Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MY WANGU❤️ sehemu ya 101 na 102
Gonga94 · Stories

MY WANGU❤️ sehemu ya 101 na 102

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


Nikasema ni kweli yusta nimemfanyia mengi mabaya. Najutia na naumia . Ukipata mda mwambie anisamehe sana. Yusta akasema wee wala sitaki kumtibua mume wangu kipenzi. Yani mume wangu akisikia jina lako anapagawa . Anataamani kutapika. Na kama alikuwa anakula anasusa chakura. Na mm wala sitaki kumvuruga tu. Na apa mie nimekuja kukuomba sana ukae mbali na mume wangu. Mh nikasema yusta mm wala siwez kutembea na mlige tena . We kua na amani kabisa ya moyo. Mi nipo nyumbni najiangalizia tu. Nikikaaa powa naludi zangu dar wala sijaachikaaa. Mh akacheka akanmbia mh ila umefabaaa . Mrs tajeer mh na uhuu mwili ulikuwa unapigwa ama. Mie kimyaaa. Nikajua shoga kaja kunikashifu walaah. Akatoa simu yake kali nakwmabia kubwa kwenye screen kamuweka mlige . Akajifanya kuichezea nikajua ananirusha rohoo miee

Nikamuuliza nasikia una waroto 2 akanmbia yaa nnao wawili shoga wa kwanza aa mika 3 anayefata ana 2 mlige kanizalisha haraka haraka wala hataki masihara. Wamefanana sana na mlige. Yani ukiwaona wala huulizi na mlge navyowapenda wanae sikwambii. Acha tu. Nikamuuliza mh kwann ujawabeba sasa. Akanmbia wala siwabebi wapo na dada . Mi nna miangaiko sana. Mlige kanifungulia biashara kama zote ndo nipo napambana sna yani. Mh nikasema sawa umependeza shoga angu. Niachia ata elfu 50 basi shogaaa . Basi yusta akacheka. Akasema heeeee we si umesema hujaachikaa. Looh umeisha aya bwana apa mi sina pesa nyingi nna elfu 10 hii itakusaidia. Apo katoa pochi yake. Imejaa elfu 10 . Kama zote ..akanmbia usione nyingo zina mahesabu shoga .nikasema sawa asante wala usijali ata hii itanitoosha. Mh akaaga uyoo akondoka zake. Mh mdada mchoyo uyuu. Mie nilikuwa nmpa pesa zangu kama mwehu . Ye ndo hivi. Nikajishukulia tu miee.

Basi bwna zikapita week 3. Nipo ndani najifungia tu . Siku iyo mama akanmbia kwani ww kinachokufanya ujifungie ndani ni nn eeeh kwani we umeua au umeiba. Toka njee na fanya mambo yako. Ujaua mtuu. Asa utakaa ndani kila siku mpaka lini. Mie nikasema sawa mama. Ila wapi wala siendi mbali .bala balani siendi kabisaaa. Yani siendi naona aibu .na apo ndo week 3 nipo home kamwili kanaludi . Acheni kabisaaa. Basi siku iyo mama akanmbia twemde tukatembee bala balani tukaemeee . Mie nikagoma mama akanmbia ebu twende ukooo we una shida gani mjinga ww. Basi bibi mie ndo nikakubali nikavaa. Dela langu ma mtandio nikajifunika. Mama akambeba mwanangu. Tukaenda road . Na tukaemea. Tukaludi . Asa mam ndo akwa ananifanyia hivyo kila siku usiku tunaenda road najichangamshaaa kidogooo.

Basi apo road mlige alipashika. Alijenga maduka kama 3 . Na kaweka wanafunzi wake tulomaliza nao. Namjua mlige ana rohoo safi . Naona alifanya kama kuwapa ajira. Hivyoo. Nilikuwa namjutia sana .ila sikuwa natamani kukutana na mlige ata kidogooo. Yani sikuwa natamani kumuona . Naogopa sana na naona aibu mnoo ntamuangaliajee mimi. Basi ndo ikawa hivyoo mpaka ikakata miezi 3. Mk sijaonana kabisa na mlige. Ila yusta namuona na mbwe mbwe jamnk mhh. Nikimuomba pesa ananipa elfu 5 au elfu 10. Nabaki kuguna tu mana mengine niliyataka mwenyew ningetulia na mlige wala yasingenikuta mieeee

Basi bwanaaa . Siku iyoo sasa . Mama akanipigia simu kwamba nikachukue mchele dukani nipike kabisa mana yey yuko shamab. Basi mie nikasem sawa. Bibi mke nkachukua pesaa mpaka dukani . Nikanunua mchele na mafuta. Basi nikiwa pale napimiwa . Ikapaki gari pale. Tena kali mnoooo. Mh nageuka hivi. Na mligee ndo anashuka . Aseeee moyo wangu ulifanyaaa paaah. Mlige wal hakustuka kuniona. Aseee mi nikageuza sula yangu chapu pembeni . Alikuwa kavaa pensi nyeusi na t shrt ya kijani flani hivi kawakaa sana yani kama alitokea nyumbani vile . Hakuwa kavaa official .nyie uyu baba wala hazeeki.. ni amezidi kuwa handsome. Sikutamani kumuangalia tena naona aibu na nilivyojiishia mimi.

Yule kijana alokuwa nanaihudumia .aksema boss karibu. Mlige akasema thankss. Endelea kumuhudumia mteja. Mh kumbe na hili duka ni lake wala sikuwa nimejua mm. Yule mkaka akaniwekea . Nikataka kuondoka . Mlige akaniita faridaah. Nikasimama uku natetemeka ile ya wazi kabisa. Mlige akanisogelea akanmbia ndo hutaki ata kunisalimia sio. Nikasema hapana akanmbia nilikuwa mwalimu wako pia . Haitoshi ww kunipa salamu. Nikasema shikamooo. Aakaningalia kisha akatabasamu tu wala hakuniitikia salamu yangu. Akanmbia nenda. Mh mimi ata kugeuka sikutaka ni mbioo. Mungu wangu kwa nn kaniona sas. Na nilivyoishaa mimi doooh nimejitia aibu sana mbele yake. Basi nimeludi nyumbani na nikaandaa chakura ila mawzo .mlige kapendeza nyiee kwanza ata siendani ane tena nilivyojisshia . Mh

Basi usiku ndo mama kaludi na mambo mengine yakaendelea . Mwenzenu nilikuwa ni mtu wa nyumbani sana . Au siku niende shamba kumsaidia mama kulima baso nakuja kupumzika . Road sitokei aibu watu walikuwa wananisema sana jamani. Mh siku iyo bwna ilikuwa mida kama ya usiku sa 2. Nipo nyumbani na mama tunaongea. Ongea . Mana rahul alilala mda mrefu sana. Basi tukawa tunaongea ongea . Mala mlango ukagongwa .mie ndo nikaenda kufungua . Alikuwa ni mkaka flani nimesoma nae shule ya sekondari pamoja. Na ni kuna duk moja la mlige uyu kaka anaiuza anaitwa juma. Nikamshangaa kuja kwetu ule mda nikamsalimia nikamuukiza umekuja kumuona mama nikuitie. Akanmbia hapana nimekufata ww nataka tuongee kidogo jambo la siri. Mhh mie nikaludi ndani nikamwmabia mama nakuja kuna mtu anongea nae apoo. Mama akniukiza nanai. Nikasema juma yule alikuwa mwanafunzi mwenzangu. Mama aknmbia sawa

Basi mi nikatoka kwa pembeni kumsikiliza juma . Mh nashangaa ananmbia mlige anakuta yupo. Uku . Kanambia nikupelek. Nikapgopa sana mm. Nikasema hpana smi sitaki kwnda. Akanmbia unaogopa nn sasa anataka kuongea na ww tu na wal sio si lengine. Ebu plsss umsikilize. Mh nikamuuliza yupo wapi. Akanmbia kwangu kule bondeni chapu tu. Mh mume wa mtu sasa .mlige nikawa naogopa jamani. Juma akanambia twende bwana . Anahitaji sana kuongea na ww. Mh mie nikawa naogopa je akinipiga may be bado ana hasira na mimi kwa niliyomkosea . Mh nikawa naogopa ila juma akanibembeleza sana . Mie nikakubali tukaenda mpaka kwa juma . Ni kajumba cha udongo chumba kimoja tu.juma akanmbia ingia ndani yupo umoo nakungojaa mh nikawa naogopa ila nikajikaza nikaingia na kweli nikamkuta mlige ameekaa juu ya kitanda cha kamba.

🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴

Maoni

You're not logged in


Tangazo - SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
Wimbo wenye ubunifu imechanga kiarabu kiswahili na amapiano wimbo wa kushukuru kwa maisha na upendo Sasa sikiliza na ku download hapa gonga94.com
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MY WANGU❤️ sehemu ya 101 na 102



Nikasema ni kweli yusta nimemfanyia mengi mabaya. Najutia na naumia . Ukipata mda mwambie anisamehe sana. Yusta akasema wee wala sitaki kumtibua mume wangu kipenzi. Yani mume wangu akisikia jina lako anapagawa . Anataamani kutapika. Na kama alikuwa anakula anasusa chakura. Na mm wala sitaki kumvuruga tu. Na apa mie nimekuja kukuomba sana ukae mbali na mume wangu. Mh nikasema yusta mm wala siwez kutembea na mlige tena . We kua na amani kabisa ya moyo. Mi nipo nyumbni najiangalizia tu. Nikikaaa powa naludi zangu dar wala sijaachikaaa. Mh akacheka akanmbia mh ila umefabaaa . Mrs tajeer mh...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/my-wangu-sehemu-ya-101-na-102

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi my-wangu-sehemu-ya
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107
MY WANGU❤️ sehemu ya 108
MY WANGU❤️ sehemu ya 108
MY WANGU❤️ sehemu ya 111 na 112
MY WANGU❤️ sehemu ya 111 na 112
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117
MY WANGU❤️ sehemu ya 118
MY WANGU❤️ sehemu ya 118
*MY WANGU❤️*   *sehemu ya 109 na 110*
*MY WANGU❤️* *sehemu ya 109 na 110*
MY WANGU❤️ *sehemu ya 114 na 115*
MY WANGU❤️ *sehemu ya 114 na 115*
MY WANGU❤️ sehemu ya 103
MY WANGU❤️ sehemu ya 103
MY WANGU❤️ sehemu ya 94 na 95
MY WANGU❤️ sehemu ya 94 na 95
MY WANGU❤️ sehemu ya 96 na 97
MY WANGU❤️ sehemu ya 96 na 97
MY WANGU❤️ sehemu ya 100
MY WANGU❤️ sehemu ya 100
MY WANGU❤️ sehemu ya 113
MY WANGU❤️ sehemu ya 113
MY WANGU❤️ sehemu ya 47 na 48
MY WANGU❤️ sehemu ya 47 na 48
*MY WANGU❤️*   *sehemu ya 98 na 99*
*MY WANGU❤️* *sehemu ya 98 na 99*
MY WANGU❤️ sehemu ya 51 na 52
MY WANGU❤️ sehemu ya 51 na 52
MY WANGU❤️ sehemu ya 71 na 72
MY WANGU❤️ sehemu ya 71 na 72
MY WANGU❤️ sehemu ya 89 na 90
MY WANGU❤️ sehemu ya 89 na 90
MY WANGU❤️ sehemu ya 76 na 77
MY WANGU❤️ sehemu ya 76 na 77
MY WANGU❤️ sehemu ya 93
MY WANGU❤️ sehemu ya 93
MY WANGU❤️ sehemu ya 74 na 75
MY WANGU❤️ sehemu ya 74 na 75
MY WANGU❤️ sehemu ya 86 na 87 Wenda mpangilio umekosewa endelea kusoma
MY WANGU❤️ sehemu ya 86 na 87 Wenda mpangilio umekosewa endelea kusoma
MY WANGU sehemu ya 40
MY WANGU sehemu ya 40
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70
MY WANGU❤️ sehemu ya 88
MY WANGU❤️ sehemu ya 88
MY WANGU❤️ sehemu ya 44 na 45
MY WANGU❤️ sehemu ya 44 na 45
MY WANGU❤️ sehemu ya 73
MY WANGU❤️ sehemu ya 73
MY WANGU sehemu ya 38 na 39
MY WANGU sehemu ya 38 na 39
MY WANGU❤️ sehemu ya 49 na 50
MY WANGU❤️ sehemu ya 49 na 50
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU YA KUMU*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMU*

900
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10

495
FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 16

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 16

436
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8

424
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17

313
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12

234
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10

211
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.

184
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.

141
SHAMIRA sehemu ya 34&35

SHAMIRA sehemu ya 34&35

98

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.43K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.2K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.74K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.2K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.6K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.45K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.44K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.43K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.38K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.36K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla Post Mpya
This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla
@majario LIVE

with that cute bubbly energy… and Aamir Khan being his mischievous, romantic self. What a combo yaar! Ishq was not just a love story, it was full on drama, comedy,...

 Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani Post Mpya
Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani
@majario LIVE

* Meli za kijeshi za Marekani zilizopo Ghuba ya Uajemi * Rada za Israel zilizopo Azerbaijan * Rada za Israel zilizopo Turkmenistan * Mifumo ya ulinzi wa anga ya vituo vya Marekani nchini...

SHAMIRA sehemu ya 34&35 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 34&35
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi nikajiiinua taratibu tukaingia bafuni. Mwanaume akanikumbatia uku tunaoga. Aseee uyu baba ananipenda ila hataki upumbavu ata kidogo na mkono wake mwepesi kupiga .na yote sababu...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nikaona zena kamnyanyua yule mtoto kisha akambeba ,ni amefanana nae sana ,nikajua ni wa kwake tu yani ni lazima utu mtoto atakuwa ni mwanae, kisha akanigeukia...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17
@majario LIVE

Ikabidi nikae tu kwenye piki piki maana sura alivyokuwa kaikaza mmh asije kunipiga, Kimyaa kikatawala sasa mie nilijua tunaenda kwa Tinner na moyoni nilikuwa nimempangia hayo maneno Tinner eeh mbona...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Maeneo ya pale pale chuoni, Salmon alikuwa amepanga nyumba kubwa ya peke yake. Wakati akiwa chuo ndo alikua anaishi hapo, ila siku za weekends kama hana mambo mengi ndo anaenda...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi kuanzia apo nikawa sasa kidogo naelewana na baraka. Tena mimi ndo napenda sana kuongea nae. Yani sanaaa. Napenda kucheka nae sana. Na kun jinsi...

FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 16 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 16
@majario LIVE

Usiku wangu ulikuwa mzito sana, maneno ya D kusema kuwa Veda anatembea na wanawake wengi, niliyaamini kabisaaa Bila shakaa kwa maana Yeye tu hana mwonekano mzuri ametuna tuna hovyo anakuwa...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10
@majario LIVE

Daaah nikaona mtoto kachomoa leo mana sio powa , ana vipengele sana uyu demu , ila unyama, hatachomoa kila siku, ni suala la muda tu, mana sijawahi kumtaka mwanamke ,...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media BASI nikapanda kitandani kwangu. Nikijutia sana nilichokifanya mana mh . Nilikuwa nasababisha ugomvi mkubwa wa wazazi mungu wangu. Yani mama yangu alikuwa anaachwa leo...

SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.??? Post Mpya
SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.???
@majario LIVE

Hatimae jana tambo za Dabi zilipata majibu kwa timu za Simba na Yanga kutoka suluhu ya bila kufungana(0-0). Kwa maana hiyo timu zote ziliambulia pointi moja moja. Mchezo wa jana pamoja...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8
@majario LIVE

Zena akasema kwaiyo manager unataka kuniuza ama ni vp, yule manager aksema , naomba uelewe kuwa ukifanya kazi katika hii bar, mteja kukushika sehemu yoyote ya mwili wako ni kawaida,...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU YA KUMU* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMU*
@majario LIVE

Jambo likawa lelelele, Yaani ni patashika nguo kuchanika, Kwa upande wangu Walahi nilikuwa nikifurahi tu, na amina alikuwa akilia tu nakuomba msamaha. Enzo wa watu mwaya akachukua muda wake na kumuelezea...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Mbali na ivyo zile zawadi alizo tumiwa Noela zilimuuma vile vile. Alihisi Noela hastahili vitu vizuri wala maisha ya kifahari. Alitaka kila kitu kiwe chake, wanaume wote wawe wake. Hata...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 6 na 7 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 6 na 7
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi bwana , mwanaume wala sikuwa na shaka, kazi zote ambazo nilibakiwa nazo pale ofisini, nikamuachia ibraaa, na ukiacha ushikaji, mi bafo ibra ni mkubwa wake wa kazi,...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest