Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ€“ Gonga94 Semajambo

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 6
Gonga94 ยท Stories

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 6

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

Maneno ya Boda boda yalikuwa yananifikirisha sana, nikafika nyumbani sina hata rahaa, kila nikapiga sana simu ya D hakuwa anapokea nilipiga sanaaa hata hapokeii ..

Usingizi hauji yaani kila nikikumbuka wale wanawake jamani wapo uch uch tu daah najikuta natamani hata kulia sa anawezaje kwenda sehemu kama ile eti kujipumzisha mmh

Usiku nikaona simu inaita D ananipigia nikaipokea haraka harakaaa, Ajabu hakuwa D nikakutana na sauti ya Veda, Ooh akaniuliza swali moja tu "umefika salama??" Nikasema " Ndio D yu....." Nikasikia Tii tiii mweeh simu ishakatwa hee kwahiyo katumwa aniulize au vipi, Nikaanza kupiga simu haipokelewi, nilipiga sana haikupokelewa tenaa daah .

Nikajuta yaani nilitamani hata nisingejua tu D alipo, Basi nikalala zangu sa ningefanya ninii , mpaka naamka asubuhi sikukuta hata simu ya D jamani nikapiga tena haikupokelewa , mie nikajiandaa zangu nikaenda kazini, nikasema sitapiga tena simu .

Kaja kunipigia simu mchana nilikuwa na hasiraa, nikaipokea huku nimenunaa hatari
"Halo.!'" Yaani haloo ilikuwa kavu hatari nimekasirika sijawahi

"Mke wangu ...mrembo wangu Vero wangu nimekumiss ujueee " heheh nyie haha yaani hata nguvu ya kuchukia nilikuwa nayoo sasaa nikajikuta nacheka akanambia

"Umekula mamaa eeh'" wee sa ngap isije sauti ya kudeka

"Hata sijala we jana umeniudhi sanaa" yaani hapo nimelegea hatari

"Came on mke wanguu kwanini sasa unajitesa okay naomba unisamehe kuhusu jana eeh'

"Mie sipendi bwana uwe unaenda hapo D mie sipendi bwana "

"Nimekuelewa mama watoto wangu Sitaenda tenaa sawa eeh"

"Sawaa kwahiyo upo wapi??"

"Ahm nimetoka Godaun hapa nilienda kukagua gari si unajua hawa vijana bwana hawa aah soon utaanza kusimamia wewe ma mtu" mie tenaa hapo nachekaaaa yaani laiti ungeniona heheh maharage kg 50 nikipewa kuhesabu bila shaka nitakupa idadi yake kamiliii ..

Tukaongeaaa jamani hapo akanibembeleza niende kula kudeka sasa, akanitumia na hela niende kula mie li kichwa paaaa!!

Nikala kwa mapana 60, Sasa tangu baby kaja hatujanyanduana ujue na aliondoka umekuwa muda kweli mie binafs nilikuwa nishamiss dudu hivyo, Nikapanga nikitoka kazini jioni niende huko nikalale kesho niamkie kazini, Wakati natoka kazini nilimpigia sana simu hakupokea unajua kawaida mana ni mtu ambae yupo bize sana ndo mana nikasema mie ananipa muda mchache wa kuwa nae ila kama tutaoana inamaana nitamuona zaidi kuliko sasa tunavyo ibana ...

Nilipoona hajapokea simu, mie nikaenda mpaka nyumbani nikaoga vizuri mtoto wa kike unyunyu kama wote bwana eeh nikachukua vishanga vyangu nilivinunua kitamboo nikavitunza mpaka siku D aje ndio nitavaa kwa ajili yake, basi mtoto wa kike leo ndo nikavaa nikatafuta na gauni yangu nzuri ya mpira lainiiii, halafu sikuvaa Hata pichu ili nisimpe tabu kuhangaika , nilitaka akutane na tamu yake live liveee hahah nyie nilikuwa na upwiru na ile kum_miss Ba mtu imekuwa muda mrefu hahah basi bwana vinyunyu kama vyooote yaani nilihakikisha nanukia mpaka uch hatariiiiii hahaha .

Nikapanda gari yangu nikasema kwake napajua ya nini sasa nihangaike na kumpigia simu jamani wakati mie ma mtu ndio mwenye mjengo tenaa ...

Safari mpaka kwa D, Nikakuta gari yake ipo nje nikajua yupo nikapack mbele kidogo mana ile gari yake iliziba geti,

Wakati naikaribia ile gari nikashtuka kumuona Veda amesimama nje ya gari ameegamia anavuta mibange yake yaani huyu kaka na Bangi jamani khaaa!! Mie hapanaa jamani ..

Alipo niona alishtuka akaniuliza "Umekuja kufanyaje hapa!!" Khaa!! Nikamshangaa sa ananiuliza hivyo kama nani kabla sijajibu akanivuta mkono

"Hutakiwi kuwa hapa'" ananivuta kunipeleka kwenye gari yangu , nikauuvuta mkono nikamuuliza "We kama nanii??"

Akaniachia "Sikiliza sipo hapa kukubembeleza sawa Ondokaaa!!" Akaongea kwa ukaliii amenikazia jicho mama limenoka bangi tu

Bado natafakari huyu amekubwa na nini leo nashangaa mlango wa gari ya D umefunguliwa akashika D na wadada wawili jamani jamani jamaniii amelewa yupo pwiiii wale wadada ni wanamatako hadi yanawashinda kutembea walivyovaa nusu uch kabisaa yaani wapo wazi sehemu kubwa ya mwili jamaniii wamemshika huku na huko yaani kimahaba kabisaa

Baada ya wao kutoka akatoka tena mdada mwingine nae ameshika chupa za pombe kali yaani kazibebelea mpaka zingine zinamshinda daah ..

Wale wadada wanatembea huku wanamchezea mwingine kifua mwingine shingo jamanii, nilisikia aibuuu haswa mbele ya Veda dah nilijisikia aibu, hasiraa na uchungu huko humoo

Machozi yakaanza kunitoka miguu inatetemeka, nilitoka mbioo hata kabla hawajalifikia geti nikamvuta D kwa nguvuu nusu aanguke nilishika shati nikavuta kwa nyuma wote wakayumba yumba

Veda hana hata habar akasimama pembeni anavuta bangi yake kama mtu asiyejali chochote, kana kwamba pale hakuna kinachoendelea

D alipo niona alishtukaa Alishtuka ghafla kama mtu aliyemwagiwa maji baridi.
โ€œVโ€ฆVeroโ€ฆ??โ€

Itaendelea.....

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Distro kid Upload your music To day
Distro kid Upload your music To day
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 6


Maneno ya Boda boda yalikuwa yananifikirisha sana, nikafika nyumbani sina hata rahaa, kila nikapiga sana simu ya D hakuwa anapokea nilipiga sanaaa hata hapokeii ..

Usingizi hauji yaani kila nikikumbuka wale wanawake jamani wapo uch uch tu daah najikuta natamani hata kulia sa anawezaje kwenda sehemu kama ile eti kujipumzisha mmh

Usiku nikaona simu inaita D ananipigia nikaipokea haraka harakaaa, Ajabu hakuwa D nikakutana na sauti ya Veda, Ooh akaniuliza swali moja tu "umefika salama??" Nikasema " Ndio D yu....." Nikasikia Tii tiii mweeh simu ishakatwa hee kwahiyo katumwa aniulize au vipi, Nikaanza kupiga simu haipokelewi, nilipiga sana haikupokelewa tenaa daah .

Nikajuta...

๐Ÿ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/from-bangi-to-baby-sehemu-ya-6

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi from-bangi-to-baby-sehemu-ya
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 1
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 1
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 4
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 4
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 3
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 3
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 2
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 2
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 5
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 5
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 7
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 7
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*MY WANGUโค๏ธ*   *sehemu ya 109 na 110*

*MY WANGUโค๏ธ* *sehemu ya 109 na 110*

1.08K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 111 na 112

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 111 na 112

874
MIMI SIKUACHI๐Ÿฅฐ Sehemu ya 59 na 60

MIMI SIKUACHI๐Ÿฅฐ Sehemu ya 59 na 60

635
AAAAH IMETOSHA BOSS๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ N0 70...71๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜

AAAAH IMETOSHA BOSS๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ N0 70...71๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜

458
*REALLY LOVE Chapter 20

*REALLY LOVE Chapter 20

233
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 8

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 8

152
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 9

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 9

144
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * 5 to 6

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * 5 to 6

87
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *SEHEMU YA NNE*

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *SEHEMU YA NNE*

81
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 6

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 6

60

ZIMESOMWA ZAIDI

โ€ŽTUNDA LA  DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

โ€ŽTUNDA LA DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.22K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.94K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tisa.  ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tisa. ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

3.7K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya sita.  ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya sita. ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.11K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 20.  ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 20. ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

2.49K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tatu.  ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tatu. ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

2.43K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 16.  ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 16. ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

2.33K
I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

2.32K
โคโค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜›  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

โคโค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜› Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.27K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya nane.  ๐Ÿ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya nane. ๐Ÿ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...๐Ÿ‘‡

2.19K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
*AAAAAASH BOSS ENZO ๐Ÿ’โค๏ธ*   *SEHEMU YA 01 & 4 Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO ๐Ÿ’โค๏ธ* *SEHEMU YA 01 & 4
@majario LIVE

ANZA NAYOโ€ฆโ€ฆ โ€œWewe sikiliza umu Ndani teshachoka kukulea sasa, Kazi utaki kufanya, unataka kukaa tu, unataka tukulishe na kukuvisha Binti akili zako Zipo Sawa au ? Sasa...

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 7 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 7
@majario LIVE

Wale wadada wakanyamaza kidogo, wakaniangalia kuanzia kichwani mpaka miguuni. Mmoja akauliza โ€œHuyu ni nani tena?โ€ Nikavuta pumzi ndefu, nikajikaza. โ€œSikujua kama leo ni sherehe, , mie ni mke wakeโ€ nikasema kwa sauti ya...

mwanzilishi mwenza wa YouTube Karim mwenye umri wa miaka 25 wakati huo katika Zoo ya San Diego akizungumza kuhusu Post Mpya
mwanzilishi mwenza wa YouTube Karim mwenye umri wa miaka 25 wakati huo katika Zoo ya San Diego akizungumza kuhusu
@majario LIVE

Ukurasa wa kutazama wa YouTube unaangazia upakiaji wa kwanza kabisa unaoitwa "Me at the zoo," ikionyesha mwanzilishi mwenza wa YouTube Karim mwenye umri wa miaka 25 wakati huo katika Zoo...

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 6 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 6
@majario LIVE

Maneno ya Boda boda yalikuwa yananifikirisha sana, nikafika nyumbani sina hata rahaa, kila nikapiga sana simu ya D hakuwa anapokea nilipiga sanaaa hata hapokeii .. Usingizi hauji yaani kila nikikumbuka wale...

Ghana released the passport of the Russian guy accused of filming African women without consent. They named him as 36-year-old Vladislav Liulkov Post Mpya
Ghana released the passport of the Russian guy accused of filming African women without consent. They named him as 36-year-old Vladislav Liulkov
@majario LIVE

after talks with the Russian ambassador as it tries to extradite him back to face charges. โ€œWorking with the Ghana Police CID, we have activated international legal action through INTERPOL...

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 9 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 9
@majario LIVE

SONGA NAYO...... "Uwiiiii mamaaa, sir nisamehe.." Alilalamika yule mwanafunzi. ( yani unaongea hivyo na mtu ambaye ananifanya nikose usingizi, nishindwe kula harafu unaongea unavyojisikia na mimi nikiwa hapa kabisa, pokea na hicho..) Nikamshushia kingine...

AFISA Habari wa Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB), Karim Boimanda ametoa sababu za mchezo wa Dabi ya Kariakoo Post Mpya
AFISA Habari wa Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB), Karim Boimanda ametoa sababu za mchezo wa Dabi ya Kariakoo
@majario LIVE

utakaopigwa Machi 01, 2026 kuhamishiwa katika uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar badala ya Benjamin Mkapa kama ilivyopangwa awali na kubainisha kwamba kanuni zinaruhusu. Akizungumza na chombo kimoja cha Habari...

AAAAH IMETOSHA BOSS๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ N0 70...71๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ N0 70...71๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜
@majario LIVE

Ucjali lia mimi tayari nimeshakusamehe na ninakuombea kwa mwenyezi mungu akuponye uweze kurudi kwenye hali yako ya kawaida.... lia aliomba msamaha kwa paschal kutokana na vishawishi alivyokuwa akimpatia na hivyo...

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 111 na 112 Post Mpya
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 111 na 112
@majario LIVE

Nikasem na mm pia simkumbuki. Rahul akasema unamkumbuka mma.si yule alikua nanibeba . Nikasema simjuh mbona unanilazimisha. Mwanangu si ndo akakumbuk akasema ni elly bibi. Anaitwa bab elly. Uzuri...

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 8 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 8
@majario LIVE

SONGA NAYO.... Basi kama mwalimu nikamwambia Lizy apite akae, kweli na yeye akaenda na kukaa, kisha nikawatazama hao wanafunzi sasa walikuwa wananiangalia hao na mimi nikatoa mimacho yangu yote nje na...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * 5 to 6 Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * 5 to 6
@majario LIVE

Chapter 5 Kulikucha ila hata leo nilichelewa kuamka maaana dada pia inavyoonekana jana alichoka sana hivyoo na yeye pia alilala sana hakuamka pia nikajikuta nimeshtuka saaa moja ikabidi tu niwahi kujiandaa...

Baby Guddu, whose real name is Shahinda Baig, was one of the most loved child stars of her time. The daughter of filmmaker M. M. Baig Post Mpya
Baby Guddu, whose real name is Shahinda Baig, was one of the most loved child stars of her time. The daughter of filmmaker M. M. Baig
@majario LIVE

, she began acting when she was just three years old and quickly became a favorite among audiences for her innocent charm and natural expressions. During the 1970s and early...

Sad ๐Ÿ˜ข : Mtayarishaji mkongwe wa filamu Bollywood  M.M Baig, baba wa aliyekuwa msanii mtoto maarufu wa zamani Baby Guddu, Post Mpya
Sad ๐Ÿ˜ข : Mtayarishaji mkongwe wa filamu Bollywood M.M Baig, baba wa aliyekuwa msanii mtoto maarufu wa zamani Baby Guddu,
@majario LIVE

na aliyeshiriki katika kutayarisha filamu kama Razia Sultan pamoja na kuongoza filamu ya Chhoti Bahu, alikutwa akiwa amefariki nyumbani kwake, msemaji wake bwana Hanif Zaveri amethibitisha. Kwa mujibu wa taarifa Baig...

Nottingham Forest beat Fenerbahรงe 3-0 in the first leg of their UEL knockouts playoffs tie. Post Mpya
Nottingham Forest beat Fenerbahรงe 3-0 in the first leg of their UEL knockouts playoffs tie.
@majario LIVE

Nottingham Forest beat Fenerbahรงe 3-0 in the first leg of their UEL knockouts playoffs tie. The Vรญtor Pereira era is off to a winning start โœ…

Suniel Shetty has been married to Mana Shetty (born Monisha Kadri) since December 25, 1991, and their love story is truly old-school Post Mpya
Suniel Shetty has been married to Mana Shetty (born Monisha Kadri) since December 25, 1991, and their love story is truly old-school
@majario LIVE

. They met back in the 1980s and dated for almost nine years before getting married. Coming from different cultural backgrounds, their relationship did face resistance initially, but love and...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest