Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MY WANGU❤️ *sehemu ya 114 na 115*
Gonga94 · Stories

MY WANGU❤️ *sehemu ya 114 na 115*

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


Aseeeee nimekuja kustuka namuona mama yangu pembeni na nipo hospital. Nyieee cha kwanza nikashika tumbo langu. Ooh lipo . Mi mwenyewe nilikuwa nataka.kuzaa ssana na mlige najua mema alonifanyia mm basi ata niwe na kumbu kumbu yake tu.. mama akainukaaa . Akaendaa kumuita daktari aseee ile daktari kafika tu. Nikamuuliza vp kuhusu mimba yangu. Akanmbia tulia faridah. Kuipata kazi kama hizi nichek mm mtunz kwa namba sefurisaba nanesita sabatisa sitatatu sitatatu.usinunue kwa wez utaumia sana. Mimba ipo sawa japo imepata mtikisiko kidogo. Ila ipo sawa na upo salama kabisa. Aseeee ndo nashusha pumzo. Nilikuwa nasikia maumivu sana ..mwilini koteee. Yni kunauma aseeeee.. mama wala hakuongea na mm. Nikajua kakasilika . Mh na apa nishaumbuka na kila kipo wazi kuwa bibi mie nilikuwa natembea na mlige. Mh aibu mnoo. Mama alikuwa kavimba kweli.kweli. mda uo uo mlige ndo anaingia hospital .ni anatwetwa nakwambia.ata hajamsalimia mama

Amefika anahema ananiuliza unaendeleajee. Mama yangu faridash nambie kakumiza wapi. Vpo kuhusu mtoto wetu.mi.mpaka naona aibu mana mama.ni anatuchora na mjicho mkari mpaka nikawa naogopa. Mlige ata hajali yani. Nikasema elly mi niko powa naendelea vzur. Akanmbia nambie mimba haijtoka. Akasema hapana haijatoka. Et anambia inuka twende. Khaaaaa . Mama akamwambia we mlige unataka kumpeleka wapi mwanangu. Et mlige ndo anastuka. Ahaaa mama kumbe upo shikamoo. Mama akasema marhaba aya muache apo anaendelea vizur. Mlige akasema.ahaaa sawa mama. Mma akamwsmbia alfu wewe mlige we si una mke wewe. Kwaiyo ulikuwa unamsaliti mkeo unakuja kutembea na uyu mjinga mwenzio mpkaa mmetiana mimba. Unaona leo mkeo alichomfanya mwanangu anataka kumuua..na kuniita mimi mwanga nakuroga wewe. Mlige akasema. Samahani mma. Mama akamwambia ebu ondoka kwanza apa hospital. Mlige akaniangalia mimi.nikamkonyeza kwamba aende . Mlige akanmbia ntakupigia. Kisha akaondoka. Mie nikabaki na mama ni ameninunia ile mbayaaa jamani

Basi Asubuh ndo tukaruhusiwa pale hospital nikiwa naendelea vuzur tu na bills zote alilipia mlige . Nyieee mama ni kaninunia vibaya sana. Tumefika nyumbani kimewaka.nyieee mama kaniwakia ile mbayaaa. Alinisema alinambia we una akiri wwwe. Kwaiyo wewe na shoga yako ya mnashea bwana si ndio. We si ulisema humtaki wewe. Leo kiko wapi na mimba umembeba fisadi mkubwa. Mie kimya. Mama akiongea sana akanmbia unananidhalilisha mm mshenzi wewe. Mie nikanyamaza kimyaaa .mama aliongea sana . Mi.nikaingia zangu chumbani . Nikajipumzisha .mda uo uo mlige ananipigia .mie nikapokea uku nalia .mloge akanmbia naomba usilie kabisa. Naomba unyamaze faridah swa naeleea setuation unayopitia.

Na mm napitia pia. Ila kuwa strong . Nakupenda sana faridah. Naomba tulia na ulilax mwanamke wangu ntakupigia baadae.nikasema sawa kisha nikakata simu. Ile nakata tu . simu nyengine inaingia pale. Naangalia aliyenipigia mh ni namba ngeni . Mie nikapokea .nyiee si mama yake mligee. Nilikomaaa. Nilitukunwa na uyu mama mpaka nilijuta. Alinibadilikia hakuwa yule tenaa. Si anajua mambo niliyomfanyiaga mwane kile kipindi.Alinambia we mtoto huna haya wew. Tena hun aya wala hujui vibaya mshamba wa maisha na mali ww. We si ulipata mwarabu ilukampandisha mapresha mwanngu. Si ulikuwa unataka kuniulia mwanangu leo unamuona mzuri. Eeeh leo unamuona mtamu eeeh..umeenda dar umetombwa tombwa umechunda mpaka umezalishwa. Unakujaa kumsumbua mlige. Sikia nakwambia iyo mimba yako sio ya mlige na kama familia ya mlige hatukutambui tunamtambua mkewe yista tu. Mshenzi mkubwa unanilogea mwanangu msenge ww. Nikaona mambo yasiwe mengi nikakata simu .presha juu juu.

Mh ile nakata simu namsikia na mama anaongea na simu ila anatukanwa piah. anatukanwa kweli kweli mana mama aliweka.simu loud .doooh nilivyochunguza vizur . Nikagundua anaonngea na mama yake mlige. Asee namsikia mama yanggu anajitettea e.et kama mimi mchawi sawa bwana mungu atanilipia. Mi mwenyewe sikuwa najua lolote. Nyieee mama yangu kugombana hawezi kabsa. Ila leo namponza mama yangu anatukanwa rohooo iliniuma sana. Moyo uliuma mnioo. Yani nikawa najisikia vibaya sanaaa. Vibaya mmnooo . Aseeee nikasikia mma mpka analia kisha akata skmu. Akaja chumbani kwangu na hasira . Akanambia kwa nn unanidahlilidha wewe. Ona leo mie natukankka mchawi kwa ajili yako .kwanini huna akiri na hauna msimamo wewe. Kuipata kazi kama hizi nichek mm mtunz kwa namba sefurisaba nanesita sabatisa sitatatu sitatatu.usinunue kwa wez utaumia sana.Mwanaume kashaoa unaenda kumpanulia mapaja.yako mshenzi wewe. Mie kimyaa eeeh mama sijuh ndo hasira aknifata. Akaanza kunipiga mangumi ya mgongo. Na hali yangu hiii. Nililia nyieee.mama Akaniachia akanmbia yani wewe nataka uachane na mlige mala moja na ukiendelea nae nakupa radhi .nakwmabia. nakumwagia radhi mmi. Utaenda kutafuta mama yako alokuzaa labda sio mm. Mh mie nikawa nalia tu. Mama kafikia hatua kubwa mpaka anataka kunipa radhi

Nyieee mie nikatulia . Usiku mwanaume ananipigia.sikumpokellea . Akapiga ttena sijapokea . Akapiga tena.sijapokea.nikamtumia sms .nikmwambia kuanzia. Leo mimi.na wewe basi.mi.mimba ntatoa tu. Baki.na mkeo . Mama anataka kunipa radhi mi siwez tena mligee. Asee mlige. Akanipigia simu. Akanmbia wewe usipanik nakuja apo kwenu .nikifika mitaa ya apo kwemu ntakustua uje tuongee.nikasema mimi sitaki. Na elewa tu kuwa sikutaki. Mama yako. Kanipigia simu kanitukana na kamtukana na mama yangu.mi siyatakia aya mahusiano.mlige akasema umezoea kuniacha au sio. Sikia sasa we kumamako safari hiii siachiki unanielewa wewe. Na nakufata apo apo kwenu sasa ujue kama nimepagawa . Mbona nilishngaaa mlige leo anatukana. Ata sinamjibu kanikatia simu .

Nikamkatia simu kisha nikamblock. Doooh dakika chache .nasikia mlango unagongwa kwa nguvu. Mie nilikuwa nipo chumbani kwangu ata sielewi. Dakika 2 mlige kaingia mpaka chumbani. Akafunga na mlango . Tukawa wawili tu. Apo mama anaggonga mlango wangu kwa nje et we mlige toka uende kwa mkeo usinitafutie mabalaa mimi.nimesema nenda kwa mkeo sitaki kesi. Mm nilishangaa nilimwambia elly umefata nn. Akanambia nimekufata wewe . Sikia faridah. Acha kuangalia mioyo ya watu
Ebu tujiangalie mimi na wew. Naelewa sana kjwa wewe unanaipenda mimi. Na hunipendei. Pesa. Faridah una hisia za kweki na mimi kumbuka mimi ndo nimekufundisha mapenzi ww ..na mimi ndo mwaname pekewe nakupeda ssna wewe. Leo unatka kuua mtoto wangu kisa. Sikiiza sio mama yako wala mama yangu anaeweza kutuingialia mimi na wewe au umezoea kuniacha na kunipa maumivu killa.siku ebu nambie nambie faridaah. Mh nikawa natetemeka nampenda kweli uyu baba ila mama kanambia atanipa radhi maogopa mimi . Nikasema hapana mlige mi sitaki aya mahusiano .we baki na mkeo .mlige akapiga ngumi ukutani kwa hasira uku anatetemeka mh

🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴

Maoni

You're not logged in


profile
Said 21 Feb 2026 06:30
MMMH NAOGOP SAS MAPENZ YA KWEL YAPO HASWA KWA WA BABA WATU WAZIMA
Tangazo - Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Mwanangu Mungu ndio anae jua
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MY WANGU❤️ *sehemu ya 114 na 115*



Aseeeee nimekuja kustuka namuona mama yangu pembeni na nipo hospital. Nyieee cha kwanza nikashika tumbo langu. Ooh lipo . Mi mwenyewe nilikuwa nataka.kuzaa ssana na mlige najua mema alonifanyia mm basi ata niwe na kumbu kumbu yake tu.. mama akainukaaa . Akaendaa kumuita daktari aseee ile daktari kafika tu. Nikamuuliza vp kuhusu mimba yangu. Akanmbia tulia faridah. Kuipata kazi kama hizi nichek mm mtunz kwa namba sefurisaba nanesita sabatisa sitatatu sitatatu.usinunue kwa wez utaumia sana. Mimba ipo sawa japo imepata mtikisiko kidogo. Ila ipo sawa na upo salama kabisa. Aseeee ndo nashusha pumzo. Nilikuwa nasikia maumivu sana...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/my-wangu-sehemu-ya-114-na-115

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi my-wangu-sehemu-ya
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.
MY WANGU❤️ sehemu ya 108
MY WANGU❤️ sehemu ya 108
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107
MY WANGU❤️ sehemu ya 118
MY WANGU❤️ sehemu ya 118
*MY WANGU❤️*   *sehemu ya 109 na 110*
*MY WANGU❤️* *sehemu ya 109 na 110*
MY WANGU❤️ sehemu ya 111 na 112
MY WANGU❤️ sehemu ya 111 na 112
MY WANGU❤️ sehemu ya 103
MY WANGU❤️ sehemu ya 103
MY WANGU❤️ sehemu ya 113
MY WANGU❤️ sehemu ya 113
MY WANGU❤️ sehemu ya 94 na 95
MY WANGU❤️ sehemu ya 94 na 95
MY WANGU❤️ sehemu ya 96 na 97
MY WANGU❤️ sehemu ya 96 na 97
MY WANGU❤️ sehemu ya 100
MY WANGU❤️ sehemu ya 100
MY WANGU❤️ sehemu ya 47 na 48
MY WANGU❤️ sehemu ya 47 na 48
*MY WANGU❤️*   *sehemu ya 98 na 99*
*MY WANGU❤️* *sehemu ya 98 na 99*
MY WANGU❤️ sehemu ya 101 na 102
MY WANGU❤️ sehemu ya 101 na 102
MY WANGU❤️ sehemu ya 71 na 72
MY WANGU❤️ sehemu ya 71 na 72
MY WANGU❤️ sehemu ya 51 na 52
MY WANGU❤️ sehemu ya 51 na 52
MY WANGU❤️ sehemu ya 89 na 90
MY WANGU❤️ sehemu ya 89 na 90
MY WANGU❤️ sehemu ya 76 na 77
MY WANGU❤️ sehemu ya 76 na 77
MY WANGU❤️ sehemu ya 93
MY WANGU❤️ sehemu ya 93
MY WANGU sehemu ya 40
MY WANGU sehemu ya 40
MY WANGU❤️ sehemu ya 74 na 75
MY WANGU❤️ sehemu ya 74 na 75
MY WANGU❤️ sehemu ya 86 na 87 Wenda mpangilio umekosewa endelea kusoma
MY WANGU❤️ sehemu ya 86 na 87 Wenda mpangilio umekosewa endelea kusoma
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85
MY WANGU sehemu ya 38 na 39
MY WANGU sehemu ya 38 na 39
MY WANGU❤️ sehemu ya 73
MY WANGU❤️ sehemu ya 73
MY WANGU❤️ sehemu ya 44 na 45
MY WANGU❤️ sehemu ya 44 na 45
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70
MY WANGU❤️ sehemu ya 88
MY WANGU❤️ sehemu ya 88
MY WANGU❤️ sehemu ya 49 na 50
MY WANGU❤️ sehemu ya 49 na 50
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50

1.19K
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 48 na 49

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 48 na 49

1.14K
*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52*

*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52*

488
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39  na 40

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39 na 40

242
SHAMIRA Sehemu ya 48

SHAMIRA Sehemu ya 48

77
BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha!

BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha!

30
Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station.

Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station.

13
#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda

#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda

4
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.68K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.41K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.82K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.31K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.91K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.84K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.69K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.68K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.63K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.57K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda Post Mpya
#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda
@majario LIVE

Estaste, Kinondoni baada ya HR Mkuu Mzee Shilatu na msimamizi Steven Diallo kuning'oa kutoka Ebony FM, Iringa. Nikapokelewa na Tom Chilala, Wiltrudies Mutembei @wiltrudiesmutembei kisha wakanikabidhi kwa "Semaji"...

*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52* Post Mpya
*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52*
@majario LIVE

Daaaah nilishangaaaa sana kwamba aya mambo yamekujaje kujaje, na mbona sielewi, nikasema mama sijaelewa yani kwamba umesema? , mama akanmbia nilishaongea sana na wewe millan, juu ya suala la wewe...

SHAMIRA Sehemu ya 48 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 48
@majario LIVE

Wassap;0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Akasema mimi pia nimekula njoga nikaoge basi chapi chapu. nikase​ma sawa. Kweli mwanaume akaenda kuoga nikabaki nimetulia tu na baada ya mda akatoka akanifata...

Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station. Post Mpya
Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station.
@majario LIVE

Binafsi nilikuwa napenda sana vipindi vitatu pale RFA , 1 - Sindano 3 za moto, asubuhi na Fredwaa...!! 2 - Sitosahau na Sky Woker 3 - Showtime bongo moja ya show za...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39  na 40 Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39 na 40
@majario LIVE

39 MPAKA 40 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Nilitukana kweli kweli kwemye gari umo. Ila barka hakunijibu alikuwa busy na kuendesha gari. Akawa ananipeleka mlandizi ukoo. Nikasema wewe mjinga unaenfa...

BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha! Post Mpya
BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha!
@majario LIVE

Nikikupenda mimi inatosha, acha kuwa na presha, acha kuhangaika na ndugu zangu, kama wakikupenda ni ziada tu lakini haibadilishi chochote! Nani alikudanganya kuwa wanapaswa kukupenda! Mimi mwenyewe sina uhakika kama...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Basi bwana penzi likanoga mpaka mwezi ukakata, apo zena alikuwa na wasi wasi kuwa ntamuacha ,ila mi wala sikuwa na ayo mawazo kichwani kwangu ata kidogo, kila siku namuona...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Basi bwana penzi likanoga mpaka mwezi ukakata, apo zena alikuwa na wasi wasi kuwa ntamuacha ,ila mi wala sikuwa na ayo mawazo kichwani kwangu ata kidogo, kila siku namuona...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 48 na 49 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 48 na 49
@majario LIVE

Daaah mchumba ndo kashanikatia simu mi nafanyaje sasa ,basi nikaweka simu pembeni tu, kisha nikapanda kitandani, nikavuta shuka , nikapumzika na asubih sana nikaamkia kazin na mwanangu lbraa,ibra akaniuliza...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 38  na 39. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 38 na 39.
@majario LIVE

kipande cha 38 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Basi ndo hivyo . Nikaikosa ndoa na bwana barka.na nikawa busy na maisha yangu . Na mambo yangu. Na nikazidisha mapenzi tu kwa...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 36 na 37 namba zilikosewa endelea kusoma. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 36 na 37 namba zilikosewa endelea kusoma.
@majario LIVE

36 MPAKA 37 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Maua akasema khaaa yani unanitukana mimi. Kwaiyo mimi naweza kuolewa na kaka yangu. Nikasema yaa unaweza sasa kisebengo cha nini. Nakuona sana tangu...

SHAMIRA Sehemu ya 47 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 47
@majario LIVE

Wassap; 0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi shost alivyotoka kuoga akanmbia shamira shoga yangu nisamehe kwa yale maneno nilokwambia basi. Nikasema yapi? Akasem si yale ya kukwambia ukatoe mimba...

SHAMIRA Sehemu ya 46 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 46
@majario LIVE

🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀 Mwandishi; lissa wa huru media Nikaona aisha kakasirika akanambia sawa kama unataka kulea iyo mimba na kuzaa. Ile kulea mtoto ni gharama umae ukielewa hilo suala mapema . Mana sio...

*AFANDE MILLAN😎* *46&47* Post Mpya
*AFANDE MILLAN😎* *46&47*
@majario LIVE

Nakumbuka kuna kipindi ,nilisafiri na ibraa kikazi kwenda moro , apo nilishamuaga zena kuwa mm nasafari naenda moro kikazi, ntakaa siku 2, akanmbia hakuna shida, basi mm nikawa...

SHAMIRA 44 kwa 45 Post Mpya
SHAMIRA 44 kwa 45
@majario LIVE

🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀 Sehemu ya 44 Mwandishi; lissa wa huru media Aseeee tulichoka mno na shoga yangu asa mimi jamani.nafanya nini na hili tumbo na mwanaume hanitaki. Na ameshakana kuwa hii mimba sio yake...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest