Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10
Gonga94 · Stories

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


"By Babie Love 0742133100"

Shangazi baada ya kuona mashuka alooh wacha aitishe mkoba wake wenye dollar 💵 😂😂😂niliziogaaaaa...

Nilimiminiwaaaa mpaka yale maumivu ya bikra yakapotea kwa muda😂😂😂🙌 shangazi aliniambia nikibeba mimba ya mtoto wangu wa kwanza nitaenda kumzalia America nyie😂

Nikaambiwa gari yangu ya kwanza nayotakiwa kumiliki ni Rangeeeeeeee😂😂😂nilipagawaaaaa😂😂😂kimoyomoyo nikajisema nitake nini mieeeee🙌

Kumbe haya mambo kweli yapo mwenyewe nilikuwa siamini😂😂😂🙌kumbe kujitunza kunaheshimisha kiasi hiki??

Familia ilinipandisha vyeo mme ndo usiulize alikuwa ananiona kama malkia nikikohoa tu ananiuliza babe umeniita???😂

Nilidekezwa zaidi ya walivyokuwa wananidekeza wazazi wangu😂😂😂🙌 kesho yake nilimpigia mamangu simu nikiwa natabasamu la pesa yote nikamsimulia kila kitu mama alifurahi sana jamani..

Aliniambia mwanangu ndoa ni baraka ndoa ni heshima heshimu mme wako heshimu familia yako mpya heshima ni utajiri...

Sawa mama nimekuelewa nitafanya hivo.... sina mashaka na wewe malkia wangu nina imani nimekulea vyema ninachofanya ni kukumbusha tu🥰..

Hahahaaaa bila shaka mama yangu❤️ tuliongea vingi mwisho mama akaniambia...

Tunakupenda sana binti yetu mwenyezi Mungu aifanye ndoa yako kuwa yenye furaha Amani na upendo wa dhati....

Kibarikiwe kizazi chako na daima machozi kwenye ndoa yako yawe machozi ya furaha tu mwanangu.... ndiyo mamaa🥹 nina imani itakuwa hivo❤️❤️❤️...

Ndiyo Maya hivo ndo itakavokuwa mke wangu nakuahidi🫂♥️

Alidakia Rouhy wala sikujua kama alikuwa nyuma yangu akinisikiliza kile ninachokizungumza kwenye simu🙈🙈❤️

Kumbe uko hapa??? Ndiyo mke wangu nitaenda wapi na kwako nimefika❤️❤️... Rouhy alinikumbatia na kisha alinipokonya ile simu na kuiweka sikioni..

Aliwasalimia wazazi wangu kisha wakazungumza... wazazi wangu walifurahi sana...

walimwambia Rouhy tunatumai mtoto wetu yuko kwenye mikono salama tunaomba sana umlinde binti yetu...

Mme wangu aliwaahidi kuwa hayo ni majukumu yake atayateketeleza ipasavyo🥰🥰🥰..

Nilifurahi sana mwenzenu🙈🙈nilijiona kama mwanamke mwenye bahati sana❤️❤️❤️..

Rouhy baada ya kuongea na wazazi wangu aliniuliza unaendeleaje mke wangu mzuri🙈🙈nikamwambia unataka uniumize tena??.

Akasema mke wangutukirudia itakuwa tamu sana nawe utaenjoy....

Nilimuahidi nitampa tena lakini siyo kwa usiku ulee... yale mahela niliyopewa na shangazi Rouhy aliniambia ataenda kunifungulia account bank niziweke..

Bibi yeye aliniambia zawadi yake atanipa nikijifungua tena aliniambia niharakishe kabla hajafa akione kitukuu chake😂😂😂🙌..

Ndo kwanza ndoa ina siku tatu nishaanza kuomba kitukuu😂😂😂kazi ninayo...ila kwa zile raha nilitamani niwazaze hata wanne kwa mkupuo😂

Mama mkwe wangu yeye aliniambia zawadi yake atayabadilisha maisha ya nyumbani kwetu

akiwa na maana ya kuwajengea wazazi wangu jumba la kisasa pamoja na kuwafungulia mradi wowote kule kijijini ili waweze kujikimu kimaisha....

Aliniambia Maya nimekupenda ukiendelea hivi hivi utavuna vingi sana kutoka kwangu❤️❤️nilimkumbatia mama nikamwambia asante sana mama mwenyezi Mungu akuzidishiee...

Wanafamilia wote walitoa zawadi akabakia Rouhy peke yake mpaka muda huo alikuwa hajasema lolose🙄🙄

Na kumtunzia kote huko jamani🙄🙄🙄au anapanga kunizawadia Dunia😂😂😂

Itaendeleaaaaaa

WhatsApp 0742133100

Itaendeleaaaaaaa...

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10



"By Babie Love 0742133100"

Shangazi baada ya kuona mashuka alooh wacha aitishe mkoba wake wenye dollar 💵 😂😂😂niliziogaaaaa...

Nilimiminiwaaaa mpaka yale maumivu ya bikra yakapotea kwa muda😂😂😂🙌 shangazi aliniambia nikibeba mimba ya mtoto wangu wa kwanza nitaenda kumzalia America nyie😂

Nikaambiwa gari yangu ya kwanza nayotakiwa kumiliki ni Rangeeeeeeee😂😂😂nilipagawaaaaa😂😂😂kimoyomoyo nikajisema nitake nini mieeeee🙌

Kumbe haya mambo kweli yapo mwenyewe nilikuwa siamini😂😂😂🙌kumbe kujitunza kunaheshimisha kiasi hiki??

Familia ilinipandisha vyeo mme ndo usiulize alikuwa ananiona kama malkia nikikohoa tu ananiuliza babe umeniita???😂

Nilidekezwa zaidi ya walivyokuwa wananidekeza wazazi wangu😂😂😂🙌 kesho yake nilimpigia mamangu simu nikiwa natabasamu la pesa yote nikamsimulia kila kitu mama alifurahi sana jamani..

Aliniambia...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/i-love-you-dady-10

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle #BeautyBattle #AfricaVsWorld #Tanzania #Kenya #Congo #Rwanda #Burundi #SouthAfrica #USA #VoteNow #DebateTime #Trending 🐓 Follow the ommy khan Tanzania channel on WhatsApp: https://whatsapp.com/channel/0029VbCg0JyFsn0hCN1ByD44

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi i-love-you-dady
 I LOVE YOU DADY💘❤️💘17 "By Babie Love
I LOVE YOU DADY💘❤️💘17 "By Babie Love
I LOVE YOU DADY💘❤️💘11 "By Babie Love
I LOVE YOU DADY💘❤️💘11 "By Babie Love
I LOVE YOU DADY💘❤️💘19 "By Babie Love 0742133100"
I LOVE YOU DADY💘❤️💘19 "By Babie Love 0742133100"
 I LOVE YOU DADY 💘❤️💘09
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘09
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘20 "By Babie Love 0742133100"
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘20 "By Babie Love 0742133100"
I LOVE YOU DADY💘❤️💘15
I LOVE YOU DADY💘❤️💘15
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘18 "By Babie Love 0742133100"
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘18 "By Babie Love 0742133100"
 I LOVE YOU DADY 💘❤️💘12
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘12
I LOVE YOU DADY💘❤️💘16
I LOVE YOU DADY💘❤️💘16
 I LOVE YOU DADY 💘❤️💘07
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘07
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘13
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘13
 I LOVE YOU DADY 💘❤️💘08
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘08
 I LOVE YOU DADY 💘❤️💘14
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘14
 I LOVE YOU DADY 💘❤️💘06
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘06
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘04
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘04
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘05
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘05
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 85

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 85

1.32K
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 86 na 87

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 86 na 87

1.17K
LETICIA Sehemu ya 17 na 18

LETICIA Sehemu ya 17 na 18

326
IN LOVE WITH ZURI*   *Chapter 9&10*

IN LOVE WITH ZURI* *Chapter 9&10*

141
IN LOVE WITH ZURI* Chapter 8

IN LOVE WITH ZURI* Chapter 8

136
💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO💋  11....15

💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO💋 11....15

73
😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 11

😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 11

14
😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋  Sehemu ya 15

😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 15

12
😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋  Sehemu ya 13

😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 13

11
😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋  Sehemu ya 12

😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 12

10

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.96K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.65K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.89K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.55K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

3.05K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

3K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.85K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.83K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.71K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.69K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO💋  11....15 Post Mpya
💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO💋 11....15
@majario LIVE

Sawa mke wangu kipenzi nashukuru kwa kunijali, Denis aliondoka hadi gari 🚙 lilivyokata kona na mimi nikaingia ndani nilibadilisha nguo nilizovaa nikaenda sokoni kununua nyama na mchele nikaja kupika chakula...

😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋  Sehemu ya 15 Post Mpya
😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 15
@mjukuu LIVE

😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 15 (🔞) (HII NI SIMULIZI YA WAKUBWA TU NA WAKUBWA WENYEWE WALE WAPENZI WA CHOMBEZO) Alex anazidi kumshindua kungwi kwa raha zake mpaka na yeye akakojoa... Alex alikaa kwa kungwi...

😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋  Sehemu ya 14 Post Mpya
😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 14
@mjukuu LIVE

(🔞) (HII NI SIMULIZI YA WAKUBWA TU NA WAKUBWA WENYEWE WALE WAPENZI WA CHOMBEZO) Mke wangu umeenda kijijini kumpa mwanangu mimba?. ( Yani aliongea uku amemkwida mama asma...na hapo akatokea msamalia mwema akamshika...

😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋  Sehemu ya 13 Post Mpya
😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 13
@mjukuu LIVE

(🔞) (HII NI SIMULIZI YA WAKUBWA TU NA WAKUBWA WENYEWE WALE WAPENZI WA CHOMBEZO) Siku ambayo kwakweli nilifanya mapenzi na asma kwa raha sana nilimlamba kila Kona na kiu aliitoa na yeye...

😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋  Sehemu ya 12 Post Mpya
😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 12
@mjukuu LIVE

(🔞) (HII NI SIMULIZI YA WAKUBWA TU NA WAKUBWA WENYEWE WALE WAPENZI WA CHOMBEZO) 👉 Asma akasogea yupo tayari kuvuliwa nguo nimpe utamu, Dah yani....👇 Kidume sikutaka kuchelewa maana penzi la wizi wizi hili, Nilimvua...

😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 11 Post Mpya
😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 11
@mjukuu LIVE

(🔞) (HII NI SIMULIZI YA WAKUBWA TU NA WAKUBWA WENYEWE WALE WAPENZI WA CHOMBEZO) 👉 Unajua mbwana yule mjumbe anatoa...👇 Ushilikiano kitandani utasema kijana yani uno kama lote mpaka nasema kimoyoni enzi ya...

IN LOVE WITH ZURI*   *Chapter 9&10* Post Mpya
IN LOVE WITH ZURI* *Chapter 9&10*
@majario LIVE

SONGA NAYO........ Upande wangu nilikuwa zangu chumbani, nikijiandaa kwa ajiri ya kutoka kwenda kurefresh kidogo, nikiwa najiandaa mara Ethan huyu hapa alikuwa mnyinge kweli "Vipi tena??" Nilimuuliza baada ya kumuona amekuwa mnyonge gafla "Acha...

IN LOVE WITH ZURI* Chapter 8 Post Mpya
IN LOVE WITH ZURI* Chapter 8
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Ethan akazungumza "Hakuna cha kukata tamaa, kwani we nani amekwambia kuwa ameolewa..??" "Ni mama.." Nilimjibu huku nikiwa nimekata tamaa zaidi "Sasa mama wewe unamuamini vipi??, kama amekuongopea?? We cha kufanya anza kumtoa mtoto...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 86 na 87 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 86 na 87
@majario LIVE

Basi mimi sasa apo nikampigia kwanza mkuu wangu kazini, mana sijaenda kazini kama siku 3 na sikuwa nimetoa sababau kabisaa, nikamuelezea kuwa nna matatizo mengi ya kimafimilia kwaiyo sipo sawa...

LETICIA Sehemu ya 17 na 18 Post Mpya
LETICIA Sehemu ya 17 na 18
@majario LIVE

Nikiwa nimelala usiku nikashangaa mlango unafunguliwa. Mmh nikainuka chapu uzuri sizimagi taa ,si namuona polela jamni loooh nilichukia mno jamani nikasema wewe umefwata nini umu .akasema taratibu mummy...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 85 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 85
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Aseeee mi nikatulia pale sebleni, et amam akaenda kuchukua nguo zake akasema naenda pemba ushasahau kuwa mm nimekuzaa ww kabisa , na ndo mana huna adabu kabisa, mi...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 96 - 100 MWISHO SEASON TWO Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 96 - 100 MWISHO SEASON TWO
@majario LIVE

:96 Yeye akawa tu anaendesha kama vile hakuna kitu amezungumza. Mimi hapo tena naona tu kesho ifike tu nipelekwe tu hiyo sehemu. Sijui hata ni kuchinjwa au nikutekwa mimi tayari tu nipo...

MFALME KIPOFU Sehemi..ya............14 Post Mpya
MFALME KIPOFU Sehemi..ya............14
@majario LIVE

Ilipoishia sehemu iliyopita.... Huyo hawezi kuishi bira wewe mana haoni na nafasi ya mwisho ni kuondoka katika huu ufalme nisione sura zenu tena hapa...... ENDELEA NAYO........ Mfalme Tengu aliwafukuza Prince Yao na Lindiwe...

NAKUPENDA BILA  MIPAKA 87 - 95 SEASON TWO Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 87 - 95 SEASON TWO
@majario LIVE

:87 Nikacheka na kusema “sasa nikufiche nini, lakini sasa Dokta kama anampenda boss bora amwambie anateseka bure.” Dada Maria alicheka na kusema “wewe unawajua wanaume, wanaume hawana hata muda nakuambia, na vile...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 83 na 84 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 83 na 84
@majario LIVE

Namtak uyo maraya wako, namtaka nasema, mh nikajua apa kumekucha nikawaambia wanangu, nendeni chumbai kwenu haraka, kweli ummy akachukua mdogo wake arshaina wakaingia chumbani, mm.nikamsogelea mama.nikasema.mma ni ustaarabu gani, mama.mi.nilikuwa...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest