Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MY WANGU❤️ sehemu ya 51 na 52
Gonga94 · Stories

MY WANGU❤️ sehemu ya 51 na 52

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


Basi bwanaaa . Huba kilichanua aswaaa mnajua lilichanua. Pesa ndo napewa mpaka.nasema iki nn. Basi nampa mama anapokea uku anachamba et ohhh pesa nachukua ila ukipata mimba utajua unaongeaje na baba yako. Yani kuna jinsi mama alishayapitisha mahusiano yetu . Ila ile kusema ndo hakuwa anasema sijuh alikiwa ananiona bado mdogo . Mana ata week end nikitaka kwenda kwa mlige. Namuaga anakubali vizur ananisisitiza tu niwahi kurudi. Basi naondoka zangu..kiukweli mimi.na uyu baba tulipendana aswaaa . Kila mtu alikuwa hoi kwa mwrnzio. Ni kweli mlige ni mkubwa kwangu . Ila.anaheshima sana na mm. Ananisikiliza sana..na ikatokea kankwaza .mlige Kupiga magoti sio shida zake. Tena nikimkazia ata lia na kulia apo yani alikuwa ni mdhaifu sana kwangu. Ananipendaaa sana uyu baba. Nadeke nnavyotaka mpaka nilikuwa nanenepa .na mboo nishizoea mie. Naikalia vyovyote basi ndo nazidi kumchanganya. Ila sasa na mm nikizingua ww kinawaka.

Mlige ni mkari mpaka nakuwa naogopa. Namuomb msamaha yanaisha ila ikiwa kesi ya wivu. Yani kakauta sms haielew kwenye simu yangu weee ntaeleza apo. Ntajielezea mpaka nikome ndl anaelewa .na atanipiga mikwara kibao .ila tunapendena sana. Nyieee ikapita miezi 2 mie nipo home tu. Nafanya mambo yangu. Week end ndo kwa baby . Ila silali. Ataa. Basi siku iyo ilikuwa mida ya saa 4 asubuh hivi. Nilikuwa naosha vyombo.nikawa nasikia kasimu kangu kanaita. Mama akanmbia we simu yako inaita uko. Atakuwa ni.mlige tu. Kwan kuna mwengine wa kukupigia ww. Mie nikacheka mana nishazoe mipasho ya mama. Labda baba akiwepo ndo atanyamaza. Basi mie nikavuta simu..na ilikuwa j tatu yupo kazini najua kwa uo mda . Basi nikapokea simu kisha nikase.a hallow. Akanmbia aseeeeee ebu chagua mke wangu . Nikupeleke wapi tukaspend tu next week. Mie nikacheka.nikamuuliza kuna nn kwani. Akanmbia najivunia ww mama. Matokeo yametoka umefauru una division one ya 12. Nyie nilipiga kelele za furaah. Nikasema.mlige unanambia kweli akasema yaa na yusta ana one ya 17. Najivunia nyie . Mchagua sehemu kwanza leo niwatoe out .nimefurahi sana..kisha nna zawadi yako nzuri sana mke wangu. Umenifurahisha na nakupenda sana. Aseeeee nilifurahi jamani. Mama kaja aniuliza we vp mbona makelele

Nikamlukia. Kwa nguvu nikasema mama nimefurahi jamni.nimefauru mm. Nimefauru mama. Nimepata division one. Eehh mama alifurahi mnoo. Akanikumbatia kwa nguvu. Akasema.jamani jamani. Nina rahaa leo nakuchinjia kuku mwanangu. Jamanii nilifurahii hii siku. Mzee nae mda uo uo analudi anakutana na habari njemaa. Ahaa baba alifurahi sana
Akasema nishaona kabisa mwanangu unaenda kuwa doctor. We unaenda kuondoa umaskini wote nyumbani kwangu. Yani ilikuwa rahaa. Kaka zangu wakapigiwa . Wakafurahi mno. Na pesa walinitumia kama.zawadi jamani. Yani hii siku nyumbani ilikuwa rahaa tu. Na kweli nilichinjiwa kuku. Mie sikungoja ata kuku wao kwanza nikaenda kwa kina yusta. Nakuta na yeye ndo anashangaalia kashaona matokeo yake.nyie tulikimbatiana kwa kuluka luka mnoo .ilikuwa rahaa sana . Yani ilikuwa rahaa mnoo jamani.

Basi bwana . Mchana mie na yusta tukaenda kula kwetu. Wali kuku. Yani ilikuwa rahaa kinoma noma . Basi jioni kabisaa . Mlige akanipigia simu yupo road ananingoja. Basi nikamuaga mama naenda kumuona mlige mala moja. Mama akanmbia ole wako uchelewe sasa kajifanyeni mnajua kupongezana. Mie kimya nikatoka na yusta mpaka alipo mlige. Aseee mlige alitupongeza sana.. na alikuwa kafurahi mnoo. Basi akatutoa out . Akatupeleka runzewe town pale.tukaingia kwenye mgahawa. Akasema kila mtu aagize anachotaka. Basi tukaagiza tena . Apo sasa tukala nyama choma.aseeee mlige alifurahi sana. Alinambia najivunia ww. Alitamani kuwa na mm sana ile siku. Ila aknmbia usipolala home haitakuwa sawa ngoja tu uludi nyumbani na kweli saa 2 usiku akatulidisha mie nikaludi nyumbani.

Baada ya apo sasa . Nikawa nipo nyumbani na shoga yangu yusta tukisubili shule tutakazipangiwa. Basi ndo hivyo apo mama mkwe alinipigia na akanipa hongera sana akanmbia amefurahi sana kwa mie kujitahidi na kufauru mitihani yangu. Aseeee ilikuwa rahaa mnoo. Na mam mkwe alinmbia et ntkupa zawadi . Basi nikamshukuru tu. Na kweli alinitumia elfu 70. Et ninunue nipandacho . Nikamshukuru sana mama. Basi bwana mda ukapita kama.mwez hivi. Na shule zikatoka sasa. Mh yusta alipangiwa shule moja ipo dodoma inaitwa kondoa girlss. Na mimi ni
Kapangiwa shule moja ipo mwanza . Inaitwa bwiru girlss. Basi tukafurahi sana . Yani sana tu. Apo mama hana ata presha anajua wa kunisomesha yupo tu🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌

Basi mlige akanmbia tulia . Kuna mambo naweka sawa ntakuja kuongea na ww na wazazi kuhusu masuala yako ya shule. Nikasema sawa . Basi siku iyo sasa mlige ndo kaja nyumbani alafu ata hakunambia kama anakuja kabisa. Na alikuja mida ya usiku kama saa 2 na mzee yupo . Basi mie nilishangaa nilivyomuona mana hakunipa taarifa kuwa anakuja. ila nikamsalimia nikajifanya kama simjamzoea mzee si yupo pale.kumbe namchezea mpka mapumbu🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌

Basi mie nikaingia ndani. Nikampa nafasi mlige aongee na wazee. Mh . Na nilivyombea nikaenda kukaa dirishani nisikilize kwanza wanaongea nn . Nikamsikia mlige anasema ahaa wazee wangu mm nimekuja apa ni juu la suala la kusoma la faridah. Ahaa faridah ni binti creative sana anayejitambua na anayefanya vizuri sana shuleni. Lakini kama mwalimu wake mi sijaipenda kabisa shule ambayo faridah kapangiwa . Kwaiyo mi nahitaji kumsomesha faridah katika shule nzuri ya private. Apate elimu nzuri na bola. Na gharama zote za yeye kusoma na kila kitu zitakuwa juu yangu. Nyieee mie mwenyewe nilishangaa. Yani hataki nikasome ya serikalo tena.Baba aksema ahaa mlige una moyo mzuri sana. Ila mbona mpaka unapitiliza kwa faridah . Mbona imekuwa mwema sana kwa faridah. Ni aya aya . Au una mpango mengine na faridah zaidi ya hii. Ila baba kama alimstukia hivi🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌

Mh mlige nae ni msanii. Alimsaundisha mzee kweli kweli . Akajifanya yeye wala hana nia mbaya na mm ni vile anataka kunisport tu. Na mama akakazia na akamshukuru kweli mlige Aksema yeye hana shida . Kama.ni sula la kimsomesha wala hana shida kabisa. Na mzeee akasema.sawa hakuna shida kabisa kijana wangu . Na mungu atakulipa sana. Mungu akusimamie mnoo. Basi baada ya maongezi yao .mama akaniita .mie ndo nikatoka akanmbia nipakue chakura mgeni ale ndo aondoke. Na kweli mie nikafanya hivyo. Baada ya chakura sasa. Mzee alinambia faridah katika watu unapaswa uwaheshimu na kuaona wa thamani basi ni mwalimu wako mlige anakupenda sana na kukutakia mema mnoo. Mie kimoyoni nacheka anavyonipenda ata kosa kuwa mwema kwangu. Nikimnunia anvyohaha chezea mie wee. Basi baba akanieleza nia ya mlige ya kunisomesha shule ya private. Mie nikasema.sawa baba ntasoma sana na nikamshukuu sana mlige.basi mama anatuchora tu si anaelewa show yote. Mzee ndo haelewi tu . Ila mama 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌🙌🙌

Basi mlige tena hakuendelea kukaa sana akaaga zake kuwa anahitaji kwenda sasa. Na mama na mzee wakamruhusu akondoka. Basi mie nilivyoingia chumbani .nikampigia simu sasa mlige nikamuuliza kuhusu iyo shule anayotaka kunipeleka akanmbia ondoa shaka .kuna shule moja ipo singida. Inaitwa st camilus ndo nataka ukasome apo ni shule nzuri sana. Mh nikamuuliza ada ni shangapi. Akanmbia unataka kunisaidia kulipa mke wangu . We ondoa shaka ada mm ndo nalipa na wala.sio nyingi ni milion 7 tu kwa mwaka. Mh uyu baba ana balaaa. Milion 7 ananilipia adaa. Hivi nisipo mpa upendo wa dhati uyu mwanaume nimpe nn😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Mwanangu Mungu ndio anae jua
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MY WANGU❤️ sehemu ya 51 na 52



Basi bwanaaa . Huba kilichanua aswaaa mnajua lilichanua. Pesa ndo napewa mpaka.nasema iki nn. Basi nampa mama anapokea uku anachamba et ohhh pesa nachukua ila ukipata mimba utajua unaongeaje na baba yako. Yani kuna jinsi mama alishayapitisha mahusiano yetu . Ila ile kusema ndo hakuwa anasema sijuh alikiwa ananiona bado mdogo . Mana ata week end nikitaka kwenda kwa mlige. Namuaga anakubali vizur ananisisitiza tu niwahi kurudi. Basi naondoka zangu..kiukweli mimi.na uyu baba tulipendana aswaaa . Kila mtu alikuwa hoi kwa mwrnzio. Ni kweli mlige ni mkubwa kwangu . Ila.anaheshima sana na mm. Ananisikiliza sana..na ikatokea kankwaza .mlige Kupiga magoti...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/my-wangu-sehemu-ya-51-na-52

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi my-wangu-sehemu-ya
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107
MY WANGU❤️ sehemu ya 108
MY WANGU❤️ sehemu ya 108
MY WANGU❤️ sehemu ya 111 na 112
MY WANGU❤️ sehemu ya 111 na 112
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117
MY WANGU❤️ sehemu ya 118
MY WANGU❤️ sehemu ya 118
*MY WANGU❤️*   *sehemu ya 109 na 110*
*MY WANGU❤️* *sehemu ya 109 na 110*
MY WANGU❤️ *sehemu ya 114 na 115*
MY WANGU❤️ *sehemu ya 114 na 115*
MY WANGU❤️ sehemu ya 103
MY WANGU❤️ sehemu ya 103
MY WANGU❤️ sehemu ya 94 na 95
MY WANGU❤️ sehemu ya 94 na 95
MY WANGU❤️ sehemu ya 96 na 97
MY WANGU❤️ sehemu ya 96 na 97
MY WANGU❤️ sehemu ya 100
MY WANGU❤️ sehemu ya 100
MY WANGU❤️ sehemu ya 113
MY WANGU❤️ sehemu ya 113
MY WANGU❤️ sehemu ya 47 na 48
MY WANGU❤️ sehemu ya 47 na 48
*MY WANGU❤️*   *sehemu ya 98 na 99*
*MY WANGU❤️* *sehemu ya 98 na 99*
MY WANGU❤️ sehemu ya 101 na 102
MY WANGU❤️ sehemu ya 101 na 102
MY WANGU❤️ sehemu ya 71 na 72
MY WANGU❤️ sehemu ya 71 na 72
MY WANGU❤️ sehemu ya 89 na 90
MY WANGU❤️ sehemu ya 89 na 90
MY WANGU❤️ sehemu ya 76 na 77
MY WANGU❤️ sehemu ya 76 na 77
MY WANGU❤️ sehemu ya 93
MY WANGU❤️ sehemu ya 93
MY WANGU❤️ sehemu ya 74 na 75
MY WANGU❤️ sehemu ya 74 na 75
MY WANGU sehemu ya 40
MY WANGU sehemu ya 40
MY WANGU❤️ sehemu ya 86 na 87 Wenda mpangilio umekosewa endelea kusoma
MY WANGU❤️ sehemu ya 86 na 87 Wenda mpangilio umekosewa endelea kusoma
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70
MY WANGU❤️ sehemu ya 88
MY WANGU❤️ sehemu ya 88
MY WANGU❤️ sehemu ya 44 na 45
MY WANGU❤️ sehemu ya 44 na 45
MY WANGU❤️ sehemu ya 73
MY WANGU❤️ sehemu ya 73
MY WANGU sehemu ya 38 na 39
MY WANGU sehemu ya 38 na 39
MY WANGU❤️ sehemu ya 49 na 50
MY WANGU❤️ sehemu ya 49 na 50
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU YA KUMU*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMU*

913
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10

521
FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 16

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 16

446
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8

430
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17

352
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12

298
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

287
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10

214
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.

185
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.

141

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.43K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.2K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.75K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.2K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.6K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.45K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.44K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.43K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.38K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.37K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 13 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 13
@majario LIVE

Basi nikaingia ndani, dohh nilipashangaa, yani uyu dada hakuwa na chochote cha maana cha ndani zaidi ya godoro tu, amabalo nalo wala halikuwa linalizisha kabisa,mabegi ya nguo, na ndoo za...

Zayed Khan has always been a total family man at heart. He’s married to his high school sweetheart, Malaika Parekh Post Mpya
Zayed Khan has always been a total family man at heart. He’s married to his high school sweetheart, Malaika Parekh
@majario LIVE

. They met as teenagers at Kodaikanal International School, became close friends, and eventually fell in love. After years of being together, they got married on November 20, 2005. It’s...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*
@majario LIVE

SONGA NAYO. Ila nyie mapenzi konyo Walahi, Yaani ukimuona mtu unayempenda lazima tu Ka moyo kashtuke na kapate amani Fulani hivi Kitendo cha kumuona Enzo nilifurahi lakini pia nilijikaza tu na kumuuliza...

This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla Post Mpya
This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla
@majario LIVE

with that cute bubbly energy… and Aamir Khan being his mischievous, romantic self. What a combo yaar! Ishq was not just a love story, it was full on drama, comedy,...

 Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani Post Mpya
Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani
@majario LIVE

* Meli za kijeshi za Marekani zilizopo Ghuba ya Uajemi * Rada za Israel zilizopo Azerbaijan * Rada za Israel zilizopo Turkmenistan * Mifumo ya ulinzi wa anga ya vituo vya Marekani nchini...

SHAMIRA sehemu ya 34&35 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 34&35
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi nikajiiinua taratibu tukaingia bafuni. Mwanaume akanikumbatia uku tunaoga. Aseee uyu baba ananipenda ila hataki upumbavu ata kidogo na mkono wake mwepesi kupiga .na yote sababu...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nikaona zena kamnyanyua yule mtoto kisha akambeba ,ni amefanana nae sana ,nikajua ni wa kwake tu yani ni lazima utu mtoto atakuwa ni mwanae, kisha akanigeukia...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17
@majario LIVE

Ikabidi nikae tu kwenye piki piki maana sura alivyokuwa kaikaza mmh asije kunipiga, Kimyaa kikatawala sasa mie nilijua tunaenda kwa Tinner na moyoni nilikuwa nimempangia hayo maneno Tinner eeh mbona...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Maeneo ya pale pale chuoni, Salmon alikuwa amepanga nyumba kubwa ya peke yake. Wakati akiwa chuo ndo alikua anaishi hapo, ila siku za weekends kama hana mambo mengi ndo anaenda...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi kuanzia apo nikawa sasa kidogo naelewana na baraka. Tena mimi ndo napenda sana kuongea nae. Yani sanaaa. Napenda kucheka nae sana. Na kun jinsi...

FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 16 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 16
@majario LIVE

Usiku wangu ulikuwa mzito sana, maneno ya D kusema kuwa Veda anatembea na wanawake wengi, niliyaamini kabisaaa Bila shakaa kwa maana Yeye tu hana mwonekano mzuri ametuna tuna hovyo anakuwa...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10
@majario LIVE

Daaah nikaona mtoto kachomoa leo mana sio powa , ana vipengele sana uyu demu , ila unyama, hatachomoa kila siku, ni suala la muda tu, mana sijawahi kumtaka mwanamke ,...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media BASI nikapanda kitandani kwangu. Nikijutia sana nilichokifanya mana mh . Nilikuwa nasababisha ugomvi mkubwa wa wazazi mungu wangu. Yani mama yangu alikuwa anaachwa leo...

SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.??? Post Mpya
SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.???
@majario LIVE

Hatimae jana tambo za Dabi zilipata majibu kwa timu za Simba na Yanga kutoka suluhu ya bila kufungana(0-0). Kwa maana hiyo timu zote ziliambulia pointi moja moja. Mchezo wa jana pamoja...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8
@majario LIVE

Zena akasema kwaiyo manager unataka kuniuza ama ni vp, yule manager aksema , naomba uelewe kuwa ukifanya kazi katika hii bar, mteja kukushika sehemu yoyote ya mwili wako ni kawaida,...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest