Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA PILI*
Gonga94 · Stories

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA PILI*

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.



Nilijikuta nikishtuka sana baada ya kukutana na madam groly Tena NYUMBANI kwangu.

"Amepajuaje hapa ? Au amekuja na pully?"

Nilijiuliza kimoyamoyo uku nikimuangalla madam Groly kwa wasiwasi uku nikiwaza amekuja kufanya nini NYUMBANI kwangu.

"Shikamoo madam groly

Nilimsalimia baada ya kuona Kuwa Amefika na ananitumbulia macho tu

Madam groly akaniangalia kwa dharau sana uku akinipandisha akazungumza. na kunishusha kisha

"Kwahiyo wewe mnuka mikojo na jasho la utoko Ndio ulikuwa Unataka Kuwa mkwe yangu ?"

Wolllliiiih huyu mama naona ananitafutia kesi tu, na katika siku amejichanganya Basi ni hii bora tu angebaki NYUMBANI kwake kuliko kuja kuniletea dharau zake kitaani kwangu.

"Eeeeh ni juju la aina gani ulitumia kupumbaza akili ya Mtoto wangu?"

Aliniuliza madam groly na Mimi kwa jazba nikamtuliza.

"Ey! Madam excuse me, usisahau Uko NYUMBANI kwangu Kwahiyo hakikisha. unaongea na Mimi vizuri Tena kwa heshima na

adabu

"Ahahahaha eti Nyumba, hil Nyumba au takataka? Wakisema wenye Nyumba watoke na wewe Unatoka ? Hiki kibanda si kinawaangukia

muda wowote ule

Wewe tell me why pili ameamua kuingilla ugomvi, nyleeeh ata Sijui pili alitokea kona gani lakini gafia tu akafika kwenye eneo la tukio na

kudakia.

"Madam mawigi, njoo taratibu shogile Sawa, yaaani njoo Kama Mtoto Mdogo aliyetoka

kujinyea na anaogopa kuyaangusha, unaongea nini kuhusu Nyumba ya baba yangu ? Mama

Angu mwenzio laana nilipata utotoni Uko Kwahiyo kwenye ukubwa wangu huu, siogopi

Dudu Wala Mende, mbwa wa blue wewe"

Aaah huyu Ndio pili wangu Mimi, ooooh nilisahau kuwaambia Bwana, pili hapa sio

mpangaji Bali ni Mtoto wa baba Mwenye Nyumba.

Madam akamuangalia pili Kwa dharau na kumuuliza.

"And, who are you?"

"Hizo who, you so, Sijui you what, Sijui you nini Uko Uko NYUMBANI Kwako Sawa, mama ujanipeleka shule ukanilipia Ada"

Kisha pili akanigeukia Mimi na kuniuliza.

"Huyu nae Nani kwani?"

Nikamuangalia mama Enzo na kujibu.

"Mama ake Enzo"

Pili akaniangalia na kucheka kisha akajibu.

"Eeeh kumbe mkwe, shoga Angu, ongea na mama mkwe yako vizuri lla asiingilie mambo ya

NYUMBANI kwangu nitamfundisha adabu Mimi"

Pili alimaliza zake kuzungumza na kutaka

lakini

gafla marna Enzo

kuondoka

akazungumza.

"Mnanuka Shida tu hapo mlipo, ishani, Leo

Nimekuja kukupa onyo

Tu Kaa mbali na Kijana wangu, kaa mbali na

Enzo wangu

Muda huo huo pili akarudi nyuma na kumuuliza

"Kwani mama unamtaka Mtoto wako au 7 Maana oooh Mtoto wangu Mtoto wangu kwani

ni wewe tu ndio umeingia reba au?"

"Msichana Kaa Kimya naongea na peni kizibo

Kaa pembeni

Pili akachukia San na kutaka kumjibu mama.

Enzo, lakini nikamuwal na kumziba Mdoma wake kisha kwa SAUTI ya hasira nikazungumza.

"Pili huyu niachie Mimi, namuweza kikeni mpaka

kiumeni

Hapo kwanza mama Enzo akabaki akiwa ametoa macho Maana hakuamini kama ni Mimi

Ndio nazungumza hivyo.

"ISHANI ni Mimi Ndio unaongelesha hivyo? Usisahau Kuwa Mimi ni mkubwa kwako"

Nikamuangalia

kwa

kumpandisha na

kumshusha kisha nikamuuliza.

"Ulivyokuja hapa ulikuja Kama mtu mzima au mcheza chura ?"

Kabla ajajibu swali langu nikaongeza.

"Halafu kuhusu Enzo, Kwanini mnaangaika sana.

na Mimi nawanyima usingizi Eeeh, wewe na

mkwe yako pully naona amlali

Kwa amani kabisa, naona MCHANA Ishani, usiku

ISHANI si Ndio? Groly Sijui madam

Sijui takataka gani vipi, unikome Tena Koma,

achana na Mimi, achana na maisha yangu,

achana na kila kitu kuhusu Mimi Sawa? Sijawal

Kuwaza kukuvunjia heshima lakini Leo wachal

nikuvunjie, Leo wacha nikupe ullyokuwa unayataka, kingine, Mtoto wako Ndio kanipenda

hapa atoki abanduki

"Mwanangu akupende wewe kwa kipi sasa

"Unataka nikuoneshe alichonipendes au 7 Hapa Mtoto wako anapata vya bara na pwani, halafu moyo auingiliwi Sawa, Hapa Enzo atakuja na

atoondoka kalili

Maneno yangu

Siku hiyo nilikuwa nilikuwa makali sana Kama nimepaliwa na pili pili vile.

Madam groly akabaki akishangaa tu Kama bi msumi aliyenasa uchawini.

Basi Mimi na pili sasa tukaanza kumzomea

mama watu, kwa aibu ya hali ya juu aka

panda kwenye gari yake na kuondoka.

"Muangaliege na familia za kuingia jamani, Ona Saa huyu mama mkwe gani jamani"

Alizungumza pili kisha akaondoka zake.

Kwa upande wangu nikaingia Ndani nikiwa

hasira sana, Yaani madam groly amekuja kuniharibia tu mood yangu.

Hatimaye mwezi mzima ukapita na nikaamua

kukubaliana na ukweli Kuwa siwezi Kuwa na mahusiano na Enzo na Enzo sio wangu Tena.

Akili yangu ilipokaa Sawa nikaingia zangu MTAANI na kutafuta kazi ambayo Itanisaidia

kuendesha maisha yangu, Kiukweli upatikanaji

wa kazi ulikuwa ni mgumu sana Tena sana Yaani mtu unazunguka mtaa kwa mtaa, chocho kwa chocho lakini upati kitu

Nilitumia siku Tatu mfululizo kutafuta kazi lakini mambo yalikuwa magumu sana kwa upande wangu.

Nikiwa nimeshachoka na zoezi la kutafuta kazi, gafla tu nikapata wazo la kwenda kwa mama

Amina, Sijui Kama mnamkumbuka jamani, mama amina Yule mama Ntille anayeuza

chakula manzese alikuwa akitusaidia kipindi

kile nilichokuwa Mdada wa mtaani.

Kiukweli sikutaka kupoteza muda kabisa, asubuhi na mapema siku ya jumatano, nikaamka na safari ya kwenda kwa mama amina ikaanza.

Nilifika na kukuta mama amina akiendelea na

shughuli zake, kwanza alifurahi sana kuniona na akuamini baada ya kuniona nikiwa па

muonekano Mpya.

"Sijui umekuja kufanya nini lakini nisaidie kupeleka chakula pale ulikokuwa Unapelekaga

Alizungumza mama amina na Kwa upande Angu

sikuwa na pingamizi haraka tu nikaanza kushughulika.

Siku hiyo nilishinda kwenye mgahawa wa mama amina nikimsaidia kazi zake za hapa na pale.

Majila ya jioni, nilipata wasaha wa kuzungumza

na mama amina na nashukuru Mungu alinielewa kabisa na akanipatia kazi kwenye mgahawa. wake ambao ulikuwa ni maarufu sana hapo

manzese

ISHANI wenu nikaanza maisha mapya ya

kujitafutia na sitaki kujisifia lakini najituma

mwenzenu, Yaani nafanya kazi Kama mashine

mpaka mama amina Mwenyewe alikuwa

ananionea huruma

ISHAN Leo amina wangu anakuja kunitembelea mwaya"

Alizungumza mama amina.

Nikamuangalia na kutabasamu kisha nikajibu.

"Eeeeh kwa Mara ya kwanza nakutana na amina Leo, Maana namsikiaga tu

"Yuko njiani mwaya Sijui amepata likizo Uko

chuoni Ndio ameamua kuja kunitembelea

"Kwahiyo ma Amina, Unataka kuniambia Kuwa Amina Uko Dodoma anasoma na kufanya kazi

"Ndio Mwanangu amebahatika

Story kati yangu na mama amina ziliendelea na

kazi pia ziliendelea.

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Mwanangu Mungu ndio anae jua
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA PILI*




Nilijikuta nikishtuka sana baada ya kukutana na madam groly Tena NYUMBANI kwangu.

"Amepajuaje hapa ? Au amekuja na pully?"

Nilijiuliza kimoyamoyo uku nikimuangalla madam Groly kwa wasiwasi uku nikiwaza amekuja kufanya nini NYUMBANI kwangu.

"Shikamoo madam groly

Nilimsalimia baada ya kuona Kuwa Amefika na ananitumbulia macho tu

Madam groly akaniangalia kwa dharau sana uku akinipandisha akazungumza. na kunishusha kisha

"Kwahiyo wewe mnuka mikojo na jasho la utoko Ndio ulikuwa Unataka Kuwa mkwe yangu ?"

Wolllliiiih huyu mama naona ananitafutia kesi tu, na katika siku amejichanganya Basi ni hii bora tu angebaki NYUMBANI kwake kuliko kuja kuniletea dharau zake kitaani kwangu.

"Eeeeh ni juju la aina gani ulitumia kupumbaza...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/aaaaaash-boss-enzo-season-two-sehemu-ya-pili

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi aaaaaash-boss-enzo-season-two-sehemu-ya-pili
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*ASSSSSSSH BOSS ENZO* *Season two*   *SEHEMU YA SITA*

*ASSSSSSSH BOSS ENZO* *Season two* *SEHEMU YA SITA*

861
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* 7 na 8

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* 7 na 8

659
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* *  Chapter 15

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 15

322
MY CRAZY BOSS 16

MY CRAZY BOSS 16

293
SHAMIRA sehemu ya 29&30

SHAMIRA sehemu ya 29&30

185
SHAMIRA  🏀 sehemu ya 32&33

SHAMIRA 🏀 sehemu ya 32&33

160
SHAMIRA sehemu ya 30&31

SHAMIRA sehemu ya 30&31

132
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 6

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 6

97
MY CRAZY BOSS 17

MY CRAZY BOSS 17

85
 AMINATA,BINTI AGEUKA NA KUWA MTU HATARI BAADA YA KUTEKWA, AMEOKOA MAELFU YA WAAFRIKA | Movie Recap

AMINATA,BINTI AGEUKA NA KUWA MTU HATARI BAADA YA KUTEKWA, AMEOKOA MAELFU YA WAAFRIKA | Movie Recap

79

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.38K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.16K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.73K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.17K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.58K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.44K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.41K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.37K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.3K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.24K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MY CRAZY BOSS 17 Post Mpya
MY CRAZY BOSS 17
@majario LIVE

Haikuchukua muda sana , tuliwasili nyumbani kwa boss, tuliingia kiustaarabu sana na tulivyozama tu boss alianza kunionesha ukichaa wake. Alinisogelea karibu aligusanisha mdomo wake na wangu kwa fujo alianza kunipa...

 AMINATA,BINTI AGEUKA NA KUWA MTU HATARI BAADA YA KUTEKWA, AMEOKOA MAELFU YA WAAFRIKA | Movie Recap Post Mpya
AMINATA,BINTI AGEUKA NA KUWA MTU HATARI BAADA YA KUTEKWA, AMEOKOA MAELFU YA WAAFRIKA | Movie Recap
@majario LIVE

Huyu binti hapa anaitwa Aminata na ana umri wa miaka 11 tu. Aminata alikumbwa na changamoto ya biashara ya utumwa. Na baada ya kutekwa hapa tunawaona wakiwa wamepelekwa katika soko la utumwa...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 7 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 7
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Bila kusema neno lolote, Mr. Marvel aligeuka akaondoka. Basi Salmon alitakiwa kusimamisha party lakini kabla hajafanya hivyo alimwangalia Noela akamwambia “Ondoka! Unasubiria nini tena?”😒 “Hutanipeleka hostel?” “No, sina muda” “Kwa nini? Nitarudi vipi jamani?”...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* 7 na 8 Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* 7 na 8
@majario LIVE

*SEHEMU YA SABA* Mimi na Enzo tulishtuka sana Walahi, lakini Mimi Ndio nilishtuka zaidi, Yaani hii ni zaidi ya sibu imagine mpaka baba mkwe sa hapa Ndio inakuja ile hali ya kutaka...

MWANAMKE ALIYEMNYIMA BABA YAKE MZAZI MAJI YA KUNYWA NA KUJA KUFILISIKA SIKU YA HARUSUI Post Mpya
MWANAMKE ALIYEMNYIMA BABA YAKE MZAZI MAJI YA KUNYWA NA KUJA KUFILISIKA SIKU YA HARUSUI
@majario LIVE

Sheila alikuwa binti aliyefanikiwa sana jijini. Alikuwa na kampuni ya uagizaji wa vipodozi na alikuwa akiishi maisha ya kifahari. Sheila alikuwa anajiandaa kufunga ndoa na Dr. Oscar, kijana kutoka...

*ASSSSSSSH BOSS ENZO* *Season two*   *SEHEMU YA SITA* Post Mpya
*ASSSSSSSH BOSS ENZO* *Season two* *SEHEMU YA SITA*
@majario LIVE

SONGA NAYO Kiukweli uwaga namuogopa sana madam groly lakini safari hii imekuwa tofauti sana Tena sana. yaani sijasikia uoga wa aina yoyote fla na sikusikia Kuwa na wasiwasi juu ya uwezo...

SHAMIRA  🏀 sehemu ya 32&33 Post Mpya
SHAMIRA 🏀 sehemu ya 32&33
@majario LIVE

Wassap:0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Bai tumefika nyumbani akanishusha mwenye gari. akanikokota mpaka chumbani moja kwamoja akanipeleka bafuni nilichafuka na mapombe kama yote. Mwanaume akaniweka kwanza chini akaanza kunimwagia maji...

SHAMIRA sehemu ya 30&31 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 30&31
@majario LIVE

Wassap:0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi mie nikaongea na asha .akanambia shoga vijora vishafika nikamwambia changu nipelekee kwa fundi mwambie akitatue mpma mapajani na mgongoni kuwe wazi. kama kawaida yangu...

MY CRAZY BOSS 16 Post Mpya
MY CRAZY BOSS 16
@majario LIVE

Siku moja nikiwa nimekaa boss alikuja ofisini kwa wafanyakazi wote ambapo mimi pia napendelea kukaa mahali hapo. "Nahitaji kuelekea kwenye party usiku wa leo najiuliza ni nani atafaa kunisindikiza, boss...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* *  Chapter 15 Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 15
@majario LIVE

Aliendelea kunipa juice kwa utaratibu, huku anaaacha ananitizima nikitaka kuongea ananipa tena juice, aweee hii ilikuwa tofauti kwangu asee ilikuwa tamu kuliko ya siku ile, nilijikuta natoa ushirikiano hasaaa kwenye...

SHAMIRA sehemu ya 29&30 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 29&30
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi aisha akasema sawa akasema sasa jambo ndo linakalibia na bado siku 2 tu kama una agaa anza kumbembeleza mapema.nikasema sawa shoga ngoja leo akirudi niongee...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 6 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 6
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Kwaiyo Mr Marvel akahairisha kwenda eneo la pool, badala yake akamfuata Noela nyuma na kumuona akiingia chooni. Huko ndani Chooni, Noela alikua anatoa tu machozi kama hana akili nzuri. Moyo ulimuuma...

Mother India (1957) is not just a film, it’s an emotion for Indian cinema lovers. Directed by Mehboob Khan, the movie starred Nargis in one of the most powerful performances ever seen on screen, along with Sunil Dutt, Rajendra Kumar and Raaj Kumar Post Mpya
Mother India (1957) is not just a film, it’s an emotion for Indian cinema lovers. Directed by Mehboob Khan, the movie starred Nargis in one of the most powerful performances ever seen on screen, along with Sunil Dutt, Rajendra Kumar and Raaj Kumar
@majario LIVE

. It was actually a remake of Khan’s earlier film Aurat (1940), but Mother India became much bigger in scale and impact. The story revolves around Radha, a poor village woman...

THE SECRET MESSAGE 💬05 Post Mpya
THE SECRET MESSAGE 💬05
@majario LIVE

Alinitazama akiuma midomo yake akisema “Chiddy unaweza acha pikipiki mahali, ukaingia kwa gari unisindikize mahali?” Niliona tayari fursa hii, nilitabasamu na kusema “bila shaka dada yangu mzuri.” Alitabasamu, basi kidume sikuwawia. Haraka...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* *  Chapter 13 Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 13
@majario LIVE

"Wee nae nilikuwa nakwambia kila siku yule sio mwanaume, unaanza kusema ooh amenitolea barua, mimi nilijua tu hili litakuja litokee siku tuu yaani huyoo mkaaka ni mpuuzi sana kha! Mh...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest