Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MIRANDA (Binti Yangu) 12 to 13
Gonga94 · Stories

MIRANDA (Binti Yangu) 12 to 13

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
MIRANDA (Binti Yangu)
SEHEMU YA 12
SONGA NAYO.......

Basi safari ilikuwa ndefu kidogo, kwa mara ya kwanza toka nifike Oman hii siku ndio niliigia supermarket bwana, hiviii kumbe waarabu wana pesa hivi na hata kuniambia tu hapana jamani

Maana huko tulipoenda sijui nipaite supermarket au kasri ?? Yani shoga enu nilikuwa nashangaa huku nikiwa na binti yangu nimebeba kwa mbele na ile mibebeo rasmi ya watoto achana na hivi vikoi sijui vitenge huku hawatumii hivi vitu na hawajui kwanza wanabebewaje 😆

Yani nchi yangu raha sana maana mtoto anaweza kubebewa hata mtandio na asianguke but huku uarabuni aisee mambo ni uzungu uzungu sana.

Nikiwa na kabinti kangu huku Anfrey akiongoza njia, tulianza kuchagua sasa niseme tu ukweli kwenye kuchagua kitu me huwa siogopi kabisa

Nilichagua kila kitu ambacho nilikipenda, unakuta kitu kingine nimekipenda na nikakichukua ila sijui matumizi yake 😆 basi mahemezi yalikuwa mengi sana tulinunua vitu kama hatutakuja kununua tena

Tulipomaliza kuchagua kila mtu alikuwa hoi kasoro binti yangu ambaye hakujua kitu chochote kilichokuwa kinaendelea..

"Dah nimechoka sana..."

Andrey alizungumza

( 🙄sasa kama umechoka kwahiyo unataka nikubebe au ??)

Nilijiwazia kisha nikamwambia

"Pole hata kwa upande wangu ni vilevile nasikia pumzi inakata.."

"Hebu tuondoke nahitaji kupumzika kabisa.."

Alizungumza huku akinisaidia kubeba pochi yangu, basi mimi nae sikuwa mbishi nikamfuata nyuma nyuma mpaka kwenye gari, kama kawaida wote tunakaa mbele

So baada ya kupanda gari nilikaa mbele huku binti yangu nimempakata kwa mbele, basi akawasha gari na safari ya kurudi home ikaanza

Tuliwa njiani tukaanza kupiga story za hapa na pale na kujikuta nikimzoea sana

"Hivi Mira, wewe ni kabila gani...??"

Anfrey aliniuliza kwa wakati huo me nilikuwa nikiangalia vitu ambavyo tumenunua 😁

"Ah me msukuma bana, sijui ushawahi kusikia hili kabila??"

"Yaaah nasikiaga tu kuwa wasukuma wanapatikana sana mwanza.."

"Kabisa yani hujakosea.."

"Ndio maana unajua kupigana 😁"

"Kwamba uliniona napigana na nani..??"

"Usijifanye hujui, jana ulimpiga nani na kama sio Ellice??"

"Sema nini huyo nduguyo anazarau sana na ndio maana nikamzoa, ila kusema ukweli wasukuma ni watu wapole mno we jaribu kwenda Tanzania siku moja uone ambavyo utapokelewa yani watahakikisha unakula mpaka na ambavyo hutumiii..."

Basi safari ikawa tamu kidogo kuliko wakati tunakuja, kwa uwezo wa mungu tulifika salama kabisa, nikaashuka kwenye gari na moja kwa moja nikaelekea ndani kwenda kumlaza Nasrat maana alikuwa amelala

Nilipofika chumbani nikamlaza vizuri na kumfunika shuka kisha nikatoka moja kwa moja mpaka nje kwa lengo la kwenda kushusha mizigo.

Tulisomba mizigo mpaka ikaisha, kwa upande wangu nilikuwa Hoi bin Trabant ikanibidi kwanza nipike chakula cha mtoto kisha nikapumzike kidogo

Basi Mira mie nikaingia jikoni, chakula cha Nasrat sijawahi ruhusu kipikwe na mtu yoyote yule zaidi yangu. Basi nikawaanza kupika pale

Nilipika chakula kikapikika, kwa mbali kabisa nikasikia sauti ya mtoto akilia, kitendo cha kusikia ile sauti nikashtuka kisha nikazima jiko kwanza na kuanza kutembea ili kuelekea chumbani

Mara Ellice huyu hapa.

"Unaenda wapi..??"

Aliniuliza sikumjibu nikaendlea na safari yangu,maana sauti ya Nasrat ilinifanya nihisi kuna kitu kibaya kimempata, nikiwa mwenye wasiwasi sana niliekea mpaka chumbani

Lakini niliweza kusikia kilio ambacho kilikuwa cha maumivu kadri ambavyo nilikaribia kuufikia mlango, mapigo yangu ya moyo yaliianza kwenda kasi, niliogopa pale nilipokumbuka maneno ya madam

Nikavaa roho ya ujasiri na kuusogelea mlango kisha nikafungua, sikuona chochote ila mtoto alikuwa analia sana nikasogea kitandani na kumbeba lakini alindelea kulia

Nikajua lbda amekojoa na pampas ndio inamuwasha so ikabidi nimvulishe, 😳 my God hivi mnajua niliona nini ???........

ITAENDELEA........
SEHEMU YA 13
SONGA NAYO......

Katika hii dunia sijawahi kushihudia ukatili na roho ngumu lakini Leo ndio niliweza kuamini na kushuhudia kabisa, binti yangu akilikuwa amechomwa na pini kwenye kitovu 🥹 harafu sasa hiyo pini inaunganishwa na pampazi 😭

Lilikuwa ni tukio lenye kuumiza moyo kwa upande wangu, nililia mno yani nilitamani hata hayo maumivu ambayo anapitia mtoto basi ndio ningekuwa napitia mimi lakini sio huyu Malaika

Hivi kuna watu ambao wanaweza kufanya hivi kweli, ?? 🥹🥹 mtoto mdogo tena Malaika anafanyiwa kitendo cha kikatili hivi aisee nililia huku nikijaribu kuitoa ile pini lakini wapi

Kamasi zilikuwa zikinichuruzika tu machozi nayo ndio kabisa yani nasumbuka mtoto nae ndio anazidi kuongeza kilio, nilikuwa nalia kama mtoto sauti yangu ndio iliwashtua wanafamilia

So baada ya dakika chache wakawa wamefika, baada ya kufka pale na kukuta hali ya mtoto wakamchukua mara moja na kumpeleka hospital

Na vyote ambavyo alifanya hivi alikuwa Anfrey pamoja na swatii hao wengine hawakujousisha kabisa, kwenye gari tulikuwa watatu, nikiwemo mimi, swatii lakini pia na Anfrey ambaye ndie alikuwa anaongoza usukani

Njia nzima nilikuwa nalia nyiee, yani ungeniona ungejua kabisa Nasrat ni mtoto wangu wa kumzaa. Hatimae tulifika hospital na bila kuchelewa mtoto akaanza kufanyiwa matibabu mara moja

Maana hatukupewa usumbufu kwa sababu ilikuwa hospital ya private na gharama zote alilipia Anfrey, mungu azidi kumbariki huyu kaka..

Muda wote nilikuwa nikizunguka nje ya chumba ambacho Nasrat ndimo alimokuwa, nilikuwa nalia kama sina akili nzuri yani kifupi nilichanganyikiwa, hivi angekuwa mtoto wangu wa kumzaa ningekuwa kwenye hali gani eti jamani ???

Si ningekuwa kwenye chumba cha wagonjwa mahututi kabisa , niliendelea na mizunguko yangu ambayo kama ungekuwa unahesabu basi hata mia moja ilikuwa inafika

"Mira kila kitu kitakuwa sawa, twende ukapumzike.."

( 😏nikapumzike harafu binti yangu nimuache kwenye hali gani..??)

"Siwezi nasema siwezi.."

Niliendelea kulalamika huku michozi ikinitoka bomba la majii, basi ikabidi waniache tu mpakka nitakapochoka mwenyewe kusimama

Basi muda ulienda na masaa yalisogea, nilijikuta nikiishiwa nguvu kabisa na kundodondoka chini, aliyeniona alikuwa ni swatii maana ndie niliyekuwa nae hapo maana anfrey alitoka nje mara moja

Basi nikabebwa juu juu kuingizwa wodini ambako nikaanza kutibiwa chapu chapu, madaktar walijitahidi kwa uwezo wao kushusha presha ambayo ilikuwa juu sana 😢

Naweza nikasema kwamba nimshukuru sana mungu maana madaktari jasho lilikuwa likiwatoka balaa kwa sababu yangu na wengi wa madaktari walijua kuwa Nasrat ni mtoto wangu so pande zote mbili wakawa wanajitahidi sana kuokoa maisha yetu

Namshukuru mungu nilirudi kwenye hali yangu ya kawaida lakini nilisisitiza sana kutaka kumuona mtoto, bila hinaya wakanipeleka kwenye wodi ambayo ndimo alimokuwa amelazwa Nasrat

Baada ya kufika mle wodini nilimkuta binti yangu akiwa hajitambui kabisa huku puani wamemuwekea mpira wa oksijeni 🥹 hii ilikuwa inaumwa sana

Niliumia sana kuona mtoto anateseka namna vile kwa sababu ya makosa ya mama yake kumkataa hiii iliniuma ndugu yenu na kusababisha tena nirudishwa ICU 🥹

Hii wanelewa wale ambao wanapitia hali kama yangu, hii kitu inauma usikie kwa mwenzio ila omba yasikukute ndugu yangu

Basi bwana, nikowa nimelala sijitambui kabisa nilijiona niko kwenye dunia ambayo haikuwa dunia ambayo tunaishi wanadamu

Dunia ile ilikuwa ni sawa na paradiso 😁 eeeh mimi sio mtenda dhambi lazima nifike huko so hata upende wa hospital niseme tu nilikuwa nimekufa

Maana nafsi iliachana na mwili so nilikuwa dunia nyingine kabisa.Nilikuwa nikitembea huku na huko kama vile nilikuwa nikotafuta kitu..

Kwa mbali nilisikia vilio vya ndugu zangu akiwemo mama yangu mzazi lakini pia na baba huku walkiliita jina langu.

Nikashtuka ndio nikajikuta kuwa nimerudi duniani, yani nilikuwa nakufa kabisa na kumuacha binti yangu, nilinyanyuka pembeni yangu alikuwepo nesi ambaye alikuwa akiandika andika kitu kwenye daftar

Kitendo cha kuzinduka kilimfanya atabasamu kidogo kisha akazungumza

"Unajisikiaje...??"

"Salama.."

😁 yani nilikuwa siko sawa badala ya kumjibu najisikia haueni namjibu salama, basi nesi akaniangalia kwenye macho kama vile kuna kitu anatafuta, nikawa naona ananipotezea muda wangu bure maana nilikuwa na hamu ya kumuona Nasrat.

Wakati yule nesi akiniangalia kama niko sawa mlango ulifunguliwa akaingia mama yangu, nyiee nilijikuta nikinyanyuka bila hata kuambiwa

Sikuweza kuamini eti Leo mama yangu anaweza kuja Oman, nikiwa bado natafakari mama amefikaje fikaje Oman mara baba naye huyu hapa .

"Baba mama, inamaana mmeweza kuja mpaka huku..??"

Niliwauliza, wakatazamana kisha baba akazungumza

"Nafikiri upumzike kwanza, hayo mengine utayajua tu muda bado.."

"Kwanini muda bado eheee, kwanza Nasrat yupo wap..??"

Niliwauliza nikiamini huenda nipo Oman kumbe haikuwa hivyo nilikuwa tanzania.

"Nasrat ndio nani..??"

Mama na baba wakaniuliza kwa pamoja

"Acheni basi masihara kwani hamjamuona mtoto mdogo ana miezi kama saba hivi mzuri mzuri yuko wapi kwani na anendeleaje..??"

Niliwauliza lakini ni kama hawakuwa wakielewa kabisa nilichokuwa nazungumza, wakabaki wasinielewe tu basi wakiwa kwenye sintofahamu mlango ulifunguliwa akaingia Anfrey......

ITAENDELEA........

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MIRANDA (Binti Yangu) 12 to 13

MIRANDA (Binti Yangu)
SEHEMU YA 12
SONGA NAYO.......

Basi safari ilikuwa ndefu kidogo, kwa mara ya kwanza toka nifike Oman hii siku ndio niliigia supermarket bwana, hiviii kumbe waarabu wana pesa hivi na hata kuniambia tu hapana jamani

Maana huko tulipoenda sijui nipaite supermarket au kasri ?? Yani shoga enu nilikuwa nashangaa huku nikiwa na binti yangu nimebeba kwa mbele na ile mibebeo rasmi ya watoto achana na hivi vikoi sijui vitenge huku hawatumii hivi vitu na hawajui kwanza wanabebewaje 😆

Yani nchi yangu raha sana maana mtoto anaweza kubebewa hata mtandio na asianguke but huku uarabuni aisee mambo ni uzungu uzungu sana.

Nikiwa na kabinti...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/miranda-binti-yangu-12-to-13

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi miranda-binti-yangu
MIRANDA (Binti Yangu) 1 - - - - - 5
MIRANDA (Binti Yangu) 1 - - - - - 5
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 11
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 11
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 10
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 10
MIRANDA (Binti Yangu)     SEHEMU YA 9
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 9
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 11

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 11

257
MIRANDA (Binti Yangu) 12 to 13

MIRANDA (Binti Yangu) 12 to 13

241
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 30

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 30

175
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 29

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 29

161
ACHA NIKUPENDE ❤️1

ACHA NIKUPENDE ❤️1

152
ACHA NIKUPENDE ❤️ 2

ACHA NIKUPENDE ❤️ 2

44
Happy International Women’s Day from: Senator Koboko’s Wife, OSATO and Lady Jasmine

Happy International Women’s Day from: Senator Koboko’s Wife, OSATO and Lady Jasmine

12

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.6K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.34K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.78K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.27K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.84K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.74K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.66K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.6K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.6K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.54K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
ACHA NIKUPENDE ❤️ 2 Post Mpya
ACHA NIKUPENDE ❤️ 2
@majario LIVE

MTUNZI uhuru media Nicky alishusha pumzi Kama ametua mzigo mzito alipokuwa kaubeba Kisha akasema . " Wewe Tena , umefuata Nini hapa nyumbani kwangu? " Hili swali natakiwa nimuulize wewe Mr....

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 30 Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 30
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Asubuh sasa . Mama aliniamsha niajiandae anataka kunitoa out. Basi nikajiandaaa nikatoka zangu sebleni. Nakutana na mzeee alinikata jicho hilo. Nikaona aibu jana si kasikia...

MIRANDA (Binti Yangu) 12 to 13 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) 12 to 13
@majario LIVE

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 12 SONGA NAYO....... Basi safari ilikuwa ndefu kidogo, kwa mara ya kwanza toka nifike Oman hii siku ndio niliigia supermarket bwana, hiviii kumbe waarabu wana pesa hivi na...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 29 Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 29
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi nimefika home nimenuna kweli kweli.nikaona yule adrian kama alikuwa anataka kunitia nuksi tu. Mtu kashanikaa mbele ya wazazi . Na yeye ndo kasababisha ata...

Happy International Women’s Day from: Senator Koboko’s Wife, OSATO and Lady Jasmine Post Mpya
Happy International Women’s Day from: Senator Koboko’s Wife, OSATO and Lady Jasmine
@majario LIVE

If you are Proud to be a woman: Share this post Meanwhile who is waiting for PART 5 of OSATO the Pure Water Seller? If you missed any part, Iink...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 11 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 11
@majario LIVE

SONGA NAYO... Pale nje tulibaki wawili tu mimi na madam hao wengine waliingia ndani. Madam aliponiita nilimuangalia tu bila kumuitikia, huyu mama nikimuona nahisi kichefuchefu kabisa "Mira achana na hizi nguo, kesho...

ACHA NIKUPENDE ❤️1 Post Mpya
ACHA NIKUPENDE ❤️1
@majario LIVE

MTUNZI uhuru media " Pink ujue hapa Ni mjini na maisha ni magumu Sana pesa zinapatikana kwa shida hivyo unatakiwa kujiongeza sio Ila siku Mimi ni nikeshe...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 10 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 10
@majario LIVE

SONGA NAYO..... Muda ulienda majira ya saa nane nilitoka nje kwa lengo la kuanua nguo za mtoto, lakini nilipofika nilikuta nguo zote ambazo nilifua na kuanika zikiwa chini Tena zilionekana kabisa kuna...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 28 Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 28
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi kesho yake jioni sana ndo baraka alianza kujiandaa mana alikuwa anaondoka na basi la usiku. Nilijisikia unyongea sana. Ila alinambia nivumilie mana ni miezi...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 34 na 35 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 34 na 35
@majario LIVE

Basi demu akaondoka zake na hasira zake, na mimi nikaludi zangu ndani, kisha sasa nikampigia mama ahmed, na kweli akapokea skmu , nikasema hivi we mwanmke unanizoea sanaaa, ...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 26  na 27. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 26 na 27.
@majario LIVE

🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Asa mimi ni nani nimnyimeee weeeee sio kweli. Nikamsogelea kisha nikamuangalia kwa jicho la kulegea sana. Akatabasamu kisha akanivuta zaidi. Akanipa mdomo. Tukaanza kukisss taratibu....

MIRANDA (Binti Yangu)     SEHEMU YA 9 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 9
@majario LIVE

SONGA NAYO.... Kisha kwa ujasiri mkubwa nikazungumza. "Madam kwanza nasema asante kwa kuniamini lakini pia kwa kunijali nikuambie kitu siwezi kuolewa na kijana wako ile hali mimi ni mfanyakazi wako, sina thamani...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 6 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 6
@majario LIVE

ENDELEA....... "Jitahidi uwe na utu kuna maisha baada ya haya, kuna kupanda na kushuka. Kuishi na watu vizuri ni hadhina pia binti yangu. Nakupenda sana na najivunia wewe ila ubinafsi wako...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 33 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 33
@majario LIVE

Basi zena akawa nataka kuingia ndani ,mama ahamd akasema we zena sijuh ndo nani tulia nikupashe shoga angu, apa bwana hakuna, kama umebeba mimba ukazani una bwana hapa hakuna....

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 31 na 32 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 31 na 32
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Khaaaaa mi nikamtumia sms, nikamwambia mm sipo nyumbani, naomba uondoke apoo, mambo yasiwe mengi, akaniuliza upo wapi saa 6 hii, nikamwambia nipo kazini akanmbia kazini ndo hupokei simu? Upo...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest