Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

Story.......................THE KING'S SON (MTOTO WA MFALME)  Sehemu......ya.......02  ILIPOISHIA........ Bahati mbaya ilikuwa kwake kwani alishangaa kumuona Prince Yoramu
Gonga94 · Stories

Story.......................THE KING'S SON (MTOTO WA MFALME) Sehemu......ya.......02 ILIPOISHIA........ Bahati mbaya ilikuwa kwake kwani alishangaa kumuona Prince Yoramu

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
akiwa kasimama mbele yake tena akiwa na walinzi wakutosha........

ENDELEA NAYO...
"Huwezi kuondoka kirahisi hivyo Yoashi, nilijua lazima Princess Miriamu akushauri wewe kutoroka......Prince Yoramu aliendelea kuongea......kitu usichokijua ni kuwa hisitoria yako yote naifahamu ndiyo mana sitaki kuona ukienda mbali na ufalme huu" Prince Yoramu aliongea maneno yaliyomfanya Yoashi mwenyewe ashangae na kumsogelea.

Zilikuwa ni tarifa mpya kwake kwani ata yeye alikuwa hajui hisitoria ya maisha yake.
"Nini unachoongea Prince...!?, naomba uniambie vizuri mimi ni nani na wazazi wangu wako wapi..!?" Yoashi alimuuliza lakini Prince Yoramu aliwageukia walinzi wake.
"Mpelekeni ndani na muwe makini nae, hakikisheni hapati nafasi ya kutoroka kwenda sehemu yoyote ile " Walinzi walifata amri kwa kumkamata Yoashi na kumrudisha ndani huku akiwa na maswali mengi yakutamani kujua kiundani zaidi maneno yaliyo zungumzwa na Prince Yoramu.

Princess Miriamu alishangaa kumuona Yoashi ndani ya ngome ya kifalme mana alitegemea mida hiyo angekuwa ameshaondoka na amefika mbali. alienda kumuuliza Yoashi sababu za yeye kurudi ndani ya ngome ya kifalme naye aliamua kumwelezea kila kitu Princess Miriamu.

Princess Miriamu alimfata kaka yake ajue ni kitu gani alichopanga kumfanyia Yoashi,
"Kaka una matatizo gani..!?. umepanga kumfanyia nini Yoashi mpaka umzuie yeye kuondoka...!?" Princess Miriamu aliongea na alioneshwa kuchukizwa na kile alichokifanya kaka yake.
Prince Yoramu hakutaka kumjibu Princess Miriamu badala yake aliamua kuondoka na kumuacha akimtazama.

Prince Yoramu baada ya kuachana na Princess Miriamu aliitwa na Malikia Rebeka,
"umepanga kufanya nini kwenye siku yako mhimu mwanangu...!?" Malikia Rebeka aliongea nakutaka kufahamu kitu alichokuwa akifikilia mwanae.
"Mama, hakuna cha maana nitakachofanya zaidi ya kumfanya Yoashi aishi kwenye ngome hii ya kifalme maisha yake yote. Pia uliniambie nisije kumpa nafasi Yoashi ya kuwa huru na nimfanye awe mtumwa wangu mpaka kufa kwake" Prince Yoramu aliongea na Malikia Rebeka alimsifu kwa kile alichopanga kufanya.

Malikia Rebeka alimwambia anatakiwa awe makini zaidi kwani siku Yoashi akija kujua kuwa Mfalme Balaki aliiangamiza familia yake basi naye atawapoteza wazazi wake.

Huo ndio ulikuwa wasiwasi wa Malikia Rebeka na aliendelea kumhimiza mwanae azingatie maneno yake. Prince Yoramu alimwahidi Mama yake ata hakikisha Yoashi hatokuja kuleta madhala kwenye familia yao.

Wageni mbali mbali walialikwa na walianza kuwasili kwenye ufalme wa Mfalme Balaki kwa ajili ya kushuhudia sherehe ya Prince Yoramu na moja ya wageni waliokuja siku hiyo ni Mfalme Efroni aliye ongozana na binti yake aliyefahamika kwa jina la Princess Herodia.

Mfalme Efroni na binti yake walikaribishwa vizuri ndani ya ngome hiyo ya kifalme, huku wakiongozana na walinzi baadhi waliotoka nao kwenye ufalme wao na baadhi ya walinzi waliokuja nao walikuwa na lengo la kumuua Mfalme Efroni pasipo yeye mwenyewe kujua.

Upande wa Yoashi akiwa ndani ya jumba la kifalme huku nyuma akiwa na ulinzi wa kutosha aliowekewa na Prince Yoramu kwa ajili ya yeye kutokutoroka, Princess Miriamu alifika na kushika mkono wa Yoashi,
"una mpeleka wapi..!?" mlinzi mmoja alimuuliza lakini Princess Miriamu aliona kama dharau kwa swali aliloulizwa na mlinzi.
Alimsogelea na kumpiga kibao,
"Umetoa wapi nguvu ya kuniuliza..!? umesahau kama mimi ni mtoto wa Mfalme...!?".
"Nisamehe Binti Mfalme sitarudia tena kukuuliza swali kama hilo" mlinzi aliongea lakini Princess Miriamu hakutaka kuongea zaidi alimuchukua Yoashi nakuondoka nae huku wakiwaacha walinzi wakiwatazama na mlinzi mmoja alikimbia kwenda kumpa tarifa Prince Yoramu.

Yoashi baada ya kupata msaada wa kuchukuliwa na Princess Miriamu, kuna kitu alichotamani kumuuliza Princess Miriamu,
"Princess kwanini unanijali kiasi hiki...!!?"
"unataka kujua kwanini nakujali Yoashi...!?" Princess Miriamu nae alimuuliza swali Yoashi badala ya kujibu kile alichoulizwa.
"Ndio Princess, mana toka tukiwa wadogo umekuwa upande wangu siku zote bira kujali kuwa mimi ni mtumwa ndani ya ufalme wenu"
"Sababu kubwa ya mimi kukujali nikuona siku moja ukiwa ni mwenye furaha, nachukizwa na jinsi kaka yangu anavyokutesa.....Princess Miriamu aliongea kwa huzuni na maneno yake aliyaelewa vyema Yoashi..... Princess aliendelea kuongea..... Kwakuwa kaka hataki wewe uondoke basi leo unatakiwa uwe karibu yangu mda wote kwa ajili ya usalama wako zaidi mana nahisi kaka kuna kitu alichopanga kufanya zidi yako".
Yoashi hukuwa nacha kupinga alikubali kuongozana na Princess Miriamu popote pale atakapokuwa akienda mana ndiyo msaada pekee aliokuwa nao kwa wakati huo.

Prince Yoramu aliletewa tarifa za Princess Miriamu kumchukua kinguvu Yoashi kutoka kwa walinzi wake ila aliwaambia wahakikishe Yoashi hatoki ndani ya ngome ya kifalme.

Wageni mbalimbali waliendelea kuwasili kwenye sherehe hiyo huku Mfalme Balaki akiwapokea wageni wake nakuwatembeza sehemu mbalimbali.

Mfalme Efroni akiwa na binti yake nao waliendelea kuzunguka ndani ya ufalme huo pasipo kujua kama baadhi ya walinzi waliokuja nao wanampango wa kumuua Mfalme Efroni. walifika sehemu na Princess Herodia hakutaka kuongozana na baba yake mana aliona kama ananyimwa uhuru wa kutembea, aliondoka pasipo kumtarifu Mfalme Efroni.

Baadhi ya walinzi waliokuwa na lengo baya kwa Mfalme Efroni walifurahi baada ya kuona Princess Herodia kaondoka. Mmoja wao aliwaambia walinzi waliokuwa nje ya mipango yao wamfatilie Princess Herodia kwa ajili ya usalama wao, nao pasipo kujua waliondoka na kumuacha Mfalme Efroni.
Walinzi waliokuwa na mipango ya kumuua Mfalme walifurahi baada ya kubaki wenyewe na walichokuwa wakisubiri Mfalme afike sehemu nzuri ili waweze kufanya kile walichopanga kufanya.

Princess Herodia aliendelea kutembea na alijihisi ni mwenye furaha kwa kile alichokuwa akikiona ndani ya ufalme huo kwa mbali aliweza kumuona Princess Miriamu akiwa na Yoashi wakija upande wake, walikutana na kupishana huku kila mtu akiendelea na safari yake.

Princess Miriamu alifika sehemu na kumgeukia Yoashi,
"Naomba unisubiri hapa nakuja mda sio mrefu" Princess Miriamu aliongea nakuondoka akimuacha Yoashi sehemu aliyomwambia amsubiri na hakukuwa na mtu mwingine zaidi yake. Yoashi aliamua kumsubiri Princess Miriamu lakini akiwa pale aliweza kufika Mfalme Efroni akiwa na walinzi wake wenye mipango mibaya zidi yake.

Mfalme Efroni alianza kumwongelesha Yoashi aliyetoa heshima mbele yake huku walinzi wakiwatazama. Mlinzi mmoja alifikilia nakuona hiyo ndiyo nafasi ya wao kumuua Mfalme Efroni mbele ya Yoashi aliyekuwa na mwonekano wa kitumwa ndani ya ufalme huo.

Upande wa Princess Herodia baada ya kuchoka kutembea aliamua kurudi sehemu aliyotoka ili akaonane na baba yake au Mfalme Efroni.

Mfalme Efroni alikuwa bado akimwongelesha Yoashi na alivutiwa zaidi na unyenyekevu aliokuwa nao Yoashi lakini wakiwa kwenye maongezi, Mlinzi mmoja alichukua upanga wake na kumchoma Mfalme Efroni.
Yoashi alibaki kwenye mshangao baada ya kushuhudia kwa macho yake Mfalme Efroni akichomwa upanga na moja ya walinzi wake. Baada ya Mfalme Efroni kuchomwa upanga pale pale alianguka chini huku upanga ukiwa kwenye tumbo lake na mda wote Yoashi alikuwa bado kwenye mshituko kwa kushuhudia tukio lile.

Mlinzi mwingine alianza kumsogelea Yoashi ili amumalize lakini mwenzake alimshika mkono nakumzuia na kumpa ishala kuwa kuna mtu anakuja.
Alimwonyesha mtu aliyekuwa nyuma yao akija huku akikimbia kuwafata wao walipo, hakuwa mwingine bali alikuwa Princess Herodia aliyefika pale, nakuanza kumtikisa baba yake lakini alikuwa ameshachelewa kwani tayari Mfalme Efroni alikuwa ameshafariki.

Moja ya mlinzi aliandaa upanga wake ili amuue Princess Herodia lakini mwenzake alimpa ishara ya kutokujaribu kufanya kitu kama hicho kwani kuna kitu alikifikilia.
Mlinzi aliyemzuia mwenzake asimuue Princess Herodia alimutazama Yoashi aliyekuwa akiwaangalia kwa hasira na kabra hajatoboa siri yao mbele ya Princess Herodia mmoja wao aliamua kuongea,
"kwanini umemuua Mfalme wetu...!?" aliongea huku akipeleka lawama kwa Yoashi na wenzake walianza kuongea kama mwenzao wakimulaumu Yoashi.
"Umemuua Mfalme wetu" mwingine nae aliongea.
"Mnanisingizia nyie ndiyo mliomuua Mfalme wenu wenyewe" Yoashi aliamua kujitetea hakutaka kupewa kesi isiyo kuwa yake.

Kutokana na uwingi wao walimwaminisha Princess Herodia kuwa Yoashi ndiye kamuua Mfalme wao na Princess Herodia pasipo kufikilia aliyaamini maneno yao nakuamua kumfata Yoashi alipokuwa amesimama.......ITAENDELEA.

Yoashi ataongea nini mbele ya Princess Herodia ili amwamini kuwa hausiki na kifo cha Mfalme Efroni..?. sehemu ya 3 ina majibu zaidi.

Tangazo - Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Mwanangu Mungu ndio anae jua
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

Story.......................THE KING'S SON (MTOTO WA MFALME) Sehemu......ya.......02 ILIPOISHIA........ Bahati mbaya ilikuwa kwake kwani alishangaa kumuona Prince Yoramu

akiwa kasimama mbele yake tena akiwa na walinzi wakutosha........

ENDELEA NAYO...
"Huwezi kuondoka kirahisi hivyo Yoashi, nilijua lazima Princess Miriamu akushauri wewe kutoroka......Prince Yoramu aliendelea kuongea......kitu usichokijua ni kuwa hisitoria yako yote naifahamu ndiyo mana sitaki kuona ukienda mbali na ufalme huu" Prince Yoramu aliongea maneno yaliyomfanya Yoashi mwenyewe ashangae na kumsogelea.

Zilikuwa ni tarifa mpya kwake kwani ata yeye alikuwa hajui hisitoria ya maisha yake.
"Nini unachoongea Prince...!?, naomba uniambie vizuri mimi ni nani na wazazi wangu wako wapi..!?" Yoashi alimuuliza lakini Prince Yoramu aliwageukia walinzi wake.
"Mpelekeni ndani na muwe makini nae, hakikisheni hapati nafasi ya kutoroka kwenda sehemu yoyote ile " Walinzi...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/story-the-kings-son-mtoto-wa-mfalme-sehemu-ya-02-ilipoishia-bahati-mbaya-ilikuwa-kwake-kwani-alishan

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi story-the-kings-son-mtoto-wa-mfalme-sehemu-ya
Story.......................THE KING'S SON (MTOTO WA MFALME)  Sehemu......ya.......03 "Kwanini umemuua baba yangu..!!?"
Story.......................THE KING'S SON (MTOTO WA MFALME) Sehemu......ya.......03 "Kwanini umemuua baba yangu..!!?"
Story.......................THE KING'S SON (MTOTO WA MFALME).  Sehemu......ya.......04 Watu wa kila aina walikuja na kufanya kama wenzao walivyokuwa wakifanya
Story.......................THE KING'S SON (MTOTO WA MFALME). Sehemu......ya.......04 Watu wa kila aina walikuja na kufanya kama wenzao walivyokuwa wakifanya
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 68

MY WANGU❤️ sehemu ya 68

519
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘

435
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70

MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70

434
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 46💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 46💘💘

307
MIMI SIKUACHI🥰 19 MPAKA 20

MIMI SIKUACHI🥰 19 MPAKA 20

142
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13

89
MIMI SIKUACHI🥰 16 MPAKA 18

MIMI SIKUACHI🥰 16 MPAKA 18

82
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11

75
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8

65
MIMI SIKUACHI🥰 14 MPAKA 15

MIMI SIKUACHI🥰 14 MPAKA 15

59

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.01K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.8K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.65K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.01K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.43K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.4K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.27K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.25K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.24K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.15K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MIMI SIKUACHI🥰 19 MPAKA 20 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 19 MPAKA 20
@majario LIVE

🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Sehemu ya 19 Daah nikasema.mwanangu iyo chupi.nimemnunulia fatuma.natka nikampelekee si unjaua bado week 3 tunaenda likizo. Lemi akaniangalia akasema mh . Aya bwana hkuna noma.mi nikaivuta ile chupi. Nikaweka chini...

MIMI SIKUACHI🥰 16 MPAKA 18 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 16 MPAKA 18
@majario LIVE

🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Sehemu ya 16 Basi nikapata kaumarufu kweli kweli pale chooni. Yani ata wadada wakawa wananishobokea sana. Naomba unifundishe nifundishe kama zote. Wadada full shobo na mimi. Ata washikaji wakawa...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 46💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 46💘💘
@majario LIVE

Moyo wangu ulianza kudata juu yaHemed🥹🥹 nilijaribu kuongea nao lakini wala haukunisikia niliuambia moyo tulia hukuhuku kwa boo tayari tushasolve tatizo lililokuwepo Acha kuhamahama😟😟 lakini moyo bado ulizidi kung'ang'ania kwa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70
@majario LIVE

Basi nilipata kafuraha mno. Nikachukua pesa yangu .nikarudi darasani kuendelea na ratiba zangu. Uwiiiiii nilifurahi sana. Yani sana tu. Na prepo ilivyoisha tukarudi darasani. Mie nikampa tu yule mwanafunzi...

MIMI SIKUACHI🥰 14 MPAKA 15 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 14 MPAKA 15
@majario LIVE

🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Sehemu ya 14 Aseee mi nilimuangalia sana uyu demu. Nikamuona jau . Yani yupo very serious ananitongoza .mnajua kuna jinsi nilimdharau . Nikaona uyu demu daaah. Alivyoona namshangaa na sijamjibu...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13
@majario LIVE

12 MPAKA 13 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Nikasema vp mbona huniachii mkono. Akanmbia ahaa sory haji. Kisha akaachia mkono wangu. Na mda uo uo ndo lemi akawa analudi pale. Akasema ahaaa mrembo upo...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11
@majario LIVE

10 MPAKA 11 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Aseeeee uyu demu ni mzuri bwana. Mi. Mwenyewe nilikubali. Ila sio kwamba nilimtamani no. Mi ni mwanaime ninayejielewa sana. Wanaume tuna tamani mno. Ila unakuwa na msimamo wako...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8
@majario LIVE

7 MPAKA 9 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Basi bwana tukivyotoka kula sasa. Mi nikaludi ndani ila lemi akanmbia kuna mtu anakutana nae kidogo nikasema powa so nikamuacha mimi nikaludi hostel.aseeee chuo kimechangamka iki sana. Yani...

MY WANGU❤️ sehemu ya 68 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 68
@majario LIVE

Basi akashuka. Akamsalimia mama pale. Mama akamuitikia. Akaniuliza. Ushakuwa tayari. Mie nikasema ndio . Akanmbia kachukue nilivyokwambia tupakie. Nikasema sawa. Kweli nikaenda kuchukua. Vilikuwa vidogo. Kweli. Vyengine niliviona kashanunua yeye...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘
@majario LIVE

0742133100 Babie Love Niliipokea ile simu huku nikiwa natetemeka kwa uoga..... hello daddy.... pendo what's going on 🤷‍♂️ taarifa gani hizi nazoambiwa kwani hamkumaliza tofauti zenu inatakiwa muache drama mtakuja kunitesea...

MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67
@majario LIVE

Aseeee nilikuwa na maumivu kwa kila sehemu ya mwili wangu. Nilikuwa na maumivu makali mnoo. Asa mkono . Yani sikuwa sawa kabisa. Namsikia mlige akiwa ndani .anasema yani nikitoka njeee...

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA  SEHEMU YA 19 - 20 Post Mpya
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 19 - 20
@majario LIVE

Nilikuwa najilazimisha hata kucheka mama aliniona ila akajua labda ni uoga tuu akaniambia mwanangu usijali bhana Kila kitu kutakuwa sawa na ndoa yako itapita vizuri tu nikawa namjibu kwakichwa saw,...

MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65
@majario LIVE

Basi mie nikaingia chumbani nikajilaza kitandani.nikalia mnoo .niklia aswaaa.mana mi.mwenyewe mlige nampenda.nampenda sana.na kweli nimemkosea ila hataki ata kuongea na mie ni ananifanyia hasira tu. Basi shoga yenu nikawa nalia...

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 17 - 18 Post Mpya
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 17 - 18
@majario LIVE

Sasa wakati uo nimeenda nikaja kufunguliwa mlango na Kendrick, na ilikuwa inaonekana nyumbani walibaki wao wawili tu na wafanya kazi, Alivonifungulia mlango mie nikapita moja Kwa moja mpaka ndani sikutaka...

MY WANGU❤️ sehemu ya 63 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 63
@majario LIVE

Basi bwna tumefika nyumbani . Mama akaja akasema eeh baba jamani pole kwa usumbufu wote. Mlige akasema usijali mma kuwa na amani kabisa mma akauliza shida nn wamesema.....

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest