Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MFALME KIPOFU 12 na13
Gonga94 Β· Stories

MFALME KIPOFU 12 na13

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

Sehemi..ya............12

Ilipoishia sehemu iliyopita........
Pasipo kufikili mara mbili roho ya wivu ikamuingia hakuta kuona mwanamke yoyote anakaa karibu na Yao zaidi yake yeye,
Aliondoka mbiombio mpaka katika jumba la kifalme..........

ENDELEA NAYO....
Aliondoka mbiombio mpaka katika jumba la kifalme kwenda kutoa tarifa ambazo aliona ni sahihi kwa upande wake na alipofika tu tarifa zilimfikia mfalme Tengu juu ya ujio wake,

"Binti mbona asubuhi sana kuna tatizo??"
"Ndio mfalme nimemuona Princess akiwa na kijana yule kipofu asubuhi hii".

Alielezea kila kitu kwamba amemuona Princess Nailet akiwa na Yao na walikuwa kwenye mapozi yasiyo ya kawaida,
Habari zile zlimkasilisha sana Mfalme Tengu, kwa tarifa alizopewa hakuamini kama binti yake anaweza kufanya kitu kama icho na ukizingatia ni mtoto wa mfalme.

"Unachoongea unauhakika nacho???",Mfalme Tengu alimuuliza Yunde kwa mara nyingine.
"Ndio mfalme".alijibu kwa kujiamini mana alikuwa na uhakika na tarifa zake alizozileta mbele ya Mfalme wake.

Mfalme aliagiza walinzi waka muangalie Princess Nailet katika chumba chake na kumletea tarifa kama ni kweli binti yake hayupo katika jumba la kifalme.
"Mfalme Princess hayupo kwenye chumba chake".

Mfalme hakutaka tena kuuliza maswali zaidi ya kwenda kujihakikishia kama tarifa alizozileta na Yunde zinaukweli wowote.
"Aya binti ongoza njia".
"Sawa mfalme"
"Kuna vijana wengine mpaka wapewe fundisho ndio wakome kuchezea na watoto wa kifalme".

Yunde alianza kujilaumu baada ya kusikia maneno ya Mfalme na ndani ya nafsi yake alipingana na maamuzi aliyoyafanya ya kuleta tarifa zile kwa mfalme na safari ilianza ya kuwapeleka yalipo makazi ya Prince Yao.

Haikuchukua mda mrefu wakawa wamefika mahali husika na mfalme hakuamini kile alichokiona kwa binti yake Nailet,

"Ni ujinga gani huu unaofanya hapa??"
"Babaaaa!!!!!!!
"Yani umemshika mkono huna ata wasiwasi aya kamata huyu kipofu na mama yake haraka sana".
"Baba hawana kosa lolote lile mimi ndie mwenye kosa naomba uwaachie tafadhali"
"Wewe ni Binti wa mfalme inatakiwa iwe fundisho kwa vijana wengine kama hawa"

Yunde alikuwa akishuhudia yote yaliyokuwa yakiendelea pale,
Alijutia maamuzi aliyoyafanya na kwa macho yake aliwaona Prince Yao na Lindiwe wakipelekwa katika jumba la Kifalme aliamua kufatilia kuona mfalme atafanya maamuzi gani.

******************
Mandalizi ya sherehe katika ufalme wa ADELI ya kumpolea Prince Cheki au wamchongo yaliendelea kama ilivyo desturi.
Wakati huku gerezani napo mipango iliendelea ya kumtorosha General na temu hii Mlinzi Nzegi aliamua kuwa upande wa General.

Na mda maalumu ulifika wa Cheki kutambulishwa kama Prince, Mfalme Kojo alisimama kumtambulisha mbele ya halaiki,
"Huyu mnayemuona hapa ni Prince wa hili taifa na ndie atakayekuwa Mfalme wa hili taifa kwa badae, popote pale mtakapo muona naomba mumpe heshima yake".
Mfalme alimaliza na kuwafanya watu wapige makofi na kuanza kuimba....

"Princee,princee,mfalme ajaye Γ—3,
Prince wa ADELI,Prince mwenye nguvu"

Malikia Andwaa alichukizwa sana na sifa alizokuwa anapewa Cheki ilihali haku sitahili kupewa sifa izo ila hakuwa na chakufanya zaidi ya kuonyesha tabasamu feki.

Wakiwa katika furaha viongonzi mbalimbali ya kumkalibisha Prince tarifa mpya zilifika,
"Mfalme!!mfalme!!! kuna tatizo maneno ha asikari yule aliyekuja kwa kasi yaliwafanya karibu kila mtu asitishe alicho kuwa anafanya na kumsikiliza asikari yule"

"General katoroka gerezani mfalme".
"Unaongea nini wewe na nyie mlikuwa wapi???"
"Mlinzi mkuu alitutoa pale gerezani akisema tuje huku kwenye jumba la kifalme kuna tatizo tulipokuja na kukuta hakuna tatizo tukaamua kurudi gerezeni na hatukumukuta General wala Mlinzi mkuu".
"Ujinga gani huu unaongea", Mfalme aliongea baada ya kusikia General katoroka aliona hatari iliyo mbele yake
"Hakuna cha sherehe......ITAENDELEA.

Mambo ndio yameiva sasa huku Prince Yao mikononi mwa Mfalme Tengu na huku General anafanyikiwa kutoroka nini hatima ya waziri mkuu baada ya kusikia General katoroka na alimsaliti tukutane sehemu ijayo.

MFALME KIPOFU
Sehemi..ya............13


Ilipoishia sehemu iliyopita....
"Ujinga gani huu unaongea,Mfalme aliongea baada ya kusikia General katoroka aliona hatari iliyo mbele yake"
"Hakuna cha sherehe.......

KUPATA MWENDELEZO ZAIDI WA SEHEMU INAYOFYATA BONYEZA LINK YA HAPO CHINI πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡ usisahau kunifollow πŸ™πŸ™
https://www.facebook.com/profile.php?id=61550632115006

ENDELEA NAYO...
"Hakuna cha sherehe hapa General atafutwe haraka sana na inatakiwa apatikane kabra siku ya leo haijaisha", mfalme aliongea na kuwafanya asikari watowanyike kuanza msako wa kumtafuta General.

Cheki au Prince feki alichukia sana kuona sherehe imesitishwa,raha za kuwa mtoto mfalme alianza kuziona alikunja ngumi kwa hasira sana,
"Kaka nilikusubili kwa mda mrefu".
Cheki alishangaa ameshikwa mkono na kugeuka nyuma, hakuwa mwingine aliye mshika bali ni binti wa mwisho wa kifalme aitwae Yanni.
Cheki aliweka tabasamu feki mbele ya binti huyo mdogo,
"Usijali mdogo wangu nimekuja kaka yako"
"Princess Yanite alisema huwezi kuja mwangalie yule pale".
Cheki aligeuza macho yake nakumuona Princess Yanite aliyekuwa ameketi karibu na malikia,

Malikia andwaa alimuona Princess Yanni akiongea na Cheki kitendo kilichomchukiza sana na kuamua kuwafata walipo.

Malikia hakutaka kuona Yanni anakuwa karibu na cheki mana alijua sio kaka yake halisi alienda akamshika mkono na kuondoka nae eneo hilo.
"Mama mbona umenitoa nilikuwa naongea na kaka"
"Sasa ivi hapa sio salama yatupaswa tuingie ndani binti yangu".
Malikia hakutaka kujibu alichoulizwa na binti yake ila aliongea jambo jingine ambalo halihusiani na alichoulizwa.

Kila raia alirudi katika makazi yake baada ya sherehe kuingia tahaluki.

***********

"Hahahahahaha atimae nipo huru sasa, temu hii siachi mtu ata mmoja nitauwa wote"
"Ni kweli general hapa inatakiwa tuanze na mtu aliyekusaliti"
"Nzegi una akili sana kama ulikuwa kwenye ubongo wangu ulivyokuwa unawaza, naanza na waziri mkuu kisha anafata Mfalme"

"Ata mimi kuanzia sasa nitakuwa na hesabika kama mharifu niliyekutorosha wewe kutoka gerezani ivyo siwezi tena kurudi katika jumba la kifalme",
Nzegi aliongea na kumfanya General kuelewa zaidi.

Wakiwa katika mazungumzo walisikia sauti za watu wakija upande wao na kuwafanya kutafuta mahali pakujificha.

"Aya nyie pita huku na wengine mpite huku muwatafute haraka sana hakikisheni General anapatikana na Nzegi, ni sauti ya Asikari kiongozi akiwaelekeza wenzake"

Asikari walitii amri na kumuacha peke yake kiongonzi yule aliangaza huku na huku kama kuna asikari yoyote aliyebaki eneo lile na alipohakikisha hakuna aliyebaki aliongea,

"Aya tokeni nyie wapuuzi nimeshawaona tayali"
Nzegi alitoka bira ata kuogopa baada ya kumuona rafiki yake huyo waliyefanya kazi pamoja kwa miaka mingi katika jumba la kifalme

"Nilijua tu huwezi kunitenga ndugu yangu tumetoka mbali mimi na wewe".
"Kwanini umeamua kuwa msaliti kwa Mfalme????".
"Kwa sababu amechoka kuwa mtumwa rafiki yako,General alijitokeza na hakuona haja ya kuendelea kujificha".
"Mnatakiwa mwende msituni mkajihifadhi ni hatari kwenu kwa sasa asikari wamejaa kila sehemu"
"Ungana na sisi ubadilishe maisha yako,General alimwambia asikari yule".
"Itakuwa ngumu sana kuwa upande wenu"

Nani asiyependa maisha mazuri, General alimshawishi kwa maneno mazuri na kumfanya asikari yule awe upande wao na aliwaahidi atawaletea tarifa ya kila kinachoendelea katika jumba la kifalme.

*************

Prince Yao na Lindiwe wanafikishwa kwenye jumba la kifalme huku Princess Nailet machozi haya kuacha kufutika machoni mwake.

"Baba naomba uwaachie hawana kosa lolote lile makosa yote ni ya kwangu, mimi ndie niliye enda kwao kuangalia kama naweza kumsaidia Yao na kumfanya aone ",
"Naona umesahau mimi sio baba yako tu bali ni mfalme wa falme hii ya YUNDI na ni kosa kubwa sana kumdanganya mfalme".
"Hapana maneno yangu ni ya kweli baba"
"Wewe tangu lini ukawa daktari na umejifunzia wapi???,

Kwa makosa yako mwenyewe unamwingiza kijana wa watu kwenye matatizo ni kosa kubwa sana kukutwa kijana yoyote yule amemshika Princess bira ruhusa maalumu,
hukumu yake ni kifungo cha maisha gerezani".

"Hapana Mfalme naomba unifunge mimi na umuachie mwanangu aende,Lindiwe alipiga magoti mbele ya mfalme Tengu na kumuomba mfalme".

"Miaka iliyopita ulikuja ndani ya huu ufalme nikakupokea kwa mikono miwili utafute dawa ya mwanao ila ukayafanya makazi yako ya kudumu inaonekana ndio ilikuwa mipango yako hii"
"Hapana sio ivyo Mfalme"
"Sasa mbona uliamua kuishi kwenye huu ufalme tofauti na makubaliano yetu??"

"Ni kosa langu ilo mfalme ila naomba unikamate mimi umwachie mwanangu".

"Huyo hawezi kuishi bira wewe mana haoni na nafasi ya mwisho ni kuondoka katika huu ufalme nisione sura zenu tena hapa........ITAENDELEA

Mfalme Kojo atafanyikiwa kumshika General kwa mara nyingine?? Na vipi kuhusu Mfalme Tengu atafanya maamuzi gani juu ya Prince Yao tukutane sehemu inayofata

Maoni

You're not logged in


Tangazo - SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
Wimbo wenye ubunifu imechanga kiarabu kiswahili na amapiano wimbo wa kushukuru kwa maisha na upendo Sasa sikiliza na ku download hapa gonga94.com
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MFALME KIPOFU 12 na13


Sehemi..ya............12

Ilipoishia sehemu iliyopita........
Pasipo kufikili mara mbili roho ya wivu ikamuingia hakuta kuona mwanamke yoyote anakaa karibu na Yao zaidi yake yeye,
Aliondoka mbiombio mpaka katika jumba la kifalme..........

ENDELEA NAYO....
Aliondoka mbiombio mpaka katika jumba la kifalme kwenda kutoa tarifa ambazo aliona ni sahihi kwa upande wake na alipofika tu tarifa zilimfikia mfalme Tengu juu ya ujio wake,

"Binti mbona asubuhi sana kuna tatizo??"
"Ndio mfalme nimemuona Princess akiwa na kijana yule kipofu asubuhi hii".

Alielezea kila kitu kwamba amemuona Princess Nailet akiwa na Yao na walikuwa kwenye mapozi yasiyo ya kawaida,
Habari zile zlimkasilisha sana Mfalme Tengu, kwa tarifa alizopewa hakuamini kama binti yake anaweza...

πŸ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mfalme-kipofu-12-na13

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mfalme-kipofu
MFALME KIPOFU  Sehemi..ya............01  Anza nayo...... Ni katika ufalme wa ADELI,majira ya usiku katika jumba kubwa la kifalme
MFALME KIPOFU Sehemi..ya............01 Anza nayo...... Ni katika ufalme wa ADELI,majira ya usiku katika jumba kubwa la kifalme
Story.....................MFALME KIPOFU  Sehemi..ya............08   Ilipoishia sehemu iliyopita........ "Tarifa gani???" "Inasemekana baada ya siku tatu Prince
Story.....................MFALME KIPOFU Sehemi..ya............08 Ilipoishia sehemu iliyopita........ "Tarifa gani???" "Inasemekana baada ya siku tatu Prince
Story.....................MFALME KIPOFU  Sehemi..ya............04  Ilipoishia sehemu iliyopita........ Farasi ilifika Lindiwe pamoja na prince Yao walipanda na safari ikaanza kutoka katika jengo
Story.....................MFALME KIPOFU Sehemi..ya............04 Ilipoishia sehemu iliyopita........ Farasi ilifika Lindiwe pamoja na prince Yao walipanda na safari ikaanza kutoka katika jengo
Story.....................MFALME KIPOFU  Ilipoishia sehemu iliyopita.. General Tengeli anataman kuwa  mfalme na ndio sababu ilimfanya atengeneza jeshi
Story.....................MFALME KIPOFU Ilipoishia sehemu iliyopita.. General Tengeli anataman kuwa mfalme na ndio sababu ilimfanya atengeneza jeshi
Story MFALME KIPOFU  Sehemi..ya............02   Ilipoishia sehemu iliyopita... "Mbona unazunguka mtabili emu niambie mwanangu niliyemzaa leo anatatizo gani???
Story MFALME KIPOFU Sehemi..ya............02 Ilipoishia sehemu iliyopita... "Mbona unazunguka mtabili emu niambie mwanangu niliyemzaa leo anatatizo gani???
Story.....................MFALME KIPOFU  Sehemi..ya............06     Ilipoishia sehemu iliyopita........ Chukua majani mawili ya mti wa ajabu nenda kayanyunyizie maji ya mto ADEYU
Story.....................MFALME KIPOFU Sehemi..ya............06 Ilipoishia sehemu iliyopita........ Chukua majani mawili ya mti wa ajabu nenda kayanyunyizie maji ya mto ADEYU
MFALME KIPOFU 11
MFALME KIPOFU 11
Story.....................MFALME KIPOFU  Sehemi..ya............10
Story.....................MFALME KIPOFU Sehemi..ya............10
Story.....................MFALME KIPOFU 9
Story.....................MFALME KIPOFU 9
Story.....................MFALME KIPOFU 8
Story.....................MFALME KIPOFU 8
MFALME KIPOFU  Sehemi..ya............14
MFALME KIPOFU Sehemi..ya............14
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50

1.06K
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 48 na 49

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 48 na 49

1.05K
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39  na 40

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39 na 40

213
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 38  na 39.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 38 na 39.

200
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 36 na 37 namba zilikosewa endelea kusoma.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 36 na 37 namba zilikosewa endelea kusoma.

172
SHAMIRA Sehemu ya 47

SHAMIRA Sehemu ya 47

160
SHAMIRA Sehemu ya 46

SHAMIRA Sehemu ya 46

137
BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha!

BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha!

22
Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station.

Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station.

9
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50

ZIMESOMWA ZAIDI

β€ŽTUNDA LA  DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

β€ŽTUNDA LA DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.68K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.4K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tisa.  πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tisa. πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

3.82K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya sita.  πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya sita. πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.31K
MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

2.9K
MY WANGU❀️ sehemu ya 108

MY WANGU❀️ sehemu ya 108

2.84K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 20.  πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 20. πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

2.69K
MY WANGU❀️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❀️ sehemu ya 116 na 117

2.68K
MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

2.63K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 16.  πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 16. πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

2.57K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station. Post Mpya
Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station.
@majario LIVE

Binafsi nilikuwa napenda sana vipindi vitatu pale RFA , 1 - Sindano 3 za moto, asubuhi na Fredwaa...!! 2 - Sitosahau na Sky Woker 3 - Showtime bongo moja ya show za...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39  na 40 Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39 na 40
@majario LIVE

39 MPAKA 40 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Nilitukana kweli kweli kwemye gari umo. Ila barka hakunijibu alikuwa busy na kuendesha gari. Akawa ananipeleka mlandizi ukoo. Nikasema wewe mjinga unaenfa...

BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha! Post Mpya
BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha!
@majario LIVE

Nikikupenda mimi inatosha, acha kuwa na presha, acha kuhangaika na ndugu zangu, kama wakikupenda ni ziada tu lakini haibadilishi chochote! Nani alikudanganya kuwa wanapaswa kukupenda! Mimi mwenyewe sina uhakika kama...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Basi bwana penzi likanoga mpaka mwezi ukakata, apo zena alikuwa na wasi wasi kuwa ntamuacha ,ila mi wala sikuwa na ayo mawazo kichwani kwangu ata kidogo, kila siku namuona...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Basi bwana penzi likanoga mpaka mwezi ukakata, apo zena alikuwa na wasi wasi kuwa ntamuacha ,ila mi wala sikuwa na ayo mawazo kichwani kwangu ata kidogo, kila siku namuona...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 48 na 49 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 48 na 49
@majario LIVE

Daaah mchumba ndo kashanikatia simu mi nafanyaje sasa ,basi nikaweka simu pembeni tu, kisha nikapanda kitandani, nikavuta shuka , nikapumzika na asubih sana nikaamkia kazin na mwanangu lbraa,ibra akaniuliza...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 38  na 39. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 38 na 39.
@majario LIVE

kipande cha 38 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Basi ndo hivyo . Nikaikosa ndoa na bwana barka.na nikawa busy na maisha yangu . Na mambo yangu. Na nikazidisha mapenzi tu kwa...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 36 na 37 namba zilikosewa endelea kusoma. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 36 na 37 namba zilikosewa endelea kusoma.
@majario LIVE

36 MPAKA 37 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Maua akasema khaaa yani unanitukana mimi. Kwaiyo mimi naweza kuolewa na kaka yangu. Nikasema yaa unaweza sasa kisebengo cha nini. Nakuona sana tangu...

SHAMIRA Sehemu ya 47 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 47
@majario LIVE

Wassap; 0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi shost alivyotoka kuoga akanmbia shamira shoga yangu nisamehe kwa yale maneno nilokwambia basi. Nikasema yapi? Akasem si yale ya kukwambia ukatoe mimba...

SHAMIRA Sehemu ya 46 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 46
@majario LIVE

πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€ Mwandishi; lissa wa huru media Nikaona aisha kakasirika akanambia sawa kama unataka kulea iyo mimba na kuzaa. Ile kulea mtoto ni gharama umae ukielewa hilo suala mapema . Mana sio...

*AFANDE MILLAN😎* *46&47* Post Mpya
*AFANDE MILLAN😎* *46&47*
@majario LIVE

Nakumbuka kuna kipindi ,nilisafiri na ibraa kikazi kwenda moro , apo nilishamuaga zena kuwa mm nasafari naenda moro kikazi, ntakaa siku 2, akanmbia hakuna shida, basi mm nikawa...

SHAMIRA 44 kwa 45 Post Mpya
SHAMIRA 44 kwa 45
@majario LIVE

πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€ Sehemu ya 44 Mwandishi; lissa wa huru media Aseeee tulichoka mno na shoga yangu asa mimi jamani.nafanya nini na hili tumbo na mwanaume hanitaki. Na ameshakana kuwa hii mimba sio yake...

MIRANDA (Binti Yangu)   SEHEMU YA 19 - 20 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 19 - 20
@majario LIVE

SONGA NAYO......... miezi kama miwili ilipita huku nikiishi Tanzania pamoja na wifi yangu kipenzi BLESS πŸ₯° yes amekuwa wifi yangu badala ya mtoto wangu lakini nimemfanya kama bjnti yangu nampenda huyu...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 17 - 18 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 17 - 18
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Mdada mie nikaanza kupiga ukelele wa furaha na bila kujigikiria mara mbili mbili nilimkumbatia Anfrey mwamba naye ni kama alitegemea hivyo maana alinipokea tena kwa hamu kubwa "Anfrey asante asante...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 16 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 16
@majario LIVE

SONGA NAYO....... Basi ikabidi waniache, nikaingia ndani nikawa nimeloa chepechepe na binti angu nae vile vile hakunibanduka kabisa mikononi mwangu "Karibu sana baba karibi, jisikie upo nyumbani.." Nikiwa chumbani navaa niliweza kumsikia mama...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest