MY WANGU❤️ sehemu ya 51 na 52
Basi bwanaaa . Huba kilichanua aswaaa mnajua lilichanua. Pesa ndo napewa mpaka.nasema iki nn. Basi nampa mama anapokea uku anachamba et ohhh pesa nachukua ila ukipata mimba utajua unaongeaje na baba yako. Yani kuna jinsi mama alishayapitisha mahusiano yetu . Ila ile kusema ndo hakuwa anasema sijuh alikiwa ananiona bado mdogo . Mana ata week end nikitaka kwenda kwa mlige. Namuaga anakubali vizur ananisisitiza tu niwahi kurudi. Basi naondoka zangu..kiukweli mimi.na uyu baba tulipendana aswaaa . Kila mtu alikuwa hoi kwa mwrnzio. Ni kweli mlige ni mkubwa kwangu . Ila.anaheshima sana na mm. Ananisikiliza sana..na ikatokea kankwaza .mlige Kupiga magoti sio shida zake. Tena nikimkazia ata lia na kulia apo yani alikuwa ni mdhaifu sana kwangu. Ananipendaaa sana uyu baba. Nadeke nnavyotaka mpaka nilikuwa nanenepa .na mboo nishizoea mie. Naikalia vyovyote basi ndo nazidi kumchanganya. Ila sasa na mm nikizingua ww kinawaka.
Mlige ni mkari mpaka nakuwa naogopa. Namuomb msamaha yanaisha ila ikiwa kesi ya wivu. Yani kakauta sms haielew kwenye simu yangu weee ntaeleza apo. Ntajielezea mpaka nikome ndl anaelewa .na atanipiga mikwara kibao .ila tunapendena sana. Nyieee ikapita miezi 2 mie nipo home tu. Nafanya mambo yangu. Week end ndo kwa baby . Ila silali. Ataa. Basi siku iyo ilikuwa mida ya saa 4 asubuh hivi. Nilikuwa naosha vyombo.nikawa nasikia kasimu kangu kanaita. Mama akanmbia we simu yako inaita uko. Atakuwa ni.mlige tu. Kwan kuna mwengine wa kukupigia ww. Mie nikacheka mana nishazoe mipasho ya mama. Labda baba akiwepo ndo atanyamaza. Basi mie nikavuta simu..na ilikuwa j tatu yupo kazini najua kwa uo mda . Basi nikapokea simu kisha nikase.a hallow. Akanmbia aseeeeee ebu chagua mke wangu . Nikupeleke wapi tukaspend tu next week. Mie nikacheka.nikamuuliza kuna nn kwani. Akanmbia najivunia ww mama. Matokeo yametoka umefauru una division one ya 12. Nyie nilipiga kelele za furaah. Nikasema.mlige unanambia kweli akasema yaa na yusta ana one ya 17. Najivunia nyie . Mchagua sehemu kwanza leo niwatoe out .nimefurahi sana..kisha nna zawadi yako nzuri sana mke wangu. Umenifurahisha na nakupenda sana. Aseeeee nilifurahi jamani. Mama kaja aniuliza we vp mbona makelele
Nikamlukia. Kwa nguvu nikasema mama nimefurahi jamni.nimefauru mm. Nimefauru mama. Nimepata division one. Eehh mama alifurahi mnoo. Akanikumbatia kwa nguvu. Akasema.jamani jamani. Nina rahaa leo nakuchinjia kuku mwanangu. Jamanii nilifurahii hii siku. Mzee nae mda uo uo analudi anakutana na habari njemaa. Ahaa baba alifurahi sana
Akasema nishaona kabisa mwanangu unaenda kuwa doctor. We unaenda kuondoa umaskini wote nyumbani kwangu. Yani ilikuwa rahaa. Kaka zangu wakapigiwa . Wakafurahi mno. Na pesa walinitumia kama.zawadi jamani. Yani hii siku nyumbani ilikuwa rahaa tu. Na kweli nilichinjiwa kuku. Mie sikungoja ata kuku wao kwanza nikaenda kwa kina yusta. Nakuta na yeye ndo anashangaalia kashaona matokeo yake.nyie tulikimbatiana kwa kuluka luka mnoo .ilikuwa rahaa sana . Yani ilikuwa rahaa mnoo jamani.
Basi bwana . Mchana mie na yusta tukaenda kula kwetu. Wali kuku. Yani ilikuwa rahaa kinoma noma . Basi jioni kabisaa . Mlige akanipigia simu yupo road ananingoja. Basi nikamuaga mama naenda kumuona mlige mala moja. Mama akanmbia ole wako uchelewe sasa kajifanyeni mnajua kupongezana. Mie kimya nikatoka na yusta mpaka alipo mlige. Aseee mlige alitupongeza sana.. na alikuwa kafurahi mnoo. Basi akatutoa out . Akatupeleka runzewe town pale.tukaingia kwenye mgahawa. Akasema kila mtu aagize anachotaka. Basi tukaagiza tena . Apo sasa tukala nyama choma.aseeee mlige alifurahi sana. Alinambia najivunia ww. Alitamani kuwa na mm sana ile siku. Ila aknmbia usipolala home haitakuwa sawa ngoja tu uludi nyumbani na kweli saa 2 usiku akatulidisha mie nikaludi nyumbani.
Baada ya apo sasa . Nikawa nipo nyumbani na shoga yangu yusta tukisubili shule tutakazipangiwa. Basi ndo hivyo apo mama mkwe alinipigia na akanipa hongera sana akanmbia amefurahi sana kwa mie kujitahidi na kufauru mitihani yangu. Aseeee ilikuwa rahaa mnoo. Na mam mkwe alinmbia et ntkupa zawadi . Basi nikamshukuru tu. Na kweli alinitumia elfu 70. Et ninunue nipandacho . Nikamshukuru sana mama. Basi bwana mda ukapita kama.mwez hivi. Na shule zikatoka sasa. Mh yusta alipangiwa shule moja ipo dodoma inaitwa kondoa girlss. Na mimi ni
Kapangiwa shule moja ipo mwanza . Inaitwa bwiru girlss. Basi tukafurahi sana . Yani sana tu. Apo mama hana ata presha anajua wa kunisomesha yupo tu🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Basi mlige akanmbia tulia . Kuna mambo naweka sawa ntakuja kuongea na ww na wazazi kuhusu masuala yako ya shule. Nikasema sawa . Basi siku iyo sasa mlige ndo kaja nyumbani alafu ata hakunambia kama anakuja kabisa. Na alikuja mida ya usiku kama saa 2 na mzee yupo . Basi mie nilishangaa nilivyomuona mana hakunipa taarifa kuwa anakuja. ila nikamsalimia nikajifanya kama simjamzoea mzee si yupo pale.kumbe namchezea mpka mapumbu🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Basi mie nikaingia ndani. Nikampa nafasi mlige aongee na wazee. Mh . Na nilivyombea nikaenda kukaa dirishani nisikilize kwanza wanaongea nn . Nikamsikia mlige anasema ahaa wazee wangu mm nimekuja apa ni juu la suala la kusoma la faridah. Ahaa faridah ni binti creative sana anayejitambua na anayefanya vizuri sana shuleni. Lakini kama mwalimu wake mi sijaipenda kabisa shule ambayo faridah kapangiwa . Kwaiyo mi nahitaji kumsomesha faridah katika shule nzuri ya private. Apate elimu nzuri na bola. Na gharama zote za yeye kusoma na kila kitu zitakuwa juu yangu. Nyieee mie mwenyewe nilishangaa. Yani hataki nikasome ya serikalo tena.Baba aksema ahaa mlige una moyo mzuri sana. Ila mbona mpaka unapitiliza kwa faridah . Mbona imekuwa mwema sana kwa faridah. Ni aya aya . Au una mpango mengine na faridah zaidi ya hii. Ila baba kama alimstukia hivi🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Mh mlige nae ni msanii. Alimsaundisha mzee kweli kweli . Akajifanya yeye wala hana nia mbaya na mm ni vile anataka kunisport tu. Na mama akakazia na akamshukuru kweli mlige Aksema yeye hana shida . Kama.ni sula la kimsomesha wala hana shida kabisa. Na mzeee akasema.sawa hakuna shida kabisa kijana wangu . Na mungu atakulipa sana. Mungu akusimamie mnoo. Basi baada ya maongezi yao .mama akaniita .mie ndo nikatoka akanmbia nipakue chakura mgeni ale ndo aondoke. Na kweli mie nikafanya hivyo. Baada ya chakura sasa. Mzee alinambia faridah katika watu unapaswa uwaheshimu na kuaona wa thamani basi ni mwalimu wako mlige anakupenda sana na kukutakia mema mnoo. Mie kimoyoni nacheka anavyonipenda ata kosa kuwa mwema kwangu. Nikimnunia anvyohaha chezea mie wee. Basi baba akanieleza nia ya mlige ya kunisomesha shule ya private. Mie nikasema.sawa baba ntasoma sana na nikamshukuu sana mlige.basi mama anatuchora tu si anaelewa show yote. Mzee ndo haelewi tu . Ila mama 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Basi mlige tena hakuendelea kukaa sana akaaga zake kuwa anahitaji kwenda sasa. Na mama na mzee wakamruhusu akondoka. Basi mie nilivyoingia chumbani .nikampigia simu sasa mlige nikamuuliza kuhusu iyo shule anayotaka kunipeleka akanmbia ondoa shaka .kuna shule moja ipo singida. Inaitwa st camilus ndo nataka ukasome apo ni shule nzuri sana. Mh nikamuuliza ada ni shangapi. Akanmbia unataka kunisaidia kulipa mke wangu . We ondoa shaka ada mm ndo nalipa na wala.sio nyingi ni milion 7 tu kwa mwaka. Mh uyu baba ana balaaa. Milion 7 ananilipia adaa. Hivi nisipo mpa upendo wa dhati uyu mwanaume nimpe nn😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi