Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

Story.......................THE KING'S SON (MTOTO WA MFALME).  Sehemu......ya.......04 Watu wa kila aina walikuja na kufanya kama wenzao walivyokuwa wakifanya
Gonga94 · Stories

Story.......................THE KING'S SON (MTOTO WA MFALME). Sehemu......ya.......04 Watu wa kila aina walikuja na kufanya kama wenzao walivyokuwa wakifanya

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


ILIPOISHIA.......
Haikupita mda watu walianza kuja kila mtu alifika na kumpiga kibao na kukusanya fundo la mate mdomoni na kumtemea Yoashi........

ENDELEA NAYO...
Watu wa kila aina walikuja na kufanya kama wenzao walivyokuwa wakifanya. Mashavu ya Yoashi yalivimba na alizimia kutokana na kupigwa makofi kwa mda mrefu huku mdomo wake ukitapakaa damu.

Walinzi walifanya kama walivyopewa maagizo na Princess Herodia, walienda kumchukua Yoashi kwa ajili ya kwenda kumfungia. walimfikisha na kumpatia chakula ili aendelee kuishi wapate kumtese vizuri. Yoashi alikataa kula kitu kilichowakasilisha Walinzi,
"Kula wewe mjinga" Mlinzi alimpa amri Yoashi na alikula bira kupenda huku chakula kikipita kwa tabu kutokana na mdomo wake kuchanika.

Upande wa Malikia Ruth akiwa na binti yake aliongea kitu kilichomshangaza Princess Herodia,
"Mwanangu sikutegemea kama Mfalme angekufa mapema kiasi hichi, hivyo kuna kitu lazima nikifanye"
"Kitu gani mama...!?"
"Nataka niolewa kwa mara nyingine tena" Malikia Ruth aliongea na kumfanya mwanae ashangae kwa kile alichokizungumza.
"Mama nini unachoongea..!?, wewe tayari ni Malikia na unaweza ukauendesha huu ufalme pasipo kuwa na uwepo wa Baba kwanini utake kuolewa kwa mara nyingine tena..!!?" Princess Herodia hakufurahishwa na kile kilichozungumzwa na Malikia Ruth na alipinga vikali.
"Umeshachelewa mwanangu tayari nimeshafanya maamuzi" Malikia Ruth aliongea na kuondoka akimuacha mwanae huku akimtazama.

Princess Herodia alitamani kujua ni nani anayetaka kumuoa mama yake tena gafra kiasi hicho.

**********************************

Kwenye ufalme wa AZENI. Princess Miriamu alikuwa ni mtu mwenye mawazo baada ya Yoashi kuwa mbali nae na mtumishi wake wa karibu alilitambua hilo, akiwa kama mfanyakazi aliamua kupeleka tarifa kwa Malikia Rebeka na alikuja mida hiyo kwa ajili ya kujua kipi kilichomfanya binti yake akose amani,
"Kipi kinachokusibu Miriamu mbona umebadilika gafra hivyo binti yangu...!?" Malikia Rebeka alimuuliza.
"Sina tatizo lolote lile mama" Princess Miriamu alimjibu na kujaribu kuonesha tabasamu.
"Anakudanganya huyo mama, anachokiongea sicho kilicho kwenye moyo wake" ilikuwa ni sauti ya Prince Yoramu aliyefika mida hiyo na alisikia mazungumzo yao.
"Unataka kusema nini Yoramu...!??" Malikia Rebeka ilibidi amhoji kijana wake.
"Mama huyo ana muwaza Yoashi, alizoea kuwa nae karibu toka tukiwa wadogo na leo yupo mbali nae...au nasema uongo Miriamu..!?" Prince Yoramu alimwambia mama yao huku akimuuliza swali Princess Miriamu.

Malikia Rebeka aligundua kuna kitu kilichojificha kwenye moyo wa binti yake kwa kile alichoambiwa na Prince Yoramu. alienda kwa Mfalme Balaki na kumshauri wamtafutie mwanaume atakaye muoa Princess Miriamu. Mfalme Balaki hakutegemea kupokea tarifa zile kutoka kwa Malikia Rebeka aliamua kukubali.

Mipango iliandaliwa ya Princess Miriamu kutafutiwa mwanaume wa kumuoa bira Princess Miriamu mwenyewe kupatiwa tarifa na huo ulikuwa mpango wa Malikia Rebeka kwani hakutaka binti yake ajue kuwa wanamtafutia mwanaume.

Baada ya siku kadhaa kupita walifanikiwa kumpata kijana aliyekuwa mtoto wa moja ya viongozi wakubwa ndani ya ufalme huo wa AZENI.
Princess Miriamu aliletewa tarifa za yeye kutafutiwa mwanaume kitu kilichomshangaza na aliamua kumfata Malikia Rebeka kwa ajili ya kwenda kusema kile alichokikusudia kukisema,
"Mama najua mimi ni mtoto wa Mfalme lakini hamuwezi kunichangulia mwanaume nisiyempenda" Princess Miriamu aliongea na alioneshwa kuchukizwa na tarifa za yeye kuolewa na mwanaume asiyemtaka.
"Huu ni utaratibu wa kifalme kazi yako nikujiandaa kwa ajili ya ndoa na sio kingine"
"Sitoweza kufunga ndoa, hii ni ahadi yako kwangu" Princess Miriamu alimjibu mama yake nakuondoka.
"Mtoto mjinga sana huyu nilichokuwa nakiwaza kumbe kilikuwa sahihi, itakuwa tayari alikuwa na mahusiano na Yoashi.... subiri nitamuonesha" Malikia Rebeka aliongea baada ya kubaki peke yake.

*********************************

Ndani ya ufalme wa GALA katika jumba la kifalme, Malikia Ruth siku hiyo akiwa amesimama akitafakari maelewano yaliyopo kati yake na binti yake Princess Herodia kupungua na hii ni baada ya kumtamkia kuwa ataolewa mda sio mrefu kitu kilichopingwa na Princess Herodia, kuna mtu alikuja kumkumbatia na kumfanya Malikia Ruth ageuke kumtazama mtu aliyemkumbatia,
"Ni wewe Boazi..!!" Malikia Ruth aliongea baada ya kumuona Boazi.
"Ni mimi Malikia wangu nimekuja kupata jibu langu la sisi wawili kufunga ndoa" Mwanaume aliyefahamika kwa jina la Boazi aliongea.
"Siwezi kuvunja ahadi yangu kwako jiandae kesho tutafunga ndoa na haitakuwa na maandalizi mengi" Malikia Ruth aliongea na kumfanya Boazi azidi kumkumbatia zaidi bira kuogopa kama ni Malikia wa GALA.

Wakati yote yanafanyika kuna mfanyakazi aliyepewa kazi na Princess Herodia ya kumfatilia Malikia Ruth, alitoka na kwenda kumpatia tarifa,
"Princess nimegundua ni nani anayetaka kumuoa Malikia Ruth".
"Nahitaji kumjua ni nani huyo" Princess Herodia hakutaka kusikia maneno mengi kutoka kwa mtumishi wake alichokuwa akihitaji kusikia ni jina la mwanaume anayetaka amuoe mama yake.
"Princess, Boazi ndiye anayetaka amuoe Malikia".
"Nini unachokiongea wewe..!?"
"Ndio Princess, nimesikia Malikia akitaja siku ya ndoa ambayo ni siku ya kesho" mfanyakazi alizidi kuongea na maneno yake yalizidi kumkera zaidi Princess Herodia.
"Hiyo ndoa haitowezekana labda sio mimi, Boazi alikuwa rafiki wa karibu sana na baba pia alipatiwa cheo kikubwa iweje leo aje kumuoa mama yangu tena gafra ivi...!!" Princess aliongea na alipanga kufanya kitu ili azuie ndoa ya mama yake.

Upande wa Yoashi ndani ya ufalme huo bado alikuwa akiendelea kupokea adhabu yake kama ilivyo amuliwa na Princess Herodia, walienda kumfungia katikati ya mji ili watu waje wampe adhabu.

Siku hiyo ilikuwa tofauti kwani Alikuja raia na alipomaliza kumpiga kofi kama wenzake walivyokuwa wakifanya alisogea pembeni na kuchukua jiwe, alimponda Yoashi na kumpiga kichwani hali iliyoanza kuwaogopesha walinzi kwani Yoashi alinyamaza kimya,
"Mumwangieni maji huenda ata amka" moja ya Walinzi aliongea na wenzake walifanya kama alivyoongea lakini hakuweza kuamka.
"huyu itakuwa ameshakufa tayari, kwanza hali yake ni mbaya na ana vidonda karibu mwili mzima" Mlinzi mwingine aliongea na haraka tarifa zilipelekwa kwa Princess Herodia.

Princess Herodia siku hiyo alikuwa na mawazo ya kuzuia harusi ya mama yake, baada ya kupokea tarifa za Yoashi kushindwa kuamka alitoa amri wakammalizie kumuua Yoashi kama bado hajafa na maiti yake ikatupwe, walinzi walirudisha tarifa kwa wenzao.

Yoashi alifungulia na kuanguka chini kama mzingo huku akiwa hajitambui moja ya Walinzi alichukua mkuki wake na kumchoma nao tumboni ili afe kabisa.
"Huyu tayari kaisha kufa, kama umemchoma mpaka na mkuki lakini bado haongei wala hatoi sauti ya maumivu ina maanisha kuwa ameshakufa, inatakiwa tumbebe tukamtupe kwenye maporomoko ya maji".

Baada ya mwenzao kuongea wote walikubaliana na kile alichokisema walimbeba na kumpeleka kwenye maporomoko ya maji, na walipomfikisha walimurusha na kushuhudia kwa macho yao akipelekwa na maji yaliyokuwa yakielekea chini kwa kasi katika bonde hilo refu, waliamua kugeuka na kurudi kwenda kumpa tarifa Princess Herodia kuwa kazi imeshakamilika.

Yoashi baada ya kutupwa aliangukia mpaka chini na kudumbukia kwenye maji, maji yalimchukua na kuanza kumpeleka kule yalipokuwa yakielekea na haikujulikana kama ameshapoteza maisha au bado mzima.

Tarifa aliletewa Princess Herodia za Yoashi kufa na kutupwa kwenye maporomoko ya maji alifurahi kusikia mtu aliyemuua baba yake amepoteza maisha, ila bado alikuwa kwenye mawazo mazito juu ya ndoa ya mama yake inayotalajiwa kufungwa siku ya kesho, aliamua kumfata Malikia Ruth ili aongee nae kwa mara mwisho kabra hajafanya maamuzi.

Ujio wake ulimfanya Malikia Ruth atambue kuwa haukuwa wa amani,
"Bira shaka unataka kuniuliza kuhusu ndoa yangu nitakayoenda kufunga siku ya kesho...!?" Malikia Ruth aliamua kumuwahi Princess Herodia kabra hajaanza kumuongelesha yeye.
"Hujakosea mama ndicho kilichonifanya niwe hapa, natamani kujua kwanini umechukua maamuzi ya wewe kuolewa na Boazi tena ni siku kadhaa toka baba afariki..!!?" Princess Herodia alimhoji mama yake.
"Inatakiwa ukumbuke kuwa mimi ni mama yako na najua mengi kuliko wewe unayoyajua hivyo ata nikikujibu bado hautonielewa ni vyema ukaendelee na mambo yako, haya ya ndoa niachie mimi mwenyewe" Malikia Ruth aliongea na kumfanya Princess Herodia aondoke kwa hasira mana aliona mama yake kathamilia kufanya kile alichopanga kufanya.

Nje ya jumba hilo la kifalme Boazi alikuwa akiongea na vijana aliowapa kazi ya kwenda kumuua Mfalme Efroni.
"Mmefanya kazi kubwa sana na nimebakiza hatua chache niweze kukamilisha mpango wetu wa mimi kuwa Mfalme"
"Hongera mkuu" kila mtu alimpa pongezi lakini Kuna Mlinzi mmoja alifika na kumpatia tarifa,
"Mkuu Princess Herodia anapanga kuja kuzuia ndoa yenu siku ya kesho" Mlinzi huyo aliyepewa kazi ya kupeleleza kile kilichokuwa kikiendelea kwenye jumba la kifalme aliongea.
"Huyo Princess naona hanijui vizuri ngoja nimuoe mama yake alafu baada ya hapo nimuonyeshe kuwa mimi ni mtu wa aina gani" Boazi aliongea.......ITAENDELEA.

Boazi atamfanya nini Princess Herodia baada ya yeye kuwa Mfalme tukutane sehemu ijayo.

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Mwanangu Mungu ndio anae jua
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

Story.......................THE KING'S SON (MTOTO WA MFALME). Sehemu......ya.......04 Watu wa kila aina walikuja na kufanya kama wenzao walivyokuwa wakifanya



ILIPOISHIA.......
Haikupita mda watu walianza kuja kila mtu alifika na kumpiga kibao na kukusanya fundo la mate mdomoni na kumtemea Yoashi........

ENDELEA NAYO...
Watu wa kila aina walikuja na kufanya kama wenzao walivyokuwa wakifanya. Mashavu ya Yoashi yalivimba na alizimia kutokana na kupigwa makofi kwa mda mrefu huku mdomo wake ukitapakaa damu.

Walinzi walifanya kama walivyopewa maagizo na Princess Herodia, walienda kumchukua Yoashi kwa ajili ya kwenda kumfungia. walimfikisha na kumpatia chakula ili aendelee kuishi wapate kumtese vizuri. Yoashi alikataa kula kitu kilichowakasilisha Walinzi,
"Kula wewe mjinga" Mlinzi alimpa amri Yoashi na alikula bira kupenda huku chakula kikipita kwa tabu kutokana na mdomo wake kuchanika.

Upande...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/story-the-kings-son-mtoto-wa-mfalme-sehemu-ya-04-watu-wa-kila-aina-walikuja-na-kufanya-kama-wenzao-w

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi story-the-kings-son-mtoto-wa-mfalme-sehemu-ya
Story.......................THE KING'S SON (MTOTO WA MFALME)  Sehemu......ya.......03 "Kwanini umemuua baba yangu..!!?"
Story.......................THE KING'S SON (MTOTO WA MFALME) Sehemu......ya.......03 "Kwanini umemuua baba yangu..!!?"
Story.......................THE KING'S SON (MTOTO WA MFALME)  Sehemu......ya.......02  ILIPOISHIA........ Bahati mbaya ilikuwa kwake kwani alishangaa kumuona Prince Yoramu
Story.......................THE KING'S SON (MTOTO WA MFALME) Sehemu......ya.......02 ILIPOISHIA........ Bahati mbaya ilikuwa kwake kwani alishangaa kumuona Prince Yoramu
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU YA KUMU*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMU*

890
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10

467
FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 16

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 16

431
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8

407
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17

290
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10

206
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12

189
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.

180
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.

138
SHAMIRA sehemu ya 34&35

SHAMIRA sehemu ya 34&35

80

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.42K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.19K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.74K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.2K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.59K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.44K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.44K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.43K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.38K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.36K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla Post Mpya
This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla
@majario LIVE

with that cute bubbly energy… and Aamir Khan being his mischievous, romantic self. What a combo yaar! Ishq was not just a love story, it was full on drama, comedy,...

 Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani Post Mpya
Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani
@majario LIVE

* Meli za kijeshi za Marekani zilizopo Ghuba ya Uajemi * Rada za Israel zilizopo Azerbaijan * Rada za Israel zilizopo Turkmenistan * Mifumo ya ulinzi wa anga ya vituo vya Marekani nchini...

SHAMIRA sehemu ya 34&35 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 34&35
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi nikajiiinua taratibu tukaingia bafuni. Mwanaume akanikumbatia uku tunaoga. Aseee uyu baba ananipenda ila hataki upumbavu ata kidogo na mkono wake mwepesi kupiga .na yote sababu...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nikaona zena kamnyanyua yule mtoto kisha akambeba ,ni amefanana nae sana ,nikajua ni wa kwake tu yani ni lazima utu mtoto atakuwa ni mwanae, kisha akanigeukia...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17
@majario LIVE

Ikabidi nikae tu kwenye piki piki maana sura alivyokuwa kaikaza mmh asije kunipiga, Kimyaa kikatawala sasa mie nilijua tunaenda kwa Tinner na moyoni nilikuwa nimempangia hayo maneno Tinner eeh mbona...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Maeneo ya pale pale chuoni, Salmon alikuwa amepanga nyumba kubwa ya peke yake. Wakati akiwa chuo ndo alikua anaishi hapo, ila siku za weekends kama hana mambo mengi ndo anaenda...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi kuanzia apo nikawa sasa kidogo naelewana na baraka. Tena mimi ndo napenda sana kuongea nae. Yani sanaaa. Napenda kucheka nae sana. Na kun jinsi...

FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 16 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 16
@majario LIVE

Usiku wangu ulikuwa mzito sana, maneno ya D kusema kuwa Veda anatembea na wanawake wengi, niliyaamini kabisaaa Bila shakaa kwa maana Yeye tu hana mwonekano mzuri ametuna tuna hovyo anakuwa...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10
@majario LIVE

Daaah nikaona mtoto kachomoa leo mana sio powa , ana vipengele sana uyu demu , ila unyama, hatachomoa kila siku, ni suala la muda tu, mana sijawahi kumtaka mwanamke ,...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media BASI nikapanda kitandani kwangu. Nikijutia sana nilichokifanya mana mh . Nilikuwa nasababisha ugomvi mkubwa wa wazazi mungu wangu. Yani mama yangu alikuwa anaachwa leo...

SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.??? Post Mpya
SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.???
@majario LIVE

Hatimae jana tambo za Dabi zilipata majibu kwa timu za Simba na Yanga kutoka suluhu ya bila kufungana(0-0). Kwa maana hiyo timu zote ziliambulia pointi moja moja. Mchezo wa jana pamoja...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8
@majario LIVE

Zena akasema kwaiyo manager unataka kuniuza ama ni vp, yule manager aksema , naomba uelewe kuwa ukifanya kazi katika hii bar, mteja kukushika sehemu yoyote ya mwili wako ni kawaida,...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU YA KUMU* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMU*
@majario LIVE

Jambo likawa lelelele, Yaani ni patashika nguo kuchanika, Kwa upande wangu Walahi nilikuwa nikifurahi tu, na amina alikuwa akilia tu nakuomba msamaha. Enzo wa watu mwaya akachukua muda wake na kumuelezea...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Mbali na ivyo zile zawadi alizo tumiwa Noela zilimuuma vile vile. Alihisi Noela hastahili vitu vizuri wala maisha ya kifahari. Alitaka kila kitu kiwe chake, wanaume wote wawe wake. Hata...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 6 na 7 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 6 na 7
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi bwana , mwanaume wala sikuwa na shaka, kazi zote ambazo nilibakiwa nazo pale ofisini, nikamuachia ibraaa, na ukiacha ushikaji, mi bafo ibra ni mkubwa wake wa kazi,...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest