Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MY WANGU❤️ sehemu ya 89 na 90
Gonga94 · Stories

MY WANGU❤️ sehemu ya 89 na 90

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.



Basi bwana zayd akaendesha gali mpaka kwake . Akanmbia kumbe uyu boya bado hajaondoka na anakufatilia . Nikasema ndio mi mpaka namshangaa yani sijuh ata anataka nn. Mi simtaki bwana. Akanmbia achana nae na kama.anataka gharama zake mwambie aseme ntamludishia zote..nikasema sawa baby. Basi nikaenda kupika japo mdada wa kazi yupo ila nilitaka kumpikia mwenyewe baby tenaa . Nikampikia vizuri mpenzi . Penzi jipya tena. Na tukala kwa kulishana kweli kweli. Baada ya apo baby akataka mambo. Basi mchumba akanipeleka ghorofa ya 3 juu kabisaaa. Ukuta wa viooo tu. Na kina madirisha Makubwa full hewa . Tukatombana vizurii. Zayd nae mambo nayojua tena anavyopenda kunyonyana vikojoleo basi mpaka nachanganikiwa

Basi kesho yake baby kama kawa akanileta chuo kuendelea na ratiba zangu.nyieee mlige alikuja tena . Akaomba kuongea na mm. Alikuwa kakonda uyo .siku 2 tu.nilimuone a hurum ila sikutaka tena kuwa nae. Kwa sasa mi moyo wangu ulikuwa kwa zayd. Kwanza wa makamu yangu. Na ana pesa mnooo. Yani kwa sasa naishi maisha ya luxury mno ambayo mlige hawezi kunipa. Na bado zayd ni handsome mnooo. Na ananipenda sana tu.

Basi mlige akanmbia sikia mama. Kama shida ni gari nakununulia gari. Ntakopa ntaiba nipe week nakununulia ila usiniache nakupenda sana. Yani mlige alikuwa ata haeleweki alichokuwa anaongea . Anaongea uku ana tetemeka yani alikuwa kama kachanganikiwa .mi nilimwambia sikia mlige mi naelewa sana tumetoka mbali. Naelewa umenitoa mbali sana. Na elewa umenisaidia vingi. Usijali vyote ukitaka kulipwa utalipwa. Ila mm na wewe hatuwez tena mm nampemda zaidi zayd. Ndo namtaka nataka kuwa na kijna mwenzangu.kile kipindi mimi nilikukubali. Sababu sikuwa najielewa ni akiri za kitoto but now natka kuwa na ambaye naona moyo umemlizia.. nyie mlige alipiga magoti mbele ya watu wote. Mpka nikawa naona aibu. Akanmbia usinifanyie hivyo faridah nakupemda sana . Nisamehe mama kama nimekosea sehemu nakuomba sana nisamehe .nakuhitaji faidah..nimekungoja kwa mda mrefu kwa ajili yako leo unanambiaje hivi. Ila sielewi ni nn kilinivaa kwa uo mda mi sikuwa namtaka kabisa mlige. nilimwambia tu nielewe mi sikuhitaji kwa sasa tena..kisha nikavuta pochi yangu nikaondoka zangu. Nikamuacha kaliga magoti uku analia . Na watu wanamshangaa

Kuanzia apo . Aseeee mlige kila siku alikuwa anakuja chuo. Nahisi alikuwa dar kwa mwez . Mana kila siku namkimbia ila wapi. Ni mbishi mnoo kunielewa. Akiniona ni ananivuta ata mbele za watu anapiga magoti yani fujo tu. Mpaka sasa ikawa scandal chuoni. Wanafunzi wenzangu wananaioneshea mpka vidole akawa ananikwaza mnoo. Nikakata na kwenda chuo. Nimsikilizie kwanza yeye aondoke. Mpaka angel akanmbia kuwa sa hivi hamuoni.ndo na mm nikaludi chuo sasa. Kuendelea na masomo. Nyiee apo penzi limenogaa mnoo na zayd. Tena penzi limekoleaaa aswaaa. Mie niko busy na baby atari. Nna pesa kama zote yani kama mfanyakazi wa bank . Kumbe pesa za baby tu. Na walaa hakuwa na shida zayd alitulia tu. Apo siku kanipeleka zanzibar kula rahaa. Kesho kanipeleke arusha kutalii. Mala tumeenda wapi. Yani ilikuwa rahaaaa mnoooooo na tuliinjoy sanaaa na mwanaume wangu. Apo na kuendesha gari najua. Siku nyengine naingia nayo chuo mwenyewe na drive utanambia nn.Zayd pesa anayo na kuitumia haoni shida. Yani sio shida zake kutumia pesa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Basi bibi mie si nilibadili simu so ata mama hakuwa ananipata . siku iyo sasa ndo nikampigia mama yangu. Nyoeeee nilijuta. Mama alinisema alinisema mnoooo. Alinichambaa aswaaaa alinambia yani wewe mtoto ni nyoka . Huna aya wala vibaya. Mlige sio mzazi wako ila machozi yake yatakutafuna. Utatembe na lana ya yule baba. Nikasema jamani mama. Kwani kanioa si bwana tu . Mi nna mtu wa makamu yangu na ana pesa kwanza kumshinda uyo mlige na ananipenda sana mama . Mama akasema umechezea bahati . Wew mtoto mdogo wa kumliza mbaba wa waru. Analia kama mtoto. Na presha mpaka kulazwa . Faridaha mwanangu kimekupata nn. Eeeh farida kweli. Mama akanza na kulia eeh nikaona nikate simu. Mh nakata ananipigia mzeeee . Aseee baba ndo alinipa maneno makari sitasahau na akamalizia kwa kusema kuanzia leo mm sio baba yako na uyo mpumbavu mwenzio usimlete nyumbani kwangu na usiludi uku. We si umekengeuka akiri. Mh Jamaniiiiiii yani wote wanamtetea mlige kama vile ndo mtoto wao

Ahaa mi nikajua wana hasira sababu mlige kawajengea .wakati zayd anaweza kuwajengea ata ghorofa. Mie nikayapotezea nikawa busy na baby wangu na maisha yangu hivyo yani. Mlige hakunitafuta tena mpaka ukapita mda wa mwez mmoja. Siku iyo sasa Akanipigia simu shoga yangu yusta. Alinambia ndo kaludi sasa kutoka chuo na kapewa namba na mama yangu. Nikasema sawa nambie shoga. Yusta aliniuliza una shida gani mpka umeachana na mlige na unajua kabisa anakupenda sana na amekuwazia mengi mema. Nikasema nimeamua yusta natka kuwa na mtu wa makamu yangu na mlige atafute wa makamu yake . Yusta alinambia nakuonea huruma sana nakuonea huruma mnoo. Eheee basi yusta akaanza kunisema akinuikumbusha alokuwa ananifanyia mlige .nakwambia et sitapata mwanaume mzuri kama mlige. Nitakuja kumjutia nikiwa nishachelewa .ooh nymbani kote story za mm na za mlige . Et watu wananisema vibaya . Maneno kibao. Nikamwambia shoga . Wewe sio msahauri wa maamuzi yangu. Mie uyo mlige simtak . Nipo busy na maisha yangu kisha nikajikatia simu mie. Nikawa bussy na mambo nyngu.

Mda ukapita kama miez 4 hivi. Bado nna pendwa kweli kweli na zayd. Yani tuna amani ya kutosha penzini. Mh siku iyo nipo kwangu simu yangu initwa anayenipigia ni yusta. Nikapokea mana ata ushoga tulipunguza .nikamkaushiaga tu mana niliona anataka kunifatilia sana. Basi yista akanisalimia vizuri hii siku .akanmbia vp shemu zayd hajambo. Nikcheka nikasema umekubali sasa kuwa shemu wako ni zayd. Akanambia yaaa ukiamua ww nani ata pinga japo wengine wanaumia. Mie nikacheka nikasema nambie. Aknmbia kwaiyo ww humtaki kabisa mlige. Nikasema ndio simuhitaji. Akanambia sawa . Unajua tangu umechana na mlige . Hakuwa powa kabosa . Alikuwa kama kachangnikiwa na alikuwa na mawazo sana. Na mtu wake wa karibu sana amabe alikuwa namtuliza ni mimi. Mana nipo pale shule now nafundisha fundisha yeye ndo kanipa nafasi.Nikasema hongera. Akanmbia lakini sasa katika kumpa moyo na kumuweka sawa . Mimi na mlige tumejikuta tumetembea. Yani tumefanya mapenzi. Mh nikasema hongera . Akanmbia lakini mlige kanambia anataka kunioa . Nikaona kwanza nikupigie ww .mana ww ni rafiki yangu na ulishawahi kuwa na mahusiano na mlige isje ikaleta picha mbaya.na ukanifikilia vibaya

Nikasema oooh mi wala sina shida we olewa nae tu . Mi wala simtaki na sina mpango nae na soon nakuja kusimamisha kijiji naolewa na mtoto wa tajir mkibwa . Yani zayd. Yusta akasema wala mimi sijakupigia kwa ayo nimekupigia unipe ruksa tu. Mana ata mm namuona mlige ni mwanaume mzuri na tunaweza kufanya maisha. Ila sikutaka usikie kwa wengine ykaja kuhisi labda nilikuwa nakuzunguka kipindi ww upo na mlige.nikasema nawatakia maisha mema na ndoa njema.akanmbia sawa nakutakia maisha mema pia na zayd nikasema okey. Basi baada ya siku 2 mama kanipigia analia ananmbia we mtoto ni mjinga umetupa bahati leo mwenzako anaenda kuolewa na mwanaume mzuri . Faridha ebu amka. Nikasema mama wala usijali mm ntaolewa na zayd. Na nikimleta apo mwarabu wangu kijiji kizima kitashangaa we muache aolewr nae. Hajawahi kupata bwana mwenye pesa ndo mana anapagawa .

Eeeeeeh bwanaas eeeh uhui ndo mwisho wa s4 . Bado mambo ni motroo🔥🔥🔥🔥🔥🔥. Tukutane s5. 0750411324 utaipata Nawapenda❤️❤️❤️❤️❤️📌📌📌📌📌📌📌📌

Maoni

You're not logged in


Tangazo - MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
Tunao Wapenda ndio wanao tuua baba
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MY WANGU❤️ sehemu ya 89 na 90




Basi bwana zayd akaendesha gali mpaka kwake . Akanmbia kumbe uyu boya bado hajaondoka na anakufatilia . Nikasema ndio mi mpaka namshangaa yani sijuh ata anataka nn. Mi simtaki bwana. Akanmbia achana nae na kama.anataka gharama zake mwambie aseme ntamludishia zote..nikasema sawa baby. Basi nikaenda kupika japo mdada wa kazi yupo ila nilitaka kumpikia mwenyewe baby tenaa . Nikampikia vizuri mpenzi . Penzi jipya tena. Na tukala kwa kulishana kweli kweli. Baada ya apo baby akataka mambo. Basi mchumba akanipeleka ghorofa ya 3 juu kabisaaa. Ukuta wa viooo tu. Na kina madirisha Makubwa full hewa . Tukatombana vizurii. Zayd...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/my-wangu-sehemu-ya-89-na-90

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi my-wangu-sehemu-ya
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107
MY WANGU❤️ sehemu ya 108
MY WANGU❤️ sehemu ya 108
MY WANGU❤️ sehemu ya 111 na 112
MY WANGU❤️ sehemu ya 111 na 112
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117
MY WANGU❤️ sehemu ya 118
MY WANGU❤️ sehemu ya 118
*MY WANGU❤️*   *sehemu ya 109 na 110*
*MY WANGU❤️* *sehemu ya 109 na 110*
MY WANGU❤️ *sehemu ya 114 na 115*
MY WANGU❤️ *sehemu ya 114 na 115*
MY WANGU❤️ sehemu ya 103
MY WANGU❤️ sehemu ya 103
MY WANGU❤️ sehemu ya 94 na 95
MY WANGU❤️ sehemu ya 94 na 95
MY WANGU❤️ sehemu ya 96 na 97
MY WANGU❤️ sehemu ya 96 na 97
MY WANGU❤️ sehemu ya 100
MY WANGU❤️ sehemu ya 100
MY WANGU❤️ sehemu ya 113
MY WANGU❤️ sehemu ya 113
MY WANGU❤️ sehemu ya 47 na 48
MY WANGU❤️ sehemu ya 47 na 48
*MY WANGU❤️*   *sehemu ya 98 na 99*
*MY WANGU❤️* *sehemu ya 98 na 99*
MY WANGU❤️ sehemu ya 101 na 102
MY WANGU❤️ sehemu ya 101 na 102
MY WANGU❤️ sehemu ya 51 na 52
MY WANGU❤️ sehemu ya 51 na 52
MY WANGU❤️ sehemu ya 71 na 72
MY WANGU❤️ sehemu ya 71 na 72
MY WANGU❤️ sehemu ya 76 na 77
MY WANGU❤️ sehemu ya 76 na 77
MY WANGU❤️ sehemu ya 93
MY WANGU❤️ sehemu ya 93
MY WANGU❤️ sehemu ya 74 na 75
MY WANGU❤️ sehemu ya 74 na 75
MY WANGU❤️ sehemu ya 86 na 87 Wenda mpangilio umekosewa endelea kusoma
MY WANGU❤️ sehemu ya 86 na 87 Wenda mpangilio umekosewa endelea kusoma
MY WANGU sehemu ya 40
MY WANGU sehemu ya 40
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70
MY WANGU❤️ sehemu ya 88
MY WANGU❤️ sehemu ya 88
MY WANGU❤️ sehemu ya 44 na 45
MY WANGU❤️ sehemu ya 44 na 45
MY WANGU❤️ sehemu ya 73
MY WANGU❤️ sehemu ya 73
MY WANGU sehemu ya 38 na 39
MY WANGU sehemu ya 38 na 39
MY WANGU❤️ sehemu ya 49 na 50
MY WANGU❤️ sehemu ya 49 na 50
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU YA KUMU*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMU*

900
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10

495
FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 16

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 16

436
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8

424
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17

313
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12

234
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10

211
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.

184
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.

141
SHAMIRA sehemu ya 34&35

SHAMIRA sehemu ya 34&35

98

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.43K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.2K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.74K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.2K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.6K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.45K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.44K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.43K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.38K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.36K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla Post Mpya
This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla
@majario LIVE

with that cute bubbly energy… and Aamir Khan being his mischievous, romantic self. What a combo yaar! Ishq was not just a love story, it was full on drama, comedy,...

 Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani Post Mpya
Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani
@majario LIVE

* Meli za kijeshi za Marekani zilizopo Ghuba ya Uajemi * Rada za Israel zilizopo Azerbaijan * Rada za Israel zilizopo Turkmenistan * Mifumo ya ulinzi wa anga ya vituo vya Marekani nchini...

SHAMIRA sehemu ya 34&35 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 34&35
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi nikajiiinua taratibu tukaingia bafuni. Mwanaume akanikumbatia uku tunaoga. Aseee uyu baba ananipenda ila hataki upumbavu ata kidogo na mkono wake mwepesi kupiga .na yote sababu...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nikaona zena kamnyanyua yule mtoto kisha akambeba ,ni amefanana nae sana ,nikajua ni wa kwake tu yani ni lazima utu mtoto atakuwa ni mwanae, kisha akanigeukia...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17
@majario LIVE

Ikabidi nikae tu kwenye piki piki maana sura alivyokuwa kaikaza mmh asije kunipiga, Kimyaa kikatawala sasa mie nilijua tunaenda kwa Tinner na moyoni nilikuwa nimempangia hayo maneno Tinner eeh mbona...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Maeneo ya pale pale chuoni, Salmon alikuwa amepanga nyumba kubwa ya peke yake. Wakati akiwa chuo ndo alikua anaishi hapo, ila siku za weekends kama hana mambo mengi ndo anaenda...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi kuanzia apo nikawa sasa kidogo naelewana na baraka. Tena mimi ndo napenda sana kuongea nae. Yani sanaaa. Napenda kucheka nae sana. Na kun jinsi...

FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 16 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 16
@majario LIVE

Usiku wangu ulikuwa mzito sana, maneno ya D kusema kuwa Veda anatembea na wanawake wengi, niliyaamini kabisaaa Bila shakaa kwa maana Yeye tu hana mwonekano mzuri ametuna tuna hovyo anakuwa...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10
@majario LIVE

Daaah nikaona mtoto kachomoa leo mana sio powa , ana vipengele sana uyu demu , ila unyama, hatachomoa kila siku, ni suala la muda tu, mana sijawahi kumtaka mwanamke ,...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media BASI nikapanda kitandani kwangu. Nikijutia sana nilichokifanya mana mh . Nilikuwa nasababisha ugomvi mkubwa wa wazazi mungu wangu. Yani mama yangu alikuwa anaachwa leo...

SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.??? Post Mpya
SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.???
@majario LIVE

Hatimae jana tambo za Dabi zilipata majibu kwa timu za Simba na Yanga kutoka suluhu ya bila kufungana(0-0). Kwa maana hiyo timu zote ziliambulia pointi moja moja. Mchezo wa jana pamoja...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8
@majario LIVE

Zena akasema kwaiyo manager unataka kuniuza ama ni vp, yule manager aksema , naomba uelewe kuwa ukifanya kazi katika hii bar, mteja kukushika sehemu yoyote ya mwili wako ni kawaida,...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU YA KUMU* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMU*
@majario LIVE

Jambo likawa lelelele, Yaani ni patashika nguo kuchanika, Kwa upande wangu Walahi nilikuwa nikifurahi tu, na amina alikuwa akilia tu nakuomba msamaha. Enzo wa watu mwaya akachukua muda wake na kumuelezea...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Mbali na ivyo zile zawadi alizo tumiwa Noela zilimuuma vile vile. Alihisi Noela hastahili vitu vizuri wala maisha ya kifahari. Alitaka kila kitu kiwe chake, wanaume wote wawe wake. Hata...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 6 na 7 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 6 na 7
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi bwana , mwanaume wala sikuwa na shaka, kazi zote ambazo nilibakiwa nazo pale ofisini, nikamuachia ibraaa, na ukiacha ushikaji, mi bafo ibra ni mkubwa wake wa kazi,...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest