Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE   SEHEMU YA 19 - 20
Gonga94 Β· Stories

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 19 - 20

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


ENDELEA.......

Madame Yustar alitoa amri mimba itolewe ili kuepusha laana kwenye ukoo wao.

"Hapana siwezi kutoa mimba hata iweje" Mellisa alimvimbia mama yake. Saa ngapi asilukiwe akaanza kutembezewa kichapo.

Nae hakukubali apigwe kilahisi, walijikuta mama na mtoto wanapigana mie nilikuwa nimesimama pembeni nawaangalia yaani najionea maajabu haya yaani mama na mtoto wanapigana kisa mwanaume.

"Nakwambia lazima utoe hiyo mimba labda kama mimi sio mama yako" Madame Yustar akiendelea kuongea huku anamshushia kipigo mwanae na Mellisa nae hakukubali alikuwa anajitutumua kumludishia mashambulizi mama yake japo ilikuwa ngumu kwake kwasababu mama yake alimzidi nguvu.

Niliingilia ugomvi kuwaamulia, waliachiana kila mmoja alikuwa mwenye hasira kali sana.

"Mimi ndiye chanzo cha huu ugomvi. Nimeamua kuondoka kwenye maisha yenu, naombeni mnisamehe ila sisi wote tuna makosa. Madame wewe ndiye ulilazimisha kuwa na mahusiano na mimi kwankunitishia nisipokubali basi utanifukuza kazi.

"Hivyo hivyo hata kwa Mellisa ulinitishia pia. Mimi ni mtoto wa masikini niliyekuwa nimekata tamaa na maisha. Sehemu yenye unafuu wa maisha ndipo nilikutana na vikwazo vyenu. Niliamua kukubali yote kwasababu ya maisha na sio tamaa za kimwili. Kiukweli nyie wote wawili sijawai kuwapenda, ila keasababu mlilazimisha ilibidi nikubali tu" Niliongea hayo.

"Leo unaongea nini?, unamuogopa mama kusema kweli kama unanipenda. Hivi unajua ukweli umuweka mtu huru?"

"Ukweli wangu ndo huo. Naweza kuondoka muda huu nikapambane na life kwengine"

Wote walianza kulia. Aiseee hawa watu walikuwa na kichaa cha mapenzi. Nilishangazwa na namna walivyokuwa wanalia.

Kila mtu alisema ananipenda na hayupo tayari kunipoteza. Nilijuta hata kwanini nilikubali kujiingiza kwenye huu mkenge nilitamani siku ziludi nyuma niwakatae wote wawili ila ndo hivyo jambo lishatokea.

Madame alitoka chumbani kwa mwanae tulibaki mimi na Melissa.

"Leo nakupenda usinikatili namna hii. Baki na mimi mwenye kiumbe chako. Kwanza uliwezaje kutembea na mama mbona ni sawa na mama yako mzazi jamani?"

"Wote mlilazimisha mapenzi kwangu, ningefanyaje na mimi nilikuwa sina kitu na nyuma yangu nins familia inayonitegemea nitafute niwapelekee chochote kitu. Mellisa labda nikwambie ukweli tu ambao sikutamani muujue wote wawili wewe na mama yako.

"Ukweli gani huo unaotaka kumwambia na ambao ulituficha wote?" Madame Yustar aliingia chumbani tena huku akinitwanga na swali.

"Nitasema Leo"

"Hebu kwanza njooni sebleni" Madame akituambie twende sebleni. Tulikaa hapo sebleni huku ukimya ukitawala.

"Leo zungumza chochote ili nikuelewe na naweza nikakuacha uendelee na maisha yako kama nitakuelewa tofauti na hivyo utaendelea kuwa mtumwa kwenye nyumba hii na hakuna sehemu unaweza kunitoroka"

"Haina haja ya kuniwekea vizuizi tena. Kwa namna yoyote ile siwezi kuishi nanyi tena"

"Ukiwa na maana?" Madame Yustar aliniuliza.

"Ninaondoka leo hii"

"Hautatoka hapa bila ridhaa yangu"

"Hauwezi kunilazimisha niendelee kukupenda. Moyoni mwangu yupo mwanamke mmoja tu ninayempenda ambaye ni mama hinaya mke wangy"

"Una mke?" Melissa aliuliza kwa mshangao, mama yake nae alinitazama kwa viulizo.

"Ndiyo nina mke tena wa ndoa kabisa"

"Ya kweli hayo leo?" Madame aliniuliza.

"Huo ndo ukweli"

Madame alifoka kwanini nilimdanganya siku zote mpaka kuzama mazima moyoni mwangu. Mellisa na alipaniki wote walijikuta wanalia tena kwa uchungu.

Mellisa alienda chumbani kwake. Huko alijifungia ndani alilia sanaaa. Mie sikuwa na sababu ya kuendelea kubaki. Niliingia chumbani kwangu nilifungasha vitu vyangu huyo nikatoka.

"Hapa ukikuja ukiwa huna kitu na unatakiwa kuondoka kama ulivyokuja" Madame bakinikazia.

Sikumpinga niliachia begi na uzuri hakukuwa na kitu cha maana zaidi ya nguo na viatu tu. Pesa zangu zote nilikuwa naweka kwenye accont ya bank na nyengine nilikuwa namtumia mke wangu. Nilinyangamywa mpaka simu ila sikujali kwasababu mimi sio masikini tena kama walivyodhania.

Madame alijiaminisha naweza kukubali kuendelea kuwa mpenzi wake kwasababh mimi ni masikini nisiye na akili kumbe mwenzie nishajipata muda mrefu nina nyumba nzuri na biashara bado account yangu inasoka.

Alininyang'anya mpaka simu ili tu aniwekee vikwazo ila alifeli niliondoka. Huo ndo wakati wangu wa kutulia na familia yangu sasa. Kabda ya kufika kwangu nilipitia kanisani.

Nikienda kanisani kwaajili ya kufanya toba. Nilimueleza mchungaji yote wala sikumficha. Mchungaji aliniongoza sala ya toba. Baada ya kutubu nilijihisi nipo huru sasa kimwili na hata kiroho.

Nilipitia bank kutoa pesa baada ya hapo nilienda kufanya shopping kwaajili yangu na familia yangu kwa ujumla.

Huko shopping nilikutana na Madame Zuri. Alianza nae ujinga. Niliamini hili ni jaribu ambalo MUNGU amelileta mbele yangu baada ya kufanya toba.

Madame Zuri alifanya mbwembwe za kila aina ila nilimkataa, pesa sijui nini. Yaani slifanya jitihada zote ili nimkubali nikalale nae ila nilikataa kata kata.

Baada ya kukutana na Madame Zuri ndipo nilikumbuka kuhusu afya yangu.

"Nisije nikampelekea mke wangu maradhi. Inabidi niende hospitali kupika ukimwi kwanza"

Nilienda hospitali kujua hali ya afya yangu, namshukuru MUNGU nilikuwa salamaπŸ₯ΉπŸ™.

Niliondoka mpaka mwangu. Ujio wangu wa gafla ulimshamgaza mke wangu ila kwa furaha alinipokea kwa bashasha.

"Sitokaa mbali nanyi tena. Nakupenda sana my wife. Wewe ndo mwanamke wa maisha yangu, mwanamke ambaye ni kipaumbele changu, mwanamke wa ndoto zangu, mama watoto wangu. Tambua haupo na mimi mwilini tu bali mpaka moyo wangu umeutawala wewe" Niliongea hayo kwa hisia mke wangu alinikumbatia kwa nguvu.

Kiukweli tunapendana sana na mke wangu. Mwanamke aliyenivumilia nyakati za shida na maangaiko. Kuna wakati tulilala njaa kwa kukosa chakula ila sikuwai kusikia wala kuhisi amenisaliti.

Upande wa Mellisa baada ya kuchoka kulia sasa alitoka chumbani kwake alienda chumbani kwa mama yake alimkuta mama yake anakunywa pombe.

"Mama nipo tayari kutoa mimba" Alizungumza akiea serious kabisa. Mama yake alifurahishwa na maneno ya mwanae. Aliamini kama Melissa atagoma kutoa mimba na akazaa basi itaendelea kuwa laana ya kizazi na kizazi. Mama na mtoto walisamehana kiroho safi.

"Ila nina ombi moja" Mellisa alimwambia mama yake.

"Ombi gani?, niambie binti yangu"

"Baada ya kutoa mimba sihitaji kuendelea kuwepo hapa nchini. Nahitaji kuendelea na masomo nje ya nchi"

"Hilo tu. Limepita mwanangu" kabda Usiku haujawa mkubwa walifanya mchakato wa kutafuta dawa ya kutoa mimba changa"

Mellisa alifanikiwa kuharibu mimba na baada ya hapo aliondoka nchini.

Upande wangu na familia uangu maisha yaliendelea vizuri biashara yangu ilizidi kukuwa nilifaniliwa kufungua duka lengine la spea, nilinunua gari, Hakika leo nimekuwa Leo na sio jana tena.

Madame Yustar ananitafuta sana ili tuendelee na mapenzi yetu ya siri ila hajawai kufamikiwa kunipata. Alishaenda mpaka pale nilipokuwa nakaa awali kwenye chumba cha kuoanga cha giza ila hakufanikiwa kunipata mpaka leo hii na laini ya simu nilibadili.......Huu ndo UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE. Nimefanikiwa japo nikichezewa sana uwanaume wanguπŸ₯ΉπŸ₯ΉπŸ₯ΉπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚.

Natarajia kuitwa baba wawili, kwa sasa mke wangu ni mjamzito. Yes kila siku namuambiaga MUNGU hakika njia zako hazichunguziki japo nilikukosea ila nilikumbuka toba na kwakuwa wewe ni MUNGU wa rehema ukanisamehe BABA. Endelea kuyagusa maisha yangu, endelea kuigusa familia yangu, mke wangu na watoto wangu.


............MWISHO............

IMEANDIKWA NA MTUNZI NURU HALISI..........
ASANTENI WOTE MLIOFUATILIA MKASA HUU WA KUSISIMUA MWANZO MPAKA MWISHO. MUNGU BABA AZIDI KUWABARIKI SANA β€οΈπŸ™πŸ™πŸ™.

Maoni

You're not logged in


Tangazo - from bangi to baby fully stories 1 to 21
from bangi to baby fully stories 1 to 21
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 19 - 20



ENDELEA.......

Madame Yustar alitoa amri mimba itolewe ili kuepusha laana kwenye ukoo wao.

"Hapana siwezi kutoa mimba hata iweje" Mellisa alimvimbia mama yake. Saa ngapi asilukiwe akaanza kutembezewa kichapo.

Nae hakukubali apigwe kilahisi, walijikuta mama na mtoto wanapigana mie nilikuwa nimesimama pembeni nawaangalia yaani najionea maajabu haya yaani mama na mtoto wanapigana kisa mwanaume.

"Nakwambia lazima utoe hiyo mimba labda kama mimi sio mama yako" Madame Yustar akiendelea kuongea huku anamshushia kipigo mwanae na Mellisa nae hakukubali alikuwa anajitutumua kumludishia mashambulizi mama yake japo ilikuwa ngumu kwake kwasababu mama yake alimzidi nguvu.

Niliingilia ugomvi kuwaamulia, waliachiana kila mmoja alikuwa mwenye hasira kali sana.

"Mimi ndiye chanzo...

πŸ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/utamu-wa-kula-kuku-na-mayai-yake-sehemu-ya-19-20

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi utamu-wa-kula-kuku-na-mayai-yake-sehemu-ya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 16
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 16
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE   SEHEMU YA 15
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 15
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 14
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 14
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 13
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 13
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 11
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 11
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 12
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 12
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 6
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 6
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 17 - 18
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 17 - 18
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 36 na 37

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 36 na 37

1.14K
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 38

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 38

900
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 39

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 39

715
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 16

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 16

281
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 17 - 18

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 17 - 18

149
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE   SEHEMU YA 19 - 20

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 19 - 20

55
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 17 - 18

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 17 - 18

46
AINA ZA MIZUNGUKO YA HEDHI KWA MWANAMKE NA SIKU ZAKE ZA HATARI.πŸ‘‡

AINA ZA MIZUNGUKO YA HEDHI KWA MWANAMKE NA SIKU ZAKE ZA HATARI.πŸ‘‡

34
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 14

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 14

11
Nadhani katika jitihada za kuhakikisha tunapeleka mbele kiwanda cha filamu Tanzania (Bongo Movie)

Nadhani katika jitihada za kuhakikisha tunapeleka mbele kiwanda cha filamu Tanzania (Bongo Movie)

9

ZIMESOMWA ZAIDI

β€ŽTUNDA LA  DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

β€ŽTUNDA LA DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.62K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.37K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tisa.  πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tisa. πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

3.8K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya sita.  πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya sita. πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.28K
MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

2.86K
MY WANGU❀️ sehemu ya 108

MY WANGU❀️ sehemu ya 108

2.77K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 20.  πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 20. πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

2.66K
MY WANGU❀️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❀️ sehemu ya 116 na 117

2.62K
MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

2.61K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 16.  πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 16. πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

2.55K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
AINA ZA MIZUNGUKO YA HEDHI KWA MWANAMKE NA SIKU ZAKE ZA HATARI.πŸ‘‡ Post Mpya
AINA ZA MIZUNGUKO YA HEDHI KWA MWANAMKE NA SIKU ZAKE ZA HATARI.πŸ‘‡
@majario LIVE

Kila mwanamke ana mzunguko wake lakini hii ndiyo mizunguko ambayo kila mwanamke lazima awe na mzunguko mmoja kati ya hizi:πŸ‘‡ 1. MZUNGUKO WA SIKU 22. Huu ndo mzunguko mfupi kuliko mizunguko yote...

Mashabiki wa Kaizer Chiefs waumizwa na Kitendo Cha Rushine kusalia Simba SC Post Mpya
Mashabiki wa Kaizer Chiefs waumizwa na Kitendo Cha Rushine kusalia Simba SC
@majario LIVE

Baada ya jana klabu ya Simba kutangaza kumuongezea mkataba mpya wa mwaka mmoja beki wao kitasa Rushine De Reuck, baadhi ya mashabiki wa soka nchini πŸ‡ΏπŸ‡¦Afrika Kusini haswa wa Kaizer...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE   SEHEMU YA 19 - 20 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 19 - 20
@majario LIVE

ENDELEA....... Madame Yustar alitoa amri mimba itolewe ili kuepusha laana kwenye ukoo wao. "Hapana siwezi kutoa mimba hata iweje" Mellisa alimvimbia mama yake. Saa ngapi asilukiwe akaanza kutembezewa kichapo. Nae hakukubali apigwe kilahisi,...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 17 - 18 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 17 - 18
@majario LIVE

ENDELEA......... Mipango yangu iliendelea kwenda vizuri. Nilifanikiwa kufungua duka langu la spea za magari mke wangu alikuwa nsimamizi mzuri. Japo hakuwa na elimu ila alikuwa na akili ya biashara sana na...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 14 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 14
@majario LIVE

SONGA NAYO.... Niliwaona mama na baba yangu wakiwa wanamshangaa sana yani walishangaa mpaka wakanisahau mtoto wao kama naumwa πŸ˜‚ Basi mimi niipomuona Anfrey nilinyanyuka na kwenda kumkumbatia " Nasrat wangu, yupo wapi mtoto...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 17 - 18 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 17 - 18
@majario LIVE

πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹ Siku iliyofuata, Noela alipofika chuoni alihisi hali si ya kawaida. Watu walikuwa wanamuangalia kwa macho ya ajabu, wengine wakinong’ona pembeni yake. Alijaribu kupuuza lakini hali ilikuwa mbaya zaidi alipoingia darasani😭. Mwishowe,...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 16 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 16
@majario LIVE

πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹ Salmon alisimama pale akimtazama Noela na baba yake kwa macho yaliyojaa hasira na maumivu. Hakutegemea kabisa kumuona Noela akiwa kwenye dinner ya kimapenzi na baba yake mwenyewe. Iris yeye alisimama pembeni,...

Nadhani katika jitihada za kuhakikisha tunapeleka mbele kiwanda cha filamu Tanzania (Bongo Movie) Post Mpya
Nadhani katika jitihada za kuhakikisha tunapeleka mbele kiwanda cha filamu Tanzania (Bongo Movie)
@majario LIVE

lazima baadhi ya mambo tuambiane ukweli mchungu hili uwe tiba kwa vizazi vijavyo pamoja na wasanii chipukizi. Hili swala la Chado Masta kuzaa na Kidemu Jau kuna namna sio salama...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 39 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 39
@majario LIVE

Daaah unajua mtoto alibaki kashangaaa ,et akasogea nyuma yangu akajificha, aseeee zena akainuka kwa kwa hasira ,akaja akamvuta mtoto, akamipiga konde moja la mgongo zito kwei kweli ,yani hii siku...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 38 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 38
@majario LIVE

Basi nikasema ummy upo mama, ummya kanmbia ndio baba nimekumiss, kila siku niktaka kuongea na wewe mama ananikatazia, nikasema ooh sawa mama ndo mana leo nimekuja kukuona mama sawa, basi...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 36 na 37 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 36 na 37
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Basi zena akanmbia ni sawa pia, nikasema powa ibraa twenzetu, ibra akanmbia mh millan usipanic bwana ,uyu mwanamke alafu sa hizi ana hasira, ebu tulia tuongee vizuri kaka, mbona...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 16 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 16
@majario LIVE

ENDELEA......... Tuliingia room tulifanya yetu baada ya hapo tulitoka mie nililudi kazini na Mellisa aliludi nyumbani. Majira ya jioni nilimpitia Madame Yustar kazini kwake. Aiseeee nae akataka yaani nilikuwa nachoka kinouma asikwambia...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE   SEHEMU YA 15 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 15
@majario LIVE

ENDELEA.......... Ndani ya masaa kadhaaa niliingiza mkwanja wa milioni tatu na nusu kutoka kwa jimama la mjini. "Hata Madame Yustar hajawaibkunipa pesa nyingi hivi kwa muda mchache. Huyu nimkubalie nini?" Nilijiuliza mwenyewe....

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 14 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 14
@majario LIVE

ENDELEA.......... Mellisa nae alibana nje ya mlango wa chumbani kwa mama yake alitaka kujua nini kinaendelea. "Hapana mazingira ni hatarishi sana" "Unamuhofia nani na tupo nyumbani kwangu, kwanza nataka dunia yote ijue kuwa...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 13 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 13
@majario LIVE

ENDELEA........... Watu pombe ziliwakolea mie sio mnywaji wa pombe nilikuwa naangalia tu maujinga wanayoyafanya. Mkojo ulinibana nilienda chooni ile natoa tu dudu mlango ulifumguliwa aliingia mshangazi mmoja kati ya wale waliokuwa wananisifia...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest