Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya β Gonga94 Semajambo
Gonga94 Β· Stories
30 Nov -0001
2.27K views
VYOTE NDANI GONGA94
I LOVE YOU DADY πβ€οΈπ10
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
"By Babie Love 0742133100"
Shangazi baada ya kuona mashuka alooh wacha aitishe mkoba wake wenye dollar π΅ πππniliziogaaaaa...
Nilimiminiwaaaa mpaka yale maumivu ya bikra yakapotea kwa mudaππππ shangazi aliniambia nikibeba mimba ya mtoto wangu wa kwanza nitaenda kumzalia America nyieπ
Nikaambiwa gari yangu ya kwanza nayotakiwa kumiliki ni Rangeeeeeeeeπππnilipagawaaaaaπππkimoyomoyo nikajisema nitake nini mieeeeeπ
Kumbe haya mambo kweli yapo mwenyewe nilikuwa siaminiππππkumbe kujitunza kunaheshimisha kiasi hiki??
Familia ilinipandisha vyeo mme ndo usiulize alikuwa ananiona kama malkia nikikohoa tu ananiuliza babe umeniita???π
Nilidekezwa zaidi ya walivyokuwa wananidekeza wazazi wanguππππ kesho yake nilimpigia mamangu simu nikiwa natabasamu la pesa yote nikamsimulia kila kitu mama alifurahi sana jamani..
Aliniambia mwanangu ndoa ni baraka ndoa ni heshima heshimu mme wako heshimu familia yako mpya heshima ni utajiri...
Sawa mama nimekuelewa nitafanya hivo.... sina mashaka na wewe malkia wangu nina imani nimekulea vyema ninachofanya ni kukumbusha tuπ₯°..
Hahahaaaa bila shaka mama yanguβ€οΈ tuliongea vingi mwisho mama akaniambia...
Tunakupenda sana binti yetu mwenyezi Mungu aifanye ndoa yako kuwa yenye furaha Amani na upendo wa dhati....
Kibarikiwe kizazi chako na daima machozi kwenye ndoa yako yawe machozi ya furaha tu mwanangu.... ndiyo mamaaπ₯Ή nina imani itakuwa hivoβ€οΈβ€οΈβ€οΈ...
Ndiyo Maya hivo ndo itakavokuwa mke wangu nakuahidiπ«β₯οΈ
Alidakia Rouhy wala sikujua kama alikuwa nyuma yangu akinisikiliza kile ninachokizungumza kwenye simuππβ€οΈ
Kumbe uko hapa??? Ndiyo mke wangu nitaenda wapi na kwako nimefikaβ€οΈβ€οΈ... Rouhy alinikumbatia na kisha alinipokonya ile simu na kuiweka sikioni..
walimwambia Rouhy tunatumai mtoto wetu yuko kwenye mikono salama tunaomba sana umlinde binti yetu...
Mme wangu aliwaahidi kuwa hayo ni majukumu yake atayateketeleza ipasavyoπ₯°π₯°π₯°..
Nilifurahi sana mwenzenuππnilijiona kama mwanamke mwenye bahati sanaβ€οΈβ€οΈβ€οΈ..
Rouhy baada ya kuongea na wazazi wangu aliniuliza unaendeleaje mke wangu mzuriππnikamwambia unataka uniumize tena??.
Akasema mke wangutukirudia itakuwa tamu sana nawe utaenjoy....
Nilimuahidi nitampa tena lakini siyo kwa usiku ulee... yale mahela niliyopewa na shangazi Rouhy aliniambia ataenda kunifungulia account bank niziweke..
Bibi yeye aliniambia zawadi yake atanipa nikijifungua tena aliniambia niharakishe kabla hajafa akione kitukuu chakeππππ..
Ndo kwanza ndoa ina siku tatu nishaanza kuomba kitukuuπππkazi ninayo...ila kwa zile raha nilitamani niwazaze hata wanne kwa mkupuoπ
Mama mkwe wangu yeye aliniambia zawadi yake atayabadilisha maisha ya nyumbani kwetu
akiwa na maana ya kuwajengea wazazi wangu jumba la kisasa pamoja na kuwafungulia mradi wowote kule kijijini ili waweze kujikimu kimaisha....
Aliniambia Maya nimekupenda ukiendelea hivi hivi utavuna vingi sana kutoka kwanguβ€οΈβ€οΈnilimkumbatia mama nikamwambia asante sana mama mwenyezi Mungu akuzidishiee...
Wanafamilia wote walitoa zawadi akabakia Rouhy peke yake mpaka muda huo alikuwa hajasema loloseππ
Na kumtunzia kote huko jamaniπππau anapanga kunizawadia Duniaπππ
Itaendeleaaaaaa
WhatsApp 0742133100
Itaendeleaaaaaaa...
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa
+ Endelea kugundua zaidi
MY WANGUβ€οΈ sehemu ya 69 na 70
Basi nilipata kafuraha mno. Nikachukua pesa yangu .nikarudi darasani kuendelea na ratiba zangu. Uwiiiiii nilifurahi sana...
7 MPAKA 9 π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘ Basi bwana tukivyotoka kula sasa. Mi nikaludi ndani i...
Shangazi baada ya kuona mashuka alooh wacha aitishe mkoba wake wenye dollar π΅ πππniliziogaaaaa...
Nilimiminiwaaaa mpaka yale maumivu ya bikra yakapotea kwa mudaππππ shangazi aliniambia nikibeba mimba ya mtoto wangu wa kwanza nitaenda kumzalia America nyieπ
Nikaambiwa gari yangu ya kwanza nayotakiwa kumiliki ni Rangeeeeeeeeπππnilipagawaaaaaπππkimoyomoyo nikajisema nitake nini mieeeeeπ
Kumbe haya mambo kweli yapo mwenyewe nilikuwa siaminiππππkumbe kujitunza kunaheshimisha kiasi hiki??
Familia ilinipandisha vyeo mme ndo usiulize alikuwa ananiona kama malkia nikikohoa tu ananiuliza babe umeniita???π
Nilidekezwa zaidi ya walivyokuwa wananidekeza wazazi wanguππππ kesho yake nilimpigia mamangu simu nikiwa natabasamu la pesa yote nikamsimulia kila kitu mama alifurahi sana jamani..
Aliniambia...
π Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/i-love-you-dady-10