Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

RUNGU LA KIPOFU 22.
Gonga94 · Stories

RUNGU LA KIPOFU 22.

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
RUNGU LA KIPOFU 22.

ENDELEA............
Simnakumbuka tuliishia pale ambapo Kipofu kamwag..a maziwa ndani ya tunda la Doctor?, sasa tuendelee na story yetu tamuu.
"Asante, asante, asante kipenzi!"
"Oooooh!"
Kipofu alilicho....moa rungu lake na kujitupa kitandani na Doctor alifata kitenge chake na kuanza kumfuta jasho kidum...e kutokana na show nzito aliyomfanyia.
"Nenda kamsikilize sasa mtoto wako!"
"Alafu kweli umenikumbusha!"
Doctor aliv...aa na kutoka chumbani lakini hakumkuta Witness nje.
"Hayupo ila ngoja nimfate chumbani kwake!"
Alifika kwenye chumba cha binti yake na kugonga mlango na Witness alifungua akiwa hana raha kabisa.
"Aya ulikuwa unaniitia nini!?"
Witness alikaa kimya.
"Mbona huongei!?"
"Nilikuwa nawaza namna gani ya kuanza kukuuliza!"
"Wewe anza vyovyote tu kuniuliza!"
"Upo kwenye mahusiano na mgonjwa wako!?"
Baada ya Witness kumuuliza Doctor naye hakutaka kumficha binti yake, alikubali kuwa yupo kwenye mahusiano na Kipofu na mda wowote ule wanaweza kuoana.
"Huwezi kufanya hivyo Mama yaani hata mwaka haujapita toka baba afariki leo unataka kuolewa na kijana mdogo tena kipofu!?"
"Tunapangia maisha Witness sio!?"
"Sio hivyo ila nakwambia tu Mama!"
"Basi mimi ndiyo nimeshaamua na nitaolewa na Kipofu utake usitake!"
Mwanamama baada ya kuongea aliondoka na kurudi chumbani kwake kwa hasira na Witness kilichomuuma ni kuona Mama yake yupo kwenye mahusiano na Kipofu ikiwa tayari alikuwa ameshaanza kulipigia hesabu ru..ngu la Kipofu.

Mpaka siku ya ijumaa inafika Witness hakuwa na maelewano mazuri kabisa na Mama yake na Kipofu aliendelea kula..la chumb kimoja na Doctor kwa kujiachia kama vile yupo kwake, Siku hiyo Mwajuma alifika akiwa na Mama yake kwa ajili ya kumsalimia Kipofu na baada ya mda Mama Mwajuma aliaga ili waondoke lakini Mwajuma hakuwa tayari kabisa kuondoka na mwisho mama mtu aliamua kumuacha binti yake kwenye nyumba ya Doctor.

Baada tu ya Mwajuma kuona Mama yake kaondoka alimchukua kipofu akijifanya anamtembeza kumbe anamipango yake.
"Wapi unanipeleka unajua sikuelewi Mwajuma!"
"Kuna sehemu tunaenda Juma usijali!"
"Wapi huko!"
Mwajuma hakutaka kujibu zaidi ya kumpandisha Kipofu kwenye dalala na safari ilianza.

Mida ya saa mbili usiku Mwajuma na Kipofu walifika kwenye nyumba moja tulivu na Mwajuma alisogea kwenye mlango na kuanza kuugonga na baada ya mda kuna binti aliufungua.
"Nilijua hutakuja leo na mtu wako Mwajuma!"
"Niambie kwanza wazazi wako wamesharudi?"
"Bado mpaka wiki ijayo!"
"Hapo sawa!"
"J!"
Mwajuma alimwita Kipofu na kuongea.
"Huyu unayesikia sauti yake ni rafiki yangu wa karibu kabisa anaitwa Alice!"
Alice alimshika mkono Kipofu na kuwakaribisha ndani.

Ndani ya nyumba hiyo Alice alikuwa akiishi na mfanyakazi wao tu na wazazi wa Alice wamekuwa hawakai nyumbani kutokana na kusafiri mara kwa mara kwa ajili ya majukumu yao ya kikazi.

Kitu cha kwanza Mwajuma alichoamua kukifanya ni kwenda na Kipofu wake chumbani na walipofika huko ilikuwa ni mwendo wa kubinua.na tu tena Mwajuma alionekana kalipania kweli rungu la Juma.
Siku hiyo ilipita Mwajuma akiwa na Kipofu kwenye nyumba ya rafiki yake na huku kwa Doctor alishangaa Mwajuma kutokumrudisha Kipofu nyumbani kwake, alichukua simu yake na kumpigia Mama Mwajuma na kumpa taarifa ambaye naye alibaki mdomo wazi na kushindwa kuelewa ni wapi binti yake alipoenda na mtoto wa dada yake, Mama Mwajuma naye alimpigia Dada yake akimuuliza kama watoto wao watakuwa huko lakini Dada mtu alikana kabisa!.
Machale yalianza kumcheza Mama Mwajuma, aliikumbuka siku aliyoikuta ch..p ya Mwajuma juu ya meza na palepale alimwita Latifa na kuanza kumhoji aseme ukweli anaojua.

Latifa alifunguka yote na kuongea ukweli wote kitu kilichomwacha mdomo wazi Mama Mwajuma.
"Inamaana Mwajuma anatembea na Juma? hajui kama ni kaka yake!?"
"Ndio dada japo hawana mda sana!"
"Kama ulikuwa unajua kwanini ulikuwa kimya!?"
Latifa alikaa kimya pasipo kujibu maana naye alikuwa ni miongoni mwa watu waliodatishwa na rungu la Kipofu.
"Nakuuliza Latifa!?"
"Nilipitiwa tu dada nisamehe kwa hilo!"
"Huna kazi beba mizigo yako uondoke sasa ivi nyumbani kwangu!"
Kibarua kiliota nyasi kwa Latifa siku hiyo hiyo na aliingia ndani na kubeba mizigo yake na kuondoka.

Siku iliyofatia Mwajuma alimrudisha Kipofu kwa Doctor na yeye alirudi nyumbani kwao na kumkuta Mama yake akiwa kwenye sura nyingine kabisa.......ITAENDELEA.

Maoni

You're not logged in


Tangazo - MY Wangu season one, season two, season 3, season 4 and season 5 final
MY Wangu season one, season two, season 3, season 4 and season 5 final
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

ENDELEA............
Simnakumbuka tuliishia pale ambapo Kipofu kamwag..a maziwa ndani ya tunda la Doctor?, sasa tuendelee na story yetu tamuu.
"Asante, asante, asante kipenzi!"
"Oooooh!"
Kipofu alilicho....moa rungu lake na kujitupa kitandani na Doctor alifata kitenge chake na kuanza kumfuta jasho kidum...e kutokana na show nzito aliyomfanyia.
"Nenda kamsikilize sasa mtoto wako!"
"Alafu kweli umenikumbusha!"
Doctor aliv...aa na kutoka chumbani lakini hakumkuta Witness nje.
"Hayupo ila ngoja nimfate chumbani kwake!"
Alifika kwenye chumba cha binti yake na kugonga mlango na Witness alifungua akiwa hana raha kabisa.
"Aya ulikuwa unaniitia nini!?"
Witness alikaa kimya.
"Mbona huongei!?"
"Nilikuwa nawaza namna gani ya kuanza kukuuliza!"
"Wewe anza vyovyote tu kuniuliza!"
"Upo kwenye mahusiano na mgonjwa wako!?"
Baada...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/rungu-la-kipofu-22

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi rungu-la-kipofu
RUNGU LA KIPOFU 21.
RUNGU LA KIPOFU 21.
RUNGU LA KIPOFU 23 MWISHOO.
RUNGU LA KIPOFU 23 MWISHOO.
RUNGU LA KIPOFU 13.
RUNGU LA KIPOFU 13.
RUNGU LA KIPOFU 18.
RUNGU LA KIPOFU 18.
RUNGU LA KIPOFU 16.
RUNGU LA KIPOFU 16.
RUNGU LA KIPOFU 15.
RUNGU LA KIPOFU 15.
RUNGU LA KIPOFU 01
RUNGU LA KIPOFU 01
RUNGU LA KIPOFU 19.
RUNGU LA KIPOFU 19.
RUNGU LA KIPOFU 10
RUNGU LA KIPOFU 10
RUNGU LA KIPOFU 08
RUNGU LA KIPOFU 08
RUNGU LA KIPOFU 20.
RUNGU LA KIPOFU 20.
RUNGU LA KIPOFU 03
RUNGU LA KIPOFU 03
RUNGU LA KIPOFU 04
RUNGU LA KIPOFU 04
RUNGU LA KIPOFU 14.
RUNGU LA KIPOFU 14.
RUNGU LA KIPOFU 17.
RUNGU LA KIPOFU 17.
RUNGU LA KIPOFU 12.
RUNGU LA KIPOFU 12.
RUNGU LA KIPOFU 09
RUNGU LA KIPOFU 09
 RUNGU LA KIPOFU (06 & 07)
RUNGU LA KIPOFU (06 & 07)
RUNGU LA KIPOFU 05
RUNGU LA KIPOFU 05
RUNGU LA KIPOFU (01& 02)
RUNGU LA KIPOFU (01& 02)
RUNGU LA KIPOFU 11
RUNGU LA KIPOFU 11
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 41 to 42

AFANDE MILLAN😎 41 to 42

1.13K
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 43

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 43

991
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 44 na 45

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 44 na 45

951
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 19 to 20 final

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 19 to 20 final

446
MIRANDA (Binti Yangu)   SEHEMU YA 15

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 15

216
MIRANDA (Binti Yangu)   SEHEMU YA 19 - 20

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 19 - 20

185
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 17 - 18

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 17 - 18

184
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 16

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 16

178
ACHA NIKUPENDE ❤️ 3  to 5

ACHA NIKUPENDE ❤️ 3 to 5

103
*KISASI CHA SINDELE BAADA YA KUAMBUKIZWA UKIMWI KWA MAKUSUDI*😭😭😭. *1-4*

*KISASI CHA SINDELE BAADA YA KUAMBUKIZWA UKIMWI KWA MAKUSUDI*😭😭😭. *1-4*

100

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.66K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.38K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.81K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.3K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.9K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.82K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.68K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.66K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.63K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.57K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MIRANDA (Binti Yangu)   SEHEMU YA 19 - 20 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 19 - 20
@majario LIVE

SONGA NAYO......... miezi kama miwili ilipita huku nikiishi Tanzania pamoja na wifi yangu kipenzi BLESS 🥰 yes amekuwa wifi yangu badala ya mtoto wangu lakini nimemfanya kama bjnti yangu nampenda huyu...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 17 - 18 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 17 - 18
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Mdada mie nikaanza kupiga ukelele wa furaha na bila kujigikiria mara mbili mbili nilimkumbatia Anfrey mwamba naye ni kama alitegemea hivyo maana alinipokea tena kwa hamu kubwa "Anfrey asante asante...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 16 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 16
@majario LIVE

SONGA NAYO....... Basi ikabidi waniache, nikaingia ndani nikawa nimeloa chepechepe na binti angu nae vile vile hakunibanduka kabisa mikononi mwangu "Karibu sana baba karibi, jisikie upo nyumbani.." Nikiwa chumbani navaa niliweza kumsikia mama...

mke wangu kaniambia mtoto sio wangu nifanyaje ndugu zangu Post Mpya
mke wangu kaniambia mtoto sio wangu nifanyaje ndugu zangu
@majario LIVE

Mimi naitwa Baba Derick, Leo asubuhi mapema sana, kama kawaida yangu niliamka kwenda kutafuta riziki. Kabla sijaondoka nyumbani, niliweka shilingi elfu mbili mezani. Nilimwambia mke wangu wazi kabisa kwamba pesa...

Mwandishi wa BBC Kasra Naji amekiri hali ni mbaya ndani ya Israel ameripoti akisema "Israel ipo katika hali ya kufungwa (lockdown), Post Mpya
Mwandishi wa BBC Kasra Naji amekiri hali ni mbaya ndani ya Israel ameripoti akisema "Israel ipo katika hali ya kufungwa (lockdown),
@majario LIVE

mitaa ipo tupu hakuna watu nje kutokana na hali ya hofu ya mashambulizi ya Iran, maduka yamefungwa na hali inazidi kuwa ngumu kuvumilika kwa watu" "Hata makombora makubwa ya Hezbollah yanaanguka...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 44 na 45 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 44 na 45
@majario LIVE

Basi bwana tumefika kwake, ikabidi niwaache kisha nikatoka nikaenda super market kuwachukulia mahitaji, aseee nikawabebea kila kitu cha kula, sijuh unga ,mchele, kuku , nyama, maziwa ya mtoto mana bado...

Taarifa hii haijathibitishwa lakini watu wanaulizana itakuaje kama kweli ubalozi wa huyu bwana utakuwa umeguswa? SIO KULIPULIWA UGUSWE TU! Post Mpya
Taarifa hii haijathibitishwa lakini watu wanaulizana itakuaje kama kweli ubalozi wa huyu bwana utakuwa umeguswa? SIO KULIPULIWA UGUSWE TU!
@majario LIVE

Wataalamu wanahofia kuwa Kim Jong Un anaweza kutumia tukio hilo kama kisingizio cha kupanua uungaji mkono wake kwa Tehran, jambo litakaloleta tafarani kubwa duniani. Korea Kaskazini ina ubalozi wake jijini Tehran,...

ACHA NIKUPENDE ❤️ 3  to 5 Post Mpya
ACHA NIKUPENDE ❤️ 3 to 5
@majario LIVE

ACHA NIKUPENDE ❤️ 3 MTUNZI uhuru media Karibu WhatsApp 0794810082 Kwa jicho aliloangaliwa na Nicky ilimbidi aondoke haraka haraka akaenda jikoni huku akiwa kachukia na machozi yalimtoka bila kutegemea. Alipofika...

*KISASI CHA SINDELE BAADA YA KUAMBUKIZWA UKIMWI KWA MAKUSUDI*😭😭😭. *1-4* Post Mpya
*KISASI CHA SINDELE BAADA YA KUAMBUKIZWA UKIMWI KWA MAKUSUDI*😭😭😭. *1-4*
@majario LIVE

*_________________________________________* *Sehemu Ya 1* Ndani Ya hospital Moja kubwa wanaonekana Vijana wawili Wakiwa Wanasubiri Majibu Ya vipimo ambavyo Tayari walikuwa wamepima. "Hivi Sindele kwa mfano ikatokea Mimi nimekutwa nimeathirika utanioa au utaniacha!?" "Uuuuu...

🚩Rais wa klabu ya Al Ahly, Mahmoud El-Khatib, ametangaza maamuzi makali Post Mpya
🚩Rais wa klabu ya Al Ahly, Mahmoud El-Khatib, ametangaza maamuzi makali
@majario LIVE

ili kujaribu kubadilisha mwenendo wa timu katika Ligi ya Misri na CAF Champions League. 🔴 Maamuzi yaliyotangazwa: 💵 Kupunguzwa mishahara: Wachezaji wote wa kikosi cha kwanza watakatwa 30% ya mishahara yao,...

MIRANDA (Binti Yangu)   SEHEMU YA 15 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 15
@majario LIVE

SONGA NAYO....... Mira mie nikaanza kupiga maombi ya kuteketeza roho ya umauti niliomba sana, jasho lilikuwa likinitililika na kulowanisha kifua Changu Nilikuwa nimezama kwenye ulimwengu wa roho nikifanya maombi, ni sauti ya...

Victor Osimhen alishindwa kujizuia na kutoa machozi..  FOOTBALL ⚽. Post Mpya
Victor Osimhen alishindwa kujizuia na kutoa machozi.. FOOTBALL ⚽.
@majario LIVE

Napoli walimchukulia kama takataka na kumfanyia ubaguzi, lakini Galatasaray wanamchukulia kama familia yao .. Hadithi ipi ni yenye huzuni kwa Victor Osimhen kwenye maisha yake , hadithi yenye huzuni ni kuhusu...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 43 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 43
@majario LIVE

Mi sikufanya ajizi, nikamuuliza kwani apa majirani zako hawapo, akanmbia mmoja alisafiri na mwengine kaenda kwao leo, wote hawapo, nikaona kazi leo, nisingekuja sijuh ingekuajee, ni mungu tu aliniongoza nije...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 19 to 20 final Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 19 to 20 final
@majario LIVE

SEHEMU YA 19 🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Asubuhi Mr Marvel alipoenda chumbani kwa Noela kama kawaida yake ili kumuamsha, anakuta chumba kipo kimya, hakuna mtu wala baadhi ya vitu vya Noela havipo😳. Anadhani labda ameenda chuo...

AFANDE MILLAN😎 41 to 42 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 41 to 42
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Sehemu ya 41 Basi bwana , zena alivyoniona mnazani alisimama,hapana bali ndo kwanza akaongeza speed ya kuelekea kwake ,na mm nikawa namfata kwa haraka ili asije akajifungia, basi zena akaingia...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest