Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ€“ Gonga94 Semajambo

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 14
Gonga94 ยท Stories

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 14

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

Nikasogea hadi karibu na Geti yeye alikuwa kwa nje akanifanya na mie nivuke geti kidogo yaani mguu mmoja ukawa nje ya Geti mwingine ndani

"Enhee" yaani nilikuwa makini nae mno

"Aunt, Unaitwa na huyu" akaonesha kidole pembeni ile nageuka hata sijaona mtu nilishtuka nimevutwa

Aliponivuta akanibana ukutani, pumzi yangu ikakatika ghafla. Harufu yake tu niliitambua kabla hata sijainua macho, ile harufu ileile iliyokuwa inanifanya nisahau hasira zangu zote. Mkono wake mmoja ulikuwa umenishika kiunoni halafu kanibana kwa ukuta

"V...Veda" Nikajikuta nimeita kwa sauti ya kutetemeka ya chini kabisa, moyo unapiga mbio kana kwamba unataka kunitoka kifuani.

Nikainua Macho yakakutana na yake, yalikuwa mazito, yananitazama kama mtu ana ya hisia hivii

Nilipo muita jina akashusha pumzi ndefu halafu nzito mpaka niliisikia ikipiga shingoni kwangu, mwili ukasisimkaa nilikuwa nameza mate kama jinga hiviii ...

โ€œKwanini hutaki kuongea na mie" akanongโ€™ona karibu na sikio langu aloo Sauti yake ilichoma roho, ikanichanganya hasira na hamu humo humoo, maumivu na wivu vikajichanganya kwa pamoja, Nikameza mate, nikageuza uso pembeni nikajaribu kujifanya kama simjali hivii, lakini mapigo ya moyo aah wee nahisi alikuwa anayasikia

โ€œHatuna cha kuongea mie naweweโ€ nilisema sina hata uhakika na ninachokiongea sauti enyewe ilinisaliti maana ilitoka dhaifu mpaka basi

"Kipo Vero..."

"Kama kuhusu mama yako, Sikujua kama ni mama yako kwahiyo nilifanya kama namfanyia mgongwa tu ambae alikuwa na uhihitaji kwa wakati huo"

"Kuhusu mimi na wewe, tuna vingi kwa kuongea"

"Sina cha kuongea nawewe Veda niache" nikamsukuma ili nijinasue lakini hata halinatikisika nili mwamba kweli kweli

Akanibana vizuri nikahisi joto lake nikaanza kuhema juu juu
"Tutaacha kile kipite kama hakuna kilichotokea, Sijawahi kusahau hata nukta ya ule usiku Vero, Kwanini unakuwa kama hakuna kilichotokea..."

"Ooh ....Sikia Veda mie sikumbuki chochote kwahiyo niache"

"Hapana Veda ona hii inaninyima usingizi..." wacha atoe shanga zangu nililitoa jichoooo heheh hizi shanga hata sikuwa nakumbuka zilipo baada ya purukushani zotee kile kipindi dah , ile siku nilizivaa zilikuwa mpyaa ili kumpagawisha D, hahaha kumbe zikampagawisha Veda mpaka akaondoka nazo mie habari sinaa hahah

Nilizikwapua aibuuu kama zote "Umezitoa wapiii???"

"Uliziacha kwenye gari ya D, sikutaka azione ndio maana nikazichukua, Vero embu jipe muda basi nipe nafasi hata kidogo tu mie nitakuwa tayar kubanana na Huyo D mpaka siku utakapo fanya maamuzi"

"Mh kwahiyo unaniona mie malaya sanaaa eeh, Vile mnavyo changia wanawake na huyo mpuuzi mwenzio, basi unajua namie unaweza kunitumia muda wowote ukitaka ....Sikia Veda mie sio muhuni kiasi hicho naweza kuwa malaya kama unavyofikiria lakini sijafikia bado viwango hivyo....." yaani nilikuwa naongea kwa hasira natetemeka ghafla tu aliniaharibia mood yangu yoote , nikamsukuma kule nikawa naondoka kurudi ndani mpaka machozi yananitoka natetemekaa huyu kaka nampenda sana ila nahisi ni malaya tu bwanaa aaah nitaumia kama nitakuwa nae huyuu aaah ...

Ile navuka geti nataka kuufunga akalizuia halafu akaingia "Toka D yupo ndani??"

"No!!! Umenielewa Vibaya nipe muda unisikilize, Vero labda mie sipo vizuri kwenye kutongoza kila ninapo jaribu ndio naharibu lakini nakupenda"

"Mungu wangu we kaka embu toka nje, D atakuku...." Kabla hata sijamaliza kusema
Alinivuta ghafla.

Sikupata hata nafasi ya kupumua.
Midomo yake ikafunika yangu kwa busu zito la ghafla, Busu lenye hisia za hasira na maumivu kwa pamoja.

Busu ambalo hata hakuomba ruhusa, yangu ooh jamaniiii
Nilishtuka, macho yakanitanuka, mwili ukakakamaaโ€ฆ moyo wangu ulivyo msaliti ukaanza kudunda kwa nguvu.

Mikono yake akanibana mabegani, kama vile anaogopa nikimponyoka nitapotea kabisa.

Lile Busu lilikuwa kama adhabu ya maneno yote niliyomrushia, nikajaribu kumsukuma kwa nguvu ndogo ile ya sitaki nataka yaani kama nina ogopa asije kuache hiviii, baada ya denda kama la Dakika moja akatoa mdomo wake akabaki ananitazama machoni huku anavuta na kutoa pumzi, Paji lake la uso limegusana na langu
Halafu akarudi tena taratibu kuja kuvamia midomo yangu safari hii mwenzangu moyo ukanisaliti nikajikuta tu nampokea ile naanza tu kujilimbwasa miutamuuu, D huyooo

"Verooo....!!!!?" Hakuamini anacho kionaa mwenyewe nilishtuka nikajirusha nyuma chap

"Vedaaa, yaani vee...Eeh Au nimechanganya mambo"

ITAENDELEA....

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Mwanangu Mungu ndio anae jua
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 14


Nikasogea hadi karibu na Geti yeye alikuwa kwa nje akanifanya na mie nivuke geti kidogo yaani mguu mmoja ukawa nje ya Geti mwingine ndani

"Enhee" yaani nilikuwa makini nae mno

"Aunt, Unaitwa na huyu" akaonesha kidole pembeni ile nageuka hata sijaona mtu nilishtuka nimevutwa

Aliponivuta akanibana ukutani, pumzi yangu ikakatika ghafla. Harufu yake tu niliitambua kabla hata sijainua macho, ile harufu ileile iliyokuwa inanifanya nisahau hasira zangu zote. Mkono wake mmoja ulikuwa umenishika kiunoni halafu kanibana kwa ukuta

"V...Veda" Nikajikuta nimeita kwa sauti ya kutetemeka ya chini kabisa, moyo unapiga mbio kana kwamba unataka kunitoka kifuani.

Nikainua Macho yakakutana na yake, yalikuwa mazito, yananitazama kama...

๐Ÿ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/from-bangi-to-baby-sehemu-ya-14

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi from-bangi-to-baby-sehemu-ya
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 1
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 1
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 4
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 4
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 3
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 3
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜  SEHEMU YA 13
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 13
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 2
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 2
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 15
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 15
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 12
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 12
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜  SEHEMU YA 11
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 11
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 7
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 7
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 6
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 6
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 8
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 8
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 5
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 5
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜  SEHEMU YA 10
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 10
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜   SEHEMU YA 9
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 9
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA TATU*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA TATU*

910
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA NNE*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA NNE*

710
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA TANO*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA TANO*

428
REALLY LOVE* *SEHEMU YA THELATHINI NA SITA*

REALLY LOVE* *SEHEMU YA THELATHINI NA SITA*

344
REALLY LOVE*   *SEHEMU YA 37*

REALLY LOVE* *SEHEMU YA 37*

242
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 15

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 15

212
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž 1 na 5

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž 1 na 5

131
THE SECRET MESSAGE  3 to 4

THE SECRET MESSAGE 3 to 4

90
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 14

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 14

54
IF THIS WAS THE PART TWO YOU ARE A PARTHOLOGICAL LIAR BRING PROOFS

IF THIS WAS THE PART TWO YOU ARE A PARTHOLOGICAL LIAR BRING PROOFS

12

ZIMESOMWA ZAIDI

โ€ŽTUNDA LA  DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

โ€ŽTUNDA LA DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.35K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.11K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tisa.  ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tisa. ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

3.73K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya sita.  ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya sita. ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.17K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 20.  ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 20. ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

2.57K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tatu.  ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tatu. ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

2.44K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 16.  ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 16. ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

2.41K
I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

2.36K
โคโค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜›  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

โคโค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜› Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.3K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya nane.  ๐Ÿ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya nane. ๐Ÿ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...๐Ÿ‘‡

2.21K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 19   na 20. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 19 na 20.
@majario LIVE

19 MPAKA 20 ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ Mwandishi; lissa wa huru media Mama akasema mungu wangu hajafanikiwa eewh hajafanikiwa. Nikasema ndio mama. Baraka akasema sio kweli shangazi . Mimi siwez kumfanyia hivyo shakira. Apo mimi...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA TANO* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA TANO*
@majario LIVE

"Habari za hapa?" Aliuliza Suzy baada ya kutufikia Mimi na pili. "Salama" Alijibu pili na Mimi Nikabaki nikimuangalia Suzy kwa dharau sana Maana huyu msichana amejua kuninyanyasa sana NYUMBANI kwao. "Nikusaidie nini Nilimuuliza Hapo pili akaniangalia...

So excited to see Akshay Kumar and Saif Ali Khan coming back together on screen! Post Mpya
So excited to see Akshay Kumar and Saif Ali Khan coming back together on screen!
@majario LIVE

If you grew up in the 90s, you know this duo was pure entertainment. From Main Khiladi Tu Anari to Yeh Dillagi, Tu Chor Main Sipahi, and Keemat, they gave...

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 15 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 15
@majario LIVE

D alitoka hukoo kasi akataka kumpiga Veda Tinner akazuiaaa nae alitoka .. "Veda wewe kumbe ni mshenziii eeeh!!" Veda yupo kimyaa ananikata jichoo kaliii yaani hamtazami D anaembwatukia jicho lote lipo...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž 1 na 5 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž 1 na 5
@majario LIVE

Sehemu ya 1 Aseeee bwana.. mie nilipozi kwanza . Nikaamuangalia uyu demu mkari kisenge. Yani mtoto mzuri mzuri kwli. Sio masihara. Kisha sasa ana vitu. Vyaangu. Bwana mi sjawaahi kumuangalia mwanamke...

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 14 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 14
@majario LIVE

Nikasogea hadi karibu na Geti yeye alikuwa kwa nje akanifanya na mie nivuke geti kidogo yaani mguu mmoja ukawa nje ya Geti mwingine ndani "Enhee" yaani nilikuwa makini nae mno "Aunt, Unaitwa...

REALLY LOVE*   *SEHEMU YA 37* Post Mpya
REALLY LOVE* *SEHEMU YA 37*
@majario LIVE

basi ikabidi mzee fahad awaeleze wote juu ya taarifa za msiba huo, kwakuwa harusi ilikuwa Imeisha haraka watu walijiandaa kwenda hospitari, familia ya cathe ilikuwa na majonzi sana haikuamini kama...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA NNE* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA NNE*
@majario LIVE

Nilipanda kwenye gari ya Enzo, nikiwa na hasira ya usoni tu lakini nilikuwa Nina Furaha sana moyoni kwangu, my zangu huyu kaka nampenda na sio utani, Yaani nampenda kutoka moyoni,...

IF THIS WAS THE PART TWO YOU ARE A PARTHOLOGICAL LIAR BRING PROOFS Post Mpya
IF THIS WAS THE PART TWO YOU ARE A PARTHOLOGICAL LIAR BRING PROOFS
@majario LIVE

First and foremost, this collaboration hurt many Kenyans. They didnโ€™t see me coming. No one from Kenya or Tanzania pulled this project together. The entire thing was organized by...

๐Ÿšจ OFFICIAL Timu zilizofuzu 16 Bora UEFA Champions League Post Mpya
๐Ÿšจ OFFICIAL Timu zilizofuzu 16 Bora UEFA Champions League
@majario LIVE

๐Ÿด๓ ง๓ ข๓ ฅ๓ ฎ๓ ง๓ ฟ Arsenal ๐Ÿด๓ ง๓ ข๓ ฅ๓ ฎ๓ ง๓ ฟ Chelsea FC ๐Ÿด๓ ง๓ ข๓ ฅ๓ ฎ๓ ง๓ ฟ Liverpool FC ๐Ÿด๓ ง๓ ข๓ ฅ๓ ฎ๓ ง๓ ฟ Manchester City ๐Ÿด๓ ง๓ ข๓ ฅ๓ ฎ๓ ง๓ ฟ Newcastle United ๐Ÿด๓ ง๓ ข๓ ฅ๓ ฎ๓ ง๓ ฟ Tottenham Hotspur ๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ธ Barcelona ๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ธ Real Madrid ๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ธ Atletico Madrid ๐Ÿ‡ฉ๐Ÿ‡ช Bayern Munich ๐Ÿ‡ฉ๐Ÿ‡ช Bayer...

REALLY LOVE* *SEHEMU YA THELATHINI NA SITA* Post Mpya
REALLY LOVE* *SEHEMU YA THELATHINI NA SITA*
@majario LIVE

biharusi wetu alitulizwa kwa staili tamu sana basi akajitoa kisha akashika shavu la fahima huku ameikamata vizuri maiki yani apo wambea wanapiga vigelegele vibaya mno tena john ndo kajiweka mbele...

THE SECRET MESSAGE  3 to 4 Post Mpya
THE SECRET MESSAGE 3 to 4
@majario LIVE

๐Ÿ’ฌ03 Sina sababu ya kukuficha lolote. Lazima nikuambie ukweli. Rashid wewe Mungu anakupenda sana, mwenyezi Mungu anakupenda mno. Unafanya kazi zako vizuri kabisa mwanangu, lakini cha ajabu mwanangu kila nguo mpya...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA TATU* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA TATU*
@majario LIVE

Pully alishtuka sana baada ya kuniona akabaki akinitolea macho akiwa na wasiwasi sana, macho yake tu yaliweza kueleza Kuwa kuna kitu akiko Sawa kabisa. "ISHANI umemuona amina wangu?" Mama amina aliniuliza kwa...

REALLY LOVE* *SEHEMU YA THELATHINI NA TANO* Post Mpya
REALLY LOVE* *SEHEMU YA THELATHINI NA TANO*
@majario LIVE

alishangaa mno ikabidi amuulize maswali mengi mpambaji hii ni harusi ya shemeji sasa mbona unanipamba kama biharusฤฑ?": aliuliza fahima usijari maana nimepeewa maelekezo kuwa wewe utakuwa kama mlinzi wa bibi harusi hiva utapambwa kama...

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜  SEHEMU YA 13 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 13
@majario LIVE

Nikasikia kuna nini hapoo???" Halafu muda huo Veda alikuwa ananitazama machoni na mie nimtazama yaani tunatazamana nina uhakima mioyo yetu ilikuwa inaongea maana kwa yale macho ya veda daah achaaaa Nikageuka...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest