Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15
Gonga94 · Stories

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.



Basi nilipomaliza kuongea na ibraaa nikakata simu, nikaendelea kudrive kuelekea nyumbani kwangu sasa, na nilipofika nikampigia j kawa na furaha sana , anafurahia kwenda shule kesho, nikasema muache afurahi namuona kama mwanangu kabisaaa, zena akaniuliza mh kwani na wewe si una watoto pia, nikasema no mimi bado sina kabisa mtoto ata mmoja, zena akasema mh mbona nakuona mkubwa sasa, nikasema yaaaa ila bado sijaoa, nataka wanangu wote niwazalie ndani ya ndoa, zena akasema mh mbona ww mkubwa na bado hujaoa shida ni nn,nikasema bado sijapata ambae naona ananifaaa si unajua wanawake wa siku hizi mlivyo na mambo mengi, nikamsikia zena anacheka ,akanmbia sawa bwana basi uwe na usiku mwema ,nikamwambia sawa na wewe pia, aknmbia powa kisha akakata simu, niikasema yes uyu demu siku yoyote kutamlamba

Badi bwana ,mi nikavuta simu, nikaagiza chakura mana daaah nilikuwa na njaaa kinoma, na kweli chakura kikaja , nikapiga fresh, kisha sasa kuna mwanangu mwengine ,uyu ni mpemba mwenzangu, anaishi zanzibar ila ni mfanyabishara so huwa anazunguka zunguka sana mikoani uku, akanipigia uo mda kama saa 4 usiku, mi nikapokea akanmbia mwanangu nipo dar masaki hotel, njooo basi tunywe apa kuna wachumba kama wote, eeeeeh mambo yangu tena nikamwambia nakuja chapu apo, kweli mda huo huo, mi nikapiiga maji ,nikavaa fresh nikachukua gari, uyooo nikaenda kuonanana na mwanangu, ahaaaa uko tukanywa sana, na usiku sikuludi kwangu, nikapata demu uko uko nikaingia nae hotel, nikaenda kumlaaa

Asubuh sana ndo nikaludi kwangu, nikafikia kulala mana iyo siku mm nilikuwa off kabisa, basi mida ya saaa 4 asubuh ndo nikaamka ,nashika simu, nakuta zena kanitumia picha za mwanae akiwa kavaaa sale za shule kavaa na begi anaenda shule, aha yani kale katoto kalikuwa na furaha kweli kweli, mpaka nikatabasamu, kisha zena akanmbia asante leo ummy kaanza shule kafurahi sana, nikasema hakuna shida mi sindo baba yake japo mama yake ananikazia sana, mh wala hakunijibu na wakati alisoma kabisa ujumbe wangu, basi bwana kuanzia apo nikazidisha sana shobo na zena, yani snaaa tu apo yeye niliona ananikwepa sana, unakuta usiku namcheki naanza kumchatisha , ila sasa nikianza kutia story zangu za kumtaka yeye apo ndo tunamaliza kuchati yani hanijibu tena, daah nilikuwa na maind ,ila nikawa napoa, apo najifanya nampemda mwanae kinoma, kuna mda namtumia pesa zena namwambia za mtoto hizo, zena anambia asante mungu atakulipa, ila nikiaanzaaaa tu swaga za kumuhitaji,daah mtoto.hanijibu

Na nikawa naongea sana na mtoto wake, yani mda wote mwanae ananiita baba, japo nilikuwa napata mda mchache sana wa kumuona, sababu ya kubanwa na kazi, basi bwana ikawa hivyo mpaka ikakata mwez ,mpka siku iyo nilimwmabia ibraa, bwana uyu demu ana zingua,ibra akanmbia shida nn, nikasema mwanangu mi nimechoka kumfatilia uyu demu kabisa, miezi miwili pesa zangu zinaenda tu, nikianza kumwmabia nampenda ama namtaka ananikaushia ,asa si nn kama.sio wizi uhuu ni nn, uyu demu ananibia uyu nishaona, yani mi namtumia pesa kwa ahili ya mwanae fresh, ila ye hanitaki, mi kiukweli hakuna kitu kinaniuma kama.kumpa pesa demu ambaye sijawahi kumtomba ahaaaa naumia kisenge, ibraa akanmbia we nn ,we kama unamtaka demu mpe pesa, endelea kumuhudumia hivyo hivyo mtakuwa sawa tu, alafu yule zena ni mwanamke mwenye misimamo sana unatakiwa kutambua hilo ,nikasema powa kaka

Basi mwanenu nikaendelea kupasuka mpaka ikakata miezi 3, ahaa aapo nikawa natuma elfu 20, elfu 10, ela za shule tu, weeee nimwage pesa na mzigo sijapewa sio kweli mi siwezi kabisaa, siku iyo nikaona uyu demu asinizoeee au ana mwanaume wake,mi napoteza mda wangu namfatilia ukute ananichuna vyangu tu, siku iyo nikiwa kazini nikamgongea call sasa, nikamwmabi oyaaa mi leo nahitaji sana kuongea na wewe, akanmbia millan shida ni nn au maongezi ya kawaida tu, nikasema yakawaida tu ila natamani tungetoka kidogo, akanmbia hapana mimi sitaweza si unjua nna mtoto mdogo na shey hayupo sitakuwa na mtu wa kumuachia mwanangu, nikasema sawa hakuna shida,basi nitakufata mimi mda ambao ntamaliza kazi zangu, akanmbia sawa nakungoja, kwa iki kipindi mi na zena tulikuwa tunaongea vizur kabisa yani hanijibu vibaya ata, ila ananikazia tu kunipa mzigo wanangu , basi mi nilifanya kazi zangu, na mda wa kutoka ulivyofika, mi nikaelekea kwa zena, nilifika mpaka mtaani kwao, nikapark gari yangu kisha sasa nikaenda mpka nyumbani kwake kabisaa

Kweli nilimkuta na aakanikalibisha vizur kabisaa , basi mwanae akaniwoow pale baba baba kama zote, ahaaa mbona nilijua kuuvaa ubaba kwa yasiyonihusu, alafu ata mm aka katoto nilijikuta nakapenda mi nilizalisha madume wote, yani ao wanangu watano wote wa kiume,sikuw na mtoto wa kike ata mmoja, basi nikajisikia rahaa kweli, basi nikaona zena anaandaa chakula pale, na akatengaa woow, ilikuwa wali nyama, kile chakula kilikuw kinananukia kinomaa, mpaka nikawa nna hamu ya kukila ,na kweli akanikalibisha chakuraa pale.mwanaume wala sikuvunga, alafu mi sinaga uzungu kwenye masuala ya kula kabisaa, Daah msosi ulikuwa mtamu kinoma, nikaona uyu demu atakuwa mtamu kama chakura chake nn, ebu anitunuku basi daaah mtoto anazingua uyu, basi ummy akawa ananilisha kabisaa, katoto kanjua kunipa rahaa aka, basi tulivyomaliza kuka nikashukuru, mana nilishiba na niliinjoy chakura, zena akanmbia usijali asante kwa kula pia, baada ya apo akanmbia naomba ningoje nimuogeshe mtoto kabisa, nikasema.sawa ,kweli zena akenda kumuogesha mwanane, alipoludi akamvalisha mwanae kisha akamwmabia panda kitandani ulale sasa

Nikamuuliza mbona analala mapema, akasema haa ataanza kwenda kwenye vyumba vya watu anapenda sana tv asa sa hzi usiku anaenda kuwasumbua watu, nikasema.ohh sawa basi ummy akainuka kanmbia baba utaninunulia tv na mm, kule wananifukuzaga ,daah nikajisikia vibaya,nikasema sawa ummy nitakununulia tv mwanangu mzuri now lala, kesho nitakuletea akanmbia sawa baba, kisha akajilaza akanza kuvuta usingizi, kiukweli kilitanda kimyaaa mpaka ummy alipolala, na mama yyake alipojilizisha kuwa mwanae kalala ndo akanzsiha mazungumzo, akaniuliza eeh una maongezi gani millan, nikasema zena mi nimekuja apa nnataka kujua mbona ninapokueleza hisia zangu unanaikaushia kabisa,mala zote ninapokueleza kuwa mi nakupenda sana na nakuhitaji. Ww unakuwa hutaki shida ni nn mama, zena akaningalia sana kishaa akasema wala hakuna shida millan ila ni suala la mda ,mimi binafsi naona kwa sasa sihitaji mahusiano ya kimapenzi ila tunaweza kuendelea kuwa marafiki millan, demu jau uyuu daah asa tukiwa. Marafiki ananipaje mzigo rafiki yangu, nikasema zena nisikilize naomba unisikilieze sana, zena mimi.nakupenda very serious ,yani nakupend mnoo zena nakuhitaji sana. Zena mm nataka kukuona kabisa mimi sitaki kukuchezea wewe, nimeonaaa nakupenda sana naomba unielewee mama

Ama baba ummy alikuumiza ebu nammbie, mi siwezi kukufanyie hivyo, mimi ni mwanume wa tofauti sanaa ,na ninakupenda sana ,nakuhitaji sana plsss mama naomba kuwa na ww ,nakupenda sana, sitakuchezea ,ntakutunza na kukujali sana, na nitamlea ummy kama mwanangu wa kumzaa, aseee wanaume tukiwa tunataka kitu huwa tuna swaga kinoma🤣🤣🤣🤣🤣, zena akanmbia najua kama unanipenda millan, naelewa sana .sina utoto wa kutokuelewa ayo, na najua ni kwa kiasi gani unampenda mtoto wangu, ila naomba nielewe kuwaa kwa sasa hautuwezi kuwa pamojaaa, aseeee niliujikuta nimepata hasira yani mda wote nambembeleza ana kitu gani ch ajabu, mi nakamatiaga mademu wa kali awaingii ata mala elfu 10, na hawanilingii kama hivi, demu namfatilia kalibia miez 3,alafu anakuja kunilingia mimi matako uyu, aeee nikavuta funguo yangu ya gari nikatoka ndani kwake kwa hasira mnoo, aseeee mi ni mtu amabye nna hasira za haraka na nawahi kupaniki mnooooo. Basi nikaenda mpaka sehemu nimepaki gari yangu, nikaingia ndani ya gari yangu, nikaanza kudrive kuelekea kwangu nikiwa nimemind kinioma juu ya uyu demu na pozi zake,sipendi sana mwanmke wa kulinga kama yeye ndo ana kuma tu, nilimond umo njianinilkuwa nasonya tuu, kam mwanamke mwenye mimba.

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Distro kid Upload your music To day
Distro kid Upload your music To day
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15




Basi nilipomaliza kuongea na ibraaa nikakata simu, nikaendelea kudrive kuelekea nyumbani kwangu sasa, na nilipofika nikampigia j kawa na furaha sana , anafurahia kwenda shule kesho, nikasema muache afurahi namuona kama mwanangu kabisaaa, zena akaniuliza mh kwani na wewe si una watoto pia, nikasema no mimi bado sina kabisa mtoto ata mmoja, zena akasema mh mbona nakuona mkubwa sasa, nikasema yaaaa ila bado sijaoa, nataka wanangu wote niwazalie ndani ya ndoa, zena akasema mh mbona ww mkubwa na bado hujaoa shida ni nn,nikasema bado sijapata ambae naona ananifaaa si unajua wanawake wa siku hizi mlivyo na mambo mengi, nikamsikia...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/afande-millan-sehemu-ya-14-na-15

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi afande-millan-sehemu-ya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 6 na 7
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 6 na 7
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 13
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 13
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

714
FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 16

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 16

483
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12

443
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17

442
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 13

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 13

378
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15

257
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10

232
FROM BANGI TO BABY 💞💘   SEHEMU YA 18

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 18

229
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.

192
SHAMIRA sehemu ya 34&35

SHAMIRA sehemu ya 34&35

164

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.43K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.21K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.75K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.2K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.6K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.47K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.44K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.44K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.4K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.38K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15
@majario LIVE

Basi nilipomaliza kuongea na ibraaa nikakata simu, nikaendelea kudrive kuelekea nyumbani kwangu sasa, na nilipofika nikampigia j kawa na furaha sana , anafurahia kwenda shule kesho, nikasema muache afurahi...

FROM BANGI TO BABY 💞💘   SEHEMU YA 18 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 18
@majario LIVE

Mama akanambia kuwa Veda alikuwa na huyo mke wake walifunga ndoa kabisaa kanisani, wakati huo Veda alikuwa anafanya kazi kwenye kampuni ya mturuki alikuwa kama dereva anamuendesha ile kampuni ilifirisiwa...

BLACK BUTTERFLY 🦋 3 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 3
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 Endelea Asubuh Hiyo Mariana aliwahi kazini kama kawaida yakee na kuanza kusikia kile kilichotokea jana maana kila mmoja alizungumzia lakee “ Mariana unaitwa na madam Camilla...

Such a lovely throwback ! This pic of Raj Kapoor, Randhir Kapoor and Rishi Kapoor celebrating Holi together is pure nostalgia Post Mpya
Such a lovely throwback ! This pic of Raj Kapoor, Randhir Kapoor and Rishi Kapoor celebrating Holi together is pure nostalgia
@majario LIVE

. You can literally feel the fun and madness of a proper Bollywood Holi. All three covered in colours, smiling, enjoying the moment like one big happy family. Raj Kapoor, the...

Hongera umepata kazi ya kulinda bwawa la samaki usiku huko mkoani Iringa karibu na bonde la mlima Kitonga. Mshahara ni shilingi milioni moja kwa usiku mmoja Post Mpya
Hongera umepata kazi ya kulinda bwawa la samaki usiku huko mkoani Iringa karibu na bonde la mlima Kitonga. Mshahara ni shilingi milioni moja kwa usiku mmoja
@majario LIVE

. Kazi inaanza saa 4 kamili usiku hadi saa 12 alfajiri. Hakuna muda wa majaribio. Ukifika kazini unaanza kazi. Hivyo sikiliza masharti haya kwa makini ili uweze kufika asubuhi. Sharti...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 13 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 13
@majario LIVE

Basi nikaingia ndani, dohh nilipashangaa, yani uyu dada hakuwa na chochote cha maana cha ndani zaidi ya godoro tu, amabalo nalo wala halikuwa linalizisha kabisa,mabegi ya nguo, na ndoo za...

Zayed Khan has always been a total family man at heart. He’s married to his high school sweetheart, Malaika Parekh Post Mpya
Zayed Khan has always been a total family man at heart. He’s married to his high school sweetheart, Malaika Parekh
@majario LIVE

. They met as teenagers at Kodaikanal International School, became close friends, and eventually fell in love. After years of being together, they got married on November 20, 2005. It’s...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*
@majario LIVE

SONGA NAYO. Ila nyie mapenzi konyo Walahi, Yaani ukimuona mtu unayempenda lazima tu Ka moyo kashtuke na kapate amani Fulani hivi Kitendo cha kumuona Enzo nilifurahi lakini pia nilijikaza tu na kumuuliza...

This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla Post Mpya
This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla
@majario LIVE

with that cute bubbly energy… and Aamir Khan being his mischievous, romantic self. What a combo yaar! Ishq was not just a love story, it was full on drama, comedy,...

 Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani Post Mpya
Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani
@majario LIVE

* Meli za kijeshi za Marekani zilizopo Ghuba ya Uajemi * Rada za Israel zilizopo Azerbaijan * Rada za Israel zilizopo Turkmenistan * Mifumo ya ulinzi wa anga ya vituo vya Marekani nchini...

SHAMIRA sehemu ya 34&35 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 34&35
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi nikajiiinua taratibu tukaingia bafuni. Mwanaume akanikumbatia uku tunaoga. Aseee uyu baba ananipenda ila hataki upumbavu ata kidogo na mkono wake mwepesi kupiga .na yote sababu...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nikaona zena kamnyanyua yule mtoto kisha akambeba ,ni amefanana nae sana ,nikajua ni wa kwake tu yani ni lazima utu mtoto atakuwa ni mwanae, kisha akanigeukia...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17
@majario LIVE

Ikabidi nikae tu kwenye piki piki maana sura alivyokuwa kaikaza mmh asije kunipiga, Kimyaa kikatawala sasa mie nilijua tunaenda kwa Tinner na moyoni nilikuwa nimempangia hayo maneno Tinner eeh mbona...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Maeneo ya pale pale chuoni, Salmon alikuwa amepanga nyumba kubwa ya peke yake. Wakati akiwa chuo ndo alikua anaishi hapo, ila siku za weekends kama hana mambo mengi ndo anaenda...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi kuanzia apo nikawa sasa kidogo naelewana na baraka. Tena mimi ndo napenda sana kuongea nae. Yani sanaaa. Napenda kucheka nae sana. Na kun jinsi...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest