SASA NAKUPENDA Sehemu ya 30
Mwandishi; lissa wa huru media
Asubuh sasa . Mama aliniamsha niajiandae anataka kunitoa out. Basi nikajiandaaa nikatoka zangu sebleni. Nakutana na mzeee alinikata jicho hilo. Nikaona aibu jana si kasikia maupumbavu yangu. Nikakusha kimya na yeye wala hakuniiuliza . Basi mama akanichukua akanipeleka beach. Nikalerax sana . Tukaongea mambo mengi n mama .alinishauri tu niachane na baraka niangalie maisha yangu tu. Mana ata baraka haoneshi kama ana nia ya dhati na mimi. Basi nikamuelewa tu mama japo kiuchungu. Mana baraka alikuwa ndani ya damu yangu jamani .acheni kabisaaaaaa. Basi tulipotoka beach tukapitia kariakoo mama akaninunulia simu kubwa nzuri tu ya laki 3. Akanmbia aya sasa nakupa uhuru wa kutumia simu. Urefresh akiri yako. Aseee nikafurahi sana mama. Mana nilimisi kuperuzi mitandaoni sana.
Basi jioni kabisa ndo tukaludi nyumbani. Nikiwa na rahaa tu na akiri ilishakaa sawa. Na kuanzia apo ndo ikabidi tu maisha yaendeelee mana barka alishaamue aangalie mipango yake. Na mie nikaona nifanye maisha yangu tu. Basi mda ukaenda na baada ya mwezi nikapata cheti changu na mzee akanipeleka sinza kwenye chuo cha urembo. Apo nilikuwa najifunza kupaka make up. Kupamba maharusi. Kudesign mishono. Kusuka na kupamba maukumbi. Yani vitu vingi kweli kweli. Na ada ilikuw ni milion moja kwa mwaka. Na mzee ndo alikuwa ananilipia . Apo mzeee hakuwahi kabisa kuniiuliza upumbavu wangu na baraka . Alikuwa kimya na issue zake
Basi nikaanza kujifunza urembo sasa. Naenda asubuh na ludi jioni. Na uko ile kujichanganga nikapta marafiki wengi tu. Yani nilichanganyika na watu.nikawa niko sawa sasa. Na taratibu ata yale mawazo juu ya barka yakawa yanapungua nikawa busy na maisha yangu tu. Basi siku iyo sasa mapema asubuh nimeamka nikajiandaa kwa ajili ya kuelekea chuoni. Basi ile nimetoka nyumbani nimepiga kama hatua 3 hivi. Eeeh si naona nashikwa mkono. Nageuka hivi namuona adrian. Nyie uyu kaka anajua kufosi jamani. Nikasema we vp akanmbia plsss mama ebu panda kwenye gari tuongeee. Hivi kweli nakufata leo mala ya ngapi. Shakira ujue nakuhitaji sana.nakuhitaji kuliko lolote mwenzako. Naomba tuongeee plsss. Nikamuangalia sana .nikaona ebu nimsikilize. Basi kweli nikaingia katika gari lake. Akaniuliza unaelekea wapi shakira. Nikasema.sinza. akanmbia sawa. Basi akaanza kudrive kunipeleka chuo. Njiani akawa ananibembeleza sana et nimsamehee. Akanmbia sikia shakira we unaelewa sana ni kwa kiasi gani mimi nakupenda sana . Ila ile siku ingekuwa kesi mbele ya wazazi ningeeleza nini mimi na wewe inajulikana ni mwanafunzi. Nisingeweza kueleza hilo plssss mama naomba uelewe hili suala. Nakupenda sana shakira naomba tuendeleee na uzuri now umeshamaliza shule ntakuwa freee
Mimi ntakuja kwenu ntaomba radhi wazazi . Nitaleta barua na ntakuoa nakupenda sana kipenzi. Mh mwanaume alitia swaga mpaka nikalegea. Nikaona mh kama vp ngoja tu nimsamehe adrian .na niwe nae mana kwa jinsi alivyokuwa ananifatilia nikaona bola niwe na uyu baba.niachane na uyo mpumbavu anayetaka kuwa mwanajeshi
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi
Maoni