Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MY WANGU sehemu ya 40
Gonga94 · Stories

MY WANGU sehemu ya 40

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

Nyieee mlige hakuamini ukapita mwez atuongei .tena bola ya mm nilianza kupona na moyo ukawa unatulia. Na ata nyumban nikawa na raha na nikaludi katika hali yangu ha kawaidi. Nyie yye kila siku ndo anazidi kuwa mojaa. Yani mpaka yusta alinambia wr unajua mlig anakonda sana . Ama ana matatizo ya kifamlia au mapenzi yako ndo yanamtesa. Nikasema matataizo ya kifamilia itakuwa . Sikuwa na habari nae mie.

Basi siku iyo nipo class. Akaja kunifata sir tupa . Et samahani faridah njooo. Asa mie sir tupa mshikaji wangu tu. Wala sikuona shida nikanyanyuka basi sir tupa akanmbia nifate. Mie nikamfata. Na kweli tukaenda mpaka muembeni nikakuta kuna viti 4 Akanmbia kaa apa.mie nikakaa . Kisha na sir tupa akakaa. Hee mala namuona mligna yeye anakuja kaisha yani mpaka anapepeseka . Kaja nae kakaa .nikajua mh kumbe anataka kumuongelea uyu mpumbavu. Sir tupa akanmbia faridah mwanangu. Unamuomuona mshikaji hali yake. Si unamuona. Utamuua yaishe basi . Yaishe plssss. Unajua farida wanaume tuna tamaa sana. Wanaume tunacheat na kusaliti sana. Lakini haimanishi hatuwapendi tulionao. Farida ni kweli jamaa kakosea. Na uyu ni mkubwa kwako lakini haimanishi hakosei anakosea .na anapokosea anaomba msamha. hakuna lisiloisha farida fungua moyo. Apo mlige kabaki kimya anaingalia kwa huruma mno

Mie nikamuuliza sir tupa hili ndo uliloniitia apa. Mlig akasema farrida tuyaongee mama angu nakupenda sana . Nakuhitaji sana. Nna malengo na ww. Mm bila ya ww faridah siwez . Nimekosea faridah nisamehe plsss nakupenda mama yangu. Sir tupa akasema faridah acha hizo ona mtu mzima analalamika kwa ajili yako. Farida utalaniwa . Sio sawa bwana ebu msamehe jamana. Madam zai ashobo nyingi sana tu. Wala jama hamtaki na atahudumia mtoto wake tu. Na muda sio mrefu ana hama apa. Ebu tuliza hasira alafu msamehe jamaa.kwani humpendi mlig ww. Mbona ata ww unampenda sana. Ebu msijitese bwana sameaneni yaishe yanaongeleka aya faridaah .nimamuuliza sir tupa umemaliza . Sir tupa akasema sikiliza..... ata hajaongea kitu mie nikanyanyuka zangu. Nikaanza kurudi darasani. Eeh nashangaa mlige kanikimbilia kanishika mkono. Machozi yanamtoka.et ooh farifa anmbie nifanye nn nambie mke wangu. Nimekuzoea sana farida. Nikamwambia labda uachane na mm na ufate maisha yako.kisha nikamputa mkono uyo nikaingia darasani.

Aseee po ndo ukawa mwanzo wa tupa kuanza kunibembeleza nimsamehe mlige. Ila sikutaka nilikaza kweli kwrli. Kuwa simtaki yani simtaki tu sfanye maisha yake. Basi ikawa hivyo mapaka ikakata week 3. Apo nna bifu na madam kweli kwrli. Sijuh na wao walikuwa wanamtaka mlige sijuh ni bifu tu . Ata sikuwa nawaelewa yani basi tu. Siku iyo sasa tunaludi shule nipo na yusta. Mh nikasimamaisha na mkaka mmoja yupo na kidato cha nne anaitwa hali . Nyieee uyu kaka nae alikuwa ananifatilia sana ila sikuwahi kuwa na mda nae kabisa. Ata mda wa kumsikiliza mie sikuwa nampa.

Basi nikamwambiaeeh unataka nn. Akanmbia faridah mbona hivi lakini. Unajua kila siku nakueleza nakupenda sana . Nakuhitaji sana faridah mi nakupenda mama . Ebu nipe nafasi kidogo tu nikuoneshe kuwa nakupenda.basi mie nikajikuta tu nimetabasamu . Niamwambia aya bwana mie now nna harka naludi nyumbani ayo mengine tutaongea kesho.kisha wala sikuendelea kuongea nae. Nikaondoka zangu na shogaa. Basi kesho yake nakumbuka nipo class nikaletea barua na mtoto wa kidato cha kwnza. Mh mie nikaifungua ila barua nikawa naisoma uku shoga yangu yusta yupo pembeni . Mh ile barua iliandikwa " nimefurah sana jana kupata nafasi ata ya kuongea na ww. Mana siku zote ata kunisikiliza hutaki. Lakini jana ata nimekushika mkono wako. Farida we ni mwanamke mzuri sana. Unanichanganya kila nnapokuona naomba sana leo tukiruhusiwa tuongee. Unanichanganya sana mama asa kasura chako na shepu lako" wala hakuandika jina ila ilikuwa inatoka kwa hassani nikajikuta nacheka tu. Kheee nikaanza kuikunja ile barua ata sijamaliza kuikunja ikavutwa .mh nikastuka nacheki ni madam mmoja anaitwa lissa . Uyu madam ni boya kinoma .nikajua nimeisha

Heee madam akasema yani ww mimi nimeingia darasan naongea ww unaangalia hii karatasi mpaka unacheka ina nn hiii. Heeer akaifungua akaanza kuisoma nyiee. Akasema dooh kumbe ndo mana una dharau ushaanza mapenzi eeh. Nyie yule madam akanichapa bakora kalibia tano Pale pale.kisha kanmbia njooo. Heeee et nakupeleka kwa mkuu mshenzi mkubwa . Utaenda kumtaja mpumbavu mwenzio kwa mkuuuu. Nyieee nikaona uku ndo kinaenda kuumana kabisaa. Basi uyu akanikwida mpaka kwa mligee. Tukamkuta mlige ofisini anachezea pc. Alivyotuona akashngaa akasema madame vp kumekuajee. Madame akasema yani mwalimu uyu mtoto hana adabu kabisa.mimi nafundisha yeye yupo Bus anasoma vibarua mpka ancheka .na vibarua vya wanaume. Mh mlige akasema iko wapi iyo barua . Madame massa akampa ile barua mlige akaisoma kisha akasema massa muache uyu we nenda. Nyie massa alivyotoka tu. Mlig akavuta fimbo kama 3 nene na nzuri. Mnajua uyu baba alishaacha kunipiga mda sana. Ila hii siku akachukua fimboa aknmbia nyoosha mikono. Nikanyoosha akanza kunichapa kwa nguvu na kwa hasira. Na mm hii siku wala sikulia wala sikumuonesha uoga nilikaza kweli kweli. Alinipiga jamani yani alinipiga mpka namuona yeye ndo analia. Akaniacha kisha akakaa kwenye kiti akatoa kitamba analia kabisaaa. Yani ile kwa sauti japo ni ya chini. Nyie heeeeeee

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Enzi zetu
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MY WANGU sehemu ya 40


Nyieee mlige hakuamini ukapita mwez atuongei .tena bola ya mm nilianza kupona na moyo ukawa unatulia. Na ata nyumban nikawa na raha na nikaludi katika hali yangu ha kawaidi. Nyie yye kila siku ndo anazidi kuwa mojaa. Yani mpaka yusta alinambia wr unajua mlig anakonda sana . Ama ana matatizo ya kifamlia au mapenzi yako ndo yanamtesa. Nikasema matataizo ya kifamilia itakuwa . Sikuwa na habari nae mie.

Basi siku iyo nipo class. Akaja kunifata sir tupa . Et samahani faridah njooo. Asa mie sir tupa mshikaji wangu tu. Wala sikuona shida nikanyanyuka basi sir tupa akanmbia nifate. Mie nikamfata....

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/my-wangu-sehemu-ya-40

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi my-wangu-sehemu-ya
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107
MY WANGU❤️ sehemu ya 108
MY WANGU❤️ sehemu ya 108
MY WANGU❤️ sehemu ya 111 na 112
MY WANGU❤️ sehemu ya 111 na 112
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117
MY WANGU❤️ sehemu ya 118
MY WANGU❤️ sehemu ya 118
*MY WANGU❤️*   *sehemu ya 109 na 110*
*MY WANGU❤️* *sehemu ya 109 na 110*
MY WANGU❤️ *sehemu ya 114 na 115*
MY WANGU❤️ *sehemu ya 114 na 115*
MY WANGU❤️ sehemu ya 103
MY WANGU❤️ sehemu ya 103
MY WANGU❤️ sehemu ya 94 na 95
MY WANGU❤️ sehemu ya 94 na 95
MY WANGU❤️ sehemu ya 96 na 97
MY WANGU❤️ sehemu ya 96 na 97
MY WANGU❤️ sehemu ya 100
MY WANGU❤️ sehemu ya 100
MY WANGU❤️ sehemu ya 113
MY WANGU❤️ sehemu ya 113
MY WANGU❤️ sehemu ya 47 na 48
MY WANGU❤️ sehemu ya 47 na 48
*MY WANGU❤️*   *sehemu ya 98 na 99*
*MY WANGU❤️* *sehemu ya 98 na 99*
MY WANGU❤️ sehemu ya 101 na 102
MY WANGU❤️ sehemu ya 101 na 102
MY WANGU❤️ sehemu ya 51 na 52
MY WANGU❤️ sehemu ya 51 na 52
MY WANGU❤️ sehemu ya 71 na 72
MY WANGU❤️ sehemu ya 71 na 72
MY WANGU❤️ sehemu ya 89 na 90
MY WANGU❤️ sehemu ya 89 na 90
MY WANGU❤️ sehemu ya 76 na 77
MY WANGU❤️ sehemu ya 76 na 77
MY WANGU❤️ sehemu ya 93
MY WANGU❤️ sehemu ya 93
MY WANGU❤️ sehemu ya 74 na 75
MY WANGU❤️ sehemu ya 74 na 75
MY WANGU❤️ sehemu ya 86 na 87 Wenda mpangilio umekosewa endelea kusoma
MY WANGU❤️ sehemu ya 86 na 87 Wenda mpangilio umekosewa endelea kusoma
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70
MY WANGU❤️ sehemu ya 88
MY WANGU❤️ sehemu ya 88
MY WANGU❤️ sehemu ya 44 na 45
MY WANGU❤️ sehemu ya 44 na 45
MY WANGU❤️ sehemu ya 73
MY WANGU❤️ sehemu ya 73
MY WANGU sehemu ya 38 na 39
MY WANGU sehemu ya 38 na 39
MY WANGU❤️ sehemu ya 49 na 50
MY WANGU❤️ sehemu ya 49 na 50
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU YA KUMU*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMU*

900
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10

496
FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 16

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 16

436
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8

424
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17

313
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12

236
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10

211
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.

184
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.

141
SHAMIRA sehemu ya 34&35

SHAMIRA sehemu ya 34&35

99

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.43K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.2K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.74K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.2K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.6K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.45K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.44K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.43K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.38K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.36K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla Post Mpya
This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla
@majario LIVE

with that cute bubbly energy… and Aamir Khan being his mischievous, romantic self. What a combo yaar! Ishq was not just a love story, it was full on drama, comedy,...

 Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani Post Mpya
Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani
@majario LIVE

* Meli za kijeshi za Marekani zilizopo Ghuba ya Uajemi * Rada za Israel zilizopo Azerbaijan * Rada za Israel zilizopo Turkmenistan * Mifumo ya ulinzi wa anga ya vituo vya Marekani nchini...

SHAMIRA sehemu ya 34&35 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 34&35
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi nikajiiinua taratibu tukaingia bafuni. Mwanaume akanikumbatia uku tunaoga. Aseee uyu baba ananipenda ila hataki upumbavu ata kidogo na mkono wake mwepesi kupiga .na yote sababu...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nikaona zena kamnyanyua yule mtoto kisha akambeba ,ni amefanana nae sana ,nikajua ni wa kwake tu yani ni lazima utu mtoto atakuwa ni mwanae, kisha akanigeukia...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17
@majario LIVE

Ikabidi nikae tu kwenye piki piki maana sura alivyokuwa kaikaza mmh asije kunipiga, Kimyaa kikatawala sasa mie nilijua tunaenda kwa Tinner na moyoni nilikuwa nimempangia hayo maneno Tinner eeh mbona...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Maeneo ya pale pale chuoni, Salmon alikuwa amepanga nyumba kubwa ya peke yake. Wakati akiwa chuo ndo alikua anaishi hapo, ila siku za weekends kama hana mambo mengi ndo anaenda...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi kuanzia apo nikawa sasa kidogo naelewana na baraka. Tena mimi ndo napenda sana kuongea nae. Yani sanaaa. Napenda kucheka nae sana. Na kun jinsi...

FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 16 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 16
@majario LIVE

Usiku wangu ulikuwa mzito sana, maneno ya D kusema kuwa Veda anatembea na wanawake wengi, niliyaamini kabisaaa Bila shakaa kwa maana Yeye tu hana mwonekano mzuri ametuna tuna hovyo anakuwa...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10
@majario LIVE

Daaah nikaona mtoto kachomoa leo mana sio powa , ana vipengele sana uyu demu , ila unyama, hatachomoa kila siku, ni suala la muda tu, mana sijawahi kumtaka mwanamke ,...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media BASI nikapanda kitandani kwangu. Nikijutia sana nilichokifanya mana mh . Nilikuwa nasababisha ugomvi mkubwa wa wazazi mungu wangu. Yani mama yangu alikuwa anaachwa leo...

SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.??? Post Mpya
SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.???
@majario LIVE

Hatimae jana tambo za Dabi zilipata majibu kwa timu za Simba na Yanga kutoka suluhu ya bila kufungana(0-0). Kwa maana hiyo timu zote ziliambulia pointi moja moja. Mchezo wa jana pamoja...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8
@majario LIVE

Zena akasema kwaiyo manager unataka kuniuza ama ni vp, yule manager aksema , naomba uelewe kuwa ukifanya kazi katika hii bar, mteja kukushika sehemu yoyote ya mwili wako ni kawaida,...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU YA KUMU* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMU*
@majario LIVE

Jambo likawa lelelele, Yaani ni patashika nguo kuchanika, Kwa upande wangu Walahi nilikuwa nikifurahi tu, na amina alikuwa akilia tu nakuomba msamaha. Enzo wa watu mwaya akachukua muda wake na kumuelezea...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Mbali na ivyo zile zawadi alizo tumiwa Noela zilimuuma vile vile. Alihisi Noela hastahili vitu vizuri wala maisha ya kifahari. Alitaka kila kitu kiwe chake, wanaume wote wawe wake. Hata...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 6 na 7 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 6 na 7
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi bwana , mwanaume wala sikuwa na shaka, kazi zote ambazo nilibakiwa nazo pale ofisini, nikamuachia ibraaa, na ukiacha ushikaji, mi bafo ibra ni mkubwa wake wa kazi,...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest