UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 7 to 19
SEHEMU YA 7
ENDELEA..........
Wote tulipitiwa na usingizi mzito. Tuliamka saa kumi jioni na wa kwanza kuamka alikuwa madame.
Nilistuka kutoka usingizini baada kuhisi nimeshikwa mashine yangu.
"Madame" nilimuita kwa uoga.
"Shiiiiii!" Alininyamazisha kwa kuniwekea kidole chake mdomoni kwangu. Aliendelea kuichezea mashine yangu mpaka ikasimama😁. Oya sikutaka kuwa mzembe mambo nayajua na uzuri Madame kashaielewe show yangu.
Nilitoa ushilikiano wa kutosha. Nikaichapa tena kwa mala nyengine. Mpaka tunamaliza wote tulikuwa hoi.
Madame aliniambia tukaoge tuondoke.
"Ukaoge na mimk?" Niliuliza swali la kijinga.
Madame wala hakunijibu alinishika mkono akaniongoza mpaka bafuni. Aliniambia nimuogeshe,
"Niogeshe kwa uhuru kabisa na ushike kila kona unitoe jasho" madame alizungumza baada ya kugundua kuwa bado nakauoga.
Alinipa uhuru sasa nilianza kumuogesha na kumsugua kila kona ya mwili wake. Saa ngambi asiseme nimtawaze eti kwa bibi😋.
Bhana weee sina baya mie nilitii alichoniambia ile naanza kumtawaza tu nashangaa anagugumia. Nilijua anataka dawa huyu tena. Huko huko bafuni sikumuacha aiseeee. Nikaichapa tena.
Sasa tulitoka tukiwa wepesi kabisa.
"Leo sijawai kukunwa hivi kama unavyonikuna wewe. Na heka heka zangu zote mpaka nakuwa hivi wewe ndo mwanaume wa kwanza kabisa kunifanya nijue radha ya mapenzi. Asante nitakuongezea mshahara badala ya laki mbili nitakulipa laki tano"
Madame Yustar aliongea hayo sikuamini nilitoa macho kama fundi saa kapoteza nati😳😳😳. Kutoka laki mbili mpaka laki tano si mchezo kabisa.
Basi aliniambia tuendelee kufanya siri nisimwambie mtu yoyote yule.
Tuliludi nyumbani tulikuwa wakavu kama vile hatujatoka kukunana huko😄.
Siku nayo ikapita penzi kati yangu na madame Yustar lilizidi kuwa moto. Madame Yustar aliniambia nijifunze kuendesha gari ili niwe nampeleka sehemu mbali mbali kama yeye hajisikii kuendesha.
Alitumia njia hiyo ili tuwe huru pale tunapotaka kwenda kufanya yetu maana kuongozana mala kwa mala bila sababu ya msingi kungezua taharuki kwa Melissa na Misha.
Wiki mbili tu zilitosha mimi kujua kuendesha tukapata uhuru. Kila madame alipohitaji mauta.....mu alitumia njia ya kusema nipeleke sehemu flani, tunaenda hotelini tutashinda huko kupeana raha tu.
Mshahara wangu alikuwa ananipa kama kawaida laki tano.
Jioni moja Mellisa na Madame Yustar wakiwa wamekaaa bustanini Melissa akimwambia mama yake kuhusu kutaka kuludi uturuki.
"Ushamaliza masomo yako kule unaludi kufanya nini?"
"Sijazoea Tanzania sina marafiki wa maana na hata mazingira siyafurahii pia, na zaidi hunipi uhuru"
"Ooooh my GOD"
"Yeah"
"Mkataa kwao ni mtumwa. Wewe ushakuwa mtumwa sasa"
"Sijali hilo. Nahitaji kuludi. Naomba usnze kunifanyia maandizi.
Madame Yustar hakumjibu binti yake. Alijitia yupo busy kusoma kitabu. Melissa alijua moja kwa moja mama yake hataki aondoke tena nchini. Kwa hasira aliinuka akaelekea ndani.
" haendi popote, huko nchi za nje aende kufanyaje tena na wakati masomo amemaliza mwishoe adumbukie kwenye ufuska". Aliongea mwenyewe
Mama ananibania sana hajui kuwa kuna upwiru. Sasa mie naishije hivi khaaaaa! Melissa aliongea mwenyewe akiwa chumbani kwake. Aliona ndani hapakaliki pia kwa namna alivyobanwa na upwiru. Alihitaji kuogelea walau kidogo apunguze hisia.
Alitoka nje akiwa amevakia nguo nyepesi, alienda Swimming kuogelea mwenyewe. Mie katika kupita pita zangu huku na kule nje ya nyumba nikamuona Melissa anaogelea.
Nikajibanza bhana sehemu nimcheki. Nguo ndembe ndembe inachola maungo yote chuchu zote zinaonekana yaani ni kama vile tupo u....chi tu.
Nikasema nimkemee shetani ashindwe na alegee kabisa sitaki kula haya mayai mimi na wakati kuku nishamla. Nikapita zangu shwaaaaa!.
Nililudi zangu getini ila roho yangu haikutulia.
"Ngoja nikamuangalie tena" nililudi kumuangalia Melissa nilimkuta anaelea juu ya maji kichwa kinatazama mawinguni na macho amefumba.
Sikajua labda amepatwa na shida. Niliyalukia maji ili kutoa msaada. Meliisa alikuwa mbali kimawaza alikuja kushtuka baada ya kumshika maka.....lio yake pindi nataka kumbeba ili nimtoe majini.........
ITAENDELEA.........
SEHEMU YA 8
ENDELEA..........
Melissa alishtuka baada ya kuhisi ameshikwa tako. Alishangaa baada ya kuniona. Mie mwenyewe nilishtuka nikasogea. Ilibidi nianze kujitetea.
"Samahani nilipoona umetulia juu ya maji muda mrefu nilijua labda umepata shida. Nilikuwa hapa kutoa msaada tu"
"Haina haja ya kujieleza sana ila nachotaka nikuambia ni kwamba sitaki na sipendi kufuatiliwa"
Nilijisemea moyoni huyu vipi nae nilijua atasema hata asante kwa kujali. Siku nyengine hata nikimkuta anatapa tapa kama samaki mchangani nitamuacha hapo si kanajifanya kajeuri.
Mellisa alitoka ndani ya maji, bahati mbaya aliteleza akiwa pembezoni kwa swimming anatembea.
Alijikuta ametua mikononi mwangu. Nilimdaka vizuri kabisa hata yeye hakuamini.
Nilimshusha kutoka mikononi mwangu baada ya kutazamana kwa dakika chache. Nilimtaka awe makini pindi anapotembea sehemu kama hii.
Kwa namna alivyo kuburi sasa hata hakunushukuru. Alianza kutembea majini ili atoke kuna kitu alikanyaga ndani ya maji. Alipiga makelele kwa uoga akanikimbilia.
Alinilukia mbele yangu. Mikono yake aliizungusha shingoni mwangu na miguu yake aliizungusha kiunoni kwangu. Chuchu zake ziligusana na kifua changu zikaniibua hisia.
Saa ngapi askari wangu asisimame dede. Melissa alishtuka tu askari wangu anamgusa makalioni. Alinitazama usoni.
"Nini hiki?" Aliniukiza.
"Upo sawa?" Nilimuuliza.
"Kuna kitu nimekanyaga chini ya maji sijui ni mdudu au ni nini,Naogopa"
"Usijali nitakutoa" nilimtoa Mellisa majini ndipo aliona sasa hali yangu.
Kitu kimesimama tiii. Yaani hata kuficha nisingeweza. Mellisa alipigwa na butwaa, ukweli nilikuwa na maumbile makubwa kiasi sio makubwa ya kuumiza ila ya kutoa burudani kwa sana😜.
Niliingia tena majini kutafuta ni kitu gani Mellisa alikanyaga ndipo niliona kokoto.
"Ni hili kokoto ndilo ulikanyaga"
"Asante" kwa mala ya kwanza alinishukuru.
Niliondoka nililudi eneo langu la kazi na Melissa nae alienda chumbani kwake. Huko chumbani sasa akili yake iliwaza tu rungu langu namna lilivyosimama dede na kumgusa makalioni.
Majira ya usiku wa saa nne nikiwa kwenye eneo langu la kazi nilishangaa Baada ya kumuona Melissa.
Alikuwa amevalia nguo ya kulalia. Kigauni chepesi kifupi sana.
"Karibu nikusaidie nini?"
"Ni swali zuri sana hili. Okay naomba tusogee bustanini nina mazungumzo na wewe"
Baada ya kufika bustanini Melissa alinikumbatia. Ni tukio ambalo sikulitarajia kabisa.
"Nina nye....ge naomba unitoe kidogo" alininong'oneza sikioni"
Mapigo ya moyo wangu yalilipuka puuuuuu!😳😳😳.............
ITAENDELEA............
SEHEMU YA 9
ENDELEA........
Baada ya Mellisa kuniambia anaomba nimtoe nye...ge mapigo yangu ya moyo yalilipuka.
"Mellisa!" Niliita kwa mshangao.
"Sina haja ya kukubembeleza unatakiwa ukubali kati ya mambo mawili tu. Ku sex na mimi au kufukuzwa kazi.
"Una maana gani kunipa machaguo mawili. Inamaana nikikataa wewe huyo utanifukuza kazi?"
"Nitamwambia mama ulitaka kunibaka, hiyo ndiyo itakuwa tiketi yako ya bye bye"
Hakutaka kunipa nafasi ya kuendelea kujitetea tena. Alinikumbatia tena kwa nguvu.
Sikuwa na namna zaidi ya kukubali tu. Basi tulifanya yetu pale, Mellisa hajui kujituma kabisi, mie kidume nikajilia changu. Mtoto wa kike ni milio tu ya mahaba, uzuri bustani ipo mbali na nyumba kidogo.
Tulimaliza kufanya yetu Mellisa alinishukuru mpaka nilimshangaa. Alionekana kuwa na furaha sana.
Mie sikutaka kuendelea kuwepo hapo bustanini nilijifanya kuchukia kunilazimisha kufanya nae ila moyoni nilikuwa na furaha sana. Mellisa licha ya kuwa gogo ila ni mtamu kuliko mama yake.
Nililudi eneo langu la kazi na Mellisa aliludi ndani.
Palikucha asubuhi muda wa chai walikusanyika mezani. Kama kawaida mie chai naletewa nje kwenye eneo langu la kazi.
"Mama nimeamua kubadili maamuzi" Mellisa alixungumza walipokuwa mezani waajili ya kupata kifungua kinywa.
"Maamuzi yapi?"
"Leo anaweza kujumuhika na sisi muda wa chakula" kabda ya mama yake kumjibu alimuangalia kwa udadisi. Mellisa alijistukia. Alijiwai kwa kujielezea ili aeleweke asimpe mama yake mashaka na maswali mengi kichwani mwake.
"Nimeona simtendei haki kijana yule, si vizuri kumtenga mtu wakati wa chakula. Kuna maisha baada ya haya sijui kesho yangu itakuaje. Kwa sasa ninajifunza kuishi na watu kwa utu na utulivu sana kama wewe mama yangu. Licha ya kuwa na pesa ila una utu sana kwa kila mtu na una upendo na unajitoa sana kusaidia wenye uhitaji"
Maneno yake yalimgurahisha mama yake. Muda huo huo Misha aliambiwa anifuate aludi na mimi ndani.
"Mellisa amepitisha kukaa meza moja na wewe wakati wa chakula. Si jambo la kawaida na sijui nini kimetokea kwa Mellisa. Navyomfahamu huwa na misisamo yake mikali sana"
"Unataka kusemaje Misha?"
"Tusijisahau kuwa sisi ni watumwa humu ndani. Tuachane na haya tunasubiliwa ndani ila badae kuna kitu nataka nikuambie"
Tuliingia ndani. Nilikaribishwa kwenye meza ya chakula. Tulianza kula ila ajabu Melissa alikuwa ananionea aibu eti.
Baada ya chakula Madame aliondoka kazini ndani ya nyumba tulibaki watatu tu.
Nilikuwa nimekaa nje ya nyumba kibalazani naongea na simu na familia yangu alikuja Misha. Nilikata simu kwanza ili kumsikiliza.
"Kama hutojali naomba tuwe wa penzi na hata badae tuwe mke na mume"
Misha aliongea hayo bila kona kona. Kwanza nilimshangaa.
"Hii nyumba ina mapepo au?" Nilijiuliza mwenyewe. Yaani wanawake watatu wote niwale mimi khaaaaa! Si watanimaliza nguvu za kiume.
"Mbona upo kimya?" Misha aliniuliza.
"Misha bhana," kabda sijamaliza kuongea Melissa alifika hapo kibarazani.
"Leo naomba ukajiandae unipeleke sehemu" Mellisa nalizungumza hayo. Niliona namna Misha alivyochukia.
Sikuwa na namna nilitoka na Mellisa. Safari yetu iliishia ufukweni mwa bahari.
"Leo nimejisikia kuja kupunga upepo wa bahari na kuiweka akili yangu sawa kwa kile ninachokiwaza. Mafikiri nitapata majibu hapa kabda sijaludi nyumbani" Mellisa aliongea.
"Hivi una mahusiano?" Melissa aliniuliza.
"Ukimaanisha mpenzi?"
"Yeah"
"Hapana sina mpenzi"
"Onhooooo! Limekuwa jibu zuri sana kwangu. Kuanzia sasa mimi ni mpenzi wako. Nimependa namna ulivyonikuna jana. Ujue wewe ndo mwanaume wa kwanza kunikojoza kwenye mapenzi, nilishangaa sana Jana sikuweza hata kulala usiku mzima, nilikuwa nawaza tu.
"Inawezekana vipi. Nimetembea na wanaume wa tatu kabda yako na wenye hela ila hawajawai kunifikisha kileleni ila kwako nimefika na nimeona sasa raha ya tendo. Hakika mapenzi hayana mwenyewe" Mellisa aliongea hayo.........
ITAENDELEA..........
SEHEMU YA 10
ENDELEA.........
"Kwa sasa siwezi kusema nakupenda ila naomba uwe na mimi kwaajili ya kunifikisha kileleni kila napohitaji. Nipo tayari kukulipa" Melissa aliongea hayo. Nilizidi kumshangaa binti huyo mrembo.
"Naogopa Mellisa kibarua changu kitaota nyasi. Kuna watu nyuma yangu wananitegemea"
"Kuhusu hilo Usijali kwani itakuwa siri yetu wawili tu. Nakuomba tafadhali usikatae" Mellisa alinibembeleza sana ilibidi nikubali tu.
Tuliondoka kurejea nyumbani. Aliomba yeye ndo aendeshe gari, nilimuacha usukani. Alipita barabara tofauti kabisa na ya nyumbani.
"Tunaenda wapi tena mbona kama polini?" Nilimuuliza.
"Siwezi kuludi nyumbani na nye....ge zangu. Naomba unipe hata kimoja Kuna hela hapa" Mellisa aliyasema hayo, alisimamisha gari alitoa hela kwenye mkoba kama laki mbili hivi akanikabidhi.
"Sasa kwanini tumekuja huku kichakani?"
"Nahitaji unihudumie kwenye gari. Nasikia mapenzi ya garini ni matamu kuliko ya chumbani. Nataka nijaribu pia" Mellisa aliongea hayo. Nilibaki nashangaa tu.
Nilimpa alichokitaka. Mpaka tunamaliza alikuwa hoiiii!.
Upande wa nyumbani Madame Yustar aliludi kabda yetu. Alituulizia alipewa majibu yaliyomshangaza.
"Mellisa huyu huyu ameomba atoke na Leo?"
"Ndiyo mama. Naona ameamua kubadilika kweli" Misha aliongea hayo.
"Hii ni ajabu ila tuachane na ayo kama kweli amebadilika ni jambo Jema sana. Naomba uniandalie kahawa. Nipo chumbani kwangu.
Tuliludi nyumbani kabda ya yote kila mmoja wetu alikimbilia bafuni kuoga kwanza. Si unajua jasho la minyanduo halinaga siri kabisa.
"Ni kipi kinaendelea kati yako na Mellisa. Mbona imekuwa gafla sana?" Misha aliniuliza.
"Majibu ya maswali yako anayo Mellisa, vipi unaweza kumuuliza?"
"Unaniuliza swali gani Leo?, kwanza vipi hukusu jibu langu?"
"Vipi kama nitakuambia siwezi kuwa na mahusiano na wewe, utajisikiaje?"
"Sitegemei jibu hilo kutoka kwako"
"Tayari nipo kwenye mahusiano"
Tukiwa tunaendelea na mazungumzo Madame Yustar alifika. Aliniambia nimfuate. Niimfuata mpaka bustanini.
"Unaendeleaje mpenzi wangu. Ni muda mrefu sijapata muda wa kuzungumza na wewe" madame Yustar aliongea hayo.
"Nipo vizuri my love"
"Hata mimi naona. Sasa kuna jambo nilitaka nikuambie" nilitega nasikia vizuri kumsikiliza.
"Kuanzia sasa hautakuwa mlinzi tena nyumbani kwangu"
"Nimekukosea wapi mpaka uniachishe kazi. Mimi na Mellisa hatuna mahusiano yoyote yale. Kilichotokea leo aliniomba tu nimpeleke matembezi. Tafadhali sana mpenzi niamini" Niliongea hayo na tayari nilikuwa nishapiga magoti mbele ya Madame Yustar.
Madame Yustar alibaki mdomo wazi.........
ITAENDELEA......... Leo kajilopokea mwenyewe
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi

Maoni