Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MY WANGU❤️ sehemu ya 108
Gonga94 · Stories

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

Mh na mimi nikaanza kulia. Aseeee hakukuwa na kuoga tena. Mana niliona mlige . Anazidi kulia na ata simuelewi tena..ikabidi mimi ndo nijikaze sasa. Nikafunga bomba. Nikachukua taulo nikamfunga chini . Nikamtoa mpaka chumbani. Ata simuelewi naona kabdilika . Nyie mshaona mwanaume analia kwa uchungu. Niliona leo aa nna kasheshe mimi farida. Kwaanza nikambeba rahul nikamtoa chumbani mna kuna kama kasebule.nikaenda kumuweka kwenye sofa nikamfunika kisha nikaludi chumbani sasa. Aseeee nikampigia magoti mlige. Nikamwmabia mlige plssss nyamaza naomba utulie tuongeee. Nilikuwa naogpa mtu analia .je akizuru mm. Na mm ndo namuumiza uyu baba. Mlige akanmbia kwani shida yangu ilikuwa nn .nmbie faridaah sijuh mapenzi. Au pesa mama . Nambiee faridah mi naishi maisha yasiyo na furaha sababu yako. Nambie shida ilikuwa nn . Faridah kwa sababu nilikuwa nakupiga. Mbona nilikuwa nakupenda faridaha nambiee mimi. Nielezee . Asa mm namwambia nn. Nilikuwa tu na mm nalia uku nimeshika miguu yake na kumuomba msamaha . Uyu baba mi kanisaidia mengi sana. Mligeeee nilijua nimemkosea na nimemuumiza sana. Na sio kumuumiza tu. Namuumiza bado . Ana kinyingo na mimi uyu kaka.

Aseeeeee ilikuwa ni shidaa. Nilibembeleza mwanaume mpaka saa 8 hatujalala. Mlige analia tu. Yani kaacha kulia kwa sauti.ni kwikwi. Yani nilikuwa na leso namguta machozi mpaka ikajaa maji. Naongea nn mbele yake. Hiii siku niliumia sana. Yani saa 8 . Naona ata simuelewi ananmbia kichwa kinamuuma sana . Mh nilielewa ni kulia . Basi harak mi nikatoka njee ya chumba nikaenda mapokezi kuomba dawa za kichwa mala moja.nikapewa zile dawa . Haraka nikaludi ndani . Namkuta mkuge kashika kichwa kabisa. Aseeee harka nikampa dawa. Nikampa na maji. Anambia kichwa kinaniuma san faridah. Mh basi nikachukua kitamba nikaanza kumkanda na maji ya baridi. Nyiee kama nusu saa . Ndo namuona kakaa vizuri. Yupo hoi. Nikamvuta kisha nikamlaza kwenye miguu yangu. Akanmbia faridah naomba nilale apa kwenye miguu yako leo na mimi. Nikasema sawa elly hakuna shida we lala tu. Na kweli akalala maskini. Moyo uliuma sana . Na nikaumia mnoo. Basi na mm nililala hivyo hivyo kwenye sofa mpaka asubuh yani.

Yeye ndo alikuwa wa kwanza kumka . Akanmbia aha faridah sory ujaumia mama. Nikamwambia hapana elly mi sijaumia. Akanmbia ssawa nataka kujiandaa nna kikao saa 3 kamili. Nikamshika mkono.nikamwambi elly naomba uwe sawa kipenzi uko unakoenda. Naomba usiyawwaze kabisa ya jana sawa. Mlige akaningakia kisha akatabasamu akanmbia sawa nimekuelewa . Akaingia bafuni kuoga. Mi nikamuacha aoge ila nilikuwa na mawazo sana juu ya uyu baba. Alipotoka . Mi nikamtolea nguo katika begi lake. Nikamuacha avae. Akavaa fresh ila akanmbia nisaidie basi kunifunga vifungo vya shati. Mie nikasema sawa. Nikamfunga vizuri . Apo ananiangakia sna. Akaleta mikono yake akanishika kiuno. Akaja mpaka kwenye makalio yangu akayabinya. Mh nilikumbuka mbali sana kipindi tuko vizuri ndo ilikuwa kawaida yake hiii. Mim nikatulia tu. Akanmbia sawa baadae naingia kazin Basi akavuta pochi akanipa elfi 50 . Akanmbia for emergeny ila apa nishalipia mpaka chakura watakuletea. Mi sitachelewa sana kuludi faridah . Naomba usije ukaondoka sawa . Nikasema hapana siwez nakungoja akanmbia sawa .kisha uyo akatoka zake . Mi ndo naenda kumuamsha rahul.. nikaenda kumuogesha na kila kitu . Na mimi nikaoga na break fast ikaja pale.nikala na mwanagu. Mh nikamtumia sms mlige.nikamujliza umefika salama .akanijibu ndio mke wangu nimefika salama Nyieeeee nilisikia karahaaaaa sitaki kuwaambia.

Maoni

You're not logged in


profile
Said 19 Feb 2026 10:14
weweeeeh hatari sana asant mwandishi ila mpak apo mamb yanaend saw ila hatuwez kusahau ujinga alio fny farida ila nimefurah san baad ya mlige kulia ni njia nzur san ambayo imefanya kupunguz maumivu aliyo nayo kuhus fard maan hanampend bado na hanaonesh bado hanamuhtaj
na kwa upande wa farida aache utot wak na kutokuwa na msimamo kam umri kampita si angemkataa tok mwanz ila kam kamkubal bas ampende hvy hvy kam ni pesa anayo na mlige hanawez kump zaid hvy tu
profile
majario 19 Feb 2026 23:13
Asante sana hongera kwao watunzi
profile
Said 19 Feb 2026 10:14
weweeeeh hatari sana asant mwandishi ila mpak apo mamb yanaend saw ila hatuwez kusahau ujinga alio fny farida ila nimefurah san baad ya mlige kulia ni njia nzur san ambayo imefanya kupunguz maumivu aliyo nayo kuhus fard maan hanampend bado na hanaonesh bado hanamuhtaj
na kwa upande wa farida aache utot wak na kutokuwa na msimamo kam umri kampita si angemkataa tok mwanz ila kam kamkubal bas ampende hvy hvy kam ni pesa anayo na mlige hanawez kump zaid hvy tu
Tangazo - Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MY WANGU❤️ sehemu ya 108


Mh na mimi nikaanza kulia. Aseeee hakukuwa na kuoga tena. Mana niliona mlige . Anazidi kulia na ata simuelewi tena..ikabidi mimi ndo nijikaze sasa. Nikafunga bomba. Nikachukua taulo nikamfunga chini . Nikamtoa mpaka chumbani. Ata simuelewi naona kabdilika . Nyie mshaona mwanaume analia kwa uchungu. Niliona leo aa nna kasheshe mimi farida. Kwaanza nikambeba rahul nikamtoa chumbani mna kuna kama kasebule.nikaenda kumuweka kwenye sofa nikamfunika kisha nikaludi chumbani sasa. Aseeee nikampigia magoti mlige. Nikamwmabia mlige plssss nyamaza naomba utulie tuongeee. Nilikuwa naogpa mtu analia .je akizuru mm. Na mm ndo namuumiza uyu baba. Mlige akanmbia kwani...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/my-wangu-sehemu-ya-108

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi my-wangu-sehemu-ya
MY WANGU❤️ sehemu ya 47 na 48
MY WANGU❤️ sehemu ya 47 na 48
MY WANGU❤️ sehemu ya 51 na 52
MY WANGU❤️ sehemu ya 51 na 52
MY WANGU❤️ sehemu ya 71 na 72
MY WANGU❤️ sehemu ya 71 na 72
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107
MY WANGU sehemu ya 40
MY WANGU sehemu ya 40
MY WANGU❤️ sehemu ya 94 na 95
MY WANGU❤️ sehemu ya 94 na 95
MY WANGU❤️ sehemu ya 74 na 75
MY WANGU❤️ sehemu ya 74 na 75
MY WANGU❤️ sehemu ya 44 na 45
MY WANGU❤️ sehemu ya 44 na 45
MY WANGU❤️ sehemu ya 76 na 77
MY WANGU❤️ sehemu ya 76 na 77
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70
MY WANGU sehemu ya 38 na 39
MY WANGU sehemu ya 38 na 39
MY WANGU❤️ sehemu ya 73
MY WANGU❤️ sehemu ya 73
MY WANGU❤️ sehemu ya 49 na 50
MY WANGU❤️ sehemu ya 49 na 50
MY WANGU❤️ sehemu ya 103
MY WANGU❤️ sehemu ya 103
MY WANGU❤️ sehemu ya 46
MY WANGU❤️ sehemu ya 46
MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67
MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67
MY WANGU❤️ sehemu ya 53 na 54
MY WANGU❤️ sehemu ya 53 na 54
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85
MY WANGU sehemu ya 41 na 42
MY WANGU sehemu ya 41 na 42
MY WANGU❤️ sehemu ya 63
MY WANGU❤️ sehemu ya 63
MY WANGU sehemu ya 43
MY WANGU sehemu ya 43
MY WANGU❤️ sehemu ya 34 na 35
MY WANGU❤️ sehemu ya 34 na 35
MY WANGU❤️ sehemu ya 100
MY WANGU❤️ sehemu ya 100
MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65
MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65
MY WANGU❤️ sehemu ya 32 na 33
MY WANGU❤️ sehemu ya 32 na 33
MY WANGU❤️ sehemu ya 68
MY WANGU❤️ sehemu ya 68
*MY WANGU❤️*   *sehemu ya 98 na 99*
*MY WANGU❤️* *sehemu ya 98 na 99*
MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83
MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83
MY WANGU❤️ sehemu ya 59 na 60
MY WANGU❤️ sehemu ya 59 na 60
MY WANGU❤️ sehemu ya 93
MY WANGU❤️ sehemu ya 93
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

1.15K
MIMI SIKUACHI🥰  SEHEMU YA 58

MIMI SIKUACHI🥰 SEHEMU YA 58

722
*MY WANGU❤️*   *sehemu ya 109 na 110*

*MY WANGU❤️* *sehemu ya 109 na 110*

670
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 68...69💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 68...69💘💘

575
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 59 na 60

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 59 na 60

392
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 7

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 7

156
*ZAWADI YA RAMADH'AN* 1 - 3

*ZAWADI YA RAMADH'AN* 1 - 3

88
MY CRAZY BOSS 07

MY CRAZY BOSS 07

85
*REALLY LOVE Chapter 20

*REALLY LOVE Chapter 20

60
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *SEHEMU YA NNE*

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *SEHEMU YA NNE*

31

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.21K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.93K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.7K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.1K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.49K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.42K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.33K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.32K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.26K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.19K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
Sad 😢 : Mtayarishaji mkongwe wa filamu Bollywood  M.M Baig, baba wa aliyekuwa msanii mtoto maarufu wa zamani Baby Guddu, Post Mpya
Sad 😢 : Mtayarishaji mkongwe wa filamu Bollywood M.M Baig, baba wa aliyekuwa msanii mtoto maarufu wa zamani Baby Guddu,
@majario LIVE

na aliyeshiriki katika kutayarisha filamu kama Razia Sultan pamoja na kuongoza filamu ya Chhoti Bahu, alikutwa akiwa amefariki nyumbani kwake, msemaji wake bwana Hanif Zaveri amethibitisha. Kwa mujibu wa taarifa Baig...

Nottingham Forest beat Fenerbahçe 3-0 in the first leg of their UEL knockouts playoffs tie. Post Mpya
Nottingham Forest beat Fenerbahçe 3-0 in the first leg of their UEL knockouts playoffs tie.
@majario LIVE

Nottingham Forest beat Fenerbahçe 3-0 in the first leg of their UEL knockouts playoffs tie. The Vítor Pereira era is off to a winning start ✅

Suniel Shetty has been married to Mana Shetty (born Monisha Kadri) since December 25, 1991, and their love story is truly old-school Post Mpya
Suniel Shetty has been married to Mana Shetty (born Monisha Kadri) since December 25, 1991, and their love story is truly old-school
@majario LIVE

. They met back in the 1980s and dated for almost nine years before getting married. Coming from different cultural backgrounds, their relationship did face resistance initially, but love and...

🚨 Al Ahly climb to second place in the Egyptian Premier League table after securing a 1–0 win over El Gouna. Post Mpya
🚨 Al Ahly climb to second place in the Egyptian Premier League table after securing a 1–0 win over El Gouna.
@majario LIVE

The decisive moment came through Emam Ashour, whose goal proved enough to seal all three points and keep the title race firmly alive. #AfricaSoccerZone #AfricanFootball

Jackie Shroff has been happily married to Ayesha Shroff since June 5, 1987, and their love story is one of the most real and long-lasting in Bollywood Post Mpya
Jackie Shroff has been happily married to Ayesha Shroff since June 5, 1987, and their love story is one of the most real and long-lasting in Bollywood
@majario LIVE

. Ayesha, who was a former model and appeared in the film Teri Baahon Mein (1984), has always been Jackie’s biggest strength. She stood by him even before fame came...

*REALLY LOVE Chapter 20 Post Mpya
*REALLY LOVE Chapter 20
@majario LIVE

fahima hakujibu kitu akarudi ndani naseven nae akarudi ndani, sasa ndonini miseme mbele za watu alisema fahima "siili uniamini kama nakazi nyingi alisema. seven sasa kwani nisipokuamini wewe unaumia nini alisema fahima unadhani ni...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *SEHEMU YA NNE* Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *SEHEMU YA NNE*
@majario LIVE

Mhh CEO alinitizama tuu maana, kisha akatabasamu hujafukuzwa kazi, ila ni vile tu hujaelewa nilikuwa naamaanisha nini hapo, binti sikusem kwa nia ya kukufukuza kazi basi nikisema pengine kuna siku...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 59 na 60 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 59 na 60
@majario LIVE

59 MPAKA 60 MWISHOOOO 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Ahaaa basi nikamtoa na t shirt ya juuu. Wala hajabisha tena . Nikamfungua na sidiria yake. Kisha naikabugia ziwa lake la kushoto nikaliingiza mdomoni. Weeeeeee. Akaanza...

*MY WANGU❤️*   *sehemu ya 109 na 110* Post Mpya
*MY WANGU❤️* *sehemu ya 109 na 110*
@majario LIVE

Aseeeee ata nikifurah ndo sio wangu ni mume wa mtu. Basi nangalia missed calls mama kanipigia sana . Wee mimi wala sikutaka kumpigia mama nikamtumia tu sms.mama mi naludi keshi...

MY CRAZY BOSS 07 Post Mpya
MY CRAZY BOSS 07
@majario LIVE

SONGA NAYO Asubuhi wa kwanza kuamka nilikuwa mimi,nilijikuta na uchovu wa ajabu sana,nikaona niamke nielekeee chooni kukojoa Ile natoka tu kwenye shuka 😳😳nikagundua nipo uchi wa mnyama🥲hapo ndo akili ikanirudi nikagundua yaliyojiri...

MIMI SIKUACHI🥰  SEHEMU YA 58 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 SEHEMU YA 58
@majario LIVE

🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Wakati nawaza pale akaja yule muuzaji na baadhi ya sampo ya vitu vya kike vya gharama kweli dah mfukoni pesa ya kufosi na uhakika wa kupokelewa zawadi sina ila fresh...

*ZAWADI YA RAMADH'AN* 1 - 3 Post Mpya
*ZAWADI YA RAMADH'AN* 1 - 3
@majario LIVE

SEHEMU YA...... 1 ilikuwa ni majira ya Jioni nyumbani kwa Kijana Tajiri aliefahamika kwa jina la ABDUL. Kijana ambae alijaaliwa kuwa msomi na kuweza Kupata kazi Nzuri. Hali ile ilimpelekea kuishi nyumba moja...

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 7 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 7
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Hatimae mda wa vipindi ulianza na siku hii nilikuwa na kipindi cha asubuhi kwa kidato cha tatu nilikuwa natakiwa kwenda kuwafundisha geography Basi nikaelekea darasani, kufika humo nakuta wanafunzi hawatulii...

MY WANGU❤️ sehemu ya 108 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 108
@majario LIVE

Mh na mimi nikaanza kulia. Aseeee hakukuwa na kuoga tena. Mana niliona mlige . Anazidi kulia na ata simuelewi tena..ikabidi mimi ndo nijikaze sasa. Nikafunga bomba. Nikachukua taulo...

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 68...69💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 68...69💘💘
@majario LIVE

Ni nani jina la huyo mwanamke aliyejifungua?! Nilimuuliza eve aliniambia jina lake ni lia Stanley.... lia lia lia...... kwanini huachi ndoa yangu ikawa na amani nikufanyie nini ewe mwanamke ili...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest