi ni wako mama ...hata kama hunitaki Lkn mimi ni wako na utanitaka tu hata kwanguvu mimi nafanya moyo wangu unataka nini .......mimi tayari nimeshazama kwenye dimbwi zito la penzi lako .....naomba uniruhusu nikuambie jambo zuri sana kabla sijaujua undani wako usiku huu wa leo....khe😳 nikakodoa macho....inamaana usiku wa leo nazagamuliwa humu ndani ...niliwaza🤣.... kaka robby niambie tu hakuna shida...nilimjibu....wewe ni mrembo sana ... Umebarikiwa kila kitu kizuri ...sasa unadhani naweza kwenda wapi nikahangaike na kuacha dhahabu ndani kwangu........nahitaji uwe mama wa watoto wangu ,mke wa maisha yangu fahari ya nyumba yangu na malkia wa moyo wangu please mama......jmn robby alinambia.....akanisogezea uso wake na kuanza kunishika 🤣 hahahaha ...... Safari hii alidhamiria alichokitaka........bas bila kuchelewa akaanza kuchojoa kigauni changu......akamaliza katoa na ki👙 akanikumbatia hahaha 🤣...nyie ila mwanaume akikupenda anakua kama chizi ... imagine mtu anakumbatia ki👙......bas na yeye akavua zake tayari kwa nini? Et nyie mnadhani nini kikifuatia hapo...hahahahaha..... Chaajabu ni kwamba lile tendo halikufanyika .....nilihisi maumivu makali mara tu alipotaka kufanya......hakutaka kuniumiza alinipoza na kunambia Mungu hajaruhusu kwa usiku ule .....siku nyingine tutafanya kwa usahihi zaidi....bas akanikiss kisha akanikumbatia tukalala😴. Kutokana na ule uchovu wa usiku na kuchelewa kulala ...tulijikuta tunaamka saa nne asubuhi .....nilikurupuka ....mamamamamamamama .....mama lulu akijua nimelala huku itakuwa kesi niliongea huku nikiogopa.... . Hakuna kesi mama na leo atafahamu juu ya hisia zangu kwako....robby alinijibu......bas nikachukua nguo zangu nikavaa....kabla sijatoka pale chumbani.... Mke wangu fungua kabati hapo chukua mzigo wako ....mmh mzigo 🤔 niliwaza ...bas nikaenda kwenye kabati nikakutana na mfuko mkubwa nikabeba huyooooo kuelekea chumbani kwangu....ile namaliza tu kufunga mlango kwa Robby uso kwa uso na mama lulu..... Sikitu umetoka wapi ...mbona ni kama ndo unaamka saizi? ...ulilala kwa kaka yako? ...maswali yoote yalikuja kwangu kwa maramoja....nikaanza kutetemeka...mama weeee hapa kibarua kimeota nyasi.... nikawaza ....hapana mama nilienda kuchukua vitu vya kaka ili nifue ...nilijibalaguza .....mmmmh ...mama robby aliguna huku akionesha sura ya sintofahamu kisha akaondoka.....nilienda chumbani kwangu huku moyo wangu ukienda mbio sana sanaaaa......nilifanya kazi zangu nikamaliza kisha mama lulu akaniomba aniagize dukani ambako alikuwa amesahau mzigo wake Ijumaa...... Alimuita boda akaja kunichukua mpaka pale dukani ...nilifika na kufata maelekezo niliyopewa ...nilipewa ule mzigo ...Lkn wakati natoka uso kwa uso na yule kaka yuleeee wa kwenye gari alienifanya nikashindwa kula mapande ya mihogo alininunulia Chips....sikumtambua kirahisi Lkn yeye alikuwa ameshanikumbuka mpaka jina langu🤣.......sikitu sikitu...Mambo yako za tangu siku ile...alinisalimia ...salama tu oooh nikamkumbuka ....jmn nimefurahi kukuona sana......tukapiga vistory pale Lkn yule bodaboda alienileta akawa anamlpiga honi kuashiria kwamba tuondoke......okay chukua hii namba yangu utanitafuta ...yule kaka akaniachia kikaratasi cha namba kisha nikaondoka zangu . ITAENDELEA FULL STORY UNAIPATA KWA KULIPIA TSH 1000 NAMBA YANGU YA WHATSAPP NA KULIPIA PIA NI 0715906120 MTANDAO YAS JINA LA USAJILI FLORA

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

Niliondoka pale chumbani kwangu na kwenda kwa Robby .....nilimkuta amelala kifudifudi huku akiwa anawaza sana.....aliponiona tu .....njoo mama....nikaenda akanivutia pale kitandani.......hivi unaitwa sikitu nani.......Sikitu Bosco .......ooh nice name.......Mimi naitwa Robbyson Raulent........sawa kaka Robby.......nahitaji kukufahamu zaidi mama.....kivipi kaka Robby....... tumekubaliana saa sita usiku ........ndio kaka.....yes usikose ni siku ya muhimu sana katika maisha yangu na yako pia.....mmh umuhimu kwangu? ...niliwaza ......... naomba ukaniletee maziwa fresh nina kiu sana ......sawa kaka....nilitoka na kwenda jikoni nikachukua maziwa kwenye chupa na kikombe nikarudi kwa Robby......nilimimina maziwa na kumpatia.......mama ujanja wangu wote huu siwezi kula wala kunywa chakula cha moto ...naomba unipoozee.......nilianza kupooza maziwa huku Robby akinikazia macho usoni........ Niliona aibu.......sikitu....abee kaka.....wewe ni mzuri sana ...yaani uzuri wako ni unexplained (hauelezeki) .......aaah aibu jmn aibu mweee🤣.......sina uzuri wowote kaka Robby Mimi ni masikini tu ambae nakubali chochote kinikute ilimradi tu nipate pesa nigawane na mamdogo angu........nilimjibu kinyonge huku machozi yakinilenga......stop it ....stop it sikitu wewe siyo masikini..... wewe ni tajiri kwa kila kitu .....Mungu amekupendelea na ndio maana akaona nisife bila kujujua......lakini hii haitoshi nahitaji kukujua zaidi ya unavodhani........hujanielewa Lkn saa sita usiku utanielewa.....aliongea usiku usilete chakula hapa.......nimemuagiza Moses ( mlinzi) supermarket ataleta chakula kwaajili yetu 😋......kaka Robby nimekuelewa ......sawa mama ....niliingia kwenye kabati nikatoa nguo za robby ambazo zilikua chafu nikazama bombani kufua....nilifua nguo zake zooote nikamaliza kisha nikaenda kumgongea mama lulu ili nimuombe nguo zake nizifue.....karibu sikitu....asante mama ...naomba nguo zako chafu nizifue chap hapa nina hamu ya kufua sana leo.... ..OMG mwanangu sitaki upate shida hata moja ....jukumu lako ni moja tu ..lipi ? Mama lulu aliniuliza.....kaka robby.....nilimjibu .....yees huyo ndo jukumu lako hizi zangu nitazifua mwenyewe nafanya mazoezi sitaki kukaa tu. ...sawa mama...... nilitoka nje na kwenda kupiga story na yule dada anaekua akilisha mifugo pale ndani......shkamoo dada...alikua mkubwa kwangu kiasi....marahaba mzima ....mzima.... unaitwa nani Mwaya.....sikitu ....ooh Mimi ni Miriam.....sawa dada pole na kazi asante sikitu....... Mmh Ila una bahati wewe mtoto .....yule dada alinambia.....kwanini dada? Mmmh Kwan hujui ? Aliniuliza ....sijui dada ...... Kama hujui poa ila naomba usininyime kadi tu ingawa nalisha mifugo hapa ila unikumbuke walau nije nimshuhudie Hb Robby akipata mke ......mke? Mke gani dada mbona sikuelewi.....nilibaki naduwaaa😳 sielewi yule dada alikuwa akimaanisha nini .....aya bwana kama huelewi basi ngoja mimi nifunge kufuli langu 🤐........ tayari ilikuwa ni saa tatu na nusu usiku......niliondoka na kwenda jikoni nimuandalia mama lulu na wafanyakazi wengine chakula....nilikipasha tu maana Mwaj alipika asubuhi ....nikatenga mezani ......mama lulu alikuja ......mwiteni Robby aje ale.....amesema atakula asubuhi kwasasa hana njaa....nilimjibu mama lulu ....Lkn nilikumbuka Robby alisema nisile nitakula nae chakula spesho alichokiagiza supermarket.....ooh sawa amekunywa dawa? ...aliniuliza ndiyo mama....sawa njoo ule mwanangu ..... aliniambia.....mmmh nikawaza hapa nilikataa naweza kushtukiwa bas nikaenda kupakua kidogo tu nikampatia kampani mama lulu pale sebuleni..... mama kwani huyo lulu yuko wapi? Nilivunja ukimya..... hahahahaha....leo umeamua kumuulizia lulu mwanangu...... Ndiyo mama maana kila siku nasikia unaitwa mama lulu lakini namuona Robby Tu....nilimjibu......lulu yupo kwake anaishi na mume wake nchini Marekani Los Angeles....huwa anakuja kutusalimia kwa mwaka mara tatu......na hivi navoongea na wewe atakuja miezi miwili ijayo......ooh tafurahi kumuona mama.....nilimjibu.....usijali utamuona mwanangu..... asante kwa huduma yako nzuri kwa Robby naona anafuraha sana sikuiz hayupo kama zamani na daktari amesema anaweza kusimama siku chache zijazo......mama lulu alinambia......kwani mama kaka Robby alifanya nn hadi anaumwa? ..niliuliza.......mwanangu ni story ndefu sana Lkn chanzo cha yote ni Maua ......maua?😳....nilikodoa macho......tuachane na hayo mwanangu nina usingizi sana tutaonana asubuhi.....sawa mama.....nilitoa vyombo nikasafisha meza nikaenda chumbani kwangu ......niliona mezani kuna vimemo pamoja na biki......nilichukua kimemo nikaandika maneno haya " nakupenda sana Robby Ila siwezi kukwambia ipo siku utaelewa" ...nikachukua kile kimemo nikakiweka kwenye begi langu nikafunga .....nilienda kuoga nikavaa nguo zangu ......tayari ilikuwa ni saa sita na dakika kumi usiku......haraka nilienda chumbani kwa Robby nilimkuta sehemu ya dirisha kubwa amekaa kwenye kile kiti chake amenipa mgongo alionekana anaandika kitu fulani ...nilipoingia tu ...akasema....nanukuu "Asante Mungu kwa zawadi hii.....moyo wangu unadunda kwa kasi bila hesabu pindi tu nimuonapo mtoto huyu....nisikiapo harufu yake navurugwa kabisa hakika amenivutia na namkabidhi kwako useme nae moyoni ili awe wangu daima amen" .....nikaitikia Amen🤣 ..nisijue anaeombewa ninani daaaaah🙌......nyie acheni tu mwanaume akiwa na maneno matamu unaweza kukaa bila kula hata mwaka unashiba tu maneno yake 🤣....karibu mama ...asante kaka Robby .....maombi yako yamepokelewa moja kwa moja mbinguni na huyo mtoto hawezi kupingana na Mungu.....nikaropoka.....Amen..... kaka robby akaitikia....... naomba uniandae nikaoge mama.....nilimuandaa nikampeleka akaenda kuoga ...lakini pale kitandani niliona kigauni fulani cheupe kizuriii kata mikono alafu kinaangaza vizuri atari🤣 hahahaha.....naona wapenzi wasomaji mnasoma kwa msisitizo mimi sipo huko mimi hahahaha....... Pembeni ya kile kigauni palikuwa na kaushi pamoja na bukta ya kiume zote nyeupe.....sikuwa na neno niliangalia tu nikatulia.....Robby alimaliza kuoga nikamchukua nikampaka mafuta na dawa .....naomba hizo nguo hapo....zile za pale kitandani nikamsaidia kumvalisha......sikitu naomba uvae hiyo nguo hapo ni spesho kwaajili yako pia useme neno zaidi nahitaji utulivu mkuu leo please mama......kheee😳 nifanyeje sasa wamama.....ila robby wewe daaah sawa baba roho inaenda ndundunduuu ITAENDELEA *NIMEZAMA* 15💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋 nilichukua kile kigauni nikawa naelekea chooni ili nikavae........mama unaenda wapi.....Robby aliniuliza.... Kuvaa kaka Robby ....no feel free( hapana jisikie huru) vaa hapahapa ....usiniogope mimi ni wewe na wewe ni mimi...... maneno matamu haya daah😋 mara akatoa kitu kama kisimu kidogo....akakibonyeza paap.....waaao mara mwanga ukabadilika chumba kizima kikawa na mwanga fulani hivi wa blue daah amazing sanaaaaaaaa😋😋......halafu akatoa kisu spray flani hivi akakinyunyiza pale ndani uwiiiiiiiii jmn ni kinanukia vzr kitamu balaaaa😂🙌.......jmn yaan palepale nikahisi nipo peponi katika uwanja wa mapenzi mazito... yaani nilifeel kama niko ulimwengu wa pekeyetu......mapenzi matamu ukimpata mtu sahihi kwako bas nikavua nguo zangu nikabaki na ki 👙☺️......nikatupia kile kigauni daaaaah nyie nyie asikwambie mtututu yaan kimwili changu choote kikawa kinaonekana vzr kabisa🤣........bas Robby akawa haamini macho yake akakodoa macho😳🤣.....kigauni kilikua kifupi alafu vichuchu vikachora na kitako huku nyuma sihaba hahaha...... come to me my angel( njoo kwangu malaika wangu) ......robby akanambia....daaah nikasogea kiuogauoga ivoivo ila nilikuwa nataka hahahah sema navunga tu hahaha.......wakat huo yeye alikua amekaa kitandani na zile nguo zake nyeupe bas na mm nikaenda pale kitandani akanivutia kwake......akanisogezea uso wake kwa umakini mkubwa akaniangalia kisha akasema kwa kunong'ona......sikitu you are the only one in my mind no body else( uko pekeako kwenye akili yangu hakuna mwingine) niruhusu nikuoneshe ulimwengu mpya ambao najua hujawahi kuingia humo.......nahitaji utulivu kwako kwenye utu wako ndani ya nafsi yako......utupu wako ndo kichaa changu umeumbika kwaajili yangu niruhusu nikuoneshe madhaifu yangu mama na uanaume wangu mama.....daaah nyie nyie wamama nyie .....fikiria hayo maneno yanatamkwa kwa kunong'ona alaf bezi faln hivi ya chinichini hahaha..... bas Kwa utam ule wa maneno ya robby nikajikuta naanza kulia😭 kilio cha hisia kali za mapenzi.......si mnajua mtu kama unampenda alafu na yeye akuoneshe mapenzi ya dhati zaidi unahisi feelings za ajabu moyoni Mwako.... Basi moyo wangu ulikuwa unaenda mbio mithili ya mshale uliopigwa kwa swala ili ageuzwe nyama...... Kwa maneno yale tayari mambo yalikuwa yameshaharibika kwangu🤣🤣 wakubwa mshaelewa bana.......robby pia hakuwa mbali kihisia tayari babu alikuwa anataka kupasua bukta hahahaha.......bas mpenzi msomaji unapenda kweli hiki kipengele 🤣 .....sikitu kabla ya yote naomba nikuelezee mambo kadhaa kunihusu ....sina haraka na wewe huendi popote tutakesha leo mpaka asubuhi na tutakuwa pamoja milele zote ....... Katika historia yangu ya mapenzi niliwahi kupenda wanawake kadhaa najua unajua mimi ni mwanaume Rijali kabisa nina nguvu kama Samsoni wa delila ....hivyo sina kasoro kwa hilo ....lakin mahusiano yangu mengi hayakufikia nilipotaka ......niilikuja kuangukia kwa mwanamke mzuri niliyempenda mpaka nikawa kichaa juu ya penzi lake .....oooh maua sitakusahau juu ya maumivu makali na mazito uliyoniachia ....yale maumivu yanayochoma kama moto kiganjani.....nilimpenda mwanamke yule nilimpa kila kitu ili tu nikuoneshe thamani yake ndani yangu....... lakini hakujali utu wangu kabisa alichonitenda ni kibaya zaidi ya kibaya daaah .....wamama robby wangu akaanza kulia😭......kaka Robby usilie tafadhali naomba umsamehe tu utaumia hadi lini duniani kuna mitihani na ipo kwaajili yetu sisi wanadamu samehe na sahau utapata amani mpya ......niliongea huku machozi yakinitoka na nilikuwa nikimfuta Robby machozi kwa mikono yangu.......yeees na hii amani sitoipata kwingine zaidi ya kwa huyu mtoto ...... robby aliongea kwa msisitizo .....mtoto yupi kaka robby.... nilimuuliza.....sikitu peke yake .....alinijibu ......hakutaka kunipa nafasi ya kujitetea hapohapo akanisogelea na kunipa romance😋.......jamani jamani jamani waego mwenzenu nashindwa kusimulia vzr mkanielewa ile romance ilivyokuwa tamu hahahaha....yaan nawaambia ile hisia ya viwango vya juu mawinguni jinsi ilivokuwa..... Aaaaaash halafu kizuri zaidi sikuwahi kabla kupata hivyo vitu nilikua mgeni wa haya mambo .....ila daaah Robby anajua mweee 🤣.....alinipa ile kitu romance mpaka nikaanza kutetemeka baadae akaniambia......unajiskiaje mama.......sina hata cha kujibu namuangalia tu nimelegea kama mrenda🤣.........akasogeza mdomo wake sikioni kwangu "I NEED YOU THIS NIGHT "( nakuhitaji usiku huu) daah jmn ile sauti tu ni hoi ........utanizoea tu mama...robby alisema .....jmn akanikumbatia akanikiss mdomoni kisha akanilaza kifuani kwake .......yaan hakuwa na Papara kabisa . .....mama....abee .....naomba historia yako ya mahusiano yako ....aliniambia.....daah nijibu nn sasa wamama nakumbuka nilikuwaga na ayubu enzi za zamani huko kijijini Lkn kila ayubu alipokuwa anataka dudu nilikua najificha jikoni 🤣🤣 na vile mamdogo alikua hataki ujinga bas nilijitunza sana......bas nikamuelezea Robby....niliwahi kuwa na mtu zamani sana Lkn sikuwahi kushiriki mapenzi hata mara moja.....whaat? ( Nini) Robby alishangaa akaniinua kifuani kwake nae akainuka akakaa..... unasemaje sikitu hujawahi ...hujawahi....hujawahi kufanyaje? Ni ya kweli hayo mama? Au unanipima upendo wangu kwako......robby aliuliza huku haamini yaani ilikuwa ni bonge ya sapraiz hahahaha.....My God My God...sikitu nitakupenda mpaka ushangae wewe mtoto..nitakuthamini mpaka dunia ishangae nakupenda wewe mtoto ..uliumbwa kwaajili yangu pekeangu umeletwa na Mungu kwajili ya Robby Ooh My God.....robby aliongea kwa msisitizo wakati huo kanikumbatia kwa nguvu....si mnajua mtu akiwa na hisia kali eee alinikumbatia akanikandamiza kabisaa.... bas kaanza kunikiss mwili mzima hahahahaha ITAENDELEA FULL STORY UNAIPATA KWA KULIPIA TSH 1000 NAMBA YANGU YA WHATSAPP NA KULIPIA PIA NI 0715906120 MTANDAO YAS JINA LA USAJILI FLORA

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

Bas bwana tukalala pale tukajisahau kabisaàaaaa....chaajabu kumbe mimi ndo nilikuwa nimelala 🤣....robby alikuwa macho ananipigia mahesabu tu pale usoni yaan muda wote nimelala kumbe yeye alikuwa ananiangalia usoni hanimalizi alikuwa anazilazalaza nyusi zangu na vidole vyake hapo ndipo niliposhutuka.......... nilikurupuka.....tulia unaenda wapi mama....robby alinambia.....kaka robby ...lala mama bado sijapata utulivu .....bas nikalala nae karudi kifuani😋 .....ila nyie hii raha haielezeki ni kweli wanaume wenye hisia za dhati wapo ila kuwapata ndo kipengele...... robby alikuwa akiniambia anataka utulivu bas najua tu anataka kifua changu au mimi nilale kifuani kwake ......daaah 😇🙌.....tulikuja kushtukizwa na honi ya gari .....kucheki time ni saa kumi na mbili na nusu......kaka robby wamerudi twende sebuleni......nilimwambia ...... hapana subiri kwanza tulia na mimi hapa ....nikatulia....basi bwana kumbe mama lulu alikuja na mama mchungaji pamoja na maua na Justine alikuwepo.......mara mlango wa chumbani kwa Robby ukagongwa......nikaenda kufungua ...alikuwa ni Justine......broo Maua yupo around kazi unayo leo ..... Justin aliongea......wala sina kazi bro kazi ataipata yeye subiri nimuomeshe ukatili wangu leo .......robby alijibu huku mimi nikiwa natoa macho tu sina raha tena😥.......jina maua lilikuwa linavuruga kabisa mfumo wangu wa akili.......shem vp umeshindaje na mgonjwa wetu.......daah nikashindwa kuitikia .......ikabidi tu nimuitikie justine ......salama kaka J tuko vzr .....niite shem bana pia jitahidi huyo mwamba akae sawa halafu tumveshe suti na shela sawa😳......... sikuelewa alimaanisha nn...ila nikajikuta tu ...sawa kaka J....... bas j akamchukua Robby wakatoka sebuleni mimi nikabaki natandika kitanda na kukunja nguo .....kufika sebuleni tu maua akamkimbilia robby na kumkiss usoni.......robby akakaa kimya......maua akaanza kujichekesha pale.......bebi tumekuja kukujulia hali unaendeleaje mme wangu ........stop!!!!!!maua nakuheshimu sijaoa na wala sitaki kusikia kuhusu kuoa na mimi siyo mume wako tafadhali.....hivi kwanini wewe ni mgumu kuelewa ! uko darasani unakuaga wangapi?.......kwann unanilazimisha ? mimi sina mapenzi na wewe mama sikutaki sikuhitaji bora nife kuliko niishi na wewe moyo wangu upo kwa mtu mwingine kabisa kwann haunipi nafasi nikafurahi kwann mama .......robby aliongea huku anatetemeka🤯.......mama maua naona sasa mmekuja kuniharibia siku yangu.......sikitu amefanya kazi kubwa sana kunifanya niwe na furaha Lkn nyie mnatumia nafasi kunivuruga....mama naomba I Uwaondoe hawa watu hapa sitaki kuwaona hapa please........Robby aliongea kwa hasira sana mpaka akaanza kubadilika na kuwa mwekundu si mnajua watu weupe ...... mama lulu akachanganyikiwa akaniita.... Sikitu ...sikitu ....abee mama ....njoo haraka....nilitoka mbio nikaenda sebuleni .......mchukue kaka ako ukampe dawa sasa hivi fanya haraka ....nilienda nikataka kuendesha kile kigari Lkn robby aliudaka mkono wangu na kuuweka kifuani kwake 😋.......nyie true love never feel shy( penzi lakweli halina aibu) wakati huo alikuwa kavaa tisheti ambayo ilikuwa na vifungo hapa kifuani hakuvifunga kwahyo alivoweka mkono wangu kifuani kwake nikagusa kifua moja kwa moja nikashika garden love 😋😋😋.......nikataka nitoe mkono.....subiri kwanza mamy .......Robby aliongea akafumba macho akavuta pumzi......sikitu mama nipeleke nikapumzike ....aliniambia huku ananiangalia kwa macho legevuya mahabati👌.......nyie nyie nyie acheni tu..... wakati huo maua mama lulu na mama mchungaji wanaangaliana hawaamini macho yao.....justine alikuwa mlangoni ameegemea mlango na kuweka mikono mfukoni huku akitabasamu☺️ ....daaah nikamtoa robby wangu pale nikampeleka chumbani.......kumbuka saa sita usiku nina jambo na wewe usilete kikwazo naamini utakuwa hapa.....robby alinambia....sawa kaka hakuna shida.....nilimlaza pale kitandani kisha nikamuaga naenda kufanya majuku mengine......okay mom take care usirudi sebuleni please......kboa sijaondoka ....naomba unikiss nipumzike kwa raha ...robby alinambia....nikabaki nazubaa tu alinivutia kwake kisha akanikiss kwenye paji la uso akaniambia badae mama.......aaah nikatoka.....mama lulu akaniita nikarudi sebuleni nikakuta mama mchungaji anafoka balaa maua kavimba kanuna analia .......aliponiona tu akanisogelea ......wewe mchawi umeamua kuniibia mme wangu akaniwasha kibao😥......hapohapo Justine akaja na kunitoa nje......maua acha fujo kwann unampiga sikitu huyu ni mfanyakazi tu hana uhusiano wowote na robby ...... alifoka ....angekuwa hana uhusiano na Robby ,Robby asingemjali yeye kuliko mimi sasa takuonesha wewe mtoto ......robby ni wangu mimi hakuna mwingine......mama mchungaji naombeni muende sihitaji fujo nyumbani kwangu kama kijana wangu amekataa naomba mumuelewe heshimuni hisia zake tafadhali......mama lulu aliongea kwa jazba sana........maua naomba ufunguo wa gari ..mama lulu alimwambia .....maua akatoa ufunguo na kumrushia mama lulu......wakaondoka ....... Mama hivi kwanini unaruhusu huyu binti apigwe na maua hali ya kuwa unafahamu ni jinsi gani anamsaidia robby mpaka sasa anaanza kuponapona .....j aliongea kwa uchungu sana......hapana mwanangu ni bahati mbaya tu....sikitu naomba usiumie sana mwanangu hawa watu hawatarudi tena hapa sawa mama......sawa ......nenda kampake kaka yako dawa miguuni na umpatie chakula...... niliondoka na kwenda chumbani kwangu...nilitafakari sana maisha yangu ndo kwanza hata wiki mbili sina nishaanza kuwekwa mabao na watu daah nililia nikafuta machozi .......Lkn kama ipo ipo tu kama Robby hamtaki yule binti kwann amlazimishe mimi nitapambana mpaka nione mwisho wake safari hii sikubali akinipiga atanitambua ataiona rangi yangu halisi ..... niliongea pekeangu....... Nikatoka kwenda kumhudumia mgonjwa wangu...... ITAENDELEA FULL STORY UNAIPATA KWA KULIPIA TSH 1000 NAMBA YANGU YA WHATSAPP NA KULIPIA PIA NI 0715906120 MTANDAO YAS JINA LA USAJILI FLORA

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

Nyanyuka haraka ondoka hapa mnuka mjasho wewe.........kwa uoga jmn nikasimama Fasta nikarudi nyuma😥......vile viatu vilinipa shida kutembea haraka nilitembea ile ya mtoto teteee teteee🙊...... bahati nzuri nilimuona Justine nyuma amekaa na pale alipokuwa kaka palikuwa na siti......... basi nikamfata ....alivoniona tu....... waao ni wewe mama? You look so sweet( umenoga Sana) njoo ukae hapa😋 japo nilikua na hasira.....Justine aliongea na kunipisha miguu yake nikapita nikakaa......hellow mama vipi unaendeleaje.....salama tu kaka Justine za nyumbani......nzuri sana......mbona hauna raha mama nini shida ..... justine aliniuliza....amna kaka niko sawa..... basi nilivo na michozi ilianza kumwagika 😭......jmn J akawa ndo ameamsha hisia zangu za kulia....nililia kilio cha kujibana maana kanisani tayar ibada ilikuwa imeshaanza..... Justin alijaribu kuninyazisha Lkn niliona ndo ananikngezea machungu......niliinuka na kuenda nje nikajikalia nje kabisa ya geti😥.....nililia kama mwehu huwa sipendi kabisa kuonewa bila sababu za msingi........ Lkn ghafla nikaona kuna baba anamtoa Robby nje😋....bas nikimuona robby moyo unakua mweupe peeeee si mnajua nakapendaga ee ila navunga hahaha.......akamtoa hadi pale getini na kumuacha pale nje ....Robby aliangaza macho huku na kule Lkn hakuniona......alibaki amekaa kihuzuni sana nilikua nikimuona ......bas kuna katoto nilikaona pale jirani nikakaita nikakatuma kakamlete Robby......kalienda na kumleta mpaka pale nje ....nilijiinamia huku machozi yakinitoka....Robby aliponiona Tu ..... sikitu mama njoo mama angu.....njoo mylove...nisamehe mimi ni makosa yangu nilishindwa kukutetea kutokana na hali yangu nisamehe sana mama angu....robby aliongea kwa uchungu jmn😭....yaan nilivyosikia vile ndo nililia balaa ....njoo mama nyamaza hatakuliza tena yule mjinga mpuuzi.....robby alininyanyua na kunikumbatia jmn what a beautiful moment😋.......nikajiskia Raha Sana.....naomba twende kwenye gari mpaka ibada iishe tutasikiliza humuhumu kwenye gari.....robby aliongea...tulienda kwenye gari kisha tukakaa.....sikitu mama leo nina jambo na wewe naomba usihuzunike kiasi hicho.....utanivunja moyo wangu mama.....sawa kaka robby sina kinyongo yameisha ....nilimjibu .... bas ibada ikiendelea kule ndani Lkn pia na sisi tulishiriki kule nje .......Lkn katikati ya ibada maua alitoka nje na kuanza kuangaza macho huku na kule hakuona mtu...akachukua simu yake na kumpigia robby ...robby aliiangalia simu na kuikata kisha akaizima kabisa.......kaka Robby Kwan huyu dada ninani? Na kwann anakufatili hivi? Nilimuuliza robby ......leo utajua kila kitu kumhusu naomba uvute subira mpaka saa sita usiku pale chumbani kwangu nitakuelezea mama......sawa kaka robby......ibada ilipoisha tu......tulimuona mama mmoja anakuja kwenye gari na kumuita robby ....robby hujambo ...sijambo mama za kwako.....salama....nina maongezi na wewe dakika tano tu zinatosha.......sina muda kabisa mama naomba nikapumzike nyumbani......robby kumbuka unaongea na mama mchungaji ugomvi wako na maua mimi usinihusishe nataka tuongee jambo moja dogo tu naomba dakika zako......sawa na kusikiliza mama......robby alikubali ......we binti naomba utupishe hapa tuongee.......yule mama aliniambia kwa sauti ya ukali....sawa mama nilimjibu .... hapana sikitu kaa hapahapa ......mama kama huwezi kuongea mbele ya rafiki yangu kipenzi naomba uende nakuheshimu sana.....anhaaa sawa....naomba unipe muafaka wako na maua ni upi maana kila anapojaribu kukuleta uwe sawa hutaki unataka mwanangu ashindwe kusoma masters yake? .......yule mama alifoka.......mama nakuheshimu sana ........naomba mniache na maisha yangu ......simtaki huyo mwanao na sina mpango nae kabisa.....nia yenu nyinyi ni kuniua hamtaki niishi....mimi na maua yalishapita nilishafunga chapter kuhusu......naomba umwambie Asinifatilie wala kumsumbua sikitu kwa lolote tafadhali sana.....wakati huo mama lulu alikua ndo anakuja kwenye gari... walisalimiana na mama mchungaji wakacheka kisha wakaagana.......mama mchungaji aliahidi kuja jion nyumbani kwa kina Robby......karibu sana mama mtumishi...mama lulu alimkaribisha......Justine alikuja tuliondoka pale kanisani na kurudi nyumbani ....... Robby unashida gani Kaka......Justin alimuuliza baada ya kufika nyumbani. .....kaka naomba tuongee pembeni......walisogea pembeni na kuongea mambo yao waliporudi nilimuona Robby akiwa na furaha kidogo .......niliandaa chakula mezani tukakaa kama kawaida mimi na robby hapa... kule mama lulu na Justine katikati Mwaj.......shem umeionaje ibada yetu kanisani....justine aliniuliza.... Hee shem tena.....nilikodoa macho 😳.....aah sory sikitu 🤣.......Dah ibada ilikua nzuri tu kaka J ........karibu zaidi ikiwezekana uolewe kanisani kwetu....j aliongea ......umeongea pointi sana mwanangu huyu sikitu inabidi apate mume pale pale kanisani wala asiende mbali ......mama lulu alidakia.......kweli kabisaa yaan huyu haendi popote niwa hapahapa.....Robby alimalizia ...hahahaha🤣 nilibaki Naona aibu tu...... Tulimaliza kula muda wa kurudi kanisani ukawadia .......mama naomba nibaki na sikitu sijiskii vzr kabisa nyie nendeni kanisani....... robby aliongea....sawa mwanangu... sikitu muhudumie kaka yako vzr ..sawa .....sawa mama Tukibaki mimi na Robby......Mwaj akaenda zake kwao ......ngoja kwanza hapo wamama mnawazaga tu kukoboana🤣🤣🤣hakuna Robby wala hana hilo wazo ☺️ hahaha....... naomba nipeleke chumbani tafadhali .... nilimpeleka.......nenda ukaoge ....Robby alinambia.......khe🧐 Kaka Robby sisikii joto mbona.....nilimjibu huku nimetoa macho......kumbuka makubaliano yetu......utanisikiliza kwa kila jema .....haya kaoge....jmn nilienda kuoga nikavaa taulo ....nae akaenda kuoga...... hahahaha Kwan mnawaza nn nyie wamama🤣......hakuna hicho mnachowaza hakikutokea kabisa hahaha....... Robby alitrudi nikamvalisha nguo za kulalia kisha akaomba massage ya miguu ......bila hiyana wala lawama nikamfanyia massage kijana yule😋....... nahitaji utulivu mkubwa kifuani kwako tafadhali naomba ruhusa yako.......kabla hata sijajibu kitu robby akanilaza kitandani na kuniwekea kichwa chake kifuani kwangu .....aaaaaash what a wonderful time🤣🤣........jmn ni rahaaaa..... tukalal usingizi mwororoooo.... hahaha hatukufanya bana acheni kuwaza minyanduo🤣.... ITAENDELEA FULL STORY UNAIPATA KWA TSH 1000 njo WhatsApp 0715906120 LIPIA KWA NAMBA 0715906120 YAS JINA LA USAJILI FLORA

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

Akacheka akisema “kwa ulivyonichosha sitaki hata ufanye nini.” Nikasema “ya kweli hayo?” Akacheka akisema “kwanza haramu. “ Tukacheka nikisema “unajua nasubiriwa na leo nawahi kutoka kwaajili ya maandalizi ya kesho.” Akanitazama akasema “hata mimi nawahi kutoka naenda msaidia totoo kujiandaa. Sasa sikia ukitoka fanya unaloweza kanisubiri pale kona ya kanisani. Mimi nakufuata hapo chapu nakupeleka saluni nzuri mama yangu nilikuwa nampeleka hapo. Ukapendeze.” Nikamuuliza “tunaenda wote saluni?” Akaniambia akicheka “haya nenda ubishi ni haramu.” Nikacheka na kuanza kutoka. Wakati natoka tu, nikakutana na mfanyakazi mwingine mlangoni na yeye ndiyo alikuwa anaingia. Natamani ungemuona alivyokuwa ananitazama. Nikasema wewe usinitanie, mimi nikarudi tena ndani kwa Boss. Nilipofika tu. Boss alimuuliza yule dada “Unahitahi nini?” Yule dada alinitazama jicho kali, kisha alisema “samahani naomba kuzungumza na wewe.” Boss alinitazama na kisha alimwambia “mara ngapi nikuambie hii sio sehemu ya kuja ovyo kila unapojisikia. Shida na malalamiko yenu nayapata kwa meneja. Haya nenda kamwambie matatizo yako ndiyo kisha utajibiwa na meneja.” Huyu dada alijisikia aibu sana. Alinitazama kwa hasira akatoka. Alipotoka nikauliza “kwani huyu kafuata nini?” Akaniambia akitabasamu “usijali baby, najua namna ya kumalizana mambo madogo madogo.” Nikamtazama kwa jicho, akatabasamu akasema “baby kununa ni haramu wallahi nakuambia, dini zote haikubaliki.” Nikatabasamu tu na kutoka. Nilipotoka nilikwenda moja kwa moja kwa Joan. Joan aliponiona aliniambia “ndugu yangu muda wote huo?” Moyoni nasema angejua huyu mwenzake nimetoka kuchangamsha damu asingeniuliza maswali. Basi nikamwambia “nisamehe kipenzi, kuna maagizo ya Boss nikatoka kabisa hapa ndiyo narudi na nina njaa hatari, si unajua hata simu hatuna nikashindwa kukuambia rafiki yangu.” Joan akasema “mimi nishakula, nimekubakishia. Kula basi haraka haraka tuondoke.” Basi wakati nataka kula yule dada nimekutana naye kwa Boss akapita na kusonya. Joan akashangaa na kusema “kachanganyikiwa nini?” ... 𝐉𝐀𝐌𝐀𝐍𝐈 𝐁𝐎𝐒𝐒 𝐌𝐈 𝐍𝐀𝐎𝐍𝐀 𝐀𝐈𝐁𝐔 🍒🙈💞: 77 Nikamuuliza “kwani ni vipi huyu dada, nimekutana naye muda ule natoka kwa Boss. Basi alinitazama kwa jicho hilo nikaogopa.” Joan alianza kucheka alicheka akisema “hao ndiyo wanaohangaika waolewe na Boss. Boss mwenyewe hacheki na kima, yeye akikupitia tu tayari si bora watulie kama mimi hapa?” Nikashtuka na kuuliza “hata wewe pia?” Akasema “ndugu yangu kupata kazi sio rahisi hivyo, mtu mwenyewe ana dharau kama nini unaweza nenda naye room akaishia kukutazama tu. Ya nini mimi.” Nikacheka tu, nikisema “tuondoke, nitakula tu nyumbani.” Joan alisema “yamekuwa hayo, au unampenda Boss ndugu yangu. Kama unampenda bora usahau tu. Yile sijui hana Moyo.” Nikacheka tu nikisema “nitamuanzia wapi mimi, na usikute anaye mke nyie mnahangaika tu.” Naongea hapo moyoni kuna waka moto. Nachukia kusikia hayo maneno sana, ila nitafanyaje sasa na mtu kakiri. Nilichukia ila moyoni nasema “Mungu anajua.” Basi tulienda kuchukua simu, na kubadili nguo. Nilipowasha tu simu nilikuta na semeji zake zimejipanga. Honey babe Hunny bunny Honey pot My sweet person Totooo Kipenzi Ndeana wangu, na maneno matamu matamu mengi. Nikacheka tu. Na kisha ujumbe mwingine aliandika “ Nisubiri nilipokuambia, tunaenda saluni pamoja leo.” Kiukweli siku hii sikuwa na story nyingi na Joan. Basi tulipotoka tu tuliagana vizuri tu. Nilitembea mpaka hiyo sehemu aliyoniambia. Nilimtumia ujumbe kuwa nipo hapo. Hakuchelewa ndani ya muda mfupi tu alifika. Niliingia ndani ya gari na alinitazama na kuniambia “Unaonekana umenuna kuna nini totoo!!!” Nikamtazama na kumuuliza “Kwani kazini umetembea na wanawake wangapi?” Akasimamisha gari na kusema “Ndeana nilijua umenielewa na yameisha. Ina maana unataka nilie tena. Mumy mimi mtu mzima ujue, please nipe muda. Ningekuwa sikupendi nisingekuwa nahangaika hivi. Please jiweke mbali na hayo mambo kama ni hivyo basi uache kazi.” ... 𝐉𝐀𝐌𝐀𝐍𝐈 𝐁𝐎𝐒𝐒 𝐌𝐈 𝐍𝐀𝐎𝐍𝐀 𝐀𝐈𝐁𝐔 🍒🙈💞: 78 Nikamtazama na kusema “Niache kazi kivipi sasa?” Akavuta pumzi na kuniuliza “unanipenda mimi?” Nikamtazama tu, akaniambia “nisikilize mimi, mimi nakupenda peke yako wewe tu.” Nikaitikia kwa kichwa. Akaniita “Ndeana!!!” Nikaitikia “abee!!” Akaniuliza “unajua kwanini napenda kukubusu?” Nikamtazama kwa aibu na kusema “Hapana, sijui?” Akniambia “kwasababu kila busu lako linaanzisha maisha mapya ndani ya moyo wangu. Mwili wote unasisimuka na kuwa na furaha. Nakupenda Ndeana.” Nikasema kwa upole “Tuachane na hayo sasa tuendelee na safari.” Akatabasamu. Basi akaweka nyimbo zake kama kawaida, kwa mara ya kwanza, tangu nitoke kwenye tumbo la mama yangu. Ninaonaga kwa tv tu, ila sasa hivi yananitokea mimi mwenyewe katika maisha yangu. Nilishuka kwa gari, na Boss akashuka. Kapendeza mwenyewe, anavutia yaani hata ukisimama ukisema huyu ni mpenzi wangu, lazima upewe maua yako. Alinishika mkono, alinibebea pochi yangu. Nilikuwa najisikia aibu sana. Tulitembea mpaka saluni. Ile tunaingia tu, wadada wote wa saluni wakaacha walichokuwa wanafanya wakatutazama. Kisha Boss wangu, aliita kwa sauti ya wote kusikia “Aunt, nimekuletea mkweo leo, maana kila siku unanipigia kelele haya huyu hapa, anaitwa Ndeana, ni mke wangu mtarajiwa.” Aunt sasa akashangaa akisema “Stewart, usinambie unanitania, mbona mrembo hivi, nitambulishe vizuri.” Mwanaume wangu sasa, alivyo anajiachia kwa raha, si mwenzenu nilianza kutambulishwa alianza kwakusema “Aunt, she is my sweet person.” Aunt sasa “umh!!, uhm!!” Aliendelea akisema “Mimi namuitaga totoo, Aunt huyu sasa ndiyo roho yangu, nampenda sana huyu mrembo anaitwa Ndeana. Ni mwanamke wa pekee sana kwangu. Ndeana huyu ni aunt yangu. Rafiki kipenzi wa mama yangu. “ Mimi sasa mpaka aibu wadada wengine wanavyoshangaa yaani huku moyoni nasema “Ndeana mimi, sijawahi kupendwa hivi, zamani nilikuwa kama hawa wanaoshangaa.” Basi nikasalimiana na Aunt kwa furaha na kisha Boss wangu alisema “Nakaaa hapa nataka nione anavyopendeza. Naomba mtengeneze vizuri sana. Vyovyote ili mradi apendeze. Totoo enjoy kipenzi.” 🤣🤣🤣🙌🙌na leo mkikoment kama jana kesho mpaka mia💃🏻 ... 𝐉𝐀𝐌𝐀𝐍𝐈 𝐁𝐎𝐒𝐒 𝐌𝐈 𝐍𝐀𝐎𝐍𝐀 𝐀𝐈𝐁𝐔 🍒🙈💞: 79 Nikacheka. Akasema “Baby kwani kukusubiri hapa ni haramu.” Nikamjibu nikicheka “ni haramu baby dini zote zinakataza.” Akacheka akisema “umoja wa mataifa uingilie kati nakusubiri kipenzi.” Watu wakajikuta wanacheka na kuanza kunong’onezana. Mimi na yeye tunatazamana na kukonyezana huku akiwa na pochi pembeni. Nyie mapenzi matamu mjue, mimi ndeana nawaambia. Basi tena, Aunt mkwe tena kajua mimi ni mkwe wake. Basi ananifurahia mwenyewe, ananitengeneza nywele akiwa na furaha sana.Boss wangu amekaa tu anachezea simu yake hana habari, wadada mule ndani wanapiga story wanamuangalia Boss wangu napata wivu maana wasije niibia njiwa wangu akapeperukia mbali sana. Nilipendeza sana, unajua kuna kule kupendeza mpaka wewe mwenyewe unajua wazi ya kuwa umependeza. Basi nilipomaliza Aunt mkwe alisema “mkwe wangu umependeza mno, yaani hapa sasa kila mawimbi yakivurugika njoo tunatengeneza mtindo mwingine. Hili wiki ni kama lilitengenezwa maalumu kwaajili yako. Stewart unasemaje, umemuona mwenzio.” Boss alitabasamu na kusema “nimemuona aunt, ni mzuri sana. Amependeza sana.” Akanisogelea na kisha akanishika mkono tulienda kukaa kwenye sofa pamoja. Akawa ananishika nywele zangu huku ananiambia “baby hawa wadada wanaona wivu, itakuwa hawapendwi hawa.” Nikajikuta nacheka na akaniziba mdomo watu wanatutazama. Mimi nikamwambia “huna akili kabisa.” Akatabasamu na kusena “Ndeana wewe ni mzuri sana. Umependeza sana. Umependeza vibaya mno.” Nikamwambia “Nashukuru sana. Haya uliza basi gharama nilipie.” Boss wangu alitabasamu na kusema “una matatizo wewe. Nikusifie na Bill ulipe wewe. Hii ni juu yangu. Mwanaume akikusifia ahakikishe yeye ndiyo ana gharamia. Yaani akikusifia umevaa nguo mpya umependeza, viatu vipya ama chochote na yeye hana tatizo lolote lile, yupo tu kukuonea, anakufanyia makusudi mbinafsi.” Nikamtazama na kusema “baby lakini mwingine kipato kidogo?” Akatabasamu akisema “kipato kidogo pia kuna vitu vidogo vya kunogesha penzi lao. Sasa baby niwe sina hela hata kijola ukose, hata kukupeleka kula mihogo nishindwe, masihara sasa.” Nikacheka na kusema “una maneno kama nini?” ... 𝐉𝐀𝐌𝐀𝐍𝐈 𝐁𝐎𝐒𝐒 𝐌𝐈 𝐍𝐀𝐎𝐍𝐀 𝐀𝐈𝐁𝐔 🍒🙈💞: 80 Aliinuka na kisha alienda kwa Aunt yake. Walizungumza kidogo kisha Aunt alinifuata na kusema “Kipenzi, sasa usiwaze kuhusu nywele. Wewe njoo hapa kila ukiona nywele haifai. Njoo hapa na utengeneze. Ushalipiwa kabisa, na bill ikiisha mpenzi wako analipa hana shida.” Nikamtazama Boss na kutabaasamu kwa kushangaa yaani, kisha akaniuliza “Utanishangaa tu totoo, hutonikumbatia?” Nikacheka na kwa aibu nilikumbatia nikisema “Asante sana, Mungu akubariki.” Basi alinishika mkono mpaka kwenye kioo eti akaniambia “haya baby jishaue kidogo nakuchukua video hapa.” Huyu mwanaume ana vituko yaani nikajikuta ninacheka. Basi tukapigana picha na tukiwa timekumbatiana huku tunaonesha picha na video za hapa na pale. Tukamaliza basi nakuambia nikabebewa pochi tena tukamuaga Aunt huku msalimie mama zikiwa nyingi, nitakuja na vitu kama hivyo. Nikafunguliwa mlango totoo mie tukaingia ndani ya gari. Mimi mwenzenu nimepata dereva binafsi, napelekwa nyumbani na nimepata furaha ndani ya muda mchache. Huyu mwanaume amenifanya nifurahie mapenzi ndani ya muda mfupi sana. Hata wiki hatujamaliza ila ananidekeza ananijali na kunitunza ni kama yaani tumejuana kwa muda mrefu sana. Ni kama vile tunajua miaka na miaka. Amenifanya nimzoee na amenifanya nijihisi huru kwake. Ninampenda, ila naona aibu nami kufunguka nahisi bado ni mapema sana. Basi mwenyewe kwa gari humo nilikuwa na furaha sana. Maana nasifiwa na kutaniwa tu huku na yeye akijisifia kuwa katika wanaume wamepata wanawake wazuri basi na yeye ni mmoja kati ya hao wanaume. Tulifika mpaka mitaa karibu na nyumbani. Alisimamisha gari na baada ya hapo alinitazama na kusema “Totoo, nimesimamisha kukuambia kuwa jambo ambalo linaenda kutokea kesho ni jambo kubwa sana. Ni jambo ambalo sikumbuki kama katika hotel yetu limewahi kutokea. Kwanza hotel itakuwa busy, kuanzia vyumba, na hata upande wa chakula. Pesa zitaingia za kutosha. Pia itatangazwa sana Hotel hii na tutapata watu wapya wengi sana. Yote haya ni kwasababu yako. Natamani nikufanyie kila kitu kizuri ndiyo uwezo sina. Soma muendelezo kwa sh 1000 Njoo WhatsApp 0743433005

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

Mama lulu alibaki anashangaa kutuona pale......mbona mko hapa? Nini shida ....Robby aliamka mapajani kwangu na kumjibu aaah mama nilimuomba dogo anilete hapa sebuleni nipate hewa kidogo ila ndo kama hivi tukapatiwa usingizi......ooh jmn Robby unamtesa mtoto unataka akukimbie mapema hivi .....hapana mama huyu ni mbabe wangu ashanizoea hawezi kwenda popote bila ruhusa yangu..........sawa nyinyi siwaingiliii....mama lulu alisema.......daaah kidogo nikapata ahueni maana nilijua mama lulu atafoka na kunitimua kabisa..... sasa mkajiandae kwajili ya kanisani .......mara Mwaj alifika na kuanza maandalizi ya chai na kusafisha nyumba.....nilimchukua Robby wangu ....aa ngoja kwanza ni Robby tu jmn siyo Robby wangu🤣🤣.......nikampeleka chumbani kwake nikamsaidia kuvua nguo. ...sasa hivi boksa zake zooote nazijua yaan hunipotezi kwa rangi wala harufu hahahaha.......nikamvalisha taulo huyooo nikampeleka bafuni......aaah nilikuwa sijaandaa nguo yangu ya kanisani nikaenda chumbani kwangu Fasta nikachukua lisket langu la shule lilikuwa na mpasuo na mshati wa bazeeee..mnaikumbuka bazee nyie?? hapo ni bluu na kijani yaan sket bluu shati kijani sikilizia hiyo kachumbari ya kimataifa hahahaha🤣🤣 halafu viatu sasa... nilikuwa na hizo skuna fulani hivi ambazo mamdogo alininunuiaga kwenye mafungu yaani tatu mia tano 🤣...yaan viatu ni havifanani alafu vinapangwa kwenye mafungu kama vitunguu vitatu miatano hahahaha.....hivyo viatu nilikuwa nikivaa shuleni nikichelewa kuingia darasani wanafunzi wanajua mwalimu huyo anakuja kumbe ni sikitu maana vilikuwa vinalia kokokokokoko.... skonkoko hahahaha🤣...... bas nikarudi chumbani kwa Robby nikachukua pasi Fasta nikanyosha na yale maviatu nikafutafuta nikakaa kumsubiri Robby amalize kuoga ili nimuandae na mm nikajiandae ......aliniita ......mamy am done ( mama nimemaliza) .....bas kama kawaida huyooo na kitambaa changu machoni nikaenda kumtoa nikampaka mafuta na kumpa nguo alizoomba nimchagulie akavaa akapendeza balaa...... Kaka robby ngoja na mm nikaoge nijiandae.....huyo nikabeba nguo nataka kutoka ....wewe ukaoge wapi akat bafu hili hapa....😳 Kaka huku ni bafuni kwako ......ndio kaoge hukohuko nakusubr hapa......bas kinyoonge nikawa naelekea bafuni kuoga .......weeee mbona huvui nguo unaenda kuoga na gauni🤣.....nitavulia hukuhuku kaka .....hapana njoo hapa ....Robby aliniita kibabe kidogo ......mamamama......haya chukua taulo hapo kwenye kabati nikachukua bas nikaanza kuvua nguo ..... kaka ziba macho basi mimi naogopa..... sawa.....robby akaziba mkono mmoja usoni kwake hahaha ujinga mwingi sana.....nikavua lile gauni Fasta nikabaki na kapichu... nilikua sijavaa blezia maana vimatiti vyangu vidooogo vimesimama 😇..... nikavaa taulo chap kuja kutupa jicho robby kaziba uso jicho moja limekodoka kwangu na vidole pale usoni kavitawanya yan ameshanichungulia muuuda ......niliona aibu nikakimbilia chooni. .....alibaki amezubaa kuduwaaa🧐......nilioga chap nikamaliza nikarudi kuchukua manguo yangu nikavalie chooni 🤣.....Robby hakuongea kitu alikuwa akinitazama tu huku kaachia mdomo wazi.... ...bas nikavaa manguo yangu nikatoka chooni yan nilikua naonekana kama kada wa sisiemu kwa rangi zile za nguo alafu imagine nguo zenyewe zimepauka balaa🤣🙌 ......kaka nipo tayari ....tunaweza kwenda sebuleni ukanywe chai ......ooh sawa ......naomba nikuagize...Robby alinambia....... Nenda kafungue kabati utakuta ufunguo mdogo ufungue kidroo kile pale chini utakachokikuta humo chukua ulete hapa ........nikaenda nikachukua ufunguo nikafungua drooo ......nikakutana na mifuko miwili nikaichukua nikapeleka kwa Robby......weka hapo kitandani ........nikaweka... haya fungua utakachokikuta chukua nichakwako......nikafungua jmn uwiiii.....nikakutana na gauni la maroon na mkanda mweusi classic Sana ...pamoja na mfuko mdogo ulikuwa na kiboksi ndani....nikafungua kiboksi Kulikuwa na viatu vizuri jmn vya juu juu vyeusi ...haya kavae huko chooni unakopenda ......hahaha nikaenda toilet nikavaa kigauni kikanichora vitako na vi hipsi vingii😋 mnajua eee.....bas vile viatu nikashindwa kutembelea nikarudi nmevishika mkononi......Robby kuniona tu ......waaaao waaao waaaao mtoto wewe umependeza balaaaa balaa yani.......em ngoja tukirudi kanisani kuna kitu nitakwambia ambacho hujawahi kuambiwa tangu uzaliwe.....naomba hivyo viatu ujitahidi kuvaa kwaajili yangu upendeze zaidi......sawa mamy mamy ....sawa kaka asante sana.... robby aliongea...sawa kaka tajitahidi ....bas nikavaa vile viatu huyooo nikamtoa robby sebuleni tukapata chai pamoja na mama lulu na Mwaj haaao kanisani....lkn Mwaj akabaki nyumbani yeye hakuwa msabato..... mama lulu aliendesha gari mpaka kanisani ....Lkn muda wote njiani Robby alikuwa akiniangalia bila kunimaliza daaah🙌 sema kipenda roho hulaaa? Hula nini eti wamama? nimesahau hapo malizieni hahahaha........tulifika kanisani tukashuka kwenye gari mama lulu akawahi kwenye mafundisho yao nikabaki na robby....... jana ulinitoroka nikakaa pekeangu ......sasa leo naomba hata kwa bunduki usitoke karibu yangu please sikitu ...furaha yangu ni ww kuwa kando yangu...popote nikiwepo naomba uwepo sawa mama....sawa baba....hee nikajikuta naropoka baba ...sawa kaka Robby tuko pamoja ..... niliona aibu bas iko ki Robby kikatabasam kina fizi nyeusi vimeno vyeupeeeeee peeeee.......huyu mama lulu atakua alizaa na mwarabu maana Robby jmn niliwaambia yukoje ...yukoje ?..nmesahau ee? Yaani ni lile super white handsome languvu halafu lina garden love kifuani uwiiii nakojoaaaaa 🤣...... nikamuendesha robby mpaka ndani na mm nikachukua kiti nikakaa karibu yake.....mara nikaguswa begani.....heee maua huyu hapa mamaa😳 nikakodoa......naomba unipishe hapo nikae na mchumba angu.....maua aliniambia kwa sauti ya chini akiwa kainama sikion kwangu......sikitu usitoke hapa kama tulivyokubaliana nje ......toka sikitu takuwasha makofi humuhumu kanisani kama husikii wakubwa ......maua akaongea kwa ukali ....kheeee😳 macho yakanikodoka nifanyeje nikiwashwa makofi na huyu maua nani atakusaidia? wakati Robby Wang hata kusimama hawezi .....mai weeee ITAENDELEA FULL STORY UNAIPATA KWA KULIPIA TSH 1000 NAMBA YANGU YA WHATSAPP NA KULIPIA PIA NI 0715906120 MTANDAO YAS JINA LA USAJILI FLORA

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

Yule dada alimuendesha Robby mpaka mbele kabisa akasimamiaha kiti kwenye mstari kisha na yeye akaenda kutafuta kiti akakiweka karibu na Robby wakakaa.....wakati huo nimebaki pale mlangoni natumbua macho kama mwizi🤣.......mara Justine huyu hapa ......sikitu twende ndani mama....Robby kashachukuliwa na kipenzi chake twende zetu tukale neno la Mungu.......OMG 😥Nilisikitika sana....Lkn isingekuwa rahisi kwa Robby kijana handsome Kama Yule kuwa single ...haikuwa rahisi....mmmh nilijidanganya..... kinyonge sana nikachukuana na Justine mpaka viti vya katikati tukajichomeka kwenye mistari tukakaa......mara nikaona Robby hatulii kule mbele yaan anageuza shingo nyuma kama vile kaitwaa..... ibada ilianza Mama lulu alisimama pale mbele pamoja na mchungaji wa kanisa wakatoa somo kisha wakamliza......lakini muda wote Robby hakuwa na raha kabisa alikuwa kainama chini tu anaangalia biblia yake......tulitoka pale kanisani .... yule dada alimuendesha Robby Hadi kwenye gari akanikuta mimi nimesimama pale na Justine alikuwa akisalimiana na watu........ Robby mpenzi naomba tuongee kabla haujarudishwa nyumbani ......yule dada aliongea....sina Muda Maua naomba uniache na sitaki mjadala na wewe zaidi....tulishamalizana kwann unaendelea kulazimisha mambo? ...Robby aliongea huku amekasirika ......kama huwez kuwa rafiki wa kawaida naomba uwe adui wa milele .....sikitu naomba tuondoke mamy....nilienda kwa Robby na kuanza kuendesha kile kigari......aaah ngoja kwanza tulia wewe kijakazi ...bado naongea na mchumba wangu ....yule maua alinifokea mpaka nikashtuka nilijivuta pembeni.....sikitu rudi hapa ulikuja na mimi hakuna wa kukuondoa kando yangu zaidi yangu mimi.....robby aliongea kwa sauti ya mkazo .....maua kuheshimu kabla sijakuvunjia heshima yako naomba uniache niende......huyu siyo kijakazi huyu ni mke wangu naomba umuheshimu.......khe😳 mkewake....nilishtuka nikataka kuzimia kwa mshangao mkubwa... kwann Robby ananiita Mimi mke wake?.....anhaa yaan Robby unanitusi mbele ya huyu mfanyakazi wenu.....anaanzaje kuwa mkewako sasa...kwa lipi alilonalo ......hii migauni ya marinda ndo awe mkewako....mimi najua hizo ni hasira tu kesho baada ya sabato nitakuja nyumbani kwenu tuongee vizuri mpenzi ......maua alimshika Robby mkono na kuukiss...karoho kaliniuma .....we sikitu acha upumbavu kwani ulidhani Robby Hana mtu...nilijiwazia moyoni...... Sikitu am sorry mamy tutaongea tukifika nyumbani...Robby alinambia Justine alikuja na kumuingiza mgonjwa kwenye gari na mimi nikapanda tayari kwa kuondoka.....kabla hatujaondoka .....mama lulu alikuja na kutaka tumbebe tuende nae......mama gari ikowapi uliyokuja nayo...Robby aliuliza.....aah maua ameomba maramoja aendenayo mjini mchungaji amemuagiza hivyo ataileta kesho jioni nyumbani.......Robby kusikia jina la maua alikasirika njia nzima mpaka tunafika nyumbani...... Tulifika salama....tulishuka.....robby aliniomba nimpeleke chumbani kwake.... nilitii tulifika chumbani akaniambia nifunge mlango niende nikakae pembeni yake......nilitii......sogea sikitu....nilisogea karibu kabisa na yeye hapo moyo unaenda ndundundundundu🤣 chezea uoga wewe......Robby alinivutia kifuani kwake kwa nguvu....... naomba utulize mapigo yangu ya moyo na kuniondolea hasira zangu .....Robby aliongea......wakati huo napumua kwa nguvu nimechanganyikiwa......kaka Robby niache mama atatukuta......hata akitukuta hakuna shida yoyote.......lala hapa mpaka niridhike.... Duuuh🙄 kama kazi yenyewe ndio hii mshahara wangu wa mwisho wa mwezi utakuwa ni mimba🤣🤣 niliwaza ......sikitu.....sikuwahi kupenda kabla mpaka nilipompenda mtoto wa mchungaji wetu kanisani ......nilimpa kila kitu nilimjali na kumpa upendo wa dhati ...lakini alinilipa ubaya ....sikuwahi kumpenda tena wala kumhitaji ........zaidi nahitaji utulivu mkubwa kwa mtoto mmoja hivi mdogo mdogo yeye nadhani atanifaa sana maana naona hana mambo mengi kabisa....ni mpole mweenye aibu na msikivu .....asante Mungu kwa kumleta kwangu mtoto huyu....Robby aliongea huku kanilaza kifuani kwake....sasa huyo mtoto si ungemuoa tu kaka Robby ili awe karibu yako zaidi niliongea.......nahitaji muda zaidi kumuonesha ni kiasi gani amenivutua ...Lkn najaribu kumuonesha dalili ila naona kama haelewi sijui sasa nifanyeje ili anielewe....Robby aliongea.......mi naona ungemwita hapa kwako uongee nae vzr tena umlazimishe mpaka akubali na akikubali mtie mimba ya Fasta ili asikukimbie.... niliongea kwa ujasiri wote🤣 hahahahahahahaha......amakweli usilolijua ni sawa na usiku wa kiza...... Nitamleta hapa na najua atakubali tu hata akikataa nitafata ushauri wako sikitu .......mimi ni mwanaume Rijali najielewa najitambua huyu mtoto sitaki kumpoteza......Robby aliongea......sawa kila la heri kaka Robby ...hapo kiroho kinaniuma balaa ...najua wapenzi wasomaji mnajua kama umempenda mtu halafu usikie anampenda mtu mwingine vipi inavochoma eeee.....kama mwiba kidondani.........nilikaa kifuani kwa Robby kwa Lisaa lizima mpaka pale alipoomba nimpeleke bafuni kuoga ......nilimsaidia kuvua nguo zake ......ngoja kwanza ....cyo hvo wamam hakubaki uch....alibaki na boksa......wamama kha acheni umbea 🤣🤣......nilimfunga taulo na kumsaidia kwenda bafuni......nilimfikisha na kumfungulia maji kabisa......asante sikitu umenifaa sana....ni jukumu langu kaka Robby .......nilimjibu.....nilitoka na kukaa pale chumbani nikisubiri atoke kuoga aendelee kunipa story .......Lkn roho ilikuwa inaniuma balaaaa. *NIMEZAMA* 10💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋 Robby alimaliza kuoga kimbembe ni jinsi ya kutoka kwenye yale madishi makubwa ya kizungu maana kusimama hawezi nyie mnadhani ilikuwaje wamama🤣🤣.......mamy tayari nimemaliza njoo unichukue sasa...Robby aliniita .....Kaka Robby umeshavaa? .....nawezaje mama.....naomba msaada wako... ..robby aliongea kwa upole sana....daah 😥 maskini roho iliniuma sana ...niliumia sana juu yake baada ya kuongea hiyo kauli..... Sasa kaka Nawezaje kuja kukuchukua bila nguo.....niliongea huku nimepagawa kabisa.....njoo tu mama hakuna shida siwezi kukudhuru wewe njoo unifunike taulo hakuna shida......hata ukiniona utupu wangu hakuna shida sikitu yawezekana ukaja kuniona kila siku na milele na ukanizoea.......robby aliongea kwa kujiamini sana......daah nilipagawa nikachukua kitambaa kilikuwa pale kitandani nikajifunga machoni 🤣.... daah bangi mbaya jmn imagine nimejifunga kitambaa machoni natembeaje sasa? na sioni mbele🤣....... basi nikaanza kupapasa kuutafuta mlango wa toilet hahahahaha......nikafungua nikaingia ndani yaan sikutaka kabisa kuona dyudyu ya Robby uwiii Nawezaje sasa .......ila kuna mpenzi msomaji mmoja hapa anasema kimoyomoyo mi ningeangalia dyudyu yake hahahaha ....akuu mi siwezi bado mdogo sikitu mie 🤣....bas nilivyofika pale chooni wacha robby avunje mbavu alivoniona🤣 yaan alivunja mbavu balaaaa.......mamy you are so funny ( mamy unafurahisha sana)🤣 ......hii huyu ni nataka kumsaidia ananicheka alaf kikazi chenyewe naacha leoleo yaan leo haipiti naacha kazi😏 .......niliwaza kichwani..... mmh niache kazi Robby je? Hahahaha yaan nawaza alaf najipinga hukohuko ndani kwenye medula obolangata🤣. Bas nikapapasa mpaka alipo robby pembeni yake palikuwa na taulo nikalichukua akanipa mkono nikamnyanyua..... yaan kama mshale nikalizungusha lile taulo kiunoni kwake paaap hahahaha.....nilivoona sasa hapa ni shwari basi nikatoa kile kitambaa machoni........jamani sikuweza hata kumuangalia Robby usoni naona aibu .....nikamsaidia kumkalisha kwenye kiti chake nikarudisha chumbani...... mamy mafuta yako hapo juu ya kabati naomba unipake ......duuh🧐 kaka Robby Niku.... Niku....ndiyo nipake mafuta au hutaki..... sikitu sasa usiponisaidia wewe atamsaidia nani mamy.....robby aliongea kwa huruma sana ......Lkn kaka Robby huyo mtoto ambaye umempenda basi nitume hata mimi nikakuitie uongee nae vzr maana ukimuoa yeye ndo atafaa zaidi kukufanyia hivi maana mtakuwa ni mwili mmoja....niliongea kwa uoga huku nikiwa nampaka mafuta miguuni.....aah ni sitaki kukutuma ila yeye mwenyewe atajileta na wala sitaki kumharakisha ila yeye mwenyewe atajua tu kuwa mimi nampenda na atavutiwa tu na mimi ingawa bado naumwa...... ila siku akinipa matumaini ya kunikubali yaan nitamtia mimba ya mapacha wanne kabisa.... robby aliongea......yaan kaka robby hata usimcheleweshe tena mapacha watano ndo itakuwa vzr maana hataweza hata kutembea mtakuwa wote muda mwingi kwahyo hawezi kutoka kamwe.....nilimpa ushauri kaka Robby🤣....nitafanya hivo mama yaan unaushauri mzuri sana..... Basi wamama nikampakamafuta nikamaliza .....bas Robby nikaona mpaka anasinzia kaka wawatu hahahahaha.....sikitu ...aliniita......abee kaka Robby......Mimi leo usiku nitakuwa naumwa sana hivyo nakuomba ulale hapa na mimi siwezi kukudhuru si unajua siwez hata kutembea......nahitaji utulivu sana usiku wa leo ......kaka Robby mama akijua nimelala huku itakuaje.....muache ajue tu mimi nafanya kile moyo unataka na kile nikipendacho ......mama yangu amekuamini sana ndio maana akakuleta hapa unihudumie hivyo naomba unikubalie usiku wa leo ili kesho nikasali kwa raha ......sawa kaka nitakuwa hapa.....nilikubali jmn hivi nina akili kweli mimi.....hebu mmoja anizabe kibao jmn ili nizinduke 🤣🤣...... Bas nikachukua nguo zake nikamvalisha ...nikachukua boksa yake nikainyoosha vzr nikamvalisha bas yeye akaipandisha tu....tayari uoga ulishaanza kupotea jmn .......nilikuwa nafua nguo zoooote za Robby boksa na kila kitu kwahyo nishaanza kumuweka karibu na kumzomea kabisaàaaaa....alipomaliza kuvaa akaniomba turudi kule sebuleni .....nilimuendesha mpaka sebuleni tukamkuta mama lulu na Justine wanakunywa juice huku wanajadili lesson.....bas Robby akajiunga pale nikawaacha nikaenda jikoni kuchukua vyakula nikatenga pale mezani ........sote tulienda mezani wakati wa kula sasa........nilikaa karibu na Justine lkn Robby alisema J naomba nije nikae hapo ili huyo mtoto awe ananinyoosha mguu naona umekufa ganzi 🤣.....jmn Robby alitumia tekniki ili akae na mm alihisi sijui Justine ananifanya nn.....bas mama Lulu anacheka tu amefurah kijana wake amepata msaidizi mzuri sikitu mimi.......tulimaliza kula mama lulu akamsindikiza Justine .......na Yeye akaenda kulala huku akisisitiza nimhudumie kaka Robby Kwa atakachohitaji .... Tayari ilikuwa ni saa nne usiku sebuleni tukabaki wawili ......tulisogea upande wa tv na kuanza kuangalia nyimbo.......sikitu...... abee kaka...njoo hapa karibu ...nikasogea......naomba nilaze kichwa changu hapo miguuni kwako ..... aliniomba....sawa kaka .....nilikubali ....bas Robby akalala mapajani kwangu.. hahahah nyieeeee nyieeeeeee nyieeeee mnaijua raha au mnasimuliwa tu ....aaah naona hamjanielewa yaaani yule handsome Robby akalala kwenye mapaja yangu OMG very very very fantastic and excemptional 🤣🤣🤣 niliskia Raha jmn loooooh ....na mm usingizi ukanipitia palepale .....tulilala pale sebuleni mpaka asubuhi huku robby kanilalia mapajani hahaha......sikitu sikitu sikitu....tulikuja kuamshwa na sauti ya mama lulu.....abee Abeee mama shkamoo😳 uoga ukanijaa ITAENDELEA FULL STORY UNAIPATA KWA KULIPIA TSH 1000 NAMBA YANGU YA WHATSAPP NA KULIPIA PIA NI 0715906120 MTANDAO YAS JINA LA USAJILI FLORA

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

Bas bwana Robby akachukua chai akanipa nionje kwanza .......nikaonja.......akanipa na mkate nile.....nikachukua mkate nikala nikanywa na chai ....kwa aibu hivohivo nikajikaza......na yeye akachukua sles akala akachukua chai akanywa.... hahahaha Kama tupo kilabuni vile .....hahahaha....jmn siku mbili tu nishaanza kumzomea Robby yaan nimeshamzoea ingawa ninamuonea aibu balaa.......tulikunywa chai mpaka Ikaisha ......waaao... nice sana ...lunch pia hakikisha kijiko ni kimoja tu ..Robby aliongea hahahaha🤣.....nikawaza nimtoroke.... nikafanye mambo mengine....fasta nikanyanyuka nikachukua vyombo ili nipeleke jikoni ...... hii kazi ni ya Mwaj wewe kaa na mimi hapa ....Robby aliongea.....kaka Robby nataka nikaoge nasikia vibaya sana.....maji yapo tele hapo chooni si umeyaona Lkn ...kama hauna nguo ya kubadili utavaa taulo tu mama hakuna wa kukudhuru hapa sawa feel free...Robby alinijibu huku akiwa anajinyoosha....... Tafadhali naomba unisaidie nguo hapo kwenye kabati ......niliinuka na kulifata kabati nikatoa suruali moja nyeusi na tishert nyeupe nikampelekea .....alivaa tisheti Kimbembe kikawa kwenye kuvaa suruali....hawezi na alikuwa amejifunika shuka tu amevaa kiboksa tu.....😇 Sikitu I hope hautanionea aibu kunipa msaada....siwez kuvaa suruali maana siwezi kusimama naomba unisaidie kunivalisha.....Robby aliongea huku akiniangalia na lile jicho la kurembua☺️ daaah jmn mbona ananipa majaribu huyu Robby ......niliinuka na kufumba macho ili nisimuone🤣bangi hizi ..... kisha nikamsogelea nikaanza kuvuta lileshuka huku nikiwa nimeficha macho hahahahaha ...nina utahira mwingi aisee...... Nilivuta shuka baadae nikawa nampapasa nichukue mguu mmoja niuvalishe suruali nikafanikiwa......nikachukua na wapili ......basi nikaanza kuipandisha ile suruali wakati huo bado nimefumba macho ....katika kupandisha pandisha si nikajikuta nagusa dyudyu yake pale juu ya boksa 😂🤣.....niliruka kama spaidaman 🤸.......samahani kaka.....nikafungua macho ...kumchek Robby muda wote alikuwa akiniangalia kwa macho ya dhati sana ...daaaaah 🙌....nilifeel feelings moyoni mwangu Lkn ilikuwa ni ngumu sana kujionesha kwake......sikitu.....abee kaka......njoo.....nikamsogea kwa uoga....naomba univalishe .....bas nikamalizia kumvalisha Ile suruali yake...akaomba nimsaidie kumkalisha kwenye kile kiti chake cha kutembelea Alaf nimpeleke nje akaotee kajua........ nilimpeleka nje baadae nikarudi kumuandalia nguo kwaajili ya jioni kwenda kufungua sabato....nilimuandalia suruali ya dark blue na shati nyeusi nilizinyoosha mpaka nzi akigusa anakufa papohapo .....nikamuandalia viatu vyeusi nikaweka tayari kwaajili ya jioni.....nilirudi chumbani kwangu cha kwanza nilichukua ile glass na kuikumbatia nikaibusu kisha nikairudisha kwenye shangazi kaja langu.....nilitafuta nguo ambayo taenda nayo kanisani Lkn niliishia kupata stress Tu maana sikuwa na nguo ya maana zaidi ya magauni ya marinda yaliyo pauka ya kijijini kwetu😥.......sikujali kabisa nikachukua gauni moja nikalipasi nikapanga marinda vzr nikalinyoosha maana halikuwahi kugusana pasi tangia linunuliwe hahahaha ......nilitoka nje kumsaidia Mwaj vikazi vidogo vidogo.......tulipika chakula cha mchana na cha jion kisha tukasaidiana kufua nguo na kufanya usafi pale nyumbani..... mida ya saa saba mchana tuliandaa chakula mezani nikaenda kumuita Robby kwaajili ya Kula maana yeye ndie jukumu langu lililonileta pale kwao.......lete hapahapa nje tutakula hapa.....aliniambia....wakat huo alikuwa akifanya kazi kupitia laptop yake......nilipeleka sinia la chakula ilikuwa ni ugali kuku na tembele......Robby huwa halii mikono mara zooote anatumia kijiko hata ugali.....niliondoka chap ili asiniite kula nae ....... jion iliwadia saa kumi na moja ....nikasikia honi ya gari ...alikuwa ni Justine ....alikuja na kutukuta tunajiandaa kwaajili ya kwenda kanisani.......tulisalimiana pale......vipi mama ...za tangu jana .. aliniambia..nzuri tu kaka sijui wewe ......niko poa sana mrembo........heee 🙄..kumbe mimi ni mrembo ..nilijiuliza huku nikiona aibu.......Justine aliondoka na kuelekea chumbani kwa Robby ......baadae walitoka wote na kuelekea kwenye gari mimi pia na Mwaj tulitoka tukapanda gari haooooo kanisani.......mama lulu alikuwa tayari ashatangulia maana yeye ni kiongozi wa kanisani.......tukiwa njiani......sikitu mama......lini utakuja kwangu kunitembelea......Justine aliuliza huku akiwa anaendesha gari .....siku yoyote kaka J......nitaletwa na kaka Robby....waao itakua vzr sana uje bwana utie baraka ndani kwangu......Robby aliniangalia Kwa jicho la msisitizo kisha akasema......huyu nitakuja naye soon tu maana anakaa ndani sana..... Mwaj alifika kwao akashuka kisha sisi tukaendelea na safari kuelekea kanisani.......tulifika kanisani nilishuka kisha Justine akamshusha Robby na kutaka kumuendesha.......Kaka ngoja huyu sikitu afanye zoezi kuniendesha wewe pumzika... Robby aliongea....bas na komwe langu nikachukua Kigari na kuanza kuendesha kuelekea ndani kanisani.....tayari watu walikuwa weeeeengi wanasubiri ibada inaanza..... Lkn nilipofika mlangoni alikuja binti mmoja hivi mzuri balaa ....alisogea na kumkumbatia Robby 🙄 jmn nilikumis Robby unaendeleaje? ....salama.... Robby alijibu..Lkn usoni alionekana amepoteza furaha baada ya kumuona yule dada .....dada embu acha nikusaidie kumpeleka ndani...kale kadada kalinisukuma na kuchukua Kigari na kuanza kumuendesha Robby kumpeleka kukaa...nilibaki nimeduwaaa,😳 ITAENDELEA FULL STORY UNAIPATA KWA KULIPIA TSH 1000 NAMBA YANGU YA WHATSAPP NA KULIPIA PIA NI 0715906120 MTANDAO YAS JINA LA USAJILI FLORA

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

Kusikia vile aibu jamani aibu mkojo ukanibana .....hahahaaha...kaka Robby nataka niende chooni..... kufanya nini.... ..aliniuliza ...khe🤯 huyu mbuzi nini kwani chooni wanaendaga kupika sambusa au 🧐...niliwaza .....eeh wamama mlijua nmemwambia subutuuuuu.... weeee nimwambie nije nifukuzwe kazi tamuonea wapi Robby mie hahahah,😂😂........naenda kujisaidia kaka....nilimwambia ohooo sawa. Nenda.....niliinuka kuufata mlango wa kuelekea nje .....wewe sikitu choo kile pale .....😳 Mamamamamamamama ....hapa sina ujanja kumbe pana choo hapahapa ndani ........kaka cha nje ndo nimezoea ....... nilimwambia.... kumbuka tumekubaliana usiondoke bila ya ruhusa yangu.......hapohapo nikanywea .....nikarudisha vigimbi vyangu ndani🚶......aibu kama kobe...... huyu sasa anataka kunizoea mbona ana amri hivi kwani mi mkewake .......niliwaza. ....kwanza kikazi chenyewe naacha leoleo sipendagi vimtu vyenye amri mimi.......mmmh Lkn niache kazi ? Wee Robby nitamuona wapi😂😂🤣🤣🤣.... yooote hayo yalikuwa ni mawazo ambayo niliyawaza Fasta Nikiwa natembea taratibu kuelekea toilet kwa Robby.......nilifungua mlango .....kabla sijaingia toilet.......ukimaliza uniite nije nikuvalishe 😳.....Robby aliongea...huyu kichaa nini kwanza hata kutembea hawezi anivalishe nini kwani mimi sina mikono kione kule....hahahahaha...niliwaza na kuzama toilet ........nilikojoa mpaka mkojo ukaisha Lkn nikabaki nimeduwaaa kushangaa kile ni choo au saloon ya kiume? Khe...... jamani kuna watu wanaishi sisi wengine tuna sukuma wiki tu.......choo kimejaa vioo ...choo kina mashine ya kunyolea na kiti cha kuzunguka choo kinanukia marashi ....yaan chooni kimejaa spray jmn kha..... hakuna harufu ya kmba kama ukipita kule bonyokwa kila chocho unakutana na harufu ya kmba🤣🤣...mkaka huyu huwa hanyi au ...nilijiuliza.....mbona hakunikii hata mkojo.......nilivomaliza kukojoa yaani nilimwaga maji ndoo tatu kubwa ili kuzuia harufu isije haribu choo cha watu bure🤣....je ningekuny je walau ningemwaga pipa zima🤣...sikujua jinsi ya kuflash kabisa ......hivyo nilipomaliza tu kumwaga maji ...nikavuta mlango ili nitoke....kufika tu pale chumbani uso kwa uso na mama lulu😳.... Khe mama shkamoo ...nilijibalaguza......mwanangu si tulikuwa wote hapa mda cyo mrefu? Mbona shkamoo tena....aaah aaaash aaah.....okay leo ni Ijumaa kesho ni sabato naomba utamuandaa kaka yako kwaajili ya kwenda kufungua Sabato jion saa kumi na mbili ...pia ikiandaliwa nguo smart za kwendea kesho kanisani....wewe pia unakaribishwa kama utapenda kushiriki nasi ibada .....anhaa sawa mama hakuna shida tutakuwa pamoja ...... Sawa mwanangu sasa .....njoo huku jikoni umchukulie Robby chai atakuwa na njaa ...... na wewe pia uje unywe chai mwanangu.....sawa mama ..... nilitoka na mama lulu nikaenda hadi jikoni nikachukua sles nane za mkate nikazipaka pinet na jam na makolokolo mengine maana nilifundishwa na mama lulu.....nikabeba chupa ya maziwa fresh na kikombe kisha nikaenda chumbani kwa Robby........niligonga mlango.....ingia tu mamy ......ila nyie tuache utani Robby anaita vizuri daah yaaan ile mammy mpaka unahisi roho inachomoka kwa raha🤣🤣🤣......niliingia na kuweka kile kisinia cha chai pale kitandani kwake.......oooh asante mamy ....kuna meza pale kwenye kabati kailete .... Nilienda kufungua kabati na kutoa kimeza flani kilikuwa kizuri kimekunjwa kama vile vya wakorea nikampelekea ........akakichukua na kukiweka pale kitandani kisha akaniambia nimmiminie chai ........nilimimina chai nikampatia .....waao leo tunakunywa chai pamoja kwenye kikombe kimoja....😳 Kaka Robby .....abee dada sikitu...aliitikia ....nilivunja mbavu baada ya kusikia Abeee ......mimi chai yangu ipo kule sebuleni .. ngoja nikainywee ...nikainuka fasta ili nikimbie.......subiri kwanza mamy .... tulikubaliana usiondoke bila ruhusa yangu....sijakuruhusu kwenda popote chai tunakunywa wote hapa ......tutapokezana kama togwa........nilishindwa kujizuia jamani 🤣🤣🤣🤣🤣....nilivunja mbavu........ ITAENDELEA FULL STORY UNAIPATA KWA KULIPIA TSH 1000 NAMBA YANGU YA WHATSAPP NA KULIPIA PIA NI 0715906120 MTANDAO YAS JINA LA USAJILI FLORA

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

Baada ya Maria kuona Ile Hali alizidi kupata wasiwasi, Bryan aligundua hilo alinyoosha mkono wake na kunishika mkono wa Maria. Maria aligeuka kumuangalia akamuuliza " Mbona sielewi Mambo yanavyoenda alafu wewe mbona upo hivyo. " Kwani nipopoje? " Sijazowea kukuona ukiwa hivyo.... " Umemzowea kuniona nikiwaje? " Tuachane na hayo nenda kalale. " Alafu nikienda wewe inakuwaje? " Sijui nyie mlikuwa mnamaana gani unajua sielewi kabisa. " Nini usichokielewa Maria? " Wewe utaenda kwenye hema na Mimi notalala wapi? " Mimi nitakuwa na wewe. " Inamaana unataka tukalale wote kwenye hema? " Kwani Kuna shida gani mbona ni kitu Cha kawaida. Maria alisimama " Hapana hatuwezi kulale pamoja hatuna uhusiano wowote. Bryan alisimama wakawa wanaangaliana Maria akageuka Bryan alimsogelea akamkumbatia kwa nyuma na kumbusu maeneo ya shingoni. Ilikuwa ghafla Sana Maria alishituka akataka kujitoa lakini Bryan akimkumbatia kwa nguvu Maria akatulia . Bryan alisogeza mdomo wake karibia na sikio la Maria alafu akasema " Maria Mimi sio mtu mbaya kwako na Wala siwezi kufanya kitu chochote kwa mwanamke ninaempenda. Nakupenda Sana Maria unajifanya niwe mgonjwa kwa kukufikiria naomba unifungulie moyo wako, unipokee kwa mikono miwili nikuonyeshe mapenzi . Sauti ya Bryan ilizidi kumsisimua alihisi mwili wake upo tofauti mpaka akajikuta amefumba macho kwa msisimko ambao hakuwahi kuupata na Bryan alikuwa bado kamkumbatia . Walikaa kwenye hiyo Hali kwa muda Maria alishituka na kuitoa mikono ya Bryan akataka kuondoka Bryan alimdaka mkono akamuuliza " Maria unaenda wapi? Maria hakuweza kumjibu Wala kumuangalia alikuwa na aibu. Bryan hakutaka kulazimisha Mambo akamwambia. " Ok unaweza kwenda kupumzika , nenda kwenye hema. " Hapana nenda wewe. " Mimi Nitalala hapa " Wewe nenda kalale kwenye hema lako Mimi nitaki hapa kwasababu hayo mahema yenu hayanihusu . Bryan alimuangalia kwa makini ili kuona Kama anamaanisha anachoongea alafu akamjibu " Sawa acha Mimi niende nikapumzike, lakini Kama utakuwa na shida yoyote usisite kuja kwenye hema langu. Maria hakujibu Bryan akaanza kuondoka " Chukua kitu lako. " Baki nalo litakusaidia kuzuia baridi. Maria aliendelea kusimama huku akiwa anamuangalia Bryan anavyoelekea sehemu lilipo hema. Kabla Bryan hajaingia kwenye hema zilisikika sauti za fisi wakilia, Zile sauti zilimshitua Maria na kusikiliza Tena kwa makini. Na Bryan alikuwa amezisikia zile sauti akapunguza mwendo huku akiwa ametega sikia Kama atasikia Tena . Fisi wakilia kwa Mara nyingine Maria alikurupuka akamkimbilia Bryan na kumdandia mgongoni, ilibidi Bryan acheke. " Ni Nini hicho kinacholia? " Ni fisi. Maria alimshikilia vizuri Bryan huku akiwa anatetemeka. " Naogopa usiniache peke yangu. " Lakini hawapo karibu wapo nyuma ya ule mlima. Maria aliangaza macho kila Kona . " Bryan tuondoke hii sehemu sio sahihi twende tukalale hata kwenye gari. Maria aliongea kwa uwoga Bryan akamgeukia na kumshika Maria tulia unisikilize hapa hakuna tatizo lolote tuingie kwenye hema. Maria alikubali wakaingia kwenye hema Bryan akalifunga vizuri . " Haya kaa Sasa. Maria alikaa kwenye godoro dogohuku akiwa kashikilia barabara mkono wa Bryan. " Bado unaogopa? Bryan alimuuliza " Siwezi kuwa na amani hao fisi wanaweza wakaja kubomoa hili hema alafu wakatutafuna. Bryan alimshika mashavu alafu akaongea kwa upole uliobeba upendo mkubwa ndani Yake. "Kuwa na amani unapikiwa na Mimi hakuna kitu kibaya kitakachokupata , Yani Bora nidhulike Mimi kuliko kukuona wewe mwanamke ninae kupenda unapata tatizo lolote lile. Maria akajikuta anamshangaa Bryan kwa kile alichokuwa anaongea na Bryan alikuwa anamuangalia kwa mahaba makubwa. Maria aliageukia pembeni na kimnya kikatawala kwa muda mrefu Maria akapitiwa na usingizi akiwa kakaa Bryan alimuweka vizuri na kumlaza kichwa chake kwenye mapaja Yake Kisha akamfunika vizuri KWETU morogoro

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

Nikamwambia mama sasa kwanini hukuwahi kuniambia mama yangu??, akanambia kwanini nikuambie mambo mabaya kama hayoo salma , nimesema leo kwa sababu ilitakiwa niseme Nikamwambia mama nisamehe nilikuwa nakujibu vibaya kipindi kile akasema usijali ni kwenye Ukuaji m hiyo kawaida ... "Mama naomba nikuulize kitu " "Kitu gani tena salma??" "Umesema baba aliondoka wakati una mimba yangu na subira jee?? Inamaana baba alirudi??" "Mhu yaan wewe umewaza ninii??" "Nataka tu kujua mama!" "Baada ya miaka sijui 8 mana wewe ulikua na mkubwa kabisa hadi nilisha sahau kabisa kuhusu maradhi yako ndio baba yako alirudi , na kipindi hicho ndoa ilikuwa inaheshimiwa sana mwanamke ni kama mtumwa tu kwa mwanaume wake ,sio kama nyie hapo siku hizi mnasauti sie kulikuwa hakuna Kwahiyo baada ya kuja ndio nilishika ujauzito wa subira na baada ya miaka miwili subira kufunga ndio baba yenu alifariki " "Daah kwahiyo kwenye ,mimba ya subira haukupitia changamoto??" "Zilikuwepo lakini sio kubwa, kwanza baba yenu alikuja anaumwa na alikuwa dhaifu ,sikujua miaka yote alikuwa wapi hata nilipo muuliza alikuwa mkali mi nikaachana nae ,alikua ananitegemea mie zaidi kumuhudumia kuliko kuninyanyasa japo manyanyaso yake hakuyaacha wala kupunguza kila alipo pata nguvu alinipiga hiyo ndio ilikuwa furaha yake " "Mmmh mama pole sana" "Pole wewe ambae , yaliku athiri kwa kiasi kikubwa mpaka umekuwa na hizo athari ,sikuwahi kufikiria kabisa japo nilikuwa nahisi tu " Niliongea namama siku hiyo., yaan upendo wa ajabu ulizaliwa kwenye moyo wangu kuhusu mama yangu, nilitamani nitudishe siku nyuma niwe namtii namsikiliza yaan nimfanye ajivunie mimi... Niliahidi moyoni nitamtafutia zawadi mama yangu kabla sijachelewa , tena kitu kikubwa kitakacho mpa furaha akitazama . Alex aliniijia kesho yake asubuhi , Juma tano ilifika ya kurudi kule , nilienda mpaka mwa Doctor akamwambia alex kuwa Nahitaji.msaada wa kidaktari kwanza kabla ya shule , ili niamshe ubongo wangu ulio kuwa umelala kwa sababu ya yale matatizo yangu alex akasema nitafanya chochote we nambie tu Akasema doctor kuna mtu nataka mkutane nae ambae atakuwa doctor wake kuanzia leo, aliikuja mbaba tu hivi nilitambulishwa anaitwa Doctor mack akasema nitakuhudumia kuanzia leo ,nikamuuliza kwahiyo nitajua kusoma akasema ndio utasoma na utaandika nikasema sawa Basi tuliondoka na alex yule baba alituambia kesho yake nianze hayo mazoezi ya kuamsha ubongo , Alex akanambia salma mke wangu nataka nimtafutie mama mkwe wangu zawadi nimeumia sana nataka nimshukuru kwa kukupigania wwe mpak leo umekuwa mke wangu leo nimekuona leo nipo nawewe ,bila jitihada zake sijui ingekuwaje kama asinge kupigania !!" "Alex ,sijawahi kujua sijawahi kumbe mama angu ndio alipitia hayo kwenye kunikuza"" Hata hivyo salma mungu ndio kila kitu embu ona Ulipona pona wakati ukiwa tumboni ukazaliwa kwa mateso ukaweza kuvuka na umekuwa mkubwa bado umepitia maswaibu mengine ya kutisha sanaaa Kuna haja kubwa sana ya kumshukuru mungu salma" Tuliongea mengi na alex wakati tunaenda nyumbani, akanambia kuna sehemu nataka twende kwanza kabla ya nyumbani nikamuuliza tunaenda wapi akanambia subiri utaona huko Basi nilishanga tunakwenda kwenye Shop moja hivi ya magari akanambia embu chagua gari zuriiii unalo lipenda yaan litakalo kuvutia sanaa Mungu wangu mi hata kuendesha sijui ujue Alex akanambia kwani nimekwambia Unajua kuendesha au hujui nimekwambia chagua Nilizunguka karibu lisaa zima yaan kila gari naona nzuri naenda mpaka mwisho narudi tena mwanzo , wee nikawambia alex mie sijui ndo sijui au vipi yaan hapa naona yote mazuri kwakweli sijui nichague nini Alex alicheka kweli akasema haya ngoja nichague mie yangu matatu afu unambie moja wapo ambalo utalipenda nikasema sawa Basi akachagua yaan naona aliyoyaacha tu menyewe mbona mazuri zaidi , nilikuwa kama nina kiwewe aiyaaa Nikawaza mi nina tamaa tu.hakuna loloteee Nilichagua gari moja huwezi amini niliumia kuyaacha yale , hapo nawaza jamani yaan na mie naenda kuwa na gari yangu tena ki gari kikali hatari afu sio zile Boda boda yaan we unamiliki ki ISt afu unasema et una garii?? Hahha siwacheki jamani si unajua maskini akipata matako hulia bwata bwata bwataaa ndio mimi sasa yaan nilikuwa siamini kabisaa Et namimi leo namiliki gari weuweeeee hahaha nilikuwa najiongelesha hatari yaan naongea maneno kama yote kucheka sasa hata sijui kwanini aisee Baada ya kila kitu akalipia afu akanambia twende zetu hee sa na Gari yetuu?? , mwenzangu nilimuuliza hata sikuvunga alex alicheka akasema daah bora umeniulizia humu ndani Embu twende bwana kwani mi nimekwambia hiyo ni gari yako Woii ,nikasema embu kuwa Serious Serious bwana alex akasema kweli tenaaa hiyo sio yako Alikuwa anaongea huku anacheka nikajua tu hiyo ni yangu ananitania nikajinunisha hapo , tukaenda zetu Home .. Nilianza darasa kwa yule Doctor naingia Asubuhi mpaka sa 6 alex anakuja kunichukua Mi mawazo yangu ile gari nami nianze ku drive lakini sipewi hee wacha nimnunie alex yaaan nilinuna ile kidogo kidogo mpaka anisemeshe ndio najibu Ye anacheka tu ananiuliza we una shida gani mbona umebadilika hivyo mi nasema hamna nipo sawa Sa kusema nataka ile gari ndio hivyo tena naona aibuu atanicheka ... Kule kwa Doctor nilikuwa nafanya maziezi ya Ubongo yaan naingizw kwenye mashine flani hivi humo ndani wanawasha mwanga mkubwa kweli mi nafumba macho Ilikuwa ni zoezi la utambuzi wa namba, ilabu na zile Alfabet , yaan hiyo ilikuwa ni kuamsha ubongo , aisee wanajua wenyewe hukoo ila Niliona mwenyewe mabadiliko yangu makubwa sana ITAENDELEA..... NAMPENDA ALEX SO3 Nilihudhuria yale mazoezi kwa mwezi mzima kila siku, yalikuwa ni mazoezi mbali mbali sana kuhusu kusoma na kutambua vitu vingine Baada ya hapo , alex alikabidhiwa akaaambia haya mke wako huyo mtafutie mwalimu tu mi kazi yangu imeisha Alex akanambia baada ya kutoka kwa doctor kuwa Mwalimu tayari nimekutafutia ile pumzika wiki moja ndio uanze shule ,mmmh vile nilikuwa na hamu ya kutaka kujua kusoma nyiee nilimwambia mume wangu hapana yaan mie nataka kesho nianze, hiyo wiki naona kama ni mwaka mzima utapita Akasema sawa, baada ya kutoka pale , kwa doctor safari tulienda mpaka kwa mama, alex tu alinipeka huko akanambia nilikuwa nataka umalize hili ndio tuje huku Mama nilimwambia yaan naona kabisa kichwa changu kimekuwa chepesi mama kuna vitu naona kabisa nimeongeza , mama nae alifurahi hatari Akamwambia alex asante kwa kuwa mmoja wa familia yetu, alex akasema mama usijali ila naomba nikupe zawaidi yangu, hii ni ndogo sana mama lakini naomba uipokee kwa mikono miwili Naomba tu nikwambie asate kwa kunibebea salma wangu na kunitunzia na leo kawa mama wa watoto wangu.. Mama alicheka tu akasema bwanaaa hilo ni jukumu langu akasema sawa Basi nikawa naki muhe muhe alex anampa mama tenaa zawadi gani jamani aaah Akamwambia twende nje mama zawadi ipo huku Hapo mkumbuke jamani nyumbani kwetu sasa hivi pamekuwa pa kishua hatari sio kama zamani Nguvu ya inno na alex walitoa bonge wa jumba Geti kubwaa, humo ndani Furniture za kisasa , kuna bonge wa Tv ukutani yaan pamekuwa kama zile nyumba tulikuwa tumezoea kuona kwenye Tv tu Sasa ile wakati tunatoka namuona mtu kama dada yangu amesimama nje ya bajaji anaongea na ki vulana hivi afu kile kivulana kikageuka kuonesha na kidole getini kwetu Hapo ndo nilikutanisha nae macho huyu si ni dada yangu nikamwambia mama huyu si dada jamani Ndio yeye mama menyewe alishangaa kaja na watoto wake Ilibidi sasa tuanze tena kupokea wageni anasema jamani nilijua hapa pameuzwa kumbe ni nyie pesa ya kujenga hivi mama umetoa wapi kwanza Hakuna hata aliemjibu , ye si alituachaniza baada ya kuolewa huko na mwanajeshi akapata kazi yake yeye alisoma akaona sie ni mizigo na hakuwahi kusita kabisa alimwambia mama siku ukibaki peke yako nitakuhudumia mie siwezi kulisha watu wazima shule iliyowashinda , akimaanisha mimi.. Maneno ya kashfa ya dada ndio sababu mie niliondoka zangu nikaenda kupanga ili amuhudumie mama yake lakini badi alikuwa anasema yaan mie tu kila mara ndo nitume hela kama nimezaliwa peke yangu!!! Mwisho akaacha na kupokea simu kabisa hata za mama, na sie wala hatukumpa taarifa kuwa tumejenga , nimeumwa mimi alipewa taarifa lakini hata kupiga tu simu kuulizia hali ilikuwa mtihani kwake Haya sijui leo kaja kufanya nini, nilikuwa nimekaa kimyaa najiwazia tu mwenyewe huku namtazama , anajichekesha na mama yake Nikamwambia mama mie naenda ,dada akasema mbona unaondoka hata hujanitambulisha jamani ,nikamwambia huyu ni mume wangu, nikamgeukia alex nikawaambia alex huyu ni dada yangu huku nikilitaja jina lake Alex akasema nashkuru sana kukufahamu shemu wangu, dada et akasema umepata mwanaume kweli mi nilijua utaokota mjinga mwenzio jamaniiii Hivi hayo ni maneno kweli ya kuongea mbele ya mume wangu, si hata angesubiri tukiwa wawilii au sisi kama familia tumezoeana sasa ndo anajenga picha gani kwa alex .nami sikuwahi kumwambia alex kama mimi na dada yangu huwa hazipandi Mama akamwambia wewe mama Sumaiya umeanza upuuzi wako sasa maneno gani hayo ,mi nikacheka tu Alex akanambia basi twende zetu nikainuka dada akauliza et subira yupo wapi yaan hata hajui habari za ndoa zetu afu ni dada yetu mhu Wakati tunatoka akasema alex aah hata zawadi ya mama tenaa sijui nitampa lini ,nikamuuliza zawadi gani kwanza akasema aah siri yangu Nikamuita mama nikamwambia mkwilima wako analalamika hajakupa zawadi yake , mama akacheka akasema yaan ndo mambo ya wageni yameingiliana haya nipe baba yangu hata mie nilishangaa mnaondoka sijapata zawadi . Tukatoka nje ya geti alex akawa anatuongoza, tulizunguka nyuma kule ya nyumba jamani sijaamini macho yangu yaan ile gari ambayo nilichagua ile siku ndio zawadi ya mama yangu afu mi nilijua yangu et hahaha niliona aibu na nilivyokuwaga nimenunaaaa kisa hiyo gari khaaa, yalinishuka yoteee Mama yangu ndo kama achizikeee , sijui hata kama hii ndoto aliwahi kuiota jamani ,alifurahi alifurahii ,alex akamwambia mama naomba upokee hichi changu kidogo Yaani mama ni mtu mzima tu lakini naamini angekuwa bint nahisi angagala gala hata chini Dada nae akaja alishangaa kukuta gari, akamwambia mama et mi nitakuwa nakuendesha mana najua we mzee huna safari Mi nikamwambia we si mke wa mtu ,unaenda kwako Hakunijibu hata , alex aliingiza gari ndani ya geti Akamuuliza mama , nikutafutie Dereva au nikutafutie mtu wa kukufunza?? Mama akasema weee naogopa , bora mtu aniendeshee , alex akasema sawa mama Tukaondoka zetu, nilimpigia subira, nikampa mchapo dada ake kaja , Akanambia naenda kumuona kimbea ye si alitususaa , nikamwambia nenda shoga anguu .. Subira alinipigia simu akanambia kuwa baada ya kwenda nyumbani amegundua dada kaachika karudi jumla nyumbani mh nikasema atajua mwenyewe ye si anaakili apambane Sema dada yangu hana hata kauli nzuri ye kila mara kujikweza anajiona ni bora kuliko wote yaani Mi nilianza zangu darasa, yaani nilikuwa makini mnoo hapo nilikuwa najifunza kusoma na kuandika, kama chekechea afu li mama kubwaaa na watoto wanne Yaani kuna muda nilikuwa nacheka mwenyewe jamani vitu vya kusoma watoto wangu et nasoma mie mweeeh Nilikuwa na bidii sana sikutaka kufel hata kidogo mungu mkubwa uelewa wangu ulikuwa chap Hata siamini ile siku naweza kuunga maneno Mama anakula hee naweza kusoma kitabu cha hadith uwiii Salma omar mieee, raha gani zizidi hii Basi nilikuwa bango zoteee za barabarani nasoma ila ndo hivyo kwa kuunga unga kwelii Ilipita miezi 6 tu mi najua kusoma na kuandika , alex akanambia nataka uende kusoma elimu ya shule ya msingi yaani la kwanza mpaka la 7 umalize jamani nilitoa macho mie miaka saba si nitakuwa nshakufa Akanambia hapana utasoma kwa mwaka mmoja tu Nilikubali kwa moyo mmoja huku upendo ukizidi kwetu , nilimpenda alex mpaka nikapitiliza aisee Nilisoma kweli mwaka mmoja nikamaliza nikapata chet cha darasa la saba, Nilipelekwa kuanza elimu ya secondary hapo nilisoma miaka miwili jamani nilihisi nazeeeka shule lakini nilikuwa nasikia raha walau namie najua hii inasomwa vipi, nilikuwa mwepesi sana kujua sijui kwa vile nilikuwa mtu mzima au ubongo ndio umaamka kweli kweli Hapo watoto wangu nao wapo shule yaan mama anasoma watoto wanasoma nyiee mmh basi tu Nilimwaliza nikapata cheti changu safi kabisa cha Fom4 , mungu ashukuriwe mnoo yaan nilikuwa na Division one kabisaaa Alex akanipeleka chuo, mume wangu mungu akulinde nakupenda sanaaaa... Nilienda chuo bwana,wakati nilipo kuwa mdogo ukweli nilikuwa natamani sana kusoma niwe kama dada yangu lakini sikuwahi kufanikiwa niliacha shule nikaingia mtaani ndoto zile zilikufa kabisa ,. Lakini leo nipo naenda shule mhu eeh mungu , tena chuoo Nilisomea uongozi wa biashara hicho ndio alex alitaka nisome , nilisoma kwa bidii zoteee kuhakikisha namfurahisha mume wangu Alex alimambia tumezaa Watoto wanatosha hao wanne, sasa hivi tutafute maisha kwa ajili yao tu , kwahiyo kazi ilikuwa ni kusoma kusoma na mimi , Nilihitimu masomo yangu usimamizi wa biashara, siku ya Graduation nyie leo naongea naona kama kawaida lakini ukuu wa mungu nitausifu daima Nasema hivi daima Nitamsifu mungu wangu Kwa ule usiku mmoja, umefungua maisha yangu kwa miaka yote ninayo ishi leo duniani Ilikuwa bahati mbaya kuonana na alex ule usiku lakini leo naongea nipo nae ,nipo na mume wangu ambae nikisema tumetoka mbali namaanisha ni mbali kweli yaan mbali kwelii sio.utani Mimi hata nikigeuka nyuma kutazama nilipo toka na alex wangu sipaoniii yaan napaona Kuleeeeeeeee ambapo macho ya kawaida hayaoni isipo kuwa macho ya rohoni Mama mkwe wangu. Ananipenda yule mama kuliko kitu chochote , hata subira pia anapendwa ni mama mwenye misimamo mnoo Nakumbuka ile siku ya Graduation Alex alinipa zawadi ya Gari akanambia mke wangu moyo wangu na mwili wangu vyote nimekupa hivyo ndio vitu vya thamani sana kwangu haya mengine ni kama vichombezo tu. Gari alinipa ya bei mbaya kali hatari , wakati huu kuendesha gari ,nilikuwa tayari najua , nilifurahi mnoo nikamwambia alex wangu mungu atuweke sie tuzeeeke wote , tuone wajukuu zetu tukiwa sebleni kwetu Alex akasema mungu atatia wepesi mke wangu naamini tutafika huko tu .. Ni muda tu kila kitu huwa kinakuwa kwenye mstari , nilirudi nyumbani ni vyeti vyangu vyotee ,furaha Yote .. Hapo nilianza maisha mapya kabisaaa, alex alikuwa na biashara nyingi mno lakini niliona mie hata hanipi Biashara nipo tu afu zile Restaurant zote nilimwachia Subira na zingine mama walikuwa wanasaidizana hapo subira alinunua kabisa inno alimchukulia Kwa vile nilikuwa bize na shule sikuwa na muda huo ndio.manaa Nilikaa nyumbani miezi minne Siku moja alex akanambia mke wangu kuna kitu nataka ukaone nikasema nini tena akanambia nataka nifungue kampuni ya Usafiri wa anga, litakuwa shirika Binafs nawewe nataka ndie uwe msimamizi mkuuu Heee nikasema we Alex Serious?? Akanambia mhuu nipo Serous hee kutoka kwenye Upishi mpaka kwenda kuwa C.E.O we huogopi .. Gafla sanaa nilijikuta nimekuwa Boss lady ,kuna muda nilitamani sana Juddy angekuwa hai mana niliamini kabisa leo nipo hapa kwa sababu yake Hii ndio ile wanaita kufa kufaana , kama juddy angempenda kweli alex akamtii na kumpa heshima leo mie ningekuwa mtaani huko nimeolewa au sijaolewa sijui Naamini nisingejua kusoma wala kuandika, na wala nisingejua kama tatizo langu linatibiwa Nilitamani Juddy angekuwa yupo hapa ananichukia tu lakini sio kuniroga Niligeuka kuwa Mwanamke mwenye Nguvu sana Pesa na hata ushawishi , nilifanya kampuni yetu kuwa kubwa na kutambulika mataifa makubwa ya nje , Kwa miaka 4 tu niliweza kufungua tena usafiri wa majini , Tuliweza miliki meli mbili za mizigo na moja ya Abilia Alex alimiambia kila siku salma wewe ,Unaakili sana sana sanaaa .. Mama mkwe wangu kipenzi alienilelea wanangu alifariki , niliumia lakini ndio mipango ya mungu hiyo, nashukuru sana mungu sana sana sanaaa Mpaka leo hii navyoandika hapa mama yangu mzazi yupo na baba mkwe wetu yupo japo umri wao umekwenda sana Huwa nikipata muda kwa miaka mara moja nakwenda kaburini kwa Juddy walau kumuombea mana mimi nilimsamehe huko alipo awe na amali njema Mwanae amekuwa sana huwa namtazama kwa mbali Felix anamtunza vizuri sana licha ya kuwa anawatoto wengine lakini Bint yake yaan mtoto wa Juddy bado amempa.maisha bora sanaaa sanaaa Asanteni sanaaa kwa kuwa na mimi, na haya ndio safari ya maisha yangu ambayo leo nilitaka kushare na nyie 🙏🙏🙏 MWISHO. All the best byeeeee

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

ENDELEA............... "Wewe achaaaa!" Mama Boke alisogea na kumzuia. "Niache basi Mama na wewe!" "Usiweke hu..ko!" "Mmmh wewe mbona uliweka!?" "Wewe bado kato...to mno usiwe***ke nyuma!" "Mmmh ety white niwe..ke au nisiweke!" "Ni wewe tu!" "Mmmmh!" Boke aliamua kubadilisha njia na kuweka kwenye njia kuu na Mama Boke alimsogelea mzee na kumwambia akubali waishi kwenye mjengo wake ili wawe wanampa mambo mata**mu kama hayo na kwa ra***ha alizokuwa akizipa**ta mzee alikubali pale pale. Mechi ilichezeka haswa! Mama na mtoto walishirikiana kutoa buru...dani kwa mzee mpaka akawa taabani na Mama Boke alimchukua na kumpeleka bafu...ni. "Hapa ndiyo tumefika mme wetu!" "Khekhekhekhekhe!, kikubwa msinitangaze tu huko nje kama ninawa....la!" "Hahahahah labda Boke mimi sina hicho kihelehele!" "Ila mama acha kunisingizia" Boke naye alijitetea na kuanza kuo..geshana wote watatu. Hata mgahawa Mama Boke aliamua kumuachia Suzi na kujikita kwenye kazi ya kugawa uro...da tu kwa Mzee, kama pesa walimwagiwa za kutosha na ndani ya mda mfupi tu Boke na mama yake waling'aa kama sio wao. Frank alikuwa na kazi ya kumtafta Boke kwa ajili kukata upwi...ru, alienda mpaka kwenye mgahawa na kumkuta Suzi peke yake. "Boke yupo wapi mbona haonekani?" "Toa salamu kwanza sio unaniuliza tu mambo ya Boke" "Duh basi poa!, umeshindaje mre..mbo!?" "Hapo sawa" Suzi alitabasamu na kumwambia alipo Boke na Frank aligeuka na kuanza kuondoka ila alipata wazo na kurudi. Alimtazama Suzi nakuona anafaa kabisa kuzagamuana naye akate upwi...ru wake hivyo pale pale akaanza kutupa voko kwa Suzi. "Ivi unafikiri mimi ni Boke eee?" "Achana na mambo ya Boke, mimi nakupnda wew Suzi na sio Boke" "Ebhu nitoke hapa umala...y tu hamna kingine" Mambo yalikuwa magumu kwa Frank kumshawishi Suzi ila alipata wazo na kumwambia kuwa atampa tv yake kama tu atakubali kuza..gamuana nae. "Kweli unamaanisha?" "Kabisa Suzi kwanza tv mimi ya nini?, nipe kiha..rage chako tu alafu tv utachukua wewe!" "Mmmmh tufanye usiku sio sasa ivi" "Poa poa" Frank aliondoka baada ya oda yake ya kupewa mzigo kukubalika akisubiri mida ya kazi. Huku Mama Boke na Boke walikuwa wametulizana ndani ya mjengo wakitanua maisha na kwa jinsi walivyokuwa unaweza kudhani sio mama na mtoto kwani Boke alikuwa ndani ya ch...pi tu na Mama Boke alikuwa kajifunga zake taulo mpj yote yakiwa nje. "Mwanangu hapa inatakiwa tutumie akili mimi sitaki tena mambo ya kuuza kwenye mgahawa!" "Kwanini?" "Tumushawishi huyu mzee atuandikishe nusu ya mali zake au ikiwezekana atupe hii nyumba au wew unaonaje?" "Imepita hiyo!" Mipango ilisukwa ikasukika na walichokuwa wakisubiri ni mzee atoke kwenye mihangaiko yake wafanye ushawishi wao. Huku barabarani mzee alikuwa ndani ya gari akiendesha, mta..limb ulisisima baada ya kukumbuka kile atakachokutana nacho kwenye jumba lake la kifahari na aliona kama anachelewa kufika, dakika 10 mbele zilimfikisha ndani ya mjengo na kuingiza gari ndani ya uzio. Alishuka na kutembea haraka haraka na kufungua mlango na mbele ya macho yake alimwona Mama Boke kaina...ma chuma mboga akiwa mtu...😋pu na Boke alikuwa kakaa kwenye kochi akichezea kitumbu..a chake akiwa ndani ya chpii. "Haya ndiyo mambo ninayoyataka sasa!" Mzee aliongea na kufungua zi..pu yake na kuutoa mjegeje wake uliokuwa ume...simama balaaa!. "Ni wewe tu uchague uanze na nani" Hakutaka kuongea zaidi ya kusogea alipokuwa Mama Boke na kucho..mekaaa maxhine yake ndani ya tigoo. "Ooooooh yes!, Tarati..bu white jamaniiiii!" Mzee aliki..shika qiuno cha Mama Boke vizur na kuanza kuzagamua pale pale na Boke naye alinyenyuka alipokuwa amekaa na kuwasogelea kwa ajili ya kuunogesha mchezo na Mama Boke alikuwa akinyo...nga taratibu huku bakora ikiendelea kumku..nia kwa ndani. "Boke mwananguuu!" "Abeee mama!" "Uwe unamfuta jasho kpe..nz chetu!" "Ayaaaa!" Boke badala ya kwenda kuchukua kitenge au taulo yeye aliamua kuchukua ch...pi yake na kuanza kumfuta mzee wa watu. "Mtaniuwa nyie sio kwa ra**ha izi ashiii!" Alikuwa ni yeye tu wa kuamua wapi apewe na Mama Boke, njia zote aliruhusiwa kuzami..sha mho..go wake na Boke naye hakuwa mbali, zamu yake ilifika na kuonesha makeke yake mpaka pale mzee alipofi...ka kileleni. "Oooooooh!" "Pole mme wetu" Mama Boke aliongea huku akimp...apasa kwnye kifua na Boke naye aliishika ndo..nga yake na kuanza kuichezea. "Sio kwa raha hizi mlikuwa wapi zamani!" "Hahahahahaha mgahawani!" "Hapa ndiyo mmefika sitakubali muondoke!" Baada ya mzee kuongea Mama Boke alimkonyeza mwanae akitaka aongee takwa lao. "White nikwambie kitu!?" "Niambie laaziz wa..ngu!" "Ngoja kwanza niisafishe kidogo!" Boke aliongea na kupeleka mdomo wake kwenye ndo..nga yake na kua..nza kui*nyo*nya taratibu. "Oooooooh hapo hapooooo!" "Tamuu eeeeh?" "Sanaaaaaa!" Mzee aliongea na kumshi...ka kichwani Boke akitaka aendelee kuila...mba..........ITAENDELEA.

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

ENDELEA................ Alitembea mpaka alipokuwa na kusimama mbele yake. "Mama yako yupo?" "Hayupo" "Basi sawa nenda!" Boke aligeuka na kuanza kuondoka na mzee alijikuna kidevu baada ya kuona msitari wa Boke wa nyuma. "Hichi kitoto hakijaanza kweli haya mambo?" Aliwaza na kushituliwa na mteja aliyefika pale mda huo huo. Boke alifika mpaka kwao na kumkuta mama yake akizihesabu hela tena akiwa ndani ya ch**pi tu yaani hakutaka hata kuvaa nguo kwa wakati huo. "Jasho langu hilo mama!" Boke aliongea na kuchukua noti tano. "Mmmh wewe nawe!" "Hii ya kwenda kujipoza!" *************** Mama Boke alinogewa na pesa alizopewa na binti yake na baada ya pesa kuisha alimwambia Boke ampeleke anapoishi mzee aliyempatia pesa, Boke alikubali na kumpeleka. Walifika kwenye nyumba husika na kukutana na ukimya mkubwa na hata walivyojaribu kugonga hodi hakuna aliyekuja kufungua mlango. "Tuondoke tu hamna mtu" "Aaaaah huyu mzee sijui atakuwa wapi tu?" "Huogopi kuchangia na mimi mwan...aume?" "Niogope nini sasa? mimi nachoangalia hapa pesa tu na sio kingine" "Mmmmh Mama!" Boke mwenyewe alishangaa kuona mama yake alivyokuwa kabadilika, waligeuka kwa ajili ya kuondoka na ndipo kwa mbali walipoliona gari la mzee likija. "Yule kule anakuja!" "Tulia sasa usiongee niachie mimi!" Mama Boke alimtuliza binti yake na Boke akaamua kukaa kimya. Gari ilifika walipokuwa wamesimama na mzee alisimamisha gari na kutoa kichwa nje. "Mnashida gani?" "Nahitaji tuongee kidogo" Akili za mzee zilimtuma labda kaisha mtia mi...mba Boke ndiyo maana kaja na Mama yake mpaka anapoishi. Aliwaambia waingie ndani na baada ya kufika ndani Mama Boke alienda kukaa karibu kabisa na alipokuwa mzee. "Na shida mzee wangu!" "Acha kuzunguka ongea shida yako!" Boke alikuwa mtazamaji tu akimuangalia mama yake alivyokuwa akibabaika kwa mzee na aliona anachelewesha mambo. Alinyenyuka alipokuwa amekaa na kutembea kwa madaha walipokuwa wao na kusimama mbele ya mzee. "Wewe mtotooo!" "White nimeikumbuka jamaniiii!" "Niniii!?" Taratibu alishusha su...ruali yake pamoja na chpii na matko yote yakabaki nje. "Khaaaaa Boke!?" "Wewe mama unazunguka mno acha mimi nifanye kwa vitendo!" Mama Boke alibaki kakodoa macho tu akiwa hamini kile kinachofanywa na binti yake. Boke aligeuka na kupiga magoti mda huo mzee alikuwa tayari kaishanza kuda**ta na kusima..misha, Boke alipeleka mkono wake na kuito...a machine yake nje. "Sio sasa ivi Boke!" "Shiiiiiiiii!" Boke alimnyamazisha na kuupitisha uli...mi wake taratibu kwenye mjeg...eje wake. "Ohooooo!" "Na mimi na..taka!" Mama Boke naye aliongea na mzee hakumjibu kitu ila aliamua kujiongeza mwenyewe kwa kuanza kuvu...a ili asije akanyimwa pesa kama tu mgao utatoka, alimsogelea Boke alipokuwa wakaanza kupokezana kuila...mba koni ya mzee aliyebaki kuachama kwa uta**mu aliokuwa akiusikia na baada ya mda Boke aliukalia mtambo na kazi ikaanza. Licha ya mzee umri kwenda ila ng'ombe hazeeki maini siku zote, mtambo ulifanyakazi haswa kwa kukuna vizuri kwa ndani mpaka Mama Boke aliyekuwa pembeni alimuonea wivu mwanae na kutamani angekuwa yeye anayeku...nwa. "Boke imetosha zamu yangu!" "Ooooh white h...po h...po" Boke hakutaka kumsikia kabisa Mama yake zaidi ya kuendelea kuukalia usukani na Mama Bokw baada ya kuona hataki kutoka alimvuta na kumsogeza pembeni. "Mmmh mama na wewe!" "Zamu yangu na mimi!?" "Muache Boke endelee" "Wewe kazi yako ni kutulia tu mzee tuache sisi tunajuana!" Mama Boke baada ya kuongea alisogea kwenye mpi***ni na kuuka...lia na kuanza kuzu**ngsha unooo lake. "Mmmh yako sio haiba...ni kama ya Boke!" "Mzee na wewe mbona hivyo?" "Kweli napenda vidogo vidogo!" "Ngoja sasa niku...pe wenyewe alafu tuone kama haitabana!" Mzee macho yalimtoka baada ya kuona Mama Boke anaipkaaa mate na kuanza kuilazimisha kuipenyeza kwenye tgo kwa nguvu. "Heeee Mama unaweka huko tena?" Hakuwa na mda kabisa wa kumjibu Boke zaidi ya kuendelea kuicho....meka yote kwenye tgo mpaka ikazama. "Ashiiiiiiii!" "Wuuuuuu jotoooo ta**mu!" Mzee alimge..uza na kuanza kumza...gamua pale pale na haikuchukua mda akamwa**gia humo humo. "Mmmh achanteee mzeee!" Mama Boke aliongea na kumtoa asikari wa mzee na kuanza kumf...uta na kumgeukia Boke. "Kazi yako sasa njoo umwamshe tuendelee tena!" "Aya!" Boke alisogea na kuianza kazi na Mama Boke alitoka na kuwaacha wenyewe wawili tu. Mama Boke alianza kuzunguka kwenye nyumba ya mzee akiwa mtu***pu tena akipita karibu kila chumba. "Aisee hiii ni bonge ya nyumba!, hapa nikumshawishi tu huyu mzee tuwe tunaishi hapa!" Aliwaza na kuendelea kuzunguka ndani na baada ya kutosheka alirudi alipowaacha wenzake na kumkuta Boke naye kakamata rung...u la mzee akilazmisha kulipenyez kwenye ti**go yake.......ITAENDELEA.

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

ENDELEA.............. "Mmmmh!" Boke aliguna na kugeukia pembeni na kuanza kutema na Baba D alimvuta na kumla...za chaliiii na kuupeleka mdomo wake kwenye kisima chake na kuanza kummny..Onya na Boke alianza kurusha rusha miguu huku akizishika chyuchyu zake kwa hisi..a kali. Masaa mawili waliyatumia kupashana wao kwa wao mpaka pale Baba D alipotosheka na kumruhusu Boke kuondoka na Boke hakutaka hata kuoga zaidi ya kuv..aa nguo zake na kuondoka, alipita sehemu ya mapokezi kama upepo na kuwapita wahudumu wawili waliokuwa wamekaa wakipiga story za hapa na pale. "Wewe Cathe huoni kama yule ni mwanafunzi umekubalije aingie lodge?" "Hayo watajua wenyewe, mhimu tumeingiza pesa tu" Cathe alimjibu mwenzake wakati huo Boke alikuwa tayari ameshafika mbali na alibakiza hatua chache tu aweze kufika kwenye mgahawa wao. Kwenye mgahawa Mama Boke aliamua kuichukua simu aliyopewa na Boke na kuanza kuitazama lakini aligundua kuwa sio simu ili gelesha tu. "Suzi ebhu njoo uone" Suzi alisogea alipokuwa Mama Boke. "Kuna nini dada?" "Hii mbona kama sio simu ebhu iangalie mwenyewe" Suzi aliichukua na kuanza kuitazama. "Dada hii sio simu ni kopo tu" "Mmmmh hili litoto sijui limeitoa wapi ngoja tumsubiri arudi" Mama Boke aliiweka simu pembeni na kuendelea na kazi zake na mda huo kigiza kilikuwa tayari kimeshaanza kuingia. Boke alifika akiwa na hamu kama zote za kuitazama vizuri simu aliyopewa na Baba D lakini alishangaa baada ya kuambiwa kuwa sio simu ila ni gelesha tu!. "Hii sio simu?" "Mjini hapa kwanza nani aliyekupa hii simu na ulikuwa wapi mda wote huo?" "Nitakwambia baadaye mama akili haipo sawa" "Mjinga nini unaniambia mimi utaniambia baadaye nitakupiga Boke!" "Mama na wewe aaaaaah!" Boke alitoka mgahawani na kuamua kurudi nyumbani baada ya kuingizwa mjini na Baba D na baada ya mda Mama Boke alirudi nyumbani na kumkuta binti yake kaishalala tayari. "Wewe Boke amka!" "Niache mimi sili" "Amka huko!" Alimwasha kwa nguvu mpaka Boke akaamka na kukaa kitanda akiwa kafyumu balaa baada ya usingizi wake kukatishwa. "Boke mimi ni mama yako nisikilize kwa umakini, kama umeanza tabia ya ukahb naomba uache binti yangu umenielewa?" "Kaha**ba sianajipanga barabarani mama?" "Eeeee?" "Umeshawahi kuniona naenda kujipanga barabarani mimi?" "Sijawahi" "Basi jibu utakuwa umelipata, sipo sawa tutaongea kesho!" Boke aliegemea zake kwenye kochi na kuanza kuutafta usingizi na Mama Boke alibaki akimtazama tu binti yake na kushindwa cha kumfanya, ule msemo wa mtoto umleavyo ndivyo akuavyo ulianza kumtesa, alitoka chumbani kwenda kuendelea na mambo yake na siku iliyofata waliamkia kwenye shughuli yao ya kila siku na Mama Boke alimpa kazi Boke ya kwenda buchani kununua nyama. Boke alitoka na akiwa njiani kabla hajafika buchani gari ya mzee anayependa kula chakula kwenye mgahawa wao ilipita pembeni yake na kusimama na kioo cha gari kikashushwa. "Binti hujambo?" "Sijamboo mzee shikamoo!" "Marahaba, unaelekea wapi?" "Hapo buchani" "Panda kwenye gari nikusogeze!" Kwa mapepe ya Boke angeanzia wapi kukataa, alizunguka na kwenda kukaa siti ya mbele tena kwa kujiachia pasipo kuogopa. "Kila siku natumia gharama za mafuta kuja kula kwenye mgahawa wenu, unaonaje kama tukaelekea kwangu kwanza ukapaone ili uwe inaniletea chakula na baada ya hapo nakurudisha unaenda buchani kununua nyama" "Haina shida babu!" "Usiniite Babu niite white khekhekhekhekhe!" "Aya white!" Baada ya Boke kukubali mzee alichoma mafuta mpaka kwenye mjengo wake tena ukiwa ni wa maana tu!. "Hapa ndiyo kwangu!, karibu ndani" "Ndani tena mzee!?" "Acha woga binti unaishiaje nje!?" Alikuwa wa kwanza kushuka kwenye gari na Boke naye aliamua kushuka na kuanza kumfata. Waliingia ndani na Boke alishangazwa na ukimya uliokuwa ndani ya nyumba hiyo ya kisasa na kuamua kumuuliza mzee kwanini hamna mtu mwingine ndani. "Humu ndani naishi mimi tu!" "Mmmh basi sawa white, turudi nimeshapajua!" "Subiri mara moja nikaweke hili begi!" Mzee alitoka na baada ya mda alirudi akiwa kabeba begi jingine dogo na kuliweka juu ya meza na kulifungua. Ndani ya begi kulikuwa na pesa za kutosha na Boke alishindwa kumwelewa mzee. "Hizi pesa zitakuwa zako kama tu utanipa kile ninachokitaka" "Unataka kitu gani?" "Nipe bi...kra yako" "Heeee!" Boke aliduwaa kwa alichokisema mzee, hakujua kama kibinti kinayajua na kimeshafa**nya mara kibao tu. "Mimi mbona.... "Hutakiwi kuwa mwoga binti mimi nitafa....nya kidogo tu na sitakuumiza" Mzee aliongea na kuupeleka mkono kwenye bako..r yake na kuanzia kui...shika ikiwa ndani ya suruali, Boke alizitazama pesa zilizokuwa mezani...........ITAENDELEA.

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

ENDELEA.............. Kujikuta akizitamani ila sasa hakuwa bik..ra kama alivyokuwa akifikiria mzee wa watu. "Nimekubali ila na..ogopa!" "Usio..gope mtoto mzuri hutaumia!" "Mmmmmh basi tukifany..a usinitangaze kwa watu!" "Basi sawa!" Mzee aliona kaokota dodo chini ya mnazi kabisa, alimsogelea Boke na kushika mkono na kuanza kumvuta. "Wapi unanipeleka?" "Chumbani!" Boke alitulia kama maji mtungini na sekunde chache mbele walifika chumba..ni. Chumba kilipambwa kwa rangi nyeupe tu, hakukuwa na rangi nyingine ndani ya chumba hicho tofauti na rangi nyeupe, Boke alivyokuwa akiigiza kama kweli hajawahi kuzagamu...ana na hajui chochote kile, alipanda mwenyewe khitandani ili asimpe tabu mzee wa watu na mzee alimsogelea na kuamvu..lisha. "Babu mimi sita...ki, naogopa Babu!" "Tulia basi na wewe mara moja tu" "Mmmmmmh hamna!" Boke alikuwa mbishiii na alizidi kumtia nguvu mzee wa watu na kumpandisha stimu, mpaka anafanikiwa kumvu..a tayaro alikuwa ameshaloa kwa jasho kwa mgomo aliokuwa akiuleta Boke na mwisho wa maigizo ulifika kwa Boke baada ya mho..go wa mzee kupenya ndani akabaki katoa macho baada ya kuona Boke sio mpya tena. "Kumbe sio?" "Uta...mu ni ule ule bhana wewe mzee" Boke alimgeuza na kumka..lia na kuanza kuonesha majonjo yake. Dakika 10 zilipita akiwa juu kabisa ya mlima akiendelea kuizungusha koni ya mzee konako na ghafra askari alizima pale pale pasipo kufika mwisho wa safari, Boke aliinama na kuishika koni ya mzee na kuanza kui..lamba taratibu huku akizichezea kengele kwa ustadi mkubwa. "Wewe bi...nti kumbe ni balaa ivi!" Mzee alipiga saluti na baada ya mda upw..iru ulimpanda tena mnara ukasoma kwa mara nyingine na Boke akaukalia. Alizidisha juhudi zaidi ya alivyokuwa akifanya mwanzo mpaka maziwa yakamtoka mzee na Boke akala...la juu ya khifua cha mzee. "Nimeenjoy balaa ila sijapenda ulivyonidanganya!" "Bahati mbaya tu white jamani!" Kaboke kaliongea huku kakimche.. zea asikari wake pasipo kuogopa. "Mmmh una...taka tena?" "Ni ww tu mzee" "Utaniua wew mtoto, siku nyingine!" Walivaa na kutoka na baada ya kufika sebleni mzew alilichukua begi la pesa na kutoa kibunda kimoja na kumpatia Boke. "Shika hata hichi nimekuhurumia tu nilijua bado kinda!" "Mzee ndiyo kibunda kimoja kweli?, niongeze kingine basi!" Boke alilalama mpaka akaongezewa kingine na baada ya hapo wakatoka wote huku moyoni akiwa na furaha maana hakuwahi kushika pesa nyingi kiasi hicho. Alibakizwa kwenye gari na kwenda kuteremshiwa njiani na baada ya hapo alitembea haraka kuelekea kwenye mgahawa wao na baada ya mda aliweza kufika ila Mama Boke pamoja na Suzi walishangaa kuona akirudi pasipo kuwa na nyama. "Nyama iko wapi?" "Nilisahau!" "Ivi unaakili wewe Boke!?" "Mama njoo tuongelee huku pembeni" "Tuonge nini? yaani nimekutuma nyama wewe umerudi mikono mitupu alafu unaniambia tuongee pembeni? na hicho ulichoficha kwenye shati ni nini?" "Acha kelele wewe twende!" Boke alimvuta na kumpelekea mama yake pembeni na baada ya kufika aliyatoa mabunda na kumuonesha. "Pesa!?" "Eeeeh!" "Mamaaaa ebhu nione!" Mama Boke alimnyanganya binti yake na kuangalia kama kweli ni pesa halali. "Ni zenyewe, umetoa wapi hizi pesa?" "Yule mzee anayekuja hapa kula unakumbuka?" "Mzee yupi?" "Yule mwenye gari?" "Ndio kakupa?" "Eeeh ila sio bure bure" Boke alimpa mkasa mzima mama yake jinsi ilivyokuwa lakini siku hiyo Mama Boke hakumkalipia kabisa anavyofanyaga. "Kama ni hivyo nimekuelewa mwanangu lete nikazitunze!" "Sitaki hizi ni za kwangu!" "Mwone bila mimi kukuzaa ungekutana na huyo mzee ebhu lete hapa bhana, kwanza nampango wa kuja kufungua mgahawa mkubwa tofauti na huu mdogo" Mama Boke alizichukua na kuondoka. "Hata hivyo ni kihelehele changu bora ningenyamaza tu yaani nifa..nywe mimi malipo apewe mwingine haya si maajabu jamani?" Boke alinung'unika na kuondoka na kumkuta mama yake akimpa maagizo Suzi ya kusimamia kila kitu na baada ya hapo akaondoka bila hata kumuaga. "Boke pesa alizokuwa nazo dada amezitoa wapi?" "Acha tu!" Boke alisogea na kumpa mkasa mzima Suzi. "Mmmmh kumbe yule mzee anapesa hivyo?" "Sio pesa tu yule mzee anamaisha mazuri, nyumba yake tu kwanza ni ya gharama mpaka raha yaani nilitamani anioe kabisa!" "Acha ujinga wewe bado katoto alafu sijui nani alikufundisha tu hii michezo umeianza mapema mno Boke!" "Hilo mtajua nyinyi kikubwa tu msinitangaze kwa watu!" "Aya siku yakikukuta utajuta!" Boke alinyenyuka akiwa na mpango wa kwenda nyumbani kwao ila mzee aliyewahi kuzagamuana na mama yake kipindi cha nyuma alimwita baada ya kumuona.......ITAENDELEA.

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

kwa kushangaza “mara mbili na umeanza kazi leo?, mdogo wangu sitaki kuongea chochote sasa ila namuomba mganga wako, nipeleke kwa mganga wako. Naomba mdogo wangu, nakuomba sana.” Unajua hata nikajikuta nacheka nikisema “😂😂hivi dada Martha unachanganyikiwa?, mganga yupi, kivipi mbona hata sikuelewi?” Dada Martha akaniuliza “mnawasiliana vizuri, na anakupa pesa?” Nikasoma tu ule ujumbe na kuona asinichanganye. Yeye ndiye ameniunganisha na nduguye na sasa ananitaka kunichimba. Kama yeye ndiye kuwadi wake anataka amtafutie mwanamke mwingine afanye asinichanganye mimi. Nikawa ninajisemesha. My Boss akanitumia ujumbe, nikasoma, ujumbe ulikuwa unasomeka hivi “Thank you my sweet person, I feel your love.. I feel you. I thank you for loving me. Even now at this moment I am confessing to love you totoo.. Nakupenda sana.” Nikavuta pumzi na kutuma ujumbe “Una maanisha haya?” Pale pale ujumbe uliingia akisema “sijawahi kuwa hivi kabla, popote, kwa yeyote hata mimi nashangaa kwanini kwako. Totoo, kweli kabisa nimezama kwenye kina kirefu sana cha bahari ya huba lako nakupenda.” Nikamjibu kwa kifupi “Asante.” Aliniambia kwa upole “Najua sio rahisi pengine wewe kunipenda, najua pengine unatamani unifahamu vizuri. Na najua utasikia mengi kunihusu. Ila Totoo, unaweza kuamini haya mapenzi hata kama sio kuniamini mimi. Please nakuomba usiyaache haya mapenzi. Mimi usinipende sawa, ila vipi kuhusu hisia zetu. Mimi Nakupenda kweli kweli.” Nikasoma na kusema ndani ya moyo wangu “Nakupenda ila naogopa sana. Nakuogopa.” Na ndiyo nikaandika “Nakuogopa.” Alinipigia simu baada ya kupokea huo ujumbe, nilipokea nikiwa nipo kama nalia vile. Akaniuliza “totoo!, kuna nini kwani, niambie nimekukosea pengine bila kujua nikuombe msamaha.” Nikasema kwa upole “Hapana hujanikosea kabisa.” Akavuta pumzi na kusema “umesikia chochote kunihusu?” Nikashindwa kujibu akasema “I knew this, Ndeana ni mapema sana. Safari yetu ndiyo inaanza. Please nakuomba usiyape nafasi ndani ya moyo wako maneno unayosikia kuhusu mimi. 𝐉𝐀𝐌𝐀𝐍𝐈 𝐁𝐎𝐒𝐒 𝐌𝐈 𝐍𝐀𝐎𝐍𝐀 𝐀𝐈𝐁𝐔 🍒🙈💞: 69 Nimekuambia nakupenda wewe amini haya maneno. Ndeana niamini, mimi kwako nimefika nakupenda sana, kila kitu kitakuwa sawa muhimu uniamini. Siwezi kukuumiza mimi. Sijawahi kupenda Ndeana. Unaweza usinielewe, ila wewe ni mwanamke wa kwanza kunifanya nijue maana ya kupenda. Na unavyojua moyo unapenda sehemu moja, mara moja na hiyo sehemu ni wewe na kwako. Naomba upumzike, kesho tutaongea vizuri ofisini. Nakuomba asubuhi nikuone. Siwezi kulala vizuri leo kama wewe unakua hivi mapema yote hii.” Simu ilikata, kisha baada ya muda mimi nikapanda kitandani, dada yangu aliingia chumbani na kusema “wewe, mbona hata hujabadilisha nguo. si ukaoge kwanza?” Nikamtazama tu, dada akasema “Kuna tatizo kwani?” Nikamtazama tena na kusema “nimesikia kitu kuhusu Boss, nashindwa kujizuia dada. Kwasababu ninampenda sana.” Dada yangu alikuja karibu yangu na kusema “Kitu gani mdogo wangu?” Nikamwambia, sijui nipoje ila mimi kumficha kitu dada hata cha ovyo siwezi kasoro hivi vya aibu najiongeza tu. Basi dada yangu akasema “labda ni kweli, na sisi hatuwezi kujua kwasababu hatujalala naye si ndiyo. Na ndiyo maana nilikuambia usiwe na haraka.” Nikasema “wanasema pia ana dharau na wanawake hana muda nao ila mbona mimi muda wote anataka kuwa na mimi na hata huku ananifuata.” Dada alitabasamu, alisema “Mdogo wangu kwenye mapenzi kuna watu wengi. Pengine umekutana na mwanaume mbaya sana ila kwako huwezi ona ubaya wake kwasababu labda anakupenda sana kweli. Binadamu upendo wake wa kweli ni mara moja tu. Kwingine unaweza kupenda ila kawaida hisia zisiwe sawa na zile za mwanzo kwa mtu fulani. Usikurupuke, usiwe na hasira. Kama anakupenda atakuelezea mwenyewe. Mwanamke silaha yake ni utulivu, usikivu, na maombi. Sio kelele, kumfokea na kumtukana au kumuona hafai. Pengine kwa wengine alikuwa hivyo kwako kakupenda au itakuwa mbaya zaidi. Ndiyo maana nilikuambia kuwa makini na sasa mdogo wangu kama unampenda ingia vitani kwa maombi. Sali sana, kama ni wako atabakia, kama sio wako ataaondoka au utaona ishara mbaya za kukufanya umuache. 𝐉𝐀𝐌𝐀𝐍𝐈 𝐁𝐎𝐒𝐒 𝐌𝐈 𝐍𝐀𝐎𝐍𝐀 𝐀𝐈𝐁𝐔 🍒🙈💞: 70 Na ukiona hizo ishara mbaya au akiondoka usianze kulia tena kwa maana binadamu Mungu hutufanyia wema bali sisi hung’ang’ania. Usilazimshe awe kama alivyokuwa kwingine. Cheza nafasi yako kama mwanamke mwenye maadili. Omba Mungu, jitofautishe na wengine na hata ikiwa mbaya basi utayaacha hayo mahusiano bila kujali maumivu yako. Niahidi mdogo wangu, maneno ya watu utayasikiliza na kuyachumbua, niahidi utaomba Mungu na ndiye atakuwa silaha yako katika mahusiano yako. Vita yako haitwakuwa juu ya yeyote bali utakabidhi kila kitu mikononi mwa Mungu na hutong’ang’ania kitu hata ikikubidi uache kazi uwe tayari.” Nilimtazama dada na kutabasamu, mara ujumbe ukaingia dada alisema “ni yeye huyo.” Nikamtazama na kusema “ni kweli, ni yeye umejuaje.” Dada alisema “zamani wakati wewe mdogo bibi alipokuwa hai. Aliwahi niambia ukimuwaza mtu unayempenda na yeye anakupenda au ukimfikiria na yeye anakuwa anawaza au kukufikiria. Kwahiyo mnawazana kwasababu mnapendana. Anakupenda pia sawa mdogo wangu.” Nikamtazama na kutabasamu kisha nikataka nisome ujumbe wa Boss ambaye yeye ni kizungu anakipenda mpaka na mimi namzoea tu na sio kama najua sana kizungu, ila kwa huyu naona kabisa google itahusika. Maana bila hivyo atanishinda kwa utamu wake wa maneno. Nikasoma nikitabasamu “Have a restful night Ndeana wangu, dream of us honey pot, sending hugs, cuddles, love and kisses to warm up your night.. I love you more each day than the previous day, I love you too much, please relax na uvute pumzi. Najua utaumia na unaumia ila usisikilize watu, nisikilize mimi. Nakupenda sana sana wewe ndiyo huba langu la kwanza kabisa.” Dada akasema “anasemaje?” Nikampa simu, dada akasoma kisha akasema “mbona kizungu?” Nikacheka nikisema “ndiyo maana nimekupa najua tu huelewi.” Dada akacheka akisema “ndiyo kasemaje sasa.” Nikamwambia anasema “uwe na usiku mwema Ndeana wangu. Natuma kumbato, upendo na mabusu kuufanya usiku wako uwe mzuri sana. Nakupenda sana na huko mbele si umeelewa.” 𝐉𝐀𝐌𝐀𝐍𝐈 𝐁𝐎𝐒𝐒 𝐌𝐈 𝐍𝐀𝐎𝐍𝐀 𝐀𝐈𝐁𝐔 🍒🙈💞: 71 Akanitazama na kusema “Sio kila kitu unachosikia lazima upeleke kwa mwanaume wako moja kwa moja. Wakisema malaya na wewe unaenda kusema nimeambiwa wewe malaya. Hapana mdogo wangu, mwanamke ulivyo tu wewe ni silaha. Fanya uchunguzi wako kwa hekima, tulia mengine yameze. Wanaume hawapendi malalamiko, lawama, kuonekana hawafai. Kibinadamu kuwasha hasira ni kawaida. Ila kwa mwanaume unayempenda jitahidi. Utasema mbona wao wanatuambia hivyo. Ndiyo ni kweli, ila sio kosa lao. Uumbaji ndiyo umewafanya kuwa hivyo. Kwakuwa wao wanatakiwa kuheshimiwa hila kujali umri wake. Basi hata akikosa anataka aambiwe kwa lugha nzuri, vinginevyo hamtoelewana. Kuna muda unawaza kama tumeonewa, ila ndiyo hali halisi. Na wengi hupoteza watu wanaowapenda kisa kelele, gubu, malalamiko na lawama. Na wao huwa hawapendi kushushiwa ujasiri na imani ndiyo maana wanashindwana. Katika vitu vinahitaji sana hekima na moambi ni mahusiano na ndoa. Mdogo wangu, sasa upo vitani. Kama unampenda jiweke karibu na Mungu yeye atajua akutunzie au akuondolee. Na akiwa akikuondolea uking’ang’ania hasara kwako.” Nikasema kwa upole “dada nakuahidi kufuata ushauri wako. Bora hata upo dada una akili. Tayari niliwaka ila maneno yako yamenifanya nitulie. Mimi sio wapekee sana, sina umaalumu huo ila pengine ndiyo fungu langu nimpe nafasi. Na kama sio nakuahidi sitang’ang’ana. Nimefurahi sana dada na nitaanza leo leo kusali. Haya vipi na wewe na shemeji?” Akanitazama na kusema “Shemeji yako anataka nimzalie. Nami sipo tayari kuzaa na hajanioa. Nimemwambia walau aje nyumbani afuate taratibu anaona kama simpendi ninampangia. Sitalazimisha mdogo wangu pengine ndiyo majibu yangu kwa maombi ninayoomba. Sasa akinitafuta namjibu bila kelele na asiponitafuta na mimi nakua mtulivu. Ndiyo mapenzi. Ila huo ndiyo msimamo wangu.” Nikamtazama na kumkumbatia, nikisema “utakuwa sawa dada. Na yeye atakuelewa tu.” Dada alisema “Ninaamini hivyo mdogo wangu, 𝐉𝐀𝐌𝐀𝐍𝐈 𝐁𝐎𝐒𝐒 𝐌𝐈 𝐍𝐀𝐎𝐍𝐀 𝐀𝐈𝐁𝐔 🍒🙈💞: 72 Siku hii iliisha hivi kwa mtindo huu, dada yangu alinitoa wasiwasi. Ingawaje kitanda nilikuwa nakiona kikubwa kila nikikumbuka raha za ndani ya gari, muhogo wake ulioshiba na raha zake. Nyie mimi nampenda ila kumuonesha tu ndiyo kipengele. Ila ninampenda huyu kijana anahitaji maombi yangu tu. Pengine atanipenda zaidi au ataniacha. Ila mimi tayari nimefika. Akinigusa kama asiache, akinipigia ile sauti kama aongee tu mpaka asubuhi. I love my Boss. Ila siwezi kumuonesha, namuogopa, naona aibu, na sina hakika na huba hili. Nikiwa kitandani nilipata muda wa kuongea na Mungu. Nilimwambia Mungu “Unanijua vizuri, sio mkamilifu ila nataka kuishi ndani ya kusudi lako. Sitaki kukosa sana Mungu wako. Ni bora nikose yote ila sio kukosa upendo, huruma, na hekima zako Mungu. Naomba nisaidie kujua huyu mwanaume kama yupo hapa kwaajili yangu. Na kama sio kwaajili yangu basi Mungu muondoe mbali na maisha yangu. Na kama ndiye Mungu rekebisha tabia zake, nyoosha njia zake. Awe mwanaume atakayefanya niishi ndani ya kusudi lako wewe mpaka mwisho wa maisha yangu. Nakuamini, nakupenda na nakutegemea Mungu wangu. Amina.” Kisha nikalala nikiamini Mungu atafanya heri zake. Kesho yake asubuhi niliwahi kazini kama kawaida. Niliendelea na kazi baada ya kukutana na meneja. Kazi kubwa ilikuwa ni kuandaa ukumbi wa mkutano huo na kuutengeneza muonekano mzuri sana. Sikuwa nimeona ujumbe wa boss siku hiyo kama ilivyo kawaida na ukifika kazini tena simu haziruhusiwi. Basi nikawa nafanya kazi ninatazama huku na kule labda nitamuona. Sikumuona. Nakumbuka Joan aliniuliza “unamsubiri mtu?” Nikacheka na kusema “atoke wapi tena, hapana nipp tu nawaza namna hii kazi itakavyofanania.” Basi tukaendelea na kazi. Ilifika mida ya saa nne hivi ndiyo tunatakiwa kunywa chai. Kuna dada alikuja na aliniambia “samahani, unaitwa na meneja.” Nikamwambia kwa upole “sawa kipenzi.” Kisha nikamwambia Joan, “Kipenzi nahisi kuna maelekezo, kwa meneja ameniita.” 𝐉𝐀𝐌𝐀𝐍𝐈 𝐁𝐎𝐒𝐒 𝐌𝐈 𝐍𝐀𝐎𝐍𝐀 𝐀𝐈𝐁𝐔 🍒🙈💞: 73 Akaniambia “sawa kipenzi, utanikuta ile sehemu tumekula jana. Na hapa kwa sisi tumemaliza. Watu wa mapambo watamalizia kisha mwenzetu ndiyo atasimamia sisi tutawahi kutoka leo ili tukajiandae na kukusanya nguvu ya kazi.” Nikasema “waao kumbe ndiyo hivyo?” Akaniambia “Ndiyo kipenzi, Meneja alikuja hapa muda fulani ulifuata vitu huko juu ndiyo akatoa maelekezo. Kasisitiza sana usafi pengine ndiyo maagizo hayo anaenda kukupa.” Nikasema “basi sawa nisubiri tutaondoka wote.” Akaniambia kwa upole “sawa kipenzi.” Basi mimi huyo mpaka kwa meneja. Nilipofika tu, alinitazama akatabasamu na kusema “kuna simu yako.” Nikamuuliza “inatoka wapi meneja.” Akasema “Boss anakupigia.” Nikashtuka “Boss!!” Akaniambia “pokea, ipo hewani.” Nikapokea. Niliposema tu “Hello Boss.” Kwa sauti ya uchovu sana, alisema “Totoo, njoo ofisini tafadhali ni muhimu.” Nikaitikia kwa nidhamu “sawa boss nakuja.” Nikarudisha simu. Wakati natoka Meneja aliniambia “Ndeana, anakupenda.” Nikamtazama na kisha nikatoka bila kusema kitu, kwa maana sikuwa nataka kuongea zaidi. Taratibu nilitembea, nilipofika nje ya mlango wake. Nilivuta pumzi ndefu na kukumbuka maneno ya dada yangu ya kuwa nisimlaumu, niwe mpole tu. Yeye mwanaume atajua namna ya kuongea na mimi na kuniweka sawa. Nikabisha hodi. Nilisikia sauti ikisema kwa upole “Ingia.” Basi nikaingia. Alikuwa amelaza kichwa juu ya meza. Nikaita “Boss!!” Haraka akainuka na kusema “Ndeana!!, Ndeana umekuja!!” Nikatabasamu. Akainuka na kuja kunipokea kisha akalock mlango wake. Alinishika mkono na safari hii alinikalisha kwenye kochi ambalo lipo ndani ya ofisi yake. Kisha aliniuliza “umenikasirikia Ndeana?” Nikatabasamu na kumuuliza “kwanini sasa?” Akanitazama kisha akaja mbele yangu, akapiga magoti na nikamwambia “unafanya nini sasa?” Akanitazama kwa huruma akisema “usiondoke Ndeana, usiniache nakuomba sana. Ndeana nakupenda kutoka ndani ya moyo wangu. Siwezi kumpenda mwanamke mwingine ninavyokupenda wewe na wala sijawahi kupenda namna hii. 𝐉𝐀𝐌𝐀𝐍𝐈 𝐁𝐎𝐒𝐒 𝐌𝐈 𝐍𝐀𝐎𝐍𝐀 𝐀𝐈𝐁𝐔 🍒🙈💞: 74 Sikia sitaki kujua nani amekuambia kuhusu mimi kwa maana nilikuwa najua ipo siku utajua. Nimefurahi umejua mapema kwa maana haitakusumbua mbele. Ila nisikie, ni kweli, ni kweli mimi nimekuwa na wanawake wengi naona aibu hata kusema. Ila wao ndiyo wananitaka mimi Ndeana. Hakuna mwanamke nimewahi kumpenda na hata nikiwaambia ukweli hawaelewi. Pamoja na kuwa nao, sijui kama unaelewa. Your my First love, wewe ndiyo upendo wangu wangu wa kwanza. Ninavyojisikia na kujihisi kwako ni hisia ngeni, nashangaa sana, sijui umenifanya nini, kaa kama kuna kitu umekifanya fanya tena na tena maana ni raha sana kukupenda wewe. Nasikia amani kukupenda, nasikia raha, nasikia furaha. Wewe ni mzuri kuliko wote, nakuona wa pekee sana na unatembea na hisia zangu. Nipe adhabu yoyote ila sio kuondoka. Ninakupenda sana Ndeana. My sweet person, totoo Ninakupenda Wallah. Your the most amazing person I've ever met...You have been the most precious and wonderful gift of my life and I cannot thank God enough for blessing me with you... I know I don't say it but everything you do for me makes me fall for you again and again, when I am around you every moment feels so beautiful because you make me feel loved and wanted. All your hugs, kisses and touches fills new life into my soul.. Thank you for being an amazing, kind, loving and caring person to me, Barikiwa tu siku zote mpenzi wangu, nasubiri hata siku nisikie neno Nakupenda from you, Nakupenda mno Ndeana, mno yaani, Nakupenda Ndeana wangu I love you so very much my sweet person (Wewe ni mtu pekee nimewahi kukutana naye, umekua mtu wa thamani sana na zawadi ya kushangaza katika maisha yangu. Nashindwa hata kumshukuru Mungu kwa kunibariki mimi kuwa na wewe. Najua, sisemi hili ila kila kitu unachofanya kwangu kinanifanya nikupende tena na tena. Nikiwa na wewe mara zote najisikia vizuri kwasababu unanifanya nijisikie kupendwa na kuhitajika. Kumbato lako, mabusu, mguso yanajaza maisha mapya ndani ya roho yangu. Asante kwa kuwa mtu mzuri sana kwangu, kuwa mwema, kunipenda na kunijali.) 𝐉𝐀𝐌𝐀𝐍𝐈 𝐁𝐎𝐒𝐒 𝐌𝐈 𝐍𝐀𝐎𝐍𝐀 𝐀𝐈𝐁𝐔 🍒🙈💞: 75 Nilikuwa namtazama vile anajisikia huzuni, na kunishika kwa hisia. Unajua hata alisema akitaka kulia “Ndeana utasikia mengi kunihusu, ila wakati unayapa sikio unaweza ukayapa sikio la moyo wako na akili zako mapenzi yangu. Usiniache Ndeana, usiondoke kwasababu siwezi kuishi bila wewe. Love is a beutiful thing, i currently admit.” Mwanaume huyu alianza kutoka na machozi akilia nisiondoke, nisimuache, ananipenda na amekiri ukweli mbele yangu ili nisiumie na watu watakayosema. Na nikajikuta namuonea huruma, nikajikuta namkumbatia huku wote tukilia. Mapenzi nyie hata ukilia husikii maumivu, haswa ukilia kwa furaha. Akanitoa mwilini na kusema “hutonifokea?, hutonisema?, hutoniuliza swali?” Nikatikisa tu kichwa kukataa kuwa sitafanya lolote kwa maana tayari kasema yote. Ooh, ninatamani kama ningekuwa nimeyachukua mkanda wa video matukio yote muone nilivyokuwa nadeka hapa nakubembelezwa. Tulikumbatiana tena na ubaya sisi wote tunapenda mabusu, ila zaidi mwenzangu ugonjwa wake kwangu ni mapenzi, ukimbusu tu anashindwa kujizuia kabisa, unajua kilichofuata pale tunapigana busu huku tunalia na kubembelezana. Mimi na My handsome boss, Mwanaume wangu mzuri, hata yale maneno ya dada yangu yalinipotea kichwani, nikajikuta tena kwa mara ya tatu, kwenye kochi, baada ya hapo nikabebwa juu ya meza na hata yeye mwenyewe akiwa amesimama alinibeba na kunipa kitu roho inapenda nikiwa nimebebwa nami mikono yangu ikiwa imemkumbatia kwa shingo. Tulipokuwa hoi, tukajiweka sawa. Tukatazamana na kucheka. Mimi nimeanza kuwa mlevi wa penzi la Boss wangu. Popote pale sisi sawa tu. Alitabasamu na kusema “Totoo, eti kukupenda ni haramu.” Nikamtazama na kutabasamu nikisema “ni haramu sana dini hairuhusu.” Akacheka na kusema “Hata penzi lako pia haramu eenh!!” Nikacheka tena na kusema “ni haramu dini hairuhusu.” Akanivuta na kunikumbatia akisema “afadhali waniue, ila haramu vitamu.” Tukacheka. Akanibusu nami nikasema “umeanza tena!!” Soma muendelezo kwa sh 1000 Njoo WhatsApp 0743433005

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

******* 👉(Ukihitaji VIPANDE VYOTE 50 Vya Stori hii Full, Nicheki WhatsApp👉 0675137453, Kule Tumeshaimaliza yote🙏) ****** "Kokorikooooooo!!!" Sauti kali ya Jogoo likiwika karibu kabisa na dirisha langu ndiyo iliyonikata usingizi, na hakuita mara moja aliita zaidi na zaidi kana kwamba ametumwa kuja kuniharibia usingizi kabisa. "Aaah makuku mengine kama yametumwa vile.." nililalamika huku nikijifunika shuka vizuri gubi gubi mpaka kichwani, leo ilikuwa ni siku ya mwisho wa juma, sikuwa na ratiba ya kwenda shuleni, siyo kwamba hakukuwa na vipindi, vilikuwepo ila tu sikuwa na mpango wa kwenda leo na hali ya hewa ilikuwa ni ya manyunyu manyunyu, mvua ikinyesha kidogo kidogo tangu usiku mpaka asubuhi na kusababisha kijibaridi kinachotia uvivu wa kuamka. Na ndipo nilipokumbuka kuwa nina kazi ya kusafisha mabanda ya kuku na bata ambayo mjomba aliniagiza jana niifanye asubuhi na mapema ikabidi nikurupuke kitandani haraka haraka. Ndivyo nilivyolelewa nyumbani kwa baba na mama, sehemu yoyote ile sikutakiwa kuwa mvivu hasa kwenye majumba ya watu, nilifundishwa kujituma kwenye majumba ya watu, na kwa muda huu wa miezi kadhaa nimehamia kwa mjomba, kaka wa mama ambae ninaishi kwake kutokana na ukaribu uliopo na shule ninayosoma wakati nikijiandaa na mitihani ya kumaliza Elimu yangu ya sekondari miezi michache ijayo. Niliinuka haraka haraka na kutoka chumbani huku macho yakiwa yamejawa na usingizi na kwenye korido ya kuelekea sebuleni ndipo nilipokutana na shangazi Magge akiwa anafanya usafi anapiga deki kwa tambara kwenye tairizi huku akiimba nyimbo lakini mkao aliokuwa amekaa ulinipa mazingira magumu. Alikuwa ameinama na amejifunga khanga tu huku matak🍒 yake makubwa akiwa ameyageuzia kwangu natazamana nayo uso kwa uso, nikisema makubwa sitanii, ni makubwa haswa aliyopewa mama huyo wa miaka kama arobaini na tano mpaka hamsini hivi kwa makadirio ya haraka, maana mjomba alikuwa ni mkubwa sana kwake, shangazi alikuwa mtu mzima tu wa makamo, mnene, aliyejaa nyama. Ubaya hakuishia kuimba tu alikuwa akicheza yaani akijitikisa tikisa matak🍒 yake makubwa bila kujua kuwa mimi nipo nyuma, nikiwa njiapanda, kuendelea kutazama natamani, kugeuka pembeni natamani, sikujua nishike lipi niache lipi, ndani ya bukta niliyovaa tayari dyudy🍆 lilishadinda asubuhi asubuhi, nikijutia dhambi ya kumtaman😋 shangazi yangu mke wa mjomba kimapenz❤️khanga yenyewe aliyovaa ilikuwa fupi, alivyoinama ndiyo alizidi kuharibu ilipanda kwa juu na kuacha robo ya matak🍒 yake makubwa yakichungulia, nilijikaza kisabuni na kugeuka ili nirudi chumbani kwanza nimpishe shetani apite "Hujambo?" Alinisalimia nilipogeuka, "Ohoo sijui ameniona?" Nilijisemea kimoyo moyo "We Steve hujambo?" Aliniuliza tena ikabidi nizuge kana kwamba sikuwepo ndokwanza natoka chumbani na sijaona chochote, huku akijifunga funga khanga vizuri kifuani. "Sijambo aunty shikamoo" "Mbona mapema mapema na leo weekend?" Alijibu bila kuitikia salamu yangu. "Hamna aunty nina kazi tu kule mabandani" nilimjibu kwa aibu huku nikitazama pembeni, mkono ukiwa kidevuni. "Ungelala tu, si utaifanya hata baadae hiyo kazi jamani?" "Asubuhi ndo vizuri aunty" "Mh Steve na wewe haya endelea" alitabasamu na muda huo huo simu yake iliita chumbani akaifuata, nikashusha pumzi kwanza na ndipo nikagundua kuwa kuna kitu hakipo sawa, nikainamisha shingo kujitazama kwenye bukta nikashuhudia dyudy🍆likiwa limevimba ndani yaani limetuna kwa mbele kama kichuguu "Ohoo kwahiyo muda ule naongea na shangazi mambo yalikuwa hivi, kama ameniona amenifikiriaje dah?" Nilijikuna kichwani kwa wasiwasi na haraka nikarudi ndani kwenda kutafuta suruali ya jeans nikavaa na kutoka mpaka nje kwenye mabanda ya kuku na bata kwa ajili ya kuyasafisha na kuwawekea chakula chao, nilipofika nilimkuta dada wa kazi aitwae Attu ambae alikuwa anafagia uwanja nje, nikamsalimia na kuendelea na kazi yangu. Bado akili yangu haikuwa sawa, picha za shangazi Magge ziliendelea kujirudia rudia kichwani, alipokuwa ameinama akideki na hasa matak🍒 yake makubwa ambayo yalinivuruga akili. "Kaka Steve, Steve" nilishikwa begani nikashtuka, alikuwa ni Attu akiniita, "Naam" "Kwani upo sawa?" "Nipo sawa" "Mbona nilikuwa nakuita halafu hunisikii?" "Nilikuwa nawaza mbali kidogo" "Unawaza nini tena?" "Mambo ya shule tu si unajua tena". "Utafaulu tu usiwaze sana, aunty anakuita ndani" "Nani mimi?" "Ndiyo wewe" "Saa ngapi?" "Sasa hivi" "Ooh sikumsikia" nilimjibu na kuacha kazi niliyokuwa naifanya nikaelekea ndani kuitikia wito huo ambao sikuujua ni wa nini. Nilipoingia sebuleni sikumkuta, ikabidi nisogee mpaka chumbani kwake na kubisha hodi mlangoni bila kuzungumza. "Pita Steve" aliitika akimaanisha niingie chumbani kwake, jambo ambalo sijawahi kulifikiria "Nimesikia umeniita aunty, naam" "Nimekwambia ingia Steve" alisisitiza, kwa mashaka nikaufungua mlango na kuingia kwa mahesabu na ndipo nilipomkuta akiwa mbele ya dressing table akijitazama na kupaka mafuta mwilini, akiwa na ule ule upande wa khanga. "Naam aunty?" Nilimwitikia, akageuka na kutabasamu, "Mbona unasimama mbali Steve unaogopa nini?" Aliniuliza huku akigeuka mzima mzima na kuangusha khanga yake mwilini, nikamshuhudia akiwa uch😋 wa mnyama mbele yangu. "Aunty??!!"..... #Comment #Like twende sawa

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

ENDELEA.............. Mzee alikula huku Boke na wenzake wakimtazama kwa kuibia na baada ya kumaliza alilipa na kuondoka, siku iliyofata alirudi kwa mara nyingine na kuagiza chakula kile kile na siku ya tatu tena alirudi kwa mara nyingine na kuagiza chakula kilele na baada ya kumaliza kula akaondoka. "Mama unajua huyu mteja wako simwelewi kabisa" "Kwanini?" "Simwelewi tu yaani naona kama hafai kula kwenye mgahawa wetu" "Acha ujinga wewe litoto sijui unaakili gani tu ebhu nenda huko ukatengeze mchicha" Boke alitoka kwenda kufanya kazi kama alivyoambiwa na Mama yake na ilipofika mida ya mchana Boke alitoka kama yupo na kwenda kwenye gheto la Frank. Alimkuta Frank akimsubiri kwa ha**mu na kumkaribisha. "Nilijua hutokuja" "Tuingie ndani sina mda wa kupoteza Mama na Suzi nimewachenga huko!" Waliingizana ndani na kuanza kupeana mambo moto moto, Frank alimb€ba na Boke alimshika shingoni na kumkamata asik..ari wake na kumcho**meka mwenyewe kwenye kitu**mbua chake. "Babyyy!" "Niambie baby!" "Kizu**ngushe qiuno chako, nimemic ufundi wako" Boke alizungusha qiuno kwa kasi kama feni na haikuchukua mda Frank akawa amefika kwenye mlima kilimanjaro mda huo huo. "Leo mbona mapema ivi?" "Mwenyewe hata sijui!" "Nishushe chini!" Alimshusha chini na Boke aliikamata vizuri ma**shine yake na kuanza kuivuta vuta kidogo huku akiipakaa mate ili iweze kuamka na baada ya kufanya kwa mda mrefu mnara ulisoma tena kwa mara nyingine na show ikaendelea. Mda mrefu ulipita bila ya Boke kuonekana kwenye mgahawa na Mama Boke alichukia balaa maana wateja walikuwa wengi siku hiyo na moja ya wateja waliofika pale alikuwa ni Baba D akiwa na kijana wake, Mama Boke baada ya kumuona Baba D alitamani kumrukia hasa baada ya kukumbuka alivyomtafuna pasipo ridhaa yake yeye pamoja na Boke. "Lete chakula hapa!" Baba D aliongea kwa sauti akimwambia Suzi. "Huyo usimpe chakula!" "Kwanini Dada?" "Wewe fata nilichokwambia haina haja ya kujua kwanini nimekukataza usimpe chakula!" "Nilijua tu lazima uweke malingo kwenye vyakula vyako ila fresh tu, tuondoke kijana wangu" Baba D aliondoka akiwa na kijana wake na kipindi wanatoka tu kwenye mgahawa kwa mbali walimuona Boke akija kwenye mgahawa na Baba D aliikumbuka siku ambayo Boke aliuka**lia mtambo wake wa mabao na kumfayia mambo adimu. "Simama hapa nakuja!" Aliongea na kumsogelea Boke alipokuwa. "Mambo mtoto mzuri!" "Kumbe ni wewe libaba!" "Usiniite hivyo bhana, ngoja nikuoneshe kitu" Baba D aliongea na kuingiza mkono mfukoni na kutoa simu ya gharama tena mpya kabisa na kumuonesha Boke. "Unaona hii!?" Boke alibinua mdomo na kuangalia zake pembeni kama vile hajaona kitu. "Twende tukapigane mi**ti tena na tukimaliza tu nakupa hii simu inakuwa yako" "Mimi sio mjinga wa kudanganya bure bure" "Aya shika sasa kama huamini ila sharti hakuna kukimbia nayo tu" Boke aliitazama na kuamua kuichukua. "Unamaanisha?" "Ndiyo maana yake, mimi nataka uta**mu wako!" "Sawa, subiri nikaiweka kwanza alafu narudi sasa ivi nikakupe!" Baba D alimruhusu na Boke aliondoka nayo na kuelekea nayo kwenye mgahawa wao na mtu wa kwanza kumuona alikuwa Suzi. "Dada huyu hapa Boke!" Mama Boke aligeuka na kumtazama binti yake aliyekuwa na simu ya gharama kwenye mkono wake ila kabla hajaongea Boke alisogea na kumpatia simu. "Nishikie hii simu nakuja sasa ivi tu!" Alimpa na kutimua mbio. "Huyu mtoto vipi ivi unamuelewa kweli Boke?" "Hata mimi najiuliza kama wewe Dada!" Suzi alimjibu na mteja aliyekuwa amekaa pembeni yao alilopoka kwa nguvu. "Huyo tayari ameshaanza kuzijua du**du!" "Mmmh wewe kaka kuwa na aibu basi!" "Aibu ya nini huku ndiyo uhalisia huo, hapo katoka kulegezwa sema hamjamuangalia tu vizuri!" Mama Boke alitamani kumtetea binti yake ila angeanzia wapi kuzozana na mteja wake wa karibu kila siku?. Boke alimfata Baba D alipokuwa kasimama. "Twende ila usije kunitangaza kwa watu!" "Sawa haina shida" Walitaka kuondoka ila kijana wa Baba D akawazuia. "Na mimi je? kaka" "Wewe nenda home nitakupigia" "Dah" Kishingo upande alikubali na Baba D akaondoka na Boke. Walipelekana mpaka kwenye lod..ge ya karibu na Baba D alimsukumia Boke kita...ndani. "Mbona unaharaka hivyo?" "Lazima niwe na haraka, na uka..ka na wewe" Baba D alitoa ngu...o zake na kuzitupa chini na kumsogelea Boke aliyekuwa akimtazama tu jinsi anavyohangaika. "Sogea hapa!" Boke alisogea kama alivyoambiwa na kushikwa kichwa na kusogezwa ulipo mtali**mbooo!, ndani nje ulipita kwenye mdomo wake na kuzidi kum**sisimua Baba D akakishika kichwa chake huku akihisi ra**ha za ajabu na Boke baada ya kuona Baba D kapagawa alizidisha manjonjo na kumfanya Baba wa watu amfyatulie mdo...mon............ITAENDELEA.

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

ENDELEA.............. Akasogea na kumshika asikari vizuri na kumtazama, aligeuka na kumtazama Mama yake aliyebaki kutikisa kichwa tu akimzuia kuu...kalia na pasipo kumjibu Boke aligeuka nyuma na kukhalia mtambo wa mabao na Baba D aliutoa ulimi kwa ra**ha alizozisikia. "Mtoto unalaana wewe sio bure inamaana hukuelewa ishara yangu Boke au ni dharau tu!?" Mama Boke aliongea kwa hasira na alipotaka kuendelea tena kuongea alisikia mrija ukipenya kwa nyu...ma na kumgeukia kijana wa Baba D. "Wewe nawe cho**moa kadu**du kako huko!" "Sichomoi!" Aliendelea kukaza qiuno mpaka pale alipomwa***ga na kujitupa pembeni na Mama Boke aligeuka na kumkata jicho la dharau na aliona kama ka**mchafua na upande wa Boke mambo yalitaladadi baada ya Baba D kufyatua risasi na kumsogeza pembeni Boke. "Tuondoke kijana wangu!" Alikuwa wa kwanza kuondoka akifatiwa na kijana wake na Boke alifoka kwa hasira. "Njoo unifungulie huko na wewe!" Boke alisogea na kumfungulia mama yake na maswali kede yalianza kutua kwa Boke akiulizwa lini kayaanza hayo mambo. "Leo ndiyo nimeanza" "Unataka kunifanya mimi mtoto mwenzako?" "Kweli mama sikudanganyi hapa kwanza panauma ila najikaza tu!" Boke aliingia zake chumbani na Mama Boke alikaa kwenye kochi ila alikalia panga na kunyenyuka haraka, alijenga kisasi kizito na Baba D kwa alichokuja kukifanya kwenye nyumba yake. Mama Boke aliona itakuwa aibu kutangaza kwa watu kuwa walizagamuliwa kwa nguvu yeye na binti yake na Baba D na kijana wake, aliona bora siri wabaki nayo wao tu kuliko wengine kujua na kadili ya siku zilivyokuwa zikizidi kuyoyoma Boke alizidi kunogewa na kitu kinachoitwa map£nzi yaani ilikuwa haiwezi kupita wiki hajafanya labda awe mgonjwa tena alienda mbali na kuamua kuacha shule akiwa la saba tu na Mama Boke alijitahidi kufanya jitihada za kumrudisha shule ila kibinti kiligoma kabisa na kuchagua kufanya naye kazi kwenye mgahawa wake. "Kama umechagua maisha ya kuteseka kama mimi yako ni sawa ila ole wako uendekeze ujinga Boke siku hiyo utajuta mimi kuwa mama yako!" "Sawa nimekuelewa!" "Twende mgahawani huko!" Boke alibeba baadhi ya masufuri na kuanza kuelekea mgahawani na baada ya mda walifika na kumkuta Suzi akiwa tayari ameshafika akikanda unga kwa ajili ya kutengeneza chapati. Walisaidizana wote watatu na kuanza kupika na mida ya saa mbili ilipofika wateja walianza kufika kwenye mgahawa. "Mama Boke naomba chapati mbili na chai moja!" "Sawa kaka, Boke mpe kamhudumie huyo!" Boke alisogea na kumtengea na wakati anainama vi..chuchu vyake vilionekana vikining'inia na jamaa aliweza kuviona na kukausha tu kama hajaona kitu. Alianza zake kupata kifungua kinywa huku macho yake yote yakiwa kwa Boke aliyekuwa bize kuhudumia wateja wengine na kumuita tena. "Wewe binti njoo hapa!" Suzi alisogea akijua ni yeye anayeitwa. "Sio wewe hako kadogo kadogo" "Aaah kumbe Boke, wewe Boke njoo umsikilize mteja huku!" Boke alisogea kwa mteja alipo. "Abee!" "Mwambie Mama yako akufungie chapati zingine 10 pamoja na chai twende wote kwangu kuna mafundi wanajenga na pesa nitakulipa utakuja nayo huku" Kwakuwa ilikuwa ni kawaida Boke alikubali na kuongozana naye, walikatiza chochote kwa mda mrefu pasipo kufika na mwisho Boke aliongea. "Hatufiki tu!?" "Tumekaribia kufika ni hapo tu mbele!" Waliendelea kutembea na baada ya mda walifika kwenye nyumba moja na jamaa alisogea mlangoni kwa ajili ya kufungua lakini Boke alishangaa kutokuona fundi hata mmoja. "Mbona hamna fundi hapa?" "Watakuja mda sio mrefu ngoja nikuchukulie pesa yako!" Aliingia ndani na kumwambia aviingize ndani na Boke aliingia ndani kama alivyoambiwa. "Niweke wapi!?" "Weka hapo chini" Boke aliweka chini kama alivyoambiwa ila alishangaa aki**shikwa khiuno kwa nyuma. "Wewe mbaba vipi? mambo gani ya kushikana maka**lio haya" "Nionjeshe hata mara moja basi mtoto mzuri" "Nini?" "Pe**nzi!" "Sogea huko mida ya kazi hii!" Boke alimsukuma pembeni na kutoka zake nje, hakuwa na mudi na mizagamuo kwa mda huo. "Duh, nafeli wapi na mimi na ukubwa wangu wote huu nashindwa kweli kukashawishi haka katoto aaaah!" Alilalama mwenyewe na kutoa kichwa chake nje. "Njoo basi tuongelee ndani!" "Sitaki, nipe pesa niondoke haraka!" "Duh!" Ilibidi achukue pesa na kumlipa Boke alibeba vyombo vyake na kuondoka akimuacha na upwi**ru wake. Boke alifika mpaka kwenye mgahawa na kuweka vyombo chini. "Mbona umechelewa hivyo?" "Lile libaba lilitaka michezo!" "Lipi?" "Nililotoka nalo hapa" "Mmmmh wateja wengine bhana wanatabia mbaya kama nini, utakuwa unapeleka wewe Suzi na sio Boke" "Mmmh dada kwahiyo unataka mimi ndiyo wawe wananisumbua?" "Sio hivyo kidogo wewe mkubwa unaweza kupambana nao" "Mmmh basi sawa" Suzi alikubali kishingo upande na wakiwa kwenye maongezi kuna gari nyeusi ilifika na kupaki pembeni kabisa na mgahawa na hawakuwa na mda nayo zaidi ya kuendelea na story zao za hapa na pale. Ndani ya gari aliteremka mzee mmoja aliyetawaliwa na mvi kwenye kichwa chake na kusogea mpaka kwenye mgahawa wao na Boke alisogea na kumkaribisha. "Mnachakula gani?" Boke alitaja vyakula walivyonavyo na mzee aliagiza chakula anachotaka kula na baada ya hapo akakaa kwenye kiti na Boke akamtengea........ITAENDELEA.

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

"Loveness Yuko wapi ?" Mr zamba aliuliza kwa kufoka " Yupo chumbani lakini hutakiwi kumfokea uncle " " Wewe ni nani wa kutupangia, yeye ni binti yetu akikosea ni lazima kuadhibiwa " alisema bi Adeline " Loveness...loveness " aliita Mr zamba kwa kupayuka loveness alitoka akiwa anatetemeka sana " Uliondoka hapa Tanzania kwenda kufanya upuuzi huko ,tunataka utuambie hiyo mimba ni ya nani ?" Alifoka Mr zamba " Daddy ,mom naombeni mnisamehe haki ya mungu tena sikupanga iwe hivi " " Huwezi kutuletea aibu kwenye familia yetu na hiyo mimba utaenda kutoa ,mke wangu mchukue" Mr zamba alitoa amri Bi Adeline alitaka kumshika loveness Elian alienda kumzuia Na muda huo Winnie alikuwa amefika mlangoni alitaka kufungua mlango ila maneno aliyoyasikia kutoka kwa Elian yalimkata maini alikosa nguvu hata za kusimama vizuri.. " Loveness hatoenda kokote kwasababu mimi ndo baba wa mtoto " Elian alisema hivyo kumtetea loveness na mtoto wake aliyeko tumboni lakini hakujua kama Winnie amesikia kila kitu " Ndomana sihitajiki hapa tena " Winnie aliondoka huku machozi yakimtoka hakutaka kwenda nyumbani kwao alienda moja kwa moja kuonana na Sonia pamoja na Tracy aliwaelezea kila kitu " Yule Elian kumbe na yeye ndo wale wale hatuwezi kukubali twendeni ni lazima alipie " alisema Sonia " Ndiyo haiwezekani akufanyie hivi bila aibu yoyote kwa Richard ulituzuia tusifanye fujo lakini huyu hatumuachi " Tracy alisimama " Hapana sitaki tena kujihusisha nae nataka tu kuwa na watu wa kunipa furaha ,upendo ili niweze kumsahau kwenda kumfanyia fujo hakutosaidia chochote "alisema Winnie " Ni kweli rafiki yangu " Sonia alimkumbatia Winnie na Tracy nae akawakumbatia kwa juu Ilipita week nzima bila Elian kumtafuta Winnie " Elian kwani kulikuwa Kuna ulazima gani wa kusema kuwa wewe ni baba wa mtoto ona Sasa kinachotokea wazazi wanaanza kulazimisha ndoa tena " alilalamika loveness " At least tumemuokoa mtoto kwanza na nimeagiza watu wakamtafute Collins usiwe na wasiwasi na kuhusu ndoa nimeshawaambia hatuwezi kufunga ndoa mpaka utakapojufungua na wakati huo Nina uhakika tutakuwa tumempata Collins " " Asante sana Elian , na vipi kuhusu mpenzi wako Winnie unampango gani ?" Aliuliza loveness " Oh mungu wangu nilikuwa naenda kusahau ngoja niende nikaongee nae " Elian alienda Moja Kwa moja winners primary school akiwa kwenye gari alimuona Winnie aliongea na kucheka na Dominic walionekana kuwa karibu sana "Kwanini wapo karibu hivi na alisema sio wapenzi " Elian alikasirika sana alishuka kwenye gari alienda kuushika mkono wa Winnie akamvuta mpaka kwenye gari Dominic alibaki kushangaa tu " Una nini wewe unaniumiza bhana " Winnie alilalamika " Ulisema ni rafiki yako tu kwanini mpo karibu sana namna hio?" aliuliza Elian kwa ukali " Sidhani kama una haki ya kuniuliza Hilo swali Mr Elian " Winnie alitaka kushuka kwenye gari Elian akamzuia " Unamaanisha nini mbona sikuelewi ?" " Usicho kielewa ni kipi hapo ,namaanisha mimi na Dominic ni wapenzi " Winnie aliongea vile ili kumuumiza tu Elian ila hakuna kweli kuhusu Hilo Elian aliuachia mkono wa Winnie alihisi kuumia sana ila alijikaza akatabasamu " Hongera hatimae umempata mwanaume unayempenda na uliyeendana nae well done " Winnie hakutaka kuendelea kukaa pale alishuka kwenye gari akaondoka Winnie aliamua kurudi nyumbani ,akiwa nyumbani alikuwa na mawazo sana yaliyopelekea mpaka kuzimia aliwahiswa hospital " Doctor binti yetu anasumbuliwa na nini ?" Aliuliza bi Regina " Mmmh binti yenu ni mzima Hana ugonjwa wowote ila anatakiwa kupunguza stress haziwezi kuwa nzuri kwa mtoto wake aliyekuwepo tumboni " alisema dactari mzee Patrick ,bi Regina na bi flora walibaki kushangaa Winnie aliruhusiwa kurudi nyumbani " Winnie binti yangu unaweza kutuambia baba wa mtoto wako ni nani ?" Aliuliza bi Regina kwa upole " Winnie aliweka mkono wake mmoja juu ya tumbo lake akaanza kulia " Winnie acha kulia ,kulia hakusaidii kitu " alisema bi flora " Naombeni mnisamehe ila siwezi kumtaja baba wa mtoto huyu ni mtoto wangu peke yangu " aliongea Winnie huku anafuta machozi " Utakapokuwa tayari kutuambia tupo hapa kukusikiliza " bi Regina alikuwa mpole sana siku hiyo Winnie hakutaka kuficha aliwaambia Sonia na Tracy kuwa yeye ni mjamzito " Sasa utafanya nini Winnie ?" " Nitamleta huyu mtoto mwenyewe sishindwi kufanya hivyo " alijibu Winnie huku anatabasamu na mkono wake aliiweka juu ya tumbo lake Ulipita mwezi mzima bila Winnie na Elian kukutana ila kila mmoja alimkumbuka mwenzie mimba ya Winnie ilifikisha miezi mitatu na kwa upande wa loveness mimba yake ilifikisha miezi minne " Tumbo likianza kuonekana sijui itakuwaje ?" Winnie alijiuliza mwenyewe akiwa anatembea pembezini mwa barabara bila kutarajia Kuna gari nyeusi ilipaki pembeni yake na dakika moja tu ilitosha kwa watekaji kumpandisha kwenye gari na kuondoka nae " Mnanipeleka wapi ?" Winnie alipiga kelele watekaji waliamua kumzimisha Winnie alikuja kuamka akiwa ndani ya jengo moja lililochoka sana na alikuwa amefungwa kamba aliangaza huku na huku aliwaona wanaume wawili waliovalia vinyago vyao usoni wakikagua pochi yake " Si nilikwambia zero lazima ni yeye hatukukosea hata kidogo na kikubwa zaidi umeona hii kadi ni mjamzito " aliongea vuvuzela huku anachekelea " Ndomana nakuaminia vuvu Yani huwa hukosei hata kidogo na Mr Elian ni lazima atatoa kiasi chochote tutakachomtajia " alisema jambazi mmoja aliyeitwa zero " Nyie ni kina nani?" Aliuliza Winnie , vuvuzela na zero waligeuka kumuangalia " Umeshaamka mrembo wa Mr Elian CEO tajiri katika umri mdogo " aliongea zero huku anacheka kicheko Cha kumfanya mtu atetemeke kwa uoga ila Winnie alijikaza " Mtakuwa mmekosea na kumteka mtu tofauti mimi Sina uhusiano wowote na huyo mtu wala simfahamu " Winnie alimua kumkana Elian " Hahaha usitufanye sisi ni watoto wadogo fungua simu yako na tutahakikisha sisi wenyewe " vuvuzela alimkabidhi Winnie simu baada ya kumfungua kama za mikononi " Siwezi kufungua simu yangu na kwanini nifanye vile mnavyotaka nyie ?acheni kupoteza muda kwangu hamtopata chochote " Winnie aligoma kufungua simu yake " Kweli wewe ni mrembo na jasiri sana ndomana Mr Elian alikupenda kirahisi ,tunaweza kukuumiza wewe pamoja na mtoto wako kama hautatoa ushirikiano " alisema zero Winnie alianza kuogopa alishika tumbo lake " Tafadhali nawaomba msije mkajaribu kumuumiza mtoto wangu " Winnie aliongea huku analia " Kama hutaki iwe hivyo basi Fanya kila kitu tunachokwambia ,fungua simu yako na umpigie mr Elian " alisema zero Winnie alifanya kama alivyoelekezwaA Offer offer offer Soma yote kwa sh 600 Whatsp 0784468229

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

Baada ya mazungumzo marefu na changamoto kadhaa, Salma alikuwa ameanza kuruhusu moyo wake kuupokea upendo wa Fariss kwa uzito zaidi. " Fariss naomba usiniache kwajili ya matendo yangu unajua kwenye maisha yangu sijawahi kukaa kwenye usiano kwa muda mrefu kama hivi. Nakupenda sana Fariss na kama nilivyokwambia juwa nitaacha mambo yote na kufuata kile unachotaka. Fariss alilidhika kiganja cha Salma na kukipeleka karibu na mkono wake na kumbusu. " Nakupenda sana Salma na kama itaamua kubadilika basi una nafasi kubwa kwenye maisha yangu . Waliendelea kuongea mambo mengi kuhusu maisha yao na kupeana ahadi nyingi. Siku za mwanzo Salma aliamua kujikaza na kukaa nyumbani kwao hakuwa akitembea ovyo yani kutoka nje bila sababu maalumu na hata kilipokuwa na sherehe mtaani alijitahidi kujizuia. Mashoga zake walimpitia lakini hakwenda japo walimwambia kuwa anaringa sababu Kapata mwanaume mwenye pesa. " Salma siku hizi una ringa sana tangia umepata huyo mwanaume wako anayekuja na Kigari chake hapa basi atukohiwi . " Hayo ni yenu jamani ongezeni niwezavyo lakini msimamo wangu ni kuwa siendi. " Kumbuka na wewe ni mtoto wa hapa mtaa wa saba umekua hapa litakuja jambo lako sijui utasimama na nani. Salma alipuuza lawama za wenzie alijifungua ndani. Farris alikuwa akimtoa mara kwa mara walienda kutembea kwenye sehemu maarufu hususani mahoteli makubwa pia alimkutanisha na watu wake wa karibu na kumtambulisha kama mpenzi wake. Hata Meyael alipomuona jinsi Salma alivyokuwa kabadilika anawaza vizuri aliamini kuwa Fariss ana haki ya kumganda kuanzia siku hiyo Meyael hakuingilia penzi lao wala kuongea neno kuhusu Salma. Siku moja mama Salma alitoka kwenye mizunguko yake akiwa kashikilia nguo mkononi. Aliingia chumbani kwa Salma na kumrushia. " Kijora hicho cha sale. " Sale ya nani? " Zuwena. " Lakini unajua siku hizi huwa sipendi kwenye hizo sherehe. " Wewe mtoto usiache mbacgao kwa msala upitapo huyo mwanaume wako asikutoe kwenye asili yako . Kwanza anakupangiaje maisha wakati hata hajakuwa na hao watu wasomi huwa hawana maana hata kidogo mwisho wa siku inaachwa hapo anachukua mwanamke wa kuendana nae. Kwani mwanangu hata television huwa huangalii wewe watu wanavyohitaji ? Mtoto wa uswahilini anadanganywa kumbe mwanaume ana mwanamke wake ulaya. Maneno ya mama yake ni kama yalimkatisha tamaa Salma akaona kile alichokiongea mama yake ni kitu sahihi. Alichukua kijora na kukuangalia kama limepanuliwa mpasuko itakayomuwezesha kupiga mwamba wakati wa kucheza. " Sherehe ni lini vile? " Kesho jioni ndio mambo yanaanza. " Sawa nitaenda. " Hayo ndio maneno sasa. Kesho yake jioni Salma alikuwa akijiandaa kutoka kwenda kwenye sherehe. Alisimama mbele ya kioo, akipaka poda laini kwenye mashavu yake huku akijipamba kwa ustadi. Alivaa kijora chake cha sare kile cha mtoko chenye rangi ya zambarau chenye mauwa makubwa makubwa meupe. Akijiwekea vizuri tayari kwa kutoka . Lakini kabla hajatoka, alisikia sauti ya mwanaume ikisikika kutoka sebuleni. Akisikiliza kwa makini akagundua ni sauti ya Fariss Aliikumbuka sauti alikuwa akizungumza na mama yake . Moyo wake ulishituka Kwa haraka alivua kijora alichovaa na kutupia kando na kujifunga kitenge, kisha akaruka juu ya kitanda kana kwamba alikuwa amepumzika muda . Alijilaza akijaribu kudhibiti pumzi zake zilizokuwa zikitoka kwa kasi. Baada ya dakika kadhaa, mlango wa chumba chake ulifunguliwa polepole. Fariss aliingia. Alisimama mlangoni na kumtazama kwa mshangao. "Salma... unalala muda huu? Salma alijifanya anaingilia maumivu. "Salma upo sawa kweli? Aliuliza Fariss kama ana hofu. "Ah... nimesikia kichwa kinauma ghafla. Nikalala tu." " Unajihisi homa? Fariss alitembea hadi pembeni ya kitanda. Akamuangalia huku akimpima joto kwa kiganja chake. " Mwili wako hauna joto sana. " Sina homa ni kichwa tu. Fariss alimuangalia vizuri usoni kisha akauliza. "Salma, hivi kweli kichwa kinauma au ulikuwa unaenda sehemu? Salma alishituka akakaa na kumuangalia. " Nitoke niende wapi bila kuaga na nimekwambia naumwa kwani huamini? " Mtu mwenye maumivu ya mwili huwa hawi hivyo. " Vipi? " Umejiremba usoni kwako kama vile ulikuwa unataka kutoka . Salma hakuwa na cha kujitetea alinyamaza kimnya. Fariss akachukua mkono wake na kuushika . "Angalia, Nakupenda kwa sababu naona juhudi zako. Ila kama kuna jambo unataka kusema, ni bora useme sasa kuliko kufanya kwa siri." Salma alimuangalia Fariss kwa macho yaliyojaa woga na upendo. "Sio rahisi kuacha kila kitu mara moja. lakini nipo kwenye njia hiyo. Siendi , najizuia lakini naona kama ni ngumu sana kwa kuacha haraka haraka . Farris naomba unipe muda kidogo. Fariss alitabasamu. "Najua, na hilo ndilo linalonifanya nikuone wa thamani. Nitakusaidia kushinda hicho kipindi. Lakini tafadhali, kuwa muwazi na mimi." Unataka kwenda kwenye shuhuri? Salma aliitikia kwa kichwa. " Sawa vaa nguo twende. " Na wewe unaenda? Salma aliuliza kwa mshangao. " Kwaajili yako nitakwenda. Ila sio siku zote. Salma alimtazama kwa macho yaliyokuwa na machozi kidogo. "Umenifanya nijione kuwa bora, Fariss." " Wewe ni bora kwangu. Walikumbatiana kwa upole. Baada ya hapo Salma alivaa kijora chake na kuweka nywele zake vizuri. " Tayari. " Umependeza sana. "Asante . Salma aliangalia chini kwa aibu Baada ya hapo walitoka pamoja wakaelekea kwenye shuhuri huku Salma akiwa haamini kama Fariss ameamua kumsindikiza nae aliniambia anatarajiwa kucheza kwa tahadhari maana mwenye mali yupo analinda mali yake. Full 1000 Whatsp 0784468229

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

KWETU MOROGORO GROUP FUN Abigael alijikuta anamkumbatia Mr Qassano "Hata sijui nitumie kauli gani ,ubarikiwe sana " " Usijali Abby, muda wowote unakaribishwa " Sasa lile kumbatio la Abigael, Qassano mwili ulisisimkaa , akamtoa haraka hakutaka habari zingine "Tuwahi nyumbani eeh" Akauwa mada kwa staili hiyo , akawasha gari kwanza akapita super market alinunua kila aina ya mahitaji ya nyumbani ya chakula, alipo toka hapo akampitisha duka la vipodozi akamchukulia lotion na mafuta mazuri pafyum ya kipoaji Mizigo kibaoo ... Wamefika nyumbani Recho ndio alikuwa wa kwanza kuanza kushusha mizingo, mama recho akawa bize kupika siku enyewe wakamuita Vicky pembeni wakamwambia usipike leo tutakula wote mchana , hali ya kuwa walimwambia wanampa sehemu ya kuishi tu kula ajitegemee peke yake Akasema haina shida..... ******* Masha na Boazi ilikuwa mechi mechii mpaka mchana wapo hoi wotee , Masha alikuwa ashajisahau anampa sifa zote Boazi kuwa anaweza kumpelekesha kweli kweli .. Masha akamwambia Boazi awe anakuja kumpa hizo raha akajisahau . Simu ya masha ndio iliwashtua kutoka kwenye huba lao, Masha akajitoa kifuani kwa Boazi Taratibu akasogea ilipo simu yake aliekuwa anapiga namba imehifadhiwa Nesi Akapokea "enhee nipe habari " "Aaah mtu wako amegoma kabisa yaani nimetumia njia zote lakini amekataa kabisa kukubali Operation " Masha hakujibu kitu aliinuka akatoka nje ya chumba , hakutaka anayoongea boazi ajue Alishuka ngazi akaingia chumba kingine akafunga na mlango kwa ndani "We Neema wewe ,kwahiyo umeshindwa kabisa??" "Nimetumia njia zote jamani lakini aaah nimeshindwa " "Hakikisha mwezi ujao haupiti unajua amekaribia kujifungua yule si unajua lakini nimekupa pesa nyingi sanaaa Neema lakini Unazingua, pale amekataa tu ungemchoma hiyo sindano aisee sijui unafel wapiii aah" "Nipe hii nafasi ya mwisho mie sikutaka tufike huko lakini wewe ndio ametaka basi wacha afie huko tumboni ,,Nitampatia Sindano ya chanjo na mtoto atakufa tumboni baada ya siku 8 tu. Kwahiyo hatojifungua kikiwa hai" "Hayo unayoongea natamani hata ungekuwa leo ndio umefanya , yaan sasa hivi ndio ungekuwa unanipa taarifa hilo toto limekufa humo ningekuona wa maana sanaaa wewe bado miezi miwili tu azae aah " Masha alikata simu kwa hasira, akaifuta ile namba akatoka nje kurudi kwa Boazi hasira zake akaenda kuzimaliza kwa Boazi kitandani .... Masha alikuwa anafatilia hatua za Vicky anajua anapo ishi clinic anayotumia na ndio akaenda kutoa pesa nyingi kwa kwa nesi ili amuandikie Vicky operation lengo lake likiwa Mtoto atakapo zaliwa tu basi auawe kabla hata Vicky hajamuona mwanae wala asijue amejifungua mtoto wa aina gani hilo ndio lilikuwa lengo la Masha Mashambulizi yake yamegonga ukuta Vicky ameponea chupu chupu kwa kusaidiwa na Alberto bila kujua ... Siku hiyo Alberto alishinda nyumbani kwa kina Vicky walikula na hakufanya kazi yeyotee , mpaka jioni kabisa ndio kaondoka kwenda kwa Rahul .. "Rahul ,una uhakika kuwa masha ndie yule mwanamkee???" Mr Alberto alimuliza Rahul mana haelewi elewi mambo "Ulinambia anakoti la brown muhumu saa yako ya Philippines vyote alikuwa navyo yeye ,kwanini umeniuliza ??" Mr Alberto hakujibu swali la Rahul lakini kichwani alikumbukaa Wakati anamuingilia Masha ,alikutana na kitu cha tofauti kabisaa na kile cha mara ya kwanzaa Akakumbuka bint alikuwa hajawahi kuingiliwa na mwanaume palikuwa padogoo sasa jana mbona amezama mzimaa mzimaa na anaonekana mzoefu Hata alivyomkumbatia hakuwa yule wa siku ile ahisi kumjua kabisaa Masha ,aliona ndio mara ya kwanza kabisa kukutana nae Akamwambia Rahul "nitafutie nyumba nataka kuishi mbali na Masha kwanza kuna vitu niweke sawa........" Aliamua kukaa mbali na Masha huku kichwani akiwa na mawazo mengine kabisaaaa ..... "Usinambie unataka kumuweka karibu Abby" "Natamani iwe hivyo mana nahisi kuwa na amani nikiwa nae kuliko Masha ,lakini sintafanya hivyo nataka tu kuwa huru na Masha" ,"nikuombe kitu, unajua tangu umeanza kumuongelea Abby, umefanya nimkumbuke sana Vicky ,nilimuona mara chache lakin nilimuelewa sana, kwakua wewe masha anakuelew sana Embu naomba unipelelezee huenda anajua hata ndugu yake mmoja na Vicky " "Unataka kuoaa kakaaa, hahah" Alberto alikubali ombi la Rahul akamwambia atamsaidia huku anamtania ..... Masha bado ananiandama Vicky kumbeee😥😥 Mr Alberto nae anamuhama Masha 🙄🙄🙄Kuna kitu amegundua kuhusu masha aauuuu??? Rahul nae anataka kuanza kufatilia habari za Vicky ,🤗🤗🤗🤗🤗 Ndo kwanzaaaa kuna kuchaaaa, Mwisho season one tukutane season two ..... Byeee. KWETU morogoro

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

Nililia pale chini akaniaga nakuondoka kwa maringo, nilimchukia Selim kuliko kawaida yani nikheri angeniacha kipindi kile kuliko kuja kuniacha saizi . Nilikaa pale nje kwa mda mrefu mpaka Jabir alivyorudi maana wakati ananifikisha nyumbani aliingia ndani na kutoka , alisimamisha gari na kuja kuniuliza shida nini mbona niko nje tena nalia . Sikumjibu nikampa talaka niliyokuwa nimeishika mkononi ,aliiangalia kawa kama hajaelewa na kuniuliza maswali lakin bado nilikaa kimya . Alivyoona siongei akainuka na kuingia ndani nikawa nasikia akigomba kwa ukali , hakuchukua mda akarudi nje na kutaka kunichukua ili aniriudishe ndani niligoma na kuinuka nikawa naondoka ila akanizuia sikutaka kumsikiliza nikawa nimeondoka kwa hasira . Nilirudi nyumbani na kumkuta baba akisoma gazeti alivyoniona akainuka haraka na kuja kuniuliza nini shida maana nilifika na kukaa kama mzigo kwanza hata nguo sikubeba niliziacha pale pale nje. Basi baba aliuliza shida nini nae nikampa talaka ,alisoma zote na kuuliza na kuniuliza "umefanya nini mpaka Selim akachukua hatua hii" nilimuangalia na kujibu. "Sijafanya kitu ila amemchagua mwanao badala yangu" "Unamaana gani kusema hivyo" "Baba Selim kaniacha kwasababu ya Nasra ametembea na dada yangu nabado akaniadhibu kwakubiacha " baba aliinuka haraka bila hata kuongea kitu akatoka nje na kupishana na mama mlangoni na kumuacha akishangaa. Baba alienda kwa Selim akafika na kurusha zile talaka na kuuliza "Hiki ni kitu gani kwann umefanya hivi?" "Mzee nimefanya hivi kwasababu hiyo ndio njia sahihi na salama kwangu na wanangu" "Nenda kwenye point nikitu gani amefanya hadi kumuacha ghafla namna hii tena kwa talaka tatu" "Nimemuacha kwasababu hana sifa zakuwa mke wangu na sio mimi tu bali kwa manaume yoyote yule hafai kuwa nae kama mke " "Selimmm unathubutuje kuongea kauli kali namna hiyo ?" " Mzee huu ndio ukweli lakin simshangai au kumalaumu maana nimtaka mwenyewe ,so kwasababu nimeshindwa sina budi kumuacha dunia imfunze maana hata kwa wazazi alishashindikana ." Baba alichukizwa na kauliza Selim akajikuta akimpiga kibao cha nguvu na kumpa onyo juu ya kauli zake ,sasa wakati yanaendelea hayo yote Nasra alikuwa chumbani na mama mkwe wakijipongeza kwa ushindi walioupata mara wakasikia kelele za mabishano baina ya baba na Selim ikabidi maka mkwe atoke Nasra akabaki ndani. alitoka tu na kukuta kofi likitua kwenye shavu la kijana wake kitu ambacho kilimkwaza na kuanza kuongea kwa hasira, sasa katika maneno yake akasema kuwa mimi ni malaya nilikuwa silali nyumbani , baba hakuelewa wala kuamini akaondoka nakurudi nyumbani ikabidi sasa kaka zangu wakenda tena kwa Selim mda wote huo Nasra kajificha chumbani maana alijua akitoka itakuwa vita haswa . Basi kaka zangu walienda mpaka kwa Selim na kutaka kuongea kwa utulivu , haikuwa rahisi Selim kukubali ila mwisho alikubali na kukaa kuongea na ndipo aliposema sababu iliyomfanya achukue maamzi ya kuniacha . Sababu yenyewe ilikuwa kuwa nimemsaliti kwakutoka nje ya ndoa na ushahidi alikuwa nao ,kaka zangu baada ya kuona huo ushahidi hawakuongea wakaomba samahani na kurudi nyumbani. Nikiwa nimekaa chumbani alikuja kaka yangu wa kwanza na kuniweka kofi alooh naweza kusema toka nimezaliwa sikuwahi kupigwa kofi zito namna hii. yani kofi moja hadi nilitokwa na damu puani sasa mama akawaka kwann anipige si ndio akaongea kilichotokea mama akanigeukia na kuniweka kofi lingine aisee siku ile ilikuwa mbaya kuliko siku zote . Nikikataa na kujitetea kwamba sijawahi hata siku moja kumsaliti mume wangu ila hakuna alienielewa nikabaki kuonekana muongo na mzinzi, baba alichukua uamzi mzito na kunitimua kama mwizi tena akasema nisikanyage nyumbani tena . Nilitoka pale na kwenda kwa Amaira akanipokea vizur hapo ni usiku wa saa nne kutokana hali niliyokuwa nayo hakuweza kuniuliza maswali zaidi alinipa chumba nikalala . Kesho yake asubuhi nikiwa bado sijatoka kitandani nikasikia sauti ya Jabir kwa mbali ikabidi niamke na kutoka hadi seblen kweli alikuwa yeye pamoja na aunt Suna . Aunt alinifuata na kunikumbatia akanipa pole pale kisha akaniambia nimueleze ukweli bila kuficha nikamueleza kila kitu . Alikaa kimya kwa mda kisha akasema "Norah huu ni mchezo umechezwa naamini Selim hawezi kufanya vitu kama hivi alafu na kwann akutuhumu kutoka nje ya ndoa je kuna mtu yoyote uliewahi kuwa na mazoea nae sana labda akakukanya ila hukusikia?" "Aunt mimi sijawahi kutoka nje ya ndoa yangu hata siku moja na kuhusu kuwa na mazoea na watu wengine hamna sijawahi kabisa ila sijui kwann ameamua kunifanyia hivi , sawa tuseme aliona simfai tena si angeongeza mke wapili tu au hata angechikua mtu yoyote ila sio dada yangu, namchukia sana Selim wala sitokaa nikamsamehe" Aunt alinituliza na kuendelea kukataa kuwa Selim aliemlea katika mikono yake hawezi kufanya kitu kama kile , ukweli sikuelewa wala kutaka kusikia kwasababu niliamini kweli amefanya vile na kila nikikumbuka matendo yake napata kuamini kuwa ni kweli ametoka na Nasra. Jabir aliniahidi kupambana kadr ya uwezo wake kuturudisha pamoja tena , nilimwambia asijisumbue maana haiwezekani . Mawazo yakitawala akili yangu maumivu yakaufunika moyo wangu nikawa hata kula nakula kwa kulazimishwa nikweli nilikuwa nakosea kama binadamu ila pamoja na makosa yangu sikustahili lile ,upendo uligeuka chuki nilimchukia Selim kuliko kawaida simimi tu hata yeye alinichukua kiasi chakuzuia nisiwaone watoto. Nasra nae alikuwa proud Kwakile alichofanya na kwakuwa alitaka kupata antension ya Selim akajifanya anataka kuondoka akidai hawezi kuendelea kuwepo wakati mm sipo Selim akakataa na kumwambia akae . Ilipita wiki siku hiyo nikavaa vizuri na kumfuata Selim ofisin ,kwakuwa walikuwa wakinifahamu nikaruhusiwa kuingia moja kwa moja . Nilifika na kukaa kwenye kiti kisha nikasema ............. KWETU morogoro

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

kwenye shule ila alikuwa kichomi zaidi kuliko hapo mwanzo, kwa wiki shuleni alikuwa akikanyaga mara moja tu tena siku yenyewe ni siku ya ijumaa na siku zingine zote alishinda kwa Frank wakizagamu...ana, vi.chu...chu vilivyokuwa vimejificha vilianza kuchomoza vyenyewe na mtu aliyekuwa akivifaudu ni Frank tu, alivi...nyonya na kuvibiny jinsi alivyokuwa akitaka yeye kitu kilichokuwa kikizidi kumpaga...wisha zaidi Boke. Usiku wa siku hiyo Boke alikuwa akimsubiri Mama yake afunge mgahawa ili waweze kurudi wote nyumbani, baada ya Mama Boke kufunga mgahawa wake alisaizidana na binti yake kwa kubeba baadhi ya vitu na kuanza kuelekea wanapoishi na kumbe upande wa nyuma Baba D alionekana akiwafatilia pasipo wao kujua, haikujulikana alikuwa na lengo gani na wao mpaka awafatilie kwa nyuma. Boke na Mama yake walifika na kuingiza vitu ndani na kufunga mlango na haukupita mda Baba D alifika akiwa pamoja na kijana mmoja. "Fanya kama nilivyokwambia sawa" "Haina shida kaka!" "Poa poa" Walisogea mlangoni na kugonga mlango na mlango ukafunguliwa na Mama Boke. "Kumbe ni wewe" "Leo nimekuja kishari sitaki maneno" Baba D aliongea na kumsukumia ndani na kuingia yeye pamoja na kijana aliyekuwa naye. "Kimekuleta nini nyumbani kwangu?" Baba D hakujibu zaidi ya kuchomoa panga na kumnyooshea Mama Boke. "Panga tena!" "Tulia hivyo hivyo, oya fanya kama nilivyokwambia!" "Sawa kaka!" kijana alimsogelea Mama Boke na kuanza kumfunga na Boke alivyotoka chumbani alikuta mama yake akifungwa kamba na alivyotaka kurudi chumbani Baba D alimuwahi kwa kumzuia. "Tulia hapa hapa unataka kwenda wapi?" "Kumbe wewe ni jambazi?, jamani tumevamiwa" "Nyamaza lasivyo yakukata na panga" Boke hakutaka kuelewa zaidi ya kuendelea kupiga kelele na ndipo Baba D alipompiga na ubapa wa panga mpaka Boke mwenyewe akanyamaza pasipo kupenda. "Alaaaaaaa!, ukiendelea kupiga kelele nitakupiga zaidi ya hapa" "Kwani unataka nini Baba D?, wewe ndiyo wakunifanyia ivi mimi?" "Utajua mda sio mrefu kitu ninachokitaka" Baba D alijibu na mda huo Mama Boke alikuwa tayari ameshafungwa kamba kwenye mikono yake na Baba D alimwambia kijana wake amfunge na Boke kama alivyomfunga Mama yake. Baada ya kazi kukamilika Baba D alishusha surua....li yake na kuitoa mashi...ne yake iliyokuwa bado imesinzia, alitoa mafuta aliyokuja nayo na kuanza kujipata nayo kwenye maxhine na baada ya mda ukaanza kuwa wima. "Hapa sasa mambo frsh!" "Kumbe ndiyo lengo lako?" "Kwani kuna kingine cha kuja kuchukua kwako zaidi ya kukupiga mi**ti?, tulia nikate ukaka" Mama Boke alichukia kuona anaenda kuzaga....muliwa bila ridhaa yake na Baba D, alivuli...shwa na kuinami...shwa pale pale na Baba D akaza**mIsha mpini wake na kuanza kumzgamua pale pale. "Baba D wewe ni ny**ko kabisa unani..baka" "Tulia wewe" Baba D alimtu....liza na kuendeleza mcheza huku Boke akishuhudia na kijana aliyekuja na Baba D alijikuta naye akianza kumta....mani Boke na kumsogelea. "Na wewe geuka ivi niku**fanye" "Hivyo hainogi" Boke aliongea na kumfanya atumbue macho yake kwani hakutarajia kabisa kama Boke atakuwa anajua mambo ya miza**gamuo. "Unashangaa nini nifungue niku..oneshe mambo!" "Mimi sio mjinga, ebhu ina...ma huko!" Alimwinamisha Boke na kuitoa bako..ra yake ya kati na kuanza kumvua Boke. "Baba D mwambie mwenzako aache kuni...bakia mwanangu lasivyo nitamuuwa!" "Mimi ya huko hayanihusu!" Baba D alijibu huku akiendelea kumkaza Mama Boke aliyekuwa akitoa miguno yenye maumivu ndani yake, Boke alikuwa tayari amesha...vulishwa na kijana alishangaa kuona Boke sio bkra kama alivyokuwa akihisi yeye. Alivyojaribu ku...weka ilipita ilipita bila pingamizi na Boke akaanza kuzungu...sha mwenyw taratibu na kuongea. "Nifungulie basi mikono inauma!" "Aya!" Jamaa alikubali baada ya kunogewa na uta**mu wa jo...to wa Boke na huku Mama Boke alibaki katumbua macho yake akiwa haamini kama tayari mwanae anayajua!. Boke alifunguliwa kamba na badala afikirie namna ya kujisaidia yeye pamoja na mama yake yeye ndiyo kabisa aliamua kui**kalia na kuanza kuik@tikia taratibu huku akinyo..nga qiuno chake. "Ooooh hapo hapo!" Aliongea huku akikishika qiu..no cha Boke na Baba D aliona jinsi kijana wake alivyokuwa akitoa miguno, pale pale naye alilichomoa ru...ngu lake na kusogea alipokuwa kijana wake. "Nenda kwa yule huyu niachie mimi!" "Lakini kaka ndiyo tunaanza?" "Huelewi!" "Dah, basi sawa" Kishingo upande alikubali kutoka na kwe..nda kwa Mama Boke na Baba D akakaa kwenye kochi. "Njoo unikhalie mtoto mzuri!" Boke alimtazama kwanza kisha aka........ITAENDELEA

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

msi..smko wa ajabu na kumku**mbatia tabibu wake aliyekuwa hata hajui jina lake naye baada ya kuona kakumba***tiwa aliukandamiza mwichi wote ukaingia kwenye kinu. "Ohoooooooo achaaaaaaa!" Kibinti kilipiga ke...lele na kubaki kujigeuza tu kitandani. "Pole!" "Aaaaaaaah!" "Inaumaaa sana!?" Boke hakujibu zaidi ya kumtazama macho yakiwa legee tena aliki**shka ki..uno chake na kukivuta ili auendeleze mchezo. Wakati Boke akiingizwa kwenye ulimwengu wa hu**ba shuleni mambo yalikuwa sio mambo baada ya yeye kumkimbia mwalimu, taarifa zilifikishwa kwa mkuu wa shule na haraka barua iliandikwa ya kwenda kwa mzazi wa Boke na mwanafunzi mmoja alipewa na kuipeleka. Alifika kwao Boke ila hakukuwa na mtu hivyo aliamua kwenda mpaka kwenye mgahawa wa Mama Boke na kumkuta akiwa bize kuwahudumia wateja wake. "Mama shikamoo!" "Marahaba mtoto mzuri, mda wa shule huu hapa unafanyeje?" "Nimetumwa kuleta barua na mwalimu mkuu" Alisogea na kumpatia na Mama Boke akaanza kuisoma pale pale na baada ya mda alimaliza kusoma na kumtazama mwanafunzi aliyeileta barua. "Boke yupo wapi?" "Hatujui toka alivyokimbia shuleni mpaka sasa ivi hajaonekana tena" "Wewe rudi shuleni" "Aya mama!" Mwanafunzi aliondoka na Mama Boke alikaa kwenye kiti kilichokuwa pembeni yake na Suzi alimuuliza tatizo nini. "Boke ataniuwa na mawazo kuna majanga kafanya shuleni huko na kukimbia, hapa nimeambiwa kesho niende naye shuleni" "Kwani Boke yupo wapi?" "Wewe nawe swali gani unaniuliza kwani hujasikia nilivyokuwa naongea na mwanafunzi aliyeondoka hapa?" "Samahani dada!" Suzi alijishusha na Mama Boke aliondoka kwenda kwake kumuangalia kama atakuwa tayari karudi nyumbani. Huku Boke alikuwa bado kwenye ulimwengu wa huba na toka atolewe bi***kra hali ya kujiamini ilikuja na mpini ulitosha vizuri tu kwenye jembe lake, aliika....lia na kuanza kuika***tkia kama anataka kuivunja ivi mpaka mkunaji wazu***ng wakamtoka pale pale tena akifinyia kwa ndani. "Oooooh wewe mto***t kiboko!" "Mbona tena inala****la!?" "Nimefika tayari!" "Umefika wapi?" "Namaanisha kumw***aga" "Ko kumbe ukimw****aga inakuwa ndogo tena?" "Eeee ndivyo ilivyo" "Mmmmh mimi nikajua inasi**mama mda wote ila nilikuwa bado natka" "Duh, ila siumeanza kufa**nya leo wew mtoto hujachoka tu?" "Eeeee sijachoka!" Boke alikubali na alionesha kweli kutaka kuendelea na show, kijana naye hakutaka kuwa mzembe zaidi ya kumwi...namsha na kutaka kupitisha ulimi wake ila palepale alisikia mlango ukigongwa kwa nje. "Oya frank fungua!" "Dah so hili!" Aliongea na kushuka kitandani kwenda kuvaa nguo zake na kumwambia Boke naye avae nguo zake za shule haraka. Kishingo upande Boke alikubali kuvaa nguo na Frank akasogea mlangoni na kufungua. "Vipi mzee mbona unajifungia ndani tena!" "Aaaaah" "Wewe Frank hii jela ninayoiona mbele ya macho yangu au naota!" "Kausha babu!, mtoto mzuri nenda alafu nitakutafta siku nyingine sawa" Boke alimsogelea na kunyoosha mkono wake na kuongea. "Nipe hela!" "Hela tena?" "Wewe nipe hela" "Mmmmh hii hatari" Frank aliguna na kwenda kuchukua noti moja na kumpatia Boke. "Ongeza nyingine hii haitoshi!" "Nenda hiyo inakutosha bhana utaijia siku nyingine" "Taenda kusema umenibaka" "Basi mtoto mzuri nakupa" Alisogea anapohifadhia na kuchukua zingine mbili na kumpatia Boke na ndipo aliporidhika na kuondoka. "Aise unajitaftia matatizo yasikuwa na umhimu kabisa, unatembea na mwanafunzi?" "Upwiru ndugu yangu bila hivyo hata mimi nisingepita naye ila kilikuwa bado kibinchi kabisa, check kwenye shuka hapo" Mwenzake aliangalia na kuona damu. "Duh umekibr?" "Sasa je?" "Kuwa makini lakini maana ivi vitoto haviaminiki kabisa" "Nalijua hilo" Huko Boke aliamua kuelekea kwao baada ya kutoka kwenye miza....gamuo na ile anafika tu alikutana ana kwa ana na mama yake aliyekuwa akiufunga mlango. "Niambie vizuri kile ulichofanya shuleni lasivyo leo nakuuwa wewe mtoto" "Kaa hapo nikwambie vizuri mama kile kilichotokea" "Aya sema" Boke alitunga uongo wake mbele ya Mama yake mpaka mama mtu akaamua kuwa upande wa binti tena alimwamini baada ya kuambiwa kuwa mwalimu ndiye mwenye makosa na sio yeye kwani alimtongo...za asubuhi hiyo na baada ya Boke kumkatalia bifu likaibuka. "Mwalimu mshenzi sana yule tena twende shuleni sasa ivi haina haja ya kusubiri mpaka kesho" Alimshika mkono Boke na kuanza kuelekea naye shuleni na haikuchukua mda wakawa wamefika shuleni na Mama Boke akaanzisha malumbano kwa kumtu...si mwalimu aliyetaka kumpiga Boke na Mwalimu mkuu aliamua kusimama upande wa Mwalimu kwa kumtetea kitu kilichozidi kumtibua Mama Boke na kuomba uhamisho pale pale wa mwanae pasipo kujua kama kajazwa maneno ya uongo na Boke..........ITAENDELEA.

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

vidole vyake kunakooo!. "Makubwa wewe mtoto umepatwa na pepo eeeh?" Haraka Boke aliitoa mikono yake na kuyabana mapj yake. "Nimekuokoa mara mbili leo, kwanza ulikoswa koswa kufa...ny na Onesmo sio mda tena Baba D ilibaki kidogo tu aku...fanye lakini bado tu unafanya ujinga wa kuji*tia vidole" "Nataka na mimi mama" "Nini wewe?" "Nataka nifa...nywe kama wewe" "Hapa sina mtoto" Mama Boke aliongea na kwenda kukaa kitandani akimtazama mwanae, angeanzia wapi kumpiga huku yeye ndiyo chanzo na ukizingatia ndiye mtoto peke aliyenaye, Alilala na siku iliyofata asubuhi na mapema Boke alitaka kugoma kwa mara nyingine tena kwenda shule ila siku hiyo Mama Boke alikuwa mkali kama pilipili, kishingo upande kibinti kiliamka na kujiandaa na kubeba zake mfuko wa shule tena ukiwa na madaftari mawili tu na kuanza kuelekea shuleni. "Na ole wako usifike shule utanijua vizuri Boke" Boke hakujibu kitu zaidi ya kuendelea kutembea kuelekea shuleni. Njiani alikutana na wanafunzi wenzake na baadhi walimwongelesha ila Boke aliwatazama na kubinua mdomo na kuendelea zake kutembea mpaka walipofika shuleni, ndani ya darasa Boke alikuwa haelewi chochote kile zaidi ya macho yake kutazama nje tu watu waliokuwa wakipita na mawazo yake yalimpeleka mbali na kukumbuka show aliyoishuhudia jana usiku ya Mama yake na Baba D. "Boke!" Mwalimu aliita ila Boke hakumsikia. "Wewe Boke!" Bado alikuwa kimya tu na mawazo yake yalikuwa kwingine kabisa na mwisho mwalimu aliamua kumponda na chaki na ndipo aliposhituka na kumtazama mwalimu. "Njoo huku mbele haraka" Taratibu alinyenyuka na kusogea alipokuwa kasimama mwalimu. "Mimi nafundisha wewe unaangalia nje? aya niambie ulikuwa unaangalia nini huko nje?" "Watu!" "Watu wamefanyeje?" "Wanaopita" Mwalimu alimtazama na kumuuliza swali kwa kile alichokuwa akifundisha ila Boke hakujibu kitu zaidi ya kubaki ametumbua macho tu. "Wewe hapo nifatie fimbo ofisini" "Aya mwalimu" Mwanafunzi aliyetumwa alifata fimbo na baada ya mda aliileta na kumkabithi. "Tega mikono yako hapa!" "Sitaki!" "Tega mikono haraka" "Sitaki!" Boke aligoma kupigwa na mwalimu alipotaka kumsogelea alitimua mbio na kutokomea kabisa maeneo ya shuleni bila kujali kama kaacha begi lake. Ndiyo kwanza ilikuwa bado asubuhi ila tayari alikuwa ameshayakologa darasani, alifika sehemu na kulipokuwa na nyumba na kukaa upande wa nyuma akiwa na nguo za shule na baada ya mda alisikia mlango ukifunguliwa ila hakutaka kukimbia kabisa zaidi ya kuendelea kutulia tu. Mtu aliyefungua mlango alikuwa ni kijana wa miaka kama 25 ivi na alishangaa kumuona Boke akiwa kaa pembeni ya nyumba. "Na wewe mwanafunzi unafanyeje hapa?" "Nimekaa!" "Huu si mda wa shule au umetoroka shule?" "Hayakuhusu!" Alichukia kuona anajibiwa hovyo na Boke na kugeuka pembeni kuangalia kama kutakuwa na fimbo ili amtie Boke adabu. Aliiona na kuifata na kuichukua ila alivyotaka kumfata roho ya tamaa ilimwingia na kupata wazo pale pale, kwanza aliitupa fimbo na kumsogelea Boke. "Sasa mtoto mzuri huoni kama ukikaa hapa nje watu watakuona na kuniletea mimi matatizo, twende ndani ukute unaangalia tv mpaka pale mda utakapofika wa wenzako kutoka shule sawa!" Boke hakukataa zaidi ya kunyenyuka na kumfata na jamaa alifungua mlango haraka na kuingia naye ndani. Gheto lilikuwa na kila kitu ndani Boke pasipo hata kuambiwa alienda kuwasha mwenyewe tv yaani kama sio mara ya kwanza kuingia ndani ya chumba hicho na jamaa aliwaza! "Hichi kitoto mbona sikielewi ila fresh tu lengo ni kusafisha hakuna kingine" "Njoo ukae utulie kwenye kochi hapa" Alikisogelea na kukishika kwenye qiuno na kukibeba kwa juu. "Au kaaa hapa kitandani!" Boke alikuwa akimkata jicho tu jinsi alivyokuwa akihangaika mwenyewe. "Wewe kama unataka kufanya sema tu sio kunibeba beba" "Duh kumbe unajua basi fresh!" Alijibu na ku...vua shati lake na kulirusha pembeni na baada ya hapo akaanza kumvu....lisha na Boke na baada ya kumaliza akaziweka nguo zake za shule pembeni. "Nataka kusikia ra**ha nisiposikia nitalia kwa nguvu" "Aya mtto mzuri utasikia tu usijali" Aliipa***nua vizuri miqguu yake na kuanza kuuchomeka mpini wake. "Mmmmh!" Mpin ulikuwa mkubwa kuliko jembe lenyewe na alivyotazama aligundua Boke bado mbichi, alitabasamu baada ya kuona kapata kitu kipya na kuikamata vizuri bako**ra yake na kuiweka kwa mara nyingine tena kwa nguvu. "Mmmmmmmmh ash.....iiiiiiii weweweeeeee!" Boke alipiga kelele kwa ma**umivu makali lakini mpin wa jamaa uliokuwa umevimbiana kama msumari ulitoboa ngome kuu na kuzama nusu ndani.........ITAENDELEA.

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

na kumshika nyo**ka wa Baba D na kumcho..&mo..&a nje. "Usiwe na haraka Baba D leo yako hii!" "Una jo**to ta...mu mno!" "Alafu subiri kwanza" Mama Boke alimzuia Baba D. "Nini tena na wewe!?" "Nionyeshe pesa kwanza ndiyo tufa*nye nyie huwa hamueleweki" "Baadaye bhana!" Baba D aliendelea zake ku**mla de..nda na Mama Boke hakutaka kumruhusu kabisa aendelee. "Nimesema nioneshe kwanza pesa mbona unakuwa mgumu kuelewa?" "Aaaah ndiyo shida yako hii!" Baba D aliongea kwa hasira baada ya kukatishwa na kuingiza mkono wakw mfukoni na kutoa pesa na kumrushia. "Nadhani zinakutosha hizo, sogea hapa niendelea kuji**hudimi..a mimi" "Hapa sawa Baba D sio unile bure bure.... Kabla hata hajamaliza kuongea aligeuzwa kama samaki n kutupiwa kwenye kochiiii. "Taratibu Baba G utanivunjia kochi langu na wewe!" Baba D alimsogelea na akiwa tayari kamtoa nyo**ka wake nje na kuanza kuzitoa ngu0 zake zote kwa pupa mpaka ch***pi na kidole chake kikaanza kusugua kihalage cha bukoba cha juu cha M**ma Boke. "Oooooh Baba D jamaniiiii, una....jua jamaniiii ashiiiiiii!" Baada ya kuona Mama Boke anazidi kutoa milio kama ndege wa polini Baba D alizidi kukisu***gya kiharage kwa nguvu na kuzidi kumpagawisha Mama Boke. Huku chumbani Boke alikuwa kwenye usingizi mzito mida hiyo na alijisahau na kuilalia vibaya shingo yake pasipo yeye kujua na baada ya mda aligeukia upande mwingine ila alishangaa kusikia maumivu kwenye shingo yake yaliyomfanya amke pasipo kupenda na kukaa kitandani. Jicho lake lilitazama pembeni ya kitandani kuona kama atamuona Mama yake ila hakuwemo chumbani. "Mama yupo wapi!?" Boke aliwaza na kushuka kitandani lakini kabla hata hajausogelea mlango sebleni alisikia milio ya mtu kuchapwa, haraka alisogea mlango na kuufungua na kutoka nje kuelekea sebleni na ndipo aliposhangazwa kuona Baba D kamku**nja Mama yake kama samaki akiendelea kutoa sauti huku akizungysha qiuno chake. "Bokeeee mwanangu umeamka!?' Sauti mlegezo ilimtoka lakini Baba D hakutaka kusimamisha show yake, alizamisha na kutoa mbele ya Boke pasipo kuogopa. "Boke rudi chumbani mwanangu!, ohuuuuuuu!" "Geukia ivi!" Baba D aliongea huku akimgeuza vizuri na Boke hakutaka kwenda kama alivyoambiwa badala yake alikaa pembeni kwenye kochi na kuwatazama na nguvu ya uro***da iliwafanya wasiwe na time naye. Baada ya mda Baba D alifika juu kabisa ya mlima na kufyatua risasi zake juu ya ma**klio ya Mama Boke kitu kilichozidi kumshangaza Boke baada ya kuona kitu mfano wa maziwa kikitoka. "Imetosha Baba D rudi kwako" "Usiku huu mimi naenda wapi?" "Kwako" "Wewe siendi popote tunabanana hapa hapa Mama Boke, kwanza unachoogopa nini?" "Sitaki tu ulale hapa" "Tunabanana humu humu leo" Mama Boke alinyenyuka na kutoka nje na Baba D alibaki akimshika shika asi***kari wA**ke na ndipo alipokumbuka kuwa Boke yupo pembeni yao. "Kalale mtoto mzuri!" "Na mimi nataka nijaribu" "Wewe mtoto!" Baba D aliongea akilificha ru....ng lake ili Boke asiweze kuliona lakini Boke alinyenyuka alipokuwa kaka na kwenda kula....la kwenye kochi na kutanua mi**guu yake. "Hichi kitoto vipi!?" Wakati anajiuliza Kiboke kilianza kutoa kichujio chake na kukiweka pembeni na chululu ikabaki wazi kabisa. "Duuuh wewe mtoto mbona unaniingiza majaribuni!?" "Wewe tu jaribu ku**weka nione kama nitasikia ra**ha" Ugwa..du ukaanza kumpanda pale pale baada ya Boke kuongea na Baba D alijikuta akilishika go...bole lake na kumsogelea Boke na kuanza kwanza kulipiga piga kwa j***£uuu. "Mmmmmh!" Boke alitoa miguno na mda huo huo mlango ukafunguliwa na Mama Boke mwenyewe na kumkuta Baba D akijiandaa kumku.....na Boke. "Heeee unataka kute***mbea na binti yangu!?" Kanga ilimdo**ndoka na kukimbia walipokuwa na alipomfikia alimsukuma Baba D pembeni na kumnyenyua Boke. "Mama na wewe!" "Mama nini nitakuwasha vibao wewe mtoto?, twende huku" Alimshika mkono na kumsukumia chumbani na kuufunga mlango kwa nje na kumgeukia Baba D aliyekuwa akikuna kisogo chake kwa aibu. "Aya niambie haraka kabla sijaanz kukuwashia moto hapa sasa ivi tu, kwanini ulitaka kunimkuna mwanangu?" "Alitaka mwenyewe sio kosa langu" "Toka nje!" "Subiri nivae!" Baba D alitaka kuvaa ila Mama Boke hakutaka kumpa nafasi kabisa, alichukua nguo zake na kwenda kuzitupa nje kitu kilichomtia hasira Baba D na kumsogelea akitaka kumnasa vibao. "Jaribu kunipiga uone" "Subiri dawa yako ipo tu huwezi kunidhalilisha ivi" Aliongea na kutoka nje. "Nenda alaaaaa unaniletea umaly hapa yaani unitafune mimi pamoja na binti yangu?" Mama Boke aliufunga mlango kwa hasira na kuingia chumbani na kumkuta Boke kapa***nua miguu yake huku akii.....ITAENDELEA

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

Njooni niwasimulie hadithi yangu leo😂😂😂wangapi humu mliolewa na wachumba msiowafahamu? Yani mi my wenu ndoa yangu ilikuja kama kimbunga ghafla tu shwaaa jiandae unaolewa kibaya zaidi mtu anaenioa wala sikuwa namfahamu😂 Yani maisha ya kijijini jamani😂😂😂unalala singo kesho unaamka unaambiwa jiandae unaolewa😴 That time nimehitimu form four wakati nasubilia matokeo nilikuwa tu home kwa wazazi wangu sina jipya nipo nipo tu.. Siku moja nimetoka zangu mizungukoni nikakuta gari kali pale nje kwetu mmhhh sisi mbona hatuna ndugu tajiri mwenye gari hili gari ni lanani😂😂 nikakimbilia ndani kuchungulia kunani😩😩nimefika ndani nikakutana na ugeni mzito😳nikashangaaa hawa kina nani?? Kucheki vizuri nikamuona mama mchungaji wa kanisani kwetu na mama mwingine mzuri kweli.. Niliwasalimia kwa heshima na adabu kisha nikaingia chumbani ili nisikilize wanaongea nini😂mi nae kambea😂😂🙌sitaki kupitwa kwa bahati mbaya wakati nimefika ndo wageni walikuwa wanataka kuondoka nahisi walikuwa wanasubilia tu mimi nifike wanione.. Nimefika chumbani natega sikio nisikilize maongezi mara nikasikia mama ananiita Maya njoo mara moja mamangu.. Nikarudi tena sebleni walipo wageni😩😩 nikashangaa wazazi wangu wanasema binti yetu sisi ndo huyu hapa jina lake ndo hilo Maya... Mmhhh nikajiuliza mbona utambulisho kulikoni au nauzwaaa🥺🥺...mama kwani nimefanyaje😰nilihoji kwa kutia huruma mpaka watu wote pale wakacheka😂 Mama akaniambia usijali binti yangu tutaongeaa kwa sasa tuwatoe kwanza wageni then tutarudi kuongeaa.. Basi bwana tuliwatoa wageni mpaka nje lilipo gari lao yule mama mwingine rafiki wa mama mchungaji akawa ananiangalia kweli.. Tulipofika lilipo gari tukawaaga yule mama akamwambia baba nitasubiria majibu yenu jamani msiniangushe... Basi wageni waliondoka mimi hapo sielewi chochote natoa macho tu😂😂😂... Baada ya wageni kusepa wazazi wakaniweka kitak wakaniambia oh binti yetu kwa sasa umeshakua unajua binti kama wewe kabla hujaanza kuharibika ni vyema uolewe ili ukayaanze maisha yako mapya kwa mumeo na wakwe zako.. Kama unavyojua kuolewa hilo ni jambo la kheri na baraka na pia ni furaha sana kwetu wazazi kuona binti yetu umekua na unaenda kuyaanza maisha yako mapya.. Mmhhh niliposikia zile kauli mbona kama za kuagwa kuagwa jamani😰😰😰sikutia neno nikaendelea kusikiliza.. Baba na mama waliendelea kuongea mara ooh binti anapokua atapata mwenzi wake wataoana waende kuanzisha familia yao... Khaaaa🥺🥺🥺mbona siwaelewi mnaongea nini mbona siwaelewi🥹🥹.. Ikabidi wafunguke ooh huyo mama alokuja hapa alikuwa anatafuta binti kwa ajili ya kijana wake na amekupenda wewe hivo jiandae kwa ajili ya ndoa.. I was like what😧😧mama mbona mnafanya vitu kwa urahisi hivyo🥹🥹kwani mmesahau natakiwa kuendelea na masomo?? Akadakia baba hata usome mpaka wapi binti yetu ni lazima tu utaihitaji ndoa.. Mama naye akasema ndoa haimzuii mtu kusoma binti yangu unaweza ukaolewa na bado ukaenda shule... Lakini mama mshika mbili moja humponyoka🥹🥹alafu mama mimi bado ni mdogo kuingia kwenye ndoa kwanini mnarahisisha vitu?🥹🥹 Hebu kaa kimya maya🥺🥺kwa udogo gani ulionao??...baba yako kanioa nikiwa mdogo kuliko wewe na bado niko nae na tuna furaha haya wewe ndoa inakushindaje kwani unaibeba kichwani??. Wewe kaa ukijua mchumba ameshapatikana na ujiandae kwa ajili ya ndoa full stop... Weee nililiaaaa😂😂🙈 nilihisi kama wazee wanataka kuniuza fulani hivi... nilikimbilia chumbani huku michozi inanitoka ndi.. Nimefika chumbani ile nataka kubana mlango mara maza huyu hapa.... Akanitupia picha hapo kitandani akaniambia liaaa weeee ukitosheka ujiandae kwa ajili ya mwenzio picha yake hiyo hapo☹️☹️.. Weeee🙈🙈hebu nimuone kwanza huyo mwenzangu anafananaje isijekuwa kinyago cha mpapule🙈🙈 nilichungulia ile picha huku nikijipangusa machozi nyieeee kuna watu wanazaa bwana🙈🙈 Likijana la watu kama limechorwa vile uuuwwwww hayo macho yake sasa kama ananiita vile🙈🙈 Wakati nalia na picha chumbani mara kwa mbali nikasikia mama anaongea na simu.. "Helloo eeh tayari binti yetu tumeshamwelezea kila kitu ye hana kipingamizi anataka tu kijana aje waonane... Khaaaaaa😳😳😳 itaendeleaaaaaa.. KWETU morogoro

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

ENDELEA............ "Angalia sasa mama uone kama kanifanya, alikuwa analazimisha kuliwe..ka huku" "Ebhu nione!" Mama Boke alisogea chini na kuchungulia vizuri aone kama kweli. "Unabahati yako, ilikuwaje kwanza mpaka ukaingia naye bafu..ni!" "Mimi nilikuwa nakufata wewe ila kabra sijaingia ndani Onesmo akanishika mkono na kunipeleka bafuni" "Ohuuuuuu! ilibaki kidogo tu uliwe Boke, usikubali tena siku nyingine sawa!" "Ila mbona nilikuwa nasikia raha mama!?" "Weeeee hakuna cha kusikia raha hapa, subiri mpaka uje uolewe umesikia!?" "Mmmmh, mbona na wewe siku zile nilikukuta unaf...any na Baba D?" Mama Boke alimkata jicho Boke na kusimama vizuri. "Mimi mkubwa wewe bado mtoto, kwanza kaniweke maji ya kuoga" Mama Boke alianza kutoa ng...uo zake pale pale sebleni na kubaki ndani ya chpi tu mbele Boke aliyebaki kakodoa macho akilitazama futa lake lilivyokuwa limenona kwa ndani, Boke alijichungulia na kukaangalia kake kalivyokuwa kadogo na kuinuwa tena kichwa chake kulitazama la mama ake na aliona kutalizama pekee halitoshi. Taratibu alimsogelea na kumshika kwa juuu. "Aiii wewe mtoto!" Mama Boke aliruka kwa mshangao na kusogea pembeni na kuongea kwa hasira. "Ndio nini hichi kushi...kana*shikana na kutiana ny*ge?" "Nilitaka kuona ilivyo yako mama" "Pumbavu kaniwekee maji huko ndiyo maana ulitaka na kuba*kwa huko unapenda mno kufatilia mambo ya watu wazima" Boke alinyenyuka na kutoka nje ila bado Mama Boke alizidi kupayuka akimwambia shule lazima aende siku inayofata na hataki kuona kisingizio chochote kile. Mama Boke alikaa zake kwenye kochi na kuishika simu yake na kukutana na jumbe kutoka kwa Baba D. "Wewe mwanamke mt**amu balaa usiku nakuja kulala" "Huyu naye aaaah!" Alilalama na kuanza kuchati naye. "Ucje usiku" "Kwanini?" "Boke ameshaanza kufatilia mambo ya watu wazi*ma ananiogopesha kwa kweli hapa tu katoka kulishika tunda" "Acha kunibania Mama Boke tutazagamuana Boke akiwa kalala pia takuletea mtonyo wa maana tu" Mama Boke baada ya kuusoma ujumbe alikubali pale pale na haukupita mda Boke aliingia ndani. "Maji tayari mama!" "Sawa nifatie taulo langu chumbani" Bokd aliingia chumbani nakuchukua taulo na kurudi akampatia mama yake aliyeondoka na kwenda bafuni kuoga na Boke hakutaka kukaa ndani zaidi ya kutoka na Mama Boke alivyomaliza kuoga alishangazwa na kutokumuona Boke ila alijiandaa zake na kuelekea mgahawani. Boke alikuwa mitaa mida hiyo na katika kutembea kwake alipita kwenye uchochoro mmoja na kukuta watu wakila...n..a de..nda, alisimama na kuwatazama na jamaa alimgeuza vizr binti na kumwambia ashike ukuta. "Heeeee wanataka ku...fanya!?" Boke alilopoka na sauti yake ikawafikia. "Wewe dogo potea hapa!" Jamaa alifoka baada ya kuona Boke anataka kumharibia tena akiwa kwenye hatua za mwisho kabisa kumtafuna kuku wake na Boke baada ya kuambiwa aligeuka na kuondoka na baada ya kuona Boke kaondoka waliendelea na show yao. Ukuta ulishikwa vizuri na u...no kubinuliwa, mkunaji naye hakutaka kuzubaa zaidi ya kushika kikunio chake na kukiweka sehemu husikaaaa. "Ash....iiiiiiiiiii!" Sauti ta*mu ilimtoka mkunwaji baada ya mtwangio kuingia ndani ya kinu na mambo ya kulegezana yakaanza pale pale. Kijana alikuwa makini zaidi ili siraha yake isije kutoka nje na binti naye alizidi kukibi..nua ili izame kwa ndani viz**uri huku akitoa mi..guno iliyokuwa ikimpagawisha mku*naji wake. "Ooooooh yes!" "Yes tena?" Sauti ya Boke iliwakulupua na kukatisha uho**ndo wao. "Ni wewe tena!?" Jamaa alifoka kwa hasira na kuichomoa siraha yake na kuirudisha ndani ya suru...ali yake na kuanza kumkimbiza Boke na baada ya kuona anakimbizwa naye hakutaka kusimama zaidi ya kuanza kutimua mbio. "Simama nikufunze adabu wewe mtoto!" Boke hakutaka kusimama zaidi aliendelea kutimua mbio na bahati kwake alifanikiwa kumchenga na kufika mpaka kwao na kukuta mama yake hayupo. "Angeniua yule?, lakini mbona wao wanasikia ra**ha wakati mimi Onesmo alipotaka kuweka tu nilianza kusikia maumivu na kusikia raha kwa mbali?" Boke aliwaza na kukaa kwenye msingi na kutulia. Mida saa tatu usiku Mama Boke alirudi na kumkuta Boke kalala kwenye kochi, alianza kumuasha na Boke akaamka. "Kula kwanza ndiyo ulale!" "Aya mama!" Boke alikaa vizuri na kula chakula alicholetewa na mama yake na baada ya kutosheka alienda chumbani na kulala na haukupita mda toka Boke aende kulala alifika Baba D na kufunguliwa mlango na Mama Boke. "Ameshalala tayari!?" "Zamani tu, nilimkuta kalala mwenyewe!" "Haya ndiyo mambo sasa leo tutatwangana mpaka asubuhi" "Utaweza au unaongea tu?" "Wewe mwenyewe utaona, hapa nimejibust vya kutosha kuhakikisha leo nakupa show ya uhakka" "Fyuuuuu! mpaka ujibust? ng'ombe hanenepi siku ya mnada" "Umeshasema ng'ombe tayari mimi sio ng'ombe mambo yangu utaona mwenyewe!" Baba D aliongea na kumgeuza pale pale Mama Boke na kumkumba...tia kwa mbele. "Yanachoma mpaka raha" "Manini?" "Haya hapa!" Aliongea na kuanza kuya**shika mat**t ya Mama Boke. "Ash***iiii!" Mdo...mo wa Baba D ulisogea karibu kabisa na mdom wa Mama Boke na kuanza kuml**a denda pale pale..........ITAENDELEA.

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

ENDELEA................ Alibaki kaganda kama sanamu akikitazama kitu..mbua cha Rehema huku akiwaza anaanzaje kukila kitu..mbua kisichotamanika kuliwa?, aliendelea kutema mate chini huku akimtazama Rehema na kuna mwanamke mmoja alipita na kumuona alivyokuwa kadi..ndsha akijua Oscar kamtama..ni kichaa bila kujua kama mwenzake anamatatizo na kuongea kwa sauti. "Wewe kijana mwogope hata mungu wewe yaani unamdi...ndishia mpaka kichaa!?" Haraka aliu...shika mpi..ni wake na kuubana vizuri. "Ni mawazo yako tu hayo" "Mawazo yangu? au ndiyo nyie mnaowa&&baka hawa vichaa na kuwatia mi...mba alafu wanabaki kuteseka na watoto mtaani eeeh!?" Oscar aliona kama mwanamama anamchanganya tu, alivunga kuondoka na kwenda kujificha sehemu ili tu kumkwepa asiendelee kumuuliza maswali yasiyokuwa na kichwa wala miguu na baada ya yeye kuondoka mwanamama naye akaondoka. Macho ya Oscar yaliendelea kumtazama Rehema aliyekuwa akichezea zake makopo na baada ya mda alianza kujiondokea huku aki...katika hovyo njiani kitu kilichozidi kumkera Oscar na kumtia kinyaaa, alikamata simu yake na kumpigia Bon na baada ya mda Bon alifika alipokuwa. "Sikutegemea kama Rehema kawa hivyo" "Ndivyo alivyo jamaa yangu hapo sijui utafanyeje sasa maana kama ni mimi siwezi kabisa kudumbukiza mrija wa...ngu kwenye hilo tundu labda niwe nimelogwa" Oscar alishika kichwa lakini maneno ya mganga yalivyokuja kichwani kuwa akichelewa atakata moto pale pale aliona potelea mbali liwalo na liwe. "Nisaidie kumshika Rehema" "Duh, kwahiyo upo tayari kumchovya uone kama ndiye yeye!?" Oscar alitikisa kichwa akikubali. Mchakato ulifanyika wa kumkamata Rehemu na baada ya kumshika walimpeleka mpaka kwenye nyumba ya Bon kitu kilichomshangaza mke wa Bon kuona kichaa akiletwa ndani ya nyumba yao, alimvuta mme wake pembeni na kuanza kumhoji. "Huyu kichaa wa nini hapa!?" "Ni kwa mda tu baada ya hapa tunamtoa!?" "Kwa mda nini mbona sielewi!?" "Alikuwa de...mu wake na Oscar sasa anataka kumfanyia usafi na kumvalisha vizuri ili asiendelee kukaa u...chi" "Hapo nimekuelewa!" Alichoambiwa ni tofauti na kile kilichowafanya wamlete kichaa ndani kwani upande wa ndani Oscar alikuwa tayari ameshamfunga Rehema na kumfanyia usafi kidogo ili aza...mishe sehemu safi kidogo. "Hilooooo hilooooooo!" "Dah aise kazi ninayo!" Aliongea na kuamua kumziba kabisa mdomo ili asiendeleee kupiga makelele na baada ya zoezi kukamilika show ya kibabe ilianza kuona kama Rehema ndiye mbaya wake, mpaka anapi...ga bao la kwanza mta... mbo ulibaki vile vile na haukusinyaa wala nini kitu kilichomchukiza Oscar na kukaa kitandani akiwa hana ha...mu kabisa ya kuendelea kumza...gamua Rehema. "Yaani kazi yote ile kumbe sio huyu na kama sio Rehema atakuwa nani sasa!?" Aliwaza na haukupita mda mlango uligongwa kwa nje na kumfanya anyenyuke na kuv%..aa kwanza vizuri kabra ya kwenda kufungua. "Oya kazi tayari!?" "Ndio tayari, nipe mda kidogo!" Oscar alijibu na kumsogelea Rehema na kumvisha ng..uo na alipomaliza alifungua mlango. "Umefanikiwa!?" "Hakuna kitu mambo bado magumu kabisa!" "Duh, basi tumtoe nje huyu kichaa!" Walisaidizana kumtoa nje na ile Rehema amefikisha nje tu alivua ngu...o aliyovalishwa na kuitupa chini na kukimbia zake. "Mmmmmh humu duniani kuna vichaa aise!" Mke wa Bon alizungumza ila Oscar alikuwa kimya, mawazo yalikuwa yakifikiria ni mwanamke yupi aliyekuwa kampiga juju na kama kawaida alijisahau tena na kuuacha mta..limbo wake ukijivinjari na mke wa Bon aliona na kumsogelea mmewe na kumnong'oneza. "Mwangalie rafiki yako kasim...ami..sha!?" "Huyu yupogo ivi ivi tu!" Bon aliongea na kumwambia Oscar waondoke. Walitoka lakini alimuacha mkewe kwenye mawazo mazito akiwaza na kutamani kujua kiundani zaidi kwanini mmewe kasema mpi..ni wa Oscar mda wote unasimama tu? hivyo alisubiri kuja kumuuliza Bon atakaporudi. Masaa kadhaa mbele Bon alirudi na ndipo mkewe alipombana na kumuuliza na Bon ilibidi atoboke kila kitu mbele ya mkewe. "Mmmmh kumbe hii dunia kila mtu anamatatizo yake eeeh!?" "Acha tu japo mimi natamani ningekuwa kama Oscar ili tufuane mpaka useme basi!" "Muone unataka kuichana eee!?" "Haiwezi kuchanika bhana!" "Mwenzako anatamani kupona wewe unataka kuwa kama yeye hii dunia ni ya ajabu kweli!" "Kabisa hujakosea napenda mno ng..n na ulivyomta...mu asubuhi mpaka jioni ingekuwa nikup...anuan ty humu ndani!" Utani wa mke na mme uliendelea huku Bon akizidi kumwelezea mkewe matatizo anayoyapitia Oscar. Oscar usiku huo alikuwa katulia kwake na Vero alitenga chakula na kumkaribisha lakini hakuwa na hamu na msosi kabisa. "Utakufa mme wangu ebhu njoo ule!" "Sina hamu ya kula!" "Utakula tu hata kwa lazima!" Vero alifata chakula na kuanza kumlisha kwa nguvu na mda huo huo simu ga Oscar ilianza kuita tena namba ikiwa ngeni, aliipokea na mtu aliyempigia alijitambulisha kuwa ni Nesi na Oscar aliikumbuka vzuri siku aliyozaga...muana na Nesi mpaka akazimia. Alinyenyuka na kwenda kuongelea nje ili mkewe asiweze kusikia na Vero hakutaka kumfatilia zaidi ya kuendelea zake kujipigia msosi. Alipofika nje alipokea simu na kupewa pole za kila aina kutoka kwa nesi ila alimwambia kuwa kapata dawa na kama atakuwa tayari basi atafute mda aende wajaribu aone kama ataweza kupona. Angeanzia wapi kuikataa nafasi adimu kama ile, alikubali kwenda kuonana naye siku inayofata na baada ya maongezi alirudi ndani. "Umetumia mda mrefu kwani ulikuwa ukiongea na nani!?" "Nesi!" "Mmmh aya njoo uendelee kula!" Oscar alisogea na Vero badala ya kuendelea kumlisha aliv...ua bu..kta na kuitupa pembeni huku macho yake yakitua kwenye mje...gej wa mmewe........ITAENDELEA. Full Tsh 1000, WhatsApp 0613083801 Namba za Malipo 👇👇👇👇 0613083801 HALOPESA JINA JOHN 0748697173 M-PESA JINA JOHN.

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

Dokta Temba alishangaa sana na kubaki akijiuliza usiku huo aliona nini mpaka aogope kusema akihofia mdogo wake kufa, ila mimi na wewe msomaji tunajua kabisa kuwa aliwaona wachawi japo anaogopa sana kusema akihofia uhai wa mdogo wake. Basi walirudi nyumbani na kumkuta mama yao akiwa amemaliza kuwaandalia chakula, walikula na wakatambulishana kwa kina, ila dokta Temba akawashtaki akina Dorini eti wamempatia life story yao ya kusikitisha ila ikaishia njiani, palepale mama akaomba na yeye ahadithiwe kisa-mkasa hicho mwanzo mpaka mwisho. Dorini akaanza kusimulia yote ila akakomea kubakwa, habari za wachawi hakuthubutu kabisa hata kudokeza. Mama yake alishtuka kisha akasema “We Dorini unasemaje” “Mama nilipoteza usichana wangu kwa kubakwa na mtu mmoja anaitwa Emma” “Mungu wangu ulibakwa na mtu wa miaka mingapi au hukujua hata umri wake?” “Aliniambia ana miaka kumi na sita” Yalikuwa maongezi ya mama na mtoto wake na hapo dokta Temba akadakia “Hapo inatakiwa usiku uu huu nikufanyie vipimo nitambue hali yako isije ikawa umeambukizwa magojwa ili nikupatie matibatu stahiki mapema” “Nashukuru sana kwa unavyozidi kunijali baba” Alisema Dorini huku akimuangalia dokta Temba kwa macho ya upole sana. Dokta Temba hakutaka kuendelea kuongea zaidi, alimchukua Dorini na kumpeleka kwenye maabara yake ya nyumbani, baada kama dk kadhaa majibu yaliletwa na kuonesha kuwa Dorini hakuwa na matatizo yoyote wala hakuathirika kwa ukatili aliofanyiwa na huyo Emma...Baada ya vipimo na chakula kumalizika wote waliondoka na kwenda kulala kuingoja kesho ili waendelee na maisha yao kama kawaida… Basi kesho yake dokta Temba aliwaandikisha shule na siyo hizi za kina “pangupakavu” wala za serikali bali aliwaweka kwenye shule za praiveti mashuhuri ndani ya Tanzania, ambazo aghalabu wanaosoma ni watoto wa zile familia za mboga saba. Wakaanza masomo kila mmoja akiwa na ndoto zake, Dorini yeye alikuwa akipigana siku moja awe mfanya bishara mkubwa duniani hivyo akawaza kuja kuchukua shahada ya uchumi. Upande wa Frank yeye aliwaza kuwa mwanasheria mkubwa ili aweze kupata fursa ya kukemea vikali hii tabia ya wazazi kuwatelekeza watoto, hivyo akawaza kusomea sheria

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

Baada ya mazungumzo marefu na changamoto kadhaa, Salma alikuwa ameanza kuruhusu moyo wake kuupokea upendo wa Fariss kwa uzito zaidi. " Fariss naomba usiniache kwajili ya matendo yangu unajua kwenye maisha yangu sijawahi kukaa kwenye usiano kwa muda mrefu kama hivi. Nakupenda sana Fariss na kama nilivyokwambia juwa nitaacha mambo yote na kufuata kile unachotaka. Fariss alilidhika kiganja cha Salma na kukipeleka karibu na mkono wake na kumbusu. " Nakupenda sana Salma na kama itaamua kubadilika basi una nafasi kubwa kwenye maisha yangu . Waliendelea kuongea mambo mengi kuhusu maisha yao na kupeana ahadi nyingi. Siku za mwanzo Salma aliamua kujikaza na kukaa nyumbani kwao hakuwa akitembea ovyo yani kutoka nje bila sababu maalumu na hata kilipokuwa na sherehe mtaani alijitahidi kujizuia. Mashoga zake walimpitia lakini hakwenda japo walimwambia kuwa anaringa sababu Kapata mwanaume mwenye pesa. " Salma siku hizi una ringa sana tangia umepata huyo mwanaume wako anayekuja na Kigari chake hapa basi atukohiwi . " Hayo ni yenu jamani ongezeni niwezavyo lakini msimamo wangu ni kuwa siendi. " Kumbuka na wewe ni mtoto wa hapa mtaa wa saba umekua hapa litakuja jambo lako sijui utasimama na nani. Salma alipuuza lawama za wenzie alijifungua ndani. Farris alikuwa akimtoa mara kwa mara walienda kutembea kwenye sehemu maarufu hususani mahoteli makubwa pia alimkutanisha na watu wake wa karibu na kumtambulisha kama mpenzi wake. Hata Meyael alipomuona jinsi Salma alivyokuwa kabadilika anawaza vizuri aliamini kuwa Fariss ana haki ya kumganda kuanzia siku hiyo Meyael hakuingilia penzi lao wala kuongea neno kuhusu Salma. Siku moja mama Salma alitoka kwenye mizunguko yake akiwa kashikilia nguo mkononi. Aliingia chumbani kwa Salma na kumrushia. " Kijora hicho cha sale. " Sale ya nani? " Zuwena. " Lakini unajua siku hizi huwa sipendi kwenye hizo sherehe. " Wewe mtoto usiache mbacgao kwa msala upitapo huyo mwanaume wako asikutoe kwenye asili yako . Kwanza anakupangiaje maisha wakati hata hajakuwa na hao watu wasomi huwa hawana maana hata kidogo mwisho wa siku inaachwa hapo anachukua mwanamke wa kuendana nae. Kwani mwanangu hata television huwa huangalii wewe watu wanavyohitaji ? Mtoto wa uswahilini anadanganywa kumbe mwanaume ana mwanamke wake ulaya. Maneno ya mama yake ni kama yalimkatisha tamaa Salma akaona kile alichokiongea mama yake ni kitu sahihi. Alichukua kijora na kukuangalia kama limepanuliwa mpasuko itakayomuwezesha kupiga mwamba wakati wa kucheza. " Sherehe ni lini vile? " Kesho jioni ndio mambo yanaanza. " Sawa nitaenda. " Hayo ndio maneno sasa. Kesho yake jioni Salma alikuwa akijiandaa kutoka kwenda kwenye sherehe. Alisimama mbele ya kioo, akipaka poda laini kwenye mashavu yake huku akijipamba kwa ustadi. Alivaa kijora chake cha sare kile cha mtoko chenye rangi ya zambarau chenye mauwa makubwa makubwa meupe. Akijiwekea vizuri tayari kwa kutoka . Lakini kabla hajatoka, alisikia sauti ya mwanaume ikisikika kutoka sebuleni. Akisikiliza kwa makini akagundua ni sauti ya Fariss Aliikumbuka sauti alikuwa akizungumza na mama yake . Moyo wake ulishituka Kwa haraka alivua kijora alichovaa na kutupia kando na kujifunga kitenge, kisha akaruka juu ya kitanda kana kwamba alikuwa amepumzika muda . Alijilaza akijaribu kudhibiti pumzi zake zilizokuwa zikitoka kwa kasi. Baada ya dakika kadhaa, mlango wa chumba chake ulifunguliwa polepole. Fariss aliingia. Alisimama mlangoni na kumtazama kwa mshangao. "Salma... unalala muda huu? Salma alijifanya anaingilia maumivu. "Salma upo sawa kweli? Aliuliza Fariss kama ana hofu. "Ah... nimesikia kichwa kinauma ghafla. Nikalala tu." " Unajihisi homa? Fariss alitembea hadi pembeni ya kitanda. Akamuangalia huku akimpima joto kwa kiganja chake. " Mwili wako hauna joto sana. " Sina homa ni kichwa tu. Fariss alimuangalia vizuri usoni kisha akauliza. "Salma, hivi kweli kichwa kinauma au ulikuwa unaenda sehemu? Salma alishituka akakaa na kumuangalia. " Nitoke niende wapi bila kuaga na nimekwambia naumwa kwani huamini? " Mtu mwenye maumivu ya mwili huwa hawi hivyo. " Vipi? " Umejiremba usoni kwako kama vile ulikuwa unataka kutoka . Salma hakuwa na cha kujitetea alinyamaza kimnya. Fariss akachukua mkono wake na kuushika . "Angalia, Nakupenda kwa sababu naona juhudi zako. Ila kama kuna jambo unataka kusema, ni bora useme sasa kuliko kufanya kwa siri." Salma alimuangalia Fariss kwa macho yaliyojaa woga na upendo. "Sio rahisi kuacha kila kitu mara moja. lakini nipo kwenye njia hiyo. Siendi , najizuia lakini naona kama ni ngumu sana kwa kuacha haraka haraka . Farris naomba unipe muda kidogo. Fariss alitabasamu. "Najua, na hilo ndilo linalonifanya nikuone wa thamani. Nitakusaidia kushinda hicho kipindi. Lakini tafadhali, kuwa muwazi na mimi." Unataka kwenda kwenye shuhuri? Salma aliitikia kwa kichwa. " Sawa vaa nguo twende. " Na wewe unaenda? Salma aliuliza kwa mshangao. " Kwaajili yako nitakwenda. Ila sio siku zote. Salma alimtazama kwa macho yaliyokuwa na machozi kidogo. "Umenifanya nijione kuwa bora, Fariss." " Wewe ni bora kwangu. Walikumbatiana kwa upole. Baada ya hapo Salma alivaa kijora chake na kuweka nywele zake vizuri. " Tayari. " Umependeza sana. "Asante . Salma aliangalia chini kwa aibu Baada ya hapo walitoka pamoja wakaelekea kwenye shuhuri huku Salma akiwa haamini kama Fariss ameamua kumsindikiza nae aliniambia anatarajiwa kucheza kwa tahadhari maana mwenye mali yupo analinda mali yake. Full 1000 Whatsp 0784468229

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

Maria alipokea na kuvishikilia mkononi, bado alikuwa na mshangao pia uwoga maana anamjua Sana Bryan hakuwa mtu wakujali wengine. " Vipi mbona umeshikilia hauli? " Nakula. Maria alipeleka mdomoni kipande Cha biscuit akaanza kula kidogo kidogo Bryan aliendelea kumuangalia kwa jicho la kuibia huku akiendelea kupiga story na wenzake. Maria alikuwa kimnya mda wote lakini alikuwa anamkata jicho Bryan ambae alikuwa anajisogeza karibu nae na kusababisha kugusana. Walipogisana Maria alishituka na kumuangalia wakajikuta wote wanaangaliana jicho la Bryan lilikuwa limebeba hisia flan Maria aligeuza macho akawaangalia watu wote waliokuwepo pale akakuta wanawaangalia Maria akajisogeza kidogo. Maria aliendekea kuwa kimnya hukucakiwa anakumbuka maneno ya rafiki Yake Liya alivyokuwa anamwambia kuwa mwanaume alitokea kumpenda mwanamke anakuwa msumbufu, anapenda kumuangalia na kuwa nae karibu muda wote pia anakuwa mchangamfu. " Mmmmh Sasa huyu Bryan kanpenda Nani hapa ? Maria alijiuliza Hilo swali huku akiwaangalia wakija Derick na jordan ambao walikuwa wamekaa na wapenzi wao. " Ila Mimi mjinga hili Ni swali gani najiuliza. Ina maana Bryan ananipenda ndio maana hizo ishara zote anazionesha? Hapana Bryan hawezi kunipenda mtu kama Mimi. Maria usinidanganye wewe sio wa hadhi yakekabisa. Maria aliikanya nafsi yake alafu akazidi kusogea pembeni. Baada ya kupumzika wanaume walinyanyuka wakaenda kutengeneza nahema. Monica , Vivian na Maria wakiendelea kupiga story. Monica akawa anawasimulia Ile sehemu jinsi ilivyo maana haikuwa Mara ya kwanza kufika pale. " Hii sehemu naipenda Sana na huwa na enjoy Sana ninapokuja na mpenzi wangu. Ina vitu vingi vya kuvutia kwanza kulala kwenye hema, Pili Kuna mlima nzuri alafu Kuna maporomoko ya maji. " Kweli inavutia lakini Mimi naogopa ikifika usiku. Alisema Maria. Vivian alitabasamu alafu akasema " Sasa unaogopa Nini wakati utakuwa pembeni ya mpenzi wako? " Nashangaa anaogopa Nini wakati shukaa wake Bryan atakuwa akimlinda malki wake. " Hapana Bryan alikuwa boss wangu sio mpenzi wangu. " lakini mnaonekana Kama wapenzi wapya . Alisema Monica na Vivian akaongeza kwa kusema " Tena wanapendezana mnoo, jaribu kumpa nasafasi anaonekana aba mahaba mazito kwako. Maria hakuwa na lakuongea zaidi ya kuona aibu. " Mnaonaje tulienda kutembea kidogo maana tumekas Sana hapa . Monica alisema na wote watatu walisimama na kuanza kutembea kwenye ule msitu mdogo ambao pembeni yake kulikuwa na mto mkubwa uliokuwa unatiririsha maji. Walikutana na baadhi ya watu wengine waliokuwa wameweka mahema yao na wengine wakitembelea mazingira na kupiga picha wengine walikuwa wanaogele kifupi watu waliokuwa huko walikuwa wanafurahia Sana. Waliporudi matembezini walikuta mahema matati yametengenezwa. Ilipofika usiku waliwasha moto wakauzunguka wakiwa wanaota Jordan alikuwa karibu na mpenzi walijifunika blangeti pamoja kuzuia baridi pia kwa upande wa Derick ilikuwa hivyo hivyo . Maria alikuwa kajikunyata pembeni akisubiri kupewa kazi iliyompeleka lakini ilikuwa tofauti na makubaliano yake na Derick chakula kililetwa kutoka kwenye hotel iliyokuwa ndani ya Lile eneo. Bryan alikuba bize na simu yake . Jordan akimrushia jiwe Bryan akamuangalia , Jordan akamuonyesha ishala ya kuwa amfuate Maria. Bryan alitingisha kichwa alafu akaendelea kutumia simu yake. Alipomaliza alichokuwa anafanya kwenye simu aliiweka mfukoni alafu akasimama na kuvua koti lake kubwa na zito linalozuoa baridi na kwenda kumfunika Maria aliyekuwa kajiinamia. Maria alishituka akamuangalia, Bryan alikaa pembeni yake " Vipi mbona umetulia hivyo? " Hamna " Usiwe mpweke tupo pamoja unaweza kuniambia chochote unachojisikia. Maria alitingisha kichwa akasema " Sina chochote Cha kukwambia . Kwa Hali aliyokuwa anaiona pale Maria alianza kupata wasiwasi hasa alipofikiria sehemu ya kulala maana mahema yalikuwa matatu Kama Vivian na Monica wataenda kulala kwenye mahema waliyotengeneza yeye ataenda kulala na Bryan. Akiwa bado anafikiria akasikia Derick anaaga wanaenda kupumzika akanyanyuka na mpenzi wake wakaondoka , baada ya muda kidogo Jordan na mpenzi wake wakanyanyuka na kwenda kwenye hema Lao wakawaacha Bryan KWETU morogoro

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

Alex alimuelezea mama Kitu kuhusu yale ya kule kwa doctor , mama akasema sawa nitakwenda Kule Tuliambiwa twende Siku ya J3, siku ilifika tukaenda mie, alex pamoja na mama Doctor alitukalibisha vizuri, Akaanza kuongea na mama , mi na Alex tulikuwa kimyaa kujua anataka nini kutoka kwa mama Doctor alijitambulisha kwa mama akamwambia nimekuita hapa kuna vitu nahitaji kujua wakati salma alipo kuwa mdogo yaaan kuanzia siku ya kwanza ulipo mzee kuna changamoto yeyote labda alipitia ?? Mfano homa kali, au alizaliwa kwa njia isiyo ya kawaida , ama alipata tatizo huko hospital, tukachana na Hospital makuzi yake nyumbani yalikuwaje mpaka pale alipo anza shule ama alipo anza kujutambuaa ?? " Mama alinitazamaa kweli , alikuwa kama kuna kitu anafikiria unajua mpaka mimi niliogopa tena nikasema hee au niliwahi kufa nikiwa mchanga mbona mama ananitazama kwa huruma sanaaa?? Doctor akawambia kuwa huru mama mimi nahitaj kumsaidia salma bado hatujachelewa tunaweza kuamsha ubongo wake na ukachangamka tena , ila tujue tu tatizo ni nini ?? Mama akasema "Nilipo shika ujauzito wa salma, nilipitia mambo mengi sana ya heka heka zisizo na kawaida kabisa, nilipambana kama mama ili kuvuka hicho kipindi , mpaka inafika miezi kumi na moja kasoro nilikuwa bado sijajifungua , hospital waliniandikia tarehe niende kwenye Operation, ilikuwa bado siku tatu ifike tarehe ya Op ndio nikapata uchungu Nilijifungua kawaida mwanangu lakini hakulia kabisaa, alikuwa kachoka sanaaa ,alipewa huduma za haraka haraka baada ya kugundua bado kipo haii ,alikaa Chini ya uangalizi maalumu zilipita siku mbili ndio mwanangu alilia .. Tulika sana hospital mana afya yake ilikuwa mbaya bado na mie nilikuwa mwenyewe hakukuwa na msaada na baba yake ndie alienisababishia shida mie wala hakutokea ....." "Embu mama unaweza kunambia ni shida gani labda alikusababishia baba yake ambae alikuwa mumeo!!?" "Baba salma , tangu nilipo shika mimba ya salma alibadilika sana , alikuwa ananinyanyasa mnoo, alinipiga karibu kila siku na sehemu zake za kupiga ni tumbini na usoni hakujali hata kama nina mimba , Nilijua hata mimba inaweza kuhalibika Lakini haikuwahi hata kutikisika sikuwa na pakwenda na nilikuwa na mtoto mdogo ambae ni dada yake salma .... Kushinda njaa na kulala njaa ilikuwa kawaida na huku nina ujauzito naweza naliza wiki nzima nakinywa tu uji basii hakuna kitu kizito nakula .. " Mungu wangu yaan kwa mara ya kwanza ndio najua kuwa mama yangu kumbe kuna maisha aliwahi kupitia magumu kiasi hichii yaan daah nilijikuta najiskia vibaya sana laiti ningewahi kujua walai nisingekuwa namjibu vibaya enzi zile akinituma nakataa anainuka mwenyew , nilitamani kulia jamani mama aliongea mengi manyanyaso aliyopitia kwa baba yanguu "Uliwahi hata siku moja kumshtak??" Doctor alimuuliza ye mwenyewe alikua anasikitika mama akasema hakuwahi kushtaki selikarini lakini kwenye familia alipeleka kesi kila siku na hakuna mabadiliko yeyote "Pole sanaa!" "Nimepoa" "Kwahiyo maisha yalikuwaje baada ya kurudi nyumbani na mtoto" "Nilikaa Hospital wiki tatu , hali ya mwanangu ilikuwa hivyo hivyo, hakuwa analia kabisa , nilirudi nyumbani sikumkuta mume wangu na mtoto wangu nilimkuta kwa majirani ambae ni dada yake Salma, tangu hapo nilianza kumlea mwanangu kwa shida sanaaa Hakuwahi kucheka mwanangu, muda ulienda zaidi ya kukaa tu hakuwahi kutembea wala kutambaa Mpaka inafika miaka mitatu mwanangu alikuwa anakaa tu chini ,shingo yake haikuwa imekaza ilikuwa imelegea , Nilijuwa mwanangu atakuwa hivyo lakini kuna mtu aliniambia kuwa kuna mazoezi ya mtoto wa aina yangu na atakuwa sawa Ndio nilianza kufatilia niliambiwa gharama zake Niliongeza nguvu ya kufanya biashara, ili nipate pesa , nilimuanzishia mazoezi Mungu mkubwa sana baada ya miaka miwili mwanangu alibadilika sana alianza kujifunza kutembea na hata alikuwa anacheka kitu nilichomshukuru sana mungu Ulifika muda ,alianza kuongea yaan ile kwa kujifunza , ndipo hapo nilimuanzisha na shule ili achangamane na wenzie Mpaka leo sikuwahi kumwambia yey nini kilimfika kwenye kuzaliwa kwake .. Doctor alinitazama sana , kisha aliendelea kumuuliza mama maswali maswali mengine ,kipindi nilipo anza shule makuzi yangu yalikuwaje mama aliongea yoote . Doctor akatuambia sawa muda umeisha,,Juma tano uje Salma , mama nimemaliza kazi na wewe.. Tuliondoka mpaka nyumbani kwa mama , nilimwambia Alex naomba nibaki na mama , akanambia haina shida nitakufata kesho nikasema sawa .. Nilihisi mama anatakiwa kupata faraja kwangu zaidi kuliko wengine wotee , Baada ya alex kuondoka ,nilimwambia mama pole sana Mama alicheka akanambia wewe ndio polee , uliteseka sana kuanzia ukiwa tumboni Nilihis kulia aisee ,niliacha tu machozi yanitoke , nikikumbuka mie niliibeba mimba yangu ya kwanza,nikiwa nipo kwenye kupoooza ,nikalia nikasema mungu nateseka Kumbe mama yangu aliteseka zaidi na hakuwa na mtu hata wa kumfariji ITAENDELEA.. KWETU morogoro

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

"Mwanaume hukuuu!" mmoja alipiga kelele kali, "We nawe nini hebu nyamaza huko" wenzake walimziba mdomo, huku wakinitazama yaani wale kumi na saba wengine ukiacha hawa watatu walioniingiza bwenini kimya kimya, bonge na wenzake "Jamani huyu mgeni wetu kwahiyo ninyi wala hawahusu sawa, fanyeni mambo yenu" bonge alisonya, "Kama hatuhusu tunamwambia mwalimu kuwa mmemwingiza mwanaume bwenini sasa hivi kabla ya kengele ya namba ya saa kumi na mbili kamili, sasa hivi saa kumi na nusu inaelekea saa kumi na moja, kwa hiyo mnasemaje?" mmoja kati ya wale kumi na saba alijibu "Hakuna asiye na hamu humu ndani, anayetaka apewe, asiyetaka alale na taa zizimwe hapa, we kaka samahani utugaie tu na siye ulichowapa hao watatu" mwingine aliongea "Hebu tokeni hapa, kuhangaika tuhangaike siye halafu ninyi mpate kitonga tu, nyooo?" Wa tatu miongoni mwa walionileta pamoja na bonge aliongea na kusonya, "Halafu ni kumuonea tu kaka wa watu, watu wote nyie atawaweza wapi, msijali siku nyingine atakuja" wa pili miongoni mwa walionileta akaongea, majina yao niliyatambua, walikuwa ni Tatu, Jenny na yule bonge Sharifa. "Basi ngoja tumwite mwalimu tumwambie kuna mgeni akina Sharifa wamemleta humu mwanaume" mmoja aliongea "Basi jamani kuliko kukosa wote si bora kila mtu apate kidogo jamani kha, zimeni taa basi ila naanza mimi maana" bonge aliongea huku akinishika mkono, "Chooni ulianza wewe halafu na hapa unataka uanze kutomb🍆w.. wewe thubutu, naanza mimi" Tatu alinivuta mkono "Mimi ndo nilikuwa wa mwisho kule chooni acheni nianze huko" Jenny nae alinivuta "Kila mtu atapata zimeni tu taa kwanza haina haja ya malumbano ila dakika moja moja" niliwaambia walipokuwa wananivuta vuta, yule aliyewasha taa mwanzoni akaizima kila mmoja akashikilia kitandani akiinama, tayari kuningoja nimpitie, watatu tu hakuna aliyebaki, kumbe kila mtu alitaka kutomb🍆w.. kwa jinsi wasichana hao walivyokuwa na uchu, nilikuwa na kazi ya kuwapitia kwa dakika mbili mbili ni kuchomeka dyudy🍆na kulichomoa na kulichomeka kwingine kwa mmoja baada ya mwingine huku wengine walipopiga kelele za malalamiko wenzao waliwanyamazisha, nikimaliza wa mwisho narudi kuanza tena kwa wa kwanza, akina bonge, mmoja alipohisi hatendewi haki aliwasha taa ili aone vizuri, wengine walichutama tu na kushikilia kitanda, wengine walikaa kitandan🥱na kunipanulia mapaj😋 nami nilimwaga nikimwagia chini niliporudia awamu ya pili kwa msichana wa saba, na kuendelea na awamu nyingine tena bwenini humo, nje hakuna aliyejua kinachoendelea Kazi hiyo ya lisaa lizima ilinifanya kiuno kiwe hoi, na muda huo huo kelele za mwalimu akipita kuwaamsha madarasani ilisikika, mimi nilipewa khanga kama kawaida, mpango wa kunitoa nje ukianza, Tatu, Jenny na Bonge Sharifa wakiwa wameuandaa, nikasindikizwa kimya kimya mpaka getini tukimkuta mlinzi anauchapa usingizi kwenye kiti anakoroma, tukapita kimya kimya wakaniacha niende mwenyewe wao wasije wakaonwa huku wakinisisitiza niwe nakuja kuwatembelea watanificha, ikabidi nitembee kwa mwendo wa kunyata kwanza ili nisije nikamshtua mlinzi huyo aliyekuwa anauchapa usingizi nakumbuka ilikuwa ni jumapili, nilitembea na kufanikiwa kumpita mlinzi huyo aliyeishusha kofia yake usoni nikalikaribia geti lakini ghafla nikakutana na mmasai kwa nje akiwa na rungu lake mkononi anavuta sigara kumbe walinzi walikuwa wawili "Wewe unakwenda wapi?" Aliniuliza nikiwa nimeinamisha uso na khanga mwili mzima "Naumwa naenda hospitali" "Mbona upo peke yako hebu nitazame" aliniambia huku akinifuata taratibu na yule mlinzi mwingine aliamka baada ya kusikia mazungumzo akatoka getini nae akija taratibu, kulikuwa na dalili zote za kukamatwa "Moja, mbili, tatu!" Nilihesabu kimoyo moyo na kuitupa khanga nikachomoka mbio "Kamata huyo" "We simama" walinzi hao waliunganisha msafara wakinikimbiza mmasai akiwa mbele, nikashtukia rungu likinipita sikioni kama upepo shwaaa likinikosa kosa kichwani alilolirusha, nilikunja kona nao wakakunja na mimi na niliponyooka nao wakanyooka bahati nzuri nilitokea barabarani ile navuka tu nilisikia honi kali ya lori pooooompoooo! lilinikosa kosa upepo wake ukanisukuma upande wa pili bondeni wakashindwa kuendelea kunikimbiza baada ya kushindwa kuvuka kwa wakati, nilipiga ishara ya msalaba baada ya kunusurika kufa hivihivi na leo ilibidi niende kanisani kusali maana sikuwa na namna, kifo nilikiona live live, lile gari lilinikosa kosa kidogo tu ningeitwa marehemu. Leo niliingia kanisani na kutubu kimya kimya na wakati huo huo muda wa sadaka ulifika tukawa kwenye foleni ya kwenda kutoa sadaka kwa mwendo wa taratibu nikiwa nimekuwa mpya nimetubu dhambi zote "Samahani mdogo wangu naomba nikae hapa" dada mmoja aliniomba ajiunge kwenye foleni akae mbele yangu akiwa na mtoto wake, "Bila samahani" nilimpisha akakaa kwa mbele yangu, dada mwenyewe sasa nyuma alikuwa na matak🍒 makubwa akiwa amevaa gauni la kitenge "Usile hiyo na wewe bwana nitakuchapa" alimkaripia mtoto wake huku akiinama kumpokonya alichokuwa anakula, aliinama bila tahadhari na kujikuta matak🍒yake makubwa yakinigusa kwenye zipu ya suruali yangu nikiwa nyuma yake "Dah shetan😭mbona unanifuata mpaka huku wakati nimeshatubu" nilisikitika kimoyo moyo huku mikono nikijishika kichwani, dhambi niliiona inaniita tena hata baada ya kutubu.... *MWIIIISHOOOOOOO!!!!!* 👉Simulizi hii ni ya Kufikirika tu haina mahusiano yoyote na maisha ya Mwandishi, Soma kama burudani tu, Usiige wala Kuyatendea Kazi yaliyoandikwa❌‼️ Kama umeifuatilia Mwanzo mpaka Mwisho shusha #COMMENT Moja ya Nguvu hapa chini👇👇

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

"Si nawauliza ninyi, wenzenu wapo kwenye foleni ya chakula kule bwaloni, nyie huku mnafanya nini?" Mwalimu huyo wa kike aliuliza kwa mara nyingine huku akiwasogelea karibu, watatu hao walitazamana huku bonge akiogopa na mimi kichwa niliinamisha chini asije akaniona uso, khanga nilifunikwa mwili mzima mpaka kichwani kama mtandio "Madame huyu mwenzetu anajisikia vibaya ana homa ndo tumemleta huku apumzike" mmoja alijibu, "Mmetoa taarifa kwa mwalimu nani?" "Ndo tumetoka nae chooni alikuwa anatapika, tulipanga tuje kutoa taarifa" bonge aliongea kwa wasiwasi, mwalimu huyo wa kike alinisogelea taratibu na kunishika kidevu akitaka kuuinua uso wangu anitazame "Madame madame usimwinue uso ana ugonjwa wa macho anaweza kukuambukiza" wa tatu alidakia haraka akaniacha "Mara macho mara homa mbona hamueleweki nyie wasichana, haya mpelekeni huko bwenini, msisahau kumchukulia chakula" aliogopa kuniinua uso "Sawa mwalimu" "Sawa madame" walimuitikia, akageuka akiondoka na bakora yake mkononi aliyoitikisa tikisa taratibu, wakagongana mikono wakishangilia ushindi baada ya kukoswa koswa na mwalimu huyo wa kike "Mmetisha sana" niliwapongeza "Sasa tulia hapo tukakuletee msosi, kitandani kwetu" waliniambia wakinikaribisha bwenini kukiwa na vitanda kadhaa vya ghorofa juu na chini wakilala wawili juu na wawili chini, nikalala cha chini kama mgonjwa, wakaondoka na kuniacha nikiwa nimejifunika gubi gubi na kutazama saa yangu ilikuwa saa tano za usiku inakimbilia saa sita, leo inaonekana wamechelewa kula kwa sababu ya ratiba fulani ya muhimu Mmoja ndiye aliyerudi na sahani ya chakula na maji akanipa na kuondoka zake, nikabaki mwenyewe huku nikiangaza angaza mazingira ya bweni hilo... Nusu saa baadae sauti za wanafunzi zilisikika wakija mabwenini ikabidi nijikunyate kama mgonjwa na kujifunga khanga tena gubi gubi wasije wakanigundua, wasichana takribani ishirini waliingia wakinipa pole ikabidi niitikie kwa sauti ya kike na wale watatu walioniingiza wakiwemo ambao kitanda kilikuwa cha kwao, bonge ambae kitanda chake ni cha chini walimwambia apande juu akagoma akitaka alale na mimi lakini wenzake wakamgomea wakigombana kimya kimya huku wanafunzi wenzao wakiwashangaa tu, bonge alipanda juu akiwa amekasirika na mwenzake mmoja, yule wa tatu alilala na mimi huku wenzao wakiwa wanashangaa tu mtu aliyeongezeka ambae ni mimi hapa, kazi nilikuwa nayo maana walikuwa wanapita uch😋huku wengine wakiwa wanacheza maana hawakujua kama kuna mwanaume ndani anawazoom..... ....... ....... Saa kumi na kumi alfajiri ikielekea kumi na moja tayari nilihisi mkono ukipapas✊ papas✊kwenye suruali yangu, yule niliyelala nae alianza mambo yake, ikabidi nisogeze midomo yangu kifuani mwake kwenye matit🍒yake na kuanza kuzinyonya chuch🍼zake taratibu, mambo yaliendelea kimya kimya ndani ya shuka nikashuka na kuanza kumnyony😋uch🍓huku suruali yangu nikiifungua na kuishusha usawa wa mapaj🥱 kukiwa na giza tototoro bwenini wote wamelala, alihema hema, nililishika dyudy🍆nikiliandaa ili kumshughulikia msichana huyo aliyeutaka muhogo alfajiri kabla hakujakucha "Namimi nataka" mara tulisikia sauti ya bonge akiwa juu "We vipi kalale huko?" "Sasa mnafanya peke yenu ndo nini hata mimi nataka" yule mwingine aliyelala na bonge nae aliongea, bonge akataka kuteremka kutoka juu kwa bahati mbaya akajikuta akianguka mpaka chini kama mzigo puuh "Vipi tena jamani eeh" wanafunzi wengine walipiga mayowe wakicheka na muda huohuo mmoja akawasha taa mwaah... Wanafunzi wote macho yalikuwa kwenye kitanda chetu na kwa bahati mbaya shuka lenyewe lilikuwa pembeni, dyudy🍆langu lilikuwa peupe linaning'inia, wakinishangaa..... #Comment.. #Like burudani iendelee

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

Mama yake alikuja na bint mmoja wa kizungu, akaingizwa alipo alikuwa na ufahamu kwa mbali sanaaa akashuhudia yule dada akimvua nguo na kumfanyia kila kitu mwisho akampandio na alipo toa tu zile mbegu kweli ufahamu wake ukarudi akajisikia kidogo ananguvu sio kama mwanzo Baada ya hiyo kazi yule bint akaondoka alipewa pesa nyingi sanaaa kwa ajili hiyo Kazi ya kumtafuta mwanamke wa baba yake ndio aliempa sumu haikufanikiwa walimtafuta sanaa lakini hakupatikaa Tangu kipindi hicho Alberto alianza kuishi na sumu hiyo mwilini alipewa dawa nyingi za kuondoa sumu , hakuwa na kosa, wivu wa mwanamke wa zamani wa baba yake ndio umemletea shida yeye Tatizo hilo halikuwahi kumrudia mpaka ile siku alipo kuja Tanzania ile siku alikunywa kinywaji ambacho kilikuwa na Aleg ndio kilienda kuamsha Ule ugonjwa na ndio bahati Vicky akatokea Alimvuta ili tu ajisaidie hakujua nani ,hakuangalia sura hakujua ni mwanamke wa aina Ganii akili yake iliwaza ajisaidie tu yeye na uhai wakee .... Ilikuwa ndio mara yake ya pili kushiriki tendo na mwanamke na mara zote imekuwa ni kwa matatizo hakawahi kuvutiwa kabsa na kufanya mapenzi hata mara moja Ile siku alipo fanya na Vicky ilikuwa tofauti na ile mara ya kwanza alijikuta anapata hisia za kweli kabisa anajisikia kutoka moyonii , pili Vicky alikuwa bado bikraa alikuwa hajawahi kukutana na mwanaume hilo pia liilimgusa sana Alberto akatamani kuwa nae karibu zaidi kama njia ya kumuomba msamaha wa dhati Ajabu leo yupo mbele ya Huyo mwanamke lakini hisia zile hanaa wala hajisikii zile hisia alizo kuwa anajisikia mwanzo Masha akawa bize kupapasa , sasa Mr Alberto zile kumbu kumbu za kukumbuka ile siku ya kwanza anakutana na Vicky alijikuta hisia zinamuamka upyaa Akampa ushirikiano Masha na ndio kitu alikuwa anataka , kibaridi cha Alfajiri kile Masha alikuwa tayari amelainika amelegea kwa mipapaso Alberto akamuweka sawa Masha kumpa anacho taka , kamuweka machinjioni sawa sawa ile anaweka kisu chake mmh akasita kwanza Masha akashangaa mtu kaweza kapitisha ya kwanza na ya pili tu halafu kasita akamuuliza baby vipiii??? Alberto akasitaa , moyoni alipata hisia sio kama ilivyokuwa mara ya kwanza Masha akaanza kujishughulisha mwenyewe lakini Alberto alikuwa ametuliaa yaan katulia kama hayupo kwenye shuhuri Masha alichoka baada ya kuhangaika muda mrefu peke yake , Alberto akamwambia tu Sorry akamuacha akaenda Bafuni kukogaa Kitu hicho masha kilimchanganya akili maana aliachwa na hamu zake zotee hakuwa amepunguzwa sana kazidishi Hamu zimemjaaa sanaa Alberto alioga akaja kupumzika bila kusema neno, masha alijitahidi kumuuliza shida niniii, walau ajue anasaidia vipi lakini Alberto alimwambia amsamehe hawezi kufanya hivyo ile siku ilikuwa ni bahati mbaya tu ..... . ******* Asubuhi ilikuwa ndio tarehe yake ya Clinic aliamka Asubuhi akajianda kuwahi foleni ... Alberto ndio alikuwa mtu wa kwanza kuamka , akajiandaa anatoka Nilijua leo utapumzika nyumbani " Masha akatupia neno "Kazi zipo nyingi sana Masha ,Tutakuwa wote nikipunguza baadhi ya majukumu" "Sipendi uniite Masha tafadhali At least hata baby ,Honey kama hivyo !!" Alberto hakujibu alicheka kidogo , masha akamwambia Usiondoke bile kupata chai Alberto akakubalii japo aliona anachelewa lakini hakutaka kumkera Masha akakubali kunywa hiyo chai Wakashuka chini wameshikana ,mikono Masha kang'ang'ania mkono wa Alberto Alberto akashangaa nyumba ina watu Wengii kuliko hata alivyoambiwa na Rahul Maana Rahul alimwambia kuwa Masha ameajili wafanyakazi wengi mnoo kwenye nyumba yake Akajua wengi labda watatu subutuuu alichoka kuona nyumba ina watu kibao na wote wanalipwa mshahara na Rahul kwenye pesa za Alberto Akavunga tu, lakini moyoni akafikiria huyu mbona yupo tofauti na nilivyokuwa nina mfikiria Alberto alipo inua tu kikombe kunywa chai simu yake ikaanza kuita. Ilikuwa pembeni yake juu ya meza Masha akaona vizuri aliepiga ni Rahul , Alberto akaipokea simu , Rahul akamuuliza mbona amechelewa mana walikuwa wanaenda kumuona huyo Abigael Asubuhi kabla ya kuingia Ofisini Alberto akapata sababu, Alichukua Kalmat moja akauma akanywa na Chai akampiga busu Masha akamwambia tutaonana Jioni nawahi kazini Hasiraaaa masha Hasiraaaa nusu apasuke lakini hakuwa na la kufanya ...... Rahul na Boss wake ambae ni kama Rafiki au kaka yake , walienda kusajiri laini ndo wakaelekea nyumbani kwa kina Abigael Bahati mbaya sanaaa ,wakamkuta hayupo alikuwa ameenda clinic, Rahul hakufanikiwa kumuona Recho akawaambia kuwa ameenda Clinic, Alberto akamuuliza eneo gani alihitaji kumfata huko huko Itaendelea.. KWETU morogoro

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

Kwetu morogoro fun Masha akavunga kama amelalaa,Mr Alberto alimpandisha juu aliona chumba kimoja kana udalili wa kuishi watu akahisi itakuwa ndio chumba cha Mashaa Na kweli alipatia kilikuwa ndicho, kimepambwa mno chumba kinanukia udi na marashi mazuri Akamlaza kitandani , akamtazama kwa muda moyoni akasema mbona sina hisia zozote na huyu dadaa mbona simuhisi kabisa kama ndiee , nimemuharibia usichana wake,ili kulinda heshima yangu lazima nimkubali ,Alberto Hakuna njia ingine tena ya kukwepa hili kama ataamua kunichafua kwa kitendo nilichomfanyia naweza kuishia jela kabisa ,kila kitu kilichojengwa na baba yangu itakuwa ndio mwisho daah " Akainuka akaingia bafuni akaoga vizuri wakati anapaka mafuta alishikwa mgongoni akageuka aliemshika alikuwa Masha "Ooh umeamkaa?" Mr Alberto alimuuliza huku anamtoa mikono yake akamsogeza pembeni "Umechelewa sana nimekusubiri sana" "Yeah tumechelewa kumaliza kikao nisamehe " ,"sawa" masha akasogeza midomo yake ili apate lips za Mr Alberto "Subiri masha tunaweza kuongea??" Akamsogeza tena pembeni akaikwepa midomo ya masha Akamkalisha pembeni kulikuwa na Kochi "Masha kwa nashukuru sana kwa msaada wako ,lakini naomba tena nikuombe msamaha kwa ile shida ilijitokeza ile siku naomba unisamehe sanaa nina shida ambayo labda leo sio siku sahihi ya kukuambia lakini mie naomba nikuombe kitu" Masha akameza mate akajikaliza vizuri, kumsikiliza mana Mr Alberto alikuwa anaongea kwa unakini sanaaa "Nambie" "Naomba Tusiingie kwenye mapenzi nitakupa kila kitu nitakulipa Fidia mara elfu ya nilichofanyaa lakini sipo tayari kwa sasa kuingia kwenye mahusiano nitakuumiza nina mambo mengi badoo" "Haaa!! Haha!!! Yaan ulivyokuwa unanibaka haukujua kuwa haupo tayari kuingia kwenye mahusiano, Leo ndo unajuaa??? Upo serious??" "Usinifikirie vibaya,nitakupa kila kitu hata usijali" "Mimi nimesaidia maisha yako ndivyo ulidai lakini mimi uliniharibia maisha yangu ukageuza shilingi,,nataka ndoa yeah kama kweli nimesaidia maisha yako nioe" Masha alikuwa mkali sanaa baada ya kusikia et asiolewe na Mr Alberto akaanza kulia baada ya kuona hata ukali wake haukusaidia "Umeniharibia maisha yangu leo unanitelekeza kwelii" "Siwezi kukutelekeza masha siwezi nitakupa maisha ,Nafasi yeyote unayo itaka nitakupa lakini sio Ndoa sio Mapenzi nitakuongopea " "Basi niachee" masha akanuna akataka kuondoka chumbani ,Mr Alberto akamshika akamkumbatia hakutaka kumuumiza "Haikuwa nia yangu kukuumizaa masha" Masha ndo akaangua kilio cha nguvu roho ilikuwa inamuuma ukweli ukwelii kukataliwa na Alberto kwake ilikuwa ni zaidi ya mkuki ndani ya moyo wake mipango yake ya muda mrefu aliiona inaenda kuangamiaa Moyoni akasema lazima nifanye jambo hapa la sivyo nitapoteza kila kitu , alikuwa anajisemea moyoni wakati Mr Alberto alikuwa amemkumbatia Masha akaanza kumpapasa "Aaah" moyoni alichukia hicho kitu lakini atafanya nini tena na yeye ndio amesababisha hayo Kumbu kumbu zake zilirudi mbaliii sanaa akiwa na familia yake akiwa kijana wa miaka 16 , anakumbuka walitoka Familia kwenda mji wa California Akiwa yeye ,baba yake mama yake na mdogo wake ambao ulikuwa ndio mji mzawa wa baba yao siku hiyo walikutana na mwanamke mmoja ambae alikuwa Mwanamke wa baba yao kabla hajakutana na mama yao Yule mama alikuwa wa kizungu hakuwa ame move on kwa baba yao , lakini ndio hakuwa na nafasi tena kwa mzee Alipo ona familia ipo karibu yake, alinunua juice kiroho safi tu akaenda kuwasalimia watoto pamoja na famiilia hakuna aliekuwa na shida nae hata mzee alijua walisha maliza tofauti zao Baada ya story za hapa na pale akatoa zawadi za watoto Alikuwa na Juice mbili moja akampatia Mdogo wake Alberto na ingine akampa Alberto kisha akaondoka haraka Yalipita masaa mawili tu tangu Alberto alipo kunywa ile Juice,,Mwili wake ulianza kupata joto kalii Homa ikamuijia ,hali yake ikabadilika na kuwa mbaya sana Familia ilichanganyikiwa,hospital Majibu walipewa kuwa Alberto alikunywa kinywaji chenye sumu yupo kwenye hatari ya kufaa , Alberto hakuwa na fahamu mwili wake ulikuwa unatoa joto kalii Pamoja na kupewa matibabu bado hali haikuwa nzuri Doctor akawaambia kuwa kuna njia moja ya kutoa hii sumu mwilini amekunywa nyingi sanaa Njia ya kutoa hii sumu ni kupitia mbegu za kiume inaweza kumsaidia akarudi kuwa sawa japo sisemi moja kwa moja itaisha mwilini Baba yake akauliza inamadhara hii sumu akaambiwa ndio inauwa baada ya siku kadhaa ukiiwahi inatoka kwahiyo kazi ni juu yenu ... Walitoka hayakupita hata madakika mama yake akaja na bint mmoja ,ilikuwa ndio mara yake ya kwanza kushiriki mapenzi ... Itaendelea.... saa 11:00 jion KWETU morogoro

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

Yule Shekhan Ibrahim kuna mchezaji mzuri sana ndani yake 1: Control the ball ( anajitahidi kudhibiti mpira , kutoka kwa mabeki wake na viungo wenzake ) 2: Anapiga pasi vizuri ( anajitahidi , good long ball mita 20-30 : anaweza kuboresha zaidi ) Zote hizo ni Offensive , yani timu ikiwa na mpira 3: Good defending ( na bado anaweza kuzuia vizuri sana aisee , pale ambapo wenzake watashindwa kukabilia physical basi yeye atafanye na kuondosha athari kwa timu ) NOTE: Umri 22yrs .. hii ni mali sana , kwa umri huo na ukakamavu alionao naona akiwa dhahabu bora kwa baadae , best best young player 👍🏿🔥

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

Siku zilizidi kusonga maisha yalibadilika kwa Dala alikuwa anavaa anapendeza na alisimamia kila kitu kuhusu Shalon pia alikuwa anaongozaba na dereva kumpeleka shalon shule pia kurudi dala alienda kumchukua. Walimu na wanafunzi walijua dala ndio mama mzazi wa shalon . Siku moja Dala alikuwa hajisikii vizuri ilimbidi Max aende kumchukua shalon shuleni . Kwakuwa alikuwa amechelewa kwenda shuleni alikuta wanafunzi wote wameondoka shalon alikuwa amekaa bustanini na mwalimu wake. Max aliwafuata na kusalimiana na mwalimu . " Baba shalon hongera sana kwa malezi ya binti yako. " Asante. Alijibu max huku akiwa anatabasamu lakini hakujua hiyo hongera inatokana na nini. " Shalon amebadilika sana yupo tofauti na mwanzo hata darasani amekuwa akielewa kwa haraka. Kuna baadhi ya mambo yanaweza kubadilisha maisha hongera kwako na mama Shalon. " Asante mwalimu. Max alimchukua mtoto wake wakaondoka lakini kichwani kwa max bado alikuwa anajiuliza kuna tofauti gani kwa Shalon? Kwakuwa miezi miwili iliyopita alikuwa bize hakuwa anafuatilia mwenendo wa shalon. " Natakiwa kuona hayo mabadiliko ya Shalon. Max alianza kumfuatilia shalon aligundua kuwa shalon amekuwa na tabia za tofauti sana . Akiwa nyumbani alikuwa akijishughulisha na kazi ndogo ndogo. Alikuwa akila anatoa viombo, anasafisha alipokula pia alikuwa na furaha sana . Max alimuangalia Dala na kusema. " Nilikuwa nakosea sana Dala natakiwa kumuomba msamaha kwa kutokumua mimi kwangu. Kesho yake Dala alikuwa jikoni anamalizia kuandaa chakula cha jioni , Max alienda jikoni na kusimama pembeni yake. " Niambie mama wa mwanangu. Dala alishangaa maana hata siku moja max hajawahi kumuita hivyo wala kuongea kwa upole vile. " Vipi kuna tatizo ? " Kwanini? " Kila siku najionea ujio wako mpya na hii ya leo sijawahi kuisikia. Max alitabasamu kisha akasema. " Dala kuna muda tunakuwa lakini hatujui kama tunakisea, nadhani hata mimi nilikuwa nakukosea. " Ni kuhusu Shalon si ndio? " Umejuaje? " Ni siku ya pili sasa najiona unafuatilia na sura yako inakuwa imejaa tabasamu. " Ni kweli nilikuwa nikiamini kutokana na Mazingira tuliyokutana. Dala alivua eplon akaweka pembeni kisha akasema. " Max usihukumu mtu kabla haujaamua vizuri pia kuna vitu vya kufundishwa darasani na kuna vitu vya kufundishwa nyumbani. Kumbana sana mtoto na kumnyima vitu vyake vya msingi ni sawa na kumkatili . Hivi wakati unakuwa ulipelekwa maisha kama ulivyotaka aishi Shalon? Huku cheza na watoto wengine mtaani, hukuenda dukani? " Hayo yote nilifanya na nilikuwa nanogewa na michezo mpaka nikawa nasahau kurudi nyumbani wanaanza kujitafutia mitaaani. " Basi shalon nae alikuwa na haki ya kufanya hivyo. Max alikuja kichwa na kujiona kuwa alikuwa anakosea kuingilia kwenye jambo ambalo hakuwa na ujuzi nalo. " Dala kila kitu na kuachia wewe ila kukuwa na tatizo naomba unijulishe pia kama kutakuwa na jambo utahitaji usisite kuniambia. " Sawa. Kuanzia siku hiyo mara kwa mara Max alikuwa akitoka na Dalah pamoja na shalon walienda kutembea sehemu mbali mbali ikiwemo kwenye michezo ya watoto, kwenda kuogelea. Max na Shalon walikuwa kwenye maji wakiogelea max akifundisha shalon kuogelea na Dala alikuwa kakaa pembeni akiangalia. Shalon alitaka Dala aungane nao lakini Dala hakukubali alikuwa anaogopa sana maji. " Njoo mama. " Hapana shalon endelea kuoga na baba yako. "Baba mwambie mama aje . " Anaogopa kuzama hajui kuogelea. "Si utamfundisha? " Siwezi kumfundisha mtu mkubwa. " Mfundishe bwana . " Lakini hataki. " Nenda kambembeleze. Shalon alimuomba sana baba yake . Max alitoka kwenye maji na kumfuata Dala. " Dala, shalon anawaumbua sana hebu fanya jambo moja ..... " Jambo gani? Aliuliza Dala huku akiwa kamtolea macho. " Ingia kwenye maji. " Hapana , bado nakupenda uhai wangu. " Huwezi kuzama nitakuwa karibu yako , unaona shalon anaogelea. " Amevaa vile vidude ili asizane sasa mimi nitasaidiwa na nini? " Usijali nipo hapa nitakuwa msaada wako. Dala alikubali , max alinyoosha mkono dala akampa mkono wake taratibu dala aliingia kwenye maji . Max aliushikilia vizuri na kusogea nae mbele alipokuwa shalon. Dala alionekana kuwa muoga. " Mama usiogope nipo hapa kwaajili yako . Alisema shalon huku akiushikilia mkono wa Dala. Wote watatu walishikana mikono na kucheza kwenye maji . Kadri Max alivyokuwa akimuangalia Dala alijikuta hali yake ilibadilika na akili yake ilihama. *SEHEMU YA TISA* Max akiwa bado ndani ya maji aliendelea kumtazama Dala. Kwa sekunde chache alihisi kama dunia imesimama. Kicheko cha Dala kilikuwa kimetulia, macho yake yalikuwa na mwanga wa furaha isiyo na mipaka. Alijikuta moyo wake ukidunda kwa nguvu zaidi, hali aliyokuwa hajaiona kwa muda mrefu sana. “ Hii Sio kawaida, sitaki kuendeleza hiki kinachokuja kichwani kwangu. alijiambia moyoni huku akijaribu kugeuza macho yake kwa Shalon, lakini kila alipojaribu, macho yake yalivutwa tena kwa Dala. Wakati huo dala alikuwa hana abaloelewa alikuwa bize akicheza na Shalon . Ilikuwa ngumu kwa Max kujizuia alitoka ndani ya maji. " Kama mbona unatuacha humu. " Nimechoka. " Basi tusubiri, njoo utuchukue. Ilikuwa mtihani kwa Max yani kwa hali aliyokuwa nayo bado Dala anataka akamchukue inamaana alitakiwa aushike mwili wa Dala. Kwakuwa hakuwa na namba ilimbidi arudi kumchukua . Alimshika mkono lakini hakutaka kumuangalia . Walipotoka kwenye maji Max aliwaambia. " Kabadilisheni nguo tunarudi nyumbani. " Lakini bababina bado sijaenda kubembea? " Kila siku unatembea shule hiyo inatosha . Max aliondoka na kwenda kubadili , huku nyuma Shalon aliendelea kulalamika. " Baba yako hajawahi kueleweka hata siku moja. Twende tukabadili nguo kipenzi. Wakiwa wamerudi nyumbani, Max alikaa sebuleni kimya. Shalon alikuwa na Dala jikoni wakikaanga mayai. Max Kila aliposikia sauti ya Dala ilimgusa kwa namna tofauti. “Ni nini kinanitokea?” Max alijiuliza huku akijishika kichwa. “Huyu ni Dala... msichana wa kawaida, aliyetoka kwenye maisha ya kawaida, amekuja kuwa msaidizi wa kulea mtoto wangu… sasa nakosa pumzi nikimuangalia? Hapana, Max, unapaswa kuwa na mke wa hadhi yako… mwanamke anayefanana na maisha yako na mnapendana kielimu. Max aliwaza hivyo Lakini upande wa pili wa moyo wake ulijibu kwa kejeli: “Hiyo hadhi imekupa nini Max? Umekuwa mpweke, mwenye stress… lakini tangu Dala aingie hapa, hata Shalon amebadilika, na sasa hata wewe unacheka… unapata furaha ya kweli…” Max alijikuta ana huna na hakujua awe upande upi wa mawazo yake Kesho yake asubuhi max alichelewa sana kuamka . Alipotoka chumbani kwake alienda moja kwa moja jikoni. Alimkuta Dala akiwa na apron, akiwa amevalia dela lake na nywele zake ndefu alizibana . Alisimama mlangoni akawa anamuangalia jinsi alivyokuwa akimfundisha Shalon kupika maandazi. Shalon alipomuona baba yake alimuita " Baba njoo uone napika. Max aliachia tabasamu na kusogea karibu yao . " Habari za asubuhi. " Salama . " Naona mama na mwana mpo Bize. " Ndio lakini tumeshamaliza. “Max unataka chai au juice?” Dala aliuliza kwa tabasamu. Max alifikiria kwa kwa sekunde kadhaa, kisha akajibu “Juice inatosha… nataka kitu cha baridi.” “ sawa mbona umelala sana leo?” Dala alimuuliza. “Sina tatizo… nimechoka tu.” " Pole , tangulia sebleni nitakuletea juice na kutafunwa. " Sawa. Max alienda kukaa sebleni baada ya sekunde kadhaa Dala aliandaa na Max akaanza kula . Lakini akili yake bado ilimuwaza Dala. “Hatuwezi kuwa pamoja,” alijiambia kimoyomoyo, “siwezi kuruhusu maisha yangu kushuka kiwango… lakini… kwanini moyo wangu haukubali hilo?” Hapa lazima nipingabe na moyo wangu. Siku zilisogea Max akaanza kujitenga kidogo, akijitahidi kupambana na hisia zake. Alianza kutengeneza mazingira ya dala kumuogopa na hata kumchukua . Siku moja alirudi kutoka kazini. Alikuta nyumba ikiwa kimnya alimuita shalon kimnya akaitwa Dala kimnya . Alirudi getini kwa mlinzi. " Hawa watu wapo wapi? " Shalon na mama yake wametoka. " Ni kawaida yao kutoka nikiwa sipo? " Huwa anampeleka Shalon kucheza na watoto wenzie. " Kila siku? " Mara moja moja. Max alitulia kwa muda kama vile anatafakari kitu kisha akasema. " Ni mbali sana? " Sijui. Alitoka akafungua geti na kusimama nje kama vile anawasubiri. Baada ya dakika chache kupita dala na Shalon walitokea kwa mbali . Huku shalon akiwa anaruka ruka . " Shalon ni baba yule. " Anatusubiri? " Ndio atakuwa akikumiss mkimbilie. Shalon alikimbia kumfuata baba yake huku dala akitembea kawaida. Kabla hajafika getini alikutana na gari. Ile gari ilisimama karibu yake. Mwanaume mmoja alifungua kioo cha gari na kumuomba dala asogee amuulize kitu. Dara alisogea karibu na gari ,wakati huo Max alikuwa katoka macho akimuangalia. " Anafanya nini pale? Alijiuliza kama kwamba anaona wivu. Dala alimaliza kuongea na yule mtu kisha wakaagana , Dala aliondoka huku akiwa anatabasamu . Tabasamu la Dala lilimfanya Max aendelee kutafsiri mengine kichwani kwake. Kila Dala alivyokuwa akipiga hatua kuwasogelea ndipo max alipozidi kushikwa na hasira . Dala alipofika karibu alisalimia. " Habari za saa hizi. Max hakujibu alifyonza na kuingia ndani huku akiwa kabeba mtoto wake. " Kheeee makubwa, kapatwa na nini tena ? Alijiuliza Dala bila kupata jibu. Aliingia ndani alipofika sebleni alimkuta Max pekee yake. " Dala njoo hapa. Aliongea Max kwa sauti ya amri. Dala alisogea mpaka alipo. " Ilimpeleka wapi mtoto wangu? " Kucheza na wenzie na hiyo ni kawaida yetu. " Acha uongo huwa unaenda na mtoto wangu kwa wanaume wako, unanifundisha nini mtoto wangu? Dala alishangaa. " Max mbona kama unanikosea heshima? " Heshima unanikosea mwenyewe kwenye hii nyumba yangu sitaki mtu malaya kwani unakosa nini hapa? Kama mshahara nakupa , mdogo wako anaonesha na kila unachotaka unapata. " Znanisumangia kwa unachinipatia? Umesahau hata mimi nipo hapa kwaajili ya kusimamia wewe, nyumba yako na mwanao? " Sijakata lakini tabia zako mbaya ndio sizitaki. " Tabia gani? " Unatoka nje kwenda kuonana na wanaume zako . Yule ulisimama nae kwenye lile gari ni nani kama ulikuwa haulahisishi? Dala alishindwa kuvumilia maneno makali ya Max alienda kujifungia chumbani kwake na kuanza kulia. Full 1000 Whatsp 0784468229

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

J alinitizama akagundua kabisa namaanisha ninachoongea alinikumbatia kwa furaha mno, J mke wangu nakupenda mno, nisikufiche nilikuwa naumia mno kuona unamlilia jamaa na mimi nipo,nilimtuliza mme wangu kwa busu la mdomoni kwanza atulie aache kuongelea watu wasio na tija kwetu, tunamambi mengi yakujadili... Tuliongea mengi na mikakati ya maisha, geti liligongwa tena hatukwenda kufungua J alinizuia na alipiga simu kuleta mlinzi,alipatikana wa kampuni, tena usiku huo huo, aliingia kazini.. Tulilala kulikucha, nilimuandaa baby mapema saa 11, ili awahi vipindi, nilihakikisha kanywa kabisa na chai, nilitaja kumwandalia na cha mchana akanizuia na kunielekeza kama nitakuwa na nafasi anamtu wake pale mlinzi ata mkuu wa shule nicheki tu kwenye ulahisi kwangu ... Niliona sawa bola kwa mlinzi, mkuu tena akhaaa, aliomba cha asubuhi,nikampa kijana saivi nishakuwa mzoefu siiogopi tena, alifurahi mwenyewe, akasepa mchana nilianda nikaita toyo, ikanipeleka na hivi nimenenepa hakuna alienijua, nilimpa mlinzi kumbe tayali alikuwa na maelekezo... Alinichangamkia adi nikamuachia 20, saivipesa sio tatizo, alifurahi mno mlinzi, wakati natoka J akawa amefika, nikamsalimia tu kwambali ili jioni aludi,lakini mbwa uyu akuludi akajitia bize na masomo, nikawa napeleka tu chakula, yeye simuoni... Adi muda wa ruhusa yangu kuisha ukafika, nikawa naenda kazini, siku ya kwanza kila mtu alinishanga,ata sikuwaoa muda wakunidadisi nilijitia bize, zilipita wiki tatu toka nianze kwenda kazini, lakini sikuonana kabisa na J, chakula nilikuwa nikipeleka nakuta kachukua... Siku moja nikiwa natoka kazini, nikakutana na peter na toyo yake,akasimama huku ananishangaa akaniita nikageuka, " panda nikusogeze, asante we nenda, " Joy naomba upande tuongee kuachana sio ugomvi, na kuna vitu nahitaji tuwekane sawa... Heee wewe peter, naomba uwe mwelewa mimi sina ugomvi na wewe, lakini pia mimi sio mtu wa kupewa lift hasa na mme wa mtu, ata kama tunajuana huwa sipandi na kuhusu maongezi mimi na wewe hatuna cha kuongea, mimi sina tatizo na wewd kuwa na amani... Bahati nzuli toyo wangu akafika nijapanda, peter alionekana kushanga, na kunitamani juu, nimefika tu ivi nyumbani, nasuka nashangaa kuna gari inafunga break, kwa kasi adi vumbi.. Nikashangaa nakuwahi ndani nisije kutekwa bure,nilivyoingia tu ndani ya geti na geti nalo kikagongwa, akaingia J, nijapumua, ila nikakumbuka wiki 4 sasa hatujaonana nikanuna,alivyofika tu cha kwanza nikuuliza, "uyo boya alikuwa anaongea nini na wewe? Nikaona kabisa hali sio shwali, bahati nzuli nilirecord make nilivyoitwa tu na yale mazingira... Nikaon nirecord ili hata mke wake akija kunisingizia, niwe na ushahidi,J alisikiliza akashusha pumzi, nikavuta simu yangu niende zangu chumbani, ajanifata uko uko, " mke wangu usinikasilikie nilikuwa bze kidogo ili nisije kufeli, nikiwa nakuona akili yangu muda wote inawaza wewe tu, nikaona nijae kando kwa muda nijifue... Sikujibu chochote, nijaendelea na mambo yangu, akatoa chips kuku, kaja nayo, ile kusikia harufu tu nilitapika na nina wiki sasa, nikusikia tu harufu ya chips natapika mno, nilitapika uku namlalamilia kwa nini kayaleta... Alibaki kushangaa mimi uyu ninavyopenda chips kuku leo🤔,akahisi tayali kuna jambo, alipeleka chips yake kwa mlinzi, akaludi nikamwambia aoge ananuka chips, hakupisha alioga nanguo alizokuwa amevaa akazifua kabisa... Alivyomaliza tu, akaniambia "twende hosptal sasa hivi, Nilimtizama😏, sitaki nilimgomea cha ajabu ata hakunikalipia kama anavyofanyaga siku zingine... Badala yake akampigia doctor wake, akaja akamuomba anifanyie vipimo, nilipimwa na majibu yakatoka... Kupata mwendelezo bonyeza hij link hapo juu au hii chini ukasome yote hafi mwisho.... Itaendelea....💥 Full 1000 Whatsp 0784468229

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

"Patapata pata!" Sauti ilisikika wakati mapaj😁 yangu yakigongana na nyama uzembe za msichana huyo bonge mnene kuliko wenzake wawili wakati nikiwa nimeanza kumtomb🍆 yeye kwanza tukiwa chooni "Mh kaka wewe mmmh!" Alilalamika huku wenzake wakiwa wameshikilia magauni yao waliyoyakunjia viunoni huku chup😋zikiwa magotini wakisubiri na wao kuingizwa dyudy🍆 wanafunzi hao wa kike wakiwa wamemisi kuchomekwa dyudy🍆la nyama maana walizoea kuchomekana ya plastiki "Kaka basi na mimi jamani" mmoja alinivuta, "We vipi bado" bonge akagoma akanishikilia nisichomoe dyudy🍆kwenye uchi wake, "Bado nini na wewe kwani na sisi hatutaki au?" Wa tatu aliongea, mabishano yakianza, "Taratibu, kila mtu zamu yake itafika, dakika tatu tatu" niliwaambia "Siyo tatu bwana tano" bonge alilalamika huku nikiendelea kumshindilia dyudy🍆 "We tano za wapi, tatu tu" "Hakuna cha tano hapa" wenzake walilalamika huku mmoja akitazama saa yake ya mkononi, na dakika tatu zilipotimia nilichomoa dyudy🍆langu kwenye uch🍆wa bonge na kuhamia kwa yule wa pili ambae ndiye mwenye dyudy🍆la plastiki nae akiwa ameshikilia ukuta nikamchomeka dyudyu na kuanza kumtomb🍆huku yule wa tatu akijishika shika uch😋wake akiona anachelewa, "Mmhhh uuuwiii ooooh" huyu wa pili alilalamika wakati nikimsugua, akainua mguu mmoja kwa juu akinisokomezea zaidi na kukata maun🍎akiwa mtundu mtundu, mikono yangu nilipitisha kwa mbele kifuani mwake nikimshika matit🍒yake madogo madogo yaliyosimama yaani chuch🍼saa sita huku nikiendelea kumpiga mashine, nikiwapa wasichana hao walichotaka ili namimi wanisaidie kunificha nisionekane mpaka asubuhi kutakapokucha niondoke zangu maana kwa usiku huu kutoka ndani ya shule hiyo siyo jambo jepesi, niliingia kwa yule wa tatu nae nikaanza kumtomb🍆, wote niliwapitia kwa zamu mmoja baada ya mwingine tukiwa vyooni mpaka nyuch🍎 zao zilipokauka maji, nilimwaga karibia mara tatu kazi ya kuwasugua haikuwa nyepesi, tukanawa maji baada ya zoezi kuisha kwa bahati nzuri hakukuwa na mtu aliyegundua kama kulikuwa na shughuli inaendelea chooni, nilikuwa makini kila alipoingia mtu tulitulia mpaka amalize haja zake atoke ndo kazi iliendelea... Tulipomaliza mlango wa chooni ulifunguliwa wasichana hao mmoja aliyekuwa na khanga akanifunika gubi gubi mpaka kichwani taratibu nikaanza kuongozana nao kuelekea mabwenini ambapo kulikuwa hakuna watu, wanafunzi walikuwa hawajaenda kulala bado, lengo likiwa wanitangulize mimi kwenye bweni lao, ikionekana ni mida ya chakula wenzao wapo kwenye foleni, tulitembea mwendo wa kunyata mtu yeyote asije akatuona mpaka tukafika kwenye mlango wa bweni lao. "Ingia humu lala sisi tukimaliza kula tutakuja sawa?" mmoja aliniambia, "Sawa" nilitikisa kichwa na kuinua mguu ili niingie lakini kabla sijapiga hatua "Nyie mnafanya nini hapo wakati wenzenu wapo kwenye foleni ya chakula?" Sauti ilisikika nyuma, kugeuka kutazama alikuwa ni mwalimu wao wa kike akija na bakora. "Ohooo madame huyo, tumekwisha!" bonge aliongea huku mikono akiweka kichwani....

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

Nilishangaa ananiambia, tena kwa sauti ya kumaanisha. Nakumbuka aliniambia “Ndeana wangu, njoo nakusubiri, nipo hapa jirani na nyumbani kwenu. Ukitoka tu utaona gari yangu.” Nikashtuka na kumuuliza “Unasemaje?” Akaniambia kwa furaha “Sitanii totoo, nakusubiri, mimi sijui umenipa nini ila siwezi kwenda kulala bila kukuona, njoo basi.” Nikamtazama dada yangu, kisha nikazuga nikisema “nakuelewa sawa nakuelewa.” Akacheka kidogo akisema “Nakusubiri totoo!!” Simu ilikatwa na nikabaki hata sijui namuaga vipi dada kwa maana kitu ambacho sikutarajia ni kuambiwa boss yupo mitaa ya nyumbani. Sikuwa nimetarajia kabisa kwasababu wala hapafahamu nyumbani. Nilimtazama dada yangu kwa wasiwasi, dada yeye alikuwa anatabasamu tu, alikuwa anasuburi nizungumze. Hivyo nami nikajikaza na kusema “dada samahani, nitarudi sio muda mrefu.” Dada yangu alinitazama akatabasamu na aliniambia “sawa kabisa mdogo wangu, hakuna shida.” Kwa mara ya kwanza dada yangu ananipa uhuru bila maswali, maajabu maana yeye huwa hajawahi kuisha maswali kabisa. Nilitoka kweli, nilitembea kidogo sana, huyu mwanaume wala hata hakuwa mbali na nyumbani. Nilitazama huku na kule kuona kama watu wananitazama. Kama ilivyo hilo sio jambo rahisi kuthibitisha kama hakuna aliyekuwa ananitazama au yupo. Ila aliponiona tu alishuka akafungua mlango wa gari na kusogeza pembeni kidogo bila kuzungumza kitu. Na baada ya kusimamisha gari alisema “kwenu ni pazuri sana. Nimepapenda sana. Lini utanikaribisha? Nikamtazama na kisha nikamuuliza “umepajuaje huku?” Akatabasamu na kusema “Hivi mtu anayekupenda unawezaje kumuuliza swali rahisi hivyo totoo.Nimekufuatilia nikapafahamu nyumbani.” Nlimtazama na kuvuta pumzi nikisema “karibu mtaani kwetu, eenh kuna tatizo.” Boss akanitazama na kusema “tatizo lipo, kubwa sana Ndeana. Kubwa.” Nikashtuka na kumuuliza “kubwa gani tena, niambie tafadhali.” Aliniambia kwa kunitazama akisema “tatizo ni kwamba siwezi kukaa mbali na wewe, tatizo ni kwamba siwezi kulala bila busu na tabasamu lako, tatizo ni kuwa umeziteka sana hisia zangu 𝐉𝐀𝐌𝐀𝐍𝐈 𝐁𝐎𝐒𝐒 𝐌𝐈 𝐍𝐀𝐎𝐍𝐀 𝐀𝐈𝐁𝐔 🍒🙈💞: 61 Mimi sielewi kama ninakukera au vipi, ila nataka niwe karibu yako muda mwingi. Nimekuja kufuata busu lako wewe, nimekuja kukuona tu nifurahi na roho yangu. Na si unajua leo umenipa furaha sana, umenipa furaha ambayo sijapata kwa muda mwingi sana katika maisha yangu. Wewe ndiyo furaha yangu.” Nikamtazama na kusema kwa kumshangaa “Yaani wewe, lakini huku ni nyumbani tunaweza kuonekana ujue.” Alinitazama kwa upole akisema “ina maana utaficha kama nakupenda mpaka lini?. Hata mimi mwanzo nilifikiri ni rahisi kuigiza kama sikufahamu. Ila sio kitu kidogo. Ndeana ninakupenda kiukweliukweli. Pengine mwanzo nilikutamani, ila sasa nakuambia nimechanganyikiwa. Unajua sielewi kitu kwako.” Nikatabasamu na kumuuliza “kwahiyo ulitaka kuchezea usichana wangu eenh.” Alinitazama na kisha alianza kucheka na mimi nikacheka sana huku akisema “muone huyu mtoto. Ndeana umenichekesha sana unajua.” Nikacheka nikisema “eenh maana unasema hukujua kama ungenipenda hivi.” Tulicheka sana na kisha aliniambia “Totoo sikia, nimekuja hapa nikiwa na maana kubwa sana. Kila muda nina kushukuru ila bado naona haitoshi, kila mara nimesema asante ila haitoshi. Asante kwa kuja katika maisha yangu Ndeana. Umebadilisha vingi sana. Hata Hotel ilikuwa na hali mbaya sana kiuchumi. Ila kupitia wewe tumepata bonge la dili nono. Na najua huu ni mwanzo tu, huu ni mwanzo Ndeana. Tutapata wateja wengi sana, tutawapata si ndiyo eenh.” Nilimtazama na kusema “Kila jambo linawezekana. Nitafanya bidii, nitafanya mpango, nitahakikisha kila kitu kinakuwa sawa. Mungu atusaidie tu.” Nikatabasamu na yeye akatabsamu akisema “hujui tu kwa familia yangu umefanya nini?” Nikacheka tu kidogo. Kisha aliniambia “Sikia sikuwa nimekupa pesa ya kuanzia kazi. Na sasa nikasema tena ujiandae vizuri ili siku hiyo upendeze na si unajua inaanza wiki hili tu. Ndeana nimekuletea pesa. Sio nyingi kwa mji huu ila najua unaweza kujibana. Sasa hivi vumilia kidogo sana. Nitakufurahisha.” 𝐉𝐀𝐌𝐀𝐍𝐈 𝐁𝐎𝐒𝐒 𝐌𝐈 𝐍𝐀𝐎𝐍𝐀 𝐀𝐈𝐁𝐔 🍒🙈💞: 62 Kisha akavuta laki tano akanipatia akisema “hii laki tano, sijasema ule hii pesa, sijasema utunze kwaajili ya kesho yako. Nimesema hivi ujiandae tu kwaajili ya kuwahudumia wale watu wazito. Umenielewa Totoo.” Nilimtazama na kumuuliza “pesa zote hizi ni zangu mimi?, unasema kweli?” Akatabasamu na kusema “chochote kile kwa mwanamke wangu wa kwanza kumpenda.” Nikamtazama na kutabasamu huku nikitazama pesa na kisha nikasema “Ni nyingi sana, na umesema haupo vizuri ungepunguza.” Alitabasamu akisema “sipo vizuri ila kukupa hiyo hainifanyi niwe maskini. Umenielewa sasa.” Nilitamani kulia kusema ukweli. Alinikumbatia na kisha aliniambia “wewe unatakiwa kunibusu.” Nikambusu kwenye paji la uso. Akatabasamu na kusema “Ndeana acha masihara, hili ni busu la wagonjwa, faraja na marafiki wakati mwingine au dada na kaka. Mimi nataka letu, lile maalumu kwaajili yetu.” Nikamtazama tu, nikafumba macho yangu na taratibu nilianza kumsogelea kabla sijafika aliushika uso wangu kwa mikono yake miwili. Nilisema mwanzo kuhusu ustadi wake wa sekta hii, nami nikifika hapo nakua rojorojo siwezi kusema kitu. Mwanaume anajua na ana hisia sana. Aliporidhika aliniachia akashusha pumzi ndefu sanaaaa, akaniambia “Nimekumiss sana, siwezi kukuacha uende, siwezi nimekukumbuka sana.” Kabla sijajibu akaendesha gari akasogeza sehemu salama zaidi, ilikuwa ni sehemu kama bar hivi, wanasimamisha pale gari nyingi sana. Akajipenyeza kupata nafasi na kisha nikamuuliza “Unafanya nini sasa?” Akanitazama na kusema “Nisamehe Ndeana, ila kwako nashindwa kuwa mpole, nakuomba sana please, kidogo tu.” Nikasema kwa kushangaa “Boss!!” Akanitazama nikasema tena “Kwenye gari?” Akaniambia kwa sauti ya huruma “hutojutia, trust me utafurahia sana. Utafurahia.” Kabla sijajibu tayari alinivuta mwilini mwake, alifanya analoweza nguo yangu ikapandishwa, nguo ya ndani sijui alitupa wapi. Ila alinipakatia, Nikiwa mapajani mwake nakula busu tena busu haswa, na fimbo yake ikiendelea kurindima. 𝐉𝐀𝐌𝐀𝐍𝐈 𝐁𝐎𝐒𝐒 𝐌𝐈 𝐍𝐀𝐎𝐍𝐀 𝐀𝐈𝐁𝐔 🍒🙈💞: 63 Ngoma inapigwa, nami nacheza ngoma kwa madaha mbele ya mwana mfalme ili niondoke naye. Tena siku hii utamu wa ngoma haukuwa mdogo, ulikuwa ni mkubwa sana, nilijikuta nacheza ngoma tofauti na nilivyocheza mara ya kwanza. Viti uwanjani ni kama tuving’oe tutupe nje ya uwanja ila haiwezekani. Kwa vurugu zetu, tukalaza tu. Kusema ukweli, ninazidi kufurahia, ninazidi kumuweka moyoni. Ameanza kunifundisha tabia ambazo mimi sikuwahi kuwa nazo, kama hii ni mpya sikujua kuwa mambo haya hata nje ya nyumba hufanyika. Ninaanza kuzama na kuwa chini juu yake. He is so sweet, haelekezeki. Yaani siwezi kabisa kumuelezea. Hata tulipomaliza kwa ujasiri, nilimtazama usoni, akaniuliza “Hujapenda Yondo sister.” Kwa aibu nikasema “umeona sasa?” Akacheka akisema “Ray c hakufikii, kwani mama ina nini?” Nikashtuka na kuuliza “kitu gani?” Akanionesha kwa sura tu, akijaribu kuchungulia na akisema “kama ina asali ndani yake na ndiyo maana wewe ni honey pot, my sweet person. Wewe mtamu sana, mtamu wa sauti, matendo, tabia, kazi na kila kitu chako pia. Sikia ni kwa moto sana.” Nikashusha gauni na kukaa kwa siti nikisema “unanichanganya, wapi kwa moto sana.” Akacheka akisema “Tanuri lako, limekoza moto. Thanks honey pot, Nakupenda na nashukuru kwa kunitoa jasho.” Nikatabasamu na kusema “asante pia. Nimependa.” Akacheka akisema “sasa kumbe.” Nilipumzika kidogo kisha nikatabasamu na kusema “Naweza kusema usiku mwema?” Na yeye alinitazama na kusema “Ndeana, naweza kukuambia how i love you?” Nikacheka na kusema “Yaani wewe upoje lakini, haya niambie basi.” Akaniambia akitabasamu “Nakupenda wewe totoo, waambie wadau wakae sawa.” Nikajikuta nacheka kwa sauti, nikisema “naomba niende humalizi wewe.” Akasema “simalizi kweli, kama nikuoe leoleo.” Nikacheka tu, na kusema “unajua wengi wakiolewa ndoa zao zinaboa.” Akawa anawasha gari akisema “Ukiona hivyo ujue hapo hawapendani. Unakumbuka nilikuambia mkielewana everything becomes sweet eenh. 𝐉𝐀𝐌𝐀𝐍𝐈 𝐁𝐎𝐒𝐒 𝐌𝐈 𝐍𝐀𝐎𝐍𝐀 𝐀𝐈𝐁𝐔 🍒🙈💞: 64 Sasa mnatakiwa kupendana kila siku, mkihisi kuchokana mnatakiwa kujiupdate tena na tena. Kusema ukweli nitakuwa tu mume mzuri kwako. Na vile sitaki kukukosa.” Nikacheka nikisema “maneno yenu kabla ya kupata sasa.” Aliniambia kitu, alinitazama na kisha akaondoa gari akisema “Hakuna kitu kibaya kwenye mapenzi kama kuwa na wasiwasi na mwenza wako, kutokujiamini, kuwa na imani ndogo juu ya mwenzako. Kuwa na mawazo hasi juu ya uhusiano wenu. Ndeana unatakiwa kufikiria raha, furaha, imani, mapenzi na vitu vizuri vyote kwasababu hivyo ndiyo unastahili. Unajua watu wengi wanalalamika kuhusu ndoa mbaya, ndoa vile na hivi kiasi hata wale wenye ndoa nzuri wakiongea wanaonekana waongo. Ndeana, utakuwa watu kati ya wale wenye furaha kwenye ndoa zao. Niombee, Haki ya Mungu, I wilii Marry you.” Nilimtazama tu na kuvuta pumzi. Aliendesha gari mpaka sehemu karibu na nyumbani, akaniacha hapo. Kisha aliniaga akisema “kesho ifike haraka nikuone tena.” Nikacheka nikisema “Byee.” Na yeye akawa ananibusu kwa mkono wake kisha ananioneshea akisema “Byee my Sweet Person. Nakupenda.” Hakika nilikuwa nasikia raha sana, nilikuwa ninasikia raha mno. Nikawa natembea nageuka nyuma bado yupo ananitazama tu, natembea nageuka nyuma basi hivyohivyo mimi natabasamu tu. Nikafika nyumbani, nilipoingia tu nilikutana na dada yangu. Nikataka nipitilize chumbani kwanza nikisema “dada nitarudi ngoja nikabadili nguo.” Dada aliniambia kwa upole “njoo mara moja mdogo wangu.” Nikamtazama na kwenda kukaa karibu na yeye. Kisha alinitazama na kuniambia “najua huwezi kunificha mimi. Eenh niambie kuhusu boss, nini kinaendelea.” Nikamtazama na kisha nikatabasamu nikisema “Jamani dada hakuna kitu, ni mtu mzuri sana. “ Dada alitabasamu na kuniuliza “Ni mtu wako, yaani ni mpenzi wako?” Nikashtuka na kusema “dada nawezaje sasa, hapana hata sio.” Dada alisema kwa upole “sikia mdogo wangu. Wewe sio mtoto hata nikuambie muache au huyo ana faa au hafai. Nataka utambue kuwa unao uhuru wa kuwa na yeyote yule unayempenda. 𝐉𝐀𝐌𝐀𝐍𝐈 𝐁𝐎𝐒𝐒 𝐌𝐈 𝐍𝐀𝐎𝐍𝐀 𝐀𝐈𝐁𝐔 🍒🙈💞: 65 Kikubwa mdogo wangu nimetaka nikukanye kama mdogo wangu. Kama ulivyosema, ni boss wako, ni mtu mkubwa ni tajiri. Hatujui tabia zake, kama ni mtu mzuri au mtu mbaya. Ila ninaweza kukuambia kwa ujumla wao. Watu hawa kwanza huwa wanafamilia zao, chunguza hilo kwanza mdogo wangu usije kuwa na mume wa mtu, na kama sio hivyo watu hawa ni wabinafsi sana kimapenzi yaani kwasababu wana pesa wanahisi wanaweza kulala na mwanamke yeyote yule. Na wengi wao ni wagonjwa sana tu. Mdogo wangu usitoe haraka mwili wako bila kuthibitisha mambo kadhaa utakuja kujuta. Maboss wengi maneno mengi na kutumia pesa zao ili unase kwenye mitego yao kisha akija mwanamke mwingine wewe tena hakutaki anaweza hata kukufukuza kazi, au anaweza kukufanya mdoli wake wa kukutana naye kimwili bila kujali unataka au hutaki na kumuacha unashindwa kwasababu tu ndiyo boss wako. Nataka kujua kitu, mdogo wangu kipenzi Unampenda?, tafadhali niambie ukweli usifanye tu kwasababu ya kazi.” Maneno ya dada yalinichoma sana, haswa anaponiambia ni wagonjwa, usitoe mwili haraka wakati mimi nimenogewa nishakutana naye kimwili mara mbili zote. Nilijikuta nainamisha kichwa changu chini. Ndipo dada aliniuliza tena “Mdogo wangu, unampenda huyo mwanaume?” Nikamtazama na kusema “kusema kweli dada ninampenda sana. Naona ni mwanaume mzuri. Lakini sijamuonesha kama ninampenda kwa kiwango kikubwa sana kama ambavyo ninakuambia kwa maana naogopa kuumia. Dada ninampenda sana. Kuna muda nashindwa jizuia sijui nifanye nini?” Dada alitabasamu na kusema “Kumpenda mtu sio kosa, ila nakuombea umpende mtu sahihi utafurahia maisha yako. Kitu kingine kabla ya chochote kitu. Mkapime afya zenu. Ndeana kama wewe hutaki fanya kwaajili yetu. Tupo wawili tu, tunatakiwa kulindana. Na baba Yetu kama unavyomuona. Anaumwa, na mimi unajua afya yangu. Kwahiyo jitunze na uwe mzima.” Nikatabasamu na kusema “aliniletea pesa, kwaajili ya kujiandaa na ile kitu nimekusimulia.” 𝐉𝐀𝐌𝐀𝐍𝐈 𝐁𝐎𝐒𝐒 𝐌𝐈 𝐍𝐀𝐎𝐍𝐀 𝐀𝐈𝐁𝐔 🍒🙈💞: 66 Dada alitabasamu na kusema “upo huru mdogo wangu wala hutakiwi kuniambia una shilingi ngapi, umetoa wapi. Najua unajua kutafuta na una akili. Wewe niambie huzuni zako tusaidiane, furaha zako tufurahi pamoja. Nakupenda sana.” Nilisema kwa upole “nashukuru sana dada.” Dada alisema “haya nenda zako ukajiweke sawa na uje kula kwa maana leo nimepika vitu unavyopenda.” Nikasema usiniambie “ndizi nyama nyingi.” Dada akacheka akisema “ndizi kidogo nyama kibao.” Tukacheka pamoja huku nikielekea chumbani.” Nilipofika chumbani nikawa nachekacheka tu, yaani kama sio mimi ambaye nilikuwa nasema hata nikilala naye nipate kazi sitaki mazoea. Ni mimi nilikuwa nasema hata kulala naye sitaki na kazi basi tena. Ila ninazidi kunogewa. Mwanaume ana maneno matamu huyu, mwanaume anajua kupenda, anakuonesha anakupenda mpaka unasikia raha. Katikati ya kucheka nikakumbuka maneno ya dada kuwa huyu mtu humjui vizuri, usitoe mwili kwanza mkapime. Nikajikuta navuta pumzi kisha najiuliza “anaweza kuwa muathirika etu?, hapana na anavyonipenda hivyo kweli, hawezi si ndiyo eenh. Mungu wangu kama nimempima kwa macho nitakuwa nimeisha. Hawezi, hawezi ni mzima.” Ninajifariji mwenyewe, mara nikakumbuka Joan alitaka kusema kitu, meneja alikatisha. Nikamtafuta haraka haraka nikampigia. Na yeye alipokea na kusema “rafiki yangu umefika?, ilikuwa nikutumie ujumbe hapa maana nimefika hoi.” Nikacheka nikisema “nashukuru sana rafiki yangu nimefika poa kabisa. Nilikupigia tu nikuambie nimefika.” Akaniambia kwa upole “sawa rafiki yangu.” Nikasema “kesho tuwahi kipenzi. Kwa maana kuna kazi tunatakiwa tukafanye mwambie na huyo mwingine uliyemchagua.” Joan aliniambia “hilo limeisha.” Nikatamani niulize ila nashindwa nikasema “basi kesho shoga yangu.” Na yeye akaniambia “sawa kipenzi.” Kabla sijakata nikajifanya ndiyo nakumbuka, nikasema “eenh shoga, nimekumbuka muda ule Boss alipopita ulitaka kuniambia kitu ila meneja alikatisha.” 𝐉𝐀𝐌𝐀𝐍𝐈 𝐁𝐎𝐒𝐒 𝐌𝐈 𝐍𝐀𝐎𝐍𝐀 𝐀𝐈𝐁𝐔 🍒🙈💞: 67 Akacheka na kusema “nilishasahau, tutaongea tu vizuri. Ila nilitaka nikuambie ana dharau sana yule Boss. Sio dharau hizi za kawaida kwasababu ana pesa. Hapana, ila wanawake sijui anawachukuliaje, wanawake kibao pale kazini mpaka wanapigana, ila yeye akikulala mara moja hakurudii na wanasema yupo vizuri balaa.” Moyo wangu ukaingia ganzi, hata Joan aliniita “Ndeana unanisikia?” Nikasema kwa kujishtukia “mtandao kipenzi, aisee kwahiyo yeye halali na mwanamke mara mbili, na hao wanaomgombania ni wafanyakazi?” Akasema “nani tena wengine, na wengine nje ya ofisi si unajua watu wenye pesa shoga, kwahiyo kuwa makini na ulivyo mzuri shoga usije liwa na ukaachwa mataa.” Nikatamani kulia, na nilitamani kumuuliza kuhusu yeye. Ila kama mtu ameniambia hivyo ina maana hata yeye kawahi kulala naye au hajawahi. Mimi ilinibidi nimuage tu. Moyo wangu uliniuma mno, uliumia sana. Ndani yangu nikasema “kumbe ni malaya, kumbe ataniacha tu. Sasa kwanini, kwanini sasa.” Nilikuwa nimeweka simu pembeni, naumia sana. Nakumbuka maneno yake na nyakati chache ambazo tumekua pamoja. Naumia sana kwa maana mimi tayari nimempenda sana. Na kama analala na wanawake wengi namna hiyo ina maana usalama wa afya yake ni mdogo sana. Ninaogopa, hofu imetanda ndani ya moyo wangu. Nimeingiwa ubaridi na woga mkubwa sana. Ujumbe uliingia kwa simu yangu. Nilichukua simu ili kuusoma. Alikuwa ni dada Martha ameniuliza swali “Are you Dating Him?(una mahusiano naye?)” Nikashangaa, kisha nami nikamjibu “wewe sio ndiyo uliniambia ananipenda niwe naye sasa mbona unaniuliza?” Martha akanitumia “🙄🙄🙄upo naye mpaka leo hii?” Nikamjibu kwa kushangaa “dada sikuelewi kwani kuna nini?” Martha aliniambia “haiwezekani!!, Stewart hana muda na mwanamke katika maisha yake. Imekuaje kwako. Mdogo wangu nisamehe kama nitakuwa navuka mipaka. Nataka kujua ushakutana naye mara ngapi?” Nikaguna na kusema “unajua unashangaza dada Martha. Mara mbili?” Soma muendelezo kwa sh 1000 Njoo WhatsApp 0743433005

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

Max alimuangalia Dala usoni kisha akatingisha kichwa na kuelekea chumbani kwake. " Yani huyu anataka kuujaribu uvumilivu wangu na mimi nitashinda kabisa kuvumilia. Max alienda kumtembelea dada yake Irene wakiwa wamekaa sebleni wakipata vinywaji Irene akauliza. " Vipi shalon anaendelea je? " Anaendelea vizuri, anafuraha, amezoea na anaamini ni mama yake. " Hilo ni jambo zuri , Dala anaweza majukumu yake? Anaendelea vizuri lakini siliziki na mambo yake. " Kivipi? " Naona ana mambo ya Uswahili sana naogopa shalon anaweza kuiga tabia za ajabu. " Lakini kuhusu malezi ya mtoto? " Naona anamlea vizuri na shalon anampenda mno . " Basi hizo tabia zake wala zisikuumize kichwa unatakiwa kumuelekeza taratibu atakuelewa tu. " Sawa lakini zinaniumiza sana kichwa kuna wakati najiuliza nashikwa na hasira natamani hata muonane na Hilda niongee nae ana kwa ana. " Hivi bado unamfikiria huyo mwanamke mwenye roho ya kishetani? " Sifikirii kwaajili yangu ni kwaajili ya Shalon. " Sahau kabisa kuhusu yeye maana sidhani kama huko aliko anawakumbuka. Kaa na Dala akupeleke binti yako na kama itakupendeza unaweza kujiongeza. Alisema Irene huku akitoa tabasamu. " Utani nani huo dada yani mimi niwe na Dala? " Kwani kuna ubaya? " Ni kitu ambacho haliwezekani kabisa na wala sifikirii kuwa na mahusiano imetokea kuchukua wanawake. " Una kichaa wewe ukosewe na Hilda ujumuishe wanawake wote. "Tuachane na hayo. Nilipita kukuona sasa acha nirudi nyumbani nikamuone binti yangu. " Wasalimie. Max alirudi nyumbani kwake akamkuta dala anakunja nguo na shalon alikuwa Kalala kwenye kochi. " Habari " Salama. " Mbona mtoto Kalala hapo? "Amepigiwa na usingizi muda huu nitampeleka chumbani kwake. " Na kwanini nguo zinakunjiwa sebleni? " Kwani kuna tatizo nikikunjia nguo hapa? " Huoni tatizo ? Hii ni sehemu ya kukaa na kupumzika pia wageni wanaweza kufika muda wowote. " Jamani max mbona unagubu wewe kwanza tangia nimefika kwenye hii nyumba sijawahi kuona mgeni akija hapa. " Hata kama hii ni seble sio chumba leo hii iwe mwanzo na mwisho kukunja nguo hapa. " Sawa baba shalon nimekuelewa. Dala alichukua nguo akawa anaelekea chumbani pia Max alimbeba Shalon akampeleka chumbani kwake na kumlaza kitandani. Kesho yake maxt alikuwa ndani na mtoto wake , dala alikuwa nje anaongea na simu. " Yani kazi nimepata shoga yangu lakini yule kaka usinione vile ni kichefuchefu hatari yani Sikai kwa amani kila unachofanya anatoa kasoro anaona kama vile sina ninalojua, yani kama mshamba flani hivi. Kutokana na hizi tabia zake nahisi ndio maana hawezi kukaa na mwanamke hata hivyo nina wasiwasi mke wake atakuwa kamkimbia kwa sababu ya mambo yake. Wakati dala anaongea na simu kumbe Max alikuwa amesimama kibarazani akawa amesikia kila kilichoongelewa. Max alishindwa kuvumilia akiongelea vile akajikohoza na kumfanya Dala ageuke nyumaa. Alikata simu na kumfuata Max pale aliposimama. " Ulikuwa unaniongelea mimi si ndio? " Hapana. Max alimuangalia kisha akasema. " Kajiandae tutoke. Dala alipita pembeni akaingia ndani kwaajili ya kujiandaa. Akiwa anamalizia mlango uligongwa. " Yani huyu nimeingia sasa hivi na sasa ananigingea mlango. Dala alimaliza kujiandaa akachukua simu yake akaenda kufungua mlango akiwa anajua anaenda kukutana na Max baba kisirani lakini haikuwa hivyo alikutana na sura ya binti mrembo shalon akiwa anatabasamu. " Jamani kumbe ni wewe kipenzi. "Ndio , umependeza. "Asante kipenzi. " Niamini nataka unioake mdomo wangu uwe mzuri. Shalon alitaka apakwe lipstik " Sawa njooo. Waliingia chumbani Dala akaanza kumpaka wanja na rangi ya mdomo. " Tayari. " Nataka kujiangalia. Shalon alijiangalia kwenye kioo. " Waoooo nimekuwa mzuri. " Wewe ni mzuri siku zote. Shalon alifurahi kuambiwa hivyo. " Sasa tutoke kabla baba yako hajatufuata. Dala alimbeba Shalon wakatoka nje . " Dady niangalie nilivyokuwa mrembo. Alisema shalon , max aligeuka kumuangalia alipoona kapodolewa alikunja sura na kumuangalia Dala . " Dala...... " Max tulia, shalon yupo hapa. Kweli max alitulia hakutaka kumfokea mbele ya mtoto. Dala na shalon walienda kupanda kwenye gari tena walikaa siti ya nyuma. Max alipanda mbele na kuanza kuendesha gari. Walielekea kwenye duka moja la nguo. " Dala ninekuleta hapa uchague nguo nataka uchague nguo za maana ambazo ukivaa hata mtu akimuona anakuona mwanamke wa heshima, mke wa mtu na mama wa familia. " Mmmh .... Kwahiyo unataka nivae vitenge, magauni marefu ya marinda.... " Sijamaanisha hivyo unatakiwa kuvaa nguo nzuri za kisasa na sio zilizopitwa na wakati kama huwezi kuchagua ni bora uombe msaada pia nitatoa kuzikagua. Dala alianza kuchagua nguo huku akiwa kashika mkono Shalon watu walimsifia na kumpongeza dala kuwa ana mtoto mzuri tena yupo smart. Kitendo cha watu kumsifia Shalon kilianza kumpa matumaini Max . Dala alichagua nguo na Max akizikagua aliangalia zinazofaa wakalipiwa na nyingine ambazo hazikumvutia walirudisha. JE NINI KITAENDELEAAA!! " OFAAAA KUPATA YOTE NI 1000 TU NJO.... WHATSAP 0755090082

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

MTNZ: ZAMRATA MBWANA (ZM) NO: 0698095257 Tulipoishia ni Pale Juma anaumia sana baada ya Majibu ya Ndoa ya Zenafa Kukubaliwa.. Masiku Kazaa yalipita na Zenafa hakuwa na Furaha hata kidogo Kuhusu iyo Ndoa anayotaka Kuolewa Alitafuta Mda ambao Baba Yake Alikuwa kakaa Peke ake na Kumfata Zenafa : "Baba ni Kweli umekubali Kunitoa Sadaka Kisa tu Tamaa ya Pesa ?" Zenafa Aliongea huku Machozi yakianza Kumlenga Baba : "Zenafa Ayo Maneno Umeyatolea wapi ? " Baba Zenafa Aliongea kwa Ukali Kidogo kisha Akanyamaza Kimya na Kumuangalia Binti yake kwa Upole Baba : "Samahani Binti yangu. Haijalisha nilikuwa nakupiga Malangapi? Nimekufokea Mala ngapi Lakini Nakupenda Binti yangu na Sihitaji Uteseke " Zenafa : "Acha ! Inatosha Baba Unanipenda mimi upendo gani unaouzungumzia hapa ? Kati ya Baba na Mtoto kwenda kuniozesha kwa Mwanaume Nisiyemjua ?" Zenafa Alianza Kuongea huku machozi yakimwagika Baba : "Ndiyo Sitaki Uendelee Kuteseka Hapa Zenafa Ni Kheri Uolewa uko Labda utakuwa Nafuraha " Zenafa : "Oh! Furaha , Furaha gani unayo izungumzia hapo kwenda Mahala nisipopajua na kuolewa na Mwanaume Nisiye mjua Baba ?" Baba Yake Zenafa Alijinamia chini kwa Mda na kuinua kichwa Chake Baba : "Zenafa Binti Yangu Unaniona hii hali yangu sio wa Kupona leo au Kesho nitachelewa sana , na kama unavyo ona mna mke na hawo Dada zako je ni nani atakae Wahudumia Mwanangu ni Wewe Fanya kwaajili yangu Basi Mwanangu, Pia Binti yangu Mimi nishazeeka Mda Wowote naweza Nikafa Sasa Wewe utaishi Maisha gani hapa Kijijini Mwanangu na huna ndugu " Baba Zenafa Aliongea huku Machozi yakimwagika kwa wingi Zenafa Alikaa Kimya kwa Muda huku Akitafakari maneno ya Baba yake Zenafa : "Sawa Baba nitaolewa " Zenafa Alisema hivyo, Baba yake Zenafa hakuamini Masikio yake na Aliachia Tabasamu pana . Wakakumbatiana ... Zenafa Amekubali kuolewa. Ndoa ilitangazwa Kijiji Kizima Na Mahali ilitolewa yote Kiasi cha Milioni 1 Na Mzee Kazumari Aligharamia . Galama zote za Shughuli na Juma ndo Alie enda Kuoa kama Mbadala wa Mahili yani Alimuolea Mahili . Siku ya Ndoa Zenafa Alipendeza sana Alipodolewa Vizuri na Kuvyeshwa Nguo nzuri . Juma Alizidi Kuchanganyikiwa Alivyomuona Zenafa Ndani ya Shela Zuri yani Aliwaza kama Ndo Anakuwa wake Kweli . Alivyoambiwa Akamchukue mkewe Alimwangalia Usoni kwa Mda Mrefu "Umependeza sana Zenafa Wewe ni mrembo kuliko nilivyokuwa Nafikiria eti " "Asante Juma " Juma Aliongea hayo Maneno na kuachia Tabasamu Lakini Alivyokumbuka mke Hakuwa wake Bali ni Wamahili Tabasamu lote lilipotea Gafla Hatimae Ndoa ilipita na Zenafa Alikuwa Mke Halali wa Mahili Kazumari. Walimchukua Zenafa na Kumkodia Chumba Walipofikia Wao pia na Siku ya Pili Safari ya Kuelekea Dar es Salaam ilianza Majira ya Asubuhi kutoka Iringa hadi Jioni Waliingia Katika Jiji la Dar es Salaam . Zenafa Kwa Mala ya Kwanza Alikanyaga Kati Jiji la Dar bila Kumjua Mume Mwenyewe Amekubali tu kwaajili ya Kumlizisha Baba yake Mzazi "Habar " "Salama Shikamoo " "Malhaba " "Khe ! Mzee Kazumari Naona umeamua kuongeza House girl mpya " Mzee Kazumari : "Hapana Mkwe Wangu Fifi huyu ni Mke wa Mahili nimemuolea Mahili " Fifi : "Eti nini ? Mamaaaaaa!!!" Fifi Alipaza Sauti na Kumuita Mama Mkwe wake Kwa Sauti Hakuamini maneno Aliyosikia . Fifi Alikuwa Mke wa Mtoto wao mkubwa wa kwanza Kaka yake Mahili Alieitwa Faridi. Mama yake Mahili . Bi Tausi Alikuja Hupesi kwa Kushuka Ngazi Kutoka juu ya Chumbani kwao Nyumba yao ilikuwa ni ya Golofa Vyumba vya Kulala Vilikuwa Juu "Ushaanza Fifi kuna nini tena ? Oh!Mzee Kazumari Umeludi Mumewangu " Aliongea Bi Tausi nakuachia Tabasamu Pana Walisalimiana "Karibu Binti " "Asante " "Mzee Kazumari kuna Rafiki yako yeyote Aliekuagizia House girl maana kwa Hapa Nyumbani Sijui kama kuna Uhitaji wa House Maid kwa Sasa ?" "Hapana Mkewangu hakuna Alieniagiza na Wala hatuhitaji House Girl huyu Binti unae Muona Hapo Mbele yako sio Binty binti tu. Anaitwa Zenafa ni Mkweo ni Mke wa Mahili nimemuolea " "Eti nini we Mzee !!! Ivi hicho unachokiongeakinatoka Mdomoni kwako au Naota ? Ulimuuliza Mahili ili Suala au Umekulupuka ?" "Naomba uniacha Bi Tausi nimechoka na Safari usinichoshe Zaidi. Mahili Sijamshilikisha ila Kwakuwa Ni Mwanangu na Mimi kama Ndo baba yake Mzazi atakaa na uyu mke " "Acha Mambo yako Mzee Kazumari usifanye vitu kama umechanganyikiwa Sawa ? Mahili unajua Fika kama Anampenzi wake Sasa kwanini Umletee huyu Bushman ?" Mama Mahili Aliongea kwa Hasila Kuonesha Ajapendezwa Kabisa na ilo Swala la Mwanae Mahili kuolewa Mke bila Kushilikishwa Mzee Kazumari Alimuita Mfanyakazi Mmoja na Kumwambia Amkalibishe Zenafa kwenye Chumba cha Mahili Mzee Kazumari Alimaliza Kuongeana Kupanda Juu ya ngazi na Kuelekea Chumbani kwake . Bi Tausi Alijishika Kichwa na Kukaa kwenye Sofa Alivulugwa mno "Mungu Wangu nitamwambia nini mimi Mahili lazima atanilaumu na atasema nilikuwa najua hili kabla " Alikuja House girl na Kumpeleka Zenafa Katika Chumba cha Mahili Ambacho kilikuwa juu ya Golofa pia kilichokuwa Tulivu na Upepo Murua na Madirisha Makubwa ya Vioo Zenafa Aliingia Katika Chumba cha Mahili kwa Mara ya Kwanza na Alikanyaga Sakafu lain na ya Baridi Kitanda Kilicho tandikwa Vizuri kwa Mashuka Myeupe na Mito iliyo Pambwa Vizuri Alifika na Kuweka Shangazi kaja lakoMlangoni "Waooo! Chumba kizuri sana " Alisema Zenafa nakuanza Kuzunguka Chumba Kizima na Aliiyona Picha Kubwa iliyopo ukutani Ambayo Alikuwa Mkaka Handsome boy Aliepiga Kifua Wazi huku Akiwa Kavaa Suruali Ya Jinsi Picha Haikuwa Yakuonyesha mtu Mzima mzima ilionyesha Nusu lakini ilivutia sana Picha Haikuwa ya Mtu Mwengine bali ilikuwa ni Picha ya Mahili Zenafa Alivyoiyona ile Picha Aliganda kwa Mda na Kuiyangalia kwa Umakini "Ni Picha Nzuri sana bila Shaka Atakuwa ni yeye huyu " ......... Fifi : "Mama itakuwaje Sasa , Tutamwambia nini Mahili Mungu " Aliongea Fifi huku Aking'ata ng'ata Vidole vyake "Mama Nashauli Uyu Binti tukamuweke Vyumba vya House girl yani Mahili Asimkute Chumbani kwake " Wakati Wanaongea hivyo Mala Mahili Aliingia. Kutoka Kazini Akiwa Kavalia Suti Alifika na Kusalimia. Na moja kwa moja Alielekea Chumbani kwake Bi Tausi Aliinuka na Kumuangalia Mwanae anavyoelekea uko Chumbani "Mahi. Alijaribu Kumuita Lakini Alisita Mahili Alipandisha Ngazi Taratibu na Kuanza Kulegeza tai na Kuingia Chumbani kwake Alishangaa Mlango wa Chumba chake Kuwa Wazi na Taratibu Alipiga hatua na Kuelekea Chumbani Gafla Alipokelewa na Mshangazi Kaja Mlangoni Ambolo lilitaka Kumdondosha "Mamaaaa" Lakini Zenafa Alifika Upesi na Kumdaka Na Wote Walidondokea Chini Na Zenafa Akawa Chini Mahili akawa kwa Juu wakabaki Wanangaliana Usoni ITAENDELEA 11

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

" Mama yangu anaongea sana mzowee mama wa uswahilini maneno mengi. Fariss alitabasamu kisha akasema " Usijali kawaida , hata hivyo muda umeenda nataka kuondoka sasa. " Sawa twende nikusindikize. Fariss alijua Salma anataka kumsindikiza haraka ili aende kwenye ngoma. " Salma naondoka na najua unataka kwenda kwenye huo utamaduni wenu sasa nakuomba kuwa makini sitegemei kuona kitu cha ajabu kwenye mitandao ya kijamii pia naomba ujiheshimu wewe ni mwanamke wa mtu anaejielewa. " Sawa leo nitajishikilia kidogo hata hivyo sitaenda kukaa sana. Wakisindikizana mpaka barabarani Fariss akapanda kwenye gari yake akaondoka na Salma bila kupoteza muda alikimbilia kwenye shuhuri. Fariss aliendesha gari lake kwa utulivu. Alikuwa na mawazo mengi kichwani, macho yake yakiangalia barabarani. Hali aliyokutana nayo pale mtaa wa saba nyumbani kwakina Salma ilimshuhurisha moyo na akili. Hakujua kama alipaswa kucheka au kulia, lakini kitu kimoja alikifahamu alimpenda Salma kwa moyo wake wote. Ila familia yake yote ilikuwa changamoto. Akiwa njiani kuelekea nyumbani, akapiga simu kwa Meyael, " Niambie baba wa mtaa wa saba. Meyael alimtania na Fariss alitabasamu na kusema “Bro nakuja nyumbani kwako nataka tuongee.” " Unakaribishwa. Dakika thelathini baadaye Fariss alikuwa amefuka nyumbani kwa Meyael, uso wake ukiwa umejaa msisimko mchanganyiko wa mshangao na huzuni. Meyael akamwangalia rafiki yake kisha akatabasamu, “Nimeambiwa ulikuwa mtaa wa saba... umeokoka au umepotea?” Fariss alitikisa kichwa huku akishika paji la uso. “Wewe acha tu Meyael... sijui nianzie wapi. Yaani nimekutana na familia ya Salma. mama yake nilikutana naye vichochoroni akanikokota kama mkwe, akaniburuza hadi nyumbani. Halafu loh! Nikapewa chakula kwa sahani ya plastiki... wali na maharage yaliyotiwa nazi , Mashaallah ulikuwa mtamu mama mkwe anajua kupika. Meyael aliangua kicheko. " Usiniambie kuwa umeshajulikana mpaka ukweni. " Ndio nilianza na shemeji na sasa mama mkwe. " Eheee baba mkwe haujamuita? " Kwa maongezi nilivyosikia ni kwamba hayupo kwenye maisha yao. " Amefariki au? " Hata mimi sijui. Ila inavyomuuma Salma ndio mama yake alivyo kwahiyo Salma hajaokota zile tabia. " Wacha weee. " Yani siku ya kwanza tu nimeongea hela ya marejesho... Meyael alicheka kwa sauti mpaka machozi yakamtoka, “Fariss! Yaani umeshindwa ujanja na mama mkwe hadi anakuvua noti?! Sasa ulifikiri upendo wa mtaa wa saba ni wa hisia tu? Huo ni mzigo unaokuja na familia nzima. Karibu kwenye reality!” Fariss naye alicheka kidogo, lakini alibaki na huzuni fulani moyoni. “Lakini bro... Salma ni mzuri, ni tofauti. Ila kuna kitu kinaniuma. Nilipomuangalia usoni, niliona alivyokuwa akijisikia. " Farris unajua upofu wa mapenzi utakupoteza huwezi kubeba familia ya aina hiyo kwanza ina tabia za ajabu kaka Kibaka, mama kama hivyo na Salma nae ni mcheza chura. Kauli ya Meyael ilimchukiza Fariss. Alifurahishwa na maneno ya kuwakashifu. " Unanikosea sana Meyael hupaswi kuwaongezea vibaya sababu hujui sababu ya wao kuwa hivyo. " Sawa lakini ukweli huwa unauma. " Sitaki kugombana na wewe . Alisema Fariss huku akinyanyuka na kuondoka. " Masikini sijui yule mtoto wa uswahilini kampa nini mpaka anakuwa haelewi kinachoendelea. Kesho yake, Fariss alipanga kukutana na Salma sehemu tulivu cafe ya kisasa pembezoni mwa jiji, mbali kabisa na kelele za mtaa wa saba. Salma alifika akiwa amevaa gauni lenye staha, rangi ya samawati, nywele zake zikiwa zimefungwa vizuri. Salma alimkuta Fariss kashafika . Fariss alipomuona akanwambia “Leo umekuwa wa tofauti,” " Asante ila haya yote sababu ni wewe mpenzi wangu maana hata huko mtaani nasifiwa sana na wengine wanasema sasa ndio napaswa kujiita rasmi jina la malkia wa mtaa. Fariss alikuwa anacheka tu. Walikaa wakapiga soga kidogo, kisha Fariss akasema kwa utulivu, “Salma... naomba usichukulie vibaya nitakachokuambia. Salma kama alishituka kidogo. " Wewe unataka kuniambia nini? Unataka kuniacha? Maana sio kawaida kuwa mpole hivyo yani unaongea kwa hisia flani " Umefika mbali sana Salma, Naomba leo usikilize tu. Salma alivuta pumzi alitulia akawa anasikiliza. "Najua unajitahidi sana, najua hujajitengenezea maisha yako jinsi ila nataka nikuelewe vizuri zaidi.” "Unaanzia mbali sana na sijui unataka kunielewa kivipi? Farris kama mama yangu alikosea ile jana tunaweza kuongea tu tukayamaliza . " Wala mama yako hakunikosea kuna mambo nataka kujua kuhusu wewe. Salma alinyamaza, akimtazama kwa macho ya kuuliza. Fariss akaendelea, “Najua baba yako hayupo… nataka unieleze kidogo kuhusu familia yako yani maisha yako kiujumla. Salma alishusha pumzi kisha akaanza kusema. “Fariss… maisha yangu hayajawahi kuwa rahisi hata siku moja Baba alikuwa mlevi, nikisema mlevi ni mlevi haswa aliacha familia na kwenda kuishi kwa mwanamke mwingine. Alituacha na mama wakati tukiwa wadogo. Hakuna aliyetusimamia shule ipasavyo, hakuna aliyejua kama tunaenda shule, tunaandika, tuna daftari au kalamu. Mzazi alikuwa akiitwa shule hakuna alienda mama alikuwa anasema " Nikienda shule Mtakula nini ? Anaondoka anaenda kwenye shuhuri zake za ukungwi ndio maana hata elimu yangu haikukamilika. Mama alikuwa kungwi, anahangaika kwenye sherehe ,maharusi, kitchen party, hata tohara. Ndiyo kazi zake. Dada zangu wengi ( sasa) alibeba mimba kabla ya muda, Abuu, kaka yangu amekuwa kibaka. Na mimi… nimejifunza kuishi tu. Kuna siku tunakula, kuna siku tunalala njaa. Ila bado napambana.” Farris hatupati muongozo mzuri tangia hapo mwanzo tulizurula kama chokoraa au kama kuku wa kienyeji ikifika asubuhi kila mmoja anashika njia yake jioni wote tunarudi bandani. Fariss alibaki kimya kwa muda. Alimkazia macho Salma, si kwa kumhukumu, bali kwa kumuonea huruma. “Nashukuru umeniambia haya. Inaniuma sana. Lakini sasa naelewa... tatizo si wewe, ni malezi. Ni mfumo uliokulea. Salma, nakupenda. Lakini tunahitaji kujifunza maisha mengine. Niko tayari kukusaidia kuona dunia nje ya mtaa wa saba.” Salma alimtazama kwa mshangao. “Unamaanisha nini?” Fariss alishika mkono na wake kwa upole. “Namaanisha... nataka kukutoa kwenye hayo mazingira. Nitakupeleka sehemu tofauti. Tutaenda kwenye semina, tutahudhuria matukio ya watu waliostaarabika. Utaona dunia nyingine. Sitaki ubadilike kwa sababu yangu tu, bali kwa sababu yako pia. Una thamani kubwa sana, Salma.” Salma alilia kimya kimya. Hakuzoea kumuona Fariss aliongea kwa makini kiasi kile na tabasamu lake lililokuwa limebeba huruma . Siku hiyo alikuwa anaonekana kama mtu mzima, anayetaka kusimamia jambo kiende sawa. Full 1000 Whatsp 0784468229

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

Meyael alimuangalia Fariss jinsi alivyokuwa anachsnganyikiwa kwaajili ya Salma. " Kwahiyo na wewe umeamua lipi kati ya kuachana nae au kumbeba pamoja na mizigo yake? " Bado nina nafasi ya kumbadilisha. Fariss alinyanyuka kwenye kiti na kuvaa kiti lake kisha akatoka ofisini. Majira ya jioni Fariss alikuwa mtaani wa saba walikuwa wamesimama kwenye kichochoro huku akiwa wameegemea ukutani pale kichochoroni waliongea kwa bashasha, walionekana kuwa na furaha isiyoelezeka. Fariss alikuwa akimshika nywele za Salma polepole huku macho yao yakitazamana kwa hisia kali. "Unajua Salma, sijawahi kufurahia company ya msichana kama yako... we ni tofauti kabisa na wanawake niliowahi kukutana nao , unanikosha sana .Fariss alisema huku akitabasamu. Salma alicheka kwa sauti ya chini, "Utanielewa tu kwa muda... we mwenyewe utashindwa kuacha huu mtaa." " Dhamira yako ni kuniteka kazima mpaka Mohamed kwetu na kuja kukaa kwenu. " Ikiwezekana. " Basi usijali muda sio mrefu nitahakikisha kambi. " Utaweza maisha ya uswahilini? " Kwaajili yako nitaweza. Alafu Salma tuache utani unajua nataka nikuchukie lazima kama vipi nikuweke ndani kabisa ili mali zangu ziwe salama ... " Yani hapo roho inakiuka unaona kama huku sipo salama kabisa. " Hilo ni jibu salma unajua mambo unayofanya utakuja kuniita na presha. " Yani wewe ulitakiwa tu kunizoea nina mambo mengi lakini kwenye swala la mapenzi huwa najiheshimu sana huwa sichanganyi wanaume wawili au zaidi kwa wakati mmoja. Nakupenda Fariss ndio maana mpaka sasa nipo na wewe na huko mitaa ya jirani kuna shuhuri najua leo wataulizana kwanini sijatokea huko. Farris alimuangalia usoni huku akiniambia " Yani hujui tu ninavyohusika unavyoongelea hivyo vigoma vyenu vya ajabu natamani hata serikali iingilie kati vipigwe marufuku. " Vipi unafikiria nini? " Hakuna kitu, vipi kama tukaenda sehemu kutulia? " Fariss mpenzi umetoka kazini unatakiwa kwenda nyumbani kupumzika . " Ahaaaa unataka niondoke ili wewe uende ukadandiwe na wanaume huko kwenye ngoma zenu za ajabu. " Ohoooo yani sijui kuna shetani gani anapenda kutuchonganisha kila tukikutana tunaanza kwa raha na furaha ila kumaliza tunamalizia kwa Shari. " Yote unataka wewe Salma huna huruma kabisa na moyo wangu. Ghafla sauti ya mwanamke mkubwa ilikatiza ikisema "Salma! Unafanya nini hapa?" Salma alishtuka, alipoangalia nyuma alimkuta mama yake akiwa kasimama mikono kiunoni na mitandio kaweka shingoni. "Naongea," Salma alijibu kwa hofu huku akimwachia mkono Fariss. "Mmmh... Unaongea sawa, lakini swali langu ni unaongea na nani? Huyu ni nani hapa mtaa wa saba sijawahi kumuona?" Salma alimeza mate kwanza kisha akajibu "Mama huyu ni... ni... Fariss." Mama alimtazama Fariss juu chini kama anampima urefu Kisha akasema kwa sauti ya juu, "Aah! Mkwe si ndiyo?" Fariss alijawa na mshituko, hakutegemea mama atasema hilo. Fariss alipojiandaa kusema neno, salma akakatiza, "Bado hatujafika huko ndio.... " Sawa lakini najua ndio mkwe maana taarifa ninazo kuwa umepata mwanaume pedeshee. Ila kusimama vichochoroni ndio tabia gani? Kwani nyumbani hupaoni? Kama mgeni anaelekea na mwenye heshima zake mlete nyumbani jamani!" " Farasi karibu nyumbani. " Mama acha kuharibu majina ya watu ni fariss sio farasi. " Majina mengine magumu jamani haya baba nifuateni nyuma twendeni nyumbani. Mama Salma alitangulia Salma aligeuka na kumwambia Fariss, "Usiogope, mama yuko hivi kila siku." Mama akaanza kutembea mbele huku akiwaambia, "Twendeni jamani, msinipotezee muda. Naenda mbele mnifuate." " Salma kuna usalama kweli isije ikawa shida ? Fariss alihisi kama ameanguka kwenye mtego, lakini akavumilia. Walifika kwakina Salma, nyumba ya rangi ya blue iliyochakaa . Kabla hata hawajakaa vizuri, mama Salma alianza kuongea. "Aaah jamani! Karibu sana kijana. We ni mgeni hapa. Hii nyumba si ya kifahari lakini tuna roho safi. Hatuna kitu ila tinavutu." Kama imezoea AC basi hapa hakuna ac wala deni kuna vipepeo. Salma akacheka, "Mamaaa acha kejeli bana." " Lazima nimwambie ukweli si inapenda binti wa uswahilini bwana . Mama alitoka jikoni na kuja na sahani za wali na maharage, “Kula chakula kijana. Kama hujawahi kuonja maharage ya mtaa wa saba leo ndio siku yako.” Chakula cha ukweni hicho nimepika mama mkwe wako yaani hilo harage limewekwa nazi ya kutosha wewe onja mwenyewe utaniambia. " Asante mama. " Kula Fariss asimuogope huyu mama wa maneno mengi. Fariss akaanza huku akitabasamu ilikuwa ngumu abaki kwake kukutana na familia ya aina ile. Baada ya kumaliza kula mama Salma alirudi sebleni akakaa chini ya mkeka na kunyoosha miguu. " Asante mama, tamu sana mama. " Nilikwambia kupika nimefundishwa na bibi yangu mwanakombo alikuwa anakaa Mkanyageni huko Tanga kwa mapishi alikuwa balaa sasa urithi wake wote kaniachia mimi . Badae ya kuongea akavuta leso yake na kujifuta jasho. "Sasa baba nina ombi moja tu... " Ombi gani mama? Alisema Fariss huku akisikiliza kwa makini ombi kutoka kwa mama mkwe wake " Nipatie hela ya marejesho. Kuna mtu nilichukua kwake elfu ishirini, alafu nikachelewa kulipa nikamuomba anivumilie siku mbili sasa leo ndio siku ya mwisho. Na kama sikutoa, kesho patakuwa hapatoshi hapa uwanjani. Khaaaaa mama mbona unanitia aibu hili ni swala la kumwambia mgeni na ndio kwanza umeonana nae leo? " Wewe mtoto sijui mchawi umechukua roho ya shangazi yako mwajuma hutaki mti apate. Unakumbuka baba yenu ni mlevi tu na aliwakimbia kaenda kuishi kwa Hawara ajawatelejeza nikehangaika kama hayawani ...... " Mama naomba achana na hizo habari unaongea nini mbele ya mgeni wangu una.... Ilibidi Fariss aingilie kati " Usija Salma. Fariss alimtuliza Salma kisha akatoa Wallet na kumpatia shilingi elfu hamsini. Mama alizopokea zile hela na kuzibusu alafu akasema, “ asante sana mwanangu, Mungu mkubwa, huyu kijana ni wa kubarikiwa sana Salma usimwache, ukimwacha utakula huu na hasara juu. Wenzako wanaotafuta hizo nafasi wanaenda mbio kwa waganga ili wapate wanaume kama hawa. Mama Salma linyanyuka akatoka nje na kuwaacha Salma na Fariss wakiwa kimnya.

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

***** Nilishajua kuwa kutoka ndani ya Shule hiyo ya wasichana sitoboi kwa usiku huo, ikabidi nirudi taratibu mpaka maeneo ya chooni yale kujificha maana ukuta sikujua hata niliupandaje pandaje baada ya kukimbizwa na yule mbwa kichaa, ila mti uliokuwa nje mrefu kama ukuta ulinisaidia, siku ya shida hata kama usichoweza kukifanya utajikuta unakifanya tu, ukuta ulikuwa mrefu niliutazama tu nikishindwa kutoka, nilitazama tazama nikaona kupo kimya huku mkoj💦ukiwa umenibana nikaingia chooni humo kimya kimya na kwa bahati nzuri sikuwakuta wale wasichana walikuwa wameshaondoka tayari, nikakojoa na kuanza kutoka kwa mwendo wa kunyata lakini mlangoni nikakutana na wasichana watatu uso kwa uso wakiwa wanaingia chooni nao wakiingia kwa mwendo wa kunyata kama mimi ikionekana walikuwa na ratiba yao, wametoroka madarasani, mmoja akiwa ameficha kitu kwenye sweta lake, walishtuka na kutaka kukimbia, kikamwanguka, lilikuwa ni dyudy🍆 bandia la plastiki, ikionekana wamekuja kuingizana kwenye nyuch😋 zao "Mbona mwanaume?" "Wewe nani?" Waliniuliza huku wakirudi nyuma kwa kuniogopa wakitaka kukimbia, "Samahanini jamani mimi nimeingia tu shuleni kwenu kwa bahati mbaya, nilikuwa nakimbizwa na mbwa nikaruka ukuta, naombeni mnisaidie nitoke humu kama mtaweza nitawalipa" niliwaambia wakatazamana kwanza "Mh kutoka humu sijui na kuna walinzi wawili, wanaweza kukukamata kwa usiku huu labda utoke kesho asubuhi" mmoja alishauri "Sasa mpaka asubuhi mimi nitalala wapi wadogo zangu?" "Tutakusaidia utalala bwenini kwetu" "Asanteni sana naweza kuwalipa hela kidogo" "Mimi yangu wala siyo hela kaka" mmoja alinishika begani huku akitabasamu akiwa na lile dyudy🍆 bandia mkononi, nikamnyang'anya na kulitazama vizuri "Haya siyo mazuri yanaweza waletea kansa" "Sasa kama hatuna mwanaume shuleni tutafanyaje kaka angu angalau wewe umetokea" mwingine aliongea "Jamani twendeni tukafanye madame asije akaja akatukuta mimi nimebanwa mwenzenu" "Twende tu kaka, kuhusu kuondoka hilo tuachie sisi ilimradi tu utusaidie leo" mwingine aliongea huku akinishika mkono wakiingia chooni taratibu, nikatazama tazama nyuma kama kuna mtu anatuona na kuingia nao mpaka kwenye chumba kimoja cha choo wote watatu, wakiwa wamevaa magauni ya kufanana ikionekana ni sare ya kulalia ila rangi ni tofauti, wakafunga mlango kwa ndani, ingawa huku nikampa dyudy🍆 lake la bandia kuwashikisha ukuta kila mmoja mimi nikiwa katikati ingawa chumba cha choo kilibana lakini tulienea, kila mmoja akapandisha gauni lake usawa wa kiuno na kushusha chup🫣 mapajan😋, mmoja akiwa mnene kuliko wenzake akipata shida sababu ya nafasi, wakainama kidogo wakinibana katikati nikafungua tu zip🥱 ya suruali na kulitoa dyudyu nje lililodind🍆kwa uchuu na kunyoosha mikono yangu nikaanza kuzichezea nyuch🍓zao taratibu Wasichana hao waliomisi kupigwa dyudyu halisi la nyama kwa muda mrefu, wakizoea kutumia la plastiki, baada ya dakika mbili za kuwatia Nyeg💦 yule bonge akanivuta nianze kwake na wenzake hawakukubali kila mmoja akawa ananivuta nimwingize kwanza, aliyefaulu ni bonge nikasogea kwa nyuma yake na kumwingiza dyudy🍆taratibu "Jamani kaka!" Alilalamika, kazi ikaanza ya kuwasugua..... Kama bado tupo Pamoja Weka Emoji ya kidole👆👆

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

"Leo kazi ninayo!" Niliongea mwenyewe nikiwa nimeshikilia mlango nataka kukimbia nje maana tayari msichana huyo ameshapandisha maruhani kichwani ambayo sikujua chanzo ni nini. "Njoo hapa, unaenda wapi njoo hapa!" Aliniambia huku akishuka kitandani kwa kuruka mzima mzima akitaka kunikimbilia pale mlangoni lakini kwa bahati mbaya kabla hajafika mbali akateleza na kuanguka mzima mzima chini puuh! akijigonga kichwa kwenye kitanda, akatulia tuli, nikamkimbilia kwa wasiwasi pale chini na kumtazama kama mzima, na nilikagua kilichofanya ateleze na kuanguka, walikuwa ni wazungu💦niliowamwaga chini wakati nilipomaliza kumtomb🍆na kumfir🍆 "Nimeua au?" Nilijiuliza huku nikimgusa shingoni kama mapigo ya moyo yapo, nikagundua kuwa yapo, nilishusha pumzi ya wasiwasi nikamwinua na kumpandisha kitandani taratibu, nikamlaza huku nikitafakari cha kufanya baada ya songombingo hilo lililotokea chumbani kwangu tena akiwa na sare za shul🫣 Akili ya haraka ilinijia nikamvalisha sare zake za shule na kumuweka vizuri kisha nikategea wapangaji wapo vyumbani mwao, nikambeba haraka haraka na kwa machale na kutoka nae kupitia nyuma ya nyumba nikiwa nimembeba mgongoni, uzuri chumba changu kilikuwa cha nje peke yake, njiani bajaji ilisimama, "Vipi unauguza?" Dereva aliniuliza, "Ndiyo mdogo wangu huyu ana homa kali naenda zahanati hapo" "Twende elfu mbili tu" "Sawa" nilimjibu na kumlaza Mwana ambae alianza kukohoa, kwenye viti vya nyuma na huku mimi nikazuga kama nimeingia na kumruhusu dereva aondoe chombo alipoondoa nilimuacha aondoke na mzigo wake huo nikimwekea Mwana shilingi elfu ishirini kwenye sketi yake ya shule, nikajichenga na kurudi zangu nyumbani kwa sababu alikuwa ameshaanza kukohoa kohoa najua angeamka tu mbele kwa mbele, niliporudi niliingia ndani na kujifungia kwanza tuli nikitafakari kilichotokea, nikajiapiza kutokubali tena wanafunz🫣hao wawili na yeyote yule wa rika lao.... Jioni iliingia, leo niliitwa na rafiki yangu mmoja dereva ambae aliniomba niwapeleke watu msibani na kuwarudisha, nje kidogo ya jiji kwa sababu yeye anaumwa na hakutaka aliache dili hilo ambalo tayari ameshapewa pesa ya discount, nikakubali na kwenda kwake kuchukua gari kwa sababu nimesomea udereva na nina leseni nikafanya kazi hiyo ya kuwapeleka na mpaka nikawarudisha wachache mishale ya saa nne za usiku, nilipolirudisha gari safari ikaanza kurejea nyumbani taratibu huku nikiwa na kibunda changu cha elfu themanini mfukoni, pesa nyingine zaidi ya hiyo nilimtumia rafiki yangu huyo ambae tulisoma wote yeye akiwa dereva wa daladala, Nikiwa kwenye njia ya nyumbani mara ghafla nikakutana na watu wawili wanakimbia hovyo, "Kulikoni jamani?" Niliwauliza, "Geuka ukimbie hapafai huko" mmoja alinijibu, ikabidi niendelee na safari lakini kwa machale na kuchungulia na ndipo nilipokutana na mbwa mweusi tii, mwenye macho mekundu akihema huku ulimi wote nje udenda ukimtoka, mkubwa kweli kweli ambae alionekana siyo mzima, yaani ana kichaa ambae ndiye aliyekuwa anawakimbiza wale watu niliopishana nao, "Hili balaa sasa" niligeuka taratibu na kurudi nilipotoka, mbwa huyo kichaa akaanza kuchanganya miguu sasa akinikimbiza mimi, kwa bahati mbaya mtaa wenyewe niliohamia siujui vizuri, nikakosea njia na kushuka ya bondeni kidogo, mbwa aliniunganishia huko huko, kila nikigeuka nyuma nae yupo, jasho likinitoka, nilipopandisha bonde nae yumo, kwenye pori moja nikauona ukuta mrefu ambao nilijikuta nikiupanda na kuuruka bila hata kujua naangukia wapi na sikujua hata niliupandaje pandaje nikajikuta nimeangukia kwa ndani ya ukuta huo puuh, kwenye majani mengi yaliyonisaidia nisiumie na hiyo ndo ilikuwa pona yangu, nilisimama na kujikung'uta kung'uta majani nikawaona wasichana kama kumi hivi wakija upande huu nilipo nikajificha na kumbe walikuwa wanaenda chooni wakiwa na nguo zao za nyumbani, nilipita nyuma ya majengo nikagundua kuwa nimeingia kwenye shule tena inaonekana ni ya bweni, nikachungulia upande wa getini nikakuta mlinzi mwenye bunduki, na geti limeandikwa KITOMBO GIRLS SECONDARY SCHOOL kumaanisha ni shule ya Wasichana pekee...

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

"Mwanaidi huku tena?" Nilimwuliza alipotaka nimwingize dyudyu🍆kwenye mkund🥬wake badala ya uch🫣 "Ndiyo mbona Fatuma umemfanya hivyo?" Aliniuliza nikagundua kuwa mwenzake alimsimulia "Kwahiyo mwenzako amekusimulia kuwa nimemfanya nini?" "Kaniambia umemfanyia huko" "Utaweza Mwana, sitaki kesi" "Nitaweza kwani Fatu amewezaje?" Mwanaidi aling'ang'ania zoezi hilo ambalo nadhani mwenzake alimsimulia akimtambia huko walipoonana. Niliinuka na kuyafuata mafuta nikarudi nayo mpaka kitandani ambapo msichana huyo akiwa kitandan😋anacheka cheka nikamalizia kumvua sketi yake taratibu akabaki uch🫣kama alivyozaliwa, nikamvuta na kumgeuza kama samaki wa kuchoma nikimtegesha kama mtoto anayetambaa matak😋yake nikitazamana nayo nikammwagia mafuta yote yaliyobakia na mengine nikiyapaka kwenye dyudyu 🍆 langu lote mpaka chini kwenye korodan🍒zangu nikaliacha linang'aa, msichana huyo alinisogezea akipanua matak🍒yake kwa mikono nikiviona vyote uch🫣na mkund🥬 wake, nikasogeza mkono wangu na kuingiza dole la kati🖕kwenye mkund🥬wake mdogo kutengeneza njia kwanza "Kaka hili lote si litaingia?" Aliuliza huku akilishika shika dyudyu🍆kwa mkono wake, akionekana kuwa muoga "Litaingia Mwana wala usijali" nilimjibu na kuanza kuingiza kichwa ambacho kiliingia kwa tabu "Aaassshhh ooooh" alianza kupiga makelele, nilichofanya ni kusogea kwenye sabufa langu na kuwasha nikafungulia sauti ya juu nikakutana na wimbo maarufu wa msanii mmoja hapa nchini uliovuma unaoimbwa 'MTOTO KAUTAKA, MTOTO KAUTAKA!! Nilirudi kitandani na kukaa tena nyuma ya msichana huyo nikipiga magoti na kuyashika matak🍒yake yote mawili la kulia na kushoto nikiulenga mkund🥬wake taratibu na kuingiza kichwa upara kilichoingia kwa tabu nikianza kumsugua huku akiwa amekunja sura huku akiminyaminya macho yake. "Kaka mmh imeingia eeh imeingia?" "Bado kidogo" nilimjibu huku nikimsugua tu kwa kichwa msichana huyo aliyetaka mwenyewe mchezo huo baada kutambiwa na shoga yake, sikuwa na budi zaidi ya kufanya alichotaka kukijaribu Mwanzo mkund🥬wa msichana huyo ulibana mwishowe ukaachia kidogo dyudyu🍆likaingia robo kazi ikaendelea ya kumsugua taratibu bila haraka kama robo saa hivi mwishowe dyudyu liliteleza kabisa na kuingia kwenye uch😋 kazi ikaendelea juu ya kitanda changu kwa saa nyingine nikimtomb🍆huku mikono yangu ikichezea chuch🍼za matit🍒yake kifuani na kuzinyonya, safari hii nikiwa chini na msichana huyo akiwa juu analikatikia dyudyu🍆amechuchumaa kama yuko juu ya choo cha shimo cha mafiga mawili anakata gogo, dyudyu🍆lilipochomoka kwenye uch🫣 wake lilikosea njia na kuzama kwenye mkund🥬na lilipokosea huko likarudi kwenye uch😋 ambao ni mimi niliyeufungua utepe yaani bikr🍓 Kama kawaida nilichomoa dyudyu 🍆na kumwaga wazungu💦nje baada ya kazi ya kumtomb🍆na kumfir🥬msichana huyo aliyekuja kwa kulipiza kisasi baada ya kusimuliwa na shoga yake, Fatuma, akiwa amelegea alibaki amelala kitandani "Mwana, Mwana si unaenda shule utachelewa" "Aah mimi siendi bwana nataka kulala" "Ulale tena Mwana, hapana uwahi shule" "Mimi sitaki shule nataka kuishi na wewe, sisomi tena" "Toba" nilijishika kichwa baada ya kusikia maneno hayo "Kwani hunitaki?" "Hapana hatujafikia huko Mwana" "Basi mimi sitaki Shule nitakaa na wewe hapa hapa" "Mwana hebu nenda nyumbani na kwa nini umekuja na nguo hizi sasa utatokaje" "Sitoki nataka kuishi na wewe hapa hapa" "Haiwezekani Mwana wewe bado unasoma kumbuka?" "Shule sitaki nakutaka wewe tu" aliniambia huku macho yakiwa yamejaa usingizi "Mwana tutawasiliana hebu nenda tu nyumbani kwanza" "Nimekwambia siendi popote, Nakupenda wewe nataka kukaa hapa mbona hunielewi??" Msichana huyo aliongea kwa ukali akainuka na kukaa kitako huku akinitazama kwa hasira, uso ukiwa umembadilika "Unamaanisha nini Mwana?" "Nimekwambia sitoki, sitokiii" alipiga makelele huku akiinuka kitandani na ilionekana kama amepandisha mashetani, akiruka mpaka nikaukimbilia mlango kutaka kutoka nje, nikimwacha anatikisa tikisa kichwa chake anakizungusha kama anawanga, nje nilisikia wapangaji wanakimbilia mlangoni kwangu baada ya kusikia makelele chumbani kwangu...... Oya wanangu njooni Mniokoe si tulikuwa pamoja😭😭

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

Kula Chuma hichoo👇🔥 "Mama Getu, mama Getu mpo humo ndani?" Mlango uliendelea kugongwa, "Bonny nenda chumbani kajifiche wasije wakakuona hapa" aliniambia nami nikatoka na kurudi chumbani haraka lakini sikurudi chumbani kwake, ilibidi niingie kwenye chumba kingine isije ikawa ni mumewe akaingia chumbani kwao akanikuta likawa balaa jingine, nilipojificha nikachungulia kidogo kwenye uwazi wa mlangoni na kusikiliza kitakachoendelea. Nilimwona mama Getu akihangaika hangaika kuweka vitu vizuri sebuleni kama mito na kufuta futa masofa huku akijinusa nusa yeye mwenyewe kama ana jasho, akafuta futa chini kisha akaenda kufungua mlango, nikaona wanaume wawili wenye suti na mwanamke mmoja wakiingia ndani sebuleni lakini hakuwapeleka kwenye masofa akaenda kuwapeleka kwenye meza ya chakula akawaomba akajimwagie maji kidogo kisha akarudi wakaendelea na mazungumzo kama ya dakika kumi na tano hivi, yakihusiana na mambo ya talaka na mumewe na kugawana mali, baada ya kumaliza kikao hicho waliondoka nami nikatoka chumbani nilipokuwa nimejibanza kwa muda. "Yaani ungesikia mtu anafumwa ndo leo, almanusura tu wakae sebuleni pale na kwa mazingira yale wangehisi kabisa kuna jambo lilikuwa linaendelea kutokana na mvurugano, ningeaibika leo mie jamani" aliniambia, "Umecheza kama pele" "Kwakweli ilibidi nitumie akili nyingi wale nao wanakujaje bila kunipa taarifa, shika hii" alinipa elfu hamsini, "Ya nini hii?" "Nauli" "Hapana nauli ninayo" "Basi utatumia tu" "Asante sana" nilimjibu nikimpita kuondoka lakini mama huyo akanishika mkono wangu na kunitazama huku akitabasamu "Ndo unaondoka Bonny?" "Ndiyo naenda, utaniagia kwa Getu" "Mh huyo bado amelala haamki saa hizi, basi nitakapokuhitaji uwe unakuja tafadhali" "Usijali" nilimjibu akaniacha mkono wangu, nikatoka ndani ya nyumba hiyo safari kuelekea nyumbani.... ..... ...... Kulikucha mapema asubuhi siku nyingine mpya nilijinyoosha nyoosha kitandani huku nikiendelea kujifunika shuka, mlango uligongwa nilipotazama muda ilikuwa inaelekea saa moja, nikaamka na kwenda kuufungua nikakutana na Mwanaidi akiwa amevaa uniform yaani sare za shule. "We Mwanaidi mbona na uniform hizo tena mbona jambo la hatari unajua nitakuja kufungwa miaka thelathini?" Nilimwuliza lakini akaingia ndani moja kwa moja bila kukaribishwa, "Kwahiyo jana kumbe mliyapanga na Fatuma?" Aliniuliza akiwa amekasirika huku akinishikia kiuno. "Kivipi sijakuelewa Mwana?" "Usichokielewa nini, nasikia nilipoondoka hapa tu akaja ukamtomb🍆mpaka ukamtomb🍆tena" "Mh wewe nani amekuambia yote hayo?" "Aniambie nani kama siyo yeye, kanieleza vizuri tu umempigia simu eti njoo Mwana anaringa sijui nini?" "Amekudanganya, Fatuma mimi wala sijamuita yule rafiki yako amekupanga tu unadhani hapa kwani amepajuaje hajawahi kufika" "Si mmeelekezana kwenye simu sasa mimi nitajuaje maana umemsifia sifia sijui yeye anayajua mambo anajua kukatika, eti mimi Mwana mshamba sijawahi unataka uachane na mimi umtomb🍆 yeye tu, kumbe?" Aliongea huku akikaa kitandani kwangu akiwa amenuna amekunja uso, nikamsogelea na kukaa pembeni yake, "Sikia Mwana, mimi wala sijawasiliana na huyo shoga yako wala nini muongo, na hapa amekuja kwa kukufuatilia wewe nyuma nyuma tu, umeondoka tu nashangaa huyo anaingia ndani kwangu" "Mh kweli?" "Kwanini nikudanganye Mwana?" "Kwa hiyo ukamtomb🍆?" "Ndiyo nilimtomb😋sasa mimi ningefanyaje Mwana na wewe uliniacha katika hali ile?" "Lakini niliogopa ilikuwa inauma" "Nilikuelewa, ila sasa nilibaki na nyeg😋 unaonaje tukaachana na hiyo mada kwanza?" nilimwambia huku nikimpapas😋 papas😋 mapajan😘 kwenye sket🥰yake ya shule aliyovaa, "Mimi nawahi shule nitakuja baadae" "Wala hautochelewa Mwana, kidogo tu" nilifungua vifungo vya blauz🤔yake ya shul😭na kuishusha sidiri🥺ndani nikaanza kunyony😋matit🍒madogo ya msichana huyo niliyemtoa bikr🍓jana (ONYO‼️MATENDO HAYA YA KUTEMBEA NA WANAFUNZ💃KIMAPENZ❤️SIYO YA KUIGA, HII NI STORI TU YA KUFIKIRIKA SOMA KAMA BURUDANI NA SIYO UYAFANYIE KAZI!!) "Mhmmmh sitaki nitachelewa shul💃" alilalamika wakati nilipokuwa nachezesha ulimi kwenye chuch🍼zake saa sita huku akiwa amenishika kichwa changu, mkono nikauingiza kwenye sket💃yake mpaka kwenye chup😋na kuanza kuushika shika uch🫣taratibu, akianza kulowana bila huku mkono mwingine nikilichomoa dyudyu🍆ndani ya bukta lililodinda tayari kwa ajili ya kumsugua msichana huyo aliyekuja asubuhi asubuhi. Tukaangukia kitandani huku akivua blauz🫣yake na sidiri😋na kubaki kifua wazi, nami kazi ilikuwa ni kuyanyonya matit🍒kwa zamu huku bukta Yangu nikiivua na kuitupa chini, na chup😋yake niliishusha pia na kuitupa chini, sket💃 hakuvua akaipandisha kwa juu tu na kuniachia mambo peupe nikapita katikati ya mapaj😋yake na kulilengesha dyudyu🍆langu kwenye uch😋wake taratibu lakini kabla halijaingia akaliwahi na kulidaka kwa mkono wake. "Mwana??" Nilimwuliza kwa mshangao, akalielekezea kwa chini akiligusisha kwenye mkund🥬wake "USIINGIZE KWA HUKO, INGIZA KWA HUKU!" aliniambia.....

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

Nilimtazama Mama huyo ambae hata mwili alionao Getu inaonekana alirithi kabisa kwa mama yake, alitaka niingie tena nikamtomb🤔Binti yake huyo ili alale sana kama alivyolala jana, ikionekana kitendo cha Getu kuondoka nyumbani na kuranda randa mtaani kinamchukiza sana, nikatikisa kichwa na kuingia chumbani nikaurudisha mlango na kumkuta mwanadada huyo kitandani akimbembeleza mdoli kana kwamba ni mtoto wa kweli. "Baba yule lala mwanangu baba yule" alimuongelesha mdoli wake, nikajikuna kichwa na kumsogelea pale kitandani nikakaa huku nikimtazama mwanadada huyo mwenye mwili kama wa mama yake, mnene mnene na nyuma amerithi kifurushi kwa mama nikiwa nina maswali mengi kichwani kwa nini yupo hivyo? "Getu mtoto ameshalala kwani?" Nilimwuliza huku nikimshika pajani na kumpapasa papasa taratibu, "Shiiii amelala usimwamshe atalia teh teh" alininyamazisha huku akicheka mwenyewe, "Sasa vipi tamu leo hutaki?" "Tamu, tamu" "Eeh tamu" nilimjibu akaanza kuruka ruka kitandani, nikamsukuma akaanguka chali nikalipandisha gauni lake bila kumvua, nilichomvua ni chup🥱tu nikaitupia kwa chini na kupeleka mkono kwenye uch🫣wake nikaanza kuuchezea chezea huku akicheka cheka "Unanitekenya huko mtoto ataamka" "Hawezi kuamka Getu, akiamka atalia tutamsikia" ilibidi niende nae kama akili yake ilivyo, akiwa na gauni lake la kulalia nikampanua mapaja huku nikivua bukta yangu na boksa ndani, dyudyu na kupita katikati ya mapaj🥱yake nikilipitisha pitisha tu kwa nje, msichana huyo akiwa ameshalowana bila hata kukawia, nikaingiza dyudyu taratibu kwenye uch🫣wake na kuanza kumtomb🍆 "Tamu, tamu mmh" alilalamika "Tamu Getu hiyo imeingia tamu" nilimsaidia huku nikifumba macho nikiendelea na shughuli yangu lakini ghafla nikasikia ukimya nilipofumbua macho kumbe alikuwa ameshalala zamani kabla hata sijafika mbali, ilibidi nilichomoe dyudyu🍆kwenye uch🫣wake baada ya kuona hayupo tena na mimi anauchapa usingizi hata kuendelea kumtomb🍆lilikuwa ni zoezi gumu, dyudyu🍆lilikuwa bado limedinda maana halijamaliza kazi yaani ni dakika moja tu tangu kazi ianze, nilivaa na kumfunika alale, nikatoka ndani ya chumba hicho taratibu lakini nililipofungua mlango mama huyo alitaka kuanguka kumbe alikuwa ameegemea akisikiliza kinachoendelea kati yangu na bintiye Getu "Eh jamani mwanangu uuwii" "Upo sawa mama?" "Nipo sawa, vipi mbona haraka hivyo?" "Getu amelala kwa bahati nzuri" nilimwambia akachungulia chumbani kwa binti yake huyo kuthibitisha, "Yaani hapo ndo atalala mpaka basi, kinachobaki ni kuamka tu na kula kisha atalala tena, angalau" "Inasaidia?" "Ndiyo inasaidia sana, vipi kuhusu wewe sasa mbona kama ni haraka haraka sana umeridhika kweli?" Aliniuliza huku akinitazama kwenye bukta yangu ambayo ilikuwa imetuna kwa mbele imevimbiana, dyudyu 🍆ndani likiwa bado limedinda kwa uchu maana limeonja tu. "Nipo sawa mama, la muhimu ni Binti yako kulala" "Hapana siyo kweli kama una tatizo uniambie tu" "Sina tatizo kabisa" "Tatizo lipo mwanangu, nakuona bado hali yako siyo nzuri naomba nikusaidie" aliniambia huku akinishika shika kwenye bukta yangu palipovimbiana, Wala sikutaka kujifanya sitaki nataka nilimwacha tu mama huyo aendelee na zoezi lake, akanishusha bukta yangu taratibu dyudyu🍆langu lenye njaa likabaki nje tukiwa sebuleni nikamvuta kwa nguvu na kumsukumia kwenye sofa kubwa la watu wa tano lenye umbo la herufi L, nikapiga magoti mbele yake yeye akiwa juu ya sofa amepanua mapaj🫣yake manene, gauni alilivuta kwa juu usawa wa kiuno nikamvua tait😋aliyovaa ndani na kuitupa chini, kichwa nikakipitisha katikati ya mapaj🫣yake na kuanza kuunyony😋uch🫣kama kichaa, nikiulamba kama mbwa. "Ooooooh jamani jamani!" Alilalamika, tukiwa sebuleni, ulimi niliuchezesha chezesha kwenye uch😋wa mama huyo mtu mzima kama sina akili nzuri huku dole la kati nikiliingiza kwenye mkund🥬wake, kiufupi matundu yote niliyaziba kwa muda. Dakika tatu tu zilimtosha mama huyo aliyebaki analimwaga koj💦 jeupe kama mtindi kabla hata sijamtomb🍆 ikabidi niinuke kidogo na kulilengesha dyudyu🍆 langu kwenye uch🫣wake lililozama bila kizuizi, taratibu bila papara tayari kumtomb🍆mama mtu ambae alitaka nilichompa bintiye Nilianza kumtomb🍆pale pale kwenye kochi tukisahau kabisa kuwa tupo sebuleni, mama wa watu alipiga kelele akilalamika na kuropoka aliyoweza kuropoka, miguu akiwa ameiinua juu kijana wa watu nimepita kati, dyudyu🍆likifanya kazi yake, dakika tano tu nililishuhudia koj💦 jeupe na koj💦la kawaida vyote vikimtoka mama huyo ambae alionekana hajatombw🍆muda mrefu sana, sofa likilowanishwa "Ooooh mmmh uuuwiiii jamani jamani aaah" aliendelea kupiga mayowe huku dakika zikikatika, safari hii nilimgeuza nikapiga magoti kwa nyuma yake yeye akiwa amenigeuzia matak😋yake makubwa, nikamshikilia vyema kiuno na kuendelea kumshindilia dyudyu🍆wote tukiwa juu ya sofa, nusu saa nzima ikikatika "Ooooooshaaa!!" Nililalamika mtoto wa kiume nilipofika mwisho wa safari na kumwaga wazungu💦ndani ya uch🫣wake, nikalichomoa dyudyu🍆na kojo💦jingine likamwagikia kwenye sofa huku yeye akilala kifudi fudi kwenye kochi hoi, nguo zetu zote zikiwa chini tukiwa tumebaki uch🫣na sikujua hata tulizisaula zote muda gani. "Hodi wenyewe" mara mlango uligongwa, tukatazamana "Uuuwiii jamani wageni wanatoka wapi saa hizi?" macho yalimtoka maana kwenye kochi palikuwa hapatamaniki.....

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

"Mama shikamoo" nilimsalimia huku nikijikuna kichwa, "Sitaki shikamoo yako, nakuuliza umemfanya nini Getu wangu jana wewe kijana, eeh?" Mama huyo alikuwa mkali na wapita njia kama kawaida hawataki kupitwa na jambo wakaanza kujongea jongea kutaka kujua kulikoni kama ilivyo kawaida ya Waswahili "Lakini mama mimi sijamfanya binti yako kitu chochote kile" "Kwa hiyo mimi muongo eti wewe kijana?" "Hapana sijasema wewe ni muongo mama yangu ila.." "Ila nini?" "Naomba basi tuongelee pembeni si unaona hapa tunajaza watu" "Getu, twende" alimshika mkono binti yake huyo mwenye matatizo ya akili akimvuta twende pembeni kama nilivyomuomba, tuzungumze, tukazunguka nyuma ya nyumba moja ili mazungumzo hayo yaendelee. "Leo imekula kwangu" nimeongea kimoyo moyo huku nikijikuna kichwa, "Enhe nieleze wewe kijana imekuwaje?" "Mama unisamehe sana, nilijikuta tu majaribuni baada ya binti yako huyu kuwa anahangaika kujinaniliu kwenye jumba bovu kule mwenyewe" "Kujinaniliu kufanyaje?" "Nilimkuta anachezea tu sehemu zake sasa nikaona nimsaidie kabla watu wabaya wenye nia ovu hawajamfanyia chochote kule, aling'ang'ania huku akilia sasa kibinadamu nikaona na yeye ni mtoto wa kike siyo mbaya nikimsitiri ili asiendelee kufanya anachokifanya, asije akatoka nje bado anaendelea na zoezi lake kutokana na akili zake zilivyo, samahani sana mama yangu mimi nipo salama afya yangu na.. "Ukimpa mimba upo tayari kulea?" "kuhusu mimb🥺siwezi kumpa mamangu hilo nina uhakika nalo kabisa" "Una uhakika gani kuwa huwezi kumpa mimb🤔hebu nieleweshe?" "Ninajua nilichokifanya hakiwezi kusababisha mimb🫣kwake" "Kipi hicho ulichokifanya ndo nataka kukijua mbona unazunguka zunguka kijana ebo?" "Dah mama mambo mengine siyo ya kuongea live kabisa si unajua tena ku..." "Ongea tu si tupo wawili hapa, nitajuaje kama Getu wangu mimb🫣haijaingia maana yeye mwenyewe hapa ni wa kusaidiwa kila kitu, baba yake ametukimbia, nipo mimi tu nahangaika nae, vipi mjukuu akija hapa nitashika wapi nitaacha wapi?" "Naelewa mama yangu wala huna haja ya kuwa na wasiwasi" "Ndo unieleze sasa nitakuwa nina uhakika gani kama hujamtia mimb😔Getu wangu?" Aliendelea na swali lake aliloling'ang'ania huku akiwa amejishika kiuno na Getu mwenyewe akiwa anahangaika na mdoli wake anayemfanya mtoto.. "Aaamh sikumwaga ndani" nilimjibu kwa aibu huku nikijikuna kidevu, sikuwa na namna, "Kwa hiyo ulimwaga nje?" "Yeah" "Ooh sasa utakuwa kwenye uangalizi maalumu kwa wiki mbili nione kama kweli hukumwaga ndani, usije ukakimbia mimb🥺 ya mwanangu nawajua ninyi vijana" "Hamna mama mimi sipo hivyo" "Basi twende kwanza nyumbani kwangu" "Kufanyaje mama yangu?" "Tukakubaliane mambo fulani kwanza" "Sawa" ilibidi nikubali tu kuongozana na mama huyo ili kuondoa lawama, aliita bodaboda mbili, mimi nikapanda ya kwangu kisha yeye na binti yake Getu wakapanda nyingine lakini msichana huyo akagoma na kutaka kupanda yangu ikabidi wamwache akaja kupanda kwangu, safari ikaanza moja kwa moja mpaka mbele ya geti kubwa la nyumba ya mama huyo, nzuri kubwa yenye uzio lakini ndani hakukuwa na gari, "Karibu" nilikaribishwa sebuleni kwenye masofa makubwa na mbele kukiwa na televisheni iliyojaa ukuta mzima "Asante" nilikaa kitako, "Utatumia kinywaji gani?" "Hapana nimeshakunywa chai" nilishangaa ghafla mama huyo anakuwa mkarimu tofauti na awali, "Hebu kunywa juisi" alinilazimisha akiniletea glasi ya juisi ya matunda kwenye glasi "Asante" niliipokea na kuanza kunywa huku akikaa kwenye sofa jingine, Getu akiendelea kucheka cheka mwenyewe jikoni, "Unaitwa nani vile?" "Bonny" "Ooh Bonny sawa" aliinuka na kwenda jikoni akiwa amemshika binti yake mpaka kwenye mlango wa chumba kimoja "Mama sitaki kulala" Getu alilalamika, inaonekana ni chumbani kwake "Hulali, ingia anko anakuja kukupa tamu" "Tamu eeh haya" Getu aliposikia aliingia chumbani kwake haraka, "Karibu" mama huyo alinionyesha ishara niingie chumbani kwa binti yake "Wapi?" "Jana binti yangu kwa mara ya kwanza alipata usingizi mzuri na wa muda mrefu kwa ajili yako naomba na leo unisaidie alale na leo sitaki atoke toke". "Unamaanisha?" "Kamfanye ulichomfanya jana, kwa ajili yangu Bonny sawa, nataka alale ndani" "Lakini..." "Shiiii, fanya kwa ajili yangu tafadhali" alinifungulia mlango wa chumbani kwa Getu, akimaanisha niingie nikamtomb🥺tena....

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

"kidogo tu Fatuma" nilimwambia msichana huyo mwanafunzi aliyejileta mwenyewe asubuhi asubuhi baada ya kuonja dyudyu🍆langu jana nilipowafuma yeye na mwenzio Mwanaidi akitaka kumfundisha kusagan🍆kwa kutumia tango ambalo kimsingi kazi yake ni kuliwa na kuingia tumboni lakini yeye akiligeuza ndiyo dyudyu 🍆 la mwanaume liingie kwenye uch🫣wa mwenzie huyo bikr🍓ambae hakuwahi kutombw🍆na mwanaume, ndo kwanza mgeni kwenye mchezo huo ambao unasadikika ndiyo burudani ya kwanza tamu ulimwenguni. "Mh lote hilo kubwa haliwezi kuingia we kaka" "Kwanini lisiingie Fatuma?" Nilimbembeleza huku nikikiingiza kichwa upara cha dyudyu🍆langu kwenye mkund🥬wake kutengeneza njia na kukitoa kikitoa mlio kama wa kizibo cha chupa puuuf! niligusa na kuachia mara kadhaa na kumchomeka dole la kati🖕Wala sikuwa na haraka maana lisingepita ilibidi liingie kidogo kidogo.. Kichwa upara cha dyudyu 🍆 ndicho kilichoanza kuzama, nikikitumia kumfir🍆taratibu huku nikiyaminya minya matak🍒yake meusi kama yeye mwenyewe yaliyokuwa tepwe tepwe ingawa si makubwa yaking'aa nikiyazaba makofi yasiyoumiza "We kaka mmmh ooh" alilalamika huku akinyoosha mkono na kulishika dyudyu🍆 kwa chini kwenye pumb🍒akitaka kulichomoa lakini nilikazana na zoezi langu hilo baada ya kushindikana kwa zoezi la kumtomb🍆kwenye uch🫣kutokana na kuwa katika siku zake kama ilivyo kawaida ya wanawake wote waliovunja ungo na kuendelea, "Fatu aaashh" Nililalamika huku dyudyu🍆likiendelea kuzama mdogo mdogo hatimae robo ilikuwa ndani ya mkund🥬wake wenye joto haswa, futa nililompaka na kujipaka kwenye dyudyu 🍆 likisaidia "Nataka ku... mmmh" alilalamika akishindwa kumalizia sentensi yake "Kufanyaje Fatuma, sema tu mrembo sema" "Nataka kujamb🥬" "Jamb🥬 tu, jamb🥬" nilimuhimiza huku nikilichomoa dyudyu🍆kumwachia nafasi akapumua ule ushuzi wa Yuuuusuf huku mkund🥬wake ukipwita pwita, Cha ajabu alilishika dyudyu na kulirudishia yeye mwenyewe ndani ya mkund🥬wake, nikainuka kidogo kwa juu kama nataka kusimama na kuendelea kumsugua, nikimfir🥬mwanafunzi huyo baada ya zoezi la kumtomb🍆kushindikana kutokana na kuwa katika siku zake "We kaka uh uh uh" "Nambie Fatu, hapo vipi ooosh" "Ksiksiksiksi!!" Kitanda kililalamika kutokana na zoezi hilo, nusu ya dyudyu🍆 langu likiwa ndani ya mkund🥬wake, nikilichomoa nje mara chache lipate upepo kutokana na joto Kali lakini akilikamata na kulirudisha, robo saa ikikatika ikikimbilia nusu saa, utam🍓 ulizidi, koj💦la raha lilinibana nikachomoa dyudyu 🍆na kulimwaga kama bomba, wazungu💦wakimmwagikia mgongoni mwake, akalala kifudifudi kitandani huku akijipepea pepea matak🍒yake kwa mto, nikavuta wallet yangu na kutoa shilingi elfu thelathini "Utanunua losheni hii" "Asante, hii naenda kulipia mchezo" aliipokea haraka haraka "Michezo tena, wewe si mwanafunzi Fatuma?" "Eeh nacheza nyumbani nacheza shuleni uuuwiiii" aliongea huku akilalamika akiwa amelala upande upande nikashuka na kumchukulia taulo langu ili ajisafishe safishe. Alipitiwa na usingizi nami ilibidi nijipumzishe kidogo baada ya heka heka hizo za asubuhi asubuhi, nilipitiwa na usingizi na nilipoamka sikumkuta ila nilipotazama kila kitu kilikuwa sawa, nikaenda kuoga kisha nikavaa, safari kuelekea barabarani kutafuta kifungua kinywa cha asubuhi. Wakati nikiwa naelekea barabarani njiani nilikutana na yule msichana mwenye matatizo ya akili ambae nilimtomb🍆jana asubuhi mjumbani na akaniona "Tamu, tamu" aliongea huku akinifuata "Ohoo huyu nae anaenda wapi?" Niligeuza njia nikitaka kumkwepa lakini akaanza kunikimbilia akiwa na mdoli wake mgongoni aliyembeba kama mtoto amemshikilia ili asianguke ikabidi nisimame na kumsubiri maana kama ningeendelea kukimbia basi angenikimbiza na ningegeuka kituko mbele za watu "Tamu, tamu" alikuja huku akicheka cheka "Mambo, mtoto amelala?" Nilimuuliza leo akiwa amebadili gauni amevaa jingine "Amelala mempa uji kasema anataka baba yake amuone" "Baba yake yuko wapi sasa?" "Si wewe hapo" aliniambia, nikainua mabega "Ooh kwahiyo huyu ni mwanangu sasa hivi?" "Ndiyo ni mtoto wako huyu alikuwa anakulilia" alichekacheka huku akimrusha rusha mgongoni kana kwamba ni mtoto kweli "Sawa nitakuja kumuona basi mimi naenda dukani kule nitamletea pipi sawa?" "Kabla hujaenda huko dukani naomba kukuuliza ulimfanya nini binti yangu siku ya jana?" Nilisikia sauti nyuma yangu na nilipogeuka mzima mzima nikakutana na mama mmoja mtu mzima ambae kwa haraka haraka niligundua ndiye mama mzazi wa mwanadada huyo mwenye matatizo ya akili "Nimekwishaaaa!!!".... #Comment #Like

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

Kaka wa Watu nilijikuta chini sakafuni baada ya kusukumwa kwa nguvu, msichana huyo akiwa na hasira ambazo sikujua zimetoka wapi, alishuka kitandani na kuvaa nguo zake za shule haraka haraka nikibaki namshangaa tu akataka kutoka akiwa na uniform jambo ambalo lingenisababishia shida "Mwanaidi Baibui lako" nilimwonyesha akalichukua kwa hasira na kulivaa akiwa mlangoni kisha akatoka na kuubamiza mlango kwa nguvu, nikabaki nimejishika kiuno na kushusha pumzi, nilipojitazama dyudyu🍆 langu lilikuwa na vijidamu damu ikabidi nijifute fute ikimaanisha nimeshaitoa bikr🍓ya msichana huyo mwanafunzi ambae aliniacha na upwiru, nyeg💦zimenikamata mpaka dyudyu🍆linatetemeka, ndokwanza tulikuwa tunaanza mchezo huo wa raha hata dakika moja haijaisha mchezo umeishia njiani, nilikaa kitandani kiunyonge nikimuelewa kuwa si kosa lake ni hofu tu na woga kwa sababu hajawahi fanya mchezo huo ndo kwanza anaanza Dyudyu🍆lilikuwa limedinda kwa njaa Kali na chakula ndo hicho kimeondoka sasa nitalitulizaje? Nilichowaza cha haraka haraka ni kupiga Nyet✊ maana sikuwa na namna ya cha kufanya, ikabidi nivute simu yangu tayari kutafuta video ya kusindikiza zoezi langu wakati mkono ukilishika shika dyudyu🍆kulituliza lisiwe na haraka na mara mlango ukagongwa 'ngongongo' "Hodi" sauti ya kike niliisikia "Nani?" Nilijibu kwa hasira maana aliyegonga nae sasa alitaka kunikatishia zoezi langu la pili la Nyet✊baada ya la kwanza kushindikana "Mie Fatuma" alijibu, haraka nikatupa simu na kujifunga taulo, nikaufuata mlango nilipoufungua ni kweli nilikutana na Fatuma akiwa amevaa kijora. "Fatuma umepajuaje hapa kwangu?" "Nimepajua tu" aliingia ndani bila hata kukaribishwa, nikaufunga mlango nikishukuru angalau samaki amejileta kwenye chambo "Karibu" "Asante mbona Mwanaidi ameondoka mbio mbio?" "Umemwonaje?" "Hamna nimeuliza tu" alijibu nikagundua kumbe amepajua kwangu baada ya kumfuatilia mwenzake nyuma nyuma, nikamshika mabega na kumpigisha magoti nikachomoa taulo likaanguka chini, msichana huyo akiwa na hijabu yake kichwani akakutana na dyudyu 🍆 langu lililokuwa linaning'inia nikalikamata na kumwekea mdomoni akapanua midomo na kuanza kulinyony😋huku akinikodolea macho, nikiwa nimesimama nae amepiga magoti Fatuma alisuuza rungu, akionekana kunogewa na mchezo wa jana niliomfanyia mpaka amerudi kuufuata tena, angalau sasa upwiru💦wangu umepata wa kummalizia asubuhi asubuhi "Mbona kijora huendi shule leo aaasssh?" Nilimwuliza huku nikilalamika "Tumbo linaniuma leo siendi" alinijibu huku akishuka chini kwenye pumb🍒zangu zilizokuwa zinaning'inia kama madafu juu ya mnazi "Si nimesikia mna mitihani leo?" "Nani kakwambia Mwana?" "Ndiyo" "Muongo wala hatuna mitihani kwanza tumeshamaliza" "Kumbe?" "Eeh" alinijibu huku akiendelea kulisuuza dyudyu🍆langu kwa midomo yake, kuanzia juu kwenye kichwa upara mpaka chini kwenye pumb🍒nikamsimamisha na kumsukumia kitandani msichana huyo nikamsindikiza na kumtegesha mkao wa doggy style yaani akinisusia matak🍒yake bila hata kuvua dera lake na ndani hakuwa hata na chup🫣alikuja hivyo hivyo, nikaingiza dole la kati kwenye uch😘wake uliolowana nilipolitoa nikakutana na damu damu kumaanisha yupo kwenye siku zake na ndiyo maana tumbo lilikuwa linamuuma "Mh sikujua kaka ila ndo inaanza anza" Aliniambia huku akitaka kuinuka nikamkandamiza kumtuliza asiondoke, "Tulia" nilisogea dirishani na kuyachukua mafuta ya nazi Kisha nikarudi nayo na kummwagia ya kutosha kwenye matak🍒 yake nikiyasambaza sambaza taratibu huku nikimchapa vibao visivyoumiza na mkono mmoja nikilishika dyudyu🍆langu na kulipaka yaliyobaki "Unataka unifanye nini?" Aliniuliza "Kidogo tu" nilimwambia huku nikilengesha kichwa upara cha dyudyu 🍆 kwenye mkund🥬 wake, "we kaka USIINGIIZE KWA HUKO JAMANI sitaki!" Alilalamika..... #Comment #Like

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

Taratibu niliishusha sketi ya msichana Mwanaidi baada ya kugundua kuwa ni bikr🍓hajawahi kutombw🍆na mwanaume lakini sikutaka kumuacha hivi hivi nikaingiza kichwa ndani ya sketi yake tena na kuanza kumnyonya uch🫣nikipitisha ulimi wangu "Ishiiiiiii!!" Mwanaidi alilalamika huku mwenzake Fatuma akivaa nguo zake taratibu, nilipomaliza kumnyony😋nilitoa kichwa changu ndani ya sketi yake na kumfunika vizuri. "Unaweza kutangulia Fatuma kuna kitu nataka kuongea na huyu mwenzio kidogo" nilimwambia akatikisa kichwa akiondoka kwa mwendo wa kuchechemea, lengo lilikuwa nimpe ratiba huyu mwenzake bila ya yeye kusikia "Unataka kuniambia nini kaka?" Mwanaidi aliuliza huku akitazama chini kwa aibu, "Kesho asubuhi kabla hujaenda shuleni njoo nyumbani namba yangu hii utanipigia" nilimwandikia kwenye kikaratasi na kalamu vyote nikivitoa kwenye mkoba wake "Sawa kaka" alijibu kwa sauti ya chini huku akiondoka taratibu nami nikajichungulia ndani ya bukta yangu kama mambo yamekaa sawa, ikabidi nigeuze kurudi nyumbani tu kwenda kuoga.... ........ ........ "Griiiiiiii griiiii" sauti ya simu iliukatisha usingizi wangu nilipotazama ilikuwa ni namba ngeni, nikapokea na kuweka sikioni ikiwa ni saa kumi na mbili asubuhi "Halow" "Halow mambo" sauti ya msichana iliongea "Safi kwema?" "Kwema, mimi Mwanaidi" "Ooh Mwana, nambie mama uko wapi?" "Niko njia ile ya siku ile kwani kwako wapi?" Aliniuliza, nikamwelekeza kuanzia nyumba ninayoishi mpaka chumba changu, na baada ya kama dakika kumi nilisikia mlango ukigongwa, nikafungua na kumkuta msichana huyo almanusura nikimbie jinsi alivyovaa, alivaa Baibui lililomfunika mwili mzima akibakiza macho tu "We Mwanaidi ndo uvaaji gani huo?" "Sitaki watu wanione" "Yeah umefanya vizuri, karibu" nilimkaribisha na kuchungulia chungulia, wapangaji baadhi walikuwa bado wamelala, nikafunga mlango kwa ndani. "Mimi nataka kwenda shule leo tuna mtihani saa mbili" "Sawa utaenda mama usijali" nilimsogelea akiwa amekaa kitandani na kumvua Baibui ndani alikuwa amevaa sare za shule huku akitazama pembeni kwa aibu, nikavifungua vifungo vya blauzi yake taratibu na kukutana na matit🍒yake madogo yenye chuch🍼saa sita na kuanza kuyanyony😋 taratibu "Mh kaka nitachelewa shule mwenzako" alilalamika huku akihema hema na kukishika kichwa changu akitaka kunitoa "Utawahi na nitakupeleka mrembo usijali" nilimjibu na kuendelea kumnyony😋huku nikimpapas😋 papas😋 na kumvua blauz💃yake ya shule nikaitupia pembeni huku mkono wangu ukiingia ndani ya sketi yake na kukutana na chup🫣ambayo niliivuta kidogo na kuuingiza nikamshika uch🫣wake nikakutana na kisima chenye maji yanayonata yaani kisima cha mlenda, alishalowana tepetepe kitendo cha kumshik😋shik😋dakika chache tu kunyony😋chuchu zake, nikamsukumia kitandani na kuvua bukta yangu, sikuwa na muda wa kupoteza, sketi na chup🫣yake nilivitupa pembeni akabaki uch🫣kama alivyozaliwa, nikapanda kitandani taratibu huku nikilipapasa papasa dyudyu🍆langu lililodinda tayari kwa kazi, mapaj🫣yake niliyashikilia na kuyapanua kulia na kushoto tayari kulichomeka dyudyu🍆kwenye uch🫣enye utandu wa msichana huyo wa miaka kumi na tano au kumi na sita hivi, asubuhi asubuhi Nilianza kuingiza kichwa taratibu, "Aaashhhh ooooh" macho yalimtoka huku akitetemeka, "Taratibu tu Mwana usiogope" nilimshika shik😋 matit🫣 yake kifuani nikimbembeleza na kuingiza dyudyu zaidi kwa kuchomeka sasa chubwiii.. "Tobaaaaaaaaaa!!!" Alipiga kelele kali na hakuishia hapo akanisukuma mzima mzima nikaanguka chini kama mzigo wa kuni puuuuuh😭😭..... #Comment #Like

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

Walivua chup🫣zao taratibu ndani ya sketi za Shule walizovaa kama nilivyowaambia nikalichukua lile tango mkononi mwa Fatuma ambae alionekana kutaka kumfundisha usagaj🫣mwanafunzi mwenzake huyo "Hii haina raha yoyote Mwanaidi, sanasana ni kujitafutia madhara tu" nilimwambia mwenzake huku nikilitupa mbali, Fatuma akiona aibu "Fatu ndo alitaka kunifanyia hivyo mimi hata sikutaka" alijitetea "Eeh Mwana jamani si wewe mwenyewe ndo ulisema nikufundishe?" Fatu alijibu "Hamna haja ya malumbano, cha kufanya geukeni tu niwasaidie kidogo badala ya kwenda kuwasemea shule, mpo kidato cha ngapi?" "Form two" Mwanaidi "Form two si ni mwaka wa mitihani huu?" "Ndiyo" "Sasa kweli jamani mna..basi siyo kesi sana nitawasaidia kuwatuliza wadogo zangu msifanye mambo yasiyo na madhara" "Mimi naogopa mimb🍓 kaka sijawahi kufanya, nasoma bado" Mwanaidi aliyekuwa muoga muoga aliongea, "Usijali, siwezi kuwapa mimb🍓 wakati najua bado mnasoma, sasa wewe Mwana kaa hapo hapo ngoja nianze na huyu Fatu halafu wewe utafuata" nilimwambia msichana huyo ambae alitikisa kichwa na kukaa kwenye gogo, Fatu alitaka kuvua na sketi yake ya shule lakini nikamzuia na kuipandisha kwa juu na kumsogeza kwenye mti akashika ukuta na kuinama sketi akaipandisha kwa juu usawa wa kiun🍒 akiacha huku chini mambo yote wazi, kichwani akiwa na hijabu, nikapitisha kidole kwenye uch🫣wake na kuuchezea chezea nikaingiza kidole cha kati🖕 bila taarifa "Mh we kaka" alilalamika huku akinitazama na kuanza kunyonya vidole vyake wakati nikikizungusha zungusha kidole changu ndani ya uch🫣wake kutengeneza mazingira, huku mkono mmoja nikishusha bukta yangu na kulipapasa papasa dyudyu🍆langu lililodinda tayari kwa kazi, Mwanaidi aliyekuwa pembeni macho yalimtoka akishangaa na kisha akatazama pembeni. Sikutaka kupoteza muda nikiwa nimesimama nyuma ya Fatuma nikalilengesha dyudyu🍆 taratibu ndani ya uch🫣wake na kuanza kulisukuma, msichana huyo akilalamika huku akinyonga nyonga mauno kuonyesha kuwa ni mzoefu na anapenda mambo hayo aliyotaka amfundishe mwenzake, kazi ilianza ya kumshindilia dyudyu 🍆bila huruma, Wala sikutaka kuwazia kifungo Cha miaka thelathini jela kwa wanafunzi ambao wenyewe walitaka kufanyiana mchezo mchafu kichakani bondeni badala ya kwenda shuleni kufanya wanachotakiwa kulingana na umri wao, na nilimwacha Mwanaidi kwa makusudi kwa sababu kutokana na woga wake alionekana kabisa kuwa ni bikr🍓bado hajaonja mchezo huo, nilitaka kumalizana na huyu kubuhu kwanza Kisha yeye nimtafutie muda mzuri nikavunje bikr🍓yake ili mambo mengine yaendelee Dakika zaidi ya kumi zilikatika kwenye kichaka hicho bondeni ambacho siyo rahisi mtu kupita, niliendelea kumshindilia dyudyu🍆 Fatuma "We kaka wewe mmh" alilalamika huku mwenzake akiwa anaangalia tu na kuchezea chezea vijiti Baada ya robo saa nzima nikahisi kojo💦la hamu limenibana nikachomoa dyudyu 🍆 kwenye uch😘 wa msichana huyo mdogo na mwanafunzi na kumwaga wazungu waliorukia chini, akaishusha sketi chini akihema, Mwanaidi akasimama na kusogea taratibu na kwa wasiwasi akijua zamu yake imeshawadia baada ya shoga yake kumaliza kutombwa, nikamvuta na kumsogeza kwenye mti akaushikilia nikamwinamisha na kuipandisha sketi yake kwa juu kidogo mambo yote yakabaki wazi nikapitisha kidole kupima mafuta na kumkuta amelowana chapachapa, mlenda bamia💦nilichofanya ni kuchuchuma na kusogeza midomo yangu kwenye uch🫣wake kama nataka kumnyony😋 uch🫣wake msichana huyo aliyebaki anatetemeka kwa hofu lakini halikuwa lengo langu "Jamani kaka nisamehe" aliongea huku miguu ikigongana gongana, na ndipo nilipothibitisha kuwa msichana huyo ni kweli hajawahi kutombw🍆yaani ni bikr🍓 udenda ulinianguka..... #Comment #Like

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

Baada ya juhudi za kumtikisa tikisa pale chini kutozaa matunda nilibaki nimejishika mikono kiunoni huku nikiwaza huenda nimeshaua tayari na muda huo huo nilisikia sauti na hatua za watu nje ya jumba hilo bovu wakionekana kuja huku huku tulipo, haraka nikamvuta mwanadada huyo mpaka kwenye chumba kimoja na kutulia tuli, wanaume hao wawili waliingia taratibu. "Wewe si umesema yule chizi umemwona anaingia humu mbona hayupo?" Mmoja alimwuliza mwenzake "Nimemwona kwa macho yangu anaingia humu muda ule nikataka nije nimtomb🍆na nimfir🍆halafu nimchafue chafue yaani nimfanyie fanyie uchafuzi yaani sema nikaona mwenyewe jau nije nikuite tumpige mtungo wewe unashikilia huku mimi nashikilia kwa huku yaani kama mambele vile, mtoto anabaki tu analia aash aaiiii" mwenzake alimjibu huku wakikojoa "Wewe jamaa unapenda mtungo siku hizi wewe sikuwezi" "Eeh Mwanangu yaani kinyamwezi flani hivi" "mbona hayupo?" "Labda katoka au yupo huko upande wa pili" "Yaani yule chizi ni wa kumjaza mimba kabisa aache kuzurura zurura angekuwepo tungemsikia" "Ngoja nikikojo💦 nimtazame upande wa pili huko vyumbani" waliongea wakionekana wamedhamiria kabisa kumfanyia kitu kibaya, kabla hawajaja nilimbeba kwa tabu mgongoni kutokana na uzito wake nikamtoa taratibu kwenye jumba hilo mpaka upande wa pili kichakani na kumficha, nikawachungulia wale jamaa wakabaki wanamtafuta tafuta na walipoona hakuna mtu wakaondoka, nilimtazama mwanadada huyo ambae alipiga chafya na nikashusha pumzi nilipogundua kuwa ni mzima, alifumbua macho na kunitazama akashtuka na kusimama "Mwanangu yuko wapi?" Alimwulizia mdoli wake "Yupo kule" "Umemfanya nini mwanangu?" "Sijamfanya chochote kamtazame yupo ndani" "Mbaya wewe umempiga mwanangu analia toka" aliongea kwa ukali akikimbilia ndani na kumbeba mdoli wake kisha akakimbia mbio mbio kutoka maeneo hayo nami nikashusha pumzi na kujichungulia ndani ya bukta dyudyu🍆likiwa limelala kama siyo lenyewe ndani, taratibu niliamua kuondoka lakini nikaamua kupitia njia ya bondeni vichakani na ndipo niliposikia mazungumzo kwenye kichaka kimoja ya sauti za kike nikatulia kwanza ili niyasikilize. "Fatuma mimi naogopa mwenzio, sasa lote hilo litaingia humu?" "Mh Mwanaidi na wewe bwana sasa tango hili kwa nini lisiingie, kwa kum🫣 gani uliyonayo?" "Mh tango kubwa hilo Fatu mimi naogopa" "Litaingia tu, hapa tuchezeane kwanza visim🫣halafu ndo tuingizane" "Kidogo tu lakini maana tunachelewa Shule'" "Acha zako Mwana na wewe shule kitu gani?" Waliongea wakionekana ni wanafunzi na nilipowachungulia kweli niliwakuta na uniform za shule. "Mnafanya nini hapo?" Niliwauliza wakashtuka na kusimama wakitaka kukimbia nikajitokeza mbele yao "Tulikuwa tunaelekezana homework za shule" "Eeh tunafundishana tu kaka" walijitetea huku yule Fatuma akiwa na tango mkononi "Homework ya kuingizana matango🍆siyo?" "Hamna kaka siyo hivyo?" Mwanaidi aliongea kwa aibu "Wala kaka hili tulitaka kula Tu" Fatuma aliongea huku wakitazama chini. "Sasa chagueni moja ama mvue sketi zenu na chup🫣 zenu au nikawasemee shuleni?" "Tunavua kaka usiende kusema shuleni" "Tunavua" walinijibu kwa wasiwasi huku wakiingiza mikono kwenye sketi zao na kuanza kushusha chup🫣 zao taratibu.... #Comment #Like

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

Niliingia tena kwa mara nyingine ndani ya jumba hilo bovu lisiloisha baada ya awali kutaka kuondoka, huruma ikiniingia kutaka kumsaidia msichana huyo mwenye matatizo ya akili ambae anaonekana kabisa amebanwa na nyeg💦 Nilipoingia nikajibanza ukutani kumtazama kwanza anachokifanya "Hehehe tamu tamu" alicheka cheka huku akijishika shika uch🫣wake akionekana kufurahia mchezo huo, akijichungulia chungulia "Hey!" Nilimwita akageuka na kunitazama huku mgongoni akiwa amebeba mdoli "Umeona hii hapa tamuu" aliniambia "Eeh tamu lakini usiishike hivyo vibaya" "Siyo vibaya ni tamu kwani na wewe unayo kama hii tamu?" Aliniuliza ikabidi nishushe bukta yangu na kumtolea dyudyu🍆nje lililokuwa limedinda tayari "Umeona sasa, mimi sina tamu kama hiyo, tamu yangu ni hii hapa" "Mh mbona tamu yako kubwa yangu ndogo hehehe tamu yako mbaya" aliangua kicheko huku akimbembeleza bembeleza mdoli wake mgongoni kama mtoto wa kweli. "Sasa unajua hii tamu inatakiwa iingie wapi, inatakiwa iingie kwenye tamu yako" "Inaingia humu?" "Eeh humo halafu sasa ikiingia utafurahi mwenyewe, hebu mshushe mtoto amelala tayari nikuonyeshe" nilimwambia nikitaka kumfungua bebeo lake la khanga "Mwache mwanangu namshusha mwenyewe, ukimshika atalia bure" aliniambia kwa ukali nikatikisa kichwa kukubaliana nae akamfungua taratibu kama mtoto kweli na kumlaza chini huku nikijikuna kichwa nikachungulia tena kama kuna mtu atatokea labda "Samahani nafanya hivi kwa ajili ya kukusaidia kibinadamu tu, pamoja na hali yako lakini haiondoi uwanamke wako" niliongea kimoyo moyo nikachuchumaa na kuanza kumshika shika matit🍒 yake mawili kifuani "Teh teh niache unanitekenya wewe bwana" alicheka cheka akiwa amevaa gauni zuri tu kumaanisha kuwa kwao hawana maisha ya uchovu "Shiiiiiii ukipiga kelele watu watakuja halafu utakosa utamu" nilimwekea kidole mdomoni "Watakuja eeh?" "Eeh kwa sababu saa hizi nataka niingize tamu yangu kwenye tamu yako" nilimbembeleza huku nikimlaza taratibu chali kukiwa na nyasi zilizojiotea otea zenyewe kutokana na jumba hilo kutelekezwa kutolimiwa, nikaingiza mkono katikati ya mapaj🥱 yake na kuushika uch🫣masikini alishalowana💦, akashtuka nilipomgusa "Niachee!" Aliongea huku akicheka cheka "Fumba macho usifumbue kwa sababu ukiitazama tamu itakung'ata "Itaning'ata, mimi naogopa?" "Ukifumba macho haikung'ati" nilimjibu akatikisa kichwa na taratibu nikaanza kuingiza kichwa upara cha dyudyu🍆langu kwenye uch🫣wake na kulisukuma taratibu liingie "Tamu tamuu" aliimba imba akiwa amefumba macho "Eeh tamu tamu" nilimsapoti kwa sauti ya chini na kuanza kumtomb🍆bila kupoteza muda, Mara kadhaa ilichomoka akaanza kulia akitaka iwekwe tena nikairudisha na kuendelea kumsugua tukiwa chini kwenye nyasi, akaanza kuongea ongea na kucheka cheka ikabidi nimzibe mdomo maana kama mtu angepita nje angetusikia, alirusha rusha miguu wakati nikimshindilia dyudyu🍆 kwa takribani dakika kumi nikalichomoa na kumwaga wazungu💦 pembeni, sikutaka kabisa kumpa mimba apate nayo shida, nilichokitaka ni kumpa raha asiendelee kujichezea chezea na asije akaingia kwenye mikono ya wanaume wabaya wakamfanyia vitendo vya kijinga kama kumtia mimb🥺kwa makusudi au kumpa magonjwa ya ajabu, nilishusha pumzi na kumtazama lakini alikuwa kimya hatikisiki wala hachezi chezi "Hey, hey ohooo imekuwaje tena?" Niliongea mwenyewe na kuendelea kumtikisa kama ataamka lakini wapii..... #Comment #Like

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

Niliisoma meseji iliyoingia kwenye simu ya jimama huyo mara mbili mbili huku macho yakiwa yamenitoka na mikono ikianza kutetemeka, "Huyu mama anameza vidonge gani tena siyo vile vya naniliu kweli, kama vile basi nimekwisha, kwanini sikuwaza kutumia kinga mimi?" Nilijikuna kichwa na wakati huo huo jimama hilo lilijigeuza taratibu nikarudisha simu yake haraka kabla hajagundua kuwa nimechungulia. "Uuuwiii kiuno changu mie" alilalamika "Pole" "Za asubuhi" "Salama" niliitikia kama sitaki "Vipi mbona umesimama tu, saa ngapi kwani saa hizi?" "Saa moja" nilimjibu na wakati huo huo simu yake iliita tena akapokea "Shikamoo mama" "Marahaba mbona asubuhi asubuhi?" "mama hivi umemeza vidonge vyako kweli huko shughulini?" "Ndiyo nimemeza" "Uwongo" "Kwahiyo huniamini?" "Siyo sikuamini, mbona vidonge vyote nimeviona hapa vipo kama vilivyo huko shughulini umeenda na nini?" "Nimevibeba vingine" "Uwongo mama, mara ya mwisho ulivyomeza nikavihesabu vimebaki kumi na nane vile vile sasa hivyo ulivyovibeba umevitoa wapi?" "Sasa anayemeza dawa ni wewe au mimi?" Mama huyo alikuwa mkali kwa Binti yake nikiwa kimya nasikiliza mazungumzo yao. "Hata kama simezi mimi lakini masukari yako yakipanda kule hospitali nani analaumiwaga kwa kutokumeza dawa kwako mama, siyo mimi ninayechambwagwa na manesi?" "Bwana we niacheni na sukari yangu nitajua mwenyewe niikoroge kwa chai au maziwa" alikata simu. "Unasumbuliwa na sukari?" Nilimwuliza "Eeh mara moja moja" "Lakini yupo sahihi kukusisitiza kuhusu dawa ni kwa ajili ya afya yako" "Nachoka bwana kila siku mavidonge tu, hebu niende shughulini nikajue kilichojiri huko naona usiku mzima wamenitafuta kweli yaani, halafu kwani wewe mtoto ilikuwaje kuwaje mpaka ukanileta chumbani kwako humu usiku?" "Wala sikukuleta uliingia mwenyewe tu ukadhani ni chooni" "Jamani ndo ukaamua kunishenyeta mie mama yako?" "Ningefanyaje wakati uliniachia mambo waziwazi?" "Ila pombe hizi mh, lakini una mambo mazito wewe mtoto si mchezo" aliniambia huku akinishika kwenye zipu ya bukta yangu "Ungeenda kutazama kinachoendelea shughulini wamekutafuta sana jana, ungeoga kwanza" "Haya ngoja niende nitaoga huko huko uwiiii kiuno changu" aliinuka kiuvivu na kuvaa chupi na dera lake akatoka taratibu chumbani kwangu kwa mwendo wa kuchechemea nami nikashusha pumzi na kukaa kitandani taratibu baada ya jimama hilo nililogaragazana nalo usiku mzima kuondoka. Nilienda kuoga na nikatoka safari kuelekea barabarani kwenda kupata supu asubuhi nikipita njia moja ya vichakani iliyotulia na ndipo niliposikia kelele za mtu kwenye jumba moja bovu lisiloisha za msichana ikabidi nisogee na kuchungulia kujua kulikoni na ndipo nilipomkuta mwanadada mwenye matatizo ya akili akiwa amekaa chini amepanua mapaja yake anajichezea chezea kwenye uch🫣wake huku akicheka cheka peke yake akionekana kujisikia raha Alikuwa ni mnene hivi aliyejaa jaa tena namfahamu njiani wakimtania dada wowowo kwa jinsi alivyojazika nyuma lakini akili zake zilifyatuka kutwa akiwa anabeba midoli mgongoni kama watoto wake na kwao wana maisha mazuri mpaka minong'ono ilianza mtaani kuwa huenda baba yake amemchezea kwa sababu zake za kimaslahi. Mwanadada huyo alionekana kufurahia mchezo wa kujichezea kwenye uch🫣ikionekana amemisi sana kufanywa pamoja na matatizo yake ya akili. "Hebu tulia huyu dada wa watu unamuwazia nini?" Nililituliza dyudyu🍆 lililodinda tayari ndani ya bukta nikageuka na kuanza kuondoka "Lakini vipi kama watu wabaya watakuja na kumwona kwenye hali hiyo wakamfanyia kitu kibaya wakamuambukiza hata magonjwa au kumpa mimba bila kujali hali yake?" Nilijiuliza nilipokuwa mita chache kutoka jengo hilo nikasimama na kitafakari kisha nikageuka taratibu kurudi kwenye Lile jengo nikachungulia taratibu kama kuna mtu yeyote anayeniona kisha nikaingia tayari kumsaidia mwanadada huyo kumkata nyeg💦zinazomsumbua..... #Comment #Like

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

"Uwiiiii usiingize kwa huko!" Jimama liliongea kwa mara nyingine lakini sikulisikiliza, nilichokitaka ndicho nilichokifanya, bado pombe zikiwa hazijamtoka kichwani niliingiza kichwa upara cha dyudyu 🍆kwenye mkund🥬wake taratibu, matak** yake makubwa yakiwa yanang'aa mafuta niliyommwagia na kuyasambaza huku muziki shughulini ukiendelea kwa sauti ya juu. Macho yalimtoka huku akijaribu kunyoosha mikono yake kunitoa lakini nilimshika mikono yote nikiiunganisha na kumbananisha kwa mkono wangu mmoja na mkono wangu mwingine nikamshindilia mgongoni asifirukute wakati nikianza kulisukuma dyudyu🍆langu taratibu, "Aaaasshh" nililalamika mwenyewe nikihisi kutaka kumwaga💦 mapema kabla hata zoezi la kumfir🥬 jimama hilo halijafika mbali nililichomoa dyudyu 🍆kidogo na kulipiga piga kwenye tako lake la kulia kisha nikalirudisha tena kwenye mkund🥬wa mwanamama huyo na kuendelea na mchezo huo haramu "Mmmh unanifir🥬halafu mimi nitanyea wapi we mtoto eeh niambie" aliongea ongea huku kitanda kikilalamika kwa sauti ya chini 'ksii ksiii ksiii' kutokana na uzito wa jimama hilo "Sasa ningefanyaje kwa jinsi ulivyojaaliwa shangazi, kwani nakuumiza?" "Unaniumiza ndiyo ila kidogo mmh ooosh unaitwa nani kwani?" "Damy" nilimjibu nikilisokomeza zaidi dyudyu🍆lililong'aa kwa mafuta ndani ya mkund🥬wake "Chomoa kwanza oooshhh nataka nijambe" aliniambia nikachomoa dyudyu🍆na muda huo huo akaachia shuzi kama bomu parakata parakata, na sikuchelewa nikalirudisha dyudyu 🍆tena na kuendelea na kazi ya kumfir🥬huku akinogewa na kuyasukuma matak🍒yake makubwa wakati Mimi nikilisukuma dyudyu, Nusu saa nzima mpaka alilala kifudi fudi akiwa hoi nami nikipiga push ups juu mgongoni mwake na kumaliza shughuli kwa kulichomoa dyudyu🍆langu nikamwaga koj💦la raha kwenye barabara ya katikati ya matak🍒yake makubwa na koj💦jingine likirukia mgongoni "Ooosssshh" mwanaume nilishusha pumzi ambayo niliibana kwa muda mrefu nikalala chali nikitazama juu darini na nilipogeuka kumtazama mshangazi huo, alikuwa kimya, kumbe alikuwa ameshalala "Jamani shangazi wa bibi harusi wetu popote ulipo unatafutwa, ile zawadi yako ni wakati wa kuitoa sasa, shangazi upo wapi?" MC wa kwenye shughuli aliongea huku muziki ukizimwa, ikionekana ni muda mrefu sasa shangazi wa bibi harusi hakuonekana shughulini na hakuna anayejua mpaka sasa kuwa shangazi ninaye mimi chumbani kwangu huku. "Aunty unatakiwa shughulini kaoge basi usije ukawatia wasiwasi" nilimtikisa tikisa kujaribu kumuamsha "Shughuli shughuli bwana waendelee tu mie nimechoka" aliongea kwa sauti ya usingizi na kujigeuza akiendelea kuuchapa usingizi kitandan** kwangu.... ....... ....... Kulikucha mapema asubuhi siku nyingine mpya, sikujua hata nilipitiwa na usingizi saa ngapi niliamka na kumkuta jimama likiwa bado linauchapa usingizi, niliamka na kuanza kufanya usafi kwa kudeki sakafuni kwanza maana harufu ya mikoj💦leo niliisikia, jana wala sikuisikia kabisa wakati nilipokuwa namshughulikia, mara simu yake ikaita mara kadhaa ujumbe aliyokuwa ameitupa kitandani tangu jana, ikabidi nisogee kujaribu kumuamsha lakini nikasita na kuichukua kwanza ndipo nilipokutana na ujumbe ulionishtua kwenye simu ya jimama hilo, ulisomeka hivi; "MAMA UMEKUMBUKA KUMEZA VIDONGE VYAKO KWELI HUKO SHUGHULINI LEO??!" Macho yalinitoka...

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

Alijibu "Unaweza kwenda itakufuata " jibu hilo lilinishtua nikasoma mara mbili mbili na kumtumia ujumbe " Selim naomba urudi nyumbani tuongee mume wangu". Ujumbe ulipokelewa ila hakujibu zaidi ya kuni bleutic na kukaa kimya ,siku ile nililia jamani nililia mpaka nikaa kiwa natetekeka sasa sijui kwasababu ya kulia sana nilianza kupata kizunguzungu na kichwa kuuma sana , nilijitahidi kuinuka ili nipande kitandani ila nilidondoka na kupoteza fahamu. Nilikuja kuamka nikiwa hospital nikakuta Jabir ndio yupo pembeni yangu, alivyoona nimeamka akaniuliza ninavyojisikia. Nilijibu niko sawa na kumuuliza kwann niko hapo, kabla hajajibu akaingia doctor na kuniangalia akaniuliza najisikiaje nilijibu kuwa niko sawa japo nahisi kichwa kizito kiasi . Doctor akaniambia kuwa natakiwa kutokuwa na msongo wa mawazo maana nitamuweka mtoto hatarini kitu ambacho hakitakuwa salama kwa afya yangu . Nilishtuka na kuuliza "samahani mimi ni mjamzito?'" "Ndio unaujauzito wa mwezi mmoja na nusu " "Sorry sielewi doctor mbona mwezi uliopita niliingia kwenye siku zangu sasa inakuwaje nakuwa namimba ?" "aam madam hilo linawezekana sana na kama huamini unaweza kupima tena ila huo ndio uhakika wewe ni mjamzito"nilibaki kimya Jabir alinipa hongera kisha akatoka na kunifuatia chakula nje maana nilikuwa nahisi njaa . Jambo lakuwa na ujauzito sikulifurahia sana wala pia sikuchukia kiufupi nilikuwa sieleweki kitu pekee nilichokuwa nawaza ni ndoa yangu . Niliona kabisa inaenda kufa na kibaya sijui shida au chanzo nini maana kila kitu kimetokea ghafla sana , basi Jabir alirudi nikala nilipomaliza nikapima vipimo vingine na kurudi nyumbani. Tulifika nikakuta gari la Selim likiwa limepack nje kuonesha kwamba amerudi, nilishuka haraka na kuingia ndani nikakuta wanajagawia watoto zawadi . Kwa mwendo wa unyonge nilisogea na kusalimia kama kawaida Selim hakuitika Nasra akanihug pale na kujichekesha eti alinimiss , sikutaka kuonesha tofauti yoyote hivyo nikajifanya kuchangamka kama kawaida. walipomaliza kuwagawia zawadi watoto Selim aliingia chumbani nikamfuata na kumkumbatia kwa nyuma akanitoa na kusema " Talaka yako hiyo hapo mezani unaweza kuendelea na maisha yako kuhusu watoto watakaa hapa nyumbani na mama yangu" Nilihisi kupigwa shot machozi yalinitoka bila kikomo nikapiga hatua mpaka mezani na kuchukua karatasi kweli ilikuwa nu talaka tena tatu. Hivi naelewaka ninaposema talaka tatu ? nilihisi mwili wote umelowa jasho nikamuuliza "Selim mume wangu hiki ni nini baba " "Umekuwa kipofu kwamba kusoma hujui ? " "Hapana sio kwamba sijui ila sielewi kwann unipe talaka tena tatu ni kosa gani nililofanya mpaka kufikia hatua unachukua maamzi kama haya " "Sikia mwanamke sina mda wakubishana au kuongea na wewe chakufanya saizi chukua kila kilicho chako ondoka kwenye maisha yangu milele" "Selim kweli unaelewa unachokiongea mume wangu ? najua ndio hatuko sawa ila tunaweza kuongea na kuwekana sawa kama siku zote " "Kuongea ? unaona rahisi sana nakuuliza unaona rahisi ?" "Ndio mume wangu yanaongeleka hata kama itakuwa ni ngumu ila tunaweza kuongea yakaisha na kila kitu kikarudi kuwa sawa kwani hakuna tatizo lakudumu hata hivyo sijui kwann haya yote yametokea ,zaidi nahisi ni shetani tu anataka kututenganisha " "Shetani ametokea wapi unafanya ujinga wako huko alafu unakuja kusema shetani ? " "Selim mimi nimefanya nini mume wangu ee kuwa muwazi basi ili nijue nimekosea wapi maana naona kama unanituhumu kwakitu nisicho kijua " "Nimekwambia sina mda wakuongea we chukua vyako ondoka , hizo habari za nimekosa nini hazina msaada wowote " nilijitahidi sana kuongea na kutaka kujua shida nini ila wapi mwisho akakasirika na kunitoa ndani kwa nguvu . Nilipiga magoti huku nikilia na kumsihi anisamehe japo sikujua kosa langu nilipi ila hakunisikiliza , alinitoa mpaka nje na kuchukua nguo akanitupia huku akifoka . Cha kushangaza mama yake hakuongea kitu akawa amekaa sebleni huku akinywa juice kwa mlija watoto walilia dada akawachukua na kwenda nao chumbani. Nilibaki nalia nje nikiomba kufunguliwa mlango ila hakutoka , mara malango ulifunguliwa akatoka Nasra nikakimbia haraka na kusema "Nasra nisaidie kuongea na Selim asiniache tafadhali" Nasra alitabasamu na kunishika akanisogeza pembeni kidogo kisha akasema "Unaumia sanaee? pole sana ila hayo ndio maumivu ya kuachwa na mimi niliumia hivyo hivyo unavyoumia wewe . Kwahiyo bidada pole ila pia nikuambie tu kwamba mda wako wa kuwa na Selim umeisha sasa niwakati wangu." Nilishtuka na kumuangalia akacheka kicheko cha dharau na kusema , "vip mbona umeshituka imekuwa surprise sana au hahahaa pole , najua ndio utakuwa huamiani hiki unachokisikia ila nikwambie tu kwamba nilikuja kwenye hii nyumba kuchukua kilicho changu na namshukuru Mungu nimepata . Tena kwa kutumia njia rahisi sana , sasa Selim ni wangu na kizuri zaidi anafurahia penzi langu kiasi cha kuona alipoteza mda kuwa na wewe . So dear sister unaweza kuondoka mbaaali utuache na maisha yetu na watoto wetu" Nilihisi kuzimia nisielewe anachokisema nikweli au naota inamaana Selim ametoka na Nasra kweli dada yangu wa damu hapana. Nilibisha na kumwambia "Nasra kama umekuja kunitisha sitishiki kwasababu namuamini mwanaume wangu najua hawezi kufanya ujinga kama huo ndio hatuko sawa ila haimaanishi kuwa ameniacha " Alicheka sana na kusema " amakweli huna akili hivi nikuulize kwa ufahamu wako unadhani kwann nilikuja kupanga karibu na kwako au unafikili kuwa nikweli nilishindwa kulipa kodi ya nyumba au nilikosa kazi hadi nikubali kufanya kazi kwenye kampuni yenu jibu ni hapana . Au unafikilia ni kwann amebadilika ndani ya mda mfupi? kwanza jibu unalo maana siku ile ulitumia sim yangu kumtafuta baada ya kuona hakujibu ila kwangu akajibu so huo ndio ukweli, Kwamba nilifanya yote kwasababu nilikuwa ninalengo langu na limetimia , na hii ndio asili yangu kilicho changu kitabaki kuwa changu daima . Kwa hiyo kwasasa unatakiwa kuondoka kwenye maisha yangu na mume wangu mtarajiwa embu subiri kwanza " Alitoa lock kwenye sm yake na kunionesha picha nikitoa macho kama mjusi aliebanwa na mlango baada yakuona picha akiwa na selim kitandani . Hakuishia hapo akaniambia " okay hii unaweza usiamiani acha nikwambie kwa maneno Selim maumbile yake yako ............ " nyie hakuna siku niliyochoka mwili mpaka roho yani alitaja maumbile yake ya siri jinsi yalivyo mpaka alama aliyokuwa nayo kwenye kalio akaitaja hadi saizi ya boxsa anayovaa hadi rangi anazopendelea zote akataja . Niliishiwa nguvu na kukaa chini huku machozi yakinitoka . KWETU morogoro

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

Bryan alikubaliana na maoni ya marafiki zake alitulia akiwa anasubiri mipango yao wanayopanga. Siku moja Bryan alikuwa yupo kwenye safari zake na dereva wake walipita sehemu akamuona Maria akiwa kabeba beseni kichwani. " Hebu simamisha gari. Dereva alisimamisha gari Bryan alishuka na kuanza kumfuatilia Maria . " Maria, Maria.... Bryan aliita Maria aligeuka alipomuona Bryan moyo wake ulishituka alitamani kukimbia lakini akasimama . Alipomkaribia karibu Maria akamwambua " Kwani bado Mimi na wewe tunadaiana? " Hapana.... " Sasa mbona tunafuatana Kama tulishamalizana? " Kwahiyo Ni vibaya hata kusalimiana? Maria aliona ajabu hakutegemea Kama Bryan amebadilika kiasi kile. " Unajua siamini Kama umenifuata na kuja kunisalimia tu. " Mbona kitu Cha kawaida Sana , nimefanya hivi ili uamini Mimi na wewe sio maadui. Maria aliachia tabasamu . Lile tabasamu la Maria lilizidi kuvuruga akili ya Bryan akawa anamuangalia moja kwa moja . Mara wakasikia mtu anamuita Maria " Maria unajua nakusubiri wewe alafu umejisimamisha hapo. Maria aliondoka haraka bila hata kuagana na Bryan. Bryan aliondoka huku akiwa anageuka nyuma anamuangalia Maria. Baada ya siku mbili kupita Derick anawapigia simu Jordan na Bryan na kuwaomba baada ya muda wa kazi wakutane BM bar. Ilipofika jioni wote watatu walikutana BM bar walikunywa na kupiga story . Baada ya hapo Derick akaanza kuongea kile alichowaitia. " Nilikuwa na wazo la husu kuwakutanisha Bryan na Maria. Bryan alikuwa makini kusikiliza. " Mnaonaje weekend hii tukaenda sehemu tukaweke kambi Kama siku mbili tatu, Ila hatutaenda wenyewe tutaenda na wapenzi, Maria nae atakuwepo.... " Atakuwepo kivip, umeongea nae? " Hapana Ila hatuwezi kushindwa kumshawishi. " Unafikiri itakuwa kazi rahisi kumshawishi? " Upo na master plan kwahiyo tulia , Kuna dada mmoja huwa ananitafutia wafanya kazi hasa ninapokuwa na shughuri na ndio aliemtafuta Maria kipindi kile naweza kuongea nae akamtafuta Maria. Nitafanya Kama Nampa kazi baada ya hapo tutakutana sehemu husika Sasa hapo hutatakiwa kuzubaa bro tukiwa huko itatakiwa kumaliza kila kitu. Derick alimaliza kuongea Jordan alimpa mkono wa kumpongeza " Hapo umeweza Kaka huu mpango umekaa vizuri Sana na sehemu ya kwenda ni forest maana kule Kuna vivutio vizuri. Bryan alikuwa kimnya maana hakuwa na uhakika Kama Jambo wanakipanga kitaenda kutimia " Vipi Kaka mbona kimnya hivyo? " Hamna shida Mimi nawasikiliza nyie. " Usijal nitatimiza mipango yangu na wewe jiandae na maneno mazuri kwaajili ya kumvuta Maria awe wako. "Nitajitahidi japokuwa Nina muda mrefu sijajihusisha na maswala ya mapenzi. " mapenzi Ni hisia ukimuona maneno matamu ya kumueleza yatakuja tu kikubwa unatakiwa kuwa romantic. " Na Kama alishindwa sisi typo tutampa darasa. Wote waliishua kucheka na kuendelea kutaniana Baada ya maongezi kila mmoja aliondoka. Kesho yake Derick alifanya mpango wa kumtafuta Maria mpaka akafanikiwa kuwasiliana nae na badae walikutana " Maria nimeambiwa wewe Ni mpishi mzuri Sana ndio maana nimekutafutia kwaajili ya kwenda kutupikia Mimi na marafiki zangu . " Sawa boss kwanza nashukuru Sana kwakunipatia hiyo kazi. " Usijali nitakulipa vizuri, unatakiwa siku ya ijumaa mida ya saa tatu asubuhi uje nyumbani kwangu hapo ndipo tutaanzia safari yetu. " Sawa boss nimekuelewa Sana tu. Hatimae siku ya ijumaa ilifika Maria alijiandaa na safari alipomaliza akaenda nyumbani kwa Derick huko alikutana na Derick akiwa na mpenzi wake Monica. Derick aliwasiliana na wakina Bryan ili waanze safari pamoja. Bryan alitoka na gari lake na Jordan aliondoka na gari yake akiwa mpenzi wake Vivian. Pia kulikuwa na gari lilikuwa limebeba mizigo pamoja na mahema hili liliendeshwa na dereva. Walipofika walushuka kwenye gari wakakuta wenzo wameshafika wamekaa kwenye vimvuli vya miti huku wakinywa red blue. Maria alishituka kumuona Bryan na muda huo Bryan alikuwa akimuangalia huku akitoa tabasamu kwa mbali. Maria aliangalia pembeni kwa muda alipogeuka akakuta bado Bryan anamuangalia. Derick na mpenzi wake walienda kuungana nao Maria alikuwa bado kasimama Bryan akamuita " Maria mbona umejitenga njoo ukae hapa. Maria alimuangalia boss wake Derick alafu akamfuata " Samahani naweza kuanza kazi? " Pumzika Maria Sasa hivi kila kitu kipo kaa ufurahie pamoja na sisi. Maria alienda kujitenga mwenyewe maana watu walikuwa wawili wawili kasoro yeye na Bryan. Bryan alichukua boksi la biscuits za chocolate na red blue moja akaenda kukaa karibu na Maria. Alifungua kopo la red blue akampatia, akachukua kipande Cha biscuit akampa huku alimkaribisha. " Karibu pia kuwa na amani. KWETU morogoro

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

Haikupita hata mwezi juddy alifariki na taarifa tulipewa na Zakia mwenyew, nilimuombea apumzike kwa amani tu , sijui ndio mambo ya mganga au ni mungu tu ameamua sijui yeye Hakuna hata aliewaza kwenda msibani Nilishukuru sana mungu mambo yote kuisha na nina amani tena , Alex aliipangisha ile nyumba , tukatafuta nyumba ingine kwa ajili ya kuishi Baada ya miezi minne ya ndoa ndio ,nilijikuta nina ujauzito afu nilikuwa nishaweka kijiti daah Ilibidi tu nikatoe zangu kile kijiti nilee mimba yangu huku nasimamia biashara zangu mwenyewe Mtoto wa juddy alikuwa yupo kwao na Felix na kilikuwa kimekuwa kikubwa tu , Sikutaka pia awe karibu yangu mana Felix alikuja tena kuomba msamaha kwa Alex na kuomba ile Famili Friends iendelee Mi nilimwambia alex sihitaji ukaribu na huyu mtu mana mtoto wake anakuwa huyu afu ni mtoto wa juddy na akikuwa mkubwa akaja kupata story ya mama yake anaweza nichukia mie na kudhani ndie nilimuuwa mama yake Hapana sitaki awe karibu yangu, Alex alinielewa kweli akamwambia Felix hatuwezi kuwa karibu tena kama zamani Felix alielewa tu akasema sawa haina shida . Nilijigungua salama kabisa tena nilipata mapacha wote wa kike , Alex akasema hao ndio wa mwisho hakuna kuzaa tena nikasema sawa mungu atukuzie watoto wetu hilo ndio muhimu Nilinaki na watoto wawili yaan wale wa kike afu wale wa kiume anao mama yaan mama mkwe alikataa kabisa kunipa akasema atawatunza yeye tu .. Ukweli nilikuwa na maisha ya furaha sana sana .. Siku moja Alex alirudi kutoka safari wakati huo alikua ameanza kufanya tena kazi kwenye Shirika binafs la ndege Akanambia mke wangu kuna kitu nahitaji tufanye Nikamuulize kipi tenaa ?? Hapo watoto wangu wana kama miezi 7 hivi Akanambia "Mke wangu ,nataka ukutane na mtu hapa anaweza kukusaidie lile tatizo" Mmh nikajiuliza tatizo gani tenaaa?? "Lipiii" "Nataka urudi tena shule, nataka ujue kusoma " Heee jamani kumbe hii kusoma ipo tu jamani nilikuwa nishasahau kabisa kama sijui kusoma "Mume wangu!!!!" Sikuona kama naweza mana hata mara ya kwanza nilifeli ndo nilikuwa sina hata majukumu kabisa sembuse leo?? Akanambia we tulia mke wangu mi nitafanya lolote na utaweza kuna mtu nahitaji kesho twende ukaonane nae Nilikubali tu sa nitafanya ninii?? Kesho yake akanambia twende huku ,nilijiandaa vizuri tukatoka , safari iliishia kwenye Jengo moja hivi mikocheni ilikuwa ni Ghorofa ndefuu Tunaingia kwenye Lift mpaka Ghorofa ya 5 hapo alex aliniongoza kwenye Chumba flani mlangoni paliandika Doctor Sikujua Doctor wa nini hata, nilifata tu nyuma Nilimkuta mwanamama mmoja hivi , alitukaribisha kwenye kochi zilikuwa pale Ni kama ofisi flani hivi "Huyu ndie mke wangu anaitwa salma,, salma huyu ni mtaalamu wa Saikolojia anaitwa Doctor Lian naomba uwe Comfortable tafadhali " alex alinitambulisha kwa yule mama "Salma karibu sana" alinikaribisha huku ananyoosha mkono na tabasam kama lote Nilikuwa na kiwasi wasi cha mbali, nikasema asante Doctor Mi nilijua napelekwa shule au kwa mwalimu mwisho naletwa kwa Doctor wa Saikoloj et "Tunaweza kuanza ,njoo hapa" Aliniambia nimfate nikasimama kwa Mbele kulikuwa na kutanda hivi kidogo dogo akanambia lala hapo , nililala akawasha mwanga karibu kabisa na Uso wangu "Unaitwa nani???" Aliniuliza baada ya muda kidogo ule mwanga kunimulika usoni "Salma Omar" "Una watoto wangapi??" "Wa nne" Yaan nikawaza hivi mie naonekana kama sina akili vizuri auu?? Mbona ananiuliza maswali ya kipuuzi hivyo et?? "Mumeo anaitwa nani??" "Alex" "Unafanya kazi gani??" "Biashara!!" "Sawa tumemaliza, unaweza kuinuka" Nilishangaa kwahiyo hapa ndo kala hapa hela mmh Akamwambia Alex ,Kesho mlete alex akasema sawa, alijaza jaza baadhi ya karatasi na pale alikuwa ananiuliza nikijibu anaandika hata sijui alikuwa anaandika niniii .. Kesho yake tena alex alinichukua Tukaenda yaani hapo bado sielewi kwanini naenda kwa huyo doctor Tulifika akatukaribisha vizuri tu akanambia tena njoo hapa kitandani , nilipanda pale nikalala kama jana "Salmaa!!' Aliniita yule mama 'Abee" "Umeanza kusoma shule ukiwa na miaka mingapi" "Miaka 6" "Ulikua ukiichukia shule ??" "Hapana" "Embu nambie kipi ulikuwa hukipendi shule yaan kilicho kuwa kina kuboa sanaa ukiwa shule" "Nilikuwa sipendi sana ugomvi, lakini haikufanya niichukie shule" "Ooh naa......" Aliniuliza maswali mengi kuhusu shuleni nilikuwa napenda nini?? Mwalimu wangu mkuu ni nani mara ufauru wangu Nilijibu yote kabisa, Doctor akasema saw inuka ,niliinuka nikaenda kukaa pembeni ya Alex kwenye kochi Doctor aliandika andika akanambia Umelelewa na nani?? Nikamwambia mama yangu akanambia sawa Alimgeukia alex akasema sioni kama kuna shida yeyote ni ubongo tu ndio ulikuwa mzito na hapo kuna tatizo tunaita... alitaja hilo tatizo Mi hata sikumbuki mana gumuu Akamwambia Alex kuwa hii inaweza kuwa alipata shida akiwa mdogo sana , naona nianzie hapo Naomba niongee na mlezi wake .. Basi tuliondoka alex akasema sawa anakwenda kuongea na mama. Tulipo toka pale tulienda moja kwa moja kwa mama nyumbani alex alimwambia mama kuwa kesho tunaomba twende wote... ITAENDELEA..... KWETU morogoro

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

ENDELEA............ Boke alikumbuka alivyokuwa akitamani mtoto kuliko hata mambo ya elimu na kunyenyuka. "Nakuja" "Wapi unaenda wewe mtoto" "Hapa tu karibu!" Kalitimua mbio kakimuacha Suzi akikaangalia. "Shauri yake atajijua mwenyewe akiharibiwa huko" Jicho alilirudisha kwenye uroda wa tv na kuendelea kuburudika. Huku Boke akili zake zilimtuma kurudi kwa Onesmo baata tu ya kufunuliwa picha nzima ilivyo, alembea haraka haraka lakini bahati mbaya akapalamia sinia la ndizi lililokuwa limewekwa njiani kwa ajili ya kuuza. "Wewe mtoto njoo hapa!" Muuzaji alimwita Boke kwa hasira na Boke akasogea. "Huoni au!?" "Wewe umekoswa sehemu ya kuweka sinia lako mpaka uweke barabarani tunapopita watu!?" "Wewe mtoto mwanga nini jibu gani unanijibu hilo!?" "Unanipotezea mda tu kuna sehemu nawahi alafu sio kosa langu ni kosa lako kuweka sinia lako njiani!" Boke alitimua mbio na kumuacha muuzaji akimtazama. "Kijinga kabisa hichi kitoto sijui nilikuwa wapi tu kukishika nikitie bakora mpaka kipate adabu!" Mdomo aliuvuta huo lakini haikusaidia kitu kwani Boke alikuwa tayari ameshaondoka. Boke alifika mpaka kwenye nyumba ya Mama Onesmo na kusikia sauti ya Mama yake upande wa ndani akiongea na Mama Onesmo akaanza kuwaza namna ya kuingia ndani ili aweze kuonana na Onesmo, akiwa bado kwenye mawazo mda huo huo mlango ukaufunguliwa na haraka alisogea pembeni na kujificha ili asiweze kuonekana. Mtu aliyefungua mlango alikuwa ni Onesmo mwenyewe na baada tu ya Boke kumuona alitoka alipokuwa amejificha na kumkimbilia Onesmo. "Ni wewe tena!?" "Shiiiiii!" Alimshika mkono na kusogea naye pembeni. "Twende tukaendelee!" "Unasema!?" Onesmo alibaki kushangaa baada ya kitoto kujileta chenyewe na hakuta kuchelewa zaidi ya kumshika Boke na kuelekea naye bafuni. "Twende huku!" Waliingia bafuni na kuu....funga mlango kwa ndani. "Lala hapo ch...in!" "Kuna maji!" "Utaoga w...ew lala!" Boke alipatazama na kuamua kul....ala kama alivyoambiwa huku akiwa haelewi chochote kile na pasipo kupoteza mda Onesmo alitoa kichujio chake na kukiweka pembeni na kutanua miti yake miwili vizuri. "Aiiiii!" Mwano ulimtoka Boke baada ya vitembeleo kuta....nuliw na Onesmo alibendi chini na kuutoa mje..ledi w*ake. "Nataka nipate na mi..mb nizae mtoto" Macho yalimtoka Onesmo baada ya Boke kuongea ukizingatia umri ulikuwa hauruhusu kabisa yeye kubeba kibendi. "Sawa!" Taratibu aliikamata na kuanza kuiwekaaaa kwa nguvu na Boke akaanza kupiga kelele pale pale na kuongea kwa sauti ya juu. "Wewe panaumaaaa!" "Shiii nyamazaaaa watasikia ndani" "Wuuuuuuuu taratibuu Onesmo" Onesmo hakujali zaidi ya kuendelea kulazimisha kutoboa kwa nguvu na Boke naye alizidi kuachia mwano na saa ngapi Mama Boke na Mama Onesmo waliokuwa ndani wasisikie sauti ya Boke akilia. Wote walitoka nje na kusogea kwenye mlango wa bafu na kuisikia milio ya Boke kiukaribu zaidi. "Hii huyo si mwanangu Boke!?" "Mwanao!?" "Eee, wewe Boke!" Mama Boke alisogea mlangoni na kuanza kugonga nguvu na ndani ya bafu ukaka wote aliokuwa nao Onesmo ukakata, haraka aliirudisha ndoga yake ndani na kujiweka vizuri. "Nyenyuka uva..e" Boke alisimama na k..uv..aaa vizuri na Onesmo alisogea na kufungua mlango. "Heeee umenitafunia mwanangu?" Mama Boke aliuliza kwa hasira na kuingia bafuni kwenda kumuangalia Boke. "Wewe Onesmo tabia gani hii!?" "Sijamfanya kitu mama" "Kama hujamfanya kitu mlikuwa mnafanyeje nyie wawili tu humu bafuni?" "Tulikuwa tunacheza tu" "Kucheza!?" Wakati Mama Onesmo na kijana wakw wakiongea Boke alikuwa akimya tu na hata alipoulizwa na Mama yake imekuwaje mpaka akawa pale hakuwa na cha kujibu. "Hutaki kunijibu eee, twende ukanieleze vizuri huku!" Mama Boke aliongea na kuanza kumvuta na kuondoka naye. "Unaona ulichokisababisha wewe mtoto?" "Bahati mbaya tu ila hata hivyo Boke mwenyewe ndiyo alitaka sio mimi" "Hata kama alitaka wewe huoni kibinti bado kidogo kile au unatamani ugalo wa jela eee!?" "Hapana mama sio hivyo bhana sitarudia tena!" Onesmo alijitetea na upande wa Boke na mama yake alikuwa bado akivutwa mda huo wakielekea nyumbani kwao. Walipita maeneo ya mgahawani na Suzi alishindwa kuelewa kipi kinachoendelea baada ya kumuona Mama Boke akimvuta binti yake na alipotaka kuwafta wateja walihitaji kuhudumiwa na kumfanya ashindwe kwenda. Mama Boke na binti yake walifika wanapoishi. "Twende ndani ukanieleze vizuri na uniambie nani kakufundisha haya mambo na baada ya hapa tamfata mpumbavu mwenzako!" "Unanionea tu Mama mimi sijafanya" "Hujafanya eeeh? kaa hapo haraka kwenye kochi" Boke alisogea na kukaa kwenye kochi na Mama Boke akaanza kumv..ua pale pale na tunda lote la Boke likabaki nje nje..........ITAENDELEA.

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

@Kila Mtu 🥥🥥🥥🥥🥥🥥🥥🥥🥥🥥🥥🥥🥥🥥🥥🥥 Fariss alishusha pumzi huku mikono yake ikiwa kichwani . " Meyael yule msichana amechukua simu yangu. " Hahahaha.... " Unacheka? " Sicheki kwa mazuri ila Salma wa mtaa wa saba kakuweza kakugeuza mtaji. " Hivi huyu ni mwanamke gani ? Kila tabia za ajabu anazo yeye . Sijawahi kukutana na mtu mwenye ulimi mkali kama yule, nadhani hata Kibaka wa Tandale hawezi kunizidi ujanja kiasi hiki. " Lakini bro ukweli ni kwamba yule dada ni kichwa ana conference ya hali ya juu. Hata mimi nimemuogopa aisee. Fariss alitulia huku akiwa anatafakari jambo Meyael akauliza. " Sasa tunafanya je kuhusu simu yako? "Hapa hakuna kingine cha kufanya nageuza gari naenda kumtafuta . " Utampatia wapi kaka hiyo andika umeshalizwa . " Hapana siwezi kukubali simu yangu ipoteze kirahisi hivyo lazima nitampata , nitatumia gharama zozote kuipata simu yangu. Kuna vitu vingi vya muhimu kwenye ile simu. Fariss aligeuza gari na kuanza kurudi mtaa wa saba. Alipofika karibu na walipotaka kumgonga Salma alisimamisha gari pembeni na kushuka haraka akaelekea sehemu akawakuta wanawake wamekaa wanasukana nywele. " Habari za sauti wakina dada. " Salama. " Samahani naomba kuuliza kitu. " Uliza tu kaka. "kuna dada mmoja Mjanja Mjanja hivi , muda mfupi alikuwa maeneo haya amevalia dela la rangi ya blue ina mpasuko mrefu na masikioni alikuwa kavalia hereni kubwa za duara. Wale wakina dada waliangaliana kisha wakamuangalia Fariss. Mmoja wao akauliza " Unamuongezea Salma? " Ewaaaaa huyo huyo . " Sawa , sasa nyoosha na hii barabara ukifika nyumba ya nne ingia na kichochoro ile nyumba ya nne nyuma kuna nyumba nyingine ina rangi ya bluu basi gonga hapohapo ndio kwa kina salama. " Bingo. Fariss alishangilia kimnyakimnya kisha akasema. " Asanteni sana dada zangu. Bila kuchelewa alienda alikosimamisha gari akapanda na kuanza kuendesha. " Vipi umefanikiwa? " Ndio sasa subiri timbwili linaloenda kutokea huko yani yule msichana simuachi salama kumuonyesha mimi ni nani namchukua naenda kumlaza ndani hata siku mbili ili ajue kuwa kuna watu wa kuchezewa na sisi wengine hatupotezi muda kwenye mambo ya kijinga. Meyael alitulia kimnya ndio kwanza alichukua chupa yake ya maji baridi akawa anakunywa maana alimuelewa Fariss akiamua kufanya jambo huwa hacheki kwahiyo kilichokuwa kinaenda kutokea ni kisasi cha simu na yote yaliyotokea kwa siku hiyo. Waliofika sehemu waliyokuwa wameelekezwa Fariss alisimamisha gari. " Unaenda au vipi? " Mimi sitaki kusikia kelele wewe nenda kamalizane nae. Fariss alishuka kwenye gari akafunga mlango kisha akaingia kichochoro na kuiona nyumba aliyoelekezwa. Alifuata ile nyumba akasimama kwenye mlango mkuu wa kuingilia ndani na kuanza kugonga kwa fujo. Wakati huo Salma alikuwa akipepea jiko lake la mkaa kwaajili ya kubandika mboga. " Ohoooo kumekucha watu wa kudai wameshafika, na wakimuona huyu kuku maneno yatawatoka ngoja kwanza nimfuche huku. Alichukua ile sufuria iliyokuwa na kuku akiweka chini ya meza na kuifunika vizuri kisha akawa anaelekea mlangoni huku akisema " Jamani basi tumesikia mtavunja huo mlango. Baada ya sekunde chache Salma alifika mlangoni huku akiwa kavalia kanga yake moja akafungua mlango na kukutana na sura ya Fariss . Wakati huo fariss alikuwa kakunja uso lakini baada ya kuona muonekano wa Salma matuta ya usoni kwa fariss yalifutika. " Una matatizo gani? Mbona unagonga mlango kwa fujo hivyo? "Kilichinileta hapa ni kitu kimoja tu Nataka simu yangu. Salma alimuangalia Fariss huku akionyesha tabasamu hafifu usoni kwake . Kisha akasema " Nilijua tu utafuata simu yako. Simu yako ipo salama , sikuwa na shida nayo ila nilichukua makusudi ili ulipe kwa dharau zako na maneno yako ya kejeri kusema kuwa mboga zangu hata mbwa wako hawezi kula. Nimeamua kukuonyesha sio kila mtu niwakubeza. " Hivi unajua ni kiasi gani umenipotezea muda wangu? " Wewe ni mbinafsi sana kwani hukuona jinsi ulivyoupoteza muda wangu? " Hebu acha kunipotezea muda nipe simu yangu. " Nitakupa lakini unatakiwa kujua kila mtu anahitaji heshima,ukiheshimu wengine na wewe utaheshimiwa. Alisema Salma kisha akageuka kuingia ndani. Fariss macho yalimtoka kwa jinsi alivyokuwa akimuangalia Salma anavyotembea na huko nyuma kutetemeka mithili ya jenereta lililowashwa. " Mmmmh..... Hii balaa Fariss nimekuwa mdogo kama piliton. Amejua kuituliza moyo wangu. Baada ya muda Salma alirudi akiwa kashika simu ya Fariss mkononi. Kwa madoido Salma alimkabidhi Fariss simu yake " Shika simu yake. Farris alichukua simu akaiangalia mara ghafla akashitukia kakumbatia. Fariss aliduwaza na kuganda. Salma alivunja kumbatio na kuweka mikono yake nyuma. " Karibu tena mtaa wa saba sisi ni wakarimu sana. Fariss alimuangalia sana usoni kisha akageuka kuondoka bila kusema chochote. Fariss alipiga hatua chache kutembea mara akasikia anaitwa. " Hey. Fariss aligeuka kumuangalia. " Ninatumaini siku sio nyingi utakuja tena hapa. Farris alimuangalia Salma bila kuelewa , lakini macho ya Salma yalikuwa na jambo, yalikuwa na mvuto wa kike pia sauti yake ilienda kutuliza ghadhabu za Farris. " Usichelewe kuja tafadhali maana sitaweza kusubiri kwa muda mrefu. Taratibu Salma alifunga mlango . Farris alirudi kwenye gari akiwa kapoa. Meyael alipomuona alishangaa kumuona jamaa kapoa ni tofauti alivyokuwa kaenda wa moto. " Vipi bro mbona kama umevunjika moyo ? Umepata simu yako kweli? " Farris alivuta pumzi ndefu alafu akashusha na kusema. "Meyael yule mtoto ni noma , ana roho ya simba, nilichokikuta huko siwezi kuhadithia ila tambua akili yangu haipo sawa na hapa nilipo kajikuta natamani kumuona tena......🤔🤔 Nyieeeee....Mambo ni ya motooo.😂 Kwani wewe auogopi Usipite bila kulike na kukomeniti fanya ku share kabisa ili sehemu inayofuata isikukose maana ndiyo sehemu balaaa🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥. Jamani comment zenu zikiwa nyingi naleta mwendelezo fasta

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

@Kila Mtu 🥥🥥🥥🥥🥥🥥🥥🥥🥥🥥🥥🥥🥥🥥🥥🥥 Ukisikia mtaa wa saba ni mtaa wa saba kweli ni mtaa iliyochangamka matukio ya kila aina yanapatikana kwenye huo mtaa. Ukipita huku unakuta na wamama wanasutana au vigodoro, ulitokezea kule unakuta watoto wakicheza gololi , kuikata kushoto wavuta bangi na vibaka yani kwenye huo mtaa hakuna mtu mzembe mzembe kwanza wenyeji wote wanajuana akija mgeni anajulikana wanaanza kuulizana huyu katoka wapi? Au kaka kwa nani? Haya sasa tuanze... Ilikuwa majira ya saa kumi na mbili jioni kijana Fariss alikuwa anatoka kazini , kwenye gari yake aina ya range Rover velar nyeusi. Kwenye gari alikuwa na rafiki yake kipenzi Meyael. Siku hiyo barabara ilikuwa na foleni kubwa sana walisimama kwenye foleni karibia nusu saa. Meyael alichokaa kukaa pale kwa muda mrefu akamwambia Fariss. " Fariss huku kuna foleni sana tutakaa sana hapa kwanini tusipite barabara ya chini? Fuata hiyo gari inayoingia kwenye barabara ya vumbi alisema Meyael " Alafu ni kweli sijui kwanini sikukumbuka hili mapema. Alisema fariss huku akijaribu kutoka kwenye foleni akaingia kwenye sheri moja na badae akafuatia barabara ya vumbi iliyokuwa inapita kwenye mitaa iliyokuwa na nyumba nyingi za watu. Fariss aliendesha gari kwa mwendo wa kasi alijisahau kuwa yupo kwenye barabara za mtaani huku akisikiliza muziki kwa sauti ya juu kidogo. Wakati huo huo upande wa pili wa barabara kulikuwa na msichana mmoja anavuka barabara huku mkononi kwake akiwa kashikilia kipande cha gazeti lililofungwa . Mara Meyael akasema kwa sauti ya hofu. " Fariss unagonga mtu. Ilikuwa bahati fariss alifunga breki na gari ikasimama. Fariss na Meyael walishuka haraka kwenda kumuangalia mtu waliotaka kumgonga. walimkuta mwanadada mmoja akiwa kachuchumaa na gazeti lake likiwa chini vitu vyake vyote vilimwagika. " Wewe dada kwani ulikuwa huoni kama gari inakuja unavuka barabara kwa maringo kama vile anamiliki baba yako. alisema fariss huku akimuangalia yule binti kwa hasira. Yule binti alisimama huku akimuangalia Fariss kwa macho ya ukali , alishika kiuno na kusema " Wewe baba naomba ufungue huo mdomo wako mchafu kama kuongea hata mimi najua sana kuongea na isiombe nikaufungua huu mdomo wangu utaomba poo ... alafu hapa ulipo kumbuka ni mtaani kwangu na mimi ndio Salma alwatan wa huu mtaa wa saba. " Vitoto vya uswahilini bwana sijui vipoje? " Koma wewe mtoto unaninyonyesha ? Alafu usijitie sana kuongea umeona mboga yangu imeanguka kwenye mchanga nataka mboga yangu haraka sana kabla sijakujazia nzi hapa. Fariss aliangalia chini kisha akamuangalia Meyael wakacheza kwa dharau. " Utumbo, miguu ya kuku ndio mboga? Wenzio wanakula kuku nyie mnaambulia hizo takataka hata nikimpa mbwa wangu hali hizo takataka. Salma alikunja uso wake kwa hasira kisha akanyoosha mkono wake na kuumkunja Fariss. " Oya hebu niache... " Sikia hivi utanifanya nini na nipo mtaani kwangu. " Wewe mtoto wa kike acha Shobo, usishobokee watu usio wajua. Alisema Meyael. " Wewe tena nyamaza sitaki ujichanganya kwenye hii kesi. Maana sishindwi kuwachanganya wote wawili. Meyael alitaka kunyanyuka mkono lakini Fariss alizuia maana alijua ikiwa atampiga yanaweza kutokea mengine. Baada ya fariss kuona Salma hatanii akauliza " Unataka nini sasa? " Umetaka kunigonga hili ninesamehe , lakini hili la kuniharibia mboga zangu utalipa ili iwe fundisho siku nyingine usiweze kurudia tena kuwa na dharau kwa watu usiowajua. Fariss alimuangalia alafu akauliza " Kwani shilingi ngapi? " Hapa ni buku tu. " Sikiliza nikwambie kwa hadhi yangu siwezi kutoa hela yangu nikanunue miguu , maeneo haya wapi kuna super market? " Kule barabarani. " Panda kwenye gari nikakuchukulie kuku mzima. Hata kama utataka kuku wa KFC nitakununulia. Aliongea fariss kwa kujiamini ili kuweka heshima. " Afadhali neema imenishukia siku ya leo. Salma alipanda kwenye gari bila uwoga wowote Fariss aliendesha gari kwa kufuata maelekezo ya Salma mpaka wakafika super market. Walishuka Fariss pamoja na Salma wakaingia super market . Fariss alitoa hela na kununua kuku mzima na kumkabidhi Salma. " Shika leo kusheherekeae pamoja na majirani zako. " Unanipa kwa masimango unafikiri nita susa? Mwenzio sina tabia ya kususa kwaheri. Salma alichukua mfuko wa kuku na kuondoka huku Fariss akimsindikiza kwa macho. " Mshamba mmoja muone vimiguu vyake. Baada ya hapo Fariss alirudi kwenye gari. " Mmmh ya leo kali. Alisema Meyael. " Nimekutana na slay queen wa buza. Na njia ya huku sipiti tena tusije tukakutana na balaa lingine. Meyael aliishia kumcheka. Fariss aligeuza gari na kuelekea njia nyingine. Walifika sehemu Fariss alitaka kuwasiliana na mtu alitafuta simu yake alipokuwa kaiweka lakini hakuiona. Alisimamisha gari na kuendelea kutafuta. " Vipi unatafuta nini? " Siioni simu yangu. Walitafuta kila sehemu simu haukuwepo. " Meyael naomba unipigie. Meyael alichukua simu akajaribu kupiga simu ilikuwa inaita lakini haikusikika ikiita ndani ya gari. Fariss na Meyael waliangaliana , Meyael akasema " Slay queen kachukue simu yako .....🤔🤔 Nyieeeee....Mambo ni ya motooo.😂 Kwani wewe auogopi Usipite bila kulike na kukomeniti fanya ku share kabisa ili sehemu inayofuata isikukose maana ndiyo sehemu balaaa🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥. Jamani comment zenu zikiwa nyingi naleta mwendelezo fasta

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema mjukuu
 

" Asante kwa kuniambia nitaenda kuongea nae " Winnie alienda ofisini kwa Elian " Hi honey " Winnie alitaka kumkiss Elian shavuni Elain akamzuia " Ulikuwa wapi unanijia nyumbani saizi ukiwa unanukia perfume ya kiume ?" Elian aliuliza Kwa kufoka " Nilisahau kukwambia honey nilikuwa nyumbani kwa rafiki yang..." Kabla Winnie hajamaliza kuongea alikatishwa na kibao Cha shavu " Huyu ndo rafiki yako ? Yani unanifanya mimi mjinga na unanilazimisha nikupigie ikiwa Sina tabia hiyo ya kupiga mwanamke " " Honey huyu ni rafiki yangu nakuapia " Winnie alijaribu kumuelezea Elian lakini hakumsikiliza alimsukuma nje ya ofisi yake akafunga mlango ilipita week nzima Elian na Winnie wakiwa hawana maelewano Siku ya jumamosi Elian alipata mgeni nyumbani kwake " Loveness nilisikia bado upo London ?" Elian alimuuliza loveness " Nimerudi kwa sasa nataka kupumzika hapa nyumbani kwako siku chake si utaniruhusu? " aliuliza loveness " Yeah kwanini nisikupokee " Elian alichukulia ile kama fursa ya kumuumiza Winnie wakati wa kula alimlisha loveness na kuongea nae vizuri lakini kwa upande wa Winnie hakutaka hata kuongea nae " Kwanini upo hivi siku hizi Elian Kuna kitu nimekukosea, kwanini unanifanyia hivi jamani ?" Winnie aliongea mwenyewe huku analia Kwa upande wa Elian alikuwa chumbani kwa loveness " Unaweza kuniambia Sasa kipi kinakusumbua ?" Elian alimuuliza loveness " Elian nakuomba hiki nitakachokwambia usimwambie mtu mwingine yoyote " loveness aliongea huku ameshika mikono ya Elian " Kwanini umeamua kuja kuniambia mimi kama ni kitu Cha Siri ?" Elian alimuuliza loveness " Kwasababu nakuamini sana Elian kuliko hata ninavyojiamini mimi mwenyewe , nanimekuja kwako kwasababu wewe ndo msaada wangu wa pekee uliobaki " loveness alianza kulia " Basi usilie niambie kila kitu kinachokusumbua nakuhakikishia sitomwambia mtu yoyote na nitafanya kila ninachoweza kukusaidia kumbuka wewe ni kama mdogo wangu " alisema Elian " Asante sana Elian , si unakumbuka nilienda London kwa shangazi yangu Agatha baada ya baba kulazimisha sana sisi kuoana " loveness aliweka kituo " Ndiyo nakumbuka vizuri sana " " Huko nilikutana na kaka mmoja anaitwa Collins tulikutana kama bahati tu na kuanza urafiki ,urafiki wetu ulitupelekea kuwa wapenzi tulikuwa pamoja kwa mwaka mmoja lakini mwezi uliopita alitoweka na mpaka hii Leo sijui atakuwa wapi na kibaya zaidi nimegundua Nina mimba yake Ina miezi miwili Sasa naogopa Elian kurudi nyumbani nitamwambia nini baba na sitaki kutoa mimba " loveness alizidisha kulia " Shhh usilie loveness nakuahidi nitakulinda kwa namna yoyote wewe pamoja na mtoto wako na kingine nitafanya juu chini nijue ni kitu gani kimemkuta Collins wako " Elian alimbembeleza loveness kwa kumkumbatia mlango wa chumba ulikuwa wazi Winnie aliona kila kitu machozi yalimfondoka " Nilijua tu Sina nafasi tena au ni kuwa sikuwa na nafasi kwenye moyo wake tangia hapo awali " Winnie alirudi chumbani kwake aliangalia picha alizopiga pamoja na Elian " Huu wote ni uongo ni maigizo kwako Elian kwanini ni mimi peke yangu ninae umia " Winnie alizitupa zile picha kwenye dustbin Aliamua kufungasha nguo zake na kuondoka kwani aliamini hakuna kilichobaki kati yake na Elian " Miss Winnie unaenda wapi" Mr Charles alimuuliza Winnie " Narudi ninapo hitajika hapa Sina nafasi tena Mr Charles " Winnie aliongea huku anatabasamu lakini moyo wake ulimuuma kama amechomwa na kitu kikali " Mr Elian anajua kama unaondoka ?" Mr Charles alimuuliza tena Winnie " Hapana hajui lakini mimi ni mtu mzima nina uhakika hiki ndicho anachokitaka , kwaheri Mr Charles " Winnie aliondoka alienda moja kwa moja nyumbani kwao " Hatimaye mwana mpotevu amerudi kwao " alisema bi Regina " Embu muache mtoto bhana kwani ukoje Regina " bi flora alimtetea Winnie " Shkamoo bibi , shkamoo mama " Winnie alienda kukaa kwenye mkeka " Marahaba mjukuu wangu za huko utokako kwa kina Tracy hawajambo wote ?" Aliuliza bi flora " Hawajambo wote bibi vipi baba Yuko wapi ?" Winnie alimuulizia baba yake "Kwani hujui kama baba yako yupo kwenye duka lake saizi au ndo umeshasahau maisha ya hapa?" Aliuliza bi Regina " Mama jamani kwanini nisahau maisha ya nyumbani aah " Winnie alinyanyuka akaingia ndani " Na umeshaanza visirani vyako kwani hutaki kuambiwa " alifoka bi Regina " Regina embu muache mtoto apumzike kwanini unakuwa mkali mkali kwa mtoto " " Mama hata sijui kwanini ila nahisi kuna kitu hakipo sawa Nina wasiwasi sana na binti yangu japo yeye mara zote anaona kama Nina muonea" alilalamika bi Regina " Usiwe na mawazo mabaya Winnie anajielewa hawezi kuwa rimbukeni hata kama amebadilika lakini tunatakiwa kumuamini " alisema bi flora " Sawa mama nitajitahidi kumuamini " Kwa upande wa nyumbani kwa Elian alimbembeleza loveness mpaka aliponyamaza alihakikisha amekula vizuri na kupumzika " Mr Elian Kuna kitu muhimu nataka kukwambia ni kuhusu miss Winnie " alisema Mr Charles " Sitaki kusikia chochote kumuhusu Winnie kwa Leo kichwa changu kina waka moto sitaki kuongeza stress nyingine utaniambia kesho " Elian alielekea chumbani hakujua kama Winnie tayari ameshaondoka Usiku ulipita bila ya Elian kumtafuta Winnie " Kweli huna akili ulihisi anaweza hata kukuuliza uko wapi acha ujinga Winnie na umsahau wewe sio chochote kwake " Winnie aliweka simu yake pembeni aliangalia dirishani jua lilikuwa likichomoza na hakulala usiku mzima akisubiri japo message kutoka kwa Elian Asubuhi Elian na loveness wakiwa wanapata kifungua kinywa Elian alishangaa kwanini hakumuona Winnie " Winnie Yuko wapi ?" Elian alimuuliza Mr Charles " Aliondoka Jana , unajua atakuwa ameenda wapi ?" Mr Charles alimuuliza Elian " ameenda kusalimia nyumbani kwao aende wapi kwingine " Elian aliacha kula akamuangalia Mr Charles " Ndiyo ameenda nyumbani kwao lakini wakati huu hatorudi tena " alisema Mr Charles " Alisema hatorudi tena ?" Elian alibaki na mshangao " Kwanini hakuniambia kitu chochote " Elian aliacha kula " Sasa utafanya nini Elian?" Loveness alimuuliza Elian " Nitajua nini Cha kufanya " alisema Elian kisha aliondoka Kwa upande wa Winnie alikuwa kwenye ofisi za walimu winners primary school " Winnie mbona kama una huzuni sana !" Sonia alimuuliza Winnie Tracy nae alisogea kusikiliza " Ni kweli sipo sawa weekend hii si niliwaambia Dominic ameniomba tutoke wote ?" " Ndiyo ulitwambia kwani Kuna nini ?" " Badala ya kwenda hotelini aliniomba twende nyumbani kwake kwasababu tulikubaliana kuwa marafiki sikuweza kukataa kumbe Elian aliniona akanifuatilia wakati natoka nyumbani kwa Dominic aliniona pia hapo ndipo ugomvi ulipoanzia na asubuhi yake alikuja mwanamke pale ndani alionekana kumjali kuliko hata mimi nikaamua tu kuondoka "Winnie aliongea huku analia " Usilie shoga angu huenda umemuhisi vibaya Elian na huyo mwanamke sio mpenzi wake " alisema Sonia " Ni kweli nenda mkayamalize bhana mimi Nina uhakika Elian anakupenda " alisema Tracy " Sawa basi nitaenda jioni baada ya kutoka kazini " Winnie alifuta machozi Jioni kwenye nyumba ya Elian walipata ugeni alikuwa ni Mr zamba na mke wake bi Adeline " Karibuni " Elian aliwakaribisha "Loveness Yuko wapi ?" Mr zamba aliuliza kwa kufoka " Yupo chumbani lakini hutakiwi kumfokea uncle " " Wewe ni nani wa kutupangia yeye ni binti yetu akikosea ni lazima kuadhibiwa " alisema bi Adeline " Loveness...loveness " aliita Mr zamba kwa kupayuka loveness alitoka akiwa anatetemeka sana " Uliondoka hapa Tanzania kwenda kufanya upuuzi huko ,tunataka utuambie hiyo mimba ni ya nani ?" Alifoka Mr zamba " Daddy ,mom naombeni mnisamehe haki ya mungu tena sikupanga iwe hivi " " Huwezi kutuletea aibu kwenye familia yetu na hiyo mimba utaenda kutoa ,mke wangu mchukue " Mr zamba alitoa amri Bi Adeline alitaka kumshika loveness Elian alienda kumzuia Na muda huo Winnie alikuwa amefika mlangoni alitaka kufungua mlango ila maneno aliyoyasikia kutoka kwa Elian yalimkata maini alikosa nguvu hata za kusimama vizuriA Offer offer offer Soma yote kwa sh 800 Whatsp 0784468229

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

Sauti hio haikuwa ya mwingine bali ya kondaaa , ndo nikashtuka na kumuangalia Abee kaka shida nini??? Gari ishafika mwisho pingo hapaaa konda akanijibu Ile kuangalia nnje kumbe kweli nimeshafika ni vile tu usingizi nilipitiwa Asante kaka angu , nikaitia kisha nikajikaza kinyonge nikashukaa Japo sikuja chalinze miaka mingi kutokana na ubize wa maishaa lakini sikupasahau hivo moja kwa moja nilianza safari hadi kwenye kijumba kangu Nilichukua kama dakika kumi nikafikaa kwenye kijumba hikoo Mlango ulikuwa nimeuegesha tu hivo niliupush nikaingiaa Humo sasa🙌🙌🙌🙌nikakuta mimavi ya paka mbwaa jamanii Nikaanza kusafishaa nikafagiaaa huku naliaaa😭😭😭😭yaani hasira zangu zote nikazirudisha sakafuni nafagiaa kwa fujo kama nina ugombi na sakafu Baada ya muda nikamaliza usafi kisha nikaona nitoke nikasalimia majirani zanguuu Nilienda kuwasalimiaa majirani ambao baadhi walikuwa wapya hivo tulijitambulishaa kika mmoja ,japo sikuwa vizuri kiakili ila nilijitahidi kusalimiana nao vizuri kabisaa Hatimae usiku ukawadia hapo nina njaa ila hata hamu ya kula sinaaa Hilo halikunipa shida kabisaaa nilijikuta nawaza sana kuhusu kulala ,sina godoro waka kitandaaa ukizingatia kuna mbu hatari maana madirisha hata nyavu hayana😭😭😭😭😭nikajikuta nalia jamani Hadi nakuja kushtuka asubuhi sijui hata ilifikaje Niliamka na njaa kali sanaa hivo moja kwa moja nikachukua elfu arobaini nikapanda boda boda huyoo nikaelekea hadi dukani Palikuwa mbali hivo tulichukua lisaa lizima kufika huko kwenye kiduka maana sio dukaa🤣🤣🤣🤣 Hatimae tukafika nikashuka mie kisha nkamwabia boda anisubiri maana sio kwa umbali ulee Nikaagiza mchele unga maharage mafuta na nyanya pia nikanunua Basi nikafungasha kwa kiroba bodaboda akavipaki ao safari ya kurud ikaanza Mida kama ya saa sita tukafika hadi nyumbani kwangu ,nikashuka na vitu vyangu nikachukua namba ya bodaa maana kule bila namba hutoboi si hospitali si wapi mbalii khaaaa🙌🙌🙌🙌🙌 Tuachane na hayo kwanza hapa nna njaa nsgazoea mapupu ya 500 hapa hata hakunaaa Basi nikakoleza mkaa wangu si haba jiko tu ndo nilikuwa nalo na mkaa wa mchongooo Nikabandika maharagee hapo naishi kwa bajeti maisha yenyewe siyaelewi elewi Nikiwa nimekaa kaa zangu sina hili wala lilee mda huo nasubiri maharagwe yaivee Nikasikia simu yangu inaitaa Kuangalia alikuwa Captain jacob ambaye nilimsave "mjeda mpapule" 🤣🤣🤣🤣🙌🙌 Nikaiangaliaa ile simuuu😏😏😏😏😏😏nikafonyaaa mfyuuuuuuuu kisha nikaikataaa Baada ya mudaa kidogo maharage yangu yakaivaa nikaanza kuyaunga huku nikichambua mchelee Msiulize sufuria nilizipata wapi!!!!niliazima kwa jirani moyaaa si unajua mie mtu wa watu😜😜japo mjeda kaniharibia jina Basu buana nikabanfika zangu kaubwabwa kangu safiii huku naimbaaa imbaaa Mara tenaa simu ikaanza kuitaaa😜😜😜😜nijachungulia nikaona ni yukeyulee mavimavi anapiga wala sikupokea tena nikaona niweke vibration asinisumbue mie Kwani mnazani aliachaaa🙌🙌🙌🙌🙌muda wote matako yalikuea yanafanya "ziziziziziziziziziziziziziz" simnajua mambo ya kiswaswa kuvibrate 🤣🤣🤣🤣 Uwiii hata sikujali sana simnajua dada kibooo sinaga dogooo mieee Nikapakua wali wangu na maharage nikaweka upoe kisha nikazima motoo nikafanya usafi pale kisha nikakaa zangu nikanawa nianze kupiga cha mtumee Gafla nashangaa mlango wangu unafunguliwaa na hakuwa mwengine baliii Mjeda a.k.a Captain Jacob Khaaa hili nalo limefuata nini hapa lakini???kwanza limepajuaje hapa lakini aaaaaah mfyuuu😏😏😏😏😏nikabaki namuangalia tu hata simmaliziii mfyuu😏😏😏😏😏😏 We unahisi nitamfanyajeee huyu kinyago cha mpapuleee?? Dada nani???dada kibooooooooooooo👌👌👌👌👌👌👌👌👌 Soma mpaka mwishooo kwa sh 1000 Njoo WhatsApp 0743433005

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

Dokta Temba alishangaa sana na kubaki akijiuliza usiku huo aliona nini mpaka aogope kusema akihofia mdogo wake kufa, ila mimi na wewe msomaji tunajua kabisa kuwa aliwaona wachawi japo anaogopa sana kusema akihofia uhai wa mdogo wake. Basi walirudi nyumbani na kumkuta mama yao akiwa amemaliza kuwaandalia chakula, walikula na wakatambulishana kwa kina, ila dokta Temba akawashtaki akina Dorini eti wamempatia life story yao ya kusikitisha ila ikaishia njiani, palepale mama akaomba na yeye ahadithiwe kisa-mkasa hicho mwanzo mpaka mwisho. Dorini akaanza kusimulia yote ila akakomea kubakwa, habari za wachawi hakuthubutu kabisa hata kudokeza. Mama yake alishtuka kisha akasema “We Dorini unasemaje” “Mama nilipoteza usichana wangu kwa kubakwa na mtu mmoja anaitwa Emma” “Mungu wangu ulibakwa na mtu wa miaka mingapi au hukujua hata umri wake?” “Aliniambia ana miaka kumi na sita” Yalikuwa maongezi ya mama na mtoto wake na hapo dokta Temba akadakia “Hapo inatakiwa usiku uu huu nikufanyie vipimo nitambue hali yako isije ikawa umeambukizwa magojwa ili nikupatie matibatu stahiki mapema” “Nashukuru sana kwa unavyozidi kunijali baba” Alisema Dorini huku akimuangalia dokta Temba kwa macho ya upole sana. Dokta Temba hakutaka kuendelea kuongea zaidi, alimchukua Dorini na kumpeleka kwenye maabara yake ya nyumbani, baada kama dk kadhaa majibu yaliletwa na kuonesha kuwa Dorini hakuwa na matatizo yoyote wala hakuathirika kwa ukatili aliofanyiwa na huyo Emma...Baada ya vipimo na chakula kumalizika wote waliondoka na kwenda kulala kuingoja kesho ili waendelee na maisha yao kama kawaida… Basi kesho yake dokta Temba aliwaandikisha shule na siyo hizi za kina “pangupakavu” wala za serikali bali aliwaweka kwenye shule za praiveti mashuhuri ndani ya Tanzania, ambazo aghalabu wanaosoma ni watoto wa zile familia za mboga saba. Wakaanza masomo kila mmoja akiwa na ndoto zake, Dorini yeye alikuwa akipigana siku moja awe mfanya bishara mkubwa duniani hivyo akawaza kuja kuchukua shahada ya uchumi. Upande wa Frank yeye aliwaza kuwa mwanasheria mkubwa ili aweze kupata fursa ya kukemea vikali hii tabia ya wazazi kuwatelekeza watoto, hivyo akawaza kusomea sheria. Follow page yangu Story Riwaya Tanzania

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

zikupita siku nyingi Frank alipona na kurudi kwenye hali yake ya kwaida, siku hiyo ndiyo daktari huyo aliwapeleka kwake, wakati wapo kwenye gari daktari alizidi kuwadodosa kwa maana alihitaji kuwafahamu zaidi, “Naitwa dokta Temba vipi huyo mdogo wako ulisema anaitwa nani vilee” “Anaitwa Frank” “Ohoo ana jina zuri sana” “Eenhee Ndiyo maana nakapenda sana kadogo kangu” “Mi pia nimefanikiwa kuoa juzi kati, bado sijapata mtoto kwa hiyo ninyi pia mtakuwa wanangu watakao zaliwa watakuwa wadogo zenu” “Ooh jamani..yaani tunashukuru saana saana dokta” “Wala msiwe na shida mtasoma mpaka mchoke wenyewe sitawahi kuwachukia kikubwa ni nyie muwe watoto wazuri msiwe wadokozi, sawa?” “Usijali dokta hatutofanya hivyo” “Ala! Usiniite dokta mimi baba yako sawa, emu niite baba” “Baba” Yalikuwa ni mazungumzo marefu sana yaliyojumuisha vicheko na furaha baina ya Dorini na dokta Temba. Basi walifika nyumbani kwa dokta Temba na wakawa wameingia ndani baada ya kushuka katika gari na kuwatambulisha kwa mlinzi pale getini wakawa wameingia ndani. Walipofika ndani walimkuta mke wa dokta Temba akiwa sebuleni kwenye sofa, Dorini alipomuona tu moyo wake ulibubujika furaha isiyo na kifani, huku macho yake marembo yakibubujika machozi ya furaha mithili ya chemchemi ya maji na kijasho chembamba kikawa kikimtoka, ni baada ya kumuona mama yake mbele ya macho yake yaani mke wa dokta Temba ndiye mama yao tena mama yao mzazi. Walitazamana sana kati ya mama huyo na Dorini huku Dorini akiendelea kujisogeza alipokuwa ameketi mama huyo ili amsalimie. Basi Dorini alimfikia na kumsalimia ila mama huyo hakuonekana kumkumbuka kabisa. Kwanza msomaji mama huyu angemkumbukaje na wakati Dorini huyu wa leo siyo Dorini yule aliyemuacha kwa baba yake. Yule alikuwa mnene ila huyu kawa mwembamba kabaki mifupa tuu, yule alikuwa akinukia marashi ila huyu ananuka harufu ya dampo, yule alikuwa mweupe huyu kajaa masizi meusi kawa kama mkaa sasa anaweza kumkumbukaje kwa mfano. Dorini baada ya kuona mama yake hamkumbuki akawa amekaa kimya tu hakutaka amwambie mapema hivyo maana aliamini kuwa ipo saa atamkumbuka tu, basi mama huyo aliwakaribisha watoto hao akijikuta kawapenda isivyo kawaida. Basi baada ya Dorini na Frank kukaa chini mama huyo aliwaletea chakula wakawa wameanza kula. Wakati wanakula mama huyo akawataja kwa majina huku kila anapotamka jina alimnyoshea kidole mmiliki wa jina hilo, “Unaitwa Dorini (akatikisa kichwa ishara ya kukubali) na wewe mwanangu wa kiume unaitwa Frank (kenyewe hakakujibu kalikuwa bize kula tu na kumpiga jicho la wizi kumlinganisha na mama yake). Chakula kilikuwa kitamu maana chakula hicho alikuwa amekimisi si unajua huyu ni mtoto na alikizoea chakula kama hiki wakati anaishi na mama yake bwana. Dorini akawahi kusema “Mama usimuone huyu mdogo wangu hakujibu ukadhani ni dharau bali ni....” Akakatishwa usemi na mama yake kwa kumalizia usemi huo “Kwasababu ya njaa, najua huyu mtoto yupo bize kula maana kakimisi hiki chakula kutokana na mazoea ya chakula cha kutupwa dampo kilicho kichafu” Dorini akadakia palepale na kusema “Unaonekana mama unatufahamu” Kabla mama huyo hajaongea mara dokta Temba akasema “Nilimwambia hata kabla hamjaja so alijua ujio wenu ndiyo maana kawafahamu mapema” Palepale Dorini akadakia “Asante sana baba yani una karoho fulani hivi kazuuri” Mama yule alimuangalia sana Dorini huku akimlinganisha na mtoto wake ila taswira ikawa inakuja na kupotea kisha akajisemea moyoni “Mbona kama huyu ni mwanangu Dorini, hapana haiwezekani, maana mwanangu hawezi kuwa amechakaa hivi kwa muda mfupi ambao sipo nyumbani” Wakati mama huyo anawaza hivyo kumbe na yeye Dorini alikuwa akiwaza na kujisemea moyoni “Hapa dawa ni kutumia maneno ya zamani niliyokuwa nikipenda sana kuyatumia ili mama anikumbuke” Ghafla bin vuu dokta Temba akawakurupusha kwenye mawazo yao na kusema “Inabidi mkalale ili kesho niwapeleke kupima nguo za shule” Dorini akadakia na kusema “Dah! Wakati nikiwa na wazazi wangu mama alikuwa anapenda sana kunifundisha na alikuwa akiniasa nisome kwa bidii” Mama huyo akaendelea kujiwazia na kujisemea moyoni mwake “Ila ndiyo huyu huyu Dorini wangu maana yote yanaonekana waziwazi, ni mimi ndiyo nilikuwa nikimwasa mwanangu hayo sasa nasubiri uthibitisho wa mwisho maana nimemhisi kuanzia jina, sura mpaka maneno yake”. Wakati uo huo na Dorini akawa akijisemea moyoni mwake “mbona nilivyoanza kusema maneno ya zamani kawa kimya akionekana kuwaza sana au ameanza kunikumbuka, ngoja nidondoshe dongo la mwisho afu iwe la mwisho kwa leo, lazima atatukumbuka tu" alijisemea hayo Dorini. Yaani mwenzako Dorini kaniaacha hoi kwa sababu ana akili mpaka zimepitiliza, yaani mtoto mdogo hivi anafanya maajabu makubwa kiasi hicho. Dokta Temba akadakia akisema “Hata huyu ni mama yenu kwa hiyo msiogope atakuwa akiwapeleka shule na atakuwa akiwashauri” Dorini akasema huku akiwa na majonzi makubwa moyoni mwake “Dah! kiukweli wewe ndiyo unastahili kuitwa baba mwema maana unajali, ila baba yangu wa kunizaa siyo baba mwema maana alimfukuza mama kwa sababu ya mwanamke mwingine eti anabadili ladha dah! Mama yetu mzazi akawa ameondoka” Palepale mama yule akadakia kuuliza kwa mshangao “Dorini!!, unaitwa Dorini nani?” Kamoyo ka Dorini kakadunda pu! pu! pu! baada ya kuona mama yake anaelekea kuwakumbuka akasema “Naitwa Dorini Thomas na mama yangu anaitwa Arisia Thomas tulipotezana siku nyingi sana baada ya baba kumsaliti mama” Mara dokta Temba na mama huyo wakatazamana kisha dokta Temba akauliza “Na mama yenu mnamchukia kwasababu aliwaacha au?” Dorini akawahi kujibu “Yeye hakututupa bali baba ndiye alimfukuza ila mama yeye anatupenda” Mama huyo alihisi kupagawa huku akijiuliza imekuwaje watoto wake wachakae hivi na wakati baba yao alikuwa akijiweza kiuchumi na kifedha? Kwa hiyo akawa anajiuliza ni nini kimewasibu watoto hao. Dokta Temba alitambua hilo mapema akawa amesema “Mke wangu wewe kalale nitawaonyesha chumba chao mwenyewe, Dorini nifuateni huku” Basi Dorini na mdogo wake waliongozana na baba huyo ili waende kuonyeshwa chumba chao watakachokuwa wakilala, wakati wanaenda Dorini aligeuka na kumpiga busu mama yake la hewani, (alibusu kiganja cha mkono wake wa kulia kisha kufanya kama anamtupia kitu) kitendo hicho kilizidi kumchanganya mama huyo maana busu la aina hiyo amekuwa akilipata kutoka kwa Dorini wake. Kitendo hicho dokta Temba alikishuhudia kupitia kingo za miwani yake akatikisa kichwa chake kisha kuachia tabasamu. Basi baada ya dokta Temba kuwapeleka wale watoto na kuwaonyesha chumba chao alirudi na kwenda chumbani kwake ambako huko alipigwa na butwaa kumkuta mkewe akilia sana, haraka akamkimbilia na kumshika begani kisha kusema, “Mke wangu ni kweli na ninajua una maumivu mno, ila Mungu kakusaidia walau leo umewaona watoto wako”. Palepale mwanamke yule alimgeukia dokta Temba na kusema “Hao watoto nimewatoa kwenye hili tumbo langu, na nimewasikilizia uchungu mkubwa sana ila ona walivyo chakaa najiona mkosaji, sana” Dokta Temba akazidi kumtia moyo “Hawakuchukii mke wangu, maana hata wao wanajua kama baba yao ndiyo mwenye makosa” “Nikwambie kitu baba, Huyu Dorini ni mwangu nimemzaa mwenyewe na akili zake nazijua vizuri tu, huyu mtoto ana akili kuliko binti wa miaka ishirini na tano, maana alianza kuongea vizuri tu hata kabla hajatimiza hata miezi nane, anauwezo wa kusovu jambo ukabaki unadhani ni mtu mzima mwenye umbo dogo” “kwa nini useme hivyo mke wangu” “Alipofika alinijua kwamba mimi ni mama yake, Kuna ishara aliifanya ambayo amekuwa akiifanya toka ana miaka mitatu ila mimi sikutilia maanani, pia akatambua kuwa mimi sijamkumbuka hakuwa na papala maana alijua kabisa ni kwa sababu ya jinsi alivyo konda ndiyo maana akawa anatumia visa vilivyopita ili nimkumbuke" "Mimi mwenyewe nilipomuona hospitali nilidhani nitakapo muuliza miaka yake ataniambia ana miaka walau kumi au kumi na mbili kwa sababu alijieleza vizuri sana" "Ndiyo hivyo..wale ni wanangu" “Ndiyo hivyo ni wanao na mimi nitawalea kama wanangu, wahenga wanasema ukipenda boga penda na ua lake, ninakupenda wewe na wanao pia” “Kwa hiyo unanipenda kiasi hicho?” “Siyo kiasi hicho tu bali nakupenda sana kuliko vile wewe unawaza, wewe si unakumbuka nilivyokupata?” “Hata sikumbuki, hebu nikumbushe kidogo” “Kipindi hicho ulikuwa na mawazo mengi sana na makubwa ya kuachwa baada ya kutambua Thomas kaoa mke mwingine nami ndiyo nilikuhudumia pale hospitali mpaka ukapona hatimaye ukaniambia kama una watoto tulipoenda kuwaangalia watoto wako tukakuta walishauza nyumba tukawa hatujawaona na hali ile ilizidi kukusononesha, Ila leo Mungu kawaleta kwetu furahi sana mke wangu” Walizungumuza mengi sana hatimaye mwanamke huyo akatulia tuli na furaha ikarejea tena baada ya kusikia kuwa dokta Temba atawalea watoto wake, wakawa wamelala kuingoja kesho ambayo ndiyo ndoto yao ifike. Kama kawaida usiku hauwi mrefu sana kama ukipata usingizi mwanana na siyo ule wa mang’am ng’amu, uliojaa kushtuka shtuka. Hatimaye asubuhi ikawadia, kama walivyokuwa wamekubaliana usiku wa jana kuwa watoto hao wangepelekwa kununuliwa nguo za shule na matumizi yao mengine madogo madogo, basi walipelekwa na dokta Temba. Mpaka wanatoka nyumbani akina Dorini hawakumtia machoni mama yao maana alikuwa akijiuliza ataanzia wapi kuwaomba msamaha au kuwambia kuwa yeye ndiyo mama yao huku wakiwa wamekonda hivyo, basi alijifungia bila ya kutoka nje kabisa ili asikutane na watoto wake mpaka waweze kupata nguo nzuri na sare za shule ndipo atajitambulisha kwao na hapo ndipo ataomba na pia kuwahoji watoto hao ili ajue nini kiliwasibu mpaka wachakae na kukonda kiasi kile, mpaka wafike kiwango cha kulala dampo na kufikia hatua ile iliyo muumiza zaidi ya wanawe kugombaniana chakula na inzi kule dampo na huku wazazi wao wote wawili wangali hai. Basi dokta Temba aliwapeleka na wakawa wamepanda gari, baada ya kumsalimia mlinzi wake wa getini na kwa mara nyingine kuwatambulisha mabosi wapya wa kwenye hiyo nyumba, walipokuwa wakiondoka mlinzi akawa anafunga geti huku akijisemea mwenyewe kwa sauti ya chini, “Yewegawee! sasa huvu vutoto ni vwa nani kati ya bosi na mke wake maana anavupenda na tangu nimefanya kazi na dogta Temba sijawahi kumuona na vudemudemu humu ndani, miaka ishirini anaishi singo kwenye huu mjumba mpaka anamuoa mwanamke huyu, ene way! Mi niko najali kazi yangu, maisha ya matajiri wangu nisitake kuyapeleleza” Baada ya mlinzi huyo kujisemea hayo alichomoa sigareti yake aina ya gozo, akaiwasha na kuanza kuvuta huku akichungulia mlangoni mama mwenye nyumba asije mfuma na sigara maana amewahi kumzuia utumiaji wa hizo tumbaku kwenye nyumba yao. Basi walitoka nyumbani wakaendelea na safari wakiwa kwenye gari maana kutoka alipokuwa akiishi dokta Temba mpaka Kariakoo sokoni kulikuwa na mwendo si haba na ukilinganisha na msongamano mkubwa wa magari dokta Temba akajikuta akiendesha gari polepole, ila ule upolepole wa gari lao uliwasaidia wao kuendelea kupiga soga. Baada ya ukimya kidogo kupita dokta Temba alimuangalia sana Frank kisha akauliza, “Hivi mbona Frank haongeagi? maana tangu nimemtia machoni sijawahi kusikia kinywa chake kikiongea au hajajua kuongea bado” Dorini akadakia “Anajua kuongea vizuri sana ila hata mimi sijajua kwa nini haongei akiwa mbele ya watu ila tukiwa wawili yaani mimi na yeye tunaongea vizuri tuu” Dokta Temba akauliza tena “Au kuna.….” Mara alikatishwa baada ya Frank kuongea kwa hasira kidogo “Dadaa ona baba si yule pale”. Wote wakageuza vichwa vyao ili waone kama ni kweli ni baba yao, Alahaulaa, ni kweli kabisa alikuwa ni baba yao akinywa kahawa na wazee wengine huku wakiendelea kucheza bao la kete, palepale machozi yalimtoka Dorini huku akilalama kuwa baba yao ni katili. Basi waliendelea kumuangalia baba yao huku dokta Temba akiwaangalia kwa huruma sana akawa amewauliza “Nisimamishe gari?” Palepale Frank akadakia haraka kusema “Kwanini uchimamiche gari?” Dokta Temba kwa mshangao kidogo huku akijiuliza kama huyo Frank ana miaka mitatu kweli au ana miaka mingi, maana alimshangaa Dorini ila sasa kwa akili aliyo nayo Frank akaona kumbe hii ni asili yao, ndipo hapo ikabidi amjibu Frank akasema “Ili mumuone baba yenu na mumsalimie” Frank akazidi kumshangaza dokta Temba akadakia juu kwa juu akasema “Mimi siwezi kumchalimia mume wa chetani mamdogo, kwachababu walitufukuja kwetu na tukatecheka labuda da Dori amchalimie”. Dorini naye akadakia huku akifuta machozi na kujijaza ujasiri “Alichokisema Frank ni hichohicho siwezi kumsalimia mume wa shetani mamdogo, kwasababu walitufukuza kwetu na sisi tukateseka na isitoshe alimufukuza mama yetu kipenzi”. Dokta Temba akashangaa kisha akasema “Kwa hiyo hamumtaki baba yenu?” Frank akadakia akisema “Baba yetu ni wewe uliyemchukuwa mama yetu na kumtunja na chichi ukatuchukuwa kutulea” Dorini alishtuka na kumuangalia mdogo wake kisha kwa udadisi akamuuliza “Mama yetu umemuona wapi?” Frank alijibu haraka “Chi nimemuona tulipokuwa jana uchiku nyumbani kwa baba Temba”. Dorini hakutaka mdogo wake aropoke mbele ya dokta Temba akawa amesema huku akichekacheka kuonyesha kuwa kapuuzia “Msamehe bure mdogo wangu ni kwa sababu kapagawa na hizi shida na amemmisi mama yake ndiyo maana alipomuona mke wako akaona kama ni mama yetu msamehe bure” Dokta Temba huku akimuangalia Dorini kwa macho ya wizi maana alikuwa akiendesha gari akasema, “Dorini najua kabisa yule ni mama yenu na kama hukujua yule ni mama yenu kweli basi jua hivyo, kama anavyosema Frank maana jana mliyokuwa mnayasema yaliendana na aliyo yapitia mama yenu hivyo nikatambua kabisa yule ni mama yenu, ila msiogope nitawalea kama wanangu mtasoma mpaka mchoke wenyewe nitawapatia mitaji ili Frank asije shindwa kulea familia yake na wewe usijemtegemea mume wako kwa kila kitu”. Dorini na Frank walilia sana huku wakimuangalia dokta Temba kisha Dorini akasema “Kuna siku mama aliniambia eti licha ya uwepo wa watu wabaya pia kuna watu wema sana Mungu kawahifadhi ndani ya ulimwengu huu uliozungukwa na maovu mengi sana kila kingo. Akaniambia eti ninaweza kukataliwa na ndugu yangu wa damu ila nikakubaliwa na mtu baki ambaye hanijui wala hatuna undugu hata kidogo, ndiyo wewe, kipindi unatuchukua hukuwa ukijua kuwa sisi ni watoto wa mkeo ila sasa umejua na tena umekubali kutulea nakupenda sana kama wanao”. Dokta temba akashika kichwa cha Dorini kwa mkono mmoja huku mkono mwingine ukiwa katika usukani wa gari ukiendelea na shughuli ya kuliongoza gari lake, kisha akasema “Msijali, mama yenu hakukosea ni kweli kuna watu wabaya na kuna watu wazuri ila ninachowaomba msimchukie baba yenu hata kama aliwaacha mkateseka peke yenu” Frank akadakia kusema “Ila baba ni katiri sieti baba?” Dokta Temba alimuangalia Frank kisha akasema “Hapana baba yako siyo katili sema ana ujasiri wa kuwaacha mteseke ila msimchukie sawa” Wote walitikisa vichwa vyao ishara ya kuwa wamekubali kutomchukia baba yao. Basi waliingia sokoni na wakapelekwa kwenye nguo, walichagua walivyo penda na pia wakapelekwa kwenye viatu wakachagua walivyopenda. Sasa baba yao aliwapeleka kwenye duka lingine lililopo mkabala tu na soko kuu la Kariakoo ili wachague mabegi na hasa Dorini achague vijibegi vya kike. Walimaliza kuchagua na mara walipoenda kwenye malipo…katika hali ambayo hawakuitegemea kabisa wakamkuta mwenye hilo duka kumbe ni mama yao mdogo, namzungumzia yule bimdogo Lissa. Ni yule yule aliye mpigisha deki Frank wakati akiwa na miaka miwili, na walikwisha jenga chuki juu yake. Manunuzi yao ya mabegi yalikuwa yamegharimu kiasi cha shilingi laki moja na nusu na hawa wateja wake walionunua vitu hivyo ni wale wale aliokuwa akiwatesa na kuwanyanyasa miaka ya nyuma kidogo. Dorini na Frank walimkazia macho mama huyo kisha Frank kwa haraka akawahi kujificha nyuma ya dokta Temba akionekana kumuogopa mama huyo, upande wa Dorini mabegi aliyokuwa ameshika yalimdondoka na kubaki ameduwaa akimuangalia mama huyo ambaye alipo watazama kwa umakini aliwakumbuka, kisha akamwangalia dokta Temba na kumuuliza “Hawa watoto una undugu nao?” Dokta Temba aliwaangalia wale watoto jinsi walivyo patwa na wasiwasi mara tu baada ya kumuona mama huyo, alishangaa ila hakutilia maanani akawa amemjibu mama huyo “Hawa watoto nawapenda sana ni wanangu ijapokuwa siyo mbegu yangu”. Mama yule akatikisa kichwa kisha akatoa tabasamu la tashwishi na kusema “Hujanielewa dokta Temba nacho maanisha ni kwamba hawa watoto mna undugu?” Palepale Dorini akadakia huku akiwa amemuangalia mama huyo kwa hasira yenye woga ndani yake “kwa hiyo wewe ulidhani kwamba Mungu atatutupa mkono mpaka mwisho wa uhai wetu! ndiyo hivyo tena tumepata msaada. Akamgeukia dokta Temba ambaye kwa muda huo alikuwa akishangaa sana. Baba tuondoke, twende tukanunue nguo mahali pengine, hapa hapatufai kabisa naogopa kugeuka shetani kama mwanamke huyu” Frank akadakia huku akiwa bado nyuma ya dokta Temba “Dada sasa rudisha vitu vyake usije kugeuka kuwa shetani” Dorini palepale aliirudisha ile mikoba na mabegi waliyokuwa wamesha chagua, yote hayo yalimshangaza sana dokta Temba, akabaki amepigwa na bumbuwazi kwa yale maamuzi ya ghafla yaliyofanywa na watoto hawa baada ya kumuona mwanamke huyo kisha dokta Temba akiwa bado katika hali ile ya bumbuwazi na butwaa akauliza “Huyu aliwafanyaje? eti Frank” Haraka haraka Frank akadakia kwa kusema “Huyu ndiyo mamdogo aliye tufukuza kwetu tukiwa na baba hadi tukateseka” Palepale dokta Temba akamuangalia mama huyo kisha akasema “Lissa mdogo wangu kumbe wewe ni shetani kiasi hicho?” Mama yule akadakia kwa kusema “Mi sikuwafukuza kaka, wananisingizia tu, sasa mimi nimewafukuzaje” dokta Temba akasema “Sihitaji kukuamini wala sihitaji kumuamini mtu yeyote nitafanya uchunguzi, ole wako nikute ni kweli ulishiriki kuwatesa hawa watoto haki ya Mungu tutauvunja undugu” Baada ya kusema hayo akawaomba wale watoto waondoke na hiyo mikoba wataifanyia maombi ili ule ushetani utoke, na ndiyo hivyo tena kwa kuwa watoto hawana makuu hawakukataa, wakakubali wakaichukua tena. Wakati wapo njiani kurudi nyumbani Dorini alikuwa akiwaza jina alilolisikia akilitamka dokta Temba kumuita mwanamke yule aliye wahi kuwafanyia ukatili. Akamuuliza dokta Temba “Baba nimesikia unamuita yule mwanamke dada, mna undugu?” “Ndiyo, tena tumbo moja, baba mmoja na mama mmoja” Alijibu dokta Temba. “Sasa mbona wewe siyo katili kama yeye? wewe una roho nzuri” “Dah! Hata sijui, nashidwa kuelewa kawaje katili kiasi hicho hebu nihadithie ilikuwaje?” “Baba alipomfukuza mama alimleta huyo mwanamke na yeye alitutesa sana, baadaye baba alituuliza baada ya kukuta mcho yetu ni mekundu sana ijapokuwa mamdogo alituonya eti tusiseme ukweli yaani tuseme uongo na sisi mama alitwambia tusiwe waongo tuseme ukweli. Basi tukasema tu ukweli kuwa mama mdogo anatutesa. Ndipo baba aliinuka na kumpiga mama mdogo, sisi tulikuwa tunafurahi sana, baadaye mama mdogo akaomba talaka basi baba akajikuta anaambiwa wagawane pasupasu yaani baba auze kila kilicho chake wagawane, basi waligawana na sisi na baba tukaenda kupanga. Baba alikuja kumkumbuka mama, alimtafuta akamkosa basi akawa mlevi wa kupindukia, hela zilipoisha akatutelekeza na kutuacha na sisi tukawa tumeenda kuishi kwenye dampo la kutupia taka zote za mji zikingoja kuoza ili zitumike kuwa mbolea, kilichonikuta hapo dampo kwa mara ya kwanza kabisa tunaanza kulala hapo sina hamu" (anaanza kulia na anazidi kumshangaza dokta Temba) “Nini kilikukuta Dorini wangu mimi ndiyo baba yako wa sasa usiogope kuniambia” “Nilipoteza usichana wangu nikiwa na miaka sita yaani nilibakwa na mtu mmoja anayeitwa Emma” “Ulibakwa!!!!” “Enhee baba nilibakwa na siku hiyo ilikuwa mbaya saaana mana usiku wa saa sita niliwaona wacha..” Hata kabla hajamalizia kusema mara Frank alianza kulia na kulalama maumivu ya kichwa huku akisema eti Dorini hicho anachotaka kusema hakistaili, mara sauti ya yule mchawi kiongozi ilisikika ndani ya gari lote ikisema “Wee mtoto, ukijichanganya kusema utajuta maana mdogo wako atakufa hapohapo kwasababu ya ulimi wako, ole wakooooo”. Sauti hiyo aliisikia Dorini peke yake na aliweweseka kujaribu kuziba masikio yake huku akiangalia kulia na kushoto maana sauti hiyo ilikuwa ikiziumiza ngoma za masikio yake, baada ya sauti hiyo kutulia Dorini akawa ametulia akawahi kumuangali mdogo wake kama yupo sawa au amekufa, akakuta yupo sawa kabisa. Kitu hicho kilimshangaza sana dokta Temba maana alishangaa iweje kabla Dorini hajaongea neno fulani mara mdogo wake aanze kuumia kichwa na baada ya kuacha kusema neno hilo mara na Dorini mwenyewe akawa akiweweseka na kuziba masikio yake, haraka dokta Temba akasema “Dorini, mbona unaweweseka?” “kwani baba husikii sauti ya mtu kunionya” “Sauti!” “Eee sauti” “Mbona mimi sijasikia sauti yoyoye we Frank umesikia (anatikisa kichwa kukataa) “Kwahiyo nimesikia peke yangu?” “Ilikuwa inasemaje?” “Hamna litakuwa wenge tuu baba” “Oke sawa, enhee hebu endelea na stori yako..ule usiku uliwaona wakina nani..?” “Baba, bora nilione Chozi la Mdogo Wangu niumie ila nimuone mbele ya macho yangu sitaki mdogo wangu afe” “Sasa habari za kufa umezitoa wapi? we nihadithie ulichokiona” “Sasa baba si umeona nilivyokuwa naanza kusema jinsi mdogo wangu alivyoanza kuumia?” “Eenhe, nimeona kwa hiyo kuumia kwake ni kwasababu ya wewe kutaka kusema ulichokiona” “Eee, si unaona nilivyo ahirisha kusema yeye akawa poa nikafuata mimi kusikia masauti ya ajabu ajabu” “Au uliona wachawi?” “Nini!!” “ Wachawi” “Weee! jamani wewe ndiyo umesema mimi sijasema nilicho kiona, naogopa baba nisamehe mpaka kifo changu sitathubutu kukwambia nilichokiona usiku ule, siyo wewe tu mpaka mama yangu wala mtu yeyote. Jamani mmesikia mi sijasema chochote mdogo wangu mumuache salama” Follow page yangu Story Riwaya Tanzania

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

Sikku zilikatika hatimaye mwezi ukayoyoma, muda wote huo Dorini na Frank waliishi kwa kuteseka sana, kula yao tabu lala yao ndiyo utawahurumia kabisa. Muda wote makazi yao yalikuwa ni yaleyale kwenye dampo, sehemu ambayo karibu takataka za mji mzima zilitupwa hapo na kama ujuavyo harufu inayo patikana kwenye dampo ilivyo mbaya, hapo ndipo watoto hawa walijikuta wakipageuza kuwa maskani yao. Si Dorini wala Frank wote wamekonda wamebaki mifupa tuu, yaani aliyewahi kuwaona mwezi mmoja nyuma na angewaona leo hangeweza kuamini kama watoto wale ndiyo hawa, yaani wamechakaa hawatamaniki, weusi tii waliojaa masizi ya uchafu mwili mzima. Chawa, kunguni, viroboto na hata utitiri waligeuza miili ya watoto hawa wadogo kuwa makazi yao huku damu zao ndiyo zikiwa chakula na kinywaji kwa wadudu hao wasumbufu na wenye kukera sana. Ama kwa hakika pale wanapolala watoto hawa wewe ungeambiwa lala hata usiku mmoja ungelijutia asubuhi yake maana ungeishi kwa kujikuna mwili mzima kwa muwasho wa vipele vitokanavyo na wadudu wanao patikana eneo lile. Katika mwezi huo hali ya afya ya Frank ilikuwa mbaya na pesa za matibabu Dorini hana, akawa wa kulia na kuomba msaada akipata angalau kiasi kidogo alimnunulia mdogo wake panado japo tu atulize maumivu ya kichwa. Basi kwenye pitapita yake Dorini aliweza kupewa elfu mbili akawa amemnunulia dozi moja ya kwinini na kumpatia mdogo wake, akanunua pia chakula na kumpatia. Baada ya kula tu Frank alitapika palepale matapishi yaliyo changanyikana na damu na akaishiwa nguvu kabisa akabaki kumuangalia dada yake aliye kuwa akilia sana. Ghafla Frank alionekana kukaa kimya, mwili wake ukawa wa baridi, umboni mweusi wa jicho ukaanza kupanda na kupotea, Dorini aliposikiliza kama anapumua akatambua kuwa hapumui. “Maskini, nini kimempata mdogo wangu!” alilalama Dorini kwa huzuni huku kwa haraka akimnyanyua na kumuwahisha kwenye hospitali ya wilaya ambayo haikuwa mbali sana kutokea pale dampo. Alipokelewa kwa kasi kubwa sana na wauguzi waliokuwa zamu siku ile ambapo Frank akaanza kuhudumiwa na muda mfupi baadaye alipata ahueni baada ya madaktari kupambana kuinusuru roho yake iliyokuwa ikipotea gizani, yaani kifo kilikuwa tayari mlangoni, kilichokuwa kimebaki ni yeye kufa. Basi daktari alimuita Dorini ndani na kupewa karatasi iliyoonyesha orodha ya dawa zaidi zilizopaswa kununuliwa ili Frank apate kupona kabisa na pia iliyoonyesha mpaka muda huo alikuwa akidaiwa shilingi ngapi. Unajua msomaji maamuzi mabovu ya wazazi, yanaweza kuwaweka watoto kwenye wakati mgumu sana, na ndiyo sababu kubwa inayofanya kuwepo kwa wimbi kubwa la watoto wa mtaani. Ni baada ya kila mmoja kujiona kuwa mwenye haki kuliko mwenzake na maamuzi anayo yaamua anaona kuwa yapo sawa kabisa, anashindwa kukumbuka kuwa hayo maamuzi anayo yaamua yanaweza kumfanya mtoto awe kwenye wakati mgumu sana. Dorini anajikuta anaingia kwenye majukumu mazito sana yote kwasababu ya ugomvi wa wazazi wake, pia maamuzi mabaya ya wazazi ilhali kila mmoja kujiona kuwa yupo sawa. Kunasiri ambayo wanaume wengi hawaijui, hivi unajua kuwa yule mwanamke aliyekuzalia mtoto wa kwanza ndio amekamata mafanikio yako ya kimaisha na hata ya kimaendeleo? Vijana wengi hupenda sana kuchezea mabinti na kwa bahati ikitokea binti akapata mimba basi kijana huyo humtelekeza akiwa na mtoto au mimba kama siyo kuikataa mimba hiyo. Leo kuna kitu nataka nikukumbushe kuwa huyo mwanamke aliye kuzalia mtoto wa kwanza hata kama siyo wa ndoa kikubwa mtoto huyo ni wako basi huyo ndiye mke wako wa halali, kama ulikuwa na mpango wa kumuacha badili maamuzi maana pigo utakalo lipata baada ya yeye kudondosha chozi, laana na ile laumu hata kidogo siyo la kitoto, litakuwa pigo la kihistoria kwenye maisha yako. Je ni njia gani ufanye kama ikitokea wewe umempatia msichana mimba na ukamtelekeza na kuoa binti mwingine na kumuacha yule wa kwanza?, je umuache huyu wa pili umrudie yeye au uwaoe wote?. Sipo kutoa majibu moja kwa moja, hiyo imepita tu, bali tupo hapa na mfululizo wa simulizi yetu tunayo endelea nayo iitwacho “Chozi la Mdogo Wangu”. Ukijiunga kwenye group letu la simulizi tunagusia pia habari za elimu juu ya mahusiano, uchumi na mengineyo na wote tuna shauriana na kuchangia bila kujali hoja ya mtu. Namna ya kujiunga ni kutuma neno Niunge kwenda kwa Istagram message nasi tutakutumia kiunganishi (link) ya kujiunga kwenye group letu la WhatSapp. (Tafadhali tambuwa sio kila Layman Donsue utakaye mkuta huko Instagram ni mimi angalia kwanza post zake hapo ndipo utaweza kutambua Layman Donsue wa kweli, maana siku hizi kuna matapeli lukuki wanatumia majina ya watu kujinufaisha wenyewe) Dorini baada ya kusomewa bili hiyo aliyopewa na daktari mwili ulimsisimka laiti angekuwa na presha angesha kufa ila yeye alilia ukizingatia alikuwa mdogo. Daktari aliona kila kitu alichokuwa akifanya maana alikuwa akishika kichwa na kunyanyuka kwenye kiti na kuzunguka zunguka huku mdomo wake ukitamka neno “no” akimaanisha hapana, neno hili alilirudia mara nyingi sana, huku daktari huyo kichwani akijiuliza wazazi wa watoto hao wapo wapi ila majibu hakuyapata akawa amemsihi aketi chini kwenye kiti waongee kidogo na aache kujichanganya kichwa kwenye umri mdogo. Baada ya Dorini kukaa daktari akaanzisha mazungumuzo. “Mama yako yupo wapi?” Dorini alimuangalia yule daktari hapohapo akaanza kulia tena huku akisema kwa sauti iliyo jaa kwikwi “Mama alifukuzwa na baba zamani kidogo” Kwa mshituko kidogo daktari aliuliza “Alifukuzwa na baba yako?..na huyo baba yako yupo wapi kwani?” Dorini alifuta machozi yake na kusema “Alitutelekeza baada ya yeye kukosana na mamdogo” Daktari alimuonea huruma sana binti huyu mdogo kisha akamuuliza tena “Kwa hiyo nyumbani mnaishi peke yenu” Dorini alitabasamu kidogo kisha akaendelea kusema “Ukweli dokta huu mwezi wa tatu sasa, hatuishi ndani ya nyumba navyokwambia hivi tumekuwa tukilala dampo baada ya kodi ya nyumba baba aliyo kuwa amelipa kuisha” Palepale daktari alidondosha machozi baada ya kuliona tabasamu la Dorini kwenye wakati mgumu hivyo, akaendelea kumuuliza “Una umri gani binti” “Nina umri wa miaka saba” “Mdogo wako jee?” “Ana miaka mitatu sasa” “Mlikuwa mkila nini kwa muda wote huo binti?” “Vyakula vichafu vinavyotupwa kutoka mahotelini japo kuna wakati nilikuwa nafanya kazi nikipata fedha tunakula chakula cha hotelini” “Pole sana binti, ngoja nitamshughulikia mdogo wako mpaka apone na kwa sababu wazazi wenu wamewaacha mimi nitawachukua ili muendelee na masomo” “Ooh, nitashukuru sana dokta”, aliitikia Dorini. Daktari yule alibakia kumlinganisha huyo Dorini na maelezo yake na jinsi alivyo akaona kabisa hao wazazi wake walikiacha chombo kizuri yaani mtoto mdogo kiasi kile ila anajieleza kwa umakini vile zaidi ya mtu mzima, alibakia kushangaa sana Follow page yangu Story za Riwaya Tanzania

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

jira ya saa sita usiku Dorini hakuwa amefanikiwa kupata usingizi kabisa, badala yake alijilaza tu, kwa hofu na mashaka aliyo kuwa nayo akajifunika shuka tu ili mdogo wake asije tambua kama hakulala. Usiku huo wa saa sita alicho kiona Dorini kilimfanya jasho limtoke, mwili ukafa ganzi akakosa kabisa hata nguvu za kuinua ulimi wake kupiga kelele akatamani angepata usingizi ila kwa wakati huo haukupatikana kabisa, basi akabaki kuangalia tu filamu ya kichawi iliyo kuwa live yaani mbashara mbele ya macho yake. Ni baada ya kuwaona watu walio kuwa wamevaa vitambaa vyekundu, huku kichwani wakiwa wamejifunga vilemba vyeupe, walikuwa wanaume wawili walio kuwa wamevifunga viunoni vitambaa hivyo vyekundu huku wakiwa vifua wazi kabisa, upande wa wanawake walikuwa wanne, wao walivaa vitambaa hivyo toka chini miguuni mpaka juu ya matiti yao, na wote kwa pamoja walivifunga vyema vilemba vyeupe vichwani mwao. Mithili ya wanakwaya kanisani walikuwa wakiimba kwa pamoja huku wakitikisa viuno vyao na kuruka hatua kadhaa nyuma na kwenda hatua moja ndefu mbele. Aliwaangalia watu hao walivyokuwa wakitambika pale huku akiogopa na kuepuka kutikisa mwili akihofia wakibaini uwepo wake na kutambua kama anawaona huenda wangemteketeza na hatoweza tena kumlea mdogo wake. Baada ya muda mara kiongozi alitoa amri kuwa waende wakalete viti kwa ajili ya kukaa, mara ileile wakapotea wote na kiongozi wao akabaki pale akiwangoja. Baada ya kama dakika moja hivi wote walirudi wakiwa na mtu mmoja mmoja. Mara tu baada ya wao kufika ghafla kuna kiti kimoja kilionekana kung’aa eneo lile walipokuwepo, ambapo kiongozi yule alikaa juu ya kiti kile. Wale watu walio letwa walionekana kuwa bado wamelala, waliinamishwa migongo yao na ndiyo waliofanywa kuwa viti kwa ajili ya wachawi wale. Basi baada ya kila mmoja kukaa kwenye mgongo wa mtu aliye mleta wakaanza kikao chao. Mambo yote hayo Dorini aliyaona mbele ya macho yake. “Ony’ake be’ kaseembee’ lemeleh kase dil manjie’ kame” (“Nawasalimieni na karibuni kilingeni wageni mjisikie mpo nyumbani”) Alisema kiongozi wao huku akinyosha mikono yake mbele kuonyesha ishara kuwa amewakaribisha, na wote kwa pamoja wakasema “Kans’e” (“Asante”) Pale pale kiongozi akasema huku akionekana kuwa na furaha sana “Kasembee’ kasembee’ Manjie’ dole kase” (“karibuni karibuni wageni mnaweza kuja sasa kiringeni”) Mara waliongezeka mabinti wanne wazuri sana wao walivaa vitambaa vyeusi na kichwani kujifunga vitambaa vyekundu, mmoja alionekana kuwa na asili ya kihindi na wengine walionekana kuwa waafrika kama hususan watanzania. Baada ya mabinti hao kukaa chini naposema chini simaanishi kwenye ardhi hapana bali ni kwenye migongo ya watu, wale ambao mnalala bila kuomba mjue usiku mnaenda wapi, mtu anaamka mgongo unauma anajihisi kachoka sana anabaki kusema eti kalala vibaya, chefu, hakuna cha kulala vibaya hapo, yawezekana kabisa usiku wote wewe ulikuwa ndiyo kiti kwa ajili ya wachawi hivyo kuwa makini sana, kabla ya kulala omba sana ili Mungu akulinde usiku mzima mpaka kuna kucha maana waswahili walisema “Usiku mwaka”. Yote hayo Dorini aliyaona vyema yaani alikuwa akiona sasa kifo kipo karibu naye, Ndipo akapata wazo la kumwamsha mdogo wake ili watoke kwenye hilo dampo usiku uo huo maana alihofia kuonekana. Basi akamwamsha. Frank alipoamka akaanza kulia akilalama baridi kuwa kali. Mara wale wachawi wakawasikia na wote kuwageukia, Dorini akatambua kuwa kimenuka hapo, kifo kipo karibu yao na muda wowote wanaweza kukikabili kifo. Mwili wa Dorini ulitetemeka mithili ya jenereta bovu huku kijasho chembamba kikimtoka baada ya wachawi hao kuwaona kuwa walikuwa karibu yao. Mara yule binti mwenye asili ya kihindi aliwafuata na kuwapeleka kwa kiongozi wao, Frank alikuwa wa kulia tu maana watu hao kimwonekano walitisha sana. Huku akiwaangalia watoto hao kwa umakini sana yule kiongozi wa wachawi hao akasema “Chade kofine’ roise manje” (“nadhani hakuna haja ya kuwadhuru hawa watoto”) Akapumua kidogo kiongozi huyo kisha akaendelea kuongea “Sose’ manje I’ pida~ kose magine seen” (“tena mtoto huyu tumpatie ubize ili asipate nafasi ya kutangaza haya aliyo yaona”) Baada ya kusema hayo akanyoosha mkono wake na mara mkononi kukatokea mionzi fulani kama radi hivi ambayo ilimpata sawia Frank na wao wakapotea palepale na kumuacha Frank akiweweseka kwa maumivu. Baada ya wao kupotea tu mara Frank akanyamaza na kuonekana hana shida yoyote wakawa wamerudi tena palepale na kuendelea kulala. Hapohapo Dorini akapata usingizi mzito akifuatiwa na Frank, wakalala kama wafu mpaka kulipo pambazuka. Follow page yangu Story za Riwaya Tanzania

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

Dokta Temba alishangaa sana na kubaki akijiuliza usiku huo aliona nini mpaka aogope kusema akihofia mdogo wake kufa, ila mimi na wewe msomaji tunajua kabisa kuwa aliwaona wachawi japo anaogopa sana kusema akihofia uhai wa mdogo wake. Basi walirudi nyumbani na kumkuta mama yao akiwa amemaliza kuwaandalia chakula, walikula na wakatambulishana kwa kina, ila dokta Temba akawashtaki akina Dorini eti wamempatia life story yao ya kusikitisha ila ikaishia njiani, palepale mama akaomba na yeye ahadithiwe kisa-mkasa hicho mwanzo mpaka mwisho. Dorini akaanza kusimulia yote ila akakomea kubakwa, habari za wachawi hakuthubutu kabisa hata kudokeza. Mama yake alishtuka kisha akasema “We Dorini unasemaje” “Mama nilipoteza usichana wangu kwa kubakwa na mtu mmoja anaitwa Emma” “Mungu wangu ulibakwa na mtu wa miaka mingapi au hukujua hata umri wake?” “Aliniambia ana miaka kumi na sita” Yalikuwa maongezi ya mama na mtoto wake na hapo dokta Temba akadakia “Hapo inatakiwa usiku uu huu nikufanyie vipimo nitambue hali yako isije ikawa umeambukizwa magojwa ili nikupatie matibatu stahiki mapema” “Nashukuru sana kwa unavyozidi kunijali baba” Alisema Dorini huku akimuangalia dokta Temba kwa macho ya upole sana. Dokta Temba hakutaka kuendelea kuongea zaidi, alimchukua Dorini na kumpeleka kwenye maabara yake ya nyumbani, baada kama dk kadhaa majibu yaliletwa na kuonesha kuwa Dorini hakuwa na matatizo yoyote wala hakuathirika kwa ukatili aliofanyiwa na huyo Emma...Baada ya vipimo na chakula kumalizika wote waliondoka na kwenda kulala kuingoja kesho ili waendelee na maisha yao kama kawaida… Basi kesho yake dokta Temba aliwaandikisha shule na siyo hizi za kina “pangupakavu” wala za serikali bali aliwaweka kwenye shule za praiveti mashuhuri ndani ya Tanzania, ambazo aghalabu wanaosoma ni watoto wa zile familia za mboga saba. Wakaanza masomo kila mmoja akiwa na ndoto zake, Dorini yeye alikuwa akipigana siku moja awe mfanya bishara mkubwa duniani hivyo akawaza kuja kuchukua shahada ya uchumi. Upande wa Frank yeye aliwaza kuwa mwanasheria mkubwa ili aweze kupata fursa ya kukemea vikali hii tabia ya wazazi kuwatelekeza watoto, hivyo akawaza kusomea sheria. Follow page yangu Story Riwaya Tanzania

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

Basi baba Dorini hakuwa na jipya maana akizidi kupinga ikafika kwenye sheria anaweza kujikuta anabaki na robo ya mali zake na huku mali zenyewe sio nyingi, basi walikubaliana na makubaliano yaliyo patikana ni kwamba wauze kila kilicho cha Baba Dorini kuanzia gari, nyumba mpaka miradi yake na wagawane fedha. Basi baada ya kuuza waligawana, nusu ya fedha ikaenda kwa baba Dorini na nusu nyingine akaichukua Lissa na hapo kila mmoja akashika hamsini zake, baba Dorini akayaanza rasmi maisha ya nyumba ya kupanga huku hajui aanzie wapi wala aishie wapi. Alipoulizia mkewe alipo akaambiwa kuwa tayari alishaolewa miezi kadhaa iliyopita, hivyo hakuna namna ya kumpata tena, basi maisha yake yakabadilika akawa mtu wa pombe mpaka fedha ilipopukutika kabisa, akawatelekeza watoto na kutokomea kusiko julikana. Basi siku baada ya siku chakula kilichokuwa kimebaki kwa ajili ya akiba kikaisha, kodi nayo ikaisha, na mkubwa aliye baki ni Dorini mwenye miaka sita au saba kasoro hivi, akitakiwa kumlea mdogo wake ambaye kwa ana umri wa miaka miwili kuelekea mitatu, mtoto huyu bado pia ni mdogo na hata kutembea kwake bado hajawa imara miguu yake. Dorini baada ya kuona ni takriban wiki tatu zimekatika na njaa inawakolokocha tumboni na baba yao hajarudi tena wala hakuwambia wapi ameenda na lini atarudi, alipata wazo la kuchukua mkeka mzuri na kwenda kuutandika dampo ambalo ni jalala kubwa la kutupia takataka mara nyingi za mji mzima, lengo lake ilikuwa waweze kujikimu kwa kujipatia chakula cha jalalani kuepuka kufa kwa njaa na huenda wakapata msaada. Ndiyo hivyo hana jinsi maana yeye bado ni msichana mdogo na kwake aliona hiyo akili itamsaidia pia mdogo wake asife kwa njaa. Usiku wa kwanza wa kuyaanza hayo makazi mapya ulikuwa mgumu sana ukizingatia kuna harufu mbaya, mbu wa kutosha, na kelele za mbwa za hapa na pale zilizidi kuwashtua zaidi, asubuhi ilipofika magumu yakaendelea kuwa magumu sana, hii ni kutokana na njaa iliyo kuwa imewakabili, Frank njaa ilimuuma sana kiasi kwamba alianza kulia, Dorini alimbembeleza sana ila ilikuwa ngumu kumuelewa dada yake maana hata hivyo tumboni kulikuwa kukiunguruma kwa njaa tupu. Ni nani wa kuwasaidia watoto hawa? wale waliofahamiana na wazazi wao waliishia kuwahuzunikia na kuwaonea huruma ila hakuna msaada ambao walikuwa wakiwapa, kuna wakati walikuwa wakipigwa pale ambapo walikuwa wakienda kuomba msaada kwao, wakati mwingine kuambulia kipigo hata pale wanapookota masalia ya vyakula kwenye meza mahotelini au kwa mama lishe, hakuna aliyejali maumivu wanayo yapitia watoto hao, sana sana walikuwa wakiwahuzunikia na kuwahurumia bila msaada, (Hakuna faida ya huruma kama hakuna msaada hata siku moja nasema hakuna..unaweza ukamuhurumia sasa ila kama ulikuwa na uwezo wa kumsaidia na hukumsaidia unakuwa hujafanya lolote). Watoto hao hawakuwa na rafiki tena maana hakuna aliyewafaa kwa ile dhiki kama ule msemo usemao “akufaaye kwa dhiki ndiye rafiki”. Waliishia kwa kuteseka, kupigwa na baridi kali, kuumwa na mbu na kulala njaa kwao ilikuwa kawaida huku wengine wakila na kusaza na kutupa masalia majalalani ila hawakumbuki kuwa kuna watoto mtaani wanateseka huku wakikitamani hicho chakula wanachokitupa ila nacho hawakipati kabisa. Frank alipokosa chakula alilia sana, kutokana na kuwa Dorini bado na yeye ni mtoto mdogo basi alipoona mdogo wake hanyamazi alianza kulia pia, hivyo ikawa tafrani pale dampo maana hakuna aliyembembeleza mwenzake, Dorini alie kwa kulaumu kwanini baba yao amemfukuza mama yao na kuwatelekeza peke yao wakiteseka bila kujua wanakula nini, Frank na yeye akilia kumlaumu dada yake kwa nini hajampa chakula mpaka muda huo. Walilia muda mrefu sana kila mmoja akilia na la kwake, huyu kwa kuwalaumu wazazi wake kwa kuwatelekeza wakiwa wadogo huku hakuna chakula wala mahala pa kulala na huyu kwa kukosa chakula. Follow page yangu Story za Riwaya Tanzania

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

Ijapokuwa huzuni kitakapopita kicheko, umasikini ukiweka kambi katika malango yako. Ama pepo la utajiri likikupitia, iwe kwa ugumba ama kwa maradhi mshukuru yeye aliye juu. Maana yeye, Anajua kwa nini anakupitisha katika hayo, hakuna jambo linalokuja kwa akili zako mwenyewe, usijikweze. *** Katika moja ya baa maarufu yenye hadhi ya nyota tano “five star” iliyokuwa imejibebea jina katika jiji la Dar es salaam, ilijulikana kwa jina la crown hotel baa hii ilikuwa maarufu sana maana ilipendwa na watu wenye hadhi kubwa, watu walioshiba ukwasi wa fedha. Kwa wale walala njaa wasingaliweza kusogeza hata pua zao maana bei ya bidhaa zake ilikuwa kubwa sana, kama soda ya elfu moja mtaani ila katika baa hiyo siyo chini ya elfu tatu mpaka elfu nne. Katika moja ya meza iliyopatikana ndani ya baa hiyo alionekana mama mmoja mwenye miaka kati thelathini mpaka thelathini na maja, alionekana akitumia pombe kali huku akinuwia maneno na alionekana kuwa kunajambo ambalo limemtatiza sana. Kila alipomeza fundo moja la kinywaji hakuacha kusema neno moja tu, tena, kwa sauti ya kilevi. “Hivi wewe mwanaume nini unanitenda, kama hunitaki si useme tu siyo kunisaliti, unaniacha nyumbani pekee yangu harafu wewe unaenda kwa hao, eti nyumba ndogo mh!, nimekuzalia watoto na mambo mengine ya nyumbani nakuhudumia vizuri, vizuri kabisa, ila wewe unanisaliti?" Kila aliposema maneno hiyo alikunywa kinywaji kwa hasira sana huku machozi yakitoka na kupita katikati ya mfereji uliotenganisha pua yake na mashavu yake, kisha machozi yale yangeshuka mpaka kidevuni hatimaye yanadondoka chini. Aliendelea kukaa eneo lile mpaka alipomaliza chupa nne na wahudumu kukataa kabisa kuendelea kumuhudumia maana ilikuwa imetahadharishwa kuwa kunywa taratibu ila yeye alifakamia kwa pupa na ghadhabu kumkomoa mmewe. Baada ya kuona hahudumiwi aliamua kurudi kwake huku akiwa amelewa tilalila, kila aliyemwona alimshangaa na kusema yake ila swali ambalo lilikuwa limechukua nafasi kubwa kwa kila aliyemwona ni moja tu, “mh, ama kweli dunia Hadaa ulimwengu shujaa, Maskini mama Dorini, mbona siyo mlevi..kipi kimemsibu mpaka alewe kiasi hicho?” Kila aliyemwona alikuwa akijiuliza swali hilo na kumuhuzunikia sana mama huyo ambaye tumefanikiwa kufahamu kuwa anaitwa mama Dorini. Kwa hiyo mama Dorini aliendelea kwenda nyumbani kwake huku akiongea mwenyewe maneno ambayo aghalabu husikika yakitamkwa na walevi huku akiwayawaya barabarani. Baada ya muda alifika nyumbani kwake na kupokelewa na ukimya mkubwa maana watoto wake walikuwa tayari wameshalala, alifungua mlango na kuingia mpaka ndani huku akiendelea kuongea mwenyewe. Alifunga mlango wa sebule kisha kwenda chumbani kwake akiamini atamkuta mumewe, ila ajabu hakumkuta. Moyo wake ukasononeka kisha kuchukua simu yake na kumpigia mtu.. mara simu ikapokelewa, wakaanzisha mazungumuzo “Hallo” Alisema mama huyo huku akivua viatu vyake na kujitupa kitandani kama mzigo. “Ndiyo bosi nakusikia” Sauti kwenye simu ilisikika “Upo wapi now” “Nipo kwenye uchunguzi, ili kukuthibitishia ukweli kuhusu mumeo” “Uchunguzi gani Toni?” “Ninakutumia sasa hivi kwa WhatsApp”. Baada ya kusema hayo simu ilikatwa, mara ujumbe ukaingia kwenye whatsapp yake naye haraka akaifungua. Alichokiona kwenye simu yake msomaji hatokaa asahau mpaka kifo chake. Alishuhudia video iliyokuwa ikimuonyesha mumewe akiingia gesti na mwanamke mwingine, huku wakifurahishana kwa malavidavi na mabusu kedekede na huku mwanaume huyo akifululiza kumsifia mchepuko wake huyo eti ni mzuri kuliko mke wake. Wahenga walisema “Mwana kulitafuta mwana kulipata”, mwanamke huyo alitamani kujua kuhusu mmewe sasa kajua presha juujuu, pombe zikamwisha huku akiendelea kuirudiarudia video ile maana hakuwa akiamini kama ni kweli mmewe anamsaliti, sasa leo kajua alichokuwa akikitafuta na kukihisi, hakutaka kuondoka eti kwenda kwenye fumanizi, aliamua kuzima simu yake akajibwaga kitandani pwaaa! na kulala kungoja kesho mmewe akija. Asubuhi kweli mmewe alirudi kutoka kazini, alipofika hatua ya kwanza ilikuwa ni kusifia kuwa mkewe ni mzuri, alipoulizwa wapi alikuwa hakusita kusema kuwa alikuwa na kikao kazini mpaka asubuhi ndiyo maana hakurudi usiku ule, kwa jinsi alivyokuwa Serious mwanaume wawatu usingeliweza kumuhisi kuwa anadanganya. Mama huyo hakusita kuuliza kwa mara nyingine, akiulizwa mmewe ni wapi alikuwa usiku wa jana, ila majibu yalikuwa yaleyale eti alikuwa kazini kwenye kikao mpaka asubuhi, mama wawatu akasema usinitanie akawasha simu kisha kumuonyesha mumewe ile video yake iliyokuwa ikimuonyesha akiwa na mwanamke mwingine. Loooh!! kwanza mwanaume huyo alichoka kisha kuvua miwani yake na kumuangalia mkewe kwa mara nyingine na kumuuliza ni wapi hiyo video ameitoa. Kwa hasira mama Dorini akafoka "Hivi wewe mwanaume nini unakosa kwangu mpaka uniaibishe kiasi kikubwa hivi!!" Baba Dorini alimwangalia mkewe kwa macho ya dharau sana na kwa kujiamini akamjibu akisema "Shida yenu nyie wanawake mnajiona ninyi ndiyo ninyi mnapo wafumania waume zenu. Sikia mimi nilikuwa nabadili ladha tuu! aaagh.. ila si basi yemeisha..Sintorudia tena..Sawa mke wangu". Mama Dorini alimwangalia mumewe na huku akiwa na kilio cha kwikwi akasema "Mh! eti kubadili ladha, kama umenichoka bora uniambie tu niondoke kuliko kunidhalilisha hivi, mr Thomas mimi siwezi kudharaulika hivi nikafurahi eti ulikuwa unabadili ladha..narudia tena kama hunipendi bora uniambie niondoke kuliko kuzidi kunidhalilisha hivi". Baba Dorini alishangaa na kuanza kucheka kwa dharau sana kisha akasema "kwamba unadhani naogopa wewe kuondoka, ushanitibua mbwa wewe kama unaondoka nenda, namaanisha unatoka naleta chuma kipya kizuri zaidi yako" mama Dorini aliangua kilio na kusema "Sawa nitaondoka ila ipo siku utanikumbuka pasipo kuniona tena" Baba Dorini akacheka kwa dharau na kusema "una maajabu we mwanamke yaani unaondoka huku bado umekaa kwenye sofa langu nyanyuka ukachukue nguo zako usepee" kwa hasira mwanamke huyo akanyanyuka alipokuwa amekaa na kwenda kuchukua nguo zake na kuondoka, watoto wake walimfuata na kumuomba asiondoke ila hakuwasikilizaka kabisa, badala yake alilia na kuwaambia wabaki salama wamuheshimu baba yao ipo siku wataonana kama Mungu akipenda, watoto hao baada ya kuona mama yao hawezi kuwasikiliza tena maana kashafukuzwa na baba yao waliamua kwenda kumsihi baba yao kuwa amrudishe mama yao ila baba yao badala ya kutekeleza ombi la watoto wake aliwafokea kwa hasira sana na kuwatimua wakajiandae waende shule. SURA YA PILI. Leo naomba nianze kwa kukuelezee kidogo kuhusu watoto hawa ili uwafahamu maana tayari umefanikiwa kumfahamu baba na mama ila watoto bado. Familia hii ilikuwa imefanikiwa kuwa na watoto wawili, moja anaitwa Dorini na mwingine anaitwa Frank. Dorini ni mtoto wa kwanza mwenye umri wa miaka sita huku akifuatiwa na mdogo wake huyo anayeitwa Frank mwenye umri wa miaka miwili. Watoto hawa wamezoea sana kuishi maisha ya upendo kutoka kwa mama yao hivyo hawakuwahi kupata kabisa upendo kutoka kwa baba yao, hali iliyo wafanya kukosa furaha kabisa baada ya mama yao kuondoka. Kesho yake baada ya Baba Dorini kupata uhakika kuwa mama Dorini harudi na ndiyo kaondoka moja kwa moja, alimleta mke mwingine na mwanamke huyu ndiye aliyesababisha ndoa hii kuvunjika maana alimganda baba Dorini kama ruba, akawa hataki kabisa kumuacha, hapa ndipo ule msemo usemao tukiachana asubuhi jioni natangaza ndoa unapochukua nafasi, yaani jana tu kaachana na mkewe ila leo kaoa mwanamke mwingine na kwa kufuru kamleta kwenye kitanda kilekile cha mkewe. Mwanamke huyu anaitwa Lissa mzaramo halisi namaanisha aliyezaliwa kijiji cha Chole kata ya Samvula katika wilaya ya Kisarawe mkoa wa Pwani na kukulia hapohapo jijini Dar es Salaam. Basi kwa mara ya kwanza mwanamke huyu alianza kuonyesha upendo feki kwa watoto hawa baada ya baba Dorini kumtambulisha kuwa ndiye mama yao mpya. Watoto hawa hawakumkubali, katika mioyo yao bado walimkumbuka mama yao mzazi tu ila ndiyo hivyo tena hawana usemi juu ya kauli ya baba yao ikabidi wabaki kulia tu maana waliambiwa waziwazi kuwa mama yao hatorudi tena aslani!. Maisha yakasonga watoto hawa wakamzoea mama yao mpya hii nikutokana na jinsi alivyo wateka kwa huo upendo wake bandia, kwa hakika alijifanya kuwapenda sana na kuwalea kama watoto wake wa kuwazaa, hii ni kawaida ya mama wa kambo wengi, mwanzo huwapenda watoto ili kuteka hisia zao kwa lengo la kumfanya baba wa watoto hao ampende zaidi, ila pindi anapo pata mtoto wa kumzaa yeye basi ule upendo huyeyuka kama barafu kwenye jua kali. Ndivyo ilivyo kuwa kwa Lissa, ile siku anatoka kujifungua mtoto wake hapo ndipo mateso ya watoto hawa yalipoanza, hakujali kuwa watoto hao bado ni wadogo, alianza kuwafanyisha kazi za shuruba bila ya huruma hata kidogo, ila ndiyo hivyo mtoto ni mtoto kila walipoteswa walipigwa na mkwara mzito eti wasimwambie baba yao akidai eti siku watakapo thubutu kumwambia ataua mmoja bada ya mwingine basi walikuwa wakiogopa sana. Siku moja Lissa alimuita Dorini, baada ya Dorini kufika mama huyo akasema, "Dorini hebu fua haya madaso ya mwanangu" alisema hayo huku akimwangalia Dorini kwa macho ya dharau na nyodo sana. "Mama bado sijajua kufua vizuri labda nijifunze" alisema Dorini huku akimwangalia mama yake wa kambo kwa macho ya hofu maana alihofia kupigwa. "Ama kweli mama yenu ni mjinga, ndiyo maana nilimkimbiza kwenye hii ndoa sababu hana hadhi ya kuishi na huyu mwanaume, alishidwa kuwalea, mimi nitawanyoosha vinyago nyie, tena hebu toka hapa kafue vidaso vya mwanangu, ole wako libaki linanuka kinyesi hapo ndipo utautambua upande wangu wa pili, pumbavu". Alisema mama wa kambo Lissa huku akimuangalia Dorini kwa macho makali kidogo hali iliyomfanya Dorini kuwahi kufua kwa kuchelea kipigo. Wakati Dorini anafua alisikia huko ndani sauti ya Lissa ikimfokea mdogo wake, haraka aliwahi ili atazame nini anafanyiwa mdogo wake, alipofika alichokiona kilimfanya adondoshe machozi nguvu zikamwishia kabisa akajikuta akipiga magoti mwenyewe kwa kutetemeka maana anachokiona mbele yake kwa hakika ni ukatili mkubwa. Kama nilivyo kwambia mwanzo msomaji kuwa mdogo wake Dorini anaitwa Frank na ana umri wa miaka miwili au mitatu kasoro tu, hivyo kilichomfanya Dorini ajikute na simanzi kubwa ni baada ya kumshuhudia mdogo wake akipigishwa deki na mama huyo wa kambo, tena akifokewa kana kwamba anayefokewa ni kijana mvivu wa miaka ishirini au zaidi. Kwa hakika kazi ile kwa Frank haimstahili kabisa hivyo Dorini akaamua kuwahi kumsaidia kudeki, ila aliambulia kufukuzwa kwa matusi na viboko vya kutosha. Basi Dorini huku akilia kimyakimya kwa kwikwi alirudi na kuendelea kufua madaso yaliyokuwa yamejaa kinyesi cha mtoto mchanga, kila alipo sikia sauti ya kuomboleza ya Frank alijikuta machozi yakimtoka zaidi huku akishidwa kujizuia kabisa na kuangua kilio kisicho cha kawaida, mara honi ya gari la baba yao ilisikika getini akihitaji afunguliwe geti. Hapo mama wa kambo akawahi na kumuasa Dorini aende akakae sebuleni huku akimtahadharisha kuwa asijaribu kusema kilichotokea na kumwambia kama akithubutu kumwambia atampiga viboko ambavyo hatosahau mpaka kifo chake, mtoto wa watu hana nyongeza akawa ameitikia kwa kichwa na kuwahi kumuangalia mdogo wake. Basi baba mwenye nyumba akawa amefika na kuwaonesha upendo ambao hakuwahi kuwaonesha tangu wamezaliwa, maana aliwaletea zawadi na kila mmoja kumkisi kwenye paji la uso, kisha akasema "Enhee! Dorini mbona macho yenu ni mekundu hivyo kama mlikuwa mnalia nini kimetokea mwanangu?" aliuliza hayo Baba Dorini huku akiwaangalia watoto wake ambao walikuwa kimya wakimwangalia mama yao wa kambo kwa hofu na mashaka, mara Lissa ambaye ndiye huyo mama yao wa kambo akadakia kusema, "Dah! hawa watoto wako bwana walikuwa wanapigana nisingekuwa karibu ungekuta wametoana ngeu hapo". Palepale baba Dorini akamkazia macho Dorini na kumuuliza kwa sauti kali "Anachosema mama yako ni kweli na kama ni kweli utaniambia vizuri kwanini unampiga mdogo wako!?" Dorini alibaki akimungalia mama yake wa kambo kwa hofu, maana hakuwaki kusema uongo toka amezaliwa maana mama yake mzazi amekuwa akimuasa kuwa aepuke uongo, sasa leo mama wa kambo anamuasa kuwa aseme uongo ili kujiokoa mwenyewe. Dorini hakumjibu baba yake akabaki tu kumuangalia mama yake wa kambo huku nafsi mbili zikipingana ndani yake, moja ikimwambia aseme uongo ili asipigwe huku nyingine ikimwambia aseme ukweli kama mama yake mzazi alivyomfundisha. Mara alishtushwa na sauti iliyojaa mamlaka kwa uzito wa besi yake, ikimuamuru aseme haraka kabla hajampiga, ilikuwa ni sauti ya baba yake, palepale alijikuta anasema yote kuanzia alivyoambiwa kwenda kufua madaso akaendelea kuelezea jinsi mdogo wake alivyo pigishwa deki bila huruma kabisa. Maelezo hayo yalimfanya Lissa amfuate Dorini na kumpiga kofi zito ambalo lilimzungusha mtoto huyo na kunguka chini kwenye sakafu hali iliyofanya Dorini damu kumtoka mdomoni baada ya fizi zake za meno kuchanika. Baba Dorini alichanganyikiwa na ghafla alijikuta akinyanyuka kwa hasira sana na kumshambulia Lissa kwa kipigo cha mbwa koko bila huruma mpaka alipoiona damu ya Lissa pia ikitoka mdomoni. Baba Dorini akamuangalia Lissa kwa hasira na kusema “Alaaa, kumbe unanitesea watoto wangu bila ya kuwa na huruma hata kidogo!, wewe kweli ni mkono wa shetani maana binadamu wa kawaida hawezi kuwa katili kiasi hicho, tena nakuonya wewe mpuuzi ole wako urudie kunitesea wanangu” Palepale Lissa alidakia kwa kusema kwa sauti iliyojaa hasira na yenye kilio cha kwikwi huku akimuangalia baba Dorini kwa hasira na kusema “Unadhani hao watoto wako nitawatesa lini na wakati leoleo ninataka talaka niende kwetu, na kingine ni kwamba sihitaji kabisa kukuachia mtoto wangu hivyo ili nikamlee mwenyewe ninataka talaka tena siyo ya maandishi tu bali mali zako zote tunagawana pasu kwa pasu” Kwa jazba na sauti ya kufoka baba Dorini akamjibu Lissa “Ama kweli wewe ni mwanamke mpuuzi tena mjinga kabisa, yaani hizi mali nimesota kuzipata eti leo kilaini laini tugawane pasu kwa pasu kwa kisingizio cha kwenda kumlea huyo mtoto, we malaya kweli, nitamlea mtoto wangu mwenyewe sihitaji msaada wako nadhani umenielewa” Kwanza Lissa akacheka kisha akamjibu baba Dorini kwa dharau huku akiwa amemshikia kiuno kwa mkono wake wa kushoto huku mkono mwingine ukifuta damu iliyokuwa ikizidi kumtoka mdomoni “sikia wewe mwanaume kazi ya malaya ni kutafuta pesa kutoka kwa wanaume, sasa mimi sijaishia tu kukupatia burudani ili unilipe bali nimekufugia mpaka mtoto wako tumboni kwangu sijamuua ndani ya miezi tisa, unadhani hiyo kazi ni nyepesi eeh? ninataka tugawane hizi mali ili mimi nikajue huyu mtoto wako nitamleaje mpaka akue ili aje akusaidie ama hutaki nitaenda ustawi wa jamii na nikienda huko nitabadili maamuzi nitataka robo tatu ya mali zako” Kwa sauti ndogo iliyojaa majuto baba Dorini akawa akijisemea “ningejua, nisingemfukuza mke wangu maana yule kaniachia wanangu wawili wala hakutaka mali zozote ila huyu hata mwaka hatujaumaliza anadai mgao wa pasu kwa pasu kisa tuu kazaa na mimi daah! ningejuaa” Lissa akamkejeli kwa kusema “Unajuwa baba Dorini neno ningejua huja baada ya tukio baya kumkuta mtu na sikuzote ningejua ni neno la mkosaji kama wewe na wale wanaotanguliza tamaa mbele na kusahau majuto huja baadae, kiukweli yule mwanamke wako wa kwanza alikuwa akionekana kukujali na kilichokuwa kimemleta kwako ni ndoa na siyo mali, tofauti kabisa na mimi, maana mimi kilichonileta hapa ni mali na siyo ndoa..habari ndiyo hiyo!” Baba Dorini alihisi kuchanganyikiwa baada ya kusikia maneno hayo kutoka kwa Lissa kuwa yeye hakuwa na mapenzi ya kweli bali alikuwa na haja na mali pekee, muda wote huo Dorini alikuwa amekaa akiangalia hiyo mizozo ya baba yake na huyo mke wake wa pili, huku moyoni akimuomba Mungu wake huyo mwanamke aondoke ili baba yao amrudishe nyumbani mama yao mzazi. Follow page yangu Riwaya Tanzania Leo tuishie hapo tukutane kesho asubuhi... Lakini naomba kutambua walio soma wa like, maana mji like ndio napata moyo wa KUPOST simulizi kwa kasi mpaka mwisho.. Gosga like, kisha mshauri chochote Mr Thomas

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

Aliyekuwa Spika wa Bunge la Tanzania na Mbunge wa Kongwa, Job Yustino Ndugai amefariki Dunia leo August 06,2025 akiwa anaendelea kupatiwa matibabu Hospitalini baada ya kuugua ghafla. Ndugai amekuwa Spika wa Bunge tangu November 17, 2015 hadi Januari 06, 2022 alipojiuzulu na kuendelea kuwa Mbunge wa Kongwa nafasi ambayo ameendelea kuitetea kwa kuchukua fomu tena mwaka huu ambapo ameshinda kwenye kura za maoni. Ndugai ambaye amezaliwa January 22,1960 alishinda kura za maoni za Ubunge wa Jimbo la Kongwa kwa kupata kura 5690. #MillardAyoUPDATES

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

Masha alijichekesha tu mbele ya Mr Alberto lakini moyoni hakumtaka hata kidogo Rahul na hapo alipo kuja kumkatishia ndo kabisa akamuona mkosi kwakee ,"Mr Alberto ni zaidi ya mwanaume asante mungu umenipa huyu mwanaume jamani aaaah, najisikia hamu ya kumuona tenaaaa embu ngoja nimpigie ooh mungu wangu nimesahau hata kumuomba namba yake ya Tanzania hii haipatikani ,lakini si anakuja nyumbani mbona nina presha isiyo kuwa na maana?? Hahaha ooh jamani nahisi preshaaa sijawahi kuona mwanaume kamili kama huuyuuu " Masha alikuwa anajisemeza mwenyewe ndani ya Gari wakati anaelekea nyumbani kwake... Kabla ya kufika nyumbani kwanza alipitia sokoni akanunua mahitaji aliyoona yanafaa kwa ajili ya chakula cha Mr Alberto "Nahakikisha namshika kuanzia kwenye chakula mpaka kitandani hachimoki kabisaaa, Aaah Vicky, Vicky Vicky aaaah " wazo la mimba ya Vicky likipita kichwani kwake ndio kabisaaa linamuaharibia furaha zakee ........ Alinunua mahemezi yote akarudi nyumbani watu wake wakapika alihakikisha anasimamia chakula kiwe mwaah na ikawa hivyo kwelii ... Hakuwafukuza tena ila aliwaambia kulala mapema sanaaa hataki jau kwa mgeni wakee.. *** Mpaka sa 6 usiku ndio kikao kilikuwa kinaisha sasaa , "Nitakuendesha Kiongozi umechoka sanaaa" "Aah Rahul unajua mie kuna kitu kinaniumiza sana kichwa??" "Mhu kipii??" "Ingia kwenye Gari tutaongea " Kabla hata Gari haijatoka Mr Alberto aliomba kuongea na Rahul mana yeye ni mwenyeji sana huku kuliko yeyee kidogo anauelewa na hii Nchi "Unajua yule mschana nilisababishia ajali yulee" "Mhuuu??" "Hata sijui imekuwaje Rahul , Yaan nashindwa kabisa kupitisha sec bila kumkumbuka huyu dada, Sura yake sio ngeni akilini mwangu nahisi kabisaaa kuna mahala nilisha wahi kumuonaa lakini sikumbukii , ajabu sasa kinacho niumiza kichwa nina hisia nae et tena hisia kali ,nikwambie tu ukweli Rahul nilipo mshika masha sijahisi chochote tofauti na yule dadaa ,Halafu ni mjamzito sielewi hata" "Usharogwa ujue" "Aah sio kweli" "Nimekutana na hizo story nyingi sana huku yaan huku wanawake wanaroga ili wapendwe mzee tena nasikia wakikuona una chochote kitu aah umeisha hivyo, afu wanatamaa sanaa ndo kinawaponza " "Sio bana. , yule dada hana tamaa yaan hana kabisa tamaa na pesa za watu ningemuona tu " Mr Alberto akamuelezea Kuhusu Abigael jinsi alivyokuwa anamkataa na yeye analazimisha kuwa nae karibu akamwambia kama angekuwa ameniroga I'm sure angeniganda sanaa lakini ananikatia sanaa" Rahul akamuuliza "Anaitwa nani??" Abigael " Vicky hakutaja jina lake halisi kwa Alberto aliongopa anaitwa Abigael hakupenda tu kutaja jina lake halisi "Yaan Tangu nimeishi hapa Tanzania mpaka leo hii Kuna mdada mmoja tu ndio niliwahi kumuona hana tamaa kabisa na ninafikiri Tanzania hii yupo yeye peke yakee, Ajabu unaniambia kuna mwinginee, yule dada alikuwa anaitwa Vicky ni ndugu yake na masha nilishawahi kukupa story yake Yule dada hata sijui alipotelea wapi Nilishawahi kumuuliza Masha akasema hakuwa ndugu yake walikuwa wanamsaidia tu kwahyo hata hajui alipo enda dah yule alikuwa mwanamke bwana hana kabisa presha na vitu visivyo muhusu'" Bila kujua Vicky ndie Abigael ,Mr Alberto akasema "Sasa huyuu ndo nakwambia hanaaa tamaaa hata chembee ,Kesho asubuhi nampelekea Lain za simu utamuona" "Usinambie tu ushaanza kuhudumia mimba?" "Hahah hamna halafu natamani kweli kumsadia nina uhakika jamaa wa mimba hayupo" ,"daah hizo kesi nazo huku zipo nyingiii wanaume wanakimbia sana mimba. Hapo ndo nakuja kuunganisha matukio ndo mana wanarogwa sana" " basi makosa ni ya wanaume sio wanawake zao, twende tukapumzike " Walipiga story haoo usiku ukazidi kuwa mkubwa Ndio wakakumbuka kuondokaaa... **** Masha alisubiri mpaka usingizi ukampitia juu ya meza hapo hapo .. Sa tisa kasoro usiku ndio Rahul alimfikisha nyumbani Kwa masha Mr Alberto ",sijisikii kabisa kuwa hapa Rahul" "Ndo kwako bro ,Au unataka kuharibiwa sifa, mwanamke mwenyewe mtata sana huyo" daah" Mr Alberto alishuka kishingo upande tu lakini roho yake haikuwa tayari kwenda humo ndani .. Mr Alberto alimkuta Masha amelala Juu ya meza alijisikia vibaya sanaa "OMG!!! Alikimbia akamchukua kwa kumbeba ili akamlaze ndani.. Masha alishtuka yupo kwenye mikono ya Mr Alberto tena amebebwa akajikausha kimyaaa Huku anasikilizia harufu nzuri ya kupoaa Itaendelea.. KWETU morogoro

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

" J unaliza swali gani sasa hilo, mtaji unatoa wapi, kwamba mimi niko wapi? Pale pale aliniingizia ml 70 kwenye acount yangu,tayali nilikuwa nimeshawasha simu, nilivyonunuliwa tu simu, nikatamani tu kuwa hewani, hata maumivu ya kuachwa na mlokore nikawa sina kabisa, nilivyowasha simu sms kama zote, sikujibu hata moja wala kusoma, nilifuta zote... Nikawa bize kupiga picha tu, kwahiyo pesa ilivyoingia tu nijaona sms ya bank kunijulisha, nilimtizama mala mbilimbili, J mbona pesa nyingi sana hii, J wala hata hakujibu, aliendelea nakazi zake kwenye pc, nilimsogelea akaniambia " ukinigusa tu mke wangu ujue kabisa, utanipa kama huna mpango wa kunipa usiniguse... Niliganda kwanza, nikaamua kuingiza mada ambayo najua tu lazima ajibu, " bibi kasema anataka mahali yake, sasa wewe maliza pesa yote kunipa mimi uku unadaiwa mahari, kwrli nilifanikiwa, apo apo, akaweka laptop nakusema tuondoke twende kwa bibi, tutatokea huko kuludi shuleni, alikata ticket ya ndege, ya jioni, ikabidi tukahemee vitu baadhi, kwa ajili ya bibi na sisi wenyewe tukiludi shule... Tulifika arusha saa mbili usiku tukaogopa kwenda usiku sio tabia nzuri, asubuhi kulivyokucha, tukahemea vyakula na vitu kadhaa tena tukaenda kwa bibi, muda huo nishampa taarifa bibi, alikuwa na dada wa kazi nilikuwa namlipa kila mwezi kwa ajili ya kukaa na bibi tangu kwa muda, make bibi alikataa kuondoka kwake.... Alitaka niwe na sehemu yakuludi na kusema naenda likizo nyumbani, na mji usijekuhalibika, tulifika tukapokelewa vizuli mno, tulichinjiwa,tukatoa zawadi pale, na bibi yangu anapenda sana ufugaji, J akatizama kiwanja kilikuwa kikubwa mno ni maboreshi tu, aliita mafundi wakaja kujenga banda la kuku, na banda la mbuzi, akapinga ukuta nyumba na mbele ya nyumba akaweka flame za biashara 4, uku ndani mjengo wa kisasa ukaanza kujengwa... Alitoa kishika uchumba na pesa ya faini kwa kunioa bila ruhusa ya bibi, akakataliwa kutoa mahali mpaka aje na wazee wake, kama hawatokubali ndio aje yeye, alikubali, tukaondoka nilijikuta naanza kupendeza tu, mimi ni mwembamba jamani, ila nilinenepa tena unene ule wa wastan kwa wiki tu nikawa nimebadirika mno... J alihakikisha sikohoi, yani alinijali kupita kiasi,alitakuwa kuludi shule, jumapili lakini tulichelewa tumefika jumapili jioni, nikamuomba apumzike kwanza kesho ataenda, alinielewa, tukuwa ndani na J wangu, tunajadili tutaishije kipi kinafata na yeye anaelekea kumaliza bado miezi miwili tu amalize... Tukasikia hodi, ilibidi tutizamane, nikamuomba afunge chumbani nikafungue, nilitoka naenda kufungua nakutana na rozi, " hee ni wewe ama naota 🧐, usinambie haujaumia kuachwa kwenye mataa na mlokole kumuoa Estar ama huna taarifa shogaa?.. Nilicheka tu kwanza kisha nikamjibu, najua kila kitu, wala haijaniumiza mahali, hakuwa wangu, angekuwa wangu asingeenda so huo muda wakusikitika sina, nina mambo yangu kibao, nikae nahangaika na ujinga 😃, niliongea nikuwa na amani kabisa ata chembechembe ya maumivu sikuwa nayo kabisa... Rozi hakuamini, alibaki ananishangaa, kwanza nimependeza vibaya mno, kichwa ninesuka nywele ya gharama, " mwenzangu nilivyoona huji kazini nikajua huenda unaona aibu, uko unajiuguza kidonda, nikajikuta nimecheka kwa dharau, Roz dada angu mimi siwezi mlilia mlokole ata kidogo, kuna wanaume wakulilia ila sio peter... Rozi hakuamini, mala simu take ikaita kwa ule mshangao akajikuta kapokea simu tena iko na sauti ya juu... "Haloo we Roz, ebu nipe habari shoga angu, umekapata au kameshajinyonga? Alikuwa ni Esta nilibaki kuwacheka tu, nijamwambia oya Roz bb ataka kufunga mlango wahi uludishe repot kwa boss wako, akashtuka na kukata simu faster kisha huyo... Nililudi chumbani uku nacheka tu, J alisikiliza kila kitu akaniuliza "J mke wangu, sasa hivi huna wivu tena na uyo jamaa? Nilicheka na kusema ata kidogo, yani hata nikimkuta hapo na mke wake hainishtui kabisa... Kupata mwendelezo bonyeza hii link hapo juu au hii chini ukasome yote hadi mwisho kwa buku tu... Itaendelea....💥 Full 1000 Whatsp 0784468229

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

ENDELEA....... Alifika na kuonesha moyo wa huruma kwa Oscar baada ya kupewa mkasa mzima ila Oscar hakutaka kumuacha arudi ivi ivi pasipo kutuliza mawazo, mbugii ilianza kupigwa na wakiwa kwenye mchezo simu ya Oscar ilianza kuita ila hakuna aliyekuwa na habari kati yao zaidi show kuendelea. Chini juuu ndiyo kitu kilichokuwa kikifanywa na binti wa watu mpaka pale qiuno chake kilipochoka na stahili nyingi..ne kuchukua nafasi yake. "Kwanini tu usibaki ivi ivi Oscar jamaniiii!" "Siwezi!" "Mmmmh kwanini huwezi!?" "Kuna mda ina...uma mpaka nahisi inataka kung'oka, nikibaki ivi hamtachelewa kunizika!" "Huwezi kufa kipnz baki tu ivi ivi yaani ni mwendo wa kuunganisha tu mpaka raha, na kesho nitalia mno ukiondoka" Furaha ya tend..o ilimwendesha binti wa watu mbele ya Oscar na kulopoka maneno ya kila rangi na mda huo round nne zilikuwa zimeshakatika tayari. Kimbembe kilikuja kwa Oscar aliyenza kusikia maumivu makali karibu mwili mzima licha ya kuwa mtambo bado ulikuwa kwenye shu...ghuli pevu na binti aliyaona mabadiliko yake. "Kuna tatizo!?" "Sijisikii vizuri!" "Mmmmh basi pumzika!" Oscar alim...chomoa mwanajeshi wake na kujilaza pembeni akisikiliza maumivu yaliyokuwa yakiu...tesa mwili wake na binti akaanza kumpa...ps kifuani kama kumpoza. "Griigriigriii!" "Nisogezee hiyo simu" Binti alisogeza simu kama alivyoambiwa na Oscar akaipokea baada ya kugundua kuwa ni mke wake anayempigia. "Mbona ulinidanganya mme wangu!?" "Nilikudanyanya kuhusu nini!?" "Kwamba upo kwenye mambo yenu ya kibiashara kumbe hamna" "Nani kakwambia kama sipo kwenye mambo yangu ya kibiashara!" "Mwenzako kaja hapa kukutembelea na kukujulia hali ndiyo kaniambia kila kitu" "Unamaanisha Bon?" Vero alikubali na Oscar aliamua kumwambia ukweli tu kuwa yupo anatafta tiba ya yeye kupona. "Utarudi lini huku?" "Kesho tu nitakuwa hapo!" "Basi sawa" Alikata simu na kuiweka pembeni na kuendelea kube..bshana na binti aliyekuwa naye. Siku iliyofata asubuhi na mapema Oscar alijiandaa kwa ajili ya safari ila binti wa watu aliyejitambulisha kwa jina la Agnes alioneshwa kusikitishwa kwa kuondoka kwake na ilibaki kidogo tu amwage machozi, alijua kilichokuwa kikimuumiza ni kuona anaipeleka mbali si...raha ikiwa bado Agnes aliihitaji ila hakuwa na namna zaidi ya kuondoka. Safari nzima Oscar aliitumia kuwaza mwanamke anayefata na aliyekuja kwenye chake ni binti aliyekuwa akiitwa Rehema aliyekuwa akifanyakazi kwenye mgahawa karibu kabisa na eneo analofanyia biashara pamoja na Bon lakini alipata wazo la kwenda kwa mganga kwanza kabra ya kuanza kumtafta Rehema, alifika kwake na kupokelewa na Vero na baada ya mda alienda kwa mganga. "Naona umerudi kijana, umeshaikamilisha kazi!?" "Wapi mganga bado ipo vi..le vi le tu, wote niliotembea nao hakuna hata mmoja aliyeniloga" "Kwani wameisha!?" "Bado hawajaisha!" "Sasa unataka mimi nifanyeje!?" "Jaribu kuangalia njia nyingine hii hali imenichosha mganga" Oscar alilalamika kama vile mganga ndiye aliyemtuma achovye hovyo mpaka kutupiwa kombola. Mganga alimsogelea kiukaribu zaidi na kuongea. "Nisikilize kijana, unapozidi kuchelewa unazidi kuhatarisha maisha yako na hapo kinachokusaidia ni dawa niliyokupa mara ya kwanza lasivyo wangekuwa wameshakuzika tayari, nenda ukaendelea na kazi ya kute...mbea na wanawake wote uliowahi kutoka...na nao mpaka pale utakapompata mbaya wako aliyekuloga" Aliinamisha kichwa na kunyenyuka na kutoka ila mganga alimwita na kumpatia dawa nyingine itakayomwongezea nguvu. Kazi ilianza kwa Oscar kumtafta binti aliyekuwa akiitwa Rehema kama alivyokuwa amepanga, alienda mpaka sehemu Rehema aliyokuwa anafanyia kazi ya mgahawa na kumuulizia lakini alichoka baada ya kuambiwa Rehema kawa kichaa baada ya kufumwa akichepu..ka na mme wa mtu. Oscar alikaa huku akiwaza ni wapi pakuanzia ili ampateRehema na akiwa kwenye mawazo kuna mtu alimshika kwa nyuma na kumwongelesha. "Kumbe upo hapa jamaa yangu!" Alikuwa ni Bon aliyekuwa nyuma yake. "Dah acha tu!" Oscar alinyenyuka na bahati mbaya kwake mtali...mbo wake alikuwa hajaubana vizuri kwenye mkanda na mtu wa kwanza kuona alikuwa ni Bon. "Oya jiweke vizuri" Oscar aliubana vizuri mtali...mbo wake na kusogea pembeni ili aongee vizuri na Bon. "Pole sana wife wako aliniambia kila kitu, kwahiyo hapa unafanya nini!?" "Namtafta Rehema!" "Duh yule kichaa!?" Oscar alikubali na kumpa mkasa mzima na jukumu alilopewa na mganga. "Dah, pole sana ila tatizo jamaa yangu ulikuwa unapita mno na wewe bora ningekuwa mimi maana wangu hawazidi watano" "Acha tu hapa nawaza pakumpata Rehema nijaribishe nione kama nitapona" "Twende huku tukamwangalie" Bon alianza kuzunguka naye akimpeleka mitaa ambayo Rehema hupenda kutembea mara kwa mara lakini hawakufanikiwa kumpata mpaka siku hiyo inaisha. Siku iliyofata asubuhi na mapema Oscar aliamkia tena kwenye kazi ya kumtafta Rehema na bahati kwake kuna mtu alimwonesha mahali Rehema alipokuwa. Oscar alienda mpaka sehemu alipoonesha tena akikimbia huku mpini wake ukinesa na baadhi ya watu wakila chabo lakini hakujali zaidi ya kumuwahi Rehema. "Gymmmmmmmm gymmmmm gymmmmm!, tokaaaa, tokaaa, tokaaaaaa, ana mb....ooo kubwa ana mb...ooo kubwaaa hiloooo kibamia" Ni maneno yaliyokuwa yakitamkwa na Rehema aliyekuwa u...chi wa mnyama huku tunda lake likizu..ngukwa na bustani tu. "Aaaaaaaah!" Oscar aliongea na kutema mate chini kwa kinyaaa alichokiona kwa Rehema.......ITAENDELEA. Full Tsh 1000, WhatsApp 0613083801 Namba za Malipo 👇👇👇👇 0613083801 HALOPESA JINA JOHN 0748697173 M-PESA JINA JOHN.

A person in a purple dress is cooking over an open fire inside a rustic kitchen with stone walls and a small window.
Sema majario
 

ENDELEA....... "Kaka mbona umezubaa!?" Oscar aliulizwa. "Nipeleke alipolazwa Belinda!" "Aya subiri mara moja!" Aliingia ndani na baada ya mda alitoka na kuufunga mlango na kuongozana na Oscar mpaka kwenye hospital aliyokuwa kalazwa Belinda aliyekuwa hoi kitandani. Urembo aliokuwa akitamba nao haukuwepo tena, Belinda alionekana kuzeeka kabra hata uzee haujamfika mpaka Oscar alimwonea huruma. "Lilly huyu ni nani!?" "Ni rafiki yake na Belinda kaja kumuona!" "Aaaaah, karibu sana kijana!" "Asante!" Oscar alijibu huku akimtazama Belinda aliyekuwa akizungumza kwa tabu na kuonesha tabasamu baada ya kumuona Oscar kafika kumtembelea na licha ya majanga aliyokuwa nayo Oscar ila aliona Belinda anamajanga zaidi yake hivyo aliwaomba wampe nafasi ya kuongea na Belinda yeye mwenyewe na uzuri ndugu wa Belinda walikubali na kutoka nje na Oscar alimsogelea Belinda karibu. "Pole sana Belinda!" "Asante Oscar" "Hata mimi nipo kwenye matatizo mazito na ndiyo sababu ya kuamua kukufata mpaka huku" Belinda alimuuliza ni tatizo gani alilonalo na Oscar alimwambia ukweli wote. "Pole sana ila mimi siwezi kukuloga" "Mmmmh kama sio wewe atakuwa nani sasa!?" Alilopoka pasipo hata kufikiria na Belinda alikohoa kwanza na kumjibu. "Atakuwa mwanamke mwingine ila sio mimi, kama mganga kakwambia uje ujaribishe kwangu ni sawa tu unaweza kujaribisha ila nikuhakikishie mimi sihusiki kabisa na kukuloga wewe" Ongea ya Belinda ilitosha kumwaminisha Oscar na aliona atakuwa mpuuzi wa mwisho kama tu ataendelea kulazimisha na ukizingatia Belinda yupo kwenye hali mbaya. "Potelea mbali bhana sil...ali na Belinda" Maamuzi yalipita kichwani na maongezi mengine yaliendelea na ndugu wa Belinda walirudi na kujumuika nao. Masaa matatu yalikatika wakiwa pale na Oscar alipotaka kuaga hali ya Belinda ilibadilika na kuwa mbaya zaidi, miguu aliitupa hovyo na wauguzi waliitwa haraka kuangalia hali yake lakini malaika mtoa roho alipita na roho ya Belinda. Kilio kilitawala ndani ya wodi mpaka Oscar alijikuta akilia na kilichokuja kwenye akili yake vipi kama ni Belinda ndiye aliyemloga na ameshakata moto inamaana maisha yake ataishi akiwa kasimamisha tu au?, naye alianza kujiliza huku watu wakijua anamlilia Belinda kumbe anamajanga yake. Haukupita mda mtu wa mochwari alifika na kuuchukua mwili wa Belinda na Oscar alipata wazo na kuamua kumfata kwa nyuma na mtu wa mochwari alivyofika kwenye chumba cha kuhifadhia maiti alifungua mlango na kuingiza maiti ya Belinda ila alishangaa kumuona Oscar naye akiingia ndani. "Wewe bro vipi!?" "Aise nisaidie ndugu yangu nipo kwenye majanga mazito" "Nikusaidie nini!?" Oscar alichomoa pesa na kumpatia mtu wa mochwari na kumwambia tatizo lake akimtaka ampe walau hata dakika mbili tu za kumzaga..mua Belinda kabra mwili wake hajauingiza kwenye friji. "Poa fanya haraka!" Mtu wa mochwari alikubali na Oscar aliushusha mwili wa Belinda haraka na kuulaza chini na kukaza roho. "Sina jinsi!" "Fanya haraka wewe huna jinsi nini!?" Mtu wa mochwari alimfokea hivyo aliteremsha ngu...o yake na kumvu..a nguo Belinda na uzuri mwili wake bado ulikuwa na joto kwa mbali. Taratibu aliichomeka ba...kora yake kunako na kuanza kuizagamua maiti ya Belinda pale pale chini aone kama itazima na baada ya dakika 10 Oscar aliu...chomoa mpini wake ukiwa bado umesimama vile vile pasipo kuzima na kuvaa vizuri. "Sio huyu!" Aliongea na kugeuka akitaka kuondoka ila mtu wa mochwari alimrudisha. "Hiyo maiti ilikuwa hivyo!?" "Sorry!" Aliivali..sha vizuri maiti ya Belinda na kuirudisha ilipokuwa mwanzo na ndipo mtu wa mochwari alipomruhusu kutoka nje akipishana na ndugu wa Belinda waliokuja kuchukua kipande cha nguo cha ndugu yao kama utaratibu ulivyo. Njiani Oscar alitembea akiwa kwenye mawazo mazito, kazi aliiona nzito na alijisahau kulibana gobole lake ili watu wasiweze kuliona. Kuna mwanamama aliyekuwa akijiandaa kuingia ndani ya gari lake maeneo hayo hayo ya hospital ili aondoke aliweza kumuona Oscar alivyokuwa kadin..dsh. "Heeeee wewe kijana!" Kutokana na mawazo aliyokuwa nayo Oscar hakusikia kabisa kama anaitwa. "Wewe kijana!" Bado aliendelea kutembea pasipo kusikia kama anaitwa na mwanamama alimsogelea na kumshika begani. "Nakuita inamaana husikii au una matatizo ya masikio!?" "Ulikuwa uniita!?" "Eeeeh!" "Basi nisamehe bure nilikuwa mbali kimawazo!" "Aaaaah, unaonekana haupo sawa!" "Ndio sipo sawa maana nimefiwa!" "Umefiwa!?" "Ndio!" Mwanamama alishangaa na kilichomwacha mdomo wazi ni kuona mtu kafiwa alafu bado adi...ndishe haikumwingia akilini kabisa. "Kama umefiwa mbona upo hivyo!" Alimwonesha na haraka Oscar alilibana ru..ngu lake kwenye mkanda ili lisionekane kama limesima...ma. "Pole sana unaelekea wapi sasa ivi!?" Oscar aliongea anapoelekea na mwanamama alijitolea kumpa lift na kumpeleka mpaka anapotaka kwenda. Oscar alipanda kwenye gari na gari ilichomoka huku ndani ya gari kukiwa na ukimya. "Pole sana aliyefariki alikuwa nani yako!?" "Ndugu yangu" "Aaaaah!" Alijibu na jicho la mwanamama lilikuwa kwenye suru..ali yake tu. "Nishushie hapa tu!" "Aya sawa!" Mwanamama alipaki gari pembeni na Oscar aliteremka. "Shika rambi rambi yangu hii hapa!" Oscar naye hakulinga zaidi aliipokea pesa aliyopatiwa na kuondoka na mwanamama alimtazama na baada ya mda aliondoa gari yake. Oscar alielekea mpaka kwenye lo..dge aliyofikia kwa ajili ya kufanya maandalizi ya kuondoka lakini alipigiwa simu na binti aliyezaga..muana naye siku ya kwanza alipofika kwenye mji huo na binti alimwambia anahitaji kuonana naye, Oscar alikubali na kumpa maelekezo ya kuja mpaka alipokuwa.........ITAENDELEA Full Tsh 1000, WhatsApp 0613083801 Namba za Malipo 👇👇👇👇 0613083801 HALOPESA JINA JOHN 0748697173 M-PESA JINA JOHN.

Home Login Signup
Top 20 Popular Contact us
Terms & Conditions About us Latest