Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70
Gonga94 · Stories

MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Basi nilipata kafuraha mno. Nikachukua pesa yangu .nikarudi darasani kuendelea na ratiba zangu. Uwiiiiii nilifurahi sana. Yani sana tu. Na prepo ilivyoisha tukarudi darasani. Mie nikampa tu yule mwanafunzi elfu 50 yake mana ata kuitumia sikuwa nimeitumia .nilimwambia tu asante kaka kashanitumia pesa ya matumizi. Akanmbia powa. Basi mie nikapanda kitandani kupumzika. Nilipokuwa pale kitandani nilimfikklia sana mlige . Nilihisi bado ananipenda labda ana hasira tu na mm. Ila tutayaweka sawa na kila kitu kitakaa sawa tu. Basi shoga yenu shule ikawa inaendelea na napambana na kusoma. Na mitihani yangu yote alikuwa anatumiwa mlige. Na nilikuwa napasua mno. So alikuwa anaona. Mana sie shule yetu. Matokeo yako anatumiwa na mzazi piah kwa njia ya simu. Basi bwana ikakata mwezi bwana mlige hakunipigi tena kuniulizia baada ya kunitumia ile pesa . Na mie nikauchuna tu. Nikaona ngoja kwanza nipambane na shule mana mtoa ada ana mashauzi kweli kweli

Nikapambana mpaka sasa tukakalibia kumaliza term ya kumaliza form five. Na tukaanza mitihani ya kufunga shule. Asee tukapiga mitihani . Nilikuwa najitahidi sana darasani. Naongoza kila siku . Na report zangu zote anazijua mlige. Basi bwana baada ya mitihani tukaaambiwa tuongee na wazazi . Ili waje kutuchukua mana tuna kama siku 3 tunafunga shule. Bibi mie sasa ndo nikaazima simu ya mwalimu. Nikampigie mlige. Nikapiga mala moja tu akapokea. Nikamsalimia kwa unyeyekevu nakwambia. Ahaaa ila wapi nilizani kashapoa. Ila bado ni anajibu kwa hasira. Yani mtu mpka mood inakata kabisa nikamwambia sie kesho kutwa tunatakiwa kurudi nyumbani tunafunga shule. Akanmbia najua . Kwani na mm si ni mwalimu asa unazni ntakuwa sina hizo ratiba..nikasema.sawa so utakuja kunifata? Akasema.nikufate we ni mtoto. We kwenu hupajui kwani. We ni mtu mzima .kesho kutwa rudi nyumbani mapema mie ntakutumia nauli baadae kwa mwalimu wako. Nikasema.sawa. kisha nikakata simu nikamludishia mwalimu.nikaludi bwenini .mh nikaona kazi ipo jamani. Uyu baba .ni kisirani gani iki kinaenda miez 7. Hana ata mda na mm. Yani mm ndo namfosi tu.

Basi mie nikawa nimetulia zangu tu. Mana ata asipotuma nauli. Mi pesa nilikuwa nayo na nauli ni elfu 10 tu kutoka kaham mpka nyumbani nyantakra. Sasa shoga yangu mmoja kwao ni bukoba. Akanmbia yeye anafatwa na baba yake. Wee nikaomba lift apo apo.mana wanapita kijiji cha nyumbani kabisa. Shoga akanmbia wala hakuna shida mzee hana noma tutakuchukua tu. Basi nikawa na amani zangu tu. Nikafungasha kila kitu ambacho nilihisi ni muhimu kuludi nacho nhumbani. Kama vitabu nilibeba sababu ya kujisomea nikiwa nyumbani tu. Na nilikuwa na raha naenda kumuona mama na baba. Niliwamiss mnoo. Naenda kumuona na shoga yangi yusta. Mana najua na yeye analudi home so tunakutana. Basi siku ilivyofika ya safari. Tuliamka.zetu mapema tukapanga kila kitu nakwambia.

Basi shoga yangu akanmboa tujiandae haraka.mana baba yake anakuja kumfata mida ya saa 4. Basi na mie nilijichangamsha nipate lift tena . Basi nikapanga na kila kitu. Heee namalizia kupanga .akaja mwanafunzi akanambia we faridah unaitwa na kka yako kaja kule . Mh nikajua tu ni mlige ndo kaja ama nini. Si alinigomea uyu. Mie nikaenda kwanza kuhakikisha ndo yeye. Khaa ni yeye bwan. Alikuwa anaongea na mwalimu wetu wa taaluma.Ila nilimuona kapungua mwili. Mh sikutaka ata kumshangaa sana. Mana kila mtu na matatizo yake.na mm nilijikondea na masomo piah. Basi nikafika mpkaa pale . Nikamsalimia pale. Akaniitikia fresh. Mwalimu akawa anamwambia asee mlige. Mdogo wako ni kichwa . Uyu binti ahaaa ni kichwa . Ana akiri mnoo. Na ni mpole kweli hna shida faridaha. Mlige akasema ooh kumbe. Mh mwalimu akasema ndio. Ametulia.sana faridah yeye na kitabu tu . Yani anatambua shule kafata nn. Mlige akasema.sawa ndo vizur. Mi naenda basi . Mwalimu akasema sawa

Mlige akanambia kafate vitu vyako. Nikuludishe kwenu nipo busy sana leo. Nna mishe nyingi .nikasema ahaa kama una mishe nyingi we nenda tu. Mi nimepata lift. Aseee mlige aliniangalia jicho kali mpaka nilijistukia. Akaniuliza alokupa iyo lift ni nani. Nikasema ni rafiki yangu anafatwa na wazazi wake anakaa bukoba.ndo nilimuomba wanishushe nyantakara baada ya kusema we huji. Mlige akasema.we itakuwa ulikuwa na mission za kwenda kwa wanaume zako na uyo shoga yko sio. Mie nikasema hapana. Mlige akaningalia sana kisha akasema.kachukie taka taka zako twende .usije ukaenda kwa bwana. Wazazi wako wakanipa lamawa mama. Mana mtu mwenyewe hueleweki . Mie nikasema sawa. nikaenda kubebea vitu vyangu tu. Na nikamwambia yule rafiki yangu alotaka kunipa lift. Kwamba kaka kaja basi naondoka nae nashukuru .akanmbia tu sawa hakuna shida.

Basi kweli nikatoka na vitu vyangu mpka parking. Akanipakizia kwa buti.kisha tukaingia kwenye gari na safari ikaanza kama.kawaida yake . Ni kanuna kinoma. Haongei na mie kabisa labda apigiwe simu na mie ata sikumsemesha nikajikaushia zangu kimyaa. Mpaka.sa 10 jioni bibi mie nikaingia kwetu. Akanishushia vitu vyangu. Akamsalimia mama kisha akasepa zake. Aseee mama alifurahi sana kunioana.akanambia jamani umekuwa .shule imekukuza. Nikawa nacheka .mama akasema umepungia ila.nikasema.mama masomo magumu. Mama akafurahi sana. Akanmbia kaoge uje kula kwnza. Kama alijua kuwa mlige hajaninunulia ata pipi uko.njiani so nilikuwa na njaa mno.

Basi mie nikaenda kuoga kisha nikaja kula . Mda wa kula ndo na mzee akalidi . Tukajumuika kwa pamoja. Nilikuwa nakula uku nawasimulia habari za shule basi wakawa wanacheka kwelli.. baada ya chakura sasa . Ata sijapumzika shoga yenu nikaenda kwa yustaa. Nikamkuta na yye ndo kaludi jana yake. Basi tukafurahiana sana. Tukaanza kupeana michapo ya kila mtu na shule zake. Tukainjoy sana. Yusta akaniuliza kuhusu mlige. Nilimsimulia tu mazingira yake kwa sasa yalivyo. Kuwa hatuna mawasiliano mazuri kabisaa. Yusta akanipa pole akanmbia leo kajalibu kumtumia sms za kumuomba msamaha na jibebisha lwake tuone itakuwaje. Nikasema ntajalibu ila mh amechange sana. Yusta akanmbia sawa tutajua tunafanyaje basi nilipiga story na yusta mpaka saa 1 usiku.ndo bibi mie naludi kwetu. Nilivyofika nikaenda kuoga tena nikaingia chumbani kwangu.nikavuta kasimu kangu kadogo. Naangalia ata mlige hajanitafuta. Mh nikamtumia mie sms mambo. Hakunijibu. Nilingoja kama dakika 10 na hakunijibu ataa. Nimamtumia bonge la barua shoga yenu ya kumuomba msamaha .na nikamwambia nimemnis sana na nampenda sana. Anisamehe tu. Mh apo ndo alinijibu
Aliniandikie. " ukiludia tena kunitumia sms za kipumbavu kama.hizi . Sitakulipia ada ya form six. " mh nikaoana kazi ipo apa. Basi na vichozi vikawa vinatoka shoga yenu kukataliwa kunauma nyieee. Mama akingia kakuta ndo nafuta machozi pale . Mana ile sms ya mlige iliniumiza sana.
libeba sababu ya kujisomea nikiwa nyumbani tu. Na nilikuwa na raha naenda kumuona mama na baba. Niliwamiss mnoo. Naenda kumuona na shoga yangi yusta. Mana najua na yeye analudi home so tunakutana. Basi siku ilivyofika ya safari. Tuliamka.zetu mapema tukapanga kila kitu nakwambia.

Basi shoga yangu akanmboa tujiandae haraka.mana baba yake anakuja kumfata mida ya saa 4. Basi na mie nilijichangamsha nipate lift tena . Basi nikapanga na kila kitu. Heee namalizia kupanga .akaja mwanafunzi akanambia we faridah unaitwa na kka yako kaja kule . Mh nikajua tu ni mlige ndo kaja ama nini. Si alinigomea uyu. Mie nikaenda kwanza kuhakikisha ndo yeye. Khaa ni yeye bwan. Alikuwa anaongea na mwalimu wetu wa taaluma.Ila nilimuona kapungua mwili. Mh sikutaka ata kumshangaa sana. Mana kila mtu na matatizo yake.na mm nilijikondea na masomo piah. Basi nikafika mpkaa pale . Nikamsalimia pale. Akaniitikia fresh. Mwalimu akawa anamwambia asee mlige. Mdogo wako ni kichwa . Uyu binti ahaaa ni kichwa . Ana akiri mnoo. Na ni mpole kweli hna shida faridaha. Mlige akasema ooh kumbe. Mh mwalimu akasema ndio. Ametulia.sana faridah yeye na kitabu tu . Yani anatambua shule kafata nn. Mlige akasema.sawa ndo vizur. Mi naenda basi . Mwalimu akasema sawa

Mlige akanambia kafate vitu vyako. Nikuludishe kwenu nipo busy sana leo. Nna mishe nyingi .nikasema ahaa kama una mishe nyingi we nenda tu. Mi nimepata lift. Aseee mlige aliniangalia jicho kali mpaka nilijistukia. Akaniuliza alokupa iyo lift ni nani. Nikasema ni rafiki yangu anafatwa na wazazi wake anakaa bukoba.ndo nilimuomba wanishushe nyantakara baada ya kusema we huji. Mlige akasema.we itakuwa ulikuwa na mission za kwenda kwa wanaume zako na uyo shoga yko sio. Mie nikasema hapana. Mlige akaningalia sana kisha akasema.kachukie taka taka zako twende .usije ukaenda kwa bwana. Wazazi wako wakanipa lamawa mama. Mana mtu mwenyewe hueleweki . Mie nikasema sawa. nikaenda kubebea vitu vyangu tu. Na nikamwambia yule rafiki yangu alotaka kunipa lift. Kwamba kaka kaja basi naondoka nae nashukuru .akanmbia tu sawa hakuna shida.

Basi kweli nikatoka na vitu vyangu mpka parking. Akanipakizia kwa buti.kisha tukaingia kwenye gari na safari ikaanza kama.kawaida yake . Ni kanuna kinoma. Haongei na mie kabisa labda apigiwe simu na mie ata sikumsemesha nikajikaushia zangu kimyaa. Mpaka.sa 10 jioni bibi mie nikaingia kwetu. Akanishushia vitu vyangu. Akamsalimia mama kisha akasepa zake. Aseee mama alifurahi sana kunioana.akanambia jamani umekuwa .shule imekukuza. Nikawa nacheka .mama akasema umepungia ila.nikasema.mama masomo magumu. Mama akafurahi sana. Akanmbia kaoge uje kula kwnza. Kama alijua kuwa mlige hajaninunulia ata pipi uko.njiani so nilikuwa na njaa mno.

Basi mie nikaenda kuoga kisha nikaja kula . Mda wa kula ndo na mzee akalidi . Tukajumuika kwa pamoja. Nilikuwa nakula uku nawasimulia habari za shule basi wakawa wanacheka kwelli.. baada ya chakura sasa . Ata sijapumzika shoga yenu nikaenda kwa yustaa. Nikamkuta na yye ndo kaludi jana yake. Basi tukafurahiana sana. Tukaanza kupeana michapo ya kila mtu na shule zake. Tukainjoy sana. Yusta akaniuliza kuhusu mlige. Nilimsimulia tu mazingira yake kwa sasa yalivyo. Kuwa hatuna mawasiliano mazuri kabisaa. Yusta akanipa pole akanmbia leo kajalibu kumtumia sms za kumuomba msamaha na jibebisha lwake tuone itakuwaje. Nikasema ntajalibu ila mh amechange sana. Yusta akanmbia sawa tutajua tunafanyaje basi nilipiga story na yusta mpaka saa 1 usiku.ndo bibi mie naludi kwetu. Nilivyofika nikaenda kuoga tena nikaingia chumbani kwangu.nikavuta kasimu kangu kadogo. Naangalia ata mlige hajanitafuta. Mh nikamtumia mie sms mambo. Hakunijibu. Nilingoja kama dakika 10 na hakunijibu ataa. Nimamtumia bonge la barua shoga yenu ya kumuomba msamaha .na nikamwambia nimemnis sana na nampenda sana. Anisamehe tu. Mh apo ndo alinijibu
Aliniandikie. " ukiludia tena kunitumia sms za kipumbavu kama.hizi . Sitakulipia ada ya form six. " mh nikaoana kazi ipo apa. Basi na vichozi vikawa vinatoka shoga yenu kukataliwa kunauma nyieee. Mama akingia kakuta ndo nafuta machozi pale . Mana ile sms ya mlige iliniumiza sana.

Maoni

You're not logged in


Tangazo - MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
Tunao Wapenda ndio wanao tuua baba
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70

Basi nilipata kafuraha mno. Nikachukua pesa yangu .nikarudi darasani kuendelea na ratiba zangu. Uwiiiiii nilifurahi sana. Yani sana tu. Na prepo ilivyoisha tukarudi darasani. Mie nikampa tu yule mwanafunzi elfu 50 yake mana ata kuitumia sikuwa nimeitumia .nilimwambia tu asante kaka kashanitumia pesa ya matumizi. Akanmbia powa. Basi mie nikapanda kitandani kupumzika. Nilipokuwa pale kitandani nilimfikklia sana mlige . Nilihisi bado ananipenda labda ana hasira tu na mm. Ila tutayaweka sawa na kila kitu kitakaa sawa tu. Basi shoga yenu shule ikawa inaendelea na napambana na kusoma. Na mitihani yangu yote alikuwa anatumiwa mlige. Na nilikuwa napasua mno....

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/my-wangu-sehemu-ya-69-na-70

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi my-wangu-sehemu-ya
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107
MY WANGU❤️ sehemu ya 108
MY WANGU❤️ sehemu ya 108
MY WANGU❤️ sehemu ya 111 na 112
MY WANGU❤️ sehemu ya 111 na 112
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117
MY WANGU❤️ sehemu ya 118
MY WANGU❤️ sehemu ya 118
*MY WANGU❤️*   *sehemu ya 109 na 110*
*MY WANGU❤️* *sehemu ya 109 na 110*
MY WANGU❤️ *sehemu ya 114 na 115*
MY WANGU❤️ *sehemu ya 114 na 115*
MY WANGU❤️ sehemu ya 103
MY WANGU❤️ sehemu ya 103
MY WANGU❤️ sehemu ya 94 na 95
MY WANGU❤️ sehemu ya 94 na 95
MY WANGU❤️ sehemu ya 96 na 97
MY WANGU❤️ sehemu ya 96 na 97
MY WANGU❤️ sehemu ya 100
MY WANGU❤️ sehemu ya 100
MY WANGU❤️ sehemu ya 113
MY WANGU❤️ sehemu ya 113
MY WANGU❤️ sehemu ya 47 na 48
MY WANGU❤️ sehemu ya 47 na 48
*MY WANGU❤️*   *sehemu ya 98 na 99*
*MY WANGU❤️* *sehemu ya 98 na 99*
MY WANGU❤️ sehemu ya 101 na 102
MY WANGU❤️ sehemu ya 101 na 102
MY WANGU❤️ sehemu ya 51 na 52
MY WANGU❤️ sehemu ya 51 na 52
MY WANGU❤️ sehemu ya 71 na 72
MY WANGU❤️ sehemu ya 71 na 72
MY WANGU❤️ sehemu ya 89 na 90
MY WANGU❤️ sehemu ya 89 na 90
MY WANGU❤️ sehemu ya 76 na 77
MY WANGU❤️ sehemu ya 76 na 77
MY WANGU❤️ sehemu ya 93
MY WANGU❤️ sehemu ya 93
MY WANGU❤️ sehemu ya 74 na 75
MY WANGU❤️ sehemu ya 74 na 75
MY WANGU❤️ sehemu ya 86 na 87 Wenda mpangilio umekosewa endelea kusoma
MY WANGU❤️ sehemu ya 86 na 87 Wenda mpangilio umekosewa endelea kusoma
MY WANGU sehemu ya 40
MY WANGU sehemu ya 40
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85
MY WANGU❤️ sehemu ya 88
MY WANGU❤️ sehemu ya 88
MY WANGU❤️ sehemu ya 44 na 45
MY WANGU❤️ sehemu ya 44 na 45
MY WANGU❤️ sehemu ya 73
MY WANGU❤️ sehemu ya 73
MY WANGU sehemu ya 38 na 39
MY WANGU sehemu ya 38 na 39
MY WANGU❤️ sehemu ya 49 na 50
MY WANGU❤️ sehemu ya 49 na 50
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU YA KUMU*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMU*

900
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10

496
FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 16

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 16

436
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8

424
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17

313
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12

238
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10

211
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.

184
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.

141
SHAMIRA sehemu ya 34&35

SHAMIRA sehemu ya 34&35

99

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.43K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.2K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.74K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.2K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.6K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.45K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.44K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.43K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.38K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.36K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla Post Mpya
This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla
@majario LIVE

with that cute bubbly energy… and Aamir Khan being his mischievous, romantic self. What a combo yaar! Ishq was not just a love story, it was full on drama, comedy,...

 Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani Post Mpya
Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani
@majario LIVE

* Meli za kijeshi za Marekani zilizopo Ghuba ya Uajemi * Rada za Israel zilizopo Azerbaijan * Rada za Israel zilizopo Turkmenistan * Mifumo ya ulinzi wa anga ya vituo vya Marekani nchini...

SHAMIRA sehemu ya 34&35 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 34&35
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi nikajiiinua taratibu tukaingia bafuni. Mwanaume akanikumbatia uku tunaoga. Aseee uyu baba ananipenda ila hataki upumbavu ata kidogo na mkono wake mwepesi kupiga .na yote sababu...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nikaona zena kamnyanyua yule mtoto kisha akambeba ,ni amefanana nae sana ,nikajua ni wa kwake tu yani ni lazima utu mtoto atakuwa ni mwanae, kisha akanigeukia...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17
@majario LIVE

Ikabidi nikae tu kwenye piki piki maana sura alivyokuwa kaikaza mmh asije kunipiga, Kimyaa kikatawala sasa mie nilijua tunaenda kwa Tinner na moyoni nilikuwa nimempangia hayo maneno Tinner eeh mbona...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Maeneo ya pale pale chuoni, Salmon alikuwa amepanga nyumba kubwa ya peke yake. Wakati akiwa chuo ndo alikua anaishi hapo, ila siku za weekends kama hana mambo mengi ndo anaenda...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi kuanzia apo nikawa sasa kidogo naelewana na baraka. Tena mimi ndo napenda sana kuongea nae. Yani sanaaa. Napenda kucheka nae sana. Na kun jinsi...

FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 16 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 16
@majario LIVE

Usiku wangu ulikuwa mzito sana, maneno ya D kusema kuwa Veda anatembea na wanawake wengi, niliyaamini kabisaaa Bila shakaa kwa maana Yeye tu hana mwonekano mzuri ametuna tuna hovyo anakuwa...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10
@majario LIVE

Daaah nikaona mtoto kachomoa leo mana sio powa , ana vipengele sana uyu demu , ila unyama, hatachomoa kila siku, ni suala la muda tu, mana sijawahi kumtaka mwanamke ,...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media BASI nikapanda kitandani kwangu. Nikijutia sana nilichokifanya mana mh . Nilikuwa nasababisha ugomvi mkubwa wa wazazi mungu wangu. Yani mama yangu alikuwa anaachwa leo...

SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.??? Post Mpya
SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.???
@majario LIVE

Hatimae jana tambo za Dabi zilipata majibu kwa timu za Simba na Yanga kutoka suluhu ya bila kufungana(0-0). Kwa maana hiyo timu zote ziliambulia pointi moja moja. Mchezo wa jana pamoja...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8
@majario LIVE

Zena akasema kwaiyo manager unataka kuniuza ama ni vp, yule manager aksema , naomba uelewe kuwa ukifanya kazi katika hii bar, mteja kukushika sehemu yoyote ya mwili wako ni kawaida,...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU YA KUMU* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMU*
@majario LIVE

Jambo likawa lelelele, Yaani ni patashika nguo kuchanika, Kwa upande wangu Walahi nilikuwa nikifurahi tu, na amina alikuwa akilia tu nakuomba msamaha. Enzo wa watu mwaya akachukua muda wake na kumuelezea...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Mbali na ivyo zile zawadi alizo tumiwa Noela zilimuuma vile vile. Alihisi Noela hastahili vitu vizuri wala maisha ya kifahari. Alitaka kila kitu kiwe chake, wanaume wote wawe wake. Hata...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 6 na 7 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 6 na 7
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi bwana , mwanaume wala sikuwa na shaka, kazi zote ambazo nilibakiwa nazo pale ofisini, nikamuachia ibraaa, na ukiacha ushikaji, mi bafo ibra ni mkubwa wake wa kazi,...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest