Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MY WANGU❤️ sehemu ya 101 na 102
Gonga94 · Stories

MY WANGU❤️ sehemu ya 101 na 102

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


Nikasema ni kweli yusta nimemfanyia mengi mabaya. Najutia na naumia . Ukipata mda mwambie anisamehe sana. Yusta akasema wee wala sitaki kumtibua mume wangu kipenzi. Yani mume wangu akisikia jina lako anapagawa . Anataamani kutapika. Na kama alikuwa anakula anasusa chakura. Na mm wala sitaki kumvuruga tu. Na apa mie nimekuja kukuomba sana ukae mbali na mume wangu. Mh nikasema yusta mm wala siwez kutembea na mlige tena . We kua na amani kabisa ya moyo. Mi nipo nyumbni najiangalizia tu. Nikikaaa powa naludi zangu dar wala sijaachikaaa. Mh akacheka akanmbia mh ila umefabaaa . Mrs tajeer mh na uhuu mwili ulikuwa unapigwa ama. Mie kimyaaa. Nikajua shoga kaja kunikashifu walaah. Akatoa simu yake kali nakwmabia kubwa kwenye screen kamuweka mlige . Akajifanya kuichezea nikajua ananirusha rohoo miee

Nikamuuliza nasikia una waroto 2 akanmbia yaa nnao wawili shoga wa kwanza aa mika 3 anayefata ana 2 mlige kanizalisha haraka haraka wala hataki masihara. Wamefanana sana na mlige. Yani ukiwaona wala huulizi na mlge navyowapenda wanae sikwambii. Acha tu. Nikamuuliza mh kwann ujawabeba sasa. Akanmbia wala siwabebi wapo na dada . Mi nna miangaiko sana. Mlige kanifungulia biashara kama zote ndo nipo napambana sna yani. Mh nikasema sawa umependeza shoga angu. Niachia ata elfu 50 basi shogaaa . Basi yusta akacheka. Akasema heeeee we si umesema hujaachikaa. Looh umeisha aya bwana apa mi sina pesa nyingi nna elfu 10 hii itakusaidia. Apo katoa pochi yake. Imejaa elfu 10 . Kama zote ..akanmbia usione nyingo zina mahesabu shoga .nikasema sawa asante wala usijali ata hii itanitoosha. Mh akaaga uyoo akondoka zake. Mh mdada mchoyo uyuu. Mie nilikuwa nmpa pesa zangu kama mwehu . Ye ndo hivi. Nikajishukulia tu miee.

Basi bwna zikapita week 3. Nipo ndani najifungia tu . Siku iyo mama akanmbia kwani ww kinachokufanya ujifungie ndani ni nn eeeh kwani we umeua au umeiba. Toka njee na fanya mambo yako. Ujaua mtuu. Asa utakaa ndani kila siku mpaka lini. Mie nikasema sawa mama. Ila wapi wala siendi mbali .bala balani siendi kabisaaa. Yani siendi naona aibu .na apo ndo week 3 nipo home kamwili kanaludi . Acheni kabisaaa. Basi siku iyo mama akanmbia twemde tukatembee bala balani tukaemeee . Mie nikagoma mama akanmbia ebu twende ukooo we una shida gani mjinga ww. Basi bibi mie ndo nikakubali nikavaa. Dela langu ma mtandio nikajifunika. Mama akambeba mwanangu. Tukaenda road . Na tukaemea. Tukaludi . Asa mam ndo akwa ananifanyia hivyo kila siku usiku tunaenda road najichangamshaaa kidogooo.

Basi apo road mlige alipashika. Alijenga maduka kama 3 . Na kaweka wanafunzi wake tulomaliza nao. Namjua mlige ana rohoo safi . Naona alifanya kama kuwapa ajira. Hivyoo. Nilikuwa namjutia sana .ila sikuwa natamani kukutana na mlige ata kidogooo. Yani sikuwa natamani kumuona . Naogopa sana na naona aibu mnoo ntamuangaliajee mimi. Basi ndo ikawa hivyoo mpaka ikakata miezi 3. Mk sijaonana kabisa na mlige. Ila yusta namuona na mbwe mbwe jamnk mhh. Nikimuomba pesa ananipa elfu 5 au elfu 10. Nabaki kuguna tu mana mengine niliyataka mwenyew ningetulia na mlige wala yasingenikuta mieeee

Basi bwanaaa . Siku iyoo sasa . Mama akanipigia simu kwamba nikachukue mchele dukani nipike kabisa mana yey yuko shamab. Basi mie nikasem sawa. Bibi mke nkachukua pesaa mpaka dukani . Nikanunua mchele na mafuta. Basi nikiwa pale napimiwa . Ikapaki gari pale. Tena kali mnoooo. Mh nageuka hivi. Na mligee ndo anashuka . Aseeee moyo wangu ulifanyaaa paaah. Mlige wal hakustuka kuniona. Aseee mi nikageuza sula yangu chapu pembeni . Alikuwa kavaa pensi nyeusi na t shrt ya kijani flani hivi kawakaa sana yani kama alitokea nyumbani vile . Hakuwa kavaa official .nyie uyu baba wala hazeeki.. ni amezidi kuwa handsome. Sikutamani kumuangalia tena naona aibu na nilivyojiishia mimi.

Yule kijana alokuwa nanaihudumia .aksema boss karibu. Mlige akasema thankss. Endelea kumuhudumia mteja. Mh kumbe na hili duka ni lake wala sikuwa nimejua mm. Yule mkaka akaniwekea . Nikataka kuondoka . Mlige akaniita faridaah. Nikasimama uku natetemeka ile ya wazi kabisa. Mlige akanisogelea akanmbia ndo hutaki ata kunisalimia sio. Nikasema hapana akanmbia nilikuwa mwalimu wako pia . Haitoshi ww kunipa salamu. Nikasema shikamooo. Aakaningalia kisha akatabasamu tu wala hakuniitikia salamu yangu. Akanmbia nenda. Mh mimi ata kugeuka sikutaka ni mbioo. Mungu wangu kwa nn kaniona sas. Na nilivyoishaa mimi doooh nimejitia aibu sana mbele yake. Basi nimeludi nyumbani na nikaandaa chakura ila mawzo .mlige kapendeza nyiee kwanza ata siendani ane tena nilivyojisshia . Mh

Basi usiku ndo mama kaludi na mambo mengine yakaendelea . Mwenzenu nilikuwa ni mtu wa nyumbani sana . Au siku niende shamba kumsaidia mama kulima baso nakuja kupumzika . Road sitokei aibu watu walikuwa wananisema sana jamani. Mh siku iyo bwna ilikuwa mida kama ya usiku sa 2. Nipo nyumbani na mama tunaongea. Ongea . Mana rahul alilala mda mrefu sana. Basi tukawa tunaongea ongea . Mala mlango ukagongwa .mie ndo nikaenda kufungua . Alikuwa ni mkaka flani nimesoma nae shule ya sekondari pamoja. Na ni kuna duk moja la mlige uyu kaka anaiuza anaitwa juma. Nikamshangaa kuja kwetu ule mda nikamsalimia nikamuukiza umekuja kumuona mama nikuitie. Akanmbia hapana nimekufata ww nataka tuongee kidogo jambo la siri. Mhh mie nikaludi ndani nikamwmabia mama nakuja kuna mtu anongea nae apoo. Mama akniukiza nanai. Nikasema juma yule alikuwa mwanafunzi mwenzangu. Mama aknmbia sawa

Basi mi nikatoka kwa pembeni kumsikiliza juma . Mh nashangaa ananmbia mlige anakuta yupo. Uku . Kanambia nikupelek. Nikapgopa sana mm. Nikasema hpana smi sitaki kwnda. Akanmbia unaogopa nn sasa anataka kuongea na ww tu na wal sio si lengine. Ebu plsss umsikilize. Mh nikamuuliza yupo wapi. Akanmbia kwangu kule bondeni chapu tu. Mh mume wa mtu sasa .mlige nikawa naogopa jamani. Juma akanambia twende bwana . Anahitaji sana kuongea na ww. Mh mie nikawa naogopa je akinipiga may be bado ana hasira na mimi kwa niliyomkosea . Mh nikawa naogopa ila juma akanibembeleza sana . Mie nikakubali tukaenda mpaka kwa juma . Ni kajumba cha udongo chumba kimoja tu.juma akanmbia ingia ndani yupo umoo nakungojaa mh nikawa naogopa ila nikajikaza nikaingia na kweli nikamkuta mlige ameekaa juu ya kitanda cha kamba.

🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴

Maoni

You're not logged in


Tangazo - MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
Tunao Wapenda ndio wanao tuua baba
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MY WANGU❤️ sehemu ya 101 na 102



Nikasema ni kweli yusta nimemfanyia mengi mabaya. Najutia na naumia . Ukipata mda mwambie anisamehe sana. Yusta akasema wee wala sitaki kumtibua mume wangu kipenzi. Yani mume wangu akisikia jina lako anapagawa . Anataamani kutapika. Na kama alikuwa anakula anasusa chakura. Na mm wala sitaki kumvuruga tu. Na apa mie nimekuja kukuomba sana ukae mbali na mume wangu. Mh nikasema yusta mm wala siwez kutembea na mlige tena . We kua na amani kabisa ya moyo. Mi nipo nyumbni najiangalizia tu. Nikikaaa powa naludi zangu dar wala sijaachikaaa. Mh akacheka akanmbia mh ila umefabaaa . Mrs tajeer mh...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/my-wangu-sehemu-ya-101-na-102

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle #BeautyBattle #AfricaVsWorld #Tanzania #Kenya #Congo #Rwanda #Burundi #SouthAfrica #USA #VoteNow #DebateTime #Trending 🐓 Follow the ommy khan Tanzania channel on WhatsApp: https://whatsapp.com/channel/0029VbCg0JyFsn0hCN1ByD44

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi my-wangu-sehemu-ya
MY WANGU❤️ sehemu ya 108
MY WANGU❤️ sehemu ya 108
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107
*MY WANGU❤️*   *sehemu ya 109 na 110*
*MY WANGU❤️* *sehemu ya 109 na 110*
MY WANGU❤️ sehemu ya 118
MY WANGU❤️ sehemu ya 118
MY WANGU❤️ sehemu ya 111 na 112
MY WANGU❤️ sehemu ya 111 na 112
MY WANGU❤️ *sehemu ya 114 na 115*
MY WANGU❤️ *sehemu ya 114 na 115*
MY WANGU❤️ sehemu ya 103
MY WANGU❤️ sehemu ya 103
MY WANGU❤️ sehemu ya 96 na 97
MY WANGU❤️ sehemu ya 96 na 97
MY WANGU❤️ sehemu ya 113
MY WANGU❤️ sehemu ya 113
MY WANGU❤️ sehemu ya 94 na 95
MY WANGU❤️ sehemu ya 94 na 95
MY WANGU❤️ sehemu ya 100
MY WANGU❤️ sehemu ya 100
MY WANGU❤️ sehemu ya 47 na 48
MY WANGU❤️ sehemu ya 47 na 48
*MY WANGU❤️*   *sehemu ya 98 na 99*
*MY WANGU❤️* *sehemu ya 98 na 99*
MY WANGU❤️ sehemu ya 71 na 72
MY WANGU❤️ sehemu ya 71 na 72
MY WANGU❤️ sehemu ya 51 na 52
MY WANGU❤️ sehemu ya 51 na 52
MY WANGU❤️ sehemu ya 89 na 90
MY WANGU❤️ sehemu ya 89 na 90
MY WANGU sehemu ya 40
MY WANGU sehemu ya 40
MY WANGU❤️ sehemu ya 76 na 77
MY WANGU❤️ sehemu ya 76 na 77
MY WANGU❤️ sehemu ya 93
MY WANGU❤️ sehemu ya 93
MY WANGU❤️ sehemu ya 74 na 75
MY WANGU❤️ sehemu ya 74 na 75
MY WANGU❤️ sehemu ya 86 na 87 Wenda mpangilio umekosewa endelea kusoma
MY WANGU❤️ sehemu ya 86 na 87 Wenda mpangilio umekosewa endelea kusoma
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85
MY WANGU sehemu ya 38 na 39
MY WANGU sehemu ya 38 na 39
MY WANGU❤️ sehemu ya 49 na 50
MY WANGU❤️ sehemu ya 49 na 50
MY WANGU❤️ sehemu ya 73
MY WANGU❤️ sehemu ya 73
MY WANGU❤️ sehemu ya 44 na 45
MY WANGU❤️ sehemu ya 44 na 45
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70
MY WANGU❤️ sehemu ya 88
MY WANGU❤️ sehemu ya 88
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 85

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 85

1.34K
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 86 na 87

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 86 na 87

1.26K
LETICIA Sehemu ya 17 na 18

LETICIA Sehemu ya 17 na 18

334
IN LOVE WITH ZURI*   *Chapter 9&10*

IN LOVE WITH ZURI* *Chapter 9&10*

153
IN LOVE WITH ZURI* Chapter 8

IN LOVE WITH ZURI* Chapter 8

146
💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO💋  11....15

💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO💋 11....15

91
😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 11

😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 11

17
😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋  Sehemu ya 14

😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 14

15
😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋  Sehemu ya 15

😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 15

15
😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋  Sehemu ya 13

😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 13

12

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.96K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.65K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.89K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.55K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

3.05K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

3K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.85K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.83K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.71K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.69K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO💋  11....15 Post Mpya
💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO💋 11....15
@majario LIVE

Sawa mke wangu kipenzi nashukuru kwa kunijali, Denis aliondoka hadi gari 🚙 lilivyokata kona na mimi nikaingia ndani nilibadilisha nguo nilizovaa nikaenda sokoni kununua nyama na mchele nikaja kupika chakula...

😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋  Sehemu ya 15 Post Mpya
😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 15
@mjukuu LIVE

😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 15 (🔞) (HII NI SIMULIZI YA WAKUBWA TU NA WAKUBWA WENYEWE WALE WAPENZI WA CHOMBEZO) Alex anazidi kumshindua kungwi kwa raha zake mpaka na yeye akakojoa... Alex alikaa kwa kungwi...

😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋  Sehemu ya 14 Post Mpya
😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 14
@mjukuu LIVE

(🔞) (HII NI SIMULIZI YA WAKUBWA TU NA WAKUBWA WENYEWE WALE WAPENZI WA CHOMBEZO) Mke wangu umeenda kijijini kumpa mwanangu mimba?. ( Yani aliongea uku amemkwida mama asma...na hapo akatokea msamalia mwema akamshika...

😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋  Sehemu ya 13 Post Mpya
😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 13
@mjukuu LIVE

(🔞) (HII NI SIMULIZI YA WAKUBWA TU NA WAKUBWA WENYEWE WALE WAPENZI WA CHOMBEZO) Siku ambayo kwakweli nilifanya mapenzi na asma kwa raha sana nilimlamba kila Kona na kiu aliitoa na yeye...

😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋  Sehemu ya 12 Post Mpya
😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 12
@mjukuu LIVE

(🔞) (HII NI SIMULIZI YA WAKUBWA TU NA WAKUBWA WENYEWE WALE WAPENZI WA CHOMBEZO) 👉 Asma akasogea yupo tayari kuvuliwa nguo nimpe utamu, Dah yani....👇 Kidume sikutaka kuchelewa maana penzi la wizi wizi hili, Nilimvua...

😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 11 Post Mpya
😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 11
@mjukuu LIVE

(🔞) (HII NI SIMULIZI YA WAKUBWA TU NA WAKUBWA WENYEWE WALE WAPENZI WA CHOMBEZO) 👉 Unajua mbwana yule mjumbe anatoa...👇 Ushilikiano kitandani utasema kijana yani uno kama lote mpaka nasema kimoyoni enzi ya...

IN LOVE WITH ZURI*   *Chapter 9&10* Post Mpya
IN LOVE WITH ZURI* *Chapter 9&10*
@majario LIVE

SONGA NAYO........ Upande wangu nilikuwa zangu chumbani, nikijiandaa kwa ajiri ya kutoka kwenda kurefresh kidogo, nikiwa najiandaa mara Ethan huyu hapa alikuwa mnyinge kweli "Vipi tena??" Nilimuuliza baada ya kumuona amekuwa mnyonge gafla "Acha...

IN LOVE WITH ZURI* Chapter 8 Post Mpya
IN LOVE WITH ZURI* Chapter 8
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Ethan akazungumza "Hakuna cha kukata tamaa, kwani we nani amekwambia kuwa ameolewa..??" "Ni mama.." Nilimjibu huku nikiwa nimekata tamaa zaidi "Sasa mama wewe unamuamini vipi??, kama amekuongopea?? We cha kufanya anza kumtoa mtoto...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 86 na 87 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 86 na 87
@majario LIVE

Basi mimi sasa apo nikampigia kwanza mkuu wangu kazini, mana sijaenda kazini kama siku 3 na sikuwa nimetoa sababau kabisaa, nikamuelezea kuwa nna matatizo mengi ya kimafimilia kwaiyo sipo sawa...

LETICIA Sehemu ya 17 na 18 Post Mpya
LETICIA Sehemu ya 17 na 18
@majario LIVE

Nikiwa nimelala usiku nikashangaa mlango unafunguliwa. Mmh nikainuka chapu uzuri sizimagi taa ,si namuona polela jamni loooh nilichukia mno jamani nikasema wewe umefwata nini umu .akasema taratibu mummy...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 85 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 85
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Aseeee mi nikatulia pale sebleni, et amam akaenda kuchukua nguo zake akasema naenda pemba ushasahau kuwa mm nimekuzaa ww kabisa , na ndo mana huna adabu kabisa, mi...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 96 - 100 MWISHO SEASON TWO Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 96 - 100 MWISHO SEASON TWO
@majario LIVE

:96 Yeye akawa tu anaendesha kama vile hakuna kitu amezungumza. Mimi hapo tena naona tu kesho ifike tu nipelekwe tu hiyo sehemu. Sijui hata ni kuchinjwa au nikutekwa mimi tayari tu nipo...

MFALME KIPOFU Sehemi..ya............14 Post Mpya
MFALME KIPOFU Sehemi..ya............14
@majario LIVE

Ilipoishia sehemu iliyopita.... Huyo hawezi kuishi bira wewe mana haoni na nafasi ya mwisho ni kuondoka katika huu ufalme nisione sura zenu tena hapa...... ENDELEA NAYO........ Mfalme Tengu aliwafukuza Prince Yao na Lindiwe...

NAKUPENDA BILA  MIPAKA 87 - 95 SEASON TWO Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 87 - 95 SEASON TWO
@majario LIVE

:87 Nikacheka na kusema “sasa nikufiche nini, lakini sasa Dokta kama anampenda boss bora amwambie anateseka bure.” Dada Maria alicheka na kusema “wewe unawajua wanaume, wanaume hawana hata muda nakuambia, na vile...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 83 na 84 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 83 na 84
@majario LIVE

Namtak uyo maraya wako, namtaka nasema, mh nikajua apa kumekucha nikawaambia wanangu, nendeni chumbai kwenu haraka, kweli ummy akachukua mdogo wake arshaina wakaingia chumbani, mm.nikamsogelea mama.nikasema.mma ni ustaarabu gani, mama.mi.nilikuwa...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest