MY WANGU❤️ sehemu ya 44 na 45
Aseeee basi hii siku home mama aliniweka chini. Alinisema.sana . Alinisihi sana. Kama mtoto wakike. Alinambia nisijiingize kwenye mapenzi kabisa. Sijuh ntadanganywa kwanza nisome nimalize shule ndo nitafute mwanaume. Aseee mama aliongea sana na mm. Alihisi kama kapelea kwenye kunilea . Alinisema mama mpaka analia. Ananmbia baba yako anaona sijakulea vizur mwanangu. Kwa nn unajibizana na walimu . Kwanini ina kuwa huna adabu shuleni. Alinisema sana. Akinisema mno mpaka nikajisikia vibaya. Mana mama alikuwa mpaka analia. Nilimpigia magoti mama na kumuomba msamaha sanan.nikamwambia mma mi ntajilekebisha. Kiukweli niliamua tu niombe msamaha nyumbani. Basi mama akanisamehe na akaongea na baba akaniombea msamaha. Mzee nae aliongea sana. Yani sana. Ila mwisho akaniweka vizuri kama binti yake. Na akanisema sana ila yakaisha na wala hakunipiga tena mana kwanza tayari nilishavimba mwili wa kupigwa.
Basi kesho yake ilikuwa ni weekend . So sikuenda shule jamani mama ni alikuwa anaongea na mm tu. Mala kanmbia hili mala.kanambia hili. Mala kanambia hili mala lile yani yote ni kunielezea kuhusu kujitunza. Angejua bikra yenyewe kashatafuna mlige kitambo . Now kabaki ananisingizia kesi tu. Bas bwana mie hii week end yote nilikaaa home sikutoka kabisas. Zaidi yusta alikuja nyumbani tukaongea zetu tu. Aliponiuliza kuhusu mlige. Nilisema simtaki kwa sasa. Nahisi atanichanganua nataka kusoma tu. Nataka kupmbana na shule yusta akanambia ni sawa na yani wazo zuri piah.basi bwana kuanzia apo mimi na mlige tukavungianaa kabisa. Ikawa sasa ni kma mwalimu na mwanafunzi wake. Mi sikutaka kuwa nae tena kiukweli. Na yeye naona alikata tamaa. Akawa anaiiti tena ofisini kwake. Na nikawa huru tu na mambo yangu. Yule hassan hakunifata tena .sielewi aliita na mlige ama vipi . So mi niliamua kuwa bus na shule tu. Basi bwana ayo ndo yakawa maisha yetu mm na bwana mlige. Ila akinikuta kwenye kosa ananipiga kama wenzangu. Mie fresh tu wala sikuwa najali. Na ata madame zahara akapunguza kunifatlia . Na ata akiniongelesha vibaya . Mimi sikuwa namjibu vibaya kabisa. Nilikuwa nanyamaza kimya. Yote niliona nipambane kwanza nipate eliimu yangu.
Basi maisha yakaenda mpka tukabakisha miezi 2 tumalize shule. Apo sasa tupa alikuwa ananambia daah nndo humtaki kabisa mshikaji. Mimi nacheka tu. Ananambia aya bwana . We si umeamua kumkazia aya bwana. Basi tukatangaziwa gaduation yetu yana kidti cha nne nakumbuka mchango ilikuwa kama elfu 45. Mi sikutaka kufanya kiukweli. Yani nilikuwa sipendi kuchanganyika . Ila yusta alinmbia soo sawa . Ni kumbu kumbu. So tufanye tu. Basi nikasema sawa na nikan da kkuwaambia wazazi . Nakumbuka kulipia ilikuwa kama elfu 45. Mama alinambia hana pesa kabisaa. Na ata bab walinambia hawana pes. Na mm kwa mda uo ndani nilikuwa na akiba ya kama laki 2. Hizo ndo zile pesa nlikuwa naweka kipindi nipo na mlige .nikaona acha nijifanyie bwana. Sasa ntawambia wazazi nimepata wapi pesa. Basi.siku iyo mie nikatoka nikaenda mpaka ofisini nikaona kuongea na sir tupa.
Akanmbia eeh mtoto mzuri nambie. Mie nikscheka nikamwambia mwalimu mi nataka kufanya graduu ila.wazee wamenambia hawana pesa. Kla ndani nna akiba yangu nataka kulipia na mm nifanye ila sasa. Wazazi wataniuliza nimepata wapi pesa. Naomba basi ata siku umpigie baba umwambia unanailipia pesa ya graduu na mimi.niinjoy na wenzangu. Sir tupa akasema mh we akiba iyo umeiweka lini au una mshikaji mwengine ndo anakupa jeuri ebu nambie vizuri mie nikacheka nikasema kweli so tupa mie sina. Kile kipindi mlige alikuwa ananipa pesa ndo nlikuwa naweka . Nisaidie basi. Sir tupa akanmbia hakuna noma mzee wako mm namuonaga sana centre kwemye kijiwe cha kahawa ntaongea nae wala usikonde. Nikafurahi nikasema sawa mwalimu. Basi mie uyo nikakudi zangu darasani.
Nashukuru kweli sir tupa aliongea na baba. Na mzeee akanmbia una bahati ww ya kupendwa na walimu sijui utukutu unaleta wann. Mama.akauliza kuna nn. Baba akamwambia ujiandae uende kwenye mahafari ya mwano sir tupa kasema anamfanyia . Ni ww tu. Mama aksema apo ntaenda . Na nazani apo faridaha kafurahi si ndio mama. Nimasema ndio mama nimefurahi mma ksema aha mie ntakuja hakuna shidaa. Basi apo nikawa nishavuka.na pes aga graduu mie nikaenda kulipia kwa uyo madame zahara ndio alikuwa anakusanya. Alikuwa ananingali jamani. Mi sikumjali na moyo ulishaanza kupoa . Nikaona ngoja niwaache watu wazima . Mie mtoto mdogo nikae pembeni.
Basi bwana baada ya kulipia tukaanza maandaizi sasa ya graduu. Mala wale wa kucheza wale wa kuimba. mie. Sikuwa na kipaji chochote labda kuwaangalia wenzangu. Bola ata yusta anajua kudance mie hapana kwa kweli. Ni muangaliaji tu. Ila nilikuwa nafanya vitu vyangu vidogo vidogo sijuh viati sijuh nguo hivyo. Mana tulikua hatuvai fomu. Tulinunua vitenge kisha mshono ni wewe mwenyewe. Mie sielewi ila yusta ndo alikuwa ananipangia mshono. Yeye ndo mjanja mjanja sna. Mie mama ndio ndio tu kila atakachonambia. Nyie yista alinishonea kigauni kifupi cha kubana. Kilishika bodi kinoma alafu juu anawekea less. Dooh yusta anayaweza. Akanmbia ukivaa hii utapendeza . Mh nikaichek ile nguo. Akanmbia juu tunaenda salooni nyakanazi make up na viatu tutanunua uko.nyie yusta anaweza pilika pilika wallah.
Na kweli siku ya graduu ikafika kwanza . Nakumbuka nilitoka nyumbani saa 12 alfajiri tunaenda nyakanazi na yusta saluon .mama akanmbia sawa yeye atakuja shule saa 7. Mie nikasem.sawa tukaondoka na shogaa. Nyie yule dada alitupodoa vizuri. Tena kwa elfu 30 tu. Hatukuweka mawigi kichwani ila tuliwaka. Mie nilipendeza mpaka yule mwenye saloon na yusta wakanmbia sizani kama atapatikana mtu atakayependeza kwenye graduu kama ww..nyie nilipendeza sana. Alafu sasa nikavaa na raba nyeupe .nilipendeza jamani . Ata yusta aliwaka kiaina yake ila mie nilizidi mshepu kwanza umejichora uo mtako ndo siwaambii .nyiee hapana chezea. Nlipendeza sana.
Basi baada ha kumaliza kupambwa sie ndo tukaludi shule kwanza tulichelewa mpkaa graduu ilishaanza ndio sie tunafika. Tukaa kwenye viti vya watainiwa. Jamani kila mwanafunz alikuwa anambia faridah umependeza mungu wangu. Yani boyss wote wananitazama mpaka nikawa naona aibu. Nyiee niliwaka sanaa. Yani apo mbele kulikuawa na mgeni rasmi ambae alikuwa diwani . Na mwalimu mkuu mlige na viongozi wengine na walimu wote walikuwa mbele. Graduu ilinoga kwanza watu kama wote. Nilikuwa naaangza shongo kimtazama mama ila nikamuona kakaa na mama yake na yusta. Moyo ukatulia. Basi bwana watu waliburudisha sana .watu wa kudance sijuh kucheza. Yani ilichangamka. Ukafika mda wa kupewa vyeti . Aseee kuna vile special vyeti. Niliitwa nikachukue cha geograpph na history. Ayo masomo nilikuwa nayajua sana. Aseeee ndo nikanyanyuka sasa nikaenda mbele. Nyie kila mtu ananingalia mpaka naona aibu. Ila nikajikaza nikaenda mbele. Nikaanza kuwa mikono meza kubwa. Nimefika kwa mlige. Kanishika mkono hataki ata kuniachia ananishangaa mpaka mie nilifanya kuuvuta kidogo. Ndio nikaendelea mpka kwa diwani. Mlige alikuwa ananiangalia jamani sijuh ndo aliniona uo mdaa ata sikuelewa. Basi mie nikafika mpaka kwa diwani. Nikapewa vyeti vyangu nikapiga na picha pale. Mh diwani mwenyewe ananikonyeza wakati ni jitu zima looh.
🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi