Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ€“ Gonga94 Semajambo

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22.
Gonga94 ยท Stories

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

Mwandishi; lissa wa huru media

BASI nikapanda kitandani kwangu. Nikijutia sana nilichokifanya mana mh . Nilikuwa nasababisha ugomvi mkubwa wa wazazi mungu wangu. Yani mama yangu alikuwa anaachwa leo Atanielewa mimi. Niliwaza sana .mpaka kukapambazuka kabisa. Aseeee mama aliamkia chumbani kwangu. Niliogopa sana nikajua na mama anakuja kunipiga. Mama akaningalia sana . Akasema yani wewe mtoto umenizidi mpaka ushetani mama yako. Hivi unaanzaje lakini .unavua nguo mbele ya mwanaume unamsingia mwenzako kakubaka. Eeeeh angekubaka kweli jeeee? Mana si umejipeleka mwenyewe . Mtoto mbona mnafiki sana. Yani mimi pale ata kukuamini sikuwa na uhakika kabisa. Mana baraka ni kijana mzuri . Hana hizi tabia za kipumbavu . Tunamfanyia sisi roho mbaya tu. Kheeee nikashangaa shetani leo kawa malaika mungu wangu. Mama akanmbia nataka ukamuombe msamaha baraka mpumbavu ww unataka kunivunjia na ndoa yako mbwa sana ww. Kisha akayoka chumbani kwangu. Kiukweli ata mimi niliona nimekosea sana .man jana hali ilikuwa mbaya baba alikuwa anamuacha mama. Na baraka uyo uyo ndo kamuombea msamaha mama yangu kwa kumtuliza baba.mana daah nilijua kuyapika ya kuyapika.

Basi mama alipotoka chumbani kwangu . Na mimi nikajivuta nikaingia bafuni nikaoga. Nilipoyoka nikavaa vizuri nimawaza niende nikaongee na baraka sasa sijuh ata nimuangaliajee. Ila nikqjikaza nikaenda mpaka chumbani kwake. Ila sokumkuta baraka. Nikatoka njeee nikamkuta kakaa barazani anaongea na simu. Alaikuwa anaongea na mdogo wake wa kike anayemfuata. Nilisogea nyuma yake .nikasikia anamwambia sikia dada unajua navumilia mengi kwa ajili yenu. Na nyie msiavhe kuvumilia wadogo zangu.nikianza chuo tu. Napanga nawacchukua najua kuna pesa ntakuwa napata za boom. Naomba muwe wavumilivu wadogo zangu sawa. Sikuwa nasikia maongezi ya dada yake .ila nilijisikia vibaya nikajua kuna menhi ambayo wanapiyia yeye na familia yake. Basi alipomaliza kuongea na ndugu yake. Akakata simu . Kisha nikamuona katulia. Basi haraka nikatokea mbele yake . Nilishangaa kuona machozi yanmtoka kwenye macho yake. Aseeeee nilijisikia vibaya sana hii siku. Na aliponiona akafuta haraka machozi yake. Nikamsogelea mpaka alipo. Kisha nikakaa pembeni yke. Nikamwambia pole. Akanyamaza kimya wala hakunijibu.nikajikuta nimemsogelea nikamkumbatia tu. Aseee na yeye akanikumbatia kwa nguvu. Akawa analia maskini. Nahisi alikuwa ana machungu sana . Nikasem basinnyamaza jamani. Hakuwa analia kwa saiti ila zile kwikwi jamani .uwiiiiiiii . Yani kwiki za kutosha na machozi tu yanamshuka. Nikajalibu kumtuliza sana mwisho nikaona kanyamaza. Nikasema kaka baraka nisamehe najua nimekukosea sana na nimekusabababishia matatizo mengi . Nisamwhe kaka siludiii tena . Akaniangalia sana . Akanmbia shakira unamaanisha na uo msamaha wako. Nikasema ndio kaka namaanisha kabisa . Akasema sawa yameisha. Mh mbona kanisamehe haraka hivi .nilizani ata atanifukuza wala. Basi baada ya apo kila mtu akawa kimya sasa. Yani yeye yupo kimya na mimi kimya . Tukaaa pale kwa mda mrefu sana . Tumetulia tu. Mapaka mama akaja sasa aktukuta tumekaa pale.

Mama akawa anajichekesha oooooh jamani mtu na kaka yake mmekaa pamoja . Aya chakura teali mje kula wanangu. Mh niliona mama kabadilika sijuh baba alimpiga mikwara . Basi baraka akasema shangazi mimi kwa sasa sina njaaa nashukuru sana.heeee et mama kaanza kumbembeleza kula. Mh mbona nilibaki kushangaa ila baraka alisema kashiba anaenda kupumzika tu. Basi mimi nikaenda kula .ila baraka aliingia chumbani kwake. Basi mimi nikala niliposhiba nijaenda chumbani kwangu kupumzika. Ila nilimuwaza sana baraka. Niiliona huwenda ata wadogo zake na wao wanapitia magumu. Ndo mana anwaomba wawe wavumilivu jamani.niligisi huruma. Mpaka mtoto wa kiume analia suala dogo. Basi mida ya jioni sana nikaenda chumbani kwa barka. Nikagongaa hodi hii siku . Ila nikaona kimya nikasukuma mlango nikaingia. Mh namkuta kalala kumbe.

Nikamsogelea . Nikamtikisa . Akafumbua macho kisha akakaa .akasema vp shakira. Nikasema pow baraka. Vp upo powa? Akanambia yaa niko powa sema njaa inanuma sana kwa sasa.nikasemangoja nakufatia chakura kaka akasema sawa. Basi kweli nikaenda kumpakulia chakura nikamletea kweli. Akawa anakula uku nipo pembeni yake namuangalia tu. Alipomaliza nikaenda kumfayia na maji .akanambia s asante dada.

Basi alipomaiza kula. Akawa anataka kula tena.nikasema kwani unaumwa jamani? Akasema hapana nataka kupumzika tu. Nikasema sawa kaka na mimi nilale apa pembeni yake. Akasema karibu. Basi nikasogea nikajilaza pale. Lakini hakuna amabae alikuwa kalala. Kila mtu alikua kimya. Basi tukatulia sana pale. Sijuh kwa nn nikajikuta namuangalia sana baraka . Yani sijuh nini kimenikuta nikajikuta nimemsogelea baraka nikambusu mdomoni. Aseeee baraka akastuka mno. Akasema mbona umefanya hivyo. Nikasema kama kaka tu. Baraka akatabadamu kisha akageuka upande wapili . Mh nikaona aibu na mimi nikanyanyuka haraka nikaludi chumbani kwangu uku nacheka .ata sijielewi nini kinanichkesha sasa Mungu wangu. Mh ni nini iki tenaaaa jamani

๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ

Maoni

You're not logged in


Tangazo - MY Wangu season one, season two, season 3, season 4 and season 5 final
MY Wangu season one, season two, season 3, season 4 and season 5 final
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.


Mwandishi; lissa wa huru media

BASI nikapanda kitandani kwangu. Nikijutia sana nilichokifanya mana mh . Nilikuwa nasababisha ugomvi mkubwa wa wazazi mungu wangu. Yani mama yangu alikuwa anaachwa leo Atanielewa mimi. Niliwaza sana .mpaka kukapambazuka kabisa. Aseeee mama aliamkia chumbani kwangu. Niliogopa sana nikajua na mama anakuja kunipiga. Mama akaningalia sana . Akasema yani wewe mtoto umenizidi mpaka ushetani mama yako. Hivi unaanzaje lakini .unavua nguo mbele ya mwanaume unamsingia mwenzako kakubaka. Eeeeh angekubaka kweli jeeee? Mana si umejipeleka mwenyewe . Mtoto mbona mnafiki sana. Yani mimi pale ata kukuamini sikuwa na uhakika kabisa. Mana baraka ni kijana...

๐Ÿ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/sasa-nakupenda-sehemu-ya-21-na-22

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi sasa-nakupenda-sehemu-ya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 19   na 20.
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 19 na 20.
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 10.
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 10.
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 7 na 8.
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 7 na 8.
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25.
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 9
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 9
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU YA KUMU*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMU*

712
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 8

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 8

335
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 9 na 10

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 9 na 10

315
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜  SEHEMU YA 16

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 16

289
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9

159
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.

102
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.

96
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10

65
SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.???

SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.???

18

ZIMESOMWA ZAIDI

โ€ŽTUNDA LA  DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

โ€ŽTUNDA LA DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.41K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.19K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tisa.  ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tisa. ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

3.74K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya sita.  ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya sita. ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.19K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 20.  ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 20. ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

2.59K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tatu.  ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tatu. ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

2.44K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 16.  ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 16. ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

2.43K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

2.4K
I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

2.38K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107

2.31K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10
@majario LIVE

๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹ Maeneo ya pale pale chuoni, Salmon alikuwa amepanga nyumba kubwa ya peke yake. Wakati akiwa chuo ndo alikua anaishi hapo, ila siku za weekends kama hana mambo mengi ndo anaenda...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi kuanzia apo nikawa sasa kidogo naelewana na baraka. Tena mimi ndo napenda sana kuongea nae. Yani sanaaa. Napenda kucheka nae sana. Na kun jinsi...

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜  SEHEMU YA 16 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 16
@majario LIVE

Usiku wangu ulikuwa mzito sana, maneno ya D kusema kuwa Veda anatembea na wanawake wengi, niliyaamini kabisaaa Bila shakaa kwa maana Yeye tu hana mwonekano mzuri ametuna tuna hovyo anakuwa...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 9 na 10 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 9 na 10
@majario LIVE

Daaah nikaona mtoto kachomoa leo mana sio powa , ana vipengele sana uyu demu , ila unyama, hatachomoa kila siku, ni suala la muda tu, mana sijawahi kumtaka mwanamke ,...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media BASI nikapanda kitandani kwangu. Nikijutia sana nilichokifanya mana mh . Nilikuwa nasababisha ugomvi mkubwa wa wazazi mungu wangu. Yani mama yangu alikuwa anaachwa leo...

SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.??? Post Mpya
SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.???
@majario LIVE

Hatimae jana tambo za Dabi zilipata majibu kwa timu za Simba na Yanga kutoka suluhu ya bila kufungana(0-0). Kwa maana hiyo timu zote ziliambulia pointi moja moja. Mchezo wa jana pamoja...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 8 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 8
@majario LIVE

Zena akasema kwaiyo manager unataka kuniuza ama ni vp, yule manager aksema , naomba uelewe kuwa ukifanya kazi katika hii bar, mteja kukushika sehemu yoyote ya mwili wako ni kawaida,...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU YA KUMU* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMU*
@majario LIVE

Jambo likawa lelelele, Yaani ni patashika nguo kuchanika, Kwa upande wangu Walahi nilikuwa nikifurahi tu, na amina alikuwa akilia tu nakuomba msamaha. Enzo wa watu mwaya akachukua muda wake na kumuelezea...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9
@majario LIVE

๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹ Mbali na ivyo zile zawadi alizo tumiwa Noela zilimuuma vile vile. Alihisi Noela hastahili vitu vizuri wala maisha ya kifahari. Alitaka kila kitu kiwe chake, wanaume wote wawe wake. Hata...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 6 na 7 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 6 na 7
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi bwana , mwanaume wala sikuwa na shaka, kazi zote ambazo nilibakiwa nazo pale ofisini, nikamuachia ibraaa, na ukiacha ushikaji, mi bafo ibra ni mkubwa wake wa kazi,...

MY CRAZY BOSS 18 hadi Mwisho Post Mpya
MY CRAZY BOSS 18 hadi Mwisho
@majario LIVE

MY CRAZY BOSS 18 " Tulishuka kwenye gari Erick alinishika mkono kisha tukaelekea ndani." "Hello dad, hello mom, Erick aliwasalimia wazee wawili wa makamo tuliokutana nao ndani". Muda wote nilikuwa...

What a beautiful throwback from the music recording days of Bobby ~ Post Mpya
What a beautiful throwback from the music recording days of Bobby ~
@majario LIVE

A very young Dimple Kapadia and Rishi Kapoor โ€” both just starting out โ€” probably had no idea they were about to become such huge stars. Thereโ€™s that innocent...

When you think of real Bollywood love stories, Ajay Devgn and Kajol Post Mpya
When you think of real Bollywood love stories, Ajay Devgn and Kajol
@majario LIVE

definitely come to mind. Theyโ€™re honestly the perfect example of how opposites attract. Ajay is quiet, intense, and keeps things low-key. Kajol is loud, expressive, and full of life....

Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU Ya tisa*
@majario LIVE

Kwanza kitendo cha pully kumuona mama yake mzazi kwenye eneo ilo Tena gafla alijikuta akishtuka sana na pasi na kutalajia akajikuta akimuuliza kwa jazba. "Mama umekuja kufanya nini hapa?" Kila mtu akashtuka...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 8 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 8
@majario LIVE

๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹ Siku iliyofuata Asubui, Noela aliamka na kitu cha kwanza alichofanya ni kumtumia Salmon ujumbe akimuomba msamaha. Alitegemea atajibiwa lakini haikua ivyo licha ya Salmon kusoma meseji zote๐Ÿฅฑ. Sasa Dada watu akawa...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest