Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MY WANGU sehemu ya 40
Gonga94 · Stories

MY WANGU sehemu ya 40

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

Nyieee mlige hakuamini ukapita mwez atuongei .tena bola ya mm nilianza kupona na moyo ukawa unatulia. Na ata nyumban nikawa na raha na nikaludi katika hali yangu ha kawaidi. Nyie yye kila siku ndo anazidi kuwa mojaa. Yani mpaka yusta alinambia wr unajua mlig anakonda sana . Ama ana matatizo ya kifamlia au mapenzi yako ndo yanamtesa. Nikasema matataizo ya kifamilia itakuwa . Sikuwa na habari nae mie.

Basi siku iyo nipo class. Akaja kunifata sir tupa . Et samahani faridah njooo. Asa mie sir tupa mshikaji wangu tu. Wala sikuona shida nikanyanyuka basi sir tupa akanmbia nifate. Mie nikamfata. Na kweli tukaenda mpaka muembeni nikakuta kuna viti 4 Akanmbia kaa apa.mie nikakaa . Kisha na sir tupa akakaa. Hee mala namuona mligna yeye anakuja kaisha yani mpaka anapepeseka . Kaja nae kakaa .nikajua mh kumbe anataka kumuongelea uyu mpumbavu. Sir tupa akanmbia faridah mwanangu. Unamuomuona mshikaji hali yake. Si unamuona. Utamuua yaishe basi . Yaishe plssss. Unajua farida wanaume tuna tamaa sana. Wanaume tunacheat na kusaliti sana. Lakini haimanishi hatuwapendi tulionao. Farida ni kweli jamaa kakosea. Na uyu ni mkubwa kwako lakini haimanishi hakosei anakosea .na anapokosea anaomba msamha. hakuna lisiloisha farida fungua moyo. Apo mlige kabaki kimya anaingalia kwa huruma mno

Mie nikamuuliza sir tupa hili ndo uliloniitia apa. Mlig akasema farrida tuyaongee mama angu nakupenda sana . Nakuhitaji sana. Nna malengo na ww. Mm bila ya ww faridah siwez . Nimekosea faridah nisamehe plsss nakupenda mama yangu. Sir tupa akasema faridah acha hizo ona mtu mzima analalamika kwa ajili yako. Farida utalaniwa . Sio sawa bwana ebu msamehe jamana. Madam zai ashobo nyingi sana tu. Wala jama hamtaki na atahudumia mtoto wake tu. Na muda sio mrefu ana hama apa. Ebu tuliza hasira alafu msamehe jamaa.kwani humpendi mlig ww. Mbona ata ww unampenda sana. Ebu msijitese bwana sameaneni yaishe yanaongeleka aya faridaah .nimamuuliza sir tupa umemaliza . Sir tupa akasema sikiliza..... ata hajaongea kitu mie nikanyanyuka zangu. Nikaanza kurudi darasani. Eeh nashangaa mlige kanikimbilia kanishika mkono. Machozi yanamtoka.et ooh farifa anmbie nifanye nn nambie mke wangu. Nimekuzoea sana farida. Nikamwambia labda uachane na mm na ufate maisha yako.kisha nikamputa mkono uyo nikaingia darasani.

Aseee po ndo ukawa mwanzo wa tupa kuanza kunibembeleza nimsamehe mlige. Ila sikutaka nilikaza kweli kwrli. Kuwa simtaki yani simtaki tu sfanye maisha yake. Basi ikawa hivyo mapaka ikakata week 3. Apo nna bifu na madam kweli kwrli. Sijuh na wao walikuwa wanamtaka mlige sijuh ni bifu tu . Ata sikuwa nawaelewa yani basi tu. Siku iyo sasa tunaludi shule nipo na yusta. Mh nikasimamaisha na mkaka mmoja yupo na kidato cha nne anaitwa hali . Nyieee uyu kaka nae alikuwa ananifatilia sana ila sikuwahi kuwa na mda nae kabisa. Ata mda wa kumsikiliza mie sikuwa nampa.

Basi nikamwambiaeeh unataka nn. Akanmbia faridah mbona hivi lakini. Unajua kila siku nakueleza nakupenda sana . Nakuhitaji sana faridah mi nakupenda mama . Ebu nipe nafasi kidogo tu nikuoneshe kuwa nakupenda.basi mie nikajikuta tu nimetabasamu . Niamwambia aya bwana mie now nna harka naludi nyumbani ayo mengine tutaongea kesho.kisha wala sikuendelea kuongea nae. Nikaondoka zangu na shogaa. Basi kesho yake nakumbuka nipo class nikaletea barua na mtoto wa kidato cha kwnza. Mh mie nikaifungua ila barua nikawa naisoma uku shoga yangu yusta yupo pembeni . Mh ile barua iliandikwa " nimefurah sana jana kupata nafasi ata ya kuongea na ww. Mana siku zote ata kunisikiliza hutaki. Lakini jana ata nimekushika mkono wako. Farida we ni mwanamke mzuri sana. Unanichanganya kila nnapokuona naomba sana leo tukiruhusiwa tuongee. Unanichanganya sana mama asa kasura chako na shepu lako" wala hakuandika jina ila ilikuwa inatoka kwa hassani nikajikuta nacheka tu. Kheee nikaanza kuikunja ile barua ata sijamaliza kuikunja ikavutwa .mh nikastuka nacheki ni madam mmoja anaitwa lissa . Uyu madam ni boya kinoma .nikajua nimeisha

Heee madam akasema yani ww mimi nimeingia darasan naongea ww unaangalia hii karatasi mpaka unacheka ina nn hiii. Heeer akaifungua akaanza kuisoma nyiee. Akasema dooh kumbe ndo mana una dharau ushaanza mapenzi eeh. Nyie yule madam akanichapa bakora kalibia tano Pale pale.kisha kanmbia njooo. Heeee et nakupeleka kwa mkuu mshenzi mkubwa . Utaenda kumtaja mpumbavu mwenzio kwa mkuuuu. Nyieee nikaona uku ndo kinaenda kuumana kabisaa. Basi uyu akanikwida mpaka kwa mligee. Tukamkuta mlige ofisini anachezea pc. Alivyotuona akashngaa akasema madame vp kumekuajee. Madame akasema yani mwalimu uyu mtoto hana adabu kabisa.mimi nafundisha yeye yupo Bus anasoma vibarua mpka ancheka .na vibarua vya wanaume. Mh mlige akasema iko wapi iyo barua . Madame massa akampa ile barua mlige akaisoma kisha akasema massa muache uyu we nenda. Nyie massa alivyotoka tu. Mlig akavuta fimbo kama 3 nene na nzuri. Mnajua uyu baba alishaacha kunipiga mda sana. Ila hii siku akachukua fimboa aknmbia nyoosha mikono. Nikanyoosha akanza kunichapa kwa nguvu na kwa hasira. Na mm hii siku wala sikulia wala sikumuonesha uoga nilikaza kweli kweli. Alinipiga jamani yani alinipiga mpka namuona yeye ndo analia. Akaniacha kisha akakaa kwenye kiti akatoa kitamba analia kabisaaa. Yani ile kwa sauti japo ni ya chini. Nyie heeeeeee
Tangazo - Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Enzi zetu
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MY WANGU sehemu ya 40


Nyieee mlige hakuamini ukapita mwez atuongei .tena bola ya mm nilianza kupona na moyo ukawa unatulia. Na ata nyumban nikawa na raha na nikaludi katika hali yangu ha kawaidi. Nyie yye kila siku ndo anazidi kuwa mojaa. Yani mpaka yusta alinambia wr unajua mlig anakonda sana . Ama ana matatizo ya kifamlia au mapenzi yako ndo yanamtesa. Nikasema matataizo ya kifamilia itakuwa . Sikuwa na habari nae mie.

Basi siku iyo nipo class. Akaja kunifata sir tupa . Et samahani faridah njooo. Asa mie sir tupa mshikaji wangu tu. Wala sikuona shida nikanyanyuka basi sir tupa akanmbia nifate. Mie nikamfata....

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/my-wangu-sehemu-ya-40

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi my-wangu-sehemu-ya
MY WANGU❤️ sehemu ya 51 na 52
MY WANGU❤️ sehemu ya 51 na 52
MY WANGU❤️ sehemu ya 47 na 48
MY WANGU❤️ sehemu ya 47 na 48
MY WANGU❤️ sehemu ya 44 na 45
MY WANGU❤️ sehemu ya 44 na 45
MY WANGU sehemu ya 38 na 39
MY WANGU sehemu ya 38 na 39
MY WANGU❤️ sehemu ya 46
MY WANGU❤️ sehemu ya 46
MY WANGU sehemu ya 41 na 42
MY WANGU sehemu ya 41 na 42
MY WANGU❤️ sehemu ya 49 na 50
MY WANGU❤️ sehemu ya 49 na 50
MY WANGU sehemu ya 43
MY WANGU sehemu ya 43
MY WANGU❤️ sehemu ya 34 na 35
MY WANGU❤️ sehemu ya 34 na 35
MY WANGU❤️ sehemu ya 32 na 33
MY WANGU❤️ sehemu ya 32 na 33
MY WANGU❤️ sehemu ya 53 na 54
MY WANGU❤️ sehemu ya 53 na 54
MY WANGU sehemu ya 36 & 37
MY WANGU sehemu ya 36 & 37
MY WANGU❤️ sehemu ya 63
MY WANGU❤️ sehemu ya 63
MY WANGU❤️ sehemu ya 55
MY WANGU❤️ sehemu ya 55
MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67
MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67
MY WANGU❤️ sehemu ya 59 na 60
MY WANGU❤️ sehemu ya 59 na 60
MY WANGU❤️ sehemu ya 29 na 30
MY WANGU❤️ sehemu ya 29 na 30
MY WANGU❤️ sehemu ya 58
MY WANGU❤️ sehemu ya 58
MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65
MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65
MY WANGU❤️ sehemu ya 28
MY WANGU❤️ sehemu ya 28
MY WANGU❤️ sehemu ya 56 na 57
MY WANGU❤️ sehemu ya 56 na 57
MY WANGU❤️ sehemu ya 61 na 62
MY WANGU❤️ sehemu ya 61 na 62
MY WANGU❤️ sehemu ya 24 na 25
MY WANGU❤️ sehemu ya 24 na 25
MY WANGU❤️ sehemu ya 26 na 27
MY WANGU❤️ sehemu ya 26 na 27
MY WANGU❤️ sehemu ya 21
MY WANGU❤️ sehemu ya 21
MY WANGU❤️ sehemu ya 19  na 20
MY WANGU❤️ sehemu ya 19 na 20
MY WANGU❤️ sehemu ya 18
MY WANGU❤️ sehemu ya 18
MY WANGU❤️ sehemu ya 31
MY WANGU❤️ sehemu ya 31
MY WANGU❤️ sehemu ya 68
MY WANGU❤️ sehemu ya 68
MY WANGU❤️ sehemu ya 13 na 14
MY WANGU❤️ sehemu ya 13 na 14
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67

MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67

594
MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65

MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65

544
MY WANGU❤️ sehemu ya 68

MY WANGU❤️ sehemu ya 68

375
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘

374
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA  SEHEMU YA 19 - 20

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 19 - 20

322
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13

52
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11

40
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8

36

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

10.99K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.79K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.65K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.01K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.43K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.4K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.26K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.25K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.23K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.14K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13
@majario LIVE

12 MPAKA 13 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Nikasema vp mbona huniachii mkono. Akanmbia ahaa sory haji. Kisha akaachia mkono wangu. Na mda uo uo ndo lemi akawa analudi pale. Akasema ahaaa mrembo upo...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11
@majario LIVE

10 MPAKA 11 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Aseeeee uyu demu ni mzuri bwana. Mi. Mwenyewe nilikubali. Ila sio kwamba nilimtamani no. Mi ni mwanaime ninayejielewa sana. Wanaume tuna tamani mno. Ila unakuwa na msimamo wako...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8
@majario LIVE

7 MPAKA 9 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Basi bwana tukivyotoka kula sasa. Mi nikaludi ndani ila lemi akanmbia kuna mtu anakutana nae kidogo nikasema powa so nikamuacha mimi nikaludi hostel.aseeee chuo kimechangamka iki sana. Yani...

MY WANGU❤️ sehemu ya 68 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 68
@majario LIVE

Basi akashuka. Akamsalimia mama pale. Mama akamuitikia. Akaniuliza. Ushakuwa tayari. Mie nikasema ndio . Akanmbia kachukue nilivyokwambia tupakie. Nikasema sawa. Kweli nikaenda kuchukua. Vilikuwa vidogo. Kweli. Vyengine niliviona kashanunua yeye...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘
@majario LIVE

0742133100 Babie Love Niliipokea ile simu huku nikiwa natetemeka kwa uoga..... hello daddy.... pendo what's going on 🤷‍♂️ taarifa gani hizi nazoambiwa kwani hamkumaliza tofauti zenu inatakiwa muache drama mtakuja kunitesea...

MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67
@majario LIVE

Aseeee nilikuwa na maumivu kwa kila sehemu ya mwili wangu. Nilikuwa na maumivu makali mnoo. Asa mkono . Yani sikuwa sawa kabisa. Namsikia mlige akiwa ndani .anasema yani nikitoka njeee...

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA  SEHEMU YA 19 - 20 Post Mpya
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 19 - 20
@majario LIVE

Nilikuwa najilazimisha hata kucheka mama aliniona ila akajua labda ni uoga tuu akaniambia mwanangu usijali bhana Kila kitu kutakuwa sawa na ndoa yako itapita vizuri tu nikawa namjibu kwakichwa saw,...

MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65
@majario LIVE

Basi mie nikaingia chumbani nikajilaza kitandani.nikalia mnoo .niklia aswaaa.mana mi.mwenyewe mlige nampenda.nampenda sana.na kweli nimemkosea ila hataki ata kuongea na mie ni ananifanyia hasira tu. Basi shoga yenu nikawa nalia...

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 17 - 18 Post Mpya
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 17 - 18
@majario LIVE

Sasa wakati uo nimeenda nikaja kufunguliwa mlango na Kendrick, na ilikuwa inaonekana nyumbani walibaki wao wawili tu na wafanya kazi, Alivonifungulia mlango mie nikapita moja Kwa moja mpaka ndani sikutaka...

MY WANGU❤️ sehemu ya 63 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 63
@majario LIVE

Basi bwna tumefika nyumbani . Mama akaja akasema eeh baba jamani pole kwa usumbufu wote. Mlige akasema usijali mma kuwa na amani kabisa mma akauliza shida nn wamesema.....

*REALLY LOVE  💕💕💕* *1-5* Post Mpya
*REALLY LOVE 💕💕💕* *1-5*
@majario LIVE

*SEHEMU YA KWANZA* """""babee amka basi unachelewa kazini"""" sauti hiyo ya msichana catherine akimuamsha mpenzi wake ambaye alikuwa amelala """""ah babe nimechoka"""" mpenzi wake huyo aitwae seven alijibu kiuchovu sana...

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA  SEHEMU YA 16 Post Mpya
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 16
@majario LIVE

Nikawa Sina budi kukubali nilivokumbuka ndoto ya Jana nikaogopa asije Freeman akafa kwasababu yangu Mimi, nilivokubali yule baba alifurahi akataka Hadi kunibeba ingawa alikuwa Hana nguvu akaniambia twende sasa na...

MY WANGU❤️ sehemu ya 61 na 62 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 61 na 62
@majario LIVE

Basi zai ndo wa kwanza akanambia we mbona umevimba macho ulikuwa unalia.nikasema.ndio kuna mtu kamwmabia kaka kuwa mimk.natembea na zayd ule mda nimekuja kukufata ww. Prisca akasema hao ni...

MY WANGU❤️ sehemu ya 59 na 60 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 59 na 60
@majario LIVE

Nikasema.achana nae bwana wala hana cha maan . Mi nimemwambia tu kuwa simtaki na asinifatilie mana atakuja kuniletea matatizo. Basi shoga akanambia sawa. Basi mie nikawa busy na mambo ya...

MY WANGU❤️ sehemu ya 58 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 58
@majario LIVE

Mh zayd. Akasogea mpka nilipokaaa na yeye akavuta kiti akakaa karibu yangu. Ila uzuri tu ili darasa lilikuwa halina ata. Mtu. Akanambia eeh , ina maana faridah hukusikia salamu yangu....

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest