Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 36 na 37 namba zilikosewa endelea kusoma.
Gonga94 Β· Stories

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 36 na 37 namba zilikosewa endelea kusoma.

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
36 MPAKA 37
🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼


Mwandishi; lissa wa huru media

Maua akasema khaaa yani unanitukana mimi. Kwaiyo mimi naweza kuolewa na kaka yangu. Nikasema yaa unaweza sasa kisebengo cha nini. Nakuona sana tangu jana umekuja nyumbani una maneno maneno sana mpumbavu ww. Unazani uyo kaka yako mimi namtaka sana ama. Sina shida nae wala sina haja nae. Maua akasema et sina shida nae. Mbona ile siku alikushushua akasema hakutaki. Sasa hakutaki kweli umemnyanyasa sana wewe na mama yako. Umesimia kaka yangu ana maisha now unaleta shobo iloo. Aseeeee nilitamni nimlukie uyu dada yani ilibaki kidogo sana .ila nikajikaza tu. Nikakaushaa nikaamua kuondoka zangu. Nikamuacha anaongea. Aseee uyu maua nae ni chizi kama mie. Kama uyu ndo angekuja kukaa kwetu tungekuwa tunalushana ngumi kweli kweli.

Aseee nikafika saloon nna hasira mpaka natetemeka yani. Gile akaniuliza vp shoga.mbona asubih umepita vizur .kisha umeludi hivi imekuwaje kwani.umegombana na adrian.nikasema hapana yani yule mdada yule nimepita nae asubuh anaitwa maua.ni ndugu yake na baraka. Aseee amenijibu vibaya sana. Ikabidi nimsimulie vizuri sasa gile. Gile akanituliza akanambia tulia na upunguze presha kipenzi. Yani tuliza presha kabisa. Nikasema sawa na kweli nikatulia tu. Ila nilikuwa nna hasira sana na maua basi tu. Nikafanya kazi zangu na jioni sana ndo nikaludi home. Basi baba aliomba kuongea na mimi sasa. Nikasema sawa nikaenda kumsikiliza baba ynagu anasemaje

Basi nikatoka sebleni nikakaa na baba. Baba akanmbia shakira mtoto wangu unajua nakupenda sana mwanangu. Nikasema ndio baba naelewa. Akasema sasa naelewa sana kuwa una chembe za kumpenda baraka. Najua na naelewa . Sielewi aya mahusiano yenu mliyaanzishaje wewe na baraka na sijuh mlikubakina vp ww na mwenzio.nyinyi kuwa ndugu wala kwangu sio jambo kubwa .sababu kidini baraka anaruhusiwa kukuoa ww. Na sijuh nini kimetokea ama baraka labda aliona ww humfahi kuwa mkewe yani sijih alipima kwa kutumia nini. Au inawezekana uliyomtendea. Si unaelewa jinsi ambavyo mwanzo ulikuwa unaishi nae. Nikasema ndio baba. Akasema basi uwenda pia aliyajaza. Ila naomba ukubali aya yanayoendelea na achana na baraka kabisa. Fanya maisha yako. Nikasema naelewa baba na nitafanya hivyo.

Akasema baraka kesho anaenda kuolewa na kka yake mtoto wa baba mdogo bakari. Na mimi.ni mjomba wake lazima nikauzulie .na tufanikishe hilo. Siwezi kuingia kattika chuki zenu. Na siwez kumchukia baraka kwa chochote kile. Nikasema naelewa baba. Wala usijali kabisa. Nyie nendeni tu. Na tupo pamoja baba. Bba akasema ata siku ukimuona barka anaomba ubwage moyo wko na ufanye maisha yako. Na wewe tafuta mwenzio mkikubalina mlete nyumbani mufate utaratibu sawa. Nikasema.sawa baba. Basi baba akanambia ni ayo tu mrembo wangu kama.tumeelewana nashukuru. Nikasema sawa baba .nikaendelea na ratiba zangu nyengine.

Na kweli kesho yake baba na mma walienda uko shughurini. Mana ndoa ilifanyika gongo la mboto kwa mjomba bakari.na walienda kumuoa uyo bahati kibiti. Mi wala sikuumia sana.niliamua tu kujishukulia mana kwanza kwa ile familia hapna.. nikaenda zangu saloon tu. Basi nikiwa busy na kazi zangu. Mama akanichek watssap. Aksema shoga uyo baraka ata ajuhi kuchagua iko kibahati kabaya mweee. Nilijikuta nimecheka kwa sauti wallah. Yani mama mgomvi. Yani yupo kwenye sherehe anafanya umbea. Basi mama akanitumia picha ya bibi harusi. Loooh asa uyo maua alikuwa anajifanya kumsifia wifi yake kwa kipi. Yani baada ya weupe hana la ziada kabisaaaa.mbovu puuuh. Yani mbaya ni vile weupe umembeba tu. Aseee

Nikajikuta nimecheka kweli. Ata roho haikuniuma mwanamke mwenyewe sijaona ata alichonizidi puuh.basi nikawa busy na wateja wangu. Aseeee niivyoludi nyumbani sasa. Nilivyokutana na mama. Weee mama alimnanga uyo bi harusi jamani. Ananza kunambia yani mbaya. Mala hana matako .mala mbaya .mala hakufikii mwanagu .mala chefuu tu. Mh mama nae ana wivu uyu.nikabaki nacheka kweli kweli mimi.mpaka baba ndo akaingilia akasema acheni wivu ndo ata kama mbaya ndo kaolewa sasa. Mh ndo atushushue sasa baba. Mama akasema aoe tu. Mwanamke mwenyewe mbaya kwendeni uko. Nikawa nacheka kweli kweli mama nae. Baba akasema mh ebu ninyamaze baraka nae. Ndo nini kile lakini. Apo ndo nilicheka zaidi. Yani nilicheka mpak mzee kaongea.baba akasema kweli katika aya maisha usililie uzuri lilia bahati. Mwanagu bahati huna. Nikasema baba nnayo we ngoja ntakuletea mkwe pedesheee apa hautaamini. Baba akabaki kucheka tu. Na mie nikaingia chumbani kwangu. Ila kama binadamu moyo lazima uume ujue. Kwli niliamini maneno ya baba. Usililie uzuri lilia bahati. Mh nikaona aya bwana baba ndo kashaoa na mie nafanyaje acha maisha yaende sasa mpaka mwanaume kashaoa atakuwa wangu tena wala sio kweli.

Maoni

You're not logged in


Tangazo - My true love mwanzo Hadi Mwisho
My true love mwanzo Hadi Mwisho
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 36 na 37 namba zilikosewa endelea kusoma.

36 MPAKA 37
🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼


Mwandishi; lissa wa huru media

Maua akasema khaaa yani unanitukana mimi. Kwaiyo mimi naweza kuolewa na kaka yangu. Nikasema yaa unaweza sasa kisebengo cha nini. Nakuona sana tangu jana umekuja nyumbani una maneno maneno sana mpumbavu ww. Unazani uyo kaka yako mimi namtaka sana ama. Sina shida nae wala sina haja nae. Maua akasema et sina shida nae. Mbona ile siku alikushushua akasema hakutaki. Sasa hakutaki kweli umemnyanyasa sana wewe na mama yako. Umesimia kaka yangu ana maisha now unaleta shobo iloo. Aseeeee nilitamni nimlukie uyu dada yani ilibaki kidogo sana .ila nikajikaza tu. Nikakaushaa nikaamua kuondoka...

πŸ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/sasa-nakupenda-sehemu-ya-36-na-37-namba-zilikosewa-endelea-kusoma

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi sasa-nakupenda-sehemu-ya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25.
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 19   na 20.
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 19 na 20.
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 26  na 27.
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 26 na 27.
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 31 na 32.
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 31 na 32.
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 30
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 30
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 28
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 28
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 29
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 29
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22.
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 9
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 9
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 10.
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 10.
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 7 na 8.
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 7 na 8.
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 38  na 39.
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 38 na 39.
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 44 na 45

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 44 na 45

1.19K
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 43

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 43

1.11K
*AFANDE MILLAN😎* *46&47*

*AFANDE MILLAN😎* *46&47*

799
MIRANDA (Binti Yangu)   SEHEMU YA 19 - 20

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 19 - 20

269
MIRANDA (Binti Yangu)   SEHEMU YA 15

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 15

258
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 17 - 18

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 17 - 18

243
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 16

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 16

242
SHAMIRA 44 kwa 45

SHAMIRA 44 kwa 45

175
ACHA NIKUPENDE ❀️ 3  to 5

ACHA NIKUPENDE ❀️ 3 to 5

117
*KISASI CHA SINDELE BAADA YA KUAMBUKIZWA UKIMWI KWA MAKUSUDI*😭😭😭. *1-4*

*KISASI CHA SINDELE BAADA YA KUAMBUKIZWA UKIMWI KWA MAKUSUDI*😭😭😭. *1-4*

103

ZIMESOMWA ZAIDI

β€ŽTUNDA LA  DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

β€ŽTUNDA LA DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.67K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.39K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tisa.  πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tisa. πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

3.81K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya sita.  πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya sita. πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.31K
MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

2.9K
MY WANGU❀️ sehemu ya 108

MY WANGU❀️ sehemu ya 108

2.83K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 20.  πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 20. πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

2.68K
MY WANGU❀️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❀️ sehemu ya 116 na 117

2.67K
MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

2.63K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 16.  πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 16. πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

2.57K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 38  na 39. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 38 na 39.
@majario LIVE

kipande cha 38 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Basi ndo hivyo . Nikaikosa ndoa na bwana barka.na nikawa busy na maisha yangu . Na mambo yangu. Na nikazidisha mapenzi tu kwa...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 36 na 37 namba zilikosewa endelea kusoma. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 36 na 37 namba zilikosewa endelea kusoma.
@majario LIVE

36 MPAKA 37 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Maua akasema khaaa yani unanitukana mimi. Kwaiyo mimi naweza kuolewa na kaka yangu. Nikasema yaa unaweza sasa kisebengo cha nini. Nakuona sana tangu...

SHAMIRA Sehemu ya 47 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 47
@majario LIVE

Wassap; 0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi shost alivyotoka kuoga akanmbia shamira shoga yangu nisamehe kwa yale maneno nilokwambia basi. Nikasema yapi? Akasem si yale ya kukwambia ukatoe mimba...

SHAMIRA Sehemu ya 46 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 46
@majario LIVE

πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€ Mwandishi; lissa wa huru media Nikaona aisha kakasirika akanambia sawa kama unataka kulea iyo mimba na kuzaa. Ile kulea mtoto ni gharama umae ukielewa hilo suala mapema . Mana sio...

*AFANDE MILLAN😎* *46&47* Post Mpya
*AFANDE MILLAN😎* *46&47*
@majario LIVE

Nakumbuka kuna kipindi ,nilisafiri na ibraa kikazi kwenda moro , apo nilishamuaga zena kuwa mm nasafari naenda moro kikazi, ntakaa siku 2, akanmbia hakuna shida, basi mm nikawa...

SHAMIRA 44 kwa 45 Post Mpya
SHAMIRA 44 kwa 45
@majario LIVE

πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€ Sehemu ya 44 Mwandishi; lissa wa huru media Aseeee tulichoka mno na shoga yangu asa mimi jamani.nafanya nini na hili tumbo na mwanaume hanitaki. Na ameshakana kuwa hii mimba sio yake...

MIRANDA (Binti Yangu)   SEHEMU YA 19 - 20 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 19 - 20
@majario LIVE

SONGA NAYO......... miezi kama miwili ilipita huku nikiishi Tanzania pamoja na wifi yangu kipenzi BLESS πŸ₯° yes amekuwa wifi yangu badala ya mtoto wangu lakini nimemfanya kama bjnti yangu nampenda huyu...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 17 - 18 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 17 - 18
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Mdada mie nikaanza kupiga ukelele wa furaha na bila kujigikiria mara mbili mbili nilimkumbatia Anfrey mwamba naye ni kama alitegemea hivyo maana alinipokea tena kwa hamu kubwa "Anfrey asante asante...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 16 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 16
@majario LIVE

SONGA NAYO....... Basi ikabidi waniache, nikaingia ndani nikawa nimeloa chepechepe na binti angu nae vile vile hakunibanduka kabisa mikononi mwangu "Karibu sana baba karibi, jisikie upo nyumbani.." Nikiwa chumbani navaa niliweza kumsikia mama...

mke wangu kaniambia mtoto sio wangu nifanyaje ndugu zangu Post Mpya
mke wangu kaniambia mtoto sio wangu nifanyaje ndugu zangu
@majario LIVE

Mimi naitwa Baba Derick, Leo asubuhi mapema sana, kama kawaida yangu niliamka kwenda kutafuta riziki. Kabla sijaondoka nyumbani, niliweka shilingi elfu mbili mezani. Nilimwambia mke wangu wazi kabisa kwamba pesa...

Mwandishi wa BBC Kasra Naji amekiri hali ni mbaya ndani ya Israel ameripoti akisema "Israel ipo katika hali ya kufungwa (lockdown), Post Mpya
Mwandishi wa BBC Kasra Naji amekiri hali ni mbaya ndani ya Israel ameripoti akisema "Israel ipo katika hali ya kufungwa (lockdown),
@majario LIVE

mitaa ipo tupu hakuna watu nje kutokana na hali ya hofu ya mashambulizi ya Iran, maduka yamefungwa na hali inazidi kuwa ngumu kuvumilika kwa watu" "Hata makombora makubwa ya Hezbollah yanaanguka...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 44 na 45 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 44 na 45
@majario LIVE

Basi bwana tumefika kwake, ikabidi niwaache kisha nikatoka nikaenda super market kuwachukulia mahitaji, aseee nikawabebea kila kitu cha kula, sijuh unga ,mchele, kuku , nyama, maziwa ya mtoto mana bado...

Taarifa hii haijathibitishwa lakini watu wanaulizana itakuaje kama kweli ubalozi wa huyu bwana utakuwa umeguswa? SIO KULIPULIWA UGUSWE TU! Post Mpya
Taarifa hii haijathibitishwa lakini watu wanaulizana itakuaje kama kweli ubalozi wa huyu bwana utakuwa umeguswa? SIO KULIPULIWA UGUSWE TU!
@majario LIVE

Wataalamu wanahofia kuwa Kim Jong Un anaweza kutumia tukio hilo kama kisingizio cha kupanua uungaji mkono wake kwa Tehran, jambo litakaloleta tafarani kubwa duniani. Korea Kaskazini ina ubalozi wake jijini Tehran,...

ACHA NIKUPENDE ❀️ 3  to 5 Post Mpya
ACHA NIKUPENDE ❀️ 3 to 5
@majario LIVE

ACHA NIKUPENDE ❀️ 3 MTUNZI uhuru media Karibu WhatsApp 0794810082 Kwa jicho aliloangaliwa na Nicky ilimbidi aondoke haraka haraka akaenda jikoni huku akiwa kachukia na machozi yalimtoka bila kutegemea. Alipofika...

*KISASI CHA SINDELE BAADA YA KUAMBUKIZWA UKIMWI KWA MAKUSUDI*😭😭😭. *1-4* Post Mpya
*KISASI CHA SINDELE BAADA YA KUAMBUKIZWA UKIMWI KWA MAKUSUDI*😭😭😭. *1-4*
@majario LIVE

*_________________________________________* *Sehemu Ya 1* Ndani Ya hospital Moja kubwa wanaonekana Vijana wawili Wakiwa Wanasubiri Majibu Ya vipimo ambavyo Tayari walikuwa wamepima. "Hivi Sindele kwa mfano ikatokea Mimi nimekutwa nimeathirika utanioa au utaniacha!?" "Uuuuu...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest