Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107
Gonga94 · Stories

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

Mh. Mie nikajituliza zangu kimyaa. Nishaambiwa mie sio mtamu. Kuma imepanuka nafanyaje sasa . Ila kama ndo kupanuka labda nilivyozaa ila sikuwa na wanaume kabisaa mimi. Yani mpaka nafikia umri huu mi wanaume nnaowajua ni mlige na zayd basi. Nikaona yatapita aya. Basi deni shoga yenu ndo nikalimaliza kihivyo. Akawa hajanipigia tena simu na mm sikumpigia .na namba yake mlige mm wala siisevu . Mume wa mtu uyu naanzaje kusave namba yake. Basi nikawa naendelea kupambna na maisha yangu tu. Mdogo mdogo nikaona apa mie nitafute kazi. Ata ya kuokota elfu 2 kwa siku. Mana kuna mda nakaa kama msenge kiasi cha kwamba. Ata mtoto akinambia mama nataka pipi. Mie sina pesa kabisaa. Nilifulia shoga yenu . Sikuwa yule kabisa. Dada mwenye tambo zake mjini. Niliishiwa aswaaa. Wala sikuwa na tambo kabisaa.

Basi bwana siku iyo sasa . Mda wa jioni . Naona mlige ananipigia . Mh nikaogopa mnooo. Nikasema uyu baba anataka nini tena. Nikapokea ile simu. Mlige akanmbia upo wapi. Nikasema nipo nyumbani vp. Akanmbia nna kikao mwanza cha siku 3. Nataka unipeleke. Kheeeee nyie mnamsikia uyu baba. Nikasema wapi . Mi siendi kokote . Kwnn niende uko na una mkeo. Mlige unataka kunitafutia balaa mimi. Alafu mm niondoke ukoo. Mwanangu namuacha na nani.sitaki mligee. Nyieeeee mlige akafoka. Akanmbia we demu unajifanya unajua sana kujibu sio. Nakuuliza wewe faridah unajua sana kujibu. Unahisi nakushobokea sana nakuuliza wewe maraya. Khaaaaa asa aya yamekujaje jamni. Akanmbia sikia kesho jiandae tunaenda mwanza . Alafu tukiwa tunaongea mm na ww habari za mke wangu zinakujaje apa mshamba nn wewe. Khaaaa mi nikkata simu

Et kanitumia sms . Tunaenda au ndo umegoma. Nikasema sitaki na ukiendelea namtumia sms mkeo namwambia. Kanmbia sasa mwambie na tushawahi kutombana juzi kati apa. Mh sikumjibu tena mm. Akanitumia sms. Akanmbia mi nazani wewe unanijua vizuri . Mimi chizi tena mm mwehu aswaaa . Kesho natungulia runzewe nakungoja apo . Sasa. Jichanganyee usije uoneeee . Nikasema sina wa kumuachia mtoto. Akasema mbebe kwani uyo mtoto ataalibu nn. Mh mi wala sikumjibu. Nashangaa kanitumia laki 2. Akanitumia na sms fanya maandaliz. Khaaa uyu kichaa nini . Mbona anatak kuniletea heka heka lakini. Nionekane natembea na mume wa shoga angu lakini.

Basi mi nikakausha ..kesho yake. Asubuh jamni niliamshwa na sms za mlige za vitisho nakwambia . Et nisipoenda ata nifanya kitu kibaya. Sijuh atakuja kukiwasha kwetu. Yani mambo kibao. Mi nikamjibu nakuja. Na kweli mie nikaanza kumuandaa mtoto. Mama aliponiona nafanya maandalizi ya kutoka. Akaniuliza ay mwenzetu wapi. Nikasema ahaa mama naenda kahama . Baba rahul kanipigia nimpeleke mwanae akamuone. Mama akasema kwaiyo uyo baba rahul kufika apa hawez ..au mnataka kurejesha majeshi . Akukupige tena. Uludi kama mwiko apa. Nikasema mama mi siendi kukutana nae gest wala . Naenda kwa mdogo wake ndo na yeye anakuja apo. Anataka kumuona mwanae.mama akanambia sawa . Naomba usilale uludi leo leo. Kama anahamu na mwnae sana muachie wewe ludi apa. Nikasema sawa mama. Basi mie nikamuandaa pale. Mana uyu ndo alikuwa kigezo cha mie kutoka . Yani bila ya uyu mi ningesema naondoka naenda wapi. Sio kweli. Nikavaa tu kawaida gauni langu lefu. Apo mwili unludi ila sio sana yani.

Basi bibi mie nikambeba mwanagu . Nikapanda gari mpaka runzewe. Nilivyofika nikampigia simu . Akapokea . Nikamwambia nimefika apa runzewe mbona sikuoni. Akanielekeza alipo mie nimeenda na mwanagu. Tumefika pale kweli nikamkuta ni restaurant sehemu ya kula . Nikaenda mpaka pale. Akanipokea mtoto kabisaa. Mh ila mlige ana moyo wake. Mtoto wa hasimu wake uyu. Na mwanagu mimi wala hanaga shidaa. Kabisaa . Akatuulia pale. Mlige akamuuliza eeh boy unataka kula nn. Et ananingalia mm. Ila rahul nikanambia nimuagizie chips. Kweli mlige akamuagizia pale. Na mm akaniagizia chipsi yai na mishikaki. Bila ya kuniuliza mlige ananielewa sana nn napenda na kipi sikipendi.

Basi tukala kimya kimya wala hatukuwa na story pale.baada ya pale . Mlige akambeba mwanagu tukaingia ndani ya gari sasa. Mh gari kali. Gari inanukia mnoo. Basi mi nikampakata mwanagu . Njia nzima ni kimyaaa wal hakuna kuongeleshana na si mnamjua mlige ana kisirani. Basi ni kimyaaa. Labda rahul ndo anaongea nae. Yani. Mlige anamwambia mwanagu rahul.baba yako fala fala yuko wapi yule? Khaaaaa . Mwanagu nae anacheka et baba angu fala yupo mbalii .ukooooooo🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌🙌🙌. Mie nimenyamaza zangu kimyaaa. Mna mlige ni ana mambo ni ananichokoza tu. Anasema yani rahul uo weupe mpka rahaa watu wanapagawaga na weupe leo kiko wapi. Mi nimenyamaza zangu kimyaa. Akanichokoza sana nakwambia. Anamwambia et rahul umekonda now umekuwa kabaya doooh. Et anamwambia mtot. Mwanagu anacheka tu. Si haelewi ila najua naambiwa mie . Nikajinyamazia zangu kimyaa.

Basi akadrive mpaka .tumeingia mwanza. Na tulifikia hotel.ni kubwa mno. Basi akachukua room. Apo ni kambeba mwanangu . Na tukaingia mpaka hotel. Room kabisa. Akanmbia tutakaa apa kwa siku 3. Ya nne ndo tunaludi nyumbani .mie nikase.a sawa . Apo nyumbani nimeagaa naludi leo leo. Basi mlige akanmbia naenda kuwatafutia nguo za kuvaa kwa mda mtakuwa uku. Nikasema sawa hakuna shida . Na kweli . Akatoka. Na baada ya mdaa mlige akalidi kabeba mfuko . Akanipa . Nyieee kweli ni nguo et kaninunulia mpka chupi ila uyu baab. Nikamwambia asante. Akanmbia itokeee moyoni na ulizike kweli. Mh aya majibu yake sasa . Mie kimyaa. Nikamuogesha mwanagu nikambadili nguo. Mana mlige alimnunulia nguo piah. Baada ya kumvalisha . Akanmbia tushuke tukale chakura cha usiku .mana uo mda kama saa 2 usiku. Apo shoga yenu sijashika simu kabisaa. Yani sijashika najua mama atanitafuta tu

Basi baada ya chakura kule chini . Tukapanda juu. Mh mwanagu alishakuwa kasinzia mana usingizi . Na kachoka sanaa. Na nginja nginja za magari. Basi akalala. Nikalaza vizuri kitandani. Nikaona mlige anavua nguo mbele yangu Ila uyu . Mie nikawa namuangalia tu . Akanmbia twende tukaoge. Nikasema tangulia akanmbia mbona unakuwa kma mtoto faridah ebu twende bwan. Mh nikanyanyuka kweli tukaingia bafuni. Akafungua maji kisha kanivuta. Akanikumbatia kwa nguvu . Ikawa maji yanatumwagikia. Yani alinikimbwatia asswaa ata kupumua nashindwa sasa.nikamwambia mlige unaniumiza . Mh namsimia ana meza kwikwi basi nikajua analia maskini. Nikamtoa harka kwenye kumbato. Namuangalia kweli analia kabisaa. Nyieeee na mimi nikajikuta machozi yanatoka . Nikasema mlige plssss nisamehe usiwe unalia kwa ajili yangu kila siku . Naumia sana. Na nakosa barak. Mlige akanmbia ntaacha kulia kwa ajili yako siku nikifa faridaah. Faridaah unaniumiza kila siku m
Kwenye maisha yangu . Faridah kw nn ulifanya vile mhhhhh

🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴

Maoni

You're not logged in


profile
Said 19 Feb 2026 07:30
Dah nimeamini maumivi ya mapenz hayaishi kamwe na kwa mtu yule uliyempenda kwel na hat ukiwa na hasira naye basi akiwa karibu yako ni tiba tosha, n mapenz hayan umri maan moyo unapend na mwil hunafat mlige leo analia kweny bega la mtu aliyempend san na kumumiz pia kwa kuwa moyo bado upo kwake na kwel mapenz hisia nimepend san apa asant mwandishi
Na kingine mwandishi pend kuweka hata vipande vinne maan apa umeniacha na mafikirio duuh najion kama mie vile jaman ila asant na tumalize salam ila mwisho huwe mzur weng wetu tunamachoz ya karb sihtj kulia tena kam mwanzo mlige wang alivyoachwa mataa pls
Tangazo - Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Mwanangu Mungu ndio anae jua
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107


Mh. Mie nikajituliza zangu kimyaa. Nishaambiwa mie sio mtamu. Kuma imepanuka nafanyaje sasa . Ila kama ndo kupanuka labda nilivyozaa ila sikuwa na wanaume kabisaa mimi. Yani mpaka nafikia umri huu mi wanaume nnaowajua ni mlige na zayd basi. Nikaona yatapita aya. Basi deni shoga yenu ndo nikalimaliza kihivyo. Akawa hajanipigia tena simu na mm sikumpigia .na namba yake mlige mm wala siisevu . Mume wa mtu uyu naanzaje kusave namba yake. Basi nikawa naendelea kupambna na maisha yangu tu. Mdogo mdogo nikaona apa mie nitafute kazi. Ata ya kuokota elfu 2 kwa siku. Mana kuna mda...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/my-wangu-sehemu-ya-106-na-107

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi my-wangu-sehemu-ya
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.
MY WANGU❤️ sehemu ya 108
MY WANGU❤️ sehemu ya 108
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117
MY WANGU❤️ sehemu ya 118
MY WANGU❤️ sehemu ya 118
*MY WANGU❤️*   *sehemu ya 109 na 110*
*MY WANGU❤️* *sehemu ya 109 na 110*
MY WANGU❤️ sehemu ya 111 na 112
MY WANGU❤️ sehemu ya 111 na 112
MY WANGU❤️ *sehemu ya 114 na 115*
MY WANGU❤️ *sehemu ya 114 na 115*
MY WANGU❤️ sehemu ya 103
MY WANGU❤️ sehemu ya 103
MY WANGU❤️ sehemu ya 113
MY WANGU❤️ sehemu ya 113
MY WANGU❤️ sehemu ya 94 na 95
MY WANGU❤️ sehemu ya 94 na 95
MY WANGU❤️ sehemu ya 96 na 97
MY WANGU❤️ sehemu ya 96 na 97
MY WANGU❤️ sehemu ya 100
MY WANGU❤️ sehemu ya 100
MY WANGU❤️ sehemu ya 47 na 48
MY WANGU❤️ sehemu ya 47 na 48
*MY WANGU❤️*   *sehemu ya 98 na 99*
*MY WANGU❤️* *sehemu ya 98 na 99*
MY WANGU❤️ sehemu ya 101 na 102
MY WANGU❤️ sehemu ya 101 na 102
MY WANGU❤️ sehemu ya 71 na 72
MY WANGU❤️ sehemu ya 71 na 72
MY WANGU❤️ sehemu ya 51 na 52
MY WANGU❤️ sehemu ya 51 na 52
MY WANGU❤️ sehemu ya 89 na 90
MY WANGU❤️ sehemu ya 89 na 90
MY WANGU❤️ sehemu ya 76 na 77
MY WANGU❤️ sehemu ya 76 na 77
MY WANGU❤️ sehemu ya 93
MY WANGU❤️ sehemu ya 93
MY WANGU sehemu ya 40
MY WANGU sehemu ya 40
MY WANGU❤️ sehemu ya 74 na 75
MY WANGU❤️ sehemu ya 74 na 75
MY WANGU❤️ sehemu ya 86 na 87 Wenda mpangilio umekosewa endelea kusoma
MY WANGU❤️ sehemu ya 86 na 87 Wenda mpangilio umekosewa endelea kusoma
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85
MY WANGU sehemu ya 38 na 39
MY WANGU sehemu ya 38 na 39
MY WANGU❤️ sehemu ya 73
MY WANGU❤️ sehemu ya 73
MY WANGU❤️ sehemu ya 44 na 45
MY WANGU❤️ sehemu ya 44 na 45
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70
MY WANGU❤️ sehemu ya 88
MY WANGU❤️ sehemu ya 88
MY WANGU❤️ sehemu ya 49 na 50
MY WANGU❤️ sehemu ya 49 na 50
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 44 na 45

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 44 na 45

1.23K
*AFANDE MILLAN😎* *46&47*

*AFANDE MILLAN😎* *46&47*

908
MIRANDA (Binti Yangu)   SEHEMU YA 19 - 20

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 19 - 20

278
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 17 - 18

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 17 - 18

251
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 16

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 16

248
SHAMIRA 44 kwa 45

SHAMIRA 44 kwa 45

178
ACHA NIKUPENDE ❤️ 3  to 5

ACHA NIKUPENDE ❤️ 3 to 5

121
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 38  na 39.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 38 na 39.

116
*KISASI CHA SINDELE BAADA YA KUAMBUKIZWA UKIMWI KWA MAKUSUDI*😭😭😭. *1-4*

*KISASI CHA SINDELE BAADA YA KUAMBUKIZWA UKIMWI KWA MAKUSUDI*😭😭😭. *1-4*

109
mke wangu kaniambia mtoto sio wangu nifanyaje ndugu zangu

mke wangu kaniambia mtoto sio wangu nifanyaje ndugu zangu

106

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.68K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.39K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.81K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.31K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.9K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.83K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.68K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.67K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.63K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.57K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 48 na 49 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 48 na 49
@majario LIVE

Daaah mchumba ndo kashanikatia simu mi nafanyaje sasa ,basi nikaweka simu pembeni tu, kisha nikapanda kitandani, nikavuta shuka , nikapumzika na asubih sana nikaamkia kazin na mwanangu lbraa,ibra akaniuliza...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 38  na 39. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 38 na 39.
@majario LIVE

kipande cha 38 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Basi ndo hivyo . Nikaikosa ndoa na bwana barka.na nikawa busy na maisha yangu . Na mambo yangu. Na nikazidisha mapenzi tu kwa...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 36 na 37 namba zilikosewa endelea kusoma. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 36 na 37 namba zilikosewa endelea kusoma.
@majario LIVE

36 MPAKA 37 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Maua akasema khaaa yani unanitukana mimi. Kwaiyo mimi naweza kuolewa na kaka yangu. Nikasema yaa unaweza sasa kisebengo cha nini. Nakuona sana tangu...

SHAMIRA Sehemu ya 47 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 47
@majario LIVE

Wassap; 0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi shost alivyotoka kuoga akanmbia shamira shoga yangu nisamehe kwa yale maneno nilokwambia basi. Nikasema yapi? Akasem si yale ya kukwambia ukatoe mimba...

SHAMIRA Sehemu ya 46 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 46
@majario LIVE

🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀 Mwandishi; lissa wa huru media Nikaona aisha kakasirika akanambia sawa kama unataka kulea iyo mimba na kuzaa. Ile kulea mtoto ni gharama umae ukielewa hilo suala mapema . Mana sio...

*AFANDE MILLAN😎* *46&47* Post Mpya
*AFANDE MILLAN😎* *46&47*
@majario LIVE

Nakumbuka kuna kipindi ,nilisafiri na ibraa kikazi kwenda moro , apo nilishamuaga zena kuwa mm nasafari naenda moro kikazi, ntakaa siku 2, akanmbia hakuna shida, basi mm nikawa...

SHAMIRA 44 kwa 45 Post Mpya
SHAMIRA 44 kwa 45
@majario LIVE

🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀 Sehemu ya 44 Mwandishi; lissa wa huru media Aseeee tulichoka mno na shoga yangu asa mimi jamani.nafanya nini na hili tumbo na mwanaume hanitaki. Na ameshakana kuwa hii mimba sio yake...

MIRANDA (Binti Yangu)   SEHEMU YA 19 - 20 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 19 - 20
@majario LIVE

SONGA NAYO......... miezi kama miwili ilipita huku nikiishi Tanzania pamoja na wifi yangu kipenzi BLESS 🥰 yes amekuwa wifi yangu badala ya mtoto wangu lakini nimemfanya kama bjnti yangu nampenda huyu...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 17 - 18 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 17 - 18
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Mdada mie nikaanza kupiga ukelele wa furaha na bila kujigikiria mara mbili mbili nilimkumbatia Anfrey mwamba naye ni kama alitegemea hivyo maana alinipokea tena kwa hamu kubwa "Anfrey asante asante...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 16 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 16
@majario LIVE

SONGA NAYO....... Basi ikabidi waniache, nikaingia ndani nikawa nimeloa chepechepe na binti angu nae vile vile hakunibanduka kabisa mikononi mwangu "Karibu sana baba karibi, jisikie upo nyumbani.." Nikiwa chumbani navaa niliweza kumsikia mama...

mke wangu kaniambia mtoto sio wangu nifanyaje ndugu zangu Post Mpya
mke wangu kaniambia mtoto sio wangu nifanyaje ndugu zangu
@majario LIVE

Mimi naitwa Baba Derick, Leo asubuhi mapema sana, kama kawaida yangu niliamka kwenda kutafuta riziki. Kabla sijaondoka nyumbani, niliweka shilingi elfu mbili mezani. Nilimwambia mke wangu wazi kabisa kwamba pesa...

Mwandishi wa BBC Kasra Naji amekiri hali ni mbaya ndani ya Israel ameripoti akisema "Israel ipo katika hali ya kufungwa (lockdown), Post Mpya
Mwandishi wa BBC Kasra Naji amekiri hali ni mbaya ndani ya Israel ameripoti akisema "Israel ipo katika hali ya kufungwa (lockdown),
@majario LIVE

mitaa ipo tupu hakuna watu nje kutokana na hali ya hofu ya mashambulizi ya Iran, maduka yamefungwa na hali inazidi kuwa ngumu kuvumilika kwa watu" "Hata makombora makubwa ya Hezbollah yanaanguka...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 44 na 45 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 44 na 45
@majario LIVE

Basi bwana tumefika kwake, ikabidi niwaache kisha nikatoka nikaenda super market kuwachukulia mahitaji, aseee nikawabebea kila kitu cha kula, sijuh unga ,mchele, kuku , nyama, maziwa ya mtoto mana bado...

Taarifa hii haijathibitishwa lakini watu wanaulizana itakuaje kama kweli ubalozi wa huyu bwana utakuwa umeguswa? SIO KULIPULIWA UGUSWE TU! Post Mpya
Taarifa hii haijathibitishwa lakini watu wanaulizana itakuaje kama kweli ubalozi wa huyu bwana utakuwa umeguswa? SIO KULIPULIWA UGUSWE TU!
@majario LIVE

Wataalamu wanahofia kuwa Kim Jong Un anaweza kutumia tukio hilo kama kisingizio cha kupanua uungaji mkono wake kwa Tehran, jambo litakaloleta tafarani kubwa duniani. Korea Kaskazini ina ubalozi wake jijini Tehran,...

ACHA NIKUPENDE ❤️ 3  to 5 Post Mpya
ACHA NIKUPENDE ❤️ 3 to 5
@majario LIVE

ACHA NIKUPENDE ❤️ 3 MTUNZI uhuru media Karibu WhatsApp 0794810082 Kwa jicho aliloangaliwa na Nicky ilimbidi aondoke haraka haraka akaenda jikoni huku akiwa kachukia na machozi yalimtoka bila kutegemea. Alipofika...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest