Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8
Gonga94 Β· Stories

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

SONGA NAYO......

Madam hakuwa na maneno mengine ya kuongea zaidi alijiinamia kama mtu anaefikiri kitu, ili kuepuka kesi mtoto wa mama Mira mie nikaamka na mwanangu haoo mpaka chumbani kwetu na kumuacha madam akiwa amekaa pale.

Muda wa party ulifika naweza kusema bwana party ilifaa na kufaaana yani ilikuwa kama sherehe maana watu walijaa karibia ukumbi mzima, na wageni waalikwa wengi walikuwa wadada πŸ˜‚πŸ˜‚

Yani wadada walikuwa wengi na mishangazi nayo haikukosekana kabisa πŸ˜‚πŸ˜‚ mimi nilikuwa nacheka bwana kila nikitazama namna mabinti walivyokuwa wakijipendekeza kwa Anfrey ndio kabisa nilihisi kuchoka

Unakuta kidada kimevaa kinguo kifupi yani imebakia kidogo tu kalio lionekane hapo ikitokea ameinama awee nyeti zote zinabaki hazarani 🀣🀣

Yani ilikuwa tafran tupu maana wadada kila muda walikuwa wanaenda kule mbele ambako alikaa Anfrey na sababu yenyewe haina maana eti tuchukue photo πŸ˜†πŸ˜†

Kila muda ilkuwa photo mpaka nilichoka kutazama upuuzi, nikiwa na mtoto wangu nilinyanyuka pale nilipokaa ili nielekee chumbani nikapumzike maana muda ulikuwa umeenda sana..

"Mira.."

Nilisikia kuitwa, ikabidi nigeuke nione nani alieniita, bwana si nikakuta ni madam yani huyu mwanamke sijui ananitafuta nini mimi

"Naenda kupumzika mara moja nitarudi.."

Niliongea na sikusubiri hata aongee chochote nikasepa zangu, nimefika chumbani kwangu juu ya kitanda nilikuta boksi yani lilionekana kama kuna zawadi ndani yake namna lilivyokuwa limefungwa

Kwanza nilimshusha mtoto nikamlaza, nilipomaliza nikalichukua lile boksi na kwenda nalo mpaka chooni ili kama kuna kitu kibaya kinitokee mimi na sio mtoto wangu

Basi kufika chooni ndio nilianza kufungua kwa tahadhari kubwa, macho yalinitoka baada ya kukutana na boks la simu, kwanza nilitoka chooni ili nikaangalie vizuri

Kufika chumbani niliwasha taa hata zile ambazo nilikuwa situmii nazo niliwasha πŸ˜…, basi nikiwa na furaha kweli lilikuwa boksi la simu na simu yenyewe ilikuwa simu janja

Aweee kuna furaha niliipata aiseee maana toka nizaliwe sijawahi tumia simu kubwa na nilitamani siku moja nije nitumie smartphone.

Na leo ni kama bahati imejileta mwenyewe , sijui ni nani kanipa hii zawadi basi bwana sikupoteza muda niliweka sim yangu charge kisha nikatoka nje, kwenda kuangalia party namna inavyoendelea.

"Mbona unaonekana una furaha sana..??"

Swatii aliniuliza, kweli nilikuwa na furaha tena kubwa maana kumiliki simu sio mchezo tena hujanunua kwa pesa yako bali umepewa kama zawadi awee furaha zilikuwa zimezidi kiasi kwamba zikaanza kutokea kwenye masikio sasa πŸ˜†πŸ˜†

"Dah sijui hata niseme nini ili unielewe.."

"Mh nambie kwani kuna nini...??"

"Nimekuta kuna zawadi nimewekewa chumbani na sifahamu nani ameniwekea nilipofungua nikaku..."

Sikuweza kumaliza kuongea hii ni baada ya Naina kufika pale tulipokuwa tumekaaa.

"Mira mama anahitaji kuongea na wewe.."

Baada ya Naina kufika hapo tulipo aliniambia naitwa

"Kuna nini kwani..??"

"Wewe nenda utajua mbele kwa mbele.."

Nikaona isiwe kesi nikashika njia mpaka alipokuwa amekaa madam, alikuwa amekaa na wamama watu wazima na pia hata Anfrey alikuwepo, basi baada ya kufika pale nilipewa kiti nami bila ubishi nikakaa

"Mira kwanza samahani kwa kukuita hapa.."

Alizungumza mwanamke mmoja wa makamo akiwa ananitazama sana, basi mimi sikujua nini wameniitia hapo zaidi nilibaki naitikia tu

"Mira tumependezwa na ufanyaji wako wa kazi, lakini pia tunapenda kukuomba ukubali ombi letu.."

"Ombi gani...??"

"Samahani tupo hapa kuwakutanisha wewe na Anfrey..."

Nikanyanyuka kwa jazba nyie, hawa watu wananiona mie matako yao sasa maana kama mtoto nimekubali kumlea lakini kwa hili siwezi kuwakubalia aisee.

"Mira hebu kaa kwanza.."

Madam aliniambia, nikakaa huku nikiwa nimenuna wakati yote hayo yanaendelea Anfrey alikuwa kimya kabisa akitazama tu namna wazazi walivyokuwa wananiforce.

"Mira sio kwa ubaya lakini.."

Madam alizungumza kisha akaweka kituo me nilikuwa namchora tuu huyu mama.

"Naweza kusema kwamba wewe ndie mwanamke ambaye nimekuona unafaa kuwa mke wa kijana wangu, lakini sikuforce ni maamuzi yako binafsi."

Hapo nikapumua kwanza kisha nikachukua moja ya Glas ya wine iliyokuwa hapo juu ya meza nikanywa kisha nikasimama huku nikiwa nimechachuka balaa.......

ITAENDELEA......

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8


SONGA NAYO......

Madam hakuwa na maneno mengine ya kuongea zaidi alijiinamia kama mtu anaefikiri kitu, ili kuepuka kesi mtoto wa mama Mira mie nikaamka na mwanangu haoo mpaka chumbani kwetu na kumuacha madam akiwa amekaa pale.

Muda wa party ulifika naweza kusema bwana party ilifaa na kufaaana yani ilikuwa kama sherehe maana watu walijaa karibia ukumbi mzima, na wageni waalikwa wengi walikuwa wadada πŸ˜‚πŸ˜‚

Yani wadada walikuwa wengi na mishangazi nayo haikukosekana kabisa πŸ˜‚πŸ˜‚ mimi nilikuwa nacheka bwana kila nikitazama namna mabinti walivyokuwa wakijipendekeza kwa Anfrey ndio kabisa nilihisi kuchoka

Unakuta kidada kimevaa kinguo kifupi yani imebakia kidogo tu kalio lionekane hapo ikitokea ameinama...

πŸ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/miranda-binti-yangu-sehemu-ya-8

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi miranda-binti-yangu-sehemu-ya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*

930
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23

631
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25

485
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7

202
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8

133
SHAMIRA sehemu ya 38&39

SHAMIRA sehemu ya 38&39

104
AMIRAH WANGU   Sehemu ya 01

AMIRAH WANGU   Sehemu ya 01

103
UTANIITA SHEMEJI.   SEHEMU YA 17

UTANIITA SHEMEJI. SEHEMU YA 17

59
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 11

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 11

49
KWAKO RUSHINE DE REUCK.

KWAKO RUSHINE DE REUCK.

6

ZIMESOMWA ZAIDI

β€ŽTUNDA LA  DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

β€ŽTUNDA LA DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.54K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.28K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tisa.  πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tisa. πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

3.77K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya sita.  πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya sita. πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.24K
MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

2.74K
MY WANGU❀️ sehemu ya 108

MY WANGU❀️ sehemu ya 108

2.63K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 20.  πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 20. πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

2.63K
MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

2.56K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 16.  πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 16. πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

2.5K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tatu.  πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tatu. πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

2.47K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 11 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 11
@majario LIVE

πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹ Noela alipoondoka hakujua hata aende wapi. Alitembea polepole barabarani, machozi yakimtoka na wala hakujali. Aliumia kwa sababu alisalitiwa na watu wawili muhimu sana kwenye maisha yakeπŸ’”. Alikumbuka dalili alizowahi kuona kwamba...

SHAMIRA sehemu ya 38&39 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 38&39
@majario LIVE

πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€ Mwandishi; lissa wa huru media Nikasema hapana sijafanywa hivyo akanmbia nini wewe umegawa namba kwa wanume zako wanatuma sms unajifanya kushaangaaa unanichukuliaje wewe. Kwanini unanidhalilisha shamira mpka najuta kuwa...

MASWALI YA BILIONEA WA FALME ZA KIARABU, KHALAF AHMAD AL HABTOOR KWA RAIS WA MAREKANI | Post Mpya
MASWALI YA BILIONEA WA FALME ZA KIARABU, KHALAF AHMAD AL HABTOOR KWA RAIS WA MAREKANI |
@majario LIVE

1- Mheshimiwa nani alikupa ruhsa kuingiza Ukanda wetu katika vita dhidi ya Iran na kwa gharama gani uliwaza kuwa watu wa kwanza kuteseka ni nchi za Ukanda huu ambao ndio...

UTANIITA SHEMEJI.   SEHEMU YA 17 Post Mpya
UTANIITA SHEMEJI. SEHEMU YA 17
@majario LIVE

SONGA NAYO............... Mda ulienda jioni ilipofika akatoka kazin ,baada ya kufika nyumbani tu salamu ya kwanza aliingia chumbani na kufungua kioo na kutoka kwenye kibalaza kilicho pembezoni mwa chumba chake . Alifika...

AMIRAH WANGU   Sehemu ya 01 Post Mpya
AMIRAH WANGU   Sehemu ya 01
@majario LIVE

Tunaanza... Asubuhi na mapema, Sheikh Abdullah alimuita binti yake, Amirah, ambaye alikuwa na umri wa miaka ishirini na tatu. Amirah alitoka chumbani kwake na kumfuata baba yake ili kumsikiliza....

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Madam hakuwa na maneno mengine ya kuongea zaidi alijiinamia kama mtu anaefikiri kitu, ili kuepuka kesi mtoto wa mama Mira mie nikaamka na mwanangu haoo mpaka chumbani kwetu na...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25
@majario LIVE

Nikafunga gari ,kisha nikashika mkono akawa bado hayupo sawa kakasilika sana, ila niliona kidogo hasira yake imepungua pale ambapo ibra alipiga simu na kusikia maongezi ya ibraa, basi bwana...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23
@majario LIVE

Nikasema mama.nisikilize, unasikia mke wangu, haipo kama unavyowaza wewe. ,mi yule.sio mwanamke wangu, yule.ni shemeji yangu, ni mwanamke wa ibraa, na tulikuwa tunakutana wote jioni hiiii, mi uyu demu nimekutana...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7
@majario LIVE

SONGA NAYO..... Hatimae ule mda wa kuwasili huyo mkaka wa kuitwa Anfrey ulifika walimpokea kwa furaha sana wazazi kama wazazi walimzawadia kijana wao gari ya milioni 80 Mimi nilikuwa kwa mbali natazama...

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*
@majario LIVE

Huo Ndio ukawa mwanzo Mpya wa upendo kati yangu Mimi na madam groly, Yaani mimba tu na kukaa nae Ndani ya miezi miwili tu tayali madam groly aliona utofauti wangu. Kwa...

KWAKO RUSHINE DE REUCK. Post Mpya
KWAKO RUSHINE DE REUCK.
@majario LIVE

Nikiwa kama mpenzi na shabiki mwanachama wa Simba niliyenyooka ninajikuta nina wajibu wa kusema ukweli pale panapohitajika ili kama kuna hatua za kuchukuliwa zichukuliwe mapema na mhusika kabla jambo...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Mwandiishi; LISSA Basi bwana rasmi tukaanza aya mahusiano bubu sasa, ambayo mimi binafsi sikuwa nimeyaafik kabisaaa, na wala sikuwa nayafurahia ata kidogo ,ila mchumba si kaamua basi powa, nikaona ngoja...

Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania Post Mpya
Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania
@majario LIVE

Kutokana na ongezeko la watumiaji wa Safaricom M-Pesa wanaohitaji kutuma pesa kwenda Vodacom M-Pesa Tanzania, nimeamua kuandika makala hii ili kuwasaidia wale ambao hawafahamu jinsi ya kufanya muamala huo. Tuma...

UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16* Post Mpya
UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16*
@majario LIVE

SONGA NAYO............. Zilipita dakika kadhaa nikatoka na kumfuata sebleni , akataka kuendeleza story zake nikamwambia aaah 🀚nioneshe kazi za kufanya kwanza ,kama ni maongezi baadae. Hakuwa na shida akaanza kunionesha mazingira yote...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6
@officialgonga LIVE

SONGA NAYO..... nilipokaribia kumfikia nilimsikia akizungumaza "Sawa baba basi wacha sie tufanye maandalizi kidogo..." Niliweza kumsikia madam akiongea hivyo, kwakuwa mimi huyu mama namuona boya sikutaka kumjali nilimpita nikaelekea chumbani lakini nikiwa katika...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest