Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MFALME KIPOFU  Sehemi..ya............14
Gonga94 · Stories

MFALME KIPOFU Sehemi..ya............14

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Ilipoishia sehemu iliyopita....
Huyo hawezi kuishi bira wewe mana haoni na nafasi ya mwisho ni kuondoka katika huu ufalme nisione sura zenu tena hapa......

KUPATA MWENDELEZO ZAIDI WA SEHEMU INAYOFYATA BONYEZA LINK YA HAPO CHINI 👇👇👇👇 usisahau kunifollow 🙏🙏
https://www.facebook.com/profile.php?id=61550632115006

ENDELEA NAYO........
Mfalme Tengu aliwafukuza Prince Yao na Lindiwe katika ufalme wake hakuwapa ata mda wa kujiandaa na walinzi walipewa maagizo ya kuwa sindikiza na kuhakikisha wameondoka katika ufalme wa YUNDI.

Princess Nailet hakuamini kama baba yake anaweza kumfanyia maamuzi kama yale bira kumpa nafasi ya kumsikiliza,
"Nakuchukia sana baba!!!! nakuchukia!!"
"Sawa ata unichukie ila nafanya ivi kwa ajili yako huwezi kuwa karibu na kipofu na wewe ni binti wa kifalme"
Alikimbia huku akilia kuelekea chumban kwake.

"akikisheni mnakuwa naye karibu huyo asitoke kwenda popote"
"Ndio mfalme"
Yalikuwa ni maagizo ya mfalme juu ya kumuangalia Princess Nailet

Yunde alijiona mkosaji baada ya kusikia tarifa zile za Yao na Lindiwe kufukuzwa kwa wivu wake wakijinga.
"Nimefanya nini mimi Yunde,natengana na mwanaume niliyekuwa nampenda kwa ujinga wangu mwenyewe, alijutia nafsi yake"

***************
Katika kijiji cha Nyengweli kilicho ndani ya ufalme wa ADELI,
Binti Amma akiwa polini anatafuta dawa za matibabu kwa ajili ya wagonjwa alikutana na yule mzee aliyepiga magoti mbele yake ile siku aliyomtazama kwenye mkono wake.

Kwa mara nyingine tena mzee yule alipiga magoti mbele yake kama kutoa heshima kwake.

"Leo ni mara ya pili unapiga magoti mbele yangu kwani kitu gani kinachokufanya upige magoti?"
"Wewe ni mtu mkubwa sana kwenye hii falme ya ADELI lazima nikupe salamu yako kama inavyostahili"
"Hapana nahisi umechanganya mzee wangu mimi ni tabibu tu"
"Ni ngumu kuelewa ila mda mwafaka utafika na utaelewa"
Mzee yule alisimama na kuondoka zake na kumuachia Amma maswali mengi kwenye ubongo wake.

Amma baada ya kumaliza kuchimba dawa alirejea nyumbani kwao na kumkuta baba yake, alimweleza kila kitu kuhusu yule mzee juu ya kumpigia magoti kwa mara nyingine walipokutana huko polini.

"Unajua binti yangu mama yako aliwahi kusema ivi, ukiona mtu mkubwa anakuheshimu ujue kuna vitu vya maana vipo ndani yako".
"Umeongea kuhusu mama na umenikumbusha,ivi yupo wapi mama yangu???"
"Ni simulizi ndefu binti yangu"

Amma alisimuliwa kila kitu kuhusu mama yake na alihuzunika sana kusikia kwamba alishafariki zamani, pale yeye alipozaliwa .

***************
Asikari kutoka katika ufalme wa YUNDI baada ya kuwafikisha mpakani Prince Yao na Lindiwe waliwaacha wenyewe waendelee na safari yao na waliwakumbusha kuwa hawatakiwi kuonekana tena katika ufalme huo.

"Mama huku tunaenda wapi???"
"Usijali huku tunakoenda ndio nyumbani na sio huko tuliko toka"
"Unamaana gani kusema ivyo??".
"Utafahamu kila kitu tukisha fika Prince"
"Umeniita Prince?????"
"Kwasababu unafanana na prince"
"Mmmh",Prince Yao aliamua kuguna tu kwa majibu yale ya mama yake.
Lindiwe aliamua kupindisha baada ya kuona anaelekea kulopoka kila kitu kuhusu Prince Yao.

****************
Ndani ya ufalme wa ADELI mambo yalikuwa yameharibika kila kitu kilienda ndivyo sivyo mfalme Kojo alikuwa kwenye kipindi kigumu sana,

"Mfalme naomba ukae umesimama mda mrefu sana, Malikia andwaa aliongea kumtuliza Mfalme Kojo.
"Emu niache ni siku mbaya sana kwangu, General katoroka alafu nimemtambulisha mtoto ambae sijui ata limetokea wapi hilo litoto??".
"Ni sawa mfalme tutatafuta njia ya kumtafuta Prince wa kweli,hakukuwa na njia nyingine ya kufanya zaidi ya hii mfalme".

Walipokuwa wakiongea maongezi yale, kuna mtu alikuwa akiwasikiliza.

"Mnasema Prince mliyemtambulisha sio Prince wa kweli??? ilikuwa ni sauti ya Yanite"
"Tatizo jingine hilo"
"Baba mimi kuuliza nilichosikia imekuwa tatizo????,Princess Yanite aliongea.
"Ongea na mama yako akwambie kila kitu",Mfalme aliondoka kwa hasira chumbani na kuwaacha Malikia Andwaa na Yanite............ITAENDELEA

Lindiwe na Prince Yao wanaelekea wapi baada ya kufukuzwa na Mfalme Tengu?? na je?Malikia Andwaa atamweleza ukweli Princess Yanite kuhusu Prince Yao???,sehemu ya 15 inamajibu zaidi

Story.....................MFALME KIPOFU
Mtunzi...................Zooper
Sehemi..ya............15
Whatsapp.............0748697173

Ilipoishia sehemu iliyopita......
Baba mimi kuuliza nilichosikia imekuwa tatizo????,princess Yanite aliongea
"Ungea na mama ako akwambie kila kitu"
Mfalme aliondoka kwa hasira chumbani mle na kuwaacha malikia andwaa na Yanite.....

ENDELEA NAYO....
Hakukuwa na siri tena Yanite alisikia maneno yote waliyokuwa wakizungumza.
Malikia Andwaa aliona ni wakati sahihi wa kuweka kila kitu wazi mbele ya Princess Yanite hakuona haja ya kuendelea kumficha tena.

"Maongezi uliyoyasikia niya kweli yule sio Prince halisi tuliye mtambisha".
"Mama una chosema ni cha kweli?"
"Ndio mwanangu"
"Na Prince wa kwel yupo wapi???"
"Prince wa kweli anaitwa Yao na ni kipofu, alizaliwa akiwa na tatizo la macho tuliamua mimi na mfalme akalelewe mbali kisiri,na wenye hii siri ni mimi na mflame tu".

Malikia andwaa alimkalisha Yanite chini na kuanza kumpa historia nzima jinsi ilivyokuwa mpaka Prince Yao wakaamua kuchukua mamuzi ya kumuondoa.

Yanite alihuzunika kusika story ya kaka yake.
"Ni makosa yenu haikutakiwa kumtenga Prince na sizani kama atarudi hapa ila mimi nitaenda kumtafuta mwenyewe kaka angu".

Alinyenyuka na kuondoka, jumba la kiflame sasa amani ilikosekana ilikuwa siku mbaya kwa Mfalme Kojo na Malikia andwaa baada ya siri nyingine kugundulika.

******************
Cheki yeye alikuwa anazunguka tu katika jumba la kifalme kutazama uzuri wa jengo lile na kupishana na wafanya kazi mbalimbali wa kike na wakiume.

"huku kuna wanawake wazuri kuliko ata Yunde niliyemuacha YUNDI huku sitoki na acha aolewe na yule kipofu,alisema na nafasi mwenyewe".

Walinzi waliokuwa kwenye ile mipango ya kumtafuta Prince feki walimuona nakuanza kumteta bira yeye kujua.

"Huyu jamaa anabahati sana kupata nafasi ya kuwa prince"
"Ongea taratibu kumbuka hii ni siri tunajua sisi tu"
"ata kama ni siri lakini jama kapata bahati sana natamani iyo na nafasi ya Prince feki angenipa mimi mfalme"

Kipindi wanaongea rafiki yake na Nzegi alikuwa anasikia kila kitu na hapo alitambua siri nyingine katika jumba hilo la kifalme.
Aliondoka taratibu bira kusikika na kwenda msituni kuwatafuta General na Nzegi ili awape tarifa zile.

Haikumchukua mda mrefu mlinzi yule kuweza kufika msituni kwa ajili ya kutoa tatifa ile aliyoisikia kuhusu Prince aliyetambulishwa.

Wakiwa mafichoni general na nzegi walisikia mluzi ukipigwa na ilikuwa ni ishara Nzegi anayoitambua walisogea maeneo husika ya sauti ile ilipokuwa inatoka.

"Kuna tarifa mpya na nzuri kutoka katika jumba la kifalme"
"Tarifa gani izo?"
"Inasemekana Prince yule aliyetambulishwa sio Mwana wa Mfalme wa kweli".
"unasema kweli????,Nzegi aliuliza wakati huo General yupo kimya tu akisikiliza mazungumzo yao"
"Ndio na uhakika na ninacho ongea".

"Wewe rudi katika jumba la kifalme na umshawishi huyo kijana kuja nae hapa,tumeshapata mtu wa kusaidizana nae tayali"
"Sawa General"
Asikari yule aliondoka na kuwaacha General na Nzegi.

"Mda wa kukaa sasa umeisha leo usiku waziri mkuu tunaanza nae hana ulinzi wa kutosha lazima afe usiku wa leo,
General sasa alipanga kuingia vitani lasimi na Waziri mkuu ndie atakaye anza nae"
.
*********************
Tangu Prince Yao na Lindiwe waondoke Princess Nailet aliamua ajifungie chumbani kwake na Mfalme alianza kupata mashaka baada ya ukimya wa binti yake.

"Fungua mlango Princess"
Baada ya kuona hakuna mwitikio wa mlango kufunguliwa Mfalme Tengu alitoa amri,
"Vunjeni mlango haraka".Mfalme aliongea akiwa na wasiwasi mkubwa juu ya usalama wa binti yake.
Walinzi walifanyikiwa kuvunja mlango na mfalme kuingia ndani akiongozana na walinzi wake,

ilikuw ni kama bahati tu walimkuta anataka kujinyonga hapo ndipo mfalme alijua kuwa binti yake amezamilia kweli.

"Kwanini unanifanyia ivi binti yangu??"
"Nimechagua kufa kuliko kuona Yao anaenda mbali na maisha yangu".
"Unajua kabisa wewe ndie mtu peke uliyebaki kwenye familia yangu unataka huu ufalme ubaki mikononi mwa nani???"

"Mimi ilo sijali, baba naomba uniambie una mrudisha Yao au humrudishi??"

Lilikuwa ni swali gumu sana kwa mfalme tengu na ukizingatia ndie mtoto pekee alienae,

"Asikari",mfalme tengu aliita kwa hasira
"Nendeni mka warudishe haraka"
"Mfalme tayali wameshavuka mpaka"
"Nimesema nendeni mkawarudishe",Mfalme aliongea kwa hasira na mboni za macho yake zilibadilika na kuwa nyekundu hali iliyo waogopesha walinzi wake.
Hawakuta kupoteza mda tena waliondoka na kumuacha mfalme akiendelea .............ITAENDELEA.

Asikari wa Mfalme Tengu watafanyikiwa kuwapata Prince Yao pamoja na Lindiwe??,na Je?Yanite atachukua uamzi gani juu ya tarifa alizopewa na Malikia andwaa kuhusu kaka yake???,tukutane sehemu inayofata.

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Mwanangu Mungu ndio anae jua
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MFALME KIPOFU Sehemi..ya............14

Ilipoishia sehemu iliyopita....
Huyo hawezi kuishi bira wewe mana haoni na nafasi ya mwisho ni kuondoka katika huu ufalme nisione sura zenu tena hapa......

KUPATA MWENDELEZO ZAIDI WA SEHEMU INAYOFYATA BONYEZA LINK YA HAPO CHINI 👇👇👇👇 usisahau kunifollow 🙏🙏
https://www.facebook.com/profile.php?id=61550632115006

ENDELEA NAYO........
Mfalme Tengu aliwafukuza Prince Yao na Lindiwe katika ufalme wake hakuwapa ata mda wa kujiandaa na walinzi walipewa maagizo ya kuwa sindikiza na kuhakikisha wameondoka katika ufalme wa YUNDI.

Princess Nailet hakuamini kama baba yake anaweza kumfanyia maamuzi kama yale bira kumpa nafasi ya kumsikiliza,
"Nakuchukia sana baba!!!! nakuchukia!!"
"Sawa ata unichukie ila nafanya ivi kwa ajili yako huwezi kuwa karibu na kipofu na...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mfalme-kipofu-sehemi-ya-14

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mfalme-kipofu-sehemi-ya
MFALME KIPOFU  Sehemi..ya............01  Anza nayo...... Ni katika ufalme wa ADELI,majira ya usiku katika jumba kubwa la kifalme
MFALME KIPOFU Sehemi..ya............01 Anza nayo...... Ni katika ufalme wa ADELI,majira ya usiku katika jumba kubwa la kifalme
Story.....................MFALME KIPOFU  Sehemi..ya............08   Ilipoishia sehemu iliyopita........ "Tarifa gani???" "Inasemekana baada ya siku tatu Prince
Story.....................MFALME KIPOFU Sehemi..ya............08 Ilipoishia sehemu iliyopita........ "Tarifa gani???" "Inasemekana baada ya siku tatu Prince
Story.....................MFALME KIPOFU  Sehemi..ya............04  Ilipoishia sehemu iliyopita........ Farasi ilifika Lindiwe pamoja na prince Yao walipanda na safari ikaanza kutoka katika jengo
Story.....................MFALME KIPOFU Sehemi..ya............04 Ilipoishia sehemu iliyopita........ Farasi ilifika Lindiwe pamoja na prince Yao walipanda na safari ikaanza kutoka katika jengo
Story MFALME KIPOFU  Sehemi..ya............02   Ilipoishia sehemu iliyopita... "Mbona unazunguka mtabili emu niambie mwanangu niliyemzaa leo anatatizo gani???
Story MFALME KIPOFU Sehemi..ya............02 Ilipoishia sehemu iliyopita... "Mbona unazunguka mtabili emu niambie mwanangu niliyemzaa leo anatatizo gani???
Story.....................MFALME KIPOFU  Sehemi..ya............06     Ilipoishia sehemu iliyopita........ Chukua majani mawili ya mti wa ajabu nenda kayanyunyizie maji ya mto ADEYU
Story.....................MFALME KIPOFU Sehemi..ya............06 Ilipoishia sehemu iliyopita........ Chukua majani mawili ya mti wa ajabu nenda kayanyunyizie maji ya mto ADEYU
Story.....................MFALME KIPOFU  Sehemi..ya............10
Story.....................MFALME KIPOFU Sehemi..ya............10
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU YA KUMU*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMU*

901
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10

497
FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 16

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 16

437
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8

424
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17

316
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12

249
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10

211
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.

184
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.

141
SHAMIRA sehemu ya 34&35

SHAMIRA sehemu ya 34&35

104

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.43K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.2K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.74K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.2K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.6K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.45K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.44K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.43K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.38K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.36K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla Post Mpya
This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla
@majario LIVE

with that cute bubbly energy… and Aamir Khan being his mischievous, romantic self. What a combo yaar! Ishq was not just a love story, it was full on drama, comedy,...

 Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani Post Mpya
Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani
@majario LIVE

* Meli za kijeshi za Marekani zilizopo Ghuba ya Uajemi * Rada za Israel zilizopo Azerbaijan * Rada za Israel zilizopo Turkmenistan * Mifumo ya ulinzi wa anga ya vituo vya Marekani nchini...

SHAMIRA sehemu ya 34&35 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 34&35
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi nikajiiinua taratibu tukaingia bafuni. Mwanaume akanikumbatia uku tunaoga. Aseee uyu baba ananipenda ila hataki upumbavu ata kidogo na mkono wake mwepesi kupiga .na yote sababu...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nikaona zena kamnyanyua yule mtoto kisha akambeba ,ni amefanana nae sana ,nikajua ni wa kwake tu yani ni lazima utu mtoto atakuwa ni mwanae, kisha akanigeukia...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17
@majario LIVE

Ikabidi nikae tu kwenye piki piki maana sura alivyokuwa kaikaza mmh asije kunipiga, Kimyaa kikatawala sasa mie nilijua tunaenda kwa Tinner na moyoni nilikuwa nimempangia hayo maneno Tinner eeh mbona...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Maeneo ya pale pale chuoni, Salmon alikuwa amepanga nyumba kubwa ya peke yake. Wakati akiwa chuo ndo alikua anaishi hapo, ila siku za weekends kama hana mambo mengi ndo anaenda...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi kuanzia apo nikawa sasa kidogo naelewana na baraka. Tena mimi ndo napenda sana kuongea nae. Yani sanaaa. Napenda kucheka nae sana. Na kun jinsi...

FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 16 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 16
@majario LIVE

Usiku wangu ulikuwa mzito sana, maneno ya D kusema kuwa Veda anatembea na wanawake wengi, niliyaamini kabisaaa Bila shakaa kwa maana Yeye tu hana mwonekano mzuri ametuna tuna hovyo anakuwa...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10
@majario LIVE

Daaah nikaona mtoto kachomoa leo mana sio powa , ana vipengele sana uyu demu , ila unyama, hatachomoa kila siku, ni suala la muda tu, mana sijawahi kumtaka mwanamke ,...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media BASI nikapanda kitandani kwangu. Nikijutia sana nilichokifanya mana mh . Nilikuwa nasababisha ugomvi mkubwa wa wazazi mungu wangu. Yani mama yangu alikuwa anaachwa leo...

SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.??? Post Mpya
SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.???
@majario LIVE

Hatimae jana tambo za Dabi zilipata majibu kwa timu za Simba na Yanga kutoka suluhu ya bila kufungana(0-0). Kwa maana hiyo timu zote ziliambulia pointi moja moja. Mchezo wa jana pamoja...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8
@majario LIVE

Zena akasema kwaiyo manager unataka kuniuza ama ni vp, yule manager aksema , naomba uelewe kuwa ukifanya kazi katika hii bar, mteja kukushika sehemu yoyote ya mwili wako ni kawaida,...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU YA KUMU* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMU*
@majario LIVE

Jambo likawa lelelele, Yaani ni patashika nguo kuchanika, Kwa upande wangu Walahi nilikuwa nikifurahi tu, na amina alikuwa akilia tu nakuomba msamaha. Enzo wa watu mwaya akachukua muda wake na kumuelezea...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Mbali na ivyo zile zawadi alizo tumiwa Noela zilimuuma vile vile. Alihisi Noela hastahili vitu vizuri wala maisha ya kifahari. Alitaka kila kitu kiwe chake, wanaume wote wawe wake. Hata...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 6 na 7 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 6 na 7
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi bwana , mwanaume wala sikuwa na shaka, kazi zote ambazo nilibakiwa nazo pale ofisini, nikamuachia ibraaa, na ukiacha ushikaji, mi bafo ibra ni mkubwa wake wa kazi,...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest