MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85
Basi bwana nikaingia ndani ya gari ya mlige . Daaaah uko njiani ni anaona kama hatufiki . Mala kanishika ziwa . Mala kanishika kiuno kabinya mhh yani acha . Mala anannmbia njooo basi ukae apa juu yangu. Yani mlige et nikakae juu yake uku ana drive uyu baba ana shida kweli. Basi bwana akadrive mpaka kwake. Tumefika tumeanzia seblen. Hataki kunielewa .ni kisss tu. Mala kanishika hivi mala kanishika vile. Oooh kilinukaaa . Baba anapilika uyu. Weeeee akinishika . Aswaaa. Alinitoa mnooo. Yani nakwambja ata mimi hizi fujo nilizimiss mnooo. Mlige anafujo sana kweenye sex. Ananikunjaaa mpaka nachanganikiwa. Yani saaa 6 mlige ndo ananiachai. Nipo hoiiiiiiiiiii. Akanmbia pole mama .nilikumiss sana mke wangu. Mie nikamsogelea nikambusu nikamwambia wala usijli nimekumiss zaidi asante na nkmeinjoy. Mlige akanmbia okey mama. Apo njaa inauma. Mlige akanmbia ndani kuna kila kitu ila hajapika. Basi tukaenda kuoga. Mie nilipotoka . Nikaenda kupika sasa. Na baada ya chakura tukaja kupumzika.
Basi bwana na baada ya week mm nikaanza field nyakanazi hospital. Na mlige kila siku yeye anakuja kunifata home kwa wazazi . Ananipeleka nyakanazi ndo.anaingia kazinj. Kuludi pia ananifat jioni sana. Ikawa hivyooo. App shoga uangu yusta nae aliludi akawa anafanya field ya kufundisha shuleni kwa mlige kabisa . Wala hakusumbuka yani. Mlige alimpa nafasi haraka tu. Basi shoga yenu siku za week nakuwa na mlige . Apo anataka simu yangu akae nayo. Basi naomba mnoo zayd asije akanipigia kwa namba ngeni. Mana yeye kama yeye nilishamblock . Ila nashukuru hakunitafuta. Ila mlige sasa alitulia . Yani ata nikishika simi yake . Ni hakuna kitu . Kama anafanya anajua kuficha jamani. Basi ikapita miez 2 mie ninamaliza field. Nikawa nipo nyjmbani tu ile kupumzika .
Mala leo nipo kwa mlige mala kesho nyumbani hivyo. Nikiwa na hami na kupiga story kwa shoga yangu yusta. Mpama likizo ikakakta .ikabidi niludi kuendelea na mwaka wa pili wa masomo. Na baby ndo akaniluidisha dar . Akanilipia kodi tena . Mana ilikuwa inaisha na kila kilichokuwa kimeisha akaninunulia na akakaa kwangu siku 3. Akaludi kagera kuendelea na majukumu yake. Na mie nikawa na3ndelea kupambana na chuo.
Ikapita miezi 3. Nipo busy na mlige wangu na masomo. Zayd hakunitafuta kabisa. Mpaka mie ikampotezea . Na ata angel alinambia hajamuona zayd mda sana. Bsi mie nikawa busy na mamabo yako. Siku iyo sasa natoka chuo . Nipo na angel. Yani ile natoka nje getini tu nikastuka mnooo. Namuona zayd ameegeme gari. Yake. Khaaaaa uyu nae kaja kufanya nn . Aliponiona akaja mpaka nilipo akatusalimia .et hi warembo. Mh angel akamchangamkia mnooo. Yani alimchangamkia kweli kweli. Si shobo tena kaka ana pesa. Basi akanigeukia mm et daah sijakuona mda nilisafiri kidogo mama nilikiwa dubai kibiashara. Mie nikasema sawa. Akanmbia vp tunaweza kuongea . Nikasema hatuwez mi nna haraka. Angel akadakia akasema we nae vp msikilize mbana . Kwano si mala moja tu. Zayd akasema bola angel unisaidie kumuelezea uyu mrembo . Mh zayd akanmbia huchelewi tunaongea tu chapu. Basi nikakubaki kunsikiliza na tukaingia kwenye gari yake.
Zayd akanmbia mam bado una hasira na mm. Et mchumba . Umeniblock hutaki ata kuongea na mm. Acha mambo ayo mama. Mi nakuoenda seripus faridah .mi nakuelewa kweli kweli. Kwako mm nimezawa nakwambia kabisaaa. Ata unifanyaje mi ntakusunbua tu na hivi nisharudim bola unikubali tu kama vp . Mi ntakuzingatia kwa kila kitu na jamaaa hataelewa lolote. Mh nikasema plssss mi sihitaji kuwa na ww. Kwanza yule mwanaume mm nampenda . Cha pili na yeye ananipenda sana . Anafanya kila kitu kwa ajili yangu . Mpaka kajengea wazazi wangu .nyumba ya kisasa na yeye ndo ananisomesha . Unazani mi nawezaje kumsaliti..ebu niachee. Akanmbia tulia mama .hivyo vitu anavyovifanya uyo jamaa ata mm kama ningekutana na ww unazani nisingefanya . Sasa nipe chancee nikuoneshe kiwa naweza kukufanyia vitu vikubwa zaidi vya uyo bwana ako plsssssss
Mi nikasema hapana sitaki. Nikataka kushuka kanizuia ila nikamsukuma nikashuka.nikakodi bodaaa uyo mpaka nyumbani. Ila sasa kuanzia apo zayd nfo alizidisha kunisumbua. Alijuwa ananisumbua mnoooo. Yani ana piga simu kila siku na namba mpya na anakuja sana kwangu kugonga. Yani ilijuwa ni shida. Kunifata chuo ndo kila.siku . Anaifata mimi ndo namkimbia ikawa hivyo.. ila sijuwa kumuemleza mlige ata siku mojaa mimi. Na bado tupo vozuri tuu. Na huduma zote ananipa . Nakumbuka iyo siku ilikuwa ni birh day yangu. Nilikuwa natimiza miaka 23. Asubuh tu mlige alinipigia simu akaniwish nakwambia. Akanmbia nakutumia pesa ununue chochote unachokitaka leo . Nikafurahi nikasema sawa baby. Mh kuchek kwenye simu kaniingizia mili 1. Nilifirahi jamanii.nikampigia nikamshukuru mnooo. Akanmbia mi napenda ukifurahi mke wangu enjoy siku yako.
Basi bibi mie nikajiandaa zangu kwa rahaa mno si nimejaa uyo nikaingia zangu chuo. Asa angel akanmbia shogaaa leo si birthday yako. Nikasema ndio akanmbia kuna sehemu nataka unipelke .nikamuuloza wapi . Akanmbia kigamboni kuna part ya rafiki yangu sa si twende tu tukasherehekee. Nikamuuliza ni saa ngapi mana mi namjua mwanaume wangu .apendi nizulule. Akanmbia ni saa 10 jioni mpaka saa 2 usiku inaisha. Nikaiona mbona ni muda wa kawaida tu na wala haiyosumbua mana nna weza kudanganya nilikuwa chuo piaa. Basi kweli midaa ya saa 9 sie tukatoka pale mpaka kigamboni . Sehemj mona inaitwa cheka kukikuwa na hotel flni nzuri na kumepoa sana. Nikamuuliza ndo apa kuna iyo party ya rafuki yako akanambia ndio. Jikasema powa kweli tumefukaaaa. Na nikaona kuna wtu pale..kila mtu na mpenzi wake na sie yukajumuika nao. Basi palichangamka.tu kulikuwa na vinyajii mnooo. Nikamuuliza best yako mwenyewe ni nanai. Akanambia utamuona tu bado hajaja. Mh basi tukaka pale mpaka saa 12. Nikamwmabia angel mi nataka kuondoka mda ushaisha. Angelakanmbia ngojea kidogo mpaka biryhday girl afike bwana .tunaonfoka saa moja nikasema.sawaaaa . Tukaw yunakunywa wine pale taratibu
Heeeee si naona anaingia zayd kapendeza kweli kweli. Nikiwa abado sijaelewa nn kinaendelea . Watu wote wakanigeukia wakaanza kuniimbia wimbo wa birthday. Et kumbe biryh day girly nilikuwa ni mm. Mh ilikuwa gafraa. Sikupenda yani ila sasa nafanyaje mbele za watu. Mie nikajikausha. Zayd akiniletea maua mekundu makubwa na mazuri akanikabiz pale . Mh asa nkataaje mbele ya watu . Ikabidi nipokeee tu. Kisha ikaletwa keki pale. Ilikuwa ni keki nzuri na very lixury. Nikakata pale. Na baada ya kukata niliwalisha watu wote pale. Baada ya apo . Sasa zayd akaomba kuongea . Akasema katika hii dunia hakjn mwanamke nampenda kama. Faridaah. Ni mwanamke mpole na mtaratibu mnoo. Ni mwanamke anayejielewa na kujiheshimu. Ni mwanamke wa ndoyo zangu nakupenda sana. Mh mm sikujibu kitu. Ila watu wakawa wanashangilia mnooo pale. Akanmbia kayika siku yako hiii muhimu .nimeaandaa zawadi ndogo kwa ajili yako. Akanishika mkono akaanza kunitoa njee ya hotel. Uku wayu wote wanatufauta. Nyieeeeeee nilipelkwa njee nakut gari aina ya prado nyeusi. Nyieeeeeee mbona sikuamini. Plate namba imeandikwa FARIDAH.
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi