Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107
Gonga94 · Stories

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

Mh. Mie nikajituliza zangu kimyaa. Nishaambiwa mie sio mtamu. Kuma imepanuka nafanyaje sasa . Ila kama ndo kupanuka labda nilivyozaa ila sikuwa na wanaume kabisaa mimi. Yani mpaka nafikia umri huu mi wanaume nnaowajua ni mlige na zayd basi. Nikaona yatapita aya. Basi deni shoga yenu ndo nikalimaliza kihivyo. Akawa hajanipigia tena simu na mm sikumpigia .na namba yake mlige mm wala siisevu . Mume wa mtu uyu naanzaje kusave namba yake. Basi nikawa naendelea kupambna na maisha yangu tu. Mdogo mdogo nikaona apa mie nitafute kazi. Ata ya kuokota elfu 2 kwa siku. Mana kuna mda nakaa kama msenge kiasi cha kwamba. Ata mtoto akinambia mama nataka pipi. Mie sina pesa kabisaa. Nilifulia shoga yenu . Sikuwa yule kabisa. Dada mwenye tambo zake mjini. Niliishiwa aswaaa. Wala sikuwa na tambo kabisaa.

Basi bwana siku iyo sasa . Mda wa jioni . Naona mlige ananipigia . Mh nikaogopa mnooo. Nikasema uyu baba anataka nini tena. Nikapokea ile simu. Mlige akanmbia upo wapi. Nikasema nipo nyumbani vp. Akanmbia nna kikao mwanza cha siku 3. Nataka unipeleke. Kheeeee nyie mnamsikia uyu baba. Nikasema wapi . Mi siendi kokote . Kwnn niende uko na una mkeo. Mlige unataka kunitafutia balaa mimi. Alafu mm niondoke ukoo. Mwanangu namuacha na nani.sitaki mligee. Nyieeeee mlige akafoka. Akanmbia we demu unajifanya unajua sana kujibu sio. Nakuuliza wewe faridah unajua sana kujibu. Unahisi nakushobokea sana nakuuliza wewe maraya. Khaaaaa asa aya yamekujaje jamni. Akanmbia sikia kesho jiandae tunaenda mwanza . Alafu tukiwa tunaongea mm na ww habari za mke wangu zinakujaje apa mshamba nn wewe. Khaaaa mi nikkata simu

Et kanitumia sms . Tunaenda au ndo umegoma. Nikasema sitaki na ukiendelea namtumia sms mkeo namwambia. Kanmbia sasa mwambie na tushawahi kutombana juzi kati apa. Mh sikumjibu tena mm. Akanitumia sms. Akanmbia mi nazani wewe unanijua vizuri . Mimi chizi tena mm mwehu aswaaa . Kesho natungulia runzewe nakungoja apo . Sasa. Jichanganyee usije uoneeee . Nikasema sina wa kumuachia mtoto. Akasema mbebe kwani uyo mtoto ataalibu nn. Mh mi wala sikumjibu. Nashangaa kanitumia laki 2. Akanitumia na sms fanya maandaliz. Khaaa uyu kichaa nini . Mbona anatak kuniletea heka heka lakini. Nionekane natembea na mume wa shoga angu lakini.

Basi mi nikakausha ..kesho yake. Asubuh jamni niliamshwa na sms za mlige za vitisho nakwambia . Et nisipoenda ata nifanya kitu kibaya. Sijuh atakuja kukiwasha kwetu. Yani mambo kibao. Mi nikamjibu nakuja. Na kweli mie nikaanza kumuandaa mtoto. Mama aliponiona nafanya maandalizi ya kutoka. Akaniuliza ay mwenzetu wapi. Nikasema ahaa mama naenda kahama . Baba rahul kanipigia nimpeleke mwanae akamuone. Mama akasema kwaiyo uyo baba rahul kufika apa hawez ..au mnataka kurejesha majeshi . Akukupige tena. Uludi kama mwiko apa. Nikasema mama mi siendi kukutana nae gest wala . Naenda kwa mdogo wake ndo na yeye anakuja apo. Anataka kumuona mwanae.mama akanambia sawa . Naomba usilale uludi leo leo. Kama anahamu na mwnae sana muachie wewe ludi apa. Nikasema sawa mama. Basi mie nikamuandaa pale. Mana uyu ndo alikuwa kigezo cha mie kutoka . Yani bila ya uyu mi ningesema naondoka naenda wapi. Sio kweli. Nikavaa tu kawaida gauni langu lefu. Apo mwili unludi ila sio sana yani.

Basi bibi mie nikambeba mwanagu . Nikapanda gari mpaka runzewe. Nilivyofika nikampigia simu . Akapokea . Nikamwambia nimefika apa runzewe mbona sikuoni. Akanielekeza alipo mie nimeenda na mwanagu. Tumefika pale kweli nikamkuta ni restaurant sehemu ya kula . Nikaenda mpaka pale. Akanipokea mtoto kabisaa. Mh ila mlige ana moyo wake. Mtoto wa hasimu wake uyu. Na mwanagu mimi wala hanaga shidaa. Kabisaa . Akatuulia pale. Mlige akamuuliza eeh boy unataka kula nn. Et ananingalia mm. Ila rahul nikanambia nimuagizie chips. Kweli mlige akamuagizia pale. Na mm akaniagizia chipsi yai na mishikaki. Bila ya kuniuliza mlige ananielewa sana nn napenda na kipi sikipendi.

Basi tukala kimya kimya wala hatukuwa na story pale.baada ya pale . Mlige akambeba mwanagu tukaingia ndani ya gari sasa. Mh gari kali. Gari inanukia mnoo. Basi mi nikampakata mwanagu . Njia nzima ni kimyaaa wal hakuna kuongeleshana na si mnamjua mlige ana kisirani. Basi ni kimyaaa. Labda rahul ndo anaongea nae. Yani. Mlige anamwambia mwanagu rahul.baba yako fala fala yuko wapi yule? Khaaaaa . Mwanagu nae anacheka et baba angu fala yupo mbalii .ukooooooo🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌🙌🙌. Mie nimenyamaza zangu kimyaaa. Mna mlige ni ana mambo ni ananichokoza tu. Anasema yani rahul uo weupe mpka rahaa watu wanapagawaga na weupe leo kiko wapi. Mi nimenyamaza zangu kimyaa. Akanichokoza sana nakwambia. Anamwambia et rahul umekonda now umekuwa kabaya doooh. Et anamwambia mtot. Mwanagu anacheka tu. Si haelewi ila najua naambiwa mie . Nikajinyamazia zangu kimyaa.

Basi akadrive mpaka .tumeingia mwanza. Na tulifikia hotel.ni kubwa mno. Basi akachukua room. Apo ni kambeba mwanangu . Na tukaingia mpaka hotel. Room kabisa. Akanmbia tutakaa apa kwa siku 3. Ya nne ndo tunaludi nyumbani .mie nikase.a sawa . Apo nyumbani nimeagaa naludi leo leo. Basi mlige akanmbia naenda kuwatafutia nguo za kuvaa kwa mda mtakuwa uku. Nikasema sawa hakuna shida . Na kweli . Akatoka. Na baada ya mdaa mlige akalidi kabeba mfuko . Akanipa . Nyieee kweli ni nguo et kaninunulia mpka chupi ila uyu baab. Nikamwambia asante. Akanmbia itokeee moyoni na ulizike kweli. Mh aya majibu yake sasa . Mie kimyaa. Nikamuogesha mwanagu nikambadili nguo. Mana mlige alimnunulia nguo piah. Baada ya kumvalisha . Akanmbia tushuke tukale chakura cha usiku .mana uo mda kama saa 2 usiku. Apo shoga yenu sijashika simu kabisaa. Yani sijashika najua mama atanitafuta tu

Basi baada ya chakura kule chini . Tukapanda juu. Mh mwanagu alishakuwa kasinzia mana usingizi . Na kachoka sanaa. Na nginja nginja za magari. Basi akalala. Nikalaza vizuri kitandani. Nikaona mlige anavua nguo mbele yangu Ila uyu . Mie nikawa namuangalia tu . Akanmbia twende tukaoge. Nikasema tangulia akanmbia mbona unakuwa kma mtoto faridah ebu twende bwan. Mh nikanyanyuka kweli tukaingia bafuni. Akafungua maji kisha kanivuta. Akanikumbatia kwa nguvu . Ikawa maji yanatumwagikia. Yani alinikimbwatia asswaa ata kupumua nashindwa sasa.nikamwambia mlige unaniumiza . Mh namsimia ana meza kwikwi basi nikajua analia maskini. Nikamtoa harka kwenye kumbato. Namuangalia kweli analia kabisaa. Nyieeee na mimi nikajikuta machozi yanatoka . Nikasema mlige plssss nisamehe usiwe unalia kwa ajili yangu kila siku . Naumia sana. Na nakosa barak. Mlige akanmbia ntaacha kulia kwa ajili yako siku nikifa faridaah. Faridaah unaniumiza kila siku m
Kwenye maisha yangu . Faridah kw nn ulifanya vile mhhhhh

🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴

Maoni

You're not logged in


profile
Said 19 Feb 2026 07:30
Dah nimeamini maumivi ya mapenz hayaishi kamwe na kwa mtu yule uliyempenda kwel na hat ukiwa na hasira naye basi akiwa karibu yako ni tiba tosha, n mapenz hayan umri maan moyo unapend na mwil hunafat mlige leo analia kweny bega la mtu aliyempend san na kumumiz pia kwa kuwa moyo bado upo kwake na kwel mapenz hisia nimepend san apa asant mwandishi
Na kingine mwandishi pend kuweka hata vipande vinne maan apa umeniacha na mafikirio duuh najion kama mie vile jaman ila asant na tumalize salam ila mwisho huwe mzur weng wetu tunamachoz ya karb sihtj kulia tena kam mwanzo mlige wang alivyoachwa mataa pls
Tangazo - Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107


Mh. Mie nikajituliza zangu kimyaa. Nishaambiwa mie sio mtamu. Kuma imepanuka nafanyaje sasa . Ila kama ndo kupanuka labda nilivyozaa ila sikuwa na wanaume kabisaa mimi. Yani mpaka nafikia umri huu mi wanaume nnaowajua ni mlige na zayd basi. Nikaona yatapita aya. Basi deni shoga yenu ndo nikalimaliza kihivyo. Akawa hajanipigia tena simu na mm sikumpigia .na namba yake mlige mm wala siisevu . Mume wa mtu uyu naanzaje kusave namba yake. Basi nikawa naendelea kupambna na maisha yangu tu. Mdogo mdogo nikaona apa mie nitafute kazi. Ata ya kuokota elfu 2 kwa siku. Mana kuna mda...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/my-wangu-sehemu-ya-106-na-107

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi my-wangu-sehemu-ya
MY WANGU❤️ sehemu ya 47 na 48
MY WANGU❤️ sehemu ya 47 na 48
MY WANGU❤️ sehemu ya 51 na 52
MY WANGU❤️ sehemu ya 51 na 52
MY WANGU❤️ sehemu ya 71 na 72
MY WANGU❤️ sehemu ya 71 na 72
MY WANGU sehemu ya 40
MY WANGU sehemu ya 40
MY WANGU❤️ sehemu ya 44 na 45
MY WANGU❤️ sehemu ya 44 na 45
MY WANGU❤️ sehemu ya 94 na 95
MY WANGU❤️ sehemu ya 94 na 95
MY WANGU❤️ sehemu ya 74 na 75
MY WANGU❤️ sehemu ya 74 na 75
MY WANGU❤️ sehemu ya 76 na 77
MY WANGU❤️ sehemu ya 76 na 77
MY WANGU sehemu ya 38 na 39
MY WANGU sehemu ya 38 na 39
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70
MY WANGU❤️ sehemu ya 49 na 50
MY WANGU❤️ sehemu ya 49 na 50
MY WANGU❤️ sehemu ya 73
MY WANGU❤️ sehemu ya 73
MY WANGU❤️ sehemu ya 46
MY WANGU❤️ sehemu ya 46
MY WANGU❤️ sehemu ya 53 na 54
MY WANGU❤️ sehemu ya 53 na 54
MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67
MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67
MY WANGU❤️ sehemu ya 103
MY WANGU❤️ sehemu ya 103
MY WANGU sehemu ya 41 na 42
MY WANGU sehemu ya 41 na 42
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85
MY WANGU❤️ sehemu ya 63
MY WANGU❤️ sehemu ya 63
MY WANGU sehemu ya 43
MY WANGU sehemu ya 43
MY WANGU❤️ sehemu ya 34 na 35
MY WANGU❤️ sehemu ya 34 na 35
MY WANGU❤️ sehemu ya 32 na 33
MY WANGU❤️ sehemu ya 32 na 33
MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65
MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65
MY WANGU❤️ sehemu ya 68
MY WANGU❤️ sehemu ya 68
MY WANGU❤️ sehemu ya 100
MY WANGU❤️ sehemu ya 100
MY WANGU❤️ sehemu ya 59 na 60
MY WANGU❤️ sehemu ya 59 na 60
*MY WANGU❤️*   *sehemu ya 98 na 99*
*MY WANGU❤️* *sehemu ya 98 na 99*
MY WANGU❤️ sehemu ya 55
MY WANGU❤️ sehemu ya 55
MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83
MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83
MY WANGU❤️ sehemu ya 93
MY WANGU❤️ sehemu ya 93
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

1.03K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

718
MY WANGU❤️ sehemu ya 86 na 87 Wenda mpangilio umekosewa endelea kusoma

MY WANGU❤️ sehemu ya 86 na 87 Wenda mpangilio umekosewa endelea kusoma

655
MIMI SIKUACHI🥰  SEHEMU YA 56...57

MIMI SIKUACHI🥰 SEHEMU YA 56...57

506
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 66...67💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 66...67💘💘

499
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 68...69💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 68...69💘💘

418
MIMI SIKUACHI🥰  SEHEMU YA 58

MIMI SIKUACHI🥰 SEHEMU YA 58

305
REALLY LOVE* Chapter 19

REALLY LOVE* Chapter 19

251
MY CRAZY BOSS 06

MY CRAZY BOSS 06

112
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 6

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 6

91

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.2K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.93K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.69K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.1K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.48K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.42K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.32K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.31K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.26K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.18K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MIMI SIKUACHI🥰  SEHEMU YA 58 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 SEHEMU YA 58
@majario LIVE

🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Wakati nawaza pale akaja yule muuzaji na baadhi ya sampo ya vitu vya kike vya gharama kweli dah mfukoni pesa ya kufosi na uhakika wa kupokelewa zawadi sina ila fresh...

*ZAWADI YA RAMADH'AN* 1 - 3 Post Mpya
*ZAWADI YA RAMADH'AN* 1 - 3
@majario LIVE

SEHEMU YA...... 1 ilikuwa ni majira ya Jioni nyumbani kwa Kijana Tajiri aliefahamika kwa jina la ABDUL. Kijana ambae alijaaliwa kuwa msomi na kuweza Kupata kazi Nzuri. Hali ile ilimpelekea kuishi nyumba moja...

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 7 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 7
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Hatimae mda wa vipindi ulianza na siku hii nilikuwa na kipindi cha asubuhi kwa kidato cha tatu nilikuwa natakiwa kwenda kuwafundisha geography Basi nikaelekea darasani, kufika humo nakuta wanafunzi hawatulii...

MY WANGU❤️ sehemu ya 108 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 108
@majario LIVE

Mh na mimi nikaanza kulia. Aseeee hakukuwa na kuoga tena. Mana niliona mlige . Anazidi kulia na ata simuelewi tena..ikabidi mimi ndo nijikaze sasa. Nikafunga bomba. Nikachukua taulo...

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 68...69💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 68...69💘💘
@majario LIVE

Ni nani jina la huyo mwanamke aliyejifungua?! Nilimuuliza eve aliniambia jina lake ni lia Stanley.... lia lia lia...... kwanini huachi ndoa yangu ikawa na amani nikufanyie nini ewe mwanamke ili...

What’s a German food you could eat every day and never get tired of? English Post Mpya
What’s a German food you could eat every day and never get tired of? English
@majario LIVE

If I had to choose one German food I could eat every day and never get tired of, it would be Brötchen—those small, crusty bread rolls that are everywhere in...

MIAKA 7 ya Ndoa Mke wangu ana ujauzito mwingine ambao si wangu! Post Mpya
MIAKA 7 ya Ndoa Mke wangu ana ujauzito mwingine ambao si wangu!
@majario LIVE

Mimi ni kijana wa miaka 36, nimeoa na ndoa yangu ina miaka 7 sasa, binafsi sijabahatika kupata mtoto. Kama kawaida huko mwanzoni nilijua kuwa matatizo ni ya mke wangu, akawa...

When Saif Ali Khan married Amrita Singh in 1991, it honestly felt like Bollywood didn’t see it coming. A 12-year age gap Post Mpya
When Saif Ali Khan married Amrita Singh in 1991, it honestly felt like Bollywood didn’t see it coming. A 12-year age gap
@majario LIVE

, totally different career phases, and zero interest in pleasing society—it was bold for that time. There was no big media circus, no flashy wedding photos splashed everywhere. Just a...

Sad news from the film fraternity 💔  Veteran actress Pravina Deshpande has passed away at the age of 60 Post Mpya
Sad news from the film fraternity 💔 Veteran actress Pravina Deshpande has passed away at the age of 60
@majario LIVE

. She was known for her performances in films like Ready, Jalebi, and Taskaree, leaving behind memorable moments on screen. An artist gone, but her work will continue to live on 🎬✨ May...

Boost Earnings from Your DE Traffic & Grab Your Bonus! Image #1 Post Mpya
Boost Earnings from Your DE Traffic & Grab Your Bonus! Image #1
@majario LIVE

This week, all eyes are on Germany! Why? Because you can earn a 10% bonus when you increase your Germany earnings by 25% or more compared to the previous week. What...

MY CRAZY BOSS 06 Post Mpya
MY CRAZY BOSS 06
@majario LIVE

Majira ya saa saba yalifika ambapo mimi na boss tuliongozana wote hadi kwenye kikao Kama ilivyodesturi boss wangu yupo smart kweli kweli, watu wote wanamwogopa na kumuheshimu hana masihars kabisa kwenye...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 66...67💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 66...67💘💘
@majario LIVE

Mmmhhhh namba ni ya nani hii😪😪 yani saizi huyu mwanaume simuachi hata kitokee kitu gani🌚🌚 yani nasemaje nitampenda yeye na hao mademu zake sina muda wa kuanza kutafuta mahusiano mapya...

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 6 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 6
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Nikashangaa amepiga magoti chini akafungua chupa ya maji akamaliza akjimiminia mdomoni, mimi kwangu yalikuwa mageni kabisa sijawahi kuona mtu anakunywa maji kwa staili hiyo Basi alipomaliza kunywa maji akarudi kukaa...

MIMI SIKUACHI🥰  SEHEMU YA 56...57 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 SEHEMU YA 56...57
@majario LIVE

🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Basi mwanaume nikawa nawaza tu haka katoto haka katakuja kupenda pesa kinoma na wivu kama wote😂😂😂kanasukuma wenzie kabisa hakataki wasogelee simu ila nilitokea kukapenda sana maana nakenyewe kalikuwa active sana...

MY WANGU❤️ sehemu ya 86 na 87 Wenda mpangilio umekosewa endelea kusoma Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 86 na 87 Wenda mpangilio umekosewa endelea kusoma
@majario LIVE

Nyieeeee nilinuka.na deraa tu ndani nilivaa chupi tu nilitoka peku peku. Dooh rahul ana balaa et alienda na wenzie kucheza kwenye bara bara kubwa jamni. Nilichanganikiwa mm. Nafika mpaka pale...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest