Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 14
Gonga94 · Stories

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 14

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

SONGA NAYO....

Niliwaona mama na baba yangu wakiwa wanamshangaa sana yani walishangaa mpaka wakanisahau mtoto wao kama naumwa 😂

Basi mimi niipomuona Anfrey nilinyanyuka na kwenda kumkumbatia

" Nasrat wangu, yupo wapi mtoto wangu..??"

Nilimuuliza pale tu nilipojitoa kwenye kifua chake, upande wa wazazi wangu walikuwa hawaelewi chochote kilichokuwa kinaendelea hapo.

"Mtoto wako yupo kwenye hospital nyingine tofauti na hapa, maana kule yupo chini ya uangalizi mkubwa sana maana hali yake sio nzuri .."

"Sawa naweza kwenda kumuona..??"

"Kwa sasa hali yako sio nzuri ndio kwanza umeamka, unajua toka uzimie kule Oman ni week mbili sasa yani tumekusafirisha ukiwa hujitambui kabisa..."

Habari hizo nilikuwa ngeni kwangu, nilijua tu hakuna uwezekano wa kumuona Nasrat tena ikiwa kama nipo Tanzania na Mtoto yupo Oman nitafanya nini mimi eeeh

Nilipiga magoti chini na kukusanya mikono kwa pamoja kisha nikasema

"Ee mungu, ikiwa umeandika apitie kikombe hiki cha maumivu , ninakuomba bwana umuepushie mabaya yote yaliyo mbele yake na hata yajayo

Nakuomba bwana muinue yule malaika wako, muondoe katik roho ya umauti ambayo anaipitia kwa wakati huu najua bwana unaweza na hakuna jambo lolote lile lisiloshindikana kwako

Pleas Lord, 😭😭"

Niliomba sana mpaka mama akaja kuniinua lakini sikuacha kusali nikimuombea Nasrat, muda ulienda nikiwa sina furaha amani wala utulivu

Nilikuwa situlii kabisa mule wodini, na siku hiyo ikapita kwa mbinde sana hata usiku sikupata kabisa usingizi, kesho yake majira ya saa nne Anfrey alirudi akiwa ameongozana na swatii

Sikuwa mwenye amani kabisa ndani ya moyo wangu, basi nikasalimiana nao pale ki kavu tu huku moyo wangu ukiwa na hamu ya kuwauliza habari za Nasrat

"Mira, unatakiwa kunywa chai harafu twende ukamuone mwanao.."

Nilitabasamu, basi chai ikaletwa nilikunywa haraka haraka vitafunwa nilikuwa navitafuna mara moja au mbili kisha nameza yani chapu chap nikawa nimemaliza 😅😅

Anfrey na swatii wakabaki wananishangaa tu, me sikujali nilichokuwa nawaza kwa muda huo ni mtoto tu basi hayo mengine hata hayanihusu kabisa.

Basi hawakuwa na muda wa kupoteza tuliingia kwenye gari, na safari ya kuelekea kumuona mtoto ilianza, safari niliiona ndefu sana basi tuliweza kufika

Kwa kuwa akili yangu haikuwa sawa sikuweza kutambua sehemu tulipokuwa, baada ya gari kusimama nilikuwa wa kwanza kushuka kwenye gari

Nilitembea kama vile me ndio mwenyeji yani nilikuwa sijielewi kabisa, ikabidi Anfrey na swatii waongeze mwendo wa kunikimbilia 😂

"Mira hapa kuna itaratibu wake mama, so tafadhali sana kuwa makini tu usije kuleta vurugu.."

Anfrey alizungumza nikajibu tu sawa kisha tukaendelea na safari yetu, tulifika mapokezi tukaelekezwa vizuri tu huku kwa upande wangu nikijitahidi kutulia

Tulifuata maagizo yote ya mdada wa mapokezi kisha tukaondoka, chumba alichokuwa mtoto kilikuwa ni ghorfa ya tatu so tulitumia lift kufika huko

Kweli bana tulifika mpaka chumba alichokuwemo mtoto, nyie niliumia zaidi baada ya kumuona binti yangu akiwa bado hajazinduka na kibaya zaidi kitovu chake kilikuwa kimevimba na kutoa usaa ni vile tu walikuwa wanamsafisha kila muda 🥹

Nilisogea na kuanza kumshika nywele zake huku nalia dah, yani kama ikitokea nikagundua ambaye amefanya hivi walah nitahakikisha na yeye anapitia maumivu ambayo anapitia huyu Malaika

Hata kama nitakuwa nimemkosea mungu kiiasi gani ila kwa hili niseme tu samahani yani siwezi kuvumilia kumuacha huyo mtu aishi kwa amani na ikiwa binti yangu anapambania uhai

Nitamtenda kitu kibaya ambacho atakaa akijutia maisha yake yote, nilikuwa nampapasa mtoto ila mawazo yalikuwa mbali mno, basi nilikaa mle wodini huku nikiwaomba wale wengkne watoke

Kwakuwa walikuwa wanajua mimi ndio mama mzazi wa Nasrat so hawakuwa na kipinganizi, walitoka mle wodini na kuniacha mimi na binti yangu

Nilimtazama binti yangu kisha nikapiga magoti mkono mmoja nilimuwekea Nasrat juu ya paji lake la uso harafu ule mwingine niliuinua juu ........

ITAENDELEA......

Maoni

You're not logged in


Tangazo - MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
Tunao Wapenda ndio wanao tuua baba
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 14


SONGA NAYO....

Niliwaona mama na baba yangu wakiwa wanamshangaa sana yani walishangaa mpaka wakanisahau mtoto wao kama naumwa 😂

Basi mimi niipomuona Anfrey nilinyanyuka na kwenda kumkumbatia

" Nasrat wangu, yupo wapi mtoto wangu..??"

Nilimuuliza pale tu nilipojitoa kwenye kifua chake, upande wa wazazi wangu walikuwa hawaelewi chochote kilichokuwa kinaendelea hapo.

"Mtoto wako yupo kwenye hospital nyingine tofauti na hapa, maana kule yupo chini ya uangalizi mkubwa sana maana hali yake sio nzuri .."

"Sawa naweza kwenda kumuona..??"

"Kwa sasa hali yako sio nzuri ndio kwanza umeamka, unajua toka uzimie kule Oman ni week mbili sasa yani tumekusafirisha ukiwa hujitambui kabisa..."

Habari hizo nilikuwa ngeni kwangu, nilijua tu...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/miranda-binti-yangu-sehemu-ya-14

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi miranda-binti-yangu-sehemu-ya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 11
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 11
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8
MIRANDA (Binti Yangu)     SEHEMU YA 9
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 9
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 10
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 10
MIRANDA (Binti Yangu)   SEHEMU YA 15
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 15
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 16
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 16
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 17 - 18
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 17 - 18
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 41 to 42

AFANDE MILLAN😎 41 to 42

1K
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 43

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 43

757
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 19 to 20 final

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 19 to 20 final

401
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 44 na 45

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 44 na 45

347
MIRANDA (Binti Yangu)   SEHEMU YA 15

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 15

150
*KISASI CHA SINDELE BAADA YA KUAMBUKIZWA UKIMWI KWA MAKUSUDI*😭😭😭. *1-4*

*KISASI CHA SINDELE BAADA YA KUAMBUKIZWA UKIMWI KWA MAKUSUDI*😭😭😭. *1-4*

91
ACHA NIKUPENDE ❤️ 3  to 5

ACHA NIKUPENDE ❤️ 3 to 5

77
mke wangu kaniambia mtoto sio wangu nifanyaje ndugu zangu

mke wangu kaniambia mtoto sio wangu nifanyaje ndugu zangu

71
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 16

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 16

62
Victor Osimhen alishindwa kujizuia na kutoa machozi..  FOOTBALL ⚽.

Victor Osimhen alishindwa kujizuia na kutoa machozi.. FOOTBALL ⚽.

4

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.66K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.38K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.81K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.29K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.89K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.81K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.68K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.66K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.62K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.56K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 17 - 18 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 17 - 18
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Mdada mie nikaanza kupiga ukelele wa furaha na bila kujigikiria mara mbili mbili nilimkumbatia Anfrey mwamba naye ni kama alitegemea hivyo maana alinipokea tena kwa hamu kubwa "Anfrey asante asante...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 16 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 16
@majario LIVE

SONGA NAYO....... Basi ikabidi waniache, nikaingia ndani nikawa nimeloa chepechepe na binti angu nae vile vile hakunibanduka kabisa mikononi mwangu "Karibu sana baba karibi, jisikie upo nyumbani.." Nikiwa chumbani navaa niliweza kumsikia mama...

mke wangu kaniambia mtoto sio wangu nifanyaje ndugu zangu Post Mpya
mke wangu kaniambia mtoto sio wangu nifanyaje ndugu zangu
@majario LIVE

Mimi naitwa Baba Derick, Leo asubuhi mapema sana, kama kawaida yangu niliamka kwenda kutafuta riziki. Kabla sijaondoka nyumbani, niliweka shilingi elfu mbili mezani. Nilimwambia mke wangu wazi kabisa kwamba pesa...

Mwandishi wa BBC Kasra Naji amekiri hali ni mbaya ndani ya Israel ameripoti akisema "Israel ipo katika hali ya kufungwa (lockdown), Post Mpya
Mwandishi wa BBC Kasra Naji amekiri hali ni mbaya ndani ya Israel ameripoti akisema "Israel ipo katika hali ya kufungwa (lockdown),
@majario LIVE

mitaa ipo tupu hakuna watu nje kutokana na hali ya hofu ya mashambulizi ya Iran, maduka yamefungwa na hali inazidi kuwa ngumu kuvumilika kwa watu" "Hata makombora makubwa ya Hezbollah yanaanguka...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 44 na 45 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 44 na 45
@majario LIVE

Basi bwana tumefika kwake, ikabidi niwaache kisha nikatoka nikaenda super market kuwachukulia mahitaji, aseee nikawabebea kila kitu cha kula, sijuh unga ,mchele, kuku , nyama, maziwa ya mtoto mana bado...

Taarifa hii haijathibitishwa lakini watu wanaulizana itakuaje kama kweli ubalozi wa huyu bwana utakuwa umeguswa? SIO KULIPULIWA UGUSWE TU! Post Mpya
Taarifa hii haijathibitishwa lakini watu wanaulizana itakuaje kama kweli ubalozi wa huyu bwana utakuwa umeguswa? SIO KULIPULIWA UGUSWE TU!
@majario LIVE

Wataalamu wanahofia kuwa Kim Jong Un anaweza kutumia tukio hilo kama kisingizio cha kupanua uungaji mkono wake kwa Tehran, jambo litakaloleta tafarani kubwa duniani. Korea Kaskazini ina ubalozi wake jijini Tehran,...

ACHA NIKUPENDE ❤️ 3  to 5 Post Mpya
ACHA NIKUPENDE ❤️ 3 to 5
@majario LIVE

ACHA NIKUPENDE ❤️ 3 MTUNZI uhuru media Karibu WhatsApp 0794810082 Kwa jicho aliloangaliwa na Nicky ilimbidi aondoke haraka haraka akaenda jikoni huku akiwa kachukia na machozi yalimtoka bila kutegemea. Alipofika...

*KISASI CHA SINDELE BAADA YA KUAMBUKIZWA UKIMWI KWA MAKUSUDI*😭😭😭. *1-4* Post Mpya
*KISASI CHA SINDELE BAADA YA KUAMBUKIZWA UKIMWI KWA MAKUSUDI*😭😭😭. *1-4*
@majario LIVE

*_________________________________________* *Sehemu Ya 1* Ndani Ya hospital Moja kubwa wanaonekana Vijana wawili Wakiwa Wanasubiri Majibu Ya vipimo ambavyo Tayari walikuwa wamepima. "Hivi Sindele kwa mfano ikatokea Mimi nimekutwa nimeathirika utanioa au utaniacha!?" "Uuuuu...

🚩Rais wa klabu ya Al Ahly, Mahmoud El-Khatib, ametangaza maamuzi makali Post Mpya
🚩Rais wa klabu ya Al Ahly, Mahmoud El-Khatib, ametangaza maamuzi makali
@majario LIVE

ili kujaribu kubadilisha mwenendo wa timu katika Ligi ya Misri na CAF Champions League. 🔴 Maamuzi yaliyotangazwa: 💵 Kupunguzwa mishahara: Wachezaji wote wa kikosi cha kwanza watakatwa 30% ya mishahara yao,...

MIRANDA (Binti Yangu)   SEHEMU YA 15 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 15
@majario LIVE

SONGA NAYO....... Mira mie nikaanza kupiga maombi ya kuteketeza roho ya umauti niliomba sana, jasho lilikuwa likinitililika na kulowanisha kifua Changu Nilikuwa nimezama kwenye ulimwengu wa roho nikifanya maombi, ni sauti ya...

Victor Osimhen alishindwa kujizuia na kutoa machozi..  FOOTBALL ⚽. Post Mpya
Victor Osimhen alishindwa kujizuia na kutoa machozi.. FOOTBALL ⚽.
@majario LIVE

Napoli walimchukulia kama takataka na kumfanyia ubaguzi, lakini Galatasaray wanamchukulia kama familia yao .. Hadithi ipi ni yenye huzuni kwa Victor Osimhen kwenye maisha yake , hadithi yenye huzuni ni kuhusu...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 43 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 43
@majario LIVE

Mi sikufanya ajizi, nikamuuliza kwani apa majirani zako hawapo, akanmbia mmoja alisafiri na mwengine kaenda kwao leo, wote hawapo, nikaona kazi leo, nisingekuja sijuh ingekuajee, ni mungu tu aliniongoza nije...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 19 to 20 final Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 19 to 20 final
@majario LIVE

SEHEMU YA 19 🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Asubuhi Mr Marvel alipoenda chumbani kwa Noela kama kawaida yake ili kumuamsha, anakuta chumba kipo kimya, hakuna mtu wala baadhi ya vitu vya Noela havipo😳. Anadhani labda ameenda chuo...

AFANDE MILLAN😎 41 to 42 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 41 to 42
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Sehemu ya 41 Basi bwana , zena alivyoniona mnazani alisimama,hapana bali ndo kwanza akaongeza speed ya kuelekea kwake ,na mm nikawa namfata kwa haraka ili asije akajifungia, basi zena akaingia...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 18 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 18
@majario LIVE

“Dad, Ninakupa masaa 24 Uchague. Ukimchagua Noela, huta niona tena. Lakini Ukinichagua mimi, utaachana na Noela then tutaendelea na maisha yetu kama zamani” Baada ya kusema hivyo, Salmon na mama yake...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest