Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

ZARA❤️ Sehemu ya 6 na 7
Gonga94 · Stories

ZARA❤️ Sehemu ya 6 na 7

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


__________
Mwandishi; LISSA WA HURU MEDIA

Khaaaaa nilichukia nikamuangalia uyu kaka kwa dharau na hasira kwli kweli, kwanza nikampandisha kisha nikamshusha , nikamuuliza eeeh umesahau nn, au unadai mshahara apa ulikuwa hujamaliziwa kupewa ndo umekuja kuufata ebu nambie vizuei kaka , yule kaka akanmbia hapana zara, nimekuja kuongea na ww kiamani mdogo wangu, nikasema.we mjinga kumbe , nani mdogo wako ,nani mdogo wako kwanza, we mjinga nn unaweza kuwa na mdogo kama mie, ebi niachie uwandawazimu wako mie, nikaanza kusema na uyo mfanyakazi wa getini nae ntahakikisha anfikuzwa kazi si kakurubisu kuingia ndani mjinga ww, anaanzaje kukuruhu mtu kam.ww sasa na yeye ntamuonesha ataondoka kweupe kama ulivyoondoka ww hanijuhi kumbe uyoo , yule kaka aknmbia zara unajua nn ebu punguza hasira na unisikilize kaka.yako.mbona uanzungimzika zara , nyumbani nna wadogo zangu wawili kama ww, wa kwanza ni amemaliza form four kama ww na wa wapili ni amemaliza darasa la saba na anatakiwa afanyiwe mandalizi ya kwenda kitdato cha kwanza,

Zara, awa wadogo zangu wote mi ndo napambana nao , na mm ndo kila kitu nyumbani, yani mi ndo naaingaika kwa kila kitu kwa ajili yao, na pia nna mama amabae napambana kwa ajili yake , zara samahani basii mdogo wangu nisamehe sana , naomba nisamehe basi kaka yako niludi kazini plssss, nisamehe sana nategemewa mnoo , naomba sana zara nirudi kazini, nisamehe mdogo wangu, unajua ile siku na mm sikuwa sawa kabisa , nilikuwa na matatizo.ya kifamilia, na vile tukapishana kidogo basi ndo nikajikuta nimekufanyia vile nismehs sana zara ,nisamehe mdogo wngu, hii kazi mi naitegemea sana mwenzako, nisamehe basi mdogo wangu yaishee, nikasema et yaishe kumbe una shidaa eeeh sasa hapa kazi hupati sijali chochote kuhusu, jifunze kusema na shida zako ila apa kazi huna ,unazani mm nna shida ya dereva jeuri kama ww ,thubutu wala sina shida iyo so naomba sana tuheshimiane, basi nikiwa naendelea kumchamba yule kka ,akaja dada amanda ,akasema heeee kumbe unaongea na melvin

Melvin akasema eehh nipo apa bwana madame amanda , nimekuja kuongea kidogo na zara, da amanda akasema ahaa nimesikia maongezi yenu, melvin usijali ntaongea na zara, melvin akasema.sawa ntashukuru sana amnda naonmba sana unisaidie hilo aludishe myo nyuma , mie nikasema bwana nenda akusaidie nn unazani ndo ntakusamehe uludi kunitesa kama ile siku uwa unanitembeza na njaa thubutu hurudi apa , nazani unijuh vizuri , da amanda akanmbia zara ebu acha bwana kisha ingia ndani, kukweli mimk namuheshimu sana da amanda ni kanilea kabisaaa, so huwa namsikiliza kama.mama yangu, tena.kuna vitu mm nimamuweka wazi dada.amanda na si mwengine, mna ata milipovunja ungo mtu wa kwanza kumueleza juu ya hali yangu alikuwa ni dada amanda tu, basi mi nikamuacha pale melvin kasimama kisha nikaingia ndani, nikamuacha dada amanda sasa anaonge ana melvin, na baada ya mda sasa da amanda akaludi ndani, nilikuwa nna hasiraa ,yani mm ndo shida yangu nikikwazika kidogo tu nakuwa nna hasira mnooo, basi da amanda akanmbia aya mdogo wangu mzuri umenuna nn sasa ebu njoo tule twende tukaemee vitu vyako,
Nikasema dada amanda we upo upande wa yle mjinga si ndio, unaona naumoenea et eeh ,da amanda akanisogelea akanambia zara ebu acha moyo wa kujaza viti mdogo wangu sio sawa, unajua katika maisha wati tupo tofauti sana hatufananai, ww mungu amekujalia wazazi wako wana mali na wana maisha mazuri, ila usihisi kila mtu yupo hivyo, yani usihisi kila mtu ana maisha mazuri kama ww, unajua yule melvin kwako ni mkubwa mnooo , unatakiwa kumuheshimu, ukweli ni kwamba ulikosea kumjibu vibaya, nikasema.dada amanda mimi nilikosea nn kumwambia nina njaa nataka kula, dada amanda akanmbia ulimuongelesha vibaya lakin, na yeye amekosea amekufanyia asira amefanya mrembo wetu hajala, ila.sio.sawa , unajua uyu melvin ana miez 4 sasa anafanya kazi apa namjua kwa kiasi

Sehemu ya 7
Sio kijana wa maneno.sana na nikijana mpole na msikivu,na mwenye heshima sana ila ww na yeye mlikosana mala moja tu, ebu msamehe , ongea na wazazi wa mludishe kazini.,si.amekueleza ana majukumu.mengi mnoo, amekwambia anategemewa , na ana wadogo zake kama ww na anawasomesha, ebu muelewe na mpa nafasi ya mwisho, nikasema dada amanda uyu nikimsamehe si ataludi apa.na ataendelea kuniendesha kiukweli mm simtaki dada yani simtaki kabisaa aendelee luwa dereva wangu, da amanda akasema hapana usiseme hivyo mrembo wangu hwana, mbona haufananii na iyo rohoo, ata akija kukuendesha ww atakuwa amejifunza sana, na hawezi kutokukusikiliza kamwe ,atakuheshimu sana sawa mpenzi kuwa na amani basi, na umsamahe melvin bwan, nikajikuta nimecheka ,nimasema mh dada amanda mbona unamuombea sana msamaha au mhumba akoo, dad amanda nae akacheka kisha akasema hapana bwana mimi wama sio mtu wangu yule , ila napenda watu wote, na napenda kusamehe pia ,na ndo mana nimekuomba na ww umsamhe yule kijana , nikasema sawa dada namsehe kwa ajili yako ,asa akiludia tena mimi sitakuwa na msamaha nae, dad amanda akasema hawezi kurudia bwana

Basi dada akanmbia twrnde ukale sasa, twende nikupeleke mjini, nikasema sawa dad, basi kweli tukaludi mezani tukamalizia chai, kisha sasa nikaingia chumbani kwangu nikababadili nguo, nikapendeza mnoo, nikawaka.kweli kweli, nikatoka sebleni nikakakuta dada amanda nae ameshajiandaa, basi akanishika mkono na tukatoka mpaka njee ,kisha tukachukua boda tukaelekea centre kuemeea sasa, basi uko tuliiingia mdukani na nikachagu vitu vyote nilivyokuwa navitaka, nilibeba chupi nyingi, nikachukua visidiria japo viziwa vyangu vidogo ila nilipenda tu, basi nikafungusha vitu vingi vya kidada dada, mpaka pedii nklichukua mana zilinishias na pesa iliyobaki, nikamnunulia dada amanda gauni, basi dad amanda akfurahi sana na akanishukuru mnoo, nikasema wala usijalia dada we ni mlezi wngu uananilea na unanishauri mamabo mengi,

basi dada amanda akanmbia asante kwa kulifahamu ilo, basi mchan ndo tukarudi nyumbani tena apo tulishakula uku uku mjini,so mm nilivyofika, moja kwa moja niliekea chumbani ,nikaenda kujibwaga kitandani kupumzika
Nikajilaliz zangu mpaka jioni saa 1 usiku ndo nikakaamka ,nikaelekea bafuni, nikapiga maji ya baridi, nilipotoka sasa nikavaa vizur ndo nikatoka sebleni namkuta baba anakunywa juice uku anangalia taarifa ya habari, basi nikamsogelea baba , nikamsalimia kwa heshima bab akaitikia ,kisha akanmbia umeamka sasa mana dada amanda alinambia umelala umechoka mlienda mjini leo, nikasema.ndio dady nimezulula sana basi nikahisi miguu inauma sana , baba akcheka akasema ila si ufanye mazoezi mrembo wangu, nikasema yes dady , baba akanmbia aya nenda kwenye gari kachukue mizgo yako ,nikasema.woow dady basi haraka nikatoka njee yani parkimg ya magri ya baba, basi siti ya mbele, woow nikatuka mfuko nikaunyanyua nikarudi nao mpak ndani kwa mbwembe, jamani ndo nikafumgua zasa ,ni kulikuwa na PC mpyaaa na simu nzuri kubwa ya smart, nilifurahi mnooo nikamkumbatia baba yangu na nikambusu, baba akanmbia napenda sana mtoto wangu ukifurahi,

Basi nikamshukuru sana baba kusha nikabeba vutu vyangu nikaenda chunbani kw adad amanda nakwambia, basi nikamkuta dad amanda anasoma vutabu, mi tangu namjua dada amanda anapenda sana kusoma vitabu, basi nikamwambia dada ona vitu vyangu, apo nafanya uku navitoa ,nimasema umeona hivi ni kaninunuliwa baba nnafuraha sana , da amanda akasema wooow ni vizur sna jamani nikasema.thans dada, basi da amanda akanmbia lakini umeshaongea na baba kuhus melvin, nikasema hapana sijaongea nae, nilishasahau, dada amanda akanmbia no usisahau bwana ebu nenda kwa baba kaongee nae kipenzi sawa? , nkasema.sawa hakuna shida basi nikaweka vitu vyangu chumbani kwa dada amanda kisha sasa nikarudi kwa baba, baba aliponiona akanmbia vpo mrembo wangu au umekuja kumulizia mama,na kama ni mama mama alinambia leo ana wagonjwa wengi so atachelewa san kuridi nikasema no dady mm nimekuja na suala lengine ,bana aknambia okey karibu mrembo wangu una suala gani? Ebu nmboe baba yako

⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️
⚪️⚪️

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

ZARA❤️ Sehemu ya 6 na 7



__________
Mwandishi; LISSA WA HURU MEDIA

Khaaaaa nilichukia nikamuangalia uyu kaka kwa dharau na hasira kwli kweli, kwanza nikampandisha kisha nikamshusha , nikamuuliza eeeh umesahau nn, au unadai mshahara apa ulikuwa hujamaliziwa kupewa ndo umekuja kuufata ebu nambie vizuei kaka , yule kaka akanmbia hapana zara, nimekuja kuongea na ww kiamani mdogo wangu, nikasema.we mjinga kumbe , nani mdogo wako ,nani mdogo wako kwanza, we mjinga nn unaweza kuwa na mdogo kama mie, ebi niachie uwandawazimu wako mie, nikaanza kusema na uyo mfanyakazi wa getini nae ntahakikisha anfikuzwa kazi si kakurubisu kuingia ndani mjinga ww, anaanzaje kukuruhu mtu kam.ww sasa...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/zara-sehemu-ya-6-na-7

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle #BeautyBattle #AfricaVsWorld #Tanzania #Kenya #Congo #Rwanda #Burundi #SouthAfrica #USA #VoteNow #DebateTime #Trending 🐓 Follow the ommy khan Tanzania channel on WhatsApp: https://whatsapp.com/channel/0029VbCg0JyFsn0hCN1ByD44

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi zara-sehemu-ya
ZARA❤️ Sehemu ya 8 na 9
ZARA❤️ Sehemu ya 8 na 9
ZARA❤️ Sehemu ya 10
ZARA❤️ Sehemu ya 10
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

NAKUPENDA BILA MIPAKA 151 -- 157

NAKUPENDA BILA MIPAKA 151 -- 157

367
NAKUPENDA BILA MIPAKA SEASON FOUR 145 - 150

NAKUPENDA BILA MIPAKA SEASON FOUR 145 - 150

336
ZARA❤️ Sehemu ya 8 na 9

ZARA❤️ Sehemu ya 8 na 9

212
ZARA❤️ Sehemu ya 6 na 7

ZARA❤️ Sehemu ya 6 na 7

206
BILLIONS OF LOVE💓💓   SEHEMU YA "16_17"💓

BILLIONS OF LOVE💓💓 SEHEMU YA "16_17"💓

154
IN LOVE WITH ZURI* *12&13*

IN LOVE WITH ZURI* *12&13*

124
💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 💋 (MWISHO SEASON 1) 19 -- 20

💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 💋 (MWISHO SEASON 1) 19 -- 20

109
*IN LOVE WITH ZURI* *Sehemu ya 11*

*IN LOVE WITH ZURI* *Sehemu ya 11*

87
ZARA❤️ Sehemu ya 10

ZARA❤️ Sehemu ya 10

66
Zamani kidogo nilikuwa darasa la saba siku moja mama aliongea na Mimi akanambia baba ako anarudi leo

Zamani kidogo nilikuwa darasa la saba siku moja mama aliongea na Mimi akanambia baba ako anarudi leo

36

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

12.06K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.74K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.92K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.7K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

3.14K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

3.05K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.91K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.88K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.78K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.73K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

****

  • NAKUPENDA BILA MIPAKA 161 -- 164 29-03-2026 00:00
Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
IN LOVE WITH ZURI* *12&13* Post Mpya
IN LOVE WITH ZURI* *12&13*
@mjukuu LIVE

* SONGA NAYO....... Nilisema huku nikimkabizi ule mfuko, zuri alinitazama sana mpaka ule ujasiri wote niliokuwa nao ulianza kupotea kidogo kidogo "Unasema..??" Aliniuliza "Am nimekuletea hii hapa zawadi.." "OH my God ni yangu..??" Aliniuliza tena huku akitabasamu,...

*IN LOVE WITH ZURI* *Sehemu ya 11* Post Mpya
*IN LOVE WITH ZURI* *Sehemu ya 11*
@mjukuu LIVE

SONGA NAYO...... Haraka haraka nilitoka nje ambako nilimkuta Ethan akiwa ananisubiri, bila kusubiri chochote niliingia kwenye gari na safari ya kurudi nyumbani ilianza, ni mida ya saa moja na nusu hivi "Dah...

ZARA❤️ Sehemu ya 10 Post Mpya
ZARA❤️ Sehemu ya 10
@mjukuu LIVE

__________ Mwandishi; LISSA WA HURU MEDIA ila sasa ni alijuwa na heshima sana na mimi, yani alijirejebisha kweli kweli , waha hakuwa annifanyia ujeuri kabisaa,yani ata kidogo hapana ,...

ZARA❤️ Sehemu ya 8 na 9 Post Mpya
ZARA❤️ Sehemu ya 8 na 9
@mjukuu LIVE

__________ Mwandishi; LISSA WA HURU MEDIA Nikasema.dady sio kuhusu mama ni kuhusu yule dereva melvin, baba aksema ahaa yule derebaa si tumeshamfukuza jamani zara nn sasa, nikasema baba mi nimemuonea huruma ,nahisi...

ZARA❤️ Sehemu ya 6 na 7 Post Mpya
ZARA❤️ Sehemu ya 6 na 7
@mjukuu LIVE

__________ Mwandishi; LISSA WA HURU MEDIA Khaaaaa nilichukia nikamuangalia uyu kaka kwa dharau na hasira kwli kweli, kwanza nikampandisha kisha nikamshusha , nikamuuliza eeeh umesahau nn, au unadai mshahara apa ulikuwa...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 158 -- 160 Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 158 -- 160
@mjukuu LIVE

:158 Aliendesha na kuniambia “nisamehe kwa kukuteka asubuhi, nisamehe maneno yalinitoka asubuhi lakini ilikuwa lazima nifanye vile. Wewe katoto ni kabishi sana. Huna hata huruma unataka mtu mzima mpaka nipige ukunga.” Nilimtazama,...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 151 -- 157 Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 151 -- 157
@mjukuu LIVE

:151 Kwenye akili yako vuta picha zile Abaya za kituruki, halafu ziwe tatu, nzuriiiiiii, rangi nyeusi, rangi nyeupe, na zambarau fulani imechanganyika, halafu kuna gauni mbili za ukali, eenh, eenh sijui...

NAKUPENDA BILA MIPAKA SEASON FOUR 145 - 150 Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA SEASON FOUR 145 - 150
@mjukuu LIVE

:146 Nilimtazama natabasamu, nakuambia uoga mimi sina, sina kabisa maana nishajua huyu Dokta anapambania mahali ahitajiki. Kwanza angejua raha mimi nilikuwa naipata hapa ameniharibia mimi. Si unajua unampenda mtu huwezi kumwambia halafu...

BILLIONS OF LOVE💓💓   SEHEMU YA "16_17"💓 Post Mpya
BILLIONS OF LOVE💓💓 SEHEMU YA "16_17"💓
@majario LIVE

( alikuja kama muuza chai kumbe ni Billionea) Alikunywa dawa zake akatulia 🥹nilikuwa namuonea huruma sana yule mkaka jmn 🥹 Muda huo huo wateja wakaja watatu , mimi sasa bize...

Zamani kidogo nilikuwa darasa la saba siku moja mama aliongea na Mimi akanambia baba ako anarudi leo Post Mpya
Zamani kidogo nilikuwa darasa la saba siku moja mama aliongea na Mimi akanambia baba ako anarudi leo
@majario LIVE

toka safari(Hawa ni mama na baba angu wa kunizaa) mama alinambia baba akifika tuu chochote atakachokwambia kubali nikamwambia Kuna nini akanambia Nisikilize Mimi nikamwambia nakusikiliza akasema leo utalala chumbani...

💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 💋 (MWISHO SEASON 1) 19 -- 20 Post Mpya
💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 💋 (MWISHO SEASON 1) 19 -- 20
@majario LIVE

19 Aliingia kaka yake na Glad Mimi ndio nilikuwa namalizia kupika jikoni, G nimekuletea ice-cream 🍨🍦 unayopenda nilinyamaza kimya hadi alipokuja jikoni. Glad ametoka mara moja nipo mimi peke yangu nilikuwa namalizia...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 141 - 144 MWISHO WA SEASON THREE Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 141 - 144 MWISHO WA SEASON THREE
@majario LIVE

:141 Nikamwambia kwa ujumbe “Boss ni usiku sana, nenda nyumbani, tutaongea kesho naomba nipumzike.” Akanijibu “sitaondoka hapa mpaka uje kunisikiliza.” Nikamuonyesha Dorice, Dorice akasema “kamsikilize Labda ni muhimu.” Nikamwambia Dorice “kusema kweli mimi roho...

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 15 Post Mpya
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 15
@majario LIVE

Mwandishi:lissa mwalla Simu ilikatwa,nilichanganyikiwa,iv nimeskia kweli au ni mawenge yangu?keanu ananisaliti?yani maneno yake makavu yote aliyoniambia hayakua na maana sikuyajali kabisa nilijali mwanamke alieongea.nikasema hapana ngoja,nikapiga simu iliita ikakatwa,nilipiga tena ikakatwa,nikapiga...

Kinachomtisha Mgosi ni kuwa Edna Lema anawachezaji walioonekana wa kawaida Simba Post Mpya
Kinachomtisha Mgosi ni kuwa Edna Lema anawachezaji walioonekana wa kawaida Simba
@majario LIVE

ila sasa wapo kwenye kiwango cha hali ya juu kiasi cha baadhi kuitwa timu zao za taifa. Diana Mnally Ritticia Nabbosa Precious Christopher Wincate Kaari Aisha Djafar Edna Lema...

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 14 Post Mpya
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 14
@majario LIVE

Mwandishi:lissa mwalla Mmmh nilihisi utumbo unacheza, kwa nn haruhusiwi ndoa sasa? Au ameoa? Nilijiuliza sana, keanu akasema sijakuelewa kwa nn siruhusiwi kuoa sasa? Akasema kuna mashart katika kila kanisa ili...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest