Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

IN LOVE WITH ZURI* *Sehemu YA SITA*
Gonga94 · Stories

IN LOVE WITH ZURI* *Sehemu YA SITA*

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

SONGA NAYO.....

Kimya kifupi kilipita hii ni baada ya mimi kusikia kuwa Zuri ni mke wa mtu nilikuwa naumia sana sio siri jamani ila sema nilijikaza mbele ya mama asigundue

"Unamaanisha kwamba Zuri kaolewa au..??"

Nilirudia kumuuliza mama kwa mara ya pili ili nijihakikishie, mama alinitazama kwa muda kisha akazungumza

"Ndio ni mke wa mtu yule, na ni mama wa mtoto mmoja.."

Eeeh ila wanawake acheni kabisa wanawake saluti zenu walahi, maana unakuta msichana ameng'aa harafu mzuri balaa ukimtazama unajua tu huyu bado hajaolewa

Ila sasa kumbe wameolewa na tena ni mama watoto, jamani jamani mie sikuwa najua kama Zuri ana mtoto lakini pia kaolewa hii ni kwamba zuri ni mzuri mno

Na pia Zuri ako na mwili soft yani ngozi yake inag'aa muda ote na anaonekana bado mdogo mno, sasa ndio maana sikuweza kulijua hilo sasa hapa mama kaniambia na kijana wenu ndio moyo wangu upo pale

So saivi sina hamu kabisa, yani nahisi joto na baridi vikinisumbua kwa wakati mmoja, nikabaki namtazama mama yangu jamani ili walau anionee huruma mtoto wake amshauri Zuri aachane na mumewe na kuja kwangu

Eeh mie nae nimezidi, basi bwana taratibu nikataka kuondoka zangu mama akanizuia kwa kunishika mkono

'Frank nafahamu kwamba unampenda Zuri, ila kijana wangu nikwambie tu zuri ni mke wa mtu na mumewe sio mtu mzuri kabisa, hapo unavyomuona Zuri usomuone anacheka yule

Ila anamaumivu makubwa mno kwa sababu familia ya mumewe wanamnyanyasa sana, huwezi amini Frank hata mshahara wake wote wanachukua wao

So mimi kama mzazi ambaye ninajua uchungu na maumivu ya mwana nikaamua kumchukua Zuri ili aishi hapa kama dada wa kazi lakini pia namfanya kama binti yangu ila kwa muda huu anaishi hapa kama familia tu maana kule ukweni kakwe alikuwa anateseka sana.."

Mama alikuwa anazungumza lakini hata sikuwa namuelewa kabisa, so nikaondoka zangu na kuelekea chumbani kwangu, kichwa kilikuwa kizito hata kuona mbele aikuwa naona kabisa

Siki hiyo ikapita na siku nyingine ikashika nafasi, siku hii bwana niliamka nikiwa na kachuli flan hivi kwa Zuri kisa tu nimesikia kuwa ameolewa lakini pia anamtoto

Wivu sio mzuri kabisa, maana baada ya mimi kufika sebleni nikamkuta Zuri akiwa amekaa anacheki movie yake pendwa, maana ilikuwa tayari saa tano, kutokana na mimi kutokuwa sawa nilichelewa kuamka

"Zima hiyo TV, harafu kuna nguo zangu kule chumbani kwangu nahitaji uzifue.."

Nilimwambia kwa ukali lakini pia na wivu juu, Zuri akabaki ananitazama tu kama sinema ya fimu ya yesu, huku akitaka kulia kabisa

"Unanitazama nini?? Kafue nguo bwana.."

'Sio zamu yangu, ni zamu ya Anita.."

"Hayo mimi sijui, ila ninachotaka nguo zangu ziwe safi basi.."

Nilizungumza kisha nikaa kwenye sofa, Zuri akanyanyuka akiwa mnyonge nikamuita tena akageuka na kunitazama

"Kwahiyo unaondoka, umeniona nimekula au..??"

"Lakin..."

"Nataka chai mimi..."

Eeh mie nae nimezidi bwana khaa hata kama ni wivu ila sio kwa style hii walah

Basi zuri wala hakunijibu nikaona anaondoka tu

nikabaki na hasira kwa sababu nilifikiria. ataninyenyekea ila wapi baada ya muda kidogo akawa ameleta chai na kuniwekea juu ya meza na muda huo huo Ethan na kaka Idress wakawa wamefika pale

Zuri alikuwa ni mtu mtaratibu mno lakini pia mpole ambaye hapendi kuongea sana, basi baada ya Ethan na Idress kufika pale wakawa wamekaa na kubaki wakituangalia tu mtu mbili

sie

"Zuri mbona leo huna raha..??"

Ethan akaanza sasa maswali yake yale, nikamkata jicho ila wapi huyu kijana sijui kichwani mwake anafunza kweli au vipi

"Aah niko sawa tu.."

Alijibu zuri huku akitaka kuondoka lakini nikamzuia

'Mbona chai haina sukari...??"

Nilimuuliza kwa ukali, mpaka Ethan na Idress wakabaki wananishangaa maana sio kawaida yangu kuongea na Zuri namna ile......

Itaendelea..

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Mimi sikuachi fully stories
Mimi sikuachi fully stories
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

IN LOVE WITH ZURI* *Sehemu YA SITA*


SONGA NAYO.....

Kimya kifupi kilipita hii ni baada ya mimi kusikia kuwa Zuri ni mke wa mtu nilikuwa naumia sana sio siri jamani ila sema nilijikaza mbele ya mama asigundue

"Unamaanisha kwamba Zuri kaolewa au..??"

Nilirudia kumuuliza mama kwa mara ya pili ili nijihakikishie, mama alinitazama kwa muda kisha akazungumza

"Ndio ni mke wa mtu yule, na ni mama wa mtoto mmoja.."

Eeeh ila wanawake acheni kabisa wanawake saluti zenu walahi, maana unakuta msichana ameng'aa harafu mzuri balaa ukimtazama unajua tu huyu bado hajaolewa

Ila sasa kumbe wameolewa na tena ni mama watoto, jamani jamani mie sikuwa najua kama Zuri ana mtoto lakini pia kaolewa hii...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/in-love-with-zuri-sehemu-ya-sita

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle #BeautyBattle #AfricaVsWorld #Tanzania #Kenya #Congo #Rwanda #Burundi #SouthAfrica #USA #VoteNow #DebateTime #Trending 🐓 Follow the ommy khan Tanzania channel on WhatsApp: https://whatsapp.com/channel/0029VbCg0JyFsn0hCN1ByD44

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi in-love-with-zuri-sehemu-ya-sita
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

NAKUPENDA BILA MIPAKA 151 -- 157

NAKUPENDA BILA MIPAKA 151 -- 157

405
NAKUPENDA BILA MIPAKA SEASON FOUR 145 - 150

NAKUPENDA BILA MIPAKA SEASON FOUR 145 - 150

368
ZARA❤️ Sehemu ya 8 na 9

ZARA❤️ Sehemu ya 8 na 9

260
ZARA❤️ Sehemu ya 6 na 7

ZARA❤️ Sehemu ya 6 na 7

234
BILLIONS OF LOVE💓💓   SEHEMU YA "16_17"💓

BILLIONS OF LOVE💓💓 SEHEMU YA "16_17"💓

174
NAKUPENDA BILA MIPAKA 158 -- 160

NAKUPENDA BILA MIPAKA 158 -- 160

171
IN LOVE WITH ZURI* *12&13*

IN LOVE WITH ZURI* *12&13*

153
💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 💋 (MWISHO SEASON 1) 19 -- 20

💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 💋 (MWISHO SEASON 1) 19 -- 20

115
*IN LOVE WITH ZURI* *Sehemu ya 11*

*IN LOVE WITH ZURI* *Sehemu ya 11*

101
ZARA❤️ Sehemu ya 10

ZARA❤️ Sehemu ya 10

79

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

12.06K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.74K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.92K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.7K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

3.14K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

3.05K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.91K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.88K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.78K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.73K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

****

  • NAKUPENDA BILA MIPAKA 161 -- 164 29-03-2026 00:00
Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
*IN LOVE WITH ZURI*  *SEHEMU YA 14* Post Mpya
*IN LOVE WITH ZURI* *SEHEMU YA 14*
@majario LIVE

Basi bwana siku hiyo chai ilishuka bila wasiwasi kabisa, maana zuri kila muda alikuwa ananijali sana, utasikia frank nikuletee maji?? Mara ohooo kaka Frank umepaliwa jamani pole Yani alikuwa anaongea huyu...

IN LOVE WITH ZURI* *12&13* Post Mpya
IN LOVE WITH ZURI* *12&13*
@mjukuu LIVE

* SONGA NAYO....... Nilisema huku nikimkabizi ule mfuko, zuri alinitazama sana mpaka ule ujasiri wote niliokuwa nao ulianza kupotea kidogo kidogo "Unasema..??" Aliniuliza "Am nimekuletea hii hapa zawadi.." "OH my God ni yangu..??" Aliniuliza tena huku akitabasamu,...

*IN LOVE WITH ZURI* *Sehemu ya 11* Post Mpya
*IN LOVE WITH ZURI* *Sehemu ya 11*
@mjukuu LIVE

SONGA NAYO...... Haraka haraka nilitoka nje ambako nilimkuta Ethan akiwa ananisubiri, bila kusubiri chochote niliingia kwenye gari na safari ya kurudi nyumbani ilianza, ni mida ya saa moja na nusu hivi "Dah...

ZARA❤️ Sehemu ya 10 Post Mpya
ZARA❤️ Sehemu ya 10
@mjukuu LIVE

__________ Mwandishi; LISSA WA HURU MEDIA ila sasa ni alijuwa na heshima sana na mimi, yani alijirejebisha kweli kweli , waha hakuwa annifanyia ujeuri kabisaa,yani ata kidogo hapana ,...

ZARA❤️ Sehemu ya 8 na 9 Post Mpya
ZARA❤️ Sehemu ya 8 na 9
@mjukuu LIVE

__________ Mwandishi; LISSA WA HURU MEDIA Nikasema.dady sio kuhusu mama ni kuhusu yule dereva melvin, baba aksema ahaa yule derebaa si tumeshamfukuza jamani zara nn sasa, nikasema baba mi nimemuonea huruma ,nahisi...

ZARA❤️ Sehemu ya 6 na 7 Post Mpya
ZARA❤️ Sehemu ya 6 na 7
@mjukuu LIVE

__________ Mwandishi; LISSA WA HURU MEDIA Khaaaaa nilichukia nikamuangalia uyu kaka kwa dharau na hasira kwli kweli, kwanza nikampandisha kisha nikamshusha , nikamuuliza eeeh umesahau nn, au unadai mshahara apa ulikuwa...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 158 -- 160 Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 158 -- 160
@mjukuu LIVE

:158 Aliendesha na kuniambia “nisamehe kwa kukuteka asubuhi, nisamehe maneno yalinitoka asubuhi lakini ilikuwa lazima nifanye vile. Wewe katoto ni kabishi sana. Huna hata huruma unataka mtu mzima mpaka nipige ukunga.” Nilimtazama,...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 151 -- 157 Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 151 -- 157
@mjukuu LIVE

:151 Kwenye akili yako vuta picha zile Abaya za kituruki, halafu ziwe tatu, nzuriiiiiii, rangi nyeusi, rangi nyeupe, na zambarau fulani imechanganyika, halafu kuna gauni mbili za ukali, eenh, eenh sijui...

NAKUPENDA BILA MIPAKA SEASON FOUR 145 - 150 Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA SEASON FOUR 145 - 150
@mjukuu LIVE

:146 Nilimtazama natabasamu, nakuambia uoga mimi sina, sina kabisa maana nishajua huyu Dokta anapambania mahali ahitajiki. Kwanza angejua raha mimi nilikuwa naipata hapa ameniharibia mimi. Si unajua unampenda mtu huwezi kumwambia halafu...

BILLIONS OF LOVE💓💓   SEHEMU YA "16_17"💓 Post Mpya
BILLIONS OF LOVE💓💓 SEHEMU YA "16_17"💓
@majario LIVE

( alikuja kama muuza chai kumbe ni Billionea) Alikunywa dawa zake akatulia 🥹nilikuwa namuonea huruma sana yule mkaka jmn 🥹 Muda huo huo wateja wakaja watatu , mimi sasa bize...

Zamani kidogo nilikuwa darasa la saba siku moja mama aliongea na Mimi akanambia baba ako anarudi leo Post Mpya
Zamani kidogo nilikuwa darasa la saba siku moja mama aliongea na Mimi akanambia baba ako anarudi leo
@majario LIVE

toka safari(Hawa ni mama na baba angu wa kunizaa) mama alinambia baba akifika tuu chochote atakachokwambia kubali nikamwambia Kuna nini akanambia Nisikilize Mimi nikamwambia nakusikiliza akasema leo utalala chumbani...

💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 💋 (MWISHO SEASON 1) 19 -- 20 Post Mpya
💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 💋 (MWISHO SEASON 1) 19 -- 20
@majario LIVE

19 Aliingia kaka yake na Glad Mimi ndio nilikuwa namalizia kupika jikoni, G nimekuletea ice-cream 🍨🍦 unayopenda nilinyamaza kimya hadi alipokuja jikoni. Glad ametoka mara moja nipo mimi peke yangu nilikuwa namalizia...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 141 - 144 MWISHO WA SEASON THREE Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 141 - 144 MWISHO WA SEASON THREE
@majario LIVE

:141 Nikamwambia kwa ujumbe “Boss ni usiku sana, nenda nyumbani, tutaongea kesho naomba nipumzike.” Akanijibu “sitaondoka hapa mpaka uje kunisikiliza.” Nikamuonyesha Dorice, Dorice akasema “kamsikilize Labda ni muhimu.” Nikamwambia Dorice “kusema kweli mimi roho...

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 15 Post Mpya
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 15
@majario LIVE

Mwandishi:lissa mwalla Simu ilikatwa,nilichanganyikiwa,iv nimeskia kweli au ni mawenge yangu?keanu ananisaliti?yani maneno yake makavu yote aliyoniambia hayakua na maana sikuyajali kabisa nilijali mwanamke alieongea.nikasema hapana ngoja,nikapiga simu iliita ikakatwa,nilipiga tena ikakatwa,nikapiga...

Kinachomtisha Mgosi ni kuwa Edna Lema anawachezaji walioonekana wa kawaida Simba Post Mpya
Kinachomtisha Mgosi ni kuwa Edna Lema anawachezaji walioonekana wa kawaida Simba
@majario LIVE

ila sasa wapo kwenye kiwango cha hali ya juu kiasi cha baadhi kuitwa timu zao za taifa. Diana Mnally Ritticia Nabbosa Precious Christopher Wincate Kaari Aisha Djafar Edna Lema...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest