Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

*REALLY LOVE Chapter 20
Gonga94 · Stories

*REALLY LOVE Chapter 20

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


fahima hakujibu kitu akarudi ndani naseven nae akarudi ndani, sasa ndonini miseme mbele za watu alisema

fahima

"siili uniamini kama nakazi nyingi alisema. seven

sasa kwani nisipokuamini wewe unaumia nini alisema fahima

unadhani ni rahisi kukaa hivo yani naona haupo sawa halafu nikae tu hujui kama namimi naumia nikikuona hivo alisema seven

"ok twende tukale alisema fahima

sawa ila nimekumiss sana alisema seven kisha akamsogelea fahima na kumkumbatia

"ujue nakupenda sana mke wangu kwahiyo tukiwa na mifarakano siwezi kabisa kuna kitu nimekimiss sana zaidi ya chakula alisema seven huku akimuangalia fahima ambae alitulia.

kwa wakati huo

mh kitu gani aliuliza fahima kwa tabasam

"nimekumiss sana wewe fahima pis nakuomba unipatie tu kidogo mke wangu nimejikaza sana ujue alisema seven kwa hisia mno

lakini mi naogopa sikulle uliniumiza sana alisema fahima

am sorry mamaa haitajirudia tena nakuahidi hautaumia tena" alisema seven

sawa alijibu fahima

nakupenda mwenzio alisema seven

nakupenda pia severni alisema fahima ebwana ee kasauti cha mahaba ka mtoto wakike kalimchanganya seven, alimvutia kifuani kwake.

taratibu akasogea mdomo wake na kumpa romance mtoto wa watu, alitulia nae ndani ya dakika 4 jinsi gani alimmisi mtoto wa kike kisha akaondoa mdomo wake

asante sana mke wangu twende kwanza. tukale kisha tukimaliza nikuogeshe nikuandae vizuri alisema seven

sawa asant pia mume wangu alisema.

fahima basi walifurahi sana wakatoka chumbani.

humo wakiwa wanatabasam fahima akaelekea Jikoni kuendelea na mapishi ya jioni huku seven akarudi sebleni kuongea na familia

muda ulienda sana hatimae chakula cha usiku

kiliandaliwa walikula kisha mzee fahad yeye akamua kuondoka maana muda ulienda mama seven na dada zake wakaenda chumbani kupumzika na fahima akaongozana na seven.

chumbni,

siku hiyo mtoto mzuri aliogeshwa aliandaliwa vizuri ipasavyo kimwili hatimae fahima.

alimtunuku penzi tamu sana seven yaani penzi

la utulivu sana lililomkolea seven kisawasawa siku hiyo walienjoy sana ndipo fahima akajua kumbe mchezo huu wa usiku ni mtamu sana, basi walimaliza na kulala siku hiyo walilala

usingizi mnono kwelikweli,

asubuhi na mapema nyumbani kwa mama

cathe, sikuhiyo calor aliamka akiwa na mawazo. sana, aliwaza mengi sana juu ya mdogo wake, aliamua kumfata nje ambapo ndio cathe alikuwa amekaa tangu alfajiri

naona leo umeamka mapema sana alisema calor

"ndio kaka alisema cathe

nimekuja hapa nina jambo muhimu sana. nataka tuzungumze alisema calor

sawa kaka alisema cathe

kabla ya kuzungumza naomba ujue kitu kimoja, cathe sisi wanaume tunajijuwa ni waongo sana kwahiyo hata ukinidanganya

nitajuwa tu hivi cathe nikweli devi amekubali hiyo mimba aliuliza calor cathe alishtuka sana hakutegemea swali zito kama hilo

nataka uniambie ukweli ili nijue nakusaidiaje mdogo wangu ukinificha haitasaidia kitu alisema calor

kaka nikweli kusema ukweli devi hajaikubari

ameikataa kaka amenikataa namimi pia sijui

nitafanyaje mimdanganya mama ili asinifukuze alisem cathe huku analia

dah usijari mdogo wangu nataka nikaongee na devi pia nikaongee na seven najuwa seven ni muelewa sana anaweza kunisaidia alisema.

calor

kaka seven hatonikubali tena mimi kaka alisema cathe.

usijari niachie mimi alisema calor, muda huohuo akajitokeza baba cathe akiwa amesikia

kila kitu wakati wa maongezi yao, cathe na calor walishtuka walipomuona baba yao waliamini kasikia kila kitu,

"wote njoeni ndani alisema bab cathe kisha akatangulia ndani, nawao wakafuata wakiwa na wasiwasi sana,

upande mwingine wa wapenzi hao wawill seven alikuwa anafungwa vizuri vifungo vya shati alipokaa sawa kila kitu akawa tayari sasa kutoka. kwenda kazini

kwa staili hii mimi sirudi tena nyumbani alisema seven nakufanya fahima acheke

Macha ujinga huko kumbuka leo wote mnarudi nyumbani mama kasema alisema fahima

"yani sirudi nani arudi sirudi kwalile penzi la Jana yani muda wote naliona tu utakuja kuniua fahima we haya tu alisema seven

"sasa seven ujue hivi tunazini mimi sipendi kabisa alisema fahima

"am sorry mke wangu nafanya maandalizi ya ndoa leo ndo nataka nikaandae kadi za mualiko wa harusi alisema seven

"wow nitafurahi halafu leo nataka nitoke alisema fahima

wapi yani usije kuniambia unaenda kwenu sitaki kusikia kabisa hapa ndo ushafika na usitarajie kutoka wewe ndio mama mwenye nyumba hii alisema seven

seven jamani hata sijamaliza mi nilitaka niende kwa agness tu kule bar kumsalimia alisema fahima

aha sawa ila tutaenda wote alisema seven

alokwambia naenda nani yani apa sitoki nitakaa mpaka utakapoondoka namimi nikupeleke na nikurudiahe nyumbani ndo niende

The seven hebu nenda kazini alisema fahima

kazini alisema seven maneno hayo yakamchukiza ghafla tu fahima akatoka

chumbani akiwa amekasirika seven nae akamfuata walifika seblen na kumkuta mama. seven anaandaa chai

"kumekucha nyie vipi asubuhi asbh kugombana tu alisema mama seven

mama mwambie seven aende kazini alisema fahima

"mimi siendi sasahivi alisema seven

"kwani shida nini jamani aliuliza mama seven

sihuyu apa hataki kwenda kazini anataka kufuatana namimi tu alisema fahima aiseee mama seven alishindwa kujizuia akaanza kucheka alicheka sana

sasa seven jamani mkwe wangu yupo nenda kazini mie sinipo leo alisema mama seven

mama uyu anataka kutoka siwezi kumuacha atoke pekeyake apa tunaenda wote na kirudi wote alisema seven

sasa hapo shida iko wapi basi fahima.

mwanangu usijari nenda na seven sawa mwanangu tatizo muelewe mwenzio anakupenda sana na anawivu sana ndio maana hataki utoke pekeyako alisema mama seven

sawa mama fahima alijibu kishingo upandw

kisha akaelekea jikoni, mama seven aliwaangalia sana akabaki kucheka tu

*MWISHO WA SEASON ONE*

Maoni

You're not logged in


Tangazo - SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
Wimbo wenye ubunifu imechanga kiarabu kiswahili na amapiano wimbo wa kushukuru kwa maisha na upendo Sasa sikiliza na ku download hapa gonga94.com
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

*REALLY LOVE Chapter 20



fahima hakujibu kitu akarudi ndani naseven nae akarudi ndani, sasa ndonini miseme mbele za watu alisema

fahima

"siili uniamini kama nakazi nyingi alisema. seven

sasa kwani nisipokuamini wewe unaumia nini alisema fahima

unadhani ni rahisi kukaa hivo yani naona haupo sawa halafu nikae tu hujui kama namimi naumia nikikuona hivo alisema seven

"ok twende tukale alisema fahima

sawa ila nimekumiss sana alisema seven kisha akamsogelea fahima na kumkumbatia

"ujue nakupenda sana mke wangu kwahiyo tukiwa na mifarakano siwezi kabisa kuna kitu nimekimiss sana zaidi ya chakula alisema seven huku akimuangalia fahima ambae alitulia.

kwa wakati huo

mh kitu gani aliuliza fahima kwa tabasam

"nimekumiss sana wewe fahima pis nakuomba unipatie...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/really-love-chapter-20

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi really-love-chapter
REALLY LOVE* Chapter 19
REALLY LOVE* Chapter 19
REALLY LOVE* Chapter 18
REALLY LOVE* Chapter 18
REALLY LOVE* Chapter 17
REALLY LOVE* Chapter 17
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ *sehemu ya 114 na 115*

MY WANGU❤️ *sehemu ya 114 na 115*

1.05K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

993
MY WANGU❤️ sehemu ya 113

MY WANGU❤️ sehemu ya 113

862
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 72...73💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 72...73💘💘

463
REALLY LOVE* SEASON TWO* *SEHEMU YA ISHIRINI NA MOJA*

REALLY LOVE* SEASON TWO* *SEHEMU YA ISHIRINI NA MOJA*

217
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘   N0 74...75💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 74...75💘💘

199
WEWE NI WANGU  SEHEMU YA 10

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 10

195
REALLY LOVE* *22&23*

REALLY LOVE* *22&23*

142
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 8

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 8

96
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 7

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 7

88

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.24K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.98K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.7K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.11K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.51K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.43K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.34K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.33K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.27K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.19K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘   N0 74...75💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 74...75💘💘
@majario LIVE

Hongereni sana kwa jinsi mlivyokaa nahisi nyie ni wapenzi eh aliongea doctor 😍😍 ndiyo doctor wala hata hujakosea huyu ni mke wangu.... paschal alimjibu yule dactari.... jina langu ni...

REALLY LOVE* *22&23* Post Mpya
REALLY LOVE* *22&23*
@majario LIVE

walibaki kushangaana tu, baba cathe alishangaa sana maana hakumfaham mzee fahad lakini alishangaa baada ya mkewe kufahamiana na mzee huyo, pia cathe alishangaa kumbe mama. anamfahamu basi itakuwa vizuri msamaha...

REALLY LOVE* SEASON TWO* *SEHEMU YA ISHIRINI NA MOJA* Post Mpya
REALLY LOVE* SEASON TWO* *SEHEMU YA ISHIRINI NA MOJA*
@majario LIVE

upande wa baba cathe alimuita mkewe hapo seblen unawaona hawa wapumbavu wamekaa wakazani mimi sitasikia akakudanganya kuwa amekubaliwa kumb devi kaikataa mimba sasa cathe sitaongea tena ndoa umeivunja mwenyewe nakupa mda...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 7 Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 7
@majario LIVE

Asubuhi ilifika maana nilikuwa naisubiri kwa hamu kubwa sana maan sikulala na niliona hapakuchi nilikuwa na mawazo sana niliinuka kitandani saa 12 kamili nikajiandaa nikahakikisha nampikia hadi dada angu chakula...

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117
@majario LIVE

Mlige akanambia sikia sio kila wanachosema wazazi wnapatia. Nooo kma mama yako amesema anakupa radhi. Ukiludiana na mm ata mm mama yangu kanambia hivyo hivyo. Lakin faridah mi bila...

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 72...73💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 72...73💘💘
@majario LIVE

Baada ya ile simu ya mme wangu kuita niliipokea mimi kisha nikamuwekea mme wangu sikioni kwa sababu yeye mkononi kwake alikuwa kambeba mtoto..... nilimsikia baba lia akiwa anaongea kwa machungu...

*UTANIITA SHEMEJI* *11-15* Post Mpya
*UTANIITA SHEMEJI* *11-15*
@majario LIVE

*____________________________________* *SEHEMU YA 11* SONGA NAYO.................... Ilituchukua karibu lisaa hadi kufika kituo tunachoshukia , tukashuka Alvin akalipa na kunishikia begi langu la nguo haoo tukashika kichochoro kuelekea huko anakojua yeye. Mda huo tunatembea alikuwa...

WEWE NI WANGU  SEHEMU YA 10 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 10
@majario LIVE

SONGA NAYO..... Nilipomuona Lizy hasira zote zikaniisha, nikabaki naona aibu yani aibu harafu sasa hapa mbele palikuwa pametuna hivyo Nafahamu Lizy alikuwa ameniona So nikabaki najikanyanga kanyaga kama mtoto wa kike "Umepajuaje hapa..??" Nilimuuliza...

Movie: Do Deewane Seher Mein Rating: ⭐⭐⭐⭐ Review: SOOTHING  #SiddhantChaturvedi & #MrunalThakur shine in this raw &realistic love story 🫶 Post Mpya
Movie: Do Deewane Seher Mein Rating: ⭐⭐⭐⭐ Review: SOOTHING #SiddhantChaturvedi & #MrunalThakur shine in this raw &realistic love story 🫶
@majario LIVE

#DoDeewaneSeherMein #DoDeewaneSeherMeinReview Ravi Udyawar handles the film with maturity and restraint. The screenplay avoids melodrama. The strength lies in its emotional authenticity. The dialogues are organic & socially relevant without...

BLACK BUTTERFLY 🦋 1 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 1
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 Anzaaaa “ Hello guys nataka umakin zaidi katika hoteli hii nadhan kila mmoja anajua wajibu wakee kwa wateja okay ...?!?” Aliongeaa msichana mmoja matata sana alionyeshaa yeye...

Rohan Kapoor and Farah Naaz made their Bollywood debut with Faasle, directed by Yash Chopra. They were introduced as the lead pair — Rohan played Vijay, and Farah played Chandni Post Mpya
Rohan Kapoor and Farah Naaz made their Bollywood debut with Faasle, directed by Yash Chopra. They were introduced as the lead pair — Rohan played Vijay, and Farah played Chandni
@majario LIVE

. The film told a simple, emotional love story. Vijay and Chandni fall in love, but their relationship faces strong opposition from her family. It had that classic “rich girl, poor...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 8 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 8
@majario LIVE

Nikaliwa kwenye gari ya bwana wangu na ushirikiano nikatoaa mwanzo mwisho kama chizii vilee. Kama lisaa hivii ndo anamaliza nipo hoii yupo hoiii akavaa nguo zake kimya kimya, mie uso umenishuka...

MY WANGU❤️ *sehemu ya 114 na 115* Post Mpya
MY WANGU❤️ *sehemu ya 114 na 115*
@majario LIVE

Aseeeee nimekuja kustuka namuona mama yangu pembeni na nipo hospital. Nyieee cha kwanza nikashika tumbo langu. Ooh lipo . Mi mwenyewe nilikuwa nataka.kuzaa ssana na mlige najua mema alonifanyia mm...

MY WANGU❤️ sehemu ya 113 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 113
@majario LIVE

Basi bibi mie nilipomaliza kusuka.nikaenda kwangu kupumzika kabisa. Basi siku iyo mlige kanipigia akanmbia njoooo nyakanazi. Mh nikajua anataka mzigo. Mie nikajiandaa mpaka nyakanaza. Akaningiza kwenye gari . Heeee safari...

*AAAAAASH BOSS ENZO 💍❤️*   *SEHEMU YA 01 & 4 Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO 💍❤️* *SEHEMU YA 01 & 4
@majario LIVE

ANZA NAYO…… “Wewe sikiliza umu Ndani teshachoka kukulea sasa, Kazi utaki kufanya, unataka kukaa tu, unataka tukulishe na kukuvisha Binti akili zako Zipo Sawa au ? Sasa...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest