Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MFALME KIPOFU 12 na13
Gonga94 Β· Stories

MFALME KIPOFU 12 na13

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

Sehemi..ya............12

Ilipoishia sehemu iliyopita........
Pasipo kufikili mara mbili roho ya wivu ikamuingia hakuta kuona mwanamke yoyote anakaa karibu na Yao zaidi yake yeye,
Aliondoka mbiombio mpaka katika jumba la kifalme..........

ENDELEA NAYO....
Aliondoka mbiombio mpaka katika jumba la kifalme kwenda kutoa tarifa ambazo aliona ni sahihi kwa upande wake na alipofika tu tarifa zilimfikia mfalme Tengu juu ya ujio wake,

"Binti mbona asubuhi sana kuna tatizo??"
"Ndio mfalme nimemuona Princess akiwa na kijana yule kipofu asubuhi hii".

Alielezea kila kitu kwamba amemuona Princess Nailet akiwa na Yao na walikuwa kwenye mapozi yasiyo ya kawaida,
Habari zile zlimkasilisha sana Mfalme Tengu, kwa tarifa alizopewa hakuamini kama binti yake anaweza kufanya kitu kama icho na ukizingatia ni mtoto wa mfalme.

"Unachoongea unauhakika nacho???",Mfalme Tengu alimuuliza Yunde kwa mara nyingine.
"Ndio mfalme".alijibu kwa kujiamini mana alikuwa na uhakika na tarifa zake alizozileta mbele ya Mfalme wake.

Mfalme aliagiza walinzi waka muangalie Princess Nailet katika chumba chake na kumletea tarifa kama ni kweli binti yake hayupo katika jumba la kifalme.
"Mfalme Princess hayupo kwenye chumba chake".

Mfalme hakutaka tena kuuliza maswali zaidi ya kwenda kujihakikishia kama tarifa alizozileta na Yunde zinaukweli wowote.
"Aya binti ongoza njia".
"Sawa mfalme"
"Kuna vijana wengine mpaka wapewe fundisho ndio wakome kuchezea na watoto wa kifalme".

Yunde alianza kujilaumu baada ya kusikia maneno ya Mfalme na ndani ya nafsi yake alipingana na maamuzi aliyoyafanya ya kuleta tarifa zile kwa mfalme na safari ilianza ya kuwapeleka yalipo makazi ya Prince Yao.

Haikuchukua mda mrefu wakawa wamefika mahali husika na mfalme hakuamini kile alichokiona kwa binti yake Nailet,

"Ni ujinga gani huu unaofanya hapa??"
"Babaaaa!!!!!!!
"Yani umemshika mkono huna ata wasiwasi aya kamata huyu kipofu na mama yake haraka sana".
"Baba hawana kosa lolote lile mimi ndie mwenye kosa naomba uwaachie tafadhali"
"Wewe ni Binti wa mfalme inatakiwa iwe fundisho kwa vijana wengine kama hawa"

Yunde alikuwa akishuhudia yote yaliyokuwa yakiendelea pale,
Alijutia maamuzi aliyoyafanya na kwa macho yake aliwaona Prince Yao na Lindiwe wakipelekwa katika jumba la Kifalme aliamua kufatilia kuona mfalme atafanya maamuzi gani.

******************
Mandalizi ya sherehe katika ufalme wa ADELI ya kumpolea Prince Cheki au wamchongo yaliendelea kama ilivyo desturi.
Wakati huku gerezani napo mipango iliendelea ya kumtorosha General na temu hii Mlinzi Nzegi aliamua kuwa upande wa General.

Na mda maalumu ulifika wa Cheki kutambulishwa kama Prince, Mfalme Kojo alisimama kumtambulisha mbele ya halaiki,
"Huyu mnayemuona hapa ni Prince wa hili taifa na ndie atakayekuwa Mfalme wa hili taifa kwa badae, popote pale mtakapo muona naomba mumpe heshima yake".
Mfalme alimaliza na kuwafanya watu wapige makofi na kuanza kuimba....

"Princee,princee,mfalme ajaye Γ—3,
Prince wa ADELI,Prince mwenye nguvu"

Malikia Andwaa alichukizwa sana na sifa alizokuwa anapewa Cheki ilihali haku sitahili kupewa sifa izo ila hakuwa na chakufanya zaidi ya kuonyesha tabasamu feki.

Wakiwa katika furaha viongonzi mbalimbali ya kumkalibisha Prince tarifa mpya zilifika,
"Mfalme!!mfalme!!! kuna tatizo maneno ha asikari yule aliyekuja kwa kasi yaliwafanya karibu kila mtu asitishe alicho kuwa anafanya na kumsikiliza asikari yule"

"General katoroka gerezani mfalme".
"Unaongea nini wewe na nyie mlikuwa wapi???"
"Mlinzi mkuu alitutoa pale gerezani akisema tuje huku kwenye jumba la kifalme kuna tatizo tulipokuja na kukuta hakuna tatizo tukaamua kurudi gerezeni na hatukumukuta General wala Mlinzi mkuu".
"Ujinga gani huu unaongea", Mfalme aliongea baada ya kusikia General katoroka aliona hatari iliyo mbele yake
"Hakuna cha sherehe......ITAENDELEA.

Mambo ndio yameiva sasa huku Prince Yao mikononi mwa Mfalme Tengu na huku General anafanyikiwa kutoroka nini hatima ya waziri mkuu baada ya kusikia General katoroka na alimsaliti tukutane sehemu ijayo.

MFALME KIPOFU
Sehemi..ya............13


Ilipoishia sehemu iliyopita....
"Ujinga gani huu unaongea,Mfalme aliongea baada ya kusikia General katoroka aliona hatari iliyo mbele yake"
"Hakuna cha sherehe.......

KUPATA MWENDELEZO ZAIDI WA SEHEMU INAYOFYATA BONYEZA LINK YA HAPO CHINI πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡ usisahau kunifollow πŸ™πŸ™
https://www.facebook.com/profile.php?id=61550632115006

ENDELEA NAYO...
"Hakuna cha sherehe hapa General atafutwe haraka sana na inatakiwa apatikane kabra siku ya leo haijaisha", mfalme aliongea na kuwafanya asikari watowanyike kuanza msako wa kumtafuta General.

Cheki au Prince feki alichukia sana kuona sherehe imesitishwa,raha za kuwa mtoto mfalme alianza kuziona alikunja ngumi kwa hasira sana,
"Kaka nilikusubili kwa mda mrefu".
Cheki alishangaa ameshikwa mkono na kugeuka nyuma, hakuwa mwingine aliye mshika bali ni binti wa mwisho wa kifalme aitwae Yanni.
Cheki aliweka tabasamu feki mbele ya binti huyo mdogo,
"Usijali mdogo wangu nimekuja kaka yako"
"Princess Yanite alisema huwezi kuja mwangalie yule pale".
Cheki aligeuza macho yake nakumuona Princess Yanite aliyekuwa ameketi karibu na malikia,

Malikia andwaa alimuona Princess Yanni akiongea na Cheki kitendo kilichomchukiza sana na kuamua kuwafata walipo.

Malikia hakutaka kuona Yanni anakuwa karibu na cheki mana alijua sio kaka yake halisi alienda akamshika mkono na kuondoka nae eneo hilo.
"Mama mbona umenitoa nilikuwa naongea na kaka"
"Sasa ivi hapa sio salama yatupaswa tuingie ndani binti yangu".
Malikia hakutaka kujibu alichoulizwa na binti yake ila aliongea jambo jingine ambalo halihusiani na alichoulizwa.

Kila raia alirudi katika makazi yake baada ya sherehe kuingia tahaluki.

***********

"Hahahahahaha atimae nipo huru sasa, temu hii siachi mtu ata mmoja nitauwa wote"
"Ni kweli general hapa inatakiwa tuanze na mtu aliyekusaliti"
"Nzegi una akili sana kama ulikuwa kwenye ubongo wangu ulivyokuwa unawaza, naanza na waziri mkuu kisha anafata Mfalme"

"Ata mimi kuanzia sasa nitakuwa na hesabika kama mharifu niliyekutorosha wewe kutoka gerezani ivyo siwezi tena kurudi katika jumba la kifalme",
Nzegi aliongea na kumfanya General kuelewa zaidi.

Wakiwa katika mazungumzo walisikia sauti za watu wakija upande wao na kuwafanya kutafuta mahali pakujificha.

"Aya nyie pita huku na wengine mpite huku muwatafute haraka sana hakikisheni General anapatikana na Nzegi, ni sauti ya Asikari kiongozi akiwaelekeza wenzake"

Asikari walitii amri na kumuacha peke yake kiongonzi yule aliangaza huku na huku kama kuna asikari yoyote aliyebaki eneo lile na alipohakikisha hakuna aliyebaki aliongea,

"Aya tokeni nyie wapuuzi nimeshawaona tayali"
Nzegi alitoka bira ata kuogopa baada ya kumuona rafiki yake huyo waliyefanya kazi pamoja kwa miaka mingi katika jumba la kifalme

"Nilijua tu huwezi kunitenga ndugu yangu tumetoka mbali mimi na wewe".
"Kwanini umeamua kuwa msaliti kwa Mfalme????".
"Kwa sababu amechoka kuwa mtumwa rafiki yako,General alijitokeza na hakuona haja ya kuendelea kujificha".
"Mnatakiwa mwende msituni mkajihifadhi ni hatari kwenu kwa sasa asikari wamejaa kila sehemu"
"Ungana na sisi ubadilishe maisha yako,General alimwambia asikari yule".
"Itakuwa ngumu sana kuwa upande wenu"

Nani asiyependa maisha mazuri, General alimshawishi kwa maneno mazuri na kumfanya asikari yule awe upande wao na aliwaahidi atawaletea tarifa ya kila kinachoendelea katika jumba la kifalme.

*************

Prince Yao na Lindiwe wanafikishwa kwenye jumba la kifalme huku Princess Nailet machozi haya kuacha kufutika machoni mwake.

"Baba naomba uwaachie hawana kosa lolote lile makosa yote ni ya kwangu, mimi ndie niliye enda kwao kuangalia kama naweza kumsaidia Yao na kumfanya aone ",
"Naona umesahau mimi sio baba yako tu bali ni mfalme wa falme hii ya YUNDI na ni kosa kubwa sana kumdanganya mfalme".
"Hapana maneno yangu ni ya kweli baba"
"Wewe tangu lini ukawa daktari na umejifunzia wapi???,

Kwa makosa yako mwenyewe unamwingiza kijana wa watu kwenye matatizo ni kosa kubwa sana kukutwa kijana yoyote yule amemshika Princess bira ruhusa maalumu,
hukumu yake ni kifungo cha maisha gerezani".

"Hapana Mfalme naomba unifunge mimi na umuachie mwanangu aende,Lindiwe alipiga magoti mbele ya mfalme Tengu na kumuomba mfalme".

"Miaka iliyopita ulikuja ndani ya huu ufalme nikakupokea kwa mikono miwili utafute dawa ya mwanao ila ukayafanya makazi yako ya kudumu inaonekana ndio ilikuwa mipango yako hii"
"Hapana sio ivyo Mfalme"
"Sasa mbona uliamua kuishi kwenye huu ufalme tofauti na makubaliano yetu??"

"Ni kosa langu ilo mfalme ila naomba unikamate mimi umwachie mwanangu".

"Huyo hawezi kuishi bira wewe mana haoni na nafasi ya mwisho ni kuondoka katika huu ufalme nisione sura zenu tena hapa........ITAENDELEA

Mfalme Kojo atafanyikiwa kumshika General kwa mara nyingine?? Na vipi kuhusu Mfalme Tengu atafanya maamuzi gani juu ya Prince Yao tukutane sehemu inayofata
Tangazo - MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
Tunao Wapenda ndio wanao tuua baba
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MFALME KIPOFU 12 na13


Sehemi..ya............12

Ilipoishia sehemu iliyopita........
Pasipo kufikili mara mbili roho ya wivu ikamuingia hakuta kuona mwanamke yoyote anakaa karibu na Yao zaidi yake yeye,
Aliondoka mbiombio mpaka katika jumba la kifalme..........

ENDELEA NAYO....
Aliondoka mbiombio mpaka katika jumba la kifalme kwenda kutoa tarifa ambazo aliona ni sahihi kwa upande wake na alipofika tu tarifa zilimfikia mfalme Tengu juu ya ujio wake,

"Binti mbona asubuhi sana kuna tatizo??"
"Ndio mfalme nimemuona Princess akiwa na kijana yule kipofu asubuhi hii".

Alielezea kila kitu kwamba amemuona Princess Nailet akiwa na Yao na walikuwa kwenye mapozi yasiyo ya kawaida,
Habari zile zlimkasilisha sana Mfalme Tengu, kwa tarifa alizopewa hakuamini kama binti yake anaweza...

πŸ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mfalme-kipofu-12-na13

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mfalme-kipofu
MFALME KIPOFU  Sehemi..ya............01  Anza nayo...... Ni katika ufalme wa ADELI,majira ya usiku katika jumba kubwa la kifalme
MFALME KIPOFU Sehemi..ya............01 Anza nayo...... Ni katika ufalme wa ADELI,majira ya usiku katika jumba kubwa la kifalme
Story.....................MFALME KIPOFU  Sehemi..ya............08   Ilipoishia sehemu iliyopita........ "Tarifa gani???" "Inasemekana baada ya siku tatu Prince
Story.....................MFALME KIPOFU Sehemi..ya............08 Ilipoishia sehemu iliyopita........ "Tarifa gani???" "Inasemekana baada ya siku tatu Prince
Story.....................MFALME KIPOFU  Sehemi..ya............04  Ilipoishia sehemu iliyopita........ Farasi ilifika Lindiwe pamoja na prince Yao walipanda na safari ikaanza kutoka katika jengo
Story.....................MFALME KIPOFU Sehemi..ya............04 Ilipoishia sehemu iliyopita........ Farasi ilifika Lindiwe pamoja na prince Yao walipanda na safari ikaanza kutoka katika jengo
Story.....................MFALME KIPOFU  Ilipoishia sehemu iliyopita.. General Tengeli anataman kuwa  mfalme na ndio sababu ilimfanya atengeneza jeshi
Story.....................MFALME KIPOFU Ilipoishia sehemu iliyopita.. General Tengeli anataman kuwa mfalme na ndio sababu ilimfanya atengeneza jeshi
Story MFALME KIPOFU  Sehemi..ya............02   Ilipoishia sehemu iliyopita... "Mbona unazunguka mtabili emu niambie mwanangu niliyemzaa leo anatatizo gani???
Story MFALME KIPOFU Sehemi..ya............02 Ilipoishia sehemu iliyopita... "Mbona unazunguka mtabili emu niambie mwanangu niliyemzaa leo anatatizo gani???
Story.....................MFALME KIPOFU  Sehemi..ya............06     Ilipoishia sehemu iliyopita........ Chukua majani mawili ya mti wa ajabu nenda kayanyunyizie maji ya mto ADEYU
Story.....................MFALME KIPOFU Sehemi..ya............06 Ilipoishia sehemu iliyopita........ Chukua majani mawili ya mti wa ajabu nenda kayanyunyizie maji ya mto ADEYU
MFALME KIPOFU 11
MFALME KIPOFU 11
Story.....................MFALME KIPOFU 9
Story.....................MFALME KIPOFU 9
Story.....................MFALME KIPOFU  Sehemi..ya............10
Story.....................MFALME KIPOFU Sehemi..ya............10
Story.....................MFALME KIPOFU 8
Story.....................MFALME KIPOFU 8
MFALME KIPOFU  Sehemi..ya............14
MFALME KIPOFU Sehemi..ya............14
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❀️ sehemu ya 68

MY WANGU❀️ sehemu ya 68

542
MY WANGU❀️ sehemu ya 69 na 70

MY WANGU❀️ sehemu ya 69 na 70

477
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 45πŸ’˜πŸ’˜

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 45πŸ’˜πŸ’˜

438
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜  N0 46πŸ’˜πŸ’˜

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 46πŸ’˜πŸ’˜

356
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 19 MPAKA 20

MIMI SIKUACHIπŸ₯° 19 MPAKA 20

166
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 47πŸ’˜πŸ’˜

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 47πŸ’˜πŸ’˜

152
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 12 na 13

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 12 na 13

89
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 16 MPAKA 18

MIMI SIKUACHIπŸ₯° 16 MPAKA 18

86
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 21 MPAKA 23

MIMI SIKUACHIπŸ₯° 21 MPAKA 23

86
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 10 na 11

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 10 na 11

76

ZIMESOMWA ZAIDI

β€ŽTUNDA LA  DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

β€ŽTUNDA LA DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.01K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.8K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tisa.  πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tisa. πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

3.65K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya sita.  πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya sita. πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.01K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 20.  πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 20. πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

2.43K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tatu.  πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tatu. πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

2.4K
I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10

I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10

2.27K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 16.  πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 16. πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

2.25K
❀❀ MTOTO WA MKE WANGUπŸ˜›πŸ˜›  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❀❀ MTOTO WA MKE WANGUπŸ˜›πŸ˜› Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.24K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya nane.  πŸ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya nane. πŸ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...πŸ‘‡

2.15K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 47πŸ’˜πŸ’˜ Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 47πŸ’˜πŸ’˜
@majario LIVE

Baada ya kumaliza kupeana ule utamu wa alfajir hemed alinikumbatia tena tukalala tuliamka saa tatu za asubuhi tukaingia bafuni kuoga baada ya hapo tulipata breakfast tulivyomaliza kula nilimuaga hemed nikamwambia...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° 21 MPAKA 23 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 21 MPAKA 23
@majario LIVE

🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Sehemu ya 21 Basi mie nikaendelea na vipindi na jioni sana ndo tukaludi getoo. Basi tukiwa tunaendelea na story zetu mi na lemi. Oyaaaaa kufika saa nne jsiku mtoto...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° 19 MPAKA 20 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 19 MPAKA 20
@majario LIVE

🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Sehemu ya 19 Daah nikasema.mwanangu iyo chupi.nimemnunulia fatuma.natka nikampelekee si unjaua bado week 3 tunaenda likizo. Lemi akaniangalia akasema mh . Aya bwana hkuna noma.mi nikaivuta ile chupi. Nikaweka chini...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° 16 MPAKA 18 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 16 MPAKA 18
@majario LIVE

🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Sehemu ya 16 Basi nikapata kaumarufu kweli kweli pale chooni. Yani ata wadada wakawa wananishobokea sana. Naomba unifundishe nifundishe kama zote. Wadada full shobo na mimi. Ata washikaji wakawa...

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜  N0 46πŸ’˜πŸ’˜ Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 46πŸ’˜πŸ’˜
@majario LIVE

Moyo wangu ulianza kudata juu yaHemedπŸ₯ΉπŸ₯Ή nilijaribu kuongea nao lakini wala haukunisikia niliuambia moyo tulia hukuhuku kwa boo tayari tushasolve tatizo lililokuwepo Acha kuhamahama😟😟 lakini moyo bado ulizidi kung'ang'ania kwa...

MY WANGU❀️ sehemu ya 69 na 70 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 69 na 70
@majario LIVE

Basi nilipata kafuraha mno. Nikachukua pesa yangu .nikarudi darasani kuendelea na ratiba zangu. Uwiiiiii nilifurahi sana. Yani sana tu. Na prepo ilivyoisha tukarudi darasani. Mie nikampa tu yule mwanafunzi...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° 14 MPAKA 15 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 14 MPAKA 15
@majario LIVE

🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Sehemu ya 14 Aseee mi nilimuangalia sana uyu demu. Nikamuona jau . Yani yupo very serious ananitongoza .mnajua kuna jinsi nilimdharau . Nikaona uyu demu daaah. Alivyoona namshangaa na sijamjibu...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 12 na 13 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 12 na 13
@majario LIVE

12 MPAKA 13 🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Nikasema vp mbona huniachii mkono. Akanmbia ahaa sory haji. Kisha akaachia mkono wangu. Na mda uo uo ndo lemi akawa analudi pale. Akasema ahaaa mrembo upo...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 10 na 11 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 10 na 11
@majario LIVE

10 MPAKA 11 🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Aseeeee uyu demu ni mzuri bwana. Mi. Mwenyewe nilikubali. Ila sio kwamba nilimtamani no. Mi ni mwanaime ninayejielewa sana. Wanaume tuna tamani mno. Ila unakuwa na msimamo wako...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 7 na 8 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 7 na 8
@majario LIVE

7 MPAKA 9 🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Basi bwana tukivyotoka kula sasa. Mi nikaludi ndani ila lemi akanmbia kuna mtu anakutana nae kidogo nikasema powa so nikamuacha mimi nikaludi hostel.aseeee chuo kimechangamka iki sana. Yani...

MY WANGU❀️ sehemu ya 68 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 68
@majario LIVE

Basi akashuka. Akamsalimia mama pale. Mama akamuitikia. Akaniuliza. Ushakuwa tayari. Mie nikasema ndio . Akanmbia kachukue nilivyokwambia tupakie. Nikasema sawa. Kweli nikaenda kuchukua. Vilikuwa vidogo. Kweli. Vyengine niliviona kashanunua yeye...

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 45πŸ’˜πŸ’˜ Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 45πŸ’˜πŸ’˜
@majario LIVE

0742133100 Babie Love Niliipokea ile simu huku nikiwa natetemeka kwa uoga..... hello daddy.... pendo what's going on πŸ€·β€β™‚οΈ taarifa gani hizi nazoambiwa kwani hamkumaliza tofauti zenu inatakiwa muache drama mtakuja kunitesea...

MY WANGU❀️ sehemu ya 66 na 67 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 66 na 67
@majario LIVE

Aseeee nilikuwa na maumivu kwa kila sehemu ya mwili wangu. Nilikuwa na maumivu makali mnoo. Asa mkono . Yani sikuwa sawa kabisa. Namsikia mlige akiwa ndani .anasema yani nikitoka njeee...

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA  SEHEMU YA 19 - 20 Post Mpya
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 19 - 20
@majario LIVE

Nilikuwa najilazimisha hata kucheka mama aliniona ila akajua labda ni uoga tuu akaniambia mwanangu usijali bhana Kila kitu kutakuwa sawa na ndoa yako itapita vizuri tu nikawa namjibu kwakichwa saw,...

MY WANGU❀️ sehemu ya 64 na 65 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 64 na 65
@majario LIVE

Basi mie nikaingia chumbani nikajilaza kitandani.nikalia mnoo .niklia aswaaa.mana mi.mwenyewe mlige nampenda.nampenda sana.na kweli nimemkosea ila hataki ata kuongea na mie ni ananifanyia hasira tu. Basi shoga yenu nikawa nalia...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest