AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 62 na 63
Baada y kumuacha mchumba sasa nikawa hoi yani , sio powa basi zena akanikumbatia akanambia nakupenda san mwanaume wangu, basi apo sasa , nikamwambia zena ,naomba nikuamishe apa mke wangu, zena akaniangalia akanmbia unipeleke wapi, nikasema.nataka tukakae sehemu nzuri mke wangu, zena akanmbia ahaaaa mi apa.sitaki kutoka mpaka unioe kabisaa, nikasema zena sindo nimefika mama, mi nimekuja apa tuongeeee vizuri mke wangu, na hii weeek naenda kwenu sasa kupeleka barua mke wangu, akanmbia sawa,.sasa ukipeleka barua nyumbani, apo ndo nitakuturuhusu utuamishe apa ila sio mwa sasa nisamehe honey, nikasema sawa mke wangu, basi nikamsogelea zena nikamshika kiuno kisha nikawa namtazama tu usoni,.uku najisikia rahaaa mnooo kumuona zena tu, mh zena akanmbia ebu niache nikaoge bwana ,arshaina ataaamka.mda sio mrefu, nikasema.sawa ,basi zena akaenda kuoga, na baaada ya mda akaludi, akawa busy na kuandaa chakuraaa
Na mimi nikaenda kuoga, na mwanangu aka kadogo, kakawa kashamaka nikawa nambembeleza pale, basi zena akawa busy kuniamdalia chakuraa, aseee nachek simu, nakuta mke wangu jalia kanipigia sijuh mala mbili, ni vile.simu yangu niliweka silence, nikaona aeeh mambo yasiwe mengi ,zena asije akaona apa alafu kikawaka , mimi na simu nikazima kabisaa, nikatulia na zena na baada ya mda mwanangu ummy akaludu sasa, na akiludi ummy ndo ndani kunachangamka mana anaongea sana , basi ummy alifurahi kuniona ,si ajaniona mdaa akanza kunidandia na maswali kabao, baba ulikuwa wapi mbona nilikuwa sikuoni, baba yangu mzuri mzuri, doooh yani maswali kibao mpaka nabaki kucheka, na namjibu na mimi asa nafanyaje, ummy utamuweza ,mpaka mama yake anamwambia ummy muache baba kachoka, mh kwan anakubali sasa, yani uyu mtoto alikuwa ananipenda mnoooo , yani kweli kweli, anaona kamam mm ndo baba yake na zena ndo mama yake maskini
Basi nilikaaa kwa zena mpaka usiku tulikula pale kwa pamoja tukiongea sana , yani ilikuwa rahaa mnooo, yani raahaaa kweli kweli, na kama familia tukaongea sana na wanangu mpaka saa 3 usiku, ndo apo wakalala, na maam yao akaenda kuwalaza chumbani ,nikabaki zangu na zena sebleni, tukawa tunaongea tu uku tunachek movue, na apo zena kalala mapjani kwangu, nikasema.zena bwana unajua nn, akanmbia ndio, nikasema hivi uhawahi kusikia ndoa za matara, na labda mm siku nikakwambia nataka nikuoe labda mke wa pili, kwa mfano ikawa nimeshaoa na alafu nikataka kukuoa ww mke wa pili inakuwaje, mhhh zena akakaaa kwanza , akaniuliza kwani wewe umeoa uko kwenu? Nikapata mpaka kigugumizi, nikasema.hapana mke wangu, sijaoa ,ila nimekuuliza tu, zena akanmbia siwez kukaa matala kwanza sitaki ata kuyasikia tu
Mh kazi ipo nikamuuliza kwa nn, akanmbia dada yangu kafa kwenye ndo za matala, alichomwa kisu na mke mdogo, mana dada yangu ndo alikuwa katangulia kuolewa na baba ummy , dada amepoteza maisha apo apo baada ya kuchomwa kisu , mpaka leo nalea mtoto ambae ni ummy, na ile siku dada alikufa mbele yangu tena kwenye mikono yangu, nakumbuka kabisa alinambia nisije kuthibutu kukubali kuolewa ndo ya mitaaala, yani mh sitaki ata kusikia hizo ndo za miatala , na yule mke mdogo mpaka.leo yupo jera kafungw kifungo cha maisha, binafsi sitaki kuyasikia kabisa matara, na kama una plan za kunioa mm, kisha uje kuongeza mkeee ,hapana mm binafsi siihitaji na nakupa chance wewe ya kubaki na uyo mwengine, apo zena alikuwa anaongea uku analia, mh nikasema zena no unalia nn sasa maam ,hapana usifanye hivyo mke wangu, zena akanmbia umenikunbusha mbali sana millan, nimemkumbuka marehemu dada, doooh nikamsogelea zena kisha nimmmkumbatia kwa nguvu, nikasema hapana zena nisamehe kwa kufanya ukumbuke hivyo nisamehe mama , nisamehe sana, nyiee nilibembeleza mnoo, ndo zena akakubali kunielewa na akanyamaza ,dooh nikaona kazi nnayo kudadeki, zena hawez kunielewa kivyovyote juu ya kumuoa mke wapili, tayali ana histolia mbaya na hizi ndoa za matala daah
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi
Maoni