Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

*IN LOVE WITH ZURI* *Sehemu ya 11*
Gonga94 · Stories

*IN LOVE WITH ZURI* *Sehemu ya 11*

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


SONGA NAYO......

Haraka haraka nilitoka nje ambako nilimkuta Ethan akiwa ananisubiri, bila kusubiri chochote niliingia kwenye gari na safari ya kurudi nyumbani ilianza, ni mida ya saa moja na nusu hivi

"Dah kuna watu wazuri walah.."

Tukiwa njiani tunaelekea nyumbani, Ethan alianza kuongea nilijua tu amevutiwa na Nancy hakuna kingine

"Ah unajua Ethan me hapa nilipo nimechoka sana, nahitaji kupumzika tu, hizo sifa ulizoziona kwa Nancy nenda ukamuadithie kaka Idress..."

"Nilijua tu, yani wewe ndio unachoniboa hicho.."

Ethan alilalamika, kwa kuwa sikutaka kuzungumza nae nikabakia kimya huku nikiendesha gari langu taratibu, lakini kichwani mwangu nilikuwa namuawaza Zuri tu namna ambavyo nimevutiwa nae huyu mtoto

Hatimae bwana kwa uwezo wa mungu tulifika nyumbani salama Kabisa, kwa kuwa tulikuwa tumekula huko tulikotoka hakukuwa na haja ya sie kula, zaidi tulijiunga seblen kuangalia taarifa ya habari

Muda wote hayo yanaendelea sikuwa natulia kabisa kwenye sofa, yani macho yangu yalikuwa kwa zuri tu na sio kwenye TV, mwamba nilikuwa nimekamatika haswa kwa huyu binti walah

Hawa watoto wa kipemba wakiamua kumkamata mtu wanakukamata haswaa huwezi kuchomoa au kufurukuta labda uwe mzee wa totozi, ila napo lazima ukamatike tu

'Mama me naenda kupumzika.."

Zuri alimuaga mama yangu

"Sawa uwe na usiku mwema Zuri..."

'Nawe pia.."

Alisema kisha na bila kusubiri akashika njia kuelekea chumbani, huku nyuma mie nikibaki nikimtazama tu huo msabwanda wake na kubaki nikimeza mate kama sina akili nzuri

"Goodnight mom.."

Baada ya kuhakikisha zuri ameishia maeneo ya pale seblen na mimi nikamwambia mama usiku mwema, mama bila hinaya akajibu na bila kusubiri nikashika njia mpaka chumbani kwangu na kubaki nikizunguka tu

Nilizunguka kama dakika tano hivi nikasogelea

kabati langu na kutoa moja ya gauni, zuri sana hili gauni nililinunuaga miezi miwili iliyopita kwa ajiri ya kumkabizi Zuri

Ila kutokana na aibu nilizokuwa nazo nilishindwa

kabisa hata kumkabizi zawadi yake, sasa siku hii ndio nimelitoa baada ya kukaa sana kwenye kabati

Basi nikalichukua na kuliweka kwwenye mfuko flan hivi ambao ni maalumu kwa zawadi kisha nikaingia bafuni na kuoga, baada ya kuoga vizuri nikapiga pamba zangu nilijua fika Zuri akiniona hawezi kuchomoa

Basi nikavaa zangu bila kusahau unyunyu aweee nikajipulizia pale kisha nikabeba mfuko wangu wa zawadi na kutoka, ile natoka tu nakutana uso kwa uso na Ethan nae ndio alikuwa anaenda chumbani kwake kupumzika

"Mh, unaenda kwa shemu nini..??"

Huyu kijana huwa hawezi kukaa kimya kabisa, nilichofanya ni kumkalia kimya kisha nikaondoka zangu nikimuacha akiwa ananiangalia tu

Basi bwana nailiweza kufika kwenye chumba wanachotumia na kuanza kujiuliza uliza sijul nibishe au vipi, nilikaa pale kama dakika tano nikaamua kugonga mlango

"Ingia..."

Sauti tamu ya Zuri kutoka chumbani ilisikika, sikutaka kuingia kirahisi hivyo nikagonga mlango mpaka mara tatu akatoka akiwa amechukia sana

"Ila Anita sijui unapenda kunisumbua tu, mtu nakwambia ingia bado unaendelea kugo..."

Alinyamza baada ya kuniona ni mimi

"Ah kaka Frank..??"

Aliishia kuongea hivyo, kwa muda huo mimi mikono yangu yote niliiweka nyuma ya mgongo wangu, hivyo hakuona ile zawadi

"Nimekusumbua ee..??"

Nilimuuliza

"Ah hapana hapana.."

'Ohoo sawa me nilikuwa napita tu ila kuna zawadi yako nimekuletea hapa, nilienda kule kutembea tembea nikaliona hili gauni nikaona so mbaya kama nikikuletea..."

Nilisema huku nikimkabizi.......

Itaendelea..

Maoni

You're not logged in


Tangazo - My true love mwanzo Hadi Mwisho
My true love mwanzo Hadi Mwisho
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

*IN LOVE WITH ZURI* *Sehemu ya 11*



SONGA NAYO......

Haraka haraka nilitoka nje ambako nilimkuta Ethan akiwa ananisubiri, bila kusubiri chochote niliingia kwenye gari na safari ya kurudi nyumbani ilianza, ni mida ya saa moja na nusu hivi

"Dah kuna watu wazuri walah.."

Tukiwa njiani tunaelekea nyumbani, Ethan alianza kuongea nilijua tu amevutiwa na Nancy hakuna kingine

"Ah unajua Ethan me hapa nilipo nimechoka sana, nahitaji kupumzika tu, hizo sifa ulizoziona kwa Nancy nenda ukamuadithie kaka Idress..."

"Nilijua tu, yani wewe ndio unachoniboa hicho.."

Ethan alilalamika, kwa kuwa sikutaka kuzungumza nae nikabakia kimya huku nikiendesha gari langu taratibu, lakini kichwani mwangu nilikuwa namuawaza Zuri tu namna ambavyo nimevutiwa nae huyu mtoto

Hatimae bwana kwa...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/in-love-with-zuri-sehemu-ya-11

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle #BeautyBattle #AfricaVsWorld #Tanzania #Kenya #Congo #Rwanda #Burundi #SouthAfrica #USA #VoteNow #DebateTime #Trending 🐓 Follow the ommy khan Tanzania channel on WhatsApp: https://whatsapp.com/channel/0029VbCg0JyFsn0hCN1ByD44

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi in-love-with-zuri-sehemu-ya
IN LOVE WITH ZURI* *Sehemu YA SITA*
IN LOVE WITH ZURI* *Sehemu YA SITA*
*IN LOVE WITH ZURI*  *SEHEMU YA 14*
*IN LOVE WITH ZURI* *SEHEMU YA 14*
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

NAKUPENDA BILA MIPAKA 151 -- 157

NAKUPENDA BILA MIPAKA 151 -- 157

405
NAKUPENDA BILA MIPAKA SEASON FOUR 145 - 150

NAKUPENDA BILA MIPAKA SEASON FOUR 145 - 150

370
ZARA❤️ Sehemu ya 8 na 9

ZARA❤️ Sehemu ya 8 na 9

262
ZARA❤️ Sehemu ya 6 na 7

ZARA❤️ Sehemu ya 6 na 7

234
NAKUPENDA BILA MIPAKA 158 -- 160

NAKUPENDA BILA MIPAKA 158 -- 160

178
BILLIONS OF LOVE💓💓   SEHEMU YA "16_17"💓

BILLIONS OF LOVE💓💓 SEHEMU YA "16_17"💓

174
IN LOVE WITH ZURI* *12&13*

IN LOVE WITH ZURI* *12&13*

153
💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 💋 (MWISHO SEASON 1) 19 -- 20

💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 💋 (MWISHO SEASON 1) 19 -- 20

115
*IN LOVE WITH ZURI* *Sehemu ya 11*

*IN LOVE WITH ZURI* *Sehemu ya 11*

102
*IN LOVE WITH ZURI*  *SEHEMU YA 14*

*IN LOVE WITH ZURI* *SEHEMU YA 14*

81

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

12.06K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.74K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.92K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.7K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

3.14K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

3.05K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.91K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.88K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.78K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.73K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

****

  • NAKUPENDA BILA MIPAKA 161 -- 164 29-03-2026 00:00
Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
*IN LOVE WITH ZURI*  *SEHEMU YA 14* Post Mpya
*IN LOVE WITH ZURI* *SEHEMU YA 14*
@majario LIVE

Basi bwana siku hiyo chai ilishuka bila wasiwasi kabisa, maana zuri kila muda alikuwa ananijali sana, utasikia frank nikuletee maji?? Mara ohooo kaka Frank umepaliwa jamani pole Yani alikuwa anaongea huyu...

IN LOVE WITH ZURI* *12&13* Post Mpya
IN LOVE WITH ZURI* *12&13*
@mjukuu LIVE

* SONGA NAYO....... Nilisema huku nikimkabizi ule mfuko, zuri alinitazama sana mpaka ule ujasiri wote niliokuwa nao ulianza kupotea kidogo kidogo "Unasema..??" Aliniuliza "Am nimekuletea hii hapa zawadi.." "OH my God ni yangu..??" Aliniuliza tena huku akitabasamu,...

*IN LOVE WITH ZURI* *Sehemu ya 11* Post Mpya
*IN LOVE WITH ZURI* *Sehemu ya 11*
@mjukuu LIVE

SONGA NAYO...... Haraka haraka nilitoka nje ambako nilimkuta Ethan akiwa ananisubiri, bila kusubiri chochote niliingia kwenye gari na safari ya kurudi nyumbani ilianza, ni mida ya saa moja na nusu hivi "Dah...

ZARA❤️ Sehemu ya 10 Post Mpya
ZARA❤️ Sehemu ya 10
@mjukuu LIVE

__________ Mwandishi; LISSA WA HURU MEDIA ila sasa ni alijuwa na heshima sana na mimi, yani alijirejebisha kweli kweli , waha hakuwa annifanyia ujeuri kabisaa,yani ata kidogo hapana ,...

ZARA❤️ Sehemu ya 8 na 9 Post Mpya
ZARA❤️ Sehemu ya 8 na 9
@mjukuu LIVE

__________ Mwandishi; LISSA WA HURU MEDIA Nikasema.dady sio kuhusu mama ni kuhusu yule dereva melvin, baba aksema ahaa yule derebaa si tumeshamfukuza jamani zara nn sasa, nikasema baba mi nimemuonea huruma ,nahisi...

ZARA❤️ Sehemu ya 6 na 7 Post Mpya
ZARA❤️ Sehemu ya 6 na 7
@mjukuu LIVE

__________ Mwandishi; LISSA WA HURU MEDIA Khaaaaa nilichukia nikamuangalia uyu kaka kwa dharau na hasira kwli kweli, kwanza nikampandisha kisha nikamshusha , nikamuuliza eeeh umesahau nn, au unadai mshahara apa ulikuwa...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 158 -- 160 Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 158 -- 160
@mjukuu LIVE

:158 Aliendesha na kuniambia “nisamehe kwa kukuteka asubuhi, nisamehe maneno yalinitoka asubuhi lakini ilikuwa lazima nifanye vile. Wewe katoto ni kabishi sana. Huna hata huruma unataka mtu mzima mpaka nipige ukunga.” Nilimtazama,...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 151 -- 157 Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 151 -- 157
@mjukuu LIVE

:151 Kwenye akili yako vuta picha zile Abaya za kituruki, halafu ziwe tatu, nzuriiiiiii, rangi nyeusi, rangi nyeupe, na zambarau fulani imechanganyika, halafu kuna gauni mbili za ukali, eenh, eenh sijui...

NAKUPENDA BILA MIPAKA SEASON FOUR 145 - 150 Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA SEASON FOUR 145 - 150
@mjukuu LIVE

:146 Nilimtazama natabasamu, nakuambia uoga mimi sina, sina kabisa maana nishajua huyu Dokta anapambania mahali ahitajiki. Kwanza angejua raha mimi nilikuwa naipata hapa ameniharibia mimi. Si unajua unampenda mtu huwezi kumwambia halafu...

BILLIONS OF LOVE💓💓   SEHEMU YA "16_17"💓 Post Mpya
BILLIONS OF LOVE💓💓 SEHEMU YA "16_17"💓
@majario LIVE

( alikuja kama muuza chai kumbe ni Billionea) Alikunywa dawa zake akatulia 🥹nilikuwa namuonea huruma sana yule mkaka jmn 🥹 Muda huo huo wateja wakaja watatu , mimi sasa bize...

Zamani kidogo nilikuwa darasa la saba siku moja mama aliongea na Mimi akanambia baba ako anarudi leo Post Mpya
Zamani kidogo nilikuwa darasa la saba siku moja mama aliongea na Mimi akanambia baba ako anarudi leo
@majario LIVE

toka safari(Hawa ni mama na baba angu wa kunizaa) mama alinambia baba akifika tuu chochote atakachokwambia kubali nikamwambia Kuna nini akanambia Nisikilize Mimi nikamwambia nakusikiliza akasema leo utalala chumbani...

💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 💋 (MWISHO SEASON 1) 19 -- 20 Post Mpya
💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 💋 (MWISHO SEASON 1) 19 -- 20
@majario LIVE

19 Aliingia kaka yake na Glad Mimi ndio nilikuwa namalizia kupika jikoni, G nimekuletea ice-cream 🍨🍦 unayopenda nilinyamaza kimya hadi alipokuja jikoni. Glad ametoka mara moja nipo mimi peke yangu nilikuwa namalizia...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 141 - 144 MWISHO WA SEASON THREE Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 141 - 144 MWISHO WA SEASON THREE
@majario LIVE

:141 Nikamwambia kwa ujumbe “Boss ni usiku sana, nenda nyumbani, tutaongea kesho naomba nipumzike.” Akanijibu “sitaondoka hapa mpaka uje kunisikiliza.” Nikamuonyesha Dorice, Dorice akasema “kamsikilize Labda ni muhimu.” Nikamwambia Dorice “kusema kweli mimi roho...

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 15 Post Mpya
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 15
@majario LIVE

Mwandishi:lissa mwalla Simu ilikatwa,nilichanganyikiwa,iv nimeskia kweli au ni mawenge yangu?keanu ananisaliti?yani maneno yake makavu yote aliyoniambia hayakua na maana sikuyajali kabisa nilijali mwanamke alieongea.nikasema hapana ngoja,nikapiga simu iliita ikakatwa,nilipiga tena ikakatwa,nikapiga...

Kinachomtisha Mgosi ni kuwa Edna Lema anawachezaji walioonekana wa kawaida Simba Post Mpya
Kinachomtisha Mgosi ni kuwa Edna Lema anawachezaji walioonekana wa kawaida Simba
@majario LIVE

ila sasa wapo kwenye kiwango cha hali ya juu kiasi cha baadhi kuitwa timu zao za taifa. Diana Mnally Ritticia Nabbosa Precious Christopher Wincate Kaari Aisha Djafar Edna Lema...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest