Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MY WANGU❤️ sehemu ya 44 na 45
Gonga94 · Stories

MY WANGU❤️ sehemu ya 44 na 45

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

Aseeee basi hii siku home mama aliniweka chini. Alinisema.sana . Alinisihi sana. Kama mtoto wakike. Alinambia nisijiingize kwenye mapenzi kabisa. Sijuh ntadanganywa kwanza nisome nimalize shule ndo nitafute mwanaume. Aseee mama aliongea sana na mm. Alihisi kama kapelea kwenye kunilea . Alinisema mama mpaka analia. Ananmbia baba yako anaona sijakulea vizur mwanangu. Kwa nn unajibizana na walimu . Kwanini ina kuwa huna adabu shuleni. Alinisema sana. Akinisema mno mpaka nikajisikia vibaya. Mana mama alikuwa mpaka analia. Nilimpigia magoti mama na kumuomba msamaha sanan.nikamwambia mma mi ntajilekebisha. Kiukweli niliamua tu niombe msamaha nyumbani. Basi mama akanisamehe na akaongea na baba akaniombea msamaha. Mzee nae aliongea sana. Yani sana. Ila mwisho akaniweka vizuri kama binti yake. Na akanisema sana ila yakaisha na wala hakunipiga tena mana kwanza tayari nilishavimba mwili wa kupigwa.

Basi kesho yake ilikuwa ni weekend . So sikuenda shule jamani mama ni alikuwa anaongea na mm tu. Mala kanmbia hili mala.kanambia hili. Mala kanambia hili mala lile yani yote ni kunielezea kuhusu kujitunza. Angejua bikra yenyewe kashatafuna mlige kitambo . Now kabaki ananisingizia kesi tu. Bas bwana mie hii week end yote nilikaaa home sikutoka kabisas. Zaidi yusta alikuja nyumbani tukaongea zetu tu. Aliponiuliza kuhusu mlige. Nilisema simtaki kwa sasa. Nahisi atanichanganua nataka kusoma tu. Nataka kupmbana na shule yusta akanambia ni sawa na yani wazo zuri piah.basi bwana kuanzia apo mimi na mlige tukavungianaa kabisa. Ikawa sasa ni kma mwalimu na mwanafunzi wake. Mi sikutaka kuwa nae tena kiukweli. Na yeye naona alikata tamaa. Akawa anaiiti tena ofisini kwake. Na nikawa huru tu na mambo yangu. Yule hassan hakunifata tena .sielewi aliita na mlige ama vipi . So mi niliamua kuwa bus na shule tu. Basi bwana ayo ndo yakawa maisha yetu mm na bwana mlige. Ila akinikuta kwenye kosa ananipiga kama wenzangu. Mie fresh tu wala sikuwa najali. Na ata madame zahara akapunguza kunifatlia . Na ata akiniongelesha vibaya . Mimi sikuwa namjibu vibaya kabisa. Nilikuwa nanyamaza kimya. Yote niliona nipambane kwanza nipate eliimu yangu.

Basi maisha yakaenda mpka tukabakisha miezi 2 tumalize shule. Apo sasa tupa alikuwa ananambia daah nndo humtaki kabisa mshikaji. Mimi nacheka tu. Ananambia aya bwana . We si umeamua kumkazia aya bwana. Basi tukatangaziwa gaduation yetu yana kidti cha nne nakumbuka mchango ilikuwa kama elfu 45. Mi sikutaka kufanya kiukweli. Yani nilikuwa sipendi kuchanganyika . Ila yusta alinmbia soo sawa . Ni kumbu kumbu. So tufanye tu. Basi nikasema sawa na nikan da kkuwaambia wazazi . Nakumbuka kulipia ilikuwa kama elfu 45. Mama alinambia hana pesa kabisaa. Na ata bab walinambia hawana pes. Na mm kwa mda uo ndani nilikuwa na akiba ya kama laki 2. Hizo ndo zile pesa nlikuwa naweka kipindi nipo na mlige .nikaona acha nijifanyie bwana. Sasa ntawambia wazazi nimepata wapi pesa. Basi.siku iyo mie nikatoka nikaenda mpaka ofisini nikaona kuongea na sir tupa.

Akanmbia eeh mtoto mzuri nambie. Mie nikscheka nikamwambia mwalimu mi nataka kufanya graduu ila.wazee wamenambia hawana pesa. Kla ndani nna akiba yangu nataka kulipia na mm nifanye ila sasa. Wazazi wataniuliza nimepata wapi pesa. Naomba basi ata siku umpigie baba umwambia unanailipia pesa ya graduu na mimi.niinjoy na wenzangu. Sir tupa akasema mh we akiba iyo umeiweka lini au una mshikaji mwengine ndo anakupa jeuri ebu nambie vizuri mie nikacheka nikasema kweli so tupa mie sina. Kile kipindi mlige alikuwa ananipa pesa ndo nlikuwa naweka . Nisaidie basi. Sir tupa akanmbia hakuna noma mzee wako mm namuonaga sana centre kwemye kijiwe cha kahawa ntaongea nae wala usikonde. Nikafurahi nikasema sawa mwalimu. Basi mie uyo nikakudi zangu darasani.


Nashukuru kweli sir tupa aliongea na baba. Na mzeee akanmbia una bahati ww ya kupendwa na walimu sijui utukutu unaleta wann. Mama.akauliza kuna nn. Baba akamwambia ujiandae uende kwenye mahafari ya mwano sir tupa kasema anamfanyia . Ni ww tu. Mama aksema apo ntaenda . Na nazani apo faridaha kafurahi si ndio mama. Nimasema ndio mama nimefurahi mma ksema aha mie ntakuja hakuna shidaa. Basi apo nikawa nishavuka.na pes aga graduu mie nikaenda kulipia kwa uyo madame zahara ndio alikuwa anakusanya. Alikuwa ananingali jamani. Mi sikumjali na moyo ulishaanza kupoa . Nikaona ngoja niwaache watu wazima . Mie mtoto mdogo nikae pembeni.

Basi bwana baada ya kulipia tukaanza maandaizi sasa ya graduu. Mala wale wa kucheza wale wa kuimba. mie. Sikuwa na kipaji chochote labda kuwaangalia wenzangu. Bola ata yusta anajua kudance mie hapana kwa kweli. Ni muangaliaji tu. Ila nilikuwa nafanya vitu vyangu vidogo vidogo sijuh viati sijuh nguo hivyo. Mana tulikua hatuvai fomu. Tulinunua vitenge kisha mshono ni wewe mwenyewe. Mie sielewi ila yusta ndo alikuwa ananipangia mshono. Yeye ndo mjanja mjanja sna. Mie mama ndio ndio tu kila atakachonambia. Nyie yista alinishonea kigauni kifupi cha kubana. Kilishika bodi kinoma alafu juu anawekea less. Dooh yusta anayaweza. Akanmbia ukivaa hii utapendeza . Mh nikaichek ile nguo. Akanmbia juu tunaenda salooni nyakanazi make up na viatu tutanunua uko.nyie yusta anaweza pilika pilika wallah.

Na kweli siku ya graduu ikafika kwanza . Nakumbuka nilitoka nyumbani saa 12 alfajiri tunaenda nyakanazi na yusta saluon .mama akanmbia sawa yeye atakuja shule saa 7. Mie nikasem.sawa tukaondoka na shogaa. Nyie yule dada alitupodoa vizuri. Tena kwa elfu 30 tu. Hatukuweka mawigi kichwani ila tuliwaka. Mie nilipendeza mpaka yule mwenye saloon na yusta wakanmbia sizani kama atapatikana mtu atakayependeza kwenye graduu kama ww..nyie nilipendeza sana. Alafu sasa nikavaa na raba nyeupe .nilipendeza jamani . Ata yusta aliwaka kiaina yake ila mie nilizidi mshepu kwanza umejichora uo mtako ndo siwaambii .nyiee hapana chezea. Nlipendeza sana.

Basi baada ha kumaliza kupambwa sie ndo tukaludi shule kwanza tulichelewa mpkaa graduu ilishaanza ndio sie tunafika. Tukaa kwenye viti vya watainiwa. Jamani kila mwanafunz alikuwa anambia faridah umependeza mungu wangu. Yani boyss wote wananitazama mpaka nikawa naona aibu. Nyiee niliwaka sanaa. Yani apo mbele kulikuawa na mgeni rasmi ambae alikuwa diwani . Na mwalimu mkuu mlige na viongozi wengine na walimu wote walikuwa mbele. Graduu ilinoga kwanza watu kama wote. Nilikuwa naaangza shongo kimtazama mama ila nikamuona kakaa na mama yake na yusta. Moyo ukatulia. Basi bwana watu waliburudisha sana .watu wa kudance sijuh kucheza. Yani ilichangamka. Ukafika mda wa kupewa vyeti . Aseee kuna vile special vyeti. Niliitwa nikachukue cha geograpph na history. Ayo masomo nilikuwa nayajua sana. Aseeee ndo nikanyanyuka sasa nikaenda mbele. Nyie kila mtu ananingalia mpaka naona aibu. Ila nikajikaza nikaenda mbele. Nikaanza kuwa mikono meza kubwa. Nimefika kwa mlige. Kanishika mkono hataki ata kuniachia ananishangaa mpaka mie nilifanya kuuvuta kidogo. Ndio nikaendelea mpka kwa diwani. Mlige alikuwa ananiangalia jamani sijuh ndo aliniona uo mdaa ata sikuelewa. Basi mie nikafika mpaka kwa diwani. Nikapewa vyeti vyangu nikapiga na picha pale. Mh diwani mwenyewe ananikonyeza wakati ni jitu zima looh.


🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MY WANGU❤️ sehemu ya 44 na 45


Aseeee basi hii siku home mama aliniweka chini. Alinisema.sana . Alinisihi sana. Kama mtoto wakike. Alinambia nisijiingize kwenye mapenzi kabisa. Sijuh ntadanganywa kwanza nisome nimalize shule ndo nitafute mwanaume. Aseee mama aliongea sana na mm. Alihisi kama kapelea kwenye kunilea . Alinisema mama mpaka analia. Ananmbia baba yako anaona sijakulea vizur mwanangu. Kwa nn unajibizana na walimu . Kwanini ina kuwa huna adabu shuleni. Alinisema sana. Akinisema mno mpaka nikajisikia vibaya. Mana mama alikuwa mpaka analia. Nilimpigia magoti mama na kumuomba msamaha sanan.nikamwambia mma mi ntajilekebisha. Kiukweli niliamua tu niombe msamaha nyumbani. Basi mama akanisamehe na akaongea na baba...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/my-wangu-sehemu-ya-44-na-45

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle #BeautyBattle #AfricaVsWorld #Tanzania #Kenya #Congo #Rwanda #Burundi #SouthAfrica #USA #VoteNow #DebateTime #Trending 🐓 Follow the ommy khan Tanzania channel on WhatsApp: https://whatsapp.com/channel/0029VbCg0JyFsn0hCN1ByD44

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi my-wangu-sehemu-ya
MY WANGU❤️ sehemu ya 108
MY WANGU❤️ sehemu ya 108
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107
*MY WANGU❤️*   *sehemu ya 109 na 110*
*MY WANGU❤️* *sehemu ya 109 na 110*
MY WANGU❤️ sehemu ya 118
MY WANGU❤️ sehemu ya 118
MY WANGU❤️ sehemu ya 111 na 112
MY WANGU❤️ sehemu ya 111 na 112
MY WANGU❤️ *sehemu ya 114 na 115*
MY WANGU❤️ *sehemu ya 114 na 115*
MY WANGU❤️ sehemu ya 103
MY WANGU❤️ sehemu ya 103
MY WANGU❤️ sehemu ya 96 na 97
MY WANGU❤️ sehemu ya 96 na 97
MY WANGU❤️ sehemu ya 113
MY WANGU❤️ sehemu ya 113
MY WANGU❤️ sehemu ya 94 na 95
MY WANGU❤️ sehemu ya 94 na 95
MY WANGU❤️ sehemu ya 100
MY WANGU❤️ sehemu ya 100
MY WANGU❤️ sehemu ya 47 na 48
MY WANGU❤️ sehemu ya 47 na 48
*MY WANGU❤️*   *sehemu ya 98 na 99*
*MY WANGU❤️* *sehemu ya 98 na 99*
MY WANGU❤️ sehemu ya 101 na 102
MY WANGU❤️ sehemu ya 101 na 102
MY WANGU❤️ sehemu ya 71 na 72
MY WANGU❤️ sehemu ya 71 na 72
MY WANGU❤️ sehemu ya 51 na 52
MY WANGU❤️ sehemu ya 51 na 52
MY WANGU❤️ sehemu ya 89 na 90
MY WANGU❤️ sehemu ya 89 na 90
MY WANGU sehemu ya 40
MY WANGU sehemu ya 40
MY WANGU❤️ sehemu ya 76 na 77
MY WANGU❤️ sehemu ya 76 na 77
MY WANGU❤️ sehemu ya 93
MY WANGU❤️ sehemu ya 93
MY WANGU❤️ sehemu ya 74 na 75
MY WANGU❤️ sehemu ya 74 na 75
MY WANGU❤️ sehemu ya 86 na 87 Wenda mpangilio umekosewa endelea kusoma
MY WANGU❤️ sehemu ya 86 na 87 Wenda mpangilio umekosewa endelea kusoma
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85
MY WANGU sehemu ya 38 na 39
MY WANGU sehemu ya 38 na 39
MY WANGU❤️ sehemu ya 49 na 50
MY WANGU❤️ sehemu ya 49 na 50
MY WANGU❤️ sehemu ya 73
MY WANGU❤️ sehemu ya 73
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70
MY WANGU❤️ sehemu ya 88
MY WANGU❤️ sehemu ya 88
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 85

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 85

1.34K
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 86 na 87

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 86 na 87

1.26K
LETICIA Sehemu ya 17 na 18

LETICIA Sehemu ya 17 na 18

332
IN LOVE WITH ZURI*   *Chapter 9&10*

IN LOVE WITH ZURI* *Chapter 9&10*

153
IN LOVE WITH ZURI* Chapter 8

IN LOVE WITH ZURI* Chapter 8

143
💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO💋  11....15

💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO💋 11....15

89
😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 11

😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 11

16
😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋  Sehemu ya 15

😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 15

15
😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋  Sehemu ya 14

😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 14

14
😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋  Sehemu ya 13

😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 13

12

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.96K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.65K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.89K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.55K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

3.05K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

3K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.85K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.83K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.71K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.69K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO💋  11....15 Post Mpya
💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO💋 11....15
@majario LIVE

Sawa mke wangu kipenzi nashukuru kwa kunijali, Denis aliondoka hadi gari 🚙 lilivyokata kona na mimi nikaingia ndani nilibadilisha nguo nilizovaa nikaenda sokoni kununua nyama na mchele nikaja kupika chakula...

😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋  Sehemu ya 15 Post Mpya
😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 15
@mjukuu LIVE

😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 15 (🔞) (HII NI SIMULIZI YA WAKUBWA TU NA WAKUBWA WENYEWE WALE WAPENZI WA CHOMBEZO) Alex anazidi kumshindua kungwi kwa raha zake mpaka na yeye akakojoa... Alex alikaa kwa kungwi...

😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋  Sehemu ya 14 Post Mpya
😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 14
@mjukuu LIVE

(🔞) (HII NI SIMULIZI YA WAKUBWA TU NA WAKUBWA WENYEWE WALE WAPENZI WA CHOMBEZO) Mke wangu umeenda kijijini kumpa mwanangu mimba?. ( Yani aliongea uku amemkwida mama asma...na hapo akatokea msamalia mwema akamshika...

😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋  Sehemu ya 13 Post Mpya
😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 13
@mjukuu LIVE

(🔞) (HII NI SIMULIZI YA WAKUBWA TU NA WAKUBWA WENYEWE WALE WAPENZI WA CHOMBEZO) Siku ambayo kwakweli nilifanya mapenzi na asma kwa raha sana nilimlamba kila Kona na kiu aliitoa na yeye...

😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋  Sehemu ya 12 Post Mpya
😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 12
@mjukuu LIVE

(🔞) (HII NI SIMULIZI YA WAKUBWA TU NA WAKUBWA WENYEWE WALE WAPENZI WA CHOMBEZO) 👉 Asma akasogea yupo tayari kuvuliwa nguo nimpe utamu, Dah yani....👇 Kidume sikutaka kuchelewa maana penzi la wizi wizi hili, Nilimvua...

😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 11 Post Mpya
😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 11
@mjukuu LIVE

(🔞) (HII NI SIMULIZI YA WAKUBWA TU NA WAKUBWA WENYEWE WALE WAPENZI WA CHOMBEZO) 👉 Unajua mbwana yule mjumbe anatoa...👇 Ushilikiano kitandani utasema kijana yani uno kama lote mpaka nasema kimoyoni enzi ya...

IN LOVE WITH ZURI*   *Chapter 9&10* Post Mpya
IN LOVE WITH ZURI* *Chapter 9&10*
@majario LIVE

SONGA NAYO........ Upande wangu nilikuwa zangu chumbani, nikijiandaa kwa ajiri ya kutoka kwenda kurefresh kidogo, nikiwa najiandaa mara Ethan huyu hapa alikuwa mnyinge kweli "Vipi tena??" Nilimuuliza baada ya kumuona amekuwa mnyonge gafla "Acha...

IN LOVE WITH ZURI* Chapter 8 Post Mpya
IN LOVE WITH ZURI* Chapter 8
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Ethan akazungumza "Hakuna cha kukata tamaa, kwani we nani amekwambia kuwa ameolewa..??" "Ni mama.." Nilimjibu huku nikiwa nimekata tamaa zaidi "Sasa mama wewe unamuamini vipi??, kama amekuongopea?? We cha kufanya anza kumtoa mtoto...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 86 na 87 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 86 na 87
@majario LIVE

Basi mimi sasa apo nikampigia kwanza mkuu wangu kazini, mana sijaenda kazini kama siku 3 na sikuwa nimetoa sababau kabisaa, nikamuelezea kuwa nna matatizo mengi ya kimafimilia kwaiyo sipo sawa...

LETICIA Sehemu ya 17 na 18 Post Mpya
LETICIA Sehemu ya 17 na 18
@majario LIVE

Nikiwa nimelala usiku nikashangaa mlango unafunguliwa. Mmh nikainuka chapu uzuri sizimagi taa ,si namuona polela jamni loooh nilichukia mno jamani nikasema wewe umefwata nini umu .akasema taratibu mummy...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 85 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 85
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Aseeee mi nikatulia pale sebleni, et amam akaenda kuchukua nguo zake akasema naenda pemba ushasahau kuwa mm nimekuzaa ww kabisa , na ndo mana huna adabu kabisa, mi...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 96 - 100 MWISHO SEASON TWO Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 96 - 100 MWISHO SEASON TWO
@majario LIVE

:96 Yeye akawa tu anaendesha kama vile hakuna kitu amezungumza. Mimi hapo tena naona tu kesho ifike tu nipelekwe tu hiyo sehemu. Sijui hata ni kuchinjwa au nikutekwa mimi tayari tu nipo...

MFALME KIPOFU Sehemi..ya............14 Post Mpya
MFALME KIPOFU Sehemi..ya............14
@majario LIVE

Ilipoishia sehemu iliyopita.... Huyo hawezi kuishi bira wewe mana haoni na nafasi ya mwisho ni kuondoka katika huu ufalme nisione sura zenu tena hapa...... ENDELEA NAYO........ Mfalme Tengu aliwafukuza Prince Yao na Lindiwe...

NAKUPENDA BILA  MIPAKA 87 - 95 SEASON TWO Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 87 - 95 SEASON TWO
@majario LIVE

:87 Nikacheka na kusema “sasa nikufiche nini, lakini sasa Dokta kama anampenda boss bora amwambie anateseka bure.” Dada Maria alicheka na kusema “wewe unawajua wanaume, wanaume hawana hata muda nakuambia, na vile...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 83 na 84 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 83 na 84
@majario LIVE

Namtak uyo maraya wako, namtaka nasema, mh nikajua apa kumekucha nikawaambia wanangu, nendeni chumbai kwenu haraka, kweli ummy akachukua mdogo wake arshaina wakaingia chumbani, mm.nikamsogelea mama.nikasema.mma ni ustaarabu gani, mama.mi.nilikuwa...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest