Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MY WANGU❤️ sehemu ya 9
Gonga94 · Stories

MY WANGU❤️ sehemu ya 9

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

Eeeeh . Mama aksema jamni baba nikushuruje ww. Umezaliwa na mama mzuri sana.mungu abariki sana tumbo lake nashukuru baba. Sir mlige akasema usijali mama . Sasa kwa hili suala niliona siwezi kumueleza baba. Hapana ila wala usijali nataka faridah awe katika mazingira mazuri tu. Kisha sir mlige akavuta droo ya meza.kisha akatoa pesa .nakumbuka alihesabu laki 2. Akampa mama. Nyie mama hakumini. Sir mlige Akasema mama mimi nataka apate fomu nzuri na vitu vyake vyengine vyote vya shule. Apate begi na viatu. Ili akiferi nimdunde vizuri.asiwe na kisingizio chochote . Looooh apo akanikata mjicho uooo.mi nikainama chini.

Mama akasema baba akiferi mvunje kabisa .we mwalimu una moyo sana na una roho nzuri mungu akupe sana na mungu akupe zaidi. Mlige akasema asante mama.ndo nilikuitia ayo tu. Mama akasema asante sana. Basi mama alimshukuru jamani. Yani alimshukuru mni kama kapewa milion. Baada ya apo . Mama akaaga sasa. Akanmbia we faridah baki muache mama aende. Basi kweli mama akenda. Sir mlige akaningalia sana. Mpka nikajistukia jamani. Akanmbia nimekusamehe ile adhabu ila ukichelewa tena nitakuvunja. Alafu kuanzia leo pesa ya kutumia mda wa saa 4 unakuja kuchuua kwangu. Kila asubuh mapema tu sawa. Nikasema sawa mwalimu asante sana nashukuru kwa wema wako. Akanmbia sawa nenda darasani

Basi mie taratibu nikaingia darasani. Mh nikamuona ni mwema kumbe uyu baba. Huenda ni mkari lakini ana roho nzuri sana jamani.basi kama mnavyonijua siwezj kuvumilia kitu nikamsimulia yusta kuwa mwalimu kanisaidia kipata fomu za shule begi na viatu. Na pesa ya matumizi kila siku. Mh yusta akanambia sio ww tu. Kuna wengine nimesikia kawanunulia viatu .na wengine kawanunulia mashati. Na yule jmal mlemavu wa form 2 nadikia kamnunjlia kile kiti anachotembea nacho sasa hivi. Ila mm kanipiga jana kanitibua tu. Naliona kama libwege tu. Nikacheka sana .nikasema basi akipita muite bwege. Akasema weee unataka aniue akaa nikome mie. Ninacheka kwa sauti sana .

Na mchana nilivyorudi home mchana jamani.nilifikia kwa fundi. Mama ana kihere here. Nikaenda kupima fomu. Mana mama alishanininjlia vitambaa na kila kitu. Nikaona kaninunulia begi zuri jamani . Viatu .mpaka chupi mama kaninunulia .na niliishiwa jamani. Yani mpkaa nilikuwa navaa chupi kisha naifunga kwa pembeni nyie maisha ayaaa acheni.basi nilifurahi mno mwenzenuu. Yani nilifurahi sanaaaa

Basi ata baba. Alifurahi sana .akasema akipata mda atakuja kumshukuru mwalimu mlige. Mie nikasema swa na jioni sana nikaenda kuchukua fomu zangu kwa fundi.basi kesho yake niliingia shule nna kila kitu kipya na nilipendeza jamani. Mm ni mzuri mno matunzo tu. Ila. Hii siku niliwaka na fomu zangu.mpaka yusta alioniona alinambia dada unawaka mno .kama umevaa shera kumbe nguo za shule yani umependeza nikawa nacheka tu. Yusta akanmbia we ushaenda kwa mwalimu kuchukua pesa ya matumizi si alikwambia. Nikasema hapana ila mama kanipa pesa leo ilibaki jana. Mh yusta akanmbia we fala nn nenda kachukue ela uko. Tunakuwa nazo nyengi tunakula tunachotaka nikacheka .shoga yenu nikaenda kwa mkuu

Basi nikagonga mlango .na akanikalibisha nikamsalimia vizuri. Akaitikia kisha akanmbia. Umependeza sana naomba uzidi kusoma na uzidi kuwa smart sawa. Sio unachukua hela zangu ala alafu uzingue .ntakuvunja.nikabaki kimya .akavuta pochi kisha akanipa elfu 5. Mh sikuelewa ni ya siku moja au ya week nzima .ila nilishindwa kumuuliza kwa kweli.nikamshukuru sana pale.akanmbia ebu nenda darasani bwana . Kushukuru gani kila saa.nikajikuta nimetabasamu na nilipomungalia na yeye nikakuta anatabasamu woow. Nyieeee ndo ilikuwa namuona kwa mala ya kwanza anatabasamu uyu baba. Acheni kabisaaaaaa


🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴
Tangazo - SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
Wimbo wenye ubunifu imechanga kiarabu kiswahili na amapiano wimbo wa kushukuru kwa maisha na upendo Sasa sikiliza na ku download hapa gonga94.com
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MY WANGU❤️ sehemu ya 9


Eeeeh . Mama aksema jamni baba nikushuruje ww. Umezaliwa na mama mzuri sana.mungu abariki sana tumbo lake nashukuru baba. Sir mlige akasema usijali mama . Sasa kwa hili suala niliona siwezi kumueleza baba. Hapana ila wala usijali nataka faridah awe katika mazingira mazuri tu. Kisha sir mlige akavuta droo ya meza.kisha akatoa pesa .nakumbuka alihesabu laki 2. Akampa mama. Nyie mama hakumini. Sir mlige Akasema mama mimi nataka apate fomu nzuri na vitu vyake vyengine vyote vya shule. Apate begi na viatu. Ili akiferi nimdunde vizuri.asiwe na kisingizio chochote . Looooh apo akanikata mjicho uooo.mi nikainama chini.

Mama...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/my-wangu-sehemu-ya-9

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi my-wangu-sehemu-ya
MY WANGU❤️ sehemu ya 18
MY WANGU❤️ sehemu ya 18
MY WANGU❤️ sehemu ya 21
MY WANGU❤️ sehemu ya 21
MY WANGU❤️ sehemu ya 13 na 14
MY WANGU❤️ sehemu ya 13 na 14
MY WANGU❤️ sehemu ya 19  na 20
MY WANGU❤️ sehemu ya 19 na 20
MY WANGU❤️ sehemu ya 15
MY WANGU❤️ sehemu ya 15
MY WANGU❤️ sehemu ya 12
MY WANGU❤️ sehemu ya 12
MY WANGU❤️ sehemu ya 10 na 11
MY WANGU❤️ sehemu ya 10 na 11
MY WANGU❤️ sehemu ya 24 na 25
MY WANGU❤️ sehemu ya 24 na 25
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

10.56K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.54K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.58K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

2.8K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.36K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.27K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.2K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.14K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.14K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.05K
Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest