Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 6
Gonga94 · Stories

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 6

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋

Kwaiyo Mr Marvel akahairisha kwenda eneo la pool, badala yake akamfuata Noela nyuma na kumuona akiingia chooni.

Huko ndani Chooni, Noela alikua anatoa tu machozi kama hana akili nzuri. Moyo ulimuuma sana sio mchezo, tena mbaya zaidi ni namna ambavyo Salmon alikua akishikana shikana na wanawake wengine akiwemo Iris💔.

“Sipaswi kulia, labda kalewa tu ndo maana anafanya vile…..” alijifuta machozi taratibu akijipa moyo.

Dakika zile zile mlango ukafunguliwa na Mr Marvel akaingia. Kitu cha kwanza alicho kifanya ni kumkumbatia Noela kwa nyuma.

Kwa akili za Noela alidhani ni Salmon kaja kumuomba msamaha kumbe hata sio. Alichogundua ni kwamba siku hiyo alihisi msisimko sana aliposhikwa tofauti kabisa na siku nyingine ambazo Salmon humshikaga.

Akageuka taratibu ndipo hapa alipohisi kuzimia baada ya kukutana na Mr Marvel. Hata yeye hakuwai kumsahau kabisa hasa kwa kile alichomfanyia.

“Wewe…. Wewe….. ulini…….” Hakupata hata mda wa kumaliza sentensi yake.

Kwanza Mr Marvel alimtuliza kwa busu moja zito kuonyesha ni kiasi gani alimmiss. Na kuna namna lile busu likamchanganya Noela, lilikua tamu alafu pili Mr Marvel hakua na papara. Yani slowly slowly sio kama Salmon.

Noela alitamani sana kama wangeendelea ila kwakua yeye ni mpenzi wa mtu, hakupaswa kufanya vile! Alikusanya nguvu za kutosha na kumsukuma Mr Marvel pembeni.

“Kaa mbali na mimi please”🗣️😡

“Why??”

“Mimi ni mpenzi wa mtu, na ninampenda mpenzi wangu sana tu kwaiyo tuheshimiane. Kwanza hujui ni kiasi gani nakuchukia kwa kile ulicho nifanyia”

“First, sijali kama una mpenzi, also I know sikufanya kitu kizuri and i am sorry! Uliposema hautaki nilipaswa kuacha ila haikua ivyo”

“Kama umetambua kosa lako vizuri” Noela alitaka kutoka kule chooni ila Mr Marvel akamzuia maana hakua kamaliza kuongea nae.

“Unaenda wapi sasa wakati bado hatujamaliza kuongea?”

“Kuna kipi kingine cha kuongea?”😡

“Kuhusu sisi!”

“Sisi na nani?? Hakuna chochote baina yetu!”

“Hahaha! Do you think kwamba ni rahisi namna iyo?? No! Sijawai kuwa interested sana na mwanamke mwingine zaidi yako kwaiyo please nielewe”

“Mbona unakua mgumu kuelewa? Nimesema ivi sitaki mazoea na wewe!”

“Sijuagi hapana katika maisha yangu, kaa ukijua ilo” alimpisha Noela atoke huku akiwa anatabasamu😊

Apo Noela alikua kachukia balaa, alirudi chumbani kwa Salmon, akavua ile swimming suit akavaa nguo zake za kawaida.

Baada ya hapo akarudi kule kwenye party akiwa anaona aibu vibaya mno. Bado watu hawakuacha kumtazama na kumsema. Yani alikua kama topic kwenye midomo ya watu.

Salmon alipomuona alimfuata akiwa kachukia

“Ndo nini sasa kuaibishana Noela??”😡

“Nimekuaibisha vipi wakati ile nguo ni wewe ndie umeni nunulia??”

“Kwaiyo? Kama haikua inakutosha si usinge vaa!”

“Nisinge vaa ili uje unikasirikie tena?? Nilivaa kwaajili yako na sikutaka ujisikie vibaya kwenye birthday yako!”

“Ni bora mara mia usingevaa kuliko kuja kuniaibisha na limwili lako ilo kama fenesi”🗣️

“Umesemaje Salmon??!” Noela alishangaa maana hapo mwanzo Salmon hakuwai kumkosoa mwili wake hata kidogo iweje leo afanye ivo?🤔

“Kwani umesikia nini?”

Kabla Noela hajajibu walisikia sauti nyuma yao. Ile sauti ilimfanya Salmon ageuke haraka akiwa ana wasiwasi

“Dad! Umerudi……”

“Yes and hiki ni nini???” Alisema Mr Marvel kwa kufoka na hapa ndipo tunajua kuwa Mr Marvel ndie baba mzazi wa Salmon🔥

Kuona vile Noela akaishiwa nguvu kila mahali, unajua lazima upate presha maana sio kwa kile kilichotokea baina yake na baba mkwe! Aiseee😰

“Ni Party!…….Ni birthday party yangu”

“Ndo ufanye nyumbani??? And unajua kabisa sipendi kelele pindi ninapo rudi nyumbani kupumzika! So please Party its over! Watoe watu wako” Mr Marvel alifoka akiwa bado hajamuona Noela

“Sorry Dad nimeelewa! Also nataka kukutambulisha mpenzi wangu yuleee nilie kuambia! Anaitwa Noela” Salmon alimshika Noela mkono akamgeuza upande aliokua kasimama Mr Marvel, so wakakutana uso kwa uso.

Hakuna kitu kilicho mchoma Mr Marvel kama kugundua kuwa mwanamke anae uchanganya moyo na ubongo wake ndie mpenzi wa Mtoto wake.

Alimuangalia Noela pasipo kummaliza huku akichemka ndani kwa ndani kwa wivu💔.

Je nini kitaendelea?
Nakuja……….

Maoni

You're not logged in


Tangazo - SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
Wimbo wenye ubunifu imechanga kiarabu kiswahili na amapiano wimbo wa kushukuru kwa maisha na upendo Sasa sikiliza na ku download hapa gonga94.com
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 6


🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋

Kwaiyo Mr Marvel akahairisha kwenda eneo la pool, badala yake akamfuata Noela nyuma na kumuona akiingia chooni.

Huko ndani Chooni, Noela alikua anatoa tu machozi kama hana akili nzuri. Moyo ulimuuma sana sio mchezo, tena mbaya zaidi ni namna ambavyo Salmon alikua akishikana shikana na wanawake wengine akiwemo Iris💔.

“Sipaswi kulia, labda kalewa tu ndo maana anafanya vile…..” alijifuta machozi taratibu akijipa moyo.

Dakika zile zile mlango ukafunguliwa na Mr Marvel akaingia. Kitu cha kwanza alicho kifanya ni kumkumbatia Noela kwa nyuma.

Kwa akili za Noela alidhani ni Salmon kaja kumuomba msamaha kumbe hata sio. Alichogundua ni kwamba siku hiyo alihisi msisimko sana aliposhikwa...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/tipwa-tipwa-na-mr-marvel-sehemu-ya-6

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi tipwa-tipwa-na-mr-marvel-sehemu-ya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 7
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 7
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*ASSSSSSSH BOSS ENZO* *Season two*   *SEHEMU YA SITA*

*ASSSSSSSH BOSS ENZO* *Season two* *SEHEMU YA SITA*

863
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* 7 na 8

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* 7 na 8

662
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* *  Chapter 15

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 15

323
MY CRAZY BOSS 16

MY CRAZY BOSS 16

294
SHAMIRA sehemu ya 29&30

SHAMIRA sehemu ya 29&30

185
SHAMIRA  🏀 sehemu ya 32&33

SHAMIRA 🏀 sehemu ya 32&33

161
SHAMIRA sehemu ya 30&31

SHAMIRA sehemu ya 30&31

132
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 6

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 6

101
MY CRAZY BOSS 17

MY CRAZY BOSS 17

99
 AMINATA,BINTI AGEUKA NA KUWA MTU HATARI BAADA YA KUTEKWA, AMEOKOA MAELFU YA WAAFRIKA | Movie Recap

AMINATA,BINTI AGEUKA NA KUWA MTU HATARI BAADA YA KUTEKWA, AMEOKOA MAELFU YA WAAFRIKA | Movie Recap

80

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.38K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.16K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.73K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.17K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.58K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.44K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.41K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.37K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.3K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.24K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MY CRAZY BOSS 17 Post Mpya
MY CRAZY BOSS 17
@majario LIVE

Haikuchukua muda sana , tuliwasili nyumbani kwa boss, tuliingia kiustaarabu sana na tulivyozama tu boss alianza kunionesha ukichaa wake. Alinisogelea karibu aligusanisha mdomo wake na wangu kwa fujo alianza kunipa...

 AMINATA,BINTI AGEUKA NA KUWA MTU HATARI BAADA YA KUTEKWA, AMEOKOA MAELFU YA WAAFRIKA | Movie Recap Post Mpya
AMINATA,BINTI AGEUKA NA KUWA MTU HATARI BAADA YA KUTEKWA, AMEOKOA MAELFU YA WAAFRIKA | Movie Recap
@majario LIVE

Huyu binti hapa anaitwa Aminata na ana umri wa miaka 11 tu. Aminata alikumbwa na changamoto ya biashara ya utumwa. Na baada ya kutekwa hapa tunawaona wakiwa wamepelekwa katika soko la utumwa...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 7 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 7
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Bila kusema neno lolote, Mr. Marvel aligeuka akaondoka. Basi Salmon alitakiwa kusimamisha party lakini kabla hajafanya hivyo alimwangalia Noela akamwambia “Ondoka! Unasubiria nini tena?”😒 “Hutanipeleka hostel?” “No, sina muda” “Kwa nini? Nitarudi vipi jamani?”...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* 7 na 8 Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* 7 na 8
@majario LIVE

*SEHEMU YA SABA* Mimi na Enzo tulishtuka sana Walahi, lakini Mimi Ndio nilishtuka zaidi, Yaani hii ni zaidi ya sibu imagine mpaka baba mkwe sa hapa Ndio inakuja ile hali ya kutaka...

MWANAMKE ALIYEMNYIMA BABA YAKE MZAZI MAJI YA KUNYWA NA KUJA KUFILISIKA SIKU YA HARUSUI Post Mpya
MWANAMKE ALIYEMNYIMA BABA YAKE MZAZI MAJI YA KUNYWA NA KUJA KUFILISIKA SIKU YA HARUSUI
@majario LIVE

Sheila alikuwa binti aliyefanikiwa sana jijini. Alikuwa na kampuni ya uagizaji wa vipodozi na alikuwa akiishi maisha ya kifahari. Sheila alikuwa anajiandaa kufunga ndoa na Dr. Oscar, kijana kutoka...

*ASSSSSSSH BOSS ENZO* *Season two*   *SEHEMU YA SITA* Post Mpya
*ASSSSSSSH BOSS ENZO* *Season two* *SEHEMU YA SITA*
@majario LIVE

SONGA NAYO Kiukweli uwaga namuogopa sana madam groly lakini safari hii imekuwa tofauti sana Tena sana. yaani sijasikia uoga wa aina yoyote fla na sikusikia Kuwa na wasiwasi juu ya uwezo...

SHAMIRA  🏀 sehemu ya 32&33 Post Mpya
SHAMIRA 🏀 sehemu ya 32&33
@majario LIVE

Wassap:0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Bai tumefika nyumbani akanishusha mwenye gari. akanikokota mpaka chumbani moja kwamoja akanipeleka bafuni nilichafuka na mapombe kama yote. Mwanaume akaniweka kwanza chini akaanza kunimwagia maji...

SHAMIRA sehemu ya 30&31 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 30&31
@majario LIVE

Wassap:0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi mie nikaongea na asha .akanambia shoga vijora vishafika nikamwambia changu nipelekee kwa fundi mwambie akitatue mpma mapajani na mgongoni kuwe wazi. kama kawaida yangu...

MY CRAZY BOSS 16 Post Mpya
MY CRAZY BOSS 16
@majario LIVE

Siku moja nikiwa nimekaa boss alikuja ofisini kwa wafanyakazi wote ambapo mimi pia napendelea kukaa mahali hapo. "Nahitaji kuelekea kwenye party usiku wa leo najiuliza ni nani atafaa kunisindikiza, boss...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* *  Chapter 15 Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 15
@majario LIVE

Aliendelea kunipa juice kwa utaratibu, huku anaaacha ananitizima nikitaka kuongea ananipa tena juice, aweee hii ilikuwa tofauti kwangu asee ilikuwa tamu kuliko ya siku ile, nilijikuta natoa ushirikiano hasaaa kwenye...

SHAMIRA sehemu ya 29&30 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 29&30
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi aisha akasema sawa akasema sasa jambo ndo linakalibia na bado siku 2 tu kama una agaa anza kumbembeleza mapema.nikasema sawa shoga ngoja leo akirudi niongee...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 6 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 6
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Kwaiyo Mr Marvel akahairisha kwenda eneo la pool, badala yake akamfuata Noela nyuma na kumuona akiingia chooni. Huko ndani Chooni, Noela alikua anatoa tu machozi kama hana akili nzuri. Moyo ulimuuma...

Mother India (1957) is not just a film, it’s an emotion for Indian cinema lovers. Directed by Mehboob Khan, the movie starred Nargis in one of the most powerful performances ever seen on screen, along with Sunil Dutt, Rajendra Kumar and Raaj Kumar Post Mpya
Mother India (1957) is not just a film, it’s an emotion for Indian cinema lovers. Directed by Mehboob Khan, the movie starred Nargis in one of the most powerful performances ever seen on screen, along with Sunil Dutt, Rajendra Kumar and Raaj Kumar
@majario LIVE

. It was actually a remake of Khan’s earlier film Aurat (1940), but Mother India became much bigger in scale and impact. The story revolves around Radha, a poor village woman...

THE SECRET MESSAGE 💬05 Post Mpya
THE SECRET MESSAGE 💬05
@majario LIVE

Alinitazama akiuma midomo yake akisema “Chiddy unaweza acha pikipiki mahali, ukaingia kwa gari unisindikize mahali?” Niliona tayari fursa hii, nilitabasamu na kusema “bila shaka dada yangu mzuri.” Alitabasamu, basi kidume sikuwawia. Haraka...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* *  Chapter 13 Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 13
@majario LIVE

"Wee nae nilikuwa nakwambia kila siku yule sio mwanaume, unaanza kusema ooh amenitolea barua, mimi nilijua tu hili litakuja litokee siku tuu yaani huyoo mkaaka ni mpuuzi sana kha! Mh...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest