AFANDE MILLAN๐ Sehemu ya 33
Basi zena akawa nataka kuingia ndani ,mama ahamd akasema we zena sijuh ndo nani tulia nikupashe shoga angu, apa bwana hakuna, kama umebeba mimba ukazani una bwana hapa hakuna. Uyu mwanaume kazi yake ni kuzalisha tu, na kuhudumia, tena kuhudumia kwenyewe mda mwengine fujo, mpaka namfta kufata pesa ya matumizi ya mtoto, uyu bwana kukaata mimba hawez ila utakoma na utajuta kuzaa nae maraya uyu, apo zena akasimama akasema kwani wewe umezaa na millan, mama ahmed aksema sio mm tu, uyu mshenzi ana watot watano uyo anaekuja kama mimba yako ya uyu baba, sijuh atakuwa wasita sijuh wa 7 ,na alivyo mbwa uyu baba kila mtoto anazaa na mama akeeee, kumbe umebeba mimba bwana humjuhi vizuri mbavu zangu mieeeee,
Dooih ap nikaona mama.ahmed atazidi kunihalibia ,nilimsogelea nikamtandika kofi moja tu, ananijua akaanguka mpk chini, alivyoinuka apo hakuuliza pesa ya mtumizi wala ya nini, akaenda kusimama getini, anachamba et ata ukunipiga ndo nishamwmabia kweli mwanamke wako ,wewe ni mwanaume wakuchezea wanawake na kuwaharibia mipango yao, ila sio mwanaume muoaje lione kwanza kipolisi lizima halina akiri, polisi jinga kabisaaa wewe. Nyieeee namuangalia zena ananingalia kwa hasira , ahaaa asa nafanyahe ndo kashajua, basi zena akingia ndani kwa hasira, nami nikaingia nikamkuta kakaa kwenye sofa sebleni ,kisha akaniuliza ni kweli juu ya ayo aloongea uyu dada, nikasema ndio ni kweli nna watoto wa 5 na uyo anaekuja kutoka kwako ni wa 6, zena akanmbia we baba mbona mshenzi hivyo, si nilishakuliza uko nyuma kuwa una watoo ama huna,ukanikataliwa kuwa huna , kumbe umezalisha wanawake watano millan, mbona sioni future yangu kwako
Nikasema kwani shida nini zena juu ya watot, mi sijawahi kukataa mtoto ata siku moja, na ata uyo anaekuja kwako nitamuhudumia tu, so kipengele kinatoka wapi, wewe lea mimba ,mimi ntahudumia, zena akanmbia millan , kwaiyo kumbe ulikuwa unanaidanganya sio, unazani kama ungenambia umezalisha wanawake watano mimi ningekuwa na wewe, we ni mwanaume muongo sana millan, najuta sasa kuwa na wewe, nikasema sasa unajuata nini kwani wewe unahudumiwa na wanangu ama na mimi, mimi ndo nitahudumia iyo mimba na mpaka unajifungua so kelele sitaki, unazani mi ningekueleza ukweli mi ningekupata wewe , no sitaki kelele bwana kwanza kichwa changu kina mambo mengi ya maana, zena akanmbia ooh so hili jambo ni la kipumbavuz nikasema zena mi sibishanagi sna na wanawake mana sio mtoto wa kike, so naomba unyamaze, mh zena akanyanyuka kwa hsira akaenda chumbani , kisha baada ya mda akatoka kashavaa akbeba na kila kitu chake, et aanaondoka asa mi namzuiaje kwa mfano, nikamuacha aendee tu ,hasira zikitulia tutaongea na uzuri mimi ndo baba wa mzigo wake na haikwepeki hiyooooo๐ซก๐ซก๐ซก๐ซก๐ซก
๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi
Maoni