Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MY WANGU❤️ sehemu ya 88
Gonga94 · Stories

MY WANGU❤️ sehemu ya 88

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

Mlige akaipasua ile simu kwa hasira. Akanmbia nilijua tu . Umebadilika sana faridah kumbe una mwanume ana pesa kunizidi sio . Mie nikasema nisamehe mlige acha nikuelezee. Mlige akafoka .akasema utanielezea nn mimi wewe mpumbavu . Eeeh utanielezea nini mjinga mmoja ww na wakati kila kitu nishakiona faridah. Mtoto mdogo unanifanya kila siku nalia. Aseeee najutia vyote nilivyowekeza kwako. Faridah mbona umekuwa mwiba kwangu. Mbona najitahidi kukufanya ufurahi ina maana huoni. Nakupa kila kilicho ndani ya uwezo wangu faridah mbona huriziki. Unanisaliti kumbe mi nikawa nalia. Aseeeee mlige alinivaaaa akaanza kunipiga kwa hasira. Yani mpka ananisukuma ukutani weeee mlige akishakuwa na hasira huwa sio binadamu. Alinipiga aswaaaa ww. Nililia mnooo niliomba msamha aswaaa akanmbia kumbe umekutana na uyo msenge mwenzio ndo unafanya nae umaraya si ndio?. Uyo zayd si ndio.kumbe alikuwa bwana wako kweli kile kipindi ai ndio

Ndo uyu mwarabu sio. Ndo anakuchanganya ww faridah nambie . Akanikaba nakwambia sio masiharaa. Nyieeee mpaka nikawa nafurukuta. Nikaona kabia malaika israel ananmbia hiiiiiii . Weee nilipata akiri nikampiga kwenye sehemu zake za siri na goti . Mlige ndo akanicha ile anaugulia maumivu . Nilitoka kwa speed ata viatu sijavaaa. Wala sijabeba chochote. Nyieeee ile natoka njee nikadakia boda boda .nikamwambi nipeleke kigamboni cheka huu mda haraka. Kweli bodaa akadriveee fastaaa. Mie njia nzima nalia mwili unauma kinoma noma apa shingoni ndo usiseme. Basi bibi mie mpka cheka kwa baby na kama bahati nilimkuta yupo busy na kazi zake. Mana anafanyiaga sana nyumbani kuliko kwenda ofisini alivyoniona mpaka alichoka.

Nikamwambia kwanza akalipie boda boda . Kweli akaenda kulipa boda. Kisha kaludi ndani nikaanza kumsimulia uku nalia sana. Aknmbia tulia uyo msenge uyo ntakuja kumfunga anakupiga vipi. Anazaanje kukupiga kama hivi . Alafu anasema anakupenda .anayekupnda anakupigaje kama hivi. Basi sasa akampigia simu daktari wake . Akaja pale ndo akaja kunitibia tibia. Basi zayd akanmbia kuanzia leo hakuna kuludi kule unalewa. Nikasema ndio baby. Basi mie wala sikuludi kule . Nilikaaa kwa zayd week 1. Ata chuo sijaingia nahudumiwa vizuri na baby nadekezwa nakwambia . Mahaba yalijaaa yani zayd ndo alikuwa ananipendaaa aswaaaaa. Mda wote ananikanda kanda mana mligee mh kwa kudunda we ni motoo. Yani nilisema kama nisingekimbia ile siku mlige angeniua pale wallah

Basi bwana . Baada ya week tukaenda kufanya shopiing ya nguo na baby. Mana uku sikuwa na nguo. Tena tulienda maduka makubwa. Vitu orginal kabisa. Nakwambia. Nyieee kuanzia nguo pochi .viatu mpka mawigs. Baby akaninunulia . Na simu nyengine mpyaa. Na laini nikasajikiwa nyengine . Apana chezea mie. Ndo tukaludi nyumbni. Nadekezwa kweli kweli.nikiguna tu napewa . Chezea mm wewe.Basi bwana week ya pili shoga yenu ndo natia mguu chuo . Tena kanileta baby . Kanmbia ntakufata. Nikasema sawa ndo nikauzulia vipindi. Angel akanmbia kwani una nn week 2 hujaoneka chuo. Na hupatikni. Nikamwambia ntakusimulia tukitulia akanambia powa . Akanmbia ila kuna mkaka wa makamu anakujaga apa . Anakuulizia mnoo. Anaulizia mpaka wanafunzi wengine. Mh nikamuuliza jinsi alivyo akanielekeza .nikajua ni mlige kumbe hajaondoka ananitafuta . Kazk ipo . Basi bibi mie nikaendelea na vipindi mda wa kutoka sasa . Namkuta mlige getini ananisubir. Nilistuka nikataka kukimbia.

Mlige Akanmbia plsss usinikimbie nataka tuongee tu naomba . Mh hii siku alipoa. Nikasema utanipig mi sitaki. Akanmbia sikupigi mama . Sikupigi kweli . Nisamehe basi mke wangu . Naomba twende nyumbani tukaongeee . Nikasema hapana mi sitaki kwenda na ww . Wewe Uko unaend kunipiga. .apo mlige anongea analia mpka watu wanatushangaaa. Akanmbia sikugusi wallha mke wangu nakupenda faridah usiniache plsss ntakufa. Naomba sana tuongeee. Nikasema hapana una hasira utanipiga. Doooh na mda uo uo . Zayd anaingia na gari pale.. tena gari aliyoninunulia ndo alikuja nayo pale mbele kuna plate namba ya FARIDAH. Zayd wala hakushuka kanipigia tu honi. Ahaa mi sikutaka kumsikiliza ata mlige uyo nikaingia kwenye gari namuona mlige ata haaamini maskin😑😑😑😑😑😑😑😑😑😑

🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴
Tangazo - For this week only
For this week only
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MY WANGU❤️ sehemu ya 88


Mlige akaipasua ile simu kwa hasira. Akanmbia nilijua tu . Umebadilika sana faridah kumbe una mwanume ana pesa kunizidi sio . Mie nikasema nisamehe mlige acha nikuelezee. Mlige akafoka .akasema utanielezea nn mimi wewe mpumbavu . Eeeh utanielezea nini mjinga mmoja ww na wakati kila kitu nishakiona faridah. Mtoto mdogo unanifanya kila siku nalia. Aseeee najutia vyote nilivyowekeza kwako. Faridah mbona umekuwa mwiba kwangu. Mbona najitahidi kukufanya ufurahi ina maana huoni. Nakupa kila kilicho ndani ya uwezo wangu faridah mbona huriziki. Unanisaliti kumbe mi nikawa nalia. Aseeeee mlige alinivaaaa akaanza kunipiga kwa hasira. Yani mpka ananisukuma ukutani weeee mlige akishakuwa...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/my-wangu-sehemu-ya-88

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi my-wangu-sehemu-ya
MY WANGU❤️ sehemu ya 51 na 52
MY WANGU❤️ sehemu ya 51 na 52
MY WANGU❤️ sehemu ya 47 na 48
MY WANGU❤️ sehemu ya 47 na 48
MY WANGU sehemu ya 40
MY WANGU sehemu ya 40
MY WANGU❤️ sehemu ya 44 na 45
MY WANGU❤️ sehemu ya 44 na 45
MY WANGU❤️ sehemu ya 71 na 72
MY WANGU❤️ sehemu ya 71 na 72
MY WANGU sehemu ya 38 na 39
MY WANGU sehemu ya 38 na 39
MY WANGU❤️ sehemu ya 49 na 50
MY WANGU❤️ sehemu ya 49 na 50
MY WANGU❤️ sehemu ya 46
MY WANGU❤️ sehemu ya 46
MY WANGU❤️ sehemu ya 53 na 54
MY WANGU❤️ sehemu ya 53 na 54
MY WANGU❤️ sehemu ya 76 na 77
MY WANGU❤️ sehemu ya 76 na 77
MY WANGU❤️ sehemu ya 74 na 75
MY WANGU❤️ sehemu ya 74 na 75
MY WANGU sehemu ya 41 na 42
MY WANGU sehemu ya 41 na 42
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70
MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67
MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67
MY WANGU sehemu ya 43
MY WANGU sehemu ya 43
MY WANGU❤️ sehemu ya 34 na 35
MY WANGU❤️ sehemu ya 34 na 35
MY WANGU❤️ sehemu ya 73
MY WANGU❤️ sehemu ya 73
MY WANGU❤️ sehemu ya 32 na 33
MY WANGU❤️ sehemu ya 32 na 33
MY WANGU❤️ sehemu ya 63
MY WANGU❤️ sehemu ya 63
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85
MY WANGU❤️ sehemu ya 55
MY WANGU❤️ sehemu ya 55
MY WANGU❤️ sehemu ya 59 na 60
MY WANGU❤️ sehemu ya 59 na 60
MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65
MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65
MY WANGU❤️ sehemu ya 68
MY WANGU❤️ sehemu ya 68
MY WANGU sehemu ya 36 & 37
MY WANGU sehemu ya 36 & 37
MY WANGU❤️ sehemu ya 61 na 62
MY WANGU❤️ sehemu ya 61 na 62
MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83
MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83
MY WANGU❤️ sehemu ya 56 na 57
MY WANGU❤️ sehemu ya 56 na 57
MY WANGU❤️ sehemu ya 58
MY WANGU❤️ sehemu ya 58
MY WANGU❤️ sehemu ya 78
MY WANGU❤️ sehemu ya 78
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 59...60💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 59...60💘💘

527
MIMI SIKUACHI🥰*  *SEASON TWO*   *SEHEMU YA 41*

MIMI SIKUACHI🥰* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 41*

399
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 43

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 43

287
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘  N0 61💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 61💘💘

189
REAL LOVE  Chapter 14

REAL LOVE Chapter 14

134
UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 08

UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 08

90

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.14K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.89K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.68K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.08K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.47K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.41K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.3K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.3K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.25K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.17K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘  N0 61💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 61💘💘
@majario LIVE

Baada ya paschal kunifungia kule chumbani mwenzenu ata sikuumia😁😁 nilifurahi namimi nimepata kitu cha kumnyong'onyesha paschal..... baada ya kumfukuza lia paschal alikuja kule chumbani alikonifungia mie nilikuwa zangu nimesimama dirishani...

REAL LOVE  Chapter 14 Post Mpya
REAL LOVE Chapter 14
@majario LIVE

John allikasirika kwelikweli alimuangalia devi kwa hasira sana kisha akamuangalia mwanasheria kwa hasira sana alijiuliza uyo ni mwanasheria wa seven imekuwaje kawa hapa na kafata nini "devi umefuata nini hapa alisema...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 43 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 43
@majario LIVE

Daktari akanmbia tulia haji. Ulipata ajari mbaya sana. Ila.unaendelea vizuri umepata michubuo sehemu chache tulia asee umeumia maeneo ya kiuno ila itachukua mwez tu utarecover kbisa so kuwa na...

UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 08 Post Mpya
UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 08
@majario LIVE

SONGA NAYO................. Mama mtu kuona nimesimama tu akaniongelesha kwa hasira "we mpuuzi mbona umesimama kama sanamu embu toa vitu kwenye gari haraka" Niliitikia sawa na kufungua buti nikaanza kushusha mizigo wao wakaingia...

MIMI SIKUACHI🥰*  *SEASON TWO*   *SEHEMU YA 41* Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 41*
@majario LIVE

Daaaah alex akanmbia pole sana kaka. Najua inaumiza sana najua mnoo. Ila ndo ukweli. Mi siwez acha damu yangu. Na ndo mana nimekutafuta mnoo. Ili tuje kuliongelea ili suala. Na...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 59...60💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 59...60💘💘
@majario LIVE

0742133100 Baada ya hemed kupata likizo tulisafiri kuelekea ufaransa kwa ajiri ya kwenda kumchukua mtoto wangu nice, mom Elizabeth alimkatalia nice 🤣🤣 hata mimi hawakutaka niondoke kwenye familia yao😄😄Tristan ndo...

UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 07 Post Mpya
UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 07
@majario LIVE

SONGA NAYO................. Taratibu nilifuta machozi na kuinuka nikatoa vyombo na kuendelea na ratiba zingine, sasa wakati nikiwa bize na kazi Alvin akaja na kusimama pembeni yangu. Sikutaka kumsemesha ndo kwanza nikawa bize...

MY WANGU❤️ sehemu ya 94 na 95 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 94 na 95
@majario LIVE

Nklimuangalia uyu mwanaume kwa hasira kisha nikamuuliza kwamba una maanisha nn wewe. Kwambia mm nikuache u.nifanye nyuma uniharibu. Akannbia sikia nikwambia mama. Kwani nani atajua kuwa mm na wewe tumefanya...

MY WANGU❤️ sehemu ya 93 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 93
@majario LIVE

Basi jioni tu ya siku iyo iyo bibi mie nikaruhusiwa. Nyieee ilikuwa shereehee. Yani uyo zayd ni furaha mdaaaa wote . Ni kufurahi tu .mda wote kamshika mwanae anambembeleza mtoto...

*MY WANGU❤️* *FINAL SEASON* *91-92* Post Mpya
*MY WANGU❤️* *FINAL SEASON* *91-92*
@majario LIVE

Basi bwana .mie nikawa busy na maisha yangu. Ile namba za yusta nilisave ila wwala hatukuwa na ushost tena. Na kama baada ya mwez niliona status yusta kapost kaolewa na...

*UTANIITA SHEMEJI.* *1-5* Post Mpya
*UTANIITA SHEMEJI.* *1-5*
@majario LIVE

*______________________________________* *SEHEMU YA KWANZA* Utaniita shemeji ☺️aisee hii simulizi sijui nikae mkao gani ili niilete kwa usahihi bila kukwama wala kupunguza radha😊. Ila hii kitu imenionesha kuwa kweli watoto wa elfu mbili wameshindikana...

UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 06 Post Mpya
UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 06
@majario LIVE

SONGA NAYO.................. Nilibaki namuangalia huku nikijiuliza ana maana gani kusema vile ?,🤔na nitakosaje amani eti kisa kutokuwa karibu yake 🤔na niukaribi gani anaoutaka kutoka kwangu na kwanini atake ukaribu na mimi?.🤔 Niliwaza...

MY WANGU❤️ sehemu ya 89 na 90 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 89 na 90
@majario LIVE

Basi bwana zayd akaendesha gali mpaka kwake . Akanmbia kumbe uyu boya bado hajaondoka na anakufatilia . Nikasema ndio mi mpaka namshangaa yani sijuh ata anataka nn. Mi simtaki bwana....

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 39 na 40 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 39 na 40
@majario LIVE

Nikasema ooh alex. Mama bwana uyo jamaa si tumesoma nae mpama form 4. Sijamzoea sana ila huwa na mazoea nae mama. We mpe tu namba zangu wla hakuna shida. Mama...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 57...58💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 57...58💘💘
@majario LIVE

Pendo🥹🥹 kwani nilikukoseaga nini mamangu?! Mbona adhabu uliyonipatia haiendani na mwonekano wako?! Kwanini ulinipatia penzi lako kama ulijua ya kwamba utaenda mbali na mimi🥹 haujui ni kwa kiasi gani...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest