Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70
Gonga94 · Stories

MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Basi nilipata kafuraha mno. Nikachukua pesa yangu .nikarudi darasani kuendelea na ratiba zangu. Uwiiiiii nilifurahi sana. Yani sana tu. Na prepo ilivyoisha tukarudi darasani. Mie nikampa tu yule mwanafunzi elfu 50 yake mana ata kuitumia sikuwa nimeitumia .nilimwambia tu asante kaka kashanitumia pesa ya matumizi. Akanmbia powa. Basi mie nikapanda kitandani kupumzika. Nilipokuwa pale kitandani nilimfikklia sana mlige . Nilihisi bado ananipenda labda ana hasira tu na mm. Ila tutayaweka sawa na kila kitu kitakaa sawa tu. Basi shoga yenu shule ikawa inaendelea na napambana na kusoma. Na mitihani yangu yote alikuwa anatumiwa mlige. Na nilikuwa napasua mno. So alikuwa anaona. Mana sie shule yetu. Matokeo yako anatumiwa na mzazi piah kwa njia ya simu. Basi bwana ikakata mwezi bwana mlige hakunipigi tena kuniulizia baada ya kunitumia ile pesa . Na mie nikauchuna tu. Nikaona ngoja kwanza nipambane na shule mana mtoa ada ana mashauzi kweli kweli

Nikapambana mpaka sasa tukakalibia kumaliza term ya kumaliza form five. Na tukaanza mitihani ya kufunga shule. Asee tukapiga mitihani . Nilikuwa najitahidi sana darasani. Naongoza kila siku . Na report zangu zote anazijua mlige. Basi bwana baada ya mitihani tukaaambiwa tuongee na wazazi . Ili waje kutuchukua mana tuna kama siku 3 tunafunga shule. Bibi mie sasa ndo nikaazima simu ya mwalimu. Nikampigie mlige. Nikapiga mala moja tu akapokea. Nikamsalimia kwa unyeyekevu nakwambia. Ahaaa ila wapi nilizani kashapoa. Ila bado ni anajibu kwa hasira. Yani mtu mpka mood inakata kabisa nikamwambia sie kesho kutwa tunatakiwa kurudi nyumbani tunafunga shule. Akanmbia najua . Kwani na mm si ni mwalimu asa unazni ntakuwa sina hizo ratiba..nikasema.sawa so utakuja kunifata? Akasema.nikufate we ni mtoto. We kwenu hupajui kwani. We ni mtu mzima .kesho kutwa rudi nyumbani mapema mie ntakutumia nauli baadae kwa mwalimu wako. Nikasema.sawa. kisha nikakata simu nikamludishia mwalimu.nikaludi bwenini .mh nikaona kazi ipo jamani. Uyu baba .ni kisirani gani iki kinaenda miez 7. Hana ata mda na mm. Yani mm ndo namfosi tu.

Basi mie nikawa nimetulia zangu tu. Mana ata asipotuma nauli. Mi pesa nilikuwa nayo na nauli ni elfu 10 tu kutoka kaham mpka nyumbani nyantakra. Sasa shoga yangu mmoja kwao ni bukoba. Akanmbia yeye anafatwa na baba yake. Wee nikaomba lift apo apo.mana wanapita kijiji cha nyumbani kabisa. Shoga akanmbia wala hakuna shida mzee hana noma tutakuchukua tu. Basi nikawa na amani zangu tu. Nikafungasha kila kitu ambacho nilihisi ni muhimu kuludi nacho nhumbani. Kama vitabu nilibeba sababu ya kujisomea nikiwa nyumbani tu. Na nilikuwa na raha naenda kumuona mama na baba. Niliwamiss mnoo. Naenda kumuona na shoga yangi yusta. Mana najua na yeye analudi home so tunakutana. Basi siku ilivyofika ya safari. Tuliamka.zetu mapema tukapanga kila kitu nakwambia.

Basi shoga yangu akanmboa tujiandae haraka.mana baba yake anakuja kumfata mida ya saa 4. Basi na mie nilijichangamsha nipate lift tena . Basi nikapanga na kila kitu. Heee namalizia kupanga .akaja mwanafunzi akanambia we faridah unaitwa na kka yako kaja kule . Mh nikajua tu ni mlige ndo kaja ama nini. Si alinigomea uyu. Mie nikaenda kwanza kuhakikisha ndo yeye. Khaa ni yeye bwan. Alikuwa anaongea na mwalimu wetu wa taaluma.Ila nilimuona kapungua mwili. Mh sikutaka ata kumshangaa sana. Mana kila mtu na matatizo yake.na mm nilijikondea na masomo piah. Basi nikafika mpkaa pale . Nikamsalimia pale. Akaniitikia fresh. Mwalimu akawa anamwambia asee mlige. Mdogo wako ni kichwa . Uyu binti ahaaa ni kichwa . Ana akiri mnoo. Na ni mpole kweli hna shida faridaha. Mlige akasema ooh kumbe. Mh mwalimu akasema ndio. Ametulia.sana faridah yeye na kitabu tu . Yani anatambua shule kafata nn. Mlige akasema.sawa ndo vizur. Mi naenda basi . Mwalimu akasema sawa

Mlige akanambia kafate vitu vyako. Nikuludishe kwenu nipo busy sana leo. Nna mishe nyingi .nikasema ahaa kama una mishe nyingi we nenda tu. Mi nimepata lift. Aseee mlige aliniangalia jicho kali mpaka nilijistukia. Akaniuliza alokupa iyo lift ni nani. Nikasema ni rafiki yangu anafatwa na wazazi wake anakaa bukoba.ndo nilimuomba wanishushe nyantakara baada ya kusema we huji. Mlige akasema.we itakuwa ulikuwa na mission za kwenda kwa wanaume zako na uyo shoga yko sio. Mie nikasema hapana. Mlige akaningalia sana kisha akasema.kachukie taka taka zako twende .usije ukaenda kwa bwana. Wazazi wako wakanipa lamawa mama. Mana mtu mwenyewe hueleweki . Mie nikasema sawa. nikaenda kubebea vitu vyangu tu. Na nikamwambia yule rafiki yangu alotaka kunipa lift. Kwamba kaka kaja basi naondoka nae nashukuru .akanmbia tu sawa hakuna shida.

Basi kweli nikatoka na vitu vyangu mpka parking. Akanipakizia kwa buti.kisha tukaingia kwenye gari na safari ikaanza kama.kawaida yake . Ni kanuna kinoma. Haongei na mie kabisa labda apigiwe simu na mie ata sikumsemesha nikajikaushia zangu kimyaa. Mpaka.sa 10 jioni bibi mie nikaingia kwetu. Akanishushia vitu vyangu. Akamsalimia mama kisha akasepa zake. Aseee mama alifurahi sana kunioana.akanambia jamani umekuwa .shule imekukuza. Nikawa nacheka .mama akasema umepungia ila.nikasema.mama masomo magumu. Mama akafurahi sana. Akanmbia kaoge uje kula kwnza. Kama alijua kuwa mlige hajaninunulia ata pipi uko.njiani so nilikuwa na njaa mno.

Basi mie nikaenda kuoga kisha nikaja kula . Mda wa kula ndo na mzee akalidi . Tukajumuika kwa pamoja. Nilikuwa nakula uku nawasimulia habari za shule basi wakawa wanacheka kwelli.. baada ya chakura sasa . Ata sijapumzika shoga yenu nikaenda kwa yustaa. Nikamkuta na yye ndo kaludi jana yake. Basi tukafurahiana sana. Tukaanza kupeana michapo ya kila mtu na shule zake. Tukainjoy sana. Yusta akaniuliza kuhusu mlige. Nilimsimulia tu mazingira yake kwa sasa yalivyo. Kuwa hatuna mawasiliano mazuri kabisaa. Yusta akanipa pole akanmbia leo kajalibu kumtumia sms za kumuomba msamaha na jibebisha lwake tuone itakuwaje. Nikasema ntajalibu ila mh amechange sana. Yusta akanmbia sawa tutajua tunafanyaje basi nilipiga story na yusta mpaka saa 1 usiku.ndo bibi mie naludi kwetu. Nilivyofika nikaenda kuoga tena nikaingia chumbani kwangu.nikavuta kasimu kangu kadogo. Naangalia ata mlige hajanitafuta. Mh nikamtumia mie sms mambo. Hakunijibu. Nilingoja kama dakika 10 na hakunijibu ataa. Nimamtumia bonge la barua shoga yenu ya kumuomba msamaha .na nikamwambia nimemnis sana na nampenda sana. Anisamehe tu. Mh apo ndo alinijibu
Aliniandikie. " ukiludia tena kunitumia sms za kipumbavu kama.hizi . Sitakulipia ada ya form six. " mh nikaoana kazi ipo apa. Basi na vichozi vikawa vinatoka shoga yenu kukataliwa kunauma nyieee. Mama akingia kakuta ndo nafuta machozi pale . Mana ile sms ya mlige iliniumiza sana.
libeba sababu ya kujisomea nikiwa nyumbani tu. Na nilikuwa na raha naenda kumuona mama na baba. Niliwamiss mnoo. Naenda kumuona na shoga yangi yusta. Mana najua na yeye analudi home so tunakutana. Basi siku ilivyofika ya safari. Tuliamka.zetu mapema tukapanga kila kitu nakwambia.

Basi shoga yangu akanmboa tujiandae haraka.mana baba yake anakuja kumfata mida ya saa 4. Basi na mie nilijichangamsha nipate lift tena . Basi nikapanga na kila kitu. Heee namalizia kupanga .akaja mwanafunzi akanambia we faridah unaitwa na kka yako kaja kule . Mh nikajua tu ni mlige ndo kaja ama nini. Si alinigomea uyu. Mie nikaenda kwanza kuhakikisha ndo yeye. Khaa ni yeye bwan. Alikuwa anaongea na mwalimu wetu wa taaluma.Ila nilimuona kapungua mwili. Mh sikutaka ata kumshangaa sana. Mana kila mtu na matatizo yake.na mm nilijikondea na masomo piah. Basi nikafika mpkaa pale . Nikamsalimia pale. Akaniitikia fresh. Mwalimu akawa anamwambia asee mlige. Mdogo wako ni kichwa . Uyu binti ahaaa ni kichwa . Ana akiri mnoo. Na ni mpole kweli hna shida faridaha. Mlige akasema ooh kumbe. Mh mwalimu akasema ndio. Ametulia.sana faridah yeye na kitabu tu . Yani anatambua shule kafata nn. Mlige akasema.sawa ndo vizur. Mi naenda basi . Mwalimu akasema sawa

Mlige akanambia kafate vitu vyako. Nikuludishe kwenu nipo busy sana leo. Nna mishe nyingi .nikasema ahaa kama una mishe nyingi we nenda tu. Mi nimepata lift. Aseee mlige aliniangalia jicho kali mpaka nilijistukia. Akaniuliza alokupa iyo lift ni nani. Nikasema ni rafiki yangu anafatwa na wazazi wake anakaa bukoba.ndo nilimuomba wanishushe nyantakara baada ya kusema we huji. Mlige akasema.we itakuwa ulikuwa na mission za kwenda kwa wanaume zako na uyo shoga yko sio. Mie nikasema hapana. Mlige akaningalia sana kisha akasema.kachukie taka taka zako twende .usije ukaenda kwa bwana. Wazazi wako wakanipa lamawa mama. Mana mtu mwenyewe hueleweki . Mie nikasema sawa. nikaenda kubebea vitu vyangu tu. Na nikamwambia yule rafiki yangu alotaka kunipa lift. Kwamba kaka kaja basi naondoka nae nashukuru .akanmbia tu sawa hakuna shida.

Basi kweli nikatoka na vitu vyangu mpka parking. Akanipakizia kwa buti.kisha tukaingia kwenye gari na safari ikaanza kama.kawaida yake . Ni kanuna kinoma. Haongei na mie kabisa labda apigiwe simu na mie ata sikumsemesha nikajikaushia zangu kimyaa. Mpaka.sa 10 jioni bibi mie nikaingia kwetu. Akanishushia vitu vyangu. Akamsalimia mama kisha akasepa zake. Aseee mama alifurahi sana kunioana.akanambia jamani umekuwa .shule imekukuza. Nikawa nacheka .mama akasema umepungia ila.nikasema.mama masomo magumu. Mama akafurahi sana. Akanmbia kaoge uje kula kwnza. Kama alijua kuwa mlige hajaninunulia ata pipi uko.njiani so nilikuwa na njaa mno.

Basi mie nikaenda kuoga kisha nikaja kula . Mda wa kula ndo na mzee akalidi . Tukajumuika kwa pamoja. Nilikuwa nakula uku nawasimulia habari za shule basi wakawa wanacheka kwelli.. baada ya chakura sasa . Ata sijapumzika shoga yenu nikaenda kwa yustaa. Nikamkuta na yye ndo kaludi jana yake. Basi tukafurahiana sana. Tukaanza kupeana michapo ya kila mtu na shule zake. Tukainjoy sana. Yusta akaniuliza kuhusu mlige. Nilimsimulia tu mazingira yake kwa sasa yalivyo. Kuwa hatuna mawasiliano mazuri kabisaa. Yusta akanipa pole akanmbia leo kajalibu kumtumia sms za kumuomba msamaha na jibebisha lwake tuone itakuwaje. Nikasema ntajalibu ila mh amechange sana. Yusta akanmbia sawa tutajua tunafanyaje basi nilipiga story na yusta mpaka saa 1 usiku.ndo bibi mie naludi kwetu. Nilivyofika nikaenda kuoga tena nikaingia chumbani kwangu.nikavuta kasimu kangu kadogo. Naangalia ata mlige hajanitafuta. Mh nikamtumia mie sms mambo. Hakunijibu. Nilingoja kama dakika 10 na hakunijibu ataa. Nimamtumia bonge la barua shoga yenu ya kumuomba msamaha .na nikamwambia nimemnis sana na nampenda sana. Anisamehe tu. Mh apo ndo alinijibu
Aliniandikie. " ukiludia tena kunitumia sms za kipumbavu kama.hizi . Sitakulipia ada ya form six. " mh nikaoana kazi ipo apa. Basi na vichozi vikawa vinatoka shoga yenu kukataliwa kunauma nyieee. Mama akingia kakuta ndo nafuta machozi pale . Mana ile sms ya mlige iliniumiza sana.

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Mimi sikuachi fully stories
Mimi sikuachi fully stories
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70

Basi nilipata kafuraha mno. Nikachukua pesa yangu .nikarudi darasani kuendelea na ratiba zangu. Uwiiiiii nilifurahi sana. Yani sana tu. Na prepo ilivyoisha tukarudi darasani. Mie nikampa tu yule mwanafunzi elfu 50 yake mana ata kuitumia sikuwa nimeitumia .nilimwambia tu asante kaka kashanitumia pesa ya matumizi. Akanmbia powa. Basi mie nikapanda kitandani kupumzika. Nilipokuwa pale kitandani nilimfikklia sana mlige . Nilihisi bado ananipenda labda ana hasira tu na mm. Ila tutayaweka sawa na kila kitu kitakaa sawa tu. Basi shoga yenu shule ikawa inaendelea na napambana na kusoma. Na mitihani yangu yote alikuwa anatumiwa mlige. Na nilikuwa napasua mno....

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/my-wangu-sehemu-ya-69-na-70

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle #BeautyBattle #AfricaVsWorld #Tanzania #Kenya #Congo #Rwanda #Burundi #SouthAfrica #USA #VoteNow #DebateTime #Trending 🐓 Follow the ommy khan Tanzania channel on WhatsApp: https://whatsapp.com/channel/0029VbCg0JyFsn0hCN1ByD44

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi my-wangu-sehemu-ya
MY WANGU❤️ sehemu ya 108
MY WANGU❤️ sehemu ya 108
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107
*MY WANGU❤️*   *sehemu ya 109 na 110*
*MY WANGU❤️* *sehemu ya 109 na 110*
MY WANGU❤️ sehemu ya 118
MY WANGU❤️ sehemu ya 118
MY WANGU❤️ sehemu ya 111 na 112
MY WANGU❤️ sehemu ya 111 na 112
MY WANGU❤️ *sehemu ya 114 na 115*
MY WANGU❤️ *sehemu ya 114 na 115*
MY WANGU❤️ sehemu ya 103
MY WANGU❤️ sehemu ya 103
MY WANGU❤️ sehemu ya 96 na 97
MY WANGU❤️ sehemu ya 96 na 97
MY WANGU❤️ sehemu ya 113
MY WANGU❤️ sehemu ya 113
MY WANGU❤️ sehemu ya 94 na 95
MY WANGU❤️ sehemu ya 94 na 95
MY WANGU❤️ sehemu ya 100
MY WANGU❤️ sehemu ya 100
MY WANGU❤️ sehemu ya 47 na 48
MY WANGU❤️ sehemu ya 47 na 48
*MY WANGU❤️*   *sehemu ya 98 na 99*
*MY WANGU❤️* *sehemu ya 98 na 99*
MY WANGU❤️ sehemu ya 101 na 102
MY WANGU❤️ sehemu ya 101 na 102
MY WANGU❤️ sehemu ya 71 na 72
MY WANGU❤️ sehemu ya 71 na 72
MY WANGU❤️ sehemu ya 51 na 52
MY WANGU❤️ sehemu ya 51 na 52
MY WANGU❤️ sehemu ya 89 na 90
MY WANGU❤️ sehemu ya 89 na 90
MY WANGU sehemu ya 40
MY WANGU sehemu ya 40
MY WANGU❤️ sehemu ya 76 na 77
MY WANGU❤️ sehemu ya 76 na 77
MY WANGU❤️ sehemu ya 93
MY WANGU❤️ sehemu ya 93
MY WANGU❤️ sehemu ya 74 na 75
MY WANGU❤️ sehemu ya 74 na 75
MY WANGU❤️ sehemu ya 86 na 87 Wenda mpangilio umekosewa endelea kusoma
MY WANGU❤️ sehemu ya 86 na 87 Wenda mpangilio umekosewa endelea kusoma
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85
MY WANGU sehemu ya 38 na 39
MY WANGU sehemu ya 38 na 39
MY WANGU❤️ sehemu ya 49 na 50
MY WANGU❤️ sehemu ya 49 na 50
MY WANGU❤️ sehemu ya 73
MY WANGU❤️ sehemu ya 73
MY WANGU❤️ sehemu ya 44 na 45
MY WANGU❤️ sehemu ya 44 na 45
MY WANGU❤️ sehemu ya 88
MY WANGU❤️ sehemu ya 88
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 85

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 85

1.36K
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 86 na 87

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 86 na 87

1.34K
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 88 na 89

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 88 na 89

438
LETICIA Sehemu ya 17 na 18

LETICIA Sehemu ya 17 na 18

340
IN LOVE WITH ZURI*   *Chapter 9&10*

IN LOVE WITH ZURI* *Chapter 9&10*

162
IN LOVE WITH ZURI* Chapter 8

IN LOVE WITH ZURI* Chapter 8

154
💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO💋  11....15

💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO💋 11....15

96
😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋  Sehemu ya 15

😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 15

33
😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 11

😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 11

21
😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋  Sehemu ya 14

😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 14

17

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.96K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.65K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.89K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.55K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

3.05K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

3K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.85K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.83K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.71K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.69K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 88 na 89 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 88 na 89
@majario LIVE

Basi nikajikuta usingiz umenipitia kabisaa, nahisi ni ile kuchoka na mawazo sana, nikaja kustuka ni mida ya usiku hivi, kwa pembni naona wanangu , arshaina ndo wa kwanza akananza kunipandia...

💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO💋  11....15 Post Mpya
💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO💋 11....15
@majario LIVE

Sawa mke wangu kipenzi nashukuru kwa kunijali, Denis aliondoka hadi gari 🚙 lilivyokata kona na mimi nikaingia ndani nilibadilisha nguo nilizovaa nikaenda sokoni kununua nyama na mchele nikaja kupika chakula...

😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋  Sehemu ya 15 Post Mpya
😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 15
@mjukuu LIVE

😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 15 (🔞) (HII NI SIMULIZI YA WAKUBWA TU NA WAKUBWA WENYEWE WALE WAPENZI WA CHOMBEZO) Alex anazidi kumshindua kungwi kwa raha zake mpaka na yeye akakojoa... Alex alikaa kwa kungwi...

😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋  Sehemu ya 14 Post Mpya
😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 14
@mjukuu LIVE

(🔞) (HII NI SIMULIZI YA WAKUBWA TU NA WAKUBWA WENYEWE WALE WAPENZI WA CHOMBEZO) Mke wangu umeenda kijijini kumpa mwanangu mimba?. ( Yani aliongea uku amemkwida mama asma...na hapo akatokea msamalia mwema akamshika...

😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋  Sehemu ya 13 Post Mpya
😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 13
@mjukuu LIVE

(🔞) (HII NI SIMULIZI YA WAKUBWA TU NA WAKUBWA WENYEWE WALE WAPENZI WA CHOMBEZO) Siku ambayo kwakweli nilifanya mapenzi na asma kwa raha sana nilimlamba kila Kona na kiu aliitoa na yeye...

😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋  Sehemu ya 12 Post Mpya
😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 12
@mjukuu LIVE

(🔞) (HII NI SIMULIZI YA WAKUBWA TU NA WAKUBWA WENYEWE WALE WAPENZI WA CHOMBEZO) 👉 Asma akasogea yupo tayari kuvuliwa nguo nimpe utamu, Dah yani....👇 Kidume sikutaka kuchelewa maana penzi la wizi wizi hili, Nilimvua...

😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 11 Post Mpya
😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 11
@mjukuu LIVE

(🔞) (HII NI SIMULIZI YA WAKUBWA TU NA WAKUBWA WENYEWE WALE WAPENZI WA CHOMBEZO) 👉 Unajua mbwana yule mjumbe anatoa...👇 Ushilikiano kitandani utasema kijana yani uno kama lote mpaka nasema kimoyoni enzi ya...

IN LOVE WITH ZURI*   *Chapter 9&10* Post Mpya
IN LOVE WITH ZURI* *Chapter 9&10*
@majario LIVE

SONGA NAYO........ Upande wangu nilikuwa zangu chumbani, nikijiandaa kwa ajiri ya kutoka kwenda kurefresh kidogo, nikiwa najiandaa mara Ethan huyu hapa alikuwa mnyinge kweli "Vipi tena??" Nilimuuliza baada ya kumuona amekuwa mnyonge gafla "Acha...

IN LOVE WITH ZURI* Chapter 8 Post Mpya
IN LOVE WITH ZURI* Chapter 8
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Ethan akazungumza "Hakuna cha kukata tamaa, kwani we nani amekwambia kuwa ameolewa..??" "Ni mama.." Nilimjibu huku nikiwa nimekata tamaa zaidi "Sasa mama wewe unamuamini vipi??, kama amekuongopea?? We cha kufanya anza kumtoa mtoto...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 86 na 87 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 86 na 87
@majario LIVE

Basi mimi sasa apo nikampigia kwanza mkuu wangu kazini, mana sijaenda kazini kama siku 3 na sikuwa nimetoa sababau kabisaa, nikamuelezea kuwa nna matatizo mengi ya kimafimilia kwaiyo sipo sawa...

LETICIA Sehemu ya 17 na 18 Post Mpya
LETICIA Sehemu ya 17 na 18
@majario LIVE

Nikiwa nimelala usiku nikashangaa mlango unafunguliwa. Mmh nikainuka chapu uzuri sizimagi taa ,si namuona polela jamni loooh nilichukia mno jamani nikasema wewe umefwata nini umu .akasema taratibu mummy...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 85 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 85
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Aseeee mi nikatulia pale sebleni, et amam akaenda kuchukua nguo zake akasema naenda pemba ushasahau kuwa mm nimekuzaa ww kabisa , na ndo mana huna adabu kabisa, mi...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 96 - 100 MWISHO SEASON TWO Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 96 - 100 MWISHO SEASON TWO
@majario LIVE

:96 Yeye akawa tu anaendesha kama vile hakuna kitu amezungumza. Mimi hapo tena naona tu kesho ifike tu nipelekwe tu hiyo sehemu. Sijui hata ni kuchinjwa au nikutekwa mimi tayari tu nipo...

MFALME KIPOFU Sehemi..ya............14 Post Mpya
MFALME KIPOFU Sehemi..ya............14
@majario LIVE

Ilipoishia sehemu iliyopita.... Huyo hawezi kuishi bira wewe mana haoni na nafasi ya mwisho ni kuondoka katika huu ufalme nisione sura zenu tena hapa...... ENDELEA NAYO........ Mfalme Tengu aliwafukuza Prince Yao na Lindiwe...

NAKUPENDA BILA  MIPAKA 87 - 95 SEASON TWO Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 87 - 95 SEASON TWO
@majario LIVE

:87 Nikacheka na kusema “sasa nikufiche nini, lakini sasa Dokta kama anampenda boss bora amwambie anateseka bure.” Dada Maria alicheka na kusema “wewe unawajua wanaume, wanaume hawana hata muda nakuambia, na vile...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest