SHAMIRA sehemu ya 38&39
ππππππππππππππππππππππππππππππππ
Mwandishi; lissa wa huru media
Nikasema hapana sijafanywa hivyo akanmbia nini wewe umegawa namba kwa wanume zako wanatuma sms unajifanya kushaangaaa unanichukuliaje wewe. Kwanini unanidhalilisha shamira mpka najuta kuwa na mwanamke kama wewe. Mwanmke mchafu wa tabia kila nikijifikilia kukupeleka kwetu nakuwazia maraya wewe. Mh niliumia jamani mbona sijafanya kitu na tangu niamue kuishi na uyu mwanaume mimi sijawahi kutombwa na mwanaume tofauti na yeye daahπ₯²π₯²π₯²π₯²π₯²π₯²π₯²π₯²π₯²
nikasema hamadi mimi sijafanya hivyo kipenzi niamini akanmbia wewe sipendi uongo wako kila siku ni kuongopa ongopa mpumbavu wewe. Inaonekana ata yule shoga yako ni maraya kama wewe pumbavu kabisa. Na sijuh kwa nini nilikuamini mwanamke mdangaji kama wewe.yani wewe ji bule kabisa naona kabisa kwako napoteza mda wangu.mwanamke kila diku matukio .nimechoshwa na mambo yako ya kisenge senge. Najalibu kukupa kila unachokitaka lakini wapi .ama dikuridhishi kitandani ebu nambie. Nikasema hapana naridhika.akasema sasa kumbe nini kinakusumbua wewe paka la uswahilini .mhπππππππππππππ
Mimi nikachukia nikasema sawa basi ngoja niondoke nikuachia nyumba yako na maisha yako mimi nikifanya kitu nakubali .na kama ni kweli ningekwambia tu kuwa niligawa namba.ila sijafanya hivyo nafikiri ni marafiki zangu. Akasema mpumbavu wewe kelel unatakaa kuondoka si ndio unataka kwenda kwa ao mabwana zako sasa utaondoka na arama zangu. Akanivaa mwilini awamu hii hakuna bakora .mh hamadi hii ndo shida yake anapenda kuingiana mauongoni sana jamani. yani kukupiga dakika mbili sijuh ana hasira sana mpka anashimdwa kuzicontrol . Basi akanidunda kweli kweli nikawa nalia tu. Tena ata sikujalibu kumludishia mana weee ataniua. Basi alivyoridhika kunipiga ndo akaniacha sasa .nipo hoi .nakoma kwa uyu mwanaume kupigwa mimi nyie acheni tu. Basi mimi nikawa nalia tu pale kitandani akasema naondoka shamira nikiludi nisikukute nyumbani kwangu .nakuvunja. sasa nimeridhika nenda kwa ao mabwana zako maraya wewe. Si tumetoka kuongea juzi tu aya mambo. Unaona mimi msenge msenge sio. Unaleta upumbavu kwangu. Nakuuliza wewe mjinga .unanichukuliaje mimi . Eeeh ebu nambie.nikabaki kimya mana niliogopa ata kumjibu asije akaniludia kuniweka mibao
Basi akaongea sana kwa hasira yani mno .akanambia ntakuuwa nakwambia maraya wewe. Mala umetoroka umeenda uku. mala umeenda kule umekuwa na tabia za kisenge senge mno kwa nini.nakuulza nikabaki nalia tu .sasa boss kuopata msimu wa pili wa hii story mimi ndo ninayo uyu mwizi alokuuzia hana.kuoata nicheki wassap kwa namba sifurisaba nanesita sabatisa sitatatu sitatatuakaondoka kwa hasira.nikaona basi isiwe shida. Nikanyanyuka nikachukua mabegi nikatia nguo zangu zote. Nikabeba kila kitu kkinachonihusu. Nikakusanya kila kitu yani .nilikuwa na maumivu mno.kwanza sijafanya kitu chochote . Nikaona kwanza uyu mwanaume ataniua sio kwa kunidunda uku. Bola nisepe zangu tu mambo yasiwe mengi apa. Basi nikajikusanya shoga yenu mpka saku kwa aisha na mabegi yangu nipo hoi. AISHA alivyoniona akasema vp .nikasema niache kwanza nilale kisha nikiamka .naamka kwa mwajuma. Nilikuwa na asira nae
Basi aisha akachukua mabegi akaingiza ndani. Nilikuwa na hasira alafu mwili ulikuwa unaniuma sana.nikapumzika tu. Nililala mno kwanza mwili ulikuwa unaniuma sana yani sana. Nikaja kustuka saa 7 mchana kidogo nasikia mwili afadhari. Aisha akanambia njoo ule basi. Basi nikashuka chini nikavuta ugari na tembere.nikala mpka nimeshiba nilishindialia mana nilikuwa na njaa kweli .nilivyo shiba sasa nikasema sikia sasa nimeshiba nipeleke kwa uyo mwajuma cha umbea nataka nikamkomeshe sasa .yeye si mbea ntamuonesha.aiasha akasema kafanyaje kwanza. Nikasema watu wananiomea sana wivu yani mwajuama kawapa wanaume zangu wote wa zamani namba yangu mpya wanitafute waniharibie kwa hamadi.yeye ndo wakaunifanyia hivyo.sasa mimi nimepigwa mpka mpaka mwili nahisi sio wangu nataka na yeye nikamuoneshe tukalushane uko uko msenge yule. Nilimand kweli kweli na nilikua na hasira mno.........
ππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππ
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi
Maoni