MY WANGU❤️ sehemu ya 111 na 112
Nikasem na mm pia simkumbuki. Rahul akasema unamkumbuka mma.si yule alikua nanibeba . Nikasema simjuh mbona unanilazimisha. Mwanangu si ndo akakumbuk akasema ni elly bibi. Anaitwa bab elly. Uzuri sasa mimi nikiwa na mlige. Nimezoea sana kumuita jina lake lenyewe elly.so mma ili jina halijui🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌🙌. Mama akasema mtoto maraya wew. Umeshapata bwan mwengine anaitwa elly si ndio mie kimya. Mama aksema sawa umwambie waje nyumbani kukutole posa sio kukuchezea uko watakupanua harka. Mshenzi wewe. Mie kimyaaaa ila raul anakumbuka jaman. Khaaaa kama katumwa. Mama akanisema pale kisha uyo akatoka ndani. Asee nikamsogela rahul nikamfinyaa shavuni. Heee si kaanza kulia. Namsikia mam unampiga mtoto si ndio . Nikasema hapana mama kaanguka mimi wala sijamfanya kitu
Heee mwnagu nae et bibi ananifinyaaa.🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌🙌🙌. Mama akaja kumchukua. Et twende uku mchumba wangu achana na hilo shetani. Akamchukua akaondoka nae. Akaenda kulala nae chumbani kwake. Basi na mie nikajipumzisha nikiwa na mawazo mengi. Kweli bwana nampenda na ata mlige aananipenda sana .ila kuwa pamoja itakuwa mtihani . Mh basi nikajilalia zangu asubuh nikaamka na kazi zangu. Mida ya saa 4 hivi naona mlige ananipigia . Nikaenda kupokelea chumbani kabisa. Akanmbia vp mchumba unaendeleaje.nikasema.niko powa vp ww. Akanmbia niko powa . Vp bi mkubwa hajazingua.nikasema hapana wala sio sana ila sasa rahul si kakutaja uku. Mlige akacheka akanmbia wee sure. Nikasema.ndio ila kakutaja kwa jina la elly mama ajajua. Mlige akasema ata kama atajua ni sawa tu mi sijali kiukweli. Nikasema.no mlige una mke wewe. Akanmbia nakumbuka sasa mbona unanikumbusha. Mh nikabaki kimya akanmbia uwe na siku njem nakupenda sana faridah..nikasema powa .kisha nikakata simu. Nyieeeeee achenii
Kuanzia apo shoga yenu penzi na mlige likaludi kama kanitia bikra jana. Yani lilijaaa aswaaaa. Baba kanipenda kanipenda kweli. Mahaba kama yotee. Na pesa ananipa sana. Nyieee na mimi nikaanza kuonekana mwanamke. Na mambo yake kama kwa ni mwanza ndo tunaenda kufanya yetu. Ikawa sasa namuacha mtoto naenda mwenyewe uko nakaaa ataa weeek . Ila sasa nikawa nazuga bwana akiludi mimi nabaki ata siku 3 ndo naludi. Kumfanya yusta asistuke. Ila mlige wee uyu baba kwa kunipenda sio siri. Kwanza akiwa na mm ni ana rahaa mnoo. Tunacheka na kufurahii. Namtania hivyo .japo ananambbia we skkuamini najua ukipata mwanaume wakunizidi unaniacha. Nakuwa naumia na ayo maneno ila sina cha kufanyaaaa. Shoga yenu nikawa mchepuko aswaaaaaa ikapita kama miez 2. Mie mchepuko wa mlige. Na pesa annipa. Apo mama anajua nna bwana anaitwa elly yupo mwanza . Ana gari . Kumbe ndo mlige🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌
Basi siju iyo sasa nipo nyumbani naosha vyombo. Mh najisikia kichefu chefu kweli kweli. Nyieeeeee nikajua apa mamb yashatiki mana kwanza sikuwa najielewa. Na mlige alikuwa nafosi kinoma kuzaa na mie. Yani alikuwa hataki kumwaga njee kabisa. Na mie wala sikuzuia. Niliona ata nimfurahishe kwa hili uyu baba. Kama kuzaa nae basi saw tu. Na kweli nilivyoona vile .mie niikaenda kujipima . Weeee mzigo umetiki. Dr akanmbia ina mwezi na week 1. Basi mie nikamtumia sms mlige nikamwambia mana nilikuwa na uwa kika kwa uo mda atakuwa kazini. Nikamwambia mimi nimepima leo ni mjamzto. Wee mlige akapiga simu mda uo uo. Natweta. Et faridaha plsss hakuna kutoa mimba nasema hakuna kutoa.mimba khaaa kwani mie nimemwambia nataka kutoa mimbe🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌🙌. Nikasema sitoi mbona una presha elly. Akanmbia uko wapi. Nikasema home akanmbia sawa usizulule plss isije kutoka. Nyieee mpaka nikacheka yani nilijua uyu baba alikuwa na kiu ya kuzaa na mimi aswaaa.
Basi shiga yenu nikaanza kulea mimba ata mama sijamwambia . Nyiee baba anatuma pesa kama chizi. Sikua na shida ata. Nikanenepa na nikapendezaa. Mie wala sikuwa na shida kwanza nilikuwa na heshima. Namba ya mlige kwenye simu yangi sijasevu kabisa. Na nikichart nae nikimaliza nafuta. Sijuh yeye sasa uko. Ile mimba ilivyofika miez 3 .mama akanigundua. Nikamwambia ahaa mama. Ndio mimi mja mzito ila alonipa mimba anaitwa elly amesafiri tu . Ameenda Congo ila akiludi anakuja. Mama alinambia we nyots yako ya kuzaliswa nyumbani sawa sina cha kufanyaaa. Mh mie nikaanza kuangaika na mimba yangu. Hii mimba ilinipenda wala sikukonda na kuumwa kama rahul hii mimba nilipendeza. Niliwaka . Mtako ukaludi. Apo sasa ndo mlige ana shida kila week end anataka tukalale wote . Et anataka joto la mwanae. Mpaka nikawa namsema kwamba mkeo atajua ahaa wapi wala hataki ni mbishi jamnai.
Siku iyo sasa nimetoka road. Nikakutana na yusta naona alienda kuangalia maduka ya mumewe. Basi nakwambia alivyoniona akanambia we dada mbona umependeza hivyo na una mimba. Nikasema ndio nn mimba . Akanmbia wewe mbona umependeza sana . We hutembei na mume wangu kweli wewe. Nikasema kwani mumeo maraya. Mbona una muhisi vibaya kila ukiniona.kwanza nna mda sana sijaonana nae uyo mlige sijuh ata anafananaje. Na hii mimba shiga nataka kuzaa mtoto wa pili na baba rahul kaludi wala usijipe presha aknmbia ahaa kumbe sawa. Ila mie nikisikia unatembea na mume wangu nakwambia kutakucha yani ntakiwasha hautaamini. Mie wala.sikumjibu nikaondoka zangu mana sikutaka maneno mengi.
Nikapambana na kulea mimba mpka mimba ikafikisha miezi 4. Nyie apo mlige nikiguna tu . Ananipa nnacho kutaka. Yani mapenzi alinizidishai mpka nikawa namshangaa kwamba uyu ana moyo wa aina gani. Yani hajapungiza ata kunipendaa mimi uyu baba. Na hivi nma mimba yake ndo kabisa kachanganikiwa mnoo. Basi siku iyo nikampigia simu nikamwambia nataka ela ya saloon. Nilimjalibu tu .mana pesa ya matumizi alishanipa. Akanmbia sawa unataka sh ngapi mke wangu . Nikamwambia yoyote akanmbia sawa. Akata simu ikaingia laki 2. Et kasuke mke wangu upendeze zaidi. Mie nikamwambia asantee. Basi mie . Nikafanya kazi zangu . Nikajiandaa uyo nikaenda zangu sallon..nimefika pale . Namkuta yusta ndo anasukwa. Mh ikabidi mm nisubiri nikaaka kwa pembeni. Na wadada wengine . Mh akaanzaa yani mie mume wangu ananipemda jamanii . Yani apa kanipa laki 3 ya kuja kusuka tu. Sijuh anipa sna pesa. Sihuh kwangu apumui. Sijuh nimemkamata. Basi nakwambia menno kibao.na mwenye saloon ana msupport na kweli mtuuu wako hana bayaa. Anajua kukupendaa. Basi sindo kaniona mie . Anajua kujielezea. Mie niko pale pale .mumewe ananipigia. Wala sijuogopa nikapokea. Nikasema ndio baby. Akanmbia ushaanza kusuka..nikasema hapana akanmbia asa kama kuna foleni nikupeleke ukasukr nyakanazi basi. Usiumie kiuno kukaaa apo.
Nikasema hapana mpenzi . Ntasuka apo apo .akanmbia swwa mida nikasema powa .mh yust akanmbia weee baba rahul uyoo. Nikasema ndio .akanmbia aya bwana.naona kakutelekeza ata kukufata hataki mpaka umekuw mwanakijiji. Mie kimyaaaa.akanmabia naona na sasa hivi ndo kakulidia mana apa kati ulipauka. Mie kimoyoni nasema ungejua ww. Mumeo Mumeo ndo mwenye huu mtumbo wala usingeongea . Akasuka zake ananikashifu mpka kamaliza .uyoo akamlipa yule dada akaniaga akasepa zake.mie ndo nikaanza kusukwa .yule dada akanmbia pole shogaaa. Najua ulijuwa unapigwa vidongo wewe na shoga yako.nikasema nishayazoea ya dunia. Akanmbia uyu tushamzoea wenzio. Anapenda kujisifia na uyo mumewe . Wakati nasikia hapendwi ata kidogoo. Bwana hamtaki ata. Ila yeye ndo kajing'ang'aniza. Sijuh ndo kafata pesa. Mh kwani na wewe si umchukue uyo mlige . Umkomeshe uyu. Nikasema wala sitembei na waume za watu. Yule dada akanmbia ahaaa tunakoma wallah . Mh anajua kujisifia dada. Mpaka mambo ya ndani kuna siku anakuja anaanza kutwambia leo mume wangu kanitomba mpka nimechanganikiwa . Asa wapi na wapi jamani. Mh mie nikabaki kimya. Nikamwambia dada nisuke niondoke . Mana ata sijielewi. Sikutaka umbea wa masaloon nikaja kusutwa mie
🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi
Maoni