Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MY WANGU❤️ sehemu ya 89 na 90
Gonga94 · Stories

MY WANGU❤️ sehemu ya 89 na 90

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.



Basi bwana zayd akaendesha gali mpaka kwake . Akanmbia kumbe uyu boya bado hajaondoka na anakufatilia . Nikasema ndio mi mpaka namshangaa yani sijuh ata anataka nn. Mi simtaki bwana. Akanmbia achana nae na kama.anataka gharama zake mwambie aseme ntamludishia zote..nikasema sawa baby. Basi nikaenda kupika japo mdada wa kazi yupo ila nilitaka kumpikia mwenyewe baby tenaa . Nikampikia vizuri mpenzi . Penzi jipya tena. Na tukala kwa kulishana kweli kweli. Baada ya apo baby akataka mambo. Basi mchumba akanipeleka ghorofa ya 3 juu kabisaaa. Ukuta wa viooo tu. Na kina madirisha Makubwa full hewa . Tukatombana vizurii. Zayd nae mambo nayojua tena anavyopenda kunyonyana vikojoleo basi mpaka nachanganikiwa

Basi kesho yake baby kama kawa akanileta chuo kuendelea na ratiba zangu.nyieee mlige alikuja tena . Akaomba kuongea na mm. Alikuwa kakonda uyo .siku 2 tu.nilimuone a hurum ila sikutaka tena kuwa nae. Kwa sasa mi moyo wangu ulikuwa kwa zayd. Kwanza wa makamu yangu. Na ana pesa mnooo. Yani kwa sasa naishi maisha ya luxury mno ambayo mlige hawezi kunipa. Na bado zayd ni handsome mnooo. Na ananipenda sana tu.

Basi mlige akanmbia sikia mama. Kama shida ni gari nakununulia gari. Ntakopa ntaiba nipe week nakununulia ila usiniache nakupenda sana. Yani mlige alikuwa ata haeleweki alichokuwa anaongea . Anaongea uku ana tetemeka yani alikuwa kama kachanganikiwa .mi nilimwambia sikia mlige mi naelewa sana tumetoka mbali. Naelewa umenitoa mbali sana. Na elewa umenisaidia vingi. Usijali vyote ukitaka kulipwa utalipwa. Ila mm na wewe hatuwez tena mm nampemda zaidi zayd. Ndo namtaka nataka kuwa na kijna mwenzangu.kile kipindi mimi nilikukubali. Sababu sikuwa najielewa ni akiri za kitoto but now natka kuwa na ambaye naona moyo umemlizia.. nyie mlige alipiga magoti mbele ya watu wote. Mpka nikawa naona aibu. Akanmbia usinifanyie hivyo faridah nakupemda sana . Nisamehe mama kama nimekosea sehemu nakuomba sana nisamehe .nakuhitaji faidah..nimekungoja kwa mda mrefu kwa ajili yako leo unanambiaje hivi. Ila sielewi ni nn kilinivaa kwa uo mda mi sikuwa namtaka kabisa mlige. nilimwambia tu nielewe mi sikuhitaji kwa sasa tena..kisha nikavuta pochi yangu nikaondoka zangu. Nikamuacha kaliga magoti uku analia . Na watu wanamshangaa

Kuanzia apo . Aseeee mlige kila siku alikuwa anakuja chuo. Nahisi alikuwa dar kwa mwez . Mana kila siku namkimbia ila wapi. Ni mbishi mnoo kunielewa. Akiniona ni ananivuta ata mbele za watu anapiga magoti yani fujo tu. Mpaka sasa ikawa scandal chuoni. Wanafunzi wenzangu wananaioneshea mpka vidole akawa ananikwaza mnoo. Nikakata na kwenda chuo. Nimsikilizie kwanza yeye aondoke. Mpaka angel akanmbia kuwa sa hivi hamuoni.ndo na mm nikaludi chuo sasa. Kuendelea na masomo. Nyiee apo penzi limenogaa mnoo na zayd. Tena penzi limekoleaaa aswaaa. Mie niko busy na baby atari. Nna pesa kama zote yani kama mfanyakazi wa bank . Kumbe pesa za baby tu. Na walaa hakuwa na shida zayd alitulia tu. Apo siku kanipeleka zanzibar kula rahaa. Kesho kanipeleke arusha kutalii. Mala tumeenda wapi. Yani ilikuwa rahaaaa mnoooooo na tuliinjoy sanaaa na mwanaume wangu. Apo na kuendesha gari najua. Siku nyengine naingia nayo chuo mwenyewe na drive utanambia nn.Zayd pesa anayo na kuitumia haoni shida. Yani sio shida zake kutumia pesa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Basi bibi mie si nilibadili simu so ata mama hakuwa ananipata . siku iyo sasa ndo nikampigia mama yangu. Nyoeeee nilijuta. Mama alinisema alinisema mnoooo. Alinichambaa aswaaaa alinambia yani wewe mtoto ni nyoka . Huna aya wala vibaya. Mlige sio mzazi wako ila machozi yake yatakutafuna. Utatembe na lana ya yule baba. Nikasema jamani mama. Kwani kanioa si bwana tu . Mi nna mtu wa makamu yangu na ana pesa kwanza kumshinda uyo mlige na ananipenda sana mama . Mama akasema umechezea bahati . Wew mtoto mdogo wa kumliza mbaba wa waru. Analia kama mtoto. Na presha mpaka kulazwa . Faridaha mwanangu kimekupata nn. Eeeh farida kweli. Mama akanza na kulia eeh nikaona nikate simu. Mh nakata ananipigia mzeeee . Aseee baba ndo alinipa maneno makari sitasahau na akamalizia kwa kusema kuanzia leo mm sio baba yako na uyo mpumbavu mwenzio usimlete nyumbani kwangu na usiludi uku. We si umekengeuka akiri. Mh Jamaniiiiiii yani wote wanamtetea mlige kama vile ndo mtoto wao

Ahaa mi nikajua wana hasira sababu mlige kawajengea .wakati zayd anaweza kuwajengea ata ghorofa. Mie nikayapotezea nikawa busy na baby wangu na maisha yangu hivyo yani. Mlige hakunitafuta tena mpaka ukapita mda wa mwez mmoja. Siku iyo sasa Akanipigia simu shoga yangu yusta. Alinambia ndo kaludi sasa kutoka chuo na kapewa namba na mama yangu. Nikasema sawa nambie shoga. Yusta aliniuliza una shida gani mpka umeachana na mlige na unajua kabisa anakupenda sana na amekuwazia mengi mema. Nikasema nimeamua yusta natka kuwa na mtu wa makamu yangu na mlige atafute wa makamu yake . Yusta alinambia nakuonea huruma sana nakuonea huruma mnoo. Eheee basi yusta akaanza kunisema akinuikumbusha alokuwa ananifanyia mlige .nakwambia et sitapata mwanaume mzuri kama mlige. Nitakuja kumjutia nikiwa nishachelewa .ooh nymbani kote story za mm na za mlige . Et watu wananisema vibaya . Maneno kibao. Nikamwambia shoga . Wewe sio msahauri wa maamuzi yangu. Mie uyo mlige simtak . Nipo busy na maisha yangu kisha nikajikatia simu mie. Nikawa bussy na mambo nyngu.

Mda ukapita kama miez 4 hivi. Bado nna pendwa kweli kweli na zayd. Yani tuna amani ya kutosha penzini. Mh siku iyo nipo kwangu simu yangu initwa anayenipigia ni yusta. Nikapokea mana ata ushoga tulipunguza .nikamkaushiaga tu mana niliona anataka kunifatilia sana. Basi yista akanisalimia vizuri hii siku .akanmbia vp shemu zayd hajambo. Nikcheka nikasema umekubali sasa kuwa shemu wako ni zayd. Akanambia yaaa ukiamua ww nani ata pinga japo wengine wanaumia. Mie nikacheka nikasema nambie. Aknmbia kwaiyo ww humtaki kabisa mlige. Nikasema ndio simuhitaji. Akanambia sawa . Unajua tangu umechana na mlige . Hakuwa powa kabosa . Alikuwa kama kachangnikiwa na alikuwa na mawazo sana. Na mtu wake wa karibu sana amabe alikuwa namtuliza ni mimi. Mana nipo pale shule now nafundisha fundisha yeye ndo kanipa nafasi.Nikasema hongera. Akanmbia lakini sasa katika kumpa moyo na kumuweka sawa . Mimi na mlige tumejikuta tumetembea. Yani tumefanya mapenzi. Mh nikasema hongera . Akanmbia lakini mlige kanambia anataka kunioa . Nikaona kwanza nikupigie ww .mana ww ni rafiki yangu na ulishawahi kuwa na mahusiano na mlige isje ikaleta picha mbaya.na ukanifikilia vibaya

Nikasema oooh mi wala sina shida we olewa nae tu . Mi wala simtaki na sina mpango nae na soon nakuja kusimamisha kijiji naolewa na mtoto wa tajir mkibwa . Yani zayd. Yusta akasema wala mimi sijakupigia kwa ayo nimekupigia unipe ruksa tu. Mana ata mm namuona mlige ni mwanaume mzuri na tunaweza kufanya maisha. Ila sikutaka usikie kwa wengine ykaja kuhisi labda nilikuwa nakuzunguka kipindi ww upo na mlige.nikasema nawatakia maisha mema na ndoa njema.akanmbia sawa nakutakia maisha mema pia na zayd nikasema okey. Basi baada ya siku 2 mama kanipigia analia ananmbia we mtoto ni mjinga umetupa bahati leo mwenzako anaenda kuolewa na mwanaume mzuri . Faridha ebu amka. Nikasema mama wala usijali mm ntaolewa na zayd. Na nikimleta apo mwarabu wangu kijiji kizima kitashangaa we muache aolewr nae. Hajawahi kupata bwana mwenye pesa ndo mana anapagawa .

Eeeeeeh bwanaas eeeh uhui ndo mwisho wa s4 . Bado mambo ni motroo🔥🔥🔥🔥🔥🔥. Tukutane s5. 0750411324 utaipata Nawapenda❤️❤️❤️❤️❤️📌📌📌📌📌📌📌📌

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Mwanangu Mungu ndio anae jua
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MY WANGU❤️ sehemu ya 89 na 90




Basi bwana zayd akaendesha gali mpaka kwake . Akanmbia kumbe uyu boya bado hajaondoka na anakufatilia . Nikasema ndio mi mpaka namshangaa yani sijuh ata anataka nn. Mi simtaki bwana. Akanmbia achana nae na kama.anataka gharama zake mwambie aseme ntamludishia zote..nikasema sawa baby. Basi nikaenda kupika japo mdada wa kazi yupo ila nilitaka kumpikia mwenyewe baby tenaa . Nikampikia vizuri mpenzi . Penzi jipya tena. Na tukala kwa kulishana kweli kweli. Baada ya apo baby akataka mambo. Basi mchumba akanipeleka ghorofa ya 3 juu kabisaaa. Ukuta wa viooo tu. Na kina madirisha Makubwa full hewa . Tukatombana vizurii. Zayd...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/my-wangu-sehemu-ya-89-na-90

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle #BeautyBattle #AfricaVsWorld #Tanzania #Kenya #Congo #Rwanda #Burundi #SouthAfrica #USA #VoteNow #DebateTime #Trending 🐓 Follow the ommy khan Tanzania channel on WhatsApp: https://whatsapp.com/channel/0029VbCg0JyFsn0hCN1ByD44

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi my-wangu-sehemu-ya
MY WANGU❤️ sehemu ya 108
MY WANGU❤️ sehemu ya 108
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107
*MY WANGU❤️*   *sehemu ya 109 na 110*
*MY WANGU❤️* *sehemu ya 109 na 110*
MY WANGU❤️ sehemu ya 118
MY WANGU❤️ sehemu ya 118
MY WANGU❤️ sehemu ya 111 na 112
MY WANGU❤️ sehemu ya 111 na 112
MY WANGU❤️ *sehemu ya 114 na 115*
MY WANGU❤️ *sehemu ya 114 na 115*
MY WANGU❤️ sehemu ya 103
MY WANGU❤️ sehemu ya 103
MY WANGU❤️ sehemu ya 96 na 97
MY WANGU❤️ sehemu ya 96 na 97
MY WANGU❤️ sehemu ya 113
MY WANGU❤️ sehemu ya 113
MY WANGU❤️ sehemu ya 94 na 95
MY WANGU❤️ sehemu ya 94 na 95
MY WANGU❤️ sehemu ya 100
MY WANGU❤️ sehemu ya 100
MY WANGU❤️ sehemu ya 47 na 48
MY WANGU❤️ sehemu ya 47 na 48
*MY WANGU❤️*   *sehemu ya 98 na 99*
*MY WANGU❤️* *sehemu ya 98 na 99*
MY WANGU❤️ sehemu ya 101 na 102
MY WANGU❤️ sehemu ya 101 na 102
MY WANGU❤️ sehemu ya 71 na 72
MY WANGU❤️ sehemu ya 71 na 72
MY WANGU❤️ sehemu ya 51 na 52
MY WANGU❤️ sehemu ya 51 na 52
MY WANGU sehemu ya 40
MY WANGU sehemu ya 40
MY WANGU❤️ sehemu ya 76 na 77
MY WANGU❤️ sehemu ya 76 na 77
MY WANGU❤️ sehemu ya 93
MY WANGU❤️ sehemu ya 93
MY WANGU❤️ sehemu ya 74 na 75
MY WANGU❤️ sehemu ya 74 na 75
MY WANGU❤️ sehemu ya 86 na 87 Wenda mpangilio umekosewa endelea kusoma
MY WANGU❤️ sehemu ya 86 na 87 Wenda mpangilio umekosewa endelea kusoma
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85
MY WANGU sehemu ya 38 na 39
MY WANGU sehemu ya 38 na 39
MY WANGU❤️ sehemu ya 49 na 50
MY WANGU❤️ sehemu ya 49 na 50
MY WANGU❤️ sehemu ya 73
MY WANGU❤️ sehemu ya 73
MY WANGU❤️ sehemu ya 44 na 45
MY WANGU❤️ sehemu ya 44 na 45
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70
MY WANGU❤️ sehemu ya 88
MY WANGU❤️ sehemu ya 88
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 85

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 85

1.34K
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 86 na 87

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 86 na 87

1.26K
LETICIA Sehemu ya 17 na 18

LETICIA Sehemu ya 17 na 18

332
IN LOVE WITH ZURI*   *Chapter 9&10*

IN LOVE WITH ZURI* *Chapter 9&10*

152
IN LOVE WITH ZURI* Chapter 8

IN LOVE WITH ZURI* Chapter 8

143
💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO💋  11....15

💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO💋 11....15

89
😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 11

😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 11

16
😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋  Sehemu ya 15

😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 15

15
😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋  Sehemu ya 14

😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 14

14
😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋  Sehemu ya 13

😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 13

12

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.96K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.65K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.89K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.55K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

3.05K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

3K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.85K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.83K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.71K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.69K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO💋  11....15 Post Mpya
💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO💋 11....15
@majario LIVE

Sawa mke wangu kipenzi nashukuru kwa kunijali, Denis aliondoka hadi gari 🚙 lilivyokata kona na mimi nikaingia ndani nilibadilisha nguo nilizovaa nikaenda sokoni kununua nyama na mchele nikaja kupika chakula...

😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋  Sehemu ya 15 Post Mpya
😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 15
@mjukuu LIVE

😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 15 (🔞) (HII NI SIMULIZI YA WAKUBWA TU NA WAKUBWA WENYEWE WALE WAPENZI WA CHOMBEZO) Alex anazidi kumshindua kungwi kwa raha zake mpaka na yeye akakojoa... Alex alikaa kwa kungwi...

😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋  Sehemu ya 14 Post Mpya
😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 14
@mjukuu LIVE

(🔞) (HII NI SIMULIZI YA WAKUBWA TU NA WAKUBWA WENYEWE WALE WAPENZI WA CHOMBEZO) Mke wangu umeenda kijijini kumpa mwanangu mimba?. ( Yani aliongea uku amemkwida mama asma...na hapo akatokea msamalia mwema akamshika...

😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋  Sehemu ya 13 Post Mpya
😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 13
@mjukuu LIVE

(🔞) (HII NI SIMULIZI YA WAKUBWA TU NA WAKUBWA WENYEWE WALE WAPENZI WA CHOMBEZO) Siku ambayo kwakweli nilifanya mapenzi na asma kwa raha sana nilimlamba kila Kona na kiu aliitoa na yeye...

😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋  Sehemu ya 12 Post Mpya
😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 12
@mjukuu LIVE

(🔞) (HII NI SIMULIZI YA WAKUBWA TU NA WAKUBWA WENYEWE WALE WAPENZI WA CHOMBEZO) 👉 Asma akasogea yupo tayari kuvuliwa nguo nimpe utamu, Dah yani....👇 Kidume sikutaka kuchelewa maana penzi la wizi wizi hili, Nilimvua...

😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 11 Post Mpya
😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 11
@mjukuu LIVE

(🔞) (HII NI SIMULIZI YA WAKUBWA TU NA WAKUBWA WENYEWE WALE WAPENZI WA CHOMBEZO) 👉 Unajua mbwana yule mjumbe anatoa...👇 Ushilikiano kitandani utasema kijana yani uno kama lote mpaka nasema kimoyoni enzi ya...

IN LOVE WITH ZURI*   *Chapter 9&10* Post Mpya
IN LOVE WITH ZURI* *Chapter 9&10*
@majario LIVE

SONGA NAYO........ Upande wangu nilikuwa zangu chumbani, nikijiandaa kwa ajiri ya kutoka kwenda kurefresh kidogo, nikiwa najiandaa mara Ethan huyu hapa alikuwa mnyinge kweli "Vipi tena??" Nilimuuliza baada ya kumuona amekuwa mnyonge gafla "Acha...

IN LOVE WITH ZURI* Chapter 8 Post Mpya
IN LOVE WITH ZURI* Chapter 8
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Ethan akazungumza "Hakuna cha kukata tamaa, kwani we nani amekwambia kuwa ameolewa..??" "Ni mama.." Nilimjibu huku nikiwa nimekata tamaa zaidi "Sasa mama wewe unamuamini vipi??, kama amekuongopea?? We cha kufanya anza kumtoa mtoto...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 86 na 87 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 86 na 87
@majario LIVE

Basi mimi sasa apo nikampigia kwanza mkuu wangu kazini, mana sijaenda kazini kama siku 3 na sikuwa nimetoa sababau kabisaa, nikamuelezea kuwa nna matatizo mengi ya kimafimilia kwaiyo sipo sawa...

LETICIA Sehemu ya 17 na 18 Post Mpya
LETICIA Sehemu ya 17 na 18
@majario LIVE

Nikiwa nimelala usiku nikashangaa mlango unafunguliwa. Mmh nikainuka chapu uzuri sizimagi taa ,si namuona polela jamni loooh nilichukia mno jamani nikasema wewe umefwata nini umu .akasema taratibu mummy...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 85 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 85
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Aseeee mi nikatulia pale sebleni, et amam akaenda kuchukua nguo zake akasema naenda pemba ushasahau kuwa mm nimekuzaa ww kabisa , na ndo mana huna adabu kabisa, mi...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 96 - 100 MWISHO SEASON TWO Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 96 - 100 MWISHO SEASON TWO
@majario LIVE

:96 Yeye akawa tu anaendesha kama vile hakuna kitu amezungumza. Mimi hapo tena naona tu kesho ifike tu nipelekwe tu hiyo sehemu. Sijui hata ni kuchinjwa au nikutekwa mimi tayari tu nipo...

MFALME KIPOFU Sehemi..ya............14 Post Mpya
MFALME KIPOFU Sehemi..ya............14
@majario LIVE

Ilipoishia sehemu iliyopita.... Huyo hawezi kuishi bira wewe mana haoni na nafasi ya mwisho ni kuondoka katika huu ufalme nisione sura zenu tena hapa...... ENDELEA NAYO........ Mfalme Tengu aliwafukuza Prince Yao na Lindiwe...

NAKUPENDA BILA  MIPAKA 87 - 95 SEASON TWO Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 87 - 95 SEASON TWO
@majario LIVE

:87 Nikacheka na kusema “sasa nikufiche nini, lakini sasa Dokta kama anampenda boss bora amwambie anateseka bure.” Dada Maria alicheka na kusema “wewe unawajua wanaume, wanaume hawana hata muda nakuambia, na vile...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 83 na 84 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 83 na 84
@majario LIVE

Namtak uyo maraya wako, namtaka nasema, mh nikajua apa kumekucha nikawaambia wanangu, nendeni chumbai kwenu haraka, kweli ummy akachukua mdogo wake arshaina wakaingia chumbani, mm.nikamsogelea mama.nikasema.mma ni ustaarabu gani, mama.mi.nilikuwa...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest