Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL. SEHEMU YA 13
Gonga94 · Stories

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL. SEHEMU YA 13

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋

Dakika chache baada ya Noela kuondoka, Salmon aliingia akiwa anatoka jasho. Alimtazama Iris na kusema “Nimesikia Noela alikuwa hapa”

“Nani amekuambia hivyo?”😳

“Nina watu wangu kila mahali, hivyo niambie ukweli, alikuwa hapa?”

“Ndiyo, alikuwa hapa”😠

“Kwa nini huku niambia kwamba alikuwa hapa?”

“Sikuona kama hilo ni jambo muhimu kwako kujua. Pia, alikuja kuchukua nguo zake na vitu vyake vyote”

Salmon akashangaa “Unamaanisha nini?” 😳

“Namaanisha Noela ameondoka hostel. Na ninavyoona, kuna mwanaume nyuma yake. Aliletwa hapa na gari kubwa la bei kali. Nafikiri ni huyo huyo mwanaume aliyemnunulia zile zawadi”

Salmon akafura kwa wivu, Akakasirika mpaka akaenda kupiga ngumi ukutani.

“Una akili sawa kweli? Unapiga ukuta kwa sababu yake? Kwa sababu ya yule tembo?” Iris alitoa macho

“Huyo tembo ni muhimu sana kwenye maisha yangu kuliko unavyoweza kufikiria. Sitakubali kumpoteza kirahisi, Iris. Na yote haya yametokea kwa sababu yako. Nimepoteza mtu muhimu sana kwangu….”🥺

“Lakini mimi pia ni muhimu kwako”

“Kila mtu kwenye maisha yangu ana umuhimu wake, lakini Noela ni wa kipekee. Huwezi kuelewa” Baada ya kusema hivyo, Salmon akaondoka zake.

Hili lilimuumiza sana Iris. Alifanya kila kitu ili Salmon ampende, lakini haikufanya kazi. Kila siku hali ilizidi kuwa mbaya zaidi💔.

Akaona kama kwa Salmon ina gonga mwamba, basi hana namna zaidi ya kumkwapua mwanaume anayemhudumia Noela kwa sababu anaonekana ana pesa. Akimpata huyo hata Salmon hatakua na maana tena kwake. Ila Iris🙌

Basi Wiki hiyo, Noela alianza kuingia darasani. Alikuwa analetwa chuo na dereva wa Mr. Marvel na akimaliza masomo, anaingia kwenye gari na kurudishwa nyumbani.

Na apo Salmon alikua anajaribu sana kuzungumza naye, lakini hakupata nafasi kwa sababu alimkosa mara kadhaa. Hakujua kabisa kama Noela alikua analetwa chuo kila siku na gari la baba yake.

Sasa Siku moja, akaamua kusubiri nje ya darasa la Noela. Baada ya vipindi kuisha, Noela na wanafunzi wengine walikuwa wanatoka nje. Hapo ndipo Salmon alipata nafasi ya kumshika mkono Noela na kumvuta pembeni ili wazungumze.

Noela kwa hasira akafoka “Unataka nini?”🗣️

“Nataka kuzungumza na wewe maana umekuwa ukinikwepa kwa muda mrefu”

“Salmon hakuna cha kuzungumza. Kumbuka tayari tumeachana”

“Hakuna sababu ya kuachana, Ilikuwa ni kutoelewana tu. Tunaweza ku fix na kuendelea na uhusiano wetu”

“Hilo haliwezekani”

“Kwa nini haliwezekani? Au kwa sababu tayari una mwanaume mwingine?”

Noela akatabasamu “Ni kwa sababu ulinisaliti na rafiki yangu wa karibu. Ingekuwa afadhali kama ungecheat na mwanamke mwingine, lakini umefanya na rafiki yangu Iris. Hukuwa na hata aibu??”

“Najua nilichofanya ni kibaya sana. Samahani Noela, kweli najuta. Sikuwahi kufikiria mambo yatafika hapo momy pleasee”🥺

“Hakuna kurudiana Salmon! Asante kwa kila kitu ulichonifanyia kwenye maisha yangu”

“Please usifanye hivyo……….Nakupenda………Nakupenda, please…….usiondoke”

Noela hakusema chochote, Aliutoa mkono wa Salmon na kuondoka bila hata ya kugeuka nyuma.

Yote haya yalionwa na Iris Aliejaa hasira, alikasirika sana na akaanza kupanga jinsi ya kuharibu maisha ya Noela.

Unajua nini kitatokea baada ya hapo?
Nakuja…………

Maoni

You're not logged in


Tangazo - For this week only
For this week only
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL. SEHEMU YA 13


🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋

Dakika chache baada ya Noela kuondoka, Salmon aliingia akiwa anatoka jasho. Alimtazama Iris na kusema “Nimesikia Noela alikuwa hapa”

“Nani amekuambia hivyo?”😳

“Nina watu wangu kila mahali, hivyo niambie ukweli, alikuwa hapa?”

“Ndiyo, alikuwa hapa”😠

“Kwa nini huku niambia kwamba alikuwa hapa?”

“Sikuona kama hilo ni jambo muhimu kwako kujua. Pia, alikuja kuchukua nguo zake na vitu vyake vyote”

Salmon akashangaa “Unamaanisha nini?” 😳

“Namaanisha Noela ameondoka hostel. Na ninavyoona, kuna mwanaume nyuma yake. Aliletwa hapa na gari kubwa la bei kali. Nafikiri ni huyo huyo mwanaume aliyemnunulia zile zawadi”

Salmon akafura kwa wivu, Akakasirika mpaka akaenda kupiga ngumi ukutani.

“Una akili sawa kweli? Unapiga ukuta kwa sababu yake?...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/tipwa-tipwa-na-mr-marvel-sehemu-ya-13

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi tipwa-tipwa-na-mr-marvel-sehemu-ya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL. SEHEMU YA 12
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL. SEHEMU YA 12
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 8
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 8
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 7
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 7
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 11
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 11
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 6
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 6
.TIPWA TIPWA NA MR MARVEL.   SEHEMU YA 14
.TIPWA TIPWA NA MR MARVEL. SEHEMU YA 14
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 28 na 29

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 28 na 29

907
*AFANDE MILLAN😎* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 26&27*

*AFANDE MILLAN😎* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 26&27*

735
* *AFANDE MILLAN😎* *SEASON TWO*     SEHEMU YA THELATHINI

* *AFANDE MILLAN😎* *SEASON TWO* SEHEMU YA THELATHINI

623
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL. SEHEMU YA 12

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL. SEHEMU YA 12

283
SHAMIRA sehemu ya 40&41

SHAMIRA sehemu ya 40&41

208
*NIPO NAYE NA NATAMBA NAYE WEE HUOGOPI* 1----5

*NIPO NAYE NA NATAMBA NAYE WEE HUOGOPI* 1----5

168
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 11

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 11

160
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL. SEHEMU YA 13

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL. SEHEMU YA 13

140
.TIPWA TIPWA NA MR MARVEL.   SEHEMU YA 14

.TIPWA TIPWA NA MR MARVEL. SEHEMU YA 14

106
UTANIITA SHEMEJI.   SEHEMU YA 18

UTANIITA SHEMEJI. SEHEMU YA 18

79

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.57K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.31K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.77K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.25K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.77K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.66K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.64K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.58K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.5K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.5K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
UTANIITA SHEMEJI.   SEHEMU YA 19 Post Mpya
UTANIITA SHEMEJI. SEHEMU YA 19
@majario LIVE

Mda ulienda na ratiba zangu zikisonga kama kawaida, jioni ikafika Samuel akatoka kazini ,naona leo mood yake ilikuwa vizuri maana alifika karibu yangu akasimama na kunisalimia . Kisirani nilichokua...

.TIPWA TIPWA NA MR MARVEL.   SEHEMU YA 14 Post Mpya
.TIPWA TIPWA NA MR MARVEL. SEHEMU YA 14
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Licha ya kukataliwa mara kadhaa, Salmon hakukata tamaa. Alikuwa anamfuata Noela chuoni kila mara ili ambembeleze. Pia alikuwa anampigia simu na kumtumia sms kiasi kwamba Noela akaamua kubadilisha namba ili...

SWALI: (Aslm alkm:  swali langu nihv, Nn hukmu ya mwanamke mjamzito aliyepewa taraka katka sheria ya kiislami?) Post Mpya
SWALI: (Aslm alkm: swali langu nihv, Nn hukmu ya mwanamke mjamzito aliyepewa taraka katka sheria ya kiislami?)
@majario LIVE

JIBU LA SWALI KUTOKA MTANDAONI: SWALI: (Aslm alkm: swali langu nihv, Nn hukmu ya mwanamke mjamzito aliyepewa taraka katka sheria ya kiislami?) JIBU: Wa ‘alaykum salaam wa rahmatullah. Hukumu ya mwanamke mjamzito aliyepewa talaka...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL. SEHEMU YA 13 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL. SEHEMU YA 13
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Dakika chache baada ya Noela kuondoka, Salmon aliingia akiwa anatoka jasho. Alimtazama Iris na kusema “Nimesikia Noela alikuwa hapa” “Nani amekuambia hivyo?”😳 “Nina watu wangu kila mahali, hivyo niambie ukweli, alikuwa hapa?” “Ndiyo,...

UTANIITA SHEMEJI.   SEHEMU YA 18 Post Mpya
UTANIITA SHEMEJI. SEHEMU YA 18
@majario LIVE

Basi bwana wiki kadhaa zilipita maandalizi yakaanza kufanyika na mwisho kila kitu kikawa tayari nikaanza kazi rasmi🥰. Kutokana na mazingira tuliyokuwepo ililazimika duka liwe kisasa zaidi, vitu vilivyowekewa kwaajili...

* *AFANDE MILLAN😎* *SEASON TWO*     SEHEMU YA THELATHINI Post Mpya
* *AFANDE MILLAN😎* *SEASON TWO* SEHEMU YA THELATHINI
@majario LIVE

🦈 Nikamwambia sikia usilie mbeleya mtoto basi sio sawa , mana ummy alikuwa pale lale sebleni anamuangalia mma yake anavyolia, zena akanmbia swa nipeleke nyumbani kwngu tu, nikasema now ni usiku...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 28 na 29 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 28 na 29
@majario LIVE

Nikasema sikia utakaaa apa, na usiwaze kabisa kuhusu kodi, mimi nipo na sina plan za kukuacha wewe kabisaa, nakupendaa sana, nakupenda kuliko chochote zena, siwez acha kukulipia kodi ata siku...

A rare and heartwarming moment with three generations of the Bachchan family in one frame — Harivansh Rai Bachchan, Amitabh Bachchan, and little Abhishek Bachchan. It’s the kind of picture that instantly feels special because it captures family, legacy, a Post Mpya
A rare and heartwarming moment with three generations of the Bachchan family in one frame — Harivansh Rai Bachchan, Amitabh Bachchan, and little Abhishek Bachchan. It’s the kind of picture that instantly feels special because it captures family, legacy, a
@majario LIVE

. Harivansh Rai Bachchan, one of India’s most respected Hindi poets, looks calm and dignified, while his son Amitabh stands beside him — a man who would go on to become...

*AFANDE MILLAN😎* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 26&27* Post Mpya
*AFANDE MILLAN😎* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 26&27*
@majario LIVE

zena alinikumbatia uku analia sikuelewa ni ule uchungu wa kutoa bikra yake au mahaba yamemzidia acheni kabisaaa ila nilimvuta kwa karibu nikamtuliza na nikambembeleza kweli kweli mpaka mchumba akatulia nilimwambia...

ALIMTOA MAMA YAKE KAFARA ILI AWE TAJIRI.  Elvin alikuwa kijana wa miaka 28 Post Mpya
ALIMTOA MAMA YAKE KAFARA ILI AWE TAJIRI. Elvin alikuwa kijana wa miaka 28
@majario LIVE

aliyeishi na mama yake mjane kwenye nyumba ya kupanga uswahilini. Mama yake, Mama Kelvin, alikuwa akijishughulisha na kuuza mbogamboga sokoni ili mwanawe apate chakula na mahitaji mengine. Kelvin alikuwa...

SHAMIRA sehemu ya 40&41 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 40&41
@majario LIVE

Wassap:0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Aisha akasema sasa sikia tuna kazi naye .si kafanya uo usenge kwaiyo zile laki 9 zako ulizomtunza kaona sisi mafala .sasa tutamuonesha kumamamke zake twende...

*NIPO NAYE NA NATAMBA NAYE WEE HUOGOPI* 1----5 Post Mpya
*NIPO NAYE NA NATAMBA NAYE WEE HUOGOPI* 1----5
@majario LIVE

Mpyaaa 🔥🔥🔥  SEHEMU YA 1       😂😂😂😂Em kwanza nicheke mieee  , hivi mnakumbuka zile issue za yule baba wa kule sijui  wapi wapii  mi hata sijui bwana anatokea wapiii yulee...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL. SEHEMU YA 12 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL. SEHEMU YA 12
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Mr. Marvel akaendelea “Niliendelea kufanya kazi na wakati mwingine nilikuwa nambeba Salmon na kwenda naye kazini. Kwa sababu hiyo, nilipoteza baadhi ya kazi kwa sababu haikuruhusiwa kufanya kazi na mtoto....

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 11 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 11
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Noela alipoondoka hakujua hata aende wapi. Alitembea polepole barabarani, machozi yakimtoka na wala hakujali. Aliumia kwa sababu alisalitiwa na watu wawili muhimu sana kwenye maisha yake💔. Alikumbuka dalili alizowahi kuona kwamba...

SHAMIRA sehemu ya 38&39 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 38&39
@majario LIVE

🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀 Mwandishi; lissa wa huru media Nikasema hapana sijafanywa hivyo akanmbia nini wewe umegawa namba kwa wanume zako wanatuma sms unajifanya kushaangaaa unanichukuliaje wewe. Kwanini unanidhalilisha shamira mpka najuta kuwa...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest