Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL.   SEHEMU YA 15
Gonga94 · Stories

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL. SEHEMU YA 15

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

.
🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋

Iris alipoingia ofisini, Mr. Marvel alikunja uso. Alijua Iris si mtu mzuri baada ya kile alichomfanyia Noela, lakini hakutaka kuonyesha kwamba anamjua vizuri. Akaamua kuwa mtulivu na kusubiri kusikia shida yake.

Iris akatabasamu na kusema “Good morning”

Mr. Marvel akajibu “Good morning”

I“Naweza kukaa?”

“Ndiyo, kaa”

Iris akakaa kwenye kiti karibu na meza ya Mr. Marvel. Akamtazama huku moyoni akimsifia jinsi alivyo handsome. Aliona kabisa ni type yake na wanaendana. Akajiuliza kwa nini hakumuona mapema mpaka Noela akapita nae🤔?

“Ok! Ndiyo, nikusaidie nini?” Mr Marvel akauliza

“Kuna kitu nataka kuzungumza na wewe”

“kuhusu nini?”

“kuhusu Noela. Najua anaishi kwenye nyumba yako”

Mr. Marvel akatabasamu “Mimi sitaki kusikia mambo ya Noela kwa sababu kila kitu kumhusu ninakijua”

“Hujui kila kitu, Mimi ni rafiki yake namjua vizuri sana. Taarifa zake zote ninazo hapa!”

“Chochote kile kuhusu yeye sitaki kukisikia, Especially ukiwa ni wewe ndo unae niambia”

“Najua hutaki, lakini lazima unisikilize. Noela si msichana mzuri. Alimuumiza sana mwanao, mpaka Salmon akaja kwangu kutafuta msaada. Najua unajua kuwa kuna kitu kilitokea kati yangu na Salmon. Ilikuwa ni makosa na ilitokea mara moja tu. Tena Ilitokea chini ya ushawishi wa pombe, Hakuna aliyekuwa na akili timamu. Najuta sana Na yote haya yasingetokea kama si Noela. Alimuumiza sana mtoto wako”

“Sasa unanisimulia haya kwa sababu gani? Nifanye nini na taarifa hizi?”🤷‍♀‍

“Ninakuambia ili ujue mimi si mtu mbaya, Mtu mbaya hapa ni Noela na Unatakiwa uwe makini naye. Najua unatumia pesa nyingi kwake, lakini hastahili”

Mr Marvel “Asante kwa taarifa” akiwa hajali kabisa.

Iris akashangaa mbona mwamba hata hashtuki?? Vyote alivyomwambia havijamtikisa hata kidogo. Ikabidi aongeze nguvu

“Mr. Marvel, mimi ni msichana mzuri sana. Sidhani kama mwanao atapenda kukuona upo karibu na ex wake. Itakuwaje akigundua kuwa wewe na Noela mnaishi nyumba moja?”

“Kinachoendelea kati yangu, Noela na mwana wangu havikuhusu! Also Najua namna ya kumshughulikia Salmon so thanks”

“Please usimuumize mwanao hivi, Anampenda Noela ujue??? Mwache awe naye kwani shi ngapi??? Mbona Mimi nipo hapa kwa ajili yako…… Naweza kukujali na kuwa na wewe zaidi ya anavyofanya Noela. Alafu mimi ni mtamuuu” akang’ata lipsi zake kimakusudi ila Mr Marvel ndo kwanza hana time zaidi ya kutabasamu.

Mpaka pale akawa kashapata uhakika ni kitu gani kilimpeleka Iris ofisini kwake. Kwanza akawaza ilikuaje Noela akawa na rafiki kama Iris??? Alitafakari mpaka akachoka.

“Wewe una wivu sana! Kwa nini unataka kila kitu alichonacho Noela? Kwanza ulimchukua Salmon kutoka kwake, ukalala naye na sasa umeona Noela anaishi vizuri bado unataka kumharibia!Why???”

“Hapana, hapana! Nilishakuambia, kilichotokea kati yangu na Salmon kilikuwa ni bahati mbaya”

“Kulala na boyfriend wa rafiki yako kwa miezi minne mfululizo unasema ni bahati mbaya? Kama ingetokea mara moja, ningeweza kusema kweli ni bahati mbaya! Lakini nyinyi mlifanya hivyo mpaka mkawa na uhusiano wa siri! Stop that”

“Kuna mtu alikuwa ananilazimisha. Haikuwa kwa hiari yangu”🥺

“Binti, Nina kazi nyingi za kufanya. Please toka ofisini kwangu na usirudi tena hapa na mambo ya kipuuzi”

“Mr. Marvel embu……embu…nitazame vizuri. Angalia jinsi nilivyo mrembo. Mwili wangu uko vizuri, tumbo flat Naweza kukupa mambo mpaka ukapagawa. Mimi ni mzuri kuliko Noela, Nitakuridhisha kitandani”

Iris akasimama na kuanza kujinengua mbele ya Mr. Marvel, akidhani atamtega kirahisi kama alivyo mtega Salmon.

Mr Marvel akachukia akaona kama Iris anampanda kichwani. Alipiga simu moja tu, walinzi wakaja kumtoa Iris juu juu kama mwenge na kwenda kumtupa nje🤣.

Baada ya kufukuzwa Iris akaapa kwamba hatokubali. Lazima atamwambia Salmon kila kitu kuhusu baba yake na Noela ili kama kukosa basi wakose wote.

Haya, ikafika tarehe 18 Agosti, siku ya birthday ya Noela. Kwa sababu alikuwa kwenye mitihani chuoni, alikuwa busy hivyo birthday yake haikuwa jambo kubwa sana kwake.

Lakini Mr. Marvel hakuweza kuiacha siku ipite bila kumfanyia kitu maalum. Alimpenda sana Noela na kumuona akiwa na furaha ilikuwa jambo kubwa kwake.

Siku hiyo, akaandaa chakula kizuri cha usiku kwenye hoteli yake nzuri kwa ajili yake na Noela tu.
Baada ya kuandaa kila kitu, akamtumia sms Noela

“Nimekuandalia surprise nzuri kwaajili ya birthday yako. Jiandae, leo usiku tunaenda dinner❤️💕”

Noela aliposoma ujumbe huo, akatabasamu. Alipomaliza mtihani tu akatoka darasani na kutembea haraka kuelekea parking ili arudi nyumbani mapema kwaajili ya kwenda kujiandaa. Lakini njiani akakutana na Salmon, akiwa na maua pamoja na boksi.

Noela akamuuliza, “Unataka nini tena jamai??? Please niachie”

“Nataka kukupa zawadi ya birthday”

“Sihitaji chochote kutoka kwako”😒

“Ni zawadi tu hakuna kingine. Kwa nini unaumiza hisia zangu hivi?”

“Siumizi hisia zako bali unajiumiza mwenyewe. Kubali tu kwamba sitaki tena kuwa na wewe then Endelea na maisha yako. Mbona ni simple ivo”

Salmon akavuta pumzi, akamtazama Noela kisha akampisha apite sababu hata angesema kitu gani, Noela asinge zipokea zawadi zake.

Alipokuwa amesimama pale, Iris akamfuata akitaka waongee.

“Please Unaweza kuniacha peke yangu? Nina mambo mengi kichwani”

Iris akacheka “skia Sitaki chochote kutoka kwako, nataka tu tuzungumze”

“Kuhusu nini? Nimeshakuambia kaa mbali na mimi!”😡

“Najua na huna haja ya kunikumbusha kila mara. Nilikuwa nataka kukuambia, kama una nafasi tunaweza kutoka pamoja leo usiku”

“Una kichaa wewe sio bure! Unavyo niona nipo kama nina mood ya kutoka na wewe?”

“Kheee! Sikiliza vizuri, Hata mimi sitaki chochote kutoka kwako nina mipango yangu saa izi! Nataka tu kutoka na wewe ili nikuonyeshe kitu kuhusu Noela. Kama hutaki napo ni sawa ila jua tu kitakulamba mpaka uchanganyikiwe”

“Unamaanisha nini? Unataka kuniambia nini kuhusu Noela?” Salmon alikua na shauku sana ya kutaka kujua🤔

“Nitakuambia na kukuonyesha kila kitu leo usiku. Jiandae, tutaenda pamoja”Baada ya kusema hivyo, Iris akaondoka.

Salmon akabaki anajiuliza anataka kuonyeshwa nini tena kuhusu Noela??? Hakutaka kutoka na Iris, lakini hakuwa na chaguo baada ya kutishwa kiasi kile.

Basi Usiku huo, Noela alikuwa amejiandaa vizuri kutoka na Mr. Marvel. Alikuwa amevaa gauni jekundu na viatu vyeusi! Weeeh alikua kama malaika.

Sema wapendwa mbali na utipwa tipwa, Noela ni mrembo sana na kale ka uso kake ka kitoto kalimfanya avutie zaidi. Mr. Marvel hakuchoka kumtazama kila dakika😍

Walienda hotelini, wakapokelewa na maua kisha mhudumu akawapeleka kwenye meza yao juu kabisa ghorofani ambapo huko ndipo kila kitu kilitakiwa kufanyika.

Huko kulikuwa na mtu anapiga piano na wengine wachache waliokua wanapata dinner na wapendwa wao.

Noela Akamtazama Mr. Marvel na kumuuliza “Umeandaa yote haya kwa ajili yangu?”🥺

“Ndiyo, kwa ajili yako tu. Ili Kuonyesha kwamba birthday yako ni muhimu”

Noela akasema “Asante” kisha akamkumbatia🫂.

Mara Ghafla wakasikia sauti nyuma yao. Walipogeuka, wakamuona Salmon na Iris wamesimama pale🔥.

Mambo yameiva sasa… Nakuja.

Maoni

You're not logged in


Tangazo - from bangi to baby fully stories 1 to 21
from bangi to baby fully stories 1 to 21
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL. SEHEMU YA 15


.
🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋

Iris alipoingia ofisini, Mr. Marvel alikunja uso. Alijua Iris si mtu mzuri baada ya kile alichomfanyia Noela, lakini hakutaka kuonyesha kwamba anamjua vizuri. Akaamua kuwa mtulivu na kusubiri kusikia shida yake.

Iris akatabasamu na kusema “Good morning”

Mr. Marvel akajibu “Good morning”

I“Naweza kukaa?”

“Ndiyo, kaa”

Iris akakaa kwenye kiti karibu na meza ya Mr. Marvel. Akamtazama huku moyoni akimsifia jinsi alivyo handsome. Aliona kabisa ni type yake na wanaendana. Akajiuliza kwa nini hakumuona mapema mpaka Noela akapita nae🤔?

“Ok! Ndiyo, nikusaidie nini?” Mr Marvel akauliza

“Kuna kitu nataka kuzungumza na wewe”

“kuhusu nini?”

“kuhusu Noela. Najua anaishi kwenye nyumba yako”

Mr. Marvel akatabasamu “Mimi sitaki kusikia mambo ya Noela...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/tipwa-tipwa-na-mr-marvel-sehemu-ya-15

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi tipwa-tipwa-na-mr-marvel-sehemu-ya
.TIPWA TIPWA NA MR MARVEL.   SEHEMU YA 14
.TIPWA TIPWA NA MR MARVEL. SEHEMU YA 14
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL. SEHEMU YA 13
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL. SEHEMU YA 13
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL. SEHEMU YA 12
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL. SEHEMU YA 12
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 16
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 16
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 8
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 8
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 11
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 11
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 7
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 7
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 6
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 6
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 17 - 18
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 17 - 18
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 36 na 37

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 36 na 37

1.12K
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 38

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 38

886
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 39

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 39

678
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 16

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 16

257
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 16

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 16

248
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE   SEHEMU YA 15

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 15

213
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 14

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 14

204
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 31 na 32.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 31 na 32.

202
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 13

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 13

190
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 11

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 11

151

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.62K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.36K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.8K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.28K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.86K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.77K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.66K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.62K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.61K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.55K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 17 - 18 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 17 - 18
@majario LIVE

ENDELEA......... Mipango yangu iliendelea kwenda vizuri. Nilifanikiwa kufungua duka langu la spea za magari mke wangu alikuwa nsimamizi mzuri. Japo hakuwa na elimu ila alikuwa na akili ya biashara sana na...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 14 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 14
@majario LIVE

SONGA NAYO.... Niliwaona mama na baba yangu wakiwa wanamshangaa sana yani walishangaa mpaka wakanisahau mtoto wao kama naumwa 😂 Basi mimi niipomuona Anfrey nilinyanyuka na kwenda kumkumbatia " Nasrat wangu, yupo wapi mtoto...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 17 - 18 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 17 - 18
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Siku iliyofuata, Noela alipofika chuoni alihisi hali si ya kawaida. Watu walikuwa wanamuangalia kwa macho ya ajabu, wengine wakinong’ona pembeni yake. Alijaribu kupuuza lakini hali ilikuwa mbaya zaidi alipoingia darasani😭. Mwishowe,...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 16 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 16
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Salmon alisimama pale akimtazama Noela na baba yake kwa macho yaliyojaa hasira na maumivu. Hakutegemea kabisa kumuona Noela akiwa kwenye dinner ya kimapenzi na baba yake mwenyewe. Iris yeye alisimama pembeni,...

Nadhani katika jitihada za kuhakikisha tunapeleka mbele kiwanda cha filamu Tanzania (Bongo Movie) Post Mpya
Nadhani katika jitihada za kuhakikisha tunapeleka mbele kiwanda cha filamu Tanzania (Bongo Movie)
@majario LIVE

lazima baadhi ya mambo tuambiane ukweli mchungu hili uwe tiba kwa vizazi vijavyo pamoja na wasanii chipukizi. Hili swala la Chado Masta kuzaa na Kidemu Jau kuna namna sio salama...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 39 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 39
@majario LIVE

Daaah unajua mtoto alibaki kashangaaa ,et akasogea nyuma yangu akajificha, aseeee zena akainuka kwa kwa hasira ,akaja akamvuta mtoto, akamipiga konde moja la mgongo zito kwei kweli ,yani hii siku...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 38 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 38
@majario LIVE

Basi nikasema ummy upo mama, ummya kanmbia ndio baba nimekumiss, kila siku niktaka kuongea na wewe mama ananikatazia, nikasema ooh sawa mama ndo mana leo nimekuja kukuona mama sawa, basi...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 36 na 37 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 36 na 37
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Basi zena akanmbia ni sawa pia, nikasema powa ibraa twenzetu, ibra akanmbia mh millan usipanic bwana ,uyu mwanamke alafu sa hizi ana hasira, ebu tulia tuongee vizuri kaka, mbona...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 16 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 16
@majario LIVE

ENDELEA......... Tuliingia room tulifanya yetu baada ya hapo tulitoka mie nililudi kazini na Mellisa aliludi nyumbani. Majira ya jioni nilimpitia Madame Yustar kazini kwake. Aiseeee nae akataka yaani nilikuwa nachoka kinouma asikwambia...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE   SEHEMU YA 15 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 15
@majario LIVE

ENDELEA.......... Ndani ya masaa kadhaaa niliingiza mkwanja wa milioni tatu na nusu kutoka kwa jimama la mjini. "Hata Madame Yustar hajawaibkunipa pesa nyingi hivi kwa muda mchache. Huyu nimkubalie nini?" Nilijiuliza mwenyewe....

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 14 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 14
@majario LIVE

ENDELEA.......... Mellisa nae alibana nje ya mlango wa chumbani kwa mama yake alitaka kujua nini kinaendelea. "Hapana mazingira ni hatarishi sana" "Unamuhofia nani na tupo nyumbani kwangu, kwanza nataka dunia yote ijue kuwa...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 13 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 13
@majario LIVE

ENDELEA........... Watu pombe ziliwakolea mie sio mnywaji wa pombe nilikuwa naangalia tu maujinga wanayoyafanya. Mkojo ulinibana nilienda chooni ile natoa tu dudu mlango ulifumguliwa aliingia mshangazi mmoja kati ya wale waliokuwa wananisifia...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 12 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 12
@majario LIVE

ENDELEA......... Madame aliwapa taarifa Mellisa na Misha kuwa mimi sio mlinzi tena bali ni mfanya kazi wake kwenye biashara zake. Rasmi niliajiliwa kusimamia duka kubwa la spea. Huko ndo kulikuwa na pesa...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 11 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 11
@majario LIVE

ENDELEA.......... Madame Yustar alibaki mdomo wazi. "Ebu inuka kwanza" alininyanyua kwa mikono yake miwili. "Sina maana ninakufukuza kazi na wala sijasema kuwa una mahusiano na binti yangu. Naamini Mellisa unamtazama kama binti yako...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 31 na 32. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 31 na 32.
@majario LIVE

31 MPAKA 32 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Basi adrian akanipeleka mpaka chuo. Akanmbia kumbe upo apa.sinza nikasema ndio ndo nipo apa .akasema oooh sawa .vp lakini umenielewa na unayafikilia maneno...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest