Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6
Gonga94 Β· Stories

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

SONGA NAYO.....

nilipokaribia kumfikia nilimsikia akizungumaza

"Sawa baba basi wacha sie tufanye maandalizi kidogo..."

Niliweza kumsikia madam akiongea hivyo, kwakuwa mimi huyu mama namuona boya sikutaka kumjali nilimpita nikaelekea chumbani lakini nikiwa katika kutembea nilisikia madam akiniita.

Nilirudi ili kumsikiliza alichokuwa ananiitia, huyu mama ananipenda sio poa baada ya mimi kufika pale alinikumbatia na alionekana kuwa na furaha sana.

Alinikumbatia kwa wakati kisha akajitoa kwenye kumbato na kunishika viganja vya mikono yangu huku akitabasamu na kunifanya niogope.

"Vip...??"

Niliuliza baada ya kuona natazamwa kama sanamu, hakunijibu zaidi akaibusu mikono yangu, mimi nilikuwa nashangaa na nisielewe chochote.

Ikabidi nijitoe mikono yangu maana hata sikuwa naelewa chochote, akanishika tena mikono kisha akazungumza.

"Mira leo nina furaha sana, kijana wangu yupo uwanja wa ndege anakuja huku..."

Aisee hivi mnajua nilijisikiaje, yaani pamoja na kunisumbua kote kule sijui kufanya hivi na hivi kumbe kijana wake anakuja me nikajua labda amemkubali Nasra kumbe anaongelea habari ya kijana wake aisee nilichukia.

Nikaivuta mikono kwa nguvu, sikumjibu neno lolote zaidi nikaondoka, akaanza kunikimbilia huku ananiita

"Mira mama, hebu simama tuzungumze basi..."

Sikutaka kusikia chochote kutoka kwake maana anaongea vitu vya kipuuzi yani anawaza ujinga ujinga badala ya kujali mtoto aisee ananikera mimi.

Aliendelea kuniita ila mimi sikusimama lakini nilipofika mbele kidogo nilisimama hii ni baada ya kumuona Swatii anatokea chumbani kwake ikabidi nisimame na madam nae akawa amefika pale nilipokuwa Swatii baada ya kutuona aliamua kutufuata..

"Morning mom...!!"

Swatii alimsalimu mama yake, mama mtu macho yote yalikuwa kwangu mwanamke alikuwa ananitazama huku anataka kulia kabisa huyu mama ananipenda hata upendo unaonekana kwenye macho yake.

"Morning..."

Alijibu kifupi tu, basi Swatii anaona Kawaida, madam akanishika mkono wangu huku anaongea.

"Mira, nakuomba uende airport ukampokee Anfrey..."

Madam aliniambia, Swatii kusikia Anfrey anakuja alifurahi sana akaanza kurukaruka huku akinisihi twende.

"Madam siwezi kwenda maana Nasra bado anaumwa.."

"Aah Mira, mtoto utamuachia Shida..."

Nilimuangalia huyu mwanamke yani sikuwa namuelwa kabisa kwenye akili yake kuna akili au matope, hivi naweza kwenda airport kwenda kupokea jitu zima lina akili zake timamu arafu nimuache mtoto anaumwa tena nimuache kwa mdada mpya wa kazi ambae amekuja jana tuu

Sikuwa na neno la kuongea zaidi nikabaki kimya, Swatii nae akaunga hoja ya mama yake basi mtu mbili zikabaki zikinisihi niende airport.

"Nimesema nina mgonjwa hivi hamuelewi nini sasa.."

"Kumbe unamgonjwa..??"

Swatii aliniuliza, alionekana hajui lolote kuhusu afya ya mtoto

"Ndio anaumwa sana, inabidi uende hata wewe na Naina.."

"Usijali kipenzi wewe baki umuangalie mwanao mimi nitaenda kumpokea kaka.."

Swatii alizungumza, madam hakuwa na neno la kuongea zaidi alikubali kishingo upande na sikutaka hata kubakia hapo niliondoka nikimuacha akiniangalia sikugeuka hata kumtazama.

Basi kama kawaida yangu nilikuwa namcare sana Nasra yani binti yangu alikuwa mzuri mpaka nikawa naona wivu sasa maana sio kwa uzuri huo arafu jitu lenye akili zake timamu linakataa mtoto kwa sababu za kijinga

Kama alikuwa na nia ya kujiunga freemason si angejitoa mwenyewe na sio mtoto ambae hana aita, kuna upande nilikuwa nikishindwa kabisa kuamini eti hii familia wamejiunga freemason na huku nawaona wanahudhuria sana ibada

Lakini inawezekana ikawa kweli maana siku hizi watu wanaishi kwa kuigiza ni watu wema machoni kwa watu lakini huku ndani ya nyumba balaa tupu kama lililo ndani ya nyumba hii

Nilitamani kujua kuwa yale maneno aliyoniambia madam ni ya kweli, niliamua kufanya uchunguzi ili kuhakikisha zaidi. Nafanya hivi ili kulinda maisha ya mtoto Nasra

Basi bwana siku hiyo hapo nyumbani yani kuanzia kwenye ile mida ya saa tatu asubuhi kulikuwa na heka heka nyingi, kwa siku moja wwaliweza kualika watu kibao huku wakipanga party iwe usiku.

Upande wangu sikujishughulisha na chochote zaidi ya kumuangalia mwanangu ambaye muda wote alikuwa hajui lolote likiendelea..........

ITAENDELEA......

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6


SONGA NAYO.....

nilipokaribia kumfikia nilimsikia akizungumaza

"Sawa baba basi wacha sie tufanye maandalizi kidogo..."

Niliweza kumsikia madam akiongea hivyo, kwakuwa mimi huyu mama namuona boya sikutaka kumjali nilimpita nikaelekea chumbani lakini nikiwa katika kutembea nilisikia madam akiniita.

Nilirudi ili kumsikiliza alichokuwa ananiitia, huyu mama ananipenda sio poa baada ya mimi kufika pale alinikumbatia na alionekana kuwa na furaha sana.

Alinikumbatia kwa wakati kisha akajitoa kwenye kumbato na kunishika viganja vya mikono yangu huku akitabasamu na kunifanya niogope.

"Vip...??"

Niliuliza baada ya kuona natazamwa kama sanamu, hakunijibu zaidi akaibusu mikono yangu, mimi nilikuwa nashangaa na nisielewe chochote.

Ikabidi nijitoe mikono yangu maana hata sikuwa naelewa chochote, akanishika tena mikono...

πŸ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/miranda-binti-yangu-sehemu-ya-6

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi miranda-binti-yangu-sehemu-ya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*

916
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22

789
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23

620
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25

444
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7

201
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8

119
AMIRAH WANGU   Sehemu ya 01

AMIRAH WANGU   Sehemu ya 01

92
SHAMIRA sehemu ya 38&39

SHAMIRA sehemu ya 38&39

75
UTANIITA SHEMEJI.   SEHEMU YA 17

UTANIITA SHEMEJI. SEHEMU YA 17

55
KWAKO RUSHINE DE REUCK.

KWAKO RUSHINE DE REUCK.

6

ZIMESOMWA ZAIDI

β€ŽTUNDA LA  DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

β€ŽTUNDA LA DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.54K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.28K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tisa.  πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tisa. πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

3.77K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya sita.  πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya sita. πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.24K
MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

2.74K
MY WANGU❀️ sehemu ya 108

MY WANGU❀️ sehemu ya 108

2.63K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 20.  πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 20. πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

2.63K
MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

2.56K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 16.  πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 16. πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

2.49K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tatu.  πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tatu. πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

2.47K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
SHAMIRA sehemu ya 38&39 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 38&39
@majario LIVE

πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€ Mwandishi; lissa wa huru media Nikasema hapana sijafanywa hivyo akanmbia nini wewe umegawa namba kwa wanume zako wanatuma sms unajifanya kushaangaaa unanichukuliaje wewe. Kwanini unanidhalilisha shamira mpka najuta kuwa...

MASWALI YA BILIONEA WA FALME ZA KIARABU, KHALAF AHMAD AL HABTOOR KWA RAIS WA MAREKANI | Post Mpya
MASWALI YA BILIONEA WA FALME ZA KIARABU, KHALAF AHMAD AL HABTOOR KWA RAIS WA MAREKANI |
@majario LIVE

1- Mheshimiwa nani alikupa ruhsa kuingiza Ukanda wetu katika vita dhidi ya Iran na kwa gharama gani uliwaza kuwa watu wa kwanza kuteseka ni nchi za Ukanda huu ambao ndio...

UTANIITA SHEMEJI.   SEHEMU YA 17 Post Mpya
UTANIITA SHEMEJI. SEHEMU YA 17
@majario LIVE

SONGA NAYO............... Mda ulienda jioni ilipofika akatoka kazin ,baada ya kufika nyumbani tu salamu ya kwanza aliingia chumbani na kufungua kioo na kutoka kwenye kibalaza kilicho pembezoni mwa chumba chake . Alifika...

AMIRAH WANGU   Sehemu ya 01 Post Mpya
AMIRAH WANGU   Sehemu ya 01
@majario LIVE

Tunaanza... Asubuhi na mapema, Sheikh Abdullah alimuita binti yake, Amirah, ambaye alikuwa na umri wa miaka ishirini na tatu. Amirah alitoka chumbani kwake na kumfuata baba yake ili kumsikiliza....

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Madam hakuwa na maneno mengine ya kuongea zaidi alijiinamia kama mtu anaefikiri kitu, ili kuepuka kesi mtoto wa mama Mira mie nikaamka na mwanangu haoo mpaka chumbani kwetu na...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25
@majario LIVE

Nikafunga gari ,kisha nikashika mkono akawa bado hayupo sawa kakasilika sana, ila niliona kidogo hasira yake imepungua pale ambapo ibra alipiga simu na kusikia maongezi ya ibraa, basi bwana...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23
@majario LIVE

Nikasema mama.nisikilize, unasikia mke wangu, haipo kama unavyowaza wewe. ,mi yule.sio mwanamke wangu, yule.ni shemeji yangu, ni mwanamke wa ibraa, na tulikuwa tunakutana wote jioni hiiii, mi uyu demu nimekutana...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7
@majario LIVE

SONGA NAYO..... Hatimae ule mda wa kuwasili huyo mkaka wa kuitwa Anfrey ulifika walimpokea kwa furaha sana wazazi kama wazazi walimzawadia kijana wao gari ya milioni 80 Mimi nilikuwa kwa mbali natazama...

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*
@majario LIVE

Huo Ndio ukawa mwanzo Mpya wa upendo kati yangu Mimi na madam groly, Yaani mimba tu na kukaa nae Ndani ya miezi miwili tu tayali madam groly aliona utofauti wangu. Kwa...

KWAKO RUSHINE DE REUCK. Post Mpya
KWAKO RUSHINE DE REUCK.
@majario LIVE

Nikiwa kama mpenzi na shabiki mwanachama wa Simba niliyenyooka ninajikuta nina wajibu wa kusema ukweli pale panapohitajika ili kama kuna hatua za kuchukuliwa zichukuliwe mapema na mhusika kabla jambo...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Mwandiishi; LISSA Basi bwana rasmi tukaanza aya mahusiano bubu sasa, ambayo mimi binafsi sikuwa nimeyaafik kabisaaa, na wala sikuwa nayafurahia ata kidogo ,ila mchumba si kaamua basi powa, nikaona ngoja...

Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania Post Mpya
Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania
@majario LIVE

Kutokana na ongezeko la watumiaji wa Safaricom M-Pesa wanaohitaji kutuma pesa kwenda Vodacom M-Pesa Tanzania, nimeamua kuandika makala hii ili kuwasaidia wale ambao hawafahamu jinsi ya kufanya muamala huo. Tuma...

UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16* Post Mpya
UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16*
@majario LIVE

SONGA NAYO............. Zilipita dakika kadhaa nikatoka na kumfuata sebleni , akataka kuendeleza story zake nikamwambia aaah 🀚nioneshe kazi za kufanya kwanza ,kama ni maongezi baadae. Hakuwa na shida akaanza kunionesha mazingira yote...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6
@officialgonga LIVE

SONGA NAYO..... nilipokaribia kumfikia nilimsikia akizungumaza "Sawa baba basi wacha sie tufanye maandalizi kidogo..." Niliweza kumsikia madam akiongea hivyo, kwakuwa mimi huyu mama namuona boya sikutaka kumjali nilimpita nikaelekea chumbani lakini nikiwa katika...

Rajshree (born October 8, 1944) is one of those 60s actresses people still remember with a smile. She’s the daughter of legendary Post Mpya
Rajshree (born October 8, 1944) is one of those 60s actresses people still remember with a smile. She’s the daughter of legendary
@majario LIVE

filmmaker V. Shantaram and actress Jayshree, so films were always a part of her world. She started as a child artist in Subah Ka Tara and was later introduced as...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest