Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

AFANDE MILLAN😎 41 to 42
Gonga94 Β· Stories

AFANDE MILLAN😎 41 to 42

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈

Sehemu ya 41

Basi bwana , zena alivyoniona mnazani alisimama,hapana bali ndo kwanza akaongeza speed ya kuelekea kwake ,na mm nikawa namfata kwa haraka ili asije akajifungia, basi zena akaingia ndani kwake akataka kufunga malango ,ila nilishafika nikazua nami nikaingia ndani ,zena akanmbia unataka nn nakuuliza unataka nn, usinijazie mbuu ondoka ndani kwangu, nyieeeee mi sikutaka maneno mengi ,mwanaume mimi na ujanja wangu wote, nikapiga magoti mbele ya zena , nikamwambia sikia zena nimekosea ile siku, mi binadamu kuna mda natereza mama ,nisamehe , nimekosea kweli kweli, na nimeteleza mnoo ,nakuhaidi zena sitarudia tena kufanya kosa kama lile ,nisamehe sana mama yangi, mi naumia nikikuona wewe na hali yako hii unapambana na biashara za moto na mimi nipo, nisamehe zena ,nisamehe mama yangu, nipe chance sasa niwajibike kama baba, oyaaaa nilinywea hii siku mana nilishaelewa apa nikipanda na nikajifanya na mm kuwa juu, mimi na zena hatutafika kokote, mana na yeye kashakuwa na hasira nikaona apa mm nipoe tu, mana ndo nimezingua

Zena akanmbia nyanyuka uendee, sitaki drama kabisaa, mwanaume gani wewe. ,najuta ata kukujua mjinga wewe, naomba ondoka apaa ,ondoka bwana millan usinitibue mm, unaniletea misamaha yako ya kinafiki mimi, ni lini umewahi kujali millan, ni lini umeewahi kuwa na hiyo hururma, ni mala ngapi nimelia mbele yako na haujajali lolote ,leo unakuja unaanza fyoko fyoko, naona unataka kuniludisha kwenye mifumo yako ya maisha si ndio? Unataka kunirudisha kwenye mambo yako ya kipumbavu ili unitese si ndio, ili unisumbue mm si ndio, millan mi sishindwi kupambana na maisha yangu, mimi na wewe kipindi tunakutana uliknikuta nna maisha yangu na nna kwangu ambapo mm nililizika napo tu, ukanidanganya mengi mpaka nikaingia kwenye mkenge wako wa majuto, leo unajileta tena unakuja kujiongelesha apa, millan sikuhitaji kwa chochote na sitaki niwe na mahusiona na wewe kwa chochote kile naomba uende, kama nilivyokwambia mimba mm naimudi nisikuone apa mshenzi mmoja wewe

Daaaah nikaona apaa ni shidaa, apo zena anaonge akwa hasira mpaka machozi yanmtoka, nikainuka nikamshika mkono, akanipanch mkono wangu, akanmbia usinishike mwanaharamu wwe, na marufuku kuja apa kujibebisha kwa mtoto wangu, mana nakujua we ni mnafiki tu, na wala.hujawahi kumpenda ummy, ila ulikuwa unajifanya kumpenda ikiwa ni moja ya mbinu yako ya kunipata mimi, na unichezeee mjinga wewe, tabia zako zipo wazi millan, mimi nishakubali kuwa nimebug na nimeingia kwenye mkengeee, ila sikubali kulea na wewe, so ondoka apa huna mtoto na mimi, mjinga wewe, daaah nikaona apa nikiendelea kukaa hatutapata muafaka , zena ana hasira sana anaongea mpaka anatetemeka, ikanibidi mm niondoke, nikatoka nje nikaingia kwa gari yangu, aseeee nilijua nimezingua mi ni polisi, naelewa mtu akiwa anaongea kwa kumaanisha kwemye macho yako tu, aseee nilijikuta kama machozi na mimi yananilenga, sikuwa sawa, zena alinambia maneno ya kunikata sana

Nikafika zangu job , sina mood kabisaaa yani, nimepoa kisengee ata hamu ya kuongea na mtu sikuwa nayo, nimeingia ofsinis nikiwa busy na kazi, ila kila nikikumbuka maneno ya zena naumiaa, mi sikutaka kumuelezea ili jambo ibraa wala nn, nilihisi nalimudi na nitaongea nae mwenyewe tu zena tutamaliza, alafu nilikuwa naona aibu mbele ya ibraa mana ile siku nilijitamba sana kuwa naachana nae zena na sina mda nae, lakini leo nilikuwa nahitaji kuwa baba kwake, na familia yake , ila demu ndo kanigomea sasa, basi bwanaa kuanzia apo mi nilikuwa napita sana kwa zena, navizia mida ambayo yupo nyumbani ndo naenda nyieeee,ila sasa zena akawa hana habari na mm kabisaa, na kila nikienda hasira zake ndo zinazidi kupanda ,hataki kunifikilia ata kidogoo , tena apo ananipa na maneno makari mapya kila siku, na nikimkuta yupo na ummy, hataki ata kidogo, nimshike mwanae ,ananmbia mi simpendi yule mtoto ila nilimtumia tu kumpata yey, aseeee mi sikuchoka sielewi ni kwa nn, ila bado nilitaka suruhu na zena, nilifosi kwenda mwezi mzima, apo zena akafikisha mimba ya miez 8, ila bado hatulupata suruhu

Aseeee nakumbuka iyo siku, nimetoka job, nikapita k kooo , nikamnunulia nguo zena , madera madera ya kulelea nafanya ile kumuandalia uzazi, nikamchukulia na ummy nguo, theni nikapita duka kubw la madawa, pale sasa nikamchukulia vifaaaa vyote vya kujifungulia mana nilishajua mimb ina miezi 8, mwezi wa tisa lazima akajifungue ,japo sikuwa tarehe zake za makadilio na hajanieleza kabisaa hii yote sababu tupo katika maugomvi,

so ata muda wa kunielezea aya mambo inakuwa ngumu, basi baada ya maemezi ayo mi nikaenda kwa zena sasa , aseeeee acheni ,yale madera yalichanwa chanawa mbele yangu,,, ummy nimempa zile nguo anashangilia, akapigwa makofi ,na zile nguo zena akazivuta akazichana na kisu mbele ya macho yangu, nikaona isiwe kesi mi nikabeba vifaaa tu, niaondok navyo mana niliona na vyenyewe vitachanwa chanwa na kuvunjwa hivi hivi, ila nilijisikia vibaya sana , nilijisikia vibayaaa mnoooo , asa kwa ummy, yani anafanya mtoto sasa, aniogope mana anajua akinishobokea tu anapigwaa, nilijiuliza uyu mwanamke kwanza kabira gani mana mda wote nadate nae nilikuwa silijuh kabila lake ,na mbona ana hasira hivii, aseeee ulikata mwez na nusu nafatilia msaamaha na hakuna daaah ,nikakakausha wananangu

Niliona nimpe.space kwanza mana daaah, alikuwa akiniona anacharuka kweli kweli, anawaka mda mwengine, ananifungia mlango njeee , nabaki nimesimama tu, wapangaji wengine wananaingalia nakuwa napata aibu, yani hakuwa anataka ata kunisikia kabisaa, nikaona nipoe kwanza, kweli mi nikaacha kwenda kwa zena kwanza ,na pia nilipata kazi ya kusafiri kwa week 2 nikaenda mwanza , uko nikawa busy sna na kazi, sijuh kwa nn but kwa hiki kipindi ata mood ya madame wengi nilikuwa sina yani ilikuwa inanaikata kinoma noma , basi bwana nilikaaa mwanza kwa week 2 kisha ndo nikarudi dar kuendelea na maisha , apa dar nilikaa kama week tu, nikaona ebh nikamuone zena hii siku mana sikuwa nimeenda kwke sasa kama week 3, mi sikuwa nakoma wala nn japo mchumba alikuwa ananikazia kisenge

Tena iyo siku ilikuwa ni usiku , kama.saa 3 ndo nikaenda mana najua naenda kudhalilika, ila usiku ata wapangaji wenzake wanakua ndani kwao so nadhalilika mwenyewe, ila mchana doooh nikaona jau, basi bwana mi nimefika kwa zena nikagonga mlango, na akaja kunifungilia mlango ummy, nikaingia mpaka sebleni, ummy akaniamkia ila ananiogopa mtoto ata kuniwoow kama ile zamani hakuna, sieleiw zena akikuwa anamwambia nn uy mtoto, nikamuuliza mama yuko wapi, akanmbia chumbani anaumwa mama leo, mh nikasema sawa mi sikugonga wala nini ,nikaingia mpaka chunbani, kweli namkuta zena ,amekaa kitandani ila anaangaika anagaika, mh nikamuuliza zena shida nini, akanmbia naumwa naumwa sana nampigia shey hapatikani, mh nikamuuliza unamwa nini, akanmbia kiunoa ,na tumbo uku chini linanaivuta, mh mi nakujua uyu uchungu, mi si naelea anishazalisha sana, nikaona uchungu nyoko leo mtoto kanijibu hakuna ujeuri wala kunufukuza manina zakeπŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Mwanangu Mungu ndio anae jua
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

AFANDE MILLAN😎 41 to 42

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈

Sehemu ya 41

Basi bwana , zena alivyoniona mnazani alisimama,hapana bali ndo kwanza akaongeza speed ya kuelekea kwake ,na mm nikawa namfata kwa haraka ili asije akajifungia, basi zena akaingia ndani kwake akataka kufunga malango ,ila nilishafika nikazua nami nikaingia ndani ,zena akanmbia unataka nn nakuuliza unataka nn, usinijazie mbuu ondoka ndani kwangu, nyieeeee mi sikutaka maneno mengi ,mwanaume mimi na ujanja wangu wote, nikapiga magoti mbele ya zena , nikamwambia sikia zena nimekosea ile siku, mi binadamu kuna mda natereza mama ,nisamehe , nimekosea kweli kweli, na nimeteleza mnoo ,nakuhaidi zena sitarudia tena kufanya kosa kama lile ,nisamehe sana...

πŸ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/afande-millan-41-to-42

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi afande-millan
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 34 na 35
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 34 na 35
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 36 na 37
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 36 na 37
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 28 na 29
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 28 na 29
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 40
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 40
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 39
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 39
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 31 na 32
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 31 na 32
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17
* *AFANDE MILLAN😎* *SEASON TWO*     SEHEMU YA THELATHINI
* *AFANDE MILLAN😎* *SEASON TWO* SEHEMU YA THELATHINI
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 38
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 38
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 33
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 33
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10
*AFANDE MILLAN😎* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 26&27*
*AFANDE MILLAN😎* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 26&27*
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 13
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 13
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 6 na 7
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 6 na 7
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8
AFANDE MILLAN😎 1 na 5
AFANDE MILLAN😎 1 na 5
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 40

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 40

1.17K
AFANDE MILLAN😎 41 to 42

AFANDE MILLAN😎 41 to 42

666
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 18

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 18

495
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 19 to 20 final

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 19 to 20 final

243
AINA ZA MIZUNGUKO YA HEDHI KWA MWANAMKE NA SIKU ZAKE ZA HATARI.πŸ‘‡

AINA ZA MIZUNGUKO YA HEDHI KWA MWANAMKE NA SIKU ZAKE ZA HATARI.πŸ‘‡

101
Mashabiki wa Kaizer Chiefs waumizwa na Kitendo Cha Rushine kusalia Simba SC

Mashabiki wa Kaizer Chiefs waumizwa na Kitendo Cha Rushine kusalia Simba SC

10

ZIMESOMWA ZAIDI

β€ŽTUNDA LA  DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

β€ŽTUNDA LA DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.65K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.38K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tisa.  πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tisa. πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

3.81K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya sita.  πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya sita. πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.29K
MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

2.87K
MY WANGU❀️ sehemu ya 108

MY WANGU❀️ sehemu ya 108

2.8K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 20.  πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 20. πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

2.68K
MY WANGU❀️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❀️ sehemu ya 116 na 117

2.66K
MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

2.62K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 16.  πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 16. πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

2.56K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 19 to 20 final Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 19 to 20 final
@majario LIVE

SEHEMU YA 19 πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹ Asubuhi Mr Marvel alipoenda chumbani kwa Noela kama kawaida yake ili kumuamsha, anakuta chumba kipo kimya, hakuna mtu wala baadhi ya vitu vya Noela havipo😳. Anadhani labda ameenda chuo...

AFANDE MILLAN😎 41 to 42 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 41 to 42
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Sehemu ya 41 Basi bwana , zena alivyoniona mnazani alisimama,hapana bali ndo kwanza akaongeza speed ya kuelekea kwake ,na mm nikawa namfata kwa haraka ili asije akajifungia, basi zena akaingia...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 18 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 18
@majario LIVE

β€œDad, Ninakupa masaa 24 Uchague. Ukimchagua Noela, huta niona tena. Lakini Ukinichagua mimi, utaachana na Noela then tutaendelea na maisha yetu kama zamani” Baada ya kusema hivyo, Salmon na mama yake...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 40 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 40
@majario LIVE

Basi mimi nikaludi nyumbani nipo stressed kinoma , yani mawazo yamenijaa mnoo, nawaza inakuwaje sasa demu ndo kashanikazia ,ila naumia mnoo kwa ile hali yake na bado anaendelea kufanya biashara...

AINA ZA MIZUNGUKO YA HEDHI KWA MWANAMKE NA SIKU ZAKE ZA HATARI.πŸ‘‡ Post Mpya
AINA ZA MIZUNGUKO YA HEDHI KWA MWANAMKE NA SIKU ZAKE ZA HATARI.πŸ‘‡
@majario LIVE

Kila mwanamke ana mzunguko wake lakini hii ndiyo mizunguko ambayo kila mwanamke lazima awe na mzunguko mmoja kati ya hizi:πŸ‘‡ 1. MZUNGUKO WA SIKU 22. Huu ndo mzunguko mfupi kuliko mizunguko yote...

Mashabiki wa Kaizer Chiefs waumizwa na Kitendo Cha Rushine kusalia Simba SC Post Mpya
Mashabiki wa Kaizer Chiefs waumizwa na Kitendo Cha Rushine kusalia Simba SC
@majario LIVE

Baada ya jana klabu ya Simba kutangaza kumuongezea mkataba mpya wa mwaka mmoja beki wao kitasa Rushine De Reuck, baadhi ya mashabiki wa soka nchini πŸ‡ΏπŸ‡¦Afrika Kusini haswa wa Kaizer...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE   SEHEMU YA 19 - 20 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 19 - 20
@majario LIVE

ENDELEA....... Madame Yustar alitoa amri mimba itolewe ili kuepusha laana kwenye ukoo wao. "Hapana siwezi kutoa mimba hata iweje" Mellisa alimvimbia mama yake. Saa ngapi asilukiwe akaanza kutembezewa kichapo. Nae hakukubali apigwe kilahisi,...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 17 - 18 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 17 - 18
@majario LIVE

ENDELEA......... Mipango yangu iliendelea kwenda vizuri. Nilifanikiwa kufungua duka langu la spea za magari mke wangu alikuwa nsimamizi mzuri. Japo hakuwa na elimu ila alikuwa na akili ya biashara sana na...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 14 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 14
@majario LIVE

SONGA NAYO.... Niliwaona mama na baba yangu wakiwa wanamshangaa sana yani walishangaa mpaka wakanisahau mtoto wao kama naumwa πŸ˜‚ Basi mimi niipomuona Anfrey nilinyanyuka na kwenda kumkumbatia " Nasrat wangu, yupo wapi mtoto...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 17 - 18 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 17 - 18
@majario LIVE

πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹ Siku iliyofuata, Noela alipofika chuoni alihisi hali si ya kawaida. Watu walikuwa wanamuangalia kwa macho ya ajabu, wengine wakinong’ona pembeni yake. Alijaribu kupuuza lakini hali ilikuwa mbaya zaidi alipoingia darasani😭. Mwishowe,...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 16 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 16
@majario LIVE

πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹ Salmon alisimama pale akimtazama Noela na baba yake kwa macho yaliyojaa hasira na maumivu. Hakutegemea kabisa kumuona Noela akiwa kwenye dinner ya kimapenzi na baba yake mwenyewe. Iris yeye alisimama pembeni,...

Nadhani katika jitihada za kuhakikisha tunapeleka mbele kiwanda cha filamu Tanzania (Bongo Movie) Post Mpya
Nadhani katika jitihada za kuhakikisha tunapeleka mbele kiwanda cha filamu Tanzania (Bongo Movie)
@majario LIVE

lazima baadhi ya mambo tuambiane ukweli mchungu hili uwe tiba kwa vizazi vijavyo pamoja na wasanii chipukizi. Hili swala la Chado Masta kuzaa na Kidemu Jau kuna namna sio salama...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 39 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 39
@majario LIVE

Daaah unajua mtoto alibaki kashangaaa ,et akasogea nyuma yangu akajificha, aseeee zena akainuka kwa kwa hasira ,akaja akamvuta mtoto, akamipiga konde moja la mgongo zito kwei kweli ,yani hii siku...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 38 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 38
@majario LIVE

Basi nikasema ummy upo mama, ummya kanmbia ndio baba nimekumiss, kila siku niktaka kuongea na wewe mama ananikatazia, nikasema ooh sawa mama ndo mana leo nimekuja kukuona mama sawa, basi...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 36 na 37 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 36 na 37
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Basi zena akanmbia ni sawa pia, nikasema powa ibraa twenzetu, ibra akanmbia mh millan usipanic bwana ,uyu mwanamke alafu sa hizi ana hasira, ebu tulia tuongee vizuri kaka, mbona...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest