Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*
Gonga94 Β· Stories

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.



Huo Ndio ukawa mwanzo Mpya wa upendo kati yangu Mimi na madam groly, Yaani mimba tu na kukaa nae Ndani ya miezi miwili tu tayali madam groly aliona utofauti wangu.

Kwa upande wangu Kama mnakumbuka, nilipendwa kuishi kwa madam groly kwaajili ya kumkela na kumsumbua lakini nimeibiwa kumuelewa na kumpenda zaidi.

Kuna watu duniani wa naweza wakakuchukia kutokana na mitazamo Yao tu wanayoijenga. kwenye fikra zao juu yako pasi na kukufahamu undani wako na Ndio iko kilichotokea kwa madam groly.

Kwa upendo ambao tuliutengeneza sisi Kama familia Walahi, Mimi na Enzo tulishindwa kabisa kurudi NYUMBANI kwetu, tukajikuta kule Kwa Enzo tukipangisha na tukabaki kwa mama mkwe

NYUMBANI Kwa mama mkwe nilijiachia utazani NYUMBANI kwetu, nilidekezwa utazani Mimi Ndio

Mtoto wao wa mwisho mule Ndani.

Kwa upande

Suzy Ndio kabisa, alinipenda

kuliko maelezo, Suzy alihakikisha kila ananifanyia Ka massage Yaani wooool, kuna muda nilikuwa naona Kama namiliki dunia vile kutoka na mapenzi mazito ninayooneshwa na hil

familia

Kwa upande wa urafiki wangu Mimi na Suzy,

waoooooh Sijui niwaambie nini lakini urafiki wetu ulikuwa so mwaaaaah, Suzy alikuwa naakuja kunitembelea kila weekend na madam groly Wala hakuwa na shida nae, na ikitokea

weekend imepita na Pili ajaja lazima madam amuulizie au baba Enzo Maana wamependa vibe lake na upendo mkubwa aliokuwa nac

Nyieeeh siku azigandi Bwana, siku zilikimbia na miezi ikaendelea kuyoyoma na hatimaye mimba yangu ikatimiza miezi 7, Kiukweli nilichoka mapema sana, nilikuwa nikitembea kwa kujivuta sana, muda mwingi Nilihisi Uvivu wa hali ya juu.

Ikiwa nikiwa ni siku ya jumamosi, siku hiyo. NYUMBANI Ilikuwa na wageni kwani Suzy alikuwa akitolewa mahari na mzungu wake ambaye walikutana Uko chuoni si unajua Tena mambo ya wasomi

Nyumba ilikuwa bize sana siku hiyo, Yaani kila

mtu alikuwa anatokea kina yake, huyu anaingia uku, huyu anatokea uku lla Kwa upande wangu sasa, nilikuwa Kama mwadawa nyamigulu Yaani kimekaa tu Nipo Nipo na sina Masada wowote ule.

Sherehe ya Mahari ilienda salama kabis ana mahari ikalipwa yote uku ikiambatanishwa na zawadi kedekede.

Wenye Pesa sio wenzetu Bwana, baada ya

mahari kutolewa, ikapita mwezi mmoja tu na week zake Kama MBILI shughuli zingine. zikashika nafasi Yaani kitchen part, Sijui send off na mambo mengine mzungu alikuwa hot

anataka babe wake.

"lla Wifi nitawamisi sana"

Alizungumza Suzy kwa huzuni.

Wakati huo Mimi na yeye tulikuwa saloon kwani ilikuwa ni siku ya harusi.

'ATA sisi tutakumisi sana Tena sana, lakini

lazima ukaanzw maisha yako kipenzi na uzuri

hapo Kenya sio mbali sana tunauwezo wa kuja kukuta kukutembelea na wakati mwingine wewe kututembelea

Niliendelea kuzungumza na WiFi yangu uku mambo ya make up yakiendelea.

Ndoa ya Suzy yenye we ilifanyika saa 8 MCHANA na saa 10 kila Kitu kila wa kimekamilika na Suzy akawa Mke wa mtu halali kabisa.

Ikiwa ni muda wa kupiga Picha za ukumbusho, shoga yenu nikaanza kumtania nick shemeji yangu na nusu.

"Bado wewe sasa sio kila siku unapiga Picha za wenzio

Nick akaniangalia kisha kwa SAUTI ya chini akaninong'oneza.

"Nirahishie kwa binti wa uswazi Basi Ila nick jamani, uwa anapenda sana kumuita Pili kwa Jina lo la binti wa uswazi.

Ikiwa ni Majila ya saa 4 usiku tukiwa ukumbini, gafla tu nikaanza kuhisi mambo ndivyo sivyo, Yaani kiuno kilianza Sijui kukaza Sijui Ndio kuuma jamani

"Mama huu ni uchungu"

Nilizungumza kimoyomoyo uku nikiwa na wasiwasi wa hali ya juu.

Niliweza kujua Kuwa ni uchungu kwa Kuwa mama zena alikuwa ameshanifundisha na kunielekeza mambo mengi sana

Nilijaribu kujikaza kusubili sherehe hilshe

lakini Ishunikawa pambe.

"Enzo nipeleke nje nikapogwe na upepo" Nilimwambia Enzo,

Enzo Angu Wala hakuwa na shida, akanishika mkono na kunitoa nje, tulipofika tu nje nikamwambia.

tusije kuharibu sherehe ya suzy

"Muite mama zena kimya kimya tuwal hospital siko Sawa, hakikisha uwapi wengine taarifa

Enzo Wala hakupoteza muda haraka akaingia Ndani na aliporudi akarudi na mama zena.

Lakini pia tukapiga simu kwa mlinzi wa NYUMBANI na kumuomba atuletee vitu vyangu ambayo niliviandaa kwa kujifungua.

Nyleeeh uchungu Una Una Walahi, lakini Mungu ni Mwema sana, yaani nilivyofika hospital Ndani ya dakika 45 tu nikajifungua.

"Hongera sana ni Mtoto wa kike"

Alizungumza ness uku akinikabizi Mtoto wangu

Niwachekeshe sasa, muda wote huo wakati

najifungua. Enzo alikuwepo na alishuhudia kila kitu, lakini Mtoto alivyotoka tu mume wangu. akazimia Maana ameona mambo mazito

Majila ya saa 7 siku baada ya Enzo kuamia, Ndio tukapigia familia simu na kuiambia Kuwa tayali mgeni Mpya wa familia amewasili

Familia yangu ni noma, ilifika mapema snaa ikiwa na zawadi kibao Sijui ata walitoa wapi ukizingatia ilikuwa usiku.

Sasa hapa nitaondoka kwa amani baada ya kumuona shangazi

Alizungumza Suzy akiwa amemshika Mtoto wangu.

Kuna muda nilikuwa aliamini kabisa Kama naitwa mama.

Upande wa Enzo alikuwa na hekaheka jamani akutulia ata kidogo.

Kwakuwa nilijifungua salama na Mtoto wangu alikuwa Sawa kabisa, siku iliyofuata. tukaruhusiwa na kwenda NYUMBANI

Maisha ya mama ya kaama sasa, kulala kidogo

kuangaika sana na nisiwe muongo Mtoto wangu ni mlizi sana, nashukuru Mungu familia yangu. Ilikuwa kinisaidia sana.

Mtoto wangu alikuwa akipendwa sana, Yaani kila kitu Ndani ya Nyumba ni charity, charity.

Ooooooh sikuwaambia, binti yangu anaitwa CHARITY

Yote yanawezekana kupitia Mungu na Rehema zake, usichoke na usikate tamaa pambania unachokiltaji lakini pia hakikisha Kama chenyewe pia kinakuitaji

Mpaka nilipofikia sina la ziada kwako shabiki yangu, zaidi nikushukuru kwa Kuwa na Mimi Kuanzia mwanzo mpaka mwisho Mungu

akubariki sana nakupenda.

MWISHO

Maoni

You're not logged in


Tangazo - SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
Wimbo wenye ubunifu imechanga kiarabu kiswahili na amapiano wimbo wa kushukuru kwa maisha na upendo Sasa sikiliza na ku download hapa gonga94.com
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*




Huo Ndio ukawa mwanzo Mpya wa upendo kati yangu Mimi na madam groly, Yaani mimba tu na kukaa nae Ndani ya miezi miwili tu tayali madam groly aliona utofauti wangu.

Kwa upande wangu Kama mnakumbuka, nilipendwa kuishi kwa madam groly kwaajili ya kumkela na kumsumbua lakini nimeibiwa kumuelewa na kumpenda zaidi.

Kuna watu duniani wa naweza wakakuchukia kutokana na mitazamo Yao tu wanayoijenga. kwenye fikra zao juu yako pasi na kukufahamu undani wako na Ndio iko kilichotokea kwa madam groly.

Kwa upendo ambao tuliutengeneza sisi Kama familia Walahi, Mimi na Enzo tulishindwa kabisa kurudi NYUMBANI kwetu, tukajikuta kule Kwa Enzo tukipangisha na tukabaki...

πŸ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/aaaaaash-boss-enzo-season-two-19-20

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi aaaaaash-boss-enzo-season-two
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* 7 na 8
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* 7 na 8
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU Ya tisa*
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU Ya tisa*
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*
 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16*
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA TATU*
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA TATU*
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU YA KUMU*
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMU*
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*    *SEHEMU YA KUMI NA NNE*
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA NNE*
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA TANO*
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA TANO*
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA PILI*
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA PILI*
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA NNE*
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA NNE*
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA NANE*
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA NANE*
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA SABA*
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA SABA*
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KWANZA*
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KWANZA*
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50

1.22K
*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52*

*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52*

737
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39  na 40

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39 na 40

250
SHAMIRA Sehemu ya 48

SHAMIRA Sehemu ya 48

100
BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha!

BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha!

32
Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station.

Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station.

13
#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda

#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda

5
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50

ZIMESOMWA ZAIDI

β€ŽTUNDA LA  DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

β€ŽTUNDA LA DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.69K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.41K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tisa.  πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tisa. πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

3.82K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya sita.  πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya sita. πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.31K
MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

2.91K
MY WANGU❀️ sehemu ya 108

MY WANGU❀️ sehemu ya 108

2.84K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 20.  πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 20. πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

2.69K
MY WANGU❀️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❀️ sehemu ya 116 na 117

2.68K
MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

2.64K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 16.  πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 16. πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

2.57K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda Post Mpya
#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda
@majario LIVE

Estaste, Kinondoni baada ya HR Mkuu Mzee Shilatu na msimamizi Steven Diallo kuning'oa kutoka Ebony FM, Iringa. Nikapokelewa na Tom Chilala, Wiltrudies Mutembei @wiltrudiesmutembei kisha wakanikabidhi kwa "Semaji"...

*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52* Post Mpya
*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52*
@majario LIVE

Daaaah nilishangaaaa sana kwamba aya mambo yamekujaje kujaje, na mbona sielewi, nikasema mama sijaelewa yani kwamba umesema? , mama akanmbia nilishaongea sana na wewe millan, juu ya suala la wewe...

SHAMIRA Sehemu ya 48 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 48
@majario LIVE

Wassap;0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Akasema mimi pia nimekula njoga nikaoge basi chapi chapu. nikase​ma sawa. Kweli mwanaume akaenda kuoga nikabaki nimetulia tu na baada ya mda akatoka akanifata...

Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station. Post Mpya
Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station.
@majario LIVE

Binafsi nilikuwa napenda sana vipindi vitatu pale RFA , 1 - Sindano 3 za moto, asubuhi na Fredwaa...!! 2 - Sitosahau na Sky Woker 3 - Showtime bongo moja ya show za...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39  na 40 Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39 na 40
@majario LIVE

39 MPAKA 40 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Nilitukana kweli kweli kwemye gari umo. Ila barka hakunijibu alikuwa busy na kuendesha gari. Akawa ananipeleka mlandizi ukoo. Nikasema wewe mjinga unaenfa...

BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha! Post Mpya
BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha!
@majario LIVE

Nikikupenda mimi inatosha, acha kuwa na presha, acha kuhangaika na ndugu zangu, kama wakikupenda ni ziada tu lakini haibadilishi chochote! Nani alikudanganya kuwa wanapaswa kukupenda! Mimi mwenyewe sina uhakika kama...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Basi bwana penzi likanoga mpaka mwezi ukakata, apo zena alikuwa na wasi wasi kuwa ntamuacha ,ila mi wala sikuwa na ayo mawazo kichwani kwangu ata kidogo, kila siku namuona...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Basi bwana penzi likanoga mpaka mwezi ukakata, apo zena alikuwa na wasi wasi kuwa ntamuacha ,ila mi wala sikuwa na ayo mawazo kichwani kwangu ata kidogo, kila siku namuona...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 48 na 49 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 48 na 49
@majario LIVE

Daaah mchumba ndo kashanikatia simu mi nafanyaje sasa ,basi nikaweka simu pembeni tu, kisha nikapanda kitandani, nikavuta shuka , nikapumzika na asubih sana nikaamkia kazin na mwanangu lbraa,ibra akaniuliza...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 38  na 39. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 38 na 39.
@majario LIVE

kipande cha 38 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Basi ndo hivyo . Nikaikosa ndoa na bwana barka.na nikawa busy na maisha yangu . Na mambo yangu. Na nikazidisha mapenzi tu kwa...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 36 na 37 namba zilikosewa endelea kusoma. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 36 na 37 namba zilikosewa endelea kusoma.
@majario LIVE

36 MPAKA 37 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Maua akasema khaaa yani unanitukana mimi. Kwaiyo mimi naweza kuolewa na kaka yangu. Nikasema yaa unaweza sasa kisebengo cha nini. Nakuona sana tangu...

SHAMIRA Sehemu ya 47 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 47
@majario LIVE

Wassap; 0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi shost alivyotoka kuoga akanmbia shamira shoga yangu nisamehe kwa yale maneno nilokwambia basi. Nikasema yapi? Akasem si yale ya kukwambia ukatoe mimba...

SHAMIRA Sehemu ya 46 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 46
@majario LIVE

πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€ Mwandishi; lissa wa huru media Nikaona aisha kakasirika akanambia sawa kama unataka kulea iyo mimba na kuzaa. Ile kulea mtoto ni gharama umae ukielewa hilo suala mapema . Mana sio...

*AFANDE MILLAN😎* *46&47* Post Mpya
*AFANDE MILLAN😎* *46&47*
@majario LIVE

Nakumbuka kuna kipindi ,nilisafiri na ibraa kikazi kwenda moro , apo nilishamuaga zena kuwa mm nasafari naenda moro kikazi, ntakaa siku 2, akanmbia hakuna shida, basi mm nikawa...

SHAMIRA 44 kwa 45 Post Mpya
SHAMIRA 44 kwa 45
@majario LIVE

πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€ Sehemu ya 44 Mwandishi; lissa wa huru media Aseeee tulichoka mno na shoga yangu asa mimi jamani.nafanya nini na hili tumbo na mwanaume hanitaki. Na ameshakana kuwa hii mimba sio yake...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest