Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MFALME KIPOFU  Sehemi..ya............14
Gonga94 Β· Stories

MFALME KIPOFU Sehemi..ya............14

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Ilipoishia sehemu iliyopita....
Huyo hawezi kuishi bira wewe mana haoni na nafasi ya mwisho ni kuondoka katika huu ufalme nisione sura zenu tena hapa......

KUPATA MWENDELEZO ZAIDI WA SEHEMU INAYOFYATA BONYEZA LINK YA HAPO CHINI πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡ usisahau kunifollow πŸ™πŸ™
https://www.facebook.com/profile.php?id=61550632115006

ENDELEA NAYO........
Mfalme Tengu aliwafukuza Prince Yao na Lindiwe katika ufalme wake hakuwapa ata mda wa kujiandaa na walinzi walipewa maagizo ya kuwa sindikiza na kuhakikisha wameondoka katika ufalme wa YUNDI.

Princess Nailet hakuamini kama baba yake anaweza kumfanyia maamuzi kama yale bira kumpa nafasi ya kumsikiliza,
"Nakuchukia sana baba!!!! nakuchukia!!"
"Sawa ata unichukie ila nafanya ivi kwa ajili yako huwezi kuwa karibu na kipofu na wewe ni binti wa kifalme"
Alikimbia huku akilia kuelekea chumban kwake.

"akikisheni mnakuwa naye karibu huyo asitoke kwenda popote"
"Ndio mfalme"
Yalikuwa ni maagizo ya mfalme juu ya kumuangalia Princess Nailet

Yunde alijiona mkosaji baada ya kusikia tarifa zile za Yao na Lindiwe kufukuzwa kwa wivu wake wakijinga.
"Nimefanya nini mimi Yunde,natengana na mwanaume niliyekuwa nampenda kwa ujinga wangu mwenyewe, alijutia nafsi yake"

***************
Katika kijiji cha Nyengweli kilicho ndani ya ufalme wa ADELI,
Binti Amma akiwa polini anatafuta dawa za matibabu kwa ajili ya wagonjwa alikutana na yule mzee aliyepiga magoti mbele yake ile siku aliyomtazama kwenye mkono wake.

Kwa mara nyingine tena mzee yule alipiga magoti mbele yake kama kutoa heshima kwake.

"Leo ni mara ya pili unapiga magoti mbele yangu kwani kitu gani kinachokufanya upige magoti?"
"Wewe ni mtu mkubwa sana kwenye hii falme ya ADELI lazima nikupe salamu yako kama inavyostahili"
"Hapana nahisi umechanganya mzee wangu mimi ni tabibu tu"
"Ni ngumu kuelewa ila mda mwafaka utafika na utaelewa"
Mzee yule alisimama na kuondoka zake na kumuachia Amma maswali mengi kwenye ubongo wake.

Amma baada ya kumaliza kuchimba dawa alirejea nyumbani kwao na kumkuta baba yake, alimweleza kila kitu kuhusu yule mzee juu ya kumpigia magoti kwa mara nyingine walipokutana huko polini.

"Unajua binti yangu mama yako aliwahi kusema ivi, ukiona mtu mkubwa anakuheshimu ujue kuna vitu vya maana vipo ndani yako".
"Umeongea kuhusu mama na umenikumbusha,ivi yupo wapi mama yangu???"
"Ni simulizi ndefu binti yangu"

Amma alisimuliwa kila kitu kuhusu mama yake na alihuzunika sana kusikia kwamba alishafariki zamani, pale yeye alipozaliwa .

***************
Asikari kutoka katika ufalme wa YUNDI baada ya kuwafikisha mpakani Prince Yao na Lindiwe waliwaacha wenyewe waendelee na safari yao na waliwakumbusha kuwa hawatakiwi kuonekana tena katika ufalme huo.

"Mama huku tunaenda wapi???"
"Usijali huku tunakoenda ndio nyumbani na sio huko tuliko toka"
"Unamaana gani kusema ivyo??".
"Utafahamu kila kitu tukisha fika Prince"
"Umeniita Prince?????"
"Kwasababu unafanana na prince"
"Mmmh",Prince Yao aliamua kuguna tu kwa majibu yale ya mama yake.
Lindiwe aliamua kupindisha baada ya kuona anaelekea kulopoka kila kitu kuhusu Prince Yao.

****************
Ndani ya ufalme wa ADELI mambo yalikuwa yameharibika kila kitu kilienda ndivyo sivyo mfalme Kojo alikuwa kwenye kipindi kigumu sana,

"Mfalme naomba ukae umesimama mda mrefu sana, Malikia andwaa aliongea kumtuliza Mfalme Kojo.
"Emu niache ni siku mbaya sana kwangu, General katoroka alafu nimemtambulisha mtoto ambae sijui ata limetokea wapi hilo litoto??".
"Ni sawa mfalme tutatafuta njia ya kumtafuta Prince wa kweli,hakukuwa na njia nyingine ya kufanya zaidi ya hii mfalme".

Walipokuwa wakiongea maongezi yale, kuna mtu alikuwa akiwasikiliza.

"Mnasema Prince mliyemtambulisha sio Prince wa kweli??? ilikuwa ni sauti ya Yanite"
"Tatizo jingine hilo"
"Baba mimi kuuliza nilichosikia imekuwa tatizo????,Princess Yanite aliongea.
"Ongea na mama yako akwambie kila kitu",Mfalme aliondoka kwa hasira chumbani na kuwaacha Malikia Andwaa na Yanite............ITAENDELEA

Lindiwe na Prince Yao wanaelekea wapi baada ya kufukuzwa na Mfalme Tengu?? na je?Malikia Andwaa atamweleza ukweli Princess Yanite kuhusu Prince Yao???,sehemu ya 15 inamajibu zaidi

Story.....................MFALME KIPOFU
Mtunzi...................Zooper
Sehemi..ya............15
Whatsapp.............0748697173

Ilipoishia sehemu iliyopita......
Baba mimi kuuliza nilichosikia imekuwa tatizo????,princess Yanite aliongea
"Ungea na mama ako akwambie kila kitu"
Mfalme aliondoka kwa hasira chumbani mle na kuwaacha malikia andwaa na Yanite.....

ENDELEA NAYO....
Hakukuwa na siri tena Yanite alisikia maneno yote waliyokuwa wakizungumza.
Malikia Andwaa aliona ni wakati sahihi wa kuweka kila kitu wazi mbele ya Princess Yanite hakuona haja ya kuendelea kumficha tena.

"Maongezi uliyoyasikia niya kweli yule sio Prince halisi tuliye mtambisha".
"Mama una chosema ni cha kweli?"
"Ndio mwanangu"
"Na Prince wa kwel yupo wapi???"
"Prince wa kweli anaitwa Yao na ni kipofu, alizaliwa akiwa na tatizo la macho tuliamua mimi na mfalme akalelewe mbali kisiri,na wenye hii siri ni mimi na mflame tu".

Malikia andwaa alimkalisha Yanite chini na kuanza kumpa historia nzima jinsi ilivyokuwa mpaka Prince Yao wakaamua kuchukua mamuzi ya kumuondoa.

Yanite alihuzunika kusika story ya kaka yake.
"Ni makosa yenu haikutakiwa kumtenga Prince na sizani kama atarudi hapa ila mimi nitaenda kumtafuta mwenyewe kaka angu".

Alinyenyuka na kuondoka, jumba la kiflame sasa amani ilikosekana ilikuwa siku mbaya kwa Mfalme Kojo na Malikia andwaa baada ya siri nyingine kugundulika.

******************
Cheki yeye alikuwa anazunguka tu katika jumba la kifalme kutazama uzuri wa jengo lile na kupishana na wafanya kazi mbalimbali wa kike na wakiume.

"huku kuna wanawake wazuri kuliko ata Yunde niliyemuacha YUNDI huku sitoki na acha aolewe na yule kipofu,alisema na nafasi mwenyewe".

Walinzi waliokuwa kwenye ile mipango ya kumtafuta Prince feki walimuona nakuanza kumteta bira yeye kujua.

"Huyu jamaa anabahati sana kupata nafasi ya kuwa prince"
"Ongea taratibu kumbuka hii ni siri tunajua sisi tu"
"ata kama ni siri lakini jama kapata bahati sana natamani iyo na nafasi ya Prince feki angenipa mimi mfalme"

Kipindi wanaongea rafiki yake na Nzegi alikuwa anasikia kila kitu na hapo alitambua siri nyingine katika jumba hilo la kifalme.
Aliondoka taratibu bira kusikika na kwenda msituni kuwatafuta General na Nzegi ili awape tarifa zile.

Haikumchukua mda mrefu mlinzi yule kuweza kufika msituni kwa ajili ya kutoa tatifa ile aliyoisikia kuhusu Prince aliyetambulishwa.

Wakiwa mafichoni general na nzegi walisikia mluzi ukipigwa na ilikuwa ni ishara Nzegi anayoitambua walisogea maeneo husika ya sauti ile ilipokuwa inatoka.

"Kuna tarifa mpya na nzuri kutoka katika jumba la kifalme"
"Tarifa gani izo?"
"Inasemekana Prince yule aliyetambulishwa sio Mwana wa Mfalme wa kweli".
"unasema kweli????,Nzegi aliuliza wakati huo General yupo kimya tu akisikiliza mazungumzo yao"
"Ndio na uhakika na ninacho ongea".

"Wewe rudi katika jumba la kifalme na umshawishi huyo kijana kuja nae hapa,tumeshapata mtu wa kusaidizana nae tayali"
"Sawa General"
Asikari yule aliondoka na kuwaacha General na Nzegi.

"Mda wa kukaa sasa umeisha leo usiku waziri mkuu tunaanza nae hana ulinzi wa kutosha lazima afe usiku wa leo,
General sasa alipanga kuingia vitani lasimi na Waziri mkuu ndie atakaye anza nae"
.
*********************
Tangu Prince Yao na Lindiwe waondoke Princess Nailet aliamua ajifungie chumbani kwake na Mfalme alianza kupata mashaka baada ya ukimya wa binti yake.

"Fungua mlango Princess"
Baada ya kuona hakuna mwitikio wa mlango kufunguliwa Mfalme Tengu alitoa amri,
"Vunjeni mlango haraka".Mfalme aliongea akiwa na wasiwasi mkubwa juu ya usalama wa binti yake.
Walinzi walifanyikiwa kuvunja mlango na mfalme kuingia ndani akiongozana na walinzi wake,

ilikuw ni kama bahati tu walimkuta anataka kujinyonga hapo ndipo mfalme alijua kuwa binti yake amezamilia kweli.

"Kwanini unanifanyia ivi binti yangu??"
"Nimechagua kufa kuliko kuona Yao anaenda mbali na maisha yangu".
"Unajua kabisa wewe ndie mtu peke uliyebaki kwenye familia yangu unataka huu ufalme ubaki mikononi mwa nani???"

"Mimi ilo sijali, baba naomba uniambie una mrudisha Yao au humrudishi??"

Lilikuwa ni swali gumu sana kwa mfalme tengu na ukizingatia ndie mtoto pekee alienae,

"Asikari",mfalme tengu aliita kwa hasira
"Nendeni mka warudishe haraka"
"Mfalme tayali wameshavuka mpaka"
"Nimesema nendeni mkawarudishe",Mfalme aliongea kwa hasira na mboni za macho yake zilibadilika na kuwa nyekundu hali iliyo waogopesha walinzi wake.
Hawakuta kupoteza mda tena waliondoka na kumuacha mfalme akiendelea .............ITAENDELEA.

Asikari wa Mfalme Tengu watafanyikiwa kuwapata Prince Yao pamoja na Lindiwe??,na Je?Yanite atachukua uamzi gani juu ya tarifa alizopewa na Malikia andwaa kuhusu kaka yake???,tukutane sehemu inayofata.
Tangazo - Monday To Sunday
Monday To Sunday
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MFALME KIPOFU Sehemi..ya............14

Ilipoishia sehemu iliyopita....
Huyo hawezi kuishi bira wewe mana haoni na nafasi ya mwisho ni kuondoka katika huu ufalme nisione sura zenu tena hapa......

KUPATA MWENDELEZO ZAIDI WA SEHEMU INAYOFYATA BONYEZA LINK YA HAPO CHINI πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡ usisahau kunifollow πŸ™πŸ™
https://www.facebook.com/profile.php?id=61550632115006

ENDELEA NAYO........
Mfalme Tengu aliwafukuza Prince Yao na Lindiwe katika ufalme wake hakuwapa ata mda wa kujiandaa na walinzi walipewa maagizo ya kuwa sindikiza na kuhakikisha wameondoka katika ufalme wa YUNDI.

Princess Nailet hakuamini kama baba yake anaweza kumfanyia maamuzi kama yale bira kumpa nafasi ya kumsikiliza,
"Nakuchukia sana baba!!!! nakuchukia!!"
"Sawa ata unichukie ila nafanya ivi kwa ajili yako huwezi kuwa karibu na kipofu na...

πŸ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mfalme-kipofu-sehemi-ya-14

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mfalme-kipofu-sehemi-ya
MFALME KIPOFU  Sehemi..ya............01  Anza nayo...... Ni katika ufalme wa ADELI,majira ya usiku katika jumba kubwa la kifalme
MFALME KIPOFU Sehemi..ya............01 Anza nayo...... Ni katika ufalme wa ADELI,majira ya usiku katika jumba kubwa la kifalme
Story.....................MFALME KIPOFU  Sehemi..ya............08   Ilipoishia sehemu iliyopita........ "Tarifa gani???" "Inasemekana baada ya siku tatu Prince
Story.....................MFALME KIPOFU Sehemi..ya............08 Ilipoishia sehemu iliyopita........ "Tarifa gani???" "Inasemekana baada ya siku tatu Prince
Story.....................MFALME KIPOFU  Sehemi..ya............04  Ilipoishia sehemu iliyopita........ Farasi ilifika Lindiwe pamoja na prince Yao walipanda na safari ikaanza kutoka katika jengo
Story.....................MFALME KIPOFU Sehemi..ya............04 Ilipoishia sehemu iliyopita........ Farasi ilifika Lindiwe pamoja na prince Yao walipanda na safari ikaanza kutoka katika jengo
Story MFALME KIPOFU  Sehemi..ya............02   Ilipoishia sehemu iliyopita... "Mbona unazunguka mtabili emu niambie mwanangu niliyemzaa leo anatatizo gani???
Story MFALME KIPOFU Sehemi..ya............02 Ilipoishia sehemu iliyopita... "Mbona unazunguka mtabili emu niambie mwanangu niliyemzaa leo anatatizo gani???
Story.....................MFALME KIPOFU  Sehemi..ya............06     Ilipoishia sehemu iliyopita........ Chukua majani mawili ya mti wa ajabu nenda kayanyunyizie maji ya mto ADEYU
Story.....................MFALME KIPOFU Sehemi..ya............06 Ilipoishia sehemu iliyopita........ Chukua majani mawili ya mti wa ajabu nenda kayanyunyizie maji ya mto ADEYU
Story.....................MFALME KIPOFU  Sehemi..ya............10
Story.....................MFALME KIPOFU Sehemi..ya............10
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❀️ sehemu ya 68

MY WANGU❀️ sehemu ya 68

514
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 45πŸ’˜πŸ’˜

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 45πŸ’˜πŸ’˜

434
MY WANGU❀️ sehemu ya 69 na 70

MY WANGU❀️ sehemu ya 69 na 70

406
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜  N0 46πŸ’˜πŸ’˜

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 46πŸ’˜πŸ’˜

294
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 19 MPAKA 20

MIMI SIKUACHIπŸ₯° 19 MPAKA 20

130
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 12 na 13

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 12 na 13

87
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 16 MPAKA 18

MIMI SIKUACHIπŸ₯° 16 MPAKA 18

79
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 10 na 11

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 10 na 11

72
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 7 na 8

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 7 na 8

65
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 14 MPAKA 15

MIMI SIKUACHIπŸ₯° 14 MPAKA 15

58

ZIMESOMWA ZAIDI

β€ŽTUNDA LA  DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

β€ŽTUNDA LA DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.01K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.8K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tisa.  πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tisa. πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

3.65K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya sita.  πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya sita. πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.01K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 20.  πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 20. πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

2.43K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tatu.  πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tatu. πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

2.4K
I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10

I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10

2.27K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 16.  πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 16. πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

2.25K
❀❀ MTOTO WA MKE WANGUπŸ˜›πŸ˜›  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❀❀ MTOTO WA MKE WANGUπŸ˜›πŸ˜› Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.24K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya nane.  πŸ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya nane. πŸ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...πŸ‘‡

2.15K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 19 MPAKA 20 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 19 MPAKA 20
@majario LIVE

🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Sehemu ya 19 Daah nikasema.mwanangu iyo chupi.nimemnunulia fatuma.natka nikampelekee si unjaua bado week 3 tunaenda likizo. Lemi akaniangalia akasema mh . Aya bwana hkuna noma.mi nikaivuta ile chupi. Nikaweka chini...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° 16 MPAKA 18 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 16 MPAKA 18
@majario LIVE

🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Sehemu ya 16 Basi nikapata kaumarufu kweli kweli pale chooni. Yani ata wadada wakawa wananishobokea sana. Naomba unifundishe nifundishe kama zote. Wadada full shobo na mimi. Ata washikaji wakawa...

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜  N0 46πŸ’˜πŸ’˜ Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 46πŸ’˜πŸ’˜
@majario LIVE

Moyo wangu ulianza kudata juu yaHemedπŸ₯ΉπŸ₯Ή nilijaribu kuongea nao lakini wala haukunisikia niliuambia moyo tulia hukuhuku kwa boo tayari tushasolve tatizo lililokuwepo Acha kuhamahama😟😟 lakini moyo bado ulizidi kung'ang'ania kwa...

MY WANGU❀️ sehemu ya 69 na 70 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 69 na 70
@majario LIVE

Basi nilipata kafuraha mno. Nikachukua pesa yangu .nikarudi darasani kuendelea na ratiba zangu. Uwiiiiii nilifurahi sana. Yani sana tu. Na prepo ilivyoisha tukarudi darasani. Mie nikampa tu yule mwanafunzi...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° 14 MPAKA 15 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 14 MPAKA 15
@majario LIVE

🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Sehemu ya 14 Aseee mi nilimuangalia sana uyu demu. Nikamuona jau . Yani yupo very serious ananitongoza .mnajua kuna jinsi nilimdharau . Nikaona uyu demu daaah. Alivyoona namshangaa na sijamjibu...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 12 na 13 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 12 na 13
@majario LIVE

12 MPAKA 13 🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Nikasema vp mbona huniachii mkono. Akanmbia ahaa sory haji. Kisha akaachia mkono wangu. Na mda uo uo ndo lemi akawa analudi pale. Akasema ahaaa mrembo upo...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 10 na 11 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 10 na 11
@majario LIVE

10 MPAKA 11 🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Aseeeee uyu demu ni mzuri bwana. Mi. Mwenyewe nilikubali. Ila sio kwamba nilimtamani no. Mi ni mwanaime ninayejielewa sana. Wanaume tuna tamani mno. Ila unakuwa na msimamo wako...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 7 na 8 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 7 na 8
@majario LIVE

7 MPAKA 9 🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Basi bwana tukivyotoka kula sasa. Mi nikaludi ndani ila lemi akanmbia kuna mtu anakutana nae kidogo nikasema powa so nikamuacha mimi nikaludi hostel.aseeee chuo kimechangamka iki sana. Yani...

MY WANGU❀️ sehemu ya 68 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 68
@majario LIVE

Basi akashuka. Akamsalimia mama pale. Mama akamuitikia. Akaniuliza. Ushakuwa tayari. Mie nikasema ndio . Akanmbia kachukue nilivyokwambia tupakie. Nikasema sawa. Kweli nikaenda kuchukua. Vilikuwa vidogo. Kweli. Vyengine niliviona kashanunua yeye...

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 45πŸ’˜πŸ’˜ Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 45πŸ’˜πŸ’˜
@majario LIVE

0742133100 Babie Love Niliipokea ile simu huku nikiwa natetemeka kwa uoga..... hello daddy.... pendo what's going on πŸ€·β€β™‚οΈ taarifa gani hizi nazoambiwa kwani hamkumaliza tofauti zenu inatakiwa muache drama mtakuja kunitesea...

MY WANGU❀️ sehemu ya 66 na 67 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 66 na 67
@majario LIVE

Aseeee nilikuwa na maumivu kwa kila sehemu ya mwili wangu. Nilikuwa na maumivu makali mnoo. Asa mkono . Yani sikuwa sawa kabisa. Namsikia mlige akiwa ndani .anasema yani nikitoka njeee...

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA  SEHEMU YA 19 - 20 Post Mpya
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 19 - 20
@majario LIVE

Nilikuwa najilazimisha hata kucheka mama aliniona ila akajua labda ni uoga tuu akaniambia mwanangu usijali bhana Kila kitu kutakuwa sawa na ndoa yako itapita vizuri tu nikawa namjibu kwakichwa saw,...

MY WANGU❀️ sehemu ya 64 na 65 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 64 na 65
@majario LIVE

Basi mie nikaingia chumbani nikajilaza kitandani.nikalia mnoo .niklia aswaaa.mana mi.mwenyewe mlige nampenda.nampenda sana.na kweli nimemkosea ila hataki ata kuongea na mie ni ananifanyia hasira tu. Basi shoga yenu nikawa nalia...

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 17 - 18 Post Mpya
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 17 - 18
@majario LIVE

Sasa wakati uo nimeenda nikaja kufunguliwa mlango na Kendrick, na ilikuwa inaonekana nyumbani walibaki wao wawili tu na wafanya kazi, Alivonifungulia mlango mie nikapita moja Kwa moja mpaka ndani sikutaka...

MY WANGU❀️ sehemu ya 63 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 63
@majario LIVE

Basi bwna tumefika nyumbani . Mama akaja akasema eeh baba jamani pole kwa usumbufu wote. Mlige akasema usijali mma kuwa na amani kabisa mma akauliza shida nn wamesema.....

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest