REALLY LOVE* SEASON TWO* *SEHEMU YA ISHIRINI NA MOJA*
upande wa baba cathe alimuita mkewe hapo seblen
unawaona hawa wapumbavu wamekaa wakazani mimi sitasikia akakudanganya kuwa amekubaliwa kumb devi kaikataa mimba sasa cathe sitaongea tena ndoa umeivunja mwenyewe nakupa mda mchache tu jioni sitaki kukuona hapa aliserna baba cathe
"lakini mume wangu unamfukuza mtoto wako kama mbwa kweli ??? uyu situmemzaa wote unataka aende wapi uamuzi unaouchukua angalia usije kujutia alisema mama cathe
"baba cathe kakosea sana istoshe ni mwanao
na msamaha kashaomba kinachotakiwa ni kukaa chini na kuzungumza tujue tunafanyaje nakama devi kamkataa inatakiwa tumpeleke polisi kwanini amchezee mwanai alafu amuache unatakiwa uwe na uchungu baba huyu ni mtoto wako hata iweje alisema calor
"unachosema ni kweli lakini calor haukuwepo wakati mama yako ananijibu jeuri alikuwa hanisijilizi kwa lolote juu ya cathe alikuwa yupo
radhi amsikilize cathe lakini sio mimi mumewe, sasa leo nimuangalie nani nachotaka cathe utoke hapa atakaye kutaka atakufuata alisema baba cathe huku akiondoka, cathe alipiga magoti kuomba msamaha lakini bba yaje hakutaka kusikia iondoke na kuwaacha hapo
baadae kweli seven impeleka fahima hadi bar hiyo agness alipomuona fahima hakuamini alimfata na kumkumbatia alifurahi sana kumuona alifurahi mno
ulipotelea wapi shoga yangu jamani nilikumiss sana alisema agness
acha tu ila nusu iniponza na pia nusu
uneniokoa shoga yangu alisema fahima kisha akaanza kjmuhadisia mkasa mzima tangu sikulle alipopeleka soda chumbani kwa seven mpaka hapo alipo sasa alimuhadithia kila kitu
agness
masikini shoga yangu duh pole sana lakini pia hongera nafurahi kukuona ukishi maisha ya amani sana nanimi jiandae zawadi maisha haya nishayachoka naolewa shoga yangu alisema
agness
Jamani hongera sana sitakosa kwenye hilo nitakuwa nawewe bega kwa bega shoga yangu alisema fahima
asante shoga yangu halafu fatuma alikuwa anakuja hapa ety kukuulizia shoga nilikuwa nampa vidonge vyake anaenda kunywa na maki huko mbele alisema agness wote wakacheka
usiniambie ko Ikuwa unamchambaaaa" alisema fahima
"ndiyo yani nilikuwa namchamba kisawasawa
hadi leo kakoma kujaa halafu nikaja kusikia amefumaniwa shoga kapigwaaaaa he yani natamani siku wakuone ulivyo pendeza nahisi roho zitawatoka alisema agness basi walicheka na kifurahi sana
shoga sasa mbona shem nae kaja huku alisema ag
unauliza tena he yani yule karna mlinzi unavo
muona kila napoenda nyumaaa kila kona nyumaa wivu umemjaa mpaka unamwagika ko pale anavoniona roho yake saaafi mwenyewe
alisema fahima basi agness akacheka san walifurahi sana kwakweli mashoga hao walipendana sana, basi hatimae wakaagana na
kuondoka zao
upande mwingine kazini kwa mzee fahad alikuwa yupo bize kwelikweli na kazi mara simu yake ikaita ghafla ilikuwa namba ngeni ikabidi aipokee akaipokea ikasikika sauti ya mwanamke
akilia sana
"unashida qani binti aliuliza mzee fahad
baba mimi ni yule dada wa sikuille ulonisaidia gari yangu naitwa cathe alijitambulisha
ooh sawa sasa mbona unalia hivo shida nini alisema mzee fahad
nina matatizo makubwa bab yangu naomba uje hapa kwetu nitakuelekeza kwakuwa wewe ni mstaarabu naomba unisaidie alisema cathe
sawa mwanangu lakini ilibidi kwanza uniambia tatizo jikija nijue nakisaidia vipi na nijue naanzaje alisema mzee fahad basi cathe
akaanza kumuhadisia mambo yote kuhusu maisha yake hadihapo lengo la kumuita mzee fahad nikuja kumuombea msamaha kwa baba yake ili yeye asifukuzwe, mzee fahad alisikitika sana akampa pole ikabidi aage kazini kwao na kuanza kwenda nyumbani kwa kina cathe
ambapo ashaelekezwa
upande mwingine katika apartment ya devi siku
hiyo devi aliingiza mwanamke ndani yani kazi
yaje ilikuwa kulewa tu na kuingiza wanawake
mpaka hapo alibakia oesa chache sana
katika akaunti yake maana aliendekeza sana starehe basi akiwa katikatiya starehe zake na mwanamke wake mara mlango ukagongwa kwa
fujo sana yani uligongwa kwa fujo mno
devi akaenda kufungua akiwa amekasirika sijui
nani huyu anayekuja kituvurugia mood yetu pumbavu sana alifika na kufungua mlango
aiseeee hakuamini baada ya kumuona calor kaka yake cathe, calor alimsukuma devi kisha akaingia hadi ndani.
"kwahiyo umemtia mimba mdogo wangu halafu unamuacha unastarehe na hao kahaba wenzio eeeh si ndio alisema
halafu usinlite kahaba umekuja katika majumba ya watu hata salamu huna anaanza
kutukana wewe unajuwa chanzo chake uyo dada ako tamaa zake ndo zilimponza na malaya sana sio mimi tu anawanaume kibao sasa nitaikubari vipi mimba kama sio yangu je alisema devi nyingine
maneno hayo yalimchoma sana calor alimpiga ngumi devi kwa hasira kisha akamuongezea na
mshenzi mkubwa wewe tena koma kumuita mdogo wangu malaya wakati wewe ndo malaya
mchafu takataka wewe wakati unamtongoza hukujua kama anawanaume hukujua kama
anamchumba kilichokufanya umtongoze nini
kana sio ushoga huo alafu unajifanya kidume sio wewe si jeuri haya pigana hapa nipo leo pigana alisema calor kwa hasira sana
uondoke alisema dwvi
oya usinichukulie poa sikuogopi naomba
"nani aondoke wewe mbuzi nini yani hapa nimekuja kujua moja tu utamuhudumia mdogo wangu au humuudumi alisema calor kwa hasira sana
amuhudumie nani aende kwa mabwana zake
huko alisema devi kwa jeuti sana
"hahhah et ee basi usijari ataenda ila devi kama ulivoyaharibu maisha ya mdogo wangu namimi nakuhakikishia nitayaharibu maisha yako na
utajutia sana kwaheri alisema calor na kuondoka devi alibaki akiwa anacheka tu
ety wananitishia pumbavu zenu haya fanyeni
mnachotaka nyau nyie alisema devi kisha akamfata mwanamke wake na kuendelea na starehe zao,
nyumbani kwa seven aliwasili akiwa na mpenzi
wake fahima waliingia ndani na kumkuta sarafina pekeyake mama yuko wapi? alisema seven
wamepata ugeni nyumbani wa shangazi eriko kwahiyo wameondoka alisema sarafina
"ah haya ko umebaki wewe cha umbea alisema seven
"ndiyo nataka nichunguze umbea alisema sarafina
muone kwanza umbea tu alisema seven kisha akaongoza kwenda chumbani akimuacha fahima na sarafina
wifi nikupe umbea alisema sarafina
hhhaahaha nipe alisema fahima
muda sio mrefu utanunuliwa bonge la zawadi alisema sarafina
"weee zawadi gani hiyo aliuliza fahima kwa
shauku
weeee mimi mwenyewe kaka hajaniambia anajuwa nitasema tu ko hata sijui ila ndohivo alisema sarafina
"Jamani wanatabia mbaya tu ngoja niende mara moja chumbani asant sana my wifi alisema fahima kisha akatoka kuelekea chimbani alipo
seven
upande mwingine mtaani uswahilini alionekana kijana calor akiwa na vijana watano
akizungumza nao walikibaliana biashara hiyo kisha wakapewa pesa kila mmoja baada ya hapo wakasambaa na calor akageuza kurudi nyjmbani kwao
huku mzee fahad alifika mpaka alipoelekezwa alifunguliwa geti na mlinzi kisha cathe akaja alifurahi sana kumuona mzee huyo
akamkaribisha hadi ndani seblen akaenda
kumuita mama yake kumtaarifu ugeni huo, baada ya dakika tatu mama cathe alifika seblen hapo akiwa na mumewe,
mzee fahad alipomuona mama cathe alishtuka sanaa mnoooo na mama cathe nae alishtuka wakajikuta wanaitana
fahad?
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi
Maoni