Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MY WANGU❤️ sehemu ya 44 na 45
Gonga94 · Stories

MY WANGU❤️ sehemu ya 44 na 45

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

Aseeee basi hii siku home mama aliniweka chini. Alinisema.sana . Alinisihi sana. Kama mtoto wakike. Alinambia nisijiingize kwenye mapenzi kabisa. Sijuh ntadanganywa kwanza nisome nimalize shule ndo nitafute mwanaume. Aseee mama aliongea sana na mm. Alihisi kama kapelea kwenye kunilea . Alinisema mama mpaka analia. Ananmbia baba yako anaona sijakulea vizur mwanangu. Kwa nn unajibizana na walimu . Kwanini ina kuwa huna adabu shuleni. Alinisema sana. Akinisema mno mpaka nikajisikia vibaya. Mana mama alikuwa mpaka analia. Nilimpigia magoti mama na kumuomba msamaha sanan.nikamwambia mma mi ntajilekebisha. Kiukweli niliamua tu niombe msamaha nyumbani. Basi mama akanisamehe na akaongea na baba akaniombea msamaha. Mzee nae aliongea sana. Yani sana. Ila mwisho akaniweka vizuri kama binti yake. Na akanisema sana ila yakaisha na wala hakunipiga tena mana kwanza tayari nilishavimba mwili wa kupigwa.

Basi kesho yake ilikuwa ni weekend . So sikuenda shule jamani mama ni alikuwa anaongea na mm tu. Mala kanmbia hili mala.kanambia hili. Mala kanambia hili mala lile yani yote ni kunielezea kuhusu kujitunza. Angejua bikra yenyewe kashatafuna mlige kitambo . Now kabaki ananisingizia kesi tu. Bas bwana mie hii week end yote nilikaaa home sikutoka kabisas. Zaidi yusta alikuja nyumbani tukaongea zetu tu. Aliponiuliza kuhusu mlige. Nilisema simtaki kwa sasa. Nahisi atanichanganua nataka kusoma tu. Nataka kupmbana na shule yusta akanambia ni sawa na yani wazo zuri piah.basi bwana kuanzia apo mimi na mlige tukavungianaa kabisa. Ikawa sasa ni kma mwalimu na mwanafunzi wake. Mi sikutaka kuwa nae tena kiukweli. Na yeye naona alikata tamaa. Akawa anaiiti tena ofisini kwake. Na nikawa huru tu na mambo yangu. Yule hassan hakunifata tena .sielewi aliita na mlige ama vipi . So mi niliamua kuwa bus na shule tu. Basi bwana ayo ndo yakawa maisha yetu mm na bwana mlige. Ila akinikuta kwenye kosa ananipiga kama wenzangu. Mie fresh tu wala sikuwa najali. Na ata madame zahara akapunguza kunifatlia . Na ata akiniongelesha vibaya . Mimi sikuwa namjibu vibaya kabisa. Nilikuwa nanyamaza kimya. Yote niliona nipambane kwanza nipate eliimu yangu.

Basi maisha yakaenda mpka tukabakisha miezi 2 tumalize shule. Apo sasa tupa alikuwa ananambia daah nndo humtaki kabisa mshikaji. Mimi nacheka tu. Ananambia aya bwana . We si umeamua kumkazia aya bwana. Basi tukatangaziwa gaduation yetu yana kidti cha nne nakumbuka mchango ilikuwa kama elfu 45. Mi sikutaka kufanya kiukweli. Yani nilikuwa sipendi kuchanganyika . Ila yusta alinmbia soo sawa . Ni kumbu kumbu. So tufanye tu. Basi nikasema sawa na nikan da kkuwaambia wazazi . Nakumbuka kulipia ilikuwa kama elfu 45. Mama alinambia hana pesa kabisaa. Na ata bab walinambia hawana pes. Na mm kwa mda uo ndani nilikuwa na akiba ya kama laki 2. Hizo ndo zile pesa nlikuwa naweka kipindi nipo na mlige .nikaona acha nijifanyie bwana. Sasa ntawambia wazazi nimepata wapi pesa. Basi.siku iyo mie nikatoka nikaenda mpaka ofisini nikaona kuongea na sir tupa.

Akanmbia eeh mtoto mzuri nambie. Mie nikscheka nikamwambia mwalimu mi nataka kufanya graduu ila.wazee wamenambia hawana pesa. Kla ndani nna akiba yangu nataka kulipia na mm nifanye ila sasa. Wazazi wataniuliza nimepata wapi pesa. Naomba basi ata siku umpigie baba umwambia unanailipia pesa ya graduu na mimi.niinjoy na wenzangu. Sir tupa akasema mh we akiba iyo umeiweka lini au una mshikaji mwengine ndo anakupa jeuri ebu nambie vizuri mie nikacheka nikasema kweli so tupa mie sina. Kile kipindi mlige alikuwa ananipa pesa ndo nlikuwa naweka . Nisaidie basi. Sir tupa akanmbia hakuna noma mzee wako mm namuonaga sana centre kwemye kijiwe cha kahawa ntaongea nae wala usikonde. Nikafurahi nikasema sawa mwalimu. Basi mie uyo nikakudi zangu darasani.


Nashukuru kweli sir tupa aliongea na baba. Na mzeee akanmbia una bahati ww ya kupendwa na walimu sijui utukutu unaleta wann. Mama.akauliza kuna nn. Baba akamwambia ujiandae uende kwenye mahafari ya mwano sir tupa kasema anamfanyia . Ni ww tu. Mama aksema apo ntaenda . Na nazani apo faridaha kafurahi si ndio mama. Nimasema ndio mama nimefurahi mma ksema aha mie ntakuja hakuna shidaa. Basi apo nikawa nishavuka.na pes aga graduu mie nikaenda kulipia kwa uyo madame zahara ndio alikuwa anakusanya. Alikuwa ananingali jamani. Mi sikumjali na moyo ulishaanza kupoa . Nikaona ngoja niwaache watu wazima . Mie mtoto mdogo nikae pembeni.

Basi bwana baada ya kulipia tukaanza maandaizi sasa ya graduu. Mala wale wa kucheza wale wa kuimba. mie. Sikuwa na kipaji chochote labda kuwaangalia wenzangu. Bola ata yusta anajua kudance mie hapana kwa kweli. Ni muangaliaji tu. Ila nilikuwa nafanya vitu vyangu vidogo vidogo sijuh viati sijuh nguo hivyo. Mana tulikua hatuvai fomu. Tulinunua vitenge kisha mshono ni wewe mwenyewe. Mie sielewi ila yusta ndo alikuwa ananipangia mshono. Yeye ndo mjanja mjanja sna. Mie mama ndio ndio tu kila atakachonambia. Nyie yista alinishonea kigauni kifupi cha kubana. Kilishika bodi kinoma alafu juu anawekea less. Dooh yusta anayaweza. Akanmbia ukivaa hii utapendeza . Mh nikaichek ile nguo. Akanmbia juu tunaenda salooni nyakanazi make up na viatu tutanunua uko.nyie yusta anaweza pilika pilika wallah.

Na kweli siku ya graduu ikafika kwanza . Nakumbuka nilitoka nyumbani saa 12 alfajiri tunaenda nyakanazi na yusta saluon .mama akanmbia sawa yeye atakuja shule saa 7. Mie nikasem.sawa tukaondoka na shogaa. Nyie yule dada alitupodoa vizuri. Tena kwa elfu 30 tu. Hatukuweka mawigi kichwani ila tuliwaka. Mie nilipendeza mpaka yule mwenye saloon na yusta wakanmbia sizani kama atapatikana mtu atakayependeza kwenye graduu kama ww..nyie nilipendeza sana. Alafu sasa nikavaa na raba nyeupe .nilipendeza jamani . Ata yusta aliwaka kiaina yake ila mie nilizidi mshepu kwanza umejichora uo mtako ndo siwaambii .nyiee hapana chezea. Nlipendeza sana.

Basi baada ha kumaliza kupambwa sie ndo tukaludi shule kwanza tulichelewa mpkaa graduu ilishaanza ndio sie tunafika. Tukaa kwenye viti vya watainiwa. Jamani kila mwanafunz alikuwa anambia faridah umependeza mungu wangu. Yani boyss wote wananitazama mpaka nikawa naona aibu. Nyiee niliwaka sanaa. Yani apo mbele kulikuawa na mgeni rasmi ambae alikuwa diwani . Na mwalimu mkuu mlige na viongozi wengine na walimu wote walikuwa mbele. Graduu ilinoga kwanza watu kama wote. Nilikuwa naaangza shongo kimtazama mama ila nikamuona kakaa na mama yake na yusta. Moyo ukatulia. Basi bwana watu waliburudisha sana .watu wa kudance sijuh kucheza. Yani ilichangamka. Ukafika mda wa kupewa vyeti . Aseee kuna vile special vyeti. Niliitwa nikachukue cha geograpph na history. Ayo masomo nilikuwa nayajua sana. Aseeee ndo nikanyanyuka sasa nikaenda mbele. Nyie kila mtu ananingalia mpaka naona aibu. Ila nikajikaza nikaenda mbele. Nikaanza kuwa mikono meza kubwa. Nimefika kwa mlige. Kanishika mkono hataki ata kuniachia ananishangaa mpaka mie nilifanya kuuvuta kidogo. Ndio nikaendelea mpka kwa diwani. Mlige alikuwa ananiangalia jamani sijuh ndo aliniona uo mdaa ata sikuelewa. Basi mie nikafika mpaka kwa diwani. Nikapewa vyeti vyangu nikapiga na picha pale. Mh diwani mwenyewe ananikonyeza wakati ni jitu zima looh.


🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Enzi zetu
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MY WANGU❤️ sehemu ya 44 na 45


Aseeee basi hii siku home mama aliniweka chini. Alinisema.sana . Alinisihi sana. Kama mtoto wakike. Alinambia nisijiingize kwenye mapenzi kabisa. Sijuh ntadanganywa kwanza nisome nimalize shule ndo nitafute mwanaume. Aseee mama aliongea sana na mm. Alihisi kama kapelea kwenye kunilea . Alinisema mama mpaka analia. Ananmbia baba yako anaona sijakulea vizur mwanangu. Kwa nn unajibizana na walimu . Kwanini ina kuwa huna adabu shuleni. Alinisema sana. Akinisema mno mpaka nikajisikia vibaya. Mana mama alikuwa mpaka analia. Nilimpigia magoti mama na kumuomba msamaha sanan.nikamwambia mma mi ntajilekebisha. Kiukweli niliamua tu niombe msamaha nyumbani. Basi mama akanisamehe na akaongea na baba...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/my-wangu-sehemu-ya-44-na-45

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi my-wangu-sehemu-ya
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107
MY WANGU❤️ sehemu ya 108
MY WANGU❤️ sehemu ya 108
MY WANGU❤️ sehemu ya 111 na 112
MY WANGU❤️ sehemu ya 111 na 112
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117
MY WANGU❤️ sehemu ya 118
MY WANGU❤️ sehemu ya 118
*MY WANGU❤️*   *sehemu ya 109 na 110*
*MY WANGU❤️* *sehemu ya 109 na 110*
MY WANGU❤️ *sehemu ya 114 na 115*
MY WANGU❤️ *sehemu ya 114 na 115*
MY WANGU❤️ sehemu ya 103
MY WANGU❤️ sehemu ya 103
MY WANGU❤️ sehemu ya 94 na 95
MY WANGU❤️ sehemu ya 94 na 95
MY WANGU❤️ sehemu ya 96 na 97
MY WANGU❤️ sehemu ya 96 na 97
MY WANGU❤️ sehemu ya 100
MY WANGU❤️ sehemu ya 100
MY WANGU❤️ sehemu ya 113
MY WANGU❤️ sehemu ya 113
MY WANGU❤️ sehemu ya 47 na 48
MY WANGU❤️ sehemu ya 47 na 48
*MY WANGU❤️*   *sehemu ya 98 na 99*
*MY WANGU❤️* *sehemu ya 98 na 99*
MY WANGU❤️ sehemu ya 101 na 102
MY WANGU❤️ sehemu ya 101 na 102
MY WANGU❤️ sehemu ya 51 na 52
MY WANGU❤️ sehemu ya 51 na 52
MY WANGU❤️ sehemu ya 71 na 72
MY WANGU❤️ sehemu ya 71 na 72
MY WANGU❤️ sehemu ya 89 na 90
MY WANGU❤️ sehemu ya 89 na 90
MY WANGU❤️ sehemu ya 76 na 77
MY WANGU❤️ sehemu ya 76 na 77
MY WANGU❤️ sehemu ya 93
MY WANGU❤️ sehemu ya 93
MY WANGU❤️ sehemu ya 74 na 75
MY WANGU❤️ sehemu ya 74 na 75
MY WANGU sehemu ya 40
MY WANGU sehemu ya 40
MY WANGU❤️ sehemu ya 86 na 87 Wenda mpangilio umekosewa endelea kusoma
MY WANGU❤️ sehemu ya 86 na 87 Wenda mpangilio umekosewa endelea kusoma
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70
MY WANGU❤️ sehemu ya 88
MY WANGU❤️ sehemu ya 88
MY WANGU❤️ sehemu ya 73
MY WANGU❤️ sehemu ya 73
MY WANGU sehemu ya 38 na 39
MY WANGU sehemu ya 38 na 39
MY WANGU❤️ sehemu ya 49 na 50
MY WANGU❤️ sehemu ya 49 na 50
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU YA KUMU*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMU*

913
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10

521
FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 16

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 16

446
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8

430
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17

352
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12

295
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

282
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10

214
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.

185
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.

141

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.43K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.2K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.75K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.2K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.6K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.45K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.44K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.43K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.38K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.37K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 13 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 13
@majario LIVE

Basi nikaingia ndani, dohh nilipashangaa, yani uyu dada hakuwa na chochote cha maana cha ndani zaidi ya godoro tu, amabalo nalo wala halikuwa linalizisha kabisa,mabegi ya nguo, na ndoo za...

Zayed Khan has always been a total family man at heart. He’s married to his high school sweetheart, Malaika Parekh Post Mpya
Zayed Khan has always been a total family man at heart. He’s married to his high school sweetheart, Malaika Parekh
@majario LIVE

. They met as teenagers at Kodaikanal International School, became close friends, and eventually fell in love. After years of being together, they got married on November 20, 2005. It’s...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*
@majario LIVE

SONGA NAYO. Ila nyie mapenzi konyo Walahi, Yaani ukimuona mtu unayempenda lazima tu Ka moyo kashtuke na kapate amani Fulani hivi Kitendo cha kumuona Enzo nilifurahi lakini pia nilijikaza tu na kumuuliza...

This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla Post Mpya
This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla
@majario LIVE

with that cute bubbly energy… and Aamir Khan being his mischievous, romantic self. What a combo yaar! Ishq was not just a love story, it was full on drama, comedy,...

 Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani Post Mpya
Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani
@majario LIVE

* Meli za kijeshi za Marekani zilizopo Ghuba ya Uajemi * Rada za Israel zilizopo Azerbaijan * Rada za Israel zilizopo Turkmenistan * Mifumo ya ulinzi wa anga ya vituo vya Marekani nchini...

SHAMIRA sehemu ya 34&35 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 34&35
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi nikajiiinua taratibu tukaingia bafuni. Mwanaume akanikumbatia uku tunaoga. Aseee uyu baba ananipenda ila hataki upumbavu ata kidogo na mkono wake mwepesi kupiga .na yote sababu...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nikaona zena kamnyanyua yule mtoto kisha akambeba ,ni amefanana nae sana ,nikajua ni wa kwake tu yani ni lazima utu mtoto atakuwa ni mwanae, kisha akanigeukia...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17
@majario LIVE

Ikabidi nikae tu kwenye piki piki maana sura alivyokuwa kaikaza mmh asije kunipiga, Kimyaa kikatawala sasa mie nilijua tunaenda kwa Tinner na moyoni nilikuwa nimempangia hayo maneno Tinner eeh mbona...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Maeneo ya pale pale chuoni, Salmon alikuwa amepanga nyumba kubwa ya peke yake. Wakati akiwa chuo ndo alikua anaishi hapo, ila siku za weekends kama hana mambo mengi ndo anaenda...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi kuanzia apo nikawa sasa kidogo naelewana na baraka. Tena mimi ndo napenda sana kuongea nae. Yani sanaaa. Napenda kucheka nae sana. Na kun jinsi...

FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 16 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 16
@majario LIVE

Usiku wangu ulikuwa mzito sana, maneno ya D kusema kuwa Veda anatembea na wanawake wengi, niliyaamini kabisaaa Bila shakaa kwa maana Yeye tu hana mwonekano mzuri ametuna tuna hovyo anakuwa...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10
@majario LIVE

Daaah nikaona mtoto kachomoa leo mana sio powa , ana vipengele sana uyu demu , ila unyama, hatachomoa kila siku, ni suala la muda tu, mana sijawahi kumtaka mwanamke ,...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media BASI nikapanda kitandani kwangu. Nikijutia sana nilichokifanya mana mh . Nilikuwa nasababisha ugomvi mkubwa wa wazazi mungu wangu. Yani mama yangu alikuwa anaachwa leo...

SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.??? Post Mpya
SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.???
@majario LIVE

Hatimae jana tambo za Dabi zilipata majibu kwa timu za Simba na Yanga kutoka suluhu ya bila kufungana(0-0). Kwa maana hiyo timu zote ziliambulia pointi moja moja. Mchezo wa jana pamoja...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8
@majario LIVE

Zena akasema kwaiyo manager unataka kuniuza ama ni vp, yule manager aksema , naomba uelewe kuwa ukifanya kazi katika hii bar, mteja kukushika sehemu yoyote ya mwili wako ni kawaida,...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest