Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

*MY WANGU❤️*   *sehemu ya 98 na 99*
Gonga94 · Stories

*MY WANGU❤️* *sehemu ya 98 na 99*

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴


Basi bibi mie nikaanzaa safari ya kagera uo mdaa ulikuwa jioni . Nakumbuka gari ilitoka pale stand jioni saa 12. Nilikuwa na mawazo mnoo. Rahul ananiuliza mama tunaenda wapi. Namwamboa tunaenda kwa bibi na kwa babu . Mh nilikuwa na mawazo sana. Yani nilikuwa nawaza mnooo. Na mawazo yalinijaaa aswaaa . Nawaza vingi. Kwanza naludi nyumbani nipo kama chizi. Nimeishaa . Nimekondaaa mnoo. Mwili wangu sasa ni umezorota kwa mawazo. Na nimejawa na alama mwili mzima za kupigwa na mkia wa taa. Nilikuwa mnyonge sana wala sikuwa sawa. Yani sikuwa powa kabisaaa. Mpaka usiku saa 4 . Tukaingia msamvu. Apo ndo nikashuka nikae da kumnunulia chakula rahul. Nikpamda nae katika gari. Wala sokula mm. Yani sikula kabisaa. Mwanangu akalla. Nikamfunika na mbebeo yake. Na tukaendelea na safari.

Kesho yake saa 8 mchana mm ndo nashuka nyantakara. Nyieee nimeshuka mchana watu kama wote. Shoga yenu nilichukua mbebeo ya mwanangu nikajifunika mpka usoni kabisaaa yani . Ile watu wasinione.nikaanza kutembea kuelekea nyumbani. Uku nimembeba mwanangu. Naangalia mbele tu. Nakwambia . Naona aibu watu wataniona. Ila kuna baazi waliniona ila wala sikusalimia nikafika mpka nyumbani. Nikakuta mlango umefungwa na hakuna mtu . Ila dalili ya watu kuwepo niliiona nikahisi wazee watakuwa wameenda shambani Sasa mala zote mama huwa anaficha funguo chini ya kanyagio. Mi nikainua lile kanyagio pale kibalazani kweli nikakuta . Nikachukua funguo.nikafungua . Na nikaingia ndani. Mh ni miaka 5 ndo naludi nyumbani. Mh acheni tu

Basi bwana. Mie nikawa naangakia mazingira ya nyumbani. Bado kuna vitu alivyonunua mlige. Ila sofa ndo zimeanza kuchakaa. Ila ni kusafi sana na mama yangu ni msafi sana. Nikaingia mpaka chumbani kwangu. Mwanangu alichoka sana. Mi nikachukua maji nikaenda kumuogesha . Nilivyoludi nikamlaz kitandani kwangu. Hakuchukua mda akapitiwa na usingizi. Mi nikasogelea kabati langu nikawa naangalia yaaa nna nguo nikiziacha na zote alininunuliaga mlige. Nilijikuta nimekaaaa na nikaanza kulia . Moyo unaniuma snaaa. Hivi nikikutana na mlige mm namuangaliajee . Moyo unauma sanaa. Naangalia kwenye kabati naona vitu vingi kweli alivyoninunulia kipindi ikoo. Naangaliaaa mpaka begi langu la shule kipindi nasoma. Nililia sana na nikijutia sana. Yani vitu vilivyokuwa kwenye kabati ndo vilinikumbusha mbali.nilikumbuka furaha yangu kipindi nipo nae.

Nilikiwa ni mtu mwenye amani sana. Nikakuta mpka boksa zake. Kuna mda nilikuwa nikienda kwake. Nakuwa nazivaa naludi navyo. Matshirt yake yote yakikuwepo. Aseess moyo uliuma sanaaa . Nilijikuta nimekumbuka mbali. Mala nikasikia mlango wa sebleni kama umesukumwa . Nikajua ni mama sasa ndo kaludi . Basi mie nikatoka sas. Ndo namuona mama yangu. Nyie mama alinishangaaa sana nikaona machozi yanamtoka . Akanmbia faridah ndo umeisha hivyo mwanangu. Kweli wewe mkataa pema. Nyieee nilipiga magoti nikaanza kutambaaa nikimfata mama. Nikamwambia mama nisamehe mwanao.nisamehe mama. Ni majalibu tu yakinipata nisamehe mama yangu siludii. Nisamehe mama nimeshajifunza mimi. Mama alinambia faridah mm wala hujanikosea yupo uliomkosea sana ww. Ulipatwa n nn.

Mi sikumficha mama nikanza kumuahadithia maisha niliyokuwa naishi uku nalia. Asee mma mpka akawa ananifuta machozi. Akanmbia wewe ni mjinga sana faridaah . Yule baba alikupenda mnoo. Ila ukamuona mjinga . Ukababaika na watu wenye pesa zaid. Mbona ata mlige hayupo vibaya . Vihela anavyo. Ukamuona mjinga ukamuona hafai. Kisa mwarabu mwanangu ulipagawa na weupe. Umemsahau mwanaume aliyekusomesha . Amekusaidia mambo mangapi. Faridaaah nilijua lazima laana itakuludia . Baba wa watu kaja apa analia kama mtoto mpaka preshaaa. Amelazwa week nzima . Ikawa story yake tu .yaani apa. Mpaka akawa anataka kuhama na shule. Umemdhalilisha sana na kumtia aibu. Leo unadhalilika wewe faridah. Ona ulivyoisha ata tako hakuna. Umekuwa kama bibi . Yani wewe na mm mma yako mie mzuri. Zote ni tamaa faridaah na kujifanya unajua sana. Unataka vijana wenzio. Ukamuona mlige mkubwa aya kiko wapi.

Leo mwenzako kaolewa. Anatembela gari yusta. Ana maisha mazuri. Wazazi wake wanainjoy . Wewe unaludi na mtoto . Ata degree umeshindwa kumalizaa. Angalia mwenzako yusta anatembelea gali. Mlige kamfungulia maduka kibao apo balabalani yote anayasimamie yeye. Ana maisha mazuri . Kapendeza na kunenepa . We mpumbavu upo kuangaika loooh . Kiko wapi leo mwanangu . Eeeh nambie kiko wapi. Mwenzio yusta kashamzalia watoto wawili mlige. Kawapiga double double. Unahisi ni mjinga yule . Unazani haoni kama mlige mkubw . Ila mwenzio ana akiri ya maisha . Leo wazazi wake wana injoy apa kijijini . Mie nachekwa kwa ajili yako napata aibu kwa ajili yako .nadhalilika kwa ajili yako faridah. Ila nilishajishukulia sababu ww nilishakuona ni fungu la kukosa . We mtoto ni fungu la kukosa faridaah .ndo ipo hivyo.

Mimi nilibaki nalia tu. Mama aknmbia polee. Yusta mwenzio mwalimu anafundisha apo apo na mume wake. Mwnaume anapaki gari kushoto. Yeye anapaki gari kulia . Pole yakoo. Nyieeee moyo unauma . Nikawa nalia. Mama akanmbia na alivyo mwema yule baba nikikutana nae mapaka pesa ananipa mie ndo naona aibu nakataaa. Looh mtoto wewe. Leo kiko wapi mungu kakupiga kofi . Umeludi umekonda kama kuku . Muone kwanzaaa. Loooooh ata mie mama yako apa nalipa kuliko wewe. Loooh nyie mama alinichamba sana. Alinipa maneno kweli . Nilibaki kulia na majuto tu. Mala mwanangu ndo akatoka. Akja akanikumbatia . Ananifuta machozi. Mh mama akamchukua akatoka nae njee. Mi nalia jamni pale. Basi baada ya apo . Nikaingia chumbani . Na baada ya mda mama akaja . Akanmbia hongera mbegu umepata mwaya nimeenda nae dukani watu wote wanamsifia mwanao mzuri. Mh nilibaki kimyaaaa

🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Mwanangu Mungu ndio anae jua
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

*MY WANGU❤️* *sehemu ya 98 na 99*

🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴


Basi bibi mie nikaanzaa safari ya kagera uo mdaa ulikuwa jioni . Nakumbuka gari ilitoka pale stand jioni saa 12. Nilikuwa na mawazo mnoo. Rahul ananiuliza mama tunaenda wapi. Namwamboa tunaenda kwa bibi na kwa babu . Mh nilikuwa na mawazo sana. Yani nilikuwa nawaza mnooo. Na mawazo yalinijaaa aswaaa . Nawaza vingi. Kwanza naludi nyumbani nipo kama chizi. Nimeishaa . Nimekondaaa mnoo. Mwili wangu sasa ni umezorota kwa mawazo. Na nimejawa na alama mwili mzima za kupigwa na mkia wa taa. Nilikuwa mnyonge sana wala sikuwa sawa. Yani sikuwa powa kabisaaa. Mpaka usiku saa 4...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/my-wangu-sehemu-ya-98-na-99

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi my-wangu-sehemu-ya
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.
MY WANGU❤️ sehemu ya 108
MY WANGU❤️ sehemu ya 108
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107
MY WANGU❤️ sehemu ya 118
MY WANGU❤️ sehemu ya 118
*MY WANGU❤️*   *sehemu ya 109 na 110*
*MY WANGU❤️* *sehemu ya 109 na 110*
MY WANGU❤️ sehemu ya 111 na 112
MY WANGU❤️ sehemu ya 111 na 112
MY WANGU❤️ *sehemu ya 114 na 115*
MY WANGU❤️ *sehemu ya 114 na 115*
MY WANGU❤️ sehemu ya 103
MY WANGU❤️ sehemu ya 103
MY WANGU❤️ sehemu ya 113
MY WANGU❤️ sehemu ya 113
MY WANGU❤️ sehemu ya 94 na 95
MY WANGU❤️ sehemu ya 94 na 95
MY WANGU❤️ sehemu ya 96 na 97
MY WANGU❤️ sehemu ya 96 na 97
MY WANGU❤️ sehemu ya 100
MY WANGU❤️ sehemu ya 100
MY WANGU❤️ sehemu ya 47 na 48
MY WANGU❤️ sehemu ya 47 na 48
MY WANGU❤️ sehemu ya 101 na 102
MY WANGU❤️ sehemu ya 101 na 102
MY WANGU❤️ sehemu ya 71 na 72
MY WANGU❤️ sehemu ya 71 na 72
MY WANGU❤️ sehemu ya 51 na 52
MY WANGU❤️ sehemu ya 51 na 52
MY WANGU❤️ sehemu ya 89 na 90
MY WANGU❤️ sehemu ya 89 na 90
MY WANGU❤️ sehemu ya 76 na 77
MY WANGU❤️ sehemu ya 76 na 77
MY WANGU❤️ sehemu ya 93
MY WANGU❤️ sehemu ya 93
MY WANGU sehemu ya 40
MY WANGU sehemu ya 40
MY WANGU❤️ sehemu ya 74 na 75
MY WANGU❤️ sehemu ya 74 na 75
MY WANGU❤️ sehemu ya 86 na 87 Wenda mpangilio umekosewa endelea kusoma
MY WANGU❤️ sehemu ya 86 na 87 Wenda mpangilio umekosewa endelea kusoma
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85
MY WANGU sehemu ya 38 na 39
MY WANGU sehemu ya 38 na 39
MY WANGU❤️ sehemu ya 73
MY WANGU❤️ sehemu ya 73
MY WANGU❤️ sehemu ya 44 na 45
MY WANGU❤️ sehemu ya 44 na 45
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70
MY WANGU❤️ sehemu ya 88
MY WANGU❤️ sehemu ya 88
MY WANGU❤️ sehemu ya 49 na 50
MY WANGU❤️ sehemu ya 49 na 50
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 44 na 45

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 44 na 45

1.23K
*AFANDE MILLAN😎* *46&47*

*AFANDE MILLAN😎* *46&47*

937
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 48 na 49

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 48 na 49

349
MIRANDA (Binti Yangu)   SEHEMU YA 19 - 20

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 19 - 20

282
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 17 - 18

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 17 - 18

254
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 16

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 16

252
SHAMIRA 44 kwa 45

SHAMIRA 44 kwa 45

183
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 38  na 39.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 38 na 39.

132
ACHA NIKUPENDE ❤️ 3  to 5

ACHA NIKUPENDE ❤️ 3 to 5

122
SHAMIRA Sehemu ya 47

SHAMIRA Sehemu ya 47

115

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.68K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.4K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.81K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.31K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.9K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.83K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.68K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.67K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.63K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.57K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 48 na 49 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 48 na 49
@majario LIVE

Daaah mchumba ndo kashanikatia simu mi nafanyaje sasa ,basi nikaweka simu pembeni tu, kisha nikapanda kitandani, nikavuta shuka , nikapumzika na asubih sana nikaamkia kazin na mwanangu lbraa,ibra akaniuliza...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 38  na 39. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 38 na 39.
@majario LIVE

kipande cha 38 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Basi ndo hivyo . Nikaikosa ndoa na bwana barka.na nikawa busy na maisha yangu . Na mambo yangu. Na nikazidisha mapenzi tu kwa...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 36 na 37 namba zilikosewa endelea kusoma. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 36 na 37 namba zilikosewa endelea kusoma.
@majario LIVE

36 MPAKA 37 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Maua akasema khaaa yani unanitukana mimi. Kwaiyo mimi naweza kuolewa na kaka yangu. Nikasema yaa unaweza sasa kisebengo cha nini. Nakuona sana tangu...

SHAMIRA Sehemu ya 47 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 47
@majario LIVE

Wassap; 0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi shost alivyotoka kuoga akanmbia shamira shoga yangu nisamehe kwa yale maneno nilokwambia basi. Nikasema yapi? Akasem si yale ya kukwambia ukatoe mimba...

SHAMIRA Sehemu ya 46 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 46
@majario LIVE

🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀 Mwandishi; lissa wa huru media Nikaona aisha kakasirika akanambia sawa kama unataka kulea iyo mimba na kuzaa. Ile kulea mtoto ni gharama umae ukielewa hilo suala mapema . Mana sio...

*AFANDE MILLAN😎* *46&47* Post Mpya
*AFANDE MILLAN😎* *46&47*
@majario LIVE

Nakumbuka kuna kipindi ,nilisafiri na ibraa kikazi kwenda moro , apo nilishamuaga zena kuwa mm nasafari naenda moro kikazi, ntakaa siku 2, akanmbia hakuna shida, basi mm nikawa...

SHAMIRA 44 kwa 45 Post Mpya
SHAMIRA 44 kwa 45
@majario LIVE

🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀 Sehemu ya 44 Mwandishi; lissa wa huru media Aseeee tulichoka mno na shoga yangu asa mimi jamani.nafanya nini na hili tumbo na mwanaume hanitaki. Na ameshakana kuwa hii mimba sio yake...

MIRANDA (Binti Yangu)   SEHEMU YA 19 - 20 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 19 - 20
@majario LIVE

SONGA NAYO......... miezi kama miwili ilipita huku nikiishi Tanzania pamoja na wifi yangu kipenzi BLESS 🥰 yes amekuwa wifi yangu badala ya mtoto wangu lakini nimemfanya kama bjnti yangu nampenda huyu...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 17 - 18 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 17 - 18
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Mdada mie nikaanza kupiga ukelele wa furaha na bila kujigikiria mara mbili mbili nilimkumbatia Anfrey mwamba naye ni kama alitegemea hivyo maana alinipokea tena kwa hamu kubwa "Anfrey asante asante...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 16 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 16
@majario LIVE

SONGA NAYO....... Basi ikabidi waniache, nikaingia ndani nikawa nimeloa chepechepe na binti angu nae vile vile hakunibanduka kabisa mikononi mwangu "Karibu sana baba karibi, jisikie upo nyumbani.." Nikiwa chumbani navaa niliweza kumsikia mama...

mke wangu kaniambia mtoto sio wangu nifanyaje ndugu zangu Post Mpya
mke wangu kaniambia mtoto sio wangu nifanyaje ndugu zangu
@majario LIVE

Mimi naitwa Baba Derick, Leo asubuhi mapema sana, kama kawaida yangu niliamka kwenda kutafuta riziki. Kabla sijaondoka nyumbani, niliweka shilingi elfu mbili mezani. Nilimwambia mke wangu wazi kabisa kwamba pesa...

Mwandishi wa BBC Kasra Naji amekiri hali ni mbaya ndani ya Israel ameripoti akisema "Israel ipo katika hali ya kufungwa (lockdown), Post Mpya
Mwandishi wa BBC Kasra Naji amekiri hali ni mbaya ndani ya Israel ameripoti akisema "Israel ipo katika hali ya kufungwa (lockdown),
@majario LIVE

mitaa ipo tupu hakuna watu nje kutokana na hali ya hofu ya mashambulizi ya Iran, maduka yamefungwa na hali inazidi kuwa ngumu kuvumilika kwa watu" "Hata makombora makubwa ya Hezbollah yanaanguka...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 44 na 45 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 44 na 45
@majario LIVE

Basi bwana tumefika kwake, ikabidi niwaache kisha nikatoka nikaenda super market kuwachukulia mahitaji, aseee nikawabebea kila kitu cha kula, sijuh unga ,mchele, kuku , nyama, maziwa ya mtoto mana bado...

Taarifa hii haijathibitishwa lakini watu wanaulizana itakuaje kama kweli ubalozi wa huyu bwana utakuwa umeguswa? SIO KULIPULIWA UGUSWE TU! Post Mpya
Taarifa hii haijathibitishwa lakini watu wanaulizana itakuaje kama kweli ubalozi wa huyu bwana utakuwa umeguswa? SIO KULIPULIWA UGUSWE TU!
@majario LIVE

Wataalamu wanahofia kuwa Kim Jong Un anaweza kutumia tukio hilo kama kisingizio cha kupanua uungaji mkono wake kwa Tehran, jambo litakaloleta tafarani kubwa duniani. Korea Kaskazini ina ubalozi wake jijini Tehran,...

ACHA NIKUPENDE ❤️ 3  to 5 Post Mpya
ACHA NIKUPENDE ❤️ 3 to 5
@majario LIVE

ACHA NIKUPENDE ❤️ 3 MTUNZI uhuru media Karibu WhatsApp 0794810082 Kwa jicho aliloangaliwa na Nicky ilimbidi aondoke haraka haraka akaenda jikoni huku akiwa kachukia na machozi yalimtoka bila kutegemea. Alipofika...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest