Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

ZARA❤️ Sehemu ya 8 na 9
Gonga94 · Stories

ZARA❤️ Sehemu ya 8 na 9

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

__________
Mwandishi; LISSA WA HURU MEDIA

Nikasema.dady sio kuhusu mama ni kuhusu yule dereva melvin, baba aksema ahaa yule derebaa si tumeshamfukuza jamani zara nn sasa, nikasema baba mi nimemuonea huruma ,nahisi ata kuwa anategemewa labda au labda ana familia yake inamtegemea, so nimeona tu baba umrudishe kazini, baba aksema mh ni kweli, utawezana nae yule mtoto wangu na ameshakukwaza, hapana sikia achana nae yule, natafuta tu dereva mwengin ndo atakuwa anakupeleka na kukuludisha kwrnye masomo ya pro form five mtoto wangu mana mm najua kudrive, na mama anaweza kudruve, so dereva ni kwa ajili ya emrgency na kumpeleka dada amanda sokoni na vutu mbali.mbali vya siokoni, na mostly ni kwa ajkli yajo kwa kipindi iki ambacho tupo nyumbani lakini, nikasema baba mi nishaindoa na kinyongo juu ya yule dereva na mludishe tu kazini yule.yule nimeomuonea hurama mi wala sitaki dereva mwengine ,

Baba kaningalia san kisha aksema sawa mtoto wangu neno lako kwangu ni sheria hakuna shida ntafanya hivyo mtoto wangu, nikasema sawa dady thanks nakupenda sana, baba aksema mh umekuwa sasa unaonea mpaka watu huruma na unawafikilia na wengine, mh baba angejua kuwa kanishauri dada amanda mi wala sijuwa na mpnga na kumsahau nilishamsahau wala asingemaliza maneno angenyamaza tu kimyaa, basi baada ya kuongea na baba nikaludi ndani sasa kwa dada amanda, nikamwambia dada teali nishaongea na baba kasema atamlejesha ila mm simuamini yule melvun namuona kama ana hasira hasira ,dada amanda akasema sikia melvin hana shida yule utamzoea mnoo na ni mtu mzuri sana , ila kwa sasa ukimuona usimuite melvin, yule ni mkubwa kwako, mm si unanita dada amanda, basu na yule inabidi umuite kaka melvin sawa mana amekuoita sna kiumli,nikasema sawa dada, basi mie nikabaki tu chumbani napigia story za apa na pale na dada amanda, basi tukongea sana na tukaongea mengi mpak nilipohisi njaa mida ya saa 3 usiku, ndo tukenda dining kupata chakura , ila baba wala hakula alisema anamsubir mama, na wazazi wangh ndo walo hivi always kwenye kula huwa wanapenda wale pamoja sanaa, so kma mmoja ni kawagi kuridi nyumbani ni lazima atamsubirj mwenzie ili waje kula kwa pamoja

Basi baada ya chakura sasa mimi nikaelekea chumbani kwangu, nikatoa simu yangu, na uzuri ilishakuwa na laini na baba ndo aljnisajilia kabisaa , basi nikachukua na karatasi ambayo niliandika namba za rafiki zangu wa shuleni na nikaanza kuwasiliana nao, mie sio kwamba sijuh kutumia simu, no mm kutumia hizi simu kubwa naweza mnoo, sema tu wazazi bado hawakuwa wameniruhush kutumia simu kwa kipndi iko ila kwa sasa ahaaa nainjoy sana , badsi nililala.usku mwingi mnooo yani usiku mkubwa kweli kweli sio sir na yote sababu nilikuwa npiga sna story za shoga yangui,

na asubuh na mapema niliendelea na ratiba zangu ila mida ya mchana mama yangu akaomba kuongea na mm sasa , na wala sikuwa na shida nikaenda kumsikiliza sasa, mama aksniukiniuliza baba kanmbia kuwa umemsamehe yule melvin na unataka aludishwe kazini? Nikasema yaaa mama mi naona tu aludi wala sioni shida, mana nimehisi huwenda ata kuwa ana majukumu mengi na uwenda alikuwa anategemea ile kazi so mrudisheni tu pia naamini atakuwa kashjifunza sasa, na hatanizingua tena , mama akatabasamu akasema mh amanda ananilelwa mwanangu vizuri, mi najua ni amanda ndo kakushauri umsamehe yule kijana,nikatabasamu kisha nikasem ni kweli mama ni yeye ndo kanishauri lakini ni kitu kizuri na nimeamua kumsamhe fu mama akanambia sawa mrembo wangu wala hakuna shidaaa ntampigia simu na ataingia kazini mana ata mm huwa nanisaidiaga kunipeleka na kunifata kila siku , sipendi kudrive kwel, nikasema swa mama ,basi nilivyomaliza kuongea na mama nikanyanyuka na nimaenda kuendelea na ratiba zangu za kila siku, na kwa sasa nklikuwa ndo najifunza kupika na dada amanda so mala nyingi nakiwa jikoni najifundisha kupika na dada.amanda ndo ananifundisha kila kitu
Sehemu ya 9
nakumbuka zilipita siku 2 , na siku ya 3 ndo sasa melvin akirudisha kazin, na nakumbuka alifika nyumbani mida ya saa 11 jioni naona mama ndo alimuita uo mdaa, basi mama aliniita na mm na akatukutanisha ple na melvin, hii siku uyu melivin ni alipoa tena alikuwa na sula ya kiple kweli kweli, kma sio yeye alitekuwa ananijeulia ile siku, nyoo chezea ugari ww, nahisi uyu alikuwa hanijui vizuri kichwa changu ,mi mwenyewe mshnzi kama yeya, na ndo akanijua sasa, naona kaelewa kuwa mm ndo nasikilizwa mnoo na wazazi kjliko chochote, basi mama akmwamvia melvin umekuwa ukinitumia sms nyingi za kila lep, kuniomba msamaha na nikurudishe kazini si ndoa?

melivin aksema ndio mama ,mama aksema sasa basi nimekulusisha kazi kuanzia leo lakini yote ni huruma ya binti yangu, ni yeye ndo amekusamwhe na ameluonea huruma na amenambia nimupe chance ya mwishi sasa ukuzingua tena ,na ukamfanyia mtoro wangu ajisikie vibaya apo melvin sijuh kama utakuwa na nafasi nyengine yani na kufukuza na kazi ,melvina aksema.asnte sana mama nahaadi apa ayo mambo hayatajitokeza tena na htafanya kazi vizur leo mama, mama akasema sawa

Basi melvina akaniangalia kisha aksema zara asante sana mdogo wangu asante sana, kuna mda na sisi wakubwa tunawakosea nyie wadogo, nakiri kwako zara kwa ile siku nilijukosea naomba sana unisamehe, nikasema.sawa nimekusamehe na ndo mana nimeongea. Na mma yangu akuludishe kazni sasa ikijitokeza tena, mimi sitakuwa na msamha na wewe tena malivin ndo ukweli, malvin akasema naelewa zara ma wala hakutakuwa na shida, mama aksema okey melvin keshi unanza kazi kesho asubuh saa 2 uwe apaa, melvin aksema sawa mama asante sana kisha akanyanyuka akaondoka zake sasa, na mimi nikalekea kwa dad amanda kupiga nae stiry mbili tatu, basi na kesho yake by saa 2 kamili melvin akaja na akampeleka kazini mama, na kuanzia apo kazi yake kubwa ilikua ni kumpleka kazini mama na kumrudisha mana mama hapendi kuendesha mwenyewe sana, basi apo na sisi, yani.mm ma dada amanda tukiw na safari, basi uyu melvin akawa anatupeleka bila ya shida kabisaaa , na wala hakuwa ananioneshea kusrini kabisaa, na tena alikuwa anapenda sana kuongea na. Dada amanda ,ila mm nilikuwa najinyamazia zangu kimyaaa wala sikuawa na stoey na melvin kabisaaaa

Basi mm nilipumzika nyumbani weeek 2 , na week ya tatu mzee akaninazisha sasa pre form five, uko mjini, sio mbali san na kwetu ni kama mwendo wa dakika 30 ukitumia gari, na sasa akawa uyu melvin ndo ananipeleka na kuniludisha alikuwa anaanifta asubuh saa 2 anaipeleka kwenye kutuo, na anafata jioni ni saa 10 kisha ananiludisha nyjmbani, ikawa hivyo na mama anampeleka kazini, yani hivyo yeye ndo melvina akawa ndo dereva wetu ata dada amanda akitaka kumpeke sokoni ama kuemee anampeleka, kukwrli mm sikuwa na ongea nae kabisaa uyu kaka , na nikiwa ndani ya gari.kila mtu na mmbo yake , nakuwa busy na simu yangu mpaka tunaika myumbni,

⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️
⚪️⚪️

Maoni

You're not logged in


Tangazo - My true love mwanzo Hadi Mwisho
My true love mwanzo Hadi Mwisho
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

ZARA❤️ Sehemu ya 8 na 9


__________
Mwandishi; LISSA WA HURU MEDIA

Nikasema.dady sio kuhusu mama ni kuhusu yule dereva melvin, baba aksema ahaa yule derebaa si tumeshamfukuza jamani zara nn sasa, nikasema baba mi nimemuonea huruma ,nahisi ata kuwa anategemewa labda au labda ana familia yake inamtegemea, so nimeona tu baba umrudishe kazini, baba aksema mh ni kweli, utawezana nae yule mtoto wangu na ameshakukwaza, hapana sikia achana nae yule, natafuta tu dereva mwengin ndo atakuwa anakupeleka na kukuludisha kwrnye masomo ya pro form five mtoto wangu mana mm najua kudrive, na mama anaweza kudruve, so dereva ni kwa ajili ya emrgency na kumpeleka...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/zara-sehemu-ya-8-na-9

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle #BeautyBattle #AfricaVsWorld #Tanzania #Kenya #Congo #Rwanda #Burundi #SouthAfrica #USA #VoteNow #DebateTime #Trending 🐓 Follow the ommy khan Tanzania channel on WhatsApp: https://whatsapp.com/channel/0029VbCg0JyFsn0hCN1ByD44

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi zara-sehemu-ya
ZARA❤️ Sehemu ya 6 na 7
ZARA❤️ Sehemu ya 6 na 7
ZARA❤️ Sehemu ya 10
ZARA❤️ Sehemu ya 10
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

NAKUPENDA BILA MIPAKA 151 -- 157

NAKUPENDA BILA MIPAKA 151 -- 157

369
NAKUPENDA BILA MIPAKA SEASON FOUR 145 - 150

NAKUPENDA BILA MIPAKA SEASON FOUR 145 - 150

336
ZARA❤️ Sehemu ya 8 na 9

ZARA❤️ Sehemu ya 8 na 9

214
ZARA❤️ Sehemu ya 6 na 7

ZARA❤️ Sehemu ya 6 na 7

209
BILLIONS OF LOVE💓💓   SEHEMU YA "16_17"💓

BILLIONS OF LOVE💓💓 SEHEMU YA "16_17"💓

155
IN LOVE WITH ZURI* *12&13*

IN LOVE WITH ZURI* *12&13*

125
💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 💋 (MWISHO SEASON 1) 19 -- 20

💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 💋 (MWISHO SEASON 1) 19 -- 20

109
*IN LOVE WITH ZURI* *Sehemu ya 11*

*IN LOVE WITH ZURI* *Sehemu ya 11*

87
ZARA❤️ Sehemu ya 10

ZARA❤️ Sehemu ya 10

69
Zamani kidogo nilikuwa darasa la saba siku moja mama aliongea na Mimi akanambia baba ako anarudi leo

Zamani kidogo nilikuwa darasa la saba siku moja mama aliongea na Mimi akanambia baba ako anarudi leo

36

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

12.06K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.74K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.92K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.7K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

3.14K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

3.05K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.91K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.88K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.78K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.73K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

****

  • NAKUPENDA BILA MIPAKA 161 -- 164 29-03-2026 00:00
Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
IN LOVE WITH ZURI* *12&13* Post Mpya
IN LOVE WITH ZURI* *12&13*
@mjukuu LIVE

* SONGA NAYO....... Nilisema huku nikimkabizi ule mfuko, zuri alinitazama sana mpaka ule ujasiri wote niliokuwa nao ulianza kupotea kidogo kidogo "Unasema..??" Aliniuliza "Am nimekuletea hii hapa zawadi.." "OH my God ni yangu..??" Aliniuliza tena huku akitabasamu,...

*IN LOVE WITH ZURI* *Sehemu ya 11* Post Mpya
*IN LOVE WITH ZURI* *Sehemu ya 11*
@mjukuu LIVE

SONGA NAYO...... Haraka haraka nilitoka nje ambako nilimkuta Ethan akiwa ananisubiri, bila kusubiri chochote niliingia kwenye gari na safari ya kurudi nyumbani ilianza, ni mida ya saa moja na nusu hivi "Dah...

ZARA❤️ Sehemu ya 10 Post Mpya
ZARA❤️ Sehemu ya 10
@mjukuu LIVE

__________ Mwandishi; LISSA WA HURU MEDIA ila sasa ni alijuwa na heshima sana na mimi, yani alijirejebisha kweli kweli , waha hakuwa annifanyia ujeuri kabisaa,yani ata kidogo hapana ,...

ZARA❤️ Sehemu ya 8 na 9 Post Mpya
ZARA❤️ Sehemu ya 8 na 9
@mjukuu LIVE

__________ Mwandishi; LISSA WA HURU MEDIA Nikasema.dady sio kuhusu mama ni kuhusu yule dereva melvin, baba aksema ahaa yule derebaa si tumeshamfukuza jamani zara nn sasa, nikasema baba mi nimemuonea huruma ,nahisi...

ZARA❤️ Sehemu ya 6 na 7 Post Mpya
ZARA❤️ Sehemu ya 6 na 7
@mjukuu LIVE

__________ Mwandishi; LISSA WA HURU MEDIA Khaaaaa nilichukia nikamuangalia uyu kaka kwa dharau na hasira kwli kweli, kwanza nikampandisha kisha nikamshusha , nikamuuliza eeeh umesahau nn, au unadai mshahara apa ulikuwa...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 158 -- 160 Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 158 -- 160
@mjukuu LIVE

:158 Aliendesha na kuniambia “nisamehe kwa kukuteka asubuhi, nisamehe maneno yalinitoka asubuhi lakini ilikuwa lazima nifanye vile. Wewe katoto ni kabishi sana. Huna hata huruma unataka mtu mzima mpaka nipige ukunga.” Nilimtazama,...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 151 -- 157 Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 151 -- 157
@mjukuu LIVE

:151 Kwenye akili yako vuta picha zile Abaya za kituruki, halafu ziwe tatu, nzuriiiiiii, rangi nyeusi, rangi nyeupe, na zambarau fulani imechanganyika, halafu kuna gauni mbili za ukali, eenh, eenh sijui...

NAKUPENDA BILA MIPAKA SEASON FOUR 145 - 150 Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA SEASON FOUR 145 - 150
@mjukuu LIVE

:146 Nilimtazama natabasamu, nakuambia uoga mimi sina, sina kabisa maana nishajua huyu Dokta anapambania mahali ahitajiki. Kwanza angejua raha mimi nilikuwa naipata hapa ameniharibia mimi. Si unajua unampenda mtu huwezi kumwambia halafu...

BILLIONS OF LOVE💓💓   SEHEMU YA "16_17"💓 Post Mpya
BILLIONS OF LOVE💓💓 SEHEMU YA "16_17"💓
@majario LIVE

( alikuja kama muuza chai kumbe ni Billionea) Alikunywa dawa zake akatulia 🥹nilikuwa namuonea huruma sana yule mkaka jmn 🥹 Muda huo huo wateja wakaja watatu , mimi sasa bize...

Zamani kidogo nilikuwa darasa la saba siku moja mama aliongea na Mimi akanambia baba ako anarudi leo Post Mpya
Zamani kidogo nilikuwa darasa la saba siku moja mama aliongea na Mimi akanambia baba ako anarudi leo
@majario LIVE

toka safari(Hawa ni mama na baba angu wa kunizaa) mama alinambia baba akifika tuu chochote atakachokwambia kubali nikamwambia Kuna nini akanambia Nisikilize Mimi nikamwambia nakusikiliza akasema leo utalala chumbani...

💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 💋 (MWISHO SEASON 1) 19 -- 20 Post Mpya
💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 💋 (MWISHO SEASON 1) 19 -- 20
@majario LIVE

19 Aliingia kaka yake na Glad Mimi ndio nilikuwa namalizia kupika jikoni, G nimekuletea ice-cream 🍨🍦 unayopenda nilinyamaza kimya hadi alipokuja jikoni. Glad ametoka mara moja nipo mimi peke yangu nilikuwa namalizia...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 141 - 144 MWISHO WA SEASON THREE Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 141 - 144 MWISHO WA SEASON THREE
@majario LIVE

:141 Nikamwambia kwa ujumbe “Boss ni usiku sana, nenda nyumbani, tutaongea kesho naomba nipumzike.” Akanijibu “sitaondoka hapa mpaka uje kunisikiliza.” Nikamuonyesha Dorice, Dorice akasema “kamsikilize Labda ni muhimu.” Nikamwambia Dorice “kusema kweli mimi roho...

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 15 Post Mpya
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 15
@majario LIVE

Mwandishi:lissa mwalla Simu ilikatwa,nilichanganyikiwa,iv nimeskia kweli au ni mawenge yangu?keanu ananisaliti?yani maneno yake makavu yote aliyoniambia hayakua na maana sikuyajali kabisa nilijali mwanamke alieongea.nikasema hapana ngoja,nikapiga simu iliita ikakatwa,nilipiga tena ikakatwa,nikapiga...

Kinachomtisha Mgosi ni kuwa Edna Lema anawachezaji walioonekana wa kawaida Simba Post Mpya
Kinachomtisha Mgosi ni kuwa Edna Lema anawachezaji walioonekana wa kawaida Simba
@majario LIVE

ila sasa wapo kwenye kiwango cha hali ya juu kiasi cha baadhi kuitwa timu zao za taifa. Diana Mnally Ritticia Nabbosa Precious Christopher Wincate Kaari Aisha Djafar Edna Lema...

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 14 Post Mpya
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 14
@majario LIVE

Mwandishi:lissa mwalla Mmmh nilihisi utumbo unacheza, kwa nn haruhusiwi ndoa sasa? Au ameoa? Nilijiuliza sana, keanu akasema sijakuelewa kwa nn siruhusiwi kuoa sasa? Akasema kuna mashart katika kila kanisa ili...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest