Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

Story.......................THE KING'S SON (MTOTO WA MFALME)  Sehemu......ya.......02  ILIPOISHIA........ Bahati mbaya ilikuwa kwake kwani alishangaa kumuona Prince Yoramu
Gonga94 · Stories

Story.......................THE KING'S SON (MTOTO WA MFALME) Sehemu......ya.......02 ILIPOISHIA........ Bahati mbaya ilikuwa kwake kwani alishangaa kumuona Prince Yoramu

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
akiwa kasimama mbele yake tena akiwa na walinzi wakutosha........

ENDELEA NAYO...
"Huwezi kuondoka kirahisi hivyo Yoashi, nilijua lazima Princess Miriamu akushauri wewe kutoroka......Prince Yoramu aliendelea kuongea......kitu usichokijua ni kuwa hisitoria yako yote naifahamu ndiyo mana sitaki kuona ukienda mbali na ufalme huu" Prince Yoramu aliongea maneno yaliyomfanya Yoashi mwenyewe ashangae na kumsogelea.

Zilikuwa ni tarifa mpya kwake kwani ata yeye alikuwa hajui hisitoria ya maisha yake.
"Nini unachoongea Prince...!?, naomba uniambie vizuri mimi ni nani na wazazi wangu wako wapi..!?" Yoashi alimuuliza lakini Prince Yoramu aliwageukia walinzi wake.
"Mpelekeni ndani na muwe makini nae, hakikisheni hapati nafasi ya kutoroka kwenda sehemu yoyote ile " Walinzi walifata amri kwa kumkamata Yoashi na kumrudisha ndani huku akiwa na maswali mengi yakutamani kujua kiundani zaidi maneno yaliyo zungumzwa na Prince Yoramu.

Princess Miriamu alishangaa kumuona Yoashi ndani ya ngome ya kifalme mana alitegemea mida hiyo angekuwa ameshaondoka na amefika mbali. alienda kumuuliza Yoashi sababu za yeye kurudi ndani ya ngome ya kifalme naye aliamua kumwelezea kila kitu Princess Miriamu.

Princess Miriamu alimfata kaka yake ajue ni kitu gani alichopanga kumfanyia Yoashi,
"Kaka una matatizo gani..!?. umepanga kumfanyia nini Yoashi mpaka umzuie yeye kuondoka...!?" Princess Miriamu aliongea na alioneshwa kuchukizwa na kile alichokifanya kaka yake.
Prince Yoramu hakutaka kumjibu Princess Miriamu badala yake aliamua kuondoka na kumuacha akimtazama.

Prince Yoramu baada ya kuachana na Princess Miriamu aliitwa na Malikia Rebeka,
"umepanga kufanya nini kwenye siku yako mhimu mwanangu...!?" Malikia Rebeka aliongea nakutaka kufahamu kitu alichokuwa akifikilia mwanae.
"Mama, hakuna cha maana nitakachofanya zaidi ya kumfanya Yoashi aishi kwenye ngome hii ya kifalme maisha yake yote. Pia uliniambie nisije kumpa nafasi Yoashi ya kuwa huru na nimfanye awe mtumwa wangu mpaka kufa kwake" Prince Yoramu aliongea na Malikia Rebeka alimsifu kwa kile alichopanga kufanya.

Malikia Rebeka alimwambia anatakiwa awe makini zaidi kwani siku Yoashi akija kujua kuwa Mfalme Balaki aliiangamiza familia yake basi naye atawapoteza wazazi wake.

Huo ndio ulikuwa wasiwasi wa Malikia Rebeka na aliendelea kumhimiza mwanae azingatie maneno yake. Prince Yoramu alimwahidi Mama yake ata hakikisha Yoashi hatokuja kuleta madhala kwenye familia yao.

Wageni mbali mbali walialikwa na walianza kuwasili kwenye ufalme wa Mfalme Balaki kwa ajili ya kushuhudia sherehe ya Prince Yoramu na moja ya wageni waliokuja siku hiyo ni Mfalme Efroni aliye ongozana na binti yake aliyefahamika kwa jina la Princess Herodia.

Mfalme Efroni na binti yake walikaribishwa vizuri ndani ya ngome hiyo ya kifalme, huku wakiongozana na walinzi baadhi waliotoka nao kwenye ufalme wao na baadhi ya walinzi waliokuja nao walikuwa na lengo la kumuua Mfalme Efroni pasipo yeye mwenyewe kujua.

Upande wa Yoashi akiwa ndani ya jumba la kifalme huku nyuma akiwa na ulinzi wa kutosha aliowekewa na Prince Yoramu kwa ajili ya yeye kutokutoroka, Princess Miriamu alifika na kushika mkono wa Yoashi,
"una mpeleka wapi..!?" mlinzi mmoja alimuuliza lakini Princess Miriamu aliona kama dharau kwa swali aliloulizwa na mlinzi.
Alimsogelea na kumpiga kibao,
"Umetoa wapi nguvu ya kuniuliza..!? umesahau kama mimi ni mtoto wa Mfalme...!?".
"Nisamehe Binti Mfalme sitarudia tena kukuuliza swali kama hilo" mlinzi aliongea lakini Princess Miriamu hakutaka kuongea zaidi alimuchukua Yoashi nakuondoka nae huku wakiwaacha walinzi wakiwatazama na mlinzi mmoja alikimbia kwenda kumpa tarifa Prince Yoramu.

Yoashi baada ya kupata msaada wa kuchukuliwa na Princess Miriamu, kuna kitu alichotamani kumuuliza Princess Miriamu,
"Princess kwanini unanijali kiasi hiki...!!?"
"unataka kujua kwanini nakujali Yoashi...!?" Princess Miriamu nae alimuuliza swali Yoashi badala ya kujibu kile alichoulizwa.
"Ndio Princess, mana toka tukiwa wadogo umekuwa upande wangu siku zote bira kujali kuwa mimi ni mtumwa ndani ya ufalme wenu"
"Sababu kubwa ya mimi kukujali nikuona siku moja ukiwa ni mwenye furaha, nachukizwa na jinsi kaka yangu anavyokutesa.....Princess Miriamu aliongea kwa huzuni na maneno yake aliyaelewa vyema Yoashi..... Princess aliendelea kuongea..... Kwakuwa kaka hataki wewe uondoke basi leo unatakiwa uwe karibu yangu mda wote kwa ajili ya usalama wako zaidi mana nahisi kaka kuna kitu alichopanga kufanya zidi yako".
Yoashi hukuwa nacha kupinga alikubali kuongozana na Princess Miriamu popote pale atakapokuwa akienda mana ndiyo msaada pekee aliokuwa nao kwa wakati huo.

Prince Yoramu aliletewa tarifa za Princess Miriamu kumchukua kinguvu Yoashi kutoka kwa walinzi wake ila aliwaambia wahakikishe Yoashi hatoki ndani ya ngome ya kifalme.

Wageni mbalimbali waliendelea kuwasili kwenye sherehe hiyo huku Mfalme Balaki akiwapokea wageni wake nakuwatembeza sehemu mbalimbali.

Mfalme Efroni akiwa na binti yake nao waliendelea kuzunguka ndani ya ufalme huo pasipo kujua kama baadhi ya walinzi waliokuja nao wanampango wa kumuua Mfalme Efroni. walifika sehemu na Princess Herodia hakutaka kuongozana na baba yake mana aliona kama ananyimwa uhuru wa kutembea, aliondoka pasipo kumtarifu Mfalme Efroni.

Baadhi ya walinzi waliokuwa na lengo baya kwa Mfalme Efroni walifurahi baada ya kuona Princess Herodia kaondoka. Mmoja wao aliwaambia walinzi waliokuwa nje ya mipango yao wamfatilie Princess Herodia kwa ajili ya usalama wao, nao pasipo kujua waliondoka na kumuacha Mfalme Efroni.
Walinzi waliokuwa na mipango ya kumuua Mfalme walifurahi baada ya kubaki wenyewe na walichokuwa wakisubiri Mfalme afike sehemu nzuri ili waweze kufanya kile walichopanga kufanya.

Princess Herodia aliendelea kutembea na alijihisi ni mwenye furaha kwa kile alichokuwa akikiona ndani ya ufalme huo kwa mbali aliweza kumuona Princess Miriamu akiwa na Yoashi wakija upande wake, walikutana na kupishana huku kila mtu akiendelea na safari yake.

Princess Miriamu alifika sehemu na kumgeukia Yoashi,
"Naomba unisubiri hapa nakuja mda sio mrefu" Princess Miriamu aliongea nakuondoka akimuacha Yoashi sehemu aliyomwambia amsubiri na hakukuwa na mtu mwingine zaidi yake. Yoashi aliamua kumsubiri Princess Miriamu lakini akiwa pale aliweza kufika Mfalme Efroni akiwa na walinzi wake wenye mipango mibaya zidi yake.

Mfalme Efroni alianza kumwongelesha Yoashi aliyetoa heshima mbele yake huku walinzi wakiwatazama. Mlinzi mmoja alifikilia nakuona hiyo ndiyo nafasi ya wao kumuua Mfalme Efroni mbele ya Yoashi aliyekuwa na mwonekano wa kitumwa ndani ya ufalme huo.

Upande wa Princess Herodia baada ya kuchoka kutembea aliamua kurudi sehemu aliyotoka ili akaonane na baba yake au Mfalme Efroni.

Mfalme Efroni alikuwa bado akimwongelesha Yoashi na alivutiwa zaidi na unyenyekevu aliokuwa nao Yoashi lakini wakiwa kwenye maongezi, Mlinzi mmoja alichukua upanga wake na kumchoma Mfalme Efroni.
Yoashi alibaki kwenye mshangao baada ya kushuhudia kwa macho yake Mfalme Efroni akichomwa upanga na moja ya walinzi wake. Baada ya Mfalme Efroni kuchomwa upanga pale pale alianguka chini huku upanga ukiwa kwenye tumbo lake na mda wote Yoashi alikuwa bado kwenye mshituko kwa kushuhudia tukio lile.

Mlinzi mwingine alianza kumsogelea Yoashi ili amumalize lakini mwenzake alimshika mkono nakumzuia na kumpa ishala kuwa kuna mtu anakuja.
Alimwonyesha mtu aliyekuwa nyuma yao akija huku akikimbia kuwafata wao walipo, hakuwa mwingine bali alikuwa Princess Herodia aliyefika pale, nakuanza kumtikisa baba yake lakini alikuwa ameshachelewa kwani tayari Mfalme Efroni alikuwa ameshafariki.

Moja ya mlinzi aliandaa upanga wake ili amuue Princess Herodia lakini mwenzake alimpa ishara ya kutokujaribu kufanya kitu kama hicho kwani kuna kitu alikifikilia.
Mlinzi aliyemzuia mwenzake asimuue Princess Herodia alimutazama Yoashi aliyekuwa akiwaangalia kwa hasira na kabra hajatoboa siri yao mbele ya Princess Herodia mmoja wao aliamua kuongea,
"kwanini umemuua Mfalme wetu...!?" aliongea huku akipeleka lawama kwa Yoashi na wenzake walianza kuongea kama mwenzao wakimulaumu Yoashi.
"Umemuua Mfalme wetu" mwingine nae aliongea.
"Mnanisingizia nyie ndiyo mliomuua Mfalme wenu wenyewe" Yoashi aliamua kujitetea hakutaka kupewa kesi isiyo kuwa yake.

Kutokana na uwingi wao walimwaminisha Princess Herodia kuwa Yoashi ndiye kamuua Mfalme wao na Princess Herodia pasipo kufikilia aliyaamini maneno yao nakuamua kumfata Yoashi alipokuwa amesimama.......ITAENDELEA.

Yoashi ataongea nini mbele ya Princess Herodia ili amwamini kuwa hausiki na kifo cha Mfalme Efroni..?. sehemu ya 3 ina majibu zaidi.

Maoni

You're not logged in


Tangazo - MY Wangu season one, season two, season 3, season 4 and season 5 final
MY Wangu season one, season two, season 3, season 4 and season 5 final
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

Story.......................THE KING'S SON (MTOTO WA MFALME) Sehemu......ya.......02 ILIPOISHIA........ Bahati mbaya ilikuwa kwake kwani alishangaa kumuona Prince Yoramu

akiwa kasimama mbele yake tena akiwa na walinzi wakutosha........

ENDELEA NAYO...
"Huwezi kuondoka kirahisi hivyo Yoashi, nilijua lazima Princess Miriamu akushauri wewe kutoroka......Prince Yoramu aliendelea kuongea......kitu usichokijua ni kuwa hisitoria yako yote naifahamu ndiyo mana sitaki kuona ukienda mbali na ufalme huu" Prince Yoramu aliongea maneno yaliyomfanya Yoashi mwenyewe ashangae na kumsogelea.

Zilikuwa ni tarifa mpya kwake kwani ata yeye alikuwa hajui hisitoria ya maisha yake.
"Nini unachoongea Prince...!?, naomba uniambie vizuri mimi ni nani na wazazi wangu wako wapi..!?" Yoashi alimuuliza lakini Prince Yoramu aliwageukia walinzi wake.
"Mpelekeni ndani na muwe makini nae, hakikisheni hapati nafasi ya kutoroka kwenda sehemu yoyote ile " Walinzi...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/story-the-kings-son-mtoto-wa-mfalme-sehemu-ya-02-ilipoishia-bahati-mbaya-ilikuwa-kwake-kwani-alishan

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi story-the-kings-son-mtoto-wa-mfalme-sehemu-ya
Story.......................THE KING'S SON (MTOTO WA MFALME)  Sehemu......ya.......03 "Kwanini umemuua baba yangu..!!?"
Story.......................THE KING'S SON (MTOTO WA MFALME) Sehemu......ya.......03 "Kwanini umemuua baba yangu..!!?"
Story.......................THE KING'S SON (MTOTO WA MFALME).  Sehemu......ya.......04 Watu wa kila aina walikuja na kufanya kama wenzao walivyokuwa wakifanya
Story.......................THE KING'S SON (MTOTO WA MFALME). Sehemu......ya.......04 Watu wa kila aina walikuja na kufanya kama wenzao walivyokuwa wakifanya
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU YA KUMU*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMU*

890
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10

467
FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 16

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 16

431
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8

407
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17

290
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10

206
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12

189
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.

180
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.

138
SHAMIRA sehemu ya 34&35

SHAMIRA sehemu ya 34&35

80

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.42K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.19K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.74K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.2K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.59K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.44K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.44K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.43K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.38K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.36K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla Post Mpya
This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla
@majario LIVE

with that cute bubbly energy… and Aamir Khan being his mischievous, romantic self. What a combo yaar! Ishq was not just a love story, it was full on drama, comedy,...

 Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani Post Mpya
Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani
@majario LIVE

* Meli za kijeshi za Marekani zilizopo Ghuba ya Uajemi * Rada za Israel zilizopo Azerbaijan * Rada za Israel zilizopo Turkmenistan * Mifumo ya ulinzi wa anga ya vituo vya Marekani nchini...

SHAMIRA sehemu ya 34&35 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 34&35
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi nikajiiinua taratibu tukaingia bafuni. Mwanaume akanikumbatia uku tunaoga. Aseee uyu baba ananipenda ila hataki upumbavu ata kidogo na mkono wake mwepesi kupiga .na yote sababu...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nikaona zena kamnyanyua yule mtoto kisha akambeba ,ni amefanana nae sana ,nikajua ni wa kwake tu yani ni lazima utu mtoto atakuwa ni mwanae, kisha akanigeukia...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17
@majario LIVE

Ikabidi nikae tu kwenye piki piki maana sura alivyokuwa kaikaza mmh asije kunipiga, Kimyaa kikatawala sasa mie nilijua tunaenda kwa Tinner na moyoni nilikuwa nimempangia hayo maneno Tinner eeh mbona...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Maeneo ya pale pale chuoni, Salmon alikuwa amepanga nyumba kubwa ya peke yake. Wakati akiwa chuo ndo alikua anaishi hapo, ila siku za weekends kama hana mambo mengi ndo anaenda...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi kuanzia apo nikawa sasa kidogo naelewana na baraka. Tena mimi ndo napenda sana kuongea nae. Yani sanaaa. Napenda kucheka nae sana. Na kun jinsi...

FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 16 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 16
@majario LIVE

Usiku wangu ulikuwa mzito sana, maneno ya D kusema kuwa Veda anatembea na wanawake wengi, niliyaamini kabisaaa Bila shakaa kwa maana Yeye tu hana mwonekano mzuri ametuna tuna hovyo anakuwa...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10
@majario LIVE

Daaah nikaona mtoto kachomoa leo mana sio powa , ana vipengele sana uyu demu , ila unyama, hatachomoa kila siku, ni suala la muda tu, mana sijawahi kumtaka mwanamke ,...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media BASI nikapanda kitandani kwangu. Nikijutia sana nilichokifanya mana mh . Nilikuwa nasababisha ugomvi mkubwa wa wazazi mungu wangu. Yani mama yangu alikuwa anaachwa leo...

SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.??? Post Mpya
SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.???
@majario LIVE

Hatimae jana tambo za Dabi zilipata majibu kwa timu za Simba na Yanga kutoka suluhu ya bila kufungana(0-0). Kwa maana hiyo timu zote ziliambulia pointi moja moja. Mchezo wa jana pamoja...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8
@majario LIVE

Zena akasema kwaiyo manager unataka kuniuza ama ni vp, yule manager aksema , naomba uelewe kuwa ukifanya kazi katika hii bar, mteja kukushika sehemu yoyote ya mwili wako ni kawaida,...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU YA KUMU* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMU*
@majario LIVE

Jambo likawa lelelele, Yaani ni patashika nguo kuchanika, Kwa upande wangu Walahi nilikuwa nikifurahi tu, na amina alikuwa akilia tu nakuomba msamaha. Enzo wa watu mwaya akachukua muda wake na kumuelezea...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Mbali na ivyo zile zawadi alizo tumiwa Noela zilimuuma vile vile. Alihisi Noela hastahili vitu vizuri wala maisha ya kifahari. Alitaka kila kitu kiwe chake, wanaume wote wawe wake. Hata...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 6 na 7 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 6 na 7
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi bwana , mwanaume wala sikuwa na shaka, kazi zote ambazo nilibakiwa nazo pale ofisini, nikamuachia ibraaa, na ukiacha ushikaji, mi bafo ibra ni mkubwa wake wa kazi,...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest