Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

*MY WANGU❤️*   *sehemu ya 98 na 99*
Gonga94 · Stories

*MY WANGU❤️* *sehemu ya 98 na 99*

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴


Basi bibi mie nikaanzaa safari ya kagera uo mdaa ulikuwa jioni . Nakumbuka gari ilitoka pale stand jioni saa 12. Nilikuwa na mawazo mnoo. Rahul ananiuliza mama tunaenda wapi. Namwamboa tunaenda kwa bibi na kwa babu . Mh nilikuwa na mawazo sana. Yani nilikuwa nawaza mnooo. Na mawazo yalinijaaa aswaaa . Nawaza vingi. Kwanza naludi nyumbani nipo kama chizi. Nimeishaa . Nimekondaaa mnoo. Mwili wangu sasa ni umezorota kwa mawazo. Na nimejawa na alama mwili mzima za kupigwa na mkia wa taa. Nilikuwa mnyonge sana wala sikuwa sawa. Yani sikuwa powa kabisaaa. Mpaka usiku saa 4 . Tukaingia msamvu. Apo ndo nikashuka nikae da kumnunulia chakula rahul. Nikpamda nae katika gari. Wala sokula mm. Yani sikula kabisaa. Mwanangu akalla. Nikamfunika na mbebeo yake. Na tukaendelea na safari.

Kesho yake saa 8 mchana mm ndo nashuka nyantakara. Nyieee nimeshuka mchana watu kama wote. Shoga yenu nilichukua mbebeo ya mwanangu nikajifunika mpka usoni kabisaaa yani . Ile watu wasinione.nikaanza kutembea kuelekea nyumbani. Uku nimembeba mwanangu. Naangalia mbele tu. Nakwambia . Naona aibu watu wataniona. Ila kuna baazi waliniona ila wala sikusalimia nikafika mpka nyumbani. Nikakuta mlango umefungwa na hakuna mtu . Ila dalili ya watu kuwepo niliiona nikahisi wazee watakuwa wameenda shambani Sasa mala zote mama huwa anaficha funguo chini ya kanyagio. Mi nikainua lile kanyagio pale kibalazani kweli nikakuta . Nikachukua funguo.nikafungua . Na nikaingia ndani. Mh ni miaka 5 ndo naludi nyumbani. Mh acheni tu

Basi bwana. Mie nikawa naangakia mazingira ya nyumbani. Bado kuna vitu alivyonunua mlige. Ila sofa ndo zimeanza kuchakaa. Ila ni kusafi sana na mama yangu ni msafi sana. Nikaingia mpaka chumbani kwangu. Mwanangu alichoka sana. Mi nikachukua maji nikaenda kumuogesha . Nilivyoludi nikamlaz kitandani kwangu. Hakuchukua mda akapitiwa na usingizi. Mi nikasogelea kabati langu nikawa naangalia yaaa nna nguo nikiziacha na zote alininunuliaga mlige. Nilijikuta nimekaaaa na nikaanza kulia . Moyo unaniuma snaaa. Hivi nikikutana na mlige mm namuangaliajee . Moyo unauma sanaa. Naangalia kwenye kabati naona vitu vingi kweli alivyoninunulia kipindi ikoo. Naangaliaaa mpaka begi langu la shule kipindi nasoma. Nililia sana na nikijutia sana. Yani vitu vilivyokuwa kwenye kabati ndo vilinikumbusha mbali.nilikumbuka furaha yangu kipindi nipo nae.

Nilikiwa ni mtu mwenye amani sana. Nikakuta mpka boksa zake. Kuna mda nilikuwa nikienda kwake. Nakuwa nazivaa naludi navyo. Matshirt yake yote yakikuwepo. Aseess moyo uliuma sanaaa . Nilijikuta nimekumbuka mbali. Mala nikasikia mlango wa sebleni kama umesukumwa . Nikajua ni mama sasa ndo kaludi . Basi mie nikatoka sas. Ndo namuona mama yangu. Nyie mama alinishangaaa sana nikaona machozi yanamtoka . Akanmbia faridah ndo umeisha hivyo mwanangu. Kweli wewe mkataa pema. Nyieee nilipiga magoti nikaanza kutambaaa nikimfata mama. Nikamwambia mama nisamehe mwanao.nisamehe mama. Ni majalibu tu yakinipata nisamehe mama yangu siludii. Nisamehe mama nimeshajifunza mimi. Mama alinambia faridah mm wala hujanikosea yupo uliomkosea sana ww. Ulipatwa n nn.

Mi sikumficha mama nikanza kumuahadithia maisha niliyokuwa naishi uku nalia. Asee mma mpka akawa ananifuta machozi. Akanmbia wewe ni mjinga sana faridaah . Yule baba alikupenda mnoo. Ila ukamuona mjinga . Ukababaika na watu wenye pesa zaid. Mbona ata mlige hayupo vibaya . Vihela anavyo. Ukamuona mjinga ukamuona hafai. Kisa mwarabu mwanangu ulipagawa na weupe. Umemsahau mwanaume aliyekusomesha . Amekusaidia mambo mangapi. Faridaaah nilijua lazima laana itakuludia . Baba wa watu kaja apa analia kama mtoto mpaka preshaaa. Amelazwa week nzima . Ikawa story yake tu .yaani apa. Mpaka akawa anataka kuhama na shule. Umemdhalilisha sana na kumtia aibu. Leo unadhalilika wewe faridah. Ona ulivyoisha ata tako hakuna. Umekuwa kama bibi . Yani wewe na mm mma yako mie mzuri. Zote ni tamaa faridaah na kujifanya unajua sana. Unataka vijana wenzio. Ukamuona mlige mkubwa aya kiko wapi.

Leo mwenzako kaolewa. Anatembela gari yusta. Ana maisha mazuri. Wazazi wake wanainjoy . Wewe unaludi na mtoto . Ata degree umeshindwa kumalizaa. Angalia mwenzako yusta anatembelea gali. Mlige kamfungulia maduka kibao apo balabalani yote anayasimamie yeye. Ana maisha mazuri . Kapendeza na kunenepa . We mpumbavu upo kuangaika loooh . Kiko wapi leo mwanangu . Eeeh nambie kiko wapi. Mwenzio yusta kashamzalia watoto wawili mlige. Kawapiga double double. Unahisi ni mjinga yule . Unazani haoni kama mlige mkubw . Ila mwenzio ana akiri ya maisha . Leo wazazi wake wana injoy apa kijijini . Mie nachekwa kwa ajili yako napata aibu kwa ajili yako .nadhalilika kwa ajili yako faridah. Ila nilishajishukulia sababu ww nilishakuona ni fungu la kukosa . We mtoto ni fungu la kukosa faridaah .ndo ipo hivyo.

Mimi nilibaki nalia tu. Mama aknmbia polee. Yusta mwenzio mwalimu anafundisha apo apo na mume wake. Mwnaume anapaki gari kushoto. Yeye anapaki gari kulia . Pole yakoo. Nyieeee moyo unauma . Nikawa nalia. Mama akanmbia na alivyo mwema yule baba nikikutana nae mapaka pesa ananipa mie ndo naona aibu nakataaa. Looh mtoto wewe. Leo kiko wapi mungu kakupiga kofi . Umeludi umekonda kama kuku . Muone kwanzaaa. Loooooh ata mie mama yako apa nalipa kuliko wewe. Loooh nyie mama alinichamba sana. Alinipa maneno kweli . Nilibaki kulia na majuto tu. Mala mwanangu ndo akatoka. Akja akanikumbatia . Ananifuta machozi. Mh mama akamchukua akatoka nae njee. Mi nalia jamni pale. Basi baada ya apo . Nikaingia chumbani . Na baada ya mda mama akaja . Akanmbia hongera mbegu umepata mwaya nimeenda nae dukani watu wote wanamsifia mwanao mzuri. Mh nilibaki kimyaaaa

🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Mwanangu Mungu ndio anae jua
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

*MY WANGU❤️* *sehemu ya 98 na 99*

🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴


Basi bibi mie nikaanzaa safari ya kagera uo mdaa ulikuwa jioni . Nakumbuka gari ilitoka pale stand jioni saa 12. Nilikuwa na mawazo mnoo. Rahul ananiuliza mama tunaenda wapi. Namwamboa tunaenda kwa bibi na kwa babu . Mh nilikuwa na mawazo sana. Yani nilikuwa nawaza mnooo. Na mawazo yalinijaaa aswaaa . Nawaza vingi. Kwanza naludi nyumbani nipo kama chizi. Nimeishaa . Nimekondaaa mnoo. Mwili wangu sasa ni umezorota kwa mawazo. Na nimejawa na alama mwili mzima za kupigwa na mkia wa taa. Nilikuwa mnyonge sana wala sikuwa sawa. Yani sikuwa powa kabisaaa. Mpaka usiku saa 4...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/my-wangu-sehemu-ya-98-na-99

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi my-wangu-sehemu-ya
MY WANGU❤️ sehemu ya 47 na 48
MY WANGU❤️ sehemu ya 47 na 48
MY WANGU❤️ sehemu ya 51 na 52
MY WANGU❤️ sehemu ya 51 na 52
MY WANGU❤️ sehemu ya 71 na 72
MY WANGU❤️ sehemu ya 71 na 72
MY WANGU sehemu ya 40
MY WANGU sehemu ya 40
MY WANGU❤️ sehemu ya 44 na 45
MY WANGU❤️ sehemu ya 44 na 45
MY WANGU❤️ sehemu ya 94 na 95
MY WANGU❤️ sehemu ya 94 na 95
MY WANGU❤️ sehemu ya 76 na 77
MY WANGU❤️ sehemu ya 76 na 77
MY WANGU❤️ sehemu ya 74 na 75
MY WANGU❤️ sehemu ya 74 na 75
MY WANGU sehemu ya 38 na 39
MY WANGU sehemu ya 38 na 39
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70
MY WANGU❤️ sehemu ya 49 na 50
MY WANGU❤️ sehemu ya 49 na 50
MY WANGU❤️ sehemu ya 46
MY WANGU❤️ sehemu ya 46
MY WANGU❤️ sehemu ya 53 na 54
MY WANGU❤️ sehemu ya 53 na 54
MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67
MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67
MY WANGU❤️ sehemu ya 73
MY WANGU❤️ sehemu ya 73
MY WANGU sehemu ya 41 na 42
MY WANGU sehemu ya 41 na 42
MY WANGU❤️ sehemu ya 63
MY WANGU❤️ sehemu ya 63
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85
MY WANGU sehemu ya 43
MY WANGU sehemu ya 43
MY WANGU❤️ sehemu ya 32 na 33
MY WANGU❤️ sehemu ya 32 na 33
MY WANGU❤️ sehemu ya 34 na 35
MY WANGU❤️ sehemu ya 34 na 35
MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65
MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65
MY WANGU❤️ sehemu ya 68
MY WANGU❤️ sehemu ya 68
MY WANGU❤️ sehemu ya 59 na 60
MY WANGU❤️ sehemu ya 59 na 60
MY WANGU❤️ sehemu ya 55
MY WANGU❤️ sehemu ya 55
MY WANGU❤️ sehemu ya 103
MY WANGU❤️ sehemu ya 103
MY WANGU❤️ sehemu ya 100
MY WANGU❤️ sehemu ya 100
MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83
MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83
MY WANGU❤️ sehemu ya 93
MY WANGU❤️ sehemu ya 93
MY WANGU❤️ sehemu ya 88
MY WANGU❤️ sehemu ya 88
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 103

MY WANGU❤️ sehemu ya 103

822
MY WANGU❤️ sehemu ya 101 na 102

MY WANGU❤️ sehemu ya 101 na 102

676
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

630
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 54 na 55

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 54 na 55

568
MY WANGU❤️ sehemu ya 86 na 87 Wenda mpangilio umekosewa endelea kusoma

MY WANGU❤️ sehemu ya 86 na 87 Wenda mpangilio umekosewa endelea kusoma

491
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 53

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 53

427
REALLY LOVE* Chapter 19

REALLY LOVE* Chapter 19

208
REALLY LOVE* Chapter 18

REALLY LOVE* Chapter 18

192
MY CRAZY BOSS 1 - 5

MY CRAZY BOSS 1 - 5

122
WEWE NI WANGU 1 - - - - - 5

WEWE NI WANGU 1 - - - - - 5

102

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.19K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.92K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.69K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.09K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.48K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.42K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.32K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.31K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.26K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.18K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MIMI SIKUACHI🥰  SEHEMU YA 56...57 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 SEHEMU YA 56...57
@majario LIVE

🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Basi mwanaume nikawa nawaza tu haka katoto haka katakuja kupenda pesa kinoma na wivu kama wote😂😂😂kanasukuma wenzie kabisa hakataki wasogelee simu ila nilitokea kukapenda sana maana nakenyewe kalikuwa active sana...

MY WANGU❤️ sehemu ya 86 na 87 Wenda mpangilio umekosewa endelea kusoma Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 86 na 87 Wenda mpangilio umekosewa endelea kusoma
@majario LIVE

Nyieeeee nilinuka.na deraa tu ndani nilivaa chupi tu nilitoka peku peku. Dooh rahul ana balaa et alienda na wenzie kucheza kwenye bara bara kubwa jamni. Nilichanganikiwa mm. Nafika mpaka pale...

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107
@majario LIVE

Mh. Mie nikajituliza zangu kimyaa. Nishaambiwa mie sio mtamu. Kuma imepanuka nafanyaje sasa . Ila kama ndo kupanuka labda nilivyozaa ila sikuwa na wanaume kabisaa mimi. Yani mpaka nafikia umri...

REALLY LOVE* Chapter 19 Post Mpya
REALLY LOVE* Chapter 19
@majario LIVE

muda ulisonga mbele hatimae jioni ya saa kumi ilifika seven akiwa ofisini alinza kujiandaa kitoka kisha akapitia ofisi ya john, aliingia na kumkuta yuko bize na compyuta ""nakuona upo bize jamaa...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 54 na 55 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 54 na 55
@majario LIVE

54 MPAKA 55 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Aseeeee, nikaanza kuelezea mm. Akaja yeye. Ahaa akasema tu.mimi uyu sijazaa nae . Mh yupo serious. Akasema sijazaa nae kabisa. Kama alivyosema mwenyewe . Alinipa pesa nikatoe mimba...

MAMLAKA YAPIGA MARUFUKU MITANDAO YA KIJAMII NCHINI GABON Post Mpya
MAMLAKA YAPIGA MARUFUKU MITANDAO YA KIJAMII NCHINI GABON
@majario LIVE

Mamlaka ya mawasiliano ya Gabon (HAC), imepiga marufuku huduma za Mitandao ya kijamii kote nchini humo hadi ilani nyingine itakapotolewa. Uamuzi huo unalenga kuzuia unyanyasaji unaofuata na matumizi mabaya ya...

🇧🇷❤️‍🩹 Brazilian Federation release statement to support Vinicius Jr. Post Mpya
🇧🇷❤️‍🩹 Brazilian Federation release statement to support Vinicius Jr.
@majario LIVE

“The CBF stands in solidarity with Vinícius Júnior, victim of yet another act of racism this Tuesday, after scoring for Real Madrid against Benfica in Lisbon." "Racism is a CRIME. It...

Kwa karne nyingi, dunia iliitazama Milki ya OTTOMAN EMPIRE kama ngome kuu ya Uislamu.  Kutoka milima ya Anatolia Post Mpya
Kwa karne nyingi, dunia iliitazama Milki ya OTTOMAN EMPIRE kama ngome kuu ya Uislamu. Kutoka milima ya Anatolia
@majario LIVE

hadi milango ya Ulaya, kutoka Baghdad mpaka Cairo, bendera ya Uislamu ilipeperushwa juu ya majumba, masoko, na misikiti mikubwa iliyojengwa kwa fahari. Watu waliamini kuwa dola hii ingedumu milele...

REALLY LOVE* Chapter 18 Post Mpya
REALLY LOVE* Chapter 18
@majario LIVE

huku sebleni walipo calor walisikia ugomvi wa wazazi wao wanagomben sana chumbani, calor alihisi kabisa itakuwa kuna tatizo tena sio dogo "kwani kun nini jaman cathe mbona kelel nyingi sielewi nimerudi hakuna...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 53 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 53
@majario LIVE

Basi bwana ikabidi nifate ushauri wa mzeee Kesho yake mapema sana .mimi niliamkia ustawi wa jamii posta. Makao makuu kabisa. Nilivyofika pale nikakuta na mwanamama pale . Anaitwa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 103 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 103
@majario LIVE

Nimeingia natetemeka mnoo. Mh kulikuwa na taa ya chemli pale. Mlmi na yeye tulionana vizuri. Akanmbia njoo ukae apa nataka tuongee. Kweli mm nikasoge nikaenda kukaa pale. Akaningalia sana yani...

MY WANGU❤️ sehemu ya 101 na 102 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 101 na 102
@majario LIVE

Nikasema ni kweli yusta nimemfanyia mengi mabaya. Najutia na naumia . Ukipata mda mwambie anisamehe sana. Yusta akasema wee wala sitaki kumtibua mume wangu kipenzi. Yani mume wangu akisikia jina...

MY CRAZY BOSS 1 - 5 Post Mpya
MY CRAZY BOSS 1 - 5
@majario LIVE

MWANZO "Nikiwa nimeketi kwenye benji mimi pamoja na wenzangu kama ishirini hivi nnje ya kampuni ya All Over iliyopo Mikocheni B , ikiwa ni majira ya saa moja kamili asubuhi ambapo...

🚨 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Mechi ya Benfica dhidi ya Real Madrid IMESIMAMA kutokana na kisa cha kibaguzi dhidi ya Vinícius Júnior Post Mpya
🚨 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Mechi ya Benfica dhidi ya Real Madrid IMESIMAMA kutokana na kisa cha kibaguzi dhidi ya Vinícius Júnior
@majario LIVE

AKIWA UWANJANI. ⚠️🚫 Mchezaji wa Benfica alimwita NYANI!!! ‼️ VINI AKATAA KUCHEZA!! 😤❌

WEWE NI WANGU 1 - - - - - 5 Post Mpya
WEWE NI WANGU 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO....... Kazi ya ualimu inahitaji moyo sana jamani, msione kwamba watoto wenu wanafaulu vizuri tu lakini upande mwingine huwa wanapitishwa 😂 Sijui mnanielewa bandugu, yani kama sisi walimu wa...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest